ANNUUR 1231.pdf

download ANNUUR 1231.pdf

of 20

Transcript of ANNUUR 1231.pdf

  • 8/16/2019 ANNUUR 1231.pdf

    1/20

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1231 SHAABAN 1437, IJUMAA , MEI 27 - JUNI 2, 2016 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected] AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUS

     Allah Ameagiza tuelimishane kuhusu Hijjaikieleweka, tutakwenda kutoka kila MkoaWilaya, Tarafa na Mtaa (Al-Hajj:27). Waislamtuhimizane; na matajiri watumie mali zakuhakikisha matakwa haya ya Mola wayanatimia. Gharama zote kwa Hijja 2016/143ni Dola 4,600. Umra ya Ramadhani ni Dol2,700. Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwhuduma nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasTanzania Bara: 0679895770/ 06888957770765462022; 0712735363. Zanzibar

    0777468018; 0777458075; 07778450100777497300.

    (10)KILA ENEO LIPELEKE MAHUJAJ

    Mchezo wenu, mauti kwa Tanzania

    Mauwaji Masjid Rahman Mwanza….....

    Fitna kubwa yaja

    Aliyozungumza Mhe.Lukuvi kanisani, si ndio hayohayo ya IS yanayowapa fursawenye MCC kuja na USARAFzao kufanya vikao Arusha?Soma Uk. 18.

    Hofu ya IS Amboni…

     Yale yale ya LukuvKanisani juu ya Z’bar

    Msimshike ‘sharubu’ Jecha

     MHE. Samuel Sia.  MHE. William Lukuvi.

     JUU picha iliyowekwa katika mitandao ya kijamii ikidaiwa ni magaidi wa ISwaliopiga kambi katika mapango ya Amboni Tanga. Chini, FFU katika harakatiza kulinda usalama wa raia na mali zao.

  • 8/16/2019 ANNUUR 1231.pdf

    2/20

    2 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 27 - JUNI 2, 201Mafundisho ya Qur'an/Uwanja wa Maarifa

    Fethullah-Gulen

    “NA wale ambaowamekufuru baadhi yaoni marafiki wa baadhi.Mkitolifanya hilo, itakuwafitna katika ardhi nauharibifu mkubwa”. [AL-

    ANFAAL 73]Katika aya iliyotangulia

    “Al-Anfaal 72” il ikuja ayakwa kuthibitisha kwambaAnswarina na Muhajirinaatamrithi mmoja waomwingine pamoja nakutokuwepo uhusianowa udugu kati yao. Kishaimekuja aya hii ambayotunataka kuitolea maelezona hukumu ya kwambaWaislamu na makafirihakuruhusiwi kurithi mmojawao kumrithi mwingine nakwamba makafiri baadhi yaomarafiki wa baadhi. Maanaatarithi mmoja wao kumrithimwingine. Anaweka wazindani yake Mtume (s.a.w.)

    aya hii :“Na alisema: Miminimeepukana na kilaMuislamu anayeishi katiya Mushirikina. Wakasema

    Ee Mjumbe wa MwenyeziMungu kwa sababu gani.Akasema” Myoto yaohaioni”. Maana pamoja na

    kuamini kwao kwa hakikamoto ambao wanauwashahautoi mwangaza nahawapambanuki wajuzi wamwili wenye kutofautiana baadhi yao na baadhinyingine.

    Tunaweza kutoa tathminiifuatayo: Moto wenyekuwashwa jangwaniuna umuhimu mkubwakwa upande wa kutakakufahamu juu ya athari nakujuwa mahali na kadhalika.Na huenda ukatathimiwamfano huu kwa kipembecha kutupambanuka kati yamoto wa adui na moto warafiki.

    Pakiwa mahali pa

    kuwasha moto pa kafiri namuumini au machimbuko yamwangaza mbele zao yakopamoja, kutakuwa vigumukutenganisha kati yaopamoja na kujuwa kwambakunapasa kuwa mahalipa kuwasha moto kwamuumini pawe peke yakena mahali pa kuwasha motokwa kafiri pawe peke yake,ili mambo yasichanganyike juu ya wenye kuwatafuta.

     Jambo muhimu kulikoyote hapa ni kwambamwenye kupondokaakaiacha dini na muumini– nje ya ukanda wakuvumiliana kwa pandembili na kukubali mmoja

    wao hali ya mwingine– iwapo zitadhoofikatofauti za msingi zilizokati yao katika upandewa dini na tabia na fikra,

    zitaondoka tofauti ambazokunapasa kuwepo kati yaona lau iliendelea hali hii,unaharibika ule upande

    ambao unataka kuanzishana unaendeleza ulimwenguwake pekee juu ya machumoyake ya kihistoria. Kamaambavyo kurithianahakupiti kati ya muuminina kafiri. Hakuna kanuni yakurithiana kwa sababu ya“kutofautiana kati ya dinimbili”. Na lau tungesimamakuendelezea jambo hili kwalugha ya wanawazuoniwa Fiqhi, tungesema: Kwahakika kutofautiana kwadini kunazuia kurithianakatika upande wamapenzi ya kibinadamuna kuelewana ikiwahakukupatiakana kulinda juu ya utengano wa mistarina iwapo kutopatikanakuchanganyika pasi nahesabu yoyote au ahadi nakulifumba jicho kuhusu baadhi ya misingi yakikanuni – tutakuwa kwamatendo yetu na ufanyajiwetu ambao tumetarajikutokana na ufanyaji huokuyatengeneza mambosababu ya fitna na uharibifuwakati fitna na ufisadimkubwa unaohesabiwani fitna na ufisadi wenyekuchimbuka kutokanana matendo ambayoyalifanyika katika msingiwake kwa niya ya kutenganakufanya kheri kwa sababushari zenye kutokana na nianjema zimekuwa na sifa ya

    kuendelea na makundi yawatu yasiyokuwa na uelewawakati wanapoingia katikaeneo hili kunakuwa kugumu juu yake kurudi nyuma.

    Suratu An-faal:73

    Leo ni Tarehe 20 Shaaban mwaka 1437 AH, sawa na tarehe 27 May, 2016.Tarehe 6 June tunategemea kuangalia mwezi kwa Ramadhan na Tarehe 7 June 2016tukijaaliwa tutaanza Ramadhan Rasmi. Kutokea hii leo Ijumaa ya tarehe 27 May2016 hadi kufika kuanza mfungo wa Ramadhani tumebakisha siku 10.

    Mwandamo wa mwezi

    Jee Unajua?

    CHEMSHA BONGO: 52Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijay

    UWANJA WA VIJANA-JIONGEZEE MAARIFA

    JAWABU CHEMSHA BONGO NAMBA:51

    MASAUALA1. Itaje suara na Aya ya ngapi ‘’Na Daudi tukamtunukia Suleiman. Alikuwa m

    mwema. Na hakika alikuwa mwingi wa kutubia.’’ Jawabu: 38:302. Itaje Sura na Aya ya ngapi? “Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashad

    ya matunda yataning'inia mpaka chini.” Jawabu: 76:143. Itaje Sura na Aya ya ngapi? ‘’ Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashad

    ya matunda yataning'inia mpaka chini.’’ Jawabu: 76:144. Malaika yupi akitumwa Wahyi kwa Mitume? Jawabu: Jibril5. Malaika anayotoa roho? Jawabu: Israel6. Malaika yupi atakayowauliza waliokufa kwenye Makaburi yao? Jawabu

    Munkar, Nakir7. Hawali, hawanywi wala hawamuasi Mwenye-enzi-Mungu ni wenye kufwat

    amri tu na kutekeleza nani hao? Jawabu: Malaika

    8. Ipi nyumba ya Mungu? Jawabu: Msikiti9. Mitume wakitumiwa kitu gani? Jawabu: Wahyi10. Kuhani yupi katika nchi ya Syria alipomuona Mtume (SAW) alimtambua kuw

    ndio aliotajwa katika vitabu vilivyopita kuwa ndio Mtume aliobashiriwa? JawabuBahira

    MASAUALA1. Itaje Sura na Aya ya ngapi isemayo “Kwani haikukujieni khabari ya walio kufuru

    2. Itaje Sura na Aya ya ngapi isemayo “Hakika tumewajaribu hawa kama tulivywajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapkuwa asubuhi.”

    3. Itaje Sura na Aya ya ngapi isemayo “Wala usitoe kwa kutaraji kuzidishiwa.”4. Mara ngapi katika mwaka Malaika Jibril akitalii Qur’an na Mtume Muhamma

    (SAW)?5. Nani aliokuwa Muadhini wa mwanzo katika Uislamu?6. Kabla ya Vita vya Badr , Sahaba gani alitoa kauli ya kumuunga mkono Mtum

    Muhammad (SAW) kwa maneno yafwatayo “ Ewe mjumbe wa Allah, sisi sio kama wawatu wa kaumu ya Mtume Mussa AS walionena “Wewe na Mola wako watapigana natunakungoja hapa”, “Sisi tutakuambia nen da popote pale Allah alipokuamrisha, Tunaapkuwa aliokutuma kwa haki basi sisi tutakuwa na wewe bega kwa bega, tutapiganupande wa kulia, wa kushoto, usoni na nyuma, hatutokimbia.”

    7. Taja idadi ya Waislamu na Wakiristo pale Tariq bin Z iyad alipoongoza kampeya kupambana na wasio Waislamu nchini Spain?

    8. Syd Umar bin Khatab aliuanzisha mji upi kati ya hii: Fustat, Kufa, Basra?9. Mahujaji wanapotoka Arafa huelekea wapi kwa usiku mmoja? Makka, Muzdalif

    Mina?10. Mwaka gani Syd Umar bin Khatab alisilimu, 610, 608, 622 AD?

    1. Mti wa Mkaratusi uitwao Eucalyptus Deglupta ni kati ya miti ambayo yenykuvutia duniani, mti huu hujiotea wenyewe katika sehemu za Kaskazini mwa duniakwa jina jengine huitwa Mindanao gum au rainbow gum: hp://www.wondersliscom/10-wonderful-trees-in-the-world/ 

    2. Kati ya viumbe khatari duniani ni Mbu, Nyuki wa Afrika, Papa mweupeDubu wa maeneo ya barafu, Nyati wa Cape, Kiboko: hp://www.enkivillage.comtop-10-most-dangerous-animals.html

    3. Ingawa mbwa ni msaidizi na unamtumia kwa kukusaidia lakini mbwa hahao unaowapiganisha na kupata kizazi chengine cha bwa ili wawe wakali zaidi hujwakawa hatari na hata kukuuwa wenyewe, mbwa kama Causcasian Orcharka, PitbuGerman Shepahard, Roweiler, Alaskan Malamutes ni mbwa walio khatari sankwani ukiwakosea kutowafunza vizuri au kuwachia pasi kuwafanisha mazowemwishowe huja wakakushambulia wewe unayemfuga: hp://list25.com/25-mosdangerous-dog-breeds/5/ 

    4. Mwanadamu atapofikisha baina ya siku 46 na 73 bila ya kula, hatoweza kuishkabisa na akifikisha siku hizo atafariki tu. Inakadiriwa kwa kawaida bila ya kulwala kunywa mtu akifikisha baina ya siku 28, 36, 38 na 40, atafariki. hp://wwwscientificamerican.com/article/how-long-can-a-person-sur/ 

    5. Ukifikisha siku 3 pasi kunywa maji utafariki ingawa wengine hufikisha hadsiku baina ya 8 na 10: hps://www.google.com/?gws_rd=ssl#q=how+long+can+yo+live+without+water

    6. Walaji wa mkate wa mwanzo duniani ni watu wa Misri: http://wwwencyclopedia.com/topic/bread.aspx

    7. Muhogo una kemikali iitwayo linamarin kemikali ambayo unapokula muhogmbichi hugeuzwa na kuwa cyanogenic glycoside ambayo inaweza kukuuwa, vyemkuuchemsha muhogo kabla ya kuula: hp://www.alternet.org/food/worlds-10-mosdangerous-foods-people-actually-eat

    8. Kati ya sumu hatari sana kwa maisha ya mwanadamu ni Polonium ambayinasadikiwa ndio iliotumiwa kumuua kiongozi wa Palestina Yasir Arafat, sumnyengine ni Botolinun, Arrow poson, VX, Tetrodotoxin, Strychnine, Cyanidinasadikiwa ndio aliokunywa Hitler na kufa, Sarin, Amatoxin, Ricin: hp://wwwenkivillage.com/deadliest-poisons.html

     

    U M M  J M M 38:30 W M A A L U

    S U U  A A S 185 A A A S H S

    L S N M L I 12 H A K G U U

    I T K  A A K 8:26 Y L B H D I

    F A  A T I I 7 :7 I I A A P J

    I K R U K T 114:5 Y M R R A G

     A B S L A I 76:14 I U U U C I

    B A H I R A T I S R A E L

    Q L F I N A A A A U K H H

    H A V S J U L N S H B N U

     J I B R I L I N A K I R M

    M W W M M B N 64:5 H F A A M

    M A A U A A A 608 AD A U L B U

    O I K Z Y S J 10:16 K S I U A

     J S I D A R A 4:4 U T A B D

     A L R A H A F 35:5 F A B A H

    G A I L U B D 68:17 A T U K Bin

     A M S I D A E 610 AD F Y T A J

    N 1,000 T F I G R 74:6 U A A R A

    C D O A 10,000 H N 6:8 S T L K B

    B O 3,OOO N D A 5:22 T H I Y A

    B I L A L A H 2:99 A R B A L

    Baadhi ya Masheikh na watoa mada wakiwa katika picha ya pamoja katikasemina kwa viongozi wa dini juu ya namna ya kudumisha amani katika jamii naTaifa kwa ujumla. Semina hiyo iliandwaliwa na Kituo cha Kiislamu cha Kimisr

    nchini Tanzania na kufanyika Ngangilonga mjini Iringa hivi karibuni.

  • 8/16/2019 ANNUUR 1231.pdf

    3/20

  • 8/16/2019 ANNUUR 1231.pdf

    4/20

  • 8/16/2019 ANNUUR 1231.pdf

    5/20

    5 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 27 - JUNI 2, 201Makala ya Kimataifa

    UTANGULIZI:

    Wananchi wa Palestina tarehe15 ya mwezi huu wa Meimwaka 2016, wameadhimishakumbukumbu ya miaka 68,tangu lilipotokea janga kubwala kibinadamu la kukaliwakwa mabavu ardhi yao, hukuwenyewe wakifukuzwa nakulazimika kuyaacha makaziyao, kulikofanywa na utawalawa Kizayuni wa Israeli.

