Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

149
Uanafunzi Unaozingatia Theologia Mwongozo wa kuwafundishia wazazi na viongozi wa makanisa Mwandishi: Tammie Friberg Mfasiri: Alfred Mtawali Mchora picha: Beutyani Mimi Cheung

Transcript of Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Page 1: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Uanafunzi UnaozingatiaTheologia

Mwongozo wa kuwafundishia wazazi na viongozi wamakanisa

Mwandishi: Tammie FribergMfasiri: Alfred Mtawali

Mchora picha: Beutyani Mimi Cheung

Page 2: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Maandiko yote yamenukuliwa kutoka katika Biblia ya UBS Habari Njema na UBS Union Version.

Hakimiliki © 2007-2009 Tammie Friberg na Beutyani Mimi Cheung. Haki zote zimehifadhiwa. Mtu yeyoteanaruhusiwa kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hiisharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya watu kuwa wanafunzi wa Yesu ili kuupanua Ufalme Wa Mungu.Mtu anayenakili haruhusiwi kuuza au kujiletea faida ya kifedha kwa njia yoyote ile.

Page 3: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Yaliyomo

UtanguliziJinsi ya Kutumia Mwongozo Huu

Msingi wa Mafundisho Ya Kimsingi

Masomo Ya Uanafunzi:

1 Mungu na Uumbaji Wake wa Kiroho.

2 Mungu na Uumbaji Wake wa Vitu Vionekanavyo.

3 Jinsi Mungu Anavyowasiliana na Wanadamu.

4 Sheria za Mungu kwa ajili ya kuishi: Amri Kumi.

5 Falme Mbili

6 Yesu Ndiye Jibu

7 Upatanisho wa Mungu na Wanadamu

8 Jinsi ya Kutambua Dini za Uongo

9 Ukuaji wa Kiroho wa Kibinafsi na Vita Vya Kiroho

10 Kufuata Njia ya Mungu, Kuishi Maisha ya Kiungukatika Jamii

11 Neema Ya Mungu, Uwakili Wetu

12 Ufalme Ujao

Page 4: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 1

Jinsi ya Kutumia Mwongozo Huu

Kanisa linahitaji kuwa na kina na msingi thabiti ili liweze kuendelea kuwa na nguvu na kuleta matokeo yaliyolengwa katikaukuaji wa Ufalme. Mara nyingi makanisa yetu yamejaa watu wanaopeperushwa na kutupwa huku na kule na pepo namawimbi ya mafundisho ya uongo na majaribu ya mwili. Watu wanataka kujua kile wakiaminisho lakini wakati mwinginehali mbaya zinazozunguka maisha yao kuwafanya waendelee kutafuta tu kile kitakachosaidia hali yao ya sasa. Katikamafundisho na mahubiri yetu tunahitaji kukutana na watu mahali walipo kimihemko na pia kufundisha kina na upana waNeno la Mungu. Tunapoendelea kumjua Mungu vizuri tunajifundisha yale yampendezayo. Tunajifunza kuishi katika njiaitakayomletea utukufu na kupanua Ufalme Wake. Na pia katika kujifunza juu ya Mungu, huwa tunatiwa nguvu katikakukabiliana na hali zetu kwa kujifunza kumtumaini Mungu na kumkimbilia Yeye. Basi tunawezaje kutimiza jukumu la kutianguvu makanisa yetu, na kisha tuweze kuzungumzia mahitaji ya watu?

Wakati mwingine walimu na wahudumu hawatumii wakati mwingi kufundisha theologia kwa sababu ningumu kuielezea kwa njia ambayo kwa kweli watu wataelewa maanake. Yaani, inaweza kuchokesha au kuwavigumu kuielewa ikiwa ni mkusanyiko wa mambo ya ukweli tu bila wasikilizaji kuyatumia katika maisha yao.

Lakini Uanafunzi Unaozingatia Theologia ni njia ya kufundishia mtazamo wa ulimwengu wa Kibiblia natheologia kwa njia ambayo itaifanya iwe na maana. Unaelezea mafundisho yote makuu ya theologia katikaBiblia, huku pia ukizungumzia mahitaji ya ndani wanayohisi watu. Ni kifaa cha uanafunzi cha kuwafanya

watu waelewe vipengele vya kuenenda katika njia za Mungu na kukua kiroho; na pia unafundisha mafundishomagumu ya Biblia ili kuwafanya watu wasitupwe huku na huko na mawimbi ya mafundisho ya uongo.

Kuna vipengele vingi muhimu vya kuwawezesha watu wafanikiwe kufundisha theologia

1. Ni lazima tujibu swali hili, “Tutatumia njia gani kufundisha watu ili wawezekukumbuka yale waliyofundishwa?”

Inasemekana kwamba watu hujifunza zaidi wakati wanaweza kuona kitu, kusikiliza kitu, kuandika kitu, na kufanyia kitumazoezi. Vitabu hivi vilitengenezwa ili vitumike katika njia hizi zote.

Tazama: picha zinapochorwa. Sikiliza: mafundisho yaelezwayo na michoro hii. Andika: jifunze kuchora michoro hii. Fanya mazoezi: Fanyia mazoezi michoro hii, soma vitabu hivi, shika maelezo haya kwa kichwa, yafunze

wengine.2. Ni lazima tujibu swali hili, ni njia gani tunayoweza kutumia kuelezea imani zetu, ili

zilete maana ya kweli kwa watu?

Ili tuweze kuwa walimu wazuri na wenye kuleta matokeo yaliyolengwa ni lazima:

Tuwe wanafunzi wazuri wa Neno la Mungu: Tumia wakati kusoma na kuchunguza Biblia kwa kina. Kwakweli kuchukua wakati kuchunguza Biblia huongeza kina kwa mafundisho na mahubiri yako.

Tujitoe katika maombi: Ni lazima tuombee mahitaji ya kiroho ya watu. Paulo aliomba ili watu wake wakuekatika upendo wa Bwana Yesu, wakue katika maarifa yote na utambuzi, wajue mapenzi ya Mungu, mambomengine mengi.

Tuwajue na kuwapenda watu: Ni lazima tujue watu wetu wanapambana na mambo gani, jinsi mibano yautamaduni unavyowaathiri, ni mafundisho gani ya uongo yameenea mjini, na ni wako mahali gani kiroho. Nilazima tujue kwa kweli mahitaji yao ya kiroho ni yapi, sio yale yawatumbuizayo au yale yanayowatia nguvukimihemko. Ni lazima tufundishe kwa upendo na ujasiri wa Roho. Na ni lazima tutamani kuwaona watu wetuwakikua na kufikia ukomaavu wa Kristo, na saburi yote na uvumilivu kwa wale ambao hawajakomaa.

Page 5: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 2

Tuwe wanaume na wanawake waaminifu: Ni lazima tuishi kwa ukweli, kuabudu, usafi, na maisha manyoofukatika maneno na matendo. Tunajua Mungu atawahukumu walimu kwa ukali zaidi. Kwa hivyo kufundishahuambatana na hitaji kujichunguza wenyewe katika kila eneo wakati tunapojitayarisha kufundisha wengine. Nilazima tusiishi katika uovu, kuwatukana wengine, au sisi wenyewe kuwadhulumu watu ikiwa tutawafundishawengine wasifanye mambo haya.

Tumsikilize Roho: Ni lazima tumsikilize Roho wa Mungu ili tujue ni lipi la kusisitiza na kufundisha kila kundi. Mambo haya yote yakiwapo, Mungu huumba “Mzigo wa Kufundisha” ndani yetu. Mzigo huu wa kufundisha

ndio tunaoujua kama ujumbe alio nao Mungu kwa ajili ya watu Wake wakati huu. Hutokana na kuchunguzaBiblia, maombi, kujua hali ya washiriki wako, kuishi maisha manyoofu, na kwa kumsikiliza Roho.

3. Ni lazima tujibu swali hili, tunawezaje kuongeza kina katika mafundisho yetu? Nani jinsi gani tunaweza kuwa na uhakika kuwa tunafasiri maandiko sawasawa?

Kutengeneza Matumizi kwa ajili ya Wanafunzi wako:Unaposoma vitabu hivi, unahitaji kuomba na kumwuliza Mungu akupatie mwelekeo katika matayarisho yako ya mafundisho.Wakati wowote maandiko yanapochunguzwa, ni muhimu kujua sheria za kimsingi za kufasiri ili matumizi sahihi yatengenezwe kwaajili ya wanafunzi wako. Unaposoma kila fungu la maneno, jiulize maswali yafuatayo:

Ni nani aliyeandika kitabu cha Biblia ambamo hadithi au Maandiko haya yanapatikana? Kitabu hiki kiliandikiwa akina nani? Wahusika katika kitabu hiki ni akina nani? Kunafanyika nini katika hadithi hii, ni suala gani linalozungumziwa, ni wahusika wapi wasababishao mambo? Matumizi: Fungu hili la maneno lilikuwa na maana gani kwa wasikilizaji asili? Tunaweza kutumia ukweli huu huu kwa

njia gani leo? (majadiliano ya mtu kwa mtu). Ongeza kina kwa kuuliza: Fungu hili linafundisha nini kuhusu Mungu, dhambi, mtu, kuishi kiungu, uumbaji, Shetani,

majaribu, mioyo yetu, wakati ujao, n.k.Aidha jiulize:

Fungu hili au fundisho hili linaingiliaana na mafundisho mengine yaliyo ndani ya Biblia kwa njia gani? Je, kwa kweli maana hii ninayoipa matini hii, ndiyo linayonuia kufundisha fungu hili? Je, ninatia uroho mwingi katika matini hii ili ilete maana nyingine tofauti? Je, kuna maandiko mengine mengi yanayounga mkono dhana hii hii? Ikiwa mafungu mawili yanaonekana kupingana, ni lazima yote tuyakubali. Je, mimi ninachanganya itikadi zozote za kitamaduni na ufunuo wa Mungu katika Maandiko? Je, ninapotengeneza matumizi, ninaanza na fundisho ambalo nimewahi kusikia, au ninaanza na matini ya Biblia na

kutafuta maana kwanza?

Kuweka uchunguzi pamoja:

Michoro: Kila sura ina mchoro mgumu na mchoro rahisi ili ninyi wenyewe mpate kujifunza kuchora masomo hayo. Mchoro rahisilazima ufunzwe kwa wasikilizaji wako ili mafundisho haya yaweze kukumbukwa na kutolewa tena—yakifundishwa watu wengine.

Maelezo ya Picha ya jumla: Huu ni utangulizi mfupi wa maelezo ya jinsi ule mchoro unavyotumiwa kufundishia mada ile. Nilazima ufahamu sana maelezo hayo na uyatumie unapotambulisha somo lako ili ulipe somo lako mwelekeo.

Njia za Kufundishia Sura hii: Kuna njia nyingi tofauti kila sura inaweza kuelezewa au kufundishwa. Moja ni hii *Njia Rahisi yaKupitia juu- kufundisha kuchora picha na vitabu vilivyoelezewa katika sehemu ya kupitia kila Sura kwa Jumla. Ya pili ni hii *Njiaya Mada- ambapo mada kubwa zilizojumuishwa katika Sura zinaelezewa. Kwa mfano, Sifa za Mungu au Utatu zinaweza kuwamada mbili kuu katika Sura ya 1. Ya tatu ni *Njia ya Maelezo ya Kina- ambapo Sura inavunjwavunjwa katika sura ndogo ndogozaidi. Kwa mfano, kutoka Sura ya 1 tunaweza kuchunguza sifa kwa kina zaidi kama vile Uaminifu wa Mungu au Ukombozi waMungu. Au tunaweza kuchunguza kazi ya Roho Mtakatifu. *Njia ya Mahubiri- inatoa taarifa ya usuli kwa ajili ya kuelezea nakalakwa wale ambao hawajaamini. *Njia ya Mkristo Aliyekomaa- Hutoa dhana za kuelezea nakala/vitabu kwa ajili ya kuwapa changamoto waamini waliokomaa.

Page 6: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 3

Malengo ya Kufundisha: Orodha ya mafundisho au masomo unayotaka kukamilisha katika somo hili. Ni muhimu kwambaufundishe malengo haya yote na vipande vyote vya picha ili watu wawe na ufahamu kamili wa fundisho hilo. Katika Sura yenyewekuna vichwa vya masomo pia kwa kila sehemu ya picha. Kina cha jinsi utakavyofundisha haya inategemea umri na daraja la kirohola darasa lako.

Sura/sehemu Zihusianazo: Orodha ya sura nyingine katika mwongozo huu zinazofundisha dhamira zinazohusiana. Mafundishohaya yote ya Biblia yanaingiliana na kuhusiana. Orodha hii ni maoni ya jinsi unavyoweza kuunganisha sura hii na sura nyinginekatika uchunguzi huu. Kurudia yale uliyojifunza katika masomo ya awali hutia nguvu kujifunza kwako. Inasemekana urudie kitumara tano katika somo moja ili watu wakikumbuke.

Mwongozo wa uchunguzi/Somo: Mwongozo wa somo/uchunguzi umegawanywa katika safu mbili. Safu ya kushoto ina pichandogo kutoka kwa Kielezo cha Sura. Juu ya picha kuna kichwa cha somo kwa ajili ya ile picha ndogo zaidi. Chini ya picha nimaelezo ya hiyo picha, yakifuatwa na arifa zozote za somo zilizojumuishwa. Kuna masomo ya maneno ya Kiebrania na Kiyunanina arifa nyingine zilizoongezwa katika eneo hili.

Safu ya kulia ina orodha ya vichwa utakavyotaka kufundisha kuhusu picha hiyo. Vichwa hivi vimetolewa kwenye hadithi za Bibliana Maandiko yafuatayo. Ni muhimu sana kusoma hadithi hizo za Biblia na Maandiko wewe mwenyewe, na utoe kina kutoka kwayo

Mafundisho ya Ziada: Sura nyingine zina mada za ziada ambazo zimetambulishwa kwa njia fulani na sura hiyo hiyo ya somo.Kawaida hizi ziko mwisho wa kila sura.

Vitabu vya Uanafunzi unaozingatia Theologia vimelengwa kutumiwa na walimu kama kifaa cha marjeo. Ingawa vitabu hivi vinamada na maelezo ya jumla, kazi ya kuweka masomo ya Biblia pamoja imeachiwa mwalimu mwenyewe. Hata hivyo, ni muhimukufundisha vipengele vyote vya picha ili utoe ufahamu kamili zaidi wa kila fundisho la Biblia. Sura moja hujenga juu ya nyinginena ni lazima ufunzwe kwa mda. Fundisha mapitio kwanza, ukiongeza kina cha somo kulingana na kiwango cha kiroho chawasikilizaji wako.

Mwanafunzi nenda!

Page 7: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 4

Msingi wa Mafundisho Ya Kimsingi

Mungu

Kuna Mungu mmoja wa kweli, muumba vyote na mtunzaji wa mbingu na nchi, Mungu aliyejifunua kwetu kama Baba, Mwana, naRoho Mtakatifu, wakiwa na sifa tofauti, lakini bado ni mmoja kiasili. Mungu ni mtakatifu na tumetengwa naye, na wakati huo huoni mwenye upendo na anatafuta kuwa na uhusiano wa kibinafsi nasi. Mungu ni roho na anapenda kuabudiwa kiroho, yeye vile vileni ndiye kweli, kwa hiyo anapaswa kuabudiwa kwa njia ya kweli.

Ufunuo

Mungu amajifunua kwetu kupitia kwa uumbaji wake, amenena wazi wazi kupitia kwa Maandiko matakatifu, na vile vile amejifunuakwetu kupitia kwa Yesu Kristo na kazi zake. Maandiko ndiyo kumbukumbu ya kweli ya kazi ya Mungu katika uumbaji na kazi nahuduma ya Yesu, na yeye ndiye kigezo pekee ambaye kupitia kwake tunaweza kupima ufasiri wetu wa maswala ya imani namatendo yetu. (Tambua: maneno kukosa kasoro kwa Kiingereza inerrant na infallible hayakutumiwa kwa sababu ya maana yamaana ya kisiasa iliyoko katika maneno hayo.

Ufalme

Mungu ndiye mfalme wa vitu vyote, na hatimaye, kila kiumbe kitakiri kwamba yeye ni Mfalme (Ufalme). Kwa sasa, Shetani, namalaika walioanguka wamemwasi Mungu na kujitangaza kuwa miungu na kumilki ufalme wa dunia hii. Watu wote ambaowamerithi asili ya dhambi ya Adamu, huzaliwa tayari wakiwa chini ya ufalme wake wa uasi. Hata hivyo malaika waaminifu wakochini ya Ufalme wa Mungu, na watu waliokombolewa vilevile huingia katika Ufalme wake ili wamheshimu yeye na kuyatii mapenziyake.

Kazi ya Kristo

Bwana wetu Yesu Kristo amekuwepo wakati wote kama Neno, ambaye ni Mungu na alihusika katika uumbaji pamoja na Baba.Aliingia katika historia kama mwanadamu, aliyezaliwa na bikira Mariamu. Aliishi maisha yasiyokuwa na dhambi, alitenda miujiza,na kuhubiri Injili ya Ufalme wa Mungu. Aliteswa katika mwili wake kwa ajili ya dhambi zetu na akafa badala yetu, na akafufukakatika mwili kutupa uzima. Ameketi mbinguni mkono wa kuume wa Baba na anatumika kama mpatanishi na mtetezi wetu. Ataruditena kuwahukumu walio hai na walio kufa.

Kanisa

Kanisa ni kusanyiko la waamini wa kweli. Waamini hawa wamezaliwa mara ya pili kwa kupitia kwa Roho Mtakatifu, ambayehuwatumbukiza katika uwepo wake na kukaa ndani yao. Ubatizo huu katika Roho Mtakatifu humjumuisha kila mwamini mpyakatika Mwili wa Kristo ulio hai. Roho humtia nguvu mwamini kuishi maisha ya mabadiliko, ya kutakaswa na humpa ufahamu wakiroho wa ukweli wa Mungu. Roho pia humfanya kila mwamini kudhihirisha neema, neema hii pia huitwa karama za neema amakarama za kiroho. Lengo la karama hizi za neema ni kuujenga Mwili wa Kristo na kuwabariki wengine kupitia kwa kazi ya huduma.

Wokovu

Wokovu ni karama ya Mungu, hauwezi kupokewa kwa kutenda chochote. Wokovu unahitajika wka sababu kila mtu ametendadhambi na hatima yake ni kutengwa na Mungu milele huko jehenamu. Wokovu msingi wake ni imani katika ondoleo la dhambilinalotokana na damu ya Kristo. Wokovu una vipengele vitatu: huanza na kuhesabiwa haki –wakati ule ambao mtu anapatanishwana Mungu na kuwekwa huru kutokana na adhabu ya dhambi; unaendelea na utakaso –kuishi maisha ya utakatifu kutokana nakuwekwa huru kutokana na nguvu ya dhambi; na kisha mwisho wake ni kutukuzwa –huku ni kuwekwa huru kabisa kutokana nauwepo wa dhambi huko mbinguni. Ili mtu aweze kuokoka, mtu lazima akubali kwamba ni mwenye dhambi na kuziacha dhambi kwanjia ya toba. Imani ya kweli hukiri kwamba Yesu ni Bwana pia huamini kwamba Mungu alimfufua Yesu kutoka kwa wafu, naMungu humwokoa mwamini anayekiri hivyo. Katika kiwango hiki cha kuhesabiwa haki, mtu huzaliwa mara ya pili katika Ufalmewa Mungu wa nuru. Maisha haya mapya yanamaanisha kubadilishwa kwa mtindo wa maisha ya mtu na kuanza kuishi maishayanayoonyesha kwamba Yesu ndiye Bwana kwa utakatifu na uzima tele. Hatimaye, mwamini ana matumaini ya kutukuzwa, maishaya milele ya baadaye na kuishi katika uwepo wa Mungu.

Page 8: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 5

Page 9: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 6

Picha Iliyorahisishwa kwa ajili ya Sura ya 1

Page 10: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 7

Sura ya 1: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Maelezo Ya Jumla Ya Picha

Kielelezo cha 1: Ni muhtasari unaoweza kuonekana kwa macho wa mafundisho ya kimsingiya Mungu, Uumbaji wake na Utawala wake juu ya viumbe vya kiroho na kazi za viumbehivyo vya kiroho ulimwenguni. Sehemu ya juu ya picha hii inatumiwa kufundisha sifa na utawalawa Mungu juu ya kila kitu alichokiumba. Ile sehemu ya picha ambayo iko chini ya mstari,inatumiwa kufundisha juu ya shughuli au kazi za viumbe vya kiroho ulimwenguni.

Sehemu ya juu ya picha hii inaonyesha Kiti cha Enzi cha Mungu huko Mbinguni. Kiti cha enzi chaMungu kinawakilisha utawala wake juu ya vyote, vilevile kinawakilisha jinsi Mungu anavyostahilikupewa sifa na kuabudiwa, na utawala wake wa haki katika karne zote na milele yote.

Kwenye kiti hicho cha enzi, kuna picha ndogo ndogo ambazo zinasimamia Utatu Mtakatifu: Mungu Baba (Mkonoulionyooshwa), Mungu Mwana (Mwanakondoo), na Mungu Roho Mtakatifu (Njiwa).Tunatumia mkono kumwakilisha Mungu itusaidie kukumbuka sifa Zake za kiutu na kimaadili. Kitanga cha mkonowake kinawakilisha “-ote tatu.” Mungu Anajua Yote; Yuko Mahali Pote; na Ana Nguvu Zote. Gumba linawakilishautakatifu wake na haki yake; Shahada- kinawakilisha upendo wake na neema yake; cha kati- yeye ni mpaji wetu; chapete- Yeye ni kimbilio letu; Kadogo- Yeye ni mkombozi wetu kimwili na kiroho.

Chini ya kiti cha enzi cha Mungu, kuna msitari unaomtenganisha Mungu na uumbaji wake. Ni muhimu kufahamukwamba Mungu haumbwi kwa mikono ya binadamu au kufikiri kwao; na wala Mungu si sehemu ya chochote ambachoni cha ulimwengu au uumbaji wenyewe. Yeye yuko kivyake na yuko juu ya vitu vyote alivyoviumba. Hata hivyouwepo na matendo yake vyote viko Mbinguni na duniani, kama inavyoonyeshwa na mkono ulionyooshwa kutokakwenye Kiti Cha Enzi hadi duniani.

Katikati ya picha ni ulimwengu ambao una malaika na pepo wakitembea huku na huko. Katika sehemu ya kushotoya ulimwengu huu, kuna jeshi la malaika. Upande wa kulia, kuna malaika walioanguka tunaowaita pepo. Sehemu hii yapicha inatumiwa kufundisha juu ya uumbaji, shughuli na athari au ushawishi wa viumbe vya kiroho duniani.

Ulimwengu wa kiroho umechorwa chini ya Kiti cha Enzi kwa sababu Mungu ndiye mwenye uwezo na mamlaka yotejuu ya hivi viumbe vyote vilivyoumbwa. Kumbuka kwamba, Biblia inasema kwamba viumbe vya kiroho piavinapatikana mbinguni, ingawa havijaonyeshwa hapa kwenye mchoro. Aliumba viumbe vya kiroho na hiari. Baadhi yaviumbe hivi vilimwasi Mungu (pepo), na vingine viliendelea kumwabudu na kumtumikia Mungu (malaika). Kunamalaika wengi kuliko pepo. Na Mungu ana mamlaka kamili juu ya vyote, malaika na pepo. Pia kumbuka kwamba hiviviumbe vya kiroho sio roho za mababu zetu waliokufa. Ni viumbe vya kiroho ambavyo Mungu aliumba.

Katika picha pepo na malaika wamepangwa katika makundi ya vyeo. Hii inatusaidia kuelewa kitu fulani juu ya areranked shughuli ya ulimwengu wa kiroho. Katika Waefeso 6 Paulo anatueleza kwa kifupi baadhi ya kazi za pepo.Baadhi yao anawaita wafalme wakuu-tunaweza kumtambua Shetani katika daraja hili la kwanza. Wengine anawaitamamlaka (daraja la pili)- hakuna mambo mengi juu yao katika Maandiko. Kundi la tatu linaitwa watawala waulimwengu. Hawa wanaweza kuwa wale ambao wako juu ya maeneo muhimu ulimwenguni wakiathiri serikalikandamizi zisizomjua Mungu na dini za uongo (soma Danieli 10:13). Kundi la mwisho linaitwa nguvu za giza katikaulimwengu wa roho- yamkini ni wale ambao wanafanya kazi karibu sana na watu. Hizi zinaweza kujumuisha nguvuwanazotumia watu katika uchawi, ulozi/uganga na uchawi. Labda ni wale wanaowajia watu kwenye ndoto au walewakandamizao watu. Tunajua malaika wawili wakuu kwa majina, Mikaeli na Gabrieli. Vinginevyo, tunajua tu kazi zamalaika peke yake- kumwabudu Mungu, kuwa wajumbe wa Mungu, kulinda, kuwa waangalizi, na wakati mwinginekutuongoza katika hali za kushuhudia.

Page 11: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 8

Njia za Kufundishia Sura hii:1. Njia ya Rahisi ya kupitia. Fundisha taarifa iliyo katika maelezo ya jumla, ukichora picha ya kuwakilisha kila

mada ilinganayo nayo.2. Njia ya Mada. Chukua kila sehemu kuu ya somo hili na uifundishe kivyake kwa mda. Hii ndiyo njia ya

kufundishia inayoingia ndani zaidi. Mada zinaweza kujumuisha: Ukuu wa Mungu juu ya Ulimwengu waKiroho; Sifa za Mungu, Utatu, na Kufahamu Ulimwengu wa Kiroho

3. Njia ya Kina/Utondoti. Hii ndiyo njia ya kuingia ndani zaidi. Soma eneo la Maandiko kutoka kwa kila pichana somo. Kwa mfano: uadilifu na haki ya Mungu. Ukombozi wa Mungu wa kimwili na wa kiroho katikaBiblia. Kazi ya Baba. Kazi ya Yesu. Kazi ya Roho Mtakatifu. Kazi ya malaika ulimwenguni. Kazi ya pepoulimwenguni, nimetaja mifano michache.

4. Njia ya Mahubiri. Kutegemea yule unayetaka kumfikia ni nani, unaweza kuchagua kufanya mapitioukisisitiza Asili ya Mungu na Ukuu Wake juu ya uumbaji wake wote.

5. Njia ya Mwamini Mkomaavu. Sura za kwanza 5 katika kitabu hiki zinaweka msingi kwa ajili ya mafundishomengine yote katika kitabu hiki. Katika sura hii Elimu ya Mungu na Nguvu Zake juu ya ulimwengu wa kirohoni muhimu kwa kupata msingi imara wa yale yatakayofuata.

Malengo Ya Sura ya 1

1. Kufundisha sifa za kuwako kwa Mungu na asili yake.2. Kufundisha jinsi ya kuzitambua sifa za Mungu kupitia kwa kazi zake wakati wote na kupitia uumbaji wake.3. Kufundisha kwamba Mungu ni muumba wa ulimwengu uonekanao na wa kiroho (pia soma sura ya 2).4. Kufundisha kwamba Mungu ni mwenye enzi juu ya ulimwengu wa kiroho na uonekanao/wa kimwili (pia soma

sura ya 2).5. Kutusaidia kuelewa asili ya Mungu , Utatu Mtakatifu.6. Kufunua njama za Shetani anayependa kuwapotosha watu kutoka kwa Mungu.7. Kufahamu kazi za malaika, bila kuwatukuza.

Sehemu Zinazohusiana

Sura ya 2: Sura ya kwanza na ya pili zinahusu uumbaji wa Mungu.Sura ya 6: Yesu anatufanya kuwa Viumbe VipyaSura ya 12: Mbingu mpya na nchi mpya wakati mwisho; hatima ya mwisho ya wanadamu na viumbe vya kiroho

Somo la 1 Sifa za Mungu

Picha na Maelezo Vichwa vya masomo, Hadithi za Biblia, na MaandikoYanayoambatana na Somo

Sehemu ya 1a: Mungu ndiyeMuumba wa vyote vinavyookenana visivyoonekana. Yeye ni nafsi,habadiliki, ni wa milele, na Roho

asiyeonekana.

Vichwa vya Masomo:1. Mungu ndiye Muumba wa vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.2. Mungu ni Mungu mwenye nafsi.3. Yeye habadiliki.4. Ni wa milele.5. Yeye ni Roho asiyeonekana.6. Kiti chake cha Enzi kiko Mbinguni, lakini anatawala Mbinguni na

duniani. Ana haki na mamlaka yote ya kutawala viumbe vyote.7. Msingi wa kiti chake cha enzi ni ukweli, haki na utakatifu.

Page 12: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 9

Tumia vichwa vya masomo vilivyokoupande wa kulia ili kutambulisha sifaza kimsingi za Mungu. Tambuakwamba si mambo yote yameonyeshwakwenye picha.

Kiti cha Enzi- Chora kiti cha enzi naueleze vichwa vya masomo kuanzia 1-8. Fafanua kwamba Mungu haonekanikwa macho na hatuwezi kuabudu kitukilicho na mfano wa Mungu. Lakinitutatumia picha za mkono, mwanakondoo,na njiwa kuwakilisha sifa za Mungu. Kiticha Enzi cha Mungu kiko Mbinguni(mbingu ya kwanza ni ile anga ya dunia;mbingu ya pili ni ile anga iliyo juu yake;mbingu ya tatu ni pale palipo na Kiti chaEnzi cha Mungu (angalia 2 Wakorintho12:2). Mungu ndiye muumba wa vituvyote. Ana mamlaka yote yote na ndiyeanayetawala uumbaji wake; Yeye ndiyeanayestahili sifa na kuabudiwa; Ndiyeanayehukumu kwa haki. Msingi wa Kitichake cha Enzi ni kweli na haki.

Mwangaza uking’aa kutoka kwenyeKiti cha Enzi – Chora msitari juu ya Kiticha Enzi. Eleza kwamba ule mwangazaunaong’aa kwenye kiti cha enzi ndioutukufu, uadhama, na utakatifu wa Mungu.Yeye pekee ndiye anayestahili kuabudiwa.

8. Yeye ndiye mwenye Rehema na Fadhili.9. Anakaa katika mwangaza usiweza kufikika karibu. Utukufu wake

unazijaza mbingu na dunia.

Mungu ndiye Muumba wa vyote vionekanavyo na visivyoonekana.Hadithi*Hadithi ya uumbaji- Mwanzo 1-3. Zaburi ya uumbaji- Zaburi 104.Maandiko*Mungu Aliumba Vitu Vyote Kupitia kwa Neno - Zaburi 33:6, 9; Waebrania 11:3; Yohana 1:1-4.*Mungu Aliumba Vyote Vionekanavyo na Visivyoonekana - Mwanzo 1-3; Wakolosai 1:16. *Nanialiyekuumba tumboni: Mimi ni BWANA, nifanyaye vitu vyote; nizitandaye mbingu pekeyangu; - Isaya 44:24. **Angalia pia Sura ya 2 kwa marejeo ya Mungu alivyoumba vitu vyote.

Mungu ni wa milele na habadilikiMaandiko*Kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeuka-geuka -Yakobo 1:17. *Lengo la Munguhalibadiliki - Waebrania 6:17-18. *Mungu wa milele ni mahali pa kukaa, na chini yake ni mikonoya milele - Kumbukumbu La Torati 33:27. *Mungu ana nguvu milele – Warumi 1:20. *Munguhutoa karama ya uzima wa milele kupitia kwa Yesu - Warumi 6:23.

Kiti cha EnziMamlaka ya Mungu na haki ya kutawala na kuhakikisha haki inatendeka katikaUumbaji wake.Hadithi*BWANA ndiye Mungu katika mbingu juu na katika nchi chini; hapana mwingine …”-Kumbukumbu La Torati 4:39-40. *Maono ya Ezekieli ya kumuona Mungu.- Ezekieli 1 (kifungu26). *Maelezo ya Yohana juu ya Kiti cha Enzi cha Mungu na Mwanakondoo.- Ufunuo 4-5.*Rahabu alisikia kwamba Mungu aliyakausha maji na kuwashinda wafalme, kwa hiyo akakubalikwamba Mungu ni Mungu wa Mbinguni na wa Duniani - Yoshua 2:8-11.Maandiko*Utakatifu na Haki ndio Msingi wa Kiti chake cha Enzi - Zaburi 97:2. *BWANA ameweka Kitichake cha Enzi Mbinguni na Ufalme wake utawala vyote- Zaburi 103:19; 47:8; 11:4. *BaliBWANA atakaa milele; Ameweka kiti chake tayari kwa hukumu. Naye atauhukumu ulimwengukwa haki; Atawaamua watu kwa adili. - Zaburi 9:7-8; angalia pia Zaburi 45:6 na Waebrania 1:8;Mathayo 19:28; 25:31; Luka 1:32- Yesu pia yuko Enzini. Kwa Mungu ataleta hukumuni kila kazi,pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au likiwa baya - Mhubiri 12:14.

Mwangaza uking’aa kutoka kwenye Kiti cha EnziUtukufu wa Mungu, uadhama, na utakatifu.Hadithi*Musa na Kichaka kilichokuwa kikiwaka Moto, Utakatifu wa Mungu - Kutoka 3 (kifungu5).

*Musa aliona utukufu wa Mungu ukipita mbele zake - Kutoka 33:18-23. *Kutokea kwa utukufu waBWANA kwa Waisraeli ulikuwa kama moto ulao juu mlimani.- Kutoka 24:17. *Mwangazauking’aa kutoka kwenye kiti cha enzi, utukufu wa Mungu- Ezekieli 1 & 10. *Hema la kukutanialilitakaswa kwa utukufu wa Mungu - Kutoka 29:42-43.Maandiko*Mungu anakaa katika mwangaza usioweza kufikiwa.- 1 Timotheo 6:16. Mungu ni rohoasiyeonekana - Wakolosai 1:15; 1 Timotheo 1:17; Yohana 4:24. *Mbingu zinatangaza utukufu waMungu - Zaburi 19:1. * Katika hekalu lake kila kitu kinasema, “Utukufu”- Zaburi 29:9. *Nchi yoteimejaa utukufu wake - Isaya 6:3. *Habadiliki: Katika Mungu hakuna Kubadilika wala kivuli ChakeKugeuka-geuka - Yakobo 1:17.

**Maandiko yanayohusu sifa za kibinafsi za Mungu zinafuata katika sehemu inayofuata.

Sehemu 1b: Sifa Kuu za Kibinafsiza Mungu: Mungu ni mwenye

Nguvu Zote; Yuko kila Mahali; naAnajua Yote; Msafi; Mtakatifu;

Mwenye Haki; Mtaua; Ni MwenyeUpendo; Mwenye Neema; MwenyeHuruma; Ni Mwaminifu; Ni Mpaji;

Ni Kimbilio Letu; Ni Nguvu Zetu; Ni

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu ni Mungu mwenye Nafsi, na ana sifa za kibinafsi.2. Mungu ni Mwenye Nguvu Zote; Yuko Kila Mahali; na Anajua Yote.3. Mungu ni Msafi na Mtakatifu; Ni Mwenye Haki na Mtaua.4. Mungu ni Mwenye Upendo, Ni Mwenye Neema; na Mwenye

Huruma.5. Mungu ni Mpaji Wetu Mwaminifu.

Page 13: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 10

Kiongozi Wetu; na ni Mkomboziwetu wa Kimwili na Kiroho.

Eleza kutoka katika Biblia, kwambawaandishi hutumia mkono wa Mungukutusaidia kuelewa kazi kuu za Munguulimwenguni. Sifa zote zinazofuata nisehemu ya Asili Yake Yenye Nguvu. Tumiavidole vitano, na kiganja cha mkonokilichorwa kukumbusha sifa za Mungukama zilivyoorodheshwa hapo chini.

Kiganja- Mungu ni Mwenye NguvuZote; Yuko Kila Mahali; na AnajuaKila Kitu.

Kidole Gumba- Mungu ni Msafi &Mtakatifu; Mwenye Haki na Mtaua:

Msafi: Kuna maneno mengi yanayotafsiriwa

6. Mungu ni Kimbilio Letu; Ni Nguvu Zetu; na Kiongozi Wetu.7. Mungu ndiye Mkombozi wetu wa Kiroho na Kimwili.

Kiganja:Mungu ni Mwenye Nguvu ZoteHadithi*Mungu anamfundisha Ayubu Kuhusu Nguvu Zake Juu ya Viumbe Vyote - Ayubu 38-41. *YonaAnashuhudia Kwamba Mungu ni Mwenye Mamlaka Juu ya Bahari, Nchi, Mbingu, Na Mwito waMungu Kumfanyia Kazi - Yona 1-4 (1:9). *Mungu anatekeleza Malengo Yake Kupitia kwa FaraoAsiyemjua Mungu - Kutoka 9:13-21 (kifungu cha16). *Ushindi wa Yonathani dhidi ya Wafilisti,Mungu hazuiwi kuokoa na wingi au uchache wa watu - 1 Samueli 14:6.Maandiko*Hakuna Jambo Gumu kwa Mungu - Yeremia 32 (kifungu cha 17, na cha 27). *Mungu HuyafanyaKazi Pamoja na Wale Wampendao Katika Kuwapatia Mema - Warumi 8:28. *Udhaifu wa Munguni mkuu kuliko nguvu za wanadamu - 1 Wakorintho 1:25. *Tunapokuwa wadhaifu kwa sababu yakudhihakiwa, majaribu, masumbufu ya maisha, mateso, na msongo, yeye huwa na nguvu kupitiakwetu - 2 Wakorintho 12:9-10. *Mungu ametoa taifa moja kutoka kwa taifa lingine, na kutendamambo makuu naya ajabu - Kumbukumbu La Torati 4:32 -34. *Siku moja Mungu atatufufua kutokakwa wafu kulingana na nguvu zake kuu zinazofanya kazi ndani yetu - Warumi 8:11; Waefeso 1:18-20. *Mungu anaweza kufanya chochote zaidi ya vile tunavyoweza kuomba au kufikiria - Waefeso3:20-21.

Mungu Yuko Kila MahaliHadithi*Mungu “Anayeniona”- Mwanzo 16:13. *Mungu anaona kazi za manabii wa uwongo - Yeremia 23(Kifungu 23-24). *Mungu Yuko Karibu Nasi Tunapomwomba - Kumbukumbu La Torati 4:7.Maandiko*Hatuwezi kwenda mahali popote kumkimbia Mungu - Zaburi 139:7-12. *Wala HakunaKiumbe Kisichokuwa Wazi Mbele Zake, Lakini Vitu Vyote vi Utupu na Kufunuliwa Machoni PakeYeye Aliye na Mambo Yetu - Waebrania 4:13. *Macho ya BWANA Yako Kila Mahali;Yakimchunguza Mbaya na Mwema - Mithali 15:3. *Mungu wakati wote yuko nasi kutusaidiawakati wa mateso - Zaburi 46:1.

Mungu Anajua Kila KituHadithi*Danieli Anafasiri na Kuifunua Ndoto Ya Mfalme kwa Msaada wa Mungu - Danieli 2. *YesuAnajua Jinsi Watu wa Kutoka Kila Sehemu Watakavyoipokea Injili - Mathayo11:21. *BWANA niMungu wa Maarifa,Na matendo hupimwa na yeye kwa mizani- 1 Samueli 2:3 (Ombi la Hana).Maandiko*Mungu Anajua Kutoka Kwetu, Kuingia Kwetu na Ghadhabu Yetu Kwake - 2 Wafalme19:27; Isaya 37:28. *Mungu Huwapa thawabu Wale Wanaotoa, Wanaofunga na Kumwomba Sirini- Mathayo 6:1-8; 6:17-18. *Mungu Anayajua Mawazo Yetu, Anayajua Maneno Yetu KablaHatujayasema; Anajua Njia Zetu, Kuketi Kwetu - Zaburi 139:1-4. *Hakuna Mtu AnayewezaKuelewa Ufahamu Wake - Isaya 40:28; Zaburi 147:4 -5. * Kuzimu na Uharibifu Vi Wazi Mbele zaBWANA; Si zaidi basi, Mioyo ya Wanadamu - Mithali 15:11. *Aliyelitia sikio mahali pakeasisikie? Aliyelifanya jicho asione?- Zaburi 94:9.

Kidole Gumba:Mungu ni Msafi na Mtakatifu; Mwenye Haki & Mtaua

Page 14: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 11

kwa neno “safi” katika Biblia. Mengi yamaneno hayo yana maana ya kutenganisha,au kutoa kwenye mchanganyiko usiokuwamsafi wa uchafu, uzinzi, au kuabudusanamu. Mungu ndiye pekee aliye msafikabisa.

Mtakatifu: Neno “takatifu” maana yake nikuwekwa kando. Mungu amewekwa kandotangu kuumbwa kwa dunia na ni msafikimaadili. Hali hii ya Mungu ni tofauti sanana sifa za miungu ya uwongo ambayo watuwameiabudu, ambayo tabia zake ni zile zawanadamu watenda dhambi. Sote tunajuakwamba dhambi huchafua utakatifu. Kwasababu Mungu ni mtakatifu, hawezikuwaangalia wanadamu wenye dhambi.Hata hivyo, Mungu anataka tuishi tukiwa nauhusiano naye, kwa hiyo ametengeneza njiaya sisi kuweza kuwa na uhusiano nayekupitia kwa Yesu.

Kidole Cha Kwanza- Mungu niMwenye Upendo, Mwenye Neema, naMwenye Huruma.Mwenye Upendo- Neno lililotumiwa katikaAgano la Kale mahali pa upendo ni: ahav-nalo hutumika kwa jumla kwa Mungu nawatu; na lingine ni hesed-Maana yake niupendo wa kiagano ulio na uaminifu,wenye msimamo, upendo usiokuwa namasharti, na rehema/huruma. Katika AganoJipya maneno yaliyotumiwa ni agape-ambalo maaana yake ni upendo usiokuwa namasharti; phileo-maana yake ni upendo katiya marafiki. Neno la Kiyunani eros maanayake ni upendo wa kihisia, lakini halikokatika Agano Jipya NT.

Mwenye Neema- Neema ni kibaliasichostahili mtu; kumsamehe mtu aukumhurumia. Neema ni maelezo ya karamaza Mungu kwetu. Neema ya Mungu iletayomsamaha hupewa wanadamu na Mungukupitia kwa Yesu: alikufa kwa ajili yadhambi zetu, akatusamehe dhambi zetu, nakuturejesha katika uhusiano na Mungu,tunapomwamini kama Bwana na Mwokozi,tunapokea wokovu na vile vile tunaandaliwamakao huko mbinguni tunakapokufa. LakiniNeema ya Mungu pia hutufikia kupitia kwakarama zote tulizopewa na Mungu. Munguhutupatia neema ya kukimu mahitaji yetu –tunapata mahitaji yetu kupitia kwa maliasili, pia kupitia kwa kazi na na familia zetu– hii inajumuisha mali tulizo nazo nafamilia zetu. Mungu analipatia kanisakarama za neema za kiroho ili kuwajengawatu kwa ajili ya huduma. Na ametupatiakarama ya Ujumbe wa Injili tuwezekuwahubiria watu wote duniani. JinsiMungu alivyotupa neema katika mamboyote, ndivyo tunavyopaswa kumrudishiashukrani zetu kupitia kwa maisha yautumishi, usafi, wawajibikaji na kujitoakwake. Angalia Sura ya 11.

Hadithi*Ukombozi wa haki wa Mungu (Nyimbo za Musa na Mariamu)- Kutoka 15:1-21. *Utakatifu waMungu umetajwa pale Isaya Alipoitwa Kwenye huduma - Isaya 6. *Sheria Za Mungu za UadilifuZinaonyesha Tabia Yake Ya Utaua - Kutoka 20:1-17.Maandiko*Ndani Yake Hamna Udhalimu - Zaburi 92:15. *Bwana ni Mwenye Haki katika njia zote. - Zaburi145:17-20. *Tunaweza Kujikabidhi Kwake Yeye Anayehukumu Kwa Haki - 1 Petro 2:18-25.*Mungu atatushikilia na mkono wake wa kuume wa haki. Atawaaibisha na kuwadharau walewanaoshindana nasi - Isaya 41:10-13. *wala hatahukumu kwa kuyafuata ayaonayo kwa machoyake, wala hataonya kwa kuyafuata ayasikiayo kwa masikio yake;

\v 4 bali kwa haki atawahukumu maskini, naye atawaonya wanyenyekevu wa dunia kwa adili -Isaya 11:1-5. *Mungu humtendea haki mjane, yatima, na anawapenda wageni.- Kumbukumbu LaTorati 10:17-19. *Ni Mwe Watatifu Kwa Kuwa, Mimi Bwana ni Mtakatifu; Na Nimekutenga NaWatu Ili Uwe Wangu - Mambo ya Walawi 19:2; 20:22-26.

Kidole Cha Kwanza:Mungu ni Mwenye Upendo; Mwenye Neema; na Mwenye HurumaHadithi*Mungu anafunua Jina Lake kwa Musa, Mungu mwingi wa huruma, mwenye fadhili, si mwepesiwa hasira, mwingi wa rehema na kweli; mwenye kusamehe uovu na makosa na dhambi - Kutoka34:6. *Fumbo la Kondoo Aliyepotea; fumbo la Shilingi Iliyopotea; na la Mwana Mpotevu - Luka15. Kuja kwa Yesu katika mwili na kufa kwake msalabani kwa ajili ya dhambi zetu kunaonyeshatendo kubwa la upendo wa Mungu kwetu – tumia yoyote kati ya zile hadithi zinazotoka katikakitabu cha Mathayo; Marko; Luka; au Yohana. *Mungu alichagua Israeli Kuwa Mali Yake YaThamani Si kwa Kuwa Walikuwa Wengi, au Kwa Sababu Walikuwa wachache, Bali ni kwa SababuMungu Aliwapenda - Kumbukumbu La Torati 7:6-13.Maandiko*Upendo wa Kweli Huwazunguka Wale Wanaomtegemea Bwana - Zaburi 32:10. *Hakuna KituKatika maisha kinaweza kututenganisha na upendo wa Mungu - Warumi 8:38-39. *MunguAnatupenda - Yohana 3:16; Zaburi 103:11, 17; Waefeso 2:4-5; 1 Yohana 4:8- 11.*Bwana niMwenye Neema, Huruma, Si Mwepesi wa Hasira, Mwingi wa Upendo, Anayewapenda WoteAliowaumba - Zaburi 145:8, 17. *Alituokoa, si kwa matendo yetu bali kwa rehema zake, kwakupitia Roho Mtakatifu, na Yesu Kristo Mwokozi Wetu - Tito 3:5-6. *Mungu Huonyesha RehemaZake Kwa Kufanya Jua na Mvua Viwafikie Waovu na Watenda Mema.- Mathayo 5:43-48.

Page 15: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 12

Mwenye Huruma- hili ni dhihirisho la nje lahuruma ama rehema. Katika lugha yaKiyunani, moja wapi ya manenoyanayowakilisha huruma ni, “hilaskomai.”Ni neno linalotumika kuelezea kilewalichofanya wapagani kuiridhisha,kutuliza hasira, au kuifanya miungi yaokuwatendea mema. Neno hilo halikutumiwakama sifa za miungu yenyewe. Kinyumechake, Mungu wetu ni mwenye hurumayeye mwenyewe.

Kidole Cha Pili – Mungu Ndiye Mpajiwetu Mwaminifu.Mwaminifu- neno hili maana yake nikuwaminika, kutegemeeka, kweli. KatikaAgano La Kale neno ni AMINA.

Kidole Cha Tatu – Mungu niKimbilio, Nguvu zetu, na Kiongoziletu. Unaweza kukumbuka sifa hizi zaMungu kwa kukukumbuka jinsi Daudialivyomkimbilia Mungu mara nyingi.Wakati Daudi alivyomkimbilia Mungu,Mungu alimtia nguvu na kumwongoza,kumwelekeza na kumshauri.Maneno ya Agano La Kale yaliyotumiwakuelezea ulinzi wa Mungu wakati wamateso ni kama haya: kimbilio, ngao,ngome, mlima, mwamba, jabali, mnara, nanguvu. Daudi mara kwa mara alitumiamaneno haya alipokuwa akimsifu Mungukwa kumsaidia katika magumu ya kijeshi yaya kibinafsi yaliyokuwa yakimkumba.

Kidole Cha Nne – Mungu ndiyeMkombozi Wetu wa Kimwili naKiroho.Katika Agano La Kale, tunajifunza

kwamba Mungu aliwaokoa watu wakekutoka utumwani huko Misri na mkonoulionyooshwa. Tunaposoma Agano Jipya,tunajfunza kwamba yake matukio yaKutoka Misri haswa ni picha ya ukomboziwa kiroho tunaopata kupitia kwa Yesu

<Kidole Cha Pili:Mungu Ndiye Mpaji Wetu Mwaminifu;Hadithi*Mungu alikutana na mahitaji ya Waisraeli huko jangwani - Kumbukumbu La Torati 2:7. *Munguhukutana na mahitaji ya viumbe vyake - Ayubu 38-39; Zaburi 104; 65; 147. *Yesu anafundisha juuya upaji wa Mungu - Luka 12:24-31. * Yo Kama vile alivyowapa watu wake mana walipokuwajangwani, Mungu alimtuma Yesu kama chakula chetu cha kiroho 6:31-66.Maandiko*Yeye ni mwaminifu na hutenda haki - Kumbukumbu La Torati 32:4. * Kama sisi Hatuamini,yeye Hudumu wa Kuaminiwa - 2 Timotheo 2:13. *BWANA Hatawaacha Watu Wake - Zaburi94:14. * Neno lake BWANA lina adili Na Kazi Yake Yote Huitenda kwa Uaminifu. - Zaburi 33:4.*Uaminifu Humzunguka Mungu - Zaburi 89:8. *Uaminifu Wake ni Ngao - Zaburi 91:4. *Munguni mwaminifu ambaye mliitwa na yeye mwingie katika ushirika wa Mwanawe - 1 Wakorintho 1:9.*Mungu Hatatuacha Kujaribiwa Kupita Uwezo Wetu - 1 Wakorintho 10:13. *Na mlishike sanaungamo la tumaini letu, lisigeuke; maana yeye aliyeahidi ni mwaminifu; - Waebrania 10:23. *Basi Wao Wateswao Kwa Mapenzi ya Mungu na Wamwekee Amana Roho Zao, Katika KutendaMema, Kama Kwa Muumba Mwaminifu- 1 Petro 4:19. *Yeye ni mwaminifu hata kutusamehedhambi zetu - 1 Yohana 1:9. *Vile vyote walivyotoa watu ili kulijenga hekalu vilitoka kwa Bwana- 1 Mambo Ya Nyakati 29:16. *Mwandishi wa Zaburi alisema miaka yote hajawahi kumwonamwenye hali ameachwa - Zaburi 37:25. *Mambo ambayo jicho halikuyaona wala sikiohalikuyasikia, mambo ambayo Mungu aliwaandalia wampendao - 1 Wakorintho 2:9. *Munguhutupatia mahitaji yetu ili tuweze kuzidi sana katika kila tendo jema - 2 Wakorintho 9:8.

Kidole Cha Tatu:Mungu Ndiye Kimbilio, Nguvu Zetu na Kiongozi Wetu.Hadithi*Zaburi za Kimbilio /Nguvu/Mwongozo- 5, 7, 11, 16, 18, 31, 46, 57, 71, 91. *Mungu aliwaongozaWaisraeli jangwani kwa nguzo ya moto na kwa wingi - Nehemia 9:19; Kutoka 13:21-22.Maandiko*BWANA ni jabali langu, na boma langu, na mwokozi wangu, Mungu wangu, mwamba wanguninayemkimbilia, Ngao yangu, na pembe ya wokovu wangu, na ngome yangu.- Zaburi 18:2.*Usitegemee wingi wa mali au kufuata uovu, lakini mkimbilie Bwana - Zaburi 52:7.*Yeye ndiyekimbilio letu wakati wa mateso - Zaburi 59:16.*Yeye ndiye ngoma yenye nguvu ya kutulindakutokana na adui - Zaburi 61:3. *Bwana ndiye ngome kwa wale walioonewa, ndiye kimbiliowakati wa mateso - Zaburi 9:9.*Mungu anawajali wale wanaomkimbilia yeye - Nahumu1:7.*Mungu kutuongoza na kwa ajili ya jina lake; Hututoa katika wavu wa adui na yeye nikimbilio letu - Zaburi 31:3-4.*Hutuongoza kwa ushauri wake - Zaburi 73:24. *Munguanaporejesha upya Israel, atakuwa mwalimu wao, akisema njia ni hii, msiende kulia au kushoto -Isaya 30:19-22. *Jina lake ni Mshauri wa Ajabu - Isaya 9:6.

Kidole Cha Nne:Mungu Ndiye Mkombozi Wetu wa Kimwili na KirohoHadithiNanyi leo jueni; kwa kuwa sisemi sasa na vijana vyenu, ambao hawakujua, wala hawakuonaadhabu ya, Mungu wenu, ukuu wake, na mkono wake wa nguvu, na mkono wake ulionyoka,\v 3 naishara zake, na kazi zake alizomfanya Farao mfalme wa Misri, …na mambo aliyowafanyia ninyibarani, hata mkaja mahali hapa;n.k. Kumbukumbu La Torati 11:2-6. *Kukombolewa Kwa Israelikutoka Misri - Kutoka 1-14.*Mungu Analeta Wakombozi Israeli - Waamuzi 3:9, 15; 2 Wafalme13:5; Nehemia 9:27. *Juna Lasimama - Yoshua. 10:1-15. *Musa anamwambia Yethro jinsi Mungualivyoikomboa Israeli kutoka katika mkono wa Waovu - Kutoka 18:8-10.*Mungu AnamwokoaDaudi mkononi mwa Sauli - 2 Samueli 22, Mungu hakurusu ateleze mguu.*Mungu AnamsaidiaDaudi Wakati Mwanawe Absalomu Alipinuka Kinyume chake Kwa Ajili Ya Ufalme - 2 Samueli15-18. *Zaburi ya Kukombolewa kwa Daudi kutoka katika mikono ya Abasalomu - Zaburi3.*David anajifanya Mwenda Wazimu Mbele Ya Mfalme Akishi- 1 Samueli 21.*Zaburi yaUkombozi Wakati Daudi Alipoonekana Kuwa Mwenda Wazimu Mbele za Mfalme Akishi naAbimeleki - Zaburi 34. *Ezra Anautegemea Mkono wa Bwana Kumlinda Katika Safari Yake - Ezra8:16-36. *Ombi la Kibanafsi La Ukombozi - Zaburi 35. *Mungu Anamwokoa Danieli KutokaKatika Tundu La Simba - Danieli 6. *Shadraki, Meshaki, na Abed-nego- Danieli 3. *Wimbo WaMaryamu, Mungu ni Mwokozi - Luka 2. *Unabii wa Zakaria juu ya Masihi atakayekuja, kuokoakutoka kwa adui - Luka 1:67-80. *Ushuhuda wa Yohana Mbatizaji - Luka 3:4-6. *Kazi Ya Pauloo -Matendo 13:47.Maandiko

Page 16: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 13

Kristo. Yesu anafanyika Mwanakondoo waPasaka. Ukombozi kutoka katiak utumwawa kimwili, ni picha ya ukombozi wakiroho kutoka dhambini. Na kule kuingiakatika Nchi ya Ahadi kunakuwa ni mfanowa Kuingia mbinguni, au katika pumziko laMungu. Kufufuka kwa Yesu ndilodhihirisho kuu la nguvu za Mungu ziletazowokovu katika Agano Jipya. Tunajuakatika ufufuo wa Yesu, mauti na nguvu zaShetani zilishindwa. Mungu anatoawokovu/ukombozi wake kwa wotewatakaomwamini Yesu kama Bwana naMwokozi wao.

Msitari Chini ya Kiti Cha Enzi – Choramsitari chini ya Kiti cha Enzi. Elezakwamba Mungu yuko tofauti na viumbevyake. Lakini anafanya kazi mbinguni naduniani, kama inavyooshwa na mkono wakekwenye kiti cha enzi na unaondelea chini yamsitari. Maneno ya kitheologia kuwakilishahaya ni kupita uwezo wa binadamu(transcendent ) -Mungu yuko mbinguniakitenda kazi na aliye karibu (imminen)-anatenda kazi duniani (*Mungu anatendakazi duniani Zaburi 147).

*Mungu aliwatoa Waisraeli nchini Misri na Mkono ulionyooshwa - Kumbukumbu La Torati 9:29.*Mungu hutufariji. Tusimwogope mwanadamu anayekufa. Humweka huru mkimbizi - Isaya51:12-16. *Utakapopitia maji mengi, nitakuwa pamoja nawe. Mito haitakugharikisha. Motohautakuteketeza. Mungu ndiye mwokozi wako. Hakuna anayeweza kututoa mikononi mwake,Utakapopitia maji mengi, nitakuwa pamoja nawe; Na unapopitia kwenye mito haitakugharikisha.Utakapopita kwenye moto, hutachomeka, wala miale hitakuchoma.- Isaya 43:1-13. *Mungu niMungu Anayetutoa Mautini - Zaburi 68:20.*Mungu Hutuokoa kutoka kwa Adui - Zaburi 18:48*Mungu huwaokoa wenye haki kutoka katika mateso, yuko pamoja nao katika kuvunjika moyokwao, huwaokoa waliopondeka mioyo. Kutuokoa kutokana na adui - Zaburi 34:17-19. *Bwana ninani Aliye Kama Wewe? Umponyaye Maskini na Mtu aliye Hodari Kumshinda yeye,Naam, maskini na mhitaji na mtu amtekaye. - Zaburi 35:10. * Kwa manyoya yake atakufunika,Chini ya mbawa zake utapata kimbilio; Uaminifu wake ni ngao na kigao. Hutaogopa hofu ya usiku,Wala mshale urukao mchana, Wala tauni ipitayo gizani, Wala uele uharibuo adhuhuri, Ijapo watuelfu waanguka ubavuni pako. Naam, kumi elfu mkono wako wa kuume! Hata hivyo hautakukaribiawewe. Ila kwa macho yako utatazama, Na kuyaona malipo ya wasio haki. Kwa kuwa Wewe Bwanandiwe kimbilio langu; Umemfanya Aliye juu kuwa makao yako. Mabaya hayatakupata wewe,Wala tauni haitaikaribia hema yako. Kwa kuwa atakuagizia malaika zake Wakulinde katika njiazako zote…..- Zaburi 91. *Aliyetuokoa Sisi katika Mauti Kuu Namna Ile; Tena atatuokoa - 2Wakorintho 1:10. *Urithi wetu, na Wokovu Umefunuliwa Siku Za Mwisho - 1 Petro 1:3-12. *YesuAtakuja Mara Ya Pili Pasipo Kushuhgulikia dhambi, Atakuja kwa wale Wanaongojea -Waebrania9:28. *Wokovu ni nguvu za Mungu ziletazo wokovu - Warumi 1:16. *Kumkiri Yesu kama Bwana,huleta wokovu - Warumi 10:9-10; Waebrania 5:9; Waefeso 2:8-9. *Wokovu ni wa Mungu wetu -Ufunuo 19:1.

Somo La 2 Asili Ya Mungu – Utatu

Sehemu Ya 2: Utatu

Mungu Baba - Mkono, Yesu Mwana -Mwanakondoo, na Roho Mtakatifut-Njiwa Kwenye Kiti Cha Enzi – Munguni mmoja, na amejifunua kwetu kamaBaba, Mwana, na Roho Mtakatifu. Tunauitahuu ufunuo wa Mungu, Utatu. Ijapokuwakila mmoja ana majukumu yake, wakatimwingine huingiliana.

Historia Ya Wokovu: Tunaweza kuelewautendaji kazi wa Utatu kupitia kwa jinsiMungu alivyotenda kazi ulimwengunikatika nyakati tofauti. Baba ndiyealiyeonekana sana katika Agano la Kale.Katika Injili Mwana ndiye aliyeangaziwazaidi. Na Baada ya kufufuka kwa Yesu

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu ni Mmoja, lakini hujifunua kwa njia tatu.2. Mungu Baba.3. Mungu Mwana.4. Mungu Roho Mtakatifu.

Hadithi*Washirika wote watatu wa Utatu wanaweza kuonekana katika hadithi za Biblia zifuatazo:*Kubatizwa Kwa Yesu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu Wot wakiwa pamoja)- Mathayo 3. *Maneno ya Mwisho Ya Daudi - 2 Samueli 23 (v.2-3). *Sasa mwanadamu amekuwa kama sisi -Mwanzo 3:22; Mnara Wa Babeli –Natuichanganye lugha yao - Mwanzo 11:7.Maandiko*Ungamo la Israeli Ya Zamani –Sikia ewe Israeli, Yahweh ni Elohim (neno elohimu maana yakeni mungu katika hali ya wingi, kwa kitaalamu huitwa wingi wa uadhama). Yehova wetu ni Mmoja -Kumbukumbu La Torati 6:4.

Kumbukumbu za Maandiko:*Jinsi Agano Jipya Linavyoonyesha imani katika Mungu umoja wa Mungu: *Kuna MunguMmoja, Baba, ambaye kwa yeye vitu vyote viliumbwa. Kuna Bwana Mmoja, Yesu Kristo, tunaishikupitia kwake - 1 Wakorintho 8:4-6. *Sasa Mpatanishi Si Wa Upande Mmoja Pekee; Huku Munguni Mmoja Pekee - Wagalatia 3:20. *Bwana Mmoja, Imani Moja, Ubatizo Mmoja; Mungu Mmojana Baba wa Vyote - Waefeso 4:5-6. Angalia pia Warumi 3:30; 1 Timotheo 2:5; Yakobo 2:19;Ufunuo 11:17).

Mwingiliano Na Utofauti Wa Utatu:Huku kila mshirika wa Utatu akiwa amefunuliwa kivyake, vile vile kuna mwingiliano kati yao.

Page 17: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 14

Roho Mtakatifu Ndiye anayeangaziwa zaidi.Wasomi wengi wameelezea hii kwakutumia picha ya historia yote ya wokovu.Si kusema kwamba Baba anageuka kuwaMwana, na baadaye kuwa Roho, lakini wotewatatu wanafanya kazi katika historia hukummoja akionekana zaidi katika nyakatitofauti..

Tunaweza kutamatisha kwa kusemakwamba Mungu amefunua asili yake kwetukupitia kwa historia na kwa wanadamu.Hatuwezi kuelewa kabisa kabisa asili yaMungu, kwa sababu sisi ni wanadamu tu.Kwa hivyo ni lazima tuchukue kile ambachokimefunuliwa na tufahamu kwamba fahamukamili hauwezi kuelezwa kibinadamu natunaweza kutafakari ukuu wa nafsi yake.

Unaweza kutumia mifano ifuatayokufundishia Utatu: yai (ganda, sehemunyeupe, kiiniyai); maji (maji, mvuke,barafu);au majukumu ya mtu (mama,mke, mlezi).

Kwa mfano Isaya 9:6 inamtaja Masihi ajaye (Yesu), kama, “Baba wa Milele.” Na katika 2Wakorintho 3:17 inasema, “Bwana ni Roho.” 1 Wakorintho inarejea “Roho wa Mungu.” Na katikamilango ya kwanza ya Injili ya Yohana, tunaona kwamba ni “Neno” aliyeumba ulimwengu,ikilinganishwa na Mwanzo 1 na 2, ambapo inasema Mungu ndiye aliyeumba ulimwengu. KatikaYohana 1:14, mwandishi analitambulisha neno hili na Yesu anaposema, “Naye neno akawamwanadamu na akakaa kwetu.” Yesu alisema, Mkioniona mimi, mmemuona Baba, na “Mimi naBaba tu Kitu Kimoja,” na hata baada ya kusema hivyo tunaona kwamba alimwomba Baba katikaBustani Ya Gethsemane, na vile vile katika Sala Ya Bwana - Mathayo 6:9.

Jina la Mungu na Utatu:*Jina la Mungu Elohim linaweza kutumika kuwafundisha watu juu ya Utatu. Jina “Elohim”limetukika katika hali ya wingi katika lugha ya Kiebrania. Wakati mwingine linatafsiriwa kama“miungu” linapoandikwa katika muktadha wa wale wanaoabudu miungu mingi. Linapotumiwakumrejea Mungu wetu, hutafsiriwa kama, “Elohimu, au Mungu.” Neno hili liko katika hali yawingi kuonyesha uadhama wa Mungu, ambap hauwezi kufasiliwa katika hali ya umoja. Baadhi yaMaandiko ambayo yametumia neno hili ni kama: Mwanzo 1:26 (Tumfanye Mtu Kwa MfanoWetu); Kumbukumbu La Torati 6:4 ,”Sikilizeni Enyi Waisraeli, Yahweh wetu [jina la Mungu laAgano, Huwa tunalistafsiri kama Bwana] ni Elohim [wingi wa Uadhama]. Yahweh wetu niMmoja (umoja, hali ya Umoja-tunamwabudu Kama Mmoja).” Na vilevile Katika Kutoa AmriKumi za Mungu, Kutoka 20:2-4a (“Mimi ni Yahweh, Elohim wenu, Niliwatoa Utumwani Misri.Msiabudu Miungu Mingine. Msitengeneze Sanamu”).

Kuumbwa Kwa Mume Na Mke katika uhusiano wa Ndoa:Mfano wa Mungu unapaswa kuonyesha maadili na sifa za kibinafsi za Mungu. Sura ya Mungu yakimaadili na ya kibinafsi inajumuisha wema wote, utaua, haki, usafi, upendo, neema, na huruma,ukarimu, rehema, ustawishaji, nguvu, uongozi, utunzaji na upaji. Uwezo halisi wa wanadamukuweza kuakisi mfano wa Mungu ulipungua wakati ule Adamu na Hawa walipotenda dhambi,lakini unarejeshwa upya katika maisha ya waamini wanapomtii Mungu - Warumi 8:29. Uhusianowa ndoa unaonyesha ushirikiano na umoja wa Mungu wakati watu waliooana wanapoishi maishayanayompendeza Mungu na yanayoonyesha asili yake Mungu (“Tumfanye mtu kwa mfano wetu,mume na mke aliwaumba”- Mwanzo 1:26; Mwanzo 2:24-Watakuwa mwili mmoja). Uhusiano huuuna uwezo mkubwa wa kutoa ushahidi kwa Mungu wetu. Wakati wanandoa wanapokosa kuishimaisha ya kumpendeza Mungu, huwa hawaonyeshi mfano wa Mungu duniani. Kumbuka kwambaMungu ni roho. Kwa sababu yeye ni roho, si mke wala mume. Yeye ana sifa zote za kike na zakiume, lakini kwa kawaida huwa tunamtaja kwa kutumia jinsi ya kiumbe (Angalia mfano wamaandiko yanayoakisi hulka za kike - Isaya 46:3; 49:15).

Sehemu Ya 2a: Mungu Baba

Mkono- Mungu Baba

Vichwa Vya Masomo:*Angalia Maandiko. Hadithi, na Maandiko hapo juu ya Sifa/Tabia zaMungu.

Sehemu Ya 2b: Mungu Mwana

Mwanakondoo- Yesu amaonyeshwa katikapicha hii kama Mwanakondoo kulingana nataswira ya Biblia katika Kitabu cha Ufunuo;Isaya 53; kuna marejeo ya Mwanakondoowa Pasaka; na Wanakondoo wa sadakawalitumiwa katika dhabihu za Agano laKale. Alikuwa ndiye Mwanakondoo waMungu aliyechinjwa kwa ajili ya dhambi zaulimwengu.

Taa ya utukufu wa Mungu niMwanakondoo- Ufunuo 21.23.

Kuna mafundisho mengine mengi juu ya

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu ndiye mfano wa Mungu Asiyeonekana.2. Yesu ndiye Mwanakondoo of Mungu.

(Tambua kwamba kunayo mafundisho mengi juu ya Yesu katika Biblia. Haya yatashughulikiwakatika sura ijayo na inayozungumzia habari za Yesu. Hapa chini kuna marejeo machache juu yaYesu na Utatu, na Yesu kama Mwanakondoo wa Mungu.)

HadithiMafundisho juu ya uungu wa Yesu *Yesu, Ukiona Mimi, Umemwona Baba - Yohana 14:6-11. *Yesu na Baba ni Kitu Kimoja - Yohana 10:24-42. *Yesu Alikuwako Kabla Hajazaliwa Duniani -Yohana 8:58; 16:28.Mafundisho Juu ya Yesu kama Mwanakondoo wa Mungu- *Pasaka Ya Kwanza- Kutoka 12. *YohanaMbatizaji anashuhudia na kusema, “’Tazama Mwanakondoo wa Mungu aondoaye dhambi yaulimwengu.”-Yohana 1:29. *Yesu kama Mwanakondoo wa Mungu- Ufunuo 5:6-14; 7:9-14, 17;12:11: 13:8; 14:1-4, 10; 17:14; 19:7; 21:23; 22:1-3. *Mungu anampa Abrahamu Mwanakondoo-Mwanzo 22.Maandiko:Mafundisho juu ya uungu wa Yesu- *Juu ya Mwana alisema, “Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha

Page 18: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 15

Yesu katika Biblia, mengi ya hayoyameonyeshwa katika Sura ya Yesu ndiyeJibu katika mfululizo safu huu.

Milele na Milele”- Zaburi 45:6-7; Waebrania 1:8-9. *Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Nenoalikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu - Yohana 1:1-14. *Nguvu za Yesu za Milele- Warumi1:20. *Yesu ni mng'ao wa utukufu wake na chapa ya nafsi yake; Malaika nawamwabudu; Aliwekamisingi ya dunia, mbingu ni kazi ya mikono yake - Waebrania1:3-13; Zaburi 110:1. *Ndiye Munguwa kweli na Uzima wa milele- 1 Yohana 5:20. *Yeye ndiye Mfano wa Mungu Aliyeonekana,Mzaliwa wa Kwanza wa Viumbe Vyote - Wakolosai 1:15. *Kuna Mpatanishi Mmoja kati yaMungu na Wanadamu, Mtu Kristo Yesu - 1 Timotheo 2:5-6; Warumi 8:34; Waebrania 7:25.Mafundisho Juu Ya Yesu Kama Mwanakondoo wa Mungu-*Yesu ndiye Mwanakondoo wa Pasaka- 1 Wakorintho 5:7; Isaya 53:7.*Mwanakondoo alitolewakila siku kama sadaka ya kuteketezwa ya kuondoa dhambi - Kutoka 29:38-42; Mambo ya Walawi3:7 (sadaka ya amani); sadaka ya dhambi- Mambo ya Walawi 4:32; sadaka ya makosa- Mambo yaWalawi 5:6-7; 9:3; Hesabu 7:15,21,27,33,39, n.k; 15:5; 28:6-14. Yesu kama sadaka ya dhambi zetu- Waebrania 9-10.

Sehemu Ya 2c- Mungu RohoMtakatifu

Njiwa- Roho MtakatifuTunatumia picha ya njiwa kumwakilishaRoho Mtakatifu. Picha hii inatokana nahadithi ya ubatizo wa Yesu, wakati RohoMtakatifu alipotua juu yake kama njiwa.

Kuna mafundisho mengine juu ya RohoMtakatifu katika Biblia. Tumeyajumuishabaadhi ya masomo hayo hapa. Mafundishomengine mengi yatafuata katika sura tofautizitakazofuata.

Vichwa Vya Masomo:1. Roho Mtakatifu (Kwa Kiyunani ni-Paraklete-mtu anayekwenda

bega kwa bega pamoja nasi).2. Roho Mtakatifu ndiye Mfariji na Mshauri Wetu.3. Hutufundisha na Kutukumbusha Maandiko.4. Huuhukumu ulimwengu juu ya dhambi, haki na hukumu.5. Hutenda mambo kadhaa wakati wa kuokoka kwetu: Hutuosha

(hutuhuisha, hutusafisha); hukaa ndani yetu, hutubatiza katikaYesu, na kututia muhuri wa kuwa na uhusiano na Mungu.

6. The Roho Mtakatifu hutupatia karama za kiroho ili tuwezekumtumikia Mungu.

7. Roho Mtakatifu hutupatia ujasiri na nguvu za kuipeleka Injiliulimwenguni.

8. Hutuombea katika maombi.9. Hutuongoza kuishi maisha ya kiungu katika kumtumikia Mungu.10. Hutupa maneno ya kusema tunapoletwa mbele ya wengine kutoa

ushahidi juu ya Yesu.

Hadithi*Yesu anaongea juu ya Kuja kwa Roho Mtakatifu/Mfariji- Yohana 14:26. *Siku Ya Pentekote -Yohana 16:7-14; Matendo 2. *Kanisa Linakua Kupitia Kwa Faraja Ya Roho Mtakatifu- Matendo9:31. *Roho Mtakatifu ndiye kiongozi wetu Katika Kung’amua Mwelekeo wa Huduma Zetu -Matendo 16:6-7. *Msaada wa Roho Wakati wa Upinzani - Luka 12:11-12.Maandiko*Marejeo Ya Agano La Kale Kuhusu Roho - Mwanzo 1:2; Kumbukumbu La Torati 6:4. *Hutuonyesha Hatia Ya Dhambi, Uadilifu, Hukumu - Yohana 16:8. * Roho Hushuhudia UkweliMioyoni Mwetu - Warumi 9:1. *Roho Mtakatifu Hututakasa - 1 Wakorintho 6:11. *Roho MtakatifuHutupatia Karama - Kutoka 31:3; 1 Wakorintho 12:7-11. * Roho Mtakatifu Hututia Mhuri KuwaSisi Ni Mali Yake - 2 Wakorintho 1:22; Waefeso 1:13-14; Waefeso 4:30. *Roho Mtakatifu HuishiNdani Yetu - 1 Wakorintho 3:16; Warumi 8:9-11; Wagalatia 4:6; 1 Yohana 3:24. * Roho MtakatifuHutusafisha na Kutufanya Wapya - Tito 3:5; Yohana 3:5-6. *Mtapokea Nguvu Ili MwezeKuwaambia Wengine Habari za Yesu- Matendo 1:8. *Hutujaza Nguvu Kwa Ajili Ya Huduma - 1Wakorintho 2:4; Warumi 8:13; Wagalatia 5:17-18, 22-23. *Hutufundisha - Yohana 16:12-14; 1Wakorintho 2:13. *Roho Mtakatifu Hutuombea Kwa Mungu - Warumi 8:26. *Alimwambia PaulooKile Atakachofundisha - 1 Wakorintho 2:6-16.

