ANNUUR 1157.pdf

16
ISSN 0856 - 3861 Na. 1157 SAFAR 1436, IJUMAA , DES. 26, 2014-JAN. 1, 2015 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Uk. 3 JAPO alifukuzwa kazi, lakini machoni mwa wananchi shujaa. Historia imeshamuandika kuwa miongoni mwa watu muhimu walioipigania Zanzibar na kutetea muungano wa haki na usawa. Mhe. Masoud ni shujaa kwa pande zote mbili za muungano, Zanzibar na Tanganyika. (Soma Uk. 7) Othmani Masoud shujaa Mtetezi wa Zanzibar, Muungano Jaji Fredrick Werema mmh… JAJI Fredrick Werema. OTHMAN Masoud Othman. Ijumaa yaswaliwa Mahakama Kuu Jaji aahirisha kesi kupishwa Swala Imam, Khatib wapatikana hapo hapo Kesi ya ugaidi yarejeshwa tena Kisutu Rais Kenyatta anajua nini zaidi wasichojua Wakenya wenzake Afuata nyayo za Goodluck Jonathan Al Shabaab wanaoitesa Kenya ni nani? RAIS Uhuru Kenyatta wa Kenya. WAISLAMU wakiswali swala ya Ijumaa nje ya Mahakama Kuu Jijini Dar es Salaam kabla ya kesi inayowakabili watuhumiwa wa ugaidi kuanza mwishoni mwa wiki. Kesi ya Sheikh Ponda Moro yazidi kupigwa danadana

Transcript of ANNUUR 1157.pdf

Page 1: ANNUUR 1157.pdf

ISSN 0856 - 3861 Na. 1157 SAFAR 1436, IJUMAA , DES. 26, 2014-JAN. 1, 2015 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamu

Uk. 3

JAPO alifukuzwa kazi, lakini machoni mwa wananchi shujaa.

Historia imeshamuandika kuwa miongoni mwa watu muhimu walioipigania Zanzibar na kutetea muungano wa haki na usawa.

Mhe. Masoud ni shujaa kwa pande zote mbili za muungano, Zanzibar na Tanganyika. (Soma Uk. 7)

Othmani Masoud shujaaMtetezi wa Zanzibar, MuunganoJaji Fredrick Werema mmh…

JAJI Fredrick Werema.OTHMAN Masoud Othman.

Ijumaa yaswaliwa Mahakama KuuJaji aahirisha kesi kupishwa SwalaImam, Khatib wapatikana hapo hapoKesi ya ugaidi yarejeshwa tena Kisutu

Rais Kenyatta anajua nini zaidiwasichojua Wakenya wenzake

Afuata nyayo za Goodluck JonathanAl Shabaab wanaoitesa Kenya ni nani?

RAIS Uhuru Kenyatta wa Kenya.

WAISLAMU wakiswali swala ya Ijumaa nje ya Mahakama Kuu Jijini Dar es Salaam kabla ya kesi inayowakabili watuhumiwa wa ugaidi kuanza mwishoni mwa wiki.

Kesi ya Sheikh Ponda Moro yazidi kupigwa danadana

Page 2: ANNUUR 1157.pdf

2 AN-NUURSAFAR 1436, IJUMAA DES. 26, 2014-JAN. 1, 2015

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Habari

K I L A D e s e m b a 2 5 i n a t a m b u l i k a u l i m we n g u n i k o t e k w a m b a n i s i k u ya ‘Krismasi’ . Siku hii Wakristo wengi huadhimisha kuwa ndio siku aliyozaliwa Yesu na hufuatiawa na ‘Siku ya zawadi’ maarufu kama ‘Boxing day”.

S i k u z o t e h i z i huambatana na sherehe na shamra shamra nyingi na humalizikia kilele cha sherehe za kuingia mwaka mpya.

H a t a h i v y o y a m e t o f a u t i a n a madhehebu ya Kikristo kuhusu s iku ha l i s i aliyozaliwa Yesu. Baadhi ya wanahistoria wako wa z i k wa m b a s i k u yenyewe haijulikani.

Kwa mujibu wa Kanisa la Mashariki/ ‘Eastern Church’ siku aliyozaliwa Yesu ni tarehe 6 Januari inayowafikiana na tarehe 7 Januari ya kalenda ya kimiladi (‘Gregorian Calendar’).

Hivyo nchi nyingi za Ulaya Mashariki au zinazoshikamana na Kanisa la Mashariki kama vile, Ukraine, Serbia, Macedonia, Jamhuri ya Moldova, Ethiopia kwa Afrika na nyenginezo, huadhimisha siku ya Krismasi ndani ya tarehe 7 Januari ya kila mwaka.

Katika kipindi hiki, wafanyakazi kupewa likizo maalumu, baadhi ya t a a s i s i h u wa p a wafanyakazi wao posho za ‘kheri ya Krismasi’.

Ni katika siku hizi za sikukuu ya Kristmas na mwaka mpya wa miladia, watu hutumia wasaa wao mikahawani, vilabuni na katika kumbi mbalimbali za starehe za uasi na wengi hutumia fursa hii kukesha katika vilevi, uzinifu, ngoma, kamari nk.

Tuseme tu kwamba sikukuu ya Krismas na mwaka mpya Miladia,

Chungeni mipaka Krismasini siku za sherehe kubwa kwa Wakristo walio wengi na wana namna yao ya kusherehekea sikukuu hizi kwa mujibu wa kanuni za imani zao.

T a t i z o n i k w a Waislamu. Baadhi ya Waislamu kimakosa hupokea sikukuu hizi bila kuchunga mipaka ya imani yao.

W a p o a m b a o w a m e s h a t a w a n y a kadi za Krismasi na kujumuika na Wakiristo katika mijumuiko yao, k wa m u n a s a b a wa sikukuu hiyo. Wapo waliokesha baa, kumbi za starehe za maasi nk.

K w a m u j i b u y a mafunzo ya Kiislamu, hata iwe sherehe ya Kiislamu kama Eid, hii huwa siku ya furaha na kumshukuru Mungu. Haiwi siku ya kufanya s a n a m a a s i . S a s a inapokuwa ni sherehe ya itikadi ya dini nyingine, kosa linakuwa mara dufu maana unasherehekea kitu ambacho hakipo katika mwongozo wa Dini yako.

“Hawatakuwa radhi juu yako Mayahudi wala Manasara mpaka mfuate mila zao, Sema, “Hakika uwongofu utokao kwa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu”, na kama ukifuata matamanio yao badala ya yale yaliyokufikia ya ujuzi, hutapata mlinzi wala msaidizi yoyote kwa Mwenyezi Mungu”

I k u m b u k w e t u kwamba hatukusudii kuwafanya watu wa imani tofauti wasishirikiane na kuthaminiana. La, tunachotaka kusema ni watu kuheshimiana kiimani, lakini zaidi wavumiliane kwa yale ambayo kwa mujibu wa mafundisho na kanuni za imani zao zinatofautiana.

Iwapo ufahamu wa tofauti hizi utafahamika k wa k i l a i m a n i n a

wa k a h e s h i m u h i z o tofauti na kuvumiliana, bila shaka jamii itaishi kwa amani na upendo, h u k u k i l a m m o j a akichunga mipaka ya kumuasi Mwenyezi Mungu kwa mujibu ya imani yake.

A i d h a t u t o e t u t a h a d h a r i k wa m b a Chuki, dharau au kashfa kwasababu tu ya tofauti za kiimani, iwe ni katika kusherehekea sikukuu au kufanya ibada yeyote

ile ya kiimani, sio jawabu katika maisha ya watu wenye imani tofauti.

Wakristo wawe huru kusherehekea Krismasi, l a k i n i a s i o n e k a n e Muislamu asiyejumuika katika sherehe hizo kwamba kakosea au haheshimu Dini ya wengine.

N a M u i s l a m u n a ye , a s i o n e k u wa asipojumuika katika Pa s a k a , K i p a i m a r a Au Kris imasi kama

hii, hatakuwa mtu wa kisasa au ataonekana wa siasa kali. La, huko ni kuchunga mipaka ya Dini yake.

Kwa Wakristo nao washerehekee huku wakijua kuwa sherehe sio kulewa sana au kufanya uovu wa namna yoyote. Na maadhali inaelezwa kuwa ni sherehe ya kukumbuka kuzaliwa Yesu, tunaimani kuwa itaandamana na yale mema aliyokuja nayo Yesu mwana wa Maryam.

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amesema matukio ya uhalifu yanayojitokeza Z a n z i b a r y a t a w e z a kudhibitiwa kwa jamii kuunga mkono dhana ya ulinzi shirikishi na kuvipa mashirikiano vyombo vya ulinzi na usalama.

Maalim Seif amesema hayo alipokuwa katika ziara ya kutembelea jimbo la Magogoni, Wilaya ya

Maalim Seif ahimiza ulinzi shirikishi

M a g h a r i b i k u z i n d u a miradi mbali mbali ya maendeleo pamoja na ofisi za chama cha Wananchi CUF.

A m e s e m a J e s h i l a Polisi peke yake haliwezi kumaliza matukio ya uhalifu, ikiwemo ujambazi, watumiaji na wauzaji wa dawa za kulevya na watu wanaofanya udhalilishaji watoto na wanawake, lakini jamii kupitia mpango wa ulinzi shirikishi ndio watakaotoa mchango mkubwa kumaliza maovu hayo.

Alisema, matukio ya a ina h iyo yamekuwa

yakijitokeza kwa kasi katika maeneo mbali mbali ya Zanzibar na njia muafaka ya kuweza kukabiliana nayo ni jamii wenyewe kushiriki kikamilifu katika masuala ya ul inzi na usalama wao.

Akikabidhi vifaa kwa watendaji wa Ofisi ya Polisi Jamii eneo la Kinuni, Makamu wa Kwanza wa Rais alisema wananchi wakikataa uhalifu katika

maeneo yao utaondoka na baadhi ya Shehia na mitaa tayari imeonesha mfano mzuri wa kukataa uhalifu baada ya kuamua.

Maalim Seif ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, amesifu mwamko wa wananchi wa jimbo la Magogoni bila kujali tafauti zao katika kuwaunga mkono viongozi wa jimbo lao na kufanikisha miradi yao ya maendeleo na ya kijamii.

Maalim Seif amesema, hamasa aliyoishuhudia

k w a w a n a n c h i k u j i l e t e a m a e n d e l e o kwa mashir ikiano na Mwakilishi pamoja na Mbunge wa jimbo hilo ni ya kupigiwa mfano na kuwahimiza viongozi wa jimbo kuendeleza kasi hiyo ili wazidi kupata maendeleo.

Naye Mwakilishi wa jimbo la Magogoni, Mhe. Abdilahi Jihad Hassan

a m e s e m a j i m b o h i l o limeweza kupiga hatua kubwa, ikilinganishwa na hali ilivyokuwa kabla yaye na Mbunge kuingia madarakani.

Ametoa mfano, hivi sasa kuna miradi mingi ya maji safi na salama, vikundi mbali mbali vya wananchi hasa kinamama vinavyojishughulisha na ujasiria mali, ambavyo v i n a wa s a i d i a k a t i k a kukabiliana na ugumu wa maisha.

(Habari kwa hisani ya Khamis Haji, OMKR

0777 484 459)

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad alipokuwa katika ziara ya kutembelea jimbo la Magogoni, Wilaya ya Magharibi kuzindua miradi mbali mbali ya maendeleo pamoja na ofisi za chama cha Wananchi CUF.

Page 3: ANNUUR 1157.pdf

3 AN-NUURSAFAR 1436, IJUMAA DES. 26, 2014-JAN. 1, 2015Habari

Ijumaa yaswaliwa Mahakama KuuIJUMAA imesimamishwa nje ya Mahakama Kuu Jijini Dar es Salaam, wiki iliyopita.

Imam na Khatib, walipatikana hapo hapo kutoka miongoni mwa mamia ya Waislamu waliofika mahakamani hapo kusikiliza kesi.

A wa l i i l i b i d i H a k i m u a n a ye s i k i l i z a k e s i h i y o iliyokuwa ianze kusikilizwa saa 3 asubuhi, kuahirisha ili kuwapa fursa Waislamu kwenda Msikitini kuswali Ijumaa kwa tahadhari kuwa muda wa swala ya Ijumaa ungeingia kabla ya kes i kumalizika.

Hata h ivyo, Wais lamu walichukua udhu na kuamua kuswali Ijumaa hapo hapo katika viwanja vya Mahakama Kuu.

Baada ya kukamilika kwa swala, kesi ilianza kusikilizwa majira ya saa 8:37 mchana ambapo kesi hiyo ya tuhuma za ugaidi inayowakabi l i M a s h e i k h n a Wa i s l a m u wengine, imerudishwa tena katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Hiyo ni baada ya Jaji Twaibu Faudhi wa Mahakama Kuu, kusema kuwa mahakama hiyo ina uwezo wa kusikiliza na kutoa maamuzi juu ya kesi hiyo.

J a j i F a u d h a l i s e m a mahakamani hapo kuwa baada ya kusikiliza hoja za mawakili wa pande mbili zilizotolewa mbele ya Mahakama Kuu, alielekeza kuwa kesi hiyo sasa iendelee kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu Desemba 29 mwaka huu.

Jaji huyo ametoa maamuzi yake kufuatia hoja zilizoletwa m a h a k a m a n i h a p o n a upande wa utetezi ambao haukuridhishwa jinsi kesi ya msingi ilivyokuwa ikiendeshwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo upande wa mashitaka nao uiwasilisha hoja pingamizi.

Kat ika maamuzi yake , Jaji Faudh alitupilia mbali mapingamizi mawili ya upande wa serikali.

Mapingamizi hayo yalikuwa yakidai kuwa, kwanza kiapo c h a u p a n d e wa u t e t e z i kilichowasilishwa Mahakama Kuu ambacho kiliambatana na maombi ya kutaka kuachwa huru watuhumiwa hao wa

Na Seif Msengakamba ugaidi kilikuwa kibovu, kwa maana ya kwamba tarehe ilikosewa.

Maombi ya utetezi ya kutaka kuachiwa huru washitakiwa yalibainishwa kuwa ni pamoja na hati ya mashitaka kutoeleza watuhumiwa hao walifanya kosa mahali gani na pia hati ya hiyo haielezi wahusika wa ugaidi waliodaiwa kuingizwa nchini na kuhifadhiwa wako wapi zaidi ya kutajwa majina

yao tu.Pingamizi la pili upande

wa serikali ulisema kwamba Mahakama Kuu haikuwa na mamlaka ya kusikiliza maombi yaliyowasilishwa na utetezi kwa sababu bado kesi ilikuwa katika hatua za mwanzo katika Mahakama ya Kisutu, kwa hiyo maombi hayo hayawezi kuletwa Mahakama Kuu.

M m o j a w a m a w a k i l i wanaowatetea watuhumiwa

B w . A b u b a k a r i S a l i m , akizungumza na mwandishi wa gazeti hili baada ya Jaji Faudhi kutoa uamuzi wake juu ya kesi hiyo, alisema Mahakama Kuu imeangalia hati ya mashitaka iliyopo na mazingira yalivyo katika Mahakama ya Kisutu kusema kuwa Mahakama hiyo haiwezi kufungwa mikono na kuiacha kesi hiyo kama ilivyodai bila kutoa ufafanuzi juu ya mashitaka yanayowakabili washitakiwa.

Kesi ya Sheikh Ponda Moro yazidi kupigwa danadana

Na Seif Msengakamba

HAKIMU wa Mahakama ya Hakimu mkoani Morogoro, Mery Moyo, Jumatatu iliyopita aliahirisha kesi inayomkabli Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda hadi Januari 5, 2015.

Hakimu huyo al isema, amepanga tarehe hiyo ili kupata muda wa kupitia hukumu iliyotolewa na Jaji Agostino Shangwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam Novemba 27, 2014.

“Imenif ikia leo wakat i n i k i j i a n d a a k u i n g i a Mahakamani kuanza kesi, nikishamaliza kuisoma ndipo nitaweza kutoa maamuzi ya kuja kupanga kuwa kesi itasikilizwa lini, tusubiri nikishaipitia ndio nitajua nifanye nini”. Alisema Hakimu Moyo.

Wakili wa upande wa utetezi aliyetajwa kwa jina la Kongola, yeye a l i sema kwa kuwa mashahidi wake wa upande wa mashitaka ni watumishi wa ser ikal i , wanatakiwa kuandaliwa kwanza ndipo kesi iweze kusikilizwa.

Naye Mwendesha Mashitaka al isema kuwa nakala ya hukumu ya Jaji Shangwa Wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ambayo ilifuta hukumu ya awali iliyotolewa Mahakama ya Kisutu dhidi ya Sheikh Ponda kat ika kesi ya kiwanja cha Markaz Chang’ombe, wao hawajaipata.

Aidha, wakili wa upande wa Jamhuri aliitaka mahakama

ipange tarehe ya kutajwa kesi hiyo, ili kutoa fursa kwao kujipanga kuandaa mashahidi wao, badala ya kupangwa tarehe ya kusikilizwa kesi.

Kufuatia hali hiyo, wakili wa upande wa Sheikh Ponda, Bw. Juma Nassoro, alicharuka mahakamani hapo kwa kile alichoita ucheleweshwaji kesi wa makusudi.

Wa k i l i J u m a N a s s o r o alikuja juu na kusema kuwa anamshangaa mwanasheria, tena mwanasheria wa Serikali kukosa huruma kiasi cha kuchelewesha kwa makusudi kesi hiyo.

Bw. Nassoro alisema Sheikh Ponda yupo ndani tangu mwezi wa nane mwaka jana, hivyo alihoji iweje utetezi ushindwe kipindi chote hicho kuwaandaa mashahidi.

Aidha alisema, wao upande wa utetezi tayari walishaleta faili la hukumu ya Mahakama Kuu katika mahakaka hiyo ya Morogoro na kuiambia mahakama kwamba, kwa kuwa hukumu hiyo ilifuta hukumu ya Mahakama ya Kisutu, shitaka katika mahakama ya Morogoro linakufa.

