ANNUUR 1140

16
ISSN 0856 - 3861 Na. 1140 DHULQAAD, IJUMAA , AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz Mh. Rais Kikwete... Watuhumiwa wa ugaidi wanafanyiwa 'ugaid i' Ni zaidi ya ukatili, ukhabithi wa kaum Lut Shein mchunga wa Wazanzibar, ataulizwa... TOLEO la gazeti hili wiki iliyopita, habari iliyoongoza ilizungumzia juu ya nafasi zilizotolewa na serikali ya China kusomesha wataalamu wa gesi na mafuta. Japo maudhui ya habari ilikuwa kutahadharisha na kuonyesha hatari inayoweza kutokezea iwapo Kumradhi Al Shabab ibadili mbinu Zama na mambo yamebadilika sana Mwelekeo wa zamani kwa sasa ni... Maafa kwa Waislam Somalia, Afrika Inaendelea Uk. 2 MAOMBI yametolewa kutaka iundwe Tume huru ya Mahakama kuchunguza kadhia ya kuwakamata watu na kuwashitaki Tanzania Bara kinyume na sheria na Katiba ya Zanzibar. Hayo yamebainishwa na Rais wa Chama cha Wanasheria Zanzibar (Zanzibar Law Society- ZLS), Awadhi Ali Said katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika juzi katika ukumbi wa watu wenye ulemavu (Zainab), Kikwajuni wareles. Awadh amesema, kitendo cha kuwakamata watu usiku na kuwasafirisha Bara na baadae kuwashitaki Katiba ya Zanzibar imevunjwa - ZLS Na Mwandishi Wetu Inaendelea Uk. 2 JUU: IGP Tanzania, Magu. Chini IGP Kenya Kimaiyo. IGP Rwanda Gasana. IGP Uganda Kayihura. Jaji Mkusa Sepetu apinga Wajibu wa kwenda Hijja unamhusu mwenye uwezo na WENYE UWEZO (Qur’ani, 3:97). Inawezekana tukaenda sote Hijja kwa kuchanga tukapelekana mmoja mmoja kila mwaka katika familia, mtaa, msikiti, na kadhalika. Bila shaka Allah Atalifurahia hili na Atamimina neema kubwa juu yetu. Waislamu, tusisubiri, tuchukuwe hatua! Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Gharama zote ni Dola 4,500. Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 - 462022; Zanzibar: 0777468018/068536614 1/0657606708. (16) USHIRIKA WA HIJJA!

Transcript of ANNUUR 1140

Page 1: ANNUUR 1140

ISSN 0856 - 3861 Na. 1140 DHULQAAD, IJUMAA , AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz

Mh. Rais Kikwete...

Watuhumiwa wa ugaidi wanafanyiwa 'ugaidi'

Ni zaidi ya ukatili, ukhabithi wa kaum LutShein mchunga wa Wazanzibar, ataulizwa...

TOLEO la gazeti hili wiki iliyopita, habari iliyoongoza ilizungumzia juu ya nafasi zilizotolewa na serikali ya China kusomesha wataalamu wa gesi na mafuta.

Japo maudhui ya habari ilikuwa kutahadharisha na kuonyesha hatari inayoweza kutokezea iwapo

Kumradhi

Al Shabab ibadili mbinuZama na mambo yamebadilika sanaMwelekeo wa zamani kwa sasa ni...Maafa kwa Waislam Somalia, Afrika

Inaendelea Uk. 2

MAOMBI yametolewa kutaka iundwe Tume huru ya Mahakama kuchunguza kadhia ya kuwakamata watu na kuwashitaki Tanzania Bara kinyume na sheria na Katiba ya Zanzibar.

Hayo yamebainishwa na Rais wa Chama cha Wanasher ia Zanzibar (Zanzibar Law Society-ZLS), Awadhi Ali Said katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika juzi katika ukumbi wa watu wenye ulemavu (Zainab), Kikwajuni wareles.

A w a d h a m e s e m a , kitendo cha kuwakamata watu usiku na kuwasafirisha Bara na baadae kuwashitaki

Katiba ya Zanzibar imevunjwa - ZLS

Na Mwandishi Wetu

Inaendelea Uk. 2 JUU: IGP Tanzania, Magu. Chini IGP Kenya Kimaiyo. IGP Rwanda Gasana. IGP Uganda Kayihura.

Jaji Mkusa Sepetu apinga

Wajibu wa kwenda Hijja unamhusu mwenye uwezo na WENYE UWEZO (Qur’ani, 3:97). Inawezekana tukaenda sote Hijja kwa kuchanga tukapelekana mmoja mmoja kila mwaka katika familia, mtaa, msikiti, na kadhalika. Bila shaka Allah Atalifurahia hili na Atamimina neema kubwa juu yetu. Waislamu, tusisubiri, tuchukuwe hatua! Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Gharama zote ni Dola 4,500. Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 - 462022; Zanzibar: 0777468018/0685366141/0657606708.

(16) USHIRIKA WA HIJJA!

Page 2: ANNUUR 1140

2 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Habari

KumradhiInatoka Uk. 1y a t a f a n y i k a m a m b o yanayole ta ta fs i r i ya kuwepo ubaguzi; lakini matumizi ya baadhi na maneno na misamiati, i m e o n e k a n a k u l e t a usumbufu kwa baadhi ya watu na kutoa tafsiri tofauti na makusudio ya habari.

Aidha, matumizi ya picha zikiunganishwa na kadhia ya kuuliwa kwa kijana Mweusi wa Kimarekani, kule Fegurson, inaonekana kutoa mwanya

kwa baadhi ya watu kuleta tafs ir i kuhimiza yale yanayofanyika Missour badala ya makusudio ya kutoa tahadhari.

Kutokana na yote hayo, tungependa kuchukua nafasi hii kuomba radhi kwa usumbufu wowote ulioj itokeza kutokana na matumizi ya lugha na misamiati inayotoa mwanya kwa wasomaji kuchukua tafsiri tofauti na makusudio ya habari i k i s o m w a y o t e k w a ukamilifu wake.

Mhariri

NDOA ni tendo jema na la msingi sana katika maisha ya mwanadamu m w a n a m m e n a mwanamke.

Ni mkataba maalum wa kuishi pamoja kati ya mume na mke na panapo maajaliwa, ndoa inakuwa ndio zao sahihi la familia na hatimaye ikapatikana jamii kwa ujumla.

N d o a i m e k u w a chimbuko la kuunganisha watu wa nasaba mbalimbali na kuwafanya kuwa ndugu wakaribu.

Katika Uislamu ndoa ni ibada, kwa mwanamme kuoa ni ibada, kadhalika na mwanamke kuolewa ni ibada pia.

Ndoa hujenga heshima na adabu kwa jinsia zote katika jamii.

“Enyi vijana! Mwenye uwezo wa kuisimamia ndoa na aoe kwani huko ni kuweza kuinamisha macho na kuweza kuzikinga tupu na kama hamna uwezo basi ni juu yenu kufunga kwani huko ndiko kwenye kinga.” (Al-Bukhar)

“Pia ndoa ni miongoni mwa Sunnah zangu na mwenye kutenda kinyume na Sunnah zangu hatokuwa pamoja na mimi”. (Ibn Maajah).

“Oeni mnaowapenda katika wanawake, wawili au watatu au wanne. Na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu, au wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki”. (Qur’an Surat Nisaa:3)

Hata kwa wasiokuwa Wa i s l a m u h u s u s a n Manasara, kwao pia kwa mujibu wa taratibu za imani yao, ndoa imekuwa ni jambo la msingi kwa mujibu wa imani yao na imepewa nafasi yake katika maisha.

Pamoja na kwamba tendo la kufunga ndoa kimantiki ni suala nyeti na muhimu kimahusiano katika maisha ya binadamu, bado sehemu kubwa ya jami i yetu imeshindwa kuyatekeleza kwa uadilifu matukio la kufunga ndoa na kufanya sherehe ya harusi katika jamii yetu.

Tumeshazoea kuona katika jamii yetu, watu

Michango ya harusi isilazimishwewanapojiandaa kufunga ndoa huwa wanasaidiana kwa hali na mali. Wapo wanaotoa michango ya fedha kwa moyo na kwa hiari kwa ajili ya kumsaidia muoaj i au muolewaj i kufanikisha tukio lake la kufunga ndoa na kufanya sherehe kwa a j i l i ya kufurahia ibada hiyo.

Lakini pia wapo ambao hawana uwezo wa kifedha, lakini kwa kuwa ni ndugu, jamaa au raf iki , basi husaidia kwa nguvu zao kutimiza azma ya maharusi kufanikisha shughuli yao ya ndoa na harusi.

H a t a h i v y o k a d i r i muda unavyokwenda, u l e u t a m a d u n i w a uchangiaji kwa ajili ya kusa idia kufanik isha zoezi la kufungwa ndoa na kufanyika harusi , ukibadi l ika kwa kasi kufanywa kuwa wa lazima.

Siku hizi ule mchango wa hali haupo. Michango ya kifedha kwa ajili ya harusi umekuwa ni utaratibu wa lazima na umeshazoeleka. Familia zimegeuza ibada ya kufunga ndoa kama fursa ya kulazimisha watu kutoa michango japokuwa hawasemi moja kwa moja kuwa ni lazima.

U n a w e z a k u s i k i a kuwa uki toa shi l ingi elfu tano, kumi, ishirini utashukuriwa kwa ahsante ( h u p a t i m wa l i k o wa shughuli).

H i i n i k w a k u w a wanaohita j i mchango walishaweka kiwango chao wanachokitaka kutoka kwa kila mchangiaji japo suala lenyewe ni la hiari.

Kwa upande mwingine wa mtoa j i , s iku h iz i imezoeleka tabia kwamba naye anakuwa tayar i kutoa chake iwapo tu, katika harusi atakuta kile anachikitaka yeye.

Kwa ujumla tunaweza kusema dhana nzima ya uchangiaji au utoaji kwa ajili ya kufunga ndoa au harusi imepotoshwa na kupoteza maana yake halisi.

Kwa jinsi hali ilivyo sasa, ili kuonyesha kuwa unamtakia mtu kila la heri katika harusi au ndoa yake ni lazima utoe pesa.

Michango imekuwa

kama ni malipo ya lazima na s io ki tu cha hiar i cha kumtakia mtu heri. Tunaona sasa imefikia kiwango cha kuwa kero kwa mchangiaji na wala s i mchango wa hiar i kwa kuwa umewekewa v i wa n g o n a m i p a k a . Umekuwa ambo la lazima na sharti usiwe mdogo.

Tu n a j i u l i z a , k a m a sehemu kubwa ya ndoa zetu zinazingatia imani zetu, hivi kumchangia mtu pesa anapooa au kuolewa ni lazima?

K u o a a u k u o l e w a ni mipango binafsi na zaidi ni kwa maslahi ya wanandoa na familia zao. Kwanini wanaowatakia h e r i , wa n a o p o n g e z a na kuwaunga mkono w a n a o f u n g a n d o a wawekewe viwango vya lazima vya kusaidia?

Tunapenda kuisihi jamii kwamba kufunga ndoa au kufanya harusi sio jambo la kibiashara au shughuli ya kiuchumi kama inavyofanywa sasa.

Tufike mahali tutambue kuwa si jambo la lazima kuingia kwenye ndoa kwa kutegemea msaada ya lazima kwa wengine.

Michango ya ndoa au harusi sio suala la dharura kama msiba, ni hiari na ni vizuri tukiendelea na utamaduni wa kufanya hivyo maana hiar i s i utumwa.

Sote tuna jua kuwa hakuna ubaya kuchangia harusi au kutoa kadi za michango au za kualika harusi.

Lakini kutokana na kukidhiri tamaa katika jamii yetu, kiasi cha kutumbukia katika hulka za ufisadi na ulaji wa pesa kwa njia za haramu, imewalazimu watu kuwa na utaratibu wa kudhibiti amana za watu zilizokusudiwa kusaidia jambo fulani la heri.

Pia husadia kudhibiti wasioalikwa kuingia katika karamu ya ndoa.

I m e p o k e wa n a I b n ‘ U m a r k u wa M t u m e (Saw) amesema: “Yeyote a s i ye k u b a l i m wa l i k o amemuasi Allah na Mtume wake, na mwenye kuingia bila kualikwa anaingia kama mwizi na kutoka katika sehemu hiyo kama mvamizi” (Abu Daud).

“Anapoalikwa mmoja wenu katika karamu, basi ahudhurie, ikiwa ni karamu ya harusi au nyingineyo. Na yeyote asiyeit ikia (asiyekubali) mwaliko basi atakuwa amemuasi Allah na Mtume wake) (Al-Bukhar, Muslim).

Hata hivyo, wakati mwingine kwasababu

ya v u r u g u a u m a a s i yanayokuwemo katika baadhi ya sherehe za ndoa, ndizo zinazoweza kumfanya mtu asiitikie mwaliko, na anapofanya hivyo mtu katika hali hiyo, huwa hatumbukii katika hukumu za Hadith hizo zilizotajwa hapo awali kwa sababu Muislam haruhusiwi kushir ik i shughuli zenye maasi.

Wakati mwingine kwa kupitia michango mikubwa tunayolazimishwa kutoa kwa ajili ya harusi au sherehe za ndoa, baadhi ya watu hufanya israf katika sherehe, jambo ambalo limekuwa likivuka mipaka na kupotosha maana halisi ya mambo haya.

Kuchangia harusi au karamu ya ndoa, kualika

kwa kadi si tatizo, lakini matamanio ya wanadamu

T u n a w a s h a u r i , wanaokwenda kinyume na falsafa ya kuchangia k a r a m u y a h a r u s i , au sherehe ya ndoa , wanaolazimisha michango mikubwa, wanaoweka viwango vya michango, wa n a o b a g u a m i a l i k o kwa kigezo cha kiwango cha mtu aliichochangia, w a n a p a s w a k u m c h a Mwenyezi Mungu na kuacha tabia hizo ambazo haziendani na uzuri wa Uislam.

Kisheria, hakuna tatizo lolote kwa watu kutoa kadi kwa ajili ya michango au sherehe mradi taratibu za kisheria zimefuatwa na hayajakiukwa mafunzo ya Mtume (Saw).

Katiba ya Zanzibar imevunjwa - ZLSInatoka Uk. 1

katika mahakama ya hukoT a n z a n i a B a r a ,

k imekiuka Kat iba ya Zanzibar, na kwa hiyo kufanya mashitaka hayo kukosa uhalali.

Amesema, hawajawahi kuona mtu aliyekamatwa na kosa Tanzania Bara akashitakiwa Zanzibar.

Na hiyo ni kwa sababu ki la upande wa nchi mbili hizi unasheria zake zinazosimamia makosa ya jinai.

A k i f a f a n u a z a i d i akasema kuwa, kitendo hicho kimevunja sheria na kuidhalilisha Katiba ya Zanzibar.

A k a o n g e z a k u w a u t a r a t i b u u l i o p o n i kuunganisha sheria husika na mahakama za nchi mbili (Tanzania Bara na Zanzibar) katika ngazi na Mahakama ya Rufaa tu.

Na kwa maana hiyo,

hakukuwa na haja ya kuwashitaki watuhumiwa kat ika Mahakama ya Hakimu Mkaazi, Kisutu.

A i d h a a m e s e m a , K a t i b a y a Z a n z i b a r inakataza kumdhalilisha m t u h u m i w a , l a k i n i w a t u h u m i w a h a o w a m e e l e z a m b e l e y a M a h a k a m a j i n s i wanavyodhalilishwa kwa kufanyiwa vitendo viovu.

Naye Katibu wa jumuia h iyo Bw. Omar Sa id Shabaan alisema kuwa sheria No. 21 Sheria ya Jamuhuri ya Muungano iliyotumika kuwakamata watuhumiwa, inagongana na Sheria ya Zanzibar.

A m e s e m a , s h e r i a h i y o i m e z u n g u m z i a kuzuia ugaidi lakini mtu anapofanya ugaidi kuna sheria na hukumu zake.

H i v y o , u t a r a t i b u umekiukwa jambo ambalo

Inaendelea Uk. 3

Page 3: ANNUUR 1140

3 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014Habari

Watuhumiwa wa ugaidi wanafanyiwa ugaidiMAMBO mengine, haiwezekani kabisa kuyastahamilia.

Na hiyo ni ili isije ikasemwa watu hawakusema. Wala kuja n a u l e m s e m o wa Wa r u s i kuwa usipolisema la mwenzio, hakutakuwa na wa kukusemea likufikapo wewe.

Falsafa hiyo ndiyo iliyopelekea watu wengi kuandika na kutoa maoni yao kwa namna mbalimbali wakiwasilisha nasaha zao na kilio chao kwa Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete mintarafu ya madai ya kuteswa watuhumiwa wa ugaidi.

Kwa upande mwingine, nasaha zimeelekezwa kwa Rais wa Zanzibar katika kumkumbusha kuwa yeye ni mchunga wa Wa z a n z i b a r i n a a t a u l i z wa mbele ya Mahakama ya ‘Malik yaumiddiin’, alikuwa wapi ‘watan’ wake wakitiwa majiti sehemu zao za siri na kufanyiwa matendo ya ukatili na kudhalilisha.

“Roho yangu haingeweza kabisa kulistahamilia hili. Kama i l ivyotokea huko Urusi ya Kikomunisti kulikozuka msemo kuwa usipolisema la mwenzio, hakutakuwa na wa kukusemea likufikapo wewe.”

