ANNUUR 1118.pdf

16
ISSN 0856 - 3861 Na. 1118 JAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA , MACHI 28-APRILI 3, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz Facebook:[email protected] Kuondoka tarehe 17 April na kurudi tarehe 27 April 2014 Gharama inajumuisha: Tiketi ya ndege ya kwenda na kurudi Dar-Madina, Jeddah- Dar Malazi siku 5 Madina hoteli ya nyota tatu na mwendo wa dakika tatu tu toka Msikiti wa Mtume (S.A.W) Malazi siku 5 Makka hoteli ya nyota tatu na mwendo wa dakika tano tu mpaka Haram Ziyarah sehemu za kihistoria Madina Siku ya mwisho ya kujisajili ni tarehe 5 April 2014 Kwa mawasiliano zaidi na usajili wasiliana na: Ofisi yetu ipo mtaa wa Mafia inatazamana na Masjid Manyema. Namba ya simu 0655/0784 411 788, 0777 411 020, 0713 530 036 Barua pepe: [email protected] •Huduma ya Umrah kwa mtu binafsi, familia na kikundi inapatikana wakati wowote kuanzia sasa hadi mwezi mtukufu wa Ramadhani • Usajili wa Hijja 2014/1435 umeshaanza gharama ni dola 4750 kwa kila kitu. SAFARI YA UMRAH YA SIKU 1O KWA DOLA 1750 Mh. Kikwete: ‘Vitunguu’ na ‘Utaifa’ wapi na wapi Huku ni kuwadhalilisha Wazanzibari Sema faida ya Bara kuvaa koti la TZ Misaada ya Nje, Benki Kuu, ajira.... Anti-balaka wanatayarishwa Mombasa tuchukue tahadhari Masheikh wetu pimeni kauli zenu Mnawatosa Waislamu bila kujijua Serikali 2 njama kutokomeza nafasi ya Msikiti Gofu, Barza WAKATI wa ukoloni wa Uingereza, Zanzibar ndiyo ilikuwa kituo pekee cha kusambaza Uislamu Afrika Mashariki. Misikiti ya Gofu na Barza ilichukuwa wanafunzi kutoka nchi MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuwa hajafurahishwa na baadhi ya kauli zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano, Jakaya Kikwete wakati zote za Afrika Mashariki, kwa ajili ya elimu ya Kiislamu. Jeneza la historia hiyo, sasa linapigiliwa msumari wa mwisho kwa njama hizi za hoja ya serikali mbili kuelekea tatu. (Soma Uk. 8) Maalim Seif amvaa Rais Jakaya Kikwete Amwandikia barua Asema Wazanzibar wanarejea muungano wa mkataba Na Mwandishi Maalum Inaendelea Uk. 2 RAIS Jakaya Mrisho Kikwete. JAJI Joseph Sinde Warioba. Uk. 4 Uk. 3

Transcript of ANNUUR 1118.pdf

Page 1: ANNUUR 1118.pdf

ISSN 0856 - 3861 Na. 1118 JAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA , MACHI 28-APRILI 3, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz Facebook:[email protected]

Kuondoka tarehe 17 April na kurudi tarehe 27 April 2014Gharama inajumuisha:Tiketi ya ndege ya kwenda na kurudi Dar-Madina, Jeddah- DarMalazi siku 5 Madina hoteli ya nyota tatu na mwendo wa dakika tatu tu toka Msikiti wa Mtume (S.A.W)Malazi siku 5 Makka hoteli ya nyota tatu na mwendo wa dakika tano tu mpaka HaramZiyarah sehemu za kihistoria Madina Siku ya mwisho ya kujisajili ni tarehe 5 April 2014Kwa mawasiliano zaidi na usajili wasiliana na:Ofisi yetu ipo mtaa wa Mafia inatazamana na Masjid Manyema.

Namba ya simu 0655/0784 411 788, 0777 411 020, 0713 530 036Barua pepe: [email protected] •Huduma ya Umrah kwa mtu binafsi, familia na kikundi inapatikana wakati wowote kuanzia sasa hadi mwezi mtukufu wa Ramadhani• Usajili wa Hijja 2014/1435 umeshaanza gharama ni dola 4750 kwa kila kitu.

SAFARI YA UMRAH YA SIKU 1O KWA DOLA 1750

Mh. Kikwete: ‘Vitunguu’na ‘Utaifa’ wapi na wapi

Huku ni kuwadhalilisha WazanzibariSema faida ya Bara kuvaa koti la TZMisaada ya Nje, Benki Kuu, ajira....

Anti-balaka wanatayarishwa Mombasa tuchukue tahadhari

Masheikh wetu pimeni kauli zenuMnawatosa Waislamu bila kujijua

Serikali 2 njama kutokomeza nafasi ya Msikiti Gofu, BarzaWAKATI wa ukoloni wa Uingereza, Zanzibar ndiyo ilikuwa kituo pekee cha kusambaza U i s l a m u A f r i k a Mashariki.

M i s i k i t i ya G o f u na Barza ilichukuwa wanafunzi kutoka nchi

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuwa hajafurahishwa na baadhi ya kauli zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano, Jakaya Kikwete wakati

zote za Afrika Mashariki, kwa ajili ya elimu ya Kiislamu.

Jeneza la historia hiyo, sasa linapigiliwa msumari wa mwisho kwa njama hizi za hoja ya serikali mbili kuelekea tatu. (Soma Uk. 8)

Maalim Seif amvaa Rais Jakaya Kikwete Amwandikia barua Asema Wazanzibar wanarejea muungano wa mkataba

Na Mwandishi Maalum

Inaendelea Uk. 2

RAIS Jakaya Mrisho Kikwete. JAJI Joseph Sinde Warioba.

Uk. 4

Uk. 3

Page 2: ANNUUR 1118.pdf

2 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 28- APRILI 3, 2014

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Habari

UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL inatangaza program maalum ya maandalizi ya kujiandaa kurudia Mtihani wa kidato cha NNE 2014.Program hii itaanza tarehe 15/03/2014 hadi tarehe 15/10/2014. Jumatatu hadi ijumaa kuanzia saa 2:00 kamili asubuhi hadi saa 9:00 Alasir.

Masomo yatakayofundishwa ni:-Elimu ya dini ya Kiislamu, English language, Lugha ya kiarabu, Basic Mathematics, Civics, History, Geography, Kiswahili, Physics, Chemistry, Biology, Commerce na Book Keeping.

ADA: Ni Tshs 500,000/= (Laki Tano) tu. Inalipwa yote kabla ya kuanza programu.

Fomu za Kujiunga zinapatikana shuleni BURE baada ya kulipa ada.Mlete mwanao apate Elimu yenye tija itakayomwezesha kufanya mtihani wake vizuri.

Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba:0712 974428

Wabllah tawfiq MKUU WA SHULE

Ubungo Islamic high SchoolP.o. Box 55105 Tel: 2450069, 0712 974428, fax: 2450822 Dar es salaam.

E-mail: [email protected]

MAANDALIZI YA KUJIANDAA KURUDIA MTIHANI WA KIDATO CHA 4, 2014

WIKI iliyopita Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, alilihutubia Bunge Maalum la Katiba.

Katika hotuba ya Rais Kikwete kwa wajumbe wa Bunge hilo, somo kuu lilikuwa ni suala lililopo mezani bungeni hapo, la mjadala wa rasimu ya Katiba mpya.

R a i s K i k w e t e a l i t o a hotuba yake mara baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba kuwasilisha rasimu ya katiba hiyo katika bunge maalum siku chache zilizopita.

Hivi sasa kuna mvyutano mkal i kat i ya wajumbe wanaoegemea msiamo wa chama tawala na wajumbe wa makundi meingine hususan lile la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) na kundi la taasisi hasa baada ya hotiba ya Rais Kikwete kuwasilishwa.

U p a n d e wa U K AWA umeshaweka wazi kuwa h a w a t a k u w a t a y a r i kujadili rasimu tofauti na iliyowasilishwa na Jaji Joseph Warioba bungeni.

Profesa Ibrahim Lipumba, James Mbatia , Freeman Mbowe na Tundu Lissu, wameshasema kwamba wataitetea rasimu ya ‘Warioba’ ndani ya Bunge na kwenye Kamati lakini sio vinginevyo, hii ikiwa na maana kwamba hawatahusika na mengi yaliyojiri katika hotuba ya Rais Kikwete, ambayo ndio msimamo wa CCM.

Prof. Lipumba amesema kwamba Rais Jakaya Kikwete, alikuja bungeni siyo kufungua Bunge la Katiba bali kaleta mapendekezo ya rasimu ya CCM. Kwa msingi huo, wao watajadili rasimu ya wananchi ya Jaji Joseph Warioba ambayo inazungumzia muundo wa Muungano wa Serikali tatu na si mapendekezo ya Rais ya serikali mbili.

Tunavyoona, kutokana na msimamo huu wa UKAWA, huenda Bunge Maalum la Katiba likashindwa kupata matokeo yanayokusudiwa kwani iwapo mapendekezo ya CCM yenye Muundo wa Muungano wa Serikali mbili yatakuwa ndio msimamo wa wabunge na wakereketwa wote wa CCM ndani ya Bunge la Katiba, ni lazima utaadhiri rasimu ya sasa kwa kuwa kunahitajika mabadiliko makubwa kuafikiana na katika rasimu hiyo ambayo

Hotuba ya Rais kikwete inaweza kuwa shida Bunge la Katiba

ndio maoni ya wananchi.UKAWA nao wakijikita

kutumia Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, ambayo imeeleza mapendekezo kwa nini yamefikiwa katika kila hoja, ni dhahiri watakuwa kikwazo cha matakwa na makusudio ya upande wa CCM ambao ni tiifu (loyal) kwa Rais Kikwete.

Hapa ndipo utakapokuwa ukomo wa Bunge kujadili rasimu ya katiba mpya na huo unaweza kuwa mwisho usiokuwa na muafaka wa rasimu yenyewe.

I n a v y o o n e k a n a , R a i s Jakaya Kikwete ambaye kabla ya bunge maalum kuanza alikuwa mara kwa mara akiwasihi sana viongozi wa upinzani na wale wa kundi m a a l u m , k u h a k i k i s h a kwamba wanajadili rasimu yenyewe na kuweka pembeni hitilafu zao za kiitikadi kwa kuwa katiba ni kwa maslahi ya wananchi na nchi na sio ya vyama wala makundi yao, ameonekana kama alitumia muda mwingi wa hotuba yake kuchambua rasimu na kuikosoa Tume aliyoiunda m we n ye we n a k u p i g i a chapuo msimamo wa chama chake.

Lakini tukumbuke kuwa rasimu ya ‘Warioba’ ndio mawazo ya wananchi.

Kipengele cha muundo wa serikali, Serikali tatu ndio mawazo ya wananchi kwa mujibu wa Tume.

Tu s e m e t u k wa m b a , inawezekana Rais Kikwete alikuwa na nia nzuri, lakini namna a l ivyowas i l i sha n i a ya k e , i m e o n e k a n a k u k o s o a z a i d i r a s i m u , maoni ya wananchi huku kukiwa hakuna milango ya waliosimamia rasimu y e n y e w e , k u f a f a n u a zaidi baada ya yeye Rais kuhitimisha hotuba yake.

Inavyoonekana, kauli za Rais badala ya kuimarisha umoja ndani ya Bunge la K a t i b a n a k u s h i n d a n a kwa hoja juu ya Rasimu, amewagawa zaidi wajumbe wa Bunge hilo na kufufua hisia za itikadi za kisiasa na misimamo ya vyama katika Bunge lenyewe.

Kilichosalia ni kudura na nusura ya Mwenyezi Mungu katika kuokoa mjadala huu wa katiba mpya. Hizo ndizo zitakazookoa mjadala huu wa rasimu, inasubiriwa kwa hamu na Watanzania kuwa katiba yao mpya.

Maalim Seif amvaa Rais Jakaya KikweteInatoka Uk. 1alipokuwa akizindua Bunge Maalum la Katiba m j i n i D o d o m a h i v i karibuni.

Kufuat ia hal i hiyo, Maalim seif amesema kuwa tayari ameshamwandikia R a i s K i k i we t e b a r u a kumueleza masikitiko yake.

Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara ulioandaliwa na Chama cha Wananchi CUF katika viwanja vya Kibandamaiti, Mhe. Maalim Seif ambaye pia ni Katibu Mkuu wa chama hicho a l i sema Ra is K ikwete , ak iwa ndiye mkuu wa nchi, h a k u p a s wa k u i n g i z a m i s i m a m o ya c h a m a chake kuhusu rasimu ya katiba inayoendelea kujadiliwa katika vikao vya Bunge Maalum mjini D o d o m a , k wa k u wa Katiba inayoandikwa ni ya wananchi wote na sio wa chama maalum.

Alisema Rais Kikwete alipaswa kutoa hotuba ambayo inawaunganisha Watanzania wote, lakini kilichotokea kuibuka kauli ambazo ni za kibaguzi na za kujenga chuki dhidi ya watu fulani.

“Rais kutoa mfano k w a k u e l e z a k u w a wananchi wa Pemba ndio watakaoathirika chini ya

mfumo wa Serikali tatu kwa vile ndio wenye mashamba mengi ya vitunguu katika maeneo ya Tanzania Bara, ni kauli ya kujenga chuki ikizingatiwa kuwa sio watu kutoka Zanzibar peke yao wanaofanya shughuli zao Tanzania Bara.

“Sikutarajia hata siku moja kama Rais Kikwete atafitinisha watu…, eti Wapemba watafukuzwa, lakini Tanzania Bara wapo Wakenya na hata Wachina wanafanya shughuli zao, kwanini shaka iwe kwa Wapemba tu”, al ihoj i Maalim Seif.

Alisema baada ya hotuba hiyo ya Rais kuonyesha nia ya CCM kulazimisha mfumo wa serikali mbili licha ya wananchi wengi kupinga, msimamo wake yeye na Wazanzibari walio wengi sasa unabaki kuwa wa Serikali ya Mkataba, kama walivyotaka kwenye maoni yao waliyotoa katika Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Makamu huyo wa Kwanza wa Rais ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CUF, alisema ishara za kuwa CCM hakina nia ya wa n a n c h i k u p a t a katiba safi na kulazimisha misimamo yao, inaonekana wazi katika uendeshaji wa Bunge la Katiba.

Alisema Mwenyekiti wa B u n g e h i l o k wa

kushirikiana na wajumbe wa CCM, wamekuwa wakitumia wingi wao kulazimisha hoja zao, ikiwa ni pamoja na kuteua viongozi kutoka chama hicho ili kupitisha matakwa yao, hata kama hayana maslahi kwa wananchi walio wengi.

Alieleza kuwa hata Tume zilizioundwa na Mwenyekiti Samuel Sitta, ni za upendeleo ambao takriban wajumbe wote ni kutoka CCM.

“ W e n y e v i t i w o t e n i k u t o k a C C M , anayewakilisha makundi m e n g i n e n i H a m a d Rashid, sita akamteua Profesa Lipumba aingie, Mnyamwezi yule yuko m a k i n i a m e k a t a a , t u n a m p o n g e z a s a n a Profesa Lipumba”, alisema.

Aidha Maalim Seif , alimpongeza Spika wa Baraza la Wawakilishi, M h e . P a n d u A m e i r Kif icho, kutokana na ujasiri na uwezo mkubwa aliouonesha alipokuwa Mwenyekiti wa muda w a B u n g e M a a l u m kwa kufanya kazi bila upendeleo.

Maalim Seif alisema Mhe. Kificho alifanya kazi kubwa na nzuri tena bila ya kuwa na kanuni, lakini Mwenyekiti wa Bunge hilo Bw. Sitta, ameonyesha udhai fu mkubwa wa kuendesha Bunge hilo.

Page 3: ANNUUR 1118.pdf

3 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 28- APRILI 3, 2014Habari

Mh. Kikwete: ‘Vitunguu’ na ‘Utaifa’ wapi na wapiHIVI kweli kuna uzito gani baina ya Watu wa Zanzibar kupoteza UTAIFA wao na ukulima wa vitunguu wanavyolima “Wapemba’ huko Tanganyika!!!

Ni ‘Wapemba” wangapi wanaolima ‘vitunguu’ huko na ni wangapi tuliopoteza utaifa wetu na hadhi ya nchi yetu.

N a k w a n i n i h a o ‘Wapemba’ wamefika huko na wanalima vitunguu.

Si ndio sababu hiyo hiyo ya kukosa utaifa wao. Si ndio sababu ya kudhalilishwa kinchi, kisiasa na kiuchumi mpaka nchi ikashindwa kujimudu kujiendesha ndio wameamua kuhama n a k u t o k o m e a k w a kutokomea?

Hii ni kauli ya idhlal sana kwa Wazanzibari. Ni kauli ya dharau, kejeli, na ubaguzi, ya kikabila.

K a u l i h i i y a R a i s Kikwete aliyoitoa katika Bunge Maalum la Katiba, imewapata kiburi, CCM. Sasa Wazanzibari, Zanzibar na Watanzani waliotoa maoni yao juu ya muundo wa s e r i k a l i t a t u wa muungano, wanadhalilika.