Alisema kuwa walichopaswa kufanya ni ama wafanye marekebisho kuondoa shitaka namba moja au kesi yote waiondoe na kwamba moja kwa moja Sheikh Ponda anastahili sasa kupewa dhamana aachiwe.

“Tayari tumeileta nakala ya hukumu na ipo kwenye faili la mahakama hapa Morogoro, tumeileta sisi na kisheria sasa ilivyo ni kwamba hukumu

ya mahakama inapotolewa kwa mwanasheria yeyote, anatak iwa achukue k i tu kinachoitwa Judicial notice (yaani mahakama inatakiwa ijue tu kwamba hukumu hiyo ipo) wala haihitajiki kuletwa ile nakala ya hukumu, hili ni jambo ambalo linalotakiwa kuthibitishwa”. Alifafanua wakili huyo.

A l i e n d e l e a k u f a f a n u a hoja yake kwamba kwa wao kuwasil isha mahakamani nakala ya hukumu, inatosha kusema kwamba hukumu ya mahakama ya Kisutu imeshafutwa na hukumu ya Mahakama Kuu, hivyo mahakama ya Morogoro inastahili ifanyie kazi maelezo hayo na hawapaswi kukaa na kuacha kuifanyia kazi eti kwasababu nakala ya huku haijaletwa.

“Kuna kitu kinaitwa Judicial notice, yaani hapa mwanasheria yeyote, hata wa mwaka wa kwanza wa sheria anatakiwa akijue. Sasa inashangaza wakili wa serikali, tena mwandamizi hajui hicho kitu, ni aibu, anaitia aibu ofisi ya DPP ambayo ni ofisi ya kikatiba, hii sio ofisi ndogo”. Alifoka Wakili Nassor.

Alisema, Sheikh Ponda yupo ndani tangu mwezi Agosti mwaka jana mpaka leo, lakini bado Jamhuri inaleta danadana, wanaomba kuahirishwa kesi, halafu ije kwa kutajwa sio kusikilizwa.

Alisema hoja zinazotoewa ni mwanya tu wa kutaka kuchelewesha kesi na kukosa huruma.

Page 4: ANNUUR 1157.pdf

4 AN-NUURSAFAR 1436, IJUMAA DES. 26, 2014-JAN. 1, 2015Makala/Tangazo

TANGAZO LA KAZI YA UALIMU.DYCCC Yemeni Schools inakaribisha maombi ya kazi kwa walimu wazoefu na

wenye sifa kwa masomo yafuatayo kwa upande wa Primary na Secondary.(SECONDARY)

S/N NAFASI SIFA1 MWALIMU WA HISTORIA BA(EDC)2 MWALIMU WA ENGLISH BA(EDC)3 MWALIMU WA CHEMISTRY BSC(EDC)4 MWALIMU WA KIARABU BA(EDC)5 MWALIMU WA CIVICS BA(EDC)

(PRIMARY)S/N NAFASI SIFA

1 MWALIMU WA ELIMU YA MAARIFA CERTIFICATE/DIPLOMA (EDC)2 MWALIMU WA SHULE YA MSINGI CERTIFICATE/DIPLOMA (EDC)3 MWALIMU WA SHULE YA MSINGI CERTIFICATE/DIPLOMA (EDC)

S/N NAFASI SIFA1 LABORATORY TECHNICIAN CERTIFICATE/DIPLOMA

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 31-12-2014. Watakaopenda kuungana nasi walete CV zao zikiambatana na copy za vyeti katika ofisi zetu zilizopo Chang’ombe au wavitume kwa:

Human Resource Office(DYCCC-YEMEN SCHOOL)

P.O.BOX 42541DAR-ES-SALAAM

BAADA ya kumshukuru A L L A H ( S W ) k a m a a n a v y o s t a h i k i k u s h u k u r i w a , s a l a n a s a l a m u z i m f i k i e Mjumbe wake Sayyidina M u h a m m a d ( s . a . w ) pamoja na Masahaba zake na kila anayefuata njia yake kwa wema mpaka siku ya malipo.

Enyi Waja wa ALLAH : H a s a d i n i m a r a d h i mabaya ya nafsi, na ni kasoro kubwa inayokaa katika moyo wa mtu na ni asili na sababu ya kila matendo maovu, na ni tabia inayomuweka mtu mbali na uchamungu. Na maana yake ni kwa mtu kutamani neema au kheri aliyokuwa nayo mwenziwe imuondokee. Hasidi huwa anachukia pale mwenziwe anapopata kheri na anafurahi pale mwenziwe anaposibiwa na shari.

A n a s e m a A L L A H ( S W ) : “ I k i k u p a t e n i k h e r i h u wa s i k i t i s h a na ik ikupateni shar i wanaifurahia. Na mkisubiri na mkamcha ALLAH hila zao hazitakudhuruni kitu. Hakika ALLAH anayajua vizuri yote wanayoyatenda

Tahadharini na Hasadi”.

Vile vile, hasidi huwa haridhii vile ALLAH (SW) anavyogawa neema kwa waja wake na anapinga na kuchukia maamuzi ya ALLAH (SW) juu ya waja wake.

I m e p o k e wa k a t i k a a thar i kuwa ALLAH (SW) anasema :“Hasidi ni adui wa neema zangu, ni mwenye kuchukia m a a m u z i ya n g u , n a hauridhii ugawaji wangu ”.

Na yoyote atakaoujaza moyo wake kwa imani ya kweli na nuru ya yakini, akawa anaridhia maamuzi yote ya ALLAH (SW) katika ugawaji wa neema zake na maamuzi yake mengine, basi kamwe moyo hautokuwa na nafasi ya uhasidi, kwani imani na hasadi hazikai pamoja.

A m e s e m a M t u m e (saw) :“Havikai pamoja katika katika kifua cha mja (Muislamu), imani na uhasidi”.

Anasema ALLAH (SW) :“Au wanawafanyia watu

husuda kwa yale aliowapa ALLAH kwa ukarimu wake ”

Enyi Waislamu :Hakika imethibi kuwa uhasidi husababisha madhara ya kidini na ya kidunia kwa mtu hasidi, kwa sababu daima huwa anaumia na kuhisi dhiki kubwa pa le anapoona watu wameneemeshwa na Mola wao.

Amesema Mtume (saw) : ”Utasibiwa umma wangu na maradhi ya umma. Wakasema Masahaba : Ewe Mjumbe wa ALLAH, ni yepi maradhi ya umma ? Akasema : Kiburi, na majivuno, na kushindana kwa ajili ya dunia, na kuchukiana na kufanyiana uhasidi, mpaka utaenea uovu na mauaji ”.

Na katika mapokezi mengine, amesema Mtume (saw) :“Yameingia juu yenu maradhi ya umma za kabla yenu; hasadi na kuchukiana ”.

N d u g u Wa i s l a m u :Hasadi ndio dhambi ya mwanzo alioasiwa ALLAH

(SW) katika mbingu na Bilisi pale alipokataa kumsujudia Adam baada ya kuona kuwa amepewa cheo kikubwa mbele ya Malaika na hatimae kutiwa katika pepo.

A n a s e m a A L L A H (SW) :“Shettani alimtia wasiwasi akamwambia : Ewe Adamu, nikujuulishe mti wa milele na ufalme usiokwisha ? Basi wakaula wote wawil i na uchi wao kuwadhihirikia na wakaanza kujibandika majani ya peponi, na A d a m u a k a m k o s a Mola wake na akapotea njia. Kisha Mola wake a k a m c h a g u a , n a akamkubalia toba yake na akamuongoa ”.

Na imepokewa kutoka kwa Ibnu Umar (ra) kuwa Bilisi kamwambia Nabii Nouh (as) :

“ B i n a a d a m u amehilikishwa kwa mambo mawili, hasadi na pupa. Na kutokana na hasadi ndio mimi nikalaaniwa na nikajaaliwa kuwa ni shettani aliewekwa mbali na kila rehma ”.

Pia hasadi ndio dhambi ya mwanzo alioasiwa ALLAH (SW) katika ardhi na watoto wa Nabii Adam, baada ya wao kutoa sadaka na kukubaliwa sadaka ya mmoja wao na kukataliwa sadaka ya mwengine.

Anasema ALLAH (SW) :“Na wasomee khabari za watoto wawili wa Adamu kwa ukweli, walipotoa sadaka ikakubaliwa ya mmoja wao na ikakataliwa ya mwengine. Akasema :(yule iliokataliwa sadaka yake) nitakuua. Akasema ( yule aliokubaliwa sadaka yake) : Hakika ALLAH huwapokelea wamchao tu “.

Na katika alama za mtu hasidi ni kujidai kumpongeza na hata kumuombea dua mtu al iepata neema huku moyo wake ukichukia, na kumsengenya anapokuwa hayupo hali ya kuwa anaona uchungu juu ya kile ambacho yeye hakimiliki.

A n a s e m a A L L A H (SW) :“Bughudha (yao juu yenu) inadhihirika katika midomo yao, na yanayofichwa na vifua vyao ni makubwa zaidi,

Enyi Waja wa ALLAH :Ilivyokuwa hasidi ni mtu mbaya, basi ni lazima

tujikinge kwa ALLAH (SW) kutokana na shari yake. Na katika njia za kujikinga na shari ya hasidi ni kusoma Suuratul Falaq ambayo ALLAH (SW) kwa rehma zake alimfunza kufanya haya Mtume wake na umma wake.

Anasema ALLAH (SW) :“Sema : Najikinga kwa Mola wa walimwengu w o t e . N a s h a r i y a alivyoviumba. Na shari ya giza la usiku liingiapo. Na shari ya wale wanaopulizia mafundoni. Na shari ya hasidi anapohusudu ”.

E n y i W a j a w a ALLAH :Hakika watu hugawika sehemu mbili wanapomuona mwenzao kaneemeshwa na ALLAH (SW). Wapo wanaochukia na kutamani neema ile imuondokee na hawa ndio mahasidi. Na wapo wanaotamani na wao waipate neema kama hiyo ili na wao washindane katika mambo ya kheri, na hii ndio sifa ya watu wema.

Amesema Mtume (saw) :“Hakuna uhasidi (choyo) isipokuwa katika mambo mawili : Mtu kapewa mali na ALLAH akaitumia yote katika njia ya haki, na mtu kapewa elimu na ALLAH akaifanyia kazi na akawafundisha watu ”.

Enyi Waislamu :Mcheni A L L A H M o l a w e n u Mtukufu, na jitengeni sana na tabia ya uhasidi, kwani kumbukeni kuwa uhasidi unafisidi mema yenu sawa na moto unavyokula kuni, na pia unaharibu imani kama vile shubiri inavyoharibu asali.

Amesema Mtume (saw) :“Jihadharini na uhasidi, kwani hakika uhasidi unakula mema kama vile moto unavyokula kuni “.

Na amesema Mtume (saw) :“Hasadi inaharibu imani kama vile shubiri inavyoharibu asali ”.

Na pia amesema Mtume (saw) :“Hayuko pamoja na mimi mwenye hasadi wala fitna wala mwenye kujidai kuwa anajua mambo ya ghaibu na mie si katika yeye ”. Kisha akasoma : “Na wale wanaowaudhi Waislamu wanaume na wanawake bila ya wao kufanya kosa lolote, bila ya shaka wamebeba dhulma kubwa na dhambi za dhahiri ”.

(Makala na uchambuzi kwa hisani ya mtandao wa Mzalendo)

Page 5: ANNUUR 1157.pdf

5 AN-NUURSAFAR 1436, IJUMAA DES. 26, 2014-JAN. 1, 2015Habari za Kimataifa

KUNDI la wapiganaji nchini Iraq la ISS limewaua wanawake 150 katika mkoa wa Anbar, Magharibi mwa nchi hiyo kwa kukataa kuolewa na wanamgambo wa kundi hilo.

Taarifa ya Wizara ya Haki za Binadamu ya Iraq imeeleza kuwa wanawake wasiopungua 150, wakiwemo wajawazito wameuliwa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mji wa Fallujah baada ya kukataa kile kinachoitwa na kundi

ENGLANDKANISA la England Alhamisi ya wiki iliyopita limemtangaza Bi. Libby Lane, kuwa Askofu wa kwanza mwanamke, kufuatia kufanyika mabadiliko ya kihistoria katika kanuni zake.

Lane ametangazwa kuwa Askofu mpya wa Stockport, ikiwa ni hatua mpya ya kushangaza katika Kanisa la England baada ya miaka mingi ya kugawanyika na kuhitilafiana juu ya hatua hiyo ya kuwa na Askofu mwanamke.

"Ni furaha kubwa ambayo sikutarajia kuwa hapa leo," Alisema Bi. Lane baada ya kutangazwa kuwa Askofu wa Stockport, mji uliopo nje kidogo Kaskazini Magharibi mwa mwa jiji la Manchester England.

" Kwangu ni siku ya kukumbukwa na kutambua kuwa ni siku ya kihistoria kwa Kanisa. Nimepewa heshima na ni shukurani kuitwa katika kutoa huduma ya Uaskofu wa Stockport na nimefurahi, sio jambo dogo kuaminiwa na asasi kama hii.

N i n a wa t a m b u a s a n a wa l e waliofahamika na wasiofahamika ambao waliniombea na kufanya kazi na kupambana hadi sasa."

Kanisa hilo lilitoa uthibitisho wake wa mwisho wa uteuzi wa Askofu mwanamke mwezi uliopita na kuhitimishwa mchakato ulioelezwa kuwa ulikuwa wa mwendo wa kinyonga, ambao umewaweka waumini wa mrengo wa kilibarali na kihafidhina katika uwiano.

Kanisa la England limekuwa likipigia chapuo kuanzishwa kwa nafasi ya uchungaji kwa wanawake tangu mwaka 1992 na wachungaji wa kwanza walitangazwa miaka miwili baadae. Kwa sasa wamefikia theluthi moja ya viongozi wa Kanisa.

Kanisa la England ndilo Kanisa mama kwa Makanisa ya Anglikana, ambayo yana wafuasi wapatao milioni 85 katika nchi zaidi ya 165.

Makanisa mengine ya Anglikana duniani kote yamekuwa yakiteua Maaskofu wanawake kwa kipindi cha miaka kadhaa.

Kwa Makanisa mengine, Askofu wa kwanza wa kike aliteuliwa Marekani mwaka 1989 na sasa kuna zaidi ya Maaskofu wa kike 30 duniani kote katika nchi kama Australia, Canada, Cuba, New Zealand na Swaziland.

Bi. Lane amesoma katika Chuo Kikuu cha Oxford na kuwa Mchungaji mwaka 1994.

B a a d h i ya m a m b o b i n a f s i anayopenda ni pamoja na kujifunza kupuliza saxophone, kuishabikia klabu ya soka ya Manchester United, kusoma na kufanya mchezo wa kujaza na kupangilia maneno kwenya majedwali (cryptic crosswords).

Mumewe George pia ni Mchungaji, walikuwa wanandoa wa kwanza katika Kanisa kufanya kazi pamoja. Mumewe ni kiongozi msimamizi (coordinating chaplain) wa eneo la Uwanja wa ndege wa Manchester.

Kanisa Anglikana lateua Askofu wa kwanza mwanamkeAkiwa Askofu wa Stockport,

Lane atahudumia kama Msaidizi wa Askofu katika Dayosisi ya Chester.

Ofisi ya Waziri Mkuu David Cameron ya Downing Street, ilitoa taarifa kwamba Malikia Elizabeth II , Kiongozi Mkuu wa Kanisa amemthibitisha uteuzi wa Lane.

" N i n a p e n d a k u m p o n g e z a Elizabeth Lane kwa kuteuliwa kwake kama Suffragan See of Stockport na kwa kufanya hivyo anakuwa mwanamke wa kwanza kuwa Askofu katika Kanisa," alisema Cameron katika taarifa yake.

"Huu ni uteuzi wa kihistoria na hatua muhimu mbele kwa Kanisa kuelekea usawa katika nafasi za juu."

Aliongeza kuwa serikali inaweza kuleta sheria wiki hii ambayo itaweza kuruhusu Maaskofu wanawake kukaa katika nafasi za juu katika Bunge la Mabwanyeye (Parliament's upper House of Lords).

K i a s i c h a M a a s k o f u 2 6 wanaruhusiwa kukaa katika Bunge hilo, ikiwa ni pamoja na viongozi watano wa ngazi za juu kabisa na Maaskofu wengine 21 (diocesan bishops) ambao wamehudumu kwa muda mrefu katika Kanisa hilo.

Kanisa hilo lilijitenga kutoka Kanisa la Roman mwaka 1534. Inadaiwa kuwa zaidi ya asilimia 40 ya watu nchini England wanajichukulia kuwa ni waumini wa Kanisa la England. Bi. Libby Lane, Askofu wa kwanza Mwanamke Kanisa la Anglikana

K A M AT I y a B a r a z a l a Usalama la Umoja wa Mataifa inayoshughulikia masuala ya Somalia, siku ya Ijumaa D e s e m b a 1 9 , i l i m u o n d o a kiongozi mwandamizi wa al-Shabaab Mohamed Said Atom, kutoka orodha ya waliowekewa vikwazo, ikiwa ni miezi sita baada ya kukana ushirika wake na kikundi hicho, AFP iliripoti.

Atom alikuwa amewekewa vikwazo vya safari na kifedha kutokana na kile kilichoitwa kutuhumiwa katika vitendo vya "utekaji nyara, uharamia na ugaidi."

Hata hivyo, mwezi Juni , alitangaza kukana uhusiano wake na al-Shbaab na kuahidi kufanya kazi kupitia njia za usalama na maelewano tu siku za mbele.

Serikali ya Somalia ilisifia maendeleo hayo kama ushahidi unaotoa ruhusa ya msamaha kwa kila mtu anayeachana na ugaidi, shughuli za kijeshi au uharamia kuwa zilikuwa zinatoa matokeo mazuri.