    Siku hii inajulikana kamasiku ya Nakba au siku yanakama,janga,maafa na msibamkubwa kwa wananchi waPalestina wasio na hatia.

      Ripoti iliyotolewa naKamati Kuu ya Kitaifa yakumbukumbu za Siku ya Nakbaimeeleza kuwa, haki ya kurejea

    wakimbizi wa Kipalestinakatika ardhi yao ya asili haiwezikupingika wala haina mbadala.

    Tarehe 15 Mei kila mwaka,Wapalestina duniani kotehufanya maandamanokukumbuka Siku ya Nakba,ambayo inakumbushamasaibu ya kufukuzwa kwanguvu mamia ya maelfu yaWapalestina kutoka katika ardhiyao, kulikofanywa na vikosihivyo dhalimu vya Wazayuniwa Israeli mwaka 1948.

    Wazayuni pia walifuta kariburamani za miji na vijiji 500 vyaWapalestina na kusababishaWapalestina wanaokadiriwamamilioni kuwa wakimbizi kwakarne kadhaa kwenye nchi jirani

    za kiarabu.SIKU YA NAKBA Hivyo basi, Mei 15 kila

    mwaka Wapalestina dunianikote huadhimisha siku hiyoya Nakba, inayowakumbushadhulma ya kihistoriailiyowapata,ambayo masaibuyake yanaendelea kuwanyimaraha hadi leo hii.

    Uhalifu huo ulisababishakuihama ardhi yao kilazima,ikiwa ni matokeo ya uhalifuwa wanamgambo dhalimu waIsraeli dhidi ya raia wasio nahatia wa Palestina mwaka 1948.

     Kufukuzwa huko kwaWapalestina toka katikaardhi yao ya asili, kumekuwakunajulikana kama Al

    Nakba (Maafa), huku zaidiya Wapalestina laki nane(800,000) wakiwemo wanaume,wanawake, na watoto,wakilazimishwa kuyahamamakazi yao kufuatia tamkola kuundwa kwa Israelimwaka 1948 ,litokanalo na kilekilichojulikana kama harakati zakizayuni.

    Wapalestina walikimbiliakatika maeneo mengine yaPalestina ambayo yalibakiakatika udhibiti wa ndugu zaowa kipalestina na Waarabu aunchi jirani za Kiarabu, hukuwakiacha kila kitu zikiwemomali, biashara, na akiba yao yavyakula ikiwemo nafaka.

    Wapalestina kote duniani waadhimisha siku yaNakba, miaka 68 tokea kuvamiwa kwa ardhi yao

    WANAJESHI wa Israel wakivamia na kuwapiga raia wa Palestina.

    Mara baada ya kufukuzwakwa Wapalestina kutoka katikanchi yao, mfululizo wa sheriaza kidhalimu zilipitishwa naserikali ya Israeli, zinazolengakuzuia wakimbizi waKipalestina kutoka na kurudimajumbani mwao.

    Kufukuzwa kwa wapalestinakutoka katika ardhi yao yaasili,haikuwa tu ni dhulma

     bali kumelenga pia kuwafutana kuwaondoa kabisa katikahistoria.

    Hadi kufikia mwishoni

    mwa mwaka 1948, theluthimbili ya Wapalestina ilikuwaimefukuzwa kutoka katika nchiyao, kufuatia shambulio kijeshila Israeli.

    Hali iliyopelekea kukimbiamauaji yaliyofanywa nawanamgambo wa kiyahudikatika maeneo mbalimbaliya Palestina, kama vile “DeirYassin” na “Tantura”.

    Kiuhalisia vikosi hivyo vyakiyahudi vilipunguza idadi yawapalestina kwa kuteketezazaidi ya vijiji na miji mia tano(500).

    Hivyo, kila mwaka ifikaposiku ya Nakba, Wapalestinahukumbuka na kuombolezavitendo hivyo vya ugaidi wa

    Israeli uliotekelezwa dhidi yaWapalestina zaidi ya laki nane(800,000).

    Idadi hiyo kubwa ambayowengi wao hawakuwa na uwezowa kujitetea, kwani walitokanana familia za wakulima wakawaida wasio na silaha, ambaowalikuwa wamefukuzwa kwanguvu na kulazimika kuihamaardhi yao ya asili.

     Serikali ya Israeli iliyoingiamadarakani hivi karibuni,imepokonya ardhi ya wakimbiziwa kipalestina,bila kuheshimuhaki zao au tamaa na matakwayao ya kurudi nyumbani katikaardhi yao ya asili.

    Viongozi wa kiyahudi

    wametamka waziwazi kwamba,kuna haja ya kutumia nguvuza kijeshi ili kuwafukuzaWapalestina wengi vyovyoteiwezekanavyo.

    Kulikuwepo na mpangomkakati maalumu uliowekwana wanamgambo wa kiyahudiujulikanao kama “Haganahmilitia’s Plan Dalet”,uliolengakutekeleza uhalifu huo wakuwafukuza kwa nguvuwapalestina kutoka katika ardhiyao,kwa mujibu wa kauli yaWaziri Mkuu wa kwanza wa

    Israeli David Ben Gurion."Ni lazima kutumia njiambalimbali zikiwemo ugaidi,mauaji, vitisho, kuwaondoa kwangvu na kukata huduma zoteza kijamii ili kuwafukuzia mjiniGalilaya, ambao ni mji wa mbaliwa Kiarabu."

    Mahali pengine dunianihali hii huchukuliwa kuwa niuvamizi wa kutumia silaha,kufuatia kuporwa kwa ardhi yawapalestina wasio na hatia,kwakutumia silaha mbalimbalizikiwemo bunduki na mabomukutoka kwa familia zisizo nasilaha.

    Kuna wakimbizi wakipalestina zaidi ya milioni saba(7) katika nchi jirani za Kiarabu

    na duniani kote hadi kufikialeo hii, ni ukweli usiopingikakwamba ndio idadi kubwa zaidiya wakimbizi duniani iliyobaki.

    Hadhi ya wakimbizi na hakizao mbalimbali ikiwemo haki yakurudi nyumbani katika ardhiyao ya asili, ni miongoni mwamasuala muhimu katika mzozounaoendelea kati ya Israel naPalestina.

    Hii ni kwa sababu wakimbiziwote wanafurahia haki yakutambuliwa kimataifa, kwakurejea katika ardhi yao ya asiliambayo wao walilazimishwakuihama na kukimbilia nje.

    Haki hii imekubalikawaziwazi wazi kupitia mikataba

    ya amani ya hivi karibuni katika

    nchi mbalimbali kama vileCambodia, Rwanda, Croatia,Bosnia-Herzegovina, GuatemalIreland ya Kaskazini, Kosovo,Sierra Leone, Burundi, na Darfunchini Sudan.

    Umoja wa Mataifa unatiliamkazo haki hii ya Wapalestina,kupitia Azimio lake namba 194la mwaka 1948, lakini Israelikwa kukwepa mkono washeria haikukubali kurudi kwaWapalestina katika ardhi yao yaasili, wakati Mayahudi kutokamahali popote duniani walipowanaweza kurudi na kuishinchini Israeli.

    Nakba ni maafa makubwazaidi kuliko uhalifu wa ainayake wa mwaka 1948, ni jangala kihistoria ambalo badowapalestina wanalichukuliakuwa ni ukweli na uhalisia,si tu kukumbuka tukio hiloili kuadhimisha kilichotokeamiaka 68 iliyopita, bali ni maafayanayoendelea kuiharibuPalestina na Wapalestinawenyewe hadi leo.

    Hivyo basi, siku ya Mei15 kila mwaka,huwa si tu yamaadhimisho ya miaka 68 auzaidi ya maafa ya Nakba, bali nimwaka mmoja zaidi wa kudumkwa ukatili wake. Historia yamaafa ya Nakba haikuwa nihistoria tu ya siku na miakailiyopita, bali ni historia ya sasatunayoishi nayo.

    Nakba imesababishamamilioni ya wakimbizi wakipalestina hadi leo kusambaaduniani kote, huku wengi waowakiwa ni wakimbizi kwa zaidiya mara mbili au tatu, kutokanana uvamizi wa makazi yao naardhi yao unaoendelea nchiniPalestina.

    Uvamizi huu wa kidhalimuna uhalifu huu, unaendeleakufanywa na Israeli kinyumena sheria, ukiwemo upanuziwa mara kwa mara wa makaziharamu ya walowezi,kuporaardhi ya Wapalestina nakuharibu mali na maisha yao.

    Hivyo basi,Wapalestina

    popote duniani, jumuiyaya kimataifa na wale wotewapenda haki na amaniduniani, huadhimisha siku hiiya Mei 15, ikiwa sio tu siku yamaombolezo na maadhimishoya yale yaliyotokea mwaka 1948

     bali pia ni siku ya kuungana nawananchi wa Palestina katikakudai uhuru wao, haki zao nakumaliza uvamizi wa kimabavukatika ardhi yao.

    Contact us: P.O Box 20307,612 UN Road – Upanga West,Dar es Salaam Tel: 2152813,2150643 Fax: 2153257 Email: [email protected]: www. pal-.org 

  • 8/16/2019 ANNUUR 1231.pdf

    6/20

    6 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 27 - JUNI 2, 201Hoja ya Juma Kilaghai

    KATIKA makala iliyotanguliatulisema kuwa tafitizinaonyesha kwamba kunawakati saratani ni matokeo

    ya mchakato wa ukarabati waseli zilizoharibika ndani yamwili. Tukaendelea kusemakuwa kila mwanadamu anaseli ndani ya mwili wakeambazo huitwa Trophoblastsambazo zinafanana sana naseli za saratani na kuwa selihizi hutumwa katika eneoambalo kuna uharibifu wa seliza mwili kwa sababu mojaama nyingine, kwa nia yakusaidia ukarabati. Tulisemapia kuwa tatizo linalozaasaratani ni pale ambapouharibifu wa seli husika niendelevu na hivyo kupelekeakuwa na mlundikano mkubwa

    uliopinduka mpaka waTrophoblasts.Tuliona kuwa moja ya

    tiba mujarabu za saratani niile inayotumia vimeng’enya(enzymes) ambayo ilibuniwana Dk. William D. Kelly waMarekani na kuthibitishwa naDk. Nicholas Gonzales wa NewYork huko huko Marekani.Tuliona kuwa Dk. Kelly aliaminikuwa saratani ni zao la mwilikushindwa kuchakata vizurivyakula vya jamii ya protinikutokana na upungufu wavimeng’enya vinavyozalishwana kongosho, hususan vileambavyo kazi yake ni kuchakatana kuyeyusha protini (proteolitic

    enzymes). Mantiki ya D. Kellyilijikita kwenye ukweli kuwakama mwili una vimeng’enyavya kutosha, na hasa vilevinavyotumika kumeng’enyaprotini, basi kusingekuwa nauwezekano wa kuwepo kwamlundiano uliopindukia mipakawa Trophoblasts ambao baadayeungezaa saratani.

    Vyakula vilivyopikwahavina vimeng’enya hai. Hiini kwa sababu vimeng’enyavingi hufa (hupoteza uhaiwake) vinapowekwa kwenye

     joto la nyuzi joto kati ya 42 na47 katika kipimo cha Celcius.Vyakula vingi huivishwa na

    maji ambayo huanza kuchemka baada ya kufikia nyuzi joto100 katika kipimo cha Celcius.Hii ina maana kuwa mgonjwawa saratani anayetaka kujitibukwa programu ya Dk. Kellyatalazimika kula sehemu kubwaya chakula chake katika haliya ubichi. Vyakula vinavyofaakuliwa katika hali hii ni pamojana asali ghafi, mayai mabichi,njugu za aina mbalimbalikama karanga, korosho, lozi(almond), kimea (sprout),matunda na mboga mbogaza majani. Mbogamboga zamajani zinaweza kuliwa kama

    Hakuna ugonjwa usio na dawa! (3)Tiba za saratani –Sehemu ya pili

    saladi na inaposhindikana kama‘smoothy’, yaani kimiminikakinachotokana na kuzisaga.Hata hivyo vyakula vyenyekiwango kikubwa kabisa chavimeng’enya vinavyomeng’enyaprotini ni matunda ya aina yananasi na papai. Kwenye nanasikuna kimeng’enya kinachoitwa

     bromelain. Kimeng’enya hikikipo kwa wingi zaidi kwenyekigogo cha katikati ya tunda lananasi hivyo basi tunapohitajikulitumia nanasi kama dawani vizuri tukajumuisha kigogohicho katika matumizi.Papai nalo lina kimeng’enyakinachojulikana kama papain.Mtu anayetaka kutumiakimeng’enya hiki kama tiba,anaweza akakipata kupitiaunywaji wa kutosha wa juisi yapapai.

    Katika makala ya leotutazungumzia aina nyingineya tiba ya saratani ambayomgunduzi wake aliitazamasaratani katika jicho tofautikidogo. Tiba hii ni ileinayojulikana kama ‘TheBudwig Diet Protocol’ ambayoilivumbuliwa na Dk. JohannaBudwig. Dk. Budwig alizaliwanchini Ujerumani mnamomwaka wa 1908 na alifarikimnamo mwaka 2003 akiwa namiaka 95. Katika wasifu wakemwanamke huyo anatajwakama mmoja wa wanasayasiwatafiti wa masuala ya sarataniwa juu kabisa kuwahi kutokeakatika bara la Ulaya, Mkemiawa masuala ya kibailojia(Biochemist), Mtaalam bingwawa damu (Blood Specialist), Mtaalamu wa tiba za kifamasiana Mwana fizikia. Moja yamambo yanayomtambulisha Dk.Budwig kama mwanasayansimkubwa ni kule kuchaguliwakwake mara 7 kama mshindanikatika tuzo za Nobel. Mwaka1952 kule nchini Ujerumanialiajiriwa na serikali kuu ya nchihiyo kama Mtaalamu nambamoja wa Serikali katika masualayaliyohusiana na mafuta (ya

    kula) na dawa za kifamasia.Katika uhai wake Dk. Budwigalitambulika pia kama mmojawa wanataaluma wakubwaduniani kuhusiana na mafuta yakula.

    Kupitia tafiti zake Dk. Budwigalibaini kuwa moja ya chanzokikubwa sana cha maradhikilikuwa ni mafuta ya kula.Tafiti zake zilibainisha kuwamafuta ya kula ya viwandani(commercially processed fatsand oils) yalikuwa yanaharibukiwambo cha seli za mwili(cell membrane) na kuwa halihiyo ilikuwa chanzo kikubwacha maradhi ya kimfumo.