N a m w e n y e w e a m e s h a j i p a n g a , a m e z u n g u m z i a j e s h i kuwachukua madaraka (wao hawajui kat iba , demokrasia n.k) alisema ” ’ h a w a m a a f a n d e h a w a j u i … . . ! J K amezungumzia “magari ya maji ya kuwasha” — ina maana kama Wazanzibari w a t a j a r i b u a n g a l a u kusema NO kauli yake, basi watakiona kilichomtoa k a n g a m a n y o y a . Tujitayarishe na bakora. Hii ndio huenda ndiyo hali itakayotokea Zanzibar, mbeleni (Mungu aepushie mbali).

Tunajua kuwa kwa miaka 50, Tanganyika wanapewa misaaada ya nje, kwa koti lake la Tanzania, mgao wa benki kuu, ajira ndani ya serikali ya Muungano n.k — dhulma juu ya dhulma….haya yote hayaonekani, ila la Wapemba kulima vitunguu Bara.

Kila mmoja anawasha m o t o k i v ya k e d h i d i ya Zanzibar. Na bahati mbaya Wazanzibari nao sijui niwaiteje, ila ufupi wa maneno ya kiungwana, sio watu wakweli — hasa wale wabunge na wawakilishi

Na abdisalum, Makame Silima

wetu (wote CUF na CCM) na kila aliyemo humo.

Ninakwambieni kuwa iwe kutakuwa na two-third majority au la, kile kipengele cha kumiliki cha ardhi kwa Watanganyika kitapita tu, hata kama atahudhuria mtu mmoja. Hivi sasa si wanamiliki kila kitu mpaka ajira zote 80% iwe za serikali au binafsi — wao ndio wanaoajiriwa.

T u t a k e t u s i t a k e , W a z a n z i b a r i tumeshapoteza FOCUS (dira) ya nchi yetu. Tumetia madudu mengi katika maisha yetu — na kilikuwa kimebaki kitu kimoja tu: UISLAMU — na huo sasa pia tumeumaliza wenyewe. Tumeingiza taka taka zote, uchafu wa kila aina ndani ya Uislamu.

Sasa tusubiri katiba ya Zanzibar ibadilishwe na tuone kama mtakataa.

Jee, ni kwa nini CCM mara nyingi inajenga chuki zidi ya watu wenye asili ya Pemba? au Pemba si sehemu ya Tanzania?

Takribani nimechunguza katika hutuba nyingi za CCM na vitendo vingi vinavyotokea Visiwani Z a n z i b a r , wa l e n g wa wakubwa ni watu wenye as i l i ya Pemba. Hata kufikia hadi 1995 kuvunjwa Nyumba za watu wenye asili ya Pemba kwa chuki tu za kibaguzi na kisiasa .

S a s a m a m b o h a y a nilidhani yako Zanzibar tu, Lakini tulisibitisha k u m u o n a R a i s w a Jamuhuri, bila kutafuna maneno, alitumia maneno ya ubaguzi na vitisho kama vile watu Wenye asili ya Pemba hawana haki ya kuishi na kukaa Tanzania.

Kwa Mtazamo huu na Baraka a l izoz i toa Rais ikiwa kama mlezi wa Wananchi wote wa Tanzania bila kujali rangi asili au wapi unatoka, huu ni ubaguzi mkubwa kwa mtu kama yeye na nihatari kuliangamiza taifa kwa kutumia kwa chuki za kibaguzi kama hizi za kutaja hadharani jamii fulani.

Sisi Watu Wenye asili ya Pemba tunalani sana kitendo hichi cha Rais wa nchi ambaye ni mlezi wa nchi kuwa s i cha kiungwana hata kidogo kwa vile hakikumlenga mtu moja au chama cha siasa kimelenga yamii mzima na tabaka fulani katika nchi hii.

RAIS Jakaya Mrisho Kikwete.

Imekuwa sasa ni mazoea kwa baadhi ya wanasiasa wa CCM kila wanapopata fursa fulani , hutumia kigezo hichi cha ubaguzi kama vile ni mtaji wa chama chao kukiimarisha zidi kwa kuwatukana watu wa jamii fulani (Wapemba).

Sasa tumebaini kuwa hawa UVCCM Zanzibar kufanya v i tendo vya uvunjaji wa Sheria na kuwatukana watu wenye asili ya Pemba, ni Baraka za viongozi wao wa juu.

Nawakilisha kwa Niaba ya Wapemba wenzangu. Mwenyezi Mungu tulinde na utukinge na wabaya wote na uibariki Zanzibar na Tanzania yote.

SIKU ya Jumamosi, Machi 22 majira ya saa 6:30 mchana, genge la wavamizi watano lilivamia Ofisi ya Uamsho iliyopo Mwanakwerekwe Zanzibar na kupora mali na nyaraka kadhaa zilizokuwa ofisini humo.

Taarifa kutoka Zanzibar zinaeleza kuwa katika tukio hilo lenye sura ya ujambazi,

inasadikiwa ni kikosi cha kupambana na madawa ya kulevya kutoka kituo cha Polisi Madema kinachoongozwa na RPC wa Mjini Zanzibar, wawili (2) walikua na silaha aina ya SMG mmoja (1) alikua na rungu alilolitumia kumpiga muhusika wa ofisini anayeitwa Ahmad Hussein Faki.

gari aina ya Suzuki Escudo nyeusi, yenye namba ya usajili Z-463C lilisimama ghafla ubavuni mwa ofisi ya Jumuiya Mihadhara ya Kiislamu-UAMSHO, ambapo ghafla askari walishuka wakavamia na kuingia kwa kutumia nguvu ofisini huku wakimlaz imisha k i j ana al iyekuwepo ofis i hapo kulala chini kifudifudi. Baada ya hapo haraka haraka walianza kupora vitu vilivyomo ndani ya ofisi hiyo ambapo mashuhuda walidai walitumia muda kama wa dakika saba na kuondoka.

Mashuhuda wameeleza kuwa wakati wavamizi hao wanaoshukiwa kuwa ni askari wakiondoka, waliamwamuru kijana waliyemweka chini

Ofisi ya Uamsho Zanzibar yavamiwa na kuporwaPolisi Zanzibar washushiwa tuhuma nzito

Na Mwandishi Wetu ya ulinzi kufuatilia vitu vyake kituo kikuu cha Polisi Zanzibar cha Madema.

Ta t h m i n i ya h a r a k a haraka mara baada ya tukio imeonyesha kuwa v i tu vilivyoporwa ni DVD Player (Sony) moja, Amplifier moja, Computer seti moja, (Desktop, Flatscreen, Keyboard, mouse), Spika mbi l i , Mamia ya DVD’s/CD’s na baadhi bado havijatambuliwa hadi sasa.

Hata hivyo baada ya uvamizi huo, tukio hilo liliripotiwa katika kituo cha Polisi cha Mwanakwerekwe na kufunguliwa jalada la unyanganyi wa kutumia nguvu lenye kumbukumbu namba RB 1337/2014.

Majira ya 7:30 Waislamu walifika kituo cha Polisi Madema kutaka kujua hatma ya vifaa vilivyoporwa ambapo waliambiwa vilipelekwa huko. Imeelezwa kwamba wale waliovipeleka vifaa hivyo walipotakiwa waweke saini kuwa walivichukua na kuviwasilisha kituoni hapo, walikataa kuvipokea vifaa hivyo kwa hofu ya kujulikana kuwa wao ndio waliovamia ofisi hizo.

B a a d h i ya Wa i s l a m u waliofutilia kadhia hiyo walisema kuwa ni wazi hao wavamizi wa ofisi ya Uaqmsho na waporaji wa vifaa vya ofisi hiyo, ni watu wanaofahamika kutoka katika kituo cha polisi cha Madema, katika kitengo cha kupambana na madawa ya kulevya.

Hivyo wana imani kwamba uvamizi huo ulifanywa na

jeshi la Polisi la Jamhuri ya Muungano kinyume na sheria namba 6 ya mwaka 2004, kifungu namba 145,146 na 147 ambavyo vinabainisha u t a r a t i b u u n a o t a k i w a kufuatwa kwa polisi kufanya uchunguzi katika ofisi ya mtu.

Aidha hatua hiyo ya kuvamia na kupora ofisini ni kinyume na Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 na Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya mwaka 1977.

Tukio hilo la kuvamiwa ofisi ya Uamasho na baadhi y a v i t u k u c h u k u l i w a limekumbushia hulka za baadhi ya vyombo vya dola ya kuandaa mazingira ya kuwashughulikia jamii fulani ya watu.

I t a k u m b u k wa m i a k a miwili iliopita Amir wa vijana wa Uamsho alitekwa.

Pia itakumbukwa kuwa katika kipindi cha hesabu ya watu na makazi (sensa). Kiutaratibu sensa haifanywi usiku majumbani isipokua kwa wapita njia. Lakini jambo la kushangaza jeshi la polisi walikwenda saa nane za usiku na kumgongea Katibu Mkuu wa Jumuiya ya UAMSHO na mihadhara ya Kiislamu ili ende akafanyiwe sensa Madema.

P a m o j a n a k w a m b a walikwenda kumchukua n y u m b a n i k w a k e wakionekana na kila mtu, pia walikataa kuwa walikuwa naye, majira ya saa saba za mchana Katibu Mkuu wa Jumuiya ya UAMSHO aliachiwa.

Page 4: ANNUUR 1118.pdf

4 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 28- APRILI 3, 2014Makala

Anti-balaka wanatayarishwa Mombasa tuchukue tahadhari

KATIKA mahojiano yake aliyofanya hivi karibuni, Profesa Horace Campbell amesema kuwa “hali ya vurugu nchini Libya ilipangwa.”

“Ilipangwa kwa sababu Libya ilikuwa ni jamii thabiti Afrika ya Kaskazini, ambako kiongozi wa Libya alitaka kutumia raslimali za Libya kwa aji l i ya kuijenga upya Afrika - rasilimali za maji, raslimali za mafuta, raslimali za fedha, na ufahamu wa watu wa Libya.”

L a i t i m p a n g o h u o ungefanikiwa, sarafu y a E u r o n a D o l a zingeporomoka kwani kulikuwa na mkakati wa kuwa na sarafu ya pamoja ya Afrika. Na kwa maana hiyo uchumi wa Afrika ungeimarika, Waafrika wangekata kamba ya utegemezi kwa Ulaya na Marekani na ule uhusiano wa kiunyonyaji ambapo Afrika inanyonywa huku i k i d a n g a n y wa k u wa inasaidiwa ungekoma.

Katika mahojiano hayo, Profesa Horace Campbell anasema kuwa Gadhafi alikuwa “anataka kuunda Shirika la Fedha la Afrika, Benki Kuu ya Afrika, na sarafu ya pamoja ya Afrika. Na hii ilikuwa ni hatari siyo tu kwa Euro, kwani (Rais wa Ufaransa Nicholas) Sarkozy alisema “tutapigana kuiokoa euro” lakini ingeihatarisha fedha ya Marekani, dola.”

“Isitoshe, uongozi wa Libya ulikuwa umechukua hatua kununua shirika la kibenki la nchi za Kiarabu nchini Bahrain, na uongozi wa Libya ulikuwa na zaidi ya dola bilioni 200 za Marekani katika fedha za kigeni.”

Kwa kuwa na akiba kubwa ya fedha kiasi hicho, kama kiongozi wa Libya angepata nchi sita tu za kumuunga mkono za Kiafrika, basi angeweza kuzitaka nchi za Afrika kujiondoa katika dola ya Marekani kama fedha ya akiba na kutumia raslimali za Afrika kama dhahabu kama fedha mpya kwa Afrika yote.”

Hi lo ndi lo ambalo hawakulitaka Wazungu, lakini katika kulifanikisha wakatumia kisingizio cha demokrasia, matakwa ya wananchi, yakaratibu m a a n d a m a n o n a kuyafadhili, wakapatikana vibaraka na washenga wa kutumiwa, kisha kuingiza wapiganaji waliotumika kumng’oa Gadhafi.

Jambo la kusikitisha hapa ni kuwa Waislamu tulitumika vibaya sana. Kwa kuwa na uoni finyu na kutokutizama karata za kidunia zinavyochezwa, tukauziwa agenda ya

Na Omar Msangi

HALI inayoendelea hivi sasa Afrika ya Kati.

‘ J ihad ’ . Baadhi ye tu tukaona ni vita ya Jihad kumuondoa Gadhafi . Tu k a s h i r i k i k u u w a watu wasio na hatia na kuinagamiza Libya. Hivi sasa Libya ni vurugu t u p u . M a k a f i r i wa o

washapata walilolipanga na kuratibu. Tuliotumiwa wala hatujapata akili, ha tu ja tanabahi , sasa tunatumiwa tena Syria. Ni msiba!.

Hivi sasa Waislamu wanauliwa Afrika ya Kati.

Ilianzia na harakati za kundi la Seleka lililopewa utambulisho wa Kiislamu. Likafanya mambo ambayo yalijenga chuki kubwa baina ya Waislamu na Wakristo. Baada ya chuki na hasira za Wakristo za

kulipiza kisasi kuchemka na kufikia kiwango cha hali ya juu, ukaandaliwa mlango wa kutokea Seleka. Wakapokonywa silaha na Rais wa nchi Muislamu a k a t a f u t i wa n c h i ya kwenda. Sasa Waislamu wanachinjwa na anti-balaka (Wakristo) mbele ya macho ya kinachoitwa jeshi la kulinda usalama la Umoja wa Mataifa.

Tukitaka kusalimika na shari ya makafiri kwa msaada wa Allah, ni lazima na sisi tutekeleze wajibu wetu katika yale yaliyo katika uwezo wetu. Moja na la muhimu ni kusoma hali inayotukabili n a k u i e l e wa v i z u r i . Kuwasoma tunaowaita maadui zetu na mbinu zao wanazozitumia hivi sasa, ili tujue namna ya kuruka v i h u n z i . Tu s i n a s w e kirahisi , ki j ingajinga. Tusiparamie mambo kwa jazba.

K a t i k a m a t u k i o makubwa mwaka jana katika eneo hili la Afrika Mashariki, ilikuwa ni lile la shambulio lililodaiwa kufanywa na Al Ashabab pale Westgate Shopping Mall, Nairobi. Katika tukio lile utoaji wa habari kwa wazi kabisa ulikuwa ukilenga kuwafitinisha Waislamu na Wakristo. K wa n z a t u l i a m b i wa kuwa magaidi walikuwa w a k i m u u l i z a m t u j ina akiwa Muislamu wanamwacha, ila akiwa Mkristo, hata akiwa mtoto mchanga wanamuuwa. Tu k a a m b i wa wa t o t o wengine wa Kikristo w a l i k a t w a m i k o n o , ikachongwa ikafanywa k a l a m u n a d a m u ikafanywa wino. Baadhi ya televisheni zikawaonyesha watu hao wakiwa ndani ya duka wakiswali kwa zamu. Hii yote kuonyesha kuwa waliouwa watu ni Al Shabab, Waislamu.

Lakini Muislamu hapa unatakiwa ujiulize, kuna mujahidina anayeweza kuuuwa watoto wachanga wasio na hatia au Mkristo yoyote asiye na hatia wakati katika mazingira ya kivita unaambiwa usikate hata mti au kuharibu mazao shambani?

Ukitizama haya yote na kufanya uchambuzi mwepesi tu, haitakuwa vigumu kutambua kuwa m a t u k i o k a m a h a ya huenda yanapangwa na kuratibiwa ili kuwapaka matope Waislamu na katika muktadha huu, kutaka kuleta machafuko kwa kuchochea mapigano baina ya Waislamu na Wakris to . Kwa hiyo, unaposhabikia Al Shabab u j u e p i a k u wa j a p o

Profesa Horace Campbell, S y r a c u s e U n i v e r s i t y akihojiwa na Paul Jay. 'The Real News Network'

Machafuko nchini Libya yalitengenezwa kwa dhamira. I l ikuwa ni kudhamir ia kwa sababu Libya ilikuwa taifa lenye uthabiti katika Afrika Kaskazini, ambako kiongozi wa Libya alitaka kutumia raslimali za Libya kwa kuijenga upya Afrika - raslimali ya maji, raslimali ya mafuta, raslimali ya fedha. na uelewa wa watu wa Libya.

(Imewekwa mtandaoni Machi 20, 2014)

P a u l J a y , m h a r i r i mwandamizi, TRNN: Kribuni tena katika Mtandao wa Habari Halisi. Ni mimi Paul Jay nikiwa Baltimore.

Machi 19 itakuwa (ilikuwa) ni maadhimisho ya mwaka wa tatu wa uingiliaji wa umoja wa kujihami wa nchi za Magharibi (NATO) nchini Libya. . Ukiangalia kwa nyuma, ni yapi yalikuwa malengo ya NATO? Ni Libya gani waliyotazamia kukuta baada ya kupindul iwa Gaddafi? Na nini hasa ni Libya ya leo?

Sasa anayejiunga nasi kutoka Chuo Kikuu cha Syracuse ni Profesa Horace Campbell , Anafundisha

Kwanini Gaddafi alipinduliwa?kuhusu Wamarekani wenye asili ya Afrika, na taaluma ya siasa. Ameandika sana kuhusu siasa za Marekani na Afrika, na kitabu chake kipya kinaitwa 'Global NATO and the Catastrophic Failure in Libya' (NATO ya dunia na mkasa wa kukwama nchini Libya).

Asante sana kwa kujiunga nasi, Horace.