Waziri wa Habari wa Somalia, Mustafa Duhulow, alikaribisha uamuzi huo kama n j ia ya kumhamasisha yeyote anayetaka kukataa vurugu na kujiunga na mchakato wa amani.

Alisema kuwa serikali ya shirikisho ilizungumza na Umoja wa Mataifa na nchi kadhaa wanachama ili kumuondoa Atom

UN wamtoa kiongozi wa al-Shabaab kwenye orodha ya vikwazokatika orodha ya waliowekewa vikwazo, na kuiita hatua hiyo ni mafanikio makubwa sio tu kwa mtu mmoja mmoja, bali pia kwa wengine wote wanaotaka kukataa vurugu na kujiunga na mchakato wa amani.

"Serikali itaendelea kuwaunga mkono watu wanaochagua njia ya amani badala ya njia ya vurugu, nawajua watu wengi wanaona vigumu kuelewana, lakini ikiwa

Somalia inataka kukubali makosa yake, kutakuwa na nafasi ya kuelewana na mtu huyo na wengine kama yeye alisema katika taarifa." Alisema Bw. Duhulow.

Hata hivyo ingawaje Bw. Atom hakabiliwi tena na vikwazo alivyowekewa na Umoja wa Mataifa, bado anabakia katika orodha ya vikwazo vya fedha kutoka Hazina ya Marekani.

Wanawake 150 waliokataa kuolewa na ISS wauawa Iraq

hilo jihadun Nikah.Taarifa ya wizara hiyo

imeongeza kuwa, familia nyingi pia zimelazimika kuhama mji wa al Wafa uliopo Kaskazini mwa Iraq, baada ya mamia ya raia kutishiwa na kundi hilo.

Wizara hiyo imeongeza k u w a , w a t o t o w e n g i wamepoteza maisha baada ya familia zao kukimbilia misituni kutafuta hifadhi, wakiwakwepa wanamgambo wa ISS. (irib)

Page 6: ANNUUR 1157.pdf

6 AN-NUURSAFAR 1436, IJUMAA DES. 26, 2014-JAN. 1, 2015Habari za Kimataifa

VOAMJI wa New York umekumbwa na simanzi kufuatia mauaji ya maafisa wawili wa polisi yaliyofanywa na kijana mmoja, ambaye aliwaambia wapita njia kuangalia alichokuwa anakwenda kukifanya muda mfupi kabla ya kufanya mauaji hayo.

Mauaji ya kulipa kisasi dhidi ya polisi yaitikisa New York

Polisi nao waua raia tenajamii moja, mji mmoja na hatutaki chochote kutugawa kuhusu namna gani tunawashukuru askari wetu wanapohakikisha usalama wetu kila siku," alisema Eric Adams, Rais wa Manispaa ya Brooklyn alipotembelea kituo cha muda cha kumbukumbu ya maafisa hao.

Rais Barack Obama, aliyeko

MAAFISA wa polisi nchini Marekani wakitoa heshima zao za mwisho kwa askari wenzao wawili waliouliwa kwa kupigwa risasi hivi karibuni nchini humo.

Maafisa hao wawili, Wenjian Liu mwenye umri wa miaka 32 na Rafael Ramos mwenye miaka 40, walipigwa risasi kupitia kioo cha gari lao la doria mchana kweupe siku ya Jumamosi katika mji wa Brooklyn, katika shambulio lililoutikisa mji mkubwa zaidi wa Marekani New York kuelekea siku ya Krismas.

Polisi ilimtaja muuaji kuwa ni Ismaaiyl Brinsley, mwenye umri wa miaka 28 ambaye alijiua kwa kujipiga risasi kichwani baada ya kutenda mauaji hayo.

Mauaji hayo yanatokea katika mji ambao unaoshuhudia kuwa na kiwango cha chini kabisa cha mauaji katika kipindi cha miaka 20, yamezidi kuudhofisha uhusiano kati ya Meya wa New York Bill de Blasio na jeshi la polisi, ambalo linamlaumu kwa kushindwa kuwasaidia na kuonyesha huruma zaidi kwa waandamanaji, ambao waliingia mitaani hivi karibuni kupinga mauaji ya polisi dhidi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika.

"Sote tumenufaika na kitendo chao cha kishujaa na ndiyo maana viongozi wetu wa Kiislamu, viongozi wetu wa Kiyahudi, viongozi wetu wa Kibaptisti, viongozi wetu wa Kikatoliki, jamii yetu kwa ujumla iko hapa kama

mapumzikoni mjini Honolulu, alimpigia simu Kamishna wa Polisi wa Philadephia Charles Ramsey, kuelezea kughadhabishwa kwake na mauaji ya maafisa hao wa polisi na kumtaka Mwenyekiti huyo mwenza wa kikosi kazi alichokiunda, kutathmini matendo ya polisi nchini Marekani kote, kutumia kikosi hicho kusambaza ujumbe wake kwamba vitendo kama hivyo dhidi ya Polisi vinapaswa kulaaniwa.

Akizungumzia mauaji yao, Rais wa chama cha maaskari wa doria Pat Lynch, alimlaumu Meya wa New York, Bill de Blasio na kusema damu yao iko kwenye mikono yake.

Brinslay al isema kwenye mtandao wake kuwa mauaji hayo yalikuwa ya kulipa kisasi kwa vifo vya Eric Garner mjini New York, na Michael Brown mjini Ferguson Missouri.

Polisi ilisema bwana huyo alikuwa na rekodi ya uhalifu, chuki dhidi ya polisi na serikali, na alikuwa na historia ya ulemavu wa akili ambayo ilihusisha jaribio la kujinyonga mwaka mmoja nyuma.

P o l i s i n c h i n i M a r e k a n i wamekosolewa kwa muda kutokana na mbinu zao, kufuatia kifo cha Eric Garner aliyekabwa

Na Iddi Ssessanga/ape,dpaeKIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, amewakaripia vikali viongozi wa Vatican na kukosoa kile alichokieleza kuwa ni ugonjwa ulioukumba uongozi huo, ukiwemo wa kuteta na uchu wa madaraka.

P a p a F r a n c i s a m e o n g e z a kile al ichokiita magongwa 15 yanayowakabili wasaidizi wake ndani ya Vatican, na kuwataka watumie muda huu wa Krismas kutubu dhambi zao na kulifanya Kanisa kuwa mahala penye afya na patakatifu zaidi mwaka 2015.

Papa Francis alizungumza juu ya wale wanaojigeuza kuwa mabosi na wanaojiona wako juu ya kila mmoja na hawamtumikii yeyote.

Alionya pia juu ya kile alichokiita "ugonjwa wa madaraka" na kuwaonya dhidi ya nargisi ya wale wanaojijali wenyewe bila kuwahurumia walio dhaifu na wanaohitaji zaidi.

Tamaa ya vyeo na ubinafsiAliwakosoa pia wasiowaheshimu

wakubwa zao akisema,"ugonjwa wa kutomtii mkubwa ndiyo ugonjwa wa wale wanaowasifu wakubwa zao wakitumai kupata kitu kutoka kwao. Alisema hao ni wahanga wa tamaa ya vyeo na ubinafsi, wanawaheshimu binadamu na siyo Mungu."

Imeelezwa kuwa wakati miongoni mwa wasikil izaj i walikuwepo wakimsikiliza Papa Fransis, walikuwa wamekunja sura zao, lakini ujumbe ukiwaingia barabara.

A i d h a Pa p a a l i z u n g u m z i a ugonjwa wa kile alichokiita sura za msiba, akibainisha kuwa watu wasioridhika na wanaokunja sura, wale wanaojaribu kuvaa sura za ukali, wanawatendea wengine kwa dharau na kwa kibri, hasa wale wanaoamini ni wa hadhi ya chini.

Papa Francis, ambaye ndiye Papa wa kwanza kutoka Amerika Kusini na hakuwahi kufanyakazi katika Baraza la Uongozi wa Kanisa hilo linalodhibitiwa na Wataliano, kabla ya kuchaguliwa hakuona haya kulalamika juu ya porojo, tamaa za vyeo na hila za madaraka jinsi vinavyoikabili Vatican.

Lakini wakati ajenda yake ya mageuzi ikizidi kushika kasi , alionekana mwenye kuthubutu zaidi hata kuweza kubainisha yale yanayoikwamisha taasisi hiyo.

Wafuatiliaji wa masuala ya Vatican walisema hawajawaji kusikia hotuba kali kama hiyo kutoka kwa Papa na kuongeza kuwa huenda ameamua kuweka mambo hadharani kutokana na upinzani anaokabiliana nao katika kutekeleza mageuzi yake.

"Ukweli ni kwamba anaielekeza hotuba yake ya Krismas kwa magonjwa 15 ya kiroho kwa namna hiyo, kwa maoni yangu ni ishara kwamba anachukulia mageuzi katika uongozi, na mageuzi ya kiroho kiujumla kama hatua muhimu anayotaka kuendelea kuchukuwa. Kwamba bado kuna upinzani mkubwa na pengine upinzani umeongezeka katika miezi ya hivi karibuni," alisema Iacopo Scaramuzzi, ripota wa gazeti la TMNews mjini Vatican.

Papa akosoa vikali viongozi wenzake Vatican

hadi kufa na afisa wa polisi mjini New York, na Michael Brown aliyepigwa risasi mjini Ferguson, jimboni Missouri.

Uamuzi wa Baraza la wazee wa mahakama kukataa kuwafungulia mashtaka maafisa waliohusika katika vifo vya raia hao wenye asili ya Afrika, ulisababisha maandamano makubwa mjini New York na maeneo mengine ya Marekani.

Katika tukio jingine huko Berkeley, Missouri katika kitongoji cha St. Louis, ofisa wa polisi amempiga risasi na kumuua kijana mweusi ambaye amedaiwa kuwa alimnyooshea bunduki pilis huyo katika kituo cha mafuta majira ya jioni siku ya Jumanne, kwa mujibu wa shirika la AP.

Kundi la watu wapatao 100 walikusanyika Jumatano katika eneo la tukio huko Berkeley, Missouri, zikiwa ni maili chache kutoka mji wa Ferguson, ambako polisi walimuua kikatili kijana mweusi mwenye umri wa miaka 18, Michael Brown mwezi Agosti.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa msemaji wa polisi wa St. Louis, Sgt. Brian Schellman, ofisa huyo wa polisi wa Berkeley alikuwa katika doria katikakituo hicho cha mafuta majira ya saa 11:15 jioni siku ya Jumanne ndipo alipowaona watu wawili na kuwakaribia.

Taarifa hiyo inasema mmoja wa o wa l i t o a b u n d u k i n a kumwelekezea ofisa huyo wa polisi Bw. Schellman, ndipo naye alipofyatua risasi kadhaa na kumjeruhi.

Mwenzake alikimbia na bunduki ya aliyeuliwa ilichukuliwa, kwa mujibu wa maelezo ya askari huyo Bw. Schellman.

Idara ya Polisi wa St. Louis inafanya uchunguzi na hadi sasa hakuna taarifa zaidi juu ya tukio hilo.

Polisi walieleza kuwa mtu aliyeuliwa bado hajafamika, ingawa gazeti la St. Louis Post limeripoti kuwa mwanamke mmoja aliyekuwepo eneo la tukio alimtambua maiti kuwa ni mwanae mwenye umri wa miaka 18 na anaitwa Antonio Martin.

Toni Martin alilieleza gazeti hilo kuwa mwanae alikuwa na rafiki wake wa kike wakati huo wa kupigwa risasi.

Waandamanaji walikusanyika mapema siku ya Jumatano katika kituo hicho cha mafuta huku wakiwashutumu maofisa wa Polisi.

Page 7: ANNUUR 1157.pdf

7 AN-NUURSAFAR 1436, IJUMAA DES. 26, 2014-JAN. 1, 2015Makala

Na Asia Mbwana, Dar es Saalam

Jaji Fredrick Werema (picha juu). Chini Aliyekuwa mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman.

MWAKA huu 2014 unaotarajia kufikia ukingoni hivi karibuni, umeshuhudia wanasher ia wakuu wawili wa serikali katika pande zote mbili za muungano, Ta n g a n y i k a n a Z a n z i b a r wakishindwa kuhudumu katika nyadhifa zao kama ilivyo ada, kila mmoja kwa sababu zake.

Aliyekuwa Mwanasheria wa Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, akivuliwa wadhifa wake na Rais wa Zanzibar na Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Muhammed Shein mara baada ya kupiga kura ya hapana katika Bunge Maalumu la Katiba, kupinga baadhi ya vifungu vya Katiba inayopendekezwa, huku Jaji Fredrick Werema, yeye akijiuzulu kufuatia kuhusishwa katika kutoa ushauri unaodaiwa kusababisha kuchotwa fedha za umma zilizokuwemo kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.

Kufuatia kujiuzulu kwa Jaji Werema, Jumanne iliyopita, baadhi ya watu katika mitandao ya kijamii na mitaani wamekuwa wakinadi na kutaka kuuaminisha umma kuwa Ja j i Werema, yeye kaondoka kishujaa huku Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Zanzibar, Othmani Masoud kuwa aliondolewa kwa kujitakia mwenyewe, kwa udhalili na ilikuwa sawia yeye kutimuliwa kazi.

Huku wengine wakijiuliza kwa nini Rais Kikwete, kwenye taarifa yake kwa vyombo vya habari aliyoitoa kuujulisha umma kujiuzulu kwa Jaji Werema, amemsifia mwanasheria huyo kuwa alikuwa muadilifu na muaminifu, huku wengine wakijiuliza kwani aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Zanzibar kabla ya kuvuliwa wadhifa wake, yeye hakuwahi kuwa muadilifu, yumkini kwa sababu yeye alivuliwa na Rais Shein.

Kwa wenye uzalendo, watetezi wa wanyonge, wenye upeo wa kuona mbali na wasiofungwa na mitazamo ya vyama vya siasa, endapo kama itapigwa kura ya kuamua nani ni shujaa wa walala hoi baina ya Jaji Werema na Othmani Masoud, bila shaka aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud ataibuka kidedea (Will hit the jackpot).

O t h m a n i M a s o u d , j a p o alifukuzwa kazi, lakini machoni mwa wengi bado anaonekana shujaa na historia imeshamuandika katika upande sahihi kuwa miongoni mwa wanadamu waliowahi kutokea hapa duniani wa kutetea maslahi ya wanyonge. Na ifahamike kuwa Mhe. Masoud

Pongezi Othman MasoudJaji Fredrick Werema mmh….

kupinga baadhi yavipengele katika Katiba inayopendekezwa, hakuitetea Zanzibar peke yake ingawa alivipigia kura ya hapana vile vipengele vilivyoonekana kuvinyonga visiwa vya Zanzibar.

Mhe. Masoud ni shujaa kwa pande zote mbili za muungano kwa kuwa Katiba inayopendekezwa i n a l e t a m g o n g a n o k w a pande zote, kwani kuendelea kukukumbatia mfumo wa serikali mbili ni kuendelea kuinyima mamlaka kamili nchi ya Zanzibar, jambo ambalo kwa Zanzibar, wa n a e n d e l e a k u wa t a z a m a wenzao wa Tanganyika kuwa wanawadhulumu hivyo taratibu kuendeleza hali ya kutoaminiana b a i n a ya wa k a z i wa n c h i washirika, jambo ambalo si jema huko tuendako.

K w a u j u m l a v i p e n g e l e al ivyovipinga mheshimiwa Masoud kwa kiasi kikubwa u k i v i a n g a l i a u t a g u n d u a mwanasher ia huyo a l iona mbali kwani alikuwa anasaidia kuziondosha nchi washirika wa muungano wetu, pamoja na mambo mengine, katika mgogoro wa kikatiba unaoletwa na Katiba inayopendekezwa. Mfano, Katiba ya Zanzibar inatamka kwamba Zanzibar ni nchi ambayo eneo la mipaka yake ni lote la visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na

visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Na pia Ibara ya pili ya katiba h iyo ina i tambua Zanzibar kuwa miongoni mwa nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania., jambo ambalo ni kinyume na Katiba inayopendekezwa ambayo katika ibara yake ya kwanza inatamka kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi yenye mamlaka kamili ambayo imetokana na Muungano wa nchi mbili za Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ambazo kabla ya Hati ya Makubaliano ya Muungano ya tarehe 22 Aprili, 1964 zilikuwa nchi huru.

Wa k a t i h u o h u o K a t i b a inayopendekezwa katika ibara yake ya kwanza inatamka kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi yenye mamlaka kamili ambayo imetokana na Muungano wa nchi mbili za Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ambazo kabla ya Hati ya Makubaliano ya Muungano ya tarehe 22 Aprili, 1964 zilikuwa nchi huru, jambo ambalo linaenda kinyume na katiba ya Zanzibar ibara ya pili inaitambua Zanzibar kuwa miongoni mwa

nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Yapo mengi ambayo aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, aliona kama ni mtihani kwa afya ya muungano, ambayo mpaka sasa anatazamwa kama shujaa na mtetea ukweli, na Mungu n i m k u b wa k wa n i k a t i b a inayopendekezwa inapingwa na wengi sasa nasi kwa husuda bali kwa kuwa imeshindwa kuzingatia maoni muhimu ya wananchi walioyataka yawemo kwenye katiba hiyo.

Wakati aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar akijaribu kuondoa mgogoro huo wa kikatiba na utata mwingine, kwa upande wake aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Tanzania bara Jaji Werema alishindwa kuiona hali hiyo na badala yake kuacha wabunge wa chama na serikali yake kusonga mbele na hata yeye mwenyewe kuunga mkono katiba inayopendekewa akasahau kuwa huko tuendako yumkini kukazuka mgogoro huo, kwani haitakuwa rahisi kwa Zanzibar kubadili katiba yake ili iwiane sawa na katiba inayopendekezwa kama itapita hapo mwakani.

