ANNUUR 1178.pdf

download ANNUUR 1178.pdf

of 9

Transcript of ANNUUR 1178.pdf

  • 8/9/2019 ANNUUR 1178.pdf

    1/20

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1178 SHAABAN 1436, IJUMAA , MEI 22-28, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    facebook: [email protected] AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUS

    Masheikh wasilimisha Segerea Aliingia Emanuel, anatoka Nassor 'Atiwa Suna' huko huko Gerezani Kasema kweli Mh. Lowassa

    Ndivyo tulivyo WatanzaniaWa chai ya rangi, ya maziwa, lakini…Wote wanaambiwa wapo hotelini

    Tukimeza chambo tumeumiaAl-Shabab wa Nkurunziza watatubamizaBendera nyeusi, akina ‘Kaisi’, mtego tu…Kutuingiza katika kundi la Wajinga ndio…

    Waheshimiwa ‘Wakubwa’, Sheikh huyu aelekea kuwa gaidi!

     Jiulize mwenyewe. Hivi picha hiii n a o n y e s h a‘ m t u g a i d i ’ ,a l iyetakabari ,asiyejua kuwa

    kuuwa, ni dhambi? Je, hii ni surainayowakilisha‘ j i t u k a t i l i ’ , jahili lisilojuakuwa Uislamuunakataza kabisak u s a b a b i s h am a d h a r a k w aw a n a w a k e ,watoto na watuwengine wasio nahatia! (Soma zaidiuk. 2, 3 na 10)

     MAKAMU wa kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.

    Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali MohamedShein.

     Mh. Edwar d Lowassa wakati wa Harambee ykuchangia Msikiti wa Patandi Arusha hivi karibuni.

    SHEIKH Msellem Ali.

     Allah Ameonya mwenye kwenda kuhiji asivunjiwheshima, yaani atukuzwe(Al-Maaidah:2). Kwmapenzi ya Allah, huyu amepewa cheo maalum ch

    "Al-Hajj au HAJJAT". Waislamu hatuna budi tuipendsana Hijja Muda unakwisha! Gharama zote kwHijja ni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Do2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa hudumnzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: TanzaniBara: 0765462022;0782804480; 0717224437.

    Zanzibar:0777468018;0777458075;0777845010.

    (11) "MWENYE KUHIJI" NI KIPENZI CHA ALLAH!

  • 8/9/2019 ANNUUR 1178.pdf

    2/20

    2  AN-NUU

    SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 201

    AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Habari

    Kasema kweli Mh. LowassaNdivyo tulivyo WatanzaniaKWA hakika kasema kweliWaziri Mkuu Mstaafu,Mheshimiwa EdwardLowassa. Hivi ndivyotu l iv y o W a ta n z a n ia .Hatubaguani kwa halizetu, dini zetu wala kabilazetu. Ila tu, tunayatambuamadaraja yetu.

    Ukiingia katika hotelizetu za mitaani, utakutamtu anakunywa chai ya

    rangi na ‘zege’ (maandaziyamekatiwa katiwa ndaniya maharage), mwinginechai ya maziwa, omleti namaini au supu ya kukuwa kienyeji na chapati.Kama ni mchana, yupokaagiza wali wake nam c h i c h a , m w i n g i n eanakula pilau kwa kuku.Lakini wote wanaambiwawapo hotelini. Wala yulealiyeagiza ‘wali mchuzi

     ju u’ , ha ji on i mnyo ng e.Anakula na kujisikia vyemaakamshukuru Mola wakeakaendelea na shughulizake.

    Shamra shamra nashukrani zilizotolewaA r u s h a b a a d a y aMheshimiwa EdwardL o w a s s a k u s h i r i k iharambee ya uchangiajifedha za ujenzi wa Msikitiwa Patandi , ambapozilipatikana zaidi yashilingi milioni 200, inatakakurasimisha hali hii hatakatika nyanja za kisiasa nahaki za raia wa nchi hii wadini tofauti.

    Kama vile yule anayeingiahotelini akala ugali wakedagaa akaridhika hukuwengine wakila wali maini

    wakishushia na juisi yakaroti, basi isije ikawasasa bei ya Waislamu nimichango ya harambee,wakati wengine, kilamwaka wanatengewafungu katika bajeti ya nchikuendesha miradi yao yakimaendeleo.

    Kwa mujibu wa hotubaya Mheshimiwa RaisKikwete aliyotoa katikaMisa ya kusimikwa Askofuwa Jimbo la Dodoma,Gervas Nyaisonga, Machi2011, serikali imekuwai k i t o a m a b i l i o n i y ashilingi kutoka Hazina

    ya Taifa kuzipa taasisi zaKikristo kuendesha miradiyao ya elimu na afya(kupitia Memorandum ofUnderstanding).

    Katika hotuba hiyoMheshimiwa Rais JakayaMrisho Kikwete alisemakuwa kwa mwaka 2010serikali iliwapa Wakristoruzuku ya shilingi bilioni61.9 (61,900,000,000) .Ambapo kwa mwaka2009/2010 walipewa bilioni50.

    L a k i n i k a m a v i l ekuonyesha kuwa “bei yaWaislamu sio kuwekewaM o U ” , i l i p o t o k e aWaislamu kuhoji kwanini wao hawapewi pesahizo na hakuna MoU yaWaislamu na serikali, jibula serikali lilikuwa kwambaWaislamu hawakuomba.Lakini ni serikali hiyohiyo, wakati huo WaziriMkuu akiwa MheshimiwaS a m w e l M a l e c e l a ,Waislamu walipoomba

    kukutana naye kuwasilishamalalamiko na maombiyao juu ya MoU, serikalihaikujali hata kujibu baruayao ya maombi.

    Sasa yote haya, tunadhanini katika vielelezo vyakutufahamisha kuwa wapowatu wa MoU, wa kula

     biryani kwa kuku hotelinina wale wa ‘wali mchuzi

     juu’. Tunadhani kisiasa hiihaikukaa vizuri.

    S a s a m a a d h a l iMheshimiwa EdwardLowassa amewaalikaMasheikh na Waislamuwaje kumuunga mokono

    atakapotangaza “Safariyake ya Matumani” paleUwanja wa Sheikh AmriAbeid Arusha, Mei 24,tunadhani itakuwa busarakwa Masheikh wetukulisema hili.

    “Tarehe 24 mwezi huukatika uwanja wa SheikhAmri Abeid siku hiyonitasema neno ambalonitahitaji mniunge mkono.”

    "Ukiulizwa unaendawapi , sema unakujakuniunga mkono katikasafari yangu ya matumaini".

    Hiyo ilikuwa kauli nawito wa Mheshimiwa

    Lowassa kwa Masheikh,Waislamu na watu wotewaliokuwa wamehudhuriaharambee ya uchangiajiMsikiti wa Patandi.

    Sasa katika “Safarih i i y a M a t u m a i n i ” ,tukumbushane kuwa kulehotelini, hakuna shida. Nikila mmoja na alicho nachomfukoni mwake. Lakini

    inapokuja kwa Hazina yaTaifa inayochangiwa nakodi za Watanzania wote,Waislamu na Wakristo,pasiwe tena na wananchiwa MoU wa kupewa zaidiya bilioni 61 kila mwaka,huku wengine wakiwa beiyao ni harambee ya sikumoja.

    Waheshimiwa ‘Wakubwa’,huyu aelekea kuwa gaidi!

    Mwaka 1989 ProfesaNoam Chomsky alitoamuhadhara ( lec ture)ambao ulikuja kurekodiwana kusambazwa Machi

    1990 ukipewa anuwani:Propaganda Terms in theMedia and What TheyMean: "peace process" hastwo meanings.

    Ka t i k a m u ha d ha r ahuo Profesa Chomskyalisema kuwa hutaonaau kusikia, hata maramoja katika vyombo vyahabari ndani ya nchi hiyo,Marekani ikilaumiwakuwa inahatarisha amaniau inapinga mazungumzoya kuleta amani, japo kwavitendo vya wazi kabisa,Marekani inahatarishaamani na kuchafua kabisa

    amani Mashariki ya Kati naAmerika ya Kusini. Akatoamifano mingi tu.

    K a t i k a k u f a f a n u aakasema kuwa hutasikia

    wanasiasa wa nchi hiyowakizungumzia serikaliya Marekani kupingamazungumzo ya amaniau kuhatarisha amaniya nchi yoyote, kwasababu kila wanalolifanyawao, wanaamini kuwandio sahihi . I la k i laanayepingana nao, ndiowaovu, wavunja amani namagaidi.

    Ndio pale akasema,"peace process" has twomeanings.

    Kwamba, kuna tafsiri zakwenye kamusi, ambazohazifanyi kazi katika siasaza Marekani. ProfesaChomsky anasema kuwakwa serikali ya Marekani,kila inachofanya kukidhimaslahi yake ya kibeberu,

     basi hiyo ndiyo amani,ndio ustaarabu na ndiodemokrasia, hata kamaitakuwa ni kuhatarisham a i sha y a w e ng i ne ,kuvunja haki zao, uhuruw a o n a k u w a p o r a

    demokrasia yao. Na katikahiki kinachoitwa VitaDhidi ya Ugaidi, ilitangazawazi, kwamba kama hupopamoja na Marekani, basiupo na magaidi. Hunauhuru wa kuchagua.

    Sasa inavyoelekea, nasisi tunaelekea kushikanjia hiyo hiyo. Ni zaidiya mwaka sasa kunaMasheikh, viongozi waKiislamu wapo rumandewakipachikwa tuhuma zaugaidi. Mengi yamesemwa

     ju u ya ku vu nj wa ha kiz a o z a k i b i na d a m u ,kiraia na kisheria. Lakini,

    haionekani kuwa kunakujali. Kile wanachosema,w a n a o w a t u h u m u ,kinaonekana ndio sahihi,huku vikitumika vipengele

    vya kisheria na kauli zkisiasa kuzidi kuwashikilMasheikh hao, bila kujahali zao kiafya na hata bikujali iwapo kuna sababza kutosha kuwashikilikwa tuhuma nzito kamhizo.

    Ukisikiliza, maneny a P r o f . C h o m s kunachojifunza ni kuw

    ubinadamu ukishakuw bidhaa adimu, basi lololinaweza kufanyika nlikahalalishwa hata kamlingekuwa jambo ovu kiacha kumfanya hata shetankuona vibaya kulisogelea

    Yupo Bwana mmojaliwahi kuka nyumbank w a M tu m e ( s . a . wakamkuta Mtume akiwkawapakata na kucheza nwajukuu zake. Yule Bwanakashangaa sana. Akasemyeye ana watoto wenglakini hajawahi kuchezn a o , k u w a k u m b a t ihata kuwabusu kamanavyofanya Mtum

    (s.a.w). Jibu la Mtum(s.a.w) kwa Bwana yullilikuwa kwamba, kamameondokewa (kamhana) mapenzi ndani ymoyo wake wa kuwapendwatoto wake, hana lkumsaidia.

    S i s i t u n a d h a n jambo hil i kuna haja ykutizamwa kibinaadamuLa kama viongozi wetna wanaowang’ang’aniM a s h e i k h h a owameondokewa na hata ichembe ya ubinadamu, sashapo la kufanya ni kumlilMwenyewe Allah Mtenz

    Nguvu kwa Dua, Itqaaf nSwaumu. Tunaamini Yeyhadhulumu mtu na hakunpazia baina Yake na Duya mwenye kudhulumiw

    KILIO cha Masheikhwanaoshikiliwa bila yakesi zao kuzungumzwah u k u w a k i n y i m w adhamana, kimepiga hodiBungeni baada ya mbungekuhoji, hatma yao.

    Alikuwa Mbunge waViti Maalum (CHADEMA)Mheshimiwa MaryamuSalum Msabaha kutokaPemba, aliyetaka kujua ninihatma ya Masheikh haoambao wanashikiliwa kwazaidi ya mwaka sasa.

    Mheshimiwa Maryamalisema kuwa ukiachak u w a w a m e t o l e w a

    Mbunge ahoji kulikoni Masheikh wa UAMSHOVipi ingekuwa ni MaaskofuSpika Makinda aingilia kati

    Na Mwandishi Wetu Zanzibar, ambayo ni nchina kuletwa Bara, lakini bado

    kumekuwa na kushikiliwahuku wakinyimwa haki yadhamana.

    Alisema, kama wanakesi ya kujibu, basi kesii n g e z u n g u m z w a n akuhukumiwa ikajulikanakuwa ni wakosa.

    L a k i n i w a m e k u w aw a k i s h i k i l i w a b i l akesi kumalizika hukuwakinyimwa dhamana.

    Maryam alihoji, hebuikiriwe kama ingekuwani Maaskofu na Mapadiri,nao wangefanyiwa hivyo.Na kama wangefanyiwa,hali ingekuwaje.

    Hata hivyo, kabla ykumaliza hoja yake mbung

    huyo, Spika MheshimiwAnne Makinda alimkatishkuwa alikuwa akiongemambo yaliyo nje ya mad

    Wiki iliyopita, gazehili liliarifu kuwa hali zwatuhumiwa wa ugaidni mbaya na baadhi yawalikuwa wamegoma kul

    S he i k h F a r i d H aAhmed akizungumzia hahiyo, mbele ya Hakimu wMahakama anayesikilizkesi yao, Renatus Ruttalisema kuwa kumekuwna udhalilishaji mkubw

    Inaendelea Uk.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1178.pdf

    3/20

    3  AN-NUU

    SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 201Habari

    Masheikh wasilimisha SegereaW A F U N G W A n aMahabusu katika Gerezala Segerea, Jijini Dar esSalaam, wameendelea

    kupata Da’awa gerezanihumo na kusilimu kwanyakati tofauti.

    Kazi hiyo imekuwaikifanywa na Waislamuwalio katika gereza hilowalio nyimwa dhamanatakriban mwaka mmojasasa, kwa tuhuma zaugaidi, akiwemo SheikhMselem.

    A k i o n g e a n a A nnuur katikati ya wikihii , mfungwa mmojaaliyemaliza kifungo chakekatika gereza hilo nakurejea uraiani, amesemaaliingia gerezani akiitwaSolo Emanuel Malaja,akiwa Mkristo, muimba

    kwaya, na sasa anatokaakijulikana kwa jina laNassoro Emanuel Malaja.

    Al isema, baada yakusilimu alibaini kasoroaliyodumu nayo akiwaM k r i s to , na i l i a w eMuislamu sa, alilazimikak u hi ta j i hu d u m a y ak u f a n y i w a T o h a r a(kutahiriwa) kwa Masheikhgerezani humo.

    “Baada ya kusilimunilibaini bado sijakamilikakutokana na mafundishoya Uislamu niliyokuwanikiyasoma kupitia vitabuvidogo vya Kiislamuwalivyokuwa wakinipaMasheikh, kabla sijasilimu.

