Download - ANNUUR 1073.pdf

Transcript
  • 7/28/2019 ANNUUR 1073.pdf

    1/12

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1073 RAJAB 1434, IJUMAA MEI 31-JUNI 5, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Wajibu wa kwenda Hijja unawahusu

    mwenye uwezo na WENYE UWEZO

    (Qurani, 3:97). Inawezekana

    tukaenda sote Hijja kwa kuchanga

    tukapelekana mmoja mmoja kila

    mwaka katika familia, mtaa, msikiti,

    na kadhalika. Bila shaka Allah

    Atalifurahia hili na Atamimina neema

    kubwa juu yetu. Waislamu, tusisubiri,

    tuchukuwe hatua! Karibuni Ahlu

    Sunna wal Jamaa. Gharama zote

    ni Dola 4,300. Tafadhaliwasiliana

    nasi ifuatavyo: Tanzania Bara:

    0717224437; 0777462022;Unguja:

    0777458075;Pemba: 0776357117

    (16) USHIRIKA WA HIJJA!

    Ni Diamond JumapiliYa NECTA, propaganda kujadiliwa

    Bakwata, Jumuiya waikabili Serikali

    Wahoji USIRI, kuita Wakristo pekeeHali ya Sheikh Ilunga, India kuelezwa

    Mamlaka kamili ndiyo

    malengo ya mapinduziAsema Maalim Seif na kushauriWanaotaka kupumua wasipuuzweMoyo ataka Zbar iwe na Uraia wake

    CHUO Cha KiislamuCha Al-jazeera, cha JiniMwanza, kimelifikishaMahakamani Gazetila Mtanzania, kikidaifidia ya Shilingi BilioniMbili, kufuatia kuripotihabari kuwa Chuo hichokinaendesha mafunzoya Ugaidi.

    Gazeti hilo litokalokila siku, limefunguliwamashitaka na Chuohicho na kwa mara yakwanza limefikishwa

    Mtanzania mahakamanikusingizia Waislam ugaidiNa Bakari Mwakangwale Mahakamani April, 30,

    2013, katika MahakamaKuu ya Jijini Mwanza,k u j i b u m a s h i t a k ay a n a y o l i k a b i l i , n akuahirishwa hadi Julai16, 2013.

    H a t a h i v y o k e s ih i y o i m e d a i w akushindwa kusikilizwan a k u l a z i m i k a J a j ianayesikiliza kesi hiyoMh. Mwangesi, kuiarishakufuatia mwakilishi wagazeti hilo Jini Mwanza,kudai kuwa hakuwa na

    Inaendelea Uk. 2

    Makamo wa Kwanza wa Rais waZanzibar, Maalim Seif SharifHamad.

    MW EN YE KI TI wa ka ma tiya maridhiano Mzee HassanNassor Moyo

    SHEIKH Ilunga Hassan Kapungu akiwa hospitalini nchini India. Pichandogo juu kushoto ni mke wake akiimuuguza nchini humo.

  • 7/28/2019 ANNUUR 1073.pdf

    2/12

    2AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 31- JUNI 5, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri/Habari

    Mtanzania mahakamanikusingizia Waislam ugaidi

    Inatoka Uk. 1

    hati ya mashitaka.

    W a k i o n g e a n aMwandishi wa habarihizi, kwa njia ya simukutoka Jijini Mwanza,v i o n g o z i w a C h u ohicho wamesema tayariw a m e s h a l i f u n g u l i amashitaka gazeti hilo,

    b a a d a y a k u k a i d ikukanusha tuhuma dhidiya Chuo chao.

    Mjumbe wa Bodi yaChuo cha Al-Jazeera,Sheikh Jabir Katuraa l i s e m a k w a m b awameshalifikisha gazetihilo katika Mahakama

    Kuu ya Jini Mwanza, nakukutana na mwakalishiwao, aliyedai hakuwaamejiandaa.

    S h e i k h J a b i rKatura, alisema kuwamwakilishi huyo aliyehapo Ji j ini Mwanzaaliieleza Mahakamakuwa walikuwa hawanataarifa rasmi, hivyoshauri hilo lililazimikakuahirishwa.

    Mwenyekiti wa Chuohicho, Alhaj RamadhaniMazige, akizungumziakilichojiri katika kesihiyo, alisema awaliwaliliandikia gazeti hilo,wakiwataka wathibitishey a l e w a l i y o a n d i k ak uhus u Chuo chaok u p i t i a G a z e t i l a ola Mtanzania katikamatoleo matatu, lakinihawakufanya hivyo.

    T u l i w a p a m u d aw a w i k i m b i l i i l iwathibitishe habari zile,wakashindwa kufanyahivyo, na kuwaelezania yetu ya kuwafikishaM a h a k a m a n iwasipofanya hivyo,lakini hawakuonyeshaushirikiano wowote.M p a k a m u d a h u oukaisha. Alisema AlhajiMazige.

    Alhaj Mazige, alisemakesi hiyo iliyo chini ya

    Jaji Mwangesi, imekaakatika sura mbili kwanza,Al-Jazeera inadai fidiay a k uchafu l iwa nakudhalilishwa hivyoilipwe kiasi cha ShilingiBilioni Moja.

    Ama alisema, madai

    ya pili ni ya RamadhaniM a z i g a , a m b a y en i M w e n y e k i t i w aTaasisi ya Al-Jazeera,na ni Diwani wa Kataya Nasio, aliyetajwak wa k udhal i l i s hwakwa kutajwa kwa jinaakidaiwa anawapigamajini viongozi wakubwahivyo kushindwa kwendakushughulikia kadhiaya chuo chake ikiwandiye anawakaribishaAl Shabab na magaidiwengine.

    Kwa kuwa alitajwakwa jina katika gazeti hilo,na yeye naye ametaka

    kuthibitishiwa hayomadai yaliyoandikwa nagazeti hilo la Mtanzania,naye alipwe fidia yaBilioni moja, hivyo jumlagazeti hilo linatakiwalitoe fidia ya ShilingiBilioni mbili kwa misingihiyo. Alisema AlhajMazige.

    Awali Alhaj Mazige,alilieleza gazeti hili kuwa

    , April 30, 2013, walifikaMahakamani, ambapoalijitokeza mwakilishiwao, aliyemkumbukakwa jina moja la Fred,

    a m b a y e m b e l e y aMahakama, alidai kuwani mwakilishi wa Mkoawa Mwanza wa gazetihilo.

    Alisema, mwakilishihuyo, alidai Mahakamanihapo kuwa alipigiwasimu na Makao Makuuya Gazeti hilo Dar esSalaam, kwamba leo(April 30, 2013) ni kesiyao hivyo ahudhurieMahakamani.

    Akiwa Mahakamanihapo, Alhaji Mazige,alidai mwakilishi huyo

    aliieleza Mahakamak u w a h a j a p a t amaelezo ya mashitakayanayowakabili, zaidiya kutakiwa na wakuuwake afike hapo tu.

    Alhaj Mazige, alisemawakili wao aliyemtajakwa jina la Shekh Waziri,alithibitisha kuituma hatihiyo ya mashitaka Dar esSalaam, hata hivyo alidai

    Ja ji anayesikiliza kesihiyo, aliamuru waondokewakakamilishe zoezihilo, na mwakilishi wao

    apatiwe pia.Hakimu alitupa sik

    21, turekebishe utathuo kisha tumpelekemajibu ya pande zotmbili, huku akitupangitarehe ya kusikilizwtena kesi hiyo ambayitakuwa Julai 16, 2013Alisema Alhaji Mazige

    Alhaji Mazige, alisemsiku hiyo hiyo ya Apr30, walishughuliki sualhilo, na kumkabidhmwakilishi wa gazehilo (Fred) akasainn a k u p e l e k a k o pM a h a k a m a n i k a malivyo amuru Jaji, na sasalidai wanasubiri majibkutoka kwa gazeti l

    Mtanzania.Mpaka hivi naongena wewe, (Jumatanwiki hii) hatujayapatmajibu yao toka Apr30, 2013, na tulipewsiku 21, sisi tuandikna wao wajibu, hatujuwatatoa lini majibu yaosisi tuna subiri tarehe ykwenda Mahakamanifike. Alisema AlhaMazige.

    Alhaji Mazige, alisemkwa mara ya kwanzzilipotoka habari hizwalivuta subira, lakin

    katika toleo l inginlilofuata waliendelena habari hizo, ambazaliziita ni za uzushzenye lengo la kuupakmatope Uislamu nWaislamu nchini, jambambalo liliwapa mshtukmkubwa.

    Alisema, iliwalazimwawaandikie barua ykuwataka wasitishhabari zao kwa kuwhazina ukweli na nza uchochezi , hukwakiwatahadharishk u w a e n d a p

    w a t a e n d e l ewatawachukulia hatuza kisheria.

    Hata hivyo al idawalipuuza, nakutoa tenkwa mara ya tatu habahizo zikiwa na uzushuleule.

    Alhaji Mazige, alisemgazeti hilo liliandikhabari hizo katika matoleyake tofauti tofauti kwkupamba vichwa vyhabari vikisema, Hofya Alqaida nchini, Njifupi ya Mwanza hadi A

    Jazeera.

    INATARAJIWA kuwaWaislamu watafanyakongamano kubwakatika ukumbi waD i a m o n d J u b i l e ejijini Dar es SalaamJ u m a p i l i i j a y o .Katika kongamanoh i l o i n a t a r a j i w ak u w a p a m o j a n am a m b o m e n g i n e ,k u t a z u n g u m z i w auamuzi wa Serikalikujitoa kutahini somo

    la dini katika mitihaniya kitaifa.