Somo La 3 Mungu Aliumba Ulimwengu Wa Kiroho

Sehemu Ya - Mungu AliumbaUlimwengu Wa Kiroho

Vichwa Vya Masomo1. Mungu Aliumba Viumbe vya Kiroho.2. Mungu Atawala Viumbe Vya Kiroho.3. Viumbe Vya Kiroho Vina Uwezo Wenye Mipaka na Vina Hiari.4. Tunaweza Kuvigawa Viumbe Vya Kiroho Katika Makundi Mawili:

Page 19: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 16

Malaika na pepo wakifanya kazi duniani– Malaika hufanya kazi kama wajumbe waMungu na walinzi. Pepo hufanya kazikuwafanya watu wasipokee Ukweli waInjili, na kuleta uharibifu kwa watu nakatika jamii kupitia dini za uwongo, mitindoya maisha inayoleta uharibifu, na falsafazisizo za kiungu.

malaika-wale wanaomtumikia Mungu; na pepo – wale waliomwasi Mungu.

Maandiko*Mungu Aliumba Jeshi La Malaika wa Mbinguni - Nehemia 9:6.

Sehemu Ya 3a Viumbe VyaKiroho Vilivyo asi

Ngazi Za Nguvu Za Kiroho(Waefeso 6:12)

Falme (Waefeso 6:12)- Shetani anajulikanakwa majina mengi katika Biblia. Majinayake yanaelezea tabia na matendo yake.Anaitwa Baba wa Uwongo, Adui, MfalmeWa Nguvu za Anga, Joka Kuu, Joka, naYesu anamwita muuaji. Wakati mwinginehujitokeza kama malaika wa nuru (malaikamzuri). Yeye hutenda kazi ndani za walewasiotii. Nguvu zake zina mpaka na chiniza mamlaka ya Mungu.

Pepo wamechorwa wakiwa na pembe, hii nikutokana na yule mbuzi wa sadakaaliyebebeshwa dhambi katika Agano LaKale – wakati watu walipotumia tendo laishara la kumtwika yule mbuzi (mwenyepembe) dhambi zao, na kisha kumfukuzakwenda jangwani kufia huko. Mbuzi yulealionekana kama mfano wa dhambi.Kichwa cha yule mbuzi kilitumiwakuwakilisha Shetani katika michoro ya diniza kipagani. Lengo la picha hii ni kuonakwamba ni rahisi kumchora Shetani, na sikwamba hivi haswa ndivyo alivyo.

Vichwa Vya Masomo:1. Yule malaika mzuri zaidi, kwa jina Shetani, alitaka kukaa katika kiti

cha enzi cha Mungu awe na mamlaka na aabudiwe.2. Mungu alimfukuza huko mbinguni.3. Shetani alichukua theluthi moja ya malaika (wanaoitwa pepo).4. Shetani na pepo wake sasa wanafanya kazi duniani wakiwafumba

macho wale wasioamini wasiujue Ukweli na kuwafanya watu kuishimaisha ya yaletayo madhara makubwa kupitia mitindo mibaya yamaisha, na dini za uwongo.

5. Pauloo anafundisha juu ngazi za pepo katika Waefeso 6:12 (Ngazihizo zimeorodheshwa hapa chini).

Ngazi Za Nguvu Za Kiroho (Waefeso 6:12):

FalmeHadithi*Shetani anawajaribu Adamu na Hawa wamwasi Mungu- Mwanzo 3. *Shetani alijiinua, akatupwakutoka Mbinguni - Ezekieli 28:11-19; Isaya 14:12-15; Luka 10:18. *Shetani alichukua theluthi yamalaika pamoja naye - Ufunuo 12:4. *Shetani anawapinga wenye haki - Ayubu 1-3. Kujaribiwakwaf Yesu- Mathayo 4:1-11. Shetani amamzuia Paulo kulitembelea kanisa la Thesalonike - 1Wathesalonike 2:18. Shetani anamjaribu Daudi kuhusu kuhesabiwa kwa watu na watu wengiwanakufa - 1 Mambo Ya Nyakati 21:1-30. Shetani amamshtaki Yoshua, kuhani mkuu mbele yaMungu - Zekaria 3:1-10. Shetani anaushawishi moyo wa Petro kuangalia mambo kwa mtazamo wamwanadamu badala ya mtazamo wa Mungu- Mathayo 16:23; Shetani anamwingia Yuda Iskariotena kumshawishi amsaliti Yesu kwa pesa - Luka 22:3-6. Shetani anaujza moyo wa Anania nakumshawishi kuwa na tamaa mbaya na kudanganya - Matendo 5. Mpinga Kristo atatenda kazi begakwa bega na Shetani- 2 Wathesalonike 2:9. Kuna wale ambao wamejua mambo ya kina ya Shetani -Ufunuo 2:24.Maandiko*Shetani ni Mtawala ama Mfalme - Waefeso 2:2; Yohana 12:31. *Shetani ni Mungu wa Dunia hii.(Shetani) Huyafumba macho ya Watu wasioamini - 2 Wakorintho 4:4. *Marejeo ya kiti cha enzicha Shetani.- Ufunuo 2:13. *Shetani ni muuaji na Baba wa Uwongo - Yohana 8:44. *Shetani niadui Yetu - 1 Petro 5:8. *Shetani Ni Mjaribu - Mathayo 4:3; 1 Wathesalonike 3:5. *ShetaniHujifanya Kuwa Malaika wa Nuru - 2 Wakorintho 11:13-14. *Hutenda kazi ndani ya wale Wasiotii- Waefeso 2:2. * Shetani Ana Nguvu Zilizo na Mpaka - 2 Wathesalonike 2:9-12. *Shetani sikuMoja Atatupwa Katika Ziwa La Moto - Mathayo 25:41; Yohana 12:31; Yohana 16:11; Wakolosai2:15; Ufunuo 20:10. *Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu - Warumi 16:20.

Page 20: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 17

Mamlaka (Waefeso 6:12) – Hakunamengiyanayozungumziwa juu ya mamlakakatikaBiblia. Ni sehemu ya ngazi zaviumbe vya kipepo vinavyotenda kazi nakuushawishi ulimwengu.

Wakuu wa Giza (Waefeso 6:12)- Viumbevya kipepo vinavyotawala sehemu za dunia,vikishawishi serikali kuwakandamiza watu,dini za uwongo, na kuishi maishayanayoleta uharibifu. Mfano- Mkuu waUfalme Uajemi katika Danieli 10:13.

Majeshi Ya Pepo Wabaya (Waefeso6:12).- Huenda hizi ni nguvu za wachawi,waganga, walozi, wapiga ramli ambaohutumia nguvu hizi kwa kufanyia memaama mabaya. Wakati mwingine huitwauchawi ama uganga. Ni nguvu za pepowabaya, ambao hufanya kazi kwa karibusana na wanadamu. Hawa ndio wanawezakujitokeza kwa mtu kwa njia ya ndoto,kama mtu aliyekufa -mababu.

MamlakaMaandiko*Biblia haisemi mengi juu ya kundi hili. Hapa kuna marejeo ya Biblia juu ya Mamlaka - Waefeso6:12; 1 Wakorintho 15:24; Col. 2:15; 1 Petro 3:22.

Wakuu wa GizaMaandiko*Nguvu za Giza za Dunia hii - Danieli 10:12-13, 20; Warumi 8:38; 1 Wakorintho 15:24; Wakolosai2:15; 1 Petro 3:22

Majeshi Ya Pepo WabayaMaandiko*Vita vyetu ni dhidi ya nguvu za giza za kiroho - Waefeso 6:12-13. *Hufundisha Mafundisho yaUwongo - 1 Timotheo 4:1-3. *Malaika Waliacha Sehemu Yao - Yuda 1:6-7. *Huzitangua ishara yawaongo - Isaya 44:25.

Page 21: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 18

Sehemu Ya 3b Malaika waMungu

Malaika Wawili - Mikaeli, ndiye malaikamkuu; na mwingine ni Gabrieli, ambaye nimjumbe maalum wa Mungu. Malaika hawawawili wanaonekana kutajwa sana katikaMaandiko.

Malaika wanaonekana hapa wakiwa namabawa, lakini kwa kweli hatujui ikiwamalaika wote wana mabawa. Makerubikwenye Sanduku la Agano walikuwa namabawa. Lengo la picha ni kuhakikishakwamba mawasiliano yanafanyika kwaurahisi, wala sio kwamba hivyowalivyochorwa ndivyo walivyo. Hizi pia nipicha ambazo zimetumiwa mahali kwingiduniani kuwakilisha malaika.

Jeshi La Malaika – Hawa ni wale malaikawanaomtumikia Mungu kama wajumbe,walinzi, na waanzilishi wa kazi ya Munguduniani.

Vichwa Vya Masomo:1. Malaika ni viumbe vilivyoumbwa na vyenye nguvu zenye mpaka.2. Idadi ya malaika ni mara mbili ya ile ya pepo.3. Malaika ni wajumbe wa Mungu.4. Huwahudumia waamini.5. Watoto wana malaika wa kuwalinda mbele za Mungu.6. Malaika huwalinda waamini.7. Hatupaswi kuwaabudu malaika.8. Siku ya mwisho tutawahukumu malaika.9. Wakati wa kuja kwa Yesu malaika watawakusanya waamini.10. Wameumbwa ni si mababu waliokufa zamani.

Malaika wa MunguMalaika Wawili Wanaoongoza - Mikaeli na GabrieliHadithiMikaeli *Mikaeli anapambana na Mkuu wa ufalme wa Uajemi- Danieli 10:13, 21. *Mikaelianasimama kuwalinda watu - Danieli 12:1. *Mikaeli anapambana na ibilisi, lakini anamwombaBwana kumkemea - Yuda 1:9. *Mikaeli anapigana vita dhidi ya ibilisi huko mbinguni - Ufunuo12:7. Gabrieli *Gabrieli anatamtafsiria Danieli maono - Danieli 8:16. *Gabrieli anaongea naDanieli juu ya maono - Danieli 9:21-27. *Gabrieli anamtokea Zakaria- Luka 1:19. *Gabrielianamtokea Mariamu- Luka 1:26-38.

Jeshi La MalaikaHadithi*Malaika Wanalinda Israeli Vitani na Waaramu-2 Wafalme 6:8-23. *Malaika Anamwonya YusufuKukimbilia Misri-Mathayo 2:3-15. *Malaika Huwalinda Watoto kwa njia Maalum-Mathayo 18:10.*Malaika Wanawasaidia Waamini Kuepuka Hatari-Matendo 12:6-11. * Malaika HutekelezaHukumu, Sodoma na Gomora-Mwanzo 19:1-29 *Malaika Anawapatia Mariamu na YusufuUjumbe- Luka 1-2; Mathayo 2:19-20. * Malaika Wanatangaza Kuzaliwa Kwa Yesu- Luka 2:8-15. *Malaika Wanamtia Yesu Nguvu Kabla Ya Kukamatwa Kwake- Luka 22:39-43.*Malaika Wanatangaza Kufufuka Kwa Yesu Kutoka Mautini-Mathayo. 28:1-7; Marko 16:2-7;Luka 24:1-7; Yohana 20:10-11; Matendo 1:10-11. *Malaika wanamhudumia Yesu baada yakujaribiwa na Shetani nyikani - Mathayo 4:11.

Maandiko*Je! Hao wote si roho watumikao, wakitumwa kuwahudumu wale watakaourithi wokovu?Waebrania 1:14. *Malaika Hawapaswi Kuabudiwa - Col. 2:18. *Hekima ya Mungu Imefunuliwakwa Malaika Kupitia kwa Kanisa - Waefeso 3:8-12. *Malaika wanatekeleza Neno la Mungu naKumtii yeye. Wanamtumikia Mungu katika Sehemu Zote za Utawala Wake - Zaburi 103:20-22.*Huagiza malaika watulinde nao hutulinda kwa njia zote - Zaburi 91:11. *Malaika hutoa UlinziMaalum Kwa Watoto - Mathayo 18:10. *Malaika wasiohesabika watakizunguka kiti cha enzi hukoMbinguni, wakimtukuza Mungu na Mwanakondoo (Yesu)- Ufunuo 5:11-14. *MalaikaWatawakusanya Waamini Siku Ya Mwisho - Mathayo 24:31. *Tutawahukumu Malaika - 1Wakorintho 6:3.

Page 22: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 19

Sura ya 2 Kielelezo :Mungu na Uumbaji Wake Wa Vitu Vionekanavyo

Page 23: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 20

Picha Iliyorahisishwa kwa ajili ya Sura ya 2

Page 24: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 21

Sura ya 2: Mungu na Uumbaji Wake wa Vitu Vionekanavyo

Maelezo ya Jumla

Kielelezo cha 1: Ni picha ya Uumbaji wa Mungu wa vitu ambavyo vinaweza kuonekana, malengoya Mungu katika uumbaji na katika familia.1. Marudio: Sehemu ya juu ya picha hii ni Kiti Cha Enzi cha Mbinguni kama kilivyoonyeshwakatika Sura ya 1, inawakilisha ufalme mkuu wa Mungu, haki, na utakatifu. Mungu Baba, Mwana naRoho Mtakatifuwameonyeshwa pia wakiwa katika Kiti Cha Enzi juu ya uumbaji. Kuna mstariambao umemtenganisha Mungu na Uumbaji wake. Mstari huu lengo lake si kuwakilisha Munguambayeyuko mbali, bali tu unawakilisha tofauti iliyopo kati ya Muumbaji na viumbe.

2.Uumbaji wa Mungu wa Vitu Vionekanavyo: Katika upande wa kulia wa mviringo au dunia kuna zile siku sitaza uumbaji, siku ya saba ya mapumziko haijaonyeshwa (sura ya 2 somo la 1).3. Mungu anawaweka watu ulimwenguni mahali anapotaka waishi: Upande wa kushoto wa mviringo, ni

mfano wa sehemu za duniani wanakoishi watu. Biblia inasema kwamba Mungu aliwaweka wanadamu mahalialipowataka waishi, ili waweze kumtafuta.

4. Kuumbwa kwa Mwanamume na Mwanamke. Katikati ya picha, ni mume na mkewe wakiwa na watoto wao.Mwanamume na mwanamke wako katikati ya picha kwa sababu hao ndio kilele cha uumbaji wa Mungu. Mume na mkendio mashahidi wa Mungu kwa sababu wanaishi pamoja kulingana na njia Zake. Mviringo unaoizungukafamilia unaonyesha asili ya uhusiano wa kipekee wa kila familia. Zaidi ya hiyo unaonyesha kuwa mume, mke na watotowao ni kitu kimoja, kwa hivyo ndio wakata shauri wakuu wa familia ile. Familia nyingi pamoja huunda jamii. Vilevilekuna Biblia iliyoizunguka familia. Kwa kutumia picha hii tunafundisha wajibu wa familia wa kuishi kulingana na njiaza Mungu, na kwamba wazazi wote wanapaswa kufundisha watoto wao njia za Mungu (somo la 2).

Njia za Kufundishia Sura hii:1. Njia Rahisi ya kupitia. Fundisha kutoka kwa maelezo ya jumla hapo juu.2. Njia ya Mada. Chukua kila sehemu kuu ya somo hili na uifundishe kivyake kwa mda. Mada zinaweza

kujumuisha: Lengo la Mungu la Kuumba Ulimwengu; Familia na Mapenzi ya Mungu kwa ajili ya Familia;majukumu sahihi ya mume, mke, na watoto.

3. Njia ya Kina/Utondoti. Hii ndiyo njia ya kuingia ndani zaidi. Soma eneo la Maandiko kutoka kwa kila pichana somo.

4. Njia ya Mahubiri. Weka msisitizo juu ya Sehemu ya 3, Mungu aliumba ulimwengu kwa lengo la ndani naufahamu mkuu, ukiweka mkazo juu mahali ambapo Mungu aliwaweka wanadamu ili waweze kumtafuta. Auuweke msisitizo juu ya jukumu la familia na kila mwanafamilia.

5. Njia ya Mwamini Mkomaavu. Soma kwa kina/utondoti masomo juu ya jukumu la wazazi, na jinsi Mungualivyowaumba mume na mke kwa Mfano Wake ili wampe utukufu na wawe mashahidi Wake.

Malengo Ya Sura ya 2

1. Kuthibitisha kwamba Mungu aliumba ulimwengu unaoonekana, kwa ufahamu, mpangilio na lengo.2. Kufundisha kwamba Mungu aliwaweka wanadamu duniani kama alivyopenda yeye mwenyewe ili wamtafute

yeye.3. Kufundisha kwamba mume na mke wameumbwa kwa mfano wa Mungu, na maana ya kuakisi mfano wa Mungu

(kuishi maisha matakatifu, maadilifu, maisha mazuri kimaadili).4. Kufafanua maana ya familia kuwa inaundwa na mume mmoja, mke mmoja, na uzao wao (pamoja na watoto wa

kupanga).5. Kuonyesha kwamba jukumu kubwa la familia: ni kulea watoto katika hofu na njia za Mungu.6. Kufafanua majukumu ya mume, mke na watoto kulingana na Biblia.

Page 25: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 22

Sura Zinazohusiana

Sura ya 1: Sura ya kwanza na ya pili zinahusiana kwa sababu zote zinahusu uumbaji wa Mungu na lengo lake.

Sura ya 10: Maisha ya mwamini kifamilia na kijamii sharti msingi wake uwe Neno la Mungu.

Sura ya 11: Lazima tuhakikishe kwamba tunakuwa mawakili wazuri wa zile baraka ambazo Mungu anapatia familia zetu

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1: Siku za Uumbaji wa Vitu Vionekanavyo

Sehemu ya 1: MarudioSura ya 1

Kiti cha Enzi- Mungu niMuumba Mwenyenzi,Mtakatifu na wa Haki.

Vichwa vya Marudio:1. Mungu ndiye Muumbaji na Mtunzaji wa Viumbe Vyake.2. Yeye ana Mamlaka Juu Ya Viumbe Vyote.

Siku ya 2: Ulimwengu namawingu angani- Mungualiumba mbingu juu.

Siku ya 3: Ulimwengu uliona ardhi na miti - Mungualiumba ardhi na mimea.

Vichwa Vya Masomo:

1. Mungu aliumba kila kitu kwa Maneno Ya Kinywa Chake.

2. Siku ya 1-Mungu Aliumba Nuru na Giza.

3. Siku ya 2-Mungu aliumba ulimwengu na mawingu angani.

4. Siku ya 3-Mungu aliumba ardhi na mimea.

5. Siku ya 4-Mungu aliumba jua, mwezi, siku, na usiku, kuonyesha majira, siku zasherehe, na miaka.

6. Siku ya 5-Mungu aliumba viumbe vya baharini na ndege.

Page 26: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 23

Siku ya 4: Ulimwengu uliona usiku/mwezi na nyota namchana/jua - Mungu aliumbajua na mwezi, mchana na usiku.

7. Siku ya 6-Mungu aliumba wanyama, na mwisho mwanamke na mwanamume.

8. Siku ya 7-Mungu alipumzika katika kazi zake, akaumba mapumziko ya sabato.

9. Mungu aliona uumbaji wake ni mwema/mzuri.

10. Mungu hutunza na kushikanisha uumbaji pamoja.

Siku Saba za UumbajiHadithi*Habari za Uumbaji- Mwanzo 1-2.Maandiko*Mungu Aliumba Vitu Vyote Kwa Neno - Zaburi 33:6, 9; Waebrania 11:3; Yohana 1:1-4. *Mungu AliumbaVyote Vionekanavyo Na Visivyoonekana - Mwanzo 1-3. *Anavifanya vitu vyote kushikamana pamoja -Wakolosai 1:16-17. *Mungu Aliumba Mchana na Usiku, Majira ya joto na Baridi, Na Mipaka ya Dunia -Zaburi 74:16-17. *Mungu aliweka misingi ya dunia, na kanuni za kiasili. Na hatawaangamiza watu Wake -Yeremia 31:35-40. *Mungu Aliumba vilindi vya Dunia na Juu Ya Milima - Zaburi 95:4-5. *Muda NchiIdumupo, Majira ya Kupanda, na Mavuno, Wakati wa Baridi na Wakati wa Hari, Wakati wa Kaskazi nawakati wa Kusi, Mchana na Usiku, Havitakoma - Mwanzo 8:22. *BWANA, mkombozi wako, yeyealiyekuumba tumboni, asema hivi; Mimi ni\nd Bwana\nd*, nifanyaye vitu vyote; nizitandaye mbingu pekeyangu; niienezaye nchi- Isaya 44:24.

Siku ya 5: Ulimwengu uliona samaki na ndege - Mungualiumba ndege wa angani nasamaki baharini.

Siku ya 6: Ulimwengu ulio na wanyama, wadudu, na wanadamu -

Mungu aliumba mifugo, wadudu watambaao chini, na watu.

Siku ya 7: Haikuchorewa picha. Mungu alipumzika siku ya saba.

Page 27: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 24

Sehemu ya 3: Mungualiumba ulimwengu kwalengo kubwa na ufahamu

mkubwa.

*Mungu aliumba ulimwengu kwahekima na ufahamu mwingi.Kuna mambo ya kina katikauumbaji wa Mungu kamainavyodhirishwa nakweli zifuatazo: Watuwameumbwa kwa mfano waMungu wakiwa na uungu nauadilifu ndani yao. Mungualianzisha uhusiano wa mume namke na lengo zima la familia.Vilevile alianzisha sikukuu zakusherehekea kazi ya Mungu namajaliwa yake. Mungu hakuumbatu ndege wa angani, lakini piaaliwafunza jinsi ya kutengenezaviota vyao. Aliwapa watu ujuzi navipawa kama alivyopenda yeyemwenyewe na pia amewawezeshawatu kuendeleza ujuzi waokufikia viwango vya juu katikahistoria ya dunia. Munguhakuuweka tu ulimwengu na maliasilia mahali pake, bali piahuchangamana na uumbaji wakekwa niaba ya watu wake.

Kijiji: Picha zifuatazo katikaupande wa kushoto wa kurasazinahusiana na mafunzo yaliyokatika Matendo ya Mitume 17.Mungu anasema kuwa alituwekaduniani na mahali maalum kwakuishi ili tuweze kumtafuta yeye.

Picha ya upande wa kushoto:Watu wengine wamepangiwakuishi vijijini.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu hakuumba vitu bila mpangilio, aliumba ulimwengu kwa ufahamu

na lengo kubwa.2. Mungu aliwaweka wanadamu duniani kwa kusudi Fulani kama

alivyopenda (kulingana na Matendo 17:26-27).3. Mungu ana mpango na maisha yetu (Zaburi 139:13-16).4. Mungu aliweka habari zinazomhusu yeye katika uumbaji wake.

Hadithi* Mungu Aliwaweka Watu Duniani Kama Alivyokusudia, ili wamfuate-Matendo 17:26-27. **Mungualitufanya, Alituona Wakati Wa Uumbaji, Ana kusudi na Maisha Yetu-Zaburi 139:13-16. * YesuAnatufundisha Kuhusu Rehema Za Mungu Zinazodhihirishwa Kupitia Uumbaji-Mathayo 5:45; MunguAnamfundisha Ayubu Juu ya Uumbaji Wake-Ayubu 38-41.Maandiko

Mungu aliumba watu, Akaona mwili uliokuwa haujaumbika katika kilindi cha Dunia wakati wauumbaji-Zaburi 139:14-15. * Mungu anajifunua katika uumbaji-Warumi 1:20. * Munguanajifunua Katika Mioyo Ya Wanadamu-2 Wakorintho 4:6. **Vitu Vyote Viliumbwa KwaMapenzi Ya Mungu-Ufunuo 4:11. * Mungu Aliuanzisha Ulimwengu kwa Hekima na UfahamuWake-Yeremia 51:16. * Mungu Alianzisha Nguvu Za Upepo, Akaanzisha Maji, AkatengenezaNjia Ya Mvua ya Radi, Na Kukadiria Hekima Katika Uumbaji-Ayubu 28:24-27. * Kwa Hekimaya Mungu aliweka Misingi ya Dunia, Kwa Ufahamu Aliweka Mbingu pahali pake, Na KwaUfahamu Vilindi Vilipasuka Na Mawingu Yakadondosha Umande-Mithali 3:19-20. * UumbajiUnatangaza Utukufu wa Mungu-Zaburi 19:1-4

. * Mungu Anafanya Kazi Daima Katika Uumbaji Wake-Zaburi 145; Yohana 5:17; Waebrania1:2-3.*Zaburi za Uumbaji Ziliandikwa kama Ushahidi Kwa Mataifa Mengine Kwamba Mungu NiMungu Mmoja wa Kweli - Zaburi 104. * Mungu aliwaumba Matajiri na Maskini Wote Sawasawa-Mithali 22:2. * Mungu Ni Mfinyanzi, Sisi ni Udongo tu, Na Anaweza kugeuza Mipango YetuSawa na Tunavoendelea Kumtii Au Kumuasi- Isaya 64:8; Yeremia 18:1-11. *Mungu anafanya kazikatika uumbaji - Maskini na fukara wakitafuta maji wasipate, wakiwa wamekauka koo kwa kiu,mimi Mwenyezi-Mungu nitawajibu; mimi Mungu wa Israeli, sitawaacha. Nitabubujisha mitokwenye milima mikavu, na chemchemi katika mabonde. Nitaigeuza nyika kuwa bwawa la maji, nanchi kame kuwa chemchemi za maji. Nitapanda miti huko nyikani: mierezi, mikakaya,mijohoro, na mizeituni; nitaweka huko jangwani: miberoshi, mivinje na misunobari. Watuwataona jambo hilo, nao watatambua na kuelewa kwamba mimi Mwenyezi-Mungu nimetendahayo, mimi Mtakatifu wa Israeli nimefanya jambo hilo.” * Matendo ya Mungu ya Uumbaji ujao:Ataumba Mbingu Mpya na Nchi Mpya-Isaya 65:17-25. *Mbingu Mpya na nchi mpya, ambamohaki inadumu - 2Petro 3:13; 2 Petro 3:7.

Ushahidi wa Mungu unaopatikana katika uumbaji: Jinsi Wayahudi walivyotumia wimbo wa kipaganikutoa ushuhuda unaoonyesha kwamba Mungu ni mkuu kuliko miungu ya uwongo.

Soma Zaburi 104 (Zaburi Ya Uumbaji) kwa Kuilinganisha Na Nyimbo Za Kipagani Za Ugarit Za WakatiHuo. Mwandishi wa Zaburi anatumia virai kutoka kwa Sifa Za Baali kwa Kiingereza Baal Epic, kuonyeshakwamba Mungu wa Israeli ndiye Mungu mkuu na wa kweli. Ukiangalia utaona kwamba mwandishi waZaburi ameondoa jina la Baali na mahali pake kuweka jina la Mungu kwa Kiebrania, El (Mungu). Pia kaulizake kumhusu Mungu zina uzito mkubwa kushinda zile kauli zinazomhusu Baali.

Zaburi 104:3- Mungu ndiye anayefanya mawingu gari lake.

Ugaritic- Baali ndiye mwendeshaji wa mawingu.

Zaburi 104:4- moto na miale ni tashihisi (personifications) za wahudumu au malaika wa Bwana.

Page 28: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 25

Jangwa: Mungu aliwapangiawatu wengine kuishi jangwani.

Msitu wa mvua: Mungualiwapangia watu wengine kuishikwenye misitu ya mvua.

Sehemu zenye milima namaziwa: Mungu aliwapangiawatu wengine kuishi kwenyesehemu zenye milima na maziwa.

Ugaritic- moto na miale hutumiwa kutayarishia fedha na dhaabu za hekalu la Baali.

Zaburi 104:7- radi ni sauti ya Bwana.

Ugaritic- radi ni sauti ya Baali.

Zaburi 104:16- Mungu aliotesha mierezi ya Lebanoni.

Wimbo Wa Ugaric-Miti kutoka Lebanoni ilitumiwa kujengea hekalu la Baali.

Ugaritic-Miti kutoka Lebanoni ilitumiwa kujengea hekalu la Baali.

Zaburi 104:13-Mungu huinyeshea mvua milima kutoka juu.

Wimbo wa Ugarit-Kufunguliwa kwa dirisha la Baali kunyeshea Dunia.

Zaburi 104-Kwa kuongezea, Mungu Ndiye Anayevipatia Viumbe Maji Na Chakula. Hufanya Majira.Hutunza Kila Kitu Kinachoihusu Dunia.

Somo La 2: Familia ni Mpango/Azimio La Mungu

Sehemu ya 2a: Mungu aliumbamwanamke na mwanamume

waonyeshe mfano wake.

Vichwa Vya Masomo:1. Wanadamu waliumbwa wakati wa kilele cha uumbaji wa Mungu kwa

ajili ya utukufu wa Mungu.2. Mungu aliumba mwanamke na mwanamume kwa mfano wake (mfano

wa kimaadili na kiutu). Hii inajumuisha watu wote.3. Mungu anapenda tuonyeshe Umoja wa Mfano wake katika uhusiano

wa ndoa (watakuwa mwili mmoja Mwa. 2:24).

Page 29: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 26

Familia iliyochorwa kwenyeBiblia- Mwanamume na mwanamkewaliumbwa kwa mfano wa Mungukimaadili na kiutu. Kwa hivyo mfaonowa Mungu unapotajwa katika maandikohaumaanishi mfano wa kimwili bali wakimaadili/kiutu, yaani upendo, haki,huruma, wema, fadhili, uaminifu n.k.Juu ya hayo, uhusiano kati ya mke namume unapaswa kuonyesha umoja wamfano wa Mungu. Kumbuka katikaMwanzo 1:26-27, Mungu anasema,“Natuumbe mtu kwa MfanoWETU…kisha akaumba mwanamumena mwanamke.” Kisha, hao wawiliwakawa mwili mmoja. Kwa hivyo,ndoa za jinsia moja, yaani wanaumewawili au wanawake wawili au kuwa nawake au waume wengi, mapenzi ya njeya ndoa, dhuluma za kimwili, roho auhisia au namna yoyote ile ya dhambihaitoi mfano mzuri au kuwakilishamaadili ya Mungu.

4. Mungu anapenda tuonyeshe mfano wake katika haki na utakatifu waKweli.

5. Hatustahili kuwalaani watu au kuwaua kwa sababu waliumbwa kwamfano wa Mungu.

Mungu aliumba Mwanamke na Mwanamume kwa Mfano WakeHadithi*Hadithi ya Uumbaji: Wanadamu Waliumbwa Kwa Mfano wa Mungu - Mwanzo 1:26-28; 5:1-2.*Usiue, Mtu aliumbwa kwa mfano wa Mungu; Usiue, Mtu aliumbwa kwa mfano waMungu; - Mwanzo 9:6; Kutoka 20:13. *Wanadamu wako Juu Kuliko Wanyama - Mwanzo 1:28;2:19-20.

Maandiko*Tuliumbwa awe kama Mungu Katika Hakina Utakatifu - Waefeso 4:22-32. *Tunafanywa UpyaKatika Maarifa Kulingana na Mfano wa Mungu- Wakolosai 3:9-11. *Hatupaswi Kuwalaani WatuKwa Sababu Waliumbwa kwa Mfano wa Mungu - Yakobo 3:8-18. *Tunaakisi Utukufu na Mfano waMungu - 2 Wakorintho 3:18. *Wanawake Wako Sawa na Wanaume Machoni pa Mungu - Wagalatia3:28. *Uhusiano wa Ndoa ni Uhusiano wa Kuwa Mwili Mmoja - Mwanzo 2:21-25; Mathayo 19:5-6;Marko 10:8-9; 1 Wakorintho 6:15-20; Waefeso 5:21-33.

Sehemu ya 2b: Mungualiwaamuru mume na mke

kutawala viumbe na wazaanena kuongezeka.

Picha Ile ile

(Tambua: Hii si kusema kwambawazazi walio peke yao pamoja nawatoto wao si jamii machoni mwaMungu. Tunachosema hapa nikwamba kusiwe na mageuzi katikakuunganishwa kwa wawili katikandoa.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu alianzisha muungano wa kipekee wa mwanamume mmoja na

mwanamke mmoja katika ndoa kama mfano bora wa familia.2. Muungano mwingine wowote au maisha ya uzinifu ni kwenda kinyume

na mpango wa Mungu (Yaani mume na mume kuoana; mke na mke; mumekuwa na wake wengi; Mke kuwa na waume wengi; kujamiiana kwa maharimu,au kulala na wanyama; ngono nje ya ndoa; na ponografia).

Maandiko*Mungu ni shahidi iwapo utamdanganya mke, anapenda tuwe na uzao wa kiungu - Malaki 2:14-16;see also 1 Wakorintho 7:14. *Mungu alisema, “Mkazaane, muongezeke, muijaze dunia - Mwanzo 9:1.Mpango wa Mungu ni kwamba wote wawili wabaki kuwa mwili mmoja - angalia Mwanzo 1:27; 5:2;Marko 10: 2-9. *Yesu anafundisha kwamba anayemuoa ama kuolewa na mtu mwingine baada yakutalakiana na mwenzake anazini, hii ni kwa wote wawili mume na mke - Marko 10:10-12.(Kuhusiana na Ndoa); Mathayo 19:3-9; Marko 10:1-12 (Yesu anajibu Swali juu ya Talaka); 1Wakorintho 6:12-20 (Paulo Anazungumzia Swala la Ukahaba).

Sehemu ya 2c: Lengo laMungu Kwa Familia ni kuona

kwamba wazaziwanawafundisha watoto wao

njia za Mungu.

Picha Ile ile

Vichwa Vya Masomo:1. Waume na wake wanapaswa kuwafundisha watoto wao njia za

Mungu.2. Mungu anapenda tuwe na uzao wa Kiungu.

Hadithi*Familia zinampokea Yesu kama Bwana na Mwokozi wao-Familia ya Kornelio-Matendo 11:4;Familia ya Ludia-Matendo 16:31-34. *Kila familia ilikuwa ni ichinje mwanakondoo na kupaka damukwenye vizingiti vya mlango ili kuepuka malaika wa mauti kabla ya kutoka Misri-Kutoka 12:3-15.*Rahabu na familia yake waliokolewa kwa sababu waliwasaidia wapelelezi-Yoshua 6:23.

Page 30: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 27

Biblia katika picha- Mume na mkehuwafundisha watoto njia zaMungu. Maana ya manenoyanayotumiwa kwa maana yakufundisha katika Biblia yanajumuisha,kufundisha yale yanayompendezaMungu, kile kinacholeta ukomavu waufahamu, na kile kinachonoa hekima yamtu. Kwa kuwa wazazi ndio waliokaribu kabisa na watoto wao, watotowanaweza kufundishwa imani halisivizuri pale nyumbani, kwa sababuwatoto huona jinsi wazazi waowanavyokabiliana na hali nzuri nambaya. Watoto huona jinsi wazazi waowanavyoishi katika imani katikamazingira ya kila aina usiku na mchana(Kumbukumbu La Torati 6 inatuagizakufundisha njia za Mungu tunapolala,tunapoketi, tunaposimama na,tunapotembea –hii ina maana ya wakatiwote). Kanisa pia lina jukumu kubwa lakuwafundisha watoto, lakini halinauwezo mkubwa wa kuathiri watotokama wazazi. Wazazi wanapaswakusoma Biblia pamoja na watoto wao,kufundisha, na kuomba pamoja nao kilasiku.

Mungu anapenda tuwe na uzao waKiungu. Kwa hiyo tunapaswakuwafundisha watoto wetu juu ya njiaza Mungu wakati wote.

*Wanaoamini kupitia kwa Yesu Kristo, huwa sehemu ya familia ya Ibrahimu - Wagalatia 3:7-8. *Yoshua Anasema Kusudi la Familia Yake Ni Kumtumikia Bwana, na Si miungu ya nchini mwao-Yoshua 24:15. * Ibrahimu Aliifundisha nyumba yake katika njia za Mungu-Mwanzo 18:19.

Maandiko*Sharti Tuwafundishe Watoto Wetu Tunapolala, Tunapoamka, Tunapokaa, Tunaposimama,Tunapotembea, na kuandika Sheria Kwenye Miimo ya Milango Nyumbani - Kumbukumbu La Torati6:6-9. * Mungu ni shahidi iwapo utamdanganya mke, anapenda tuwe na uzao wa kiungu - Malaki2:14-16; see also 1 Wakorintho 7:14. *Mungu aliweka sheria Israeli kwamba baba sharti awafundishewatoto wake kumtegemea Mungu, na si kufuata uasi - Zaburi 78:5-8. *Watoto ni zawadi na BarakaKutoka Kwa Mungu- Zaburi 127:3-5. *Watoto Hujifunza Tangu Utotoni Juu ya Bwana- 2 Timotheo3:14-15. *Hatupaswi Kuwapenda Watu wa Familia Zetu Kuliko Mungu - Mathayo 10:37. *Mama naBaba Wana Wajibu wa Kuwalea Watoto Katika Njia za Mungu - Kumbukumbu La Torati 31:12-13;Mithali 1:8; 6:20-23. *Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.-Mithali 22:6. *Imani ya Kweli Iliyopitishwa Kutoka Kwa Bibi/Nyanya hadi Kwa Watoto - 1Timotheo 1:5.

Sehemu Ya 2d: Jukumu laMume.

Picha Ile ile

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu ndiye Bwana wa nyumba.2. Wanaume sharti wawe na uhusiano mzuri na Bwana Yesu, uhusianouliostawishwa kwa maombi, Kujifunza Biblia, kuabudu, na kumtumikiaMungu.3. Waume wanastahili kuishi chini ya Uongozi wa Kristo, wakidhihirishauungu nyumbani na katika jamii.4. Waume sharti wawapende wake zao kama wanavyojipenda wenyewe,wakionyesha jukumu la Kristo la kuwa Mwokozi/Mume na Mkombozi.5. Waume ni vichwa (vyanzo/aina ya kiongozi) vya nyumba, wakitoa mwelekeo wakiungu, jina la kiungu/sifa, na nguvu za kimwili, kimaadili na kihisia kwa familia zao.6. Waume na Wake sharti wanyenyekeane (Waefeso 5:21).7. Waume sharti watimize mahitaji ya familia zao.8. Waume sharti waishi katika uhusiano wa kipekee wa ngono wa mwilimmoja na wake zao.9. Waume sharti waishi na wake zao kwa njia ya kuwaelewa.10. Akina baba hawapaswi kuwachokoza watoto wao.11. Waume sharti washirikiane na wake zao katika kuwafundisha watotokatika njia za Bwana.12. Waume sharti wamtumikie Mungu kwa karama zao na kuziendelezakarama hizo, lakini si kwa kuzipuuza familia zao.13. Maamuzi ya nyumbani sharti yafanywe kwa kutegemea utakatifu, hekima,na makubaliano ya jumla na kwa maombi.14. Wanaume (na wanawake) watatawala na Kristo na kuwa warithi pamojanaye siku ya mwisho.

Page 31: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 28

Mafundisho Ya Maandiko Juu Ya Jukumu la MumeHadithi*Adamu anasema kwamba mwanamke ni nyama ya nyama yake na mifupa ya mifupa yake - Mwanzo 2:23. *Ayubu ni Baba Mzuri - Ayubu 1:1-5. *Mababa Wasio Waaminifu - Yeremia 7:17-20. *Eli Hakuwarekebisha Watoto Wake - 1 Samueli 2:12-4:11. *Nadhiri ya Kijinga ya Baba -Waamuzi 11:30-40. *Fumbo la Baba Mzuri - Luka 15:11-32. *Baba Hutoa Vipawa Vyema - Mathayo 7:9-11. *Abrahamu Anamuombea Ishmaeli- Mwanzo 17:18-20.Maandiko*Waume, wapendeni wake zenu kama mnavyojependa, huku mkiwaza vile Kristo alivyomwokoa- Waefeso 5:25-31. *Mume ni kichwa chanyumba- Waefeso 5:23. *Mume huakisi jukumu la mume/mkombozi kama vile Mungu alivyo mume wa kiroho/mkombozi wa Israeli - (Waumewapendeni wake zenu kama Kristo alivyolipenda kanisa na akajitoa kwa ajili yake …-Waefeso 5:25-33; Isaya 54:4-8; Hosea; Yeremia 31:32-34.*Ishini Katika Uhusiano wa Mwili Mmoja- Waefeso 5:31; Mwanzo 2:21-25. *Waume Msiwe Wakali Kwa Wake Zenu - Col. 3:19. *Ishini NaWake Zenu katika hali ya kuelewa, na kuwatazama kama warithi sawa na ninyi huko Mbinguni, au maombi yenu yatazuiwa - 1 Petro 2:7. *(sifaza msimamizi, bali onyesha kuwa mume mwenye maisha mazuri ya kifamilia) anapaswa awe na mke mmoja tu, awe mwenye kiasi, nidhamu nautaratibu; ni lazima awe mkarimu na anayeweza kufundisha; asiwe mlevi au mtu wa matata, bali awe mpole, apendaye amani; asiwe mtu wakupenda fedha; anapaswa awe mtu awezaye kuongoza vema nyumba yake, na kuwafanya watoto wake wawe watii kwa heshima yote (maanakama mtu hawezi kuongoza vema nyumba yake, atawezaje kulitunza kanisa la Mungu?) 1 Timotheo 3:2-5.

Sehemu 2e: Jukumu La Mke

Picha Ile ile

Mafundisho ya Maandiko: Kuishina waume wasioamini--1 Petro2:13-3:7

*Waumini ni ukuhani wa kifalme, taifalililoteuliwa kuwa mashahidi wa Injili.Jinsi wakati mwinginetunavyomshuhudia Yesu ni katika tabiazetu katika taasisi zilizoko. Petroanaonyesha kitendo cha Yesu kutoauhai wake kama mfano wa jinsitunavyopaswa kuishi katika sehemu nataasisi tunazoishi na kuhudumia. 1 Petro2:9-10; 21-25. Tambua miktadha yafungu hili la Maandiko ifuatayo:

*1 Petro 2:11-12: inatuagiza tuishi kwaheshima katikati ya mataifa(wasioamini).

*1 Petro 2:13-17: Paulo anatuagizatujinyenyekeze chini ya mamlaka yoteya kibinadamu, kwa ajili yakumshuhudia Bwana: Hayayanajumuisha: utii kwa wafalmemaliwali, polisi, ndoa, heshimu kilamtu.

*1 Petro 2:18: Maagizo kwa watumwawajinyenyekeze kwa mabwana zao.

*1 Petro 3:1: Nanyi Wake,jinyenyekezeni kwa waume zenuwasioamini ili mpate kuwavuta. Hililinaweza kutumika pia katika tamadunizisizoamini ambapo unahudumia, kamavile katika kisa cha Ibrahimu na Sara-ambapo Sara alimwita Ibrahimu,“Bwana.”

*Muhtasari: Somo la 1 Petro 2-3 ni jinsitunavyoweza kuenenda katika taasisi zakibinadamu—iwe taasisi ya serikali,kazi au jukumu la mtumwa, au jinsi

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu ndiye Bwana wa nyumba.2. Wanawake wanapaswa wawe na uhusiano ukuao na Bwana Yesuunaokuzwa kwa maombi, mafundisho ya Biblia, kuabudu na kumtumikiaMungu.3. Wake wanapaswa kuishi chini ya ukuu wa Kristo wakidhihirisha uungukatika nyumba na katika jamii.4. Wake nawawatii waume wao kwa ajili ya kumheshimu Kristo.5. Waume na wake nawajitoe mmoja kwa mwingine (Efe. 5:21 Ilani: kitenzikutii katika fungu la 22 nikiletwe kutoka fungu la 21, kwa kuwa kitenzi hicho tiikwa kweli hakiko katika fungu la 22 la matini ya Kiyunani. Muundo huu wakisarufi unaunganisha sehemu hizi mbili za Maandiko kidhamira).6. Wake wanapaswa kuwaheshimu waume wao.7. Wake wanapaswa kufanyia mema familia zao (Mit 31).8. Wake sharti waishi katika uhusiano wa ngono wa kipekee na waume zao.9. Wake wahusike katika kuwafunza watoto njia za Mungu pamoja nawaume wao.10. Wanawake wazee wanapaswa kuwafundisha wanawake wachanga jinsi yakuwapenda waume wao.11. Wanawake hawapaswi kuwa wadaku.12. Wanawake wanapaswa wasimamie nyumba zao vizuri.13. Wanawake ni wawe wanajali kuishi uhuru wao katika Kristo kwa njiaifaayo katika utamaduni wao maalumu kwa ajili ya Injili (Tazamakujinyenyekeza kwa mamlaka ya kibinadamu na maagizo kuhusu kuishi namume asiyeamini katika 1 Petro. Taarifa zilizo kwenya safu ya kushoto).14. Wanawake wanapaswa kumtumikia Mungu kwa vipawa vyao anavyowapana waviendeleze bila kuwa na kutojali familia zao.15. Maamuzi katika nyumba nayawe na msingi wa utakatifu, hekima, namakubaliano ya maombi yawafaao wote.16. Wanawake (na wanaume) watatawala na Kristo, na wawe warithi pamojanaye mwisho wa wakati.

Hadithi*Tabia za mwanamke mwenye uungu- Mithali 31. *Safira anamtii mumewe badala ya Bwana naanakufa- Matendo 5:1-11. *Mama wa Yakobo na anataka vyeo vya heshima kwa ajili ya wanawe-Mathayo 20:21-22. *Hana Anaomba Apate Mtoto- 1 Samweli 1. *Mama ya Samweli AnamshoneaKoti Kila Mwaka- 1 Samweli 2:18-19. *Hajir Anamtunza Mwanawe Jangwani- Mwanzo 21:15-21.*Mamake Musa Anamtia kwenye Kikapu Katika Mto ili Ayaokoe Maisha Yake- Kutoka 2:3-10.*Raheli Anahusika Katika kumdanganya mumewe- Mwanzo 27:1-29. *Mwanamke mwenye HekimaKule Abeli Anaokoa Mji- 2 Samueli 20:15-22. *Abigaili anachukua hatua ya Hekima- 1 Samweli 25.

Page 32: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 29

ndoa inavyotazamwa katika tamadunimaalumu. Tunatakiwa kuenenda kwauangalifu juu ya tamaduni ili tusiharibuushuhuda wetu juu ya Kristo. Katikatamaduni nyingine kutumia uhuru wenuwote katika Kristo kama wanawakehadharani kunaweza uharibu ushuhudawenu. Lakini maandiko yanakumbushaWaume waishi na wake zao – kwakuelewa mahitaji yao (sio kulingana nautamaduni-wanawake wanawezakudhulumiwa au kutazamwa kamamali). Pia yanasema kuwa waumewanahitaji kukumbuka kuwa wake zaoni warithi pamoja na Kristo. Ikiwahawatawachukulia vizuri, maombi yaoyatazuiwa. Kwa hivyo ni lazima tuwewaangalifu juu ya utamaduni ili tuwezekumshuhudia Kristo, lakini pia nilazima tuchukuliane kama warithipamoja na Kristo.

*Mamake Yesu Alikuwa Msalabani Wakati Yesu Alipokufa-Yohana 19:26-27.

Maandiko*Jinyenyekezeni mmoja kwa mwingine kwa kumwogopa Kristo- Waefeso 5:21. *Wake tiini kamamnaomtii Bwana- Waefeso 5:22-24. *Wanawake wazee Wafundisheni Wanawake Wachanga jinsi yakuwapenda waume Na Watoto wao, na Sio Kukashifu- Tito 2:3-5. *Maagizo Maalumu kwa Walewalio na Waume Wasioamini- 1 Petro 3:1-6. *Wafundisheni Watoto Katika njia Ziwapasazo kufuata-Mithali 22:6. *Rekebisheni Watoto Wenu- Mithali 29:15, 17.

Sehemu 2f: Jukumu la Watoto

Picha Ile ile

Onyo kuhusu kuwaheshimumababu waliokufa: Wanafamilia waliokufa ni rohoambazo sio lazima tuzitulize; sioviumbe wa kutolewa sadaka;hatupaswi kuwajengeamadhabahu; hatupaswikuwatumikia hizo roho;hatupaswi kuziabudu; nahatupaswi kuziomba ilizituombee. Kumbuka kwambapepo wanaweza kujivika sura yamababu waliokufa katika ndotoau maono ili wafanye watuwaendelee kuwatumikia badalaya kumtumikia Mungu. Watuwanapokufa, huwa pamoja na Yesu, auwawe mahali pa mateso paitwapo,Motoni. Yesu alimwambia yule mwizipale msalabani, “Leo utakuwa pamojanami peponi.” Ukweli ni kwamba pepowote wazungukao duniani huwawanatafuta kuabudiwa.

Vichwa Vya Masomo:

1. Yesu is Bwana katika nyumba.2. Watoto wanapaswa wawe na uhusiano ukuao na Bwana Yesu unaokuzwakwa maombi, mafundisho ya Biblia, kuabudu, na kumtumikia Mungu.3. Watoto wanapaswa kuishi chini ya ukuu wa Kristo, na waonyeshe uungukatika nyumba na katika jamii.4. Watoto wanapaswa kuheshimu na kuwatii wazazi wao.5. Watoto wanapaswa kuheshimu wazee.6. Tambua kuwa Mungu amekuumba na ana mpango na maisha yako.7. Vijana nawawe kielelezo katika usemi, mwenendo, upendo, imani, na usafi.8. Vijana wasidharauliwe.9. Watoto wanapaswa kutumia na kukuza vipawa vyao walivyopewa naMungu kumtumikia Mungu na jamii.10. Watoto wanapaswa wawalipe wazazi wao baadaye katika maisha hililinamheshimu Bwana.

Maandiko kwa ajili ya Jukumu la WatotoHadithi*Yesu anawakaribisha watoto, ufalme wa Mungu ni wa watoto- Luka 18:15-16. Mfano mbaya: *Wafalme Waliotembea katika Dhambi za Babazao - 1 Wafalme 15:25-32. *Viongozi wa Wayahudi walienenda Katika Dhambi za Baba zao- Mathayo 23:30-38. *Hofni na FinehasiHawakumheshimu Bwana, Walitoa Sadaka Ngeni Kwa Bwana; Hawakusikiliza Baba Yao- 1 Samueli 2:12-4:11.Maandiko*Msikilize Babako, Usimdharau Mamako- Mithali 1:8; 3:1-2; 4:1-4, 10, 20-22; 5:1; 6:20-23; 13:1; 23:22. *Watoto hujulikana kwa Vitendo VyaoKama Ni Wasafi na Wanyofu- Mithali 20:11. *Watoto Watiini Wazazi Wenu, Akina Baba Msiwachokoze Watoto Wakakasirika- Kutoka 20:12;

Page 33: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 30

Waefeso 6:1-4; Col. 3:20-21; Luka 18:20. *Watoto wamkataao Mungu, pia Si Watiifu Kwa Wazazi Wao- Warumi 1:28-32; 2 Timotheo 3:2-5.*Vijana ni wawe mfano kwa Waumini Wazee Katika Usemi, Mwenendo, Upendo, Imani, Na Usafi- 1 Timotheo 4:12. *Vijana Wasidharauliwe- 1Timotheo 4:12. *Ikiwa Baba au Mama Atatuacha, Bwana atatuchukua- Zaburi 27:10. *Mtoto Mwenye Hekima Huleta Furaha; Mjinga huletaHuzuni- Mithali 10:1; 27:11. * Mtoto mwenye hekima husikia maagizo ya baba yake, lakini mwenye dharau hasikilizi maonyo. - Mithali 13:1.*Waheshimu Babu na Nyanya- Mambo ya Walawi 19:32. *Watoto nawawalipe Wazazi Wao, Hili linampendeza- 1 Timotheo 5:4, 8. *MunguAlituumba katika Tumbo la Mama Yetu- Zaburi 139:13-14. *Utukufu Wa Watoto ni Wa Baba Yao- Mithali 17:6. *Mungu Hupatiliza WatotoKwa Dhambi za Baba Zao, Bali Huonyesha Upendo Kwa Wale Wajitoao Kwake- Kutoka 20:5-6.

Page 34: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 31

Sura ya 3 Kielelezo: Jinsi Mungu Awasilianavyo na Wanadamu

Page 35: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 32

Picha Iliyorahisishwa kwa ajili ya Sura ya 3

Page 36: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 33

Sura ya 3 Jinsi Mungu Awasilianavyo na WanadamuMaelezo ya Jumla

Kielelezo cha 3 ni picha ionekanayo ya jinsi Mungu awasilianavyo na wanadamu. Munguhuwasiliana na watu katika madaraja matatu tofauti, kama picha inavyoonyesha katikamadaraja matatu ya jengo. Daraja la juu ni lile tunaloweza kuliita “Ufunuo Maalum.” UfunuoMaalum ni ufunuo wa Ukweli na Mapenzi ya Mungu kupitia kwa Biblia, Roho Mtakatifu, nakupitia kwa Yesu. Daraja la pili ni daraja la Mawasiliano Binafsi ya Mungu. Biblia inatoamifano ya mawasiliano binafsi ya Mungu na watu katika maeneo yafuatayo: maombi, ndoto namaono (na malaika), ishara na maajabu, na kupitia ushirika na waumini wengine. Hadithi iliyohapo chini inawakilisha Ufunuo wa Mungu wa Jumla kupitia maumbile. Kupitia maumbiletunaweza kujifunza kitu juu ya sifa za Mungu na utunzaji wake kwetu.

Mambo muhimu ya Kuzingatia katika kufundisha Sura hii:

Daraja la juu la nyumba lina njia muhimu zaidi ambazo Mungu huwasiliana nasi (Ufunuo Maalum). Madaraja mengineyote lazima yajaribiwe na hili. Yesu alikuja duniani atwambie juu ya Baba, juu ya kuishi maisha ya kumpendezaMungu, juu ya kutangaza Injili; na alikuja kuleta Agano Jipya kupitia kufa na kufufuka kwake. Roho Mtakatifuhutuelekeza katika Ukweli na maarifa ya Mungu. Neno la Mungu ni chanzo kimoja tulicho nacho cha Ukweli kwawote, kwa huo tunapima mafundisho tusikiayo kutoka kwa watu wengine. Ufunuo Maalum ndiyo njia ya kutegemeekazaidi ya kupokea mawasiliano kutoka kwa Mungu. Tunahitaji kutia moyo familia zetu, jamii, na shirika watafutekujenga daraja hili kama daraja muhimu kuliko yote, hasa kwa kuchukua wakati kusoma na kuchunguza Neno laMungu. Tukisisitiza daraja la pili la Mawasiliano Binafsi kuwa muhimu zaidi, tutakuwa tunaelekea kuweka msisitizousio sahihi juu ya watu fulani, juu ya viongozi, au juu uzoefu wa kiroho ambao tunaweza kufikiri kuwa unatuinua juu yawatu wengine wote. Kwa kufanya hivyo tunaweza hata kudhalilisha umuhimu wa uhusiano wa kila mtu na mawasilianona Mungu na tuwafanye wawaendee viongozi ambao wanadai namna fulani ya “Ufunuo Maalum” kupitia ndoto. Munguhawasiliani katika madaraja haya, bali kila mwamini anahitaji kujifunza jinsi ya kutafuta Ukweli kutoka kwenye Bibliana jinsi ya kumsikiliza Roho Mtakatifu yeye mwenyewe. Biblia ni chanzo chetu cha Ukweli kwa wote. TunaposomaBiblia, Mungu husema nasi moja kwa moja na kufanya kazi mioyoni mwetu.

Njia za Kufundishia Sura hii:1. Njia ya kupitia Kirahis i. Fundisha maelezo ya jumla hapo juu kwa kutumia picha kila sehemu.2. Njia Mada. Gawanya somo kwa angalau sehemu tatu, Ufunuo Maalum, Mawasiliano ya Kibinafsi, na Ufunuo

wa Jumla. Halafu fundisha sehemu za kila daraja wakati tofauti tofauti ukitumia nakala na mwongoza waMaandiko.

a. Ufunuo Maalum: Biblia, Roho Mtakatifu, Yesu.b. Mawasiliano ya Kibinafsi: Maombi, Ndoto na Maono, ishara na maajabu, watu wengine.c. Ufunuo wa Jumla: Yale ambayo Mungu amefunua juu Yake mwenyewe kupitia Uumbaji Wake.

3. Njia ya Kina/Utondoti. Njia inayoingia ndani zaidi. Soma eneo la Maandiko kutoka kwa kila picha na somolililoorodheshwa chini ya a, b, c hapo juu.

4. Njia ya Mahubiri. Tumia Sura hii yote kuwatia moyo watu wasioamini wautafute Ukweli wa Mungu kupitiaaina hizi tatu za mawasiliano.

5. Njia ya Mwamini Mkomaavu. Weka msisitizo juu ya madaraja mawili ya juu, ukiwashawishi waaminiwatumie wakati zaidi katika Neno la Mungu na katika kupima mambo yote na Neno la Mungu.

Malengo Ya Sura ya 3

1. Kuwasaidia watu wajue na kutambua njia mbalimbali anazotumia Mungu kuwasiliana nao.2. Kuimarisha Neno la Mungu Yesu, na Roho Mtakatifu kama kiwango na chanzo halisi cha Ukweli, ambacho

kwa hicho maeneo mengine yote ya mawasiliano na mafundisho yanapaswa kujaribiwa.3. Kutia nguvu wakati wa mtu binafsi na uhusiano na Mungu .

Page 37: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 34

4. Kutoa mifano ya Kibiblia ya njia ambazo Mungu huwasiliana nasi kibinafsi ili tuweze kujua mahalipafaapo au matumizi ya mambo haya.

Sura ZihusianazoSura ya 1 na 2: Mungu ni muumba wa vitu vyote na mkuu juu ya uumbaji Wake. Mungu ni Mungu afananaye na mtuanayewasiliana nasi. Mungu amefunua sifa zake kupitia kwa maumbile.

Sura ya 4: Mungu amewasilisha Sheria Zake kwa watu. Sheria hizi ziko ndani ya Biblia, Ufunuo wa Mungu spesheli.

Sura ya 6: Mungu amewasiliana nasi kupitia kwa maisha na mafundisho ya Yesu. Maombi na wakati katika Neno la Mungu nibaadhi ya njia za jinsi ya kukaa ndani ya Yesu.

Sura ya 9: Maombi, Neno la Mungu, na kumfuata Roho zote ni sehemu muhimu za kukua kiroho na kupigana vita vya kiroho.

Sura ya 10. Vitu vyote lazima vijaribiwe na Neno la Mungu, Roho Mtakatifu, na Yesu.

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Mungu Huwasiliana kupitia Ufunuo Maalum

Sehemu yai 1: Njia muhimuzaidi atumiayo Mungu

kuwasiliana nasi ni kupitiaUfunuo Maalum.

Hadithi iliyo hapo juu kuhusujengo na Biblia, Yesu, na RohoMtakatifu- Inawakilisha njiaambayo kupitia kwa hiyo tunapokeaUfunuo Maalum kutoka kwaMungu. Mambo haya matatu yakojuu kwa sababu ndilo daraja ambalokwa hilo tunaweza kuona vituvingine vyote waziwazi zaidi. Kiladaraja la mawasiliano lililo chini ya hililazima lijaribiwe dhidi ya hili ili usafiwa Imani na usafi wa mafundisho katikakanisha uweze kuhifadhiwa.

Vichwa Vya Masomo:1. Njia muhimu zaidi atumiayo Mungu kuwasiliana nasi ni kupitia

Ufunuo Maalum (Neno Lake, Yesu, na Roho Mtakatifu).2. Yote yaliyomo kutoka daraja lingine lolote ni lazima yajaribiwe na

daraja hili.

Sehemu yai 1a: Neno la Mungundio kiwango/kigezo chetu nachanzo cha/shina la Ukweli.

Vichwa Vya Masomo:1. Maandiko yote yaliandikwa kwa msukumo wa Mungu.2. Neno la Mungu lina maana kwa ajili ya kufundishia, kukemea,

kurekebisha na kufunza katika unyofu/uadilifu.3. Neno la Mungu ndio kigezo/kiwango cha Ukweli na kwa ajili ya kuishi

kiungu.4. Neno la Mungu li hai na linatenda kazi maishani mwetu, linaweza

Page 38: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 35

Biblia- The Biblia Neno la Mungulililoandikwa kupitia kwa msukumowake. Ndio chanzo/shina pekee laUkweli tunalopimia maisha yetu, desturizetu, utamaduni wetu, na mafundishoyetu.

kuhukumu mawazo yetu na malengo yetu ya ndani zaidi.5. Neno la Mungu halimrudii bila kukamilisha makusudio Yake.6. Hekima na ukamilifu wote wa wanadamu una mwisho. Lakini Neno la

Mungu halina mwisho.7. Mungu ametupatia kile tunachohitaji kujua katika Maandiko.8. Ni lazima tusiongeze chochote katika Maandiko.

Hadithi*Neno la Mungu na mioyo ya watu: Fumbo la Mpanzi- Mathayo 13:1-43; Luka 8:4-15. *Yesuanatumia Maandiko kupinga majaribu ya Shetani kule jangwani- Mathayo 4:1-11. *Manabii walitiwamsukumo na Mungu- 2 Petro 1:19-21.

Maandiko*Neno la Mungu halitapita- Isaya 40:8; Mathayo 24:35. *Maandiko yote yana pumzi ya Mungu nayanafaa kwa kufundishia, kwa kukemea, kwa kurekebisha, kwa kufunza katika unyofu/uadilifu, ili mtuwa Mungu aweze kukamilika na kutayarishwa kwa kila kazi nzuri. - 2 Timotheo 3:16-17. *Neno laMungu halimrudii kitupu, Bali hutimiza makusudi yake - Isaya 55:10-11. *Neno la Mungu li hai, linanguvu, lina makali Kuliko Upanga wenye Makali kuwili, hudunga mioyo yetu na Roho Zetu-Waebrania 4:12. *Fanyeni bidii mtumie Neno la Mungu na kulifasiri sawasawa- 2 Timotheo 2:15.*Tumezaliwa mara ya pili kupitia kwa Neno la Mungu- 1 Petro 1:23. *Tuhakikishe kuwa Neno laMungu linakaa ndani yetu- 1 Yohana 2:14. *Ingawa tunaweza kufungwa jela, Neno la Munguhalifungwi- 2 Timotheo 2::8-10. *Neno la Mungu linafanya kazi maishani mwetu- 1 Wathesalonike2:13-16. *Neno la Mungu nalikae Ndani Yenu kwa wingi na Zaburi, nyimbo na Tenzi za Rohoni- Kol.3:16. *Neno ni sehemu ya silaha za Kiroho (soma Somo La 10)- 2 Wakorintho 6:7; Waefeso 6:17.*Neno ni Ujinga Kwa Ulimwengu, Lakini Ndilo Nguvu Za Mungu- 1 Wakorintho 1:18-31. *Neno laMungu Halimrudii Kitupu, Bali Hutimiza Makusudi Yake- Isaya 55:10-11. *Tunazaliwa Mara Ya Pilikupitia kwa Neno la Mungu- 1 Petro 1:23. *Sheria za Bwana Humtia mjinga Hekima- Zaburi 19: 7-8.*Tunaonywa na Neno 19:11. *Ni lazima tusiongeze chochote juu ya Maandiko- Mithali 30:6. *Munguametufundisha Kikamilifu kile tunachohitaji ndani yao- 2 Petro 1:2-8. *Zaburi juu ya sifa za Neno laMungu- Zaburi 119. *Kuna kikomo/mpaka katika ukamilifu wote wa mwanadamu- Zaburi 119:96.*Maandiko ndio mwongozo Wetu wa kuingia Wokovuni- 1 Timotheo 3:15. *Neno la Mungu ni Taa laMiguu yetu- Zaburi 119:105. *Ni sharti tutiii Maandiko- Luka 11:28; Yohana 14:23. *Baada ya kusikiaNeno, ba kumwamini, tunapigwa muhuri na Roho Mtakatifu- Waefeso 1:13. *Kila Neno la Mungu nisafi- Mithali 30:5.

Sehemu 1b: Hapo zamaniMungu aliwasiliana na watukwa njia mbalimbali kupitiakwa manabii, lakini katika

siku hizi amewasiliana na watukupitia kwa Yesu.

Yesu- Biblia inasema kuwa Munguwakati fulani alinena kupitia kwamanabii, lakini katika siku hizi zamwisho, amenena nasi kupitia kwaMwanawe, Yesu. Yesu alikuja dunianina akatufunza mambo mengi juu yaMungu na kuishi kiungu. Yesu aliletaAgano Jipya kwa mafundisho yake nasadaka. Tunaweza kusoma mamboaliyotufundisha kwa kusoma Biblia.Sasa, Yesu anaishi ndani yetu, naanafanya kazi maishani mwetu..

Vichwa Vya Masomo:1. Wakati fulani Mungu alinena nasi kwa njia mbalimbali kupitia kwa

manabii, lakini sasa amenena nasi kupitia kwa Yesu.2. Yesu alitufunza mambo mengi juu ya Mungu na Utawala Wake wakati

alipokuwa hapa duniani.3. Hakuna aliyemwona Mungu, lakini Yesu amemweleza.4. Yesu alikuja ili alete Agano Jipya.

Hadithi*Hakuna aliyemwona Mungu, Lakini Yesu Amemweleza; Neno La Mungu Likawa Mwili na likakaakatikati yetu- Yohana 1:14-18; 15:1-16. *Mlima wa kugeuka Sura, msikizeni Yesu- Mathayo 17:1-13(v.5); Marko 9:1-8. *Fumbo la wakulima wa mizabibu- Marko 12:1-12 (v. 6). *Yesu alikuja aikomazeSheria- Mathayo 5:17. *Yesu alikuja akihubiri Injili ya Ufalme wa Mungu- Mathayo 4:23; 8:1, 12;28:31; Marko 10:7. *Mamlaka Yote Yamepewa Yesu ya Mbinguni na ya Duniani- Mathayo 28: 18-20;pia soma Waefeso 1:20-23.

Maandiko*Siku za Mwisho Mungu amenena kupitia kwa Yesu - Waebrania 1:1-2. *Waumini Wanateka Fikira nakuzifanya zimtii Kristo- 2 Wakorintho 10:5.

Sehemu 1c: MunguAnawasiliana nasi kupitia kwa

Roho Mtakatifu.

Vichwa Vya Masomo:1. Roho hutuelekeza/hutuongoza katika Kweli yote.2. Roho hufunua mambo ya ndani ya Mungu.

Page 39: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 36

Roho Mtakatifu- Roho Mtakatifuhuuhakikishia ulimwengu juu yadhambi, uadilifu, na hukumu. RohoMtakatifu pia hutuongoza katika kutoaushahidi, na kuleta mafundisho yaMaandiko akilini mwetu tunapoyahitaji.Roho Mtakatifu hukaa ndani yetu, nimwalimu wetu, na hutupa ushauri nahekima. Tunahitaji kujaribu kila kitutunachosikia na kuamini kwa Rohoaishiye ndani yetu.

3. Roho anajulikana kama Roho wa Hekima, kuelewa, nguvu, elimu, nahofu ya Bwana.

4. Roho huhakishia Ulimwengu juu ya dhambi, uadilifu, na hukumu.5. Roho hupewa kila muumini.6. Roho humtambua Yesu kama Masihi/Mwokozi.

Hadithi*Kazi ya Roho ni Kutuelekeza/kutuongoza katika Kweli yote- Yohana 16:5-15. *Katika siku za Aganola Kale, Roho wa Mungu aliwajia manabii, makuhani, na wafalme peke yao (soma mfano 1 Samueli11:16; 16:14-23; Yoshua. 1; Kumbukumbu La Torati 34:9-12; *Danieli Ana Roho wa Ujuzi wa Ajabusana; Utambuzi; na Uwezo wa Kufasiri Ndoto- Danieli 5 (v.12). *Siku Ya Pentekote; Roho aliwajiawaumini wote- Matendo 1:4-7; 2:1-47; Yoeli 2:28. *Yesu Anafundisha kuwa Roho hufundisha mamboYote- Yohana 14:26; 16:13; 1 Yohana 2:20, 27.

Maandiko*Roho hutoa ufunuo, Kumjua Yeye, Hufungua macho, Tumaini la Mwito, Utajiri wa Utukufu-Waefeso 1:17-19. *Jukumu la Roho ni kufunua mambo ya ndani ya Mungu - 1 Wakorintho 2:1-16; 1Wakorintho 12:8. *Yesu Alijazwa na Roho wa Hekima; Kuelewa; Ushauri; Nguvu; Elimu; na Hofu yaBwana- Isaya 11:2-5. *Roho huhakikishia ulimwengu juu ya dhambi, uadilifu, na hukumu.- Yohana16:7-12.

Somo La 2 Mungu Huwasiliana nasi Binafsi

Sehemu 2: MunguHuwasiliana nasi Binafsi

Hadithi ya Pili ya Jengo- Darajahili la mawasiliano ni la upili kwaUfunua Spesheli na siku zote lazimalijaribiwe na daraja la juu la jengo(Biblia, Yesu, Roho Mtakatifu).

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu huwasiliana nasi kwa njia nyingi za kibinafsi.2. Ujumbe wote tunaojifunza kutokana na masiliano yetu ya kibinafsi na

Mungu, lazima ujaribiwe kupitia kwa ufunuo wake spesheli, kwa ajiliya Ukweli na Usahihi.

Sehemu 2a: MunguHuwasiliana nasi kibinafsi

kupitia maombi.

Watu wanaomba- Mungu Munguhuwasiliana nasi tunapoomba.

Biblia hutupatia maagizo ya jinsitunavyoweza kuomba.

Ni lazima tuombee mahitaji yote yakimwili na hata kiroho.

Tuwe waangalifu kusikiza katikamaombi, na sio tu kupeleka haja zako.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu huwasiliana nasi tuombapo.2. Maombi huakisi/huonyesha uhusiano wetu na Mungu.3. Maombi ni kumsifu Mungu, kumshukuru Mungu, kumwuliza Mungu

mambo na kumsikiliza Mungu.4. Tunahitaji kuomba katika jina la Yesu- yaani kulingana na hulka yake

na mapenzi yake.5. Tunapaswa tuombeane kwa ajili ya ukuaji wetu wa kiroho na mahitaji

yetu ya kimwili.6. Ni lazima tujitoe kwa maombi.7. Tunapoomba, tunahitaji kuamini Mungu atatupatia jibu, ambalo

lawezakuwa ndio, la, baadaye, au katika njia tofauti na ile tuliyodhania.8. Kuombeana ni njia ya kuonyesha kuwa tunawajali wengine.9. Hata zetu tuulizazo na majibu ambayo huhisi tumepokea lazima

yajaribiwe na Neno la Mungu. Kumbuka kuwa Mungu alisababishautabiri wa manabii wa uongo utimie ili ujaribu uaminifu wa wauminikwa njia za Mungu.

10. Soma Maandiko pia katika Sura ya 9 juu ya Maombi.

Page 40: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 37

Kile tuombacho lazima kiwe kikosambamba na hulka ya Mungu.

[Ilani: Kuomba katika jina la Yesumaanake ni kuuliza kulingana na uhalisina hulka ya Yesu. Haimaanishi kuwakwa kusema, “Katika jina la Yesu,”mwisho wa maombi kwamba Munguatahakikisha majibu. Kuna tofauti katiya tabano za kichawi ambazo hutumiamajina ya Mungu/pepo ili kutawalapepo kiwerevu ili yamjibu mtu, nakuuliza mambo ambayo yamejaribiwadhidi ya uhalisi na sifa za Mungu. Lakwanza ni desturi ya watu wasiomjuaMungu na hili lingine ni desturi yaKikristo.]

Licha ya hayo, Biblia haipaswikutumiwa kama kitabu cha kichawi, namtazamo kwamba ni lazima Munguafanye vile isemavyo. Jina la Mungu ni“NILIYEKO.” Hufanya atakavyo. Natunaweza tusielewe majibu yake. Lakinikatika mambo haya tunajifunzakumtumaini hata iweje. Maombi nikumtegemea Mungu. TunamtumikiaMungu, hatutumikii sisi..

Ilani: Katika itikadi za watu wengiwasiomjua Mungu, tambiko na tabinohutumiwa pamoja kutawala pepokiwerevu ili wafanye mambo kwa niabaya watu. Kwa mlinganisho Hanaaliomba mtoto na Bwana akampa ombilake. Hakuenda kwa waganga walahakutumia tambiko na tabino.

Hadithi*Maombi ya Hana kwa ajili ya kupata Mtoto- 1 Samueli 1. *Yesu wakati mwingine aliomba pekeyake- Mathayo 14:23; Marko 6:46; Luka 5:16. *Yesu anafunza juu ya kuomba bila kuvunjika moyo-Luka 18:1-8. *Fumbo la jinsi alivyoomba Farisayo na Mwenye dhambi- Luka 18:10-14. *Eliya naManabii wa Baali- 1 Wafalme 18. *Mungu Ananena na Eliya katika upepo mwanana.- 1 Wafalme 19.*Daudi Anaomba kwamba Mungu amthibitishie Neno Lake- 1 Wafalme 8. *Mungu ataficha machoyake kutoka kwa wale ambao mikono yao imejaa damu- Isaya 1:15-17. *Mungu Husikia Maombi yawale walioonewa- Zaburi 102. *Maombezi ya wengine yanaweza kuzuiliwa kwa sababu ya waokujihusisha na dini za uongo- Yeremia 7:16-20. *Ezra anarudi kutoka uhamishoni- Ezra 7-8. *YesuAnaomba usiku mzima juu ya Ni akina Nani atakaochagua kama Wanafunzi wake- Luka 6:12-16.*Yesu' Kujitoa katika Maombi, Ombeni ili msiingie katika majaribu- Luka 22:39-46. *Wauminiwanamwombea Petro atoke jela- Matendo 12. *Mungu Anajibu maombi ya Kornelio- Matendo 10.*Kanisa la Kwanza linaombea uongozi- Matendo 6. *Kanisa la Kwanza lilijitoa katika kuumega mkateNa Kuomba, Wengi wakaokoka- Matendo 2:42-47. *Mwandishi wa Zaburi anauliza wakatiUnaokubalika kwa Mungu kujibu- Zaburi 69:13. *Mungu Anasikia maombi ya Danieli- Danieli 9.*Epafra anafanya bidii kuombea waumini- Kol. 4:12. *Sala ya Bwana- Mathayo 6:9-15. *Yesuanaomba katika bustani ya Gethesemane- Mathayo 26:36-46.