    Kwa mujibu wa Dk. Budwigkatika seli ya mwili yenyesiha njema, kiini cha seli (cellnecleus) huwa kimebeba umemechanya na kiwambo huwakimebeba umeme hasi. Dk.Budwig alisema kwa kuwamafuta ya kula yaliyosindikwaviwandani yalikuwa piayamepoteza umeme hasiambao yalikuwa nao kablaya kusindikwa, yanapoliwana kufika katika ngazi ya seli

     badala ya kuimarisha wingula chembechembe zilizobebaumeme hasi katika kiwambocha seli, yalikuwa yanaharibuwingu hilo na kusababishaumeme unaozalishwa kwenyeseli kuwa mdogo. Kuporomoka

    kwa kiwango cha umemekinachozalishwa kwenye selindio chimbuko la seli kushindwakufanya kazi vizuri na hatimayekusababisha maradhi.

    Dk. Budwig alisemakuwa mafuta yaliyoharibikayanapoingia ndani ya mwiliyanakuwa yamepoteza uwezowake wa kuungana na protinizilizoko mwilini na hivyokupoteza uwezo wake wakuyeyuka ndani ya vimiminikavilivyomo mwilini bila matatizo.Kwa mujibu wa Dk. Budwigkitendo cha mafuta kushindwakuyeyuka ndani ya vimiminikavilivyomo mwilini kulikuwakunapelekea mafuta hayo

    yashindwe kutiririka kwa wependani ya mishipa ya damu nahivyo kuzaa tatizo la mzungukwa damu.

    Bila mafuta tunayokulakuchakatwa ama inavyopaswandani ya mwili, vitendo vyotemuhimu ambavyo ni lazimavitokee mwilini vinaathiriwa nakuathiriwa huku huathiri haliya kisiha ya viungo mbalimbaliAthari hizi ni pamoja nakuzalisha uhai mpya ndani yamwili na kuzaliwa kwa selimpya. Miili yetu huzalishazaidi ya seli milioni 500 kiasiku. Kupitia tafiti zake Dk.Budwig alibainisha kuwa iliseli igawanyike vizuri na kuzaaseli mpya, ni lazima umemeunaotengenezwa na seli husikaufikie kiwango fulani la sivyohaitagawanyika ipasavyo nakama hili halitafanyika, mwiliunaanza kufa. Kwa maneno

    mengine mafuta yaliyosindikwaviwandani yalikuwayanasababisha seli za mwilikuzalisha umeme wa kutoshana hivyo basi kujenga mazingirya magonjwa hatari ya kimfumokuibuka mwilini.

    Dk. Budwig alipambana kuju jinsi ambavyo mwili ambaotayari ulikuwa umevamiwa namaradhi ya kimfumo ungewezakujikarabati na kuirudishasiha yake. Baada ya jithada zamuda mrefu aligundua kuwaiwapo mgonjwa angetumiamchanganyiko wa mafutayanayoitwa omega-3 na jibiniya nyumbani (coage cheese)wingu la umeme hasi kwenyeviwambo vya seli mbalimbaliza mwili lingeweza kurejeshwana kufanya seli za mwilikutengeneza umeme unaowezakukidhi viwango vya kuufanyamwili kuwa na siha njema. Dk.Budwig alipendekeza matumiziya mafuta ya mmea unaoitwaflax ambayo yana kiwango kingcha omega -3.

    Ubora wa tiba ya Dk. Budwigumethibiti kwa uwazi kabisa.Uzuri wa tiba hii ni kwambainatibu magonjwa takriban yoteya kimfumo ikiwa ni pamojana baridi ya yabisi (arthritis);magonjwa ya moyo; magonjwaya ngozi kama Psoriasis,Eczema, nakadhalika; Upunguf

    wa Kinga Mwilini; Magonjwaya mishipa ya fahamu; KisukariMagonjwa ya mapafu; Vidondavya tum bo; Magonjwa ya Ini;Tezi dume; Kiharusi; Saratani zaubongo; Mkakamo wa mishipaya damu na magonjwa menginemengi ya kimfumo.

    (Juma Killaghai ni mtaalamwa lishe, ni mtaalam wa stadi ztiba, na pia ni mkemia mtafitiwa bidhaa zinazotokana naviumbe hai (Organic NaturalProducts Research Chemist).

    Kwa mawasiliano unawezakumpata kwa namba0754281131;0655281131)

  • 8/16/2019 ANNUUR 1231.pdf

    7/20

    7 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 27 - JUNI 2, 201Makala

    UCHUMI imara miongonimwa jamii ya Kiislamuunaweza kuita ni‘janga’ linalosababishakukwamisha mipangona malengo yao katikakutimiza ndoto za kuwezakumiliki Vyuo Vikuu,vyuo vya kati, Mabenkina hata Hospitali kubwa.Misikiti mingi, hususaniJijini Dar es Salaam, ikiwakama Taasisi imekuwa namalengo ya muda mrefuna mfupi katika mipangoyao, licha ya kumiliki ardhinje ya Jiji, lakini malengoyao ya muda mrefu ikiwani kuwa na vitu kama vileVyuo Vikuu, Hospitaliza Kiislamu, yamebakiakatika makaratasi, kikwazokikubwa kikitajwa kuwa ni

    uchumi duni. Je, ni kweli Umma waKiislamu kupitia Taasisizao za Misikiti, Mabarazana Jumuiya mbalimbaliza Kiislamu zinashindwakujipanga na kuwekamikakati ya kutimizamalengo hayo? Nini tatizo!

    Uislamu una utajirimkubwa ikiwa tu wenyeUislamu wao watawezakufata misingi yakukabiliana na umasikini.Hii ni changamoto kwaWaislamu, wanapaswakuvumbua utajiri uliomo

    ndani ya Uislamu ambaoumelala, kwani Waislamuwenyewe ndiyo rasilimalina utajiri weneyewe. Lakiniwanatumika vipi hapo ndipokwenye matatizo.

    An nuur, wiki hiiimetembelea Msikiti waMakuti (Masjid Makuti),uliopo kati ya Mtaa waLindi na Tukuyu, Ilala JijiniDar es Salaam na kuwezakupata historia ya Msikitihuo na maendeleo yake kwaujumla. Kupitia historia yaMasjidi Makuti, An nuur,imebaini kuwa Msikiti

    huo mkongwe kabisa,unamilikia ardhi nje kidogoya Jiji la Dar es Salaam,katika maeneo ya Buyuni,Chanika, yenye ukubwawa zaidi ya mita za mraba4000. Hii ni kwa mujibu waImamu Mkuu wa MasjidMakuti, Sheikh AbdallahNassoro Matulanga, aliyetoahistoria ya Msikiti huo nakueleza kuwa matarajio yamatumizi ya kiwanja hichoni mengi ikiwemo kujengaHospitali kubwa ya Kiislamu,sambamba na kujenga kituo

    Masjid Makuti, IlalaNa Bakari Mwakangwale

    cha elimu kwa ujumla, ilatatizo linalo wakwamisha nihali ya kiuchumi tu.

    Anaeleza kwamba historiaya Masjidi Makuti, inaanziaMei 23, mwaka 1949,kutokana na juhudi za Al-Marhum Sheikh KibwanaChanzi, aliyefatilia eneo hiloSerikalini, ambapo kiwanjacha Msikiti huo kiliwezakupatikana.

    Baada ya upatikanaji wakiwanja hicho ulijengwaMsikiti wa Makuti, kwamaana kwamba kuta zotezilizunguushiwa Makuti nakuezekwa kwa Makuti, nandio asili ya jina la Msikitihuo na kudumu mpaka sasakama Masjid Makuti. Msikitihuo, uliendelea kuswaliwakatika hali hiyo ya Makuti,mpaka Julai 8, mwaka 1965,

     baada ya kupata kibali kutokaHalimashauri ya Jijiji la Dar esSalaam na kubomoa Msikitiwa Makuti na kuboreshwakwa kuujengwa kwa matofaliya saruji. Toka wakati huoumebakia hivyo mpakasasa kama unavyoonekana,wakati huo Imamu alikuwaMarehem, Sheikh AllyAthumani, ambaye alifarikimwaka 1992.

    Awali Msikiti huo ulikuwa

    na ukubwa wa viwanja nane,lakini vilikuwa vimetekwalakini kwa juhudi za

    Wadhamini wa Msikitiki huowalifanikiwa kuvirejeshakatika miliki ya Msikiti nakuweza kutumika katikashughuli mbalimbali zaKiislamu ikiwemo kujengavyumba vya biashara,Madrasa na Shule za Awalina Msingi za Kiislamu (IlalaIslamic Nursery &PrimarySchool), zilizoanza mwaka2004.

    Kwa upande wa Madrasa,zipo Madrasa za aina mbili,kuna Madrasa ambayo inatoaelimu ya Dini (Fiqih, Nahau,Balagha n.k) ambayo ipochini ya Ustadhi Mohammed,

    na timu yake ya walimuwatano, wakisaidiana kutoaelimu hiyo ya dini, lakini piakuna Madrasa maalum yakuhifadhisha Qur an kwawatoto walio na miaka 5-14.

    Imam Matulanga, anaelezakuwa kabla ya Shule hizo,Madrasa ndio zilitangulia nakulikuwa na utaratibu wakuwasaidia kwa kuwalea nakuwasomesha watoto yatimahususani wanaozungukaeneo hilo la Msikiti. Akielezeanamna ya kuwapa watoto haoyatima alisema, wanawapatakupitia kwa wazazi wao wakike, baada ya kuthibitisha

    kwa kuwapatia cheti chakuzaliwa mtoto na cheticha kifo cha baba hapo na

     baada ya uhakiki huo ndipowanaweza kumuingiza katikdaftari husika.

    “Kuanzia hapo tunachukua jukumu la kumsomeshakuanzia Shule ya Awali

    mpaka hatua ya Sekondarina ikiwa atafanya vizuri bado tutakuwa na jukumula kuendelea kumsomeshakwa ngazi ya kidato chaTano na Sita, na wale ambaowanakuwa hawajapatanafasi ya kidato cha tano,huwatafutia vyuo vyaUalimu au kulingana naufaulu wake.” Alisema ImamMatulanga.

    Anasema, utaratibu huochini ya Msikiti, ulianza kwakuwakusanya watoto haokisha kumwajiri mwalimu wkuwafundisha, na kuendeleanao katika utaratibu huompaka pale ilipoanza Shuleya Ilala (Ilala Islamic).

    Kuanzishwa kwa Shule hizMsikitini hapo kuliongezachachu ya utaratibu huokwani baada ya kuanzishwa,miongoni mwa watoto haowaliokuwa na sifa za kuanzaShule, walijiunga moja kwamoja wakiwa ni miongozimwa waanzilishi.

    Baada ya ujio wa shulehiyo waligawana majukumuambapo upande wa Shulewamechukua jukumu lakuwasimamia katika elimu nwao kama Msikiti wamebakina jukumu la kugharamikiagharama zingine kama sare,chakula , vitabu pamoja namadaftari.

    Kwa mujibu wa ImamMatulanga, alisema mpakasasa kupitia utaratibu huo,Msikiti umekwisha wasaidiawatoto yatima wapatao 43, naambao wamemaliza elimu yaSekondari, mpaka hivi sasa nwatoto tisa.

    Pamoja na kuwafikishakatika hatua hizo, lakini kamMsikiti huwa wanaendeleakuwasimamia na kuwasaidiikiwa wamefaulu kuendeleana kidato cha Tano amawale wanaopata ufaulu wachini huwatafutia vyuo vyakujiendeleza kama Ualimuambapo mpaka sasa wapowalio hitimu na wanafanyakazi katika Shule za Serikalina zile za binafsi.

    Masjidi Makuti pia unavitega uchumi vyake katikaeneo hilo la Msikiti ambavyoni vyumba vipatavyo 25,vilivyokodishwa kwa watu,sambamba na mradi wakufyatua matofali.

    PICHANI juu ni Masjid Makuti, Ilala. Katikati, wanafunzi wakiwadarasani.

  • 8/16/2019 ANNUUR 1231.pdf

    8/20

    8 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 27 - JUNI 2, 201Makala

    KAMA msomaji ulivyowezakuona, makala niliyonukuukatika toleo lililopitahayaongelei lolote kuhusu diniya mtu, lakini yamesababishashutuma kwa mwandishi wake,waumini wa dini inayodhaniwakuwa ni ya mwandishi nadini yenyewe. Hali hii nimapambano dhidi ya udini,au ni dhihirisho la uwepo waudini nchini mwetu?

    Kiongozi mmoja wa dininchini Tanzania, MwadhamaPolycarp Kadinali Pengo,aliwahi kusikika akisema:

    “Kama wanaokemea ufisadiwangekuwa wanaukemea kwadhati wenyewe wakiwa siomafisadi, nchi hii isingekuwa naufisadi.”

    Katika hali inayofanana nahiyo, tunaweza kusema: Kamawanaokemea udini wangekuwawanaukemea kwa dhati waowenyewe wakiwa sio wadini,nchi hii isingekuwa na udini.

    Nukuu ya pili: Raisi Mstaafu

    wa awamu ya pili wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania AlhajiAli Hassan Mwinyi, aliwahikusikika akisema:

    “Sura ya mtu ni kioo chamwingine”. Usemi huu aliusemaalipokuwa akiwajibu waliokuwawakimtuhumu bila uthibitishokuwa alikuwa na upendeleo.Alisema hivyo akiwa na maanakuwa huenda bila kujijua, haowanaomtuhumu wanajitangazawenyewe kuwa endapowangekuwa kwenye nafasiyake (Mwinyi), wangekuwa naupendeleo.

    Kuna mambo anayoyaonamtu kifikira kwa wengine

    kwa sababu tu yapo kwakemwenyewe, na sio kwa sababuyapo kihalisia kwa huyoanayetazamwa. Kwa kawaidamtu muaminifu sio mwepesikuwatilia shaka watu wenginekama ambavyo asiye muaminifuhuwatilia shaka. Ni rahisi,kwa mfano, mwizi kumdhaniamtu mwingine kuwa ni mwizikuliko asiye mwizi anavyowezakudhania. Katika hali kamahiyo, kuna wanaowatuhumuwengine kwa udini kwasababu tu wao wenyewe niwadini wanaodhamiria kufichaudini wao lakini wakajikutawakiutangaza bila kujijua.

    Kuna usemi kuwa,unapomnyooshea mtu kidole,vitatu huelekea kwako. Marakwa mara tunawashutumuwatu kwa shutuma ambazosisi wenyewe tunazo kwakiwango kikubwa kuliko haotunaowashutumu.

