ANNUUR 1166.pdf

21
 ISSN 0856 - 3861 Na. 1166 JAMADIUL AWWAL 1436, IJUMAA , FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Uk.6 Mpenzi msomaji ANNUUR linapatikana kwa Shs 800/= tu Waislamu wanamalizwa, 2000 wauliwa Ni kama walivyouliwa 8000 kule Srebrenica Kijiji kizima chateketezwa wakiwa Msikitini Jeshi latuhumiwa kushiriki. Kambi yatekwa 'Danganya toto’, makamanda 10 wakamatwa Wanatumika kama washenga wa mabeberu Kama walivyosema Jibu, nasi tunanawa mikono Mchungaji, magazeti  wanachochea ugaidi UAMSHO wadaiwa kupanga kulipua Makanisa Pasaka Ndio walipambana na JWTZ Amboni! IGP Ernest Magu atakiwa asipuuze  Akamatwa na Jeshi akisambaza hofu UGWU Lawrence.  JUU. Swala ya maiti Waisl amu waliouliwa Nigeria. Chini swala katika kambi ya wakimbizi.  Ma j o r - G e n e r a l C h r i s Olukolade. Brigedia Generali Enitan Ransome-Kuti.

Transcript of ANNUUR 1166.pdf

Page 1: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 1/20

ISSN 0856 - 3861 Na. 1166  JAMADIUL AWWAL 1436, IJUMAA , FEBRUARI 27-MACHI 5, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamu

Uk.6

Mpenzi msomaji ANNUUR linapatikana kwa Shs 800/= tu

Waislamu wanamalizwa, 2000 wauliwaNi kama walivyouliwa 8000 kule SrebrenicaKijiji kizima chateketezwa wakiwa MsikitiniJeshi latuhumiwa kushiriki. Kambi yatekwa

'Danganya toto’, makamanda 10 wakamatwa

Wanatumika kama washenga wa mabeberu

Kama walivyosema Jibu, nasi tunanawa mikon

Mchungaji, magazeti wanachochea ugaidi

UAMSHO wadaiwa kupangakulipua Makanisa Pasaka

Ndio walipambana na JWTZ AmboniIGP Ernest Magu atakiwa asipuuze

 Akamatwa na Jeshi akisambaza hofu

UGWU Lawrence.

 JUU. Swala ya maiti Waislamu waliouliwa Nigeria. Chini swala katika kambi yawakimbizi.

 Ma jor-General ChriOlukolade.

Brigedia Generali EnitanRansome-Kuti.

Page 2: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 2/20

2  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 20

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Maoni

BOKO Haram wanadaiwakuwa ni Waislamu ambaowana lengo la kuifanyaNigeria, itawaliwe kwaShariah. Na ili kufikialengo hilo, inadaiwakuwa wametangaza kuwaWakristo katika nchihiyo, hawatakuwa salamampaka wasilimu wote.

Hapo ndio hufuatiay a n a y o d a i w a k u w a

m a t u k i o y a k u l i p u amakanisa na kuuwaW a k r i s t o k a t i k ayanayodaiwa kuwa nimashambulizi ya kigaidi.

Hata hivyo, toka harakatiza Boko Haram zimeanza,mashambulizi ya kigaidiyamekuwa yakifanyikaKaskazin i mwa nchihiyo na wanaouliwa niWaislamu.

Mwanzoni mwa mweziul iopi ta wa Januari ,wanaodaiwa kuwa niBoko Haram walivamiamji wa Baga na kuuwawatu zaidi ya 2000 hukuwakichoma moto nyumba

zao. Takribani watu wotekatika mji huo, ni Waislamuwanaosimamisha swalatano. Hata katika kambiza wakimbizi ambako,walionurika kuuliwa wapohivi sasa, wanaonekanawakisimamisha swala kwa jamaa, eneo la wazi.

Kama lengo la BokoHaram ni kusimamishaShariah, inakuwaje tenawaangamize Waislamuambao tayari wapo katikakutekeleza Dini? KamaBoko Haram, wanatakakuwasilimisha Wakristokwa nguvu, tungewaona basi wakivamia miji yenyeWakristo na kuwatakawasil imu kwa mtutuwa bunduki, wakikataawawauwe. Sio hii yakuuwa Waislamu.

Tuseme kuwa, historiaya Boko Haram inaanzakwa mtu akiitwa UstadhMohamed Yusuf (AbuF u l a n i ) . K u f u a t i amafundisho na mihadharayake, na jinsi alivyokuwaakipewa fursa katikavyombo vya habari ,M a s h e i k h w a l i o n y aw a k i t o a h o j a k u w a

Neno la mwisho kwa WaislamuNeno la mwisho kwa Watanzaniaanachozungumza UstazYusuf, sio Uislamu.

Hata hivyo, kila walivyo jitahidi kutoa tahadhari,ndivyo Yusuf, alivyozidikupambwa na wakatihuo kukiwa na kila dalilikuwa harakati za Yusuf,zinaelekea kuleta balaala machafuko kat ikanchi. Lakini wakati huohuo, Ustaz Yusuf, akizidi

kung’ara kimaisha. Akiishikatika nyumba nzuri nakuendesha magari yakifahari, watoto wakewakisoma Ulaya, tofauti naalivyokuwa huko nyuma.

Na hata ikitokea polisikatika kutekeleza wajibuwao wakimkamata UstazYusuf, hutokea baadhiya wanasiasa kumkingiakifua, na hata kumtoarumande anapokamatwa.Mmoja katika wanasiasawaliotajwa sana ni JerryGana. Huyu aliwahi kuwaWaziri wa Habari 2001mpaka 2003 na sasa nikatika kamati ya uchaguzi

ya Rais Goodluck Jonathan.Baada ya kukia hatua

kwamba washapatikanav i j a n a w a k u t o s h ana wal io jazwa jazbaz a k u f a n y a l o l o t ewatakaloelekezwa na Ustazwao, ikibidi hata kuchinja‘kafiri’, Ustaz MohamedY u s u f a k a k a m a t w an a w a l e w a n a s i a s awaliokuwa wakimtoarumande kila alipokuwaakikamatwa na polisi,safari hii, walitoweka. Kilaalivyompigia simu Jerry,hakuweza kupatikana.

B a a d a y a U s t a zkuhojiwa, aliuliwa kikatilih u k u u k i c h u k u l i w amkanda wa video. Habarihizo zikasambazwa katikavyombo vya habari nakatika mitandao.

Kusambaa kwa pichah i z o z a m a u w a j i y aUstaz, ikazuka balaa.Vijana, wanaharaki, watuwa ‘mzaha wa Jihad’,wakaingia mitaani. Polisina vyombo vya usalamanavyo vikaingia kazini.Wengi wakakamatwa.Leo ukimtaka mfuasi waUstaz Mohamed Yusuf,

hutampata. Kwa hiyo,kila litakalosemwa kuwal imefanywa na BokoHaram, hutampata mtuwa kukanusha.

Ufafanuzi: Ushahidiuliopo mezani ni kuwah a r a k a t i z a u s t a zYusuf, ilikuwa ni katikakuwafikisha Waislamuhapa wal ipo Nigeria

a m b a p o w a n a u l i w aovyo. Alitumiwa kupigapropaganda ya ‘mzahawa Jihad’ na kuchinjamakari, tofauti na Jihadya kweli inayojulikanakatika Uislamu. Ilipokiamahali kwamba mtaji wakuwahujumu Waislamuushapatikana, akauliwa.Ile kwamba aliteswa nakuuliwa kikatili na kishataarifa zake kusambazwakatika vyombo vya habarina mitandao, ilifanywamakusudi ili kila aliyemfuasi wake ajitokezekatika hasira za kuonak a d h u l u m i w a . H i y o

ikatumika kama fursa yakuwatambua na kuwekarekodi zao. Ukiongea naWaislamu wa Nigeriawanaofuatilia habari zaBoko Haram kwa mtizamosahihi, watakuambia kuwa,takribani baada ya pale,vijana wale walikuwawakifuatwa mtaa kwa mtaana nyumba kwa nyumbampaka wakauliwa wote.

Kufikia hapo , sasawaliotafuta mtaji huo,wanautumia wenyewewatakavyo, na hakunaBoko Haram wa wakatiwa Ustaz na Abu Fulani

wa Nigeria wa kusimaman a k u k a n u s h a . N ahakuna anayewajua BokoHaram wa leo. Ni kamaalivyosema Mkuu wa Jeshiwa nchi, hiyo. Limekuwa ni jinamizi.

Waislamu waliokuwaB o k o H a r a m , w akuwapa makafiri mtajiw a k u w a a n g a m i z aWaislamu, wameuliwa.Na mwezi uliopita mtajihuo umetumika kuuwaWaislamu 2000 na kuchomanyumba zao. Aidha, mtajihuo hivi sasa hutumikakuutukana Uislamu na

kuwatukana Waislamukwa kuwasingizia ugaidina kila aina ya ukatili naushenzi.

W a p o b a a d h i y aWaislamu hapa nchiniambao, kila ukisikilizam a w a i d h a y a o n amaongezi yao, unapatawasiwasi kuwa huenda nasisi tumepandikiziwa akinaUstaz Yusuf miongonimwetu. Chukulia kwamfano unamsikia mtuk a t i k a n y a k a t i h i z iambapo kuna kila ainaya propaganda kuwawapo magaidi wanachinja

Wakristo kule Misri naSyria, anasimama Ustazau Khatib katika Ijumaaanatoa Khutba akihimizaW a i s l a m u k u c h i n j amakafiri kwa kisu kikaliili asiteseke wakati wakuchinjwa. Analiunganishahili na haki ya wanyama,kwamba moja ya hakizao ni kuwa hata kama

anachinjwa kwa ajili yakitoweo asiteswe kwakuchinjwa na kisu butu.Hii haiwezi kuwa bure.

Lakini , tunavyoi juanchi hii, hali itakuwa yawasiwasi na ya kutishazaidi, iwapo mazungumzoya namna hiyo, yatakuwayanapita hadharani katikamisikiti au mitaani tu,watu wakiwa hawanawasiwasi. Hiyo tafsiri yakeitakuwa kuwa huendatunao akina Jerry Ganawetu wa kuandaa mtaji wakuwahujumu Waislamu.Na hawa ni wazi to !

Wanaingia hata polisikuwazuiya wasitekelezewajibu wao.

M a s h e i k h w e t uw a n a t u a m b i a k u w azinapokutana shari mbili,unazuiya ile kubwa, hatakama itabidi kuingiak a t i k a s h a r i n d o g o .Misikiti takribani yote,ama itakuwa chini yaBakwata au Baraza Kuu,au Taasisi ya Ansaar Sunna.Tunachohimiza hapa nikuwa imefikia mahalitaasisi hizi ziwajibike kwamisikiti yao. Ijulikane hatainatoa hutuba za namnagani katika Ijumaa.

Kama watashindwakutekeleza jukumu hili,itabidi tuchukue sharindogo. Serikali iwasaidie.

K i s i a s a n a k i d i n i ,haitakuwa sawa kwaserikali kuwa inawekautaratibu wa kudhibitihotuba z inazoto lewaMisikitini, lakini kamaBaraza Kuu, Bakwata,Ansaar Suna, na wenginewatashindwa kutekelezawajibu wao, na ikawa njiapekee ya kuwadhibiti akinaUstaz Yusuf na Jerry Gana

wao ni kupitia mkono waserikali, hii itakuwa sharindogo kuliko kusubiri hilila sasa la Boko Haram,Nigeria.

W e n g i n e a m b a ow a m e t o a m c h a n g omkubwa sana kat ikakuifikisha Nigeria hapailipo, ni vyombo vya habarina baadhi ya wachungaji,hasa wa makanisa yakilokole.

Unaweza kusema kuwahuenda vyombo vya habarivilinufaika kwa kuuza sana

magazeti kwa kuchapishh a b a r i z a C o n g o nkudai kuwa ni Waislamwanachoma moto WakristNigeria. Na ni wazi pikuwa walikuwa wakipewpesa.

Kwa wachungaji nakama Ayo, ambao hivs a s a w a n a t e m b e l endege binafsi na magaya kifahari, huenda nawananufaika kwa kupewfedha.

Lakini ukitizama, hatkama kuna manufayoyote ya kipesa, badutakuwa ni ujinga iwapmtu utauza utu wako nnchi yako kwa pesa.

H a w a n a o i n a b i dserikali na jamii kwujumla itizame namna ykuwashughulikia maanWaswahili wana misemyao: Mchelea mwankulia, hulia yeye. Mdhara

mwiba, guu huota tendNa Mchuma janga, hula nwakwao.

Mwaka 1941 wakaM a r ek a n i i k i j i a n d akuingia vitani na Japaniliandaa filamu tatu zkuwatia mori askari wakKatika utangulizi wlamu moja, mshereheshaananukuliwa akieleza w Japan, ni watu gani.

“The Japanese are easto know…they are as dieren

 from ourselves as any peopon this planet. The readierence is in their mind

You can not measure Japanesense of logic by any Wester yardstick. Their thinking 2000 years out of date.”

T a fs i r i n y ep es i ymaneno haya ni kuwWajapan, n i wa j ingsana wakilinganishwna Wamarekani. Kamutachukulia ile nadharya evolusheni ya Darwinni kuwa ilipo akili yWajapan hivi leo na uwezwao wa kukiri, ni kamwalivyokuwa Wamarekanmiaka 2000 iliyopita.

P e n g i n e s a s

tujiulize, baada ya yothaya yaliyoelezwa ny a n a y o fa h a m i k a juy a B o k o H a r a m , nmachafuko yanayoendeN i g e r i a . I w a ptutaendeleza kampenchafu za kupandikizkitisho cha ugaidi nchinmwetu, hivi tutakuwa nhaki gani ya kuwalaumwale wanaokutana nakina Pator Ayodel Joseph Or itse ja for kuWashington, wakitutukankuwa sisi ni wapumbafu

Page 3: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 3/20

3  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 20Habari

I M E E L E Z W A k u w akuna wasiwasi huendaserikali na maaskofuw a n a s h i r i k i a n akukwamisha haki zaWaislamu.

Hiyo ni kutokana naukweli kwamba mara zote

Waislamu wanapodai yalewanayoamini kuwa nihaki yao, wanaosimamakupinga ni maaskofu namara zote serikali imekuwaikiwasikiliza na kupuuzayale ya Waislamu.

Na hiyo hutokea hata paleambapo serikali yenyeweishatangaza kuridhiamadai ya Waislamu.

Hayo yameelezwa naAmiri wa Baraza Kuula Jumuiya na Taasisiz a K i i s l a m u n c h i n i ,Alhaj Mussa Kundecha,akiwahutubia Waislamuk a t i k a K o n g a m a n o

lililofanyika Jumapili yawiki iliyopita katika Msikitiwa Tungi, Temeke Jijini Dares Salaam.

Kundecha amesema,Serikali ni sawa na refakiwanjani hivyo anatakiwakusimamia haki kwapande zote kinyume chakeanaweza kuvuruga amanindani ya uwanja na njekwa mashabiki wa pandehizo mbili.

“Tunaitaka Serikaliiwakemee Maaskofu naichukue hatua madhubutikwa mwenendo wao huo,

Serikali ‘inawatumia’ Maaskofukukwamisha haki za Waislamu

Na Bakari Mwakangwale

kitendo cha kupinga haki zaWaislamu wanazotakiwakuzipata kupitia Serikali

yao na wao (Serikali)kuwakalia kimya si isharanzuri, hali hii ikiendeleaina maana refa kashindwakuchezesha mechi naatakuwa amesababishamashabiki kupambana waokwa wao nje ya uwanja”.Alisema na kutaadharishaAlhaj Kundecha.

Alisema, kwa kimyahicho bila shaka Serikaliinafurahia mwenendo huuna inaridhika na hatuaya Maaskofu kuwaingiliaWaislamu katika mamboyao ya kiimani na kikatibandani ya nchi yao.

A l h a j i K u n d e c h a ,a l i s e m a W a i s l a m uwamevumilia kwa mudamrefu mwenendo huowa viongozi wa Dini yaKikristo na kubaini kilawanapohitaji haki zaokupi t ia Ser ika l i yao ,wanaoibuka kupinga niMaaskofu, Mapadri naWachungaji walio nje yaSerikali.

Alisema, pamoja nahaki hizo kupitia taratibuzote za kisheria na hataSerikali kujiridhisha na

kutamka katika vyombovya kisheria kuwa hakunatatizo kwa mambo hayo

ya Waislamu kupitiaSerikalini, utekelezaji wakehuwa mgumu pindi tuMaaskofu wanapoingiliakati.

Alisema, hivi karibunikupi t ia Bunge, Mjin iDodoma, ilitolewa kaulina Serikali kuwa jambola Mahakama ya Kadhihalina tatizo na Serikaliimej i r idhisha kabisa ,akasema kauli hiyo sawana ile kuhusu suala la OIC.

Lakini pia akasema, hivikaribuni MwanasheriaMkuu wa sasa wa Serikali,n a y e h i v i k a r i b u n i

m b el e y a w a a n d i s h iwa Habari , a l ioneshak u w a t a f a d h a l i s h aMaaskofu, Mapadri naWa c h u n g a j i , w a s i w ena wasiwasi na sualahili kwani halina tatizokisheria.