MaandikoMaagizo kuhusu maombi*Tunaweza kumwendea Mungu na haja zetu moja kwa moja- Waebrania 4:15-16. *Ungameni dhambina Muombeane ili mpone kutoka na matokeo ya dhambi- Yakobo 5:15-20. *Iweni na akili mkeshekatika sala- 1 Petro 4:7. *Jitoeni katika Maombi- Col. 4:2 Warumi 12:12; 1 Wathesalonike 5:17.*Ombeeni kila kitu, Amani ya Mungu itawale Mioyo yenu.- Wafilipi. 4:6. *Tunapoomba kwa niambaya hatupokei jibu- Yakobo 4:3. *Ombeni kulingana na Mapenzi ya Mungu (Yale yampendezayoMungu)- 1 Yohana 5:14. *Msiombe kama watu wasiomjua Mungu wanavyotumia maneno mengi-Mathayo 6:7-8. *Usijionyeshe jinsi ulivyo kiroho kwa kujionyesha hadharani uwezo wako wa kuomba-Mathayo 6:5-6. *Msiwe na wasiwasi, ombeeni kila kitu. Amani ya Mungu itawakinga mioyo na akiliyenu Wafilipi. 4:6-7. *Paulo anawahimiza Wakristo waombeane - Waefeso 6:18. *Ombeni pamoja bilamfarakano/ugomvi katikati yenu- 1 Timotheo 2:8. *Ombeni katika jina lake, naye atawapa- Yohana14:13-14. *Masikio ya Mungu yako wazi kwa mambi ya watakatifu- 1 Petro 3:12. *Maombi ya mumeyanaweza kuzuiwa ikiwa hawatawachukulia wake wao kama warithi wa ufalme wa Mungu kama wao-1 Petro 3:7.

Kuombeana Kiroho: *Ombeeni wale wanaowaudhi au wanawonea- Mathayo 5:44; Luka 6:28.*Ombeeni Mapenzi ya Mungu yajulikane- Waefeso 1:18-23; Kol. 1:9. *Ombeni kwamba Nenolisambae kwa haraka- 2 Wathesalonike 3:1-2. *Paulo anawaombea upendo wa waumini uwe kwa wingizaidi katika ujuzi halisi na uchanganuzi, ili tuweze kuyapambanua mambo ya Mungu na tuwe belalawama; tuenende katika mwendo upasao Injili- Wafilipi. 1:9-11; Kol. 1:9-10. *Paulo anawaombeaupendo wao kati yao na juu ya watu wengine wote ukue- 1 Wathesalonike 3:12. *Paulo aliwaombeakwamba macho yao yafunguke ili wajue tumaini la mwito wake, utajiri wa utukufu wake, na ukuu wanguvu zake juu ya wale wamwaminio- Waefeso 1:18-19. *Paulo aliwaombea waumini wakamilishwe,hata kupitia unyonge wa mtume- 2 Wakorintho 13:9. *Paulo anaombea ujasiri katika kuihubiri Injili-Waefeso 6:19. *Paulo aliomba kuwa Mungu awahesabu waumini kuwa wanastahili wito wao ili Yesuapate kupewa utukufu katika wao- 2 Wathesalonike 1:11-12. *Ombi kwamba waumini watafanya kazikwa bidii katika kuwambia watu wengine juu ya imani yao- Filemoni 1:6. *Yohana anawaombea wawena afya njema - 3 Yohana 1:2.

Sehemu 2b: MunguHuwasiliana nasi Binafsikupitia Ndoto na Maono

Mtu anaota- Mungu huwasiliana nasikupitia ndoto na maono. Ni lazima tuwewaangalifu kwa sababu Shetani piaanaweza kuleta ndoto. Ama ndotozinaweza kutoka tu kwa matukio ya mtumwenyewe na sio kutoka kwa Munguwala Shetani. Mawasiliano yapokewayokupitia ndoto lazima yasigongane na

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu huwasiliana nasi binafsi kupitia ndoto na maono.2. Ndoto zinawezakuwa tu kwa sababu ua matukio au masumbufu ya kila

siku ya mtu mwenyewe.3. Ndoto zinaweza kutoka kwa Shetani, ambaye anataka kufunua

mafundisho mageni, tambiko, au desturi ambazo haziko sambamba naNeno la Mungu.

4. Ndoto zinaweza kutoka kwa Mungu kwa ajili ya kutupa hekima namwelekeo katika maisha na huduma.

5. Ndoto lazima zijaribiwe na Neno la Mungu, Roho, na Yesu.

Hadithi*Yusufu na Ndoto zake- Mwanzo 37:1-10; 41-46. *Yusufu anafasiri Ndoto Mwanzo 41. *MunguAnatimiza Ndoto Mwanzo 41:37-46:34. *Mungu Anamtokea Yakobo katika maono- Mwanzo 46:2-7.*Watu waasi Wanataka kusikia Maneno matamu- Isaya 30:9-17; Omb. 2:14. *Mungu anawahukumu

Page 41: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 38

mafundisho ya Biblia.

Lazima mtu awe mwangalifu juu yakutilia ndoto mkazo kupita kiasi.Waalimu wa uongo wakati mwinginehusema juu ya ndoto zao kama njia yakujikweza kwa manufaa ya kibinafsi auili wapate wafuasi. Kumbukeni ndoto niza upili kwa njia muhimu zaidi zamawasiliano ya Mungu.

Mungu anatumia ndoto ulimwengunikote kuwaambia watu juu ya wokovukupitia kwa Yesu.

manabii walevi, na ambao husimulia Maono ya Udaganyifu- Isaya 30:7-8. *Mungu Hamjibu MfalmeSauli- 1 Samueli 28. *Wanawake, Maono, kanda/tepe za uchawi, Uaguzi- Ez. 13:17-23; Wanaume- Ez.13:9-16; Zeka. 10:2. *Maono ya Utukufu wa Mungu- Eze. 1. *Maono ya Ezekieli juu ya Hekalu laYesusalemu- Eze. 8-9. *Maono juu ya Viongozi Wafisadi- Eze. 11. *Bonde la Mifupa Mikavu- Eze.37:1-14. *Maono juu ya Hekalu Jipya- Eze. 40-44. *Danieli anamsaidia Mfalme Nebukadneza kufasiriNdoto- Danieli 2; 4. *Malaika anamjia Yusufu katika ndoto- Mathayo 1:20-25; 2:13-15; Hosea 11:1.*Mungu ananena na Petro Na Kornelio- Matendo 10. *Maono ya Petro- Matendo 10:9:16; 28-29.*Maono ya Paulo juu ya Makedonia- Matendo 16. *Maono ya Paulo- 2 Wakorintho 12:1-10. *TheKitabu cha Ufunuo- Ufunuo 1-22.

Maandiko

*Kupimwa Kwa Ndoto- Kumbukumbu La Torati 13:1-5. * Ndoto zikizidi, kuna maangamizina maneno huwa mengi. Jambo la maana ni kumcha Mungu. - Mhu. 5:7.

Sehemu 2c: MunguHuwasiliana nasi binafsi

kupitia ishara na maajabu.

Mtoto katika Hori- Mungu wakatimwingine huwasiliana nasi kupitiaishara na maajabu, kama alivyofanyawakati alipowaambia wachungajikwamba hori lingekuwa ishara kwaokwamba wamempata Masihi/Mwokozi.Mara nyingi ishara ziliambatana namatendo makuu ya ukombozi auwokovu wa Mungu, na yalianzishwa naMungu mwenyewe. Kutafuta ishara sisiwenyewe, ni dhihirisho kuwa sisi tunaimani haba kwa Mungu. Mungu anatakatumtumaini na tuonyeshe imani iliyo juuya uwezo wa kuona mambo. KumbukaYesu alimwambia Tomaso, “Heri walewaaminio kabla hawajaona.”

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu huwasiliana nasi kupitia ishara na maajabu.2. Ishara na maajabu katika Biblia yaliambatana au kutangaza matendo

ya Mungu ya wokofu. Wakati mwingine yalitangazwa na malaika.3. Kutafuta ishara sisi wenyewe kunaweza kuwa dhihirisho la kukosa

imani. Kumbuka Waisraeli waliendelea kumwacha Mungu na kufuatamiungu ya uongo hata baada ya ishara kubwa zote za ukombozi kutokaMisri.

4. Yesu alisema, “Heri wale ambao hawajaona na wanaamini.”5. Yesu alisema waovu wanataka ishara.6. Paulo alisema Wayahudi wanataka ishara, bali yeye anamhubiri Yesu.7. Yesu alisema ishara pekee atakayowaonyesha Mafarisayo ni ile ya kifo

kufufuka kwake- ishara ya Yona.8. Mpinga Kristo atakuja na ishara nyingi na maajabu ili awadanganye

hata waumini.9. Ishara lazima zipimwe na Neno la Mungu, Yesu na Roho Mtakatifu.

Hadithi* Gideoni na Ishara ya ngozi ya kondoo-Waamuzi 6.33-44.*Musa anafanya ishara-Kutoka 4-10.*Mungu amekasirika kwa sababu ya Waisraeli kutomwamini baada ya ishara na maajabu yake yotekufanywa, hawataingia nchi ya ahadi- Hesabu 14:11-29; Nehemia 9; Zaburi 78. *Yesu alijaribiwa naShetani aonyeshe ishara- Mathayo 4:1-11. *Watu wa wakati wa Yesu walikuwa hawaamini ishara-Yohana 12:37-41.*Mungu alitumia ishara na miujiza kuonyesha ulimwengu kuwa yeye Ndiye Munguwa Kweli-Kumbukumbu La Torati-3:34; Zaburi 135.*Mungu alitumia ishara na maajabu kuwapeleka watu katika nchi ya Ahadi-Kumbukumbu La Torati11:3; 26:8. *Samweli anamwambia Sauli ishara ya kuwa atakuwa mfalme-1 Samweli 10. *Zakariaanapata ishara kuhusu jina la mwanawe-Luka 1. *Ishara ya wachungaji, mtoto horini-Luka 2:8 -20.*Yesu anamtokea Tomaso baada ya kufufuka-Yohana 20:24-31.*Hotuba ya Petro-Matendo 2. *Ndimi zilikuwa ishara kwamba Mataifa wameingia katika imani-Matendo 8-10; 15. *Mitume walifanya ishara na maajabu kwa uwezo wa Yesu- Matendo 5:12;6:8; 8:6; 15:12. *Ishara ya nyakati za mwisho, kurudi kwa Yesu- Luka 17:20-37. *Yohana anaonyeshaishara 7 kwamba Yesu ndiye Kristo- 1. Yohana 2:1-11 (maji yaligeuka kuwa divai); 2. Yohana 4:46-54 (Mtoto wa kiume wa afisaa anaponywa); 3. Yohana 5:1-14 (Mwanamume mgonjwa anaponywa,katika birika la Bethsatha); 4. Yohana 6:1-15 (Kulishwa kwa watu 5,000); 5. Yohana 6:16-21(kutembea juu ya maji); 6. Yohana 9:1-12 (kuponywa kwa mtu aliyezaliwa kipofu); 7. Yohana 11:1-44;12:17-18 (kufufuliwa kwa Lazaro). *Paulo na Barnaba wanamponya mwanamume, lakini kundilinapowafuata kama miungu, wanamwonyesha Mungu kama muumba, mpaji wa vitu vizuri vyote,badala ya kuangalia ishara za nguvu/uwezo- Matendo 14:8-18. *Kwa Wayahudi ndimi zilikuwa isharakwamba Mataifa walikuwa wameingia katika ufalme- Matendo 3:8-10. *Ishara ya kuja kwa Yesu maraya kwanza- Ufunuo 12. *Ishara ya ghadhabu ya Mungu kuja duniani- Ufunuo 15.12

Maandiko*Yesu anasema waovu wanataka ishara; ishara pekee watakayoonyeshwa ni ishara ya Yona (Kifo chaYesu, kuzikwa, na kufufuka kwake!)- Mathayo 12:38-42; 16:1-4; pia soma Yohana 2:13-25 kwamlinganisho wa kuvutia. *Manabii wa uongo waonyesha ishara na maajabu- Mathayo 24:24; Marko13:22. *Yesu alisema Ufalme wa Mungu hauji na ishara,Yesu kuwa pale Ufalme ulikuwa katikati yao-Lk. 17:20-24. *Ishara za hukum- Luka 21. *Nyakati za Mwisho zitakuwa kama siku za Nuhu- Luka

Page 42: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 39

17:20-37. *Wayahudi wanataka ishara, Paulo anamhubiri Yesu aliyesulibiwa- 1 Wakorintho 1:22-31.*Mpinga Kristo atakuja na ishara za uongo- 2 Wathesalonike 2:9-12; Ufunuo 13:13-18; 19:20. *Pepokutoa ishara kwa wafalme wa ulimwengu- Ufunuo 16:14. *Mungu alithibitisha ujumbe ulionenwakupitia kwa Yesu, kupitia kwa wale waliosikia, na kupitia ishara na maajabu yao- Waebrania 2:1-11.*Kutahiriwa kwa Ibrahimu kulikuwa ishara ya uadilifu aliomtunukia Mungu kupitia kwa imani yake-Warumi 4:9-12.

Sehemu 2d: MunguHuwasiliana nasi binafsi

kupitia waamini wenzetu.

Watu wawili wanazungumza- Munguwakati mwingine huwasiliana nasikupitia waamini wengine.Kuna maneno mengi ya kutia moyokatika Agano Jipya. Inapendeza kujuakuwa moja wapo ya maneno inaliangaliakwa nyuma. Yaani, mara nyingihutafsiriwa, “fariji” kwa sababu kawaidahuwa tunafarijiana kwa sababu ya jamboambalo limetendeka tayari. Nenolingine la kutia moyo ni neno lenyemaana ya “kusukuma mbele.” Neno hililitumikapo, kawaida huwa katikamuktadha wa kuhimiza waaminiwaendelee mbele hata katika ugumu auhofu. Linaweza pia kutumika kwamaana ya kumshawishi mtu au kumpachangamoto afuate njia za Mungu.Pengine neno moja wapo zuri zaidi lakutia moyo ni lile litumiwalo kwa ajiliya Roho Mtakatifu (parakliti-mtuaandamanaye nawe). Waaminiwanapaswa “kuandamana” ili wakati wamatatizo wasaidiane. Kwa hiyotukiangalia maneno yote aina tofautiyatumiwayo kwa kutiana moyo katikaBiblia, tunaweza kujifunza kuwatiamoyo wengine kwa kutupa jicho lafaraja kutoka nyuma wakati mwingine;changamoto ya kuhimiza mtu asongembele; na kutembea pamoja bega kwabega wakati mzuri na wakati mgumu.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu Huwasiliana nasi binafsi kupitia waamini wenzetu.2. Waamini wengine wanaweza kututia moyo, kutufariji, kutembea nasi

katika wakati mgumu, au kutuhimiza tuendelee kuenenda katika njiaya Mungu na kutazama mbele.

3. Ikiwa waamini wengine hutuchochea tufanye desturi mbaya autambiko ambazo haziko katika Biblia, ili tusitii amri za Mungu, aukufuata miungu ya uongo, tusiwasikilize.

4. Mambo yote wanayotwambia wengine lazima yapimwe na Neno laMungu, Yesu na Roho Mtakatifu.

Hadithi*Nabii mzee anamjaribu Mtu wa Mungu kutoka Yuda- 1 Wafalme 13:11-34. *Mungu anatuma RohoDanganyifu zimpatie Ahabu mawaidha mabaya, lakini Mikaia anasema Ukweli kuto kwa Mungu- 1Wafalme 22. *Paulo anamkaripia Kefa- Wagalatia 2:11-21.*Baraza la Yerusalemu- Matendo 15. *Barnaba alitoa Nasaha Njema- Matendo 11:22-24. *Waaminiwa Efeso walitoa nasaha njema- Matendo 18:24-27. *Yuda na Sila walitoa nasaha njema- Matendo15:32. *Paulo Alitoa nasaha njema- Matendo 16:40, 20:1-2; 2 Wakorintho 13:2-12; Col. 1:28; 1Wathesalonike 2:11-12; 4:3-6. *Timotheo alitoa wasia mwema- 1 Wathesalonike 3:2-3. *Tukiko alitoawasia mwema- Waefeso 6:21-22; Col. 4:7-9. *Onesforo Anafariji Wengine- 2 Timotheo 1:16-18.*Yohana anamkaripia Diotrefe- 3 Yohana. *Rehoboamu anaacha wasia wa wazee na kuwataka ushaurivijana rika lake- 1 Wafalme 12:8-13.

Maandiko*Waamini wengine wanapofanya dhambi- Mathayo 18:15-17; Luka 17:3-4; Wagalatia 6:1-2; Yakobo5:16. *Kipimo cha Kutiana nguvu- Warumi 14:19. *Viongozi Na Waumini Hutiana moyo kwa upendo-Warumi 1:11-12. *Onya watu wavivu, watie moyo watu wadogo, Wasaidie wanyonge, kuweniwavumilivu- 1 Wathesalonike 5:14. *Hubiri Neno, Kosoa, Kemea, Himiza kwa uangalifu kwa maagizomakuu- 2 Timotheo 4:2. *Endeleza mtindo ule ule wa mafundisho, endeleza mafundisho ya sawa- 2Timotheo 1:13; Tito 2:1. *Mungu yuko kinyume na wale watangazao “Bwana anasema,” Wakatiambapo kwa kweli hakusema- Yeremia 23:25-32. *Ni vyema kuwageuza wenye dhambi kutoka kwanjia zao - Yakobo 5:19-20. *Waigizeni Viongozi Wahubirio Neno la Mungu, Biblia, Kwa watu-Waebrania 13:7. *Jitahidi kuuweka safi ujumbe wa Neno la Mungu- 1 Wathesalonike 1:8-10.*Usilighushi Neno la Mungu, Bali dhihirisha Ukweli- 2 Wakorintho 4:2. *Usitumie Neno la Mungukwa manufaa yako binafsi- 2 Wakorintho 2:17. *Himizaneni ili udanganyifu wa dhambi usitufanyekuwa sugu – Waebrania 3:13.

Somo La 3 Mungu Huwasiliana nasi kupitia Ufunuo wa jumla

Sehemu 3: MunguHuwasiliana kupitia Ufunuo

wa jumla.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu Huwasiliana kupitia Ufunuo wa Jumla.2. Biblia inasema Mungu hufunua hulka yake kupitia uumbaji Wake ili

tunapoabudu sanamu badala Yake, tuwe hatuna udhuru.3. Kwa sababu Mungu hujifunua mwenyewe kwa jumla kupitia ufunua

aina hii pekee, mafundisho yoyote tunayoweza kusikia au kujifunza juuya daraja hili lazima yathibitishwe na Neno la Mungu, Yesu, na Roho

Page 43: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 40

Picha ya Maumbile na watu-Biblia inasema kwamba Munguamefunua sifa zake kupitia uumbajiWake. Ufunuo huu tunauita “Ufunuowa Jumla” kwa sababu ni kwa watuwote. Pia tunauita “Jumla” kwa sababuhaufunui mambo maalumu juu yawokovu wa Mungu kupitia kwa imanindani ya Yesu kama Bwana namwokozi. Mifano ya aina hii ya ufunuoinajumuisha: Milima- Mungu nikimbilia na nguvu, Mvua- Rehema zakejuu ya wema na wabaya, na jua-Uaminifu Wake.

Mtakatifu.

Hadithi*Mungu Hujifunua kupitia Matendo Yake Mazuri, Kutoa mvua na mavuno, na kupitia Furaha katikamoyo wa Mwanadamu- Matendo 14: 15-17. *Mshairi asiyemjua Mungu alipokea Elimu ya Kiroho,Lakini sio kwa Wokovu- Matendo 17:22-31.

Maandiko*Mbingu zinatangaza Utukufu wa Mungu - Zaburi 19:1-6. *Mungu Amejifunua Kupitia Uumbaji-Warumi 1:18-22. *Uadilifu wa Mungu ni kama Milima; Haki Yake ni kama Kilindi Kirefu- Zaburi36:6. *Mungu Hufunu Utunzaji na Utoaji Wake kwa ajili ya Maumbile kupitia kwa Majira, kupitiaMvua, Maji, Chemchemi, Kulisha wanyama, Jua na Mwezi, Usiku na Mchana, Mzunguko waMaumbile, Hufunua Hekima na Muundo wa Mungu- Zaburi 104. *Kama milima ilivyoizungukaYerusalemu, ndivyo Bwana anavyowazunguka watu Wake- Zaburi 125:2.

Page 44: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 41

Sura ya 4 Kielelezo: Sheria za Mungu kwa Ajili ya Kuishi: AmriKumi

Page 45: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 42

Picha Iliyorahisishwa kwa ajili ya Sura ya 4

Page 46: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 43

Sura ya 4 Sheria za Mungu kwa ajili ya Kuishi: Amri Kumi

Maelezo ya Jumla

Kielelezo cha 4 ni picha ionekanayo ya Amri za Mungu kwa watu wake.

Uumbaji na Sheria za Maumbile: : Tangu mwanzo wa wakati, Mungu ameanzisha sheria ainambali mbali. Alianza na sheria za maumbile katika sura ya kwanza ya Mwanzo. Sheria hizizinatawala nyakati, majira, hatua anuai za maisha kamili ya viumbe, na maumbile yanavyofanyakazi kwa jumla ulimwenguni. Anayeshikilia kazi za maumbile pamoja, na sheria zote za maumbileni Yesu (Yohana 1).Mungu ni Mwenyezi. Tangu mwanzo wa wakati Mungu alijiweka Mwenyewe kama mtawala wapekee na mamlaka juu ya uumbaji Wake. Na kwa hiyo, aliwapatia Adamu na Hawa amri ya

kwanza, kwamba wasile matunda ya mti wa ujuzi wa Mema na Mabaya. Pia aliwaambia wazaane na wawe wengi.Aliwaweka Mwanamume na mwanamke wawe watawala wa uumbaji Wake.

Amri Kumi. Lakini siku zilipokuwa zikipita, pia Alitoa sheria maalumu kuhusu uhusiano. Mungu aliwapa watu wakesheria hizi baada ya kuwatoa utumwani kule Misri. Ni muhimu kufahamu kuwa watu walitolewa utumwani kwanza, nahalafu Mungu akawapa amri za jinsi watakavyoishi katika njia za kumpendeza Yeye. Hivyo hivyo, Yesu alitutoa katikautumwa wa dhambi kwanza, na kwa kufanya hivyo tunamfanya awe Bwana wa maisha yetu. Hatuokoi kulingana namatendo yetu mazuri, bali neema yake imetoa njia kwa watu wote waje kwake kupitia imani. Mara tu tunapomjua Yeyekama Mwokozi, tunamfuata kama Bwana. Sheria haikutolewa kama njia ya wokovu au ukombozi. Badala yake sheriailitolewa iwaonyeshe watu jinsi walivyopaswa kuishi kuhusiana na Mungu na watu, na ikamfunulia kila mtu kwamba nimwenye dhambi. Kutolewa kwa Sheria ilikuwa makubaliano au agano alilofanya Mungu na watu wakewaliokombolewa baada ya kuwakomboa kutoka utumwani.

Sheria aina tatu. Kama inavyoonekana ndani ya boksi hapo juu ya ukurasa, kuna sheria aina tatu, Sheria za Maadili,Sheria za Kiraia, na Sheria za Kutoa Sadaka au Sheria za Kidini.A. Sheria za Maadili zinaitwa Amri Kumi—zilizochorwa hapo juu kama kibao chenye picha ndogo ndani yake. Sheriahizi za Maadili zinaweza kugawanywa katika sehemu mbili: sheria zinazoanguka katika uhusiano wetu na Mungu; nasheria zinazoanguka katika uhusiano wetu na watu wengine. Kwa hivyo sheria yote ya maadili inaweza kushikanishwana kuwa Amri mbili, mpende Mungu na umpende mwenzio. Kwa kuwa sheria hizi zilitolewa kama kigezokisichokoma cha jinsi ya kumpendeza Mungu, sheria za Maadili bado zapaswa kufuatwa na watu wa Mungu.

B. Sheria za kiraia zilitumiwa kama kigezo cha haki kwa watu waliokuwa wamevunja sheria za Maadili. Huku tukiwatunaweza kujifunza usawa na haki kutoka kwa sheria hizi, hazikukusudiwa kuwa kigezo cha sheria kwa watu wote kilamahali. Serikali za wilaya na koti ndizo zitengenezazo sheria za kiraia na kufasili jinsi ya kutoa haki.

C. Sheria za Kidini zilitolewa na Mungu kama njia ya kuwarudisha watu katika ushirika na Mungu na kati yao wakatisheria za Mungu za Maadili zilipovunjwa. Sheria za kidini zaweza kugawanywa sehemu tatu, sheria za Kuweka Wakfu,Sheria za Kijamii,na sheria za Kuondoa au kufidia dhambi. Sadaka za kuweka wakifu (sadaka ya kuteketeza;nafaka/Sadaka ya chakula au kinywaji) zilikuwa sadaka za hiari zilizokusudiwa kuwatenga watu wajitolee kabisa nakujiachilia kwa Mungu. Sadaka za jamii (Sadaka za muungano, sadaka za amani, sadaka za shukrani, sadaka za nadhiri,sadaka za hiari) pia zilikuwa za hiari. Zilileta watu pamoja kwa umoja kati yao na katika uhusiano mbele za Mungu.Sadaka za kuondolea/kufidia dhambi (Sadaka ya kuondoa dhambi, na sadaka hatia/kufidia makosa) zilikuwa sadaka zalazima za kuleta msamaha, kulipiza, na kurudishwa upya kwa watu kwa dhambi zote zilizofanywa dhidi ya Mungu nawatu. Katika Agano Jipya, tunapata hizi sadaka za kimwili zikionyeshwa kiroho. Sadaka za kuweka wakfu na sadakaza jamii hutimizwa katika utumishi wetu kwa Mungu na mmoja kwa mwingine kanisani. Sadaka za kufidia makosazinatimizwa katika sadaka aliyotoa Yesu.

Njia za Kufundishia Sura hii:1. Njia Rahisi ya kupitia. Fundisha maelezo ya jumla hapo juu ukitumia picha.

Page 47: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 44

2. Njia ya Mada. Fundisha kwa kusoma aina za sheria ambazo Mungu aliwapa Waisraeli. Anza na hizo aina tatuza sheria. Fundisha jinsi sheria hizo zinavyotimizwa kupitia kwa Yesu na katika maisha ya waamini.

a. Sheria ya Maadili-maeneo mawili: zile zinazohusiana na uhusiano wetu na Mungu; na zilezinazohusiana na uhusiano wetu na watu.

b. Sheria za Kiraia.c. Sheria za Kidini.

3. Njia ya Kina/Utondoti. Njia inayoingia ndani zaidi. Soma eneo la Maandiko kutoka kwa kila picha na somolililoorodheshwa chini ya a, b, c hapo juu. Hii inaweza kujumuisha Maandiko na hadithi zinazohusiana na amriyenyewe na jinsi sheria hizi zinavyotimizwa kupitia kwa maisha ya mwamini na kupitia kwa sadaka aliyotoaYesu.

4. Njia ya Mahubiri. Weka msisitizo juu ya lengo la sheria za Mungu- kufunua yale yampendezayo Mungu nakutuonyesha kwamba sisi ni wenye dhambi. Sheria za Mungu hazikuletwa ili zitufanye waadilifu. Tengenezasomo ili liingiane hasa na watu wale wasioamini ambao unajaribu kuwafikia. Hii inataka ujuzi mzuri wa lengola sheria na kutimizwa kwa sheria kupitia kwa Yesu. Pia ni muhimu kukumbuka kwamba wakati sheriailipotolewa, ni baada ya Wana wa Israeli kukombolewa kutoka utumwani.

5. Njia ya Mwamini Mkomaavu.a. Njia ya Kuendelea kudumu: Mungu alimpa Israeli ushauri mzuri sana wakati walipokuwa

wakijitayarisha kuingia katika nchi ya ahadi. Aliwaambia wasifanye yale yaliyokuwa yakifanywa Misrimahali walipokuwa, na wasifanye yale yafanywayo Kanaani mahali walipokuwa wanaenda (Law 18:3) .Tunaweza kujifunza kanuni nzuri kutokana na amri hii. Kuna mambo katika utamaduni tunamoishi, nakatika kila utamaduni mwingine duniani ambayo hayampendezi Mungu. Kwa hiyo kila mahalitulipokuwa, na kila mahali tuendapo, ni lazima, tushike sheria za Mungu na tuzitii. Sheria za Mungu nizile zile kwetu sisi kila tuendako. Hazibadiliki. Sheria hizi ndizo kigezo cha tabia zetu. Kwa kutiisheria hizi tunashuhudia juu ya uaminifu wetu kwa Mungu.

b. Kutimia kwa Sheria katika Agano Jipya: Mtu anaweza kufundisha juu ya kutimia kwa sheria kupitiakwa maisha ya mwamini na kupitia kwa Yesu.

Weka Msisitizo juu ya Sheria moja moja: Kusoma kwa undani kwa sheria moja moja katika sheria za maadili ni njianzuri ya kufundisha kina na mipaka/eneo ya sheria. Tunapokuwa tukifahamu yale yampendezayo Mungu, tunakuwakatika nafasi nzuri ya kumtumikia na kumshuhudia hapa ulimwenguni.

Malengo Ya Sura ya 4

1. Kutufundisha mengi zaidi juu ya uadilifu na haki ya Mungu.2. Kutufundisha jinsi Yesu alivyokuja kutimiza sheria kwa kifo chake, na kwa mafundisho yake.3. Kutoa mafundisho ya msingi kwa ajili ya familia ili ziweze kuwafundisha watoto wao kuhusu sheria za Mungu

za kimsingi za maadili.4. Kutusaidia sisi kufahamu kuwa lengo la Sheria lilikuwa si kutufanya waadilifu, bali kutufunulia kuwa sisi ni

watenda dhambi wanaohitaji ondoleo la dhambi na wokovu wa Yesu.5. Kutufundisha jinsi ya kuishi katika uhusiano mwema na Mungu na watu.6. Kutufundisha muhtasari wa kimsingi wa Sheria ambao ni: kumpenda Mungu kwa moyo wako wote, roho yako

yote na akili zako zote, na kuwapenda jirani zetu jinsi tujipendavyo wenyewe; na ikiwa tumevunja sheria mojaya Mungu, tutakuwa tumezivunja zote.

7. Kufundisha kwamba, ikiwa tunampenda Mungu, tutamtii yeye.8. Kutufundisha kwamba utumishi wetu kwa Mungu ni sadaka yetu ya kiroho kwake.

Sura Zinazohusiana

Sura 6: Sheria inafanya kazi kama mwalimu wetu itusaidie kutambua kuwa sisi ni wenye dhambi na tunamhitaji Yesu.

Sura ya 7: Tunakuwa kiroho tunapokuwa tukifuata amri mbili za Mungu kuu kuliko zote, kumpenda Mungu na kumpenda jiraniyetu. Sura ya 9: Tunapaswa kuvaa dirii ya haki kifuani inayosaidia katika vita vya kiroho. Kuvaa dirir hii ya kiroho ni kule kuishimaisha yanayompendeza Mungu.

Sura ya 9: Tunatakiwa kuvaa dirii ya haki ambayo inatusaidia katika vita vya kiroho. Kuvaa dirii hii ya kiroho ni kuishi katika njia

Page 48: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 45

za kumpendeza Mungu.

Sura ya 10: Kufuata sheria za Mungu za Maadili kunaweza kutusaidia kuepukana na kuenenda katika njia za uharibifu.

Sura ya 12: Tunapaswa tuendelee katika njia za Mungu mpaka Yesu arudi.

Somo La 1 Sheria Aina Tatu ambazo Mungu Aliwapa Waisraeli

Picha na Maelezo Vichwa Vya Masomo, Biblia Hadithi, and Maandiko

Sehemu 1: Mungu aliwapa Waisraeliwa zamani sheria aina tatu.

Ndani ya boksi/kisanduku: Aina tatu za sheriaza Agano la Kale

1. Vibao vya Amri Kumi-Sheria ya Maadili.

2. Hukumu huku watu wakisimamawakikuzunguka- Sheria za Kiraia.

3. Madhabahu-Sheria za Kutoa sadaka/Sheria za Kidini

(Aina 3)

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu aliwapa Waisraeli aina tatu za sheria, Sheria za Maadili,

Sheria za Kiraia, na Sheria za Kidini.2. Sheria za Maadili zinajumuishwa hata katika mafundisho ya

Yesu isipokuwa Sheria ya Siku ya Sabato.3. Sheria za Kiraia zilikuwa kwa ajili ya kutuagiza sisi.

Ilitengenezewa viongozi wajue jinsi ya kukabiliana na walewaliovunja Sheria za Mungu za Maadili. Leo, viongozi wa kilanchi hutengeneza sheria za kuwatawala watu.

4. Sheria za Kidini zilitimizwa kupitia sadaka aliyotoa Yesu nanyingine zinatimizwa katika huduma zetu na utumishi kwaMungu.

5. Kuna aina nyingi za sheria za kidini. Zimefupishwa katikaupande wa kushoto: Sadaka za kuweka wakfu; Sadaka zaUshirika au Sadaka za Kijamii; na Sadaka za Kuondoa auKufidia Dhambi.

6. Mwanzo wa uumbaji Mungu aliweka sheria fulani za maumbilekatika mwendo (Sheria za Maumbile); na akawapa sheriaAdamu na Hawa (Wasile matunda ya Mti wa Ujuzi wa Mema naMabaya; na waitawale dunia na wazaane na waongezeke-kumweka Mungu kuwa mwenye mamlaka yote juu ya maisha yamwanadamu).

1. Sheria ya MaadiliKwa ajili ya Maandiko na Hadithi, tazama hapo chini.

2. Sheria ya KiraiaHadithi*Kuorodhesha sheria za kiraia- Mambo ya Walawi 20-22; Kumbukumbu La Torati 19-25.

Maandiko*Tunapaswa kutii sheria za utawala za nchi yetu- Warumi 13:1-7; 1 Petro 2:13-14.

3. Sheria za Sadaka/Sheria za Kidini (Aina tatu)

Sadaka za Kuweka Wakfu:*Sadaka za kuteketeza- Zilikuwa zikitolewa mara nyingi kuliko sadaka nyingine zote.Zilihusiana sana na sherehe, kanuni za utakaso na maisha ya kila siku. Sadaka hizi zilionyeshakuwa mtu amejitoa kabisa kwa Mungu Mungu. Mambo ya Walawi 1:3-17; 6:8-13. *Sadaka zaNafaka- Sadaka hizi ziliambatana na sadaka za wanyama. Mambo ya Walawi 2; 6:14-23.*Sadaka za kinywaji- Ziliambatana na sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani.Zilichukuliwa kama matoleo ya ziada kwa Mungu. Hesabu 15:1-10.

Sadaka ya Ushirikiano/Muungano/Sadaka ya Jamii:

Page 49: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 46

*Sadaka za kuweka Wakfu (sadaka zakuteketeza, nafaka/unga na sadaka ya kinywaji).Kumtenga mtu kwa ajili kumtumikia Mungu.Sadaka hizi ni za hiari.

*Sadaka za Muungano/Sadaka ya jamii;Sadaka ya Amani (hujumuisha sadaka yashukrani, sadaka ya nadhiri, sadaka ya hiari,sadaka ya sherehe) Zihusianazo na jamii naMungu. Sadaka hizi ni za hiari.

*Sadaka ya Kufidia Makosa (sadaka yakuondolea dhambi, sadaka ya utakaso, nasadaka ya makosa au hatia). Zinahusiana nadhambi, msamaha, utakaso, fidia. Sadaka hizi niza lazima.

*Sadaka ya Amani- sadaka ya hiari. Kila sadaka ya amani ilijumuisha ya mlo wa kijamiimwishoni mwa sadaka ambapo chakula kilichokuwa kinatolewa sadakakiligawanywa kwa familia, na Walawi katika jamii. Sadaka hii ilitajwa tu katikasherehe za wiki, kiapo cha Wanazarayo, uwekaji wakfu wa makuhani-Walawi 3;7:11-36.*Sadaka Za Kupeperusha-sadaka ya hiari. Sehemu ya sadaka ya amani. Ilikuwa nisehemu iliyopewa kuhani. Lakini ilipeperushwa mbele za Mungu kwa sababu kwahakika ilikuwa yake- Isaya 10:15; Kutoka 35:22; 38:29; Walawi 14:12, 21, 24; 23:15;Hesabu 8:11, 13, 15, 21.*Sadaka ya shukrani-sadaka ya hiari. Walawi 7:12, 13, 15; 22:29; Zaburi 56:12, 13;107:22: 116:17; Yeremia 33:11.*Sadaka ya Nadhiri-sadaka ya hiari. Sadaka hii ilitolewa kwa kuondoa nadhiri,lakini kimsingi inaweza kuwa sehemu ya sadaka yoyote au toleo kwa Mwenyezi-Mungu. Walawi 7:16-17; 22:17-20; Hesabu 6:17-20.*Sadaka ya hiari-sadaka ya hiari. Hii ilikuwa ndiyo sadaka ndogo ambayo ilikuwainaweza kutolewa kwa sherehe yoyote au matambiko ya kujitoa kwa Bwana-Kutoka23:16; 34:20;Kumbukumbu La Torati 16:10, 16, 17. 2 Wakorintho 35:8; Ezra 3:5; Walawi 7:16;22:18, 21, 23; 23:28; Ezekieli 4:12.*Sadaka ya Kuweka Wakfu- sadaka ya hiari. Inahusiana na kumweka mtu wakfu kwahuduma ya Bwana. Mtu alitakiwa kuweka mikono yake juu ya yule mnyama ambayealikuwa anatolewa kama sadaka. Kisha kuhani aliweza kuweka damu katika sikio lakulia la yule mtu; kidole gumba cha mkono wa kulia, na katika kidole kikubwa chamguu wa kulia. Kutoka 25:7; 28:41; 29:19-34; 35:9, 27; Walawi 8:22-32; 1 Mamboya Nyakati 29:2.

Kutimia kwa Sadaka za Kuweka Wakfu na Sadaka za Jamii katika Agano Jipyakatika utumishi wetu kwa Mungu.*Paulo aliuona utumishi wake kwa Wafilipi kama sadaka ya kinywaji kinachomwagwa-Wafilipi. 2:17. *Paulo aliona vitu alivyopewa kama sadaka za manukato kwa Mungu- Wafilipi.4:18. *Tunapaswa kutoa mili yetu kama sadaka iliyo hai kiroho- Warumi 12:1. *Usiachekutenda mema na kushirikiana/kugawana, kwa kuwa Mungu hupendezwa na sadaka aina hiyo-Waebrania 13:16. *Kutii ni bora kuliko dhabihu- 1 Samueli 15:22. *Utumishi wetu kwaMungu kanisani ni sadaka ya kiroho inayokubalika mbele za Mungu kupitia kwa Yesu Kristo-1 Petro 2:5.

Sadaka za Kufidia makosa:*Sadaka za kuondolea dhambi- Watu walikuwa ni waweke mikono yao juu yamnyama, ishara ya kuhamisha dhambi zao kwa mnyama huyo-Walawi 4:1-35; 6:24-30; Hesabu 15:24-27; Hesabu 28:15-30; Waebrania 9:27.*Sadaka ya Hatia- Ilitolewa wakati mtu alipokuwa amefanya hila au wamepuuzawajibu wao. Mtu mwenye hatia ni lazima akiri, atoe dhabihu, na alipe fidia pamoja naasilimia fulani ya nyongeza. Walawi 5:14-6:7; Walawi 7:2-5; Hesabu 6:12; Hesabu5:5-10.*Kuleta matokeo yanayotakiwa- Sadaka ya dhambi na hatia ilitolewa kwa ajili yamtu aliyekiuka taratibu za tambiko. Pia zilitolewa kwa ajili ya makosa madogo dhidiya sheria za maadili, hasa amri ya 8 na 9. Walawi 4:2, 13, 22, 27, 5:14; Walawi 5:17;14:23, 28; Walawi 20:2-10; Kumbukumbu La Torati 13:6; 17:2-7; Walawi 20:3;Kutoka 22:18; Kutoka 21:15; Walawi 12:6, 27; Kumbukumbu La Torati 13:5; 18:20;1 Samweli 28:9; Walawi 23:29-30; Kutoka 20:8-11; Kumbukumbu La Torati 5:12-15.Yesu alivyotimiza sadaka za kufidia makosa:*Yesu alizungumzia kifo chakekama sadaka- Marko 10:45; Mathayo 20:28 Luka 22:20; Marko 14:24; Mathayo 26:28;Yohana 12:20-35. Yesu alikufa msalabani kwa ajili ya dhambi zetu, na akafufuka kutoka kwawafu ili atupatie maisha mapya- Mathayo 26-28; Marko 15-16; Luka 22-24; Yohana 19-21.*Yesu ndiye Mwanakondoo wa Mungu- Yohana 1:29, 36; Ufunuo 5; 7; 13:8. *Yesu ndiyemtumishi wa simazi/wa kuteswa wa Isaya- Isaya 53; Matendo 8:32. *Yesu na Pasaka, Chakulacha Mwisho cha Jioni- Marko 14. *Yesu anamfufua Lazaro kutoka kwa wafu- Yohana 11.*Fumbo la Mwenye Shamba la Mizabibu- Luka 20. *Paulo anafundisha kwamba kifo chaYesu kilikuwa kama sadaka ya kufidia makosa-Warumi 3:25; 5:9; 1 Wakorintho10:16; Waefeso 1:7; 2:13; Waefeso 5:2; Wakolosai 1:20. *Paulo alimtambua Yesu

Page 50: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 47

kama sadaka ya kuondolea dhambi- Warumi. 8:3; 2 Wakorintho 5:21.*Yesu ndiye Pasaka- 1Wakorintho 5:7. *Kifo cha Yesu kilileta ukombozi- 1 Petro 1:18, 19; 1:2; 3:18. *Kifo chaYesu kilikuwa cha kuondoa dhambi na kututakasa kutoka katika dhambi- 1 Yohana1:7; 2:2; 5:6, 8; Ufunuo 1:5.*Sadaka za Agano la Kale zilikuwa picha au kivuli cha ukweli wa kirohouliokamilishwa katika kifo cha Yesu-angalia hasa Waebrania 8-10.

Somo la 2 Sheria za Maadili:

Amri Zinazohusiana na Uhusiano Wetu na Mungu

Sehemu 2: Amri Zinazohusiana naUhusiano Wetu na Mungu

Upande wa kushoto wa kibao- Mkonouliojuu unawakilisha amri zinazohusiana nana uhusiano wetu na Mungu .

**Tazama Masomo ya Amri moja moja hapo Chini.

Sehemu 2a: Kuna Mungu mmoja,Mwabuduni Yeye.

Mkono- Kuna Mungu mmoja mwabuduniYeye.

Vichwa Vya Masomo:1. Kuna Mungu mmoja, Mwabuduni Yeye.

Hadithi*Amri: Mungu anasema Kuna Mungu Mmoja Mwabuduni Yeye- Kutoka 20:3; KumbukumbuLa Torati 5:7. *Usiabudu mungu mwingine, kwa kuwa BWANA, ambaye jina lake ni Wivu niMungu mwenye Wivu- Kutoka 34:14. *Yoshua, Chagueni Hivi Leo Mtakayemtumikia-Yoshua. 24. *Sikia, Ee Israeli: BWANA Mungu Wetu, BWANA ni mmoja- Kumbukumbu LaTorati 6:4, 3-14. *Kuchukuliwa mateka kwa Israeli kunatabiriwa kwa kuhusika katikaKuabudu Sanamu- Yeremia 25:6-12. *Manabii wanatumwa kuonya Israeli juu ya kupelekwauhamishoni kwa sababu ya kuabudu miungu mingine- Yeremia 35:15.Maandiko*Mimi ni BWANA, Utukufu Wangu Sitampa Mwingine, Wala Sifa Zangu Sanamu za miungu- Isaya 42:8; 46:9. * Hakuna sanamu za miungu zilizoumbwa Kabla Yake au Baada Yake,Hakuna Mwokozi mwingine - Isaya 42:10-13. *Wakati Mungu Alijitokeza kwa Musa, MusaHakuona Mfano, Kwa Hivyo Uwe Mwangalifu Usiunde Mifano Ya Mungu-- Kumbukumbu LaTorati 4:15-20. *Yesu akamwambia, "Ondoka Shetani! Maana imeandikwa: ‘Msujudie BwanaMungu Wako, na Kumtumikia Yeye tu- Mathayo 4:10. *Maandiko ya Paulo juu ya mada,Nyama zilizotolewa sadaka Sanamu- 1 Wakorintho 8:4-6; 10:14-22.

Sehemu 2b: Usiabudu auKutumikia Miungu Mingine

Vichwa Vya Masomo: Usiabudu au Kutumikia Miungu MingineHadithi*Amri: Usiabudu au Kutumikia Mungu Mwingine- Kutoka 20:4-6; Kumbukumbu La Torati5:8-10. *Usijifanyie miungu mingine ila mimi; Usijifanyie miungu ya fedha au dhahabu-Kutoka 20:23. *Usijifanyizie miungu ya kuyeyusha- Kutoka 34:17. * Msifuate miunguwengine, Msifuate Mmoja kati ya miungu wa watu wanaowazunguka - Kumbukumbu LaTorati 6:14. * Msifanye miungu wengine kwa Mfano Wangu, Ya watu, Ya Wanyama, Ndege,Wadudu, Samaki, Mbinguni, Jua Na Mwezi - Kutoka 34:15-17; Mambo ya Walawi 19:4; 26:1;Kumbukumbu La Torati 4:15-20. * Watu Wanapaswa Kuchoma sanamu za Nchi. Msitamanifedha au dhahabu iliyo juu yao, msije zikawaingiza kwenye mtego, ni chukizo kwa BWANAMungu wenu. Msilete kitu ambacho ni chukizo nyumbani au ninyi nanyi mtatengwa na

Page 51: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 48

Sanamu zenye msitari katikati-Usiabudu au Kutumikia Miungu

Mingine

Sanamu zilizotengenezwa na wanadamuzinafanana na vitu alivyoumba Mungu.Nyingine hufanana na watu, nyingine hufananana wanyama, wadudu/panzi, ndege, viumbe vyabaharini, na nyingine zimefanana na pepo aunusu pepo nusu mnyama. Aina hizi tatu zasanamu zimechorwa hapo juu.

kuangamizwa kama hicho. Kikatae na kukichukia kabisa, kwa kuwa kimetengewakuangamizwa- Kumbukumbu La Torati 7:25-26. *Ibada ya Sanamu inafananishwa na kuabudupepo- Kumbukumbu La Torati 31:15-21. *Watu wanatengeneza Sanamu ya Ndama waDhahabu- Kutoka 32. *Stefano anasimulia Historia ya Israeli- Matendo 7. *Jeroboamuanasimamisha Ndama Mbili za Waabudu- 1 Wafalme 12-13. * Mfalme Ahazia Anatafutaushauri kwa Baal-zebbu, mungu wa Enkroni, na Anafariki - 2 Wafalme 1. *Watuwaishio Yerusalemu wakati wa uhamisho wanaasi amri ya Mungu na kumwabudu Yeye namiungu wengine- 2 Wafalme 17:22-41. *Manase anaweka Sanamu Ndani ya Hekalu- 2Mambo Ya Nyakati 33. *Mfalme Josia Anaondo Sanamu- 2 Mambo Ya Nyakati 34-35. *WatuWaishio Israeli wakati wa Uhamisho wa Israeli wanatumikia miungu wengine pamoja naMungu wa Kweli- 2 Wafalme 17:29-35. *Makundi Wanamkasirikia Paulo kwa kusema kuwaMiungu ya Kutengenezwa na Mikono sio Miungu Kamwe- Matendo 19:22-41.Maandiko* Hata ijapokuwa Mungu aliwatoa wana wa Israeli kutoka Misri, bado hawakuziondoa sanamuzao. Mungu angegadhabika na kuwaangamiza. Lakini badala yake, aliwaokoa ili wajuekwamba Mungu ndiye anayewatakasa. Na jina lake halitachafuliwa katika mataifa-Ezekieli20:6-14. *Watu walikosa kuona au kujua Udanganyifu wa Sanamu- Isaya 44:9; Isaya 45:16. *Hakuna Mmoja Wa Wanaoabudu miungu Wengine Ambaye Atarithi Ufalme wa Mungu -Waefeso 5:5-12. *Kupenda kula kunaweza kuwa kuabudu Sanamu- Wafilipi. 3:19. * JichungeNa Sanamu - 1 Yohana 5:21. * Watu Ambao Wanataka Kutumikia Anasa Zao HugeukiaSanamu - Warumi 1:18-32. * Mapigo Hutumwa Kwa Wanaomwabudu Shetani - Ufunuo 9:20-21. *Paulo anaelezea sanamu kama zilizotengenezwa na muundo na ufundi wa mwanadamu,anawaita watu wote watubu- Matendo 17. *Paulo anajadiliana na waamini juu ya kuhusikakatika sherehe na tambiko za sanamu- 1 Wakorintho 8-10. *Usilete sanamu nyumbani kwenu,zimetengwa kwa ajili ya kuharibiwa. Mtatengwa pia na kuharibiwa kama hizo. KumbukumbuLa Torati 7:26. *Mungu Huchukia Sanamu- Kumbukumbu La Torati 16:21-22. *Sanamu niUumbaji wa Mwanadamu- Zaburi 115; Isaya 44:12-20. *Taratibu ya Kihakimu kwa ajili yakuabudu sanamu- Kumbukumbu La Torati 17:2-7.

Sehemu 2c: Usilitaje Bure Jina LaMungu

Mtu anaongea maneno mabaya- Usitumiejina la Mungu kwa njia mbaya au isiyo namaana kwa kutamka au kuwaza. Matendoya dhambi pia hunajisi Jina la Mungu .

Vichwa Vya Masomo:1. Usilitaje Bure Jina La Mungu.2. Jina la Mungu linaweza kunajisiwa kwa maneno na vitendo

vyetu.Hadithi*Amri: Usitumie jina La Bwana Mungu wako bure - Kutoka 20:7; Kutoka 5:11. * KijanaAnapigwa Mawe Kwa Kulikufuru Jina la Mungu - Mambo ya Walawi 24:11-23. *Yesuanafundisha juu ya kuapa- Mathayo 5:34-37; pia tazama Yakobo 5:12. *Yesu anawahukumuwale waapao kwa manufaa yao wenyewe- Mathayo 23:16-22.Maandiko*Usilinajisi Jina la Mungu; Msiape kwa Uongo - Mambo ya Walawi 19:12. * MunguHataacha Kuwaadhibu wanaotumia jina lake Bure - Kumbukumbu La Torati 5:11.*Ombila Kutokuwa Tajiri wala Maskini na kwa hiyo ulinajisi jina La Bwana- Mithali 30:7-9.*Usimkufuru Mungu au kumlaani mtawala wa watu wako - Kutoka 22:28. *Kutoa sadaka kwasanamu hunajisi Jina la Mungu- Mambo ya Walawi 18:21. * Msiape kwa Uongo hivihunajisi Jina La Mungu - Mambo ya Walawi 19:12. *Chukulieni sadaka kwa Mungu kwaheshima, msije mkalinajisi Jina la Mungu- Mambo ya Walawi 22:2. *Wale waliokufuru Jina laMungu walipaswa kuuawa- Mambo ya Walawi 24:16. *Kwa kuwa nitarudisha usemi msafi(lugha) kwa watu ili wote waweze kuliitia jina la BWANA na kumtumikia na lengo moja(kijuujuu bega moja)- Waefeso 3:9. *Ninyi mjivunao juu ya sheria, Je, mnavunjia heshimaMungu kwa kuvunja sheria? Kama ilivyoandikwa: "Mataifa wanalikufuru Jina la Mungu katiyao kwa sababu yenu- Warumi 2:2-24. * Usiape kabisa; hata kwa mbingu, kwamaana ndicho kiti cha enzi cha Mungu; Ndio yenu iwe ndio, na sio iwe sio,5:33-37; Yakobo 5:12.

Sehemu ya 2d: Ikumbuke Sabato.

Watu wanaabudu- ikumbuke Sabatouitakase. Amri ya nne ni picha ya watu

Vichwa Vya Masomo:1. Ikumbuke Siku ya Sabato, Uitakase.2. Amri hii hairudiwi katika Agano Jipya. Lakini hatupaswi

kuacha kukutana pamoja na waamini kanisani.3. Kazi zetu zote tuzifanye kwa ajili ya Mungu na sio wanadamu.4. Yesu ni Bwana wa Sabato. Mungu anafanya kazi kila wakati,

hata siku ya Sabato.5. Waamini waliweka Sabato iwe Jumapili badala ya Jumamosi ili

Page 52: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 49

wanaomwabudu Mungu. Sheria inasemakuwa tunapaswa kuitakasa siku ya Sabato.Neno “uitakase” linamaanisha ‘ tenga’ au“Kuweka mbele.” Amri hii hairudiwi katikaAgano Jipya, isipokuwa tu tusiache kukutanapamoja kama waamini. Ingawa siku za Agano laKale, watu wa Mungu waliabudu Jumamosi,lakini wakati wa Agano Jipya waaminiwaliigeuza siku ya ibada ikawa Jumapili iliwakumbuke kufufuka kwa Yesu (Yohana 20:19-22). Kuna ushahidi fulani kwamba Paulo piaaliafanya kazi siku ya Jumapili kwa sababumichango ilichukuliwa katika makanisa wakatihuo (1 Wakorintho 16:2). Katika Agano JipyaYesu anasema kwamba yeye ni Bwana waSabato. Yesu anatufundisha kwamba Munguanafanya kazi siku zote—hata siku ya Sabato(Yohana 5:16-17).” Paulo anaipanua aukuikomaza “Amri ya Sabato” kwa kutuhimizatufanye kazi zetu zote kila siku kamatunaomfanyia Bwana na sio wanadamu.

wakumbuke kufufuka kwa Yesu kutoka kuzimu.

Hadithi*Amri: Ikumbuke siku ya Sabato uitakase- Kutoka 20:7; Kumbukumbu La Torati 5:12-15.*Mungu Aitangaza Siku ya Sabato kuwa Siku ya Kupumzika Kulingana na Siku za Uumbaji-Mwanzo 2:1-3; Mambo ya Walawi 19:3; 23:3. *Israeli Inapewa Mwongozo wa JinsiWatakavyokula Mana Siku ya Sabato- Kutoka 16:23-30. *Sheria kuhusu kufanya kazi siku yaSabato- Yeremia 17:21-27. *Wanafunzi wa Yesu kukata masuke na kula siku ya Sabato-Mathayo 12:1-13; Marko 2:23-28; Luka 6:1-11. *Yesu aliponya siku ya Sabato- Marko 3:1-6.*Yesu anaponya katika birika la Bethsatha- Yohana 5:1-18. *Yesu anawatokea wanafunzi sikuya kwanza ya juma- Yohana 20:19-22. *Paulo alichukua changizo/sadaka siku ya kwanza yajuma- 1 Wakorintho 16:2.Maandiko*Sabato ni Ishara kati Yangu na Ninyi Katika Vizazi Vyenu Vyote, Ili Mpate KujuaKuwa Mimi Ndimi BWANA Niwatakasaye- Kutoka 31:13-17. *Maagizo Kwa ajiliya Wageni na Sabato- Isaya 56:2, 4-7.*Msiache kukusanyika pamoja na waamini-Waebrania 10:25. *Pumziko la kiroho la Sabato- Waebrania 4:1-11. * Lo lotemfanyalo, lifanyeni kwa moyo, kama kwa Bwana, wala si kwa wanadamu - Kol.3:23-24. *Kufanya kazi kupita kiasi- Zaburi 127:1-2. *Ivaeni nira Yake na mjifunzeKwake- Mathayo 11:28-30. *Yesu akawaambia, " Sabato ilifanyika kwa ajili yamwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato. Basi Mwana wa Adamu ndiyeBwana wa sabato pia"- Marko 2:27-28. Mungu anafanya kazi siku zote * Kwasababu hiyo Wayahudi wakamwudhi Yesu, kwa kuwa alitenda hayo siku ya sabato .Lakini akawajibu, “Baba yangu anatenda kazi hata sasa, nami ninatenda kazi.."-Yohana 5:16-17. * Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, Msaada utakaoonekanatele wakati wa mateso. " Acheni, mjue ya kuwa Mimi ni Mungu, Nitakuzwa katikamataifa, nitakuzwa katika nchi.- Zaburi 46:1, 10. * Hata nitakapokuja, ufanye bidii katika kusoma na kuonya nakufundisha. - 1 Timotheo 4:13.

Somo La 3 Amri zihusianazo na Uhusiano wetu na Watu

Sehemu 3: Haki

Upande wa kulia wa kibao- unawakilishaamri zihusianazo na uhusiano wetu na watuwengine.

Vichwa Vya Masomo:1. Amri zihusianazo na Uhusiano wetu na Watu

** Tazama Masomo ya Amri moja moja hapo Chini.

Sehemu 3a: Watoto WaheshimuniWazazi Wenu.

Wazazi na mtoto- watoto waheshimuni

Vichwa Vya Masomo:1. Watoto wanapaswa Kuwaheshimu na Kuwatii Wazazi Wao.

Hadithi*Amri: Waheshimu babako na mamako- Kutoka 20:12; Kumbukumbu La Torati 5:16;Waefeso 6:1-4. *Yesu Anasimulia Kuapa kwa Uongo ili kuepuka Jukumu la kuwatunzaWazazi waliozeeka- Mathayo 15:4-6. * Mtawala Mdogo Tajiri - Mathayo 19:19; Luka 18:18-27. * Fumbo la Wana Wawili - Mathayo 21:28-32. *Yesu anatufundisha tuwaheshimu wazaziwetu- Marko 7:9-13. *Yesu alikuwa mtiifu kwa wazazi wake- Luka 2:51Maandiko* Sheria Zinazohusu Kuwaheshimu Wazazi - Kutoka 21:15-17; Mambo ya Walawi 19:3, 32. *Usiache Mafundisho Ya Baba na Mama yako - Mithali 1:8. * Mjinga Hukataa Adhabu ya BabaYake - Mithali 15:5. * Ni dhambi Kuibia Baba na Mama Yako - Mithali 28:24. * Mwanangu,shika maagizo ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako. - Mithali 6:20. * Ni Makosa

Page 53: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 50

wazazi wenu ili mpate kuishi siku nyingiduniani.

Kumtukana Baba au Mama Yako - Mithali 20:20; 30:17. * Watoto Watiini Wazazi wenuKatika Kila Jambo - Kol. 3:20.

Sehemu 3b: Usiue.

Maiti, upanga, na msitari uliopitiakatikati ya mviringo- Usiue watu.

*Yesu anaongezea mitazamo ya kiuaji juu yaghadhabu iwakayo ndani ya mioyo yetu dhidi yawatu wengine. Yesu anataka tujitoe kabisakuwasamehe wengine kama afanyavyoyeye.

Vichwa Vya Masomo:1. Usiue.2. Yesu alikomaza amri hii kujumuisha mitazamo ya hasira za

kiuaji ambazo tunaweza kuhisi dhidi ya watu.

Hadithi*Amri: Usiue- Kutoka 20:13; Kumbukumbu La Torati 5:17. *Kaini anamuua Abeli- Mwanzo4; Waebrania 11:4; Jude (v.11); 1 Yohana 3:10-15. *Sheria ya Agano la Kale ilikuwa jichokwa jicho na jino kwa jino- Mambo ya Walawi 24:17-22. *Sauli Anataka Kumuua Daudi- 1Samueli 18-31. * Daudi Anayahurumia Maisha ya Sauli - 1 Samueli 24; 26. * Daudi AnamuuaUria, na Kumchukua Mke Wa Uria Kama wake - 2 Samueli 11-12. * Yezebeli na MfalmeAhabu Wamuua Nabothi Ili Walichukue Shamba Lake La Mizabibu- 1 Wafalme 21. *YeremiaAnatabiri katika Ua wa Bwana- Yeremia 26 (v.12-15). *Paulo Anawaua Wakristo- Matendo7:54-8:3.Maandiko*Mwuaji hawezi kukimbilia madhabahu ya Mungu - Kutoka 21:14. * Mungu Hudai damu yauhai tunapoua; Binadamu Aliumbwa Kwa Mfano Wa Mungu na Kwa Hivyo Ni Wa Kipekee -Mwanzo 9:5-6; Kumbukumbu La Torati 5:17. *Umwagikaji wa damu hunajisi nchi- Hesabu35:16-34 (v.33-34). * Maana mtu wa kwenu asiteswe kama mwuaji, au mwivi, au mtendamabaya, au kama mtu ajishughulishaye na mambo ya watu wengine. Lakini ikiwa kwa sababuni Mkristo asione haya, bali amtukuze Mungu katika jina hilo - 1 Petro 4:15-16. * SheriaKuhusu wanaovizia watu na Kuwaua - Kumbukumbu La Torati 19:11-13; Zaburi 10:8-11;Mithali 1:11-12. * Usiue, Usimkasirikie Ndugu Yako, Pataneni - Mathayo 5:21-26. * SheriaZote Zimejumuishwa katika hii: Mpende jirani yako Jinsi Unavyojipenda Wewe Mwenyewe -Warumi 13:9-10. * Sheria Zilitengenezewa Wauaji, wazinzi na kadhalika.- 1 Timotheo 1:9-11.* Yeyote Amchukiaye Ndugu Yake Ni Muuaji - 1 Yohana 3:12-15.

Sehemu ya 3c: Usizini.

Mume mwenye wake wengi;mwanamume ndani ya baa na wanawakewengine, msitari upitao katikati yamviringo- usizini.

Nakala:Mathayo 19:9 inasema, “Basi nawaambieni,

yeyote atakayemwacha mke wakeisipokuwa kwa sababu ya uzinzi, akaoa mke

mwingine, anazini.” Neno lililotumiwahapa kutafsiri uzinzi ni neno la Kiyunani,

porneia. Hili ndilo neno lililozaaponografia. Kwa sababu ya kutumia neno

hili amri ya Yesu haiashirii tu uzinifu nje yandoa, bali pia kila aina nyingine yoyote ya

uzinzi. Licha ya hiyo, wasomi piawanaamini kwamba neno hili pia

linajumuisha wakati ndani yake-linaashiriahata wakati mtu hajaoa au kuolewa. Kunakesi nyingi za wanawake kudhulumiwa

Vichwa Vya Masomo:1. Usizini.2. Yesu aliikomaza sheria hii kwa kuwajumuisha wanaume na wake

wengine, na uzinzi ufanywao katika tamaa za mioyo yetu. (Siku zaAgano la Kale wanaume wangeweza kuoa wake zaidi ya mmoja. Kuwa nauhusiano wa kimapenzi na mwanamke mwingine haikuchukuliwa kuwauzinzi isipokuwa mwanamke huyo awe ameolewa na mtu mwingine. Yesuanaikomaza sheria hii hivi kwamba sasa wanaume wenye uhusiano wakimapenzi nje ya ndoa wanafanya uzinzi.)

Hadithi*Amri: Usizini- Kutoka 20:14; Kumbukumbu La Torati 5:18. *Usilale na mke wa jirani yako-Mambo ya Walawi 18:20; 20:10. *Maagizo kuhusu kukosa uaminifu kwa mke- Hesabu 5:12-31. *Daudi na Bathsheba- 2 Samueli 11-12. * Shutuma za Uongo za Uzinzi, Yusufu na MkeWa Potifa - Mwanzo 39:1-23. *Kutafuta Hekima, Kutembea Njia Ya Wenye Hekima, KuepukaNjia Ya Wazinzi- Mithali 2; 5:3-23; 6:20-35; 7. * Yesu Anasamehe Dhambi Za Kahaba -Yohana 8:1-11. * Maagizo Kuhusu Wajane- 1 Wakorintho 7:8-9.Maandiko*Tatizo La Uzinzi Wakati wa Manabii- Yeremia 5:6-9; 29:22-23. * Yesu Anasema KwambaYeyote Anayetamani Mwanamke Moyoni Mwake Amezini Naye [Fahamu kuwa Yesuanaikomaza sheria ya Agano la Kale kwa sasa kwa kuwajumuisha wanaume kama watu ambaowanaweza kuzini hata kwa mawazo yao nje ya uhusiano wao na wake zao] - Mathayo 5:27-32.* Yesu Anasema Ya kwamba, Yeyote Anayemtaliki Mke wake Na Kuoa Mke MwingineAnafanya uzinzi Dhidi Yake; Na Kama Yeye Mwenyewe Atamtaliki Bwana Wake NaKuolewa na Mwanamume Mwingine, Anafanya Uzinzi - Marko 10:11-12. *Mungu AnachukiaTalaka- Mal. 2:16; Talaka Inapatianwa Kwa Sababu Ya Ugumu wa Moyo Peke yake -Mathayo 19:3-9. * Ndoa inapaswa kuheshimiwa na watu wote, kitanda cha ndoa kisinajisiwe;kwa kuzini kabla ya ndoa na kuzini katika ndoa Mungu atahukumu - Waebrania 13:4. *Maagizo Kwa Wale Ambao Wameoa au Kuolewa Watu Ambao si waamini - 1 Wakorintho7:12-15; 1 Petro 3:1-6. *Maagizo ya Wale Waliotengana- 1 Wakorintho 7:10-11. * KamaBwana Amefariki Na Mke Wake Anaungana Na Mume Mwingine, Hazini, lakini akiwa mumebado yuko hai na mke aungane na mwanamume mwingine, anazini - Warumi 7:2-3. *

Page 54: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 51

kimwili na kimaneno. Na katika kesi hiziswali linaibuka juu ya talaka na kutengana-kwa ajili ya kulinda uhai. In 1 Cor. 7:12-15,

Paulo anasema kuwa mambo yotenayafanywe kwa ajili ya amani.

waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, walawafiraji, wala walawiti, - 1 Wakorintho 6:9-10. * Uasherati Au Uchafu Wowote Au UchoyoUsitajwe Miongoni Mwenu - Waefeso 5:3. *Jua Namna Ya Kumiliki Chombo Chake KatikaUtakaso Na Heshima, Si Kwa Tamaa Mbaya Kama Watu Wa Mataifa Wasiomjua Mungu;Basi, mtu yeyote Asimkosee Na Kumpunja Ndugu Yake Kwa Jambo Hili Kwa Sababu MunguAtawaadhibu- 1 Wathesalonike 4:1-8.

Sehemu ya 3d: Usiibe

Mwanamume anakimbia na mfuko,msitari upitao katikati ya mviringo-usiibe.

Vichwa Vya Masomo:1. Usiibe.2. Tunapaswa kufanya kazi ili tuwe na kitu cha kuwapatia wale

walio na mahitaji.

Hadithi*Amri: Kutoka 20:15; Kumbukumbu La Torati 5:19. *Yesu Anafukuza Wezi KutokaHekaluni- Mathayo 21:12-13. *Yuda Alikuwa Mwizi- Yohana 12:1-8. *Msamaria AnamsaidiaMwathiriwa na Majambazi: Msamaria Mwema- Luka 10:25-42.*Fumbo la Mlango, MwiziHaji Ila Kwa Kuiba na Kuua na Kuharibu; Mimi Nilikuja Ili Wawe Na Uzima, Na Wawe NaoTeletele - Yohana 10:1-18. *Wezi Wawili Wanasulubiwa Pamoja na Yesu- Mathayo 27:28-44;Luka 23:32-43. *Yesu anashutumu Waandishi kwa kuharibu nyumba za wajane- Marko 12:40.Maandiko* Sheria ya Ulipaji fidia Kwa Wezi - Mambo ya Walawi 6:1-7; 19:11, 13. *Sheria KuhusuKuteka Nyara- Kumbukumbu La Torati 24:7. * Kutumia Vipimo Visivyo, Kudanganya Watu -Kumbukumbu La Torati 25:13-16; Mithali 11:1; Mika 6:10-16. * Kukandamiza Maskini,Kuchukua Nyumba Zao Na Vitu Vyao - Ayubu 20:15-22; Amosi 8:4-7; Ez. 22:29. *KuibaHutoka Moyoni- Mathayo 15:19; Hos. 4:1-2. * Anayeiba Asiibe Tena; Bali Na Aanze KufanyaKazi Njema Kwa Mikono Yake, Apate Kuwa Na Kitu Cha Kumsaidia Aliye Mhitaji - Waefeso4:28. * Watu Wanamwibia Mungu Zaka Na Dhabihu - Mal. 3:8-10. * Hakikisha Kuwa HakunaMtu Yeyote Miongoni Mwenu Anayeteseka Kwa Sababu Ni Mwuaji, Au Mwizi…LakiniKama Mtu Atateseka Kwa Sababu Ni Mkristo, Asione Aibu, Bali Amtukuze Mungu Kwa JinaHili - 1 Petro 4:15-16. *Je, Ninyi mnahubiri watu wasiibe, wenyewe mnaiba?- Warumi 2:20-24. * Sheria Zote Zimejumuishwa katika amri moja Mpende Jirani Yako kamaUjipendavyo- Warumi 13:8.

Sehemu ya 3e: Usimshuhudie JiraniYako Uongo.

Watu wanawashuhudia wengine uongo,msitari upitao katikati ya mviringo-Usimshuhudie jirani yako uongo. Kumshuhudiajirani yako uongo kunawezakuwa kwa njiatofauti. Kunawezakuwa makusudi. aukunawezakuwa matokeo ya kufanya uamuziambao si sahihi, au kutoelewa mtu. Kunawezakutokea wakati mtu akitia chumvi mambo yaukweli kwa sababu ya hasira. Kunawezatokeawakati mtu anaon kuwa makosa yakemwenyewe yatafichuka, au wakati mtu anajaribukumtetea mtu mwingine. Kunawezatokeawakati tunapoangalia ujuzi wetu wenyewe katikamaisha yetu na kudhani kuwa mtu huyomwingine ni kama sisi. Kivyovyote vile, wakatimambo haya yaelezewa kama ukweli kwa watuwengine, matokeo yake ni kushuhudia jiraniyako uongo. Mungu anataka tuambianeukweli na kwamba tuhukumiane kwa njiaya haki.

Vichwa Vya Masomo:1. Usimshuhudie Jirani Yako Uongo.2. Katika Agano la Kale, wale walioshuhudia majirani zao uongo

walipaswa kupata hatima ile ile waliyotaka iwapate jirani zao.3. Ni lazima tuwe waangalifu, tusishuhudie jirani zetu uongo kwa

kukimbilia kufanya hitimisho la uongo; au kwa kuwashutumuwengine na dhambi tukitegemea hitimisho au ujuzi wetuwenyewe badala ya kutafuta ukweli katika kila hali.

4. Aidha ni lazima tuwe waangalifu tusishuhudie uongo kwa lengola kumtetea mtu mwenye hatia, hivyo basi kuonyesha upendeleo.

Hadithi*Amri: Usimsuhudie jirani yako uongo- Kutoka 20:16; Kumbukumbu La Torati 5:20.*Usisambaze habari za uongo. Usiwe shahidi wa uongo. Usipotoshe ukweli kwa kuungamkono kundi, na usionyeshe upendeleo- Kutoka 23:1-3. *'Usiibe. "'Usidanganye."'Msidanganyane. Msiape uongo kwa jina langu na kwa hiyo ulitie unajisi jina la Munguwako. Mimi ni BWANA- Mambo ya Walawi 19:11-12. * Watu Wanamshutumu Mungu bure -Kumbukumbu La Torati 1:27-28. *Watu wanawashutumu Musa na Haruni bure- Kutoka 16:3.* Ahabu na Yezebeli Wanakodi Mashahidi Wa Uongo - 1 King 21.* Ushuhuda Wa UongoDhidi Ya Wale Waliokuwa Wakijenga Kuta Za Yerusalemu - Ezra 4. * Udanganyifu waSanbalati, Tobia- Nehemia 6.*Yesu anafundisha: Heri ninyi watu wanapomtukana, kuwatesa,na kusema kila aina ya uovu dhidi yenu kwa ajili Yake - Mathayo 5:11-12.*Ushahidi wa uongokatika kesi ya Yesu- Mathayo 26:57-75; Mathayo 27:41-42.*Ushahidi wa uongo dhidi yaStefano- Matendo 6:8-15.* Yesu Anashutumiwa Kwamba Anafukuza Pepo Kwa NguvuZa Shetani - Mathayo 12:22-32.* Paulo Alisingiziwa - Matendo 24.* Diotrefe AnatumiaManeno ya Kijicho - 3 Yohana.*Uongo wa Anania na- Matendo 5:1-9.

Maandiko* Usipotoshe Haki Kwa Sababu Ya Ndugu Yako Maskini Katika Mabishano - Kutoka 23:6-8.

Page 55: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 52

* Usiende Ukiwachongea Watu Wa Jamaa Yako, Mimi Ndimi BWANA- Mambo ya Walawi19:16. * Haki Kamili Katika Kesi Ya Kushuhudia Uongo - Kumbukumbu La Torati 19:15-21.* Mchongeaji Wa Siri Anaadhibiwa - Zaburi 101:5-7; Zaka 8:16-17. * Mafundisho Dhidi YaUchongeaji - Mithali 10:18; 11:13; Waefeso 4:31.* Kudumu Mtumishi Wa Mungu Katikati Ya Shutuma - 2 Wakorintho 6. * DumisheniMazungumzo Ya Uaminifu Ili Kwa Vitu Unavyochongewa, Vilete Utukufu Kwa MunguAtakaporudi - 1 Petro 2:19-20. *Ni nani atakayekaa katika kilima kitakatifu cha Mungu?-Zaburi 15:2-3. *Manabii wazungumzia suala la udanganyifu katikati ya watu- Yeremia 8:3-8.*Acheni uongo na mwambiane ukweli, sisi ni wanachama wamoja - Waefeso 4:25; 31-32.*Msidanganyane kwa kuwa mtu wenu wa zamani mmemvua- Kol. 3:9-10.

Sehemu ya 3f: Usitamani Vitu vyamwenzio.

Mtu anayetamani kuwa na kile ambachojirani yake anacho- usitamani. Juu ya vitutulivyo navyo, kutamani kunaweza kujumuishakarama za kiroho, kazi, vipawa, hadhi yakijamii; uhusiano, umbo, hali katika maisha,n.k..

Maneno ya Biblia:+Awah- maanake ni kutamani sana au kwa uchu,vitu vya mtu mwingine, uhusiano, cheo au hali.+epithumeo- limetumika sana kwa dhana yakumezea mate kitu. Linaashiria kukazia machoau tamaa zako juu ya kitu na kufanya mbinu zakukipata kitu hicho.+orego- maanake ni kunyosha mkono kuchukua.+Pleonexia- ni tamaa ya msingi ya kuwa navingi kuliko vile ulivyo navyo, au kutamani vituvilivyo na watu wengine.+Philarguros- maanake ni kupenda pesa.+zeloo- maanake ya kimsingi ni kutamani,kukiwemo na jicho/wivu ndani yake.