    Aidha, katika Injili ya Luka6.41 hadi 6.42, imeandikwa:

    “Unawezaje kukiona kibanzikilicho katika jicho la mwenzio,usione boriti iliyo katika jicholako mwenyewe? Au, unawezajekumwambia mwenzako, Ndugu,ngoja nikuondoe kibanzi katika

     jicho lako, na huku huioni boriti iliyoko katika jicho lako

    Udini- 6

    Kilichosababisha niitwe mdini

    mwenyewe? …. Toa kwanza boriti iliyoko jichoni mwako, nahivyo utaona sawasawa kiasicha kuweza kuondoa kibanzikilicho katika jicho la nduguyako”. Maneno kama hayoyanapatikana pia katika Injili yaMathayo 7.4 hadi 7.5.

    Njia nzuri na nyepesiya kumbadilisha mtu nikujibadilisha mwenyewekwanza. Sio rahisi kumtakamwingine afanye jambo ambalowewe mwenyewe hutaki, wala

    kutamani kulifanya.Kwa upande mwingine,

    yimiza wajibu wako kabla yakudai haki, na utoe haki kwamtu kabla ya kumtaka atimizewajibu. Haki na wajibu nipande mbili za sarafu moja.Hakuna haki bila wajibu kamaambavyo hakuna wajibu bilahaki. Kuwapo au kutokuwapokwa migogoro na migonganohutegemea kwa kiasi kikubwaupande tunaoanza kuutazamakatika kuielewa sarafu hiyo.Ukianza kudai haki kabla yakutimiza wajibu wako, namwingine akakutaka utimizewajibu kabla hajakupatia hakihiyo ndipo mgogoro hutokea.

    Kwa upande mwingine, Ukianzakutimiza wajibu kabla ya kudaihaki na mwingine akaanzakukupa haki kabla ya kukutakautimize wajibu, hakutakuwa namgogoro.

    Hebu turejee maelezoyafuatayo kuhusu tamko laMaaskofu nchini Tanzaniakupitia Jukwaa la WakristoTanzania katika mkutanowao uliofanyika Kurasini Dares Salaam tarehe 06.12.2012.Najiuliza: Matamko kama hayahumlenga nani na ni kwa faidaya nani? Kutokana na umuhimuwa viongozi wa dini kama

    walivyo maaskofu, nakuombandugu msomaji uzingatieyafuatayo:

    Kwanza, kabla hujasomamaelezo haya ni vema utumiemuda mfupi kumuombaMwenyezi Mungu kwa imaniyako akuongoze kuutambuaukweli. Usishawishiwe nakitu kingine katika kuyasomaisipokuwa kujua ukweli.Katika kuujadili, usiongozwena kitu kingine isipokuwa kileunachoamini kuwa ni ukweli au

    kinachokuwezesha kujua ukweli,na katika kuufanyia kazi, daimauzingatie ukweli.

    Pili, muombe akujalie moyowa subira na uvumilivu,akuepushie jazba na mihemko.Akupe uwezo wa kusikilizana kutafakari hoja za waleunaotofautiana nao kimaoni nakiimani. Akuwezeshe kuupokea,kuupenda na kuufurahiaukweli hata kama katika hali yakawaida ukweli huo unauma.

    Uamuzi wa kuandika maelezohaya ulikuwa mgumu sanakwangu kutokana na ukwelikwamba ninayokusudiakuandika yanatofautianana matamko ya maaskofu,watu ambao huaminiwa na

    kuheshimiwa sana na jamiinzima wakiwemo wenye dinitofauti na yao. Hata hivyo,kutoyasema nako kunaitesadhamira yangu hivyo nimeamuakuyasema.

    Kabla sijaanza, ni muhimuniwakumbushe ndugu wasomajikuwa Historia na hata vitabuvitakatifu huthibitisha kuwauongozi katika dini sio utakatifuwala ukamilifu. Miongoni mwawahalifu wakubwa waliowahikutokea duniani wamo piawaliokuwa viongozi wa dini,hivyo hatuna sababu ya kuaminikila lisemwalo au kuelekezwa naviongozi wa dini bila kulitafakari

    kwa akili zetu wenyewe. Kunamifano mingi ya viongozi wadini kujihusisha na uhalifu lakinni vizuri nitaje ile ambayo wengwetu tumeishuhudia na badotunaikumbuka.

     Kwanza, miongoni mwawashitakiwa katika Mahakamaya Kimataifa ya mauaji yakimbari ya mwaka 1994 nchiniRwanda ni maaskofu namapadri, na baadhi ya mauajihayo yamefanyikia makanisanikwa maelekezo yao.

     Pili, hivi karibuni Ulaya,Kanisa Katoliki lilikumbwana kashfa ya viongozi wakekulawiti na kudhalilishakingono watoto waliokuwa chinya uangalizi wa kanisa hilo.Kwa muda mrefu watumishiwa kanisa hilo wamekuwawakiwalinda na kuwafichia siriwahalifu hao hadi watu wenginnje ya kanisa walipofichua sirihiyo.

    Tatu, bado Watanzaniahawajasahau masaibu

    waliyopata baada ya kutapeliwana kampuni ya kikanisa yaDECI, maarufu kama kampuniya kupanda na kuvuna pesa.Viongozi wake ambao niwachungaji waliwadanganya, nwengine bado wanawadanganywatu kuwa DECI ni jibu laumaskini kutoka kwa MwenyezMungu baada ya wao kukeshawakiomba na kufunga kwamuda mrefu wakimliliaawaondolee waja wake baa laumaskini.

    Tujiulize: Kamatungetahadharishwa mapemakabla ya matukio haya, niwangapi miongoni mwetuwangeamini kuwa yanaweza

    kutokea? Ukweli ni kwamba niwachache sana, na ndio maanahata watuhumiwa wa utapeliwa DECI walipokamatwawatu waliandamana wakitakawaachiwe na kuiona serikaliiliyowakamata kuwa ndiyoisiyowatakia mema wananchiwake. Baadhi ya wanasiasawanaotafuta umaarufu kwanjia za mkato waliungana nawaandamanaji hao wakidaiserikali inaifungia DECIkwa sababu ni mshindaniwa biashara za kibenkizinazomilikiwa na serikali auzenye maslahi kwa serikali.

    Nimetaja mifano hiyo kwalengo moja tu la kuthibitishaukweli kwamba uongozi katikadini sio utakatifu hivyo hakunasababu, na kwa kweli ni ujingawa kiwango cha juu sana,kupokea maelekezo, hasa yakidunia, ya viongozi wa dini bilkujiridhisha kwa akili zetu kuwmaelekezo hayo ni sahihi.

    Nimetoa mifano inayohusianna viongozi wa dini ya Kikristosio kwa sababu viongozi wa dinnyingine ni watakatifu, bali kwsababu lengo la makala hayani kujibu tamko lao walilolitoakwa kutumia nafasi yao yauongozi katika dini ya Kikristo.Ni msisitizo tu kwa wasomajikuhusu umuhimu wa kusomamatamko kama haya kwauangalifu kabla ya kuyaamini.

    RAIS mstaafu awamu ya pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi.

  • 8/16/2019 ANNUUR 1231.pdf

    9/20

    9 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 27 - JUNI 2, 201Makala

    ASILI ya biashara ni halaliisipokuwa namna yaufanyikaji biashara pamojana aina ya bidhaa ndiyoinayoweza kuifanya ikawaharamu. Mwenyezi Munguameihalalisha biashara nakuiharamisha riba. Biasharaikifanyika kwa mujibu wamaelekezo ya Allah ni ibadana mwenye kuifanya hupatamalipo. Aghalabu, wengikatika watu wanapotakakufanya biashara huishiakuangalia faida na hasara yabiashara anayotaka kufanya.Kama inalipa basi mtuhufanya maamuzi ya kuingiakwenye biashara husika.

    Lakini Muislamu hutakiwakwenda mbali zaidi ya hapo.Kabla ya kuangalia faida nahasara ya biashara anayotakakufanya, anatakiwa kwanzaaangalie uhalali wa hiyobiashara anayotaka kuifanya.Hichi ndicho kigezo kikubwakabisa ambacho Muislamuhukiangalia na siyo kukimbiliakuangalia faida na hasara.

    Hata hivyo, kigezo hichianatakiwa aangalie pia mtumiajiwa bidhaa anapofika dukaniau mahali popote kwa ajiliya kununua bidhaa. Namnailiyo bora ni kuangalia uhalali

    wa bidhaa yenyewe kishakuulizia bei yake. Siyo unauliza bei kwanza bila kuangaliauhalali wa hicho unachotakakununua. Ukiulizia bei kablaya kuangalia uhalali wa bidhaa,kisha ukaangalia uhalaliwake, muuzaji atakuchukuliakwamba umeogopa bei na siyouharamu wa hicho ulichoulizia.Uwezekano wa kula haramukatika mazingira yetu haya nimkubwa zaidi kuliko maeneoambayo mfumo wa Allah ndiounaoshika hatamu. Kwa mantikihiyo, tunapaswa kuwa wadadisizaidi ili kujiridhisha kabla yakutumia ama kufanya kitu

    chochote. Tunaweza kufanyahaya kwa kuwauliza maulamaawetu.

    Ni takribani wiki tatu sasatoka nchi yetu iingie katikagogoro la kuadimika na amakukosekana kabisa kwa sukari,hali iliyopelekea kupanda bei yasukari ghafla. Baada ya ufuatiliajikujua sababu za kutokea halihii, ikabainika kwamba kunawafanyabiashara wamenunuasukari wakafungia kwenyemaghala (godowns) na hawatakikuuza.

    Serikali baada ya kubaini

    Dharura kukosa sukari, siyo kupata sukariNa Juma Jumanne

    RAIS Dkt. John Magufuli. WAZIRI Mkuu Mh. Kassim Majaliwa

    hilo, ikatangaza kwamba kwaatakayeendelea kukaa na sukarina asiitoe atanyang’anywa nakugawiwa wananchi bure.Tahadhari hii aliitoa Rais wa

     Jamhuri ya Muungano waTanzania Dr. John PombeMagufuli akiwa kwenye ziaramaeneo mbalimbali ya nchi yetu.

    Kama haitoshi, tumeambiwakwamba sukari inayoagizwakutoka nje haina ubora, hivyoni hatari kwa afya zetu. Kuzuiasukari hiyo, ndiyo namna yakudhibiti “sukari feki” iliyokuwaikiingizwa hapa nchini. Hapanampongeza Rais wetu kwakuthamini afya za wananchiwake.

    Tayari kauli ya MheshimiwaRais imeshaanza kufanyiwa kazina watu wamenyang’anywasukari ikagawiwa wananchi nataasisi mbalimbali. Naunganana serikali katika nukta moja tu,nayo ni kuchukizwa na adhawanayopata watu kwa kukosasukari. Adha iliyosababishwana wafanyabiashara kufungiasukari ndani na kudai hawanasukari. Hili jambo siyo zuri. Siyo

     jambo zuri kwa sababu sukariina watumiaji wengi ambaomaisha yao ni ya chini sana.Kupanda kwa bei kunawaumizakwa kiwango kikubwa.

    Hata hivyo, pamoja natahadhari alizotoa Dr. JPM,

     binafsi sikuamini kama kweliwatu watanyang’anywasukari. Niliamini baada yakupitia magazeti na kuonamaneno yaliyosomeka; “SukariIliyofichwa Yagawiwa Bure”.Maneno haya yanapatikanakatika ukurasa wa mbele kabisawa gazeti la Nipashe la jumatatu

    tarehe 09 Mei, 2016 katika toleolake nambari 0578844.

    Halikadhalika, gazeti la Uhurunalo kwenye ukurasa wake wambele yakasomeka maneno:“Vigogo Wabanwa Kila Kona,Shehena Nyingine YanaswaIkipelekwa Mafichoni; TRAYataifisha Sukari Ya Magendo,Yaigawa Bure”. Kwa mujibu wagazeti hili toleo nambari 22439la jumatatu tarehe 09 Mei, 2016kuna maelezo ya kina kuhusukukamatwa kwa sukari katikamaeneo mbalimbali ya nchi yetu.

    Linaeleza gazeti la Uhurukwamba, jumla ya mifuko800 ya sukari yenye ujazowa kilo 50 imekamatwaikipelekwa mafichoni. Sukarihiyo ni sehemu ya mali yamfanyabiashara Haruni Zakaria,anayetuhumiwa kuficha tani4,579.2, zilizokamatwa hivi‘majuzi’ na Taasisi ya Kuzuiana Kupambana na Rushwa(TAKUKURU).

    Ipo pia sukari inayodaiwakuingizwa kimagendo nchiniikitokea Brazil na kuingilia

     bandari ya Lindi ikitokeaZanzibar. Sukari hii iligawiwataasisi 13, ambayo inadaiwakufikia thamani ya Tsh. Mil.373.5, ikiwa ni mifuko 5,319yenye uzito wa tani 133.

    Kinachonipa tabu hapakama Muislamu ni ule uhalaliwa mimi kula sukari hiyo.Utata huu ndio ulionipelekeakumpigia simu mmoja katikaMasheikh zetu ili kujiridhishakuhusu matumizi ya sukarihiyo. Hii ndiyo kawaida yangukufanya, pindi ninapokutana namazingira ambayo hayaeleweki.Napenda sana kujua kabla yakuendea jambo ili nilifanye nafsi

    ikiwa imetulia.Baada ya kumpigia simu yule

    Sheikh akasema kwamba yupodarasani lakini nikamkatisha

    kwa kumtaka radhi kwa swalifupi tu. Akawa amenikubalianikamuuliza. Jibu nililopata nifasaha na fupi sana. Kwambahiyo ni dhulma, hakuna adhabuya namna hiyo katika Uislamu.Nilipokea jibu hili kwa mikonomiwili nafsi ikiwa imetuliakabisa kwa sababu hata miminilikuwa natarajia kupata majibkama hayo.

    Kilichonisukuma kuandikamakala hii ni ule ukwelininaoujua katika jamiiyetu. Tumekuwa wepesiwa kuchangamkia mambo

     bila kutumia mizani sahihi.

    Dhulma hii tusiifanyekuwa fursa. Hatujui sababuzilizopelekea wafanyabiasharahawa kuchukua maamuziwaliyochukua. Hata kama wanamakosa, bado hukumu hiyo siysahihi. Huwezi kuwafananishana wezi au majambazi.Wanazuia chao.

    Pengine tunaweza kusemakwamba hii ni dharura watuwamekosa sukari watafanyaje?Hii siyo hoja ya msingi. Kamahawataki kuuza waachwe wakana sukari yao, itafutwe namnanyingine ya kuagiza sukari njeya nchi. Tambua kwamba huounaokula ni moto, na itakuwa nmajuto kuanzia kaburini mpakasiku ya qiyaama.

