Kanuni za kiroho za ushindi

1244

Click here to load reader

Transcript of Kanuni za kiroho za ushindi

Page 1: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHOZAMAISHA YA USHINDIZA MAISHA YA USHINDI

Kijitonyama Lutheran ChurchKijitonyama Lutheran Church27th Nov – 04th Dec, 2011

Na Mwl Mgisa MtebeMwl. Mgisa Mtebe

0713 497 654

Page 2: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHO

Kanuni za kiroho,Kanuni za kiroho,ni mambo ambayo yana‐y yathiri ulimwengu wa rohogna kusababisha mabadiliko kutokea katika ulimwengu

wa mwili.

Page 3: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKanuni za kiroho, ni mambo ambayo tukiyatumia maishaniambayo, tukiyatumia maishani, yatasababisha Roho Mtakatifuyaliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu ndani yetu, zitakazotusaidia kuishi maishazitakazotusaidia kuishi maisha 

ya ushindi na mafanikio.y

Page 4: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,

kinachomwezesha mtu wakinachomwezesha mtu wa Mungu aishi maisha yaMungu, aishi maisha ya 

ushindi na mafanikio, katika ,kulitimiza kusudi la Mungu.

Page 5: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu yeye20 Atukuzwe Mungu, yeye awezaye kutenda mambo ya y yajabu mno (yasiyopimika) 

kuliko yote tunayo‐yawaza au t na o aombatunayoyaomba …

Page 6: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Mungu anaweza kutenda20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa y , (kiwango au kwa kipimo) cha Nguvu zake kinachotenda 

kazi ndani yetu.

Page 7: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKuna vitu maalum 

vinavyosababisha kuzalishwa kwa Nguvu za Mungukwa Nguvu za Mungu

zinazohitajika ili kutuwezeshazinazohitajika ili kutuwezesha kuishi maisha ya ushindi na y

mafanikio duniani.Waefeso 3:20

Page 8: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOHivyo vitu maalum 

vinavyosababisha kuzalishwa kwa Nguvu za Mungu ilikwa Nguvu za Mungu ili tuishi maisha ya ushindituishi maisha ya ushindi, 

vinaitwa ‘KANUNI ZA KIROHO’.

Page 9: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHO

Kanuni za kiroho ni mamboKanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia maishani y ymwetu, yatasababisha Roho 

Mtakatif a M ng ali e ndaniMtakatifu wa Mungu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Munguy , g gndani yetu, zitakazotusaidia kuishi 

i h hi di f ikimaisha ya ushindi na mafanikio.

Page 10: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUSiku zote kumbuka kwamba;

KunaUshirika – Partnership

Kati yaMungu & Binadamu

katika kutawala dunia.

Page 11: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwambaHii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea , gsana kiwango cha Nguvu za 

ki h d k iMungu kinachotenda kazi ndani yakondani yako.

Page 12: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Kuna baadhi ya mamboKuna baadhi  ya mambo

maishani mwetu, Mungu hawezi , gkuyafanya, ikiwa hatutengeneza h li hau hatutazalisha Nguvu za Munguza kutosha ndani yetuza kutosha, ndani yetu.

Page 13: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …Kwahiyo …***…  ikiwa tutatengeneza au gtutazalisha Nguvu nyingi za 

Mungu ndani yetu,  tutauwezesha mkono wa Mungututauwezesha mkono wa Mungu, 

kufanya mambo mengi na y gmakubwa, aliyokusudia.

Page 14: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini …Lakini …***…  ikiwa tutatengeneza au gtutazalisha Nguvu kidogo za Mungu ndani yetu, basi 

tutauzuia mkono wa Mungututauzuia mkono wa Mungu, kufanya mambo mengi na y gmakubwa aliyokusudia.

Page 15: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (1);Kifo cha Yakobo na 

Ukombozi wa Petro gerezanidMatendo 12:1‐19

Page 16: Kanuni za kiroho za ushindi

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Kifo cha Yakobo na Ukombozi wa Petro

Yakobo alipokamatwa, Kanisa h k f bi t k khawakufanya maombi, motokea yake 

akachinjwa. Lakini Petro jalipokamatwa, kanisa likaomba kwa bidii na Mungu akamkomboa Petrobidii, na Mungu akamkomboa Petro 

kutoka gerezani.Unadhani Kwanini?

Page 17: Kanuni za kiroho za ushindi

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Kifo cha Yakobo na Ukombozi wa PetroSi kwamba Mungu anampenda Petro k lik Y k b B li hii i hkuliko Yakobo. Bali hii inaonyesha wazi kwamba, Utendaji kazi wa j

mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvuunategemea sana kiwango cha Nguvu

za Mungu unachozalisha (kinachotenda kazi) ndani yako.

Page 18: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (2);Ushindi wa Joshua vitani

Kwa maombi ya Musa MlimaniKutoka 17:8‐15

Page 19: Kanuni za kiroho za ushindi

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Ushindi wa Joshua, Maombi ya Musa, yMusa alikunyanyua mikono yake kwa 

bi J h j hi l I limaombi, Joshua na jeshi la Israeli walikuwa wakishinda vitani, Lakini Musa alichoshusha mikono (kuacha kuomba) Joshua na jeshi la Israelikuomba) Joshua na jeshi la Israeli 

walikuwa wakipigwa (wakishindwa).Unadhani Kwanini?

Page 20: Kanuni za kiroho za ushindi

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Ushindi wa Joshua, Maombi ya Musa, yHii haikuwa bahati nzuri au mbaya; Bali hii i h i k b Ut d jihii inaonyesha wazi kwamba, Utendaji kazi wa mkono wa Mungu maishani g

mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu unachozalishaNguvu za Mungu unachozalisha (kinachotenda kazi) ndani yako.

Unadhani Kwanini?

Page 21: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (3);Maombi ya Musa katika 

kumruhusu Mungu kufungua bahari ya Shamubahari ya ShamuKutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28

Page 22: Kanuni za kiroho za ushindi

Kutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28Fimbo ya Musa na Bahari ya Shamuy yMungu hakuifungua bahari akasubiri 

k M li h fi b kmpaka Musa aliponyoosha fimbo yake (maombi) baharini (tatizo lake); ndipo( ) ( ) pMungu akasaba‐ bisha upepo mkali 

uliochana bahari na kufanya ukuta 2 zauliochana bahari na kufanya ukuta 2 za maji. Israeli wakapita nchi kavu. 

Unadhani Kwanini?

Page 23: Kanuni za kiroho za ushindi

Kutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28Fimbo ya Musa na Bahari ya Shamuy yMungu hakuifunga bahari, akasubiri  

k M li h t fi bmpaka Musa aliponyoosha tena fimbo yake (maombi) baharini (tatizo lake); y ( ) ( )ndipo Mungu akasababisha upepo 

kukatika na maji ya bahari yakarudi nakukatika na maji ya bahari yakarudi na kuwaangamiza jeshi lote la Misri.

Unadhani Kwanini?

Page 24: Kanuni za kiroho za ushindi

Kutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28Ushindi wa Joshua, Maombi ya Musa, yHii haikuwa bahati nzuri au mbaya; Bali hii i h i k b Ut d jihii inaonyesha wazi kwamba, Utendaji kazi wa mkono wa Mungu maishani g

mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu unachozalishaNguvu za Mungu unachozalisha (kinachotenda kazi) ndani yako.

Unadhani Kwanini?

Page 25: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni KwasababuNi Kwasababu …Kwahiyo Utendaji wa mkono waKwahiyo Utendaji wa mkono wa 

Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotendaNguvu za Mungu kinachotenda 

kazi ndani yako.

Page 26: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni Kwasababu …Mungu ameweka ushirika fulani kati 

k i i bi d K hi Kyake na sisi binadamu. Kwahiyo Kuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, yMungu hawezi kuyafanya, ikiwa hatutatengeneza au hatutazalishahatutatengeneza au hatutazalisha 

Nguvu za Mungu za kutosha, Kutokea ndani yetu.

Page 27: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

kwahiyo …yMungu anaweza kufanya kila kitu pasipo msaada wa binadamu, lakini 

alichagua tu kufanya kazi kwaalichagua tu, kufanya kazi kwa ushirika na binadamu; kwahiyo, 

kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na binadamu katika kutawala duniabinadamu katika kutawala dunia.

Page 28: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo basiHivyo basi …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

Page 29: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUSiku zote kumbuka kwamba;

KunaUshirika – Partnership

Kati yaMungu & Binadamu

katika kutawala dunia.

Page 30: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 3:91Wakorintho 3:99 Kwa maana sisi tu watenda kazi 

pamoja na Mungu. (kwa ushindi na mafanikio)

Page 31: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28‐30

28 Na kwahiyo basi, katika mambo yote, Mungu hufanya 

k i j lkazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatiawampendao, katika kuwapatia 

mema. (ushindi, faida na mafanikio)

Page 32: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26,28,

26 Tufanye mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu wakatawale

d i t t li i b jdunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso wa duniaya uso wa dunia.

Page 33: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26‐18

28 Mungu akaumba Mwanaume na Mwanamke, akawaweka k tik b t i d ikatika bustani ya dunia, 

akawaambia zaeni mkaongezekeakawaambia, zaeni mkaongezeke na kuitawala (kuitiisha) dunia.

Page 34: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUZaburi 115:16

Mbingu ni mbingu za Bwana, bali nchi amewapa wanadamunchi amewapa wanadamu

Isaya 45:11

k h b i k i ik… kwa habari ya kazi za mikono yangu haya niagizeniyangu, haya niagizeni 

(niamuruni)

Page 35: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐1919 Kwa maana nitawapa funguo 

za Ufalme, na mambo mtakayoyafunga (ninyi) ndipomtakayoyafunga (ninyi) ndipo 

yatakuwa yamefungway y g(mbinguni au rohoni) …

Page 36: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐1919 … na mambo 

mtakayoyafungua (ninyi) ndipo yatakuwa yamefunguliwayatakuwa yamefunguliwa

(mbinguni au katika ulimwengu ( g gwa roho)

Page 37: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐19y18 Na milango ya kuzimu 

haitaweza kulishinda kanisalangu nitakalolijenga  (kwa mfumo huu).     

Page 38: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu 

kinachotenda kazi ndani yako yaanikinachotenda kazi ndani yako, yaani kiwango cha maombi unachofanya 

maishani mwako.

Page 39: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

Page 40: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 3:20

Kiwango cha Nguvu za Mungu kinahusika sana katika kuleta 

mabadiliko ana ohitajika katikamabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na kishaulimwengu wa roho na kisha katika ulimwengu wa mwili.

Page 41: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

MaombiMaombiNi njia mojawapo inayofungulia j j p y gnguvu za Mungu katika maisha 

ya mtu wa Mungu, ili kumwezesha mtu huyo kuishikumwezesha mtu huyo kuishi maisha ya ushindi na mafanikio y

katika mambo yake yote.

Page 42: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …***… ikiwa tutaongeza kiwango…  ikiwa tutaongeza kiwango cha maombi maishani mwetu, 

tutatengeneza au tutazalisha Nguvunyingi za Mungu ndani yetu nanyingi za Mungu ndani yetu,  na kuuwezesha mkono wa Mungu 

kufanya mambo mengi.

Page 43: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini piaLakini pia …***… tukipunguza kiwango cha…  tukipunguza kiwango cha 

maombi maishani mwetu, tutashindwa kutengeneza au 

kuzalisha Nguvu nyingi za Mungukuzalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani yetu,  na kuuzuia mkono wa Mungu kufanya mambo mengi.

Page 44: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu 

kinachotenda kazi ndani yako yaanikinachotenda kazi ndani yako, yaani kiwango cha maombi unachofanya 

maishani mwako.

Page 45: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

Page 46: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

Page 47: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

Page 48: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

Page 49: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

Page 50: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu 

kinachotenda kazi ndani yako yaanikinachotenda kazi ndani yako, yaani kiwango cha maombi unachofanya 

maishani mwako.

Page 51: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Mungu anaweza kutenda mambo20 Mungu anaweza kutenda mambo ya ajabu mno (yasiyopimika) kuliko 

yote tunayo‐yawaza au tunayoyaomba, kwa kadiri (kwatunayoyaomba, kwa kadiri (kwa 

kiwango au kipimo) cha nguvu  zakeki h d k i d ikinachotenda kazi ndani yetu.

Page 52: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHONi mambo ambayo, tukiyawekaNi mambo ambayo, tukiyaweka 

kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetuMtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

Page 53: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Moja ya Kanuni muhimu sana, ni kuwa na Ushirika mzuri na Roho Mtakatifumzuri na Roho Mtakatifu, kitu ambacho kitasababishakitu ambacho kitasababisha tutembee na kiwango cha g

kutosha cha Nguvu za Mungu na kutufanya washindi.

Page 54: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Aina mbili za Nguvu;Aina mbili za Nguvu;Nguvu iliyopoNguvu iliyopo 

‐ (Potential Energy)(Potential Energy)

N i t d k iNguvu inayotenda kazi(Kinetic Energy)‐ (Kinetic Energy)

Page 55: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Aina mbili za Nguvu;Aina mbili za Nguvu;

1. 2.Nguvu iliyopo Itendayo kazi

(Potential Energy)     (Kinetic Energy)

Page 56: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni za sayansi Kupata MwangaKanuni za sayansi     Kupata Mwanga    Taa (Bulb) + Waya (Wire)Taa (Bulb)  +  Waya (Wire)

Nguvu iliyopo Itendayo kazi(P t ti l E ) (Ki ti E )(Potential Energy)     (Kinetic Energy)

Page 57: Kanuni za kiroho za ushindi

Aina mbili za Nguvu;Aina mbili za Nguvu;

Kanuni za SayansiKanuni za Sayansi                 Taa (Bulb)Taa (Bulb)

WayaWaya              

Nguvu iliyopo Itendayo kazi(Potential Energy)     (Kinetic Energy)

Page 58: Kanuni za kiroho za ushindi

Ziunganishwe  (connected)ipasavyo  (sawasawa)  kwa

Kanuni za SayansiKanuni za SayansiTaa (Bulb)Taa (Bulb)

WayaWaya              (Wire)( )

Betrii (Battery) 

Page 59: Kanuni za kiroho za ushindi

Ziunganishwe (connected)

Kanuni za Sayansiipasavyo (sawasawa)  kwa

Kanuni za Sayansi

MwangaMwangaWaya (Light)Waya                                    (Light)(Wire)( )

Betrii (Battery) 

Page 60: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU ZA UMEMENGUVU ZA UMEME

Aina mbili za Nguvu;Aina mbili za Nguvu;

Nguvu iliyopo Itendayo kazi(Potential Energy)     (Kinetic Energy)

Page 61: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKanuni za kiroho, ni mambo ambayo tukiyatumia maishaniambayo, tukiyatumia maishani, yatasababisha Roho Mtakatifuyaliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu ndani yetu, zitakazotusaidia kuishi maishazitakazotusaidia kuishi maisha 

ya ushindi na mafanikio.y

Page 62: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU ZA MUNGUNGUVU ZA MUNGU

Kanuni za KirohoKanuni za Kiroho                   Neno (Bulb)Neno (Bulb)

MaombiMaombi(Wire)( )

Roho Mtakatifu (Battery)  

Page 63: Kanuni za kiroho za ushindi

Aina mbili za Nguvu za MunguAina mbili za Nguvu za Mungu

Kanuni za Kiroho (Connected)Kanuni za Kiroho (Connected)      Neno (Bulb)Neno (Bulb)

MaombiMaombi(Wire)( )

Roho Mtakatifu (Battery)  

Page 64: Kanuni za kiroho za ushindi

Aina mbili za Nguvu za MunguAina mbili za Nguvu za Mungu

Kanuni za Kiroho (Connected)Kanuni za Kiroho (Connected)      Nuru (light)Nuru (light)

MaombiMaombi(Wire)( )

Roho Mtakatifu (Battery)  

Page 65: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni za Kiroho (Connected);Kanuni za Kiroho (Connected);Ushindi, Afya,nk                     Nuru ya , y , y(Matendo)                            Ulimwengu

Roho Mtakatifu Nguvu za RohoRoho Mtakatifu       Nguvu za Roho(Potential Energy)            (Kinetic Energy)

Page 66: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni jambo moja kuwa na TaaNi jambo moja kuwa na Taa,(bulb) na ni jambo jingine kuwa(bulb) na ni jambo jingine kuwana Mwanga wa (Nuru ya) hiyona Mwanga wa (Nuru ya) hiyoTaa (bulb). Pasipo nguvu za ( ) p gMungu, utabaki taa (bulb) tu, isiyowaka (isiyo na nuru)

Page 67: Kanuni za kiroho za ushindi

Mathayo 5:14‐16Mathayo 5:14 16

14‘‘Ninyi ni nuru ya ulimwengu Mji14 Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji uliojengwa kilimani hauwezi kufichika (kwasababu ya taa zake) ... 16 Vivyo hivyo na ninyi, nuru yenu (ushindi,hivyo na ninyi, nuru yenu (ushindi, mafanikio, nk) na viangaze mbele ya t ili t k t dwatu, ili wapate kuona matendo yenu 

mema wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.

Page 68: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu anataka tuwe tofauti!Mungu anataka, tuwe tofauti!Kwamba …Kwamba …

Katikati ya giza, sisi tuwe nuru,Katikati ya kuanguka, sisi tusianguke,Katikati ya kufeli, sisi tusifeli, tufaulu,K tik ti h i i t t f idKatikati ya hasara, sisi tupate faida,

Page 69: Kanuni za kiroho za ushindi

Mathayo 5:14‐16Mathayo 5:14 16

Giza Vs NuruGiza Vs   NuruKufeli – KufauluKufeli     KufauluHasara   – Faida 

Kushindwa   – Ushindi Magonjwa   – Afya/UponyajiU i/U H ki/Ut k tifUasi/Uovu   – Haki/Utakatifu

Page 70: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHONi mambo ambayo, tukiyawekaNi mambo ambayo, tukiyaweka 

kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetuMtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

Page 71: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Ni mapenzi ya Mungu tuishi maisha ya ushindi na 

mafanikio ili kutimiza kusudimafanikio ili kutimiza kusudi la Mungu na kuishi maishala Mungu na kuishi maisha 

mazuri kama chombo maalum cha kumsifu na kumwabudu 

Mungu.

Page 72: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kila kitu kilichozaliwa na 

Mungu, huushinda ulimwengu; h k dik k hi dNa huku ndiko kushinda 

kuushindako ulimwengukuushindako ulimwengu, ni hiyo IMANI yetu’ni hiyo IMANI yetu

Page 73: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO3Yohana 1:2

‘Mpenzi, kama vile f iki k tik hunavyofanikiwa katika roho 

yako (katika mambo yako yayako (katika mambo yako ya kiroho), ninaomba pia ufanikiwe ) p

katika mambo yako yote          (ya kimwili)’

Page 74: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37

‘Na katika mambo yote, tunashinda na zaidi ya kushindatunashinda na zaidi ya kushindakupitia Kristo Yesu aliyetupenda’kupitia Kristo Yesu aliyetupenda(katika yote, sisi ni washindi na(katika yote, sisi ni washindi na zaidi ya washindi, kupitia Yesu 

Kristo aliyetupenda)

Page 75: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37

Pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi waMungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, lakini badoYesu msalabani, lakini bado 

watu wengi tunaishi maisha ya kushindwa.

Page 76: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37

Pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi waMungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, lakini badoYesu msalabani, lakini bado watu wengi tuna mamboambayo yametushinda au 

t hi dyanatushinda.

Page 77: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Zipo sababu nyingi, Lakini moja ya sababu kubwa, 

ni kutokuwa na Ushirika mzuri na Roho Mtakatifumzuri na Roho Mtakatifu, 

kitu ambacho kinasababishakitu ambacho kinasababisha tutembee na upungufu wa p gNguvu za Mungu maishani.

Page 78: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,

kinachosababisha mtu wakinachosababisha mtu wa Mungu aishi maisha yaMungu, aishi maisha ya 

ushindi na mafanikio, katika ,kulitimiza kusudi la Mungu.

Page 79: Kanuni za kiroho za ushindi

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Kwahiyo, kusudi la Mungu ni a yo, usud a u gukumwezesha mwanadamu 

k l dkuitawala dunia pamoja na Mungu, ili mwanadamu awe chombo kizuriili mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada, kwasababu ana maisha 

mazuri duniani …(M 1 26 28)(Mwanzo 1:26‐28)

Page 80: Kanuni za kiroho za ushindi

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3Zaburi 22:3Wewe U Mtakatifu naweWewe U Mtakatifu, nawe“UNAKETI” juu ya sifa za Israelj y

Page 81: Kanuni za kiroho za ushindi

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3Zaburi 22:3Wewe U Mtakatifu naweWewe U Mtakatifu, nawe“UNAKETI” juu ya sifa za Israelj y

“Inhabit”                 “Unaishi”Inhabit Unaishi

Page 82: Kanuni za kiroho za ushindi

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zab 22:3Zab 22:3IDABA ndio kitu cha kwanzaIDABA ndio kitu cha kwanza 

kabisa katika moyo wayMungu, kwasababu

MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.

Page 83: Kanuni za kiroho za ushindi

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

KUSUDI LA MUNGUNi Kanisa liweze kulimiliki naKutawala dunia na mazingira

yake ili binadamu aweze kuishiyake, ili binadamu aweze kuishimaisha mazuri na kuwa chombo

kizuri cha kumsifu nakumwabudu Mungu aliye juukumwabudu Mungu aliye juu.

Page 84: Kanuni za kiroho za ushindi

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ibada nzuri hutoka katika moyoIbada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa sana na mazingira mazurisana na mazingira mazuri.

Kumbukumbu 8:6‐18Kumbukumbu 8:6‐18 

Page 85: Kanuni za kiroho za ushindi

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mazingira yakitibuka, maishaa g a ya bu a, a s ayanatibuka, na maisha yakitibuka, b d k b kibada kwa Mungu pia, inatibuka.Hivyo Shetani anachotafuta niHivyo, Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingirayake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka dunianianayoitamani sana kutoka duniani. 

Page 86: Kanuni za kiroho za ushindi

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

MMunguZab 22:3

Ibada NchiKumb 8:6‐18Yoh 4:23‐24

Adam

Zab 150:6

Page 87: Kanuni za kiroho za ushindi

KARAMA ZA ROHO MTAKATIFU 

Kutoka 31:1‐5Bwana akamwambia Musa, kwajili f di b tajili ya ufundi wa vyombo vyotevya hekalu, nimempaka mafutay p f(uwezo) Bezaleli mwana wa Huri, kwa ajili ya kazi zote za kuchorakwa ajili ya kazi zote za kuchora, kuchonga, kukata na ufundi wote

f dh dh h bwa fedha na dhahabu.

Page 88: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Kwanini TunaongeleaKwanini TunaongeleaUshindi?Ushindi?

Page 89: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Kwanini Ushindi?

Ni kwasababu; Kuna mashindanoKuna mapambanoKuna upinzaniKuna vita na majaribu

Page 90: Kanuni za kiroho za ushindi

Kuna Vita na MapambanoKuna mapambano katika familiaKuna mapambano katika masomoKuna mapambano katika kazi zetuKuna vita katika biashara + miradi

b k ik fKuna mapambano katika afyaK b k tik k iKuna mapambano katika kanisa

Page 91: Kanuni za kiroho za ushindi

Kwanini Ushindi?Waefeso 6:12

“Kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita ya kimwili)damu na nyama (si vita ya kimwili), bali ni vita juu ya falme za giza, j y g ,

mamlaka za giza, wakuu wa giza, na majeshi ya pepo wabaya katika 

ulimwengu wa roho”ulimwengu wa roho

Page 92: Kanuni za kiroho za ushindi

Kwanini Ushindi?

Vita na Mapambano Vyatoka wapi?Ufunuo 12:7‐17

Page 93: Kanuni za kiroho za ushindi

Kwanini Ushindi?Ufunuo 12:7‐17

Kulikuwa na vita mbinguni, M l ik Mk Mik li jMalaika Mkuu Mikaeli pamoja na malaika zake, wakapigana na yulemalaika zake, wakapigana na yule joka aitwaye Ibilisi na Shetani 

pamoja na malaika zake;

Page 94: Kanuni za kiroho za ushindi

Kwanini Ushindi?Ufunuo 12:7‐17

Yule joka (shetani), hakushinda, b li li i l ikbali alipigwa na malaika wa Mungu, akaangushwa kutokaMungu, akaangushwa kutoka mbinguni, akatupwa duniani, yeye pamoja na malaika zake 

li i jwalioasi pamoja naye. 

Page 95: Kanuni za kiroho za ushindi

Kwanini Ushindi?Ufunuo 12:17

Huku duniani, ibilisi shetani kij h i i iakijawa hasira nyingi na 

ghadhabu kali, aliazimu kufanyaghadhabu kali, aliazimu kufanya vita na watoto wa Mungu, akijua 

ana wakati mchache.

Page 96: Kanuni za kiroho za ushindi

Kwanini Ushindi?Waefeso 6:12

“Kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita ya kimwili)damu na nyama (si vita ya kimwili), bali ni vita juu ya falme za giza, j y g ,

mamlaka za giza, wakuu wa giza, na majeshi ya pepo wabaya katika 

ulimwengu wa roho”ulimwengu wa roho

Page 97: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 10:3‐5

‘Ingawa tunaenenda kimwili, l ki i h t f i it k ji ilakini hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili, bali tunapambana na elimumwili, bali tunapambana na elimuzilizo kinyume na elimu ya Kristo, tukizi‐teka nyara fikra za watu, ili 

i t k tii K i t ’zipate kumtii Kristo’

Page 98: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

T lTunaongeleaU hi di k b b kUshindi kwasababu kunamashindano ya kiimanimashindano ya kiimaniKatika maisha yetuKatika maisha yetu.

Page 99: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 16:33‘Ulimwenguni mnayo dhiki, lakini jipeni moyo kwasababu i i i hi d li ’mimi nimeushinda ulimwengu’.

Page 100: Kanuni za kiroho za ushindi

KWANINI ROHO MTAKATIFUKwa jinsi Mungu 

alivyoutengeneza ulimwengualivyoutengeneza ulimwengu huu, binadamu hatawezahuu, binadamu hataweza kusababisha mabadiliko ya 

ushindi maishani mwake, pasipo k f hi k dkufanya hivyo kwa msaada wa 

nguvu fulani za kirohonguvu fulani za kiroho.

Page 101: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano;

Uumbaji wa vitu vya DuniaMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Page 102: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

1 H M li b1 Hapo mwanzo, Mungu aliumbambingu na nchi; 2 na Duniambingu na nchi; 2 na Dunia

ilikuwa haina umbo tena ilikuwatupu, giza lilikuwa juu ya uso waili di ji R hvilindi vya maji, naye Roho waMungu alitanda juu ya majiMungu alitanda juu ya maji. 

Page 103: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

3 Mungu akasema “Iwepo nuru’’3 Mungu akasema,  Iwepo nuru  nayo nuru ikawepo. 4 Munguakaona ya kuwa nuru ni njema, di M k i hndipo Mungu akatenganisha nuru

na gizana giza. 

Page 104: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

5 Mungu akaiita nuru “mchana’’5 Mungu akaiita nuru mchana  na giza akaliita “usiku.’’ Ikawajioni ikawa asubuhi, siku ya

kkwanza. 

Page 105: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

14 Mungu akasema “Iwepo14 Mungu akasema,  Iwepo mianga kwenye nafasi ya anga iliitenganishe mchana na usiku, 

i l k b li hnayo iwe alama ya kutambulishamajira mbali mbali siku na miakamajira mbali mbali, siku na miaka, 

Page 106: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

15 nayo iwe ndiyo miangay y gkwenye nafasi ya anga itoe nurujuu ya dunia.’’ Ikawa hivyo. 16Mungu akafanya mianga miwiliMungu akafanya mianga miwili

mikubwa … 

Page 107: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

16 … Mwanga mkubwa utawalegmchana (Jua) na mwanga mdogo

utawale usiku (Mwezi). PiaMungu akafanya na nyota zaMungu akafanya na nyota za

mbinguni.g

Page 108: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

17 Mungu akaiweka hiyo mianga17 Mungu akaiweka hiyo miangamikubwa miwili (yaani Jua na(yMwezi) katika anga ili iangaze

dunia. 18 … Mungu akaona kuwahili nalo ni jema 19 Ikawa jionihili nalo ni jema. 19 Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya nne., y

Page 109: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Kumbe Nuru ya UlimwenguniKumbe Nuru ya Ulimwenguni, haitoki kwenye jua na mwezi, y j ,

kwasababu Nuru ilikuwepo tangusiku ya kwanza wakati jua na

mwezi viliumbwa baadaye kabisamwezi viliumbwa baadaye kabisakatika siku ya nne!y

Page 110: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Kumbe jua si chanzo chaKumbe jua si chanzo cha Mwanga au Nuru inayoangazag y g

ulimwenguni, bali jua ni“kibebeo” tu cha kuleta mwangaduniani lakini jua si chanzo chaduniani, lakini jua si chanzo cha Nuru inayoangaza duniani.y g

Page 111: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

N J MNuru Jua Mwanga(Y /N )(Yesu/Neno)Y h 1 7 9Yoh 1:7‐9

Page 112: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Kwa lugha rahisi;Kwa lugha rahisi;

Mwanga au Nuru inayoangazag y gduniani, ina vyanzo viwili; kimojani kipo katika ulimwengu wamwili na kingine kipo katikamwili na kingine kipo katika

ulimwengu wa roho.g

Page 113: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Chanzo cha Nuru cha rohoniChanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha p y

Nuru cha mwilini kuwepo.Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzokimwili kinatawaliwa na chanzo

cha Nuru cha kiroho. 

Page 114: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Hii ina maana kwamba;Hii ina maana kwamba;

Kanuni za Kiroho zilikuwepo kablapya Kanuni za Kimwilini kuwepo.Kwahiyo, Kanuni za Kiroho ndizozinazotawala Kanuni za Kimwili zazinazotawala Kanuni za Kimwili za

Ulimwengu huu.g

Page 115: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Hii ina maana kwamba;Hii ina maana kwamba;

Hakuna kitu kinachofanyika katikayUlimwengu wa mwili, mpakakimefanyika kwanza katika

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa roho.

Page 116: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Chanzo cha Nuru cha rohoniChanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha p y

Nuru cha mwilini kuwepo.Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzokimwili kinatawaliwa na chanzo

cha Nuru cha kiroho. 

Page 117: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 5:1212 Kisha Yesu akasema nao tenak bi “Mi i i Nakawaambia, “Mimi ni Nuru ya

ulimwengu. Mtu ye yote akinifuatag y yhatatembea gizani kamwe, bali

k i ”atakuwa na nuru ya uzima.”

Page 118: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 3:16‐2019 Hii ndiyo hukumu kwamba: Nurui k j li i timekuja ulimwenguni, nao watuwakapenda giza kuliko Nuru kwap gsababu matendo yao ni maovu.

Page 119: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

N J MNuru Jua Mwanga(Y /N )(Yesu/Neno)Y h 1 7 9Yoh 1:7‐9

Page 120: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:1‐4“ h i hi k k“Mtu hataishi kwa mkate tu, b li k kil N li k lbali kwa kila Neno litokalok tik ki h B ”katika kinywa cha Bwana”.

Page 121: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Mk AfNeno Mkate Afya

Page 122: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOLuka 4:1‐4

Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika mkatetunaokula tu bali kwa katikatunaokula tu, bali kwa katika

Neno litokalo katika kinywa chaNeno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.

Page 123: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOLuka 4:1‐4

Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika Dawaanazotumia tu bali kwa katikaanazotumia tu, bali kwa katikaNeno litokalo katika kinywa chaNeno litokalo katika kinywa cha 

Bwana Mungu.

Page 124: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N D AfNeno Dawa Afya

Page 125: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N N b Uli iNeno Nyumba Ulinzi

Page 126: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Ki d U i i iNeno Kitanda Usingizi

Page 127: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Ki b AkiliNeno Kitabu Akili

Page 128: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N P U dNeno Pete            Upendo

Page 129: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Ch i K iNeno Cheti Kazi

Page 130: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Aji M f ikiNeno Ajira Mafanikio

Page 131: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Mistari hii inatuonyesha kwamba, k b k k i i ikumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kulikokiroho, zilizo juu sana kuliko 

kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa 

ki ili k i kkimwili na kanuni zake.

Page 132: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHOWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya kanuni za kiroho

katika maisha yao watawekakatika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi ykatika maisha yanayotimiza 

kanuni za kiroho.   

Page 133: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKwa lugha rahisi;Waebrania 11:3   

“Vitu vinavyoonekana, ili b k it i iviliumbwa kwa vitu visivyo 

dhahiri (au vitu visivyo wazi wazidhahiri (au vitu visivyo wazi waziau vitu vinavyoonekana)”

Page 134: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Vitu vinavyoonekana,Vitu vinavyoonekana, vinatawaliwa na vitu visivyoonekana;

Page 135: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Mambo ya Ulimwengu wa mwiliMambo ya Ulimwengu wa mwiliyanatawaliwa na mambo ya 

ulimwengu wa roho; 

Page 136: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Kanuni za kimwili (NaturalKanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual 

P i i l )Principles).

Page 137: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:1‐4“ h i hi k k“Mtu hataishi kwa mkate tu, 

b li k kil N li k l kbali kwa kila Neno litokalo kwaBwana”Bwana .

Page 138: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Mk AfNeno Mkate Afya

Page 139: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Mistari hii inatuonyesha kwamba, k b k k i i ikumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kulikokiroho, zilizo juu sana kuliko 

kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa 

ki ili k i kkimwili na kanuni zake.

Page 140: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Kanuni za kimwili (NaturalKanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual 

P i i l )Principles).

Page 141: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

i k ( ki ili) ivinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vituvya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) y ( y )

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

Page 142: Kanuni za kiroho za ushindi

KWANINI ROHO MTAKATIFUKwa jinsi Mungu 

alivyoutengeneza ulimwengualivyoutengeneza ulimwengu huu, binadamu hatawezahuu, binadamu hataweza kusababisha mabadiliko ya 

ushindi maishani mwake, pasipo k f hi k dkufanya hivyo kwa msaada wa 

nguvu fulani za kirohonguvu fulani za kiroho.

Page 143: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4            733

Milele

33                30      3 ½             3 ½   3 ½ 

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Page 144: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4            733

Milele

33                30      3 ½             3 ½   3 ½ 

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Ulimwengu wa Mwili

Torati na Manabii Kuzaliwa Injili

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo Kalvari Kanisa Sasa

Page 145: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4   7

33

Milele

33               30      3 ½             3 ½   3 ½ 

600                        InjiliUlimwengu wa Roho 2000 Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho 2000                                                                                           Kanisa Dhiki700

Ulimwengu wa Mwili(4) Daniel  7:13 – 14, 27 (5) Ufunuo 20:11 – 15

(3) Isaya 9: 6

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo

Page 146: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4   7

33

Milele

33               30      3 ½             3 ½   3 ½ 

600                        InjiliUlimwengu wa Roho 2000 Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho 2000                                                                                           Kanisa Dhiki700

Ulimwengu wa Mwili(4) Daniel  7:13 – 14, 27 (5) Ufunuo 20:11 – 15

(3) Isaya 9: 6

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo

Page 147: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

i k ( ki ili) ivinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vituvya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) y ( y )

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

Page 148: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZAKIROHOUlimwengu wa roho

fKwa Mfano M bi N bii EliMaombi ya Nabii Eliya

Yakobo 5:17 18;Yakobo 5:17‐18;1Wafalme 17‐18;1Wafalme 17 18;

Page 149: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Eliya alikuwa binadamu tu kama sisiEliya alikuwa binadamu tu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga , f g

mvua, na Mungu alimsikia, na bi ik f ik ( kimbingu zikafungika na mvua (ya ki‐mwilini) haikunyesha juu ya nchi, ) y j y ,kwa  muda wa  miaka 3 na nusu.

Page 150: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Japo kulikuwa na kanuni zote zaJapo kulikuwa na kanuni zote za kisayansi za mvua kunyesha, lakini y y ,

Eliya, kwa njia ya maombi, alikwenda h i k thi i (tib ) k irohoni, akaathiri (tibua) kanuni 

zinazotawala mvua mwili, na ndio ,maana mvua haikunyesha.

Page 151: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Baada ya miaka mitatu na nusu nchiBaada ya miaka mitatu na nusu, nchi yote ilikuwa kavu kabisa na misitu y

yote imepukutika; kwahiyo h k k k i k t hhakukuwa na kanuni za kutosha 

kuruhusu mvua kunyesha.y

Page 152: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Eliya akaomba tena kwa bidii iliEliya akaomba tena kwa bidii, ili kuifungua mvua kutoka katikaf guliwengu wa roho, na Mungu 

li iki bi ik f kalimsikia, na mbingu zikafunguka na mvua (ya ki‐mwilini) ikanyesha na (y ) y

nchi ikazaa matunda yake.

Page 153: Kanuni za kiroho za ushindi

MAANA YA KUOMBAKuomba, ni namna ya mtu, 

kwenda katika ulimwengu wakwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Munguroho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo, i k l b dilik k ikitakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwiliulimwengu huu wa mwili.

Page 154: Kanuni za kiroho za ushindi

Mabadiliko gani hayo?g yKwa Mfano;

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri Kazi nzuriMasomo mazuri,, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

i S ik li i T if i N hinzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watunzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.

Page 155: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:30‐45Lakini; 

Si maombi pekeef t k b kyanayofanya tupokee baraka za 

Mungu katika maishani yetuMungu katika maishani yetu.

Page 156: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:30‐45Bali ni maombi pamoja na kanuni zingine za kiroho

zilizoambatanishwa na maombizilizoambatanishwa na maombi ndiyo zilizofanya Waisraeli ndiyo ili ofanya Waisraeli

wapokee ile baraka ya mvua …

Page 157: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:30‐45

… kutoka kwa rohoni japo k lik h k k ikulikuwa hakuna kanuni za 

kimwili za kutosha za kuruhusukimwili za kutosha za kuruhusu mvua kunyesha.y

Page 158: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Eliya akawakusanya Waisraeli wote, akaijenga madhabahu ya Bwanaakaijenga madhabahu ya Bwana upya, akaweka sadaka ya ng’ombe juu ya madhabahu, na akawataka wamwage maji pipa 12 juu yakewamwage maji pipa 12 juu yake, 

kama yalivyo mawe 12 ya madhabahu na kabila 12 za Israeli.