Ndivyo anavyosema Ali Saleh katika barua yake ya wazi kwa Rais Kikwete baada ya kusimulia madai ya watuhumiwa hao.

“Washitakiwa hao wamesema Mahakamani kuwa wanateswa kwa njia ya kupigwa, wanafanyiwa vitendo vya kinyama kama vile kutiwa chupa na majiti sehemu zao za siri. Pia wamedai kuwa hawapati matibabu.”

“Kwa kuwa madai hayo ya m e t o l e wa M a h a k a m a n i , niruhusu Mheshimiwa niseme k wa m b a h a ya we z i k a b i s a kupuuzwa na itakuwa ni kosa kubwa kwako kuyapuuza.”

Anasema mwandishi wa barua ya wazi akiomba mamlaka ya Rais kuingilia kati suala hili ili hata kama watu ni watuhumiwa wa makosa mazito kama hayo ya ugaidi, lakini utu wao na haki zao kama binadamu zilindwe.

“Mfumo wetu wa sher ia Mheshimiwa Rais unaelekea kufikia kiasi cha kuzama kama hivyo? Hivi inastahili kufanyiana kama hivyo?”

Anauliza Ali Saleh na kuongeza: “Jee, huku ndio kutimiza wajibu wetu? Huku ndio kujenga imani kuwa haki za binaadamu na haki za wafungwa zinalindwa?”

“Kwa fikra zangu Mheshimiwa Rais, hili si neno la kupuuzwa. Haya yamelalamikiwa hadharani na washitakiwa lakini wasaidizi wako wote hawajatoa kauli yoyote

Na Mwandishi Wetu

RAIS Jakaya Kikwete. RAIS Ali Mohamed Sheinile. Si Mkuu wa Polisi, si Mkuu wa Idara ya Usalama, si Mkuu wa Idara ya Magereza.”

Ni kutokana na hali hiyo kwamba hata Waziri wa Katiba na Sheria, Mwanasheri Mkuu na Muendesha Mashitaka, wote wamekaa kimya, mwandishi anaomba mamlaka ya Rais kuingilia kati ili kulinda haki za watuhumiwa hao lakini pia kulinda heshma ya nchi, serikali pamoja na vyombo vyake vya dola.

Ni katika muktadha huo huo, baadhi ya watu wengine, baada ya kukariri madai ya watuhumiwa hao, wamemkumbusha Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Ali Mohammed Shein kwamba yeye ni mchunga wa watu wa Zanzibar na hivyo ataulizwa juu ya yale yote yanayowafika.

“A s k a r i a m e n i . . . k i s h a akaniingiza jiti (sehemu za siri) mpaka likakatika, kungekuwa na sehemu ningekuonyesha, Jeshi la Polisi la kwanza kuvunja sheria, waliofanya madhila haya wanawatukanisha Watanganyika na kufanya waonekane wabaya.”

Hayo ni malalamiko na madai ya mtuhumiwa namba 12 Salim Ali Salim, katika kesi ya ugaidi mbele ya Hakimu Mkazi Mahakama ya Kisutu, Hellen Riwa juu ya kutendewa uovu na Jeshi La Polisi, kama alivyonukuliwa na vyombo vya habari Agosti 22, 2014.

“ R a i s S h e i n u m e j i t w i k a majukumu ya kuwa mchunga wa Wazanzibari wooote, hili halipingiki na hata ukikataa ndio litabaki hivyo.”

“ Wa t u wa k o u m e r u h u s u waondoshwe nchini mwako, sasa wanafanyiwa idhilali kama hiyo ya kuigiliwa na wanaume wenzi wao! Mambo mengine yaonekana mepesi katika dunia hii, lakini majibu yake kwa Allah hapo kesho yatakuwa mazito. Nini tutajibu

kwa kuruhusu uovu kama huu kufanyiwa binadamu wenzetu, halafu unafanywa na baadhi ya watumishi wa vyombo rasmi vya serikali?”

“Tukumbuke, kila mmoja wetu ni mchunga na ataulizwa kwa alichokichunga. Kama tumelisahau hili tukumbushane.”

Ni mwananchi mwingine aliyejitaja kwa jina la Rashid Abdallah akitoa maoni na nasaha zake.

Wa k a t i h u o h u o , w a t u wamekuwa wakihoji ni kwa nini watuhumiwa hao wa Zanzibar wamepelekwa kuhoj iwa na kushitakiwa Dar es Salaam badala ya Zanzibar.

“Haya ni makosa ya viongozi wa Zanzibar. Kama kweli Zanzibar ni nchi, ina Rais ina Mwanasheria Mkuu ina Mkurugenzi wa Mashitaka na Mahakama zake, inakuwaje a je kuchukuliwa mwananchi kupelekwa nchi ya pili na huku kuna amri ya Mahakama kuwa asitoke nje ya Zanzibar bila ruhusa ya Mahakama! Leo anachukuliwa kwa kisingizio cha Muungano, ipo wapi hadhi ya Mahakama Kuu ya Zanzibar?” Anauliza mwananchi mmoja.

Kwa upande wa wanasheria mjini Zanzibar wakiwemo mawakili wanaowatetea watuhumiwa hao wamesema kuwa kitendo hicho ni ukiukaji wa sheria na katiba ya Zanzibar.

Mawakili hao wakiongozwa na Abdallah Juma wamesema kuwa kuwapeleka watuhumiwa hao Bara ni kuwanyima uhuru wao wa kikatiba kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu cha 14 (1) (2) na kifungu cha 16 (1).

N a k w a m b a “ k i t e n d o kilichofanywa na Jeshi la Polisi cha kuwaweka kizuizini wateja wao kwa mienzi miwili nje ya Zanzibar wakati Zanzibar ni

nchi, ni kinyume cha sheria ya makosa ya jinai kifungu cha 28 sheria namba 7 ya mwaka 2004 ya Zanzibar.”

“Zanzibar ni nchi tena ina mahakama yake kwa nini wateja wetu wakamatwe Zanzibar wakawekwe kat ika k izuiz i kisicho halali Tanzania bara, hivyo jaji huoni kitendo hicho ni kuidhalilisha mahakama yako tukufu,” alidai Abdallah Juma kama alivyonukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari.

Alisema kwa mujibu wa sheria za Zanzibar tukio limefanyika Zanzibar , h ivyo watu hao wangepaswa kuhukumiwa katika mahakama za Zanzibar na siyo Dar es Salaam.

Watuhumiwa hao waliokamatwa miezi miwili iliyopita kutokana na tuhuma za ugaidi ni Nassor Hamad Abdallah, Mohammed Ishaq Yussuf, Said Kassim Ali, Hassan Bakari Suleiman, Rashid Ali Nyange, Antar Humoud, Khamis Salum Amour na Salum Ali Salum.

Katiba ya ZanzibarInatoka Uk. 2ni kuidhali l isha Katiba ya Zanzibar.

Wakat i huo huo, habar i zilizotufikia tukienda mitamboni zimefahamisha kuwa Mahakama Kuu Zanzibar imelitupia mbali ombi la watuhumiwa wa ugaidi kutoka Zanzibar kwa maelezo kuwa limepitwa na wakati.

Akitoa uamuzi kuhusiana na ombi la watuhumiwa hao, Jaji wa Mahakama Kuu Zanzibar, Mkusa Isac Sepetu amesema mahakama yake haiwezi kuingilia uhuru wa mahakama za Tanzania Bara na haiwezi kuvunja Katiba ya Tanzania.

Katika ufafanuzi wake amesema kuwa kutokana na watu hao kutuhumiwa kwa kosa la ugaidi, Katiba ya Tanzania kifungu cha 28 sheria ya mwaka 2002 kinatoa fursa kosa la ugaidi kuhukumiwa pahala popote iwe Bara au Zanzibar.

Alisema, kwa kuwa watuhumiwa hao tayari wameshafikishwa katika mahakama ya Kisutu, Dar-es-Salaam, mahakama ya Zanzibar haiwezi kuingilia uhuru wa mahakama hiyo.

N a k wa m b a , wa o m b a j i w a n a p a s w a m a o m b i y a o kuwas i l i sha mahakama za Tanzania Bara kwani mahakama ya Zanzibar haina mamlaka ya kuchukuwa hatua kwa kuwa watuhumiwa hao wapo rumande.

Akizungumza na waandishi wa habari, wakili wa walalamikaji, Abdallah Juma alisema hajaridhika na uwamuzi wa mahakama hiyo na watashauriana na wateja wao ili kuamuwa nini watafanya.

Page 4: ANNUUR 1140

4 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014Habari

Maalim Seif ahimiza wana CUF kuwa na vitambuilisho vya kuraNa Mwandishi Maalum

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema jambo muhimu litakalo zingatiwa na Zanzibar wakati itakapoanza shughuli za utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi asilia ni kuona zinanufaisha wananchi na haziwi chanzo cha uharibifu wa mazingira.

Maalim Seif alisema hayo mwishoni mwa wiki iliyopita ofisini kwake Migombani mjini Zanzibar, wakati alipokuwa na mazungumzo na Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Bw. Jaap Frederiks.

Al i sema kuwa anaamini kikwazo cha Kikatiba ambacho kinazuia shughuli za utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi asilia kwa upande wa Zanzibar, kitapatiwa ufumbuzi muda si mrefu ujao na baadaye Zanzibar itaanza kukaribisha wawekezaji mbalimbali kufanya shughuli hizo.

Makamu huyo wa Kwanza wa Rais Z’bar, alimweleza Balozi huyo kuwa tayari Zanzibar imeshaamua mafuta na gesi asilia yaondolewe katika orodha ya mambo ya Muungano, hivyo kinachosubiriwa hivi sasa ni kukamilishwa taratibu za kisheria ambazo anaamini zinaweza kukamilishwa katika muda sio mrefu.

Hata hivyo Maalim Seif , alisema suala la uwezo na uzoefu litapewa umuhimu wa kipekee kwa kampuni zitakazo karibishwa kuwekeza katika sekta hiyo, ili kuhakikisha inakuwa sekta yenye mafanikio makubwa itakayoweza kuwasaidia ipasavyo, wananchi wa Zanzibar katika kuondokana na hali za umasikini na sio kusababisha majanga ya kimazingira.

Maalim Seif alimwambia Balozi huyo kuwa, Serikali ya Zanzibar

Vikwazo vya kutafuta mafuta Z’bar kupatiwa ufumbuziNa Mwandishi Maalum

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Jaap Frediriks, walipokutana ofisini kwake Migombani mjini Zanzibar. (Picha na Salmin Said).

imejipanga vizuri kuhakikisha neema hiyo ya mafuta na gesi asilia haiwi chanzo cha uharibifu wa mazingira na asili ya Zanzibar, ambayo ina mandhari ya kuvutia katika maeneo ya baharini na nchi kavu.

Akizungumzia maendeleo ya mchakato wa utafutaji Katiba Mpya, Maalim Seif alisema kutokana na hali iliyojitokeza hivi sasa, suala la maridhiano baina ya pande zinazotafautiana ndilo pekee litakalowezesha kupatikana Katiba iliyo bora.

“Mimi binafsi ni muumini wa maridhiano, kwenye maridhiano kati ya pande zinazozozana, hakuna kitu kisichowezekana”, alisisitiza Makamu huyo wa Kwanza wa Rais.

Katika mazungumzo hayo, Maalim Seif aliwakaribisha wa we k e z a j i v i t e g a u c h u m i kutoka Uholanzi kuja kufungua miradi yao Zanzibar katika sekta mbalimbali, ikiwemo kilimo cha maua, Utalii na ufugaji, ambapo

nchi hiyo ina uzoefu mkubwa katika nyanja hiyo.

Alisema sekta hizo mbali na kuwanufaisha wawekezaji pamoja na nchi mbili hizo, lakini pia zitaweza kutoa fursa nyingi za ajira kwa wananchi, hasa vijana na kuwawezesha kumudu maisha yao.

Naye Balozi wa Uholanzi nchini, Jaap Frediriks, alisema nchi yake itaendelea kushirikiana na Zanzibar katika nyanja tafauti na kuendeleza miradi iliyokwisha anzishwa, ikiwemo matengenezo ya hospitali, utafiti wa bandari mpya, uhifadhi wa mazingira na uhifadhi wa asili ya Mji Mkongwe wa Zanzibar.

Balozi Frediriks alihimiza Zanzibar kuwa na uwakilishi katika mkutano mkubwa wa uwekezaji unaotarajiwa kufanyika nchini Uholanzi hivi karibuni, ili kuweza kujitangaza yenyewe kiuwekezaji hasa Utalii, sekta ambayo ina nafasi kubwa ya kuinua uchumi na maendeleo ya Zanzibar.

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, amewataka wanachama na wafuasi wa chama hicho kuanzisha mitandao ya kupeana taarifa, kuhamasishana na kusaidiana kutafuta vitambulisho vya kupigia kura kwa wasiokuwa navyo, kama hatua ya maandalizi kwa ajili ya ushindi kwa chama hicho katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Maalim Seif, alisema kuwa iwapo wanachama watahakikisha kila moja ameandikishwa kuwa mpiga kura, basi ushindi wa CUF utakuwa wa kishindo na hakuna atakayeweza kuwaibia kura au kuchezea matokeo

ya uchaguzi hapo mwakani.Alisema hayo wakati alipokuwa

akizungumza na wanachama wa Baraza la CUF la Msumbiji, lililopo Magogoni Wilaya ya Mgharibi Unguja.

Katibu Mkuu huyo alisema CUF kimezidi kukubalika miongoni mwa wananchi walio wengi Zanzibar na kwamba, kinachohitajika ni kuhakikisha wanachama na wote wanaokiunga mkono chama hicho, wanamiliki vitambulisho vya kupigia kura vitakavyo wawezesha kupiga kura mwakani.

“Kama CUF ni shamba, basi miti yake kila siku inazidi kunawiri, sina wasiwasi ushindi upo, kama 2010 tulishindwa kwa kura 3,000 kwa hesabu za Tume, tujipange

vizuri tupate ushindi mkubwa ambao hauwezi kuchezewa au kubadilishwa”, alihimiza.

Alisema utaratibu wa kuanzisha M a b a r a z a y a W a n a c h a m a unatoa mchango mkubwa katika kukiimarisha chama hicho na umekuwa ukikisaidia sana chama kueneza taarifa zake kwa wanachama kwa urahisi na kwa haraka, hivyo chama kitahakikisha unaendelezwa.

Aliongeza kuwa Mabaraza hayo ni njia moja wapo ya kuwawezesha wanachama kujuana na kusaidiana, ikiwemo katika suala la kupata vitambulisho vya ukaazi Zanzibar (ZAN ID), ambapo hadi sasa kuna idadi kubwa ya wanachama wakiwemo vijana, ambao hawana vitambulisho hivyo.

Maalim Seif, ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, aliwataka wanachama na wananchi wote wa Zanzibar wasidharau kutafuta vitambulisho vya ZAN ID kutokana na umuhimu wake katika maisha ya kila siku, licha ya kuwawezesha kupata haki zao za kupiga kura.

Naye, Naibu Katibu Mkuu CUF Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui, alisema chama kitapita kila Wilaya kuhamasisha wanachama wasiokuwa na ZAN ID kuvitafuta, ili viweze kuwasaidia katika shughuli zao za kijamii na kimaendeleo, pamoja na kuwawezesha kupata fursa za kuchagua viongozi.

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, ametoa wito kwa Jeshi la Polisi Zanzibar kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia maadili ya kazi na kuhakikisha askari hawafanyi kazi kwa misingi ya upendeleo, chuki, rushwa, wala ubaguzi wa aina yoyote.

Maalim Seif aliyasema hayo alipotembelea Makao Makuu wa Polisi Zanzibar Ziwani hivi karibuni na kuzungumza na Kamishna wa Polisi Zanzibar, Hamdan Makame, pamoja na maafisa wengine wa Jeshi hilo.

Makamu huyo wa Kwanza Rais alisema kuwa, kwa kiasi kikubwa Jeshi la Polisi Zanzibar limepata mafanikio m a k u b wa k a t i k a k u s i m a m i a majukumu yake, hasa ya kupunguza matendo ya uhalifu lakini wapo miongoni mwa askari hujihusisha na matendo yaliyo kinyume cha maadili yanayolitia doa jeshi hilo.

Alisema zipo taarifa kwamba baadhi ya maaf isa wa pol i s i wamekuwa wakivujisha taarifa na kuwapa watuhumiwa wa dawa za kulevya, pale jeshi hilo linapojiandaa kuwakamata na kuwafikisha mbele ya sheria.

Maalim Seif alisema tabia hiyo haina budi kukomeshwa kwa nguvu zote kwa sababu hudhorotesha mikakati ya kukomesha uingizwaji na biashara ya dawa za kulevya katika visiwa hivyo.

A l i s e m a d a wa z a k u l e v ya zinasababisha madhara makubwa kwa wananchi hasa vijana na Polisi wanatakiwa kuwa mstari wa mbele katika kudhibiti uingizwaji wake kwa kushirikiana na taasisi za Kitaifa na Kimataifa.

“Nasikia wakati fulani taarifa za uhalifu huvujishwa na maafisa wa Polisi. Kitengo cha Polisi cha Dawa za Kulevya lazima kiwe na watu waaminifu sana, Kamishna hili ni tatizo kubwa na lazima tulikomeshe”, alibainisha Maalim Seif.

