ANNUUR 1099

download ANNUUR 1099

of 12

Transcript of ANNUUR 1099

  • 8/14/2019 ANNUUR 1099

    1/12

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1099MUHARRAM 1435, IJUMAA , NOVEMBA 15-21, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz

    Uk.

    FFU Tanga waranda kulinMisikiti Waislamu wakiswa

    Masjid Neema wapelekewa gari 7Imam Msikiti Mkuu ahojiwa masaa 4

    BAADHI ya wananchi

    wa Donge waliohamaChama Cha Mapinduzi

    Donge watubiWafchua siri ya ushindi CViapo vingine balaa, sawaKigogo akumbushwa nadh

    Na Mwandishi Wetu n a k u j i u n g a n aC U F, w a m e o m b awasamehewe wakidaik u w a w a o n d i o

    HATMA ya SheikhChambuso RamadhaniC h a m b u s o , b a d ohaifahamiki baada yazoezi la kumtoa rumandekukwama wiki hii.

    K w a u p a n d emwingine, k iwingu

    Sheikh Chambuso bado utataWatoto 70 mikononi mwa PolisiMajeruhi watelekezwa BomboWaislamu Tanga waingilia kati

    Na Mwandishi Wetu

    kimetanda katika kesiinayomkabili baaday a k u u n g a n i s h w akatika kesi ya mauwaji

    akiwekwa katika kundila watu walioshawishikuuwa.

    Inaendelea Uk.2

    Serikali yajiinmgogoro na S

    Inaendelea Uk. 4

    Yafunga madrasa inazodai Yataka zishamiri za Masu

    Dkt. Mvungi atakumSISI sote ni waMwenyezi Munguna hakika kwaketutarejea.

    D K T. E d m u n dSengondo Mvungi,ameondoka baaday a u h a i w a k ekuka t i shwa kwa

    Inaendelea Uk.4

    Inaendelea Uk.2

    Hawa wanaopitMisikitini

    wametumwa naUAMSHO?

    ASKARI wa kutuliza ghasia (FFU) wakiwa katika doria.

    kukatwa mapangana wahalifu wakatiakirejea nyumbanikwake Msakuzi, njekidogo ya jiji la Dares Salaam Novemba3 mwaka huu.

    Kabla ya mauti

  • 8/14/2019 ANNUUR 1099

    2/12

    2 AN-NUURMUHARRAM 1435, IJUMAA NOVEMBA 15-21, 20

    AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Habari

    FFU Tanga waranda kuMisikiti Waislamu wakiILIKUWA heka hekakubwa kwa FFU napolisi wa kawaidaI j u m a a i l i y o p i t aw a l i p o l a z i m i k akuranda na kuzingiraMisikiti Waislamuwakimsabihi Mola wao.

    Kutwa nzima hadisaa tatu usiku, ukiachakuilinda Misikiti kwamitutu ya bunduki hukuWaislamu wakiingia nakutoka kwa ibada zao,polisi waliranda wakiwana machela katika gari,lakini hadi saa tatuusiku, walirejea kambiniwakiwa hawana hatamajeruhi mmoja wakubeba.

    Katika opereshenihiyo ambayo awaliWaislamu hawakujua niya nini, Masjid Neemapekee ilipelekewa gari7 za FFU ambapo baadaya swala wakusanyasadaka walielekezwakupita hata kwa FFUK u c h u k u a s a d a k azao maana wapo pia

    Wa i s l a m u a n g a l a uwaambulie kitu kidogo baada ya Kamandawao kuwapa kazi yakuzingira Msikiti nakuwakosesha kuswaliAljumaa.

    Msiki t i mwingineuliopelekewa gari nyingini Masjid Qubah, yotemiwil i ik i fahamikakuwa ni miongoni mwaMisikiti ya harakati naDawah ya Kiislamu kwaTanga.

    Habari zinafahamishakuwa kilichopelekeapolisi kuzingira Misikiti,ni ujumbe wa manenoulioanza kusambazwasiku ya Alhamisi saa9 alasiri ukielekezak u w a k u t a k u w an a m a a n d a m a n oyatakayoanzia MsikitiM k u u w a I j u m a aBarabara ya 9.

    Ujumbe huo ulipelekeakukamatwa kwa Imamwa Msikiti Mkuu nakuhojiwa baada ya swalaya Isha hadi saa 4 usiku

    ambapo alisema kuwahajui chochote juu yamaandamano hayo.

    Ulikuwa ni ujumbehuo mfupi wa manenokupitia simu za mkononi,uliowapa kibarua polisicha kuranda mitaanikutwa na kuzingira

    baadhi ya Misikiti hadisaa tatu usiku.

    Kulingana na wingiwa Polisi waliokuwamitaani, inasemekanakuwa i l ib idi pol is iw a a g i z w e k u t o k aP a n g a n i , M u h e z a ,Handeni na Korogweili kushirikiana na waTanga Mjini kat ikaoperesheni hiyo.

    H a y o y a n a j i r iwakati bado Waislamuhawajajua hatma yaS h e i k h C h a m b u s oRamadhani Chambusoaliyekamatwa akitoahuduma kwa majeruhina wahanga wa vuruguza Kilindi.

    Sheikh Chambuso kwasasa kapachikwa kesi yakushawishi mauwaji.

    Sheikh Chambuso badoInatoka Uk. 1

    kum ka mchana wa Jumanne Novemba12 katika Hospitali yaMilpark, JohannesburgAfrika Kusini alikopelekwakwa mat ibabu za id i ,alitibiwa katika Taasisi yaMifupa ya MOI-Hospitaliya Taifa Muhimbili kwasiku kadhaa lakini haliyake haikuleta matumaini.

    T u n a s i k i t i k a k w akupatwa msiba huu, lakinizaidi tumesikitishwa kwakuondoka mtu ambayealikuwa ni mpambanajimkubwa dhidi ya dhulumak w a w a n y o n g e n amakabwela.

    Dkt. Mvungi alikuwamiongoni mwa wasomiwachache wenye moyow a u t u n a h u r u m a ,ambapo mara kadhaaaliweza kutenga mudawake, akaacha majukumuyaliyoweza kumwingiziap a t o k w a a j i l i y akuwatetea wasiokuwana uwezo katika kesi zaomahakamani. Kwa kifupi

    ni kwamba Dkt. Sengondolicha ya kuwa Mhadhiri bobezi katika tasnia yasheria tangu Chuo Kikuucha Dar es Salaam, wakilimaarufu na hata alipokuwaNaibu Makamu Mkuu wachuo katika Chuo Kikuucha Bagamoyo alipokuwahadi mauti yanamfika, bado aliguswa na hurumana kujitoa kuwasaidiakisheria wasiokuwa nauwezo dhidi ya dhulumati.

    Aidha Dkt. Sengondoatakumbwa zaidi na wadauwa tasnia ya habari nchini,ambapo tangu alipokuwaMjumbe wa Kamati yaBaraza la Habari nchini,MCT, alikuwa mhimilimkubwa kwa vyombovya habari na wanahabarikwa ujumla, pale alipotoaujuzi wake na kushirikikikamilifu katika kusaidiana kuandaa rasimu yamuswada wa sheria yavyombo vya habari, ikiwani jitihada za kuondoaukatili na uonevu katikatasnia ya habari nchini.

    Dkt. Mvungi atakumbukwa kwa mengiAidha Dkt. Mvungialikuwa na desturi ya

    k u k o s o a h a d h a r a n imamlaka za serikali paleanapohisi kuwa zinakiukakatiba au misingi ya hakikwa watu wake.

    Lakini pia ifahamiketu kwamba, kuondokakwa wasomi wa kaliba yaDkt. Sengondo (miaka 61tu), kwa fani yeyote ile, nipigo kubwa kwa Taifa naserikali kwa ujumla kwaniitachukua muda kumpatamsomi bobezi mbadala.Iwe ni kwa kigezo cha

    gharama, weledi na kipajina hata moyo wa kujitumana uwajibikaji.

    Ndio maana tunasemakwamba Dkt. Mvungia t a k u m b u k w a k w amengi. Hii ni kwa kuwautendaji wake uligusaw e n g i . P a m o j a n akwamba familia yakeitakuwa imeathirikazaidi, lakini ni wazikwamba msiba wakeutakuwa umewagusak w a k i w a n g okikubwa wanyonge,w a n a o d h u l u m i w a ,wanafunzi, vyama vyasiasa, serikali, vyuovikuu, nk.

    K a t i k a U i s l a m u ,tunaambiwa kwambamoja ya mambo ambayoyatamsadia mtu katikamaisha yake baada yakufa, ni yale memaaliyoyafanya wakatiwa uhai wake, ambayoyanaende lea kuzaa

    mema zaidi hata baadaya mtu kufa.Katika hili, ni wazi

    kwamba Dkt. Mvungiatakuwa ametoa elimuna ujuzi wake kwawatu wengi, ambaon a o w a n a e n d e l e akuutumia ujuzi na elimuwaliyoipata kuwasaidiawengine.

    Buriani Dkt. SengondoMvungi.

    Habari kutoka Tangazinafahamisha kuwaS h e i k h C h a m b u s oa l i k a m a t w a Ta n g ana kisha kupelekwaH a n d e n i a m b a p oaliunganishwa na watuwaliokamatwa katikavurugu z i l izotokeaWilaya ya Kilindi nakupachikwa tuhuma zakushawishi kuuwa.

    A w a l i S h e i k hChambuso alikamatwaalipokuwa akifuatiliamatibabu na hali zaw a t o t o 7 0 a m b a owamete lekezwa nawazazi wao.

    Wa t o t o h a o k w asasa wamehifadhiwakatika dakhalia (hosteli)ya shule ya sekondariMasechu.

    Katika siku za nyumadakhalia hiyo ilikuwaikitumika kama wodiya wagonjwa wa kifuakikuu.

    I l ikuwa ni kat ikaharakati za kufuatiliahali za watoto hao waKiislamu waliokamatwahuko Kilindi baada yawazazi wao kutimkiaporini katika operesheniiliyokuwa ikiendeshwana polisi, ndipo SheikhChambuso alikamatwa.

    Habari zinasema kuwaalikamatwa Jumatanoya tarehe 30 Oktoba,saa 8 mchana, eneo la

    Kisosora zilipo hosteliza sekondari ya Msechuna kuhojiwa hadi saa 8usiku alipoachiwa.

    Mwenyewe anasema baadh i ya maswal ialiyokuwa akihojiwa niiwapo ana ndugu nchi zanje, ana hati ya kusa riana iwapo alishawahikusafiri nchi za nje nanchi gani.

    Ilikuwa kesho yakeS h e i k h C h a m b u s oalipofika tena Polisi,Chumbageni , kama

    alivyoamriwa kufikasaa moja a subuh i ,ndio alikamatwa nakupelekwa FFU Kange.

    H a p o a n a s e m a ,alitupwa katika chumbaambapo kulikuwa naPolisi 6 wakamfungapingu mikono kwanyuma na kumfungak i t a m b a a c h e u s imachoni, kwa mikikimingi wakiwa na bastolaz a o k a n a k w a m b a

    w a n a k a b i l i a n a n a jambazi hatari.Katika hali hiyo ya

    kuzibwa macho, SheikhChambuso hakujuaalikopelekwa mpakaa l i p o s h t u k i a y u p or u m a n d e H a n d e n ianatolewa kupelekwamahakamani.