Jaji Werema hawezi kuwa shujaa zaidi ya Othmani M a s o u d , k w a n i s a k a t a lilimuondoa yeye halikuwa na maslahi kwa taifa na lilikuwa linazidi kuwaliza Watanzania, ambao hospitali zao za umma hazina dawa, wanafunzi vyuo vikuu hawana mikopo, makali ya maisha yanazidi kung’ata, huku ushauri wake ukidaiwa kuwanufaisha wachache tena kwa kujichotea fedha kinyume na utaratibu.

Na kwa tathmini ya haraka haraka, hata kuporomoka kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni ambapo Katibu wake wa itikadi na uenezi, Nape Nnauye kusema kuwa wamepoteza 12% kwa wapinzani, kwa namna moja ama nyingine kunatokana na sakata la kashfa ya Escrow ambapo Jaji Werema amehusika katika kutoa ushauri wake aliosema umechafua hali ya hewa.

Hivyo si sawa kusema Othmani Masoud hakustahili pongezi na kumuona kama msaliti kwa Zanzibar, bali yeye alisimama kwenye ukweli, kuitetea Zanzibar na kutetea muungano wa haki kwa pande zote mbili za muungano.

(Mwandishi wa makala hii ni mwanafunzi wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Umma (SJMC) ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaamu, simu, 0655418171.)

Page 8: ANNUUR 1157.pdf

8 AN-NUURSAFAR 1436, IJUMAA DES. 26, 2014-JAN. 1, 2015Makala

F E B R U A R I m w a k a 2011, Bunge la Nigeria l i l ipi t isha sheria ya kupambana na ugaidi. Kama ilivyokuwa kwa Kenya juzi , ser ikali ya Nigeria wakati huo ilidai kuwa ni muhimu kupitisha sheria hiyo ili itoe nguvu na uwezo zaidi kwa vyombo vya dola kukomesha ugaidi ili kuleta amani katika nchi. Lakini kama ilivyokuwa Kenya pia, sheria hiyo ililalamikiwa sana kwa sababu ilidaiwa kuweka msingi wa kuvunja haki za kikatiba na haki za binadamu. Chini ya sheria hiyo, maofisa wa polisi na vyombo vingine vya usalama, walipewa m a m l a k a k i s h e r i a ya kukamata watu na kuwaweka ndani bila ya kuwafungulia mashitaka. Aidha, waliweza pia k u k a m a t a m a l i z a watuhumiwa yakiwemo magari na vilivyokuwemo bila ya kuwajibika kuwa na hati ya kisheria ya kupekua au kukamata mali.

K a b l a y a s e r i k a l i ya Goodluck Jonathan k u p e l e k e a m u s wa d a wa sheria hiyo bungeni, kulitangulia mashambulizi ya kigaidi Jos ambapo zaisi ya watu 200 waliuliwa. Hapo tena ndio muswada ukaletwa ikielezwa kuwa hali ilikuwa ya kutisha na ilikuwa ikihitaji sheria kali na kuvipa uwezo mkubwa zaidi vyombo vya usalama.

Pamoja na maelezo na hoja hizo kutoka serikalini, muswada ulikabiliwa na upinzani mkali kutoka kila kona mpaka ndani ya Bunge. Katika hali y a k u t a k a k u p i g a magoti, Rais Jonathana akawabembeleza wabunge kupitisha muswada huo.

Hata hivyo, mara tu baada ya kupit ishwa sher ia h iyo , Niger ia haikupumua. Matukio ya ugaidi unaodaiwa kufanywa na Boko Haram ndio ulipamba moto. Kwa mwaka huo wa 2011, yalifanyika mashambulizi 8 a m b a p o wa t u 1 8 0 waliuliwa. Taarifa moja ya Human Rights Watch inasema kuwa mwaka 2012 Boko Haram waliuwa zaidi ya watu 815 katika matukio 275 ya kigaidi, idadi ambayo ni kubwa kuliko yaliyojiri kwa mwaka 2010 na 2011. Mwaka 2013 waliuliwa watu wasiopungua 423. Na kufika mwaka 2014

Rais Kenyatta anajua nini zaidiwasichojua Wakenya wenzake

Afuata nyayo za Goodluck JonathanAl Shabaab wanaoitesa Kenya ni nani?

Na Omar Msangi

RAIS Goodluck Jonathan wa Nigeria (kulia).

hali ikawa mbaya zaidi, jumla ya watu 2309 hadi sasa wameshauliwa kwa mwaka huu pekee. Hii ni pamoja na lile mashuhuri la kutekwa wasichana 300 wa shule ambapo mpaka sasa pamoja na kelele za “Bring Back Our Girls” ik iwemo misaada ya kikachero na kijeshi kutoka Marekani, Israel na nchi za NATO, bado wasichana hao hawajapatikana.

L i k i n i u k i a c h a kupitishwa kwa sheria hiyo kali, iliwekwa pia mikakati ya kijeshi na kikachero ambapo Nigeria imekuwa ikipata msaada mkubwa kutoka Marekani katika kukabiliana na kitisho hicho cha Boko Haram. Lakini kila uchao ndio hali inakuwa mbaya zaidi kuliko jana yake.

Huo ndio uzoefu wa Nigeria, Yemen, Pakistan, Afghanistan n.k. Leo Rais Uhuru Kenyatta anapokuja na mkakati huu wa sheria za ki-Patriot Act na kuwapa matumaini Wakenya kuwa itasaidia kuondoa tatizo la ugaidi unaodaiwa kufanywa na Al-shabaab, labda angetoa mfano ni nchi gani imefanikiwa kutokomeza ugaidi kwa

kama haya na kuyapatia majibu ya uhakika, Nigeria itaendelea kupigana na boya (bogey man) na kwa hiyo kila mkakati itakaoweka hautasaidia lolote katika kuondoa tatizo.

Kenya ni hivyo hivyo. Yanafanyika matukio, tunaambiwa al-Shabaab wamedai kuhusika. Kama nilivyozungumza katika makala yangu ya wiki iliyopita, suala la msingi hapa sio kuwa kama sheria inayopit ishwa inafaa au haifai. Suala hapa ni kujua uwepo wa hicho kinachoitwa ugaidi katika sura yake halisi. Maswali ya msingi ni je, tunamjua adui tunayepigana naye? Ni adui wa kweli au wa kufikirika? Adui yetu ni nani? Au tunahangaika na boya? Na boya hili katutupia nani na kwa malengo gani? Kwa nini al Shabaab wawe maadui zetu? Je, wana uwezo wa kufanya waliyodaiwa k u f a n y a W e s t g a t e Shopping Mall? Je, ni wao waliovamia basi na kuuwa abiria Wakristo 29? Kwa nini kila ikitokea mauwaji kama hayo inasisitizwa kuwa waliwatenganisha

Wakristo na Waislamu. Wakristo wakaul iwa, Waislamu wakaachiwa? Fitna gani inajengwa hapo?

Kule Iraq walikamatwa makachero wawili wa Uingereza waki l ipua s h a b a h a z a Wa s u n i w a k i j i f a n y a k u w a wao ni wapiganaji wa Kishia. Lakini hata yale yaliyodaiwa mashambulizi ya kuj i toa muhanga, ilikuwa ni makachero wa namna hiyo wanaotegesha mabomu katika gari , linalipuka na kuuwa watu halafu zinasambazwa taarifa katika vyombo vya habari kuwa waliofanya mashambulizi hayo ni m a g a i d i wa k u j i t o a muhanga wa Kishia au Kisuni. Yote hiyo ilikuwa ni katika kutekeleza ule mkakati wa “Salvador Option” ya kupandikiza machafuko na mauwaji ya Wasuni na Washia katika Iraq, ili wasishikamane kukabiliana na mvamizi. (Tazama: From El Salvador to Iraq: Washington's m a n b e h i n d b r u t a l police squads. Tazama pia “Death-squad style massacres For Iraq, "The Salvador Option" Becomes Reality-by Max Fuller)

Al-Shabaab inapambana na jeshi la serikali ya S o m a l i a , a l - S h a b a a b inapambana na AMISOM, al-Shabaab inapambana na majeshi ya Kenya yaliyoko S o m a l i a , a l - S h a b a a b inapigwa na Marekani k u t o k a a n g a n i k wa kutumia Drone. Al Sahaab hii ni jeshi la namna gani la kushindana na nguvu zote hizi? Je, yenyewe inapata wapi silaha na uwezo wa kukabiliana na nguvu zote hizo?

Akizungumzia juu ya utata katika hii inayoitwa Vita dhidi ya Ugaidi, Michel Chossudovsky ameandika makala akihoji ni nani Abu Musab Al-Zarqawi.

Katika utangulizi wa makala na uchambuzi wake huo, alikuwa na haya ya kusema:

“MIFUMO ya kijasusi ya Marekani imeunda asasi zake za ugaidi. Na wakati huo huo, inaunda tahadhari zake kuhusu ugaidi kutokea kuhusu m a k u n d i ya k i g a i d i a m b a y o i m e y a u n d a y e n y e w e . K w a n j i a hiyo, imesuka mpango wa mabilioni ya dola za Marekani wa kupambana na ugaidi, 'kuzifuata' asasi hizo za ugaidi.

P r o p a g a n d a y a

Inaendelea Uk. 12

kuweka sher ia kama hizo pamoja na kuwa na vikosi maalum vya kutesa, kuuwa na kupoteza watu.

T o k a w a l i k u w a w a k i o n e k a n a k a m a vijana hamnazo tu wa mtaani wanaopiga porojo ambapo ‘difenda’ moja tu ya ‘FFU’ wenye mabomu ya kutoa machozi ilitosha kuwasambaratisha, hivi sasa tunaambiwa Boko Haram wana mpaka silaha za kutungulia ndege na magari ya kisasa ya kijeshi. Mara kadhaa serikali ya Niger ia imekuwa ikiilalamikia Marekani kuwa haiwapi silaha za kisasa zikiwemo helkopta za kijeshi ili kupambana na Boko Haram!

Katika mazingira kama haya, suala la kwanza la msingi na muhimu ilikuwa kumjua huyu Boko Haram ni nani? Silaha na wapiganaji anawapata wapi? Je, haya matukio yanayodaiwa kufanywa na Boko Haram ambapo watu wasio na hatia, wanauliwa, ni kweli yanafanywa na huyu Abubakar Shekau na watu wake? Na huyu Shekau ni nani na nani anamfadhili?

Bila kujiuliza maswali

Page 9: ANNUUR 1157.pdf

9 AN-NUURSAFAR 1436, IJUMAA DES. 26, 2014-JAN. 1, 2015Makala

Inaendelea Uk. 11

M I F U M O ya k i j a s u s i ya Marekani imeunda asasi zake za ugaidi. Na wakati huo huo, inaunda tahadhari zake kuhusu ugaidi kutokea kuhusu makundi ya kigaidi ambayo imeyaunda yenyewe. Kwa njia hiyo, imesuka mpango wa mabilioni ya dola za Marekani wa kupambana na ugaidi, 'kuzifuata' asasi hizo za ugaidi.

P r o p a g a n d a y a kupambana na ugaidi na ile ya vita vinaendana. Mifumo ya propaganda inaingiza habari katika mtiririko wa habari. Tahadhari za ugaidi inabidi zionekane ni tishio halisi. Lengo ni kuyaonyesha makundi hayo ya ugaidi kama 'maadui wa Marekani.'

Lengo la msingi ni kuinua hamasa katika jamii kuunga mkono agenda pana ya vita ya Marekani.

'Vita dhidi ya ugaidi' inahitaji uhalalishaji wa kuwasaidia watu walio taabani, vita dhidi ya ugaidi inaonyeshwa kuwa ni ya haki, ambayo inapiganwa kwa misingi ya maadili kurekebisha uovu uliotokea.

Nadharia ya Vita ya Haki inatoa maelezo ya lipi 'jema' na lipi 'baya.' Inawadhihirisha na kuwaundia taswira viongozi wa ugaidi kama 'watu waovu.'

Wadadisi na wachambuzi

‘Mbunifu Mkuu mpya wa ugaidi' wa Jeshi la MarekaniAbu Musab al-Zarqawi ni nani?Na Michel Chossudovsky,

June 11, 2004

kadhaa wanaopinga vita nchini Marekani, ambao wa m e k u wa wa k i p i n g a kwa dhati mwelekeo wa utawala wa Bush, hata hivyo wanaunga mkono nadharia ya Vita ya Haki.

"Tunapinga vita vya aina zote lakini tunaunga mkono kampeni dhidi ya ugaidi wa kimataifa."

Ili kufikia malengo yake ya sera za nchi za nje, matukio ya ugaidi inabidi yabaki kat ika h is ia za

wananchi, ambao daima wanakumbushwa kuhusu tishio la ugaidi. Kampeni ya propaganda inatoa picha za viongozi walio nyuma ya mitandao ya kigaidi. Kwa maneno mengine, katika ngazi ya kile kinachofanana n a k a m p e n i ya k u t o a 'matangazo ya biashara,' inatengeneza uso kamili wa ugaidi. "Vita dhidi ya ugaidi inategemea kuundwa kwa mmoja au zaidi ya watu waovu-pandikizi, viongozi

wa ugaidi, Osama bin Laden, Abu Musab al Zarqawi, na wengine, ambao majina yao na picha yanatolewa kila uchwao katika taarifa za habari.

Abu Musab al-Zarqawi a n a o n y e s h w a k w a watazamaji kote duniani kama mbunifu mkuu wa u g a i d i a n a ye c h i p u k i a , anayempa kivuli 'adui mkuu' Osama bin Laden. Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imeongeza dau la kukamatwa kwake kutoka dola milioni 10 hadi dola milioni 25, ambayo inaonyesha kuwa 'thamani yake sokoni' ni sawa na ile ya Osama. Cha kushangaza ni kuwa Al Zarqawi hayuko kat ika orodha ya watu wanaotafutwa sana na shirika la upelelezi la Marekani, FBI.

Uhusiano wa Al Zarqawi na Al Qaeda

Al Zarqawi mara nyingi anatajwa kama 'mshirika wa Osama,' mlundikiwa tuhuma anayedaiwa kuhusika na mashambulizi mengi ya kigaidi katika nchi kadhaa. Katika taarifa nyingine, mara nyingi kutoka kwa vianzio v i le v i le , inasemekana kuwa hana uhusiano na Al Qaeda na anafanya mambo yake kama mtu huru. Mara nyingine anaonyeshwa kama mtu anayewania uongozi wa Al Qaeda kushindana na bin

Laden.Jina lake linazuka mara

nyingi tu katika taarifa za habari na za kiserikali. Tangu mwanzo wa mwaka 2004, yuko katika habari takriban kila siku.

Osama anatoka familia yenye nguvu ya bin Laden, a m b a y o k i h i s t o r i a i n a uhusiano wa kibiashara na ukoo wa Bush na wanachama w e n g i n e w a a s a s i z a uchumbaji mafuta jimbo la Texas. Bin Laden alirubuniwa na CIA wakati wa vita vya Urusi na Afghanistan n a k u p i g a n a k a m a mujahidina. Kwa maneno mengine, kuna historia ndefu iliyohakikishwa ya mahusiano kati ya bin Laden na CIA na mahusiano ya kifamilia kati ya bin Laden na Bush.

Tofauti na bin Laden, Al Zarqawi hana historia ya ki famil ia . Anatokea katika familia maskini ya ki-Palestina nchini Jordan. Wazazi wake wamefariki. Anatokea hivi hivi tu . Anatakwa na CIA kama 'mbweha mpweke,' ambaye anapanga vitendo nje kabisa ya mtandao wa Al Qaeda. Hata hivyo la kushangaza ni kuwa 'mbweha mpweke' huyu anaonekana katika nchi kadhaa, nchini Irak ambayo sasa ndiyo maskani yake, lakini pia katika Ulaya Magharibi. Pia anatuhumiwa kupanga shambulizi la kigaidi katika ardhi ya

MARA nyingi gazeti la An-nuur, limekuwa likiandika makala mbalimbali za kuutahadharisha umma wa Kiislamu juu ya wimbi l a j i h a d f e k i n a m n a lilivyoanzishwa, na namna ambavyo l imewaathir i Waislamu kutoka maeneo mbalimbali ulimwenguni.

Pamoja na jitihada hizo katika kuwafungua macho Waislamu, lakini bado baadhi ya watu katika jamii ya Kiislamu imekuwa ikipinga na hata wakati mwingine kuja na kauli za kashfa, vitisho na matusi.

Mnamo tarehe 21 mwezi Desemba 2014, bwana mmoja mara baada ya swala ya Adhuhur Katika Msikiti wa wilaya ya Songea, alisimama na kutoa mawaidha juu ya jihad mkononi mwake akiwa ameshika gazeti la An-nuur lenye matukio mbalimbali, moja likiwemo lile tukio la Ustadh aliyefanyiwa vitendo vya kudhalilisha na polisi mpaka akafanyiwa upasuaji katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Alidai kuwa Masheikh na Waislamu katika Tanzania, ni madhalili kwani hawana uwezo wa kuthubutu kumiliki silaha ilhali Maaskofu wao

Achangisha fedha za kununulia silaha kupigana Somalia, Syria

Apata shilingi 55,000 Songea mjinikila mmoja anatembea na silaha na hafanywi kitu chochote na serikali.

“Tatizo letu Waislamu ni uwoga”, alisisitiza bwana huyo.

Mtu huyo aliyejitambulisha kwa jina la Abdallah Kesi, aliwataka Waislamu kushika silaha ili kuondosha dhuluma. Pia aliwaasa kuwa endapo mtu yeyote atakuwa tayari kuungana na yeye kwenda kupigana jihad Somalia au ISIS Syria, amuone yeye na atamuelekeza namna ya kufika bila kukamatwa na askari mipakani. Mwisho wa mazungumzo yake aliwataka Waislamu kufanya harambee ya kuchangia ununuzi wa tasbihi.

“ M n a z i j u a t a s b i h ? ” Al iu l iza . Kisha a l i j ibu akasema ni risasi na bunduki.

K a t i k a M s i k i t i w a Manispaa ya Songea alipata

m c h a n g o wa k u n u n u a ‘tasbihi’ kiasi cha shillingi 55,000 na hivyo ndivyo alivyofanya katika Misikiti yote aliyozungumza hapa Songea na mikoa mingine kwa mujibu wa maelezo yake.

