ANNUUR 1088.pdf

12
ISSN 0856 - 3861 Na. 1088 SHAWWAL1434, IJUMAA , AGOSTI 30 - SEPT. 5, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz Katiba mpya kuangamiza Uislamu-Sheikh Barahiyan Ataja vifungu vyenye kuleta kufru Ataka Waislam kuungana kuvipinga Umma waguswa kadhia ya Mansour Kuunguruma 'Salama', Bwawani Atakuwapo pia Mwanasheria Mkuu Bendera CCM zapepea nusu mlingoti ALIYEKUWA Mwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki, Mhe Mansoor Yussuf Himid, kesho anatarajiwa kuzungumzia hatma yake kisiasa kufuatia uamuzi wa chama chake, CCM, kumfukuza uanachama. Kwa hali hii…. Katiba Mpya haitasaidia lolote Waislamu nchini Zinahitajika Darsa za Sheikh Bachu, Uamsho Tumeacha wengi mitaani wasio jitambua… …kukimbilia majukwaa ya kisiasa, malumbano Uk.6 KESI inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Sheikh Ponda Issa Ponda, imeahirihswa hadi Septemba 17, 2013. Ponda Mahakamani tena Septemba 17 Na Bakari Mwakangwale Kesi hiyo inayosikilizwa katika Mahakama ya Mji wa Morogoro, itarudi kusikilizwa tena katika tarehe hiyo ambapo Mahakama itatoa uamuzi juu ya pingamizi ya dhamana iliyowekwa na DPP. Wakili wa Sheikh Ponda Issa Ponda, Bw. Juma Nassoro, amesema, kesi hiyo imesikilizwa Inaendelea Uk. 3 ALHAJ Aboud Jumbe MAALIM Seif Sharif Hamad Mhe Mansoor Yussuf Himid Uk. 2 SHAYKH Salim Abdul- Rahym Barahiyan Waislamu wote mnaarifiwa kuwa kutakuwa na Ibada ya Itikaf, itakayofanyika katika Msikiti mkubwa wa Magomeni, Kichangani. Siku: Jumamosi ya Agosti 31, 2013. (Kesho). Muda: Baada ya Sala ya Ishai. Itikaf Kichangani Magomeni

Transcript of ANNUUR 1088.pdf

Page 1: ANNUUR 1088.pdf

ISSN 0856 - 3861 Na. 1088 SHAWWAL1434, IJUMAA , AGOSTI 30 - SEPT. 5, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz

Katiba mpya kuangamizaUislamu-Sheikh Barahiyan

Ataja vifungu vyenye kuleta kufruAtaka Waislam kuungana kuvipinga

Umma waguswakadhia ya Mansour

Kuunguruma 'Salama', BwawaniAtakuwapo pia Mwanasheria MkuuBendera CCM zapepea nusu mlingoti

A L I Y E K U W A M w a k i l i s h i w a J i m b o l a K i e m b e s a m a k i , M h e M a n s o o r Y u s s u f H i m i d , kesho anatarajiwa

k u z u n g u m z i a hatma yake kisiasa kufuatia uamuzi wa chama chake, CCM, kumfukuza uanachama.

Kwa hali hii….

Katiba Mpya haitasaidialolote Waislamu nchini

Zinahitajika Darsa za Sheikh Bachu, UamshoTumeacha wengi mitaani wasio jitambua… …kukimbilia majukwaa ya kisiasa, malumbano

Uk.6

KESI inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Sheikh Ponda Issa Ponda, imeahirihswa hadi Septemba 17, 2013.

Ponda Mahakamanitena Septemba 17

Na Bakari Mwakangwale Kesi hiyo inayosikilizwa katika Mahakama ya Mji wa Morogoro, itarudi kusikilizwa tena katika t a r e h e h i y o a m b a p o Mahakama itatoa uamuzi juu ya p ingamiz i ya

dhamana iliyowekwa na DPP.

Wa k i l i w a S h e i k h Ponda Issa Ponda, Bw. Juma Nassoro, amesema, kesi hiyo imesikilizwa

Inaendelea Uk. 3

ALHAJ Aboud Jumbe MAALIM Seif Sharif Hamad Mhe Mansoor Yussuf Himid

Uk. 2

SHAYKH Salim Abdul-Rahym Barahiyan

Waislamu wote mnaarifiwa kuwa kutakuwa na Ibada ya Itikaf, itakayofanyika

katika Msikiti mkubwa wa Magomeni, Kichangani.

Siku: Jumamosi ya Agosti 31, 2013. (Kesho).

Muda: Baada ya Sala ya Ishai.

Itikaf Kichangani Magomeni

Page 2: ANNUUR 1088.pdf

2 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA AGOSTI 30 - SEPT. 5, 2013

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Habari

ALIYEKUWA Mwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki, M h e M a n s o o r Y u s s u f Himid, kesho anatarajiwa kuzungumzia hatma yake kisiasa kufuatia uamuzi wa chama chake, CCM, kumfukuza uanachama.

Mheshimiwa Masoor atatoa kauli hiyo katika kongamano litakalofanyika katika ukumbi wa Salama, hoteli ya Bwawani.

A wa l i a k i h o j i wa n a vyombo vya habari juu ya maoni yake juu ya hatua iliyochukuliwa Dodoma na chama chake, Mansoor alikataa kusema chochote akisema bado ni mapema mno.

H a t a h i v y o , j a p o mwenyewe hajasema na CCM yenyewe haijafafanua, lakini wananchi wenasema kuwa kafukuzwa kutokana na msimamo wake juu ya muundo wa muungano.

Mheshimiwa Mansoor ni mmoja wa Wazanzibari wengi walio na maoni kuwa muungano unaofaa ni ule ambao utaipa Zanzibar mamlaka kamili.

Na huo pia ndio msimamo wa Kamati ya Maridhiano Zanzibar inayoongozwa na Kada wa CCM, Mzee Nassor Hassan Moyo.

K wa k u d h a n i k u wa M h e s h i m i wa M a n s o o r kafukuzwa kutokana na msimamo wake wa kupigania mamlaka kamili ya Zanzibar katika muungano, baadhi ya wananchi wanajenga hoja kuwa kilichofanyika Dodoma sio haki kwani inaonekana kuwaandama Wazanzibari pekee wakati wapo watu wengi wenye msimamo tofauti na CCM na hawajaguswa.

Watu hao ni pamoja na wale wanaotaka serikali moja na hata wajumbe wa Tume ya Katiba wanaotaka serikali tatu.

K a m a a l i v y o s e m a Katibu Mwenezi wa CCM, Mheshimiwa Nape Nnauye, uamuzi uliopitishwa na CCM dhidi ya Mhe Mansoor Yussuf Himid, unafuata mkondo ule ule wa yaliyomkuta Mzee Aboud Jumbe na Maalim Seif Sharif Hamad.

K w a m a a n a h i y o akasema kuwa hakuna la ajabu hapo kwani wote hao walichukuliwa hatua kutoka Dodoma yal ipo Makao Makuu ya CCM.

Kwamba wote hao kwa kuwa na maoni tofauti na chama chao kwa masuala yanayohusu muungano na siasa za Zanzibar kwa ujumla,

Na Waandishi wetu, Zanzibar

walichukuliwa hatua kule Dodoma bila kujali nyadhifa zao.

Hali inayoendelea hivi sasa Visiwani, inatukumbusha A l h a m i s i ya t a r e h e 1 3 Oktoba, 2005, kuelekea Uchaguzi Mkuu, siku ambayo Waangalizi wa Kimataifa walivyokuwa na shauku ya kumuona Bw. Mansour Yussuf Himid, nyumbani kwake Migombani, siyo mbali kabisa na Mnara wa Mbao, Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja.

Shauku hiyo ya Waangalizi wa Kimataifa wa Uchaguzi Mkuu, ilitokana na mazingira m b a l i m b a l i ya k i w e m o nafasi muhimu ya kisiasa aliyokuwa nayo Kiongozi huyo mashuhuri, ambaye sasa kwa mujibu wa wapembuzi wa mambo wanamchukulia kuwa jemedari au muhanga wa kisiasa nchini.

K w a w a k a t i h u o , B w . M a n s o u r , m t o t o wa M wa n a m a p i n d u z i , Marehemu Kanali Yussuf H i m i d , l i c h a ya k u wa M j u m b e s h u p a v u w a B a r a z a l a Wa wa k i l i s h i la Zanzibar wa Jimbo la Kiembesamaki, Wilaya ya Magharibi Unguja, kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, CCM, kilichomtema hivi karibuni, kupitia Mkutano wa H a l m a s h a u r i K u u , Mjini Dodoma, al ikuwa pia akishiki l ia wadhifa wa Naibu Waziri wa Nchi Afisi ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi aliyehusika na Maji, Ujenzi, Nishati na Ardhi, ambapo Makao yake yalikuwepo Forodha Mjanga, Mjini Unguja.

Katika zama hizo Bw Mansour alikuwa ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, NEC, na pia akiwa na wadhifa wa Mshika Fedha wa Chama hicho, Taifa.

Yote hayo na mengineyo siyo yaliyokuwa kivutio kikubwa cha Waangalizi wa Kimataifa wa Uchaguzi waliokuwapo nchini kwenda kumuona na kumhoji Bw. Mansour ana kwa ana, la hasha, bali hamasa yao kubwa iliambatana na kile wenyewe walichokisema kilichopelekea kiu yao hiyo.

“Hawa jamaa hawajui kuficha bwana….watasema t u ” , a l i t a m k a m m o j a wa Wa a m b a t a we n ye j i walioongozana na msafara mkubwa wa Waangalizi hao waliojumuika pia na baadhi ya waandishi wa habari wa kitaifa na kimataifa katika ziara hiyo kwenda kwa Bw. Mansour, nyumbani kwake Migombani, akimaanisha kuwa Wazungu na Wageni

hao hawana muhali wa kubainisha dhamira yao kadiri inavyowezekana pasi na kificho au kubabaisha.

Khulka hii ya baadhi ya Wazungu inatukumbusha siku moja hapa hapa hadharani Zanzibar, Muwekezaji wa Kitaliana katika moja ya hoteli za kitalii za Ukanda wa Pwani ya Mashariki mwa Kisiwa cha Unguja, alivyozozana na Wanakijiji, mwishowe kwa maneno ya mkato akasema:

“Nendeni mnapotaka, Waz i r i wenu n imemp a Hyundai (gari) jipya”.

Akimaanisha rushwa aliyoitoa kwa mmoja wa Mawaziri waliosimamia Sekta ya Utalii Nchini, ili kuwazunguka wananchi wamiliki halali wa ardhi aliyowekeza mgeni huyo.

“Tunaelewa kwamba huyu Mr Mansour ndiye ‘master mind’ wa wizi wa kura wa kisayansi mara hii …..na nyumbani kwake tumesikia ana wahudumia janjaweed………”, walisema kwa mpigo sehemu ya Waangalizi hao wakielekea kwenda kutekeleza azma ya kumkabili na kumhoji kiongozi huyo.

Kaul i h iyo matha lan ndiyo waliyoitumia baadhi ya Maafisa wa Kibalozi hivi karibuni, katika moja ya Vikao vya Kimataifa vya Demokrasia ya Afrika waliposema:

“Tunaelewa gari hiyo na hiyo ni ya Muwakilishi…..i n a b e b a m a t a i r i … .yanayochomwa moto Kisonge na Mwanakwerekwe….halafu wanasema ni Uamsho.”

Wa l i s e m a n a k u z i d i k u t h i b i t i s h a k w a m b a Wazungu hawafichi wala hawaoni tabu inapobidi kusema wanalol i jua au walitakalo.

Katika mwelekeo huo, iwe iwavyo, ithibitike au isithibitike, kwa shaka na imani wal iyokuwanayo Waangalizi wa Kimataifa wa Uchaguzi Mkuu mwaka 2005 dhidi ya Kiongozi huyo, Bw. Mansour ‘chibui’, alikuwa na ushawishi wa hali ya juu na pia ‘silaha’ imara ya kukipatia Chama cha CCM ‘ushindi wa kisayansi’.

“ M a n s o u r a m e g u s a umma hasa wa Kizanzibari katika wakati huu wa kutetea Mamlaka Kamili ya Zanzibar kupitia Mabadiliko ya Katiba ya Nchi”, alisema Bw Salim Ali aliyewahi kuwa Mgombea wa moja ya Majimbo ya Wilaya ya Magharibi Unguja katika Chaguzi zilizopita, mara tu zilipothibitika taarifa za Mkutano wa NEC kumvua

Umma waguswakadhia ya Mansour

Inaendelea Uk. 5

KWA jinsi tunavyoona upepo unavyovuma, kuna haja wakati huu serikali na vyombo vyake vya dola kufanyika tafakuri makini katika kuyaendea mambo yanayohusu imani za dini kwa Watanzania.

