ANNUUR 1165

20
ISSN 0856 - 3861 Na. 1165 JAMADIUL AWWAL 1436, IJUMAA , FEBRUARI 20-26, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Uk.2 Mpenzi msomaji ANNUUR linapatikana kwa Shs 800/= tu Jihad kubwa inahitajika Tanzania Ni baada ya taarifa za Amboni, Tanga JWTZ wajue Jihad hii inawahusu pia Wandishi tunacheza mchezo tusioujua Afande Paul Chagonja yupo sahihi kabisa Hatuna jeshi la kupambana na ‘magaidi’ ZILIKUWEPO zama kila Mzanzibari alisema, Shabash, sasa haya ndiyo maisha BIZANJE ilimuwezesha mnunuzi kuona sio ananunua, anaona kama Lia lia zamani natamani Bizanje urudi Zanzibar anatunukiwa. Hii ni kwa sababu kila mmoja alikuwa, awe wa juu au yule hoe hahe, wote wakimudu kuvinunua hivyo vitu na kuvifurahia. (Uk. 19) MKUU wa Majeshi Tanzania, Jenerali Davis Mwamunyange. Soma Uk. 4 MAHAKAMA ya Kijeshi ikitazama shauri la Wanajeshi waliogoma kupigana na Boko Harram Nigeria. KAMISHNA wa Operesheni na Mafunzo, Paul Chagonji. Soma Uk. 10 Nani wanaoteka vituo vya polisi?

Transcript of ANNUUR 1165

Page 1: ANNUUR 1165

ISSN 0856 - 3861 Na. 1165 JAMADIUL AWWAL 1436, IJUMAA , FEBRUARI 20-26, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamu

Uk.2

Mpenzi msomaji ANNUUR linapatikana kwa Shs 800/= tu

Jihad kubwa inahitajika TanzaniaNi baada ya taarifa za Amboni, TangaJWTZ wajue Jihad hii inawahusu pia

Wandishi tunachezamchezo tusioujua

Afande Paul Chagonja yupo sahihi kabisaHatuna jeshi la kupambana na ‘magaidi’

Z I L I K U W E P O z a m a k i l a M z a n z i b a r i alisema, Shabash, sasa h a y a n d i y o m a i s h a BIZANJE ilimuwezesha m n u n u z i k u o n a s i o ananunua, anaona kama

Lia lia zamani natamaniBizanje urudi Zanzibar

anatunukiwa.Hii ni kwa sababu kila

mmoja alikuwa, awe wa juu au yule hoe hahe, wote wakimudu kuvinunua hivyo vitu na kuvifurahia. (Uk. 19)

MKUU wa Majeshi Tanzania, Jenerali Davis Mwamunyange. Soma Uk. 4MAHAKAMA ya Kijeshi ikitazama shauri la Wanajeshi waliogoma kupigana na

Boko Harram Nigeria.

KAMISHNA wa Operesheni na Mafunzo, Paul Chagonji. Soma Uk. 10

Nani wanaoteka vituo vya polisi?

Page 2: ANNUUR 1165

2 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Maoni

MWEZI Februari 2008 ilisambazwa video katika mitandao ikionyesha p i c h a y a k u n d i l a Wasomali wakimshikilia Msomali mwenzao, tayari kwa kumchinja. Maelezo ya video na picha hiyo yakawa kuwa huo ni ukatili wa Al-Shabaab wakimchinja Mkristo.

Picha hiyo ilisambaa sana ikawa kielelezo na ‘Cheating Aid’ katika v y o m b o v y a h a b a r i kuelezea ukatili wa Al-Shabaab dhidi ya Wakristo.

Video inawaonyesha wanaodaiwa kuwa ni Al-Shabaab, wakisoma aya katika Qur’ana inayodaiwa kuwa inahalalisha kuuliwa kwa mtu huyo kwa sababu alikuwa jasusi dhidi ya Mujahidina. Na kwamba kwa ujasusi wake, huenda watakuwa wameuliwa Mujahidina wengi, kwa hiyo naye anastahiki kuuliwa.

“Chr is t ian Convert Beheaded by Al-Shabaab L e a d e r s ” , n d i v y o kilivyokuwa kichwa cha habari kama ilivyoripotiwa na ABC News.

“On the video, the convert, who worked for a local humanitarian agency, is seen on his knees, while several Al-Shabaab leaders stand behind him chanting from the Koran. After the actual beheading, the leaders held up the head to display to the crowd before placing it on the man’s stomach and walking away. “

I l ir ipoti ABC News ya Marekani, hiyo ikiwa Desemba 2008.

Ilipofika Januari 28, 2012 picha hiyo hiyo ikasambazwa tena katika mtandao ikidai kuwa hao ni Boko Haram wakichinja Mkristo Nigeria.

“Boko Haram Beheads Chr is t ian Man- Very Graphic Video”, ndio vilivyoripoti vyombo vya habari vikinukuu taarifa za mitandao na picha hizo.

“Nigeria Islamist Boko Haram beheads a Christian again”, iliandikwa katika mtandao mmoja Februari

Magazeti Raia Tanzania, Ijumaa…

Wawataje walioteka vituo na kuiba silaha

Ni wazi wanawajua waliosambaza kandaWakitamba kuteka vituo na kuuwa Polisi

12, 2012 na kufuatiwa na maelezo yafuatayo.

“The Islamist activist called the Boko Haram has beheaded another Christian in Northern Nigeria. Please we need the help of America to interfere. We are really losing our brothers and sisters, please help us. This link shows how another Christian was beheaded.”

Taarifa katika magazeti zikaonya kuwa ukifungua “Link” hiyo, kama una moyo mwepesi, usifungue maana inatisha. Na kweli i n a t i s h a m a a n a m t u anachinjwa mpaka kichwa kinatenganishwa na mwili halafu kinachukuliwa kinaweka juu ya mgongo wake.

Vyombo vya habari vile vile vilivyotangaza awali kuwa hao ni magaidi wa Al-Shabaab, vikapaza tena sauti vikidai “angalieni jamani ugaidi wa Boko H a r a m wa n a v y o u wa Wakristo Nigeria.”

“OnlineNigeria posts propaganda 2008 Somalia beheading video as Boko”, ndio ilivyoripotiwa katika vyombo vya habari na baadhi ya mitandao mara tu baada ya video hiyo kuanza kusambaa kwa mara ya pili.

Watu wakaanza tena kurushiana video hiyo ikiwa na maeleo kuwa hao ni Boko Haram, na zile za awali ambazo bado zilikuwa katika mtandao ikidaiwa kuwa hao ni Al-Shabaab.

Kut izama wakaona ni sawa na ile iliyokuwa katika ABC News na CNN mwaka 2008 ikiwa na kichwa cha habari “Somali Christian Beheaded for his Faith.”

Ukitizama video hiyo ambayo mpaka sasa ipo katika mtandao, watu ni wale wale waliodaiwa kuwa ni Al-Shabaab wa Somali, na nguo walizovaa n i z i l e z i l e i k i w e m o vitambaa walivyofunika nyuso zao wasijulikane.

Kilichobadilika ni kuwa unasikia yametiwa manneo ya Kihausa.

Mtandao moja maarufu nchini Nigeria ujulikanao kwa jina la NewsRescue, u l i t o a t a a r i f a n d e f u uk ie lezea mas ik i t iko yake juu ya mchezo huu mchafu wanaochezewa wananchi wa Nigeria. Tungependa kunukuu sehemu ya maelezo yao kwa Kiingereza kama walivyoandika. Walisema:

“It is really disheartening to see a so-far, respectable online news outlet, like OnlineNigeria loose its ent ire disc ipl ine and editorial-conscience, and get involved in a dirty anti-Nigeria and anti-peace, malevolent propaganda campaign of this nature. The questions to be asked are: Who is behind the propagation of this leering information? Who fed OnlineNigeria a video from December 2008, that transpired in Somalia, to post as news from Nigeria in 2012? Did OnlineNigeria dig up the old video, clean it and present if for a questionable agenda? What are these agents’ intentions and how far will they go to fulfill their evil agenda for Nigeria? Promote and equipping Boko Haram? Boko Haram is a real menace, but it is obvious certain entities are unduly and overzealously exci ted by i ts chaos-causing prospects almost to a patronizing level.”

U f u p i wa m a n e n o wanauliza wanaosambaza propaganda hizi chafu k u t o k a S o m a l i a n a kuzifanya za Nigeria ili kuleta machafuko baina ya Waislamu na Wakristo kupitia Boko Haram, lengo lao nini? Wanatumwa na nani?

Tutaje pia hapa zile taarifa za Reno Omokri na “Wendell Simlin” katika mtandao zilizowashutumu b a a d h i ya Wa i s l a m u kule Nigeria kuwa ndio w a f a d h i l i w a k u b w a w a u g a i d i . H a b a r i zilionyeshwa kutumwa na Wendell Simlin akitumia a n u w a n i y a e m a i l , [email protected]. Hata hivyo, utaalamu wa IT ukabaini kuwa kumbe aliyetuma taarifa hiyo ni Reno Omokrim kutoka Ikulu ya Rais wa Nigeria.

K a t i k a h a b a r i h i i tunachosisitiza ni kuwa katika utaalamu wa leo, huwezi kutuma taarifa katika mtandao ukajificha usijulikane kuwa ndio wewe uliyetuma. Wala ukapokea taarifa halafu ukatuambia kuwa hujui imetumwa kutoka wapi, na kwa maana hiyo kumjua aliyekutumia. Katika picha ataficha uso kama zile picha za gazeti la Raia Tanzania na Ijumaa, lakini Mhariri lazima atakuwa anajua zimetoka kwa nani.

Hivi karibuni baadhi ya vyombo vya habari

vimetoa picha na sehemu ya mkanda wa video ukimuonyesha mtu mmoja akidai kuwa yeye ni katika kundi la watu wa Jihad walioteka vituo vya Polisi kujikusanyia silaha za kufanyia ‘Jihad’.

Gazeti la Raia Tanzania la Jumatatu Februari 16, 2015, likatoa picha waliyodai kuwa ni kutoka katika v ideo i l iyosambazwa mitandaoni ikiwataka vijana wa Kiislamu mkoani Tanga kujiunga na vita ya Jihad.

Watu katika picha hiyo, kama kawaida wameficha nyuso zao huku wakiwa wameshikilia bunduki na nyuma yao kukiwa na kitambaa cheusi kikiwa na maandishi yanayoonekana y a K i a r a b u l a k i n i yasiyosomeka.

Mwandishi wa Raia Tanzania katika habari iliyo ukurasa wa 4 anahoji baadhi ya Masheikh wa Tanga akitaka kujua iwapo wanaunga mkono Jihad iliyotangazwa na watu hao walioficha nyuso zao na maoni yao kwa ujumla.

Sisi tunadhani kuwa p e n g i n e k a b l a R a i a Tanzania hawajawaendea Masheikh hao, wangejiuliza na kujibu swali hili:

H i v i M a a s k o f u , Masheikh na viongozi wa ngazi yoyote na wa dini yoyote ile, wanaficha nyuso zao wakihubiria watu wao mambo ya Mungu?

Ugaidi Tanga, ndio k i c h w a c h a h a b a r i kil ichobeba habari ya gazeti la Raia Tanzania. Na ukisoma habari nzima p a m o j a n a m a s w a l i wanayoulizwa Masheikh, ni katika kutaka kuthibitisha k i l i c h o k w i s h a s e m wa mbele “Ugaidi Tanga.”

Na hapa pengine ndipo wanapokosea Masheikh w e t u . W a n a d h a n i wanapoulizwa na watu hawa, wanataka kujua ukweli. Hao hawataki k u e l i m i s h w a w a l a hawataki kujua ukweli. Wanachofanya ni kutafuta mashiko ya propaganda z a o . We we u k i s e m a , wanaopora silaha vituo polisi na kutangaza Jihad, hawana e l imu sahihi ya Uislamu, umesaidia s a n a p r o p a g a n d a ya k u t u k a n a Wa i s l a m u . Maana ulichosema ni kama kuthibitisha kuwa hao walioficha nyuso zao ni Waislamu, ila tu hawana elimu wanastahiki kupewa darsa. Nani kakuambia hao ni Waislamu?

Ingekuwa shida ya waandishi hao ni kujua ukweli, wala wasingekuja kwa Masheikh. Na lazima t u s e m e h a p a k u w a wala hawana nia njema kama wanavyojifanya. Wangekuwa na nia njema, wangechukua juhudi kidogo tu kujua, nani katengeneza video hizo ‘feki’ na nani kazituma.

Ijumaa lenyewe limedai

kuwa limepewa video mkononi na mtu mmoja. Hiyo ni video kutoka kwa mtu anayejitaja kuwa ndiye Kamanda wa Kundi la Kuteka vituo vya Polisi.

Sisi tuseme yafuatayo: Yapo mambo mawili, mosi ni kuwa kama aliyedai kuteka vituo vya Polisi ni huyo katika video ya magazeti, bila shaka hivi sasa polisi wanaye mkononi ila tu hawataki kusema. Hii ni kwa sababu maadhali video hizo zimetumwa katika simu za wahariri na waandishi wa magazeti au katika computa zao, lazima watakuwa wanajua zimetoka kwa nani. Kwa utaalamu kidogo wa IT, walio nao waandishi, hiyo inakuwa kazi rahisi kabisa. Lakini wapo pia wale waliosema kuwa video hizo walipewa mkononi.

La pili ni kuwa kama polisi hawakushughulishwa na taarifa hizi za magazeti, ka t ika muktadha wa kutekwa vituo vya Polisi na kuibwa silaha, maana yake ni kuwa hawaziamni. W a n a j u a k u w a n i propaganda. Swali sasa litakuwa, nini sababu ya propaganda hizi? Nini lengo la aliyetengeneza propaganda hiyo na nini lengo la wanaozisambaza? K a m a t u n a s e m a n i propaganda, sio za kweli, lakini kinachohimizwa ni ugaidi. Je, ni sahihi kuacha taarifa hizo zisambae?

N i g e r i a y u p o m t u anaitwa Abubakar Shekau. Kila siku anatolewa katika mitandao na vyombo vya habari akitamba kufanya ugaidi huu na ule. Toka anateka wasichana wa shule na vituo vidogo vya Polisi, kama Ushirombo na Ikwiriri, hivi sasa anateka miji na kambi za jeshi. Lakini ukimtizama, hafanani kabisa na yanayodaiwa kufanywa na Boko Haram. Yeye anakuwa ni chombo tu cha propaganda za kupakazia Boko Haram, lakini wanaofanya matukio ni wengine kabisa. Ndio maana inafikia mahali Jeshi la Nigeria linatuhumiwa kuasi. Maana hawaelewi wanapigana na Shekau au nani? Haiwezi kuwa Shekau wanayeambiwa kuwa ndiye Boko Haram alishinde Jeshi la Nigeria na nchi za jirani!

Hivi sasa Nigeria, japo wamechelewa, wanaanza kujua propaganda iliyo n y u m a ya A b u b a k a r Shekau. Angalia: Boko Haram: Global Media Busted Promoting Fake Images Of “Ghost” Of Shekau.

Sasa labda tujiulize, kwa habari hizi za Raia Tanzania na Ijumaa, je, tunataka tujitengenezee “Ghost” Of Shekau zetu? Lengo nini? Je, ni ishara ya kuwaonea wivu na kutamani kuonja ‘tamu’ ya Boko Haram, waliyo nayo Nigeria?

Page 3: ANNUUR 1165

3 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015Maoni/Tangazo

Binafsi nadhani hali si shwariKUTOKANA na kukithiri matukio ya kihalifu katika sehemu mbalimbali za nchi yetu, ni dhahiri kwamba sasa hali si shwari nchini. Vituo vya polisi vinazidi kuvamiwa na wahalifu kufanya mauaji au kujeruhi na kutoweka na silaha.

Mwezi Juni mwaka jana, majambazi wanaokisiwa kuwa sita, wakiwa na pikipiki tatu, walivamia Kituo Kidogo cha Polisi M k a m b a , k i l i c h o p o Kimanzichana, Wilaya ya Mkuranga, Pwani na kuua askari mmoja na kupora bunduki tano na risasi 60.

Aliyeuliwa ni Konstebo J o s e p h N g o n ya n i n a wenzake Venance Francis na Mariamu Mkamba walijeruhiwa, ambapo w a l i p e l e k w a k a t i k a H o s p i t a l i ya Wi l a ya Mkuranga kwa matibabu.

Septemba mwaka jana, majambazi yalivamia Kituo cha Polisi Ushirombo, Wi l a ya ya B u k o m b e mkoani Geita na kuua askari polisi wawili na kujeruhi wengine wawili na kupora bunduki 10 ambazo hata hivyo baadae zilipatikana. Waliouawa ni PC Dastan Kimati na PC Uria Mwandiga na waliojeruhiwa ni CPL David na PC Mohamed.

J a n u a r i 1 5 w a t u wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha za kivita na mabomu ya kutupa kwa mkono walivamia Kituo cha Polisi Ikwiriri, Rufiji mkoani Pwani na kuua askari polisi wawili na kupora bunduki tano aina ya SMG na bunduki mbili za kufyatulia mabomu ya machozi, zilizokuwa kituo hapo na kutokomea kusikojulikana. Katika tukio hilo, Koplo Edga na WP Judith waliuawa.

Februari 3, Kituo cha Polisi cha Mngeta, Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro ki l ivamiwa ambapo bunduki aina ya SMG yenye risasi 30 iliibiwa.

Mwishoni mwa wiki iliyopita, risasi zilirindima huko Ambani mkoani Tanga kwa zaidi ya saa 48 wakati Polisi na askari wa JWTZ waliposhirikiana kupambana na wahalifu hao.

Kat ika mapambano hayo, askari mmoja wa JWTZ, Said Kajembe, a l i p o t e z a m a i s h a n a wa p i g a n a j i w e n g i n e zaidi ya sita kujeruhiwa. Bw. Kajembe aliyefariki katika Hospitali ya Bombo baada ya kujeruhiwa katika mapambano hayo, amezikwa kijijini kwao, Kwashemshi, Korogwe.

Ukiacha matukio ya uvamizi wa vituo vya polisi, matukio ya ujambazi wa kuibwa mali za raia, makampuni, mabenki na utekaji wa mabasi haukuwa

nyuma.Kutokana na kukithiri

k w a u j a m b a z i n a uvamiwaji wa vituo vya polisi, tunaona sasa hata ile dhana ya ujambazi inaanza kuondolewa taratibu na wakiyahusisha matukio haya na ugaidi.

Mbali na kutokamatwa watu hao ambao bado hawajajulikana dhahiri ni wahalifu wa aina gani, lakini pia silaha zilizokuwa zimeporwa, ambazo ndio zinazosakwa na Polisi kwa sasa, bado hazikukutwa k a t i k a M a p a n g o y a Amboni, kama ilivyokuwa ikihisiwa.

Ukiacha kadhia hizo za ujambazi, maisha ya watu wenye ulemavu wa ngozi nao wamezidi kuishi kwa mashaka makubwa, hasa ikizingatiwa kwamba siku za hivi karibuni, kulitokea mkasa mwingine kwa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino) kutekwa katika wilaya ya Chato mkoa wa Geita na mpaka sasa hajulikani alipo.

Mtoto huyo mwenye umri wa mwaka mmoja aliyetajwa kwa jina la Yohana Bahati, alitekwa nyumbani kwao na watu wasiojulikana. Watu wenye silaha za jadi waliwaweka chini ya ulinzi wazazi wa mtoto huyo, Bahati Misalaba na mkewe na kumchukua mtoto wao na kutoweka naye. Mama wa mtoto huyo alijeruhiwa vibaya wakati akipambana kumwokoa mwanaye.

Pol i s i wal i r ipot iwa kufika eneo la tukio na kuanza msako lakini hadi tunavyoandika maoni haya, mtoto huyo bado hajulikani alipo na hakuna tena taarifa za polisi kuwa wamefikia wapi. Kwa kifupi tunaweza tu kusema kuwa tayari wameshakata tamaa au wameshindwa kumpata au kujua alipo mtoto huyo.

Matukio ya kuuawa na kuchukuliwa viungo albino yamesambaa, hasa katika mikoa ya kanda ya Ziwa kutokana na imani za kishir ikina, jambo ambalo limechafua sana taswira ya kiusalama ya Taifa kutokana na serikali kushindwa kukabiliana vilivyo na vitendo hivyo.

Wa k a t i m w i n g i n e tunashindwa kuelewa, kama kweli bado serikali i m e s h i n d w a k u o n a kwamba jeshi letu la polisi lina matatizo ya kiutendaji na linahitaji marekebisho makubwa.