    Mauwaji yanayotajwakatika kesi hii ni yaleyaliyofanyika katikak i j i j i c h a L u l a g o ,Kilindi, ambapo baadhi

    Inaendelea Uk.3

    Inatoka Uk. 1

  • 8/14/2019 ANNUUR 1099

    3/12

    3 AN-NUURMUHARRAM 1435, IJUMAA NOVEMBA 15-21, 20Habari

    JUMLA ya wahitimu 812,katika Chuo Kikuu chaWaislamu Morogoro,wametunukiwa Shahadakatika kozi mbalimbalina Mkuu wa Chuo hichoHajjat Mwantum Malale,Novemba 9, 2013.

    Kabla ya kutunukiwaShahada zao katika sherehezilizo fanyika Chuonihapo, viongozi wa Chuohicho katika risala zao,waliwataka wahitimu haokutumia elimu waliyopatakwa manufaa ya jamii naTaifa kwa ujumla.

    M i o n g o n i m w awahitimu hao pia Chuokimetunuku Shahadakikosi cha kwanza cha

    vijana 19, waliosomea faniya Sheria na Sharia ikiwani wahitimu wa kwanzatokea Chuo kianzishwe.

    K a t i k a h o t u b a y aMwenyekiti wa Baraza laChuo hicho, Dr. MussaAssad ilisema, mwakawa masomo 2012/2013,umekuwa na kiwangocha chini kwa idadi yawanafunzi chuoni hapoukilinganisha na miaka yanyuma.

    A k i s o m a h u t u b ahiyo kwa niaba ya Dr.Assad, Alhaj AhmedSagaf , a l i sema, kwaujumla vyuo vyote nchinivinakabiliwa na upungufuwa wanafunzi.

    Alhaj Sagaf alisematatizo hilo linatokana nakupungua kwa idadi yawanafuzni wa kidato chasita wenye sifa za kujiungana vyuo vikuu, hata hivyoakasema wanatarajia tatizohilo litakuwa ni la mudamfupi.

    Alisema, ili kukabilianana tatizo hilo, MUM,imeanzisha kozi katikangazi ya Vyeti na Diploma,ili wale watakao fauluvizuri, waweze kujiungana Chuo hicho kwa sifambada la (Equiva len tquali cations).

    Alhaj Sagaf, alizitaja kozihizo kuwa ni Cheti katikataaluma ya Maabara,Uandishi wa Habari naSheria na Shariah.

    Zingine ni Diplomakatika Taaluma ya Benkiya Kiislamu pamoja naUnunuzi.

    Akielezea baadhi yamafanikio yaliyopatikanatokea mwaka jana alisema,C h u o k i m e f a n i k i w ak u k a m i l i s h a j e n g ol a m a w a s i l i a n o y a

    812 wahitimu MUMNa Bakari Mwakangwale k i t e k n o l o j i a , l e n y e

    madarasa 6, ambapo Mh.Rais Jakaya Kikwete,aliweka jiwe la msingi,mwezi Machi, 14, 2013.

    Pia kutokana na tatizola kutokuwa na ukumbimkubwa wa mikutano,Chuo kimeweza kupatas e h e m u y a k u f a n y i am i k u t a n o C h u o n ihapo yenye uwezo wakuchukuwa watu wapatao3,000. Alisema.

    S e h e m u h i y o p i aitatumika kufundishiamadarasa yenye wanafuziwengi kwa mara mojakuliko kuwagawa katikamakundi, jambo ambalolitaboresha ufundisha.Alisema.

    Katika nasaha zakekwa wanafunz i hao ,Alhaj Sagaf, aliwanasihiwahitimu wote kuitumiaelimu yao waliyoipatakwa manufaa ya nchi yao,na kwamba wakumbukekuwa elimu hiyo awasaidiekujenga umoja katika jamiisio kufarakanisha.

    Kwa upande wake,M a k a m u M k u u w aChuo h icho , ProfesaHamza Mustafa Njozi,a k i h u t u b i a k a t i k amahafali hayo, alisema, jumla ya wanafunzi 812,wamefanikiwa kuhitimumasomo yao na wanastailikutunikiwa shahada zao.

    W a l i o f a n i k i w akumaliza masomo yaosalama katika programz o t e n a a m b a o l e owanatunikiwa shahada zaoni 812, Allah ajaalie elimuyao iwe ni yenye manufaakatika jamii yetu. AlisemaProf. Njozi.

    Alisema, pamoja nakuwa Chuo kina mudamfupi toka kuanzishwakwake, kimestawi nakuchanua ku tokanana Watanzania wengikuwaamini ku tokanana ubora wa taaluma namalezi bora yatolewayochuoni hapo.

    Prof. Njozi, alisemapamoja na idadi kubwa yawanafunzi walioomba nakupewa fursa ya kusomaMUM, wapo walioshindwakujiunga kwa kukosamikopo.

    Hata hivyo, MakamuMkuu huyo wa Chuoalisema, wale ambaowaliamua kujiunga katikachuo hicho na mikopoyao kwenda katika vyuovingine, bado wameendeleakuomba mikopo yaoiingizwe walipo amuakujiunga (MUM).

    Prof. Njozi, alisemawanachuo waliohitimukatika chuo hicho, kuanziawahitimu wa awali tokachuo hicho kianzishwehadi wale wa awamuya tano (mwaka jana)wamekipa Chuo hichoheshima kubwa kutokanana utendaji wao wa kazi.

    Alisema, wahitimi haokutoka MUM, wamekuwani waadilifu na kuamrishamema na kukataza maovukatika jamii sambambana kuwaasa wafanyakaziw e n z a o w a n a o k i u k a

    maadili ya kazi zao.Pia, Prof. Njozi, alisemavijana waliopita kimasomok a t i k a C h u o h i c h okatika kozi mbalimbaliwameonyesha utayari waowa kuwatumikia wananchipopote watakapopangiwakazi.

    Wi z a r a y a E l i m uinatutambua kwa hilo,vijana wetu hawana tabiaya kujisingizia maradhiwasiyo kuwa nayo iliwabakie Dar es Salaam aumaeneo ya kwao, katikavijana hao miongoni mwao

    hivi sasa wanachapa kaziMbinga, Tarime, Katavi naSimiyu. Alisema MakamuMkuu wa Chuo.

    Kwa upande mwingine,Prof. Njozi, alimshukuruRais Jakaya Kikwete, kwakuridhia kwake kuongozaha a ya kuchangia ujenziwa mabweni na madarasa,chuoni hapo katika harakatiza kukabiliana na tatizolinalokikabili chuo katikamaeneo hayo.

    Mahafali haya ni yasita tangu Chuo hichokilipozinduliwa rasmi.

    Sheikh Chambuso badoInatoka Uk. 2

    ya wananchi walikuwaw a k i p i n g a k u l i p au s h u r u w a m a z a ow a k a m s h a m b u l i amgambo hadi kufa.

    K w a m u j i b u w akes i z i l i zo f ik i shwamahakamani , wa tuw a l i o k a m a t w akatika vurugu hizo,wamegawanya katikamakundi matatu.

    Kundi la kwanzani wanaotuhumiwakuhusika na mauwaji,l a p i l i kushawish imauwaji na la tatu ni lawale wanaodaiwa kufanyavurugu.

    S h e i k h C h a m b u s oaliyekuwa Tanga wakatihayo yote yakijiri Lulago,kawekwa katika kundila wale walioshawishimauwaji.

    Kutokana na wogauliokuwa umejitokezat o k a a w a l i k u w ak i l a a n a y e j i t o k e z akuwasaidia majeruhi

    walio kishwa hospitaliya Bombo wakiwa namajeraha ya r isas i ,hukamatwa, bado mpakasasa hakuna nduguwaliojitokeza kufuatiliahali za majeruhi.

    Imekuwa ni vikundivya Waislamu, jijiniTa n g a v i l i v y o n ampango wa kufanyausa hospitali na kutoahuduma kwa wagonjwandio wamebeba jukumula kuwasaidia wagonjwahao.

    Ni Waislamu haokatika kuwafanyia usamajeruhi, waligunduakuw a mmoja wao alikuwaakitoa funza katika jerahailipoingia risasi baada yakushindikana kutolewarisasi hiyo iliyoingiakatika nyong a.

    Kutokana na kushuhudiahali mbaya ya majeruhihuyo, walifanya juhudikubwa mpaka Muislamuh u y o k u p e w a r u f a akupelekwa Muhimbili.

    Hadi sasa wanaendeleakuwahudumia majeruhiwaliosalia hapo katikakawaida yao ya kilasiku ya kutoa hudumakwa wagonjwa katikahospitali ya Bombo.

    Na huduma h iyohutolewa kwa wagonjwawote bila kujali dini yamtu. Lengo ni hudumakwa wagonjwa.

    Wakati huo huo, zoezila kumtoa rumande

    S h e i k h C h a m b u s oambaye dhamana yakeipo wazi, limekwama ba ad a ya ma ha kam akusema kuwa ni lazimawahus ika wasub i r isiku ya ku kishwa tenamahakamani ambayo ntarehe 19 Novemba, 2013.

    Habari kutoka Handenizinasema kuwa, hakimuanayesikiliza kesi hiyoamesema anavyoona yeyehiyo sio kesi ya kawaida,kwa hiyo wanaofuatiliad h a m a n a y a S h e i k hChambuso wasubiri sikuya kesi.

    BAADHI ya wahitimu katika Chuo cha Waislamu Morogoro wakiwa katika mahafali Jumamosi iliyopita. (Picha na Bakari Mwakangwale)

  • 8/14/2019 ANNUUR 1099

    4/12

    4 AN-NUURMUHARRAM 1435, IJUMAA NOVEMBA 15-21, 20Habari

    Donge watubiawaliokuwa wakitumiwakuipa CCM ushindikinyume na sheria nataratibu za uchaguzi.

    Wananchi hao ambao baadhi yao walikuwa nanyadhifa ndani ya CCMkatika ngazi ya Wilaya

    w a m e s e m a k u w a ,katika kipindi chotecha chaguzi za vyamav i n g i , w a m e k u w awakitumiwa kupigakura zaidi ya moja hadikumi na katika majimbombalimbali.

    Mmoja wa wakazihao wa Jimbo la DongeBwana Salim KhamisAmour, amesema yeyealikuwa akipiga kurahadi kumi na akatoakitambulisho cha mpigakura kinachomwezeshakupiga kura Tumbatu

    wakati yeye si mkazi wahuko.B w a n a A m o u r

    alitoboa siri hiyo katikamkutano wa hadharauliofanyika Mwanda,

    J imbo la Donge nakuhudhuriwa na maelfuya watu.

    K u f a n y i k a k w amkutano huo wa CUFambapo mgeni rasmialikuwa Katibu Mkuuwa chama hicho MaalimSeif Shariff Hamad,kumechukuliwa kama

    jambo la kihis tor iakatika siasa za Zanzibar.Hii ni kwa sababutoka vimeanza vyamavying i , J imbo h i lolimechukuliwa kamangome kuu ya CCMna CUF haikuwahikuruhusiwa kufanyamkutano katika Jimbohilo.

    Inasemekana kuwa,katika kujiamini kwao,

    baadhi ya vigogo waCCM wal io ka t ikakada ya wabunge nawawakilishi, waliapakuwa haitatokea CUFkufanya mkutano katika

    Jimbo hilo.Wengine wakafikia

    h a t u a y a k u w e k anadhiri mbaya ambazokuzitekeleza ni balaatupu, sawa na kuileteaZanzibar laana ya watuwa Kaumu Lut.