Horace Campbell (Profesa wa masuala ya Afrika na Marekani, na taaluma ya s iasa, Chuo Kikuu cha Syracuse):

Asante kwa kunikaribisha kujadili kushindwa kwa sera za nje za Marekani katika Afrika na kukwama kwa NATOP katika Afrika.

NOOR: Ilikuwa ni siku moja au mbili tu zilizopita, wanamaji wa kikundi cha SEAL cha makomandoo waliteka meli ya Libya na Korea ya Kaskazini iliyobeba mafuta kutoka bandari ya mafuta inayoshikiliwa na waasi nchini Libya. Hii nadhani ilikuwa ni kupeleka ujumbe kuwa serikali kuu, inavyoitwa, inayotambuliwa na Marekani, na si mtu mwingine ndiyo itakayouza mafuta. Lakini ni kielelezo cha hali ya vurugu ambayo inaendelea nchini Libya.

Tupatie mtazamo wa kile kinachoendelea nchini Libya, halafu tutajaribu kuchimba zaidi kurudi nyuma kuona hali hii ilitoka wapi.

CAMPBELL: Hal i ya v u r u g u n c h i n i L i b y a ilipangwa. Ilipangwa kwa sababu Libya ilikuwa ni jamii thabiti Afrika ya Kaskazini, ambako kiongozi wa Libya alitaka kutumia raslimali za Libya kwa ajili ya kuijenga upya Afrika - rasilimali za maji, raslimali za mafuta, ras l imal i za fedha , na ufahamu wa watu wa Libya.

NATO iliingilia licha ya tofauti zilizokuwepo kati ya vipande tofauti vya NATO, kati ya Ufaransa na Marekani, kati ya Ufaransa na Ujerumani, na ushindani kati ya Italia na Ufaransa. Licha ya tofauti hizi, walikuja pamoja baada ya Ufaransa kuanzisha uvamizi mkubwa kuiteketeza jamii ya Libya mwaka 2011.

Lakini uharibifu huo umeleta tu tatizo kubwa kwa ushawishi wa mabepari wa nchi za Magharibi katika Afrika.

JAY: Sielewi vizuri kwanini nchi za Magharibi zitake tu kuharibu jamii ya Libya. Utawala wa Gaddafi ulikuwa

Inaendelea Uk. 6Inaendelea Uk. 6

Page 5: ANNUUR 1118.pdf

5 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 28- APRILI 3, 2014Habari za Kimataifa

MINYABaada ya kusikiliza kesi

mara mbili tu, Mahakama ya mjini Minya nchini Misri, Jumatatu Machi 24 wiki hii imetoa adhabu ya kifo kwa wafuasi 528 wa Chama cha Muslim Brotherhood.

W a f u a s i h a o w a m e h u k u m i w a kifo kufuatia tuhuma walizoshtakiwa kwazo, za kushambulia kituo cha polisi na kumwua Naibu Mkuu wa kituo hicho katika jimbo la Minya, baada ya polisi kutawanya maandamano ya wafuasi wa Rais aliyeondolewa madarakani Mohamed Morsi , mwezi Agosti mwaka jana.

Mahakama hiyo pia ilifuta mashtaka dhidi ya washitakiwa wengine 17.

Mgogoro wa kisiasa nchini Misr i unazidi kuongezeka siku hadi siku, ambapo watawala nchini humo wamekuwa wakiendesha msako mkali dhidi ya wafuasi wa chama hicho na kusababisha vuguvugu.

Ta n g u B w . M o r s i kuondolewa Madarakani m we z i J u l a i m wa k a jana, vikosi vya usalama v i m e k u wa v i k i wa u a mamia ya wanachama wa Brotherhood huku maelfu ya wengine wengine wakiuawa.

Mahakama hiyo imetoa h u k u m u h i y o h u k u Mawakili wa watuhumiwa walilalamikia kitendo cha kutopewa muda wa kuwas i l i sha kes i yao kama walivyokuwa wamekusudia.

Hata hivyo mauaj i wanayodaiwa kufanywa wafuasi hao yalitokea Kusini mwa Misri mwezi A g o s t i m wa k a j a n a , baada ya v ikos i vya Usalama kuvunja kambi mbi l i za wafuasi wa Bw. Morsi ambao mara kwa mara wamekuwa wakiandamana wakitaka arejeshwe madarakani, j a m b o a m b a l o halijafanikiwa.

H u k u m u y a k i f o k w a w a t u h u m i w a 529 iliyovunja rekodi katika historia ya Misri, i m e o n y e s h a i s h a r a m b a ya k wa s e r i k a l i katili inayosimamiwa na jeshi imekuja baada ya kusikilizwa kesi siku moja.

Hukumu iliyotolewa na Jaji imezua malalamiko kutoka makundi ya haki

Wafuasi 528 wa Muslim Brotherhood wahukumiwa kifoza kibinadamu.

“ H i i n i k i b o k o n a haikubaliki,” Mohammed Zarei, wakili wa haki za kibinadamu jijini Cairo, alilieleza Associated Press.

Alisema Mahakama za Misri zimegeuka kuwa vyombo vya kulipiza visasi badala ya kupatikana haki.

Tangu Julai mwaka jana, jeshi la Misri liliikataa serikali ya kidemokrasia iliyowekwa na wananchi madarakani kupitia chama cha Muslim Brotherhood, l ik ida i ser ika l i h iyo imeshindwa kuunganisha nchi kufuatia kuibuka maandamano ya baadhi ya makundi yaliyokuwa yakiikosoa serikali, kuwa ilikuwa ikiendeshwa na watu wa itikadi kali baada ya kuondolewa serikali ya Hosni Mubarak 2011.

Baada ya kukamatwa Rais Mohammed Morsi na kuwekwa ndani na Serikali yake kuondolea, takriban watu 1,400 hadi 2,000 waliuliwa ikiwa ni pamoja na wale 1,000 waliouliwa Agosti mwaka jana katika mitaa ya jiji la Cairo, ambako wafuasi wa Brotherhood waliweka kambi kwa wiki kadhaa wakipinga kupinduliwa Bw. Morsi.

H u k u m u y a k i f o il iyotolewa Jumatatu, imekuja kutokana na maandamano ambayo y a l i i b u k a i k i w a n i kumbukumbu ya mauaji ya wafuasi wa Muslim B r o t h e r h o o d A g o s t i j i j in i Ca i ro , ambapo waandamanaji wa mji wa Minya uliopo maili 150 kusini mwa Cairo, walishambulia kituo cha Polisi ambapo Kamanda msaidizi wa kituo aliuliwa.

Wa k i l i wa u t e t e z i a l i l a l a m i k a k wa m b a h a w a k u p e w a m u d a k u t a t h m i n i m a f a i l i ya uchunguzi ambayo yalikuwa na kurasa zaidi ya 3,000.

Watuhumiwa wachache n d i o w a l i o k u w e p o m a h a k a m a n i wa k a t i h u k u m u i n a t o l e w a , ambapo Ja j i a l ikataa kuahirisha hukumu ili kutoa muda kwa mawakili w a u t e t e z i k u s o m a ushahidi.

“ J a j i a l i s i m a m a , akatuangalia, akaweka mkono wake juu ya kengele na kutangaza: Jumatatu itatolewa hukumu,” Wakili wa upande wa utetezi Yasser Zidan aliieleza AP.

Hukumu iliyotolewa mahakani hapo pia bado haijapitiwa na Mufti wa Misri.

Hukumu ya Jumatatu ni aibu kwa utawala wa Misri ambao umeshakamata w a t u 1 6 , 0 0 0 n a kukitangaza rasmi chama cha Brotherhood kuwa

ni “shirika la kigaidi ” na kuwafunga waandishi wa habari, wanaharakati wa haki za kibinadamu na kidemokrasia ambao w a l i k u w a v i o n g o z i w a m a p i n d u z i y a 2011 ya l iyomuondoa m a d a r a k a n i H o s n i Mubarak.

Msemaji msaidizi wa serikali ya Marekani Marie Harf, alinukuliwa akisema “Pretty shocking” kwamba inashtua sana kuona watu 5 2 9 wa m e h u k u m i wa kifo kwa ajili ya kufa polisi mmoja na wote wamehukumiwa ndani ya siku mbili tu.

NEW YORKKUNDI la Waislamu kutoka jimbo la New Jersey nchini Marekani, limelalamika vikali na kutaka iangaliwe upya sheria ya kufanyiwa ujasusi na kupelelezwa Waislamu nchini humo.

Kundi la wanasheria l i n a l o t e t e a h a k i z a W a i s l a m u n c h i n i Marekani, limeandika barua ya kutaka sheria h iyo iangal iwe upya na kusisitiza kwamba, kitendo cha polisi wa New York cha kuwapeleleza Waislamu sio cha kisheria wala kiungwana.

Mwezi uliopita, Jaji William J. Martini, alitoa amri ya kuchunguzwa na kupelelezwa harakati na shughuli za Waislamu huko New York, kwa madai kwamba hatua hiyo itasaidia kutokomeza vitendo vya kigaidi nchini humo.

Waislamu Marekani wataka Sheria ya kuwapeleleza iangaliwe

Mahakama ya jimbo hilo imetangaza kuwa, suala la kuchunguzwa na

kupepelezwa Waislamu wa New York halikinzani na haki zao za kiraia.

BANGUIWanamgambo wa Kikristo wa Anti-Balaka nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, wa m e i v u n j i a h e s h i m a dini Tukufu ya Kiislamu kwa kuigeuza misikiti ya Waislamu kuwa maeneo ya starehe na baa za kuuzia na kunywea pombe.

Habari kutoka nchini humo z inae leza kuwa, baada ya wanamgambo hao wenye misimamo ya chuki kufanya ukatili mkubwa dhidi ya Wais lamu na kuwafanya kuwa wakimbizi, wameigeuza misikiti ya Waislamu hao kuwa maduka ya kuuzia pombe na maeneo yao ya starehe za ufuska na uchafu ndani ya misikiti hiyo.

Habari zinasema kuwa, wanamgambo hao ambao wanaonekana kuungwa

Anti Balaka wageuza Misikiti kuwa baamkono na baadhi ya nchi za kigeni hususan Ufaransa, wapo tayari kutekeleza ukatili wowote dhidi ya Waislamu na kuharibu nyumba zao za ibada nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Hayo yanajiri huku jamii ya kimataifa ikiishia kulaani kwa maneno tu jinai zinazofanywa na wanamgambo hao bi la kuchukua hatua madhubuti za kukabiliana na vitendo hivyo viovu.

Kamishna wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Navi Pillay, amesema kuwa Jamhuri ya Afrika ya Kati imekuwa mahala pa kufanya mauaji, mateso, kukatwa viungo vya watu na kuchomwa moto raia wasio na hatia.

RAIS wa zamani wa Misri Mohammed Morsi akiwa kizuizini.

Page 6: ANNUUR 1118.pdf

6 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 28- APRILI 3, 2014Makala

Anti-balaka wanatayarishwa Mombasa tuchukue tahadhari

Inatoka Uk. 4watakuwa Al Shabab kule Somalia wanaopigania haki zao za msingi kama Wa s o m a l i n a k a m a Waislamu, lakini msamiati huo unatumiwa sasa na makafiri kupandikiza kitu kingine cha hatari kwa Waislamu na kwa nchi.

Huko huko Kenya, safari hii ikiwa Mombasa, tunaambiwa ‘Al Shabab’ wa k i wa n a b u n d u k i wamevamia kanisa na kuuwa watu wanne , wa k i j e r u h i w e n g i n e 21 kwa risasi. Kanisa lililovamiwa linaitwa Joy of Jesus, lililopo Likoni. Hiyo il ikuwa siku ya Jumapili wakati wa ibada kiasi saa 4 na dakika 30 asubuhi. Inadaiwa kuwa washambuliaji hao walikuwa na bunduki aina ya AK-47 na walikuwa wameficha nyuso zao.

M a e l e z o m e n g i yanatolewa na mwisho wa yote washambuliaji hao wanaunganishwa na wanaodaiwa kuwa vijana wa Kiislamu wa siasa kali Mombassa.

Ukisoma na kusikiliza maoni ya wanas iasa na watu wa kawaida, kinachojitokeza wazi ni kuwa kuna jitihada za makusudi za kuleta yale ya Seleka na anti-balaka, Kenya . Maana kama matukio kama haya ya kuuliwa Wakristo mitaani yataendelea mpaka ndani ya makanisa, itajengeka mazingira ya kuwa hiki ni kitisho cha kweli. Matokeo ni Wakristo kujenga chuki na hasira za kulipiza kisasi. Ikifika hapo, ni machafuko. Kenya tunayoijua leo haitakuwapo tena.

Labda niliweke wazi zaidi hili. Siamini kuwa k u n a M u i s l a m u a u Al Shabab, kwa jina la Uislamu au kulipiza kisasi kile kinachodaiwa kuwa kwa sababu ya serikali ya Kenya kupeleka jeshi S o m a l i a , a n a ye we z a kufanya yale ya Westigate na hili la mauwaji ya K a n i s a n i , M o m b a s a . Kama ni Muislamu au mtu wa dini nyingine aliyefanya, basi atakuwa anatumiwa kwa kujua au bila kujijua kupitia kwa mtu mwingine. Na lengo hapa, haiwezi kuwa ni hicho kinachodaiwa kuwa kulipiza kisasi kwa sababu ya Kenya kupeleka jeshi Somalia. Kinachojitokeza wazi hapa ni uchochezi na njama za kupandikiza c h u k i n a h a s i r a z a kulipizana kisasi.

Ni wazi kuwa kama matukio haya yatakuwa yakiendelea, Wakristo h a wa w e z i k u k a a t u wakiona mauwaji haya yakiendelea. Watataka kulipiza kisasi. Lakini wakifikia hapo watakuwa wametumbukia katika mtego wal iowekewa.

Wao watakuwa wanaona wanal ipiza kisas i na kwamba hiyo ni haki na matokeo yanayotarajiwa kwa binadamu yoyote. L a k i n i w a t a k u w a wanaitia nchi yao katika machafuko jambo ambalo linaonekana wazi kuwa ndio linalotakiwa.

Kwa h iy o peng ine k i n a c h o t a k i w a k w a Wakenya, ni kusoma k wa m a k i n i m c h e z o unaofanyika hapo na wao kwa umoja wao, Waislamu kwa Wakristo na watu wa kabila zote kutafuta namna ya kutegua mtego huo.

Katika tukio hili la M o m b a s a , v i o n g o z i wa kidini , Wais lamu na Wakristo, wametoa matamshi ya kulaani. Hata hivyo, kwa bahati mbaya sana, matamshi ya baadhi ya Masheikh ni ya kusikitisha sana. Ni matamshi ambayo

ya n a t i a s h a d a k u wa wahusika ni Waislamu. Unaposema kuwa unalani tukio hilo la mauwaji na ukaongeza kuwa Uislamu hauruhusu mambo kama hayo, Uislamu si ugaidi na kwamba waliofanya h a w a e l e w i d i n i a u wanaitumia dini vibaya; kimsingi unachosema ni kuwa waliofanya ni Waislamu. Hilo la kusema wanaitumia dini vibaya, haliondoi hoja ya msingi uliyojenga kuwa wahusika ni Waislamu. Sasa iwe wameruhusiwa na dini yao kufanya hivyo au la, lakini ujumbe muhimu unaopeleka kwa Wakristo na watu wengine n i kuwa jamani waliouwa ni Waislamu. Kwa hiyo unashiriki kuita hasira za serikali na za jamii ziwashukie Waislamu.

Hata kama waliofanya m a u wa j i h a y o wa n a ma j ina ya Ki i s lamu,

inakuwa sawa na jambazi tu. Huwezi kuunganisha ujambazi wake na Ukristo, Uislamu au kabila lake. Unachoweza kufanya ni kulani mauwaji hayo, lakini hii ya kuendelea kusema hao si Waislamu safi au wanapotosha Uislamu, ni kujitumbukiza katika mtego wa maadui wa Waislamu. Ni kuwasaidia m a a d u i wa U i s l a m u katika kujenga hoja ya kuwabamiza Waislamu.

M u i s l a m u h a w e z i kuingia dukani akapiga watu risasi ovyo, kwa sababu yoyote ile iwayo. Wala hawezi kuingia k a n i s a n i n a k u a n z a k u wa m i m i n i a r i s a s i Wakristo wakiwa katika ibada zao.

Pengine nimalizie kwa kusema kuwa hapa kwetu kwa kipindi sasa nako pamekuwa na jitihada za kujenga chuki baina ya Waislamu na Wakristo

k a t i k a ya n a y o d a i wa matukio ya kigaidi ambapo mara zote inapakwa picha kuwa washambuliaji ni Waislamu na walengwa ni Wakristo. Hali hiyo ilipigiwa sana debe mpaka vyombo vya dola na baadhi ya viongozi wa kisiasa wakajikuta wakijiingiza katika propaganda hizi chafu za kuitumbukiza nchi katika machafuko.

Inavyoonekana kwa sasa kumepoa kidogo pengine kutokana na wengi kupata kufunguka macho na akili kwamba huenda hapa tunachezewa mchezo mchafu.