T u w e t u w a w a z i k w a m b a , j e s h i h i l i linajituma zaidi katika kulinda maslahi ya kisiasa kuliko kulinda usalama wa raia na mali zao.

T u n a s e m a h i v y o k w a s a b a b u , u z o e f u

unaonyesha kuwa Jeshi la Polisi limekuwa madhubuti na imara sana katika kuwadhibiti wanasiasa na wafuasi wao, Masheikh na waumini wao kuliko uhalifu.

Mfano mzuri ni jinsi l i n a v y o s h u h u d i w a likijituma kuwacharaza virungu wanasiasa wa upinzani na viongozi wao katika shughuli zao za kichama, inapotakikana kufanya hivyo.

T u m e o n a j i n s i lilivyojituma kuwadhibiti n a k u w a t a w a n y a wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) w a k i o n g o z w a n a Mwenyekiti wao, Profesa Ibrahim Lipumba.

Kwa jinsi hali ilivyo katika jeshi letu la polisi, mtu akitaka kuona uhodari wao au ukakamavu wao, basi lazima utakuwa ni wakati likiwadhibiti akina Mbowe, Mbatia, Slaa. Lipumba na kina Ponda.

Kwa ujumla tunaweza kusema kuwa jeshi letu la Polisi Tanzania linahitaji kufanyiwa marekebisho makubwa i l i kuweza kukabiliana na changamoto za karne hii ya 21.

Jeshi la Polisi ni chombo cha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kilichoundwa i l i k u w a h a k i k i s h i a wananchi usalama na mali zao, kudumisha amani na utulivu katika jamii, pia kuzuia, kubaini na kupambana na uhalifu.

Jeshi la Polisi lipo kama sher ia inavyoelekeza kuhakikisha kuwa kila

mtu, wakiwemo askari polisi wanafuata sheria katika kila hatua.

Shughuli za jeshi la polisi zinaongozwa na sheria mbalimbali, lakini kwa kiasi kikubwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, Sheria ya Jeshi la Polisi namba 322 (Police and Auxiliary Services Act 2002 Cap 322), Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai na Kanuni za Polisi (Police General orders).

P o l i s i w a n a w e z a k u k a m a t a , k u f a n y a u p e k u z i , k u s h i k i l i a , kumpeleleza mtuhumiwa, kumhoji shahidi, kufanya mahojiano na mtuhumiwa, kutawanya waandamanaji w e n y e n i a o v u n a kuhakikisha usalama wa jamii. Lakini wanapaswa kufanya hivyo kwa kufuata taratibu na sheria na sio kufanya wapendavyo.

Sheria ya Polisi inaeleza kuhusu uendeshaji wake, nidhamu mamlaka na kazi za polisi na mambo mengine yanayolihusu jeshi la polisi. Sheria hii inasisitiza polisi kutenda haki katika utendaji wao ili kutoa mfano wa kulinda sheria na kanuni za nchi.

Matumizi yoyote mabaya ya mamlaka au uzembe katika kazi ni utovu wa nidhamu na uhalifu. Afisa wa polisi anayetenda hayo anapaswa kuchukuliwa hatua stahiki.

Hakuna mtu aliye juu ya sheria. Watanzania wote wakubwa kwa wadogo, t a j i r i k w a m a s k i n i ,

wanaume kwa wanawake, bila kujali dini na itikadi, wafanyakazi wa serikali wanatakiwa kutii sheria na kuishi kwa mujibu wa sheria zilizowekwa nchini mwetu chini ya Katiba yetu.

Tendo l inalofanywa na askari polisi lifanywe kulingana na sheria, na iwapo polisi hawatafanya hivyo watawajibika mbele ya sheria. Askari anayevunja sheria anapaswa kuadhibiwa.

Nimalizie kwa kusema kwamba, kitendo cha jeshi letu kushindwa matukio mengi ya kihalifu nchini, kiasi cha kushindwa hata kujilinda katika vituo vyake, ni aibu kwa Taifa na inaonyesha ni kwa jinsi gani jeshi hilo limekosa weledi katika kukabiliana na matukio makubwa ya kihalifu.

Wakati tukifikishwa hapo, wananchi nao kwa upande wao wanakosa imani na jeshi lenyewe. Ikifika mahali hata Waziri mwenye dhamana ya usalama kuona kwamba suluhu ya polisi kuporwa silaha na kuvamiwa vituoni ni kuwaambia askari kuacha kuning’iniza silaha begani, kwamba sasa silaha iwe mkononi wakati wowote kwa mapambano, halafu Kaimu Kamanda wa Makosa ya Jinai DCI Diwani Athumani, akisema matukio ya uhalifu yanayotokea nchini ni mapya na yanayochochewa na ukuaji wa teknolojia ya habari na mawasiliano, ni dalili kwamba tumezidiwa.

Ni hatari. Si jambo la kueleweka wala kupendeza k u s i k i k a m a s i k i o n i kwamba chombo cha dola kinazidiwa teknolojia na wahalifu. (Shabani Rajabu Kihara)

Ubungo Islamic High School imeandaa mafunzo maalum kwa wanafunzi wa Kiislamu wanaorudia Mitihani ya Kidato cha Nne 2015 ambao wanatafuta sifa ‘Credit’ za kujiunga na Kidato cha Tano, 2016.

Masomo yanayofundishwa ni: Elimu ya Dini ya Kiislamu, Arabic, Kiswahili, Kiingereza, Civics, History, Geography, Basic Mathematics, Physics, Chemistry, Biology, Commerce na Book-Keeping.

Muda wa masomo: Jumatatu – Ijumaa kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 9:00 alasiri.Kuanzia Machi 1, 2015 hadi Septemba 30, 2015. (Kwa muda wa miezi sita)

Uandikishaji umeanza Fika ofisi ya Mkuu wa Shule Ubungo Islamic High School kuanzia saa 1:30 asubuhi hadi saa 8:30 mchana. Fomu zinapatikana BURE.

Kwa mawasiliano zaidi: 0687 820895, 0657 350172, 0714 888557

Wahi Mapema nafasi hii adhimu

Wabillah Tawfiiq

MKUU WA SHULE

Bismillahir Rahmaanir Rahiim

Ubungo Islamic High SchoolMafunzo maalum ya wanaorudia Mitihani

ya Kidato cha Nne 2015

Page 4: ANNUUR 1165

4 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015Makala

Inaendelea Uk. 6

BILA Jihad ya kuondoa ujinga, hakuna salama tena katika nchi hii.

Yaliyojiri mwishoni mwa wiki iliyopita na j insi yal ivyoripotiwa na vyombo vya habari, inatisha.

Ni dalili na salamu kuwa hivi sasa tunaelekea kuzama katika ‘shimo la moto na kiza’, baya zaidi ya lile la Aus na Khazraj.

K i t u p e k e e kitakachotunusuru ni kwa Waislamu kuingia katika Jihad na kwa Wakristo kuingia katika ‘November Crusades’ za kuwatoa watu wetu katika ujinga na ukibaraka wa kibubusa.

Inaweza ikawa tabu kwa Wakristo kutumia m s a m i a t i C r u s a d e kwa sababu ya historia ya Vi ta h iyo , l ak in i kinachokusudiwa hapa ni Waislamu na Wakristo

Jihad kubwa inahitajika TanzaniaNi baada ya taarifa za Amboni, TangaMasheikh, Waislamu wote washirikiJWTZ wajue Jihad hii inawahusu pia

Na Mwandishi Wetu kwa pamoja, na hapa t u n a m a a n i s h a w a l e ambao bado akili zao zipo salama, hazijakorogwa na wana mapenzi na nchi hii, kuweka mikakati ya pamoja ‘kufanya juhudi’ k u h a k i k i s h a k u w a , wanabadili mwelekeo wa jahazi hili. Vinginevyo, linazama.

Baada ya kumaliza awamu ya kwanza ya Jihad wakati wa Mauwaji ya Kimbari, Waislamu walitangaziana awamu ya pili ya Jihad ambayo w a l i a m b i w a k u w a ingechukua muda mrefu na ngumu zaidi.

Akitangaza Jihad hiyo, Mufti wa Rwanda Sheikh Saleh Habimana, alisema kuwa hiyo ilikuwa Jihad ya kupambana na ujinga uliokuwa umewagubika Wahutu na Watutsi kiasi cha kuuwana wenyewe kwa wenyewe. Jihad ya mwanzo ilikuwa kazi

k u b w a w a l i y o f a n y a W a i s l a m u k u w a p a hifadhi Watutsi Wakristo waliokuwa wakisakwa na Wahutu ili wauliwe. Baada ya mauwaji kusita, Sheikh Habimana ambaye awali aliwataka Waislamu kushikamana na mafunzo ya dini yao na kuhakikisha k u w a h a w a s h i r i k i kumwaga damu ya mtu yeyote na pia kuwahimiza kutoa hifadhi kwa Watutsi wanaosakwa, aliwaambia Waislamu kuwa tatizo k u b wa l i n a l o i k a b i l i Rwanda ni chuki. Chuki iliyogubikwa na ujinga wa kutojitambua kama binadamu na viumbe wa Allah.

Kwa hiyo, Jihad pekee ambayo ingewanusru Wanyarwanda ilikuwa k u b a d i l i m i o y o ya o kupitia njia mbalimbali za kuwapa mafunzo, darsa na mahubiri kwa hikma na mawaidha mazuri ili

MKUU wa JWTZ, Jenerali Davis Mwamunyange.waondokane na chuki za kijinga.

" J i h a d ye t u i a n z e n a k u wa f a n ya wa t u w a h e s h i m i a n e n a kupendana na watambue

kuwa Wahutu na Watutsi wanaweza kuishi pamoja kama Wanyarwanda.” Alisema Sheikh Saleh

T O K A y a b u n i w e m a t u m i z i m a p ya ya msamiati ‘ugaidi’ na ‘magaidi’ , kama njia na mkakati mpya wa kufanikisha malengo na agenda za mabeberu, imekuwa ni ‘fasheni’ kila mwenye lake, akiibuka popote alipo kurusha kombora kwa Waislamu. N i m a s h a m b u l i z i mfululizo bila kusita. Waislamu wanapakwa m a t o p e k u w a n i magaidi, wauwaji katili, wachochezi na siasa kali hatari kwa amani ya nchi.

Aliposimama Kanisani hivi karibuni Mheshimiwa Waziri William Lukuvi na kuwataka Wakristo w a s i k u b a l i u w e p o wa serikali tatu ndani ya m u u n g a n o , h o j a

Mhe. William Lukuvi hii ndiyo rekodi ya WaislamuMisikiti ilikuwa ndio kimbilio la WakristoSio Makanisani wala nyumba za WatawaNyerere alivaa kofia kuenzi WaislamuNa Omar Msangi

Mheshimiwa Waziri William Lukuvi.

aliyotumia ni ile ile ya kutukana na kuwapakazia ubaya Waislamu. Alisema k u w a Wa z a n z i b a r i wakijitoa katika kitanzi walichotiwa katika mfumo wa muungano wa serikali mbili, wataunda serikali ya Kiislamu. Wataleta Waarabu na siasa zao kali kutawala Zanzibar na hiyo itakuwa hatari kwa Ukristo na Wakristo wa Tanzania Bara.

U k i e n d a R w a n d a hivi leo, katika watu wanaoheshimika sana, ni Mufti wa nchi hiyo Sheikh Saleh. Mwaka 1994 wakati yakilipuka mauwaji ya Kimbari , Mufti Saleh Habimana alitoa fat’wa ak iwataka Wais lamu kuzingatia mafundisho ya Dini yao wajiweke mbali kabisa na mauwaji hayo. Wakati nchi na makanisa

yakigeuka uwanja wa machinjio na kumwaga damu ya watu wasio na hatia, Misikiti, Madrasa na nyumba za Waislamu, zilikuwa ndio kimbilio la Wakristo Wahutu na Watutsi.

K u t o k a n a n a k a z i kubwa iliyofanywa na Waislamu kuwanusuru na kuwahifadhi Wakristo wa Kihutu na Kitutsi, ndani ya Misikiti, imetolewa filamu ikielezea matukio ya kweli katika yale yaliyowasibu wa t u wa l i o s a l i m i k a kwa kupewa hifadhi na Waislamu. Filamu hiyo inayoitwa “Kinyarwanda”, imefadhi l iwa na the European Commission’s European Instrument for Democracy and Human Rights na kuongozwa

Inaendelea Uk. 6

Page 5: ANNUUR 1165

5 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015Habari za Kimataifa

JUMUIYA ya Ushirikiano wa Kiislamu-OIC, imelaani vikali mauaji dhidi ya vijana watatu wa Kiislamu nchini Marekani.

Katibu Mkuu wa OIC, Iyad Amin Madani, amesema katika makao makuu ya jumuiya hiyo ya Kiislamu mjini Jeddah, Saudi Arabia, kwamba mauaji ya Waislamu hao yaliyofanywa na mtu mwenye chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu katika jimbo la Carolina huko Kaskazini nchini Marekani, yamezijeruhi na kuziumiza sana hisia za Waislamu katika kona mbalimbali duniani.

Alisema mauaji hayo ya m e z i d i s h a wa s i wa s i mkubwa kufuatia kukithiri hisia za chuki dhidi ya Waislamu katika maeneo mbalimbali ulimwenguni.

Nalo Baraza la Uhusiano wa Uislamu na Marekani (CAIR) limelaani mauaji yal iyofanywa dhidi ya wanafunzi Waislamu karibu na Chuo Kikuu cha North Carolina.

Taarifa iliyotolewa na CAIR imelaani mauaji ya wanafunzi hao watatu wa chuo kikuu na kuitaka polisi ya Marekani kuchunguza sababu za mauaji hayo.

Mkurugenzi Mtendaji wa CAIR, Nihad Awad, ameitaka polisi ya Marekani kubaini iwapo mauaji ya wanachuo hao Waislamu yamefanyika kwa sababu za chuki dhidi ya Uislamu.

Taarifa hiyo ya Baraza la Uhusiano wa Uislamu Marekani (CAIR) imetolewa baada ya mtu aliyetajwa kwa jina la Craig Stephen Hicks, kuwapiga risasi na kuwaua wanachuo watatu Waislamu karibu na bweni la Chuo Kikuu cha North Carolina.

Hata hivyo imedaiwa kuwa vyombo vya habari vya Marekani vinavyodhibitiwa kwa kiwango kikubwa na Wazayuni havikuripoti mauaji hayo ipasavyo.

Suala hilo limewakasirisha Waislamu na wanaharakati nchini Marekani ambao wamemtaka Rais Barack Obama kulaani kitendo hicho, wakisema hakitofautiani na vitendo vingine vya kigaidi duniani hasa kile cha hivi karibuni huko Paris.

Bw. Madani, ameitaka s e r i k a l i y a M a r e k a n i kuchukua hatua za haraka kukabiliana na ubaguzi a m b a o u n a k i n z a n a n a misingi pamoja na thamani za kidini na kimaadili.

Deah Shaddy Barakat, a l iyekuwa na umri wa miaka 23, mke wake Yusor Mohammad Abu-Salha, aliyekuwa na miaka 21 na dada yake Razan Mohammad Abu-Salha, aliyekuwa na

OIC, CAIR walaani mauaji ya Waislamu MarekaniVyombo vya habari lawamani kwa kueneza chuki

miaka 19 waliuliwa kwa kupigwa risasi s iku ya Jumanne iliyopita na mtu aitwaye Craig Stephen Hicks.

Muuaji huyo amekuwa akiandika mara kwa mara katika ukurasa wake wa Facebook maelezo ya chuki na uadui dhidi ya Uislamu na Waislamu.

M a e l f u y a w a t u walihudhuria mazishi ya wanachuo hao wa Kiislamu, a m b a o wa l i u a wa k wa kupigwa risasi katika mji wa Chapel Hill jimbo la Carolina Kaskazini.

Wa n a f u n z i wa v y u o vikuu na wakazi wa mji wa Chapel Hill wameshiriki katika mijumuiko mikubwa kuwakumbuka wanafunzi hao waliouawa kigaidi.

S i k u y a J u m a n n e wanafunzi watatu Waislamu nchini Marekani walipigwa risasi na kuuawa kigaidi katika jimbo la Carolina Kaskazini.

Maaf i sa wa usa lama wanasema wanafunzi hao Waislamu raia wa Marekani walipigwa risasi katika nyumba yao iliyoko karibu na Chuo Kikuu cha Carolina Kaskazini. Waliouawa ni Bw. Deah Shaddy Barakat a l iyekuwa na umri wa miaka 23, mke wake Yusor Mohammad Abu-Sa lha aliyekuwa na miaka 21 na dada yake Razan Mohammad Abu-Salha aliyekuwa na miaka 19.

P o l i s i wa m e t a n g a z a kuwa wamemtia mbaroni gaidi aliyefanya jinai hiyo aliyetambuliwa kwa jina la Craig Stephen Hicks. Chris Blue, Mkuu wa polisi mjini Chapel Hill ameshiriki mazishi ya Waislamu hao waliouawa kigaidi na kusema u c h u n g u z i u t a f a n y i k a kubaini iwapo mauaji hayo yalifanyika kutokana na chuki za kidini au la.

N a y e M o h a m m a d Mohammad Abu-Sa lha baba ya wanawake wawili waliouawa ambao wana asili ya Palestina, alisema chuki dhidi ya Uislamu ndiyo sababu kuu ya mauaji ya wanafunzi hao watatu.

Katika mahojiano na Press TV, Kasisi Mark Dankof mkazi wa San Antonio, Texas, Marekani alisema mauaji ya wanafunzi hao watatu Waislamu ni matokeo ya uchochezi wa vyombo vya habari vya Marekani vinavyoeneza taswira isiyo sahihi ya Waislamu.

Alisema wakati upelelezi ukiendelea, kilicho wazi ni kuwa jinai hiyo imetokana na chuki.

S i k u y a A l h a m i s i wanaharakati wa kijamii walikusanyika katika eneo la mauaji ya Waislamu hao

wakipiga kauli mbiu za kutaka mwamako dhidi ya ubaguzi wa rangi, umoja dhidi ya ufashisti (UAF) na ajira na Ustawi kwa Waislamu.

Aidha wanaharakati hao wal iv i tuhumu vyombo vya habari vya Magharibi kuwa vinafuata sera za kindumakuwili sambamba na kueneza chuki dhidi ya Waislamu.

Pamoja na kuwa Waislamu hao watatu wameuliwa k iga id i huko Caro l ina Kaskazini nchini Marekani, kimya kimeshuhudiwa au kupuuzwa na kufifishwa habari hiyo karibu na vyombo vya habari vya Marekani na nchi zingine za Magharibi.

L icha ya mazishi ya vijana hao kuhudhuriwa na maelfu ya watu huku jumbe mbalimba zikitumwa katika mitandao ya kijamii, lililowashangaza wengi na kuonekana kuwa ni jambo linaloashiria ufa mkubwa uliopo baina ya vyombo vya habari vya Magharibi na wananchi.

I m e d a i w a k u w a n i vyombo vichache tu vya habari vilivyoakisi kwa njia sahihi habari ya mauaji ya kigaidi ya Waislamu hao.

Wa m a r e k a n i w e n g i wa m e d a i wa k u a n g a l i a mifano miwili ya namna vyombo vya habari vya Kimagharibi vilivyoakisi habari ya kuuawa kigaidi Waislamu hao watatu na hujuma za hivi karibuni huko Paris hasa dhidi ya jarida la

Charlie Hebdo. Televisheni ya Fox News

katika kutangaza habari ya mauaji ya Chapel Hill, iliridhika kutangaza tu kuwa 'mtu moja ametuhumiwa kuwaua Waislamu watatu'. Televisheni hiyo imeelezwa kushuhudiwa ikitangaza kikamilifu matamshi ya Rais Obama, kufuatia hujuma dhidi ya Charlie Hebdo mjini Paris na kuitaja hujuma hiyo kuwa 'ugaidi wa kuogofya.'

Televisheni ya CNN nayo ilinukuliwa kumtaja mtu aliyewaua Waislamu hao watatu kuwa ni mtuhumiwa tu katika hali ambayo bila ya uchunguzi wowote, iliwataja waliofanya hujuma ya Charlie Hebdo kuwa magaidi.

Deah Shaddy Barakat (kushoto), mkewe Yusor Abu-Salha na dada yake, Razan Abu-Salha enzi za uhai wao kabla ya wahajauawa huko Chapel Hill, Carolina nchini Marekani. Pichani chini ni ndugu wa marehemu wakiomba dua wakati wa mazishi.