    Hata hivyo, kamanamna ya kumpa nasahakigogo huyo aliye kijana

    bado , al ikumbushwakutekeleza ahadi yakeasije akafa vibaya nakitanzi cha ahadi na

    Inatoka Uk. 1

    kiapo shingoni.Ilikuwa ni Makamo

    Mwenyekit i wa CUF,Mzee Machano ambaye

    naye ni mtu wa Dongealiyemkumbusha kijanahuyo kutekeleza nadhiriyake baada ya CUFkuingia Donge na kufanyamkutano mkubwa kwaa m a n i h u k u P o l i s iwakilinda usalama badalaya kuwapiga mabomukama ilivyokuwa hukonyuma.

    Akizungumza katikamkutano huo uliofanyika Jumapil i i l iyopita yaNovemba 10, MaalimS e i f S h a r i f f H a m a d ,alikumbusha na kusisitizaalichokiita msimamo waWazanzibari walio wengiwa kutaka Zanzibar yenyemamlaka kamili.

    Alisema, ni lazimakatiba mpya ijayo itambuena kuainisha mipaka yaZanzibar na itaje kamanchi na sio kama ilivyosasa ambapo inakuwasehemu katika Tanzania.

    Maalim Seif amesema,katika mambo makubwaaliyofanya Rais MstaafuAmani Abeid Karume,ni pamoja na kufanyamabadiliko ya katibaya Zanzibar ambapokipengele kinachosemak u w a Z a n z i b a r n isehemu ya Jamhuri yaMuungano ya Tanzaniak i l i f u t w a n a b a d a l ayake kuingizwa kifunguk i n a c h o i t a m b u l i s h aZanzibar kuwa ni nchikat ika muungano waTanzania.

    K a t i k a k u s i s i t i z a

    m a m l a k a k a m i l i y aZ a n z i b a r , a m e s e m akuwa ni lazima katibai t a m k e w a z i k u w a

    nchi zi l izoungana niTanganyika na Zanzibarna sio huu ulaghai wasasa ambapo Tanganyikainajivisha joho la Tanzania.

    Kwa upande mwingineakasema kuwa, ili mamlakahayo kamili yapatikanena ili hadhi ya Zanzibarkama nchi ikamilike, nilazima iwe na Uraia wake,Uhamiaji, Sarafu, BenkiKuu na Mambo ya Nje.

    A m e w a t a k aWa z a n z i b a r i w o t ekuungana katika kaulimbiu ya Zanzibar kwanzana kuweka tafauti zao zavyama na itikadi mbali.

    A k i s i s i t i z a j u u y a

    umuhimu wa umoja nauzalendo huo alisemakuwa ilikuwepo Hizbu navyama vyingine vya siasakabla ya uhuru, leo Hizbuhaipo, lakini Zanzibar ipo.

    Aidha akasema, kwaWazanzibari na hasawaasisi wa mapinduzi navizazi vyao, hakukuwa nakitu adhimu kama ASP,lakini leo ASP haipo, lakiniZanzibar ipo.

    K w a m a a n a h i y oakawataka Wazanzibarikuacha ushabiki wa ki-CCM na CUF ka t ikakupigania masilahi yaZanzibar.

    A l i h i t i m i s h a k w akusema kuwa kat ikakutaka mamlaka kamiliya Zanzibar, wameunganawananchi wa kada zote,ukiwa ndio msimamowa viongozi wa dini,wanasiasa, wananchi wakawaida na hata Wabunge/Wawakilishi na viongozindani ya Serikali.

    Serikali yajiingiza katika mgogorSERIKALI ya Kenyaimejitia katika mgogoromkubwa na Waislamub a a d a y a k u j i p amamlaka ya kuamuanini kifundishwe katikaUislamu.

    Serikali hiyo inasemak u w a w a n a o f a a kutambuliwa na kupewafursa ya kusomesha vijanawao ni watu wa ki-Su naTwarika.

    Inadai kuwa hao ndioWaislamu poa wasio namsimamo mkali wa kidini.

    Kwa upande mwingine,serikali hiyo inajenga hojakuwa, Waislamu wasiokatika makundi hayo, niwa msimamo mkali nainafaa kutopewa uhuruwa kidini.

    Kufuatia msimamo huo,viongozi nchini Kenyawameanza kufunga vituo

    kadhaa vya elimu yadini vinavyomilikiwa naWaislamu nchini humo.

    T a n g u k u t o k e ashambulio la Westgatemwezi Oktoba mwakahuu, Mamlaka za Usalamana kupambana Ugaidinchini Kenya zimeanzakuweka vikwazo katikaMadrasa na Misikiti nchinihumo kwa madai kuwazinafundisha msimamomkali na Ugaidi.

    Habari kutoka wilayaya Galgal, iliyopo Countiya Nakuru zimeelezakuwa mao sa kadhaa wa

    kupambana na ugaidiwaliingia kwa nguvuk a t i k a M a d r a s a y aKiislamu iliyopo wilayanihapo wakati Waislamuw a k i w a w a n a p a t amafunzo ya Dini.

    A sa moja wa usalamaaliyekataa kutaja jinalake, ameliambia gazeti

    la Standard la nchiniKenya kuwa wamezifungam a d r a s a k a d h a a n akuongeza kuwa Madrasahizo zilikuwa zikifundishavijana kile alichokiita"Manhaj ya Kiwahabi"akiwa na maana aqida yaKisala .

    Kiongozi mkuu waElimu wa County yaNakuru, Mathew Ambuka,amenukuliwa akisema:

    "Serikali ya Kenyainapambana vikali naManhaji ya Kiwahabi natumeshafunga baadhiya v i tuo vya k id in iambavyo havikusajiliwana Wizara ya Elimu yaKenya. Serikali ya Kenyainakubali kufungua nak u j e n g a m a s h u l e z aKiislamu ambazo ni zamrengo wa kati na pia zaKisu ."

    Serikali ya Kenya inadaikuwa vijana wa Kiislamuwaliokuwa wakijifunzadini ya Kiislamu mwaka ja na , wali vu ka mp ak an a k u i n g i a S o m a l i akujiunga na Al-Shaababwanaopigana nch in iSomalia.

    Wakati hali ikiwa hivyo,

    Wasomali waliopo katikakambi za wakimbiz inchini Kenya wamepingakurudishwa nyumbani.

    Wakimbizi wa Kisomalinchini Kenya wamepingamkataba ul iosainiwa Jumapili ya wiki iliyopitaka t i ya nch i yao naserikali ya Kenya, ambapo

    wakimbizi milioni mojawatarudishwa nyumbaniku kia mwaka 2016.

    Baadhi ya wakimbiziwaliopo kwenye kambik u b w a y a D a a d a b ,wamesema usalama badohaujaimarika Somalia nakwamba, hakuna dalili zahali hiyo kubadilika katikakipindi kifupi cha miakamitatu ijayo.

    Wengine waliopo katikak a m b i y a K a a k u m a ,w a n a s e m a m k a t a b ahuo unakiuka sheria zakimataifa zinazowalindawakimbizi.

    Makamu wa Rais waKenya, William Ruto naNaibu Waziri Mkuu waSomalia, Fauzia YusufAdam, mwishoni mwawiki walisaini mkatabahuo na kusisitiza kuwa,m i k a k a t i k a b a m b eitawekwa ili kuhakikishak w a m b a z o e z i l akuwarudisha nyumbaniwakimbizi wa Kisomalilinafanyika kwa uwazi nakwa mujibu wa sheria zakimataifa.

    Wachambuzi wa siasaza Kenya wanasemaNairobi imechukua hatua

    hiyo baada ya kubainikwamba, vita dhidi yamagaidi wa al-Shababhaviwezi kufanikiwa ikiwakambi hizo za Kaakumana Daadab zitaendeleakuwepo.

    Wakati serikali za Kenyana Somalia zikitilianasa in i za kure jeshwawakimbizi Somalia, vita ba do vi napa mb a mo tokila kukicha, ambaposasa Waziri Mkuu waEthiopia, HailemariamDesalegn, ametangazakuwa wanajeshi wa nchiyake watajiunga na vikosivya Kenya na Ugandakatika kupambana nawanamgambo wa ashShabab huko Somalia.

    B w. D e s a l e g n p i aamesema kuwa maafisausalama wa Ethiopiawameanza mazungumzoya kimkakati na wenzaowa Kenya, ili kujadiliana

    n a m n a y a k u f a n y aoparesheni za pamojadhidi ya wanamgambohao.

    Waziri huyo ameongezakuwa, lengo la kupelekwavikosi vya Ethiopia hukoSomalia ni kupambana navitisho vya ugaidi.

    Bila shaka kwa jinsi haliilivyo, wakimbizi hao wanakila sababu za kukataakuondolewa katika kambizao, ikizingatiwa kwambaKenya bado haijarejeshamajeshi yake, kama isharaya usalama na kupoa haliya vita Somalia.

    Na Mwandishi Wetu

  • 8/14/2019 ANNUUR 1099

    5/12

    5 AN-NUURMUHARRAM 1435, IJUMAA NOVEMBA 15-21, 20Habari za Kimataifa/Tangazo

    CAIROMuhammad MahdiAkef, Mkuu wa zamaniwa wanaharakati waIkhwanul Muslimiinnchini Misri amepoozam k o n o n a m i g u uhuku ak iwa badoanashikiliwa jela nchiniMisri.

    Taar i fa z inasemakuwa, Muhammad Akefamepooza viungo vyamwili kutokana na halimbaya anayokumbananayo gerezani.

    Taarifa zimeelezwakuwa, Muhammad Akefamefungwa kwenye seliya mtu mmoja ambapoa m e d a i w a k u k o s a

    baad hi ya hud umamuhimu.10 Desemba mwaka

    huu Mahakama yaRufaa ya Misri itakaa

    Kiongozi wa zamani Ikhwani Misri apokusikiliza rufaa yaM u h a m m a d A k e f ,ambaye anakabiliwa natuhuma za kudharauna kuvivunjia heshimavyombo vya sheria.

    Wa k a t i h u o h u o ,O f i s i y a R a i s w aM i s r i i m e w a f u t ak a z i w a f a n y a k a z i400 wanachama waIkhwanul Muslimiin,waliokuwa wakifanyakazi katika o si ya Rais.

    Taarifa zilizotolewa naserikali ya mpito zinadaikuwa, katika kipindicha mwaka mmoja tuRais aliyeondolewam a d a r a k a n i ,Muhammad Mursi ,

    aliwaajiri karibu vijana400 kwenye o si ya Raisna kuwapatia nafasinyeti na muhimu namishahara mikubwa. Muhammad Mahdi Akef.

    JAMHURI ya Kiislamuya Iran na Wakalaw a K i m a t a i f a w aNishati ya Atomiki(IAEA), wamesainim a k u b a l i a n o y aushirikiano ambapoIAEA itakuwa na uwezozaidi wa kukagua vituovya nyuklia vya Iran.

    M u a f a k a h u oumefikiwa baada yamazungumzo ya kinakati ya MkurugenziMkuu wa IAEA, YukioAmano na Mkuu waShirika la Atomiki laIran, Ali Akbar Salehi.

    Pande mbili hizozimefanya mkutanow a p a m o j a n awaandishi wa habariambapo wamesema,makubaliano waliosaini J umata tu wik i h i i ,y a m e a i n i s h a n j i aambayo itatoa fursaya ushirikiano mpanazaidi kati ya Tehran nawakala huyo wa nishatiwa kimataifa.