W e n z e t u K e n y a wanaonekana kuandamwa zaidi na kilipopatikana kisingizio cha kwenda S o m a l i a , wa m e k u wa kama wamezingwa na chatu, hawana pa kutokea. Yamekuwa yakifuatana matukio yanayodaiwa ya kigaidi na lawama mara zote hurushiwa Waislamu (Al Shabab).

Ukiacha hili la Mombasa j u z i y a p o m a t u k i o mengine kadhaa ambapo waumini wa Kikristo walishambuliwa kanisani. Kwa mujibu wa gazeti la Daily Nation la Jumatatu, Machi 24, 2014 matukio mengine ni pamoja na lile la guruneti katika kanisa la Pentekoste, Garissa Novemba 5, 2011 ambapo watu wawili waliuliwa. Kisha House of Miracle Church, kule Ngara , Nairobi, mtu mmoja akafa na kumi kujeruhiwa. Hiyo ilikuwa Aprili 29, 2012.

Matukio mengine ni lile la Julai 1, 2012 ambapo guruneti lilirushwa katika kanisa Katoliki (Our Lady of Consolata) na jingine katika kanisa la African Inland Church. Katika matukio hayo mawili waliuliwa watu 17 na wengine 66 kujeruhiwa. Kutoka hapo likafanyika shambulio katika kanisa la St Polycarp ACK Nairobi akafa mtu mmoja. Hiyo ilikuwa Septemba 30, 2013.

Tunalotakiwa kufahamu ni kuwa Nairobi, Mombasa, si mbali. Yakitokea ya Seleka na Anti-Balaka, tujue itakuwa vigumu sana kukwepa athari zake. Wapo Wakristo wenye ndugu Kenya kama walivyo Waislamu. Uhasama, chuki na ulipizaji kisasi, unaopandikizwa na kupaliliwa, waweza kusambaa hadi huku.

Tuwaombee Mungu wenzetu wa Kenya wapate kuyatizama matukio haya kwa jicho pevu na katika muktadha halisi wa vita dhidi ya ugaidi ambayo ni mikakati ya mabeberu kupata mradi wao kwa g h a r a m a ya k u z i t i a nchi nyingine kat ika machafuko.

Kwanini Gaddafi alipinduliwa?Inatoka Uk. 4

unacheza mduara na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Benki ya Dunia. Wanae walikuwa wananunua na kuuza katika soko la hisa za makampuni jijini New York, na mmoja wa wanae alikuwa akitembelea watengenezaji wa vifaa vya kijeshi wa Marekani akijadili mauzi ya silaha kabla ya uvamizi. Walikuwa wana dili kubwa tu za mafuta na gesi. Kuna ripoti za Benki ya Dunia kusifu mageuzi ya uchumi nchini Libya na kubinafsishwa kwa mfumo wa mabenki nchini humo. Nasema, alishirikiana na utawala wa George Bush na Dick Cheney katika maeneo mengi. Alikuwa amefikia muafaka wa kina na Marekani. Sielewi, kwa picha ya haraka, ni vipi wangetaka kumpindua. Ni wazi walifanya hivyo, lakini jambo hilo halielezi kilichotokea.

CAMPBELL: Yote hayo ni kweli kabisa, Ila inasahau jambo moja: kuwa kila kiongozi wa kisiasa anataka uhalali wa kisiasa. Na katika hali ya Libya, uhalali wa kiongozi ulikuwa unatoka katika kujitambulisha kama mtu ambaye ni sehemu ya Umoja wa Afrika na anataka kuunda Shirika la Fedha la Afrika, Benki Kuu ya Afrika,, na sarafu ya pamoja ya Afrika. Na hii ilikuwa

ni hatari siyo tu kwa Euro, kwani (Rais wa Ufaransa Nicholas) Sarkozy alisema “tutapigana kuiokoa euro” lakini ingeihatarisha fedha ya Marekani, dola. Isitoshe, uongozi wa Libya ulikuwa umechukua hatua kununua shirika la kibenki la nchi za Kiarabu nchini Bahrain, na uongozi wa Libya ulikuwa na zaidi ya dola bilioni 200 za Marekani katika fedha za kigeni.

Hivyo, ndiyo, uko sahihi. Wa l i k u w a w a n a c h e z a m d u a r a n a n c h i z a Magharibi. Lakini uongozi huo pia ulikuwa unainua misukumo ya kitaifa ndani ya Libya na ndani ya Afrika hivyo wangeweza kutaifisha makampuni ya mafuta wakati wa mvurugano wa kiuchumi wa ubepari duniani. Na nchi za Magharibi hazikutaka hali isiyotabirika, ambako Libya ingeweza kuzitaka nchi za Afrika kujiondoa katika dola ya Marekani kama fedha ya akiba na kutumia raslimali za Afrika kama dhahabu kama fedha mpya kwa Afrika yote.

JAY: Lakini, Horace, kuna ushahidi gani kuwa walikuwa na wasiwasi juu ya jambo hili? Nafahamu Gaddafi aliwahi kulizungumzia, lakini, namaanisha, alikuwa uso kwa uso na Benki ya Dunia, Na, unafahamu, mtu anachosema ni jambo moja, na hali halisi ya uchumi wa Libya ni kuwekwa ndani

kabisa ya ubepari wa dunia. Inaelekea kwangu mimi kuwa kulikuwa na tatizo kuwa alikuwa anacheza mduara na Warusi.................

CAMPBELL: Hapana, hapa, hapana.

JAY: Na kuna za idi , kuwa alikuwa amejikuta akisongwa na mikingamo ya maslahi tofauti ya nchi za kibeberu. Namaanisha, huwezi kuniambia kuwa Libya ilikuwa na uwezo wa kubadilisha fedha ya Afrika.

CAMPBELL: Wangeweza, kwani Libya

ina dola bilioni 200 katika akiba, na kama Libya ingepata nchi tano au sita nyingine za Kiafrika zenye fedha nyingi za kigeni kuunda fedha ya pamoja ya Afrika, ambayo ni moja ya malengo ya Umoja wa Afrika, hiyo ni tishio kwa Ulaya ya Magharibi na Amerika ya Kaskazini.

I s i t o s h e , W a c h i n a walikuwa kundi kubwa zaidi kat ika u jenzi wa m i u n d o m b i n u n c h i n i Libya. Kulikuwa na zaidi ya Wachina 36,000 wakishiriki ujenzi wa reli, barabara, maji, kilimo na kwingineko.

Hivyo, hakuna suala kuwa Libya ilikuwa na uwezo wa kifedha kuamua uhuru wake yenyewe (nje ya maslahi ya nchi za kibeberu).

(itaendelea)

Page 7: ANNUUR 1118.pdf

7 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 28- APRILI 3, 2014Makala/Tangazo

TANGAZO

NAFASI ZA MASOMO SUDAN 2014/2015.

Ofisi ya Munazzamat Al-Daawa Al- Islamiya ( MDI) iliyopo Mbezi Beach-Tangi Bovu jijini Dar es Salaam, inapenda kuwatangazia nafasi za masomo kwa wale wote wanaotaka kujiunga na Chuo Kikuu cha INTERNATIONAL UNIVERSITY OF AFRICA, Khartoum Sudan. Kozi zinazotolewa ni;

1. Shahada ya kwanza katika Medicine, Pharmacy, Dentist, Nursing, Laboratory Sciences, Natural resources, Petroleum and Minerals, Engineering, Electronics & electrical Engineering, Computer Science, Pure Science, Applied chemistry, Microbiology, Geology, Physics na Computer with Mathemtics.

2. Shahadaya kwanza katika Law & Shari’a, Islamic studies, Economics, Administration, Political Science, Education Administration and technology, Curriculum & Methods of Teaching, Arts (Mass communication, Arabic, Geography, History, and General Psychology).

3. Ualimu ngazi ya Diploma Fomu za maombi zinapatikana kwa Tsh 10,000/= tu, kuanzia tarehe 29 March mpaka tarehe 10 April 2014 DAR ES SALAAM: katika ofisi ya Munazzamat iliopo Tangibovu- Mbezi Beach. MWANZA: Msikiti wa Rufiji uliopo Mtaa wa Rufiji na ZANZIBAR: katika ofisi ya Munazzamat (Kituo cha kusaidia mayatima) kilichopo eneo la Mpendae kwa mchina mwisho, mkabala na skuli ya Kijangwani, saa 3:00 asubuhi mpaka saa 7:00 mchana. Kutakuwa na Mtihani (Oral Interview) tarehe na mahali utapewa pale utakapochukulia fomu. Sifa za mwombaji:- Awe amemaliza kidato cha Nne na sita au Thanawiya kwa kupata daraja la kwanza, la pili au la tatu.Pia mwombaji lazima alete Vyeti halisi (Original academic certificates) Result sleep haikubaliwi. Kwa maelezo zaidi piga simu:- Makao makuu, Dar es Salaam: 0786 806662 au 0652 806662 au 0715249015 au 0787 121283 Kituo cha Zanzibar simu no: 0777415835 au 0715 415835. Kituo cha Mwanza simu no: 0688 216644 au 0782 382434 au 0762 498913 …………………………

Mr. Khamisi M. Liyenike K.n.y. Mkurugenzi, MDI, TZ

DONETSK Mij i ya kusini na m a s h a r i k i n c h i n i Ukraine imegeuka k u w a v i w a n j a v y a m a a n d a m a n o makubwa ya wananchi, wakitaka nchi hiyo n a y o k u j i u n g a n a Urusi.Maelfu ya wananchi katika miji ya Donetsk, Kharkiv, Odessa na miji mingine ya kusini na mashariki mwa nchi hiyo, walimiminika barabarani mwishoni mwa wiki,wakipinga mwenendo wa viongozi wa serikali ya Kiev, a m b a o w e n y e w e unaabudu zaidi Jumuia

Ukraine nao wataka kujiunga na Urusiya Ulaya.

K w a m u j i b u w a ripoti, waandamanaji wametaka nao kuitishwa kura ya maoni kwa ajili ya kujitenga na kujiunga na shirikisho la Urusi, k a m a l i l i v y o f a n ya hivi karibuni jimbo la Crimea, wakitaka pia kurejeshwa madarakani Rais Viktor Yanukovych, Rais wa halali wa nchi hiyo aliyechaguliwa na wananchi, ambaye kwa sasa amekimbilia Urusi.

K we n ye z o e z i l a kura ya maoni Crimea, asilimia 97 ya wananchi wa Crimea walitaka wajitenge na Ukraine. Hayo yali j iri katika

la Umoja wa Mataifa iliyokuwa na lengo la kupinga kura ya maoni iliyofanyika katika jimbo la Crimea huko Ukraine, iligonga mwamba baada ya Urusi kutumia kura yake turufu kuipinga, huku China ikiepuka kupendelea upande w o w o t e a m b a p o wajumbe 13 waliunga mkono.

Kwa mujibu wa kanuni za Baraza la Usalama, kura ya turufu ina uwezo wa kuzuia kupita azimio lolote la Baraza hata kama wajumbe wengi wataunga mkono. Baraza hilo lina wajumbe watano wenye kura ya turufu ambao ni China, Ufaransa, Uingereza, Urusi na Marekani. Kura ya maoni Crimea imefanyika tarehe 16 Machi na kulifanya jimbo hilo lijitenge na Ukraine na kujiunga na Urusi.

K w a u p a n d e mwingine, Chancelor wa Ujerumani, Angela Merkel, amesema kuwa hatua ya Crimea ya kujitangazia nchi huru na kujiunga na Urusi haitaathiri uanachama wa Urusi kwenye kundi la G8.

Hata hivyo maelfu ya wananchi wamejitokeza mjini Kiev, mji mkuu wa Ukraine, nao wakiunga mkono viongozi wa sasa wan chi hiyo kutaka kudumishwa umoja wa kitaifa nchini humo.

Hayo yanajiri katika hali ambayo suala la k u j i t e n g a e n e o l a Crimea kutoka Ukraine na kujiunga na Urusi, limeendelea kuongeza uadui kati ya Moscow na nchi za Magharibi.

Wakati hali ikiwa hivyo, Rais Vladimir

Putin wa Urusi mapema wiki hii alipuuza vitisho vya vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi ya nchi yake na kuidhinisha ombi la jimbo la Crimea kujitenga na Ukraine na kuwa sehemu ya Urusi, huku akizituhumu nchi za Magharibi kuwa zina unafiki mkubwa katika sera za kimataifa.

Katika hotuba yake i l iyoonekana kujaa hisia za utaifa, aliyoitoa k a t i k a k i k a o c h a pamoja cha Mabunge mawili ya Urusi mjini Moscow huko Kremlin, P u t i n a m e z i k o s i a nchi za Magharibi na kusema kuwa z ina unafiki mkubwa kwani ziliidhinisha Kosovo kujitenga na Serbia, lakini sasa zinataka kuwanyima watu wa Crimea haki yao sawa na hiyo.

Huku akishangiliwa, P u t i n a l i n u k u l i wa akisema “leo huwezi u k a s e m a k i t u h i k i ni cheusi na kesho ukasisitiza kuwa ni cheupe”.

Rais Putin alisema mataifa ya Magharibi z i m e v u k a m i p a k a k u h u s u U k r a i n e . Alisema viongozi wapya waliokuja madarakani U k r a i n e b a a d a ya kupinduliwa Viktor Yanukovych, ni manazi mambo leo wenye chuki kubwa dhidi ya Urusi.

Tayari serikali ya m p i t o ya U k r a i n e imetangaza kwamba i m e a n z a k u o n d o a majeshi yake katika eneo lililojitenga la Crimea.

H a t u a h i y o imechukuliwa baada ya wanajeshi wa Urusi kuvamia vi tuo vya kijeshi vya Ukraine vilivyokuwa Crimea na kuwakamata baadhi ya wanajeshi.

Urus i imechukua hatua hiyo baada ya Crimea kuwa sehemu ya ardhi yake baada ya kujitenga na Ukraine. Jeshi la Urusi limetoa taarifa na kusema ni kinyume cha sheria kwa wanajeshi wa Ukraine kuendelea kubakia Crimea kwani haliko tena chini ya serikali ya Kiev.

WANAJESHI wa Ukraine.

hali ambayo, Umoja wa Ulaya na Marekani zinaeleza kuwa zoezi hilo la kura ya maoni ni batili.

Rasimu ya azimio la Baraza la Usalama

Page 8: ANNUUR 1118.pdf

8 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 28- APRILI 3, 2014Makala

Said Rajab

H O T U B A ya R a i s Jakaya Kikwete, wakati wa uzinduzi wa Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, wala haikuwa na j ipya . Kubwa tuliloshuhudia n i k w a m b a R a i s a m e a m u a k u w a Mwenyekiti zaidi wa CCM, kuliko alivyo R a i s w a J a m h u r i y a M u u n g a n o w a Tanzania.

Ametumia fursa ya Rais kuzindua Bunge Maalumu la Katiba, kutoa semina elekezi kwa wajumbe wa CCM, ambao ndiyo wengi, ili hatimaye nchi ipate Katiba inayotokana na matakwa ya CCM na siyo maridhiano ya wajumbe wote.

K i m s i n g i , R a i s hakuj ibu hata ho ja moja iliyopendekezwa kwenye rasimu, kuhusu haja na umuhimu wa Muungano wa serikali tatu. Jaji Joseph Warioba ametoa ufafanuzi wa k ina sana , wenye mashiko ya kisheria na kihistoria, kwanini tuwe na muundo wa serikali tatu!

Rais Jakaya Kikwete ametumia muda mrefu kuwatisha Watanzania i l i w a u n y a n y a p a e muundo wa Muungano wa Serikali tatu, na kuukumbatia ule wa serikali mbili, ingawa m u u n d o h u o u n a dhamira ovu ya kuitia kitanzi Zanzibar.

Ingawa Rais Jakaya Kikwete ameupigia debe muundo uliopo wa serikali mbili, lakini k u n a m a t a t i z o y a msingi kuhusu muundo huu, ambayo kamwe hawezi kuyaweka wazi. Muungano wa serikali mbi l i n i n j ia tu ya kuikandamiza Zanzibar.

K u z i u n g a n i s h a nchi mbili huru, kwa Muungano wa serikali m b i l i , n i k a s o r o i s iyopenya kwenye aki l i ya b inadamu. Haiwezekani. Ni sawa na fumbo ambalo halina ufafanuzi unaoweza k u r i d h i s h a a k i l i dadisi ya binadamu,

Siri ya muungano wa serikali mbili

RAIS Jakaya Mrisho Kikwete.

ila kwa kukubali na kufuata kibubusa tu au kwa kitisho. Nchi zinaunganishwa, ama kwa serikali moja au tatu, na kamwe siyo serikali mbili.

Ingawa Watanzania w e n g i , Wa i s l a m u w a k i w e m o , wameshughulishwa s a n a n a m i j a d a l a y a M u u n g a n o w a Tanganyika na Zanzibar, l a k i n i w e n g i w a o hawaijui ajenda ya siri, nyuma ya Muungano huu wenye muundo tata. Siwalaumu, najua sababu yake. Ni taarifa potofu tunazolishwa kuhusu jambo hi l i , kupitia nyaraka rasmi za serikali, mitaala ya elimu na hotuba za wanasiasa!

Kuanzia Mapinduzi ya Zanzibar, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na Muundo tata wa Muungano huo, vyote vinaakisi jambo moja. Ni vita vya kidini dhidi ya Uislamu! Nashangaa sana jinsi Waislamu wa n a v y o o n d o l e wa kirahisi kwenye ajenda ya o ya m s i n g i n a kurushiwa kanyaboya!