Page 6: ANNUUR 1165

6 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015Makala

Inaendelea Uk. 9

Jihad kubwa inahitajika TanzaniaInatoka Uk. 4katika ujumbe wake kwa Waislamu.

Katika Marekani kuna wanaharakat i ambao wana j i i ta 9 /11 Truth Alliance. Wanaharakati hawa wanaojumuisha wasomi na wataalamu mbalimbali wanasema kuwa lengo la taasisi yao ni kuwarejesha watu katika kutumia akili na kufikiri (critical thinking), halikadhalika kuwa na utamaduni wa kuhoji taarifa za waandishi wa habari.

Katika moja ya mijadala yao wanasema kuwa, tukio la kigaidi la Septemba 11, na vita dhidi ya ugaidi i l iyokuja kutangazwa baadae, ikisindikizwa na propaganda kubwa, i m e w a f a n y a w a t u wa m e k u wa wa j i n g a , hawafikiri, wanachosubiri ni mtu mwingine afikiri kwa niaba yao na kila wanachoambiwa, ndio hicho hicho huimba. 9/11 Truth Alliance, wanasema, huo ni msiba mkubwa.

Akizungumza katika moja ya midahalo ya kisomi inayoandaliwa na taasisi

Mhe. William Lukuvi hii ndiyo rekodi ya WaislamuInatoka Uk. 4Alrick Brown. Inaelezea kwa undani masaibu ya Watutsi waliokuwa wamepewa hifadhi katika Msikiti Mkuu wa Kigali na Madrassa ya Nyanza.

“Kinyarwanda”, kwa upande mmoja ikionyesha unyama uliofanyika katika Mauwaji ya Kimbari , kwa upande mwingine i n a r e k o d i h i s t o r i a iliyoshuhudia Maimamu wakifungua milango ya Misikiti kuwapa hifadhi Wakristo wa Kihutu na Kitutsi.

Emily Wax ameandika taarifa/makala aliyoipa jina “Islam Attracting Many Survivors of Rwanda Genocide” (Washington Foreign Post Service). Katika uchambuzi wake anaonyesha kuwa idadi ya Waislamu imeongezeka kwa zaidi ya mara mbili hadi kufikia asilimia 14% ya watu milioni 8. 2 ya watu wa nchi hiyo toka mauwaji ya Kimbari . Awali kabla ya mauwaji Waislamu walikuwa kiasi cha asilimia 4.6. Anasema,

sababu kubwa ni kutokana na Wakristo wengi kuhama Ukristo na kusilimu. Kwa nini inakuwa hivyo?

Anasema Emily Wax kuwa wengi wanaukimbia Ukristo kutokana na jinsi maaskofu na mapadiri

walivyoshiriki kuuwa waumini wao wa Kitutsi, kinyume na viongozi wa K i i s l a m u a m b a o walifungua milango ya Misikiti na nyumba zao kuwahifadhi Wahutu na Watutsi waliokuwa

wakitafuta hifadhi."Najua huko Marekani

kuna watu wanafikiri Waislamu ni magaidi, lakini kwa sisi watu wa Rwanda, Waislamu ni wakombozi katika mauwaji ya Kimbari.”

Anasema Jean Pierre Sagahutu, mwenye umri wa miaka 37, Mtutsi a l i y e s i l i m u k u t o k a katika Ukatoliki baada ya kuona baba yake na watu wengine wanane wa familia yao wakiuliwa ndani ya Kanisa.

"Nilitaka kukimbilia kanisani kutafuta hifadhi, kumbe kulikuwa ndio m a h a l i h a t a r i z a i d i kwenda. Ilikuwa ni familia ya Kiislamu iliyonihifadhi. Waliokoa maisha yangu. Nili ishi nao, nil ikula n a o , n i l i w a t i z a m a wanavyoswali, Wahutu na Watutsi waliswali katika Msikiti mmoja.”

Aliongeza Jean Pierre akisimulia kuwa japo wao walikuwa Watutsi waliokuwa wakisakwa na Wahutu ili wauliwe, ilikuwa familia ya Wahutu Waislamu waliowahifadhi. Na a l i shangaa kuwa t o f a u t i n a k a n i s a n i ambapo waumini wa Kikristo walio Watutsi walikuwa wakiuliwa na Wakristo wenzao Wahutu,

hiyo, Susan Lindauer anasema kuwa watu wameendelea kuimba uwongo na propaganda kuwa majengo ya WTC yaliporomoshwa na ndege zi l izotekwa na akina Mohammed Atta.

A n a s e m a , u w o n g o ulikuwa mkubwa sana uliopambwa vya kutosha na televisheni na magazeti, na watu wamebaki katika uwongo huo huo.

Kwa upande mwingine akasema kuwa akina M o h a m m e d At t a n a wanaoitwa Al-Qaida, ni “Intelligence Assets” a m b a o h a w a w e z i kufanya chochote zaidi ya kile wanachotumwa na kuelekezwa na wakubwa wao.

H a t a h i v y o , wa t u wameendelea kuimba magaidi wa Al-qaida, Al-Shabaab na wengine kama hao utadhani kuwa hao ‘magaidi’ ni watu na taasisi huru.

Zaidi akasema kiroja zaidi ni pale watu hao wakiitwa ni ‘mujahidina’ (Jihadists).

Anasema, wengi wa watu hao akiwajua wakati

akifanya kazi kwa karibu na CIA akitumika katika nchi za Iraq na Libya. Wengi wao ni walevi, hawaswali, wavuta sigara na wafukuzia wasichana. Lakini wakitumwa kazi katika zi le ( fa lse f lag terror attacks) utashangaa wakiitwa ‘Jihadists’.

Lakini muhimu zaidi hapa ni lile alilosema M i c h a e l S c h u e u r aliyekuwa Afisa wa CIA na Kamanda wa Kikosi cha kupambana na Osama Bin Laden pale aliposema kuwa Al-Qaida haikuwa adui wa Marekani wala wa nchi yoyote duniani, Osama akiwa hai wala baada ya kufa.

Kwamba adui huyo ni wa kubuni kwa masilahi ya mabeberu wababe wa dunia.

Kama ndivyo, maadhali hawa ndio walimu na wataalamu wetu, hata hawa huku tunaowaita kuwa ni magaidi, iwe Al-Shabaab, Boko Haram au Al-Qaidah, ni wa kubuni pia. Au kama ni matukio ya kigaidi, yakiwemo kuuliwa watu wasio na

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu.

Inaendelea Uk. 7

MOJA ya Misikiti ya Rwanda inayozidi kujengwa kutokana na kuongeza idadi ya Waislamu.

Page 7: ANNUUR 1165

7 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015Makala

Inatoka Uk. 6

Mhe. William Lukuvi hii ndiyo rekodi ya Waislamukwa Waislamu ilikuwa tofauti. Wahutu na Watutsi wa l i k u wa wa k i s wa l i pamoja wakiongozwa na Imam mmoja.

"Isingekuwa Waislamu, f a m i l i a y a n g u y o t e ilikuwa imeangamizwa, t u n g e u l i w a w o t e . N a w a s h u k u r u s a n a Waislamu waliofanya kazi kubwa ya kuhifadhi Wa k r i s t o wa k a t i wa mauwaj i . Ni l i f ik i r ia , nikaona yanipasa kubadili dini.”

A n a s i m u l i a A i s h a Uwimbabazi, mama wa watoto wawili aliyesilimu baada ya kusal imika mauwaji.

" Wa n a s i l i m u k w a k u t h a m i n i j a m i i ya Kiislamu iliyowapa hifadhi wakati wa mauwaji”, Anasema Emily Wax akikamilisha uchambuzi wake.

Kutokana na wimbi hilo la kusilimu Wakristo, hali ya wasiwasi imeingia katika Kanisa Katoliki Rwanda ambapo inaelezwa kuwa wameomba ushauri kutoka Roma wafanye nini. Akizungumzia hali hiyo, Mchungaji Jean Bosco Ntagugire, anayehudumu katika makanisa ya Kigali anasema kuwa Wakatoliki wamepoteza kabisa imani n a K a n i s a b a a d a ya mauwaji ya Kimbari na kadiri wanavyojitahidi k u w a f i k i a w a t u n a kuwarejesha katika imani, wanazidiwa na kasi ya Waislamu.

L a k i n i k u v u n j i k a moyo kwa waumini hao, haikuwa bure bure tu. Wanasababu. Mnamo Aprili 26, 20021, Askofu Musabyimana alikamatwa jijini Nairobi, na haraka haraka akapelekwa Arusha i l ipokuwa mahabusu (ICTR Detention Facility) ya wa t u h u m i wa wa mauwaj i ya Kimbar i ya Rwanda . Mtumishi h u y o wa K a n i s a l a Anglikana katika dayosisi ya Shyogwe, anadaiwa kushiriki mauwaji ya Watutsi ambapo inaelezwa kuwa askofu huyo aliwatoa wa u m i n i wa K i t u t s i waliokuwa wametafuta hifadhi katika kanisa lake wakauliwe.

Ilielezwa katika hati ya mashitaka kuwa mnamo Mei 7, 1994 kilifika kikosi c h a wa u wa j i k a t i k a Kanisa la Dayosisi ya Shyogwe, wakiwa katika

lori kuchuka Wahutu kuwapeleka eneo la mauwaji. Askofu Samuel Musabyimana alikuwepo na akawatoa waumini wake Watutsi wakauliwe, huku akitoa maagizo kuwa wasiuliwe hapo kanisani ila mpaka wafikishwe eneo linalojulikana kama Kabgayi.

Katika shitaka lingine, Musabyimana anadaiwa kusaidiana na askari wa serikali kugawa silaha kwa vikosi vya wauwaji waliokuwa wakiwasaka Watutsi. Shitaka jingine zito kwa Musabyimana ni kuwa aliamuru kuwekwa kizuizi cha barabara jirani na kanisa lake ambapo wapita njia wote walikuwa w a k i s i m a m i s h w a k u t a m b u a Wa t u t s i . Katika kizuizi hicho, waliuliwa mamia kwa m a e l f u ya Wa t u t s i . (Tazama: Indictment by the Internat ional Criminal Tribunal for Rwanda against former Anglican Bishop Samuel Musabyimana).

K w a w a l e n d u g u z a n g u , Wa t a n z a n i a wenzangu Wakr is to , waliokuwa wakimuitikia Mheshimiwa William Lukuvi, kuwa ‘Zanzibar kuna Waislamu siasa kali’ hatari kwa Wakristo wa Tanzania Bara, Samuel Musabyimana hakuwa Muarabu, wala wale wauwaji waliochukua

Inaendelea Uk 8.Picha katika 'cover' ya filamu ya Kinyarwanda. Picha chini wanafunzi wa kike

katika moja ya shule za Kiislamu Rwanda.

Page 8: ANNUUR 1165

8 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015Makala

Mhe. William Lukuvi hii ndiyo rekodi ya WaislamuInatoka Uk.7Wakristo Watutsi hadi K a b g a y i , k u w a u w a hawakuwa Waislamu. Wote walikuwa Wakristo.

Katika kumbukumbu nyingine inaelezwa kuwa Aprili 22, 1994, Séraphine M u k a m a n a , a l i k u wa amejificha pamoja na watu wengine katika gereji ya kituo cha Watawa cha Sovu, kusini mwa Rwanda.

“Tulikuwa tumejificha ndani ya banda la gereji, h u k o n j e m a u w a j i yakiendelea. Kutokana n a j o t o k a l i , m t o t o mmoja mchanga ambaye wazazi wake walikuwa washauliwa akawa analia. Wauwaji wakajua tupo ndani. Tulipokataa kutoka, kiongozi wa wauwaji Emmanuel Rekeraho, akatoa amri tuchomwe moto na kibanda kile. Nilimsikia Emmanuel Rekeraho, akisema kuwa Watawa (nuns) watasaidia kuleta mafuta ya taa. Na kweli nikamwona Sister Gertrude na Sister Kisito, wakija, huku Sisiter Kisito akiwa kabeba kigeleni cha petroli.”

H u o u l i k u w a u s h a h i d i u l i o t o l e wa katika Mahakama moja jijini Brussels, Ubeligiji, Mei 2001 katika kesi inayowakabili Masista wa Kikatoliki Gertrude na Kisito.

Mheshimiwa Waziri Lukuvi, huyu Emmanuel Rekeraho na masista Gertrude Mukangango na Julienne Kisito waliouwa watu 5000 katika Jumba la Watawa Sovu, s io ‘Waislamu Siasa Kali’. Ni Wakatoliki waliowachoma moto na kwacharanga mapanga Wakato l ik i wenzao.

L a k i n i s i h a o t u , inaelezwa kuwa askofu Aaron Ruhumuliza, mkuu wa Kanisa la Free Methodist Church, Gikondo, Kigali, alisaidiana na wauwaji kuuwa waumini ndani ya kanisa lake Aprili 9, 1994. Naye Michel Twagirayesu, akiwa Rais wa Kanisa la Presbyterian (Presbyterian Church of Rwanda) na Makamo wa Rais wa zamani wa Umoja wa Makanisa Duniani (World Council of Churches), alishiriki kuuwa waumini wa k e n a wa t u m i s h i wenzake wa Kanisa lake waliokuwa Watutsi katika eneo la Kirinda, Kibuye, ambapo kanisa hilo lina wafuasi wengi. (A report

by African Rights.)Kwa mujibu wa taarifa

iliyotolewa na kujadiliwa katika mkutano juu ya Mauwaj i ya Kimbar i (Conference on

Genocide, Religion, and Modernity-United States Holocaust Memorial Museum, May 11-13, 1997), watu waliouliwa ndani ya makanisa ni wengi kuliko wale waliouliwa m i t a a n i . I n a e l e z w a kuwa katika kanisa moja tu, waliuliwa zaidi ya watu 17,000. Hii ni kwa sababu watu walidhani kuwa nyumba za ibada ndio mahali pa salama pa kukimbilia, lakini wakajikuta wakiuliwa humo humo makanisani kwa maelekezo ya wakuu wao wa Kanisa wa Kihutu.

“Peop l e who sought sanctuary in church buildings were instead slaughtered there. According to some estimates, more people were killed in church buildings than anywhere else. At one parish where I researched, the communal mayor reports that 17,000 bodies were unearthed from one set of latrines alongside the church. Numerous Tutsi priests, pastors, brothers, and nuns were killed, often by their own parishioners, sometimes by their fellow clergy.”

Hiyo n i taar i fa ya Timothy Longman, katika

mkutano mmoja juu ya Mauwaji ya Kimbari , ambapo aliongeza kuwa katika kanisa la Katoliki Kabgayi, Askofu Mkuu aliwatoa kwa wauwaji (death squad) mpaka watawa na watumishi wa Kanisia lake (nuns and pr ies ts ) Watuts i wakauliwe.

Mheshimiwa William Lukuvi, hawa waliouwa Wakristo 17,000 ndani ya Kanisa, na wengine kuwatumbukiza ndani ya shimo la choo, hawakuwa Waarabu kutoka Oman, wala Waislamu Siasa Kali wa Rwanda au kutoka Z a n z i b a r . Wa l i k u wa Wakristo.

K a t i k a h a l i iliyowashangaza wengi, k a t i k a m k u t a n o n a waandishi wa habari Juni 1994, Askofu Mkuu wa Rwanda (Archbishop) Augustin Nshamihigo na Askofu wa Kigali , Jonathan Ruhumuliza, walinukuliwa na vyombo vya habari wakisema kuwa serikali ya wakati huo na makundi yaliyokuwa yakiendesha mauwaji, walikuwa watu wapenda amani (peace-loving).

U k i a c h a u z i t o unaoongezwa na ukweli kuwa hawa washiriki wa mauwaji ni watu wa dini, ni viongozi wakuu wa m a k a n i s a , l a b d a

swali hapa laweza kuwa, yawezekanaje binadamu kushiriki mauwaji kama haya? (How could anybody participate in this”?)

Ukirejea historia ya Hitler na siasa za ‘Nazi’, unaweza kupata jibu. Japo yapo maswali na utata mwingi juu ya kuuliwa Wayahudi 6,000 katika ‘Nazi’s Holocaust’, lakini lipo la kujifunza. Inaelezwa jinsi siasa za kibaguzi za Nazi zilivyowachafua Wayahudi hadi kuwaita nguruwe wachafu. Kila Mjerumani ila wachache, akawa anachukia mtu anayeitwa Myahudi.

K a t i k a R w a n d a , Maaskofu walishiriki ku jenga chuki dhidi ya Wa t u t s i wa k a wa wanawaita ‘inyensiâ’, mende au ‘nyenze’ Kipare ( c o c k - r o a c h e s ) . K wa mujibu wa baadhi ya nyaraka zilizofikishwa mahakamani, mwaka 1972 mapadiri 12 wa Kikatoliki wa kabi la la Kihutu walimwandikia barua Askofu Mkuu wa Rwanda ambapo waliwaita Watutsi kuwa ni mende. Matokeo ya chuki hizi, ni Mauwaji ya Kimbari. Na inaelezwa kuwa katika mauwaji ya 1994, makundi ya wauwaji ya l i k u wa ya k i wa i t a Watutsi mende wakati wanawakata mapanga.

Mheshimiwa William

L u k u v i a n a w a o n y a W a k r i s t o w e n z a k e kuwa wajihadhari na ‘Waislamu Siasa Kali’, s iasa kal i hawa ndio kwa msamiati mwingine wanapachikwa nembo ya ugaidi. Yalipotokea matukio yanayodaiwa ya kuchomwa makanisa Mbagala, ndio hawa siasa kali wanadaiwa kuhusika. Wa n a t u h u m i w a p i a kushiriki kuuwa viongozi wa Makanisa.

Lilipotokea shambulio la bomu Arusha, wageni waliokamatwa tukiambiwa kuwa ulikuwa utaratibu tu wa kawaida, walikuwa Wa a r a b u . Wa a r a b u a m b a o M h e s h i m i wa Lukuvi anasema kuwa wana mpango wa kuja kustawisha ‘siasa kali’ Zanzibar. Propaganda hizi za siasa kali na magaidi, kama zile za ‘inyensiâ’, n d i o z i n a p a n d i k i z a chuki, uhasama, kisasi na mauwaji.

Haya ya siasa kali , magaidi, ni sawa na yale ya ‘mende’ kule Rwanda ambapo Kanisa lilijikuta likitumiwa na wakoloni kupandikiza chuki baina ya Wanyarwanda katika zile siasa za wagawe uwatawale. Na kwa hakika ipo katika kumbukumbu k w a m b a W a k o l o n i waliwasifu sana Maaskofu wa K i h u t u k wa m b a waliwarahisishia kazi yao ya kukamata na kutawala Burundi na Rwanda bila ya kuhitajia askari wa kuwashikia mtutu watu wa nchi hizo.

La kusisistiza hapa ni kuwa, athari ya zile siasa za chuki za kuitana ‘nyenze’, zilikuwa cha mtoto. Tukicheza na hizi chuki za kuitana magaidi na siasa kali, matokeo yake yatakuwa mabaya zaidi. Na sababu yake ni nyepesi tu kueleweka. Gaidi ni hatari kuliko mende. Mende unauwa tu, hawezi kupambana nawe. Si hivyo kwa gaidi. Huwezi kusema utauwa g a i d i n a we u k a b a k i salama. Mtapambana. Mtauwana.

Ukiwapandikiza chuki Wakristo na kuwaaminisha k u w a n d u g u z a o Watanzania Waislamu ni magaidi waliopania k u wa k a t a m a k o o n a kuchoma moto makanisa yao, mawazo yao yatarejea katika zile zama za wito wa fideles Sancti Petri

Inaendelea Uk. 9

Mufti wa Rwanda Sheikh Saleh Habimana, akiswalisha katika Msikiti Mkuu wa Kigali, Rwanda.

Page 9: ANNUUR 1165

9 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015Makala/Matangazo

Inatoka Uk. 8na milites Christi. Lakini yakiwakuta Waislamu ya kuwakuta na wao wakiona kuwa wanayofanyiwa hayana tofauti na yale waliyofanyiwa watangulizi wao na akina Pope Urban II, watatangaziana Jihad ya kweli. Sasa unaweza kufikiria, ikifikia hapo hali itakuwaje katika nchi hii na nje ya mipaka yake. Bila shaka haitakuwa sawa na mende unaoshika ‘ R u n g u ’ u k a p u l i z i a mambo yakaisha, sana sana ukapata tu kero ya harufu kali ya dawa hiyo.