    H a b a r i z a a w a l izinafahamisha kuwa,katika kufikia uamuzihuo, Serikali ilikutana nawadau wa elimu kutokataasisi za Kikriso pekee

    bil a kuw as hirik ish aW a i s l a m u . H a t aB A K W A T Ainayojulikana kamakipenzi cha Serikalina inayotambuliwa naSerikali kama msemajin a m w a k i l i s h i w aWaislamu, haikualikwakatika kikao hicho chamajadiliano.

    BAKWATA walipewatu taarifa baada yaSerikali kukubalianan a W a k r i s t o , t e n aikaambiwa kuwa taarifahiyo iwe siri (wasiambiweWaislamu?).

    Kama ilivyoelezwak at ik a habar i y etui n a y o o n g o z a ,B A K W A T Aw a m e s h a i a n d i k i aS e r i k a l i k u p i n g auamuzi huo na kusajili

    malalamiko yao kwambainakuwaje Serikali kukaana upande mmoja tu wa

    jamii kupitisha maamuzimakubwa yenye atharikwa watu wote bilay a k uwas hi r ik i s haWaislamu.

    K w a u p a n d emwingine, taarifa zauhakika ni kuwa japosuala la mitihani yakidato cha nne na sitani la muungano, hataSerikali ya Zanzibarh a i k u a r i f i w a w a l a

    Huu ndio Mfumokristokushirikishwa katikakupitisha uamuzi huu.Na mpaka BAKWATAna Islamic EducationPanel wanawasilishamalalamiko yao Wizaraya Elimu na Mafunzoya Ufundi, bado Serikaliya Zanzibar ilikuwahaapewa taarifa rasmi.

    S i s i t u n a j a r i b ukufikiri: Kama Zanzibaringekuwa kama ilivyoRombo au Kibosho,

    kwa maana ya kuwa naidadi kubwa ya Wakristokiasi cha asilimia 90 yaWazanzibari wote, je,

    bado Serik ali ingekaabi la ya kuis hi ri ki sh aZanzibar katika kujadilina kupitisha maamuzimakubwa kama hayoyanayohitaji ridhaa yapande zote mbili zamuungano?

    Hali kama hizi nautendaji kama huu, ndioaliowahi kusema Dkt.

    John Sivalon kwambainakuwa tabu mtu kujua

    kwamba je, hili ni laSerikali au ni la Kanisa.Kwa upande mwingine,u tenda j i k am a huundani ya Serikali, ndiounapelekea Waislamukusema kuwa kunamfumokristo usio rasmikikatiba na kisheriaunaoendesha mambo.Na ndio wanaoupiga vitakwa sababu unawabaguan a k u w a d h u l u m uWaislamu.

    S i s i t u n a s e m akuwa kuwashutumu,kuwakemea na kutishia

    kuwachukulia hatuawanaodai kuwa kuna m f u m o k r i s t o , s i ou f u m b u z i n a w a l ahak uwezi k uondoamalalamiko na madaiy a W a i s l a m u . N akama inadaiwa kuwamadai haya yatavurugaamani, basi kuwakemeahakutaleta amani.

    Amani ya kweli naya kudumu italetwakwa kuyatambua nakuyashughulikia madaiya wanaolalamika.

  • 7/28/2019 ANNUUR 1073.pdf

    3/12

    3AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 31- JUNI 5, 201Habari

    Ni Diamond JumapiliWAISLAMU JijiniD a r e s S a l a a m awanatarajia kufanya

    Kongamano ambalopamoja na mambomengine, watajadilidhamira ya Serikaliya kufuta Masomo yaDini mashuleni.

    M e n g i n eyatakayozungumziwani juu ya propagandainayoendelea nchiniambapo Waislamuw a m e k u w aw a k i b a m b i k i z i w a

    shutuma mbalimbalik w a l e n g o t u l akuwapaka matope.

    K w a m u j i b uwa wa a n d a a j i waK o n g a m a n o h i l o ,Jumuiya na Taasisiza Kiislamu nchini,K o n g a m a n o h i l olitafanyika siku yaJumapili ya Juni 2,2013, katika ukumbiwa Diamond Jubilee,Upanga, Jijini Dar es

    Salaam.Taarifa hiyo ilisema

    kuwa Kongamano hilolinatarajia kuanza majiraya saa tatu asubuhi nakuhitimishwa saa nanemchana, na kuwatakaWaislamu kufika kwawingi.

    Kongamano h i lolinafuatia kikao cha

    pamoja cha Jumuiyana Taasisi za Kiislamu

    nchini wakiwepo BarazaKuu la Waislamu nchini,BAKWATA ambapowal iho j i ha tua yaSerikali kukutana kisirina taasisi za Kikristo nakufikia hatua ya kufutamitihani ya Somo ladini katika mitihani yataifa.

    Katika kikao hichokilichofanyika katikaof is i za TAMPRO

    Na Bakari Mwakangwale mapema Jumatatu wikihii, mjumbe kutokaBakwata alisema kuwawao washaiandikia

    S e r i k a l i k u p i n g auamuzi huo na kuhojini kwa nini jambohilo limefanywa SIRI

    bila ya kuwashirikishaWaislamu.

    K w a u p a n d emwingine, IslamicEducation Panel walitoataarifa wakisema kuwanao washaiandikiaS e r i k a l i k u p i n g a

    jambo hilo na kusemakuwa limefunikwa nautata mwingi na hasailivyokuwa Serikaliilikaa na Wakristo pekeena kuchukua maamuzia m b a y o y a t a k u j akuathiri Waislamu hasaikizingatiwa kuwa kilamwaka Vyuo Vikuuvya MUM, Chukwani,Tunguu na Chuo Kikuucha Taifa Zanzibar,vinachukua wanafunziwaliofaulu somo la

    Islamic Knowledge kwaajili ya kozi za Sheriana Shariah, Isl amic

    Banking/Marketingpamoja na kozi za

    Ualimu na IslamicStudies.

    Taarifa za kiuchunguziz inaonyesha kuwa

    p a m o j a n a k u w asuala la mitihani yakidato cha nne nasita ni la Muungano,l a k i n i W i z a r a y aElimu na Mafunzoya Amali, Zanzibar,h a i k u s h i r i k i s h w akatika suala hili nahadi Waislamu Barawanakutana kujadilisuala hili, bado Serikaliya Mapinduzi Zanzibarilikuwa haijaarifiwa.

    Kwa m u j i b u wataarifa za waandaajiwa kongamano hilo,lengo kubwa ni kuwapataarifa Waislamu nak u w a u n g a n i s h akatika kukabil ianana changamoto kamahizi.

    Pia yatazungumziwamatukio yanayoibukamara kwa mara hapanchini na kuhusishwa

    Waislamu moja kwamoja hata kabla yakufanyiwa uchunguzi,

    j a m b o a m b a l o n i

    Mamlaka kamili ndiyo

    malengo ya mapinduzWAZANZIBARI wanapodaikuwa na mamlaka kamili yanchi na dola ya Zanzibar,wanatetea haki na maslahiya nchi yao, na kwambahakuna sababu ya kubezwawala kupuuzwa.

    Hayo yamesemwa naMakamo wa Kwanza wa Raiswa Zanzibar, Maalim SeifSharif Hamad, katika ukumbiwa Salama hoteli ya Bwawani,wakati akifungua kongamanola pili la kitaifa linalohusuMaridhiano ya Wazanzibari.

    Maalim Seif amesema,dhamira ya msing i yaukombozi wa Zanzibar kupitiaMapinduzi ya Januari 12,1964, ni Zanzibar kuwezakujitawala yenyewe na kuwana mamlaka kamili.

    Ha ta h ivyo akasemakuwa dhamira ya Mapinduziilianza kukiukwa baada yakutiwa saini kwa Muunganowa Tanganyika na Zanzibarambao uliipunguzia Zanzibarmamlaka yake.

    Kwa hiyo akawatakaw a n a k o n g a m a n o h a okuwaongoza wajumbe wamabaraza ya katiba katikakutetea maoni na maslahi yaZanzibar.

    Maalim Seif amefahamisha

    kuwa akiwa ni kiongozi waZanzibar, atasimamia nakutetea mawazo ya Wazanzibariwalio wengi katika kupatahaki zao za msingi ndani nanje ya Zanzibar.

    Na Mwandishi Wetu Akifafanua zaidi kuhusmsimamo wake amesemhiyo haina maana kuwW a z a n z i b a r i h a w a t a kMuungano, bali wanatakkuwepo kwa Tanzanyika nZanzibar zenye mamlakkamili, halafu kuwepo nmuungano wa mkataba, ikila nchi iweze kuendeshmambo yake kwa uhuru.

    Kuwa na mamlaka kamsio kwa maslahi ya watwachache bali kwa watwote, ni kama mvua, yaainaponyesha mimea yoinanawirika, alifafanuMaalim Seif na kuongeza,

    Tuna taka kure je shheshima ya nchi yetu, tuwe n

    sera na Wizara yetu ya Mambya Nje, bendera yetu ipepenchi za kigeni, Umoja wMataifa na Jumuiya nyenginza Kimataifa z ikiwemJumuiya ya Madola, Umojwa Afrika na Jumuiya yAfrika Mashariki.

    Akizungumzia kuhusmafanikio ya maridhianamesema yamerejesha umowa Wazanzibari na kuondoshuhasama na chuki miongokwa wananchi.

    Ameipongeza kamaya maridhiano chini yMwenyekiti wake MzeHassan Nassor Moyo kw

    kazi kubwa wanayoifanyk a t i k a k u y a e n d e l e zmaridhiano hayo na umojwa Wazanzibari.