Alichukua mawasiliano ya wale wote waliokuwa tayari kwenda j ihad na kuwaahidi kuwa, anakwenda katika wilaya ya Tunduru lakini wanatakiwa kufanya maandalizi ya kwenda jihad. Moja katika maandalizi hayo ni kucheza karate Misikitini.

Yapo maswali mengi a m b a y o Wa i s l a m u n a pengine vijana ambao tayari wamekwisha tumbukia katika jahazi hilo la kwenda jihad tunapaswa kujiuliza na kupata majibu stahiki.

Kwanza je, tunajua kuwa serikali yetu kwa sasa ipo katika mapambano makubwa

dhidi ya ugaidi na uchochezi wa aina yoyote utakaopelekea uvunjifu wa amani, vipi mtu kama huyu anayehamasisha watu na kuchangisha fedha kununua silaha kinyume cha sheria na taratibu za nchi, akavuka mikoa kadhaa pasi hata na kukamatwa na polisi?

Je, vijana tunamjua na tuna uhakika kiasi gani kuwa yeye anawajua al Shabaab na anayo mawasiliano yao? Aliyapataje? Yeye anawajua vipi ISIS na ni kwa njia zipi atawapitisha bila kupitia njia na taratibu za kinchi za kiuhamiaji? Inakuwaje mtu azungumze maneno mazito kama haya na serikali ya wilaya, mkoa na taifa ipo, lakini anatamba kuwa anazunguka nchi nzima bila ya hofu? Nani anamlinda? Au ndio mchezo ule ule waliochezewa watu kule Kagera wa kuwasakazia

watu wajisajili kwenda jihadi na yeye muhamasishaji a n a k w e n d a k u a n d a a m a z i n g i r a n a a t a k u j a kuwachukua, kumbe ndio ikawa sababu ya kukamatwa vijana walioitwa kuwa ni magaidi ambao walijisajili kwenda j ihad Somalia? Lakini hata kama ndio tumepumbazwa na mvuto wa ‘Jihad Feki’, hatufikirii na kujiuliza, tuna uhakika gani kwamba mtu huyo fedha hizo anakwenda kununulia silaha? Asiporudi, tutampata wapi kudai pesa zetu? Hivi ndio imekuwa Muislamu a n a y e i n g i a M s i k i t i n i kuswali ndio awe mjinga wa kutapeliwa kirahisi kiasi hiki! Inasikitisha!

Mwisho naomba kuwaasa Waislamu kuwa historia k we t u s i s i Wa i s l a m u , ingawaje ni muhimu sana, lakini tumeifanya kama simulizi za kale pasi na kuchukua mafunzo yoyote. Yapo maeneo mbalimbali ambayo matukio mfano wake yametokea na mwisho wake umekuwa ni mbaya kwa wale walioingia kwenye mtego.

Tusiwe wajinga kiasi cha kushindwa kupambanua mambo ambayo yako wazi kiasi hiki.

Abu Musab al Zarqawi.

Page 10: ANNUUR 1157.pdf

10 AN-NUURSAFAR 1436, IJUMAA DES. 26, 2014-JAN. 1, 2015Makala

WAKATI tukiwa ndani ya mwezi wa uzawa wa Mtume SAAW tukikumbuka uzawa wake ni muhimu kuangalia, wasfu, haiba, dhati na shakhsiya ya Mtume SAAW kwa uadilifu na kwa ukamilifu wake. Kwa kuwa kumfuata Mtume ni jambo la wajibu kwetu basi ni wajibu pia kuelewa kwa kina dhati au shakhsiya ya Mtume wetu SAAW ipasavyo.

Wasfu, haiba/dhati au shakhsiya ( p e r s o n a l i t y ) ya k i l a m t u ulimwenguni akiwemo Mtume SAAW hujengeka juu ya mambo mawil i makubwa: Kwanza, hujengwa juu ya aqlia ya mtu husika . Maana ya aqlia (mentality) ni ile aina ya ufahamu anaoubeba mtu, mtazamo jumla alionao, au hukmu anayoitoa kwa mambo mbali mbali yaliyomzunguuka katika mazingira yake. Kwa mfano, lau mtu anaona watu wawili wanagombana kwa sababu ya chupa ya ulevi, ambayo mmoja wao aliichukuwa kutoka kwa mlevi mwenzake bila ya idhini, katika hali kama hiyo endapo Muislamu atatoa hukmu kwamba ugomvi huo ni batil, kwa kuwa kinachogombaniwa ni ulevi ambao ni haramu Hapo Muislamu huyu huwa kaja na aqlia sahihi ya

Wasifu wa Mtume (saw) kwa ukamilifu wakeNa Masoud Msellem

SHEIKH Msellem

Kiislamu. Lakini lau Muislamu ataseme kwamba aliyechukua chupa ya ulevi kwa mwenzake kwanza alipaswa kuomba idhini ya mwenzake, kwa kuwa si milki yake, hapo Muislamu huwa hakubeba aqlia ya Kiislamu katika qadhia hii.

Kitu cha pili katika shakhsia na wasfu wa mwanaadamu ni nafsiyah ya mtu husika. Nafsiyah

ni namna mtu anavyotenda matendo yake ya kila siku kwa mujibu wa aqlia aliyoibeba.

Kwa hivyo, ikiwa aqlia ya mtu inamuelekeza kwamba ulevi ni haramu, na akaacha kulewa, hapo mtu huyu huwa kabeba aqlia ya Kiislamu kwa kukubali kwamba ulevi ni haramu, na pia kabeba nafsia ya kiislamu kwa jambo hilo kwa kujiepusha na ulevi.

Amma sura ya nje ya mtu katika mavazi na mengineyo hayo kamwe hayazingatiwi kuwa ni sehemu ya shakhsiyah ya mtu kama wanavyodhani baadhi ya watu. Kiasi cha baadhi yao kunadi wanapomuaona mtu kavalia vizuri kwamba ‘jamaa ana shakhsiyah ya hali ya juu (personality). Tunasema sura ya nje kamwe haizangatiwi wala si kigezo cha kufahamu dhati na haiba ya mwanaadamu. Na vigezo vya kuielewa haiba ya mwanadamu havivuki zaidi ya mambo mawili tuliyoyataja, yaani aqlia na nafsia ya mtu. Aidha, ikumbukwe kwamba shakhsiya ya mwanaadamu ndio thamani yake yote. Na kimsingi hiki ndicho kitu kinachomtafautisha mtu mmoja kwa nmtu mwengine.

M t u m e S A AW a l i k u j a kutuonesha aina maalum ya shakhsia yake iliyofinyangwa kwa aqlia na nafsiyah ya Kiislamu, na alifanya kazi kuwajenga Waislamu

wawe wamebeba shakhsiya hiyo tukufu.

Shakhsiya aliyoijenga Mtume SAAW na kushikamana nayo ilikuwa juu ya msingi mmoja tu wa kauli mbiu ya ‘La ilaha ila llah Muhamada-Rasululah’ i l iyoambatana na kufuata sheria zote za Kiislamu. Kamwe Mtume SAAW hakuwahi kuleta mgongano baina ya aqlia na nafsia yake. Yaani, hakuwahi kutenda kinyume na ufahamu alioubeba juu ya jambo fulani. Na wala hakuifanya aqlia aliyoibeba kuwa ni nadharia tu isiyokuwa na vitendo (nafsiyah) .

Yeye alitandika aqliya ya Kiislamu kutoka kwa Mola wake na kuifanyia kazi kivitendo katika mambo yote, na akauwajibisha Umma wake kuigiza shakhsia hiyo kwa kushikamana na sheria zote za Kiislamu: Anasema Mtume SAAW:”Haamini kikweli mmoja wenu mpaka matamanio yake yafuate nilichokuja nacho mimi”.

Kwa hivyo, kumkumbuka Mtume SAAW na kumtukuza haiba yake kusifungike tu kutaja sifa zake kwa mdomo, bali kudhihirike kwa kujifunga na aqlia na nafsiaya yake tukufu ambayo haijawahi kutokea mfano wake na ambayo haikuwahi hata mara moja kuathiriwa na fikra chafu za kikafiri.

Kuamini Mitume ni nguzo miongoni mwa nguzo za imani

N a D k . A b d a l l a h Daruwesh.

SHUKURANI zote anastahiki Mwenyezi Mungu, Mola mlezi wa ulimwengu na rehma na amani zimfikie Nabii wetu Muhammad (saw) mwisho wa Mitume na ndugu zake wote miongoni mwa Manabii na Mitume.

Ama baada ya utangulizi huu mfupi:

Miongoni mwa uzuri wa dini yetu tukufu na ni sifa za pekee ambazo tunajivunia. Tunamshukuru na kumsifu Mwenyezi mungu kwa hilo, nalo ni kule kuweka miongoni mwa nguzo za Uislamu za imani ambazo hazitimii wala haikamiliki isipokuwa kwa kuamini Mitume yote, nako ni kuamini Mitume ya Mwenyezi Mungu ambao amewaleta Mola

mlezi wa ulimwengu wa viumbe wake, tangu wa mwanzo wa adamu hadi Mtume Muhamad.

Mtume wa mwisho na ni Nabii wa mwisho. Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu (Ameamini Mtume kwa yale aliyoteremshiwa kwake toka kwa Mola wake mlezi na waumini wote wanaoamini Mwenyezi Mungu na Malaika wake na vitabu vyake na Mitume yake. Hatumbagui hata mmoja miongoni mwa Mitume yake…)

al- Bakarat, aya ya (285).Na umetuamrisha Uis lamu

kutangaza hivyo kwa Dunia nzima akazema Mwenyezi Mungu (Semeni tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale yaliyoteremshwa kwetu na yale yaliyoteremshwa kwa Ibrahimu na Ismail na Is’haka na Yakubu na asbatwi na yale aliyopewa Musa na Issa na yale waliopewa Mitume wengine toka kwa Mola wao mlezi.

Hatubagui hata mmoja miongoni mwao na sisi kwake ni wanyenyekevu Waislamu (Al-bakarat aya ya 136) na hukumu ya Uislamu kwa yule atakaye mkanusha Mtume mmoja tu, miongoni mwa Mitume na akakataa kufanya toba hivyo huhukumiwa kuwa ni kafiri na mkanushaji. Amesema Mwenyezi Mungu mtukufu (Wamekanusha watu wa Nuhu Mitume yao Shuarau (105) amesema tena (wamekanusha watu waadi Mitume) Shuarai aya ya 123) pamoja na kuwa kila watu waliwakanusha Mitume yao tu.

Pamoja na hayo wakahukumiwa

kuwa wanawakadhibisha Mitume wote kwani hii ni kuonyesha kuwa ujumbe wa Mitume wote ni mmoja. Wote wamekuja kulingania katika njia ya Mwenyezi Mungu na kumuabudu. Amesema Mwenyezi Mungu ((Na hatujamtuma kabla yako miongoni mwa Mtume isipokuwa tulimletea ufunuo kwamba hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa mimi . Hivyo niabuduni)) Surat Anbiyai aya ya (25) kila Mtume huja ili kukamilisha yale aliyokuja mwenzie aliyepita kabla yake na humuamini kwa yale aliyoyaeleza na kuyasahihisha yale walioyaharibu watu katika ujumbe wake bali hubashiri juu ya Mtume atakayekuja baada yake.

Kama alivyombashiria Nabii Issa Bin Mariam, Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa kumbashiria ujio wa Mtume Muhamad ambaye ni Mtume wa mwisho na ni Nabii wa mwisho.

Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu (Hebu kumbuka pale aliposema Issa bin Mariam, enyi watoto wa Israil, mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu na kuyasadikisha kwa yale yaliyo mbele yangu miongoni mwa Taurati na ni mwenye kubashiri kwa Mtume atakuja baada yangu jina lake Ahmad… Surat Swaf (7) na kwa yakini amefananisha Mtume Muhamad (s.a.w) mahusiano ya Mitume baadhi yao na wengine na mahusiano yao pale aliposema (Mfano wangu mimi na Mitume iliyopita kabla yangu ni mfano wa mtu

aliyejenga nyumba na akaipamba na kuipendezesha isipokuwa sehemu ya tofali moja pembezoni miongoni mwa pembe zake, wakawa watu wanakuja kulitazama na wanapendezwa nalo na wanasema, laiti lingaliwekwa tofali hilo, na mimi ni hilo tofali na mimi ni Mtume wa mwisho.

Na muumini anaamini juu ya umoja wa ujumbe wa Mitume na wote hao, Imani yao ni moja, nao ni kumpwekesha Mungu mmoja na kuamini siku ya mwisho. Pia anawajibika kujua kuwa sheria za Mitume huwenda zikatofautiana baadhi za hukumu na haya, ndio aliyoyasema Mtume (s.a.w) kwa neno lake (Mitume ni ndugu mama tofauti lakini dini yao ni moja), Kwa maana ya Imani yao ni moja pamoja na kutofautiana baadhi ya sheria kati yao.

Hivyo basi, pale anaposilimu hapana budi kuamini Mitume yote na kuwaheshimu na kujua haki zao kwake na ajue mahusiano kati ya Mtume na Mwenyezi Mungu sio mahusiano ya kiadui au chuki bali ni mahusiano ya mapenzi na kukamilisha na kuaminiana. Hii ndio Dini yetu ambayo imekusanya k i l a u j u m b e k a t i k a u j u m b e wake. Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa neema ya imani na tunamshukuru Mwenyezi Mungu ambaye ametuongoa kwa hili na hatukuwa wenye kuongoka kama si uongoaji wa Mwenyezi Mungu.

Page 11: ANNUUR 1157.pdf

11 AN-NUURSAFAR 1436, IJUMAA DES. 26, 2014-JAN. 1, 2015Makala/Tangazo

‘Mbunifu Mkuu mpya wa ugaidi' wa Jeshi la MarekaniInatoka Uk. 9Marekani. Anaonekana kuwa katika sehemu kadhaa kwa wakati mmoja. Anaelezwa kuwa ndiye 'adui wa kwanza wa Marekani,' 'bingwa wa kubadilisha muonekano wake na kubeba vitambulisho feki.' Tunahimizwa kuamini kuwa 'mbweha mpweke' huyu anafaulu kuyapiga chenga mashirika ya ujasusi y a M a r e k a n i a m b a y o yamesheheni wapelelezi hodari.

Kwa mujibu wa gazeti l a We e k l y S t a n d a r d - ambalo linaaminika kuwa na uhusiano wa karibu na 'wahafidhina mamboleo' katika utawala wa Bush –(kwa mara ya kwanza makala hii iliandikwa wakati Bush bado yupo madarakani kama Rais wa Marekani. Inarejewa sasa kwa umuhimu wake.), "Abu Musab al-Zarqawi ni moto hivi sasa. Alisimamia siyo tu kuuawa kwa Berg lakini pia shambulio lililoua watu wengi jijini Madrid hapo Machi 11, kulipuliwa kwa wa-Shia waliokuwa wanasali nchini Irak mwezi huo huo, na shambulio la Aprili 24 la kujitoa mhanga katika bandari ya Basra

(eneo la wa-Shia kusini ya Irak). Ila si mgeni katika mipango ya mauaji. Mapema kabisa kabla ya 9/11, alikuwa ameshatayarisha mpango wa kuwaua watal i i wa Israel na Marekani nchini Jordan. Nembo yake iko katika makundi ya kigaidi na mashambulio katika mabara manne."

(Inatoka katika Weekly Standard, Mei 24, 2004)

Kuimarika kwa Al Zarqawi "kunainua changamoto kwa uongozi wa bin Laden wa jihad ya kimataifa."

Nchini Irak, anasemekana amepania "kuanzisha vita ya jumuia kat i ya wa-Sunni na wa-Shia." Lakini, kwani si hilo ndiyo lengo la ujasusi wa Marekani (kugawa na kutawala ) ambayo inathibitishwa na wachambuzi kadhaa wa vita (ya uvamizi wa Irak) inayoongozwa na Marekani? Ni kupiganisha kundi moja na jingine ili kudhoofisha upinzani kwa uvamizi huo, kwa mfano katika uchambuzi wa Michael Collon kwenye mtandao wa Global Research.

Shirika la ujasusi la CIA, lenye bajeti ya zaidi ya dola bilioni 30 kwa mwaka,

linasema halijui chochote" wanasema hawajui chochote kuhusu mtu huyu, wana picha yake, ila kwa mujibu wa Weekly Standard ya Mei 24, 2004, inaelekea hawajui nini urefu wake au uzito.

Kuna wingu la sintofahamu linalomzunguka mtu huyu ambalo ni sehemu ya mikakati ya propaganda. Zarqawi anasemekana ni "msiri kiasi kwamba hata baadhi ya watu wanaoshirikiana naye hawamfahamu ni nani."

Mpangilio unaoeleweka

N i n i h a s a n a f a s i ya mbunifu mkuu mpya katika kampeni za kueneza uzushi za makao makuu ya Jeshi la Marekani, Pentagon, ambako shirika la utangazaji la CNN linaonekana kuchukua nafasi muhimu?

Katika jitihada za kuinua vigezo vya propaganda, CIA ilikodisha kampuni za kujipendezesha katika vyombo vya habari kupitisha uzushi, ikiwa ni pamoja na kundi la Rendon. Hawa walishirikiana kwa karibu na mbia wa Uingereza Hill and Knowlton, ambayo ilihusika na kashfa ya uzushi kuhusu vyumba-joto (incubator )

v y a K u w a i t a m b a k o ilisemekana vichanga vya Kuwait vilitolewa katika vyumba joto na askari wa jeshi la Irak lililovamia nchi hiyo, vikatupwa sakafuni na kuachwa kufa kwa baridi. Habari hiyo ya kutungwa kabisa ilitumika kupata ridhaa ya Bunge la Marekani kuingia katika vita vya Ghuba vya mwaka 1991.

Nini mpangilio huo?