Mwalimu Nyerere alipata kusema:

"Without any question, the manner and the implications of the union between Tanganyika and Zanzibar is the most misunderstood aspect of Tanzania's political development. It may not matter very much when foreigners get confused, b u t u n f o r t u n a t e l y there are many times w h e n Ta n z a n i a n s themselves appear to misunderstand it." (Dar es salaam Government Printer, July 1970).

Tafsiri: "Bila ubishi, muundo na matokeo ya M u u n g a n o k a t i ya Ta n g a n y i k a n a Zanzibar, ni kipengele kisichoeleweka zaidi katika maendeleo ya kisiasa ya Tanzania. Inaweza isiwe tatizo i w a p o w a g e n i watachanganyikiwa, lakini kwa bahati mbaya sana, wakati mwingine h a t a W a t a n z a n i a wenyewe wanaonekana kutouelewa"

Wakati Rais Julius Kambarage Nyerere, alipotoa hotuba hiyo bungeni mwaka 1970, kwamba "Muungano wa Ta n g a n y i k a n a Zanzibar ni kipengele

kisichoeleweka zaidi katika maendeleo ya kisiasa ya Tanzania", i n a t h i b i t i s h a wa z i kwamba yeye ndiye M t a n z a n i a p e k e e anayejua "muundo na matokeo ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar", baada ya ukoloni wa Kiingereza Afrika Mashariki.

Ndani ya siku mia za kwanza, baada ya Mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964, Mwalimu Nyerere alishirikiana na viongozi mashuhuri wa Kikr is to Afr ika Mashariki na mabeberu wa Magharibi, ili kuona namna ya kuziunganisha Tanganyika na Zanzibar. Njama hii ya Wakristo ilikuwa ni muhimu sana kiasi kwamba Serikali ya Marekani, iliyokuwa ikiongozwa na Rais Lyndon Johnson (1963 - 1969), iliiweka Zanzibar kwenye kipaumbele cha kwanza katika sera yake ya nje, ikifuatiwa na Vietnam na Cuba wakati ule.

B w a n a W i l l i a m Attwood, aliyekuwa balozi wa Marekani nchini Kenya alipata kusema:

"the Western powers prepared a contingency plan in case the Union would fail...and (after the union), the laws of Tanganyika would

become supreme to round up (Muslim) radicals in Zanzibar."

Tafsiri: "mataifa ya Magharibi yaliandaa m p a n g o k a b a m b e i w a p o M u u n g a n o u n g e s h i n d w a . . . n a (baada ya muungano), sheria za Tanganyika z ingekuwa juu , i l i kuwadhibiti wakorofi (Waislamu) Zanzibar."

Pia Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Dean Rusk alitoa wito kwamba, "ni muhimu kwa Nyerere kupewa kila msaada anaouhitaji kutoka Magharibi".

Kwa hiyo wakat i M wa l i m u N y e r e r e alipokwenda Zanzibar, A p r i l 2 2 , m w a k a 1964 kumshin ik iza K a r u m e k u u n g a n a na Tanganyika, tayari alishapeleka askari wake wenye silaha Zanzibar, tangu Januari 13 mwaka 1964.

Mwandishi Martin Bai ley amemnukuu M wa l i m u N y e r e r e katika mkutano wa hadhara uliofanyika Novemba 15 mwaka 1964 jijini Dar es Salaam:

"Tulipeleka polisi wetu Zanzibar. Baada ya kuvuka vikwazo mbalimbali tuliungana. S i s i we n ye we k wa hiari yetu tulikubali kuungana. Karume na

HAYATI Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

JAJI Joseph Sinde Warioba

Inaendelea Uk. 11

Page 9: ANNUUR 1118.pdf

9 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 28- APRILI 3, 2014Makala

KWA kipindi kirefu historia ya mapinduzi ya Zanzibar ilikuwa ni ile historia rasmi ambayo imeathiri historia nyingi Afrika.

Viongozi wa Afrika wanapenda ile historia i t a k a y o wa k w e z a n a kuwaonyesha wao katika mwanga wa kupendeza.

Vinginevyo historia hiyo haitakiwi. Wazalendo wenyewe hawakuwa na hamu ya kuandika historia hii na watu wa nje walioandika historia ya mapinduzi ya Zanzibar hawakupata kuifanyia haki historia ya Zanzibar labda kwa ugeni wao na kwa kuyaamini maelezo y a l i y o k u w a “ w a z i ” kwa wakati ule, mfano mkubwa ukiwa ni kule kuamini kuwa mapinduzi ya Zanzibar yalipangwa na makomredi wa Umma Party.

H a p a j a k u w a p o udanganyifu mkubwa k a t i k a u a n d i s h i n a utafiti kama huu. Dkt. Ghassany amekiweka chano uwanjani b i la kawa. Akizungumza na Abdushakur Aboud wa Sauti ya Amerika Dkt. G h a s s a n y , a m e s e m a kuwa historia ya Zanzibar ni historia ya kujijuwa m a i s h a ya k e a k i wa mjukuu wa babu wa mababu Muomani na mabibi wa Kimanyema na Kimwera, mchanganyiko wa damu ya Kiarabu na Kiafrika.

Hii kwa hakika ndiyo historia ya wananchi wa Zanzibar. Ni tabu s a n a k u m p a t a h u y o Muarabu Zanzibar kila umuonae Muarabu basi ana mjomba na shangazi Mwafrika. Maadui wa Z a n z i b a r wa k i w e k a mkazo katika ubaguzi wa rangi na kuwafitinisha Wazanzibari. Ukweli huu ndiyo chanzo cha matatizo y o t e y a l i y o i k u m b a Zanzibar toka vyama vya siasa vilipoanza katika miaka 1950 na matatizo yaliyosababisha mauaji ya mwisho yakiwa mwaka

Miaka 50 ya Muungano:

Kuijua historia ya muungano lazima uijue historia ya kweli ya Mapinduzi ya Zanzibar

Na Mohamed Said

2001.

Mohamed Omari MkwawaMwaka 1995 wakati wa

uchaguzi wa kwanza wa vyama vyingi Tanzania nilibahatika kufuatana na mgombea urais wa CUF Prof. Ibrahim Haruna Lipumba katika kampeni za uchaguzi katika mikoa ya Kilimanjaro na Tanga. Prof. Lipumba alifanya mkutano mkubwa sana Tangamano kiasi cha kuishtua CCM. Baada ya mkutano ule Prof. Lipumba na ujumbe wake walialikwa nyumbani kwa mama mmoja akijulikana kama Mama Ummie (sasa ni marehemu) ambako walifanyiwa dhifa kubwa. Kote tukipita mitaa ya Tanga msafara wetu ulikuwa ukishangiliwa kwa nguvu sana. CUF ilikuwa imeingia Tanga kwa kishindo kikubwa.

M i m i k a z i y a n g u i l i k u w a k u a n g a l i a niliyokuwanayaona na kupiga picha. Kwa hakika nilikuwa nikishuhudia h i s t o r i a i k i j i a n d i k a . Historia ambayo ilikuwa imeshahibiana sana na ile ya wakati wa kudai

uhuru wa Tanganyika katika miaka 1950. Lakini ninalotaka kusema si hili bali ni picha ambayo niliipiga ndani ya nyumba ya Mama Ummie. Picha hii ilikuwa inamuonyesha mzee mmoja wa makamo aliyevaa fulana ya CUF mbele ikiwa na picha ya Prof. Lipumba. Mzee huyu alikuwa amekaa nyuma ya Prof. Lipumba. Kwa wakati ule picha hii haikuwa na maana yoyote kwangu na hata nilipokuwa naitazama mara kwa mara sura yake si iliyokuwa inanivutia bali ile fulana ya CUF aliyovaa ambayo ilikuwa na picha ya rafiki yangu Prof. Lipumba.

Mungu ana mipango y a k e . M i h a n g a i k o y a k u t a f u t a r i z i k i yakanihamishia Tanga na nikawa karibu sana na baadhi ya viongozi wa CUF na wanachama wake. Sasa hapa ndipo nilipokujakuonana uso kwa uso na mzee yule kwenye picha yangu ni l iyoipiga hata kwa wakati ule ilikuwa miaka mingi iliyopita. Jina la huyu mzee wangu ni

Mohamed Omar Mkwawa. Ilikuwa katika barza yetu ya kawaida ya kunywa kahawa na kula pweza huku tukijadili historia ya Tanzania ambako siku moja Mzee Mkwawa alinambia, “Mohamed nataka nikuambie kitu. Unajua mimi nimehusika sana katika mapinduzi ya Zanzibar?”

Nilimuangalia Mzee Mkwawa kwa makini. Fikra yangu ya utafiti na uandishi ishashtuka haipo tena usingizini. Mzee Mkwawa aliendelea, “Mimi ndiye niliyekuwa nikiwavusha Wamakonde kutoka Kipumbwi kwenda Zanzibar kuipigia kura ASP na wakati wa mapinduzi mie ndiye niliyewavusha Wamakonde kwenda kuipindua serikali ya Jamshid.” Sasa moyo wangu ukaanza kudunda kwa nguvu. Naisemesha n a f s i ya n g u , “ H u y u mzee anajua uzito wa maneno haya?” Tuishie hapa. Kuanzia siku ile nikawa sasa namtazama M z e e M k wa wa k wa jicho jingine na heshima ya n g u k wa k e i k a wa imepanda maradufu. Nilikuwa nimeshatambua kuwa Mzee Mohamed Omari Mkwawa alikuwa mmoja wa wanahistoria waliosahaulika katika historia ya Tanganyika na Zanzibar. Juu ya hayo nilishangazwa na kitu kimoja. Iweje leo huyu mwanamapinduzi wa ASP ambae Abeid Amani Karume alimpa jina la “Tindo” kwa ujasiri wake amekuwa mstari wa mbele CUF chama ambacho kinanasibishwa na Hizbu hasimu mkubwa wa ASP?

Dkt. Harith GhassanyNilikutana na Dkt .

H a r i t h G h a s s a n y mwaka 1999 nyumbani kwake Maskati, Oman. Naikumbuka siku i le kama jana vile. Kanipeleka kwake mwenyeji wangu Farouk Abdulla lakini kabla ya kunipe leka nilikuwa nimeshalisikia jina lake mara nyingi sana pale Maskati kila n ik ikutana na jamaa wenye asili ya Tanzania

jina lake litaibuka. Katika fikra yangu ikanijia kuwa Dkt. Ghassany atakuwa ni mtu mzima. Sielewe kwa nini nilipata picha hii. Tulipopiga hodi na akatokea Dkt. Ghassany kuja kutufungulia mlango n i k a p a t a m s h a n g a o mkubwa.

A l i y e k u w a m b e l e yangu alikuwa ni kijana mdogo sana tofauti na nilivyodhani. Kwa njia ya utani hata kabla sijatoa salamu. Nikamgeukia Farouk nikasema, ”Ah! Dkt Ghassany, Dkt. Ghassany, Dkt. mwenyewe ndiye huyu?” Mila na tamaduni z a w a t u w a p w a n i wakikutana hazipishani. Maskhara ni dalili ya mapenzi. Dkt. Ghassany pale pale alipokea yale maskhara na akajibu, ” B wa n a wa n g u we wanakutisha bure kwani we ulidhani litakuwa jitu kubwa?” Urafiki na udugu wetu umedumu hadi leo na ndipo katika mazungumzo aliponifahamisha kuwa anataka kuandika historia ya kweli ya mapinduzi ya Zanzibar. Hapo ndipo nil ipomjuvya kuhusu M z e e M k w a w a n a nikamuomba aje Tanga amuhoji.

Kitu kimoja mashuhuri kwa mashujaa wa harakati za siasa katika Tanzania ni kuwa takriban wote wana hali ngumu sana za maisha. Sikujua vyema hali ya Mzee Mkwawa hadi nilipofika nyumbani kwake na Dkt. Ghassany. Utu uzima na udhaifu wa maisha ulikuwa umempiga barabara. Nilimjulisha Dkt. Ghassany kwa Mzee Mkwawa na kuwaacha waendelee na maongezi yao. Niliporudi mchana k u m c h u k u a D k t . Ghassany rafiki yangu alinambia nimuache nije jioni kumfuata. Niliporudi j ion i n i l imkuta Dkt . Ghassany amechoka na uso umesawijika. Tukiwa ndani ya gari yangu tunaondoka nikamuuliza kulikoni. Dkt. Ghassany a k a n a m b i a m a n e n o ambayo hadi leo yamebaki

Inaendelea Uk. 13

MWENYEKITI wa CUF, Prof. Ibrahim

Page 10: ANNUUR 1118.pdf

10 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 28- APRILI 3, 2014Makala

Inaendelea Uk. 11

K AT I K A n a d h a r i a h i i m w a n a d a m u anafanywa kuwa ndio m h i m i l i m k u u wa ulimwenguni, fikra y o y o t e i n a y o h u s u masuala ya Metafizikia kama wahyi na dini za mbinguni inapingwa na kutupiliwa mbali. Mfumo huo unaitakidi k u w a u o k o v u w a m w a n a d a m u unapatikana kupitia fikra ya mwanadamu m w e n y e w e t u , n a moja kati ya dhana ya m f u m o h u o n i kwamba ulimwengu wa maumbile ni kitu kilichozuka chenyewe, na mwanadamu ni s e h e m u m o j a wa p o y a u l i m w e n g u h u u wa m a u m b i l e a m b a o k u t o k e a kwake kumetokana n a m w e n e n d o w a m a b a d i l i k o unaoendelea.

Matokeo ya fikra kama hii ni kuyaendekeza na kuyapa thamani matashi na matamanio ya mwanadamu na kuzipuuza thamani za tabia, hali ambayo imesababisha kuzuka masaibu makubwa ya kinafsi na kimaumbile.

M p e n z i m s o m a j i mwanzo wa makala haya tuliona fikra na mitazamo totauti ya watu na imani tofauti juu ya tafsiri ya Dini, na tutakasema kutokana ushahidi wa Qur’an tukufu kuwa Dini ni ile yenye kumpwekesha Mwenyezi Mungu.

Katika mafundisho ya Uislamu Mwenyezi Mungu ndiye Muumba pekee na mhimili mkuu wa ulimwengu. Pamoja na hayo, mwanadamu pia ana nafasi ya juu k a t i k a u l i m w e n g u wa maumbile. Katika uumbaji wa ulimwengu, kutumwa Mitume na kuteremshwa vitabu vya mbinguni, yote hayo yamefanywa kwa lengo la kumfikisha kiumbe huyo kwenye uokovu

Dini kiunganishi kati ya Mwenyezi Mungu na mwanadamu -2Na Hemed S. Marhoon

wa kweli. K u t o k a n a n a

u m u h i m u w a mwanadamu na nafasi ya juu aliyonayo katika Uislamu, Imamu Ali (AS) amesema:"Mwenye k u i t a m b u a n a f s i ya k e , b a s i h a k i k a amemtambua Mola wake Mlezi".

Katika mtazamo wa Kiislamu, Mwenyezi Mungu ndio msingi wa matendo yote ya m wa n a d a m u . Ye ye ndiye Mjuzi na Muweza wa kila kitu, ndiye asili na mhimili mkuu wa ulimwengu. Uwepo wa viumbe vyote unatokana na Yeye, na Yeye ndiye Mwangalizi wa viumbe katika hali zao zote. Katika mtazamo wa Uislamu, mwanadamu ni mja na khalifa wa M w e n y e z i M u n g u duniani.

Mwenyezi Mungu kati ya viumbe wake wote , amemchagua mwanadamu kumfanya mbeba j i wa amana y a k e . M w e n y e z i Mungu amemjulisha n a k u m t a m b u l i s h a mwanadamu mema na mabaya, ili aweze kutekeleza jukumu lake

ambalo ni kuonyesha na kudhihirisha uja wake mbele ya Mola wake.

Katika fikra hii kuna kitu kiitwacho "dini" ambayo ni kiunganishi cha uhusiano baina ya Mwenyezi Mungu n a m w a n a d a m u n a a m b a y o n d i y o inayoainisha na kuweka wazi njia na namna ya kuutekeleza wajibu wa mwanadamu na amana aliyokabidhiwa na Mola wake.

N d a n i y a d i n i umebainishwa muundo w a u h u s i a n o n a mfungamano baina ya mwanadamu na wanadamu wenzake, m w a n a d a m u n a m a u m b i l e n a m w a n a d a m u n a Mwenyezi Mungu, Mola wake. Watu wanaokulia k a t i k a m f u m o n a mtazamo huu wa malezi, huwa ni wenye moyo wa kuridhika na wenye kupata mafanikio katika masuala mbalimbali ya maisha.

I k i wa m a l e z i n a m i s i n g i y a t a b i a itatokana na chimbuko la itikadi za dini, mhimili mkuu wa harakati zote za malezi utakuwa ni

M we n ye z i M u n g u . Suala hili linaubadilisha kikamilifu muelekeo wa maisha ya mtu.

S i f a n y i n g i n e ya kipekee ya mfumo wa tabia ya Uislamu ni kuwa na sifa zenye uono mpana na uliokamilika. Uislamu umeyaangalia maisha kwa sura pana na iliyokamilika kiasi k wa m b a t u n a we z a kuthubutu kusema kuwa, hakuna hata nukta ndogo kabisa y a j a m b o a m b a y o haijazungumziwa.

