ANNUUR 1230.pdf

download ANNUUR 1230.pdf

of 20

Transcript of ANNUUR 1230.pdf

  • 8/16/2019 ANNUUR 1230.pdf

    1/20

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1230 SHAABAN 1437, IJUMAA , MEI 20-26, 2016  BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected] AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUS

    Bi. Mkubwamahakamani

    Tuhuma ugaidi wa kimeta

    Masheikh wawili watowekaHuenda wameuliwa na ‘ATPU

    BI. Nuseiba Mohammed Haji akiwa kizimbani katikmahakama ya Milimani (Milimani Law Courts),Nairobi, Jumanne (Mei 10, 2016) wiki iliyopita. Uk.4

    Mtume(saw) amesema, "Husamehewamwenye kuhiji na anaowaombea". Hakunkatika ibada nyengine yoyote uhakika huuwa Muislamu kukubaliwa maombi yake nakupata fursa ya kuwaombea wengine, kishakukubaliwa, ila katika Hijja! Gharama zotkwa Hijja 2016/1437 ni Dola 4,600. Umrya Ramadhani ni Dola 2,700. Karibuni AhlSunna wal Jamaa kwa huduma nzuri nauongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara0679895770/ 0688895777; 0765462022

    0712735363. Zanzibar: 07774680180777458075; 0777845010; 0777497300.

    (9) HIJJA NI FURSA YA KIPEKEE!

    Masheikh wapata wateteziMaftaha ahoji ugaidi wao nini!

    Zitto, Riziki, Mbowe wataka Tume

    Ilunga miaka miwili, Msenguzi kafuatiaFanyeni kazi kabla hamjalazwa hapa

    PICHA juu wanafunzi wa Ubungo Islamic High School wakiwa katika somo lakuswalia maiti. Chini Maiti ya Ustadh Juma Mustapha Msenguzi ikipelekwamakaburini kwa maziko. Soma Uk. 10

    SHEIKH Msellem Ali.

  • 8/16/2019 ANNUUR 1230.pdf

    2/20

    2 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 20 - 26, 201Mafundisho ya Qur'an/Uwanja wa Maarifa

    Fethullah-Gulen

    “ENYI wale ambaommeamini, pindimnapokutana na kundila maadui, kuweniimara na mkumbukeni

    mwenyezi mungukwa msingi ili mpatekufaulu” [al-anfaal 45]

    Kunawezekanakuyafahamu mamboyafuatayo katika“kumtaja MwenyeziMungu”.

    Panaashiriwa katikaaya hii kwamba kwenyemoyo kunapasakusivuke mpaka

     juu yake kughafilikamilele katika maishaya kawaida na ya kilasiku na hapana mfanowakati ya kuingia

    katika mambano namaadui. Kunapasakuwazindua wenyenyoyo zilizoghafilika,kwenye jambo hili katiya muda na mwingine,kwa hiyo muumini,atazindukana kwenyekumtaja Bwana wakeambaye anapigananjia yake kwa moyowake na alimi wake napanageuka pale mahaliambapo wanakufandani yake watu nawanauliwa kuwamahali patakatifu namahali pa kufanyiaibada.

    Kumtajia MwenyeziMungu wakati huu,ni ukelele wenyekurudiwa rudiwakatika vita Allah, Allah,

    Allah. Ukelele huu nimuhimu kwa sababuwaathiri taathira hasi

     juu ya morali wamaadui na unaongezamorali wa upande waWaislamu. Hii ni kwasababu anatia kwaowaumini shauku nahamasa. Pindi kukiwakule kusema kwetu leo“Allah, Allah” kwa nchaya ulimi kunachemshakwetu hamasa na hofukatika safu za maaduizetu,…… ni jambola dhana mambo yakwa hivyo lile ambalounaliweza utazowenyekuvuma kutoka katikavina vya nyoyo na ni

     jambo ambalo anawezakulichuma binadamu.Pindi

    tutakapokwendakwenye maudhuiya kwamba ushindiunafungamana nakumtaja MwenyeziMungu na kwakuthibiti hayo, nimaudhui muhimu.Kunapasa kusimamambele zake kwa juhudizote. Kwa msingi huo,kuna mambo ya maishaambayo yanatuka juuya mabega ya waumini,

    wenye kukutana namaadui nayo ni haya:Katika hali ya kuingia

    katika makabilianoyoyote ya kivita –vyovyote vitakavyokuwa, kunapatakuinyanyua hali yakimorali ya kundiletu kwa kudhihirishasubira, na ujasiri nakuthibiti azma. Kishakudhihirisha ujasirina ukakamavu ndaniya uwezo wa akili – ilikuzusha mtikisiko wanafsi na kuyumba na

    kutawanyika katikaupande wa maadui.

    Kumtaja MwenyeziMungu kwa wingi sanaili kuimarisha hali yetuya kiroho na kimorali

    na kuupa nguvu nakuutikisa upandewa pili kwa sura ya

    kutojali ambayo ikokwetu wakati wa kufana kuzifunga harakatina utulivu wetu kwamapigo ya nyoyo zetuzenye kuungana naMwenyezi Mungu.

    La kuzingatiwahapa ni kuwa mamboyote hayo ni funguomuhimu za ushindi.Kutokuwa hivyo, nakukosekana subirana umadhubuti,hakuwezekani kufikiakwenye mafanikio(kufuatana na kanuniza Mwenyezi Mungu)kama ambavyohakuwezekanikupata ushindi katikavita katika hali yakughafilika na kumtajaMwenyezi Mungu.Hata kama linapatikanahilo, hakutapatikanakupata malipo, maanahakuna kufuzu katikaakhera na kwenyekupatikana haki yamifano ya watu kamahawa.

    Kwa msingi huuni juu ya wale ambaowanapigana nawanafanya jihadi katikadini ya MwenyeziMungu kuthibiti kwaazma yote kwa upandena kuelekea kwenyekumtaja MwenyeziMungu. Kwa upandemwingine wajiepushekutegemea nguvuna uwezo mwingine.Hata pale ambapowanakuwa na uwezona nguvu nyingi, badowamtaje MwenyeziMungu na wategemeeuwezo na nguvu zakena warudie rudie duaifuatayo:

    “Ee Mola wa hakitumejiepusha na uwezowetu na nguvu zetu natumetegemea kwenyeuwezo wako na nguvuzako”.

    Suratu An-faal:45

    Leo ni Tarehe 13 Shaaban mwaka 1437 AH, sawa na tarehe 20 May,2016. Tarehe 6 June tunategemea kuangalia mwezi kwa Ramadhan naTarehe 7 June 2016 tukijaaliwa tutaanza Ramadhan Rasmi. Kutokeahii leo Ijumaa ya tarehe 20 May 2016 hadi kufika kuanza mfungo waRamadhani tumebakisha siku 17.

    Mwandamo wa mwezi

    Jee Unajua?

    CHEMSHA BONGO: 51Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijay

    UWANJA WA VIJANA-JIONGEZEE MAARIFA

    JAWABU CHEMSHA BONGO NAMBA:50

    MASAUALA1. Sura ipi na aya ya ngapi isemayo “Ambaye anao ufalme wa mbingu na ardhi;

    Mwenyezi Mungu ni shaahidi wa kila kitu.” Jawabu: 85:92. Sura ipi na aya ya ngapi isemayo “Walio kufuru na wakazuilia njia ya Mweny

    Mungu, Yeye atavipotoa vitendo vyao.” Jawabu: 47:13. Sura ipi na aya ya ngapi isemayo “Na Shet'ani atasema itapo katwa hukum

    Hakika Mwenyezi Mungu alikuahidini ahadi ya kweli. Nami nalikuahidini; lakisikukutimizieni. Na sikuwa na mamlaka juu yenu, isipo kuwa nilikuiteni, nanmkaniitikia. Basi msinilaumu mimi, bali jilaumuni wenyewe. Mimi siwezi kuwmtetezi wenu, wala nyinyi hamwezi kuwa watetezi wangu. Hakika mimi nilikattangu zamani kunishirikisha na Mwenyezi Mungu. Hakika madhaalimu watakuwa adhabu chungu.” Jawabu: 14:2

    4. Mtume yupi aliotumwa kuwa Rehma kwa Ulimwengu, Issa, Mussa Muhamm(SAW)? Jawabu: Muhamas (SAW)

    5. Taja jina la Mtume aliozaliwa kimiujiza pale mama yake hakukutana n

    mwanamume? Mussa, Issa, Nuh. Jawabu: Issa6. Ashabul Kahf-Watu wa pangoni walifwatana na mnyama gani? Jawabu: Mbwa7. Lini Uislamu ulianza? Wakati wa Mtume Nuh, Adam, Ebrahim? Jawabu: Adam8. Kalenda ya Kiislamu huitwa kwa jina gani? Jawabu: Hijrah9. Mwezi upi ulio katikati baina ya Rajab na Ramadhani? Jawabu: Shaaban10. Itaje Miezi 4 Mi tukufu iliotajwa katika Qur’an. Jawabu: Dhul Qada, Dhul Hij

    Muharram, Rajab

    MASAUALA1. Itaje suara na Aya ya ngapi ‘’Na Daudi tukamtunukia Suleiman. Alikuwa m

    mwema. Na hakika alikuwa mwingi wa kutubia.’’2. Itaje Sura na Aya ya ngapi? “Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashad

    ya matunda yataning'inia mpaka chini.”3. Itaje Sura na Aya ya ngapi? ‘’ Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashad

    ya matunda yataning'inia mpaka chini.’’4. Malaika yupi akitumwa Wahyi kwa Mitume?5. Malaika anayotoa roho?6. Malaika yupi atakayowauliza waliokufa kwenye Makaburi yao?7. Hawali, hawanywi wala hawamuasi Mwenye-enzi-Mungu ni wenye kufwat

    amri tu na kutekeleza nani hao?8. Ipi nyumba ya Mungu?9. Mitume wakitumiwa kitu gani?10. Kuhani yupi katika nchi ya Syria alipomuwana Mtume (SAW) alimtambua kuw

    ndio aliotajwa katika vitabu vil ivyopita kuwa ndio Mtume aliobashiriwa?

    1. Nchi ya Indonesia ndio nchi ya Kisiwa yenye watu wengi, ina watu wafika239,259,710: http://www.mapsofworld.com/world-top-ten/world-top-ten-mospopulated-island-countries-map.html

    2. Wakazi wa nchi ya Libya ndio ambao wenye kutoa talaka kwa kiwango cha chinkabisa wakifwatiwa na Georgia, Mongolia, Armenia: hp://www.mapsofworld.comworld-top-ten/countries-with-lowest-divorce-rate.html

    3. Nchi ya Sri Lanka inaongoza kuwa na Sheria zilizo mchafukoge: hp://wwwthetoptens.com/countries-with-worst-laws/4. Nchi ya Eretria ni moja kati ya nchi zenye kuongoza kwa rushwa duniani: hp

    www.cheatsheet.com/business/7-most-corrupt-countries.html/?a=viewall5. Nchi ya Sierra Leon ndio nchi inaongoza kuwa na huduma duni za kifaya dunian

    hp://www.therichest.com/rich-list/poorest-list/the-10-worst-health-care-systems-inthe-world/?view=all

    6. Kati ya nchi Tajiri duniani nchi ya Ireland ndio yenye Wauguzi (Manasi)i wenghp://www.theguardian.com/society/2016/feb/09/which-country-has-worlds-best-healthcare-system-this-is-the-nhs

    7. Nchi ya Uholanzi inaongoza kwa watu wake kuwa na Baskeli nyingi watu kam16, 625,800 wanaendesha Baskeli na zikikuweko kama Baskeli milioni 16 na ushweyna waendeshaji baskeli ni wengi sana: hp://top10hell.com/top-10-countries-withmost-bicycles-per-capita/

    8. Nchi ya Poland inasemekana kuwa na watembea kwa miguu wengi wanaopaajali: hp://top10hell.com/top-10-countries-with-most-bicycles-per-capita/

    9. Katika kila watu laki mmoja watu 31 hujiuwa katika nchi ya Lithuania: hp:www.therichest.com/rich-list/the-biggest/10-countries-with-the-highest-suicide-ratein-the-world/?view=all

    10. Kati ya nchi zinazoongoza kwa watu wasiojua kuandika na kusoma ni Sudan yKusini, Bukina Fasso: hp://www.countryranker.com/top-10-countries-with-highesilliteracy-rate-in-the-world/

     (Kutokana na kutokuwa na wasomaji wengi katika Ukumbi wa Uwanja wMaarifa na kutopata majibu ya kuuboresha huu wa Uwanja wa Maarifa, tunafikirkuanzisha ukumbi mwengine, tuma barua pepe [email protected] au ujumbmfupi kupitia simu 0777436949 unahisi kipi kiwe mbadala wake?)

     

    D U M E F D 14:

    2

    I M M K R R

    H A U B I H 42 M A U U O A

    U F H R R U 555 A S H L U J

    L I A  A D L 224 M A A A H A

     A K M H  A H 85:

    9

    O I R A F B

    Q I A I  W I 47:

    1

    S L A W I D

     A T D M S J 3:2 U U M A J O

    D A S H  J J 6:5 M B W A I K

     A B A A N A S H A A B A N

    E U W S A N 14:

    2

     Y R U M S A

    L L H I J R A H H S U M N

    U M M J M M 38:30 W M A A L U

    S U U A A S 185 A A A S H S

    L S N M L I 12 H A K G U U

    I T K A A K 8:26 Y L B H D I

    F A A T I I 7:7 I I A A P J

    I K R U K T 114:5 Y M R R A G

     A B S L A I 76:14 U U U C I

    B A H I R A T I S R A E L

    Q L F I N A A A A U K H H

    H A V S J U L N S H B N U

     J I B R I L I N A K I R M

  • 8/16/2019 ANNUUR 1230.pdf

    3/20

    3 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 20 - 26, 201Habari

    WANAFUNZI wa Kiislamuwametakiwa kujijengeautamaduni wa kujisomeavitabu mbalimbali ilikujiongezea ufahamu, maarifana ubunifu kwani Uislamu niDini ya kusoma.

    Wito huo umetolewa na

    Ustadhi Yassir Masoud,akiongea na wanafunzi waKiislamu katika ufunguzi wamashindano ya Ramadhani QuizCompitation 2016, uliofanyika

     Jumapili ya wiki iliyopitakatika Msikiti wa KichanganiMagomeni, Jijini Dar es Salaam.

    Ust. Yassir, alisema kwaujumla Dini ya Kiislamuimebeba amri na mafundishomengi kuhusu kusoma,miongoni mwa mahimizokatika Qur an ni pale Allah (sw)aliposema hawafanani walewaliosoma na wale wasiosoma.

