ANNUUR 1226.pdf

download ANNUUR 1226.pdf

of 20

Transcript of ANNUUR 1226.pdf

  • 8/18/2019 ANNUUR 1226.pdf

    1/20

    ISSN 0856 - 3861 Na.1226 RAJAB 1437, IJUMAA , APRILI 22-28, 2016 BEI TShs 800/= , Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected] AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJ

    Unajua kuwa Tanzania tuko nyuma sana katikautekelezaji wa nguzo ya Hijja? Tunakwendawachache sana, na wengi wetu tukiwa wazeetumeshachoka. Mtume(saw) amehimizawatu waende Hijja wakiwa vijana wenyenguvu Gharama zote kwa Hijja 2016/1437ni Dola 4,600. Umra ya Ramadhani ni Dola2,700. Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwahuduma nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi:Tanzania Bara: 0679895770/ 0688895777;0765462022; 0712735363. Zanzibar :

    0777468018; 0777458075; 0777845010;0777497300.

    (5) AMKA, MUISLAMU MTANZA

    WATAWALA hawanaugomvi na dini, ingawauswahiba baina yao niwa kimaslahi tu.

    Dini ni ra ki mkubwawa watawala paleinapoyatumikia maslahiyao.

    Lakini hugeuka kuwa

    Hawana ugomvTatizo ni masilahi ya

    adui nambari moja paleinapoyakhatarisha.

    Watawalawanayapenda mnomadaraka yao kiasi yakwamba yakikhatarishwa,hawachelei lolote. Hatakumkosa Mungu wao!(Soma Uk 16)

    DKT. Ali Mohamed Shein DKT. Amani Abeid Karume

    SHEIKH Farid Hadd. SHEIKH Msellem Ali.

    ‘Upelelezi bado’, Waislamu wanaendelea kusota ndani

    WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Mhe. Charles Kitwanga .

    DCI Athuman Diwani.

    Ni baada ya kujibu waraka wa ParokoKilio chake kwa Mkuu wa Mkoa kikapuuzwa

    Amir alitishwakabla kupotea

    Waislamu waliotoweka Bukoba:

  • 8/18/2019 ANNUUR 1226.pdf

    2/20

    2 AN-NUURAJAB 1437 , IJ UMAA APRIL I 22 -28, 201Mafundisho ya Qur'an/Uwanja wa Maarifa

    Fethullah-Gulen

    Jee Unajua?

    1.Sura ya ngapi na aya ya ngapi isemayo ‘Ameumbwa kwa maji yatokayo kwakuchupa’ Jawabu : 86 :6

    2.Sura ya ngapi na aya ya ngapi isemayo ‘Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenyemavizio anawavizia’ Jawabu : 89 :14

    3.Sura ya ngapi na aya ya ngapi isemayo ‘Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa kilaupande.’ Jawabu : 90 :20

    4.Sura ya ngapi na aya ya ngapi isemayo ‘ Hakika pamoja na uzito upo wepesi.’ Jawabu :94 :6

    5.Sura ya ngapi na ni aya ya ngapi isemayo ‘Na hatukumtuma kabla yako Mtumeyeyote ila tulimfunulia ya kwamba hapana mungu isipo kuwa Mimi. Basi niabuduniMimi tu.’ Jawabu : 21 :25

    6.Wakati gani Sayyidna Khalid bin Walid alisilimu? Jawabu : Vita vya Uhud7.Ilikuwa wakati gani Mtume Muhammad (SAW) aliwasili Madina ikiwa ni

    Hijjra? Jawabu : Rabi u Awal8.Mtu yupi ambaye aliuliwa na Mtume (SAW) kwenye vita? Jawabu : Ubi bin

    Khalf9.Wakati wa kiongozi yupi ndipo Waislamu walitengeneza pesa zao za kutumia?

    Jawabu : Maamun10.Sahaba yupi ndio aliowa mwanzo kuzikwa katika Makaburi ya Baqii? Jawabu :

    Uthman Ibn Mazoon

    JAWABU CHEMSHA BONGO NAMB

    CHEMSHA BONGO: 48Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo.

    1.Hii ni aya ya ngapi na ipo katika Sura ipi? “Ewe Nabii! Mtakapo wapa talakawanawake, basi wapeni talaka katika wakati wa eda zao. Na fanyeni hisabu ya eda.Na mcheni Mwenyezi Mungu, Mola wenu Mlezi. Msiwatoe katika nyumba zao, walawasitoke wenyewe, ila wakifanya jambo la uchafu ulio wazi. Hiyo ndiyo mipaka yaMwenyezi Mungu, msiikiuke. Na mwenye kuikiuka mipaka ya Mwenyezi Mungu, basi amejidhulumu nafsi yake. Hujui; labda Mwenyezi Mungu ataleta jambo jengine baada ya haya.” Jawabu: 65:12.Hii ni aya ya ngapi na ipo katika Sura ipi? ” Sema: Hakika hapana yeyote awezaekunilinda na Mwenyezi Mungu, wala sitapata pa kukimbilia isipo kuwa kwake Yeyetu. ” Jawabu: 72:223.Taja jina la Sahaba aliokuwa kitandani anasumbuliwa na maradhi na kumuambiaMtume (SAW) anaisabilia mali yake yote kuuendeleza Uislamu na Mtume (SAW)akamwambia utoe Thuluthi tu yaani 1/3 ya mali yake. Jawabu: Saad ibn Abi Waqaas4.Watu wa Mtume Saleh AS walikuwa na kivutio gani katika maisha yao? Jawabu:Mabustani5.Nani alikuwa Mjukuu wa Mtume Nuh AS, Issa, Aad, Lut? Jawabu: Aad6.Watu wa Mtume Hud AS walipigwa na kimbunga kwa siku ngapi 7, 8 au 9 Jawabu: 87.Mtume yupi alikuwa na mali nyingi sana? Jawabu: Suleiman8.Dhikri ipi ilio bora kuitamka mara kwa mara? Jawabu: La Ilaha Ila Llah9.Mtume Muhammad (SAW) alihiji mara ngapi? 10, 11, 1. Jawabu: 110.Qur’an imeteremshwa kwa lugha gani? Jawabu:

    “WALISEMAEe Mussa, Amautatupa na amatuwe sisi wenye

    kutupa: Akasema:Tupeni. Walipotupawaliyaroga macho yawatu na wakawatishana wakaleta uchawimkubwa”. [AL-AARAAF 115-116]

    Ninaaminikwamba kuna jamboambalo mara nyingihujitokeza katikamacho ya watu. Naloni kwamba uchawiulikuwa ni katikamambo muhimusana ambayo watuwalikuwa wanayapaumuhimu mkubwa. Jambo hili ndilotunalolifahamukutokana nakukusanyikawatu kwa ajili yakuiangalia michezoya kichawi, katikauwanja katika sikuya sikukuu. Na kwahakika alitaka Musa(a.s.) kwa wachawikuwa wao ndiyo wamwanzo kuonyesha

    uchawi wao. Nawakati alipoubatilishaMussa uchawiwa watu hawa,watu walifadhaikawakiongozwa nawachawi wenyeweambao walielewa– na haliyakuwawao wali kia kilelekatika uchawi.Ni kwamba, yalealiyokuja nayo Musa,hayakuwa uchawi.Wakaamini pamoja na

    kuchukia kwa Firaunina nguvu zake.Wachawi kutokanana kuamimi kwaohuku kwa harakakwa sababu watuambao walikuwawanawategemeawachawi hawana wakazichukuasehemu zao katikasafu yao, waliaminikutokanana nakuamini kwawachawi hawa.

    Kwa msingi huokwa hakika kulikuwana kundi la watu

    wa mazingaombweambao wameujengaulimwengu wao juuya urongo na juu yakuwadanganya watu.Kulikuwa na utawalawa mtu mmojaambao hauna mpakaunaowalazimisha juuya kuifuata njia hii.Kisha kuna makundiya watu ambayoyanaendeshwa wakatiwote kufuatana namatakwa ya makundimawili haya namatabaka haya. Kwasababu hiyo, wakatizilipodhihirika kambazao na mbo zaokana kwamba nyokawanaokwenda katikamuda mfupi, gha a

    mbo kavu iligeukana kuwa nyoka(mkubwa) na inamezamichezo yote yawachawi.

    Ama makundiya watu ambayo

    yalikuwa yanafuatiliakwa ufedhuli wote nakwa kufadhaika, yaleyanayozuka mbeleyao, kwa hakikawalizindukana nahakukuwa mbele yaoisipokuwa kusema:

    “TunamwaminiBwana wawalimwengu”[ALAARAF 121].

    Waliyasemamaneno haya

    ubavu kwa ubavupamoja na wakubwawa batili ambaowalikuwa watu wakwanza kutamkamaneno hayayenye kuonyeshakukiri kukubwakwa uwazi wote,pasi na kubabaikakwa namna yoyote baada ya kufungukanyoyo zao gha akwa sababu ya nuruambayo imewajiakutoka nyuma yavipeo mbalimbali.

    Qur’aninairudiarudia surahii katika sehemunyingi na kwa silabimbalimbali zenyekufanana na mtiririkowa maneno. Na hiyoQur’an kwa utaratibuhuo, inatuleteamazingatio kupitiaupenyo wa mlangowa historia ambayoinajirudia. Qur’aninaleta mazingatiohaya na hali ya kuwakila mmoja katika sisianaweza kuchukuakutoka katikamazingatio hayokufuatana na uwezowake na upana waupeo wa kufahamukwake.

    “Yeye ndiye ambayeamewaumbenikutokana na nafsimoja na aliumbakutokana na nafsihiyo mwenzake iliatulizane kwake,alipomuingilia alibebamimba nyepesiakawa anatembeanayo alipokuwamjamzito (mimbailipopevuka) mumena mke walimuombaMwenyezi Mungu.Bwana wao kwakusema – iwapoutatupa mtoto,mwema kwa hakikatutakuwa katikawenye kushukuru”.

    1. Kivazi cha Dengirizi au Jeans kimasisiwa na Jacob W. Davis na Levi Strauss & Cokatika mwaka wa 1871 na ilipo ka mwaka wa 1873 Mwezi wa May, Jacob W. Davis naLevi Strauss wakawa ni maarufu kwa kutengeneza kivazi hichi ambacho hudumu kwamuda mrefu: h p://www.levistrauss.com/our-story/the-history-of-denim/ na h ps://en.wikipedia.org/wiki/Jeans2. Muasisi wa kalamu itwayo Boli peni (ball pen) alikuwa muandishi wa gazeti wanchi ya Hungary Laszlo Biro katika mwaka wa 1941 ambaye alikuwa amechoshwa nakazi yake ya uandishi kila mara kujaza wino kwenye peni na saa nyengine wino huokuchafua karatasi alioitumia kuandikia, hapo akaamua kubuni aina ya wino utaogandana kuutumia kwa muda mrefu: h ps://en.wikipedia.org/wiki/Ballpoint_pen3. Mtandao wa kijamii Uso wa buku au kama kwa Kiengereza uitwao Facebook ni katiya mitandao ambayo inawatumizi wengi duniani kuanzia vijana wa miaka 13 hadiwazee wa miaka 80, alikuwa Mark Zuckerberg mwanafunzi wa Chuo cha Harvard namwenzake Andrew McCollum, Chris Hughes na Dust in Moskovi . Zuckerberga katikamwaka wa 2004 February 3, waliuanzisha mtandao huu ambao kwa kuanzia walioweza

    kujiunga ni wanafunzi wenzake tu, kisha ikavuka mipaka hata wanafunzi wa vyuovyengine na ku kia hata nchi ya Canada na sasa kila pahali duniani penye mtandaowa Internet watumizi wa facebook wamejaa mithili ya pishi: h ps://en.wikipedia.org/wiki/History_of_Facebook4. Taa za mshumaa au wengine huzita taa za gongo (Fluorescent) ziliasisiwa naMmerekani Peter Cooper Hewi katika mwaka wa 1901 na kushamiri matumizi yakekwa haraka katika nchi nyingi: h p://inventors.about.com/od/ lipinoscientists/a/Agapito_Flores.htm5. Ndoo ni chombo muhimu sana katika maisha ya kila siku hasa kwa wakazi wa nchiza Ulimwengu wa 3, inasadikiwa kuwa ndoo zilianza kutumiwa na mwanadamu kamamika 350 BC kabla ya kuzaliwa kwa Mtume Issa AS: h p://ezinearticles.com/?A-Brief-History-Of-The-Bucket&id=71822116. Kutoka Uganda, elekea Sudan na aliokuwa Rais wa Nigeria huko kote Maraisi wakeni wavaaji wa ko a za heti (Hat), inakadiriwa uvaazi wa ko a hizo zilianza kuvaliwamiaka 3200 BC kabla ya kuzaliwa kwa Mtume Issa AS: h p://hatbox.com/hat-history.cfm7. Katika mwaka wa 1795 mwanasayansi aliokuwa katika jeshi la Napoleon Bonapartendio anayoaminika kuwa mvumbuzi wa hizi penseli tuzitumiazo (Pencil).8. Miaka na mikaka mwanvuli umekuwa ukitumiwa, inakisiwa kama maiaka 4,00iliopita watu wakitumia mianvuli na watu wa Assyria ya kale, Wachina, Wamisrina Wayunani ndio kati ya watu wa mwanzo kutumia mianvuli: http://www.enchantedlearning.com/inventors/china.shtml9. Katika mwaka wa 1901 Mmerekani kwa jina la King Camp Gille e akisaidiwa naWilliam Nickerson ndio waliweza kutengeneza nyembe hizi za kileo tuzitumiazo: h ps://www.google.com/?gws_rd=ssl#q=who+is+the+inventor+of+razor%3F10. Inasadikiwa vikombe vya kunywia vitu mbalimbali iwe chai, uji, maji n.k. Vilianzakutumiwa kutumiwa miaka 6,500 na 3000 kabla ya kuzaliwa kwa Mtume Issa AS:h ps://en.wikipedia.org/wiki/Mug(Kwa wasomaji wa Uwanja wa Maarifa tumeazimia kuuboresha ukumbi huutunaomba maoni yenu juu ya ukumbi huu, tuma kwa barua pepe [email protected] au ujumbe mfupi kupitia simu 0777436949)

    Surat A’araaf: 115-116S A J W I S L S K T Y M 65 :1 A A D E S U A U I A H A 8 A D A R S L I B A R N B 12D T S T A E L H R I T U 34 :12

    Ibn H I Y I I A A A M G S 2 :8

    A A M U B M H N B G B T 3 :

    B M F L N A A A U A R A 2 :22

    I U A K B N I L H S F N 1

    W D H J A I L L E D V I 3

    A I M H T B A A B R E M 10Q L Q G U R L H R T D A 11

    A Y A F T A L E R Y C Z 3 :24

    S A S D A H A R E U E U 32

    W S W S F I H A W I W R 7 :8

    A S E A V M E C U O X I 6 :6

    M A I D I E R Y 3: 154 Y Z Y Z

    U S S A S E P O 40 A A U A

    S D H U H F E S 41 K Q S K

    S F A D A V T F 42 O Q U A

    A G Q na Q B Y V 43 O U F R

    J H na S na N U G 44 B M A I

    U I I U Y M I Y 45 na W I Y

    M JK B L A V O U 46 Y A S A

    A L R E K B K I 47 U S H na

    A M A I O V D O 48 S D A Y

    I N H M O C S P 94:5-6 U C V A

    L O I A B D W W 25 F V B H

    O P M N Y S E E 55 P G N Y

    P Q V L Z A R R 5 Y S E A

    AN R Z C C W Z T 40:68 U E G

  • 8/18/2019 ANNUUR 1226.pdf

    3/20

  • 8/18/2019 ANNUUR 1226.pdf

    4/20

    4 AN-NUURAJAB 1437 , IJ UMAA APRIL I 22 -28, 201Tahariri/Makala

    AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

    UISLAMU ni diniinayoelekeza upolehuruma na tabianzuri. AnasemaMwenyezi Mungu“Na ni nani mwenyemaneno mazuri zaidikuliko yule mwenyekulingania katika dini

    ya Mwenyezi Munguna akafanya mambomazuri na akasemamimi ni miongonimwa Waislamu na walahayawi sawa mema namabaya, fanya harakakufanya mema.