Vichwa Vya Masomo:1. Usitamani Vitu vya Mwenzio.2. Kutamani kunaingia hata katika uhusiano, kazi, elimu, watoto,

na vitu.

Hadithi*Amri: Usitamani Vitu vya Mwenzio- Kutoka 20:17; Kumbukumbu La Torati 5:21. *Hawaanatamani Tunda- Mwanzo 3. *Kuanguka kwa Yeriko, Usitmani vitu vilivyowekwa wakfu-Yoshua. 6 (kifungu cha18-19). * Kutamani Katika Siku Za Manabii, Hutamani Mashamba naKuyatwaa, Na Nyumba, Wananyakua. Huwadhulumu Wenye Nyumba Na Jamaa Zao,Huwanyang’anya Watu Mali yao-- Mic. 2:1-2. *Dhambi za Akani- Yoshua. 7. *Paulo Anatoakwa ajili ya Huduma Yake Mwenyewe Mfano Mzuri Wa Paulo Wa Lengo Zuri La Huduma -Matendo 20:17-38 (v. 33-35). *Fumbo la Tajiri Mjinga- Luka 12:15-21. *Mungu AtatupatiaMahitaji Yetu- Luka 12:22-40.

Maandiko* Kupenda Pesa Ni Chanzo Cha Uovu Wote, Na Wengine Kwa Tamaa Ya PesaWametangatanga Mbali Na Imani Yao Na Wameichoma Mioyo Yao Kwa Huzuni Nyingi - 1Timotheo 6:10-12. *Tosheka na Kile Mlicho Nacho- Waebrania 13:5. *Mtozamo Mwema waMaisha na Pesa- 1 Timotheo 6:3-21; 1 Petro 5:2. *Mithali juu ya Kutamani na Faida- Mithali21:26; 22:16; 23:4-5; 30:8-9; Mhu. 4:8. Manabii wanapinga Kutamani- Isaya 56:11; 57:17;Mika. 2:2. *" Kwa maana, tangu aliye mdogo hata aliye mkubwa miongoni mwao, kila mmojani mtamanifu; na, tangu nabii hata kuhani, kila mmoja hutenda mambo ya udanganyifu -Yeremia 6:13; 8:10. * Kupata Kwa Njia Isio Halali, Kwa Mauaji - Ez. 22:12-13. * Je, MtuAtafaidi Nini Akiupata Utajiri Wote Wa Ulimwengu Na Hali Amepoteza Maisha Yake -Mathayo 16:26. * Kutamani Visivyo Vyako Hutoka Ndani Ya Moyo Wa Mtu - Marko 7:21-22.* Usijihusishe na Ndugu Ambaye Hutamani Vitu Vya Wengine - 1 Wakorintho 5:9-13; 6:10. *Muwe na hamu ya mambo ya huko juu, na siyo mambo ya hapa duniani - Col. 3:2. *Mnatamani Vitu Na Hamvipati; Kwa Hivyo Mko Tayari Kuua. Mwaona kijicho na Hampati;Kwa Hivyo Mnapigana Na Kugombana - Yakobo 4:1-2. * Sifa Za Manabii Wa uongo - 2Petro 2:1-3. * Msiwe na tabia ya kupenda fedha; mwe radhi na vitu mlivyo navyo; kwa kuwayeye mwenyewe amesema, Sitakupungukia kabisa, wala sitakuacha kabisa. - Waebrania 13.5.*Huwezi Kutumikia Miungu Wawili- Mathayo 619-14. *Usiwe na Wasiwasi Mungu anajuaTunachohitaji- Mathayo 6:25-34.

Page 56: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 53

Sura ya 5 Kielelezo : Falme Mbili

Page 57: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 54

Picha Iliyorahisishwa kwa ajili ya Sura ya 5

Page 58: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 55

Sura ya 5 Falme Mbili

Maelezo ya Jumla

Kielelezo cha 5 ni picha ionekanayo ya Falme mbili zilizoko na zinazofanya kazi duniani, Ufalmewa Giza na Ufalme wa Nuru.

Ufalme wa Giza (kuzaliwa kimwili) unaonyeshwa kwa njia zifuatazo:

Ufalme huu umo ulimwenguni mwote. Watu wote wamezaliwa kimwili katika ufalme huu. Shetani ndiye Mungu katika ufalme huu (Katika picha Shetani yuko juu ya ulimwengu). Mioyo ya watu wengine ni myeusi kwa sababu hawajatakaswa dhambi zao kupitia kwa

uhusiano wa kibinafsi na Yesu Kristo. Watu katika ufalme huu ni watumwa wa dhambi kwani bado wanaishi maisha ya dhambi (uzinzi, ulevi, ufisadi,

ukabila, ubinafsi, utukanaji, kutomtii Mungu). Watu katika ufalme huu hawaoni Ukweli wa Injili. Wanafuata dini za uongo. Watu katika ufalme huu hatima yao baada ya kufa ni Ziwa la Moto (picha iliyo chini ya ukurasa). Watu wote

ambao hawakumwamini Yesu watatupwa katika Ziwa la Moto wakati wa Hukumu ya Mwisho (tazama Sura ya12, somo la 2). Watateswa milele na milele.

▪ Watu aliwapatanisha wale walio katika ufalme huu nay eye Mwenyewe na akatoa nafasi ya wao kuweza kupatana waokwa wao kupitia kwa dhabihu ya Yesu.▪ Watu katika ufalme huu wataenda kuishi na Yesu watakapokufa. Watapata uzima wa milele Mbinguni (Tazama Suraya 12, Somo la 1).

Ufalme wa Nuru (kuzaliwa kiroho, wakati mwingine kunaitwa, “kuzaliwa tena” au “kuzaliwa mara ya pili”)unawakilishwa katika picha kwa njia zifuatazo:

Ufalme huu umo ulimwenguni mwote, ndani ya mioyo ya waamini Watu wamezaliwa kiroho katika ufalme huu kupitia uhusiano wa kibinafsi na Yesu Kristo Yesu ni Bwana wa ufalme huu Watu katika ufalme huu sasa macho yao ya wazi na yanaona, na wana mioyo safi kwa kazi ya Roho Mtakatifu

maishani mwao. Watu katika ufalme huu si watumwa tena wa dhambi, uzinzi, matukano, mitindo haribifu ya maisha, dini za

uongo, au kuongozwa na upendeleo. Waamini hufanya dhambi bado, lakini si kawaida yao. Watu katika ufalme huu wote ni watu wa familia ya kiroho kupitia Ibrahimu. Ukweli huu huunganisha waamini

pamoja bila kujali ukoo, kabila, mbari, tabaka, jinsia, umri, au aina nyingine yoyote ya daraja la wanadamu. Mungu amejipatanisha na watu walio katika ufalme huu na akawawekea nafasi ya kupatana wao kwa wao

kupitia sadaka aliyotoa Yesu. Watu katika ufalme huu watakapokufa wataenda kukaa na Yesu. Watapata uzima wa milele huko

Mbinguni (tazama Sura ya 12, somo la 1).

Njia za Kufundishia Sura hii:1. Njia ya Kupitia Kirahisi. Tumia maelezo ya jumla hapo juu kufundisha picha kuu ya Sura hii.2. Njia ya Mada. Fundisha juu ya Ufalme wa Nuru na Ufalme wa Giza katika vipindi tofauti.3. Njia ya Kina/Utondoti. Njia inayoingia ndani zaidi. Soma eneo la Maandiko kutoka kwa kila picha na somo

lililoorodheshwa kwenye Maelezo ya Jumla hapo juu.4. Njia ya Mahubiri. Ili uweze kufundisha Sura hii kimahubiri unahitaji kufundisha somo hili baada ya Sura ya 1

na ya 2 (juu ya Uumbaji wa Mungu) na kabla ya Sura ya 6 (Yesu ndiye Jibu). Mara unapomaliza uumbaji wa

Page 59: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 56

Mungu na Mamlaka yake juu ya vitu vyote unaweza kuanza kujadili Bustani ya Edeni na kuanguka kwamwanadamu. Kisha unaweza kujadili ukweli kwamba sote tumezaliwa katika Ufalme wa Giza na tunahitajikuzaliwa mara ya pili kiroho ili tuingie katika Ufalme wa Nuru.

5. Njia ya Mwamini Mkomaavu.a. Kuishi katika Njia za Mungu na kutambua Vitu vinavyotutega. Weka msisitizo juu ya

kufundisha waamini jinsi ya kutembea katika njia za Mungu. Unawezataka kufundisha surahii kabla ya Sura ya 9 na ya 10 (juu ya vita vya kiroho, na kutembea katika njia ya Mungu).Mara nyingi Paulo aliandikia makanisa, na kusema, “Msienende kama mataifawanavyoenenda, au jinsi mlivyokuwa mkienenda, yaani katika uzinzi, ulevi, ulafi, uovu, balienendeni katika njia zinazompendeza Mungu.” Unapofundisha juu ya hulka/sifa za kilaUfalme wafuasi wa Yesu wanaweza kuanza kutambua ni maeneo gani ya maishani mwaoyanayohitaji kuwekwa chini ya Ukuu wa Kristo. Wanaweza kutambua kwamba maisha yaoyanaweza kuashiria Ufalme ule mwingine.

b. Kutambua mambo ambayo magumu zaidi kuyashinda: Mambo matatu ambayo ni baadhiya mambo magumu zaidi kuyashinda ni 1. Kung’oa desturi za mchanganyiko na mila naitikadi za kipagani kutoka maishani mwetu; na 2. Kupenda na kusamehe watu waliotuumiza.Haya ni maeneo mawili yanayoingia ndani ya mioyo ya watu sana. Unaweza kutumiamasuala haya mawili kuwajuza sura hii. Itasaidia waamini kuona ni mahali ganiwanapohitajika kukua kiroho. 3. Tabia za zamani zilizo haribifu.

1. Kujitambua Kitamaduni (uaminifu mkali na kujitambua na kule walikokuzwa nayale waliyofundishwa). Mtu anapoamini mara nyingi siku zote kuna mafundisho,desturi, au mila katika utamaduni ambazo zinahitaji kupimwa na Biblia. Hii inawezakuhitaji kufanya mambo kwa njia tofauti na vile alivyokuwa akifanya awali.

2. Kupata uchungu wa zamani au kutosamehe kwa sababu ya dhambi za wengine, auukabila na upendeleo uliopokewa kutoka kizazi kimoja hadi kingine. Sio uzinzi nadini za uongo tu peke yake vipatikanavyo katika Ufalme wa Giza, bali pia ukabila,kulipiza kisasi, uchungu, na kutosamehe. Mambo haya huingia ndani sana ya mioyoya watu na kusababisha aina zote za utengano na uovu. Paulo siku zote aliwahimizawaamini wakue katika kupendana. Kupenda na kusamehe wengine ni utaratibu waukuaji unaoendelea hadi mwisho wa maisha ya mtu. Ukomaavu huja wakatitunapoweza kupendana na kusameheana kweli kama alivyotufanyia. Ni changamotoya kuishi kweli katika Ufalme wa Nuru, katika upya wa maisha. Biblia inasema,“Tumezikwa pamoja naye katika ubatizo, na tumefufuka tutembee katika upya wamaisha!”

Mafundisho ya Ziada:Uzingativu spesheli juu ya fundisho la Kuzaliwa Upya, Kuzaliwa-Tena, au Kuzaliwa mara ya pili katikatamaduni tofauti.Kumbuka kwamba makabila mengi na hata dini za mashariki hufundisha juu ya kuzaliwa tena kwa namna fulani.Lakini mafundisho yao yako tofauti kabisa na yale yaliyomo katika Biblia. Dini za kikabila au za roho hufundishakuzaliwa tena kama kutolewa kutoka ulimwengu tuuonao na kuingizwa katika ulimwengu wa kiroho baada ya kufa,yaani kutoka kwa mwili tuuonao hadi mwili wa kiroho. Dini za Mashariki nazo hufundisha kwamba kuzaliwa tena niroho kuingia katika kiumbe kingine (ni mzunguko wa kurudi duniani kama mtu mwingine, mnyama, au kiumbe, tena natena, na hatimaye kutengeneza njia ya kupaa hadi kwa kiumbe mkuu aitwaye Brahima au nirvana). Mitazamo hii yotehaimo katika Biblia, ni matokeo ya dini za uongo. Biblia linatufundisha kwamba kuzaliwa upya kiroho hufanyika tuwakati tunapomwamini Yesu kama Bwana na Mwokozi wa maisha yetu wakati tungali hai katika mwili huu.

Uzingativu Spesheli juu ya fundisho la Falme Mbili katika Tamaduni mbali mbali.Jambo lingine la kusisitiza ni kwamba ingawa ulimwenguni kuna falme mbili, falme hizo haziko sawa. Dini za kikabilahusisitiza juu ya kupigana kwa “pepo wazuri,” na “pepo waovu.” Kwa sababu watu huogopa pepo, siku zote wanajaribukuwafurahisha ili wajinufaishe kwa njia fulani, au kuondoa laana waliyowekewa kupitia kwa ulozi. Kulingana namfumo huu wa itikadi, pepo wote wanachukuliwa kuwa katika daraja moja la nguvu. Kutokana na Biblia tunajuakwamba pepo hawa wawe wazuri au wabaya, ni roho zitafutazo kuwafanya watu wawe watumwa ili wawaogope nakuwatumikia badala ya Mungu. Kwa hivyo hivi sivyo tumaanishavyo tunaposema falme mbili. Kumbuka kwamba

Page 60: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 57

“pepo wazuri na wabaya” wote hufanya kazi katika Ufalme wa Giza. Na kwamba hawa pepo wazuri na wabaya wote nipepo (“malaika wa nuru”).

Dini za Mashariki hufundisha kwamba kuna uwiano kati ya nguvu za uzuri na za uovu, Nuru na Giza, au chanya na hasi(ying, yang). Msingi wa mfumo wao wa itikadi ni imani kwamba Mungu ni nguvu. Tunajua kutoka katika Bibliakwamba Mungu ni Mungu mwenye nafsi, na kwamba sifa zake zina hulka ya uadilifu na upendo. Biblia linatufundishakwamba uovu ni matokeo ya kumwasi Mungu na njia zake, na kufuata miungu wa kujitengenezea.

Wakati mwingine ufalme wa giza unaweza kuonekana kama unaoushinda Ufalme wa Nuru kiuzito. Lakini ukweli nikwamba, dhambi, kifo, na Shetani hutawala mioyo ya watu wengi. Hata hivyo tunajifundisha hekima ya utiifu, jinsi yakuenenda katika imani na kumtumaini Mungu, na maana ya kuishi maisha matakatifu kwa kuishi tofauti kabisakimaadili na Ufalme ule wa Giza. Biblia inasema ushuhuda wetu juu ya Yesu hung’aa zaidi wakati tunapokandamizwana hali zinazotuzunguka. Mungu bado ana mamlaka yote juu ya uumbaji, na amewapa watu hiari ya kuchagua kumfuataYeye au kufuata mwili na Shetani. Hajalazimisha watu wamfuate.

Ufalme wa Nuru ni mkuu kuliko Ufalme wa Giza. Falme hizi haziko sawa. Siku ya mwisho, Ufalme wa Shetaniutatupwa katika Ziwa la Moto na Ufalme wa Mungu utapewa utukufu. Tunapaswa kuwafikia wale walio katika Ufalmewa Giza na kuwaleta katika Ufalme wa Nuru hadi siku hiyo ya mwisho. Tukiwa ndani ya matatizo tunawezakujifundisha kuwa kama Mungu zaidi na kuwa na nguvu zaidi katika imani yetu na katika kumtumikia.

Malengo Ya Sura ya 51. Kuwasaidia watu wachanganue kati ya Ufalme wa Giza na Ufalme wa Nuru.2. Kuwasaidia watu wajue wanaishi katika Ufalme upi3. Kutumia sura hii kimahubiri, kuwaandaa watu kwa ajili ya sura ifuatayo juu ya Yesu4. Kufundisha kuwa Ufalme wa Nuru una nguvu kuliko Ufalme wa Giza, na hauko sawa nao.5. Kufundisha tofauti kati ya fasili za kuzaliwa upya za tamaduni za kipagani au dini na ile ya Biblia6. Kuwahimiza waamini waenende katika njia za Bwana.

Sura Zinazohusiana

Sura ya 1: Shetani alitupwa kutoka mbinguni kwa kutaka aabudiwe kama Mungu. Sasa anafanya kazi pamoja na malaikawalioanguka kuwapofusha watu wasione ukweli wa Injili, na kuwaelekeza kwenye uharibifu.

Sura ya 6: Wale waliomkubali Yesu kama Bwana na Mwokozi wao wameingia katika Ufalme wa Nuru. Na sasa pia ni sehemu yafamilia ya Ibrahimu ya kiroho, hivyo basi kuwaunganisha watu bila kujali kabila, taifa, uchumi, kundi, jinsia na kiwakati.

Sura ya 7: Wale walioingia Ufalme wa Nuru kupitia kwa Yesu wamepatanishwa na Mungu na wao kwa wao.

Sura ya 8: Shetani huwaongoza watu kwenye dini za uongo.

Sura ya 9: Yesu ameinuliwa juu ya nguvu zote, mamlaka yote, na falme zote. Kwa wale wamwaminio, Yeye huwainua wakakaanaye juu ya nguvu hizi zote. Kupitia kwa Yesu tuna ushindi katika vita vya kiroho.

Sura ya 10: Kuenenda katika njia za uharibifu ni tabia za wale ambao bado wanaishi katika Ufalme wa Giza.

Sura ya 12: Mwisho wa wakati, watu hao wote wenye uhusiano na Ufalme wa Giza, na pia pepo wachafu na Shetani, watatupwakatika Ziwa la Moto.

Page 61: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 58

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Ufalme wa Giza

Picha na Maelezo Vichwa Vya Masomo, Biblia Hadithi, and Maandiko

Sehemu ya 1: Hakiki Utawala waMungu Wenye Mamlaka juu ya

uumbaji.

Kiti cha Enzi- Mungu ni Mwenyemamlaka/enzi juu ya uumbaji Wake. Vitu vyotevimewekwa chini ya uwezo wa Yesu. Yeye yujuu ya nguvu na falme zote hapa duniani nambinguni.

Vichwa Vya Masomo:1. Hakiki Mamlaka ya Mungu juu ya vitu vyote vionekanavyo na

visivyoonekana (Sura ya 1).2. Juza dhana ya ulimwengu wote kuwa na Falme mbili, Ufalme wa

Giza na Ufalme wa Nuru.3. Anza na Ufalme wa Giza kwa sababu ndio ufalme ambao sisi sote

kimwili tumezaliwa humo.

Sehemu ya 1b: Shetani ndiye Munguwa ulimwengu huu.

Shetani- Shetani ni Mungu wa ulimwengu huu.Anatawala juu ya Ufalme wa Giza. Lakini nguvuzake zina mipaka, kwa kuwa yeye ni kiumbe chakiroho. Mungu anamruhusu awe na athari fulanikatika ulimwengu. Lakini mwisho wa wakati,atatupwa katika Ziwa la Moto pamoja na wafuasiwake wote.

Vichwa Vya Masomo:1. Hakiki Sura ya 1- Shetani na ulimwengu wa roho/pepo.1. Shetani ni Mungu wa ulimwengu huu, lakini nguvu zake zina

mpaka na bado yuko chini ya uwezo wa mwisho wa Mungu. Yeyeni mtawala wa Ufalme wa Giza.

Hadithi*Shetani anamwonyesha Yesu falme zote za ulimwengu na kumjaribu kwa kusema atampatia-Mathayo 4:1-11.Maandiko*Shetani Ndiye Mungu wa Ulimwengu Huu- 2 Wakorintho 4:4. *Mfalme Wa Ulimwengu HuuAtatupwa Nje- Yohana 12:31. *Mfalme wa Ulimwengu Huu Hana Uhusiano Wowote na Yesu-Yohana 14:30. *Mfalme wa Ulimwengu huu Amehukumiwa- Yohana 16:11. *Mfalme waUwezo wa Anga, roho yule atendaye kazi sasa katika wana wa kuasi- Waefeso 2:2.*Dunia yote pia hukaa katika yule mwovu- 1 Yohana 5:19.**Soma Maandiko kutoka Sura ya 1 kuhusu Shetani.

Page 62: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 59

Sehemu 1c: Watu katika Ufalme huuwa giza hutembea Gizani.

Watu wenye mioyo ya giza,waliopofushwa, pepo pamoja nao-inawakilisha wale ambao bado wanaishi katikaUfalme wa Giza. Kila mtu anapozaliwa kimwilihuzaliwa katika ufalme huu. Shetaniamewapofushwa macho yao wasiuone Ukweli waInjili; Bado wanaishi katika dhambi zao;kunawezakuwa na ukabila, fujo, uzinzi, ulafi,n.k.. Hizi ndizo tabia za maisha yao. Hawananguvu yoyote halisi juu ya roho/pepowanaowakandamiza. Watu ambao bado wamokatika Ufalme wa Giza na pepo wotewamewekewa Ziwa la Moto nyakati wa mwisho.

Sehemu ya 1d: Watu katika Ufalmehuu hatima yao ya milele ni Ziwa la

Moto.

Moto- Ziwa la moto ndio hatima ya walewanaomkataa Yesu kama Bwana naMwokozi. Hapa watakuwa mbali na uwepowa Mungu milele.

Vichwa Vya Masomo:1. Kimwili kila mtu amezaliwa katika Ufalme wa Giza.2. Macho yao yamepofushwa hata hawauoni Ukweli wa Injili.3. Shetani anafanya kazi katika maisha ya waasi.4. Maisha yao wanaishi katika tamaa za mwili, kiburi cha uzima, na

vitu vipendezavyo macho.5. Hawana nguvu halisi juu ya pepo wanaowajaribu na

kuwakandamiza.6. Wanafuata dini za uongo.7. Wakati mwingi wanagombana na watu wengine, na huonyesha

ubaguzi na upendeleo, lakini pia wanaweza kujaribu kuishi“maisha mazuri” wakidhani baada ya kufa itawasaidia.

8. Hatima yao ya mwisho ni Ziwa la Moto, pamoja na Shetani napepo.

Watu wanazaliwa kimwili katika Ufalme huuHadithi*Nikodemo anajifunza Jinsi ya Kuzaliwa Mara ya Pili- Yohana 3.

Maandiko*watu wakapenda giza kuliko nuru; kwa maana matendo yao yalikuwa maovu. Maanakila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasijeyakakemewa.- Yohana 3:19-20. *Maana hapo mwanzo mlikuwa Giza-- Waefeso 5:1-21 (v.8-9).

Mioyo na Akili za Watu zimetiwa giza na dhambiMaandiko*Nanyi mlikuwa wafu kwa sababu ya makosa na dhambi zenu; ambazo mliziendeazamani kwa kuifuata kawaida ya ulimwengu huu, na kwa kumfuata mfalme wa uwezowa anga, roho yule atendaye kazi sasa katika wana wa kuasi; ambao zamani, sisi sotenasi tulienenda kati yao, katika tamaa za miili yetu, tulipoyatimiza mapenzi ya mwilina ya nia, tukawa kwa tabia yetu watoto wa hasira… -Waefeso 2:1-3. *…Mataifawametiwa giza katika kuelewa kwao, kwa sababu ya ujinga uliomo ndani yao, na ugumu wamioyo yao. ambao wakiisha kufa ganzi wanajitia katika mambo ya ufisadi wapatekufanyiza kila namna ya uchafu kwa kutamani.- Waefeso 4:17-32. *Atendaye dhambi niwa Ibilisi- 1 Yohana 3:8. . *Tabia za Ufalme wa Giza ni Chuki, Uovu, Husuda, na Uasi - Tito3:3. *Mtu amchukiaye ndugu yake yumo gizani, hamna nuru ndani yake. Giza limempofusha -1 Yohana 2:8-11. *Uhasama dhidi ya Mungu- Mambo ya Walawi 26 (v.21); Warumi 8:7; Col.1:21. *Watu wengine Ni Washari na Wanazuia Injili Isisambazwe- 1 Wathesalonike 2:13-16.

Watu wamepofushwa Wasiuone Ukweli wa InjiliMaandiko*Mungu wa ulimwengu huu amewapofusha watu wasioamini hata hawawezi kumwona Yesu- 2Wakorintho 4:4.

Hatima ya Watu Itakuwa Ziwa la MotoHadithi*Fumbo la Tajiri na Lazaro- Luka 16:19-31. *Yesu Anamponya Mtumishi Wa kamanda waJeshi- Mathayo 8:5-13. *Fumbo la Ngano na Magugu- Mathayo 13:24-51. *Fumbo la Mfalmealiyealika watu Harusini- Mathayo 22:1-14. *Fumbo la Mtini- Mathayo 24:32-51. *Fumbo laWanawali Kumi- Mathayo 25:1-13. *Fumbo la Talanta- Mathayo 25:14-30. *Tofauti ya Kondoona Mbuzi- Mathayo 25:31-46. *Yesu Anawapinga Mafarisayo- Luka 13:17-35. *Hatima yaShetani ni Ziwa la Moto- Ufunuo 20:10.*Wale Ambao Hawamo Katika Kitabu Cha UzimaWatatupwa Katika Ziwa la Moto- Ufunuo 20:10-15.Maandiko*basi, Bwana ajua kuwaokoa watauwa na majaribu, na kuwaweka wasio haki katikahali ya adhabu hata siku ya hukumu;…2 Petro 2:9-10. * Watu wamewekewa kufa maramoja-, na baada ya kufa- hukumu- Waebrania 9:27.

Page 63: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 60

Somo La 2 Ufalme wa Nuru

Sehemu ya 2: Mungu anatawalavyote, na katika mioyo ya wale

wanaoishi katika Ufalme wa Nuru.

Kiti cha Enzi- Mungu ni Mwenyemamlaka/enzi juu ya uumbaji Wake. Vitu vyotevimewekwa chini ya uwezo wa Yesu. Yeye yujuu ya nguvu na falme zote hapa duniani nambinguni.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu anatawala juu ya kila kitu, na katika mioyo ya wale

wanaoishi katika Ufalme wa Nuru.2. Watu wanazaliwa kiroho katika Ufalme huu pale wamukubalipo

Yesu kama Bwana na Mwokozi wao. Uamuzi huu hufanyikawakati wakiwa wako hai hapa duniani.

Sehemu ya 2a: Watu katika UfalmeNuru, huvua utu wao wa kale.

Watu wenye mioyo safi, hawana kiwimachoni mwao- inawakilisha walewaliozaliwa mara ya pili kiroho kwakumwamini Yesu kama Bwana na Mwokoziwao. Macho yao yamefunguliwa kwaUkweli wa Injili; mioyo ya imetakaswadhambi kupitia kifo cha Yesu na kuhuishwana Roho Mtakatifu. Wamekuwa wana wafamilia ya kiroho ya Ibrahimu, nahawapaswi tena kuishi katika mitindo yamaisha ya uharibifu. Wamepatanishwa naMungu na wanadamu. Yesu ana nguvu juuya pepo ambao wanaweza kuwakandamiza.Wakristo wanapokufa hatima yao nimbinguni.

Vichwa Vya Masomo:1. Mtu anapomwamini Yesu kama Bwana na Mwokozi, huhamishwa

katika Ufalme wa Giza na kupelekwa katika Ufalme wa Nuru.2. Roho Mtakatifu humhuisha/humtakasa dhambi zake.3. Shetani hayapofushi macho yao tena kwa ukweli wa Injili.4. Wanaacha njia za zamani, na kuishi katika upya wa maisha

anaowapatia Mungu.5. Hatima yao ya mbeleni baada ya kufa ni kuishi na Yesu huko

Mbinguni.6. Wao huwa sehemu ya famili ya Ibrahimu, na wameunganishwa

katika familia hii kiroho na waumini wengine ulimwenguni kote.7. Hili ni muhimu kwa wale waishio katika jamii ambamo kuwa

Mkristo kunaweza kuwafanya watupwe nje ya jamii au kuteswa.8. Ni muhimu pia mahali ambapo kumekuwa na fujo za kikabila,

kirangi, kiukoo, au aina nyingine ya fujo. Hili ni himizo lakuwaunganisha Wakristo kuvuka mipaka ya kimbari au kikabila.

Tunahamishwa kutoka Ufalme wa Giza hadi Ufalme wa Nuru—tumezaliwa maraya pili kiroho.Hadithi*Nikodemo anajifunza Jinsi ya Kuzalewa Mara ya Pili- Yohana 3. *Yohana Mbatizaji AnatoaUshahidi Kwa Yesu Kama Nuru- Yohana 1. *Ushuhuda wa Paulo kwa Mfalme Agripa- Matendo26. *Misheni ya Yesu ya Kuwatoa vipofu kutoka kwa Giza hadi kwenye Nuru- Yohana 12:36-50.*Mahubiri ya Petro Na watu 3,000 Waliomkubali Yesu kama Bwana na Mwokozi- Matendo 2.*Asikari Jela Anamjua Yesu- Matendo 16. *Misheni ya Paulo kama alivyomsimulia MfalmeAgripa: Kuwafungua Macho Yao ili Waweze Kuacha Giza na waingie Katika Nuru na Kutoka

Page 64: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 61

Sehemu ya 2b: Watu katika Ufalmewa Nuru hatima yao ya milele ni

Mbinguni.

Kundi la watu kule Mbinguni kutokakabila zote, wote wamevaa kanzu nyeupe-Mbinguni ndio mwisho wa walewamwaminio Yesu kama Bwana naMwokozi . Watu huko mbinguni ndio wingukubwa la mashahidi lililosemwa katikaWaebrania 12:1-3 (Wakristo ambao wamekufatayari). Wao ni wana wa kiroho wa Ibrahimu—yaan, wale ambao wamemkubali Yesu kamaBwana na Mwokozi wao. Sote tunapomwaminiYesu tunakuwa watu wa familia ya Ibrahimu.

kwa Utawala Wa Shetani hadi Utawala Wa Mungu, Ili wapate Kupokea Msamaha Wa Dhambina Urithi kati ya Wale Ambao Wametakaswa kwa Imani Ndani Yangu- Matendo 26 (v.18).*Ushuhuda wa Paulo- Wagalatia 1:13-24.Maandiko*Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme waMwana wa pendo lake, ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wadhambi.- Kol. 1:13-14. *Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizanimkaingie katika nuru yake ya ajabu. ninyi mliokuwa kwanza si taifa, bali sasa ni taifala Mungu…- 1 Petro 2:9-10. *Kwa kuwa Giza Linapita na Ile Nuru ya Kweli ImekwishaKung'aa.- 1 Yohana 2:8 (kiroho); Mwanzo 1:2-3 (Kimwili); Kwa kuwa Mungu, aliyesema,Nuru itang'aa toka gizani, ndiye aliyeng'aa mioyoni mwetu, atupe nuru ya elimu yautukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo- 2 Wakorintho 4:6. *Watu wale waliokaakatika giza Wameona mwanga mkuu,Nao waliokaa katika nchi na uvuli wa mautiMwanga umewazukia. Tokea wakati huo Yesu alianza kuhubiri, na kusema, Tubuni;kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.- Mathayo 4:14-17. *Yesu ni nuru yaulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe- Yohana 8:12. *Maadamu mnayonuru, iaminini nuru hiyo, ili mpate kuwa wana wa nuru- Yohana 12:36.

Maandiko Yanaendelea:Vueni namna ya maisha yenu ya awali, ishini ili mwe kama Yesu.Maandiko*Tubuni na mmwelekee Mungu, mkiyatenda matendo yanayopatana na kutubu kwenu - Matendo 26:20. *Mlivua kwa habari ya mwenendowa kwanza utu wa zamani, unaoharibika kwa kuzifuata tamaa zenye kudanganya ; na mfanywe wapya katika roho ya nia zenu; mkavaeutu mpya, ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli….vueni uongo; Mwe na hasira, ila msitende dhambi;msiibe, Neno lo lote lililo ovu lisitoke vinywani mwenu, msimhuzunishe Roho Mtakatifu…Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelelena matukano yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya. tena iweni wafadhili ninyi kwa ninyi, wenye huruma, mkasameheane,mwigizeni Mungu; enendeni katika upendo; tunda la haki ni wema, uadilifu, na ukweli, mkichanganua yale yampendezayo Bwana…Msihusike na namatendo ya Giza yasiyo faida, bali yafunueni….-Waefeso 4:17-5:14. *Tukitembea kwenye nuru, tunashirikiana- 1 Yohana 1:7. *Ampendaye nduguyake anatembea katika nuru- 1 Yohana 2:5-11. *Tunda la Roho maishani mwetu ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, fadhili, utu wema, uaminifu,upole, na kiasi- Wagalatia 5:22-26.

Watu Sasa ni Uzao Wa IbrahimuMaandiko*Paulo Anatufundisha kuwa Kwa Imani Sisi ni Wana/Uzao wa Ibrahimu Imani- Wagalatia 3:1-18; Warumi 4. *Ahadi ya Mungu Kwa Ibrahimu-Mwanzo 12:1-3; 15:4-6. *Mungu Anawasaidia Wana wa Ibrahimu- Waebrania 2:16. *Sisi ni Raia pamoja na Watu wa Mungu, Tuliojengwa Juu yaMsingi Mmoja, Tulijengwa Tuwe Makao Matakatifu Ya Mungu- Waefeso 2:18-22. *Imani Moja, Bwana Mmoja, Ubatizo Mmoja, Mungu Mmoja NaBaba Wa Wote- Waefeso 4:4-5. *Wingu La Mashahidi (watu wa imani waliokufa) limewazunguka waadilifu; Lakini tumtazame Yesu sio wao-Waebrania 12:1-3.

Watu Sasa Wananguvu Juu Ya Pepo Kupitia Kwa YesuMaandiko*Vita Vya Kiroho- Waefeso 6:10-18. *Yesu Alikuja Kuharibu Kazi Za Shetani- 1 Yohana 3:8. *Yesu Ameinuliwa Juu Ya Nguvu Zote- Waefeso 1:20-23. *Yesu Anatuinua Pamoja Naye- Waefeso 2:1-7. **Tazama Sura ya 9 juu ya kukua kiroho na vita vya kiroho.

Hatima ya Watu Itakuwa Ni Kuishi Na Yesu MbinguniMaandiko*Yesu Anatuandalia Mahali Tukaishi Naye- Yohana 14:1-4. *Hema Letu la Hapa Duniani Likivunjwa, Tuna Jengo Kutoka Kwa Mungu Mbinguni- 2Wakorintho 5:1-9. *Sisi ni raia wa Mbinguni- Philip. 3:18-21. *Msilie kama Ulimwengu uliavyo, Tutaishi Na Yesu Milele- 1 Wathesalonike 4:13-18.*Fumbo la Lazaro Na Tajiri- Luka 16:19-31. *Imani Ya Waamini Katika Makao Ya Mbeleni, Mji, Mbinguni- Waebrania 11:8-10; 14-16. *PauloAnashuhudia Hamu Yake Ya Kuondoka na Kuwa na Yesu- Wafilipi. 1:19-30. *Mji Mtakatifu Wa Yerusalemu- Ufunuo 21-22.

Page 65: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 62

Jibu Picho IliyorashsishWa kwa ajili ya Sura ya 6

Page 66: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 63

Jibu Picha Iliyorahisishwa kwa ajili ya Sura ya 6

Page 67: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 64

Sura ya 6 Yesu Ndiye Jibu

Maelezo ya Jumla

Kielezo cha 6 ni ionekanayo ya ushuhuda wa Yesu ni nani katikaMaandiko yote, na jinsi tuwezavyo kumjua na kumtumikia Yesukibinafsi. Lakini Sura hii inaweza kutumiwa katika njia nyingi mbalimbali kuwaelimisha waamini au kutumiwa kama kifaa cha uinjilisti.Hapo chini kuna orodha ya baadhi ya njia tofauti unazotaka kutumiakufundisha Sura hii. Kuna safu tatu katika picha hii. Mpango wa pichaumeanzia juu upande wa kushoto wa ukurasa, kwenda chini moja kwamoja, halafu kuanzia juu ya safu ya katikati, kwenda chini moja kwamoja, na kisha safu ya mwisho juu upande wa kulia, na kwenda chinihadi picha ya mwisho- chini kulia. Picha ni kama zifuatavyo : 1. Adamuwa kwanza alileta dhambi na kifo. Adamu wa pili akaleta uzima naamani; 2. Mungu alitupatia sheria ili atuonyeshe yaleyampendezayo. Lakini pia, sheria imetuonyesha jinsi tulivyotendadhambi, na kwamba sote tumefungwa na dhambi. Hii inatuelekezakutambua kwamba tunahitaji Mwokozi. 3. Yesu alikuwa sadaka kwaajili ya dhambi zetu na pia Kuhani Mkuu Sana aliyetuombea. Piatumia picha ya Yesu aliyekaa katika kiti cha enzi kuzungumzia unabiiwa Agano la Kale unaohusiana na kuja kwa kuhani/mfalme/nabii 4.Yesu alikuwa Mungu na mtu. 5. Yesu ndiye Mchungaji Mwema-njia pekee ya kumfikia Mungu. 6. Yesu alikuja kuponya mioyoiliyovunjika na kuweka huru mateka. Kwa kuwa alituumba anaweza

kutuponya majeraha yote, na kututakasa na dhambi mbaya ya zote. 7. Yesu alipokufa kwa ajili ya dhambi zetu,Alishinda dhambi, kifo, na Shetani 8. Yesu ni Bwana. Picha hii inatuonyesha jinsi tunavyoweza kumkubali Yesukama Bwana wa maisha yetu. 9. Hutufanya viumbe vipya. Aliumba ulimwengu, na sasa anatuumba upya kiroho. 10.Tumekuwa sehemu ya familia ya Ibrahimu. Tumeunganishwa pamoja ulimwenguni kote, bila kujali lugha, umri,jinsia, kabila, taifa, na koo za watu. 11. Yeye ni mzabibu, sisi ni matawi. Picha hii inatumiwa kufundishia jinsitunapaswa kukaa ndani ya Yesu na kukua kama waamini 12. Yesu atarudi tena mawinguni siku moja. Watu wotewatamwona. Tumia fundisho hili kumwonya mtu yeyote anayedai ati ni Yesu hapa duniani.

Njia za Kufundishia Sura hii:Sura hii inaweza kufundishwa yote mara mmoja, lakini inaweza kufundishwa vizuri zaidi kwa mda mrefu na kwakurudiarudia mara nyingi1. Njia ya Kupitia kirahisi. Tumia maelezo ya jumla hapo juu kufundisha picha kuu ya Sura hii.2. Njia ya Mada. Chukua sehemu zote kuu za somo hili na uzifundishe kila moja kivyake kwa mda. Hii ndiyo njia ya

kina zaidi kufundishia.a. Njia ya Maswali Muhimu ya Maisha: Hii ni njia nzuri ya kujulishia somo. Baada ya kutaja maswali haya,

unaweza kuanza kufundisha masomo.i. Kwa nini kuna uovu na mateso ulimwenguni? (Pointi 1a and 1b)

ii. Ni nani awezaye kuponya mioyo iliyovunjika na kuwaweka watumwa huru? (Pointi 2d)iii. Suluhisho la ukabila ni nini? (Pointi 3d)iv. Dhambi, kifo, na Shetani hushindwa namna gani? (Pointi 3a)

b. Njia ya Yesu ni nani? [Biblia inasema Yesu ni nani, na halafu tunawezaje kutumia mafundisho hayakutambua waalimu na manabii wa uongo ambao wanaweza kudai kwamba wao ni Yesu. Unaweza kupendakutumia njia hii ikiwa unasaidia waamini kufahamu njia Biblia inavyomweleza Yesu au kama unafundishawasioamini kuhusu Yesu.]

i. Yesu ni Adamu wa pili. Adamu wa kwanza alileta dhambi na kifo. Adamu wa pili akaleta uzima naamani (pointi 1a).

Page 68: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 65

ii. Yesu ni sadaka kamilifu kwa ajili ya dhambi na pia ndiye Kuhani Mkuu Mkamilifu (pointi 2a). Yeyealitimiza unabii wa Agano la Kale. Alikuwa Nabii, Kuhani, na Mfalme/Masihi.

iii. Yesu alikuwa Mungu na mtu (pointi 2b).iv. Yesu ndiye Mchungaji Mwema: njia ya pekee ya kumjua Mungu kibinafsi (pointi 2c).v. Yesu anaweza kuponya mioyo iliyovunjika na kuweka huru mateka(pointi 2d).

vi. Yesu alikuja kuvunja nguvu za Shetani, dhambi, na kifo (pointi 3a).vii. Yesu ni Bwana na Mwokozi (pointi 3b). Alitoka katika ukoo wa Daudi. Yeye ndiye ambaye angekaa

juu ya kiti cha enzi milele. Sehemu hii pia inajumuisha marejeo ya jinsi Yesu alivyotuonyesha yeyealikuwa nani, yaani, nguvu Zake juu ya maumbile, nguvu Zake juu ya ulimwengu wa kiroho, nguvuZake juu ya magonjwa, na nguvu Zake juu ya kifo, kutimia kwa unabii wa Agano la Kale

viii. Vitu vyote vionekanavyo viliumbwa kupitia kwa Yesu, na tunafanyika viumbe vipya kwa kumwaminiYesu.

ix. Yesu anatuunganisha sote katika familia yetu ya kiroho (pointi 3d).x. Yesu ndiye Alfa na Omega. Siku moja atarudi mawinguni (pointi 4b).

3. Njia ya Kina/Utondoti. Soma na ufundishe kila somo kwa kina.4. Njia ya Mahubiri.

a. Mashaka ya mwanadamu: dhambi, kifo, Shetani, na kutengwa na Mungu (pointi 1a; 1b).b. Suluhisho la Mungu (pointi 2a; 2b; 2c; 2d).c. Kuzaliwa Upya: Imani katika Yesu huleta maisha mapya (pointi 3a; 3b; 3c; 3d).d. Kukaa ndani ya Yesu: Kaa ndani ya Yesu na kutimiza Mwito Mkuu (pointi 4a; 4b).

5. Njia ya Mwamini Mkomaavu. Weka msisitizo juu ya jinsi ya kulea uhusiano wako na Yesu (Pointi 4a & b), aukwa kusoma kila picha tofauti juu ya Yesu ndani ya Biblia. Utaongeza ufahamu wako wa jinsi Yesu ndiye jibu waugumu wote wa maisha.

a. Njia ya jinsi ya Kukaa ndani ya Yesu. Hii inaweka msisitizo juu ya somo la 4 peke yake (Msisitizo juu yaPointi 4a na 4b). Unaweza kupima ukomaavu wa waumini wako kwa kuona ni watu wangapi kati ya watuwako wanaofanya mambo yafuatayo. Viongozi lazima wawatie moyo waamini siku zote ili wapate kukuakatika maeneo haya yote yaliyoorodheshwa hapo chini.

i. Kwa wakati wa kibinafsi katika Neno la Mungu.ii. Kwa wakati binafsi katika maombi.

iii. Kwa kuabudu pamoja na wengine, vikundi vidogo vya mafundisho ya Biblia, na uanafunzi.iv. Kwa kutumia vipawa vya kiroho pamoja katika kanisa lako kupitia huduma mbalimbali.v. Kwa kuambia wengine imani yao nje ya kanisa kupitia kwa uinjilisti wa kibinafsi au misheni.

vi. Tunapaswa kufanya mambo haya mpaka Yesu arudi.b. Njia ya Masuala ya wakati huu. Siku zote ni muhimu kujihusisha na matukio ya wakati huu, hali za maisha,

ugumu, na mahitaji ya mafundisho yako ili waumini wako wanaweza kuona jinsi ukweli wa Munguunavyolea, kutuliza, na kuwapa tumaini na amani katika hali zote za maisha. Kulinganisha matumizi yamaandiko katika maisha na kila picha ni muhimu unapofunza watu wengine sura hii.

c. Njia ya Picha za Yesu . Chunguza kila picha ya Yesu iliyoelezewa katika fundisho hili. Itawaongezeawaamini ufahamu wa mafundisho ya Biblia na kusaidia kuongeza imani yao katika nyakati ngumu.

Malengo Ya Sura ya 6

1. Kutusaidia kuelewa kwa nini kuna mateso, uovu, na kifo ulimwenguni na jibu la Mungu kwa masuala haya.2. Kutusaidia kuelewa jukumu na kusudi la Sheria na jinsi Sheria inavyotuongoza kwenye uhusiano na Kristo.3. Kutusaidia kuelewa ukamilifu wa sadaka ya Yesu ya kulipia dhambi zetu na kazi yake kama Kuhani Mkuu ya

kutuleta katika uhusiano na Mungu.4. Kumtambua Yesu kama sura (mfano) ya Mungu asiyeonekana, na uwakilishi sahihi wa Asili Yake aliyekuja

duniani katika umbo la mwanadamu.5. Kuelewa Yesu ndiye njia pekee ya Mbinguni, na kwamba huwahifadhi walio wake kweli milele na milele.6. Kuelewa jinsi Yesu atimizavyo unabii wa Agano la Kale juu ya Masihi/Mwokozi ajaye ambaye angeponya

mioyo iliyovunjika na kuwaweka huru mateka.7. Kutusaidia kuelewa Yesu alikuja kuharibu kazi za Shetani, dhambi na kifo.8. Kutufundisha uhusiano wa Yesu na waamini ni kuwa awe Bwana na Mwokozi.9. Kutufundisha sisi ni viumbe vipya, hatuishi tena katika njia za ulimwengu.

Page 69: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 66

10. Kutufundisha kuwa sote ni sehemu ya familia moja katika Yesu, kwa hivyo tusihusike tena na ukabila, ubaguzi,kugawanyana kikabila kwa ulimwengu huu.

11. Kutufundisha jinsi ya kudumu katika kuungana na Yesu na siku zote tukikua na kufanana naye zaidi kibinafsi nakatika mwili wa Kristo.

12. Kutufundisha kuwa wainjilisti na wanafunzi wa Mwito Mkuu, na kutazamia kurudi kwa Bwana.

Sura Zinazohusiana

Sura ya 1: Yesu ni sehemu ya Utatu.

Sura ya 3: Mungu anawasiliana nasi kupitia kwa Mwanawe.

Sura ya 8: Dini za Uongo hupotosha mafundisho kuhusu uungu wa Yesu.

Sura ya 5: Kupitia kwa Yesu tunaingia katika Ufalme wa Nuru.

Sura ya 7: Yesu ni mfano wetu wa upendo na sadaka kuwaleta watu katika uhusiano na Mungu na watu wengine.

Sura ya 9: Yesu ndiye atupatiaye ushindi katika vita vya kiroho. Ameinuliwa juu ya nguvu zote, falme, na mamlaka. Yeye nimchungaji wetu, na yeye ndiye aturudiye. Wakati mwingine tunateseka kwa sababu ya dhambi za watu wengine, kama vile Yesualivyoteseka tu kwa ajili ya dhambi zetu.

Sura ya 12: Yesu siku moja atarudi duniani kuwalipa wale waliobaki katika Ufalme wa Giza, na wokovu kwa wale wamfuataokama Bwana na Mwokozi.

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Dhambi, Kifo, Shetani, na Kutenganishwa na Mungu

Picha na Maelezo Vichwa Vya Masomo, Biblia Hadithi, and Maandiko

Sehemu ya 1a: Adamu waKwanza alileta kifo na Adamu

wa Pili alileta uzima

Moyo Mweusi na Moyo Mweupe- MoyoMweusi- moyo uliojaa dhambi. Adamualileta kifo cha mwili na kututenganishana Mungu alipoasi amri ya Mungu. Sotetumemwasi Mungu, na tuna mioyoiliyojaa dhambi. Moyo mweupe- nimoyo uliotakaswa au kuhuishwa. Yesuanajulikana kama Adamu wa pili. Adamuwa kwanza alileta dhambi na mauti,Adamu wa pili alileta msamaha na uzima.*Shetani ndiye aliyemjaribu Adamu na

Vichwa Vya Masomo:1. Dhambi ni kumwasi Mungu.2. Dhambi hututenganisha na Mungu.3. Dhambi huleta mauti.4. Dhambi iliingia ulimwenguni Adamu na Hawa walipochagua kumwasi

Mungu katika bustani ya Edeni.5. Yesu alikuja kama Adamu wa pili, aletaye msamaha na uzima.

Hadithi*Kisa cha Adamu na Hawa- Mwanzo 3. * tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi chauzima —1 Yohana 2:15-17. *” Maana ninachotaka kwenu ni upendo na si dhabihu, kumjuaMungu na si kutoa sadaka . Lakini mlilivunja agano langu kama alivyofanya Adamu;walinivunjia uaminifu - Hosea 6:6-7. * Ayubu anasema, “Je nimeyafunika makosa yangukama Adamu, kwa kuzificha dhambi zangu moyoni mwangu?”- Ayubu 31:33-34.

Maandiko*Moyo wa Mwanadamu ni Mwovu Tangu ujana wake- Mwanzo 8:21. * Wote wametenda dhambina kupungukiwa na utukufu wa Mungu - Warumi 3:23. * Mshahara wa dhambi ni mauti -Warumi 6:23. * Adamu wa kwanza alileta dhambi na mauti - 1 Wakorintho 15:21-22,45-49;Warumi 5:14-21. *Dhambi ni nini?- Wagalatia 5:19-21; Kutoka 20:1-17. *Dhambi Hututenganisha naMungu- Isaya 59:1-8. * Tumezaliwa katika Dhambi - Zaburi 51:5. * Tamaa Huzaa DhambiNdani Yetu - Yakobo 1:15.

Page 70: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 67

Hawa katika bustani ya Edeni. Wakatihuo, Mungu alimwambia kuwa siku mojakutakuja Mtu atakayevunja kichwa chake.

Sehemu ya 1b: Sheria Ililetaujuzi wa dhambi, na

ikatuongoza kutambua kuwatunahitaji Mwokozi.

Vibao vyenye Amri kumi/jela namsalaba- Mungu alitupatia sheria zakimaadili (tazama Sura ya 4) ili tujue jinsiya kuishi katika utangamano na Yeye nawatu wengine. Sheria hizi hazikutuokoaau kututakasa, bali zilituonyesha yaleyampendezayo Mungu, na kwamba sisi niwenye dhambi. Jela- Dhambihututenganisha na Mungu mtakatifuna kutufunga sote katika hukumu yakifo. Msalaba-Lakini, Mungu ametoanjia ya ukombozi au wokovu kwakumwamini Yesu.

Vichwa Vya Masomo:1. Sheria ni Takatifu. Inaonyesha hulka ya Mungu ya kimaadili.2. Mungu alitupatia Sheria, sio atufanye waadilifu, bali atuonyeshe

kinachompendeza Yeye.3. Katika Agano Jipya inajulikana kama Sheria ya Dhambi na Kifo kwa

sababu inatufunulia kwamba tumefanya dhambi, na dhambi hutuleteakifo.

4. Kama tutakavyosoma baadaye, Yesu alikufa msalabani kwa ajili yadhambi zetu ili tupate uzima wa milele na Mungu

5. Sheria ni mwalimu wetu itusaidie kutambua tunamhitaji Yesu kamaBwana na Mwokozi wetu.

6. Yesu hakuja kuondoa Sheria, bali alikuja kuikomaza.**Hakiki Sura ya 4 juu ya Amri za Mungu zinapohitajika.

Hadithi*Yesu alikuja kuikomaza au kuitimiza Sheria- Mathayo 5:17-18.

Maandiko*Uhusiano wetu na Yesu haupatikani kupitia Sheria; Sote tumefungwa na Sheria chini ya dhambi;Sheria ni mwalimu wetu wa kutuleta kwa Yesu - Wagalatia 3. *Hakuna atakayefanywa mwenye hakikupitia Sheria; Sheria inamfanya kila mtu amwajibikie Mungu - Warumi 3:19-21; Wagalatia 2:16;Wagalatia 5:4. *Tunaokolewa kwa imani, Sheria huleta ghadhabu- Warumi 4:14-16. *Hatuko chiniya Sheria, bali chini ya neema…lakini hatuwezi kuendelea kufanya dhambi- Warumi 6:14-23.*Sheria ni takatifu, lakini ndani ya watu huwajaribu wafanye dhambi- Warumi 7. *Nguvu ya dhambini Sheria- 1 Wakorintho 15:56. *Mtu avunjaye amri moja, huwa amezivunja zote- Yakobo 2:10.*Sheria imeandikwa mioyoni mwetu- Warumi 2. *Yesu ametuweka huru kutoka kwa Sheria yaDhambi na mauti- Warumi 8:2.

Somo La 2 Suluhisho La Mungu

Sehemu ya 2a: Mungu’sSolution to Sin- Yesu AlikuwaDhabihu Kamilifu Na KuhaniMkuu Asiye Kasoro. Alitulipiadhambi zetu.

Sadaka na Kuhani Mkuu- Yesu alikuwasadaka kamilifu na Kuhani Mkuu Asiye

Vichwa Vya Masomo:1. Katika Sura ya 4 tulijifunza juu ya sadaka za kidini zilizotolewa kwa

Mungu kwa ajili ya kusamehewa dhambi.2. Sadaka hizi zilitowa kila mwaka, na zilikuwa na mpaka kwa sababu

hazingeweza kuendelea kuondoa dhambi za watu3. Pia tulijifunza kuwa Yesu alitimiza sadaka za kidini alipokufa mara

moja tu pale msalabani kwa ajili ya dhambi zetu4. Yesu alikuwa sadaka kamilifu kwa sababu alikuwa hana dhambi, na

sadaka yake ilikuwa ya wakati wote5. Siku za Agano la Kale, kuhani mkuu alitoa sadaka kwa ajili ya

dhambi za watu.6. Makuhani hawa wakuu walipaswa kutoa sadaka kwa ajili ya dhambi

zao kwanza, ili wawe wasafi na watoe sadaka kwa niaba ya watu7. Yesu hakuwa na dhambi, kwa hivyo yeye ni Kuhani Mkuu Asiye na

Kasoro.8. Yesu alipofufuliwa kutoka kwa wafu, alipaa Mbinguni kwenda kutoa

damu yake mwenyewe kama kitoshelezo cha dhambi zetuHadithi

Page 71: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 68

na Kasoro aliyeingia Mbinguni na kutoadamu yake mwenyewe kama malipo yadhambi zetu.

*Chakula cha jioni cha mwisho kwa Yesu- Mathayo 26:17-30. *Kufa na kufufuka kwa Yesu- Yohana19-20; Luka 22; Mathayo 28. *Mtumishi wa Kuteseka- Isaya 53. *Gabrieli anampa Daniel Ufahamukwa kumwambia juu ya upatanisho wa Masihi- Daniel 9 (v. 24-27: Tambua kwamba KihistoriaWakati Huu Ndio Unaoonyesha Mwaka Ule Aliosulubishwa Yesu).Maandiko* Yesu Kama Kuhani Wetu Mkuu Na Dhabihu - Waebrania 7:23-28; Waebrania 9-10. * Kwa MaanaKristo Mwenyewe Alikufa Kwa Ajili Ya Dhambi Zenu; Alikufa Mara Moja Tu Na Ikatosha, MtuMwema Kwa Ajili Ya Waovu, Ili Awapeleke Nyinyi Kwa Mungu - 1 Petro 3:18-20. *Yesu alitufia ilituweze kumwishia Mungu - Warumi 6:10-13. *Damu ya Yesu hutakasa dhamiri zetu kutoka kwa kazimbovu ili tumtumikie Mungu Aliye hai - Waebrania 9:13-14; Hesabu 19.

Sehemu ya 2b: Yesu aliwezajekuwa bila dhambi? Yeye

alikuwa Mungu tena alikuwamwanadamu.

Mungu na mwanadamu- Mtu pekeeambaye angeweza kuja kusaidiawanadamu katika mashaka yao yadhambi, alikuwa ni Mungu ajeduniani kama mwanadamu . Waandishiwa Agano la Kale walivitabiri; Kazi zaYesu, maneno, na wanafunziwalimshuhudia Yeye ni nani; na waaminimiaka hii yote wamemshuhudia.

Jua: Waislamu wanasema kwamba kunasehemu tatu za Mungu: Mungu, RohoWake; na Neno Lake….na Bibliainasema, Neno lilikuwa mwili!

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu ni Mfano wa Mungu asiyeonekana.2. Yesu ni muali wa Utukufu Wake, na uwakilishi sahihi wa Hulka Yake.3. Yesu alikuwa Neno la Mungu lililokuwa mwili.4. Yesu alisema Yeye na Baba ni kitu kimoja. Alijitambulisha na Jina,

“Niliyeko.” Hili ndilo jina ambalo Mungu alimwambia Musa.

Hadithi* Malaika Anatangaza kwa Mariamu Kwamba Atamzaa Mwokozi - Luka 1. * Yesu Alijiita kama“Mimi Niko”- Yohana 8:58; Kutoka 3:14. * Yesu Anasema Yeye ni Sawa Na Mungu - Yohana 5:18-27. *Ungamo la Petro- Mathayo 16:15-17. *Mungu anamwita Mwanawe- Mathayo 17:5. *YesuMahakamani Mbele ya Kuhani Mkuu- Mathayo 26:57-65. *Ungamo la Tomaso- Yohana 20:28.*Mwito Mkuu- Mathayo 28:19-20.

Maandiko* Maana Mtoto Amezaliwa Kwa Ajili Yetu, Tumepewa Mtoto Wa Kiume; Naye Atapewa MamlakaYa Kutawala; Ataitwa Mshauri Wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu, Baba Wa Milele, Mfalme WaAmani - Isaya 9:6. * Bwana Ndiye Haki Yetu - Yeremia 23:5-6. * Immanuel, Mungu PamojaNasi - Isaya 7:14; Mathayo 1:23. * Yesu Ni Mungu, Alifanyika Mwili; Muumba - Yohana 1:1-14. *Yesu anasema Kazi Zake Zinamshuhudia Yeye ni Nani; na Anasema, “Mimi na Baba TukituKimoja”- Yohana 10:24-42. *Yesu alisema, “Kama umeniona mimi, umemuona Baba”- Yohana14:6-13. *Yeye yu katikati yetu tuombapo katika Jina Lake - Mathayo 18:19-20.*Anakaa ndani ya waamini- Kol. 1:27. * Yesu Ndiye Mfano Wa Mungu Asiyeonekana; Na AliumbaVitu Vyote Kwa Ajili Yake (Enzi Zote, Mamlaka, n.k)- Kol. 1:15-20. * Yeye Ni Mng’ao Wa UtukufuWa Mungu Na Mfano Kamili Wa Hali Ya Mungu Mwenyewe - Waebrania 1:1-14. *MunguAnamwita Mungu- Ufunuo 1:17; 22:13. *Tutaliitia Jina La Bwana- Zaburi 116:4; 1 Wakorintho 1:2.*Ndani Yake Kuna Uungu Kamili- Kol. 2:8-10. *Yesu Anaitwa Mungu Na Mwokozi- Tito 2:13.

Sehemu ya 2c: Yesu ndiye njiapekee ya kumjua Mungu.

Mchungaji-Katika Yohana 10, Yesuanatumia mfano wa Mchungajikufundisha juu ya uhusiano wake na watuWake (kondoo). Kuna vipengele viwilivya uhusiano Wake ambavyo anatoakatika mfano huu. Kimoja ni uhusiano wa

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu ndiye Njia, Kweli, na Uzima. Mtu haji kwa Baba ila kwa kupitia

Kwake.2. Hakuna jina lingine tulilopewa chini ya Mbingu ambalo kwalo

tunaweza kuokolewa.3. Yesu ndiye Mchungaji Mwema na Kondoo Wake humfuata Yeye peke

yake.4. Yesu ndiye mlango wa kondoo.5. Yesu anawatunza kondoo Wake. Hakuna mtu awezaye kuwanyakua

kutoka kwa mkono wa Mungu

Hadithi*Yesu ndiye Mchungaji Mwema- Yohana 10. *Ezekieli anaelezea wachungaji wazuri na wabaya waIsraeli- Ez. 34.*Kujitetea kwa Petro Kwa Kuhubiri Injili: Yesu Ndiye Njia Pekee ya Kwenda Mbinguni- Matendo4:1-12 (V. 12).Maandiko* Hakuna jina lingine walilopewa wanadamu ambalo kwalo wanaweza kuokolewa -Matendo 4:12. * Mtu yeyote akihubiri Injili nyingine, ni alaaniwe - Wagalatia 1:1-12. *Kunahitaji la kumwamini Yesu kibinafsi ili upate kuokolewa- Yohana 1:10-13; 3:36. *Yesu ndiye njia,

Page 72: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 69

kipekee tunaopaswa kuwa nao na Yeye.Kuna njia moja tu ya kumwendea Mungu,na zizi moja tu. Yeye ndiye njia yakumfikia Mungu. Njia nyingine ambayoYesu alitumia mfano huu ni kulinganishajinsi anavyowalinda na kuwajali watuwake kama mchungaji mwemaafanyiavyo kondoo wake.

kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila apitie Kwake- Yohana 14:6.

Sehemu ya 2d: Yesu anawezakuponya mioyo iliyovunjika nakuwaweka huru mateka (Yesu).

Moyo uliovunjika/Mateka- moyouliofungwa bandeji- Dhambi huletauhasama kati ya watu na kati ya watu naMungu. Tunaumizwa na dhambi zetuwenyewe, na tunaumizwa na dhambi zawengine. Juu ya maumivu haya, mwishokabisa dhambi huleta kifo na uharibifukwa maisha yetu. Lakini Yesu anawezakuponya mioyo iliyovunjika kwa sababuYeye ndiye aliyeumba mioyo yawanadamu. Mikono iliyofungwaminyororo- mateka, au wafungwa. Waleambao ni mateka au wamo jela wanawezakuwekwa huru kutoka kwa dhambi zao namatokeo ya dhambi kupitia kwa Yesu.Yesu anaweza kuwasamehe wenyedhambi wabaya zaidi. AlimsamehePaulo, aliyekuwa anaua waamini. AlimpaPaulo huduma na shabaha mpya katikamaisha.

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu huponya waliovunjika mioyo. Alituumba.2. Yesu huwaweka huru mateka (waliokandamizwa); na huwaweka huru

wale waliolemewa na mzigo wa dhambi na hatia.

Hadithi* Unabii kumhusu Yesu, atawaletea habari njema watu wanaoteswa, kufunika vidonda vyawaliovunjika moyo, kutangaza uhuru kwa mateka na wafungwa - Isaya 61:1-3; Mathayo 11:1-5; Luka 4:14-27; 8:1. *Unabii kuhusu Yesu, Mwanzi uliopondeka hatauvunja - Isaya 42:3.Ushuhuda wa Paulo- Matendo 9; Wagalatia 1:11-2:10; Matendo 26:12-23.Maandiko*Huihuisha nafsi yangu- Zaburi 23. *Uponyaji Kamili uko Mbinguni, hakuna maumivu tena, kulia,huzuni- Isaya 25:8; Ufunuo 21:4.

Somo La 3 Kumwamini Yesu Huleta Maisha Mapya

Sehemu ya 3a: Yesu kuvunjanguvu za Shetani na za kifo.

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu alikuja kuharibu kazi za Shetani, na lutuokoa kutoka kwa nguvu

za kifo.2. Yesu alikuja kutimiza unabii uliopewa Hawa, kwamba kungekuja

mmoja kuvunja kichwa cha Shetani3. Kifo cha Yesu msalabani kiliwapokonya pepo nguvu.4. Mungu alimfufua Yesu kutoka kwa wafu, na kumweka juu ya nguvu

zote, falme, na mamlaka mbinguni na duniani.5. Kama vile Yesu alivyofufuliwa kutoka kwa wafu, siku moja sisi pia

tutafufuliwa tuingie Uzima wa milele.Hadithi* Unabii wa Kwanza Juu Ya Yesu, mmoja ajaye ambaye angemponda kichwa Shetani - Mwanzo3:14-15. * Hatima ya Shetani Ni Ziwa La Moto - Ufunuo 20:10. * Yesu Ana Uwezo Juu Ya Pepo -Mathayo 8:16; 9:32-38; 17:14-21; Marko 7:26-30; Luka 4:33-41. * Yesu Anamponya Mtu Aliyekuwana Pepo Wengi - Marko 5:1-20.

Page 73: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 70

Nyoka aliyekatwa na msitari katikatiyake-*Mungu aliwafunulia Adamu na Hawakwamba siku moja uzao wake (Yesu)utamponda kichwa.*Yesu alipokufa msalabani na kufufuka

kutoka kwa wafu, alimshinda Shetani,dhambi na kifo.*Yesu sasa amekaa juu sana ya watawalana mamlaka yote. Ni kupitia kwa Yesundipo tunaweza kuwa washindi katikaukandamizaji wa kiroho kutoka kwa adui.*One day, He will raise us from the deadto live with Him.

Maandiko* Nguvu za Mungu ni kuu kwa wale wanaomwamini - Waefeso 1:19; 2:6. * Yesu Alikuja kuziharibukazi za Shetani - 1 Yohana 3:8. * Kifo Chake Kiliwapokonya Nguvu Pepo -Kol. 2:15; Waebrania2:14-15. * Yesu Ameinuliwa Juu Ya Nguvu Zote Duniani Na Mbinguni - Waefeso 1:20-23; 2:6-7. *Ambaye alikwenda mbinguni na sasa amekaa upande wa kulia wa Mungu, anatawala juu ya malaika,wakuu na wenye enzi - 1 Petro 3:22. *Nguvu za Yesu Juu Ya Kifo - Warumi 5:12-21. *YesuAmeshikilia Funguo za Kifo na Kuzimu- Ufunuo 1:18. *Yesu Alikuja ili Ashinde Kifo- 1 Yohana3:5; 1 Wakorintho 15:24-28. *Umuhimu wa Kufufuka kwa Yesu- 1 Wakorintho 15. *Mungu waamani atamponda Shetani chini ya nyayo zako bila kukawia- Warumi 16:20.

Sehemu ya 3b: Mtu anawezajekuingia katika uhusiano na

Mungu? Kwa kumwamini Yesukama Bwana na Mwokozi

wako.

Bwana/Mwokozi- Bwana na Mwokozini majina ya heshima ya kibinafsi, nayanaelekeza kwa uhusiano wa kibinafsialio nao na wale ambao wameweka imanizao Kwake. Kujua kuwa Yesu alikufakwa ajili ya dhambi zetu lazima kutuletemahali pa toba tunapoanza kuishi maishayetu chini za Ukuu wake.

Mtu anawezaje kumjua Yesukibinafsi kama Bwana na

Mwokozi?

1. Ni lazima tumwaminiYesu. Yesu pekee ndiye njia yapekee ya kumjua Mungu nakuishi katika ushirika na Yeye.Yesu alikuja kutufia kwa ajili yadhambi zetu.

Vichwa Vya Masomo:

Mtu anawezaje Kumjua Yesu kama Bwana Na Mwokozi?1. Mwamini Yesu kama Mwokozi wangu binafsi.2. Ungama dhambi zako kwa Mungu na uziache.3. Mkiri Yesu kama Bwana wa maisha yako.

1. Mwamini YesuMaandiko*Ukikiri na kuamini- Warumi 10:9-10. *Yule amwaminiye Mwana wa Mungu ana ushuhuda ndaniyake. Yule asiyemwamini Mungu amemfanya kuwa mwongo, kwa kuwa hakuamini ushuhudaambao Mungu ametoa juu ya Mwanawe. Na huu ndio ushuhuda: Mungu ametupatia Uzima wamilele, na uzima huu umo ndani ya Mwanawe. Yule aliye na Mwana ana uzima. Yule asiyekuwa naMwana wa Mungu hana uzima-1 Yohana 5:10-12.

Yesu alituonyesha Yeye ni nani kupitia kwa mambo Aliyofanya.Yesu Ana Nguvu Juu Ya Maumbile:Hadithi*Kazi ya Yesu katika Uumbaji- Yohana 1:1-18. *Yesu anatuliza Upepo- Mathayo 8:23-27. *YesuAnalisha watu 5,000- Mathayo 14:13-21; Marko 6:30-44; Luka 9:10-17; Yohana 6:1-15. *YesuAnatembea Juu ya Maji- Mathayo 14:22-33; Marko 6:45-52; Yohana 6:16-21. *Samaki Mwenye PesaZa Kulipia Kodi- Mathayo 17:24-27. *Kugeuza Maji Kuwa Divai- Yohana 2:1-12. *Miujiza ya Yesuya Kuvua- Luka 5:1-11; Yohana 21:1-14.

Yesu Ana Nguvu Juu ya Pepo:Hadithi*Kumkomboa mtu mwenye pepo katika Sinagogi- Marko 1:23-28; Luka 4:31-36. *Kumponya mtumwenye pepo kipofu na bubu- Mathayo 12:22; Luka 11:14; tazama pia Mathayo 9:32-33.*Kumponya mtu wa Gadara aliyekuwa amepagawa na pepo- Mathayo 8:28-34; Marko 5:1-20; Luka8:26-39. *Kumkomboa mvulana aliyepagawa na pepo- Mathayo 17:14-18; Marko 9:14-29; Luka9:38-42. *Mungu amemweka juu ya watawala wote, nguvu, na mamlaka juu mbinguni na duniani -Waefeso 1:18-23.

Yesu Ana Nguvu Juu Ya Magonjwa:Hadithi* Yesu Anaponya Mtu Mwenye Ukoma; Mtumishi wa kamanda wa Jeshi; Mkwe wa Petro;Wagonjwa- Mathayo 8:1-17; Marko 1:21-34; 40-45; Luka 5:12-16; 7:1; 4:38-40. *Yesu Anamponyamtu aliyepooza- Mathayo 9:1-8; Marko 2:1-12; Luka 5:17-26. *Yesu Anamponya Mwanamkealitokwa na damu- Mathayo 9:20-22; Marko 5:24-34; Luka 8:40-48. *Yesu Anamponya mtu mmoja

Page 74: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 71

Muungamie Mungu dhambi zakonaye atakusamehe.

2. Ni lazima tuelewe kwambaYesu alikufa kwa ajili yadhambi zetu, ili tupatekupatanishwa na Mungu.Kama itikio letu ni lazimatutubu dhambi zetu kweli, natumwulize Yesu atusamehe.

3. Mkiri Yesu kama Bwana.Sasa ni lazima tumfuatekama Bwana wa maishayetu. Huu ni utaratibuunaoendelea mpaka tufe.

.

kiziwi na asemaye kwa taabu- Marko 7:31-37. *Yesu Anaponya Kipofu- Yohana 9:1-41. *Isayaanatabiri juu ya Mwokozi ajaye atakayeleta ukamilifu kwa watu, huu ulikuwa ni ushuhuda wa Yeyeni nani alipokuwa duniani - Isaya 53:4-5.

Yesu Ana Nguvu Juu ya kifo:Hadithi*Yesu Anamfufua msichana wa Mtawala- Mathayo 9:18-26; Marko 5:21-43; Luka 8:49-56. *YesuAnamfufua Mwana wa Mjane- Luka 7:11-17. *Yesu Anamfufua Lazaro kutoka kwa wafu- Yohana11:1-12:11. *Yesu Anamhutubia Petro baada ya kufufuka kwake- Yohana 21:14-25. *YesuAnawahutubia viongozi wa dini juu ya Ufufuo- Mathayo 22:23-33. *Yesu Alijifufua Mwenyewekutoka kwa wafu- Yohana 2:19-21. *Ufufuo ulikuwa wa kimwili, Hakufufuka kama Roho - Yohana20:24-29. *Yesu Anawatokea wale kumi na wawili: Luka 24. *Yesu ndiye mkate wa mbinguni,anayetoa Uzima wa milele - Yohana 14-17.

2. Muungamie Mungu Dhambi Zako Naye AtakusameheHadithi*Yesu Ana nguvu na mamlaka ya kusamehe dhambi- Mathayo 9:1-8; Luka 5:17-26; Marko 2:1-12.*Sala Ya Bwana- Mathayo 6:1-15; Marko 11:25-26. *Zaburi ya Daudi ya maungamo- Zaburi 51. *Zaburi juu ya Msamaha wa Mungu - Zaburi 32:5-6.Maandiko*Tukiziungama dhambi zetu, Atatusamehe- 1 Yohana 1:9. *Ametusamehe dhambi zetu zote- Kol.2:13-15. *Usifiche dhambi bali ziungame na kuziacha- Mithali 28:13. *Wokovu ni kupitia neema yaMungu, Sio Matendo- Waefeso 2:8-9. *Wema wetu Ni kama Matambara Machafu kwa Mungu- Isaya64:6.

3. Mkiri Yesu kama BwanaHadithi*Kubadilishwa kwa Paulo- Matendo 9; na 26; 1 Timotheo 1. *Kubadilishwa ni kama mtoto- Mathayo18:1-14. *Mahubiri ya Petro siku ya Pentekote- Matendo 2. *Watawala wengi wanamkiri Yesu-Yohana 12:42-50. *Ungamo la Tomaso- Yohana 20:26-29. *Paulo anawaambia watu watubu nakumgeukia Mungu na kufanya matendo yasitahiliyo toba- Matendo 26:20.Maandiko*Tukikiri kwa kinywa chetu kuwa Yesu ni Bwana na kumwamini, tutaokoka - Warumi 10:9-10.*Ushuhuda kutoka Thesalonike: Waliacha Sanamu Wakamgeukia Mungu ili wamtumikie MunguAishiye na wa Kweli - 1 Wathesalonike 1:8-10. *Kila Goti litapigwa na Likiri - Isaya 45:16-25;Warumi 14:11-12; Wafilipi. 2:8-11. *Tukimkiri Yesu, Naye Hutukiri mbele ya Mungu; TukimkanaYesu, Yeye pia atatukana mbele ya Mungu- Mathayo 10:32-33. *Iweni watakatifu kama AlivyoMtakatifu- 1 Petro 1:18-23.

Sehemu ya 3c: Sisi ni viumbevipya.

Muumba/Kiumbe kipya- MtumeYohana anamtambua Yesu kama ambayekupitia kwake vitu vyote viliumbwa.Yesu pia ndiye ambaye kupitia kwaketunafanywa kuwa viumbe vipya vyakiroho. Uumbaji huu mpya unaonyeshwakatika ubatizo. Ubatizo ni picha ya kufa

Vichwa Vya Masomo:1. Tunapokuwa waamini, Mungu hutufanya viumbe vipya. Ya kale

yamepita, mambo mapya yameingia.2. Viumbe hivi vipya huwa tunapewa na Mungu katika utakaso wa

mioyo yetu, na ni jukumu letu tunapotafuta kuishi chini ya Ubwanawake.