    “Na ndio maana amri yakwanza aliyoshushiwa Mtume

    (s a.w) ni kusoma na utamaduniwa kusoma upo katika jamii yaKiislamu. Kwa maana hiyo nivyema mkajenga utamaduni wakusoma vitabu mbalimbali ilikujiongezea maarifa na ufahamuna kuweza kujifunza kutokakwa watu wengine, ni vyemamkafahamu Uislamu ni Dini yakusoma.” Alisema Ust. Yassir.

    Alisema, Ust. Yassir kwambacha kusikitisha ukifatilia kwaundani utabaini kuwa Umma waKiislamu umeacha utamaduniwake wa kusoma, kama historiainavyojieleza kuwa Uislamuunahistoria ndefu katika nyanja

    Ujumbe wa Ramadhan QuizNa Bakari Mwakangwale ya elimu na kusoma.

    Alisema, hali hiyoinathibitishwa na uwepo waVyuo Vikuu vya Waislamukatika miji mbalimbali Dunianikuliko dini yoyote zaidi ya miaka1000 iliyopita, ambapo vyuohivyo vipo mpaka sasa katikamiji ya Tunis, Aljeria, Egypt nakwingineko.

    “Tujitahidi kudumu katikakusoma na hayo tukayo yasomatuyaingize katika matendo,Mwenyezi Mungu anaposemahawawi sawa walio soma nawasio soma si kitu cha kusoma tuna kuacha inapaswa kuingizwakatika matendo.” Alisema Ust.Yassir.

    Ramadhani Quiz Competition,ni zoezi linalo andaliwa naTaasisi ya Kiislamu ya An NahlTrust, na kushirikisha wanafunziwa Kiislamu waliopo katikaMashule ya Sekondari Jijini Dares Salaam, ambapo wanafuziwanatakiwa kujibu maswaliyanayohusu mambo mbalimbaliya kimasomo na ya kijamii.

    Kwa mujibu wa Ust. Yassir,alisema lengo kuu la mashindanohayo ni kuwajenga vijana waKiislamu katika utamaduni wakusoma na kujisomea mambomabalimbali, uwezo wa kujielezakulingana na kile walichokisomana ufahamu wa mambo kwaupana.

    Mashindano hayo hufanyikakila mwaka, ambapo hufanyikamwezi mmoja kabla ya MweziMtukufu wa Ramadhani, nakilele chake hufikia katika mweziwa Ramadhani wenyewe nawashindi hupewa zawadi za ainambalimbali.

    Masheikh wapata wateteziMBUNGE wa Kigoma Mjini,

    Mh. Zio Kabwe, ametakaiundwe Tume huru itakayobaini ukweli wa madai yakudhalilishwa Masheikhwaliopo katika Gereza laSegerea Jijini Dar es Salaam.

    Mh. Zio ametoa hoja hiyomapema wiki hii Bungeni MjiniDodoma, kufuatia Naibu Waziriwa Mambo ya Ndani ya NchiMh. Masauni, kutoa taarifainayodai kwamba Masheikhhao hawakufanyiwa vitendovyovyote vya udhalilishaji.

    Mh. Zio alisema ni vyemaiundwe tume, ambayo sio‘Commission ya Bunge’ bali iweni ‘Commission ya experts’, kamawatu wa Haki za Binadam,ili ukweli uweze kufahamika

    Na Bakari Mwakangwale na kwamba endapo jambohilo likiachwa bila kutolewaufafanuzi ukweli ni kwamba nchihii haitobaki salama.

    “Kwa hiyo nilikuwa naombautumie busara zako uagizeiundwe ‘Independent Commission’ (Tume Huru) kwa ajili yakufanya ‘verification’ ya ripoti yamadaktari kwa ajili ya kwendaGerezani (Segerea) na kuwahojiMasheikh hao waliolalamikana ripoti hiyo iweze kuletwaBungeni ukweli ubainike.”Alisema Mh. Kabwe.

    Awali Mh. Kabwe, aliliombaBunge liruhusu uchunguzi huru(Independent Verification) juuya ripoti ya Madaktari, ambayoSerikali kupitia Waziri wakewa Mambo ya Ndani ya Nchiiliwasilishwa katika Bunge hilo.

    Alisema, jambo hilo si dogo,

     bali ni suala nyeti na kwambazimesha sikika hoja za Wabunge,na endapo litachaachwa hivi hivilinaweza kuligawa Taifa, na waokama Wabunge ambao wanatokakatika imani tofauti tofauti.

    Miaka mitatu iliyopita baadhiya Masheikh kutoka Zanzibarwaliilalamikia Mahakama yaKisutu, Jijini Dar es Salaam,kuwa wakiwa mikono mwa Jeshila polisi na Usalama wa Taifa,walifanyiwa vitendo vichafu navya udhalilishaji.

    Hata hivyo, suala hilolimekuwa likiibuka mara kwamara Bungeni Dodoma, ambapokatika Bunge la mwaka janaSerikali iliahidi kuunda Tumeya kuchunguza tuhuma hizo,lakini mpaka sasa hakunakilichofanyika.

    Aidha, siku chache baadaya kuteuliwa kuwa Mawazirikatika Serikali hii ya awamuya tano kwa pamoja Waziri waMambo ya Ndani ya Nchi Mh.Charles Kitwangi na Waziri waSheria na Katiba Mh. HarisonMwakyembe, walifanya ziarakatika gereza la Segerea, ambapoilielezwa kuwa Masheikh hao piawalifikisha malalamiko yao.

    Wakati huo huo, Kwa upandewake Mh. Riziki Shahari,akichangia suala hilo alisema,Kamati ya Bunge ya Kudumu yaBunge inayohusika na Wizarahusika, ilikwenda Gerezani

    Segerea na kuongea na Masheikhhao mbele ya Maofisa waMagereza, ambapo walilalamikahali zao na walieleza kwambahawajaenda kuulizwa.

    “Leo Mh. Waziri, mnaletakaratasi na kuongea hayo,karatasi yenyewe imezeeka nahaikuwa suala la Daktari aandikekisha ampe Naibu Waziri, balikinachotakiwa ni watu waendewakawaulize kilicho wasibu.”Amesema Mh. Shahari.

    Alisema, ifahamike kuwaMasheikh hao wana wafuasi waonyuma yao na wanawapenda, niwazi wanaumia, wana wazazi,wana watoto, wana ndugu zao,

    hao wote na wengine wanaumia.“Wote hao wameshuhudia

    kilio chao wameshuhudiawakijieleza kupitia Mahakamanikuwa jamaa zao haowamedhalilishwa na Vyombovya Usalama, wameeleza wazikuwa wamefanyiwa visivyo.”Amesema Mh. Riziki.

    Alisema, baada ya kuelezwavipimo vya Masheikh hao navyeti kufikishwa Bungeni hapona kuelezwa ni majibu ya vipimovya Masheikh hao alilazimikakuwasiliana na Mawakili wao ilikujua ni nani alikuwa nao katikazoezi hilo la kuchukuliwa vipimo

    na Madaktari hao, lakini alidaiinaonekana haifahamiki.

    “Suala hapa sio kupimwaafya, bali kinachotakiwauchunguzi juu ya tuhumawalizotoa na Waziri wa wakatihuo Mh. Mathias Chikawe,pamoja na istazai alizotoa humuBungeni, alisema atapeleka

     jopo likawaulize na kufanyauchunguzi lakini haifahamikialiishi wapi.” Alisema Mh. Rizik

    Kwa upande wake MsemajiMkuu wa Kambi ya UpinzaniBungeni, Mh. Freeman Mbowe,alisema, suala hilo ni wazilinawahusu viongozi wa kiimanna wanapoanza kuwachangayaviongozi hao na tuhuma ambazozinashindwa kuthibitishwakwa zaidi ya miaka mitatu,haifahamiki ni Taifa la namnagani linataka kujengwa.

    Mh. Mbowe alisemauhalali wowote wa Mashitakaunaowahusu viongozi hao waKiimani (Masheikh) lazimaulindwe kwa umakini zaidilakini cha kushangaza Wazirianazungumza na kuona kama n

     jambo jepesi tu, jambo ambalo ssahihi.

    Alisema, inashangaza kuonaSerikali inawarundika ndaniviongozi wa kiroho kwa mwakawa nne sasa huku uchunguzihaukamiliki, na wenginewanapigwa risasi na hakunataarifa yoyote ya Serikali aukuonyesha kujali badala yakewanaona ni mambo mepesi tu.

    Mh. Mbowe alisema jambolinalotia machungu zaidi kwaviongozi hao wa kiroho ni palezinapojengwa hisia kwamba,wanasimamia ama kuungamkono mlengo fulani wa kisiasana kuwa ndio msingi wa kujengchuki na kuwapandikiza kesi namakosa yasiyo na ushahidi.

    Kwa upande wake Mh.Maftah, akiunga mkono hojaya Mh. Riziki Shahar, alisematokea anakuwa katika nchi hiiamekuwa akiona na kusikia

     jinsi viongozi wa Kiislamuwanavyodhalilishwa.

    Alitoa mfano wa mauwaji yaMwembechai ambapo Waislamuwalipigwa risasi msikitini.

    Akaongeza kwamba hivi sasakuna Masheikh wapo Mahabusutakribani kwa miaka mitatuwakipachikwa tuhuma za ugaidna hakuna kinachoendelea katikkesi zao.

    “Naomba kuuliza Mh.Mwenyekiti, hivi magaidi niWaislamu nchi hii? Inasikitishasana kwamba Masheikhwanawekwa ndani bila sababu zmsingi.” Alisema Mh. Maftah.

  • 8/16/2019 ANNUUR 1230.pdf

    4/20

    4 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 20 - 26, 201Tahariri/Habari

    AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

    BI Nuseiba MohammedHaji, amefikishwa rasmimahakamani akidaiwakula njama za kuandaashambulio la kigaidi lakimeta (anthrax).

    Akisimama kizimbanikatika mahakama yaMilimani (Milimani LawCourts) , Nairobi, Jumanne(Mei 10, 2016) wikiiliyopita, muda mwingiBi Nuseiba alikuwaakitabasamu na hata

    kucheka.Vyombo vya habari

    kwa upande waovilikuwa na karamuya habari vikishadidiahabari hiyo na kuonyeshakama Kenya inakabiliwana kitisho kikubwa kwakuwepo kile walichoita“cell of extremist medics.”

    Kwamba kutoka ugaidiwa AK-47 za Al-Shabaab,hivi sasa ugaidi waKenya umepanda darajakwa kuanzisha vitengovya ugaidi wa kimetavinavyoendeshwa namadakitari, akina Bi

    Nuseiba Mohammed Hajina mumewe MohammedAli Abdi.

    Shirika la Habari la AP(Associated Press-Americanmultinational nonprofitnews agency) lenye makaomakuu yake New YorkCity, likiandika juuya tukio hilo lilisemakwamba Bi Nuseiba, nimshitakiwa namba mbiliakituhumiwa kumsaidiamumewe kuandaashambulio la kimeta.

    Anashitakiwa piakumsaidia mumeweMohammed Ali Abdi

    kuendesha mafunzoya kigaidi ili kuanzishakundi la Islamic State.

    Nuseiba alikamatiwaUganda na kusafirishwahadi Kenya kuungana namumewe ambaye yeyealikamatwa Kenya akiwakatika mafunzo yakeya vitendo ya udakitarikatika hospitali mojanchini humo.

    Nuseiba MohammedHaji, naye pia nimwanafunzi wa kozi yaudakitari katika ChuoKikuu cha KampalaInternational University, 

    Bi Mkubwa mahakamaniTuhuma ugaidi wa kimeta

    Masheikh wawili watowekaHuenda wameuliwa na ‘ATPU

    Uganda.AP wakifafanua juu

    ya shitaka linalomkabiliNuseiba wanasema:

    “(She) is alleged to havebeen an accomplice in a

     foiled plan to launch ananthrax aack in Kenya bya cell of extremist medicslinked to the Islamic State

     group.”

    Kwamba mamahuyo wa Kiislamu namwanafunzi wa kozi yaudakitari anashitakiwakwa kuwa mshirikakatika mpango wakuishambulia Kenyakwa kimeta, shambulioambalo liliteguliwa napolisi.

    Waandaaji wa mpangohuo wakitajwa kuwa nimadaktari (wanafunzi)walio wanachama wa IS.

    Baada ya kusomewashitaka hilo, polisiwaliomba mahakamakwamba Bi Mkubwa

    huyo akae rumande kwasiku 30 zaidi ili kuruhusuuchunguzi kufanyika.

    Mtuhumiwaalitarajiwa kufikishwatena mahakamani Mei16 ambapo ungetolewauamuzi juu ya ombila polisi kuendeleakumshikilia mtuhumiwa.

    Wakati huo huoimeripotiwa kuwawatuhumiwa wenginewawili, Ahmed Hish naFarah Dagane, ambaopia ni wanafunzi waShahada ya udakitari,wametoweka katika

    mazingira ya kutatanishHata hivyo, taasisi

    za kupigania hakiza binadamu katikaKenya zinatuhumukuwa huenda watu haowameuliwa katika kilewalichoita:

    “Extra-judicialexecutions and forceddisappearances carried out

    by the police on suspectsthey are unable to prosecutbecause insuffi cientevidence.”

    Kwamba kutowekakwa watu hao kuna kiladalili kuwa kunaangukiakatika mauwaji nakutoweka watukunakofanywa na Polisidhidi ya watuhumiwa wugaidi.

    Na kwamba Polisiwa Kenya wanafanyahivyo kwa kuwa hawanaushahidi wa kufikishamahakamani dhidi yawatuhumiwa. Kwa hiyo

    huamua kuwauwa kimykimya tu!“Polisi wa Kenya

    wamekuwa wakikabiliwna shutuma kali kwambwameuwa mamia yawatuhumiwa kinyumecha sheria (extra-judicialexecutions) huku wengiewakitoweka tu bila hatamaiti zao kuonekana.”

    Imesema moja yataarifa za watetezi wahaki za binadamu.

    AP ya New York City,ikikoleza propaganda juya ugaidi Kenya ikasema

    BI. Nuseiba Mohammed Haji akiwa kizimbani katikamahakama ya Milimani (Milimani Law Courts),Nairobi, Jumanne (Mei 10, 2016) wiki iliyopita.