Kwa maana kwa jinsi hali inavyoonekana, namna dola inavyojaribu kudhibiti matatizo ya kiimani, ndivyo inavyochochea zaidi chuki, hasira, kukosa imani kwa wana dini na kukuza tatizo zaidi.

Badala ya kufuta hisia za chuki, kuondoa dhana za kuwepo upendeleo kwa wenye dini, kujenga moyo wa kuvumiliana miongoni mwa wenye imani tofauti ili kupata majibu sahihi ya kuendeleza amani na mshikamano, ndio kwanza inaongeza tofauti hizo, dhuluma na utengamano.

Hivi sasa kuna kesi inayoendelea juu ya Sheikh Ponda Issa Ponda, ambaye ni Katibu wa Shura ya Maimam nchini. Ponda anashikiliwa mahabusu ya Segerea na ameshtakiwa mahakama ya mkoa wa Morogoro kwa makosa yanayodaiwa kuwa ni ya uchochezi.

Lakini wakati Ponda akihangaika na kesi hiyo, mara kadhaa Amir wa Shura ya Maimam, Sheikh Musa Kundecha, naye amekuwa akisumbuliwa na polisi, akitakiwa kutoa maelezo ya alipo Kondo Juma Bungo.

S h e i k h K u n d e c h a anasumbuliwa na polisi a k i d a i wa k u wa y e y e anafahamu alipo Bungo, ambaye naye anatafutwa na polisi . Hata hivyo h a i j a b a i n i s h a w a z i anatafutwa kwa sababu gani, lakini bila shaka ni kwa madai yale yale ya uchochezi.

Imam Hamza wa jijini Mwanza, naye alikamatwa na kusweka ndani kwa muda wa zaidi ya mwezi b a a d a y a k u n y i m w a dhamana, na kufunguliwa kesi kwa makosa yale yale ya uchochezi, baadae alipewa dhamana na kesi bado inaendelea.

I m a n H a m z a p i a anahusishwa na ule mzozo wa kuchinja uliotokea kule mkoani Geita.

Tatizo na hitilafu kubwa inakuja pale inapoonekana kuwa, wakati Masheikh wakisakwa kwa udi na uvumba kwa madai ya

Dola itende hakiuchochezi, wakiswekwa r u m a n d e n a we n g i n e wakihojiwa mara kwa mara, nguvu hiyo hiyo ya dola kuwasaka, kuwakamata na kuwafungulia mashitaka Masheikh, haionekani kuchukuliwa dhidi ya Mapadri wanaotuhumiwa kuwa chanzo cha uchochezi wa kuchinja, kwa kuhubiri uchochezi.

H a t u s i k i i k u s a k wa wala kufunguliwa kesi au kuwekwa rumande Maaskofu waliochochea m z o z o w a k u c h i j a Mwanza na Geita, japo wa n a t u h u m i wa a u wa chanzo cha machafuko na madhara makubwa yaliyotokea.

Kadhal ika hatus ik i i wa l a h a t u o n i n g u v u yeyote ya dola kat ika kuwasaka, kuwakamata, k u wa s we k a n d a n i n a kuwafungulia mashitaka wachochezi wa mzozo wa kuchinja kule Tunduma, japo madhara makubwa yalitokea na kuthibitishwa yakiwemo kuchomwa m s i k i t i wa Tu n d u m a , watu kuandamana na kusababisha vurugu katika maeneo ya Tunduma kwa kudai kile walichokieleza kuwa ni kutaka kutekelezwa haki ya kuchinja kwa Wakristo.

Katika mazingira haya ya utendaji wa vyombo vya dola katika masuala ya imani, inajenga wasiwasi na kuibua maswali kuliko majibu.

Tunaona kwamba kama kuna nia ya dhati ya kuondoa matizo yanayotokana na tofauti za kiimani nchini, basi uadilifu una nafasi kubwa zaidi katika kazi hii.

Kwa kuzingatia uadilifu h u o , b a s i i n g e k u w a v y e m a v y o m b o v y a d o l a wa k a wa o n ye s h a Wa t a n z a n i a , n i k w a jinsi gani vyombo hivyo vimemewashughulikia wachochezi wa mzozo wa kuchinja.

Tuelezwe waliohusika Geita, Tunduma na Mwanza wamefikishwa wapi na hatua gani zimechukuliwa hadi sasa.

Vinginevyo, jamii ya Waislamu itaendelea kukosa imani na vyombo vya dola kwa jinsi inayoshughulikia mizozo kati ya pande mbili hizi za imani.

Na huo utakuwa ni msiba mkubwa kwa mustakabali wa amani ya Taifa hili kadiri siku zinavyokwenda.

Page 3: ANNUUR 1088.pdf

3 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA AGOSTI 30 - SEPT. 5, 2013Habari

Katiba mpya kuangamiza Uislamu-Sheikh BarahiyanSHEIKH Salim Barahiyan, ametahadharisha kuwa U i s l a m u u p o h a t a r i n i kutoweka endapo Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano i tapitishwa kama ilivyo.

Sheikh Barahiyan ametoa taadhari hiyo akiwahutubia Waislamu katika kikao cha kujadili Rasimu ya Katiba mpya katika ukumbi wa PTA, Sababa, Jijini Dar es Salaam, Jumapili ya wiki iliyopita, kilichoandaliwa na Baraza la Katiba la Waislamu.

Alisema, ukiipitia kwa makini Rasimu iliyotolewa hivi karibuni na Tume ya kurat ibu Kat iba mpya, utabaini kuwa kuna vipengele kadhaa ambavyo vikiachwa ni wazi vitaumaliza Uislamu.

“Ukiipitia kwa makini rasimu hii, kwa jinsi ilivyo, k a m a i t a p i t a U i s l a m u utatoweka juu ya ardhi hii baada ya muda mchache, kwani mbali ya vile vipengele 18, vyenye matatizo kuna vingine 21, vimeongezwa vya kuumaliza Uislamu”. Alisema Sheikh Barahiyan.

S h e i k h B a r a h i y a n amesema ikiwa kikao hicho hakitokuwa imara, kufikia hatua ya kukubaliana kukataa vipengele hivyo kandamizi vyenye kudhurumu Uislamu na Wais lamu, i t akuwa wameipoteza fursa na kwamba itabakia nafasi moja tu ya kura ya maoni.

A k i f a f a n u a a l i s e m a , kwanza rasimu hiyo ya Katiba ha imtambui Mwenyezi Mungu jambo ambalo ni tatizo kubwa na la msingi.

“A j a b u y a n c h i h i i Bunge, hufunguliwa kwa kumuomba Mungu, na Bunge ni Muhimili mmoja wapo wa Dola, sasa ndani ya Bunge anatambuliwa Mungu lakini ndani ya katiba Mungu hatambuliwi.

Huu ndio mfumo ule wa maana ya Dini kutoka Uingereza kuwa dini ibaki kuwa ni ya mtu binafsi.

Kwa Waislamu Mahakama ya Kadhi ni Ibada, kwa kuwa zinahukumu kwa mujibu wa sheria ya dini yao.

K u wa z u i a Wa i s l a m u kuhukumiana kwa mujibu wa dini yao ni kuwanyima haki yao ya kuabudu.”

Sheikh Barahiyan, alisema katika rasimu hii, kuna vipengele (vifungu), ambayo kwa idadi ni kumi na tisa ambavyo kwa mtazamo wa Kiislamu ndivyo vilivyo sababisha hali ya Waislamu waliyonayo hivi sasa.

Alisema, katika maoni yao (Waislamu) katika awamu ya kwanza ya watu binafsi Waislamu vijana kwa wazee waliviashiria vifungu hivyo kupitia Tume ya kuratibu maoni na kuitaka tume hiyo kuviondoa kwa kuwa vina

Na Bakari Mwakangwale athari mbaya katika dini yao.Alisema maoni mengi

ya Waislamu yamekataliwa sambamba na yale mambo ya msingi ya kuuharibu Uislamu, hata hivyo alidai ni kipengele kimoja tu kilicho ondolewa, ambacho nacho hakikuwa na uhusiano wa moja kwa moja na dini.

Alikitaja kipengele hicho kuwa ni cha mfumo wa siasa ya ujamaa na kujitegemea, ambapo neno siasa ya ujamaa ndilo lililotolewa katika rasimu lakini , akasema vipengele 18 , ambavyo Waislamu wanaona vina athari kwao katika kuabudu vimehamishwa kutoka katika Katiba iliyopo, na kuingizwa katika rasimu kama vilivyo.

“Vijana wa leo wanasema, wamekopi na kupesti, yaani neno kwa neno, hakuna mabadil iko yoyote kwa sababu ni kwa ile itikadi tu kwamba vipengele hivyo ndivyo vinavyokubalika K i m a t a i f a . ” A l i s e m a Barahiyan.

Alisema kupitia Katiba i l iyopo sasa , Wais lamu wamepata madhara mengi kama vile kutenganisha mamlaka ya dini na Serikali, na kwamba alidai kipengele hicho kimekuwa ndiyo fimbo ya kuwapigia Waislamu.

Ali tolea mfano kuwa k i l a wa k a t i Wa i s l a m u , wanapohitaji haki zao za msingi za kiibada mfano M a h a k a m a y a K a d h i , hutolewa kifungu namba 19.

“Jibu lake huwa mamlaka ya nchi na dini ni mbalimbali, kwa hiyo mkitaka Mahakama ya Kadhi hayo ni mambo ya Dini hayawezi kuingiliwa na Serikali, hii ndiyo fimbo waliyoikamata dhidi ya Waislamu”. Alisema Sheikh Barahiyan.

Lakini, alisema Waislamu wa n a i s h a n g a a S e r i k a l i ambayo inakataa masuala y a D i n i y a K i i s l a m u , lakini Serikali hiyo hiyo hu j i shughul i sha kat ika ibada ya kuandaa futari kwa Waislamu kila mwaka.

Akahoji , hizo pesa za kuandaa futari za Waislamu zinatoka wapi, ilihali alisema, inajulikana futari ni chakula cha kiibada kwa Waislamu, au akahoji, Serikali inaona Waislamu ni waroho au wanashida sana ya futari?

“Kujishughulisha na futari haionekani kuwa ni suala la Kidini, lakini pale wanapotaka mambo yenye manufaa kwao kama Mahakama ya Kadhi au kujiunga na OIC, Serikali inaleta hoja kuwa hayo ni mambo ya Kidini.” Alihoji Barahiyan.

A l i k i t a j a k i p e n g e l e kingine kilichohamishiwa katika Rasimu ya Katiba mpya kutoka katika Katiba ya zamani kuwa ni suala la Uhuru na Ibada, kwani maneno hayo yamekuwa ni

kiini macho kwa Waislamu.Alisema, katika kufuatilia

maneno hayo mawili, ni kwamba yameandikwa na Mwingereza kwa tafsiri ya dini yake, ambayo ni ya Kikristo na kuyaingiza katika Katiba iliyopo sasa.

A k i f a f a n u a a l i s e m a , Waingereza waliposema watu wana Uhuru na Ibada wal ikuwa wakikusudia maana yao ya dini kuwa ni mahusiano ya mtu na Mungu wake wa Kiroho tu.

Alisema, Wakristo hawana wigo mpana wa ibada kama ilivyo kwa Waislamu, wao (Wakristo) kwa mujibu wa maana ya dini ni kuwa (Dini) inaishia katika nyumba za ibada tu tofauti na Waislamu.

“Sisi Waislamu neno dini lina maana pana na neno Ibada pia lina maana pana vile vile, kwani Dini ni mfumo kamili wa maisha ya wanaadamu uliowekwa na Mwenyezi Mungu, kupitia vitabu vyake.” Alisema.

Awali, katika utangulizi wake, akifafanua maana ya Katiba na chimbuko lake nchini, Sheikh Barahiyan, alisema Katiba kwa mujibu wa wanasheria ni sheria mama ya nchi.

Hiyo alisema, ni pamoja na mambo ya msingi ambayo wananchi wa nchi fulani wamekubaliana kuwa mambo hayo ya msingi yawe ndiyo muungozo wa kuendesha jamii na nchi yao.

“Kwa hiyo ni yale mambo ambayo wanahisi kwamba wanakubaliana pamoja yawe ndiyo mambo ya msingi ya kuendesha nchi ndiyo maana wanasheria wengine wameita

ni sheria mama ya nchi.” Alisema.

Akafafanua kuwa, historia ya katiba ya nchi hii ni jambo ambalo halina utata mbele ya wanahistoaria na wanasheria, k w a m b a K a t i b a h i y o kama ilivyo nchi nyingine zilivyotawaliwa na Wakoloni, wakiwemo Waingereza, Wafaransa na Wajerumani, huwa sehemu kubwa ya Katiba zao zimetungwa na Wakoloni.