    Na wala hawaambatanina hayo isipokuwa walewenye subira na walahawapati hayo isipokuwakwa wale wenye bahatikubwa”.

    Na anasema tenaMwenyezi Mungu (Nawaambie watu maneno

    mazuri) rehema zanguzimeenea kila sehemu.Amesema Mtume

    (S.A.W) (Haui upolekatika kitu chochoteisipokuwa hupambika,na haukosekani upolekatika kitu isipokuwahuharibika tu). AmesemaMtume (S.A.W) (kwahakika Mwenyezi Munguameumba upole kwenyemafungu mia moja.

    Fungu moja ambalowanahurumiana waokwa wao hapa dunianina mafungu tisini na tisa

    ameyahifadhi yeye kwarehema.Hili fungu moja

    ndilo linalomsababishamnyama asimkanyagemtoto wake kwa mguuwake kwa kuogopaasimuumize. Naamesema tena, “Kwahakika Mwenyezi Munguameumba viumbe hadialivyomaliza akaandikakatika kitabu chini yaarshi rehema zanguzimeitangulia hasirazangu”.

    Na anasema Mtume(S.A.W), “Wenye

    Uislam ni dini ya huruma na

    Na Sheikh HamzaAbdurahman Mustafa

    El-bana

    huruma atawahurumiaMwenyezi Mungu, basiwahurumieni waliopoduniani, atawahurumienimwenye ufalme wambinguni”.

    Mtume (S.A.W)amesema, “Kwa hakikadini ni nyepesi na hakunayeyote atakayeitia ugumuisipokuwa itamshinda tu,hivyo tekelezeni ibadakwa wastani na sogeleenimambo mema nawabashirieni na ombenimsaada asubuhi na jioni”.

    Kilichokusudiwa juu ya uwepesi ni diniyenye wepesi, na maanaya ugumu wa dini nikuilaizmisha nafsi yakomiongoni mwa ibadazaidi ya uwezo wakona kupitiliza kiwango,isipokuwa itamshindakwa maana atarudi katikauwepesi na uwastani .

    Anaseme Mtume(S.A.W), Kwa hakikadini hii ni madhubuti basi ichukueni kwaupole, na wala usiichukiewewe mwenyewe ibadaza Mwenyezi MunguMtukufu, kwani yulealiyempiga mnyama ilia ke upesi, hatimayemnyama amefarikina safari haku ka na

    hakumbakisha haimnyama wake”.Kutoka kwa Anas (R.A)

    amesema, “walikuja watuwatatu katika nyumbaza Mtume (S.A.W)wakiuliza juu ya ibadaza Mtume (S.A.W), napale walipoambiwa nikana kwamba walizionandogo kisha wakasema, basi sisi tuko wapi tokakwa Mtume (S.A.W).Akasema mmoja wao,ama mimi nitafungamwaka mzima na walasili mchana. Na akasema

    wa pili, ama miminitasimama usiku kuchana wala silali, na akasemawa tatu ama mimi sitaoamwanamke.

    Na pale alipojua

    Mtume (S.A.W),akasema hivi nyinyindio mliosema kadhana kadhaa? NamuapiaMwenyezi Mungu, mimini mwenye kumuogopasana Mwenyezi Munguna ni mwenye kumchasana MwenyeziMungu, lakini mimininafunga na ninakulamchana na ninaswalina ninalala na ninaoawanawake, basi huundio mwenendo wanguna yeyote asiyeutaka

    mwenendo wangu huyosi mwenzangu.Basi hadithi hizi

    zote zinakataza juu yamsimamo mkali kwayale yanayoambatana nahayo, nayo ni miongonimwa uharibifu na piamadhara yake ni yahatari.

    Na toka kwa Abdallahamesema, amesemaMtume (S.A.W),“Wameangamia walewenye kutia ugumu dinihii. Alisema hivi maratatu juu ya wale wanao

    kwenda sana ndanizaidi na wenye kuvukamipaka katika kuvukamipaka kwa kauli zao navitendo vyao.

    Hivyo ni muhimukwa Waislamu waushikemuongozo wa usawaambao ametufundishaMtume (S.A.W), ilitutoke kwenye tinaambayo huzuia jamii nakusababisha kukosekanaamani yake na utulivuwake.

    Email : [email protected]

    BISMILLAHIR RAHMANIR RAHIYM

    TANGAZOBODI YA WADHAMINI WA TAASISI YA ‘THE DODOMA GENERAL MUSLIMASSOCIATION’ TUNAPENDA KUWA TANGAZIA WAUMINI WOTE WAKIISLAM WANAOISHI DODOMA KUJIUNGA NA TAASISI HII KWA MUJIBUWA KATIBA.TAASISI HII KONGWE ILISAJILIWA TANGU MWAKA 1959.MADHUMUNI YA TAASISI HII:-

    1. KUWATUMIKIA WAISLAM.

    2. KUHAMASISHA NA KUKUZA MAHUSIANO MAZURI KWA

    WAISLAM WOTE WA DODOMA NA WILAYA ZAKE.KWA MAELEZO ZAIDI KWA ANAYEPENDA KUFAHAMU TARATIBU ZAKUJIUNGA AFIKE OFISINI GHOROFA YA TATU ILIYOPO TAWI LA BENKI

    YA NMB – MAZENGO, KUU STREET.

    SIMU Na: 0784 294 422 AU 0754 800 524

    WAUMINI WOTE WA JINSIA ZOTE MNAKARIBISHWA

    UTAWALA

    HIVI karibuni Rais waJamhuri ya Muunganowa Tanzania Dk. JohnPombe Magufuli,alionyeshwa kukerwana tabia ya waendeshamashtaka chini yaDDP, kucheleweshakukamilisha upeleleziwa kesi mbalimbalizinazofkishwa katikamahakama zetu.

    Dk. Magufuli alisemakesi nyingi zimekuwahazi kii tamatikutokana na kikwazocha kutokamilishwaupelelezi, hata kwatuhuma ambazohazihitaji upelelezi huokuchukua muda mrefukukamilika na kesikuhukumiwa.

    Katika mfumo wakuendesha kesi za jinai katika mahakamazetu, jeshi la polisikwa sehemu kubwandilo linalotumikakukamata, kupelelezana wakati mwinginekuendesha mashtakakwa watuhumiwa katikamahakama.

    Kwa ujumlawaendesha mashtakana wapepelezi ambaoni polisi kwa pamojawamekuwa wakichukuamuda mrefu sanakukamilisha upelelezikukamilisha mashtakakwa watuhumiwa, hukuwatuhumiwa, ambaokimsingi hawajatiwahatiani na mahakama

    wakiendelea kutumikiaadhabu ya kukaarumande.

    Na sababu kubwa yawatuhumiwa kutesekamahabusu ni kwakile kinachoitwa namaa sa wa polisi kuwaupelelezi haujakamilika.Waendesha mashtakanao wanatumia nafasiyao kumshawishihakimu au Jajikuzuia dhamana kwawatuhumiwa kwa lughaya kwamba dhamana

    Kauli ya Rais Magufuliitafsiriwe kwa vitendo

    itaharibu upelelezi auitahatarisha maisha yamtuhumiwa au raia.

    Hatupingi kutumianafasi hizo walizonazo mao sa hawawa kusimamia haki,kuchelewesha kesiau kuzuia dhamanakwa watuhumiwa.Tatizo letu ni kwambanafasi hii mara nyingihutumika vibaya kutesawatu hali ya kuwamashataka au makosawaliyofunguliwa kesiwatuhumiwa hayastahilizuio hilo la dhamana aukuchelewesha upepelezi.

    Kwa mfano, kunakesi ya watuhumiwawa ugaidi ambayoilifuinguliwa tangumwaka 2014. Lakinihadi leo upelelezihaujakamilika.

    Katika hili, tunaonakuendelea danadanahizi za kutokamilikaupelelezi kwa kesiinayokaribia kutimizamiaka miwili ni tatizo.Lakini pia tunawezakusema kwa mtazamowa haraka harakakwamba, agizo la Raisla kuchukizwa naucheleweshwaji wa kesikwa kwa mgongo wakutokamilika upelelezilinapuuzwa.

    Hatudhani kwambakauli ya Mhe. Raisililenga katika kesi zakutumbua majipu tu, bali na kesi nyingine

    zinazowakabiliwatanzania katikamahaklama zetu.

    I ke mahali tuachekufanya kazi kwamazeoa kama katikazama zilizopita.Wasimamizi wa haki nasheria nchini ni vyemawakazingatia uadilifukatika kusimamia sheriana haki, ili mwenyehaki apate haki yake nawa kuadhibiwa nayeapate adhabu yake kwawakati.

  • 8/18/2019 ANNUUR 1226.pdf

    5/20

    5 AN-NUURAJAB 1437 , IJ UMAA APRIL I 22 -28, 201HABARI ZA KIMATAIFA

    Inalillah wa Innaillayh Raj’uunImam wa Msikiti wa MtumeMuhammad (saw) MasjidNabawy uliopo Madina, Saudia

    Arabia, Sheikh MuhammadAyub ibn Muhammad Yusufibn Suleiman Umar, amefarikialfajir ya Jumamosi iliyopita.

    Sheikh Muhammad amefarikiakiwa na umri wa miaka 65 nakusaliwa swala ya jeneza wakatiwa adhuhuri na kuzikwa katikamakaburi ya Baqee.

    Imam Muhammad alizaliwamwaka 1372H (1952/1953) hukoMakkah ambapo alijifunzakusoma na kuhifadhi Qur’anakiwa na umri wa miaka 12, kwaSheikh Daghistan na Khaleel ibnSheikh Abdulrahman Al- Qarina katika Msikiti wa Bin Ladenuliopo Makka ambapo alihitimumwaka 1386.

    Alisoma tafsiri ya Qur’an nasayansi ya Qur’an kutoka kwaMasheikh kadhaa wakiwemoSheikh Muhammad SayyedTantawi, Sheikh AbdulazizMohammed Othman, SheikhAkram Dhiya Al-Amri, SheikhMuhammad Al-Amin Al-Shiqitina Sheikh Abdul Mohsen Al-Abbad.

    Mohamed Ayoub IbnMohamed Youssef IbnSoulaimane Omar, pamoja nakwamba alikuwa Imam, kwamuda mrefu alikuwa msomajimahiri na mashuhuri wa Qur’an

    WAKATI idadi kubwaya watu wa nchi nyingizinazoendelea kamaTanzania, pamoja nabaadhi viongozi wa nchihizo na serikali zao kuwana utamaduni na mazoeaya kuthamini na kuaminikila taarifa zinazotolewana vyombo vya habari vyamataifa makubwa ya nje,hali ni tofauti kwa raia waMataifa hayo makubwa.

    Uchunguzi wa maoniuliofanyika nchini Marekaniumeonyesha kuwa, idadikubwa ya Wamarekanihawana imani na vyombovya habari vya nchi hiyokutokana na kutokuwa namitizamo sahihi, upendeleona kutokuwa na uadilifu.

    Uchunguzi wa maoniuliofanywa na The AssociatedPress-NORC, unasema

    Aliyekuwa Imam Msikiti wa Mtume afarikinchini Saudia.

    Baadae alijiunga na ChuoKikuu cha Madinah (Scienti cInstitute of Madinah) na

    kutunukiwa shahada mwaka1392.Baadae Imam Mohamed

    alijiunga na Chuo Kikuu ChaIslamic University ambapoalipata tena shahada ya uzamilina hatimaye alitunukiwa yauzamivu mwaka 1408.

    Katika elimu yakealishuhudiwa na wanazuonimaarufu wa Saudia kama AbdAl Aziz Mohamed Othmane,Tantawi na Sheikh Al Shankiti.

    Imam Mohamed Ayoubalianza kufanya kazi kamamsimamizi msaidizi katikakitivo Qur’an na baadae alipanda

    na kuwa msimamizi kamili wakitivo ambapo alihudumu kwamiaka kumi.

    Mohamed alikuwa mjumbewa King Fahd educational boardand Scienti c Commi ee katikauchapishwaji wa Qur’an Tukufu.

    Imam Mohamed Ayoubaliongoza swala katika Misikitikadhaa ya Saudia kama AlAnabiya (1394 - 1403), Qabaa,Abdallah Al Houssayni (1403)na baadae Msikiti wa MtumeMuhammad wa MadinahMonawarah. Aliteuliwa kuwaImam wa Msikiti huo mwaka1980. h p://thequranreciters.com

    MARHUM Sheikh Muhammad Ayub ibn Muhammad Yusufibn Suleiman Umar

    Wamarekani wengi hawaaminivyombo vyao vya habari

    kuwa ni asilimia sita tu yaWamarekani ambao wanaimani na vyombo vya habarivya nchi hiyo. Uchunguzi huoumebaini kuwa, Wamarekaniwengi hufuatilia habarikupitia mitandao ya kijamiikama Facebook na Twi erkwa sababu ya kutokuwa naimani na vyombo vya habarivya nchi hiyo.

    Uchunguzi wa AssociatedPress-NORC pia umeendambali na kusisitiza kuwa,hata miongoni mwaWamarekani wanaofuatiliahabari kupitia mitandao hiyoya kijamii, ni asilimia 12 tundio wanaoamini habariwanazosoma au kutazamakatika mitandao hiyo.

    Vyombo vya habari vyaMarekani vimekumbwa namikasa na kashfa nyingi zakutoa habari zisizo sahihi zandani na za kimataifa.irib.

    Musa La Ode (Daud) AbuHanaf, kutoka nchiniIndonesia ameshika nafasiya tatu katika mashindanoya Kimataifa ya kuhifadhiQur’an ya The InternationalMusababaqar Hifzil Qur’an(MHQ) yaliyofanyika katikamji wa Sham el Shaikh nchiniMisri.

    Mtoto huyo alishika nafasihiyo katika mashindano hayo baada ya kuchuana na washirikivijana 80 kutoka nchi 60.