Page 159: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

1 Madhabahu Ibada1. Madhabahu – Ibada(Kusifu na Kuabudu)(Kusifu na Kuabudu)

Page 160: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

1 Madhabahu Ibada1. Madhabahu – Ibada(Kusifu na Kuabudu)(Kusifu na Kuabudu)Zaburi 100:1‐5Zaburi 22:3

Yohana 4:23‐24

Page 161: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

2 Ng’ombe Sadaka2.   Ng’ombe – Sadaka(Zaka)(Zaka)

Page 162: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

2 Ng’ombe Sadaka2.   Ng’ombe – Sadaka(Zaka)(Zaka)

Walawi 27:30‐31Malaki 3:7‐12

Page 163: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

3 Pipa 12 za Maji Sadaka3.   Pipa 12 za Maji – Sadaka(Dhabihu)(Dhabihu)

Page 164: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

3 Pipa 12 za Maji Sadaka3.   Pipa 12 za Maji – Sadaka(Dhabihu)(Dhabihu)

Malaki 3:9‐122Wakorintho 9:6‐13

Page 165: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

4 Maombi ya Kuumba Mahitaji4. Maombi ya Kuumba ‐ Mahitaji(Kusababisha vitokee)(Kusababisha vitokee)

Page 166: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

4 Maombi ya Kuumba Mahitaji4. Maombi ya Kuumba ‐ Mahitaji(Kusababisha vitokee)(Kusababisha vitokee)

Mathayo 7:7‐11yWafilipi 4:6‐7Isaya 43:26

Page 167: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

5 Neno la Mungu Ahadi5.  Neno la Mungu ‐ Ahadi(Mungu huangalia Neno)(Mungu huangalia Neno)

Page 168: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

5 Neno la Mungu Ahadi5.  Neno la Mungu ‐ Ahadi(Neno lina Nguvu ya Kuumba)(Neno lina Nguvu ya Kuumba)

Waebrania 11:3Waebrania 4:12Yeremia 1:12

Page 169: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

6 Kuangamiza Ma Baali Toba6.   Kuangamiza Ma‐Baali ‐ Toba (Kuondoa kinachozuia)(Kuondoa kinachozuia)

Page 170: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

6 Kuangamiza Ma Baali Toba6.   Kuangamiza Ma‐Baali ‐ Toba (Kuondoa kinachozuia)(Kuondoa kinachozuia)Kumbukumbu 23:14Yohana 11:39‐40

Page 171: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

7 Maombi ya Kufungulia Vita7.   Maombi ya Kufungulia ‐ Vita (Kutelemsha baraka)(Kutelemsha baraka)

Page 172: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

7 Maombi ya Kufungulia Vita7.   Maombi ya Kufungulia ‐ Vita (Kutelemsha baraka)(Kutelemsha baraka)Mathayo 16:19,18yYakobo 5:17‐18,16

Page 173: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

Yakobo 5:18;

MATOKEO:MATOKEO:Ushindi ‐ Nchi kuzaa matunda

(Kufaidi mema ya nchi)

Page 174: Kanuni za kiroho za ushindi

Kanuni za Kiroho (1Fal 18:30‐45)

1. Kusifu na Kuabudu (Zab 100:4‐5)2. Sadaka ya Zaka (Malaki 3:7‐12)3 S d k Dh bih (2K 9 6 11)3. Sadaka ya Dhabihu (2Kor 9:6‐11)4 Maombi ya Mahitaji (Fil 4:6‐7)4. Maombi ya Mahitaji (Fil 4:6‐7)5. Neno la Mungu (Yer 1:12)g ( )6. Maombi ya Toba (Kumb 23:14)7. Maombi ya Vita (Math 16:18‐19)

Page 175: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐44;Baada ya Nabii Eliya kufanya  Maombi na Sadaka, Mungu 

akaleta baraka ya mvua katikaakaleta baraka ya mvua katika nchi ya Israeli, mvua ambayonchi ya Israeli, mvua ambayo ilikuwa haijanyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na nusu.

Page 176: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Kumbuka, mvua ilikuwa haijanyesha kwa kipindi chahaijanyesha kwa kipindi cha 

miaka mitatu na nusu; kwahiyo, ; y ,katika kipindi hicho, majiyalikuwa ni moja ya bidhaa adimu sana katika jamiiadimu sana katika jamii. 

Page 177: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Kwahiyo, kwa Waisraeli kutoa maji katika madhabahu yamaji katika madhabahu ya 

Jehovah, walikuwa wamefanya , ytendo la kujitoa sana; hivyo yale maji yalikuwa ni Sadaka kubwa

na ya thamani sana kwaona ya thamani sana kwao.

Page 178: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Ile Sadaka ilipotolewa sawa sawana maagizo ya Mungu (pipa 12)na maagizo ya Mungu (pipa 12), ndipo mbingu zilipofunguka, na p g p g ,baraka ya mvua ikaachiliwa juu ya nchi yao, kwa mara ya kwanza baada ya miaka mitatu na nusubaada ya miaka mitatu na nusu.

Page 179: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐44;Baada ya ile Sadaka na Maombi, Nabii Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni nasikia sauti ya mvua‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua 

tele’ (mstari 41), watutele  (mstari 41), watu walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani ili kufanya MAOMBI;

Page 180: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14)/     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /        Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 

Page 181: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Na watu walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito marabaada ya maombi mazito mara saba (7), ndipo mvua kubwasaba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi 

(mstari 44‐45).

Page 182: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /     Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        /

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /    Mvua ya Mwilini /        //      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       /

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /       /      /      /      /       /        /

Page 183: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili, 

mpaka kwanza ilipotengenezwampaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kirohokatika ulimwengu wa kiroho

kwanza.

Page 184: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:41‐45;

Kwahiyo, kumbuka kwamba, i ki h diKanuni za kiroho, ndizo 

zilizotangulia kusababisha atharizilizotangulia kusababisha athari katika ulimwengu wa rohonig

kwanza, ili mvua inyeshe katika ulimwengu wa mwili.

Page 185: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Kwahiyo, 

Ile mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili, mpaka kwanza ilipotengenezwa katikakwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho kwanza.u e gu a o o a a.

Page 186: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu wa i f bImani, anayefanya mambo 

yasiyoonekana kwanza kabla yayasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika y y

ulimwengu wa mwili(ulimwengu wa yanayoonekana)

Page 187: Kanuni za kiroho za ushindi

KWANINI ROHO MTAKATIFUKwa jinsi Mungu 

alivyoutengeneza ulimwengualivyoutengeneza ulimwengu huu, binadamu hatawezahuu, binadamu hataweza kusababisha mabadiliko ya 

ushindi maishani mwake, pasipo k f hi k dkufanya hivyo kwa msaada wa 

nguvu fulani za kirohonguvu fulani za kiroho.

Page 188: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO‘Hivyo Basi mtu wa Mungu 

akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani katikana Mungu wa Imani, katika 

maisha yake duniani, lazima awe maisha yake duniani, la ima awena ufahamu wa mambo 

yasiyoonekana (mambo ya h i) i I irohoni) yaani Imani.

Page 189: Kanuni za kiroho za ushindi

KWANINI ROHO MTAKATIFU

Hivyo basi binadamu waHivyo basi, binadamu wa kawaida, hataweza kusababisha ,mabadiliko ya ushindi maishani mwake, pasipo kufanya hivyo 

kwa msaada wakwa msaada wa ‘nguvu fulani za kiroho’nguvu fulani za kiroho .

Page 190: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOHuu ndio Utaratibu wa Mungu

katika kuitawala dunia;kwamba mambo yanayotakiwakwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kufanyika katika ulimwengu wakimwili, sharti yafanyike kwanza katika ulimwengu wa kiroho,

k d ki hkwa msaada wa nguvu za kiroho

Page 191: Kanuni za kiroho za ushindi

KWANINI ROHO MTAKATIFU

Ndio maana Mungu ametupaNdio maana Mungu ametupa Roho wake, ili tuweze ,

kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwetu, kwa msaada wa Nguvu za ajabu zamsaada wa Nguvu za ajabu za

Roho Mtakatifu.Roho Mtakatifu.

Page 192: Kanuni za kiroho za ushindi

KWANINI ROHO MTAKATIFUNa ndio maana, Bwana Yesu 

Kristo mwenyewe hakuthubutuKristo mwenyewe, hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalmekuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja

ufalme wa shetani, pasipok “k j Nkwanza “kujazwa na Nguvu za 

Roho Mtakatifu”Roho Mtakatifu .

Page 193: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1 14Luka 4:1, 141 Yesu alipokwisha kubatizwa1 Yesu alipokwisha kubatizwa, 

aliongozwa na Roho gMtakatifu kwenda nyikani k ik bi ikkatika maombi ya siku 40.

Page 194: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1 14Luka 4:1, 1414 Yesu alipomaliza maombi na14 Yesu alipomaliza maombi na majaribu yote, alirudi Galilaya j y y

katika nguvu za Roho k ifMtakatifu.

Page 195: Kanuni za kiroho za ushindi

TOFAUTI YA ROHO NA NGUVU

Luka 4:1                Luka 4:14

Alitembea kwa Alitembea naAlitembea kwa       Alitembea naUongozi NguvuUongozi Nguvuwa Roho za RohoMtakatifu                Mtakatifu

Page 196: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 10:3838 Mungu alimpaka Yesu Kristo mafuta, kwa Roho Mtakatifuna Nguvu; naye akazungukana Nguvu; naye akazunguka kote kote akitenda mema nakote kote akitenda mema na kuwaponya wote walioteswa

na ibilisi shetani.

Page 197: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:18‐19Roho wa Bwana Mungu yuko 

juu yangu, kwa maana amenipaka mafuta (amenipaamenipaka mafuta (amenipa uwezo) wa kuwahubiri watuuwezo) wa kuwahubiri watu na kuwatangazia kufunguliwa kutoka katika mateso ya ibilisi

Page 198: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ikiwa Bwana Yesu mwenyeweIkiwa Bwana Yesu mwenyewe, alihitaji Nguvu za Mungu naalihitaji Nguvu za Mungu na alizitafuta, kwa maombi mazito na makali sana 

maishani mwake si zaidi sanamaishani mwake, si zaidi sana sisi binadamu wa kawaida?sisi binadamu wa kawaida?

Page 199: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ni namna tu ya Bwana YesuHii ni namna tu ya Bwana Yesu kutuonyesha na kutuangalizakutuonyesha na kutuangaliza kwamba, Nguvu za Mungu ni za lazima sana katika maisha ya mwanadamu dunianiya mwanadamu, duniani.

(‘It’s a necessity’)( It s a necessity )

Page 200: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Pasipo Nguvu za MunguPasipo, Nguvu za Mungu, (nguvu za kiroho)(nguvu za kiroho) 

mwanadamu hataweza kutawala mazingira yake kwa ukamilifu; hataweza kuwa naukamilifu; hataweza kuwa na 

ushindi kamili maishani. ushindi kamili maishani.

Page 201: Kanuni za kiroho za ushindi

KWANINI ROHO MTAKATIFUNa ndio maana, Bwana Yesu 

Kristo mwenyewe hakuthubutuKristo mwenyewe, hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalmekuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja

ufalme wa shetani, pasipok “k j Nkwanza “kujazwa na Nguvu za 

Roho Mtakatifu”Roho Mtakatifu .

Page 202: Kanuni za kiroho za ushindi

KWANINI ROHO MTAKATIFUNdio maana, na Bwana Yesu, aliwakataza wanafunzi wakealiwakataza wanafunzi wake

kuanza kazi ya kuujenga Ufalmekuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja

ufalme wa shetani, pasipok “k j Nkwanza “kujazwa na Nguvu za 

Roho Mtakatifu”Roho Mtakatifu .

Page 203: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 20:20 21Yohana 20:20‐21Akawaambia, kama BabaAkawaambia, kama Baba alivyonituma mimi, nami nawapeleka ninyi; akiisha kusema hayo akawavuviakusema hayo, akawavuvia (akawapulizia) akawaambia, pokeeni Roho Mtakatifu;

Page 204: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 24:49Luka 24:49(Pamoja na kwamba(Pamoja na kwamba 

ameshawapa Roho Mtakatifu)“… Lakini, msiondoke humu mjini, 

mpaka mtakapovikwa uwezampaka mtakapovikwa uwezautokao juu (Nguvu za Mungu).j ( g g )

Page 205: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ni namna tu ya Bwana YesuHii ni namna tu ya Bwana Yesu kutuonyesha na kutuangalizakutuonyesha na kutuangaliza kwamba, Nguvu za Mungu ni za lazima sana katika maisha ya mwanadamu dunianiya mwanadamu, duniani.

(‘It’s a necessity’)( It s a necessity )

Page 206: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 22:29Mathayo 22:2929 Yesu alisema ‘Mwapotoka29 Yesu alisema,  Mwapotoka 

na kupotea kwa sababu phamjui maandiko, wala uweza 

( )wa Mungu (Nguvu za Mungu). 

Page 207: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Bwana Yesu mwenyewe,Bwana Yesu mwenyewe, alihitaji Nguvu za Roho Mtakatifu wa Mungu na 

alizitafuta kwa maombi mazitoalizitafuta, kwa maombi mazito maishani mwake, kabla hata yamaishani mwake, kabla hata ya 

kuanza kazi ya Ufalme wa Mungu duniani?

Page 208: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3;   Zab 8:4‐8

Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba ulimwengu wanamna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka

ya Mungu kutoka katika Uli hUlimwengu wa roho.

Page 209: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWarumi 3:23/Warumi 5:12‐19

Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungualipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na g

kushindwa kuutawala ulimwengu ili b d l kwa mwili; badala yake, 

ulimwengu wa mwili ukamtawalaulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.

Page 210: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

KABLA YA DHAMBIUTARATIBU ULIKUWA HIVI

Page 211: Kanuni za kiroho za ushindi

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO) Utukufu (Msaada) Mungu

Mwili RohoMwili Roho

Dunia Nafsi

Shetani

Page 212: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI “Mashal”KABLA YA DHAMBI      Mashal

MkuuMUNGU

ADAMMfalme

Mtawala

MALAIKA Mwakilishi

mungu

DUNIA

S

g

Zab 8:4‐8SHETANI

Page 213: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOZaburi 8:4‐8, Mwanzo 1:26‐28Mwanadamu ni nani hata umwangalie kwa kiasi hiki?umwangalie kwa kiasi hiki?  Umemfanya ‘punde kidogo’y p g

kuliko Mungu, ukamvika taji ya ‘Ut k f ’ H hi ki h‘Utukufu’ na Heshima; kisha 

ukamtawaza ‘Juu ya’ kazi zote zaukamtawaza  Juu ya kazi zote za mikono yako …

Page 214: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOZaburi 8:4‐8, Mwanzo 1:26‐28… na ukaviweka vitu vyote ulivyoviumba wewe ‘chini ya’ulivyoviumba wewe,  chini ya  miguu yake; wanyama wote, g y y

ndege wote, samaki na kila kitu ki it h k tik ji jikipitacho katika njia za maji.

Page 215: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI “Mashal”KABLA YA DHAMBI      Mashal

MkuuMUNGU

ADAMMfalme

Mtawala

MALAIKA Mwakilishi

mungu

DUNIA

S

g

Zab 8:4‐8SHETANI

Page 216: Kanuni za kiroho za ushindi

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO) Utukufu (Msaada) Mungu

Mwili RohoMwili Roho

Dunia Nafsi

Shetani

Page 217: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

BAADA YA DHAMBIMAMBO YAKAWA HIVI

Page 218: Kanuni za kiroho za ushindi

BAADA YA DHAMBIBAADA YA DHAMBI Msaada Ukakatika Mungug

Mwili Roho

DuniaNafsi

Shetani

Page 219: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

MUNGU

SHETANI

MALAIKA

SHETANI  ALITAPELI NAFASI YA ADAM

DUNIA

NAFASI YA ADAMADAM

Page 220: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11MkuuMUNGU

SHETANIMfalme

Mtawala

Waefeso 2:1‐2

1Yohana 5:19

MALAIKA Mwakilishi

mungu

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

Shetani akakaa katika        nafasi ya Adam na

DUNIA

g

nafasi ya Adam na akavaa vyeo vyote vya Adam      

ADAM

Page 221: Kanuni za kiroho za ushindi

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Efe 2:1‐2   – Mfalme wa angafe fa e a a ga2Kor 4:4    – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19  – Mtawala (Controler) Yoh 12:31  – Mkuu wa UlimwenguY h 14 30 Mk UliYoh 14:30  – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11  – Mkuu wa Ulimwengu

Page 222: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11MkuuMUNGU

SHETANIMfalme

Mtawala

Waefeso 2:1‐2

1Yohana 5:19

MALAIKA Mwakilishi

mungu

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

Warumi 5:12, 14DUNIA

g

Waebrania 2:14, 15ADAM

Page 223: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

BAADA YA WOKOVUMAMBO YAKAWA HIVI

Page 224: Kanuni za kiroho za ushindi

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Uhusiano Mungu(Utukufu) Uhusiano Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani

Page 225: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTO

BAADA YA WOKOVUBAADA YA WOKOVU

MkuuMUNGU + ADAM ‐ 2

MALAIKAMfalme

Mtawala

SHETANI Mwakilishi

mungu

Waefeso 2:1‐6DUNIA

g

Waefeso 1:18‐23ADAM  ‐ 1

Page 226: Kanuni za kiroho za ushindi

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Roho Mt Mungu(Utukufu) Roho Mt. Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani (Rum 8:9‐11) 

Page 227: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9‐10Ufunuo 5:9‐109 Wewe unastahili kukitwaakitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwakwa sababu ulichinjwa na kwa 

damu yako ukamnunulia M t k t k k tik kilMungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na , g , j

kila taifa (kanisa). 

Page 228: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9 10Ufunuo 5:9‐1010 Nawe umewafanya hawa10 Nawe umewafanya hawa wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao 

iliki d i ’’wanamiliki dunia.’’

Page 229: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:26‐28/Zaburi 8:4‐8

Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba ulimwengu wanamna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka

ya Mungu kutoka katika Uli hUlimwengu wa roho.

Page 230: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWarumi 3:23/Warumi 5:12‐19

Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungualipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na g

kushindwa kuutawala ulimwengu ili b d l kwa mwili; badala yake, 

ulimwengu wa mwili ukamtawalaulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.

Page 231: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaefeso 2:1‐6/Ufunuo 5:8‐10

Lakini Mtu anapotubu dhambi zake na kuupokea Wokovu wa Bwanana kuupokea Wokovu wa Bwana Yesu Krsito, anaunganishwa tena gna Mungu na kupewa mamlaka

k idi k lik lmakuu zaidi, kuliko yale aliyoyapoteza Adam na Evaaliyoyapoteza Adam na Eva   katika bustani ya Eden.

Page 232: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaefeso 1:18‐23/2:1‐6

hMungu wetu, hataweza kukurithisha mamlaka yakukurithisha mamlaka ya 

Ulimwengu wa roho ili uweze kuleta mabadiliko katika 

ulimwengu wa mwili kamaulimwengu wa mwili, kama hajazaliwa mara ya pili, kwa njia j y p , j

ya Wokovu wa Yesu Kristo.

Page 233: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Laikini …Kila mtu amwaminiye Yesu Kristo, na Wokovu wake, anaunganishwa tena na Mungu katika utu watena na Mungu, katika utu wa ndani, ambao pale mwanzo 

ulivunjika kwa ile dhambi ya Adam na Eva kule katika bustani ya Edenna Eva kule katika bustani ya Eden.

Page 234: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Baada ya Wokovu mtu waBaada ya Wokovu, mtu wa Mungu huyo, anajazwa Roho g y , jMtakatifu na Nguvu zake, ili 

k d h l kkumrudishia mamlaka na uwezatuliyopoteza katika bustani yatuliyopoteza katika bustani ya Eden, kwa njia ya dhambi., j y

Page 235: Kanuni za kiroho za ushindi

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Roho Mt Mungu(Utukufu) Roho Mt. Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani (Rum 8:9‐11) 

Page 236: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Bwana Yesu aliomba hivi:Yohana 17:22

‘Baba, Utukufu ule ulionipa, i i (K i )’nami nimewapa wao (Kanisa)’;

‘yaani watu walioniamini walinipokeayaani watu walioniamini, walinipokea maishani mwao na wanaishi kwa kanuni 

zangu za kiroho’

Page 237: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

‘Utukufu’ huo ni Roho MtakatifuUtukufu huo, ni Roho Mtakatifuyule yule aliyepewa Adam wa y y y pkwanza, ili aweze kuutawala 

l d hulimwengu wa dunia hii.Z b i 8 4 8Zaburi 8:4‐8

Page 238: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 8:4‐8Huwezi kutawazwa juu ya kazi za mikono ya Mungu, pasipo kwanza kuvikwa Nguvu zakwanza kuvikwa Nguvu za Mungu ( Taji ya UTUKUFU na heshima). = “Kutawazwa”

Page 239: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHONguvu za Kiroho ni maalumu kutuwezesha kupamba na ulimwengu wa mwili ambaoulimwengu wa mwili ambao huwa wakati mwingine, huwa wakati mwingine,

unakataa tu kufanya kazi vile inavyotakiwa au vile  ili tilivyotegemewa.

Page 240: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

• Biashara                        Zaburi 8:4‐8• Shamba• Mifugo H i k i• Mifugo • Masomo 

Haiwezekanikuitawala Dunia

• Familia K i

pasipo nguvu( k f )• Kazi 

• Afya(utukufu) wa

MunguAfya• Mipango 

Mungu

Page 241: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni KwambaNi Kwamba …Nguvu za Mungu zinawezaNguvu za Mungu zinaweza kukuvusha na kukufanikisha 

pale ambapo kanuni za kawaida ki ili ( ki ili)za kimwili (za kiasili) 

zinapogoma kufanya kazizinapogoma kufanya kazi.

Page 242: Kanuni za kiroho za ushindi

Yohana 14:12

‘Amini Amini nawaambeni, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi (za ushindi) ninazozifanya, na yeye atazifanya naam hata kubwaatazifanya, naam hata kubwa 

kuliko hizo, atafanya,kuliko hizo, atafanya, kwasababu mimi nakwenda  

kwa Baba’.

Page 243: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 14:12‘… Kila aniaminiaye mimi, 

ataushinda ulimwengu kama i i ili hi d k b bmimi nilivyoshinda, kwasababu mimi nakwenda kwa Babamimi nakwenda kwa Baba, kuwaletea Roho Mtakatifu, ,

aliyeniwezesa mimi kushinda’.

Page 244: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

‘Ni kwa njia ya Roho Mtakatifuwa Mungu, mtu wa Mungu 

ataweza kushinda mapambanoataweza kushinda mapambanoyote aliyonayo maishani.y y y

Page 245: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO‘Hivyo Basi mtu wa Mungu 

akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani katikana Mungu wa Imani, katika 

maisha yake duniani, lazima awe maisha yake duniani, la ima awena ujazo kamili wa Roho

Mtakatifu katika maisha yake.

Page 246: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

‘Ni kwa njia ya Roho Mtakatifuhwa Mungu, hata Bwana Yesu

mwenyewe aliweza kushindamwenyewe aliweza kushindamapambano yote aliyokutana p y y

nayo duniani.

Page 247: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1 14Luka 4:1, 141 Yesu alipokwisha kubatizwa1 Yesu alipokwisha kubatizwa, 

aliongozwa na Roho gMtakatifu kwenda nyikani k ik bi ikkatika maombi ya siku 40.

Page 248: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1 14Luka 4:1, 1414 Yesu alipomaliza maombi na14 Yesu alipomaliza maombi na majaribu yote, alirudi Galilaya j y y

katika nguvu za Roho k ifMtakatifu.

Page 249: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ni kwasababu …Hii ni kwasababu … Mungu wetu ni Mungu wa g g

viwango maalum, hafanyi kazi k k h l (katika hali yoyote tu (japo anaweza) bali anafanya kazianaweza), bali anafanya kazi katika viwango vyake maalum.g y

Page 250: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kiwango maalum cha Nguvu zaKiwango maalum cha Nguvu za Mungu kinahusika sana katika 

kuleta mabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho nakatika ulimwengu wa roho na ndipo yatokee au yadhihirikendipo yatokee au yadhihirike katika ulimwengu wa mwili.

Page 251: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kuna tofauti ya kuwa na        Roho Mtakatifu na kuwa naRoho Mtakatifu na kuwa na Nguvu za Roho Mtakatifug

Page 252: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1 14Luka 4:1, 141 Yesu alipokwisha kubatizwa1 Yesu alipokwisha kubatizwa, 

aliongozwa na Roho gMtakatifu kwenda nyikani k ik bi ikkatika maombi ya siku 40.

Page 253: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1 14Luka 4:1, 1414 Yesu alipomaliza maombi na14 Yesu alipomaliza maombi na majaribu yote, alirudi Galilaya j y y

katika nguvu za Roho k ifMtakatifu.

Page 254: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGULuka 4:1           Luka 4:14Alitembea          Alitembea

K k tikKwa                    katikaUongozi NguvuUongozi Nguvu

wa zawa                         za Roho Mtakatifu Roho MtakatifuRoho Mtakatifu    Roho Mtakatifu

Page 255: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ikiwa Bwana Yesu mwenyewe, y ,alihitaji Nguvu za Roho Mtakatifu wa Mungu na alizitafuta kwa maombializitafuta, kwa maombi 

mazito na makali maisha yake yyote duniani, si zaidi sana sisi 

binadamu wa kawaida?

Page 256: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 20:20 21Yohana 20:20‐21Akawaambia, kama BabaAkawaambia, kama Baba alivyonituma mimi, nami nawapeleka ninyi; akiisha kusema hayo akawavuviakusema hayo, akawavuvia (akawapulizia) akawaambia, pokeeni Roho Mtakatifu;

Page 257: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 24:49Luka 24:49(Pamoja na kwamba(Pamoja na kwamba 

nimeshawapa Roho Mtakatifu)“… Lakini, msiondoke humu mjini, 

mpaka mtakapovikwa uwezampaka mtakapovikwa uwezautokao juu (Nguvu za Mungu).j ( g g )

Page 258: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 1:8Matendo 1:88 Lakini mtapokea nguvu akiisha p g

kuwajilia juu yenu Roho k f kMtakatifu, nanyi mtakuwa 

mashahidi Wangu katikamashahidi Wangu katika Yerusalemu, Uyahudi kote na , y

Samaria, hadi miisho ya dunia.’’ 

Page 259: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 22:29Mathayo 22:2929 Yesu alisema ‘Mwapotoka29 Yesu alisema,  Mwapotoka 

na kupotea kwa sababu phamjui maandiko, wala uweza 

( )wa Mungu (Nguvu za Mungu). 

Page 260: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 3:20Waefeso 3:20Kiwango cha Nguvu za Mungu g g gkinahusika sana katika kuleta b d l k h k k kmabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na kishaulimwengu wa roho na kisha katika ulimwengu wa mwili.g

Page 261: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OMungu anaweza kutenda mambo makubwa mno na ya ajabu sana 

(yasiyopimika) kuliko yote(yasiyopimika) kuliko yote tunayoyawaza na kuliko yotetunayoyawaza na kuliko yote 

tunayoyaomba, …

Page 262: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O

l ki i i k k di i (k… lakini ni  kwa kadiri (kwa kiwango au kipimo) cha nguvukiwango au kipimo) cha nguvu zake kinachotenda kazi ndani

yetu.

Page 263: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU ZA MUNGUNGUVU ZA MUNGU

Kanuni za KirohoKanuni za Kiroho                   Neno (Bulb)Neno (Bulb)

MaombiMaombi(Wire)( )

Roho Mtakatifu (Battery)  

Page 264: Kanuni za kiroho za ushindi

Aina mbili za Nguvu za MunguAina mbili za Nguvu za Mungu

Kanuni za Kiroho (Connected)Kanuni za Kiroho (Connected)      Neno (Bulb)Neno (Bulb)

MaombiMaombi(Wire)( )

Roho Mtakatifu (Battery)  

Page 265: Kanuni za kiroho za ushindi

Aina mbili za Nguvu za MunguAina mbili za Nguvu za Mungu

Kanuni za Kiroho (Connected)Kanuni za Kiroho (Connected)      Nuru (light)Nuru (light)

MaombiMaombi(Wire)( )

Roho Mtakatifu (Battery)  

Page 266: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni za Kiroho (Connected);Kanuni za Kiroho (Connected);Ushindi, Afya,nk                     Nuru ya , y , y(Matendo)                            Ulimwengu

Roho Mtakatifu Nguvu za RohoRoho Mtakatifu       Nguvu za Roho(Potential Energy)            (Kinetic Energy)

Page 267: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni jambo moja kuwa na TaaNi jambo moja kuwa na Taa,(bulb) na ni jambo jingine kuwa(bulb) na ni jambo jingine kuwana Mwanga wa (Nuru ya) hiyona Mwanga wa (Nuru ya) hiyoTaa (bulb). Pasipo nguvu za ( ) p gMungu, utabaki taa (bulb) tu, isiyowaka (isiyo na nuru)

Page 268: Kanuni za kiroho za ushindi

Mathayo 5:14‐16Mathayo 5:14 16

14 ‘‘Ninyi ni nuru ya ulimwengu14 ‘‘Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji uliojengwa kilimaniMji uliojengwa kilimani 

hauwezi kufichika(kwasababu ya taa zake) ... 

Page 269: Kanuni za kiroho za ushindi

Mathayo 5:14‐16Mathayo 5:14 16

16 Vivyo hivyo na ninyi nuru16 Vivyo hivyo na ninyi, nuru yenu (ushindi, mafanikio, nk)yenu (ushindi, mafanikio, nk) na viangaze mbele ya watu, ili wapate kuona matendo yenu 

k B bmema wamtukuze Baba yenu aliye mbingunialiye mbinguni.

Page 270: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu anataka tuwe tofauti!Mungu anataka, tuwe tofauti!Kwamba …Kwamba …

Katikati ya giza, sisi tuwe nuru,Katikati ya kuanguka, sisi tusianguke,Katikati ya kufeli, sisi tusifeli, tufaulu,K tik ti h i i t t f idKatikati ya hasara, sisi tupate faida,

Page 271: Kanuni za kiroho za ushindi

Mathayo 5:14‐16Mathayo 5:14 16Giza Vs   Nuru

Kufeli    – KufauluHasara   – Faida hi d hi diKushindwa   – Ushindi 

Magonjwa Afya/UponyajiMagonjwa   – Afya/UponyajiUasi/Uovu – Haki/UtakatifuUasi/Uovu    Haki/Utakatifu

Page 272: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni jambo moja kuwa naNi jambo moja kuwa na Jenereta, na ni jambo jingineJenereta, na ni jambo jingine kuwa na Umeme (Nguvu ya Umeme). Pasipo nguvu za 

Mungu utabaki kuwa JeneretaMungu, utabaki kuwa Jenereta tu, isiyowaka (isiyozaa umeme)tu, isiyowaka (isiyo aa umeme)

Page 273: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHONi mambo ambayo, tukiyawekaNi mambo ambayo, tukiyaweka 

kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetuMtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

Page 274: Kanuni za kiroho za ushindi

Ndio maana tunataka kujifunza;

KANUNI ZA KIROHO

ILI KUTENGENEZA NA KUZALISHA NGUVU ZA MUNGUMAISHANINGUVU ZA MUNGU MAISHANI NA KUTUWEZESHA KUISHI KWA 

USHINDI DUNIANI

Page 275: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwasababuKwasababu …Utendaji kazi wa mkono waUtendaji kazi wa mkono wa Mungu maishani mwako, gunategemea sana kiwango

hcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

Page 276: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

BasiBasi … Tengeneza au ZalishaTengeneza au Zalisha

KIWANGOcha kutosha cha Nguvu za Mungu 

Ndani yako

Page 277: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 23:5Zaburi 23:5Ndio maana Mfalme Daudi alisemaNdio maana Mfalme Daudi alisema 

“Waandaa meza (baraka) mbele yangu, machoni pa watesi wangu 

(adui); Umenipaka mafuta(adui); Umenipaka mafuta kichwani kwangu, na kikombe 

changu kinafurika.”

Page 278: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 23:5Zaburi 23:5Hii inaonyesha kwamba, MfalmeHii inaonyesha kwamba, Mfalme 

Daudi hakutaka kutembea duniani, akiwa na kiwango robo au nusu au robo tatu cha Nguvuau nusu au robo tatu cha Nguvu za Mungu maishani mwake; Bali alitaka kikombe chake kifurike.

Page 279: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Kavu / Tupu1. Kavu / Tupu   

Kiwango, Kipimo, Ujazo

Page 280: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2 Robo2. Robo  

Kiwango, Kipimo, Ujazo

Page 281: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

3 Nusu3.  Nusu 

Kiwango, Kipimo, Ujazo

Page 282: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4 Robo Tatu4. Robo Tatu 

Kiwango, Kipimo, Ujazo

Page 283: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5 Kumwagika5.  Kumwagika   

Kiwango, Kipimo, Ujazo

Page 284: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 23:5Zaburi 23:5Hii inaonyesha kwamba, MfalmeHii inaonyesha kwamba, Mfalme 

Daudi hakutaka kutembea duniani, akiwa na kiwango robo au nusu au robo tatu cha Nguvuau nusu au robo tatu cha Nguvu za Mungu maishani mwake; Bali alitaka kikombe chake kifurike.

Page 285: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 5:18Waefeso 5:18Ni mapenzi ya Mungu kwambaNi mapenzi ya Mungu kwamba, tutembee katika ujazo wa Roho jMtakatifu na kufurika nguvu za 

Mungu.

Page 286: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Efeso 5:18Efeso 5:18Msilewe kwa pombe (mvinyo)Msilewe kwa pombe (mvinyo) kwani kuna ufisadi (uchafu), ( )

bali mjazwe kwa Roho k ifMtakatifu.

Page 287: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo;y ;Kila mtu amwaminiye Yesu Kristo, kama Bwana na Mwokozi wake, ana Roho Mtakatifu wa Mungu ndaniRoho Mtakatifu wa Mungu ndani yake; kwahiyo, ana chanzo cha Nguvu za Mungu ndani yake.

Page 288: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14Nguvu za Mungu zilizopo ndani yako, zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi na kuyatawala mazingira yako kamana kuyatawala mazingira yako, kama Bwana Yesu alivyoishi na kuyatawala mazingira yake, bila kushindwa au 

kuzuiliwa na hali yoyotekuzuiliwa na hali yoyote.

Page 289: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28‐30Warumi 8:28 3030 Na wale aliowajua, aliwaita, j , ,na wale aliowaita, aliwahesabia h k l l h bhaki, na wale aliowahesabia  

haki aliwatukuzahaki, aliwatukuza. 

Page 290: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28‐30Warumi 8:28 3029 Wale aliowajua tangu zamani, j g ,aliwaita ili wafananishwe na 

fmfano wa mwanaye.

Page 291: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kwamba h k di i iroho yako ndiyo inayotumiwa na Mungu kuachilia nguvu zakeMungu kuachilia nguvu zake, 

kutakufanya uwe mtu mwoga nadhaifu maisha; 

Page 292: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katikakutakuondolea ujasiri katika kukabiliana na maisha ya kila ysiku, yaliyojaa kila aina ya 

upinzani na vita dhidi ya mtu wa MunguMungu.

Page 293: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa ngvu zakuzima utendaji kazi wa ngvu za Mungu maishani mwako; nawe 

utaishi chini ya kiwango cha mtoto waMungu (yaani maisha yawa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika))

Page 294: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Kutokujua (Kutokuwa naKwa Kutokujua (Kutokuwa na ufahamu huu) watu wa Mungu 

wengi wamezuia utendaji kazi wa nguvu za Mungu kutoka ndaninguvu za Mungu kutoka ndani yao, na Nguvu kubwa sana zayao, na Nguvu kubwa sana za Mungu zimebaki ndani yao zimelala (hazijatumika). 

Page 295: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na matokeo yake ni kwamba,Na matokeo yake ni kwamba, watu wa Mungu wengi wanaishi 

maisha ua kuhangaika na wanatumia muda mwingi nawanatumia muda mwingi na gharama kubwa, kukimbia‐gharama kubwa, kukimbia

kimbia kushoto na kulia kutafuta msaada wa mbali …    

Page 296: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

wakati ndani yao wameachaymsaada ulio karibu; kwani Nguvu

i i N k bnyingi sana au Nguvu kubwasana za Mungu zimebaki ndanigyao, zimelala bila kutumika.(Hosea 4:6, Warumi 10:2)   

Page 297: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Mungu anasema g‘watu wangu wanaangamia kwa 

kukosa maarifa’.(Hosea 4:6)

Page 298: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Biblia inasema; ;‘watu wa Mungu, wana bidii sana

katika Bwana, lakini si katika if ’maarifa’.

(Warumi 10:2)(Warumi 10:2)

Page 299: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana, inasema kwamba, tunatakiwa kufundishwa na kufundishika, ili tupate maarifa na tukue kirohotupate maarifa na tukue kiroho mpaka kufika katika cheo chap

Bwana wetu Kristo Yesu. ( )(Waefeso 4:11‐15)

Page 300: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐15Waefeso 4:11 15Kwa huduma mbalimbali ambazo Bwana Yesu ameziweka katika k kkanisa, sisi waumini, tunatakiwa kufundishwa na kufundishikakufundishwa na kufundishika … 

Page 301: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐15Waefeso 4:11 15… ili tukue kiroho mpaka kufika pkatika cheo cha Bwana Yesu na k bkutembea na Nguvu za Mungu duniani bila kuzuiliwa na kituduniani, bila kuzuiliwa na kitu 

chochote.

Page 302: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14

11 Yeye ndiye aliyeweka wengine kuwa mitume, na wengine kuwa 

bii i kmanabii, wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwawainjilisti, na wengine kuwa wachungaji na wengine kuwa 

waalimu, 

Page 303: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14

12 kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu kwa ajili ya kazi za h d ili k b ilihuduma, ili kwamba mwili wa Kristo upate kujengwa naKristo upate kujengwa na 

kuimarika.

Page 304: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14

14 Ili tusiwe tena watotowachanga, tukitupwatupwa huku

h k k h k li kilna huku na kuchukuliwa na kilaupepo wa mafundisho kwa hilaupepo wa mafundisho kwa hilaza watu, kwa ujanja, kwa kufuata

njia zao za udanganyifu. 

Page 305: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14

13 … bali tufundishike na kukuakiroho, mpaka sisi sote

t t k fiki ki i htutakapoufikia kipimo cha ukamilifu wa Kristoukamilifu wa Kristo. 

Page 306: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14Kwahiyo, Nguvu za Mungu 

zilizowekwa ndani yako, zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi dunianikabisa kukuwezesha kuishi duniani, 

katika kiwango cha ushindi na mafanikio, kama kile kile cha Bwana Yesu bila kuzuiliwa na kitu chochoteYesu, bila kuzuiliwa na kitu chochote. 