    Nae Mwenyekiti wa Kamaya Maridhiano ambaye nmwanasiasa mkongwe wZanzibar Mzee Hassan NassMoyo amesema maridhianhayo yaliyoasisiwa na RaMstaafu wa Zanzibar DkAmani Abeid Karume nKa t ibu Mkuu wa CUMaalim Seif Sharif Hamayameondoa fitna na chukzilizodumu kwa muda mremiongoni mwa wananchi.

    Amesema kamati yak

    inaisubiri kwa hamu kubwrasimu ya Katiba mpyitakayotolewa, ili wawezkuichambua kuona kami me z i n g a t i a ma o n i ywananchi na maslahi yZanzibar.

    Akiwasilisha mapendekezya kamati hiyo Mzee Moyamesema kila nchi katikMuungano inapaswa kuwna uraia wake, sera yake ymambo ya nje na Muunganuwe na JINA la Muunganwa Jamhuri za Tanzaniaau United Republics oTanzania.SHEIKH Ilunga Hassan Kapungu akiwa hospitalini nchini India hivi karibuni.

    Inaendelea Uk. 7

  • 7/28/2019 ANNUUR 1073.pdf

    4/12

    4AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 31- JUNI 5, 20MATUKIO/MAKALA

    Inawatangazia Waislamu wote Kuwa Imeandaa Safari ya Hijja Mwaka 2013 Sawa na Mwaka 143Hijriakwa Dola US$ 3550 tu.Umra kwa Mwezi wa Ramadhani itakuwa ni Dola US$ 1995Fomu zinapatikana katika ofisi zifuatazo:-1. Ofisi ya Ahlul Daawa Dar es salaam Mtaa wa Dosi na Mkadini Nyumba Namba 26Mkabala na Showroom ya Magari Tel 0713 730 444, au 0773 804101 au 0785 930444 na0773 930444.2. Ofisi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo Tel 0777 484982 au 0777 413 987.3. Abubakar Maulana wa Markaz Kiwalani Dar es salaam 0784 4538384. Abdallah Salehe Mazrui ( HOKO) Dar es salaam 0715 724 4445. Salim Is-haq Dar es salaam 0754 286010 au 0774 7861016. Dukani kwa Abdala Hafidh Mazrui wete pemba 0777 482 6657. Dukani kwa Mohamed Hafidh Mazrui Mkoani Pemba 0777 4569118. Sheikh Daudi khamis sheha 0777 6796929. Maalim Seif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar 0777 417736

    Wahi kulipia.Ofisi ya Ahlul Daawa Dar es salaam 0713 730 444 au 0773 804101 au 0785 930444.Ofisi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo 0777 484982 au 0777 413 987.Maalim Seif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar 0777 417736Sheikh Salim Mohamed Salim 0774 412974 au Kupitia ACCOUNT NAMBA 048101000030 NBC

    Tanbih:Atakae maliza Taratibu zote kuanzia sasa Mpaka 15 July 2013 atapata Punguzo la asilimia 16%atalipia $ Dola 2982 tu.Atakae maliza Taratibu zote kuanzia Tarehe 16-july Hadi Tarehe 15 Augost 2013 atapata Punguzola Asilimia sita 6% atalipia Dola $3337 tu.Kutakuwa na umra ya utangulizi kabla ya Umra ya Hijja kwa atakae maliza kufanya hivyo.Atakae maliza taratibu zote mwanzo ndie atakae shughulikiwa mwanzo.Ukilipia kwa njia ya Account kwanza piga simu 0774 412975.Kumbuka Kikundi cha Ahlul Daawa Kwa Bei nafuu kuliko wote na Huduma bora Kuliko wengi

    Nyote mnakaribishwa

    Ahlul Daawa Hajj And Travel Agency

    KITUO CHA MAFUNZO NA AJIRA CHA TAMPRO

    Jumuiya ya Wataalamu wa Kiislam Tanzania (TAMPRO) kupitia Kituo chake cha mafunzona Ajira inawatangazia Semina ya Mafunzo ya Ufugaji Kuku wa Kienyeji na Ujasirimalkwa kutumia wataalamu wenye uzoefu wanaoshughulikia masuala hayo kwa muda mrefuSemina itakuwa kama ifuatavyo:-

    Walengwa: Wafugaji, wanaotaka kuanza kufuga, wajasiriamali wadogo wadogo nwatakaopenda .

    Siku: Kuanzia Jumamosi, Jumapili na Ijumatatu terehe 8 -10 June 2013Muda: Saa 3:00 asubuhi - 10:00 jioniMahala: Ofisi Kuu ya TAMPRO Magomeni Usalama, Dar es SalaamMada: Njia za ufugaji wa kuku, Uchaguzi wa kuku kwa ajili ya kufuga, Kuandaa chakul

    bora, magojwa ya kuku na tiba yake, Utunzaji wa vifaranga na mayai nk. Vile vile mafunzya kutafuta soko la bidhaa zinazotokana na kuku, kutunza mahesabu na kumbukumbu zfedha pamoja jinsi ya kukuza mtaji yatatolewa.

    Kujisajili: Shilingi 50,000/= kwa mtu mmoja. (Kwa ajili ya cheti cha ushiriki, Kitabu chmuongozo, na chakula kwa siku zote tatu)

    Muhimu: Washiriki watapatiwa vyeti na kitabu cha muongozo wa ufugaji kukukilichoandikwa kwa lugha ya Kiswahili ili kukidhi haja. Pia watapata fursa ya kutembelena kusoma kwa vitendo (field)

    Kujisajili: Ili kujisajili tuma SMS kwenye namba 0714 151532, 0767151532, 0716574266

    au fika TAMPRO Makao Makuu, Magomeni Usalama, jirani na Halmshauri ya Manispaaya Kinondoni. Wahi kuijiandikisha kwani nafasi ni chache.

    Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia 0714 151532, 0767151532, 0716574266 [email protected]

    MRATIBU MAFUNZOTAMPRO MAKAO MAKUU

    SEMINA YA UFUGAJI BORA WA KUKU WA KIENYEJI

    Masjid Mtambani inawatangazia Waislamuwote kuwa itafanya mhadhara mkubwaInshaalah siku ya Ijumaa (Leo) Tarehe

    31/05/2013.Muda: Baada ya Swala ya Ijumaa.

    Mahala: Masjid MtambaniWahadhiri: Ust. Filambi na Ust. Siraj

    Kutoka Morogoro

    Wabillah Taufiq

    Muhadhara Mtambani

    Kitunda kibeberu Dar es salaam.Uongozi wa Masjid Aswabirina Tunapenda kutoa shukran zetu

    za Dhati kwa Waislamu wote waliofanikisha Msikiti huu kufikiahapa ulipo.Hivyo basi tunatarajia kufanya ufunguzi wa msikiti huo tarehe28 Shaaban ili uanze kutumika Rasmi katika mwezi mtukufuwa Ramadhani.Ili kufanya ufunguzi huo tunaomba msaada wenu wa kujengewachoo, Kisima cha maji pamoja na ununuzi wa Uwanja uliopombele ya Msikiti gharama ya uwanja huo ni Milioni Tisa ( 9) kwaajili ya upanuzi wa ujenzi wa shule ya awali na chuo.Pia Tunaendelea kuwaomba wahisani waendele kutusaidia ilikufanikisha kukamilika kwa ujenzi huu.Tuma Mchango wako Account Na: K.C.B 3300386233 jina laA/c Aswabirina au kwa Tigo Pesa 0714 565619 au Mpesa 0753673820

    Amir Khatibu Yunus

    Masjid Aswabirina

    BAADHI ya Waislamu wakiwa katika sherehe za Maulid yaMtume Muhammad (s.a.w.) yaliyofanyika Msikiti Allah Karim- Kazimzumbwi Kisarawe mwishoni mwa wiki iliyopita.

  • 7/28/2019 ANNUUR 1073.pdf

    5/12

    5AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 31- JUNI 5, 201Habari za Kimataifa/Tangazo

    WAISLAMU MNATANGAZIWA NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI

    CHUO CHA UALIMU KIRINJIKO ISLAMIC

    A. SIFA:Muombaji awe na sifa zifuatazo:(a) Ufaulu wa kidato cha 4 usiopungua alama 27 katika kikao kimoja cha mtihani, asiwe amekaa zaidi ya miaka mitano (5) tangu amalize

    kidato cha nne.

    (b) Awe na credits 4 kiwango cha C endapo amekaa mtihani kwa vikao zaidi ya kimoja.(c) Kuhitimu kidato cha 6 ni sifa ya nyongeza.

    B. MAELEKEZO MUHIMU KWA WAOMBAJI WOTE

    1. Fomu ya maombi iambatanishwe na vyeti (leaving and Academic certificates) vya kidato cha 4 pamoja na picha ya hivi karibuni.2. Tarehe ya usaili na mwisho wa kurudisha fomu imesogezwa mbele hadi tarehe 22/6/2013 saa 2:00 asubuhi kutokana na kufutwa

    kwa matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa awali.3. Vituo vya usaili ni hivi vifuatavyo:(a) Kirinjiko Islamic T.C SAME(b) Ubungo Islamic T.C DSM(c) Nyasaka Islamic S.S. Mwanza4. Kwa wale ambao walisharudisha fomu wanatakiwa wawasilishe result slips za matokeo mapya mapema kwenye ofis

    waliporejesha fomu hizo ili yaunganishwe na fomu zao.4. Fomu zinapatikana kwa gharama ya shilingi elfu kumi. Soma vituo vinavyopatikana fomu katika ukurasa wa 9 wa Tangazo la Shule

    za IPC.:

    ISLAMIC PROPAGATION CENTRENAFASI ZA UALIMU NGAZI YA CHETI 2013/2014

    AU wamesema kweliICC imepoteza dira na uhalali wakeRaia tu wa USA hawezi kusimama ICCICC Ikithubutu Uholanzi inavamiwaChomsky aeleza ugaidi wa Bush, Blair

    Na Mwandishi Maalum

    KAULI ya Umoja wa Afrikakukosa imani na Mahakamaya Kimataifa ya Uhalifu(ICC), inaonekana kuwianana mtizamo wa wasomimbalimbali mashuhuriambao wanaituhumu ICCkupoteza dira na uhalali

    wake.Mmoja wa wasomi haomashuhuri ni Profesa NoamChomsky, r a ia msomi

    bingwa wa Marekani ambayeanamwona Rais Obama kamamuhalifu ambaye inabidiafikishwe ICC.