    “Sikutaka nifiche kitu,niliwaambia kutokana namila ya kwetu (Usukumani)na dini niliyotoka kutokuwana muongozo wa jambohilo, hivyo nilikuwa badosijafanyiwa suna.” AlisemaBw. Malaja.

    Alisema, katika vitabualivyosoma akiwa gerezani,kabla hajasilimu, alijifunzakuwa kufanya sunna(tohara) ni katika hatuaya usa kwa Muislamu naukamilifu.

    Bw. Malaja (27) alisema,wapo wengi wanapatam a f u n d i s h o h u m ogerezani na wenginew a n a s i l i m u k w a n i

    Masheikh wanatumiav i t a b u m b a l i m b a l iwanavyopelekewa naWaislamu katika kukishamafundisho ya Uislamugerezani humo.

    Bw. Malaja amesilimu Januari 1 , 2015, kwausimaizi wa Ustadh Salum,kisha kuchagua jina laNassor.

    “Mimi nimefuata dinisahihi, sijafuata ushabikiau maslahi, kuwa kwangugerezani nimepata fursaya kujifunza upande wapili wa Dini ya Kiislamu

     ba ad a ya ku ku ta na naMasheikh na Waislamuwaliopo gerezani”. Alisema

    Na Bakari Mwakangwale Bw. Malaja.Alisema, katika maisha

    yake ndani ya Ukristo,a m e s h a w a h i k u w amwanakwaya kat ikav i k u nd i m ba l i m ba l i

    hususani katika Mji waKahama.“ N i k i w a K a h a m a ,

    niliimba katika kwayam b a l i m b a l i n i k i w akiongozi na mtungaji namara ya mwisho nilikuwakatika kwaya moja inaitwaAIC iliyopo katika kijiji chaBufuko, nje kidogo ya Mjiwa Kahama”. Alisema.

    Alisema, mara baadaya kufanya maamuzi yakusilimu, alipata lawamakutoka kwa baadhi yaWakristo wenzake gerezanihumo, wakimueleza kuwaatakuwa gaidi, hukuakiwajibu kuwa amesilimukwa kuelewa ukwelikuhusu imani ya dini yaUislamu.

    A l i s e m a , w a t uw a m e k u w awakiwaaminisha kuwandani ya Uislamu kunaugaidi, lakini akasema kwa

     jinsi ali vyosoma baa dhiya vitabu kwa mudamchache, hajaona mahalaambapo kuna chembe yamafundisho ya Ugaidi,zaidi ya kubaini kuwaUislamu ni dini nzuri naustaarabu.

    “Kwa kawaida mtiwowote ukiwa na matundamazuri na matamu nilazima utapigwa mawena kushambuliwa na kilamtu au wadudu, penginehata kabla hayo matundahayajaiva”. Alisema Bw.Malaja.

    Akielezea sababu yakuwa karibu na Masheikhgerezani humo kabla yakusilimu, alisema ni baadaya kukutana na SheikhMohammed Isyaka Yusufu,(Mshatakiwa namba sita)ambaye aliwahi kuwa

     bos i wake mwaka 2007,Sumbawanga katika dukala vyakula.

    Al isema, baada yakumuona alimfuata nakusalimiana naye, kishanaye aliwatambulishakwa Masheikh wenzake,kwamba alikuwa kijana

    wake katika biashara zakeSumbawanga, lakini yeyeni Mkristo na kwambaw a l i m l i n g a n i a , b i l amafanikio.

    Al i se m a , w e nz a k ew a l i m u e l e z a k u w ahuwa halazimishwi mtukufuata haki, ila akizidikulinganiwa na akiujuau k w e l i , m w e n y e w eataufuta tu, na haipaswikumkatia tama.

    B w . M a l a j aaliyehukumiwa kifungokwa kosa la kununuapikipiki ya wizi, alisemaawali alikuwa mahabusu,na baada ya kuhukumiwa

    kifungo alipewa kitengocha kusaidia jikoni, jamboambalo lilimfanya awekaribu zaidi na Masheikhhao kwa mahitaji yaombalimbali, hususani majikutokana na shida ya majigerezani humo.

    Zaidi alisema, alipewa jukumu la kumuhudumiaUstadh Salumu baadaya kurejea kutoka katikam a t i b a b u a l i y o p a t ahospitali ya Muhimbili,hatua iliyomfanya kuwakaribu zaidi na Waislamu

    wengine walio katikakundi la Sheikh Mselemna wenzake.

    Al isema, kutokanana m a r a d hi y a Ust .Salumu, aliwekwa katikaselo maalumu ambayohu w e k w a w a g o n j w ana raia wa mataifa yanje ambapo humo piaalikuwemo Mzungu, raiawa Uingereza, ambaye niMuislamu.

    A l i s e m a , M z u n g uhuyo aliyemtaja kwa jinala Hassan, pia alikuwani rafiki yake wa karibukwa muda mrefu gerezani

    h u m o , h i v y o k w akushirikiana na Masheikh,naye alitumia ukaribu waokumuelimisha kuhusu dinikwa ujumla.

    “Baada ya mimi kuwamgumu kwa Masheikh,wao walimtumia Mzungu(Hassan) kunielimishazaidi ambaye yeye alikuwaakinifuata hadi j ikoniakiwa na shida.” Alisema.

    Alisema, awali Masheikhw a l i k u w a w a na m pavitabu vidogo vidogo vyaKiislamu, vilivyo andikwaKiswahili, Kiingereza naKiarabu lakini alikuwa

    akivikataa.Hata hivyo alisema,

    walipomtumia Mzungu( H a s s a n ) , a l i a n z akuvipokea na kuvisomausiku na mchana.

    “ K u n a s i k u m o j awalinipa vitabu viwili,k imoja k ikubwa chaKi i s l a m u ( M sa ha f u )pamoja na Biblia, (Aganola Kale na Jipya) ambapowaliniandikia sehemumaalum za kusoma katikaMsahafu na Biblia.

    “Nil isoma k ipandekwa k ipande kutokakatika vitabu hivyo, kwelinilipata mambo mapya yakujifunza na nilitafakarizaidi kuhusiana na imaniza dini hizi mbili katikakumuabudu Mungu.”Alisema.

    Hata hivyo akasema,matukio na matendomachafu, kuingilianakinyume cha maumbile,gerezani humo, nayoyalimfanya atafakari sanakiimani, kwani alidaimambo hayo yamekithirisana, lakini kwa wafungwa

    W a i s l a m u n i n a d r akuyaona.“Maana wale raki zangu

    wa kiimani kabla sijasilimu(Wakristo) walikuwa namambo hayo ilika kipindimpaka niliamua kuachananao na nilikuwa naonatabu hata kula nao pamoja,lakini nikiwa na Waislamumambo hayo huyakutiwala huyasikii.

    Hal i hi i i l i changiak u i n g i a k w a n g ukatika Uislamu ambaomafundisho yake yamejaaustarabu na inakemea waziwazi tofauti na upande

    niliotoka”. Alisema BwMalaja.

    Alisema, Desemba 292014, alipopeleka maji ymoto kwa Ust. Salumualiwakuta Shekh Nond

    A b u b a k a r M g o n d opamoja na Jihadi Jaribunambapo walimpa darszito na kumfafanulia zaidyale aliyo yasoma.

    “Baada ya hapo ilipok Januari 1, 2015, nilipo pelekmaji kwa Ust. Salumuakiwa na Hassan (Mzunguniliwaeleza kuwa sasnipo tayari kusil im

     baada ya kujiridhisha nmafundisho ya Uislampamoja na nasaha zenu.”

    Walienda kuwaita Sheik Jihadi, Abubakari pamona Nondo, ambao kwpamoja walifika pale n

    kunisilimisha rasmi, kishwaliniambia nichagu jina, nikac hag ua jina lNassoro”. alibainisha BwNassoro Malaja.

    Al isema, baada ykusilimu alikabidhiwkwa Mzungu (Hassanili amfundishe hatua zawali za kuiendea ibad(Kuswali) ambaye “alianzkunifundisha mambmbali mbali ya awali yUislamu.”

    Alisema, hapo ndipl i l i p o k u j a s u a l a lkufanyiwa Tohara, baadya kuwaeleza, ambap

    alisema Ust. Jihadi nHassan walisema wao wanpesa ambazo walizikabidhwakati wakiingiia gerezanhivyo wataongea nuongozi ili kiasi fulankitumike katika gharamza kumshughulikia.

    Alisema, jukumu hilalikabidhiwa Daktari whapo Segerea, aliyemtakwa jina la Hamisa, ambaynaye alilisimamia kwkumletea Daktari kutokGereza la Ukonga, ambay‘alimfanyia Suna’ humhumo gerezani.

    Bw. Nassoro (Solokwa sasa yupo J i j inDar es Salaam, chini yKamati ya Maafa ya Shurya Maimamu, ambayinafanya mchakato wkumtafutia Chuo chmafunzo ya Dini, ikiwni ombi lake la kusaidiwkuusoma Uislamu.

    Katibu wa Kamati hiyUstadhi Ally Mbarukuametoa wito kwa Wadawa elimu katika vyuvya Dini, kuwasiliana nKamati, (0655/0784 81040) ili kuweza kumsaidkielimu Muislamu huympya, aliyesilimu akiwGerezani.

    NASSOR Emmanuel Malaja (Solo)

  • 8/9/2019 ANNUUR 1178.pdf

    4/20

    4  AN-NUU

    SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 201Makala

    Mbunge ahoji kulikoni Masheikh wa UAMSHOInatoka Uk. 2

    waliofanyhiwa.S he i k h F a r i d H a d

    akimpa Hakimu historiafupi ya kesi yao iliyopombele yake, alisema kuwa,wamebambikiziwa kesiya ugaidi kwa kudai nchiyao huru ya Zanzibarna kusema mfumo waM u u n g a n o u l i o p ohawautaki.

    Alisema, kesi yao ni yakisiasa na si vinginevyona kwamba, walikamatwana kuletwa bara kujakudhalilishwa tu na polisiwa kike na wakiume.

    S h e i k h F a r i dalimtambulisha Hakimuhu y o k u w a w a o n iViongozi wa Taasisimbalimbali na yeye akiwani kiongozi Umoja waMihadhara na SheikhMselem Ali Mselem nikiongozi wa Jumuiya yaUamsho, zote za Zanzibar.

    “Sheikh Kama huyu(Mselem) kafanyiwaudhalilishaji mkubwa wakuachwa uchi wa mnyamahuku amening'inizwakwa pingu, huyu niSheikh anayesoma kitabukitakatifu cha MwenyeziMungu, akisikika akisomaQur'an tukufu katikaRedio nyingi kat ikaAfrika ya Mashariki, lakinianafanyiwa ushenzi kamahuo” Alisema Sheikh Faridmbele ya hakimu huyo.

    Naye mshitakiwa Salumalimkumbusha HakimuRutta kuwa al iahidikuwa atafuatilia hali zaogerezani na kuhoji mbona

    hawakumuona?.Alisema yeye ni mojawa waliodhalil ishwana Polisi kwa kutiwachupa na majiti, lakini

    “Ile kesi yao mpaka leoinazunguushwa, ni kwanini kesi ile isiwekwewazi ikaamulia mbivuna mbichi. Kama kweliMasheikh wale wanamata t i zo au kamawameenda kinyumeama wana kitu gani, basiwahukumiwe wajuekama wamefungwa.

    L a k i n i

     Alichosema Mhe. Maryam Msabaham a n a w a z u n g u s h a ,l eo h i i wamegomakula mnaipeleka wapiSer i ka l i . M nasemahakuna mgawanyo wadini. Leo nataka nisemetena kwa kinywa kipana,ingekuwa ni Mapadri naMaaskofu, wamo mlendani leo kungekuwana amani Tanzania Bara?

    L e o m n a s e m a ,

     MBUNGE wa Viti Maalum (CHADEMA) Maryam Msabaha toka Pemba.

    Zanzibar ni nchi, sasaikiwa Zanzibar ni nchi,kwa nini wale Masheikhwaliletwa huku.

    Mh. Spika, haya nimasuala ya kuishauriSerikali, ni masuala yaamani. Tunataka amanina utulivu. Zanzibartunasema Zanzibarnjema atakae na aje. “

    alisikitishwa na Waziri wMambo ya Ndani, MathiaChikawe ambaye alisemhawajatendewa chochothuku akijua sio kweli.

    Kulingana hali hiySheikh Farid, aliiombMahakama kuka katikgereza hilo kuangalia hahalisi ya watuhumiwhao il i hatua stahik

    zichukuliwe.“Tunaiomba mahakamk u j a k u l e g e r e z a nmjionee hali halisi, ihatua stahiki ziwezkuchukuliwa, vinginevysubirini kupokea maiti nmuingie katika historia yZanzibar.” Alisema SheikFarid Mahakani hapo bilkufafanua zaidi.

    A s k a r i M a g e r e za m b a y e h a k u w e zkufahamika jina lake marmoja, alikiri kuwepo kwhali hiyo kwa watuhumiwhao wa ugaidi baada yHakimu wa Mahakama yKisutu jijini Dar es Salaamanayesikiliza kesi hiy

    Renatus Rutta, kupokemaelezo na taarifa hiyo yAmir Hadi na kumuhoaskari huyo.

    Hakimu alimtaka Oswa Magereza aeleze nkwa nini watuhumiwhao watatu hawakufikmahakamani.

    Afisa huyo aliielezm a h a k a m a k u wwameshindwa kufikkutokana mgomo nwametoa masharti kuwwanahitaji MwanasheriMkuu wa Serikali wZanzibar na wa Tanzani

     bara pamoja na Jaji Mkuuwawatembelee hukgerezani.

    Watuhumiwa ambahawakuweza kufika nSaid Amour, Salum nSaid Shehe, Sharifu nAbdallah Hassani Hassan

    Serikali ya Zanzibarimeombwa kutoa ulinzina kutunza usalama waMasheikh kuhubiri amani

    pale wanapotekelezamajukumu yao kutokanana usalama wa Masheikhhao kuwa hatarini mudawote wanapohubiri.

    Khofu hiyo imeoneshwa juz i kwe nye semina yasiku moja ya kuhamisishaviongozi wa dini yaKiislamu katika kusimamiaamani wakati wa uchaguzimkuu iliyofanyika katikaukumbi wa Shirika la BimaZanzibar.

    Akisoma majumuishohayo mbele ya washirikihao, Ustadh MasoudHemed amesema wajumbe

    Serikali itoe ulinzi kwa Masheikh wa ZanzibarNa Salma Al

    Ghaithiyyah, Zanzibar

    hao wameanzimia hayokutokana na hali ilivyo yakhofu na wasiwasi kwawatu ambao wanahubiriamani na mambo mengineambapo bado baadhi yaMasheikh wapo ndanikwa kutoa maoni, hukuwengine hawajui khatimayao.