    Inaendelea Uk

    MMOJA wa MaimamuJijini Dar-es-Salaam alipatakusema kuwa, ili uwezekuwa mwanachama waBaraza la Waislamu nchini(BAKWATA) ni kuwaMuislamu. Ikitizamwakwa kina kidogo, kauli yaImamu huyu ni sahihi kwasababu maana halisi yaBAKWATA ni Baraza Kuula Waislamu Tanzania.

    Hivyo Muislamuyeyote nchini anawezakunasibishwa na chombohiki.

    Aliyewahi kuwa Mufti,Marhum Sheikh Hemed bin Jumaa bin Hemed,pamoja na kuwepomatatizo ya kimfumokatika kuzungumza aukutaarifiana mambo yaWaislamu kati ya uongoziwa Baraza na Waislamu,lakini alijaribu angalaukuzungumza katikavyombo vya habari kwakutoa hotuba kadhaa,akijaribu kufanya ziara zamikoani kuangalia hali yamaendeleo ya Waislamu.

    Tangu hapo, halimawasiliano ya Kitaasisikati ya Waislamu nauongozi ilidorora kabisa.Kumsiki Mufti akiongeanaWaislamu ni aidha katikasherehe za Maulidi, sikukuuza Eid au kusikika katikatukio maalum, tena lenyekushabihiana na maslahi yaserikali basi.

    Hatuna kumbukumbukusikia wala kufahamuutaratibu ambao Muftiamejiwekea, kuzungumzana Waislamu ili apate japomichango na mawazo yao.Wala kusikia Mufti aukiongozi wa ngazi ya juuwa Baraza akitoa taarifa yamaendeleo ya Waislamu nataasisi kwa ujumla.

    Hatuna hakika kamaMufti Abubakar anafuatiliakwa karibu hali yamambo ya Waislamuyanavyokwenda huko

    mikoani, wilayani, ukiachahuko makao makuu.Mikutano ya kila mwaka auinayofanyika anapojisikiakiongozi au kungojakugongana na tukio fulanila kitaifa, kama vile Maulidau Baraza la Iddi haiwezikuleta tija kwa Waislamu.

    Waislamu wana hamukubwa ya kujua, kwamfano, ni kwa kiasi ganiBaraza limepiga hatua zamaendeleo, linamiliki kiasigani cha mali za wakfuna wanazitumia vipi kwamujibu wa malengo yawakfu. Waislamu wanahamu ya kujua bajeti ya

    Waislamu wanahitaji mageuzikila mwaka ya Baraza(kama ipo) ya mipango yamaendeleo ya Waislamukatika elimu, afya, hudumaza kijamii, habari namawasiliano na kwa hakikakila nyanja.

    Kuna vyuo vingapivinatoa elimu bora, kunamaktaba ya Kiislamuambayo ndiyo kitivo charejea katika elimu ya dini,kiongozi wa WaislamuKiislamu hapa nchinianahofia kupotea kwa elimuhiyo?

    Yote haya yanahitajiauongozi madhubuti wenyeuoni (vision) na makini.Vinginevyo inakuwaada tu kuwa na Mufti,Mwenyeiti, Sheikh naKatibu wa mkoa, lakinihata hao wanaojinasibukuwa Bakwata damudamu hakuna faidakatika Uislamu wao namaendeleo ya Uislamukatika maeneo yao zaidi yawale wanaopata masilahi yamshahara na posho.

    Hivi leo Muislamuakiulizwa kama kuna mfukowa maendeleo ya WaislamuBAKWATA ni wangapiwatakuwa na taarifa juu yamfuko huo, wangapi wanataarifa za mafanikio auhasara ya kuwepo Bakwata?Isipokuwepo Bakwata,Waislamu wanapungukiwanini zaidi ya kuwa kunawatu watakosa vyeo vyausheikh wa mkoa/wilaya naposho zinazoandamana navyeo hivyo?

    Kuna wakati MarehemuMufti Issa Shaaban Simba,alisema BAKWATAwapo katika mchakatowa kuanzisha Benki yaKiislamu nchini. Leowangapi wana taarifa kamamchakato huo ulifanyikaau umefikia wapi, nanialiyepewa jukumu lakuusimamia n.k?

    Ndio maana tunasemakuna haja Mufti Abubakar,

    kuleta mageuzi ndani yaBaraza ili kuondoa hitilafuhizi na kuweka utaratibumpya wa kiutendajiunaopimika.

    Waislamu wanahitajikuunganishwa na uongozi bora walio ukosa tanguuhuru. Hawawezi kupigahatua bila kutatua kasorohii.

    Ni zamu ya MuftiAbubakar kuamua kuletamageuzi ndani ya Barazakwa maslahi ya Waislamu.Vinginevyo ni kujibebeshamzigo wa cheo chamasuuliya mbele ya Allah(SW).

  • 8/16/2019 ANNUUR 1230.pdf

    5/20

    5 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 20 - 26, 201Habari za Kimataifa

    Bi Mkubwa mahakamaniInatoka Uk. 4kwamba Kenya inakabiliwa nachangamoto ya kupambana namagaidi wa IS ambapo kwa sasakuna kambi za kuwapa mafunzovijana wa Kenya kujiunga nakundi hilo. Na kwamba wapovijana takribani 20 wa Kenyaambao wamekwenda Libya

    kujiunga na IS.Wakati huo huo, hayo yakijiriNairobi, mmoja wa wasichanawanaodaiwa kutoroka katika ule“usanii wa Bring Back Our Girls”, amepewa fursa ya kuhutubiaKamati ya Bunge la Marekani juu ya Mambo ya Nje (HouseForeign Affairs Subcommiee on

     Africa) kuelezea hatari BokoHaram.

    Akipewa jina la bandia "Sa'a",msichana huyo kutoka Nigeriaalisimama mbele ya Kamatihiyo Mei 11, 2016 akiongozanana Frank Wolf, ambaye ndiyealimchukua kule Nigeria nakumpeleka Marekani. Wolfalikuwa Mbunge (1981-2015)akiwakilisha Wilaya ya Virginia.Hivi sasa ni ‘Mlei’ katika ChuoKikuu cha Baylor.

    Wolf anasema kuwaalikwenda Nigeria kuchunguzana kupata habari za ndani juuya uharamia na ugaidi wa BokoHaram.

    Na katika kufanya utafiti huoanasema kuwa ameshuhudia

     jinsi Boko Haram wanavyouawatu, wanashambulia nakuuwa wanavijiji, wanawatekawasichana na kuwageuzamabomu ya kujitoa muhanga(suicide bombers) huku wenginewakiwafanya watumwa wangono.

    Na kwamba amekuja namsichana huyo ili apatekutoa ushahidi wa kile yeye

     binafsi kilichomfika, asaahuenda serikali ya Marekanina Wamarekani watapatakuelewa vizuri hatari ya ugaidiuliopo Kaskazini mwa Nigeria(wanakoishi Waislamu wengi).

    Kwa upande wake “Sa’a”akishadidia nukta hiyo akasemakuwa Nigeria ya Kaskazini simahali salama pa kuishi mtuyoyote, lakini ana matarajiokwamba kwa ushuhudaaliotoa, huenda walimwenguwatazinduka na kuchukuahatua.

    Amedai kuwa yeye alikuwamiongoni mwa wasichana waChibok waliotekwa na BokoHaram miaka mitatu iliyopita,lakini aliruka wakiwa katika loriwalilopakiwa likipita msituni.

    Anasema, aliona bora kufakuliko kukosa uhuru wakeakiwa mikononi mwa BK.

    Akanogesha kwa kudai kuwaamesoma Katiba ya Marekanina kukuta kwamba inajali sanauhuru wa binadamu na mtuakikunyima uhuru, ni bora ufe.

    Na kwa maana hiyo akasemakuwa alikuwa amefanya uamuzisahihi wa kuruka katika lori lilela BH hata kama angekufa.

     MSICHANA kutoka Nigeria akipewa jina la bandia "Sa'a,"alipokuwa akitoa ushuhuda wake juu ya ugaidi wa Boko Harammbele ya Kamati ya Mambo ya Nje, kule Marekani inayohusika namambo ya Afrika (House Foreign Affairs Subcommitee on Africa.).

     Hiyo ilikuwa Mei 11, 2016.

    shule kwa sababu shule zotezimeangamizwa na magaidi waBoko Haram, huku walimwengwakiwa hawana habari kabisa.Kwa maneno yake mwenyewealisema:

    "It appears as if genocide istaking place" leaving a "whole

     generation of children who are not

    being educated because schoolsare being destroyed. I wonder inmy heart and soul, what shouldwe be doing, what can we do asa country?" the congresswomanadded. "We can't just pretend it'snot happening. Do we need to stara revolution? Do we need to marchto the White House? Do we need tomarch to Nigeria? What can we doall of us as a Congress?"

    Maswali haya ya MbungeFrederica Wilson, ni namna yakuichagiza serikali ya Marekankuchukua hatua haraka juu yaugaidi unaofanyika Nigeria.

     Jambo ambalo lilidakiwa naMwenyekiti wa Kamati hiyo

    Christopher Henry "Chris" Smit(R-N.J.) akitumia neno "grossindifference" kusisitiza kuwa ni

     jambo lisilokubalika kufumbiamacho ugaidi unaofanyikaNigeria.

    Katika kuzidi kuchochea,Mnigeria Emmanuel Ogebeakasema kuwa Boko Haramwamewahi kushambulia raiawa Marekani, lakini anashanga“State Department” imekaakimyaa.

    Ukisikiliza maneno ya “Sa’a”hayana tofauti na yale ya yule

     binti wa Balozi wa Kuwait katikWashington ambaye alipewa jinla Nayirah akatumiwa kupigapropaganda juu ya kilichodaiwkuwa ni ukatili wa SaddamHussein.

    Binti huyo alipelekwa mbeleya Bunge la Marekani kutoaushaidi ikidaiwa kuwa nimuuguzi katika hospitali mojanchini Kuwait na kwambaalishuhudia askari wa Saddamwakichukua watoto wachangana kuwatupa katika sakafuyenye baridi kali na kuwaachawafe. (Tazama: 1. False Flag Acto- Nayirah al-�aba� - KuwaitiRoyal Family. (2) Deception onCapitol Hill-New York Times-

     January 15, 1992)

    CHRISTOPHER Henry"Chris" Smith.

     MWAKILISHI wa Jimbo la FloridaBi Frederica Smith Wilson (D-Fla.).

    Akasema, anaamini kwambakwa kufika kwake Marekani nakutoa ushuhuda, sasa ana tamaahatua zitachukuliwa kuwatiaadabu magaidi na kuifanyaNigeria nchi salama ya kuishi.

    Baada ya maelezo hayo mbeleya kamera za waandishi wa

    habari, Mwakilishi wa Jimbola Florida Bi Frederica SmithWilson (D-Fla.), akapigiliamsumari akisema kuwainavyoonekana kinachotokeaNigeria ni Mauwaji ya Kimbari(genocide) yakiacha kizazicha watoto wasio kwenda

    JINA Amina Abdallah Arrafal Omari lilivuma sana wakatiunaanza mgogoro wa Syria. Aminaalijitokeza kama mwanamkempigania haki za wananchi waSyria akijitokeza katika vyombovya habari na hasa mitandao yakijamii kama mtu anayefichuamaovu ya Rais wa Syria Basharal-Assad. Amina Abdallahalijitangaza kama mwanamke“khabithi” (lesbian) na hivyo

     Amina Abdallah Vs Nuseiba MohamedNa Omar Msangi akaupa mtandao wake (Blog) 

    jina la ‘A Gay Girl In Damascus’. Aliufungua rasmi mtandao huoFebruari 19, 2011, akawa anatoaujumbe kuwa akiondolewa Bashar,pamoja na kupatikana uhuru wakisiasa na demokrasia, hata watukama yeye ambao ni mabaradhuliwa kike (lesbians), watakuwahuru kufanya mambo yao. Lakinipamoja na kuwa “shoga wakike”, akawa anajitapa kuwa niMuislamu safi, anavaa hijabu,anaswali, anafunga na kwamba

    anajivunia kuwa Muislamu naanaamini kuwa Mungu hakukosekumuumba “shoga wa kike.”

    Tarehe 27 Mei, 2011 CNNwakarusha kipindi wakimsifuAmina kuwa, ni mwana-mapinduzi na kwamba mapinduzianayopigania Syria yatafanya halikuwa nzuri hata kwa mashoga.(Davies, Catriona (27 May 2011)."Will gays be 'sacrificial lambs' inArab Spring?". CNN.)

    Inaendelea Uk. 1

  • 8/16/2019 ANNUUR 1230.pdf

    6/20

    6 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 20 - 26, 201Hoja ya Juma Kilaghai

    TAFITI zinaonyeshakwamba kuna wakatisaratani ni matokeo yamchakato wa ukarabatiwa seli zilizoharibikandani ya mwili. Tafiti hizizinaonyesha kwambamimba inapotungwa, selikatika mimba hiyo changahugawanyika harakasana na kutengenezamakundi mawili ya selizenye maumbile na kazitofauti. Kundi la kwanzala seli hizo (Kiini tete,au embryo kwa lugha yakitaalamu) huendeleakugawanyika na kubadilikalikiwa safari kutengenezakiumbe ambacho hatimayekitazaliwa kama mtoto. Halikadhalika kundi la pili nalohuendelea kugawanyikana kubadilika na hatimayekutengeneza kondo la uzazi(placenta) ambalo kazi yakeni kulizingira lile kundi lakwanza.

    Kila moja ya seli katikakundi hili la seli ambalosasa limetengeneza kondola uzazi, ina gamba ambalolimebeba umeme hasi.Seli hizi kitaalamu huitwaTrophoblasts. Kazi ya hiziTrophoblasts ni kutoa ulinzikwa kiini tete kisiweze

    kushambuliwa na mfumowa kinga za mwili za mama!Bila seli hizi chembechembenyeupe za damu katikamwili wa mama ambazohuunda sehemu kubwa ya

     jeshi la kinga katika mwili wamwanadamu zingeshambuliakiini tete hicho na kukiharibukwa dhana kwamba niadui ailiyeingia mwilini!Kinachotokea ni kwambakwa kuwa chembechembehizi nyeupe za damu nazozimebeba umeme hasikama zilivyo Trophoblasts,zinapokaribia eneo kiliko

    kiini tete umeme hasi waTrophoblasts na ule wachembechembe cheupehusukumana (repels eachother) na hivyo kusababishachembechembe hizo nyeupekusogezwa mbali na kiinitete. Tafiti zinaonyesha kuwaulinzi huu wa Trophoblasts hukoma ghafla katika juma lanane la ujauzito.