I l a n i m a l i z i e k wa k u s e m a j a m b o m o j a muhimu kwamba haya yanayosemwa juu ya Wa i s l a m u Z a n z i b a r /Tanzania, kwa bahati nzuri, ni kama walivyojisemea Waswahili: Hasidi hana sababu na akutukanaye hakuchagulii tusi. Lolote akiokota, hukuvurumishia tu.

Mheshimiwa William Lukuvi anasema kuwa kuna hatari ya Waarabu k u r u d i n a wa k i r u d i watakuja na siasa kali zao ambazo ni hatari kwa Wakristo. Lakini M h e s h i m i w a s a n a Lukuvi, anasahau kuwa S u l t a n i a l i k u w e p o Zanzibar kabla ya Uhuru na kabla ya Mapinduzi, hakuchoma makanisa wa l a k u wa b u g h u d h i Wakristo, si wa Bara wala wa Zanzibar.

K a m a k u n a w a t u w a l i k u w a k e r o n a hatari i l iyoandamana n a k u w a c h a r a z a

mi je ledi wazee wetu kat ika mashamba ya m k o n g e , p a m o j a n a kuwanyonga hadharani , hawakuwa Waarabu Wais lamu wa Oman, walikuwa Wajerumani wal iotangul iza Bib ia n a W a m i s h i o n a r i kuwasafishia njia ya kuja kutawala.

Kama kuna walilofanya Waislamu wakati ule la kustahiki kulaumiwa na akina William Lukuvi, ni lile la akina Suleimani Mamba na Mtemi Mkwawa kukataa kutawaliwa na Wajerumani wakiwaita

k u w a n i w a h u n i . W a k a s h i k a s i l a h a kupambana na Wajerumani hao na kuandika historia ya ‘Majimaji’ na Siku ya Mashujaa katika nchi hii.

Pamoja na chuki hizi za kuitana ‘siasa kali’ na kuharibu histor ia ya nchi hii, lakini leo u k i e n d a P e r a m i h o kat ika kumbukumbu ya Vita ya Maj imaj i , utakuta tasbihi na viriba vya maji walivyokuwa wakitawadhia wazalendo n a m a k a m a n d a w a Majimaji ambao wote katika picha zao hapo,

Mhe. William Lukuvi hii ndiyo rekodi ya Waislamu

wanaonekana wakiwa w a m e v a a k a n z u n a vilemba. Kipande cha m s w a l a w a l i o k u w a wakiswalia mashujaa h a w a , a m b a c h o a w a l i k i l i k u w e p o , s a s a k i m e o n d o l e wa . Yawezekana keso ukienda na zile birika za kutawadhia na tasbihi, wameziondoa kuzidi kufuta historia hii iliyotukuka.

Hii ndiyo rekodi ya Waislamu katika nchi hii, iliyokuja kuendelezwa na wajukuu wa Suleiman

M a m b a p a m o j a n a Masheikh wa Dar es Salaam waliompokea Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mpaka akalazimika kuvaa kofia kama wao katika kupigania uhuru.

Sasa labda tuwaulize hawa wanaosambaza propaganda na kupiga p o r o j o z a ‘ m a g a i d i ’ n a ‘ Wa i s l a m u S i a s a Kali’, kuchochea chuki z i n a z o w e z a k u l e t a machafuko ba ina ya Waislamu na Wakristo katika nchi hii , wana agenda gani?

Jihad kubwa inahitajika TanzaniaInatoka Uk. 6

hatia, ni ya kutengenezwa.Zipo taarifa nyingi

zinasambazwa katika v y o m b o v ya h a b a r i na katika mitandao ya akina Abu Baghdadi, na wengine wanaojipa ukamanda wa Jihad au makundi ya Jihad, wote hao ni katika makundi ya akina Mohammed Atta ambao ni “Assets”.

K u i b u k a k w a inayodaiwa video ya Abu Abdullah ni ishara kuwa na sisi tunakaribia kuingizwa katika mtandao huo. Msiba unakuwa pale nchi na vyombo vyake vya dola inapotumiwa kama “Assets” kama ilivyo Yemen, Pakistan na Nigeria (?)

M o j a y a e n e o tunalotakiwa kulifanyia J ihad na Crusade, ni kuwaelimisha watu wetu wajue hadaa iliyo katika inayoitwa vita dhidi ya

ugaidi. Wakati Sheikh Saleh

na watu wake walikuwa n a k a z i ya k u wa t o a Wanyarwanda kat ika ujinga wa chuki baina ya Wahutu na Watutsi, Jihad ya Waislamu Tanzania inapasa kuelekezwa katika kuwaelimisha Watanzania kufahamu kuwa adui wanayetangaziwa, ni aduni bandia. Ni adui wa kutengenezwa.

U k i r e j e a m a t u k i o yaliyodaiwa ya kigaidi kama yale ya ‘Bologna massacre’, mamia kwa maelfu ya watu wasio na hatia waliuliwa. Hivi sasa tunazunguzia habri hizi kwa sababu waliokuwa wakipanga mauwaji hayo na kusingizia magaidi, wamefikia mahali sasa wao wenyewe wanaziweka

h a d h a r a n i s i r i z a o (declassified) lakini baada ya kuwa wameangamiza watu wengi sana na labda kufanikiwa katika malengo yao. (Tazama Documentary ya BBC- 'Operation Gladio' reveals 'Gladio', the secret state-sponsored terror network operating in Europe.- Originally aired on BBC2 in 1992)

Hivi baada ya taarifa za akina Susan, Michael Schueur, Robin Cook na 'Operation Gladio', tutakuwa na kisingizio gani kusubir i miaka 20 ijayo mafaili ya leo yatakapowekwa wazi, ndio tuyashangae haya ya vyombo vyetu vya habari kututangazia magaidi wa machimboni Ambaoni?

Katika ushabiki wa

baadhi ya magazeti juu ya taarifa za Amboni, yalifikia mahali pa kuwatisha wananchi kuwa tayari tushavamiwa na Al -Shabaab. Na Al-Shabaab hao, japo kikosi kidogo tu, lakini kimewapeleka puta polisi na wanajeshi wetu wa JWTZ. Kisha wakaja katika tahariri kutaka hatua za haraka za kiusalama zichukuliwe.

J i h a d n a C r u s a d e inayotakiwa hivi sasa ni kuwaelimisha watu wetu watambue mchezo huu tunaochezewa na watu waliokubali kuwa ‘Assets” za mabeberu. Tuwafahamishe watu wetu kuwa, wala tusijione kuwa sis i ni wajanja sana kul iko Niger ia , “The Giant of Africa”. Tukikubali kukokotwa na kuzamishwa katika tope

hili ilikozama Nigeria, hakuna cha polisi wala jeshi litakalomaliza tatizo hilo. Kila siku itakuwa ni watu kuuliwa na kutekwa nyara.

Hivi sasa katika Nigeria kuna wanajeshi zaidi ya 150 ambao wanasubiri hukumu ya kifo kwa kosa la kukimbia vita. Askari hao wakishitakiwa katika Mahakama za Kijeshi wa n a d a i wa k u k a t a a kupigana dhidi ya Boko Haram. Lakini suala hapa sio usaliti, kuasi wala woga. Tabu ipo katika utata wa adui wanayepigana naye. Hawajui wanapigana na nani. Wanauliza, mbona adui haeleweki?

Sasa tunadhani kuwa ipo ha ja ya kufanya darsa na Jihad kubwa, haya mambo yafahamike. Hatutaki wanajeshi wetu yaje yawakute haya ya askari wa Nigeria na Boko Haram. (Soma makala uk. 10)

WAKISTRO wakionesha udugu na mshikamano na Waislamu waliowanusuru katika mauaji ya Kimbari.

Page 10: ANNUUR 1165

10 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015Makala

KWANZA nianze kwa kusema kuwa Nigeria, i k i j u l i k a n a k a m a Mwamba wa Afrika (The Giant of Africa). Na hii ni kwa kila kitu, ikiwa ni pamoja na wasomi na jeshi. Hata “Bongo Movies” nadhani. Leo kuambiwa eti jeshi la Nigeria limekuwa ‘mbwa koko’ wa kukalia mkia m b e l e ya A b u b a k a r Shekau, ni kituko na kiroja kama kile cha mtoto wa shule ya msingi tuliyeambiwa aliwazidi nguvu walinzi wa Ubalozi wa Marekani akaingia na kigeleni chake cha mafuta ya taa kwenda kulipua ubalozi huo.

Baadhi ya vyombo vyetu vya habari vikapamba habari hizo kwa maelezo kuwa mtoto huyo alikuwa amejifunza ugaidi kupitia mawaidha yaliyokuwa yakitolewa katika Msikiti wa Matambani! Tuyaache hayo, lakini ndio mambo ya vyombvo vyetu vya habari.

Si nia yangu kuleta malumbano na waandishi wenzangu. Lakini nadhani ipo haja ya kujadili baadhi ya mambo ili yaeleweke katika sura yake halisi. Na nipo tayari kukosolewa au kuelimishwa kama ufahamu wangu ndio utakuwa wenye matatizo. Na hili nalifanya kwa kuzingatia kuwa vyombo vyetu vya habari vimekuwa vikifanya kazi kubwa ya kuelimisha jamii na kuipa mwelekeo wa mambo ya msingi katika maisha na ustawi wa nchi yetu. Sasa ni mantiki ya kawaida tu kuwa ni hitajio la lazima kwa muelimishaji kuwa na uoni mpana zaidi wa mambo japo si lazima kukijua kila kitu kwa undani sana.

Mhariri wa gazeti la Nipashe katika toleo la gazeti hilo la Jumatatu wiki hii, ameuliza swali la msingi sana. Baada ya maelezo marefu, Mhariri anasema:

“Sisi tunajiuliza, silaha zilifikishwa vipi katika mapango ya Amboni pasipo vyombo vyetu vya usalama kuzibaini na kuwakamata wahusika kungali mapema?”

Weka swali hili la Mhariri wa Nipashe kichwani halafu soma habari hii. Inasema:

“…polisi walizidiwa nguvu ndipo walipoomba msaada wa wanajeshi n a h i v y o m a p i g a n o y a k a e n d e l e a . B a a d a y a w a n a j e s h i k u j a waliendeleza mapigano na jamaa walifanikiwa kukimbia.

Ufyatuaji wa mabomu uliendelea katika eneo lote kuzunguka mapango. Kuna wakati wanajeshi

Wandishi tunachezamchezo tusioujua

Afande Paul Chagonja yupo sahihi kabisaHatuna jeshi la kupambana na ‘magaidi’Tusijidanganye. Sio wajanja kuliko Nigeria

Na Omar Msangi kuhifadhi silaha zote zinazoibwa katika maeneo mbalimbali nchini.”

Hizo ni habati kwa mujibu wa Mtanzania Jumapili ukurasa wa 2 na 3.

Tu je ka t ika habar i nyingine ikiwa na kichwa cha habari kikinadi:

“ J W T Z y a f u m u a m a g a i d i p a n g o n i ” . Kisha habari yenyewe kama ilivyoandikwa na mwandishi Angela Kiwia inasema:

“Makundi ya kigaidi ya al-Shabaab yenye asili ya Somalia na Boko Haram kutoka Nigeria, yametajwa kuhusika na uvamizi, utekaji, uuwaji na kupora silaha katika vituo vya polisi nchini.

T a a r i f a a m b a z o JAMHURI imezipata zinasema uvamizi huo ni mkakati wa muda mrefu unaofanywa na makundi hayo.

Ta a r i f a z i n a s e m a m k a k a t i h a r a m u u n a o f a n y w a n a makundi hayo ya kigaidi unaratibiwa na baadhi ya watu maarufu nchini kwa kuwafadhili wahusika wa uhalifu huo.

Vyanzo hivyo kutoka o f i s i n ye t i v i l i e l e z a kuwa mtandao huo wa wafadhili wa kikundi h i c h o ya n a f a h a m i k a k w a v y o m b o v y a ulinzi ila vimeshindwa kuwachukulia hatua.

Imeelezwa kuwa uporaji wa silaha katika vituo vya polisi umevishtua vyombo vya ulinzi na usalama kiasi cha kuwalazimu kuongeza ulinzi katika Ikulu ya Rais Jakaya Kikwete.

V y a n z o h i v y o v i n a b a i n i s h a k u w a mtandao wa kigaidi tangu uingie nchini, umekuwa ukiandaa vijana kwa ajili ya kufanya vitendo vya kihalifu na kuahidiwa kiasi cha fedha.

K i k u n d i h i c h o kinaelezwa kutoka katika mpaka wa Pakistan na Afghanistan maarufu kwa jina la Peshawar Khabar katika jeshi la wahalifu ambao ni wataalamu wa kutengeneza silaha na milipuko wanaotumiwa na vikundi vya kigaidi vya Al-Qaida na al-Shabaab na washirika wao duniani.

W a s h i r i k a h a o wa n a e l e z wa k u i n g i a nchini wakitokea nchi jirani ya Kenya na kuweka kambi katika Mkoa huo wa Tanga huku wakiwa na mtandao wao katika Jiji la Dar es Salaam na Arusha.” (Hilo ni gazeti la JAMHURI katika toleo lake la Jumanne Februari 17-23, 2015).

Yapo mengi mfano wa hayo, lakini tuchukulie kuwa yatawakilishwa na mifano hii miwili. N i n a c h o k u s u d i a

Inaendelea Uk. 12

hao wal izunguka na kujikuta wanajeruhiana wao kwa wao. Kwa sasa eneo lote limezingirwa na wanajeshi.” Kilisema chanzo chetu.

Eneo ambalo linatajwa kuwekwa kambi na kundi hilo ni lile la Ambano Mafuriko lililozungukwa na msitu. Inaelezwa kuwa watu hao walifanikiwa

kujenga ngome iliyokuwa na uwanja wa kufanyia m a z o e z i y a s i l a h a . Inasemekana kikundi hicho kimechimba handaki kubwa wanalolitumia

BAADHI ya wanajeshi wa Nigeria waliofikishwa katika Mahakama ya Kijeshi wakidaiwa kukataa kupigana na Boko Harram. (Picha na mashirika ya habari)

Page 11: ANNUUR 1165

11 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 201511 AN-NUURMakala

Inaendelea Uk. 12

MWEZI MACHI 6, 2014, m wa n d i s h i J a p h e t h O m o j u wa a l i a n d i k a makala yake aliyoipa jina: “Wendell Simlin: Another b a d g e o f s h a m e o n Jonathan’s escutcheon”.

Akifanya uchambuzi kuonyesha jinsi serikali ya Nigeria ilivyozama katika tope la ugaidi wa Boko Haram na kwamba itakuwa kichekesho na kitu kisichowezekana kwa serikali ya Goodluck Jonathan kukabiliana na kumaliza ugaidi wa Boko Haram, alisema:

“A d o g w i l l n o t challenge its puppies for trying to bark. A pig will never dare to prevent its offspring from getting dirty. It is the very essence of their existence.”

Kwamba kama ambavyo mbwa haweza kukikemea kitoto chake kikibweka, na kama ambavyo nguruwe hawezi kumkinga mtoto wake asichafuke, basi h u o n d i o u h u s i a n a o uliopo katika ya serikali ya Nigeria na tuhuma za ufisadi na ugaidi wa Boko Haram.

Pa m o j a n a m a m b o m e n g i n e , l a k i n i kilichomshtua Japheth mpaka kuandika makala hiyo ni kisa cha Kasisi Reno Omokri, ambaye ni Mtumishi wa Ikulu na Msemaji wa Rais katika masuala ya habari (Special Assistant to the President on New Media).

“Presidential spokesman P a s t o r R e n o O m o k r i caught with Boko Haram propaganda”, zilisambaa habari na kuanza kushtua watu kisha kufuatilia nini kilijiri. Habari iko hivi:

Tarehe 26 Februari, 2014 ulisambazwa ujumbe kupitia mtandao (email) ukimuhusisha aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Nigeria, Alhaj /Mallam Lamido Sanusi na ugaidi.

U j u m b e h u o u l i o s a m b a z w a n a kutumwa katika mitandao na vyombo mbalimbali vya habari, ulionyesha kutumwa na mtu aliyeitwa Wendell Simlin kupitia email, [email protected].

L a m i d o S a n u s i alisimamishwa kazi baada ya kuhoji kupotea kwa kiasi kukubwa cha pesa kutoka fuko la mapato ya mafuta. Gavana huyo wa Benki Kuu, alisema kuwa kiasi cha Dola bilioni 20 ($20bn) (£12bn) za mapato ya mafuta zimeyeyuka k u t o k a H a z i n a , n a hazijulikani zilikozama.

Pa m o j a n a m a m b o m e n g i n e , e m a i l y a Wendell Simlin i l idai

Tunajisemea tu, hatujui Boko HaramKadhia ya Reno Omokri “Wendell Simlin” Taarifa hiyo ikamalizia

o r o d h a y a k e y a mashambulizi ya kigaidi k w a k u s e m a k u w a Februari 25, 2014, Boko Haram walishambulia Chuo cha Buni Yada, (Federal Government College), katika Jimbo la Yobe na kuuwa kwa uchache wanafunzi 59 wakati wakiwa wamelala.

Pamoja na matukio hayo, emai l ikasema kuwa Sanusi ni rafiki wa karibu sana wa Alhaji Umaru Abdul Mutallab, jambo ambalo ni la kweli. I k a k u m b u s h a k u w a Farouk Abdul Mutallab, aliyekamatwa katika tukio la kigaidi lililodaiwa la kutaka kulipua ndege ya Marekani (Northwest Airlines), ni mtoto wa Alha j i Umaru Abdul Mutallab. Yote hiyo, ikiwa ni kujenga hoja kuwa urafiki wa Alhaj Sanusi na Alhaji Umaru Abdul Mutallab, unatokana na ushirika wao katika mambo ya ugaidi. (Tunauweka uumbe huo kama ulivyo kwa Kiingereza)

Hata hivyo, wadadisi wa mambo baada ya kuzamia katika masuala ya IT, waligundua kuwa ujumbe huo unatoka kat ika Ikulu ya Rais Jonathan, ukiandikwa na mtu wake mahususia wa habari katika mitandao (new media), Bwana Reno Omokri.

U f u p i wa m a n e n o ni kuwa ililigundulika kuwa barua/ujumbe huo uliandikwa na kutumwa na mtu wa Rais Reno Omokri, akitumia jina la uwongo Wendell Simlin na anuwani [email protected] akitumia ‘Hewlett Packard computer’ yake saa 4 na dakika moja asubuhi (10:01) siku ya Jumatano. Dak ika 16 baada ya kumalizika kuchapwa k a t i k a k o m p o u t a , u l i to leshwa kutumia printa na kisha baadae saa 5 na dakika 54 (11:54) ndio ikatumwa email kwa kutumia email address ya Wendell Simlin. Na kwamba ilitumwa kupitia “Nigerian government’s official internet service p r o v i d e r , G a l a x y Backbone, Abuja”. (Kwa maelezo zaidi ya kina soma: Jonathan Media Man Reno Omokri Caught Distributing Sanusi-Boko Propaganda Under Fake Name. Unaweza kuangalia pia: BBCtrending: The mysterious case of Wendell Simlin-By BBC Trending What's popular and why Lamido Sanusi was suspended from Nigeria's central bank last month.)

IN the wake of the saga involving the suspended Governor of the Central Bank of Nigeria, there has been an increase in the tempo of terrorist activities carried out by the Islamic Terrorist sect, Boko Haram.

Taken together with some historical facts, there is a strong case that this increase in tempo and other activities

Increased Tempo of Boko Haram/Terrorist Activity in the Wake of the Sanusi Saga

are not coincidental.The following Timelines

may throw some light on the likely linkages;

F e b r u a r y 2 0 t h 2 0 1 4 : President Goodluck Jonathan suspends Malam Sanusi Lamido Sanusi as Governor of the Central Bank of Nigeria.

February 20th 2014: Boko Haram attacks Bama town killing at least 47, wounding

many and destroying houses.February 23rd 2014: Boko

Haram attacks Konduga Local Government, destroying houses, and allegedly killing scores of rural dwellers.

February 24th 2014: Borno State Governor’s convoy a l l e g e d l y a t t a c k e d b y gunmen.

February 25th 2014: Boko

Kasisi Reno Omokri (kulia) akiwa na Mchungaji Ayo wakati wa uzinduzi wa moja ya vitabu vyake.

Malam Sanusi Lamido.