    Dkt. Salehi alisemak u w a I r a n k w akudhihirisha nia njema,imekubali wakaguzi waIAEA kutembelea vituokadhaa vya nyuklianchini humo, l ichaya kuwa hailazimikikufanya hivyo chini yasheria za kimataifa.

    Iran yakubaliana na IAEA kuhusu nA l i o n g e z a k u w a

    l e n g o l a k u f i k i w amakubalinano hayon i k u u d h i h i r i s h i au l i m w e n g u k u w amiradi ya nyuklia yaIran ni ya amani na

    kwamba, madai ya nchiza Magharibi kuwa Iraninataka kuunda silahaza nyuklia si ya kweli.

    Inakadiriwa kwambakwamba, makubalianoyaliyo kiwa kati ya Iranna IAEA, yatatoa fursa yakufikiwa makubalianomengine kati ya Tehranna lile kundi la 5+1wakati pande hizo mbilizitakapokutana te naNovemba 20 mwakahuu.

    Katika hatua nyingine,Bunge la Uingerezalimemtaka Waziri waMambo ya Nchi za Njewa nchi hiyo WilliamHague, asiathiriwe namisimamo ya utawalawa Kizayuni wa Israel,Marekani na Ufaransakwenye mazungumzoyanayojadili miradi yakuzalisha nishati yanyuklia ya Iran hukoGeneva.

    Ja ck St raw, Waz ir iwa zamani wa Mamboya Nchi za Nje waUingereza amesemak u w a , B w. H a g u e

    anapasa kuwa makini nakujitenga na misimamoiliyopindukia ya utawalawa Kizayuni wa Israel,Marekani na Ufaransa,a m b a y o i n a w e z a

    UDHAMINI WA WANAFUNZI WA SEKONDARI

    Al-farouq Islamic SeminaryP.O.BOX 9211, Tell 2807843, Dar es salaam

    Uongozi wa Alfarouq Islamic Seminary unawatangazia nafasi za udhamini wamasomo wazazi wa Kiislamu wenye watoto wa kiume waliomaliza darasa la sabamwaka 2013 na kupata wastani wa Grade A au B, utaratibu wa kufuata ni huuufuatao;-

    Kuja kuchukua fomu ya kujiunga na shule Al-farouq Islamic SeminaryTabata- Bima.

    Kuja na nakala ya matokeo ya mtoto husika kutoka kwenye mtandao (Internet)

    Kuwa tayari kufanya usaili (Interview) tarehe 14/12/2013 shuleni Al- farouqIslamic Seminary.

    NB:Fursa itatolewa kwa wale watakaofaulu vizuri katika usaili wa shuleni Al-farouq Islamic Seminary.Udhamini unaotolewa ni kwa kulipiwa ada tu kwa mwanafunzi wa kutwa(day) na mwanafunzi anayedhaminiwa na akataka kukaa bweni itabidi alipekiasi cha pesa kilichobaki kutimiza ada ya mwanafunzi bweni.

    Karibuni Al- farouq Islamic Seminary kwani tumejipangakuwahudumia.

    Kwa mawasiliano zaidi tafadhali piga simu namba.0717 176262, 0712 164208,0782 023033.

    Wabillah Taufq

    kuvuruga mazungumzohayo ya nyuklia.

    Wi l l i a m H a g u e ,amel i ambia Bungela Uingereza kuwa,mazungumzo ya nyuklia

    ya Iran yamepiga hatuakubwa na kusisitizakuwa, kuna uwezekanowa ku kiwa maridhianoya mwisho siku chachezijazo.

  • 8/14/2019 ANNUUR 1099

    6/12

    6 AN-NUURMUHARRAM 1435, IJUMAA NOVEMBA 15-21, 20Makala

    A M A k w e l im u u n g w a n ahafedheheki na subrayavuta kheri.

    Hayo ni maneno yamiongoni mwa wakaaziwa Jimbo la Donge naviongozi waliokihamaChama cha Mapinduzi(CCM), Wi laya yaKaskazini B, Mkoawa Kaskazini Unguja,wakajiunga na Chamacha Wananchi (CUF),mwanzoni kabisa mwa juma hili.

    Waliyasema manenoh a y o k u m t a m k i aMakamo wa Kwanzawa Rais wa Zanzibar,Maal im Seif Shar i fHamad, kadamnasiya umati mkubwa wawatu waliohudhuriaMkutano wa Kihistoriawa Hadhara wa Jimbola Donge hivi karibuni.

    Wal ichokusud iawananchi katika kauliyao hiyo ni pamojana zile hisia kwambawao wasingelifikiahatua ya kuiona hakina kuungana na himaya sasa waliyonayoWazanzibari waliowengikatika kudai MamlakaKamili ya Zanzibariwapo Maalim Seif na

    Chama chake cha CUFhawakuwa wavumilivukila walipodhulumiwana kukataliwa kuingiakatika Jimbo la Dongeambalo CCM walidai nihimaya yao.

    Hapakuwa na shakazuiya zuiya ile ya CUFwasifanye mkutanoDonge, tulijua ipo namnafulani ya ku cha aibu nafedheha, hivyo ndivyowalivyosikika miongonimwa watu katika halaikikubwa ya wananchiw a l i o m i m i n i k a

    katika mjumuiko huouliongojewa kwa hamukatika miaka kadhaa yahivi karibuni, kutokeakila pembe ya Kisiwacha Unguja.

    M a t a r a j i o h a y oya wananchi ndivyoyalivyokuja wakatiilipowadia zamu yaWananchi wa Dongekupanda jukwaan ikutoa salamu zao kwaumma katika mimbariy a M k u t a n o h u ouliohudhuriwa pia na

    Unguja: Subira yavuta heriSarakasi za wahafdhina zakwama

    Na Waandishi Wetu,Zanzibar

    viongozi mbali mbaliwa kisiasa na kijamii,vyombo vya dola, nawaandishi wa habari wakitaifa na kimataifa.

    Bila kusita wananchimbalimbali wa Jimbola Donge walionyeshanamna walivyotumiwakushiriki katika hujumaza chaguzi zilizopitakwa azma ya kukipatiaushindi Chama Tawala.P a m o j a n amaz ing i ra ambayo

    ba ad hi ha waku we zakuya ta ja ku tokanana ufinyu wa muda,huku wakibainishakuwepo hujuma telewalizoshiriki, wananchihao waliuthibitishiaumma kwamba wao

    binaf si wa li tumiwakwa makusudi kupigakura zaidi ya maramoja na katika Majimbomengine ya Uchaguziisivyohalali, ili kukipatiaushindi CCM. T u n a w a o m b awenzetu mtusamehek w a h a y a y o t etu l iyowatendea nakuitendea nchi yetu,alikiri Bw. Amour SalimKhamis, akiwa juu ya

    Jukwaa la Mkutano huouliokuwa na vibwagizovya aina yake.

    A l h a j A m o u raliushuhudisha ummaKadi ya Kupigia Kuraa l i y o i t u m i a z a i d iya mara moja na pia

    kuitumia hiyo hiyokatika Majimbo mingineya Uchaguzi akiwamamluki wa CCM.

    Akipokelewa kwashangwe kubwa yamayowe ya wananchi,Mkurugenzi wa Hakiza Binaadamu, Habari,Uenezi na Mahusianona Umma wa CUF, Bw.Salim Bimani alisemahiyo ni aibu, fedhehana dhambi isiyowezakuvumilika, na pia Tumeya Uchaguzi ya Zanzibar(ZEC) na ile ya Taifa(NEC) ziweko makinikatika kurekebisha uozohuo ili kuiepusha Nchina matatizo yanayowezaku j i tokeza kup i t i adhulma za chaguzi.

    Tunawapa salamuTume katika UchaguziMkuu wa Mwaka ElfuMbili na Kumi na Tanokatu hatukubali tenahatukubali thummaha tukuba l i uchafuhuu naiwe iwavyo,alikemea Bw. Bimani.

    Waandishi wa Habarip a m o j a Wa n a n c h iwalishuhudia rundola Vipande vinginekadhaa vya kupigia kuraambavyo vikitumiwa namamluki zaidi ya maramoja katika Majimbotafauti ya Uchaguzi,hali ambayo ilipelekeaw a n a n c h i w a z i d ikuamini hali ya mchezom c h a f u n d a n i y a

    Madaftari ya Kudumuya Wapigakura upandewa Zanzibar.

    M k u t a n o h u oulihudhuriwa pia naMakamo Mwenyekiti waChama cha Wananchi,CUF, Bw. MachanoKhamis Ali, ambaye piani Mzaliwa wa Dongea l i y e w a f a n a n i s h aWadonge wenz iwena hadithi mashuhuriya kasa na uwezo wakucheza usiobainika.

    M a a l i m S e i falipokewa jukwaa lamkutano huo aliwahojiumma wa wananchiiwapo wamer idh iakusamehe Wadongewaliohujumu chaguzi

    zilizopita ambapo umatihuo mkubwa ulikirimsamaha kwa maslahiya kile walichokitajakuwa ni kuungamkonoharakati za kupiganiaMamlaka Kamili yaZ a n z i b a r , k u p i t i aharakat i za Kat ibaMpya ya Jamhuri yaMuungano.

    Katika mkutano huoWanachama Wapya234 walipokea kadikutoka kwa MgeniRasmi, wakijiunga naChama cha Wananchi,CUF, ambapo baadhiyao walikihama Chamacha Mapinduzi, CCM,walikowahi kushikiliangazi mbali mbali zauongozi.

    K a t i k a k i lwalichokitaja baadhiya Wana-Donge hatawakaamua kuanikamadudu hayo ni pamojana sababu za waokukoseshwa huduma zamsingi, kupokwa ardhiya kilimo, na pia kubainiukosefu wa azma njemaya kutetea maslahiya Zanzibar, huku baa dh i ya wa ta wa lawakiendekeza seraza matusi na kusahaumahitaji ya kisiasa yaNchi katika zama zasasa.

    Huo ni mkutanomaalumu wa kihistoriauliongojewa kwa hamukubwa na wananchihasa wanaounga mkonoharakati za upinzani, baada ya muda mrefuwa vipigo na kukataliwa,m p a k a b a a d h iwakiamini hayatokuwasasa yamekuwa.

    Shura ya maimamu Tanzania inawatangaziawaumini wote kuwa kutakuwa na ibada yaitikaafu itakayofanyika katika msikiti waIdrisa Kariakoo.

    Siku ya Jumapili tarehe 17/11/2013.

    Muda saa 3 usiku Inshaalah, pia shura yamaimamu inawataarifu waumini wote kuwaNovemba 18/2013 ni siku ya kusikilizwarufaa ya Sheikh Ponda katika Mahakamakuu ya Dar es salaam.

    Kwa Niaba ya Amiri

    Itkaaf- Masjid Idrisa

    RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein akijadili jambo na Makamu wake wakwanza Maalim Seif Sharif Hamad.