    “Serikali iwe tayarik u w a p a M a s h e i k hu l i n z i n a k u t u n z ausalama wao wakatiMasheikh watakapokuwawanatekeleza Jukumula kuhubiri amani kamawalivyotakiwa na Seminahii” . amesema UstadhHemed.

    K a t i k a m i c h a n g oy a o , w a m e s e m awanashangazwa na haliilivyo tete, ambapo wakatimambo yalivyokuwa

    yameharibika, walilitwaMasheikh kutuliza haliya nchi kuzungumza nawananchi misikitini nakatika mikusanyiko jambolililosaidia kuundwa kwaserikali ya umoja wakitaifa, lakini sasa ndiowanateseka magerezani

     bila ya kuhukumiwa.“Sisi tunashangaa kwa

    nini tuliweza kuitwakuhubiri amani wakati ulenchi ilipochafuka tukatakiakufanya sala ya pamoja nakuomba dua lakini kwanini ishindikane sasa hivikuna nini?” Alihoji UstadhHamad.

    Amesema, sio tabia nzuriinayotendeka kuwanyimauhuru Masheikh kutoam i h a d h a r a h u k uwakiogopa kukamatwan a p o l i s i k a m a

    walivyofanyiwa wenziwao zaidi ya 20 ambaowapo ndani zaidi yamwaka sasa wakikabiliwana kesi ya ugaidi hukoTanzania Bara.

    W a s h i r i k i h a o

    w a m e s e m a k a t i b aimeruhusu watu kutoamaoni yao, lakini baadaya kukamatwa watu nakuwekwa ndani, baadhiya masheikh wamerudin y u m a k u h u b i r iwakiogopa kwa kuwahawajui wakati gani nawao watafuatwa na waona kusingiziwa kesi.

    Aidha katika maazimioMasheikh na viongoziwa Taasisi za Kiislamuwatumie haa mbalimbaliza kidini pamoja namikusanyiko ya kiibadaikiwemo khotuba za Ijumaa

    kuhimiza na kuhamasishamani na utulivu wakawa uchaguzi mkuu.

    K a t i k a m a a z i m imengine, Masheikh hawamesema kwa kuwchanzo kikubwa chmachafuko Zanzibani uchaguzi, basi Tumya Uchaguzi Zanzibaiwajibike katika kusimamna kuendesha uchaguzulio huru, haki na uadilifili kuepusha visababishvya uvunjaji wa amankatika nchi.

    A i d h a , M a s h e i kwashirikiane na viongowa Taasisi za Kiislamkuandaa Dua ya Kitaifya kuiombea nchi amanu tu l i v u na u sa l a mkuelekea uchaguzi Mkuu

    Wamesema, SeminInaendelea Uk. 5

  • 8/9/2019 ANNUUR 1178.pdf

    5/20

    5  AN-NUU

    SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 201Habari/Matangazo

    WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MASOMO, CHUO KIKUU CHA

    INTERNATIONAL UNIVERSITY OF AFRICA, KHARTOUM – SUDAN 2015/201

    Munazzat Al- Daawa Al- Islamiyya (MDI) ofisi ya Tanzania inayofurahkuwatangazia wafuatao kuwa wamechaguliwa kujiunga na Chuo Kikuu ch

     INTERNATIONAL UNIVERSITY OF AFRICA kilichopo Khartoum, Sudan kwmwaka wa masomo 2015/2016. Usajili utaanza tarehe 01/09/2015 masomo yataantarehe 13/09/2015.

    SN NAME OF APPLICANT FACULTY

    1 KHADIJA HIJJA KANDEGE MEDICINE2 AMOUR ISSA SULEIMAN MEDICINE

    3 NUSURA ABDALLAH SAIDI NURSING4 FAT-HIYA FAKIH ABDALLAH NURSING

    5 AMINA MOHAMED MAKAME NURSING6 SAFIA ALI HAMAD NURSING

    7 ZULEKHA MUDHIHIRI AHMAD PHARMACY8 SULEIMAN SAID SULEIMAN PHARMACY

    9 AISHA OMARI SAID DENTIST10 MUHAMMED SALIM MUHAMMED DENTIST

    11 AMAN MOHAMED AMAN PETROLEUM

    12 SALUM ABDALLAH PETROLEUM13 TAKIYU MIKIDADI PETROLEUM14 HARUNA BURHANI PETROLEUM

    15 ALI ABDULLA KHAMIS PETROLEUM16 HUSSEIN ABOUD HASSAN PETROLEUM

    17 ALI MASOUD RASHID PETROLEUM18 ALI MIRAJI MSOMI PETROLEUM19 ABDULRAHMAN MWINYIPEMBE MTORO ENGINEERING

    20 SALUM KHAMIS NGWALI ENGINEERING21 MARIAM SULEIMAN MZEE LAB SCIENCE

    22 HAMIDA JUMA HAJI LAB SCIENCE23 SAIDE OMAR AHMED LAB SCIENCE

    24 AMINA ABOUD DARWESH LAB SCIENCE25 MARYAM ALLIY KILIMA COMP SCIENCE

    26 ACKRAM S. KIBONAJORO COMP SCIENCE27 JABIR DAUDA AHMAD PURE SCIENCE

    28 SAMIRA MBARAKA HEMED ECONOMY29 MALIK SHAAME KAI ECONOMY

    30 AHMED SALIM ALI ECONOMY31 FAHMI ABASI SULEIMAN LAW & SHARIA

    32 YUSUFU ABDALLAH ISSA LAW & SHARIA33 OMARI SWALEHE OMARI LAW & SHARIA

    34 KHERI JUMA NASSOR LAW & SHARIA35 SWAALIHINA SAIDI GELLEKO LAW & SHARIA

    36 YAHYA MUSTAFA NGALAWA LAW & SHARIA37 AULA NUHU HUSSEIN LAW & SHARIA

    38 HUSSEIN JUMANNE SAADY LAW & SHARIA39 SHABANI LUJAMA MWIZARUBI LAW & SHARIA40 MARYAM SEIF KHAMIS LAW & SHARIA

    41 WILDAT SULEIMAN MOHAMED LAW & SHARIA42 MAULIDI BAKAR ALI LAW & SHARIA

    43 AHMED YUSUPH KAISI ISLAMIC STUDIES44 ISSA MASOUD RASHID ISLAMIC STUDIES

    45 SALMIN RASHID HASSAN ISLAMIC STUDIES46 OMARI ATHUMAN SULEIMAN ISLAMIC STUDIES

    47 RASHIDI HAMADI YASINI ISLAMIC STUDIES48 ASNALI MUDATHIR MACHEYA ISLAMIC STUDIES

    49 HASSAN AHMED MFAUME ISLAMIC STUDIES50 DHULKHAIR SULEIMAN ISSA ISLAMIC STUDIES

    KWA MAELEZO ZAIDI FIKA KITUO ULICHOFANYIA MTIHANI APIGA SIMU 0786 806662.

    KHAMIS M.A. LIYENIKEIDARA YA DA’WA

     

    ..

    .

    Serikali itoe ulinziInatoka Uk. 4za aina hii ziendeleekufanyika kwa wadauwengine muhimu wauchaguzi wakiiwemowatumshi wa Tume yaUchaguzi Zanzibar,

    Polisi, Viongozi waVyama vya Siasa naWatumishi wakuuwa Wizara ya NchiOsi ya Rais Tawalaza Mikoa na IdaraMaalumu.

    H a t a h i v y o ,Vyombo vya Ulinzi naUsalama visijihusishekwa namna yoyoten a m a s u a l a y akisiasa, badala yakevitekeleze shughulizao kwa uadilifu zaidi

    ili kulinda maslahi yawananchi nay a Taifakwa ujumla.

    Ustadh Hemedamesema Waislamuw a n a t a k i w awadumishe amani,

    utulivu na uduguwao katika kipindihiki cha kuelekeauchaguzi mkuu,

     bila ya kujali tofautizao za kivyama namisimamo ya kisiasa.

    L a k i n i p i awamesema Serikalik u p i t i a W i z a r ay a E l i m u n aMafunzo ya Amalii ingize mafunzoya amani, udugun a m s h i k a m a n o

    katika mitaala yngazi zote za Elimn a k u w e p o nMkutano wa pamokati ya Masheikh nViongozi wakuu wNchi ili kuzungumzi

    m u s takaba l i T a i fkuelekea uchaguzMkuu huku lenglikiwa ni kudumishhali ya amani.

    M a d a m b i lzimewasilishwa katiksemina hiyo ikiwemku s im am ia am anwakati uchaguzi mkuiliyowasilishwa nAbdallah Talib nnafasi ya Uislamkatika kujenga amankatika jamii.

    Waislamu wote nchini mnaalikwakuhudhuria Tamasha la Ujenzi waKituo cha Kiislamu Ilongo – Mbeyalitakalofanyika kuanzia tarehe 05, –12 Juni, 2015.

    Shime Waislamu tujitahidi kuhudhuriakwa wingi. Wasio na wasaa wakuhudhuria wachangie fedha na vifaavya ujenzi.

    Tukumbuke, tukifanya hivyo tutakuwatumefanya biashara na Allah (s.w) kwamafanikio ya hapa duniani na malipo

    ya Pepo – Qur’an (61:10-13)Usafri / Gharama:

    • Kutokana na Miundombinu ya barabara kwa sasa kila mkoa utaratibusafari ya Mbeya kupitia Maamir waMikoa

    • Kwa kupitia Dar es Salaam naulini Tshs. 70,000/- kwenda na kurudi

    Dar. Kuripoti Dar es Salam ni tarehe04/06/2015 (0689665045/0713 992395).

    • Kipindi hiki Mkoa wa Mbeya una baridi, hivyo wanatamasha waje nanguo za kuzuia baridi.

    Wabillah TawiqAMIR TAIFA

    TAMASHA LA KITAIFA 

    ILONGO – MBEYA05 – 12 JUNI , 2015

  • 8/9/2019 ANNUUR 1178.pdf

    6/20

    6  AN-NUU

    SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 201TANGAZO

    Inaendelea Uk.

     

    ISLAMIC PROPAGATION CENTRE

    Muda wa Kozi ni miaka miwili

    SIFA ZA MUOMBAJI:(a) Awe Muislamu.(b) Awe amefaulu masomo manne (4) au zaidi kwa kiwango cha D au zaidi katika Mtihani wa Kidato cha 4.(c) Atakayekuwa na ufaulu wa kiwango cha D au zaidi katika Lugha ya Kiarabu, Kiingereza, Kiswahili na Elimu ya Dini ya Kiislamu

    atapewa kipaumbele zaidi.

    Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu ni tarehe 15 JULAI, 2015.

    Fomu za maombi zinapatikana kwa gharama ya Shilingi 5,000/= (elfu tano) katika Tovuti:www.ipcorg.tz na katika vituo vifuatavyo:

    KOZI YA UALIMU WA LUGHA YA KIARABU, KIINGEREZA,KISWAHILI NA ELIMU YA DINI YA KIISLAMU NGAZI YA CHETI

    USIKOSE NAFASI HII ADHIMU - WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!

    Bismillahir Rahmaanir Rahiim

    KIRINJIKO ISLAMIC TEACHERS’ COLLEGE - SAME, KILIMANJARO

     ARUSHA: Ofisi a Islamic Education Panel,Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabalana Msikiti Mkuu wa Bondeni, Simu: 0783552414/0762 817640.

    KILIMANJARO-Moshi: Msikiti wa Riadha:0712216490 Same Juhudi Studio mkabalanaBenki ya NBC Same: 0757013344.

    Same: Kirinjiko Islamic SecondarySchool: 0784 296424/0655 676075.

    Usangi: Falhum Kibakaya: 0787 142054.

    Ugweno: Kifula shopping Centre: Yusuph Shanga:0784 585776.

    TANGA: Twalut Islamic Centre - Mabovu Darajani:0715 894111Uongofu Bookshop: 0784 982525.Korogwe: SHEMEA SHOP: 0754 690007.Lushoto: Mandia Shop: 0782 257533Handeni: Mafiga - 0782 105735/0657 093983.

    MWANZA: Nyasaka Islamic Secondary School: 0717417685/0786 417685.Ofisi ya Islamic Education Panel, Mtaa wa Rufijimkabala na Msikiti wa Al-Amin: 0785086770/0714097362.MUSOMA: Ofisi ya Islamic Education Panel Mtaa waKarume, Nyumba Na. 05: 0765024623.

    SHINYANGA: Msikiti wa Majengo karibu na Manispaaya Shinyanga Mjini: 0752 180426.Kahama: Ofisi ya AN-NUUR na Msikiti wa Ibadhi: 0753993930/0688 794040.

    DAR ES SALAAM: Ubungo Islamic High School:0756584625/0657 350172.Ofisi ya Islamic Education Panel, Temeke - Msikiti waNurul Yakin: 0655144474, 0787119531.

    MOROGORO: Ramadhani Chale-0715704380

    DODOMA: Hijra Islamic Primary School: 0716544757/0718661992.

    SINGIDA: Ofisi ya Islamic Education Panel, karibu naNuru Snack Hotel:0786425838/0784 928039.

    MANYARA: Ofisi ya Islamic Education Panel-MasjidRahma: 0784 491196.

    KIGOMA: Msikiti wa Mwandiga: 0714 717727Kibondo: Marubona Isl. SS. 0714 710802.

    LINDI: Wapemba Store: 0784 974041/0783488444/0653 705627.

    MTWARA: Amana Islamic S.S. 0715 465158/0787231007.

    SONGEA: Kwa Kawanga karibu na Msikiti wa Nuru- 0713 249264/0683 670772.

    Mkuzo Islamic High School: 0717 348375.

    MBEYA: Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini-0785 425319.

    Rexona Video mkabala na Mbeya RETCO, 0713200209/0785 425319.

    RUKWA: Sumbawanga: Jengo la Haji Said - Shule yaMsingi Kizwike 0717 082072.

    TABORA: Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566,

    0787 237342.Nzega: Dk. Mbaga 0754 576922/0784 576922.

    IRINGA: Madrastun-Najah: 0714 522 122

    PEMBA: Wete Islamic Sch. 0777 432331/0712772326

    UNGUJA: Madrasatul - Fallah: 0777 125074

    Pandu Bookshop: 0777 462056 karibu na uwanja waLumumba.

    MAFIA: Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na Msikiti Mkuu:0773 580703.