Hata hivyo alilipongeza Jeshi hilo kwa juhudi kubwa linazozichukua kuwakamata watuhumiwa wa dawa za kulevya na kuwafikisha mbele ya sheria, lakini akasema bado juhudi zaidi zinahitajika kuwamata wafanyabiashara wakubwa ambao mara nyingi hawapatikani.

'Polisi msifanye kazi kwa chuki'

Na Mwandishi Wetu

Page 5: ANNUUR 1140

5 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014Habari

POLISI nchini Uingereza imemuhoji Mbunge maarufu nchini humo Bw. Goerge Galloway, kufuatia matamshi yake yaliyokosoa utawala wa Kizayuni wa Israel.

Hayo yamejiri Jumanne wiki hii baada ya Bw. Galloway kusema Agosti 2 kwamba, watalii, bidhaa, vipodozi na huduma za Israel hazitopokelewa katika mji wa kaskazini wa Bradford na kwamba mji huo ni 'eneo marufuku kwa Israel'.

Hasira za Mbunge huyo dhidi ya Israel zimetokana na mauaji yanayofanywa na jeshi la utawala huo huko Palestina katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa na Israel, ambapo Mbunge huyo wa Uingereza alitoa wito kwa wajumbe wa chama chake kususia bidhaa za Israel, huduma na hata wasomi wa utawala huo haramu.

K a t i k a k u j i b u t u h u m a hizo, msemaji wa Galloway

Idara Kuu ya Mawasiliano ya Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) imetangaza kuwa kikosi cha anga cha jeshi hilo kimeitungua ndege ya kijasusi ya utawala wa Kizayuni.

SEPAH ilitangaza mwishoni mwa wiki iliyopita kuwa, ndege

JUMATATU wiki hii serikali ya Marekani ilitoa zaidi ya tani 5,000 za dawa kwa vikosi vya Uganda vya Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM), kama sehemu ya msaada wake katika mpango wa kudumisha amani Somalia.

Akiongea na vyombo vya habari baada ya kupokea mzigo huo wa dawa huko Mogadishu, Kamanda wa AMISOM wa Sekta 1 na Kamanda wa Kikosi cha Uganda nchini Somalia, Brigedia Dick Olum, akisema dawa hizo zitatumika kuokoa maisha nchini Somalia na kupunguza taabu inayowakumba watu.

"Unachokiona nyuma yangu ni mchanganyiko wa dawa ambazo zimetolewa na washirika wa AMISOM kwa AMISOM na mshirika huyu maalumu ni serikali ya Marekani," alinukuliwa akisema Bw. Olum, mbele ya maboksi ya vifaa tiba.

Aliongeza kwamba vikosi vitatumia dawa kuwatibu raia katika maeneo yaliyochukuliwa kutoka kwa al-Shabaab.

Taarifa ya AMISOM kwa vyombo vya habari i l ieleza kuwa, kutokana na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe ya miaka mingi, sekta ya afya ya Somalia iko katika hali mbaya na Wasomali wengi wanaendelea kufa kwa magonjwa yanayozuilika, hasa kutokana na ukosefu wa huduma za afya zenye ubora na upataji wa huduma za afya.

Kamanda Olum, a l isema ilikuwa ni sehemu ya kawaida ya jitihada za kudumisha amani kwa AMISOM kuwatibu raia katika maeneo waliyoyakomboa na kwamba, matibabu ya bure kama hayo yamewezeshwa na mchango wa hivi karibuni wa Marekani.

Alisema AMISOM pia inatoa maji safi ya kunywa na inapanga kuanza kusaidia ukarabati wa barabara zilizoharibika ili kuboresha ufikiaji kwa raia.(sabahi online)

SHIRIKA la Msalaba Mwekundu Kenya (KRCS) limesimamisha shuguli zake katika kijiji cha Rhamu Kaunti ya Mandera baada ya magari yake mawili ya kubebea wagonjwa kushambuliwa katika mapigano yaliyoanza tena kati ya koo za Degodia na Garre, Capital FM ya Kenya iliripoti Jumatatu wiki hii.

Watu wenye silaha walivamia gari hilo la kubebea wagonjwa Jumapili

Polisi Uingereza wamhoji Galloway kuikosoa Israel

Bw. Goerge Galloway.

ameeleza kuwa, matamshi hayo ni ya kimantiki na kwamba, yametolewa kutokana na mauaji yanayofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza.

Wengi wametafsir i kuwa maneno aliyoyatoa Bw. Galloway,

ni kurejea msimamo wa aliyekuwa Rais wa Iran Dkt. Mahmoud Ahmednejad, ambaye aliutangazia uliushawishi ulimwengu kususa bidhaa za Israel kutokana na mauaji yake dhidi ya raia waso na hatia wa Palestina. (irib.ir)

Iran yatungua ndege ya kijasusi ya Israelmoja ya kijasusi isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni ilipigwa na kombora na kutunguliwa baada ya kugunduliwa na kikosi cha anga cha jeshi la walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.

K wa m u j i b u wa t a a r i f a hiyo, ndege hiyo ya kijasusi iliyotunguliwa ilikuwa ni aina ya

ndege zenye uwezo wa kujificha na kukwepa kuonekana na rada na ilikuwa imekusudia kujipenyeza katika anga ya eneo la kituo cha nyuklia cha Natanz, kilichoko katikati mwa Iran.

Hata hivyo ndege hiyo ya ujasusi ya utawala wa Kizayuni ilitunguliwa kabla ya kulifikia eneo hilo baada ya kulengwa na kombora kutoka nchi kavu, hali inayoelezwa kuwa ni matokeo ya umakini wa kitengo cha makombora ya kutungulia ndege cha jeshi la SEPAH.

Taarifa ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran imeongeza kuwa, hatua hiyo ya imedhihirisha kwa mara nyingine tena, halisi wa wa utawala wa Kizayuni kupenda uchokozi na kuongeza kuwa, hiyo ni kumbukumbu nyingine katika faili jeusi la jinai za utawala huo.

Hata hivyo serikali ya Israel mpaka sasa haijaeleza lolote kuhusiana tukio hilo. (irib.iri). Mabaki ya ndege ya kijasusi ya Israel iliyoangushwa Iran hivi karibuni.

Marekani yamwaga tani 5,000 za dawa AMISOM

Msalaba Mwekundu lasimamisha shughuli Mandera usiku, wakampiga risasi mmoja kati ya wahudumu wake mguuni lakini mhudumu wa pili hakudhurika na wote walibakia porini hadi polisi walipowaokoa Jumatatu asubuhi.

Gari la pili la kubebea wagonjwa lililokuwa likitokea katika kaunti ya jirani, halikufanya kazi Jumatatu mchana baada ya magurudumu yake matatu kupata pancha kutokana na misumari iliyokuwa imechomekwa

barabarani. Katibu Mkuu wa KRCS Abbas

Gullet alisema taasisi yake haitarejea kazini huko Rhamu hadi vikosi vya usalama vya Kenya vitakapohakikisha usalama kwa wafanyakazi wake.

"Siwezi, sitaweza na sitahatarisha maisha ya wanaume na wanawake ambao ni wafanyakazi wa KRCS. Jumatatu lilikuwa ni onyo; mchana huu ni onyo la pili. msisubiri risasi

za tatu kupigwa kwenu ili mtambue tuna tatizo hapa." alisema Gullet katika mkutano na vyombo vya habari huko Nairobi.

Takriban watu watatu wameuawa tangu vurugu za koo zilipozuka mwishoni mwa wiki, kwa mujibu wa KRCS, ijapokuwa wakazi wanaeleza kwamba watu wengi kama 20 hivi wamekufa, kwa mujibu wa gazeti la Daily Nation la Kenya.

Page 6: ANNUUR 1140

6 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014Barua

Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, Ra i s wa Jamhur i ya Muungano wa Tanzania, Dar es salaam.

K U H U S U : M A D A I Y A K U T E S W A M A H A B U S U W A N A O T U H U M I W A KWA MAKOSA YA UGAIDI

Ndugu Rais,N i s a m e h e s a n a

nakuandikia barua ya wazi, lakini mimi raia wako sijui njia nyepesi ya kuweza kukufikishia waraka huu, maana sizijui taratibu zilizotandikwa na za wazi za kufanya hivyo.

M h e s h i m i wa R a i s , waraka huu unahusu m a d a i a m b a y o w i k i mbili hizi yamekuwa ya k i a n d i k wa k a t i k a v y o m b o v ya h a b a r i kuhusiana na watu kadhaa ambao wako mahabusu kukabili makosa ya ugaidi.

Mimi ni katika raia wako wanaopenda mfumo wa sheria ufanye kazi, na ndio maana barua hii si kulalamikia kushitakiwa k w a w a t u k a d h a a

Barua ya wazi kwa Rais Kikwete

“ M H E S H I M I W A tunalazimishwa kutoa maelezo wanayoyataka wa o , wa n a t u i n g i l i a kinyume cha maumbile, wanaingiza majiti, chupa, w e n g i n e w a n a v u j a nyuma, kama unaweza hakimu twende faragha nikakuonyeshe”

“Askari ameni... kisha akaniingiza jiti mpaka likakatika, kungekuwa na sehemu ningekuonyesha, J e s h i l a P o l i s i l a kwanza kuvunja sheria, wa l i o f a n ya m a d h i l a haya wanawatukanisha Watanganyika na kufanya waonekane wabaya.”

Assalaam Alaykum, mpenzi msomaji. Nadhani nilichokiweka si matusi n a w a l a s i k u p a s w a kupunguza ukali wa neno hata moja nami sijafanya hivyo, kwani kufanya h i v y o k u n g e p o t e z a

Inaendelea Uk. 7

wakiwemo wengi kutoka Zanzibar kwa makosa ya kigaidi.

Vitendo vya kigaidi havikubal ik i na kwa hakika havichagui wala havibagui na yeyote m w e n y e k u v i f a n y a , kuviendeleza au kusaidia ni lazima akabili sheria.

Mheshimiwa Rais, najua una wajibu wa kulinda usalama wa nchi ikiwa ni pamoja na raia na mali zao na kwa hivyo wewe ndie muangalizi mkuu wa sheria za nchi na kuona haki inapatikana kwa kila raia.

Lakini katika kusimamia huko kila mtu atashitakiwa na kukabili kesi yake kwa kiwango cha juu cha heshima na pia kupewa haki ya kuyajua na kujitetea kwa mashitaka ambayo atakuwa anakabiliana nayo.

Nchi yetu ina vyombo kadhaa vya usimamizi wa haki kama ambavyo kuna vyombo kadhaa vya ulinzi wa haki zetu na vyote kwa RAIS Jakaya Mrisho Kikwete.

mujibu wa Katiba yetu viko chini yako wewe.

M h e s h i m i wa R a i s , naamini sina haja ya kunukuu vifungu vya haki za binaadamu ambavyo v i n a m p a m f u n g w a haki hizo na hata kama itathibitika kosa lake, bado chini ya Katiba yetu mfungwa hapaswi kufanyishwa kazi za kutwezwa na za kitumwa.

Naamini kabisa unajua kuwa kumekuwa kuna madai ambayo yametoka kwenye vyombo vya habari yanayowahusu washitakiwa katika kesi ya ugaidi ambayo ipo Mahakamani mjini Dar es Salaam hivi sasa.

Wa s h i t a k i w a h a o wamesema Mahakamani kuwa wanateswa kwa njia ya kupigwa, wanafanyiwa vitendo vya kinyama kama vile kutiwa chupa na majiti sehemu zao za siri. Pia wamedai kuwa hawapati matibabu.

K w a k u w a m a d a i

Mh. Rais Shein:Wanayofanyiwa raia wako ni zaidi ya unyama, ushenzi

Kumbuka we ni mchunga na utaulizwa…maana ya kile ambacho b i n a a d a m u we n z e t u wanatendewa.

Ikiwa umelipitia gazeti la Mtanzania la Ijumaa, Agosti 22, 2014, basi utakutana na habari yenye anuani: “Watuhumiwa wa Ugaidi wachafua hali ya hewa kortini.”

Ndani ya habari hiyo ndio utakuta mengi ya kuhuzunisha na kuumiza na baadhi yao ndio hayo niliyoyanukuu katika aya ya mwanzo na ya pili.

N i m a l a l a m i k o ya mshitakiwa wa 12 Salim Ali Salim, akiwa naye ni mtuhumiwa wa ugaidi a k i l a l a m i k a k a t i k a mahakama ya hakimu mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Hellen Riwa juu ya kutendewa uovu na Jeshi La Polisi.

Kuna mambo ya msingi tuwe tunayasema ikiwa ni njia moja wapo ya

kulainisha nyoyo za hawa wanaowatendea uovu wanaume wenziwao. Napenda sana kusema kuwa, ukitaka kumfanyia mtu uovu, hebu jiulize m i m i n i k i f a n y i w a nitaridhika? Ama Mama yangu na Dada yangu na Baba yangu akifanyiwa kama hiv i , j ee mimi nitakuwa radhi?

Baba wa mtu, Kaka wa mtu, unamfanyia unyama. Sababu una uwezo wa kufanya hayo, s i taki kuamini kuwa sheria inawaruhusu kuyatenda hayo wayatendayo. Ila wanajiona na nguvu kwa viumbe wenziwao ndio wanaamua kufanya.

Si suali dogo endapo mwenye akili ataliweka k i c h w a n i k i s h a akalizingatia pia ni kipimo kizuri cha kumtendea

RAIS wa SMZ, Ali Mohamed Shein. Inaendelea Uk. 7

Page 7: ANNUUR 1140

7 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014Barua

Barua ya wazi kwa Rais KikweteInatoka Uk. 6hayo yametolewa Mahakamani, niruhusu Mheshimiwa niseme k wa m b a h a ya we z i k a b i s a kupuuzwa na itakuwa ni kosa kubwa kwako kuyapuuza.

Ingekuwa vitendo hivyo ni sehemu ya mfumo wa upatikanaji haki, nisingekuwa na sababu ya kuandika barua hii, lakini kwa sababu vitendo hivyo ni uvunjaji wa haki ya watu waliozuliwa na pia ni uvunjaji mkubwa wa haki za binaadamu, ndio imenilazimu kukuandikia.

Wananchi wako na dunia nzima wanafuatilia juu ya kesi hii. Na habari tunazopata ni hizo za maafisa wetu wa kutulinda kujihusisha na matendo kama hayo kwa watu ambao wana heshima kubwa katika jamii. Haya tumekuwa tukiyasikia kwengine lakini sasa yapo kwetu.

L e o wa p o M a h a k a m a n i wanakabili shitaka na kesho wanaweza kuwa wapo nje kwa kutoonekana hawana kosa, jee, heshima yao kwa kudaiwa kufanyiwa vitendo kama hivyo itakuwa wapi mbele ya macho ya umma?

Lakini mfumo wetu wa sheria Mheshimiwa Rais unaelekea kufikia kiasi cha kuzama kama

hivyo? Hivi inastahili kufanyiana kama hivyo?

Nchi yako Mheshimiwa Rais ni mwanachama wa jumuia zote za kusimamia haki za binaadamu baada ya kutia saini na kuridhia mikataba yote katika eneo hilo. Jee, huku ndio kutimiza wajibu wetu? Huku ndio kujenga imani kuwa haki za binaadamu na haki za wafungwa zinalindwa?

Kwa fikra zangu Mheshimiwa Rais, hili si neno la kupuuzwa. Haya yamelalamikiwa hadharani na washitakiwa lakini wasaidizi wako wote hawajatoa kauli yoyote ile. Si Mkuu wa Polisi, si Mkuu wa Idara ya Usalama, si Mkuu wa Idara ya Magereza.

Pia wasaidizi wako Waziri wa Katiba na Sheria, Mwanasheri Mkuu, Muendesha Mashitaka, walipaswa kutoa kauli juu ya kinachoendelea katika magereza dhidi ya washi takiwa hao kwa kuwa kimelalamikiwa Mahakamani na kwa hivyo kipo hadharani na mbele ya macho ya umma.

Kwa kuwa madai ya kuteswa

na kudhalilishwa ni makubwa, ni ushauri wangu Mheshimiwa Rais kuona kuwa unachukua hatua ya kuchunguzwa matendo hayo halan, yaani kwa Kiswahili cha kwetu n i kwa haraka inavyowezekana.

Naamini utakuwa na njia zako za kuchukua kwa kufanyiwa uchunguzi na kuchukuliwa hatua, ila, la kwangu lilikuwa ni kukuarifu kama ulikuwa hujui, kukuzindua kama ilikuwa umeghafilika na kubwa zaidi ni kulisema ili kesho na kesho kutwa iwe angalau sauti moja ilinyanyuka kueleza juu ya madhila hayo.

Khofu yangu jambo hi l i l isipochukuliwa hatua kwa kuchunguzwa na wahusika kuadhibiwa, ina maana itakuwa tunalilea, na mbali ya kukosa heshima kwa macho ya kimataifa, basi pia itakuwa ni dua kubwa kwa Serikali.

Naomba tena unisamehe Rais wangu lakini roho yangu haingeweza kabisa kulistahamilia hili. Kama ilivyotokea huko Urusi ya Kikomunisti kulikozuka msemo kuwa usipolisema la mwenzio hakutakuwa na wa kukusemea likufikapo wewe. A l l y S a l e h Zanzibar

SHEIKH Farid Hadd.

Wanayofanyiwa raia wako ni zaidi ya unyama, ushenziInatoka Uk. 6wema au uovu binaadamu mwenzako. Nikifanyiwa mimi? Mama, Kaka, Dada itaumizaje? Ikiwa ni wenye kufikiri!