3. Ubatizo ni picha ya kufa kwa mtu wa kale, na kufufukia maishamapya.

Tunakuwa viumbe wapyaHadithi*Hadithi ya Nikodemo- Yohana 3.Maandiko*Mtu yeyote akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama!Yamekuwa mapya.- 2 Wakorintho 5:17; pia tazama Wagalatia 6:15; Ufunuo 21:5. * Maana tukazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema- Waefeso 2:10; Daudi-niumbie ndani moyo safi- Zaburi 51:10; Utabiri kuhusu moyo mpya na roho mpya vyote kamakipawa na wajibu- Eze. 11:19; 18:31; 36:26. *Tulizikwa naye katika ubatizo, na kufufuliwa ilitutembee katika upya wa maisha- Warumi 6:4-14. *Tubuni mmgeukie Mungu, na mfanye matendoyasitahiliyo toba- Matendo 26:20.

Ubatizo unaleta picha ya maisha yetu mapya katika Yesu, hautuokoi:Hadithi

Page 75: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 72

kwa ajili yetu na kufufuliwa ili tutembeekatika upya wa maisha. Ni muhimu kwawaamini wakumbuke kuweka kando njiazao za awali za dhambi, na kutembeakama viumbe vipya katika Kristo. Ikiwamtu haishi maisha mapya, kuna maswaliikiwa kwa kweli wamemwamini Yesu aula.

* Mwito Mkuu - Mathayo 28:16-20. * Yesu Anabatizwa - Mathayo 3; Marko 1:1-11; Luka 3:1-16. * Filipo Anambatiza Toashi Wa Ethiopia - Matendo 8: 26-40. * Petro AnambatizaKornelio - Matendo 10. *Lydia Anabatizwa- Matendo 16:9-15. * Askari Jela Aokoka (KuaminiNi Kuokoka, Sio Ubatizo)- Matendo 16:16-40. * Apolo Anafahamu Sana Maandiko, LakiniHakuwa Amebatizwa Hadi Baadaye (Tayari Alikuwa Ameokoka)- Matendo 18:24-28. *Mwizi Msalabani Hakubatizwa, Lakini Alienda Kuwa Na Yesu Paradiso - Luka 23:43.Maandiko*Mafundisho ya Paulo Juu Ya Ubatizo - Warumi 6.

Sehemu ya 3d: Tumekuwasehemu ya familia moja katika

Kristo. Sisi ni wana waIbrahimu. Ni lazima tuishikatika umoja na waamini

wengine.

Mwezi na Nyota- Tumkubalipo Yesukama Bwana na Mwokozi, tunakuwasehemu ya familia ya kiroho ya Ibrahimu.Huu uhisiano wa kifamilia hupanuka nakuvuka mipaka ya kikabila, kitaifa,kimbari, kijinsia, na kiumri, na kuundafamilia iliyopatanishwa na yenye upendokatika Yesu ulimwenguni kote.. Nimuhimu kwamba tuunganike na waaminiwengine, sio kuendelea kuishi katikaukabila au aina nyingine za ubaguzi.Ndani ya Yesu hakuna tofauti kati yaMyahudi na mtu ambaye si Myahudi,mtumwa na aliye huru, mke na mume.Kila mtu yuko sawasawa na mwingine.Tunapaswa kuishi sisi kwa sisi. Natunatakiwa kupendana na kusamehanakama vile Yesu alivyotupenda nakutusamehe.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu alimwahidi Ibrahimu kwamba angekuwa na uzao mkubwa

kuliko idadi ya nyota, na kuvuka mipaka ya taifa.2. Tunapokuwa waamini, tunakuwa sehemu ya familia ya Mungu—na

sehemu ya ukoo wa imani wa Ibrahimu (Wana wa Ibrahimu).3. Hii ni muhimu kwetu kwa njia mbili: inaunganisha waamini wote bila

kujali koo, kabila, rangi, taifa, hali ya kijamii na kiuchumi, na tofautiya jinsia – tukitumaini kuwa italeta amani na uthabiti. Na inatusaidiakuungana na familia ya kiroho kwa kuwa uamuzi wa kumfuata Yesukatika tamaduni nyingi huleta mateso, ubaguzi, na kutupwa nje.

4. Kuwa sehemu ya familia ya Mungu maanake ni kwamba ni lazimatutafute kuishi kwa amani wenyewe kwa wenyewe, tusameheane, natupendane kama vile Yesu alivyotusamehe na kutupenda.

5. Ni lazima tuishi katika uhusiano huu wa amani na kusudi moja, moyommoja, na akili moja bora tu iwe inatutegemea sisi.

Hadithi* Kizazi Cha Ibrahimu Kitakuwa Kama Nyota Za Angani, Hakitaweza Kuhesabika -Mwanzo 15:5-6. *Yesu anamhubiri Mwanamke Msamaria Injili- Yohana 4:1-30. *Ombi la Yesu laKikuhani Mkuu, natuwe Kitu Kimoja kama vile Yeye na Baba walivyo Kitu Kimoja, na kwambaupendo wa Mungu utakuwa ndani yao - Yohana 17 (see vs. 21, 23, 26).

Maandiko* Paulo Anatufundisha Kwamba Sisi Ni Kizazi Cha Ibrahimu Kupitia Kwa Imani - Wagalatia 3:6-9;27-29 Warumi 4. * Mungu Anatoa Msaada Kwa Kizazi Cha Ibrahimu - Waebrania 2:16. *Kifo chaYesu Kilivunja kila ukuta wa Utengano kati ya Watu wote; tunapokuwa tukishikana pamoja, Yeyeanajenga makao Matakatifu- Waefeso 2:11-22. *Yesu anatuamuru tupendane, watu wote watajuakwamba sisi ni wanafunzi Wake tukiwa tunapendana - Yohana 13:34-35.* Kwa pendo la udugu,mpendane ninyi kwa ninyi; kwa heshima mkiwatanguliza wenzenu, msijivune- Warumi 12:10,16; Wagalatia 5:13; *Mwonyeshe kuvumiliana katika upendo- Waefeso 4:2. Maagizo ya kumpendaMungu na kupendana wenyewe- 1 Yohana 3-4. *Maagizo ya kurekebisha uhusiano- Mathayo 18;Luka 15:1-11. *Kaeni katika amani kwa upande wenu- Warumi 12:18.

Somo La 4 Kaeni ndani ya Yesu na Kutimiza Mwito Mkuu

Sehemu ya 4a: Ni lazimatuendelee kuunganika na Yesuna tukue katika uhusiano wetu

na Yeye.

Vichwa Vya Masomo:1. Ni lazima tuendelee kuunganika na Yesu na tukue katika uhusiano

wetu na Yeye.2. Tunaendelea kuunganika na Yesu kwa kutumia wakati wetu binafsi

katika kusoma, kujifunza, na kutafakari Neno la Mungu.(Wakati/wetu binafsi).

3. Tunaendelea kuunganika na Yesu kupitia maombi ya kila siku.(Wakati/wetu binafsi).

4. Tunaendelea kuunganika na Yesu kupitia ushirika wa kujifunzaBiblia na kuabudu na waamini wenzetu. (Wakati wa Ushirika).

Page 76: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 73

Mzabibu na Matawi/jamii yakanisa- Mzabibu na matawi-Muungano wetu wa binafsi naYesu. Yesu alisema yeye ni mzabibu,sisi ni matawi. Ni lazima tukae ndani yaYesu ili tumpendeze na tukue katikauhusiano na Yeye. Tunakaa ndani Yakekupitia wakati wetu binafsi katika NenoLake na maombi.

Watu wanafanya kuta za kanisa-Muungano wa ushirika wetu naYesu. Yesu ni kichwa cha kanisa. Watundio mwili Wake. Tunakaa ndani Yakekwa kumwabudu hadharani na kujifunzaBiblia, kumtumikia na vipawa vyetu –kuufanya mwili ukue, na kuwatangaziaInjili watu wengine.

*Tunakaa ndani ya Yesu kwa kuwana wakati wa binafsi katika NenoLake.

* Tunakaa ndani ya Yesu kupitiamaombi.

*Tunakaa ndani ya Yesu kupitiakujifunza Biblia na kuabudupamoja.

*Tunakaa ndani ya Yesu kwakutumia vipawa vyetu vya kiroho.

*Tunakaa ndani ya Yesu kupitiakuwashuhudia wengine imani yetuna kuwafanya wanafunzi.

5. Tunaendelea kuunganika na Yesu kwa kutumia vipawa vyetu vyakiroho. (Wakati wa ushirika).

6. Tunaendelea kuunganika na Yesu kwa kuwashuhudia wengine imaniyetu na kuwafundisha wawe wafuasi wa Yesu. (Wakati wa ushirika).

**Kwa ajili ya mafunzo ya kibinafsi kuhusu nidhamu za Mkristo, tazama Sura ya 3 kwaajili ya maombi, Sura ya 9 na ya 10 juu ya kukaa katika Njia ya Mungu; Sura ya 11 juu ya

Utumishi ndani ya kanisa; na Sura ya 12 mfupisho juu ya yale tutakiwayo kufanya hadiYesu arudi.

Hadithi and MaandikoKwa wakati wetu Binafsi katika Neno la Mungu*Kukaa ndani ya Yesu kupitia Neno Lake- Yohana 15:1-16. *Mwanadamu hataishi kwa mkate tu-Kumbukumbu La Torati 8:1-6. *Yesu ni Mkate wa Uzima- Yohana 6:22-58. *Jifunze ili ujionyeshekuwa umekubalika na Mungu, ukigawanya Neno la Ukweli sawasawa- 2 Timotheo 2:15. *Jijengeni-Jude 1:20.

Kwa Wakati wetu Binafsi katika maombi*Jitoeni kwa maombi- Warumi 12:12; Col. 4:2. *Ombeni wakati wote- Waefeso 6:18. *Maagizo yaYesu juu ya maombi ya mtu peke yake; Sala ya Bwana- Mathayo 6:5-15. **Tazama somo la 3 na la 9juu ya maombi.

Kwa Wakati wa Ushirika katika kuabudu na kujifunza Biblia*Msiache kukutana pamoja- Waebrania 10:25. Waamini wa kwanza walikutana kwa ajili ya kujifunzana kuomba walipokuwa wanaanzisha makanisa ya kwanza- Matendo 1:12-26; 2:42.

Kwa kutumia vipawa vyako kanisani*Mungu hutupatia vipawa vya kiroho- 1 Wakorintho 12; *Tumieni vipawa vya kiroho kutayarishamwili kwa ajili ya huduma na kuukuza mwili hadi ukomae- Waefeso 4:11-13. *Jitahidini mkomaekatika mafundisho na uadilifu- Waebrania 5:12-6:1. **Tazama Sura ya 11 juu ya kutumia vipawa vyakiroho.

Kwa kuwashuhudia wengine imani yako na kuwafanya wanafunzi*Mwito Mkuu- Mathayo 28:18-22. *Tazama kitabu cha Matendo kwa mifano ya kushuhudia Injili nakuwafanya wanafunzi. **Tazama Sura ya 7, 9, na ya 11 juu ya kushuhudia Injili na kufanyawanafunzi.

Sehemu ya 4b: Tunapaswakutimiza Mwito Mkuu na kuishimaisha ya kiungu mpaka Yesu

arudi.

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu ni alfa na omega, ndiye mwanzo na mwisho.2. Yesu atarudi tena siku moja, mawinguni. (Ni muhimu hasa mahali ambapo

watu hapa duniani husema wao ni Yesu, kama vile Afrika)3. Tunatakiwa kuwashirikisha wengine imani yetu, na kufanya

Page 77: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 74

Yesu juu ya farasi akielekeaduniani - Yesu ni alifa na omega. Sikumoja atarudi kuwashinda wale waliokatika Ufalme wa Giza, Shetani, na jeshilake la pepo. Na analeta wokovu wakamili kwa wale waliomkubali kamaBwana na Mwokozi. Mpaka wakati huo,tunapaswa kuhusika kiutendaji katikakuwaleta wengine katika Ufalme wa Nurukupitia kuwashuhudia Injili nakuwafundisha. Ni lazima tuwe tunafanyakazi ya Ufalme kwa kuutekeleza MwitoMkuu.

wanafunzi ulimwenguni kote mpaka atakaporudi.4. Tazama Sura ya 12 juu ya Yale tupaswayo kufanya hadi Yesu

atakaporudi.

HadithiYesu atarudi*Yesu Alisema Naenda Kuwatengenezea Mahali Na Nitarudi Tena- Yohana 14:1-3; 17:24. *KamaUmeme Unavyopiga Kutoka Mashariki Na Magharibi, Ndivyo Atakavyorudi Yesu- Mathayo 24:24-31; Luka 17:20-37. *Yesu anarudi duniani- Ufunuo 19; & 22.Hubiri Injili na Kufanya Wanafunzi hadi arudi*Mwoto Mkuu- Mathayo 28:19-22. *Kuja kwa Roho Mtakatifu kwa ajili ya ujasiri katika kushuhudiaInjili- Matendo 1:8.Mifano ya Wakristo wa Kwanza:*Injili inahubiriwa Judea na Samaria- Matendo 8-9:31. *Injili Inaenda Ulimwengu wa Mataifa kupitiaKwa Petro- Matendo 9:32-11:18. *Roho Mtakatifu anasema Paulo na Barnaba watengwe kwa kazi yaumisionari- Matendo 13. *Safari ya Kwanza ya Paulo Ya Umisionari kwa Mataifa- Matendo 11:19-15:35. *Safari ya Pili ya Paulo ya Umisionari (Asia Ndogo, Ugriki, Rumi)- Matendo 15:36-18:22.*Safari ya Paulo ya Tatu ya Umisionari- Matendo 18:23-23:22.

Maandiko*…Na Kumngojea Mwanawe Kutoka Mbinguni, Ambaye Hutuokoa na Ghadhabu Inayokuja- 1Thess 1:8-10. *Yesu Atarudi Tu Kama Alivyoenda, Katika Mawingu- Matendo 1:9-11. * Kwasababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, Kisha sisi tulio hai,tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani, Basi, farijianenikwa maneno hayo. - 1 Wathesalonike 4:16-18. *Yesu hatarudi mpaka Mtu wa Kuasi afunuliwe- 2Wathesalonike 2. *Kadhalika Kristo Naye, Akiisha Kutolewa Sadaka Mara Moja Azichukue DhambiZa Watu Wengi; Atatokea Mara Ya pili, Pasipo Dhambi, Kwa Hao Wamtazamiao Kwa wokovu -Waebrania 9:28. * Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa;lakini twajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa maana tutamwona kama alivyo. Nakila mwenye Matumaini Haya Katika Yeye Hujitakasa, Kama Yeye Alivyo Mtakatifu - `1 Yohana3:2-3.Hubiri Injili na Kufanya Wanafunzi hadi arudi* lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa - 2 Timotheo 4:2.

Page 78: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 75

Sura ya 7 Kielelezo: Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu

Page 79: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 76

Picha Iliyorahisishwa kwa ajili ya Sura ya 7

Page 80: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 77

Sura ya 7 Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu

Maelezo ya Jumla

Kielelezo cha 7 ni picha ionekanayo ambayo inaonyesha Waamini wakiishi Huduma yaUpatanisho katika ulimwengu wenye uhasama wa Ufalme wa Giza. Huduma hii Yesualiwapa waamini, naye anatutaka tuwaambie wengine juu ya msamaha wa Mungu(2Wakorintho 5:18-21). Ikiwa wewe ni mwamini katika Yesu, umepewa jukumu la kuwamhudumu wa upatanisho.

Wasioamini tabia yao ni kuwa na uhasama na Mungu, njia Zake, waamini, na waokwa wao. Upande wa kushoto wa picha, unaweza kuona watu ambao bado wanaishi katikaUfalme wa Giza wakiwa wameinua ngumi zao kumwelekezea Mungu na kuelekezeana.

Waamini wanaishi katika upendo wa Mungu na msamaha Wake. Upande wa kulia wapicha, unaweza kuona picha ya kiroho ya kanisa na waamini wakiwa wameshikana pamojana kumfanyia Mungu makao matakatifu (Waefeso 2). Wamepata msamaha wa Yesu

anaoutoa kupitia dhabihu Yake, na wamepatanishwa na Mungu na wao kwa wao.

Fikira za Waamini. Juu ya ukurasa ni picha katika mviringo, na miviringo midogo iendayo hadi kanisani. Miviringohii inawakilisha fikira za wale ambao wamezaliwa kiroho katika Ufalme wa Nuru. Waamini wanaweza kuishi maishaya kupatanishwa na Mungu na wao kwa wao kwa sababu ya msamaha anaoutoa Mungu.

Kufahamu Agano la Kale. Kushoto juu ya mviringo, ni picha mbili zinazowakilisha Sheria za sadaka na msamaha zaAgano la Kale. Katika picha moja wapo unawaona watu wakitoa sadaka za wanyama juu ya madhabahu ili Munguawasamehe dhambi zao. Katika picha iliyo kulia ya hiyo, ni watu wanaoachilia mbuzi atoke nje ya malango ya mji.Watu wakiweka mikono yao juu ya mbuzi huyo ni ishara ya kuwa dhambi zao ziliwatoka na kumwingia huyo mbuzi.Na kisha mbuzi alitolewa nje malango ya mji na kuingia jangwani akafe huko. Kuhusisha jamii pamoja katika sadakahii, kulisaidia watu kutupa dhambi walizofanyiana na kurudisha amani katika jamii. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka yapekee ambapo mnyama alitolewa akiwa hai katika Agano la Kale. Inaitwa Sadaka ya Mbuzi Msingiziwa. Sadaka katikaAgano la Kale zilitolewa ili zitoe makosa ya mtu na kumrudisha katika uhusiano sawa na Mungu na watu.

Kufahamu Agano Jipya. Upande wa kulia wa mviringo, unaona msalaba. Yesu alijitoa Mwenyewe kama sadaka kwaajili ya dhambi zetu. Kwa sababu alikuwa hana dhambi, sadaka yake ilikuwa sadaka kamilifu. Wakati wa Agano laKale, watu walilazimika kumletea Mungu sadaka siku zote ili wapate kusamehewa. Sadaka za wanyama hazikuwazinaweza kuondoa dhambi kwa njia ya kudumu. Lakini sadaka ya Yesu ilikuwa kamilifu. Ilikuwa ya nyakati zote, kwahivyo hakuna haja tena ya kurudi kila mwaka na kutoa sadaka nyingine. Yesu alikufa badala yetu, kwa ajili ya dhambizetu. Sasa tunaweza kusamehewa dhambi zetu kwa kumkubali Yeye kama Bwana na Mwokozi. Kifo cha Yesuhakikuvunja tu ukuta ambao dhambi ilisimamisha kati yetu na Mungu, bali pia kilivunja kila ukuta kati ya watu. Munguanawataka watu wake wasameheane kama alivyotusamehe. Kumbuka kwamba Yesu hakulipa deni la dhambi zako pekeyako, bali kwa ajili ya dhambi za watu wote.

Katika picha unaweza kuona watu wakitoka kanisani na kuingia ulimwenguni. Kwa kuwa Yesu ametusamehe,ametupatia huduma ya upatanisho. Tunapaswa kuwatangazia wengine msamaha anaotoa Mungu kwao, na sisitunapaswa kusameheana kama vile alivyotusamehe. Ushuhuda wetu kwa ajili ya Injili unathibitishwa na kiwango chetucha kuweza kuishi maisha ya kupatanishwa sisi kwa sisi, na pia kati yetu na Mungu.

Kuleta uponyaji na msamaha katika uhusiano. Picha zilizo juu ya paa la kanisa zinatukumbusha kwamba kunamambo mengine tunayoweza kufanya ili tusaidie kuponya majeraha kati ya waamini. Haya ni mambo ambayoyamepuuzwa zaidi katika kanisa leo. Si ajabu mambo kama migongano, migawanyiko, na ugomvi yanaendelea hatakanisani. Kwa hivyo juu ya kukumbuka kwamba Yesu amelipa deni la dhambi za kila mtu tayari, ni lazima pia tutafutekufanya mambo yafuatayo:

1. Kuungama dhambi. Jambo la kwanza liletalo uponyaji kati ya watu ni kuungama dhambi (mtuaongeaye). Biblia inasema tuungamiane dhambi zetu, na tuwaendee wale ambao wamekwazwa namatendo yetu ili tupatane.

2. Kurejeshwa upya. Hatua ya pili ya uponyaji ni kuwarejesha upya watu wanaotubu (hadithi ya pete ya

Page 81: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 78

Mwana Mpotevu). Kurejeshwa upya hujumuisha staha, cheo, na uhusiano. Mara nyingi sana tunasematumesamehe watu lakini hatuwarejeshi kamwe. Hii inawafanya wabaki katika hali ya huzuni na wakatimwingine kushindwa. Bwana anataka tuwarejeshe watu upya ili ili walete matokeo yaliyolengwa katikaUfalme wake.

3. Kulipa fidia. Na hatua ya tatu uponyaji ni kulipa fidia kwa wale tuliowakosea (pesa-hadithi ya Zakayo).Kulingana na Sheria za Agano la Kale, fidia ilifanywa kwa kurudisha kitu kilichochukuliwa nakuongezea 1/5 ya thamani yake. Sadaka ya fidia ilitolewa mbele ya Bwana na mbele ya yulealiyekosewa, na wakati huo vitu vilivyoibwa na thamani iliyoongezwa vilitolewa na kupewa yulealiyekosewa.

Wakati mwingine tunahitaji kufanya kila kitu katika mambo haya ili tulete uponyaji katika hali hasa ikiwa wahusikawote walifanya makosa katika mgongano huu.

Huduma ya Upatanisho. Tumepewa huduma hii ya upatanisho- imechorwa kama waamini watokao kanisani nakwenda kuwashuhudia wengine. Yesu alisema watu wangejua kwamba sisi ni wanafunzi wake kama tutakuwatukipendana sisi kwa sisi. Tunapoweza kusamehe kabisa, kurejesha upya, na kupatanisha wengine katika imani, huwatuna ufahamu bora zaidi wa sadaka, upendo, na msamaha aliotupa Mungu. Matokeo ya haya ni kuweza kuwasilishaujumbe huo kwa walimwengu vizuri. Ujumbe wetu kwa ulimwengu huthibitishwa wakati tunapoonyesha upendo namsamaha ambao tumepokea kutoka kwa Mungu katika uhusiano wetu na waamini wengine.

Njia za Kufundishia Sura hii:1. Njia ya Kupitia Kirahisi. Tumia maelezo ya jumla hapo juu kufundishia picha kuu ya Sura hii.2. Njia ya Mada. Chukua kila sehemu kuu ya somo hili na kuifundisha kivyake kwa mda.

a. Njia ya Mlinganisho. Linganisha somo la 1a na 1b na lile la 2a, upate mfanano na tofauti zake.b. Sadaka na Jamii. Soma sheria za sadaka za Agano la Kale ukilinganisha na jinsi zinavyohusiana na mada ya

msamaha, kurejesha upya, na jamii. Unaweza kusoma Sura ya 4, somo la 1 utangulizi juu ya sheriasambamba na Sura hii, somo la 2b na 2c- sadaka katika Agano la Kale na Sadaka aliyotoa Yesu.

c. Njia za Kutia nguvu Makanisa katika Kuishi Maisha ya Kupatanishwa ndani ya Jamii. Soma somo la3a, b, na c.

3. Njia ya Kina/Utondoti. Njia inayoingia ndani zaidi. Soma eneo la Maandiko kutoka kwa kila picha na mada/somo.4. Njia ya Mahubiri. Weka msisitizo kwenye somo la 2, Msamaha na Upatanisho katika Ufalme wa Nuru. Tumia

somo hili kujulisha msamaha atupatiao Mungu, na kisha julisha jinsi Wafuasi wa Yesu wapaswavyo kuenendakatika kanisa na katika jamii

5. Njia ya Mwamini Mkomaavu. Kuwapa watu changamoto wapende na kusamehe kama Yesu alivyofanya ndiokiwango cha juu zaidi cha mafundisho yaliyokomaa tunachoweza kufikia. Tukifikia daraja la kuweza kupenda nakusamehe wengine, tunaweza kutoa ujumbe uliothibitishwa wa upendo na msamaha ambao Mungu ametupatiakupitia kwa Yesu. Ni muhimu kutumia njia ya mlinganisho wa tofauti ulioorodheshwa hapo juu katika makanisaambamo migongano inaendelea. Ikiwa waamini hawasemezani, ikiwa wanajibagua wenyewe kwa wenyewe,wakiepana, wakisengenyana, mtu akiingia kwenye chumba mwingine anatoka kwa kuwa hampendi, hawatendikama watu waliopatanishwa. Fundisha juu ya umuhimu wa upatanisho, kurejeshwa upya, kuungama, na fidia, nakisha uende Somo la 4 katika Sura hii na utoe vitabu vya ulazima wa wamisionari kuwa wahudumu wa upatanishoulimwenguni. Makanisa mengine huchagua kuweka ibada za maombi na kuwahimiza watu wasameheane nawaombee uponyaji wa kimihemko.

Malengo ya Sura ya 7

1. Kutambua uhasama na uadui kama tabia katika Ufalme wa Giza.2. Kusaidia watu waone kuwa dhambi dhidi ya Mungu au dhidi ya watu ndio chanzo cha uhasama.3. Kutoa ufahamu wa Kibiblia wa Msamaha wa Mungu, kama unavyoonekana katika Agano la Kale na Agano

Jipya.4. Kutambua utaratibu wa Biblia unaohusika na kuleta ungamo, mapatano, kurejeshwa upya, na kuponywa kwa

waliokosa au waliokosewa.5. Kuwapa waamini changamoto wapende na kusamehe kama alivyofanya Yesu.6. Kuwatia nguvu waamini katika huduma ya upatanisho.

Page 82: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 79

Sura Zinazohusiana

Sura ya 1: Shetani na pepo hufanya kazi ili wasababishe utengano, kutosamehe, kudhania kubovu, na mvutano baina ya waamini ilikuzuia wengine wasiuone ujumbe wa Injili.

Sura ya 5: Watu katika Ufalme wa Giza wamenaswa katika ukabila, ubaguzi, na tofauti nyingenezo kati ya watu. Watu katikaUfalme wa Nuru wanaishi maisha ya kupatanishwa na Mungu na wao kwa wao kama wanavyoweza.

Sura ya 10: Kuweni waangalifu muepukane na njia ya chuki na fujo.

Sura ya 11: Kanisa siku zote linatakiwa liwafikie wale walio katika Ufalme wa Giza ili liwalete katika Ufalme wa Nuru, kamawatumishi wazuri wa Injili.

Sura ya 12: Kueni katika Kupendana.

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Uhasama na Ufalme wa Giza

Picha na Maelezo Vichwa Vya Masomo, Biblia Hadithi, na Maandiko

Sehemu ya 1a: Watu katika Ufalmewa Giza wanaweza kuwa na

uhasama dhidi ya Mungu na njiazake, na dhidi ya wale

wawakumbushao juu ya njia za

Mungu.

Watu wawili wanampigia Mungu kelelekwa hasira- * Watu katika Ufalme wa Gizawamemkasirikia Mungu (na waadilifu) kwasababu sheria Zake ziko kinyume na mambowanayotaka kufanya. Hawataki kujiweka

Vichwa Vya Masomo:

1. Watu katika Ufalme wa Giza wanaweza kuwa na uhasama dhidiya Mungu na njia zake

2. Watu katika Ufalme wa Giza wanaweza kuwa na uhasama dhidiya yeyote anayewakumbusha juu ya Mungu na njia Zake.

Uhasama dhidi ya Mungu au dhidi ya WaadilifuHadithi*Hasira ya Nebukadneza Dhidi ya Watu Watatu Waadilifu- Danieli 3:18-30. *Kaini na Habeli-Mwanzo 4:1-16. *Hasira ya Hamani- Esther 3:5-6. *Mfalme Herodi- Mathayo 2:16. *Hasira yaHerodia Dhidi ya Yohana Mbatizaji- Marko 6:18-19. *Maisha ya Saul ya Awali- Matendo 26:11.*Mafarisayo wanakuwa Wahasama Dhidi ya Yesu- Luka 11:53-54. *Chuki dhidi ya Stefano kwakupinga matendo ya Wayahudi-Matendo 6:8-7:60.

Maandiko*Fikira Juu ya Mwili Ina Uhasama Dhidi ya Mungu; na haiwezi kuwa chini ya Sheria Zake -Warumi 8:7-14; Kol. 1:21. *Yule aichukiaye Nuru, hukaa mbali na nuru - Yohana 3:20-21.*Kama Ulimwengu unawachukia na kuwatesa, jueni kuwa Yesu pia ulimchukia na kumtesa -Yakobo 4:4-5*Ni nani Aliyemwua Bwana Yesu na Pia Manabii, na Kututoa Nje. HawampendeziMungu, Lakini wana Uhasama na Watu Wote - 1 Wathesalonike 2:15. *Mtu Mwovu hufanyahila Dhidi ya Mwadilifu na Kusagia Meno. Bwana Hucheka, Siku Yake inakuja - Zaburi 37:12-29. *Utachukiwa Na Wote Kwa Sababu Ya Jina Langu, vumilia- Mathayo 10:22; Marko 13:13. *Maana mtafakarini sana yeye aliyeyastahimili mapingamizi makuu namna hii ya watendaodhambi juu ya nafsi zao, msije mkachoka, mkizimia mioyoni mwenu - Waebrania 12:3.*Usiwaogope wale wakukasirikiao- Isaya 41:10-13.

Page 83: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 80

chini ya sheria za Mungu. Badala yakewanaishi maisha na kushughulikia mambo yaowenyewe kama wapendavyo. Watu katikakundi hili wakati mwingine wanatawaliwa nauchungu, hasira, na chuki ambayo dhambi zawatu wengine ama dhambi zao wenyewezimewaletea. Pia wanaweza kuongozwa natamaa zao wenyewe za kupata nguvu, utajiri,upendo, na starehe. Biblia inasema kuwa,“Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikirimambo ya mwili; bali wale waifuatao rohohuyafikiri mambo ya roho. Kwa kuwa nia yamwili ni mauti; bali nia ya roho ni uzima naamani. Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juuya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu,wala haiwezi kuitii.Wale waufuatao mwilihawawezi kumpendeza Mungu” (Warumi 8:5-8).

Sehemu ya 1b: Watu katika Ufalmewa Giza mara nyingi huwa katika

mapigano yasiyo na mwisho nawatu wengine au makundi ya watu.

Watu wawili wanapigana- Watu waliokatika Ufalme wa Giza huwa na uadui kati yaona Mungu, na kati yao wenyewe. Hili ni mojawapo ya maswala tuliyojadili katika Ufalmewa Giza katika Sura ya 5.Tulijifundisha hapomwanzoni kwamba watu walio katika Ufalmewa Giza hupenda kujitambua kwa kutegemeakabila, rangi, mbari, taifa wanalotoka na hatakwa misingi ya jinsia zao. Wakati mwinginewatu huonyesha uhasama wao kwa kupigana,kuuana, kubaka, na aina nyinginezo za fujo.Watu wengine huonyesha wengine hasira nahukosa kuona uwepo wao kama ni wa maana.Huwasengenya watu wengine na hali hiihufanya shaka na ugomvi kuanza. Moja yamatokeo ya tabia hii ni kwamba watuhutengana na kushutumiana..Chanzo cha uhasama na chuki baina ya watuni dhambi. Vita na chuki hutokea kati ya watuwakati wanapozivunja sheria za Mungu kamajamii au kama mtu binafsi. Mtu anapomtendeamwingine dhambi, uhadui na ukatili huingiakati ya watu hao. Ikiwa hali hiihaitasuluhishwa, watu hawa huanza kuwamaadui, na shina la uchungu huchipuka nakuenea kwa watu na hatimaye watu haohuanza kupigana. Katika lugha ya Kiebrania,neno linalowakilisha uadui lina uhusiano waKaribu na neno lenye maana ya uadui. Uaduimaana yake ni kutoaminiana, kutengana, auuhasama. Watu huwatendea wengine maovukwa sababu kadhaa mbalimbali. Wanaweza

Vichwa Vya Masomo:

1. Watu katika Ufalme wa Giza mara nyingi huwa katika mapiganoyasiyo na mwisho na watu wengine.

2. Maisha yao yanaweza kuwa na tabia za umbeya, matusi, ubaguzi,ukabila, kutaka vyote, ubinafsi, na mawazo na matendo ya uuaji.

3. Matendo haya huwafanya makundi ya watu kuwapigana na mtufulani, au kundi moja dhidi ya kundi lingine.

4. **Tasama mafunzo ya njia katika Sura ya 10.

Hadithi*Wakati mwingine Yesu Alisababisha migawanyiko- Luka 12:51-53; Yohana 7:37-53; 9:16;Yohana 10(vs. 19). *Paulo Anaandika juu ya Migawanyiko Kanisani- 1 Wakorintho 1:11-31;3:1-9. *Ushuhuda unaweza Kusababisha Migawanyiko - Matendo 14:1-7. *Yakobo na YohanaWanasababisha Mvutano Kati Ya Wanafunzi- Marko 10:35-52.

Maandiko* Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu,uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mamboyanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, yakwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.- Wagalatia 5:19-21. * Na ninyi, mliokuwa hapo kwanza mmefarikishwa, tena adui katika nia zenu, kwa matendoyenu mabaya, amewapatanisha sasa; katika mwili wa nyama yake, kwa kufa kwake, ili awaleteninyi mbele zake, watakatifu, wasio na mawaa wala lawama - Kol. 1:21-22. * Watu wenyedharau huwasha mji moto; Bali wenye hekima hugeuzia mbali ghadhabu - Mithali 29:8. * Basikila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika - kwa maanahasira ya mwanadamu haiitendi haki ya Mungu.- Yakobo 1:19-20.

[Ilani: Ulimwengu wote ukiwa katika mashaka haya, Mungu akatoa njia ambayo kwa hiyo watuwangeweza kupatanishwa na Mungu na wenyewe kwa wenyewe. Utaratibu huo unaitwa,upatanisho.]

Fasili ya UpatanishoUpatanisho maanake ni, kuufanya uhusiano uwe sawa. Mabadiliko haya ni kuleta pamojamahasimu wawili wawe marafiki. Lakini upatanisho ni kipawa na pia ni jukumu katika daraja lakibinadamu. Mungu ametufanyia kazi tayari, lakini ni lazima tuache kazi hiyo ilete amani katikasehemu za ndani ya mioyo yetu. Inavutia kuwa neno la patana halikupatikana katika chanzo chadini yoyote ya kwanza ya kipagani nje ya Biblia. Upatanisho ni moja wapo ya hulka zilizomsitari wa mbele kabisa za imani ya Kikristo. Inaonyesha mapenzi ya Mungu. Yesu alisema,“Hivyo watu wote watatambua ya kuwa ninyi mmekuwa wanafunzi wangu, mkiwa na upendoninyi kwa ninyi " (Yohana 13:35). Yesu alipotuamuru tupatane sisi kwa sisi katika Mathayo 18,Alitumia neno la upatanisho lenye nguvu kuliko yote yaliyokuwako katika lugha ya Kigriki.Kwanza lina nguvu zaidi kuliko neno alilotumia Paulo katika Waefeso 2, aliposematunapatanisha watu na Mungu, na tumepewa huduma hii ya upatanisho! Ni mapenzi ya Yesukwamba tuwapatanishe watu ambao wametufanya dhambi, kama vile Yeye alivyotupatanisha

Page 84: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 81

kuchochewa na ubinafsi, faida ya kibinafsi,ubaguzi, hamu ya kulipiza kisasi, anasa, wivu,ulafi na tamaa au hamu ya mamlaka. Ubinafsindicho chanzo hasa cha uhasama. Hasirayaweza kuwafanya watu kuwaangalia wenginekwa mtanzamo fulani mbaya, halafu wakaanzakuwafanyia vibaya wakifikiria kwamba kwakufanya hivyo wanafanya jambo lililo sawa nala haki. Lakini kitu kimoja cha kukumbuka nikwamba mapigano na mizozo si mamboambayo yanapaswa kuendelea kutendwa nawatu wa Mungu.

kupitia kwa kifo Chake mwenyewe.

Somo La 2 Msamaha na Mapatano katika Ufalme wa Nuru

Sehemu ya 2a: Waaminiwameunganishwa pamoja katika

familia moja ya kiroho, wakifanyamakao matakatifu ya Mungu.

Watu wanaungana pamojakutengeneza kuta za kanisa- Inaonyeshaumoja anaotaka Mungu kati ya waamini .Waamini hawa wamesameheana, kama vileMungu alivyowasamehe dhambi zao. Katikakitabu cha Waefeso, tunapata kwamba umojawa waamini kwa pamoja humjengea Mungumakao matakatifu. Fikira zao ni kupendanakama vile Yesu alivyowapenda. Alitoa uhaiwake kwa ajili ya watu wakati walipokuwamaadui wa Mungu bado. Agano la Kale naAgano Jipya yanaonyesha jinsi msamaha huuunavyopatikana.

Vichwa Vya Masomo:

1. Waamini wanapaswa kuishi pamoja na upendo wa pamoja, akili,moyo, na umoja kuonyesha maisha yaliyobadilika anayowapatiaMungu.

2. Waamini wanaungana pamoja kuvuka vizuizi vyote vyakibinadamu vya ulimwengu na kutengeneza pahali pamojapatakatifu pa kukaa Mungu.

3. Waamini wanajitahidi kupenda na kusamehe kama Yesualivyofanya.

4. Kumbuka Yesu alikufa kwa ajili ya dhambi za kila mtu. Kamaanasamehe watu wengine, na sisi pia tutasamehe.

Hadithi*Ombi la Yesu la Ukuhani Mkuu kwamba waamini wawe kitu kimoja- Yohana 17.

Maandiko*Yesu alikuja kuwapatanisha hawa wawili (Wayahudi na Mataifa) na kuwafanya kuwa mwilimmoja, na wajengewe ili wawe makao matakatifu ya Mungu - Waefeso 2:12-22. * Yohanaanaandika juu ya upendo na umoja wa Wakristo - 1 Yohana. * Paulo anaandika juu ya uhusianowa mwili - Warumi 14. * jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu,mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; kama Bwanaalivyowasamehe ninyi, vivyo na ninyi. Zaidi ya hayo yote jivikeni upendo, ndio kifungo chaukamilifu. Na amani ya Kristo iamue mioyoni mwenu; ndiyo mliyoitiwa katika mwili mmoja;tena iweni watu wa shukrani - Kol. 3:12-15. * ijalizeni furaha yangu, ili mwe na nia moja,wenye mapenzi mamoja, wenye roho moja, mkinia mamoja. Msitende neno lo lote kwakushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwabora kuliko nafsi yake.

Kila mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine.-Wafilipi. 2:2-4. *Miili Yetu Ni Hekalu- 1 Wakorintho 3:16-17; 6:19-20. *Mungu NaMwanakondoo (Yesu) Ndiye Hekalu Huko Mbinguni- Ufunuo 21:22.

Page 85: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 82

Sehemu ya 2b: Chini ya Agano laKale Mungu alitoa njia ya mdaambayo kwa hiyo msamaha na

kurejeshwa upya kuliwezakufanyika kati ya watu na Mungu;

na kati ya watu na watu.

Madhababu- Chini ya Agano la Kale,wanyama walitolewa sadaka juu yamadhabahu kulipia (kufunika) dhamb zawatu, na kuwaletea msamaha kutoka kwaMungu. Madhabahu haya ni kama yaleyaliyotumiwa na Waisraeli walipoletasadaka zao kwa Mungu. Msamaha siku zoteulihitaji sadaka ya damu. Utaratibu huu wakutoa sadaka, kulipia au kurekebisha. Dhambiau sababu ya makosa iliondolewa na sadaka,kulikuwa hakuna uadui tena kati ya Mungu nawatu. Utoaji wa maisha yaliyo safi kwa ajiliya maisha machafu mtu anaweza kuonyeshaugumu wa sadaka ni nini. Kutoa sadaka siorahisi. Kama vile sadaka ya kusafisha dhambizetu haikuwa rahisi! Ilikuwa Mwana waMungu. Wakati mwingine inatubidikukabiliana na ugumu sisi wenyewe kwa vileni lazima tutoe sadaka hitaji letu la kulipizakisasi ili tupende kama Yesu alivyopenda. Nilazima tuamini kuwa Mungu ataleta haki kwakila hali katika wakati, na ni lazima tufanyemambo ya sawa. Mara nyingi sana, tunalipizakisasi na duara la ulipizaji wa kisasi na chukilinaanza ambalo husambaa kwa wengine rahisina kushinda kuthibitiwa. Linawezakusababisha mgawanyiko mkubwa katikamakanisa. Msamaha unaanza wakati mmojawa mahasimu au wote wanapotoa matakwayao ya kulipiza kisasi juu ya madhabahu.

Vichwa Vya Masomo:

1. Angalia Sheria za Dini kutoka Sura ya 4, kama itakiwavyo.2. Chini ya Agano la Kale, watu walipaswa kuleta wanyama kama

sadaka ili walipe fidia ya kuvunja Sheria za Mungu.3. Bila sadaka ya damu, kulikuwa hakuna msamaha wa dhambi.4. Sadaka ilipaswa iwe bila kasoro.5. Sadaka iliondoa au kutupa sababu ya makosa, na kufanya

msamaha au ukombozi (kununua tena) kuwa halisi.6. Mara tu sadaka inapotolewa, mtu alirejeshwa katika uhusiano wa

sawa na Mungu.7. Wakati ambapo watu wanataka msamaha kwa ajili ya dhambi zao

dhidi ya wao wenyewe, fidia pia ilikuwa lazima ifanywe.8. Mbuzi iliyo hai ya kuwekelewa makosa ilikuwa picha ya kutupilia

makosa mbali kwa kuwa watu waweka dhambi zao juu ya mbuzikiishara na kisha wakaipeleka jangwani ikafe huko.

Upatanisho (kuweka sawa)Hadithi and Maandiko*Musa anafanya upatanisho kwa ajili ya Watu- Kutoka 32. *Abigaili Anaweka mambo sawa- 1Samueli 25:18. *Sadaka za upatanishpo- Mambo ya Walawi 1-17; 26:41-43.

Sadaka ya ukombozi (Kununua Tena)Hadithi na Maandiko*Sheria Za Ukombozi- Mambo ya Walawi 25. *Ee Israeli, Umtumaini BWANA; Kwa MaanaKwa BWANA Kuna Fadhili, Na Kwake Kuna Ukombozi Tele/mwingi- Zaburi 130:7.

Maneno Ya Biblia tupaswayo kuyaelewa:Patanisha/Suluhisha- Kusafisha au kutakasa; kufanya uhusiano uwe sawa. AJ- kugeuzakutoka kwa uadui hadi urafiki.. Katika AJ, neno apokatallasso limetumika katika Waefeso 2:16,kuhusu kupatanishwa kwa Wayahudi na Mataifa na kuwa mwili mmoja. Neno hili maalumukwa ajili ya kupatanisha maanake ni kupatanisha kabisa, ili kuondoa viwango na aina yote yamakosa ili umoja uweze kupatikana kikamilifu.

Komboa- maanake ni kununua tena, au kumfanya mtu aachiliwe kwa kumlipia fidia.

Upatanisho- maanake ni kupatanisha kwa ajili ya makosa yaliyofanyika, au kufunika.

Kusamehe- maanake ni kuondoa au kumwia mtu radhi.

Kurejesha- kurudisha mahali, hadhi, mali, au uhusiano. Kurekebisha.

Page 86: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 83

People around a goat- Juu ya sadaka yakuteketeza hapo juu, watu wangeweka mikonoyao juu ya beberu aliye hai, ili kuondolewakwa dhambi zao na kupakaziwa yule beberu.Baada ya kila mtu kumwekea mikono, mbuzihuyo aliachiwa huru kuyoyomea nyikanikwenda kufa. Hii ilikuwa picha ya kuondoadhambi za watu. Mbuzi huyu alipewa jina nakuitwa beberu aondoaye dhambi. Msamaha nikufunika na kuondoa dhambi kabisa. Agano laKale linatusaidia kuona kwa macho jinsi yakuwasamehe wengine.

Kufidia- Kulipia jambo ambalo ni makosa, kulipa. Kurudisha ilivyokuwa, kujaza.

Mbuzi wa kuondolea dhambi/Msamaha (kuondoa)Hadithi na Maandiko*Sadaka ya Mbuzi msingiziwa Kwa Kuondoa Dhambi- Mambo ya Walawi 16:7-10(Azazeli).*Sadaka ya Dhambi Ni Nje Ya Kambi- Kutoka 29:10-14; Mambo ya Walawi 4:12-21.*Ibrahimu Na Isaka, Mungu Anatoa Sadaka (haitajwi kama mbuzi ya kuondolea dhambi, lakiniimefanana)- Mwanzo 22.

Sehemu ya 2c: Chini ya AganoJipya – kupitia kifo cha Yesu na

kufufuka kwake, Mungu alitoa njiaya kudumu ya msamaha na

upatanisho.

Kielelezo hiki ni picha yakiroho ya huduma ya upatanishoambayo Mungu amewapatiawaamini katika ulimwengu huu.Yesu alipokufa msalabani nakufufuka kutoka kwa wafu,Alivunja kuta ambazo dhambiilikuwa imejenga kati ya watuna Mungu. Kishaakatupatanisha na Mungu.Upatanisho huu haukuwaupatanisho wima tu—kati yetu na Mungu,lakini pia ulikuwa upatanisho mlalo—kati yetuna watu wengine. Kwa sababu Munguametusamehe dhambi zetu na kurejeshauhusiano wetu na Yeye, tunapaswakupatanishwa na watu waliotuzunguka,tukiwasamehe kama vile Mungualivyotusamehe. Hili ni tendo kuu la upendona kujitolea, na inaonyesha upendo ule uleambao Yesu yuko nao kwetu. Tunapokuwatukipatanisha watu waliotuzunguka, tunajengaUfalme wa Mungu na sio ufalme wetuwenyewe. Tukifanya kazi kwa ajili ya amanikatika ulimwengu wetu, tunamheshimuMungu.

Vichwa Vya Masomo:

1. Hakiki: Kifo cha Yesu msalabani kilitimiza sheria za sadaka zaAgano la Kale.

2. Sadaka ya Yesu ilikuwa kamilifu na isiyo kasoro ya wakati wote nawatu wote wanamfuata kama Bwana na Mwokozi.

3. Tunapaswa kupenda na kusamehe kama Yesu, kwa vile Alilipa beiya dhambi za kila mtu.

Ukombozi wa Yesu*Yesu alikuja kutoa Uhai Wake kama Fidia Kwa Ajili ya Wengi- Mathayo 20:28. *Unabii waZakaria- Luka 1:67-80. *Ukombozi katika kifo cha Yesu - Warumi 3:22-26. *Lakini wakatiulipotimia Mungu alimtuma Mwanwe, aliyezaliwa na mwanamke, aliyezaliwa chini ya sheria, iliawakomboe wale waliokuwa chini ya sheria, ili tupate kufanywa wana …- Wagalatia 4:4-7.*Maana Kristo aliteseka mara moja tu, mwadilifu kwa ajili ya waovu, wakosaji, ili apate kumletakwa Mungu- 1 Petro 3:18-20. *Yesu Ni Mfalme Wa Amani- Isaya 9:6. *Hadithi za Sadaka yaYesu- Mathayo 27; Marko 15; Luka 23; Yohana 19. *Mafundisho Juu ya Sadaka ya Yesu-Waebrania 7-10. *Maana Yeye ni Amani yetu, aliyefanya makundi yote ya kundi moja(Wayahudi na Mataifa) na kuvunja ukuta wa uhasama uliowagawanya… basi sasa ninyi siwageni tena, bali raia pamoja na watakatifu, na watu wa familia ya Mungu. -Waefeso 2:14 nakuendelea.

Yesu Kama Mbuzi Aondoaye Dhambi* Yesu Kama Dhabihu Inayotolewa Nje ya Kambi - Luka 23; Mathayo 24-27; Marko 15;Yohana 19. *Yesu Pia, Ili Apate Kuwatakasa Watu Kwa Damu Yake Mwenyewe, Aliteseka NjeYa Lango - Waebrania 13:11-13.

[Ilani: Mtindo unaoendelea au uhasama ulivyo unaweza kutulizwa kabisa katika uhusiano na Yesu Kristo. Swali ni je hivi vitakuwaje? Msamahani kazi ngumu kwa sababu ya kina cha dhambi ya wanadamu na hamu yetu ya kutaka haki itendeke. Mungu amekuwa wa rehema sana kwa kutoanjia ya msamaha ili alete uponyaji na amani kwa watu. Kwa hiyo tunapokabiliana na masuala magumu ya msamaha, jambo ambalo ni lazima tujuena kukubali mioyoni mwetu ni kwamba tayari Yesu amelipa bei. Kama vile alivyokufa kwa ajili ya dhambi zetu, Pia amekufa kwa ajili ya mtuyule au kundi la watu ambao wametukosea. Kitu anachotuhimiza Yesu ni kusamehe na kupenda kama alivyofanya. Hapa kuna hatua fulani zakuleta uponyaji na upatanisho kati ya watu.

Somo La 3 Kuleta Ukamilifu kwa Msamaha na Upatanisho Kati ya Watu

Page 87: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 84

Sehemu ya 3a: Ungameni dhambizenu mmoja kwa mwengine namuombe ili mpate kuponywa.

Mtu anasema- *Sisi ni wahudumu waupatanissho, tunawapatanisha watu na Munguna watu na watu.

*Hii ni picha ya moja wapo ya mambotunayohitaji kufanya ili tulete uponyaji kwawale tuliowaumiza. Tunahitaji kuungamianadhambi zetu mmoja kwa mwingine. Bibliainasema twende kwa mtu yeyote tuliyemkoseana tupatane naye. Inavutia kwamba neno languvu kabisa la kupatanisha katika Biblialimetumiwa katika Waefeso ambapo Pauloanajadili jinsi Yesu alivyovunja KILAUKUTA kati ya watu ili wapate kupatanishwawao kwa wao. Kupatanishwa na Mungu ndiyosehemu rahisi. Kupatanishwa na watu wakatimwingine kuna utata sana na kuna ugumu.*Yesu alisema tunapaswa kusamehe hata kamamtu atakuja kutuomba msamaha sabini marasaba.

*Ni lazima tusamehe bure kama Yesuanavyofundisha katika Fumbo la Mtumishiasiyesamehe. Tumepokea msamaha kutokakwa Yesu bure, kwa hiyo ni lazima tutoemsamaha bure.

*Tunapaswa kuombeana ili uponyaji upatekufanya kazi mahali palipoumia. Wakatimwingine uponyaji na uwezo wa kusamehekabisa hufanyika kwa mda, Munguanapoiponya mioyo yetu. Ni lazima tuchungetusiweke mawazo mioyoni mwetu, chuki, aukukariri makosa mioyoni mwetu. Badala yakeni lazima tukariri kuondoa dhambi za watuwengine. Baada ya mda, hivi vitatusaidiakusamehe.

Vichwa Vya Masomo:

1. Yesu anasema ni lazima twende kwa yule aliyetukosea, na twendekwa yule mwenye jambo dhidi yetu kabla kuanza kuabudu.

2. Njia moja ya kuleta uponyaji kati ya watu ni kuomba nakuungama.

3. Ni lazima tusamehe katika mfuatano wakati watu wennginewatuombapo msamaha- 70 X 7.

4. Kwa kumtii Yesu tunaweza kujifunza kusamehe bure kama Yeyealivyotusamehe bure.

5. Taratibu za kanisa za nidhamu pia lazima ziwe na misingi katikanjia ya Yesu ya upatanisho, kurejeshwa upya na kufidia.

Hadithi*Kisa cha Yusufu- Mwanzo 37-50. *Yesu Anawasamehe Wale Wamwuao- Luka 23:34.*Stefano anasamehe Wale Wanaompiga Mawe, “Usiwahesabie Dhambi Hii”- Matendo 7 (v. 60).*Paulo Anasamehi kama Stefano na Yesu, “Usiwahesabie Dhambi hii”- 2 Timotheo 4:16. *YesuAnamsamehe Kahaba- Luka 7:37-50. *Yesu Anatuamuru Tupende Kama Apendavyo- Yohana15:12. Petro anauliza ni mara ngapi tutawasamehe watu wanaoendelea kutufanyia dhambi-Mathayo 18:21-22. *Fumbo la mtumishi asiyesamehe- Mathayo 18:23-35.

Maandiko* Basi, Kama Ulikuwa Tayari Kutoa Sadaka Yako Madhabahuni, Ukakumbuka Kuwa NduguYako Amekukasirikia, Acha Sadaka Yako Papo Hapo, Uende Kwanza Ukapatane Naye -Mathayo 5:23-26. * Kwa hivyo, Ungameni Dhambi Zenu Nyinyi Kwa Nyinyi Na Kuombeana IliMpate Kuponywa - Yakobo 5:16. *Yesu ameleta amani kwa vitu vilivyo Mbinguni na duniani -Kol. 1:20-22. * Kadiri Inavyowezekana Kwa Upande Wenu, Mwe Na Amani - Warumi 12:18.*Mtumishi Aliyeteseka- Isaya 53. *Unapoteseka kama mwamini uweke moyo wako kwaMungu- 1 Petro 3. *Heri ninyi watu wanapomtesa kwa sababu ya Yesu- Mathayo 5:11-12. *Ndugu Zangu, Mtu Akighafilika Katika Kosa lo lote, Ninyi Mlio wa Roho Mrejezeni Upya MtuKama Huyo Kwa Roho ya Upole, Ukijiangalia Nafsi Yako Usije Ukajaribiwa Wewe Mwenyewe- Wagalatia 6:1.

Sehemu ya 3c: Kurejeshwa Upya

Pete- Mwana Mpotevu aliporudinyumbani kwao, babake alimvisha pete.Na pia alimvisha viatu miguuni mwake nakanzu. Vitu hivi vyote viliashiriakurejeshwa upya. Tunahitaji kuwarejesha

Vichwa Vya Masomo:

1. Kurejeshwa upya ni moja wapo ya hatua muhimu sana zakukamilisho ili uponyaji ufanyike katika Mwili wa Kristo.

2. Kurejeshwa upya kunawezakuwa kurejeshwa kwa hadhi, mahaliau uhusiano.

3. Kurejeshwa upya kuko katika misingi ya kupenda na kusamehekama Yesu alivyopenda na kutusamehe. Siku zote weka nafasi.

4. Kurejeshwa upya kunategemea toba ya kweli.

Page 88: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 85

watu waliotufanyia dhambi, na ambaowamerudi kuomba msamaha. Mabadilikoya mtindo wa maisha au matendo kawaidayanatakiwa ili kurejeshwa upya kuwezekufanyika.…kama mabadiliko tunayoyaonakatika hadithi ya Mwana Mpotevu katika tobana mtindo wa maisha.

Rejesha upya- kurudisha mahali, hadhi,mali, au uhusiano. Kurekebisha. Mwelekeowa ulimwengu ni kutorejesha kamwe.

*Wakati mwingine, tunataabika kwa sababu yadhambi za watu wengine. Wakati mwinginetunapata taabu kwa sababu ya makosa yetuwenyewe. Aina hizi zote za mateso zinawezakukombolewa. Kujifunza kutoka kwa makosayetu wenyewe kunakomboa. Na kuwapatiawatu wakati wa kujifunza kutokana na makosayao pia kunakomboa. Siku zote lazima tuachenafasi ya watu kurudi. Upendo wetuunakamilika tunaposamehe na kuwapendawengine katika utiifu. Katika mambo hayayote tunajifunza kuwa kama Yesu zaidi.

Hadithi na Maandiko*Zaburi ya Kurejeshwa upya Baada Ya Kufanya Dhambi- Zaburi 107. *YususuAnawasamehe Ndugu Zake- Mwanzo 45-50.*Yakobo na Esau Wanaungana Tena- Mwanzo 32-33. *Mtumishi Asiyesamehe- Mathayo18:23-35. *Mwana Mpotevu- Luka 15:11-32. *Mungu Anawaahidi Wenye Dhanbi walioUhamisho kurejeshwa upya- Kumbukumbu La Torati 30; Yeremia 15:16; 27:22; 29:14. Pauloanafundisha juu ya kurejeshwa upya- 2 Wakorintho 2:1-11. *Yesu Anamrejesha Petro Baada yaPetro Kumsaliti- Yohana 21:15-25. *Zaburi ya Kurejeshwa upya- Zaburi 126. *Kupenda KamaYesu Alivyopenda Ni Kutoa Maisha Yetu Kwa Ajili Yetu Wenyewe kwa Wenyewe- Yohana15:13; 1 Yohana 3:16. *Kuweni na akili moja, Ishini kwa Amani; Na Mungu Wa Upendo NaAmani Atakuwa Pamoja Nanyi- 2 Wakorintho13:11.

Sehemu ya 3d: Kulipa Fidia

Pesa- Katika kisa cha Zakayo, Yesuanaenda nyumbani kwa Zakayo. Zakayoanamwamini Yesu, na anataka kurudishapesa kwa watu aliowaibia. Tendo hilitunaliita kulipa fidia.

Fidia- kulipia jambo lililofanyika makosa,kurudisha. Kujaliza, kulipiza.

Vichwa Vya Masomo:1. Fidia ni kitendo cha kulipia makosa ambayo yamefanyiwa mtu

mwingine.2. Katika Agano la Kale, fidia ililipwa mbele za Mungu. Sadaka

ililetwa, na pia malipo ya kupewa mtu aliyekosewa. Ukwelikwamba sadaka kwa Mungu ilikuwa lazima itolewe, inaonyeshakuwa kuwafanyia dhambi wengine pia ni dhambi kwa Mungu.

Hadithi*Kisa cha Zakayo- Luka 19. *Paulo Anampatia Yohana Marko Nafasi Nyingine KatikaHuduma- Matendo 15:37-39; 2 Timotheo 4:11. Sheria za Fidia za Agano la Kale- Kutoka 21:34;na Kutoka 22.

Somo La 4 Huduma ya Upatanisho na Mwito Mkuu

Sehemu ya 4: Tumepewa Hudumaya Upatanisho tuuambie

ulimwengu.

Waamini wanaenda ulimwenguni- Pichaya watu wakiishi Huduma ya Upatanisho kwaulimwengu. Yesu alitupatia Mwito Mkuu mdamfupi kabla ya kupaa Mbinguni. Alitwambiatwende ulimwenguni kote na kufanya

Vichwa Vya Masomo:

1. Mungu ametupatia Huduma ya Upatanisho.2. Ili tupate kuleta matokeo yatarajiwayo zaidi katika huduma hii, ni

lazima tuishi huduma hii katika uhusiano wetu wa kibinafsi.3. Tunapoishi maisha ya kupatana na Mungu na wenyewe kwa

wenyewe, huthibitisha ushuhuda wetu juu ya Injili kwaulimwengu.

Maandiko

*Yesu Anavunja Kila Ukuta Wa Utengano Kati ya Wanadamu Na Mungu, Yeye ndiye Amani

Page 89: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 86

wanafunzi tukiwafundisha kila kitualichowafundisha. Lakini Injili si maneno tu,ni vitendo. Yesu alitwambia tuwapendewengine kama alivyotupenda. Tunapaswakusamehe na kupatanisha, kurejesha nakuponya uhusiano kama tu alivyotufanyia.Injili inaweza kuzuiwa na kutoishi maisha yakupatanishwa mbele za wengine, kama vilekuabudu kwetu kunavyozuiwa wakati hakunamapatano kati ya watu katika mwili wa Kristo.

Yetu- Waefeso 2:14-22. * Hivyo Watu Wote Watatambua Ya Kuwa Ninyi Mmekuwa WanafunziWangu, Mkiwa na Upendo Ninyi Kwa Ninyi - Yohana 13:35. * Mkutano Mkubwa Sana, WatuWa Kila Taifa, Na Kabila, Na Jamaa, Na Lugha, Wamesimama Mbele Ya Kile Kiti Cha Enzi, NaMbele Za Mwana-Kondoo - Ufunuo 7:9-10. *Mungu alitupatanisha na Yeye Mwenyewe,akatupatia Huduma ya Upatanisho, sisi ni mabalozi Wake- - 2 Wakorintho 5:18-20.*Tulipatanishwa wakati tulikuwa maadui, na zaidi sana tutaokolewa na uhai Wake -Warumi5:10-11.

Page 90: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 87

Sura ya 8 Kielelezo : Jinsi ya Kutambua Dini za Uongo

Page 91: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 88

Picha Iliyorahisishwa kwa ajili ya Sura ya 8

Page 92: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 89

Sura ya 8 Jinsi ya Kutambua Dini Ya Uongo

Maelezo ya Jumla ya Picha:

Kielelezo cha 8 ni mwongozo uonekanao wa kutusaidia kuchanganuadini za uongo. Dini za uongo hutokea wakati watu wanapokataa Ufunuowa Mungu wa Jumla juu Yake Mwenyewe kupitia kwa Uumbaji(Warumi 1; iliyoelezwa kwenye safu ya kushoto); au wakati watuwanapokataa Ufunuo Wake Maalumu (mafundisho katika Biblia;imeelezewa kwenye safu ya kulia) uliofunuliwa kupitia Biblia, Yesu, naRoho Mtakatifu.

Kuna aina tofauti za dini za uongo:1.Kuna zile ambazo zimejiundia mfumo wao wote wa miungu wakuabudiwa na kuogopewa. Dini kama vile Uhindu, Ubudha, Ubahai, nadini za roho ni baadhi ya mifano2.Kuna makundi ambayo yanaongeza seti ya mafundisho na kitabukingine ambacho wanakichukulia kina mamlaka sana kwa Biblia. Hivivitabu vingine haviungi mkono mafundisho ya Biblia kisahihi. Mifanohujumuisha: Uislamu (Kurani) na Umemoni (Kitabu cha Memoni, navingine).3.Kuna makundi mengine ambayo huonekana kwamba ni wafuasi waYesu, lakini wameongeza mafundisho yao wenyewe au fasiri

ngeni katika Biblia. Aidha wanaweza kuwa maandiko yao. Mifano hujumuisha:Mashahidi wa Yehova; na watu wadaio kuwa wao ni manabii.4. Makundi ya mseto, wanachanganya vipengele vya au taratibu/tambiko kutoka kwenye dini zao za kimila na Biblia.Hii sana sana hufanyika kati ya dini za roho na dini kubwa kama vile Uislamu na Ukristo5. Wale wafundishao kwamba dini zote zinamwelekea huyo mungu mmoja.6. Kuna wale ambao hawaamini mungu yeyote (Wakanamungu na Waagnostiki).

Maelezo ya kielezo hiki. Safu ya kushoto inaonyesha maendeleo ya jamii ambayo imegeukia miungu ya uongo kwakukataa Ufunuo wa Mungu wa Jumla kupitia kwa Uumbaji. Safu ya kulia ina mafundisho ya uongo kwa ya jumla kamamatokeo ya kukataa au kutojua Ufunuo Maalumu wa Mungu unaotolewa kupitia kwa Biblia, Roho Mtakatifu, na Yesu(tazama Sura ya 3). Kujifunza sifa hizi za jumla za dini za uongo kutasaidia watu kujua na kutambua dini za uongokutoka kila mahali.

Wakati mwingine usambaaji wa dini za uongo huwavunja moyo wafuasi wa Yesu wanapotazama misaada yote yakitajiri kutoka kwa baadhi ya hizi dini huleta katika jamii. Lakini kumbukeni Shetani alivyomjaribu Yesu. Shetanialipomjaribu Yesu kule jangwani, alimpeleka juu ya mlima mrefu na kumwonyesha falme zote za ulimwengu.Akamwambia Yesu kwamba akimwinamia na kumsujudia tu falme hizi zote zitakuwa zake. Kutoka katika hadithi yaMathayo 4, tunajua kwamba Yesu hakumwinamia Shetani. Ufalme wa Yesu ulipaswa kuingia kwa njia tofauti, sio ulewa kupewa utajiri mwingi wa ulimwenguni na sio wa kuvuta halaiki ya watu. Mara nyingi ulimwengu unavutwa naishara za nje na utajiri. Ikiwa hatutakuwa waangalifu kanisa pia litasukumwa kufikiri ati ufanisi uko katika kujengamajengo makubwa makubwa, ilhali jengo la kanisa la kweli ni uanafunzi na ushuhuda wa Injili.

Dini za uongo huvutia watu. Yesu alisema, “Palipo na mzoga ndipo tai wakusanyikapo,” alipokuwa akisema juu yamvuto wa manabii wa uongo. Biblia pia inasema kwamba hata watu wa Mungu wanaweza kujaribiwa na kupotezwa njiana ujanja wa dini za uongo. Kwa hivyo ni lazima tufundishe ukweli, na tuwafikie wengine na kile atupacho Mungu.Moja wapo ya mambo mazuri zaidi kanisa huko ng’ambo linaweza kufanya ni kuwa na uhakika wa kufanya kilamuumini amefanywa kuwa mwanafunzi, wanaume, wanawake na watoto waijumuishwa. Tumia mwongozo huukufundisha wengine kutambua dini za uongo katika eneo lako.

Njia za Kufundishia Sura hii:

Page 93: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 90

1. Njia ya Kupitia kirahisi. Fundisha taarifa iliyoelezewa katika kupitia kwa jumla hapo juu, huku ukichora hizopicha. Angalia aina za dini za uongo nchini mwako na uziongeze kwenye somo

2. Njia ya Mada. Chukua kila sehemu kuu ya somo na uifundishe kivyake kwa mda. Tumia marejeo ya maandiko nahadithi zilizojumuishwa katika mwongozo wa somo. Unaweza kuanza na baadhi ya dini za uongo maarufu katikanchi yako. Unapokuwa ukifundisha kila kisanduku katika somo, tumia majibu ya Kibiblia dhidi ya mafundisho yauongo.

3. Njia ya Kina/Utondoti. Njia inayoingia ndani zaidi. Soma eneo la Maandiko kutoka kila picha na somo.4. Njia ya Mahubiri. Ni vizuri siku zote kuanza na ufunuo wa Mungu kupitia uumbaji kwa vile unahusu watu wote

kila mahali. Na halafu soma Warumi 1:18 kwendelea, ukijadili mafundisho ya safu ya kwanza kushoto mwa picha.5. Njia ya Mwamini Mkomaavu. Ni muhimu kufundisha sehemu hizi za dini za uongo ili kusaidia kutia

nguvu imani ya waamini na kuwasaidia kuchanganua tofauti kati ya ile ambayo ni ya uongo na ile ambayoni ya kweli.

Malengo ya Sura ya 8:

1. Kuwafundisha waamini kutambua sifa na mafundisho ya dini za uongo.

2. Kutambua jinsi kuabudu sanamu kulivyo kuharibifu.

3. Kujenga msingi imara wa mafundisho ya Biblia ili waamini wasipotoke kwenye imani.

4. Kutoa nyenzo za kufundishia kwa viongozi, wazazi, na watoto kufundishana wanavyoendelea kukariri picha namafundisho ya Maandiko yaliyojumuishwa katika sura hii.

Sura Zinazohusiana

Sura ya 1 na ya 2: Mungu amejifunua Mwenyewe kupitia uumbaji. Shetani anafanya kazi ulimwenguni ili awafanye watuwamwabudu na kumtumikia. Anawajuza watu mafundisho ya uongo, tambiko, na anawataka watu waishi katika hofu ya pepo.

Sura ya 3: Mungu amefunua mafundisho maalumu juu yake Mwenyewe kupitia kwa Neno, Yesu, na Roho Mtakatifu.

Sura ya 4: Hatuwezi kuabudu au kutumikia miungu kando na yule Mungu mmoja na wa kweli.

Sura ya 8: Dini za Uongo hupotosha mafundisho kuhusu Yesu na uungu Wake.

Sura ya 5: Watu katika Ufalme wa Giza wamenaswa katika ukabila, fujo, uzinzi, kutumikia tamaa zao wenyewe

Sura ya 9: Ufanisi katika Vita Vya Kiroho hutegemea ukuaji wa kiroho wa mwamini.

Sura ya 10: Mila na desturi za nchi yoyote zinahitaji kupimwa kwa Neno la Mungu.

Sura ya 12: Wapinga-Kristo na wale wawafuatao siku ya mwisho watatupwa katika Ziwa la Moto.

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Sifa za Wale Wanaokataa Ufunuo wa Jumla wa Mungu

Picha na Maelezo Vichwa Vya Masomo, Biblia Hadithi, and Maandiko

Sehemu ya 1: Watuwanageukia miungu ya

uwongo kwa sababuwamekataa ufunuo wa jumlawa Mungu kupitia uumbaji.

Vichwa Vya Masomo:1. Upande wa kushoto kwenda chini unaonyesha mafundisho ya Paulo

katika Warumi 1 juu ya kuharibika kwa jamii wakati wanapomkataaMungu wa Kweli.

2. Mungu hujifunua kupitia uumbaji wake, lakini watu wenginewameukataa ufunuo huu na kujitengenezea miungi yao wenyewe.

Warumi 1:18-21 inasema, “Kwa maana ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka

Page 94: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 91

Msitari unaopita kati ya watu nadunia – Chanzo hasa cha dini zauwongo ni kuukataa ufunuo wa jumlawa Mungu alioufunua katika mioyo yao,na ulimwenguni.

Upande wa kushoto – Mfululizo wamatokeo ya kuukutataa ufunuo waMungu wa jumla, kulingana na Warumi1.

mbinguni juu ya uasi wote na uovu wa wanadamu waipingao kweli kwa uovu. Kwa kuwa mambo yaMungu yanayojulikana yamekuwa dhahiri ndani yao, kwa maana Mungu aliwadhihirishia. Kwasababu mambo yake yasiyoonekana tangu kuumbwa ulimwengu yanaonekana, na kufahamika kwakazi zake; yaani, uweza wake wa milele na Uungu wake; hata wasiwe na udhuru.”

Sehemu ya 1a: Watuwanapokataa ufunuo wa

Mungu kupitia uumbaji wake,hujitengenezea miungu yao

wenyewe.

Sanduku la 2: sanamu- Nyinginezinafanana na watu, nyinginezinafanana na viumbe vya kipepo,nyingine zinafanana na wanyamana vitu vingine vilivyoumbwa –watu wanapokataa kile Mungualichofunua juu yake katika uumbaji,huegeukia sanamu walizozitengenezawao wenyewe. Kuabudu sanamuhuingiza mtu katika uchafu.

Vichwa Vya Masomo:1. Watu hutengeneza miungu yao kwa mfano wa vitu vilivyoumbwa, na na

kufuatisha imani zao kulingana na tamaa zao. Miungu minginehufanana na wanyama, watu, wadudu, au mchanganyiko wa baadhi yaviumbe hivyo.

Warumi 1:22-23 inasema, “Wakijinena kuwa wenye hekima walipumbazika; wakaubadiliutukufu wa Mungu asiye na uharibifu kwa mfano wa sura ya binadamu aliye na uharibifu, na yandege, na ya wanyama, na ya vitambaavyo.”

2. Baadhi ya ibada za sanamu kawaida na nyingine ni za aibu.3. Aina mbalimbali za uchawi ni ni sehemu ya kuabudu sanamu. Mungu

amewakataza waamini kuiga au kujiingiza katika uchawi wa ainayoyote ile.

4. Watu huandaa sherehe na matambiko kama sehemu ya kuabudusanamu kwao.

5. Lakini Mungu ndiye aliyeanzisha sherehe (lazima ziwe ninamleteaheshima), Mwezi na Jua Viliumbwa Kuashiria Sherehe, Siku na Miaka- Mwanzo 1:14.

6. Angalia Mafundisho ya Biblia ya Ziada juu ya uchawi mwishoni mwasura hii.

Hadithi*Sheria Juu ya Sanamu Na Kuingia Katika Nchi ya Ahadi - Kutoka 34:11-17. *Mungu AaiadhibuIsraeli kwa Kuabudu Sanamu - Kumbukumbu La Torati 32. *Mfalme Ahazi aliwaendea miungu yamataifa mengine kwa sababu ya ufanisi wao wa kijeshi. Lakini ikawa chanzo cha kuanguka kwake naIsraeli yote - 2 Mambo Ya Nyakati 28:23. *Watu wanamkataa Mungu kama Mfalme Wao, Kamawanavyoifuata Miungu ya Sanamu - 1 Samueli 8 (kifungu cha 8). *Waisraeli wapelekwa uhamishonikwa sababu ya kuabudu sanamu; Waisraeli wanajaribu kumtumikia Mungu na sanamu - 2 Wafalme 17.*Sanamu zilikuwa mtego kwa Gideoni hata baada kuwashinda Wamidiani - Waamuzi 8: 26-27 (angaliaWaamuzi 6-8 uone hadithi hii). *Sanamu ya Dagoni yaanguka mbele ya Sanduku La Agano -1 Samueli5:3-5. *Nebukadneza Anajitangaza kuwa Mungu (kuwaabudu watawala)- Danieli 6. *Mfalme Manaseanamwacha Bwana, na kutoa sadaka kwa miungu ya sanamu - 2 Mambo Ya Nyakati 33:15.*Mungu niBwana wa Milima na Mabonde - 1 Wafalme 20 (kifungu 28). *Paulo na Barinaba Wanadhiwa KuwaMiungu- Matendo 14:8-24 (vifungu vya 15-18). *Mfalme Yehoshafati Anajivunia Njia za Bwana,Anaziondoa sanamu na sehemu zilizoinuka - 2 Mambo Ya Nyakati 17. *Mfalme Sulemani AnajengaHekalu Kwa Jina la Bwana, lakini si kwa mfano unaomwakilisha yeye - 2 Mambo Ya Nyakati6:5,6,7,10. *Mfalme Yosia Ali Anapiga Marufuku Kuabudu Sanamu - 2 Wafalme 22-23. *PauloAnatambua hali ya kiroho ya wale wanaobudu sanamu, lakini anahuburi juu ya Mungu mmoja wa

Page 95: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 92

Kweli - Matendo 17:14-34. *Kuabudu Sanamu Huambatana Na Uchawi - 2 Wafalme 21; Nahumu 3:1-19. *Amri ya Mungu Juu ya Uchawi - Kumbukumbu La Torati 18:9-18; Kutoka 22:18. Imeendelezwahapo chini

Kuendelea Kujifunza Maandiko Yanayohusu Kuabudu Sanamu

Sherehe na Matambiko Huwakilisha Dini za Uwongo: *Waabuduo Sanamu Waliketi na Kula na Kunywa, na Kucheza - 1 Wakorintho10:7; linganisha na Kutoka 32:5-6. *Haruni anamkosea Mungu kwa kutangaza sherehe kwa ajili ya Ndama wa Dhahabu - Kutoka 32. *WaisraeliWanamkosea Mungu kwa kujiingiza katika uzinzi na kutolea sadaka miungu ya Moabu - Hesabu 25:1-9. *Mfalme Yeroboamu Anamtenda dhambiMungu kwa kuanzisha Sherehe ya Ndama Wawili wa Dhahabu Aliowatengeneza Ili Waabudiwe -1 Wafalme 12:25 kuendelea.