    Baadhi ya nchi zilizoshirikini Misri, Saudi Arabia, Kuwait,Morocco, Chad, Algeria,Mauritania, Yemen, Bahrain,Nigeria, Malaysia, BruneiDarusaalam, Philippines,Thailand, Australia, Ukraine na

    Mtoto ashika namba tatuya kimataifa kuhifadhi Q

    Indonesia.Mtoto Mussa alikuwa mshiriki

    pekee kutoka Indonesia naaliyekuwa na umri mdogozaidi kati ya washiriki wotewalioshiriki katika shindanohilo.

    Japokuwa mtoto Mussahakushika nafasi ya kwanza,alipata heshima kubwa kwanafasi aliyopata na kwa kushirikimashindano makubwa akiwaumri wake mdogo.

    Mtoto huyo imeelezwakwamba alimudu kusoma vizuriQur’an, japo kuna matamshihayakutoka vizuri kutokana naumri wake kuwa mdogo sanakuweza kutamka baadhi yamatamko kwa ufasaha zaidi.

    Mussa anayefahamika kama‘Mussa Ha dh’ alizaliwa mwaka2008. Mbali ya kuhifadhi Qur’anpia amehifadhi hadithi natayari amehifadhi kitabu chaImam Nawawiy cha ArubainNawawiy. Akiwa na umri wamiaka mitano na nusu tayarialishahifadhi Juzuu 29.

    Aidha aliwahi kushirikimashindano ya Qur’an Jeddah,Saudia Arabia na kushika nafasiya 12 katika washiriki 25 nakopia alikuwa ndiye mshirikimdogo zaidi.

    Pia anafahamika nchiniIndonesia kuwa mtu aliyewahikutokea kuhifadhi Qu’an yoteakiwa na umri mdogo zaidi.Musa La Ode (Daud) AbuHanaf

  • 8/18/2019 ANNUUR 1226.pdf

    6/20

    6 AN-NUURAJAB 1437 , IJ UMAA APRIL I 22 -28, 201Hoja ya Juma Kilaghai

    MOJA ya vitu ambavyovinaweza kukunyima amanikabisa na kukubania fursaza kujiletea maendeleo, nihaiba yako kuzungukwa naharufu mbaya. Ikiwa haibayako imezungukukwa naharufu mbaya kila wakati, watuwatajaribu kukwepa kukaakaribu na wewe, na kwa walewa karibu ambao hawawezikukukwepa muda wote, basiwatakuwa wanaishi katikamazingira magumu sana.

    Kwa kuwa mara nyingi watuwenye kutoa harufu mbayahawajijui, tatizo kubwa linakujapale wanapojigundua, aghalabukwa kuambiwa na watu waowa karibu. Mtu anapojigunduakuwa anatoa harufu mbayaambayo huwafanya watuwengine wasifurahie kuwakaribu naye, anapata mfadhaikomkubwa na safari yake yaupweke inaanza rasmi. Sasa badala ya watu kufanya jitihadaza kuwa mbali naye, yeye ndiyeanayefanya jitihada za kuwambali na watu.

    Kwa wana ndoa suala lakufanya mapenzi linaathirikakwa kiasi kikubwa na kwaujumla ndoa inaweza hatakuyumba, japokuwa hakunaatakayekuwa tayari kuelezeachanzo cha tatizo.

    Aidha mtu mwenye kutoa

    harufu mbaya anawezakukosa fursa za kiuchumi nakimaendeleo kwa sababu yakule kushindwa kuchanganyikana watu. Kwa kawaida mtuambaye hajichanganyi nawenzake haeleweki, na mtuambaye haeleweki hawezi kuwana mvuto. Kuwa na mvuto nichachandu muhimu kwa watuwanaotaka kujiletea maendeleo,iwe ni kwenye ajira zao, auni kwenye shughuli zao zakiuchumi.

    Kwa kawaida haiba ya mtuinaweza kuzungukwa na harufumbaya kutokana na harufuinayotoka makwapani, yaanikikwapa, au kutokana na harufuinayotoka kwenye kinywa naau kwenye pua. Makala hiiinalenga kuzungumzia harufumbaya za kutokea kinywani aukwenye tundu za pua. Harufuzinazoweza kutokea kwenyekinywa au pua zimegawanyikakatika makundi makuukadhaa kulingana na kilekinachozisababisha.

    Ukavu wa kinywaKwa kawaida kinywa

    kinapokuwa kikavu kwasababu yoyote ile, (inaweza

    Harufu mbaya kutokea kinywani au puChukua hatua! Inaweza kuwa kikwazo kikubwa cha maen

    kuwa kutokana na matumiziya dawa fulani nakadhalika),hutoa harufu mbaya. Sababukubwa ni kukosekana kwa mate.Moja ya kazi kubwa ya mate nikuosha na kuondosha bakteriakinywani na hivyo kupunguzauwezekano wa bakteria haokuchakata mabaki ya vyakulamdomoni na kuishia kuzalishagesi zinazoweza kutoa harufumbaya.

    Mara nyingi harufuinayotokana na sababuhii huondoka pale kinywakinapokuwa na unyevu wakutosha unaotokana na mate,au na matumizi ya maji navimiminika vingine.

    Maambukizi kwenye meno na fzi

    Aidha kinywa chenyewekinaweza kutoa harufu mbayakutokana na maambukizimakubwa ya bakteria kwenyemeno na zi. Mara nyingiharufu ya aina hii ni endelevuna haiathiriwi na kuondokanana ukavu wa kinywa. Sababukubwa ni kuwa bakteriawanaosababisha hali hiiwamejichimbia kwenye tishuna siyo rahisi kuondolewa nausa wa kinywa wa kawaida.Aghalabu harufu hutoweka aukupungua kwa kipindi kifupi baada ya kuswaki na kusukutua,halafu hurejea tena. Njia pekeeya kuondokana na aina hii yaharufu ni kutibu maambukizikwenye tishu husika hadimaambukizi hayo yaishe kabisa.

    Kamasi linalodondokea nyuma ya kinywa

    Baadhi ya harufu mbaya

    zinaweza kutokea kinywanilakini chimbuko lake ni kwenyemifereji ya hewa iliyoko kwenyefuvu la kichwa na ambayohuishia kwenye pua. Kitaalamumifereji hii hujulikana kamasinuses. Kutokana na sababumbalimbali – maambukizi,mizio, nakadhalika- kiasikikubwa cha kamasi kulikokawaida kinaweza kuzalishwandani ya hiyo mifereji. Hali hiiitasababisha kiasi kilichozidi chakamasi kudondokea nyuma yakinywa na kujenga mazingiraya kuzaliana kiasi kikubwa cha bakteria. Hali hii kitaalamuhujulikana kama post nasal drip.Bakteria hawa watasababishasehemu hiyo ya kinywa kutoaharufu mbaya.

    Maambukizi kwenye sinuses

    Aidha, maambukizi kwenyesinuses “sinus infection”yanaweza kusababisha tishukatika mifereji hiyo kukumbwana mfuro (in ammation). Mfurounaweza kupelekea kamasikushindwa kutoka na kwa hivyokulundikana katika sehemumoja. Mlundikano huu nisumaku kwa kiasi kikubwa cha bakteria ambao watazalisha kiasikikubwa cha harufu mbaya.

    Mpasuko kwenye paa la kinywaTatizo la mpasuko kwenye

    paa la kinywa unaojitokezahadi kwenye pua (cleft palate)huweza pia kuzaa mazingiraya bakteria kuzaliana nakuongezeka bila usumbufu.Wakati mwingine hali hiiinaweza kusababisha harufumbaya ya kinywa na au pua.

    Kwa bahati mbaya hakuna

    ufumbuzi mmoja unaowezakutumiwa kutatua matatizo yoteya harufu mbaya zinazohusianana sinuses. Kila tatizo ni lazimalitambuliwe na ufumbuziulenge hali halisi ya tatizohusika. Hii ina maana kuwa kwa baadhi ya matatizo ufumbuziunaweza kuwa ni viuavijasumu(antibiotics), wakati kwamengine ufumbuzi unawezakuhitaji hatua kubwa zaidi ikiwani pamoja na upasuaji.

    Mawe kwenye mafndofndo

    Kundi lingine la harufu mbayazinazotokea kwenye kinywa

    ni lile la harufu zinazotokanana mawe kwenye tezi yama ndo ndo. Maambukiziya mara kwa mara ya bakteriakwenye hii tezi yanasababishakuwe na mawe yanayoundwa namabaki ya bakteria wanaokufapamoja na mabaki yanayotokanana tishu zinazoshambuliwa.Njia nzuri ya kuondokana naharufu hii ni kuondokana nahayo mawe yanayosababishahiyo harufu. Kwa bahati nzuri,mawe ya kwenye ma ndo ndohuweza kuonekana kirahisi nakuondolewa. Baadhi ya watuhuondosha mawe hayo kwakuingiza mswaki na kusugua.Hata hivyo njia njema zaidini kumuona daktari wako iliatumie vifaa vya kitaalamuzaidi kwa kazi hiyo. Ili kujikingana mawe ya ma ndo ndoni vizuri sana kufanya usawa kinywa mara kadhaa kwasiku. Hii itapunguza kiasicha bakteria kinywani ambaowanaweza kusambaa hadiki kia kwenye ma ndo ndo.Njia nyingine nzuri na bora sanani kugogomea kiasi cha maji yauvuguvugu kilichochanganywana chumvi walau mara mbili

    kwa siku. Kiasi cha nusukikombe cha maji yenye kiasicha robo kijiko cha chai chachumvi hutosha kwa shughulihii. (Itaendelea wiki ijayo.)

    (Juma Killaghai nimtaalam wa lishe, nimtaalam wa stadi za tiba,na pia ni mkemia mtaftiwa bidhaa zinazotokana naviumbe hai (Organic NaturalProducts Research Chemist).

    Kwa mawasiliano unawezakumpata kwa namba 0754281131;0655281131;0686281131na 0779281131

    DAKTARI akimtibia mmoja wa watoto anayesumbuliwa na meno.

  • 8/18/2019 ANNUUR 1226.pdf

    7/20

    7 AN-NUURAJAB 1437 , IJ UMAA APRIL I 22 -28, 201Habari

    MAMIA ya wakazi wa Tanga,Masheikh na wanazuonikutoka nje ya nchi nasehemu mbalimbali nchiniwamehudhuria Khitma ya AlMarhum Sheikh MuhammadBakar Al-Burhan, iliyofanyikaJumamosi ya wiki iliyopitamajira ya saa nne asubuhi hadimajira ya adhuhuri mchanakatika Msikiti wa Mahdi (Chuocha Shamsul Maarif) jijiniTanga.

    Khitma hiyo iliyoongozwana Mufti wa Tanzania Sheikh

    Khitma ya Sheikh Muhammad Al Burhan yafAbubakar Zubeir, ambapokulikuwa na kisomo kwa ajili yaSheikh Muhammad.

    Aidha katika khitma hiyo,

    Sheikh Samir Sadiq alitawadhwarasmi kuwa Mudir mpya waChuo cha Shamsul Maarif,pamoja na Naibu Mudir SheikhRashid Bakar.

    Sheikh Muhammad Bakaraliyekuwa Mudir Chuo hicho,alifariki dunia usiku wa Jumatatu Machi 7 mwaka huu jijini Dar es Salaam.

    Sheikh Muhammad alizaliwamwaka 1943 katika kijiji chaDoda wilayani Mkinga Tanga.Alianza kusoma masomo ya

    Na Mwandishi Wetu

    Al Marhum Sheikh Muhammad Bakar Al-Burhan.

    WAKILI wa Serikali katika kesiza Ugaidi zinazo wakabiliaWaislamu, ameileza Mahakamaya Kisutu Jijini Dar es Salaam,kuwa anayepaswa kulaumiwakwa ‘Isidingo’ ya kesi hizo niMwendesha mashitaka.

    Wakili huyo wa upande wamashitaka, alilazimika kutoamaelezo hayo baada ya HakimuMkazi wa Mahakama hiyo Mh.Simba, kusisitiza kukamilikakwa upelelezi akihofu kugomakwa watuhumiwa hao ku kaMahakamani.

    Wakili wa upande wawashitakiwa aliyesimamiakesi takribani saba za ugaidizinazo wakabili Waislamu,Mh. Burhan Mussa, aliielezaAn nuur, yaliyojiri katika kesihizo, na kusema kwambakesi zote ziliahirishwa kwamaelezo yaleyale ya upelelezikutokamilika.

    Alisema, kufatia hali hiyoHakimu aliyesikiliza kesi hiyo,Mh. Simba, alisisitiza kukamilikakwa upelelezi haraka akiho akutokea mgomo kwa mahabusuhao kwenda Mahakamanikutokana na upelelezikutokamilika kwa muda mrefusasa.Wakili Burhan, alisema Wakilihuyo wa Serikali Mh. PeterNjige, akiwa kama anakwepalawama mapema alimjibuHakimu Simba, kwamba atakaewajibika kwa hilo ni mwendeshamashitaka na kumgeukia(mwendesha mashataka) huyona kumuamuru awasilianena wakubwa wanaohusika naidara ya upelelezi wakamilishezoezi hilo ili kesi hizo zianzekusikilizwa kwa mujibu washeria.

    “Kimsingi kesi zote sabazimeendelea kuahirishwa kwamaelezo yale yale ya upelelezi

    ‘Upelelezi bado’, Waislamu wanaendelea kuNa Bakari Mwakangwale kutokamilika na Wakili Peter

    Njige, wa upande wa Serikalialisisitiza kwamba atakaewajibika kwa hili ni mwendeshamashtaka.” Ameeleza WakiliBurhan.

    Kwa mujibu wa Wakili wawashitakiwa, alisema Wakili waSerikali Mh. Njige, alifafanuaakisema wao wanamtazamayeye (mwendesha mashataka)na kwamba hawataki kusikiakwamba hawajakamilishaupelelezi kwani ndiyeanasimama kwa upande waSerikali katika kutafuta ushahidiwa tuhuma hizo.

    Aidha, Wakili Burhan, piaalieleza kuwa kuna swala zimala kuzorota kwa matibabukwani, alidai kwamba SheikhFarid Had, aliilalamikiaMahakama kuwa huko Gerezani,swala zima la matibabulimekuwa ni la kulegalega,na kuiomba Mahakama kuwakama kunauwezekano basiwaruhusiwe wakatibiwe katikahospitali za nje ya Magereza.

    Katika swala hilo HakimuSimba, pia akamwagiza Wakiliupande wa Mashtaka Mh. PeterNjige, awasiliana na uongoziwa Magereza ya Segerea (Mkuuwa Gereza) waangalie namna bora ya kuwatibu mahabusu haokatika hospitali nyingine nje yaMagereza.

    Akielezea hali hiyo yakupigwa danadana kesi hizompaka Mahakama kutoa kaulihiyo, Wakili Burhani, alisemamara nyingi kesi za namnahiyo zinakuwa na msukumowa baadhi ya watu na kuzitiaugumu.

    Alisema, hali hiyo inapo kiawakati wa kutoa ushahidi watuhuma za kesi husika inakuwangumu hivyo wanashindwawafanye nini na kufanya halihiyo kwa sababu wakubwawameamu na kusababisha kesi

    kushindwa kuanza kwa kukosaushahidi.