Page 307: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

BasiBasi … Tengeneza au ZalishaTengeneza au Zalisha

KIWANGOcha kutosha cha Nguvu za Mungu 

Ndani yako

Page 308: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5 Kumwagika5.  Kumwagika   

Kiwango, Kipimo, Ujazo

Page 309: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

O O

Joto                                HewaMOTO

(Heat)                             (Oxygen)

Page 310: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwasababuKwasababu …Utendaji kazi wa mkono waUtendaji kazi wa mkono wa Mungu maishani mwako, gunategemea sana kiwango

hcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

Page 311: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ni kwasababu …Hii ni kwasababu … Mungu wetu ni Mungu wa g g

viwango maalum, hafanyi kazi k k h l (katika hali yoyote tu (japo anaweza) bali anafanya kazianaweza), bali anafanya kazi katika viwango vyake maalum.g y

Page 312: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu tu ndani yako 

(wokovu) bali tafuta kuongezeka(wokovu), bali tafuta kuongezekakiwango cha kiroho na nguvu za g g

Mungu maishani mwako.(Ujaza wa Roho Mtakatifu)

Page 313: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 3:20Waefeso 3:20Kiwango cha Nguvu za Mungu g g gkinahusika sana katika kuleta b d l k h k k kmabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na kishaulimwengu wa roho na kisha katika ulimwengu wa mwili.g

Page 314: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OMungu anaweza kutenda mambo makubwa mno na ya ajabu sana 

(yasiyopimika) kuliko yote(yasiyopimika) kuliko yote tunayoyawaza na kuliko yotetunayoyawaza na kuliko yote 

tunayoyaomba, …

Page 315: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O

l ki i i k k di i (k… lakini ni  kwa kadiri (kwa kiwango au kipimo) cha nguvukiwango au kipimo) cha nguvu zake kinachotenda kazi ndani

yetu.

Page 316: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukweli ni Kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu pasipo msaada wa binadamu, lakini 

alichagua tu kufanya kazi kwaalichagua tu, kufanya kazi kwa ushirika na binadamu; kwahiyo, 

kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na binadamu katika kutawala duniabinadamu katika kutawala dunia.

Page 317: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwambaHii ina maana kwamba …***… ikiwa tutatengeneza au…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu kidogo za Mungu ndani yetu, tutauzuia 

mkono wa Mungu kufanya mambomkono wa Mungu kufanya mambo mengi na makubwa anayotaka kufanya maishani mwetu.

Page 318: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini …***…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu za Mungu kwa wingi (za kutosha) ndani yetuwingi (za kutosha) ndani yetu,

tutauwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi na 

makubwa anayotaka kufanyamakubwa anayotaka kufanya.

Page 319: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

Page 320: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 24:47‐48

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu tu ndani yako 

( oko ) bali taf ta k onge eka(wokovu), bali tafuta kuongezekakiwango cha kiroho na nguvu zakiwango cha kiroho na nguvu za 

Mungu maishani mwako.

Page 321: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wakolosai 1:29Wakolosai 1:29‘Kwa ajili ya jambo hili,Kwa ajili ya jambo hili, 

ninajitaabisha, nikijitahidi kwa kadiri (kiwango) cha nguvu za Mungu ambazo kwa uwezoMungu, ambazo kwa uwezo 

mwingi zinatenda kazindani yangu. ’ 

Page 322: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 3:16‐17Waefeso 3:16 1716 Nami namwomba Mungu 

awaimarishe na ninyi, kwa kuwatia nguvu mioyoni yenu, kwa njia yanguvu mioyoni yenu, kwa njia ya Roho Wake; na kwa kadri ya utajiri 

k f k ili k bwa utukufu wake, 17 ili kwamba, Kristo apate kukaa mioyoni mwenu p y

kwa njia ya imani. 

Page 323: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wafilipi 2:13Wafilipi 2:13‘kwa maana Mungu ndiyekwa maana Mungu ndiye atendaye kazi ndani yenu, y ykutaka kwenu na kutenda 

k k k li i i k dikwenu kwa kulitimiza kusudi lake jema’lake jema . 

Page 324: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 21:22Ufunuo 21:22‘Na katika mji ule hakunaNa katika mji ule, hakuna kinyonge kitakachoingia (bali y g g (

wenye nguvu)

Page 325: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 11:12Mathayo 11:12Tangu siku za Yohana MbatizajiTangu siku za Yohana Mbatizaji hata sasa, Ufalme wa Mungu ghupatikana kwa nguvu, nao 

diwenye nguvu tu ndio wanaoutekawanaouteka.

Page 326: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 4:201Wakorintho 4:20Ufalme wa Mungu hauwi katikaUfalme wa Mungu hauwi katika maneno na majadiliano, bali jkatika Nguvu za Mungu. 

Page 327: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 2:1 51Wakorintho 2:1‐54 Injili yangu haikuja kwenu4. Injili yangu haikuja kwenu 

kwa maneno makavu au maneno matupu, bali katika 

d lili (i h ) hdalili (ishara) za Roho Mtakatifu na NguvuMtakatifu na Nguvu.

Page 328: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 2:1 51Wakorintho 2:1‐55 Ili imani zenu zisiwe katika5. Ili imani zenu zisiwe katika hekima za wanadamu, bali 

ziwe katika Nguvu za Mungu.

Page 329: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KUJAZWA ROHO Mt.

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu tu ndani yako 

( oko ) bali taf ta k onge eka(wokovu), bali tafuta kuongezekakiwango cha kiroho na nguvu zakiwango cha kiroho na nguvu za 

Mungu maishani mwako.

Page 330: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KUJAZWA ROHO Mt.

Kiwango cha Nguvu za Mungu kinahusika sana katika kuleta 

mabadiliko ana ohitajika katikamabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na kishaulimwengu wa roho na kisha katika ulimwengu wa mwili.

Page 331: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KUJAZWA ROHO Mt.

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi katika hali o ote t (japokatika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazianaweza), bali anafanya kazi katika viwango vyake maalum.

Page 332: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5 Kumwagika5.  Kumwagika   

Kiwango, Kipimo, Ujazo

Page 333: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

O O

Joto                                HewaMOTO

(Heat)                             (Oxygen)

Page 334: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni hizi tunazojifunza zikiwekwaKanuni hizi tunazojifunza, zikiwekwa  kwa pamoja ndani yetu (rohoni), katika kiwango kinachotakiwa, 

zitasababisha Roho Mtakatifu aliyezitasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu unazozihitaji kwa ajili ya 

maisha ya ushindi dunianimaisha ya ushindi duniani.

Page 335: Kanuni za kiroho za ushindi

Ndio maana tunataka kujifunza;

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHOZAMAISHA YA USHINDIZA MAISHA YA USHINDI

Page 336: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Semina yetu;

KANUNI ZA KIROHO                  ZA KUSABABISHA NGUVU ZA 

G SMUNGU ZA KUTUPA MAISHA YA USHINDI NA MAFANIKIOUSHINDI NA MAFANIKIO

Page 337: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Nguvu NguvuNguvu                     NguvuZa zaZa                            za

Kimwili Vs KirohoKimwili        Vs        Kiroho (Natural                (Spiritual  ( ( pPrinciples)            Principles)p ) p )

Page 338: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Ni muhimu uje kwamba, Dunia yetu inatawaliwa kwa  

K i k Mbili (2)Kanuni kuu Mbili (2)2 Kanuni za Kimwili2. Kanuni za Kimwili1 Kanuni za Kiroho1. Kanuni za Kiroho

Page 339: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Ni muhimu uje kwamba, Kanuni za Kimwilizinatawaliwa na Kanuni za Kiroho

Page 340: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Ni KwasababuNi Kwasababu, 

Mambo ya Ulimwengu wa mwilili k byanatawaliwa kwa mambo ya 

ulimwengu wa roho;ulimwengu wa roho; 

Page 341: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Ni Kwasababu,Ni Kwasababu, Ulimwengu wa MwiliUlimwengu wa Mwili

ulizaliwa kupitiaulizaliwa kupitia Ulimwengu wa Kiroho.g

Page 342: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Hivyo;Hakuna kitu kinafanyika katika Uli M ili kUlimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katikakwanza kimefanyika katika   Ulimwengu wa Kiroho.

Page 343: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Kwahiyo,Kwahiyo, Kanuni za kimwili (NaturalKanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual 

P i i l )Principles).

Page 344: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Nguvu NguvuNguvu                     NguvuZa zaZa                            za

Kimwili Vs KirohoKimwili        Vs        Kiroho (Natural                (Spiritual  ( ( pPrinciples)            Principles)p ) p )

Page 345: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa RohoHii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zilitumikaKanuni za kiroho zilitumika 

kuleta athari ya aina fulani katika yulimwengu wa roho, hata 

kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili mvua iwezeza kimwili, ili mvua iweze kunyesha hata kama katika yU’mwilini hakuna misitu.

Page 346: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30‘Mungu ameshatubariki kwaMungu ameshatubariki kwa baraka zote za rohoni, katikaulimwengu wa roho; kama 

alivyotuchagua katika yeye kablaalivyotuchagua katika yeye, kablaya kuwekwa misingi ya ulimwengu, y g y g

tuwe watakatifu’.

Page 347: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14)/     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /        Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 

Page 348: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:41‐45, Yakobo 5:17‐18

Wana wa Israeli, walikuwa wanateseka kwa maishawanateseka kwa maisha 

magumu, katika ulimwengu wa g , gmwili, wakati wao ni wabarikiwa wenye baraka nyingi sana katika 

ulimwengu wa rohoulimwengu wa roho.

Page 349: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /     Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        /

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /    Mvua ya Mwilini /        //      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       /

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /       /      /      /      /       /        /

Page 350: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni naingekomea huko huko rohoni, na huku duniani, watu wa Mungu , gwangeishi maisha ya shida na taabu; na kumbe wana baraka nyingi sana katika U’rohoninyingi sana katika U rohoni.

Page 351: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Na sisi pia tusipoomba baraka hiziNa sisi pia tusipoomba, baraka hizi zote tulizopewa katika ulimwengu wa roho, zitabaki huko huko rohoni,wakati huku duniani tunatesekawakati huku duniani, tunateseka kwa maisha magumu, yaliyojaa g y y j

shida na taabu nyingi.

Page 352: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Kwanini tunaishiKwanini tunaishi maisha ya kushindwa?maisha ya kushindwa?

Page 353: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHOHebu jiulize mwenye…

Kwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso huku mwili yaliyojaana ya mateso huku mwili, yaliyojaa shida na taabu nyingi, na kumbe kule rohoni tumebarikiwa na Mungu kwa baraka zote tenaMungu kwa baraka zote, tena 

nyingi sana, za kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku?

Page 354: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(1)  Hatujajua siri ya ulimwengu wa ( ) j j y groho inavyoingiliana na ulimwengu 

ili h t k l t b dilikwa mwili, hata kuleta mabadiliko tunayotaka kuyaona huku duniani.  y y

~ kutokujua ~

Page 355: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

Ni kwasababu; watu wa Mungu, 

(2)  Hatuna nidhamu na bidii ya ( ) ykwenda rohoni kwa njia ya 

bi h t k h kmaombi, hata kuchukua na kutelemsha baraka zetu duniani.      

~  Uzembe  ~

Page 356: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

Ni kwasababu; watu wa Mungu, 

(3) Hatuna maarifa na bidii yak t i k i ki h kkutumia kanuni za kiroho, kwa

namna sahihi, katika,madhabahu ya Bwana 

(ulimwengu wa kiroho).

Page 357: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHO

Mungu alizifanya kanuni zaMungu alizifanya kanuni za kiroho, ziwe njia ya kuutawalakiroho, ziwe njia ya kuutawala ulimwengu wa mwili kwa kuwa 

na uwezo wa kusababisha mabadiliko kutokea katikamabadiliko kutokea katika 

ulimwengu wa roho.ulimwengu wa roho.

Page 358: Kanuni za kiroho za ushindi

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUNa huu ndio utaratibu na 

k i b M lii kkanuni ambazo Mungu aliiweka duniani ili kutuwezeshaduniani, ili kutuwezesha 

kutawala ulimwengu wa mwili, kwa kutumia kanuni za kirohoi hi i k lizinazoathiri kwanza ulimwengu 

wa kirohowa kiroho.

Page 359: Kanuni za kiroho za ushindi

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Mtu yeyote, hataweza kufanikiwa duniani kwa asilimiakufanikiwa duniani kwa asilimia 100%, bila ya kufuata kanuni hii100%, bila ya kufuata kanuni hii 

kuu ya uumbaji wa Mungu duniani.

Page 360: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya kanuni za kiroho

katika maisha yao watawekakatika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi ykatika maisha yanayotimiza 

kanuni za kiroho.   

Page 361: Kanuni za kiroho za ushindi

Kanuni za Kiroho (1Fal 18:30‐45)

1. Kusifu na Kuabudu (Zab 100:4‐5)2. Sadaka ya Zaka (Malaki 3:7‐12)3 S d k Dh bih (2K 9 6 11)3. Sadaka ya Dhabihu (2Kor 9:6‐11)4 Maombi ya Mahitaji (Fil 4:6‐7)4. Maombi ya Mahitaji (Fil 4:6‐7)5. Neno la Mungu (Yer 1:12)g ( )6. Maombi ya Toba (Kumb 23:14)7. Maombi ya Vita (Math 16:18‐19)

Page 362: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

Kwahiyo;1Wafalme 18:30‐45

Si maombi pekee yanayofanya t k b k Mtupokee baraka za Mungu katika maishani yetukatika maishani yetu.

Page 363: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:30‐45Bali ni maombi pamoja na kanuni zingine za kiroho

zilizoambatanishwa na maombizilizoambatanishwa na maombi ndizo zinazofanya Watu wa ndi o ina ofanya Watu wa

Mungu tupokee hizi baraka za Mungu tulizopewa na Yesu…

Page 364: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:30‐45… kutoka katika ulimwengu wa  rohoni hata kama hakuna 

kanuni za kimwili za kutosha zakanuni za kimwili za kutosha za kuruhusu tupokee baraka na kuruhusu tupokee baraka na

ushindi maishani.

Page 365: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiriKanuni za kiroho zikiathiri 

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili jambo fulanikanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika   njia za kawaida za kimwili.

Page 366: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐199 Mimi Yohana, ndugu yenu

i hi iki j i tninayeshiriki pamoja nanyi matesokatika Yesu na katika ufalme nauvumilivu katika saburi, nilikuwak ik ki i kii h P kkatika kisiwa kiitwacho Patmo kwaajili ya neno la Mungu na ushuhudaajili ya neno la Mungu na ushuhuda

wa Bwana wetu Yesu Kristo. 

Page 367: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐1910 Nilikuwa katika Roho siku ya

B ik iki ti k b kBwana, nikasikia sauti kubwa kamaya tarumbeta nyuma yanguy y y g

11 ikisema, “Andika kwenye kitabuh ki hhaya yote unayoyaona, kisha

ukipeleke kwa makanisa saba…’’ukipeleke kwa makanisa saba…

Page 368: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐1912 Ndipo nikageuka ili nione ni sauti

i ili k iki iya nani iliyokuwa ikisema nami. Nami nilipogeuka … 13 nikaona mtup gkama Mwana wa Adamu, amevaaj h f k d dh h bjoho refu na mkanda wa dhahabu

umefungwa kifuani mwake.umefungwa kifuani mwake. 

Page 369: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐1916 … Uso wake kama jua kali 

li l ’ k k tlinalong’aa kwa nguvu zake zote. 17 Nilipomwona, nilianguka miguunip , g gpake kama aliyekufa. Ndipo akawekak k k jmkono wake wa kuume juu yangu nakusema, “Usiogope, Mimi ni wakusema,  Usiogope, Mimi ni wa

Kwanza na wa Mwisho. 

Page 370: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐1918 Mimi ni Yeye aliye hai, niliyekuwai k f t i h i il lnimekufa na tazama, ni hai milele na

milele! Nami ninazo funguo za mautigna kuzimu. 19 Basi andika mambo li li ( ) luliyoyaona, yaliyopo (sasa) na yale

yatakayotukia baadaye.yatakayotukia baadaye.

Page 371: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 16:33‘Ulimwenguni mnayo dhiki, lakini jipeni moyo kwasababu i i i hi d li ’mimi nimeushinda ulimwengu’.

Page 372: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kila kitu kilichozaliwa na 

Mungu, huushinda ulimwengu; h k dik k hi dNa huku ndiko kushinda 

kuushindako ulimwengukuushindako ulimwengu, ni hiyo IMANI yetu’ni hiyo IMANI yetu

Page 373: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37

‘Na katika mambo yote, tunashinda na zaidi ya kushindatunashinda na zaidi ya kushindakupitia Kristo Yesu aliyetupenda’kupitia Kristo Yesu aliyetupenda(katika yote, sisi ni washindi na(katika yote, sisi ni washindi na zaidi ya washindi, kupitia Yesu 

Kristo aliyetupenda)

Page 374: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37

Pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi waMungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, lakini badoYesu msalabani, lakini bado watu wengi tuna mamboambayo yametushinda au 

t hi dyanatushinda.

Page 375: Kanuni za kiroho za ushindi

SEMINA YETU

KANUNI ZA KIROHOZA MAISHA YA USHINDI

Page 376: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

11. KUUFAHAMUKUUFAHAMU 

G O OULIMWENGU WA ROHO NA KANUNI ZAKE

Page 377: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa roho ni nini?ni nini?

Page 378: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu halisi kabisa na uko hapa hapakabisa, na uko hapa hapa 

tulipo, lakini hatuvioni tu kwatulipo, lakini hatuvioni tu kwa macho haya ya kawaida (macho ya kimwili).

Page 379: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w

Ulimwengu wa roho niUlimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu 

visivyoonekana na kushikika l ki i i it h li i k bilakini ni vitu halisi kabisa; Ni vitu vilivyopo kabisaNi vitu vilivyopo kabisa

ila hatuvioni tuila hatuvioni tu. 

Page 380: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu kunaKatika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

Vit i i k• Vitu visivyoonekananana

• Vitu vinavyoonekana• Vitu vinavyoonekana

Page 381: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoKwa lugha rahisi ni kwamba, li h dulimwengu huu, una pande 

mbili. Yaani upande wa rohonimbili. Yaani upande wa rohonina upande wa mwilini. Ni ulimwengu mmoja, ila una 

pande mbilipande mbili.

Page 382: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoYaani upande wa vitu 

i k ( ili i)vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekanaupande wa vitu visivyoonekana(yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, viko pamoja!

(2Wakorintho 4:18)

Page 383: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

i k ( ki ili) ivinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vituvya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) y ( y )

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

Page 384: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 8:37,   1Yohana 5:4Basi mtu wa Mungu akitaka 

kutembea duniani na Mungu wa Imani kwa ushindi ni lazimaImani, kwa ushindi, ni lazima ajue kutembea kwa imani;ajue kutembea kwa imani;

kwani Imani yetu ndiyo siri ya ushindi wa maisha yetu duniani.

Page 385: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKumbuka;

Waebrania 11:1, 3   Imani ni uhakika (ufahamu na j i ) it i i kujuzi wa) vitu visivyoonekana (vilivyoumbwa kwanza)(vilivyoumbwa kwanza).

Page 386: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu f b k ikanayefanya mambo katika 

ulimwengu wa yasiyoonekanaulimwengu wa yasiyoonekanakwanza, kabla ya kuyasababisha , y yyatokee katika ulimwengu wa mwili wa yanayoonekana.

Page 387: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Kwanini tujue habari za

Ulimwengu wa RohoKama Kanuni?

Waebrania 11:1, 3   

Page 388: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKumbuka kwamba;Waebrania 11:1, 3   

Vitu vinavyoonekana, viliumbwa k it i i dh hi i ( itkwa vitu visivyo dhahiri (au vitu 

visivyo wazi wazi au vituvisivyo wazi wazi au vitu vinavyoonekana)

Page 389: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Kwahiyo, ukitaka kuleta b dilik f l i k ikmabadiliko fulani katika 

ulimwengu wa mwili iliulimwengu wa mwili, ili utembee kwa ushindi duniani, ,basi ni lazima ujue kuutawala ulimwengu wa roho kwanza.

Page 390: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Kwa Mfano bUumbaji wa Dunia

W b i 11 3Waebrania 11:3

Page 391: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

‘N i t j k li‘Nasi twajua ya kuwa, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, nauliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) h k b k lhavikuumbwa kwa vitu vilivyo 

dhahiri (wazi wazi)’dhahiri (wazi wazi)

Page 392: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

‘ li li b k N‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekanala Mungu, na vitu vinavyoonekana(vya kimwili) viliumbwa kwa vitu 

dh h ( )’visivyo dhahiri (wazi wazi)’(vitu vya kiroho)‐ (vitu vya kiroho) ‐

Page 393: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kila kitu kilichozaliwa na 

Mungu, huushinda ulimwengu; h k dik k hi dNa huku ndiko kushinda

kuushindako ulimwengu yaanikuushindako ulimwengu, yaani hiyo IMANI yetu’y y

Page 394: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37

‘Na katika mambo yote, tunashinda na zaidi ya kushindatunashinda na zaidi ya kushindakupitia Kristo Yesu aliyetupenda’kupitia Kristo Yesu aliyetupenda(katika yote, sisi ni washindi na(katika yote, sisi ni washindi na zaidi ya washindi, kupitia Yesu 

Kristo aliyetupenda)

Page 395: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI NA SADAKA

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta 

mabadiliko katika mambo yamabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktknamna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko ykatika ulimwengu wa mwili.

Page 396: Kanuni za kiroho za ushindi

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUNa huu ndio utaratibu na k i b Mkanuni ambazo Mungu aliziweka duniani ilializiweka duniani, ili 

kutuwezesha kutawala ulimwengu wa mwili, kwa 

k i ki h i hi ikanuni za kiroho zinazoathiri kwanza ulimwengu wa kirohokwanza ulimwengu wa kiroho.

Page 397: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4            733

Milele

33                30      3 ½             3 ½   3 ½ 

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Page 398: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4            733

Milele

33                30      3 ½             3 ½   3 ½ 

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Ulimwengu wa Mwili

Torati na Manabii Kuzaliwa Injili

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo Kalvari Kanisa Sasa

Page 399: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4   7

33

Milele

33               30      3 ½             3 ½   3 ½ 

600                        InjiliUlimwengu wa Roho 2000 Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho 2000                                                                                           Kanisa Dhiki700

Ulimwengu wa Mwili(4) Daniel  7:13 – 14, 27 (5) Ufunuo 20:11 – 15

(3) Isaya 9: 6

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo

Page 400: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4   7

33

Milele

33               30      3 ½             3 ½   3 ½ 

600                        InjiliUlimwengu wa Roho 2000 Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho 2000                                                                                           Kanisa Dhiki700

Ulimwengu wa Mwili(4) Daniel  7:13 – 14, 27 (5) Ufunuo 20:11 – 15

(3) Isaya 9: 6

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo

Page 401: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWarumi 4:17   

Mungu wetu ni Mungu i j i i kanayevitaja, visivyokuwepo, 

kana kwamba vimekuwepo;kana kwamba vimekuwepo; (yaani anataja visivyoonekana(y j ykana kwamba vinaonekana).

Page 402: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 2:11   

Ndio maana shetani alikimbilia k k li hkukamata Ulimwengu wa roho, ili na yeye aweze kusababishaili na yeye aweze kusababisha  visivyokuwepo, kana kwamba y p ,

vimekuwepo; 

Page 403: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea leo, usije ukafikiri 

limeanza leo hapana; Ukweli nilimeanza leo, hapana; Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo , jlimejitokeza katika mwili, lakini mbegu yake ilishapandwa huko rohoni wakati fulani uliopitarohoni wakati fulani uliopita.

Page 404: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

2 Wakorintho 4:18Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali(vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana 

(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumundivyo vya vya kudumu 

(vinavyotawala vya kimwili).( y y )

Page 405: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili; 

Na hii ina maana kwambaNa hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyikahakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, g ,mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

Page 406: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengujambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilo 

moja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katikabali analifanya kwanza katika 

ulimwengu wa roho.

Page 407: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGUWA ROHOULIMWENGU WA ROHO

Mungu alizifanya kanuni zaMungu alizifanya kanuni za kiroho, ziwe njia ya kuutawalakiroho, ziwe njia ya kuutawala ulimwengu wa mwili kwa kuwa 

na uwezo wa kusababisha mabadiliko kutokea katikamabadiliko kutokea katika 

ulimwengu wa roho.ulimwengu wa roho.

Page 408: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11: 3, 6Basi mtu wa Mungu akitaka 

kutembea duniani na Mungu wa Imani kwa ushindi ni lazimaImani, kwa ushindi, ni lazima ajue kutembea kwa imani;ajue kutembea kwa imani;

kwani Imani yetu ndiyo siri ya ushindi wa maisha yetu duniani.

Page 409: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:6‘Pasipo imani, haiwezekani 

kumpendeza Mungu’.

1Yohana 5:41Yohana 5:4‘Imani ni siri ya ushindi wetu’Imani ni siri ya ushindi wetu

Page 410: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Amos 3:3‘Watu wawili hawawezi 

kutembea katika njia moja, i ’wasipopatana’.

Page 411: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Waebrani 11:1

‘I i i h kik‘Imani ni uhakika ( f h j i)(ufahamu na ujuzi) wa

b i kmambo yasiyoonekana(mambo ya rohoni)(mambo ya rohoni).

Page 412: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHONa huu ndio utaratibu na 

k i b M lii kkanuni ambazo Mungu aliiweka duniani ili kutuwezeshaduniani, ili kutuwezesha 

kutawala ulimwengu wa mwili, kwa kutumia kanuni za kirohoi hi i k lizinazoathiri kwanza ulimwengu 

wa kirohowa kiroho.

Page 413: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Mtu yeyote, hataweza kufanikiwa duniani kwa asilimiakufanikiwa duniani kwa asilimia 100%, bila ya kufuata kanuni hii100%, bila ya kufuata kanuni hii 

kuu ya uumbaji wa Mungu duniani.

Page 414: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHOWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya kanuni za kiroho

katika maisha yao watawekakatika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi ykatika maisha yanayotimiza 

kanuni za kiroho.   

Page 415: Kanuni za kiroho za ushindi

Ndio maana tunataka kujifunza;

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHOZAMAISHA YA USHINDIZA MAISHA YA USHINDI

Page 416: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kila kitu kilichozaliwa na 

Mungu, huushinda ulimwengu; h k dik k hi dNa huku ndiko kushinda 

kuushindako ulimwengukuushindako ulimwengu, ni hiyo IMANI yetu’ni hiyo IMANI yetu

Page 417: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:1‘Imani ni kuwa na uhakika(wa sasa), wa mambo 

yasiyoonekana;(mambo ya rohoni)

Page 418: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:1‘Imani ni uthibitisho (bayana)  wa yale mambo tunayoyatarajia

(baadaye)’

Page 419: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Ikiwa Imani ndiyo siri ya ushindi wetu, na Imani ni uhakika wa 

b li hmambo ya ulimwengu wa roho(yasiyoonekana)’(yasiyoonekana)

Page 420: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Basi mtu wa Mungu asipokuwa 

na ufahamu wa mambo ya h i h k i hi i hrohoni, hataweza kuishi maisha 

ya ushindi duniani’ya ushindi duniani .

Page 421: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:6‘Basi pasipo Imani, haiwezekani 

t k d M ’mtu kumpendeza Mungu’.

Page 422: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

W b i 10 38Waebrania 10:38‘B i h ki‘Basi mwenye haki wangu, ataishi kwa Imani lakiniataishi kwa Imani, lakini 

akisitasita, roho yangu haina , y gfuraha naye’.

Page 423: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kwakuwa Imani ndiyo siri ya ushindi wetu, na Imani ni 

h kik buhakika wa mambo yasiyoonekana (mambo yayasiyoonekana (mambo ya 

ulimwengu wa roho)’g )

Page 424: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO‘Hivyo Basi mtu wa Mungu 

akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani katikana Mungu wa Imani, katika 

maisha yake duniani, lazima awe maisha yake duniani, la ima awena ufahamu wa mambo 

yasiyoonekana (mambo ya h i) i I irohoni) yaani Imani.

Page 425: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu wa i f bImani, anayefanya mambo 

yasiyoonekana kwanza kabla yayasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika y y

ulimwengu wa mwili(ulimwengu wa yanayoonekana)

Page 426: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKwa Mfano;

Uumbaji wa vitu vya DuniaMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Page 427: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

1 H M li b1 Hapo mwanzo, Mungu aliumbambingu na nchi; 2 na Duniambingu na nchi; 2 na Dunia

ilikuwa haina umbo tena ilikuwatupu, giza lilikuwa juu ya uso waili di ji R hvilindi vya maji, naye Roho waMungu alitanda juu ya majiMungu alitanda juu ya maji. 

Page 428: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

3 Mungu akasema “Iwepo nuru’’3 Mungu akasema,  Iwepo nuru  nayo nuru ikawepo. 4 Munguakaona ya kuwa nuru ni njema, di M k i hndipo Mungu akatenganisha nuru

na gizana giza. 

Page 429: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

5 Mungu akaiita nuru “mchana’’5 Mungu akaiita nuru mchana  na giza akaliita “usiku.’’ Ikawajioni ikawa asubuhi, siku ya

kkwanza. 

Page 430: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

14 Mungu akasema “Iwepo14 Mungu akasema,  Iwepo mianga kwenye nafasi ya anga iliitenganishe mchana na usiku, 

i l k b li hnayo iwe alama ya kutambulishamajira mbali mbali siku na miakamajira mbali mbali, siku na miaka, 

Page 431: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

15 nayo iwe ndiyo miangay y gkwenye nafasi ya anga itoe nurujuu ya dunia.’’ Ikawa hivyo. 16Mungu akafanya mianga miwiliMungu akafanya mianga miwili

mikubwa … 

Page 432: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

16 … Mwanga mkubwa utawalegmchana (Jua) na mwanga mdogo

utawale usiku (Mwezi). PiaMungu akafanya na nyota zaMungu akafanya na nyota za

mbinguni.g

Page 433: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

17 Mungu akaiweka hiyo mianga17 Mungu akaiweka hiyo miangamikubwa miwili (yaani Jua na(yMwezi) katika anga ili iangaze

dunia. 18 … Mungu akaona kuwahili nalo ni jema 19 Ikawa jionihili nalo ni jema. 19 Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya nne., y

Page 434: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Kumbe Nuru ya UlimwenguniKumbe Nuru ya Ulimwenguni, haitoki kwenye jua na mwezi, y j ,

kwasababu Nuru ilikuwepo tangusiku ya kwanza wakati jua na

mwezi viliumbwa baadaye kabisamwezi viliumbwa baadaye kabisakatika siku ya nne!y

Page 435: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Kumbe jua si chanzo chaKumbe jua si chanzo cha Mwanga au Nuru inayoangazag y g

ulimwenguni, bali jua ni“kibebeo” tu cha kuleta mwangaduniani lakini jua si chanzo chaduniani, lakini jua si chanzo cha Nuru inayoangaza duniani.y g

Page 436: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

N J MNuru Jua Mwanga

Page 437: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

N J MNuru Jua Mwanga(Y /N )(Yesu/Neno)Y h 1 1 9Yoh 1:1‐9

Page 438: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

1 H lik k1 Hapo mwanzo, alikuwakoNeno Huyo Neno alikuwaNeno. Huyo Neno alikuwa

pamoja na Mungu, naye Nenopamoja na Mungu, naye Nenoalikuwa Mungu. 2 Tangu

mwanzo huyo Neno alikuwapamoja na Mungu. 

Page 439: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

3 Vitu vyote viliumbwa kwa Yeye3 Vitu vyote viliumbwa kwa Yeye, wala pasipo Yeye hakuna chowala pasipo Yeye hakuna chochote kilichoumbwa ambacho

kimeumbwa. 

Page 440: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

4 Ndani Yake ndimo ulimokuwa4 Ndani Yake ndimo ulimokuwauzima na huo uzima ulikuwa nuruuzima na huo uzima ulikuwa nuruya watu. 5 Nuru hung’aa gizani

nalo giza halikuishinda. 

Page 441: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

7 Yohana Mbatizaji alikuja kuwaushuhuda ili aishuhudie ileushuhuda, ili aishuhudie ile

Nuru, hata watu wote wapataNuru, hata watu wote wapatakumwamini.

Page 442: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

8 Huyo Yohana hakuwa ile Nuru, bali alikuja ili aishuhudie ilebali alikuja ili aishuhudie ile

Nuru, ili watu wote wamwamini.Nuru, ili watu wote wamwamini.

Page 443: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

9 Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye kila mtu Nuru akijaamtiaye kila mtu Nuru, akija

katika Ulimwengu.katika Ulimwengu.

Page 444: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

14 Naye Neno (Nuru) alifanyikamwili akakaa kwetu nasimwili, akakaa kwetu, nasi

tukauona Utukufu wake (mn’gaotukauona Utukufu wake (mn gaowake), Utukufu kama waMwana pekee atokaye kwa

B b j k liBaba; amejaa neema na kweli.

Page 445: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

14 Naye Neno (Nuru) alifanyikamwili akakaa kwetu nasimwili, akakaa kwetu, nasi

tukauona Utukufu wake (mn’gaotukauona Utukufu wake (mn gaowake), Utukufu kama waMwana pekee atokaye kwa

B b j k liBaba; amejaa neema na kweli.

Page 446: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐199 Mimi Yohana, ndugu yenu

i hi iki j i tninayeshiriki pamoja nanyi matesokatika Yesu (nilimwona huyu ambaye( y y

ndiye “Nuru” ya Ulimwengu); k b k k ik ik hinakumbuka katika siku hiyo…

Page 447: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐1910 Nilikuwa katika Roho siku ya

B ik iki ti k b kBwana, nikasikia sauti kubwa kamaya tarumbeta nyuma yanguy y y g

11 ikisema, “Andika kwenye kitabuh ki hhaya yote unayoyaona, kisha

ukipeleke kwa makanisa saba…’’ukipeleke kwa makanisa saba…

Page 448: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐1912 Ndipo nikageuka ili nione ni sauti

i ili k iki iya nani iliyokuwa ikisema nami. Nami nilipogeuka … 13 nikaona mtup gkama Mwana wa Adamu, amevaaj h f k d dh h bjoho refu na mkanda wa dhahabu

umefungwa kifuani mwake.umefungwa kifuani mwake. 

Page 449: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐1915 … nywele zake ni nyeupe kamasufu miguu yake inang’aa kamasufu, miguu yake inang aa kamashaba iliyosuguliwa sana, macho 

yake ni kama mwali wa moto, sautiyake ni kama sauti ya maji mengi nayake ni kama sauti ya maji mengi na

Uso wake kama (nuru) jua kalilinalong’aa kwa nguvu zake zote. 

Page 450: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐1917 Nilipomwona, nilianguka miguunik k li k f Ndi k kpake kama aliyekufa. Ndipo akaweka

mkono wake wa kuume juu yangu naj y gkusema, “Usiogope, Mimi ni wa

K M i h Nili kKwanza na wa Mwisho. Niliyekuwanimekufa, lakini sasa Niko Hai, milelenimekufa, lakini sasa Niko Hai, milele

hata milele yote. 

Page 451: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 5:1212 Kisha Yesu akasema nao tenak bi “Mi i i Nakawaambia, “Mimi ni Nuru ya

ulimwengu. Mtu ye yote akinifuatag y yhatatembea gizani kamwe, bali

k i ”atakuwa na nuru ya uzima.”

Page 452: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 3:16‐2019 Hii ndiyo hukumu kwamba: Nurui k j li i timekuja ulimwenguni, nao watuwakapenda giza kuliko Nuru kwap gsababu matendo yao ni maovu.

Page 453: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

N J MNuru Jua Mwanga(Y /N )(Yesu/Neno)Y h 1 7 9Yoh 1:7‐9

Page 454: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Kwa lugha rahisi;Kwa lugha rahisi;

Mwanga au Nuru inayoangazag y gduniani, ina vyanzo viwili; kimojani kipo katika ulimwengu wamwili na kingine kipo katikamwili na kingine kipo katika

ulimwengu wa roho.g

Page 455: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Chanzo cha Nuru cha rohoniChanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha p y

Nuru cha mwilini kuwepo.Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzokimwili kinatawaliwa na chanzo

cha Nuru cha kiroho. 

Page 456: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Hii ina maana kwamba;Hii ina maana kwamba;

Kanuni za Kiroho zilikuwepo kablapya Kanuni za Kimwilini kuwepo.Kwahiyo, Kanuni za Kiroho ndizozinazotawala Kanuni za Kimwili zazinazotawala Kanuni za Kimwili za

Ulimwengu huu.g

Page 457: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Hii ina maana kwamba;Hii ina maana kwamba;

Hakuna kitu kinachofanyika katikayUlimwengu wa mwili, mpakakimefanyika kwanza katika

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa roho.

Page 458: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Chanzo cha Nuru cha rohoniChanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha p y

Nuru cha mwilini kuwepo.Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzokimwili kinatawaliwa na chanzo

cha Nuru cha kiroho. 

Page 459: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

N J MNuru Jua Mwanga(Y /N )(Yesu/Neno)Y h 1 7 9Yoh 1:7‐9

Page 460: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:1‐4“ h i hi k k“Mtu hataishi kwa mkate tu, b li k kil N li k lbali kwa kila Neno litokalok tik ki h B ”katika kinywa cha Bwana”.

Page 461: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Mk AfNeno Mkate Afya

Page 462: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOLuka 4:1‐4

Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika mkatetunaokula tu bali kwa katikatunaokula tu, bali kwa katika

Neno litokalo katika kinywa chaNeno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.

Page 463: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOLuka 4:1‐4

Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika Dawaanazotumia tu bali kwa katikaanazotumia tu, bali kwa katikaNeno litokalo katika kinywa chaNeno litokalo katika kinywa cha 

Bwana Mungu.

Page 464: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N D AfNeno Dawa Afya

Page 465: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N N b Uli iNeno Nyumba Ulinzi

Page 466: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Ki d U i i iNeno Kitanda Usingizi

Page 467: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Ki b AkiliNeno Kitabu Akili

Page 468: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N P U dNeno Pete            Upendo

Page 469: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Ch i K iNeno Cheti Kazi

Page 470: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Aji M f ikiNeno Ajira Mafanikio

Page 471: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Mistari hii inatuonyesha kwamba, k b k k i i ikumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kulikokiroho, zilizo juu sana kuliko 

kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa 

ki ili k i kkimwili na kanuni zake.