Nilipokuwa naisoma habari hii, ukweli nimeumia sana sana. Munaingizana chupa na majiti sehemu za siri? Kwa lipi hata umfanyie binaadamu mwenzako yote hayo? Ukweli inasikitisha lakini kuna siku kila mchunga ataulizwa juu ya alichokichunga.

Wakongwe wa hii tasnia ya habari, walishawahi kuuliza;Wako wapi watesa na wateswaji? Jeuri ya binaadamu ni hii Oxygen kutoka kwenye miti, ambayo Mungu kaiweka huru kwa wababe na wanyonge, ila siku Oxygen ikikatishwa kwako, hapo ndio utaelewa. Ubora na ubaya wa uliyoyatenda. Unapomsikia mtu mzima anaomba daktari wa kungalia afya yake, au akakubali kuangaliwa jinsi alivyoharibiwa na mwanaume mwenzake. Hii inatoa tafsiri ya kuwa huyu mtu kafikwa na yaliyomfika si madogo, ni makubwa mno.

Wakati napit ia maoni ya wasomaji wa taarifa hii kupitia mitandao ya kijamiii, wengi wao walionekana kukata tamaa na kushindwa hata kutoa maoni nini kifanyike. Ila walichokuwa wakikisema zaidi ni kumuachia Mungu, yaani wanaonekana dhaahiri wamekosa la kufanya, ila mmoja wao aliandika hivi:

“Haya ni makosa ya viongozi

wa Zanzibar. Wanawadhalilisha watu wasio na hatia yoyote. Kama kweli Zanzibar ni nchi ina Rais ina Mwanasheria Mkuu ina Mkurugenzi wa Mashitaka na Mahakama zake, inakuwaje aje kuchukuliwa mwananchi kupelekwa nchi ya pili na huku kuna amri ya Mahakama kuwa asitoke nje ya Zanzibar bila ruhusa ya Mahakama, leo anachukuliwa kwa kisingizio cha Muungano, ipo wapi hadhi ya Mahakama Kuu ya Zanzibar?”

Nirudie kusema kuwa kila mtu ni mchunga na ataulizwa kwa alichokichunga. Ni ukweli usiopingika kuwa Rais Shein umejitwika majukumu ya kuwa mchunga wa Wazanzibari wooote, hili halipingiki na hata ukikataa ndio litabaki hivyo.

Wa t u wa k o u m e r u h u s u waondoshwe nchini mwako, sasa wanafanyiwa idhilali kama hiyo ya kuingiliwa na wanaume wenzi wao! Mambo mengine yaonekana mepesi katika dunia hii, lakini majibu yake kwa Allah hapo kesho yatakuwa mazito. Nini tutajibu kwa kuruhusu uovu kama huu wa makhabithi wa Kaumu Lut kufanyiwa binadamu wenzetu, halafu unafanywa na baadhi ya watumishi wa vyombo rasmi vya serikali?

Tukumbuke , k i la mmoja wetu ni mchunga na ataulizwa kwa al ichokichunga. Kama tumelisahau hili tukumbushane.

Mimi nipo kuwakumbusha akhera zaidi kwani kule ndio

kuzito na maandalizi mazuri ya kule huwa yapo hapa duniani.

Msikilize Sheikh Faridi kwa huzuni kubwa, anasema:

“Mheshimiwa wametuomba kwenda kutuhoji tena, mara ya kwanza tulipohojiwa, polisi hawakutumia ustaarabu wala ubinadamu, ni ushenzi na ukatili, walituhoji uchi wa mnyama na kutupiga. Watu wameumizwa vibaya, mengine hayasemeki, wanajisaidia haja ndogo damu wiki moja hadi mbili, tunaomba tufanyiwe uchunguzi wa afya zetu, ipo siku mahakamani italetwa maiti”

Hata wakiwa na tuhuma za Ugaidi, lakini si haki kufanyiwa

hayo. Ni kukiuka haki zao na wala mtu hahojiwi kwa njia hizo. Wala ukweli hautafutwi kwa kuvunja haki zao. Haki zao ziko wapi? Ndio watu wanavyohojiwa hivi? Hizi ndio faida za Muungano ee!!

Watu wanachukul iwa tu kinyemele nyemela, kisha mambo wanayoenda kufanyiwa hata hayasemeki. Serekali yetu ipo, imekaa tu ndio Muungano huo?

Siku zote sisi tutafanya uwezo wetu na tutakapo shindwa basi tutamuachia mwenyewe Allah (SWT).

Na Rashid Abdallah, Zanzibar

Markaz Arrahman Islamic Centre pamoja na Ibn Kathir Masjid Irshard Mtaa wa Morogoro na Pangani DSM.

Inawatangazia Waislamu kuwa itaanza kutoa masomo ya Dini kwa wanafunzi wenye upeo wa kusoma na kuandika lugha ya Kiarabu, kufika kujiendeleza kimasomo kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah.

Markaz itachukua wanafunzi wa kutwa na kulala. Usaili utaanza tarehe 30-30 Agosti, 2014 na tarehe 6-7, Septemba, 2014 saa 2 asubuhi.

Kwa mawasiliano zaidi piga:0715 526053

MUDIR

MASOMO YA DINI

Page 8: ANNUUR 1140

8 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014Makala

Na Omar Msangi

Wasomali kujitawala wenyewe bila kuingiliwa na watu wa nje, lakini kwa sasa maadui wa Somalia na kwakweli maadui wa wapinzani wote wa ubeberu, wamebadili mambo kupitia propaganda na ugaidi wa kupanga. Hivi sasa al-Shabab, wanaonekana kuwa magaidi hatari kwa Afrika na

Al Shabab ibadili mbinuZama na mambo yamebadilika sanaMwelekeo wa zamani kwa sasa ni...Maafa kwa Waislam Somalia, Afrika

WIKI hii wakuu wa Polisi kutoka nchi kadhaa za Afrika walikuwa na kikao chao Mombasa, Kenya kujadili namna ya kushir ikiana kukabi l iana na ugaidi , madawa ya kulevya na ujangili.

Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Jeshi la Polisi Kenya, (IGP), David Kimaiyo, mkutano huo wa siku tano ambao ulikuwa uanze Jumatatu, unawakutanisha makamanda wa polisi pamoja na wakuu wa vitengo vya upelelezi kujadili namna ya kushirikiana na kubadilishana taarifa za kiintelijesia juu ya uhalifu na namna ya kukabiliana nao.

U k i a n d a l i wa c h i n i ya East African Police Chiefs A s s o c i a t i o n , n a a m b a o h u f a n y i k a k i l a m wa k a , mkutano huo kwa mwaka huu ulitarajiwa kuhudhuriwa na nchi za Burundi, Djibouti, Ethiopia, Rwanda, Somalia, Sudan, Uganda, Comoros, Eritrea, Seychelles, South Sudan na Tanzania.

Unapotajwa ugaidi kwa eneo hili, kinachokusudiwa ni al-Shabab na mifano inayotolewa ni mashambulizi ya hivi karibuni mjini Mombasa likiwemo lile baya kabisa la Mpeketoni, Julai mwaka huu ambapo takribani watu 95 waliuliwa na wengi kujeruhiwa.

Linatajwa pia lile tukio la

Septemba mwaka jana ambapo ilidaiwa kuwa magaidi kutoka Somalia wakiwa na bunduki aina ya AK-47 na mabomu (grenades) walivamia Westgate Shopping Mall, Nairobi na kuuwa watu 67.

Wakati tukikubaliana kuwa awali al-Shabab ilianza kama kundi la kupigania haki ya

kutumiwa kama ‘kifimbocheza’ cha kuleta machafuko Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika. Kama wachambuzi wengi wa mambo wanavyosema, hiyo hufanywa makusudi kujenga mazingira, sababu na mlango wa AFRICOM kuingia na kusambaza makucha yake katika eneo hili.

K a m a n i l i v y o t a n g u l i a kusema, ni kweli al-Shabab waliibuka kama wapiganaji dhidi ya wavamizi Ethiopia w a l i o t u m i k a k u i n g ’ o a madarakani serikali ya Umoja wa Mahakama za Kiislamu na walikuwa na haki hiyo. Baada ya wavamizi Ethiopia kuondoka, hivi sasa al-Shabab inapambana na jeshi la serikali. Kwa hiyo hapa ni vita ya Wasomali kwa Wasomali. Kwa upande mwingine, serikali ya Somalia, ambayo unaweza kuiita kuwa ni kibaraka wa mabeberu, inasaidiwa na AMISOM ikijumuisha askari kutoka Kenya, Burundi , Uganda n.k. Kwa upande mwingine, Marekani nao wamo wakivurumisha makombora kutoka katika drones zao. Mamia kwa maelfu ya raia wasio na hatia wamekuwa wa k i u l i wa k u t o k a n a n a mashambulizi haya ya drone.

U k i a c h a h a y o , k u n a vita baina ya al Shabab na makundi mengine ya Kiislamu kama Hizbu Islam na Ahlu Sunnah Wal Jamaa. Vyovyote

WANAWAKE Somalia wakiuza Mirungi.

ILIKUWA ni mwaka wa 6 baada ya Hijrah, Mtume (s.a.w) na mswahaba wake walitoka Madina kwenda Makkah kufanya ibada ya Umra. Mtume (s.a.w) alipofika katika kijiji cha Dhi Hulaifa, alituma mjumbe akatafiti hali ikoje Makkah akurudi na taarifa kuwa makafiri wamekusanya jeshi kubwa kukabiliana na Waislamu watakaothubutu kuingia Makkah. Pamoja na taarifa hizo, Waislamu wa l i s o n g a m b e l e h a d i Hudaibiyah ambapo makafiri walituma wajumbe kukutana na Waislamu.

Baada ya mazungumzo ya muda mrefu na makafiri kushikilia msimamo wao kuwa hawatawaruhusu Waislamu kuingia Makkah, ilifikia hatua ya kuwekeana mkataba. Suhail Ibn Amr akawa mwakilishi wa makafiri katika kujadili vifungu vya mkataba na Waislamu. Kwa upande wa Waislamu, Mtume (s.a.w) akamchagua Sayidina Ali kutayarisha m u s w a d a w a m k a t a b a ambapo alianza kuandika kwa

Al-Shabab na Mkataba wa Hudaibiyah SomaliaBismillahir Rahmanir Rahiim. Hata hivyo, Suhail akapinga kuandika Rahmaan, akisema kuwa wao hawamtambui huyo Rahmani, iandikwe ‘Bismika Allahumma’, kama ilivyokuwa kawaida ya Makafir i wa Makkah.

Ilipofika mahali pa kuandikwa kuwa huu ni mkataba baina ya Makuraishi wa Makkah na Mtume Muhammad (s.a.w) Suhail alikataa tena akisema kuwa wao hawamtambui Muhammad kuwa ni Mtume wa Mungu. Kwa hiyo iandikwe Muhammad Ibn Abdullah. Japo Ali aliambiwa na Mtume afute, lakini aliona ugumu na kigugumizi kufuta Rasullullah, akaona ni kama anamkataa Mtume. Hata hivyo Mtume akafuta.

Mambo ya msingi katika

mkataba huo ilikuwa kuwa Waislamu warudi Madina bila kufanya Umra mpaka mwakani na wakati huo wakija wasibebe silaha. Ila kuanzia wakati huo pawe na amani baina yao. Na kwamba akisilimu Mtu Makkah na akataka kutoroka kukimbilia Madina arejeshwe, ila Muislamu atakuwa huru kuingia Makkah kama ataritadi na kutaka kurudi Makkah.

Muda mfupi tu baada ya kukubaliana vifungu vya mkataba huo, akaja Muislamu aliyekuwa akiteswa Makkah akitaka hifadhi na nusra kwa Waislamu wenzake. Alijaa makovu na vidonda vibichi vya kuteswa baada ya kusilimu h u k u a k i w a k a f u n g w a minyororo. Huyu alikuwa Abu Jandal mtoto wa Suhal. Mtume akamwambia arudi huko huko

Makkah kwa makafiri kutokana na kipengele cha mkataba walichokwisha kubaliana. Wa i s l a m u h a wa k u e l e wa kabisa alichokuwa akifanya Mtume Muhammad (s.a.w). Muislamu anarejeshwaje kwa makafiri akaendelee kuteswa? Kwa upande wa Abu Jandal naye alikuwa akipaza sauti na kilio kwamba atarejeshwaje kwa makafiri na washirikina akaendelee kuteswa wakati ashaf ika mikononi mwa Waislamu wenzake, tena mbele ya Mtume wa Allah!

H a t a h i v y o M t u m e alimtaka arejee kwa kuwa walishakamilisha mkataba ambao ni muhimu kwa ajili ya kupatikana amani baina ya Waislamu na Makafiri. Alimfariji kuwa awe na subra, Mungu atampa namna nyingne ya kusalimika na atapata jaza iliyo bora.

Pamoja na vipengele vingine, lakini kipengele muhimu kabisa kwa Waislamu kilichofanya Mtume asijali kutajwa jina la Mungu katika ukamilifu

Inaendelea Uk. 9

Inaendelea Uk. 9

Page 9: ANNUUR 1140

9 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014Makala

Inatoka Uk. 8 Al Shabab ibadili mbinuutakavyoyaita makundi haya, hata kama utasema kuwa watu walio sahihi pekee ni al-Shabab, na wengine hawa ni wanafiki, bado vita yao itakuwa ni ya kupigana Wasomali kwa Wasomali/ Waislamu kwa Waislamu na wanaoangamia ni watoto wa Kisomali, watoto wa Kiislamu. Wanaokufa kwa risasi na kwa njaa, sio watoto na wanawake wa Kenya wala Uganda. Hii ni namna moja jinsi hesabu zilivyobadilika Somalia baada ya Ethiopia kuondoka.

S e r i k a l i n a A M I S O M wanapewa silaha na kusaidiwa kifedha na Marekani/NATO. Rasmi al-Shabab hawapewi silaha na serikali yoyote duniani, wala hawaruhusiwi kupelekewa silaha. Swali ni je, hadi sasa wanapata wapi silaha? Ni wazi kuwa itakuwa inapata silaha kwa siri kutoka katika nchi hizo hizo za Marekani/NATO. Ni mwaka juzi tu ambapo baadhi ya makamanda wa AMISOM waling’olewa katika nafasi zao baada ya kuvuja habari kuwa walikuwa wakiwauzia al Shabab silaha.

K a m a n d a wa j e s h i l a Somalia, Gen Dahir Aden Elmi “Indhaqarshe”, alinukuliwa mapema Februari mwaka huu

WANAWAKE Somalia wakila mirungi.akihoji, al Shabab wanapata wapi silaha?

“Al Shabab does not face any arms shortage. Al Shabab does not get arms from the sky.”

Wanazipata wapi? Gen Indhaqarshe aliuliza akiongea na redio moja ya Somalia. Kwamba inakuwaje al-Shabab hawaishiwi na silaha?

Kabla ya kuja na nadharia

ya Kadar, uwezo na msaada wa Mwenyezi Mungu kwa ‘Mujahidina’ hawa, ni vyema kutizama kwanza yale yaliyo wazi kibinadamu.

Ilikuwa ni katika kipindi hicho hicho alipolalamika general i , “Indhaqarshe”, kundi la kufuatilia mambo katika Somalia la Umoja wa Mataifa , UN Monitoring

Group, iliwasilisha taarifa yake katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (United Nations Security Council) iliyoeleza kuwa nyingi ya silaha zilizokusudiwa kupelekewa serikali ya Somalia na AMISOM, zilikuwa zikipelekwa pia kwa al Shabab.

Taarifa kama hizi lazima ikupelekee kudhani kuwa kuna mchezo wanachezewa Wa s o m a l i / Wa i s l a m u wa Somalia. Wanapewa silaha waendelee kuuwana wenyewe k wa we n ye we . H a k u n a anayeruhusiwa kushinda. Iliwachukua muda mfupi sana al –Shabab kuwang’oa Ethiopia, lakini kwa ‘Jihad’ hii ya kuuwana wenyewe kwa wenyewe, hakuna dalili za kupatikana mshindi kati ya serikali na al Shabab. Hii ni namna ya pili inayoonyesha hali ilivyobadilika toka vita baina ya al Shabab na wavamizi Ethiopia na sasa Wasomali kwa Wasomali.

Kwa upande mwingine, al Shabab badala ya kubaki kuwa ni Mujahidina wa kupigania Somalia yao, wamebatizwa na kuitwa magaidi wa Afrika. Propaganda imepigwa mpaka sasa tunaambiwa kuwa al Shabab ni tishio kwa Tanzania, Kenya, Uganda na Afrika ya

Inaendelea Uk. 10

Al-Shabab na Mkataba wa Hudaibiyah Somalia

Inatoka Uk. 8wake au yeye kutajwa kuwa ni Muhammad bin Abdullah badala ya Rasululaah, ni kile kinachosema kuwa kutakuwa na amani kwa miaka 10 ambapo ndani ya miaka hiyo 10, asitoke Muislamu au kafiri kumshikia mwenzake silaha.