Maandiko*Msiige Matendo Ya Mataifa - Kutoka 34:11-17.*Kuabudu Sanamu ni Mtego - Kumbukumbu La Torati 7:16, 25-26. *Mungu anaonyesha uzitowa kuabudu sanamu na wa kuabudu nyota, jua, na mwezi - Kumbukumbu La Torati 17:2-3. *Desturi za watu ni Danganyifu, Sanamu ni Kazi YaFundistadi, Lazima Zibebwe Kwa Sababu Haziwezi Kutembea; Wajinga Hutengeneza Sanamu, Mungu ndiye Mungu wa Kweli - Yeremia 10:3-10;12-15; 51:17-19; Isaya 44:10-20; Hosea 13:2. *Miungu ya Uwongo Itaangamia Ulimwenguni - Yeremia 10:11, 15. *Miungu haiwezi kujibumaombi yetu - Isaya 46:5-11. *Miungu yote itamwinamia Bwana - Zaburi 97:7. *Kuabudu Kazi ya Mikono Yako ni ujinga, Lakini BWANA yukatika hekali lake takatifu; kila mtu duniani anyamaze mbele zake - Habakuki 2:18. *Wale Wanaotengeneza Sanamu Wafanana na Sanamu Hizo -Zaburi 115: 4-8. *Huzuni Itaongezeka Kwa Wale Wanaoenda Kwa Miungu Wengine - Zaburi 16:4. *Wanaomchokoza Mungu - Yeremia 11:17;32:29. *Watenda dhambi husema kwamba wataendelea kufuata itikadi zao walizoachiwa na mababu zao, wafalme, maafisa wa serikali, n.k. -Yeremia 44 (angalia pia 2 Wafalme 17:40-41; na Ufunuo 8:20-21). *Uchawi/Uaguzi, Kuabudu Sanamu ni Tendo La Mwili - Wagalatia 5:20.

Maagizo kwa waamini juu ya sherehe za kipagani:*Mungu ndiye aliyeanzisha sherehe (lakini sharti zimpe yeye utukufu), Juan a Mwezi Viliumbwa Kama Ishara za Sherehe/Sikukuu, Siku Na Miaka- Mwanzo 1:14. *Petro Anawahimiza Wakristo Wasijiingize Katika ibada za sanamu, lakini watarajie kusemwa vibaya na wale wanaojiingizakatika hizo - 1 Petro 4:3-5. *Waisraeli Wanaanzisha Sherehe Zao Wenyewe Kwa Msingi Wa Yale Aliyotenda Mungu Katika Historia -Kumbukumbu La Torati 6:10-25; Kutoka 12; 13:1-22; Mathayo 26:17-30; 1 Wakorintho 11:23-34. *Paulo Anashughulikia Swala la Sherehe KwaWaamini - 1 Wakorintho 8-10. *Mungu analihukumu kanisa la Pergamo kwa ajili ya uzinzi na kula nyama iliyotolewa kama sadaka kwa sanamu -Ufunuo 2:14. *Mungu analihukumu kanisa la Thiatira kwa ajili ya uzinzi na kula nyama iliyotolewa kama sadaka kwa sanamu - Ufunuo 2:20.Sikukuu Mbili Zilizompa Utukufu Mungu: *Mfalme Hezekia na Sikukuu ya Pasaka - 2 Mambo Ya Nyakati 30. *Mfalme Yosia na Sikukuuya Pasaka - 2 Wafalme 23; 2 Mambo Ya Nyakati 35.

Mafundisho Muhimu ya Ziada Katika Biblia Juu Ya Uchawi:

Hadithi Za Biblia Zinazoonyesha Kwamba Uchawi Haupaswi Kutumiwa na Wakristo.Simoni Mchawi alitaka kununua nguvu hizi, lakini akaitwa adui wa haki - Matendo 8:9-24. Watu wa Efeso walichoma vitabu vyao vya uchawi -Matendo 19:11-20. Pepo wa uaguzi alitolewa kutoka kwa msichana - Matendo 16:16-24. Paulo anamkemea mchawi aitwaye Bar-Yesu - Matendo13:6-12. Katika Agano la Kale, mchawi ama mwaguzi alipaswa kuuawa - Kutoka 22:18.

Hadithi Za Biblia Zinazoonyesha Kwamba nguvu za Mungu ni kuu kuliko zile za pepo.Mungu anaweza kuzifanya nguvu za uchawi kushindwa - Isaya 44:24-26. Gideoni Anavunjavunja madhabahu za Baali- Waamuzi 6:25-32.Uwezo wa Yusufu wa kutafsiri ndoto - Mwanzo 41:8-36. Hadithi ya Musa na Wachawi wa Misri - Kutoka 9:11 (Angalia mapigo yote: Kutoka7:14-11. Mapigo Yalikuwa dhidi ya Miungu ya Misri -Kutoka 12:12; Hesabu 33:4. Uwezo wa Danieli kueleza na kutafsiri ndoto ulikuwa mzurimara kumi zaidi ya ule wa wachawi wa Misri - Danieli 1:20; 2. Yesu alitoa pepo - Luka 11:15-23. Mfalme Ahazi anamwacha Mungu nakuwaendea mingine akidhani itamsaidia - 2 Mambo Ya Nyakati 28:9-27. Simoni Mchawi Alifikiri Anaweza Kununua Nguvu za Roho Mtakatifu -Matendo 8:9-25. Barnaba na Paulo Wanakabiliana na Nabii wa Uwongo wa Kiyahudi - Matendo 13:6 kuendelea.*Kufanya Laana Za Wenye Kiburi Kutofaulu, Kuwafanya Waaguzi Kuwa Wajinga, Mimi Ndimi Niliyeambia Kilindi cha Bahari, ‘Kauka!’ NaNitakausha Mito Yako - Isaya 44:24-28.

Uchawi unaonyeshwaje katika Biblia?Uchawi ni sawa na dhambi ya uasi. 1 Samueli 15:23. Unaenda pamoja na kuabudu sanamu na ukahaba. 2 Mambo Ya Nyakati 33:6; 2 Wafalme9:22. Ni kazi za mwili. Wagalatia 5:20. Wale wanaotenda uchawi watatupwa katika ziwa la moto. Ufunuo 21:8.

Je, tuna nguvu gani dhidi ya pepo?Yesu alikuja kuzivunja nguvu za Shetani. 1 Yohana 3:8. Yesu alikufa ili kuharibu nguvu za giza. Wakolosai 2:15. Yesu ameketi juu ya nguvu zote.Waefeso 1:20Ametuketisha pamoja naye na anatupa nguvu kupita kwake. Waefeso 2:6. Hatupaswi kuzungumza na pepo moja kwa moja. Yuda 9-10; 2 Petro2:9-22. Lakini mwite Yesu awafunge na kuwatoa.

Sehemu ya 1b: Mungualiwaacha Wafanye uzinzi NaKuikosea Heshima miili yao.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu aliwafanya watu waabuduo sanamu kufuata uzinzi ili waikosee

heshima miili yao.Warumi 1:24-32 says, “Kwa Ajili Ya Hayo Mungu Aliwaacha Katika Tamaa Za Mioyo Yao,

Page 96: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 93

Sanduku la 3: Mwanamke akiwakitandani, na mwanamumeakimwegemea pembeni/mapenzinje ya ndoa - Mungu aliwaachawafanye uzinzi ili waikosee heshimamiili yao miongoni mwao.

Waufuate Uchafu, Hata Wakavunjiana Heshima Miili yao. Kwa Maana Waliibadili Kweli ya MunguKuwa Uongo, Wakakisujudia Kiumbe Na Kukiabudu Badala Ya Muumba Anayehimidiwa Milele.Amina. Hivyo Mungu Aliwaacha Wafuate Tamaa Zao Za Aibu, Hata Wanawake WakabadiliMatumizi Ya Asili Kwa Matumizi Yasiyo Ya asili; Wanaume Nao Vivyo Hivyo WaliyaachaMatumizi Ya Mke, Ya Asili, Wakawakiana Tamaa, Wanaume Wakiyatenda Yasiyopasa, WakapataNafsini Mwao Malipo Ya Upotevu Wao Yaliyo Haki Yao. Na Kama Walivyokataa Kuwa na MunguKatika Fahamu Zao, Mungu Aliwaacha Wafuate Akili Zao Zisizofaa, Wayafanye Yasiyowapasa.Wamejawa na Udhalimu Wa Kila Namna, Uovu Na Tamaa Na Ubaya; Wamejawa Na Husuda, naUuaji, Na Fitina, na Hadaa; Watu Wa Nia Mbaya, Wenye Kusengenya, Wenye Kusingizia, WenyeKumchukia Mungu, Wenye Jeuri, Wenye Kutakabari, Wenye Majivuno, Wenye Kutunga Mabaya,Wasiowatii Wazazi Wao, Wasio Na Ufahamu, Wenye Kuvunja Maagano, Wasiopenda Jamaa Zao,Wasio Na Rehema; Ambao Wakijua Sana Hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayowamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao.”

2. Kuabudu Sanamu Kunahusiana na uzinzi wa kiroho, na kila aina yauzinzi katika Maandiko.

Hadithi*Sodomu na Gomora- Mwanzo 18-19:29. *Yuda na Kahaba wa Hekaluni - Mwanzo 38. *EliyaAnakabiliana na Manabii wa Baali (Mungu wa rutuba)- 1 Wafalme 18:20-46. *Uzinzi unashutumiwana Ezekieli - Ezekieli 22:9-11. *Waisraeli Waliungana na Baali wa Peori -Hesabu 25:1-9. *KuabuduSanamu ni Sawa na Kufanya Ukahaba na Mataifa - Ezekieli 16; 23; Isaya 57. *Vipawa vyote, uzuriwote, dhahabu, nguo, manukato, mkate, n.k ambavyo Waisraeli walipewa na Mungu walivitumiakuabudia miungu ya kigeni - Ezekieli 16. *Watu Waliendelea Kujiingiza Katika Ukahaba - Hosea 4.*Watu wa Yuda “Walimtupia Mungu Kisogo” na kufuata sanamu; Makahaba wa kiume Yuda - 1Wafalme 14 (angalia vifungu vya 9 na 22-24). *Asa Anawaondoa makahaba wa Kiume na SanamuKatika Nchi - 1 Wafalme 15:8-24. *Nabii Ezekieli Anakemea Uasherati - Ezekieli 23. *Kahaba MkuuWa Kitabu cha Ufunuo - Ufunuo 17. *Kujaamiana kwa maharimu katika Kanisa La Korintho - 1Wakorintho 5:1. *Msishirikiane na ndugu yeyote wa Kikristo ambaye anaabudu sanamu - 1Wakorintho 5:10-13. *Baba na Mwanawe Walala na Msichana Mmoja - Amosi 2:7. *KuabuduSanamu ni Sawa na Kuzini Kiroho na Jiwe na Mti –Yeremia 3:9; Yeremia 5:7-8. *Mungu AliwaachaKufuata Tamaa Zao - Warumi 1:24-32. *Orodha Ya Dhambi Za Zinaa na Kuabudu Sanamu -1Wakorintho6:9. *Ushoga na Kulala na Wanyama ni Machukizo Mbele za Mungu - Mambo ya Walawi18:22-24. *Kuzini na Mke Wa Jirani Yako, Mkaza Mwanao, Dada yako, yote yanahusiana na kuabudusanami - Ezekieli 22:9-11. *Nini Hatima Ya Miungi ua Uwongo - Yeremia 10:10-15.*Maandiko Mengine Yanayohusiana na Haya - Kutoka 32:6, 25 (linganisha na 1 Wakorintho 10:7-8);Hesabu 25:1-3; 1 Wafalme 14:24; 15:12; 23:7; Amosi 2:8.

Sehemu ya 1c: Kisha MunguAliwaacha Kufuata Tamaa zaona kutenda kila aina ya uovu.

Sanduku la 4: Kuua; kuwanyasawanawake au watu; kuharibiawatu majina; au mazoea mabayakama vile kunywa pombe; ngono,au dawa za kulevya – Mungualiwafanya wafuate nia zao potovuna kutenda kila aina ya uovu.

Vichwa Vya Masomo:1. Kisha Mungu aliwaacha kufuata tamaa zao na kutenda kila aina ya

uovu.Warumi 1:28-32 inasema, “Na Kama Walivyokataa Kuwa na Mungu Katika Fahamu Zao,Mungu Aliwaacha Wafuate Akili Zao Zisizofaa, Wayafanye Yasiyowapasa. Wamejawa na UdhalimuWa Kila Namna, Uovu na Tamaa na Ubaya; Wamejawa Na Husuda, Na Uuaji, Na Fitina, na Hadaa;Watu Wa Nia Mbaya, Wenye Kusengenya, Wenye Kusingizia, Wenye Kumchukia Mungu, WenyeJeuri, Wenye Kutakabari, Wenye Majivuno, Wenye Kutunga Mabaya, Wasiowatii Wazazi Wao, WasioNa Ufahamu, Wenye Kuvunja Maagano, Wasiopenda Jamaa Zao, Wasio Na Rehema; Ambao WakijuaSana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo,wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao.”Hadithi na Maandiko yanayohusu vichwa mbalimbaliUchawi:* Mfalme wa Israeli aitwaye Manase ajiingiza katika Uchawi -2 Wafalme 21:1-18 (kifungucha 6). *Waisraeli wanatenda machukizo kwa siri – wahusika katika Uchawi - 2 Wafalme 17 (kifungu9). *Mungu anahukumu Ninawi kwa sababu ya Uchawi - Nahumu 3:1-19 (kifungu 4). *Mfalme SauliAnamwasi Mungu: Uasi ni Sawa na Dhambi ya Uaguzi - 1 Samueli 15:1-23 (kifungu 23). *Walewanatenda Uchawi Watatupwa katika Ziwa La Moto - Ufunuo 21:8. Ulevi: *Walikunywa Mvinyo waUkahaba - Ufunuo 17; 18:3; Yeremia 51:7. *Haruni Anatangaza Sikukuu Kwa Ajili ya Ndama waDhahabu - Kutoka 32. *Kunywa na Maandiko Ukutani- Danieli 5. *Mvinyo una Hila - Mithali 20:1.*Maelezo ya Mlevi - Mithali 23:29-35. Kuua: *Ahabu na Yezebeli wanapanga kumuua Nabothi- 1Wafalme 21. *Farao- Kutoka 1. *Mlawi na Suria - Waamuzi 19. *Uchawi/Uaguzi, Kuabudu Sanamu niTendo la Mwili - Wagalatia 5:20. : *Moleki- Mambo ya Walawi 18:21. *Watu Miongoni mwenuwanaopenda kuharibia wengine majina, au Kupokea Hongo Ili Wamwage Damu - Ezekieli 22:9, 13.*Kuua watu Wasio na Hatia, Bonde La Machinjoi - Yeremia 19:4ff. *Wenye Haki Wanaangamia IliKuondolewa Kutoka kwenye Uovu - Isaya 57. Matendo ya mwili - Wagalatia 5:19-22. *Kupendafedha ndicho chanzo cha uovu - 1 Timotheo 6:10.

Page 97: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 94

Sehemu ya 1d: Matokeo yakeni kwamba watu huaminikwamba matendo mema

katika jamii yatawasaidiakatika maisha yajayo.

Sanduku la 5: Familia mojaikitunza familia nyingine katikajamii – Watu huona mambo mabayayakitendeka katika ulimwengu wao, kwahiyo hufikiria kwamba wakitenda memakatika jamii yao, wataishi vyema katikamaisha yajayo. Hawatambui kwambadhambi imewatenganisha na uwepo waMungu Mtakatifu. Matendo mazurihayawezi kufuta dhambi.

Vichwa Vya Masomo:1. Matokeo yake ni kwamba watu huamini kwamba matendo mema

katika jamii yatawasaidia katika maisha yajayo. (Tambua kwamba hiihaifuati yale yaliyotajwa katika Warumi 1, lakini ni mambo ya kawaidakabisa katika dini za kipagani.)

2. Dini nyingi za uwongo zinaamini kwamba wokovu hupatikana kupitiakwa matendo.

3. Sanduku hili sharti vilevile lifundishwe pamoja na msitari ufuatao, kwakuwa linahusu mafundisho maalum ya wokovu.

Hadithi and Maandiko*Ibrahimu, Haki Huja Kwa Imani - Mwanzo 15; Wagalatia 3:6-29; Warumi 4:3-*Hatuwezi KwendaMbinguni Kwa Bidii Zetu - Waefeso 2:8-9. *Kila Mtu ametenda Dhambi - Warumi 3:23. *Wokovu NiKarama Ya Mungu Kupitia Kwa Yesu - Warumi 6:23. *Ikiwa Wokovu na Haki Vinaweza KupatikanaKupitia Kwa Sheria, Basi Kristo Alikufa Bure- Wagalatia 2:16-21. *Haki Yetu Ni Sawa Na Matambaramachafu - Isaya 63:6.25; Yakobo 2:23-26.

Sehemu ya 1e: Dini za uwongozinaweza kuwa na vipengele

vya kutofuata nadharia mojaau vya kuchanganya imani za

dini nyingine (hata Ukristo).

Sanduku la 6: Sanamuikiwakilisha dini za uwongo,Biblia ikiwakilisha imani yaKikristo (lakini inawezakuwakilisha imani yoyotenyingine inayoongezwa katikaimani ya Kikristo)- Watu hupendakuchanganya tamaduni zao na imanina dini nyingine. Paulo aliwapongezaWathesalonike kwa kuacha kuabudusanamu na kumtumikia Mungu aliye haina wa kweli.

Vichwa Vya Masomo:1. Dini za uwongo zinaweza kuwa na vipengele vya kutofuata nadharia

moja au vya kuchanganya imani za dini nyingine (hata Ukristo!).2. Dini nyingine zinahitilafiana hizo zenyewe, lakini katika kuabudu

miungu wengi hili ni jambo la kawaida.3. Msitari huu wa mwisho unaweza kutumiwa kufundishia kukataliwa

kwa ufunuo maalum wa Mungu kwamba Yesu ndiye njia pekee yawokovu.

Hadithi*Waisraeli waliabudu sanamu Misri hata ijapokuwa walimjua Mungu, Mungu aliamua Kuwakomboakutoka utumwani ili kuwaonyesha yeye ni nani - Ezekieli 20:6-10. *Waisraeli wana mashaka naMungu na Musa, na kuamua kutengeneza Sanamu ya Ndama wa Dhahabu - Kutoka 32. *Wafalme wakigeni wanajaribu kufuata miungu yao na wakati huo huo kujaribu kumtumikia Mungu wa Israeli kwawakati mmoja walipokuwa Samaria; watu walifuata mfano huu na katika kutenda hivyo, wakamwasiMungu - 2 Wafalme 17:27-41. *Yakobo anaiondoa miungu ya Kigeni - Mwanzo 35. *Stefanoanajitetea, Waisraeli wanaabudu sanamu jangwani baada ya kutoka Misri - Matendo 7:41-43.*Sulemani apotoshwa na Wake wa Kigeni - 1 Wafalme 11:1-11. *Yoshua anawaambia watu waiwekekando miungu waliyoitumikia awali, hata ile ambayo mababu zao waliabudu zamani. Sasaanawahimiza wamtumikie Mungu Mmoja wa Kweli aliyewatoa kutoka utumwani - Yoshua 24:14-29.*Safari ya Ezekieli Kwenda Katika Hekalu lililojaa Sanamu - Ezekieli 8-9. *Watu wana sanamuzilizokita mizizi katika mioyo yao - Ezekieli 14. *Hosea Anaoa mwanamke kahaba /taswira yakuabudu sanamu kwa Waisraeli - Hosea.

Maandiko*Kuabudu Sanamu ni nembo ya Kila Kitu Kinachompinga Kristo -Wakolosai 3:5-7. *Jiepusheni nasanamu - 1 Yohana 5:21. *Waamini Waacha Kuabudu Sanamu na Kumgeukia Mungu - 1Wathesalonike 1:9. *Waamini Wachoma vitabu vyao vya uchawi - Matendo 19:19. *Makanisa katikaKitabu cha Ufunuo Yanahukumiwa kwa Sababu ya Kuabudu sanamu - Ufunuo 2:12-29. *Msiongezewala kupunguza Yale yaliyosemwa katika Amri za Mungu - Kumbukumbu La Torati 12:32.

Somo La 2 Sifa Za Wale Wanaokataa Ufunuo Maalum Wa Mungu

Vichwa Vya Masomo:

Page 98: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 95

Sehemu ya 2: Msitari huuunaonyesha sifa za wale

wanaokataa Ufunuo Maalumwa Mungu (kupitia Biblia,Roho Mtakatifu, na Yesu).

Upande wa kulia: Biblia, RohoMtakatifu, na Yesu, vyote vinamsitari unaopitia kati yao – Diniza uwongo hukataa ufunuo maalumunaotolewa katika Biblia, RohoMtakatifu; na Yesu. Ufunuo maalum nini mafundisho yaliyo katika Bibliakuhusu imani zote zilizoko.

1. Msitari huu unaonyesha sifa za wale wanaokataa Ufunuo Maalum waMungu kupitia Biblia, Roho Mtakatifu, na kupitia Yesu.

2. Msitari huu pamoja n picha za mwisho upande wa kushoto,zinaonyesha chanzo na mambo yaliyomo katika mfundisho fulani yadini za kipagani, ambayo yamegeuza Ufunuo Maalum wa Mungu.

Sehemu ya 2a: Wapinga Kristowainuka wakifundisha

kwamba Yesu si Masihi namafundisho mengine ya

uwongo.

Sanduku la 2: Kondo weusi- Diniza uwongo kwa kiasi kikubwa nikazi za wapinga kristo. Kuna wapingakristo wengu tangu zamani. Yule mkuukati ya wote ni yule aliyetajwa namtume Paulo na waandishi wengine waAgano Jipya.

Vichwa Vya Masomo:1. A Wapinga Kristo wainuka wakifundisha kwamba Yesu si Masihi na

mafundisho mengine ya uwongo.2. Katika siku za mwisho, mpinga Kristo mkuu atajitokeza ikiwezekana

audanganye ulimwengu mzima.3. Yule anayemkana Yesu ni mwongo na ni mpinga Kristo.4. Mtu yeyote akijitokeza kusema kwamba yeye ni Yesu, msimwamini.

Yesu atarudi duniani katika mawingi ili wote wamwone.

Maandiko*Watu Watainuka Hata Kutoka Miongoni Mwa Waamini wa Kanisa na Kujitafutia Wanafunzi waoWenyewe - Matendo 20:28-31; Wagalatia 2:4. *Yesu Anaongea Juu Ya Manabii wa Uwongo: "KishaMtu Akiwaambia, ‘Tazama, Masihi Yuko Hapa,’Au ‘Yuko Pale,’ Msimwamini. "Kwa maana Masihiwengi na manabii wengi wa uwongo watainuka na kufanya ishara na maajabu, ili wawadanganye,ikiwezekana hata wateule. "Tazama, Nimewaambieni mapema. “Wakimwambia, Tazama, yukojangwani,'Msiende, Au, Tazama, Yuko Chumbani, 'Msiwaamini. “Kwa maana kama umeme utokavyoMashariki na Kung’aa hadi Magharibi, Ndivyo Kuja Kwa Mwana wa Adamu Kutakavyokuwa -Mathayo 24:1-27; Marko 13; Luka 21. *Simoni Mchawi, Nguvu Kuu Ya Mungu -Matendo 8:5-12.*Mfalme wa Tiro Alijitangaza Kuwa Mungu - Ezekieli 28. *Kutainuka Manabii wa Uwongo MiongoniMwenu - 2 Petro 2:1-3. *Anayemkana Yesu ni Mwongo na Mpinga Kristo - 1 Yohana 2:22-23; 1Yohana 4:2-6; 2 Yohana 1:7. *Msiwapokee manabii wa uwongo nyumbani mwenu? Fire- Ufunuo 19-20. *There are many antichrists- 1 Yohana 2:18-23. *Kila anayemjua Mungu Hutusikiliza Sisi - 1Yohana 4:6. *Wale wasiofundisha kwamba Yesu alikuja katika mwili ni wapinga Kristo,msiwakaribishe manabii wa uwongo majumbani mwenu - 2 Yohana 7-11.

Sehemu ya 2b: Baadhi ya diniza uwongo huanzishwa na

kudumishwa na pepowanaojitokeza na mafundisho

yao.

Vichwa Vya Masomo:1. Baadhi ya dini za uwongo huanzishwa na kudumishwa na pepo

wanaojitokeza na mafundisho yao.2. Tambueni kwamba baadhi ya pepo hujitokeza kama malaika wa nuru

kuwadanganya watu waamini na kufuata dini za uwongo.3. Zijaribuni roho.4. Shetani mara kwa mara hujitokeza kama malaika wa nuru

kuwadanganya watu wajiingize katika dini za uwongo.

Maandiko*Pepo Hufundisha Mafundisho ya Uwongo - 1 Timotheo 4:1. *Pepo amtokea Elifazi usingizini, nakumpa habari za uwongo juu ya - Ayubu 4:12-21. *Akija malaika akihubiri Injili Nyingine, Ni

Page 99: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 96

Sanduku la 3 Malaika wa“nuru”akimtokea mtu - Dini zauongo zinaweza kujitokeza kwa watukupitia malaika wa “nuru.” Pepo hawahujitokeza na kuwafundisha watumafundisho ya uongo ili wawatumikiena kuwaogopa badala ya kumwogopaMungu. Mifano ni kama: Mohammed-Islam; Joseph Smith-Mormons, na dini.

Alaaniwe - Wagalatia 1:6-12; 2 Wakorintho 11:1-4. *Zijaribuni roho mjue ikiwa Zinatoka KwaMungu; Roho inayokiri Kwamba Yesu Alikuja, Imetoka Kwa Mungu; Roho isikiri kwamba YesuAlikuja, haitoki kwa Mungu - 1 Yohana 4:1-6. *Shetani mara nyingi hujigeuza malaika wa nuru - 2Wakorintho 11:14.

Sehemu ya 2c: Dini Za UongoHulenga Sana Moja kati ya

Mafunzo HayaKuhusu Uungu:Kukataliwa kwa Uungu Wa

Kristo, Kuamini kwamba MtuAnaweza Kuwa Mungu,Kutoamini Kwamba kunaMungu kabisa, au KuaminiKatika Miungu Wengi

Saduku la 4: Mtu kwenye kiti chaEnzi, mviringo umepigwa msitariYesu akiwa katikati-Inawakilishamafunzo ya uongo kwamba Yesuhakuwa Mungu na kwamba watuwanaweza kuwa miungu. Pamoja naupotovu huu ni kule kuamini katikamiungu wengi au kuamini kwambahakuna Mungu.

Vichwa Vya Masomo:1. Dini Za Uongo Hulenga Sana Moja kati ya Mafunzo HayaKuhusu

Uungu: Kukataliwa kwa Uungu Wa Kristo, Kuamini kwamba MtuAnaweza Kuwa Mungu, Kutoamini Kwamba kuna Mungu kabisa, auKuamini Katika Miungu Wengi

Hadithi and Maandiko*Nebukadneza Anajiinua Kama Mungu - Danieli 6. *Petro Anajitetea, Yesu Ndiye Njia Pekee -Matendo 4:1-12. *Yesu is on trial for blasphemy- Mathayo 26-27; Luka 22-23. *Kushtakiwa kwaStefano, Mafarisayo wanakataa Ukweli - Matendo 7. *Yesu Anarudi- Ufunuo 19:13-21. *Yesu NdiyeNjia Kweli Na Uzima - Yohana 14:6. *Yesu Ndiye Njia Pekee Iendayo kwa Mungu - Matendo 4:12.*Msimkufuru Roho Mtakatifu - Mathayo 12:31-32. *Paulo Anaongea na Watu wa Kolosai juu yakuwafuata watu wanaoshikilia itikadi na desturi za wanadamu au dini za kujitengenezea -Wakolosai2:20-23. *Yule asiyekiri kuja kwa Yesu katika mwili ni Mpinga Kristo - 2 Yohana 7-11.

Sehemu ya 2d: Dini Za UongoZinaweza Kutumia Bibliapamoja na Kitabu Kingine“kitatifu”

Saduku la 5: Biblia na kitabukingine-Dini za Uongo hutumia Bibliana kitabu kingine kitakatifu. Si makundiyote yanayofundisha kuhusu Yesuambayo yanazingatia Biblia au ukweli.Ni sharti upime mafundisho yao na nenola Mungu. Mtume Paulo hata alisemakwamba wanafunzi bandia huja kanisaniili kuweza kuwapotosha watuwasiufuate Ukweli. Mfano ni wa watukama hao ni kama: Uislamu, MashahidiWa Yehova, na Wamomoni.

Vichwa Vya Masomo:1. Dini Za Uongo Zinaweza Kutumia Biblia pamoja na Kitabu Kingine“kitakatifu.”

Maandiko*Wokovu Unapatikana Kupitia kwa Yesu Pekee - Matendo 4:12. *Usingeze Neno Katika Manenoyake, asije Akakulaumu Ukaonekana u Mwongo - Mithali 30:6. *Msiliongeze neno niwaamurulo walamsilipunguze, mpate kuzishika amri za BWANA - Kumbukumbu La Torati 4:2. *

Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondoleasehemu yake katika ule mti wa uzima,- Ufunuo 22: 18-19. *Msilichafue Neno la Mungu - 2Wakorintho 4:1-7. *…Kama watoto wachanga, tamanini maziwa ya kiroho yasiyoghoshiwa, ili mwezekukua kwayo katika wokovu wenu - 1 Petro 2:1-3. Ukitumia kwa Halali Neno la Mungu- 2 Timotheo2:15. *Mtu yeyote asiyebaki katika mafundisho ya Kristo, lakini anayapita, mtu huyo hana Mungu.Yule anayebaki katika mafundisho hayo, huyo ana Baba na Mwana. Mtu akija kwenu na asije namafundisho haya, msimruhusu kuingia katika nyumba zenu - 2 Yohana 7-11.

Muhtasari :*Msilichafue Neno La Mungu- 2 Wakorintho 4:1-7.Kuchafua maana yake ni kuchanganya kitu kimoja na kingine. Katika Maandiko, utashangaa kuonakwamba kuabudu sanamu kunatajwa kuwa uzinzi wa kiroho dhidi ya Ukweli wa Mungu kwakuchanganya Neno la Mungu na dini za kipagani au falsafa za kipagani.

**Angalia Sura ya 3, 9, na 10 juu ya Neno la Mungu.

Page 100: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 97

Sehemu ya 2e: Dini Za UongoZinaamini Kwamba Kuna Njia

Nyingi Za Kumfikia Mungu.

Saduku la 6: Kiti cha Enzi kikiwana njia nyingi-Dini nyingi za uongohufundisha kwamba unaweza kutumianjia nyingi sana kumfikia Mungu.Mfano wa dini hizo ni: Imani YaKiBaha’i au Dini ya Kihindu..

Vichwa Vya Masomo:1. Dini za uwongo zinaamini kwamba kuna njia nyingi za kumfikiaMungu.

Hadithi na Maandiko*Watu wa kidini wa Athene - Matendo 17:15-34. *Kuna njia Ionekanayo Kuwa Swa, Lakini mwishowake ni Mauti - Mithali 14:12. *Yesu alisema yeye ndiye Njia, Kweli na Uzima, hakuna ajaye kwaBaba pasipo kupitia kwake - Yohana 14:6. *Hakuna jina jingine chini ya mbingu ambalo mtu anawezakuokolewa kwalo, isipokuwa jina la Yesu- Matendo 4:12. *Mafundisho katika kitabu cha Yohana 10juu ya Yesu kama mlango wa kondoo - Yohana 10.

Page 101: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 98

Sura ya 9 Kielelezo:Ukuaji wa Kiroho wa Kibinafsi na Vita Vya Kiroho

Page 102: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 99

Page 103: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 100

Picha Iliyorahisishwa kwa ajili ya Sura ya 9

Page 104: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 101

Sura ya 9 Ukuaji wa Kiroho Wa Kibinafsi na Vita Vya Kiroho

Ufafanuzi wa Jumla

Kielezo cha 9 ni picha inayoonyesha vipengele vihitajiwavyo kwa ajili ya ukuaji wakiroho na jinsi ukuaji huo unavyotutia nguvu kwa ajili ya kuvipiga vita vya kiroho.Picha ilioko katikati ni ya mtu aliyevaa silaha, akitembea katika njia za Mungu. Vitualivyovaa ni vipengele vinavyoashiria kukua kiroho. Si vipengele vyenye nguvu vyenyewe.Vyote ni vipengele vya imani yetu na mwenendo wetu na Mungu, ambavyo tunatakiwakuvilea kupitia kusoma Biblia na kuomba. Vitu hivi vinajumuisha:1. Chepeo ya wokovu.

2. Dirii ya haki.3. Ukanda wa Ukweli.

4. Viatu maalumu vya vita (kwa kutangazia Injili).5. Upanga wa Roho (Biblia).6. Ngao ya Imani.

Nyuma yake kuna jaa ambapo hutupa mambo ambayo hayampendezi Mungu maishani mwake . Kutupa mambokatika maisha yetu ambayo yanatuzuia tusimfuate Mungu kwa moyo mmoja ndio ufunguo wa vita vya kiroho. Ikiwamatendo ya giza katika maisha yetu hayajatupwa hatutakua na nguvu za kutosha kiroho kushinda vita vya kiroho.

Mtu huyu anatembea kwenye njia nyoofu na kuepuka njia za upotevuni (angalia sura ya 10). Anakua kila siku kuwakama Yesu zaidi na zaidi katika tabia/hulka.

Kiti cha Enzi kinatukumbusha Ubwana/Ukuu wa Kristo katika moyo wa mwamini naye anamtegemea Yesuamsaidie kushinda vita vya kiroho.

Roho Mtakatifu na Kanuni tunazoishi kwa hizo. Tunapotembea njiani, tunahitaji kuweka msisitizo juu ya vituvinavyopaswa kuelekeza maneno na matendo yetu. Yesu alisema kuwa mambo makuu yapaswayo kuelekeza maishayetu ni Amri mbili Kuu: Kumpenda Mungu na kumpenda jirani yetu kama tujipendavyo wenyewe (amri hizozimeonyeshwa katika picha kwenye pembe ya kulia juu). Mwongozo wa pili wa maisha yetu ni Roho Mtakatifu. Yeyehutuongoza, hututia nguvu, na hututuliza (Roho Mtakatifu anamwongoza huyo mtu katika njia)

Watu wa ulimwengu huingia katika vita vya kiroho kwa njia tofauti na waamini, hasa mahali ambapo dini za kiroho nimaarufu. Katika mahali kama hapo vita vya kiroho hupiganwa kwa kuwatuliza pepo kupitia tambiko, sadaka,kuwaendea waganga na tabano. Kama unavyoona hii ni tofauti sana na kumwita Yesu, kukua kiroho, na kuwachamatendo ya giza na kupigana vita vya kiroho.

Tunapoendelea na safari yetu maishani kutakuwa na mambo mengi tofauti ambayo yatatujia na kutujaribu imani yetu naambayo yanatusaidia kuwa na nguvu zaidi:

1. Roho za pepo zitajaribu kutukandamiza na kutuvunja moyo (kiakili, kihisia, kupitia ugomvi, kushukiana, na wakatimwingine kimwili), vionyeshwavyo katika picha kama pepo wakiwalenga watu na mishale.

2. Kuteseka kama Yesu alivyoteseka- kunawakilishwa na msalaba ulio mgongoni mwa mtu. Tunaweza kuteseka kwasababu ya dhambi za wengine na kwa sababu ya kuwakataa wengine wakati tunapotaka kumfuata Bwana

3. Wakati wa nidhamu ambao Bwana huleta maishani mwetu- uonyeshwao na Mchungaji na kondoo aliyepotea.Mungu huwarudi wale awapendao.

4. Kuna dhiki za jumla na shida ambazo hutujia sote maishani. Kwa sababu ya shida maishani mwetu tunahitajikuombeana (kunaonyeshwa na watu waliosimama naye njiani wakiomba). Angalia mafundisho juu ya maombi katikaSura hii.Njia za Kufundishia Sura hii:1. Njia ya Kupitia kirahisi. Tumia maelezo ya jumla hapo juu kufundisha picha kuu ya Sura hii. Unashauriwa

kwamba baadaye urudie kwa kufundisha kila sehemu.

Page 105: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 102

2. Njia ya Mada. Mada zinaweza kujumuisha: Kuachilia mbali matendo ya giza; Kuvaa Silaha ya Nuru; Ngao yaImani; Upanga wa Roho; Ukanda wa Ukweli; Chepeo ya Wokovu; Viatu vya Injili miguuni; Maombi; Nidhamu yaMungu; Kuteseka kama Yesu; Uongozi wa Roho Mtakatifu; Kukua Kiroro; Amri Mbili Kuu Zaidi.

3. Njia ya Kina/Utondoti. Njia inayoingia ndani zaidi. Soma eneo lote la Maandiko kutoka kwa kila picha na somo.4. Njia ya Mahubiri. Weka mkazo juu ya tofauti kati ya jinsi waamini wanavyopiga vita vya kiroho na jinsi watu wa

ulimwengu wanavyopiga vita vya kiroho.5. Njia ya Mwamini Mkomaavu. Tumia sura hii kwa ajili ya mada maalumu kama vile Kuteseka; Nidhamu; Kuacha

Tabia za Kale; au masomo yaliyoorodheshwa chini ya njia ya mada.

Malengo Ya Sura ya 9

1. Kufundisha ukweli kwamba tunaweza kufanikiwa zaidi katika vita vya kiroho wakati tunapokua katika uhusianowetu na Kristo.

2. Hatua ya kwanza ya kuchukua ili tufanikiwe katika vita vya kiroho ni kuacha matendo ya giza maishani mwetu,yaani mambo yatutegayo, na mambo ambayo hayampendezi Mungu.

3. Kufundisha kwamba Yesu ndiye mwenye nguvu juu ya nguvu za ulimwengu huu.4. Kufundisha vipengele vyote vya ukuaji wa kiroho—kweli, haki, vipengele vyote vya wokovu, Neno la Mungu

na kuitangaza Injili.5. Kufundisha jinsi Mungu anavyotutia nguvu na kutusaidia kukua kupitia kwa maombi, mateso, na nidhamu.6. Kutusaidia kukumbuka kuweka azimio letu katika kumtii Mungu na kufuata mwongozo wa Roho Mtakatifu

katika maisha yetu.

Sura Zinazohusiana

Sura ya 1: Shetani na pepo wake hulenga kuwakandamiza watu ili maisha yao ya Ukristo yasizae matunda.

Sura ya 4: Ni lazima tuzishike amri za Mungu, zilizofupishwa hivi: Kumpenda Mungu na jirani.

Sura ya 5: Ni lazima tutambue kuwa vita vya kweli maishani ni dhidi ya Ufalme wa Giza na Shetani, na wala sio dhidi ya watuambao wamepofushwa na Shetani. Ni lazima tuwaonyeshe njia ya Ufalme wa Nuru.

Sura ya 6: Wakati mwingine tunateseka kwa sababu ya dhambi za wengine, kama Yesu alivyofanya. Tunaweza kuwasaidia wenginewaujue Wokovu.

Sura ya 10: Kukua kiroho na kupigana Vita vya Kiroho ndiyo njia ambayo tunaweza kukaa kwenye njia nyoofu na kuepuka njiaza upotevuni.

Sura ya 12: Ni lazima tusimame hadi Yesu arudi. Wakati huo, Yesu atawaangamiza wote watakaokuwa kwenye Ufalme waGiza.

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Ukuaji wa Kiroho na Kufanikiwa Kuvipiga Vita Vya Kiroho

Sehemu ya 1: Ukuaji waKiroho Huanza Wakati

Tunapoweka Kando NiraZisizo za Kiungu naZinazoleta uharibifu.

Vichwa Vya Masomo:1. Jinsi dini za uwongo zinavyopigana vita vya kiroho ni tofauti na jinsi

Wakristo wanavyovipiga. [Tambiko (kipagani) dhidi ya ukuaji wa kiroho(Wakristo).]

2. Mungu ndiye ambaye hatimaye yuko juu ya vita vya kirohovinavyoendelea duniani. Lazima tumtegemee yeye kutusaidia wakati wa

Page 106: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 103

Jalala la Taka – Ukuaji wakiroho huanza wakatitunapoyaweka kando matendo yamwili na kuanza kumwishiakatika utakatifu, haki, na ukweli.Angalia pia Sura ya 10, jalala lataka.

mateso.3. Hatua yetu ya kwanza katika vita vya kiroho ni kuweka kando matendo

ya giza (kuabudu sanamu, uzinzi, ugomvi, wivu, ulevi, uchungu, masengenyo, hasira,kutosamehe, uovu, wizi, uwongo, lugha chafu/matusi, n.k.), na kukua kiroho.

Hadithi

*Wathesalonike Waliacha kuabudu Sanamu na Kuanza Kumtumikia Mungu aliye Hai - 1 Wathesalonike1:9. *Paulo na Barnaba Wanawahimiza watu waache kuabudu Sanamu na Wamgeukie Mungu huko Listra- Matendo 14:6-19 (v.15). *Paulo Anawakemea Wagalatia Kwa kurudia Mambo Yaliyowafanya Watumwa- Wagalatia 4: 8-11.

Maandiko*Usiku umeendelea sana, mchana umekaribia, basi na tuyavue matendo ya giza, na kuzivaa silaha za nuru.Kama ilivyohusika na mchana na tuenende kwa adabu; si kwa ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na uasherati, sikwa ugomvi na wivu. Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata kuwasha tamaazake.- Warumi 13:12-14. *Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee - Waefeso5:11-13. *Tupilieni mbali nanyi makosa yenu yote mliyoyakosa; jifanyieni moyo mpya na roho mpya;.- Ezekieli 18:31-32.*Mvue kwa habari ya mwenendo wa kwanza utu wa zamani, unaoharibika kwakuzifuata tamaa zenye kudanganya; na mfanywe wapya katika roho ya nia zenu; Basi uvueni uongo,mkaseme kweli kila mtu na jirani yake; kwa maana tu viungo, kila mmoja kiungo cha wenzake. Mwe nahasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka; Mwibaji asiibe tena; baliafadhali afanye juhudi, akitenda kazi iliyo nzuri kwa mikono yake mwenyewe, apate kuwa na kitu chakumgawia mhitaji. Neno lo lote lililo ovu lisitoke vinywani mwenu, bali lililo jema la kumfaa mwenyekuhitaji, ili liwape neema wanaosikia. Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na matukanoyaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya- Waefeso 4:22-32; Wakolosai 3:8-15.

Somo La 2 Vipengele Vya Ukuaji wa Kiroho na Vita vya Kiroho

Sehemu ya 2a: Kua katikaKuijua na Kuifuata Kweli.

Mshipi/Ukanda-Ukanda waKweli.*Neno la Mungu ndilo chanzocha Kweli na imani zetu. Ukandahuu hushikilia mavazi menginepamoja.*Wakristo wanapaswa kuwa wakweli katika kuishi kwao duniani.Hawapaswi kujihusisha na upotofuwowote wa kimaadaili audanganifu.Unganisha na Sura ya 3 na ya 10-kupima kila katika mizani yaUkweli.

Vichwa Vya Masomo:1. Kujua na Kukua Katika Ukweli wa Neno La Mungu ni Muhimu katika

Kuishi Maisha ya Kumpendeza Mungu.2. Uwe na nia moja.3. Sema ukweli kwa upendo.4. Udanganyifu na uwongo chanzo chake ni Shetani.5. Uweke mbali uwongo na mwambiane ukweli.

Hadithi*Daudi anamfundisha mwanawe, Sulemani, Wafalme Wanapaswa Kuenenda Katika Kweli - 1 Wafalme2:1-4. *Yesu alisema mimi ndimi Njia Kweli na Uzima - Yohana 14:6. *Yohana anapata habari za Gayojinsi alivyokuwa mwaminifu katika kuifuata Kweli,na jinsi alivyoenenda katika Kweli - 3 Yohana 3-4.*Sanamu zifuatazo zimegeuza Ukweli wa Mungu kwa uwongo - Warumi 1:25.Maandiko*Neno la Mungu ni Kweli - Yohana 17:17. *Neema na kweli vilikuja kupitia kwa Yesu - Yohana 1:17.*Mwabudu Mungu katika roho na kweli - Yohana 4:23. *Ee Bwana, unifundishe njia yako; Nitakwendakatika kweli yako; Moyo wangu na ufurahi kulicha jina lako- Zaburi 86:11. *Jumla ya neno lako ni kweli,Na kila Hukumu ya Haki Yako ni Ya Milele- Zaburi 119:160. *Nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli,na kuzigeukia hadithi za uongo. Bali wewe, uwe na kiasi katika mambo yote…timiliza huduma yako.- 2 Timotheo 4:4-5. *Fundisha Neno La Kweli - 2 Timotheo 2:15. *Nena ukweli kwa upendo - Waefeso4:15. *Tukisema ya kwamba twashirikiana naye, tena tukienenda gizani, twasema uongo, wala hatuifanyiiliyo kweli; bali tukienenda nuruni... twashirikiana sisi kwa sisi - 1 Yohana 1:6-7.

Page 107: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 104

Sehemu ya 2b: Kua KatikaHaki.

Fulana- Dirii ya Haki kifuani.*Haki ya Mungu hutujia wakatitunapomwamini Yesu.*Vilevile nijukumu letu kuishi maisha ya hakiduniani. Tunapaswa kuepukakufungwa nira na mazoea mabaya nauzinzi, upotofu wa kimaadili;uzembe na kutojali; na fujo na chuki.Unganisha na Sura ya 10, mfunzo yanjia.

Vichwa Vya Masomo:1. Utaua na Haki yanatokana neno moja la Kiebrania.2. Haki inafunika sehemu za maisha yetu, na hutulinda kutokana na njia

mbaya.3. Mungu anapenda tuhukumu kwa haki, si kwa kutegemea upendeleo ama

faida za kibinafsi.4. Tunahitaji kusimamia kile kilicho cha kweli na cha haki mbele za Mungu

na mwanadamu.5. Haki ni karama (tunavikwa haki yake 2 Wakorintho 5:21), na vile vile ni

jukumu letu sisi binafsi kujichagulia jinsi tutakavyoishi (1 Yohana 1:6-7).6. Wema ni kusamimia kile kilicho sawa.

Hadithi*Imani ya Ibrahimu ilihesabiwa kuwa haki - Mwanzo 15:6; Warumi 4:3; Yakobo 2:23. *Yesu anafundishajuu ya haki ya uwongo - Mathayo 5:17-20; Mathayo 23; Luka 11:39-54. *Mtazamo wa Agano la Kale wahaki (kiasi fulani cha mtazamo huo kinatuhusu sisi)- Mambo ya Walawi 19. *Hukumu za Haki - 2 MamboYa Nyakati 19:8-10. Yesu Ndiye Haki Yetu - Yeremia 23:6; 1 Yohana 2:1; Warumi 5:19.Maandiko*Haki Itokanayo na Imani - Warumi 10. *Msifungwe nira na wasioamini. Kuna ushirika gani kati ya hakina uasi - 2 Wakorintho 6:14-18. *Mtu hahesabiwi haki kupitia kwa Sheria, bali kwa imani katika Kristo -Wafilipi 3:8-11. *Mwenye haki ataishi kwa imani - Warumi 1:17; Waebrania 10:38; Wagalatia 3:11. *Heriwenye njaa na kiu ya haki - Mathayo 5:6. *Tafuteni ufalme wa Mungu na Haki yake - Mathayo 6:33.*Sheria ya Agano la Kale Inatuonyesha lile ambalo ni haki machoni mwa Mungu - Warumi 7:12.*Tafakarini mambo yaliyo ya haki na matakatifu –Wafilipi 4:8.

Sehemu ya 2c: Kua katikaKuihubiri Injili.

Viatu-Miguu uliyotayarishwakwenda kuihubiri Injili. Kuna“Injili” (Habari Njema) mbili katikaAgano Jipya.*Kiatu cha kwanza ni Habari Njemaya Ufalme wa Mungu. Yesualiihubiri hii Habari Njema hiiwakati alipoanza huduma yake, naakatuagiza katika Ule Mwito Mkuutuipeleke kila mahali-“mkiwafundisha kuyashika yoteniliyowaagiza ninyi.”*Kiatu cha Pili ni Habari Njema yaWokovu. Hii maana yake nikuwahubiria watu juu ya kifo,kuzikwa na kufufuka kwa Yesu-ambako kulituletea msamaha wadhambi zetu, na kuimarishauhusiano wetu na Mungu.Unganisha na Sura ya 11—Uwakiliwa Injili.

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu alikuja akihubiri Habari Njema ya Ufalme wa Mungu, yaani

masomo ya Ufalme wa Mungu.2. Habari Njema ya wokovu ni ujumbe unaohusu kifo cha Yesu, kuzikwa na

kufufuka kwake.3. Wakristo wanapaswa kuhubiri Habari Njema za Ufalme wa Mungu na

Habari Njema za kama tulivyoamriwa katika Mwito Mkuu (hubirini Injiliyangu, wafanyeni watu kuwa wanafunzi …mkiwafundisha kuyashika yoteniliyowaamuru, yaani wokovu na uanafunzi).

Hadithi*Yesu Anawatuma mashahidi 70- Luka 10:1-20. *Kitabu cha Matendo. *Paulo anahubiri yaleyaliyofunuliwa kupitia kwa manabii, lakini hafundishi kitu kingine zaidi - Matendo 26:22.Maandiko*Mtakuwa mashahidi wangu Yerusalemu, Uyahudi, Samaria, na katika pembe zote za ulimwengu -Matendo 1:8. *Mwito Mkuu – Mathayo 28:19-20. *Waliihubiri Habari Njema Kila Siku - Matendo 5:42.*Tusihubiri Zaidi Ya Ujumbe Tuliopewa - Matendo 26:22-23. *Huhitaji Ufasaha wa maneno Au Maarifayasiyokuwa ya kawaida - 1Wakorintho 2:1-2. *Paulo alihubiri kwamba watu watubu, wamgeukie Mungu,na waonyeshe Toba yao kwa Matendo- Matendo 10:39-43; 26:19-20. *Hubiri Neno; Uwe tayari wakatiUfaao Na Wakati Usiofaa; Onya, Kemea, Himiza, Kwa uvumilivu Mkuu na Kuwafundisha …- 2Timotheo 4:1-5. *Kwa maana Hatuhubiri Habari Zetu Bali Kristo Yesu kama Bwana, Na Sisi wenyewekama Watumwa Kwa ajili ya Yesu …- 2 Wakorintho 4:5-6. *Bali Kama Vile Tulivyopata Kibali KwaMungu Tuwekewe amana Injili, Ndivyo Tunenavyo; si Kama Wapendezao Wanadamu, BaliWampendezao Mungu Anayetupima Mioyo Yetu. Maana Hatukuwa na Maneno ya Kujipendekeza Wakatiwo wote, Kama Mjuavyo, Wala Maneno ya Juujuu ya kuficha choyo; Mungu ni shahidi. Hatukutafutautukufu kwa wanadamu…- 1 Wathesalonike 2:4-7. . *Mtindo wa Paulo Katika Kuwafikia Waliopotea - 1Wakorintho 9:16-27. *Bwana Hutoa Nguvu Za Kutusaidia Kuhubiri na Hututoa Mdomoni Mwa Simba - 2Timotheo 4:17. *Injili: Yesu Alikufa Kwa Ajili Ya Dhambi Zetu, Alizikwa, Akafufuka, Na AkawatokeaWengine - 1 Wakorintho 15:1-5. *Injili Haikutengenezwa na Wanadamu, Lakini Ililetwa na Mungu -Wagalatia 1:11-12. *Wahubiri Wenye Hekima Na Wajinga, Hubirini Makabila Yenu na Mengine-Warumi 1:14-16.

Sehemu ya 2d: Kua katika Vichwa Vya Masomo

Page 108: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 105

Imani yako Kwa Mungu.

Ngao-Ngao ya Imani ambayohutukinga na mishale ya moto yaShetani. Shetani huturushia mishaleya mashaka, kukata tama, mfadhaikona hisia za kupoteza matumaini.Tunaweza kuzilinda akili zetu kwakuweka imani yetu katika Munguhata hali ziwe ngumu namna gani.Tazama. Angalia Waebrania 11.

1. Imani yetu katika Mungu Huwa Kama Ngao Dhidi Ya Uvamizi waKihisia, kimwili, na wa kiroho kutoka wka adui.

2. Imani ni kuamini kwamba Mungu Atafanya Kile Alichoahidi Hata IkiwaIshara za Nje Hazitoi kidokezo chochote kuonyesha kwamba ahadi hizozitatimizwa.

Hadithi*Watu Waliokuwa na Imani Kubwa: Abeli, Nuhu, Ibrahimu, Sara, Isaka, Yakobo, Musa, Rahabu, Gideoni,Baraka, Samsoni, n.k- Waebrania 11. *Bwana Anamsaidia Asa Dhidi Ya Kundi La Watu - 2 Mambo YaNyakati 14 & 15 (14:11-12; na aya yote ya 15). *Yoshua na Kalebu Wamwamini Mungu - Hesabu 14.*Yesu Anafundisha Juu Ya Vizuizi Vya Imani - Mathayo 6:25-34; Luka 12:27-30. *Imani ya Ibrahimu,kumtoa Isaka - Mwanzo 22; Waebrania 11:17-19. *Yesu Anamtokea Tomaso - Yohana 20. *Imani YaHezekia- 2 Wafalme 18:5-8. *Daudi na Goliathi- 1 Samueli 17. *Shadraki, Meshaki na Abedinego- Danieli3.Maandiko*Naamini ya kuwa nitauona wema wa BWANA Katika nchi ya walio hai. Umngoje BWANA, uwehodari, Upige moyo konde, naam, umngoje BWANA- Zaburi 27:13-14. *Mtumaini BWANA kwa moyowako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe; Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyoshamapito yako. - Mithali 3:5-6. *Ole wao watelemkao kwenda Misri wapate msaada, na kutegemea farasi;watumainio magari kwa kuwa ni mengi, na wapanda farasi kwa kuwa ni hodari sana; lakinihawamwangalii Mtakatifu wa Israeli, wala hawamtafuti Bwana! - Isaya 31:1. *Naam, sisi wenyewetulikuwa na hukumu ya mauti katika nafsi zetu ili tusijitumainie nafsi zetu, bali tumtumaini Mungu,awafufuaye wafu- 2 Wakorintho 1:9-10. *Ajaponiua, Nitamngojea Vivyo - Ayubu 13:15. *WamtumainioBWANA ni kama mlima Sayuni, Ambao hautatikisika, wakaa milele - Zaburi 125:1. *Msiwaogope WaleWanaoweza Kuua Mwili - Mathayo 10:28-33. *Tunaonyesha imani yetu kwa yale tunayowafanyia nduguzetu, wageni, na watenda kazi wenzetu katika ufalme - 3 Yohana 5-8. *Tazama, roho yake hujivuna, hainaunyofu ndani yake; lakini mwenye haki ataishi kwa imani yake.- Habakuki 2:4.

Sehemu ya 2e: VaeniChepeo ya Wokovu, Kukua

na kuwa kama Yesu KilaSiku katika Kila

tunachosema na kutenda.

Chepeo-Chepeo ya Wokovu.Vipengele vitatu vya Wokovu:*Kuhesabiwa haki-tunapokuwawaumini.*Kutakaswa-kufanana na Yesukatika hali zote za maishaiwe ni kwa maneno au matendo.*Kutukuzwa-hali yetu ya baadayeMbinguni.

Vichwa Vya Masomo:1. Kuna vipengele vitatu vya wokovu: Kuhesabiwa haki, Kutakaswa, na

Kutukuzwa.2. Kuhesabiwa haki hufanyika wakati tunapompokea Yesu kama Bwana na

Mwokozi wetu. Yeye hutupatanisha na Mungu wetu, hutusamehe nakuziondoa dhambi zetu.

3. Kutakaswa ni ile hali ya kukua katika kuzijua njia za Mungu nakumfahamu yeye wakati tunapompokea Yesu kama Bwana na Mwokoziwetu, hali hii huendelea hadi tutakapokufa.

4. Kutukuzwa hutendeka wakati tunapokufa na kupokewa mbingunikutawala pamoja na Yesu. Ni wokovu wa mwisho kutokana na dhambi namauti, na kupata Uzima wa milele.

Hadithi*Yesu Anafundisha Juu Ya Wokovu (Nikodemu; Mwanamke Msamaria; Mashahidi wanne kwa Yesu;Mkate wa Uzima)- Yohana 3-7. *Kijana Tajiri Wa Kifalme - Mathayo 19:16-22; Marko 10:23-31; Luka18:18-30.Maandiko*Mkiri Yesu kama Bwana na Mwokozi wako - Warumi10:9-10. *Vaeni Tumaini la Wokovu, MunguAmetupangia kupata wokovu kupitia kwa Yesu.- 1 Wathesalonike 5:8-11. *Kama Musa alivyomwinuayule nyoka wa shaba jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa,ili kila amwaminiyeapate Uzima wa milele.Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa Mwanawe pekee,ili kila amwaminiye asipotee bali awe na Uzima wa milele - Yohana 3:14-16. *Wokovu haupatikani kwayeyote mwingine - Matendo 4:12. *Utimizeni wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka(kutakaswa)- Wafilipi 2:12. *Wokovu ni wa Mungu wetu - Ufunuo 7:10. *Kuhesabiwa haki kupitia kwaYesu - Warumi 4:25. *Hakuna anayehesabiwa haki kupitia kwa sheria - Wagalatia 2:16.

Sehemu ya 2f: Kua KatikaKulijua Neno la Mungu

Vichwa Vya Masomo:1. Tunahitaji chakula cha kiroho kila siku sawa na vile tunavyohitaji chakula

cha mwili kila siku. Neno la Mungu hutulisha kiroho tunapolisoma nakujifunza.

Page 109: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 106

Biblia-Upanga wa Roho. Hii ndiyoSilaha moja ya waaminiwanayoweza kupigia vita.*Neno la Mungu liko hai nalinafanya kazi.*Kulisoma Neno La Mungu kilasiku hutunawirisha kiroho.*Yesu alitumia Neno kukabiliana namajaribu ya Shetani.Unganisha na Sura ya 3, kupima kilakitu katika mizani ya Neno laMungu.

2. Biblia ndiyo silaha ya pekee ya kupigana vita iliyotajwa katika Waefeso 6.3. Tunapaswa kulitumia Neno la Mungu kututia nguvu wakati

tunapojaribiwa.

Hadithi*Kujaribiwa Kwa Yesu – Mathayo 41-11. *Paulo Anamkemea Petro Juu Ya Kufundisha MafundishoYasiyokwua sahihi – Wagalatia 2. *Waberoya Wanachunguza Maandiko - Matendo 17:10-13. *KurudiKwa Yesu - Ufunuo 1:12- 2:20; 19:15-21. *Kanisa la Pergamo - Ufunuo 2:12-17.*Ushuhuda wamwandishi wa Zaburi juu ya Neno La Mungu - Zaburi 119.Maandiko*Mungu aliwaacha Waisraeli waone njaa ili awajaribu katika njia zake, na pia ili waweze kutambuakwamba wanahitaji chakula cha kiroho kila siku kutoka katika Neno la Mungu - Kumbukumbu La Torati8:1-4. *…Kama watoto wachanga yatamanini maziwa ya kiroho yasiyoghoshiwa, ili mweze kukua kwayokatika wokovu wenu - 1 Petro 2:1-3. *Maana Neno la Mungu li Hai na lenye nguvu, ni kali kuliko upangaukatao kuwili - Waebrania 4:12. *Maandiko yote Yameandikwa kwa Pumzi ya Mungu na Yanafaa kwaMafundisho, kwa Kukaripia, kwa kurekebisha makosa, kwa kufundisha watu katika haki - 2 Timotheo3:16-17. *Lihubiri Neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwauvumilivu wote na mafundisho. Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ilakwa kuzifuata nia zao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio yautafiti; nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo. - 2 Timotheo 4:2-5.*Kwa hiyo wekeeni mbali uchafu wote na ubaya uzidio, na kupokea kwa upole neno lile lililopandwandani, liwezalo kuziokoa roho zenu. Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu- Yakobo 1:21-22. *Liwekeni Neno la Mungu mioyoni mwenu ili msimtende dhambi - Zaburi 119:11.*Neno la Mungu ni taa miguuni mwetu - Zaburi 119:105.

Somo La 3 Mambo Yanayotia nguvu au Kuzuia Ukuaji Wetu

Sehemu ya 3a: KutambuaKwamba Vita vyetu vya

kibinafsi ni Dhidi ya Nguvuza Giza.

Pepo wakiwa na pinde na mishale,na mtu asiyekuwa na silaha zozotemwilini, ngao ya imani-Shetanihuwarushia mishale wauminiwanaomfuata Yesu kikamilifu na piawale ambao hawakui kiimani. Mtuasiye na silaha huishi maisha yaUkristo wa kushindwa. Pauloanaorodhesha mambo magumukatika maisha kuwa sababu za sisikuchukua silaha za kiroho.*Kumbuka Mfalme Daudi ambayealililazimika kuishi nyikani kwamuda wa miaka 14 kwa sababu Saulialimwonea wivu na kutaka kumuua.Daudi alijitia nguvu katika Bwanana akawa na nguvu kumshinda Sauli.Mungu hatimaye alimpa Daudi kiticha enzi. Wakati mwingine ni waleambao wamepitia changmoto nyingi

Vichwa Vya Masomo:1. Wakati tunapokumbana na mambo magumu tunaweza kuyaruhusu

mambo hayo kututia nguvu kiroho, au tunaweza kuitikia magumu hayokwa njia ambayo inazuia ukuaji wetu.

2. Paulo alipitia dhiki nyingi za kijamii na za kimwili, zikiwemo kukataliwa,kupigwa, njaa, kusingiziwa, kuharibiwa jina, na adhabu mbalimbali.Katika mambo haya yote, Alionyesha tabia halisi ya Ukristo, akawa nalengo katika huduma yake na akaendelea kulifuata Neno la Mungu.

Hadithi*Yesu anakabiliana na majaribu ya Shetani kwa kutumia Neno la Mungu- Mathayo 4:1-11. *Daudianajitia nguvu katika Bwana wakati watu walipoinuka dhidi yake– 1 Samueli 30 (kifungu cha 6); watendamaovu, maadui, mashahidi wa uwongo, - Zaburi 27. *Daudi anamshinda mwanawe Absalomu wakatialipojaribu kumpindua kutoka kwenye kiti chake cha enzi na kutaka kumuua - 2 Samueli 15-19. *Kutafutamapenzi ya Mungu wakati wa dhiki kuu, Yesu akiwa katika Bustani Ya Gethisemane- Luka 22:39-46.*Eliya baada ya kuwaua manabii wa Baali - 1 Wafalme 19 (kifungu cha 9-18). *Mfalme Hezekiaanaomba juu ya barua iliyotoka kwa Senakeribu - Isaya 37:14-38. *Ushuhuda wa Paulo, “Naam, sisiwenyewe tulikuwa na hukumu ya mauti katika nafsi zetu ili tusijitumainie nafsi zetu, bali tumtumainiMungu, awafufuaye wafu- 2 Wakorintho 1:9-10.

Maandiko*Tunapaswa kutumia silaha za haki, Neno, na Roho Mtakatifu kukabiliana na hali ngumu kama vilemateso, dhiki, shinikizo, mapigo, kufungwa jela, fujo, kazi ngumu, kukosa usingizi, njaa, kudharauliwa,kunenwa vibaya, kushutumiwa kuwa waongo - 2 Wakorintho 6:3-10. *Siku ya hofu yangu nitakutumainiWewe; - Zaburi 56:3-4. *Nafsi yangu yamngoja Mungu peke yake kwa kimya, Wokovu wangu hutokakwake - Zaburi 62:1. *Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama -Mithali 18:10. *Mungu atakuwa na nguvu kupitia kwa udhaifu wetu, kutukanwa kwetu, masumbufu yetu,mateso, na dhiki - 2 Wakorintho 12:7-10.

Page 110: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 107

ndio ambao baadaye Munguhuwainua na kuwaweka mahali paushawishi mkubwa. Lakini lazimatuendelee kusimama imara.

Sehemu ya 3b: TambuaKwamba Kuteseka Kwetukama Yesu, ni sehemu ya

maisha ya Ukristo.

Msalaba mgongoni mwa mtu-Waumini wote hushiriki katikamateso ya Kristo. Mateso hayahutufanya kufanana na Yesu nahutusaidia kujifunza utiifu. Yesualiteseka bila kosa kama sisi wakatimwingine tunavyoteseka bila hatiayoyote. Yesu alikataliwa na watu,viongozi wa kidini na makundi yawatu. Sisi vilevile tunaweza kuteswakwa kutusiwa, kukataliwa,kusingiziwa makosa, na hatakushambuliwa kimwili.Tunapoteseka kama Yesu, basihuwa tuko katika hali ya kufanananaye.

Vichwa Vya Masomo:1. Wale wanaopenda kuishi maisha ya kiungu watateswa na wengine.2. Tunapopitia mateso ya Kristo, tunakomaa katika uthabiti, uaminifu, na

katika uwezo wa kusamehe, na utakaso.

Hadithi*Mtumishi Aliyeteseka - Isaya 42:1-4; 49:1-6 50:4-9; 52:13-53:12. *Danieli katika tundu la simba -Danieli 6. *Paulo Anateseka Kwa sababu ya Ushahidi wake - Matendo 16-40. *Yesu Alikamilishwakupitia mateso - Waebrania 2:10. *Mateso ya Paulo Yanaorodheshwa - 2 Wakorintho 11:16-33. *Matesoya Mitume, njaa na kiu, kukosa nguo, kutendewa vibaya, kukosa makao, kazi ngumu, kufanya kazi kwamikono yetu wenyewe, kutukanwa lakini sisi tunabariki, kuteswa lakini tukavumilia, kunewa vibaya lakisisisi tunawasihi watu, tumekuwa kama jaa la taka, chafu kuliko vyote - 1 Wakorintho 4:8-13. *PauloAnamwandikia Timotheo Juu Ya Mateso na Kuvumilia, shiriki katika kuteseka kwa Injili, na kutegemeanguvu za Mungu - 2 Timotheo 1:6-12. *Imani ya wale walioteseka kabla wakati wa Yesu - Waebrania 11.*Yohana yuko katika kisiwa cha Patimo kwa sababu ya ushuhuda wake wa Yesu - Ufunuo 1:9. *Wakristoambao sasa wako Mbinguni - Ufunuo 6:9; 20:4. *Shetani anapigana vita na waamini duniani, mwanamke,mwana, na joka - Ufunuo 12:1-18.

Maandiko*Heri nyinyi watu wanapowatukana na kuwatesa na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa ajili yangu,furahini na kushangalia, maana thawabu yenu ni kubwa Mbinguni.- Mathayo 5:10-12.*Mungu hutufariji katika mateso yetu ili na sisi tuwezi kuwafariji wengine. Katika mateso tunajifunzakumtegemea Mungu na kuwaomba watu kutuombea - 2 Wakorintho 1. *Kuteseka hutusaidia kukuakitabia - Warumi 5:3-5. *Wale wanaoteseka wameacha dhambi; mkumbuke Ayubu; wale wanaotesekakulingana na mapenzi ya Mungu, jikabidhini kwa muumba mwaminifu - 1 Petro 4:1-2; 12-19. *Wakatiunakuja ambapo watakaokuwa wakiwaua watafikiri kwamba wanamtumikia Mungu kwa kufanya hivyo.-Yohana 16:1-2. *Mateso ya wakati huu hayawezi kulinganishwa na utukufu ujao - Warumi 8:17-18. *Kwa maana sisi tulio hai, siku zote twatolewa tufe kwa ajili ya Yesu, ili uzima wa Yesu nao udhihirishwekatika miili yetu ipatikanayo na mauti..- 2 Wakorintho 4:11-12. *Simameni Imara, Msiwaogope Maaduizenu, Maana mmepewa kwa ajili ya Kristo, si kumwamini tu, ila na kuteswa kwa ajili yake- Wafilipi 1:27-29. *Ili Nimjue Yeye, na Uweza Wa Kufufuka Kwake, na Ushirika wa mateso yake- Wafilipi 3:10-11.*Sasa nayafurahia mateso niliyo nayo kwa ajili yenu; tena nayatimiliza katika mwili wangu yaleyaliyopungua ya mateso ya Kristo, kwa ajili ya mwili wake, yaani, kanisa lake; - Wakolosai 1:24. *Hatana sisi wenyewe twaona fahari juu yenu katika makanisa ya Mungu kwa ajili ya saburi yenu, na imanimliyo nayo katika adha zenu zote na dhiki mnazostahimili. Ndiyo ishara hasa ya hukumu iliyo haki yaMungu, ili mhesabiwe kuwa mwastahili kuuingia ufalme wa Mungu, ambao kwa ajili yake mnateswa.Kwa kuwa ni haki mbele za Mungu kuwalipa mateso wale wawatesao ninyi. 2 Wathesalonike 1:4-10. *NaMungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele katika Kristo, mkiisha kuteswakwa muda kidogo, yeye mwenyewe atawatengeneza, na kuwathibitisha, na kuwatia nguvu - 1 Petro 5:10.*Kwa kuwa mtu atakaye kuiponya nafsi yake, ataiangamiza, na mtu atakayeiangamiza nafsi yake kwa ajiliyangu na kwa ajili ya Injili, huyu ataisalimisha - Marko 8:35.

Sehemu ya 3c: Tambuakwamba Mungu Huturudiili aweze kutusaidia kukua

kiroho.

Mchungaji akimvuta kondoo

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu huwarudi wale anaowapenda.2. Anaweza kuruhusu tupitie hali ngumu ya maisha ili aturudi au kututia

nguvu.3. Kufunga na kuomba hutusaidia kumwelekea Mungu na kuwa na kiasi

wakati tunapokuwa tukimwomba Mungu kutuonyesha njia aukukabiliana na mazoea mabaya yaletayo uharibifu.

Hadithi

*Mtoto wa Mfalme Daudi Anaaga Dunia - 2 Samueli 12. *Bwana Wanawafundisha Waisraeli Juu ya

Page 111: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 108

asifuate njia mbaya-Bwana hutuadhibu kwa sababuanatupenda na anatamani tuishimaisha matakatifu. Usikataekuadhibiwa na Bwana.

Nidhamu/kuadhibiwa - Kumbukumbu La Torati 11:2-7. *Mungu Wakati Mwingine Hutumia WaaminiKutuadhibu - 2 Wakorintho 2; 7:8-16. *Mungu Anamwadhibu Humenayo na Aleksanda - 1 Timotheo1:18-20.

Maandiko*Mwanangu, usidharau kuadhibiwa na BWANA, Wala usione ni taabu kurudiwa naye. Kwa kuwaBWANA ampendaye humrudi, Kama vile baba mwanawe ampendezaye. - Mithali 3:11-12. *Kila adhabuwakati wake haionekani kuwa kitu cha furaha, bali cha huzuni; lakini baadaye huwaletea waowaliozoezwa nayo matunda ya haki yenye amani. Kwa hiyo inyosheni mikono iliyolegea na magotiyaliyopooza, mkaifanyie miguu yenu njia za kunyoka, ili kitu kilicho kiwete kisipotoshwe, bali afadhalikiponywe. - Waebrania 12:11-14. *Mungu Huijaribu Mioyo na Akili - Zaburi 7:9. *Maana UnachukiaAdhabu, Na Uliyatupilia Mbali Maneno Yangu - Zaburi 50: 17-23. *RMaana maagizo hayo ni taa, nasheria hiyo ni nuru, Na maonyo ya kumwadilisha mtu ni njia ya uzima. Yakulinde na mwanamke mwovu,asikupate, Na kukuponya na ubembelezi wa mgeni - Mithali 6:23-24. *Kila apendaye mafundishohupenda maarifa; Bali yeye achukiaye kulaumiwa ni kama mnyama. - Mithali 12:1. *Wote niwapendaomimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu. - Ufunuo 3:19. *Kabla sijateswa miminalipotea, Lakini sasa nimelitii Neno lako - Zaburi 119:67.

Sehemu ya 3d: TambuaUmuhimu wa kuomba bila

kukoma.

Askari kando ya barabara-Askarihawa wanaomba na kufunga kwaajili ya mtu aliye njiani. Maombiyanapaswa kuwa sehemu ya maishayetu ya kila siku. Tunapopitiahali ngumu, tunapaswakuwashirikisha wenzetu kutuombea.Kwa njia hii, Mungu hupokeautukufu zaidi wakati anapoyajibumaombi yetu. Tunaweza pia kufungakwa ajili ya wale wanaoishi kwenyeUfalme wa Giza, vilevile kwa ajiliya sehemu za maisha yetuzinazohitaji kutiwa nidhamu zaidi.Pia tunaweza kufunga na kuomba ilikupata mwongozo wa Mungu katikakufanya uamuzi fulani. Kufungahutusaidia kuweza kuwa na kiasikatika sehumu nyinginezo za maishayetu.

Tambua: Katika Agano la Kale,neno, Shemah maana yake ni ,“kusikia na kuitikia.” Hutumikakumrejea Mungu na jinsianavyoyasikia maombi ya watu.Endapo watu walikuwa waaminifu,Mungu angesikia na kujibu maombiyao. Lakini endapo watu walikuwawakiabudu miungu mingine,angesikia, lakini asingejibu kwasababu ya dhambi zao. Zaburi 34inasema kwamba Mungu husikiamaombi ya wenye haki, lakini usowake u kinyume na waovu.