Page 472: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Utamkumbuka Bwana MunguUtamkumbuka Bwana Munguwako aliyekulisha kuku Jangwani, y g ,

japo jangwani hakuna kuku, aliyekupa maji kutoka kwenyemwamba na sio kutoka katikamwamba na sio kutoka katika

mito iliyo chini ya ardhi.y y

Page 473: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Ni Mungu aliyekulisha kwa mikateNi Mungu aliyekulisha kwa mikateya Mana, usiyoilima walay , y

kuivuna, lakini uliila na ulishiba; japo uliishi jangwani kwa miakaarobaini ili upate kujua kwambaarobaini, ili upate kujua kwamba, mtu hataishi kwa mkate tu …

Page 474: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

ila mtu ataishi kwa kila Nenoila mtu ataishi kwa kila Nenolitokalo kwa Mungu. Na wewegmwenyewe ni shahidi kwamba, japo ulikwa jangwani, lakini

haukupungukiwa na lolote kwahaukupungukiwa na lolote, kwamiaka yote hiyo arobaini, iwey y ,

masika au kiangazi.

Page 475: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Nikakuleta katika nchi nzuri yenyeNikakuleta katika nchi nzuri yenyekila utajiri ndani yake, rutuba, j y , ,misitu, mafuta shaba, n.k. Kwamkono wangu nikakurithisha

mizeituni ambayo haukuipandamizeituni ambayo haukuipandawewe na nikakurithisha nyumbayambazo haukuzijenga wewe; 

Page 476: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Na bado ninakuahidi endapoNa bado ninakuahidi, endapohautamsahau Bwana Mungugwako, basi wanyama wako

wataongezeka, mashamba yakoyataongezeka fedha yako nayataongezeka, fedha yako na

dhahabu yako vitaongezeka, nay g ,kila kitu chako kitaongezeka.

Page 477: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Sasa basi uwe mwangalifu sanaSasa basi, uwe mwangalifu sanamoyoni mwako, usijey , j

ukamsahahu Bwana Mungu wakoaliyekutendea yote haya; Walausije ukasema eti mkono wanguusije ukasema, eti mkono wanguna uwezo wangu ndio vimenipatiag p

utajiri huu.

Page 478: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Bali utamkumbuka Bwana MunguBali utamkumbuka Bwana Munguwako, aliyekutoa katika nchi ya, y yMisri; kwani yeye ndiye akupaye

nguvu za kupata utajiri, ilikuliimarisha agano ambalokuliimarisha agano ambalo

Mungu aliahidiana na Baba zenu.g

Page 479: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Mistari hii inatuonyesha kwamba, k b k k i i ikumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kulikokiroho, zilizo juu sana kuliko 

kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa 

ki ili k i kkimwili na kanuni zake.

Page 480: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKwa lugha rahisi;Waebrania 11:3   

“Vitu vinavyoonekana, ili b k it i iviliumbwa kwa vitu visivyo 

dhahiri (au vitu visivyo wazi wazidhahiri (au vitu visivyo wazi waziau vitu vinavyoonekana)”

Page 481: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Vitu vinavyoonekana,Vitu vinavyoonekana, vinatawaliwa na vitu visivyoonekana;

Page 482: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Mambo ya Ulimwengu wa mwiliMambo ya Ulimwengu wa mwiliyanatawaliwa na mambo ya 

ulimwengu wa roho; 

Page 483: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Kanuni za kimwili (NaturalKanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual 

P i i l )Principles).

Page 484: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:1‐4“ h i hi k k“Mtu hataishi kwa mkate tu, 

b li k kil N li k l kbali kwa kila Neno litokalo kwaBwana”Bwana .

Page 485: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Mk AfNeno Mkate Afya

Page 486: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Mistari hii inatuonyesha kwamba, k b k k i i ikumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kulikokiroho, zilizo juu sana kuliko 

kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa 

ki ili k i kkimwili na kanuni zake.

Page 487: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Kanuni za kimwili (NaturalKanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual 

P i i l )Principles).

Page 488: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

i k ( ki ili) ivinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vituvya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) y ( y )

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

Page 489: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano;Uumbaji wa DuniaWaebrania 11:3

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19   

Page 490: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

“Nasi twajua ya kuwa, ulimwengu li b k N l Muliumbwa kwa Neno la Mungu, hata vitu vinavyoonekana,hata vitu vinavyoonekana, 

havikuumbwa kwa vitu vilivyo dhahiri (au vitu vilivyo wazi wazi 

it i k )”au vitu vinavyoonekana)”

Page 491: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKwa lugha rahisi;Waebrania 11:3   

“Vitu vinavyoonekana, ili b k it i iviliumbwa kwa vitu visivyo 

dhahiri (au vitu visivyo wazi wazidhahiri (au vitu visivyo wazi waziau vitu vinavyoonekana)”

Page 492: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Hii ina maana kwamba;Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwakwanza; na kisha ulipokamilishwa, 

ndipo Mungu akasababishaulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka 

katika ulimwengu wa rohokatika ulimwengu wa roho. (Waebrania 11:3)(Waebrania 11:3)

Page 493: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

K hi M li b d iKwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu waaliiumba katika ulimwengu wa 

kiroho kwanza, na alipoikalimisha h d k ( krohoni, ndipo akaizaa (akai‐

photocopy au akai‐print) katikaphotocopy au akai print) katika ulimwengu wa mwili.

Page 494: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18Waebrania :3, Wakorintho 4: 8

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki MileniaUumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1         Mwa 3                      Manabii Math 1             Math 27                   1 Thes 4                        Ufu 21

7 100033               (1) Ufu 13 :8                                      Kristo

( ) f 1 3 4 f30        3 ½                            (2) Efe 1:3‐4 Mfalme

InjiliKalvari KanisaKalvari Kanisa

Milele

Page 495: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18Waebrania :3, Wakorintho 4: 8

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki MileniaUumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1         Mwa 3                      Manabii Math 1             Math 27                   1 Thes 4                        Ufu 21

7 100033               (1) Ufu 13 :8                                      Kristo

( ) f 1 3 4 f30        3 ½                            (2) Efe 1:3‐4 Mfalme

Injili600 Kalvari Kanisa600                                 Kalvari Kanisa

700                                   2000

Milele(4) Daniel  7:13 – 14, 27

(3) Isaya 9: 6                                   33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15

Bahari Miti Upepo Ulimwengu wa Mwili

Page 496: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHOWaebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia aliiumba kwanza katikadunia, aliiumba kwanza katika 

ulimwengu wa kiroho, na g ,alipoikalimisha, ndipo akaizaa(akai‐photocopy au akai‐print) katika ulimwengu wa mwilikatika ulimwengu wa mwili.

Page 497: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu kunaKatika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

• Vitu visivyoonekana• Vitu vinavyoonekana

Na vyote viko kwa pamoja

Page 498: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina original copy na photocopy yakeoriginal copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft‐copy na hard‐copy yake (yaani kina upande wa rohoniyake (yaani kina upande wa rohoni

na wa upande wa mwilini).p )

Page 499: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

KwahiyoKil h Ki iliKila cha Kimwili, 

kina cha kiroho chakekina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

Page 500: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

1 Wakorintho 15:44“Iki k ili ili“Ikiwa kuna mwili wa asili, 

Basi na mwili wa roho pia upo”Basi na mwili wa roho pia, upo

Page 501: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Ayubu 8:9“Kwakuwa sisi ni wa jana tu, 

wala hatujui neno maisha yetuwala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”ni kama kivuli‐ Photocopy  ‐

Page 502: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Zaburi 39:6a“Binadamu huko na huko

kama kivuli”Photocopy‐ Photocopy  ‐

Page 503: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu f b k ikanayefanya mambo katika 

ulimwengu wa yasiyoonekanaulimwengu wa yasiyoonekanakwanza, kabla ya kuyasababisha , y yyatokee katika ulimwengu wa mwili wa yanayoonekana.

Page 504: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWarumi 4:17   

Mungu wetu ni Mungu i j i i kanayevitaja, visivyokuwepo, 

kana kwamba vimekuwepo;kana kwamba vimekuwepo; (yaani anataja visivyoonekana(y j ykana kwamba vinaonekana).

Page 505: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 8:37,   1Yohana 5:4Basi mtu wa Mungu akitaka 

kutembea duniani na Mungu wa Imani kwa ushindi ni lazimaImani, kwa ushindi, ni lazima ajue kutembea kwa imani;ajue kutembea kwa imani;

kwani Imani yetu ndiyo siri ya ushindi wa maisha yetu duniani.

Page 506: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKumbuka;

Waebrania 11:1, 3   Imani ni uhakika (ufahamu na j i ) it i i kujuzi wa) vitu visivyoonekana (vilivyoumbwa kwanza)(vilivyoumbwa kwanza).

Page 507: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKumbuka kwamba;Waebrania 11:1, 3   

Vitu vinavyoonekana, viliumbwa k it i i dh hi i ( itkwa vitu visivyo dhahiri (au vitu 

visivyo wazi wazi au vituvisivyo wazi wazi au vitu vinavyoonekana)

Page 508: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

i k ( ki ili) ivinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vituvya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) y ( y )

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

Page 509: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Kwahiyo, ukitaka kuleta b dilik f l i k ikmabadiliko fulani katika 

ulimwengu wa mwili iliulimwengu wa mwili, ili utembee kwa ushindi duniani, ,basi ni lazima ujue kuutawala ulimwengu wa roho kwanza.

Page 510: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:1‘Imani ni kuwa na uhakika(wa sasa), wa (mambo ya

rohoni) mambo yasiyoonekana;

Page 511: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kila kitu kilichozaliwa na 

Mungu, huushinda ulimwengu; h k dik k hi dNa huku ndiko kushinda 

kuushindako ulimwengu yaanikuushindako ulimwengu, yaani hiyo IMANI yetu’y y

Page 512: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kwakuwa Imani ndiyo siri ya ushindi wetu, na Imani ni 

h kik buhakika wa mambo yasiyoonekana (mambo yayasiyoonekana (mambo ya 

ulimwengu wa roho)’g )

Page 513: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO‘Hivyo Basi mtu wa Mungu 

akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani katikana Mungu wa Imani, katika 

maisha yake duniani, lazima awe maisha yake duniani, la ima awena ufahamu wa mambo 

yasiyoonekana (mambo ya h i) i I irohoni) yaani Imani.

Page 514: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu wa i f bImani, anayefanya mambo 

yasiyoonekana kwanza kabla yayasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika y y

ulimwengu wa mwili(ulimwengu wa yanayoonekana)

Page 515: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3,  1Yoh 5:4   

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta b dilik f l i k ikmabadiliko fulani katika 

ulimwengu wa mwili iliulimwengu wa mwili, ili utembee kwa ushindi duniani,  ,

ni lazima ujue kuutawala ulimwengu wa roho kwanza.

Page 516: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano;

Ushindi wa Yesu wa Pasaka1Petro 3:18‐20   

Page 517: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20

Siku ile Bwana Yesu alipoangikwa msalabani watu waliuona mwilimsalabani, watu waliuona mwili wake ukining’inia msalabani,wake ukining inia msalabani, lakini hawakuoiona roho yake

ikiondoka kwenda katika ulimwengu wa wafu (kuzimuni)ulimwengu wa wafu (kuzimuni).

Page 518: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20

18 “Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili yaaliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajilidhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake ukauwaw, bali roho yake ikahuishwa”bali roho yake ikahuishwa”. 

Page 519: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20

19 “Kwa hiyo (roho yake)aliwaendea roho waliokuwaaliwaendea roho waliokuwa 

kifungoni, akawahubiri (injili nikifungoni, akawahubiri (injili ni uweza wa Mungu uletao wokovu)  yaani akawakomboa wale wote waliofungwa au waliozuiliwa)waliofungwa au waliozuiliwa)

Page 520: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMathayo 27:45

45 “Basi tangu saa 6 mpaka saa 9, palikuwa na giza juu ya nchi yotepalikuwa na giza juu ya nchi yote 46 na ilipofika saa 9, Yesu akapaza46 na ilipofika saa 9, Yesu akapaza 

sauti yake … 50 (akasema imekwisha) aliposema hivyo, 

akaitoa roho yakeakaitoa roho yake.

Page 521: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOMathayo 27:45

51 “na tazama pazia la hekalu likapasuka kutoka juu hata chini;likapasuka kutoka juu hata chini; 

nchi ikatetemeka, miambanchi ikatetemeka, miamba ikapasuka, 52 na makaburi 

yakafunguka na ikainuka miili mingi ya watakatifu waliolalamingi ya watakatifu waliolala.

Page 522: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Waefeso 4:88 “alipopaa juu, aliteka mateka, k d i ”akawapa wanadamu vipawa”

Page 523: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20 

Kumbe hatua zote za ukombozi d li fwa mwanadamu, alioufanya 

Bwana Yesu pale msalabaniBwana Yesu pale msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika 

ulimwengu wa kiroho kwanza kabla ya kutokea katika mwili.

Page 524: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20 

Kumbe mambo ya aina mbili lik ki d l kyalikuwa yakiendelea kwa 

wakati mmoja (ktk dunia moja);wakati mmoja (ktk dunia moja);Mengine katika ulimwengu waMengine katika ulimwengu wa 

mwili na mengine katikaulimwengu wa roho.

Page 525: Kanuni za kiroho za ushindi

1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54    Wakolosai 2:14‐15Mathayo alitumiwa   Paulo alitumiwa na  

Mungu kuelezea Mungu kuelezeaMungu kuelezea        Mungu kuelezea

Mambo yaliyotokea mambo yaliyotokeaMambo yaliyotokea mambo yaliyotokea 

Katika ulimwengu katika ulimwengu

wa kimwili wa kiroho

Page 526: Kanuni za kiroho za ushindi

1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54       Wakolosai 2:14‐15Uli M ili Uli R hUlimwengu wa Mwili     Ulimwengu wa Roho

1. 1.1. 1.

Alikuwa Alikuwa  Analia. Anashangilia.“Eloi Eloi                     “akizishangilia ktk

lama sabaktan”                     msalaba”

Page 527: Kanuni za kiroho za ushindi

1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54       Wakolosai 2:14‐15Uli M ili Uli R hUlimwengu wa Mwili     Ulimwengu wa Roho

2. 2.2. 2.

Alikuwa Alikuwa  Anateseka Anazitesa.“Naona Kiu”            “falme na mamlaka

wakamnywesha siki          za giza (shetani)”

Page 528: Kanuni za kiroho za ushindi

1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54       Wakolosai 2:14‐15Uli M ili Uli R hUlimwengu wa Mwili     Ulimwengu wa Roho

3. 3.3. 3.

Alivuliwa Nguo         Alizivua mamlaka g

kwa aibu (uchi)       za giza (mashetani)

Page 529: Kanuni za kiroho za ushindi

1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54       Wakolosai 2:14‐15Uli M ili Uli R hUlimwengu wa Mwili     Ulimwengu wa Roho

4. 4.4.                                       4.

Aliaibishwa Aliziaibisha  ‘Akafa kifo cha laana             ‘akaziharibu na 

mateso na aibu sana’            kuzifedhehesha

juu ya msalaba’

Page 530: Kanuni za kiroho za ushindi

1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54       Wakolosai 2:14‐15Uli M ili Uli R hUlimwengu wa Mwili     Ulimwengu wa Roho

5. 5.5.                                     5.

Alikuwa Alikuwa  Anashindwa.         Anashinda.

‘Akafa kifo cha mateso      ‘akaenda kuzimuni

na aibu sana’              kukomboa watakatifu

Page 531: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20 

Kumbe mambo ya aina mbili lik ki d l kyalikuwa yakiendelea kwa 

wakati mmoja (ktk dunia moja);wakati mmoja (ktk dunia moja);Mengine katika ulimwengu waMengine katika ulimwengu wa 

mwili na mengine katikaulimwengu wa roho.

Page 532: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20 

Kumbe hatua zote za ukombozi d li fwa mwanadamu, alioufanya 

Bwana Yesu pale msalabaniBwana Yesu pale msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika 

ulimwengu wa kiroho kwanza kabla ya kutokea katika mwili.

Page 533: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3 

Huu ndio Utaratibu wa Munguk ik k i l d ikatika kuitawala dunia;

kwamba mambo yanayotakiwakwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa y gkimwili, sharti yafanyike kwanza katika ulimwengu wa kiroho.

Page 534: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3,  1Yoh 5:4   

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta b dilik f l i k ikmabadiliko fulani katika 

ulimwengu wa mwili iliulimwengu wa mwili, ili utembee kwa ushindi duniani,  ,

ni lazima ujue kuutawala ulimwengu wa roho kwanza.

Page 535: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Mambo ya Ulimwengu wa mwiliMambo ya Ulimwengu wa mwiliyanatawaliwa na mambo ya 

ulimwengu wa roho; 

Page 536: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOi h ( iNguvu za Kiroho (vitu 

visivyoonekana) zikihusishwa auvisivyoonekana) zikihusishwa au zikipambanishwa duniani, katika pulimwengu wa mwili (wa vitui k ) i lvinavyoonekana) zinatawala na kuvibadilisha hivyo vitu vilivyokuvibadilisha hivyo vitu vilivyo katika ulimwengu wa mwili wa g

vitu vinavyoonekana;

Page 537: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3 

Huu ndio Utaratibu wa Munguk ik k i l d ikatika kuitawala dunia;

kwamba mambo yanayotakiwakwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa y gkimwili, sharti yafanyike kwanza katika ulimwengu wa kiroho.

Page 538: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3,  1Yoh 5:4   

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta b dilik f l i k ikmabadiliko fulani katika 

ulimwengu wa mwili iliulimwengu wa mwili, ili utembee kwa ushindi duniani,  ,

ni lazima ujue kuutawala ulimwengu wa roho kwanza.

Page 539: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Kanuni za Ulimwengu wa mwiliKanuni za Ulimwengu wa mwilizinatawaliwa na Kanuni za 

Ulimwengu wa roho; 

Page 540: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Mambo ya Ulimwengu wa mwiliMambo ya Ulimwengu wa mwiliyanatawaliwa na mambo ya 

ulimwengu wa roho; 

Page 541: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOi h ( iNguvu za Kiroho (vitu 

visivyoonekana) zikihusishwa auvisivyoonekana) zikihusishwa au zikipambanishwa duniani, katika pulimwengu wa mwili (wa vitui k ) i lvinavyoonekana) zinatawala na kuvibadilisha hivyo vitu vilivyokuvibadilisha hivyo vitu vilivyo katika ulimwengu wa mwili wa g

vitu vinavyoonekana;

Page 542: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Nguvu NguvuNguvu                     NguvuZa zaZa                            za

Kimwili Vs KirohoKimwili        Vs        Kiroho (Natural                (Spiritual  ( ( pPrinciples)            Principles)p ) p )

Page 543: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Nguvu za Kiroho zikihusika au iki b i h d i izikipambanishwa duniani, 

(katika ulimwengu wa mwili)(katika ulimwengu wa mwili) zinaweza kuleta mabadiliko 

yafuatayo;

Page 544: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

1. Zinaweza kuzisababishak i ki ili ili kkanuni za kimwili, zilizokataakufanya kazi ziweze kufanyakufanya kazi, ziweze kufanyakazi kama ilivyotegemewa.y g(kama kawaida yake)( y )

Page 545: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

2. Zinaweza kuzisababishak i ki ili i ikanuni za kimwili, zisizowezakufanya kazi zipindishwekufanya kazi, zipindishwehata ziweze kufanya kaziy

katika hali isivyotegemewa.(si kawaida yake)

Page 546: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

3. Zinaweza kuzisababishak i ki ili i ikanuni za kimwili, zisizowezakufanya kazi zirukwe hatakufanya kazi, zirukwe, hatajambo lifanyike bila kupitiakatika njia yake ya asili.

(si kawaida yake)

Page 547: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Kanuni za Ulimwengu wa mwiliKanuni za Ulimwengu wa mwilizinatawaliwa na Kanuni za 

Ulimwengu wa roho; 

Page 548: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

i k ( ki ili) ivinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vituvya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) y ( y )

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

Page 549: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Kwahiyo, ukitaka kuleta b dilik f l i k ikmabadiliko fulani katika 

ulimwengu wa mwili iliulimwengu wa mwili, ili utembee kwa ushindi duniani, ,basi ni lazima ujue kuutawala ulimwengu wa roho kwanza.

Page 550: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4,  Warumi 8:37‘Basi mtu wa Mungu asipokuwa 

na ufahamu wa mambo ya h i h k b krohoni, hataweza kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imaniushindi na Mungu wa Imani, katika maisha yake duniani’.y

Page 551: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:1, 6Kwasababu, Imani ni uhakika (ujuzi na maarifa) ya mambo 

i k i diyasiyoonekana. Na Imani ndio siri ya Ushindi wetusiri ya Ushindi wetu.

1Yohana 5:41Yohana 5:4

Page 552: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2.Kumpokea YesuKumpokea Yesu

(W k )(Wokovu)

Page 553: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

KumbukaWaebrania 11:3

M li b d i lii bMungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu wa kirohokatika ulimwengu wa kiroho

kwanza, na alipoikalimisha rohoni,d k ( k hndipo akaizaa (akai‐photocopy au 

akai‐print) katika mwili.akai print) katika mwili.

Page 554: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4            733

Milele

33                30      3 ½             3 ½   3 ½ 

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Page 555: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4            733

Milele

33                30      3 ½             3 ½   3 ½ 

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Ulimwengu wa Mwili

Torati na Manabii Kuzaliwa Injili

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo Kalvari Kanisa Sasa

Page 556: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4   7

33

Milele

33               30      3 ½             3 ½   3 ½ 

600                        InjiliUlimwengu wa Roho 2000 Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho 2000                                                                                           Kanisa Dhiki700

Ulimwengu wa Mwili(4) Daniel  7:13 – 14, 27 (5) Ufunuo 20:11 – 15

(3) Isaya 9: 6

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo

Page 557: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHOWaebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia aliiumba kwanza katikadunia, aliiumba kwanza katika 

ulimwengu wa kiroho, na g ,alipoikalimisha, ndipo akaizaa(akai‐photocopy au akai‐print) katika ulimwengu wa mwilikatika ulimwengu wa mwili.

Page 558: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu kunaKatika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

• Vitu visivyoonekana• Vitu vinavyoonekana

Na vyote viko kwa pamoja

Page 559: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina original copy na photocopy yakeoriginal copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft‐copy na hard‐copy yake (yaani kina upande wa rohoniyake (yaani kina upande wa rohoni

na wa upande wa mwilini).p )

Page 560: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

KwahiyoKil h Ki iliKila cha Kimwili, 

kina cha kiroho chakekina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

Page 561: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

1 Wakorintho 15:44“Iki k ili ili“Ikiwa kuna mwili wa asili, 

Basi na mwili wa roho pia upo”Basi na mwili wa roho pia, upo

Page 562: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Ayubu 8:9“Kwakuwa sisi ni wa jana tu, 

wala hatujui neno maisha yetuwala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”ni kama kivuli‐ Photocopy  ‐

Page 563: Kanuni za kiroho za ushindi

ULIMWENGU WA ROHO

Zaburi 39:6a“Binadamu huko na huko

kama kivuli”Photocopy‐ Photocopy  ‐

Page 564: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu f b k ikanayefanya mambo katika 

ulimwengu wa yasiyoonekanaulimwengu wa yasiyoonekanakwanza, kabla ya kuyasababisha , y yyatokee katika ulimwengu wa mwili wa yanayoonekana.

Page 565: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWarumi 4:17   

Mungu wetu ni Mungu i j i i kanayevitaja, visivyokuwepo, 

kana kwamba vimekuwepo;kana kwamba vimekuwepo; (yaani anataja visivyoonekana(y j ykana kwamba vinaonekana).

Page 566: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 8:37,   1Yohana 5:4Basi mtu wa Mungu akitaka 

kutembea duniani na Mungu wa Imani kwa ushindi ni lazimaImani, kwa ushindi, ni lazima ajue kutembea kwa imani;ajue kutembea kwa imani;

kwani Imani yetu ndiyo siri ya ushindi wa maisha yetu duniani.

Page 567: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKumbuka;

Waebrania 11:1, 3   Imani ni uhakika (ufahamu na j i ) it i i kujuzi wa) vitu visivyoonekana (vilivyoumbwa kwanza)(vilivyoumbwa kwanza).

Page 568: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKumbuka kwamba;Waebrania 11:1, 3   

Vitu vinavyoonekana, viliumbwa k it i i dh hi i ( itkwa vitu visivyo dhahiri (au vitu 

visivyo wazi wazi au vituvisivyo wazi wazi au vitu vinavyoonekana)

Page 569: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

i k ( ki ili) ivinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vituvya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) y ( y )

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

Page 570: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Kwahiyo, ukitaka kuleta b dilik f l i k ikmabadiliko fulani katika 

ulimwengu wa mwili iliulimwengu wa mwili, ili utembee kwa ushindi duniani, ,basi ni lazima ujue kuutawala ulimwengu wa roho kwanza.

Page 571: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kila kitu kilichozaliwa na 

Mungu, huushinda ulimwengu; h k dik k hi dNa huku ndiko kushinda 

kuushindako ulimwengu yaanikuushindako ulimwengu, yaani hiyo IMANI yetu’y y

Page 572: Kanuni za kiroho za ushindi

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWaefeso 1:18‐23/2:1‐6

Mtu wa Mungu, hataweza kuuathiri Ulimwengu wa roho nakuuathiri Ulimwengu wa roho na 

kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili, kama 

h j k ti h k iliki hhajaketishwa na kumilikishwa Ulimwengu wa roho kwa njia yaUlimwengu wa roho kwa njia ya Wokovu wa Bwana Yesu Kristo.

Page 573: Kanuni za kiroho za ushindi

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWaefeso 1:18‐23/2:1‐6

hMungu wetu, hataweza kukurithisha mamlaka yakukurithisha mamlaka ya 

Ulimwengu wa roho ili uweze kuleta mabadiliko katika 

ulimwengu wa mwili kamaulimwengu wa mwili, kama hajazaliwa mara ya pili. kwa njia j y p jya Wokovu wa Bwana Yesu Kristo.

Page 574: Kanuni za kiroho za ushindi

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAMwanzo 1:26‐28/Zaburi 8:4‐8

Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba ulimwengu wanamna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka

ya Mungu kutoka katika Uli hUlimwengu wa roho.

Page 575: Kanuni za kiroho za ushindi

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWarumi 3:23/Warumi 5:12‐19

Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungualipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na g

kushindwa kuutawala ulimwengu ili b d l kwa mwili; badala yake, 

ulimwengu wa mwili ukamtawalaulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.

Page 576: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KABLA YA DHAMBIUTARATIBU ULIKUWA HIVI

Page 577: Kanuni za kiroho za ushindi

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)KABLA YA DHAMBI (ANGUKO) 

Msaada MunguMsaada Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Page 578: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUZaburi 8:4‐8

‘Mwanadamu ni nani hata umejalia kiasi hiki? Umemfanya mdogokiasi hiki? Umemfanya mdogo 

kidogo kuliko Mungu; ukamvika taji g g ; jya Utukufu na heshima, 

k t j k i ikukamtawaza juu ya kazi za mikono yako; ukavitia vitu vyote chini ya y ; y y

miguu yake’

Page 579: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI “Mashal”KABLA YA DHAMBI      Mashal

MkuuMUNGU

ADAMMfalme

Mtawala

MALAIKA Mwakilishi

mungu

DUNIA

S

g

Zab 8:4‐8SHETANI

Page 580: Kanuni za kiroho za ushindi

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWarumi 3:23/Warumi 5:12‐19

Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungualipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na g

kushindwa kuutawala ulimwengu ili b d l kwa mwili; badala yake, 

ulimwengu wa mwili ukamtawalaulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.

Page 581: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

BAADA YA DHAMBIMAMBO YAKAWA HIVI

Page 582: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 3:23“Watu wote wamefanya dhambi      

na kupungukiwa na utukufuna kupungukiwa na utukufuwa Mungu”wa Mungu

Page 583: Kanuni za kiroho za ushindi

BAADA YA DHAMBIBAADA YA DHAMBI Msaada Ukakatika Mungug

Mwili Roho

DuniaNafsi

Shetani

Page 584: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

MUNGU

SHETANI

MALAIKA

SHETANI  ALITAPELI NAFASI YA ADAM

DUNIA

NAFASI YA ADAMADAM

Page 585: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11MkuuMUNGU

SHETANIMfalme

Mtawala

Waefeso 2:1‐2

1Yohana 5:19

MALAIKA Mwakilishi

mungu

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

Shetani akakaa katika        nafasi ya Adam na

DUNIA

g

nafasi ya Adam na akavaa vyeo vyote vya Adam      

ADAM

Page 586: Kanuni za kiroho za ushindi

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Efe 2:1‐2   – Mfalme wa angafe fa e a a ga2Kor 4:4    – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19  – Mtawala (Controler) Yoh 12:31  – Mkuu wa UlimwenguY h 14 30 Mk UliYoh 14:30  – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11  – Mkuu wa Ulimwengu

Page 587: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11MkuuMUNGU

SHETANIMfalme

Mtawala

Waefeso 2:1‐2

1Yohana 5:19

MALAIKA Mwakilishi

mungu

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

Warumi 5:12, 14DUNIA

g

Waebrania 2:14, 15ADAM

Page 588: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 5:12, 14Kwa kosa la mtu mmoja, mauti ilita ala anadam hata aleilitawala wanadamu, hata wale 

ambao hawakufanya kosa la Adam.f y

Page 589: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 2:14, 15“Kwa njia ya mauti, Yesu alimharibu 

le ad i ali ek a na ng ayule adui, aliyekuwa na nguvu ya mauti, yaani shetani”, y

Page 590: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

BAADA YA WOKOVUMAMBO YAKAWA HIVI

Page 591: Kanuni za kiroho za ushindi

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Uhusiano Mungu(Utukufu) Uhusiano Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani

Page 592: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:1‐6

1 Kwa habari zenu mlikuwa wafu1 Kwa habari zenu, mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu, 2,ambazo mlizitenda mlipofuatisha namna ya ulimwengu huu na za yule mtawala wa ufalme wayule mtawala wa ufalme wa anga, yule roho atendaye kazi 

ndani ya wale wasiotii. 

Page 593: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:1‐6

3 Sisi sote pia tuliishi katikati yao hapo zamani tukifuata tamaa zahapo zamani, tukifuata tamaa za mwili na mawazo yake. Nasi kwa y

asili tulikuwa wana wa ghadhabu, kama mtu mwingine 

ye yoteye yote. 

Page 594: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTO

Waefeso 2:1‐64 L ki i M k d4 Lakini Mungu, kwa upendo 

Wake mwingi kwetu sisiWake mwingi kwetu sisi, ambaye ni mwingi wa rehema, 

Page 595: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTO

Waefeso 2:1‐65 h t t li k f k jili5 hata tulipokuwa wafu kwa ajili ya makosa yetu alitufanya tuweya makosa yetu, alitufanya tuwe hai pamoja na Kristo Yesu, yaani, 

mmeokolewa kwa neema.

Page 596: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTO

Waefeso 2:1‐66 M lit f f j6 Mungu alitufufua pamoja na Kristo na kutuketisha pamojaKristo na kutuketisha pamoja 

naye katika ulimwengu wa roho katika Kristo Yesu,

Page 597: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:12‐13

12 kumbukeni kwamba wakati ule mlikuwa hamna Kristo mkiwamlikuwa hamna Kristo, mkiwa wageni katika jumuiya ya watu g j y ywa Mungu … mliishi duniani mkiwa hamna tumaini wala 

MunguMungu. 

Page 598: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:12‐13

13 Lakini sasa katika Kristo Yesu, ninyi ambao hapo kwanzaninyi ambao hapo kwanza 

mlikuwa mbali na Mungu, sasa g ,mmeletwa karibu kwa njia ya 

damu ya Kristo.

Page 599: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:22

22 Katika Yeye ninyi nanyi nyote mnajengwa pamoja ili mpatemnajengwa pamoja ili mpate kuwa makao ambayo Mungu y ganaishi ndani yake kwa njia ya 

Roho Wake.

Page 600: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …yKila mtu amwaminiye Yesu Kristo, na wokovu wake, anaunganishwa tena na Mungu katika utu watena na Mungu, katika utu wa ndani, ambao pale mwanzo 

ulivunjika kwa ile dhambi ya Adam na Eva kule katika bustani ya Edenna Eva kule katika bustani ya Eden.

Page 601: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:22

22 Katika Yeye ninyi nanyi nyote mnajengwa pamoja ili mpatemnajengwa pamoja ili mpate kuwa makao ambayo Mungu y ganaishi ndani yake kwa njia ya 

Roho Wake.

Page 602: Kanuni za kiroho za ushindi

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Uhusiano Mungu(Utukufu) Uhusiano Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani

Page 603: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:1‐6

5 hata tulipokuwa wafu kwa ajili ya makosa yetu alitufanya tuweya makosa yetu, alitufanya tuwe hai pamoja na Kristo Yesu, kwa p j ,

neema ya wokovu wake.

Page 604: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:1‐6

6 Mungu ali‐ tufufua pamoja na Kristo na kutu ketisha pamojaKristo na kutu‐ ketisha pamoja 

naye (juu sana) katika y (j )ulimwengu wa roho.

Page 605: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA WOKOVU

MkuuMUNGU + ADAM  2

MALAIKAMfalme

Mtawala

SHETANI Mwakilishi

mungu

Waefeso 1:18‐23DUNIA

g

Waefeso 2:6ADAM   1

Page 606: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTO

BAADA YA WOKOVUBAADA YA WOKOVU

MkuuMUNGU + ADAM ‐ 2

MALAIKAMfalme

Mtawala

SHETANI Mwakilishi

mungu

DUNIA

g

ADAM  ‐ 1

Page 607: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 17:22Ndio maana Bwana Yesu analisema…

“B b t k f l li i“Baba, utukufu ule ulionipa, nimewapa wao (kanisa)”nimewapa wao (kanisa)

Page 608: Kanuni za kiroho za ushindi

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Roho Mt Mungu(Utukufu) Roho Mt. Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani (Rum 8:9‐11) 

Page 609: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9‐10Ufunuo 5:9‐109 Wewe unastahili kukitwaakitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwakwa sababu ulichinjwa na kwa 

damu yako ukamnunulia M t k t k k tik kilMungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na , g , j

kila taifa (kanisa). 

Page 610: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9 10Ufunuo 5:9‐1010 Nawe umewafanya hawa10 Nawe umewafanya hawa wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao 

iliki d i ’’wanamiliki dunia.’’

Page 611: Kanuni za kiroho za ushindi

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWaefeso 1:18‐23/2:1‐6

Mtu wa Mungu, hataweza kuuathiri Ulimwengu wa roho nakuuathiri Ulimwengu wa roho na 

kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili, kama 

h j k ti h k iliki hhajaketishwa na kumilikishwa Ulimwengu wa roho kwa njia yaUlimwengu wa roho kwa njia ya Wokovu wa Bwana Yesu Kristo.

Page 612: Kanuni za kiroho za ushindi

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAMwanzo 1:26‐28/Zaburi 8:4‐8

Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba ulimwengu wanamna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka

ya Mungu kutoka katika Uli hUlimwengu wa roho.

Page 613: Kanuni za kiroho za ushindi

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWarumi 3:23/Warumi 5:12‐19

Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungualipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na g

kushindwa kuutawala ulimwengu ili b d l kwa mwili; badala yake, 

ulimwengu wa mwili ukamtawalaulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.

Page 614: Kanuni za kiroho za ushindi

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWaefeso 2:1‐6/Ufunuo 5:8‐10

Lakini Mtu anapotubu dhambi zake na kuupokea Wokovu wa Bwanana kuupokea Wokovu wa Bwana Yesu Krsito, anaunganishwa tena gna Mungu na kupewa mamlaka

k idi k lik lmakuu zaidi, kuliko yale aliyoyapoteza Adam na Evaaliyoyapoteza Adam na Eva   katika bustani ya Eden.

Page 615: Kanuni za kiroho za ushindi

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWaefeso 1:18‐23/2:1‐6

hMungu wetu, hataweza kukurithisha mamlaka yakukurithisha mamlaka ya 

Ulimwengu wa roho ili uweze kuleta mabadiliko katika 

ulimwengu wa mwili kamaulimwengu wa mwili, kama hajazaliwa mara ya pili. kwa njia j y p jya Wokovu wa Bwana Yesu Kristo.

Page 616: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …yKila mtu amwaminiye Yesu Kristo, na wokovu wake, anaunganishwa tena na Mungu katika utu watena na Mungu, katika utu wa ndani, ambao pale mwanzo 

ulivunjika kwa ile dhambi ya Adam na Eva kule katika bustani ya Edenna Eva kule katika bustani ya Eden.

Page 617: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

3.KUJAZWAKUJAZWA

NGUVU ZA ROHOMtNGUVU ZA ROHO Mt.

Page 618: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUZA MUNGU

YOHANA 7:37‐39WAEFESO 3:2O

Page 619: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

YOHANA 7: 37‐3938 Ye yote aniaminiye Mimi, kama maandiko yasemavyo, it ji i it ti i ikmito ya maji ya uzima, itatiririka

kutokea ndani yake”kutokea ndani yake .

Page 620: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

YOHANA 7: 37‐3939 Habari hizo (za mito ya uzima) Yesu alizisema kumhusu Roho

Mt k tif b lMtakatifu, ambaye wale wamwaminio watampokeawamwaminio watampokea … 

Page 621: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

YOHANA 7: 37‐39

KILA MTU AMWAMINIYE YESU ANAKILA MTU AMWAMINIYE YESU ANA ROHO MTAKATIFU NDANI YAKE.

Na ROHO MTAKATIFU NDIYE CHANZO

CHA NGUVU ZA MUNGUCHA NGUVU ZA MUNGU.

Page 622: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTO

Efeso 2:22Efeso 2:2222 Katika Yeye (Yesu) ninyi nanyi22 Katika Yeye  (Yesu) ninyi nanyi 

nyote mnajengwa pamoja ili mpate kuwa makao ambayo 

Mungu anaishi ndani yake kwaMungu anaishi ndani yake kwa njia ya Roho wake.

Page 623: Kanuni za kiroho za ushindi

VITA YA MWILI NA ROHOVITA YA MWILI NA ROHO 

Roho Mt MunguRoho Mt. Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani (Rum 8:9‐11) 

Page 624: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

YOHANA 7: 37‐39

KILA MTU AMWAMINIYE YESU ANAKILA MTU AMWAMINIYE YESU ANA ROHO MTAKATIFU NDANI YAKE.

Na ROHO MTAKATIFU NDIYE CHANZO

CHA NGUVU ZA MUNGUCHA NGUVU ZA MUNGU.

Page 625: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.Yohana 14:12

12 Amin, amin, nawaambia, ye yote i i i Mi i k i i ifaniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo 

yeye atazifanya, naam na kubwa yeye ata a ya, aa a ub akuliko hizi atazifanya, kwa sababu 

i i i k d k bMimi ninakwenda kwa Baba. 