  • 8/14/2019 ANNUUR 1099

    7/12

    7 AN-NUURMUHARRAM 1435, IJUMAA NOVEMBA 15-21, 20Makala

    S T R E S S i n a w e z a j ekuathiri kinga? Homoniz a m s o n g o ( s t r e s shormones) hutengenezwakwa msaada wa vitaminiC. Vitamini C ni vitaminimuhimu katika mfumo wakinga za mwili kwa kuwahutumika kama chakula

    c h a c h e m b e c h e m b enyeupe za damu.Chembechembe hizi

    ndio askari wa kwanzakabisa (front line soldiers)kuanzisha mapambano naadui pale mwili unapojihisikuvamiwa. Kunapokuwana upungufu wa vitaminiC, ina maana kwambac h e m b e c h e m b e h i z izitakuwa hazina chakulacha kutosha na kwa hiyohazitaweza kufanya kaziyake vizuri.

    M s o n g o ( s t r e s s )hupunguza kiasi cha

    vitamini C kwenye damuna hivyo basi huathiriuwezo wa chembechembenyeupe kufanya kazi.

    2. Matumizi ya sukari.

    Sukari ina madharamengi. Moja ya madharam a k u b w a y a s u k a r ini kufifisha kinga zamwili. Glukosi (glucose)m b a y o n i m o j a y am o l e k u l i ( m o l e c u l e )mbili zinazounganganakutengeneza sukari yamezani (sucrose), inaumbo linalofanana sanana umbo la vitamini C.Mifumo yetu ya damu kwakawaida imejaa glucosekutokana na matumiziya kila mara ya vyakulavya wanga na sukari yamezani. Kutokana naumbo la glucose kufananasana na umbo la vitaminiC, na kutokana na wingiw a g l u c o s e k w e n y edamu, muda mwingichembechembe nyeupeza damu hubugia glucosekwa makosa zikidhanizinakula chakula chakecha kawaida ambacho nivitamini C!

    Matokeo? Badala yachembechembe nyeupeza damu kuwa ngangari,zinalewa na kusinzia!Zikiwa zimelala vijiduduvya maradhi vinakatizavinavyotaka.

    M a d h a r a m e n g i n eya sukari ni pamoja nakuzeesha haraka nakupatwa na magonjwaya kimfumo kama jongo( g o u t ) , o n g e z e k o l ashinikizo la damu (high

    Msongo (Stress)

    blood pressure), ugonjwawa moyo (heart disease), nasaratani. Sukari inazeeshakwa molekule zake (zasukari) kunganganiakwenye protini za kwenyesel i kat ika mchakatoambao kitaalamu huitwa

    glycation. Unganganizih u u h u s a b a b i s h ak u z a l i s h w a k w achembechembe ambazokitaalamu hujul ikanakama Advanced GlycationEnd Products (AGES).C h e m b e c h e m b e h i z ihusababisha ungongo( bers) unaounda protinihusika kukakamaa nakupoteza maumbile yakeya asili. Kwa mfano protiniza kwenye ngozi (collagenna elasticin) zinapovamiwana sukari huishia katikakudhoofika, kuchujuka

    r a n g i , n a k u p o t e z aunyumbufu (suppleness).Hali hii kwa nje hujitokezakama makunyanzi kwenyengozi na kupauka. Kwawatu wenye ugonjwa wakisukari ambao mzungukowao wa damu hukaa nakiwango kikubwa chasukari muda mwingi,m a d h a r a y a z i a d ayanayoletwa na hali hii nipamoja na uharibifu wamishipa midogo ya damukwenye macho, na ileinayopeleka damu kwenye

    neva. Hii ni moja ya sababukubwa zinazosababishawagonjwa wengi wakisukari kupungukiwa nauwezo wa kuona, kuhisiganzi, mwili kuwaka moto,kupoteza kumbukumbu,na kukumbwa na udhaifu

    mkubwa katika nguvu zakiume.Kwa upande mwingine,

    s u k a r i h u p e l e k e awatumiaj i kuj i jengeamazingira ya kupatwa namaradhi ya jongo, shinikizola damu, na shambulio lakwenye moyo. Molekuliya pili katika zile mbilizinazounda molekulimoja ya sukari ya mezani(sucrose) inaitwa Fraktosi(fructose). Utamu wafraktosi ni mara 20 zaidiya utamu wa glukosi, nahii ndiyo inayopelekea

    sukari ya mezani kuwatamu, kwani utamu waglukosi ni wa mbali. Sasamoja ya kemikali ambazozinazalishwa kwa wingisana waka t i f rak tos iikichakatuliwa ndani yamwili ni tindikali hatariaina ya uric (uric acid).Tindikali hii inapojilundikakwenye viungo (joints)husababisha viungo hivyokuvamiwa na uvimbemwako ( inflamation)ambao nao huzaa maumivum a k a l i t u n a y o y a j u a

    kama ugonjwa wa jongo(gout) . Tindikal i hi ipia inapoingia kwenyemzunguko wa damuhuzuia utengenezwaji wakemikali moja muhimus a n a k u t a n u k a n akusinyaa kwa mishipa yadamu inayoitwa Nitricoxide. Okesefu wa mudamrefu wa nitric oxidehusababisha mishipaya damu kukakamaa nakupoteza unyumbufu(elasticity). Katika halihi i moyo hulazimikakutumia nguvu kubwazaidi kusukuma damukat ika u ta ra t ibu wakuisambaza mwilini .M a t u m i z i y a n g u v ukubwa kusukuma damuyanatengeneza shinikizokubwa kwenye kuta zandani za mishipa ya damuna kusababisha misuli yamoyo kuathirika. Atharihii hupelekea ini kuzalishalehemu (choles te ro l )nyingi na kuituma hukokatika jitihada za kutakak u f a n y a u k a r a b a t i .Lehemu hii husababishadamu izidi kuwa nziton a h i v y o k u p e l e k e amoyo kuhitaj i nguvuzaidi kuisukuma. Moyo

    unapotumia nguvu zaidi,huathirika zaidi na hivyokuhitaji ini kuzalisha nakutuma lehemu zaidi! Halihii inazalisha mzungukousio na mwisho, hadipale inapotokea lehemu

    hiyo ikaziba baadhi yamishipa ya kwenye moyowenyewe na kuzuia damukupita hivyo kusababisha b aadhi ya m isu l i yamoyo kukumbwa naupungufu mkubwa gesiya oksi jeni (oxigen)Hali h ii inapojitokeza

    misuli iliyokosa oksijenihuanza kufa na haposhambulio la moyohutokea.

    3 . Vi c h a f u z i v ymazingira.

    V i c h a f u z i v y amazingira ni v ingina vinapatikana kilamahala. Viko kwenyehewa, kwenye majit u n a y o k u n y w a ,n a h a t a k w e n y evyakula na vinywajit u n a v y o k u n y w a .

    Kutokana na vitu hivikutuzunguka mudawote, mfumo wa kingaza mwili unalazimikakuwa katika kiwangocha juu cha tahadharimuda wote. Matokeoyake? Kama i l ivyokwa mfumo wowoteule, uchovu (fatigue)huingia na kuufanyamfumo huo kupotezaweledi katika utendajwake. Kutokana na halihii kuna wakati mfumohuu huchanganyikiwa na

    kuanza kushambulia seliza mwili ambazo mfumohuo unapaswa kuzilinda!

    Sukari TamuKwa hisani ya Ukurasa

    wa Herbal Impact katikaFacebook

    Jambo la kutisha ni kwamba hatufanyi jitihadaza kutosha kurejesha maji yanayopotea. Chakulana vinywaji tunavyokula vinatusaidia kurejeshalita 1. lita 3 zilizobaki tunatakiwa tuzirejeshe kwakunywa maji halisi.

    Sasa, nani anakunywa kiasi hicho chote cha maji?Kwa hakika ni watu wachache tu. Wengi wetu tunaupungufu wa maji bila ya kujitambua, na kwa halihiyo maradhi mbalimbali ya kimfumo yako jiranikabisa.

    Kunywa maji siyo kwa ajili ya ladha, ila kwasababu ubora wa maisha yako kwa kiasi kikubwaunategemea maji!

    Kunywa maji Kusikia kiu, sawa gari iliy

    Unapoteza lita 4 za maji k

  • 8/14/2019 ANNUUR 1099

    8/12

    8 AN-NUURMUHARRAM 1435, IJUMAA NOVEMBA 15-21, 20Makala

    K a m a k u n a j a m b olinaloimaliza Zanzibarkatika ustawi wa kila kitukwa sasa, basi ni fikramgando. Hayo menginey a n a f u a t i a n d i v y oninavyoweza kusema.

    Haiyumkiniki kwambalicha ya kulalamika kwetukwamba Zanzibar imekosamamlaka ( Naam) lakinikiasi cha kushindwahata kusimamia mamboambayo angalau tunamaamuzi nayo, basi nayotushindwe.

    Kwamba hata uzembekule mahospitalini kwetu,wizi, na ubadhirifu wakila aina katika mao si yaserikali na katika jamii zetu,nayo yasubiri mamlakakamili. Hapa tumefeli tuhata hayo mamlaka yakijani kazi bure.

    Hakuna uadilifu, siserikalini si katika taasisihuru, si katika mamlaka zakidini wala katika maishaya wanajamii. Mamboyote ni hohehahe tu. Miminadhani sisi Zanzibar tunakazi pevu sana kwa mamboyalivyo leo na tusitegemeemiujiza ya hayo mamlaka.H a t u j a j i a n d a a s a s atutawezaje kufanikiwahapo mbele?

    Hebu kiria ni kiongozigani mathalani yuko tayarikumuwajibisha mtendajiwa makosa yanayofanywa.Kwanza hao viongoziwamekosa vigezo vya

    kuwaadabisha wenginena mambo haya ndioyameipeleka Zanzibarhapa ilipo. Kila kitu hapakwetu kimeharibika nakilichobaki ni nyimboza kusifu mapinduzi.Tumetoka kwenye lengohalisi la mapinduzi nasasa tunaweweseka kwakuimba na kibwagizoc h a k e n i m a a r u f uhapa Zanzibar, daima,daima, daima tu. Mbonaudaima wa mapinduzikadiri siku zinavozidina kadiri tunavyozidikuyasifu, ndivyo Zanzibarinavyozidi kuelemewa namambo na sio kutatuka?Nini kimezuiya sheriaz i l i z o t u n g w a k w ambwembwe na vibwagizovya ilani na misamiatilukuki kutekelezwa?

    Kwani hazipo sheria zamanunuzi hapa Zanzibar?M b o n a h a z i f u a t w i ?Sheria na kanuni za uajirizipo, lakini mbona kunakupendeleana? Sheriaza leseni mbona kunakughush i? Mahkamahazipo kweli? Mbona hakihazipatikani? IlimradiZanzibar yetu imekwisha.

    Yanahitajika Mapinduzi ya fkkabla ya mamlaka kamili Zanziba

    Na Mwandishi Maalum

    L a b d a t u n g e s e m aZanzibar hakuna wasomi,lakini mbona wapo tele?Na pengine tungesematumekosa uongoz i (inawezekana), lakinimbona wamejazana telemao sini na vikao haviishilakini hakuna mabadilikokwa nini? Licha ya yoteyawayo, lakini ni fikramgando tu. Nadhanitunahitaji mapinduzi yafikra ili mamlaka kamiliyakija, tujiimarishe na siokuanza upya.

    Inashangaza zamanii l i k u w a m a o f i s i n iwamejaa wazee waliokuliakimapinduzi na elimuhaikupewa nafasi, lakinil e o k u m e j a a v i j a n at e n a w a s o m i l a k i n itunashindwa kuisaidia ja mi i ye tu ka ti ka nc hindogo kama Zanzibar.Ubinafsi umejaa ki lakona. Hakuna anayejaliakishashiba na kuneemeka.