Mkataba wa Hudaibiyah unatajwa katika Qur’an na kufafanuliwa na wafasiri wengi kuwa ulikuwa ushindi mkubwa kwa Waislamu. Na faida yenyewe ni kule kupatikana kwa amani Waislamu wakapata fursa ya kwenda huku na huko kufanya Da’wah kuwaita watu katika Uislamu, kiasi kwamba baada ya mwaka mmoja tu, badala ya wale Waislamu 1400 waliokuwa katika Hudaibiyah, Mtume (s.a.w) aliingia Makkah na ‘jeshi’ (Mahujaji) 10,000 na kuiteka Makkah bila ya kumwaga tone la damu.

Laiti Waislamu wangekomaa n a m s i m a m o m k a l i wa kutaka Jina la Allah lisifutwe au wakang’ang’ania kuwa lazima Mtume atajwe kuwa ni Rasullullah, hapana shaka amani iliyowapa fursa ya kufanya da’wah isingekuwepo na wasingeweza kufikisha

ujumbe wa Uislamu kwa wale ambao ulikuwa haujawafikia.

U k i a c h a v i t a vilivyosababishwa na makafiri, Somalia kuna tatizo la kiitikadi. Wapo Salafi al Shabab, ambao walipoanza tu harakati zao kabla hata ya vita, walianza kwa kuvunja makaburi na kuwashambulia Waislamu wengine wa Twariqa (Kadiria na wengine). Na hawa ndio hufanya sehemu kubwa ya jamii ya Wasomali. Bila kuwa na amani, hakuna namna ya kufanya Da’wah ujumbe sahihi ukawafikia Waislamu wa Somalia wakiwemo hawa Ahlu Sunnah Wal Jamaa, ambao unaweza kudai kuwa hawana mtizamo sahihi. Bila amani, kama ile aliyoitafuta Mtume, kuwa pawepo amani baina ya makafiri na Waislamu Makkah na Madinah, huna namna ya kuwapa Da’wah akinamama wa Kisomali, ambao kimavazi ni Waislamu jina na hijabu zao,

lakini wanakula na kuuza miraa (mirungi). Kila kukicha akina mama wa Kiislamu na akina baba wapo mbio wakikimbia vita, huo muda wa kupata elimu ya kuujua Uislamu sahihi wataupata wapi?

K a m a M t u m e ( s . a . w ) a l ikuba l i v ipenge le vya kudhalilisha katika mkataba wa Hudaibiyah ili ipatikane amani baina yake na Makafiri, kipi kinashindikana leo kuleta amani Somalia ili kuwapa nafuu akina mama na watoto wa Somalia kutokana na machafuko ambayo yamedumu kwa zaidi ya miaka 20 sasa toka Siad Bare alipoondolewa madarakani?

Na ifahamike hapa kuwa ile Mtume kukubali vipengele a m b a v y o k w a u p a n d e mwingine ni vya kumdunisha na kumdhalilisha, sio kwa sababu ya woga au udhaifu, b a l i h u o n d i o u s h u j a a wenyewe. Ujasiri ni pamoja

na kuwa na uwezo wa kupima uwezo ulio nao na ule wa adui na kuchukua maamuzi stahiki. Ushujaa na ujasiri ni kujua unachotafuta na namna ya kukipata, sio kushikilia msimamo bila ya kupima kuwa msimamo huo unakusaidia vipi kufikia lengo au pengine unakuwa ni msimamo tu bila hata ya kuwa na lengo. Ushujaa sio kujitosa katika kujihilikisha. Ushujaa ni kujua unatafuta nini na ukajua namna ya kupata unachokitaka hata kama ni kwa njia ya mzunguko na ndefu. Kurudi Makkah na kujizuiya kufanya Umra, kumeza hasira na kumtizama Abu Jandal akiteswa, ndio kulikopelekea kupatikana Waislamu 10,000 kutoka idadi ya 1,400 kuiteka Makkah. Kama katika mji au nchi mpo Waislamu wa Kitabu na Sunnah 5,000,000 huku wengine mnaoitakidi kuwa hawapo sahihi ni milioni 80,000,000, njia ya kusimamisha Kitabu hapa sio kuwashikia silaha. Hata kama mtashinda, maadhali hawa sio jeshi la uvamizi, hawataondoka. Ni wananchi, watatafuta namna ya kujiimarisha kuwapiga. I takuwa vi ta na vurugu

Inaendelea Uk. 10

Page 10: ANNUUR 1140

10 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014Makala

Al Shabab ibadili mbinuInatoka Uk. 9Mashariki na Kati kwa ujumla. Ugaidi wa kupangwa unaweza kufanywa na watu wengine, kisha inatangazwa kuwa hao ni al-Shabab. Rejea tukio la Westgate, Nairobi. Hakuna mwenye akili yake timamu anayeweza kuamini kuwa al Shabab walitoka Mogadishu au kokote walikokuwa wakaingia na magari ya silaha Nairobi wakashambulia na kuuwa watu kisha wakatoweka bila ya kukamatwa. Hakuna nchi duniani yenye polisi, jeshi, usalama wa taifa, inayoweza kufanyiwa jambo kama hilo. Hayo yakitokea, basi ni mambo ya kupangwa. Serikali inajua. Na hao wanaodaiwa kufanya ugadi huo, sio. Yamefanywa na watu wengine wanaojulikana, waliotumwa, lakini anatafutwa mtu wa kusingiziwa.

M o m b a s a n a s e h e m u nyingine za Kenya yamefanywa mashambulizi ya kigadi watu wakauliwa kikatili, inasemwa kuwa hao ni a l Shabab. Na ikifanyika hivyo, hiyo inafanywa kama ushahidi wa kuwekwa mikakati na njama za kuwahujumu zaidi Waislamu. Matukio hupangwa kama zile Northwood Operations, halafu matukio hayo hayo ya kupangwa, hutumika kuwapakazia ugaidi Waislamu ili wapate kuhujumiwa zaidi.

Kwa kipindi sasa zimekuwa zikisambaa habari nchini za kujenga kitisho kuwa nchini kuna al Shabab. Baadhi ya v i j ana nao wakal ipokea na huongea kama kitu cha kawaida, bila kujua kuwa kama ilivyokuwa kwa Boko Haram kule Nigeria, kinachotafutwa ni kujenga tu mazingira ya kukubalika kuwa al Shababu wapo nchini na hao ni magaidi. Likishapigiwa propaganda hilo likakubalika, watu wa kufanya yale ya Westgate, N a i r o b i w a t a p a t i k a n a kisha watasingizia kuwa ni Waislamu, al Shabab. Hili nalo litawaumiza sana Waislamu wa kanda hii, kama tunavyoona Kenya. Huu ni ukweli na mahesabu mengine ya kulitizama suala hili kwa

sasa. Isiwe tu ushabiki kuwa al Shabab, wapo sahihi kwa sababu walitokana na Umoja wa Mahakama za Kiislamu.

Lakini kama nilivyokwisha andika mara kadhaa, ugaidi huu wa al Shabab, ambao hivi sasa unatumika kama propaganda ya kusimika kitisho cha ugaidi Afrika Mashariki, upo katika mkakati wa kupandikiza machafuko katika kanda hii na kufungulia mlango Africom. Tunajua ukisema Afr icom maana yake nini na nini gharama yake kwa nchi zetu. Sasa hawa Africom wangeweza na wanaweza kuingia hata kama pasingekuwepo al Shabab. Ingetafutwa namna nyingine. Lakini kwa nini Waislamu tusilione hili tutumike kirahisi hivi na kwa maangamzi yetu wenyewe na wenzetu katika nchi zetu?

Hii ni namna nyingine a m b a v y o h e s a b u z a a l Shabab na Jihad yake Somalia zimebadilika. Katika mazingira k a m a h a y a , p a n a h i t a j i kutafakari upya namna ya kwenda. Na mimi naona hakuna namna ya kuisalimisha Somalia katika janga linaloikabili hivi sasa zaidi ya kujitizama kama

Waislamu na kama Wasomali na kutambua kuwa adui yao ni mmoja. Adui ambaye hana rafiki wala adui wa kudumu i la masilahi yake tu. Na katika hili, kwa sasa hivi, al Shabab, serikali ya Somalia na AMISOM, WOTE, pigia msitari WOTE; wanatumiwa kila mmoja kwa namna yake. Manufaa ya jumla na kutimia malengo, ni beberu ananufaika kwa gharama ndogo, sio kama ile ya Vietnam.

Kinachotakiwa hivi sasa ni kuja na mkakati utakaomnyima adui wa Wasomali kisingizio cha kuwapiganisha Wasomali, lakini pia kumnyima kisingizio cha kutanua vita hiyo na kuifanya kuwa ni vita dhidi ya Waislamu Afrika Mashariki chini ya mwavuli wa Vita Dhidi ya Ugaidi.

Kamatakamata inayoendelea hivi sasa kule Arusha, Mwanza, Dar es Salaam na Zanzibar, chimbuko lake ni hii inayoitwa vita dhidi ya magaidi, al Shabab. Leo kijana wa Kitanzania akishabikia msamiati huu al Shabab, inatakiwa ajiulize, itasaidia nini kuwanusuru Waislamu wa Somalia na hali mbaya inayowakabili? Je, inasaidia kwa namna yoyote

katika hicho kinachotakiwa na al Shabab kule Somalia? Je, inasaidia nini kupeleka mbele Uislamu Tanzania na ulimwengu kwa ujumla na nini madhara yake kwake binafsi, kwa Waislamu na kwa nchi yake?

L a k i n i h a t a P o l i s i n a vyombo vya dola vinavyofaya operesheni hizi, vijiulize ‘very critically’. Wasiwasi isije navyo vikatumika kupepea agenda ya mabeberu. Yasije yakawa yale ya aliyekuwa Rais wa Yemen, Ali Saleh, aliyewaruhusu askari wa Marekani washambulie wananchi wake halafu yeye atatangaza kuwa ni Polisi wa Yemen wanapambana na magaidi!!!

K w a j i n s i m a m b o yalivyokuwa yakienda katika operesheni ya kukabiliana na waliodaiwa kuwa magadi wa al-Shabab walioingia Nakumati (Westgate), na yaliyojiri baada ya hapo, ilibidi mwandishi mmoja ahoji: “Nini alikuwa akijua zaidi mkuu wa jeshi (la Kenya) zaidi ya wenzake?”

Almuhimu kuna mambo yasiyokuwa ya kawaida yalijiri ambayo yalionyesha wazi kuwa kulikuwa na mchezo mchafu katika tukio lile, hali iliyojenga tuhuma kuwa baadhi ya wakuu wa vyombo vya dola walikuwa wanajua kinachoendelea ila pale walikuwa wakizuga tu.

Sasa kama wakuu wetu wa Polisi na Vyombo vya Usalama watakuwa kuna “mambo wanayajua zaidi”, na wakahiyari kuweka uzalendo wao kando, hapana shaka vikao vyao vya Mombasa na operesheni zao zitafanikisha tu malengo ya mabeberu kuliko kusaidia nchi.

Hadharani watanadi kuwa wanapambana na magaidi, lakini mikakati yao, kama itakuwa ni ile ‘ya kupewa’ kama aliyopewa Ali Saleh, itakuwa ya kuchochea na kule ta machafuko kama ambavyo Yemen inaendelea kuchafuka, magaidi hawaishi wala kupungukiwa silaha na dhamira ya kuvuruga amani ya nchi.

Al-Shabab na Mkataba wa Hudaibiyah Somalia

Inatoka Uk. 9isiyokwisha na hilo sio lengo la Uislamu. Hawa wanahitaji elimu sahihi kama walivyohitaji Da’wah wale makafiri wa Madinah na Makkah. Na elimu nayo ina namna yake. Ukimwendea mtu kwa mtizamo wa kumwona hana maana, kapotea, ‘kafiri’ japo katamka Shahada, bila shaka naye atajihami. Badala ya kusikiliza unachomwambia na kukiweka katika mizani, atakutizama kama adui na kujiweka mkao

wa mapambano.Msomaji mmoja anasema

kuwa “haya yanayotokea Waislamu kuuliwa na makafiri tunafurahi kwa sababu ni nusra…tutashinda Inshaallah.”

Nusura hii hata Mtume

aliahidiwa, lakini kutokana na mazingira yaliyokuwepo a k a f a n y a m k a t a b a w a Hudaibiyah na Allah akamsifu kwa uamuzi huo na kumuahidi ushindi.

Kwa hali ilivyo, inawezekana mazingira ya Al-Shabab kufikia makubaliano na serikali ya Somalia, yakawa magumu kwa sababu ya mkono wa nje (kama ilivyokuwa ile miafaka ya CCM na CUF kupitia CCM Taifa na Serikali ya Muungano).

Lakini jaaliya al-Shabab wanatangaza kuwa wanaweka silaha chini na kuunga mkono serikali yao. Waingie mitaani, watulie na hilo jina la al Shabab walitupe kabisa. Wafanye kazi ya Da’wah na huduma za kijamii!

RAIA wa Somalia akila mirungi.

Page 11: ANNUUR 1140

11 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014Makala

A L L A H ( s w ) a m e m u u m b a m wa n a d a m u k a t i k a u m b i l e b o r a z a i d i , a m e m p a a k i l i inayomtofautisha na mnyama na akampa maarifa ya kutengeneza mavazi.

Allah (sw) anasema. “ E n y i wa n a d a m u , h a k i k a

tumekuteremshieni nguo zifichazo tupu zenu na nguo za mapambo, na nguo za utawa ndizo bora. Hayo ni ishara za Allah (sw) ili watu wapate kukumbuka.”

“Enyi Wanadamu, shetani (Ibilisi) asikutieni katika matatizo kama alivyowatoa wazee wenu katika pepo, akawavua nguo zao ili kuwaonyesha tupu zao. Hakika yeye pamoja na kabila lake wanakuoneni, hali ya kuwa wao hamuwaoni. Bila shaka sisi tumewajaalia mashetani kuwa marafiki wa wasioamini”. (Aaraf: 26-27).

Watukufu Waislamu, watu wengi wataingizwa motoni kwa kumfuata kwao Ibilisi na kufuata matamanio ya nafsi zao. Ibilisi amekula njama k u wa p o t e z a wa n a d a m u k wa kuwashawishi wavue nguo zao na waende uchi, ili wachukiwe na Allah (sw), kama yeye alivyochukiwa na waingizwe motoni pamoja na yeye. Na ni njia hiyo aliyoitumia kuwapoteza wazee wetu Adam na Hawa.

Basi Allah (SW), anatuonya tusimfanye shetani ndiyo kipenzi chetu tukapotea. Allah (sw) anasema, “(Hali ya kuwa Allah sw) ameliongoa kundi moja na kundi j ingine limethibitikiwa na upotofu. Kwa hakika waliwafanya mashetani kuwa walinzi wao badala ya Allah (sw) na wanadhani kuwa wameongoka”. (Aaraf: 30).

Muislamu asije akadhani kwamba yeye bado hajajaaliwa kufanya mema, au Allah (sw) ndiye alivyomtaka apotee, ila kila aliyepotea amejitakia mwenyewe upotofu kwa kumfuata shetani na amepotoka kwa hiari yake, kwani amepewa akili na uhuru wa kuchagua haki au batili. Na mtu akifanya maasi mwisho wake atajiona yuko sawa, ndiyo leo wanawake wanaokwenda uchi, wote hao wanajiona wameendelea sana na wanakwenda na wakati, hasara yao duniani na akhera.

Makureishi walikuwa wanatufu Alkaaba uchi na walijiona wako sahihi. Allah (sw) akasema, “Sema ni nani aliyeharamisha mapambo ya Allah (sw), ambayo amewatolea waja wake. Na (nani aliyeharamisha) vitu vizuri katika vyakula? Sema vitu hivyo amewahalalishia Waislamu (hapa) katika maisha ya dunia, (na) vitakuwa vyao peke yao siku ya kiama. Namna hivi, tunazieleza aya kwa watu wajuao. (Aaraf:32).

Al lah (sw) , amesema “(Na Allah sw) amekufanyieni nguo zinazokukingeni na joto na (baridi na amekufanyieni) nguo za chuma zinazokukingeni katika vita vyenu. Namna hivi anakutimizieni neema zake ili mpate kutii”. (Nahl: 81).

Tunapata mafunzo kwamba Allah (sw) ndiye aliyetupa elimu ya kutengeneza nguo, magari, computer nk. ili tupate kuzidi kuwa watiifu kwake, kinyume chake kila tunaponeemeshwa, sisi ndio tunazidi kukufuru!

Mavazi ya wanawake.

Allah (sw) anasema, “Ewe Mtume! waambie wake zako na mabinti (watoto) wako na wanawake

Stara ya mwanamke Muislamu

wa K i i s l a m u , wa j i t e r e m s h i e vizuri "Jalaabab", kufanya hivyo kutawapelekea upesi wajulikane (kuwa ni watu wa heshima ili) wasiudhiwe. Na Allah (sw) ni mwingi wa kusamehe na mwingi wa rehema.” (Ahzab: 59).

Aya hii imekuja kulazimisha wanawake wa Kiislamu wote kuvaa hijaab, ni wajibu kama ilivyo swala. La kushangaza ni kuona wanawake wengi wa Kiislamu wanapuuza fardhi hii kwa makusudi, halafu wanategemea kupata pepo kwa kumuudhi huyo anayemiliki pepo hiyo.