    K a t i k a k i k a o c h a okilichofanyika jijini AddisAbaba hivi karibuni, viongozihao wameishutumu ICC kamachombo kisicho na uadilifu,chenye ubalakala (doublestandard) kinachoandamazaidi viongozi wa Afrika.

    Akitoa shutuma hizo,Waziri Mkuu wa Ethiopiaambaye ni Mwenyekit impya wa Umoja wa Afrika,Hailemariam Desalegn,anasema kuwa, Mahakamaya Uhalifu ya Kimataifa-International Criminal Court(ICC) ilianzishwa ili kuzuiyawatu kutesa na kuuwawengine bila ya kuchukuliwahatua.

    Hata hivyo akasema kuwahivi sasa mahakama hiyoimepoteza wasifu wake nakuwa kama chombo chakuwasaka Waafrika.

    The intention was toavoid any kind of impunitybut now the process hasdegenerated into some kind

    of race hunting. AlisemaHailemariam Desalegn hukuakihimiza kuwa watafikisha

    malalamiko yao Umoja wMataifa.

    Amesema , toka ICianzishwe, asilimia 99% ywatu waliofikishwa ICC nwatu Weusi utadhani ni watu wanaofanya uhalifu.

    Mtizamo huo na hayyanayosemwa na Desalegndiyo aliyosema Profes

    Noam Chomsky hivi karibukatika mahojiano yaliyopewanuwani Obama Mu

    be Taken Before ICC fothe War on Terror - NoaChomsky.

    Akihojiwa na Shirika Habari la PT hivi karibunProf. Chomsky anasemkuwa katika watu ambawanatakiwa kuwa ICC hisasa, ni George W BushTony Blair na Rais BaracObama.

    Bush, Blair na Obama budi wafikishwe ICC lakihilo haliingii akilini.

    Alisema Chomsky huk

    akionyesha kuwa kutokana nkutokuwa na uadilifu katikICC, inaonekana kama jambla ajabu mtu japo kufikirtu kuwa kuna uwezekanwa Rais wa Marekani kufikmbele ya ICC.

    Ni kama haiwezekanAngalia Mahakama ya Jinya Kimataifa (ICC)- nWaafrika Weusi au wenginambao nchi za Magharibhaziwapendi. Bush na Blawanastahili kuwepo hukHakuna uhalifu mkubwzaidi (duniani) hivi karibukama uvamizi wa IrakObama inabidi afikishwhapo kwa vita dhidi ya ugaidLakini hiyo haiingii akili

    Inaendelea Uk. UHURU Kenyatta, Rais wa Kenya

  • 7/28/2019 ANNUUR 1073.pdf

    6/12

    6AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 31- JUNI 5, 20MAKALA

    WASWAHILi wana msemao,mgeni njoo mwenyeji apone.Hivi sasa zimepamba harakatiza ujio wa Rais wa MarekaniBarack Obama anayetarajiwakuingia nchini Julai 1, 2013akiandamana na jumla yawatu wasiopungua 1,000. Kwamujibu wa taarifa za baadhiya vyombo vya habari wikihii, kuna wasiwasi mkubwakwa m ba hue nda ho t e l izenye hadhi ya kimataifazilizopo jijini Dar es Salaam,hazitatosheleza malazi yawageni. Iwapo taarifa hizokama zilivyoripotiwa katikabaadhi ya magazeti ni kweli,hatujui Serikali yetu itafanyautaratibu gani kuhakikishakuwa nchi haingii aibu kwakushindwa kuwapatia wageniwetu mahali pa kulala.

    Kwa upande mwingine,Serikali kupitia Waziri waMambo ya Nje na Ushirikianowa Kimataifa, MheshimiwaBernad Membe, imesema kuwainaandaa taratibu za mapokezi

    ikiwa ni pamoja na kuchapishasare maalum zitakazovaliwana vikundi vya burudani. Vituvingine ni fulana na kofiamaalum kwa mapokezi hayo.Lakini pia Serikali imetoataarifa ya awali ikionyesha jinsiWatanzania watakavyonufaikana ujio huo. Kubwa linalosemwahivi sasa ni kuwa tumeaminikakwa Wamarekani mpakatumeongezewa donge la fedhaza fuko la Millennium ChallengeCorporation ( MCC), na kwahiyo mengi yanatarajiwa kuletwazikiwemo fursa za kibaishara.

    Pamoja na ukweli na uzuriwa yote hayo, nadhani yapomengine mawili ambayo kamatukijipanga vizuri, tunaweza

    kuyapata kutokana na ujio waRais Obama. Na kwa hakika

    Mgeni njoo mwenyeji aponeTutumie vyema ujio wa Rais Obama

    Na Omar Msangi

    Rais wa Marekani Barack Obama

    mimi naamini haya ndiomuhimu zaidi kwa Taifa letu.

    Moja ni KUHAKIKISHIWA/ N A S I S I W E N Y E W E

    K U J I H A K I K I S H I A ,USALAMA WA NCHI YETU.Nitafafanua.

    Kwa kitambo sasa tumekuwana ushirikiano wa karibu sanana Marekani katika masualaya usalama na ulinzi. Kupitiaushirikiano huo, tumekuwatukipatiwa mafunzo, vifaa nahata kufanya mazoezi ya pamoja.Na ni kupitia ushirikiano huo piana pengine kwa kuamini kuwawenzetu wana utaalamu mkubwazaidi kuliko sisi, na kubwa zaidi,kudhani kwamba wana nia jemana sisi, tumekuwa tukiwaitawatusaidie hata katika matukioya uhalifu ambayo vyombovya ulinzi na usalama vya nchiyoyote, vinaweza kufanya bilakuhitajia msaada wa nje.

    Hivi sasa makachero wa FBI,ambao ni kama sehemu ya polisiwa ndani wa Marekani, waponchini wakitusaidia kuchunguzatukio la kupigwa risasi nakuuliwa Padiri Evarist Mushipamoja na lile la kuli puli wabomu katika Kanisa jijini Arushalililosababisha vifo vya watuwatatu. Hadi sasa hakuna taarifaya awali ambayo ishatolewakuhus i ana na uchunguz iunaoendelea, muhimu ikiwani nani kahusika, katumwa auanashirikiana na akina nani(wa nje au wa ndani) na kwalengo gani. Muhimu ninalotakakusema kutokana na ushirikianohuu ni kuwa kuna kila sababuya kujihakikishia sisi wenyewekuwa kupitia ushirikiano huundio tutakuwa salama zaidi nasio kinyume chake.

    H i s t o r i a n i mwal i mu.Tunafahamu kuwa baada ya vita

    kuu ya pili na katika zama zile vita baridi, nchi za NATO ziliundjeshi na harakati za siri maaruOperation Gladio. Kwa mujibwa kitabu cha mwanahistorwa u-Swiss, Daniele Gansekupitia Operation Gladiokulifanyika ugaidi wa kutishdhidi ya watu wasio na hatwakiwemo wanawake na watona kwamba ugaidi huo ulifanywna magaidi walioandaliwa n

    kupewa mafunzo na NATna halikadhalika kulipwa nNATO. Na zaidi magaidi hawakiwajibika kwa NATO kupitmashirika ya kijasusi ya nchizo, hasa yale ya Marekani nUingereza. Yaliyoandikwa katikkitabu cha Ganser, NATOSecret Armies: OperatioGladio and Terrorism in WesteEurope, yamethibitishwa nvyombo vya sheria vya ItaliSwitzerland pamoja na Ubeligna pia kuzua mjadala katikbunge la Ulaya.

    You had to attack civilianthe people, women, childreinnocent people, unknow

    people far removed from anpolit ica l gameThe reaso

    was quite simple. They wersupposed to force these peopleto turn to the State to ask fo

    greater security.Tafsiri isiyo rasmi: Ilibi

    kushambulia raia, watu wkawaida, wanawake, watoto, wawasio na hatia, wasiojulikanwalio mbali kabisa na mchezwowote wa kisiasa, Sababilikuwa rahisi sana. Walikuwwanatakiwa wawalazimishwatu hawa...... kuielekea Dona kuomba usalama zaidi.

    Hayo ni maelezo ya mmoja wwashiriki wa harakati za kigaiza Gladio (Gladio operativeVincenzo Vinciguerra, wakaalipopandishwa kizimbanchini Italia mwaka 198

    V i n c e n z o V i n c i g u e r r

    (kwamba Rais wa Marekaninaye asakwe kupelekwa ICCkama anavyosakwa OmarHassan El Bashir na UhuruKenyatta!).

    Alisema Chomsky akijibuswali kutoka RT kuwaiwapo anadhani kuwa kunauwezekano wa kuonawahalifu wa vita Weupekutoka mataifa yenye himayakusimama kizimbani jinsiRios Montt alivyosimama?

    Efrain Rios Montt alikuwaRais wa Guatemala ambayeanashutumiwa kwa kufanyamauwaji ya kutisha kwa watuwake ambapo inakisiwa kuwaalikaribia kuhilikisha kabisakabila la watu wa ki-Maya.