Alisema, baada ya kupata Uhuru Waingereza walifanya

h i l a y a k u w a a n d i k i a Watanganyika Katiba ili iwe muongozo wao, baada ya kujipatia uhuru wao, ambayo ndiyo hii iliyopo sasa.

B a r a h i y a n , a l i s e m a katika mbinu walizo tumia ni kwamba Waingereza wal is imamisha Ukoloni mambo leo kwa kutumia K a t i b a , k w a m b a w a o waliondoka kama watawala l a k i n i w a l i h a k i k i s h a wameacha watu ambao wanafikra na mawazo yao.

Ponda Mahakamani tena Septemba 17Inatoka Uk. 1

katika hatua ya awali, lakini DPP, ameweka pingamizi la dhamana.

“Kesi leo (Jumatano wiki hii) imefanyika kwa usikilizwaji wa awali na niliomba Sheikh apewe dhamana kwani ni haki yake ya msingi, lakini DPP akaweka pingamizi, akidai anazuia kwa sababu za usa lama na maslahi ya Taifa”. Alisema Wakili Nassoro.

Wa k i l i N a s s o r o , a l i s e m a a m e p i n g a sababu hizo hivyo hakim ameahirisha kesi hiyo hadi Septemba 17, 2013, ambapo Mahakama itatoa uamuzi wa suala hilo.

Kwa mujibu wa Wakili wa Sheikh Ponda, Bw. Juma Nassoro, alisema P o n d a , a l i f i k i s h wa

kwa usafiri wa gari, tofauti na ilivyokuwa a wa m u ya k wa n z a ambapo al i f ikishwa kwa Helkopta, akitokea Mahabusu katika gereza la Segerea, Jijini Dar es Salaam.

Ama kuhusu afya ya Ponda, kufutia jeraha alilopigwa risasi, Mkoani humo, Wakili Nassoro, alisema afya yake inazidi kuimarika na anaendelea vizuri.

“Nimeongea naye na nilivyo muona kiafya y u p o s a wa k a b i s a a n a e n d e l e a v i z u r i na kwamba hajanipa mala lamiko yoyote juu ya maendeleo ya jeraha lake ama anakosa matibabu”. Alibainisha Wakili Nassoro.

Mamia ya Waislamu

w a l i a n z a k u f i k a M a h a k a m a n i h a p o alfaj iri , mara baada ya swala ya Alfajiri a m b a p o i m e e l e z wa kuwa Waislamu wengi walikesha katika Msikiti wa Dini Moja Mungu Mmoja wakifanya ibada ya Itiqaf.

M a r a b a a d a y a kumalizika kusilizwa kwa kesi hiyo, umati m k u b w a k u t o k a M a h a k a m a n i h a p o ulielekea katika Mzikiti wa Boma, na kusababisha shuguli kusimama kwa muda.

S h e i k h P o n d a alifikishwa Mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Agosti 19, na k u s o m e wa m a s h i t a matatu.

SHAYKH Salim Abdul-Rahym Barahiyan

Page 4: ANNUUR 1088.pdf

4 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA AGOSTI 30 - SEPT. 5, 2013Makala/Tangazo

Bismillahir Rahmanir Raheem

KIGAMBONI /KIGOGOCHUO CHA UALIMU

TEACHERS’ COLLEGE

CU.124 CU.130

NAFASI ZA MASOMO (2013-2014)

UALIMU:

Nafasi za Udhamini kwa waliopataviwango Ngazi ya Diploma na Cheti.

Wahi, Nafasi Chache!

CHEKECHEKEA (Div. IV- 28 na Kuendelea)

GRADE 3A ( Div. IV-27)

STASHAHADA (E Moja Na S Moja)

0715-860120 / 0654- 580924

Note:

(Asiyekuwa na Viwango anaruhusiwa kusoma Ualimu huku anarudia Mitihani)

Computer ApplicationsSecretarial Studies, Records Mgt, Project Planning & Mgt, ICT, Simplified Accountancy,

Kozi za Biashara

K W A k u w a vurugu za k is iasa zinawashughulisha wa t u we n g i z a i d i d u n i a n i h i v i l e o , sanjari na kuvuruga shughuli za kiuchumi, kuharibu mali za watu na pengine kupoteza maisha ya watu wasio na hatia, nafikiri ni wakati muafaka sasa tukajiuliza swali hilo hapo juu.

Wanasiasa na wale wa n a o d a i k wa m b a wanaijua au wanaipenda sana demokrasia, hawa n d i o wa n a o s t a h i k i kupewa jukumu la kulijibu swali hili na swali linalo fanana na hili katika medani hii ya demokrasia.

Ni nani aliyeweka m i p a k a h i i k a t i k a demokrasia? Ni nani ambaye yuko tayari kuilinda demokrasia wakati wowote inapo v u n j w a a u i n a p o d h u l u m i wa k a t i k a nchi yoyote duniani? Aidha ni nani duniani aliyesifika au aliyepata kukubalika kwamba yeye ndiye mwana d e m o k r a s i a h a l i s i , aliyeweza kujenga dola ya demokrasia katika nchi yake na watu wote wakamtambua, w a k a m k i r i n a wakamkubali nchini kwake na Dunia nzima?

Tunajiuliza maswali kama haya kutokana na jinsi wanasiasa wengi duniani, hasa katika m a d o l a m a k u b w a wanavyo unyooshea vidole Uislamu. Dola yoyote kat ika nchi yoyote inayoundwa na

Nani aliyeweka mipaka hii katika demokrasia?

Na Sheikh Bawazir A

Waislamu na hali ikiwa na muelekeo japo dhaifu wa Kiislamu, ni lazima dola hiyo itasakamwa n a i t a k a b i l i wa n a upinzani utokao nje na ule wa vibaraka wa madola makubwa waliomo ndani, mpaka ianguke. Hivyo ndivyo hali ilivyo huko Iran, Tunisia, Syria na Misri hivi sasa. Nchi hizi hata lau kama zitajitangazia demokrasia ya kiasi gani, bado hazitakubalika.

Ser ikal i halal i ya Misri, iliyochaguliwa chini ya kile kiitwacho demokras ia , t ayar i imeshapinduliwa na jeshi kwa madai ya kuitika na kutekeleza nguvu na matakwa ya umma. Dola ya Dokta Muhammad Murs i , imepindul iwa s iku ya Julai 3, 2013 kwa kutegemea mihimili mitatu; nguvu ya baadhi tu ya umma wa Misri, katiba na jeshi. Hivi ni kweli kwa utaratibu kama huu kuna dola inayoweza kusalimika? Nguvu ya umma ya kupiga kura katika masanduku, imepuuzwa na haina thamani mbele ya nguvu ya umma ya maandamano?!

Imekuwa ni rahisi kwa mwanasiasa kuingia ikulu kwa nguvu ya umma ya maandamano k u l i k o k wa n g u v u y a u m m a k u p i t i a masanduku ya kura? Kama ni hivyo, pana haja gani basi kila baada ya miaka minne au mitano serikali kupoteza pesa nyingi za wavuja jasho wa nchi husika na baadhi ya wanasiasa kupoteza hata heshima zao katika kampeni z a o , i l i t u k u p a t a asilimia kubwa katika kura za masanduku ili kuwawezesha kuingia ikulu?

R a i s Mu r s i h u k o M i s r i a l i i n g i a madarakani kupitia kura za wananchi na akaendesha serikali yake kwa katiba iliyokubalika kwa as i l imia s i t in i n a n n e ( 6 4 % ) y a wananchi, kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Lakini ameondolewa madarakani kwa muda wa saa arobaini na nane (48) tu, kwa amri ya mtu mmoja tu, eti kwa sababu yeye ni mkuu wa majeshi!

M a a n d a m a n o y a l i y o f a n y w a n a w a p i n z a n i w a Muhammad Murs i , yalionekana ni halali, h a k u n a b u n d u k i iliyoelekezwa kwao na wala hakuna aliye dai kwamba hao ni magaidi. Lakini maandamano ya wafuasi wa Muhammad Mursi, ambao wanataka Rais wao arejeshwe m a d a r a k a n i , h a y o hayakuonekana kuwa ni nguvu ya umma. Bali waandamanaji hao

walionekana kuwa ni magaidi, wanaoipinga serikali i l iyowekwa madarakani na mtu mmoja tu kwa nguvu ya jeshi.

Madola makubwa y a n a y o h i m i z a d e m o k r a s i a yameonyesha mfano mzuri wa kupinga yaliyo tokea Misri, lakini kwa masikitiko makubwa w a o t u n a w a s i k i a wakipiga kelele juu ya umwagikaji wa damu tu, uliofuatia mapinduzi haramu hayo na nguvu kubwa isiyo kuwa na kiasi iliyo sababishwa na Jenera l i Abdul -Fattahi Sissi. Upande wa demokrasia wote wako kimya, hakuna anayeonyesha hasira

kwa kuvunjwa heshima ya demokrasia na dola halali ya kidemokrasia kudhulumiwa. Ukimya huo ni kwa sababu dola ya Mursi haikuwa ni ya kidemokrasia kwa vipimo vyao?! Kama ni kweli serikali ya M u r s i h a i k u wa n i y a k i d e m o k r a s i a , k w a n i n i t a n g u mapema masanduku y a l i y o p e l e k e a Mursi kuingia Ikulu yasingelivunjwa? Bali badala yake Misri ndiyo iliyovunjwa kwa vifaru, helikopta, mabomu na bunduki?

Innaa lillaahi wa innaa ilaihi raaji’uun.

Email, [email protected])

Page 5: ANNUUR 1088.pdf

5 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA AGOSTI 30 - SEPT. 5, 2013Habari za Kimataifa

Wanawake Sweden waungamkono wanaovaa hijabuSTOCKHOLMK a t i k a k u o n y e s h a mshikamano wao kwa mwanamke wa Kiislamu aliyeshambuliwa mjini Stockholm kwa sababu ya kuvaa vazi la hijab, wanawake nchini Sweden wameamua kusambaza picha zao wakiwa wamevaa hijab.

Msemaji wa Polisi ya Sweden amesema kuwa, siku ya Ijumaa mtu asiyejulikana alimshambuliwa mwanamke mjamzito aliyekuwa amevaa vazi la stara la Kiislamu la hijab na kumtukuna.

Kama hilo halitoshi, mtu huyo pia alimchania hijabu yake mwanamke huyo na kumpigiza kichwa chake kwenye gari.

U s h a h i d i u l i o p o unaonesha kwamba, itikadi za kidini ndio sababu kubwa iliyosababisha mwanamke huyo ashambuliwe.

Katika kulaani kitendo hicho kisicho cha kibinadamu, kundi la wanawake wa S we d e n i l i k u o n ye s h a m s h i k a m a n o wa o k wa mwanamke huyo Muislamu, Jumata tu wal i sambaza picha zao katika mtandao wa kijamii wa twitter, wote wakiwa wamevaa vazi la hijab.

Miongoni mwa wanawake hao waliopinga kitendo hicho, ni wanasiasa na watangazaji maarufu wa televisheni, akiwemo Asa Romson, kiongozi wa chama cha 'Green Party' pamoja na Veronica Palm, mwakilishi wa chama cha kidemokrasia katika Bunge la Sweden.

Kundi hilo la wanawake p i a l i n a f a n ya j i t i h a d a za kuandaa mazingi ra ya kuwaamsha watu il i wajue yanayowakabiliwa wanawake wa Kiislamu kutokana na kuvaa vazi la stara la hijab.

H a r a k a t i i l i y o p e w a j ina la 'Sauti ya Hijab" imeitaka serikali ya Sweden kuwahakikishiwa wanawake wa Kiislamu wa nchi hiyo haki yao ya uhuru wa kidini inaheshimiwa.

Inaonekana kuwa kuenea kwa chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya, ambako hivi sasa ni makazi ya mamilioni ya wahamiaji wa Kiislamu, kila siku inachukua sura mpya.

Kwamba vya chuki dhidi ya Uislamu vinashuhudiwa hivi sasa katika nchi za Ulaya, ambazo huko nyuma zilikuwa zinaonekana kama vile zina hali ya kuvumiliana na kustahmiliana kidini na asili za watu.

Nchi za Scandinavia

ikiwemo Sweden, Norway na Denmark ni eneo lenye wahajiri wengi wa Kiislamu na kuongezeka mashambulizi dhidi ya Waislamu katika nchi hizo, kunahesabiwa kuwa ni dalili za kubadilika taratibu, hali ya kijamii na kuongezeka propaganda chafu za kuufanya Uislamu uonekane tishio.