    Ikiwa ni suala la kufichasukari ili ipande bei, basioparesheni hii itagusa maeneokaribu yote ya bidhaa za msimuWafanyabiashara wengi wanakawaida ya kununua nafakamapema ambapo inakuwa ninafuu sana na kuweka kwenyemaghala. Bei wanazokuja kuuzani karibu mara mbili ya beiwalizonunulia.

    Sisi Waislamu, Allahaliyetukuka ametukataza

    kudhulumu wala kudhulumiwaAmetukataza kula mali kwadhulma. Enyi mlio amini!Msiliane mali yenu kwa dhulmaisipo kuwa iwe biashara kwakuridhiana wenyewe.…….[4:29] .Ametukataza kula kamawalavyo wanyama. Tusifurahiekupewa sukari ya bure. Hiyo

     bure unayoona wewe, keshoitakutokea puani. Kweliwamekosea lakini bora tuikosehiyo sukari kuliko kula haramuBora adha hii ya duniani siyo yaakhera.

     Juma Jumanne (0659 789 468)

  • 8/16/2019 ANNUUR 1231.pdf

    10/20

    10 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 27 - JUNI 2, 201Makala

    WIKI iliyopita kulifanyikamauwaji ya kinyama na kutishaambapo watu wasiofahamikawalivamia msikiti wa Rahmanijijini Mwanza, na kuuwawatu watatu. Taarifa ya polisiimesema kwamba watu wasiozidi 15 wakiwa wamefichanyuso zao, walivamia msikitihuo wakati wa swala ya Ishana kuanza kuwashambuliawaumini baada ya kuzimataa. Waliouliwa wametajwakuwa ni Feruzi Ismail Elias,Mbwana Rajab na KhamisiMponda, huku wenginewakijeruhiwa. Taarifa hiyo yapolisi iliyotolewa na Kamandawa Polisi Mkoa wa Mwanzaikasema kuwa vyombo vyadola vinafanya upelelezi ilikuwabaini wahalifu hao nakuwafikisha katika vyombo vyasheria.

    Kwa upande wa vyombovya habari, ukiacha habari zaziada zilizotokana na kuwahojiwatu waliokuwa eneo latukio, ndugu wa marehemupamoja na viongozi wa dini naserikali ya Mtaa, walio wengi

    wamewasilisha taarifa kamailivyotolewa na Kamanda(SACP) Ahmed Msangi.

    Hata hivyo, wapo baadhi yawaandishi wamelishereheshatukio hilo na kulipa sura yaugaidi na kuja na maelezokwamba waliohusika na jinaihiyo ni magaidi wa IS.

    “Habari zinadai kwamba,watu waliohusika na mauwajihayo wana uhusiano na kundi lakigaidi la Islamic State (IS).”

    Aliandika mwandishimmoja wa gazeti la kila siku nakuongeza akisema kuwa kunahabari “kuwa mtandao wa ISupo katika mikoa ya Mwanza,

    Arusha, Tanga na Dar esSalaam.”Anachosema mwandishi

    huyu ni kwamba Tanzaniawapo magaidi wa IS na hawani wale tunaoambiwa kuwawanachinja watu kule Syria,Iraq, Libya bila kumsahau ‘Jihad

     John”. Lakini pia anasema kuwawaliofanya mauwaji Mwanza sioIS wenyewe, bali “watu waliona uhusiano na IS.” Kwa hiyoanachotuambia mwandishi huyoni kuwa, hapa Tanzania kunamakundi mawili ya kigaidi: ISna ‘watu’ walio na uhusiano naIS. Na wote hao inavyoelekeawapo nchini bila hata vyombo

    Mauwaji Masjid Rahman Mwanza…

    Tusifanye mchezo na uhai wa watuMchezo wenu, mauti kwa Tanzania

    Na Omar Msangi

    IS wanaonekana kupata nguvumpaka lengo litimie.

    “ Anyone who has not beenbrainwashed by Western media

     propaganda knows full well thatthe suffering of Syria has beencaused by Washington and itsallies sponsoring a covert war forregime change in that country. TheUS pays lip service to “defeatingterrorism”.

    Anasema Finian Cunninghamakimaanisha kwamba, kwa mtuambaye hajavurugwa akili yakena propaganda za vyombo vyahabari vya Magharibi, anajuakwamba kinachoitwa vita dhidi

    ya ugaidi, inatumiwa tu kamakisingizio cha kuzivuruga nchizinazolengwa na mabeberu. Nakwamba mabeberu hao hawajalmachungu yenu, iwe ni kufawatu, kutiwa vilema au mijiyenu kuharibiwa kama ilivyohali Syria.

    Anamalizia kwa kusemakuwa, kwa walio na akilitimamu, watajua kwambahuyo anayejidai kupambanana magaidi, ndio huyo huyoanayepalilia “same terror groups

     for its criminal political objectives.

    Sura tusiyoijuatukio la Mwanza“Three Massacred in Suspected

    Terror Aack in a Tanzania Mosque” , ndivyo ilivyoripotiwakatika mtandao wa kijamiiuliopewa jina la Shmuel YosefAgnon juu ya tukio la MasjidRahmani Mwanza. Lakini kablaya kusema lolote, ikawekwapicha inayoonesha vijana watatwakiwa wameficha nyuso zaowameshika AK-47, nje ya pangoambalo inadaiwa kuwa nimoja ya mapango ya Tanzania.Kisha ikaelezwa kuwa mauwajiya Mwanza yamefanyika

     baada ya kusambazwa videoikitahadharisha uwepowa magaidi wa IS katikamapango ya Tanzania na

    kwamba duru za ki-intelijensiazilishatoa tahadhari. Lakinipia ikaambatanishwa na pichaya polisi wetu kama kusemakwamba wanapambana na ISlakini hawawezi. Shmuel YosefAgnon, alikuwa mwandishiwa Kiyahudi (1888-1970). Nikwanini mtandao huo ukaitwakwa jina lake, ni swali lakutafakari. (Soma: Strategicintelligence had warned of animminent threat citing a videoshot by Islamic State in Tanzaniancaves.)

    Mwandishi Ludovica

    vyetu vya dola kujua ila sasandio mwandishi wetu huyuSia Tumma anatufahamisha nakuvistua vyombo vya dola!

    Swali ni je, mwandishi wetuhuyu, taarifa hizi za uwepowa IS Dar es Salaam, Mwanza,Tanga na Arusha kazipatawapi? Ushahidi gani anao?Anaweza kutuonyesha japo ISmmoja au yalipo maficho yao?Lakini muhimu zaidi, anajuaanachokisema? Anawajua

    IS ni nani, na nini hatari yakutangaziwa kuwa mnao ISnchini kwenu?

    Somo kutoka SyriaHuu ni mwaka wa tano,

    machafuko na mapiganoyanaendelea Syria. Wapo watuwanaitwa Islamic State (IS),tunaambiwa kwamba ni magaidiwanaotaka kusimamisha Dolaya Kiislamu. Toka ilikuwa nimzozo wa wa-Syria wenyewekwa wenyewe, sasa imeingiaMarekani na NATO kwakisingizio kwamba inawapigamagaidi wa IS. Kutokana namapigano hayo, zaidi ya watu

    400,000 washauliwa hukumamilioni wakibaki wakimbizina miji kuharibiwa.

    Wakati Marekani ilidaikuwa ipo Syria ili kuwasaka nakuwaangamiza IS, hivi karibuniWaziri wake wa Mambo yaNje, John Kerry ametishiakwamba Syria kutakuwa navita isiyokwisha kama BasharAssad hataondoka madarakanina kama yale yanayotakiwana Marekani katika eneo hilohayatatimia. Kerry aliyasema

    hayo katika mkutano wa Vienna(17-nation International SyriaSupport Group) uliowakutanishawajumbe kutoka nchi 17kuzungumzia suala la Syria(Tazama: Kerry Threatens War-Without-End on Syria.)

    Ni kutokana na hali kama hizozinazojitokeza katika suala laSyria/Iraq/IS, mwandishi FinianCunningham anasema kuwakinachodaiwa kuwa Marekaniinapambana na magaidi wa IS/Al qaida, ni unafiki mtupu. ISwanatumiwa kama kisingiziocha kukamilisha “regime change” Syria na ndio maana kila siku Inaendelea Uk. 1

    KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Mwanza, (SACP) Ahmed Msangi.

  • 8/16/2019 ANNUUR 1231.pdf

    11/20

    11 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 27 - JUNI 2, 20111 AN-NUU

    MAKALA 

    Tusifanye mchezo na uhai wa watuInatoka Uk. 10

    Iaccino akiandikia gazeti laInternational Business TimesUK, na akitajwa kuwa nimwandishi maalum wa masualaya Afrika na Mashariki ya Kati,akiripoti tukio hilo, naye akatajauwepo wa magaidi katikamapango ya Tanga. Kwambatukio la Masjid Rahmanlimekuja baada ya magaidi wa ISwaliojichimbia katika mapangoTanga kusambaza video ikisemakuwa watafanya shambulio hivikaribuni.

    Ludovica Iaccino anasema,“The aack occurred days after avideo emerged of masked peoplealleging they were the East Africanbranch of the Islamic State (Isis/Daesh) group. The people claimed

    they were in Tanzania's coastalregion of Tanga.”

    Nukta ya kuzingatia. Hapamwandishi Ludovica Iaccinoanazungumzia “East Africanbranch of the Islamic State.”

    Ukimwambia akuonyeshehao IS Tawi la Afrika Mashariki,hatakuonyesha. Lakiniakishaandika hivyo, watakuwawanalikariri mpaka wenginewetu huku watalidaka katikamagazeti yao na tutaamini aututajidanganya na kujipumbazakuwa wapo “East African branchof the Islamic State.”

    Amesema kweli NabeelNaiem akimaliza mahojiano

    yake na Al-Maydeen TV juuya IS na makundi mengineyanayodaiwa ya Jihad Syriaaliposema:

    “They fool you, they keep fooling you and they enjoy fooling you, notbecause they’re smart, but because

     you’re foolable.”Kwamba mabeberu hawa

    na vyombo vyao vya habari,wanakudanganyeni kwapropaganda zao na wanafurahiakukufanyeni wapumbafu, siokwa sababu wao ni wajanja sana,lakini kwa sababu mnakubali, nahata kufurahia kudanganywa.

    Kwanza, niseme kwambataarifa kama hizi kwamba kunamagaidi katika mapango yetu

     bila sisi wenyewe wenye nchikujua, ni matusi na dharaukwetu kama nchi na hasakwa vyombo vyetu vya dola.Kwamba wanaweza kutokamagaidi huko watokako, iwe ninchini au nje ya nchi wakapigakambi Amboni, hatuna habarimpaka watuambie akinaLudovica Iaccino!

    Ila la kufahamu hapa nikwamba tusije wadhaniaLudovica na wenzake niwajinga. Wajinga ni sisitunaowanukuu katika magazetiyetu, bila kutafakari. Waowanajua wanalolifanya. Wapo

    Event SummaryAmid reports of significantinfrastructure concessions,SOCMINT, HUMINT, andOSINT reports of Tanzaniaincreased presence of IslamicStates (ISIS terrorists) indicatesthe country may soon suffersecurity risks.

    A visibly poor video shotin Tanzanian caves show'sarmed youths brandishingKalashinkovs and the IslamicStates flag backed by picture/image evidence validated thepresence of Daesh in Tanzania.Nonetheless, Harakat Al-Shabaab Mujahideen (HSM)also has active cells in the EastAfrican country.

    The ISIS video is evidencethat jihadist have set up shopin Tanzania, a rather docilemember of the East Africancommunity.What are theramifications of this emergenceof the Daesh in Tanzania?

    AnalysisFor the past 3 years, reports

    of jihadists making inroadsin Tanzania have been eitherignored or the threat neutralized,

    usalama havina habari. Nawanatutahadharisha kuwa simuda mrefu ISIS watafanya

    shambulio lao la kwanza (MasjiRahman???)Lakini ili tuone umuhimu

    ya kuita wataalamu kutoka nje(FBI, Marines???) kutusaidiakupambana na magaidi haowa ISIS ambao wapo katikamapango yetu kwa muda sasa,lakini wenyewe hatuna habari,David Paul Goldman anahoji:

    “Is Tanzania capable ofcountering violent extremism? Isthe country's intelligence awareof the risks/threats posed by these

     jihadist?”Kwamba je, Tanzania wana

    uwezo wa kukabiliana na kitishcha magaidi (violent extremists n

     jihadists) hawa?

    Sasa mwandishi, Mtanzaniamwenzetu unapoandika habarikama wanavyoandika hawaakina David Goldman, kwanza,kama alivyosema FinianCunningham, unajitukana wewmwenyewe. Unautangaziaulimwengu jinsi ulivyokuwa“brainwashed”,  lakini pianamna ulivyo-“foolable.” Pili,unavitukana vyombo vyetuvya Dola na kuitukana serikaliyetu kwa ujumla. Ulitakiwatu ujiulize, kunaweza kuwana makundi ya kigaidi katikamapango ndani ya ardhi yaTanzania na vyombo vyetuvya usalama visijue? Na kama

    ingekuwa hivyo, tusingekuwana Tanzania tuliyo nayo hivi leoLakini pengine swali la

    kujiuliza ni hili, hawa akinaDavid Goldman ni akina nanina lengo lao ni nini? Wikiiliyopita nilieleza juu ya AminaAbdallah Arraf al Omari na yotyaliyoelezwa juu yake kuhusianna vita inayoendelea Syriaya kumng’oa Bashar Assad.Nikaonyesha kuwa hapakuwana mtu anaitwa AminaAbdallah Arraf al Omari kamaalivyoelezwa na kusifiwa, bali n

     jambo lilibuniwa ukatengenezwmtandao ukidaiwa ni wa Aminana huko zikawa zinawekwa

    taarifa za Amina bandia. Sasahawa akina David Goldmanwanaotujia na video za IS katikamapango ya Amboni, wanafanykazi kama ya akina TomMacMaster na Bria Froelicherna mtandao wao wa ‘A Gay GirlIn Damascus’.