Mfumo wa tabia ya Uislam kiujumla, ni muongozo wa kuidhibiti nafs i ; yapasayo na yasiyopasa kufanywa katika mafundisho ya kitabia huiongoza nafsi ya mwanadamu kwa namna inayoifanya roho ya kiumbe huyo iwe huru na iliyokomboka.

Kwa maana h iyo b a s i , m f u m o w a akhlaqi unaotokana na muongozo wa dini, usichukuliwe kuwa ni kikwazo na kizuizi kwa uhuru wa mwanadamu, bali ukweli ni kwamba mfumo huo ni mithili ya ufunguo wa ukombozi.

Mwenyezi Mungu

anasema katika aya ya 97 ya Surat Nahl ya kwamba: " M w e n y e k u t e n d a mema, mwanamume au mwanamke, naye akawa ni Muumini, tutamhuisha maisha mema na tutawapa ujira wao kwa bora ya waliyo kuwa wakiyatenda."

Kwa mujibu wa aya hi i tukufu, maisha mema yanapatikana k w a k u f u a t a n j i a sahihi katika maisha na kufanya matendo m a z u r i a m b a y o humfanya mtendaj i w a k e a f u z u h a p a duniani na matunda yake atayaona hapa duniani na huko akhera.

Allamah Tabatabai, m f a s i r i m k u b w a wa Qur’ani anasema hivi : “Mtu ambaye amemsahau Mwenyezi Mungu na kuuacha utajo na dhikri yake, hana njia nyingine isipokuwa kuikumbatia dunia na kuifanya kuwa ndio mahabubu na matarajio yake pekee. Matokeo ya hali hiyo ni kumfanya ashughulishwe zaidi na maisha ya kidunia na kufikiria jinsi ya kustawisha na kufaidika nayo zaidi.

Moja ya sifa za mtu mwenye uzima wa kiroho na kinafsi ni kutawakali, kumtegemea Mwenyezi Mungu katika masuala ya maisha. Bwana Mtume Mu h a mma d ( SAW ) alimuuliza malaika Jibril kuhusu kutawakali kwa Mwenyezi Mungu.

Jibril akamwambia: ”Kutawakali maana y a k e n i k u k a t a matumaini kwa watu, na ikiwa mtu atakuwa h i v y o , h a t o f a n y a jambo lolote kwa ajili ya mwengine ghairi ya Mwenyezi Mungu, hatomwogopa yeyote zaidi ya Mwenyezi Mungu na matumaini yake yatakuwa kwake Yeye tu; na hii ndio maana ya kutawakali.”

Ikiwa matendo ya mja yatafanywa kwa nia na kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, bila ya shaka

WANANCHI wa Kuwait kupitia taasisi ya Africa Muslims Agency/ Direct Aid, wametoa msaada wa vitu mbalimbali kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea katika vijiji vya Magole na Mateteni, wilaya ya Kilosa mkoa wa Morogoro hivi karibuni.

Page 11: ANNUUR 1118.pdf

11 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 28- APRILI 3, 2014Makala

Siri ya muungano wa serikali mbiliInatoka Uk. 8

Mimi tulikutana. Sisi wawili tu tulikutana. Ni l ipota ja suala la Muungano, Karume hakufikiria mara mbili. Alin iomba n i i t i she mkutano wa waandishi wa habari na kutangaza nia yetu. Nilimshauri tusubiri kidogo kwa sababu ilikuwa mapema zaidi kwa vyombo vya habari kuambiwa."

Kitabu 'US Foreign Policy and Revolution: the Creation of Tanzania', kilichoandikwa na Amrit Wilson, kimefichua baadhi ya nyaraka rasmi za Serikali ya Marekani, zikiwemo z a C I A , a m b a z o zinamtaja Nyerere kama kiongozi "pekee" wa Kiafrika kukandamiza (Uislamu) Zanzibar, ambao ulilinganishwa k i m a k o s a n a Ukomunisti, wakati wa vita baridi.

Kabla ya kuzaliwa Tanzania mwaka 1964, M wa l i m u N y e r e r e al is ikika mara kwa mara akisema kama angelikuwa na uwezo, angekinyofoa kisiwa cha Zanzibar kutoka bahari ya Hindi. Kwa hiyo, kinachofichwa hapa ni ukereketwa na upambanaji dhidi ya Uislamu Zanzibar kupitia muundo wenye utata wa Serikali mbili.

Kitabu "The Course of Is lam in Africa" k i l i c h o a n d i k wa n a

MZEE Karume (kushoto), Mwalimu Julius Nyerere (katikati) na Mzee Hassan Moyo (kulia).

M e r v y l n H i s k e t t , k i n a o n y e s h a w a z i kwamba Muungano wa Ta n g a n y i k a n a Zanzibar ulilazimishwa na Nyerere, ikiwa ni vita dhidi ya Uislamu visiwani humo.

Wakati wa ukoloni wa Uingereza, Zanzibar ndiyo ilikuwa kituo pekee cha kusambaza

U i s l a m u A f r i k a Mashariki , chini ya utawala wa Sultan. Misikiti ya Gofu na B a r z a i l i c h u k u w a wanafunzi kutoka nchi zote za Afrika Mashariki, kwa ajili ya elimu ya Kiislamu.

Kwa hiyo Mwalimu N y e r e r e , a k i w a Mkatoliki mkereketwa,

aliiona dola ya Zanzibar yenye mwelekeo wa Kiislamu kama tishio kwa Ukristo.

Huo ndiyo mwanzo n a m a z i n g i r a y a kuzaliwa kwa Jamhuri y a M u u n g a n o w a Tanzania. Muundo wa Muungano wa serikali mbili, unaopigiwa debe sana na CCM, hauna

d h a m i r a n j e m a n a Zanzibar. Ni mkakati tu wa muda mrefu wa kuiminya Zanzibar na hatimaye kuja kuimeza.

Toka kabla hata ya kuingia ukoloni wa Kijerumani, kulikuwa na hofu kubwa ya kuenea kwa Uislamu Afrika Mashariki, jambo ambalo lilidhaniwa na ulimwengu wa Ulaya wa K i k r i s t o k u wa lingekwamisha ustawi wa kanisa hilo kwenye ukanda huu. Mwaka 1910, Kongamano la Pili la Dunia la Makanisa (WCC) lilijadili tishio la Uislamu kwenye u k a n d a wa A f r i k a Mashariki. Ilikubaliwa kwenye Kongamano hilo kwamba Mwafrika Mkristo ni bora zaidi kwenye uongozi kuliko Mwafrika Muislamu. Kutokea hapo ndio i l i we k wa m i k a k a t i kupi t ia ser ika l i za kikoloni na baadae za nchi huru za Kiafrika k u h a k i k i s h a k u wa Uislamu haupewi nafasi ya kupumua.

Sasa, kwa kuzingatia hilo, ndio tunaona kama anavyosema Padri Dr. John Sivalon kwamba Nyerere aliandaliwa na kupewa kila msaada unaohitajika, ili aweze kulipa Kanisa fursa nzuri na ya kiupendeleo ya kunawiri Afrika Mashariki, baada ya wakoloni wa Uingereza kuachia ngazi.

Dini kiunganishi kati ya Mwenyezi Mungu na mwanadamu -2Inatoka Uk. 10yataambatana na lengo la uumbaji. Na katika hali hiyo matendo hayo huwa yanahesabika kuwa ni ibada. Kwa k u z i n g a t i a k u w a kutokana na maumbile yake, mwandamu ana hamu ya kufikia kwenye ukamilifu, hali ambayo humfanya awe na tabia na mwenendo sahihi.

Tabia na mwenendo sahihi kwa mtazamo wa Uislamu unapatikana p a l e m w a n a d a m u anapokuwa na uelewa sahihi kuhusiana na nafsi yake na ulimwengu w a m a u m b i l e u l i o m z u n g u k a , n a akautumia kikamilifu

u w e z o w a a i n a mbalimbali alio nao kwa ajili ya kufikia kwenye ukamilifu wa kiutu.

Tabia na mwenendo huo sahihi na wenye kupendeza huweza k u t a w a l a m a i s h a yote ya mwanadamu. K a t i k a h a l i k a m a hiyo mambo yote ya kawaida anayoyafanya mtu katika maisha ya kila siku kama vile ufanyaji kazi, shughuli za masomo, ndoa na hata kula na au masuala kama burudani na mapumziko, yanaweza yote yakafanyika katika muelekeo wa kufikia lengo tukufu. Lengo la malezi ya kitabia katika

Uislamu ni kuondoa v i z u i z i v i l i v y o k o mbele ya mwanadamu na kumkomboa kwa k u m v u a p i n g u n a minyororo inayombana na kuzuia ujengekaji wa nafsi yake kimaumbile na kitabia.

Mwenyezi Mungu M t u k u f u a m e s e m a katika Surat Ruum Aya ya 30:

“ Basi uelekeze uso wako katika dini iliyo sawaswa- ndilo umbile a m b a l o M w e n y e z i Mungu alilowaumbia w a t u , h a k u n a m a b a d i l i k o k a t i k a maumbile ya viumbe vya Mwenyezi Mungu. Hiyo ndiyo dini iliyo ya

haki, lakini watu wengi hawajui.”

Uislamu ndio dini ya maumbile bila ya mashindano, yaani Uislamu ndio mfumo wa maisha unaokwenda sambamba na maumbile ya mwanadamu na ulimwengu wake. Kwa mantiki hii tunaweza kusema kwa kinywa kipana kabisa kwamba, Uislamu ndio dini ya jamii ya wanadamu.

Uislamu haukuitwa d i n i y a j a m i i y a w a n a d a m u k w a kuropoka tu au kwa h a m a s a n a j a z b a . Imeitwa hivyo kwa sababu: Imesheheni desturi zinazokubaliana na akili, ina uongofu u n a o u a n g a z i a n a kuupa nuru moyo,

inabeba maendeleo yanayofaa kwa hali, mahala na zama zote, ina sheria inayokidhi hali na mahitaji yote ya jamii katika nyanja zote za maisha, ina d h a n a y a u s a w a u n a o w a u n g a n i s h a pamoja watu wote bila ya kujali lugha, rangi au hali zao za kimaisha.

Sheria yake ina dhima ya kumpa mwanadamu m a i s h a ya a m a n i , utulivu, raha, furaha na heshima katika nafsi, mwili, akili na mali. Haya na mengineyo ndiyo yanayoufanya U i s l a m u u w e n i dini inayokubaliwa n a k u r i d h i w a n a mwanadamu kwa kuwa inayogusa moja kwa moja maumbile yake.

Page 12: ANNUUR 1118.pdf

12 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 28- APRILI 3, 2014Mashairi/Makala/Tangazo

Haiba ya binti wa Kiislamu ndani ya stara yakeNa.M. S. Kihongosi,

MUM

ALLAH (s.w) amewaumba binadamu katika namna tofauti tofauti kwa rangi, makabila, na mataifa. Lengo la kufanya hivi ni ili watu wapate kumjua ipasavyo wamuabudu na wamche yeye peke yake bila ya kumshirikisha na yeyote au chochote kilichomo mbinguni au ardhini au vilivyo baina ya mbingu na ardhi.

Allah (s.w) anasema ndani ya Qur-an tukufu

“Enyi watu ! kwa hakika tumekuumbeni(nyote) kwa (yule) mwanaume(mmoja: Adamu) na mwanamke ( m m o j a - H a w a ) n a Tumekufanyeni mataifa na makabila (mbalimbali) ili mjuane (tu basi;siyo m k e j e l i a n e ) . H a k i k a A h e s h i m i w a y e s a n a miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni yule amchaye Mungu zaidi katika nyinyi. Kwa yakini Mwenyezi Mungu ni Mjuzi,Mwenye habari (za mambo yote)”.(sura 49:13).

Rangi zetu, makabila yetu, mataifa yetu na maumbile yetu hayako hivyo kwa sababu ya ujanja wake mtu, hapana. B a l i ya k o h i v y o k wa sababu maalumu ambayo Allah(s.w) ameibainisha waziwazi katika Qur-an tukufu.

Allah(s.w) ametuumba t o f a u t i t o f a u t i n a kutusawazisha sawa sawa ili tuuone ule utukufu wake wa hali ya juu alionao na ili tumjue,tumuabudu na hatimaye tumche ipasavyo na tupate kufaulu duniani na Akhera.

I k i wa m wa n a d a m u ataamua kuitumia japo asilimia chache ya akili yake, itakuwa rahisi kutambua ule utukufu uliotukuka na wa hali ya juu wa Allah (s.w).

Katika sura ya 30:22 ndani ya Qur-an tukufu, Allah (s.w) anasema:-

“Na katika ishara zake (za kuonyesha uweza wake) ni kuumba mbingu na ardhi na kuhitalifiana lugha zenu na rangi zenu na (mengine yenu, na hali ya kuwa Muumbaji ndiye huyo mmoja) kwa yakini katika haya zimo Ishara kwa wenye ujuzi.”

Bila shaka kila mmoja wetu anafahamu ya kuwa kimaumbile wanawake na wanaume ni tofauti mno, tofauti hii imepelekea watu mbalimbali kujipa h a d h i t o f a u t i t o f a u t i ambayo wakati mwingine imewafanya watu kufanana kabisa na tabia ya wanyama au hata kuwa chini kabisa k i t a b i a k u l i k o h a t a wanyama.

Wa k o b a a d h i y e t u ambao wanadhani na bado wanafikra kuwa wao ni bora kwa kuwa kwao wanaume tu, na wako wasichana ama wanawake ambao pia nao

hujiona bora kwa kuwa wao ni wanawake au pengine kwa uzuri wa sura walionao, na pengine huwafanya hata waringe, wajione na wajifakharishe mbele ya watu wengine na kujiona ni watu watukufu mno.

Mtume (s.a.w) anasema: “Hakika Mwenyezi Mungu hatazami sura zenu wala m a u m b i l e y e n u b a l i anatazama katika mioyo yenu na matendo yenu.” (Hadithi).

Thamani na uzuri wa mwanamke upo katika stara. Allah (s.w) anaeleza ndani ya Qur-an tukufu:

“(Anasema Mwenyezi M u n g u k u w a a m b i a Wanaadamu wote tangu hao wa zamani huko):

“Enyi wanadamu! Hakika tumekuteremshieni nguo zifichazo tupu zenu na nguo za pambo; na nguo za kumcha Mungu ndio bora. Hayo ni katika Ishara za (neema za) MwenyeziMungu ili wapate kukumbuka”(Qur-an 7:26)

K a t i k a a y a inayofuata,Allah(s.w) anatoa tahadhari kwa wanadamu

“ E n y i w a n a a d a m u !Shetani (Ibilisi) asikutieni k a t i k a m a t a t a , k a m a alivyowatoa wazee wenu katika pepo;akawavua nguo zao ili kuwaonyesha tupu zao.Hakika yeye pamoja na kabila yake wanakuoneni,na hali ya kuwa hamwaoni.”Bila shaka sisi tumewajaalia mashetani kuwa marafiki wa wale wasioamini”(Qur-an 7:27).

Kitendo cha kutembea uchi kwa wanadamu ni kitendo kibaya na ni katika matendo yanayochochewa n a s h e t a n i . N a ye y o t e anayefanya hivyo huwa ni katika marafiki wa shetani.

Hijabu ni mwafaka kwa

stara ya mwanamke awe wa dini yoyote iwayo, lakini bahati mbaya watu wengi hawajui wakiwemo wale wenye majina ya Kiislamu na pengine wako wengine wanaovaa hijabu wasijue falsafa yake katika maisha ya kila siku na nafasi yake katika maisha na ustawi wa mwanadamu.

Takribani jamii nyingi D u n i a n i w a t u w a k e hujiweka katika stara japo imekuwa ikitofautiana mno kutoka jamii mmoja hadi jamii nyingine. Katika nchi za Ulaya kwa mwanamke kufunika tu sehemu ya kifua na sehemu ndogo tu kati ya kitovu na magoti huhesabiwa yumo katika stara, wala jamii yake haimshangai sembuse kumuonya!

Katika jamii ya Kiislamu mwanamke hulazimika kujisitiri kwa mujibu wa Qur-an tukufu, Allah(s.w) anaeleza ndani ya Qur-an katika sura ya 24 aya ya 31 kama ifuatavyo:-

“ Na waambie Waislamu wanawake wainamishe macho yao, na wazilinde tupu zao, wala wasidhihirishe viungo vyao isipokuwa vinavyodhihirika (nao ni uso na vitanga vya mikono).Na waangushe shungi zao mpaka vifuani mwao, na wasionyeshe mapambo yao ila kwa waume zao, au baba zao, au baba za waume zao, au watoto wao, au watoto wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kaka zao, au wana wa dada zao, au wanawake wenziwao, au wale i l iyowamil ik i mikono yao ya kuume, au wafuasi wanaume wasio na matamanio (kwa wanawake) au watoto ambao hawajajua mambo yanayohusu uke. Wala wasipige miguu yao ili yajulikane wanayoyaficha katika mapambo yao. Na tubieni nyote kwa Mwenyezi Mungu, enyi Waislamu ili mpate kufaulu.”