    Chomsky anasema kuwahaki haiwezi kutendeka kamaMarekani nayo haitasimamakizimbani kwani ilihusikasana katika mauwaji hayowakati ikiendesha siasa zakibeberu Guatemala na LatinAmerika kwa ujumla.

    Marekani ilihusika na

    AU wamesema kwelin.k.) Mizozo mikali ilianza,ikaenea kote katika ukandahuo. Ni kweli kuwa ukandahuo unachanwachanwa namzozo huu. Hii ni sehemu yauovu uliofuata.

    Alisema Prof. Chomskyakionyesha jinsi uvamizi waMarekani katika nchi ya Iraqulivyoleta balaa kubwa.

    Akasema kuwa sio tukwamba inakuwa vigumukumfikisha Mahakamani Raiswa Marekani au Waziri Mkuuwa Uingereza, lakini ICChaiwezi kumgusa raia tu wakawaida wa Marekani.

    Akifafanua akasema kuwakuna sheria ya Marekania mb a y o b a r a n i U l a y ainaitwa Sheria ya kuvamiaUholanzi.

    Hiyo ni Sheria ya Bungela Marekani iliyosainiwa naRais, ambayo inamruhusuR a i s k u t u m i a n g u v u

    kumwokoa raia wa Marekaaliyepelekwa The Hagu(ICC) kujibu mashitaka.

    Akizungumzia kwa upandwa Rais Obama anasemkuwa, huyu ni Rais ambayanatumia mbinu ya kuuwkama namna ya kuboreshsera za Rais aliyemtangulGeorge W Bush ya kukamana kutesa.

    Mbinu za Bush zilikuwk u w a k a m a t a w a t u nkuwatesa, Obama ameboresh

    - anawaua tu na yeyomwingine a takayekuwkaribu.

    A l i s e m a C h o m s kakinukuu makala katikgazeti la Wall Street Journakisisitiza kuwa anachofanyRais Obama katika mauwaya droni ni ugaidi wkutisha kwa sababu anauwwatuhumiwa na walio jirana mtuhumiwa.

    Shambulio la dronn i s i l a h a y a k i g a i d

    Inaendelea Uk. 1

    Inaendelea Uk.1

    Inatoka Uk. 5

    jambo hilo katika hatua zakezote, Mwishowe kulikuwa na

    makala asubuhi hii ikisemakuna kitu kinakosekana katika

    mashitaka hayo, nafasi yaMarekani. Nilifurahi kuonamakala hiyo.

    Akijenga hoja yake kuhusuuhalifu wa Bush na Blair,

    Prof. Chomsky anasemakuwa hakuna uhalifu mbayaunaozidi ule wa kuvamia nchi

    ya watu, kufanya mauwaji

    ya raia wasio na hatia nakuharibu miji na vijiji.

    Akasema kuwa kunakanuni zinazorudi nyumamiaka 800 wakati wa MagnaCarta inayosema kuwa watuhawawezi kuuawa na dola

    bila kuhukumiwa na rai awenzao.

    Akasema , v is ing iz iovyovyote vitakavyotolewa

    juu ya uvamizi wa Marekani,

    haviwezi kutengua kanuni hiiambayo ina umri wa miaka800.

    Nilizungumzia MagnaCarta, ambayo ina umri wamiaka 800, lakini kuna kitu

    kingine ambacho kina umri wamiaka 70 takriban. Kinaitwa

    jopo la Nuremberg, ambayo

    ni sehemu ya msingi washeria ya sasa ya kimataifa.

    Inaelezea uvamizi kama jinai

    kubwa zaidi, inayotofautianana makosa mengine yakivita, na inajumuisha uovumwingine unaofuata.

    Uvamizi wa Marekanina Uinge reza i l ikuwani mfano bora zaidi wauvamizi (wa nchi huru), hilohalina maswali. Ambayoina maana kuwa walikuwawawajibika kwa maovu yoteyaliyofuata kama mabomu(ya kujitoa mhanga, kutegwa,

  • 7/28/2019 ANNUUR 1073.pdf

    7/12

    7AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 31- JUNI 5, 201Makala

    Ni Diamond JumapiliInatoka Uk. 3

    hatari. Ilisema taarifahiyo.

    Aidha, imefafanuat a a r i f a h i y okwamba, Waislamuwatatanabahishawa

    hatari ya mwenendoh u o n a b a a d aya mkutano huoutakao hutubiwa naMasheikh mbalimbalikutoka Tanzania Barana Visiwani Zanzibar,yatatolewa maazimioya pamoja.

    K o n g a m a n ohilo litahudhuriwana wajumbe kutoka

    mikoani, na baadaya hapo yatatolewamaazimio ya pamojak a m a W a i s l a m uK i t a i f a , k w alengo la kuchukuatahadhari baada ya

    ku tahadha r i shwana Masheikh wao.

    Ilisema taarifa hiyo.

    Mmoja wa viongoziwa Jumuiya na Taasisiza Kiislamu (T),alipohojiwa uwepowa Kongamano hilona maudhui yakealithibisha hilo nakudai maandaliz iyanaendelea huku

    akisistiza Waislamuk u h u d h u r i a k w awingi.

    Alisema, miongonimwa mambo ambayoya tapewa na fa s ikubwa kujadiliwakatika Kongamano

    hilo la Waislamuni kuhusu Serikalik u a m u a k u f u t amitihani ya somo ladini jambo ambalolimestua Waislamuwengi nchini.

    A id h a a l i s e m akwamba Waislamuwatajadili upepo wamatukio makubwayaliyotokea nchini

    na kuhusishwa kwanamna moja amanyinge na Waislamunchini.

    Kiongoz i huyoalisema, wamekuwaw a k ip o k e a s im unyingi kutoka kwa

    Waislamu ndani nanje ya Jiji, wakitakakujua kwa kina hatuaza Serikali kufutamitihani ya kitaifa yasomo hilo.

    Tokea taarifa zakufutwa mtihani wakitaifa wa somo laMaarifa ya Uislamuunaosimamiwa naSerikali kuwafikiaW a i s l a m u ,

    wamekuwa wakipigsimu kutaka kujumustabali wa somhilo, hivyo tumeonni vyema tufanyKongamano kujadas u a l a h i l i k wpamo ja. Alisem

    Kiongozi huyo.Habari zilizotufiki

    w a k a t i t u k i e n dm i t a m b o nzilifahamisha pikuwa fursa hiyi t a t u m ik a k u totaarifa fupi juu yhali ya Sheikh IlungHassan Kapungna maendeleo ymatibabu yake.

    SHEIKH Ilunga Hassan Kapungu akiwa hospitalini nchini India. Kushoto ni mkewe.

  • 7/28/2019 ANNUUR 1073.pdf

    8/12

    8AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 31- JUNI 5, 20Makala

    Na Khalid S Mtwangi

    THERE is little doubtthat tension betweenChristians and Muslimshas lately taken a turn forthe worse as never beforein the history of thiscountry. It is amazing anda credit to the people thatstreets and householdsin cosmopolitan melting

    pots such as Dar es Salaamlook serene. Before nowit would NOT have beencorrect to suggest thatthis unfortunate situationas well applied to relationbetween religions. DrMagoti Evarist hasalluded to such a state ofaffairs in his missive in theCITIZEN ON SUNDAYof May 5, 20. But as wasmanifestly demonstratedduring the MwembeChaifracas here Muslimsvented their anger atthe Government leavingthe string of churchesand other Christianestablishments in thevicinity, and there are quitea number, untouched.During this catastrophicmanifestation of nakedpower in their possessions o m e G o v e r n m e n tofficials simply decidedto stamp their power andauthority on Muslims toteach them a lesson theywould never forget.

    The sad fact about thismatter is that Christian

    brethren, including thoseone would have givencredit with having a

    broader outlook on theaffairs of the world, havedecided to live in a cocoonin so far Muslim affairsare concerned. There isevery reason to arrest thisobviously perilous situationthat could be pregnant witha manifestation that could

    be predictably detrimentalto peace and harmony ofthe people of this country.However there must be a

    RELIGIOUS TENSION: THE CHURCH IS IN A TRAPvariation of suggestionsthat have been put forward

    by Dr Magoti Evarist. Mysuggestion, or indeed,recommendation would

    be to appeal to the Churchhierarchy to preach to theirflock fair play in everydaylife.

    It amazes many Muslimsthat Christians, especiallyamong the intelligentsiaand the academia, arewholly oblivious, indeedimmune, to the manycomplaints that are aired

    by Muslims about what hasbeen termed as dhulma thathappens to be the Muslimslot. It would appear that tothem that is simply a lot ofhot air? Take a load of this.

    A team of officials fromthe Ministry of Education

    pr oc ee ds to Mo ro goroto hide themselves tocomplete an urgent peace ofassignment. Eid el Udh-hahappens to fall when theseofficials are ensconced outthere building the nation.The man in charge simplydoes not recognise Eid elUdh-ha so he insists theofficers keep on workingand need not attend prayerson that very importantHoly Day to remember

    Nabii Ibrahim SA who is

    accepted by all as the Fatherof all Monotheism thatostensibly would includewhat is known today asChristianity. But comeSunday the whole team wasgiven the day off to attend

    prayers. Needles to pointout that the man in charge

    professed Christianity!!!Again at Morogoro.

    The Municipal EducationOfficer writes officiallyto all primary schoolhead teachers to submitto him a list each of allRoman Catholic pupils intheir schools. What for?Complaints were directedat the Ministry by Muslimorganizations, but as a ruleand Muslims are used toit , the bureaucracy in theGovernment would notrespond; they never do.A teacher in one Tangagoes into a tirade againstRasu-ul-Llah MuhammadSAW and Islam generally.To their credit Muslims donot breath fire regardingwhat is really kashfa with

    a capital K but simplycomplain b i t ter ly toofficials who matter. Nodisciplinary action wasinitiated against this anti-

    Muslim blasphemer. DrMagoti is aware of thetrenchant condemnationthat is aired by everyone,clergy politician et al when,say, a Muslim declares thataccording to the teachingsof his religion Jesus wassimply a Rasul of Allah andhe is recognised as such

    by Muslims. That surelycannot be kashfa. But sinceMFUMOKRISTO says sothen it is.