“Haiwezekani, waon d i o w a w e k i k w a z okatika kupata haki zetu zamsingi, tunakwamishwasiku zote na wenzetu waimani ya upande wa pili,wanatuingilia kwa ajiligani, tumewakosea nini?na Serikali kwa nini iwe

kimya na ipate kigugumizicha kutekeleza ikiwaimejiridhisha?.” Alihoji

Alhaj Kundecha.A l i s e m a , S e r i k a l iimekuwa kimya s ikuz o t e v i o n g o z i w aKikristo wakiwapandavichwani Waislamu pasiya kukemea jambo hilo,hali hiyo inajenga hofukwa Waislamu kwamba(Serikali) inawatuma watuhawa wafanye hivyo.

Kwa sababu, akasemak a m a i s i n g e k u w ainawatuma ingekemeakauli za Maaskofu haok w a n i k a u l i z a h i v ik a r i b u n i k u p i n g aMahakama ya Kadhi ni

tukio la tano katika jumlaya masuala ya Waislamukila wanapopeleka madaiyao Serikalini.

Aidha, Alhaj Kundecha,a l i sema kwa upandemwingine kipo chombokinachojiita ‘Baraza laViongozi wa Dini’ ambalolinajinasibu kusimaiamisingi ya amani, upendona mshikamano baina yaWaislamu na Wakristonchini.

Alisema, alitegemeaviongozi wa Baraza hilonao wangekemea hali hii

ya Maaskofu kuwaingilndugu zao Waislamwanapodai haki zao ikuepusha kuvunjika kwupendo na mshikano bainya pande hizo mbili za din

“Katika susla hili, Barazhilo ndio lingesimamkatika haki kwa kuwaungmkono kwa kuwa wenzawanahitaji haki yao kiiman

kwa kufanya hivyo ni waingekuwa imeonyeshupendo na mshikamanlakini sio kuandaa mechya mpira kisha unasemhuu ni uraki, upendo nmshikamano katika kuletamani na nchini.

L a k i n i w a n a a n d amechi wanacheza nkupeana mikono siku ypili Maaskofu wanaitwaandishi wa habari kishwanapinga Waislamkupata haki zako, sashuu ni uraki au unakna upendo wa namngani.”Alisema huku akihoAlhaj Kundecha.

Alhaj Kundecha, alisemkutokana na hali ilivysasa Serikali isimamiwajibu wake na iwakemeWakristo kuingilia mambya Waislamu ambayhayahusu jambo ambalkama si subira ya Waislaminaweza kuleta hali yhatari humu nchini.

Alisema, Serikali yeny busara huwa ina angalihali za raia wake na mahitayao, na jitihada zake sikzote iwe ni kukidhi haja zraia wake ili itawale kwurahisi.

Waislamu wanamalizwa, 2000 wauliwaZ I P O t a a r i f a k u w azaidi ya Waislamu 2000wameuliwa huku kijijichao kikiangamizwakabisa.

Ni mauwaji ambayo, kwakila hali, yanafanana na yaleya kuuliwa Waislamu 8000kule Srebrenica, Bosnia.

Waliosalimika hivi sasawapo katika makambi yawakimbizi wakishindwa

kurejea katika makaziyao kwa sababu zaidi yaasilimia 75 ya nyumba zaozimeteketezwa.

Shambulio hilo lilifanywaalfajiri takribani wanaumewote wakiwa misikitiniwakiswali swala ya alfajiri.

Wanawake na watotowalikutwa majumbaniwakishindwa kupatawatetezi na wanaumewaliokuwa Misikitini naowakivamiwa bila ya kuwana silaha za kujihami.

Mji wa Baga, Nigeriauliovamiwa, takribani ni

Na Mwandishi Wetu wa Waislamu watupuwalioshikamana na diniyao ambapo ikika mudawa swala, wanaume wotewanakuwa Msikitini.

K u t o k a n a n a h a l ihiyo, inaelezwa kuwawashambuliaji walifahamukuwa kila atakayeuliwa niMuislamu na kila nyumbaitakayochomwa moto ni yaMuislamu.

“ M a n y i n h a b i t a n t shad already gone to pray

when gunshots rang out onSaturday, 3 January. The rstraid started at about 05:45local time (04:45 GMT), justbefore dawn. “

Anasimulia manusurammoja wa tukio hiloHaruna Muhamad akisemakuwa walivamiwa alfajiriwakiwa tayari msikitinina kuongeza kuwa japowalikutwa Msikini wakiwahawana silaha, waliwezakukimbia na kuokotasilaha walizoweza kupatayakiwemo mapanga navisu, wakaweza kuwatimuawashambuliaji.

H a r u n a a k i o n g e ana mwandihi wa BBCThomas Fessy (West Africacorrespondent), anasemakuwa baada ya wavamizik u k i m b i a , w a n a n c h iwalitoa taarifa katikakambi ya jeshi Baga, iliyo jirani.

Anasema, kambini hapomakamanda walioongeanao waliwafahamishakuwa, waliowashambuliani Boko Haram.

Hata hivyo, taarifazaidi zinasema kuwa, badala ya kupata msaadakutoka kambi hiyo, ndiomara wakakuta kundikubwa zaidi la wavamiziwakiwemo wenye sare za jeshi wakirudi na kuanzakuuwa watu.

Wengi walikuwa nasilaha nzito za kijeshiyakiwemo mabomu yakurusha kwa mkonowakiwa na magari yakijeshi kadhaa, pick-upsna pikipiki.

Manusura hao wanasemak u w a h a w a k u w a n a

namna ya kupambana nawashambuliaji hao wenyesilaha nzito huku waowakiwa na mapanga, ndioikawa mtafaruku watukukimbia ovyo kila mtukusalimisha nafsi yakeikawa mume anapoteana namke na mama anapoteanana watoto.

T a a r i f a z i n a e l e z akuwa kuna baadhi yawanajeshi walionekanawakiwa na silaha wakitaka

kupambana na wavamizihao waliodaiwa kuwa niBoko Haram, lakini katikahali ya kushangaza, pundetu, wakatupa silaha chinina kukimbia.

A n a s i m u l i a m a m ammoja Saratu Garba,mama wa watoto wawilia m b a y e a l i f a n i k i w akukimbia na watoto wakehao akanusurika.

A n a s e m a , w e n g iwalikimbilia katika mjiwa Doron Baga, ul iokando ya Ziwa Chad,lakin i washambul ia j iwakawafuata huko huko

ikabidi watu kujazank a t i k a m i t u m b wkukimbi l ia v i j i j i vyng’ambo ya Ziwa kwupande wa Chad.

M a s h a m b u l i zyalifanyika kwa siku tanmfululizo, kutoka Janua3 hadi saba, Waislamwakifuatwa kila mji nkijiji wanakokimbilia huknyumba zao zikichomwmoto.

Taarifa ya awali y

Shirika la Human Righna Amnesty Internationainasema kuwa japo srahisi kwa sasa kusemkwa uhakika ni watwangapi wameuliwalakini wanaweza kufik2000 na zaidi.

Picha za Satellite katikmji wa Baga na DoroBaga, kama zilivyopigwna kutasiriwa na AmnestInternational, zinaelezkuwa zaidi ya nyumb3,700 zimeharibiwa kabiskwa kuchomwa moto a

Inaendelea Uk. 1

Page 4: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 4/20

4  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 20Makala

UAMSHO wadaiwa kupanga kulipua Makanisa Pasaka

GAZETI moja laKikristo kwa jinala ‘Jibu la Maisha’,limesambaza kitishok u w a J u m u i y aya Mihadhara yaKiislamu (maarufu,U A M S H O ) ,wanapanga kuletam s i b a m k u b w awakati wa Pasaka.

Msiba huo utakuwani kulipua makanisana kuuwa Wakristo.

K u f u a t i a

kupat ikana kwahabari hizo, Polisiw a m e t a k i w a“wasipuuzie tishio( h i l o ) l a u g a i d ik w e n y e P a s a k au n a o a n d a l i w ana Masheikh waUAMSHO.”

Aidha, gazeti hilola Kikristo limedaikuwa, Masheikhw a U A M S H O ,

ndio wal iokuwaw a k i p a m b a n an a P o l i s i k u l eA m b o n i h a d iPolisi wakazidiwa,wakaitwa JWTZ.

 J ibu la Maishawanalionyesha hilopale wanaposema:

“ K w a m a r an y i n g i n e t e n at u m e c h a p i s h a

hadharani jumbezinazoenezwa nawanaodaiwa na polisikuwa ni majambaziwakitishia kuibuam s i b a m k u b w awakati wa siku kuuya kukumbuka kufana kufufuka kwaBwana Yesu Kristo(Pasaka).

Wamesema Jibu la

Na Mwandishi Wetu vitisho bandia.“Security operative

in Abuja have arrestea man accused o

creating panic bsending phony texmessages threatenin

 people about impendinBoko Haram aacks.

Ugwu Lawrencethe suspect, reportedlconfessed to the crimafter being traced anarrested by securitagents, the NigeriaDefence Headquarterreports.”

N d i v yilivyoandikwa habahiyo chini ya kichwcha habari “Ma

 Arrested for “PlayinBoko Haram”, SendinFalse Alarms abouBombings.”

Kijana Lawrencanatuhumiwa kuwkatika mtandao wvijana wa Kikristambao walikuww a k i t u m i w

kusambaza vitish bandia kuwa BokHaram, watalipuhoteli na makanissehemu mbalimbal

Wakati mwinginv i t i s h o b a n d ihivyo vikifuatiwna matukio ambapkwa vile habari zawali zilishawatajw a t u h u m i w awahusika hal i s

huwa hawapatikanM a r a k a d h a aw a l i k a m a t wvijana wa Kikristwakijaribu kuchommakanisa baadya vitisho hivykusambazwa. (SomWhen Boko HaramBecame ChristiansHAUSA/FULAN

 A S N I G E R I ASCAPEGOAT)

Maisha katika tahaririyao ambapo ujumbew a n a o k u s u d i awameuweka katika

h a b a r i i l i y o p oukurasa wa tano.

 J e s h i l a Po l i s ik u p i t i a k w aM k u r u g e n z i waO p e r e s h e n i n aMafunzo, limekuwal i k i k a r i r i k u w akile kilichofanyikaAmboni, ni harakatiza kukabiliana nawahalifu, na wala sio

suala la ugaidi.Chini ya kichwa

cha habari kidogo“Tishio la Msiba

W a k a t i w aPasaka”, J ibu laMaisha walinukuuujumbe wanaodaiu n a s a m b a z w asasa, lakini ukiwaumesambazwa awaliwakati alipouliwaPadiri wa Kanisakatoliki, Zanzibar.

Huu ni mmojawa ujumbe ambao

gazeti hilo la Kikristol imeuhusisha na‘ w a h a l i f u ’ w aAmboni.

K u l e N i g e r i aambapo inaonekana

 baadhi ya Makanisa,w a c h u n g a j i n am a g a z e t i h a p aTanzania, yanaiganyendo zao, jeshi lanchi hiyo liliwahikumkamata kijanawa Kikristo akiitwaUgwu Lawrence kwakusambaza habari za

IGP, Ernest Mangu.

Page 5: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 5/20

5  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 20Habari za Kimataifa

MAHAKAMA Kuu nchiniKenya imeharamishabaadhi ya vipengelekatika Sheria ya Usalamailiyolenga kuukabiliugaidi.

U a m u z i h u o w aMahakama Kuu ya Kenyaumeelezwa kuwa ni pigokwa Serikali ya Kenya,ambayo tayari Rais UhuruKenyata , a l i shawekasaini kupitisha vipengelehivyo kwa ajili ya kuanzakutumiwa katika mfumowa sharia wa nchi hiyo.

Muungano wa Upinzaninchini Kenya na Mashirikambalimbali yalikwendamahakamani mwaka janakupinga vipengele hivyokujumuishwa katika sheriahiyo ya usalama, baada

ya Bunge kupitisha sheriahiyo.

 Jopo la Majaji watanow a M a h a k a m a K u uwakiongozwa na Jaji IsaacLenaola, waliharamishavipengele 10 kikiwemokile kinachohusu uhuruwa vyomo vya habarina haki ya watuhumiwaw a n a p o f i k i s h w amahakamani.

Uamuzi huo ulichukuatakriban saa tano naMajaji hatimaye waliamuakuwa baadhi ya vipengelehavikuwiana na katiba yanchi hiyo.

Katika uamuzi wao,walikubali kuwa Kenyai m ek u m b w a n a v i s avingi vya ugaidi katikamiaka mitatu iliyopita nainastahili kuwa na mbinuza kuisaidia kukabilianana tatizo hilo, hata hivyomajaji walisema kuwa hakiza watuhumiwawa ugaidizinatakiwa kuzingatiwa.

Vi p en g e l e v i n g i n ev i l i v y o h a r a m i s h w ani pamoja na kile chakuwalazimisha wanahabarikuchapisha baadhi yapicha kwa ruhusa ya polisi,

kuwashikilia watuhumiwa bi la ku wa pa na fa si yakujitetea na kuwanyimadhamana wanapopelekwamahakamani bila sababuza kuridhisha.

A i d h a m a h a k a m aimeharamisha jaribio laserikali kutaka kuwekakiwango cha wakimbiziwanaostahili kuhifadhiwaKenya kutozidi laki mojana nusu, na kusema kuwani kinyume cha mkatabawa Geneva.

U a m u z i h u o w aM a h a k a m a K u uulifurahiwa na muungano

Mahakama yazuia vipengele kandamizi sheria ya Usalama Kenyaw a u p i n z a n i C O R Dpamoja na mashirika yakidemokarasi na kuteteahaki.

Hata hivyo Wakili waSerikali, Njoroge Mwangi,alisema serikali itakatarufaa ya kuondolewavipengele h ivyo vyaSheria hiyo, iliyopitishwana Bunge Desemba 14m w a k a j a n a k a t i k akikao kilichokumbwa navurumai huku wabungewakipigana hadharani.

Baada ya hapo RaisUhuru Kenyatta alitiasaini mswada huo nakuufanya sheria Desemba22 ambapo chama chaCORD kiliamua kwendamahakamani kikidai kuwasehemu nyingi za sheriahiyo zilikiuka katiba.

Mashirika mengineyalijiunga katika mchakatohuo na kujumuishwakatika kesi, ikiwemo Tumeya Kitaifa ya Kutetea Hakiza Binadamu.

Awali Jaji wa MahakamaKuu alikuwa amezuiavipengele vinane vyasheria hiyo kutotekelezwana kumchochea Mkuuwa Sheria kukataa rufaalakini bado Mahakama yaRufaa ilishikilia uamuziwa Mahakama Kuu.

Kinachosubiriwa kwasasa ni kutazama mwelekeo

utakaochukuliwa, kufuatiamuungano wa CORDkusma kuwa wataendatena Mahakama ya Rufaakutaka sehemu nyingine zasheria hiyo kuchunguzwa.(BBC).

RAIS Uhuru Kenyata wa Kenya.

RAIS wa Tunisia BejiCaid Essebsi, ametimuabalozi wa Marekaninchini humo Jacob Walleskatika Ikulu yake.

Taarifa zinasema kuwa,kutimuliwa Balozi huyowa Marekani ndani yaIkulu ya Rais wa Tunisia,kulitokana na kitendo chaBalozi Walles kumwelezaR a i s E s s eb s i ju u y ampango wa Washingtonkutaka kujenga kambiya kijeshi nchini Tunisia,

Rais amtimua balozi wa marekani Ikulumpango ambao RaisEssebsi aliupingwa vikali.

Duru za habari zinasemak u w a , R a i s E s s e b s ialikasirishwa sana namatamshi ya balozi huyowa Marekani kiasi kwambaalikataa kuzungumza kwa

njia ya simu na Rais BarackObama wa Marekani baadaya kuombwa kufanyahivyo.

Essebsi mwenye umri wamiaka 88 alishinda kwenyeduru ya pili ya uchaguzi

wa rais uliofanyika mwak jana nchini Tunisia, baadya kujipatia asilimia 55.6za kura zote.

Rais Essebsi, ambayaliwahi kushika nyadhifnyeti kama vile WaziMkuu, Waziri wa Mambya Ndani, Waziri wa Ulin

na Waziri wa Mambo yNchi za Nje katika utawawa zamani wa Tunisial irejea tena kwenyulingo wa kisiasa kupitchama cha Nidaa Toune(irib).

MWANAHISTORIA,mwandishi wa habari,mhadhiri maarufu namtaalamu wa masuala yakisiasa nchini MarekaniWebster Grin Tarpley,amefchua kuwa kundi la

wapiganaji nchini Syriana Iraq la Daesh, ni jeshila siri la Washingtonkatika nchi za Kiislamuna Kiarabu.

A k i n u k u l i w a n amtandao wa habari wa'Alwaie News', Websteralisema kuwa, Abubakaral-Baghdadi, kiongoziwa kundi hilo ni rafikiwa karibu sana na seneta John McKean wa jimbo laArizona nchini Marekani.

Mwanahistoria huyom a s h u h u r i n c h i n iMarekani amefichua

Webster: Daesh ni jeshi la siri la Marekanik u w a , l a u k a m aWashington ingekuwaadui wa kweli wa kundihilo, basi ingekata njia zoteza mawasiliano na kundihilo la Daesh, ikiwemo piaIntaneti, lakini hali haiko

hivyo kabisa.Aidha a l iuta ja mj i

wa Derna nchini Libyaul ioshambul iwa h iv ikaribuni na ndege zakijeshi za Misri, kuwani mji mkuu wa duniawa ugaidi na kuongezakuwa, licha ya kwambamji huo una idadi ndogoya wakazi, lakini ndiounaoongoza kwa kutumaidadi kubwa ya wapiganajiwa kundi hilo kwendaIraq na Syria kupigana nakufanya ukatili dhidi ya binadamu.