Allah (sw) anasema tena, "Na waambie waumini wanawake wainamishe macho yao na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipo kuwa unao dhihirika. Na waangushe shungi zao juu ya vifua vyao, wala wasionyeshe mapambo yao, ila kwa waume zao, au baba zao, au baba wa waume zao, au watoto wao, au watoto wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kaka zao, au wana wa dada zao, au wanawake wenzao, au iliyowamiliki mikono yao ya kuume, au wafuasi wanaume wasio na matamanio, au watoto ambao hawajajua mambo yaliyohusu uke. Wala wasipige chini miguu yao ili yajulikane mapambo waliyoyaficha. Na tubuni nyote kwa Allah (sw) enyi waumini, ili mpate kufanikiwa. (Nuur: 31)

.Aya zimekuja kulazimisha wanawake wa Kiislamu kuvaa buibui na shungi, na anasema Jabir (ra) kwamba aya hizi ziliteremshwa kwa wanawake waliokuwa wakienda kifua wazi, na miguu wazi wakionesha mapambo yao kwa watu, ambao si maharimu wao. Basi aya zinakataza kwa mwanamke kuonekana mwili wake ila uso na viganja vya mikono. Na wamekatazwa kujipamba na kutoka nje kuonesha mapambo yao kwa watu wa mbali, ila kwa watu waliotajwa kwenye aya. (Nuur:31).

Wa n a c h u o n i wa K i i s l a m u wameorodhesha sharti za hijaab kama ifuatavyo: Nguo iwe ya halali Muislamu anatakiwa chumo lake liwe la halali lisitokane na zinaa, ulevi, kamari, wizi, riba, udanganyifu, kuuza vinyago, muziki na biashara za haramu. Allah (sw) amewahimiza Mitume pamoja na waumini wao kula rizki za halali na kuchuma halali, na Muislamu anayechuma chumo la haramu, basi dua na ibada zake nyingine hazitokubaliwa, kwani Allah (sw) ni mtakatifu, hakubali ila halali.

Allah (sw) anasema, “Enyi Mitume! Kuleni vyakula vizuri na fanyeni mema. Hakika Mimi ni mjuzi wa mnayoyatenda”. (Muuminuun:51). Akasema tena “Enyi mlioamini! Kuleni vizuri tulivyo kuruzukuni, na mumshukuru Allah (sw), ikiwa kweli mnamuabudu Yeye tu”. (Baqarah:172).

Amesimulia Abuu Hurayra (ra), kuwa Mtume (saw) amesema “Allah (sw) ni mzuri hakubali ila vitu vizuri, na Allah (sw) amewaamrisha waumini mambo aliyowaamrisha Mitume, aliposema “Enyi Mitume! Kuleni vyakula vizuri na fanyeni mema. Hakika Mimi ni mjuzi wa mnayo yatenda”.

Akasema tena “Enyi Mlioamini! Kuleni vizuri tulivyo kuruzukuni na mumshukuru Allah (sw) ikiwa kweli mnamuabudu Yeye tu” kisha akataja mtu aliyesafiri masafa marefu mwenye manywele timtimu, aliyejaa vumbi anainua mikono yake mbinguni, akisema “ewe Bwana ewe Bwana”, na chakula chake ni haramu na nguo zake ni haramu na amekulia kwenye haramu vipi atakubaliwa?.(Muslim na Tirmidhy).

Hadithi inahimiza kula halali na kuvaa nguo za halali na anayekula haramu na kuvaa nguo za haramu hatokubaliwa ibada zake.

Nguo isitiri mwili mzima: Sharti jingine ni kwamba nguo yenyewe

iwe ni Jalaabab, yaani guo zito, pana lenye kusitiri mwili mzima isipokuwa uso na viganja vya mikono. Hijaab ina sehemu mbili ukiacha nguo za ndani (sketi na blauzi n.k.), nje avae buibui pana lisilombana wala kuonyesha mikatiko ya mwili wala lisipasuliwe, halafu avae shungi litakalofunika uso na kuteremka mpaka kifuani chini ya matiti yake. Tofauti na vile vitambaa vinavyofunika kichwa tu na vikaitwa hijaab. Vitambaa hivi vivaliwe ndani kabla ya kuvaa shungi, Mtume (saw) alimwambia Bibi Asmaa (ra), “Ewe Asmaa! Hakika mwanamke akishafikia kuwa na hedhi (akibaleghe) haisihi kwake aonekane (na mwanamme ajnabi) ila hapa na hapa, akaashiria uso wake na viganja vya mikono”.(D4104 hadithi hii imedhaifishwa na Ghuthaymin na ikasahihishwa na Albany)

Katika hadithi hii pia tunajifunza kwamba Bibi Asmaa (ra) alivaa nguo inayoonesha ndani, kwa hivyo haifai kuvaa nguo hiyo. Pia kuna hadithi nyingi zaidi zenye kuonesha kuwa wanawake wakati wa Mtume (saw) walijifunika mwili mzima ila macho tu kama alivyosimulia Ibn Abbas (ra) na kupokelewa na Bukhari (SB 4759).

Aisha (ra) anasema kwenye Hi ja , wanawake wal i j i funika uso walipopitiwa na misafara ya wanaume. (Mj 1833).

Wamehitilafiana Ulamaa katika suala la kuonekana uso, baadhi yao wanaona si lazima kufunika uso, na wengine wanaona ni lazima. Ama wanawake watakaonekana nywele, kwa kusukana nje, au kichwa au sehemu yoyote ya mwili ukiacha uso na viganja vya mkono, hao wako uchi kisheria na wanapata dhambi ya kukaa uchi.

Amesimulia Abii Hurayra (ra) kuwa amesema Mtume (saw), “makundi mawili ya watu ni watu wa motoni, sijawaona (katika wakati huu), watu wenye mijeledi kama mikia ya n’gombe wanawapigia watu, na wanawake waliovaa nguo lakini wako uchi, wamejipamba na kujitakisha kwa wanaume, nao wanaume wanawafuata kwa machafu, katika vichwa vyao mna kama nundu ya ngamia iliyolala, hawatoingia peponi wala hawatonusa harufu yake, pamoja na kuenea harufu yake masafa kadha wa kadhaa (masafa ya meli hamsini elfu) (SM 2124).

Hadi th i inaonesha miu j iza mikubwa ya Mtume (saw) kuwajua wale askari wanaopiga raia kwa marungu bila makosa. Na kuwajua w a n a w a k e a m b a o w a n a v a a nguo zenye kubana na kuonesha maumbile ya mwili, na wanaotoka nje wamejipamba kwa lipstick, piko, hina na nguo walizovaa ni za marembo marembo, na katika vichwa vyao, wana nundu ya ngamia, yaani nywele zilofungwa na kuwekwa help me, na kumfanya mwanamke awe na vichwa viwili kimoja cha kimaumbile na cha pili kama nundu ya ngamia, na hiyo ni dalili moja ya watu wa motoni. Nyengine ni kule kutoka nje wamejipamba na kuonesha mapambo yao kwa wanaume na kwenda kwa maringo, wakitikisha viuno vyao ili watakiwe na wanaume, wanaingia pia wanawake wanaokata viuno katika dufu na ngoma na miziki mbele ya wanaume, kwa hivyo wanenguaji wote ni watu wa motoni.

Mtume wetu Muhammad (saw) alioneshwa watu hao wa motoni na Mola wake, kabla yeye kuwaona kwa macho, kwani wakati wake kulikuwa hakuna askari wapigao watu marungu bila kosa, wala wanawake wenye nundu za ngamia vichwani mwao, ndiyo kwanza sasa yanaenea hayo mahelp me, ila yeye aliyaeleza haya zaidi ya miaka elfu moja nyuma.

Page 12: ANNUUR 1140

12 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 201412 MAKALA/Mashairi

ADUI YANGU KAFIRIWallahi Mungu Mmoja, Allahu nawaambiaYa haqi dini ni moja, hakika islamiya Qur-ani yake hoja, aloibeba nabiyaWallahi mpinga haya, bila shaka ni kafiri

Wallahi asokubali, kuishi kwa qur-aniAnomkana jalali, na kutunga yake diniAkajituma kwa hali, kufitini fur-qaniWallahi huyo kafiri, haitajii fatua

Nalitazameni hili, pitisheni sikioniKisha nipeni akili, kama ninyi wauminiKipikwangu kisawili, nikipe penzi moyoniKisha Allah anikiri, kwamba kwake ni mkweli

Isawili qur-ani, au sura ya kafiriKipi niweke moyani, kwa mapenzi kishamiriNimpende Rahamani, au aje kadinariWallahi semeni kweli, ya penzi la muumini

hebu semeni yaqini, na inishike akiliNampendaje kafiri, asompenda JalaliAnosema qur-ani, sio kitabu cha kweliNa kwangu iwe amani, kwa Allah niwe mkweli

Wallahi tena wallahi, na inikwepe kichwaniNa wallahi ni siwahi, kuthubutu akiliniHata kwa yao sabahi, inikwepe sikioniKafiri kwangu aduni, anochukiza moyoni

Anokichukia Allah, vipi mimi nikipendeAlokilaani Allah, vipi nikikumbatieChampiga vita Allah, nikiachie kishindeWallahi katu salama, Amani ni kusilimu

Sikieni makafiri, ninyi ni adui zetuwallahi twawakariri, ninyi ni wabaya wetuChuki imesha dhihiri, katu hatufichi kituWallahi salama yenu, Aminini qur-ani

Huu ni wajibu wetu, kukuchukieni hasaNinyi kwetu sio watu, sisemi kwa kupepesaTumewaita kwa utu, muje mola mtakasaWallahi salama yenu, aminini qur-ani

yote mumedhihirisha, jinsi musivyotupendamazito na yakutisha, yote mumesha tutendabado chuki mwazidisha, vitimbi na zenu hindawallahi salama yenu, aminini qur-ani

hakika mukisilimu, twaweka chini sirahatutapitisha hukumu, kwa wale wenyemzahakwa kila muisilamu, aabudu kwa fasahadola tutaitangaza, qur-ani itawale

Abu Nurain Al-tanza

SHUKURANI zote anastahiki mwenyezi Mungu, Mola mlezi wa ulimwengu na rehema na amani zimfikie yule ambaye ni rehema kwa u l i m we n gu N a b i i Muhamad na jamaa zake na Sahaba zake wote.

A m a b a a d a y a utangulizi huu mfupi, kwa hakika Uislamu umetoa zawadi kwa b i n a d a m u j u u ya misingi ya kuishi kwa amani kati ya watu wa mataifa na jamii. Hii tofauti ya viumbe n i m a p e n z i y a k e mwenyezi Mungu kwa viumbe wake kwa kauli yake mwenyezi Mungu mtukufu (na kama Mola wako angal ipenda angaliwafanya watu w o t e k u wa u m a t i mmoja, lakini amewapa aki l i na nguvu ya kumia akili zao hizo watakavyo ikiwa kwa wema au kwa ubaya, kwa hivyo wataendelea kuhitilafiana) Surat Hud-Aya ya 118.

Kwa vile ametaka mwenyezi Mungu watu watafautiane, wawepo Waislamu na wasio Waislamu na wawepo w a n a o z u n g u m z a lugha mbalimbali na wa n a o a b u d u k wa tamaduni mbalimbali, pamoja hawa wote wapo katika ardhi ambayo ni pana.

Hivyo basi, hapana budi kuwepo mpango wa kuishi kwa amani w o t e k wa p a m o j a kwa njia ya usalama inayohifadhi haki zote na wajibu wote bila ya mizozo au malumbano au mgongano, hivyo amani inatokana na Uislamu nayo ndio shina la kila mahusiano ya watu wote.

Na Mtume (saw)

Kuishi kwa amani katika Uislamalikuwa akiishi na kila aina ya watu walio Waislamu na wale wasio Waislamu kwa heshima na kuthamini haki zao na uhuru wao. Mifano juu ya hilo ni mingi sana, majirani katika Msikiti wake mtukufu M a d i n a u l i p o f i k a muda wa swala yao walisimama kuelekea Mashariki wa swala.

Hapo walikusudia Waislamu kuwazuia, l a k i n i M t u m e (saw) akawakataza w a s i w a z u i e n a akawaacha waswali swala zao kwa utulivu, tena katika Msikiti wake Mtume (saw) alikuwa Mtume (saw) akiwatembelea majirani zak. Toka kwa Anasi (r.a) (kwamba kijana wa Kiyahudi alikuwa akimtumikia Mtume ( s a w ) a l i p o u m w a alimtembelea Mtume (saw) akamshawishi kusilimu na akasilimu) ameipokea Bukhari.

Uislamu unahimiza kugawana vitu vya ushirika na wale wasio Waislamu, vitu ambavyo vinatuwezesha kuishi pamoja kwa usalama na amani hata ikiwa pamoja na makafiri, tena wale wanaofanya ujeuri na kwa kutilia nguvu hili, kwa hakika a l i a m r i s h a M t u m e (saw) mkataba ambao waliuasis i majahi l i na lengo lake kubwa lilikuwa ni kuunganisha kunusuru ha l i , na mwenye kudhulumiwa n a k u u t h i b i t i s h a uadilifu akasema juu ya kuinusuru haki, na mwenye kudhulumiwa na kuithibitisha uadilifu akasema juu ya hilo. (Lait i i ningealikwa katika jambo kama hili basi ningeitika).

Ameipokea Imamu B u k h a r i h a k i k a aliotesha Mtume (saw) vyanzo vya serikali ya Kiislamu nayo ndiyo mwanzo wa kudhihiri umma wa Kiislamu Madina Munawara kwa kutungika mkataba huo, ambao unampa M y a h u d i h a k i n a Muislamu kwa amani na salama na uhuru wa kuabudu na kuilinda na kuitetea Madina kwa

kushirikiana dhidi ya adui yeyote anayetoka n j e . Wa ya h u d i n a Waislamu juu ya hilo wawe sawasawa na miongoni mwa sharti la makubaliano hayo ni (wawe nayo tuliyonayo na wao wawe na tuliyo nayo sisi). Na ikaja kuthamini uhuru wa dini (ibada), uhuru wa dini kwa amani na kumdhibiti kila yule m w e n y e k u m t e s a Muislamu au Myahudi.

Na hii inamaanisha kwamba serikali ya Kiislamu imeenea kwa Waislamu na wasio Waislamu kwa sharti za kushikama na vidhibiti vya sher ia na vya kiakili, ikiongozwa na amani na kukosekane uadui na hayo ndiyo aliyoamrisha mwenyezi Mungu kwa waumini pale aliposema, (Enyi mlioamini ingieni katika hukumu za Uislamu zote, wala msifuate nyayo za shetani kwa hakika yeye kwenu ni adui dhahiri) al- Baqara aya ya 208.

Hakika serikali ya Kiislamu, anaweza mtu kuishi kwa amani na usalama chini ya dola hiyo ikiwepo nidhamu ya mahusiano mema kati ya mataifa yote ya jamii na wakashikamana wote kwa jambo hilo.

Kwa yakini alihimiza Mtume (saw) juu ya kukubali suluhu ya Hudabiya kwa pamoja kulikuwa ndani yake k u n a m a s h a r t i ya kijeuri na ya dhulma k wa Wa i s l a m u n a h a k u f a n y a h i v y o isipokuwa ni kuitetea sulhu na kuepusha vita na kumwaga damu.

Kwa hakika dini ya Uislamu imekuja kwa amani na ulingano wake umesimamia juu ya kuishi kwa amani kwa viumbe vyote, mpaka pale atakapoichukua mwenyezi Mungu ardhi hii na vilivyomo ndani yake na mwenyezi M u n g u n d i y e muwezeshaji.

M a k a l a h i i imeandikwa na Sheikh Mohamed Obaidillahi Moh’d- mwalimu wa al-Azhari Sharif Tawi la Tanzania.

Sheikh Mohamed Obaidillahi Moh’d-

Page 13: ANNUUR 1140

13 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014MAKALA

BINGO. Dai hili la kuwa (Waziri Mkuu wa Iraq ni) ‘mdini’ ni utapeli . Mpango mzima ni Marekani kuweka majeshi yake pale ambako mafuta yapo. Huwa siku zote suala linarudi katika mafuta, au sivyo? Waziri wa Ulinzi Chuck Hagel alielezea suala hilo kikamilifu mwezi Julai 2007 akisema:

“Watu wanasema hatupiganii mafuta.. Bila shaka tunafanya hivyo. Wanazungumzia maslahi ya kitaifa ya Marekani. Hivi unadhani wanaongelea nini? Hatuendi pale kutafuta miti ya Krismasi.”

Hivyo ni jinsi gani Obama kuwapiga mabomu mujahidina wa ISIS nje ya Ebril (Iraki ya Kaskazini) inaendana vipi na msimamo wake wa awali kuwa hatasaidia kuilinda Irak labda kuwe na maendeleo katika mazungumzo ya kisiasa? (Au tuseme, hadi al-Maliki aondolewe madarakani).

Ni kweli kwamba alibadili wimbo haraka sana. Ila, kwanini? Ni mafuta, ndiyo sababu. Angalia kwa upande huu: Kuna sababu 10 kwanini Obama akapiga mabomu vituo vya ISIS nje ya Ebril, nazo ni:

1. ExxonMobil2. Chevron3. Aspect Energy4. Marathon Oil Corporation5. Hilwood International

Energy6. Hunt Oil7. Prime Oil8. Murphy Oil9. Hess Corporation10. HKN EnergyHivyo, kuna ujumbe gani

hapo? Hivi Obama anapeleka ujunbe gani wa simu wa sera yake kuhusu ISIS?

Ni rahisi. “Mnaweza kuua Waarabu au Wakristo idadi yoyote mnayotaka, lakini mkitia kidole katika kisima kimoja cha mafuta, tutawachakaza hadi msionekane tena.” Ujumbe si huo?