    Iko picha moja katika mtandaanaonekana aliyekuwa Raiswa Marekani George W Bushkavaa kilemba akiwa na madevkama ya Osama. Kwa mtumshamba wa IT ataona ni Bushkweli kavaa kilemba. Hivyohivyo, kwa mwandishi ambayehana upumbafu na utaahira wa

    kazini.Yupo mwandishi mwingine

    wa Kimarekani David PaulGoldman, naye kaweka katikamtandao wake picha hizo za ISpangoni na kuandika: “ISIS InTanzanian Caves; Terror Threat

     Multiplication.”Sasa soma kilichoandikwa

     baada ya kichwa chahabari na picha hiyo yapangoni (Tumenukuuhapa kwa Kiingerezakama walivyoandika):Wanachotuambia akina DavidGoldman ni kuwa magaidiwa ISIS wapo katika mapangoyetu lakini vyombo vyetu vya

    as analysts would assume (basedon subsequent events includingarrests of suspected cells). Thereare no available records ofcounter terrorism operations inTanzania. The security forces arenot aptly trained and equippedto counter the threat posed byviolent extremists.

    2016 will be a momentousyear for Dar, to be certain. ISISis looking forward to the longawaited 1st terror aack inEast Africa's key towns (BothTanzania and Kenya face therisk). The uncertainty about thelong term implications of animplosion of violent extremismin Tanzania clearly is worrying.

    The video of Jihadist trainingand heavily armed insideTanzania marks, with the claritythat hindsight brings, the newinflection point, that begs thefollowing questions;

    1. Is Tanzania capable ofcountering violent extremism?

    2. Is the country'sintelligence aware of the risks/threats posed by these jihadist?

    3. What are the short termInaendelea Uk. 1

    ISIS In Tanzanian Caves;

    Terror Threat Multiplication

    Cont. Pg. 12

     MAPANGO ya Amboni, Tanga.

  • 8/16/2019 ANNUUR 1231.pdf

    12/20

    12 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 27 - JUNI 2, 20112 MAKALA 

    Tusifanye mchezo na uhai wa watuInatoka Uk. 10

    kujitakia, hawezi kuona pichana video za akina David za ISwa Amboni akachukua kuwa niushahidi kwamba kuna magaidiwa IS Dar es Salaam, Tanga,Mwanza na Arusha.

    Nani ISIS

    Kwa anayetaka kujuaukweli, si jambo gumu kujuaIS ni nani na kwa nini IS.Hivi sasa tunaambiwa kuwaIS wanashikilia baadhi yamiji ndani ya Iraq na Syria.Wanadhibiti visima vyamafuta, wanauza, wanapika nakupakua. Lakini tunaambiwakuwa Marekani na washirikawake NATO kwa zaidi ya miaka

    minne sasa, wanapambana naIS hawajaweza kuwashinda.Picha inayojengwa ni kuwahao ni magaidi hatari sana naukiacha kuwa Marekani pamojana mabavu yake, inahangaikanao, lakini pia wana uwezowa kuingia mji wowote Ulayawakapiga na kuondoka bilaya kukamatwa. Hivyo ndivyotunavyoambiwa na kutarajiwatuamini. Na ndio sababuunakuta habari kama hii ya SiaTumma kwamba IS wanawezakuwepo Dar es Salaam bilaKamanda wetu Simon Sirrokujua wala Idara zetu zaUsalama!

    Hivi sasa si siri tenakwamba al-Qaeda ilianzishwa,mwanzo kama ‘Mujahidina’wa kupambana na Mrusi kuleAfghanistan kwa niaba yaMarekani, lakini baadae ikawainatumiwa kama “bogeyman”la kufanikisha mipango yamabeberu. Ilibuniwa kupigana“proxy wars” miaka ya 1980s,na leo tunaikuta Al Qaeda hiyohiyo ikiwa katika makunditofauti tofauti kule Syria,ikiwemo IS, ikifanya kazi ile ileya umamluki wa “proxy war.”-(Tazama: Al Qaeda: Heroes of theEmpire By Ulson Gunnar- a NewYork-based geopolitical analyst and

    writer.)Dubwana hili al-Qaeda, sasalaonekana kuzeeka na kuchokana lililopitwa na wakati (wornout and tired) , ghafla linabuka‘bogeyman’ jingine likichinjawatu na video kusambazwakatika “YouTube”. Hawatunaambiwa ndio magaidiwapya-IS (al Qaeda 2).

    Yapo mambo mawiliinatakiwa tuyatathminihapa. Kwanza ni hizi videozinazosambazwa ikidaiwakuwa ni IS wanachinja watu.Ukizitizama ni za ubora wa haliya juu, zilizopigwa kitaalamu

    halikadhalika kuporwa mafutaNa hii inaendana na ule mkakamaarufu " A New Israeli Strategy

    Toward 2000" au A Clean Break: A New Strategy for Securing theRealm.

    Ukiusoma mkakati huo nikuwa nchi za Mashariki ya Katizinatengenezewa mazingaraya kupigana zikamuane damumpaka zidhoofike. Lakinipia itajengwa chuki bainayao ionekane kuwa Shiahawawezi kukaa nchi mojana Sunni, Umoja wa Mataifauingilie kati, zigawanywe,Mashia kwao na Sunni kwao.Kukamilisha mkakati huu,watatumiwa watu watakaojidaikuwa wanasimamisha Dola ya

    Kiislamu-Salafi (IS, lakini nimamluki-mercenaries).

    IS inapoletwa huku kwetuinafanya kazi mbili. Kwanzakupiga propaganda kuwa ISndio tishio la dunia hivi sasana hivyo kuna kila sababu

     jumuiya ya kimataifa kuunganakuwapiga vita. Kwa hiyounahalalisha yanayofanyikaIraq na Syria au mahali penginepopote ambapo mabeberuwatataka kuingia kwa kutumiakisingizio kwamba wanawasakIS. Pili kama alivyohoji DavidGoldman, akionyesha wasiwaskwamba Tanzania haina uwezowa kukabiliana na IS, inatumikkujenga hoja ya kuyakaribishamajeshi ya mabeberu kujakutukalia (kutusaidia).

    Unapopiga porojo kwambaDar es Salaam na Mwanza wapIS, unachofanya ni kuwaitamajeshi hayo. Lakini kabla yahapo ni kuita kufanyiwa vitendzaidi kama vilivyofanyikaMasjid Rahman ili kipatikanekisingizio cha kutosha kupatiwmsaada huo wa kijeshi. Nahutajua waliofanya. Utabakitu kuimba ni “watu wenyeuhusiano na IS” wala hutaweza

    kuwakamata au kuwadhibiti.Utabaki tu kuvilaumu vyombovya dola au kuvihimiza kufanyhili na lile.

    Hebu jiulize, Nigeria ‘super power’ ya Afrika, ndiyo yakuchezewa na AbubakarShekau?

    Ukilitafakari hilo kwakina utajua kuwa Shekau ni“Bogeyman” tu, kama ambavyotunaambiwa kuwa Obamakamshindwa Abu Bakr al-Baghdadi al-Husseini al-Hashimi al-Qurashiy!!!

    ISIS In Tanzanian Caves;Terror Threat Multiplication

    From Pg. 11

    and long term implications ofmilitants insurgency?

    What may begin as a smallISIS movement in Tanzaniais likely to morph into anational security threat whosecatastrophic ramificationswill certainly stop Tanzaniaat it's tracks. The video is arecruitment and 'presencevalidation" for both thehundreds of online Tanzanianyouths who've shown sympathyand the government ofTanzania.

    While East Africa is not asecurity union, the eye's of theworld will fall on Tanzania,not for the threat posed by ISIS

     jihadist who published a videovalidating their presence inthe country, but for those whofailed to stop them from seingup camp in the caves and what

    the same security offi cers willdo to preempt the threat theseterrorists pose.

    It's also highly likely, in thewake of these events, thatTanzania security intelligenceservices will have to call formore cooperation with Kenyaand Uganda to prevent anISIS implosion in future.(Tazama: Strategic IntelligenceService: Counter Terrorism &National Security Intelligence-kama ilivyowekwa na DavidGoldman Mei 18, 2016)

    unaweza kusema za viwangovya “Hollywood-quality”. Hizi ni picha zinazoonyeshakutengenezwa kitaalamukutoka upigaji hadi ‘editing’.

     Jambo la pili ni pichatunayopewa kwamba hawaIS ni wataalamu wa vitana wenye silaha kali, nahawapungukiwi na silaha kiasicha kuwachezesha mchakamchaka Marekani na NATOkwa zaidi ya miaka mitatu. Yotehayo mawili hayawezi kuwa yamagaidi kama tunavyoambiwa.

    Wakati Marekani inaivamia

    Iraq mwaka 2003, kulikuwana maneno mengi juu yaukali wa kikosi cha SaddamHussein kikijulikana kama“Republican Guard” (Kiarabu:

     �aris al-‘Irāq al-Jamhūriyy).Kwamba kitawaonyesha chamtemakuni Wamarekani.Kufumba na kufumbua,Marines wakakiyeyusha. Libyailikuwa hivyo hivyo kamawalivyofanya kule Panamawalipotaka kumng’oa ManuelAntonio Noriega Moreno. Ila leotunaambiwa eti IS wamekuwawababe sana wanamtoa jashoUncle Sam!

    Kupitia ugaidi wa IS, Iraqna Syria zinasambaratishwa nainaelezwa kuwa kinachotakiwani kufikia mahali pafanyike

    ugawaji wa mipaka mipya,kuwe na vinchi vidogovidogo dhaifu (Shia, Sunnina ya Wakurdi) ili iwerahisi kudhibitiwa na Israel

    Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam Simon Sirro .

  • 8/16/2019 ANNUUR 1231.pdf

    13/20

    13 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 27 - JUNI 2, 201MAKALA 

    ENYI makundi ya Waislamu,vijana kwa wazee, wanawake kwawanaume, matajiri na masikini,Ramadhaan inakaribia. Umefikawakati wa kufanya maandalizikwa ajili ya kuupokea nakutekeleza ibada ya nguzo ya nne

    ya Uislamu ambayo ni funga yamwezi Mtukufu wa Ramadhani,inayotarajiwa kuanza mwezi ujao.Kuna haja kwa kila Muislamukutia nia ya kutenda ibada hii nakuukaribisha kwa moyo mweupena upendo wa hali ya juu, hurumana Mapenzi ya dhati mwezi huu.

     Ifahamike tu kwamba ndaniya mwezi waa Ramadhani kunafadhila nyingi na matunda yakeyameshabainishwa na MwenyeziMungu Muumba na Mtume wake.Kuna falsafa kubwa na pana kwawanadamu katika Swaum yaRamadhani hapa duniani na hatakesho akhera. Katika Ramadhanikuna nafasi kubwa na ya kipekeeya mja kutubu na kusamehewamadhambi yake au uovu alioufanya.

    Ramadhani ni fursa ya kuombana kukubaliwa maombi, nifursa ya kurehemewa ni fursaya kusameheana na kuombanamsamaha.

    Mwezi Mtukufu wa Ramadhanini semina, ni darsa na shule kwaWaislamu na hata waso Waislamu.

    Karibu RamadhanNa Azza Ally Ahmed

    Kuna funzo la kujenga moyowa huruma si kwa matajiri walamasikini, kujenga moyo wa

    kusaidia hasa masikni na mafukara,kujenga moyo wa kutoa, moyo waupendo, umoja, kujenga afya nasubra kushinda njaa sio suala rahisiinahitaji subra ya hali ya juu namengine mengi.

    Pamoja na kueleza hayomachache yaliyobainishwa, lakinizaidi ni kwamba fadhila za kufungaRamadhani ni kubwa kiasi kwambaMwenyezi Mungu ndiye anayejuana kukadiria kiwango cha malipoyake, kwani Mola amewahakikishiakwamba ni Yeye tu ndiyeatayekwenda kuilipa kwa hakiinayotakiwa kulipwa.

    Hekma ya ahadi hii yaMwenyezi Mungu ni kwambaameifanya funga kuwa ibaadaya siri kabisa baina ya mja na

    Mola wake, hakuna mwanadamuanayeweza kuthibitisha kwambafulani amefunga na funga yakeimepokelewa au kukataliwa aufulani hajafunga wala funga yakehaijapokelewa kwa kuwa kakosahiki au kile.

    Amesema Mtume (s.a.w),

    “Kila amali njema anayoifanyamwanadamu italipwa marakumi ……….

    Allah (s.w) amesema, “Ilakufunga kwa sababu funga nikwa ajili Yangu, na ni Mimimwenyewe nitakayeilipa…)kutoka kwa Abu Hurayrah nakupokewa na Al-Bukhaariy naMuslim].

     Uzuri wa ibada ya fungaya Ramadhani ni kwambainakuja kwa utaratibu naustaarabu wake. Mgeni huyuhafiki bila kubisha hodi, bilaya kuwaletea taarifa. Daimaanaleta ujumbe wake kwambaanakuja kutembelea Umma huu,anazielewa silka na tamaduni zaugenini.

    Ameshaondoka mjumbe wake

    Rajab na karibuni ataondokamjumbe mwingine Sha’aban,ili kumpisha mgeni karimuRamadhan. Basi niwasihi nduguzangu tumfungulie mlango watabasamu kubwa huku mioyoyenu ikiwa wazi kwa faraja

    pamoja na kupokea mafunzoyote atakayokuja nayo nakutuachia.

     Mtume (s.a.w) ametuelezeakuhusu fadhila za mwezihuu: Umekujieni mwezi waRamadhaan, ni mwezi waBaraka. Imefanywa Swaumkwenu kuwa ni Fardh, milangoya Pepo hufunguliwa na milangoya moto yote hufungwa naMasheitwan hufungwa.

    Umo katika mwezi huu usikuulio bora zaidi kuliko miezi elfumoja. Atakayenyimwa kheri zakehakika kanyimwa [yote ya kheri].)(Imepokewa na Imaam Ahmad).

     Unadhifu wa matendo yaRamadhaan ni kuitimiza amri yaSwaum bila ya kutafuta hoja. KwanWaumini wa kweli husema:

     (Tumesikia na tunatii) [Suratul-Baqarah: 285].

     Itakuwa ni hasara kubwakutotilia maamani ujio waRamadhan, tukajifanya hatuoniwala husikii hadi kushindwa hatakumfungulia mlango nyumbani na

    katika familia zetu.Hala hala Waislamu jitahidinikuukirimu Ramadhan na kuwasababu ya kuondolewa katika usajiwa watu wa waovu. Allah ajaaliewote wenye afya njema kuitekelezaibada hii adhimu, ili iwe nusra leona kesho Akhera.

    SHUKURANI za dhati anastahikiMwenyezi Mungu peke yake,rehema na amani zimfikie yuleambaye hapana Nabii baada yake.