    Kwa maelezo zaidi piga simu: 0787 188964, 0784 267762 na 0654 613080

  • 8/9/2019 ANNUUR 1178.pdf

    7/20

    7  AN-NUU

    SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 201Makala

    Profesa Ibrahim Noor Shari

    Propaganda za udini shuleni Tanzania-3

    KATIKA toleo lililopita,kuna maelezo ambayohayakuwa yameambatana

    na picha zilizokusudiwahivyo, kutokufahamikakama ilivyotarajiwa.Tunakirejea kipandehicho pamoja na pichazake.

    Na hi i ya juu piainamshirikisha Mwarabu

    Nini lengo la wachoraji picha kufcha ukweli?

    katika ukamataji. Nainayofuata inawashirikisha

    Picha hii imechorwa kuonesha kuwa hakuna wakulaumiwa katika ukamataji wa watumwa ila WaarabuWaislamu.

    Na katika picha hii pia, wenye kulaumiwa kwaukamataji wa wanyonge wa Kiafrika ni Waarabu naWaswahili Waislamu.

    Waarabu na Waswahili

    k a t i k a k i t e n d okilichofanywa na Waafrikawa Bara. Dhahiri kuwaukhabithi wa wakamatajiwa kweli, yaani makabilaya Waafrika wa Barayaliyokuwa na nguvuwanatupiwa Waarabu naWaswahili. Kisa ni kwakuwa ni Waislamu.

      N a h i z i p i c h azinazofuata kutokana navitabu vya kusomesheahistoria Tanzania halindiyo hiyohiyo. MtwikeMwarabu lawama zote zaukamataji wa wanyongewa Kiafrika na kuwatiautumwani na kwa kufanyahivyo lengo khasa lakuichukiza dini yao yaKiislamu litakiwa katika

     bongo za watoto vijanakatika shule za Tanzania.Lakini hilo halitafikiwakwa sababu kila kukicha

    wengi wenye kutumiaakili zao wanazidi kuuona

     Mwarabu hajulikani wa wapi! Wanawake wa Kiafrikakatika zama hizo kweli walikuwa wakivaa vitambaa

    ukweli. Lakini wenyelengo lao la siasa kaliza udini ni sawa kwao

    wanaona kuwa haidhurukitu wakija Waislamu naWakristo kuuwana siku zambele, na Tanzania ikawanchi isiyokalika. Siasa zao

    kali za udini ni masikitikomakubwa kwa nchi nzima.Na hii inayofuata ndiyo

    naipa nishani kubwakabisa. Maelezo yanasema,kwa tafsiri: “Watumwawakiwa kazini katikamashamba ya miwa katikaWest Indies.”

    West Indies ni visiwavilioko Amerika ambakoWaarabu hawakuwekohuko. Sasa inakhusu nininokoa achorwe Mwarabu?Hawa waandishi nawachoraji wenye siasakali za propaganda zaudini dhidi ya Waislamu

     Angalia na picha inayofuata. Tena na tena pichaza kuchora zinamlaumu Mwarabu kwa ukamatajiwanyonge wa Kiafrika na kuwatia utumwani.

    wamefikaje kuidhibitimanhaji (karikulamu)ya kusomeshea historia

     Hata katika mashamba ya miwa ya West Indies ambakWaarabu hawakuweko, wanawalaumu Waarabu kuwndio waliokuwa manokowa!

    T a n z a n i a n a h u ktunaambiwa Tanzanihaina dini?

    Hapana ubaya kukishujumbe, ikiwa ujumbwenyewe ni sahihi, lakinikiwa ujumbe si sahihi aumekusudia kupotoshukweli au kuleta chukau kuigawa jamii, baujumbe huo utakuwa nwa khatari sana, na kilmpenda haki na usalamwa nchi na jamii zakanatakiwa aupinge kwkupaza sauti yake, khasikiwa wanaofikishiwujumbe ni wanafunzwadogo ambao watakuwviongozi wetu keshona wao ndio watakuwwanatuamulia mamb

    yetu na kutuongoza.Angalia pia na picha hya wafanyabiashara wKiafrika. Jaribu utambupropaganda iliomo ndanyake:

    Propaganda si lazimiwemo katika yaliyosemwa u y a l i y o c h o r w aI n a w e z a k u w e mk a t i k a y a l i y o k u whayakuzungumzwa ayaliyokuwa hayakuchorwpia. Katika picha htunawaona Waafrikkutoka Bara wamechukuvitu vichache kamngoma, mikeka, pembza ndovu (na mmojkatika watu wawili hao

    Inaendelea Uk. 1

  • 8/9/2019 ANNUUR 1178.pdf

    8/20

    8  AN-NUU

    SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 201Makala

    LINI kilikuwa Kipindi chaIsraa na Mi’iraaj? Tarehehasa ya tukio la Israa naMi’iraaj haifahamiki kwauhakika. Ibn Kathiyramenukuu kutoka kwawanachuoni mbali mbalikatika kitabu chake Al-Bidaayatu wan-Nihaayah(3/108) juu ya terehe yatukio hilo. Wanachuoniwengi wanaona kuwatarehe hiyo ilikuwa katiya miezi 12 na 16 kablaya Hijra yake kwendaMadiynah. Na wa zaidiya hapo wamekhitilaanajuu ya siku na hata huomwezi.

    K a b l a y a S a f a r i :Malaika Jibriyl (‘Alayhis-Salaam) alifungua kifua

    cha Mtume Muhammad(Swalla Allaahu ‘alayhi waaalihi wa sallam), akatoamoyo wake na kuuoshakwa maji ya Zam Zam.Anasema Anas Bin Maalik(Radhiya Allaahu ‘anhu):“RasuluLlaah (SwallaAllaahu ‘alayhi wa aalihiwa sallam) alichukuliwakatika Israa na Mi’iraajkutoka Msikiti Mtukufu wa(Makkah) Ka’abah. Watuwatatu walimjia (ndotoni)akiwa amelala ndani yaMsikiti wa Makkah kablaWahyi haujaletwa kwake.Mmoja wao akasema:

    “Ni yupi kati ya hawawatu?” Malaika wa katiakasema “Yule ambayeni mbora kuliko wote”na Malaika wa Mwishoakasema, “Chukueni aliyembora wao”. Mambohaya yalitokea katikausiku huo huo. Usikuhuo hakuwaona, lakinialiwaona usiku mwingineambapo tayari wahyiulikuwa umeletwa kwakena alikuwa macho amelalalakini alikuwa hadhiri (Nikawaida ya Mitume wotekulala macho wakati wakohadhiri). Wale Malaikah a w a k u m s e m e s h a

     bal i wa limbeba hadiwakamfikisha katikakisima cha Zam Zam.Miongoni mwao Jibriyl(‘Alayhis-Salaam) alikuwaakiongoza na kuelekezakifanyike nini. Alipasuasehemu kati ya koo na katiya kifua na akatoa vyotevilivyokuwemo kifuanina kuviosha kwa maji yaZam Zam kwa mikonoyake mwenyewe na piakusuuza sehemu za ndaniza mwili na kisha kikaletwachano cha dhahabu kikiwana bakuli la dhahabu

    kililetwa ndani ya bakulimkiwa mkajazwa imanina busara. Jibriyl (‘Alayhis-Salaam) akachukua vituhivyo kutoka ndani ya

     bakuli na kuvijaza kifuanim w a M t u m e k i s h aakachukua viungo vyaMtume pamoja na mishipaya damu akavijaza kifuanikwa Mtume na kukifungak i f u a ” S w a hi y h Al -Bukhaariy Juzuu 9 Namba608, na Juzuu 5 Namba227).

    Israa maana yake nisafari ya Mtume (SwallaAl l a a hu ‘a l a y h i w aaalihi wa sallam) yeyeakiwa ni mwili wake naakili zake na roho yakekutoka Ka’abah hukoMakkah mpaka Msikitiwa Al-Aqswaa hukoQuds (Jerusalem) akiwaamebebwa na mnyamawa ajabu mwenye kuvutiaumbo lake anayeitwaBuraaq na kisha safari yakurejea kwake Makkah.

    Al-Buraaq: Mtume(Swalla Allaahu ‘alayhiwa aalihi wa sallam)alichukuliwa kutokaM s i k i t i w a H a r a m ,Makkah mpaka Msikitiwa Al-Aqswaa mjiniQuds juu ya mnyamaaitwaye Al-Buraaq akiwaameambatana na Malaika

     Jibriyl (‘Alayhis-Salaam)Mtume (Swalla Allaahu‘alayhi wa aalihi wasallam) alimwelezea Al-Buraaq kuwa, “NililetewaAl-Buraaq, mnyama mrefuwa umbo na mweupe, nimkubwa kiasi zaidi yapunda lakini ni mdogokuliko nyumba, ambayea n a p o k w e n d a m b i ohatua yake ni upeo wa

    macho yake. Nilimpandamnyama huyo mpakanikafika Msikiti wa Al-Aqswaa huko Al-Quds( J e r u s a l e m ) . H a p onilimfunga pale mahaliambapo Mitume wenginewalikuwa wakifungawanyama wao.” (SwahiyhAl-Bukhaariy na SwahiyhMuslim)

    A n a s B i n M a a l i kalisema, “Katika usikuambao Mtume alipelekwambinguni, Al-Buraaqaliletwa kwake akiwaamefungwa vikuku na anamatandiko, lakini aliletaujeuri kidogo, na ndipo

     Ji bri yl al ip om wa mb iaAl-Buraaq “Je unafanyahaya kwa Muhammad?Hakuna mtu mtukufualiyewahi kukupandaambaye ni mtukufu zaidiya huyu mbele ya Machoya Allaah.” Kisha akatoa

     jasho.” (At- Tirmidhiy naMusnad Ahmad)

    Maana Ya Al-BuraaqKwa Kiarabu Ni MwaleUnaotoka Katika Mwanga.Leo hii, Wanasayansi

    w a n a t u a m b i a k u w amwanga una mwendokasi zaidi ya vitu vyoteduniani. Huenda masafaya maili 700 milioni kwasaa moja. Miaka 1400iliyopita wakati ambapokulikuwa hapajatokeautafiti na uvumbuzipalikuwa hakuna mtuambaye aliweza hatakukisia mwendo kasi wamwanga wala ukweli wakeukoje. Allaah (Subhaanahuwa Ta’ala) na Mtume Wake(Swalla Allaahu ‘alayhiwa aalihi wa sallam)w a l i m w i ta m ny a m ahuyo kama Al-Buraaq

    kwa msingi wa mwendowake ulivyo na kasi kali..Huu ni ukweli ambaounathibitisha ukweli waUislamu na ukweli waUtume wa Muhammad(Swalla Allaahu ‘alayhiwa aalihi wa sallam)k a m a A l i v y o s e m aAllaah ndani ya Qur-aan, “Tutawaonyeshaishara Zetu katika upeo

    wa mbali na katika nafsizao wenyewe mpakaiwabainikie kwambahaya ni kweli.” (Fusswilat41:53).

    H a p o k a l e w a t uwalipinga na kusema‘mnyama huyo katokeaw a p i t e n a a m b a y ea l i m c h u k u a M t u m e(Swalla Allaahu ‘alayhi waaalihi wa sallam) kutokasehemu moja ya duniampaka nyingine na kishakapita naye katika angaza mbingu na tena katikausiku mmoja?” Leo hiitunaona vipando ambavyovimeundwa na binadamu,roketi na misali vikisarimaelfu ya maili kwa mudadakika chache tu. Iwapomtu ambaye ni kiumbecha Allaah Muumba waUlimwengu, Je, Allaahkwa nini asiumbe mnyamamwenye uwezo wa kukatamasafa ya mamilioni yamaili kwa muda mfupi.

     Kituo cha kwanza chaSafari - Al-Aqswaa: Mtumealisema: “Kisha niliingiaMsikiti wa Al-Aqswaa,nikaswali Raka’ah mbili”(Swahiyh Muslim)

    Kuna riwaya nyingine

    ambazo zinaeleza kuwMtume (Swalla Allaah‘alayhi wa aalihi wsallam) aliswali na Mitum

    wengine hapo msikitinna yeye akiwa ImaamMsikiti wa Al-Aqswaumekuwa na sifa ya kuwni kituo cha Mitume wotToka siku ya Al-KhaliyIbraahiym (‘AlayhiSalaam) hivyo Mitumwote walikusanyika hapna Mtume Muhamma(Swalla Allaahu ‘alayhi waalihi wa sallam) akawImaam wao. Hii ni daliya nafasi kubwa aliynayo Muhammad ambayni Mtume wa mwishmiongoni mwa Mitumwengine (‘Alayhimus

    Salaam). [Tafsiyr IbKathiyr]Ki sa c ha I s r a a n

    Mi’ i raa j k imeelezwndani ya Qur-aan (Al-Isra17:1) Aayah inayofuatiinaeleza matendo ya aibna makosa ya Mayahudna kufuatia juu ya haymakemeo makali ya Quaan. Mpangilio huo skwa bahati tu, Al-Qud( J e r u sa l e m ) i l i k u wni kituo cha kwanzcha safari hii ya Usikna hapa kuna ujumbambao unaelekezwk w a M a y a h u d i nkupewa ujumbe kuw

    hadhi waliyokuwa nayya kuongoza dunia n bi na da mu kwa ujumlimetanguliwa. Utenguwa uongozi kwa mayahudulitokana na mabaya yawaliyokuwa wakiyafanyn a y a l e a m b a ywanaendelea kuyafanya

    U j u m b e h uunathibitisha wazi wazk u w a u o n g o z i h uumehamia kwa MtumM u ha m m a d ( S w a l lAllaahu ‘alayhi wa aalihwa sal lam) achukuu o n g o z i w a m a k amakuu ya ‘Aqiydah yBaba Ibraahiym na pikuwa makao hayo sas

    ni Makkah na Msikiti wMbali (Al-Aqswaa) hukAl-Quds (JerusalemHivyo mamlaka hayyalihamishwa kwendkwenye taifa ambalni la Wacha Mungu nlenye utii kwa Allaap a m o j a n a M t u mambaye amependelewkubeba Qur-aan ambayinaongoza watu kuelekekwenye ukweli. [Ibarimechukuliwa kutokkatika kitabu Ar-RahiyquMakhtuum].

    Safari ya Israa na Mi’iraaj

    Inaendelea toleo lijal

     MASJID Nabawi Madina.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1178.pdf

    9/20

    9  AN-NUU

    SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 201Makala

    “WEWE tu tunakuabudu”.(Al-Fatiha:5)Kama tunavyojuwa sotena kama ilivyokuja katikatafsiri zote kwa hakikamadhumuni ya undani hapakutokana na kumtangulizamtendwa, madhumuni

    hayo kwa ufupi: Ee Molawa h ak i , h ak i k a s i s itunakiri na hatuukubaliisipokuwa uungu wakona hatunyenyekei kwayeyote asiyekuwa wewe nahatupati utulivu na upolena kuliwazika isipokuwambele zako.