    In my opin ion , DrMagoti, everyone will winif two aspects of the matter

    are recognized, acceptedand worked on. First thebureaucr acy is to weanthemselves of the teachings

    by the church that Islamis an enemy. Consideringwhat is heard the Christianclergy preach there isinherent animosity withinsome of the sermons. Inthis context it must also

    be accepted that Churches

    have for a long t imechurned out literature thatis blasphemous to Muslims.Dr Evarist may wish tolook for the book with title

    WANA WA IBRAHIM thatis purveyed around by theCatholic Church. In leafletsdistributed by the LutheranChurch Rasul-ul-LlahMuhammad SAW is calleda false prophet and they goout to misquote the Quranand Hadith to justify the

    blasphemy. There is a lotmore than this. Muslimsnever did seek help norhide behind Governmentapron strings.

    Second it behoves uponthe Church hierarchy to betruthful as far as Islam is

    concerned. There is a greatamount of anathema and petaversion towards anythingIslam and Muslim amongthe clergy. Remember whenthe killing at MwembeChaiwas virtually given thethumbs up by among thehighest in the CatholicChurch; similarly they

    blamed the victims in thePemba killings in 2001.

    Here you have a gooexample of representativof Christianity who simphave no time for Islamand Muslims. What abou

    the attitude of Muslims ithis country towards theChristian cousins? Firs

    being a tiny minority ithe establishment Muslimhave no opportunity to fletheir weak muscles. Thosthat are waungwana woulnot want to be lumped witthe uneducated kanzu clalot, and they know whicside of their thick slice o

    boflo is smeared with athe goodies. Muslims dnot seek any privilege

    posi tion; but they seeonly haki.

    Finally, Dr Magoti Evarineeds to be congratulatefor the courage he hashown in his missive. is rare for some one of hstature to accept thouggrudgingly that there arfaults elsewhere as well annot just among MuslimA r c h b i s h o p E l i e z aSendoro is one Christiaclergy who has taken pain

    NAFASI ZA KAZIInawatangazia nafasi ya kazi upande wa wauzaji (Salesman)

    Sifa za muombaji

    Awe kijana wa kitanzania

    Awe na umri kati ya miaka 25-45

    Awe tayari kuweka dhamana ya mali isiyohamishika

    Awe na wadhamini watatu ( 3) wenye ajira zinazotambulika kiserikali

    Awe na elimu siyochini ya kidato cha nne

    Awe na uzoefu wa kazi usiopungua miaka mitatu katika fani hiyo.

    MAWASILIANO Zaidi:

    Piga Simu: 0789 272 737

    Maombi yote yatumwe katika mtandano.

    Email: [email protected]

    Au kwa Barua S.L.P 4804- DSM

    MAOMBI YAAMBATANISHWE NA PASSPORT SIZE.

    FAIR LAND DISTRIBUTION

  • 7/28/2019 ANNUUR 1073.pdf

    9/12

    9AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 31- JUNI 5, 201

    Makala

    1. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora yaKiislamu kwa gharama nafuu. Shule hizi ni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana na zinapokeawanafunzi wa bweni tu.

    2. Masomo yanayofundishwa ni Islamic knowledge, Combinations za SAYANSI, ARTS, BIASHARA pamojana COMPYUTA.

    3. Muombaji awe na Crediti 3 au zaidi na angalau D ya Elimu ya Dini ya Kiislamu katika matokeo ya kidatocha nne. Ikiwa ana F au hakufanya Elimu ya Dini ya Kiislamu, basi awe tayari kusoma programu maalum yaMaarifa ya Uislamu atakapokuwa kidato cha tano.

    4. Kwa wale ambao walisharudisha fomu wanatakiwa wawasilishe result slips za matokeo mapya mapemakwenye ofisi waliporejesha fomu hizo ili yaunganishwe na fomu zao.

    5. Waombaji wapya wenye sifa wanashauriwa kuendelea kuchukua fomu.Tarehe ya mwisho ya kurejeshafomu itatangazwa baadaye.

    6. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.

    ISLAMIC PROPAGATION CENTRENAFASI ZA KIDATO CHA TANO 2013/2014

    Arusha - Ofisi ya Islamic Education Panel Jambo Plastic Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu

    Bondeni - 0763 282 371/ 0784 406 610

    Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha 0654 723 418

    - Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075

    Tanga - Uongofu Bookshop: - 0784 982525/

    - Mandia Shop - Lushoto: 0782257533

    Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School 0717 417685/0786 417685

    - Ofisi ya Islamic Education Panel - Mwanza - Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770

    Musoma - Duka la Kansolele -Stendi ya zamani sokoni - 0714587193

    Kagera - Bukoba: Alhuda Caf Kwa mzee Kinobe karibu na ofisi za TRA. - 0688 479 667

    Shinyanga - Msiikiti wa Majengo-0718866869

    - Kahama ofisi ya AN NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi: 0753 993930

    Dar es Salaam- Ubungo Islamic High School 0754 260 241/0712033556

    - Ofisi ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin 0655144474

    Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale :0715704380

    Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0712 325086

    Singida - Ofisis ya Islamic Ed. Panel karibu Nuru snack Hotel 0714285465

    Manyara - Babati: Shule ya Msingi Hangoni: 0784 667575 Kigoma - Msikiti wa mwanga Kigoma: 0753 355224

    - Kibondo Islamic Nursery School: 0784 442860

    - Kasulu: Murubona Isl.SS. 0714710802

    Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663

    Mtwara - Amana Islamic S.S 0786 729 973

    Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU 0715 681701/0716791113

    - Mkuzo Islamic High School. 0716 791113

    Mbeya - Duka la vifaa vya Kiislamu nje ya Msikiti wa Uyole 0713 200209

    - Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209

    Rukwa - Sumbawanga: Masjid TAQWA 0717082 073

    Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566

    Iringa - Madrastun Najah: 0714 522 122

    Pemba - Wete: Wete Islamic Education Center: 0777 432331

    Unguja - Madrasatul Fallah: 0777125074-

    Mafia - Ofisi ya ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu 0653705627

    6. Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa kuzilip

    wakati wa kuzirejesha.

    USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!

    Wabillah Tawfiiq

    MKURUGENZI

  • 7/28/2019 ANNUUR 1073.pdf

    10/12

    10AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 31- JUNI 5, 20Makala

    Mgeni njoo mwenyeji aponeInatoka Uk. 6

    alishitakiwa kwa mauwaji yapo lis i wata tu wal iolip uli wakwa bomu lililokuwa limetegwakatika gari mwaka 1972. Nikatika kesi hiyo ambapo siri yakuwepo harakati za kigaidi zaGladio zilifichuka. (TanzamaCIA Organized Secret Army inWestern Europe-Washington

    Post, Novemba 14, 1990).Ufupi wa maneno Vincenzo

    Vinciguerra anasema kuwa watuwasio na hatia, raia, wanawakena watoto, walishambuliwa nakuuliwa (kufanyiwa ugaidi), ilikusimika kitisho na kuwafanyaraia kutaka ulinzi zaidi kutokakwa Serikali. Hapana shakawakati huo wa siasa za vitabaridi, waliosingiziwa kufanyaugaidi huo ni Wakomunisti,vyama vya siasa na makundikatika jamii yenye mrengo wakikomunisti.

    Kwa mujibu wa taarifazilizofichuliwa na aliyewahikuwa kachero wa FBI SibelEdmonds, kinachoitwa vitadhidi ya ugaidi hivi sasa nawanaoitwa magaidi hivi leo, niwatu walioandaliwa, wakapewa

    mafunzo, fedha na kuwezeshwana mataifa hayo hayo yaNATO katika operesheni mpyainayojulikana kama Gladio B.

    Chini ya operesheni hiyoinaelezwa kuwa, mwaka 1997NAT O wa li mw om ba Ra isHosni Mubarak awaachie huruWaislamu waliotuhumiwakumuuwa Anwar Sadat naambao wana uhusiano na Aymanal-Zawahiri (Al Qaida) nawafungwa hawa wakasafirishwakwa ndege hadi Uturuki chini yauangalizi wa Marekani ambapowaliunganishwa na wanaodaiwakuwa ni magaidi hivi sasa.Zaidi Edmonds anasema kuwaakiwa mkalimani wa FBI(Kiarabu na Kifursi) alishuhudia

    al-Zawahiri na Mujahideenawengine wanaoitwa hivi leomagaidi, wakikutana na maofisawaandamizi wa Serikali yaMarekani katika Ubalozi waMarekani, Baku katika nchi yaAzerbaijan.

    Wakati uhalisia wa uwepo waGladio barani Ulaya ni suala lanyaraka za historia. Edmondsamesema kuwa mkakati huo huo

    ulichukuliwa na makao makuuya jeshi la Marekani (Pentagon)katika miaka ya 1990 katikamedani mpya ya mapambano,yaani barani Asia; na kwambabadala ya kutumia mashabikihatari wa utawala wa kifashistiwa Ujerumani (wakati wa VitaVikuu vya Pili) waliwatumiamujahideen wakifanya kazichini ya bin Laden kadhaa, naAl-Zawahiri.