    “Hali hiyo inasababishaupelelezi kuchukua muda mrefuna wakiulizwa kwa nini hawatoimajibu ya kuridhisha, japo kwa

    kusema tu kuwa baada ya mudafulani unawaweza kukamilika,kimsingi hali hii inatuweka sisina hata Mahakama pia katikawakati mgumu.” AmesemaWakili Burhan.

    dini tangu utotoni mwakekwa mwalimu Nabahani waBarabara ya sita Ngamiani Tangamwanzoni mwa miaka ya 1950s.

    Mwaka 1956 alikabidhiwakwa Sheikh Mohammad Ayubuakiwa tayari amekwishahitimuQur’an na hata baada yakuwa mwanafunzi wa SheikhAyub, kutokana na umahiriwake wa kusoma, kutafsiri nakuhifadhi Qur’an na SheikhAyub kung’amua kipaji chake nakuridhika na usomaji wake, maramoja alimkabidhi kusomeshadarsa la watoto wanaojifunzaQur’an.

    JUMUIA ya Wanafunzi waKiislamu nchini (TAMSIYA)wameanza kutoa seminakuhusu maandalizi yamtihani wa kidato cha nneili kuwawezesha wanafunziwa Kiislamu kufanya vizurimtihani wao wa kumalizaelimu ya sekondari.

    Semina ya imetolewa Jumapili ya wiki iliyopitahuko Buza katika MasjidMuuminina kwa wanafunziwa sekondari zilizizoko katikawilaya ya Temeke jijini Dar esSalaam.

    Akizungumza namwandishi wetu, NaibuAmir wa TAMSIYA Taifa Bw.Ramadhani Mussa Undele,ambaye pia ni mkufunzi wasemina hizo alisema lengo lamafunzo hayo ni kuwandaavijana wa Kiislamu waliopokidato cha nne katika shuleza seondari nchini kuwezakujiandaa ipasavyo namtihani wao wa mwisho wakumaliza kidato cha nne.

    Alitaja maeneo ambayomafunzo hayo yanatolewakuwa ni pamoja nakuwashauri vijanawa Kiislamu kufanya

    TAMSIYA waanza kutokuwandaa kidato cha nn

    Na Mwandishi Wetu uchaguzi mzuri wamasomo (combination)watakapochaguliw a kuendeleana kidato cha tano, kulinganana uwezo na umahiri wa somohusika.

    “Tumeamua kuandaa seminahizi kwa lengo la kuwawezeshawanafunzi kujitambua kuwawao ni watu wa aina ganina kuwawezesha kuchaguamichepuo sahihi watakapo kakidato cha tano.

    Aliongeza kuwa semina hizoni muhimu katika kuwasaidiavijana kidato cha nne kujuawanachokifanya katikamasomo yao, kuwawezeshakusoma kwa wakati muafakana kuwapa uwezo wa kuingiakatika mtihani wakiwawamekumbuka vyema kilewalichojifunza akiwa shuleni.

    “Tunataka wanafunzi wetuwatambue namna ya usomaji,watambue wapi walipo nakule wanapoelekea kunanini na anakwenda wapi”.Alisisitiza Bw. Undele.

    Wanafunzi wa kidato channe wanatarajiwa kufanyamitihani yao ya mwishoNovemba mwaka huuambapo wale wa kidato chasita wanatarajiwa kufanyamitihani yao ya mwisho Meimwaka huu.

  • 8/18/2019 ANNUUR 1226.pdf

    8/20

    8 AN-NUURAJAB 1437 , IJ UMAA APRIL I 22 -28, 201Makala

    ZIPO kauli ambazo zimekuwazinatumiwa sana na watu wa sikuhizi. Wakiamini kuwa kauli zina

    nafasi kubwa katika ulimwenguwa maisha bora. Maneno ‘kupitwana wakati’, ‘mambo ya kisasa’,yamekuwa yakitumiwa sana nawanajamii, kuhalalisha tamaa namataminio ya nafsi, bila kujalimantiki (logic), faida na hasarakwa kutenda na kufuata tafsirimbovu ya maneno hayo.

    Watu wamekuwa wakipupia nakuyatafrisi kwa vitendo manenohayo bila kujali ni vipi na uhalisiawa maisha ya mwanadamu namaumbile yake. Kwa mfano,wakati ukisasa unawiana vipina mwanamke kuvaa surualiya kubana maungo ya mwilina kuacha kiuno na sehemu ya juu ya makalio wazi, kiwiliwiliakakifunika na nguo ya mtoto kiasicha kitovu au tumbo kuwa wazikadhalika na sehemu ya matiti.Na huo huo wakati unawianavipi kwa mwanamke kuvaa vazilililostiri mwili bila kupoteza haibana utambulisho wa kike. Napatashinda, nini kigezo cha kujistirikiwe ni kupitwa na wakati nakuwa nusu uchi kiwe ni kwendana wakati. Mantiki ya kwenda nawakati au kisasa inatafsiriwa katikanini?

    Maswali haya ndio maudhuiambayo ya somo la ndoa hususankwa vijana, ambalo nakusudiakulieleza punde. Ndoa ni jambo jema sana mbele ya MwenyeziMungu na ni ibada kubwa kwawanadamu mbele ya Muumba wao.Mwenyezi Mungu anatuambia, “Nakatika lama zake amewaumbieniwake kutokana na nyinyi wenyeweili muishi kwa utulivu nao, naakawatia upendo na rehema katiya nyoyo zenu. Kwa hakika katika

    haya ni ishara kwa wenye ku kiri”.(Qur’an 30:21).“Na Allah amekuumbieni

    anayetokana na asili yenu na kwaajili yenu, kutoka kwao watoto wakiume na wakike na wajukuu nakuwapeni rizki njema”. (Qur’an16:72)

    Mtume (Saw) amesema: “Enyivijana, aliye na uwezo wa kuoaaoe, kufanya hivyo kutamsaidiakuinamisha macho yake chini nakuwa mtii. Na utii ni sehemu yaimani”. (Bukhari).

    Na katika hadithi nyinginepia amesema: “Ndoa ni katikamienendo yangu na atakayekwendakinyume na hivyo hatakuwa nami”(Bukhari).

    Katika aya zilizotanguliaMwenyezi Mungu (Sw) anatwambiakuwa ameumba waume na wake iliwaishi pamoja kwa mapenzi. Wazaewatoto na kuishi kwa amani nautulivu na kwa njia hiyo watawezakutii amri zake na kufuatamafundisho ya Mtume wake. Ndoani mkataba wa kuishi pamoja katiya mume na mke kwa kufuatautaratibu uliowekwa na jamii. Ndoaya Kiislamu (Nikah) ni mkataba(Aqd) wa hiari kati ya mume namke wa kuishi pamoja kwa wemana upendo kufuatana na mashartina taratibu zilizowekwa na sheriaya Kiislamu.

    Katika Uislamu ndoa ni jambolililokokotezwa sana kutokana naumuhimu wake katika kuijenga nakuiendeleza jamii. Ndoa imewekwakwa wanadamu kwa sababu zake zamsingi. Kwa mtazamo wa Uislamu,ndoa inakusudiwa kuihifadhi jamii na vitendo vya zinaa. Hii ina

    Wazazi acheni kugeuza mali kuwa msingi waNa Shaban Rajab maana ndoa inaleta heshima katika

    mahusiano ya kimapenzi. Ndoani staha na kizuizi kinachomkingaau kumzuia mtu mume au mkeasishirikiane wala asiingiliwemahitaji ya kimwili ya kimapenzina mtu mwingine. Ndoa huletautulivu kati ya mume na mke. Hapandipo tunapotofautiana na viumbewengine kama wanyama wadudunk.

    Matamanio ya jimai ni katikamaumbile na hayaepukiki.Wanyama pia wameumbwana matamanio haya lakiniyanatofautiana sana nayale yaliyopandikizwa kwamwanadamu. Matamanio ya jimaikwa wanyama yanakuja juu wakatimaalum, wakati ule tu wanapokuwatayari kupandikiza mbegu ya uzazi.Matamanio ya jimai kwa wanadamuwa kawaida yako siku zote, mraditu vipatikane vishawishi. Kwa halihii, endapo mwanadamu ataachiwahuru atosheleze matamanioyake ya jimai apendavyo pasinakuwekewa mipaka, kwa vyovyote

    patatokea madhara makubwakwake binafsi na kwa jamii nzima.Hivyo, Mwenyezi Mungu (s.w.)aliyemuumba mwanadamu kwalengo na anayelifahamu vyemaumbile la mwanadamu na matashiyake kuliko yoyote, amemuwekeautaratibu madhubuti wa kukidhihaja zake za kimaumbile pasi nakuleta kero kwa yeyote katika jamii.

    Mwenyezi Mungu (s.w.)ameharamisha jimai nje ya ndoaili kuikinga jamii ya mwanadamuna madhara makubwa ya zinaaambayo huivuruga kiasi kikubwa.Kwa ujumla ndoa inafunga njia zotezitakazosababisha wanaume nawanawake kutosheleza matamanioya jimai nje ya ndoa. Uislamuumekataza uzinifu wa kila aina naumesisitiza ndoa ili kuwawezeshawanaume na wanawake baleghe,kukidhi matashi ya kimaumbile.

    "Na (mmehalalishiwa kuwaoa)wanawake wema wa Kiislamuna wanawake wema katika walewaliopewa kitabu kabla yenu.(Ni halali kuwaoa) mtakapowapamahari yao mkafanya nao ndoa bilaya kufanya uzinzi wala kuwawekavimada." (5:5).

    Mmoja wenu atakapomuonamwanamke kisha akamtamani,hana budi kumuendea mkewekwani ana kile kile alicho nachohuyo mwanamke aliyemtamani.(At-Tirmidh).

    Lengo la ndoa haliishii kwenyekufurahia jimai tu, bali kitendohicho kinakusudiwa kiwe ndiosababu ya kupatikana watotowatakao endeleza kizazi chamwanadamu. Hili ni dhumuni jingine la msingi la ndoa ambaloni kuendeleza uzao kwa utaratibu

    mzuri. Kila binadamu mwenye akilitimamu na anayetafakari vizuri, iwemume au mke atakuwa anahitajikuwa na familia, yaani mwenza nawatoto hata wajukuu na vitukuu.Hapa familia inapata fursa yakuendelea uzazi/ukoo.

    “Wala msiwaue watoto wenukwa kuho a umaskini. Sisitunakupeni riziki nyingi na waopia...” (6:151).

    Lakini pia ndoa hujengamapenzi, huruma na ushirikianokatika familia. Ni faraja kubwamke au mume kupata huduma yamwenza wake iwe ni wakati waraha au shida. Majonzi au huzuni.Maradhi au udhoofu wa viungo nk.Ndoa huleta liwazo. Huliwaza.

    Umuhimu mwingine wa ndoa nikukuza uhusiano na udugu katika

    jamii. Kuoa au kuolewa huongezaudugu kwa pande zote mbili zawanandoa yaani upande wa mumena ule wa mke. Ndoa husaidiakukilea kizazi katika maadili nakujenga matarajio ya kuendelezakizazi chema, ndoa husaidiakumwendeleza mwanaadamukiuchumi. Iwe ni kwa kushirikianapamoja wanandoa au kwa upandemmoja (mke au mume) kubarikiwaruzuku kutoka kwa Allah na ikawaruzuku ya wote.

    Hata kuiendea ndoa, dini yaKiislamu ilishaweka wazi niutaratibu wa namna gani tuziendeehizo ndoa. Nazo ni kuchaguamchumba kwa lengo la kupatamwenza bora atakayesababishamaisha yawe ya ucha Mungu,starehe, amani na utulivu.

    Yaliyotajwa ya kuzingatiwakatika kuchagua mchumba nikuhakikisha anayetaka kufungandoa anakuwa na sifa za msingi.Mojawapo ni dini, ukiwa na dinina kuizingatia bila shaka utakuwamuadilifu na mwenye busara,tabia njema, kutizama umaharimu.Hutaoa au kuolewa na nduguwakaribu kama baba, mama, dada,shangazi nk.

    Waislamu wanaumewameruhusiwa kuwaoa wanawakewema wa Kiislamu na wanawakewema katika wale waliopewaKitabu kabla ya Qur’an.

    “Na (mmehalalishiwa kuwaoa)wanawake wema wa Kiislamuna wanawake wema katika walewaliopewa kitabu kabla yenu,mtakapo wapa mahari yao nakufunga nao ndoa, bila ya kufanyauzinifu au kuwaweka kinyumba...”(5:5).

    Hata hivyo pamoja na kuwepoutaratibu huo mzuri wa kuiendeandoa, siku hizi ndoa kwa vijanaumekuwa mtihani mkubwa nasehemu kubwa ya tatizo imekuwani wazazi. Wazazi wengi wasiku hizi wamekuwa chimbukola matatizo mengi ya ndoa kwavijana wetu na kinachowaponzani ububusa wa kwenda na wakatikama nilivyogusa hapo awali.

    Utumwa wa matamanio ya nafsi,tamaa, ubinafsi, hofu za kijingazinazotafsiriwa kama ni kumjalina kumuonea huruma binti yao,zimechukua nafasi ya sababu zamsingi za ndoa kwa vijana wao.Siku hizi ukipo ka wakati kijana au binti kuwaeleza wazazi wake nia auuamuzi wake wa kutaka kuoa aukuolewa, wazazi wetu walio wengikwa makusudi, hawana habarikabisa kuzingatia mantiki ya ndoana sababu zake wala madhumuniyake. Badala yake wamejivikaukaidi wakijali zaidi matamanioya nafsi zao zinazotizama maslahi

    binafsi.Kwa mfano kwa wazazi wetu

    hawa wa ‘kisasa’, binti anapopatamchumba na kuwaeleza niayake ya kutaka kuolewa, swali lakwanza la msingi kwao wamuuliza,“Anafanya kazi gani”. La pili niwapi anakofanya hiyo kazi huyomchumba.

    Kwa ubinafsi na tamaa,hutasikia mzazi akihoji kuhusudini, tabia wala maadili. Hakunaatakayesumbuka ku kiri juuya sababu za msingi za ndoa,madhumuni yake, faida zake walakimantiki yake. Kwa wazazi wanamna hii tafakuri hiyo hainanafasi. Na hata watakapobaini kuwamchumba mwenyewe ana uwezokiuchumi au kifedha, basi hakunasifa nyingine wanayoihitaji tena.Kitakachofuata ni binti kuolewa.

    Kadhalika kama mchumbamwenyewe ni lofa, hata kamaatakuwa ana sifa nyingine za msingizinazokidhi kwa mujibu wa dini,hicho kitakuwa kigezo cha msingikwao kukataliwa kuoa hata kama binti amependa.

    Sababu kubwa ya ‘usasa’ huuwa wazazi kuasi maudhui halisi yandoa katika kuwaoza vijana wao,ni dhana kwamba binti akiolewa namwenye uwezo, basi binti yao huyoataishi maisha ya raha mustarehe,hatapata taabu ya maisha. Lakinikusudio kubwa ni kwamba,wazazi wenyewe wanaamini naowatafaidika na uwezo wa mkwewao, na watakuwa na fursa yakuambulia chochote kwa mkwe.