Hata hivyo hatua hizo zilizoanzishwa na wanawake wa Sweden za kuunga mkono vazi la hijab na wanawake wanaojisitiri kwa vazi hilo, zinaweza kuchukuliwa kuwa ni chachu ya kukabiliana na vitendo na propaganda za chuki dhidi ya Uislamu, kuongezeka kushambuliwa Waislamu hasa wanawake wanaovaa hijabu.

I n a v y o o n e k a n a n i kwamba, propaganda za chuki za kuonesha kuwa Uislamu ni tishio, ambazo kila uchao zinazidi kurushwa katika vyombo vya habari vya Ulaya, z ina nafasi

kubwa katika kuzidisha mashambulizi dhidi ya Waislamu katika baadhi ya nchi kama vile Ufaransa, Ujerumani, Uingereza na Sweden, ambako kuna idadi kubwa ya Waislamu wahajiri.

Ushahidi unaonesha kuwa, vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu vinazidi kuongezeka barani Ulaya huku Waislamu wakinyanyaswa, kutishwa, k u b a g u l i w a k w a n j i a mbalimbali, kufunguliwa kesi tofauti pamoja kuvunjiwa h e s h i m a m a t u k u f u ya Kiislamu vimeongezeka. Pamoja na hayo, Waislamu wa m e e n d e l e a k u l i n d a utambulisho wao wa kidini, hali inayolazimu waungwe mkono na Wakristo ambao wanapinga kukiukwa haki za raia.

Mwenendo huo huenda mwishowe ukaleta matokeo tofauti katika njama za kuufanya Uislamu uonekane t i s h i o k a t i k a n c h i z a Magharibi.

Spika asikitishwa na misimamo ya Waarabu Spika wa Bunge la Lebanon ameeleza kusikitishwa n a m i s i m a m o i n a y o o n y e s h w a n a ulimwengu wa Kiarabu k u h u s u k a d h i a y a Palestina na mgogoro wa Syria.

A k i h u t u b i a k a t i k a m a a d h i m i s h o y a k u m k u m b u k a I m a m Musa Sadr, katika mji wa Sur uliopo kusini mwa Lebanon, Nabih Berri ameeleza kuwa, kwa bahati mbaya misimamo ya nchi za Kiarabu zaidi ipo katika kuunga mkono suala la kuzigawa nchi za Kiarabu na kuendeleza mauaji ya raia wasio na ulinzi katika nchi hizo.

Spika huyo wa Bunge la Lebanon ameashiria kuendelea siasa za kiadui na kupenda kujitanua za utawala wa Kizayuni dhidi ya Palestina na nchi nyingine za Kiarabu na kusema kuwa, nchi za Kiarabu hazijachukua msimamo wowote wa pamoja katika kukabiliana na Israel.

Aidha Nabih Berri , amelaani pia hatua ya makundi ya waasi kutumia

silaha za kemikali huko Rif Dimashq, kusini mwa Syria na kusema kuwa kitendo hicho ni matokeo ya uungaji mkono wa baadhi ya nchi za eneo na Washirika wao duniani kwa makundi hayo ya waasi huko Syria.

B e r r i a m e s e m a mashambulio ya milipuko ya mabomu ya hivi karibuni huko Beirut na baadae huko Tripoli, Lebanon pia yametekelezwa ili kuzusha machafuko nchini humo, kuzusha hofu miongoni mwa raia na kutoa pigo kwa muqawama

Katika hatua nyingine, Waasi wa Jabhat al-Nusra nchini Syria, wameahidi kutekeleza mashambulizi zaidi ya silaha za kemikali dhidi ya eneo la al-Ghouta la Mashariki l i l i loko mkoani Rif Dimashq, Kusini mwa nchi hiyo kwa madai kuwa ni ya kulipiza kisasi cha matumizi ya silaha hizo yaliyofanywa na jeshi la Syria katika eneo hilo.

Waasi hao wanaoungwa m k o n o n a n c h i z a Magharibi na baadhi ya n c h i z a K i a r a b u

wamesema, mashambulizi hayo yatayalenga makazi ya raia hasa katika maeneo yale ambayo wakazi wake wanaunga mkono serikali ya Damascus.

Hayo yamesemwa na kiongozi wa kundi hilo la Jabhat al-Nusra, Abu Muhammad al-Jolani, k u p i t i a m k a n d a wa sauti alioutumwa katika mtandao wa YouTube na Twitter. Kiongozi amedai kuwa, kwa kuwa serikali ya Syria ilitumia silaha za kemikali, basi ni wajibu wa kundi hilo kulipiza kisasi kwa mashambulio hayo.

Hayo yanajiri katika hali ambayo, serikali ya Damascus imekanusha mara kadhaa kuhusika k wa a i n a y o y o t e n a mashambulizi ya kemikali d h i d i ya r a i a wa k e , sambamba na kukubaliana n a U N k u wa r u h u s u watafiti wa kimataifa kufanya uchunguzi wao kuhusiana na madai hayo.

Naye Rais Nico lás Maduro wa Venezulea, ameituhumu vikali serikali ya Marekani kwamba inafanya njama za kutaka

kuanzisha vita vipya vya dunia, kwa kuishambulia kijeshi Syria.

Mtandao wa Russia T o d a y , u m e m n u k u u Rais Maduro akisema, “Inaonekana Marekani inapanga kuanzisha vita vikubwa vya dunia na kuzishinikiza nchi za Kiarabu ikiwemo Syria.” Mwisho wa kunukuu.

Maduro pia amesema kuwa, hivi sasa vyombo vya habari vya dola za Magharibi, vinaendesha p r o p a g a n d a k u b w a dhidi ya Syria, ambapo alisisitiza kuwa, kamwe hawatawaacha kuunga mkono watu wa Syria.

Kwa upande mwingine, Rais Maduro alisema kuwa, Syria ndio mhimili wa amani wa nchi za Kiarabu na kwamba, kwa bahati mbaya nchi hiyo inakabiliwa na hujuma za ukoloni. Amewapa pole watu wa Syria kwa mashambulizi ya kigaidi, yakiwemo yale ya silaha za kemikali na kusisitiza juu ya kutotumiwa silaha za aina hiyo.

Umma waguswa Inatoka Uk, 2

U a n a c h a m a w a C C M ‘mwana-mkataba huyo’.

Mpembuzi huyo wa mambo ya kisiasa nchini amechukulia nafasi ya tangu zamani ya Bw. Mansour katika ushawishi wa siasa, uzoefu wake wa uongozi katika wizara mbali mbali za Serikali ya Zanzibar akiwa Waziri, upembuzi wake wa kubaini kero za muungano, ms imamo wake kat ika kujadili Maoni na Rasimu ya Katiba, ndiyo hali ya mguso zaidi uliopelekea matumaini ya umma wa wananchi walio wengi, Unguja na Pemba, katika kile kinachotajwa “Katiba Waitakayo”.

“Mansour atukumbusha mbali zama za Maswahaba wa Mtume (SAW) waliotumikia ujahilia miaka mingi kisha wakaja kuutetea Uislamu kwa nguvu zao zote…hebu na aje ajumuike nasi tuikomboe Nchi yetu…..”, al isema Ust. Mwalimu, Mkaazi wa Gulioni, Mjini Unguja, katika Baraza Mchanganyiko ya Vijana na Wazee, wakati wa kujadili kadhia ya Kiongozi huyo.

“Tunajiandaa umma uje

kutoa tamko la kumpongeza na kumuunga mkono Mhe.

Mansour kwa ujasiri wake wa kuitetea Mamlaka Kamili ya Zanzibar…watu wanalisubiri kwa hamu hilo’, alisema Bw. Khalid, mmoja wa Wakuu wa Baraza la Katiba la Zanzibar, a k i g u s i a K o n g a m a n o maalum l i l i loandal iwa Jumamosi hii katika Hoteli ya Bwawani, Mjini Zanzibar, ambalo kwa mujibu wa waandaaji l i ta jumuisha V i o n g o z i M a s h u h u r i akiwamo Mwanasher ia M k u u w a Z a n z i b a r , B w . O t h m a n M a s o u d , aliyetarajiwa kuwasili Nchini jana akitokea, Qatar, kwa ziara za kikazi.

Kat ika hal i ambayo haikutara j iwa, bendera za CCM katika baadhi ya Matawi na Maskani za Jimbo la Kiembesamaki, aliloliwacha Bw. Mansour, kutokana na kuvuliwa kwake uanachama hivi karibuni, zimeonekana kuendelea kupepea nusu mlingoti.

M a s h a h i d i , k a b l a ya wa a n d i s h i k we n d a k u l i t h i b i t i s h a i l o , wamebainisha maeneo ya Mazizini, Migombani, Buyu, Maskani za Chukwani na Mbweni, kuwa zimechukua hatua hiyo kutokana na namna wal ivyoendelea kusononeshwa na kadhia ya aliyekuwa Muwakilishi wao.

Page 6: ANNUUR 1088.pdf

6 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA AGOSTI 30 - SEPT. 5, 2013Makala

I M E E L E Z W A k u w a k i t e n d o c h a C h a m a Cha Mapinduzi (CCM) kumfutia uanachama wake Mansoor Yussuf Himid, kimedaiwa kuwa ni kitendo cha CCM kujiangamiza yenyewe katika siasa za sasa za Zanzibar, ambazo zimetawaliwa na hoja moja kuu ambayo ni Mamlaka Kamili.

Kwamba kufukuzwa kwa Mhe. Mansoor, hakuwezi kuyatenganisha na matakwa halali ya Wazanzibari walio wengi, wanaotaka Zanzibar irejeshe hadhi yake kama nchi yenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa.

Mwakilishi wa Jimbo la Mji Mkongwe Mhe. Jusa Ismail, ameeleza kwamba vi jana wengi wa CCM Zanzibar wa kizazi kipya, walishaonesha mwelekeo wa kupoteza imani na chama chao kutokana na ukakasi wa viongozi wake kushindwa kusimamia matakwa na maslahi ya Wazanzibari, na badala yake kuonekana kama ni mawakala wa maslahi ya Tanganyika dhidi ya Zanzibar.

“Rais Ali Mohamed Shein, Balozi Seif Ali Iddi, Vuai Ali Vuai na Sekretarieti ya akina Haj i Mkema, Hamad Masauni na Waride Bakari Jabu hawaonekani k u wa k i l i s h a h i s i a z a Wazanzibari.

Kielelezo thabiti cha hali hiyo kilionekana pale mamia ya vijana wa CCM walipoonekana kupanga misururu mirefu huko M a t e m w e n a K i t o p e kurejesha kadi za kijani kwa kiongozi waliyempa matumaini yao Maalim Seif Sharif Hamad.” Imesemwa.

Makamu Mwenyekiti wa CCM, Phillip Mangula. Yeye anataka Muungano wa Serikali Moja. Hajaitwa. Hajafukuzwa.

Hali kama hiyo ikajitokeza kwa wazee wa CCM wa maeneo yenye ngome zao Pemba kama Kangagani ambao nao walirudisha kadi huku wakiomba msamaha kwa kuchelewa kufahamu kuwa kumbe CCM hakipo kwa maslahi ya Zanzibar na Wazanzibari.

Katika hali kama hiyo ungetegemea chama makini na kinachojikosoa kingejirudi na kujitazama upya. Lakini wapi? Wahenga walisema: La kuvunda halina ubani.

B w . J u s a a m e e l e z a kuwa siku za hivi karibuni a l i p o k u wa a k i h u t u b i a mkutano wa hadhara katika viwanja vya Komba Wapya, aliwaambia wanachama

Ukweli wa kufukuzwa Mhe. MansoorYadaiwa lengo ni kubomoa maridhiano

Na Mwandishi Wetu

wa CCM hususan vijana k w a m b a , m p a k a l i n i wa t a e n d e l e a k u k u b a l i Dodoma kuwa machinjio ya kisiasa ya viongozi wa Zanzibar?

Alisema kuwa alianza A b o u d J u m b e m wa k a 1984, akafuata Maalim Seif Sharif Hamad na wenzake sita mwaka 1988, akaja Dk. Salmin Amour alipojiunga na OIC mwaka 1993 na sasa tena mwaka 2013 anadhalilishwa Mansoor Yussuf Himid, kwa sababu tu amethubutu kuhitilafiana na watawala wa Dodoma kwa kusimamia kidete hoja ya Mamlaka Kamili.

Hivyo a l isema kuwa umefika wakati wana-CCM wa Zanzibar, hasa vijana kujiuliza kama kweli CCM ni chama chao na kipo kwa maslahi yao na kama ndicho kweli mzawa na mrithi wa kisiasa wa Afro-Shirazi Party (ASP)?

Alisema Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai (Mbunge wa Kongwa kwa tiketi ya CCM) naye alishatoa maoni yake na kutaka serikali tatu lakini hajaitwa wala kufukuzwa.