Webster Grin Tarpley,alipata umaarufu zaidikutokana na tabia yakeya kukosoa siasa mbovuza serikali ya Marekani,huku akiwa mjumbewa Congress ya dunia

ya mapambano dhidi yaubeberu.

Katika tukio jingine,Waziri wa Mambo ya Njewa Urusi, Sergei Lavrov,ameituhumu Marekanikwa njia isiyo ya moja kwamoja kwamba, Marekaniimekuwa chanzo chav u r u g u , m a c h a f u k ona kuenea misimamoiliyopitiliza katika eneo laMashariki ya Kati.

Sergei Lavrov alisemawakati akihutubia kikaocha Baraza la Usalamala Umoja wa Mataifa

kuhusiana na amani nusalama wa kimataifakwamba mashambuliya anga ya vikosi vykimataifa vilivyoongozwna Marekani huko Syri

na Iraq, mashambuliya anga ya Washingtodhidi ya Iraq mwak2003 na kuingilia kijeshnchi ya Libya mwak2011, ni mambo ambayyamesababisha kutokemigogoro katika Mashariya Kati.

Waziri Lavrov alisisitizkuwa, Umoja wa Mataiunapaswa kuwa na nafamuhimu katika kutatumigogoro inayoshuhudiwkatika maeneo mbalimbaulimwenguni.

Page 6: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 6/20

6  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 20Makala

PAMOJA na kauli yaJeshi la Polisi kuwaharakati iliyofanyikaTanga ya kukabilianana makundi ya kihalifu,haikuwa ikihusiana naugaidi, lakini baadhiya vyombo vya habarivimeshikilia hoja yaugaidi kwa ukucha najino.

“Li cha ya Po l i s ikupooza…, Ni Ugaidim t u p u : W a t i s h i akuzusha msiba kwenyePasaka.”

Ndivyo lilivyoandikagazeti moja la Kikristoliitwalo Jibu la Maishakatika toleo lake namba334 la Jumapili Februari22-28, 2015.

Pamoja na hilo, yapopia magazeti mengineya Kikristo ambayo

yamelishikia bangosuala hilo la kuwepomagaidi ‘wa Kiislamu’Tanzania.

Katika ukurasa wakewa 5 na 7, Jibu la Maisha,likitumia maelezo yamtu waliyedai kuwa nimtaalamu wa majangaaliyetumikia mashirikaya Umoja wa Mataifakatika nchi mbalimbali,Dr. Ben Morrison, gazetihilo limeandika kwaurefu kuthibitisha kuwaTanzania kuna magaidi

Moja ya hoja alizotoa

Dr. Ben Morrison nikuwa “katika matukioya kigaidi dunianikote, magaidi amawanatoa taarifa kablaau kujipambanua baadaya matokeo (kwa maana

 baada ya kushambulia)”Kwa hiyo ikaelezwa

hapa kwamba kwav i l e k u n a w a t uwamesambaza warakakuwa watashambuliak a t i k a P a s a k ahalikadhalika kutangazakuwa ni wao wanatekavituo vya polisi, basi,

hapana shaka ugaidiupo Tanzania.

L a b d a t u i c h o s h ekwanza nukta hii kablaya kwenda mbali kwasababu ni muhimusana. Alichosema Dr.Ben Morrison, ni sahihikabisa ila tu hakufafanuawanaofanya mchezo huuna kusingizia wengineni akina nani. UkianziaOperation Nguchiro(Operation Mongoose:The Cuban Project) ,Operation Northwoods,

Mchungaji, magazeti wanachochea ugaidi

Wanatumika kama washenga wa mabeberu

Kama walivyosema Jibu, nasi tunanawa mikono

Na Omar Msangi Gulf of Tonkin Inciden(Vietnamese: Sự kiệVịnh Bắc Bộ), ikijulikan

 pia kama USS MaddoInc id ent , Opera t i oCyanide , Opera t i oCyclone, Operation Gladmpaka hii vita ya sashivi tuliyotangaziwa n‘Uncle Sam’, zimekuwzikitolewa taarifa z

ki t isho cha ugaiduga i di unatendekhalafu hutangazwa nankafanya.

Sasa ambacho DrMorrison hakutakkuki s em a hap a nkufa fanua ni nanwanahusika kat ikoperesheni zote hizokupanga, kutekelezna kisha kuwasingiziwatu wengine ugaidi.

Katika opereshen“Code named OperatioNorthwoods”,  mpangu l i k u w a k u f a n yvitendo vya kigaid

na kisha kuwasingizi‘Makomunisti’ wa Cubhasa akilengwa FideCastro na serikali yakHiyo ilihusisha kulipushabaha mbalimbakwa mabomu mpakkuteka ndege za abirizikiwa na wanafunzL i k i s h a f a n y i khilo, huibuka watwaliokwisha andaliwna kujitangaza kuwndio waliofanya na hawanakuwa ni katikwanaodaiwa kuwa n‘magaidi wa Cuba’.

Hayo yamefanyiku b e b r u u l i p o t a kkujichimbia Amerika yKusini. Yamefanyika piUlaya baada ya Vita Kuya Pili ya Dunia ambapu l i f a n y i k a u g a i dmkubwa na watu wengkuuliwa wakisingiziwmakomunisti wa Urukama njia moja wapya kupambana na Urukatika Vita Baridi. Nhivi sasa ndio mkakaunaotumika katika h‘New World Order’  nUSA, World H egemonyUnakuwa ni mkakati w

kusambaza utando wmajeshi ya mabeberu nmakucha yao kudhibinchi mbalimbali nraslimali zake.

Kwa hiyo anachosemDr. Morrison ni sahihila kwa kuacha maelezhaya, anapotosha nhii inatupa wasiwaskuwa labda alikuwdakitari wa majangkweli, kwa maana kuwhuenda naye alikuwmmoja wa waliotumikkatika mikakati hii y‘Neocons’.

Mauwaji ya Waislamu Baga walionusurika wakiwakatika kambi ya wakimbizi

Page 7: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 7/20

7  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 20Makala

P A M O J A n a h a b a r ihiyo ndefu, mhariri waJibu la Maisha, katikatahariri yake, amelitakaJeshi la Polisi lisipuuzietisho la ugaidi kwenyePa s a ka a ki z ungum z i akipeperushi alichodai kuwakimesambazwa na magaidi.Lakini pia akikazia kuwakuna vijana wa Kiislamuambao tayari washakwenda

kujifunza ugaidi Somali.Hapa tuseme jambo moja

la uhakika, na hii ni kutokanana uzoefu wa yaliyojirimahali pengine katika hikikinachoitwa kitisho chaugaidi. Kama ni “kuibuamsiba mkubwa wakati wasiku kuu ya kukumbukakufa na kufufuka kwa BwanaYesu Kristo (Pasaka)”, basimsiba huo utaletwa na Jibu laMaisha, kwa moja ya njia tatuzifuatazo. Moja kwa kufanyawao kwa mikono yao. Pili,kwa kuwajua waliofanya,halafu wasiwafichue ilawakapiga porojo na uwongowa kusingizia wengine. Tatu,kwa kuchapisha uzushi

ambao unaweza kuwapamwanya ‘magaidi halisi’kufanya uovu, wakijual a w a m a i t a e n d a k w awaliotajwa na Jibu la Maisha.Hili litaeleweka kwa sababundio mada ya uchambuzihuu.

Ila Pasaka iwe salama. Nanchi iwe salama. Vinginevyo, Jibu la Maisha, watalazimikakutueleza walikuwa wanajuanini.

Tunanawa mikono

Katika kutoa tahadharikwa Polisi na kwa Watanzaniakwa ujumla, Jibu la Maisha,wamesema maneno mazito

yafuatayo:“Tumechapisha jumbehizi ili kunawa mikono nakuvikumbusha vyombo vyausalama kuwa majuto nimjukuu na wakati wa kujutahauna msaada tena.

Tunafanya hivyo kwakuwa ipo tabia ya vyombovyetu vya usalama kuyapanafasi ndogo sana matishioya ugaidi na kushtuka wakatiyanapotokea.”

Huu ni ujumbe mzitounaostahiki kupokelewa kwauzito na kama ni kuungwamkono, kutolewa maelezo aumajibu, basi lazima pia yawemajibu mazito.

Kwa uzito huo huo wa

kunawa mikono, na mimi b i n af s i p a mo j a n a A nnuur, tungependa tunawemikono pia. Isije ikasemwahatukusema.

Viongozi wetu wa vyamavya siasa wana msemo waokwamba inapokuja jambola masilahi ya kitaifa, basihuweka tofauti zao namasilahi ya vyama vyaokando. Katika hili na mimikwa ajili amani, usalama,mshikamano na umoja yataifa na nchi hii, ningeombanivumiliwe na niwaomberadhi na mapema kuwaitabidi niweke baadhi yapicha ambazo kimaadili

Wito wa Jibu la Maishaya uandishi wa habazis ingepasa kuwekwaN aam in i Mh es h im iwWaziri mwenye mamlakna vyombo vya habari, nMamlaka nyingine husikwatanielewa. Kama ndivynatanguliza shukrani zangza dhati kwa kunielewa.

Ninachokusudia hapnikuonyesha jinsi ugaid bandia unavyopandikizw

katika nchi, ikaingia chukna uhasama, matokeo yakikawa ni watu ndugu wa ncmoja kuchinjana bila hattone la hisia ya ubinadamu nhatimaye nchi kuingia katikmachafuko yasiyo kwishNitatumia mfano wa Nigerkwa sababu kuu saba.

Moja, ni moja ya nchza Afrika kama sisi. Piltofauti na Somalia ambapkunatajwa kuwa na magaida Al-Shabaab, lakini woni Waislamu. Nigeria kunWaislamu na Wakristo kamTanzania, tena kwa idadinayokaribiana, kiuwian(%). Tatu, Kama ilivyo AShabaab, wanaodaiwa kuw

magaidi wa Boko Haramwametajwa sana na vyombvyetu vya habari na hatwanasiasa kiasi cha kukkudai kuwa tunao wanancwenzetu ambao tayari nBoko Haram. Nne, kamilivyo Nigeria, vyombvikubwa vya habari vyenykutegemewa, vinamilikiwa nwatu binafsi au taasisi zenymwelekeo wa kuunga mkonkila lenye masilahi na Ukrisna hivyo ndio hutumiwsana kukuza kitisho chugaidi. Tano, tuna historinayofanana ya kutawaliwna Wakoloni wa Kizungambao waliwaimarishWakristo na kuwadhoosh

Waislamu katika kila Nyanna matokeo yake ni kuwtaasisi za Kikristo zina nguvsana katika siasa za nchi nkimataifa. Sita, hata baadya kuondoka, bado nchzilizotutawala ambazo ni zKikristo, zikiungana na ‘UncSam’, bado zinaendelez jicho la ubagu zi bai na yWaislamu na Wakristo katiknchi walizo tawala. Kwhiyo, kilio cha Wakristo wNigeria na Tanzania, hakama kikiwa cha uwonghakiwezi kuwa sawa na chWaislamu kilicho cha kweSaba, Nigeria na Tanzanikatika miaka ya hivi karibunkumekuwa na ushirikiano w

karibu sana baina ya baadya Makanisa na taasisi zkiserikali za Marekani katikkupiga vita Uislamu. Nwamekuwa pamoja katikkupiga propaganda.

Picha juu. Shekau wBoko Haram anayedaiwkulishinda nguvu jeshi lNigeria.

Kati. Picha inayotumikinayotumika kutukana jesla Nigeria kuwa ni wogwanakimbizwa na pundChini Mchungaji Ayo akiwna Rais Goodluck Jonathawa Nigeria.

Page 8: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 8/20

8  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 20Makala

RUSSIA iko katika tatizo.Inaweza vipi kufanya kazikwa kufikia makubalianoya amani kuhusu mzozowa Ukraine - na kukwepavita pana na kubwa zaidi -wakati inahitaji kuwasilianana v i c hw a ngum u nawatwana? Tunazungumziaviongozi wa Marekani naUlaya, kila kundi kivyake.Tatizo la kujaribu kuwa namazungumzo na vichwangumu ni kuwa hawanau w e z o k i m s i n g i w akuelewa chochote ila kilewanachokiona wao wenyewekwa hisia zao. Wanauguaugonjwa wa kutokupenyakwa chembe za ufahamukatika uelewa wao nawanaringia hilo. Kusemakweli, jinsi wanavyozidikutopea katika ugonjwawa kutokuelewa, ndivyompuuzi huyo anavyosifwakuwa na nguvu.

Vichwa ngumu hawawezikuinuliwa uelewa wao;ujinga wao na ubabe wao wakuangalia dunia haupitishichochote kilicho tofauti,hata mtazamo mwingineungekuwa sahihi zaidi.Kwa hakika, wanachukiakabisa kusahihiswa.ambayoi n a u j e n g a u g u m u w akimawazo kwa nguvu zaidi.

Tatizo la kuchukuliana nawatwana ni kuwa hawanauwezo wa kubadili mwelekeo- hata kama bado wana uwezokiasi fulani wa kukiri kwanjia tofauti na kutambuamtazamo mbadala kuwa nisahihi zaidi, au unaeleweka.Hivyo tuna tatizo linaloikabiliRussia katika kuchukulianana Marekani na washirikawake wa Ulaya kuhusumzozo wa Ukraine.

W a z i r i w a M a m b oya Nje wa Russia, SergeiLavrov akizungumza jijiniMunich, Ujerumani wikii l iyo p i ta a l i s ik i t i s h wana Ulaya kutokuwa hurukatika kukwepa uharibifuwa Marekani wa mfumowa mahusiano ya kimataifauliopo. Lavrov alisutwa

kwa kuthubutu kusemaukweli na zaidi kwa sababualizungumza kimantiki nakutoa ushahidi wa kihistoriakuyakinisha alichokisema.

Wamarekani wapuuziwanaweka nahau na lawamamahali pa mazungumzohalisi. Wanaongozwa napropaganda ambazo zinania tu ya kutetea nia zao nawanadanganywa na kila nenowanalotoa. Na wanaringiahilo. Mungu ibariki Marekani!

R a i s B a r a c k O b a m awa Marekan i , am bayeanaaminika ni mmoja wamwanasiasa wenye uwezomkubwa wa kutafakari

Tatizo la Russia: Jinsi ya kuchukuliana na vichwa ngumu na watwanaNa Finian Cunningham

F e b r u a r i 1 0 , 2 0 1 5 -'Mtandao wa KupashanaHabari' na SCF

nchini humo, ni wazi hawezikukiri nje ya mustakabali-imla kama unayotumikakuelezea, bila ushahidiwowote, kuwa mzozo nchiniUkraine "unatokana tu nainachokifanya Russia."

A k i z u n g u m z a h u k uWaziri Mkuu wa Ujerumaniakiwa kando yake Ikuluya Marekani wiki hii ,Obama alisema alikuwaanakiria kupeleka silaha zamaangamizi makubwa kwaserikali ya Ukraine "kuisaidiaUkraine kuimarisha ulinzi

mbele ya uchokozi wawanaotaka kujitenga."Obamaaliishambulia Russia kuwainachochea mzozo huo nakujaribu kuingilia uthibitieneo la nchi ya Ukraine 'kwa

na utawala wa Ukraineunaungwa mkono na nchi zaMagharibi, ambayo ilianzishavita isiyo na sababu dhidi yaUkraine ya Mashariki miezikumi iliyopita, kusababishavifo vya watu zaidi ya 5,500na zaidi ya watu milioni mojahawana makazi. - na badoObama analaani utumiajinguvu kama "uchokozi wawanaotaka kujitenga" naanataka kupeleka silaha kalizaidi kwa wakosaji.

Kutoka Obama kushikangazi ya siasa, hali inakuwa

mbaya zaidi. Makamu waRais Joe Biden aliuambiamkutano wa usalama jijiniMunich wiki iliyopita kuwa"watu wa Ukraine wanahaki ya kujilinda" na kuwa

wanaojilinda? Wanakatazwakufanya hivyo? Wao siyoraia wa Ukraine? Au labdakwa vile wana asili ya Russiainawafanya wawe duni kwamtazamo wako?