    Tafiti zinaonyesha kuwasababu ya hatua hii nikwamba katika kipindi hikikiumbe kinachoendeleakukua na kubadilika tayari

    Hakuna ugonjwa usio na dawa! (2)Tiba za saratani –Sehemu ya kwanza

    kina kongosho linalofanyakazi na kongosho hilihuzalisha kiasi kikubwacha vimeng’anyo (pancreaticenzymes) ambavyohaviruhusu trophoblasts auchembechembe nyeupe zadamu kutoka kwa mamakusogea katika eneo hilo.Vimeng’enya hivi vinauwezo wa kuchakata nakuyeyusha protini (digest) hivyo basi chembechembeyoyote nyeupe katika eneohilo, au seli ya trophoblast

    itaharibiwa kwa protiniyake kuchakatuliwa nakuyeyushwa na vimeng’enyahivyo.

    Tafiti zinaonyesha kuwamwili unapositisha uzalishajiwa trophoblasts, chache yahizi seli hubakia zikiogeleakwenye damu katika kipindichote cha maisha ya kiumbe.Kazi ya hizi trophoblasts nikusaidia katika ukarabati waseli za mwili zinazoharibikakwa sababu mbalimbali.Katika eneo ambalo selizimeharibika na zinahitajikukarabatiwa seli chache

    za trophoblasts huendakatika eneo hilo na kuanzakugawanyika kwa kasiinayozifanya kuongezekakwa wingi ndani ya mudamfupi, huku zikifanyakazi ya kusaidia ukarabati.Tatizo linakuja pale ambapouharibifu wa seli husika nikitendo endelevu na penginecha kudumu. Kwa mfano,kwa wavutaji wa sigarawa muda mrefu ambapouharibifu wa seli za mapafuyao ni endelevu. Hii inamaana kwamba katika eneo

    husika trophoblasts zitakuwazinajigawanya kwa kasi nazitaongezeka kupindukiamipaka (out of control growth). 

    Uchunguzi wa kimaabaraunaonyesha kuwa seli zatrophoblasts zinazojikutakatika mazingira ya ainahii hufanana kwa kilahali na seli za saratani!Hii imepelekea baadhi yawanasayansi kuamini kuwasaratani chanzo chake ni nianzuri na jitihada ya mwilikutaka kurekebisha kasoro

    zinazojitokeza katika seli zamwili. Jitihada zinapokwendamrama kutokana na uharibifukatika seli husika kuwaendelevu, basi saratanihujitokeza.

    Imethibitika kuwavimeng’enyo vinavyozalishwana kongosho (pancreaticenzymes) ni msaada mkubwawa kuzuia trophoblastskutengeneza saratani mwilini.

    Ugunduzi huu ulifuatia jitihada kubwa za Dr. WilliamD. Kelly wa kule nchini

    Marekani ambaye aliaminikuwa saratani ni zao la mwilikushindwa kuchakata vizurivyakula vya jamii ya protinikutokana na upungufu wavimeng’enya vinavyozalishwana kongosho, hususanvile ambavyo kazi yake nikuchakata na kuyeyushaprotini (proteolitic enzymes).

    Ili kuusadia mwili kufanyakazi hiyo kwa ufanisi Dr.Kelly alipendekeza mfumowa tiba kwa wagonjwa

    wake ambao ulijumuishamarekebisho katika lishe,matumizi ya tiba-lishe

    (nutritional suppliments) , nauondoshaji wa sumu mwiliniDr. Kelly ambaye alipingwasana na madaktari wa mfumo(conventional cancer doctors) alisafishwa na Dr. NicholasGonzales wa New Yorkambaye alifanya kazi kubwaya kutafiti kesi moja mojaya wagonjwa wa Dr. Kellykwa udhamini wa taasisi yaMemorial Sloan - KeeringCancer Center.

    Ripoti ya kazi ya Dr.Gonzales, iliyokuwa na

    kurasa 500, ilithibitisha kuwatiba ya Dr. Kelly ilikuwa kweinafanya kazi katika sarataniza aina nyingi mwilini.

    Utafiti wa ziadauliofanywa katika kaziya Dr. Kelly na wenginewaliomfuata umethibitisha

     bila shaka kuwa uchache wavimeng’enya vya kongosho nsababu ya msingi ya kuibukakwa saratani mwilini; nakuwa wagonjwa wa ugonjwawa kisukari ambao kimsingikongosho zao zinazalisha

    kiwango kidogo cha hivivimeng’enya, wako katikahatari mara tatu zaidi yakupata ugonjwa wa saratani.

    Hii ina maana kuwamgonjwa wa kisukarianatakiwa achukue tahadharmara tatu zaidi kuliko mtuwa kawaida katika kulindaseli zake za mwili zisiharibikna kujenga mazingira yatrophoblasts kuzaliana kwawingi. Uharibifu huu niule unaoweza kufanywana uvutaji wa sigara, ulajiwa vyakula vilivyotunzwa

    kwa kemikali, matumizi yavipodozi bandia (syntheticcosmetics), matumizi yanyama zilizochakatuliwa nakuhifadhiwa kwa kemikali,matumizi ya nyama zakuchoma zilizoungulia nakufanya mkaa, nakadhalika.Aidha mgonjwa wa sukarianahitaji kutumia nyongeza/tiba- lishe (nutritionalsupplements) za vimeng’enya,hususan vile ambavyo kaziyake kubwa ni kuchakata nakuyeyusha protini.

  • 8/16/2019 ANNUUR 1230.pdf

    7/20

    7 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 20 - 26, 201Makala

    NILIWAHI kuandika katikatoleo namba 1224 la gazetihili zaidi ya mwezi mmojauliopita makala yenye anwani'Makhatibu WanapaswaKubadilika. Katika makalayale, pamoja na mambo kadhaa

    niliyoyaandika, niligusiapia suala la umuhimu wamaandalizi kabla ya utekelezajiwa jambo fulani na sehemu yamaelezo ya ufafanuzi wangukuhusu suala hili ilisomekahivi:

    ''Maandalizi ni jambo lamsingi katika kuleta ufanisikatika utekelezaji wa jambololote. Ni ukweli kwamba kunatofauti kubwa ya kiathari nakimatokeo kati ya shughuliau kazi inayofanywa kwakutanguliwa na maandalizina ile inayofanywa pasi nakutanguliwa na maandalizi''.

    Nimelazimika kurejeleanukuu hiyo kutoka katika

    makala yale kutokana namaudhui yake kuwa namafungamano, kwa kiasifulani, na jambo ninalokusudiakulidurusu katika makala hayaya leo, nalo si jingine bali nikuwakumbusha ndugu zanguWaislamu kuhusiana na kufanyamaandalizi ya Ramadhanwakati huu wa kuelekea katikamwezi huo mtukufu ambaotumewajibishiwa na Allah (S.W.)kutekeleza ibada ya swaumundanimwe (2:185).

    Nimeonelea kulingana nauchambuzi wa mada ya makalahaya, niyagawe maandalizininayokusudia kuyajadili

    katika makala yetu ya leokatika matapo mawili. Tapo lakwanza nimeamua kuliita tapola maandalizi ya kinadhariana la pili nimeliita tapo lamaandalizi ya kivitendo. Kwamaelezo ya ufafanuzi kuhusumatapo haya ni kwambamaandalizi ya kinadharia ni yaleyanayohusiana na kuwa na ujuziau maarifa, au kupata elimusahihi juu ya jambo fulani kablaya kulitekeleza wakati ambapomaandalizi ya kivitendo ni yaleyanayohusiana na utekelezaji wa

     jambo fulani baada ya kupataujuzi au maarifa kuhusiananalo kama sehemu ya mafunzo

    kwa njia ya vitendo au mazoezikwa lengo la kupata tajiriba yakukuwezesha kulitenda kwaufanisi zaidi jambo hilo katikasiku za usoni.

    Nitafafanua zaidi maelezohayo kuhusiana na ainazote mbili za maandalizinilizozidokeza katika ayailiyotangulia hapo juu; kwanzakwa kutumia mifano ya

     jumla inayotuzunguka katikamazingira yetu tunamoishina kisha nitaangazia mifanomahsusi inayowiana/inayoendana na mada yamjadala husika wa makalahaya. Kabla ya kutoa ufafanuzi

    Tujiandae kwa RamadhaniNa Abuu Nyamkomogi

    huo na kabla ya kuingia katika

    uchambuzi wa kiini cha mada yamakala haya, ni vyema nikatoautangulizi japo mfupi kuhusianana mwezi wa Ramadhankwa kuwa ndio mweziambao tunaokusudia kujadilimaandalizi ya funga ambayohufanyika ndanimwe kamatutakavyoona katika uchambuziwa makala haya huko mbeleinshaallaah.

    Ramadhan ni mmojawapokati ya miezi kumi namiwili inayopatikana katikamzunguko wa mwaka kamainavyobainishwa na Allah (S.W.)katika Qur-ani kwamba:

    ''Idadi ya miezi (ya mwaka

    mmoja) mbele ya MwenyeziMungu ni kumi na miwilikatika elimu ya MwenyeziMungu (Mwenyewe) tangu sikualipoumba mbingu na ardhi.....(9:36).

    Naam, ni dhahiri kwambahadi muda huu ninaoandikamakala haya tayari mwezi waShaaban umeshaingia; kwamuktadha huo, hapana shakakwamba zimesalia siku chachekabla ya kuingia/kuanza kwamwezi wa tisa kwa mujibu wakalenda ya Kiislaamu. Mwezihuu wa tisa hujulikana kwa jinala Ramadhan ambao tunatarajia,panapo majaliwa ya Allah (S.W.),

    kuudiriki na kutekeleza ibada yafunga yake ambayo ni mojawapokati ya nguzo tano za Uislamu,ndani ya hizo wiki tatu zijazoinshaallaah.

    Hata hivyo, kuudiriki aukutoudiriki mwezi huo ni

     jambo lililo nje ya uwezo wetu bali liko ndani ya uweza waAllah (S.W.) lakini jambo lililondani ya uwezo wetu ni sualala kufanya maandalizi kwaajili ya kuitendea swaumu yaRamadhan haki yake kamaipasavyo/kwa ufanisi iwapotukijaliwa kuweza kuudirikimwezi huo.

    Kwa kuanza na mfano

    wa jumla unaohusiana na

    maandalizi ya kinadhariani kwamba kwa kawaidamaandalizi ya namna hiihuhusiana na utoaji wa elimuau mafunzo ya fani mbalimbaliyanayoendeshwa katika taasisianuwai za kielimu na hususanvyuo vya kati na vya elimu ya

     juu hutanguliwa na ufikishajiau utoaji wa ujuzi au maarifaya kinadharia kwa walengwakuhusiana na fani husikawanazochukua/wanazosomeamathalani ualimu, udaktari,uhandisi, uandishi wa habarina utangazaji, kwa kutajachache. Hii ni baadhi tu yamifano ya fani chache kati ya

    nyingi zinazoweza kurejelewakatika kusherehesha dhana yamaandalizi ya kinadharia.

    Ama kwa upande wa mfanowa jumla wa maandaliziya kivitendo ni kwambaujuzi au maarifa yatolewayokinadharia hutafsiriwa kwautendaji na walengwa katikafani mbalimbali mithili ya hizotulizozitaja katika mfano wamaandalizi ya kinadharia katikaaya iliyotangulia hapo juu;hujikita katika mafunzo kwa njiaya vitendo, kwa mfano walimu,madaktari, wahandisi, waandishiwa habari na watangazajihuelekea au hupelekwa katika

    maeneo au vituo mbalimbalivya kufanyia mafunzo kwavitendo kwa ajili ya kutekelezaau kutafsiri kivitendo, kwakipindi fulani, yale mambowaliojifunza kinadharia wakatiwakiwa vyuoni na ambayowanatarajia kuyatekeleza kwaufanisi zaidi, watakapopataajira au watakapokuwa katikavituo vyao vya kazi, kupitia faniwalizosomea baada ya kuhitimumasomo au kukamilishamafunzo yao.

    Baada ya maelezo yaufafanuzi na mifano hiyomichache, inayoakisi mazingirayanayotuzunguka, kuhusu aina

    hizo mbili za maandalizi katikakufikia ufanisi au tija maridhawya jambo fulani; nirejelee sasakatika uchambuzi wa madaya mjadala wetu ili tuwezekukumbushana kunako suala lakujiandaa kwa ajili ya ibada yaswaumu ya mwezi mtukufu waRamadhani katika kipindi hikicha kuelekea mwezi huo.

    Mara nyingi wengi wetuwanaposikia suala la kufanyamaandalizi kwa ajili ya funga yaRamadhani, fikra zao huelekeazaidi katika kufikiria futari nadaku au kwa lugha nyingineyaweza kusemwa kwamba fikrazao humïli zaidi katika maakulina si vinginevyo. Ninasemahivyo kwa sababu nilipokuwakatika kufanya maandaliziya kuandika makala hayanilijaribu kuwauliza Waislamukadhaa kunako maandalizi yaokuhusu swaumu ya Ramadhan,yaani namna walivyojiandaaau wanavyotarajia kujiandaakwa ajili ya funga hiyo,

    majibu ya wengi kati yawale niliozungumza naoyalinithibitishia ukweli waninachokieleza hapa kwambafikra kuhusu maandalizi yaRamadhani kwa wengi wetuyamemili katika maakuli.

     Jambo hili linabeba ujumbemmoja mkubwa nao ni kwambalengo la ibada ya swaumu yaRamadhani halifahamiki na ndimaana hata maandalizi ya ibadahii kwa wengi wetu hayajielekekwenye kuliendea lengo halisila funga ambalo ni TAQWAkama lilivyobainishwa na Allah(S.W.) katika suratul-baqaraaya ya mia moja na themaninina tatu (2:183). Pamoja na Allah(S.W.) kutubainishia lengo laibada hiyo kupitia aya hiyo, bado wengi wetu tunaonekanakutolizingatia kabisa lengohili na kibaya zaidi yaelekeatumeamua kubuni lengolingine kabisa nalo ni MLO/KULA ambalo ni kinyume nalile tuliloelekezwa na Allah(S.W.) ndani ya Qur-an na ndiomaana unakuta hata maandalizyanayotushughulisha zaidini yale ya kimaakuli na sivinginevyo.

    Naomba nieleweke vizurihapa kwamba simaanishi yakuwa maakuli ni jambo lisilo naumuhimu au pengine ni jambo

    lisilopaswa kutiliwa maanani,la hasha! Bali ninachomaanishahapa ni kwamba tunapaswakuyachukulia maakuli kuwawasila wa kutusaidia kufika kultunakokusudia kufika (lengo) nsi kuyageuza yenyewe (maakulkuwa ndio kusudio kuu lautekelezaji wa ibada ya funga yRamadhani.