    Mwenyezi Mungu kawajaalia binadamu akili ili tutafakari nakutenda kwa ufasaha na kwakujua. Wazazi wengi wanafanyamakosa haya huku wakipuuzia

    ukweli kwamba pamoja na kuwepo juhudi za mtu, anayeruzuku naanayetoa kadar ni Allah (sw) pekee.Wan asahau kwamba MwenyeziMungu humpa amtakaye nahumpoka amtakaye pia.

    Uwezo wa mali au fedha siomsingi wa anayeoa au kuolewakukoseshwa ndoa. Bali mali kwamuoaji au muolewaji ni kigezokatika kuleta uwiano wa maisha yamazuri katika familia ya wanandoa.

    I ke mahali wazazi wajali nakuzingatia misingi na mantiki yandoa wanapowaoza vijana wao.Kuzigeuza ndoa za vijana wao kamachumo ni katika makosa makubwana chanzo cha kumong’onyokautenganamo wa ndoa za vijana waona hatimaye kuvunjika.

  • 8/18/2019 ANNUUR 1226.pdf

    9/20

    9 AN-NUURAJAB 1437 , IJ UMAA APRIL I 22 -28, 201Kalamu ya Ghassani

    Na Mohammed Ghassani

    BAINA yetu, watawaliwa, nawatawala wetu, pana kizingiticha kimawasiliano. Si sisiraia wala wao viongozi wetuwenye uwezo wa kuingiakatika akili na kuisoma fkraya mwenzake. Na kwa hivyohatuelewani. Huenda, ikawakwa kuogopa kuonekanawatovu wa nidhamu, basituko tunaojifanya kuelewana kukifurahikia kilakinachosemwa na mtawalawetu, hivyo tukapiga makofna kurukaruka. Na vivyo, kwakukhofu kuonekana kuwahaungwi mkono, mtawalanaye hujifanya kuyajuwasana maisha yetu. Hivyo sivyohali halisi ilivyo. Ukweli nikuwa pana tatizo kubwa lakimawasiliano.

    Inawezekana kabisa kwambaushiriki wa watu katikamikusanyiko yetu hautokanihata kidogo na mvuto wamtawala kwao. Watu wanaweza

    kushiriki katika mkutano wakiongozi fulani, si kwa kuvutiwana namna anavyozungumza, bali kwa kuwa pana vishawishivyengine vilivyo muhimu na bora zaidi na tafauti kwao.

    Walevi wanaweza kufuatapombe, vijana wa kiumewakafuata wasichana (hasaikiwa wasichana hao ni hawawanaovaa mibano na mipasuo),wazee wakafuata kahawa na aukutokana na hali yetu ya maishailivyo ngumu, wengi wanawezakuvutiwa na mlo – pilau,haluwa, n.k.

    Hapa tanbihi kwa viongoziwetu wa kisiasa ni kwambawanapojiona wamewaburutawatu wengi katika mikusanyikoyao, wasilewe sifa. Hawapaswikudhani kuwa watu wote haowanawapenda na wana imaninao. Lazima wajihakiki nawaone ikiwa kweli wao, wakiwakama upande mmoja wamawasiliano, ni wawasilianajiwazuri na ikiwa kweli kilewakiwasilishacho (ujumbe)katika mikutano yao, ndichohasa kinachowavuta watukaribu yao, wakiwa kamaupande wa pili wa mawasilianohaya.

    Uzoefu unaonesha kwambawanasiasa wengi wana kawaida

    Watawala na raia ni kama lila na flaya kuyadharau matatizoyanayotokana na mawasilianona ambayo huyaathiri mojakwa moja mahusiano yaliyopo baina yao na wafuasi wao. Huwa

    wanakosa uwezo na umakiniwa kimawasiliano na, hivyo,kushindwa kuzizingatia hisia na

    kra za watu wao. Matokeo yakeni kuharibika kwa mahusiano baina yao. Wanapo kia hapo,wanasiasa hawa huanzakuchukuwa hatua za kikatilikulazimisha kuwepo kwamahusiano. Na hata yanapokujahayo yanayoonekana kuwamahusiano chanya, basihuwa ni ya kutungwa tu.Hayo hayawasaidii chochotewatawala, labda kuwaharibiazaidi.

    Hili ni tatizo la kihistoriakatika siasa za kutawaliana,lakini kuwa kwake la kihistoriahakulihalalishi. Kiuongozina kisiasa, tatizo hili linagharama kubwa sana, naminadhani kuwa viongozi wetuwanastahili kusaidiwa kujuwakwa nini pawe na tafautikubwa za kimawasiliano bainaya watawala na watawaliwa.Sababu ni nyingi, mojawapo nihii ya kutokuchimbukia kwaopahala pamoja, yaani kuwa naviongozi wasiotoka migongonimwa raia wanaowaongoza.Hapa nakusudia kusema kuwahawa ni viongozi wasiotokanana maisha wanayoyaishi watuwao walio wengi. Viongozihawa huwa aidha wamezaliwakatika pepo za dunia na, au,kwa wale waliotokea katikaufukara, wameshayasahaumaisha hayo. Sasa wamekuwahawajuwi chochote kuhusumambo yetu sisi tuliozaliwa nakukulia katika maisha ya tabuna dhiki. Misamiati, shida nahaja zetu si vitu vinavyoelewekavichwani mwa viongozi hawa.Hawatujuwi.

    Malkia wa Ufaransa aliwahikumuuliza mtumishi wake baada ya kuuona ummaukiandamana mbele ya kasrilake: “Kwani wale wanatakanini hasa?” Akaambiwa kuwawanataka mkate, basi yeye

    akauliza “kwa nini wasidaikeki?”Malkia hakujuwa kuwa kwa

    waandamanaji wale, keki sikitu cha kawaida kama vilekilivyo kwake yeye. Wale niraia waliokuwa na maisha yadhiki sana kiasi ya kwambamkate ndio msamiati mkubwakatika maisha yao. Matokeoyake, ufalme wa mumeweukapinduliwa na raia wanaodaimkate. Mkate tu!

    Hivi ndivyo pia walivyowatawala wetu. Hawana uelewa juu ya maisha yetu, watawaliwa.Matokeo yake ni kuwa viongozihawa wanakuwa wazuri

    katika majukwaa ya kimataifa,lakini sio katika jukwaa lanyumbani. Wanazungumzakila lahaja ya Kiingereza,tena vizuri, lakini Kiswahiliwalichozaliwa nacho kinawapatabu. Wanapokaa majukwaanihutuvunganyavunganya, lamwanzo wakaliweka mwishona la mwisho wakaliwekamwanzo. Wanakosa hatamisamiati ya kujielezawao wenyewe mbele yetu.Wanaujuwa na wanauheshimusana utandawazi, ndio maanakila siku wanazungumziaumuhimu wa nchi hii kuwamona kubakia katika mchezo huowa kilimwengu ulioasisiwana kusimamiwa na mataifamakubwa.

    Lakini, kwa bahati mbaya,wanashindwa kuujuwaumuhimu wa nchi hii kudumukatika Muafaka ambaoumeasisiwa na kusimamiwana watu wa nchi hii wenyewe.Ndio maana wanapata uthubutuwa kuuponda, kuukebehina kuudharau. Sijuwi huoutandawazi wao utatanda uwaziupi, ikiwa kesho na keshokutwanchi hii itajaa machafukoyatakayotokana na kuvunjwakwa Muafaka!?

    Wanaijuwa sana historia yaUlaya na Mapinduzi ya Viwandana awamu zake zilizoanzia 1750,ndio maana wanayazungumziakistaarabu na kiuchumi.Lakini hawajuwi chochotekuhusu historia na Mapinduzi

    ya Zanzibar na awamu zakeyaliyodumu kwa miaka 40 tu, nandio maana wanayazungumziazaidi kikabila na kijazba.

    Wanaweza kuziona kwaurahisi sana athari za ugaidikwa ulimwengu na maslahiya mataifa makubwa, lakinini shida kwao kuziona athariza ukandamizaji ndani yanchi. Wanaijuwa globalizationna athari zake, lakinihawajuwi chochote kuhusuudugunaizesheni na athari zake.Hawaujuwi wala hauwapitikiivichwani mwao.

    Wanazijuwa zaidi pudding,hamburger na pizza kwa kuwandizo zilizowalea na ndizowalizozizowea. Lakini hawajuwikitu kuhusu shelisheli, biye,togonya na mtoriro; vyakulavilivyotulea na tunavyoshindiasisi raia wanaotuongoza. Kwaviongozi wetu, hivi si vyakulavinavyo kirika kuliwa na binadamu.

    Wanayajuwa zaidi mabenziyanayoendeshwa kwa kasi,lakini yasiyowaumiza abiriawake hata kama barabara niza mashimo. Lakini hawajuwichochote kuhusu bavu zambwa tunazopanda sisi raiatulio wengi. Hawajuwi kuwahumo watu hubanana na mizigo

    yao ya makozi na muhogo, nahata waki ka safari yao, wakotaabani kwa kudundwadundwamashimoni. Hawaujuwi usa rihuu.

    Wanaujuwa usa ri wa Boeingwanaopanda wakapewa chai navyakula vizuri vinavyotolewana wahudumu warembo nawatanashati, mara tatu kablahawaja ka safari ya robo siku.Hawaujuwi usa ri wa majahazitunayoyapanda sisi na njaa tokeaasubuhi ya siku moja hadi usikuwa siku ya pili.

    Hawaujuwi wala hawaujaliupepo huu wa Kusi ambaohuangamiza mamia ya roho zaraia wao wanaotumia usa rihuo. Ndio maana wanashindwahata kwenda kuwapa mkono wapole walioondokewa na nduguna jamaa zao!

    Kwa hivyo, chanzo nihuku kutoka na kuishi duniatafauti kati yetu sisi raiana hao wanaoitwa kuwa niviongozi wetu. Unawezakumsikia kiongozi anahutubiakatika mkutano wa hadharahuko kwetu kijijini, hukuanazungumzia ubinafsishaji,utandawazi, ugaidi,kupunguziwa madeni, nafasi yakodi katika ukuwaji wa uchumi,na vitu vyengine kama hivyo.

    Bila ya shaka, si vibayakuvizungumzia vitu hivi, lakinisuali ni wapi, wakati gani nakwa nani? Busara ya tendo ndiloni kutendwa pahala ndipo nawakati ndio. Likiepuka mipakahiyo, tendo hilo huwa halinachembe ya busara, na huwahasara tupu!

    Karibuni Rais (mstaafu)Amani Abeid Karume alikuwaakizungumza na wana-CCMwa mikoa mitatu ya Ungujakatika kijiji cha Mtende, kusiniya kisiwa cha Unguja. Yale yaletunayoyazungumzia hapa yaukosefu wa uwiano baina yakile kilichomo katika kra zamtawala na za watawaliwa,ndiyo yaliyodhihirika.

    Pamoja na mengine, Rais(mstaafu) alitutaka vijana waZanzibar tusikubali hata sikumoja kupokonywa uhuru wetu

    ulioletwa na Mapinduzi ya 1964,maana uhuru una utamu wake.Sadakta kabisa!

    Si wakati tena huu wakuzungumzia uhalali nauharamu wa Uhuru wa 1963na Mapinduzi ya 1964, lakiniitoshe kukubaliana kuwa wazeewetu walipigania uhuru wa nchihii. Hapo sote tunakubaliana,na ndio maana nikasadikishamaneno ya Rais kututaka vijanatuutambuwe utamu wa uhuru.Lakini nina hakika kuwa bainayake Rais Karume na sisi vijanawake, pana tafauti kubwa sanaya kuupata uhuru huo. Niseme

    Inaendelea Uk. 14

  • 8/18/2019 ANNUUR 1226.pdf

    10/20

    10 AN-NUURAJAB 1437 , IJ UMAA APRIL I 22 -28, 201MAKALA

    ANAJISHUGHULISHA nakilimo baada ya kufanikiwakufauli mtihani wa kidato channe mwaka 2005, lakini haliya kiuchumi haikumruhusukuendelea na masomo, ndioakaamua kukaa kitako chakutafuta riziki itokanayo naardhi kwa jasho lake. Miakakadhaa nyuma alijulika kwajina la Zakayo Mollel sasani Zakaria Mollel. Ni kijanaaliyezaliwa mwaka 1986 kutokakatika jamii ya Kimasai hukokatika kijiji cha Kivululu-Arumeru mkoani Arusha.

    Zakaria Mollel ameongezaidadi ya Waislamu na kuingia

    katika ukweli wa zile ta tizinazofanywa kuhusu dini,kisha zikatoa matokeo ya kuwaUislamu ndio dini inayokuwakwa kasi zaidi duniani.

    Hadi mwisho wa karnetuliyonayo, Uislamu utakuwandio dini yenye wafuasi wengizaidi duniani kuliko dininyengine. Uta ti huo ni kwamujibu wa Pew Research Center,kutoka Washington-Marekaniuliotolewa mwaka 2015.

    Turudi katika safari yaZakaria kutoka katika Ukristona kuingia Uislamu. Mwanzonimwa mwaka 2011 ndio Allah

    (s.w) alipomjaalia kuingiakatika Uislamu kwa kutamkashahada na kuuanza Uisilamukivitendo. Zakaria kapitia mengina kanieleza mengi mno. Katikamakala haya nitayaeleza kinagaubaga.

    “Sikuwa naujua Uisilamuispokuwa nilifundishwa kuwaUislamu ni Ushetani”, anasemaZakaria, kisha anafuatishamaneno yake hayo na kalimaya ‘Astagh rullah’. Anaombamsamaha kwa Allah kwa imaniyake hiyo potofu aliyokuwanayo - aliyofunzwa na kuiamini.

    Wakati Zakaria akiwa shule ya

    upili (secondary), kulikuwa namwanafunzi wa Kikristo ambayealizoea kusema “Yesu wangu”kwa kila jambo linatokea.Siku moja wakiwa darasani,mwanafunzi yule akalisemaneno lile na Mwalimu aliyekuwadarasani alikuwa ni Muislamukwa jina la Abdallah Meena.Mwalimu Meena akamwambiayule mwanafunzi; “UsisemeYesu wangu, sema Yesu wetu”.Kauli hii ya Mwalimu ikamtiashaka Zakaria na bila ya kumezamate akamtupia Mwalimu suali;“Kwani Yesu ni wa-Waislamu?”

    Safari kutoka Lutheran hadi UislamuNa Rashid Abdallah, MUM

    Zakaria Mollel, akiwa Arumeru-Arusha

    “Waisilamu wanamjua Yesu

    (Nabii Issa) kuliko Wakristo”,ndio jawabu aliyoipata Zakariakutoka kwa Mwalimu yule.

    Safari ya kuanza kuhojikuhusu Uislamu ilianzia hapo,akawa anamfuata MwalimuMeena kumuuliza masuali mbalimbali kuhusu Uislamu. Lakini bado Zakaria alikuwa na imaniyake ya Kikristo iliyomjaa vizurikabisa, ila jambo moja ambalohakuacha kulifanya ni kuendelakuta ti kuhusu Uislamu. Japoalikumbana na vigingi vingimno, kwani wakati mwenginealikumbana na vitabu vyaKiarabu.

    Baada ya kufanya mtihaniwa kidato cha nne, alifanikiwalakini hakuweza kuendeleakwa sababu ya kipato na haliya umasikini , ndipo alipoanzakujishughulisha na kilimo hukuakiwa muumini hai wa diniyake.