    Toka kwa Aisha (r.a) kamaalivyozungumza Ummu Salama,“kwamba alikuja na chakula katikasahani yake kwa Mtume (s.a.w)

    na Maswahaba wao waliokujana chakula “Umu Salama” akajaAisha kwa hasira akapiga sahaniile kwa jiwe laini na kuivunjana ikasambaratika, hapo hapoakakusanya Mtume (s.a.w) vipandeviwili vya sahani na akasemakuwaambia Masahaba wake,“Kuleni ameona wivu mama yenu”.

    Kisha akachukua Mtume (s.a.w)sahani ya Aisha na kuipeleka kwaUmu Salama na akampa Aishaile ya Umu Salama. Hebu tazamauzuri wa tabia za Mtume (s.a.w)pamoja na upole, kisha tazamauzuri wa hukumu zake na hurumakatika jambo hili. Tizama namnaalivyotumia njia ya kutosha kutatuamakosa haya toka kwa Aisha (r.a),

    Kusameheana mke na mume sababu ya kudumu ndoa zetu

    Na Sheikh Kamali Ahmed Hassan

    kwa maneno yake kuwa “ameonawivu mama yenu”. Naye hukuakiifahamu nafsi ya Aisha nakuiombea udhuru Mtume (s.a.w)

    na wala hakumuadhibu Aisha kwakosa hili na wala yeye hakumtukanaMtume (s.a.w).

    Ni kwa nini? Kwa sababu UmuSalama yeye ndiye aliyekuja katikanyumba ya Aisha kwa kumleteaMtume na Maswahaba zakechakula, hivyo akakadiria Mtumekitendo hiki na kuamiliana nayekwa upole na hekima na Bi. Aisha(r.a) kwa yale yanayomtokea mtumiongoni mwa madhara ya wivukwa uzoefu wake Mtume (s.a.w)kwa yale yaliyomo katika moyo wamwanamke.

    Mtume hakumpa adhabu yoyoteBi. Aisha, bali alibainisha tu kuwayeye ni mwenye wivu pamoja nakuvunja sahani na kufanya vitendovyake hivyo mbele ya Maswahaba.

    Mtume amesifiwa na MwenyeziMungu na hakika ipo juu ya

    tabia yake tukufu. Hebu angaliamatumizi ya hekima na tazamamuamala mzuri na laiti hayayangekutokea wewe, ungekuwamume, ungekuwa katika hali gani?

    Baadhi ya wanaumehuyachukulia matatizo kama hayani chanzo cha kumaliza tatizo kwatalaka.

    Sikiliza juu ya msimamo huu,imepokelewa kuwa mtu mmojaalikuja kwa bwana Omari BinKhatwabi (r.a) ili ashitakie matatizoya ubaya na tabia za mke wake,akasimama mlangoni kwakeanasubiri kutoka akamsikia mtuhuyu mke wa bwana Omar akiinuaulimi wake akigombana naye akiwakimya wala hamjibu akiondokayule mtu akirudi kwake hukuakisema “ikiwa hii ni hali ya bwana

    Omari pamoja na ukali wake nanguvu zake naye akiwa ni kiongoziwa waumini, basi vipi hali yangumimi?

    Hapo hapo alitoka Bwana Omariakamuona anaondoka, akamwitaakasema “Una mahitaji gani ewemtu?”

    Akasema “Ewe kiongozi wawaumini nilikuja kukushitakia juuya ubaya wa tabia za mke wanguna unyanyuaji wake wa ulimikwangu, mimi nikamsikia mkeo nihivyo hivyo kwako, nikarudi hukunikisema “Ikiwa hali hii ipo kwakiongozi wa waumini na mkewe, basi vipi hali yangu mimi?”.

    Akasema bwana Omari, “Ewendugu yangu hebu sikiliza yalealiyowapa Mwenyezi Mungu, mimininavumilia kutokana na haki zakekwangu, kwani yeye ndiye mpishiwa chakula changu, na ndiyemuokaji wa mikate yangu, na mfuajiwa nguo zangu, mnyonyeshajiwatoto wangu, na hayo yote siwajibu kwake na huutuliza moyo

    wangu na kuuepusha na haram, basi mimi ninavumilia kutokana nahilo.

    Yule mtu akasema (Ewe kiongoziwa waumini na ni hivyo hivyomke wangu. Akasema Omar, “Basivumilia ewe ndugu yangu kwanihayo ni ya muda mdogo tu, nakama mtu atawachukia wanawake basi hakika mtakichukia kitu haliya kuwa kajaalia Mwenyezi Mungundani yake kheri nyingi”.

    Basi aya hii ni liwazo la ahadiya Mwenyezi Mungu kwa kilamwanamume aliyeonywa kwakila anachokichukia kwa mkewekusubiri juu ya mtihani huo,atampa kheri na malipo makubwana fungu nono ambalo hakunaajuae isipokuwa Mwenyezi Mungumtukufu.

    Hivyo ndivyo yalivyo maishaya wanandoa, kuyataja mazurina kuyafumbia macho mabayana makosa madogo madogo

    ambayo yanaweza kusamehema,ili kuepusha talaka nyingi ambazozinatokea kutoka kwa wanaumekwa sababu ambazo zinavumilika.

    Pale wanaposimamia watu wakheri au mahakimu au wengineo juu ya sababu za talaka ni sababundogo ambazo hazitajwi. Na hivyohivyo matatizo mengi ni madogotu ambayo humalizwa kwa kwishamaisha yenyewe ya ndoa, tena kwamasikitiko makubwa.

    Imepokelewa kuwa Aisha (r.a)amesema alipita mwanamkemmoja kwa Mtume (s.a.w)akiwa amemkasirikia, akasemakumwambia Mtume, “Hivi wewendiye unayedai ni Mtume”.Akatabasamu Mtume (s.a.w). UchaMungu gani wa muelekeo kamahuu kwa Mtume ambaye haifanyi

    nyumba kuwa ni pepo.Pale anapokasirika mke mmoja,ni wajibu kwa wengine kuwawapole kwani hali ya hasira nisawa na hali ya ulevi, mtu hajuianalolifanya na analolisema kwawakati ule.

    Basi ninatamani kwa kilamume na mke kuepukana na kilamaneno mabaya na kuleta hasirana kukasirisha. Ninatamani kilammoja kuyataja yaliyo mazuri kwamwenziwe, yenye kupendeza nakuyafumbua macho yote ya upandwa mapungufu ya kibinadamu kwwote wawili.

    Email : [email protected]

  • 8/16/2019 ANNUUR 1231.pdf

    14/20

    14 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 27 - JUNI 2, 201MAKALA/MASHAIRI

     

    حيم

    ه

    ح ن الر

    ه

     الر

    ه

     هللا  بس

    KAMATI YA KUENDELEZA UISLAMU darpwani

    S.L.P 55014 Simu: +255 673 497970 , +225 713 631 419 , +255 716 058 538

    Website:www.kkuttz.com  Email: [email protected] 

     Assalam aleikum warahmatullah wabaratuh

    Kamati ya Kuendeleza Uislamu Dar Pwani inawatangazia Waislamu wote wake kwa waume kuwaKutakuwa na Program maalumu ya ufahamishaji wa program mbali mbali za kamati katika misikitimbalimbali ya Dra es salaam na pwani kama inavyoonekana hapa chini;

    NA TAREHE DHUHRI L-ASRI

    1 07.06.2016 ISTIQAMA  – KAWE TAQWA - MWANANYAMALA

    2 08.06.2016 HAQ  – ILALA HIJRA - TEMEKE

    3 09.06.2016 TUNGI  – TEMEKE CHIHOTA – TEMEKE4 10.06.2016 MUHLISINA –KIGAMBONI MJIMWEMA  – KIGAMBONI5 11.06.2016 LILAH  – MKURANGA MUHAMMAD  – MKURANGA6 12.06.2016 TAQWA  – CHALINZE ASADI  – CHALINZE7 13.06.2016 ISLAMIA  – KISARAWE FARAJI  – KISARAWE8 14.06.2016 MWANALUGALI – KIBAHA MSIKITI WA MKOA  – KIBAHA9 15.06.2016 NUR  – MLANDIZI QADRIYA - MLANDIZI10 16.06.2016 MOZA  – BAGAMOYO FIRDAUS  – BAGAMOYO11 17.06.2016 MSIKITI MKUU  – KIBITI MSIKITI WA SOKONI - KIBITI12 18.06.2016 TAQWA  – RUFIJI JAMAA  – RUFIJI13 19.06.2016 TAQWA  – KIGAMBONI SAKINA  – KIGAMBONI14 20.06.2016 KEKO FENICHA – TEMEKE BADRI  – TEMEKE

    15 21.06.2016 KIBAMBA CCM  –KINONDONI AL AMIN  –  MANZESE/KINONDONI16 22.06.2016 MAKUTI(RAHIIM) TANDALE NUR - KIGAMBONI17 23.06.2016 IKHWAN  – ILALA ISTIQAMA – ILALA18 24.06.2016 KWA GUDE-KIWLNI/ILALA MASHINE YA MAJI  – G’MBOTO/ILALA 19 25.06.2016 NGUVU KAZI  –CHANIKA HIJRA - TEMEKE20 26.06.2016 MSIKITI MKUU  – MAFIA KIGAMBONI - MAFIA

    Waislamu wote mnaombwa kuhudhuria katika program hii ili kuelewa kwa upana Nini kamati yakuendeleza uislamu na Inafanyaje kazi zake.Mnaomba kuhudhuria bila kukosa.

    Wabillahi Tawfiq

    Kaimu Amir - Rajabu Ngalongela 

    Bismilahi awali , shairi ninaanziaNamshukuru jalali , wasaa kunipatiaSasa niko afadhali , tungo ninarudia

     Jicho Moja Kwenye Dini , Ni Kusahau Akhera.

    Sio mashihi Dajali , usije ikadhaniaYeye bado kuwasili , muda haujatimiaHebu tumia akili, mwishowe utang`amua

     Jicho Moja Kwenye Dini Ni Kusahau Akhera

    Maana ya jicho moja , kuangalia duniaAkhera hauna haja , jicho umejifumbia

     Jambo hili ni kiroja , akili zimefubaa Jicho Moja Kwenye Dini Ni Kusahau Akhera

    Mungu katupa mawili , macho ya kuangaliaAkhera jicho awali , la pili ni la duniaYote yaone kwa mbali , mambo kushughulikia

     Jicho Moja Kwenye Dini Ni Kusahau Akhera

    Ni mtume Muhamadi , mafunzo katupatiaDunia hauna budi , nawe kushughulikiaNa Allah umhimidi , kama kesho wajifia

     Jicho Moja Kwenye Dini Ni Kusahau Akhera

    Wenye jicho moja wale , wanatambia duniaHaramu, halali wale, matumbo kujishibiaWanadhaia milele , duniani kubakia

     Jicho Moja Kwenye Dini Ni Kusahau Akhera

    Dunia wameipenda , mola wamemkataaSheria wanaziponda , Allah alowatungiaZa kwao wameziunda , wayapate manufaa

     Jicho Moja Kwenye Dini Ni Kusahau Akhera Macho mawili hakika , hao wamejitambuaDunia wanaitaka , na akhera yao piaWanaishi kwa mashaka , wasimuudhi jalia

     Jicho Moja Kwenye Dini Ni Kusahau Akhera

    Vipi unajicho moja , mtu akikuambiaNawe ukaleta hoja , kwamba hakuangaliaNdugu yangu kuna haja , haraka kujikagua

     Jicho Moja Kwenye Dini Ni Kusahau Akhera

    Wale wenye moja jicho , warudi kwake NabiaKulifumba lao jicho , wajue wajisumbuaKilema chao cha jicho , wenyewe watajutia

     Jicho Moja Kwenye Dini Ni Kusahau Akhera

    Kalamu naweka chini , nami kujifikiriaHivi kweli nitawini , mawili kuyatumiaYailahi ya manani , ndiye wa kusaidi

     JICHO MOJA KWENYE DINI NI KUSAHAUAKHERA

    ZABIBU IDDI NG`ONDAMWANZA

    JICHO MOJA 

    FITNA! FITNA! FITNA!!!Mengi sitaki kunena, mintarafu mauwaji,Yalojiri wiki jana, katika la Mwanza jiji,Wilayani Nyamagana, tafakuri yahitaji!FITNA HII HATARI, TUSIPOKUWA MAKINI!

    Kwa watu mufakirina, kuna mengi ya kuhoji,Yanohitaji wa kina, si rahisi ujibuji,Uso majibu mwanana, bali ubabaishaji!FITNA HII HATARI, TUSIPOKUWA MAKINI!

    Tumuombe Subhana, wa siri Mkashifuji,Aikashifu bayana, kunga yao wauwaji,Waijue alamina, na dhati ya mauwaji!TUWENI NAYO MAKINI, FITNA HII HATARI! ABUU NYAMKOMOGI

    Chuki kamwe haitakuwa na maslahi kwenu - 2

    MWENYE tabia ya chukihusababisha kufunguliamilango ya kuchukiwana watu. Japokuwawatakuwepo watu aukikundi cha watu auwatu wa imani fulaniwatakaoona na kuaminikuwa wananufaika namatokeo ya vitendo vyachuki vya kiongozi wao.

    Hata hivyo ukweliutabakia pale pale kwambakila mtu atapendwa naataheshimiwa na wenginekwa kuamini katika haki bila kujali matabakaya watu. Vivyo hivyomtu huyo anategemewaawapende na ahifadhiheshima za wengine piana ajiepushe kabisa nakila jambo linalokwendakinyume na maingilianomazuri au linalowezakusababisha kuharibikakwa maelewano nawengine.

    Maradhi ya chuki nauadui ni miongoni mwamaafa makubwa dhidiya ufanisi na utulivu wanafsi, yanayotokana natabia mbaya ya hasira yakushindwa katika medaniya kutafuta maisha aukushindwa katika kileunachokitafuta katikakuboresha maisha.

    Lakini kubwa zaidi nimtu kukosa uvumilivuwa kiimani, kushindwakuheshimu imani za watuwengine kwa fikra kwambayako ni bora na inastahilikufuatwa na kila mtu.

    Imani yako haistahilikufunzwa kwa hoja, naakitokea mtu akahojikabla ya kukubali, huyo

    Na Shaban Rajab atachukiwa na hatakutafutiwa namna yakumdhibiti.

    Kushindwa hukukatika hoja za kujifunzamtu, humfanya mhusikakupata hamaki nakuchukia na kujengauadui. Mtu mwenyemoyo dhaifu na mwepesiwa kuhamaki havumiliikusikia akikosolewaau akichambuliwa hatakidogo.