Ta k r i b a n m u d a h u o huo baada ya shambulio la kigaidi au tahadhari ya uwezekano wa shambulio, CNN inatangaza kimsingi kuwa tunadhani huyu mtu asiyejulikana vyema Abu Musab al-Zarqawi anahusika, na kila wakati bila kutoa ushahidi na kabla haujafanyika uchunguzi wowote wa polisi na vyombo vya kijasusi. Katika baadhi ya matukio, pale shambulio linapotokea, kuna taarifa ya awali ambayo inamtaja Al Zarqawi kama anadhaniwa ndiye mpangaji. Taarifa itasema kimsingi: ndiyo,

tunadhani alifanya, lakini bado haijathibitishwa na bado kuna wasiwasi kuhusu wahusika wa shambulio hilo. Siku moja au mbili baadaye, CIA inaweza kujitokeza na taarifa kamili, ikinukuu vyanzo vya polisi, jeshi au vya kijasusi, kuthibitisha taarifa ya awali.

Mara nyingi tu taarifa ya C N N i n a t o k a n a n a habari zilizotolewa katika kurasa za mitandao za K i i s l a m u a u k u t o l e wa kwa mkanda au mkanda wa picha usiojulikana nani ameutengeneza. Usahihi wa mitandao au mikanda hiyo siyo suala la kujadiliwa hapa au la kufanyiwa uchunguzi wa kina.

Ikumbukwe kwamba taarifa hizo hata siku moja hazitaji kuwa Al Qaeda ni kifaa kilichotengenezwa na CIA na kuwa Al Zarqawi a l i r u b u n i w a k a t i k a mapambano wakati wa vita ya Urusi nchini Afghanistan. (Taarifa hizi zilithibitishwa na Waziri wa Mambo ya Nje Colin Powell katika maelezo yake mbele ya Baraza la Usalama la Umoja

Inaendelea Uk. 15

ABDULRAHMAN AL –SUMAIT MEMORIAL UNIVERSITY-ZANZIBAR.(SUMAIT University)

(FORMERLY, UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION-ZANZIBAR)

14TH GRADUATION The Vice Chancellor of SUMAIT University - Zanzibar invites all graduands of the academic year 2013/2014

to the 14th Graduation. The Ceremony will be held on Wednesday 14th January 2015 at the SUMAIT University premises - Chukwani. The Minister for Education and Vocational Training, Honourable ALI JUMA SHAMUHUNA will be the Guest of Honour.

All graduands are required to confirm their participation to the Academic Office not later than Friday 2nd January 2015. Graduands are reminded to pay Tzs. 10,000/= (non-refundable) before Monday 12th January 2015 for graduation gowns.

Please note that travel, meals and boarding expenses will be met by the graduands themselves. All graduands are requested to report at the University by 3.00 pm on Tuesday 13th January 2015 for rehearsal and logistical briefings. Graduands who will not participate in rehearsal will not be allowed to take part in the event.

For more information please contact SUMAIT University at the following address:The Academic Office,

SUMAIT University – ZanzibarP.O. Box: 1933 Zanzibar.

Tel: +255242234102Email: [email protected]; Website: www. ucez.ac.tz

Page 12: ANNUUR 1157.pdf

12 AN-NUURSAFAR 1436, IJUMAA DES. 26, 2014-JAN. 1, 201512 MAKALA

“Boxing day nzuri”, kutwa kucha kila kona,Vyombo 'vyetu' vya habari, kuinadi vyakazana, Kwa tashwishi ya ghururi, kuipa sura mwanana, Si yako haikuhusu, haifai kushiriki !Kuna tumbi vyatughuri, kwayo siku tena sana, Kwa lugha ya uayari, na ya macho kufumbana, Kuipa umashuhuri, lengo ipate kufana,Asili yake ni nini, siku hii jiulize !Pasipo kutafakari, wengi navyo twaungana,Si nisai si rijari, wazee pamwe vijana,Kwa Arafa utitiri, za simu kutumiana,Muasisiwe yu nani, siku hii jiulize !Zawadi kwanza nikiri, si haramu kupeana,Halali pamwe vizuri, vinojuzu kupeana, Taamu au dinari, mfano vya kupeana, Iliasisiwa lini, siku hii jiulize !Si kwa wangu uhitari, kwazo sifa nilonena,Mia sitini nambari, na nane utaziona,BAQARA 'ukivinjari', zimedokezwa bayana,Malengoye hasa nini, siku hii jiulize !Zawadi tangu dahari, si leo wala si jana,Batini na kwa dhahiri, unasu walipeana,Si kwa noeli kujiri, au kuzaliwa 'BWANA',Yafungamana na nini, siku hii jiulize !Kwa wenye njema nadhari, aula kukumbushana,Mambo kuyatafakari, kwa marefu na mapana,Pamwe kuyatadabari, si 'dogma' kulishana,Walengwa wake ni nani, siku hii jiulize !Akhui yatafakari, maswali hayo kwa kina, Kwa bongo ya tabasuri, ukweli utauona, Kwa kuimaizi siri, mwake ilofichikana,Si yako, haikuhusu, haifai kushiriki !

ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

'BOXING DAY' SI YAKO !N D U G U M h a r i r i w a g a z e t i l e t u tunalolipenda la An-nuur, naomba nami unipatie nafasi katika gazeti lako tukufu nitoe langu neno kuwaambia wanafunzi wa Kiislam.

W a n a f u n z i w a Kiislamu wanatakiwa k u v a a m a v a z i yaliyoidhinishwa na waraka wa HIJABU mashuleni, ili kuendana na sheria za Kiislamu na kufanya ibada wawapo shuleni na hata nje ya shule.

Mimi kama mzazi wao nawakumbusha kuvaa mavazi yanayotakiwa au yanayoruhusiwa na wizara kupitia waraka wake wa wizara ya elimu. Wanaume wanatakiwa

Ukumbusho wa maadili kwa wanafunzi wotekuvaa suruali ambazo sio mlegezo, ziwe pana miguuni, shati ziwe ndefu na pana na awe na daftari la kuandikia somo la Dini na kulitilia mkazo kama masomo mengine.

Ukumbusho wangu k w a u p a n d e w a wasichana, wanatakiwa wavae sketi au suruali ndefu mpaka miguuni na shati la mikono mirefu au nusu kanzu ndefu na wala isiyobana kulingana na sare ya s h u l e a n a y o s o m a n a m a j u b a m e u p e yanayofika katika fundo za mikono sio yale yanayoishia shingoni au kifuani.

Kwa upande wa shule ya msingi, wavulana

wanatakiwa wavae kaptula inayovuka magoti na shati liwe refu kuvuka kiuno na liwe pana. Kwa upande wa wasichana sketi ndefu na shati pana lisilo bana ili hata kama ikifika m u d a wa k we n d a kuswali , iwe rahisi kwenda kutekeleza ibada hiyo kwa urahisi.

Kuanzaia darasa la tatu mpaka darasa la saba mwanafunzi a n a t a k i wa a we n a daftari la somo la dini, ili aweze kuandika na kujifunza kwa urahisi kuandika na kusoma.

M z e e M i k i d a d i

Khalfani Mzee wa maadili

mashuleni.

Rais Kenyatta anajua nini zaidiwasichojua Wakenya wenzake

Inatoka Uk. 8kupambana na ugaidi na ile ya vita vinaendana. Mifumo ya propaganda inaingiza habari katika mtiririko wa habari. Tahadhari za ugaidi inabidi zionekane ni tishio halisi. Lengo ni kuyaonyesha makundi hayo ya ugaidi kama 'maadui wa Marekani.'

Lengo la msingi ni kuinua hamasa katika jamii kuunga mkono agenda pana ya vita ya Marekani. 'Vita dhidi ya ugaidi' inahitaji uhalalishaji wa kuwasaidia watu walio taabani, vita dhidi ya ugaidi inaonyeshwa kuwa ni ya haki, ambayo inapiganwa kwa misingi ya maadili kurekebisha uovu uliotokea.

Nadharia ya Vita ya Haki inatoa maelezo ya lipi 'jema' na lipi 'baya.' Inawadhihirisha na kuwaundia taswira viongozi wa ugaidi kama 'watu waovu.'

Ili kufikia malengo yake ya sera za nchi za nje, matukio ya ugaidi inabidi yabaki kat ika his ia za wananchi, ambao daima wanakumbushwa kuhusu tishio la ugaidi. Kampeni ya propaganda inatoa picha za viongozi walio nyuma ya mitandao ya kigaidi. Kwa maneno mengine, katika ngazi ya kile kinachofanana n a k a m p e n i ya k u t o a 'matangazo ya biashara,' inatengeneza uso kamili wa ugaidi. "Vita dhidi ya ugaidi inategemea kuundwa kwa

mmoja au zaidi ya watu waovu-pandikizi, viongozi wa ugaidi, Osama bin Laden, Abu Musab al Zarqawi, na wengine, ambao majina yao na picha yanatolewa kila uchwao katika taarifa za habari.”

Akizungumzia hali ya mauwaji yanayoendelea baina ya Wasuni na Washia, mwandishi Marx Fuller anasema maadhali Iraq washaundiwa majinamizi ‘bogeymen’ kama Usama,

Zarqawi , a l Qa ida na watu kama hao, watabaki wakidhani kuwa adui ya o n i m a b o ya h a y o , kumbe wanaowalipua ni watu wengine kabisa ili kupandikiza machafuko.

Na tunaambiwa kuwa baada ya mkakati huo kufanikiwa, Iraq wakawa wanal ipuana wenyewe kwa wenyewe, wakakosa n g u v u ya k u p a m b a n a na adui mvamizi, ikawa s a s a m a k a m p u n i y a

mafuta yanavuna mafuta yanavyotaka bila sheria wala utaratibu unaoeleweka wa kibiashara.

Lakini zaidi tunaambiwa kuwa nchi hiyo imewekewa mikakati ya kubaki katika utumwa daima dumu. Moja ya mikakati hiyo tunambiwa kuwa ni kuwekewa sheria i n a y o z u i ya wa k u l i m a kutumia mbegu zao za asili. Wanatakiwa kununua mbegu kutoka makampuni ya mbegu ya Kimarekani.

“Iraq has the potential to feed itself. But instead of developing this capacity, the US has shaped the future of Iraq's food and farming to serve the interests of US corporations… the US has ensured that Iraq's agricultural system will remain under "occupation" in Iraq.” (Tazama: Iraq's new patent law: A declaration of war against farmers)

Iraq walipiganishwa na mpaka sasa wanauwana Mashia na Masuni baada ya kufanikiwa ule mpango wa ‘Salvador Option’. Nimeuliza hapo juu, kwa nini yakitokea mauwaj i yanayodaiwa kufanywa na Al-Shabaab inasisitizwa kuwa waliuliwa

Wa k r i s t o w a k a a c h w a Waislamu? Na kwa nini hivi vinavyoitwa vikosi vya serikai vya kupambana na ugaidi vinalenga Masheikh na Waislamu? Je, hakuna harufu hapo kama ile ya Washia na Wasuni Iraq?

“We find it difficult to understand how and why, in spite of the U.S. presence in Nigeria, with their sophisticated military technology, Boko Haram should be expanding and becoming more deadly.”

A n a u l i z a s wa l i h i l i Prof. Adebowale Adefuye, ambaye ni Balozi wa Nigeria kule Washington, Marekani. Swali hili alitakiwa Prof. Adebowale Adefuye na serikali yake, ndio watupe majibu. Sio wasubiri kupata majibu kutoka kwa watu wengine.

Nimalizie kwa kusema kuwa nadhani jambo la msingi hapa ni kutafiti na kujua ukweli wa mambo kwa sababu inavyoelekea tunapelekeshwa kupambana na “bogeymen” kutumikia masilahi ya mabeberu.

Sasa kama viongozi wetu watakuwa wanalijua hili lakini wakaamua kutufanyia usanii wa kutuletea ‘Patriot Acts’, huo utakuwa ni usaliti wa hali ya juu. Swali ni je, katika hali kama hiyo, wananchi wafanye nini kujinusru na kunusuru nchi yao?

RAIS Uhuru Kenyatta wa Kenya.

Page 13: ANNUUR 1157.pdf

13 AN-NUURSAFAR 1436, IJUMAA DES. 26, 2014-JAN. 1, 2015Makala

MOJA ya mafunzo ya msingi kwa wanaosomea fani ya udaktari wa meno ni jinsi ya kujaza matundu y a l i y o k o k w e n y e meno. Madaktari hawa watarajiwa wanafunzwa kwamba ili kurejesha jino lililotoboka katika hali ya uzima, wanatakiwa kusafisha tundu husika kwa kulipekecha (drill), kisha kulijaza tundu hilo kwa mchanganyiko maalum unaojumuisha madini fedha na zebaki. Kitaalamu mchanganyiko huu maalum huitwa ama silver amalgam au mercury amalgam.

Hata hivyo katika hali ya kushangaza, wanafunzi hawa husisitiziwa kanuni tatu kuhusu hii silver/mercury amalgam. Kanuni hizi ni: Hata siku moja usije ukaigusa kwa vidole vyako vitupu (bila kuvaa glavu). Pili, hata siku moja usije ukaicha inazagaa zagaa tu bila kufunikwa; na tatu, mabaki ya mchanganyiko huu, au jino lililong’lewa lenye mchanganyiko huu, ni lazima yaondolewe katika mazingira kwa kuzingatia kanuni kali zinazosimamia uondoshaji wa taka za sumu kali katika mazingira.

S a b a b u k u b wa ya tahadhar i h i i n i u le utambuzi kuwa madini ya zebaki ni sumu hatari pale yanapoingia mwilini! Uzunguni kuna msemo: ‘Mad as a hatter’. ‘Hatter’ ni mtu ambaye kazi yake inayomuuingizia riziki ya kila siku ni kutengeneza a u k u s h i r i k i k a t i k a kutengeneza kofia za aina ya ‘hat’, au heti kama tulivyozoea kuziita kwa kiswahili. Chimbuko la msemo huu lilikuwa ni ile hali ya ugonjwa wa wazimu ul ioonekana k u w a k u m b u k a w a f a n y a k a z i w e n g i waliokuwa wakifanya kazi katika viwanda vya kutengeneza kofia za heti kwenye miaka ya 1,800 katika maeneo mbalimbali ya Ulaya na Marekani.

Uchunguzi wa kisayansi baadaye ulibaini kuwa watu waliokuwa wanapata uwendawazimu katika viwanda hivi walikuwa ni wale walioathiriwa na mvuke wa zebaki. Hii ni kwa sababu enzi hizo kemikali iliyokuwa ikijulikana kama mercury nitrate ilitumiwa sana ka t ika v iwanda h iv i k u o n d o a m a b a k i ya manyoya yal iyokuwa yanagandiana kat ika kofia hizi zilipokuwa zinatengenezwa.

Katika viwanda vya leo vya kutengeneza kofia za heti matumizi ya zebaki yamepigwa marufuku.

MATIBABU YA MENO YANAWEZA KUWA CHANZO KIKUBWA CHA MARADHI MENGINE (1)!

Na Juma Kilaghai

Kwa akili ya kawaida tu mtu ungetarajia kuwa matumizi ya madini haya yangepigwa marufuku katika shughuli zozote zile ambazo zina uwezekano mkubwa wa kusababisha madini hayo kuingia katika mwili wa binadamu.

Hata hivyo katika hali ambayo inaonyesha kuwa kuna wakati ‘hatujitambui’ kabisa, matumizi ya zebaki yameachiwa yaendelee katika shughuli nyingine kadhaa, moja ya hizo ikiwa (unaweza kabisa u s i a m i n i ! ) , k u i we k a kwenye kinywa chako, kama sehemu ya matibabu ya meno!

K a t i k a n c h i zil izoendelea, baadhi ya madaktari wa meno wamekuwa wakiuliza maswali mengi kuhusu h a l i h i i , h a s a p a l e w a n a p o k u t a n a n a ushahidi mwingi kuwa matibabu haya yamekuwa ni chanzo kikubwa cha kuzorota kwa afya za hao ‘waliotibiwa!’ Hata hivyo wengi wamekuwa wakifanya hivyo kimya k i m ya k wa h o f u ya kunyang’anywa leseni zao za kazi ya udaktari.

D r . H a l H u g g i n s , mwandishi wa kitabu ‘It is all in your head’ ni mmoja wa madaktari wachache waliojitolea mhanga na kuamua kupaza sauti zao kuhusu suala hili. Katika kitabu hiki anasimulia jinsi ambavyo wagonjwa wake wengi walipata nafuu kubwa au kupona kabisa, magonjwa yaliyokuwa yanawasumbua, baada ya michanganyiko ya madini fedha na zebaki iliyokuwa imetumiwa kuzibia meno yao kuondolewa! Dr. Huggins ametaja baadhi ya magonjwa haya kuwa ni pamoja na:

1. Uharibifu wa utando unaofunika mishipa ya fahamu kuzuia umeme unaopita katika mishipa hiyo usije ukavuja na

kuelekea katika maeneo ambayo hayakukusudiwa (multiple sclerosis);

2 . U g o n j w a w a Parkinson (ugonjwa wa mishipa ya fahamu (neva) ambao hupelekea baadhi ya viungo vya mwili kutetemeka mfululizo bila kudhibitika); na

3. Jongo kali la kutia u l e m a v u ( c r i p p l i n g arthritis)

Kuna ta f i t i ny ing i ambazo zimebainisha kuwa zebaki iliyowekwa kwenye jino huwa inavuja kidogo kidogo na kuingia mwilini. Baadhi ya tafiti hizi zimeonyesha pia kuwa sehemu ya zebaki i n a y o v u j a h u e l e k e a kwenye ubongo na kubaki huko. Baadhi ya watafiti wanaamini kuwa hali hii huchangia sana watu kupatwa na maradhi ya Alzheimer. Alzheimer ni ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu kwa kiasi kikubwa unaowakumba sana watu wenye umri mkubwa.