Kwa maana hiyo, Mhe. Jusa anasema kuwa uamuzi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM wa kumfuta uanachama Mansoor, ni ujumbe tosha kwamba yeyote atakayesimamia maslahi ya Zanzibar hana nafasi kwenye chama hicho, huku akitumia

msamiati kwamba Zanzibar na CCM ni Lila na Fila, hazitangamani.

Na tazama hata majibu ya Katibu Mwenezi wa CCM wa upande wa Tanganyika, Nape Nnauye, alipoulizwa autaje usaliti wa Mansoor anaodaiwa kuufanya dhidi ya Chama. Alisema ni pale Mansoor aliposimama ndani ya Baraza la Wawakilishi mwaka 2009 na kusema Serikali ya Muungano ni wizi wa mchana kweupe wa rasilimali za Zanzibar. Swali la kumuuliza Nape ni kwamba je, madai hayo ni uongo?

“Lakini hebu tuje kwenye hili la kutetea msimamo wa muundo wa Muungano wa Mkataba unaokwenda kinyume na sera ya CCM ya Serikali Mbili. Kama hilo ni kosa mbona aliyeadhibiwa ni Mansoor peke yake”, alihoji Jusa.

Bw. Jusa alihoji zaidi kwamba hata wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, ambayo ndiyo iliyokuja na pendekezo la muundo wa Shirikisho la Serikali Tatu, wakiwemo Jaji Joseph Warioba, Salim Ahmed Salim na Joseph B u t i k u n i wa n a c h a m a wa CCM, akahoji mbona hawakufukuzwa?

Aliongeza kuwa naye Mbunge kwa tiketi ya CCM Kilindi, Beatrice Shelukindo, naye anaunga mkono serikali tatu, lakini naye hajaitwa

wala hajafukuzwa. Kadhalika naye Esther Bulaya.

Akirejea siku za nyuma kidogo, Mhe. Jusa alieleza kwamba mwaka 1994, kundi la wabunge 55 maarufu kama G-55 walipeleka hoja Bungeni na ikapitishwa na Bunge zima ya kuanzisha Serikal i ya Tanganyika kinyume na sera ya CCM. Nao hawakufukuzwa.

A l i s e m a u k i a c h a wabunge hao, hata Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula, alisema msimamo wake ni kutaka mfumo wa Serikali Moja tu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jambo ambalo ni kinyume na sera ya CCM lakini naye hakufukuzwa na kuhoji, kwa nini Mansoor Yussuf Himid peke yake?

Mwakilishi huyo alisema kwa mtazamo wake, Mhe. Mansoor, ameadhibiwa kwa sababu ya msimamo wake aliouchukua katika kuleta amani kupitia Maridhiano ya Wazanzibari, ambayo wahaf idhina wa CCM/Zanzibar na wale wenye kujali maslahi yao hawakuyataka.

K w a m b a w a n a o n a Maridhiano na Serikali ya U m o j a wa K i t a i f a iliyopatikana yamewatibulia nafasi za kuwa Mawaziri au Manaibu Wazir i na pia kufanya watakavyo kujinufaisha wao na familia, huku watoto wa wanyonge, wakwezi na wakul ima wakiendelea kusaga meno.

Alisema kosa la pili la Mansoor, ni kusimama bila ya kuyumba kwenye hoja ya mamlaka kamili kwa Zanzibar, msimamo ambao unakwenda kinyume na misingi ya CCM iliyoachwa na mwasisi wake Julius Nyerere.

A l i s e m a k w a j i n s i amjuavyo Mansoor, ambaye ni mjumbe wa Kamati ya Maridhiano, maridhiano yaliyoasisiwa na Wazanzibari, Rais mstaafu Amani Karume na Makamu wa Kwanza wa SMZ, Maalim Seif Sharif Hamad, inayoongozwa na mwana CCM Hassan Nassor Moyo, hatayumbishwa na uamuzi huo. Maridhiano hayo ndiyo yaliyoondosha dosari zi l izodumu kwa takriban miaka 20 visiwani Zanzibar.

“Natambua jinsi alivyo jasiri , shupavu, mkweli na mzalendo na hivyo najua hatotetereka katika kuendeleza msimamo wake na kuendeleza harakati za Mamlaka Kamili kwa Zanzibar”. Alisema Jusa.

Kwa upande mwingine, harakati za Viongozi wa Taasisi za Kiislamu na Jumuiya

ya Uamsho na Mihadhara Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), wakiongozwa na Sheikh Farid Hadi Ahmed, kwa kutumia fursa yao ya kikatiba kuzungumzia mustakabali wa muungano kufuatia vuguvugu la kukusanya maoni kuhusu kuandikwa k a t i b a m p y a n c h i n i , inasadikiwa kuwa inaweza kuwa sababu mojawapo iliyomng’oa Mhe. Mansoor chamani.

Kwa kuzingatia shauku ya Wazanzibar walio wengi, Umoja wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu ilitoa rai kuwataka waumini na Wazanzibari wote kushiriki katika kutoa maoni.

Pamoja na hayo msimamo wa Jumuia hiyo ulikuwa ni kuwepo muungano wa mkataba, lakini kwanza kupigwe kura za maoni kwa Wazanzibar, itakayotoa fursa na uhuru kwa wazanzibar kuamua ni aina gani ya Muungano wanaoutaka.

M s i m a m o a m b a o unaungwa mkono na Bw. Mansoor, hivyo kuonekana anahusiana na malengo ya wana UAMSHO.

Hata h ivyo ra i h iyo ya UAMSHO imekuwa i k i u n g w a m k o n o n a Wazanzibar walio wengi.

M s i m a m o h u o w a UAMSHO ulizua tafrani kubwa kiasi cha kubandikwa majina ya kila aina, yakiwemo ya ugaidi , kikundi cha uchochezi nk.

Ni katika msimamo huo wa UAMSHO, hivi sasa viongozi wake wako mahabusu na wamefikishwa mahakamani kwa mashitaka mbalimbali yakiwemo ya uchochezi.

Aidha linakumbukwa tamko la wazi la mwenyekiti wa Tume ya ukusanyaji wa maoni kuhusiana na katiba mpya Bw. Jaji Warioba, alilolitoa mbele ya waandishi wa habari alipoizindua Tume hiyo mjini Dar-es-Salaam Jumatatu ya Juni 18,2012.

Katika tamko hilo Jaji Warioba alisema kwamba maoni yoyote yataheshimika na kuzingatiwa, ikiwemo suala zima la muungano pamoja na yale maoni ya watu wanaoukataa muungano.

L a k i n i p a m o j a n a msimao huo wa Tume, bado imeonekana kwamba katika vyama vya siasa, kiongozi au mwanachama anaweza kuadhibiwa kwa msimamo wake ulio huru kikatiba, lakini kwa maeneo fulani ya nchi msimo hasi na msimamo w a c h a m a u n a w e z a kusababisha mwanachama au kiongozi kupewa adhabu.

Mansoor Yussuf Himid.

Page 7: ANNUUR 1088.pdf

7 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA AGOSTI 30 - SEPT. 5, 2013Tangazo

IJUMAA ya wiki iliyopita niliswali swala ya Ijumaa Zanzibar . Kwa bahat i mbaya nilichelewa kidogo, kwa hiyo wakati napita mitaani, misikiti mingi ma- Khatibu wapo mimbarini khutba zinaendelea. Kitu kimoja kilinistua. Nilikuta makundi ya watu wengi-wanaume watu wazima, vijana ‘barobaro’ na watoto wadogo wa umri wa kuwa shule za msingi, wamejaa mitaani wanaendelea na harakati zao ama vijiweni, kuuza na kununua, kucheza ‘game’ katika komputa, kusogoa wakiwa vikundi vikundi, hawana habari. Huu ni mji ambao unaweza kusema, asilimia zaidi ya 90, ni Waislamu. Kwa hiyo kwa siku ya Ijumaa na kwa muda huo ambao Khatibu yupo katika mimbari, basi ungetarajia shughuli katika mji kusimama, kila mtu akiitikia wito wa Allah…

”Yaa ayyuhal ladhiina aamanuu idhaa nuudiya l isswalaati min yaumul jumu’a, fas’au ilaa dhikrillah wadharul bai’a.”

“ E n y i M l i o a m i n i ! Kukiadhiniwa kwa ajili ya Sala siku ya Ijumaa, nendeni upesi kumtaja Mwenyezi Mungu na acheni biashara.” Lakini wapi!

La kuzingatia hapa ni kuwa hawa ni watu ambao wapo katika mazingira ambayo hayamkwazi yeyote kwenda kuswali, bali kinyume chake yanahimiza. Lakini watu hawana habari, ila wachache!

Hawa ‘mabarobaro’ walio mitaani, ambao hawajali kwamba adhana imetoka ni wakati wa swala ya Ijumaa, hawa watoto wa skuli ambao wanaendelea kutizama tv, kucheza mpira na ‘game’ katika koputa, ndio baba na mama wa kesho, ndio wanasiasa na viongozi wa SMZ wa kesho. Ifikirie hali ya Zanzibar miaka kumi mpaka hamsini ijayo iwapo mambo yatakwenda kama yalivyo hivi sasa.

Wakati natafakari hali hii akanipigia simu rafiki yangu Mwanahistoria Mohammed Said. Yeye kanipa kisa kilichomtokea siku hiyo hiyo ya Ijumaa Agosti 23, 2013. Akiwa mjumbe wa Baraza la Katiba la Kata (Magomeni), anasema siku hiyo walikuwa katika kikao katika Ofisi y a M k u u w a W i l a y a

Kwa hali hii….

Katiba mpya haitasaidialolote Waislamu nchini

Zinahitajika Darsa za Sheikh Bachu, Uamsho Tumeacha wengi mitaani wasio jitambua… …kukimbilia majukwaa ya kisiasa, malumbano

Na Omar Msangi Kinondoni. Imefika saa 5 anaona kikao kinaendelea na ratiba inaonyesha kuwa shughuli inaendelea mpaka saa saba. Hakuna muda wa kwenda Ijumaa. Akanyosha mkono kuuliza vipi mambo haya. J ibu kutoka kwa mwenyekiti likawa kwamba anayetaka kwenda kuswali Ijumaa aende, lakini kikao kinaendelea. Hawawezi kuvunja kikao kwa ajili ya watu wanaotaka kuswali.

U k i s e m a k i k a o kinaendelea wakati wengine wanakwenda kuswali maana yake unawanyima Waislamu haki yao ya ushiriki. Kwa maana Waislamu wachague ama kukosa Swala au kikao. Ndani ya kikao kile kulikuwa n a Wa i s l a m u , h a k u n a hata mmoja aliyenyanyua mdomo kupinga kauli ya Mwenyekiti na kuungana na Mohammed Said kudai haki yao ya kuhudhuria kikao na kuswali pia! Ilipofika wakati Mohammed akatoka kwenda kuswali akakosa kikao. Waislamu waliobaki nao wakakosa Swala, wakahiyari kupata kikao.

Swali ni je, Waislamu kama hawa walio hiyari kukosa Swala, walioshindwa kutetea haki ya Waislamu kwenda kuswal i , wal ioshindwa kumkabili mwenyekiti wa kikao cha Baraza la Katiba; wanaweza kujadili na kutetea lolote la kuwanufaisha Waislamu katika Katiba M p y a ? J e , w a n a w e z a kusimama kupinga lolote wanaloona halifa kuingia katika Katiba kwa sababu ya madhara yake kwa Uislamu na Waislamu? Je, Waislamu kama hawa leo na kesho wakiwa Wabunge, Mawaziri, Makamanda wa Polisi, Wakuu wa Mikoa n.k.; unawatarajia kufanya lolote la kuuhami Uislamu? Utashangaa vipi wakitumiwa kama mawakala wa kuwapiga vita Waislamu? Kama kutakuwa na kundi kubwa la Waislamu kama hawa katika jamii, hata kama Katiba Mpya itatoa haki zote na kuyakubali yote wanayotaka Waislamu yaingizwe katika Katiba Mpya, itasaidia nini? Kwani Katiba hii iliyopo inakataza Waislamu kwenda kuswali Ijumaa? Mbona hata shuleni na vyuoni upo waraka kwamba ikifika wakati wa swala vipindi visimame ili Waislamu wakaswali Ijumaa? Lakini walimu/wakufunzi/wahadhiri na wanafunzi wa n g a p i wa n a k we n d a

kuswali?W a k a t i n a j i a n d a a

k u a n d i k a m a k a l a h i i , nilimpigia simu Mohammed Said nikitaka ufafanuzi wa jambo fulani, lakini naye akanipa la kwake. Anasema kuwa katika uchunguzi wake amegundua kuwa katika baraza lile walikuwa Waislamu watano tu, wengi walikuwa ni Wakristo. Hata hivyo hiyo haiondoi hoja yangu ya msingi. Wasabato ni wachache sana ukilinganisha n a Wa i s l a m u , l a k i n i wamepigania na wamepewa haki yao ya kutokufanya kazi Jumamosi. Hata vyuoni ikitokea mtihani ukifanyika Jumamosi , mwanafunzi Msabato hatafanya itabidi atungiwe mtihani wake afanye siku nyingine. Suala hapa sio wingi. Haki haitizami wingi. Haki ni haki hata ikiwa ya mtu mmoja. Kwa hiyo tatizo la msingi hapa ni kujitambua. Wanaolalamika kudhulumiwa na kunyimwa haki hawajitambui kwa ujumla wao kama jamii ya Waislamu.