    Siku moja akiwa Kanisanialimuuliza mchungani wake,“Ni ipi tofauti kati ya Uislamuna Ukristo? Jawabu ilikuwa;“Ukristo ni dini sahihi naUislamu ni dini ya mapepo”.

    Hakuridhika na jawabu hii,kwani haikumtosha kuujua

    Uislamu, hivyo akaamuakutafuta Wataalamu wa dinizote mbili ili ajue Ukristo naUislamu una tofauti gani, na piakuujua Uislamu zaidi ya kilealichofunzwa kanisani kuwaUislamu ni Ushetani. Miongonimwa Masheikh wa Kiislamualiowasiliana nao, ni pamojana Sheikh Muhammed Issa,Sheikh Kombo Ali Fundi, KhalidLungw'echa na makumi yawanazuoni wa Kiislamu ambaowalimsadia kumueleza kuhusuUislamu.

    Pia alikuwa ananunuamagazeti ya Kiis lamu,mitandao mbali mbali yaKiislamu kuusoma Uislamu,anaishukuru sana ImaanMedia kwani ilimsaidia sanakuujua Uislamu kupia redioImaan, anasema; “ImaanMedia w amenisaidia kuujuaUislamu.”

    Jambo jengine ambaloalilifanya wakati wa kuutafutaukweli wa Uislamu ni kununuaMas-ha (Quraan Tukufu), lakinialiponunua Mas-ha wauminina mara ki zake walimtishakuwa ukiwa na Mas-hamapepo ya Kiislamu yatamfuta.Anashangaa kuwa hadi leo hanapepo wa aina yeyote nyumbani

    kwake wala kichwani.Maneno yote hayo na vitisho

    vya ajabu hayakumuingiaakilini, na Allah akamtianguvu na msimamo kuendelakuutafuta ukweli wa Uislamuna kuudadisi Ukristo pia. Jambo analolikumbuka katikaudadisi wake juu ya Ukristo,ni kuwa wapo Wasomi wa dinihiyo ambao ni Wakristo lakiniwalikubali kupasua mbarika(kumueleza ukweli) Zakariakuwa Ukristo unajikanganya.Hitimisho lao ni kuwa kwa vile jamii kubwa imeshaukubali basitwende tu.

    Ilipo ka mwanzoni mwamwaka 2011, Zakaria Mollelchini ya Sheikh SuleimanFilambi (Mhaadhiri katika ChuoKikuu cha Waislamu Morogoro)akatamka shahada ya kuingiakatika Uislamu.

    Kama ilivyo k wa watuwengine ambao wanaingiakatika Uislamu, misukosukohaikosekani kutoka kwamara ki na jamaa, jambohili pia kwa Zakarialimemkumba. Wapo Mara kiwake wa zamani ambaowamesitisha mawasilanonaye, pia wapo nduguambao wamemtenga. Jambola kushukuru ni kuwa siowote waliomtenga. Wapo

    ambao wamemuelewa nawanashirkiana naye vizuri tu.Pia amewahi kupokea

    vitisho hadi aka kiriakwenda kuweka ripoti Polisi. Jambo kubwa na zuri kwa sasani kuwa yuko katika jitihadaza kuwaeleza ndugu zakeuzuri wa Uislamu na wala siowanayoyasikia ya upotoshaji.

    Suali langu la mwisho kwakelilikuwa; “Una lipi la kuwaelezaWaislamu? Anasema; “Waislamuni watu wenye bahati mno,ni kundi bora sana , Uislamuumekamilika, licha ya yote hayoWaislamu wanapaswa kuusoma

    na kuufuata Uislamu kwaninimegundua wapo Waislamu wamajina tu, hawaijui dini hii”.

    Na ujumbe wake kwawasiokuwa Waislamu ulikuwahuu:

    “Wasioufahamu Uislamuwasiwe kama makinda ya ndege,kwani kinda ukigusa kiotawanapanua vinywa vyao, hatakisicholika watakula,wafanyeuta ti na uta ti utawapa ukweli!Pana makundi mengi duniani,lakini kundi la haki ni la MtumeMuhammad (s.a.w)”.

    No: 0773526254

  • 8/18/2019 ANNUUR 1226.pdf

    11/20

    11 AN-NUURAJAB 1437 , IJ UMAA APRIL I 22 -28, 20111 AN-NUMakala

    Ugaidi ni nini?-2NILISEMA kuwa mfumohuo wa zamani na wa sasa wanchi za Ulaya na Marekani wakuitawala dunia na kuwadhulumuwanyonge, ndani ya ngozi yadini ya Kikristo; unaidhalilishadini hiyo na kuidharaulisha,na kuitukanisha kwa kiasi cha

    kuonekana kuwa ina mafundishoya maadiko ya mikono ya watu:“Mwaka 1857 jopo la majaji wa

    Mahakama Kuu huko Marekaniilipitisha maamuzi yaliyosisitiza kuwamtu Mweusi hakuwa na haki zozoteambazo mtu Mweupe anawajibikakuziheshimu’ (King, 1980:42).

    Na Kanisa (hususan kusini mwanchi hiyo ya Marekani) likawa ndiyemtetezi mkubwa wa utumwa. Warakawa Kichungaji wa mwaka 1865ulitamka kuwa ‘…kauli inayodaikuwa utumwa ni dhambi ni kinyumena maandiko na ni ya kishabiki… nani miongoni mwa kufuru za zamahizi ambazo kanisa lazima ipambanenazo (1 Timotheo 6:1-5), na kwa yakini tumekwisha kuonyeni juu yasumu inayopenyezwa na batili hii’(Ahistrom, 1972:673).

    Kwa hali hiyo, kinachofanyikasasa duniani na hasa nchi zaAfrika Kaskazini na Mashariki yaKati na Asia, ni kupata watumwawa kutumikia nchi za Ulaya naMarekani kwa kutumia vita vyakuvuruga nchi hizo kwa kufunguamilango ya nchi za Magharibiya kuingilia wakimbizi, iliwakawatumikie mabwana:-

    “Wo wote walio chini ya kongwa,hali ya utumwa, na wawahesabiebwana zao kuwa wanastahili heshima yote, jina la Mungu lisitukanwe walamafundisho yetu. Na wale walio bwanawaaminio wasiwadharau kwa kuwa nindugu; ni afadhali wawatumikie, kwasababu hao washirikio faida ya kazi yaowamekuwa wenye imani na kupendwa. Mambo hayo uyafundishe na kuonya” (1 Thimoseo 6:1-2.)

    “Enyi watumwa watiini wao waliobwana zenu kwa jinsi ya mwili, kwahofu na kutetemeka, kwa unyofu wamoyo, kana kwamba ni kumtii Kristo;wala si kwa utumwa wa macho tu kamawajipendekezao kwa wanadamu; balikama watumwa wa Kristo, mkitenda yampendezayo Mungu kwa moyo; kwania njema kama kumtumikia Bwanawala si mwanadamu, mkijua kuwa kilaneno jema alitendalo mtu atapewa lilohilo na Bwana, kwamba ni mtumwa aukwamba ni huru.” (Efeso 6:6-8.)

    “Watumwa na wawatii bwana zao,wakiwapendeza katika mambo yote;wasiwe wenye kujibu, wasiwe waibaji;wauonyeshe uaminifu mwema iliwayapambe mafundisho ya Mwokoziwetu Mungu katika mambo yote.”(Tito 2:9-10.)

    “Enyi watumishi, watiini bwanazenu kwa hofu nyingi; sio wao waliowema na wenye upole tu, bali naowalio wakali Maana huu ndio wemahasa, mtu akivumilia huzuni kwakumkumbuka Mungu, pale ateswapoisivyo haki. Kwa maana ni sifa ganikustahamili, mtendapo dhambi nakupigwa makof? Lakini kustahamili,mtendapo mema na kupata mateso,huu ndio wema hasa mbele ya Mungu.” (Petro 2:18-20.)

    “Ndugu zangu, nanena kwa jinsi ya kibinadamu. Lijapokuwa ni aganola mwanadamu, hata hivyo likiishakuthibitika, hakuna mtu alibatilishaye,wala kuliongeza neno.” (Galatia 3:15.)

    Maagano hayo ya binadamuyaliyoingizwa katika maaganoya Mungu yakafundishwa kwamsisitizo zaidi kuliko maagano

    ya Mungu Mwenyezi, ndiyoyanayowatesa wanadamu hapaduniani, yakiwa yamefunikwandani ya kivuli cha dini. Narudia,kuwa siwasemi viongozi wa Kanisakwa kuwasingizia au kulumbananao la, ni ukweli kuwa walikuwani wasaidizi wakubwa katikakuwasaidia wakoloni kuitawaladunia na kupora mali kwa mauwajiya nchi husika. Gazeti moja laKanisa la imani ya Rais GeorgeBush (Mlokole) la Msema kweliNa. 266 la Jumapili ya April6-12, 2003, limeonyesha jinsi nasababu ya viongozi wa Kanisawalivyoshirikiana na Magaidi 32 yadunia kuwauwa Wananci Waislamuwa Iraq, kwa kisingizio cha silaha zasumu kumbe ni uroho wa mali nakusanbaza Ukristo:-

    “Bustani ya Edeni kukarabatiwaupya nchini Iraq baada ya vita, Eneohilo limeharibiwa na utawala waSadam…”

    Kwa maana hiyo, ni kuwa vitaalivyopigwa Marehemu Rais SadamHusseni, vilikuwa ni mkakati waMakanisa chini ya Rais George Bushwa kupora mali za Iraq:-

    “Mpango wa Umoja wa mataifawa kutunza Mazingira yenye maji naunyevu wa asili (UNEP) unakusudiakuifanyia Ukarabati mkubwa eneo la Mesopotamia nchini Iraq, inakisiwakuwa ndipo lilipokuwepo bustani yaEdeni walipoishi binadamu wa kwanzawalio Umbwa na Mungu, Adamu naHawa.”

    Mwandishi wagazeti la Kanisa,anatufahamisha kuwa Umoja wamataifa, Makanisa na Serikali yaMarekani walikuwa na mpango wakuivamia Iraq, kwa sababu ya maliasili zake:-

    “Eneo hilo ambalo ripoti ya shirikahilo imeeleza kuwa limekuwa likipotezahali yake ya maji, unyevunyevu nauoto wa asili kwa maelifu ya miaka, iko Mesopotamia Mashariki mwa pwani yabahari ya Mediterania katika ukandaunaoambaa kusini mwa nchi ya Siria nakuishia katika mito mikubwa ya Tigrisina Ephrates. Mito hiyo miwili mikubwainaishia katika ghuba ya Persia.”

    Angalia ramani ya maelezo hayo,na vita vilivyo katika nchi hizo nakilichokusudiwa na shirika hilo laUmoja Wa mataifa na Makanisa

    chini ya Marekani:-“Kwa mujibu wa mpango huo wa

    (UNEP), Ukarabati wa eneo hilo labustani ya Edeni, utafanywa kwa lengo

    la kurudisha hali yake ya asili ambayohusababisha liwe na rutuba, marabaada ya kumalizika kwa vita nchiniIraq ambayo majeshi ya Marekanina swahiba wake wanapambana nautawala wa Sadam Huseni kwa nia yakumuondoa madarakani.”

    Viongozi wa Kanisawalishirikiana na Marekani namashirika ya Umoja wa mataifakuwauwa watu wa Iraq ndiyomaana hukusikia kiongozi yoyotewa Kanisa aliyekemea kitendo chakuvamiwa nchi ya Iraq.

    “Ripoti moja ya UNEP kuhusumasuala ya maji iliyotolewa mjini Kyoto Japani baada ya kikao kilichofanyikamwezi uliopita, ilieleza kuwa hatuazisipochukuliwa haraka, katika kipindicha miaka mitatu au mitano ijayo, eneohilo litakuwa limeharibika kabisa.”

    Wakati Iraq inapigwa, kikaohicho kilikuwa kinahamasisha,kuwa Wairaq waangamizwe kablaya miaka mitatu au mitano, iliwaangamizaji wafaidi malengo yao.

    “Ukanda huo wa Mesopotamiailipokuwepo Bustani ya Edeniumeathirika kwa theluthi mbili haliiliyoelezwa kuwa ni mbaya ukizingatiakwamba ndilo lenye mito ya Tigris naEuphrates, inayotegemewa na Iraqkama vyanzo vikuu vya mani.”

    Kwa maneno yao hayo, utadhanikuwa wanawahurumia watu waIraq; kumbeni ulaghai mtupu;wamewagombanisha Iraq naIrani miaka minane(8), wakiwawanawauzia silaha kwa thamani yaroho za Wairaq na Wairani.

    Wanasema kuwa “Ripoti yaUNEP imeulaumu utawala wa RaisSadam Huseni wa Iraq kwa kuharibumazingira ya eneo hilo kwa makusudi,kutokana na chuki dhidi ya wakazi waeneo hilo ambao ni Waarabu wa Kishiawanaofahamika kama Marsh Arabs.”

    Wanasema, “Eneo hilo la Mesopotamia ambako binadamu wakwanza Adamu na Hawa waliishi enziza Biblia, ni moja ya maeneo muhimusana katika historia ya dini za Kikristona Kiislamu.”

    Lakini, enzi za Adamu na Hawasio enzi za Biblia; maana Bibliahaikuweko, wala Taurati:-

    “Ni eneo ambalo licha ya kuwana rutuba ya kutosha kwa shughuliza kilimo, pia huzalisha kwa wingisamaki, maji saf na ndege wazuri,baadhi ya sifa ilizokuwa nazo bustani ya Edeni inayoelezwa na Biblia kuwanzuri kuliko zote zilizopata kuwepoulimwenguni.”

    Ibilisi alimwambia Yesu kuwa“ukinisujudia nitakupa mali hizo zote

    za ulimwenguni”. Mathayo 4:8-9.Hivyo wale waliomsujudia ibilisi,hawataki kuona kitu cho chotekikimilikiwa na wasio kuwa wao.Ikumbukwe kuwa nukuu zote hizoni za gazeti la Kikristo.

    Makanisa na Wakristo wenyemtazamo wa Mchungaji Teghuana wa Rais George Bushi,wanaoliabudia andiko hilo hapo juu la Mat 4:8-9, walifurahia vifowa watu wa Iraq, kwa kutuandikiakatika gaseti la Kanisa la Habarinjema toleo Na. 82 la tarehe 16-22,2005, limeandikwa hivi:-

    “Ndege za kivita, vifaru namakombora vyalinda mkutano wa InjiIraq Waandika historia ya Injili nchinihumo.”

    “Wiki hii ambapo duniaitashuhudia Wairaq wakipiga kuraya kuwachagua viongozi wa nchihiyo wamefanya Mkutano mkubwawa Injili katika historia ya nchi hiyo,na kuzingirwa na makombora yakudungulia ndege, vifaru, ndege zakivita na magari lukuki ya deraya.”