Vichwa Vya Masomo:1. Maombo ni ile hali ya kuonyesha uhusiano unaondelea baina yako na

Mungu.2. Hatupaswi kuongea na pepo katika maombi, lakini tumwite Yesu wakati

wa ukandamizaji wa kiroho.3. Mungu hutukuzwa wakati tunapoombeana.4. Tunapaswa kuomba sawa na asili na tabia ya Mungu.5. Hatupaswi kuombea mambo yanayohusu tamaa zetu wenyewe.6. Tunaweza kuombea mahitaji ya kihisia, kimwili na ya kiroho ya watu.7. Mifano katika Maandiko inayohusu maombi ni kama vile kuombea Injili

ihubiriwe, kuombea wahubiri watiwe ujasiri wanapohubiri Injili, waaminiwakue katika ufahamu wao wa Mungu, wapendane, na wakue katikamaisha ya katika Mungu.

8. Angalia Sura ya 3 Juu ya Jinsi Mungu Anavyowasiliana Nasi KupitiaMaombi.

Hadithi*Bwana Anatufundisha Jinsi Ya Kuomba - Mathayo 6:5-15. *Yesu Anaomba Katika Bustani YaGethsemane Mapenzi ya Mungu Yatendeke- Mathayo 26:36-56. *Daudi Aliomba Asubuhi, Mchana, NaUsiku Kwa sababu ya adui zake - Zaburi 55:16-17. *Hana Anaomba Kupata Mtoto - 1 Samueli 1-2.*Paulo Anaomba Aondolewe Mwiba wa Mwilini - 2 Wakorintho 12:1-10. *Eliya Anaombea Mvua - 1Wafalme 18:42-44. *Manabii wa Baali Wanaomba Bila Mafanikio - 1 Wafalme 18. *Epafra, Aliye Mtuwa Kwenu, Mtumwa wa Yesu Kristo, Awasalimu, Akifanya Bidii Siku Zote Kwa Ajili Yenu KatikaMaombi Yake, ili Kwamba Msimame Wakamilifu na Kuthibitika Sana Katika Mapenzi Yote ya Mungu.Maana namshuhudia kwamba ana juhudi nyingi kwa ajili yenu, na kwa ajili ya hao walioko Laodikia, nakwa ajili ya hao walioko Hierapoli. - Wakolosai 4:12-13. *Musa Anawaombea Wale WaliotengenezaSanamu ya Ndama wa Dhahabu - Kutoka 32 (kifungu cha 11-14). *Waisraeli Wanaomba Kinafiki, MaishaYao Hayaakisi Kujitoa Kwao kwa Mungu - Hosea 7:14. *Mungu Anatuma Mjumbe Kwa Kornelio Kwasababu ya Maombi - Matendo 10. *Danieli Aliomba Wakati Alipohitaji Msaada Wa Mungu NaAlipokuwa Akiwaombea wengine - Danieli 6 na 9. *Mungu Anawaambia Marafiki Wa AyubuWamwombe Ayubu awaombee, kisha Mungu alimrudishia Ayubu Vyote Alivyopoteza - Ayubu 42:8-10.*Hezekia anaombea ukombozi ili mataifa wajue kwamba Mungu ni Mungu - 2 Wafalme 19:15-20. *Eliyaanamwombea mtoto - 1 Wafalme 17:21-22. *Daudi Aliomba Ili Ushauri wa Ahithofeli uwe ubatili - 2Samueli 15:31. *Yakobo Anaomba Akombolewe Kutoka Kwa Ndugu Yake - Mwanzo 32:11. *MafumboYaliyotolewa ili tuombe bila kukata tamaa - Luka 18:1-14. *Musa Anawaombea wale walioasi juu yaKuingia katika Nchi ya Ahadi - Hesabu 14:17-38. *Musa anafanya maombezi, Bwana, nakuomba, Bwana,uende kati yetu, maana ni watu wenye shingo ngumu; ukasamehe uovu wetu na dhambi yetu, ukatutwaetuwe urithi wako. - Kutoka 34:8-9. *Samueli anaomba akombolewe kutokana na Wafilisti - 1 Samueli 7:4-5. *Lakini Yesu mwenyewe angeondoka kisiri na kwenda Nyikani Kuomba - Luka 5:16; 6:12.

Page 112: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 109

Vita Vya Kiroho na Maombi:*Hakuna mifano katika Maandikoyanayoonyesha watu wakiongea naShetani au pepo kibinafsi. Badalayake waamini wanamwita Yesukutenda kazi kwa niaba yao.Zekaria 3:1-10; Yuda 8-11; 2Wathesalonike 3:3.

Maandiko*Usiongee na pepo au Shetani moja kwa moja, mwite Yesu, anayetulinda kutokana na yule mwovu - Yuda8-11; Zech. 3:1-10; 2 Thess 3:3. *Mungu’s power toward those who believe- Waefeso 1:18-21.*Wabarikini Wanaowalaani, Waombeeni Wale Wanaowaudhi - Luka 6:28. *Kwa sala zote na maombimkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifuwote; pia na kwa ajili yangu mimi, nipewe usemi kwa kufumbua kinywa changu, ili niihubiri kwa ujasiriile siri ya Injili;- Waefeso 6:18-20. *Ombeni kwamba Upendo Wenu Uongezeke Zaidi na Zaidi katikaKumjua Mungu na Katika Utambuzi - , Wafilipi 1:9-11. *Kuyajua mapenzi yake, hekima yote ya kirohona ufahamu, mkienenda katika njia inayompendeza yeye -Wakolosai 1:9-12. *Ombeni bila kukoma - 1Wathesalonike 5:17-28.* Ili Mungu wetu awahesabu kuwa mmekustahili kuitwa kwenu, akatimiza kilahaja ya wema na kila kazi ya imani kwa nguvu;- 2 Wathesalonike 1:11-12. *Ombeni ili Neno la Mungulienee kwa haraka, na pia niepushwe na watu waovu - 2 Wathesalonike 3:1-3. *Ombeni pasipo hasira - 1Timotheo 2:8. *Mjue kila lililo jema kwa ajili ya Kristo – Filemoni 1:6-7. *Ombeni mwe na dhamirinjema, mwe na shauki ya kuwa na tabia njema katika kila jambo - Waebrania 13:18. *Msifadhaike, lakiniOmbeni Ili Amani ya Mungu Ilinde Mioyo Yenu - Wafilipi 4:6-7. *Roho hutuombea - Warumi 8:26-27.

Somo La 4 Mambo Ya Kuzingatia Unapotembea Kwenye Njia

Sehemu ya 4a: (Rudia Suraya 4-kutangulia Amri KuuMbili Za Mungu). Mpende

jirani yako kamaunavyojipenda mwenyewe.

Kumbuka Amri Kumi-Amri mbilikuu za kukumbuka tunavyoendeleakuishi na wenzetu humu duniani nikumpenda Mungu kwa mioyo yetuyote, nafsi zetu, akili zetu, nguvuzetu zote na pia kuwapenda majiranizetu kama tunavyojipenda sisiwenyewe.

Vichwa Vya Masomo:1. Kufuata Amri Kuu Mbili hutusaidia kukua kiroho wakati tunapoendelea

kukumbana na changamoto mbalimbali za maisha.2. Amri kuu: Kumpenda Mungu kwa moyo wako wote, nafsi yako, na akili

zako zote.3. Amri ya Pili kuu: Kumpenda jirani yako kama unavyojipenda.

Hadithi*Mwanasheria Anamuuliza Yesu, “Amri Iliyokuu ni gani” Kisa cha Msamaria Mwema - Luka 10:25-42.*Yesu Anampa Petro changamoto- Yohana 21:17. *Jinsi Paulo Anavyowapenda watu wa Nchi yake -Warumi 9:3. *Yesu Anatufundisha Kuwapenda Maadui zetu, tukomae na kuwa wakamilifu katika upendokama alivyo Mungu - Mathayo 5:43-44. *Yesu Anatufundisha Kuwapenda Maadui zetu - 1 Yohana 3:16-17.

Maandiko*Kumpenda Mungu Kunahusiana na Kumtii - 1 Yohana 2:3-6; 5:2-3.. *Utampenda BWANA Mungu wakokwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa Nguvu zako zote.” Wafundishe watoto wako uketipo,rise up, utembeeapo, na unapolala chini, n.k - Kumbukumbu La Torati 6:5-9. *Wapende adui zako,wasalimie, hii ni tofauti ikilinganishwa na wale wasiomjua Mungu, mna thawabu. Mwe wakamilifu, KamaBaba Yenu wa Mbinguni Alivyomkamilifu - Mathayo 5:43-48

Sehemu ya 4b: (Rudia Suraya 1) Ishi Kwa Kuongozwa

na Roho Mtakatifu.

The Roho Mtakatifu-Waaminisharti wafuate uongozi wa RohoMtakatifu katika maisha yao.Lazima tujifunze kuisikiza sautiyake ya upole katika mioyo yetu,badala ya kusikiza sautizinazotokana na shauku zetu audesires Shetani. MsimhuzunisheRoho Mtakatifu kwa kuikataa sautiyake.

Vichwa Vya Masomo:1. Roho wa Mungu hutuongoza katika kufanya maamuzi yafaayo katika

maisha.2. Msimhuzunishe Roho.

Maandiko*Paulo anasema kwamba hutenda lile asilopenda kutenda - Warumi 7:14-25. Enendeni kwa Roho NanyiHamtazitimiza tamaa za mwili - Wagalatia 5:16-17. *Tunda la Roho- Wagalatia 5:19-22.

Page 113: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 110

Sura ya 10 Kielelezo:Kufuata Njia ya Mungu, Kuishi Maisha Ya Kiungu

katika Jamii

Page 114: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 111

Picha Iliyorahisiswa kwa ajili ya Sura ya 10

Page 115: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 112

Sura ya 10 Kufuata Njia Ya Mungu, Kuishi Maisha YaKiungu Katika Jamii

Ufafanuzi wa Jumla

Kielezo cha 10 kinaonyesha picha ya jinsi ya kuishi kama mfuasi wa Yesu na kuepuka njiaza upotevuni katika Ufalme wa Giza. Kiti cha Enzi cha Mungu kiko juu ya kurasakutukumbusha kwamba yeye anastahili kuwa Bwana wetu. Nyumba ya mwaminiiliyochorwa chini pembe ya kulia, msingi wake ni Neno la Mungu. Maisha matakatifuhuanza kwa uhusiano na Mungu nyumbani, na kisha kuenea ulimwenguni.

Njia ambayo iko katikati ya mviringo ndiyo njia nyoofu na nyembamba ambayo ndiyotunayopaswa kufuata na kumpendeza Mungu. Kwenye njia hiyo kuna waamini wa makanisaya eneo hilo na kutoka ulimwengu mzima. Waamini kama jamii hunoana na kusaidianakuweka usafi wa mafundisho wanapoingiliana na kujifunza Biblia pamoja.

Watu wale wanaotembea kwenye njia nyoofu pia wanagawanyia watu chumvi. Bibliainatufundisha kwamba tunapaswa kuwa kama chumvi ulimwenguni, tukihifadhi njia za Mungu, na kutakasa au kutoauchafu wote.

Njia moja ya kuifadhi njia za Mungu ni jinsi tunavyosherekea mila na desturi zetu (imeonyeshwa kwenye pichakatikati mwa mviringo upande wa kulia). Watu wengine hufikiri kwamba ni muhimu zaidi kuhifadhi mila badala ya njiaza Mungu. Lakini katika Biblia yote kuhifadhi njia za Mungu ndio muhimu zaidi. Kwahiyo ni sharti tuwe waangalifu katika kusherehekea matukio maalum ya maisha ya watu kama vile kuzaliwa kwa mtoto,kifo cha jamaa, matambiko ya tohara, na ndoa ili tumheshimu Mungu na njia zake. Desturi hizi zote ni sharti ziletwekwa Yesu, kwa Neno lake na kwa Roho Mtakatifu ili ihakikishwe kwamba matambiko hayamaalum husika hayamdhihaki Mungu. Waumini wengine walio njiani kwenye picha, wanawakilisha kanisa, piawanatusaidia kubaini mambo yaliyo ya Mungu na mambo yasiyo ya Mungu. Makanisa yanaweza kuanzisha tamadunina desturi mpya kuhusiana na yale matukio maalum maishani, ambayo yanampendeza na kumheshimu Mungu.

Juu upande wa kushoto kuna mtu ambaye anahubiri au kutoa unabii. Mafundisho yote yanapaswa kupimwa katikamizani ya Neno la Mungu, ya Roho Mtakatifu na ya Yesu, pasipo kujali ni nani anayefundisha mambo yanayoonekanakuwa ya Kibiblia.

Vikapu vilivyo vichwani mwa watu vinawakilisha vitu ambavyo wanaweka kwa sababu haviegemei upande wowoteau vinaambatana na Mungu na njia zake. Kwa mfano, tunapoajaliwa mtoto mchanga katika familia, huwa ni wakatimzuri wa kusherekea. Lakini, katika kusherekea tukio hili, tusijumuishe matambiko na kafara kwa pepo. Tunawezakuhifadhi wazo la kusherekea kuzaliwa, lakini tunaweza kuhitaji kubadilisha mtindo wa kusherekea ili kumpa Munguutukufu. Waamini wanapoendelea na kuishi, wanapima matendo yao wenyewe, shauku zao, desturi, matambiko,wahubiri n.k., na Neno la Mungu, kama inavyoonekana katika mikono yao ya kulia. Kitu chochote ambacho hakimpatiiheshima Mungu kinapaswa kutupwa katika jalala lililoko chini upande wa kushoto.

Njia nyingine tunayohifadhia njia za Mungu ni kwa chaguo tunalofanya kila siku kuhusu njia tuamuazo kufuata. Utaonakwamba katika njia ndogo, kuna njia nyingi ambazo zinaelekea mbali na Mungu Hizi ni njia za uharibifu zinazoelekeamautini, na waamini wanapaswa waziepuke. Njia hizi zinajulikana kama Njia za vishawishi au kutawalwa-zinajumuisha ulevi, matumizi mabaya, uzinzi, ponografia, kutawaliwa na vyakula, kutawaliwa na watu, n.k.; Njia yaFujo na Chuki- kwa sababu ya dhambi za watu wengine, au ukabaila uliopokezwa kwa miaka mingi, ukabila,upendeleo. Ni rahisi sana wanaume kuingia katika fujo za mapigano/kimabavu, wanawake ni rahisi sana kuingia katikafujo za maneno au umbeya; Njia ya Uzembe na Kutojali- hii ni mifano miwili ya dhambi baridi; na Njia ya Upotovuwa Kimaadili- kudanganya, kulaghai, kuiba, kupenda pesa, ulafi, au kupotosha Neno la Mungu kwa mafundisho yauongo.

Page 116: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 113

Njia za Kufundishia Sura hii:1. Njia ya Kupitia kirahisi. Tumia maelezo ya jumla hapo juu kufundishia picha kuu ya Sura hii. Unashauriwa kuwa

baadaye urudie kwa kufundisha kila sehemu.2. Njia ya Mada. Chukua kila sehemu kuu ya fundisho hili na uifundishe kivyake kwa mda. Unaweza pia kuchagua

kuweka msisitizo juu ya kipengele kimoja cha kila njia izungumziayo juu ya mada fulani kanisani au katika jamii3. Njia ya Kina/Utondoti. Katika kila somo la njia kuna mifano ya kusomwa. Kwa mfano katika kusoma njia ya

kutawaliwa, kuna mada mbali mbali za kusomwa kama vile uzinzi na ulevi. Pia kuna mada tofauti tofauti katikasehemu juu ya ufisadi na fujo.

4. Njia ya Mahubiri. Weka msisitizo kwenye kuwasaidia watu kutambua njia za jumla za uharibifu na kuwasaidiakuona matokeo ya njia hizo, sababu zinazowafanya watu wapitie njia hizo, na ukweli wa njia ya Mungu.

5. Njia ya Mwamini Mkomaavu.a. Njia ya Washirika: Tumia fundisho kuwasaidia waamini kutambua wanahitaji kuweka miguu yao yote

kwenye njia ya Mungu na sio mguu mmoja kwenye njia ya Mungu na mwingine kwenye njia yaupotevuni/uharibifu. Sura hii inaweza kutusaidia kufundisha juu ya hitaji la kupima kila kitu na Neno laMungu, tukishikilia kila kizuri na kuacha kila kibaya.

b. Njia ya Uongozi:i. Maisha ya kifamilia ya Kiongozi: Viongozi wazuri wanahitaji kuwa na uhakika kuwa wanalea

familia zao katika Neno la Mungu na njia za Mungu. Ni lazima wasidharau eneo hili muhimu. Kamaviongozi tuwaaminifu kufundisha Neno la Mungu katika nyumba zao wenyewe, wanatoa kielelezocha kuishia jamii zao. Ikiwa kiongozi ataweka msisitizo juu ya jamii peke yake, basi familia hainabudi kuteseka.

ii. Kuunda Desturi Mpya: Ni muhimu pia kwa kiongozi kuelekeza kanisa katika kutathmini desturi zakitamaduni na sherehe mahali walipo ili apate kungoa kwekwe ya mafundisho ya uongo ya Shetani.Waamini wanapokutana pamoja kufanya tathmini hii juu ya mada wanazohitaji, ni muhimu sanawapime kila kitu na Neno la Mungu, Roho Mtakatifu, na Yesu. Inachukua ujasiri mwingi na maonokuanzisha desturi mpya zenye msingi wa Neno la Mungu. Wafuasi wa Yesu wanaweza kuletamabadiliko ya kitamaduni ambayo yatampendeza Mungu na kushuhudia juu ya Njia Zake. Baadhi yadesturi za kimila ambazo zinahitaji kuthminiwa ni: aina ya muziki unaotumiwa kumwabudu Mungu;mavuno, magonjwa, kusherehekea kuzaliwa kwa mtoto, ndoa, au tambiko zihusianazo na matanga.

iii. Kupima itikadi na Maandiko: Mada zifuatazo ndizo ambazo mara nyingi zinahitaji kupimwa naMaandiko kwa sababu ya tofauti za kitamaduni na kidini: maombi (Sura ya 3- Somo la 2a; Sura ya 6-Somo la 4a; na Sura ya 9- Somo la 3d), vita vya kiroho (Sura ya 9), usafi (Sura ya 10), mume na mkewote waliumbwa kwa mfano wa Mungu (Sura ya 2, Somo la 2), na jukumu la mume na mke katikandoa (Sura ya 2, Somo la 2d,e,f); kutambua na kazi za Shetani na pepo (Sura ya 1- Somo la 3a); naUkuu wa Mungu juu ya Uumbaji wote (Sura ya 1- Somo la 1a na 1b), na nyinginezo.

Malengo Ya Sura ya 10

1. Kuonyesha umuhimu wa kuzifuata njia za Mungu katika kila sehemu ya maisha yetu.2. Kusaidia makanisa kutambua haja ya kuunda sherehe mpya au desturi zenye lengo la Mungu na kazi Yake.3. Kusaidia kutambua sifa za tabia haribifu na mikondo ya maisha.4. Kusaidia kujenga hali ya utambuzi na uaminifu katika maisha ya waamini.

Sura Zinazohusiana:

Sura ya 1: Shetani, pepo wake na wafuasi wake wa kibinadamu huunda imani, tamaduni za kupotosha na vitu vya uharibifu katikajamii yenyewe.Sura ya 2: Kusudi la familia ni kuwalea watoto ili waishi kwa kufuata njia za Mungu.Sura ya 3: Ni Sharti tupime kila kitu kwa Ufunuo Maalum wa Mungu-Biblia, Roho Mtakatifu na Yesu.Sura ya 4: Kuzifuata amri za Mungu kutatusaidia kuepeuka njia mbaya.Sura ya 5: Tunajifunza jinsi Ufalme wa Giza unavyofanya kazi duniani, kuharibuSura ya 8: Mafundisho yanayohusiana na Dini za Uongo-ni sharti tuzipime mila, tamaduni na matambiko kwa Neno la Mungu.Sura ya 9: Tunavyokua kiroho, tuna uthabiti wa kuweza kuendelea kukaa kwenye njia ya kweli.

Page 117: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 114

Sura ya 11: Tunastahili kuwa mawakili wazuri wa kile tulichopatiwa na Mungu, tusiharibu rasilimali zetu kwa anasa haribifu.Sura ya 12: Njia haribifu hazituelekezi kwa Mungu.

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Kutembea Katika Kweli (Marudio Yaliyopanuliwa)

Sehemu ya 1a: Rudia (Sura ya 2).Maisha yetu ya nyumbani sharti

msingi wake uwe ni mafundisho yaNeno la Mungu.

Nyumba iliyo na Msingi wa Biblia-Fanyamarudio kutoka Sura ya 2. Biblia inapaswakuwa msingi wa jinsi tunavyoishi nyumbani naduniani.

Vichwa Vya Masomo:

1. Rudia (Sura ya 2): Tunapaswa kuishi maisha ya kiungumajumbani mwetu.

2. Maisha yetu ya nyumbani sharti yajengwe kwenye msingi wa Nenola Mungu.

3. Rudia (Sura ya 2): Tunapaswa kuishi maisha ya kiungu katikajamii.

4. Tunapaswa kuwa chumvi na nuru, tukihifadhi njia za Mungu kwanjia ambayo watu wataweza kuona Nuru ya Kristo ndani yetu.

Page 118: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 115

Sehemu ya 1b: Rudia (Sura ya 2).Tunapaswa kuishi maisha ya

kiungu katika jamii, tukihifadhinjia na mafundisho ya Mungu.

Sehemu ya 1c: Rudia (Sura ya 3).Lazima tupime kila kitu kwenyemizani ya Neno la Mungu, kwa

Yesu, na Roho Mtakatifu.

Mwanamke akigawanya chumvi.Amejitwika kikapu kichwani na Bibliamkononi mwake. Anatembea kwenye njianyembamba-Waumini hutembea kwenye njianyembamba, wakiepuka njia zinazoelekeaupotevuni. Sharti wawe kama chumvi duniani,kuhifadhi mafundisho ya Neno kwa jinsiwanavyoishi maisha yao ya kila siku. Kikapukilichoko kichwani ni cha kuweka vituambavyo ni vizuri na vinavyoambatana na njiaza Mungu. Biblia katika mkono wao wa kuliani ya kupimia imani, matendo, mafundisho,wahubiri, ndoto, mila, desturi na kitu kinginekinachohusiana na matendo ya kila siku naUkweli.

Sehemu ya 1d: Waamini waunganakatika jamii kutetea njia za Mungu.

Watu wakitembea kwenye njia nyoofu nanyembamba-Waumini wanatembea kwenyenjia nyembamba, wakitoa ushuhuda kwaulimwengu. Wanawasaidia waumini wenginekudumu kwenye njia nyembamba nakuzungumzia kuhusu mila, itikadi, namafundisho ya uongo. Waumini wanawezakuanzisha tamaduni na desturi mpya ambazozinaonyesha imaniyao kwa Mungu wa kweli.

Maisha ya nyumbaniHadithi na Maandiko*Fumbo la Nyumba Iliyojengwa juu ya Mwamba - Mathayo 7:24-29. *Waamini WanakubaliBiblia Kama Neno la Mungu- 1 Wathesalonike 2:13. *Pandeni Neno Ndani Ya Mioyo yenu -Yakobo 1:21. *Yatamanini Maziwa Yasiyoghoshiwa Ya Neno la Mungu, Mkue katika Wokovu -1 Petro 2:2. *Wenye Haki Ni Kama Mti Uzaao Matunda Wakati wote - - Zaburi 1:1-3. *WenyeHaki Hupenda Kulitafakari Neno La Mungu - Zaburi 119:148. *Nyumba Hujengwa Kwahekima, ufahamu, na maarifa - Mithali 24:3-4.

Maisha Ya KijamiiHadithi and Maandiko*Njia Za Wenye Haki Dhidi Ya Njia za Waovu - Zaburi 1. *Kwa nini mnasema, “Bwana,Bwana,” Na Hamtendi Kile Ninachosema - Luka 6:46-49. *Njia Kuu Ya Mwenye Haki NiKujitenga na Uovu; Yeye Ashikaye Njia Yake Huihifadhi Nafsi yake.- Mithali 16:17. *Mungu Hutuongoza Kwenye Njia za Haki - Zaburi 23:3. *Marafiki wabayahuharibu maadili mema - 1 Wakorintho 15:33-34. *Mungu Hutufundisha Juu Ya NjiaTunayopaswa Kuifuata - Zaburi 50:23. *Heri Walio Kamili Njia Zao - Zaburi 119:1.*Ulisawazishe pito la mguu wako - Mithali 4:26. *Ishi Kama Yesu Alivyoishi - 1 Yohana 2:6.*Ishi Katika Upya Wa Maisha - Warumi 6:4. *Yesu Anafundisha Juu Ya Mlango Mwembamba- Luka 13:18-30; Mathayo 7:13-14. *Enenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa nahekima; Bali Rafiki wa Wapumbavu Ataumia - Mithali 13:20. *Masikio yako yatasikia nenonyuma yako, likisema, ‘Njia ni hii, ifuateni’.- Isaya 30:21-26.

Waamini Hutumia Neno La Mungu Kama Nuru Katika Njia Zao*Mfalme Yosia pamoja na watu wanalisikia Neno la Mungu Kwa mara ya kwanza na kutubudhambi zao - 2 Mambo Ya Nyakati 34:14-33. *Neno la Mungu ni Taa Ya Miguu Yetu - Zaburi119:105. *Maandiko Yote Yana Pumzi ya Mungu,Yanafaa kwa Mafundisho, KurekebishaMakosa, Kukemea, na Kuwafundisha Watu katika Haki - 2 Timotheo 3:16-17. *Biblia NdioMwongozo wetu, Tunapotafakari Mafundisho Yake - Zaburi 1:2. *Nuhu Alitenda YoteAliyoagizwa na Mungu - Mwanzo 6:22. *Neno La Mungu Hutenda Kazi Ndani Yetu - 1Wathesalonike 2:13.

Waamini Wanapaswa Kuwa Chumvi, Wakihifadhi, Kutia ladha, Na Kutakasa.Hadithi*Yosia Anakuwa Mfalme - 2 Wafalme 22. *Paulo Akiwa Efeso - Matendo 20:17-38. *PauloAlijifunza Maandiko Na Kumtafuta Mungu Kabla Hajakwenda Katika Huduma - Wagalatia 1-2.*Huduma Ya Paulo Ilikuwa Ni Kumtia Nguvu Kila Mwamini -Wakolosai. 1:28. *Jiepushe nahadithi ya uwongo - Tito 1:14; 1 Timotheo 1:4; 2 Timotheo 4:4. *Yesu Anafundisha Juu YaKulishika Neno Lake - Yohana 14:23-24.

Maandiko*Sisi ni Chumvi Ya Dunia - Mathayo 5:13. *Mwe na Chumvi Ndani Yenu, Na Mwe na AmaniMiongoni Mwenu- Marko 9:50. *Utoeni Uovu Kat i Yenu - Kumbukumbu La Torati 19:18-19;22:21-24; 24:7. *Ninyi Nanyi Mmejaa Wema, Mmejazwa Elimu Yote, Tena MwawezaKuonyana. - Warumi 15:14. *Wema wa Mungu na Kweli Itaendelea Kutuhifadhi - Zaburi40:11; 61:7. *Shikeni Hukumu, Mkatende Haki- Isaya 56:1. *Kwa Maana Yapasa Midomo yaKuhani Ihifadhi Maarifa - Malaki 2:7. *Na Kujitahidi Kuuhifadhi Umoja wa Roho KatikaKifungo cha Amani - Waefeso 4:3. *Kwa Maana Hekima ni Ulinzi, Kama Vile Fedha IlivyoUlinzi; Na Ubora wa Maarifa Ni ya Kwamba Hekima Humhifadhi Yeye Aliye Nayo - Mhubiri7:12. *Sisi ni Manukato Ya Kristo Kwa Mungu miongoni mwa wale wanaokolewa na walewanaoangamia - 2 Wakorintho 2:14-17. *Basi, ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zakeMungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibadayenu yenye maana. Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upyania zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu -Warumi 12:1-2.

Waamini wanapaswa Kuwa Nuru Ya Ulimwengu*Yesu Anasema Sisi ni Nuru ya Ulimwengu - Mathayo 5:14-16. *Yesu alikuwa Nuru - Yohana8:12.

Waamini huungana pamoja katika jamii na kutetea njia za Mungu.

Page 119: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 116

Sehemu ya 1d: Waaminiwanaacha nyuma mambo yaleyanayowazinga na kuwazuia

kumfuata Yesu.

Biwi la takataka-Hapa ni mahali ambapotunaacha vitu ambavyo vinatuzinga tusiwezekuishi maisha matakatifu na ya kujitoa kwaMungu. Vitu hivi vinaweza kuwa kamamafundisho ya uongo, matambiko, mila,itikadi, sanamu, dawa za kulevya, matusi aumatendo mabaya, utumiaji wa nguvu, upotovuwa maadili, au uzinzi miongoni mwa menginemengi.

(Angalia Sura ya 4 juu ya Sheria na Sherehe).

Waamini wanaacha nyuma mambo yale yanayowazinga na kuwazuiakumfuata Yesu.Hadithi*Wathesalonike Waliacha Kuabudu Sanamu na Kumtumikia Mungu Aliye hai - 1 Wathesalonike1:9. *Paulo Na Barnaba Wanawatia moyo Waamini Huko Listra Kuacha Kuabudu Sanamu NaKumtumikia Mungu - Matendo 14:6-19 (kifungu 15). *Paulo Anawakemea Wagalatia kwaKurudia Vitu Vilivyowafanya Watumwa - Wagalatia 4: 8-11.

Maandiko*Usiku Umeendelea Sana, Mchana Umekaribia, Basi Na Tuyavue Matendo Ya Giza, NaKuzivaa Silaha Za Nuru. Kama ilivyohusika na mchana na tuenende kwa adabu; si kwa ulafi naulevi, si kwa ufisadi na uasherati, si kwa ugomvi na wivu. Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo,wala msiuangalie mwili, hata kuwasha tamaa zake.- Warumi 13:12-14. *Wala Msishirikiane naMatendo Yasiyozaa Ya Giza, Bali Myakemee. - Waefeso 5:11-13. *Tupilieni mbali nanyimakosa yenu yote mliyoyakosa; jifanyieni moyo mpya na roho mpya.- Ezekieli 18:31-32.*Mliuvua utu wenu wa kale, mtu yule wa zamani ambaye ameharibiwa na tamaa mbaya;mnafanywa upya katika nia zenu …kwa maana mmeuacha uwongo, ambieni ukweli; mnawezakukasirika lakini jua lisitue mkiwa bado mmekasirika; Msiibe; maneno machafu yasitokevinywani mwenu; uwekeni kando uchungu; hasira; gadhabu; matukano, chuki na uovu; mwewakarimu, wenye huruma, mkisameheana - Waefeso 4:22-32; Wakolosai 3:8-15. *Basi, nduguzangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, yakumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana. Wala msiifuatishe namna ya dunia hii;bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyomema, ya kumpendeza, na ukamilifu. - Warumi 12:1-2.

Somo La 2 Kuzipima Itikadi, Mila, na Viongozi Wa Kikristo Katika Mizani Ya Neno La Mungu(Marudio Yaliyopanuliwa)

Sehemu ya 2a: (Kupanua Sura ya 3juu ya kupima kila kitu kwenyemizani ya Neno la Mungu, kwaYesu, na kwa Roho Mtakatifu)

Pima itikadi, Mila kwenye mizaniya Neno La Mungu.

Vichwa Vya Masomo:

1. Waamini wanahitaji kupima itikadi na mila za kabila lao katikamizani ya Neno la Mungu, Yesu, na kwa Roho Mtakatifu.

2. Sharti Tusiigize Yale Yanayotendwa na watu wa mataifa.3. Tunaweza kutengeneza itikadi nyingine na sherehe za Kikristo

zinazomtukuza Mungu.4. Waamini katika jamii wanapaswa kuungana pamoja ili waweze

kusaidiana kuanzisha mambo mapya kama vile (mazishi yaKikristo, sherehe za kuzaliwa kwa mtoto, ndoa, n.k.)

Page 120: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 117

Picha mbalimbali zinaonyesha itikadina mila za watu (mazishi, kubalehe,mfumo wa imani za kipagani)- Shartikupima mila na itikadi za mahali tunapoishikwa mizani ya Neno la Mungu. Shetanihuchanganya mafundisho yake ya uongo namatendo yake na kuviingiza katika mila zawatu. Kwa hiyo ni lazima tujifunze kufumua

vitu ambavyo Shetani ameviweka kwenye milazetu, na kuanzisha nyingine mpya ambazomsingi wake ni Neno la Mungu.unapaswakuzipima itikadi na mila za nchi tunayoishikatika mizani ya Neno la Mungu..

5. Zingatia kwamba makanisa mengine huenda yakachanganyamatambiko ya kipagani na imani ya Kikristo. Hayo ni machukizombele za Mungu.

Waamini Wanazipima itikadi na mila na matambiko kwenye mizani ya Neno la MunguHadithi and Maandiko*Nadabu na Abihu Wanaleta Moto wa Kigeni Kwa Bwana - Mambo ya Walawi 10:1-7. *PauloAnajadili Kuhusika Kwa Jamii Katika Sikukuu za Kipagani - I Wakorintho 8-10 (Angalia10:14-22). *Yoshua anawapa changamoto watu wachague ikiwa watamtumikia Mungu aumababu zao, miungu ya nchi watakayoishi, au watamtumikia Bwana - Yoshua. 24. *Maana kilamtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije akakemewa.

Bali yeye aitendaye kweli huja kwenye nuru, ili matendo yake yaonekane wazi ya kuwayametendwa katika Mungu. - Yohana 3:20-21. *Pepo Hufundisha Mafundisho Ya Uwongo - 1Timotheo 4:1-8.*Msiongeze Wala Kupunguza Amri - Kumbukumbu La Torati 12:32. *Msiige Matendo yaMataifa Yanayomchukiza Mungu, Mungu Ametukataza Kuyatenda - Kumbukumbu La Torati18:9-15. *Kimbieni Kuabudu Sanamu - 1 Wakorintho 10:14-22.

Kuna umuhimu wa kupima kwa sababu si kila mtu moyo wake uko kwa Bwana.*Mfalme Abijamu Hakuwa Amejitoa Kikamilifu Kwa Mungu - 1 Wafalme 15:1-8 (kifungu 3;angalia pia 1 Wafalme 11:4 juu ya Sulemani). *Gideoni Anawashinda Wamoabu Kwa Msaadawa Mungu, Lakini Baadaye Anafanya Naivera na Watu Wanarudia Uzinzi Wao, Ni MtegoKwake - Waamuzi 8:27.

Sherehe Zilizowekwa na Mungu*Mungu Anapanga Majira Na Wakati Wa Sherehe - Mwanzo 1:14. *Pasaka- Hesabu 28:16-25;Mathayo 26:17-20. *Pentekote (Malimbuko Au Wiki)- Kumbukumbu La Torati 16:9-1.*Tarumbeta- Hesabu 29:1-6. *Siku ya Utakaso - Mambo ya Walawi 23:26-32; Waebrania 9:1-28. *Mahema/Vibanda- Hesabu 29:12-40; Mambo ya Walawi 23:33-444; Nehemia 8:13-18;Yohana 7:2. *Kuwekwa Wakfu- Yohana 10:22-39. *Purimu- Esta 9:18-32.

Sherehe za Kipagani:*Haruni Anatengeneza Sanamu ya Ndama Wa Dhahabu - Kutoka 32. *Yeroboamu anaanzishasherehe ya kipagani - 1 Wafalme 12:31-33. *Solomon Apotoshwa Na Wake zake - 1 Wafalme11:1-13.

Sherehe za Kikristo:*Krismasi- Mathayo 1-2; Luka 2. *Pasaka/Siku Ya Kufufuka - Mathayo 28; Markoo 16; Luka24; Yohana 20-21; Matendo 1:1-11.

Kuongezea, Sherehe Zifuatazo Zinaweza Kusherehekewa kwa Njia Ya Kikristo:*Ndoa. *Siku ya Kuzaliwa. *Mazishi.

Sehemu ya 2b: Rudia (Sura ya 3,pima kila kitu unachosikia kutokakwa mhubiri yeyote au mshirika

kwenye mizani ya Neno la Mungu,Yesu, na Roho Mtakatifu.

Mtu akihubiri-Sharti tupime kila kila kitutunachokisikia kwa Neno la Mungu.Wahubirisharti wafanywe wawajibike kwa lolotewanalolifundisha. Ikiwa mtu anahubirikinyume cha Neno la Mungu, basi shartitusiwe chini ya uongozi wao.

Vichwa Vya Masomo:

1. Waamini sharti wapime unabii wote, maono, na mafundisho yawengine na yao wenyewe kwa Neno La Mungu, Yesu, RohoMtakatifu.

Hadithi*Paulo Na Sila Watembelea Berea- Matendo 17:10-14. *Yesu Anajizungumzia Katika Sheria naManabii - Luka 24:44-53. *Kipimo cha Nabii wa Kweli /Mwotaji- Kumbukumbu La Torati 13.*Waamini Wanayapima Maneno Ya Manabii Huko Efeso - Ufunuo 2:1-7. *Mitume WalimtiiMungu Kuliko Wanadamu - Matendo 5:28-29. *Mambo Yanayotoa Ushahidi wa Yesu ni Nani -Yohana 5:18-47. *Nabii Nathani anayapima maneno yake mwenyewe kwa kutumia Maneno yaMungu. Ilimbidi arudi kwa Daudi na kumwambia yale aliyosema Mungu - 1 Mambo Ya Nyakati17:1-15. *Paulo alikuwa na bidii kufuata itikadi za mababu zake, lakini sasa anamtumikiaMungu - Wagalatia 1:14-24. *Roho alimtokea Elifazi katika ndoto na kutoa habari za uwongojuu ya Ayubu- Ayubu 4:12-21.

Page 121: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 118

Sifa za Viongozi wa Uwongo: Wakuu wakehuhukumu ili wapate rushwa, na makuhaniwake hufundisha ili wapate ijara, na manabiiwake hubashiri ili wapate fedha; ila hatahivyo watamtegemea BWANA, na kusema,Je! Hayupo Bwana katikati yetu? -Mika 3:11-12. *Yesu Anafundisha Juu Ya Manabii waUwongo - Mathayo 7:15-23; 12:38-42; Luka17:20-37. *Ezekieli Anawakemea Manabiiambao Hunena Kwa Roho Zao wenyewe,badala ya Roho wa Mungu - Ezekieli 13.*Yeremia ananena dhidi ya ShemayaMnehelami kwa Kutoa Unabii wa Uwongo -Yeremia 29:24-32. *Yesu AnatufundishaKwamba Manabii wa Uwongo WatakujaWakivalia Ngozi ya Kondoo, Lakini Ndani niMpya mwitu. Mtawatambua Kwa MatundaYao - Mathayo 7:15-23. *YesuAnatufundisha Tusiache Amri za Mungu naKufuata desturi za wanadamu - Mathayo15:1-9; Markoo 7:3-13. *YeremiaAnazungumzia Mahubiri Yasiyo na nguvu zaMungu - Yeremia 6:13-17. *YeremiaAnazungumzia Waotaji wa Uwongo, walewanaoligeuza Neno la Mungu - Yeremia23:25-40; 27:9; 29:8. *ZekariaAnawashutumu Manabii wa Uwongo -Zekaria 10:2.

Maandiko*Hakuna Unabii wa Maandiko Ambao Unatokana na Ufasiri wa Mtu binafsi - 2 Petro 1:19-21.*Jilindeni Nafsi Zenu, Msije Mkachukuliwa na Kosa La Hao Wahalifu Mkaanguka na KuuachaUthibitifu wenu. Lakini, Kueni Katika Neema, na Katika Kumjua Bwana Wetu na MwokoziYesu Kristo. - 2 Petro 3:17-18. *Manabiii Walitutumikia kwa Kutabiri juu Ya Yesu - 1 Petro1:10-25. *Kutatokea Manabii wa uwongo Miongoni Mwenu - 2 Petro 2; 1 Yohana 4:1-3.*Angalieni Mtu Asiwafanye Mateka Kwa Elimu Yake Ya Bure Na Madanganyo Matupu, KwaJinsi Ya Mapokeo Ya Wanadamu, Kwa Jinsi Ya Mafundisho Ya Awali Ya Ulimwengu, Wala SiKwa Jinsi Ya Kristo. Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi yakimwili.- Wakolosai 2:8-9. *Manabii walio kati yenu, na wabashiri wenu, wasiwadanganyeninyi, wala msisikilize ndoto zenu, mnazootesha. Kwa maana kwa jina langu hutabiri manenoya uongo kwenu; mimi sikuwatuma, asema BWANA.- Yeremia 29:8-9. *Ndugu Zangu,Nawasihi, Waangalieni Wale Wafanyao Fitina Na Mambo Ya Kukwaza Kinyume ChaMafundisho Mliyojifunza; Mkajiepushe Nao. Kwa Sababu Walio Hivyo Hawamtumikii BwanaWetu Kristo, Bali Matumbo Yao Wenyewe; Na Kwa Maneno Laini Na Ya KujipendekezaWaidanganya Mioyo Ya Watu Wanyofu. Maana Utii Wenu Umewafikilia Watu Wote; BasiNafurahi Kwa Ajili Yenu, Lakini Nataka Ninyi Kuwa Wenye Hekima Katika Mambo Mema,Na Wajinga Katika Mambo Mabaya. Naye Mungu Wa Amani Atamseta Shetani Chini YaMiguu Yenu Upesi. - Warumi 16:17-20. *Msichukuliwe Na Mafundisho Ya Namna NyingineNyingine, na Ya Kigeni; Maana Ni Vizuri Moyo Ufanywe Imara Kwa Neema.- Waebrania 13:9.*Makuhani Wake Wameihalifu Sheria Yangu, Wametia Unajisi Vitu Vyangu Vitakatifu;Hawakuweka Tofauti Ya Vitu Vitakatifu na Vitu vya Kutumiwa Sikuzote; WalaHawakuwafundisha Watu Kupambanua Vitu Vichafu Na Vitu Vilivyo safi, Nao WamefumbaMacho Yao, Wasiziangalie Sabato Zangu, Nami Nimetiwa Unajisi Kati Yao. Watu Wa nchiWametumia Udhalimu, Wamenyang'anya Kwa Nguvu; Naam, Wamewatenda Jeuri maskini naWahitaji, nao Wamewaonea Wageni Bila Haki.- Ezekieli 22:26-31.

Somo La 3 Kuepuka Njia Za Upotevuni

Sehemu ya 3a: Kuepuka vishawishina Mazoea mabaya.

Watu wakiwa wamekaa baa wakinywapombe, wanawake kadhaa kwamwanamume mmoja, mwanamke namwanamume wakielekea kwenye danguro-Hii inawakilisha Njia ya Ushawishi mbaya naMazoea mabaya. –Inaweza Kujumuisha ulafi,ulevi wa kupindukia, utumiaji mbaya wadawa, uzinzi (picha za ngono, uasherati,ushoga, nk), kuzoea vitu vibaya, televisheni,watu, shughuli nyingi, michezo, nk.

Vichwa Vya Masomo:

1. Epuka Njia za vishawishi na Mazoea mabaya.2. Mazoea mabaya yanaweza kujumuisha: uzinzi, ulevi, utumiaji

mbaya wa dawa, kupenda kula/matatizo ya ulaji, kuwazoea watukupita kiasi, kununua vitu bila mpaka, mazoea ya kuiba vitu vyawatu.

3. Watu huifuata njia hii wakati wanapohisi kuna hitaji fulani,wakiwa wameumizwa, au wakiwa na shauku fulani.

Hadithi*Jinsi ya Kuepuka Njia za Uzinzi - Mithali 1-2. *Binti za Lutu washika Mimba - Mwanzo 19:30-38. *Roho ya uwongo Yamshawishi Ahabu- 1 Wafalme 22:20-38; 2 Mambo Ya Nyakati 18:18-34. Ulevi wa Nuhu- Mwanzo 9:18-28.Maandiko*Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa.Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaamauti.- Yakobo 1:14-15. *Tangu Sasa Msiendelee Kuishi Katika Tamaa za Wanadamu, BaliKatika Mapenzi ya Mungu, Wakati Wenu Uliobaki Wa Kukaa Hapa Duniani. Maana Wakatiwa Maisha Yetu Uliopita Watosha Kwa Kutenda Mapenzi ya Mataifa; Kuenenda KatikaUfisadi, na Tamaa, na Ulevi, na Karamu za Ulafi, na Vileo, na Ibada ya Sanamu Isiyo Halali;mambo ambayo wao huona kuwa ni ajabu ya ninyi kutokwenda mbio pamoja nao katika ufisadiule ule usio na kiasi, wakiwatukana. Nao Watatoa Hesabu Kwake Yeye Aliye Tayari - 1 Petro4:2-5. *Enendeni kwa Kiasi - Warumi 13:13-14. * Lakini Zikimbie Tamaa Za Ujanani;Ukafuate Haki, Na Imani, Na Upendo, na Amani, Pamoja Na Wale Wamwitao Bwana Kwamoyo safi.- 2 Timotheo 2:22. *Ole Wao Walio Hodari Kunywa Kileo Chenye Nguvu- Isaya5:22. *Maaskofu wasilewe Mvinyo - 1 Timotheo 3:3, 8; Tito 1:7. *Usinywe Divai Wala KileoCho chote, Wewe, Wala Wanao Pamoja Nawe, Hapo Mwingiapo Ndani ya Hema ya Kukutania,Ili Kwamba Msife- Mambo ya Walawi 10:9. *Mvinyo Hudhihaki, Kileo Huleta Ugomvi;

Page 122: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 119

Na Akosaye Kwa Vitu Hivyo Hana Hekima. - Mithali 20:1. *Ole wao waamkao asubuhi namapema, wapate kufuata kileo; wakishinda sana hata usiku wa manane mpaka mvinyo imewakakama moto ndani yao! Na kinubi, na zeze, na matari, na filimbi, na mvinyo, zote ziko katikakaramu zao; lakini hawaiangalii kazi ya Bwana wala kuyafikiri matendo ya mikono yake -Isaya 5:11-12. *Lakini Hawa Nao Wamekosa Kwa Divai, Wamepotea Kwa Kileo; Kuhani NaNabii Wamekosa Kwa Kileo, Wamemezwa Kwa divai, Wamepotea Kwa Kileo; Hukosa KatikaMaono, Hujikwaa Katika Hukumu.- Isaya 28:7-9. *Kwa Maana Mlevi Na Mlafi HuingiaUmaskini, Na Utepetevu Humvika Mtu Nguo mbovu.- Mithali 23:21

Sehemu ya 3b: Kuepuka Njia zaChuki na Fujo.

Watu waliokasirika wakipigana nakuumizana-Hii njia inawakilisha njia ya Fujona Chuki. Huku wanaume wakiwa hupendakuwanyasa wengine kimwili na kwamaneno,wanawake wanaweza kuwaumizawengine kwa masengenyo yao, kashfa, aumaongezi ya kudunishiana, haswa wakatiwakiwa wanaozungumzwa hawapo.

.Vichwa Vya Masomo:

1. Epuka njia za fujo chuki na fujo.2. Yesu alisema kuwa na hasira dhidi ya ndugu yako ni sawa na kuua

mtu moyoni.3. Wanaume hupenda kutekeleza fujo ya kimwili; wanawake

hupenda kutekeleza fujo ya maneno.4. Chanzo cha ugomvi ni wivu na kutaka kujifurahisha.5. Fujo ya maneno inajumuisha: masengenyo, chuki; kuwanena

wengine vibaya; lugha yenye matusi; unyanyapaa; kulaani;kuwatendea watu ukatili; na kuwashuhudia wengine uwongo.

6. Fujo na chuki ni utumwa na hurudia rudia, na hutuondoa kwenyemwelekeo tunaopaswa kuwa nao katika jamii na kanisa.

7. Yesu Anataka Tuwaonyeshe Watu Upendo na Msamaha.

Hadithi*Fumbo la Mwanakondoo wa kike- 2 Samueli 12. *Fuji katika Nchi - Hosea 4. *Saul AlikuwaAdui wa Daudi Wakati Wote; Lakini Daudi Hakumuua Sauli - 1 Samueli 18:28-29; 1 Samueli24; 26. *Paulo Anatoka Kwenye Fujo na Kufanya Huduma - 1 Timotheo 1:12-14; Matendo 9:1-2. *Fujo inayotokana na vizazi - Mathayo 23:31-39. *Fujo Dhidi ya Waamini- Waebrania 11.*Mambo Anayochukia Mungu - Mithali 6:16-19. *Esau Anamchukia ndugu Yake KwaKumwibia Haki Ya Mzawa wa Kwanza; Lakini Baadaye Wakapatana - Mwanzo 27, 33.*Ahabu Anamchukia Nabii Kwa Kutoa Unabii Mbaya Juu Yake - 1 Wafalme 22:8. *HerodiaAnakasirishwa na Yohana- Markoo 6:18-29. *Ni nani atakayekaa Katika Kilima ChakoKitakatifu? Asiyesingizia Kwa Ulimi Wake. Wala Hakumtenda Mwenziwe Mabaya- Zaburi 15. *Paulo ana wasiwasi huenda akifika Korintho, atapata watu wana fitina, wivu,ghadhabu, na ugomvi na masingizio, na manong’onezo, majivuno na ghasia - 2 Wakorintho12:20. *Yakobo anasema kwamba ulimi huwashwa moto na jehanamu, hakuna anayewezakuufuga - Yakobo 3:6-18.

Maandiko*Chanzo cha mafarakano na michafuko na anasa za kibinafsi, na tamaa. Kwa hiyo uuajiunatendeka. Wivu huleta ugomvi na magombano. Badala yake nyenyekea mbele za Mungu -Yakobo 4:1-10. *Anayemsingizia jirani yake, huyo nitamwangamiza. Macho ya Mungu yakojuu ya waaminifu katika nchi - Zaburi 101:5; 11:5. *Yeye alindaye kinywa chake huilinda nafsiyake - Mithali 13:3. *Ulimi wao ni mshale ufishao; husema maneno ya hadaa; mtu mmojahusema maneno ya amani na mwenzake kwa kinywa chake, lakini moyoni mwake humwotea -Yeremia 9:8. *Mtu Mkali Humshawishi Mwenzake; Humwongoza Katika Njia Isiyo Njema.-Mithali 16:29-30. *Jeuri ya Wabaya Itawaondolea Mbali; Kwa sababu Wamekataa KutendaHukumu - Mithali 21:7. *Kwa Neno La Midomo Yako Nimejiepusha Na Njia Za Wenye Jeuri.- Zaburi 17:4-5. *Damu na uovu - Mika 3:10. *Wamenichukuza Mabaya Badala Ya Mema NaChuki badala ya upendo wangu - Zaburi 109:5. *Anayemchukia Ndugu Yake HaweziKumpenda Mungu - 1 Yohana 2:9; 4:20. *Siku za Mwisho, Ndugu Atamsaliti Ndugu Auawe;Watoto Watainuka Kinyume cha Wazazi wao - Marko 13:12. *Maangamizi Yanawasubiri WaleWalio adui wa Msalaba - Wafilipi 3:18-19. *Adui Yako Akiwa na Njaa, Mpe Chakula, Akiwana Kiu, Mpe Maji Anywe - Mithali 25:21-22. *Wapendeni Adui Zenu, Watendeeni Mema,Wabarikini - Mathayo 5:43-48. *Msiichague Njia Ya Fujo - Mithali 3:31. Mtu wa hasirahuchochea ugomvi; Bali asiye mwepesi wa hasira hutuliza mashindano - Mithali 15:17-18.*Maneno Yetu Yakolee Munyu -Wakolosai 4:6

Vichwa Vya Masomo:

1. Epuka Njia ya Uzembe na Kutojali.

Page 123: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 120

Sehemu ya 3c: Kuepuka Njia ya Uzembe naKutojali.

.

Mtu akilala kwa saa nyingi-Hii inawakilishanjia ya uzembe na kutojali. Watu wanawezakuwatenda dhambi watu wa familia zao nawengine, si tu kwa kutenda bali pia kwakutotenda. Uzeme huleta umaskini.

2. Uzembe na Kutojali ni dhambi za kutotenda (kinyume cha dhambiza kutenda).

3. Uzembe huleta ufukara.

Hadithi*Mafunzo Kutoka Kwa Chungu - Mithali 6:6-11. *Muokaji Mikate Anamsahau Yusufu -Mwanzo 40:23. *Paulo Anafundisha Wathesalonike Juu Ya Uvivu - 2 Wathesalonike 3:10-16.*Fumbo la Talanta Kumi - Mathayo 25:14-30. Fumbo La Wanawali Kumi - Mathayo 25:1-13.*Kutoijali Nyumba Ya Mungu - Hagai 1:2-15. *Kuipuuza Injili - Mathayo 22:4-14. *KupuuzaNjia za Mungu - Mathayo 23:23-28. *Kutowajali Maskini - Mathayo 25:44-46. *Kutojali KutoaUshuhuda wakati unapoona, kusikia au kupitia jambo fulani - Mambo ya Walawi 5:1. *Hesabugharama zako kabla haujajenga jengo; Fikiria juu ya vita; fikiria juu ya kumfuata Yesu - Luka14:28-35. *Paulo Anawahimiza Warumi Juu Ya Bidii Katika Huduma Ya Kikristo - Warumi12:4-21. *Fumbo La Msamaria Mwema - Luka 10:25-42.

Maandiko*Uvivu humtia mtu katika usingizi mzito; Na nafsi yake mvivu itaona njaa. - Mithali 19:15-16.*Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidiihutajirisha. Akusanyaye wakati wa hari ni mwana mwenye hekima; Bali asinziaye wakati wamavuno ni mwana mwenye kuaibisha. - Mithali 10:4-5. *Njia ya mtu mvivu ni kama boma lamiiba; Bali mapito yao wenye unyofu hufanyika njia kuu. - Mithali 15:19. *Yeye naye aliyemvivu katika kazi yake, Ni ndugu yake aliye mharabu. - Mithali 18:9. *Matakwa yake mtumvivu humfisha, Kwa maana mikono yake hukataa kufanya kazi. Kuna atamaniye kwa choyomchana kutwa; Bali mwenye haki hutoa wala hanyimi. - Mithali 21:25-26. *Mungu HatasahauKazi Tuliyomfanyia Yeye - Waebrania 6:10-20. *Usiwanyime Watu Mema Yaliyo Haki Yao,Ikiwa Katika Uwezo Wa Mkono Wako Kuyatenda. Usimwambie Jirani Yako, “Nenda, UrudiHalafu, Na Kesho Nitakupa,” Nawe Unacho Kitu Kitu Kile Karibu Nawe - Mithali 3:27-28.

Sehemu ya 3d: Kuepuka Njia YaUpotovu wa Maadili.

Watu wakidanganyana, mtu fulani akiiba-Hii inawakilisha Njia ya Upotovu wa Maadili.Kuna aina zote za ufisadi. Msingi wa ufisadi nikupenda pesa, moyo wa mlafi, na ubinafsi.Msingi wa ufisadi ni kupenda fedha, ulafi ofmoyo na choyo.

Vichwa Vya Masomo:

1. Epuka njia ya upotovu wa maadili.2. Ufisadi mkuu katika Biblia ni kugeuza na kutafusiri vibaya Neno

la Mungu au Sheria ya Mungu (angalia Israeli ya zamani,Manabii, Mafundisho Ya Yesu dhidi ya Mafarisayo, na maonyojuu ya wapinga Kristo).

3. Kupenda fedha ndicho chanzo cha uovu.4. Udanganyifu, uwongo, kutokuwa waaminifu, na kutokuwa

waaminifu katika mahusiano ni aina ya upotovu wa maadili.5. Hukumu za uwongo, ushahidi wa uwongo, na rushwa kama aina

za upotovu wa maadili katika mfumo wa kutekeleza haki.6. Mizani za uwongo, vipimo vya uwongo, na uwakilishi wa uwongo

ni mifano ya upotovu wa maadili katika fani ya biashara.7. Kuiba, kutapeli, na kudanganya watu na kuwapora pesa zao ni

mifano ya upotovu wa maadili katika hali ya kibinafsi.8. Kama waamini tunapaswa kuishi kwa uaminifu ndani na nje.

Hadithi*Mafarisayo wanaitia najisi Sheria - Mathayo 15:10-20. *Sauli Anakosa KuyafuataMaagizo ya Mungu kwake - 1 Samueli 15. *Joka lina mashaka na amri za Mungu nalinamdanganya Hawa - Mwanzo 3. *Yakobo anamdanganya ndugu yake - Mwanzo 27.*Maelezo ya njia ya ufisadi - Mithali 1:10-19. *Samsoni na Delila- Waamuzi 16. *Mizani naVipimo vya Haki - Ezekieli 45:9-12. *Daudi Na Bathsheba- 2 Samueli 11-12. *Ufisadi KatikaKutoa Hukumu – kitabu cha Habakuki. *Ufisadi wa ndani wa Waandishi na Mafarisayo -Mathayo 23:23-25; Luka 11:44. *Askari wanahongwa - Mathayo 28:12-13. *Anania na SafiraWanawadanganya watu na Mungu /ushuhuda bandia - Matendo 5. *Mafarisayo WanajaribuKumtega Yesu - Mathayo 22:15-46. *Wabadilishaji Pesa Katika Hekalu - Yohana 2:14-16.*Yuda Anamsaliti Yesu - Mathayo 25-27.

Maandiko*Msilitie najisi neno la Mungu - 2 Wakorintho 4:1-2. *Waepukeni wale wanaofundisha uwongo

Page 124: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 121

- Warumi 16:17-20. *Elakini watu wabaya na wadanganyaji wataendelea, na kuzidi kuwawaovu, wakidanganya na kudanganyika. Bali wewe ukae katika mambo yale uliyofundishwa nakuhakikishwa, kwa maana unajua ni akina nani ambao ulijifunza kwao- 2 Timotheo 3:13-14.*mvue kwa habari ya mwenendo wa kwanza utu wa zamani, unaoharibika kwa kuzifuata tamaazenye kudanganya; na mfanywe wapya katika roho ya nia zenu; mkavae utu mpya, ulioumbwakwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli. Basi uvueni uongo, mkaseme kwelikila mtu na jirani yake; kwa maana tu viungo, kila mmoja kiungo cha wenzake - Waefeso 4:22-28.*Ole wao wasemao kwamba uovu ni wema, na kwamba wema ni uovu; watiao giza badalaya nuru, na nuru badala ya giza; watiao uchungu badala ya utamu, na utamu badala ya uchungu!Ole wao walio wenye hekima katika macho yao wenyewe, na wenye busara katika fikira zaowenyewe! Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu, watu waume wenye nguvukuchanganya vileo; wampao haki mwenye uovu, ili wapewe ijara, na kumwondolea mwenyehaki haki yake! - Isaya 5:20, 23.*Moyoni Ndiko Kunakotoka Ufisadi - Mathayo 15:19-20.*Chakula cha uongo ni kitamu kwa mtu; Lakini halafu kinywa chake kitajaa changarawe. -Mithali 20:17. *Kupenda fedha Ndicho chanzo cha Maovu Yote - 1 Timotheo 6:9-11. *Kuanziakwa mdogo hadi mkubwa, kila mtu ana tamaa ya kufaidika. Hata makuhani ni wadanganyifu -Yeremia 6:13-17.

Page 125: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 122

Sura ya 11 Kielelezo: Neema Ya Mungu, Uwakili Wetu

Page 126: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 123

Picha Iliyorahisishwa kwa ajili ya Sura ya 11

Page 127: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 124

Sura ya 11 Neema Ya Mungu, Uwakili Wetu

Ufafanuzi wa Jumla

Kielezo cha 11 ni picha ya Utoaji wa Mungu kwetu, na jukumu letu la kuwa mawakiliwazuri wa yale aliyotupa Mungu. Ukiangalia juu ya ukurasa utaona Kiti cha Enzi chaMungu kikiwa na nafsi tatu za Mungu—Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Mishaleinayotoka Mbinguni ni ishara ya yale mambo mbalimbali ambayo Mungu huwapatia watu.Mishale ile inayoelekea kwa Mungu inaonyesha kwamba tunastahili kuonyesha shukranikwa vile vitu ambavyo Mungu ametupatia kwa kuwa mawakili waaminifu.

Kuna sehemu nne ambazo Mungu hutupatia mahitaji yetu, mbili ni za kimwili: 1. Munguhutupatia vitu kupitia kwa maumbile; na 2. Mungu hupatia vitu familia zetu. Mbili zakiroho: 1. Mungu hutupatia karama za roho ili tutumie kujenga mwili wa Kristo; na 2.Mungu ametufanya wahuduma wa upatanisho na ametupatia uwakili wa ujumbe wa Injili.

Mungu hutupatia vitu kupitia kwa maumbile. Mungu hutupatia jua, mvua, na rasilimali za chakula, mavazi, nahuwahifadhi watu wote. Sehemu hii ya utoaji wa Mungu inaonyeshwa na milima na miti katika sehemu ya nyuma yapicha. Tunaweza kuhifadhi ulimwengu wa Mungu kwa kutouchafua na kutokuwa waharibifu wa rasilimali zetu zakiasili. Tunaweza pia kuwa mawakili wazuri katika kupanga kwa ajili ya siku za usoni kwa kupanda miti mipya wakatitunapokata mingine. Kuhifadhi maisha ya wanadamu ni njia nyingine ya kuwa mawakili wazuri wa uumbaji wa Mungu.Biblia inasema kumwaga damu isiyokuwa na hatia huchafua nchi.

Mungu hupatia familia zetu vitu. Mungu anataka tuwe na chakula, nyumba, na mavazi. Mungu hutupatia kazi,ufundistadi, talanta, au ardhi ya kuzalisha vyakula ili tuweze kukimu mahitaji ya familia zetu. Anataka tutunze nyumbazetu, kuzikarabati na kuziweka safi ili tuwe na afya njema. Picha ya nyumba upande wa kushotoinawakilisha vitu ambavyo Mungu hupatia familia zetu. yetuNdani ya nyumba kuna picha kadha ndogo zinazoonyeshajinsi tunavyopaswa kuwa mawakili wa vipawa vya Mungu vikijumuisha: chakula, nyumba na nguo za familia zetu,kutoa kwa ajili ya maskini, kuweka pesa kwa ajili ya dharura na kwa ajili ya elimu ya watoto wetu, na kutoa pesakanisani. Ni lazima tuwe mawakili wazuri kwa kutumia vitu tulivyopewa kwa busara, kwa kufanya kazi kwa bidii, kwakutokuwa waharibifu, na kwa kukumbuka kutoa mali zetu kanisani na kwa wahitaji.

Sehemu mbili za upaji wa kiroho zimeonyeshwa kwa picha za makanisa:Mungu hutupatia vipawa vya kiroho ili tuviendeleze na kuvitumia kwa ajili ya Ufalme na utukufu Wake. Upandewa kulia wa picha kuna kanisa kubwa. Picha ndogo ndogo ndani ya kanisa zinawakilisha aina kadhaa za vipawa vyakiroho ambavyo Mungu huwapatia waamini. Vipawa hivi hujumuisha: vipawa vya kutia nguvu kama vile kuhubiri,kufundisha, kutia moyo, na kuhimiza; vipawa vya umisionari na uinjilisti kama vile utume, uinjilisti, na wakatimwingine yamkini kusema kwa lugha; vipawa vya usimamizi; vipawa vya huduma; kipawa cha kutoa; na vipawa vyauponyaji vikijumuisha uponyaji wa kiroho, kihisia, na wakati mwingine vipawa vya uponyaji. Tunahitaji kuwamawakili wazuri wa vipawa vya Mungu kwa kuvitumia na kuviendeleza katika utumishi wa Mungu.

Mungu ametupatia ujumbe wa Injili na Huduma ya Upatanisho. Picha za makanisa madogo juu milimaniinawakilisha ulazima wa waamini kuhusika kwa njia mbalimbali katika Mwito Mkuu. Uwakili wa Injili, au Huduma yaUpatanisho (tazama Sura ya 7, Somo la 4; na Sura ya 9, Somo la 2c) vilipatiwa waamini wote mda kidogo kabla Yesukupaa kwenda mbinguni. Uwakili aina hii uko tofauti na mwingine kwa kuwa huu ni uwakili wa ujumbe – ujumbe waInjili. Ingawa mahali pengi ulimwenguni hakuna majengo ya waamini kuabudia, tumeyatumia katika picha ili kuelezeauanzishaji wa makanisa na kukutana pamoja kwa waamini ili kuabudu, kuomba, kujifunza, na kumtumikia Mungu—mahali mambo haya yanaweza kufanyika.

Njia nyoofu. Katika maeneo yote manne ya uwakili yaliyoorodheshwa hapo juu, tunaenenda katika njia za Mungu ilituwe mawakili wazuri wa utoaji wa Mungu kwetu. Ni lazima tutumie vipawa vyake na mali kwa njia zinazomstahi(iliyoonyeshwa kama njia nyoofu iendayo kwa Mungu katika picha).Njia za Uharibifu/maangamizi. Chini ya ukurasa kuna njia za uharibifu zilizoonyeshwa katika Sura ya 10. Waamini,ambao hawatumii mali za Mungu na vipawa vyake katika njia za busara na kiungu, wanafanya mambo ambayo

Page 128: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 125

yatawaelekeza katika uharibifu wao wenyewe na kwenye hasara. Mifano fulani imejumuishwa huko mbele katika Surahii, lakini mifano maalumu umeachiwa wewe, mwalimu, utoe. Tambua kwamba kuna nyumba moja inayoanguka katikanjia hii kwa sababu ya kutojali na kutumia pesa juu ya vitu vya pesa nyingi, vitawalavyo, au uharibifu wa utoaji waMungu kwa familia.

Kumtumikia Mungu katikati ya Shida/Ugumu (imeonyeshwa katika kisanduku kidogo kilicho kwenye picha juuupande wa kushoto).Moja wapo ya njia kuu zaidi ambazo Shetani hufanyia kazi kutufanya tusiwe mawakili wazuri ni kutuvunja moyo kwaugumu wa maisha na shughuli za Ufalme wa Giza ulimwenguni (inaonyeshwa na pepo wanaotupa mishale). Si sisi pekeyetu tunaopitia nyakati za kuvunja moyo. Mtume Paulo wakati mwingine pia alivunjika moyo hata juu ya kuishi kwake(2 Wakorintho. 1:4-11). Lakini alijifunza mambo mengi yaliyomsaidia kuendelea kuwa mwaminifu kwa Mungu.Alijifunza kuyatoa maisha yake kwa Mungu (mkono); Alijifunza kuweka orodha ya Wakristo waliokomaa wamwombee(watu wanaoomba); Alijifunza kutumia ujuzi wake kuwafariji wengine walio katika hali kama ile (mtu mmojaakimhudumia mwingine); na alijifunza kwamba Mungu alikuwa na nguvu katika shida zake na udhaifu wake (mwiba nakidole). Mawakili wanatakiwa wawe waaminifu.

Njia za Kufundishia Sura hii:1. Njia ya Kupitia kirahisi. Tumia maelezo ya jumla hapo juu kufundishia picha kuu ya Sura hii. Unashauriwa

urudie tena baadaye na ufundishe kila sehemu.2. Njia ya Mada. Chukua kila sehemu kuu ya somo hili na uifundishe kivyake kwa mda. Unaweza kufundisha juu ya

Uwakili wa maumbile; juu ya uwakili wa nyumbani; Uwakili wa kanisani; au Uwakili wa Injili3. Njia ya Kina/Utondoti. Soma eneo la Maandiko kutoka kila picha na somo.4. Njia ya Mahubiri. Kimsingi sura hii ni ya waamini. Lakini siku sote mtu anaweza kufundisha ujumbe wa Injili na

kuwapa changamoto wasioamini wawe mawakili wazuri wa uumbaji wa Mungu na wawe mawakili wazuri wanyumba zao.

5. Njia ya Mwamini Mkomaavu. Sura hii ni ya kuwanoa waamini wakomaavu katika eneo la uwakili.a. Njia ya Kutia moyo: Anza fundisho kwa kufundisha juu ya fasili ya Kibiblia ya neema ya Mungu kama

ilivyoandikwa hapo juu. Halafu fundisha juu ya mada ya kutia moyo. Mara nyingi watu huacha kumtumikiaBwana wakati hali ngumu na mateso yanapoingia maishani mwao. Picha ndani ya kisanduku upande wakushoto juu zinapaswa kutumiwa kuwatia waamini moyo siku zote wawe juu ya kazi ya Bwana kamamawakili wazuri wa neema yake hata katikati ya hali ngumu sana (Somo la 7). Tumia mafundisho haya kamamahali pa kuanzia kufundishia maeneo mengine ya uwakili.

b. Njia ya Uwakili wa Nyumbani: Njia nyingine inawezakuwa kufundisha kila eneo la uwakili kwa kuangalianjia zote mbili yaani njia nzuri na njia mbaya ya kutumia utoaji wa Mungu kwetu katika nyumba. Piaunawezataka kuunganisha na Sura ya 2, Somo la 2 juu ya Wajibu wa Familia.

c. Njia ya Kutembea na Mungu: Hata unaweza kulinganisha fundisho hili na Sura iliyotangulia juu yaKutembea/Kuenenda katika Njia ya Mungu katika Jamii kwa kuwa njia za uharibifu huathiri kila eneo lauwakili.

d. Njia ya Uwakili wa Kanisa: Usisome juu ya vipawa vya kiroho vipewavyo kanisa. Tazama somo la 5 juu yamatumizi sahihi ya vipawa kanisani.

e. Njia ya Maono ya Kanisa: Fundisha kutoka kwenye muhtasari uliotolewa katika sehemu ya Mafundisho yaZiada mwisho wa Sura hii juu ya maono ya kanisa, makadirio, na kuwa kanisa la Mwito Mkuu. Kufundishajuu ya uwakili nyumbani na kanisani ni muhimu kwa ajili ya kufanikiwa kwa maono na umisionari wa kanisa.Pia kuna nakala za Mafundisho ya Ziada yaliyowekwa mwisho wa Somo la 6 la Sura hii ambayo yanawezakuwa ya msaada kwako. Yanahusu maeneo ya ulimwengu ambako Injili haijahubiriwa.

Page 129: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 126

Malengo Ya Sura ya 11

1. Kutusaidia kuelewa maana ya kuwa mawakili wazuri wa karama za neema za Mungu na upaji wake kwetu.2. Kufundisha jinsi Mungu anavyotupatia mahitaji yetu kupitia kwa maumbile, na jinsi tunavyopaswa kutunza

maumbile.3. Kufundisha jinsi Mungu anavyokutana na mahitaji ya familia zetu na jinsi ya kusimamia nyumba zetu.4. Kufundisha jinsi Mungu anavyokutana na mahitaji ya kanisa, na jinsi tunaweza kutumia karama zetu

kuhudumiana na kumtumikia Bwana.5. Kufundisha wajibu wetu wa kuipeleka Injili ulimwenguni.6. Kutusaidia kuepuka mashimo yaliyo katika utumiaji mzuri wa rasilimali zetu.7. Kutuhimiza kuendelea kumtumikia Mungu wakati wa shida kwa kutumia karama zetu katika huduma.

Sura Zinazohusiana

Sura ya 7: Tunaendelea kujitoa kumtumikia Mungu kikamilifu tunapoishi katika mapatano na waamini wengine na Mungu.

Sura ya 8: Ni lazima tuwe waangalifu kukaa katika njia nyoofu, na tusifuate njia zituelekezazo kwenye uharibifu.

Sura ya 9: Shetani hurusha mishale kwa waamini na kwa wasioamini vilevile. Tunapaswa kukua kiroho ili tuweze kupigana vitavya kiroho. Kukua kiroho kutatusaidia kudumu katika njia ya Mungu.

Sura ya 12: Tunapaswa kumtumikia Mungu kwa unyenyekevu kwa vipawa alivyotupatia na kuhubiri Injili kila mahali hadi Yesuarudi.

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Neema ya Mungu, Shukrani Yetu

Sehemi ya 1: Mungu hutupa neema, nahumrudishia shukrani.

Mistari inayotoka Mbinguni kuelekeaduniani na inayotoka duniani hadiMbinguni-Maana ya neno neema kwaKiyunani ni mara mbili . Neemainamaanishakipawa kilichotolewa nashukrani zinazopewa Mungu. Munguhutupatia vipawa na tunamrudishia yeye

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu hutupa neema, nasi humrudishia shukrani.2. Neno la Kiyunani la “neema” hutafsiriwa kwa maneno mawili

ya Kiswahili, zawadi na shukrani. [angalia muhtasaripembeni]

3. Uwakili ni ile shukrani ya utumishi anayopewa Mungu kwazile karama anazotupa.

4. Mungu hukimu mahitaji yetu kupitia kwa mali asili, lazimatutunze mali asili.

5. Mungu hukimu mahitaji yetu nyumbani, lazima tusiwewavivu, wabadhirifu, waabudu sanamu, au upuuzaji.

6. Mungu hutupa karama ili kanisa lake liweze kujengwa kiroho,tunapaswa kutumia na kuendeleza karama zetu za kiroho.

7. Mungu ametupatia ujumbe wa Injili, tunapaswa kuipelekakila mahali duniani.

Hadithi*Mungu alijali ile nchi ambayo Waisraeli walikuwa wataenda kuingia (Nchi ya Ahadi).Macho yake yalikuwa juu ya nchi hiyo - Kumbukumbu La Torati 11:11-12. *Ezraanazungumzia neema ya Mungu katika kujiwekea watu waaminifu - Ezra 9:8. *Munguhutoa karama ya neema kupitia kwa sadaka ya Yesu kwa ajili ya dhambi zetu - Warumi5:15-21. *Kwa maana mambo yote ni kwa ajili yenu, ili neema hiyo ikiongezwa sana, kwahao walio wengi shukrani izidishwe, na Mungu atukuzwe. - 2 Wakorintho 4:15. *Na

Page 130: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 127

shukrani zetu. Kuna sehemu nne kuuambazo Mungu ametupatia kitu. Sehemuhizi zote zinahitaji uwakili wetu.