Cont. Pg. 12

kuwa Gavana huyo wa Benk Kuu, Alhaj Mallam Lamido Sanusi, ndiye mfadhili mkuu wa ugaidi na kwamba mashambulizi ya k i g a i d i ya m e z i d i baada ya kusimamishwa kazi na Rais Goodluck Junathan, kama ishara ya kukasirishwa na kitendo

hicho cha Rais.I k a e l e z w a k u w a

Februari 20, 2014, Rais G o o d l u c k J o n a t h a n a l i m s i m a m i s h a k a z i Malam Sanusi Lamido Sanusi akiwa Gavana wa Benki Kuu ya Nigeria. (Central Bank of Nigeria).

Siku tatu tu baadae,

Februari 23, 2014, Boko Haram wakashambulia K o n d u g a L o c a l Government, wakiharibu m a k a z i ya wa t u n a kuuwa watu kadhaa na siku iliyofuata Februari 24, 2014 wakashambulia msafara wa Gavana wa Jimbo la Borno.

Page 12: ANNUUR 1165

12 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 201512 MAKALA

Increased Tempo of Boko Haram/Terrorist Activity in the Wake of the Sanusi Saga

From Pg. 11Haram attacks Federal Government College, Buni Yada, in Yobe State, killing at least 29 students as they slept.

HistoryIt is a historical fact that

Malam Sanusi Lamido Sanusi was implicated in the Gideon Akaluka beheading affair of 1995 and was subsequently arrested in Kano and detained by the Abacha administration in Sokoto, Sokoto State.

Sanusi was released after the intervention of (amongst others) Alhaji Umaru Abdul Mutallab.

Alhaji Mutallab used his influence to place Sanusi comfortably in the banking sector beginning with the United Bank for Africa from where he moved to First Bank where he (Mutallab) was chairman.

Malam Sanusi rose within the ranks, aided by his relationship with Mutallab, until he was nominated by President Yar’adua and confirmed by the senate as the Governor of the CBN in 2009.

It is pertinent to note two incidences that cannot be coincidences. The son of Alhaji Umaru Abdul Mutallab (Farouk Abdul M u t a l l a b ) e v e n t u a l l y entered into infamy when he was arrested and tried for attempting to detonate

an under wear bomb on a Northwest Airlines flight into America. Farouk Abdul Mutallab became radicalized after he had gone to study Sharia and Islamic studies in Yemen in 2009.

This was exactly the same trajectory earlier taken by Sanusi Lamido Sanusi who schooled at the International University of Africa in Khartoum, Sudan in the mid 1990s while Osama Bin Laden was also a resident of the city.

Alhaj i Umaru Abdul Mutallab appears to be a recurring decimal in the life of Sanusi and the unifying factor appears to be their passion for an Islamic world order. For example, one of Sanusi’s first act as Central Bank Governor was to begin the push for Islamic banking which culminated in the establishment of the first Islamic bank in Nigeria, Jaiz Bank. Alhaji Umaru Abdul Mutallab is the Managing Director of this bank.

Given the quantum of funds that were appropriated by the Sanusi led CBN on non banking related activities and donations, and the s t rong des i re that he and Alhaji Umaru Abdul Mutallab have for proselytizing Islam as well as their circumstantial links to terror (Sanusi via Gideon Akaluka and Mutallab via his son) it is not such a leap for them to facilitate the activities of terrorists.

Wandishi tunacheza mchezo tusioujuaInatoka Uk. 10k u o n y e s h a k a t i k a mifano hiyo ni kuwa toka kuibuka taarifa za Amboni, waandishi wa habari tumekuwa na shauku kubwa sana kuona suala hili likipewa nembo ya ugaidi. Lakini si hivyo tu, litumike kukuza kitisho na hofu ambayo itapeleka salamu kwa wananchi kuwa Tanzania, si mahali salama tena pa kuishi. Maana unaposema kuwa baada ya polisi kushindwa, JWTZ nao wa l i z i d i wa m a a r i f a wakajikuta wanajeruhiana w a o k w a w a o , unachokusudia kusema nini? Au unaposema kuwa magaidi kutoka nje ya nchi wameingia nchini na kujenga kambi na ghala la kuhifadhia silaha aridhini na uwanja wa mazoezi, katika eneo ambalo si zaidi ya kilometa 20 au hata ikiwa 100, kutoka katika mji wa Tanga, lakini serikali na vyombo vyake vya usalama haina habari, salamu gani unapeleka kwa wananchi. Na hapa ndio linakuja lile swali la Mhariri wa Nipashe.

Jaaliya habari za JAMHURI na Mtanzania ni za kweliUnaweza kulitafsiri

swal i la Mharir i wa Nipashe katika namna n y i n g i , l a k i n i m i m i nitalipa sura mbili na kuzitolea ufafanuzi. Moja, ni hii inayoelezwa katika Mtanzania na JAMHURI. Kwamba unajaaliya kuwa yaliyosemwa na magazeti hayo ni kweli. Sasa swali linahoji, serikali ipo wapi mpaka wanaingia Boko Haram, Al-Shabaab na Al-Qaida kutoka “katika mpaka wa Pakistan na Afghanistan maarufu kwa jina la Peshawar Khabar” na kuweka kambi Amboni wakiwa na maghala ya silaha na viwanja vya mazoezi?

J A H M U R I linatufahamisha kuwa magaidi hao kutoka ‘ Pe s h a wa r K h a i b a r ’ baada ya kuingia nchini, “vyanzo kutoka ofisi nyet i vi l ie leza kuwa “wamekuwa wakiandaa vijana kwa ajili ya kufanya vitendo vya kihalifu na kuahidiwa kias i cha fedha” na kwamba kuna “mtandao wa wafadhili w a k i k u n d i h i c h o wanaoratibu harakati za kigaidi nchini (na kwamba) wanafahamika k w a v y o m b o v y a ulinzi, ila vimeshindwa kuwachukulia hatua.”

Kama alivyohoji Mhariri wa Nipashe, kuna haja gani ya kuwa na vyombo vya ulinzi na usalama kama vinakuwa na habari

kuwa kuna mtandao wa wafadhili wanaoratibu vitendo vya kigaidi na kuwahudumia magaidi kutoka Peshawar, lakini vinaogopa kuwachukulia hatua? Je, watu hao ambao wameshinda nguvu Idara ya Usalama, Polisi na JWTZ, serikali nzima, ni akina nani?

L a k i n i u k i j a n a mtizamo huu, kwamba yaliyosemwa na JAMHURI ni kweli, na hivyo kuhoji maswali hayo, unazua balaa, tena si dogo. Itabidi sasa tukubane utupe maelezo zaidi. Maana kwa hakika unachosema hapa ni kuwa serikali inahusika kuingiza na kulea magaidi. Ni mchawi anayetafuna wanae!

Tuiangalie Boko Haram tunaweza kupata pichaG a z e t i l a C i t i z e n

Jumatatu, 16 Feb. 2015, limechapisha maoni ya mwandishi Gitau Warigi yakiwa na kichwa cha habari kisemacho: “If postponing Nigeria polls is a cynical ploy, God save us all.”

Katika maoni yake Gitau Warigi anasema kuwa Rais Goodluck Jonathan wa Nigeria amekuwa kituko akiongea k a m a p u n g u w a n i . Aidha jeshi z ima la nchi hiyo, l imekuwa kiroja na kichekesho l e n ye k u d h a r a u l i wa dunia nzima. Hi i n i kutokana na kushindwa kabisa kukabiliana na Boko Haram, likiwemo lile tukio la kutekwa wasichana 279 wa shule, a m b a p o s e r i k a l i n a vyombo vyake vyote vya dola, pamoja na msaada kutoka mataifa makubwa, imeshindikana kujua walikofichwa wasichana hao na kuwaokoa toka Aprili mwaka jana 2014.

Hivi sasa katika Nigeria kuna wanajeshi zaidi ya 150 ambao wanasubiri hukumu ya kifo kwa kosa la kukimbia vita. (Tazama kwa mfano: Nigerian soldiers sentenced to death for refusing to fight Boko Haram as Islamist group 'kidnaps 100 women and children' in remote village raid. Nigeria Troops Sentenced

Inaendelea Uk. 15

Tunajisemea tu, hatujui Boko HaramInatoka Uk. 11M u u n g a n i k o h u u ,

kwamba tukio la kuuliwa wanafunzi 59 wasio na hatia wa chuo cha Buni Yada kule Yobe, ikidaiwa kuwa ni Boko Haram (Waislamu), halafu wakaunganishwa maa-Alhaji wawili, Alhaji Umaru Abdul Mutallab na Alhaj Malam Sanusi Lamido Sanusi, anasema Japheth kuwa, ni jambo la hatari na linalotakiwa Wanigeria kutafakari kwa makini bila ya chuki kipofu, ‘prejudice’, kuona ni namna gani siasa chafu zinatumika kuwagawa na kuwaangamiza wananchi wa Nigeria kwa michezo hatari ya Boko Haram.

“As a people, we should be very afraid of those who run our country”, anasema Japheth Omojuwa akihi t imisha makala yake.

Kufuatia kadhia hi i , mambo mawili yamejiri. Kwanza amejitokeza mama mmoja kutoka California k wa j i n a l a D e b o r a h Campbell, akisema kuwa atamshitaki Reno Omokri, kwa kuiba jina la mtoto wake, Wendell Simlin, na kulitumia vibaya. (Tazama: California Woman Accuses President Jonathan’s Aide , Reno Omokri, of "Wendell Simlin” Identity Theft- 1 January 2015)

Akinukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari na mitandao kupitia simu na emails, Ms. Campbell anasema kuwa Wendell Simlin, ni jina la mtoto wake na anakusudia kumshitaki Bwana Omokri kwa kutumia vibaya jina la mwanawe kupiga propaganda chafu.

Zipo taarifa nyingi juu ya uhusiano, na lini ulianza, baina ya Omokri na kijana huyo kutoka California, lakini baadhi ya mitandao inafahamisha kuwa Mr. Omokri amekuwa “notorious for creating fake social media accounts to burnish President Jonathan’s image and demonize opposition politicians.”

Habari za kiuchunguzi zinaonyesha kuwa Wendell S i m l i n h a l i s i , a n a i s h i Hercules, California na k w a m b a m a m a y a k e ameolewa na shemejiye Omokri (Omokri’s brother-in-law).

Jambo jingine lililotokea ni kuwa Rais Jonathan amemuondoa Reno Omokri na kumteuwa Obi Asika kuchukua nafasi yake.

Bemigho Reno Omokri, aliyezaliwa Januar1 22, 1974, ana Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu cha Wolverhampton na n i mwandishi pia wa vitabu vya Dini ya Kikristo ambapo moja ya vitabu vyake ni Shunpiking: No Shortcuts to God.

A m e k u w a a k i i s h i M a r e k a n i h a d i 2 0 0 1 1

alipokuja Nigeria kufanya kazi katika ofisi ya Rais na akiwa Marekani alitengeneza filamu kadhaa za kidini na vipindi vya televisheni kuhubiri ‘Injili’.

Aidha, kabla ya kuwa mtu wa Rais anayeshughulikia ‘ p r o p a g a n d a ’ k a t i k a mitandao (social medi), alikuwa Makamo wa Rais (Vice President, Africa) wa taaisi ya Kimarekani inayojihusisha na kampeni na mikakati ya kisiasa ijulikanayo kwa jina la Joe Trippi and Associates (U.S Political Consulting firm).

Yeye pia ni Kasisi wa Kituo/Kanisa la ‘Mind of Christ Christian Center’, lenye makao yake California na Abuja, ambako amekuwa akifundisha Neno la Mungu.

Reno ni mashuhuri katika siasa za Marekani a k i w a m m o j a w a wanajopo (panel ist ) - United States Institute of Peace, halikadhalika Atlantic Council. Kwa nafasi hiyo alimwakilisha pia Rais Jonathan katika vikao vya Royal Institute for International Affairs, London.

Reno Omokri alikuwa mmoja watu 57 (G57) waliosaini waraka wa k u m t a k a R a i s U m a r u Yar'adua ajiuzulu Novemba 23, 2009 na ilipofika 20011, Reno alikuwa miongoni mwa Wanigeria kat ika ‘Diaspora’, kwa maana ya Wanigeria wanaoishi nje ya nchi hiyo, waliomuunga mkono Goodluck Jonathan kuwa agombee urais, katika uchaguzi mkuu wa mwaka huo. Na ndio naye akarudi Nigeria na kupewa kazi Ikulu.

M w a k a 2 0 1 3 , R e n o Omokri alimuwakilisha Rais Goodluck Jonathan, katika Mkutano wa ‘Inter-Faith Dialogue and the Quest for National Security in Nigeria’, ulioandaliwa na Interfaith Activities and Partnership for Peace, IFAPP.

Mwaka 2013, kitabu chake Shunpiking: No Shortcuts to God, kilizinduliwa kukiwa na matamasha makubwa katika Marekani juu ya uzinduzi huo ambapo mwaka huo huo ulimkuta Reno Omokri akiwa katika harakati nyingi za Ukasisi akifanya vipindi katika Redio na TV Marekani (US Christian talk show, 'Atlanta Live') akihojiwa na Cherisse Stephens. Huyu Cherisse Stephens ni maarufu kwa wasifu wa “American Gospel Music star and Trinity Broadcasting Network hostess’.

Page 13: ANNUUR 1165

13 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015Makala

RUHENGERI, Rwanda - Wanavijiji wakiwa na vilemba vyao vya kijani kibichi na nakala za kijani za Kurani waliwasili katika msikiti Jumapili mchana wakati mvua inanyesha kwa ajili ya mhadhara kwa waumini wapya. Kulikuwa na m a d a m o j a k u b wa : jihad. Walikaa vitini na kupekua kurasa hadi unaotakiwa. Mikono ilirushwa hewani. Watu walisoma aya kwa sauti. Na neno jihad - pambano takatifu - lilisikika tena na tena katika chumba hicho chenye giza, kinachovuja.

Haikuwa aina ile ya jihad ambayo imekuwa ikisikika katika habari tangu Septemba 11, 2001. Hapakuwa na rejea kuhusu Osama bin Laden, Kituo cha Biashara cha Kimataifa au walipua mabomu wa kujitoa mhanga. Kulikuwa t u n a m a z u n g u m z o

Uislamu unawavutia wengi walionusurika katika mauaji halaiki RwandaNa Emily Wax

Oktoba 4, 2001 - September 23, 2002

(Hisani ya mtandao wa Washington Post, ripoti

za kimataifa)

kuhusu April 6, 1994, siku ya kwanza ya mauaji ya halaiki yaliyopangwa na serikali ambako watu wa siasa kali wa ki-Hutu waliwaua raia 800,000 wa kabila la wachache la wa-

Tutsi na wa-Hutu wenye msimamo wa wastani kisiasa.

" Tu n a j i h a d i y e t u wenyewe, na hii ndiyo vita yetu dhidi ya ujinga kati ya wa-Hutu na wa-Tutsi. Ni

harakati yetu ya kupona," alisema Saleh Habimana, mufti wa Rwanda.

"Jihadi yetu ni kuanza kuheshimiana na kuishi kama Wanyarwanda na kama Waislamu."

Ta n g u m a u a j i y a halaiki, Wanyarwanda wamegeukia Uislamu kwa makundi makubwa. Waislamu sasa ni asilimia 14 ya watu milioni 8.2 wa nchi hiyo ambayo inaongoza kwa Ukatoliki barani Afrika, mara mbili zaidi ya kabla ya mauaji kuanza. Wabadi l i d ini wengi wanasema waligeukia Uislamu kutokana na kile kilichofanywa na baadhi ya makasisi wa ki-Katoliki na ki-Protestanti ambako waliwaruhusu wa-Tutsi kupata hifadhi katika makanisa yao, halafu wakawatoa kwa makundi ya wauaji wa k i - H u t u , p a m o j a n a matukio ambako makasisi wa ki-Hutu walikuwa wanawahimiza waumini wao kuua wa-Tutsi.

Leo hivi baadhi ya makanisa yanatumika kama makumbusho ya watu wengi waliouawa k a t i k a h i f a d h i y a wachungaji wao.

M a k a s i s i w a n n e walishtakiwa kwa makosa ya mauaji ya halaiki katika

Inaendelea Uk. 14

MATUKIO na upitiaji wa kumbukumbu ya miaka 10 ya mauaji ya wa-Hutu dhidi ya wa-Tutsi takriban 800,000 wakati wa kiangazi chepesi (barani Ulaya) mwaka 1994 hayajatilia maanani nafasi ya taasisi ambayo imehusika sana na mauaji hayo ya halaiki, Kanisa Katoliki. Nafasi yake inaweza kulinganishwa na jinsi ilivyounga mkono utawala wa kifashisti Ujerumani, Nazi, kutwaa madaraka mwaka 1933.

W a k o l o n i w a Kijerumani walipowasili kwa makundi Rwanda-Burundi miaka ya 1870 walikuta, kwa viwango vya Afrika, mfumo thabiti wa kijamii. Wa-Tutsti, ambao si kabila halisi lakini wanatokana na kabila la wa-Nyiginya,, walikuwa wanatamalaki. Walikuwa zaidi wanamiliki ng'ombe, wakiwa na mamlaka katika maskani ya kitemi, ikiwa

Mauwaji ya Halaiki ya Watutsi-Nafasi ya Kanisa KatolikiUchambuzi wa gazeti la Uingereza, Aprili 16, 2004

Uchambuzi - Na Mwandishi Maalum

na sura ya mahakama ya nchi, na taasisi zilizokuwa zinategemea utemi, wakati wa-Hutu walikuwa zaidi ni wakulima masikini. Lakini wakulima wa ki-Hutu waliweza kuingia katika ngazi ya u-Tutsi kwa kufuzu, na machifu wa ki-Hutu wakiwa na nafasi ya maana katika jamii.

Kuanzia miaka ya 1880 na kuendelea, wamishionari wa ki-Belgiji wa Kanisa Katoliki wa kundi la 'White Fathers' la Roma waliongeza ushawishi wao katika eneo hilo, na katika makubaliano ya Versailles mwaka 1919 baada ya Vita Vikuu vya Kwanza, Rwanda ikawekwa chini ya udhamini wa Ubelgiji kwa niaba ya Muungano wa Mataifa (League of Nations).

F i k r a y a D a r w i n y a mabadiliko-maumbile

" W h i t e F a t h e r s " wa l i i m a r i s h a n a f a s i

yao katika eneo hilo. Nadharia za ki-Darwin za mabadiliko-maumbile na tofauti za rangi wakati huo, zilikuwa na nguvu. Mapadri hao wakaunda nadharia tete ya kibaguzi kuelezea ni vipi jamii yenye mpangilio wa dhati ilivyozuka, wakaunda dhana iitwayo 'nadharia ya u-Hamu,' iliyoeleza kuwa jami za Kiafrika zilizokuwa na 'ustaarabu' zilitokana na uvamizi wa wana wa Hamu ambao m w a n z o n i w a l i k a a maeneo ya Ethiopia.

Historia ya Rwanda ikaandikwa (upya) na wamishionari wa Kanisa Katoliki na watawala wa kikoloni wa Ubelgiji. Wa-Tutsi walikuwa watu wa hali ya juu, wazaliwa wa Hamu, wakati wa-H u t u w a l i k u w a w a uzao tofauti na hatma yao ilikuwa kudhibitiwa kama watwana wa ki-Bantu, wakati kundi dogo la wasaka nyama porini na wachukuzi, wa-Twa walionekana ni wakazi wa asili wafupi - ambao

walikuwa ni wa ngazi ya awali ya mabadiliko-maumbile ya binadamu. Matokeo yake ikawa ni kuwa ni wa-Tutsi pekee waliokuwa wakipewa nafasi za utawala nchini Rwanda; mamlaka yao na upendeleo ukaongezeka sana. Bila shaka, chuki z a w a - H u t u n a z o ziliongezeka.

W a m i s h i o n a r i v i j a n a kutoka kwa Papa

Baada ya Vita Vikuu vya Pili, ushawishi wa m a p a d r i wa ' W h i t e F a t h e r s ' u l i p u n g u a lilipoanza kuwasili wimbi la wamishionari vijana kutoka Vatican, wakitokea seminari za Ubelgi j i . Walikuja na nadharia z a ' h a k i z a k i j a m i i ; ambazo sasa zilikuwa zinajengwa na Vatican ili kueneza ushawishi wa Kanisa Katoliki katika n c h i z i n a z o e n d e l e a . Wa m i s h i o n a r i h a wa wa-Flemish, moja ya 'makabi la ' makubwa mawili nchini Ubelgiji,

walijitambulisha kuwa karibu na wa-Hutu walio wengi wanaonyanyaswa, na taratibu wakalazimisha wa-Tutsi kuachilia kibano chao juu ya nchi hiyo. Hiyo ilifikia uasi wa ki-Hutu mwaka 1959 ambako wa-Tutsi 10,000 waliouawa n a z a i d i ya 1 0 0 , 0 0 0 kufukuziwa uhamishoni.