    Inaelezwa kuwa mkutano

    w a m w i s h o w a G l a d i ounaofahamika katika vyombovya habari ulifanyika katikaKamati ya Pamoja ya Siri (AlliedClandestine Committee) jijiniBrussels (makao makuu yaNAT0) mwaka 1990. WakatiItalia ilikuwa ndiyo imelengwazaidi katika operesheni zakebarani Ulaya kongwe, Edmondsanasema kuwa Uturuki na

    Azerbaijan zi l ikuwa njiaza kuwezesha opereshenimpya na tofauti katika Asia,wakitumia watu walioshirikikatika kampeni dhidi ya Urusinchini Afghanistan, wanaoitwaWaafghani wa Kiarabu ambaowalikuwa wamefundishwa naAl Qaeda.

    Kinachosisitizwa hapa nikuwa kama ilivyofanyika katikaile Operation Gladio, katikainayoitwa vita ya ugaidi hivileo, ipo pia Operation Gladio

    B ambapo lengo ni kuzivuruganchi lengwa zijione hazinaamani wala kuwa salama bila yakupata msaada wa kikachero nakijeshi kutoka nchi za kibeberu.Kupitia Operation Gladio B,nchi za kibeberu hupata fursaya kutawanya makucha yakeya kijeshi na kuzikamata nchiinazozitaka na hivyo kupatafursa nzuri ya kutamalaki

    kuchuma na kuzuiya washindaniwengine miongoni mwa mataifamakubwa kuingia katika nchihizo. Lakini jingine ni kuwanchi ikiwa na fujo, haiwezikuwa imara na kupata muda wakutafakari kuweka sera nzuri

    na msimamo imara wa kulindarasilimali zake. Kongo, DRC, nimfano tosha.

    Sasa pengine kwa ujio huuadhimu kwetu, ingekuwa vyemakama katika mazungumzo yetuna mgeni wetu Rais BarackObama, tutaingiza na agendahii. Kwamba katika ushirikianowetu huu, ukiwemo huu wakuwepo kwa FBI kutusaidiakuchunguza bomu la Arusha, je,haitatuingiza katika harakati zaOperation Gladio B?

    Vi ncenzo V i nc i gue r r aanasema kuwa kitendawilicha Peteano bombing naBologna massacre ambapowaliuliwa watu 85, kinateguliwakwa kufichuka harakati za

    Operation Gladio. Sasa itakuwani vyema na sisi kujihakikishiakuwa hatuwi na akina ValerioFioravanti na Francesca Mambromiongoni mwetu wa kutuleteamaafa kama lile la KanisaniArusha.

    Katika kikao cha mashirikaya mafuta katika nchi zaAfrika Mashariki (East AfricaPetrolium Conferenece) mwaka2008 kilichofanyika katikaHoteli ya Ngurudoto, Arusha,na kufunguliwa na Rais JakayaMrisho Kikwete, alikuwepomjumbe mualikwa kutokaAngola akiwakilisha Shirika laPetroli la Chevron.

    Katika hotuba yake mjumbehuyo akitumia vielelezo vyapicha, alieleza jins i kampuniya Chevron kutoka Marekaniinavyotoa misaada, hudumana asante kwa wananchi waAngola, hasa wanaozungukamigodi. Alisema, msaada waokwa wananchi ni Dola milionimoja kwa mwaka ikijumuishaujenzi wa visima vya maji namadarasa ya shule za msingi.

    Alipomaliza tu, mikonkadhaa ilikuwa juu na alipopafursa mjumbe kutoka KenyUganda alimshambulia mAngola huyo kwa kutetekampuni ya kibeberu kwa zawakiduchu inayotoa kwa Angowakati inavuna mabilioni ya dokila mwaka. Akakumbushwji ns i ma ka mp un i ha yo ymabeberu yalivyosababishmaafa makubwa katika vita yAngola kupigania kupora madina mafuta. Huku wanampSavimbi silaha kuuwa wananchhuku makampuni yao yanapomal i . Akaambi wa kuwkilichokuwa kimetarajiwa yeye kusema kuna mkakati gakwa Chevron kulipa fidia kwwananchi wa Angola na namngani watakomesha unyonyaunaoendelea, sio kuzungumzzawadi kiduchu ya dola miliomoja kwa mwaka wakati kwmuda huo huo wanakombmafuta ya mabilioni ya dola.

    Imepigwa sana ngoma mpakBungeni kwamba, tumekuwwatu wa kuaminika kw

    Marekani mpaka tumeongezewfungu nono katika mfukwa Millennium ChallengCorporation (MCC).

    Sasa maadhali anakumfadhili na muhisani wetpengine tungetumia kipindi hicha maandalizi kupiga hesabni kiasi gani makampuni yMarekani yanavuna kupitmakampuni yao ya madi(mafuta/gesi/uranium kamyapo au kama yanakuja) na hawSymbion, halafu tulinganishe nzawadi wanayotupa.

    Tukiweza kufanya hivytutakuwa na nafasi nzuri katikmazungumzo yetu na mgewetu ili tu kuhakikisha kuw

    tunanufaika na rasi l imazetu badala ya kuwanufaishwengine.

    H o j a h a p a n i k u wtusijemkabidhi mtu mwingink u k a m a n g o m b e w etuliyemlea na kumnenepeshanakama maziwa lita 25 kwsiku, anatugawia robo lita kwmwezi, halafu tunampigmagoti kwa shukrani.

    AU wamesema kweliInatoka Uk. 6

    hatulizungumzii hivyo. Nikwamba, fikiria, unatembeamtaani na hujui kuwa dakikatano zijazo kutakuwa namlipuko mtaa wa pili kutoka

    angani, ambako huwezi kuona.Kuna mtu fulani atauawa,na yeyote atakayekuwakaribu atauawa, na huendaukajeruhiwa kama uko hapo.Hii ni silaha ya kuwatishawatu. Inavitisha vijiji, mikoa,maeneo makubwa. Kusemakweli ndiyo kampeni kubwazaidi ya vitisho vya kigaidiiliyowahi kuwepo, tena kwambali.

    Pamoja na uhalifu wotehuo anasema Prof. NoamChomsky kuwa si jambo lakufikirika kuwa itafika siku

    Rais wa Marekani asimamekatika ICC.

    W a k a t i h u o h u omwandishi mashuhuri JohnPilger naye amezungumziasuala hilo akisema maafayanayotokea Iraq hivi sasani msiba unaowakumbushawalimwengu kuwa wahalifuambao hawajaf ikishwamahakamani.

    Katika makala yake FromIraq, a tragic reminder to

    prosecute the war criminals,John Pilger ametaja mambomawili ukiacha mauwajiyaliyofanyika wakati wauvamizi.

    Anasema, kutokana natafiti mbalimbali, hivi sasa

    kuna ongezeko kubwa sanala ugonjwa wa saratani nawatoto wanaozaliwa wakiwana ulemavu na maumbileyasiyo ya kawaida (congenitalmalformations).

    Na kwamba ongezeko lamatatizo hayo ya kutishani kutokana na uraniuailiyokuwepo katika mabomu(depleted uranium shells -UD) yaliyolipuliwa Iraq.

    A n a s e m a , t a a r i f azinaonyesha kuwa kablaya uvamizi wa Marekani,kulikuwa na wastani wawatu wawili mpaka watatu

    wa ugonjwa, lakini sasakunatokea wagonjwa 35 kila

    mwezi.Tafiti zaidi zinasemakuwa kiasi miaka mitanoijayo, wagonjwa wa sarataniwatakuwa kati ya asilimia40 mnpaka 48 ya wagonjwawote na kwamba hata mimeaimeathirika na matumizi ya

    mabumu hayo yenye uraniumkiasi cha kutokulika.

    John Pilger anasema msibaunaowakumba wananchi waIraq hauna tofauti na ule waHiroshima na Nagasaki.

    Kwa upande mwinginePilger anasema kuwa uvamiziwa Bush na Blair huko Iraq

    umeacha msiba wa mauwaya wenyewe kwa wenyewambapo kila uchao kuna mtwatu wanauliwa au kutiwvilema.

    Akimnukuu Von Sponecanasema kuwa taarifa y

    Serikali ya Iraq inaonyeshkuwa kiasi watoto milio4. 5 wamekuwa yatima kw

    baba na mama kutokana nvita.

    Hiyo ni sawa na kusemkuwa asilimia 14 ya watowa Iraq ni yatima hukmamilioni wakiwa hawanmakazi.

    Anamalizia Pilger akisemkuwa uhalifu na uovu huwaliofanyiwa watu wa Iraunaita ukisema kuwa kunmhalifu kajificha mahaanatakiwa kukamatwa nkufikishwa mahakamani.

    KACHERO wa zamani wa FBI Sibel Edmonds.

  • 7/28/2019 ANNUUR 1073.pdf

    11/12

  • 7/28/2019 ANNUUR 1073.pdf

    12/12

    12 MAKALA

    AN-NUUR12 RAJAB 1434, IJUMAA MEI 31, JUNI 5, 2013

    Safari ya Hijja Dola 4450

    tu. 1434/2013Taasisi ya Khidmat Islamiya inawatanganzia Waislamu

    wote Safari ya Hijja kwa Gharama ya Dola 4450 tuunaweza kulipa kwa awamu

    (Kuhijiwa) ni Dola 1450 tu.Kuondoka ni 5/10/2013 kurudi 27/10/ 2013

    Piga Simu 0784 786680, 0713 986 671, 0774 786 680E-Mail) [email protected] , Tovuti

    (Website) www.khidmatislamiya.com

    S E RI K AL I i m e ta k i wakuwa macho na propagandaza udini zinazoelekezwadhidi ya jamii ya Waislamunchini kwani inaashirimwisho mbaya.

    Tahadhari hiyo imetolewana Shura ya Maimam wa AhluSunna Waljamaa ya Jijini

    Arusha, katika Kongamanolililofanyika, Mei 26, 2013,katika Msikiti wa Ijumaa,Bondeni, jijini humo.