    Hamaki ni matokeo yachuki iliyojengeka kiasicha kuwa kama motouliofunikwa chini yamajivu, ambao unawezakutoa cheche za uaduizitakazounguza nakuteketeza ufanisi nautulivu wa nafsi.

    Bila shaka kutozijalihisia za watu huletamatokeo mabaya yakudharauliwa na wenginena kuonekana ni mtuduni usiyefaa katika jamii

    za watu wastaarabu nawasomi.

    Kama vile ambavyokusamehe kunaonyeshautukufu na umakini wanafsi ya mtu pia kunaletausalama na umoja nautulivu wa nafsi, vivyohivyo, uadui na uhasamakunapelekea kuwa na,chuki ambayo huzaamfarakano na ugomvi.Ingawa uhasama hufanywaili kutuliza misukosukoya ndani ya nafsi, lakinimadhara anayopata mtukwa kulipiza ubaya kwaubaya huwa ni makubwazaidi kuliko madharaanayopata kwa njianyingine, kwani maudhilicha ya kuwa ni shida

    kuvumilia, mwisho wakehuondoka, lakini uhasamaunapoota mizizi huchoma

    moyo wa mtu kama mibaya sumu na humdhurudaima.

    Isitoshe, uadui hauwezikuondoa ubaya. Balihulipanua na kulichimbazaidi donda. Kwa kawaida

    uhasama humfanyahasimu ajitetee zaidina alipize kisasi zaidi,akitegemea kupata utulivuwa nafsi, kumbe ndioanajirimbikizia machunguambayo humleteamaradhi ya saratani yaakili na kupelekea kuwana maamuzi yasiofaana yaliojaa visasi nachuki. Kutotumia akilina kutofikiria matokeomabaya ya kufanyaugomvi, akifikiria kwambaanamkomoa mtu kumbeanajikomoa mwenyewe.

    Watu wengiwanashindwa kuelewakwamba kushikwa nahasira sana ni dalili yakutopevuka kiakili, kwani

    huenda mtu anayekosoahuwa hana nia yakumtukana au kumdharaumwenzake. Uchambuziuliokusudiwa kuudhina kudharau, kama unaukweli na unaonyeshakosa lenyewe, basi huwani zinduo na funzo kwamwenye akili badalaya kuwa chukio. Lakiniuchambuzi usiokuwa namsingi na ukweli usitiwemaanani, kwani unatokanana husuda na ubaya.Kitendo cha kuchambua bila ya msingi wowote nikitendo cha kitoto, chukina wivu chenye lengo lakujitukuza kuwadharauwengine. Hata hivyo,tusikereke na watu kama

    hao, bali tuwafunike kwashuka ya kuwapuuza bilakuzozana nao.

  • 8/16/2019 ANNUUR 1231.pdf

    15/20

  • 8/16/2019 ANNUUR 1231.pdf

    16/20

    16 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 27 - JUNI 2, 201SAFU YA BEN RIJAL

    Jee, tuwe kunguru au tafrani za panya?-3

    Wanyama waliotajwa katika Quran: Mbwa-5

    Inatoka Uk. 15

    Kitu gani kilichofanya Kata ‘’K’’

    kupendwa na vijana? Vijana wengiwameathirika na mziki na mzikiwaupendao ni ule wa kupwayukaujuliknao kwa jina la Hip hop naule wa Reggae ambao umeshamirikatika nchi za West Indies hasa hasakatika nchi ya Jamaica. Mziki waHip hop ni burudani kwa vijanawengi ambao hata wanapoziimbahizo nyimbo hujua kuziimbalakini hukosa kujua maana yahizo nyimbo nyengine huwawanajitukana wenyewe.

    Katika miaka ya 90 uvaaji waKata ‘’K’ ulianza kuvaliwa nawaimbaji wa Hip Hop na kasi yakeikawa kubwa. Ilipofika mwaka wa2010 waimbaji maarufu kina JustinBieber, Liam Payne, Ross Lynch nawengineo walikuwa wanapotokeakatika majukwaa ya muziki, huwana kivazi cha Kata ‘’K.’’

    Katika miaka ya 90 waliokuwawakivaa Kata ‘’K’’ wakivaa surualiza ndani za zile suruali ambazowapiganaji wa masumbwi huvaawakati wa mapigano lakini kufikiamwaka wa 2010 mtindo wa Kata“K’’ ukawa na kivazi maalumunacho ni kivazi cha madengirizi(Jeans) za kubana. Uvaazi huukwasasa sio umeshamiri nchiniMarekani tu inasemekanaumehamia na Uiengereza katikamwaka wa 2016 utafiti uliofanywanchini humo imekuja kuonekanaasilimia 35 ya watoto wa kiumehuvaa kivazi ya Kata ‘’K’’ wakiwawengi ni wenye umri wa kati yamiaka 13 na 16 na vijana wa kikewafikao asilimia 65 wenye umri baina ya miaka 13 na 18 wamekirikuwa kivazi cha Kata ‘’K’’ ni kivazimuruwa na chenye kuwavutia.

    Mziki wa VideoMziki wa Video (Music video)

    umekuwa maarufu dunianikote, raha ya mziki huu kamawasemavyo vijana ni kumuonamwana muziki anavyoimba kwenyevideo, mbali na zamani ukiwaunamsikia tu mwanamuziki bila yakumjua na nini anafanya nini?

    Kuandaa mziki wa video nighali, huunganishwa pichazilizopigwa sehemu mbalimbalina kumfanya msanii anaonekanaamebadilisha nguo na kuweposehemu mbalimbali, nyimbo mmojainaweza kumuonyesha msanii yupokatika sehemu mbalimbali hata nchi

    mbalimbali na amebadilisha nguohata kufikia mara kumi.

    Wasanii wengi katika miakahii hupendelea kufikisha jumbezao kwa kutumia mziki wa videoili kuleta mvuto zaid. Mwakawa 1996 ulikuwa ni mwanzo wakudhihirishwa mziki wa videokupitia uvazi wa Kata ‘’K’’ kupitianyimbo ya “Back Pockets on theFloor” ilioimbwa na kutengenezwana Green Brothers wa HighlandPark wa mjini Michigan. Onyeshohili kupitia mziki wa videouliwavutia wengi na kuushabikia.Aidha katika mwaka wa 2007msanii Dewayne Brown wa mji waDallas uliopo Texas akaja na kibao“Pull Your Pants Up”, ilipofika

    mwaka wa 2012 mwimbaji wa rapukijana wa miaka 9 Amor “Lilman”aliandika nyimbo “Pull Ya Paints

    Up” na kuingiza katika mzikiwa video (hps://www.youtube.com/watch?v=dF_wiHSeRY4) nakuwatia wazimu vijana wenzake nakushabikia Kata ‘’K’’ kwa kiwangocha juu.

    Nasaha kwa vijanaSio kila kiingiacho mjini sio

    haramu. Kwa kweli kuna mambotunahitajika tujitahidi kwa kadrituwezavyo kujiepusha nayo hasakwa vijana wa Kiislamu. Dini yaKiislamu ina mipaka yake mpakaUtupu wameutolea kielelezo chake(Définition) na kuugawa baina yamwanamume na mwanamke.

    Mwaname utupu unahesabiwa baina ya kitovu na magoti, kuanziakwenye kitovu hadi kwenye magotihuhesabiwa ni utupu na hapo hatakufanya ibada hakukubaliki. Kwamwanamke utupu kwake ni mwilimzima isipokuwa uso na viganjavyake viwili. Sababu ya mwanamkekuekewa mipaka hiyo ni kuwakila sehemu yake ni yenye mvuto.Uislamu umejaribu kumlindamwanamke wala sio kumdhalilisha.

    Avaapo kata ‘’K’’ kijana wakiume hakika huwa anajidhalilishayeye, wazee wake na dini yakeambayo imemuweka na kumjengakuwa mtu alio na muruwa. Hakunasababu hata mmoja ya watu kutakakuona suruali ya ndani iliovaliwana kijana wa kiume, aidha kwawanawake ndio kabisa ndioanahitajiwa ajisitiri vilivyo.

    Tafiti katika nchi za Mrekani naUlaya zimeonyesha kuwa baina yamwanamke aliojistiri kinavyotakiwana Uislamu na wale wasiojistiri,idadi ya wanaobakwa ni kubwa kwawale wasiojistiri ila tu wanawake waKiislamu wanaojistiri huhujumiwakwa zile chuki za ubaguzi lakini siokwa uvazi wao.

    Katika toleo la kwanza juuya mada hii tulitoa Kisa chakunguru na kile cha panya, wotehawa wawili katika hikaya zahikma tulizozisoma huko nyumazimetuonyesha kuwa ukijaribukuiga kila kitu mwishoweutaambulia patupu. Kwani kungurualitaka kuwaiga kila ndege walivyo,mwishowe alijikuta hata ile asili yamwendo wake aliipoteza na panyaalileta tafrani walipokuwa safarinina kila alipokuwa anakatazwa

    na sungura hakuwa ni msikivu,matokeo yake walikuja wakazamawote. Na sisi wazee kama tutajikaliakimya pasi kuwakataza vijana wetuna vitu kama hivi Kata ‘’K’’ tujuwefika kuwa sio wao tu watapoteakwani na sisi tutaingia kwenyemkumbo huo wa kutojua ninitamaduni zetu na nini Uislamuwetu utuongozavyo.

    Makala haya yalijaribukuonyesha uvaazi huu umetokeawapi na kuonyesha dhahiri kuwahao waliokuwa gerezani wakivaamtindo huu ilikuwa sio kwamapenzi yao ila yaliwakuta tukutokana na amri za wakuu wamagereza. Tumeona aina mbiliya kivazi hichi nayo ni kuwa

    wafungwa wakivaa kutopewamikanda wasije wakajiua na jengineni kuwa ilikuwa ni aina ya ushogaingawa kauli hii haina nguvu. Iweitavyokuwa, kwa nini lilobaya

    tulivae ikiwa vivazi vizuri navilivyo muruwa vimejaa?

    Fwatana na mie katika makalaijayo juu ya kujichora mwili ‘’Tatoochimbuko lake na kuenea kwake.

    Uvazi gani huu usio na ihtiramu na nidhamu?

    Inatoka Uk. 15hulima, wengine husomesha,wengine huwinda, wenginehuendesha magari almuradimihangaiko. Hayo yote azma yakeni kuweza kupata kijio.

    Kuna aina ya wanyama huwa

    katika harakati kubwa mchanaifikapo usiku hulala (Diurnal).Kundi hili ni binadamu, ng’ombe,mbuzi, ngamia na wengineo nakuna baadhi ya wanyama waohulala mchana na usiku ndio huwasaa zao za harakati (Nocturnal).Wanyama hao wakiwemo popo, bundi, komba n.k. Viumbe hawaunapojaribu kuwabadilisha wamchana wawe wa usiku na wausiku wawe wa mchana, inakua nivigumu na hata ukiwalazimisha baadaye huja wakaathirika.

    Vijana wa pangoni (Ashab Kahf)wao walilala takriban karne 3,Qur’an inatuambia Qur’an:

    “Na unaliona jua linapo chomozalinainamia kuliani mwao kutokahapo pangoni; na linapo kuchwalinawakwepa kushotoni, na waowamo katika uwazi wa pango.Hizo ni katika ishara za MwenyeziMungu. Ambaye Mwenyezi Munguanamwongoa basi huyo ni mwenyekuongoka. Na anaye muachakupotea basi hutampatia mlinziwala mwongozi.” (18:17).

    “Nawe utawadhaniawamacho, na hali wamelala. Nasitunawageuza kulia na kushoto. Nambwa wao amenyoosha miguuyake ya mbele kizingitini. Kamaungeli watokea hapana shaka ungeligeuka kuwakimbia, nawe umejaakhofu.’’ (18:18).

    Hapa sasa tutaangalia Qur’aninavyotueleza na Sayansiinavyotuambia. Tuanze kuangaliausingizi na makataa yake.

    Tunapolala kuanzia usingiziunapokuwa na lepe, ukasinzia,kisha ukalala, hapo usingizi huwana makataa yake ambayo mwenyekulala huyapitia.

    Tunapolala kila siku huwatunapitia hatua 5 au 6 za usingizi,

    ikiwa lile kataa la usingizihaujakolea, usingizi wa kati naule ulio mzito uliojaa mikoromoambayo wataalamu huita alpha, beta na gama.

    Usingizi ulio mzito uliokoleamara zote hufanya harakati zamwili kuwa polepole pamoja namapigo ya moyo, na hata preshaya damu nayo huwa ya wastani.Unapokuwa katika hali hii inakuwkatika kitu kinaitwa “hypnosis’’lakini hisia zako zinakuwa zipona ndipo aliolala hivyo ukimgusahushtuka, hata wale waumini wadini ya Bhuda na mazowezi yaYoga, hufunga macho na kuifanyanafsi kutoka katika kiwiliwili nakufunga macho na kuvuta pumzikwa nguvu kwa kufanya hivyo

    huyashusha mapigo yao ya moyona kupiga taratibu hapa huwa, juu ya hayo afanyayo huwa sawakama yupo macho kama hajafanyakitu. Mambo haya huangaliwakatika Yoga kupitia aidha katikamasomo ya physiology, psychologna psychosomatic therapeutic.Tunapoyapitia hayo katika elimuhizo ndivyo tunavyokuja kuelewausingizi na itasaidia makala hayakuweza kuyakihitimisha somo lahawa vijana wa pangoni na usingizmzito waliolala na kuyafahamuhaya mambo ya kimambo leo nasayansi.

    Fwatana na mie wiki ijayokuweza kuikamilisha mada hii.

  • 8/16/2019 ANNUUR 1231.pdf

    17/20

    17 AN-NUU

    SHAABAN 1437, IJUMAA MEI 27 - JUNI 2, 201Makala

    WIKI iliyopita nilimalizia kwakusema kuwa kuna msomajiamesoma makala ya “Ugaidi ninini nani gaidi?” akaniandikiaujumbe mreefu, akilaumukuwa, tumekuwa tukishushahadhi ya gazeti letu kwakuandika makala za kusimamaupande mmoja wa imani yadini; na kushambulia upandewa pili wa dini ya wasiokuwaWaislamu.

    Anasema kuwa, pamoja nakuwa naye ni Muislamu, lakinihaafiki mwenendo wa makalazangu.

    Nilitafuta jina lake katikamtandao nikakuta anaitwa‘Kalindula Huseni.’

    Hata hivyo kwa manenoaliyoandika ninatilia mashaka

     jina hilo na Uislamu wake.Lakini makala ninazo

    andika, ninaandika na rejeaza nukuu za vitabu au gazeti;nilidhani angenikanusha kuwanimeandika