Mwanadiplomasia Mkuuwa Marekani John Kerry,anayedhaniwa ni mweledi,anayezungumza lughakadhaa na kufahamu nchitofauti, anarudia madai hayoyasiyo na msingi au akilidhidi ya Russia, akidai kuwanchi hiyo ndiyo "tishio kuuzaidi kwa Ukraine." Kerry pia

anataka kupeleka silaha kwaUkraine kuipa somo Russia.Pia kwa Ashton Carter,

anayeingia kama Waziriw a U l i n z i m p y a p i aMichel Floournoy ambaye

na chama cha Republicakugomea urais. Pia mkuwa masuala ya nchi za nwa Republican, Bob CorkePia mwenyekiti wa wakuwa majeshi ya Marekan Jenerali Martin Dempsey. P

wajumbe wa jopo la sera znje za Marekani katika taasiya Brookings na Baraza Atlantiki. Pia bodi za uhariza mashirika makubwa yhabari nchini Marekanyakiwemo magazeti ya NeYork Times na WashingtoPost. Wote bila kupepesmacho wanarudia mstatasbihi kuwa mzozo wU kra in e in ato kan a nuchokozi wa Russia na kuwkuupatia silaha utawala wUkraine ni wazo zuri kwamani. Wote wanarudimaelezo yaliyokobolewkuhusu historia ambayinamnyooshea kidole RaVladimir Putin wa Russ

kama "dikiteta wa miaka 5iliyopita," akiwa na malengyale yale ya "kupanua himayyake" kama Adolf Hitlena Benito Mussolini. (Bikuwa na chembe ya uelewkuwa ufashisti wa nchi zMagharibi miaka 50 iliyopiulichochewa na siasa ywazi ya nchi za kibepaza Magharibi kushambulUrusi, na matokeo yake nvifo vya Warusi milioni 30. Nsera inayoendelea leo katikuunga mkono wa Marekankwa utawala wa ki-Naz jijini Kiev kama nyenzo ykuidhibiti Russia).

K i n a c h o o g o p e s hkuhusu ubutu wa kuelew

wa wa-Marekani ni kuwh awan a h abar i kabiskuwa labda wamechotwakili. Ni waundiwa fikrwanaoamini kuwa vita namani, utumwa ni uhuruna ukweli ni chochotutakachoambiwa kuwa ndiyhuo. Wanasiasa wa Marekawaliokuwa wanahudhurmkutano wa amani wMunich walipuuzia juhudza Merkel wa Ujerumanna Rais Francois Hollandwa Ufaransa kuingia katikmjadala wa kisiasa na Putkuhusu mzozo wa Ukrainkama 'uvundo.'

Viongozi hao watatwanapendekeza kuendelezm a j a d i l i a n o m a r e fyaliyofanyika Moscow wiiliyopita kwa mkutanmwingine jijini Minsk, mmkuu wa Belarus, wikhii. Hakuna uhakika hakidogo kuwa Putin, Merkna Hollande wanawezkufikia maafikiano yoyokuwezesha utawala wUkraine kuketi chini kwmazungumzo na wanaotakku j i ten ga wen ye as iya Russia huko Ukrainmashariki. Ubutu wa wMarekani bila shaka nkukwamisha mazungumzhayo kabla hayajapata nafaya kuendelea.

mtutu wa bunduki.'Tuangalie hali halisi.

Wakazi wenye asili ya Russiawanauawa katika nyumbazao, makimbilio yao yenyengome, shule na mitaani,

Marekani ipeleke misaadaya kijeshi kuzuia "uchokoziwa Russia."

Hivyo, Bw. Biden, vipikuhusu haki ya wananchi waUkraine wenye asili ya Russia

anatazamiwa kuwa Waziriwa Ulinzi endapo HillaryClinton anashinda uraisuchaguzi mkuu 2016. PiaBobby Jindal ambaye nimgombea moto wa kuteuliwa

WAOKOAJI Ukraine wakiwa wamembeba mmoja wa majeruhi wa mapigano yanayoendeleanchini humo.

Page 9: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 9/20

9  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 20Makala/Tangazo

Tatizo la Russia: Jinsi ya kuchukuliana na vichwa ngumu na watwanaInatoka Uk. 8

Tofauti na wa-Marekaniwanaosukumwa tu nakupaza sauti, kuna uelewawa pamoja mpya miongonimwa nchi za Ulaya kuwa

kujaza silaha chini Ukraines iyo jawabu, n a h as ainahitajiwa kuachwa, nakuwa wanaotaka kujitengawana hoja zenye mantikiza kuwa na uhuru mpanawa kisiasa zinazostahilikusikilizwa kwa amani.

V io n go zi wa U layaangalau mbele ya watu,wanaweza bado kutumialugha inayochosha kuwaRussia inaihujumu Ukrainekwa kicho na vikosi vyakeau misaada ya kijeshi kwawan ao taka ku j i ten ga .Utawala wa Russia unakataakata kata madai hayo.Ila angalau viongozi waUlaya wanaonyesha kuwa

na uwezo wa kufikiri wakutosha kutambua kuwakumnyooshea kidole Putinkwa nguvu Russia kuwandiyo chanzo cha tatizolote, hakusaidii na kwambainawezekana kuna zaidi yaupande mmoja katika sualahilo.

Anaweza kusiwa AngelaMerkel kwa kusimamaimara katika upinzani wakekwa miito ya Marekani yakuongeza kuhusika kijeshinchini Ukraine. Akiwa jijini Washington wiki hii,aliondoa kabisa uwezekanowa kuunga mkono wazola kupeleka silaha zaidinchini Ukraine. Upinzani

wa Merkel kwa pendekezola Marekani umelaaniwana ma-Seneta waandamizikuwa ni 'kumridhisha'Putin, kunakofanana na jinsi Neville Chamberlainwa Uingereza alivyojitahidikumridhisha dikteta AdolfHitler wa Ujerumani katikamkutano wa Munich mwaka1938.

K u c h u k u l i a n a n awapuuzi wa Marekani hivyohaiwezekani. Wanakaak a t i k a d u n i a t o f a u t ikimawazo na watu wengine.Dunia yao inaundwa napropaganda inayokwepahistoria na mwelekeo wakulazimisha ambao unafanyamajadiliano, kupeana nakubadilishana, au ufafanuziwa kimantiki kuwa mgumukufikiriwa. Ubabe wao nakibri cha ujuha ni kizuizicha mawasiliano halisi nauelewano. Yote kayatakaPutin; tatizo ni makundihayo yanayotumwa naRussia; ni himaya ovu yaUrusi inayotaka kurudi.Kuondolewa isivyo halalikwa utawala wa Ukraineambako kuliungwa mkonona Marekani? Vita ya utawalawa Ukraine ikiungwa mkonona Marekani dhidi ya wakaziwa Ukraine masharikiwenye asili ya Russia? Una

RAIS wa Russia, Vladimir Putin.

kichaa, wewe kisataramtaa-tetezi wa Putin? Unawezajekuchukuliana na watu kamahao? Huwezi.

Hata hivyo,, tatizo lingineni kuwa viongozi wa Ulayahawako huru kufanyia kazikiuhalisi mawazo yao huruyanayochipuka. Ni wazikuwa Merkel na Hollande,na viongozi wengine wengiwa Ulaya, wanatambuakuwa mipango ya Marekaniya kuijaza Ukraine ifurikena silaha nyingi zaidi niwazo baya ambalo linawezakusababisha Vita Kuu ya

Tatu ya dunia. Ni wazikuwa viongozi wengi waUlaya wanafikiri kuwavikwazo vinavyosimamiwana Marekani dhidi yaRussia siyo vina madharayasiyotarajiwa, lakini piavina lakini kwa hoja, ni seraya chuki inayowaumizawafanyakazi barani Ulaya,wakulima na uchumi wa bara hilo kama inavyomizanchini Russia.

Kinacholeta utata ni kuwanchi za Ulaya ni vikaragosivya Marekani. Hazikohuru kufanya lolote njeya mstari wa utawala waMarekani unavyoelekeza,hata msimamo wa Marekaniun gekuwa wa k i j in ganamna gani. Ujerumaniinatambuliwa kuwa ndiyouchumi mkubwa katika barala Ulaya na uchumi wa nnekwa ukubwa duniani. Hatahivyo, kama mchambuziwa siasa wa Ujerumani,C h r i s t o f L e h m a n na n a v y o t u k u m b u s h a ,Ujerumani haijawahi kuwana uhuru kamili wa kisiasatangu kumalizika kwaVita Vikuu vya Pili. HainaKatiba inayofanana na dolaya kisasa, na inaendelea

kukaliwa na majeshi ya kigenikutoka "nchi zilizoshinda"za Marekani na Uingereza."Ujerumani ni koloni kwahali halisi la Marekani,"anasema Lehmann. "Wakatiwowote, chini ya sheriamama ya kipindi baada yavita, askari wa Marekaniwanaweza kuitwaa serikaliya Ujerumani, ambayokimsingi na kisheria ni nchiinayokaliwa, ni kikaragosi."

Ujasusi wa (NationalSecurity Agency), idara yakijasusi nchini Marekanikusikiliza simu za KanselaMerkel ulioibuliwa mwaka

2013 na Edward Snowdenni kielelezo kimojawapo.Kinachoshangaza zaidini kuwa Merkel hakujibuuingiliaji huo wa kina wa"uhuru" wa Ujerumani

kwa nguvu ya kisiasaambayo uingiliaji huowa Marekani ulikuwaunahitaji. Alikubali tukwa unyonge uingiaji huokama hitaji mojawapo yanguvu za Marekani baadaya vita.

Lehmann anaonyesha j ins i juhu di zote zaU j e r u m a n i n y a k a t izilizopita za kuunda serahuru ya mambo ya nje,hasa inayolenga kufikiauelewano na Russia,zilifutwa na Marekani namshirika wake, Uingereza."Tuliona kuwa chini ya

makansela Willy Brandt naGerhard Shroeder, juhudizao za kukia uhusianomwema zaidi na Russiaz i l ihujumiwa kat ikakila hatua na tawala zaMarekani na Uingereza,"anasema Lehmann.

Ndiyo maana Merkela n a s t a h i l i s i fa k w ak u c h u k u a u a m u z iwa dhati wiki hii yamwelekeo wa kijeshi waMarekani nchini Ukraine.Kujitofautisha kwakeni ishara muhimu yauwezekano wa kukosanakatika mahusiano waUlaya na Marekani .A n a c h o k i f a n y a n i

k u u k w a r u z a m s t a ruliochorwa ardhini nutawala wa Marekankuwa nchi za Ulaya, nhasa Ujerumani, haziwezhazithubutu, zisijaribu

kuhoji ubabe wa Marekana sera yake ya mudmrefu ya uadui dhidi yRussia.

Merkel na Hollandwanaweza kuwa wanapahisia mpya kutoka kwmamilioni ya wananchwa kawaida barani Ulayambao wanapinga kwnguvu utaka vita wMarekani kwa Russia kwkuiingiza Ulaya. Lakinukichukua utwana w jadi kwa vichwa ngumwa Marekani, uwezekanwa kufikia uelewanmpya ya mahusiano yamani inakuwa ngumkutarajia. Uongozi baranUlaya bado ni wateja wndoana za MarekanLakini wananchi wa Ulaywanaopata kichefuchefna hali hiyo wanawezt a y a r i w a n a s u k u mm a b a d i l i k o k a t i kmifungamano kichwngumu.

(Makala hii MoscowProblem: Dealing witImbeciles and Vassalimeandikwa na FiniaC u n n i n g h a m nkutafsiriwa Kiswahili n

Anil Kija)

Ubungo Islamic High School imeandaa mafunzo maalum kwa wanafunzi waKiislamu wanaorudia Mitihani ya Kidato cha Nne 2015 ambao wanatafuta sifa‘Credit’ za kujiunga na Kidato cha Tano, 2016.

Masomo yanayofundishwa ni: Elimu ya Dini ya Kiislamu, Arabic, Kiswahili,Kiingereza, Civics, History, Geography, Basic Mathematics, Physics, Chemistry,Biology, Commerce na Book-Keeping.

Muda wa masomo: Jumatatu – Ijumaa kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 9:00 alasiri.Kuanzia Machi 1, 2015 hadi Septemba 30, 2015. (Kwa muda wa miezi SABA)

Uandikishaji umeanza Fika osi ya Mkuu wa Shule Ubungo Islamic High Schoolkuanzia saa 1:30 asubuhi hadi saa 8:30 mchana. Fomu zinapatikana BURE.

Kwa mawasiliano zaidi: 0687 820895, 0657 350172, 0714 888557

Wahi Mapema nafasi hii adhimu

Wabillah Tawiq

MKUU WA SHULE

Bismillahir Rahmaanir Rahiim

Ubungo Islamic High SchoolMafunzo maalum ya wanaorudia Mitihani

 ya Kidato cha Nne 2015

Page 10: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 10/20

10  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 20Makala

Waislamu wanamalizwa, 2000 wauliwaInatoka Uk. 3

kubomolewa.“Hatuwezi kure jea

m a k w e t u , n y u m b azimechomwa moto nahapa sina nguo nyingine

zaidi ya hizi nilizovaa”,anasimulia mmoja wamanusura Hadija Umar,mama wa watoto watatuambaye mumewe aliuliwa.

K a t i k a k u n u s u r um a i s h a , b a a d h i y aWais lamu wal i j ikutawakitembea kilometa 162(maili 100) hadi Maidugurimji mkuu wa Jimbo laBorno.

Hiyo ni kwa mujibu waShirika la Madaktari wasiona Mipaka, Medecins SansFrontieres, na kusemakuwa wengine wamevukampaka na kuingia Niger

na Chad.Shirika la kuhudumiaWakimbizi la Umoja waMataifa- UN refugeeagency (UNHCR), limekirik u p o k e a m a e l f u y awakimbizi hao Waislamuhuku baadhi yao wakiwak a t i k a m a j o n z i y akupotezana na wapenzi nandugu zao wasijue wapohai au wamekufa.

"Sijui kama wapo hai auwameuliwa”, anasimuliaHarun Muhamad akiwana majonzi kambini hapoakisema kuwa hajui alipomkewe na mtoto waomchanga huku DahiruAbdullahi, akiwa hajuiwalipo ndugu zake wengiakiwemo mdogo wake.

Dahiru Abdullahi nimmoja wa wakimbizi2,500 waliohifadhiwa naUNHCR katika kambiya "Dar-es-Salaam" njekidogo ya mji wa Baga-Sola.

K a t i k a j u m l a y aalmanusurina walio katikaKambi ya Wakimbizi Dares Salaam, ni Bi AishaAl-Haj Gorba ambayeanasema kuwa wakatiwakivamiwa i l ikuwasiku zake za kujifungua

zimetimia.Walikimbia na mumewe

na watoto wao watatuna kujificha porini kwasiku tatu huku akianzakuumwa.

Anasema, hatimayewalifanikiwa kudandiam t u m b w i u l i o fu r i k awakimbizi wakivuka ziwaChad na hapo ndio nauchungu ukakazana.

“ M i m i n a m u m ewangu, tulikuwa mudawote tunamuomba Allahanisitiri, maana pamojana kuomba nijifungue

not telling the truth…soldiers who ran awawere "cowards". Alisema

Pamoja na taarifa hizza kawaida kuwa ni BokHaram waliovamia mji hu

mdogo wa Baga na kutekkambi hiyo nzito ya jeshlakini taarifa na ushahidunaoibuka unaonyeshmambo yalikuwa tofauti

K u s h i n d w a k wwanajeshi wa kambi yBaga kupambana nwashambuliaji hao hukwakitupiwa lawama ywoga, na wakati huo huKamanda wa kambi hiyakitoweka kwa siku zoza mashambulizi, kunazumaswali mengi bila ymajibu.

I n a v y o o n ek a n a nkana kwamba kamandhuyo alikuwa na taarifza kitakachofanyika nkupewa maelekezo kuwasiingil ie. Asichukuhatua.

Ni kama ilivyokuwk a t i k a M a u w a j i yS r e b r e n i c a , B o s n i(Srebrenica massacreambapo jeshi la Umojwa Mataifa la kulindamani lilitizama Waislamwakiuliwa na wanajeshwa Serbia.

Katika vita ya BosniUmoja wa Mataifa uliund jeshi la kulinda amanUnited Nations ProtectioForce (UNPROFOR

ambalo lililunda kikosi chaskari kutoka UholanzDutch peacekeepersD u t c h b a t , k i k i p ew juku mu la ku wa lin dWaislamu katika mji wSrebrenica.

Hata hivyo, Waislamwakiwa na imani kuw jeshi hilo ni la kuwalindWaislamu walishtukiwanajeshi hao wa Umowa Mataifa, wakimruhusGenerali Ratko Mladik u w a t e n g a n i s hwanawake na wanaumn a k i s h a k u w a u wwanaume na watoto w

kiume wapatao 8000 nkuwafukia katika mashimya pamoja.

Hal i ya Wais lamBaga, haina tofauti. Bagndio kuna Kambi Kuya Kikosi Maalum chkupambana na magaidwanaoitwa Boko HaramMultinational Joint TasForce (MNJTF).

W a i s l a mwaliposhambuliwa nmagadi hao, wakaonwatoe taarifa kwa MNJTwakiwa na imani kuwwatapata msaada wa ulinzLakini wakasalitiwa.

salama, lakini ile zahamamtumbwi umejaa watu,wake kwa waume, watoto,kwa hakika nil ikuwakat ika ha l i ngumu.”Anasimulia mama huyoambaye alijifungua salamamara tu mtumbwi ulipotiananga na kupata sehemu

ya faragha.Aisha Al-Haj Umaru

Gorba, amempa mtotowake huyo wa kiume jinala Idriss Deby, kama isharaya shukrani kwa Raiswa Chad aliyewapokeana kuwahifadhi mpakakupelekwa katika kambiya wakimbizi.

“Kwa hakika ilikuwa nimuujiza kutoka kwa Allah,maana i l ikuwa safaringumu ya zaidi ya masaa12 ndani ya mtumbwiuliofurika watu, hukunipo katika uchungu,

lakini Mungu alinisitiri,nikajifungua salama baadaya kufika ng’ambo yaziwa.” Anasimulia mamahuyo akiwa kambini Dares Salaam.