Page 626: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.Yohana 16:7

7 Lakini amin nawaambia, yafaa Mi i i d k k kMimi niondoke kwa kuwa 

nisipoondoka, huyo Msaidizi s poo do a, uyo sa dhatakuja kwenu, lakini nikienda 

i knitamtuma kwenu. 

Page 627: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.Luka 24:49

49 “Tazama nawaletea juu yenu h di B b Y l ki i k iahadi ya Baba Yangu, lakini kaeni 

humu Yerusalemu mpaka mtakapo‐u u e usa e u pa a ta apovikwa uwezo utokao juu.” 

Page 628: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.Matendo 1:8

8 Lakini mtapokea nguvu akiisha k jili j R h Mt k tifkuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu, nanyi mtakuwa mashahidi Wangu a y ta u a as a d a gukatika Yerusalemu, Uyahudi kote na S i h di ii h d i ’’Samaria, hadi miisho ya dunia.’’ 

Page 629: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi katika hali o ote t (japokatika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazianaweza), bali anafanya kazi katika viwango vyake maalum.

Page 630: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Kiwango cha Nguvu za Mungu kinahusika sana katika kuleta 

mabadiliko ana ohitajika katikamabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na kishaulimwengu wa roho na kisha katika ulimwengu wa mwili.

Page 631: Kanuni za kiroho za ushindi

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Matendo 19:1‐7Kuna Wakristo walioridhika kuwa na Roho Mtakatifu ndani yao (wokovu) bila UJAZO wa Roho(wokovu) bila UJAZO wa Roho 

Mtakatifu(NGUVU ZA ROHO)

Page 632: Kanuni za kiroho za ushindi

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Matendo 19:1‐71 Wakati Apolo akiwa huko 

Korintho, Paulo alisafiri sehemu za bara akafika Efeso Hukoza bara, akafika Efeso. Huko 

akawakuta wanafunzi kadhaa, 2,akawauliza, “Je, mlipokea Roho 

Mtakatifu mlipoamini?” 

Page 633: Kanuni za kiroho za ushindi

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Matendo 19:1‐7Wakajibu, “Hapana, hata 

hatukusikia kuwa kuna Roho Mtakatifu ” 3 Ndipo PauloMtakatifu.  3 Ndipo Paulo 

akawauliza, “Je, mlibatizwa kwa , ,ubatizo gani?” Wakajibu, “Kwa 

ubatizo wa Yohana.” 

Page 634: Kanuni za kiroho za ushindi

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Matendo 19:1‐74 Paulo akasema, “Ubatizo wa

Yohana ulikuwa wa toba,aliwaambia watu wamwaminialiwaambia watu wamwaminiyeye atakayekuja baada yake, y y y j y ,

yaani, Yesu.” 5 Waliposikia haya, wakabatizwa katika jina la Yesu. 

Page 635: Kanuni za kiroho za ushindi

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Matendo 19:1‐76 Paulo alipoweka mikono yake 

juu yao, Roho Mtakatifu akawashukia nao wakanena kwaakawashukia, nao wakanena kwa lugha mpya na kutabiri. 7 Idadi g pyyao ilikuwa wapata wanaume 

( )kumi na wawili (wanawake 25).

Page 636: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Kuna tofauti ya Roho Mtakatifu naKuna tofauti ya Roho Mtakatifu na Nguvu za Roho Mtakatifu

Luka 4:1,14;      Matendo 10:38Yohana 20 22 Luka 24 49Yohana 20:22;    Luka 24:49

Page 637: Kanuni za kiroho za ushindi

Yohana 14:12

‘Amini Amini nawaambeni, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi (za ushindi) ninazozifanya, na yeye atazifanya naam hata kubwaatazifanya, naam hata kubwa 

kuliko hizo, atafanya,kuliko hizo, atafanya, kwasababu mimi nakwenda  

kwa Baba’.

Page 638: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 14:12‘… Kila aniaminiaye mimi, 

ataushinda ulimwengu kama i i ili hi d k b bmimi nilivyoshinda, kwasababu mimi nakwenda kwa Babamimi nakwenda kwa Baba, kuwaletea Roho Mtakatifu, ,

aliyeniwezesa mimi kushinda’.

Page 639: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1 14Luka 4:1, 141 Yesu alipokwisha kubatizwa1 Yesu alipokwisha kubatizwa, 

aliongozwa na Roho gMtakatifu kwenda nyikani k ik bi ikkatika maombi ya siku 40.

Page 640: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1 14Luka 4:1, 1414 Yesu alipomaliza maombi na14 Yesu alipomaliza maombi na majaribu yote, alirudi Galilaya j y y

katika nguvu za Roho k ifMtakatifu.

Page 641: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ikiwa Bwana Yesu mwenyeweIkiwa Bwana Yesu mwenyewe, alihitaji Nguvu za Mungu naalihitaji Nguvu za Mungu na alizitafuta, kwa maombi 

mazito na makali maisha yake yote duniani si zaidi sana sisiyote duniani, si zaidi sana sisi 

binadamu wa kawaida?binadamu wa kawaida?

Page 642: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 20:20 21Yohana 20:20‐21Akawaambia, kama BabaAkawaambia, kama Baba alivyonituma mimi, nami nawapeleka ninyi; akiisha kusema hayo akawavuviakusema hayo, akawavuvia (akawapulizia) akawaambia, pokeeni Roho Mtakatifu;

Page 643: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 24:49Luka 24:49(Pamoja na kwamba(Pamoja na kwamba 

nimeshawapa Roho Mtakatifu)“… Lakini, msiondoke humu mjini, 

mpaka mtakapovikwa uwezampaka mtakapovikwa uwezautokao juu (Nguvu za Mungu).j ( g g )

Page 644: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 22:29Mathayo 22:2929 Yesu alisema ‘Mwapotoka29 Yesu alisema,  Mwapotoka 

na kupotea kwa sababu phamjui maandiko, wala uweza 

( )wa Mungu (Nguvu za Mungu). 

Page 645: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi katika hali o ote t (japokatika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazianaweza), bali anafanya kazi katika viwango vyake maalum.

Page 646: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.Matendo 19:1‐7

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu ndani yako (wokovu) bila UJAZO wandani yako (wokovu) bila UJAZO wa 

Roho Mtakatifu. (Tafuta NGUVU za Roho Mt.)

Page 647: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu tu ndani yako 

( oko ) bali taf ta k onge eka(wokovu), bali tafuta kuongezekakiwango cha kiroho na nguvu zakiwango cha kiroho na nguvu za 

Mungu maishani mwako.

Page 648: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Kiwango cha Nguvu za Mungu kinahusika sana katika kuleta 

mabadiliko ana ohitajika katikamabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na kishaulimwengu wa roho na kisha katika ulimwengu wa mwili.

Page 649: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jehova Mungu ni Mungu mwenyeJehova Mungu ni Mungu mwenye enzi yote (Mwenyezi). Hakuna y y

jambo asiloliweza. Amefanya kila kit t nachokiona na t si o ionakitu tunachokiona na tusivyoviona, 

kutoka katika Neno lake tu. Mungu anaweza kufanya kila kitu!

Page 650: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OMungu anaweza kutenda mambo makubwa mno na ya ajabu sana 

(yasiyopimika) kuliko yote(yasiyopimika) kuliko yote tunayoyawaza na kuliko yotetunayoyawaza na kuliko yote 

tunayoyaomba, …

Page 651: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O

l ki i i k k di i (k… lakini ni  kwa kadiri (kwa kiwango au kipimo) cha nguvukiwango au kipimo) cha nguvu zake kinachotenda kazi ndani

yetu.

Page 652: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwambaHii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango

hcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

Page 653: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

Page 654: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwambaHii ina maana kwamba …***… ikiwa tutatengeneza au…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu kidogo za Mungu ndani yetu, tutauzuia 

mkono wa Mungu kufanya mambomkono wa Mungu kufanya mambo mengi na makubwa anayotaka kufanya maishani mwetu.

Page 655: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini …***…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu za Mungu kwa wingi (za kutosha) ndani yetuwingi (za kutosha) ndani yetu,

tutauwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi na 

makubwa anayotaka kufanyamakubwa anayotaka kufanya.

Page 656: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukweli ni Kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu pasipo msaada wa binadamu, lakini 

alichagua tu kufanya kazi kwaalichagua tu, kufanya kazi kwa ushirika na binadamu; kwahiyo, 

kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na binadamu katika kutawala duniabinadamu katika kutawala dunia.

Page 657: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwambaKwamba …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

Page 658: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (1);Kifo cha Yakobo na 

Ukombozi wa Petro gerezanidMatendo 12:1‐19

Page 659: Kanuni za kiroho za ushindi

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Kifo cha Yakobo na Ukombozi wa Petro

Yakobo alipokamatwa, Kanisa h k f bi t k khawakufanya maombi, motokea yake 

akachinjwa. Lakini Petro jalipokamatwa, kanisa likaomba kwa bidii na Mungu akamkomboa Petrobidii, na Mungu akamkomboa Petro 

kutoka gerezani.Unadhani Kwanini?

Page 660: Kanuni za kiroho za ushindi

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Kifo cha Yakobo na Ukombozi wa PetroSi kwamba Mungu anampenda Petro k lik Y k b B li hii i hkuliko Yakobo. Bali hii inaonyesha wazi kwamba, Utendaji kazi wa j

mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvuunategemea sana kiwango cha Nguvu

za Mungu unachozalisha (kinachotenda kazi) ndani yako.

Page 661: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (2);Ushindi wa Joshua vitani

Kwa maombi ya Musa MlimaniKutoka 17:8‐15

Page 662: Kanuni za kiroho za ushindi

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Ushindi wa Joshua, Maombi ya Musa, yMusa alikunyanyua mikono yake kwa 

bi J h j hi l I limaombi, Joshua na jeshi la Israeli walikuwa wakishinda vitani, Lakini Musa alichoshusha mikono (kuacha kuomba) Joshua na jeshi la Israelikuomba) Joshua na jeshi la Israeli 

walikuwa wakipigwa (wakishindwa).Unadhani Kwanini?

Page 663: Kanuni za kiroho za ushindi

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Ushindi wa Joshua, Maombi ya Musa, yHii haikuwa bahati nzuri au mbaya; Bali hii i h i k b Ut d jihii inaonyesha wazi kwamba, Utendaji kazi wa mkono wa Mungu maishani g

mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu unachozalishaNguvu za Mungu unachozalisha (kinachotenda kazi) ndani yako.

Unadhani Kwanini?

Page 664: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (3);Maombi ya Musa katika 

kumruhusu Mungu kufungua bahari ya Shamubahari ya ShamuKutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28

Page 665: Kanuni za kiroho za ushindi

Kutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28Fimbo ya Musa na Bahari ya Shamuy yMungu hakuifungua bahari akasubiri 

k M li h fi b kmpaka Musa aliponyoosha fimbo yake (maombi) baharini (tatizo lake); ndipo( ) ( ) pMungu akasaba‐ bisha upepo mkali 

uliochana bahari na kufanya ukuta 2 zauliochana bahari na kufanya ukuta 2 za maji. Israeli wakapita nchi kavu. 

Unadhani Kwanini?

Page 666: Kanuni za kiroho za ushindi

Kutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28Fimbo ya Musa na Bahari ya Shamuy yMungu hakuifunga bahari, akasubiri  

k M li h t fi bmpaka Musa aliponyoosha tena fimbo yake (maombi) baharini (tatizo lake); y ( ) ( )ndipo Mungu akasababisha upepo 

kukatika na maji ya bahari yakarudi nakukatika na maji ya bahari yakarudi na kuwaangamiza jeshi lote la Misri.

Unadhani Kwanini?

Page 667: Kanuni za kiroho za ushindi

Kutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28Ushindi wa Joshua, Maombi ya Musa, yHii haikuwa bahati nzuri au mbaya; Bali hii i h i k b Ut d jihii inaonyesha wazi kwamba, Utendaji kazi wa mkono wa Mungu maishani g

mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu unachozalishaNguvu za Mungu unachozalisha (kinachotenda kazi) ndani yako.

Unadhani Kwanini?

Page 668: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni KwasababuNi Kwasababu …Kwahiyo Utendaji wa mkono waKwahiyo Utendaji wa mkono wa 

Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotendaNguvu za Mungu kinachotenda 

kazi ndani yako.

Page 669: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni Kwasababu …Mungu ameweka ushirika fulani kati 

k i i bi d K hi Kyake na sisi binadamu. Kwahiyo Kuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, yMungu hawezi kuyafanya, ikiwa hatutatengeneza au hatutazalishahatutatengeneza au hatutazalisha 

Nguvu za Mungu za kutosha, Kutokea ndani yetu.

Page 670: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Sikiliza …Mungu anaweza kufanya kila kitu pasipo msaada wa binadamu, lakini 

alichagua tu kufanya kazi kwaalichagua tu, kufanya kazi kwa ushirika na binadamu; kwahiyo, 

kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na binadamu katika kutawala duniabinadamu katika kutawala dunia.

Page 671: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

Page 672: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwambaHii ina maana kwamba …***… ikiwa tutatengeneza au…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu kidogo za Mungu ndani yetu, tutauzuia 

mkono wa Mungu kufanya mambomkono wa Mungu kufanya mambo mengi na makubwa anayotaka kufanya maishani mwetu.

Page 673: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini …***…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu za Mungu kwa wingi (za kutosha) ndani yetuwingi (za kutosha) ndani yetu,

tutauwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi na 

makubwa anayotaka kufanyamakubwa anayotaka kufanya.

Page 674: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mistari

Ushirika – PartnershipMungu & Binadamu

katika kutawala dunia.

Page 675: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 3:99 Kwa maana sisi tu watenda kazi 

pamoja na Mungu. (k hi di f iki )(kwa ushindi na mafanikio)

Page 676: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28‐3028 Na kwahiyo basi, katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja

na wale wampendao katikana wale wampendao, katika kuwapatia mema. 

(ushindi, faida na mafanikio)

Page 677: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26,18,26 Tufanye mtu kwa sura yetu na 

kwa mfano wetu wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya usona vyote tulivyoviumba juu ya uso 

wa dunia.

Page 678: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26‐1828 Mungu akaumba Mwanaume na Mwanamke, akawaweka katika bustani ya dunia akawaambiabustani ya dunia, akawaambia, zaeni mkaongezeke na kuitawala

(kuitiisha) dunia.

Page 679: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 115:16Mbingu ni mbingu za Bwana, bali 

nchi amewapa wanadamu

Isaya 45:11… kwa habari ya kazi za mikono yangu haya niagizeni (niamuruni)yangu, haya niagizeni (niamuruni)

Page 680: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐19y19 Kwa maana nitawapa funguo za Ufalme, na mambo mtakayoyafunga 

(ninyi) yatakuwa yamefungwa(ninyi) yatakuwa yamefungwa (mbinguni), na mambo 

mtakayoyafungua  (ninyi) yatakuwa yamefunguliwa (mbinguni)yamefunguliwa (mbinguni)

Page 681: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐19y18 Na milango ya kuzimu 

haitaweza kulishinda kanisa langu nitakalolijenga  (kwa mfumo huu)(kwa mfumo huu).     

Page 682: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.Matendo 19:1‐7

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu ndani yako (wokovu) bila UJAZO wandani yako (wokovu) bila UJAZO wa 

Roho Mtakatifu. (Tafuta NGUVU za Roho Mt.)

Page 683: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu tu ndani yako 

( oko ) bali taf ta k onge eka(wokovu), bali tafuta kuongezekakiwango cha kiroho na nguvu zakiwango cha kiroho na nguvu za 

Mungu maishani mwako.

Page 684: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Kiwango cha Nguvu za Mungu kinahusika sana katika kuleta 

mabadiliko ana ohitajika katikamabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na kishaulimwengu wa roho na kisha katika ulimwengu wa mwili.

Page 685: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana hata Mitume waNdio maana hata Mitume wa kwanza wanatuonyesha mfano yna kutusisitiza sana kupitia 

l k b i iNeno la Mungu kwamba, sisi watoto wa Mungu wa leowatoto wa Mungu wa leo, 

tutembee na nguvu za Mungu.

Page 686: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wafilipi 3:10Wafilipi 3:10‘Natamani kuendelea kumjuaNatamani kuendelea kumjua 

Yesu Kristo na uweza au nguvu za kufufuka kwake.’

Page 687: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wakolosai 1:29Wakolosai 1:29‘Kwa ajili ya jambo hili,Kwa ajili ya jambo hili, 

ninajitaabisha, nikijitahidi kwa kadiri (kiwango) cha nguvu za Mungu ambazo kwa uwezoMungu, ambazo kwa uwezo mwingi zinatenda kazi ndani 

yangu. ’ 

Page 688: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 3:16‐17Waefeso 3:16 1716 Nami namwomba Mungu 

awaimarishe na ninyi, kwa kuwatia nguvu mioyoni yenu, kwa njia yanguvu mioyoni yenu, kwa njia ya Roho Wake; na kwa kadri ya utajiri 

k f k ili k bwa utukufu wake, 17 ili kwamba, Kristo apate kukaa mioyoni mwenu p y

kwa njia ya imani. 

Page 689: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wafilipi 2:13Wafilipi 2:13‘kwa maana Mungu ndiyekwa maana Mungu ndiye atendaye kazi ndani yenu, y ykutaka kwenu na kutenda 

k k k li i i k dikwenu kwa kulitimiza kusudi lake jema’lake jema . 

Page 690: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 21:22Ufunuo 21:22‘Na katika mji ule hakunaNa katika mji ule, hakuna kinyonge kitakachoingia (bali y g g (

wenye nguvu)

Page 691: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 11:12Mathayo 11:12Tangu siku za Yohana MbatizajiTangu siku za Yohana Mbatizaji hata sasa, Ufalme wa Mungu ghupatikana kwa nguvu, nao 

diwenye nguvu tu ndio wanaoutekawanaouteka.

Page 692: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 4:201Wakorintho 4:20Ufalme wa Mungu hauwi katikaUfalme wa Mungu hauwi katika maneno na majadiliano, bali jkatika Nguvu za Mungu. 

Page 693: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 2:1 51Wakorintho 2:1‐54 Injili yangu haikuja kwenu4. Injili yangu haikuja kwenu 

kwa maneno makavu au maneno matupu, bali katika 

d lili (i h ) hdalili (ishara) za Roho Mtakatifu na NguvuMtakatifu na Nguvu.

Page 694: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 2:1 51Wakorintho 2:1‐55 Ili imani zenu zisiwe katika5. Ili imani zenu zisiwe katika hekima za wanadamu, bali 

ziwe katika Nguvu za Mungu.

Page 695: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.Matendo 19:1‐7

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu ndani yako (wokovu) bila UJAZO wandani yako (wokovu) bila UJAZO wa 

Nguvu za Roho Mtakatifu. (Tafuta NGUVU za Roho Mt.)

Page 696: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu tu ndani yako 

( oko ) bali taf ta k onge eka(wokovu), bali tafuta kuongezekakiwango cha kiroho na nguvu zakiwango cha kiroho na nguvu za 

Mungu maishani mwako.

Page 697: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Kiwango cha Nguvu za Mungu kinahusika sana katika kuleta 

mabadiliko ana ohitajika katikamabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na kishaulimwengu wa roho na kisha katika ulimwengu wa mwili.

Page 698: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi katika hali o ote t (japokatika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazianaweza), bali anafanya kazi katika viwango vyake maalum.

Page 699: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Musa na Wazee 70 wa Israeli.

Kutoka 24:1‐18

Page 700: Kanuni za kiroho za ushindi

7. Ngazi (Level) ya Wito

Kutoka 24:1‐18Musa, ondoka na wazee 70 k t k k ti t kkutoka kati ya watu wako 

(umati) chini ya mlima weka(umati) chini ya mlima, weka kambi katikati ya mlima, lakini wewe peke yako, upande juu 

li kil l iya mlima, kileleni.  

Page 701: Kanuni za kiroho za ushindi

7. Ngazi (Level) ya WitoKutoka 24:1‐18

^               1st Class

^^^ 2nd Class^^^ 2nd Class

^^^^^^^^^^ 3rd Class

Page 702: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi katika hali o ote t (japokatika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazianaweza), bali anafanya kazi katika viwango vyake maalum.

Page 703: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.

Luka 6:13‐16

Page 704: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA

120120

Page 705: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA

223 703 70

120120

Page 706: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA

2 122 123 703 70

120120

Page 707: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA

332 122 123 703 70

120120

Page 708: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA

1 33

2 122 123 703 70

120120

Page 709: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.Matendo 19:1‐7

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu ndani yako (wokovu) bila UJAZO wandani yako (wokovu) bila UJAZO wa 

Roho Mtakatifu. (Tafuta NGUVU za Roho Mt.)

Page 710: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu tu ndani yako 

( oko ) bali taf ta k onge eka(wokovu), bali tafuta kuongezekakiwango cha kiroho na nguvu zakiwango cha kiroho na nguvu za 

Mungu maishani mwako.

Page 711: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni hizi tunazojifunza zikiwekwaKanuni hizi tunazojifunza, zikiwekwa  kwa pamoja ndani yetu (rohoni), katika kiwango kinachotakiwa, 

zitasababisha Roho Mtakatifu aliyezitasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu unazozihitaji kwa ajili ya 

maisha ya ushindi dunianimaisha ya ushindi duniani.

Page 712: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwambaHii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango

hcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

Page 713: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwambaKwamba …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutatengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

Page 714: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa hiyoKwa hiyo …***… ikiwa tutatengeneza au…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu kidogo za Mungu ndani yetu, tutauzuia 

mkono wa Mungu kufanya mambomkono wa Mungu kufanya mambo mengi na makubwa anayotaka kufanya maishani mwetu.

Page 715: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

LakiniLakini …***… ikiwa tutatengeneza au…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu za Mungu kwa wingi (za kutosha) ndani yetu,

tutauwezesha mkono wa Mungututauwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi na 

makubwa anayotaka kufanya.

Page 716: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHONi mambo ambayo, tukiyawekaNi mambo ambayo, tukiyaweka 

kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetuMtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

Page 717: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwakuwaKwakuwa  …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango

hcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

Page 718: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

BasiBasi … tengeneza au zalishatengeneza au zalisha

KIWANGOcha kutosha cha Nguvu za Mungu 

Ndani yako

Page 719: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OMungu anaweza kutenda mambo makubwa mno na ya ajabu sana 

(yasiyopimika) kuliko yote(yasiyopimika) kuliko yote tunayoyawaza na kuliko yotetunayoyawaza na kuliko yote 

tunayoyaomba, …

Page 720: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O

l ki i i k k di i (k… lakini ni  kwa kadiri (kwa kiwango au kipimo) cha nguvukiwango au kipimo) cha nguvu zake kinachotenda kazi ndani

yetu.

Page 721: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 23:5Zaburi 23:5Ndio maana Mfalme Daudi alisemaNdio maana Mfalme Daudi alisema 

“Waandaa meza (baraka) mbele yangu, machoni pa watesi wangu 

(adui); Umenipaka mafuta(adui); Umenipaka mafuta kichwani kwangu, na kikombe 

changu kinafurika.”

Page 722: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 23:5Zaburi 23:5Hii inaonyesha kwamba, MfalmeHii inaonyesha kwamba, Mfalme 

Daudi hakutaka kutembea duniani, akiwa na kiwango robo au nusu au robo tatu cha Nguvuau nusu au robo tatu cha Nguvu za Mungu maishani mwake; Bali alitaka kikombe chake kifurike.

Page 723: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Kavu / Tupu1. Kavu / Tupu   

Kiwango, Kipimo, Ujazo

Page 724: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2 Robo2. Robo  

Kiwango, Kipimo, Ujazo

Page 725: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

3 Nusu3.  Nusu 

Kiwango, Kipimo, Ujazo

Page 726: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4 Robo Tatu4. Robo Tatu 

Kiwango, Kipimo, Ujazo

Page 727: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5 Kumwagika5.  Kumwagika   

Kiwango, Kipimo, Ujazo

Page 728: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 5:18Waefeso 5:18Ni mapenzi ya Mungu kwambaNi mapenzi ya Mungu kwamba, tutembee katika ujazo wa Roho jMtakatifu na kufurika nguvu za 

Mungu.

Page 729: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Efeso 5:18Efeso 5:18Msilewe kwa pombe (mvinyo)Msilewe kwa pombe (mvinyo) kwani kuna ufisadi (uchafu), ( )

bali mjazwe kwa Roho k ifMtakatifu.

Page 730: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo;y ;Kila mtu amwaminiye Yesu Kristo, kama Bwana na Mwokozi wake, ana Roho Mtakatifu wa Mungu ndaniRoho Mtakatifu wa Mungu ndani yake; kwahiyo, anazo Nguvu za 

Mungu ndani yake.

Page 731: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12, Yohana 16:6‐7,“12 … ye yote aniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo yeye atazifanya, 

naam na kubwa kuliko hizinaam na kubwa kuliko hizi atazifanya, kwa sababu Mimi 

ninakwenda kwa Baba (kuwaletea Roho Mtakatifu)(kuwaletea Roho Mtakatifu) 

Page 732: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14Nguvu za Mungu zilizopo ndani yako, zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi na kuyatawala mazingira yako kamana kuyatawala mazingira yako, kama Bwana Yesu alivyoishi na kuyatawala mazingira yake, bila kushindwa au 

kuzuiliwa na hali yoyotekuzuiliwa na hali yoyote.

Page 733: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28‐30Ni kusudi la Mungu na ni mpango wa Mungu tangu awali, kwamba, sisi sote tuishi na kutembea katikasisi sote tuishi na kutembea katika kiwango kile kile kinachofanana na cha Bwana Yesu; yaani kwa nguvu na uweza ule ule kama wa Yesuna uweza ule ule kama wa Yesu. 

Page 734: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28‐30Warumi 8:28 3030 Na wale aliowajua, aliwaita, j , ,na wale aliowaita, aliwahesabia h k l l h bhaki, na wale aliowahesabia  

haki aliwatukuzahaki, aliwatukuza. 

Page 735: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28‐30Warumi 8:28 3029 Wale aliowajua tangu zamani, j g ,aliwaita ili wafananishwe na 

fmfano wa mwanaye.

Page 736: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kwamba h k di i iroho yako ndiyo inayotumiwa na Mungu kuachilia nguvu zakeMungu kuachilia nguvu zake, 

kutakufanya uwe mtu mwoga nadhaifu maisha; 

Page 737: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katikakutakuondolea ujasiri katika kukabiliana na maisha ya kila ysiku, yaliyojaa kila aina ya 

upinzani na vita dhidi ya mtu wa MunguMungu.

Page 738: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa ngvu zakuzima utendaji kazi wa ngvu za Mungu maishani mwako; nawe 

utaishi chini ya kiwango cha mtoto waMungu (yaani maisha yawa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika))

Page 739: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Kutokujua (Kutokuwa naKwa Kutokujua (Kutokuwa na ufahamu huu) watu wa Mungu 

wengi wamezuia utendaji kazi wa nguvu za Mungu kutoka ndaninguvu za Mungu kutoka ndani yao, na Nguvu kubwa sana zayao, na Nguvu kubwa sana za Mungu zimebaki ndani yao zimelala (hazijatumika). 

Page 740: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na matokeo yake ni kwamba, watu waMungu wengi wanahangaika nakutumia muda mwingi na gharamag gkubwa, kukimbia‐kimbia kushoto nakulia kutafuta msaada wa mbalikulia kutafuta msaada wa mbali,wakati ndani yao wameacha msaadaulio karibu; yaani nguvu kubwa sana zaulio karibu; yaani nguvu kubwa sana zaMungu zimebaki zimelala bila kutumika.

Page 741: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Mungu anasema g‘watu wangu wanaangamia kwa 

kukosa maarifa’.Hosea 4:6

Page 742: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwasababu hiyo, Biblia inasema kwamba, tunatakiwa kufundishwa na kufundishika ili tupate maarifa nakufundishika, ili tupate maarifa na tukue kiroho mpaka kufika katika cheo cha Bwana wetu Kristo Yesu.

(Waefeso 4:11 15)(Waefeso 4:11‐15)

Page 743: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa huduma mbalimbali ambazo Yesu ameziweka katika kanisa, sisi 

i i k id t t kiwaumini wa kawaida, tunatakiwa kufundishwa na kufundishika ili tukue kiroho mpaka kufika katika h h B Y k t bcheo cha Bwana Yesu na kutembea 

na Nguvu za Mungu.g g

Page 744: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐1411 Yeye ndiye aliyeweka wenginekuwa mitume, na wengine kuwamanabii wengine kuwa wainjilistimanabii, wengine kuwa wainjilisti,na wengine kuwa wachungaji nawengine kuwa waalimu,

Page 745: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐1412 kwa kusudi la kuwakamilishawatakatifu kwa ajili ya kazi zahuduma ili kwamba mwili wa Kristohuduma, ili kwamba mwili wa Kristoupate kujengwa na kuimarika.

Page 746: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐1414 Ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwatupwa huku na huku nakuchukuliwa na kila upepo wakuchukuliwa na kila upepo wa

mafundisho kwa hila za watu, kwaujanja, kwa kufuata njia zao za

udanganyifuudanganyifu. 

Page 747: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14

13 … bali tufundishike na kukuakiroho, mpaka sisi sote

t t k fiki ki i htutakapoufikia kipimo cha ukamilifu wa Kristoukamilifu wa Kristo. 

Page 748: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14Kwahiyo, Nguvu za Mungu 

zilizowekwa ndani yako, zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi nakabisa kukuwezesha kuishi na 

kufanya kazi duniani, katika kiwango cha ushindi na mafanikio, 

kama kile kile cha Bwana Yesukama kile kile cha Bwana Yesu, 

Page 749: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.Matendo 19:1‐7

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu ndani yako (wokovu) bila UJAZO wandani yako (wokovu) bila UJAZO wa 

Roho Mtakatifu. (Tafuta NGUVU za Roho Mt.)

Page 750: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu tu ndani yako 

( oko ) bali taf ta k onge eka(wokovu), bali tafuta kuongezekakiwango cha kiroho na nguvu zakiwango cha kiroho na nguvu za 

Mungu maishani mwako.

Page 751: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4.USHIRIKA NAUSHIRIKA NA

ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU.

Page 752: Kanuni za kiroho za ushindi

USHIRIKA NAUSHIRIKA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

2 Wakorintho 13:142 Wakorintho 13:14

Page 753: Kanuni za kiroho za ushindi

USHIRIKA NAUSHIRIKA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

2 Wakorintho 13:14‘Neema ya Bwana wetu YesuKristo, na Upendo wa Mungu

Baba Ushirika wa RohoBaba, Ushirika wa RohoMtakatifu, ukae nanyi nyote’

Page 754: Kanuni za kiroho za ushindi

USHIRIKA NAUSHIRIKA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

2 Wakorintho 13:14Ushirika ni uhusiano mzuri 

uliotokana na makubaliano fulani baina ya watu wawili au zaidi kwabaina ya watu wawili au zaidi kwa makusudi/malengo maalumu.

Page 755: Kanuni za kiroho za ushindi

USHIRIKA NAUSHIRIKA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:141Wakorintho 13:14

Page 756: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14“Neema ya Bwana wetu YesuKristo, na Upendo wa MunguBaba na Ushirika wa RohoBaba, na Ushirika wa Roho

Mtakatifu, ukae nasi sote sasa na,hata milele, amen”

Page 757: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU

2Wakorintho 13:14Ili kupata msaada na nguvu za Roho Mtakatifu maishani 

k i l i t bmwako, ni lazima umtambue na kumpa ushirika anaotakana kumpa ushirika anaotaka 

maishani mwako. 

Page 758: Kanuni za kiroho za ushindi

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

Ushirika wa Rohoni nini?

1W k i h 13 141Wakorintho 13:14

Page 759: Kanuni za kiroho za ushindi

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14

USHIRIKAUSHIRIKA“Ni uhusiano mzuri, kati ya watu,Ni uhusiano mzuri, kati ya watu,

uliojengeka kwa makusudiyanayofanana.

Page 760: Kanuni za kiroho za ushindi

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14

KIFUNGO CHA USHIRIKAKIFUNGO CHA USHIRIKA“Kifungo kikuu cha USHIRIKA, niKifungo kikuu cha USHIRIKA, niuhusiano uliopo kati ya hoa watuwalio katika fungamano lenye

makusudi fulanimakusudi fulani.

Page 761: Kanuni za kiroho za ushindi

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14

KIFUNGO CHA USHIRIKAKIFUNGO CHA USHIRIKA“Huwezi kuwa na USHIRIKAHuwezi kuwa na USHIRIKA 

mzuri, na Roho Mtakatifu, kamahuna uhusiano mzuri naye.

Page 762: Kanuni za kiroho za ushindi

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14

KIFUNGO CHA USHIRIKAKIFUNGO CHA USHIRIKA“Na huwezi kuwa na UhusianoNa huwezi kuwa na Uhusiano mzuri na Roho Mtakatifu, kama 

humfahamu vizuri Roho MtakatifuMtakatifu.

Page 763: Kanuni za kiroho za ushindi

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14KIFUNGO CHA USHIRIKA

UshirikaUh iUhusiano

UfahamuUfahamu

Page 764: Kanuni za kiroho za ushindi

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14

KIFUNGO CHA USHIRIKAKIFUNGO CHA USHIRIKA“Huwezi kupata NGUVU NAHuwezi kupata NGUVU NA MSAADA  wa Roho Mtakatifu, 

kama huna ushirika unaotokanana uhusiano mzuri na yeyena uhusiano mzuri na yeye.

Page 765: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI NANI?

1. Roho Mtakatifu1. Roho Mtakatifu Ni Mungu Mwenyezig y

Matendo 5:1‐5‘Anania, kwanini kumdanganya h k f ? k dRoho Mtakatifu? Hukumdanganya Mwanadamu, bali Mungu’ , g

Page 766: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGUNGUVU YA MUNGU

Katika Mungu MwenyeziKuna NAFSI tatu; 

Mungu BabaMungu MwanaR h M k ifRoho Mtakatifu

Page 767: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGUNGUVU YA MUNGU

Katika Mungu MwenyeziM NAFSIMwenye NAFSI tatu;Nguvu zake ziko katikaNguvu zake ziko katika 

NAFSI ya tatuNAFSI ya tatuRoho Mtakatifu.Roho Mtakatifu. 

Page 768: Kanuni za kiroho za ushindi

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

NAFASI YA BABA

BABA : KUAGIZAAU

KUSEMAKUSEMA

Page 769: Kanuni za kiroho za ushindi

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

NAFASI YA MWANA

MWANA : KUTENDAAU 

KUTEKELEZAKUTEKELEZA

Page 770: Kanuni za kiroho za ushindi

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

NAFASI YA ROHO MTAKATIFU

ROHO : KUDHIHIRISHAAU

KULETA KTK UHALISIKULETA KTK UHALISI

Page 771: Kanuni za kiroho za ushindi

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

NAFASI ZAO KATIKA UTATUNi Baba: Aliyesema“Tufanye mtu kwa sura na kwa 

f t ”mfano wetu …”(Mwa 1:26)(Mwa 1:26)

Page 772: Kanuni za kiroho za ushindi

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

NAFASI ZAO KATIKA UTATUNi Mwana:Aliyekwenda kufinyanga udongo

Kwa umbo la mtu(Mwa 2 7)(Mwa 2:7)

Page 773: Kanuni za kiroho za ushindi

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

NAFASI ZAO KATIKA UTATUNi Roho Mtakatifu:

Aliyeatamia ule udongoAkaubadilisha na kuwa 

nafsi hai ya mtunafsi hai ya  mtu(Mwa 2:7)(Mwa 2:7)

Page 774: Kanuni za kiroho za ushindi

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa MwangagNi Baba: Aliyesema“Tuwashe nuru ulimwenguni kwani 

i li k ”giza limekuwa nene”(Mwa 1:1‐3)(Mwa 1:1‐3)

Page 775: Kanuni za kiroho za ushindi

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa MwangagNi Mwana:Aliyekwenda kufinyanga mpira

(tufe) la udongo kwa umbo la Jua.(Yohana 1 1 3)(Yohana 1:1‐3)

Page 776: Kanuni za kiroho za ushindi

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa MwangaNi Roho Mtakatifu:

Ali k d k li t i lil t fAliyekwenda kuliatamia lile tufe(mpira) wa jua la udongo, hatakuliwasha kiberiti mpaka hivi leo

linaendelea kuungua na kuwaka bilalinaendelea kuungua na kuwaka bilakuongezewa petrol wala diesel

(M 1 1 3)(Mwa 1:1‐3)

Page 777: Kanuni za kiroho za ushindi

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa KipofupBaba: Aliyesema“Mguse kipofu machoni ili apata 

k t ”kuona tena”(Marko 8:22‐23)(Marko 8:22‐23)

Page 778: Kanuni za kiroho za ushindi

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa KipofupMwana:Aliyekwenda kuweka mikono yake 

k tik h ki fkatika macho ya kipofu.(Marko 8:22‐23)(Marko 8:22‐23)(Yohana 1:1‐3)( )

Page 779: Kanuni za kiroho za ushindi

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa KipofupRoho Mtakatifu:Aliyerudisha kwa upya zile goroli 

d i h li kndani ya macho ya aliyekuwa kipofupofu

(Marko 8:22‐23)

Page 780: Kanuni za kiroho za ushindi

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa LazaroBaba: Aliyesema

“Nenda kamfufue Lazaro”(Yohana 11 1 46)(Yohana 11:1‐46)

Page 781: Kanuni za kiroho za ushindi

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa LazaroMwana:

Aliyekwenda kumwita Lazaro k t k k b i ikutoka kaburini.(Yohana 11:1‐46)(Yohana 11:1‐46)

Page 782: Kanuni za kiroho za ushindi

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa LazaroRoho Mtakatifu:

Aliyemfufua Lazaro kutoka katika wafu(Yohana 11 1 46)(Yohana 11:1‐46)

Page 783: Kanuni za kiroho za ushindi

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa HarusiniBaba: Aliyesema

“Nenda kafanya muujiza”(Yohana 1 1 11)(Yohana 1:1‐11)

Page 784: Kanuni za kiroho za ushindi

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa HarusiniMwana:Aliyekwenda kuagiza mabalasi 

j jiyajazwe maji.(Yohana 1:1‐11)(Yohana 1:1‐11)

Page 785: Kanuni za kiroho za ushindi

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa HarusiniRoho Mtakatifu:

Aliyegeuza maji kuwa divai(Yohana 1:1‐11)

Page 786: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU

2. Roho Mtakatifu Ni NGUVU ya 

Mungu Mwenyezi(Luka 4:18‐19)

Page 787: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGUNGUVU YA MUNGU

Katika Mungu MwenyeziM NAFSIMwenye NAFSI tatu;Nguvu zake ziko katikaNguvu zake ziko katika 

NAFSI ya tatuNAFSI ya tatuRoho Mtakatifu.Roho Mtakatifu. 