Miaka mitatu baadaye, Gregoire Kayibanda, Katibu wa Mhashamu Vincent Nsengiyumva, A s k o f u M k u u w a Rwanda, akawa Rais wa kwanza wa nchi huru ya Rwanda, baada ya kuuda Chama cha Uimarishaji Kibaguzi wa wa-Hutu, 'Parme Hutu.' Sasa wa-Tutsi wakawa wanaokena katika fikra ya Kanisa Katoliki kama wavamizi kutoka Ethiopia na Kanisa likaanza kuchochea miito ya wa-Tutsi “kurudishwa makwao.”

Wa-Tutsi 'mende'

T u k i o m o j a l a kukumbukwa ni barua

Inaendelea Uk. 14

MSIKITI mjini Kigali, Rwanda.

Page 14: ANNUUR 1165

14 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015Makala

Inaendelea Uk. 16

Uislamu unawavutia wengi walionusurika katika mauaji halaiki RwandaInatoka Uk. 13Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ya Rwanda, na nchini Ubelgiji, iliyokuwa inaitawala nchi hiyo, watawa wawili wanawake wa Rwanda walipatikana n a h a t i a ya m a u a j i kutokana na nafasi zao katika mauaji ya wa-Tutsi 7,000 ambao waliomba hifadhi katika maskani ya wa-Benediktino.

T o f a u t i n a h a p o , v i o n g o z i w e n g i w a Kiislamu na familia za Waisa lmu, wanapata heshima kwa kuwalinda n a k u w a f i c h a w a l e waliokuwa wanakimbia. B a a d h i w a n a s e m a walifanya hivyo kutokana na maelekezo ya nguvu ya dini dhidi ya kuua, licha ya kuwa mafundisho wa Kikristo pia yanakataza k u u a . W e n g i n e wanasema Waislamu, ambao wanaonekana ni wachache wanaobaguliwa, hawakuingizwa katika kampeni ya wa-Hutu ya mauaji na hawakuogopa kuunga mkono suala ambalo waliliona ni la

heshima."Najua watu nchini

Marekani wanadhani k u w a Wa i s l a m u n i maga id i , l ak in i kwa Wanyarwanda walikuwa wapigania uhuru wakati wa mauaji ya halaiki," a l i s e m a J e a n - P i e r r e Sagahatu, umri miaka

37, m-Tutsi aliyebadilika kuwa Muislamu kutoka Ukatoliki baada ya baba yake na wanafamil ia wanane kuuawa.

"Ni l i taka ku j i f i cha katika kanisa, lakini hapo palikuwa mahali pabaya zaidi kwenda. Badala yake, familia ya Kiislamu

ilinichukua. Waliokoa maisha yangu."

Segahatu anasema baba yake alikuwa amefanya kazi kat ika hospital i ambako alikuwa na urafiki na familia ya Kiislamu. Wa l i m c h u k u a n d a n i Segahatu. licha ya kuwa walikuwa wa-Hutu.

"Niliwaangalia wakisali mara tano kwa siku. Nilikula nao na niliona jinsi wanavyoishi," alisema.

"Wanaposali, wa-Hutu na wa-Tutsi wanakuwa katika msikiti mmoja. Hakuna tofauti. Nilihitaji kuona hilo."

Uislamu kwa muda mrefu umekuwa dini ya wanaonyanyaswa. Maeneo ya Mashariki ya Kati na Asia ya Kusini, dini hiyo imekuwa na mwelekeo wa kina wa kuwafikia walio maskini na kutatua mapungufu ya maisha kwa kupiga marufuku unywaji pombe na kusititiza utulivu katika mahusiano ya kimapenzi. Nchini Marekani, Malcolm X alitumia aina ya Uislamu kufanikisha uwezeshaji kiuchumi na kijamii kwa watu Weusi nchini humo.

Viongozi wa Kiislamu wanasema wana wafuasi wasiotiliwa shaka nchini Rwanda, ambako ukimwi na umasikini vimechukua nafasi ya mauaji ya halaiki kama matatizo makubwa

Mauwaji ya Halaiki ya Watutsi-Nafasi ya Kanisa KatolikiInatoka Uk. 13c h a f u i l i y o p e l e k w a mwaka 1972 kwa Askofu M k u u n a k u n d i l a mapadri 11 wa ki-Hutu na viongozi wa Kanisa, ikiwazungumzia wa-Tutsi kama 'inyensi,' (mende) - neno ambalo lilitumiwa mara nyingi na wauaji wa ki-Hutu mwaka 1994. Wakizungumzia mauaji ya 1959, barua ilisema: "Baada ya kushindwa kwa wapinga maendeleo, wa-inyensi, mtu angetazamia kuwa watu wenye uelewa, waliowekwa kumtumikia Mungu, wangenyenyekea mbele ya ushindi wa watu (wal io wengi ) . Wa-Hutu wanaonekana kulala usingizi kwa sifa za ushindi, wakati wa-Tutsi wanajitahidi kwa kila njia kuwa tena wamiliki wa matukio. Ni kwa muda gani ambao tunaweza kuendelea kuwaruhusu ndugu zetu wa ki-Tutsi kutufanya wapumbavu?"

Mmoja wa waandishi wa barua hiyo, Andre Havugimana, baadaye alifikia ngazi za kuu katika Kanisa Katoliki nchini

Rwanda.Mwaka uliofuatia barua

hiyo, Kanisa Katoliki hadharani likaunga mkono kuondolewa kwa wa-Tutsi kutoka katika mashule, vyuo na idara za serikali. Unyanyasaji na mauaji ya hapa na pale ya wa-Tutsi yalikuwa hayakwepeki kutokana na ukandamizaji huu. Mwaka 1992, Hassan Ngeze, mwandishi wa h a b a r i a l i y e k u w a akitumikia chama cha siasa kali cha ki-Hutu, alichapisha waraka wa ki-Hutu ukiitwa “Amri Kumi za Wahutu.” Amri ya Nane ilikuwa, "Acha kuwa na huruma kwa wa-Tutsi."

Roma, Marekani na mauaji ya halaiki

Matukio yaliyofikia hadi mauaji ya halaiki April 1994 yalikuwa, kwa mujibu wa wataalamu wengi, yamepangwa na kuratibishwa na viongozi wa Kanisa Katoliki na wanasiasa wakishirikiana na wa-Hutu wa siasa kali na Balozi wa Marekani David Rawson. Mahali pa kazi awali pa Rawson ilikuwa

ni nchini Somalia ambako alitumia mamilioni ya dola za Marekani kupeleka silaha za Marekani kwa utawala muflisi wa Siad Barre. Hiyo ilifuatiwa na kuondoka kwa aibu kutoka Somalia wakati nchi hiyo ikitumbukia katika mparaganyiko.

Nafas i muhimu ya Marekani katika mauaji ya Rwanda ilikuwa ni kukanusha kuwa mauaji ya h a l a i k i ya l i k u wa yakiendelea, kwani chini ya Sheria za Kimataifa hal i hiyo ingelazimu kuwa Umoja wa Mataifa na Jumuia ya Kimataifa kuchukua hatua kuingilia kati. Badala yake wakadai kulikuwa na matukio binafsi ya mauaji ya ki-mbari. Pia walizuia jitihada za Umoja wa Mataifa kupeleka wanajeshi nchini Rwanda.

Katika makala ya gazeti la Guardian mwaka 1999 , Chris McGreal aliandika k u h u s u k u s h i n d w a kwa Kanisa Kato l ik i kuzuia umwagaji damu, kuwa "lilishindwa kwa s a b a b u l i n a a m i n i wa na watu wanne kati ya

watano nchini Rwanda, na hata hivyo lilifanya j u h u d i n d o g o s a n a kuwashawishi wauaji vinginevyo. Kushindwa huko kunaendelea hivi leo kutokana na kukataa ukweli wa kilichotokea na kukwepa kukiri kuhusika kwake katika mauaji ya halaiki."

Roma, Wanatheologia na mauaji

M a p a d r i k a d h a a walishiriki kwa kina katika mauaji ya halaiki ya wa-Tutsi, akiwemo Augustin Misago, aliyeshitakiwa mwaka 1999 kwa madai ya kuwapeleka watoto kushiriki katika makundi ya mgambo ya ki-Hutu. Katika tukio moja, wa-Tutsi wasio na silaha dazeni kadhaa waliuawa ndani ya kanisa la Kikatoliki. Misago alisema: "Walisababisha h i l o w e n y e w e k w a k u f i c h a b u n d u k i . " Miaka miwili baadaye, kikundi cha wapigania h a k i z a b i n a d a m u , ambacho ki l ipeleleza u s h i r i k i w a K a n i s a Katoloki katika mauaji

hayo , k i l imwandikia Pa p a k u s e m a k u w a " i n a s h a n g a z a k u o n a juhudi za kila wakati kusafisha utawala wa Kanisa Katoliki na taasisi h i y o k w a g h a r a m a yoyote." Inasikilisha kuona kuwa baadhi ya taasisi za kichungaji ambazo awali zilikuwa za ki-Protestanti pia ziliangalia pembeni mauaji yakiendelea.

Wiki il iyopita (kwa t a r e h e y a m a k a l a ) , Waziri Mkuu Tony Blair (wa Uingereza) alisema ataharakisha kupeleka bungeni muswada wa kuweka vitambulisho. K a m a a m b a v y o utambulisho wa Wayahudi katika orodha za serikali za mitaa nchini Uholanzi katika miaka ya 1930, uliwawezesha watu wa Hitler kuwatambua na kuwakamata Wayahudi nchin i humo mwaka 1940, inachangamsha k u k u m b u k a k u w a itikadi ya kibaguzi yenye mizizi ya Kikatoliki ya miaka ya 1920 na 1930 iliwahitaji Wanyarwanda w o t e k u b e b a

Inaendelea Uk. 16

RAIS wa zamani wa Rwanda, Hayati Juvenal Habyarimana (kushoto).

Page 15: ANNUUR 1165

15 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015Makala

Inaendelea Uk. 18

Wandishi tunacheza mchezo tusioujuaInatoka Uk. 12

To Death For Cowardice: Scores of elite troops will face the firing squad for not joining an operation to win back territory taken by Boko Haram. Nigeria: 54 Soldiers Sentenced to Death for Mutiny.)

A s k a r i h a o wakishitakiwa katika Mahakama za Kijeshi, wa n a d a i wa k u k a t a a kupigana dhidi ya Boko Haram. Lakini suala hapa s io askar i hao kukataa kupigana au kwamba wamegeuka na kuwa wasaliti. Tabu ipo katika utata wa adui wa n a ye p i g a n a n a ye . Hawajui wanapigana na nani. Mara kadhaa kikosi kinapelekwa kukabiliana na Boko Haram, wakiamini k u w a n i ‘ m a g a i d i ’ kama wanavyomwona A b u b a k a r S h e k a u katika video zake, si gaidi chochote. Ni kama punguwani fulani hivi. Lakini wanapofika mahali wanapotakiwa kufanya o p e r e s h e n i , g h a f l a wanakumbana na jeshi kamili lenye silaha nzito kuliko zao na kujikuta askari wakiuliwa ovyo. K a t i k a t u k i o m o j a , kufumba na kufumbua, waliuliwa askari 26. Hawa ni wanajeshi kamili na vyeo vyao, sio mgambo wa Jiji au polisi jamii wa ulinzi shirikishi.

Hali kama hii ndiyo inawafanya wanajeshi w a N i g e r i a k u h o j i , wanapigana na nani? Mbona adui haeleweki na kwamba inavyoonekana iko siri kubwa juu ya Boko Haram ambayo wao hawaijui labda wakubwa zao na wakuu wa serikali!

Hao tunaosikia Boko Haram leo kule Nigeria kuwa jeshi limewashindwa mpaka likaomba wanajeshi kutoka nchi jirani na hata mbali Marekani, Israel na nchi za NATO, tukio lao la mwanzo kuingia kazini lilitangazwa kama hili la Amboni. Kwamba waliteka silaha kutoka vituo vya polisi na baada ya hapo ndio wakaanza kufanya mashambulizi ya kigaidi. Sasa ni jeshi lenye mizinga, makombora, m a g a r i y a k i j e s h i , hawapungukiwi bunduki, risasi wala wapiganaji. Imekuwa kikosi ambacho kinaweza kuteka watoto wa shule kwa zaidi ya mwaka polisi, jeshi la Idara zote za Usalama za Nigeria na vikosi vya msaada kutoka Marekani, Uingereza na Israe l , vikashindwa kutambua walikowaficha!

Nigeria na Boko Haram yao mpaka kufika hapa i l ipo, imepit ia hatua k a m a n n e m u h i m u . Kwanza waliibuka watu wakijiita Jama'atu Ahlis

Sunna Lidda'Awati Wal-Jihad, wakipinga elimu yenye maadili waliyoita ya kikafiri. Hiyo ilikuwa mwaka 2002.

Katika hatua hiyo ya awali, baada ya viongozi wa K i i s l a m u k u o n a mwelekeo potofu wa Ustaz Mohamed Yusuf na kundi lake, walitahadharisha sana serikali na mamlaka inayosimamia televisheni-N i g e r i a n Te l e v i s i o n Authority (NTA) kuwa asipewe fursa kat ika vyombo vya habari, lakini hilo halikuzingatiwa. Akaachwa na kupewa fursa katika vyombo vya habari mpaka akapata umaarufu na wafuasi wa k u t o s h a k u we z a kupambana na polisi.

Kuna uwezekano wa namna mbili hapa. Moja ni kuwa huenda Ustaz Yusuf na kundi lake walikuwa watu huru tu wasio na matata, lakini baadae likatekwa nyara na watu wenye malengo mengine. Au pengine hata kuanza kwao ilikuwa ni sehemu ya mkakati mzima wa yaliyokuja kujiri baadae, japo wao we n ye we wa n a we z a wasijue. Wakitumiwa tu. Hili la pili linapewa nguvu zaidi kutokana na maisha aliyokuwa akiishi kiongozi wake huyo wa awali Ustaz Mohammed Yusuf. Akiishi katika jumba la kifahari na kuendesha gari la kifahari aina ya Mercedes-Benz na watoto wake wakisoma Ulaya na yeye mwenyewe kasoma (akiwadanganya wafuasi wake kuwa kupeleka watoto shule ni haramu), lakini bila kujulikana anafanya biashara gani. Hali iliyokuwa tofauti

kabisa na maisha yake ya awali kabla ya kuingia katika harakati za Boko Haram.

Hatua ya pili, ilikuwa ya kuhasimiana na serikali kwa madai mbalimbali. Tatu, matumizi ya vurugu. Katika hatua hii, serikali i l ikuwa ikiwakamata viongozi na wafuasi wa kikundi hiki kuwafunga na hata kuwauwa akiwemo Ustaz Mohammed Yusuf. Ilikuwa hatua ya kuuliwa kiongozi huyo Julai 30, 2009, iliyofungua ukurasa wa ghasia na mauwaji ya kigaidi. Na hili lilifanywa kama filamu na jambo la kupangwa. Yusuf aliuliwa k i k a t i l i h u k u p o l i s i wakirekodi mkanda wa kuuliwa kwake na kisha u k a s a m b a z wa . H i y o ikalipua wafuasi wake. Ikawa ni mapambano ya polisi na watu waliodaiwa wa kikundi hiki.

H a t a h i v y o , h i y o ilikuwa kama mtaji tu wa kuanzia, lakini haukuweza kufikisha kit isho cha B o k o H a r a m k a t i k a sura hii inayoonekana h i v i l e o . M a m b o ya ziada yalifanyika. Mara kadhaa walikamatwa watu wasio Waislamu waki l ipua makanisa , halafu inatangazwa kuwa walikuwa Boko Haram. (Soma, “When Boko Haram Became Christians….“.)

M a r a k a d h a a p i a zimekamatwa shehena za silaha zikiingizwa ndani ya nchi, lakini kesi zake huisha kwa namna isiyoeleweka. Tukio la hivi karibuni n i k u k a m a t wa m a r a mbili kwa ndege binafsi ya Mchungaji Ayodele Joseph Oritsejafor, ikiwa na lundo la dola kwa ajili ya kununua silaha Afrika

ya Kusini. (Tazama: Arms Smuggling Jet Caught With $10million In South Africa Linked To CAN President, Ayo Oritsejafor). Ilimuradi yamezuka mambo mengi yenye utata ambapo mpaka leo inakuwa vigumu mtu kusema nani Boko Haram wa sasa ikilinganishwa na wale wa awali wa Ustaz Yusuf.

Ilipokubalika tu kuwa kuna kitisho cha magaidi wa Boko Haram, kosa. Waliibuka wapiganaji wenye s i laha ambao hata inakuwa vigumu kujua walitoka wapi na silaha wanapata wapi. Ikawa ni mauwaji juu ya mauwaji, na kila wanajeshi walivyojizatiti ndivyo Boko Haram walivyozidi kuwa na nguvu zaidi kwa maana ya silaha kali na wapiganaji wenye ujuzi wa kijeshi. Inabidi sasa Jeshi wahoji, nani hawa Boko Haram kabla hatujapigana nao? Wanahukumiwa kifo kwamba eti wanaleta ‘mutiny’!

Hebu wachukulie hao wanaodawi kuwa waliteka vituo vya Polisi kupata silaha za mtaji kuwa ndio Boko Haram. Akili ya kawaida inataka ujiulize, je kwa silaha hizo za mtaji walizoteka, wanaweza kushinda nguvu ya polisi na jeshi la nchi? Kama walianza kwa kupora SMG mbili tatu kutoka vituo vya polisi mithili ya kile cha Mkuranga au Rombo, hivyo si Vituo vya kuwa na amari kubwa (na kwa kuanzia hawawezi kuvamia ki tuo kama Oyster bay au Msimbazi). Hivyo waweza kukisia idadi na aina ya silaha walizopora. Je, hizo ni s i laha za kuwafanya

washinde Polisi na jeshi zima na kudumu hadi kufikia hali hii ya leo ambapo ni tishio si kwa Nigeria pekee, bali hata kwa nchi jirani? Silaha za ziada wamezipata wapi? Silaha nzito za kijeshi na magari mazito ya kijeshi wanayodaiwa kuwa nayo Boko Haram hivi sasa, wameyapata wapi? Je, ni nchi imewaagizia? Kama wameagiza wenyewe k u t o k a n j e ya n c h i , wamenunua kutoka nchi gani na pesa wamepata w a p i ? J e , N i g e r i a haina idara za usalama kubaini silaha haramu zinazoingizwa nchini?

Kwa hiyo lile swali la Nipashe ukilileta katika uelewa huu wa kujaaliya kuwa habari za gazeti letu la JAMHURI, ni za kweli , unakwama, isipokuwa kama utakuwa na ujasiri wa kutuambia kuwa Boko Haram ipo kwa sababu serikali inataka wawepo.

Je, tumekuwa na akina ‘Jerry Gana’ wakwetu?Kuna jambo muhimu

sana kalisema mwandishi A n g e l a K i w i a w a JAHMURI. Anasema, nchini hapa Tanzania, kuna mtandao wa wafadhili wanaoratibu vitendo vya kigaidi ikiwa ni pamoja na kuwalipa magaidi kutoka Peshawar pamoja na vijana wa Kitanzania wanaochukua mafunzo ya ugaidi. Anasisitiza Kiwia kuwa watu wetu wa Idara zetu za Usalama wanawajua watu hao, ila wanaogopa kuwagusa. Walichofanya ni kuzidisha tu ulinzi Ikulu???

Kwa bahat i mbaya mwandishi wetu Angela Kiwia wa gazeti letu JAMHURI, hakuwataja wafadhili hao, pengine kwa sasa ameona ahifadhi majina yao!