    A k i s o m a t a m k o l aWaislamu katika Kongamanohilo, kufuatia mlipukowa bomu uliotokea hivikaribuni katika KanisaKatoliki la Mtakatifu JosefuMfanyakazi, Parokia yaOlasiti, Ustadhi MustafaKiago, alisema Waislamuwanaitaka Serikali kujifunzakwa ya l iyo j i r i nch in iRwanda, kisha itekelezawajibu wake inavyostahiliili kuondoa mmomonyoko

    wa amani nchini.Kwa upande wetu tunaonahuu ni wakati muafaka kwaSerikali na jamii mbali mbalikutafuta suluhisho la kudumula matatizo yaliyojitokeza ilikudumisha amani na utulivu,

    badala ya kuacha propagandahii ya chuki dhidi ya jamii yaWaislamu itawale, AlisemaUstadh Kiago.

    A l i s e ma , h i v i s a s aimekuwa ni jambo jepesik u w a n y o o s h e a v i d o l eWaislamu pasi na kuwa naushahidi, hata pale matukioya mashambulizi au yamauaji ambayo yana hitajiuchunguzi wa vyombo vyausalama na Jeshi la Polisi.

    Ustadh Kiago alisemamfano hai ni matamshi yaAskofu Laizer wa KanisaKuu la Kilutheri (KKKT)-Arusha, aliyoyatoa katikavyombo mbalimbali vyahabari mwaka jana May2012.

    Alisema, Askofu huyoalizusha kuwa anazo habariza kutosha na za uhakikakuwa kuna vijana zaidi ya300 wa Kiislamu katikaeneo la Unga Limited katikaMsikiti mmoja wakifanyamazoezi ya Kareti tayari

    Hatari ya kuchafuka amani nchini:Serikali yatwishwa lawamaNa Bakari Mwakangwale kujiandaa kufanya uhalifu

    katika Makanisa.Ustadh Kiago alisema

    siyo tu kwamba Askofuhuyo aliwasingizia Waislamu

    jambo la uongo, bali tayarialipandikiza chuki kwaWakr is to wawachukieWaislamu na kuwaona nimaadui zao.

    Shura hii ya Maimamuililaani vikali shutuma hizo,lakini Serikali iliukaliakimya uzushi huo, walahaikumtaka Askofu huyoathibitishe au kukanusha,hili ni moja kati ya mamboambayo ni viashiria vya wazi

    vya kuandaa mazingira yakuhatarisha amani katikanchi yetu baina ya makundimawili ya kidini. AlisemaKiago.

    Kiago a l i sema i f ikemahali sasa kwa baadhi yaviongozi wa siasa na wale waMadhehebu mengine ya diniwawe na uadilifu, pindi tukiola jinai linapotokea iachwe

    sheria ichukue mkondowake.Tunavishauri vyombo

    vya dola kufanya shughulizake kwa umakini katikakuyafuatilia kwa ukaribumatukio hayo na kutoipa

    nafasi propaganda iwe ndiomwongozo wao ili isiweni chanzo cha Taifa letukutumbukia katika vuruguza kidini. Alisema UstadhKiago.

    Kiago a l i taadharishakwamba mauaji makubwayaliyotokea nchini Rwanda,yalianza katika sura kamahiyo ambapo jamii mojai l i k u w a i k i s i n g i z i w amaovu.

    Alisema, wakati jamiihiyo ikilalamika kuhusiana

    na propaganda hizo, vyombovya dola na wanasiasa wakewalipuuza na kuegemeaupande mmoja wa jamiiya Wanyarwanda bila yakufanya juhudi za kufuatiliauhakika wa Propaganda

    na dhuluma zilizokuwzikilalamikiwa.

    Aliitanabahisha Serikaviongozi wa Madhebu yo

    pamoja na wanasiasa njamii kwa ujumla kwambKimsingi katika nchi hhakuna mgogoro kati yWaislamu na Wakristo.

    Alisema makundi haymawili huko mitaani yanais

    pamoja kwa kus hir ikiankatika mambo mbalimbaya kijamii.

    Hivyo alisema, Serikaitambue kuwa kuna wat

    wachache ambao wanatakkulitumbukiza Taifa katikmachafuko, na kwambikiwa makini (Serikali) inuwezo wa kuzima vuguvughili linaloashiria hali mbaynchini.

    SERIKALI na Chamat a w a l a C h a C C M ,vimetajwa kuwa ndiyochanzo cha vurugu MkoaniMtwara , kwa kuichanyuma kimaendeleo mikoaya Kusini.

    Madai hayo yametolewana Ustadhi Salum Machano,akiwahutubia WaislamuIjumaa ya wiki iliyopitaMasjidi Haqa, BuguruniJijini Dar es salaam.

    Ust. Machano, alikuwaakizungumzia vuruguzilizoibuka mapema wikiiliyopita Mkoani Mtwara,wananchi wakigomeam p a n g o w a S e r i k a l ikuisafirisha Gesi kwendaJijini Dar es Salaam, kutokaMkoani humo.

    Akitoa taarifa Bungeni,

    kufuatia ghasia zilizoibukaMkoani Mtwara , wikiiliyopita Waziri wa Mamboya ndani, Dk. Emmanuel

    Nchimbi, alisema, Serikaliitahakikisha inawasakavinara wa vurugu hizo ndanina nje ya nchi na kuhakikishainawatia mbaroni.

    Ust. Machano, alisemaSerikali isitafute mchawikufuatia kuibuka kwavurugu zinatokana na sakatala gesi bali wachawi ni waowenyewe.

    A k i f a f a n u a , U s t .Machano, alisema sababu

    Mchawi ghasia Mtwara ni Serikali yenyewe, CCMNa Bakari Mwakangwale zinazopelekea vurugu hizo ni

    kutokana na Serikali kuichanyuma kimaendeleo Mikoaya Kusini kwa muda mrefu nayanayoibuka sasa ni kikomocha uvumilivu wao.

    Machano alikumbushiakauli ya Rais Kikwete,alipoongea na Wabungemwanzoni mwa utawalawake, aliyethitishia Bungekwamba kuna mikoa ambayoipo nyuma kimaendeleo.

    Kwa mujibu wa Ust.Machano, alidai miongonimwa Mikoa a l iyoita jaRais Kikwete, ni Kigoma,Tabora, Tanga, Lindi naMtwara, na ambaye aliahidikufanya juhudi kuhakikishainakwamuka kiuchumi.

    Alisema, wananchi waMtwara, wanaona hakunadalili yoyote ya kuinuliwakiuchumi, na zaidi chini

    ya Se r ika l i ya CCM,wanaumizwa katika masualaya malipo ya mazao yao yaKorosho, kupitia stakabadhighalani.

    M b a y a z a i d i , U s t .Machano, alisema ni kuonaRais huyo huyo anataka gesiisafirishwe kwenda, Dar esSalaam, na kupingana nawananchi wa Kusini.

    Ust. Machano, alisemawananchi wa Mikoa ya Kusiniwamekuwa wavumilivukwa muda mrefu, pamoja nakubaki nyuma kimaendeleotokea nchi hii ipate uhuru.

    Alisema, ukifatilia rekodikatika chaguzi kuu wa(Rais, na Wabunge) utabainikwamba Mikoa ya Kusiniinaongoza kwa kuichaguaCCM, huku chama hichokikiifanya mikoa hiyo kuwa

    ni shamba la bibi la kuvuniakura za Chama hicho, kishakuwatekeleza.

    Ust. Machano, alisemaustaarabu huo wa uvumilivuwao na kufanywa darajakila uchaguzi unapofika bilakujali hali zao za kiuchumiwanapoingia madarakani,ndiyo inayowapa jeur iviongozi hao kupuuza maoniyao kuhusu suala la gesi.

    U s t . M a c h a n o ,aliwatanabahisha viongoziw a S e r i k a l i k w a mb a ,

    bi na ad am u an a ki ko mocha uvumilivu, na kwambasasa wananchi wa Mtwara

    wanaamka na wamechoka naahadi zisizotekelezeka.Alisema, msimamo wa

    wananchi wa Mtwara, niku tokana na kue lewamwenendo wa Serikaliyao, kwamba gesi hiyoi k i s a f i r i s h w a , w a oh a w a t o n u f a i k a n a y okama ilivyo katika zao laKorosho.

    A l i s e m a , S e r i k a l iinatakiwa kutoa majibusahihi yatakayo kinaishaakili na fikra zao kutonana nahoja zao, lakini alidai, majibumepesi na rahisi ya Serikali

    hayawezi kufuta msimamwalionao zaidi ya kulipozna kuibuka mara kwa mara

    Ust. Machano, alisemkatika nchi hii kuna wanancwapo katika shida kwa mudmrefu, wakiwemo watu w

    Mikoa ya Kusini.Matumizi sahihi y

    akili ni kuhoji unapoletewmaelezo au taarifa, lazimmwenywe akili timamu ahoili apate ufafanuzi, na ndmaana Mitume wote walipachangamoto kutoka kwwatu wao na wao (Mitumwalikuwa wakijibu hojna si vitisho. Alisema UsMachano.

    Alisema, katika Qurasuratul Bakara, Allah (swamemzungumzia NabIbrahim, baba wa Imankwamba ametumia akili yak

    vizuri katika kuhoji.Nabii huyu alihoji kw

    Allah akitaka kujua ni viatamfufua mwanaadamsiku ya kiama, ili moyo wakupate yakini zaidi. AlisemUst. Machano.

    Ust. Machano, alidk w a m b a n i k a w a i dy a v i o n g o z i a m b awameishiwa majibu kwwatu wanaowaongozkutokana na kutokuwa nahadi za kweli, na kinyumchake badala ya kujibu hohuwashambulia.