Mungu aweza kuwajaza kila neema kwa wingi, ili ninyi, mkiwa na riziki za kila namnasiku zote, mpate kuzidi sana katika kila tendo jema; - 2 Wakorintho 9:8. *Kwa kuwaBwana, Mungu, ni jua na ngao, Bwana atatoa neema na utukufu. Hatawanyima kituchema Hao waendao kwa ukamilifu. - Zaburi 84:11. *Watu wale walinusirika kutokana naupanga walipokea neema jangwani – Waisraeli walipokwenda kutafuta pumziko - Yeremia31: 2. *Nami nitawamwagia… roho ya neema na kuomba; nao watamtazama yeye ambayewalimchoma; - Zekaria 12:10. *Yule mtoto akakua, akaongezeka nguvu, amejaa hekima,na neema ya Mungu ilikuwa juu yake. - Luka 2:40. *Basi kwa kuwa tuna karama zilizombalimbali, kwa kadiri ya neema mliyopewa, tunapaswa kuzitumia; - Warumi 12:6.

Somo La 2 Upaji wa Mungu Kupitia Mali Asili na Uwakili Wetu

Sehemu ya 2: Mungu anakutana namahitaji yetu kupitia mali asili.

Milima, miti na mawingu-Njia moja ambayoMungu hutupatia mahitaji yetu ni kwa kupitiauumbaji wake. Yeye hutupatia mvua na mimea yachakula pamoja na maji. Vilevile hutupatia miti yakujengea nyumba. Kwa hiyo sharti tutunze vituvyote alivyoviumba Mungu. Kwa mfano, hatupaswikuchafua maji tunayokunywa au hata kuwatendeavibaya wanyama. Tunapaswa kuuheshimu uumbajiwa Mungu.

*Tunapaswa kuiheshimu miili yetu. Dawa zakulevya, pombe, na mazoea mabaya ya kulayanaweza kuharibu miili yetu. Kwa kuongezea,tunapaswa kujua jinsi ya kuishi kwa heshima namaisha masafi, si kwa kujiingiza katika uzinzi.

Vichwa Vya Masomo:1. Tunapaswa kuwa mawakili wazuri wa uumbaji wa Mungu.2. Tunapaswa kutunza mali asili.3. Tunapaswa kuitunza miili yetu, kula vizuri, kupumzika, na

kujitenga na vitu ambavyo vinaweza kuidhuru miili yetu.4. Tunapaswa kujua jinsi ya kuishi maisha matakatifu kama

apendavyo Mungu, tusijiingize katika uzinzi.

Tunza Uumbaji wa MunguHadithi*Maagizo ya Mungu kwa Adamu na Hawa- Mwanzo 1:26-30; 2:15. *Mungu Aliwafanyawatu kutawala Uumbaji wake - Mwanzo 1:26. Zaburi 8:5-8; 115:16. *Yesu Anafundishajuu ya upaji wa Mungu-Luka 12:22-34; Mathayo 6:25-34. *Barnaba na Paulo wanadhaniwakuwa miungi. Wanawahimiza watu Kumwona Mungu awapaye mvua, matunda na furahakwa ajili ya vitu hivyo. Matendo 14:16-17. *Yeremia anaeleza kwa nini Mungu AmeamuaKutowabariki Waisraeli –kwa sababu hawakumtii Bwana aliyewapa mavuno na Mvua -Yeremia 5:19-31 (kifungu 24). *Mungu alikimu mahitaji ya Eliya - 1 Wafalme 17.Maandiko

*Je! Katika vitu vya ubatili vya mataifa, kiko kitu kiwezacho kuleta mvua? Je! Mbinguzaweza kutoa manyunyu? Je! Si wewe, Ee Bwana, Mungu wetu? Kwa sababu hiyotutakungoja; kwa kuwa wewe umevifanya vitu hivi vyote. - Yeremia 14:22. *MunguAnakimu Mahitaji ya Mimea na Miti ili izae matunda -Mambo ya Walawi 26:4-5. *MunguHuwapa Ng’ombe Nyasi -Kumbukumbu La Torati 11:14-15. *Mungu huwapa chakulawale wanaomcha -Zaburi 136:25. *Mungu Anakimu mahitaji ya Mimea, Wanyama, Watu-Zaburi 65:9-13; Zaburi19; Zaburi 104. *Mungu hutoa Chakula - Zaburi 147.

Kutunza Miili YetuHadithi*Paulo Anafundisha Kwamba Miili Yetu Ni Ya Bwana - 1 Wakorintho 3:18-20; 6:11-20.*Watu Wameumbwa kwa Mfano Wa Mungu - Mwanzo 1:26-31. *Mungu alitoa manajangwani - Nehemia 9:15.Maandiko*Nitakushukuru, Kwa maana Nimeumbwa Kwa Njia ya Ajabu - Zaburi 139:14-16.Usishirikiane na mlafi au mlevu. Wote watumbukia kwenye umaskini.- Mithali 23:20-21.

Page 131: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 128

Somo La 3 Upaji wa Mungu Kwa Familia Zetu na Uwakili Wetu

Sehemu ya 3: Mungu Hukimu mahitajiya familia zetu.

Nyumba na vitu vingi ndani yake-Munguhukutana na mahitaji ya familia zetu. Jinsitunavyotumia upaji wake ndivyotunavyoonyesha shukrani zetu.

Sehemu ya 3a: Tunapaswa kuichunganyumba ambayo Mungu ametupatia.

Sehemu ya 3b: Tupaswa kufanya kaziili kuzipatia chakula familia zetu na

kumshukuru Mungu kwa ajili yachakula chetu cha kila siku.

Sehemu ya 3c: Tunapaswa kuzipatiafamilia zetu nguo.

*Epuka kuvaa nguo kwa kutegemea hadhi yako.

Sehemu ya 3d: Tunapaswa kuwekaakiba ya pesa kwa ajili ya elimu ya

watoto wetu.

Vichwa Vya Masomo:1. Tunapaswa kuwa mawakili wazuri wa upaji wa Mungu kwetu

na kwa familia zetu.2. Tunapaswa kutumia rasilimali anazotupa Mungu kwa makazi,

chakula, nguo, na vile vile kwa matibabu na elimu ya familiazetu.

3. Mungu pia hutupatia vitu ili tuweze kutoa kanisani nakuwasaidia maskini.

4. Mungu hutupa kwa lengo la kututunza, na ili tuweze kushirikina wengine baraka zake.

5. Yesu anachukulia kuwasaidia maskini kuwa ni kumtunzayeye.

6. Wakristo wengi hutumia asilimia 10% ya mapato yaokumpatia Mungu sawa na kigezo cha Agano La Kale.

Mahitaji ya FamiliaHadithi*Umaskini na Shamba la Mvivu - Mithali 24:30-34. *Yesu Anafundisha Juu ya Upaji waMungu kwa Familia - Mathayo 6:25-34. *Utajiri wa Ibrahimu - Mwanzo 13; 24:35.*Ibrahimu ananunua shamba na pango la kuwazikia watu - Mwanzo 23. *WaisraeliWanunua Chakula na Maji Kutoka Seiri- Kumbukumbu La Torati 2:1-8. *Akani anakutanana mahitaji ya familia kwa njia mbaya, kupitia sanamu - Yoshua 7.Maandiko*Lakini mtu Ye yote Asiyewatunza Walio Wake, Yaani, Wale Wa Nyumbani MwakeHasa, Ameikana Imani, Tena Ni Mbaya Kuliko Mtu Asiyeamini. - 1 Timotheo 5:8. * Tenamjitahidi kutulia, na kutenda shughuli zenu, na kufanya kazi kwa mikono yenu wenyewe,kama tulivyowaagiza; ili mwenende kwa adabu mbele yao walio nje, wala msiwe na hajaya kitu cho chote. - Mhubiri 10:18. *Mkono wa mwenye bidii utatawala; Bali mvivuatalipishwa kodi - Mithali 12:24. *Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyowakati wa mavuno ataomba, hana kitu. - Mithali 20:4. *Pesa ni ulinzi – Mhubiri 7:12.*Usitumie pesa kwa kile kisichoweza kukutosheleza - Isaya 55:1-3. *wazazi hukimumahitaji ya watoto wao - 2 Wakorintho 12:14.

Kutoa KanisaniHadithi* Watu Wanaishi Vizuri, Kanisa Limebomoka - Hagai 1. *Yehoashi Analijenga UpyaHekalu - 2 Wafalme 12; 2 Mambo Ya Nyakati 24. *Mfalme Yosia Analirudisha Hekalumahali pake - 2 Wafalme 22; 2 Mambo Ya Nyakati 34. *Mpeni Kaisari Vilivyo VyaKaisari, Na Mpeni Mungu Vilivyo vya Mungu - Mathayo 22:17-22. *Ezra AnakusanyaPesa Kulijenga Upya Hekalu - Ezra 3; 7-8. *Wanafunzi Walitoa Kulingana na Uwezo Wao- Matendo 11:29. *Waamini wote walikuwa na nia moja na walikuwa na vitu vyote shirika- Matendo 4:32-35. *Waamini Makedonia na Akaia Walichanga Kuwasaidia WaaminiMaskini - Warumi 15:25-27; 2 Wakorintho 8:1-15; 2 Wakorintho 9:1-13.Maandiko*Kila mmoja sharti atoe kulingana na alivyoamua moyoni mwake, si kwakushinikizwa, Mungu hupenda yule atoe kwa moyo mkunjufu - 2 Wakorintho 9:6-11.

Kutoa Kwa Kwenye MahitajiHadithi

Page 132: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 129

Sehemu ya 3e: Tunapaswa kuwekaakiba ya pesa kwa ajili ya mahitaji ya

dharura.

Sehemu ya 3f: Tunapaswa kutoasehemu ya mapato yetu ya kifedha

kanisani (kawaida ni 10%).

Sehemu ya 3g: Tunapaswa kuwasaidiamaskini.

*Waisraeli walipaswa kukimu mahitaji ya wale waliokuwa maskini miongoni mwao -Kumbukumbu La Torati 15:7 -11. *Boazi- Ruthu 2-3. *Yesu Anafundisha Juu yaKuwatunza Wale Walio na Njaa, au Kiu, au Wageni, Au Wasiokuwa na nguo, Auwagonjwa au waliofungwa, sawa na vile tungalivyomtendea yeye - Mathayo 25:31-46.*Sheria juu ya Majirani - Kumbukumbu La Torati 23:19-25. *Kufunga kunakompendezaMungu ni kuwaweka huru waliofungwa na uovu, waweka huru wote walioonewa, kugawamkate na wale walio na njaa - Isaya 58:4-12. *Neema ya Mungu ilikuwa juu ya kanisa nakila mmoja wao alitoa kwa ajili ya wale waliokuwa na mahitaji - Matendo 4:33-37.Maandiko*Kuchanga Kuwasaidia Waamini, Kutenda Ukarimu - Warumi 12:11-13. *Lakini MtuAkiwa Na Riziki Ya Dunia, Kisha Akamwona Ndugu Yake ni Mhitaji, AkamzuiliaHuruma Zake, Je! Upendo wa Mungu Wakaaje Ndani Yake Huyo? Watoto Wadogo,Tusipende Kwa Neno, Wala Kwa Ulimi, Bali Kwa Tendo na Kweli. - 1 Yohana 3:17-18;Yakobo 2:15-16. *Upendano wa ndugu na udumu. Msisahau kuwafadhili wageni; maanakwa njia hii wengine wamewakaribisha malaika pasipo kujua. Wakumbukeni haowaliofungwa kana kwamba mmefungwa pamoja nao; na hao wanaodhulumiwa, kwa vileninyi nanyi mlivyo katika mwili. - Waebrania 13:1-3. *Kwa Hiyo Kadiri Tupatavyo NafasiNa Tuwatendee Watu Wote Mema; Na Hasa Jamaa Ya Waaminio-Wagalatia 6:10.

Page 133: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 130

Lesson 4 Upaji wa Mungu Kwa Kanisa na Uwakili Wetu

Sehemu ya 4a: Roho Mtakatifu Hutoakarama kwa watu ili wazitumie

kuujenga mwili wa Kristo kwa kazi yahuduma.

Kanisa na vitu kadhaa ndani-Munguhutoa vipawa vya huduma kwa waleambao wamemkubali Yesu kama Bwanana Mwokozi wao. Vile tunavyotumiavipawa hivyo kumtumikia Mungu na viletunavyoviendeleza ndiyo zawadi yetu kwaMungu.*Vipaji vya kiroho hupewa watu kwa ajiliyakujenga mwili wa Kristo ili ufanyehuduma ya Mungu.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu hutupa neema/karama za kiroho kwa ajili ya kanisa.2. Mungu hutupa karama za kujenga kwa ajili ya kanisa

(kuhubiri, kufundisha, kutia moyo, kuhimiza).3. Mungu hutoa vipawa vya kimisionari, kiinjili kwa kanisa

(utume, uinjilisti, na ndimi {zinazotolewa kwa ajili yawasioamini, tambua kwamba makanisa mbalimbali yanamafundisho tofauti juu ya mada hii. Mafundisho yote juu yandimi yanahitaji kupimwa kwa Maandiko yote }).

4. Mungu hutoa karama za utawala kwa kanisa.5. Mungu hutoa karama za utumishi kwa kanisa.6. Mungu hutoa karama za kutoa kwa kanisa.7. Mungu hutoa karama za “uponyaji” kwa kanisa (unaweza

kujumuisha uponyaji wa kimwili, kihisia, kiroho-Tambua pia,makanisa yana ufasiri tofauti tofauti juu ya uponyaji, ufasiriwowote sharti upimwe kwa Maandiko).

8. Roho hutoa karama kwa kanisa kama apendavyo.

Hadithi and Maandiko*Paulo Anafundisha Juu Ya Matumizi ya Karama - Warumi 12:6-8. *Basi pana tofauti zakarama; bali Roho ni yeye yule. Tena pana tofauti za huduma, na Bwana ni yeye yule.Kisha pana tofauti za kutenda kazi, bali Mungu ni yeye yule azitendaye kazi zote katikawote. Lakini kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa kufaidiana. Lakini Roho yule yulendiye anayetenda kazi katika haya, akigawa karama kwa kila mtu kibinafsi, kamaapendavyo - 1 Wakorintho 12:4-11.

Karama za Kufundisha/Kuhubiri/Kutangaza /UtumeHadithi*Maafisa na Walawi Wanawafundisha Watu kutoka mji mmoja hadi mwingine - 2 MamboYa Nyakati 17:7-9. *Ezra Anajitoa Kufundisha Mafundisho ya Bwana - Ezra 7:10.

Page 134: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 131

Sehemu ya 4b: Mungu huwapa watuvipawa vya kutangaza kama vilekufundisha, kuhubiri, utambuzi,

maarifa, na unabii ili kuujenga mwiliwa Kristo kwa ajili ya huduma.

Midomo-Mungu huwapatia watu wengine vipajivya kujenga kama vile kufundisha, kuhubiri,uinjilisti, uongozi, utume, na unabii-kuwarudishawatu katika njia za Mungu. Karama hizi zote lazimazitumiwe kwa uangalifu katika kulihubiri Neno laMungu kwa kanisa na ulimwenguni ili ujumbeusiweze kuharibiwa.

Sehemu ya 4c: Mungu huwapa watukarama za utume ili kujenga ufalme

wa Mungu duniani.

Viatu- Karama za utume, uinjilisti, umisionari.

Katika kitabu cha Matendo, Agano Jipya pia linatajahabari za kunena kwa lugha nyingine kuihubiriInjili.

*Wakristo wa Kwanza Walijitoa Kwa Mafundisho na Kwa Maombi - Matendo 5:42. *Watuwa Kuporo na Kirene Walienda Antiokia wakihubiri na wengi wakaokoka kwa neema yaMungu - Matendo 11:20-30. *Unabii unatumiwa Kuwatia moyo watu na kuwafundisha - 1Wakorintho 14:31. *Kipimi cha Nabii wa Kweli - Kumbukumbu La Torati 13; 18:22.*Debora kama Nabii na Mwamuzi - Waamuzi 4. *Miriam The Prophetess- Kutoka 15:20.*Hulda nabii wa kike - 2 Wafalme 22; 2 Mambo Ya Nyakati 34. *Nabii wa kike aitwayeAna - Luka 2:36-52. *Philip's Daughters- Matendo 21.Maandiko*Maonyo Juu Ya Manabii wa Uwongo - 2 Petro 2; 1 Yohana 4. *Maana Midomo yaKuhani Sharti Ijae Maarifa - Malaki 2:7. *Lihub iri neno, uwe tayari, wakati ukufaao nawakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata niazao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafitinao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo. Bali wewe, uwena kiasi katika mambo yote, vumilia mabaya, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timilizahuduma yako. - 2 Timotheo 4:2-5. *Kwa Maana Mafundisho Yetu Hatokani na Makosawala uchafu Au kwa udanganyifu; …Tunanena, si Kwa kuwapendeza wanadamu, LakiniMungu Anayechunguza Mioyo. Kwa maana Hatukuja na Ufasaha wa Maneno, KamaMjuavyo, Au Kwa Ulafi -- Mungu ni Shahidi—Hatukutaka Utukufu Kwa Wanadamu,…tuliwatangazia Injili ya Mungu. …Kama Mnavyojua Tuliwahimiza na Kuwatia moyo naKuwachukulia Kama Baba Anavyowatunza Watoto Wake - 1 Wathesalonike 2:3-13.*Ndugu Zangu, Msiwe Waalimu Wengi, Mkijua Ya Kuwa Mtapata Hukumu Kubwa zaidi.- Yakobo 3:1. *Kwa Maana, Iwapasapo Kuwa Waalimu, (Maana Wakati MwingiUmepita), Mnahitaji Kufundishwa Na Mtu Mafundisho Ya Kwanza Ya Maneno yaMungu; Nanyi Mmekuwa Mnahitaji Maziwa Wala Si Chakula Kigumu. Kwa Maana KilaMtu Atumiaye Maziwa Hajui Sana Neno La Haki, Kwa Kuwa Ni Mtoto Mchanga. LakiniChakula Kigumu Ni Cha Watu Wazima, Ambao Akili Zao, Kwa Kutumiwa, ZimezoezwaKupambanua Mema na Mabaya. - Waebrania 5:12-14. *Naye Alitoa Wengine KuwaMitume, na Wengine Kuwa Manabii; Na Wengine Kuwa Wainjilisti na Wengine KuwaWachungaji na Waalimu Kwa Kusudi La Kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya hudumaitendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe - Waefeso 4:11-12. *Hubiri Kwa Nia Njema -Wafilipi 1:15-18.

Mafunzo Maalum –Kunena Kwa Lugha:Ndimi Zilidhirishwa Katika Maeneo Ambayo Inji li Ilikuwa Inahubiriwa KwaMara ya Kwanza:*Pentekote (Wayahudi)- Matendo 2.*Kujumuishwa kwa Mataifa (Mataifa)- Matendo 10:45-46; 11:16-18.*Wanafunzi wa Yohana (Walijua tu Ubatizo Wa Yohana)- Matendo 19:6.*Yamkini kuna Kunena kwa Lugha, Lakini haikutajwa (Wasamaria)- Matendo 8:4-8; 14-17.Wokovu Mahali ambapo Ndimi Hazijatajwa:*Watu 3,000 waokolewa- Matendo 2:41. *Watu 2,000 walioshuhudia UponyajiYerusalemu Wampokea Kristo - Matendo 4:4. *Kuokoka kwa Paulo- Matendo 9. *Toashiwa Ethiopia- Matendo 8:26-40. *Antiokia Ambako Watu Waliitwa Wakristo Kwa Mara YaKwanza - Matendo 11:19-21; 13:1-3. *Lidia na Familia Yake - Matendo 16:14-15. *AskariJela wa Filipi na Familia Yake - Matendo 16:29-34. *Wayahudi, Mataifa WaliomchaMungu, Wanawake Maarufu Kutoka Thesalonike - Matendo 17:1-4. *Waberoya Wenye

Page 135: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 132

Sehemu ya 4d: Mungu hutoa karama zakutia moyo, kuhimiza, na aina

mbalimbali za uponyaji ili kuujengamwili wa Kristo kwa huduma.

Mtu mmoja akimsalimia mwingine kwamkono-Mungu huwapatia watu wengine vipawavya huruma, kutia moyo na kufundisha. Kutia moyoni kuwafariji watu na kuwatia ujasiri. Kuhimiza nikuwahamasisha watu kuishi kwa kuzifuata njia zaMungu. Wengine huwapatia vipawa vya uponyaji.Uponyaji huu unaweza kuwa wa kihisia, kiroho, auwa kimwili. Uwe mwangalifu na watu wanaojifanyawaponyaji, wakiwafanya watu kuwategemea wao,na kuwapora pesa zao, ili kuongeza umaarufu wao,mamlaka, na mali zao. Lengo la uponyaji katikaAgano Jipya lilikuwa ni kuonyesha Yesu ni naniwala sio kumuinua mtu fulani.

Sehemu ya 4e: Mungu huwapa watukarama za kutoa ili kuujenga mwili wa

Kristo kwa huduma.

Pesa kwenye saduku-Mungu huwatunukuwatu vipawa vya kutoa fedha au mali.Vilevile huwapa wengine vipawa vyauongozi.. Tambua hii si kusema kwamba si kila mtuanapaswa kutoa pesa kanisani.

Sehemu ya 4f: Mungu huwapa watuwengine karama za utumishi ili

kuujenga mwili wa Kristo kwa huduma.

Mtu akishikilia nyundo-Munguhuwatunuku watu wengine vipawa vyakufanya kazi au vya kuwasaidia watu. Kuna njianyingi ambazo watu wanaweza kumtumikia Mungukwa karama hii.

Haiba Kubwa - Matendo 17:10-12. *Hotuba ya Athene, Kwenye Kilima - Matendo 17:32-34. *Waamini wa Kwanza Huko Korintho, Akiwemo Krispo, Mkuu wa Sinagogi NaFamilia Yake - Matendo 18:7-8.

Karama za Kutia Moyo, Kuhimiza, Na UponyajiHadithi*Yonathani Amtia Moyo Daudi - 1 Samueli 23:16. *Maombi Ya Yesu Kwa ajili ya Petro -Luka 22:32. *Badala ya Kutoa Pesa, Petro Anamwomba Mungu Kumponya Mtu - Matendo3. *Musa Anamtia Moyo Yoshua- Kumbukumbu La Torati 3:21-28. *Barnaba AnawatiaMoyo Waamini Kusimama Imara -Matendo 11:21-24. *Viongozi wa Kanisa WanawatiaMoyo Waamini Huko Kolosai -Wakolosai 4:7-18. *Timotheo Anatumwa Kwenda KuwatiaMoyo Wathesalonike - 1 Wathesalonike 3:2. *Yesu Anamtia Moyo Mariamu - Luka 10:40-42. *Paulo Anamtia Moyo Petro - Wagalatia 2. *Stefano Alijaa Neema na Alitenda MiujizaMingi Miongoni mwa Watu - Matendo 6:8. *Paulo Anaamini Kwamba Watu WanawezaKuhimizana na Kufundishana - Warumi 15:14. *Paulo na Barnaba Hawabebi Sifa KwaMatendo Yao Ya Nguvu (Kumponya Mtu), Wala Hawapendi Watu Wamulike Swala Hilo.Badala Yake, Wanaongea Juu ya Kuwepo Kwa Mungu Kupitia Kwa Matendo Yake Mazuriya Upaji, na Furaha Anayowapa watu - Matendo 14:8-18. *Msamaria Mema - Luka 10.Maandiko*Watie Moto waliolemewa, Na Kuwatia Nguvu Waliowadhaifu - Isaya 35:3-6. *Farijianenina kujengana kila mtu na mwenzake,- 1 Wathesalonike 5:11. *Ndugu, Twawasihi,Waonyeni Wale Wasiokaa Kwa Utaratibu; Watieni Moyo Walio Dhaifu; Watieni NguvuWanyonge; Vumilieni Na Watu Wote. - 1 Wathesalonike 5:14. *Wanawake WazeeWawatie Moyo Wanawake wa Makamu - Tito 2:3-5. *Tianeni Moyo … Ili Asije YeyoteKati Yenu Akaingia Katika Mtego wa Dhambi - Waebrania 3:13.

Karama ya KutoaHadithi*Waamini Yerusalemu Walikuwa na Vitu Vyote Shirika - Matendo 2:44-45; 4:32-35.*Ukarimu wa waamini wa Antiokia - Matendo 11:27-30. *Barnaba ni Mkarimu - Matendo4:36. *Waamini Wa Mekedonia na Akaia walikuwa wakarimu - Warumi 15:25-28; 2Wakorintho 8:1-5. *Wakorintho Walikuwa Miongoni Mwa Watu wa Kwanza Kutoa - 1Wakorintho 16:1-3; 2 Wakorintho 8:9-24. *Hadithi ya Mjane Maskini - Marko 12:38-44.*Wanawake na Wanaume wanatoa Kujenga Hema - Kutoka 35:22-29. *Vichwa vyanyumba na makabila, makamanda, na maafisa watoa sana kwa ajili ya kazi ya Bwana - 1Mambo Ya Nyakati 29:1-9.Maandiko*Kwa Kuwa Ye Yote Atakayewanywesha Ninyi Kikombe Cha Maji, Kwa Kuwa Ninyi niWatu Wa Kristo, Amin, Nawaambia, Hatakosa Thawabu Yake. - Marko 9:41-42.

Hadithi na Maandiko-Utawala*Musa Anachagua Viongozi- Kutoka 18. *Danieli Na Marafiki Zake watawala - Danieli2:49; 3:12. *Kutawala Katika Kanisa La Kwanza - 2 Wakorintho 8. *Na MunguAmechagua Watu makanisani, kwanza Mitume, Pili Manabii, Tatu Walimu, Kisha Miujiza,Karama za Uponyaji, Kusaidia watu, Utawala, Aina tofauti za Ndimi - 1 Wakorintho 12:28.

UtumishiHadithi*Simoni Mkirene Anamtumikia Yesu- Marko 15:21-22. *Nyumba Ya Stefano IlijitoaKutumika - 1 Wakorintho 16:15-16. *Kanisa La Thiatira Lamtumikia Bwana - Ufunuo2:18-19.Maandiko*Kama Vile Mwana Wa Adamu Asivyokuja Kutumikiwa, Bali Kutumika, Na Kutoa NafsiYake iwe fidia ya wengi- Mathayo 20:28. *Yesu was one who served among us- Luka22:26-27. *Mtu na atuhesabu hivi, kuwa tu watumishi wa Kristo, na mawakili wa siri zaMungu. Hapo Tena Inayohitajiwa Katika Mawakili, Ndiyo Mtu Aonekane Kuwamwaminifu.- 1 Wakorintho 4:1-2. *Kama Walio Huru, Ila Wasioutumia Uhuru Huo Kwa

Page 136: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 133

Sehemu ya 4g: Mungu huwapa watutalanta maalum ili waweze kufanya

huduma maalum katika ufalme.

Ala ya mziki-Mungu huwapa watu wenginevipawa au talanta ili wamtumikie yeye. Hiiinaweza kujumuisha vipawa kama; ufundi wamikono, mziki, kushona, kupika au kuchora.

Kusitiri Ubaya, Bali Kama Watumwa wa Mungu. Waheshimuni watu wote. Wapendenindugu. Mcheni Mungu. Mpeni Heshima Mfalme. - 1 Petro 2:16-17.

Talanta MaalumHadithi*Fumbo La Talanta - Mathayo 25. *Mungu anawapa Watu Karama Ya Ufundistadi -Kutoka 31:1-11. *Hiramu wa Kutoka Tiro- 1 Wafalme 7 (v.13).Maandiko*Kila Mmoja Kwa Kadiri Alivyoipokea Karama, Itumieni Kwa Kuhudumiana; KamaMawakili Wema Wa Neema Mbalimbali za Mungu. Mtu Akisema, na aseme KamaMausia ya Mungu; Mtu Akihudumu, Na Ahudumu Kwa Nguvu Anazojaliwa Na Mungu;ili Mungu Atukuzwe Katika Mambo Yote Kwa Yesu Kristo. Utukufu na Uweza Una yeyeHata Milele na Milele. Amina- 1 Petro 4:10-11.

Somo La 5 Kazi za Karama Katika Kanisa

[Tambua: hakuna picha kwa somo hili. Rejea kanisa na karama hapo juu.]

Vichwa Vya Masomo:1. Karama zimetolewa ili kulijenda kanisa kwa ajili ya huduma, si kutumia karama hizo kuwatawala

wengine.2. Mungu anapenda tuwe waaminifu kwa madogo, tukionyesha kwamba tunaweza kukabidhiwa mambo

makubwa.3. Tunapaswa kuwaruhusu watu kutumia karama zao kwa ajili ya Mungu.4. Mamlaka na uongozi katika kanisa vinahitaji kutekelezwa kwa lengo la kujenga siyo kubomoa.

Lengo la karama ni Kujengana kwa ajili ya Huduma, na sio kwa ajili ya kujenga uongozi ili kupata mamlaka na nguvu.Hadithi*Malaki Ananena Juu ya Kufanya Huduma Vibaya - Malaki 2:7-17. *Ezekieli Ananena Juu ya Kufanya Huduma Vibaya - Eze. 22:23-31.*Sulemani alipewa Hekima - 1 Wafalme 3.Maandiko*Mungu ametoa karama ili zimjenge kila mwamini akomae na kufanya huduma - Waefeso 4:11-16. *Mungu Anampango Maalum Kwa KilaMmoja Wetu - Zaburi 139:14-16. *Bali yeye ahutubuye, asema na watu maneno ya kuwajenga, na kuwafariji, na kuwatia moyo. - 1 Wakorintho14:3, 12. *Basi, Farijianeni na Kujengana Kila Mtu Na Mwenzake, Vile Vile Kama Mnavyofanya. - 1 Wathesalonike 5:11. *Ndugu, Twawasihi,Waonyeni Wale Wasiokaa Kwa Utaratibu; Watieni Moyo Walio Dhaifu; Watieni Nguvu Wanyonge; Vumilieni Na Watu Wote. - 1 Wathesalonike5:14. *Wale wadhaifu hamkuwatia nguvu, wale wagonjwa hamkuwaponya, waliovunjika hamkuwafunga, waliotawanyika hamkuwarudisha, walahamjawatafuta waliopotea; lakini mmewakandamiza kwa lazima. Wachungaji waovu hawawatii nguvu wadhaifu, kuwafunga bandejiwaliojeruhiwa, kuwaleta wale waliopotea, au kutafuta waliopotea, badala yake waliwatawala kwa fujo, walijilisha badala ya kuwalisha kondoo,waliwalisha wale walionenepa na kuwanyima chakula wale wadhaifu - Ezekiel 34:1-31.

Kila Mtu Lazima Awe Mwaminifu Kwa Madogo, na kisha apewe majukumu makubwa zaidiHadithi na Maandiko*Fumbo la Talanta - Mathayo 25:15-30. *Maana Mungu si Dhalimu Hata Aisahau Kazi Yenu, Na Pendo Lile Mlilolidhihirisha Kwa Jina Lake,Kwa Kuwa Mmewahudumia Watakatifu, na Hata Hivi Sasa Mngali Mkiwahudumia. Nasi Twataka Sana Kila Mmoja Wenu Aidhihirishe Bidii IleIle, Kwa Utimilifu Wa Matumaini Hata Mwisho; Ili Msiwe Wavivu, Bali Mkawe Wafuasi Wa Hao Wazirithio Ahadi Kwa Imani na uvumilivu. -Waebrania 6:10-12. *Kwa sababu ninamjua Yule Niliyemwamini Na Nina Hakika Kwamba Anaweza Kukilinda Kile Nilichomwekea AmanaHadi Siku Ile. Endelea na Maneno Yale Ambayo Umeyasikia Kutoka Kwangu, Katika Imani Na Upendo Ulioko Katika Kristo Yesu. Linda, IleHazina Uliyopewa , Kupitia Kwa Roho Mtakatifu Akaaye Ndani Yetu - 2 Timotheo 1:8-14.

Kila Mtu Sharti Awarusu Wengine Kutumia Karama Zao Za Kiroho.Hadithi na Maandiko*Paulo Anafundisha Juu Ya Matumizi Ya Karama Kanisani - 1 Wakorintho 12:14-31. *Diotrofe- 3 Yohana. *Kupanda na Kuvuna - 1 Wakorintho1; 3. *Kila mtu sharti sharti awaruhusu wengine kutumia karama zao za kiroho. La sivyo, mtu huyo ataumia, na uchungu huo utaenea mwili mzima- 1 Wakorintho 12:19-31. *Usiipuze karama ra roho iliyo ndani yako - 1 Timotheo 4:12-16.

Mamlaka Na Uongozi yanahitaji kutekelezwa kwa njia ifaayo.[Uongozi kanisani sharti wakati wote msingi wa kanuni zake, taratibu zake, mtindo wake uwe katika njia za Mungu. Uongozi sharti ufanye mambo

Page 137: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 134

ambayo yanawajenga wale walio chini ya uongozi huo; kushughulikia ugomvi katika njia ya haki na ya upendo; na kuujenga mwili badala yakuubomoa.]Hadithi na Maandiko*Mwenye kutawala akisikiliza uongo; Basi watumishi wake wote watakuwa waovu. - Mithali 29:12. *Paulo hakuja na maneno matamu, ulafi, nakutafuta utukufu kwa wadamu. Lakini, aliwajali kama mama anavyowatunza watoto wake au baba anavyowajali watoto wake - 1 Wathesalonike2:5-12. *Mamlaka ya Paulo yalitumiwa kwa ajili ya kujenga si kubomoa. Alikuwa ni yule yule alipokuwa nao, na alipokuwa mbali nao. Si yuleanayejipendekeza ambaye anapewa kibali, lakini yule anayethibitishwa na Bwana - 2 Wakorintho 10:8-18. *Mawakili wanapaswa kuwawaaminifu - 1 Wakorintho 4:2.

Somo La 6 Uwakili wa Injili

Sehemu ya 6: Mungu ametupa uwakiliwa Injili.

Makanisa milimani-Mungu ametukabidhiuwakili wa Injili. Wakati tunapoendelea na maishayetu, tunapaswa kuwaambia watu wengine ujumbewa Injili. Kumbuka kuwa Injili inajumuisha habariya wokovu na habari njema ya utawala wa Kristokatika maisha ya mtu. Mafundisho haya yoteyanajumuisha mafundisho yote tuliyofunzwana Yesu.

*Mungu anawaita watu binafsi kumtumikia yeye.Paulo aliitwa na Mungu kupeleka Injili kwaMataifa. Alimtumikia Mungu kwa njia hii,alishirikiana na kanisa, lakini vilevile aliwezakujitegemea. Sharti kuwe na tofauti ya hudumaduniani. Huduma nyingine zinaweza kuanzishwakupitia kwa kanisa, nyingine na watu binafsi, nanyingine kupitia kwa mashirika ya umisionari, aumashirika yasiyokuwa ya kibiashara. Munguhawekewi mipaka na mwito wa mtu ama vyombovya huduma.

Je, Mungu anakuitia nini?

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu ametupa uwakili wa Ujumbe, yaani Injili.2. Kuna aina mbili za “Injili” ikatika Agano Jipya. Moja ni ile

Habari Njema Ya Wokovu, na ile nyingine ni ile HabariNjema Ya Ufalme wa Mungu (Ufalme = Ubwana).

3. Tunapaswa kuutekeleza Mwito Mkuu hadi pale Yesuatakaporudi (kuihubiri Injili na kuwafanya watu kuwawanafunzi).

Habari Njema ya WokovuHadithi*Filipo Anaenda Samaria Kuhubiri - Matendo 8:5. *Makanisa Yanatuma Wamisionari -Matendo 13:1-3. *Lidia Anampokea Yesu; Askari wa Magereza Ampokea Yesu - Matendo16:14-15. *Mahubiri Ya Petro- Matendo 2. *Kupaa Kwa Yesu Kwenda Mbinguni -Matendo 1:1-11. *Siku hadi Siku Wakristo wa Kanisa la Kwanza Walihubiri Injili -Matendo 5:42.Maandiko*Mwito Mkuu - Mathayo 28:19-20. Nami Nitakushika Mkono, na Kukulinda, na KukutoaUwe Agano La Watu, Na Nuru Ya Mataifa; Kuyafunua Macho Ya Vipofu, KuwatoaGerezani Waliofungwa, Kuwatoa Wale Walioketi Gizani Katika Nyumba ya Kufungwa.…- Isaya 42:6-8. *Kwa Maana Jinsi Hii Mungu Aliupenda Ulimwengu, Hata AkamtoaMwanawe Pekee, Ili Kila Amwaminiye Asipotee Bali Awe na Uzima wa Milele - Yohana3:16-21.

Habari Njema ya Ufalme wa MunguHadithi*Yesu Anawafundisha Wanafunzi wake - Mathayo 10; Marko 6:1-13; Luka 9. *FilipoAlihubiri Habari Njema ya Ufalme - Matendo 8:12.. *Mafumbo Ya Ufalme - Mathayo 13;20; 25; Marko 4. *Paulo Anawashawishi Watu Juu Ya Ufalme wa Mungu - Matendo 19(v.8). *Kiwango cha Kuhubiri Ufalme - Matendo 28.Maandiko*Mwito Mkuu …kuwafanya watu kuwa wanafunzi, kuwafundisha yote niliyowaagiza -Mathayo 28:19-20. *… Wakawa wakidumu katika fundisho la mitume, na katika ushirika,na katika kuumega mkate, na katika kusali. - Matendo 2:41-42. *Kuanzia wakati huo YesuAlianza Kufundisha na Kusema, “Tubuni, Kwa Maana Ufalme wa Mungu Umekaribia” -Mathayo 4:17. *Yesu Alienda Galilaya Yote, Akifundisha katika Masinagogi na KuhubiriInjili ya Ufalme - Mathayo 4:23. *Basi Mtu Ye Yote Atakayevunja Amri Moja Katika HiziZilizo Ndogo, Na Kuwafundisha Watu Hivyo, Ataitwa Mdogo Kabisa Katika Ufalme WaMbinguni; Bali Mtu Atakayezitenda Na Kuzifundisha, Huyo Ataitwa Mkubwa KatikaUfalme wa Mbinguni. - Mathayo 5:19-20. *Utafuteni Kwanza Ufalme wa Mungu -Mathayo 6:33. *Si Kila Aniitaye ‘Bwana, Bwana’ Ataingia Katika Ufalme wa Mbinguni -Mathayo 7:21-23. *Injili Hii ya Ufalme Itahubiriwa Ulimwenguni Kote Kama Ushahidikwa Mataifa Yote, Kisha Mwisho Utakuja - Mathayo 24:14.

Page 138: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 135

Somo La 6 Marudio: Kuendelea Kuifuata Njia Nyofu Katika Uwakili

Sehemu ya 6: Kaa katika njia yaMungu

Njia nyembamba inayoelekea kwenye Kiticha Enzi-Cha kutukumbusha ni tu ni kuwa kila kitutunachofanya nyumbani, katika jamii na kanisanilazima kilingane na njia za Mungu. Kutembeakwetu ni kama ishara ya watu wanaotembea kwenyenjia nyoofu na nyembamba nyumbani kwetu,makanisani na katika ulimwengu.

Pepo wakirusha mishale-Shetanihujaribu kutuvunja moyo, kutuvurugaakili au kutupotezea mwelekeo wa yaletunayopaswa kuwa tunafanya kumtumikiaMungu.

Watu wakitembelea katika njia yaupotevuni-Watu wengine wameyaachakabisa majukumu yao na kufuata njia zaupotevuni kama tulivyosoma katika sura ya10.

Vichwa Vya Masomo:1. Njia nyembamba inatoka Sura yas 9 na 10. Sharti tufuate njia

za Mungu majumbani mwetu, kanisani, na ulimwenguni.2. Pepo wakifyatua mishale inatoka Sura ya 9. Shetani hujaribu

kutupotosha kwa kujaribu kutufanya tusimwangalie Yesu.3. Njia pana za upotevuni zinatoka Sura ya 10. Njia hizi

zitatufanya tusiwe mawakili wazuri wa karama alizotupaMungu.

**Angalia Maandiko Kutoka Sura ya 9 na 10 kwa marudio ya sehemuhii.

Somo La 7 Kumtumikia Mungu Katika Dhiki

Sehemu ya 7a: Unapopitia wakatimgumu mtegemee Mungu.

Mkono-Huu ni mkono wa Mungu. Wakatitunapopitia wakati mgumu, huwa tunajifunzakumtumaini Mungu. Paulo alikata tamaamaishani lakini akajua kumtumaini Munguambaye hufufua wafu.

Vichwa Vya Masomo:1. Unapopitia dhiki simama imara na uyashinde hayo yote.2. Unapopitia wakati mgumu, kua katika kumtegemea Mungu.3. Wakati wa shida, waombe marafiki walio karibu na Wakristo

waliokomaa wakuombee.4. Geuza dhiki zako ziwe ni nafasi za kumtumikia Mungu.5. Kumbuka Kwamba Mungu ana nguvu kupitia udhaifu wetu.6. Dumuni kuwa watumishi wa Mungu ili huduma zenu zisikose

heshima.7. Nawirishwa katika Neno la Mungu kila siku ili upate nguvu na

hekima ili uweze kukabiliana na mambo magumu kwa njiaifaayo.

Page 139: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 136

Sehemu ya 7b: Unapopitia wakatimgumu endelea kudumu katika Neno laMungu na uwaombe watu wenginewakuombee

Watu wakiomba-Katika wakati mgumu, tunapaswakuwaomba rafiki zetu na waumini waliokomaakutuombea. Kufanya hivyo kunaleta utukufu kwaMungu wakati anapojibu maombi kwa wakati wakemwenyewe.

Sehemu ya 7c: Unapopitia wakatimgumu, endelea kuwa mtumishi wa

Mungu na utumie uzoefu wakokuwahudumia wengine.

Mtu akimfariji mwenzake-Tunapaswakuwafariji wengine na upendo ule ule kamaMungu anavyotufariji sisi. Kufanya hivyohufungua milango ya huduma mpya.

Sehemu ya 7d: Kumbuka Mungu ananguvu katika udhaifu wetu.

Mtu akiugusa mwiba-Nguvu za Mungu zinawezakudhihirishwa katika udhaifu wetu. Paulo alikuwana “mwiba katika mwili wake uliotoka kwashetani.” Mwiba huu ulimzuia kujiinua. Pauloaliodhoresha mambo aliyokumbana nayo kamamasumbufu, majaribu, dhiki na mafadhaiko. Hayayote yalimfanya Mungu kuonyesha uwezo wakekatika udhaifu huo.

Hadithi*Paulo anasimulia mateso aliyopata huko Asia na jinsi alivyokabiliana nayo katika njia yakiungu, Tunapaswa kuyaona mateso yetu kama faida kwa wengine, kwa kuwa watapokeaupendo wa Mungu kupitia kwetu kukaa nao - 2 Wakorintho 1:8-14. *Paulo anasimulia jinsialivyomwomba Mungu kumwondolea mwiba katika mwili wake, na jinsi Mungualivyofanya kazi kupitia kwa udhaifu wake - 2 Wakorintho 12:7-11. *Tunapaswa kuendeleakuwa watumishi wa Kristo hata tunapopitia kila aina ya mateso na dhiki, ikiwemokutendewa vibaya - 2 Wakorintho 6:3-10. *Mateso hudhihirisha imani yetu kwa wengine -1 Petro 1:6-7. *Musa anamtia moyo Yoshua kuwapeleka watu katika Nchi ya Ahadi -Kumbukumbu La Torati 3:21-28. *Paulo anawatia moyo waamini kwa kumtuma Timotheo,ili mateso yale anayopitia Paulo yasiwavunje moyo katika imani yao - 1 Wathesalonike 3:2-13. *Tunapaswa kushiriki mateso ya Yesu - Waebrania 10:34-39. *Neno la Munguhutuburudisha, hutuongoza, hututia nguvu na kutupa hekima - Zaburi 119. *Tunapopitiajangwani, tunaweza kupata nguvu katika Neno la Mungu. Kaa katika njia zake hataunapopitia shida - Kumbukumbu La Torati 8:2-4. * Watie moyo waliochoka, na watienguvu waliodhaifu kwa sababu Mungu ndiye anayelipiza na atageuza udongo uliokaukaububujike kwa maji mengi. Atatengeneza njia kuu ya utakatifu, na watu watakuja kwakekwa furaha ya milele - Isaya 35:3-10.

Page 140: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 137

Sura ya 12 Kielelezo : Ufalme Ujao

Page 141: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 138

Picha Iliyorahisishwa kwa ajili ya Sura ya 12

Page 142: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 139

Sura ya 12 Ufalme Ujao

Ufafanuzi wa Jumla

Kielezo cha 12 ni picha ionekanayo ya Mbinguni, na Ziwa la Moto. Kwa sababu kunafasiri tofauti za siku za mwisho, tutaweka msisitizo juu ya sura 2 za mwisho pekee za kitabucha Ufunuo. Wakati huu unajumuisha Hukumu ya Kiti Kiku cha Enzi Cheupe, na hatima yamilele ya waovu na waadilifu (Ufunuo 20:10-22:21). Kitabu cha Ufunuo kiliandikwakuwatia moyo waamini ambao walikuwa wanapitia mateso makubwa hapa duniani. Baruazilizoandikiwa makanisa zilizo katika sura 3 za kwanza za kitabu zinachukua sehemu yakutia moyo ili watu wadumu wasirudi nyuma na pia zinatoa onyo ili waamini wasiangukebale waendelee kumtumikia Mungu. Ujumbe katika kitabu chote ni kudumu katika Kristo nakukumbuka tumaini la siku za usoni tulilo nalo na Mungu.

Sura hii ni kama marudio ya sura zote zilizotangulia. Inatukumbusha sisi kama wanafunziwa Bwana wetu Yesu, kwamba siku zote tuzingatie kazi ya Ufalme katikati ya baraka na

ugumu wa maisha.

Nusu ya Picha Juu: hatima ya milele ya Waadilifu—wale wambao wamemkubali Yesu kama Bwana na Mwokoziwao. Kuna majina mengi na fasiri nyingi za mahali hapa. Hapo chini kuna baadhi ya fasiri maarufu za YerusalemuMpya zilizotajwa katika kitabu cha Ufunuo (Ufunuo 20:11-22:21).Fasiri Mbali mbali:

1. Sisisi- siku za usoni kutakuwa na mbingu mpya na nchi mpya, ikijumuishwa Yerusalemu Mpya baada ya kurudiKristo.

2. Ya Kiishara- Yerusalemu Mpya ni ishara tu ya Mbinguni wakati huu, mahali Kiti cha Enzi cha Mungu kiko.Kama ulivyojifunza awali, kuna mbingu 3 zilizoelezewa katika Biblia. Ya kwanza ni anga ya karibuiliyozunguka dunia. Mbingu ya pili ni Ulimwengu wote. Mbingu ya tatu ni mahali Kiti cha Enzi cha Mungukilipo. Watu wakifa, huenda huko na kuwa pamoja na Yesu (pia panaitwa Peponi, au Yerusalemu Mpya).Unaweza kupata marejeo ya mtazamo huu katika Wagalatia. 4:26; na Waebrania. 12:22-23. Yerusalemu iliyojuu ndipo watakatifu waliokufa walipo. Katika Ufunuo 21:2, ni Yerusalemu hii Mpya ndiyo itakayoteremkaduniani kutoka mbinguni Yesu atakaporudi.

3. Ya Kiroho- Yerusalemu Mpya ni picha ya kiroho ya kanisa kama bibi harusi wa Kristo (tazama Ufunuo 21:2, 9-27). Kanisa liko sasa, lakini pia siku za usoni litakuwako halisi—kitu tutakachotambua sisi sote mara tu sotetunapofika Mbinguni (Tazama Maandiko juu ya chakula cha ndoa ya Mwanakondoo). Kuna uhalisi wa kirohonyuma ya mifano mingi ya kimwili iliyo katika Maandiko. Unaweza kusema kwamba kuna kutimia kulikotimialakini bado hakujatimia. Kule kulikotimia ni kwa kimwili, kule ambako bado hakujatimia ni kwa kiroho. Hapakuna baadhi ya mifano ya “kulikotimia, lakini bado hakujatimia”: Katika Agano la Kale, Hema lilikuwa mfanowa yale ambayo yangekuja. Hatimaye Hekalu lilichukua nafasi ya Hema. Lakini tunaposoma katika AganoJipya, tunapata kwamba Hekalu pia bado lilikuwa mfano tu wa Hekalu la mbinguni (Waebrania). Na mwishoUfunuo 21:22 inasema, “Sikuona Hekalu ndani yake, kwa sababu Bwana Mungu Mwenyezi na Mwanakondoondio Hekalu lake.” Kwa njia hiyo hiyo sadaka za Agano la Kale ni picha ya kazi ya Yesu hapa duniani na hukombinguni: Yesu aliingia Hekaluni huko Mbinguni na alikuwa anatoa damu Yake kama Kuhani Mkuu Sanakulipia dhambi zetu. Kwa hivyo una picha nyingi za kutimia kulikotimia, lakini bado hakujatimia katika Bibliayote ambayo inaonyesha uhalisi wa kiroho utakaokuja.

Watu wengi hupenda kuchukua fasiri ya mchanganyiko ya mbingu mpya, dunia mpya, na Yerusalemu Mpya. Kwa njiahii, wanatambua majaribio yote matatu yaliyo hapo juu ya kuelewa Ufalme ujao.

Picha iliyo juu ya ukurasa ni mandhari kutoka Mbinguni/Yerusalemu Mpya. Kusudi lake ni itumiwe kufundishiahatima ya wale wamkubalio Yesu kama Bwana na Mwokozi. Picha hii ni sawa na ile Mbingu Mpya na Nchi Mpyaielezwayo mwisho wa Kitabu cha Ufunuo, Sura ya 21-22.

Page 143: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 140

Katikati ya Mbingu ni Kiti cha Enzi cha Mungu (kutoka Sura ya 1, 2, 3, 7, 8, 10, na 11). Kiti cha Enzi cha Mungukiko katikati ya utendaji na Ibada. Malaika wamekizunguka Kiti cha Enzi, na pia waamini kutoka kila kabila, taifa,mbari na wakati. Kutoka katika Kiti Cha Enzi kuna tiririka mto, unaoashiria Uzima wa milele. Mti wa uzima, kutokaBustani ya Edeni, uko pande zote za mto ukitoa uponyaji kwenye majani yake. Mungu anafuta machozi machoni mwamtu, hii inaashiria uponyaji na uhuru wa kutokuwa na maumivu, mateso, na kifo. Kando ya Kiti cha Enzi ni kitabu chauzima, chenye majina ya wale waliomkubali Yesu kama Bwana na Mwokozi wao. Mbele ya Kiti cha Enzi ni tajiwalizopewa wale ambao wamemtumikia Mungu kwa waminifu maishani mwao. Kuta, malango, na mahali pa kukaamtu binafsi pa mji pamezunguka watu. Mji umejengwa na dhahabu na mawe masafi ya thamani, na malangoyaliyotengenezwa na lulu moja moja. Watu wote na malaika wanamwabudu Mungu.

Kishoroba kidogo cha picha katikati ya ukurasa , ni marejeo ya vitu tulivyojifunza katika mafunzo haya yote. Hayani mambo ambayo waamini wanapaswa kufanya mpaka Yesu arudi.

Chini ya ukurasa ni picha ya Ziwa la Moto. Hapa ndio pahali pa mateso ya milele ya Shetani, pepo, wauaji, nawazinzi— na wote ambao wamemkataa Yesu kama Bwana na Mwokozi. Kama vile tu kitabu cha Ufunuokinavyotufunza kuvumilia mpaka mwisho, sura hii ya mwisho ni himizo kwamba tudumu kuwa wafuasi wa Bwanamaishani mwetu mote. Ziwa la Moto linatukumbusha haja ya sisi kuhubiri Injili kwa watu wote. Na pialinatukumbusha haki kuu ya Mungu ya mwisho itakayotolewa dhidi ya wale ambao wameinuka kinyume na watu waMungu ili wawadhuru.

Njia za Kufundishia Sura hii:1. Njia ya Kupitia kirahisi. Tumia maelezo ya jumla hapo juu kuelezea picha kuu ya Sura hii. Unashauriwa kwamba

baadaye urudi na kufundisha kila sehemu.2. Njia ya Mada. Chukua kila sehemu kuu ya fundisho/somo hili na uifundishe kivyake kwa mda. Mada zinaweza

kujumuisha: Kulingana na Maandiko Mbinguni kutakuwaje? Tunapaswa kufanya nini hadi Yesu arudi? Ni maeneogani maalumu yahusuyo ukuaji wa kiroho wa waamini? Bwana Yesu akija Shetani na wafuasi wake watafanywanini? Biblia inasema nini juu ya Ziwa la Moto? Na tutapokea zawadi gani huko Mbinguni?

3. Njia ya Kina/Utondoti. Njia inayoingia ndani zaidi. Soma eneo la Maandiko kutoka kwa kila picha na somo/mada.4. Njia ya Mahubiri. Weka msisitizo juu ya haja ya watu wamjue Yesu kama Bwana na Mwokozi. Unaweza pia

kujumuisha baadhi ya mafundisho kutoka Sura juu ya Yesu ndiye Jibu kutegemea na jinsi Roho Mtakatifuatakavyokuongoza.

5. Njia ya Mwamini Mkomavu.a. Njia ya Kudumu Kujifundisha. Weka msisitizo juu kufundisha Somo la 1 na Somo la 3a na b, Kudumu hadi

Mwisho na Zawadi za Mungu kwetu kwa kuendelea kuwa waaminifu.b. Njia ya Picha Yote. Weka pamoja Sura zote 12 katika mchoro mmoja, na uwaruhusu waumini wako waone

picha yote.

Malengo Ya Sura ya 12

1. Kuwahimiza waamini kuendelea kumtumikia Bwana katikati ya dhiki na mateso.2. Kuonyesha kushindwa kwa mwisho na hatima ya Shetani na pepo wake3. Kuelezea vile Biblia isemavyo Mbinguni/Mbingu Mpya, Nchi Mpya/Yerusalemu Mpya zitakavyokuwa.4. Kuwatahadharisha watu juu ya ukweli wa Ziwa la Moto, na kuwahimiza waamini watumtumainie Mungu

kwamba siku moja atakabiliana na adui zao.5. Kuwahimiza waamini wautekeleze Mwito Mkuu mpaka Yesu arudi.

Sura Zinazohusiana

Sura ya 1: Hatima ya viumbe wa kiroho.

Sura ya 2: Kazi ya kufanya wanafunzi lazima iendelee.

Sura ya 3: Mafundisho yote kuhusu siku za mwisho yanatakiwa yapimwe na Maandiko.

Page 144: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 141

Sura ya 4: Tunapaswa tujitahidi kumtii Mungu kwa sababu tunampenda.

Sura ya 5: Wapinga-Kristo wote watatupwa katika Ziwa la Moto.

Sura ya 6: Siku moja Yesu atarudi na tutamuona.

Sura ya 7: Siku moja tutapatanishwa kabisa sisi kwa sisi na sisi na Mungu.

Sura ya 8: Shetani na pepo wake, wale waendelezao dini za uongo, watatupwa katika Ziwa la Moto.

Sura ya 9: Tutaendelea kukua kiroho mpaka tufikie kiwango cha ukomaavu ndani ya Yesu.

Sura ya 10: Ishini kama viumbe vipya katika Kristo, badala ya kuishi katika njia za Ufalme wa Giza..

Sura ya 11: Tunatakiwa tudumu katika utumishi wetu kwa Mungu katika maeneo yote ya utumishi.

Unit 11: We are to be steadfast in our service to God in all areas of stewardship.

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Hatima ya Wale walio katika Ufalme wa Nuru

Sehemu ya 1: Mbinguni ndio Hatima ya walewaliomkubali Yesu kama Bwana na Mwokozi wao.

Mji una malaika, kiti cha enzi, mto, miti, kuta – picha yaMbingu kama ilivyoelezewa katika Ufunuo 19.

Sehemu ya 1a: Yesu anatuandalia mahali.

Kuta zenye malango na nyumba zilizoshikamana nahizo kuta- Biblia inasema mji umejengwa na dhahabumawe ya thamani. Yesu ametuandalia mahali.

Vichwa Vya Masomo:

1. Mbinguni ndio Hatima ya wale waliomkubali Yesukama Bwana na Mwokozi wao.

2. Yesu anatuandalia mahali huko Mbinguni.3. Kiti cha Enzi cha kiko katikati, na makutano ya

malaika wamekizunguka.4. Mto unaotoa uzima unatiririka kutoka kwenye Kiti

cha Enzi na Mti wa Uzima uko pande zote mbili zamto.

5. Watu kutoka kila kabila, taifa, lugha jinsia, nawakati wamevaa mavazi meupe, wanamwabuduMungu.

6. Majani ya Mti wa Uzima ni kwa ajili ya kuyaponyamataifa.

7. Yesu anafuta kila chozi machoni mwetu, hakunakifo tena, uchungu, na mateso.

Maelezo ya MbinguniMaandiko

*Kuabudu kule Mbinguni- Ufunuo 7:9-17. *Ni Nani Asitahiliye KufunguaKitabu Cha Uzima- Ufunuo 5:1-14. *Mto na Mti wa Uzima- Ufunuo 22:1-5;Mwanzo 2:9; 3:24. *Mwishowe Mungu analeta haki- Isaya 60:14-22. *YesuAnatuandalia Mahali- Yohana 14:2,3. *Mwanamke Kisimani, Yesu Ni MajiYa Uzima- Yohana 4:10-15. * Kuna Mto, Vijito Vyake Vyaufurahisha Mjiwa Mungu, Patakatifu pa Maskani Zake Aliye juu. Mungu yu Katikati YakeHautatetemeshwa; Mungu Atausaidia Asubuhi na Mapema - Zaburi 46:4-5.*Mungu Ni Chemchemi Ya Maji Ya Uzima- Yeremia 2:13; 17:13. *TunajuaKwamba Nyumba Zetu Za Huku Duniani Zikiharibiwa, Tunalo JengoKwa Mungu , Jengo Ambalo halijajengwa Kwa Mikono, Na JengoHilo Liko Mbinguni Na Ni La Milele. Inapendeza Kutoka katikamwilii huu na kwenda kuishi na Mungu Mbinguni- 2 Wakorintho 5:1-8.

Page 145: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 142

Sehemu ya 1b: Kiti cha Enzi katikati ya Mbingu.

Kiti cha Enzi- Kiko katikati ya mji. Tazama Sura ya 1.

Sehemu ya 1c: Malaika wengi sana wamekizunguka Kiti chaEnzi na wanamsifu Mungu na Mwanakondoo (Yesu).

Malaika wamekizunguka Kiti cha Enzi- Biblia inasema maelifu yamalaika wamezunguka kiti cha enzi cha Mungu.

Sehemu ya 1d: Mto-utoao uzima unatiritikakutoka kwenye Kiti cha Enzi, na Mti wa Uzima

unakua pande zote za Mto.

Mto na miti- Mto unaotiririka kutoka kwenye Kiti cha Enzicha Mungu unawakilisha Uzima wa milele na Usafi. Miti niMti wa Uzima ulioko pande zote za mto kule Mbinguni. Majaniyake yako kwa ajili ya kuponya mataifa.

Sehemu ya 1e: Watu kutoka kila kabila, taifa, wakati, jinsia,ukoo, nk. Wataishi kwa amani wao kwa wao na

watamtumikia na kumwabudu Mungu pamoja hukoMbinguni.

Waamini katika umoja- Watu kutoka kila kabila, taifa, wakati, jinsia,ukoo, nk. Wataishi kwa amani wao kwa wao na watamtumikia na kumwabudu

Mungu pamoja huko Mbinguni..

Sehemu ya 1f: Yesu atatufuta kila chozi machoni mwetu. Hakutakuwa na uchungu tena, kilio, aumateso.

Mtu analia mbele za Kiti cha Enzi- Yesu atatuponya na kufuta kila chozi.

Somo La 2 Hatima ya Mwisho kwa wale walio katika Ufalme wa Giza

Sehemu ya 3a: Kila goti litapigwa mbele za Yesu.Na kila mtu atasimama mbele za Mungu katika

Hukumu ya Kiti Kikuu cha Enzi Cheupe.

Vichwa Vya Masomo:1. Siku moja Mungu atawahukumu watu wote katika

Hukumu ya Kiti Kikuu cha Enzi Cheupe.2. Kila goti litapigwa na kila ulimi ukiri kwamba kwa

kweli Yesu ndiye Bwana.

Page 146: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 143

Kitabu kilicho kando Kiti cha Enzi- Kitabu cha Uzima.Yeyote ambaye jina lake liko katika Kitabu cha Uzima anaingiakatika Uzima wa milele na Mungu. Wale wote ambao majina yaohayakuandikwa ndani yake, watatupwa katika Ziwa la Moto.

*Mjue Yesu kibinafsi kabla hajarudi, kabla hujachelewa.

3. Watu watahukumiwa kulingana na matendo yao nauhusiano wao na Yesu.

4. Yeyote ambaye jina lake halikuandikwa katikaKitabu cha Uzima atatupwa pamoja na Shetani namalaika wake katika Ziwa la Moto ambakokutakuwa na kulia na kusaga meno.

5. Majina katika Kitabu cha Uzima yanajumuisha tuwale ambao wamemkubali Yesu kama Bwana naMwokozi. Hawa wataruhusiwa kuingia Mbinguni.

6. Usiache kumjua Yesu kama Bwana na Mwokoziwako.

Maandiko*Yohana tells of the Great White Throne Judgment- Ufunuo 20:11-1. *Theseparation of the sheep and the goats- Mathayo 25:31-46. *It Is AppointedUnto Men That They Die Once, And After This Comes The Judgment-Waebrania 9:27. *When the Bwana Returns, He will Repay With Afflictionthose who have Afflicted believers, and deal out retribution to those who donot know Mungu with Eternal destruction- 2 Wathesalonike 1:3-12 (v. 6).

1. Sehemu ya 3b: Mtu yeyote ambaye jinalake halitapatikana katika Kitabu chaUzima, atatupwa katika Ziwa la Moto.

Shetani, pepo, na watu wengine ndani ya moto- Ziwa laMoto. Hii ndiyo hatima ya mwisho ya Shetani, wapinga-kristo,na wale wamukataao Yesu kama Bwana na Mwokozi wao.

Vichwa Vya Masomo:2. Mtu yeyote ambaye jina lake halitapatikana katika

Kitabu cha Uzima, atatupwa katika Ziwa la Moto.3. Wale waliomkataa Yesu kama Bwana na Mwokozi

wao, Shetani, pepo, Wapinga-Kristo, wauaji, walozi,wale wanaofanya uchawi, na wazinzi watatupwakatika Ziwa la Moto milele yote

4. Roho za watu ni za milele. Wale katika Ziwa laMoto wataishi katika mateso milele.

Maandiko* Yesu Anafundisha Juu Ya Kushindwa Kwa Mwisho Kwa Shetani -Mathayo 25:41. * Yuda Anafundisha Kuhusu Mwisho Wa Pepo - Jude1:6-7. * Mfano Wa Wanawali Kumi - Matt 25:1-13. * Mfano Wa TajiriNa Lazaro - Luka 16:19-31. * Yesu Na Mwizi - Luka 23:43. * Shetani,Pepo, Wapinga Kristo, Wauaji, Wachawi, Wazinzi, Wote WanatupwaKatika Ziwa La Moto wa Milele - Ufunuo 20:10; 21:8; Ufunuo 21:8;Mathayo 25:41,46; 2 Wathesalonike 1:8-10. *Siku ya Bwana itakuja kamamwizi usiku. Wengine watakuwa wanasema amani, lakini hawatapona.Msilale kama walalavyo wengine, bali kuweni macho, na kuishi katika njiazinazompendeza Mungu - 1 Wathesalonike 5:1-11.

Somo La 3 Uthabiti/Kuimarika Hadi Mwisho

Sehemu ya 3a: Endeleeni kuwa Imara katikaukuaji wa kiroho na kumtumikia Bwana hadi

Arudi.

Picha kutoka sura za awali (Kuangalia tena surazilizotangulia): maelezo ya vitu vyote tutakiwavyo kufanyahadi Yesu arudi. Kufundisha familia zetu kuwa wanafunzi,kufuata amri za Mungu, kutembea katika njia nyembamba, kuwachumvi na nuru, Yesu kama Bwana mioyoni mwetu, Kutesekakwa ajili ya Yesu, kuwapatanisha watu na Mungu na watu na

Vichwa Vya Masomo:1. Endeleeni kuwa imara katika ukuaji wa kiroho na

kumtumikia Bwana hadi arudi.2. Kueni katika kupendana ninyi kwa ninyi.3. Kueni katika Kumjua Mungu.4. Kueni katika Uchanganuzi.5. Kueni katika Usafi.6. Waambieni watu juu ya imani yenu na kufanya

mataifa wawe wanafunzi.

**Tazama pointi hapo chini.

Page 147: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 144

watu; vita vya kiroho, kutumia vipawa vyetu kumtumikia Bwanana kujitumikia sisi kwa sisi.

Mafundisho kwa ajili ya Somo La 3a:Kuendelea kuwa Imara hadi mwisho* Lakini zikumbukeni siku za kwanza, ambazo, mlipokwisha kutiwa nuru, mlistahimili mashindano makubwa ya maumivu. pindi mlipotwezwa kwamashutumu na dhiki, na pindi mliposhirikiana na wale waliotendewa hayo. Maana mliwaonea huruma wale waliokuwa katika vifungo, tenamkakubali kwa furaha kunyang'anywa mali zenu, mkijua kwamba nafsini mwenu mna mali iliyo njema zaidi, idumuyo. Maana mnahitaji saburi, ilikwamba mkiisha kuyafanya mapenzi ya Mungu mpate ile ahadi. Kumbukeni siku za kwanza mlipovumilia pingamizi kali, mliwaonea huruma walewaliokuwa katika vifungo na mkakubali kunyang’anywa mali zenu mkijua kulikuwa na mali njema zaidi huko Mbinguni. Basi msiutupe ujasiriwenu, kwa maana una thawabu kuu. Yeye hapendezwi na wale warudio nyuma, bali hufurahishwa na wale waishio kwa imani - Waebrania 10:32-36.*Wale Waaminio Huendelea Kuwa na Bidii Maishani Mwao- Waebrania 11. *Lakini Yule Atakayevumilia Hadi Mwisho, Ataokolewa- Mathayo24:13; Ufunuo 2:10.Somo La 2.a Kuendelea kuwa Imara*Vumilieni na mwendelee kuamini katikati ya mateso na dhiki. Hukumu ya Mungu Adilifuitakuona unastahili kuingia Ufalme wa Mungu, ambao unautabikia- 2 Wathesalonike 1:3-10 (v.5). *Mungu hatasahau yale yote tunayomfanyia, kwahiyo msilegee, bali waigizeni wale ambao kupitia kwa imani na saburi hurithi ahadi - Waebrania 6:10-12. * Lakini Roho Anasema Wazi KwambaSiku Za Mwisho Wengine Wataanguka Kutoka kwa Imani, Wakifuata Roho danganyifu na Mafundisho ya pepo - 1 Timotheo 4:1-2. *Pauloanaonyesha uaminifu Wake na utumishi katikati ya shutuma za uongo- 2 Wakorintho 6.

+Kwa Kukua katika Upendo wa Sisi kwa Sisi* Wageni wanatoa ushuhuda kanisani kuhusu upendo wa waamini - - 3 Yohana 1:5-6; Filemoni 1:5; 1 Wathesalonike 3:6; 2 Wathesalonike1:3; Col. 1:4, 8; Waefeso 1:15. * Mkiisha kujitakasa roho zenu kwa kuitii kweli, hata kuufikilia upendano wa ndugu usio na unafiki, basijitahidini kupendana kwa moyo. - 1 Petro 1:22. *Kuweni na saburi kama mkulima mkingojea kuja kwa Bwana. Msinung’unikiane. Kumbukamatokeo ya kuvumilia kwa Ayubu. Msiape- Yakobo 5:7-12. * Yawekeni mbali nanyi haya yote, hasira, na ghadhabu, na uovu, na matukano, namatusi vinywani mwenu. Hapo hapana Myunani wala Myahudi, mtumwa wala mwungwana, bali Kristo ni yote, na katika yote. jivikeni moyo warehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu. Sameheaneni. Amani Ya Kristo naitawale mioyoni mwenu. Tumeitwa katika Mwili Mmoja-Col. 3:5-15. *Paulo anaomba kwamba pendo letu lizidi kuwa jingi sana, katika ufahamu wote wa Mungu- Philp. 1:9-11. *Kila Mmoja AmchukiayeNdugu Yake Ni Mwuaji, Na Mnajua Kwamba Hakuna Mwuaji Mwenye Uzima wa milele Kukaa Ndani Yake. Yatoeni maisha yenu kwa ninyi kwaninyi- 1 Yohana 3:15-16. *Bwana naaelekeze mioyo yenu katika kumpenda Mungu na katika uthabiti wa Kristo- 2 Wathesalonike 3:5.

+Kwa Kukua katika Kumjua Mungu*Kornelio- Matendo 10:17-33. *Apolo- Matendo 18:24-28. * Yesu anafasiri Maandiko kwa Wanafunzi wake - Luka 24:27.*Kukua katikaUjuzi/Ufahamu- Waebrania 5:11-6:2. *Mtu Mwenye Hekima Atasikiliza na Aongeze Kujifunza Kwake, Na Mtu Mwenye Ufahamu Atapata UshauriWenye Hekima- Mithali 1:5.

+Kwa Kukua katika Utambuzi* Petro akiri Kwamba Yesu Ndiye Kristo - Mathayo 16:13-20. * Mwanamke Mkanaani anaongea na Yesu - Mathayo 15:21-28. *Mwanamke mwenye hekima wa Tekoa - 2 Samueli 14. * Ombi la Sulemani la Utambuzi - 1 Wafalme 3; 4:29-34. Paulo anaombea utambuziwa waamini ukue- Philip. 1:9. Kila mwenye utambuzi huenenda katika njia za Bwana, waovu hukwaa katika njia hizo- Hos. 14:9. Neno la Munguhuleta hekima, lilieni utambuzi, tafuta hekima kutoka kwa Mungu, na hofu ya Bwana, kisha utaweza kutambua uadilifu na haki- Mithali 2:1-10.

+Kwa Kukua katika Utakaso kama Yesu* Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwamaana tutamwona kama alivyo. Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu - 1 Yohana 3:2-3. *Vijanawanapaswa kuwa mfano wa imani kwa utakaso wao- 1 Timotheo 4:12.

+Hubiri Injili na kufanya wanafunzi.*Yesu Anatoa Mwito Mkuu- Mathayo 28:19-20. * Mungu anawaambia Waisraeli wawafundishe watoto wao njia zake kwa bidii kila siku- Kumbukumbu La Torati 6. * Tunamhubiri habari zake tukimwonya kila mtu, na kumfundisha kila mtu katika hekima yote, tupate kumleta kilamtu mtimilifu katika Kristo - Col. 1:28-29.

Sehemu ya 3b: Mungu atahukumu ubora wa kaziyetu na kutupa thawabu kwa kila kitu

tulichomfanyia.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu atahukumu ubora wa kazi yetu

tuliyomfanyia.2. Mungu atatupatia thawabu kwa kila kitu

tulichomfanyia.3. Taji ya Uadilifu.4. Thawabu ya Urithi.5. Taji ya Uzima.6. Watu kuletwa kwa Kristo.7. Taji ya Utukufu.8. Thawabu kwa kupitia mateso kwa ajili ya uadilifu.

Page 148: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 145

Taji kando ya Kiti cha Enzi- Kule Mbinguni tutapokeathawabu fulani. Thawabu hizi zinajumuisha: taji ya uzima,taji ya uadilifu, taji ya utukufu, na thawabu kwa kuwaletawatu kwa Kristo. *Ubora wa utumishi wetu utapewa thawabu.

Maandiko* Zawadi Katika ShereheYa Harusi Ya Mbinguni - Luka 14:15-24. *TajiYa Uzima- Yakobo 1:12; Ufunuo 2:10. *Taji Ya Utukufu- 1 Petro 5:4. *WatuWalioletwa Kwa Kristo Ni Taji- 1 Wathesalonike 2:19; Philip. 4:1. *Taji YaUadilifu- 2 Timotheo 4:8. *Zawadi ya Urithi- Col. 3:23-24. *Zawadi yakupitia mateso kwa ajili ya uadilifu- Mathayo 5:11-12. *Mungu AtapimaUbora Wa Kazi Yetu. Ikiwa Kutabaki yoyote, Atapokea zawadi. Ikiwayoyote itachomeka, Atapata Hasara; Bali Yeye Mwenyewe Ataokolewa - 1Wakorintho 3:12-15. Yule Aliyeanza Kazi Nzuri Ndani Yenu AtaikamilishaMpaka Siku ile Ya Kristo Yesu- Wafilipi. 1:6. *Msiweke hazina hapa duniani,bali wekeni Mbinguni. Mahali itakapokuwa hazina yako, hapo moyo watu piautakuwa - Mathayo 6:19-21. *Kuweni Imara bila kutikisika katika kazi yaMungu, kutaabika kwenu sio bure- 1 Wakorintho 15:58.

Page 149: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 146

“Basi, ndugu zangu wapendwa, mwimarike,msitikisike, mkazidi sana kutenda kazi ya Bwana sikuzote, kwa kuwa mwajua ya kwamba taabu yenu siyo

bure katika Bwana.”

1 Wakorintho 15:58

Juu ya Mwandishi:

Tammie Friberg ana Shahada ya Uzamili ya Uungu katika Lugha za Biblia kutoka Southwestern BaptistTheological Seminary. Ameandika na kuongoza mafunzo ya Biblia kwa ajili ya Wycliffe Bible Translatorskatika Summer Institute of Linguistics kule Duncanville, TX, na mashirika mengine mbalimbali na makanisakule Dallas, Ft. Worth, eneo la Texas. Kwa sasa zaidi, yeye na mumewe, Joe, ni waanzilishi na wakurugenziwakuu wa Equip Disciples, shirika lisilo la kibiashara la 501 ( c ) 3 la misheni ya kuwafanya watu kuwawanafunzi wa Yesu. Wanaongoza makongamano ya kuwafanya wenyeji kuwa wanafunzi na ya uongozi kuleCosta Rica kwa ajili ya Wahindi wa Cabecar, kule Ghana, Kenya, Rwanda, na DR Congo. Kwa sasa kazi hiiiko katika lugha nne, Kingereza, Kihispania, Kiswahili, Kinyarwanda, na hivi karibuni itakuwa KiCabecar naKichina. Wana watoto watatu, Joel, Michael, and Jessica.EquipDisciples.org