Habari kama hii iliwahi kuandikwa Nigeria mwaka 2008 alipokamatwa ustaz Yusuf na 2009 wakati alipouliwa Ustaz huyo wa Boko Haram. Kwanza magazeti yalihoji, kwa nini Mohamed Yusuf aliuliwa wakati alishakamatwa na kushikiliwa na polisi a m b a p o a n g e s a i d i a kufichua mtandao mzima unaodaiwa wa kigaidi. Pili, wakasema, taarifa za polisi zinaonyesha kuwa mtu aliyemwekea dhamana alipokamatwa kwa mara ya kwanza na polisi mwaka 2008 ni Profesa Jerry Gana ambaye amekuwa akitajwa kuwa ni mmoja wa wafadhili wake. Na kwa mujibu wa taarifa za polisi, Prof. Jerry Gana, ndiye alikuwa mtu wa mwisho kuwasiliana na Mohamed Yusuf, mara tu baada ya kukamatwa na vyombo vya dola na kabla ya kuuliwa. Bila shaka

KAMISHNA wa Operesheni na Mafunzo, Paul Chagonja.

Page 16: ANNUUR 1165

16 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015Makala/Tangazo

Uislamu unawavutia wengi walionusurika katika mauaji halaiki RwandaInatoka Uk. 14zaidi.

"Uislamu unaendana n a m f u m o wa j a m i i yetu. Unawasaidia walio katika umaskini. Unatoa mafundisho dhidi ya hulka ambazo zinasababisha ukimwi. Inatoa elimu katika Kurani na Kiarabu ambako kuna elimu nyingi inatolewa," alisema Mufti Habimana.

" N a d h a n i w a t u wanaweza kujihusisha na Uislamu. Wanabadili dini kama ishara ya shukrani kwa jumuia ya Kiislamu ambao waliwapa hifadhi wakati wa mauaji ya halaiki."

W a k a t i n c h i z a Magharibi zina wasiwasi kuwa kukua kwa Uislamu kunaendana na hatari ya kuzuka harakati za kigaidi, hakuna dalili zozote za siasa kali ya Kiislamu nchini Rwanda.

Hata hivyo, baadhi

ya maofisa wa serikali kimyakimya wanaeleza wasiwasi kuwa baadhi ya misikiti inapokea misaada kutoka Saudia, ambako mwelekeo rasmi ni wa kundi la Wahhabi, ambao umeenea miongoni mwa makundi ya kiharakati katika maeneo mengine duniani. Pia wanakuwa na wasiwasi kuwa viwango vya juu vya umaskini na mshtuko wa kina miongoni mwa wakazi wake unafanya Rwanda kuwa mahali stahili pa kuchepua siasa kali ya Kiislamu.

Lakini Nish Imiyimana, Imamu wa hapa Ruhengeri, takriban ki lometa 45 kutoka Kigali, mji mkuu, anahakikisha:

"Tuna matatizo yetu yanatutosha. Hatutaki b o m u l i t u a n g u k i e l i m e d o n d o s h w a n a M a r e k a n i . Tu n a t a k a mashi r ika yas iyo ya

kiserikali ya Marekani kuja kutujengea hospitali badala yake."

M a i m a m u k u t o k a kote nchini wanafanya m i k u t a n o b a a d a ya S e p t e m b a 1 1 , 2 0 0 1 kufafanua ina maana gani kuwa Muislamu.

"Ni l imwambia k i la mtu, Uislamu maana yake ni amani," alisema Imiyimana, akikumbuka kuwa msikiti ulikuwa umejaa sana siku hiyo.

" U k i f u a t i l i a tul ichoki fanya (hapa nchini), haikuwa vigumu kutanabaisha hilo."

Hali hii inaleta wasiwasi kwa Kanisa Katoliki . Mapadri hapa wanasema w a m e o m b a u s h a u r i kutoka kwa viongozi wa Kanisa huko Roma kuhusu jinsi ya kukabiliana na kuongezeka kwa ubadili dini kuingia Uislamu.

"Kanisa Katoliki lina tatizo baada ya mauaji ya

halaiki," alisema Padri Jean Bosco Ntagurire, ambaye anatumikia makanisa jijini Kigali.

"Uaminifu umevunjika. H a t u w e z i k u s e m a 'Wakristo rudini.' Inabidi kutazamie kuwa hiyo itatokea imani ikijengeka tena."

I l i kuwezesha hi lo kutokea, Kanisa Katoliki l i m e a n z a k u a n d a a programu za michezo na makambi kwa vijana, a l i s e m a N t a g u r i r e . Lakini Waislamu nao wanapanua ufikiaji, hata kuunda vikundi vya wa n a wa k e a m b a v y o vinatoa madarasa kuhusu kuangalia watoto na kuwa mama.

Katika darasa moja hapa hivi karibuni, mamia ya wanawake wakiwa wamefunga vitambaa vyekundu, n jano na z a m b a r a u k i c h wa n i , walikusanyika katika

jengo la udongo kijivu wa mfinyanzi. Walizungumzia mapambano yao binafsi, au jihad, kuwakuza watoto wao vyema. Na baadaye, wakati wa chakula cha maharagwe na viguu vya kuku, walikula kwa hamu na kuelezana jinsi Waislamu walivyowaokoa wakati wa mauaji ya halaiki.

" K a m a h a i k u w a Waislamu, familia yangu yote ingeteketea," alisema Aisha Uwimbabazi, umri miaka 27, mbadili dini na mama wa watoto wawili.

"Niliwashukuru sana sana Waislamu wakati wa mauaji ya halaiki. Nilifikiria sana kuhusu hilo nikaona ni sahihi kubadili dini." (Makala hii Islam Attracting Many S u r v i v o r s o f R wa n d a Genocide, imeandikwa na Emily Wax na kutafsiriwa kwa Kiswahili na Anil Kija)

Mauwaji ya Halaiki ya Watutsi-Nafasi ya Kanisa KatolikiInatoka Uk. 14

vitambulishokuwataja kama ni wa-Tutsi, wa-Hutu au wa-Twa. Hii ilirahisisha kazi ya wauaji halaiki wa ki-Hutu, ambao juhudi zao wakati mmoja zilifikia miili 40,000 ya wa-Tutsi kuelea hadi kufika Ziwa Victoria.Dunia yatafakari mauji ya halaiki ya Rwanda miaka 10 baadaye

Mnamo Aprili 7, Rwanda i l i k u m b u k a m a u a j i ya halaiki ya mwaka 1994 ambako mamia ya maelfu ya watu waliuawa. Mauaji ya halaiki yalianza tarehe 7 Aprili 1994, siku moja baada ya ndenge iliyowachukua

Anil Kija.Hisani ya Ecumenical News

International - mtandao wa habari za kikanisa).

MMOJA ya watoto walionusurika katika mauaji ya Kimbali nchini Rwanda.

marais wa Rwanda na Burundi i l ipoangushwa wakati ikijitayarisha kutua jijini Kigali. Katika siku 100 zilizofuata, Wanyarwanda wanaokisiwa kufikia 800,000 waliuawa.

Washiriki wa makundi ya mgambo, wanajeshi na raia walifanya matendo ya kutisha yasiyo na mpaka, kimsingi dhidi ya wa-Tutsi wachache, lakini pia dhidi yawa-Hutu walio wengi waliokataa kujiunga na mauaji au waliokuwa katika vyama vya upinzani.

Wauaji walikuwa zaidi raia wakiwa na mapanga, majembe ya bustani na rungu zenye ncha, wakisukumwa

na propaganda za chuki. Walifanya kazi hiyo kwa haraka mara tano zaidi y a v y u m b a v y a g e s i vilivyotumiwa na utawala wa Nazi wakati wa Vita Vikuu vya Pili, kwa mujibu wa baadhi ya wasomi.

Inakisiwa kuwa kiasi cha 400,000 kati ya wahanga wa mauaji ya watu wengi walikuwa watoto, na watoto 95,000 waliachwa bila wazazi.

"Ni vigumu kusahau," Chantal Umurungi, umri miaka 24, mnusurika pekee wa mauaji ya halaiki katika familia ya watu 10, aliuambia mtandao wa habari wa IRIN (www.irinnews.org.) "Kila wakati nakumbuka jinsi wanamgambo wa ki-Hutu wal ivyokuwa wakikata vichwa vya watu, na hii huwa inakuwa kwa njia ya majinamizi."

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan alisema "Lazima wote tukubali wajibu wetu wa kushindwa kufanya zaidi kuzuia au kusimamisha mauaji ya halaiki. Hatuwezi kungoja hadi kilicho baya zaidi kiwe kimetokea au kuishia tu kumshika mtu mkono au kutojali kabisa."

A s i l i m i a 6 5 y a Wanyarwanda ni waumini wa Kanisa Katoliki na asilimia 9 ni wa-Protestanti.

(Uchambuzi huu: Genocide of the Tutsis – the Role of the Roman Catholic Church-BRITISH CHURCH NEWSPAPER 16 APRIL 2004

Analysis – by a correspondent, umetafisiriwa kwa Kiswahili na

Ushirikiano wa Jumuia na Taasisi za Kiislamu unawatangazia Waislamu wote kuwa kutakuwa na Kongamano kuhusu faida ya Mahakama ya Kadhi katika Jamii ya Watanzania na Waislamu nchini.

Kongamano litakalofanyika katika viwanja vya Nurul Yakini-Temeke jijini Dar es Salaam Jumapili wiki hii baada ya swala ya Adhuhur.

Mada kuhusu mahakama ya Kadhi zitatolewa na Masheikh mbalimbali na Maulamaa wa Haiyat Ulamaa.

Shime Waislamu tuhudhurie kupata ufahamu na kujua uhalisia wa kuhitajika Mahakama ya Kadhi nchini.

Wabillah Tawfiq

Kongamano la Mahakama ya Kadhi

Page 17: ANNUUR 1165

17 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015Makala

Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:• KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL – SAME – KILIMANJARO • NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL – MWANZA • UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L – DAR ES SALAAM

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE• P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org

NAFASI ZA KIDATO CHA TANO – 2015/20161. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu.2. Shule hizi ni za bweni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana .3. Zipo tahasusi za masomo (Subject Combinations) ya SAYANSI, ARTS na BIASHARA. 4. Wanafunzi wote wanafundishwa Islamic Knowledge,Introduction to Arabic na matumizi ya compyuta pamoja na kutumia mtandao (internet)

katika kujifunza.5. Muombaji anatakiwa awe na sifa za kujiunga na kidato cha tano kwa mujibu wa wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi. 6. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.

• Arusha - Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni : 0783552414/0762817640.

• Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha :712 216490 - Same Juhudi Studio mkabala na Benki ya NMB Same: 0757 013344. - Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075 - Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054. - Ugweno – Kifula Shopping Centre- Yusuph Shanga : 078458776.

• Tanga - Twalut Islamc Centre – Mabovu Darajani : 0715 894111- Uongofu Bookshop: 0784 982525 - Korogwe: SHEMEA SHOP : 0754 690007/071569008. - Mandia Shop - Lushoto: 0782257533. -Handeni –Mafiga -0782 105735/0657093983• Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School : 0717 417685/0786 417685.- Ofisi ya Islamic Education Panel – Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770/0714097362. • Musoma - Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05 : 0765024623• Shinyanga - Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa ya Shinyanga Mjini :0752180426 - Kahama ofisi ya AN –NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi : 0753 993930/0688794040

• Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School : 0756584625/0657350172 - Ofisi ya Islamic Ed. Panel –Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin : 0655144474/0787119531

• Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale : 0715704380.

• Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0718661992

• Singida - Ofisi ya Islamic Education. Panel – karibu na Nuru snack Hotel : 0786 425838/0784 928039.

• Manyara - Ofisi ya Islamic Ed. Panel – Masjid Rahma: 0784491196

• Kigoma - Msikiti wa Mwandiga: 0714717727 - Kibondo – Islamic Nursery School: 0766406669. - Kasulu: Murubona Isl.SS: 0714710802.

• Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0783 488444/0653 705627.

• Mtwara - Amana Islamic S.S: 0715 465158/0787 231007.

• Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU : 0713249264/0683670772. - Mkuzo Islamic High School :0717 348375.

• Mbeya - Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini – 0785425319.

- Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209/0785425319. .• Rukwa - Sumbawanga:Jengo la Haji Said –Shule ya Msingi Kizwike 0717082 072.

• Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566/0787237342

Nzega -Dk Mbaga-0754 576922/0784576922.

• Iringa - Madrastun – Najah: 0714 522 122.

• Pemba -Wete: Wete Islamic School : 0777 432331/0712772326.

• Unguja - Madrasatul – Fallah: 0777125074.

- PANDU BOOKSHOP 0777462056 karibu na uwanja wa Lumumba• Mafia - Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu : 0773580703.

USIKOSE NAFASI HII ADHIMU – WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!MKURUGENZI

WABILLAH TAWFIIQ

Page 18: ANNUUR 1165

18 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015Makala/Tangazo

ILALA ISLAMIC SECONDARY USAJILI S.2401

KIDATO CHA TANO NA KURUDIA MITIHANI

KWA WASICHANA TUIPO: ILALA-AMANA-MTAA WA ARUSHA: MASJID SHAFII

SHULE YA BWENI NA KUTWA

MASOMOMath, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce,

B/keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Qur’anCOMBINATION

PCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEAUFAULU 2014

KIWILAYA 3/76, KIMKOA 10/191, KITAIFA 118/2322Kwa shule za kiislam KIWILAYA (1) KIMKOA (2) KITAIFA (5)

Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, VMAWASILIANO

Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822, 0714 381964

KWA WAVULANA TUIpo Ilala-Bungoni: Masjid Taqwa

DAR ES SALAAM ISLAMIC SEC.

MASOMOMath, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce, B/

keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Qur’an

COMBINATIONPCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA

UFAULU 2014Kama Ilala Islamic, imetenganishwa toka Ilala Islamic

Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, VMAWASILIANO

Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822, 0714 381964Ada ni nafuu na inalipwa kwa awamu nne

MLETE MWANAO APATE ELIMU NA MALEZI BORA

USAJILI S.4384

Wandishi tunacheza mchezo tusioujuaInatoka Uk. 15labda kiongozi huyo wa Boko Haram akitaka Jerry aje tena amtoe katika makucha ya polisi. Lakini Jerry Gana hakuja.

Vyombo vya habari v i l i a n d i k a v i k i h o j i , nani huyu Jerry na nini uhusiano wake na Boko H a r a m ? M p a k a l e o hakuna jibu. Na serikali ya Nigeria haijamfanya chochote. Kinyume chake wanakamatwa wanajeshi wanaokataa kupigana na ‘zimwi’ Boko Haram na kuhukumiwa kifo!

Professor Jerry Gana, ambaye aliwahi kuwa mhadhiri wa Chuo Kikuu na Waziri wa Habari wakati wa Rais Olusegun Obasanyo, hivi sasa ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya kukusanya fedha ya chama cha Peoples Democratic Party (PDP) kwa ajili ya kampeni za uchaguzi mkuu ujao wakipigania kumrejesha Rais Goodluck Jonathan madarakani.

Amesema kweli Gordon Duff, “Nigeria Tarteged For Destruction.” Soma pia “Religious Violence In Nigeria: Boko Haram As A Tool Of Religious, Political & Foreign Interests na “Boko Haram-More Complicated Than You Think.”

K a u l i y a K a m i s h n a Chagonja

“ Tu n a o wa s a k a s i o m a g a i d i . Wa n a n c h i wasiyumbishwe na taarifa ambazo hazina vyanzo rasmi kutoka serikalini. Wanaodai hao watu ni magaidi, wana sababu zao binafsi.”

H i y o n i k a u l i ya M k u r u g e n z i w a Operesheni na Mafunzo wa J e s h i l a P o l i s i , Kamishna Paul Chagonja.

Binafsi naamini kuwa huu ndio ukweli na ndio mtizamo pekee sahihi wa kutunusuru na balaa la ugaidi ilikotumbukia Nigeria. Ni ukweli kwa sababu, kwanza hakuna magaidi wa Boko Haram au Al-Shabaab waliopo nchini. Na mwandishi wetu Angela Kiwia , hawezi kutuonyesha Al-Shabaab hata mmoja au ushahidi wa kuwepo kwake. Hata kule Kenya ambapo kulikuwa na shambulio la Westgate a m b a p o t u l i a m b i wa m a g a i d i k u t o k a Mogadishu walivamia n a k u u wa wa t u 6 7 , hawakuweza kukamata hata A-Shabaab mmoja au japo kuonyesha maiti k wa m b a h u y u h a p a t u m e m u u wa . J u m b a limezungukwa na jeshi na vifaru, Idara za Usalama, Polisi, makachero wa CIA/FBI, M15 na Mossad, l ak in i hakuna ga id i a l iyekamatwa. Watu

wakaachwa na porojo kuwa magaidi walitoroka kupitia mtaro wa maji machafu na ‘hadisi njoo utamu kolea’ ya Samantha Lewthwaite "the White Widow. Na wenye ‘phony stings’ hizi wangependa uamini kuwa Al-Shabaab n i m a g a i d i h a t a r i ndio maana waliweza kushambulia Westgate Shopping Mall, wakauwa watu, wakaondoka bila k u k a m a t wa a u h a t a kujeruhiwa, l icha ya kuwepo nguvu yote hiyo!

Pili, kauli ya Kamishna Chagonja ni kweli kwa sababu, hakuna nchi yoyote duniani, labda ‘failed state’ kama Somalia na Libya hivi sasa, ambapo yanaweza kufanyika haya anayotuambia Angela Kiwia. Kwamba magaidi wa Boko Haram na Al-Shabaab watoke huko watokako ‘Peshawar Khabar’, wapige kambi Amboni au mahali popote Tanzania, iwe serikali haijui. Serikali kama hiyo duniani haipo. Labda Angela aseme kuwa anachotaka kutuambia n i k u w a v i o n g o z i w e t u wa m e t u s a l i t i . W a m e t u c h u u z a . W a m e k u w a a k i n a Musharaff na Ali Abdullah Saleh waliogeuzwa kuwa “Intelligence Assets” za mabeberu wakaruhusu nchi zao kuwa ‘uwanja wa mazoezi wa magaidi’ na kusambaza kitisho dunia nzima. Matokeo yake, hivi sasa nchi hizo z imekuwa machinj io ya watu wasio na hatia kupitia mashambulizi ya Drones.

Lakini tatu, jaaliya hata kama kuna watu ambao wamerubuniwa wakajificha mapangoni Amboni kwa aj i l i ya kujifundisha ugaidi. Bado hao sio magaidi na sio namna ya kukabiliana na jambo kama hilo. Hao ni watu maadhura w a n a o t a k a k u p e w a darsa na adhabu kidogo ya kuwatia adabu na kuwarekebisha.

Uzoefu katika nchi mbalimbali unaonyesha kuwa hatua ya kwanza na muhimu ya kuingiza u g a i d i k a t i k a n c h i yoyote, ni kupandikiza k i t i s h o h e w a c h a ugaidi, ikibidi kufanya matukio ya kupanga, wenyewe wanaita “false f lag terror a t tacks” . M k i s h a k u b a l i s h w a mkaamini kuwa miongoni mwenu kuna magaidi, basi , kitakachofuatia wala hakitakuwa katika

udhibiti wenu. Ndiyo hali inayowakuta Nigeria na punde tu Kenya, kama hawatatanabahi.

Lakini nne, na muhimu zaidi ni kuwa duniani hakuna magaidi huru wanaoitwa A-Qaidah, IS, Al-Shabaab, Boko Haram, wala wa jina lolote katika hizi zama za Vita dhidi ya ugaidi. Wote hawa ni maadui wa kubuni, maadui wa kutengenezwa, ni “Intelligence Assets”, ambazo haziweza kufanya lolote kwa hiyari yao ila kama wanavyotumwa, kupewa amri, maelekezo na kuwezeshwa. Hili a m e l i e l e z a v i z u r i sana Susan Lindauer, a k i f a f a n u a n a n i M o h a m m e d A t t a anayedaiwa kuhusika na utekaji ndege katika shambulio la Septemba 11. Lakini analieleza pia kwa uzuri zaidi kachero M i c h a e l F . S c h e u e r aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Kupambana na Osama Bin Laden, ndani ya CIA. Rejea pia uchambuzi wa John Pilger, Profesa Noam Chomsky, Profesa Michel Chossudovsky na wengine wengi.

Taarifa kama hizi za Kiwia zinatoka wapi?

Japo habari imekuwa ndefu, lakini nadhani lipo swali moja lahitaji kutizamwa. Taarifa kama hizi za Angela Kiwia zinatoka wapi?

Aliyekuwa Mhariri wa gazeti maarufu kabisa la Ujerumani, Frankfurter Allgemeine Zeitung, Dr. Udo Ulfkotte, amejitokeza na kukiri kuwa alikuwa miongoni mwa waandishi waliokuwa wakitumiwa kupiga propaganda na uwongo wa kitisho cha ugaidi. Dr. Udo Ulfkotte anasema kuwa wahariri wa vyombo vya habari vya Ulaya, akiwemo yeye mwenyewe wamekuwa wakitumiwa na Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) kupandikiza habari za uwongo ambapo wakati mwingine z inakuwa z imeandikwa kabisa na yeye kutakiwa tu kuziweka katika gazeti kwa jina lake.