T u p i g a n i e tutakavyopigania haki ya kuwa na Mahakama ya Kadhi, OIC, MoU, haki sawa katika ajira Serikalini, lakini kama kundi kubwa la Waislamu litabaki katika hali hii ya kutojitambua, haitatusaidia lolote.

Kama leo unakuta mkoa una Waislamu wengi au idadi sawa kwa sawa na Wakristo, lak ini idadi kubwa ya Wabunge na Wajumbe kama hao wa Mabaraza ya Katiba ni Wakristo, lakini Waislamu hawaoni kuwa ni tatizo, husikii kelele, wameikubali hali hiyo; basi ujue hapo kuna tatizo la msingi ndani ya Waislamu wenyewe. Tatizo haliwezi kuwa kwa Wakristo waliojitambua w a k a h a k i k i s h a k u w a wanahodhi nafasi hizo. Kwa hiyo kuwalalamikia au kuilalamikia Serikali haiwezi kusaidia lolote. Wala kusimama katika majukwaa kuelezea dhulma na hali hii, haiwezi kusaidia pia. Kwa sababu kama kundi kubwa la Waislamu litakuwa la wale wasiojali kuwa huu ni wakati wa swala ikiwa ni pamoja na Wabunge na Mawaziri wanaoendelea na vikao vya Bunge Khatib akiwa mimbarini; ukipiga kelele utaonekana kama mchochezi tu na kupachikwa majina ya kila sampuli kukutenga na jamii hata ya

Waislamu wenzako. Lakini lau tatizo la msingi ndani ya Wais lamu wenyewe linaondoka, wala haihitaji k u i t i s h a m a a n d a m a n o kusema kwamba Baraza la Mitihani (NECTA) lina matatizo. Mfumo utajua na kurekebisha kabla Waislamu hawajaitisha kongamano.

Hoja ya msingi hapa sio kuwa Waislamu wasifanye harakati za majukwaani na kupigania haki zao katika medani za kisiasa. Lakini pamoja na hayo kuna kazi ya muhimu nadhani imeachwa. Ile aliyokuwa akifanya Omar Mukhtar. Pamoja na kuwa mwanaharakati mkubwa wa Kiislamu, lakini hakuacha darasa zake za kusomesha na kulea vijana wadogo katika ‘Madrasa’ wajitambue kuwa wao ni Waislamu, nini haki zao na nini wajibu wao kwa Mola wao, kwa jamii na kwa ulimwengu. Hili ndilo linalokosekana kwa Waislamu wetu na ndiyo turufu waliyo nayo Wakristo, kuanzia wa kawaida mitaani na wanasiasa, viongozi na watendaji wa Serikali, taasisi binafsi na za umma walio Wakristo.

Ni kweli Madrasa zimejaa mitaani, lakini zinafanya kazi hii? Zinazalisha vijana wa Kiislamu wanaojitambua? Tuna Masheikh na ma-Ustaz wengi wanatoa darsa, wanadarsisha na kutoa mawaidha kila leo. Swali ni je, wanazalisha watu wa namna gani? Miaka nenda miaka rudi darsa zinaendelea, m a w a i d h a y a n a z i d i kupamba moto Misikitini, kanda zinasambazwa, mbona hatuoni watu kujitambua na kupigania Uis lamu kama tulivyowaona wale wahitimu wa Darul Arkam? Hii ni changamoto. Tunahitaji kutizama mitaala ya madrasa zetu, kama ipo, na kuona inatupa wahitimu wa aina

gani. Je, zipo darsa za akina

mama, watu wazima na vijana za kuwafanya wajitambue ili hayo tunayotaka yaingine k a t i k a K a t i b a M p y a wayapiganie na kuhakikisha kuwa yatatekelezwa?

Wa s i wa s i wa n g u n i kuwa huenda tumekuwa tukiweka nguvu kubwa sana katika majukwaa ya mihadhara/kisiasa huku wale mamia ya wahudhuriaji w a l i o t u z u n g u k a wakitupumbaza kuwa tuna watu, kumbe umma mkubwa wa Waislamu tumeuacha nyuma. Haupo pamoja nasi.

Ni kwa sababu hii nadhani kuwa kuna haja ya kuweka mizani katika harakati zetu. Tuhuishe kazi waliyokuwa wakifanya Masheikh kama Sheikh Hassan Bin Ameir, Mzee Takadiri, Sheikh Nassor Bachu ya kusomesha watu na kuwafanya wajitambue. Tukiwa mitaani na katika viwanja vya wazi tukifanya ‘Uamsho’, huko Misikitini, Madrasa, skulini na katika nyumba zetu, kunaendelea darsa za kuwasomesha watoto na watu wazima mambo ya msingi katika Uislamu. Na usomeshaji wenyewe uwe wa kuwafanya wajitambue na watekelezaji. Isiwe tunasomesha Al Islam nadhiif, huku Misikiti yetu kichafu.

Kinyume na hivyo, nina wasiwasi kuwa tunayopigia m a k e l e l e m a j u k wa a n i , hatutayapa. Na hata yale yatakayokubalika ‘kikatiba’ na kisheria, bado hatutaweza k u h a k i k i s h a k u w a yanatekelezwa.

Katiba ya sasa inapiga marufuku ubaguzi, lakini Waislamu wanalalamika kubaguliwa katika elimu, ajira na mambo kama hayo. Na ukitizama utakuta mengi ya malalamiko na madai yao ni kweli. Kwanini? Tujiulize!

MWANASHERIA Mkuu wa serikali, Jaji Werema.

Page 8: ANNUUR 1088.pdf

8 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA AGOSTI 30 - SEPT. 5, 2013HABARI/SHAIRI

TAARIFA YA MATOKEO YA MTIHANI WA KUHITIMU ELIMU YA MSINGI WAELIMU YA DINI YA KIISLAMU ULIOFANYIKA AGOSTI 14, 2013

1.UTANGULIZI ISLAMIC EDUCATION PANEL inatangaza matokeo ya mtihani wa kuhitimu Elimu ya Msingi wa Elimu ya Dini ya Kiislamu uliofanyika Agosti 14 ,2013. Jumla ya shule 2,096 katika mikoa 26 na wilaya 94 za Tanzania bara na visiwani zilishiriki kufanya mtihani huo. 2.0 MAHUDHURIO YA WATAHINIWA2.1 Watahiniwa woteJumla ya watahiniwa waliofanya mtihani wa kuhitimu Elimu ya Msingi wa Elimu ya Dini ya Kiislamu kwa mwaka 2013 ni wanafunzi 67,958. Idadi hii ni ongezeko la asilimia 22.32% ikilinganishwa na idadi ya watahiniwa wa mwaka jana.

2.2 Tofauti ya idadi kati ya watahiniwa wa mwaka 2012 na mwaka 2013Jedwali hapa chini linatoa taarifa kwa kina.

2.3 JEDWALI LA ULINGANISHOMWAKA MIKOA WILAYA SHULE WATAHINIWA2012 24 81 1,746 55,5572013 26 94 2,100 67,958ONGEZEKO (IDADI) 2 13 354 12,401ONGEZEKO (%) 8.33 16.04 20.27 22.32

Ongezeko la idadi ya watahiniwa kutoka wanafunzi 55,557 mwaka 2012 hadi wanafunzi 68,096 mwaka 2013, sawa na asilimia 22.32 (22.32%) limetokana na kuzidi kuimarika kwa uratibu wa ufundishaji wa somo la Elimu ya Dini ya Kiislamu sambamba na usambazaji wa vitabu vya kiada na ziada kote nchini.Pia matokeo ya mtihani huu ya mwaka 2011 na mwaka 2012 yamewahamasisha wanafunzi wengi zaidi kujifunza somo hili na hatimaye kujisajili na kufanya mtihani huu kitaifa.

2.4 JEDWALI KUONYESHA IDADI YA WATAHINIWA WALIOSHIRIKI KIMKOA NA MKOA IDADI

YA WILAYA

IDADI YA

SHULE

IDADI YA WATAHINIWA

WASTANI WA

UFAULU (%)

1 MJINI MAGHARIBI 1 1 16 742 KUS-PEMBA 1 1 28 71.183 KAS-PEMBA 1 1 11 614 KILIMANJARO 7 290 5008 455 SHINYANGA 3 19 504 40.466 DAR ES SALAAM 3 301 25904 38.637 IRINGA 4 64 664 38.068 RUKWA 1 23 176 36.269 ARUSHA 6 55 1881 35.810 MWANZA 5 135 2455 34.8711 DODOMA 3 29 429 34.6712 TABORA 6 133 3302 34.5313 KIGOMA 3 46 809 34.4514 MTWARA 5 120 4234 34.3515 MANYARA 4 134 1821 34.1316 KAGERA 3 46 597 33.8517 PWANI 5 108 4588 33.5018 MOROGORO 2 49 1442 33.2119 TANGA 7 117 4449 32.5120 GEITA 2 8 77 31.8521 MBEYA 4 36 313 31.0122 SINGIDA 4 150 3900 30.6523 RUVUMA 4 45 1475 30.2724 MARA 3 41 533 29.9925 LINDI 5 145 3084 28.5726 KATAVI 2 4 396 26.28JUMLA 94 2,100 68,096 38.04

3.0 UFAULU Mtihani ulikuwa na jumla ya alama mia moja (100%). Kitaifa watahiniwa wamefaulu kwa wastani wa alama 38.04 ( 38.04%). Ufaulu huu wa kitaifa umepatikana kwa kutafuta wastani wa ufaulu wa kila mkoa kama ulivyo ainishwa katika jedwali “2.4”hapo juu.Watahiniwa waliofanya vizuri zaidi kimkoa na kitaifa wamepangwa kwa kutumia kigezo cha jumla ya alama walizopata katika mtihani . (Orodha ya watahiniwa wote na matokeo yao kwa kila shule inapatikana katika tovuti Islamic Education Panel-islamiceducation.tz.com4. WATAHINIWA BORA KITAIFAWashindi kumi bora kitaifa ni waliofaulu kwa kupata alama 91 na zaidi kama yanavyoonyweshwa katika jedwali 4.1 hapa chini.4.1 JEDWALI LINALOONYESHA WATAHINIWA 10 BORA KITAIFA

NA JINA LA MWANAFUNZI SHULE WILAYA MKOA ALAMA(%)1 AKLAM MAJID ATHUMANI IBUGA MULEBA KAGERA 952 HARUNA RAMADHAN HAMIS MAMPANDA SINGIDA V SINGIDA 943 SALUM MSELEM SALUM KAMACHUMU MULEBA KAGERA 934 ZAKARIYA H.SULEIMAN WETE ISLAMIC WETE KAS.PEMBA 935 YAQIN HAMUD KAKOMILE SONGAMBELE ILEMELA MWANZA 926 SAMAI SHABANI KIKOTI MLANDA IRINGA V IRINGA 927 FATMA A. MOHAMAD HUDA MADRASA MJINI MAGH MJINI MAGH 928 ALLY AZIZI JUMA TEMEKE TEMEKE DAR 929 SAMIRY SHAKIRU TITUS THAAQIB ILEMELA MWANZA 9110 LATIFA RWOGELA JAFARI KAMUCHUMU B MULEBA KAGERA 91

4.2 WATAHINIWA BORA KIMKOAWatahiniwa bora kimkoa ni wale waliopata alama za juu zaidi katika mikoa yao kama wanavyoonyweshwa katika majedwali hapa chini:

1. MKOA WA ARUSHA

JINA LA MWANAFUNZI SHULE WILAYA ALAMA (%) NAFASI

1 FADHILI HAMISI MAKIA NAURA ARUSHA JIJI 76 12 WARDAH SHAIDO HAMISI NGARENARO ARUSHA JIJI 75 23 LAILA KASSIM JUMA OSUNNYAI ARUSHA JIJI 74 34 ARAFATI JUMA MGESI SOMBETINI ARUSHA JIJI 74 45 HALIFA SALIMU ALLY VALESKA MERU 73 56 HUSSENI ISSA USA MERU 72 67 ABDULKARIM BASHIR ALLY SINON ARUSHA JIJI 72 78 RAJABU JUMA SHEKUAMBA UKOMBOZI ARUSHA JIJI 72 89 MUSTAPHER HAROUN RASHID HIGH VIEW ARUSHA JIJI 72 9