    Na undani mwengine,ambao unastahiki kuandikwahapa undani huo ni kwamba badala ya kutumiwa tamkoli l i lopita “Ameabudu”limekuja tamko la muda wasasa wa kitendo hicho hicho“Tunaabudu” kwa sababutamko la kitendo kilichopitalinakusanya maana mengi,mifano ya tumeabudu –

    tumeswali – tumefanya hivina vile. Maana kuna baadhiya maana ya kudanganyikaambayo hayakubaliani namoyo wa ibada na uja.

    A m a k a t i k a t a m k o :“Tunaabudu” haipatikaniishara yoyote, kwa mfanowa ubaya wa kufahamuh u k u , k w a k i t e n d o“tunaabudu” kinaashiriakwenye kushindwa kwa binadamu na uhita ji wakem bele za h adh ara yaMwenyezi Mungu Mtukufuna kuendelea kuuelewaushindwaji huo na tunawezakuyafupisha yale ambayoanayataka binadamu hapakama hivi:

    “Ee Bwana wangu, kwahakika nimeifunga azmayangu juu ya kutoyatoamuhanga uhuru wangu walakuidhalilisha nafsi yangukwa yeyote as iyekuwaWewe. Kwa sababu hiyo,mimi ninaelekea kwako nakwenye mlango wako kwaujio wa nafsi yangu, kwaniya ya utumwa na udhalili,na ninaelekea kwenye ibadayako na twaa yako, kwa nafsiiliyojaa shauku na mapenzi,hali ya kuifunga azma juu yakujiepusha na maasia yakona yote usiyoyapenda nausiyoyaridhia, niya yangu nikubwa sana na bora kuliko

    Mafundisho ya Qur’an

    matendo yangu na miminina nyenyekea kwako,ninakuomba nikubali niyayangu kutokana na kutendambele zako kwa kukifanyiakaz i k ip im o ch a ya leninayonuiya kuyatenda, na sikwa kipimo cha yale ambayonimekwisha kuyafanya. EeBwana wangu.”

    K i s h a h a k i k a y e y eanasisitiza kwamba yeyehakuwa peke yake katikauwanja wa mataraj iwana kunyenyekea huku, bal i anasema, kwa hakika

    ndugu zake wanashirikiananaye katika matarajiwa naunyenyekevu huu maanaanaonyesha hapa uzuriwa dhana pana yenyekuenea. Na wakati huo huoanakusanya kuunga mkonokwao na kushiriki kwaokwenye upande wake, kwahiyo anadhamiria muafakana makubaliano ambayohawezi kuyatia kasoro nayaliyokuwa yeye anaelekeakwenye mlango wa mwenyekukidhi mahitaji kwa hiyoanajiepusha na wasiwasi washetani na anatoa sura kamiliya uja uliyokamilika mbele zaMungu uliyokamilika ambaohauna mpaka.

      “(1) Alif Lam Mym. (2)Kitabu hicho hapana shaka ndani yake, ni mwongozo kwa wenyekumcha Mwenyezi Mungu”[Al-Baqarah 1-2]

    Tamko (HUDAN) ambalolimekuja katika aya tukufu,tamko hilo limo katika mfanowa Masdar – chembuko laneno – na linabeba maanaya kwam ba b in adam uhawezi kufikia kwenyeuongofu na kwenye lengolinalotazamiwa nyuma yatamko hilo pasi na juhudiyake iliyotakata na kwamaelezo mengine kwa hakikasisi vile vile tukichunguzakwa mazingatio – TANWIN-

    tutajuwa kwamba kitabuhiki ambacho haipatikanindani yake chembe yoyoteya shaka, ndilo chimbuko lauongofu kwa wenye kumchaMwenyezi Mungu. Kwawenye kumcha MwenyeziMungu tu, kwa sababu nafsizao zimeepukana na shakana matatizo na nyoyo zaona roho zao zimeelekeakwenye kuukubali ukwelina kuzichunga kanuni zamaumbile za MwenyeziMungu na sharia yake tukufuna nafsi zao zimetakata na

    zimej iandaa kuukubaliuongofu na kufaidika naona sina kuwazuia na jambohilo kra yoyote au hukumuiliyotangulia.

    Isipokuwa ni kwambatamko “HUDAN” lililomwishoni mwa aya “wako juu ya uongofu kutoka kwaBwana wao”. [Al-Baqarah5] limetajwa kwa mfuo wa –Masdar – chembuko la tamko,maana ni kwamba MwenyeziMungu mtukufu huendaakawafanyia ukarimu wajawake kwa uongofu pasi nakupatikana uhusiano wasababu na matokeo ambayoameyaumba na akayafanyani katika sababu za uongofu.

    Na mlango wa kumchaMwenyezi Mungu ndiyomlango ambao unafikishana unafunguka juu yaukarimu huu na utoaji. Nadaraja la kwanza la mfanowa uchaji huu ni imani namaarifa ya kweli na darajala mwisho ni kuka kwenyekupata radhi za MwenyeziMungu Mtukufu. Kamailivyokuja katika maelezoya wazi yaliyopitishwa yaaya kwamba, hatafika nahatapata nja ya kuokokaisipokuwa yule aliyefikakwen ye k iwan go h ik icha uongofu. Kisha kwahakika pamoja na mtiririko

    wa aya na kuwa uongofuumefungamana na kupatishakwa Mwenyezi MunguMtukufu kwa huo uongofu,kwa hakika kufika kwa binadamu kwenye amani nausalama na kwenye utulivukatika dunia na kwenyekufuzu siku ya Kiyama nakunarejea kwenye kipimokikubwa kwenye mwenendowake na matendo yakeambayo anayadhihirisha kwamatakwa yake yaliyo huru.

    K w a m s i n g i h u o ,kunawezekana na kusema

    kwa ufupi: Kwamba tamko(HUDAN) la kwanza nisababu na tamko (HUDAN)la pili yakiwa matokeo, likiwalimepakwa manukato yaupole na wema na matamkoyote mawili ni majibu yamaombi ya ( tuongoze)ambayo limekuja katika SuratAl-Fatiha na ni ufafanuzi vilevile wa namna ya mwenendowa wale wenye kupatikana juu ya njia.

      “Ndani ya nyoyo zao pana ugonjwa akawa zidi shia Mwenyezi Mungu ugonjwa”,[Al-Baqarah 10]

    Imekuja katika baadhiy a t a f s i r i k w a m b a :“Akawazidishia Mwenyezi

    Mungu ugonjwa” manenohayo ni katika mlango wa“malipo na katika jinsiya matendo”. Isipokuwani kwamba mimi naonakwam ba n i bo ra s an akukaribia kwenye maana yaaya kama hivi:

    “Hakika Mwenyezi Munguamewaongezea ugonjwakatika nyoyo zao” kwasababu wao wamejichafuak w a s h a r i n a m a a s i ambalimbali katika kiwangocha niya na kila wanapokutakuwa fursa iko tayari ,wanajitahidi kuzihakikishaniya zao mbaya hizo, na kwasababu zinapozidi, huzidi

    matokeo na hili linamaanishkuingia kwao ndani ya duarambayo hana mahala pkutokea. Maana yake nkwamba wao hawakuwezkuziokoa nyoyo zao na niyhizi mbaya, bali ni kwambhawakukiria kabisa jambhilo, na niya hizi mbayzimejaa nia mbaya nyingin

     ju u ya ni a hi zi yamezamatendo mengine na kwsababu ya kuingia katika hduara ambayo haina mahapa kutokea, kumepatikankuangamia kwa wanaki.

    Mambo yakiwa hivyowakati tunapoifasiri aya hi“Akawaongezea MwenyeMungu ugonjwa”, ni juu yetkuyachunguza maana yakkama matokeo ya kitabiya kuingia katika hii duarisiyokuwa na mahali pkutokea.

    Kwa hakika afya ya mwindiyo msingi na ugonjwni jambo lililozuka. Nhivyo hivyo, maumbilyaliyosalimika ndiyo msingn a u go n jwa wa m o yndicho kitu kipya. Kwsababu hiyo yule ambayhashughuliki na afya ymoyo wake na kuulindna kuyashika mashartyote ya kihali kwa ajili ykuukinga, atakiacha hiki kitmuhimu kilichowekwa nMwenyezi Mungu mtukufkuwa ni tonge nyepesi nlaini kwa virusi na bacterimbalimbali. Ijulikane kuwpamoja na kuwa mwanzhuenda ukawa ni kitu kidogsana, kwa hakika kuhamkutoka katika makosa nkwenda kwenye makosmengine na kutoka katikdhambi na kwenda kwenydhambi nyingine na kutokkatika maasia na kwendkwenye maasia menginehayo yatapelekea mwishonkwenye kuchanika ile sehemna kuingia kwenye maasimakubwa sana ambayyanapita kiwango cha kutakilini maana itapelekekwenye kubwa la maasiyote, nalo ni kumshirikishMwenyezi Mungu, kwsababu kuna njia nyingsana zinazopelekea kwenyukari.

    Ukiwa uharibifu wa itikadau kupinduka kati ya mambyenye kutatiza na shakndiyo ugonjwa wa wanakhili linamaanisha wakati huhuo kupatikana kwa hali y

    kukubali ambayo imejichya ukari na upingaji. Iwapmsaada wa Mwenyezi Munghaukuuwahi ugonjwa huu nhavikuvunjika vile vikukvyenye kufikisha kutokmaasia, na kwenda kwenyukari, kwa hakika maasikwa sababu ya kuongezekkwake maradufu, hupelekek w e n y e k u m k u f u rMwenyezi Mungu mtukufuBali huzuka mara nyingkwamba binadamu wakainapomzunguka shakahuenda zikawa na sababya ku ikata n j ia yen ykuunganisha kati yake nMwenyezi Mungu Mtukufu

    Fethullah-Gulen

  • 8/9/2019 ANNUUR 1178.pdf

    10/20

    10  AN-NUU

    SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 201Makala/Tangazo

    K I A S I w i k i m b i l izilizopita, vyombo vyahabari viliripoti kuwaw a n a o d a i w a k u w a‘magaidi wa kundi la ‘TheIslamic State’, wamekirikuhusika na shambuliok u le D a l la s , T e x a s ,Marekani. Watu wawili,ambao baadae waliuliwana Polisi, wanadaiwakumshambulia askarialiyekuwa katika lindonje ya ukumbi uliokuwaukionyesha vikaragosi(cartoons) vikifananishwana Mtume Muhammad(s.a.w).

    I na y o d a i w a k u w aRedio ya IS, ikitajwa kwa

     jina la ‘Al Bayan radi ostation’, inadaiwa kutoataarifa iliyodai kuwawashambuliaji wawili waDola ya Kiislamu, Elton

    Simpson na Nadir Soo,walifanya shambulioh i l o k u w a t i a a d a buwanaomkashifu Mtumena Uislamu.

    "We tell ... America thatwhat is coming will be more

     grievous and more biter and you will see from the soldiersof the Caliphate what willharm you, God willing".

    Inadaiwa kusema taarifaya IS kupitia Al Bayanradio, ikitoa kitisho kwaMarekani kuwa shambuliohilo ni mwanzo tu, lakinimashambulio makubwa naya kutisha zaidi yanakuja

    kutoka kwa askari waKhilafah.Hata hivyo, ukisoma

    taarifa hiyo, unachogunduana kilicho wazi ni kuwa nikatika zile zile propagandaza kuteka akili za raia waMarekani wawe tayarikuunga mkono hatua zaserikali yao kupelekeaaskari Iraq na Syria kwakisingizio cha kupambanana magaidi hatari wa IS(sio Osama Bin Laden walaAl-Qaida tena).

    K w a m b a h i y o n isehemu ya propaganda,inathibitishwa na taarifan a u j u m b e m w i n g iul iomiminika kat ikamitandao ya k i jamiiikiwapongeza waliofanyashambulio hilo na kutoavitisho zaidi. Moja yaujumbe huo katika Twierunasema”

    "How are you (Americans) going to live when we createour lone wolves to be nuclearbombs ... by God, you can'tmatch us and in the heart of

     your homes you will see".Wana mipango mikakati

    na waandaa propagandahizi, Wanachowaambiawananchi wa Marekani ni

    Tukimeza Chambo Tumeumia Al-Shabab wa Nkurunziza watatubamiza

    Bendera nyeusi, akina ‘Kaisi’, mtego tu…Kutuingiza katika kundi la Wajinga ndio…

    Na Omar Msangi kuwa kama hawataungmkono mipango ya serikayao kwenda kuwapigmagaidi wa IS huko hukSyria na Iraq walipo, bawajue kuwa watakujienna kukupigeni huku hukDallas na New York!

     Al-Shabaab wa Nkurunziz

    “US warns of al-Shabaaattacks in Burundi” nk i c h w a c h a h a b a rkilichokuwa kimebebtahadhari iliyotolewa nWizara ya Mambo ya Nya Marekani Oktoba 201ikitahadharisha kuwBurundi watapigwa nAl-Shabaab. Taarifa hiyiliyotolewa na Wizara yMambo ya Nje ya Marekan( S ta te D e pa r tm e nt )iliitaka serikali ya Burundkuchukua tahadhari kwankulikuwa na taarifa za kintelijensia kwamba kundla al-Shabaab wanawezkuipiga Burundi.

    W a s w a h i l i w a nmsemo wao, wajingndio waliwao. Burundimefanywa upawa wkukorogea uji wa motom a b e b e r u w a n y wkwa raha zao. Serikaya Burundi, kama ilivykwa Uganda, Tanzania nKenya, haikuhusika kwnamna yoyote kuchocheghasia na kuibuka kwwapiganaji wa Al-ShabaaNi mabebru, wakiitumE t h i o p i a a m b a

    waliivurumisha serikaya Umoja wa Mahakamza Kiislamu iliyokuwimeleta amani katika nchhiyo. Baada ya kuivurugnchi hiyo, sasa wanaitwBurundi, Kenya, Ugandwakapigane kwa niaba yBeberu aliyetoka maelfya maili kutoka hukatokako kuja kuivurugSomalia kwa masilahyake. Ili msifike maham k a c ho k a , m k a ta kkurejesha majeshi yennyumbani, lazima mtiwkitanzi na motisha ykuendelea kuweka majesh

    yenu Somalia. ‘Motishyenyewe ni kutishwkila wakati kuwa AShabaab wanakuwindenNi magaidi katil i nhatari. Kama wanawezkwenda kupiga DallaTexas, hawashindwkuja kukubamizeni hapBujumbura na Mwanza.