Akiongea hivi karibuni k a t i k a v y o m b o v ya habari anasema kuwa ametumika sana kuandika habari za uwongo juu ya Iraq na Libya. Kuhusu

Libya anasema, mwaka 2011 alitakiwa kuandika habari za uwongo kuwa Muamar Gadhafi ana kiwanda cha (silaha za) gesi ya sumu (poison gas factories), wakati yeye binafsi alikuwa hajui chochote juu ya Gadhafi na silaha anazodaiwa kuwa nazo.

A n a s e m a , a l ipokubal i kufanya kazi hiyo, makachero walimletea habari yote waliyokwishaiandika na yeye kuipachika tu kwenye gazeti kwa jina lake.

Baada ya kufanya kazi hiyo kwa muda mrefu ya kuandika habari za uwongo kupandikiza kitisho cha ugaidi na silaha za maangamzi katika nchi za Kiarabu, Ulfkotte anaonekana kujutia hali hiyo ambayo wakat i mwingine imesababisha vita na kuuliwa watu wasio na hatia. Udo Ulfkotte ameandika kitabu akikipa jina la Bought Journalists ("Gekaufte Journalisten").

N i k a t i k a k i t a b u hicho, Ulfkotte ambaye aliwahi kuwa mshauri katika serikali ya Kansela (Chancellor) Helmet Kohl,

anasema kuwa mashirika ya kijasusi ya yamekuwa yakihonga waandishi wa habari ili kuandika habari za propaganda kupepea masilahi ya NATO.

"I'm ashamed I was part of it. Unfortunately I cannot reverse this."

Alisema akisisitiza kuwa anajuta na kuona aibu kuwa amekuwa miongozi mwa wale waliotumika kuiambia uwongo jamii na hivyo kuwa msaliti aliyesababisha vita na maafa makubwa kwa watu wasio na hatia.

Kule Nigeria wapo watu kama Deborah Peters na Adam Habila ambao walizua uwongo juu ya kitisho cha Boko Haram kuwa wengine w a m e p i g w a r i s a s i kutoka AK-47 ikaingilia p u a n i n a k u t o k e a kisogoni, lakini wapo hai. Wakajitengenezea ma jeraha bandia na habari zao zikapambwa sana katika vyombo vya habari na ikawa agenda katika bunge na taasisi mbal imbal i muhimu Washington.

Hali iliyopo Nigeria leo hii, hivi kuna Muislamu, Mkr is to , Mwandishi wa habari, Polisi, jeshi, mwanasiasa, anayeweza kusema, yupo salama na anafurahiya maisha?

Page 19: ANNUUR 1165

19 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015Makala

MSEMO wa Twende mbele na turudi nyuma, ul ikuwa uki tumiwa na wazee wetu katika siku za kugombania Uhuru na hata wengine kuhoji nakusema iweje tushakwenda mbele kisha turudi nyuma. Kipi tunachokitafuta huko nyuma?

Ukiziangalia hoja mbili hizo, kila moja ina mantiki iweje ushafika mbele unaangalia nyuma kuna nini unachokitafuta? Kwa mazungumzo ya kawaida utasema hivyo ndivyo, lakini ndani ya maendeleo nikusema kuwa lazima ushafika mbele urudi nyuma kuj i tathmini , i k i w a u m e f u z u a u umeharibikiwa ndipo utapofanikiwa.

Wengi huwenda mbele tu mithili ya nguruwe mwitu asiojua kwenda mbele na kurudi nyuma. Nilipokuwa nashiriki katika usasi wa nguruwe mwitu, mahasidi wa mazao ya wakulima, ilikuwa tukifukuza nguruwe saa nyengine humuachia k i s h a t u k a f w a t i l i a njia yake ile aliopita nakuweza kumkamata kwa kirahisi kwa kuwa nguruwe mwitu anajua kwenda mbele tu, hajui kurudi nyuma. Siku zote kwenye usasi, mukimkosa kumkamata nguruwe a l i o k u p o n y o k e n i n a kumua, inabidi muifwate i l e n j ia mul iomkuta kabla kisha kumsubiri siku nyengine mtamkuta kapita hapo hapo bila ya kubadilisha upande ndio saa nyengine utawasikia w e l e d i w a k i s e m a umekuwa kama nguruwe mwitu njia yako hio kwa hio?

Najaribu kujenga hoja ili nilitakalo kukieleza kieleweke, katika kwenda mbele na kurudi nyuma, nitaanza na Mapinduzi, neno Mapinduzi kila mwenye lugha yake a m e l i t a k wa n a m n a yake. Mfano Kiafrikana hutamkwa rewolusie, Ki-Albanian Revolucion, Ki-Arabu Thawra, Ki-I n d o n e s i a R e v o l u s i , Ki-Persia Inkilabu, Ki-Vietnam Cuộc cách mạng, Ki-Welsh chwyldro. Juu yakuwa neno hilo lina

Twende mbele na turudi nyumaNa Ben Rijal

maana moja na lengo moja nalo nikufanya na kuleta mabadiliko, lakini kila mmoja analitamka kivake.

John Adams Rais wa pili wa Marekani aliyafafanua Mapinduzi kwa kusema “mapinduzi huleta athari kabla hayajatekelezwa, siku zote mapinduzi yapo katika fikra za watu, mapinduzi sio chochote sio lolote lile ila ni mabadiliko yaliyo muhimu yakiwa na misingi, hisia na furaha kwa watu, hayo ndio mapinduzi ya kweli ya Amerika”.

Na mwanaharakati wa mapinduzi aliojizatiti kutaka kuona haki na usawa katika ulimwengu uliogubikwa na madhila na ubeberu, raia wa Argentina aliojiunga na vugu vugu la mapinduzi ya C u b a , h u y o s i o m w e n g i n e n i C h e Guevera, anayachambua mapinduzi kwa kusema “mapinduzi sio tunda la epuli (apple) huanguka wakati linapoiva, ukweli lazima ulifanye lianguke.”

Na akaendela kusema “moja ya kazi nzito na ya mwanzo ya mapinduzi, ni kuelimishwa watu. (“The first duty of a revolutionary is to be educated.”)

M a p i n d u z i yametekelezwa kwingi tu duniani kwa lengo kuu la kuleta mabadiliko ya haraka na kuweza k u w a e l i m i s h a n a kuwafunza wananchi kupata maendeleo na kuishi katika maisha ya matumaini. Mapinduzi yamefanyika Marekani,

Urusi, Ufaransa, Nigeria, Ghana hata Zanzibar na kwengineko.

Z a n z i b a r i l i j a r i b u kufwata mkondo ule ule wa kimapinduzi duniani na kujitahidi kuyafanya maisha ya wananchi wake kulingana na kutoa matumaini kati ya hayo ilikuwa elimu, kilimo, afya, biashara na sekta mbalimbali ziliwekwa mikononi mwa Serikali na kuweza kuiweka nchi ya Kimapinduzi kwa mwananchi wake kuwa na matumaini na maisha yake ya baadae ya kujiweza kujikimu.

Moja kati ya matunda hayo Serikal i hio ya mapinduzi i l ianzisha k i t u k i i t w a c h o B I Z A N J E a m b a c h o kiliwaweka wananchi k u t o h a n g a i s h wa n a maisha yao ya kula na kuvaa, maana ya BIZANJE ni Biashara za Nje na fikra hii iliasisiwa na muumini wa Mapinduzi halisi katika visiwa hivi naye ni Dr. Ahmed Rashid aliokuwa daktari mahiri wa wanyama. Msomi huyu aliobobea fikra yake ilikubalika na Rais wa kwanza wa Zanzibar baada ya mapinduzi, M h e s h i m i wa A b e i d A. Karume kumtaka kuanzishwe kitu hicho nacho ni Biashara za Nje na kilichokuweko kikitekelezwa ni ile dhana ya kijamaa wananchi wote mnatumia kitu cha aina moja au vinavyolingana tena vi l iopo kwenye

viwango. Hapo ikawa Michele mizuri ikiliwa na kila Mzanzibari, unga bul bul, sabuni za kila aina iwe Lux, Night Castle, Life Buoy, Pears, Baby Soap zote zikipatikana. Maziwa ya kibati yawe Tweco, Ng’ombe wanne n.k. Samli za kila aina bila ya kuisahau Kismayou, kisha aina mbalimbali za nafaka iwe Njugu mawe, Kunde, Maharagwe, sabuni za kufulia Omo, Sunlight na nyenginezo. Vitambaa vya suruali kina terelini. Mabuku ya kuandikia na kalamu za kila aina na penseli zake zikiuzwa na kukaribia kusema ni bure.

BIZANJE ilimuwezesha m n u n u z i k u o n a s i o ananunua, anaona kama anatunukiwa kwani kila mmoja alikuwa awe wa juu au yule hoe hahe wote wakimudu kuvinunua hivyo vitu na kuvifurahia na kusema Shabasha, sasa haya ndio maisha.

Bahati mbaya fikra hizi huwa hazikubaliki na wale ambao unyang’anyi na ubepari umewazunguka kat ika magenzi yao, kwa hio bahati mbaya ikatokea kwani wale w a l i o k a b i d h i w a kuendesha BIZANJE, ndio waliokuwa wanafuja na hata yale maduka yaliokuwa yakiendeshwa na Serikali yakawa kila siku zikenda zikiwakatisha tamaa watu kwa kuwa kunaanza kukosekana yale mahitaji ambayo wananchi wakiyafaidi. Ureda ukapotea mambo yakawa ni msege mnege.

N i l i z u n g u m z a n a mmoja kati ya washika usukani katika uongozi, nikamwambia wakati u m e f i k a k u r u d i s h a BIZANJE alinistaajabu na kunambia “watu wanakwenda mbele wewe unarudi nyuma, sasa ni biashara huria, biashara huru anayetaka anaingia kwenye ushindani, siku za Serikali kufanya biashara ziko wapi?” Hakuwa tena anataka kunisikiliza na fikra za kijamaa akaja na mazungumzo mengine k a b i s a n a n i k a j i o n a nimepwelewa.

Ukweli sio mwenye kupinga juu ya biashar huru nitasema biashara

huru ziwepo na waendelee wananchi kuziendesha hizo biashara, lakini bado Serikali ingeweza kuleta vile vya mahitaji ya lazima na kuviwekea katika maduka maalumu na kuona hivyo vilivyoletwa vinauzwa katika bei hio iliopangwa itakayowezwa kila mmoja wetu kuimudu. Hapo kina Pangu pakavu mithili yangu tungesema, S h a b a s h t u n a r u d i tulikotoka kutokana na kujitathmini pale tulipo kwa kurudi nyuma.

U k i a n g a l i a k a t i k a pande zote mbil i za Muungano, fikra kama h i z i z i l i p o a s i s i w a , w e n g i wa l i s h i n d wa k u z i f a h a m u b a d a l a yake wakawa mstari wa mbele kuzivuruga. Wengi wanazitamani zirudi, hawajui zitarudi kwa njia gani. Lakini inawezekana tena sana kama alivyopata kutushauri al iokuwa Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia pale ujumbe wa Visiwani ulipotembelea Malaysia mwandishi alikuwemo katika msafara huo. Anwar Ibrahim alitwambia “sio kila kitu mubinafsishe, vyengine v i e n d e l e e k u b a k i a mikononi mwa Dola.”

Malaysia waliweza kuwachukua wasomi katika fani mbalimbali nakuwataka waendeshe biashara, matokeo yake nikuwa kutokana na elimu na ujuzi waliokuwa nao, walifanikiwa wao kuboresha maisha yao na kuiongezea kipato taifa la Malaysia. Kwanini nasi hatwendi huko?

Ndipo n i l ipokuwa nakubal iana na huu msemo Twende Mbele na Turudi Nyuma, kuna haja ya kujitathmini pakubwa sana namna kule nyuma kulivyokuwa patamu kwa wanyonge, na sasa namna kul ivyokuwa kuchungu kwa watu wa chini na wanyonge. Hebu nijikumbushe anuwani ya kitabu cha Alan Paton wa Afrika Kusini “Cry, the Beloved Country” na kutafsiriwa katika Gazeti la Muongozi lilokuwa likitoka hapa Zanzibar kila wiki “Lia lia nchi ya Shida.” Mie nitasema Lia lia zamani nakutamani urudi. Haya baba Twende Mbele Turudi Nyuma ndio mafanikio yatapopatikana kinyume chake mambo yataendelea kuwa mazito.

ALMARHUUM Mzee Abeid Amani Karume.

Page 20: ANNUUR 1165

20 AN-NUURJAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 201520 MAKALA AN-NUUR

20 JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 20-26, 2015

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

Soma AN-NUUR

kwa Tshs 800/= tu

M A I M A M U n c h i n i wametakiwa kufanya k a z i y a k u i h u i s h a Misikiti ili iweze kuleta athari nzuri katika jamii kama ilivyokuwa kipindi cha Mtume (s a w) na Maswahaba zake.

Wito huo umetolewa na Sheikh Othman Kapolo, akiongea katika semina ya Maimam iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita, Ilala Jijini Dar es Salaam.

Kapolo alisema hali ya Misikiti ilivyo sasa imepoteza nafasi yake i n a y o s t a h i k i k i a s i ambacho zile athari nzuri hazionekani katika umma wa Kiislamu na jamii kwa ujumla.

“ N i j u k u m u l a Maimamu kuihuisha Misikiti ili iweze kufanya kazi kama ilivyokuwa wakati wa Mtume na M a s wa h a b a , i n a b i d i jambo hili lifanyiwe kazi sana ili tuone ni kwa namna gani tunairejesha Misikiti yetu katika ile nafasi iliyokuwa nayo katika jamii”. Amesema Sheikh Othman Kapolo.

Al isema, kutokana na hali hiyo ya Misikiti kupoteza majukumu yake katika jamii, imepelekea watu wa imani nyingine kutoyajua majukumu ya Misikiti, kwani kuna mambo yakifanyika hivi sasa watasema Waislamu wanaleta mambo mapya, kwa sababu Waislamu wenyewe wameyatelekeza n a p e n g i n e n a wa o hawayaelewi kabisa.

Sheikh Kapoli, amesema hali hiyo imetokana na kwamba Misikiti katika zama hizi haujapewa nafasi yake inayostahiki kiasi ambacho zile athari nzuri hazionekani katika j a m i i n a u m m a wa Kiislamu.

Akawataka Maiamu, k u r e j e a Ta r e k h y a Kiislamu ambayo inaeleza kwamba Misikiti wakati huo mabali na kuswaliwa lakini pia ilikuwa vituo vya elimu kwani kulikuwa na silabasi na mitaala yake

Maimamu rejesheni hadhi ya MisikitiNa Bakari mwakangwale maalum ya elimu za kidini

na elimu za kimazingira.Alisema, mabali na

kutoa huduma hizo za kielimu lakini pia Misikiti ilikuwa ndio kimbilio la mafakiri, kwani katika kila msikiti kulikuwa na fungu la watu wasiokuwa na uwezo, hivyo ilikuwa ni Misikiti yenye jukumu la kulisaidia kundi hilo la wasio jiweza kupitia kitengo cha Baitul mali muslimina.

Aidha, alisema wakati wa M t u m e ( s a w ) , aliufanya Msikiti kuwa ni kituo cha tiba, na hili alilianzisha mwenywe (Mtume) kwa kutenga sehemu ya Msikiti na kuweka hema na matabibu wakawa wanatoa huduma za kitabibu ndani ya Msikiti.

Si hivyo tu alisema, Misikit i pia inaweza kuandaliwa ikawa ni sehemu ya watu kufanya michezo , kwa lengo la kujenga afya kwani akasema kwa mujibu wa hadithi ya Mama Aisha, a n a s e m a w a l i k u w a wanafanya michezo ndani ya Msikiti.

K a p o l o , a l i s e m a Mtume aliutumia Msikiti kama k i tuo cha cha habari kwani Waislamu walikuwa wakipokea t a a r i f a m b a l i m b a l i wakiwa Msikitini kwa ajili ya utekelezaji kabla ya hapo watu walikuwa wanapeana habari sokoni, bila utaratibu maalum.

Alisema, kwa upande wa mashule, hili si haba k wa n i k u n a M i s k i t i mingi hivi sasa ina shule kuanzia nasari, Msingi na Sekondari ila akasema juhudi hizo ziendelee hadi kufikia ngazi ya kuwa na vyuo.

“Maimam, tujipange kwa lengo la kurejesha hadhi na majukumu ya Msikiti kwa Waislamu kama ilivyokuwa wakati wa Mtume na wal io tangulia ili tuweze kupata maendeleo kulingana na Uislamu unavyotaka.” Alisema Shkh Kapolo.

Baadhi ya Masheikh na viongozi wa Kiislamu walipokuwa katika semina ya Maimamu Chuo cha Kiislamu Markazi Changombe jijini Dar es salaam hivi karibuni.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, amesema kuwa ni muhimu wananchi kupewa taarifa ya mambo ya n a y o f a n y wa k a t i k a Mikoa na Wilaya zao.

Dk. Shein al iyasema hayo mapema wiki huko Ikulu mjini Zanzibar katika mkutano kat i yake na Uongozi wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ.

Mkutano huo ulikuwa na lengo la kuangal ia Utekelezaji wa Malengo ya Wizara hiyo kwa robo mbili kati ya Julai hadi Disemba 2014.

Dk. Shein alisema kuwa huo ni utaratibu uliowekwa na Serrikali hivyo viongozi hao wanatakiwa kutoa taarifa kwa wakati uliopangwa ili wananchi wajue mambo yaliyofanywa na Mikoa, Wilaya zao sambamba na kujua juhudi za maendeleo zinazochukuliwa na Serikali katika maeneo hayo.

Aidha, Dk. Shein alitumia fursa hiyo, kuwaeleza Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Makatibu Tawala pamoja

Dk. Shein ataka wananchi wapewe taarifaNa mwandishi Wetu na viongozi wote husika

kuwa tayari Sheria muhimu zimeanza kufanya kazi na kwa upande wao wana kila sababu ya kuzisoma na kuzifahamu kwa lengo la kuwasaidia katika utendaji wao wa kazi ikiwemo Sheria ya Kuongoza Tawala za Mikoa na Sheria inayoongoza Serikali za Mitaa.

Dk. Shein alisema kuwa Sheria hizo zote zina lengo moja na ziko chini ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Vikosi vya SMZ.

Kwa upande mwingine, Dk. Shein alisisitiza haja ya uongozi wa Mkoa na Wilaya kutoa taarifa juu ya suala zima la ulinzi na usalama kwa Ofisi yao.

Katika jumla ya mambo aliyosema Dk. Shein kuwa ni muhimu yatolewe taarifa, ni pamoja na taarifa juu ya hali ya chakula, lishe na hali ya usalama wa chakula hatua ambayo alieleza kuwa itasaidia kujua suala zima la chakula hapa nchini.

Aidha, Sambamba na hayo, aliwataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya pamoja n a M a k a t i b u Ta w a l a kutotumia muda mwingi kukaa maofisini na badala yake waende kwa wananchi hatua ambayo itasaidia kwa

kiasi kikubwa kupata habari mbali mbali na kuwasaidia katika utendaji wao wa kazi.

Dk. Shein alirejea kauli yake ya kutaka vi jana kushajiishwa juu ya suala zima la ajira na kuitaka Mikoa na Wilaya kuwa na mipango ya kuwasaidia vijana huku akiushauri uongozi wa Mikoa na Wilaya kushirikiana na Wizara ya Uwezeshaji , Ustawi wa Jamii, Vijana, Wanawake na Watoto katika kuwasaidia vijana juu ya suala la ajira.

M a p e m a a k i s o m a muhtasari wa Utekelezaji wa Majukumu kwa miezi sita ya mwanzo ya mwaka wa fedha kuanzia Julai hadi Disemba 2014/2015, Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Haji Omar Kheir alieleza majukumu, muundo na utekelezaji wa Ofisi hiyo kati ya Julai hadi Disemba 2014.

Aidha, Waziri Kheir alitoa shukurani kwa Dk. Shein kutokana na miongozo na maelekezo anayotoa kwa Ofisi hiyo mara kwa mara kwa lengo la kufanikisha utekelezaji wa majukumu yao ambayo yameweza kusaidia kwa kiasi kikubwa katika utekelezaji wa kazi zao.