    Utendaji wa mazoweakila kukicha na hata wajewatu wenye mwelekeowa mabadi l iko , bas ihuandamwa. Sisi tuna ninihapa Zanzibar jamani?

    Ili kufupisha mada,niseme kwa ujumla wakeZanzibar tuna bahatimbaya ya makusudiy e t u s i s i w e n y e w ekwanza ya kra mgandoambayo imeendelezwa,imelindwa, imerithiwana kuthaminiwa kiasicha kujenga utamadunimbovu wa kiutendaji. Kwaninavyoona, panahitajika

    gari/mashine ya kuinuamizigo mizito (winchi) ilikuliondowa zigo hili.

    Tuf ik i r i e kuanzakuandaa mitaala mipyaya e l imu, kuandaamafunzo mapya yauzalendo, tuwe namfumo wa maadili ya

    taifa la Zanzibar yenyekwenda sambamba nadesturi zetu. Tuwe navipaumbele vyetu natunu zetu ili Zanzibaryenye mamlaka kamiliikija tujiimarishe.

    Niseme kwa ufupi,tunahitaji mapinduzi ya

    kra Zanzibar. Mazoweayametumaliza.

    P.O. BOX 80059, TEL: 022-2860694, 0659 190 208, 0653 190 079 _____________________DAR ES SALAAM (TZ)_______________________

    QURAN, TAALUMA, MAADILI.

    Tunapokea maombi ya kujiunga na shule kidato cha kwanza na wanaotaka kuhamiakidato cha 2 hadi cha 4 kwa mwaka 2014.

    KUANZA NA USAJILI :Shule imeanza mwaka 2009. Namba za usa jili ni S.4628.

    MAADILI:Shule ni ya Kiislam na Maadili ni ya Kiislam (Seminari).

    AINA YA SULE:Shule ni ya Bweni na kutwa kwa Wavulana na Wasichana.

    SHULE IPO:Kigamboni Amani gomvu (Cheka) Dar es salaam, kilometa 26 toka feri barabara

    iendayo kimbiji.

    FOMU ZINAKOPATIKANA:1. Ofsi ya Mkuu wa shule,2. Ofsi ya Meneja na katika duka la B.G.S. mtaa wa gogo kariakoo Dar es salaam,3. Dukani kwa Sharifu Kigamboni (feri) Mr. Khalfani 0713 251 876,4. Kanda ya ziwa - Mwanza simu no. 0653 349 777 au 0784 329 877.

    PIA DAARUL-ARQAM SEMINARY NI MAARUFU KWA:Kuongoza kitaaluma katika mitihani,Kuhifadhisha Quran na maadili mema ya Kiislam,Lishe na malezi bora,Umahiri katika lugha za kiingereza na kiarabu, na huduma nyinginezo nyingi.

    ZINGATIA ADA ZA SHULE ZIMEPUNGUZWA NA:Sasa shule inapata umeme wa uhakika,Shule iko katika mazingira bora kwa kusoma,Barabara ya kutoka kigamboni kwenda shuleni inatiwa lami,Daraja la kigamboni linajengwa,

    Yapo maji saf, salama na ya kutosha.

    KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA SHULE KWA:TOVUTI YA SHULE: WWW.das.ac.tz AUMwl. HASHIM SAIBOKO (H / MASTER) 0715 299 945 AU 0659 190 208.

    (PIA IPO DAARUL-ARQAM PRIMARY DSALAAM )

    NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATOCHA KWANZA HADI CHA NNE 2014

    DAARUL-ARQAM ISLAMIC SEMINARY

    MH. Mansour Himidakizungumza katikamoja ya mikutano yake

    ya hadhara Zanzibar.

  • 8/14/2019 ANNUUR 1099

    9/12

    9 AN-NUURMUHARRAM 1435, IJUMAA NOVEMBA 15-21, 20Habari/Matangazo

    JE, UNAIJUA SHULE YA MSINGI YA BWENI YENYEMALEZI BORA ZAIDI KWA WATOTO?

    NI DAARUL-ARQAM SCHOOLS - DAR ESSALAAM. NI BORA KWA VIPI?

    Watoto huishi kwenye nyumba zenye sehemu ya choo, chumbacha kulala, na chumba cha kupumzikia (Full tiles self containedapartments).Huishi watoto saba tu na mlezi wao kwa kila nyumba,

    Jukumu la Mlezi ni:Kuwachukulia chakula, kuwaandalia na kuwasimamia adabu zakula,Kuwatunzia vifaa vyao visipotee ovyo,

    Kuwasaidia Tahfdhi ya Quran na home work zao,Kuwaogesha, kuwasafishia watoto nyumba na nguo zao,kuwapigia pasi,Kuwapenda,

    KUANZA NA USAJILI:Shule zimeanza mwaka 2003. Namba za usajili: Msingi - DS. 03/7/027,

    Chekechea - S.03/7/EA/027

    SHULE INAFUATA MAADILI YA KIISLAM NA NI:Shule ya Bweni na Kutwa kwa Wavulana na Wasichana, na chekechea

    ni kutwa tu.

    SHULE ZIPO:Kigamboni Amani gomvu (Cheka), kilometa 26 kutoka feri ba rabara ya

    kimbiji, na Ilala-malapa nyuma ya viziwi, Dar es salaam.FOMU ZINAPATIKANA Ofsi za Wakuu wa Shule au

    1. Ofsi ya Meneja na katika duka la B.G.S. mtaa wa gogo kariakooDar es salaam.

    2. Dukani kwa Sharifu Kigamboni (feri) Mr. Khalfani 0713 251 876.3.

    Kanda ya ziwa - Mwanza simu no. 0653 349 777 au 0784 329 877.PIA SHULE ZA DAARUL-ARQAM NI MAARUFU KWA:

    Kuongoza kitaaluma katika mitihani na Umahiri katika lugha zakiingereza na kiarabu,Kuhifadhisha Quran na maadili mema ya Kiislam,Lishe na malezi bora kwa watoto,

    ZINGATIA ADA ZA SHULE ZIMEPUNGUZWA NA :Sasa shule zinapata umeme wa uhakika,Shule iko katika mazingira bora ya kusoma,Barabara ya kutoka kigamboni kwenda shu leni inatiwa lami,Daraja la kigamboni linajengwa,

    Yapo maji saf, salama na ya kutosha.

    KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA SHULE KWA:Mwl. MKUU PRIMARY 0654 204 781, 0717 190 242 AUTOVUTI YA SHULE: WWW.das.ac.tz

    ( PIA IPO DAARUL ARQAM SEKONDARI YA SEMINARI DSALAAM)

    P.O. BOX 80059, TEL: 022-2860694, 0659 190 208, 0653 190 079DAR ES SALAAM (TZ)

    QURAN, TAALUMA, MAADILI.

    DAARUL-ARQAM ISLAMIC SEMINARY

    Kampuni ya OFF TO JOB iliopo Ilala Dar-es-salaam,kwa kushirikiana na Jumuiya ya Wataalamu wa KiislamuTanzania (TAMPRO).Inapenda kuwatangazia kwamba

    kutakuwepo na semina adhimu itakayo husu MAISHA YANDOA YA KIISLAM , itakayo endeshwa na wataalamubobezi katika masuala hayo kwa mujibu wa dini tukufu yakiislam.

    Mada ndogo 1:Maisha ya ndoa yakiislam,itawasilishwa na Sheikh Muhammed Issa.waHayatul-Ulamaa.

    Mada ndogo 2:Kwa nini hatuishi kiislamu?.itawasilishwa na Br,Omari kutoka TAMPRO.

    Mada ndogo 3:Athari ya utandawazi katika maishaya ndoa ya kiislamu,itawasilishwa na Sheikh IssaOthman,wa masjid Maamur.

    Walengwa: Waislamu wote wanandoa,Wachumba,nawale wenye malengo ya ndoa.

    Siku na Muda: Jumapili tarehe 24/11/2013 saa 2:00asubuhi 10:00 jioni

    Mahala: Hotel ya City Garden, Gerezani,Ilala,Dar essalaam.

    Kiingilio: Sh 20,000/= kwa (double),na kwa mtu mmojani 15,000/= (Single).KWA WALIO JAALIWA WAKE ZAIDIYA MMOJA 20,000 TU YATOSHA KULIPIA GHARAMA ZAMUME NA WAKE ZAKE WOTE HADI KUFIKIA WANNE(4).

    Kujisajili: Wasiliana na Mariam Rashid 0784748289/0715 748289 au Said Ngolola 0718 575 333.

    Jinsi ya kulipia:Tuma kwa TIGO PESA kwa namba0715 748289.au fka ofsi za TAMPRO zilizopo Dar essalaam,Magomeni usalama.

    TANGAZO LA SEMINA YA MYA NDOA YA KIISLAMU

    Wote mnakaribishwa

    W A I S L A M Umkoani Mtwarawamekumbushwajuu ya umuhimu wakuwahimiza watotona v i j ana waokuwa na maadili yaKiislamu wawapom a s h u l e n i n amajumbani mwao.

    H a y oyamezungumzwan a M r a t i b u

    Mtwara wahamasishwa kusomesha sNa. Mwandishi Wetu

    -Mtwaraw a E l i m u w aIslamic EducationP a n e l m k o a n ih u m o U s t a d h iM o h a m m e dM a k i m u p a l ea l i p o o n g e a n aw a u m i n i m a r a baada ya swalaya Ijumaa tarehe8.11.2013 katikamsikiti wa An-nuuruliopo mtaa waChikongola Mtwaramjini.

    Aliyazunhumza

    hayo katika haflafupi ya kuwatunukiazawadi wanafunzik u m i b o r awaliofanya vizurik a t i k a m t i h a n iwa Elimu ya Diniya Kiislamu wakuhitimu Darasa laSaba unaondeshwan a I s l a m i cEducation Panelkitaifa uliofanyikam w e z i A g o s t imwaka huu.

    Katika nasaha

    zake Ust. Makimua l i s e m a k u w a jukumu la kulindamaadili ya vijanawalio mashuleniliko juu ya Waislamuwenyewe.

    Katika kuelezeaumuhimu wa Somola Elimu ya Dini yaKiislamu kwa vijanawa Kiislamu katikamifumo ya Elimunchini Ust. Makimualisema somo hilol inawapa fu r savijana kumjua Molawao halikadhalikakuwa na maadilimema.

    A l i w a t a k aWais lamu wote

    m k o a n i h a p ok u s h i r i k i a n akuhakikisha kuwavijana wa Kiislamuwanasomeshwaikiwa ni pamoja

    na kuhakikishakuwa kunakuwa nawalimu na vitabu.

    A l i w a t a k awalimu wa Madrasan a Wa i s l a m uwengine kujiungana kozi fupi zaUalimu wa somola Elimu ya Diniya Kiislamu katikavyuo vya Kiislamuvya Ubungo, Dar esSalaam na Kirinjikokilichopo Same.

    A k i h i t i m i s h ahafla hiyo fupi,Amir wa Kamatiy a K u e n d e l e z aUislamu mkoaniMtwara She ikh

    Jamaldin i Sa lum,

    a l i w a t u n u k i az a w a d i v i j a n ahao na kuwatakaw a e n d e l e ekuusoma Uislamuwao kwani ndio

    itakayo kuwa kherikwao hapo baadayena hatimaye kuwaviongozi waadilifukatika jamii.