    Hiyo ni fahari kwa Ukristo naUlokole wa sampuli ya Rais GeorgeBush, na Wachungaji sampuli yaMchungaji Teghua. Niliandikamakala , nikasema kuwa, bila nguvuya dola, vita na wongo hakunakuenea Ukristo. Mafundisho hayo

    ya kuhubiri Injili kwa kulindwanamna hiyo wameyapata wapi?“Mbali na mkutano huo wa

    kihistoria kuwahi kufanyika nchinihumo, nchi 35, duniani, zitakutanamjini Dallas, Marekani, Jumapili hii,kujadili nchi hiyo, hususan matesowanayopata Wakristo wa huko”…

    Mwandishi anachotufahamishahapo ni kuwa, Iraki hapakuwa naUkristo na Wakristo, maana kamawangekuweko isingekuwa jambo laki historia kuhubiriwa Ukristo Irakimaana kungekuwa kuna hubiriwaInjili Makanisani.

    Kwa maana hiyo ni kuwa, vitavya Iraki ni pamoja na kuusimikaUkristo kwa mizinga kamamwandishi alivyotueleza hapo juu:-

    “Kwa mujibu wa Bw. DavidShibiay, wa shirika linaloandaamkutano huo wa Dallas, GlobalAdvance, mkutano huo wa Injiliuliofanyika jijini Baghdadi, Ijumaailiyopita, uliwajumuisha Wakristokutoka madhehebu yote, nakudhihirisha umoja na mshikamanomkubwa walionao Wakristo waIraq, nakuacha gumzo kubwaserikalini na dini zingine nchinihumo.”

    Limeachwa gumzo kwa kuwaWaislamu wanajua jinsi Nabii Isa(Yesu) alivyokuwa akihubiri dinialiyowaletea wana wa Israeli,alisema:-

    “Hao Thenashara Yesualiwatuma, akawaagiza, akisema,Katika njia ya Mataifa msiende,wala katika mji wo wote waWasamaria msiingie…Msichukuedhahabu, wala fedha, wala mapesamishipini mwenu; wala mkoba wa

    safari, wala kanzu mbili, wala viatu,wala mbo;”…(Mathayo 10:5-10.)Maneno hayo hapo juu, Yesu

    ameyasema wakati anawafundishawanafunzi wake jinsi na namnaya kwenda kuhubiri Injili. Sasahiyo dini ya kuwavamia watukwa kisingizio kuwa wao nimapepo, alafu unawamiminiamvua ya mabomu, waliokufawamekufa, waliobaki vilemana wazima unawakusanya kwavifaru na mizinga na ndegeza kivita zinawazingira, alafuunawapigia magita na kunengua;alafu unawabatiza na kujisi akuwa wamebaki wakishangaa;mafundisho hayo ni ya dini yamtume gani?

    (K.J. Mziray 0757 01 33 44.)

    Na Khatibu J Mziray

    WANAMGAMBO wa ISIS.

  • 8/18/2019 ANNUUR 1226.pdf

    12/20

    12 AN-NUURAJAB 1437 , IJ UMAA APRIL I 22 -28, 20112 Safu ya Ben Rijal

    KATIKA makala iliopita ulikuwa utangulizi juu ya wanyamawaliotajwa katika Qu’ran tukufu. Kabla sijaja na maelezo yandege walivyotajwa katika Qur’an ni vyema tukaangalia namnawanyama walivyogaiwa kwenye taaluma ya somo la uhai(Biology).

    TUANGALIE katika daraja yamgawanyo (class) wanyamawamegawiwa ifwatavyo, wenyemanyoya, damu ya moto,wananyonyesha watoto waokatika mgawanyo huu wamo binadamu, mbwa, paka, simban.k. (mammal), kisha kunasamaki na aina zake wakiwemochangu, papa, nguru, pweza,ndowaro n.k. Wakifwatiwana ndege mfano wa ndege nimanna, zuwarde, njiwa (Aves)n.k. Halafu wanafwatiwa nawale wenye damu ya baridiwakiwemo jamii ya vyuraambao wanasifa ya kuishinchi kavu na kwenye maji(Amphibians). Aidha kuna walewenye damu ya baridi mfanowa nyoka, mijusi, mamba, kobe,kasa n.k. (Reptiles)

    Katika makala hii

    nitawaangalia ndege ambaowametajwa katika Qur’an. Ainaya ndege na wametajwa marangapi? Wachambuzi na wafasiriwameelezea kuwa ndege wenyemajina wametajwa mara 4katika Qur’an na neno ndegelimetajwa mara 18 na wenginewanaelezea kama ndege kwamajina wametajwa mara 3 nandege wametajwa mara 17katika Qur’an.

    Ndege ni viumbe vyenyekupendeza na siku zotewanakuwepo kwenye mazingirayalio mazuri na popote paleambapo ndege walikuwepokisha wakatoweka, hicho ni

    kiashiria kuwa hapo zamanieneo hilo lililuwa halijachafukakimazingira na kuchafukakwake kimazingira, ndio haondege wakahama. Kaa ukijuakuwa mazingira mazuri ndioambayo ndege huonekana.

    Ndege wana sifa ya kuhamakutoka bara mmoja hadi bara jengine. Ndege hutoka katikanchi ya Siberia husa ri hadiku ka maeneo yetu ya AfrikaMashariki na wengine husa rizaidi na ku ka Afrika ya Kusini.Hao huwaita ndege wanaohajiri (Migratory birds). Ndegewanaohajiri huonekana zaidisehemu za kwetu kuanzia

    Wanyama waliotajwa katika Qur’an

    mwezi wa Oktoba na hubakiakatika maeneo haya ya AfrikaMashariki hadi April nai kapo April hurudia makwaowalikotoka.

    Ndege ambao walipatakukamatwa na kufungwachombo cha kutoa taarifa(Transmi er) wamekujakuonekana tarehe aliowasilimwaka jana na tarehe aliondokakurudi alikotoka mwaka janandio tarehe aliowasili mwakahuu na ndio itakuwa tarehe yakuondoka, huongozwa na hisiaza saa ya kimaumbile (Biologicalclock).

    Kuna ndege wanne ambaowametajwa katika Qur’ankwa majina nao ni Kunguru,Hudhud , Salwa na Ababeel.

    Salwa hawa ni ndege katikandege wa Peponi. Mayahudiwakalishwa Mana na Salwavyakula kutoka binguni namwisho wakakufuru na kutakavyakula vya kidunia. Ababeelni aina ya ndege mweusi lakiniwafasiri wengi wanasemani makundi ndio maana yaAbabeel wala hilo neno halinamaana ya ndege.

    Aya zinazozungumzia ndege kwamajina

    Aya inayomfunza mtoto waNabii Adam baada ya kumuuamwenzake namna ya kuzika:

    “Hapo Mwenyezi Munguakamleta kunguru anaye fukuakatika ardhi ili amwonyeshevipi kumsitiri nduguye.Akasema: Ole wangu!Nimeshindwa kuwa kamakunguru huyu nikamsitirindugu yangu? Basi akawamiongoni mwa wenye kujuta.”(Al-Maida 5:31).

    Mtume Suleiman alipoviwekavikosi vyake na kuanzakuvikagua akakuta mmoja katiya viumbe hayupo:

    “Na akawakagua ndege, naakasema: Imekuwaje, mbonasimwoni Hud-hud, au amekuwamiongoni mwa walio ghibu”(An-Naml 27:20).

    “Basi (Hud-hud) akakaa si

    mbali na akasema: Nimegundua

    usilo gundua wewe, naninakujia hivi kutoka nchi yaSabai, na nakuletea khabari zayakini.” (An-Naml 27:22).

    “Na akawapelekea ndegemakundi kwa makundi.” (Al-Fil105:3) Hapa wengine wametajaAbabeel ni ndege, lakini wafasiriwengi wamekubalina kuwa nimakundi.

    “Na tukakutilieni kivuli kwamawingu na tukakuteremshieniManna na Salwa;tukakwambieni: Kuleni vituvizuri hivi tulivyo kuruzukuni.Nao hawakutudhulumu Sisilakini walikuwa wanajidhulumunafsi zao.” (Al- Baqara 2:57)

    Kutajwa kwa nenondege katika Qur’anKatika Quran neno ndege

    limetajwa mara 17 na wenginewamekuja na ushahidi kuwawametajwa mara 18 ikiwakwenye Bibilia neno ndegelimetajwa mara 129.

    Ndege wametajwa kutokanana Mitume watano nao niMtume Ibrahim, Yusuf, Daud,Suleiman na Mtume Issa AS.Qur’an inamuelezea nani nindege kama ifwatavyo:

    “Na hapana mnyama katikaardhi, wala ndege anayeruka kwa mbawa zake mbili,ila ni umma kama nyinyi.Hatukupuuza Kitabuni kituchochote. Kisha kwa Mola waoMlezi watakusanywa.” (SuratAl-An-A’am 6:38).

    Ndege na utiifu “Je!Hawawaoni ndege walivyowat'iifu katika anga la mbingu?Hapana mwenye kuwashikaisipo kuwa Mwenyezi Mungu.Hakika katika haya zipo isharakwa watu wanao amini.”(Suurat An-Nah’l 16:79).

    Viumbe katika kumtakasaMwenyeenzi Mungu “Je! Huonikwamba Mwenyezi Munguvinamtakasa vilivyomo katikambingu na ardhi, na ndege

    wakikunjua mbawa zao? Kilammoja amekwisha jua Salayake na namna ya kumtakasakwake. Na Mwenyezi

    Mungu ni Mwenye kuyajuawayatendayo.” (Suratun Nur24:41).

    Namna ndege wanavyokuwaangani “Kwani hawawaonindege walioko juu yao namnawanavyo zikunjua mbawa zao,na kuzikunja? Hawawashikiliiila Mwingi wa rehema. HakikaYeye ni Mwenye kuona kila kitu.(Surat Al-Mulk 67:19).

    Mtume Ibrahim na kutakakujua umbwaji “Na aliposema Ibrahim: Mola wanguMlezi! Nionyeshe vipi unavyofufua wafu. MwenyeziMungu akasema: Kwanihuamini? Akasema: Hasha!Lakini ili moyo wangu utue.Akamwambia: Twaa ndegewane na uwazoeshe kwako,kisha uweke juu ya kila kilimasehemu, kisha wete, watakujiambio. Na ujue kwamba hakikaMwenyezi Mungu ni MtukufuMwenye nguvu, na Mwenyehikima.” (Al-Baqara 2:260).

    Maelezo ya Mtume Yusuf navijana wawili waliopo gerezaniwakitaka ufafanuzi wa ndotoyao “Wakaingia gerezanipamoja naye vijana wawili.Mmoja wao akasema: Hakikamimi nimeota nakamua mvinyo.Na mwingine akasema: Miminimeota nimebeba mikate juuya kichwa changu, na ndegewanaila. Hebu tuambie tafsiriyake, kwani sisi tunakuonawewe ni katika watu wema.”(Surat Yusuf 12:36).

    Ufafanuzi wa ndoto yavijana wawili kutoka kwaMtume Yusuf “Enyi wafungwawenzangu wawili! Amammoja wenu atamnywesha bwana wake mvinyo. Na amamwengine atasulubiwa, nandege watamla kichwa chake.Imekwisha katwa hukumuya hilo jambo mlilo kuwamkiuliza.” (Suratu Yusf 12:41).

    Juu ya uwezo aliopewaMtume Daud “Na tulimpaDaudi fadhila kutoka kwetu,

    (tukasema): Enyi milima!Karirini kumtakasa MwenyeziMungu pamoja naye! Na ndegepia. Na tukamlainishia chuma.(Surat Sabaa 34:10).

    Juu ya uneyenyekevu “Na piandege walio kusanywa makundikwa makundi; wote walikuwawanyenyekevu kwake. (SuratS’aad 38:19).

    Aya inayoeleza juu ya mzeeMtume Daud na mwana MtumeSuleiman “TukamfahamishaSuleiman. Na kila mmojawao tulimpa hukumu nailimu. Na tuliifanya milima na

    Ndege Hudhud

    Inaendelea Uk. 13

  • 8/18/2019 ANNUUR 1226.pdf

    13/20

    13 AN-NUURAJAB 1437 , IJ UMAA APRIL I 22 -28, 201Makala

    Wanyama waliotajwa katika Qur’anInatoka Uk. 12

    ndege kuwa pamoja na Daudimnyenyekee na imtakaseMwenyezi Mungu. Na Sisindio tulio fanya hayo” (SuratulAnbiyaa 21:79).

    “Na Sulaiman alimrithiDaudi, na akasema: Enyi watu!Tumefunzwa usemi wa ndege,na tumepewa kila kitu. Hakikahii ni fadhila iliyo dhaahiri.”(Surat An-Naml 27:16).

    Nguvu alizokuwa nazoMtume Suleiman “Naalikusanyiwa Sulaiman majeshiyake ya majini, na watu, nandege; nayo yakapangwa kwanidhamu.” (Surat An-Naml27:17).

    Mtume Suleiman katikaukaguzi aliofunya nakumuona Hudhud hayupo“Na akawakagua ndege, naakasema: Imekuwaje, mbona

    simwoni Hud-hud, au amekuwamiongoni mwa walio ghibu?”(Surat An-Naml 27:20).

    Maelezo ya wanayopewawana Israel “Na ni Mtume kwaWana wa Israili kuwaambia:Mimi nimekujieni na Isharakutoka kwa Mola Mlezi wenu,ya kwamba nakuundieni kwaudongo kama sura ya ndege.Kisha nampuliza anakuwandege kwa idhini ya MwenyeziMungu. Na ninawaponeshavipofu wa tangu kuzaliwa nawakoma, na ninawafufua maitikwa idhini ya Mwenyezi Mungu,na ninakwambieni mnacho kilana mnacho weka akiba katikanyumba zenu. Hakika katikahaya ipo Ishara kwenu ikiwinyinyi ni wenye kuamini.”(Surat Al I’mran 3:49).

    Miujiza yote alioyafanyaMtume Issa AS ni kwa amriya Allah “Na pale Mwenyezi

    Mungu atapo sema: Ewe Isa binMaryamu! Kumbuka neemayangu juu yako, na juu ya mamayako, nilipo kutia nguvu kwaRoho Takatifu, ukazungumzana watu katika utoto nautuuzimani. Na nilivyo kufunzakuandika na hikima na Tauratina Injili. Na ulipo tengenezaudongo sura ya ndege, kwaidhini yangu, kisha ukapulizaikawa ndege kwa idhini yangu;na ulipo waponesha vipofu nawakoma kwa idhini yangu; naulipo wafufua wafu kwa idhiniyangu; na nilipo kukinga naWana wa Israili ulipo wajia nahoja zilizo wazi, na wakasemawalio kufuru miongoni mwao:Haya si lolote ila ni uchawimtupu!.” (Surat Al-Maida 5:110).

    Kutumwa majeshi ya Mola“Na akawapelekea ndegemakundi kwa makundi,” (SuratAl-Fil 105:3).

    Uwezo wa kupindukia waMola “Kwa kumtakasikiaImani Mwenyezi Mungu, bilaya kumshirikisha. Na anayemshirikisha Mwenyezi Munguni kama kwamba ameporomokakutoka mbinguni, kisha ndegewakamnyakua au upepoukamtupa pahala mbali. (SuratulHajj 22:31).