    Kwa mantiki hii, nguvukubwa ingepaswa kuwekezwakatika lengo na si wasila; nayumkini ama kwa kutozingatiwhili au kwa kupewa wasilauzito usiostahili badala ya

    Inaendelea Uk. 1

     MABANGO ya kuukaribisha mwezi wa Ramadhani katika mabasiya umma London, Uingereza.

  • 8/16/2019 ANNUUR 1230.pdf

    8/20

    8 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 20 - 26, 201Makala

    KATIKA jitihada za kumpamba

    Nyerere kwa lengo la kuwachafuamaraisi wengine waliomfuatia,mwandishi mwingine StephanoMango katika gazeti la Diratoleo namba 144 la 29.12.2011ameandika yafuatayo katikamakala yake yenye kichwa chahabari ‘Watanzania hawana nguvuya kiuchumi, kisiasa’:

    ‘Kwa busara ya MwalimuNyerere, aliona na kuamini kuwasiasa ya chama kimoja ingewaletawatu pamoja katika kufikiamalengo stahiki ya kuendelezanchi kijamii, kiuchumi nakiutamaduni.’ Yafaa tujiulize: Je,raisi wa sasa akifanya hivyo ataitwamwenye busara? Wangapi leowanakubaliana na hiyo inayoitwa busara ya Mwalimu Nyerere ya

    kuwa na chama kimoja tu cha siasa?Anaendelea kuandika akisema:‘Mwalimu alijikita katika Azimio laArusha ambalo lilikuwa ni uamuzimwingine wa kuboresha uhuru kwamaendeleo ya wananchi, ambapondani ya azimio hilo viongozi wanchi walifungwa na vipengelekadhaa kuhusu maadili stahiki yauongozi wa umma.’ Anaendeleakuandika akisema: ‘Jambo hilolilisaidia kuthibiti wafanya biasharawalanguzi au chembechembezozote za kibepari kuingia katikasiasa na uongozi wa wananchiambapo kwa dhati iliamuliwa siasaya ujamaa na kujitegemea kuwandiyo dira ya nchi na uongozi wake.Hali ya Tanzania ilikuwa nafuukuliko sasa.’

    Ingawa hali haikuwa nafuu kamamwandishi huyu anavyodai, hatakama ingekuwa nafuu, hiyo sio hojakwa sababu unafuu huo unawezakuwa umechangiwa na mambomengi na sio Nyerere na serikaliyake tu. Mara nyingi, hali kuwanzuri au mbaya husababishwa namchanganyiko wa mambo mengina sio serikali iliyopo madarakani.Aidha, kila mtu ni sehemu yaserikali, hivyo kabla ya kuilaumuserikali ni muhimu ajiulize yeye anamchango gani katika lawama hizo.

    Kwa ambao hawakuuonauongozi wa awamu ya kwanzawanaweza kuamini kuwa Tanzaniailikuwa kama peponi wakati huo,lakini hata mtoto aliyekuwa na umriwa chekechea wakati huo anaweza

    kukumbuka baadhi ya matatizoyaliyokuwapo.

    Kinyume na mwandishianavyotaka watu waamini, hayoanayoita maadili ya Azimio laArusha hayakufanikiwa kuwafungawatu katika uadilifu, na ushahidi nikufilisika kwa mashirika ya umma,kushamiri kwa wahujumu uchumina uhaba wa karibu kila bidhaamuhimu nchini. Kuna kipindiserikali ilitawaliwa kwa nguvuya ushawishi wa matajiri kiasiambacho hata al iyekuwa WaziriMkuu wa wakati huo, EdwardSokoine aliwahi kusema, serikaliilikuwa likizo.

    Mwandishi huyo anaendeleakuwadanganya watu kuwa baada

    Udini-5

    Kilichosababisha niitwe mdini

     HAYATI Mwalimu J.K. Nyerere ALHAJI Ali Hassan Mwinyi.

    ya mwalimu Nyerere kumalizangwe yake ya uongozi na kumpasiamzee wa ruksa, Ali HassanMwinyi, kijiti ili aendeleze kuijengaTanzania, ndipo mambo yalipoanzakuharibika.

    Kinyume na mwandishianavyotaka watu waamini, hakunaMtanzania wa kawaida ambayehakufurahia mabadiliko aliyofanyaraisi wa awamu ya pili, maarufukama Mzee Ruksa ya kufunguamilango ya biashara.

    Kitendo chake hicho kiliifanyanchi ijae bidhaa ambazo tulizoea

    kuziita adimu na ambazo amaMtanzania wa kawaida kabla yahapo alizoea kuzikosa, kuzipatakwa foleni yenye adha na karaha,au kwa bei ya juu sana iliyoitwamwendo wa kuruka. Hata jina laMzee Ruksa alilipewa na wananchikwa upendo waliokuwa nao kwakena kumuunga mkono katika uamuziwake huo.

    Mwandishi anadai kuwaviongozi wa CCM chini ya uenyekitiwa Raisi Mwinyi walifanyamabadiliko makubwa katikaAzimio la Arusha na kuleta Azimiola Zanzibar ambalo linatutafunahadi leo. Anaendelea kudai kuwakansa inayoendelea kuitafuna nchini ukosefu wa uzalendo miongonimwa viongozi wetu ambao kimsingi

    wanatokana na kufaidika kwakuvunjwa kwa Azimio la Arusha nakujilimbikizia mali na kufilisi bilahuruma rasilimali za nchi hii.

    Kama nilivyokwishasema,Nyerere alikuwa mwepesi nahodari wa kuingilia kati lolotelililokwenda kinyume na matakwayake, na shupavu kutetea kileanachoamini. Amewahi kuingiliakati suala la Zanzibar kujiunga naOIC akafanikiwa. Amewahi piakuzima jaribia la kundi la wabungewaliojiita G55 la kutaka serikaliya Tanganyika. Alikataa mashartiya IMF hata pale nchi ilipokuwaikihitaji sana msaada wake.Ukilinganisha na hayo, naaminikuwa Azimio la Zanzibar lilikuwa

    rahisi kwake kuliingilia iwapoangetaka kufanya hivyo.

    Azimio la Arusha likiwalimeshavunjwa, Nyerere mwenyewealiwahi kusema kulizungumziakunahitaji akili ya mwendawazimu, bila shaka akimaanisha kuwahalikubaliki. Aidha, uzalendohauletwi na maazimio wala kanunina sheria zilizoorodheshwa katikakaratasi. Uzalendo ni tabia ya mtu binafsi. Ukosefu wa uzalendona kufilisi nchi vilikuwepo hatawakati wa Azimio la Arusha. Kamatulivyokwishaona, mashirika ya

    umma yalitafunwa na kufilisikawakati huo. Walanguzi nawahujumu uchumi walikuwepokwa kiwango cha juu hata wakatihuo.

    Mwandishi analalamikakuwa leo kiongozi anachosemani kingine na anachotenda nikingine. Anashangaa na kutoamfano wa serikali kutangaza beiya sukari kuwa sh. 1700, lakinikuikuta dukani ikiuzwa sh. 2500hadi 3000. Kwake hilo analionakuwa ni walanguzi kupindisha nakuvunja sheria, kudharau nguvuna mamlaka ya serikali na dolakwa ujumla wake, jambo ambaloanataka kuwaaminisha watukuwa lisingeweza kutokea enzi zaNyerere.

    Hata hivyo, tofauti na wakatiwa Nyerere, serikali ya sasa hainakawaida ya kutangaza bei. Hatakama ilitangaza bei ya sukariwakati fulani, haikutangazakuwa bei hiyo ni ya kudumu nahaitabadilika hivyo hakuna la ajabusana ikibadilika. Pamoja na hayo,wahalifu hawawezi kukosekanahivyo kukiuka bei iliyotangazwana serikali sio jambo la kushangazasana. Kama hilo linamshangazamwandishi, basi wakati wa Nyerereangeshangaa zaidi.

    Wakati wa Nyerere kulikuwa naTume ya Bei iliyokuwa na jukumula kupanga bei karibu kwa kila bidhaa na kusimamia utekelezajiwake. Hata hivyo, ilifika wakati

    wananchi wakaibatiza tume hiyo nkuiita ‘Timua Bei’ badala ya ‘Tumeya Bei.’

    Ilibatizwa jina hilo kwa sababulicha ya kuwepo kwake, bidhaanyingi zilikuwa zikiuzwa kwamwendo wa kuruka yaani beikubwa kuliko ambavyo leo mtuanaweza kufikiria. Mfano: Kunawakati bei iliyopangwa na serikali,kupitia Tume ya Bei, ya mafuta ya

    taa ilikuwa sh. 4.20 kwa lita lakiniilikuwa kawaida kuona mafutahayo yakiuzwa sh. 20.00 kwa chupmoja ya cocacola yenye ujazo wamililita 300 yaani sawa na sh. 66.00kwa lita au zaidi ya mara 15 ya beihalali.

    Kwa mujibu wa maoni yamwandishi, mfumo wa uongoziuliopo sasa hauwezi kuakisimatakwa ya watu wengi kwamisingi imara ya kidemokrasiakwani itikadi za vyama na siasakatika uchaguzi ndiyo zinachukuasura ya utawala nchini. Ingawakwa kiasi kikubwa nakubalianana maoni yake, lakini ni muhimutukumbuke kuwa kwa sasademokrasia imeimarika sana kulikwakati wa awamu ya kwanza.

    Hata hayo mwandishi aliyoandikaasingeweza kuyaandika katikaawamu ya kwanza akawa na hakikya usalama wake.

    Wakati wa awamu ya kwanza naya pili raisi hakuwa na mpinzanina mfumo uliokuwapo ulikuwaunamhakikishia kupata zaidi ya90% za kura. Nakumbuka wakatimmoja waalimu wa shule ambayoilikuwa mojawapo ya vituo vyakupigia kura walilazimishwa,na watu waliosadikiwa kuwani Usalama wa Taifa, kuandikamaelezo chini ya usimamizi mkali,kama vile wako kwenye mtihani,kuhusu sababu za raisi kupata kurza hapana 10% ya kura zilizokuwazimepigwa katika kituo hicho.

    Kiwango hicho kilionekana

    kikubwa mno kiasi chakuishughulisha serikali na vyombovyake. Maelezo waalimu haowaliyotakiwa kutoa yalilengakuwajua wenye mawazoyanayopingana na ya raisi, chamana serikali, jambo ambalo kwawakati huo lilikuwa karibu sawana uhaini. Baada ya maelezo,karatasi zilikusanywa na hadi leomiongoni mwao hakuna anayejuakilichofuatia.

    Kwa upande wa wabunge namadiwani, wananchi walikuwawanapewa fursa ya kuchaguamtu mmoja kati ya wawili tuwalioteuliwa na chama. Hadihapo, hata mwenye akili zakawaida anaweza kuona kuwatayari sehemu kubwa ya uchaguzi

    inakuwa imeshafanyika na matokekutabirika hata kwa 80%.Kitendo tu cha kumwekea

    mgombea mpinzani dhaifu kwamakusudi na alama inayopendwazaidi, kati ya jembe na nyumbakwa wabunge, au kuku na yai kwamadiwani, kilimpa nafasi kubwa yushindi. Utafiti unaonyesha kuwa75% ya waliokuwa wakishindakatika uchaguzi wa wabunge niwale waliokuwa wakitumia alamaya jembe. Kwa ujumla, chaguziza sasa zinaakisi matakwa yawatu kuliko za enzi za Nyereremwandishi anazotamani aukujifanya anazitamani.

    Katika gazeti la Dira toleo namb

    Inaendelea Uk. 1

  • 8/16/2019 ANNUUR 1230.pdf

    9/20

    9 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 20 - 26, 201Tangazo

    ISLAMIC PROPAGATION CENTRE

    UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL KIRINJIKO ISLAMIC HIGH SCHOOL NYASAKA ISLAMIC HIGH SCHOOL

    Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za Kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:

    Ubungo Islamic High School - Dar es Salaam : 0687 820895/0657 350172

    Kirinjiko Islamic High School - Same, Kilimanjaro: 0784 296424/0756 676441

    Nyasaka Isamic High School - Mwanza: 0786 417685/0713 749020

    Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezibora ya Kiislamu. Shule hizi ni za BWENI za mchanganyiko wa wavulana na wasichana.Zipo Combinations zote za SAYANSI,  ARTS na BIASHARA.Muombaji awe na ufaulu wa masomo matatu (3) kwa kiwango cha ‘Credit’  (yaani A, B na C)Daraja la III (Division three) au zaidi na Grade D kwenye masomo ya Combination.

     

    Mwisho wa kurudisha fomu ni tarehe 02/05/2016.

    Fomu za maombi zinapatikana kwa gharama ya Shilingi 10,000= katika Tovuti:www.ipcorg.tz na katika vituo vifuatavyo:

    NAFASI ZA KIDATO CHA TANO - 2016/2017

    WAHI KURUDISHA FOMU ILI UJIHAKIKISHIE NAFASI

    Bismillahir Rahmaanir Rahiim

     ARUSHA:  Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo

    Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na Msikiti Mkuu

    Bondeni : 0783 438676/0715 438676.

    KILIMANJARO:  Moshi: Msikiti wa Riadha:07673453

    67/0686938077. Same Juhudi Studio mkabala na

    Benki ya NMB Same: 0757 013344. Same: Kirinjiko

    Islamic Secondry School: 0784 296424/0713

    115041. Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054.

    Ugweno – Simbomu centre Mwl. Hidaya A. Mussa:

    0784 656514

    TANGA:  Twalut Islamic Centre – Mabovu

    Darajani : 0715 894111/0713 014469. Uongofu

    Bookshop: 0784 982525. Korogwe: SHEMEASHOP : 0754 690007/071569008. Mandia Shop

    - Lushoto: 0782257533. Handeni –Mafiga -0782

    105735/0657093983

    MWANZA: Nyasaka Islamic Secondary School : 0717

    417685/0786 417685. Ofisi ya Islamic Education

    Panel – Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-

    Amin 0785 086 770/0714097362.

    BUKOBA: Ofisi ya Kutaiba Saccos: 0765 748056

    MUSOMA:  Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa

    Karume,Nyumba Na. 05 : 0765024623/0787868611

    SHINYANGA: Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa

    ya Shinyanga Mjini :0655608139/0768895484

    KAHAMA: Ofisi ya Kamati ipo karibu na zahanati ya

    Doctor Dalali: 0754 994738/0782 994738Dar es Salaam: Ubungo Islamic High School : 07

    56584625/0657350172/0712 033556. Ofisi ya

    Islamic Ed. Panel –Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin

    : 0655144474/0787119531

    MOROGORO:  Wasiliana na Ramadhani Chale :

    0715704380. Ifakara wasiliana na Mwl. Sharifu:

    0659 158958

    GEITA: Ofisi ya Kamati karibu na mashine ya

    kukobolea mpunga shilabera: 0765 748056

    DODOM A: Hijra Islamic Primary School : 0716

    544757/0718661992SINGIDA: Ofisi ya Islamic Education. Panel

     – karibu na Nuru snack Hotel : 0786

    425838/0784 928039.