    A l i w a t a k aWais lamu wotew a M t w a r akushirikiana kwakaribu na Mratibuwao il i wawezekutengeneza kizazichenye maadi l imema kwa mujibuw a Q u r a n n aSunnah.

    S o t e k w apamoja tuuhamiUislamu kwa kuwakaribu na Mratibuwetu kwani hiini neema kwetuw a n a - M t w a r a .Itakapo ka wakatiwa kutoa nguvun a m a l i z e t utuwe t aya r i i l ikuyawezesha yaleyote tunayopangakufanya.

  • 8/14/2019 ANNUUR 1099

    10/12

    10 AN-NUURMUHARRAM 1435, IJUMAA NOVEMBA 15-21, 20SHAIRI/MAKALA

    Nahofu nafsi yangu, kuialiki tabuniKwa penzi lenye machungu, kaambika maishaniWala si saizi yangu, kujitwika kifuaniMahaba yataka ndoa, uoe usitirike

    Dawamu naomba dua, kumuomba RahmaniHababi takaetua, asinipe tafraniMaana nimengamua, ya sasa si ya zamaniMahaba yataka ndoa, uoe usitirike

    Magwiji wenye ujuzi, wameishia njianiYamewatoka njiani, uhaini hadhaniMapenzi jama henezi, Oa aliye na DiniMahaba yataka ndoa, uoe usitirike

    Fedha akari ya huba, watakuja kwa halaniWavini na majuba, wapole na visiraniAimi huu msiba, siutaki asilaniMahaba yataka ndoa, uoe usitirike Lukuki wekwa hasira, Mahaba teka beleleWengine wapata dhara, ujana dhunubu teleWapo wanohonga gora, ndoa si lake kileMahaba yataka ndoa, uoe usitirike

    Mola nipe totulia, alokumbatia diniHarashi na Asiria, ni aftiri wa niAnoipenda dunia, hakawii kukuhiniMahaba yataka ndoa, uoe usitirike

    Penzi la gome ghalibu, ghulamu batuli ghuriAsodini ni adhabu, hila ndoa tadamiriMahaba wake tabibu, Ni wewe ukisubiriMahaba yataka ndo, uoe usitirike.

    Na Nasri [email protected]

    No: 0759202192

    Karibuni karibuni, Mahujaji wa nchiniKaribuni karibuni, wa Bara na VisiwaniKaribuni karibuni, kwa sururi karibuniKaribuni Mahujaji, tushikamane lengoni.

    Karibuni karibuni, Dhuyufu wa Rahmani,Karibuni karibuni, Kiramu kwetu wageniKaribuni karibuni, kwa heshima karibuniKaribuni Mahujaji, tushikamane lengoni.

    Karibuni karibuni, kutoka UghaibuniKaribuni karibuni, toka Makka ibadaniKaribuni karibuni, kwa ibada karibuniKaribuni Mahujaji,tushikamane lengoni.

    Karibuni karibuni, kwa Hijja kutoikhiniKaribuni karibuni, kwa kumridhi MananiKaribuni karibuni, kwa ridhaa karibuniKaribuni Mahujaji, tushikamane lengoni.

    Karibuni karibuni, kwa nguzo kuithaminiKaribuni karibuni, kwa muudhamu thamaniKaribuni karibuni, kwa kutimiza rukuniKaribuni Mahujaji, tushikamane lengoni.

    Karibuni karibuni, msafara uungeniKaribuni karibuni, wa harakati za diniKaribuni karibuni, kwa jihadi karibuniKaribuni mahujaji, tushikamane lengoni.

    Karibuni karibuni, kikoa shikamaneniKaribuni karibuni, kunusuru yetu diniKaribuni karibuni, kwa nusura karibuniKaribuni mahujaji, tushikamane lengoni.

    Karibuni karibuni, Mahaji twakungojeniKaribuni karibuni, na Mahajati nchiniKaribuni karibuni, kwa pamoja karibuniKaribuni Mahujaji, tushikamane lengoni.

    Karibuni karibuni, lengo lizingatieniKaribuni karibuni, la Hijja kwa tamakuniKaribuni karibuni, kwa taadhima ya dini Karibuni Mahujaji, tushikamane lengoni.

    Karibuni karibuni, nime ka ukingoniKaribuni karibuni, mwa kukukaribisheniKaribuni karibuni, kalamu naweka chiniKaribuni karibuni, Mahujaji karibuni.

    ABUU NYAMKOMOGIMWANZA

    KARIBUNI MAHUJAJI

    Mahaba

    Waislamu kote Nchini mnatangaziwa nafasi zadarasa la kwanza katika shule ya kiislamu kirinjiko.

    Shule hii ni ya bweni kwa wavulana na wasichana

    1. Shule hii ni ya kiislamu yenye lengo la kuwapawatoto elimu bora na kuwalea kwa malezi yakiislamu. Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 10/12/2013.

    2. Masomo yanayofundishwa ni haya yafuatayo:-Elimu ya dini ya kiislamu, Usomaji wa Quranna mafunzo yake, Lugha ya kiarabu, English,Kiswahili, Mathematics, Science, History,Geography, Civics, Computer (ICT), Michezo(PDS).

    3. Muombaji awe amemaliza elimu ya awali

    Fomu za maombi zinapatikana katika vituovilivyoorodheshwa hapa chini.Fomu hii italipiwa Tsh.10,000/=

    Orodha ya Vituo vya kuchukulia fomu somaukurasa wa 11 wa tangazo la Shule za IPC.

    KIRINJIKO ISLAMIC ENGLISH MEDIUM PP. O. Box 62 SAME Tel: 0784 833982/ 0784 435336 E-mail

    [email protected]

    NAFASI ZA DARASA LA K

    Kwako MhaririKumeibuka baadhiya vijana wanaopitakatika Misikitimbalimbali mjinina mashambaniU n g u j a ,wanaojitambulishak w a m b aw a m e t u m w an a J u m u i a y aMihadahara yaKiislam-UAMSHOmakao makuu nakukusanya fedha.

    Vijana hao ambaowanajitambulisha baadhi yao kuwani viongozi wa J u m u i a h i y o ,wanahamasishaw a u m i n i w aKiis lamu kutoafedha kwa ajili yakusaidia familiaz a M a s h e i k hwaliowekwa ndani,ili kusaidia familiahizo.

    B i n a f s in i m e s h u h u d i ammoja wa vijanah a o a k i j a r i b u

    kuwahamasishaWaislamu Msikitinikatika maeneo yaKinuni, Makondekona maeneo menginekuchangia fedhakwa ajili ya familiaya viongozi waUAMSHO.

    K a t i k a h o j azao wanawatakaW a i s l a m uwachangie fedhakwa ajili ya kuwezakusaidia vyakulana matibabu katikafamilia za Masheikh

    hao, pia kusaidiauendeshwaji wakesi inayowakabili.

    Wapo baadh iy a Wa i s l a m uw a m e k u w a n awasiwasi na vijanahawa, kama kweliw a m e t u m w ana Jumuia hiyon a m i c h a n g ohiyo kama kwelipia inafika kwaw a h u s i k a , n awanaona kamani u tape l i kwa

    Hawa wanaopita Misikiti wametumwa na UAMSH

    kutumia mgongowa dini.

    Hivi kar ibunikuliwahi kuibuka baadhi ya wa tuwakijitambulishakuwa wametumwan a f a m i l i a y aMarehemu SheikhN a s s o r B a c h o ,kuchangisha pesaMisiktini kwa ajiliya matibabu yaSheikh huyo, lakinifamilia yake kupitiavyombo vya habariilikanusha vikalisuala hilo.

    K a t i k amazingira haya,inawezekana watuhawa wanatumianjia nyengine yakukusanya fedhai l i k u w a t a p e l iWa i s l a m u n akuipaka matope Jumuia hiyo.

    Tu n a w a o m b aviongozi wa Jumuiaya Uamsho watoek a u l i k u h u s uwatu hawa, kamaw a m e w a t u m ai l i Wa i s l a m uw a e n d e l e e

    kuchangia au kamahawakuwatuma,w a k a n u s h ekupitia vyombovya habari kamaredio ili Waislamuw a t a m b u e n awasiendele kutoafedha kwa aj i l iy a U A M S H Okwa wasiokuwaU A M S H O , i l ikuiepusha taasisikatika utapeli huu.

    Muumin i wa

    KiislamuMkazi wa Unguja

  • 8/14/2019 ANNUUR 1099

    11/12

    11 AN-NUMUHARRAM 1434, IJUMAA NOVEMBA 15-21, 20HABARI

    Mwaka 1434- Hijria ni wa huzuni-KundechInatoka Uk. 12M u n g u a m e a h i d ikuwapa mitihani yanamna mbalimbali kamavile hofu, mashaka, njaa,kufilisika na wakatimwingine hata kufakatika kupinga dhulma

    katika jamii.Mwaka huo uliopitam p a k a t u n a i n g i amwaka huu Masheikhwetu Bara na Visiwaniwamo Magerezani, hilisi jambo la kufurahishani huzuni na simanzim i o n g o n i m w aWaislamu, tunasemahuu ni msiba. AmesemaAmir Kundecha.

    A l i s e m a , h a y oyamewatokea wenzaoambao ni Masheikhmaarufu nchini ambaowanamchango mkubwakatika jamii ya Waislamukwa kuwatoa katikahatua ya kutojitambuakwenda katika hatua yakujitambua.

    Aidha , alisema katikakipindi cha mwakau l i o p i t a , a m b a c h okinaungana na mwakahuu, wapo Waislamukatika Wilaya ya Kilindi,Mkoani Tanga, mpakamuda huu baadhi yaowapo vichakani, na

    wengine wanauguzamajeraha.Baadhi yao wapo

    maporini , wenginehospitalini wenginehadi sasa hawajulikaniwalipo na wenginehawana mahal i pakuishi. Alisema AmirKundecha.

    Mbaya zaidi, Amir.Kundecha, a l isemakatika kadhia hiyo kilaaliye jitokeza kuulizalipi lilowasibu wenzaonae bila kujibiwa aukupewa ufafanuzi piaameingizwa kat ikamatatizo hayo.

    A l i s e m a , k a d h i aya Kilindi, imekuwana utata, kwa sababuh a i e l e z e k i w a l ah a i f a t i k i l i k w a n iimekuwa na walakinimkubwa, hata hivyoakasema Uislamu,unasema msaidie nduguyako Muislamu, sawaamefanya makosa auamefanyiwa makosa.

    A m i r K u n d e c h a ,a k a i t a k a S e r i k a l iisaidie kubainisha ninini haswa sababu yakamata kamata hiyo

    jambo ambalo linawezakusaidia hata kwaM a s h e i k h k u w a p an a s a h a k w a h a y oambayo wanaonekanakuwa wameyakosea.

    A k i z u n g u m z i asuala la mchakato waKatiba mpya alisema,katika mwaka uliopitaWaislamu kama sehemuya jamii, wameshirikikatika mchakato waKatiba mpya, ambayoinatazamwa kama sheriamama ya nchi inayowahusu raia wote.

    A m i r K u n d e c h a ,alisema katiba iliyopoWaislamu wamekuwana manuguniko nayo,na ujio wa katiba mpyawalidhani kuwa sehemufulani ya machunguwanayoyapata kupitia

    katiba ya sasa kwakushiriki kwao ingewezakuwa ni fursa nzuri yakuondoa au kupunguzamaumivu yao.