    Kati ya maandalizi ya watuwa Peponi “Na nyama za ndegekama wanavyo tamani.” (SuratulAl-Waaqia’h).

    Baada ya kufahamuna kuzielewa ayazilizowazungumzia ndege,katika makala inayofwatanitamzungumzia ndege Hudhudalivyotajwa katika Qur’an nakatika ulimwengu wa sayansi.Fwatana na mie katika makalahizi ambazo zinawachambuawanyama waliotajwa katikaQur’an.

    SHUKRANI zote zinamstahikiaAllah (sw) na sala na salamuzimfie Mtume Muhammad(saw), mtukufu wa daraja,Masahaba wake na wotewanaofuata mwenendo wake

    mpaka siku ya malipo.Soma la saba katika mfululizohuu wa masomo ya Tawhiid hasakatika Aqida, ni kuitakidi kuwasuala la kuingia waumini peponini la haki na kweli, bila yakuainisha nani ataingia peponiila wale aliowataja mwenyeweAllah (sw). Anasema ImamTahawy katika kitabu chakeAqida Tahawy:

    “Tunataraji kwa wale wemakatika waumini kuwa Allah(sw), atawasamehe na atawatiapeponi kwa rehma zake, bila yakuwapa matumaini ya moja kwamoja, wala hatuwahakikishiimoja kwa moja kuingia peponi,tunawaombea msamaha nakuwaho a bila ya kuwakatiatamaa”.

    Utakumbuka kuwa katikasomo letu la nne tulieleza itikadiya kutokuwaita watu maka riwa kibla na kutowakufurishakwa kufanya madhambimakubwa, mpaka waamini kuwayale madhambi wanayoyafanyani halali. Kipengele hichi kikotofauti kidogo kwamba nikuwatarajia mema wauminina kuwategemea kuingizwapeponi na kusamehewa bila yakuwa na uhakika wa moja kwamoja. Kwani anayejua hasa kwauhakika ni nani mtu wa peponi,ni Allah (sw) peke yake.

    Hata kama mtu atakufashahidi katika vita vya Jihadiiliyotimiza masharti, basi

    Tawhiid -7Na Mussa Ame

    kikubwa, ni kumuombeamsamaha na kumtarajia pepo,lakini huwezi kusema kuwamadhali ni shahidi, basi ataingiapeponi moja kwa moja. Mtume(saw) alieleza kisa cha shahidiambaye aliingia motoni kwaku cha ngawira. Kwa hivyokuingia peponi ni siri yakeAllah (sw). Sisi wanaadamutunaangalia dhahiri ya mtuikiwa ni muumini, tunamtarajiakuingia peponi, lakini wakatihuo huo tunamho a juu yamitihani mbali mbali, isijeikamfanya kukosa pepo nahatumpi uhakika wa moja kwamoja wa pepo, kwa vile sualahilo liko nje ya elimu za viumbe.

    Kuna makundi ambayohuwaita mashahidi wao nakuwanadia, Fulani l jannah,Fulani l jannah. Yaani Fulanipeponi na Fulani peponi, hilo nikosa la aqida kwa maana Allah(sw) tu pekee Ndiye mwenyekumiliki siri za ndani za viumbe,kwa sababu kuna mambo mengiambayo yanaweza kusababishamtu asiingie peponi kama ria.

    Kutoka kwa Abu Hurayrah(ra) alisema niilimsikia Mtume(saw) akisema:

    “Mtu wa kwanzaatakayehukumiwa siku yaQiyama ni mtu aliyekufashahidi. Ataletwa na Allaah(sw). Atamjulisha neemazake kwake na atazifahamu.Ataulizwa: Je, ulizitumia vipi?

    Atasema nilipigana kwa ajiliyako mpaka nikafa shahidi.Ataambiwa: Umesema uongo,ulipigana ili uambiwe shujaa. Na

    kwa hivyo ukaambiwa shujaa.Hapo itaamriwa abururwekifudifudi mpaka atiwe motoni.Mtu mwengine aliyesoma dinina kuisomesha na ambayeakisoma Qurani ataletwa naAllah (sw) atamfahamishaneema zake na atazikumbuka.

    Allah (sw) atasema: Umezifanyianini? Atajibu: Nilisoma dinina nikaisomesha. NilisomaQur’ani kwa ajili yako. Allah(sw)Atasema: Umesema uongo,ulisoma dini ili uambiwe nimwanachuoni, ulisoma Quraniili uambiwe kuwa ni msomaji. Na kwa hivyo uliambiwa.Tena itaamrishwa abururwekifudifudi mpaka motoni.Mtu mwengine ni ambayeAllaah (sw) alimkirimu utajirina ambaye alimpa kila namnaya mali. Ataletwa na Allah(sw) Atamtajia neema zakena atazitambua. Ataambiwaulizifanyia nini? Atasema:Sikuacha chochote kileUlichotaka pesa zitumiwekwa ajili yako nilitumia kwaajili yako. Allah (sw)Atasema:Umesema uongo. Ulitumiaili uambiwe (usi we) kuwani karimu. Na kwa hivyoukaambiwa, tena itaamrishwaabururwe kifudifudi mpakamotoni.” (Imepokewa na Muslimna Tirmidhiy na Nasai).

    Hadithi inatoa ushahidiwa uwezekano wa mtu kuwani mwema mbele ya machoya watu, lakini katika nafsiyake kinachomchochea kuwamwema ni kujionesha siyokutafuta radhi za Allah (sw), nikutafuta umaarufu au kutaka

    watu wamsifu au kwa lengo lakutafuta kipato cha dunia pekeyake. Hadithi hii haimaanishikuwa kila shahidi au msomaji

    anajionesha, na wala hakunamtu anayeweza kwa uhakikakujua kuwa fulani anafanya ria,labda akuambie mwenyewe.

    Kwa hivyo tutahadhari sanahasa sisi tunaolingania watutusa she nia zetu, tuifanye kaziya daawa kwa unyenyekevu

    mkubwa na ikhlasi ya hali ya juu, na kuepuka kujionesha,kujisifu na kujikweza, kwakuwadharau watu, na kujionawewe peke yako ndiyo mtuwa peponi na wenzako wotewanaohitila ana na wewe,katika madhdehebu au mtizamofulani kuwa ni maka ri watu wamotoni, kwa maana siri hasa yawatu wa peponi anayo mwenyepepo.

    Sikusudii katika mada hiikwamba tusiwasi e pepo walewaliobashiriwa pepo na Allah(sw) na Mtume wake, kwa vileMtume (saw) aliwabashiriawale pepo kwa wahyi, maranyingi hutajwa watu kumiwaliobashiriwa pepo, lakiniwako wengi zaidi ya hao,akiwemo Bilal (ra) Ibn Masuud(ra), Uqasha (ra), Khadija (ra),Aisha (ra) na wengine.

    Kilichokuwa muhimu piani kutarajia kuwa Allah (sw)atatusamehe. Ni kosa kubwakwa Muislamu kukata tamaana rehma za Allah (sw),kwani mwenyewe Allah (sw)ametukataza hilo kwa kusema:

    Sema: Enyi waja wangu walio jidhulumu nafsi zenu! Msikatetamaa na rehema za Allah (sw).Hakika Allah (sw) husamehedhambi zote. Hakika Yeye niMwenye kusamehe, Mwenyekurehemu. Na rejeeni kwa Molawenu Mlezi, na silimuni kwake,kabla ya kukujieni adhabu.Kisha hapo hamtanusuriwa.(Zumar 39:53-54).

  • 8/18/2019 ANNUUR 1226.pdf

    14/20

    14 AN-NUURAJAB 1437 , IJ UMAA APRIL I 22 -28, 201MAKALA/NASAHA

    Watawala na raia ni kama lilaInatoka Uk. 7kuwa ‘uhuru’ wake si‘uhuru’ wetu. Wakeyeye una kila sababu yakulindwa na kutukuzwa,wa kwetu ni hasara. Wetuni uhuru-njaa! Kwambauhuru uliopo Mazizinisio uhuru uliopo Mtende,na wala haufanani kabisa.Wa Mazizini ni uhurukwa maana yake hasa –ni uwezo wa kuamua,kuchagua na nguvu zakupata. Ni uhuru wakuamka asubuhi nakukuta kila kitu kipotayari kwa ajili yake.Bafuni kuna maji yakukoga katika mabesenimakubwa makubwa namifereji inayotowa kilaaina ya maji – ya moto,

    vuguvugu, au baridi kwamujibu wa hali ya hewana mahitaji ya muogaji.Mazizini kuna uhuruwa kuwa na umeme kilawakati. Hata TANESCOwafanye tajriba yaoya kuizimia umemeUnguja nzima, basi hukomajenereta yanajiwashayenyewe. Huko ndikokwenye uhuru wa kulachakula unachokitaka nakwa wakati unaoutakamwenyewe.

    Kuna uhuru wa kupatamaji sa na salama,wa kuwa na makazi yakuridhisha, wa kuvaanguo za kupendeza.Kuna uhuru wa kuumwana kupata matibabumazuri na ya kuridhisha,na mara nyingi nje yanchi. Huo ndio uhuru wakulindwa na kumfanyamtu awe ‘mzalendo’.Uhuru wa aina hiyoukikhatarishwa, lazimaaliyenao atokwe namachozi na apiganekwa kucha na menokuurejesha. Kwamba huoni uhuru-shibe.

    Lakini huo sio uhurutulionao sisi vijana waketuliojitia kwenye magarikumfuata yeye kutokaSogea na Mikunguni.Huku, asubuhi ukiamka,lazima kwanza uwe nashilingi mia ya kununuadumu la maji paleMwembe Beni, maanamifereji yetu haitoki majikwa karne sasa. Ukikosamia ya kununulia maji, basi itabidi uende kazinina tongo zako, ikiwahiyo kazi unayo. Ikiwakazi huna, kama tulivyowengi wetu, basi utaishiamaskani kumsubiri wa‘kumpiga kirungu’.

    Tunatakiwa tuulindena tuutetee uhuruhuu, sio kuupinga nakuuondowa?

    Utamwambiaje kijana

    wa Pandani kuwa huundio uhuru uliopiganiwana wazee wake nahivyo aulinde? Uhuruwa kuamka asubuhina kukimbilia Msaanikwenda kukunguzuwashina la muhogo, ndiyochai inywewe nyumbani.Na muhogo wenyeweni hilo hogo tu. Halinanazi, halina kitoweo.Huu ni uhuru-njaa na basi hauwezi kuwawa kung’ang’aniwa navijana wako, mtukufuRais. Utamwambiajekijana wako wa Msukakwamba yuko huru naajifakharishe, ilhali ndiokwanza anarudi kumzikandugu yake barobarozima? Unajuwa alikufakwa nini? Aliangukamkarafuu, akaumiavibaya. Hospitali yaWete wakasema hawanauwezo wa kumtibu hapo,lazima apelekwe Mkoani.Mkoani akaambiwa hadiMnazi Mmoja, nakoakaambiwa hadi KCMC,Moshi. Akafa hajapatamatibabu. Huo ndiouhuru wa kujivunia, wakuumwa bila matibabu?

    Nadhani ume kawakati wa viongoziwetu kujifunza lugha yakuwasiliana na raia ilikuyafanya mahusiano baina ya watawala nawatawaliwa kuwa makini

    na ya kweli zaidi.Vyenginevyo, kuna

    uwezekano wa kiongozikuwaona kila siku raiawanajaa mikutanoni

    kwake, naye akadhanikuwa wanamfuatana wanavutiwa naye,na kumbe wanafuatamambo yao: pombe,wanawake, ngoma. Nasiku ya siku ika ka,akajikuta wale walewaliokuwa wakiitikia“Ndiyo mzee”, sasawanasema “Sio mzee.”

    Katika CommunicationWorks (McGraw-HillCompanies, Inc., 1999),Michael Gamble naTeri Kwal Gamblewanasema kuwa, katikawote, wanasiasa ni watuwanaotegemea zaidimawasiliano kujijengana kulinda nafasi zao zakisiasa. Na ili kuendeleakuwa hai kisiasa, basilazima mwanasiasaaweze kuyajibu ndivyomaswali haya matatu.

    La kwanza ni kwavipi na kwa ninianayaona mambo kamaanavyoyaona na raiawanayaona mambo kamawanavyoyaona? Pili, anauwezo gani wa kusikilizana kuratibu ujumbeanaoupokea? Na, tatu,anaifahamuje nafasi yamazingira – kiuchumi,kisiasa na kiitikadi –katika kujenga kra yawatu?

    (Chanzo: Gazeti laDira, Na. 36, Agosti 8-14,2003.)

    NI TAASISI YA KIDINI ILIYOANZISHWA NA KUSAJILIWAKISHERIA MWAKA 2014 MKOANI MOROGORO KWALENGO LA KUIHAMASISHA JAMII YA WAISLAMUKUIKUMBUKA NA KUITEKELEZA NGUZO YA TATU YAZAKKA.

    PAMOJA NA HAYO TAUZAMO KUPITIA UTOAJI

    ZAKKA INALENGA KUIUNGANISHA JAMII KUWA KITUKIMOJA, KUFUFUA UCHUMI WA KIISLAMU ULIOKUFANA KUIFANYA QUR’AN NDIYO MUONGOZO SAHIHIKWA UMMA.

    TAYARI TAUZAMO IMEFANIKIWA KUWA NA BAYTULMALL ILIYOKO MTAA WA SIMU KATIKA KATA YAMJI MPYA MANISPAA YA MOROGORO PAMOJA NA

    KUFUNGUA AKAUNTI KATIKA BANK YA KCB TAWI LAMOROGORO NAMBA 3301064116.

    ILI KUWEZA KUFIKIA MALENGO HAYO NA MENGINE,TAASISI INAHITAJI UUNGAJI MKONO KWA HALI NA MALIKUTOKA KWENYE TAASISI NA VIKUNDI MBALIMBALI.

    UNAWEZA KUFIKA OFISINI MAKAO MAKUU MTAAWA SIMU KATA YA MJI MPYA MANISPAA YA MOROGOROAU WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBARI 0686240494

    AU 0717337919

    TAASISI YA UKUMBUSHO WA MOROGORO (TAUZAMO)

    IMEELEZWAkuwa, maisha yamwanadamu hapaUlimwenguni ni yakupita tu, hivyo kilanukta aitumie katikamambo ya kheri.

    Tahadhari hiyoimetolewa na Khatibwa ibada ya swala yaIjumaa, wiki iliyopitaMasjid Maamur,Upanga Jijini Dar esSalaam.

    AkiwahutubiaWaislamu, Khatibhuyo aliwataka waishikati ulimwengu kamamgeni ambaye wakatiwowote ataondoka.

    Alisema, mudawowote mwanadamuakiishi hapaUlimwenguni, ajue nikama yupo safarinikwamba anapita tu nahajui ataondoka wakatigani, kwa hivyo wakatiwote awe na taadhari.

    “Tuyazingatiemaneno ya Mtume(s a w) yaliyojaakutukumbusha uhalisiawa maisha katikaUlimwengu, kwakuambatana na mambomazuri anayoyapendaMwenyezi Mungu(s w) na kuachayale asiyoyapenda.”Amesema Khatibuhuyo.

    Akitilia mkazohutuba yake