    Kwa hiyo mnapigiwn g o m a y a k i t i s hc h a k u s h a m b u l i wn a A l - S h a b a a b k i lwakati. Mkikaa kidogmnakumbushwa kutok‘Department of State

    Inaendelea Uk. 1

    T A N G U S e p t e m b a11, 2001, Bin Ladenamekuwa zaidi mtajwaasiyekuwepo. Video zakechache au mikanda yavideo ilikuwa haiaminiki,na wasiwasi kuhusukifo chake umesikikamara kadhaa. Hapo Julai11, 2002, Amir Taberialiandika katika gazeti laNew York Times, "Osamabin Laden amekufa.Habari hiyo kwanzailikuja kutoka vianzionchini Afghanistan naPakistan karibu miezisita iliyopita: mkimbiasheria huyo alikufamwezi wa Desemba naalizikwa katika milimaya kaskazini masharikiya Afghanistan."

    Akiwa na hisia yakujisikia inayofanana naMlima Everest, Osama binLaden asingeweza kubakikimya kwa muda wote huokama bado angekuwa hai(alisema mwandishi huyo.“Wakati wote alipendakutangaza kuhusika navitu ambavyo hakuwana uhusiano navyo. Iweje

    Bin Laden: Hivi kweli tunajua nini?Na Linh Dinh

    May 16, 2015 - 'Mtandaowa Kupashana Habari, na

    'Lew Rockwell'

    Osama bin Laden

    akae kimya kwa miezi tisana asijisifu kwa kushinda

    hatari zote?”Lakini nje ya video

    moja yenye utata, BinLaden hata siku mojahakudai kuhusika na9/11. Kinyume chake,alikataa mara kadhaakuhusika kwa njia yoyotekwa mauaji hayo ya watuwengi. Hapo Septemba 28,2001, alihojiwa na gazeti laKarachi Ummat, gazeti lalugha ya ki-Urdu. Shirikala habari za nchi za njela Marekani, kitengo chaCIA, lilitafsiri: (Osamaalisema yafuatayo:)

    " N i m e s h a s e m akuwa mini sihusiki na

    mashambulio ya Septemba11 nchini Marekani .Kama Muislamu, najaribuniwezavyo kutosemauwongo. Wala sikuwana ufahamu wowote wamashambulio hayo nasioni mauaji ya wanawake,watoto na binadamuwengine wasio na hatiakuwa ni jambo adilifu.U i s l a m u u n a k a t a z ak a b i s a k u s a b a b i s h amadhara kwa wanawake,watoto na watu wenginewasio na hatia. Kufanya

    Inaendelea Uk. 11

    Rais Nkurunziza (katikati)

  • 8/9/2019 ANNUUR 1178.pdf

    11/20

    11  AN-NUU

    SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 20111 AN-NUU

    Makala

    Tukimeza Chambo TumeumiaInatoka Uk. 10

    au Ubalozini kwamba,‘jamanae.. Al-shabaabwanakuja!’ Na hivyo nchikama Burundi, Ugandana Kenya ambazo tayarizina majeshi kule, lazimazikumbushwe mara kwa

    mara kwamba ‘mkiachaAl-Shabaab wakishinda’, b a s i w a t a k u f u a t e n ihuko nyumbani kwenuBujumbura na Garissa.

    A l i j i s e m a M z e eAll i Hassan Mwingikuwa mtoto akibebwahutizama kichogo chamamaye, wakati ule yeyeakimaanisha kuwa kamaRais atakuwa akitizamamapito ya Baba wa TaifaMwalimu Nyerere. SasaRais Pierre Nkurunzizan a y e a n a t i z a m akichogo cha mabeberuanaowatumikia kuleSomalia. Wakati tatizolililopo ni wananchi wakekumkatalia kugombeaurais kwa muhula watatu, yeye anageuza madainakuwa ni ugaidi wa Al-Shabaab.

    Kwa kweli ukichukuamsemo huu kuwa ‘Wajingandio waliwao’, unatukaavizuri sana. Katika taarifahiyo ya tahadhari yakushambuliwa Burundimwaka jana, ilielezwakuwa sababu ni kutokanana Burundi kuwa namajeshi Somalia. Taarifailisema:

    “It is believed that al-

    Shabaab wish to attackthe country becauseBurundian troops are partof a coalition of AfricanUnion (AU) forces whichare battling the group’sinsurgency in Somalia.

    The al-Qaida linked al-Shabab insurgents haveclaimed recent attacksin Kenya,Uganda andDjibouti, who also sentpeacekeepers to Somalia.”

    Labda tujiulize, Burundi,au hata Tanzania yetu,na kwa maana hiyo AUiliyo na vikosi vya kulindaamani Somalia, inahusika

    vipi na kuibuka hao “al-Shabaab insurgents?” Hiviviongozi wetu hawajuinani alilikoroga Somalia?Hivi hawajui kwa ninial-Shabaab? Nani kaletahuu u-alQaidah katikaal-Shabaab na Somalia?Kwa nini hawamwambiialiyelikoroga alinywem w e n y e w e ! K a m ahoja ni kuwa Burundiitapigwa kwa sababu inamajeshi Somalia, kwanini Bujumbura isijiulizeinafanya nini kule?

    La kusikitisha ni kuwahao hao wanaotugeuza

    mkakati mwingine wkuwafanya wananchi wUfaransa na Ujerumanwaunge mkono uwepwa majeshi ya nchi zaAfghanistan.

    Moja ya mikakati hiyimetajwa kuwa ni “kuDramatize” unyam

    wa Taliban dhidi ywanawake kupitia vyombvya habari . Kwambyakionyeshwa matukiya kikatili wanayofanyiwwanawake na kwambukatili huo unafanywna Taliban, basi wananchwa nchi hizo wataon

     bo ra wa na j esh i waw a z i d i k u k a a hu kwawatokomeze ‘magaidkatili wa Taliban’. Lakinv y o m bo v y a ha ba rvitatumika pia kuonyeshkuwa kama wananchi wUlaya wataacha Talibaishinde, wajue itawafua

    huko huko katika miya Ulaya. (Soma: WhCounting on Apathy MaNot Be Enough”)

    Unaposoma taarifkama hizi, lazima uwna wasiwasi kuwa hatyale matukuo ya msichanM a l a l a a l i y e d a i wkupigwa risasi na Talibakwa sababu eti anatakkusoma shule, huenda nkatika mambo ya kupangk a t i k a k u k a m i l i s hmikakati hii.

    Lakini pia ukitizam jinsi baadhi ya vyumbvyetu vya habari hapnchini vinavyopigia debkitisho cha ugaidi, ukirejematukio ya akina ‘Kaisna michango yao ya pesza kununulia ‘tasbih(risasi), ukija na yale ykukutwa vijana msikitinwakiwa na milipukpamoja na bendera yki-Al Shabaab, Lazimwasiwasi uwe mkubwk u w a t u m e t u p i wchambo. Na kwa bahambaya baadhi ya vyombvyetu vya habari, ama kwujinga tu au kununuliwna usaliti , vimemezchambo hicho. Vinafanykazi kwa juhudi kubw

    kusimika kitisho chugaidi. Wao watanufaikvipi, hata ukiwaulizwenyewe hawajui. Lakinla uhakika ni kuwa kama nkuangamia, itakayohilikni nchi, si watu wa dinfulani pekee.

    Hata hivyo, matarajiyetu ni kuwa ndani y

     jamii ye tu, ndani yvyombo vyetu vya usamna ndani ya serikali, tunwatu wazalendo wenyakili zilizofunga vizuri nmambo haya wanayaonkwa mtizamo sahihi.

    k u w a u p a w a w a‘kuwapoozea uji wa moto’,ndio wanaotoa kaulikuwa tupo katika hatariya kupigwa kwa sababutuna vikosi kule. Lakinindio hao hao wanapotupamikakati yao ya kutuundiavikosi vya “CounterTerrorism”, kama ileATPU ya Kenya. Nandio hao hao hutugeukan a k u t u s h u t u m ukuwa tunakiuka hakiza binadamu, ATPU

    wanapotesa na kuuwawatu kikatil i ! Lakini baya zaidi, mikakati yaoinatutumbukiza katikamachafuko na maafa zaidi.

    K a t i k a m a k a l a

    ‘ E x p l o i t i n g S o c i a lIssues for Militarisma n d I m p e r i a l i s m ’ ,m w a n d i s h i G l e n nGreenwald ananukuany a r a k a m ba l i m ba l iakionyesha jinsi mabeberuwanavyohangaika katikamikakati yao ya kushikiliaakili za ‘wajinga ndiowaliwao’ i l i wawezekushiriki katika mikakatiyao. Akielezea juu yaAfghanistan, anasemakuwa wasiwasi uliopo

    ni kuwa washirika waMarekani kwa maanaya nchi za Ulaya kamaUfaransa na Ujerumani,huenda zikaondoa majeshiyao katika muungano

    unaoikalia kibamavunchi hiyo- InternationalSecurity Assistance Force(ISAF). Anasema, i lekusema tu kuwa kunakitisho cha ugaidi/Osama,Taliban n.k, haitasaidia.Wanahita j i kutafutam k a k a t i m w i n g i n e .Waweka mikakati wamabebrru wanasema,ile kwamba awali, nchihizo zilitegemea kilewal ichoki i ta “Publ icA p a t h y ” , k w a m b a

    w a na nc hi w a l i k u w ahawajali inachofanyaserikali na jeshi lao kuleAfghanistan, i taf ikamahali isifanye kazi. Kwahiyo lazima utengenezwe

    Bin Laden: Hivi kweli tunajua nini?Inatoka Uk. 10

    hi v y o k u na k a ta z w akatika mwenendo wamapambano. Ni Marekaniambayo inaendeleza kilaubaya dhidi ya wanawake,watoto na watu wa kawaidawa imani nyingine, hasawafuasi wa Uislamu.Ki le k inachoendeleahuko Palestina kwa miezi11 iliyopita kinatoshakuitisha ghadhabu yaMungu kwa Marekanina Israel. Kuna onyo piakwa zile nchi za Kiislamu,ambazo zimeshuhudiayote haya zikabaki kimya.Nini kilifanyika hapokabla kwa watu wasio nahatia wa Irak, Chechnya naBosnia? Ni jumuisho mojatu linaweza kukiwa kwa

    kutojali kwa Marekanina nchi za Magharibikwa matendo haya yauharamia na kuwafadhilimadhalimu kwa nchi hizikuwa Marekani ni nchi

    inayopigana na Uislamuna inafadhili harakatiza kuupinga Uislamu.Urafiki wake na nchi zaKiislamu ni onyesho tu,au udanganyifu. Kwakuzivuta au kuzitishanchi hiz i , Marekaniinazilazimisha kuchukuanafasi inayotaka. Tupa

     ji cho ku an ga li a du ni autaona kuwa watumwawa Marekani ni watawalaau maadui (wa Waislamu).Marekani haina maraki,wala haitaki kuwa naokwani hitaji la kwanza laurafiki ni kufika katika

    hatua ya uraf ik i nakumwona kuwa ni sawana wewe. Inatazamiautumwa kutoka kwawengine. Hivyo, nchinyingine ni watumwa

    wake au wasaidizi wake.(............) Yeyote aliyefanyamatendo ya Septemba 11siyo rafiki wa watu waMarekani.

    Nimeshasema kuwatunapinga mfumo waMarekani, siyo dhidi yawatu wake, wakati ambapokatika mashambuliohayo, watu wa kawaidawa Marekani wameuawa.(.....) Marekani ingejaribukuwatafuta waliofanyamashambulio hayo ndaniya nchi yake yenyewe;

    Inaendelea Uk. 12

    WANANCHI wa Burundi wakiandamana kumpinga Rais Nkurunziza

  • 8/9/2019 ANNUUR 1178.pdf

    12/20

    12  AN-NUU

    SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 20112 MAKALA/MASHAIRI

    1. Kwa jina lake Jalali, Mola mwenye MiujizaMuumbaji wa awali, dunia kaitandazaYote kwake ni sahali, gumu hakulibakizaAsiyejua maana, kwani haambiwi mana

    2. Kisha swala kwa Rasuli, Mtumewe mpendezaMaswahabaze Rijali, Tumwa walo mtukuza

    Walotoa zao mali, elimu kuisambazaAsiyejua maana, kwani haambiwi mana

    3. Sasa nianze suali, wenzangu kuwaulizaLanisumbua akili, macho yanaona kizaNiwaambie ukweli, hili limenitatizaAsiyejua maana, kwani haambiwi mana

    4. Ni semi za Kiswahili, Babu yangu kanifunzaAu sijui methali, vyema hakunielezaZinaka mia mbili , ninazo nimezitunzaAsiyejua maana, kwani haambiwi mana

    5. Nyenginezo afadhali, kufafanua nawezaHazinipi mushkeli , japo ni za kuchokozaIla hii nimefeli, ingali ikinikwazaAsiyejua maana, kwani haambiwi mana

    6. Jambo tunalokubali, kawaida ni la kwanza

    Anoshindwa tafaswili, vizuri kumwelekezaMimi naona muhali, asojua kumtwezaAsiyejua maana, kwani haambiwi mana

    7. Shida ilonikabili, Babu nimeshapotezaNikimjulia hali, haya tukizungumzaSasa sinae batwali, walobaki ni vilazaAsiyejua maana, kwani haambiwi mana

    8. Enyi malenga wakweli, nini mtanielezaKuwapuuzia mbali, wasojua ni ruwazaAu la kuwabadili, mtazamo kugeuzaAsiyejua maana, kwani haambiwi mana

    9. Mimi natoa kauli, kabla sijamalizaNakataa jambo hili, Babu alinipotezaItapokuwa halali, msimamo taregezaAsiyejua maana, kwani haambiwi mana

    Mtunzi: Ukht. Zainab MtimaMbweni, Zanzibar - 0717 165 602

    SHAIRI LA ASIYEJUA MAANA 

    Naianza simulizi, kwa jina lake KarimaMola wetu U mjuzi, mfano huwezi pimaSifa zako zote hizi, za kuumba na uzimaMwili raha yake kazi.

    Zote hizi zako sifa, za kuumba na uzimaUkazipa maarifa, ili mwali kujitumaKiungo kimoja kifa, mwili zote huzizimaMwili raha yake kazi.

    Ndugu mwana mhimili, isikilize kalmiaKwa kuushangaa mwili, Zainab wa MtimaViungo hujihimili, hadi kazi kusimamaMwili raha yake kazi.

    Kama kazi zikizidi, mwili nao hulalamaHuuleta ukaidi, na kukia kugomaAkili yajitahidi, mwili wazidi kuzamaMwili raha yake kazi.

    Hapa ninapiga mbizi, pembeni ninayoyomaNinafunga simulizi, shairi langu kukomaMajibu ukimaizi, nambie ulipokwamaMwali raha yake kazi.