2. MKOA WA DODOMANA JINA LA MWANAFUNZI SHULE WILAYA

alama (%) nafasi

1 YUSUPH HASSAN IDIRO HIJRA DODOMA MJINI 84 12 ASHURA M.ABUBAKARI KALOLENI DODOMA MJINI 76 23 FATIHIYA SALUMU MUSSA HIJRA DODOMA MJINI 73 34 RAHMA SAIDI OMARY HIJRA DODOMA MJINI 68 45 OMARY ALMASI TOFIKI MTEJETA MPWAPWA 68 46 IDDY ATHUMAN HAMISI MAZAE MPWAPWA 68 47 AL-AMIN ALLY MZUGU HIJRA DODOMA MJINI 66 78 AISHA SAIDI SULEIMAN HIJRA DODOMA MJINI 66 79 MASAKA YAHYA HUSSEIN KINANGALI KONGWA 65 9

10 NURDIN K. MAHAMUDU CHINANGALI DODOMA MJINI 64 1011 REHEMA YOHANA WILSON CHINANGALI DODOMA MJINI 64 10

3. MKOA WA KAGERA

NAJINA LA MWANAFUNZI SHULE WILAYA ALAMA(%) NAFASI

1 AKLAM M.ATHUMANI IBUGA MULEBA 95 12 SALUM M. SALUM KAMACHUMU MULEBA 93 23 LATIFA R.JAFARI KAMACHUMU”B” MULEBA 91 34 JOHARI KASHAKARA ZAMZAM BUKOBA M. 80 45 TWALIKI T. SALEHE ZAMZAM BUKOBA M. 80 46 TAWAJIDU B. SUED KAMACHUMU “B” MULEBA 80 47 NANCHA A. BASHIR KAMACHUMU MULEBA 79 78 ANTONY P.HONUNA ZAMZAM BUKOBA M. 78 89 ABDALLA M. SALEHE KAMACHUMU “B” MULEBA 77 1010 SHARIFU H. NURU ZAMZAM BUKOBA M. 77 10

4. MKOA WA KASKAZINI PEMBANA JINA LA MTAHINIWA SHULE WILAYA alama(%) nafasi1 SAID HAMISI HAMAD KIJANGWANI CHAKECHAKE 79 12 NASORO SALUM AMRAN KIJANGWANI CHAKECHAKE 75 2

3HUSSEIN KHAMIS HAMADI KIJANGWANI CHAKECHAKE 69 3

4 MAHMUDU ALLI FAKI KIJANGWANI CHAKECHAKE 66 45 KULUTHUMU M. ALLY KIJANGWANI CHAKECHAKE 61 56 HALIMA ALLY SAID KIJANGWANI CHAKECHAKE 60 67 JAMILA SHAIBU KIJANGWANI CHAKECHAKE 60 68 SADA ALLY KHASIM KIJANGWANI CHAKECHAKE 60 69 ILYASA SAID KIJANGWANI CHAKECHAKE 56 910 HAFSA ALLY SALIM KIJANGWANI CHAKECHAKE 51 10

Inaendelea Uk. 10

Page 9: ANNUUR 1088.pdf

9 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA AGOSTI 30 - SEPT. 5, 2013Matangazo

KINGDOM OF SAUDI ARABIACOMMITTEE OF DA-AWAH IN AFRICA

MAJINA YA WASHINDI WA MASHINDANO YA FAMILIA YA MTUME (S.A.W.) NA SWAHABA 1434H/2013.

Yafuatayo ni majina ya washindi wa mashindano ya Familia ya Mtume na Swahaba yaliyo fanyika kati ya mwezi wa sita na wa saba 2013. Zanzibar:-

ZAWADI ALIYOPATANAMBA YA SIMU

JINA LA MSHINDI

SAFARI YA HIJA0784112355ADAM HAMAD OMAR1SAFARI YA HIJA0786300482SHABANI MSUMI JUMANNE2KOMPYUTA (LAPTOP))0777487083MARIAM ABDALLAH MOHAMED3KOMPYUTA (LAPTOP))0778561768YAHYA ALLY MUNDHIR4KIFAA CHA KUFUNDISHIA QUR’ANI TUKUFU0777958020FARID AHMAD HASAN5KIFAA CHA KUFUNDISHIA QUR’ANI TUKUFU0777450202SALHAT ABDALLAH SAID6KIFAA CHA KUFUNDISHIA QUR’ANITUKUFU0776745052MUNAWWARA ABDALLAH SAID7SIMU YA MKONONI0772658636MWANAJUMA HAJI MZEE8SIMU YA MKONONI0777922645ABDALLAH ALLY SHARIF9SIMU YA MKONONI0772234207ALLY MOHAMED ABDALLAH10

Tanzania bara:ZAWADI ALIYOPATANAMBA YA SIMUJINA LA MSHINDINa.

SAFARI YA HIJA0714839860AMRY ALLY AMRY1SAFARI YA HIJA0713955770TWAHA YUSUPH MBWANA2KOMPYUTA (LAPTOP))0717292071MBWANA ABDUH ISHE3KOMPYUTA (LAPTOP))0755637029JAMILA ALLY ISSA4KIFAA CHA KUFUNDISHIA QUR’ANITUKUFU0714831498YUSUPH KOMBP KHATWIB5KIFAA CHA KUFUNDISHIA QUR’ANITUKUFU0655343420HAMZA ALLY SALIM6KIFAA CHA KUFUNDISHIA QUR’ANITUKUFU0653478084ALLY RASHID SAMLI7SIMU YA MKONONI0713690446HUD ABDALLAH SULAYMAN8SIMU YA MKONONI0657100632AISHA AHMAD9SIMU YA MKONONI0777344295MWANAIDI HAJI ALLY10

WASHINDI WOTE WATAFAHAMISHWA KUPITIA NAMBA ZAO ZA SIMU NAMNA WATAKAVYO KABIDHIWA ZAWADI ZAO.

Sotele Secondary School is a registered (boys & girls) boarding school with registration No. S. 701. The school is owned and managed by Tanzania Muslim Professionals Association TAMPRO since 2006. Due to fast expansion and the future prosperity of the school, we need qualified, dynamic, energetic, dedicated, well experienced and performance-driven Tanzanians to fill the following posts:

Teachers Subjects: Mathematics, Physics, Chemistry, Biology, English, Geography and History. Qualifications & Experience- Muslim males and females, holding Degrees or Diplomas with Education, - At least three years proven experience and competence on the related subjects.- Ability to work effectively to deadlines, in a team and sometimes under pressure- Successful candidate will be result oriented, able to take lead and work without supervision.- Basic working knowledge of computers will be an added advantage.Applications must include the following:- Application letter- Current resume or curriculum vitae- Photocopies of certificates, diplomas, and academic transcripts- Letters from two referees- Applicant mailing address, contact telephone number(s), and e-mail addressInterested candidates should submit their applications by hand, registered mail, courier service or e-mails to:Postal Address:Executive DirectorTanzania Muslim Professionals AssociationP.O. Box 72045Dar es SalaamPhysical address: Opposite Usalama Bus stand adjacent to Kinondoni Municipal Council along Morogoro road.E-mail: [email protected] copy: [email protected] The deadline of application is 13th September 2013 16:00 HRS. Only successful applicants will be contacted for interview.

TANZANIA MUSLIM PROFESSIONALS ASSOCIATION (TAMPRO)SOTELE SECONDARY SCHOOL

JOB VACANCIES

Page 10: ANNUUR 1088.pdf

10 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA AGOSTI 30 - SEPT. 5, 2013Tangazo

5. MKOA WA KIGOMANA JINA LA MWANAFUNZI SHULE WILAYA ALAMA(%) NAFASI1 IDRISA HILALI ATHUMAN NKEMA KIGOMA V 83 12 RUKIA HARUNA YUSUFU MAENDELEO KIBONDO 82 23 JAHASON MAFULU KAKONKO KIBONDO 82 24 RAMADHANI AHMADI BURONGE KIGOMA M 80 45 SELEMANI N. ATHUMANI NKEMA KIGOMA V 79 56 MADARASA NGENDAMANYA MAENDELEO KIBONDO 79 57 ISMAIL M. ISMAIL KAKONKO KIBONDO 78 78 TAUHID ISA HARUNA KAKONKO KIBONDO 78 79 HAMISI SHINGWA RUHOBE KIGOMA V 77 910 ALHAMDU HAMZA JUMA RUHOBE KIGOMA V 76 1011 RASHIDI MOHI RASHIDI MWANDIGA KIGOMA V 76 1012 RAMADHANI Y. MUSA KAKONKO KIBONDO 76 10

6. MKOA WA KILIMANJARONA JINA LA MWANAFUNZI SHULE WILAYA ALAMA(%) NAFASI1 IDDI IBRAHIM IDDI KIRINJIKO ISLAMIC SAME 90 1

2ABDALLAH SHABANI ABDALLAH KIRINJIKO ISLAMIC SAME 88 2

3 AME IDDI AME KIRINJIKO ISLAMIC SAME 88 34 AME IDDI AME KIRINJIKO ISLAMIC SAME 88 45 HAFSA ABDALLAH SULEIMAN KIRINJIKO ISLAMIC SAME 86 56 HAFSA ABDALLAH SULEIMAN KIRINJIKO ISLAMIC SAME 86 67 SHABANI SAIDI MLEKWA KIRINJIKO ISLAMIC SAME 86 78 ASSAJIDAH ALLY LEMA KIRINJIKO ISLAMIC SAME 84 89 FARAJI MUSSA MGONJA KIRINJIKO ISLAMIC SAME 84 910 SWALEHE HASAN SWALEHE AL HUDA MOSHI M 84 10

7. MKOA WA LINDINA JINA LA MTAHINIWA SHULE WILAYA ALAMA NAFASI

1 NASORO N. IDRISA KINGURUNGUNDWA LINDI V 76 1

2 KAUCHIMBE MOHAMEDI MUZDALIFA NACHINGWEA 74 2

3 HASSAN I AJILI NAMBAMBO NACHINGWEA 74 3

5 SELEMANI J. ALLY MASOKO KILWA 74 3

6 SAIDI M. LIKUMBI MNAZIMMOJA KILWA 74 3

7 BATOUL O. BAKARI RAHALEO LINDI M. 73 6

8 AMINA S.NADENGU NACHUNYI LINDI V 70 10

9 ALI JUMA KAMKUMBE MNAZIMMOJA KILWA 70 10

10 SUDESI SAIDI OMARI MNAZIMMOJA KILWA 70 10

11 FARIDA SALUM SAID MNARA LINDI V 70 10

12 ARAFA M. FUMA NACHUNYI LINDI V 70 10

13 MISILE A. KALYOLYO NACHUNYI LINDI V 70 10

8. MKOA WA MANYARA

NA. JINA LA MWANAFUNZI SHULE WILAYA ALAMA NAFASI

1 HUSSENI SWALEHE ISSA OYSTERBAY BABATI M. 88 1

2 ASHA ALLY RAMADHANI OYSTERBAY BABATI M. 86 2

3 SHAFI S ALLY ENDOMAGHAI BABATI V. 86 3

4 MIRAJIHAMADIRAMADHANI ENDOMAGHAI BABATI V. 86 4

5 KARIM IDD RAMADHANI DITSOMA BABATI V. 84 5

6 HAMISI MUSTAFA SALIM DITSOMA BABATI V. 83 6

7 TWALA IDD RAMADHANI DITSOMA BABATI V. 82 7

8 RAMADHANI IDDSAFARI HAYATUL ISLAMIYYA BABATI V. 82 8

9 SHAMU OMARI MUSSA MAMIRE BABATI V. 81 9

10 HAMISI SAID MOHAMMED DITSOMA BABATI V. 81 10

11 RAMADHANI ALLI HAMISI RAGHONYANDA BABATI V. 81 11

9. MKOA WA MARANA

JINA LA MTAHINIWA SHULE WILAYA ALAMA(%)