Page 788: Kanuni za kiroho za ushindi

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14

KIFUNGO CHA USHIRIKAKIFUNGO CHA USHIRIKA“Huwezi kupata NGUVU NAHuwezi kupata NGUVU NA MSAADA  wa Roho Mtakatifu, 

kama huna ushirika unaotokanana uhusiano mzuri na yeyena uhusiano mzuri na yeye.

Page 789: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGUNGUVU YA MUNGU

Katika Mungu MwenyeziM NAFSIMwenye NAFSI tatu;Nguvu zake ziko katikaNguvu zake ziko katika 

NAFSI ya tatuNAFSI ya tatuRoho Mtakatifu.Roho Mtakatifu. 

Page 790: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1 14Luka 4:1, 1414 Yesu alipomaliza maombi na14 Yesu alipomaliza maombi na majaribu yote, alirudi Galilaya j y y

katika nguvu za Roho k ifMtakatifu.

Page 791: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU

Luka 4:14Luka 4:14Baada ya maombi ya siku 40 y yBwana Yesu alirudi Galilaya 

k k hkatika Nguvu za Roho MtakatifuMtakatifu.

Page 792: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 10:38Matendo 10:38Jinsi Mungu alivyompaka YesuJinsi Mungu alivyompaka Yesu

Kristo mafuta, kwa RohoMt k tif NMtakatifu na Nguvu; nayeakazunguka katika miji naakazunguka katika miji na

vijiji, akiponya na kuwafunguali ibili iwote walioonewa na ibilisi.

Page 793: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU

Luka 4:18‐19Akaingia hekaluni, akawaambia,Roho wa Bwana Mungu yuko juu 

i k f tyangu, amenipaka mafuta (amenipa uwezo na nguvu) (a e pa u e o a gu u)kuhubiri injili na kuwafungua 

li fwote waliofungwa.

Page 794: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU

Matendo 10:38Jinsi Mungu alivyompaka Yesu 

Kristo mafuta, kwa Roho Mtakatifu na Nguvu nayeMtakatifu na Nguvu, naye 

akazunguka kote kote, akiponya watu na kuwafungua wote 

walioonewa na ibilisiwalioonewa na ibilisi

Page 795: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU

Luka 1:30‐35Malaika akamwambia Mariam kwamba, “Roho Mtakatifu wa 

Mungu atakujilia juu yako na NguvuMungu atakujilia juu yako, na Nguvu zake aliye juu zitakufunuka; Nawe utazamzaa Mtakatifu Mwana wa Mungu na kumwita jina lake Yesu”Mungu na kumwita jina lake Yesu . 

Page 796: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU

2. Roho Mtakatifu Ni NGUVU ya 

Mungu Mwenyezi(Luka 4:18‐19)

Page 797: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGUNGUVU YA MUNGU

Katika Mungu MwenyeziM NAFSIMwenye NAFSI tatu;Nguvu zake ziko katikaNguvu zake ziko katika 

NAFSI ya tatuNAFSI ya tatuRoho Mtakatifu.Roho Mtakatifu. 

Page 798: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGUNGUVU YA MUNGU

Katika Mungu MwenyeziM NAFSIMwenye NAFSI tatu;

Nguvu zake (huyo Mungu) zikoNguvu zake (huyo Mungu) ziko katika NAFSI yake ya tatukatika NAFSI yake ya tatuYaani Roho Mtakatifu. 

Page 799: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU

2. Roho Mtakatifu Ni NGUVU ya 

Mungu Mwenyezi(Luka 4:18‐19)

Page 800: Kanuni za kiroho za ushindi

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14

KIFUNGO CHA USHIRIKAKIFUNGO CHA USHIRIKA“Huwezi kupata NGUVU NAHuwezi kupata NGUVU NA MSAADA  wa Roho Mtakatifu, 

kama huna ushirika unaotokanana uhusiano mzuri na yeyena uhusiano mzuri na yeye.

Page 801: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGUNGUVU YA MUNGU

Katika Mungu MwenyeziM NAFSIMwenye NAFSI tatu;Nguvu zake ziko katikaNguvu zake ziko katika 

NAFSI ya tatuNAFSI ya tatuRoho Mtakatifu.Roho Mtakatifu. 

Page 802: Kanuni za kiroho za ushindi

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

Lakini kikubwa zaidi;

Roho Mtakatifu anataka kuongoza! 

Ndio moja ya kazi yake iliyomleta duniani

Yohana 16:13

Page 803: Kanuni za kiroho za ushindi

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

Yohana 16:13‘Lakini huyo Roho mtakatifu t k k j ATAWAONGOZAatakapokuja, ATAWAONGOZAawatie kwenye kweli yote; naawatie kwenye kweli yote; na kuwapasha habari hata za 

mambo yajayo’

Page 804: Kanuni za kiroho za ushindi

Roho Mtakatifu Ni MTURoho Mtakatifu Ni MTU

Yaani ni Nafsi iliyo Hai;Ndio maana Yesu alisema 

‘Huyo’ Roho, atakapokuja,f di h k b hatawafundisha … atawakumbusha 

yote niliyosema.yote niliyosema. 

Page 805: Kanuni za kiroho za ushindi

Roho Mtakatifu Ni MTURoho Mtakatifu Ni MTU

Roho Mtakatifu angekuwa si mtu b li i ki ( f )bali ni kitu (moto, mafuta, upepo), 

Yesu angesemaYesu angesema‘Hiyo roho, itakapokuja,

itawafundisha na itawakumbusha yote niliyosemayote niliyosema.

Page 806: Kanuni za kiroho za ushindi

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14

“Huwezi kupata NGUVU NAHuwezi kupata NGUVU NA MSAADA  wa Roho Mtakatifu, 

kama huna ushirika unaotokanah i ina uhusiano mzuri na yeye.

Page 807: Kanuni za kiroho za ushindi

Roho Mtakatifu Ni MTURoho Mtakatifu Ni MTUNa ndio maana, Biblia inasema;, ;• Anaongea      (Mdo 13:2, Ufu 2:7,11,29)A f hi (Md 13 52)• Anafurahi (Mdo 13:52)

• Anahuzunika (Efe 4:30)( )• Anakataza      (Mdo 16:6‐7)

h ( d d• Anaruhusu     (Mdo 13:2‐3, Mdo 16:8‐10• Anaamua        (1Kor 12: 1‐4)( )• Anachagua     (Mdo 13: 1‐3)

Page 808: Kanuni za kiroho za ushindi

Roho Mtakatifu ni MTURoho Mtakatifu ni MTU

Na kwasababu ni NAFSI iliyo hai, basiy ,ANA HISIA KAMA ZAKO

•Anataka kutambulika• Anataka kuheshimika• Anataka kuheshimika• Anataka kujulikanaj• Anataka kupendwa• Anataka kusemeshwa, n.k n.k.

Page 809: Kanuni za kiroho za ushindi

Roho Mtakatifu ni MTURoho Mtakatifu ni MTU

ANA NAFSI HAI; ANA HISIA (FEELINGS)( )‐ Asipotambukila ‐ AsipoheshimikaAsipoulizwa‐ Asipoulizwa

‐ Asiposikilizwa‐ ASIPOONGOZA‐ ANAHUZUNIKA SANA!

Page 810: Kanuni za kiroho za ushindi

Roho Mtakatifu ni MTURoho Mtakatifu ni MTU

ANA NAFSI HAI; ANA HISIA (FEELINGS)( )

NA ROHO MTAKATIFU WA MUNGU AKIHUZUNIKA, ANAZIMA NGUVUAKIHUZUNIKA, ANAZIMA NGUVU ZAKE NA UWEZA WAKE (MSAADA)

Page 811: Kanuni za kiroho za ushindi

TABIA ZA ROHO MTAKATIFU 

Kwa Tabia za Roho Mtakatifu(kama Njiwa)  

1. Ni mtulivu sana, 2 Ni t tib2. Ni mtaratibu sana,3 Ni mkimya sana3. Ni mkimya sana,4. Ni mpole sana,  na5. Ni anaumia haraka (delicate)

Page 812: Kanuni za kiroho za ushindi

Roho Mtakatifu ni MTURoho Mtakatifu ni MTU

ANA NAFSI HAI; ANA HISIA (FEELINGS)( )‐ Asipotambukila ‐ AsipoheshimikaAsipoulizwa‐ Asipoulizwa

‐ Asiposikilizwa‐ ASIPOONGOZA‐ ANAHUZUNIKA SANA!

Page 813: Kanuni za kiroho za ushindi

Roho Mtakatifu ni MTURoho Mtakatifu ni MTU

ANA NAFSI HAI; ANA HISIA (FEELINGS)( )

NA ROHO MTAKATIFU WA MUNGU AKIHUZUNIKA, ANAZIMA NGUVUAKIHUZUNIKA, ANAZIMA NGUVU ZAKE NA UWEZA WAKE (MSAADA)

Page 814: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12‐29‘’17 Huyo ndiye Roho wa kweli ambaye ulimwengu hauwezi 

kumpokea kwa sababukumpokea, kwa sababu haumwoni wala haumtambui. 

Page 815: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12‐29‘’17 … Ninyi mnamjua 

(mnamtambua) kwa kuwa yuko pamoja nanyi naye anakaapamoja nanyi, naye anakaa 

ndani yenu. da ye u

Page 816: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU 

Kanisa la Kwanza walifauluKanisa la Kwanza walifaulu katika kujua hilo, kwasababu Yesu alisha waonya mapema, kabla ya kumleta Roho wakekabla ya kumleta Roho wake.

Yohana 16:1‐16,22Yohana 14:12‐17

Page 817: Kanuni za kiroho za ushindi

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZAKWANZA

Baada ya miaka 300 tu ya injili, y y j ,kanisa la kwanza walikuwa 

k lwameuteka ulimwengu wote uliokuwa unakaliwa na watuuliokuwa unakaliwa na watu.

Page 818: Kanuni za kiroho za ushindi

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZAKWANZA

l l k k bKanisa lilikuwa nguvu kubwa isiyoweza kuzuilika au kushindwaisiyoweza kuzuilika au kushindwa.

Waebrania 11:32‐38Waebrania 11:32 38 Matendo 17:6

‘These that have turned the world upside down are come here also’

Page 819: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA

1. Walimtambua Roho MtakatifuMtakatifu 

(katika Utu wake)(katika Utu wake)

Page 820: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA

2. Walimthamini Roho MtakatifuMtakatifu  

(katika Nafasi yake)(katika Nafasi yake)

Page 821: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA

3. Walimshirikisha mambo yao yote 

(K ik bi)(Katika Maombi)

Page 822: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA

4. Walimsikiliza alichosema ( k )(Maagizo yake)

Page 823: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA

5. Walimtii Roho (k )(kama Kiongozi wao)

Page 824: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA USHINDI WA KANISA LAKWANZA

1. Walimtambua Roho Mtakatifu2 W li th i i R h Mt k tif2. Walimthamini Roho Mtakatifu3 Walimshirikisha Roho Mtakatifu3. Walimshirikisha Roho Mtakatifu4. Walimsikiliza Roho Mtakatifu5. Walimtii Roho Mtakatifu

Page 825: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

SOMA KITABU CHA MATENDO YA MITUMEMATENDO YA MITUME

Kila sura inamtaja Roho MtakatifuKila sura inamtaja Roho MtakatifuAu Kazi zake

Page 826: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

SOMA KITABU CHA MATENDO YA MITUMEMATENDO YA MITUME

Kila sura inamtaja Roho MtakatifujAu Kazi zake

~  Kwa mfano ~

Page 827: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 1:2 Roho Mtakatifu anatajwa kumnyakuaRoho Mtakatifu anatajwa kumnyakua

Yesu mawinguni siku alipopaa juumbinguni.

Page 828: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 1:8Yesu anamtaja Roho kuwa ndiyeYesu anamtaja Roho kuwa ndiyeatakayewatia nguvu kanisa kuhubiri

injili.

Page 829: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 2:1‐4; Roho anaonekana akiwajaza nguvuRoho anaonekana akiwajaza nguvu

kanisa kuanza kazi ya injili.

Page 830: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 2:37‐47;Roho Mtakatifu anawachomaRoho Mtakatifu anawachoma

mioyo, watu kwa ile injili ya Petro, Wakaokoka watu 8,000.

Page 831: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 3:6‐7; Petro anaonekana akimponya kilemaPetro anaonekana akimponya kilema

kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.

Page 832: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 4:8;Petro akijaa Roho MtakatifuPetro akijaa Roho Mtakatifu, anawajibu wakuu wa dinikatika kikao cha baraza.

Page 833: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 4:31; Roho anatajwa kuwajaza KanisaRoho anatajwa kuwajaza Kanisa, nguvu zake kwa upya, ili kuukabili

upinzani.

Page 834: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 5:1‐5;Roho Mtakatifu anamnong’onezaRoho Mtakatifu anamnong onezaPetro kufichua uongo wa Anania na

Safira.

Page 835: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 6:10; Roho Mtakatifu anamtia StefanoRoho Mtakatifu anamtia Stefano hekima aliyowashinda wapinzani

wake wote.

Page 836: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 7:51; Wayahudi wanaambiwa kulipingaWayahudi wanaambiwa, kulipinga

uamsho ni kumpinga kwa RohoMtakatifu.

Page 837: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 8:39; Roho Mtakatifu ananyakua FilipoRoho Mtakatifu ananyakua Filipo

kutoka sehemu moja na kumpelekakwingine.

Page 838: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 9:17‐19; Anania anasali na Sauli anajazwaAnania anasali na Sauli anajazwa

Roho Mtakatifu na upofu unamtoka.

Page 839: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo10:44‐47;Roho Mtakatifu anawashukiaRoho Mtakatifu anawashukia

familia ya Kornelio nao wananenakwa lugha.

Page 840: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 11:27‐30; Roho Mtakatifu anawaonyeshaRoho Mtakatifu anawaonyeshakanisa, kuhusu njaa kubwa

itakayokuja.(Yohana 16:13)(Yohana 16:13)

Page 841: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 12:1‐5‐17; Kanisa linatiwa nguvu na Roho iliKanisa linatiwa nguvu na Roho, ilikuomba kwa ajili ya Petro gerezani.

(Warumi 8:26‐27)

Page 842: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 13:1‐3; Roho Mtakatifu ndiyeRoho Mtakatifu ndiye

anayewachagua watu wa kingiakatika huduma ya injili.(1Samuel 16:1 13)(1Samuel 16:1‐13)

Page 843: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 14: 8‐18; Kwa uweza wa Roho MitumeKwa uweza wa Roho, Mitume

wapindua kijiji kizima kwa miujiza ya nguvu za ajabu za Kristo.

Page 844: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 15:1‐12;  Roho Mtakatifu anatajwa kuwajazaRoho Mtakatifu anatajwa kuwajaza

mataifa kama alivyowajazaWayahudi.

(Matendo 2:1 4)(Matendo 2:1‐4)

Page 845: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 16:6;Roho Mtakatifu anawakatazaRoho Mtakatifu anawakatazakuhubiri katika pande za nchi zap

Asia. Nao Wanatii!(Isaya 1:19)

Page 846: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.~  My Best ~Matendo 5:32; 

Roho Mtakatifu anatajwa naRoho Mtakatifu anatajwa namitume katika baraza, kama

shahidi mwenzao.

Page 847: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.~  My Best ~M t d 15 28Matendo 15:28; 

Roho Mtakatifu anatajwa na Wazee wajKanisa la Kwanza, kuwa mmoja wa

waliohusika katika kuandika waraka wawaliohusika katika kuandika waraka wamapokeo, kwa wanaumini wapya

wa mji mwingine.

Page 848: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Walimtambua na kumpokea RohoMtakatifu katika maisha yao, waoMtakatifu katika maisha yao, waokama kanisa la Kristo, na kumfanyaR h Mt k tif kRoho Mtakatifu kama mwenzao au

mwenza wao (partner)(p )

Page 849: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

Kanisa la LeoTunatakiwa Kujua

kwamba… 

Page 850: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU NI NANI

Roho Mtakatifu ni;;

1. Ni Mungu Mwenyezi2. Ni Nguvu ya Mungu3. Roho Mtakatifu ni Mtu

Page 851: Kanuni za kiroho za ushindi

SIRI YA KANISA LA LEO

Siri ya Kanisa la leo, na wauminiwa leo ipo katika;

K R h Mt k tifKumpa Roho MtakatifuHeshima yakeHeshima yake.

Page 852: Kanuni za kiroho za ushindi

SIRI YA KANISA LA LEO

Siri ya Kanisa la leo, ipo katika;Kumpa Roho Mtakatifu

Heshima yake.YaaniYaani …

Page 853: Kanuni za kiroho za ushindi

SIRI YA KANISA LA LEO

Siri ya Kanisa la leo, ipo katika;y , p ;1. Kumtambua Roho Mtakatifu2. Kumthamini Roho Mtakatifu3. Kumshirikisha Roho Mtakatifu4 Kumsikili a Roho Mtakatifu4. Kumsikiliza Roho Mtakatifu5 Kumtii Roho Mtakatifu5. Kumtii Roho Mtakatifu

Page 854: Kanuni za kiroho za ushindi

SIRI YA KANISA LA LEO

Siri ya Kutembea na Nguvu zaSiri ya Kutembea na Nguvu zaMungu ipo katika utii wa

uongozi wa Roho Mtakatifumaishani mwakomaishani mwako.

Page 855: Kanuni za kiroho za ushindi

SIRI YA KANISA LA LEO

Kiwango cha nguvu za MunguKiwango cha nguvu za Mungumaishani mwako, kitategemeakiwango cha utii unaompaRoho Mtakatifu ambaye niRoho Mtakatifu, ambaye ni

Msaidizi wako.Msaidizi wako.

Page 856: Kanuni za kiroho za ushindi

SIRI YA KANISA LA LEO

Kiwango cha Utii unaompa RohoKiwango cha Utii unaompa Roho Mtakatifu, kinategemea kiwango cha usikivu wako ktk  k b k ( l)• kuitambua sauti yake (signal)k i iki ti k (k l )• kuisikia sauti yake (kuelewa) 

• kuitii sauti yake (kutenda)• kuitii sauti yake (kutenda)

Page 857: Kanuni za kiroho za ushindi

SIRI YA KANISA LA LEO

Kiwango cha Utii unaompaKiwango cha Utii unaompaRoho Mtakatifu, kinategemeakiwango cha usikivu ulionao

kwa uongozi wa Msaidizi wakokwa uongozi wa Msaidizi wako, Roho Mtakatifu.Roho Mtakatifu.

Page 858: Kanuni za kiroho za ushindi

KUONGOZWA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

NAMNA YA KUSIKIA SAUTI YA MUNGU NA 

UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU

Page 859: Kanuni za kiroho za ushindi

KUONGOZWA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

A Namna za KAWAIDAA. Namna za KAWAIDAB Namba ZISIZO KAWAIDAB. Namba ZISIZO KAWAIDA

Page 860: Kanuni za kiroho za ushindi

KUONGOZWA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

A Namba Za KAWAIDAA.  Namba Za KAWAIDA

Page 861: Kanuni za kiroho za ushindi

KUONGOZWA  NA ROHO MTAKATIFU

A. Namna za KAWAIDA

1. Kwa Neno lake(L )(Lagos); 

(Zab 119:105 2Tim 3;16‐17)(Zab 119:105, 2Tim 3;16‐17)

Page 862: Kanuni za kiroho za ushindi

KUONGOZWA  NA ROHO MTAKATIFUA. Namna za KAWAIDA

2 Kwa Ushuhuda wa moyoni2. Kwa Ushuhuda wa moyoni(Rhema)    ( )

(Rum 8:16, 1Kor 2:16)(2Nyak 6:7, 2Nyak 7:11)

Page 863: Kanuni za kiroho za ushindi

KUONGOZWA  NA ROHO MTAKATIFUA. Namna za KAWAIDA

3. Kwa Amani ya rohoni3. Kwa Amani ya rohoni(Furaha/Uhuru) 

(Isa 55:12, Kol 3:15)(Efe 4:1‐3)

Page 864: Kanuni za kiroho za ushindi

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

A. Namna za KAWAIDA

4 Kwa njia ya Ndoto4. Kwa njia ya Ndoto

(Math 1:18‐25  Math 2;19‐21)( ; )

Page 865: Kanuni za kiroho za ushindi

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

A. Namna za KAWAIDA

5. Kwa kutumia watu wengine.   

(Math18:16, Mdo 6:3‐6)

Page 866: Kanuni za kiroho za ushindi

KUONGOZWA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

B Namba ZISIZO KAWAIDAB.  Namba ZISIZO KAWAIDA

Page 867: Kanuni za kiroho za ushindi

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUB. Namna ZISIZO KAWAIDA

6 Kwa njia ya Maono6. Kwa njia ya Maono

(Mdo 10‐11:5, Mdo 9:10‐12)(Mdo 10 11:5, Mdo 9:10 12) (Mdo 16:9‐10)( )

Page 868: Kanuni za kiroho za ushindi

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUB. Namna ZISIZO KAWAIDA

7 Kwa Neno la Maarifa7. Kwa Neno la Maarifa

(1Kor 12:4‐8; Mdo 5:1‐11)(1Kor 12:4 8; Mdo 5:1 11)(Math 12:22‐28)( )

Page 869: Kanuni za kiroho za ushindi

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUB. Namna ZISIZO KAWAIDA

8 Kwa Neno la Hekima8. Kwa Neno la Hekima

(1Kor 12:4‐8; 2Fal 2:19‐21)(1Kor 12:4 8; 2Fal 2:19 21)(Yoh 9:1‐7)( )

Page 870: Kanuni za kiroho za ushindi

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

B. Namna ZISIZO KAWAIDA

9 K ji U bii9. Kwa njia ya Unabii. 

(1Kor 12;7‐10 1Kor 14:10)(1Kor 12;7‐10, 1Kor 14:10)(Mdo 13:1‐3)(Mdo 13:1 3)  

Page 871: Kanuni za kiroho za ushindi

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

B. Namna ZISIZO KAWAIDA

10 K S ti Nj10. Kwa Sauti ya Nje

(Mk 9:1‐8 Mdo 9:1‐9)(Mk 9:1‐8, Mdo 9:1‐9)(Yoh 12:28‐30)(Yoh 12:28 30)

Page 872: Kanuni za kiroho za ushindi

KUONGOZWA NA ROHO 

KUONGEZA USIKIZUKUONGEZA USIKIZU WAKO KWAWAKO KWA 

ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

Page 873: Kanuni za kiroho za ushindi

KUONGOZWA NA ROHO Requirements;

1. Utakatifu    (1Pet 1:15‐16, Isa 57:17)2 K b d (J h 4 23 24 P 22 3)2. Kuabudu     (John 4:23‐24, Psa 22:3) 3. Maombi (Exo 24:12‐18, Luk6:1219)3. Maombi      (Exo 24:12 18, Luk6:1219)4. Neno            (Heb 4:12, Col 3:16)5. Ibada            (Math 18:19‐20)

Page 874: Kanuni za kiroho za ushindi

KUONGOZWA NA ROHO 

VIZUIZI VYA KUSIKIAVIZUIZI VYA KUSIKIA UONGOZI WAUONGOZI WA 

ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

Page 875: Kanuni za kiroho za ushindi

KUONGOZWA NA ROHO Requirements;

1. Dhambi    (Yoh 9:31, Isa 59:1‐2)2 M ili (G l 5 16 25 1K 3 1 9)2. Mwili        (Gal 5:16‐25, 1Kor 3:1‐9) 3. Charge (Yoh 4:14/7:37‐39, Efe 5:18)3. Charge      (Yoh 4:14/7:37 39, Efe 5:18)4. Kiwango   (Ebr 5:11‐14, Efe 4:11‐15)

Page 876: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

55. Maisha yaUtakatifuUtakatifu

Page 877: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wakorintho 6:14‐18Mungu wetu hana ushirika na 

dhambi. Ukitaka awe Baba yako na wewe uwe mwanaye ni lazimawewe uwe mwanaye, ni lazima ujitenge na uovu wa kila namna

Waefeso 4:17‐25

Page 878: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Petro 1:15‐1615 Iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote kama mimi Mungu wenuwenu wote, kama mimi Mungu wenu 

nilivyo Mtakatifu.

Page 879: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Petro 1:15‐1616 Kwa maana imeandikwa, mtakuwa watakatifu (wakamilifu) kama mimiwatakatifu (wakamilifu) kama mimi Mungu wenu nilivyo Mtakatifu 

(Mkamilifu).

Page 880: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Isaya 57:15yMungu wetu anakaa mahali 

patakatifu pamoja na mtu aliye na roho iliyotubu na kumyenyekearoho iliyotubu na kumyenyekea

1Thesalonike 4:1‐4‐7esa o e

Page 881: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 12:1414 Tafuteni kwa bidii kuwa na amanina watu wote, na huo utakatifu, ambao, pasipo huo, hakuna mtu, p p ,

ataweza kumwona Mungu.

Page 882: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwili Vs RohoMwili Vs Roho

KUNA VITA KATI YA MWILI NA ROHO

Page 883: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwili Vs RohoWagalatia 5:16‐25

‘Basi enendeni kwa Roho, wala h khamtazitimiza kamwe tamaa za mwili; kwa maana mwili na rohomwili; kwa maana mwili na roho 

vinashindana, hata ninyi yhamuwezi kufanya mnayotaka’

Page 884: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwili Vs RohoWarumi 8:5‐10

‘Wale waufuatao mwili, k lwanawaza na kutawaliwa na  

mambo ya mwili bali walemambo ya mwili, bali wale waifuatayo roho, wanawaza na ykutawaliwa na mambo ya Roho;

Page 885: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwili Vs RohoWarumi 8:5‐10

‘Wale waufuatao mwili, h k b k dhawawezi kabisa kumpendeza Mungu kwasababu mwili unaMungu, kwasababu mwili una uadui na Mungu na hauwezi gkufuata sheria za Mungu.

Page 886: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwili Vs RohoWarumi 8:5‐10

‘Kufuata mambo ya mwili k b b h l kkunasababisha mauti, lakini kufuata mambo ya Rohokufuata mambo ya Roho kunaleta uzima na amani.

Page 887: Kanuni za kiroho za ushindi

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Uhusiano Mungu(Utukufu) Uhusiano Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani

Page 888: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTOWagalatia 5:16

Basi enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa zahamtazitimiza kamwe tamaa za 

mwili. Kwa maana mwili unashindana na Roho, na Roho i hi d ili h tinashindanan na mwili hata 

hamuwezi kufanya mnayoyataka.hamuwezi kufanya mnayoyataka.

Page 889: Kanuni za kiroho za ushindi

MAMLAKA YA MKRISTO1Wathesalonike 4:1‐4‐7

1. Ndugu zangu, iliyobaki sasa, ni kuishi maisha matakatifukuishi maisha matakatifu.

4. Kila mmoja wenu ajue namna ya4. Kila mmoja wenu ajue namna ya kuuweza (kuuthibiti) mwili wake7. Mungu hakutuitia uchafu, bali 

t k tif fiutakatifu na usafi

Page 890: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

MITHALI 4:2323 Zaidi ya yote, linda moyowako, kuliko yote uyalindayo, maana huko ndiko zitokakomaana huko ndiko zitokako 

chemchemi za uzima.chemchemi za uzima. 

Page 891: Kanuni za kiroho za ushindi

5. Maisha ya Utakatifu

Kumbukumbu 23:14,‘Na kiwe kitakatifu kituo chako(moyo wako) ili nitakapokujakukutembelea ili nikuokoe nakukutembelea ili nikuokoe naadui zako, nisikute kitu kichafuadui zako, nisikute kitu kichafu

kinanifanya nigeuke nakukuacha’

Page 892: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wakorintho 6:14‐18Mungu wetu hana ushirika na 

dhambi. Ukitaka awe Baba yako na wewe uwe mwanaye ni lazimawewe uwe mwanaye, ni lazima ujitenge na uovu wa kila namna

Waefeso 4:17‐25

Page 893: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wakorintho 6:14‐18Dhambi inakata network na Mungu katika ulimwengu wa 

hroho.

Page 894: Kanuni za kiroho za ushindi

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWarumi 3:23/Warumi 5:12‐19

Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungualipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na g

kushindwa kuutawala ulimwengu ili b d l kwa mwili; badala yake, 

ulimwengu wa mwili ukamtawalaulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.

Page 895: Kanuni za kiroho za ushindi

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWaefeso 1:18‐23/2:1‐6

Mtu wa Mungu, hataweza kuuathiri Ulimwengu wa roho nakuuathiri Ulimwengu wa roho na 

kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili, kama 

h j k ti h k iliki hhajaketishwa na kumilikishwa Ulimwengu wa roho kwa njia yaUlimwengu wa roho kwa njia ya Wokovu wa Bwana Yesu Kristo.

Page 896: Kanuni za kiroho za ushindi

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAMwanzo 1:26‐28/Zaburi 8:4‐8

Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba ulimwengu wanamna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka

ya Mungu kutoka katika Uli hUlimwengu wa roho.

Page 897: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wakorintho 6:14‐18Dhambi inakata network na Mungu katika ulimwengu wa 

hroho.

Page 898: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa mfano wa Daniel na wenzake

Daniel 1:1‐17

Page 899: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa mfano wa DanielDaniel 1:1‐17

Danieli na wenzake waliazimu i i k t k ji h fmoiyoni mwao kutokujichafua, na 

Mungu akawapa vipawa vya ajabu u gu a a apa pa a ya ajabuvilivyowawezesha kuishi na 

k b kkutembea kwa nguvu za Mungu.

Page 900: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Daniel 1:1‐17Danieli na wenzake walijua jinsi dhambi inakata network na M k tik liMungu katika ulimwengu wa roho; wakajiepusha nayo.roho; wakajiepusha nayo.

Page 901: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Daniel 1:66 Na Daniel aliazimu moyoni mwake k b k ( k hkwamba, kamwe (na kwa gharama 

yoyote), hatajichafua (hatajinajisi) kwa y y ), j ( j j )vyakula vya Mfalme (ambavyo Mungu 

k t W i li k it iamewakataza Waisraeli kuvitumia kama chakula). Daniel aliazimia 

moyoni, kuishi maisha matakatifu.

Page 902: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Daniel 1:1717 Na katika habari za hao vijana 

li d i lwaliompenda Mungu, Daniel, Shadrack, Meshack, na Abednego, , , g ,Mungu aliwapa akili, busara na if k b idi 10maarifa; na kuwa bora zaidi, mara 10 

kuliko werevu wote, waganga wote   na wachawi wote wa Babeli.

Page 903: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

MITHALI 4:23Uhusiano wako na mungu ndio kitu cha thamani kuliko vyote 

k tik i hkatika maisha.

Page 904: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

MITHALI 4:2323 Zaidi ya yote, linda moyowako, kuliko yote uyalindayo, maana huko ndiko zitokakomaana huko ndiko zitokako 

chemchemi za uzima.chemchemi za uzima. 

Page 905: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

YOHANA 7: 37‐39YOHANA 7: 37 3938 Ye yote aniaminiye Mimi, y y ,kama maandiko yasemavyo, 

kmito ya maji ya uzima, itatiririkandani yake” au (itatiririkandani yake  au (itatiririkakutokea ndani mwake.))

Page 906: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

YOHANA 7: 37‐39YOHANA 7: 37 3939 Habari hizo alizisema kwahabari ya Roho Mtakatifu,

b lambaye wale wamwaminiowatampokeawatampokea … 

Page 907: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wakorintho 6:14‐18Mungu wetu hana ushirika na 

dhambi. Ukitaka awe Baba yako na wewe uwe mwanaye ni lazimawewe uwe mwanaye, ni lazima ujitenge na uovu wa kila namna

Waefeso 4:17‐25

Page 908: Kanuni za kiroho za ushindi

5. Maisha ya Utakatifu

Kumbukumbu 23:14,‘Na kiwe kitakatifu kituo chako(moyo wako) ili nitakapokujakukutembelea ili nikuokoe nakukutembelea ili nikuokoe naadui zako, nisikute kitu kichafuadui zako, nisikute kitu kichafu

kinanifanya nigeuke nakukuacha’

Page 909: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Petro 1:15‐1615 Iweni watakatifu katika 

mwenendo wenu wote, kama mimi Mungu wenu nilivyomimi Mungu wenu nilivyo 

Mtakatifu.

Page 910: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Petro 1:15‐1616 Kwa maana imeandikwa, 

mtakuwa watakatifu (wakamilifu) kama mimi Mungu(wakamilifu) kama mimi Mungu 

wenu nilivyo Mtakatifu y(Mkamilifu).

Page 911: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Petro 1:15‐1616 Kwa maana imeandikwa, 

mtakuwa watakatifu (wakamilifu) kama mimi Mungu(wakamilifu) kama mimi Mungu 

wenu nilivyo Mtakatifu y(Mkamilifu).

Page 912: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

66. Maisha yaMaombiMaombi

Page 913: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya Maombia) Maombi ni namna ya mtu waMungu kwenda katika ulimwenguwa roho, ili kuongea na Mungu, na, g g ,kuuathiri ulimwengu wa roho katika

namna ambayo itakaletanamna ambayo itakaletamabadiliko katika ulimwengu wa

ilimwili.

Page 914: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya MaombiLakini…Lakini…

b) Maombi si kuongea na Mungu tu, bali pia, maombi ni namna ya mtukupokea vitu kutoka kwa Mungukupokea vitu kutoka kwa Mungu.

Page 915: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maisha ya MaombiMaisha ya MaombiLuk 6:12, 17‐19Luk 6:12, 17 19

Kwa Mfano waBwana Yesu

Page 916: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya MaombiLuk 6:12, 17‐19Luk 6:12, 17 19

12 Ikawa siku zile, Yesu alikwendamlimani ili kuomba (kuongea naMungu); na akakesha usiku kuchaMungu); na akakesha usiku kucha

katika kumwomba Mungu. g

Page 917: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya MaombiLuk 6:12, 17‐19

17 Akashuka pamoja nao akasimamamahali penye uwanja tambarare. Hapo palikuwa na idadi kubwa yawanafunzi Wake na umati mkubwawa watu kutoka sehemu zote zaUyahudi, Yerusalemu na kutokay

pwani ya Tiro na Sidoni … 

Page 918: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya MaombiLuk 6:12, 17‐19

… waliokuwa wamekuja kumsikiliza nakuponywa magonjwa yao. 18 Wale waliokuwa wakiteswa na pepowachafu akawaponya. 19 Watu wotewalikuwa wanajitahidi kumgusa kwasababu nguvu zilikuwa zikimtoka nagkuwaponya wote. 

Page 919: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya Maombi

Kwa Mfano waNabii Musa

Kutoka 24:12‐18Kutoka 34:29‐35

Page 920: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya MaombiMusa akaa katika maombi mudaMusa akaa katika maombi mudawa siku 40, alipotoka, ngozi yasura yake ilikuwa inang’aa kamajua kwasababu Mungu alikuwajua, kwasababu Mungu alikuwaamemwambukiza utukufu wake  

Page 921: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya MaombiLakini…Lakini…

Maombi si kuongea na Mungu tu, bali pia, maombi ni namna ya mtukupokea vitu kutoka kwa Mungukupokea vitu kutoka kwa Mungu.

Page 922: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya MaombiBaada ya kupokea kutoka kwaBaada ya kupokea kutoka kwaMungu; Nguvu hizo pia zinawezakuachiliwa kutoka ndani yako

kwa njia ya maombikwa njia ya maombi. 

Page 923: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya Maombi  c) Kwahiyo, Maombi si kupokeac) Kwahiyo, Maombi si kupokea kutoka kwa Mungu tu, bali pia, 

maombi ni namna ya mtu kuachilia Nguvu za Mungukuachilia Nguvu za Mungu 

kutoka ndani yake.y

Page 924: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu pasipo msaada wa binadamu, lakini 

alichagua tu kufanya kazi kwaalichagua tu kufanya kazi kwa ushirika na binadamu; kwahiyo, 

kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na binadamubinadamu.

Page 925: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (1);Kifo cha Yakobo (Ndugu yake Y ) Uk b i PYesu) na Ukombozi wa Petro 

gerezanigerezaniMatendo 12:1‐19Matendo 12:1 19

Page 926: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (2);Ushindi wa Joshua vitani

Kwa maombi ya Musa MlimaniKutoka 17:8‐15

Page 927: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (3);Maombi ya Musa katika 

kumruhusu Mungu kufungua bahari ya Shamubahari ya ShamuKutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28

Page 928: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa hiyoKwa hiyo …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutatengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

Page 929: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango

hcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

Page 930: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya Maombi  b) Kwahiyo, Maombi si kupokeab) Kwahiyo, Maombi si kupokea kutoka kwa Mungu tu, bali pia, 

maombi ni namna ya mtu kuachilia Nguvu za Mungukuachilia Nguvu za Mungu 

kutoka ndani yake.y

Page 931: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya MaombiMatendo 5:12

Na kwa mikono ya mitume, Mungualitenda miujiza ya kupita kawaida, hata vivuli vyao, vilitosha kugusawatu; na kila aliyeguswa na kivulicha Petro, alikutana na nguvu zaajabu za Mungu za kuponywaj g p y

magojwa yake na mapepo yalitoka.

Page 932: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya MaombiMatendo 19:11‐12

Na kwa mikono ya mitume, Mungualitenda miujiza ya kupita kawaidaalitenda miujiza ya kupita kawaida, hata leso na vitambaa vilivyotokak tik iili ilikkatika miili yao, vilikuwa na nguvuza ajabu za kuponya wagijwa na

kutoa mapepo.

Page 933: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya Maombi  b) Kwahiyo, Maombi si kupokeab) Kwahiyo, Maombi si kupokea kutoka kwa Mungu tu, bali pia, 

maombi ni namna ya mtu kuachilia Nguvu za Mungukuachilia Nguvu za Mungu 

kutoka ndani yake.y

Page 934: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 5:8Ufunuo 5:8Kisha nikaona … malaika wengi. Hesabu yao ilikuwa maelfu kwamaelfu. Na kila mmoja wao,maelfu. Na kila mmoja wao, walikuwa na vinubi na vitasa

(bakuli) za dhahabu yaliyokuwa(bakuli) za dhahabu, yaliyokuwayamejaa manukato, ambayo ni

maombi ya watakatifu.