Kuna njia nyingi ambazo zinaweza zikakusababishia m a r a d h i m b a l i m b a l i iwapo umepatwa na tatizo la kuwa na sumu ya zebaki katika mwili wako. Moja ya njia hizo ni kwa kuudhofisha mfumo wako wa kinga za mwili. Dakta David Eggleston wa Chuo Kikuu cha Southern California ni mmoja wa watafiti ambao wameweza kuthibitisha tukio hili bila shaka kabisa.

Katika utafiti wake Dk. Eggleston alipima kiwango cha chembechembe za T- LYMPHOCYTE katika miili ya wagonjwa ambao wa l i k u wa n a s i l ve r /mercury amalgam katika meno yao. T-lymphocyte ni miongoni mwa chembe nyeupe za damu zenye mchango mkubwa katika ulinzi wa mwili dhidi ya maambukizi . Kwa kawaida kwa mtu mwenye afya njema kabisa kiwango

c h a T - l y m p h o c y t e s ni kati ya 70% na 80% y a c h e m b e c h e m b e zote nyeupe a ina ya lymphocytes alizonazo.

Katika kesi moja wapo Dk Eggleston alibaini kuwa kiasi cha T-lymphocytes kilichokuwa katika mwili wa binti mmoja aliyekuwa na umri wa miaka 21 ambaye alikuwa na meno yaliyokuwa yamejazwa k wa s i l v e r / m e r c u r y amalgam kilikuwa ni 47% tu ya chembechembe zote za lymphocytes alizokuwa n a z o . D k E g g l e s t o n aliondoa silver/mercury amalgam aliyokuwa nayo binti huyo kinywani, na baada ya zoezi hilo k i w a n g o c h a k e c h a T-lymphocyte kilipanda na kufikia 73%! Baada ya tukio hili Dk Eggleston alirejesha silver/mercury amalgam kwenye meno ya yule binti; na kiasi cha T-lymphocytes kilishuka tena hadi kufikia 55%! Dk. Eggleston alimalizia kwa kutoa tena silver/mercury a m a l g a m i l i y o k u wa kwenye kinywa cha yule binti na akajaza matundu yaliyoachwa wazi kwa aina fulani ya dhahabu i n a y o a m i n i k a k u wa salama kwa matumizi hayo. Baada ya zoezi hili kiasi cha T-lymphocyte kwenye mwili wa yule binti kiliongezeka tena hadi kufikia 72%!

Pamoja na kwamba kushuka kwa kiwango cha kinga za mwili kunamweka mtu katika hatari zaidi ya kupata ugonjwa wa saratani, na zebaki kwa kupitia njia hii inaweza kutuhumiwa kwamba inasababisha saratani, ukweli ni kwamba zebaki ni kisababishi kikubwa cha saratani bila hata kupitia njia hii. Uthibitisho wa hili unapatikana katika kisa cha Dk Pinto. Huyu alikuwa ni daktari wa meno aliyeishi katika miaka ya 1920.

Katika kisa hiki Dk Pinto aliombwa kumtibu mtoto aliyekuwa analalamika k u wa a n a m a u m i v u kwenye fizi zake. Mtoto huyu pia alikuwa mbioni kufa kutokana na kuwa na saratani ya damu. Baada ya kumchunguza Dk Pinto aligundua kuwa meno ya mtoto huyo yalikuwa yamejazwa kwa silver/mercury amalgam. Dk Pinto aliamua kuondoa silver/mercury amalgam hiyo na mtoto akapata nafuu kubwa. Dk Pinto

alipowaambia madaktari wa mtoto huyo waliokuwa wanamtibu saratani yake juu ya kile alichokifanya walikataa kumwamini. Ili kuthibitisha madai yake alirejesha silver/mercury amalgam kwenye meno ya yule mtoto; naye baada ya muda mfupi alianza tena kukumbwa na dalili za saratani aliyokuwa anaugua hapo awali . Pamoja na uthibitisho huu madaktari wa mtoto huyo waliendelea kushikilia m i s i m a m o y a o . I l i kumsaidia mtoto Dk Pinto aliamua kuwapuuza na kuondoa silver/mercury amalgam yote kwenye kinywa cha mtoto, naye baada ya muda mfupi a k a p o n a s a r a t a n i iliyokuwa inamsumbua.

Tafiti za hivi karibuni kabisa zimethibitisha kuwa zebaki inasababisha matatizo mengi sana ya kiafya. Kwa mfano katika utafiti uliofanywa na serikali ya Sweden, serikali iliweza kutambua kiasi cha wananchi wa nchi hiyo wapatao 250,000 ambao walikuwa na matatizo mbalimbali ya kiafya yaliyokuwa na uhusiano wa moja kwa moja na silver/mercury amalgam walizowekewa kwenye meno yao. Mwaka 1994 kampuni ya Kijerumani iliyokuwa inaitwa Degusa, iliamua kufunga kiwanda chake cha kuza l i sha silver/mercury amalgam. I l iamua kufanya hivi hadi hapo itapojiridhisha kuwa eti mercury ambayo ni sehemu ya s i lver/m e r c u r y a m a l g a m , haina madhara! Degusa ndiyo kampuni kubwa kuliko zote ulimwenguni i n a y o j i h u s i s h a n a utengenezaji wa metali ( m e t a l s ) m b a l i m b a l i z i n a z o t u m i w a n a madaktari wa meno katika tiba zao.

T a f a d h a l i s a n a baada ya taar i fa h i i usije ukakurupuka na kukimbilia kwa daktari yeyote yule wa meno na kumwambia aondoe silver/mercury amalgam katika kinywa chako. Sababu ya tahadhari hii ni kwamba kazi hiyo inapaswa kufanywa na daktari mwenye ujuzi wa kutosha na uzoefu. Uondoaji wa kiholela unaweza kukusababishia KUMEZA zebaki nyingi kwa muda mfupi kuliko hata uliyokuwa unameza kupitia silver/mercury a m a l g a m u l i y o k u wa n a y o k w e n y e m e n o yako. Kumtumia daktari mwenye ujuzi wa kutosha n a u z o e f u u n a w e z a kukawa na gharama kubwa, lakini je, fedha zako ni kitu gani, kama afya yako iko kwenye mashaka?

Page 14: ANNUUR 1157.pdf

14 AN-NUURSAFAR 1436, IJUMAA DES. 26, 2014-JAN. 1, 2015Makala

M A G O N J WA m e n g i ya kimfumo (metabolic diseases) husababishwa n a u p u n g u f u w a virutubisho na viini lishe muhimu mwilini k a m a v i l e : M a d i n i lishe; Vitamini; Vizuia v i o k s i d i s h a j i ( A n t i oxidants); na Vijenzi vya protini (Amino acids)

Ni mara chache sana kupata bidhaa yenye kujumuisha vitu vyote hivi kwa wakati mmoja, na kwa hivyo kuwa na uwezo wa kugusa matatizo ya watu wengi sana ya kiafya kwa mara moja.

Miongoni mwa bidhaa hizo chache ni HAIIBA TIMAMU TEA. Hii ni chai ya ajabu kabisa ambayo i m e l u n d i k a n a V I I N I LISHE NA VIRUTUBISHO vifuatavyo:

1.AMINO ACIDS (VIJENZI VYA PROTINI)

• Arginine;• Histidine;• Isoleucine;• Leucine;• Lysine;• Methionine;• Phenylalanine;• Threonine;• Tryptophan; na

Valine.

2.VITAMINI NA MADINI

•Carotine (Vitamin A);•Thiamin (Vitamin B1);•Riboflavin (Vitamin

B2);•Niacine (Vitamin B3);•Vitamin C;•Calcium;•Copper;• Iron;• Magnesium;• Phosphorous;• Potassium;• Zinc; • Chromium; na• Manganise.

3. VIZUIA VIOKSIDISHAJI (ANTI OXIDANTS)

• Curcumin;• Catechines;• Polyphenols;• Flavonoids; na• Piperine

4. VIUA VIJIDUDU• Cinnamaldehyde.Mlundikano wa viini

lishe/virutubisho hivi umepelekea chai hii kuwa

SIYO KILA WAKATI UFUMBUZI UKO KARIBU KIASI HIKI!HAIIBA TIMAMU TEA: CHAI YA AJABU INAYOGUSA MATATIZO YA KIAFYA YA WATU WENGI

na msaada mkubwa katika:•Kudhibiti maumivu ya

viungo;•Kudhibiti uchovu na

kuondoa hali ya kujisikia homa mara kwa mara;

•Kudhibiti mfuro wa seli (inflammation);

•Kuimarisha kinga za mwili;

•Kusawazisha kiwango cha lehemu (cholestrol) mwilini kuwa cha kawaida;

•Kudhibi t i kasi ya kuzeeka;

•Kuboresha usagaji wa chakula tumboni;

•Kuboresha siha ya mfumo wa damu na utendaji wa ini;

•Kusafisha ngozi na kuhifadhi mnyumbuko wake;

•Kupeleka virutubisho muhimu kwenye ngozi;

•Kuimarisha siha ya macho;

•Kuzuia kuongezeka kwa seli za saratani;

•Kuzuia seli za kawaida za mwili kubadilika na kuwa seli za saratani;

•Kuuchochea mwili w a k o k u a n g a m i z a seli za saratani kabla hazijasambaa mwilini;

•Kuzuia uundwaji wa mishipa ya ziada ya damu kwa ajili ya kufikisha virutubisho vya ziada katika seli za mwili zenye saratani;

•Hupunguza shinikizo la damu;

• K u p u n g u z a uwezekano wa kupata shambulizi la moyo (heart attack);

• K u p u n g u z a uwezekano wa mishipa ya fahamu kupoteza utando wa nje unaokinga sehemu ya ndani na kwa hivyo kuifanya ifanye kazi kwa ufanisi (multiple sclerosis);

•Kuongeza uzalishaji wa nyongo;

•Kuzuia uharibifu wa lehemu nyepesi mwilini kutokana na mwingiliano na oxygen;

•Kupunguza madhara ya kisukari cha ukubwani;

• K u p u n g u z a dalil i za ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu (Alzheimer’s disease);

•Kuharakisha kupona kwa majeraha;

•Kupunguza madhara

ya baridi ya yabisi;•Kupunguza kasi ya

ongezeko la virusi vya ukimwi;

• Kukinga dhidi ya uharibifu wa ini;

• Kukinga dhidi ya sumu na makovu kwenye mapafu;

• Kukinga dhidi ya ugonjwa wa ngozi kuchuja rangi, yaani, vitiligo; na

• K u s a f i s h a kinywa dhidi ya bakteria wa s i o t u m i a o k s i j e n i (anaerobic bakteria)

C h a i h i i i n a w e z a kukusaidia pia kama unahisi kuwa unakabiliwa na moja wapo ya hali hizi. Hivi sasa inapatikana Dar es Salaam pekee, katika ofisi zetu zilizoko Mosque Stree t , No. 1574/144 (mkabala na msikiti wa Sunni), Kitumbini. Jitihada zinafanyika pia ili kabla ya mwisho wa mwaka huu iwe inapatikana walau katika miji yote iliyo makao makuu ya mikoa Tanzania nzima. Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana nasi kwa simu namba 0754281131/0686281131/0655281131.

KWA WALIOKO DAR ES SALAAM

Kama unaishi Dar es salaam unaweza kuja hapa ofisini kwetu mtaa wa Mosque, kwa ajili ya kupata chai ya Timamu. Tuko Kitumbini, mtaa wa Mosque. Mtaa huu unaitwa Mosque kwa sababu kuna misikiti miwili mikubwa inayoongozana (Ibaadh n a S u n n i ) ; a m b a y o imetenganishwa na duka la tamu-tamu la Taj Mahal Sweet Mart.

Mtaa huu pia ni maarufu sana kwa MGAHAWA WA MIAKA MINGI SANA UNAOITWA NEW ZAHIR RESTAURANT (Tazama picha. Jengo lenye canopy yenye mistari myekundu.). Iwapo utalazimika kuuliza ili ufike Mosque Street, basi waambie hao unaowauliza n i m t a a i l i k o N E W ZAHIR RESTAURANT. Ukiweza kufika NEW ZAIHIR RESTAURANT utaiona hiyo misikit i miwili tuliyoitaja iliko.

Kama hukuiona wewe mwenyewe uliza! Ni hapo jirani kabisa.

Sisi tunatazamana na huo msikiti wa Sunni (wenye minara ya kijani). Aidha tuko jirani kabisa na duka maarufu la vifaa vya usafi na bidhaa nyingine za majumbani la ZANZIBAR S T A T E T R A D I N G CORPORATION. Ukiona mabango ya TRIPLE A TAILORING SERVICES yafuate, utakuwa tayari u m e f i k a . H E R B A L I M PA C T, T R I P L E A TAILORING SERVICES NA NEOBIZ tunachangia eneo la ofisi.

JINSI YA KUFIKA

1. kwa wanaotokea maeneo ya Mbagala , Kurasini na Temeke ambao wakija mjini kituo chao cha mwisho cha daladala ni Stesheni, basi waje mpaka barabara ya Samora liliko tawi la NBC SAMORA. Mtaa wa Mosque unaanzia NBC Tawi la Samora na kupandisha kuelekea juu hadi mtaa wa Libya. Ili kufika ofisini kwetu, ukitokea hapo NBC Samora utavuka kwanza mtaa wa India, kisha mtaa wa Indira Gandi. Hapo utakuta hiyo misikiti mikubwa miwili inayoongozana.

2. Kwa wanaokuja mjini kwa njia za Morogoro na Ali Hassan Mwinyi, kituo cha basi cha kushukia n i AKIBA. Baada ya kuteremka tembea hadi k we n ye m a u n g i o ya Morogoro Road, ingia Morogoro Road na uifuate kama vi le unaelekea Bandarini zinakoegeshwa Boti za kwenda Zanzibar. Endelea mbele ambapo utavuka mitaa ya Libya na kisha Jamhuri mpaka utakapokutana na tawi la benki ya NMB la Morogoro Road likiwa mkono wako wa kulia. Hapo kata kulia kuingia mtaa wa Mshihiri. Ukiendelea mbele kidogo utakutana na mtaa wa Mosque unakatiza na kushoto kwako utaiona

hiyo misikiti miwili.

3. Kwa wanaokuja na barabara za Nyerere au Uhuru hadi Mnazi Mmoja. Ukifika mnazi mmoja vuka mataa hadi liliko tawi la benki ya NBC la Mnazi mmoja. Hapo utakuwa uko mtaa wa Jamhuri. Shusha moja kwa moja na huo mtaa hadi utakapokuta kituo cha mafuta cha Puma. Mbele kidogo ya hicho kituo ni mtaa wa Mosque unakatiza. Ukifika hapo kwenye mauongio ya Jamhuri na Mosque, tazama kulia kwako utaona hiyo misikiti miwili.

4. Kama unataka kuja na gari lako Mwenyewe ni bora uende hadi Samora avenue uingie Mosque Street kwa kutokea hapo tawi la NBC Samora. Au kama unatokea barabara ya Nkrumah au Uhuru, ukishafika Clock Tower ingia mtaa wa India,vuka mtaa wa Aggrey (kuna kituo cha mafuta cha GAPCO) na barabara u t a k a y o k u t a n a n a y o ikikatisha ni Mosque. Hapo kata kushoto na baada ya kuvuka Mtaa wa Indira Gandi utaiona hiyo misikiti miwili mkono wako wa kulia.

Kwa watu wa mikoa ya Tanga na Morogoro

Dawa inapatikana kwa:

A B D A L L A H MWARABU

S I M U : 0 7 8 3 -290921/0658-290921

BARABARA YA 12, JIRANI NA MSIKITI WA IBAADH

TANGA MJINI

DOTTO MALENDA

0715-282331

MTAA WA KARUME (MKABALA NA MASJID HAQ)

MOROGORO MJINI

Page 15: ANNUUR 1157.pdf

15 AN-NUURSAFAR 1436, IJUMAA DES. 26, 2014-JAN. 1, 2015Makala

‘Mbunifu Mkuu mpya wa ugaidi' wa Jeshi la MarekaniInatoka Uk. 11wa Mataifa hapo Februari 5, 2003, inayozungumziwa punde). Osama bin Laden na Abu Musab al-Zarqawi ni vifaa vilivyotengenezwa na mashirika ya kijasusi ya Marekani. Kurubuniwa kwa wapiganaji kutoka nje (katika vita vya Urusi nchini Afghanistan) kulifanywa chini ya uangalizi wa CIA.

Vyombo vya habari kwa kawaida vinatoa tahadhari hizo zinazotokea CIA kama za kweli, bila kukiri kuwa mashirika ya kijasusi ya Marekani yametoa misaada ya s i r i k wa m i t a n d a o ya makundi ya Kiislamu kwa zaidi ya miaka 20. Hii imethibitishwa kwa kina, kuwa makambi ya kutoa mafunzo nchini Afghanistan y a l i y o u n d w a w a k a t i wa utawala wa Reagan

yalifadhiliwa na CIA. Kwa uhakika, washiriki kadhaa wa utawala wa Bush wakiwemo Richard Armitage na Colin Powell walihusika moja kwa moja kupeleka misaada kwa Al Qaeda nchini Afghanistan, ambako bin Laden na Al Zarqawi walipata mafunzo maalum.

Historia ya Al Zarqawi

Mara ya kwanza j ina la Abu Musab al Zarqawi linatajwa ilikuw ni kuhusiana na jaribio lililoshindwa la kushanbulia Radisson SAS Hotel jijini Amman, Jordan wakati wa maadhimisho ya milenia mwezi Desemba 1999, Kwa mujibu wa taarifa za habari, alikuwa kabla anatumia jina tofauti: Ahmed Fadil Al-Khalayleh (inaelekea likiwa ni mojawapo kati ya

majina bandia mengine). Kwa mujibu wa gazeti la New York Times, Al Zarqawi alikimbia Pakistan kwenda Iran mwishoni mwa mwaka 2001 baada ya kuingia kwa majeshi ya Marekani. Taarifa rasmi za Marekani zinaashiria kuwa alikuwa analindwa katika ngazi za juu za serikali ya Iran.