Baga, mji mdogo uliopo ji ra ni ka bisa na ka mb iya kijeshi (military base,

h ea d qu a r t er s o f t h eMultinational Joint TaskForce), huku mji wa DoronBaga, ukiwa ni kituokikubwa cha kibiashara namji wa uvuvi (ziwa Chad)katika Jimbo la Borno.

J e s h i l a t u h u m i w akuhusika

A k i z u n g u m z i amadai kuwa wanajeshiwaliokuwa katika kambiy a B a g a w a l i k u w awachache na silaha hafundio maana wakazidiwa

nguvu na Boko Haram,Mshauri wa Mamboya Usalama (NationalSecurity Adviser), BwanaSambo Dasuki alisemak u w a k u l i k u w a n awanajeshi wa kutoshaakibainisha kuwa katika jumla ya silaha zilizoachwa

z i k a c h u k u l i w a n awanaodaiwa kuwa ni BokoHaram (Islamist militants)ni pamoja na magari sitaya kijeshi (APCs - orarmoured vehicles) yakiwayamejaa mabomu, risasina bunduki nzito (artilleryguns.)

A n a s e m a , h u o n iushahidi kuwa silahazil ikuwepo, kama nikukimbia , wana jeshiwalikimbia kwa wogawao.

"Anybody who sayshe is not well-armed is

Picha juu, baadhi ya akinamama walioojazana kwenye mtumbwi wakivuka ziwaChad. Chini BI. Aisha Al-Haj Umaru Gorba akiwa na mtoto wake aliyejifunguakambini.

Page 11: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 11/20

11  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2011 AN-NUUMakala

Waislamu wanamalizwa, 2000 wauliwaInatoka Uk. 10

Hata hivyo, Kamandawa kikosi hicho, Brig. Gen.Enitan Ransome-Kuti,(mtoto wa Beko Ransome-Kuti na binamu (nephew)w a m w a n a m u z i k imashuhuri Fela Kuti),kwa siku tano mfululizo,aliwaachia ‘magaidi’ haowakiuwa Waislamu nakuangamiza nyumba zaokijiji kwa kijiji na mji kwamji.

Ni baada ya kuibukamalalamiko na maswalimengi watu wakituhumukuwa ama jeshi lilihusikamoja kwa moja au baadhiyao kushir ik iana nawauwaji, ilitolewa amriya kukamatwa Mkuu waKikosi hicho, Brigedia

Generali Enitan Ransome-Kuti.I la wakati suala la

B o s n i a n : G en o c i d uSrebrenici, lilienda mpakaThe Hague, baada yamauwaji hayo kuitwani mauwaji ya hilaki(genocide),  bado hakunadalili kuwa hili la Bagalitakia huko.

M a k a m a n d aw a l i o k a m a t w a n akushikiliwa hadi sasa nikumi ikiwa ni pamoja naBrigedia Generali EnitanRansome-Kuti Chief ofStaff, Lt.-Colonel G.A.

Suru, Lt.-Colonel Haruna(Commanding Ocer of134 and 174 baalions) naMajor Aliyu.

Akielezea ni kwa ninimaofisa hao wa jeshiwamekamatwa, Msemajiwa Jeshi la Nigeria (Directorof Defence Information), Ma jor-Genera l ChrisOlukolade, amesema kuwamaosa hao, licha ya kuwana wapiganaji pamojana silaha za kutosha,walitelekeza kambi namji wa Baga ulipovamiwana kushambuliwa namagaidi. (Tazama: Gen.Ransome-Kuti, 10 othersenior Nigerian Army ocersarrested over Boko Haram’stake-over of Baga )

Hata hivyo imeelezwakuwa hiyo imefanyikakama danganya toto kwanimazingira yanaonyeshakuwa kila kitu kilipangwana hata baadhi ya vyombovya habari vilielekezwanamna ya kuripoti habarihizo.

Propaganda na Kimya chaRais

Awali hapakuwa nahabari yoyote iliyoripotiwa juu ya mauwaji hayo na

“Irresponsible” Over SilenOn Baga". Sahara ReporterRetrieved 4 February 2015

Baada ya taarifa za awazikionyesha Waislamwaliouliwa wakizikwhalikadhalika ikionyeshwale walio katika kambza wakimbizi, maelezk u w a B o k o H a r a mwalishambulia mji hukatika harakati zao zkusilimisha Wakristo nkusimamisha serikaya Kiislamu zilionekankupwaya.

T e l e v i s h e n i zNigeria na Marekanziliripoti tukio hilo hukwakiambatanisha na pichza wapiganaji wa IS na ziza Abubakar Shekau nkuzipamba kwa matukimengi yaliyodaiwa y

kuuwa Wakristo hukyakiwa hayahusiani kabisna tukio la Baga.

Ili kukoleza propagandhiyo, zilitolewa picha zwatu waliokufa kutokanna ajali ya Moto mwak2010 Congo na kudaiwkuwa hao n i kat ikWakristo waliouliwa Bag

Picha hizo ziliwahkutumika pia kat ikm a t u k i o y a n y u m alakini kat ika harakharaka ya kucha ukwewakajisahau na kuzirudtena.

Picha hizo kwa mara y

kwanza zilitolewa Jula2014 zikiwa na kichwcha habari “375 Christianmassacred by Boko Harammilitantas” na kinginkikisema, “Boko Haram bu rn s 37 5 Ch ri st ia nswakati picha hizo ni zwatu walioungua mot baada ya lor i la mafutkulipuka Congo likitokeDar es Salaam, Tanzania

“In January 2015 thimage went viral once agaiamid reports that dozenhundreds or possibly amany as 2,000 people habeen massacred in BokHaram aacks centered othe northern Nigerian towof Baga and surroundinvillages.”

Inaeleza taarifa mojikichambua picha hizkwamba zilitolewa ten Januari hii 2015 ikidaiwa nWakristo 2000 waliouliwna Boko Haram militant

Taarifa hiyo ikahitimishuchambuzi wake ikisem“While the image - as evidenof a massacre - was falsthe killings around Bagwere all too real. Amnest

taarifa za awali zilizotolewana BBC zilikanushwa navyombo vya habari vyaNigeria wakisema kuwani uzushi. ("BBC Lied, noFresh Boko Haram Attackon Baga". News Express.

 Anadolu Agency. 8 January2015. Retrieved 4 February2015."Boko Haram suffersheavy defeat in surprise aackon military base". NewsExpress. 5 January 2015.Retrieved 9 January 2015.Ilikuwa baada ya kuwaWaislamu walionusurikaw e n g i n e w a m e v u k ampaka hadi Niger na Chadna kusimulia yaliyowasibu,ndio vyombo vya habariviliripoti kwa nguvu,lakini vikieleza kuwa niBoko Haram waliovamiana kwamba safari hii etiwalijizatiti sana kiasi chakuweza kuteka kambi ya

kijeshi ya Baga.Chief of the Defence Sta)

 Air Chief Mar shal ,  AlexBadeh, ambaye awali alitoataarifa za kukanusha, baada ya mambo kudhihirina hayachiki tena, akatoataarifa nyingine akikirikambi kutekwa na BokoHaram. ("Nigerian DefenseChief: Military Base inHands of Extremists". ABCNews. Associated Press.Retrieved 9 January 2015.2."Boko Haram displaces 1,636in Baga". News Express.7 January 2015. Retrieved9 January 2015 . Hatahivyo, pamoja na kuanzakutolewa taarifa hiyo,hadi sasa Rais Jonathanhajatoa kauli yoyote kulanimauwaji hayo.

Kutokana na ukubwawa jambo hilo kushindahata l i le la kudaiwa

k u t e k w a w a s i c h a n a279, watu mbalimbaliwamekuwa wakihoji ninitafsiri ya kimya hicho chaRais Jonathan.

 Julius Malema, kiongoziwa Chama cha (left-wing)Economic Freedom Fighterscha Afrika ya Kusini nakiongozi wa zamani waVijana wa ANC, (AfricanNational Congress, YouthLeague), yeye alikuwa nahaya ya kusema kuhusukimya hicho cha Jonathan:

“Goodlook, or Goodluckor whatever his name is orbadluck I don’t know ... Heis quick to release statementabout the killing in Paris; butdon’t (sic) say anything aboutthe killings in his own country.That’s an irresponsibleleadership.” ("South AfricanPolitician, Malema, Aacks

 Jon athan, Say s Pre siden t Inaendelea Uk. 1

PICHA Juu, msururu wa akinamama wa Kiislamu wakisubiri kusajiliwa kambini.Picha chini, mmoja wa familia zilizokimbilia kwenye kambi ya wakimbizi.

Page 12: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 12/20

12  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2012 MAKALA 

Zama za propaganda, si kila jambo kutwaa,Zama za propaganda, zina lukuki hadaa,Zama za propaganda, hatari kuzinyamaa,Zama za propaganda, japo kwa nyu wasaa,Zama za propaganda, kuzitongoa yafaa,Zama za propaganda, ni za hadhiri kukaa.

Zama za propaganda, kwa kasi na kwa fajaa,Zama za propaganda, walimwengu zatuvaa,Zama za propaganda, twabaki tukiduwaa,Zama za propaganda, si Tanga wala Dakaa,Zama za propaganda, kote zimetandawaa,Zama za propaganda, ni za hadhiri kukaa.

Zama za propaganda, lengo dunia kutwaa,Zama za propaganda, kwa puya pasi janaa,Zama za propaganda, kwa kuifanya ni jaa,Zama za propaganda, la mazuzu na vichaa,Zama za propaganda, ndio dhimaye alaa!,Zama za propaganda, ni za hadhiri kukaa.

Zama za propaganda, bongo zetu hudumaa,Zama za propaganda, kra zetu husaa,Zama za propaganda, nadhari zetu hupaa,Zama za propaganda, mawazo yetu mawaa,

Zama za propaganda, vyote hivyo hututwaa,Zama za propaganda, ni za hadhari kukaa.

Zama za propaganda, kama ni tembo chang'aa,Zama za propaganda, kama ni ute usaa,Zama za propaganda, kama ni hewa ukaa,Zama za propaganda, kama ni janga balaa,Zama za propaganda, kama ni wehu kichaa,Zama za propaganda, ni za hadhiri kukaa.

ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA

MHH! ZAMA ZA PROPAGANDA!!! Waislamu wanamalizwa, 2000 wauliwaInatoka Uk. 11

International described theslaughter as the "deadliestmassacre" in the historyof Boko Haram and therewere disturbing reportsof bodies strewn amongbushes and in villagestreets nine days later.”

Kwamba japo pichahizo ni za uwongo,zikitaka kucha ukwelina kupiga propagandaya Boko Haram kuuwaWakristo, lakini tukio lakuuliwa watu takriban2000 limetokea.

H i y o n i b a a d aya kutolewa pichaza swala ya maiti yaw a t u w a l i o u l i w ana kuonekana wazi

kuwa waliouliwa niWaislamu, sio Wakrsito.(Soma uchambuzi zaidiwa picha na propagandahiyo uk. 10, 11)

Hatari ya Propagandahizi

Pi cha za nam nahi i za urongo , zak u s i n g i z i a k u w aWaislamu wanachinjana kuchom a m otoWakristo, zilisababishakundi la washambuliajiWakristo kuwavamia

Waislamu waliokuwawakiswali Eid na kuuwawatu huku wenginewakichomwa moto nakuliwa nyama (Tazama:Cannibal izat ion ofMuslims in Jos onVideo: Where is ourHumanity? 2. ChristiansMassacre Muslims onSallah Day (Graphicpictures, please!): BBCCaptures and RecordsCannibalism Episode)

Lakini pamoja nahasira za Wakristow a n a o p o t o s h w a

kuwa wanauliwa naWaislamu, inaonekanak u n a k i k u n d i a uv i k u n d i r a s m ivinavyopewa silahakufanya mashambulizina kuuwa watu ovyohuku ikidaiwa kuwa niBoko Haram.

N a p i c h ainayojitokeza hivi sasani kuwa inapokuwai n a d a i w a k u w aWakristo wameuliwana picha kusambazwak a t i k a m i t a n d a o ,

z i nakuwa picha zauwongo au kama ni kweliyanakuwa mauwaji yakupanga ili kuchocheachuki, hasira na kupatasababu ya kuwasingiziaWaislamu.

Lakini kila inapokuwani Waislamu wameuliwa, basi wameuliwa kweli.

Na hii inathibitisha

kuwa sasa ni dhahiri kuwakile ki l ichotangazwakuwa ni Crusade, kweliilimaanishwa hivyo.

N i v i t a d h i d i y aWaislamu na wala sio‘magaidi’ japo kupitia vitahiyo mabeberu wanapatamtaji wao ambao ndiomuhimu kwao.

‘Kamanda’ mwanzilishiwa vita hivyo, hakuwaamekosea kama alivyokujakutoa ufafanuzi baadae baada ya kuandamawa.

Matukio hayo mawiliyakiwakil isha mengiya kuuliwa maelfu yaW a i s l a m u N i g e r i a ,yanatosha kuwa kielelezoi k i t i l i w a n g u v u n ataarifa za propaganda yakupindua mambo ikabakikuwavurumishia lawamamarehemu na wawa.

I l i v y o , k a t i k a h i iinayodaiwa kuwa ni‘ugaidi wa Boko Haram’,kwa hakika ni ugaidina mauwaji dhidi yaWaislamu.

Katika ugaidi huu,Waislamu wanauliwana watu waliokwishaandaliwa ambao ni vigumukwa sasa kuwatambua,

ikisingiziwa kuwa ni BokHaram.

Na mauwaji hayot o k a B o k o H a r a mi m ea n z a , h u fa n y i kKaskazini katika miji nvijiji vyenye Waislamw en g i . Wa n a o u l i wna kuchomewa motnyumba zao ni Waislam

Kwa upande wa pi

Waislamu wanauliwa nvijana wa Kikristo wenyh a s i r a w a n a o d a i wkukasirishwa na mauwaya Boko Haram.

Kwa upande wa tatuWaislamu wanauliwna polisi, jeshi, ikidaiwkuwa wanapambana nBoko Haram.

N a n n e , h u e n dNigeria ikaingia katikhatua nyingine ambapWaislamu watakuww a k i u l i w a k u p i t imakombora ya dronikidaiwa kulenga magaidBoko Haram.

T a n o , n i k u wUislamu na Waislamw a n a m a l i z wkupi t ia propagandinayowachafua kuwa nwatu waovu, wauwakatili.

Katika watu hatarwaliofanya kazi kubwya kuchochea halhii, ambapo Nigeriinajikuta ipo katiku m w a g a j i d a mmkubwa, wanatajw‘Masheikh’, Makasina wandishi wa habar(Soma kwa undani uk2, 10, 11)

Naandiliza kusema, kwa Raufu jina lake,Swala nyingi na Rehema, zende kwa Mtume wake,Duwa ziwake hima, wote Maswahaba zake,Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.

Leo nimekuja tena, na swali langu like,Kwenu malenga vijana, busara mzipeleke,Fanyeni bahathi sana, jawabu bora litoke,Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.

Hili jambo lanitanza, sipati undani wake,Tena linanishangaza, linanitia makeke,Mwili nina uuliza, nini hasa raha yake,Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.

Ukenda kufanya kazi, wataka upumzike,Bora ufanye ajizi, kutwa ukaghururike,Unanitia simanzi, niupe nini ushike,Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.

Mwili wataka kulala, daima usiamke,Hautaki hata swala, kheri ukaadhibike,Hueza sahau Mola, kuwa ndo Muumba wake,Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.

Kila nikijitahidi, alau ukurupuke,Unafanya ukaidi, lala chini upweteke,Hautimizi miadi, kwenda mahali uke,Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.

Hayo machache yatosha, mradi yafahamike,Yanotia mshawasha, majibu muyaandike,Nyote nawakaribisha, awezae kazi kwake,Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.

Sasa napiga tamati, jambo jengine nishike, Japo mwili hautaki, uwache ukukurike,Usubiri umauti, uone jeuri yake,Mbona haueleweki, mwili raha yake nini.

Zainab MtimaChuo cha Afya, MbweniZanzibar 0777 357 031

Mwili una raha gani

 MMOJA ya wasichana wa Kiislamu akiwkatika kambi ya wakimbizi, Nigeria. Msichanhuyo amepotezana na familia yake tokewaliposhambuliwa na wanaodaiwa kuwa ni Bok

 Haram.

Page 13: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 13/20

13  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 20Makala

Inaendelea Uk. 19

UKWELI misemo yetuya Kiswahi l i kamat u t a ya ch u n gu z a n akuyaweka iwe dira yakutuongoza, hatutokuwana mashaka yaliotuvaahasa nyakati hizi za sasa.Chura tunamuelewa nikatika viumbe wenyekuishi kwenye maji nanchi kavu. Uwezo huowaaliokuwa nao namnam u u m b a M w e n y e -

e n z i - M u n g u S Wanavyokadiria viumbevyake. Chura huwaanapiga kelele na kuletatafshanini, lakini wenyekuzielewa na kuzifanyiakazi lugha za wanyama,husema kila ukisikiavyura wanapiga kelelesana, ujuwe wanapeyanataarifa na kujibizana.

Wazee wamekuja namsemo usemao, Kelele

Husema kelele za chura hazimkatazi ng'ombe kunywa majiza chura hazimkatazing’ombe kunywa maji,kwani ng’ombe akifikakatika sehemu yoyoteile ilio na maji, kiwekidimbwi, kijito n.k. huku

vyura wanahanikiza kwakelele, n’gombe husema,piga kelele wee mie majinitayanywa.