Enyi wajumbe wa Bunge, wa rasimu-jadiliwa, Kwayo akali nilonge, kwa mliyohutubiwa, Na wa ya nchi 'Kingunge', Jakaya Mheshimiwa, Itumieni vizuri, ruksa ya JK.

Hotuba yake si funge, kwa wa kwangu uelewa, Yapaswa nanyi Wabunge, vyema kutafakariwa, Kwa kina na kwa ugunge, si mbi kujadiliwa, Itumieni vizuri, ruksa ya JK.

Ijapokuwa kwa ange, ruksa imetolewa, Na Mkuu wa kilinge, ya rasimu kukosowa, kwa kubaini utenge, na badala maridhawa, Itumieni vizuri, ruksa ya JK.

Ibara 'dufu-mlenge', kuboresha mwaridhiwa,Pamwe na zenye mazonge, kufutwa yaruhusiwa, Fursa msibanange, adhimu mloridhiwa, Itumieni vizuri, ruksa ya JK.

ABUU NYAMKOMOGI -SAFARINI KAGERA.

Siku ya wajinga au ya wadanganyifu?Nabtadi kualifu, si tungo kuzibananga Jambo moja kuarifu, si mengi kutangatanga Si jingine mintarafu, hiyo siku ya wajinga Sio siku ya wajinga, bali ya wadanganyifu!

Tarehe mosi tengefu, Aprili naipinga Si siku inosadifu, urongo wanoulonga Lengolo udanganyifu, kwa kaumu kuikenga Sio siku ya wajinga, bali ya wadanganyifu!

Wameivika wasifu, eti siku ya wajinga Wallah si yake kufu, kwalo mimi nawapinga U mwingi udanganyifu, katu wala si ujinga Sio siku ya wajinga, bali ya wadanganyifu!

Kwa tumbi udanganyifu, ndanimwe'sijejiunga Ebu basi jikalifu, kutogeuka mshenga Kwa kupamba upotofu, kadhalika na ujinga Sio siku ya wajinga, bali ya wadanganyifu!

Kumu katika insafu, kwa puya kutozienga Usimuasi Raufu, kwa longolongo kutunga Daima kweli sanifu, kukomesha hili janga Sio siku ya wajinga, bali ya wadanganyifu!

Kwa urongo kurudufu, Jahanamu utatinga Hamna ndanimwe ufu, wala uhai wa anga Ikabu zake lufufu, shadidi zitakusonga Sio siku ya wajinga, bali ya wadanganyifu!

Haya shime dada Afu, nawe akhui Maganga Jumanne kwa insafu, ijayo tusijekenga Tujenge usadikifu, kwa kweli kutwa kulonga Sio siku ya wajinga, bali ya wadanganyifu!

Tuache ukengeufu, wa puya kutwa kulonga Ukweli tuusharifu, akhera kwetu ni kinga Kaditama kualifu, Abuu natia nanga Si siku ya majahili, bali ya waongopaji!

ABUU NYAMKOMOGISafarini Kagera.

BUNGE LA KATIBA (MAREKEBISHO NA MABORESHO, RUKSA !)

Shura ya Maimamu Tanzania inawatangazia Waislamu wote kuhudhuria katika itkafu kubwa itakayofanyika Jumamosi Tarehe 29/03/2014 baada ya swala ya Isha Masjid Makukula- Buguruni.

Amiri

ITKAFU Masjid Makukula

Page 13: ANNUUR 1118.pdf

13 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 28- APRILI 3, 2014Makala

Kuijua historia ya muungano lazima uijue historia ya kweli ya Mapinduzi ya ZanzibarInatoka Uk. 9k i c h w a n i m w a n g u , ” M o h a m e d u f u n g u o wa kitabu changu anao Mzee Mkwakwa na kama nisingeonana nae utafiti wangu wote wa kabla ungelikuwa hauna maana yoyote.”

Dkt. Ghassany alikuwa amechukuliwa na Mzee Mkwawa katika safari ya zaidi ya nusu karne. Mzee Mkwawa akimshika mkono kwanza kumpeleka Pemba ambako akiwa kijana wa kiasi cha miaka 25 akifanya kazi ya uashi. Huo ndio ulikuwa wakati wa siasa za ASP na Hizbu zimepamba moto. Mzee Mkwawa alikuwa mmoja wa wachezaji wa ngoma ile hata kama alikuwa anatoka Tanganyika . Dkt Harith akavushwa na kuletwa pwani ya Kipumbwi na Sakura ambako Mzee Mkwawa a l i k u wa a k i s i m a m i a k a m b i y a m a f u n z o il iyokuwa msituni ya wakata mkonge wengi wao wakiwa Wamakonde, kambi ambayo ilitoa askari waliotumika kuipindua serikali ya Mohamed Shamte 12 Aprili 1964.

Dkt. Ghassany hakuwa amejitayarisha kwa haya. Alishangwazwa na uwezo wa kumbukumbu wa Mzee Mkwawa, akitaja majina na mahali na akirudia mazungumzo neno kwa neno kati yake na maofisa wa serikali ya Tanganyika k u t o k a v y o m b o v ya usalama waliomtia katika operesheni maalum ya k u i p i n d u a Z a n z i b a r kutoka Tanganyika. Majina ya Abdulla Kassim Hanga, Jumanne Abdallah, Ali Mwinyi Tambwe, Victor Mkello, Oscar Kambona n a we n g i n e ya k a wa yanadondoka moja baada ya lingine. Taarifa hizi ndizo z i l i zommal iza D k t G h a s s a n y n a kumsawajisha uso.

Mimi binafsi nilipigwa na butwaa. Nil ibaini kama alivyobaini Dkt Ghassany kuwa Mzee Mkwawa alikuwa hazina na tulikuwa tumevumbua mgodi wa dhahabu. Kazi yetu sasa ilikuwa kuchimba tu. Kumekuwa na uvumi kwa miaka mingi katika duru za wanasiasa wapya na wa zamani na katika wanafunzi wa historia ya Tanzania na Mapinduzi ya Zanzibar kuwa Ali Mwinyi Tambwe alihusika sana katika kupinduliwa kwa serikali ya Zanzibar lakini hakuna aliyejuwa ni kwa kiwango gani na alihusika vipi. Lakini zito ni kuwa yeye mwenyewe a k i u d h i k a s a n a m t u

MARHUUM Mzee Abeid Aman Karume.

akimuuliza habari zile. Kwa nini ilikuwa hivyo? K i t a b u c h a K wa h e r i Ukoloni, Kwaheri Uhuru cha Dkt Ghassany kilikuja kutoa majibu. Hakuna b i n a d a m u a p e n d a e historia yake ihusishwe na mauaji na dhulma na kufutwa kwa nchi yake.

Kwa kipindi cha takriban miaka saba Dkt Ghassany a l ikuwa ak i ja Tanga kwa mahojiano na Mzee Mkwawa na katika kipindi hicho Mzee Mkwawa alitupeleka Kipumbwi na Sakura na kutuonyesha sehemu z i le ambazo walikuwa na kambi na wakifanya mazoezi ya kivita na matumizi ya silaha. Mkahawa ambao wale wakata mkonge walikuwa wakila chakula c h a u s i k u k a b l a ya kuvushwa kwa vyombo vya bahari kwenda Unguja bado upo hadi leo ingawa kwa sasa kijumba kile hakitumiki tena kama mkawaha. Endapo itakuja siku serikali ya Zanzibar itataka kuhifadhi historia ya Mapinduzi ya Zanzibar bila shaka moja ya vitu vitakavyokuwa katika makumbusho ni picha ya hicho kibanda.

Kipumbwi haijabadilika iko kama vilevile iliyokuwa miaka ya 1960. Kipumbwi imebaki vilevile kama kijiji cha uvuvi. Mzee Mkwawa alitupeleka hadi sehemu ambapo bahari imeingia katika kijiji lakini sehemu hiyo imefunikwa na mikoko mingi na vichaka. Tuliingia ndani na kuangalia mandhari ya pale mahali. Hakika pale palikuwa sehemu nzuri ya kujificha. Leo imekuwa sehemu hii ni maarufu kwa watu wa magendo. Mzee Mkwawa alitueleza kuwa hapo ndipo walipojificha na ndipo walipopandia vyombo vyao kwa usiri mkubwa wakati wote

wakiwa wamevaa nguo matambara na kofia za makuti kama wavuvi. Tanga i l ikuwa k i tuo muhimu cha kufanikisha mapinduzi ya Zanzibar. Haikuwa bure kuwa Ali Mwinyi Tambwe, Jumanne Abdallah na Victor Mkello walikuwa hapo na wala haistaajabishi kwa Dkt Ghassany kutueleza kuwa vinara wa mapinduzi kwa upande wa bara, Mkello na wenzake, walisubiri taarifa za mapinduzi katika mkesha ndani ya ofisi ya TANU Tanga.

Napenda kukiri kuwa sikupata kushiriki kama msikilizaji wa mahojiano wakati wa utafit i wa Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru. Kazi yangu kubwa sana ilikuwa kufungua milango na kumwendesha daktari. Kwa ufupi kazi yangu ilikuwa kumwekea mwandishi mazingira mazuri ili kazi yake iwe nyepesi . Kwa hakika ilikuwa kazi ambayo na mimi vilevile nilisoma, kujifunza mengi na kupata faida kubwa. Katika haya nakumbuka sakata la kumtafuta Victor Mkello. Leo si wengi wanaomjua Victor Mkello au hata kupata kusikia jina lake l ikitajwa. Lakini kwa sisi tuliokuwa wadogo tukiwa shule katika miaka ya 1960 Mkello alikuwa hapungia katika magazeti ya Ngurumo na Mwafrika. Mzee Mkwawa ndiye aliyetusaidia kumtafuta alipo. Victor Mkello ndiyo aliyekuwa ”Amiri Jeshi Mkuu” wa lile jeshi la Wamakonde lililokuwa na makao yake makuu katika mashamba ya mkonge ya Sakura na Kipumbwi. Bila ya kupata kauli ya Mkello kitabu kisingeweza kuandikika.

I l i c h u k u a m u d a k u w e z a k u m p a t a . K wa n z a t u l i k w e n d a Muheza ambako ndiko kwao. Huko tukaambiwa kuwa hakuwapo hapo bali kwa muda mrefu alikuwa Tanga. Mwishowe tu l imkuta nyumbani kwake Nguvu Mali. Mkello alikuwa katika kitanda cha mauti. Kisukari kilikuwa kikimla kiwiliwili chake. H a k u w a a n a w e z a kunyanyuka kitandani wala kukaa. Kwa hakika al ikuwa anasikit isha. Huyu hakuwa Victor M k e l l o n i l i y e k u w a namsoma katika magazeti wala yule ambae Mzee M k w a w a a l i k u w a akituelezea. Mtu mjanja aliepambana na Magiriki wamiliki wa mashamba ya mkonge akitetea haki za Waafrika katika miaka ya 1960. Huyu kwa kweli

hakuwa yule Victor Mkello aliyekuwa akisaidiana na TANU na Mwalimu Julius Nyerere kupigania uhuru wa Tanganyika. Hiki mbele yetu kilikuwa kivuli chake. Hapakuwa na wasiwasi wowote Victor Mkello alikuwa akisubiri malaika wa mauti amtembelee na yeye hilo alikuwa akilijua fika.

Victor Mkello na Mzee Mkwawa wanamapinduzi w a l i o f u t w a k a t i k a historia walitazamana na wakasalimiana kama vile hakuwapata kujuana. Jicho la Mkello lilikwenda k w a D k t G h a s s a n y k i s h a l i k a a n g u k i a kwangu kisha likarudi kwa mwanamapinduzi mwenzake Mzee Mkwawa. Baada ya utambulisho u l io fanywa na Mzee Mkwawa nilihisi woga na wasiwasi kwenye sura ya Victor Mkello. Hakuwa anaamini kuwa Dkt Ghassany katoka Maskat i kwa a j i l i ya utafiti wa historia na hili lilijidhihirisha alipofunua kinywa kuzungumza. Victor Mkello alikuwa na hisia kuwa alifuatwa k u k a m a t w a k w a v i f o v y a Wa a r a b u vilivyotokea Zanzibar wakati wa mapinduzi ili apelekwe Mahakama ya Kimataifa. Baadae Dkt Ghassany alinifahamisha kuwa jinsi Waingereza walivyomueleza katika taarifa zao za siri ambazo yeye alizisoma London zimeafikiana kabisa na jinsi alivyomuona pale. Waingereza walimsifia M k e l l o k wa k u s e m a kuwa alikuwa bingwa wa kuteleza kama samaki ndani ya maji.

Kufupisha maelezo. Ilichukua karibu miaka mitatu kwa Victor Mkello kukubali kuzungumza kuhusu mapinduzi ya Zanzibar. Dkt Ghassany akienda Maskati na kurudi Tanga na kila akienda kwa Victor Mkello, Mkello hakuwa tayari kueleza kile alichokijua kuhusu mapinduzi ya Zanzibar. Kila nilipokwenda na Dkt Ghassany kumuona Mkello hali yake ilikuwa inazidi kudidimia. Sasa alikuwa kakatwa mguu m m o j a k wa a j i l i ya kisukari. Ilikuwa katika hali ile katika siku zake za mwisho ndipo siku moja alipomwambia Dkt Ghassany aje siku ya pili na yeye atazungumza na angependa azungumze m b e l e ya m k e we i l i a m k u m b u s h e p a l e atakapokuwa kasahau kitu.

Hapa ndipo ilipo moja ya sehemu tamu kabisa

ya kitabu hiki Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru. Victor Mkello Amiri Jeshi Mkuu wa Mamluki wa Kimakonde alizungumza. Mimi sikushiriki katika m a z u n g u m z o y a l e nilijiweka pembeni ili Mkello azungumze na Dkt Ghassany kwa utulivu. Nilikuwa nimeegesha gari yangu karibu ya msikiti j i rani ya nyumba ya Mkello nikimsubiri daktari akami l i she upasua je mgonjwa apate nafuu. Mwendo wa Dkt Ghassany wa kudunda alipokuwa ananijia pale nilipoegesha gari ulidhihirisha furaha yake.

Haukupita muda mrefu baada ya mazungumzo yale na Dkt Ghassany, Victor Mkello akaaga du n i a k i mya k i mya . Hakuna mtu aliyejua kifo chake kama ilivyokuwa vifo vingi vya mashujaa waliopigania uhuru wa Tanganyika . Hakuna hata gazeti moja lililotoa taazia yake wala hotuba hazikusomwa kaburini kwake. Mkello aliondoka katika historia ya Tanzania kimya kama jinsi mamluki w a k e w a l i v y o k u w a wakiingia Zanzibar kimya kimya usiku mkuu na kwa siri, mapanga yao makali ya kukata mkonge yakiwa chini ya nguo zao za ndani yakisubiri kuivamia Zanzibar na kuua watu wasio na hatia. Kazi hii kwao haikuhitaji mafunzo kwani mafunzo wal ikuwanayo muda mrefu katika kazi yao ya kukata mkonge katika mashamba ya mkonge ya Tanga. Pigo moja lilitosha kuangusha chini jani zito la mkonge seuze kiungo cha binadamu.

K w a h e r i U k o l o n i Kwaheri Uhuru ni kitabu k i l i c h o a n d i k wa k wa staili ya pekee wahusika wenyewe wa matokeo katika mapinduzi kujitolea kueleza kile kilichotokea katika mapinduzi, kabla na baada yake. Kuanzia mipango ya kuangusha serikali ya Zanzibar hadi ka t ika kuwaua wale waliokujakushukiwa kuwa ni maadui wa mapinduzi hadi kufikia hata kuweka wazi jinsi walivyoshiriki k a t i k a m e n g i y a kusikitisha kupelekea hata msomaji kujiuliza kwa nini hawa watu baada ya miaka yote hiyo kupita wameamua kueleza yote hayo . Vipi Abdal lah Kassim Hanga, Othman Shariff, Mdungi Ussi, Jaha Ubwa, Abdulaziz Twala na wengineo walivyouliwa, nani alitoa amri ya mauaji,

Inaendelea Uk. 15

Page 14: ANNUUR 1118.pdf

14 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 28- APRILI 3, 2014TANGAZO

Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:

KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL – SAME – KILIMANJARO NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL – MWANZA UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L – DAR ES SALAAM

Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu.Shule hizi ni za bweni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana .Zipo ‘Combinations’ za SAYANSI,ARTS na BIASHARA. Pia wanafunziwote wanafundishwa Islamic Knowledge,Introduction to Arabic na Compyuta..Muombaji awe na ‘Crediti’ tatu na “Pass” mbili au zaidi katika mtihani wa kidato cha nne..Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.