Kusema kweli ujumbe ndiyo huo. Kwa hali yoyote ile, sababu ya Marekani kuondoka Irak haikuwa kwa sababu Obama alikuwa anataka kutekeleza ahadi zake za kampeni (ya urais). Hapana! Hiyo ilikuwa tu ni kujipendezesha kwa wapiga kura. Sababu halisi ni kuwa Obama alitoa usimamizi wa shughuli zote kuhusu Irak kwa naibu wake Biden mara alipoingia madarakani, ambaye alivurunda. Kuna mchunguzi mmoja wa gazeti la New Yorker aliliona hilo:

“Nilipokuwa nawahoji watu kuhusu Biden kuandika kitabu, washauri wake walisema ....hawakuwa kamwe wamemtaka al-Maliki, ila walimuunga mkono kwani walijiunga naye walio wengi zaidi nchini Irak. Ila

Kwanini Obama alitaka al-Maliki aondolewe-2Na Mike Whitney MWISHO wa sehemu ya kwanza ya makala hii

ilimalizia kwa kusema kuwa, mwandishi wa Press TV alikuwa akiainisha kuwa haamini kuwa Marekani imeacha wazo la kuziweka chini ya udhibiti wake kamili, akimnukuu mchambuzi wa kujitegemea, Soraya Sepahpour-Ulrich, akizungumza na Pess TV ya Iran. (Sasa endelea)

RAIS Barack Obama wa Marekani.utashi huo kuhusu siasa za Irak kunaonyesha anachofuatilia Biden .... Biden alitabiri kuwa al Maliki atatia saini makubaliano ya hadhi ya majeshi ya Marekani nchini Irak ambayo yangewezesha majeshi kubakia nchini humo. “Maliki anataka tuendelee kubaki kwa sababu haoni Irak itakavyokuwa tukiondoka,” Biden alisema, kwa mujibu wa washauri wake. “Nina uhakika na hilo; tunaweza kupinga, naweka umakamu wangu mezani Maliki ataendeleza makubaliano ya hadhi ya majeshi ya Marekani.”

Utabiri huu haikufikiwa. Al-Maliki hakuelekea msimamo huo na hivyo majeshi ya Marekani yakaondoka Irak Desemba 2011. Mkasa ulipoingia hatua nyingine kiangazi chepesi mwaka huu, Ikulu ya Marekani haikumpinga al-Maliki kwa uwazi, lakini ikaeleza wazi kuwa iko tayari kwa mabadil iko. Kwa hal i yoyote ile, hisia hiyo ilikuwa imechelewa sana kuelezwa, na wiki zilizofuata, mchakato wa kujitenga kabisa kwa Marekani

na al-Maliki ukaanza kukamilika. Obama amerudisha ndege za kijeshi za Marekani katika anga za Irak, akiruhusu mashambulio kulinda ofisi za kidiplomasia za Marekani na vikundi vya walio wachache katika dini na makabila, na kuzuia wapiganaji wa ki-Sunni wasisonge mbele kuelekea mji wa ki-Kurdi wa Erbil.

Hivi karibuni, shimo jingine la kuangukia kisiasa lilifunuka Baghdad: Rais amemteua Waziri Mkuu mpya, Haider al-Abadi, kumbadilisha al-Maliki. Lakini al-Maliki akakataa kuachia m a d a r a k a ; a k i z u n g u m z a katika televisheni alieleza azma ya kutumia njia za kisheria kupambana na uamuzi huo, huku vikosi vya jeshi vinavyomtii vikionekana kusimama ulinzi katika maeneo muhimu jijini Baghdad. (Kuachana: Maliki na Biden, gazeti la New Yorker)

Soma aya yote hiyo upya; ndiyo kuna gundi kopo zima, hapo. Biden aliboronga katika makubaliano ya kubakiza majeshi, hivyo Obama akaamua kumwondoa Maliki.

Punde baadaye, mpango wa kumbadilisha Maliki kwa Haider al-Abadi ukaanza kusukumwa. Ni vyema kukumbuka kuwa Obama ameshambuliwa katika vyombo vya habari kwa zaidi ya mwaka mmoja kuwa kuondoa askari nchini Irak. Ukitumia G o o g l e k u a n g a l i a m a k a l a kuhusu “Makubaliano na Maliki kuhusu majeshi” utaona mamia ya makala za kumshambulia Obama kuwa ndiye “aliyeipoteza Irak,” au “aliyeitelekeza Irak,” au “aliyeshapulia mkasa wa kujitoa.” Kwa wachambuzi wahafidhina nchini Marekani, suala siyo vita yenyewe, ila ilivyoisha. Wanamlaumu Obama kwa kila kitu kilichokwenda mrama. Ndiyo maana Obama akataka kumwondoa Maliki na kurudisha askari nchini humo. Ni juhudi za kuwatuliza wakinzani zake wa mrengo wa kihafidhina.

Bila shaka, hali kuwa Obama, B i d e n , K e r r y n a we n g i n e katika utawala huu wameeleza kumuunga mkono al-Abadi ambaye kimsingi hajulikani, imesababisha tuhuma kuwa mashirika ya ujasusi (na labda hata Wizara ya Mambo ya Nje) yamekuwa yakipanga mipango nyuma ya pazia ya kumuondoa al-Maliki. Lakini Obama anakataa kabisa kuwa alihusika kwa njia yoyote. Unaweza kutazama makala katika gazeti la Guardian ( l a U i n g e r e z a ) : “ M a o f i s a wa M a r e k a n i wa m e k u wa wakikanusha kushiriki katika mpango wa kumwangusha waziri mkuu Nouri al-Maliki wa Irak, licha ya kuwepo simu mfululizo za Barack Obama na Joe Biden kuunga mkono kuteuliwa kwa mbadilishaji wake... Utawala wa Obama umekuwa ukiongeza ukali katika ukinzani wake kwa Maliki katika wiki chache zilizotanguliaa, akidai ndiye chanzo cha fukuto la uasi wa Kiislamu nchini Irak hivi sasa, kwa kushindwa kutawala wa maslahi ya waanchi wote wa Irak.... Obama alikuwa amewaelekeza maofisa wake wa diplomasia Washington na Baghdad kutafuta mbadala kwa al-Maliki. ............ (Obama) pia alining’iniza uwezekano wa msaada wa moja wa kijeshi dhidi ya ISIS, kama waziri mkuu mpya Haider al-Abadi akifaulu kuunda serikali inayodumu. Lakini maofisa (wa Obama) walikanusha kuwa Marekani ilikuwa inashindilia mabadiliko ya utawala, wakisisitiza badala yake ilikuwa inaunga tu mkono mkakati wa kikatiba na siyo kumuunga mkono wanasiasa binafsi huko Baghdad.” (Marekani yakataa kuhusika na mpango wa kumwondoa waziri mkuu Nouri al-Maliki, gazeti la Guardian, mapema mwezi huu)

Page 14: ANNUUR 1140

14 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014MAKALA

UMAR Al - Khattab, Mwenyezi Mungu amuwie radhi, katika mwaka 636 alikuwa kiongozi wa kwanza wa Kiislamu kuikomboa Al - Quds (Jerusalem).

Wakati wa Ukhalifa wake, majeshi ya Waislamu baada ya kujipanua nje ya Rasi ya Arabuni, yalifika kwenye milango ya Jerusalem na kuuzingira mji huo.

Khalifa Umar Al - Khattab (r.a) alikuwa na dhamira (mission) ya kuikomboa Jerusalem kwa sababu ni mji ambao ndiyo makazi ya Masjid Al - Aqsa (Msikiti wa tatu kwa utukufu katika Uislamu), ambao ulikuwa Qibla cha kwanza kwa Waislamu. Umar mwenyewe alisafiri mpaka Jerusalem kusimamia ukombozi wa mji huo mtukufu.

Kiongozi wa pili wa Kiislamu kufanya hivyo alikuwa Salahuddin Ayyubi mwaka 1187, kufuatia mapigano makali na majeshi ya ‘Crusade’ (vita vya msalaba) kutoka Ulaya. Wanahistoria wenyewe wa Ulaya wanakiri kwamba mitaa ya Jerusalem ilijaa damu ya Waislamu, wakati majeshi ya ‘Crusade’ yalipoingia kwenye mji huo.

Ilikuwa ni Salahuddin Ayyubi, ambaye hatimaye aliwaunganisha Wais lamu kutoka maeneo mbalimbali na kuunda jeshi moja lenye nguvu chini ya kiongozi mmoja, ili kuyakabili majeshi ya ‘Crusade’. Waislamu, wakiongozwa na Salahuddin, h a t i m a y e w a l i f a n i k i w a kuyafurusha majeshi ya makafiri kwenye ardhi tukufu, ikiwa ni pamoja na kuukomboa Masjid Al - Aqsa. Kwa mara nyingine tena, Al - Quds ikarejea kwenye himaya ya utawala wa Kiislamu.

Lakini leo, Masjid Al - Aqsa na ardhi tukufu uliopo Msikiti huu, vinakaliwa na majeshi ya makafiri. Hali hiyo imekuwa hivyo tangu mwaka 1917, wakati Waingereza walipodhibiti eneo hilo kutoka kwa dola ya Kiislamu ya Uthmaniyya, ambapo baadaye ikafuatiwa na ukaliaji kimabavu wa Wazayuni kuanzia mwaka 1948, wakati Israel ilipoundwa na mataifa ya Magharibi, iwe kama kurunzi lao (satellite state) kwenye eneo la Mashariki ya Kati.

K i n a c h o k e r a z a i d i k wa Waislamu, miaka mingi mno imepita, tangu eneo hili tukufu likaliwe kimabavu na makafiri, ik i l inganishwa na kipindi ambacho Makruseda walikalia eneo hili, kabla Salahuddin Ayyubi hajalikomboa na kuliweka tena mikononi mwa Waislamu.

Insha’Allah kutakuwa na ukombozi wa tatu wa ardhi hii tukufu chini ya amri ya Muislamu mmoja, ambaye jina lake litakaa katika historia pamoja na watu

Wako wapi akina Salahuddin Ayyubi?Said Rajab wazito kama Umar Khattab (r.a)

na Salahuddin Ayyubi. Bado haijafahamika shujaa

huyu wa Kiislamu atatokea upande gani wa ulimwengu. Kila Muislamu duniani lazima afahamu kwamba Wapalestina wanahitaji kukombolewa, siyo kusikitikiwa na kuonewa huruma peke yake! Na wa kuleta ukombozi huo ni ndugu zao Waislamu, siyo umoja wa mataifa, Marekani wala ‘Arab League’.

Wa p a l e s t i n a wa m e k u wa wakiishi maisha ya mateso chini ya ukaliaji kimabavu wa Mazayuni, ambao wamepora ardhi zao na kuwanyang’anya rasilimali zao na kuwafanya waishi kama wako gerezani kwenye maeneo ya Gaza na Ukingo wa Magharibi. Kimsingi, wanyama wanahudumiwa vizuri zaidi kuliko Waislamu hawa wa Palestina!

Hakuna kiasi chochote cha hisani kinachoweza kuwanusuru Waislamu hawa. Ni kuondoa tu ukaliaji kimabavu wa Mazayuni ndiyo nusura yao. Kwa madhila makubwa yanayowapata ndugu zetu hawa, hivi kitu gani hasa kinachowazuia mashujaa wa Kiislamu duniani leo, kuingilia kati na kuikomboa ardhi tukufu ya Al - Quds na Waislamu wake?

Kabla ya mapigano ya Hattin ndani ya mwezi Mtukufu wa Ramadhan, ambayo yalipelekea ukombozi wa Al - Quds, ambapo jeshi la Waislamu likiongozwa na Salahuddin Ayyubi, lilipata ushindi mkubwa. Washauri wa Salahuddin walimtaka asubiri mpaka mwezi wa Ramadhan uishe, ndipo waanze kumkabili adui. Lakini Salahuddin, baada ya kutafakari kwa kina kuhusu umuhimu wa jambo hili kwa Uislam, na wajibu uliowaangukia Waislamu kuchukua hatua, alikataa na kuendelea na mipango yake.

Majibu yake yalikuwa haya: “Maisha ya binadamu ni mafupi sana, kifo hakina miadi, na kuwaacha wavamizi kwenye ardhi za Waislamu kwa zaidi ya siku moja wakati uwezo wa kuwafurusha tunao, ni kitendo kisichokubalika, ambacho siwezi kukivumilia”. Kwa msingi huo, Salahhudin Ayyubi aliingiza askari wake vitani. Hakutoa visingizio wala sababu hewa!

Leo hii, mashujaa wa Kiislamu duniani, walio katika nafasi ya kuchukua hatua, wanapaswa kujifunza si tu kwa Salahuddin, bali kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu mwenyewe. Katika kipindi cha Salahuddin Ayyubi, dola ya Kiislamu ilikuwa bado ingalipo, ingawa ilikuwa imegawika mno na Salahuddin ndiye aliyeiunganisha kwanza, kabla hajaanza kukabiliana na

Makruseda.Lakini wakati wa kipindi cha

Mtume wa Mwenyezi Mungu, yeye ndiye aliyefanya harakati za mwanzo kusimamisha dola hii na iliposimama tu, ndipo vita vya Uislamu vilipoanza. Na Mwenyezi Mungu Mtukufu amewabainishia wazi mashujaa wa Kiislamu duniani, kuhusu umuhimu, uzito na mazingira ya mapambano haya katika njia yake:

“Mwenyezi Mungu amenunua kwa Waislamu nafsi zao na mali zao, ili na yeye awape Pepo.Wanapigana katika njia ya Mwenyezi Mungu, wanaua na wanauawa. Hii ndiyo ahadi aliyoiweka (Mwenyezi Mungu) katika Taurati na Injili na Qur’an. Na ni nani atekelezaye zaidi ahadi yake kuliko Mwenyezi Mungu? Basi furahini kwa biashara yenu mliofanya naye (Mwenyezi Mungu). Na huko ndiko kufuzu kukubwa” Qur (9:111).

Changamoto hizo bado ziko mpaka leo na zinahitaji kujibiwa na mashujaa wa Ki i s lamu u l i m we n g u n i . I l i k u we z a kujibu changamoto hizo, lazima Waislamu waweke imani yao kikamilifu kwa Mwenyezi Mungu, waondokane kabisa na hofu za kidunia na wachukue hatua za kujinusuru, wakijuwa wazi kwamba Mwenyezi Mungu yuko pamoja na wale wanaopigana kweli katika njia yake.

Na tena wale Waislamu wenye uwezo wa kuchukua hatua za kuwanusuru ndugu zao wa Gaza wasisahau kwamba kupuuzia kutekeleza jukumu hilo kutasababisha hasira za Mwenyezi Mungu ziwaangukie. Mwenyezi Mungu anasema ndani ya Qur’an:

“Je! Wakati haujafika tu kwa wale walioamini kwamba nyoyo zao zinyenyekee kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu na kwa mambo ya haki yaliyoteremka? Wala wasiwe kama wale waliopewa kitabu zamani (Mayahudi na

Manasara), na muda wao (wa kuondokewa na Mitume); kwa hivi nyoyo zao zikawa ngumu, na wengi wao wakawa waasi” Qur (57:16)

Nilishawahi kuandika huko nyuma, raia wa kawaida hawawezi kupambana na jeshi la mayahudi linaloangamiza ndugu zetu wa Gaza. Raia wa kawaida duniani kote wameshaonyesha hisia zao za kupinga unyama wa Israel kupitia maandamano na matamko yao. Hawana nguvu zaidi masikini ya kuwanusuru Wapalestina kuliko hiyo ya kupaza sauti!

Lakini watawala wa nchi za Kiislamu na majeshi yao wana uwezo mkubwa wa kuchukua hatua zinazofaa kukomesha maangamizi hayo. Lakini, kwa masikitiko makubwa, hawachukui hatua za kurekebisha hali hiyo, kutokana na sababu wanazojua zaidi wao wenyewe! Kwa sababu hiyo, niwakumbushe kuhusu siku ambayo watasimama mbele ya Mola wao, wakisubiri hukumu ya mambo waliyoyatenda hapa duniani, na yale waliyoacha kuyatenda.

Mali , umaarufu, heshima na hadhi wanayotafuta hapa duniani hawataenda nayo kaburini isipokuwa amali zao. Angalau leo wanayo fursa ya kujiwekea amali njema, kwa kuwanusuru ndugu zao wa Gaza, lakini kesho Mwenyezi Mungu anaweza kuwaondolea fursa hii adhimu, bila wenyewe kutambua, na kujikuta wamekula hasara ya kudumu Akhira. Mwenyezi Mungu anasema:

“Mna nini hampigani katika njia ya Mwenyezi Mungu na (katika kuwaokoa) wale walio dhaifu - katika wanaume na wanawake na watoto - ambao husema: “Mola wetu! Tutoe katika mji huu ambao watu wake ni madhalimu na tujaalie tuwe tuna mlinzi anayetoka kwako na tujaalie tuwe na wa kutunusuru anayetoka kwako” Qur (4:75).

WAPALESTINA wakienda kuzika baadhi ya maiti waliouawa na majeshi ya Israel, Gaza hivi karibuni.

Page 15: ANNUUR 1140

15 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014Makala/Habari

Tapeli wa kusilimu akamatwa tena MsikitiniInatoka Uk. 16la Donad Antony Charles na kwamba anataka kusilimu.