    SHAABAN AYOUB-Mjukuu wa KabongoDar es Salaam.

    Raha ya mwili kazi

    Bin Laden: Hivi kweli tunajua nini?Inatoka Uk. 11watu ambao ni sehemuya mfumo wa Marekani,lakini wana dukudukudhidi yake, au waleambao wanatumikiamfumo mwingine; watuwanaotaka kuifanyakarne hii iwe ni karne yamapambano ili ustaarabuwao, taifa, nchi au itikadiyao iweze kudumu. (....).

    Halafu kuna mashirikay a k i j a s u s i n c h i n iM a r e k a n i , a m b a y oyanahitaji mabilioni yafedha za Marekani kutokaBunge na serikali kilamwaka. Suala hili (lakutoa fedha) halikuwat a t i z o ( w a k a t i w a )uwepo wa Urusi lakini

     baada ya hapo bajeti zamashirika haya zimekuwa

    hatarini. Wanahitaji adui.Hivyo walianza kwanzapropaganda dhidi yaUsama na Taliban halafutukio hil i l ikatokea.Unaona, utawala waBush ulipitisha bajetiy a d o l a b i l i o n i 4 0 .K i a s i h i k i k i k u bw acha fedha kitakwendawapi? Kitatolewa kwamashirika hayo hayoambayo yanahitaji fedhanyingi na kuonyeshaumuhimu wake. Sasayatatumia fedha hizo kwakujipanua na kuongezaumuhimu wao. Nitakupa

    mfano. Wauza madawaya kulevya kutoka koteduniani wanawasilianana mashirika ya kijasusiya Marekani. Mashirikahaya hayataki kufutiliambali ulimaji wa bhangina usafirishaji wa ungakwa sababu umuhimuwao utapungua. Maosawa Shirika la Kupambanana Madawa ya Kulevya(DEA) wanahamasisha

     biashara hiyo ili wawezekuonyesha wanachofanyana kupata mamilioni yadola katika bajeti. JeneraliNoriega (mtawala wazamani wa Panamaukanda wa Amerika yaKati) alifanywa kuwam u u z a u n g a … n ailipohitajika, akafanywambuzi wa kafara.

    Kwa njia hiyo hiyo,kama ni Rais Bush aurais mwingine yeyote,hawawezi kuif ikishaIsrael mbele ya sheria kwauvunjaji wake wa haki za

     binadamu au kuiwajibishakwa uhalifu huo. Hayayote ni kitu gani? Hivi siinaonyesha kuwa kunaserikali ndani ya serikaliya Marekani? Serikali hiyo

    ya siri lazima iulizwe nanialiyefanya mashambuliohayo.” (Hiyo ni kauli yaOsama Bin Laden)

     J iul ize mwe nye we .Hivi hii inaonyesha

    mzungumzaj i kichaaanayetamka chochoteki le , anaye j is ik ia nimkubwa kama MlimaEverest? Anaelekea kuwamtulivu, kwa uhakika, naana uelewa unaopenyaakilini kuliko wanasiasawote na wasomi wotewa Marekani. Kwa haliyoyote, mahojiano hayayalikuwa mazungumzoya mwisho yenye uzitokutoka kwa Bin Laden.Baada ya hapa, ni kamavile alipotea.

    L i c h a y a k u w ah a k u o n e k a n a w a l a

    k u s i k i k a , a l i k u w aa n a k u m b u s h i w akuhalal isha uhal i fuambao Marekani ilikuwaikiwafanyia wengine, nahata raia wake yenyewe.Bin Laden alidhihirishac h o c h o t e a m b a c h oviongozi wetu waliamuakufanya. Lakini miakakumi ni mingi kutupakivuli hiki katika kutazetu. Mtu huyu mwenyem a d e v u a l i k u w aamekuwa kama mzahahivi, kusema kweli. Katikaonyesho la katuni, wakaziwa South Park jimbo laColorado walikia mahaliwakamtaka Bin Ladenawasaidie kupambanana kundi la maharamial i na l o v a m i a k u to k aNew Jersey. (Ni kamakusaidia kupambana namaharamia wanaovamiaTabora, kutoka Tanga)!

    Hapo Mei 2 , 2011serikali yetu ikaamuakumalizika mbali mzukawa Bin Laden. Kwa vileMarekani inasemekanailikuwa inamtafuta tangumwaka 1998 (milipukokatika balozi za MarekaniA f r i k a M a s h a r i k i )ungedhania wangebaki

    naye kirefu zaidi baadaya kumpata, endapowalimpata, lakini ndani yamasaa kadhaa ya kumpataadui yao namba moja,Marekani ikamfutiliambali Bin Laden.

    Hola, kama huwezikunionyesha chochote,labda hunacho, hasakama wewe ni mwongoaliyekubuhu na upokatika biashara ya bisulililochwa chini ya koti.Kwa kesi za mauaji kwanchi zinazotumia lugha yaKiingereza tangu kupotea

    kwa William Harrisomwaka 1660, kumekuwna kanuni ya 'bila maihakuna mauaji' (mtkuhukumiwa kwa shitakhilo), lakini hapa kuna mt

    anayesema kuwa ameuakatangaza kila mahallakini hakuna mwilkitu ambacho ni sawna kuteketeza ushahidushahidi wowote ule.

    K w a h i y o C Iinachotuambia hasa n"mbwa alikula maihiyo." Kusema kwemzaha huu uliundwa biustadi wowote, maelezyake yakiwa hayaingaki l ini kabisa , k iaskwamba wanaotutawal a z i m a w a n a d h a nkuwa sisi ni mataahirtumefagi l iwa bong

    zetu kwa propagandtangu kuzaliwa hadkufa inayotolewa kwkuchapishwa au kwm w a n g a n a s a u t iNachelea kukiria kuwwanaweza kuwa sahihi.

    Katika picha iliyobezwsana, Bush anaonyeshwakiwa katika koti la Jeshmkono wake ukiwumeshika sahani yenykanga aliyekaangwaamefunikwa na zabibuAmezungukwa na askawa Marekani, wengi wawakiwa hawamwangaliHii ina nia ya kuonyeshk u w a p i c h a h i yilichukuliwa kikawaid

     bila urasimu, kusimamkwa kupiga picha. Hivyni ya uhakika.

    Katika picha nyinginambayo mara moja ilitajwkama ya kukumbukwa nya kuhifadhiwa kwaninabadili tunachofahamakilini mwetu, Obamanaonyeshwa akiwk a t i k a c hu m ba c hmikutano cha Ikulu yMarekani, amezungukwna washauri wake wakuwa masuala ya usalamWanaangalia kitu fulanKati ya watu hao 13, hakun

    anayeangalia kamera. Hpia ni kuonyesha kuwpicha hiyo ilikuwa ykawaida, ya kiasili nsiyo ya kuundwa kwajili ya tukio. Obamanaonyeshwa akiwamevalia koti la kawaidBiden amevaa shati ymikono mifupi, vianzivinavyoonyesha kuwwako kazini, na siywanachukua picha ypropaganda. Monekanh u o u m e k u w a wu h a k i k a k i a s i c h

    Inaendelea Uk. 1

  • 8/9/2019 ANNUUR 1178.pdf

    13/20

    13  AN-NUU

    SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 201MAKALA/TANGAZO

    KWA wale walajiwa mikate ya kiasiliy a K i z a n z i b a r imaarufu kama boflo,wanafahamu ambachohutokea pale mkatehuo unapovamiwa naumma wa sisimizi.M l a j i w a m k a t ehuo hususan paleanapokuwa na njaakali, hujaribu kukatakipande cha mkatehuo na kukipigapigachini mara kadhaa ilisisimizi watoke ndaniya mkate huo, lakiniwapi, huwa hawatokibali huzidi kujifichandani kwa ndani .Mara nyengine mlajihujaribu kuupashamoto mkate huo ilikuona kama athari yasisimizi hao itapungua

    ili aweze kuula, lakinihata hivyo hakunak i n a c h o b a d i l i k a .Badala ya sisimizihao kubaki ndani yamkate wakiwa hai, sasahubaki wakiwa wafu.Ni yale yale, mkateumezidiwa na sisimizi,hauliki.

    H e b u s a s atuufananishe mkate huuwa boo uliojaa sisimizina Chama kikongwec h a s i a s a , C C M ,upande wa Zanzibar.Chama hichi badalaya kutekeleza kazina urithi kilioachiwana mtangulizi wakeA S P , a m b a y o n ikukamilisha malengo

    ya kupigania uhuruwa visiwa hivi, chamahicho kimeukengeukakabisa wajibu huo.ASP ilipigania uhuruw a W a z a n z i b a r ii k i m a a n i s h ak u m k o m b o amwananchi kutokanana kila aina ya idhlalina unyonge ili wanawa visiwa hivi vitukufuwaweze kuishi katikamaisha bora, na yenyeheshima.

    ASP ilipigana nah at im ae ku u n g’ o autawala uliohodhiwan a w a c h a c h e n ahatimae mamlaka yanchi yakawa ndaniya mikono ya wengi.Ilifanikiwa kuondoakila aina ya ubaguziwa rangi, kabila, asilina kadhalika, hatimaeWazan zibar i wo tewakawa na haki sawa,heshma sawa na hadhisawa. Ilifanikiwa kwakiasi kikubwa kuondoaumasikini wa kipato,chakula, mavazi namakaazi na Wazanzibarikuwa watu wenyekuheshimika ndani yanchi yao.

    C C M Z a n z i b a r ,m r i t h i w a A S Pimesaliti wajibu wakew a k u y a e n z i n akuyaendeleza mazurihayo ya ASP. Badalayake imekuja kujengea

    CCM Zanzibar mkate wenu umejaa sisimiziNa Ahmed Omar Khamismisingi mipya miovu

    na kuweka mazingiramapya ya kuyaendelezayale yote yaliyopigwavita na ASP. Utawala

    wa nchi hii umetolewan d a n i y a m i k o n oy a W a z a n z i b a r in a u m ekabidh iwakwa majirani zetu,k w a k i s i n g i z i oc h a M u u n g a n o .W a t a n g a n y i k awanautumia vyemaMuungano huo nafursa zake kuijenganchi yao na kuiimarishakiuchumi na kisiasah u k u Z a n z i b a ri k i d h a l i l i k a n aikitokomea pole polekutoka katika ramaniya ulimwengu.

    CCM imerejeshaupya ubaguzi miongonim wa Wazan zibar iwenyewe kwa wenyewekwa misingi ya rangizao, makabila yao naasili zao na kuifanyakazi kubwa ya ASPya kufuta laana hiyoya ubaguzi kuwa ni bure. Nyimbo zile zazama zile za Uarabu,U a f r i k a , u b w a n a ,utwana, na kadhalikaambazo sisi vijana waleo tumezikuta vitabunina katika masimulizi yawalimu wetu maskulini,sasa tunazisikia zikitokandani ya midomoyaviongozi wa CCM nakatika mabango yamaskani za CCM. Ni jambo la kushangazasana.

    ASP iliikomboa ardhina kuweka sera na sheria

    ambazo ziliwezeshawanyonge wa nchi hiikuweza kuitumia nakuimiliki ardhi ya nchiyao pamoja na udogowake. CCM imerejeshatena kadhia hii yalaana ya kuimilikishaardhi katika mikonoy a w a c h a c h e n akuipora kutoka kwamasikini na mafukarawalio wengi. Ardhi niraslimali muhimu kwanchi ndogo ya Zanzibarambayo wananchi wakewanaongezeka kila siku.Badala ya kuwekewasera na sheria nzuri namadhubuti za umiliki namatumizi yake. Sehemunyengine ya ardhi

    inauzwa kifisadi kwamatajiri na wawekezajina kuwawacha raiamasikini wakikosa hatasehemu ya kuzikiwa.Nchi yetu inanukamigogoro ya ardhikila upande kuanziaNungwi hadi MkoaniPemba.

    W a n a n c h i w aZanzibar wanaishi bila matumaini. Njaaitokanayo na ukosefuwa kazi za kufanya nakipato kisichokidhimahitaji, ndio kiliokikubwa kinachosikikak a t i k a k i l a k o n aya nchi. Visiwa hivivilivyojaaliwa wingiw a r a s l i m a l i n a

    utajiri wa kila ainahavionekani kuwa namvuto na utulivu kwawananchi wake. Watuwanaishi kwa rehma

    za Mwenyezi Mungu.Hakuna anaethubutukula akipendacho,kuvaa nguo aipendayoau kuishi ndani yanyumba aipendayo.Yote hayo sasa kwaWazanzibari yamekuwan i n d o t o . C C Mimewapiga Wazanzibariwamepigika.

    Matokeo ya usalitihuu, CCM Zanzibarimepata pigo kubwa.Nguo ya umaarufuna heshma ambayoilijivalisha kutoka kwamrithi wake, ASP,sasa inavuliwa maanahaistahiki tena kuivaa.Inainukisha kupuu navundo. Ngome zakezo te z in abo m o ka .I k i j a r i b u k w e n d akujenga palipobomokakidogo jana, keshoyake ku n abo m o kakwengine zaidi ya jana. CCM inahamwakama mji uliokumbwana vita vya wenyewekwa wenyewe. Hainatena hata ile kaulimbiu ya kujifakharishan a k u j i p a m b a n ahistoria ya uomboziambapo Mapinduzidaima! sasa husikikakatika majukwaa yaC U F . W a a s i s i n aw a n a m a p i n d u z iwanaonyesha waziwazi kuwa Chamahicho kinawaaibisha

    na hivyo wanakikimbia.Badala ya C C Mk u j i t a t h m i n i n akufahamu kwambaimekwisha kis iasambele ya Wazanzibarina haina pakushika iliijizoezoe kunyanyuau p ya m gu u wakena kujaribu kupigah a t u a m b e l e ,im eam u a ku f an yam a i g i z o i k i d h a n iitasalimika. Inaonakitakachoinusuru nirafu katika uchaguzi.

    H i v i s a s akunafanyika zoezi lakupitia upya mipakaya wilaya, wadi nashehia na kutangazwamipaka na majina ya

    wilaya, wadi na shehiahizo katika gazeti laserikali. Ukataji huowa wilaya, wadi nashehia uliotangazwaunaakisi vyema waziwazi ramani ya kisiasana sio kijeograa walakidemografia. Ukatajih u o u m e p u n g u z a ju m la ya wa di 30kutoka katika wadizilizokuwepo hukuwadi 25 zikipunguzwakutoka kis iwa chaPemba peke yake.Ukataji umezichukuashehia zisizooana auzisizolingana kijeograana kuzifanya wadimoja, huku katikati

    yao zikitenganishwana shehia za wadin yen gin e . Len gola ukataj i huo nik u w e k a r a m a n i

    i t a k a y o i o n g o z aTume ya Uchaguzi yaZanzibar kupitia nakukata upya majimboya Uchaguzi kwaupendeleo wa kisiasa(gerrymandering).