Page 935: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 8:1‐5Ufunuo 8:1‐5Malaika wakaleta mabakuli

yaliyojaa maombi ya watakatifu, wakayaleta mbele za Mungu,wakayaleta mbele za Mungu, yakachanganywa na uvumba; 

kisha malaika akachukua makaakisha malaika akachukua makaaya moto wa madhabahuni …

Page 936: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 8:1‐5Ufunuo 8:1‐5… kayachanganya na ule uvumba

kwenye bakuli, kisha Munguakasema, yarushie duniani.akasema, yarushie duniani. 

Ndipo kukawa na radi, ngurumo, tetemeko na sauti kuu dunianitetemeko na sauti kuu duniani.

Nguvu ya Mungu!g y g

Page 937: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 8:1‐5Ufunuo 8:1‐5Bakuli za maombi hazikuletwambele za Mungu mpaka zilpojaamaombi katika kiwango sahihimaombi katika kiwango sahihi

cha vipimo vilivyohitajika

Page 938: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 8:1‐5Ufunuo 8:1‐5Kila agenda ya maombi

uliyonayo, inafunguliwa akauntiyake ya bakuli la maombi, katikayake ya bakuli la maombi, katika

hekalu la mbinguni. Munguhatajibu ombi lako mpakahatajibu ombi lako, mpakabakuli lako limejaa katia

kiwango chake.

Page 939: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

MaombiMaombiNi njia mojawapo inayofungulia j j p y gnguvu za Mungu katika maisha ya mtu wa Mungu, ni kiwango 

cha maombi kinachozaacha maombi, kinachozaa kiwango cha imani.g

Page 940: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …***… ikiwa tutaongeza kiwango…  ikiwa tutaongeza kiwango cha maombi maishani mwetu, tutatengeneza au tutazalisha Nguvu nyingi za Mungu ndaniNguvu nyingi za Mungu ndani 

yetu,  na kuuwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi.

Page 941: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini piaLakini pia …***… tukipunguza kiwango cha…  tukipunguza kiwango cha 

maombi maishani mwetu, tutashindwa kutengeneza au 

kuzalisha Nguvu nyingi za Mungukuzalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani yetu,  na kuuzuia mkono wa Mungu kufanya mambo mengi.

Page 942: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea 

sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako, yaani kiwango cha maombi 

unachofanya maishani mwako.

Page 943: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Maombi = Imani = NguvuMaombi    =           Imani      =      Nguvu

Page 944: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Maombi = Imani = NguvuMaombi    =           Imani      =      Nguvu

Page 945: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Maombi = Imani = NguvuMaombi    =           Imani      =      Nguvu

Page 946: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Maombi = Imani = NguvuMaombi    =           Imani      =      Nguvu

Page 947: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Maombi = Imani = NguvuMaombi    =           Imani      =      Nguvu

Page 948: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea 

sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako, yaani kiwango cha maombi 

unachofanya maishani mwako.

Page 949: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

MaombiMaombiNi njia mojawapo inayofungulia j j p y gnguvu za Mungu katika maisha ya mtu wa Mungu, ni kiwango 

cha maombi kinachozaacha maombi, kinachozaa kiwango cha imani.g

Page 950: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …***… ikiwa tutaongeza kiwango…  ikiwa tutaongeza kiwango cha maombi maishani mwetu, tutatengeneza au tutazalisha Nguvu nyingi za Mungu ndaniNguvu nyingi za Mungu ndani 

yetu,  na kuuwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi.

Page 951: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini piaLakini pia …***… tukipunguza kiwango cha…  tukipunguza kiwango cha 

maombi maishani mwetu, tutashindwa kutengeneza au 

kuzalisha Nguvu nyingi za Mungukuzalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani yetu,  na kuuzuia mkono wa Mungu kufanya mambo mengi.

Page 952: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

65 Maisha ya Mombi65. Maisha ya MombiWaefeso 6:18,Waefeso 6:18, Wakolosai 4:2, 

1Wathesalonike 5:17Math 16:16‐18.

Page 953: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Tengeneza Kiu Bidii na NidhamuTengeneza Kiu, Bidii na Nidhamuya Kukaa na Munguya Kukaa na Mungu

Kut 33:7‐11, Zab 63:1‐3

Page 954: Kanuni za kiroho za ushindi

Silaha za Vita Vyetu 

Funguo za UfalmeFunguo za Ufalme(Katika Ulimwengu wa roho)(Katika Ulimwengu wa roho)

Mathayo 16:18‐19Mathayo 16:18 19

Page 955: Kanuni za kiroho za ushindi

Silaha za Vita Vyetu 

Mathayo 16:18‐19‘Nami nitalijenga kanisa langu, 

wala milango ya kuzimu h it li hi d khaitalishinda; kwa maana 

nitakupa funguo za Ufalme, ilinitakupa funguo za Ufalme, ili kufunga na kufungua’

Page 956: Kanuni za kiroho za ushindi

Silaha za Vita Vyetu Mathayo 16:18‐19

‘Na lolote utakalolifunga duniani, li k li f bi ilitakuwa limefungwa mbinguni (katika ulimwengu wa roho);(katika ulimwengu wa roho); 

na lolote utakalolifungua dunianina lolote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni 

(katika ulimwengu wa roho)

Page 957: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Kwahiyo;Mtu wa mungu anapokwenda rohoni ni lazima ajue kwambarohoni, ni lazima ajue kwamba, 

atakutana na adui shetani anayetawala eneo lake (eneo 

linaloombewa)linaloombewa) 

Page 958: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Hivyo basi, inampasa mtu wa Mungu k k l b dilik janayetaka kuleta mabadiliko, ajue 

namna ya kupigana na adui shetaninamna ya kupigana na adui shetani juu ya maeneo anayoyaombea.

Waefeso 6:12, 10‐11,13

Page 959: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Aina kuu 2 za silahaAina kuu a silaha1. Silaha za Ulinzi (mst.11)2. Silaha za Kupiga (mst.13)

Waefeso 6:12, 10‐11,13

Page 960: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBA

1. Silaha za Ulinzi(Kujilinda)(Kujilinda) (Waefeso 6:13)( )

Page 961: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)a) Kofia ya Chuma kichwani 

(WOKOVU)(WOKOVU)Kwenda rohoni / vitani wakatiKwenda rohoni / vitani wakati hujaokoka, ni kama kwenda vitani 

bila kofia ya chuma ( i 10 9 10 d 19 8 20)(Warumi 10:9‐10, Mdo 19:8‐20) 

Page 962: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)b) Gamba la chuma kifuani 

(UTAKATIFU)(UTAKATIFU)Kwenda rohoni / vitani wakatiKwenda rohoni / vitani wakati hauishi maisha matakatifu, ni 

kama kwenda vitani ulinzi kifuani. (1 1 1 16 b 23 1 )(1Pet 1:15‐16, Kumb 23:14) 

Page 963: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)c) Mkanda wa Kweli kiunoni     

(NENO LA KUIMARISHA)(NENO LA KUIMARISHA)Kwenda rohoni / vitani wakati hunaKwenda rohoni / vitani wakati huna 

maneno ya kukuimarisha, ni kama kuvaa gwanda bila mkanda. ( h 1 1 l i 3 16)(Yohana 17:17, Kolosai 3:16) 

Page 964: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)d) Mabuti ya Utayari Miguuni     

(UTAYARI UJASIRI)(UTAYARI + UJASIRI)Kwenda rohoni / vitani wakati hunaKwenda rohoni / vitani wakati huna 

ujasiri, ni kama kwenda vitani bila mabuti ya jeshi/kazi. 

(2 i h 2 2 i h 1 )(2Timotheo 4:2, 2Timotheo 1:7) 

Page 965: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)e) Ngao ya Imani mkononi     

(UHAKIKA)(UHAKIKA)Kwenda rohoni / vitani wakati hunaKwenda rohoni / vitani wakati huna 

uhakika (imani), ni kama kwenda vitani bila ngao mkononi. 

( b i 11 1 6 k 11 20 2 )(Ebrania 11:1, 6, Mark 11:20‐24) 

Page 966: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBA

2. Silaha za Kupigap g(Kushambulia)(Kushambulia) (Waefeso 6:13)( )

Page 967: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

a) JINA LA YESU Wafilipi 2:9‐10, Marko 16:16‐20Ji l Y li tJina la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, ndilo y ,

Jina kuu zaidi, jina la Baba.Yoh 17:6,11

Page 968: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

b) NENO LA YESU Waebrania 4:12, Waefeso 6:17N l Y li tNeno la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Neno y ,

ni Bwana Yesu mwenyewe.Yoh 1:1‐4

Page 969: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

c) DAMU YA YESU Ufunuo 12:11, Waefeso 1:7

D Y i tDamu ya Yesu ina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Damu y ,

ya Yesu ina Roho wa Yesu.Walawi 17:14

Page 970: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

d) ROHO WA YESU 2Wathesalonike 2:8, Yeremia 51:1R h Y tRoho wa Yesu ana nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Roho y ,

wa Yesu ni Uhai wa Mungu1 Wakorintho 2:11‐12

Page 971: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)e) JESHI LA MALAIKA WA YESU 

Ufunuo 19:10, Mathayo 26:52‐53M l ik YMalaika wa Yesu wana nguvu na 

mamlkaka juu ya mashetani, j y ,ikiwa tu watapewa maagizo

Ufunuo 12:7‐10, Zab 34:7, Zab 91

Page 972: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBA

NGUVU YA MAOMBI Namna ya Kuuathiri 

Ulimwengu wa roho kwa njia ya maombi.j y

Page 973: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

1.Kufunga Mambo unayotaka f ikyafungike

Mathayo 16:18‐19Mathayo 16:18‐19Yakobo 5:16‐18

Page 974: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

2. Kufungua Mambo unayotaka f kyafunguke

Mathayo 16:18‐19Mathayo 16:18‐19Yakobo 5:16‐18

Page 975: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

3. Kuua Kufisha Mambo unayotaka f k biyafe kabisa

Marko 11:12‐14Marko 11:12‐14‘tangu leo mtu asile matunda kwako’g

(Kuanzia leo Ufe kabisa)

Page 976: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

4. Kuhuisha / Kufufua Mambo k f f kunayotaka yafufuke

Yohana 11:11‐15Yohana 11:11‐15‘Lazaro, rudi katika uhai wako tena’,

Ezekieli 37:1‐14

Page 977: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

5. Kuhamisha Nyakati/MatukioMarko 13:14‐19

‘O b i k ki bi k i k ti‘Ombeni kukimbia kusiwe wakati wa baridi (kuwe wakati wa joto)’( j )Yohana 2:1‐11, Isaya 38:1‐5

Page 978: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1‐5/13:8)

Page 979: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1‐5/13:8)b)Y S (D 1 17 20/17 24)b)Ya Sasa (Dan 1:17‐20/17‐24)

Page 980: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1‐5/13:8)b)Y S (D 1 17 20/17 24)b)Ya Sasa (Dan 1:17‐20/17‐24)c)Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13‐14 17)c)Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13‐14,17)

Page 981: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

7. Kuwa sehemu 2 wakati mmoja1Wakorintho 5:3‐4

Ingawa sipo nanyi kimwili, lakini mjue kwamba nipo nanyi kirohomjue kwamba nipo nanyi kiroho

Wafalme 5:14‐27Wafalme 5:14 27

Page 982: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

Tukijua siri hii ya maombi, jinsi yanavyoweza kubadilisha  

ulimwengu wa roho tutajibidiishaulimwengu wa roho, tutajibidiisha kuomba, ili kuleta mabadiliko ,tunayotamani kuyaona katika 

maisha yetu, duniani. 

Page 983: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

JengaJenga  Kiu Bidii na Nidhamu yaKiu, Bidii na Nidhamu ya 

kimaombi

Page 984: Kanuni za kiroho za ushindi

7. UTUMIAJI WA NENO 

LA MUNGU

Waebrania 4:12‐13

Page 985: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini piaLakini pia …

2 Kiwango cha Neno2. Kiwango cha NenoWarumi 10:17Warumi 10:17

Page 986: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Neno = Imani = NguvuNeno        =         Imani       =        Nguvu

Page 987: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Neno = Imani = NguvuNeno    =           Imani      =      Nguvu

Page 988: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Neno = Imani = NguvuNeno    =           Imani      =      Nguvu

Page 989: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Neno = Imani = NguvuNeno    =           Imani      =      Nguvu

Page 990: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Neno = Imani = NguvuNeno    =           Imani      =      Nguvu

Page 991: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

77. Kujaa Neno la 

li iiMungu na KulitiiKol 3 16Kol 3:16

Page 992: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOUlimwengu uliumbwa kwaUlimwengu uliumbwa kwa

NENO la Mungu.NENO la Mungu.Yohana 1:1‐4

Ebrania 11:3/4:12

Page 993: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOInatokana na Uhai wa NenoInatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao unatokana na uwepo wa Roho Mtakatifu ndani 

ya hilo Nenoya hilo NenoWaebrania 4:12

Page 994: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWaebrania 4:12Waebrania 4:12

“Neno la Mungu li haitena lina Nguvu”tena lina Nguvu”

Page 995: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOYohana 6:63Yohana 6:63

‘Roho ndio itiayo uzima (uhai), kwani mwili (pasipo roho) 

haufai kitu’

Page 996: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Wakorintho 3:62 Wakorintho 3:6

“Andiko peke yake linaua, lakini Roho wa Mungu anahuisha”Roho wa Mungu anahuisha

Page 997: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOInatokana na Uhai wa NenoInatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao ni uwepo wa Roho Mtakatifu ndani ya Neno

Waebrania 4:12Waebrania 4:12

Page 998: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16‐172 Timotheo 3:16 17

Kila andiko lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho    na kubadilisha mwenendona kubadilisha mwenendo.

Page 999: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16‐17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)Andiko + Pumzi  Neno (Hai)

Herufi   +  Roho = Nguvu

Page 1000: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Unapoachilia Neno la Mungukutoka ndani yako kwa imani, 

Roho wa Mungu huja kulivuvia iliRoho wa Mungu huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa j

hilo neno maishani mwako.

Page 1001: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Unapoachilia neno baya kutoka ndani yako kwa imani, basi roho 

mbaya huja kulivuvia ilimbaya  huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa jhilo neno hilo maishani mwako.

Page 1002: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao 

wautumiao watakula matundawautumiao, watakula matunda yake.y

Page 1003: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 6:2Mithali 6:2

Umetegwa kwa maneno yako na umekamatwa na maneno ya 

kinywa chakokinywa chako.

Page 1004: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWakolosai 3:16Wakolosai 3:16

Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yako katika hekima yote. 

Page 1005: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWaefeso 4:29Waefeso 4:29

Neno lolote lililo ovu, lisitoke kinywani mwenu, bali lile lililo 

jema la kumfaa msikiajijema, la kumfaa msikiaji. 

Page 1006: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOManeno ya nguvu za kuumba.Maneno ya nguvu za kuumba. 

Yohana 1:1‐4Ebrania 11:3/4:12

Page 1007: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOManeno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na Mawazo mazuri. Na mawazo 

mazuri hutokana na Mtazamo/kuona vizuriMtazamo/kuona vizuri.

Ukikosea kuona, utakosea kuwaza na kutakosea kuongea.

Page 1008: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniKutembea kwa Imani

Mawazo MtazamoManeno

Page 1009: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukikosea kuona utakoseaUkikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza,kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo, Ili kuongea vizuri, lazima uwazevizuri na ili uwaze vizurivizuri, na ili uwaze vizuri, 

lazima uone vizuri.la ima uone vi uri.

Page 1010: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mambo yatakayokusaidiaMambo yatakayokusaidiaKutembea kwa Ushindi.a) Macho ya rohonib) Mawazo ya ushindi) hi dic) Maneno ya Ushindi

Page 1011: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniHesabu 13:26‐33 4:1‐9Hesabu 13:26‐33, 4:1‐9

Wengine waliona majitu, wakatiWengine waliona majitu, wakatiwengine waliwaona hao majitu

ni ‘chakula’ kwao.

Page 1012: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya Rohoni Waefeso 1:15‐19Waefeso 1:15 19

Mtume Paul alituombea, macho ya mioyo yetu, yatiwe nuru, ili 

tupate kujua mambo yafuatayo;tupate kujua mambo yafuatayo; (1) tumaini (2) utajiti na ( ) ( ) j(3)nguvu zilizo ndani yetu. 

Page 1013: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniKutembea kwa Imani

Mtazamo

Page 1014: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(b) Mawazo ya Ushindi(b) Mawazo ya UshindiMithali 23:7Mithali 23:7

‘Ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo’

( 2 2 f 20 2 )(Rum 12:2, Efe 4:20‐24)

Page 1015: Kanuni za kiroho za ushindi

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

Mawazo MtazamoMawazo Mtazamo

Page 1016: Kanuni za kiroho za ushindi

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

Maneno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo 

mazuri hutokana na kuona vizuri.Ukikosea kuona, utakosea kuwaza 

na kutakosea kuongeana kutakosea kuongea.

Page 1017: Kanuni za kiroho za ushindi

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

(c) Maneno ya Baraka/Ushindi(c) Maneno ya Baraka/UshindiYohana 6:63, Ebr 4:12‐13Mith 18:20‐21, Mith 6:1‐2

Page 1018: Kanuni za kiroho za ushindi

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

Maneno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo 

mazuri hutokana na kuona vizuri.Ukikosea kuona, utakosea kuwaza 

na kutakosea kuongeana kutakosea kuongea.

Page 1019: Kanuni za kiroho za ushindi

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

Mawazo MtazamoManeno

Page 1020: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

7 Kujaa na Kulitii Neno7. Kujaa na Kulitii Neno2Tim 3:15‐172Tim 3:15 172 Kor 3:6Ebr 4:12Kol 3:16 

Page 1021: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

7 Kujaa na Kulitii Neno7. Kujaa na Kulitii NenoEbr 4:12, 2Tim 3:16‐17, Kol 3:16Ebr 4:12, 2Tim 3:16 17, Kol 3:16 Neno la Mungu li hai, tena linanguvu ya Mungu; kwahiyo nguvu

za Mungu maishani mwetuza Mungu maishani mwetu, zinategemea kiwango cha Nenog g

lake ndani yetu.

Page 1022: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

7 Kujaa na Kulitii Neno7. Kujaa na Kulitii Neno Ebr 4:12, Kol 3:16Ebr 4:12, Kol 3:16 

Kutolitii Neno la Mungu la Mungu kunazima nguvu za Mungu, lakini 

kulitii neno la Mungukulitii neno la Mungu, kunafungulia  nguvu za Mungug g g

Page 1023: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

88. Maisha ya IbadaKusifu na Kuabudu

Page 1024: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

7 Maisha ya Kusifu na Kuabudu7. Maisha ya Kusifu na KuabuduZab 22:3, Yoh 4:23‐24,Zab 22:3, Yoh 4:23 24, 

Mungu wetu anakaa kwenye sifa zawatu wake. Kila mtu apendayekumsifu na kumwabudu Mungu,kumsifu na kumwabudu Mungu, atatembea na uwepo na nguvu na

t k f M tutukufu wa Mungu wetu.

Page 1025: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

7 Maisha ya Kusifu na Kuabudu7. Maisha ya Kusifu na KuabuduUfu 4:8‐11, Ufu 5:11‐14.Ufu 4:8 11, Ufu 5:11 14.

Ndio maana kule mbinguni Munguamejizungushia mabilio na

mabilioni ya malaika wanaomsifumabilioni ya malaika, wanaomsifuna kuwabudu usiku na mchana.

Page 1026: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU7. Maisha ya Kusifu na Kuabudu 

2Nyak 5:12‐14Kusifu na kuabudu kunavuta uwepo 

wa Mungu. Kwahiyo ukiwa mtuwa Mungu. Kwahiyo ukiwa mtu wa ibada sana, kila mara 

uatembelea na uwepo wa Mungu na hivyo maisha yako yatajaana hivyo maisha yako yatajaa 

Nguvu za Mungu.

Page 1027: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

7. Maisha ya Kusifu na Kuabudu y2Nyak 5:12‐14

Kusifu na kuabudu kunaachilia nguvu za Mungu katika 

ulimwengu wa roho na kuathiriulimwengu wa roho na kuathiri kanuni za rohoni hata kuleta 

mabadiliko mwilini. 

Page 1028: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

7. Maisha ya Kusifu na Kuabudu y

Kwa Mfano wa Daudi1 Samweli 16:14‐23 

Page 1029: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Samweli 16:14‐23Daudi alipopigamuziki wa 

kumsifu Mungu vizuri, aliathiri k i h i h tkanuni za rohoni, hata nguvu za Mungu zikaachiliwa naza Mungu zikaachiliwa na kufukuza mapepo yote 

yaliyomtesa Mfalme Sauli 

Page 1030: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8. Maisha ya Kusifu na Kuabudu y2Nyak 5:12‐14

Kusifu na kuabudu kunaachilia nguvu za Mungu katika 

ulimwengu wa roho na kuathiriulimwengu wa roho na kuathiri kanuni za rohoni hata kuleta 

mabadiliko mwilini. 

Page 1031: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUMWENDEA MUNGUNAMNA YA KUMWENDEA MUNGU

Mfalme Daudi anasema;Mfalme Daudi anasema;

Zaburi  100:1‐5

“  1  Mfanyieni Bwana shangwe dunia  yote;  2Mtumikieni  Bwana  kwa f h j i b l k kfuraha,  njooni  mbele  zake  kwa 

kuimba;kuimba; 

Page 1032: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUMWENDEA MUNGUNAMNA YA KUMWENDEA MUNGU

Mfalme Daudi anasema;Mfalme Daudi anasema;

Zaburi  100:1‐5

“ 3Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu, ndiye aliyetuumba na i i k ksisi tu watu wake, tu watu wake na Kondoo wa malisho yake”.na Kondoo wa malisho yake . 

Page 1033: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KUMWENDEA MUNGUNAMNA YA KUMWENDEA MUNGU

Mfalme Daudi anasema;Mfalme Daudi anasema;

Zaburi  100:1‐5

“4Ingieni malangoni mwake kwakushukuru, nyuani mwake kwa k if h k i lihi idi i jikusifu, mshukuruni lihimidini jina lake takatifu.lake takatifu.

Page 1034: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGUZA MUNGU

Ni muhimu tujue kwamba;“K if k b d k k“Kusifu na kuabudu, kuna namna yake ya ajabu sana, ya kukuingiza katika 

ulimwengu wa roho unapotaka kuomba, na kukukutanisha utukufu wa Munguna kukukutanisha utukufu wa Mungu

kule ndani katika roho yako,”

Page 1035: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mfalme Daudi aliliongea jambo hili g j(la kukutana na Mungu rohoni 

k ) k i h h k lmwako) kwa picha ya hekalu ya Mungu la zamani g

Page 1036: Kanuni za kiroho za ushindi

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu

Patakatifu paPatakatifu pa 

Patakatifu

P t k tifPatakatifu

Uwanda            wa Nje

Page 1037: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGUZA MUNGU

Ni muhimu tujue kwamba;“K if k b d k f“Kusifu na kuabudu, kunafungua 

milango ya mbingu, kukuingiza katika ulimwengu wa roho na kukukutanisha utukufu wa Mungu kule ndani katikautukufu wa Mungu kule ndani katika 

roho yako,”

Page 1038: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Nje      Ptf    PPP

Page 1039: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Mwenendo   Fikra  Hisia

Page 1040: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Mwili    Nafsi   Roho

Page 1041: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la MunguUkitaka kukutana na MunguUkitaka kukutana na Mungu (Utukufu) lazima ujue namna(Utukufu) lazima ujue namna ya kuuhamisha moyo/nafsi wako kutoka katika mwili  na k ieleke a rohoni m akokuielekeza rohoni mwako.

Page 1042: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo mtu ukiweze kupenya naKwahiyo, mtu ukiweze kupenya na 

kuingia ndani yako (rohoni mwako), utakuwa umekutana na Ulimwengu wa roho unaotawalaUlimwengu wa roho, unaotawala 

ulimwengu wa mwiliu e gu a

Page 1043: Kanuni za kiroho za ushindi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Na hiyo inafanyika kwaNa hiyo inafanyika kwaKujua namna ya KUMSIFU naKujua namna ya KUMSIFU na 

KUMWABUDU

Page 1044: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

99. Utoaji Mzuriwa Sadakawa Sadaka

(Zaka + Dhabihu)(Zaka + Dhabihu)           

Page 1045: Kanuni za kiroho za ushindi

NINI MAANA YA KUOMBAKwahiyo basi, 

Maombi, ndio njia ya mtu,kwenda katika ulimwengu wa roho ili kuwasiliana na Munguroho, ili kuwasiliana na Mungu 

wake, na kuuathiri ulimwengu wa , groho hata kuleta mabadilikokatika ulimwengu wa mwilini. 

Page 1046: Kanuni za kiroho za ushindi

NINI MAANA YA KUOMBALakini, 

Si maombi pekee, yanayoleta majibu (au mabadiliko) maishani mwetu; bali sadaka ikisindikizamwetu; bali sadaka ikisindikiza 

maombi yako, yatakuwamaombi yako, yatakuwa yamejengewa uwezo zaidi, wa kuleta mabadiliko duniani.

Page 1047: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA NA MAOMBINGUVU YA SADAKA NA MAOMBI

Ndio maanaNdio maana …   Mungu aliifanya sadaka iweMungu aliifanya sadaka, iwe moja ya kanuni za kiroho, j yzinazoweza kusababisha b dilik f l i k kmabadiliko fulani kutokea 

katika ulimwengu wa kimwilikatika ulimwengu wa kimwili.

Page 1048: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Sadaka yako, ina nguvu yaSadaka yako, ina nguvu ya kufungulia baraka maalumu (mahitaji ya kila siku), ili 

kukuwezesha kuendelea kuishikukuwezesha kuendelea kuishi hapa duniani kwa utoshelevu nahapa duniani kwa utoshelevu na 

mafanikio makubwa.(Zaburi 23:1, 2Wakorintho 9:8)

Page 1049: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Sadaka yako, ina nguvu yaSadaka yako, ina nguvu ya kufungulia upako maalumu 

(msaada wa Roho Mtakatifu), ili kukuwezesha kushinda katikakukuwezesha kushinda katika vita vya kiroho tulivyonavyovita vya kiroho tulivyonavyo 

duniani na adui zetu!(Yohana 16:33, Warumi 8:37)

Page 1050: Kanuni za kiroho za ushindi

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUNa huu ndio utaratibu na 

k i b M lii kkanuni ambazo Mungu aliiweka duniani ili kutuwezeshaduniani, ili kutuwezesha 

kutawala ulimwengu wa mwili, kwa kutumia kanuni za kirohoi hi i k lizinazoathiri kwanza ulimwengu 

wa kirohowa kiroho.

Page 1051: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

Mungu aliifanya sadaka iweMungu aliifanya sadaka, iwe moja ya kanuni za kiroho,moja ya kanuni za kiroho, zinazoweza kusababisha mabadiliko fulani kutokea 

katika ulimwengu wa kimwilikatika ulimwengu wa kimwili.

Page 1052: Kanuni za kiroho za ushindi

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

Page 1053: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA NA MAOMBIUlimwengu wa roho

fKwa Mfano M bi N bii EliMaombi ya Nabii Eliya

Yakobo 5:17 18;Yakobo 5:17‐18;

Page 1054: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Eliya alikuwa binadamu tu kama sisiEliya alikuwa binadamu tu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga , f g

mvua, na Mungu alimsikia, na bi ik f ik ( kimbingu zikafungika na mvua (ya ki‐mwilini) haikunyesha juu ya nchi, ) y j y ,kwa  muda wa  miaka 3 na nusu.

Page 1055: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Japo kulikuwa na kanuni zote zaJapo kulikuwa na kanuni zote za kisayansi za mvua kunyesha, lakini y y ,

Eliya, kwa njia ya maombi, lik d h i k thi i (tib )alikwenda rohoni, akaathiri (tibua) 

kanuni zinazotawala mvua mwili, na ,ndio maana mvua haikunyesha.

Page 1056: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Baada ya miaka mitatu na nusu nchiBaada ya miaka mitatu na nusu, nchi yote ilikuwa kavu kabisa na misitu y

yote imepukutika; kwahiyo h k k k i k t hhakukuwa na kanuni za kutosha 

kuruhusu mvua kunyesha.y

Page 1057: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Eliya akawakusanya Waisraeli wote, akaijenga madhabahu ya Bwanaakaijenga madhabahu ya Bwana upya, akaweka sadaka ya ng’ombe juu yake, na akawataka wamwage juu ya madhabahu maji ya pipa 12juu ya madhabahu, maji ya pipa 12 

kama yalivyo mawe 12 ya madhabahu na kabila 12 za Israeli.

Page 1058: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Kumbuka, mvua ilikuwa haijanyesha kwa miaka mitatu na nusu; kwahiyokwa miaka mitatu na nusu; kwahiyo, kwa kipindi hicho, maji yalikuwa 

bidhaa adimu sana. Kwa Israeli kutoa maji katika madhabahu ya Jehovahmaji katika madhabahu ya Jehovah, walifanya tendo la kujitoa sana; 

hivyo yale maji yalikuwa ni Sadaka. 

Page 1059: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Ile Sadaka ilipotolewa sawa sawa na maagizo ya Mungu (pipa 12) kitumaagizo ya Mungu (pipa 12), kitu cha ajabu kikatokea, mbingu 

zikafunguka, na baraka ya mvuaikaachiliwa juu ya nchi yao kwaikaachiliwa juu ya nchi yao, kwa mara ya kwanza, baada ya kuishi 

katika ukame kwa miaka 3 na nusu. 

Page 1060: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐44;Baada ya Nabii Eliya kufanya  Maombi na Sadaka, Mungu 

akaleta baraka ya mvua katikaakaleta baraka ya mvua katika nchi ya Israeli, mvua ambayonchi ya Israeli, mvua ambayo ilikuwa haijanyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na nusu.

Page 1061: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐44;Baada ya ile Sadaka na Maombi, Nabii Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni nasikia sauti ya mvua‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua 

tele’ (mstari 41), watutele  (mstari 41), watu walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani ili kufanya MAOMBI;

Page 1062: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Na watu walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito marabaada ya maombi mazito mara saba (7), ndipo mvua kubwasaba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi 

(mstari 44‐45).

Page 1063: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14)/     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /        Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 

Page 1064: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /     Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        /

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /    Mvua ya Mwilini /        //      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       /

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /       /      /      /      /       /        /

Page 1065: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili, 

mpaka kwanza ilipotengenezwampaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kirohokatika ulimwengu wa kiroho

kwanza.

Page 1066: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu wa i f bImani, anayefanya mambo 

yasiyoonekana kwanza kabla yayasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika y y

ulimwengu wa mwili(ulimwengu wa yanayoonekana)

Page 1067: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO‘Hivyo Basi mtu wa Mungu 

akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani katikana Mungu wa Imani, katika 

maisha yake duniani, lazima awe maisha yake duniani, la ima awena ufahamu wa mambo 

yasiyoonekana (mambo ya h i) i I irohoni) yaani Imani.

Page 1068: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Kumbuka, mvua ilikuwa haijanyesha kwa kipindi chahaijanyesha kwa kipindi cha 

miaka mitatu na nusu; kwahiyo, ; y ,katika kipindi hicho, majiyalikuwa ni moja ya bidhaa adimu sana katika jamiiadimu sana katika jamii. 

Page 1069: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Kwahiyo, kwa Waisraeli kutoa maji katika madhabahu yamaji katika madhabahu ya 

Jehovah, walikuwa wamefanya , ytendo la kujitoa sana; hivyo yale maji yalikuwa ni Sadaka kubwa

na ya thamani sana kwaona ya thamani sana kwao.

Page 1070: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Ile Sadaka ilipotolewa sawa sawana maagizo ya Mungu (pipa 12)na maagizo ya Mungu (pipa 12), ndipo mbingu zilipofunguka, na p g p g ,baraka ya mvua ikaachiliwa juu ya nchi yao, kwa mara ya kwanza baada ya miaka mitatu na nusubaada ya miaka mitatu na nusu.

Page 1071: Kanuni za kiroho za ushindi

Ulimwengu wa RohoHii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zilitumikaKanuni za kiroho zilitumika 

kuleta athari ya aina fulani katika yulimwengu wa roho, hata 

kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili mvua iwezeza kimwili, ili mvua iweze kunyesha hata kama katika yU’mwilini hakuna misitu.

Page 1072: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiriKanuni za kiroho zikiathiri 

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili jambo fulanikanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika   njia za kawaida za kimwili.

Page 1073: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBI

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta 

mabadiliko katika mambo yamabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktknamna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko ykatika ulimwengu wa mwili.

Page 1074: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa Sadaka(Zaka + Dhabihu)(Zaka + Dhabihu)           

Mfano 1;1 Falme 17:1‐16, 17‐24

Page 1075: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa SadakaMaombi ya Mwanamke huju Mjane,Maombi ya Mwanamke huju Mjane, 

yalishaumba majibu ya mahitajiyake katika ulimwengu wa kiroho; lakini alikuwa akitembea chini yalakini alikuwa akitembea chini yambingu iliyofungwa, iliyozuiamaombi yake (kupata chakula).

Page 1076: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa SadakaMungu akampeleka Nabii EliyaMungu akampeleka Nabii Eliyakwake, ili amtunze. Katika kufanyahivyo, akawa ametoa sadaka ya

chakula sadaka ambayochakula, sadaka ambayoiliyofungulia majibu ya maombi

yake kutoka rohoni.

Page 1077: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa SadakaMungu huwa anasikia maombiMungu huwa anasikia maombi yako na anataka sana kukujibu na 

kukupa unachohitaji. Mungu anajua mahitaji yetu kabla hataanajua mahitaji yetu kabla hata hatujamwomba na anataka kukujaza upungufu wako. 

Page 1078: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa SadakaIla hawezi kufanya hivyo bilaIla hawezi kufanya hivyo bila 

wewe kutimiza kanuni ya kutoa na kupokea. Ndio maana 

anakuletea nafasi ya kupandaanakuletea nafasi ya kupanda sadaka katika shamba la Bwana.

Page 1079: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa Sadaka(Zaka + Dhabihu)(Zaka + Dhabihu)           

Mfano 2;2 Falme 4:8‐17, 18‐37

Page 1080: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa SadakaMaombi ya Mwanamke huju Tajiri, y j j

yalishatengeneza majibu yamahitaji yake katika ulimwengumahitaji yake katika ulimwengu

wa kiroho; lakini alikuwaki b hi i biakitembea chini ya mbingu

iliyofungwa, iliyozuia maombiy g , yyake kujibiwa (kupata mtoto).

Page 1081: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa SadakaMungu akampeleka Nabii ElishaMungu akampeleka Nabii Elisha kwake, ili amtunze. Katika kufanyahivyo, akawa ametoa sadaka ya

nyumba sadaka ambayonyumba, sadaka ambayoiliyofungulia majibu ya maombi

yake kutoka rohoni.

Page 1082: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa SadakaMungu huwa anasikia maombiMungu huwa anasikia maombi yako na anataka sana kukujibu na 

kukupa unachohitaji. Mungu anajua mahitaji yetu kabla hataanajua mahitaji yetu kabla hata hatujamwomba na anataka kukujaza upungufu wako. 

Page 1083: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa SadakaIla hawezi kufanya hivyo bilaIla hawezi kufanya hivyo bila 

wewe kutimiza kanuni ya kutoa na kupokea. Ndio maana 

anakuletea nafasi ya kupandaanakuletea nafasi ya kupanda sadaka katika shamba la Bwana.

Page 1084: Kanuni za kiroho za ushindi

SIRI YA KUPATA MSAADA WA MUNGU MAISHANI MWAKO.

UTII ‐ OBEDIENCEKiwango cha nguvu za Mungumaishani mwako kitategemeamaishani mwako, kitategemeakiwango cha utii unaompag pRoho Mtakatifu, ambaye ni

Msaidizi wakoMsaidizi wako.

Page 1085: Kanuni za kiroho za ushindi

WAFILIPI 4:14‐19WAFILIPI 4:14 19

14 Lakini mlifanya vema kushiriki14 Lakini, mlifanya vema kushirikinami katika taabu zangu. 15 Zaidi yahayo, ninyi Wafilipi mnajua kwambasiku za kwanza nilipoanza kuhubirisiku za kwanza nilipoanza kuhubiriInjili, nilipoondoka Makedonia, hakuna kanisa jingine lililoshirikinami katika masuala ya kutoa nanami katika masuala ya kutoa na

kupokea isipokuwa ninyi. 

Page 1086: Kanuni za kiroho za ushindi

WAFILIPI 4:14‐19WAFILIPI 4:14 19

16 Kwa maana hata nilipokuwa16 Kwa maana hata nilipokuwa huko Thesalonike, mliniletea msaada kwa ajili ya mahitaji ang aidi a mara mojayangu zaidi ya mara moja. 

18 nimepokea sadaka yenye harufu18 nimepokea sadaka yenye harufu nzuri, dhabihu inayokubalika na 

ya kumpendeza Mungu.

Page 1087: Kanuni za kiroho za ushindi

WAFILIPI 4:14‐19WAFILIPI 4:14 19

19 Naye Mungu wangu atawajaza19 Naye Mungu wangu atawajaza ninyi kila mnachohitaji kwa kadiri y jya utajiri Wake katika utukufu 

ndani a Kristo Yesndani ya Kristo Yesu. 

Page 1088: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa Sadaka(Zaka + Dhabihu)(Zaka + Dhabihu)           

h bMhubiri 5:12Kor 9:6 122Kor 9:6‐12,

Page 1089: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa Sadaka(Zaka + Dhabihu)(Zaka + Dhabihu)           

Kumb 8:6‐18,Hag 1:5 11Hag 1:5‐11,  

Malaki 3:7‐12,Malaki 3:7 12, 

Page 1090: Kanuni za kiroho za ushindi

ZAKA NA SADAKA

Kwa Mfano;wa Baba IbrahimuMwanzo 14:17‐20

Page 1091: Kanuni za kiroho za ushindi

ZAKA NA SADAKA

Mwanzo 14:17‐2017 Abramu aliporudi kutoka kuwapiga Wafalme mfalme wakuwapiga Wafalme mfalme wa 

Sodoma akatoka kwendaSodoma akatoka kwenda kumlaki katika bonde la Shawe, 

(yaani, Bonde la Mfalme.)

Page 1092: Kanuni za kiroho za ushindi

ZAKA NA SADAKA

Mwanzo 14:17‐2018 Ndipo Melkizedeki mfalme wa 

Salemu alipoletamkate naSalemu alipoleta mkate na divai. Alikuwa kuhani wadivai. Alikuwa kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana;

Page 1093: Kanuni za kiroho za ushindi

ZAKA NA SADAKA

Mwanzo 14:17‐2019 Melkizedeki mfalme wa Salemu akambariki AbramuSalemu akambariki Abramu, akisema, “Abarikiwe Abramuakisema,  Abarikiwe Abramu na Mungu Aliye Juu Sana, 

Muumba wa mbingu na nchi. 