NAFASI

1 LAZARO MGENDI SANG’IE ZANAKI BUTIAMA 841

2 JUMA ISA JUMA NYAKATO ‘C’ MUSOMA 742

3 KURWA H. WAMBURA ZANAKI BUTIAMA 742

4 ISMAIL ABEID JUMANNE KAMUNYONGE ‘B’ MUSOMA M 694

5 SALUM ABDALA HUSSEN NYARIGAMBA ‘A’ MUSOMA 675

6 SELEMAN H. YUSUPH KAMUNYONGE ‘A’ MUSOMA M 675

7 AISHA RIZIKI JUMANNE NYAMATAREA MUSOMA 675

8 RASHIDI ISA KHAZI MADARAKA BUTIAMA 675

9 ASHA MAWAZO MASIGE AZIMIO MUSOMA M 639

10 MUHAMMAD A. KITWARA MUKENDO MUSOMA 6210 Inaendelea Uk.11

Page 11: ANNUUR 1088.pdf

Tangazo

10. MKOA WA MBEYANA. JINA LA MTAHINIWA SHULE WILAYA ALAMA NAFASI1 YUSUPH YAHAYA YUSUPH KYELA KYELA 88 12 ABDALLA OMARI JUMA KYELA KYELA 72 23 ABDULLAH H. MWAKOSOLE KYELA KYELA 70 34 OTHMANI OMAR OTHMAN KYELA KYELA 70 35 MANSABU OMARI OTHMAN KYELA KYELA 68 56 SELEMANI ABDALLAH KOMBA JUHUDI MBEYA JIJI 68 57 JAMALI H. SELEMANI MWAKA MBOZI 68 58 SAIDI ABDALLAH MTANGA KYELA KYELA 66 89 HAMIDU KHATIBU IBBRAHIIM IGOMA MBEYA JIJI 66 810 ABDUL OMARY JUMA KYELA KYELA 64 10

NA JINA LA MWANAFUNZI SHULE WILAYA ALAMA( %) NAFASI1 OTHMAN M.TAMBI DAARUR-ARQAM MOROGORO M 82 12 HABIBA A.RAMADHANI DAARUR-ARQAM MOROGORO M 82 13 MOHAMMAD S.SAMEER DAARUR-ARQAM MOROGORO M 80 34 RUQAYYAH A. AHMAD DAARUR-ARQAM MOROGORO M 79 45 KHALIFA S. KHALIFA DAARUR-ARQAM MOROGORO M 79 46 ABDUL-KADIR LIBENANGA DAARUR-ARQAM MOROGORO M 79 47 NASRULLAAH KH. HABIBU JONGO KILOMBERO 79 48 JAUKHARIYA M. AHMAD DAARUR-ARQAM MOROGORO M 78 89 TWALIBU S. RAMADHANI DAARUR-ARQAM MOROGORO M 78 810 IBRAHIM AHMAD MTOTO DAARUR-ARQAM MOROGORO M 78 811 RAMLA HAMAD KHAMIS DAARUR-ARQAM MOROGORO M 78 812 ZULFA ABDUL SWAIBU KIHONDA MOROGORO M 78 8

Na. JINA LA MWANAFUNZI SHULE WILAYA ALAMA(%) NAFASI1 MUHTARI A.MANDWANGA MIKUNDA TANDAHIMBA 85 12 FARIDA M.MANGWISA KIVAVA MTWARA V. 78 23 ABUBAKARI MOHAMED JINA MADIMBA MTWARA V. 78 24 ZAINABU SAID MMAPALA MOMA MTWARA V. 78 25 AMINA A. MCHOLOKOTO KIVAVA MTWARA V. 76 36 SAIDA HAMISI BAKARI CHIKONGOLA MTWARA M. 76 37 FATUMA MAWAZO MKOMO MTWARA V. 76 3

8 RAMADHANI HASHIM BAKARY MKOMO MTWARA V. 76 39 KASIMU MOHAMEDI CHIGALI MOMA MTWARA V. 74 4

10 MOHAMEDI I.CHIKALANGILE KIVAVA MTWARA V. 74 411 FARIDA SAIDI HAMISI MAENDELEO MASASI M. 74 412 SHAFII HAMISI LIKOTI KISIWANI MASASI V. 74 4

13. MKOA WA MWANZA NA JINA LA MTAHINIWA WILAYA SHULE ALAMA (%) 1 YAQIN HAMUD KAKOMILE ILEMELA SONGAMBELE 92 12 SAMIRY SHAKIRU TITUS ILEMELA THAAQIB 91 23 ABDULRAZAK M. RUSENENE ILEMELA THAAQIB 90 34 JAMALDINI I. ABDUNURU ILEMELA THAAQIB 90 35 TAQIYYU JAMADA ILEMELA THAAQIB 89 56 TAIMURI AMWI HUSSEIN ILEMELA BISMACK 88 67 HUSSEIN KISAMO MSANGI ILEMELA THAAQIB 88 68 SALUMU M. RWEYONGEZA ILEMELA THAAQIB 88 69 NAJASHI ALLY KILOLI ILEMELA THAAQIB 87 910 ABDULRAZACK O. PAULO ILEMELA THAAQIB 87 9

14. MKOA WA PWANINA. JINA LA MWANAFUNZI SHULE WILAYA ALAMA NAFASI

1 MANSURI M. NYARUMA IKWIRIRI RUFIJI 90 1

2 MUSA ATHUMANI YUSUFU KILINDONI MAFIA 86 2

3 SALUM ABDUL MASOTE KIBASILA KISARAWE 86 2

4 RAHIMU IDD MJEMACHANZIGE

‘A’ KISARAWE 844

5 ZARUBIA HAMIS SINZE BUNGU BUNGU 83 5

6 ALLY HEMED MWAMBO BUNGU BUNGU 82 6

7 SELEMANI SAIDI MLANGI BUNGU BUNGU 82 6

8 MUSILIHI HAIDARI MSUFINI MAFIA 82 6

9 MSHAMU MUHIDINI NGUYU SIASA RUFIJI 81 10

10ABDULATIFU YUSUFU

JANGALO BUNGU BUNGU 8110

11 ZENA RASHIDI MPANGANI BUNGU BUNGU 81 10

Itaendelea toleo lijalo

Page 12: ANNUUR 1088.pdf

12 AN-NUURSHAWWAL 1434, IJUMAA AGOSTI 30 - SEPT. 5, 201312 MAKALA

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

AN-NUUR12 SHAWWAL 1434, IJUMAA AGOSTI 30 - SEPT. 5, 2013

Tanzania Muslim Hajj TrustSafari ya Hijja 2013

Uandikishaji unaendelea gharama za Hijja ni dola za Kimarekani $ 4200. Safari ni tarehe 5 na 7 Octoba, na

Kurudi Tarehe 27 na 28 Octoba, 2013. Wahi kujiandikisha Sasa.

Uandikishaji wa Hijja Zijazo 2014, 2015 kwa Kulipia kidogo kidogo, unaendelea.

Simu: 0717 000 065, 0784 222 911, 0754 304 518, 0754 498 888

Au kupitia Tovuti yetu. www.hajjtrusttz.org.Yatizamwe madaiIli amani idumu

Tuhuma za uchochezi zisiwe… Kichaka kuendeleza dhulma

UFUMBUZI wa amani y a k u d u m u n c h i n i i t a p a t i k a n a i k i w a tu Ser ikal i i takuwa tayari kusiki l iza na kushughulikia madai ya msingi ya Waislamu badala ya kuyatafsiri kuwa ni uchochezi.

Hayo yamebainishwa na Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T), katika tamko lao mbele ya waandishi wa habari , wakilaani kitendo cha Jeshi la Polisi, kumchukua Sheikh Ponda Issa Ponda, akiwa bado anaendelea na matibabu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, kitengo cha MOI.

Akisoma tamko hilo,

Na Bakari Mwakangwale Ijumaa ya wiki iliyopita msemaji wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Rajab Katimba, alisema badala ya Serikali kutumia nguvu nyingi za dola na sasa risasi za moto, dhidi ya viongozi wa Kiislamu ni vyema ikashughukilia madai ya Waislamu.

“Ufumbuzi wa amani ya kweli na ya kudumu i t a p a t i k a n a i k i w a t u S e r i k a l i i t a a m u a kushughulikia madai ya msingi ya Waislamu ambayo ndiyo chanzo cha kupigwa risasi kwa Sheikh Ponda. ” Alisema Katimba.

K a t i m b a a l i s e m a , kitendo cha msimimizi wa s h e r i a k u i v u n j a

sheria kwa kigezo cha kumtuhumu mtu haiwezi kutatua tatizo husika bali hulifanya kuwa ni tatizo kubwa na kuwa sugu zaidi na mwisho wake ni husabaisha kuvunjika kwa amani.

K a t i m b a , a l i s e m a Waislamu wanashindwa kuamini kama vitendo h i v i v i n a f a n y wa n a Serikali ambayo inadai na kujinadi kuongoza kwa kufuata utawala bora unaozingatia sheria, uadilifu, utu na Uhuru wa kujieleza kwa rai wake.

“Kitendo cha kumpiga risasi Ponda, na kisha k u m c h u k u a t o k a hospitalini akiendelea na matibabu ni kinyume cha haki za binaadamu na utawala bora”. Alisema Katimba.

A l i s e m a , k u p a t a matibabu ni haki moja wapo katika haki za binaadamu yoyote, hata kama ni mtuhumiwa, kwani tuhuma juu ya mtu si kigezo cha kukiuka haki zake.

Katika hatua nyingine Jumiya na Taasisi za Kiis lamu, zimepinga hatua ya jeshi la Polisi nchini kuunda tume ya kujichunguza ilihali ndio watuhumiwa.

“Tunapinga kwa kauli moja tume iliyoundwa na Jeshi la Polisi kuchunguza unyama uliofanywa dhidi ya Ponda, na Waislamu hawatatoa ushirikiano kwa tume hiyo mpaka pale itakapo undwa tume nje ya Jeshi la Polisi.”

A l i s e m a , k u f u a t i a Waislamu kutoitambua tume h iyo , Jumuiya na Taaisi za Kiislamu

zinaitaka Serikali kuunda t u m e h u r u i t a k a y o husisha viongozi wa Kiislamu wanaoaminika kwa Waislamu wenyewe ili kujenga mustakabali mzuri wa amani ya Taifa hili.

Akijibu maswali ya wandishi wa habari juu ya kutokuonekana risasi katika matibabu ya Sheikh Ponda,, Amir wa Baraza Kuu la Jumiya na Taasisi za Kiislamu (T), Alhaj Mussa Kundecha, alisema si kila kisichoonekana kwa macho hakipo.

Alisema, kitendo hicho kimefanyika mbele ya halaiki ya watu na watu hao wapo na muhusika aliyejeruhiwa pia yupo wote wanathibitisha kuwa iliyomjeruhi ni risasi, ndiyo maana alisema Waislamu wanataka tume huru.

A l h a j K u n d e c h a , a l i s e m a k a t i k a mkanganyiko huo kisha Polisi hao hao kuunda

tume ya kuchunguza tuhuma ambazo tayari wameshazikana inawapa wasiwasi Waislamu na hata wapenda amani.

“Kutoa ushirikianao kwa tume ya namna hii kutafinya na kupoteza ukweli ambao utatolewa na hili si la kwanza yapo matukio mengi ambayo hayakufanyiwa haki baada ya jeshi la Polisi kuchunguza”. Alisema Alhaji Kundecha.

Kwa upande wake Maalim Ally Basswaleh, alisema tukio lililomfika Ponda, limechukuliwa kwa uzito mkubwa na jamii yote ya Tanzania na hata nchi jirani.

A l i s e m a , h a l i h i i iwe ni kama tahadhari kwa mamlaka husika kwamba iweze kuelewa kuwa linaweza kutokea jambo ambalo linaweza kuunganisha makundi ya aina yote nchini , kwa kubaini kuwa haki inakiukwa.

TEHRANMASHIRIKA ya kutoa huduma za Satelaiti na Intaneti yanayomilikiwa na nchi za Magharibi, yamezidisha hujuma dhidi ya vyombo vya habari vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hususan PressTV inayorusha matangazo kwa lugha ya Kiingereza.

Kampuni ya Google ya Marekani imeondoa u k u r a s a m p y a w a PressTV katika mtandao wa Youtube Jumanne ya wiki hii. Wiki kadhaa zilizopita, Google pia iliondoa ukurasa asili wa televisheni hiyo ya kimataifa ikiwa ni katika kujaribu kuzima sauti ya kweli kutoka Iran.

Hujuma dhidi ya vyombo vya habari Iran

Baada ya Satellite, mitandao nayo yaondoa hudumaMashirika ya Eutelsat

na Hotbird yanayotoa huduma za Satelaiti, pia yamekuwa yakifuata siasa hizo za kuhujumu televisheni na Radio za Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran IRIB.

Idhaa ya Kiswahili ya Radio Tehran pia imekumbwa na kadhia hiyo baada ya kuondolewa k we n ye S a t e l a i t i z a Eutelsat na Hotbird.

Nchi za Magharibi a m b a z o z i m e k u w a zikijidai kuwa ni watetezi wa uhuru wa kujieleza, zimedhihirisha kuwa ndizo zilizoko mstari wa mbele kuvipiga vita vyombo vya habari vya Iran.

SHEIKH Ponda Issa Ponda (kulia). Kushoto ni Ustadh Shaaban Mapeyo.