Hapa najaribu kutakakujenga ho ja namnau h a r i b i f u m k u b w aunaotendeka hivi sasa wakimazingira na kusikiakaul i z i to lewazo nawaharibifu kuwa pigenikelele wee, sio tupo palepale, tena mnataka tukalewapi?

Mada yangu ya wikihii ni juu ya mikoko aukama wengine waitavyom i k a n d a a n a m n a

inavyoangamizwa nakuanza kutoa a tharimbalimbali katika maeneoya mwambao.

Waislamu wametakiwak u en z i n a k u p a n d am i t i k w a w i n g i ,M t u m e M u h a m m a dSAW amesisitiza kuwamuumini wa Kiislamuajizaititi katika kupandamiti, kama hadithi hiiisemayo “Ikiwa Muislamu

yoyote akapanda mti,mti ule ukatoa faida kwawanadamu au wanyamaatalipwa kwa jambo hilola kutoa zawadi. (SahihBukhari Vol. 8, Book 73,No. 41).

B w a n a M t u m eMuhamad SAW amelezeakatika hadithi nyengine“ P i n d i p i p o w a k a t iunakaribia kupulizwa

 b a r g u m u l a k i ya m aakatokea mja akiwa namche mkononi anatakakuupanda, basi aupandemche hio.” (Imenukuliwana Ahmad na Al-Bukhar juu ya usihihisho wa Anasin Al Adab Al-Mufrad,angalia zaidi kwenyeSahih Al- Jami' Al-Saghir,No.1424).

Uislamu umesisitiza

sana katika suala ziml a k u p a n d a m i t i nkutokata miti ovyo nhata kuwekwa taratibmaalumu na Mtume SAWkutengwa maeneo yuhifadhi maeneo ambaykutoruhusika kukata miwala kuuwa wanyam“Hima”. Katika karne y7, Mtume SAW alitangaz

UISLAMU haupo kamawanavyotaka wengine uwendivyo ulivyo kwa surawaitakawo wao. Uislamuunapakwa kila sifa mbovuhivi sasa na kufkia baadhiya Waislamu kuogopakuj i t a m bul i s ha ka m awao ni Waislamu wasijewakahujumiwa. Jina Islamlinatokana na Salam yaaniamani. Kwa hio, Uislamuumejengeka katika amanina pindipo ukakutana naMuislamu yumo kajikitakatika mambo ya shari tu,ikiwa amani haipo pamojanayeye, basi ujue kuwahuyo uliokutana naye,Uislamu wake una walakini.

Mtume SAW katika maishayake yakulingania Uislamu,alichanganya ya dunia na yaakhera kwa kuyachanganyapamoja pasi na kuyabagua.Alikuwa anaelezea utibabuna siha, uongozi, amiri jeshiwa Waislamu katika vita,mtawala aidha aliwajengakiroho waumini na wauminikuweza kuyaunganisha yadunia na akhera. Katikanyakati za Mtume SAWkulifanyika mengi kuwezakuwaendeleza Waislamukuishi katika maisha ya

Mchango wa Waislamu katika maendeleo ya DuniaNa Ben Rijal

Na Ben Rijal

matumaini kwa kuyaelewamazingira yaliowazungukana rasilmali zake aidhawaumini hao walielewayanayowalizmu katikamaisha yao ya kiroho.

Utaalamu wa Waislamuuliendelea kwa kasi nailipofika karne ya 8 pale

ilipoasisiwa “Nyumba yamaarifa/hikma” ambapofani mbalimbali ziliibuliwakwa kina kirefu iwe Hesabu,Fisikia, Elimu ya nyota,Usarifu wa majenzi, Kemia,Ushairi, Filosoa, Utibabu nafani nyenginezo. Zama hizi zakarne ya 8 zikijulikana kama

zama za dhahabu na harakatiza wasomi hao makao makuuyake yalikuwa katika mjiwa Baghdad uliopo Iraq.Bahati mbaya michangohio ilipotea pale Waislamuwaliposhikamana na duniana kuyapa kisogo mafunzoa l i o k u j a n a y o M t u m e

Muhammad SAW.Kuna nadharia maaruf

inayozungumzia juu ywakat i n a up en yo nharakati za mwendo zikawlazima zianzie kwenynukta ilioanzia (Theory orelativity) iliokuja mpa sikuwa Albert Einstein. WakaEinstein anayazungumzh a y a w a t a a l a m u wKislamu walikuwa tayaw a m e s h a i f a n y i a k a zNadharia hio.

E l i m u y a A l g e b r aalgorithms na trigonometrelimu zilizoleta msingmkubwa wa Teknoloji

Elimu hizi zilifanyiwa kakubwa na wataalamu wKiislamu. Miji ya DamscuBaghdad, Cairo n.k. Vigogvya Kiislamu kama ibn aHaytham, ibn Sina, al-Tusi, aKhwarizmi, Omar Khayyamhawa ndio walioasisi nkuisukuma sayansi iliokukupanuliwa na kuendelezwna kina Newton, CopernicuEinstein na wengineo.

Makala kumi na tanmfululizo muandishi wmakala hii atawaeleze baad hi yao kwa uchachili Muislamu aelewe juya michango ya Waislamkatika maendeleo.

 AMIRI wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh MussaKundecha akionesha matanko ya Maaskofu yanayopinga Mahakama ya Kadhi.

 MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.

Page 14: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 14/20

14  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 20Makala

J A N U A R I m a p e m amwaka huu, makamandawenye vyeo vya juuwa jeshi la Nigeriawalikamatwa na mpakasasa wapo kizuizini kwamadai kuwa walishindwakuwazuiya Boko Haramkuteka kambi ya kijeshiya Baga na kisha kufanyamauwaji ya watu wapatao

2 0 0 0 k w a u c h a c h e .Waliokamatwa ni pamojana Brigadier General,Enitan Ransome-Kuti,Lieutenant Colonel G.A.Suru, Lieutenant ColonelHaruna na Major Aliyu.

Kambi ya Baga, siokambi ndogo, kwani ndioKambi na Makao Makuuya Kikosi cha Kupambanan a U g a i d i w a B o k oHaram (Headquarters ofthe Multinational JointTask Force [MNJTF]),kiki jumuisha nchi zaNigeria, Niger, Chad naCameroon.

Taarifa zinasema kuwaKambi hiyo ina vifaa vyakijeshi vya kutosha navya kisasa, ambapo katikahali ya kwaida haitarajiwihata hao Boko Haram,kuwaza uwezekano wakuishambulia.

Hata hivyo, walifanyahivyo na Kamanda Mkuuwa Kambi hiyo, BwanaR a n s o m e - K u t i k w asiku nne, Boko Haramwalipokuwa wakifanyam a u w a j i , h a k u w e z akupatikana hata kwa simu.Aliingia machoni.

“The Brigadier General

is also send to have goneunderground fo r fourdays after the MNJTF wasdislodged. ‘Nobody was ableto reach him and nobodycould tell where he was,’.The suspicion is that he wasroaming around Maiduguriin mufti while his troopwere in disarray. He andhis ocers have to account

 fo r everything .”   Ilisemataarifa iliyochapishwakatika gazeti la PREMIUMTIMES.

U k i a c h a h a owaliokamatwa katika tukiohilo la Januari mwakahuu, lakini kuna mamia

ya askari wengine ambaowameshafikishwa katikamahakama za ki jeshiwakituhumiwa kuasi nakukaidi amri ya jeshi yakupambana na magaidi-Boko Haram. Nimejaribukuweka baadhi ya picha zawanaodaiwa kuwa ni BokoHaram, halafu msomajiutizame na upime, iwapohao ni watu wa kuwezakuteka kambi ya jeshi, hataiwe ndogo kiasi gani.

U fu p i w a m a n en o je shi la Nigeria h iv isasa linaonekana kiroja

Hali ilivyo Nigeria hivi leo katikakupambana na Boko Haram

attack repelled by ‘armewomen’”,  zilisema taarifkatika mitandao (Twiena kudakwa na baadhya magazeti ikielezwkuwa baada ya shambulila kutekwa wasichanambao hawajapatikanBoko Haram wamefanyshambulio jingine Me27, 2014 katika vijiji vyAttagara na Kawur Ji mb o la Bo rn o, la ki nw a k a d h i b i t i w a nkutimuliwa na akinmama.

“The notorious pseudIslamic terror groups trieto attack the Attagara anKawuri communities over thweekend but the insurgenwere instantly repelled by

 group of armed women.”‘ G e t ‘ e m l a d i e s

ndio ilivyoripotiwa ntaarifa hizo kusambakatika mitandao wat

wakiwapongeza akinmama hao na kubeza jeshPicha hiyo iliibuka ten

katika kurasa za Faceboo baada ya shambulio la Bagikiambatana na maelez(caption) yaliksema:

“When Boko Haramshowed up to kill and rape uand our students we didnhide or throw spaghei-os…We shot them in the facbecause we don’t ‘demanaction – we take action.”

Hata hivyo, uchunguunaonyesha kuwa pichhiyo wala sio ya wanawakwa Nigeria. Ilichapishw

kwa mara ya kwanzNovemba 23, 2012 katikgazeti la The Times oLondon.

Ilipigwa na Mpiga pichwa gazeti hilo (Timephotographer), Jack Hilkatika mji wa Sevare, Maikiwa imewekwa katikhabari ya mwandish Jerome Starkey akieleze jinsi wanawake wa Mawalivyojizatiti kukabilianna waasi wa Tuareg, ikiwna kichwa cha habar“women bent on revengagainst Tuareg rebels i

 Mali”. (Angalia: Story ‘gutsy bravehearts’ wh fought o Boko Haram is hoax.)

S a s a y o t e h a yhufanywa kama kejekwa jeshi la Nigeria lakinikilenga pia kuzidishkitisho cha Boko Haramna kuita usaidizi kutoknje. Kwamba, maadha jeshi la Nigeria ndilimekuwa hivyo, ‘kaput b a s i wa je wan a j es hkutoka Marekani, NATna mabeberu wengineTutalieleza vizuri mbele

na takataka tupu mbeleya jamii. Hivi karibuniilisambazwa habari napicha katika mitandaoikionyesha picha yaw a n a j e s h i w a w i l iwakikimbizwa na pundamilia.

“ N i g e r i a n a r m y ’ scowardice”,  ndio kichwacha habari kilichokuwakimeandamana na pichahiyo ikidaiwa kuwa, kamawanajeshi wa Nigeria niwaoga kiasi cha kukimbiapunda milia, haishangazikuona kambi zao zikitekwana Abubar Shekau waBoko Haram.

La kushangza ni kuwawala watu hawakuzingatiakuwa Nigeria hakunapunda milia. Picha kama

hizo wanaziamini namaelezo yake. Picha hiyoilikuwa imechukuliwakatika jarida, NationalG e o g r a p h i c N e w s ,l a A u g u s t 1 7 , 2 0 0 7likiwaonyesha askariwanyama pori wa Kenyawakiwa katika harakati zakutekeleza majukumu yao.

Picha ilipigwa na mpigapicha wa Shirika la Habarila Reuters, Kenya tarehe30 Julai, 2007. Picha hiyoilipochapishwa katika ja ri da la NG , li li ku wana maelezo (caption)yafuatayo:

“Two Kenya WildlifeService rangers, working tohelp move 2,000 animals tothe Meru National Park, hadto make a run for it when a

recalcitrant zebra chargedthem.”

Leo ‘zebra’ hao waKenya wamekuwa waNigeria na askari wanyama pori wa Kenya,wamekuwa wanajeshi waNigeria wa kupambana naBoko Haram!

Baada ya lile tukio lakutekwa wasichana 279kule Chibok, Aprili mwaka jana 201 4, il ichapis hwahabari na picha ikionyeshawanawake walioshika bunduki, AK-47 assaul tries, na kuelezwa kuwawanawake hao, waliwezakupambana na kuwatimuaBoko Haram.

“Another Boko Haramattack repelled by armedwomen,”, “Boko Haram

 MAMA akiswali na mtoto wake nje ya nyumba yao iliyochomwa moto. Tizamamswala na birika lake la kutawadhia.

 MAITI za ajali ya lori la mafuta Congo, DRC zikiwa zimefunikwa na blanketi, sasazinatumika kama propaganda ya kuwasingizia ugaidi Waislamu Nigeria.

Page 15: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 15/20

15  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 20Makala

UKIACHA taarifa fekiza kulichafua jeshi, hatataarifa za kukuza kitishocha ugaidi nazo ni fekipia. Ni mambo ya kuzua.Urongo wa makusudi.Ukiacha yale mahusianoyasiyo mazuri baina yaWaislamu na Wakristoyaliyojengwa na wakolonitoka zama za ukoloni, hii

chuki ya sasa na mengiyanayoitwa matukio yakigaidi ni ya kupanga namengine yakiwa uzushitu. Ifuatayo ni mifano hai.

Baada ya tukio lakushambuliwa miji yaDoro Gowon na Baga,Kaskazini mwa Nigeria,mwezi uliopita ambapoWaislamu 2000 waliuliwana nyumba zao kuchomwamoto, picha za kutishaz i l i sambazwa kat ikamitandao (online) nakudaiwa kuwa huo niushahidi wa mauwaji yakutisha ya Boko Haram

kwa Wakristo.Ili kuelewa hatari yapropaganda na ubaya wawatu wanaofanya kazihii, nilitangulia kuombaradhi kuwa nitatumiapicha za kutisha. Mojaya picha iliyotumiwai l i k u w a i k i o n y e s h amaiti zilizoungua motozikiwa zimezagaa mbeleya nyumba moja. Pichahiyo ikaongozwa naichwa cha habari:“Bagamassacre”. Ikawekwa piapicha nyingine ya maitimwanamke na mtotowake mdogo waliounguana miili yao kubabuka.Zote hizo ikadiwa kuwani za wahanga wa “Bagamassacre”.

Hata hivyo, picha yamaiti nyingi zilizoungua,ilikuwa za tukio la watuwaliokufa kwa kuunguamoto Congo (DRC) mwaka2010 baada ya lori lamafuta kuanguka na watukukimbilia kuiba mafuta,likalipuka.

Picha hizo zilipotolewakwa mara ya kwanzakatika vyombo vya habari,zilisindikizwa na vichwavya habari vifuatavyo:“Congo Oil tanker kills

220”. DR Congo oil tanker blaze kills 220.” Na vinginemfano wa hivyo.

Kwa bahati nzuri hataTV za Kikristo, mfanoGospel GTV, ilitoa taarifahiyo na picha hizo ikibebwana kichwa cha habari “SioWanajeshi Vitani.” Kishataarifa ikasema, “Lori laMafuta: 220 wafa. Ni baadaya ajali, mafuta yakavuja.Umasikini kulaumiwa? J e , i t a k u w a f u n z o ?Au imekuwa mazoea.Tufanyeje?” (AngaliaGospel GTV.com.)

Propaganda chafu na hatari yakenazi extermination camps.

K w a w a n a o j uKiingereza bila shakw a s h a p a t a u j u m buliokusudiwa. Ufupi wmaneno ni kuwa, kwanzmwandishi anaomba radhkwa kuweka picha hiyinayotisha kinyume nmaadili ya uandishi whabari. Lakini anasem

amelazimika kufanyh i v y o k w a s a b a bujumbe anaokusudikuufikisha ni mzito. Npicha inayoonyesha kicha ukatili wanaofanyiwWakris to Nigeria nWaislamu wanaotakkusimamisha Uislamkat ika Bara z ima lAfrika na duniani kotK u t e k e l e z a a g e n dhiyo , wanawachomm o t o W a k r i s t o wNigeria. Na anasikitikkuwa hayo yanafanyikmbele ya Jumuiya yKimataifa, lakini hakun

 juhudi zina zofanyikkuwashambulia Waislamili kuwanusuru Wakristwa Nigeria.

Anamalizia kwa kusemkuwa kwa kuchapishpicha hizo, ni kutakul imwengu ufahamkuwa kuna mauwaya Kimbari (genocideyanafanyika NigeriaWaislamu wanawamalizWakristo, lakini vyombvya habari vimekaa kimy

Niunge hapa kuwa nsisi tumeamua kuwekpicha hiyo ili kuonyesh

ulimwengu kuwa pichhiyo haioneshi Wakristwaliochomwa moto nWaislamu kule Nigerimwaka jana 2014, bali nwatu walioungua mot baada ya lor i la mafutkupinduka Congo na watkukimbilia kuiba mafutmwaka 2010.

Katika kukuza kitishcha ugaidi, ukatili nmauwaji Libya, ilikuwikisambazwa taarifa kuwGadha alikuwa akiwapaskari wake ‘Viagra’ iwapate nguvu ya kubak

wanawake. Katika SyriBBC imetumia picha zwatoto waliokufa Iramwaka 2003 nchi hiyilipovamiwa na Marekanikadaiwa kuwa ni watotwa Syria wanaouliwa nBashar Assad.

Mambo ya kuandikhapa ni mengi, lakinniseme tu kuwa, pichna taarifa kama hizo ndihuchukuliwa kama taarifrasmi katika jumuya ykimataifa na kuwekewmikakati ya namna ykupambana na magaidi.