Page 1094: Kanuni za kiroho za ushindi

ZAKA NA SADAKA

Mwanzo 14:17‐2020 Abarikiwe Mungu Aliye Juu Sana ambaye amewawekaSana, ambaye amewaweka adui zako mkononi mwako.’’adui zako mkononi mwako.  

Ndipo Abramu akampa  Melkizedeki sehemu ya kumi (Zaka)ya kila kitu (Nyara)(Zaka)ya kila kitu (Nyara).  

Page 1095: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA

Ibrahim alimpa MunguIbrahim alimpa Mungu (Melkizedeki) Zaka (Sadaka) na ( ) ( )Mungu (Melkizedeki) alimpa Ibrahim Mkate na Divai!

Page 1096: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA

TafsiriTafsiri

Mkate na Divai!Mkate na         Divai!

Mahitaji ya              Upako waKila siku               Kushinda Vita(Baraka)                (Mafanikio)

Page 1097: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Sadaka yako, ina nguvu yaSadaka yako, ina nguvu ya kufungulia baraka maalumu (mahitaji ya kila siku), ili 

kukuwezesha kuendelea kuishikukuwezesha kuendelea kuishi hapa duniani kwa utoshelevu nahapa duniani kwa utoshelevu na 

mafanikio makubwa.(Zaburi 23:1, 2Wakorintho 9:8)

Page 1098: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Sadaka yako, ina nguvu yaSadaka yako, ina nguvu ya kufungulia upako maalumu 

(msaada wa Roho Mtakatifu), ili kukuwezesha kushinda katikakukuwezesha kushinda katika vita vya kiroho tulivyonavyovita vya kiroho tulivyonavyo 

duniani na adui zetu!(Yohana 16:33, Warumi 8:37)

Page 1099: Kanuni za kiroho za ushindi

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Na huu ndio utaratibu ambaoNa huu ndio utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili ya g j ykuitunza ofisi yake duniani 

(kanisa)(kanisa). 

Page 1100: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

Mungu aliifanya sadaka iweMungu aliifanya sadaka, iwe moja ya kanuni za kiroho,moja ya kanuni za kiroho, zinazoweza kusababisha mabadiliko fulani kutokea 

katika ulimwengu wa kimwilikatika ulimwengu wa kimwili.

Page 1101: Kanuni za kiroho za ushindi

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

Page 1102: Kanuni za kiroho za ushindi

ZAKA NA SADAKAZAKA NA SADAKA

Kwa mfano wa;Kwa mfano wa;

Ujenzi wa Nyumba (Hema)Ujenzi wa Nyumba (Hema) ya Mungu Jangwaniya Mungu Jangwani

Kutoka 25:1‐9Kutoka 25:1 9Kutoka 36:1‐7Kutoka 36:1 7 

Page 1103: Kanuni za kiroho za ushindi

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7Wakati wa ujenzi wa nyumba yaWakati wa ujenzi wa nyumba ya Mungu au hema ya kukutania 

(kule jangwani), Mungu alimwambia Musa watu wotealimwambia Musa, watu wote wenye moyo wa kupenda kutoa, wafnye kazi na kuleta matoleo …

Page 1104: Kanuni za kiroho za ushindi

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7… kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya… kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Mungu. Mungu aliwaagiza watu walete dhahabu, fedha na mali 

nyingine mbalimbali zilizohitajikanyingine mbalimbali, zilizohitajika kwa ajili ya ujenzi wa hema ya 

Mungu.

Page 1105: Kanuni za kiroho za ushindi

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7Wajenzi wa hekalu wakamwambiaWajenzi wa hekalu wakamwambia 

Musa, watu wameleta sadakanyingi sana na kuzidi, kuliko tulivyokuwa tunahitajitulivyokuwa tunahitaji. 

Tumewazui, lakini hawataki, nao bado wanaleta tu.

Page 1106: Kanuni za kiroho za ushindi

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7Tunaomba wewe Baba, labdaTunaomba wewe Baba, labda watakusikia; Ndipo Musa akatoa amri, kwamba watu wasilete tena matoleo kwa ajili ujenzi wa hemamatoleo kwa ajili ujenzi wa hema ya ibada, kwasababu walikuwawameleta vingi sana na kuzidi.

Page 1107: Kanuni za kiroho za ushindi

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7… Hivyo watu wakazuiliwa kuleta… Hivyo watu wakazuiliwa kuleta zaidi, kwa sababu vitu vilivyokuwa 

vimeletwa, tayari vilikuwa vimetosha na hata kuzidi sanavimetosha, na hata kuzidi sana, kwa ajili ya  kuifanya kazi yote. 

Page 1108: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

Watu wa MunguWatu wa Mungu waliomheshimu Mungu,waliomheshimu Mungu, 

walitoa mali zao, kuliko hata bajeti iliyokuwa inahitajika 

k jili j i bkwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Mungu kule jangwaniya Mungu kule jangwani.

Page 1109: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA NA IBADAWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

Page 1110: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

H di t tib bHuu ndio utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili yaMungu aliuweka kwa ajili ya kuitunza ofisi yake dunianikuitunza ofisi yake duniani 

(kanisa).Malaki 3:10‐12 

Page 1111: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Na Mungu anawapenda, wale wanatoa mali zao kwa heshima

ii k f hna utii, na kwa moyo wa furaha, katika kuifanya kazi yakekatika kuifanya kazi yake.   2 Wakorintho 9:6‐72 Wakorintho 9:6 7 

Page 1112: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Lakini mtu wa Mungu hawezi kutoa kwa kupenda na kwa 

f h k h j l k ifuraha, kama hajaelewa kazi ya sadaka kama kanuni mojawaposadaka kama kanuni mojawapo 

ya kiroho, inayosababisha mafanikio katika ulimwengu 

k iliwake wa mwili.

Page 1113: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Mtu wa Mungu anahitaji kujua vizuri kwamba, ulimwengu huu 

ili liwa mwili, unatawaliwa na ulimwengu wa kiroho; hivyoulimwengu wa kiroho; hivyo 

unatawaliwa kwa kanuni fulani za kiroho.

Page 1114: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Na Sadaka ni moja ya kanuni za j ykiroho, zinazosababisha athari 

fulani zitokee katika ulimwengu wa roho hataulimwengu wa roho hata 

kusababisha mabadiliko katikakusababisha mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.

Page 1115: Kanuni za kiroho za ushindi

NINI MAANA YA KUOMBAKwahiyo basi, 

Maombi, ndio njia ya mtu,kwenda katika ulimwengu wa roho ili kuwasiliana na Munguroho, ili kuwasiliana na Mungu 

wake, na kuuathiri ulimwengu wa , groho hata kuleta mabadilikokatika ulimwengu wa mwilini. 

Page 1116: Kanuni za kiroho za ushindi

NINI MAANA YA KUOMBALakini, 

Si maombi pekee, yanayoleta majibu (au mabadiliko) maishani mwetu; bali sadaka ikisindikizamwetu; bali sadaka ikisindikiza 

maombi yako, yatakuwamaombi yako, yatakuwa yamejengewa uwezo zaidi, wa kuleta mabadiliko duniani.

Page 1117: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiriKanuni za kiroho zikiathiri 

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili jambo fulanikanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika   njia za kawaida za kimwili.

Page 1118: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA NA IBADAWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

Page 1119: Kanuni za kiroho za ushindi

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

H di t tib bHuu ndio utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili yaMungu aliuweka kwa ajili ya kuitunza ofisi yake dunianikuitunza ofisi yake duniani 

(kanisa).Malaki 3:10‐12 

Page 1120: Kanuni za kiroho za ushindi

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUNa huu ndio utaratibu na 

k i b M lii kkanuni ambazo Mungu aliiweka duniani ili kutuwezeshaduniani, ili kutuwezesha 

kutawala ulimwengu wa mwili, kwa kutumia kanuni za kirohoi hi i k lizinazoathiri kwanza ulimwengu 

wa kirohowa kiroho.

Page 1121: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1O1O Kuondoa Kizuiacho

(Vizuizi)(Vizuizi)

Page 1122: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Wathesalonike 5:231 Wathesalonike 5:23‘Mungu awatakase kabisa rohoMungu awatakase kabisa rohozenu, nafsi zenu na miili yenu, ilimuwe safi na kamili mpaka sikuya kuja kwake Bwana wetu naya kuja kwake Bwana wetu naMwokozi wetu Yesu Kristo.’

Page 1123: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2 Wakorintho 5:172 Wakorintho 5:17

Toba na Utakaso kamili (wa kweli), ni ule unaoshughulikia si rohoni ule unaoshughulikia si rohopeke yake, bali pia na nafsi zetu

na miili yetu.

Page 1124: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2 Wakorintho 5:172 Wakorintho 5:17

‘Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Krsito amekuwa kiumbe kipya yaKrsito, amekuwa kiumbe kipya, ya 

kale yamepita, tazama yoteyameuwa mapya’.

Page 1125: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:17‐24Waefeso 4:17‐24

‘mvue kwa habari ya mwenendo wa‘mvue kwa habari ya mwenendo wakwanza wa uovu, mkavae utu

mpya, unaofanywa kwa namna ya (mfano wa) Mungu; mfanywe(mfano wa) Mungu; mfanywewapya katika roho ya nia zenu

( f i ) ’(nafsi zenu) …’

Page 1126: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:17 24Waefeso 4:17‐24

Wokovu katika roho ya mtu (mabadiliko) ni wa ghafla (wa(mabadiliko), ni wa ghafla (wa hapo hapo); lakini wokovu 

(mabadiliko) ya nafsi na mwili, ni ya hatua kwa hatua (ni process)ya hatua kwa hatua (ni process).

Page 1127: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 11:1‐39‐45

Mfano wa Bwana Yesu katikaKumfufua LazaroKumfufua Lazaro.

Page 1128: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 11:1 39 45Yohana 11:1‐39‐45Kwa lugha nyingine Bwana Yesug y galikuwa anasema kwamba, Nguvuzangu zipo za kutosha kufanyazangu zipo za kutosha kufanyamuujiza huu (ufufuo) lakini

itategemea kama mtaliondoa jiwe. Na ni kazi yenu (wajibu wenuNa ni kazi yenu (wajibu wenukuliondoa jiwe (kile kizuiacho)

Page 1129: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Samwel 21:1‐142Samwel 21:1 14

Mfano wa Daudi na Njaa kaliKatika nchi ya Israel

Page 1130: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Samwel 21:1 142Samwel 21:1‐14Kwa lugha nyingine Mungu alikuwa g y g g

anajaribu kutounyesha kwamba, Nguvu zake za kujibu maombi yaNguvu zake za kujibu maombi ya 

watoto wake, zilikuwa zinazuilika na uovu/mikataba ya uovu (damu) 

iliyokuwa inasimama katika yake nailiyokuwa inasimama katika yake na watoto wake, Israeli.

Page 1131: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 19:18‐20

Kwa mfano wa toba ya Kanisa la Kwanza

Page 1132: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 19:18 20Matendo 19:18‐20Wale walioamini (waliookoka) a e a oa ( a oo o a)waliendelea kufundishwa na

kusaidiwa kuvunja mikataba yakusaidiwa kuvunja mikataba ya uovu waliyoiweka zamani, kwa

maisha ya giza na uasi.

Page 1133: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wathesalonike 4:1 4 71Wathesalonike 4:1‐4‐7Tusiposhughulikia nafsi na miili yetuus pos ug u a afs a yetuipasavyo, miili yetu itakuwa kizuizicha sisi kutembea na nguvu zacha sisi kutembea na nguvu za

Mungu na hata kushindwa kuingiambinguni.

Page 1134: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 9:27Kila siku ninaushughulikia mwiliKila siku ninaushughulikia mwiliwangu, ili nikiiisha kuwahubirigwengine, nisije nikawa mtu wa

k k t likukataliwa.

Page 1135: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 7:15 23Mathayo 7:15‐23Jihadharini … maana wengine wenu gnitawakataa. Ktk siku ya mwisho, wengine watasema tulitoa unabiiwengine watasema, tulitoa unabii kwa jina lako, tuliponya wangonjwa na kufanya miujiza kwa jina lako; lakini mimi nitawaambia ondokenilakini mimi nitawaambia, ondokeni 

kwangu ninyi mtendao maovu

Page 1136: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Wathesalonike 4:1 4 71 Wathesalonike 4:1‐4‐7Mwenende katika utakatifu kama fmlivyojifunza kwetu, … kila mmoja wenu ajue namna ya kuushughulikiawenu ajue namna ya kuushughulikia mwili wake, katika usafi na utakatifu 

wa kweli.

Page 1137: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 12:10 12Ufunuo 12:10‐12

Shetani ni mshitaki wetumbele a M ngmbele za Mungu. 

Page 1138: Kanuni za kiroho za ushindi

10. Kuondoa Vizuizi10. Kuondoa Vizuizi

Ufunuo 12:10‐12Ufunuo 12:10‐1210 ... nikasikia sauti kuu mbinguni ikisema, “Sasa Wokovu na uweza na Ufalme wa Mungu wetu umekuja na g jmamlaka ya Kristo wake. Kwa kuwa ametupwa chini mshtaki wa nduguametupwa chini mshtaki wa nduguzetu, anayewashtaki mbele za M ik hMungu usiku na mchana. 

Page 1139: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 12:10‐12Ufunuo 12:10 1211 Nao wakamshinda kwa damu yaMwana‐Kondoo na kwa neno la ushuhuda wao 12 Kwa hiyoushuhuda wao… 12 Kwa hiyo, furahini ninyi mbingu na wotey gwakaao humo!  Lakini …

Page 1140: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 12:10‐12Ufunuo 12:10 12… Lakini ole wenu nchi na bahari, kwa maana huyo Shetani ameshuka kwenu akiwa amejaaameshuka kwenu, akiwa amejaaghadhabu, kwa sababu anajua ya g j ykuwa muda wake ni mfupi!’

Page 1141: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 12:10‐12Ufunuo 12:10 12

Shetani ni mshitaki wetuShetani ni mshitaki wetumbele za Mungu. Tujitahidi kuondoa

vitu vya zamani ili akija kwetuvitu vya zamani, ili akija kwetu, asikute kitu cha kutushitaki nacho 

mbele za Mungumbele za Mungu

Page 1142: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 14:30Yohana 14:30

Yesu alisema ‘mkuu wa ulimwenguhuu anakuja lakini hana kituhuu, anakuja, lakini hana kitu

kwangu (hapati kitu)’.Si chochote cha kwake

Page 1143: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 3:312 i k i21 Wapenzi, kama mioyo yetuhaituhukumu, tunao ujasiri mbele

l b lza Mungu. 22 Lo lote tuombalo,twalipokea kutoka Kwake, kwasababu tumezitii amri Zake nakutenda yale yanayompendeza.

Page 1144: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:19 23Warumi 8:19‐23Tusiposhughulikia nafsi na miili yetuTusiposhughulikia nafsi na miili yetu ipasavyo, miili yetu itakuwa kizuizi 

cha sisi kukua kiroho hata kushindwa kutembea na nguvu zakushindwa kutembea na nguvu za 

Mungu.

Page 1145: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:19 23Warumi 8:19‐23Viumbe vya asili vinasubiri kwaViumbe vya asili vinasubiri kwa hamu kufunuliwa kwa wana wa Mungu. Nasi tukiisha kufanya 

ukombozi wa miili yetuukombozi wa miili yetu, tunapokea hali ya kufanywa wana.

Page 1146: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:19 23Warumi 8:19‐23Tofauti ya Mwana wa Mungu naTofauti ya Mwana wa Mungu na 

Mtoto wa Mungu ipo katika kutembea na nguvu za Mungu.

Page 1147: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1111. Kutembea kwa

ImaniImani

Page 1148: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniEbr 11:1, 6Ebr 11:1, 6Ebr 10:38

Mathayo 17:20

Page 1149: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:20Mathayo 17:2019 Kisha wanafunzi wakamwendeaYesu wakati ambapo hapakuwa nawatu wakamwuliza “Kwa nini sisiwatu, wakamwuliza,  Kwa nini sisihatukuweza kumtoa yule Pepo?”20 k jib k bi ‘‘ i20 Yesu Akawajibu kuwaambia ‘‘Ni kwasababu ya imani yenu kuway y

ndogo… 

Page 1150: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:20Mathayo 17:20“… Ninawaambia kweli, mkiwa naimani kama punje ndogo ya haradaliimani kama punje ndogo ya haradali, mtaweza kuiambia milima, ‘ondokahapa uende pale’ nao utaondoka Nahapa uende pale  nao utaondoka. Na 

wala hakutakuwa na jambolisilowezekana kwenu ’’ 21 halilisilowezekana kwenu. 21  … halikama hii haitoki ila kwa kuomba na

kufunga ’’kufunga.’’ 

Page 1151: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniEbr 11:1, 6Ebr 11:1, 6Ebr 10:38Mfano (1);

Warumi 4:16‐20.

Page 1152: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24Warumi 4:16‐24.16 Kwa hiyo, ahadi huja kwa njia ya

imani, ili iwe ni kwa neema naitolewe kwa wazao wa Abrahamu, si,kwa wale walio wa sheria peke yaobali pia kwa wale walio wa imani yabali pia kwa wale walio wa imani yaAbrahamu. Yeye ndiye baba yetu sisi

tsote. 

Page 1153: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24Warumi 4:16‐24.17 Kama ilivyoandikwa: ‘‘Nimekufanya

wewe kuwa baba wa mataifamengi.’’ Yeye ni baba yetu mbele zag y yMungu ambaye alimwamini, Mungu

awapaye ahadi waliokufa naawapaye ahadi waliokufa nakuvitaja vile vitu ambavyo havikok k b i k i h k kkana kwamba vimekwisha kuwako.

Page 1154: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16 24Warumi 4:16‐24.17 … Ibrahimu baba yetu17 … Ibrahimu baba yetu alimwamini, Mungu awapaye ahadi waliokufa na akaanza 

kuvitaja vile vitu ambavyo havikokuvitaja vile vitu ambavyo haviko kana kwamba vimekwisha 

kuwako.

Page 1155: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16 24Warumi 4:16‐24.18 Akitarajia yasiyoweza kutarajiwa, j y y j ,Abrahamu akaamini atakuwa, ‘‘Baba 

t if i ’’ kwa mataifa mengi,’’ kamaalivyoahidiwa kwamba, ‘‘Uzao wakoy

utakuwa mwingi mno.’’

Page 1156: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16 24Warumi 4:16‐24.19 Abrahamu hakuwa dhaifu katikaimani hata alipofikiri juu ya mwilik b lik k li k fwake, ambao ulikuwa kama uliokufa, 

kwani umri wake ulikuwa unakaribiamiaka mia moja, au alipofikiiri juu ya

ufu wa tumbo la Saraufu wa tumbo la Sara. 

Page 1157: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.Warumi 4:16 24.20 Lakini Abrahamu hakusitasita kwakutokuamini ahadi ya Mungu balikutokuamini ahadi ya Mungu, balialitiwa nguvu katika imani yake nakumpa Mungu utukufu 21 akiwa nakumpa Mungu utukufu, 21 akiwa na

hakika kabisa kwamba Mungualik a na e o a k timi a lilealikuwa na uwezo wa kutimiza lilealiloahidi. 22 Hii ndio sababu, “ilih bi k k k h ki ”“ilihesabiwa kwake kuwa haki.”

Page 1158: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24Warumi 4:16‐24.23 Maneno haya, “Ilihesabiwa kwakekuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajiliyake peke yake, 24 bali kwa ajili yetuy p y , j ysisi pia, ambao Mungu atatupa haki, kwa ajili yetu tunaomwamini Yeyekwa ajili yetu tunaomwamini Yeye

aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutokak fkwa wafu. 

Page 1159: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniEbr 11:1, 6Ebr 11:1, 6Ebr 10:38Mfano (2);

Marko 11:12‐14, 20‐24

Page 1160: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2412 Kesho yake walipokuwa wakitokay p

Bethania, Yesu alikuwa na njaa. l k b l k d13 Alipouona mtini kwa mbali, akaenda

ili aone kama ulikuwa na matunda. Alipoufikia, akakuta una majani tu, kwa kuwa hayakuwa majira ya tinikwa kuwa hayakuwa majira ya tini. 

Page 1161: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2414 Yesu akauambia ule mti, ‘‘Tangu leo, gmtu ye yote na asile matunda kutoka

kwako tena ’’ Wanafunzi Wakekwako tena.’’ Wanafunzi Wake walimsikia akisema hayo. 

Page 1162: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2420 Asubuhi yake, walipokuwa wakipita, y , p p ,

wakauona ule mtini umenyaukakutoka juu hadi kwenye mizizi yakekutoka juu hadi kwenye mizizi yake. 21 Petro akakumbuka na kumwambiaYesu, “Mwalimu, tazama! Ule mtini

ulioulaani umenyauka!’’ulioulaani umenyauka!  

Page 1163: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2422 Yesu akawajibu akawaambia, j ,“Mwaminini Mungu. 23 Amin, aminnawaambia mtu ye yote atakayenawaambia, mtu ye yote atakaye‐

uambia mlima huu ‘Ng’oka ukatupwebaharini,’ wala asione shaka moyonimwake, bali aamini kwamba hayomwake, bali aamini kwamba hayo

asemayo yametukia, yatakuwa yake. 

Page 1164: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2424 Kwa sababu hiyo nawaambia24 Kwa sababu hiyo nawaambia, 

yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba

mmeyapokea nayo yatakuwammeyapokea nayo yatakuwayenu.y

Page 1165: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniMambo tuyasemayo huwa

yanaumbika katika ulimwengu wakiroho kwanza (yametukia). Baada(y )ya kuyasema au kuyakiri, ndiponguvu za Mungu huingia kazininguvu za Mungu huingia kazinikuyaumba katika ulimwengu wa

ili ( t k k )mwili (yatakuwa yake).

Page 1166: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniSiri ya kutembea katika imani ipoSiri ya kutembea katika imani ipo 

katika kukiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakika wa Roho Mtakatifu ukiwa katika haliRoho Mtakatifu ukiwa katika hali ya maombi juu ya swala hilo.

Page 1167: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hatua za Imani TimilifuHatua za Imani Timilifu(1) Kulipata Neno (Warumi 10:17)(1) Kulipata Neno (Warumi 10:17)(2) Kulifanya litokee (Mrk 11:23)(3) Kuthibitisha Uhakika (Rum 4:21)(4) Kukiri kwa Uhakika (Rum 4:17)(5) Kutenda kwa ujasiri (Mwa 17:1 9)(5) Kutenda kwa ujasiri (Mwa 17:1‐9)

Page 1168: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniManeno ya nguvu za kuumba.Maneno ya nguvu za kuumba. Ulimwengu uliumbwa kwa NENO

la Mungu.Yohana 1:1 4Yohana 1:1‐4

Ebrania 11:3/4:12Ebrania 11:3/4:12

Page 1169: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniManeno ya nguvu za kuumba.Maneno ya nguvu za kuumba. 

Ulimwengu uliumbwa kwaNENO la Mungu.

hYohana 1:1‐4Ebrania 11:3/4:12Ebrania 11:3/4:12

Page 1170: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOInatokana na Uhai wa NenoInatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao unatokana na uwepo wa Roho Mtakatifu ndani 

ya hilo Nenoya hilo NenoWaebrania 4:12

Page 1171: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWaebrania 4:12Waebrania 4:12

“Neno la Mungu li haitena lina Nguvu”tena lina Nguvu”

Page 1172: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOYohana 6:63Yohana 6:63

‘Roho ndio itiayo uzima (uhai), kwani mwili (pasipo roho) 

haufai kitu’

Page 1173: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Wakorintho 3:62 Wakorintho 3:6

“Andiko peke yake linaua, lakini Roho wa Mungu anahuisha”Roho wa Mungu anahuisha

Page 1174: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOInatokana na Uhai wa NenoInatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao ni uwepo wa Roho Mtakatifu ndani ya Neno

Waebrania 4:12Waebrania 4:12

Page 1175: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16‐172 Timotheo 3:16 17

Kila andiko lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho    na kubadilisha mwenendona kubadilisha mwenendo.

Page 1176: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16‐17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)Andiko + Pumzi  Neno (Hai)

Herufi   +  Roho = Nguvu

Page 1177: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Unapoachilia Neno la Mungukutoka ndani yako kwa imani, 

Roho wa Mungu huja kulivuvia iliRoho wa Mungu huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa j

hilo neno maishani mwako.

Page 1178: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Unapoachilia neno baya kutoka ndani yako kwa imani, basi roho 

mbaya huja kulivuvia ilimbaya  huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa jhilo neno hilo maishani mwako.

Page 1179: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao 

wautumiao watakula matundawautumiao, watakula matunda yake.y

Page 1180: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 6:2Mithali 6:2

Umetegwa kwa maneno yako na umekamatwa na maneno ya 

kinywa chakokinywa chako.

Page 1181: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWakolosai 3:16Wakolosai 3:16

Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yako katika hekima yote. 

Page 1182: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWaefeso 4:29Waefeso 4:29

Neno lolote lililo ovu, lisitoke kinywani mwenu, bali lile lililo 

jema la kumfaa msikiajijema, la kumfaa msikiaji. 

Page 1183: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa Imani

Maneno ya nguvu za kuumba. Yohana 1:1‐4

b i 3/ 2Ebrania 11:3/4:12

Page 1184: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16 24Warumi 4:16‐24.17 … Ibrahimu baba yetu17 … Ibrahimu baba yetu alimwamini, Mungu awapaye ahadi waliokufa na akaanza 

kuvitaja vile vitu ambavyo havikokuvitaja vile vitu ambavyo haviko kana kwamba vimekwisha 

kuwako.

Page 1185: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniBaada ya kupata uhakika (imani)Baada ya kupata uhakika (imani) Mambo yafuatayo yatakusaidia kukuwezesha kukiri kwa ushindi yake uyatakayo kudhihirika katikayake uyatakayo kudhihirika katika 

ulimwengu wa mwili.

Page 1186: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniManeno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na mawzo mazuri. Na mawazo 

mazuri hutokana na kuona vizuri.Ukikosea kuona utakosea kuwazaUkikosea kuona, utakosea kuwaza 

na kutakosea kuongea.g

Page 1187: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniKutembea kwa Imani

Mawazo MtazamoManeno

Page 1188: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa Imania) Macho ya rohonia) Macho ya rohonib) Mawzo ya ushindic) Maneno ya Ushindi

Page 1189: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniKwa hiyo, mambo yafuatayoKwa hiyo, mambo yafuatayo yatakusaidia kukuwezesha kukiri kwa ushindi yake uyatakayo 

kudhihirika katika ulimwengu wakudhihirika katika ulimwengu wa mwili.

Page 1190: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa Imani(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniHesabu 13:26‐33, 4:1‐9

Efe 1:15‐19, Mwa 21:14‐19

Page 1191: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa Imani

Mtazamo

Page 1192: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

1 Umbali (Yakobo 4:8)1. Umbali (Yakobo 4:8)Ukiwa mbali na Mungu, matatizoUkiwa mbali na Mungu, matatizounayokutana nayo yataonekanamakubwa, na utawaza vibaya.

Page 1193: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

2.  Mwanga (Yohana 8:12)Ukitumia Mwanga wa Yesu kuangaziaUkitumia Mwanga wa Yesu kuangaziamaisha yako (Neno), utaona tofauti na

wengine na matatizo makubwawengine, na matatizo makubwa, kwako yataonekana madogo na

utawazi vizuriutawazi vizuri.

Page 1194: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

3.  Lense (Yohana 8:12)Uki i L Y k iUkitumia Lense za Yesu kuangaziamaisha yako (Neno), utaona tofautina wengine, na matatizo makubwa, kwako yataonekana madogo na

utawaza vizuri.

Page 1195: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

4.  Lishe (1Petro 2:2)Ukiwa na nidhamu ya kula lishe ya Neno la Mungu vizuri utakuwa naNeno la Mungu vizuri, utakuwa na

uwezo wa kuona tofauti na wengine, na utawaza tofauti na wengine.

Page 1196: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)5.  Kimo (Waefeso 4:11‐15)Ukit i N l M i iUkitumia Neno la Mungu vizuri, 

pamoja na maombi, itakupa kukuana kuongezeka kimo chako kiimani, na kukupa uwezo wa kuona nana kukupa uwezo wa kuona nakuwaza tofauti na wengine.

Page 1197: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

6.  Dawa (Ufunuo 3:15‐18)Ukitumia Neno la Mungu vizuri, kamadawa katika maisha yako pia iakupadawa katika maisha yako, pia iakupauwezo wa kuona tofauti na wengine, na pia utawaza tofauti na wengine.

Page 1198: Kanuni za kiroho za ushindi

(a) Macho ya Rohoni(a)   Macho ya Rohoni 

Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)1. Umbali (Yakobo 4:8)2. Mwanga (Yohana 8:12)3 Lense (Warumi 13:14)3. Lense (Warumi 13:14)4. Lishe (1Petro 2:2)( )5. Kimo (Ufunuo 3:15‐18)6 D (Uf 3 15 18)6. Dawa (Ufunuo 3:15‐18)

Page 1199: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa Imani(b) Mawazo ya Ushindi(b) Mawazo ya Ushindi

Waamuzi 6:1‐16Mith 23:7, Rum 12:2, Ef 4 20 24Efe 4:20‐24

Page 1200: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

b k iKutembea kwa Imani

Mawazo MtazamoMawazo Mtazamo

Page 1201: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniManeno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo 

mazuri hutokana na kuona vizuri.Ukikosea kuona utakosea kuwazaUkikosea kuona, utakosea kuwaza 

na kutakosea kuongea.g

Page 1202: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa Imani(c) Maneno ya Baraka/Ushindi(c) Maneno ya Baraka/UshindiYohana 6:63, Ebr 4:12‐13

Mark 11:12‐14, 20‐24, Luka 24:1‐6 Mith 18:20‐21, Mith 6:1‐2

Page 1203: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniManeno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo 

mazuri hutokana na kuona vizuri.Ukikosea kuona utakosea kuwazaUkikosea kuona, utakosea kuwaza 

na kutakosea kuongea.g

Page 1204: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniKutembea kwa Imani

Mawazo MtazamoManeno

Page 1205: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1212. Kujenga

Kiu, Bidii na Nidhamuya kiroho

Page 1206: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHO

Kanuni za kiroho ni mamboKanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia maishani y ymwetu, yatasababisha Roho 

Mtakatif a M ng ali e ndaniMtakatifu wa Mungu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Munguy , g gndani yetu, zitakazotusaidia kuishi 

i h hi di f ikimaisha ya ushindi na mafanikio.

Page 1207: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu

kinachohitajika ili Mungu aweze kufanya mamboaweze kufanya mambo aliyoyakusudia duniani.aliyoyakusudia duniani.

Waefeso 3:20Waefeso 3:20

Page 1208: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu yeye20 Atukuzwe Mungu, yeye awezaye kutenda mambo ya y yajabu mno (yasiyopimika) 

kuliko yote tunayo‐yawaza au t na o aombatunayoyaomba …

Page 1209: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Mungu anaweza kutenda20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa y , (kiwango au kwa kipimo) cha Nguvu zake kinachotenda 

kazi ndani yetu.

Page 1210: Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHO

Kanuni za Kiroho ni vitu maalum  vinavyosababisha kuzalishwa kwa Nguvu zakuzalishwa kwa Nguvu za 

Mungu ili kutuwezesha kuishiMungu ili kutuwezesha kuishi Maisha ya Ushindi.y

Page 1211: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

Joto                                Hewa(Heat)                             (Oxygen)

Page 1212: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

Joto                                Hewa(Heat)                             (Oxygen)

Page 1213: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

Joto                                Hewa(Heat)                             (Oxygen)

Page 1214: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

Joto                                Hewa(Heat)                             (Oxygen)

Page 1215: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

Joto                                HewaMOTOMOTO

(Heat)                             (Oxygen)

Page 1216: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

O O

Joto                                HewaMOTO

(Heat)                             (Oxygen)

Page 1217: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHONi mambo ambayo, tukiyawekaNi mambo ambayo, tukiyaweka 

kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetuMtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

Page 1218: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na NidhamuJenga Kiu na Bidii na Nidhamuya Kukaa na Munguya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa MusaKut 24:1‐18K t 34 29 35Kut 34:29‐35

Page 1219: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na NidhamuJenga Kiu na Bidii na Nidhamuya Kukaa na Munguya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa JoshuaKut 24:1‐18/32:9‐19

K t 33 7 11Kut 33:7‐11 

Page 1220: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua 3:7Joshua 3:77 Ndipo BWANA akamwambiapYoshua, “Leo nitaanza kukutukuzamachoni pa Israeli yote ili wapatemachoni pa Israeli yote, ili wapatekujua kuwa niko pamoja nawek ili k jkama nilivyokuwa pamoja naMose. (Nitafungua maji ya mto( g j y

Jordan mbele yako)

Page 1221: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na NidhamuJenga Kiu na Bidii na Nidhamuya Kukaa na Munguya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa Mfalme DaudiZab 63:1‐3Z b 27 4Zab 27:4

Page 1222: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na NidhamuJenga Kiu na Bidii na Nidhamuya Kukaa na Munguya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa Bwana YesuMath 14:22‐23L k 6 12 17 19Luka 6:12,17‐19

Page 1223: Kanuni za kiroho za ushindi

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12“12 Amin, amin, nawaambia, ye 

yote aniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo yeye atazifanya naamnizifanyazo yeye atazifanya, naam na kubwa kuliko hizi atazifanya, kwa sababu Mimi ninakwenda 

kwa Babakwa Baba. 

Page 1224: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Nyakati 16:92Nyakati 16:99 Macho ya Bwana yanakimbia‐9 Macho ya Bwana yanakimbiakimbia duniani mwote, yakitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili Mungu 

ajionyeshe kwamba yeye niajionyeshe kwamba yeye ni mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.

Page 1225: Kanuni za kiroho za ushindi

Kanuni za KirohoKanuni za Kiroho

Hitimisho!

Page 1226: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Z li hZalisha N MNguvu za Mungu 

Ndani yako

Page 1227: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni hizi tulizojifunza zikusaidieKanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani g gyako, kwasababu, utendani kazi a mkono a M ng maishaniwa mkono wa Mungu maishani 

mwako unategemea sana kiwango g gcha nguvu zake, kinachotenda kazi 

d i kndani yako.

Page 1228: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwambaHii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango

hcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

Page 1229: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwambaKwamba …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutatengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

Page 1230: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa hiyoKwa hiyo …***… ikiwa tutatengeneza au…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu kidogo za Mungu ndani yetu, tutauzuia 

mkono wa Mungu kufanya mambomkono wa Mungu kufanya mambo mengi na makubwa anayotaka kufanya maishani mwetu.

Page 1231: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

LakiniLakini …***… ikiwa tutatengeneza au…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu za Mungu kwa wingi (za kutosha) ndani yetu,

tutauwezesha mkono wa Mungututauwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi na 

makubwa anayotaka kufanya.

Page 1232: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Z li hZalisha KIWANGOKIWANGO

h k h hcha kutosha cha Nguvu za Mungu 

Ndani yako

Page 1233: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwasababu …Kwasababu …

Utendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, 

kiunategemea sana kiwangocha Nguvu za Mungucha Nguvu za Mungu 

kinachotenda kazi ndani yako.

Page 1234: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Mungu anaweza kufanya mambo yag y ymakubwa sana na ya ajabu mno(yasiyopimika) katika maisha yako(yasiyopimika) katika maisha yako,kuliko mambo yote unayo‐yawaza auunayoyaomba, lakini ni kwa kadiri(kwa kiwango au kipimo) cha nguvu(kwa kiwango au kipimo) cha nguvuzake kinachotenda kazi ndani yeko.

Page 1235: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni muhimu tujue kwambaNi muhimu tujue kwamba,Haiwezekani kuutawalaHaiwezekani kuutawala 

ulimwengu wa mwili (dunia) kwa nguvu za mwili peke yake;  pasipo nguvu za kiroho; nguvupasipo nguvu za kiroho; nguvu 

za Mungu (Utukufu)

Page 1236: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Utukufu  au Nguvu za Mungu za kutuwezesha kuutawala 

ulimwengu wa mwili (dunia)ulimwengu wa mwili (dunia), Mungu ameziweka ndani yetug yKwa njia ya Roho Mtakatifu! (Warumi 8:11,  1Yoh 4:13,17)

Page 1237: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni hizi tulizojifunza zikusaidieKanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani g gyako, kwasababu, utendani kazi a mkono a M ng maishaniwa mkono wa Mungu maishani 

mwako unategemea sana kiwango g gcha nguvu zake, kinachotenda kazi 

d i kndani yako.

Page 1238: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHONi mambo ambayo, tukiyawekaNi mambo ambayo, tukiyaweka 

kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetuMtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

Page 1239: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni muhimu tujue kwambaNi muhimu tujue kwamba,Haiwezekani kuutawalaHaiwezekani kuutawala 

ulimwengu wa mwili (dunia) kwa nguvu za mwili peke yake;  pasipo nguvu za kiroho; nguvupasipo nguvu za kiroho; nguvu 

za Mungu (Utukufu)

Page 1240: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Utukufu  au Nguvu za Mungu za kutuwezesha kuutawala 

ulimwengu wa mwili (dunia)ulimwengu wa mwili (dunia), Mungu ameziweka ndani yetug yKwa njia ya Roho Mtakatifu! (Warumi 8:11,  1Yoh 4:13,17)

Page 1241: Kanuni za kiroho za ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni hizi tulizojifunza zikusaidieKanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani g gyako, kwasababu, utendani kazi a mkono a M ng maishaniwa mkono wa Mungu maishani 

mwako unategemea sana kiwango g gcha nguvu zake, kinachotenda kazi 

d i kndani yako.

Page 1242: Kanuni za kiroho za ushindi

Ibada na UtoajiIbada na Utoaji

Mwisho!

Page 1243: Kanuni za kiroho za ushindi

Mafundisho MengineMafundisho Mengine

Vitabu vingine, CD na DVD za g ,Mafundisho vya Mwalimu Mgisa 

M b ik k ik d k lMtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo laVitabu vya Kikristo la Azania Front Cathedral 

Luther House, Sokoine DriveDar es Salaam.

Page 1244: Kanuni za kiroho za ushindi

Kwa mawasiliano zaidi,Kwa mawasiliano zaidi,

Mwl Mgisa MtebeMwl. Mgisa Mtebe (Christ Rabbon Ministry)

P. O. Box 837,Dar es Salaam TanzaniaDar es Salaam, Tanzania.

+255 713 497 654+255 783 497 654

[email protected]