Arusha - Ofisi ya Islamic Education Panel -Jambo Plastic Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni - 0763 282 371/ 0784 406 610.Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha – 0654 723 418 - Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075Tanga - Uongofu Bookshop: - 0784 982525/ - Lushoto: Mandia Shop - 0782257533Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School 0717 417685/0786 417685 - Mtaa wa Rufiji: Ofisi ya Islamic Education Panel –mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770.Mara - Musoma: Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 0782 868611/0716810002.Kagera - Bukoba: Alhuda Café Kwa mzee Kinobe karibu na ofisi za TRA. - 0688 479 667 Shinyanga - Msikiti wa Majengo 0718 866869 - Kahama ofisi ya AN –NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi: 0753 993930 Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School 0712 974428/0684306650 - Manzese :Ofisi ya Annur 0655 677683Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale :0715704380Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0712 325086Singida - Ofisi ya Islamic Ed. Panel – karibu na Nuru snack Hotel – 0714285465 Manyara - Babati:Ofisi ya Islamic Ed. Paneli Masjid Rahma 0784 491196Kigoma - Msikiti wa Mwanga Kigoma: 0753 355224. - Kibondo – Islamic Nursery School: 0784 442860. - Kasulu: Murubona Isl.SS. 0714710802.Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663.Mtwara - Amana Islamic S.S 0715 465158.Songea - Msikiti wa NURU – 0715 681701/0716791113 - Mkuzo Islamic High School. 0716 791113Mbeya - UYOLE: Duka la vifaa vya Kiislamu nje ya Msikiti wa Uyole – 0713 200209 - Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209Rukwa - Sumbawanga: Masjid TAQWA 0717082 073Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566Iringa - Madrastun – Najah: 0714 522 122Pemba - Wete: Wete Islamic Education Center: 0777 432331Unguja - Madrasatul – Fallah: 0777125074- Mafia - Ofisi ya ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu – 0653705627

6. Pia fomu zinapatikana kwenye Tovuti: wwwipctz.org. ikumbukwe kuwa watakao pata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa kuzilipia wakati wa kuzirejesha

USIKOSE NAFASI HII ADHIMU – WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!

MKURUGENZI

WABILLAH TAWFIIQ

ISLAMIC PROPAGATION CENTREP.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org

NAFASI ZA KIDATO CHA TANO – 2014/2015

Page 15: ANNUUR 1118.pdf

15 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 28- APRILI 3, 2014Makala/Tangazo

NAFASI ZA DIPLOMA YA UALIMU WA KIARABU JULAI,2014 Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za Diploma ya Ualimu wa Lugha ya Kiarabu katika chuo cha Ualimu Kirinjiko kilichopo Same mkoani KilimanjaroLengo la kozi hii ni kuwandaa walimu mahiri wa kufundisha somo la lugha ya Kiarabu katika shule za sekondari na shule za msingi.Muda wa kozi hii ya aina yake ni miaka miwili na itaanza Julai ,2014.Muombaji anatakiwa awe na sifa zifuatazo:

(a) Awe amehitimu katika chuo cha mafunzo ya Dini na Kiarabu kwa angalau kiwango cha “IIdad” au zaidi (b) Awe amemaliza kidato cha nne na kupata crediti katika somo la Lugha ya Kiarabu au(c) Awe anayeweza kusoma ,kuandika ,kusikiliza na kuzungumza lugha ya Kiarabu kwa ufasaha hata kama hana sifa (a) na (b).

Waombaji wote watafanyiwa usaili tarehe 10-11,Mei 2014 katika chuo cha Ualimu Ubungo Islamic-Dar Es Salaam .

Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi ELFU TANO katika vituo vilivyoorodheshwa katika Tangazo la kujiunga na Kidato cha Tano lililopo katika ukurasa wa 14 wa gazeti hili.

Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa kuzilipia wakati wa kuzirejesha.

USIKOSE NAFASI HII ADHIMU – WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!

Wabillah Tawfiiq

MKURUGENZI

ISLAMIC PROPAGATION CENTREP.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org

Inatoka Uk. 13

Kuijua historia ya muungano lazima uijue historia ya kweli ya Mapinduzi ya Zanzibarnani aliwauwa na katika mazingira gani . Kifo cha Karume mwenyewe kwa mtutu wa bunduki hakikuwekewa pazia na chanzo cha kuamuliwa kuwa auawe ni tofauti ya kilichozoeleka kuelezwa. Karume hakuuawa na ”wapinga mapinduzi” k a m a i l i v y o z o e l e k a kuelezwa katika historia rasmi.

Kwa kumaliza tusubiri mapitio ya kitabu hiki na ni wazi kuwa wasomaji w a t a p a t a m e n g i y a kuelimisha na kuhuisha. Tunategemea wasomi wa somo la h is tor ia wa t a k a o p i t i a k i t a b u hiki watatufanyia hisani kubwa kwa kuwaleta katika picha wahusika wakuu wa mapinduzi – Mwalimu Julius Nyerere – fundi mkuu mwenye kishindo kikubwa lakini hakisikiki, mkono wake wa chuma hauonekani, uso wake nyuma ya pazia, Abdallah Kassim Hanga – kiongozi hasa na mpangaji wa mapinduzi, Victor Mkello – mtumishi wa Hanga na Nyerere

bila ya yeye mwenyewe kujua kati ya hao wawili nani aliyekuwa bingwa kumshinda mwenzake katika mchezo mchafu wa s i a s a ya k u i u wa Zanzibar na Wazanzibari na wengineo.

Lakini juu ya hayo yote mipango hii ilikuwa ni ya akina Nyerere, Hanga na Mkello pekee? Dkt Ghassany anaeleza nini kuhusu mkono wa Waingereza, Algeria , Misri, Wachina, Warusi, Marekani na Mayahudi? Nini kilichowasukuma hao wote katika mapinduzi y a Z a n z i b a r ? N i n i kilimsukuma Nyerere, kuwapindua Waislam walioupigania Uhuru wa Tanganyika na baadae kuwapinduwa Waislam walioupigania Uhuru wa Zanzibar na kuendelea kuwadhibiti hata baada ya kuipindua Zanzibar? Nini kilichowasukuma W a i n g e r e z a n a Wamerekani kuachia mapinduzi yafanyike? L a k i n i k u b wa z a i d i kipi kilichowasukuma Wayahudi kuingia na kusaidia mapinduzi, ni ile chuki yao ya asili dhidi ya Waarabu au kulikuwa na

jengine ambalo liliwatia khofu? Na kwanini kitabu kiitwe Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru: Zanzibar na Mapinduzi ya Afrabia? Kitabu kina majibu ya haya maswali mengine ambayo bado hayajaulizwa na chemchemu mpya za utafiti.

Dkt Ghassany anastahili pongezi kubwa sana kwa kuinusuru historia ya mapinduzi ya Zanzibar na kuwaamsha Wazanzibari na Watanganyika toka lepe zito la usingizi ili wajitambue na wamjue adui yao. Anastahiki pongezi kubwa zaidi si kwa kukiandika kitabu cha Kwaheri Ukoloni, Kwaher i Uhuru ba l i kwa kutumia mrengo usiokuwa na mrengo. Huna pa kumuweka Dkt Ghassany na baada ya kumaliza kukisoma kitabu ukaridhika napo. Kama utafikiria kuwa kitabu ni cha CUF basi baada ya kusoma mpaka mwisho utavunjika moyo. Kama utamtumbukiza ndani ya CCM basi ataelea. La kama unataka upae nje ya masunduku na mapakacha basi utamuona

katulia ndani ya uhuisho wa umoja wa Zanzibar na Tanganyika Mpya – Tanzania Mpya.

K w a h e r i U k o l o n i , K w a h e r i U h u r u n i ngoma nzito ambayo w a t u w a m e a n z a kuicheza hata mdundo h a u j a a n z a k u p i g wa ! Ta y a r i i m e s h a i n g i a katika rikodi za Hansard za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ta ya r i i m e s h a s i k i k a katika Sauti ya Marekani. Tayari daktari anafuatilia kwa karibu ukweli wa Maridhiano na kuwa kwa mara nyengine tena ukweli wake umeshaanza kupotoshwa na waroho na tayari historia mpya na kubwa zaidi hata kuliko ile ya Mapinduzi ya Zanzibar ya 1 9 6 4 i m e s h a a n z a kuvurugwa.

Wa t e n g e n e z a j i wa filamu Hollywood wana mtindo wa kumal iza senema zao za matokeo ya kweli kwa kueleza katika maandishi yale yaliyowafika wahusika wa kisa kilichotengenezwa hiyo senema. Huonyesha majina na mwisho wa hao wahusika, kama wahai, wako wapi, wamekufa na kama wamekufa ni kwa kuuliwa au kwa

a m r i ya M u n g u n k . Katika Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru majina ya wahusika machache ambayo yametajwa katika makala haya yako kama hivi:

1 . Mohamed Omar Mkwawa: Yu ha i na anaishi Makorola Tanga.

2. Abeid Amani Karume: Ameuawa 1972

3. Abdallah Kassim Hanga: Ameuawa 1967/68

4. Mustafa Songambele: Yu hai anaishi Songea.

5 . V i c t o r M k e l l o : Amekufa kifo cha kawaida

6. Ali Mwinyi Tambwe: Baada ya mapinduzi alikuja kuhusika katika mchakato wa kuunda muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Amekufa kifo cha kawaida.

7. Jumanne Abdallah: A l i t u m i k i a s e r i k a l i kwa muda mrefu hadi a l i p o f a r i k i k i f o c h a kawaida

8. Oscar Kambona: Aligombana na Nyerere na akakimbia nchi mwaka 1967 na kwenda kuishi uhamishoni Uingereza.

9. Kuna vigogo kadhaa ambavyo viko hai na kwa sasa wameomba majina yao yahifadhiwe.

Page 16: ANNUUR 1118.pdf

16 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 28- APRILI 3, 201416 MAKALA

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

AN-NUUR16 JAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 28- APRILI 3, 2014

Soma AN-NUUR

kila Ijumaa

TAASISI za Kiis lamu p a m o j a n a Wa i s l a m u w a m e t a k i w a k u t o a umuhimu wa pekee katika kuchangia maendeleo ya Kiislamu hapa nchini.

Wito huo umetolewa hivi karibuni mjini Bagamoyo n a A m i r i w a Ta a s i s i ya Sirajul Munir Islamic C e n t r e ( S I M I C ) , U s t . Abdallah Kindamba, wakati akizungumza na wazazi wa shule ya Msingi ya Sirajul Munir iliyopo mjini humo.

Ust. Kindamba, alisema taasisi nyingi za Kiislamu zimeanzishwa kwa lengo la kuupeleka mbele Uislamu katika nyanja mbalimbali, i k i we m o e l i m u l a k i n i malengo hayo hayafikiwi kutokana na uwezo mdogo wa kiuchumi.

Kutokana na changamoto hiyo Ust. Kindamba alizitaka taasisi hizo kushirikiana katika kutimiza malengo yao, kwani wote wana lengo moja isipokuwa wamegawana majukumu kulingana na maeneo waliyopo na si vinginevyo.

Aidha alitumia nafasi hiyo kuishukuru Taasisi ya The Islamic Foundation ya mjini Morogoro kwa msaada wake kwa Shule ya Sirajul Munir ya Bagamoyo.

Alisema, Taasisi hiyo m p a k a s a s a i m e w e z a kusaidia ujenzi wa madarasa manne, ofisi nne, vyoo vinne pamoja na Msikiti, msaada ambao umegharimu kiasi cha shilingi za Kitanzania 98ml, hali iliyopewezesha kukamilika madarasa saba kulingana na mahitaji ya shule hiyo.

Pamoja na kutoa wito kwa taasisi za Kiislamu nchini, Amir Kindamba pia aliwataka wazazi, walezi na wadau mbalimbali wa elimu kuchangia katika maendeleo ya shule hiyo pekee ya Kiislamu wilayani Bagamoyo.

K wa u p a n d e wa k e , Mwenyekiti wa The Islamic F o u n d a t i o n U s t . A r i f Mubarak Nahdi, alisema msaada uliotolewa kwa shule hiyo ni mikakati iliyojiwekea taasisi hiyo ya kuendeleza Uislamu.

Ust. Arifu alisema Islamic Founat ion ime j iwekea mikakati hiyo ya kusadia Uislamu hapa nchini katika maeneo tofauti, bila ya kujali

Islamic Foundation yachangia milion 98 Sirajul MuniraNa Mwandishi Wetu,

Bagamoyokama ni taasisi au kikundi cha Waislamu ambapo kigezo cha msingi ni inapobainika kuwa wahusika wana nia nzuri juu ya mtazamo wa Uislamu katika kufuata Qur’ ani na Sunnah.

A l i s e m a s i v y e m a Waislamu kukatishana tama katika juhudi zinazofanywa na baadhi ya Waislamu kuipeleka mbele dini yao.

A l i o n g e z a k u w a , Waislamu wanapaswa kuwa kitu kimoja kama alivyoagiza Mwenyezi Mungu na kwa kwamba, kwa kufanya hivyo malengo waliyojiwekea yanaweza kutimia.

Taasisi ya The Islamic F o u n d a t i o n a m b a y o makao yake makuu ni mjini Morogoro, imekuwa ikijishughulisha na misaada mbalimbali kwa Waislamu na j ami i kwa u jumla , ikiwemo kuchimba visima, ujenzi wa Misikiti, ujenzi wa Madrasa na huduma kwa watoto yatima. JENGO lenye Madarasa manne na ofisi zake kama linavyonekana.

V Y O M B O v ya h a b a r i nchini, vimetakiwa kusaidia kupunguza mitafaruku b a d a l a ya k u c h o c h e a m i v u t a n o i n a y o i b u k a katika mjadala wa rasimu ya katiba ndani ya Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma.

Hayo yamesemwa na Dk. Ayoub Ryoba mapema wiki hii, wakati akielezea dhima ya vyombo vya habari katika mchakato wa Katiba, katika warsha maalum na wadau mbalimbali wa habari mjini Dodoma.

D k . R y o b a a l i s e m a k a t i k a m c h a k a t o h u o unaoendelea, vyombo vya habari vina dhima kubwa ya kufuatilia yanayotokea na kuwahabarisha wananchi kwa haraka iwezekanavyo katika usahihi wake.

Hata hivyo alisema katika mchakato huo, yapo mambo mengi ambayo yanajiri na yanayohitajika kufikishwa kwa wananchi, lakini yawe yanafikishwa kwa msingi wa kupunguza mitafaruku na si kuchochea.

“Vyombo vya habari visaidie kupunguza badala

Dk. Ryoba awafunda wanaoripoti ya Bunge maalumNa Bakari Mwakangwale ya kuchochea mitafaruku

katika kuripoti yanayojiri katika Bunge la Katiba, hata kama mitafaruku hiyo kwao inauza zaidi”. Alisema Dk. Ryoba.

Dk. Ryoba ambaye ni Mhadhiri katika Shule ya Mawasiliano ya Umma na Uandishi wa Habari-Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, alisema wakati mwingine mitafaruku ni jambo baya lakini katika demokrasia watu huwa wanafikiri na kuna mazingira ya watu kufikiri hata ikiwa wanatofautiana.

Alisema wakati mwingine anaweza kupata taabu kama ataona watu wengi wamekutana kama ilivyo idadi ya wajumbe katika Bunge hilo, halafu wakawa wapo k imya, n i j ambo ambalo litaogopesha.

“Kama hali ikiwa tulivu moja kwa moja, tuhofu na aina ya Katiba itakayotungwa kat ika mazingira kama hayo. Kwa hiyo vyombo vya habari vitambue hilo kwamba hali huwa hivyo lakini visaidie kupunguza badala ya kuchochea ile mitafaruku ambayo haina msingi”. Alisema Dk. Ryoba.

Alisema wakati mwingine

kuna misiguano mingine ambayo hujenga na kusaidia kupatikana mawazo bora zaidi, hivyo alisema katika demokrasia ya kweli hayo hayawezi kuepukika.

Aidha alivitahadharisha kwamba vyombo vya habari kuepuka kulazimisha maoni binafsi ya vyombo hivyo kuwa ndiyo muelekeo wa Bunge la Katiba, sambamba na kuepuka kukuza matukio bila sababu ya msingi licha ya kuwa kila chombo kina sera yake.

D k . R y o b a a l i s e m a katika utafiti wake kuhusu namna vyombo vya habari vinavyoripoti mchakato w a K a t i b a , a m e b a i n i kwamba baadhi ya vyombo hivyo linapotokea tukio hulielekeza katika mtazamo wao, matokeo yake vinakuwa havisaidii kufahamu ukweli, undani na usahihi wa jambo husika.

Alivitaka vyombo vya h a b a r i k u j i e p u s h a n a mwenendo wa kuwalisha wa jumbe au wasemaj i wengine maneno, akitolea mfano kwa baadhi ya waandishi huwapigia simu

wadau kujua jambo, lakini tayari akiwa na habari yake.

“ U t a k u t a w a k a t i m w i n g i n e m wa n d i s h i anakutafuta, lengo lake ni kumsaidia kuisukuma tu habari yake ili iende kule anakotaka yeye na inapotokea ukasema kitu tofauti, atakulisha maneno yake yatakayo msaidia kusukuma habari yake au hatoyatumia kabisa.” Alibainisha Dk. Ryoba.

A l i s e m a w a n a n c h i w a n a t a r a j i a v y o m b o vya habari kuwafikishia taari fa zinazotokea na ya n a y o e n d e l e a k a t i k a Bunge kwa usahihi uwazi na ukweli.

Alisema katika mazingira ya ushindani wa habari ulivyo sasa, huenda kuna vyombo vingine vinapenda kuweka mazingira fulani i l i v i u z e , h a t a h i v y o alisema hana maana kuwa kufanya hivyo ni dhambi, l a k i n i a l i t a n a b a h i s h a kwamba katika mchakato unavyokwenda, ipo haja ya kuwabainishia wananchi yale yaliyo muhimu.