    MANYARA: Ofisi ya Islamic Ed. Panel – Masjid

    Rahma: 0784491196

    KIGOMA:Msikiti wa Mwandiga: 0714717727.

    Kibondo – Islamic Nursery School:

    0766406669. Kasulu: Murubona Isl.SS:

    0714710802/0763 298440

    LINDI:  Wapemba Store: 0784 974041/0783

    488444/0653 705627.

    MTWARA:  Ofisi ya Islamic Education Panel,

    Mtaa wa Magomeni A mkabala njia panda ya

    uwanja wa ndege: 0715 465158/0787 231007.

    SONGEA: Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa

     NURU : 0713249264. Mkuzo Islamic High

    School :0654 876317

    MBEYA: Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini

     – 0785425319. Rexona Video mkabala na

    Mbeya RETICO: 0713 200209/0785425319.

    Rukwa:  Sumbawanga:Jengo la Haji Said –Shule ya Msingi Kizwike: 0757090228/0786313830TABORA:  Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784

    944566/0718 556355. Nzega - Dk. Mbaga-0754

    576922/0784576922.

    IRINGA: Madrastun – Najah: 0714 522 122.

    PEMBA:  Wete: Wete Islamic School : 0777

    432331/0712772326.

    UNGUJA: Madrasatul – Fallah: 0777125074.

    PANDU BOOKSHOP 0777462056 karibu na

    uwanja wa Lumumba

    MAFIA: Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na

    msikiti mkuu : 0773580703.

    Mwisho wa kurudisha fomu ni tarehe 30/05/2016

  • 8/16/2019 ANNUUR 1230.pdf

    10/20

    10 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 20 - 26, 201Makala

    “Nendeni mkafanye

    kazi kabla hamjaja kulalahapa.”

    Ilikuwa ni nasaha nakauli ya mwisho ya JumaMustapha Msenguzi kwawatu waliokuwa karibunaye.

    Aliitoa kauli hiyoakiwaambia SuleimanDaudi na Dr. Swalehe

     Juma Nyumba.Ilikuwa ni saa 3 usiku

    Ijumaa, Mei 6, 2016ambapo wawili hao

    walimpitia hospitaliMsenguzi kumjulia halina kumuaga kuwa keshoyake wangesafiri kwendaIringa kufanya semina yaKamati ya Wataalamu waAfya.

    Dr. Swalehe JumaNyumba ni Amri waKamati ya Wataalamuwa Afya (Taifa) chini yaKamati ya KuendelezaUislamu.

    “Nendeni mkafanyekazi kabla hamjaja kulalahapa.”

    Ilikuwa ni kauli fupiya Juma MustaphaMsenguzi akiwatizamaSuleiman Daudi na Dr.Swalehe Juma Nyumba,kwa jicho la kuagana naolakini pia kuwahimizakutumia vyema neema yauhai na afya.

    Na kweli ilikuwa niusia na kauli ya kuaganakwani kilichofuatia niwasafiri hao kushiriki

    kumuosha na kumkafiniMsenguzi kabla yamazishi yaliyofanyikaMagugu , Babati AlhamisiMei 12, 2016 saa 3asubuhi.

    Ilibidi warejee kutokaIringa baada ya kuwafikiahabari kwamba JumaMustapha Msenguziamefariki usiku wa

     Jumanne Mei 10.Siku moja kabla ya

    kukutana na kutoa

    Kikata utamu hakina hodi…

    Fanyeni kazi kabla hamjalazwa hapa

     JUMA Mustapha Msenguzi (kushoto) wakati wa uhai wake.

    usia kwa Dr. Jumbana Suleiman Daudi,Msenguzi aliwaitaviongozi wenzake waKamati ya KuendelezaUislamu Singida wajehospitali Dodoma

    waongee.Hiyo ilikuwa tarehe

    5 Mei, 2016 na katikamambo aliyotaka kujuani namna kila mmojawao anavyotekelezamajukumu yake katika

    yale waliyokubalianakufanya.

    Na kubwa ilikuwakupatikana fedha nakuhakikisha kuwa majiyanapatikana katikakituo chao cha mkoawalichokuwa wakijenga.

    Mpango ilikuwawapate maji ya uhakikandio wapate kuitishatamasha la kitaifa kamainavyofanyika katikamikoa mingine.

    Kwa bahati mbaya

    katika kikao kileilionekana kwambahakuna hatua iliyokuwaimepigwa katikakutekeleza jambo lile haliiliyomfanya Msenguzikulia sana.

    “Mimi siwaambiimnichangie pesa zamatibabu yangu,nazungumzia pesakwa ajili ya Kituo chaKiislamu…”, ilikuwakauli yake kwa viongoziwenzake.

    Lakini alikuwa piaameongea na wakezewakiwa Singida ambapoaliwahimiza kufanya kaziza jamii (Uislamu) badalaya kuja kumtizamakwani Dodoma yupo naWaislamu.

    Hata hivyo, aliona hakiya wakeze kuja kumuonana akawapa maelekezoya kuja kwa zamu, hatahivyo akafariki kablahawajaja kumuona.

     Juma MustaphaMsenguzi alizaliwamwaka 1976 Magugu,Babati mkoa wa Manyarana kupata elimu yake yaMsingi huko huko (1987-1994).

    Kati ya mwaka 1996hadi 2003 alikuwamwanafunzi katika Chuocha Kiislamu, maarufuMarkaz Chang’ombe,

     jijini Dar es Salaam,

    PICHA juu ni mwili wa marhuum Juma Mustapha Msenguziukipelekwa mazikoni na waumini. Chini baada ya mwili huo baadaya kuzikwa.

    Inaendelea Uk. 11

  • 8/16/2019 ANNUUR 1230.pdf

    11/20

    11 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 20 - 26, 20111 AN-NUU

    MAKALA 

    Fanyeni kazi kabla hamjalazwa hapaInatoka Uk. 10

    ambapo alihitimu katikakiwango cha Thanawi

    (sekondari).Kutokea hapo akawaanafanya shuguli zakidini ikiwa ni pamojana kuendesha madrasaBabati na Singida.

    Hadi anafarikialikuwa Amri waKamati ya KuendelezaUislamu mkoa waSingida, halikadhalikaAmir wa Kanda ya Katiinayojumuisha mikoaya Singida, Manyara na

    Dodoma.Katika jumla ya

    miradi mikubwaaliyoacha katika hatuaza kukamilika ni ujenziwa Kituo cha Kiislamucha Mkoa ambacho ndiokilimtoa machozi baadaya kuona sipidi inakuwandogo na kuingia daliliya uzembe na uvivu.

    Alianza kuugua kiasimiezi mitatu iliyopitana wiki kadhaa kablaya kifo chake alikwendaDodoma kufanyiwavipimo zaidi ambapoiligundulika kuwaalikuwa na tatizo la figo(zilikuwa zimefeli).

    Alilazwa katikahospitali ya Chuo KikuuDodoma (UDOM)kitengo cha figo namauti yakamkuta akiwahospitalini hapo.

     Juma Mustapha

    Msenguzi, zaidi yakazi kubwa alizofanyaakiwa Amir wa Mkoana Kanda, alikuwaakishiriki matamashana semina mbalimbalizilizokuwa zikihusishamikoa yote nchini nahapo akitoa mchangowake kwa kuwa mmojawa watoa mada nakuendesha Darsa Duara.

    Mazishi yake

    yalihudhuriwa na umatiwa watu ambapo kutokaSingida yalikuja mabasimatatu huku wenginewakija na magari binafsi.

    Mikoa mingineiliyoleta wawakilishikatika mazishi ni Pemba(Sheikh Salum Juma),

    Unguja Amir HamisHamad Omar hukuMwanza wakija watu 20wakiongozwa na Amirwa Mkoa Ustadh Ninga.

    Tabora walikuja watu7 wakiongozwa naAmir Adam Kusega,Arusha watu 10, Iringa

    aliwakilisha AmirDhulkifli, Dar es Salaamwatu 5 wakiongozwana Amiri Taifa Ustadh

    Mohammed R. Kassim,Dodoma watu 6 naTanga ikawakilishwa naAmir Khatibu Idd.

     Juma MustaphaMsenguzi ametanguliambele ya haki akiachawajane 2 na watoto5-Innaalillaahi wainnaailayhir rajiuun.

    “Hili suala ni lakawaida, lakinihalizoeleki. Tupohapa duniani kwakazi maalum, nayoni kumtumikia Allah(swt). Tupo kwa ajiliya kuhakikisha kuwadunia inakuwa mahalipa amani na furaha yakweli.”

    Hizo zilikuwa nasahaza Amri Taifa UstadhMohammed RamadhaniKassim katika maziko.

    “Wakatitunamuuguza

    marehemu, alisema‘fanyeni kablahamjafika hapa kwasababu ukifika hapa(ukiwa mgonjwa)huwezi kufanya tena’.”

    “Marehemu alisemahayo akisisitiza tufanyekazi hii ya Allah badotukiwa na neema yaafya.”

    Aliongeza Amir,ambapo kila mwakilishiwakiwemo Msheikh

    waliohudhuriawalikazia nasaha hizokwa kuwataka wauminikushikamana na kazinjema alizokuwaakifanya marehemu.

    Waongeze juhudina kufanya yotewatakayofanya kwaIkhlas wakitegemeamalipo kutoka kwaAllah (SW).

     MARHUUM Juma Mustapha Msenguzi (kushoto) akiwa na AmiriTaifa Ustadh Mohammed R. Kassim.

    WAUMINI mbalimbali wakiwa katika maziko ya Ustadh Msenguzi

    WAUMINI mbalimbali wakiwa katika maziko ya Ustadh Msenguzi

  • 8/16/2019 ANNUUR 1230.pdf

    12/20

    12 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 20 - 26, 20112 MAKALA 

     Amina Abdallah Vs Nuseiba MohamedInatoka Uk. 5

    Katika kipindi hicho cha kuanzaghasia Syria, mtandao wa Aminaukawa ni moja ya vyanzo muhimu

    vya habari vya kutegemewa navyombo vya habari vya Ulaya naMarekani, na hata katika nchi zaKiarabu. Mwandishi KatherineMarsh wa gazeti la The Guardian,la Uingereza akimsifia Amina namtandao wake akasema kuwa huyoni ‘mwanamke wa shoka’, shujaaaliyethubutu kukata minyororoya mila potofu za Kiarabu.Mwanamke mkweli aliyejitokezakupigania haki za raia wa Syria bila kuhofia kujitangaza kwambayeye ni “shoga wa kike”. Kwahiyo anastahiki kuungwa mkono.(Tazama: Marsh, Katherine (6 May2011). "A Gay Girl in Damascusbecomes a heroine of the Syrian revolt".The Guardian (London).)

    Magazeti makubwa yakuheshimika kama The New YorkTimes , yakamsifu Amina AbdallahArraf kwamba ni mwanamamamwenye uraia wa nchi mbili,Syria na Marekani kwa sababuMama yake ni Mmarekani huku baba yake akiwa Msyria. Katikakumsifu zaidi The New YorkTimes wakasema kuwa Aminaana mizizi mirefu ("very deep" American roots) ya Kimarekani kwasababu yeye alizaliwa Staunton,Virginia, Oktoba 1975 baba akiwani Abdallah Ismail Arraf na mamaBi Caroline McClure Arraf. Nakwamba huyu babu McCluresalihamia Virginia kutoka Ulstermwaka 1742. Katika kukamilishautambulisho wa Amina ikaandikwakwamba mababu wa Amina waupande huu wa kikeni, walipigana

    vita ya mapinduzi ya Marekani( American Revolution at Yorktown)na hivyo huyu Amina ana haki yakujiita kuwa ni Binti wa Mapinduziya Kimarekani-DAR [A Daughter ofthe American Revolution].” (Mackey,Robert; Liam Stack. "After Reportof Disappearance, Questions AboutSyrian-American Blogger", The NewYork Times, 7 June 2011)

    Maelezo zaidi yakasema kuwafamilia yake ilihamia Syria wakatiAisha akiwa na umri wa miezi sitatu na kuishi huko kwa muda japo baadae Aisha alirejea tena Marekanimwaka 1982 na kukulia huko.Vyombo vya habari vikimnukuuAmina vinasema kuwa alijitambuakuwa ni “shoga wa kike” akiwana umri wa miaka 15, lakini hiyo

    haikumzuiya kuwa ‘Muislamu’.Blog ilizidi kupata umaarufu

     baada ya kuchapisha habarikwamba Amina alivamiwa namakachero wawili wakitakakumteka akiwa nyumbani kwao,lakini baba yake akapambana naoakawatimua. Amina akiandikahabari hiyo Aprili 26, 2011 katikaBlog yake aliipa kichwa cha habari:" My Father the Hero."

    Kutekwa nyaraTarehe 6 Juni, 2011 vyombo

    vya habari viliripoti kuwa AminaArraf alikuwa ametekwa namakachero wa serikali ya Syria.Katika kusherehesha tukio hilolililovyotokea, ikaandikwa kwambaalitekwa saa 12 jioni wakati Amina

    akiwa eneo la kituo cha mabasiAbbasid (Abbasid bus station) , mtaawa Fares al Khouri, katika jiji laDamascus akienda kukutana na baadhi ya wenzake ambao kwapamoja walikuwa wakiandaa

    maandamano dhidi Bashar Assad.Akiwa anatembea walitokeaaskari watatu waliokuwa na silahawakamkamata na kuondokanaye. Ikadaiwa kuwa tukio hiloliliripotiwa na mtu aliyeitwa RaniaIsmail, ambaye ni katika ndugu wadamu wa Amina. (Tazama: "SyrianLesbian Blogger Amina AbdallahMissing In Damascus". Lez GetReal. 2011-04-27.)