P i c h a h i y o h i y o ,ilichapishwa mwaka jana Julai 2014 ikiwa na kichwacha habari: “Boko Haramburns 375 Christians”.

Picha mfano wa hizoza matukio ya ajali amaza magari au moto ,

zilizotumika kusambazaurongo kuwa ni Wakristowal ioul iwa na BokoHaram, ni nyingi.

Picha hiyo baada yak u c h a p i s h w a k a t i k amitandao ya Nigeriana kupewa kichwa chahabari “Boko Haram bu rn s 375 Chri st ians ”,ilidakwa na vyombo vyaUlaya na Marekani, pundeikasambaa taarifa yamwandishi Pamela Gellerikisema: “Nigeria: MuslimHordes Mass SlaughterChristians.”

Hata hivyo akatokeamtu akamjibu akaandika:“Pamela Geller Watch:Ties Gas Tanker Explosionin Congo to ElectoralViolence in Nigeria.”

H a i k u i s h i a h a p oakaibuka tena mwingine

akijiita Lazarus akisema,“Atrocity in Nigeria” , kwamaana ya, uovu, au ukatiliNigeria. Nitanukuu kwauchache yaliyoandikwahapo.

“ I d o a p l o l g i z e f o r publishing this on here But i feel it needs to be known andbeware of the Muslim.

This is a brutal example ofhow far the struggle betweenmuslims and Catholics inNigeria has reached.

 Muslims are determinedto impose their 'religion' allover Africa as well as in other

continents and countriesof the world. Islam has butone goal: rule the world atany cost! And where are theInternational Human RightsOrganizations?

Christians are burntalive in Nigeria: a horrific

Holocaust right in front ofInternational indifference! As denounced by Father JuanCarlos Martos, on behalf ofthe Missionari Clarettiani,via del Sacro Cuore di Maria,Rome, Italy.

By publishing this graphicdocument on Facebook, I haveintended to make the worldaware of certain terribleevents totally ignored orminimized by the mainstreammedia; an authentic genocideso cruel and inhuman onlycomparable with the mosthateful and vile acts in the

Tunaomba radhi kwa picha mbaya.

 MIILI ya watu aliokufa kwa kuungua moto kwenye ajali ya gari la mafuta Congo DRC,2010. Picha hiyo imekuwa ikitumika Nigeria ikidaiwa ni Wakristo waliochomwamoto na Boko Haram. Picha chini ni gari lililopata ajali.

Page 16: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 16/20

16  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 20Makala/Tangazo

JULAI 10, 2012 PastorAyo Oritsejafor, ambayen i R a i s w a C h a m acha Wakristo Nigeria,(Christian Association ofNigeria (CAN), alipewafursa ya kuongea katikaKamati ya Bunge laMarekani (U.S. House ofRepresentatives ForeignAairs Commiee, Sub-

committee on Africa,G l ob a l H e a l t h a n dHuman Rights), ambapoalikariri habari hizohizo za kughushi kuwaWaislamu wanachomam ot o W a k r i s t o , n akusisitiza kuwa ni pundetu, kama Marekani najumuiya ya Kimataifa,haitaingilia kati, Wakristowa Nigeria watamalizwana Waislamu wanaotakakusilimisha Wakristokwa nguvu.

“Boko Haram has waged asystematic campaign of terrorand violence. They seek an

end to western inuence anda removal of the Christian presence in Nigeria. Thisis outright terrorism, notlegitimate political activityor the airing of grievances.”

Alisema Mchungaji Ayoambaye ana ndege binafsikutoka Marekani ambayomara kadhaa imekamatwaikijaribu kuingiza silaha,na kumalizia kwa kuitakaMarekani kuchukua hatuaharaka. Alisema:

“ A s B o k o H a r a mincreasingly turns towards

 g e noc i d e th r oug h th esystematic targeting of

Christians and Christianinstitutions in pursuit of its goals, history will not forgetthe actions or the inactionsof your great nation. I thank

 you fo r this opportunityand I look forward to thecontinuing our strong

 partnership with America.T h a n k y o u , M r .

Cha irman .”   (Tazama:N i g e r i a n C h r i s t i a n

 Assoc i at ion Pres i dentStatement to US Govt. onBoko Haram.)

Wiki iliyopita tulitajak i s a c h a b a a d h i y avyombo vya habari vyaNigeria kuchukua picha

z i l izo tumika kupigapropaganda Somal iamwaka 2008 kuwa Al-Shabaab wanachin jaWakristo, wakazitumiamwaka 2012 kuonyeshakuwa ni Boko Haram,kisha wakapaza kiliokuwaita Wamarekani wajewawaokoe, vinginevyow a t a m a l i z w a k w akuchinjwa na Waislamu.

Nikiwa mwaka wakwanza Chuo Kikuuc h a D a r e s S a l a a mmwaka 1983, tulikuwana mwalimu wetu wa

Nafasi ya WachungajiDS kutoka UjerumanMashariki wakati huoAlikuwa akipenda sankuwabamiza Wamarekanna siasa zao za ubeberuSiku moja mwanafunzm m o j a a k a m u u l i z am b o n a h a t a U r u simevamia Afghanistamwaka 1979 na badi n a i k a l i a k i m a b a v u

Mhadhiri huyo akajibkuwa wakati Marekani n a f a n y a k u v a m inchi za watu kibabeUrusi ilikaribishwa nwananchi wa Afghanistakuwanusuru kutokana nutawala mbaya uliokuwukitumikia mabeberwanyonya j i . “ I t wainvited by the people”alisema kwa Kiingereza.

N a k w e l ik i n a c h o f a n y i kt o k a l i m ei b u k a h i l ji na mi zi Bo ko Ha ra mkinachofanywa na vyombvya habari vya Nigeria n baadhi ya Wachungaji, nkuikaribisha Marekankuikalia nchi hiyo kijeshHoja/kisingizio ni kuwserikali yao, jeshi laolimeshindwa kuwalindkutokana na Boko Haram

Ni makaribisho kamhayo, japo kwa kasi zaidyaliyotumika kujivurugLibya, na sasa ndio hayh a y o y a n a y o t u m i kkuivuruga Syria na kurejetena Iraq kwa kisingizicha kuzinusuru nchi hizna balaa la Islamic Stat(IS).

Hiki ndicho anachosemGlen Ford katika makayake “The U.S. Empirand ISIS: A Tale of TwDeath Cults”, ambapa n a s em a k u w a k i lmwaka imekuwa ni adkwa Marekani na wakamwingine, zikijumuikUingereza , Ufaransn a I t a l i a , k u a n d ayanayoitwa mazoezi ypamoja ya kijeshi- U.SA f r i c a C o m m a n d ’military Flintlock exercisambayo japo yanadaiwkuwa nia ni kukabilianna kitisho cha ugaidi nchangamoto nyingine zkiusalama, Ford anasemk u w a k w a h a k i kyamekuwa-“designed tdeepen African militariedependence on westerweaponry, training annance.”

Na kuhusu Boko Haramakasema, “Boko Haram ha

 proven quite useful to thconsolidation of U.S. militardominance in West Africa.

Kwamba kitisho chB o k o H a r a m , k a mkilivyopepewa na vyombvya habari na baadhi ywachungaji, kimekuwmsaada mkubwa katikkuimarisha utawala nudhibiti wa kijeshi wMarekani katika AfrikMagharibi.

PICHA juu wanaodaiwa kuwa Boko Haram wakiwa chini ya ulinzi. Vijana hao ndiowanaodaiwa kulishinda nguvu jeshi la Nigeria. Kati Mohamed Yusuf kiongozi wazamani wa Boko Haram akiwa chini ya ulinzi baadaye kuuliwa na jeshi hilo. Chini Mchungaji Ayo.

Page 17: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 17/20

17  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 20Makala

Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:• KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL – SAME – KILIMANJARO

• NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL – MWANZA

• UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L – DAR ES SALAAM

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE• P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org

NAFASI ZA KIDATO CHA TANO – 2015/2016

1. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu.2. Shule hizi ni za bweni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana .3. Zipo tahasusi za masomo (Subject Combinations) ya SAYANSI, ARTS na BIASHARA.4. Wanafunzi wote wanafundishwa Islamic Knowledge,Introduction to Arabic na matumizi ya compyuta pamoja na kutumia mtandao (internet

katika kujifunza.5. Muombaji anatakiwa awe na sifa za kujiunga na kidato cha tano kwa mujibu wa wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.6. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.

• Arusha - Osi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni: 0783552414/0762817640.

• Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha :712 216490 - Same Juhudi Studio mkabala na Benki ya NMB Same: 0757 013344.

  - Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075 - Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054. - Ugweno – Kifula Shopping Centre- Yusuph Shanga : 078458776.

• Tanga - Twalut Islamc Centre – Mabovu Darajani : 0715 894111- Uongofu Bookshop: 0784 982525

- Korogwe: SHEMEA SHOP : 0754 690007/071569008.  - Mandia Shop - Lushoto: 0782257533.  -Handeni –Maga -0782 105735/0657093983• Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School : 0717 417685/0786 417685.- Osi ya Islamic Education Panel – Mtaa wa Ruji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770/0714097362. • Musoma - Osi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05 : 0765024623• Shinyanga - Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa ya Shinyanga Mjini :0752180426  - Kahama osi ya AN –NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi : 0753 993930/0688794040

• Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School : 0756584625/0657350172  - Osi ya Islamic Ed. Panel –Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin : 0655144474/0787119531

• Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale : 0715704380.

• Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0718661992

• Singida - Osi ya Islamic Education. Panel – karibu na Nuru snack Hotel : 0786 425838/0784 928039.

• Manyara - Osi ya Islamic Ed. Panel – Masjid Rahma: 0784491196

• Kigoma - Msikiti wa Mwandiga: 0714717727  - Kibondo – Islamic Nursery School: 0766406669.  - Kasulu: Murubona Isl.SS: 0714710802.

• Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0783 488444/0653 705627.

• Mtwara - Amana Islamic S.S: 0715 465158/0787 231007.

• Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU : 0713249264/0683670772.- Mkuzo Islamic High School :0717 348375.

• Mbeya - Osi za Islamic Education Panel Uhindini – 0785425319.

- Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209/0785425319..• Rukwa - Sumbawanga:Jengo la Haji Said –Shule ya Msingi Kizwike 0717082 072.

• Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566/0787237342

  Nzega -Dk Mbaga-0754 576922/0784576922.

• Iringa - Madrastun – Najah: 0714 522 122.

• Pemba -Wete: Wete Islamic School : 0777 432331/0712772326.

• Unguja - Madrasatul – Fallah: 0777125074.

- PANDU BOOKSHOP 0777462056 karibu na uwanja wa Lumumba• Maa - Osi ya Ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu : 0773580703.

USIKOSE NAFASI HII ADHIMU – WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!MKURUGENZI

WABILLAH TAWFIIQ

Page 18: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 18/20

18  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 20Makala/Tangazo

MWAKA jana zilisambaahabari katika vyombo vyahabari kuwa AbubakarS h e k a u a m e u l i w a .Kukawa na picha za videozikionyesha Shekauakiwa amekamatwana wanajeshi, na palealipokuwa maiti hukusaut i za wanajeshihao walio katika sare

rasmi za jeshi la Nigeriawakijipongeza kwa kaziwaliyofanya.

K a t i k a t a a r i fa y atelevisheni ya SaharaTV, inasikika sauti yaaskari mmoja ikisema,“weldone”,   huku maitiya Shekau ikonekanaimelala chini akioonyeshakufungwa kamba.

“ A b u b a k a r S h e k a uc a p t u r e d a n d k i l l e di n K o n d u g a ” , n d i oilivyoarifiwa habari yakuuliwa kwa Shekaukama “Breaking News”Septemba 22, 2014.

Hata hivyo, baada yamuda mfupi ikaibukavideo katika mtandaoambapo Shekau anasemakuwa taarifa za kuuliwani urongo, yupo hai.

Vyombo vya usalama,wakiwemo polisi, Idaraya Usalama na jeshi,vilikariri taarifa za awalikuwa Shekau ameuliwana kwamba video hiyom p y a i l i k u w a fek i .Wakajitahidi kuonyeshakuwa picha zilizotumika

 Abubakar Shekau maitina Shekau aliyefufuka

ni feki.Hata hivyo, kadiri

maelezo yalivyotolewana baadhi ya mitandaoya kijamii ikiunga mkonona kuonesha kuwa videoya Shekau mpya ni feki,habari za kuwa AbubakarShekau yu hai, zikawa

KAMA ilivyo kwa Kamandawetu Paul Chagonja hivisasa anavyoonya juu yakukuza kitisho cha ugaidi,hali ilikuwa hivyo hivyokwa Nigeria.

Zilivyoanza kusambaahabari katika magazetina mitandao ya kijamiikuwa kuna magaidi waBoko Haram waliopaniakuteketeza Wakristo, Mkuuwa Jeshi la Polisi (IGP)Mohammed Abubakar,alitoa kauli akitaka habariza magaidi zisikuzwe nakutiwa chumvi.

“Stop giving Boko Haramcheap publicity, IGP tell jour nali st s” ,  alisema IPGMohammed Abubakarkatika taarifa yake kwav y o m b o v y a h a b a r i Jumamosi Aprili 21, 2012.

“Kwa bahati mbayakabisa, ombi hilo liliangukiasikio la viziwi”, anasemamwandishi Dimeji Kayode-Adedeji.

Kwa mujibu wa taarifa zakiusalama, nyingi ya taarifazilikuwa za uwongo na kamaalivyosema msemaji wa jeshi, kulikuwa hata na pichakutoka machafuko ya Afrikaya Kati zilidaiwa kuwa ni

zinapewa nguvu ndani nanje ya Nigeria, wakiwemoFox News na Mashirika yaHabari kama AFP.

Hali hiyo ilipeleka j e s h i k u s e m a k u wainavyoonekana AbubakarShekau sio mtu, bali nenotu linalotumika kama

kiwakilishi au nembo yaugaidi Nigeria. (Angalia:

 Abubakar Shekau is a FakeIdentity, Not a Name,

 Military Says.)Ilikuwa ni katika kikao

na wandishi wa habariambapo msemaji wa jeshiBrigadier General ChrisOlukolade, alisisitiza

k u w a k a m a n i m tanayeitwa AbubakaShekau, kiongozi wBoko Haram, basi huyameuliwa.

Katika mkutano huambao ulihudhuriwa pna msemaji wa Idara yUsalama (State SecuritService), Mrs. MarylyOgar pamoja na msema

wa polisi, Mr. FranMba, ilielezwa kuwtaarifa na picha nyingzinazochapishwa juya Boko Haram, ni zkughushi na mambo ykuzua ili kuwatia katikwasiwasi wananchi wNigeria kiasi cha kukkuhisi kuwa serikali yaimeshindwa kuwalinda

“Global Media BustePromoting Fake Images O“Ghost” Of Shekau”,  ntaarifa moja iliyotolewikieleza jinsi vyombvikubwa vya habari vykimataifa, hasa ikitajw

Fox News, Al jazeerna AFP, zilivyokuwzimeshupalia kusambazhabari za uwongo juya kuwepo Shekau hat baada ya kutolewa taarirasmi na jeshi.

Baadae vyombo vyndani navyo vikaachh a b a r i y a v y o m bvya usalama vya nchvikakamata habari zFox na kuanza kuripokila uchao kuwa Shekakasema hili na lile.

Tahadhari ya Polisiza Nigeria na kusambazwakatika mitandao na vyombovya habari vinazitumia.

Lakini kama ilivyokuwakwa yule Mhariri wa gazetimaarufu kabisa la Ujerumani,Frankfurter AllgemeineZeitung, Dr. Udo Uloe,ilidhihirika kuwa kuna watuwalikuwa wakipewa habariza Boko Haram na kutakiwakuziweka kama zilivyokuwahata kama zilikuwa zauwongo.

Ametajwa mtu mmojakwa jina la Ahmad Salkida(haijulikani kuwa ni jinah al i s i au p en n am e) ,

ambaye baadae alikimbiliaDubai, kuwa ni katikawal io kuwa wakip ewahabari za Boko Haram (nanani? Haijajulikana) nakuzisambaza katika vyombovya habari mbalimbaliambavyo navyo vilikwishaandaliwa.

Katika taarifa yake nikwanini anakimbia Nigeria,alisema wazi kuwa hakuwatayari kuendelea kupokeana kuandika habari za BokoHaram, na kwa kukataakuendelea kufanya kazihiyo, alikuwa na wasiwasi juu ya usalama wake.

Lakini alisema pia kuwa

 baadhi ya maosa wa Idaraya Usalama, walikuwawamekazana kumfuatilia juuya taarifa za habari za BokoHaram, ambazo alikuwakama ndiye msambazajimkuu.

Kutokana na uzoefu waNigeria, baadhi ya wasomina wachambuzi wa mambowamefikia kusema kuwa“bila vyombo vya habari(global media), hakunaugaidi (global terror).