"Maofisa wa mashirika ya ujasusi ya Marekani wanaingiwa na wasiwasi k u h u s u u s h a h i d i unaoongezeka wa shauku ya ugaidi miongoni mwa wa t a wa l a wa I r a k ( n a kumsaidia Al Zarqawi), ikiwa ni pamoja na upelelezi wa chini kwa chini wa mawakala wa Iran wa vituo vya ki-Marekani nchi za nje ambavyo vinaweza kulengwa kulipuliwa.. Maofisa wa Marekani wanasema Iran

inaelekea kuona ugaidi kama moja ya njia za kuizuia Marekani isifanye shambulio dhidi ya Iran.

Tangu tukio la kushangaza l a k u c h a g u l i w a k w a Mohammed Khatami kuwa rais wa Iran mwaka 1997 na kuungwa mkono katika maeneo mengi na watu nchini humo, watawala nchini Marekani wamekuwa wanategemea kuinuka kwa tabaka jipya la uongozi lenye mwelekeo wa wastani. Lakini kundi la wahafidhina limeendelea kushikilia asasi za ulinzi na usalama za Iran, na kukwamisha juhudi za Marekani kupunguza misuguano na Iran.

Sasa, vitendo vya Iran vya kukwamisha serikali mpya ya mpito nchini Afghanistan, utayari wake kusaidika wanachama wa Al Qaeda na

kuchochea uamsho katika maeneo ya Wapalestina vinasababisha Marekabni ipitie upya mahusiano yake na Iran," kwa mujibu wa maofisa wa serikali walionukuliwa na gazeti la New York Times, Machi 24, 2002.

Mwaka 2002, uwepo wake nchini Iran, akidaiwa "kushirikiana na watu wa siasa kali" katika jeshi la Iran na vyombo vya ujasusi ni sehemu ya mtiririko unaobadilika wa kampeni potofu ambazo zina lengo la kuonyesha kuwa Iran ndiyo mfadhili wa 'mitandao ya kigaidi ya Kiislamu.' Mwezi Februari 2001, alidaiwa kuhusika na kupanga shambulizi ndani ya Israel. (Itaendelea)

KUTOKANA na makala zangu nilizoandika awali, kwanza nashukuru kwamba zimepata wasomaji na ushahidi ni ujumbe wa maneno ninaotumiwa. Naamini hii itakuwa njia moja wapo ya kuelimishana n a k u f a h a m i a n a k wa manufaa yetu sote. Ni watu wengi walionitumia ujumbe kwa hiyo sitaweza kuwataja wote au kunukuu waliyosema, ila nitachukua wachache tu kuwakilisha. Labda nianze na huyu ambaye anasema:

”Habari ndugu yangu haya unasungumza una ukweli gani? Wakati mtafutia amani leo mnawaona wabaya why? Binadamu unataka nini? Unataka uniambie alishabab kawaagiza Bushi? Au inch za Ulaya? Mnauwana wenyewe a l a f u u n a w a s i n g i z i a wengine kisa tu imani yenu inapingana hapana hauko sawa kikulacho kiko nguoni mwako.” (0755 499 872)

Wa pili ameandika hivi: “Mziray umeandika vizuri kuhusu joka na amani, umesahau kuandika kuwa U i s l a m u m e s a m b a z wa kwa ukatili kwani haukuja Tanzania na pipi kwa hiyo kama demokrasi ni uongo hata Uislam ni uongo kwani haukuleta amani.” (0714 970 710)

K w a w o t e h a w a niseme mambo mawil i ambayo nitayajengea hoja k wa k u u l i z a ma swa l i . Afghanistan ni katika nchi masikini duniani na iliyopo nyuma kie l imu. Haina utaalamu wa namna yoyote wa sayansi na tekinolojia ya kisasa. Na hata nchi nyingi za Kiarabu zipo hivyo ukiacha utajiri wa mafuta. Kwa upande mwingine

Haja ni kuelimishana maana hata ya Yesu yamepotoshwa

Na Khatib Juma Mziray

Marekani ni taifa kubwa duniani kwa kila kitu. Wana uwezo wa kurusha ndege ya kivita ikapiga Afghanistan, Somalia, Yemen na Pakistan, na kurejea salama wakiwa katika chumba cha komputa Alabama. Hizo ndio Drone. Ni nchi inayotumia mabilioni ya dola kila mwaka katika bajeti yake katika mambo ya ulinzi. Makachero wake wa CIA na wenye majina tofauti tofauti wamesambaa dunia nzima. Na nchi yao, hasa katika sehemu maalum na nyeti kama viwanja vya ndege na idara zao za ulinzi, zina mitambo ya ulinzi mimi na wewe tusiokuwa hata na uwezo wa kujua ukubwa wa uwezo wake. Hivi , niwaulize, akili ya kawaida inaweza kukubali kuwa mtu kutoka milima ya Tora Bora au jangwani Saudi Arabia, anaweza kuingia Marekani akateka ndege akapiga WTC, akapiga mpaka Makao Makuu ya Jeshi la Marekani (Pentagon?)

Lakini tumeimbishwa mpaka tumeyakubali kama tunavyoimbishwa leo ya Boko Haram na Al-Shabaab!

Katika Biblia tunaambiwa kuwa Yesu amesema kuwa hakutumwa ila kwa Wana wa Nyumba ya Israel, kwamba wamwabudu Mungu mmoja, Mungu wake na Mungu wao hao Bani Israel. Na ndio maana hata akiwa pale Msalabani tunaambiwa kuwa aliomba akimlilia Mungu wake ili kama ni

kwa mapenzi yake kikombe kile kimuepuke.

Lakini tumeimbishwa kuwa Yesu ndiye Mungu Mkuu na akili zetu na ndimi zetu zinaimba hivyo hivyo.

Hivi kama alikuwepo m k u n g a a n a m z a l i s h a Mariamu, angeambiwa siku ile kuwa huyu anayezaliwa ndiye Mungu wako mkuu, akili yake ingeweza kuelewa somo hilo? Mchukulie yule ‘babu’ aliyemtahiri Yesu baada ya siku saba, hivi angeambiwa kuwa huyu unayemtahiri ndiye Mungu wako Mkuu, akil i yake ingekubali? Yaweza kutolewa hoja kuwa mambo ya Mungu na mambo ya Biblia yamejaa mafumbo na inapasa kuamini kwa kujazwa roho. Lakini kama akili haiwezi kutumika kuelewa mambo ya msingi kama haya ya imani, kazi ya akili sasa itakuwa nini!

M t u m e M u h a m m a d (s.a.w) aliwahi kumpa barua Bw. Haarith bin Umar Aziz ili aipeleke kwa Mfalme wa dola ya Kirumi aliyeitwa Heracleus. Alipofika Muttah a l i u l i wa n a S h u r a h b i l Ghassany aliyekuwa gavana wa dola ya Kirumi. Kumuua mjumbe ilikuwa ni kosa kubwa sana kwa sheria ya makabila ya Kiarabu kwa wakati ule hata sasa kwa sheria za kimataifa.

Tukio hilo lilisababisha vi ta ambapo Waislamu walikuwa na jeshi la watu 3,000 chini ya uamiri wa Zaid bin Harith kwenda Mutta

kupambana na Gavana. Kwa kifupi ni kuwa Wakristo wa Waroma walikuwa na jeshi la askari 100,000 kisha wakaongeza wengine 100,000 wakawa 200,000. Warumi walishindwa katika vita hivyo. Wakristo Waroma wal i chukia kushidnwa huko wakawa kila mara wanaanzisha vita na nchi za Kiislamu. Soma historia ya kuhuisha Uislamu uk. 385.

“Je! Mwadhani ya kwamba nimekuja kuleta amani dunuani? La, sivyo, bali mafarakano. Kwa kuwa tokea sasa katika nyumba moja watakuwamo watu watano wamefarakana , wata tu kwa wawili, wawili kwa watatu. Watafarakana baba na mwanawe, na mwana na babaye; mama na binti yake, na binti na mamaye; mkwe mtu na mkwewe, mkwe na mkwe mtu”. (Luka 12:51-53.)

H a ya n i m a n e n o ya Biblia ambapo Injili hiyo imeandikwa na Luka mwaka wa 80 baada ya Yesu kuondoka. Luka alizaliwa Antiokia (Ugiriki), alikuwa Dakitari, hakuwa mwanafunzi wa Yesu. Alikuwa mpagani, si Myahudi. Soma utangulizi wa Injili kama ilivyoandikwa na Luka, katika toleo la Biblia za Imprimatur. Aliandika kutokana na masimulizi ya watu waliomwona Yesu, kama kuna waliomwambia uongo hayo hatujui.

“Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa utaratibu habari za

mambo yale yaliyotimizwa k a t i k a t i y e t u . K a m a walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo, nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo y o t e t a n g u m w a n z o , kukuandikia kwa utaratibu, Theofilo mtukufu, upate kujua hakika ya mambo yale uliyofundishwa.” (Luka 1:1-5)

Huenda ndiyo maana baada ya Paulo kuanzisha dini ya Ukristo kule Antiokia (Ugiriki) miaka 14 baada ya kuondoka Yesu. (Matendo 11:26); Wenye dini wakaona k u w a w a n a r u h u s i w a kufarakanisha watu kama tunavyoona kila mahali dunia nzima. Ndugu yangu muuliza swali la amani; mwaka wa 1096. Mkristo mkereketwa (siasa kali) jina lake, Peter the Hermit alienda kwa Papa Urban II, akaomba kibali ili aruhusiwe akusanye jeshi ili aende Mashariki ya Kati awaue Waislamu; Papa akampa kibali, akazunguka nchi za Ulaya kukusanya j e s h i w a k i w e m o A L -SHABAB (vijana) wa kiume na wakike hata wenye miaka 14, wakaenda wakaanzisha Crusades (Vita vya Msalaba).

“Pia walikuwako wengi kati ya Waislamu ambao walitaka kuishi na amani kati yao naWakristo; vile vile Wakristo wenye mashamba eneo za Mashariki waliona haja ya kupatana. Lakini, maaskari (MA-ALSHABAB), waliotoka nchi za Magharibi wal i tumaini kuwaokoa (KUWACHINJA) Waislamu wote kwa upanga, wakaacha chuki kati ys Waislamu na Wakristo hata siku hizi zetu. Kitabu cha Historia ya Kanisa cha Canon H.J.E. Butcher uk. 86-87.”

Itaendelea lijalo

Page 16: ANNUUR 1157.pdf

16 AN-NUURSAFAR 1436, IJUMAA DES. 26, 2014-JAN. 1, 201516 MAKALA

AN-NUUR16

SAFAR 1436, IJUMAA DES. 26, 2014-JAN. 1, 2015

Soma gazeti la

AN-NUUR kila Ijumaa

IPO KWA HUDUMA MBALIMBALI ZA KIBIASHARA NA MAENDELEO KAMA:

1. Kutengeneza mipango ya biashara (Business Plans)2. Kuandaa michanganuo kwa ajili ya kuombea mikopo (Loan Documents)3. Kuandaa maandiko ya miradi (Project Write-ups)4. Kutengeneza mipango mkakati ya taasisi (Strategic Planning)5. Kutengeneza miongozo ya fedha na uendeshaji katika taasisi (Financial and

Operational Manuals)6. Kuandaa katiba kwa ajili ya usajili wa vyama na taasisi zisizo za kiserikali

(NGOs)7. Kufanya usajili wa kampuni/Jina la biashara8. Kufanya usaili kwa waajiriwa watarajiwa9. Kuandaa nyaraka za zabuni (Tender documents10. Huduma za ushauri kwa wahitimu wa vyuo wanaosaka ajira (Coaching

services)11. Nakadhalika.

KARIBU: MOSQUE STREET, NO. 1574/144 (MKABALA NA MSIKITI WA SUNNI), KITUMBINI DAR ES

SALAAM.

KIJANA Joseph Rapahel Kambona, (26) ambaye ni kinyozi, ameibuka mshindi katika nafasi ya Uenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mkuza, katika mji wa Kibaha mkoani \Pwani kupitia chama cha Chadema kwa kumbwaga mgombea wa CCM.

U s h i n d i h u o umewagusa watu wengi na kutafsir iwa kuwa chama tawala, Chama cha Mapinduzi (CCM), hakina j ipya kwa wananchi a m b a o w a m e f a n y a maamuzi ya kumpa ridhaa ya kuwaongoza kijana huyo anayejishughulisha na usafi wa vichwa vya wananchi mtaani hapo.

Akiongea na mwandishi wa gazeti hili, Bw. Joseph R. Kambona, alisema ushindi huo kwake ni kama nyota ya jaa kwani kuiangusha CCM si jambo dogo ukizingatia kuwa yeye ni kijana mdogo, tena kinyozi.

“Hii ni kama nyota ya jaa, mimi ni kinyozi ndio shughuli yangu i n a y o n i w e k a h a p a mtaani, lakini wananchi w a m e n i k u b a l i n a k u n i a m i n i k u p i t i a upinzani nadhani ushindi huu ni kutokana na wao (wananchi) kuchoshwa na utendaji mbovu wa v i o n g o z i wa C C M ” . Alisema Bw. Kambona.

A k i f a f a n u a z a i d i alisema, kukithiri kwa kero za wananchi katika mitaa yao au viji j ini, kama vile uhaba wa maji, kukosekana kwa huduma za afya, matat izo ya elimu ni mambo ambayo yamewafanya wananchi kuichoka CCM.

B w . K a m b o n a alisema, viongozi wa C C M w a m e k u w a wakitoa ahadi nyingi kila uchaguzi unapofika n a k u wa t u m a i n i s h a w a n a n a c h i , l a k i n i utekelezaji wake baada ya kupewa dhamana unakuwa hadithi.

Alisema, yeye pamoja na timu yake ya walioshinda nafasi za ujumbe, wana dhima ya kuwatumikia wa n a n c h i k wa h a k i na uadilifu ili kuweza

Kinyozi aiangusha CCM MkuzaBakari Mwakangwale kuwafikisha wananchi

katika matarajio yao ya kimaendeleo.

A k i z u n g u m z i a matarajio yake katika uongozi wake alisema, kwanza wataanza na kuzifuta ‘tozo za kero’ ambazo ni kero kwa wananchi, kwa kutakiwa watoe pesa ili waweze kupata huduma kutoka ofisi ya Serikali yao ya Mtaa.

“Moja ya ahadi yetu a m b a y o w a n a n c h i wanaisubiri kwa hamu ambayo imekuwa ni kikwazo kufanikisha mambo yao mengi ni kufuta tozo za kero kwa wananchi, kama vile kupata huduma ya muhuri wa Serikali ya Mtaa, ili uweze kupata huduma za kijamii katika sekta mbalimbali.

Au unataka uchukue mkopo inahitajika barua ya utambulisho au kufungua akaunti benki sasa huduma h i z o z i t a k u w a b u r e hazitochajiwa kiasi chochote kwani hii ni moja ya kero k u b wa k wa wa n a n c h i hivi sasa.” Alisema Bw. Kambona.

A l i s e m a wa p i n z a n i wamejipanga kuanzia ngazi ya chini kwa kujua kwamba ndiko kuna wapiga kura na ndio msingi wa CCM, hivyo wamebaini kuwa wakiwaelimsha wakajua wajibu wao kuelekea katika mageuzi, hata ngazi za juu itakuwa ni rahisi.

“Siku zote CCM msingi wao ni watu wajinga, wasioe l imika ambao wapo huku mitaani na vijijini, kwa hiyo kama tukiwaelimisha hawa na kuweza kuwaangusha huku ch in i naamin i mwaka 2015 itakuwa rahisi kuwaangusha CCM katika ubunge, udiwani hata urais.” Alisema.

K w a m a a n a h i y o akasema, wameanza kushambulia ngazi ya chini kwa hoja na kwa ushindi wa vyama vya upinzani (Ukawa) katika sehemu mbalimbali ni wazi wananchi wameanza kuelewa na kuelimika.

Bw. Kambona, alisema w a n a m k a k a t i w a kusimamia na kuhakikisha fursa za wananchi ambazo wamezipoteza kwa kipindi

kirefu sana, kupitia mtaa wao wanazipata bila mizengwe tofauti na awali chini ya uongozi wa CCM.

“Kwa mfano kwa sasa hatuna huduma za afya (Zahanati), hakuna Shule wakati kuna ongezeko kubwa la wakazi ambao wanahitaji huduma hizo kuwepo kwa sasa.

Katika hili kigezo cha kwanza ni watu ambao wapo wa kutosha, lakini pili ardhi ipo kinachohitajika ni Serikali ya Mtaa kufanya mchakato kuangalia suala hilo linanatekelezwa vipi, kwani wajibu wa viongozi ni kuwajibika kwa wananchi na kuwatumikia”. Alisema

Bw. Kambona.A l i s e m a , k w a s a s a

wananchi wa mtaa wa Mkuza wanafata huduma za afya katika Zahanati ya Serikali iliyopo kijiji cha Mwendapole, umbali wa kilomita zipatazo tatu wakati shule ya msingi watoto wanakwenda vijiji vya jirani umbali wa kilomita nne.

K w a u p a n d e w a k e B w . K a s s i m A b d a l l a h Mkwenya, aliyepata ridhaa ya wananchi kwa nafasi ya ujumbe, alisema uongozi uliopita wa CCM haukuwa unazingatia utawala bora kwa kuwatumikia wananchi.

K w a n z a a l i s e m a , hapakuwa na mikutano

ya wananchi, ya kueleza mapato na matumizi kwa wananchi walio waweka madarakani is ipokuwa ukaribu wao na wananchi huwa pale wanapohitaji kura zao na huishia pindi matokeo yanapotangazwa na wao kuibuka washindi.

“ S i s i t u t a w a j i b i k a kwa wananchi tutaitisha mikutano na kueleza mapato na matumizi kwa uwazi kwa mujibu wa sheria, ili kujenga imani kwa wananchi kama tul ivyoahidi pia tutawashirikisha katika vikao vya maamuzi ya maendeleo ya mtaa wao”. Alisema Mjumbe huyo.