    Baada ya habari hizo kusambaa,zikawasha moto nyikani mchanawa jua kali wakati wa kiangazi.Vyombo vya habari vikaja juu,wakitaka serikali ya Basharimwachie Amina. Zikatengenezwa‘websites’ na ‘Facebook pages’maalum kwa ajili ya watu kutoamaoni yao na shinikizo kwa

    Bashar halikadhalika kwa serikaliya Marekani kuchukua hatua.Watu zaidi ya 10,000 wakasainiwaraka uliotumwa katika mtandao.Almuhimu kwa ujumla wake,vyombo vya habari vikawavinapaza sauti kila kona vikimsifuAmina na kuhimiza aachiweharaka. (Nassar, Angie (7 June 2011)."A Gay Girl in Damascus bloggerkidnapped". NOW Lebanon.)

    Kwa upande wake mwandsihiAndrew Belonsky akiandikia jarida linaloitwa-“Death andTaxes" akasema ni lazima serikaliya Marekani itumie nguvu zakekuhakikisha kuwa Amina Arrafanaachiwa. Tarehe 7 Juni, 2011White House kupitia U.S. State

    Department (Wizara ya Mamboya Nje) ikatoa kauli ikisemakuwa inalitizama jambo hilo nakutafakari hatua za kuchukua.(Tazama: 1. "Gay Girl in Damascus"Kidnapped: How Should U.S.

    Respond?". International BusinessTimes. (2) "'A Gay Girl in Damascus'Blogger Kidnapped at Gun point inSyria". FoxNews.)

    Mpaka hapo mambobambam. Sasa subiri!

    Amina Arraf al Omari hakuwamtu wa kweli. Habari zotezilizosimuliwa hapa zilikuwaza kutunga tu. Ulikuwa urongomtupu. Ilikuwaje?

    Mtandao ‘A Gay Girl InDamascus’, ulianzishwa na TomMacMaster na mkewe BriaFroelicher. Wakajifanya ndioAmina na kuingiza taarifa zotehizo ambazo vyombo vya habarinavyo vilikuwa vinaziokota na

    kuzisambaza.Picha walizokuwa wakitumiakuwa ni za Amina zilikuwaza Jelena Lečić, msichana waki- Croatia, aliyekuwa akifanyakazi Uingereza. (Tazama: Chuck,Elizabeth (8 June 2011). "Londonersays missing Syrian blogger stole heridentity". MSNBC. Addley, Esther;Hassan, Nidaa (8 June 2011). "Syria: Mystery surrounds 'Gay Girl inDamascus' blogger abduction". TheGuardian (London). (30) Steger,Isabella (8 June 2011). "Photos ofSyrian-American Blogger Called intoQuestion". Wall Street Journal.

    Rudia kusoma makala hiiukitizama jinsi habari ya Aminailivyokuwa ikipewa uzito katika

    vyombo vya habari mpaka kufikakatika Bunge la Marekani na WhitHouse. Kumbe yote ‘hewa’. Mambya kutunga. Uwongo mtupu.Lakini usisahau kuwa ni kwakutumia uwongo kama huo, Bashaanapigwa, Syria imesambaratishw

    Wapo watu leo hii, wakiwemoMasheikh wa kuaminika nawenye elimu zao, wanatoa

    ‘fat’wa’ wakisema kuwa japoIS wanapigania kusimamishaDola ya Kiislamu, lakini mambowanayofanya ni kinyume chaUislamu. Watatoa Aya na Hadithi.Masikini ambacho hawafahamuni kuwa hoja ya msingi hapani kuwa IS ni nani? Je, wapoIS kama tunavyoambiwa nawanavyowasilishwa kwetu kupitiavyombo vya habari?

    Wasichojua watoa fa’twa hawana wanaodaiwa kuwa wachambuzwa BBC n.k. ni kuwa ISIS auyeyote anayenasibishwa na waoni hao hao akina Tom MacMasterna Bria Froelicher katika koti laAmina Abdallah Arraf al Omarina mtandao wao wa ‘A Gay Girl InDamascus’.

    Wasichana wa Nigeria wakipewmajina ya bandia kama akina "Sa'awanapelekwa Marekani kutoaushuhuda juu ya ukatili wa BokoHaram (Waislamu wa NigeriaKaskazini) kwamba wanauwaWakristo, kuteka wasichana nakuwafanya watumwa wa ngonohuku wengine wakiwavishamabomu wajilipue. Kutokanana ushuhuda wa kina “Sa’a”, BiFrederica Smith Wilson (D-Fla.),anasema:

    "It appears as if genocide istaking place" leaving a "wholegeneration of children who are not being educated because schools ar being destroyed.”

     Je, habari hizo ni za kweli? Je,Abubakar Shekau (kiongozi waBoko Haram), ni mtu halisi au ndiwale wale akina Amina AbdallahArraf al Omari aka ‘A Gay Girl InDamascus’?

    Ukisikia Al-Shabaab wameuwawatu Garissa, hoja ya msingi yakuhangaika nayo sio kwambawalilofanya linakubalika auhalikubaliki. Ni wazi halikubalikikwa vigezo vyote, iwe ni kidini,kisiasa au vyovyote vile. Swalini je, nani Al-Shabaab? Je, niwale waliotokana na Umoja waMahakama za Kiislamu au niwengine wa kutengenezwa naakina Tom MacMaster?

    Sasa ni hivyo hivyo, watasemakuwa kina Aisha na Saleh

    wana uwezo kutengeneza nakushambulia kwa kimeta naitapigwa propaganda mpakamtaamini. Hata maprofesa wa vyuvikuu walio wataalamu wa elimuya virusi-virolojia (virologists),watapumbazika kwa propaganda,kuamini na kutishika kuwa BiNuseiba Mohammed Haji namumewe Mohammed Ali Abdiwana uwezo wa kutengeneza bomla ‘anthrax’!

    Huku kwetu ndio hayo hayo.Sheikh Msellem Ali na wenzakewapo ndani mwaka wa tatu sasa.Hakuna kesi hakuna chochote. Kilsiku habari ni ileile “uchunguzihaujakamilika.”

    Tom MacMaster (kulia).

  • 8/16/2019 ANNUUR 1230.pdf

    13/20

    13 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 20 - 26, 201MAKALA 

    CHUKI kusababisha hasidi

    na uadui. Chuki wakatimwingine humfanya mtukuwa mpumbavu. Chukihumfanya mtu kuwa na kibri,dharau, hasira, mbinafsi namwenye choyo. Mwenyechuki, kila litakalomfikiakuhusu anayemchukia auanachokichukia, liwe ni jamboau kitu sahihi au chenyekweli ndani yake, hata kamakunadhihiri matiki na usahihi,kwa msukumo wa chuki,kwa mwenye nafsi ya chukijambo hilo litakuwa batili nalisilokubalika kwake.

    Kwa kifupi niseme tukwamba chuki ni maradhimabaya, ambayo hatma yakeni mwenye nayo kupata hasarana fadhaa. Chuki ya kijamiiinaonyeshwa kwa viwangotofauti. Inaweza kuonyeshwakwa matusi au maneno yenyekuumiza hisia au kwa jitihadaza kitaifa za kuangamiza jamiinzima. Wale wanaokandamizwahawana mtu wa kuwafarijihuku wakandamizaji wakiwa niwenye nguvu.

    Pamoja na kwamba viongoziwa dini wamekuwa wakitajwakuwa ndio msingi wa kujengamaadili, kutetea haki nakulaani dhuluma katika jamiina kwamba jamii pia ina utiimkubwa kwa viongozi hawa,

    lakini Dini na viongozi wakewanaonekana hawajasaidia sanakupinga chuki katika kijamii.

    Ingawa baadhi ya viongozihao na baadhi ya wanaharakatiwa haki za kibinadamuwanaelezwa kwambawamekuwa mashuhurikwa sababu ya kupingaukandamizaji, lakini kwa ujumlaviongozi wa dini wanaonekanakuuunga mkono wakandamizaji.

    Huko Marekani ambakoubaguzi kwa watu weusiuliungwa mkono kisheriana kupigwa marufuku ndoakati ya weusi na weupekukiendelea hadi mwaka 1967,

    lakini pamoja na sheria hizokuondolewa bado hata leokuna masalia ya vitendo vyakibaguzi na unyanyapaa dhidiya watu weusi, wahamiaji nawatu wa jamii ya Kiislamuvinavyoendelea kufanyikakwasababu ya mazoea ya kuwana chuki tu.

    Huko Afrika Kusini wakatiwa ubaguzi wa rangi, watuwachache walipokuwawakidumisha mamlaka yaokwa kutumia sheria ambazo piazilipiga marufuku ndoa kati yawatu wa rangi tofauti, lakiniajabu ni kwamba baadhi ya watuwaliounga mkono ubaguzi huo

    Chuki kamwe haitakuwa na maslahi kwenuHanufaiki mwenye nayo

    Wala anayechukiwa

    Na Shaban Rajab

    walikuwa watu wanaoshikiliasana dini.

    Inashngaza kwa nini jamiifulani zinakandamiza jamiinyinginezo kwa chuki zakiimani, huku wakiwa ni watuwenye dini zinazohubiri upendo.

     “Yeye ambaye hapendihajamjua Mungu, kwa sababuMungu ni upendo. Yeyoteakisema: ‘Mimi nampendaMungu,’ na bado anamchukiandugu yake, yeye ni mwongo.Kwa maana yeye ambayehampendi ndugu yake, ambayeamemwona, hawezi kuwaanampenda Mungu, ambaye

    hajamwona.” (1 Yohana 4:8, 20).Mistari hiyo katika Bibliainaonyesha chanzo cha chukikatika kijamii, kwambawanadini na watu wasiowanadini, wanaonyesha chuki yakijamii kwa sababu hawajamjuaMungu na hawampendi.

    Tunajiuliza, inakuwaje naviongozi wa dini wawe vinarawa kueneza chuki kupitiamafundisho yao, kiasi chakusababisha watu wa imaninyingine kudhulumiwa,kudharauliwa, waonewa nawasipate kusikilizwa shida zao.

    Viongozi wa namna hii inatiashaka kama kweli wanampenda

    na wanamjua kiasi cha waokuwa chanzo cha upendo kwawanajamii.

    Leo hii kila kona duniani,hususan katika mataifa ya baraUlaya na Marekani, jamii yaKiislamu inaonekana kamawahalifu na wasiostahili kuwepoduniani.

    Kisa cha chuki yote hiyo nimatokeo ya propaganda yauhalifu unaotokana na ugaidi,ambao unanasibishwqa naUislamu na Waislamu.

    Dhana hiyo hiyo imekuwakichocheo kikubwa chakuchukiwa jamii ya Waislamukila kona. Badala ya nguvu

    kuelekezwa kupambana namagaidi wawe ni Waislamu auwasiokuwa Waislamu, nguvuzinaelekezwa kupambana naWaislamu kwasababu tu, imaniyao inanasibishwa na ugaidi.

    Chuki ya kijamii inaonyeshwakwa viwango tofauti. Inawezakuonyeshwa kwa matusi aumaneno yenye kuumiza hisiaau kwa jitihada za kitaifa zakuangamiza jamii nzima.

    Chuki imekuwa sababukubwa ya jamii ya kushindwakuishi pamoja kwa amani naupendo na kwa kuaminiana.

    Leo watu wa jamii moja, wa

    hadhi moja, wa imani mojawanafurahia kuwakandamizawengine. Wanaokandamizwahawana wa kuwafariji hukuwakandamizaji wakiwa nanguvu zao kama jamii nawakitegemea pia ukimya wamamlaka kutokemea matendoyanayotokana na chuki hizo.

    Wakati hali ikiwa hivyo Diniambazo tunaamini ndizo msingiwa haki, upendo, umoja naustawi wa maadili, hazionekanikusaidia kupinga chuki hiyo yakijamii ambayo ni hatari kwausalama wa watu katika Mataifayao.

    Pamoja na kwamba baadhi

    ya watu wamekuwa mashuhurikwa sababu ya kupingaukandamizaji, lakini watu haowamekosa mchango unaostahikikutoka kwa viongozi wa dini.Badala yake katika nchi nyingiviongozi wa dini kwa kifichocha ukereketwa wa dini zaowamekuwa wakiwaunga mkonowakandamizaji, huku wengi waowakilindwa na mamlaka.

    Huko Marekani ambakoubaguzi kuelekea watu weusiuliungwa mkono kisheria. Watuwaliteketezwa kwa sababu yaubaguzi. Hata hivyo sheriambovu za mamlaka zilizokuwazinapiga marufuku ndoa kati

    ya weusi na weupe, ubaguziwa rangi, jinsia, ziliendeleakufuatwa hadi mwaka 1967.

    Lakini kwa kuwa ubaguziulishakolea na kuwa jambo lamazoea, hadi leo kuna vimeleavya kibaguzi nchini humo, hasadhidi ya weusi na watu wa jamiya Kiislamu na wahamiaji kwaujumla.

    Huko Afrika Kusini wakatiwa ubaguzi wa rangi hadimiaka ya 1990s, watu wachachewalipokuwa wakidumishamamlaka yao kwa kutumiasheria mbovu ambazo zilipigamarufuku ndoa kati ya watu warangi tofauti na weusi kushirikisiasa.

    Hadi leo nako kuna mazoeaya kibaguzi licha ya kwambatunaelezwa kuwa sera za

    kibaguzi zilishaondolewa tanguawamu ya kwanza ya uongoziwa Hayati Nelson Mandela.

    Lakini tumeshuhudia hivikaribuni tu, wahamiaji nchinihumo wakiuliwa, wakichomewmakazi yao nk, tena na weusiwenzao. Yote hayo ni matokeoya wenyeji kuishi kwa miakamingi katika zama za chukina ubinafsi wa makaburu. Leomiaka 35 Imepita lakini nafsiile ile ya chuki waliyokolezwana Makaburu bado wanayo nawanaitumia dhidi ya wageni,wenyeji wakijiona wao ndiowenye mamlaka na haki dhidi ywengine.

    Kila binadamu mwenyenafsi na moyo, hakosi kuwa nimwenye kuchukia. Ni mojawapya sifa za mwanadamu. Ni kamilivyo nafsi ya ubinafsi, kilamtu ana sifa ya ubinafsi lakinitofauti ni viwango vya ubinafsiwenyewe.

    Wapo wenye ubinafsiuliopitiliza (excessiveindividualism) kwa mfanomafisadi. Watu wa namna hiiwapo tayari kutumia nafasizao katika jamii, kukomba nakuhodhi kila kitu (kisichokuwachao) kwa kiwango wasichowezkukitumia kwa maslahi yaotu na watu wenye haki nawalichohodhi wakateseka nakuathirika.

    Kadhalika hata kwenye sifa ychuki, mtu anaweza kuchukiakwa heri, kwa maana kuchukuauovu, dhuylma maasi nk. Lakinwapo wenye chuki zilizopitilizaza uadui na ubinafsi.