    U s i p o p a n g au t a p a n g i w a n au k i p a n g i w ak i s h a u k a v u r u g ak i l i c h o p a n g w autahesabika umevunjasheria, ili usipangiwe jambo dhidi yako shirikikatika kupanga uangaliekinachopangwa kinamaslahi au kipo dhidiyako. Alisema AmirKundecha.

    Akasema, pamoja nakushiriki katika hatua yaawali, imekuja kubainikakuwa maoani yao yamwanzo waliyoyatoahususan yanayohusudini yao hayajaonekanakatika rasimu ya Katibampya, isipokuwa yaleya jumla.

    A m i r K u n d e c h a ,alisema pamoja na hali

    hiyo wameshiriki tenakatika awamu ya pili,na sasa wanasubiriw a o n e m a o n i y a oambayo yanawahusu

    W a i s l a m u k a m awananchi yatakuwemoau yatapuuzwa tena.

    Katiba ni mali yawananchi, kwa bahatimbaya hatujasimamak a m a w a n a n c h ik u d a i h a k i y e t ukuona tunachokihitajikimo katika Katiba,kutokuwepo kwakekitatuathiri sisi kamawananchi. Alisema.

    A l i s e m a , j u u y asusla hilo, Waislamuwataendelea kupeanataarifa na kukumbushana pale maoni yaoy a t a p u u z w a t e n a ,watasimama na kusemakuwa k i l i cho le twakipo tofauti na maoniwaliyoyatoa na kishawatatoa msimamo wao.

    Ama akizungumzia

    somo la Maarifa yaUislamu, ambalo naloliliteka hisia za Waislamumwaka uliopita, alisemakadhia hiyo imekuwani kama zoezi endelevuna kwamba lina miakatakriban 9 nyuma, kwakila mwaka mamlakah u s i k a k u f a n y amajaribio ya kuliondo.

    A m i r K u n d e c h a ,alisema vita dhidi yakulindosha somo hilola Kiislamu, limepitakatika vikwazo vingiakikimbushia kutakakuletwa na kuingizwakwa somo la Dini msetomashule.

    S o m o l a D i n imseto ilishaletwa, nailisimamiwa na Wizarah u s i k a , Wa i s l a m utukasimama kwa kaulimoja tukasema suala laDini mseto halipo. Allahkashasema wao wanadini yao na sisi tunadini yetu tukawaambiahilo haliwezekani kwakuwa tunatofautinak a t i k a d h a n a y aMungu. Alisema AmirKundecha.

    KLABU ya Rotaryinayojishughulisha nakuunga na kutengenezaKompyuta mjini Sea len c h i n i M a r e k a n i ,kimemua kuisaidiaSerikali ya MapinduziZanzibar kompyuta2,500 kwa aj i l i yamatumizi ya skulimbalimbali visiwaniZanzibar.

    Mkurugenzi wa Kituo

    cha Inter Connection chaklabu hiyo Bw. CharlesBrennick, alitoa tamkohilo wakati wa ziara yaMakamu wa Pili wa Raiswa Zanzibar, Balozi SeifAli Iddi, alipotembeleakarakana ya kituo hichoiliyopo katikati ya mjiwa Se le Marekani.

    B w . C h a r l e s ,alimueleza Makamu waPili wa Rais na ujumbewake aliofuatana naokwamba, msaada huo

    Skuli za Zanzibar zapata msaada wNa Mwandishi Maalum utatolewa kwa awamuambapo katika awamu

    ya kwanza komputa hizozinatarajiwa kuingiaZanzibar hivi karibuni.

    Alisema taasisi yaoi m e j i p a n g i a k u t o amisaada kama hiyokwa Mataifa mbalimbaliyanayoendelea duniani,hasa Barani Afr ikaambapo karibu vituo20 nchini Tanzaniavinaendelea kufaidikana mpango huo.

    Mkurugenzi huyoa l i m u h a k i k i s h i aMakamu wa Pili waRais kwamba, lichaya kwamba Zanzibaripo mbali kijiografiakutoka Marekani, lakiniuongozi wa taas is ih i y o u t a h a k i k i s h akwamba msaada huowa kompyuta unafikaZanzibar kwa wakatiwalioupangwa.

    Kwa upande wakeMakamu wa Pili wa Rais

    wa Zanzibar Balozi SeifAli Iddi, aliushukuruuongozi wa taas is ihiyo kwa uamuzi wakewa busara wa kuonaumuhimu wa kuisaidiaZanzibar nyenzo hiyoya elimu.

    Balozi Seif alielezakwamba matumizi yakompyuta na mitandaoya mawasi l iano yainternet yaliyosambaahivi sasa ulimwenguni,n d i o y a n a y o w a p a

    fursa nzuri wanafunzikuweza kusoma kisasana kumudu vyemamasomo yao.

    A l i s e m a k u w am s a a d a h u o w akompyuta umekujawakati muafaka kwawanafunzi wa Zanzibar,k u e l e k e a k a t i k amazingira ya kimafunzoy a n a y o k w e n d a n aw a k a t i k u f u a t i amabadiliko ya sasa yadunia ya sayansi na

    teknolojia.B a l o z i S e ia k i o n g o z a n a n a baa dh i ya ma wa zi rina wafanyabiashara,akiwemo Waziri waBiashara , Viwandana Masoko ZanzibarMh. Nassor AhmedM a z r u i , a l i w a s i l iS e a t t l e M a r e k a n ia k i t o k e a D u b a i ,ambapo alitarajiwakuhudhuria mkutanowa 15 wa Chama cha

    Wafanyabiashara wenyeasili ya Afrika katika Jimbo la Sea le.

    M k u t a n o h u ou n a t a r a j i w a p i akuhudhuriwa na baadhiya watendaji wa kutokataasisi mbalimbali zaKibiashara za Kimataifak u t o k a m a t a i f ambalimbali duniani,wakiwemo pia baadhi yaviongozi wa Jumuiya zawafanyabiashara kutoka barani Afrika.

  • 8/14/2019 ANNUUR 1099

    12/12

    12 AN-NUURMUHARRAM 1435, IJUMAA NOVEMBA 15-21, 2012 MAKALA

    AN-NUUR12 MUHARRAM 1435, IJUMAA NOVEMBA 15 - 21, 2013

    SomaGazeti la AN-NUU

    kila Ijumaa

    AMIR wa BarazaKuu la Jumuiya naTaasisi za Kiislamu(T), Sheikh MussaKundecha, amesemaWaislamu wamemalizana kuanza mwakampya 1435-Hijria, kwasimanzi na huzunikubwa.

    A m i r K u n d e c h aa m e y a s e m a h a y oakiongea na Waisamukatika maadhimisho

    ya mwaka mpya waKiislamu 1435-Hijiria,yaliyofanyika Jumamosiiliyopita katika Msikitiwa Mtoro, Kariakoo

    Jijini Dar es Salaam.Kundecha alisema,

    kwa ujumla mwaka1434-H, umekuwa namatukio mchanganyikoy a k u h u z u n i s h an a k u f u r a h i s h a ,akawataka Waislamukatika mwaka huu wa1435-H kujipanga nakijitathimini ili kuwezakuyaendea mambo yaokwa ufanisi zaidi.

    I k i w a m w a k aul iopi ta Wais lamuh a w a k u p a t aufumbuzi wa matatizoyaliyowakumba, basimwaka huu watafakarina wajipange kupataufumbuzi wake il ikuepukana na huzunin a s i m a n z i k i l amwaka. Alisema AmirKundecha.

    Alisema, masiku ya

    mwaka uliokwishayamewaacha Waislamuna simanzi na huzunikubwa ku tona nak w a m b a m p a k asasa wapo Masheikhkizuiz ini ambapou f u m b u z i w a k ehaujapatikana.

    A m i r K u n d e c h aalisema wakati hayayakiwapitia, Waislamuwanatakiwa kuwa namazingitio katika kadhiahizo na kujipanga ili

    Mwaka 1434- Hijriani wa huzuni-Kundecha

    Azungumzia kadhia ya Waislamu Kilin

    Na Bakari Mwakangwale

    katika kipindi hiki chamwaka mpya wawezekukabiliana nazo naku kia malengo yao.

    Matatizo ambayoyametupata tunapaswa

    kuyaangalia na kujuani kwa namna ganitutapata ufumbuzi wakena lini ufumbuzi huoutapatikana. AlisemaAmir Kundecha.

    Alisema, ndani yamwaka huu wanawajibuw a k u m u o m b aM w e n y e z i M u n g uaingilie kati juu yakadhia zinazowakabili

    Waislamu nchini, kwasababu wanaowashikiliaMasheikh hao pia niviumbe wa MwenyeziMungu.

    Kwa kuwa tunayakini kuwa Allah (s.w)ana uwezo mkubwa juu yao , kupitia duazetu na jitihada zinginetutakazo zifanya katikakipindi hiki kipya chamwaka huu ziwezekufanya kazi dhidi yahao wanawashikilia.A l i s e m a A m i rKundecha.

    A m i r K u n d e c h aa l i s e m a , i l e h a k iy a m k o s a j i a uy a m t u h u m i w ailiyoandikwa k atikamakaratasi na hatakuzungumzwa katikavinywa vya wanasheriahaijaonekana kufanyakazi kwa Masheikh.

    A l i s e m aw a n a l a z i m i k akurejea kadhia hizoi l i k u w a w e z e s h aWaislamu kutafakari

    sababu zilizopelekeasimanzi na huzuni hizoili kutafuta njia mbadalana kuweza kukabiliananazo.

    Akisherehesha aya zaQur an, Amir, Kundechaal isema Mwenyezi

    U T A W A L A w aKizayuni wa Israelumezuia kufikishwavifaa muhimu vyau j e n z i k w a a j i l iy a k u e n d e l e z w autekelezaji wa miradiya Umoja wa Mataifakatika Ukanda waGaza unaokaliwa kwamabavu, Palestina.

    Umoja wa Mataifaumeripoti kuwa nimradi mmoja tu, wakujenga daraja ndiounaotekelezwa hivi

    Israel yazuia miradi ya UN kwa Wasasa huko Gaza, kati yamiradi 20 iliyokusudiwakutekelezwa katikaeneo hilo.

    Umoja wa Mataifaumeeleza kuwa utawalawa Kizayuni umezuiakutekelezwa miradihiyo kwa visingiziovisivyokuwa na msingi.

    Mkurugenzi Mtendajiwa miradi hiyo yaUmoja wa Mataifa hukoGaza, Robert Turner,amesema kuwa ni wikiya nne sasa ambapo

    utawala wa Kizayuniumezuia kuingizwahuko vifaa vya msingivya ujenzi Gaza nah a i j u l i k a n i k u w aitaendelea kukwamishamiradi hiyo hadi lini.

    Turner alibaibishaumuhimu kutekelezwamiradi iliyosalia yaUmoja wa Mataifa,kwa ajili ya wakazi waUkanda wa Gaza, hivyokusisitiza ulazima wakuondolewa vizuizihivyo vya Israel ili

    kuruhusu kufikishwavifaa hivyo muhimuvya ujenzi huko Gaza.

    Amesema moja yamiradi inayotekelezwana Umoja wa MataifaGaza ni pamoja na ujenziwa shule na vituo vyaafya na kwamba, hali yaWapalestina wa Ukandawa Gaza ni mbayakutokana na vizuizihivyo vinavyowekwana utawala wa Kizayunina kufungwa vivukovya eneo hilo.

    Inaendelea Uk. 11

    AMIR wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T), Alhaji Mussa Kundecha.