Baada ya kupigwa sanazumari ya ugaidi ikakolea, jamii ikatishika na ikaaminikuwa kuna Boko Haram, kila

linalofanyika sasa linakuwahalipo katika udhibiti wawatu Nigeria wala haoambao awali wali i twaBoko Haram. Ndio maanaukiuliza Nigeria leo, hakunahata mtu mmoja katika walewafuasi wa mwanzo wakiongozi wa Boko Haram,Mohamed Yusuf ambayeyupo hai. Wote waliuliwa.Kwa nini? Ili ikikia hatuahii, asije akatokea mmojawao kudai kama si waowaliofanya. Hapana shakakama wale Boko Haramwa awali wangekuwepo,na zikatolewa picha kamazile za watu kuungua

katika ajali ya lori la mafutaCongo halafu ikadaiwakuwa ni wao wamechinjana kuchoma moto Wakristo,wangetoa taarifa kukanusha.Lakini taarifa kama hizohazikanushwi kwa sababu,kama alivyosema msemajiwa jeshi, Brigadier GeneralChris Olukolade, hivi sasaBoko Haram ni ‘boya’ tu, siowatu wala taasisi hai. Na boyahili ndilo wanaloshindwapolisi na wanajeshi waNigeria, kupambana nalo.

Sio kuwa ni wasaliti nwoga. Kama ni kukimbiwanalikimbia boya, hili n‘pepo’ (ghost) wa Shekaanayekufa na kufufukhawakimbii punda milia.

Kwa hiyo, ukitafakakauli ya Kamishna wa PoliPaul Chagonja, ni kuwa nsisi tusije tukatumbukizwkatika balaa hili tukajiku JWTZ wetu waki tukanwk u w a w a n a k i m b i z wna swala, afadhali hatingekuwa si!

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa jeshi la polinchini, Paul Chagonji.

INAYODAIWA kuwa ni maiti ya Shekau baada ya kuuliwa na jeshi.

Page 19: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 19/20

19  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 20Makala/Tangazo

Husema kelele za chura hazimkatazi ng'ombe kunywa majiInatoka Uk. 13

eneo la Al -Madinahikiwa sasa unajulikanakwa jina la Medina, Kuwamarufuku kukata mitiwala kuuwa wanyama

na mpango huu wa Himaulibaki na kuendelezwahadi zama hizi.

Waislamu wameyatupamafunzo ya dini yaon a m a f u n z o h a y ok u c h u k u l i w a n awaliokuwa sio Waislamu,m a t o k e o y a k e s a s aWaislamu wanafunzwana wengine na kuonataaluma hizo ni vitu vipyana kuanza kutekeleza kwahamasa. Mfano mwengineMtume SAW ametufunzatupande mauwa kwakauli isemayo “Pandenimaua kwani hivyo ndivyovipando vya Peponi.”Ilibidi katika majumba

yetu tuwe na mauwa yakila aina, lakini waliokuwas i o Wa i s l a m u n d i owanaopandisha mauana kupenda maua nakusikia anazungumzwaMuislamu alio jizatit ina upandaji wa mauanyumbani kwake nakupewa jina la Bazungu.

Sasa tuje katika mada juu ya mit i ya mik oko.Nikitu gani mikoko?Mikoko ni aina ya mitia m b a y o h u o n e k a n ak w a w i n g i k a t i k asehemu za joto kwenyeukanda wa mwambao.Tunafahamishwa kuwakuna aina 110 za mikoko

duniani kote na katikaAfrika ya Mashariki kunaaina 11 na mikoko hio nikusema sawa na asilimia10 ya mikoko yote duniani.

Mikoko ina faida nyingikati ya hizo ni mazalia yasamaki, samaki baada yakuzaliwa hubakia katikamaeneo hayo mpakawanapokuwa wakubwakisha huelekea kwenye ba har i k u u, m ik ok ohunyonya uchafu utokaom a ju m b a n i , m i k o k ohuzuia kasi za upepounapovuma, baadhiya viumbe mbalimbaliikiwa kaa na wengineonao hufaidika maishayao katika maeneo yamikoko, mikoko hutoarangi ambazo hutumikakatika kuweka rangi zaviatu, hupatikana dawakutokana na mikoko,magamba ya mikokohutengenezwa viatu vyakienyeji, hupatikana kunina majengo kutokana namikoko, mkaa wa mkokohusiwa kuwaka kwake,kwa kifupi mikoko inafaida chungu nzima.

K a t i k a n c h i y e t uya Tanzania mikokohutumiwa kwa kaz imbalimbali kwa mfanoM s i n z i a u M k a k a(Rhizophora mucronata

) a i n a y a m k o k oambao hutumiwa zaidikwa majengo , kuni ,utengenezaji wa mikoba,Mkandaa mkwendu aukwa jina jengine Mkandaawa pwani (Ceriops tagal)

unatumika kwa majengo,uzio na kuni, Msinzi(Brugiera gymnorrhiza)maarufu kwa majenzina hata nguzo za simuhutokana na aina hii yamkoko. Mchu (Avicenniam a r i n a ) h u t u m i k akutengeneza matarumaaidha hutengenezwaviti, mipini n.k. Mlilanaau kwa majina mengineMkopa, Mkoko mpyahutumika kwa majenzi,M t i f i ( X y l o c a r p u sgranatum) hutumika kwakutengeneza fanicha zamajumbani kisha kunaMsikundazi (Heritieralioralis) hutumika kwa

kutengeneza milingoti yangarawa, fanicha n.k.Inakisiwa kuwa kuna

hekta 20,000 za Mikokovisiwani Zanzibar na kilakukicha zinapungua,usimamizi wa mikokou p o c h i n i y a i d a r ai n a y o h u s i k a l a k i n iukatwaji wa mikoko nauharibifu upo na unaletatishio. Mikoko iliopo eneokuanzia Kinazini hadiMaruhubi inakatwa kamawatu wamehalalishiwakufanya hivyo. Aidhakatika eneo la Kisakasaka,Uzi mashoka yanaisidimikoko na wafanyaohayo wanayatekeleza bi la ya ku ja li . Mi kokoimehifadhiwa kisherialakini wengi wamejifanyang’ombe kuwa kelele zavyura wao haviwasumbuiwanaendelea kuonyeshakuwa wanatimiza matlabayao.

 Jee hii mikoko sasa watuwanatakiwa wasiyavunekabisa kabisa iachiwe tu?Hili ndio suala la walewanaoivuna mikokopasi kisheria ndio sualalao hupenda kuulizau n a p o k u t a n a n a o .Kuna dhana ijulikanayoMaendeleo endelevu auMaendeleo stahmilivuau unaweza KuyaitaMaendeleo ya kudumu(Sustainable development)ikimanisha kuwa Tuvunerasilmali tulizonazo kwampangi l io maalumu bi la ya kuathiri vizazivijavyo katika kuwezakutumia rasilmali hizo.Mwengine alika kusemaTutumie na tuhifadhi(Conserve and utilisation)kinachotakiwa kuwatutumie kwa uangalifuna hapo hapo tuhakikishetunahifadhi, lakini wengiwetu hawayataki hayo.Wao huja na kukata mitipasi kukumbuka kuwahio miti imekuwa kwakupandwa kwahio na

yeye ajizatiti kupandi miti.

M i a k a y a n y u m atulikuwa hatuipandimikoko tukiz iwachambegu zake z i j io teewenyewe, lakini kasiya ongezeko la watu namahita ji kuongezekasuala la upandaji wamikoko katika maeneombalimbali linatekelezwa.Wanavijiji na wananchihukusanya mbegu zamikoko na kuzipanda nakuhakikisha uharibifuhautokei.

Hapo kabla nilielezeakuwa mikoko husaidak u k i n g a u p e p o n ak u p u n g u z a k a s i y am a w i m b i . T s u n a m i

i l iyotokea tarehe 26December mwaka 2004iliathiri nchi nyingi nakusababisha upotevu wamali na watu, katika nchiya India eneo la UmpraPadesh walisal imikana mawimbi marefu yaTsunami yanayonyanyukana kukia kima cha urefuwa mita 100 lakini eneo laUmpra Padesh lilisalimikakwa kuwa watu wa eneohilo hawakati mikokoabadan ila wao huwawanaifanyia ibada nan d i c h o k i l i c h o k u j akuwasaidia pale yalem a w i m b i m a k u b w ayenye kwenda kwa kasina kimo kinachofikiamita 100 yalivunjwa nakupunguzwa kasi yakek u t o k a n a n a m i k o k oilioshonana na iliokuwamirefu.

Ki la tutapo j i fanyam i t h i l i y a n g ’ o m b ekutoudhika na keleleza vyura kumaanishakuwa wataalamu wauhifadhi wanapotunasihikutowasikiliza, tujuet u n a o i s h i m a e n e oy a m w a m b a o h u w atunakaribisha majanga yakila aina, ikiwa kusogeakwa bahari katika maeneoy a a r d h i , k u w a n a

upungufu wa samaki n.k.

Suala Jee baina yetuambao tunaoishi zamahizi na wazee waliopitaw e p i w a l i o k u w awakijua umuhimu wakuyatunza na kuyahifadhimazingira? Jawabu isio nakiwewe wala kigugumizin ikuwa wazee wetuwali jua umuhimu yamaeneo yaliowazungukau m u h i m u w a k e n awayalinde vipi. Kinyumechake, kizazi kilichoposasa hakisiki i lolotelile bali kwa ujeuri na

kedi huyatupilia mba

mafundisho yakutupsalama katika maisha yetna ku jibu udhuli kuwtutaendelea kuvurugn a k u w a m b i a h awalipulizialo zumari luhifadhi wajue wao nmithili ya vyura kelelwazipigazo hazimzun’gombe kunywa majTujihadhari na manenya kejeli na ukaidi kwantunajitia vitanzi wenyewna hatari inatukabili.

ILALA ISLAMIC SECONDARYUSAJIS.240

KIDATO CHA TANO NA KURUDIA MITIHANI

KWA WASICHANA TUIPO: ILALA-AMANA-MTAA WA ARUSHA: MASJID SHAFII

SHULE YA BWENI NA KUTWA

MASOMOMath, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce,

B/keeping Islamic, Arabic na Tahdhul Qur’anCOMBINATION

PCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEAUFAULU 2014

KIWILAYA 3/76, KIMKOA 10/191, KITAIFA 118/2322Kwa shule za kiislam KIWILAYA (1) KIMKOA (2) KITAIFA (5)

Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, VMAWASILIANO

Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822,0714 381964

KWA WAVULANA TUIpo Ilala-Bungoni: Masjid Taqwa

DAR ES SALAAM ISLAMIC SEC.

MASOMOMath, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce, B/

keeping Islamic, Arabic na Tahdhul Qur’an

COMBINATIONPCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA

UFAULU 2014Kama Ilala Islamic, imetenganishwa toka Ilala Islamic

Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, VMAWASILIANO

Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822, 0714 381964

Ada ni nafuu na inalipwa kwa awamu nneMLETE MWANAO APATE ELIMU NA MALEZI BORA

USAJILS.4384

RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein akihutubia moja ya mikutano yhadhara aliyoifanya visiwani humo.

Page 20: ANNUUR 1166.pdf

7/21/2019 ANNUUR 1166.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1166pdf 20/20

20  AN-NUU

JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5, 2020MAKALA 

 AN-NUUR20 JAMAADIUL AWWAL 1436, IJUMAA FEBRUARI 27-MACHI 5,

Kesi ya kifo cha marehemuSheikh Haruna Iddi Mlalaitasikilizwa tarehe 26/27Fe b ru a r i , 2 0 1 5 ka t i kaMahakama Kuu Kamanga,Mwanza.

I M E E L E ZW A k u w aT a n z a n i a h a k u n augaidi, bali kilichoponi taswira ya ugaidiinayotengenezwa kwalengo la kuwadhibitiMasheikh ili waachekupinga dhulma dhidiya Waislamu na kudaihaki zao Serikali.

Hayo yamebainishwana Ustadhi Hussein Ismail,akiongea na Waislamu Jumapili ya wiki iliyopitakatika Kongamano laWaislamu lililofanyikaMasjid Tungi, Temeke Jijini Dar es Salaam.

Ust. Ismail, akiwasilishamada yake ya Propagandaya Ugaidi, ndani na njeya Tanzania, alisemakiuhalisia ni kwambaTanzania hakuna magaidi,ha i jashambul iwa namagaidi na wala ugaidih a u j a i n g i a n c h i n i , bali kuna sura mbili

zinazolazimisha ionekanakuna tatizo hilo.

“Waislamu, Tanzaniahakuna ugaidi isipokuwakwanza ni utaratibu au nitaswira inayotengenezwail i malengo ya walewanaokusudiwa ambao niviongozi wa kutetea hakiwadhibitiwe kwa anuaniya ugaidi”. Alisema, Ust.Ismail.

Alisema, taswira yapili ya Ugaidi ni Taifakujipendekeza ili ionekanena wao wanashughulikakupambana na Ugaidi

k u t o k a n a n a s h er i awaliyoikubali ya ugaidiya mwaka 2002, ili vinarawa kupambana na ugaidiDuniani wasikie kwambana Tanzania wapo katika j u h u d i h i z o , h i v y owahanga wanakuwani Waislamu, kutokanana dhana kuwa gaidi niMuislamu.

Pamoja na Waislamukukabiliwa na hali hiyo,a k a s e m a v y o v y o t eitakavyokuwa, Waislamu

Kuna propaganda, hakuna ugaidi Tanzania-SheikhNa Bakari Mwakangwale

yao na hawatonyamazakwa kuhofia kupewatuhuma za ugaidi.

“Tupo wazi katika yaletunayoyadai na ni yamsingi sana, ni wajibu kwaSerikali na watu wenyemamlaka kutekelezahaki zetu au watangazek w a m b a h a t u w a p ihaki hizo ama wasememanachodai ni uongo auhakina msingi, lakini sikwa kuwanyamazishakwa propaganda zaugaidi.” Alisema Ust.Ismail.

Alisema, dhulma yoyote

ni deni, na haki haiwezikuzimwa kwa vitisho nakuwabambikia madaiMasheikh wa Kiislamu, b a l i S er i k a l i i e l e weWaislamu si Magaidi walaTanzania hakuna Ugaidina Uislamu unakemeavitendo vya Kigaidi kwaasilimia zote.

Alisema, Serikali inavitendo vya kibaguzikatika kutenda hakikutokana na dhana kuwa

wenye tuhuma za Ugaidiwanyimwe dhamana lakiniWakristo waliotuhumiwakwa Ugaidi hawapogerezani na wakitokeahupata dhamana, hukuakiwataja Victor Amblos,aliyehusika na mlipukoKanisani Arusha naWi l f r ed L w a k a t a r e ,a l i y e t u h u m i w a k w augaidi.

Alisema, hali hiyoi n a d h i h i r i s h a k u w ak u n a p r o p a g a n d az i n a t en g en ez w a , i l ikuiaminisha jamii ya

Watanzania, wakubalikwamba nchini kunaugaidi, lakini katika hiliwalengwa ni Waislamuili kuwanyamazisha kuwawanapambana na ugaidikwa mujibu wa sheria yaUgaidi ya mwaka 2002.

Pamoja na kudai hakizao (Waislamu) katikahali hii ya propagandaza Ugaidi, Ust. Ismail,akawataka Waislamukuwa makini.

vinatengenezwa vyenyesura ya Uis lamu navinara wanaotangazakupambana na Magaidi,lakini miongoni mwamakundi hayo wapowalioaminishwa kuwawanashiriki katika jihadi.

Alisema, watengenezavikundi hivyo huchezana mazingira ya mahalih u s i k a m a t h a l a n i ,akasema Tanzania kwasasa huwezi kuleta tnaza makabila haikubaliki,lakini kwa muda huu tnaya vita baina ya Waislamu

na Wakristo ni rahisi kwasababu kuna mwanyawa watu kuyafitinishamakundi haya mawili yakidini nchini.

Akitolea mfano wakundi la IS (Islamic State)alisema, utabaini kuwa hilini kundi la kutengenezwakwa maslahi maalum nawatenganezaji ni hao haowanaodai kupambana naMagaidi Duniani.

Ust Ismail alisema

mtu ujiuwe na uuwe watwengine wasio na hatiau uteke watoto wa shul

Akasema, huo s iUislamu na wala sio jihadaliyoamrisha MwenyeMungu na ambayo Mtum(s a w) aliipigana.

“ K a m a k u n dhi l i l ingekuwa s i lkutengenezwa, na kwe

lipo katika kusimamishhaki (Uislamu), basi lisingwachukua muda mrefMarekani na washirikwake kuliangamiza, kamwalivyoweza kuuondoutawala wa MuamaG a d h a f i w a L i b y aSadam Hussein wa Irapamoja na Afghanistanzikiwa na mamla kamina majeshi yaliyokuwimara, ukilinagnisha nkikundi hicho cha ISAlisema Ust. Ismail.

Katika hatua nyinginUst. Ismail, alilaani wa

al iowai ta washengwa masuala ya ugaidnchini kwa kushadadipropaganda hizo nkuwanasibisha Waislamna matukio yanayodaiwkuwa ni ya Kigaidi nchinvikiwemo vyombo vyhabari.

A k i r e j ea t u k i o lK u l i p u l i w a b o mKanisani, Jijini Arushna kusababisha vifo vywatu watatu na kujeruhwengine 60, al isemmuda mfupi wa tukina kabla ya uchunguzParoko wa Kanisa hil

alidai waliorusha lil bomu aliwaona, walikuwwamevaa Kanzu nvilemba, kisha vikafuatv y o m b o v y a h a b a rvikapiga propagandkuwa, Tanzania kunugaidi hatimae Serikai k a h i t i m i s h a k wkutoa kauli ikiahidkuwashughulikia haMagaidi.

Alisema, hata hivyouchunguzi wa awa

USTADHI Hussein Ismail.