    Mwenye chuki ya namnahii yupo tayari kutumianafasi au mamlaka, mali,nguvu au umashuhuri alionao kukandamiza, kupora nakudhulumu haki za wenginekwa sababu ya chuki yake tudhidi ya anaowachukia.

    Kwa mfano kiongoziInaendelea Uk. 1

  • 8/16/2019 ANNUUR 1230.pdf

    14/20

    14 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 20 - 26, 201MAKALA/MASHAIRI

    Inatoka Uk. 13

    Chuki kamwe haitakuwa na maslahi kwenuwa serikali, chama,taasisi, shirika au

     Jumuia akimchukuamwanachama au mjumbeau mfanyakazi, au hatakiongozi mwenzake, kwachuki yake yupo tayarikutafuta mbinu yeyoteovu ya kumtia adabuanayemchukia.

    Na mara nyingimwenye chuki katikamaeneo haya hutumiazaidi fitna na majungukama njia ya kifichoinayoweza kuitumikakumdhoofisha

    unayemchukia.Hatma yake

    anayechukiwa, bilasababu za msingianaweza kufutwa kazi,

    kusimamishwa kazi,kupunguzwa cheo,kunyang’anywa malizake au kufilisiwana wakati mwinginehata mauaji yanawezakufanyika.

    Polisi akimchukiamtuhumiwa, atamtiamateke, virungu nakumtesa kwa kila kilanamna ili kukidhi kiuyake ya chuki kwa

    anayemkamata.Kwa nafasi yake,

    atafanya ghiliba za kilanamna kumtia mtu ndanna kuzuia dhamana,

    atambambikia kesiisiyomhusu mtuhumiwaAtaandika maelezo yauongo kwa mtuhumiwana kwa nafasi yakeya kuwa mtendajiwa chombo cha dola,hakuna wa kumhoji walkumkosoa. Yote hayoatayafanya hata kamaanakiuka sheria.

    Kwa kuwa mwenyechuki mara zotehufanya uovu wake kwakificho ili isifahamikedhahiri kwasababuuovu anaofanya haunamashiko ya haki, yupotayari kumdhurumwenzake na kutimiza

    matakwa yake hatakwa kutumia njia zakishirikina. Hawa kwachuki tu, wapo tayarihata kuua.

    Hata hivyo chukimbaya zaidi kwawanadamu ni ya kidini.Kwa bahati mbayachanzo cha chuki hiikwa watu a imani tofautni viongozi wa dini naviongozi wa serikali.

    Hawa ndio wamekuwwachochezi na waleziwakubwa wa chuki hiimiongoni mwa wananchambao wanaamini katikaimani tofauti.

    Mafundisho potofu yaviongozi wa imani mojadhidi ya imani nyingineyamechangia sanakuongezeka viwangovya chuki kwa watu.Upendelao wa viongozina watendaji wengi waserikali kwa wananchikwa misingi ya imanizao, nako kumechocheamuendelezo huu wachuki na sasa imekuwani ugonjwa sugu nchini.

    Chuki imetokeakuwa adui mkubwakabisa ambaye tunaishinaye, tunatembea nayena tunalala naye nakushauriana naye kilakukicha. Chuki hii ni

    nafsi iliyojaa uaduiuwovu na majivuno,yakiambatana na kiburina kutafuta kukomoana,pasipo sababu za maana

    Nafsi ya chukiikichukua nafasi kubwakatika tabia ya mtu,ikakita mizizi yakekwenye nafsi zetu basihuondoa mfungamanowa kirafiki na kinduguna hata majadiliano bainya watu hukosa busarana hekma, kiasi chakusababisha utengano nuhasama.

    Itaendelea toleo lijalo

    Kalamu i mkononi, taarifa kukupeni,Si wengine Waumini, wa Bara na Visiwani, Japokuwa ya huzuni, qadari ipokeeni,MSENGUZI hatunaye, akhera katanguliya.

    MSENGUZI kwa yakini, hatunaye duniani,''Inna lillahi semeni, ''wainna'' kamilisheni,Aula kwa Waumini, kunenavyo msibani,MSENGUZI hatunaye, akhera katanguliya.

    Tumefiwa kwa yakini, ndugu zangu Waumini,Na Mwanakati makini, kwa harakati za dini,Amir wa Waumini, kanda ya kati nchini,MSENGUZI hatunaye, akhera katanguliya. ABUU NYAMKOMOGI

    UFU KWETU MTIHANI!

    Namhimidi Qahari, kifo alotuumbiya,Kwa kheri na si kwa shari, japo tunakichukiya,Thineni aya nambari, MULKU ebu rejeya,Ufu kwetu mtihani, na mizani ya mwenendo! 

    Kwa mwenye njema nadhari, kwayo atazingatiya,Mauti kwetu indhari, na mtihani sawiya,Lengo mwendo tughairi, wetu katika duniya,Ufu kwetu mtihani, na mizani ya mwenendo!

    Kwa ya shari kuhajiri, kwa ya kheri kuhamiya,Yaso dini idamiri, kwa ya dunia daniya,Au yenye kutughuri, ya hawaa za duniya,Ufu kwetu mtihani, na mizani ya mwenendo!

    ABUU NYAMKOMOGI

    INNAA LILLAAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIUUN(HATUNAYE, AMIR MSENGUZI)

    SWADAKTA, MBUNGE WA MAFIA!(MH.RIZIKI BINT SHAHARI)

     Riziki nakupongeza, kwa uloinena kweli, Kadhia ulodokeza, si ya puya ni ya kweli, Hukutaka kuchagiza, kwa kuipamba kwa kweli, RIZIKI 'menena KWELI, MASHEKHE kosalo nini?

    Ni haki uloeleza, kwa kila mpenda kweli,

     Kwa hilo anokubeza, si mwingine mcha kweli, Aso na njema ruwaza, ila ya kupinga kweli, RIZIKI 'menena KWELI, MASHEKHE kosalo nini?

    Hukutaka kwendekeza, habari ziso za kweli, Au umma kuukwaza, kwa kuipindua kweli, Ama dira kupoteza, kwa kuikiuka kweli, RIZIKI 'menena KWELI, MASHEKHE kosalo nini?

    Hukutaka kwao 'izza', kwa kukengeusha kweli, Wala kujipendekeza, kwa wapinzani wa kweli, Ukweli ukawajuza, lengo isimame kweli, RIZIKI 'menena KWELI, MASHEKHE kosalo nini?

    Kuna wataokubeza, kwa kuitongoa kweli, Pamwe na kwa kuuliza, Bungeni jambo la kweli, Mengi watahanikiza, dhidiyo yaso ya kweli,RIZIKI 'menena KWELI, MASHEKHE kosalo nini?

    MDINI nakueleza, watakuita kwa kweli,

     Mambo uloyauliza, wajibu kama si kweli, Wasanze kuhanikiza, dhidi yako yaso kweli, RIZIKI 'menena KWELI, MASHEKHE kosalo nini?

    Ninotaka kukujuza, kwa kuitongoa kweli, Maadui 'meongeza, kosalo kulonga kweli! Kwa ulimwengu wa giza, adui msema kweli! RIZIKI 'menena KWELI, MASHEKHE kosalo nini?

    Adharusi endeleza, dhidi ya wakana kweli, Wasaka tonge na 'feza', na vyeo viso vya kweli, Hata wakikupuuza, ALLAH shahidi wa kweli, RIZIKI 'menena KWELI, MASHEKHE kosalo nini?

    Akudumishe MUWEZA, katika kunena kweli, Pamwe na kuwahimiza, wengine kunena kweli, Mwisho ninakupongeza, kwa kuikashifu kweli, RIZIKI 'menena KWELI, MASHEKHE kosalo nini?

     ABUU NYAMKOMOGI

    Bismilahi awali, kwa jinalo naanzia,Allah asiye mithili, mamboye kujifanyia,Katumiliki jalali, ya akhera na dunia,Ilunga miaka miwili, Msenguzi kafuatia.

    Ilunga miaka miwili, kwa Rabuka kurejea,Aliifunga kauli, mauti kumfikia,Ametinga ziraili, na Juma kumchukua,Ilunga miaka miwili, Msenguzi kafuatia.

    Wito huu ni muhali, kiumbe kuukataa,Hata uwe na vibali, vya wote wanasheria,Vyovyote hii ajali, hakuna wa kuzuia,Ilunga miaka miwili, Msenguzi kafuatia,.

    Ni mwezi mei ya kweli, mwenzenunakumbukia,Tarehe tano kamili, Ilunga alipotea,

     Juma kafunga kauli, na yeye katangulia,Ilunga miaka miwili, Msenguzi kafuatia.

     Juma kijana jamili, dini alishikilia,Akenda kila mahali, ya Allah kutuambia,Vijana hawa ni ghali, wengi wapo na dunia,Ilunga miaka miwili, Msenguzi kafuatia.

    Awasamehe jalali, pale walipokosea,Na azidishe amali, yale waliopatia,Aikinge yao miili, na moto wa kubabua,Ilunga miaka miwili, Msenguzi kafuatia.

    Nausia tafadhali, wale wapenda dunia,

    Vya haramu vya halali, vyote wanafakamia,Hawatoweka kufuli, roho zao kuzuia,Ilunga miaka miwili, Msenguzi kafuatia.

    Wengine ni madhalili, wa nafsi nawambia,Wafanya mbaya amali, huku wakichekelea,Wanaleta ufedhuli, wenzao wakijifia,Ilunga miaka miwili, Msenguzi kafuatia.

    Yailahi yaqahhari, mikono ninainua,Ewe ajuaye siri, nakufikishia dua,Dunia ina ghururi, tukinahishe sawia,Ilunga miaka miwili, Msenguzi kafuatia.

    Mwl. Zabibu I. Ng’ondaMwanza.

    Ilunga miaka miwili

    Msenguzi kafuatia

  • 8/16/2019 ANNUUR 1230.pdf

    15/20

    15 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 20 - 26, 201MAKALA 

    KWA muda mrefu sasakumekuwa na mkwamo wakiakili miongoni mwa baadhiya Waislamu na wasiokuwaWaislamu juu ya ukongwe wakiumbe Uislamu. Kiumbe huyuwa ajabu na mkongwe kabisa,amekuwa akishughulisha akiliza watu wanaodai kumkubali(Waislamu) na wasiokuwaWaislamu. Pamoja na Waislamukudiriki kutamka ukongwewa kiumbe huyu, wengi waobado wanaamini kwamba,Uislamu amekuja nao mtumeMuhammad (swalallahu ‘alayhwaalihi wassalam). WasiokuwaWaislamu wao wanapinga nakukataa moja kwa moja kuhusuukweli huu wa ukongwe wauislamu.

    Makala hii haikusudii kuletamjadala katika nukta hii lakinisi vibaya tukapeana japo kwauchache kwa kuwa leo tupo,kesho hatupo. Nikupeni mfanomdogo tu ambao utaondoaule mgando wa ubongo katikakulitazama jambo hili. Kwa kilaaliyejaaliwa kuwa na machosalama yanayofanya kazi yakeya kuona, na akapewa akili yakuweza kutofautisha baina yaviwili; usiku na mchana bilashaka anafahamu ni wakatigani nyota hujidhihirisha(huonekana). Wotemtakubaliana nami kwamba,nyota huonekana wakati wausiku.

    Pamoja na ukweli huu,haimaanishi kuwa mchana

    hakuna nyota, la hasha! Nyotazipo muda wote masaa ishirinina nne (24) lakini huonekanausiku. Kwa maana hiyo, nyotazinaonekana kwa muda watakriban masaa 12 na hujificha(hazionekani) kwa masaa 12mengine. Hebu tujaalie kwamba,kipindi cha kuchomoza juampaka kuzama kwake nakufanya nyota zionekane,inatosha umri wa mtu mzima.Mtu mzima ambaye ana akilizake timamu na mwenye uwezowa kuoa/kuolewa.

    Mtu mzima huyu aliyezaliwapunde tu baada ya kuchomoza

     jua, itakapofika jioni (jualikizama) ataona nyota. Tokaazaliwe mtu mzima huyu

    hajawahi kuona nyota, ndiokwanza anaziona tena nyingikabisa angani. Swali langu lamsingi ni je, mtu huyu akisemakwamba yeye ndio wa kwanzakuona nyota atakuwa sahihi? Na

     je, akisema kwamba hapajawahikuwepo nyota hapo kablaatakuwa sahihi?

    Mtume Muhammad(swalallahu ‘alayh waalihiwassalam) amesema; “tafakari

     juu ya viumbe (maumbile)aliyoumba Allah (subhanahuwa ta’ala), wala usitafakari juuya Allah”. Kupitia maumbilealiyoumba Allah aliyetukukatunapata kujifunza mambombalimbali. Nyota ni katika

    Uislamu kiumbe hai cha ajabuNa Juma Jumanne maumbile hayo. Tumia vema

    akili yako!Kimsingi zipo sababu

    nyingi na ni za kihistoria zakutokubalika Uislamu na wengimiongoni mwa wanadamu. Niza kihistoria kwa sababu kiumbeUislamu kama tulivyotanguliakusema, ni mkongwe, hivyohata sababu za kupingwa kwakeni kongwe. Hakuna jambo

     jipya ambalo labda kuna zamahalikusemwa na kusemwa katikazama zingine. Ustaarabu wakiumbe huyu ni wa kihistoria.

    Ipo sababu moja kubwaambayo inamfanya kiumbe huyukuonekana tatizo. Si kwa jingine

     bali ni kwa ule uwezo na ujasiriwake wa kutumia vema neemaalizopewa. Milango mitano yafahamu tuliyoitaja ni miongoni

    mwa neema hizo. Uwezo wakewa kuzungumza, akili yake nikatika neema pia alizokuwanazo. Kwa ustaarabu aliokuwanao kiumbe Uislamu, hanakawaida ya kuvumilia kuonamambo yakifanywa ndivyosivyo akanyamaza asiseme.Ni lazima aseme. Anaposemaukweli, kama waswahiliwasemavyo kwamba ukweliunauma, ndipo anapoonekanaanaleta vurugu. Anaonekanakuingilia taratibu za watu.

    Lakini kwa kuwa kiumbehuyu siyo bubu, ana machoyenye siha njema hawezikukaa kimya asiseme. Ujasirihuo wa kusema anao. Kiumbe

    huyu, huridhika kuona kilakitu kikipewa hadhi au sifastahiki. Hawezi kukaa kimyakwenye sehemu inayotoa harufumbaya wakati anayo pua naanafahamu kazi ya pua. Hawezikutulia akifinywa, kupigwa aukuumizwa kwa namna yoyoteile hali ya kuwa ana ngoziambay