    I n a s e m e k a n aTume ya Uchaguziy a Z a n z i b a rilikwishakamilishakazi ya kupitia nakukata upya majimboya Uchaguzi mapemasana lakini hata hivyoukataji huo ulipingwav i k a l i n a C C Mwakidhani hautakuwana faida na chamachao. Badala yake

    Tume ya Uchaguziikalazimika kusubiriukataji wa mipaka yawilaya, wadi na shehiautakaofanywa ili iwekigezo na muongozo

    kwa ajili ya ukataji wamajimbo ya uchaguzi.

    Kwa mujibu washeria inayofuatwa naTume ya Uchaguzi yaTaifa (NEC), ukataji wamajimbo hautafanyikakatika kipindi kilichochini ya miezi sitakabla ya UchaguziMkuu. Ikizingatiwapia Tume ya Uchaguziya Zanzibar ni wakalawa Tume ya Taifa yaUchaguzi, majimbo yaZanzibar pia ni majimboya Uchaguzi katikauchaguzi wa Jamhuriya Muungano, hivyo bas i nayo haya paswiku gu s wa ch in i yakipindi cha miezi sita.Mpango wowote au jaribio lolote la Tume yaUchaguzi ya Zanzibar

    kupitia na kukata upyamipaka ya majimboya Zanzibar bila shakani kinyume na sheria,kwa sababu moja tu,Tume ya Uchaguzi

    ya Zanzibar inashemajimbo hayo hayo nTume ya Uchaguzi yTaifa.

    H a t a C C Mikifanikiwa kukatu p ya m a j im bo yZanzibar kinyumn a s h er ia n a kwkutumia ramani yakya upendeleo wa kisiaishayoitengeneza, badhaitapata nusura nh a i tao ko ka . Mimn ah is i h a i tas a idikwani hakuna tenn g o m e y a C C Mhakuna tena pakukawala pakuacha. CCMhaipo tena popotHakuna ilipobakis io K as kaz in i , s iKusini, sio mawionwala machweoni. Ndmaana tunasema CCM

    Zanzibar mkate wenumeshajaa sisimizwote. Hauna pakukatena, kilichobaki nkufumba macho nkuumeza.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1178.pdf

    14/20

    14  AN-NUU

    SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 201Makala

    Na Ben Rijal

    Na Ben Rijal

    Mchango wa Waislmau katika maendeleo ya Dunia - 11

    UWANJA WA VIJANA - JIONGEZEE MAARIF

    CHEMSHA BONGO namba 6

    1. Majina ya Mwenye-enzi- Mungu katika Quryametajwa majina mangapi? Jawabu: 99

    2. Surah gani na aya ipi katika Quran inayosm“Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongoumekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkatShet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaamekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. NMwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua2:256, 43:22, 2:222. Jawabu: 2:256

    3. Waislamu wanavikubali vitabu vingavilioteremshiwa Mitume? Jawabu: Tawrat, Injil, ZabuQuran.

    4. Mwaka wa Kiislamu una siku pungufu ngaukilinganisha na mwaka wa Kizungu? Jawabu: 11

    5. Kinywaji gani kimeharamishwa na mnyamyupi ameharamishwa kula kwa Waislamu? JawabUlevi, Nguruwe.

    6. Jina gani limechuku a nafasi kubwa kwWaislamu kuwaita watoto wao? Jawabu: Mohammad

    7. Kiongozi gani maarufu kazikwa katika kisiwcha St. Helena? Napoléon, Colombus, Vasco Dagam

     Jawabu: Napoléon8. Zambia na Zimbabwe kwa pamoja zikiitw

    kwa jina gani? Jawabu: Rhodesia9. Jimbo gani la Marekani lilio karibu na Urus

    Alaska, Hawai, New York Jawabu: Alaska10. Kikawaida moyo wa mwanadamu hupig

    mara ngapi kwa nukta (minutes)? 72-80, 70-75, 82- Jawabu: , 72-80

     

    N G U R U W E N A M

    1 2 A Q I U 7 A L O

    1 A B U N L 2 P A H

    9 C V R J E 8 O S A

    9 R T A I V 0 L K M

    U P P N L I P E A M

    Z A B U R X C O G A

    2: 2 5 6 2: 2 2 N M D

    R H O D E S I A I O

    T A W R A T 43: 2 2 N

    K a t i k a m a k a l ai l iopita , n i l i jaribuk u m u e l e z e a I b nKhaldun kwa kuweza

    k u m t a m b u a n amchango wake katikamaendeleo ya duniayetu hii. Makala hiin i t a k i z u n g u m z i aki tabu ch ake ch aM u q a d d i m a h n amchango aliochangiakatika suala zima lasomo la elimu ya jamii.

    Watu wengine wanchi za Magharibihusema kuwa IbnKhaldun hakuandikayeye hicho kitabucha Muqaddimah nakuna wasemao kuwakaiba kazi za wenginena kuandika kitabuhicho. Hoja hizo hazina

    mashiko kwani hakunam m o j a a l i o w e z akuthibitisha kuwa IbnKhaldun kazi yakekubwa ya Muqaddimahamedokoa katika kaziza watu wengine.

    M w a n d i s h im a s h u h u r i w aKiingereza katika karneya 20, Toynnbee, yeye bila kuchelea kui twamtu wa ajabu, amesemakuwa Muqaddimani kazi kubwa ya ainayake ambayo haijawahikubuniwa na akili yamtu yeyote yule, wakatiwowote ule na mahalipopote pale, ikiwa ni

    uchambuzi mpana naangavu wa maisha yamwanadamu ambaohaujafanyika popotepale.

    K a z i k u b w a y aMuqaddimah ya IbnKhaldun aliandikakatika mwaka wa 1377na alijizatiti kuandikatarekhe yaani historiaya mwanadamu ikiwani Kitab al-akbar na jinakamili la kitabu hichondani ya Muqaddimahni Kitābu l-ibar waDiwānu l-Mubtada'wa l-Habar fī tarikhil-arab wa l-Barbar

    Ibn Khaldun-2wa man Āsarahumm i n D a w ī A s h -Sha'n l-Akbār, katikautangulizi huu alikuwaanalinganisha tarehe yaWaarabu na Wabarbarkazi ambayo iliojaautati na kutayarishwana yeye Ibn Khaldun.

    A l i a n z aMu q addim ah kwak u w a t o a m a k o s aw a t a n g u l z i w a k ewalioandika historiana katika migawanyikoy a u a n d i s h i n akuayaangalia maeneo7 kwa kina juu yamaelezo yake. Maeneohayo ni: Ushirikiaono,

    imani na mawazo,kujiamini mtu katikakuandika na kuelezeahistoria, kushindwakwa mtu kufahamualichokikusudia katikakuiandika historia,makosa ya kuaminiukweli wa jambo,kutokuwa na uwezo wamwandishi wa historiakuelezea eneo lilotokeatokea kwa kulinukului tak iwav yo , h am uya waandishi katikakujipendekeza kwawatawala kwa kuwasifukatika maandishi naujuhula wa wandishi wakutojuwa sheria ziliopo

    katika mabadiliko ya jamii ya mwanadamuinayomzunguka. Katikanukta 7 hizo ndipoalipoweza kuziratibu nakuandika nadharia ya jamii ya Mwanadamuinayomzunguka katikaMuqaddimah.

    Utangulizi huu waMuqaddimah kamaalivyoandika Sati al-Husri kwa kusemakazi yake ya ilimu ya jamii aliinukulu ndaniya kitabu kimoja kwakutoa vitabu 6 ikiwailimu ya jamii kwa jumla, ili mu ya jamiikatika maisha ya mijini,

    ilimu ya jamii ndaniya uchumi na ilimu ya jamii katika kujuwa.

    K i t u g a n i h a s ak i l i c h o m o k a t i k akitabu hiki ambachokimemzolea mwandishipongezi hizo licha yakupita karne sita tangukilipoandikwa?

    Ibn Khaldun anaipad h a n a n a i s t i l a h in y i n g i n e a m b a y okimsingi ina maanay a u z a l e n d o w akupinduki a wa mtukwa jamii yake, anaipatafsiri yenye mvuto wa jumla, na ya kisayansi,

    huu ni ufundi wamatumizi ya lughaambao ni muhimu sanakatika fani zote.

     Ibn Khaldun katikauandishi wake alijipak a z i y a k u j i u l i z amaswali ya msingikabisa kuhusu maishaya kisiasa na kijamiiya mwanadamu, naanajenga hoja juu yahitajio la kuwa na jam ii na sia sa. Kis haanabainisha kwa nini baadhi ya Taas is i zakis iasa au dola nikubwa na nyingineni ndogo, kwa nini baadhi hufanikiwa, na

    nyingine hufeli, kwanini baadhi huibuka, nanyingine kuporomoka.Anayapata majibu yakekatika sifa ya jamiihasa sifa ya kundi lililomadarakani pamojana ile asabiyyah (Ileambayo imejitwikauzalendo na ugozi) aumshikamano wa jamiihiyo.

    W a s o m i w akimambo leo wanapitahumu humu alipopitaI b n K h a l d u n n aunapomkamata nakumshika barabaraa n a p o e l e z e a j u uya tawala zilivyo na

    namna zinavyokwendakombo kwa kulewa namadaraka, hapo ndipounakubali maandishihaya ni yake mwenyeweIbn Khaldun. Tawalazilizopita za Uislamukat ika n yakat i zaU k h a l i f a u l i k u w ani uongozi ambaoulishikamana na dinikatika kuongoza nakuiangalia siasa yauongozi. Leo viongoziwengi duniani wenyek u o n g o z a , d i n iwanaiweka mgongonina kuangalia siasa navipi namna ya waokujihami na namna ya

    kubakia madarakani.Ibn Khaldun akautatim f u m o h u u w autawala, na akajaribukubainisha s ir i yanguvu za watawala haokatika jamii zilizotulian a k u s t a a r a b i k a .Mfano mmojawapowa n adh ar ia zakezilizong’ara ni ile ya ˜ v i zaz i - v i t a t u v yaMasultani.™ (three-generation dynastytheory).

    Katika sehemu yaSita ya Muqaddimah,hapa kuna aina yakina kabisa ya maelezo

    a m b a y o u n a k u t ampangilio mzima wanguvu ya utawala

    unapoweza kukamilikana kuwa na uongozithabiti. Ameweza ndaniya sehmu hii ya sitakuyaangalia maeneo22 ikiwa: Utawalawa kifalme unakujamwanzo kabla ya mijina hio miji huwa nizao la uongozi wakifalme, mara zotetawala hujikita katikamiji mikuu, tawalazilizokuwa na nguvundio hujenga katikamiji na kukua, tawalailiojijengea makasri namaeneo ya kifakharihujengwa na mtawalam m o ja tu , ju u yamisikiti na maeneoyenye mvuto duniani,umuhimu wa kupanga(planning) na matokeoy a k e y a k u t o j a l ikupanga, kukuwekona miji mikuu michacheAfrika na nchi zaMaghrib (nchi 4 zaAfrika ya Kaskazini),majengo na ujenzi kwaWaislamu unaofwatawatangulzi waliopitana waliokuwa na nguvuni mchache, majengoyaliojengwa na Waarabuy a k i w a m a c h a c h ekati ya hayo, ikiwamengi yao huvunjikan a k u p o r o m o k a ,m w a n z o w a m i j i

    mikuu kuwa mahame,kukuwa na kuendeleakunategemea biasharazinavyoendelezwa,miji mikuu na mijih u t a f a u t i a n a n au ku bwa n a win gina idadi ya watu, bei zinavyowe kwakatika miji, Mabeduoikushindwa kuishi katikamiji mikuu, tafauti yawaliokuwa matajirina masikini katika mjimmoja, makusanyo yamashamba makubwana vikataa-matumizi namazao yanayozalishwa,ubepari katika baadhiya jamii katika miji

    ik iwa wan ah i ta j iakulindwa, utamaduniuliojikita katika eneomoja hupotea watawalaw a n a p o o n d o l e w a ,utamaduni uliojikitaeneo moja hadafu yakehuwa humalizika nakuleta rushwa, mijiambayo yalioamirishwan a w a t a w a l ah u b a k i a m a h a m ewatawala wakisultaniw a n a p o o n d o l e w a , baa dhi ya miji huwana mbinu na baadhihukosa hizo mbinu zakujiendeleza, huweko baadhi ya watu katika

    miji kujiona borambele ya wengine.Aidha akamaliziakatika sehemu hii yaSita kuelezea lahajaza watu mbalimbalikatika mji mmoja.

    K w a h a k i k aMuqaddimah katika

    maeneo sita kila eneomoja lina mamboalioyoyaandika kwaupana kabisa.

    Bila kufikiri kwa bidii juu ya kul etu l i k o to k a , ba s ihatuwezi kufikirisawasawa juu yak u l e t w e n d a k o .Muqaddima ndiyok a z i m a r i d a d iambayo ndiyo yenyenafasi ya fahari katikahistoria na iwepok a t i k a m a k t a b azetu za umma na zamajumbani mwetu.

    Sisi wenyewe navizazi vyetu lazimatumjue Ibn Khaldunvizuri zaidi kulikowamjuavyo wasomiw a M a g h a r i b iwanaenzi utamaduniwa kutumia akiliulioasisiwa naye naWaislamu wengineo.Muqaddimah ni :

     J oha r i , Kuru nzMuongozo, Chombcha kuringia katikIlimu ya jamii.

    Hi i ni sehemndogo tu kat ikm a e l e z o yMuqaddimah ya IbKhaldun. Ni kitabambacho sisi tusemaKiswahili, tunahitajkukifanyia tafsiringawa Waislamw e n y e n a c hhawatoi sadaka kwwaandishi kuwezkuandika. Hii nchangamaoto kubwkwani waandishwengi kihali zao zkifedha za kuwezkuchapisha vitabwapo hoe hahe. Labdnitasema hii ndichangamoto iliopna yenye kukinzank w a n i m a t a j i rh a w a p o t a y a rkujitolea na wengi wwasomi wa Kiislamwamejishughulishzaidi na dunia. Aidhkwa wasomaji nchangamoto kwana wao waweze kutomaoni yao ili tufikmbele zaidi katikuandishi wa vitabu

    M a k a l a i j a ynitamzungumzia IbAl-Baitar.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1178.pdf

    15/20

    15  AN-NUU

    SHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 201Makala

    UWANJA WA VIJANA 

    JIONGEZEE MAARIFA

    CHEMSHA BONGO NO: 7Weka duara kwenye jawabu ilio sawa, Jawabu

    kamili wiki ijayo.

    Na Ben Rija