Alionana na Imam wa Msikiti huo Sheikh Alli Shaaban na kumweleza kuwa yeye ni Mkiristo na kwamba anataka kusilimu.

Imam huyo alimkabidhi Bw. Donald kwa Ustadhi Mwalaa, ambaye alimpokea na baada ya swala ya Alaasir, alisimama na kuwatambulisha waumini kuwa kuna ndugu yao Donald ameamua kutoka katika Ukristo na kuingia katika Uislam. Kijana Donald alishachagua jina jipya la kusilimu na kwamba angependa kuitwa la Mussa Antony Charles.

Kwa bahat i , tapel i huyo a l i g u n d u l i wa m a p e m a n a muumini mmoja aliyetambulika k wa j i n a l a S e i f , a m b a ye aliswali katika msikiti huo na ambaye alishuhudia tukio la awali kukamatwa mhalifu huyo siku za nyuma huko Mbagala akijitambulia vivyo hivyo katika msikit ini kuwa ni Mkristo anayetaka kusilimu.

Muumini huyo alimfahamisha Ustadhi Mwalaa kuwa kijana huyo ni tapeli maarufu na habari zake ziliwahi kuripotiwa katika gazeti hili (An nuur) mwaka jana na tahadhari ilitolewa.

B a a d a ya h a p o , I m a m u aliamuru tapeli huyo akamatwe na kupelekwa kituo cha Polisi Pangani Ilala Jijini Dar es Salaam kilichopo mbele kidogo ya Msikiti huo.

Hapo polis i walimuuliza mhalifu huyo kama yeye ni Mkiristo au Muislamu na akajibu kuwa yeye ni Mkristo. Alipoulizwa kama alishawahi kupata kipa imara, akajibu “ndio”.

Polisi walimtaka aeleze nini

maana ya kipa imara, hakujibu. Waliendela kumhoji kijana huyo kwamba ni kwanini anasilimu mara kwa mara na kwamba, hajui kuwa kufanya hivyo anachezea imani za watu? Mhalifu huyo alijibu kuwa anafanya hivyo kwasababu ya njaa!

Walimuuliza aliposilimu mara ya kwanza huko Tabata alipewa nini, akajibu kuwa alipewa fedha.

“Wewe kweli ni tapeli, huyu anaweza kuwa kwao hakutoka vizuri, kuchezea Imani za dini nyingine ni hatari, bahati yako ungekamatwa msikiti wa Idrisa Kariakoo ungefikishwa kituoni na ngeu au uko hoi, pale hawana mchezo” alisema askari mmoja kituoni hapo.

Siku za nyuma kijana Donald Anthony Charles, aliwahi kusilimu katika misikiti mbalimbali jijini Dar es Salaam zaidi ya mara nane.

Aliwahi kukamatwa mwaka jana huko Mbagala akiwa katika zoezi lake hilo hilo la kusilimu. Baadhi ya waumini wanaofahamu uhalifu wake kumgundua kuwa ni mhalifu yule yule aliyekuwa akitafutwa huko Tabata akidaiwa kutaka kusilimu, lakini kabla ya zoezi la kusilimu kufanyika, w a u m i n i w a l i g u n d u a n a alikamatwa na kupelekwa katika Msikiti alioanza kusilimu wa Al- Masjid Bilal, Tabata Ugombolwa, Kata ya Segerea Wilayani Ilala Jijini Dar es Salaam.

Alisilimu msikitini hapo akiitwa John Antony Charles na kuchagua jina la Shaibu Antony Charles.

Alipofikishwa katika msikiti huo wa Bilal, alipelekwa katika Ofisi ya Serikali ya Mtaa Ugombolwa, Kata ya Segerea katika Manispaa ya Ilala na hapo akapelekwa kituo cha polisi kilichokuwa karibu kwa hatua zaidi za kisheria.

RAMALLAH,– (WAFA) – Foreign Minister Riad al-Malki called Wednesday to investigate the possible involvement of foreign volunteers, who serve in the Israeli occupation army and took part in the latest Israeli aggression on Gaza, in the perpetration of war crimes.

Al-Malki wrote to UN Secretary-General Bani Ki-moon and to the governments of other states, urging them to assume their responsibilities and reminding them of their obligations with regard to implementing the international humanitarian law, human rights law, four Geneva Conventions along with their protocols.

In his letter, Al-Malki pointed out that after cooperating with human rights organizations, it has become apparent that foreign nationals have served in the Israeli occupation army, participated in the recent military aggression and committed war crimes in Gaza Strip, urging these states to prosecute their nationals conscripted in the Israeli army and hold them accountable.

Thousands of soldiers with dual nationality are conscripted in the Israeli occupation army under the Machal and Sar-El programs. The Mahal program enables young Jews aged 18 to 24 years from around the world who don't have Israeli citizenship to volunteer for the Israeli occupation army. They serve in full combat and support roles for one-and-a-half years in order to get temporary residency status.

Sar-El is a program jointly implemented by the Jewish Agency and the Israeli occupation army. It enables Jewish volunteers from around the world to volunteer on Israeli army basis for a period of one week to one month.

Al-Malki demanded in his letter that foreign states identify their nationals serving in the Israeli occupation army, including those serving under Machal and Sar-El programs and notify them of Israeli war crimes and violations of international law committed during the recent aggression on Gaza as well as of criminal liability that they might bear for that.

Al-Malki urged these states to hold an investigation into crimes committed by their nationals and prosecute them within their jurisdiction and urged them to investigate in allegations that their nationals were involved in the commission and abetting of war crimes during the recent Israeli onslaught on Gaza Strip, and prosecuting these individuals where appropriate

Al-Malki urged for promptly convening the high contracting parties to the four Geneva Conventions in order to oblige Israel to implement these conventions on the Occupied Palestinian Territories and to fully respect them.

He concluded that his ministry would seek to prosecute all those who participated in the last onslaught and committed war crimes against the Palestinian people and would press charges and indict Israel.

Foreign Minister: Possible Involvement of Foreign Volunteers in Israeli Army War Crimes in GazaWFP Humanitarian Convoy Delivers

Food to Gaza through Egypt’s Rafah Crossing

GAZA, August (WAFA) - For the first time since 2007, a humanitarian convoy of the United Nations World Food Programme (WFP) successfully crossed from Egypt into the Gaza Strip yesterday on Wednesday, carrying enough food to feed around 150,000 people for five days, said the World Food Programme (WFP).

After a seven-hour drive from Alexandria – where the food was procured – across the Sinai Peninsula, WFP’s trucks arrived at the Rafah crossing. The convoy of 18 trucks carried 15,600 food parcels – part of a total batch of 25,000 food parcels. The parcels include ready-to-eat food such as canned meat, canned beans, tea and dates. A second convoy with the remaining parcels is expected to cross into Gaza in the next few days. This is the first time that WFP has used the Rafah crossing point since the start of the Gaza blockade in 2007.

“It is extremely important that we have access to the Gaza Strip from different routes including the Rafah crossing to ensure a constant flow of humanitarian supplies to meet the growing needs of the people affected by the recent violence. We are grateful to the Government of Egypt for opening the Rafah crossing and allowing WFP to procure food in Egypt,” said Mohamed Diab, WFP Regional Director for the Middle East, North Africa, Central Asia and East Europe.

To respond to the urgent need for humanitarian aid in Gaza, the UN in Palestine has activated the logistics cluster. Under the leadership of WFP, the cluster is in charge of coordinating the movement of humanitarian assistance into Gaza. The Egyptian Red Crescent is coordinating all the crossing of humanitarian goods through Rafah.

“The opening of the Rafah crossing for humanitarian aid provides a major opportunity to scale up aid delivery to Gaza and needs to be sustained,” says WFP Country Director Pablo Recalde. “WFP has provided emergency relief from the onset of the conflict and will continue its food deliveries to Gaza to reach people affected by the conflict”.

Since the start of the conflict at the beginning of July, WFP has provided daily emergency food rations to up to 350,000 displaced people in Gaza, while reaching more than 120,000 people with emergency vouchers. WFP and its partners are constantly reviewing the needs on the ground to provide the necessary assistance.

To continue its food assistance programmes in Palestine, WFP requires approximately US$70 million for its humanitarian response in Gaza for a period of three months, said the release.

WFP is the world's largest humanitarian agency fighting hunger worldwide, delivering food in emergencies and working with

communities to build resilience. In 2013, WFP assisted more than 80 million people in 75 countries.

Ashrawi Stresses that Status Quo cannot be Maintained

RAMALLAH,– (WAFA) – PLO Eceutive Committee Member Hanan Ashrawi stressed Wednesday that the status quo cannot be maintained

Ashrawi made this remark during a meeting with an advanced delegation from the Elders at the PLO Headquarters in Ramallah.

In the meeting, Ashrawi stressed, “The status quo cannot be maintained, and we will never accept for Gaza to be severed from the West Bank (including occupied East Jerusalem). Now is the time to move forward with reconciliation, reconstruction and independence.”

Both part ies discussed the work of The Elders and its future projects and initiatives, national

unity, the need for reconstruction in Gaza, future Palestinian steps and measures to reach a binding solution, and the need for immediate international intervention to hold Israel accountable and to provide an international system of protection for the Palestinian people.

“If members of the international community are unable to bring Israel to abide by signed agreements, international law and conventions, and the global rule of law, we will press ahead and hold Israel accountable for its war crimes and human rights atrocities, and resort to the international legal system. The real solution lies in ending the occupation and recognizing the independent Palestinian state on the 1967 borders with East Jerusalem as its capital,” concluded Ashrawi.Contact us: P.O Box 20307, 612 UN Road – Upanga West, Dar es Salaam Tel: 2152813, 2150643 Fax: 2153257 Email: [email protected] Website: www.pal-tz.org

Page 16: ANNUUR 1140

16 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 201416 MAKALA

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works Limited, S.L.P. 4605 Dar es Salaam.

AN-NUUR16 DHULQAAD 1435, IJUMAA IJUMAA AGOSTI 29-SEPT. 4, 2014

Tanzania Muslim Hajj Trust. Uandikishaji unaendelea, gharama za Safari ni $ 4400Tarehe za safari ni 22 na 24 Septemba na Kurudi 16 na 19 Oktoba, 2014.Tunasafiri na Shirika la Ndege Umoja wa Falme za Kiarabu EMIRATES.

Wahi kujiandikisha sasa.Kwa Mawasiliano: +255222181577 +2552221823700786 383820 0717 [email protected] or Website: wwwhajjtrusttz.org

Safari ya Hijja Hijiria 1435/2014

WAISLAMU wa kada mbalimbali Jijini Dar es Salaam, wamejitokeza na kuichangia Shule ya Mivumoni, iliyopo katika Msikiti wa Mtambani, fedha na vifaa vya ujenzi kufuatia ajali ya moto iliyoteketeza Shule hiyo.

Zoezi hilo, lilifanyika mara baada ya Ibada ya swala ya Ijumaa ya wiki iliyopita Msikitini hapo, ambapo Waislamu hao walitoa pesa tasilimu, ahadi ya fedha na vifaa vya ujenzi.

Awali akiongea mbele ya Waislamu, msimamizi w a u c h a n g i a j i h u o Mwenyekiti wa Wamiliki wa Shule na Vyuo Visivyo vya Serikali Tanzania (TAMONGSCO) Mh. M a h a m o u d M r i n g o , a l i s e m a j u k u m u l a kuihuisha Shule hiyo ni la Waislamu na kila mpenda maendeleo nchini.

A l i s e m a , kinachoangaliwa hapo ni elimu inayotoka hapo k we n d a k wa v i j a n a wa Kitanzania na s i vinginevyo kwani suala la kupata elimu kwa Muislamu ni faradhi (lazima).

Alisema, aliposikia kuna zoezi la uchangiaji wa Shule hiyo wa pamoja Msikitini hapo Ijumaa (iliyopita) aliwasiliana na wadau kadhaa juu ya suala hilo, ambapo kati ya hao watatu wameahidi kuchangia Sh 5milioni, kila mmoja na ahadi ya mifuko 100 ya smenti.

“Nilipokuwa najiandaa kuja hapa niliwasiliana na baadhi ya wenzangu, wa kwanza akaahidi kuchangia Sh 5m, wa pili tena kahidi Sh 5m, na mwingine ni mfanyakazi wa Serikalini kasema atatoa Sh 5m, lakini kuna Wazee wawili kila mmoja kaahidi kutoa mifuko 50, ya sment.” Alisema Mh. Mringo.

Mbali ya ahadi hizo pia Mh. Mringo, alisema

Waislamu wachangia Masjid MtambaniNa Bakari Mwakangwale U m o j a wa Wa f a n ya

biashara ndogondongo M i d i z i n i , M a n z e s e , w a m e c h a n g i a k i a s i cha Shilingi 100,077/-, huku akimtaja Bw. Ally Mwanana, kuwa ameagizwa na Waislamu kutoa ahadi ya mifuko 200 ya sment, nondo Tani mbili, pamoja na Kompyuta.

Naye Meneja wa Shule za Daarul Arqam, Ustadhi Abdul Azizi Shawwal, ak iongea kwa niaba ya Umoja wa Shule za Kiislamu, alisema kila S h u l e k a t i k a u m o j a huo imepewa jukumu la kuchangia kiasi cha 500,000/-.

A l i s e m a , m p a k a sasa (Ijumaa iliyopita) tayari amepokea pesa kutoka kwa baadhi ya Shule, ambapo alizitaja na kiasi zilizotoa katika mabano kuwa ni Ubungo Islamic, (500,800/-), huku wanafunzi wa Shule hiyo wakiwachangia wenzao vifaa mbalimbali kama kalamu, sabuni, vitabu pamoja na madaftari.

Chamanzi Is lamic , (500,000/-) Aljebra Islamic (1 .6mi l ion i ) Daarul -Arqam (1.5mil ioni) , Chuo cha Ualimu na Sekondari ya Ununio ( 3 0 0 , 0 0 0 / - ) a k a s e m a Shule zingine zimeahidi kuwasilisha michango yao zitakapokuwa tayari.

H a t a h i v y o U s t . Shawwal, alisema kwa uchache mameneja wa Shule za Kiislamu kwa ujumla, wamejipanga k u p a t a k i a s i c h a 15milioni, kwa ajili ya kusaidia kuihuisha Shule ya Mtambani, ili vijana wa Kiislamu waendelee kupata fulsa ya kupata elimu.

Mh. Mringo, alisema hivi sasa Waislamu pamoja na kuwa na Shule nyingi, lakini hawana budi sasa kuchangishana na kujikita kat ika kujenga vyuo vidogo vitakavyosaidi vijana wao kujiendeleza zaidi baada ya elimu ya Sekondari.

Mwenyekiti huyo wa Wamiliki wa Shule na Vyuo Visivyo vya Serikali nchini, alisema huko mitaani kuna watu wanaotumia elimu ya kuzaliwa na elimu ya kufundishwa ambapo akasema ile ya kuzaliwa ipo kwa Waislamu na ya kufundishwa ipo nje ya Waislamu.

Akifafanua alisema, wanaotumia aki l i ya kufundishwa wao lazima watu wao wapitie katika elimu, kwamba hakuna

u j a n j a n a k a m a n i mtihami watafaulishwa tu iwe iwavyo, na mwisho wa siku lazima watakuja kuwa manesi, madaktari au wataangukia katika taaluma yoyote ile.

Alisema, kwao hao hakuna suala la kufeli, kwani wanahakikisha wanabebana kupi t ia vyuo vyao, bali akasema, kufeli kunaanzia kwa Waislamu kutokana na uhaba wa vyuo vyao na kaigawa amri ya kwanza

ya kusoma.“Mimi ni Mwenyekiti

wa Shule na Vyuo visizvyo vya Serikali, vikiwemo vya kidini na vinginevyo kwa hiyo dini zote mimi nakutananao n ik iwa kama Mwenyekiti wao na wote hao wanaongea na kuhimizana habari za Iqra kwa makundi yao”. Alisema Mh. Mringo, akiwashajiisha Waislamu kujikita katika zaidi katika sekta ya elimu husani Vyuo.

YULE tapeli maarufu wa kusilimu aliyekuwa a k i i n g i a m i s i k i t i n i na kujifanya Mkristo anayesilimu na kujipatia misaada ya fedha kwa njia ya udanganyifu, a m e k a m a t w a t e n a akifanya utapeli wake k a t i k a M s i k i t i w a Morogoro, Ilala jijini Dar es Salaam.

S a f a r i h i i k i j a n a Donald Antony Charles, ambaye siku za nyuma

Tapeli wa kusilimu akamatwa tena MsikitiniNa Abdulkarim Msengakamba aliwahi kukamatwa na

kufikishwa na waumini wa Kiislamu katika kituo cha polisi Mbagala kwa kosa la kujifanya Mkristo a n a ye t a k a k u s i l i m u na kutaka misaada na baadae kubainika kuwa si Muislamu, amekamatwa k a t i k a M s i k i t i w a Morogoro Ilala jijini Dar es Salaam.

Donald alifika msikitini hapo Jumatatu wik i hii muda wa Alasir na kujitambulisha kwa jina

InaendeleaUk. 15Donald Antony Charles

Meneja wa Shule za Daarul Arqam, Ustadhi Abdul Azizi Shawwal akiwa na Mkurugenzi wa Algebra Islamic Seminary (kushoto) Mwl. Ansar Kachwamba wakitoa ahadi ya kuchangia Shule ya Kiislamu Mivumoni (Mtambani) Ijumaa iliyopita.