ANNUUR 1068

download ANNUUR 1068

of 12

Transcript of ANNUUR 1068

  • 7/30/2019 ANNUUR 1068

    1/12

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1068 JAMADUL THAN 1434, IJUMAA -APRILI 26 - MEI 2, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Mtume(saw) ameagiza, Fanyenharaka kwenda kuhiji. Hii maanayake tunahimizwa tuende kuhijji tungalvijana ili tuyafaidi manufaa ya Hijjakikamilifu. Baada ya kupata uwezo,nmakosa kuakhirisha kwenda kuhijiMasahaba, vijana na wazee, walihijjHijja nyingi sana. Wewe jee? KaribuAhlu Sunna wal Jamaa. Gharamazote ni Dola 4,300. Tafadhaliwasiliananas i i fuatavyo: Tanzania Bara0717224437; 0777462022;Unguja

    0777458075;Pemba: 0776357117.

    Familia ya Sheikh Pondakatika wasiwasi mkubwa

    Watakiwa kutoa damu, mate

    Ndege yaandaliwa kuwaleta Dar

    Wasema labda afufuliwe Mzee Issa

    Wafungwa 8wasilimishwa

    Ni kazi ya wafungwa wa maandamano

    Waislam watakiwa kusaidia familia zao

    Unapokuwa Sheikh huna haki

    Polisi wajue nao hawapo salama

    Si lazima waige ya Pennsylvania Avenue

    Vita dhidi ya Uislamuyapamba moto

    Uk.

    Mwanasheria Mkuu Zbarapasua jipu la Muungano

    Afananisha kero na mtu mwenye ukurutuAkitibiwa pele kumi bado ni mgonjwa sanaAsema maridhiano yamekuwa kama togwaAhimiza ushiriki mchakato wa Katiba Mpya

    MWANASHERIA Mkuu wa Zanzibar Othman Masoud Othman

    SHEIKH Issa Ponda SHEIKH Farid Hadd

    Uk. 6

    (12) KIJANA, UMESHAHIJI?

  • 7/30/2019 ANNUUR 1068

    2/12

    2AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri/Habari

    Mwanasheria Mkuu Zbarapasua jipu la MuunganoMWANASHERIA Mkuu waZanzibar Othman MasoudOthman amesema kuwa mudawa kuwa Muungano utaendeleakuwa wa Serikali mbil i ,hakuna namna ya kumalizakero zake.

    Amesema, chini ya Muunganowa Serikali mbili nchi mojahupoteza Dola na utaifa wake,hiyo ikiwa dosari kubwa sanaambayo lazima izae matatizomengine yasiyotibika.

    Amesema, ndio maana kilajuhudi zikifanyika kuweka vikaona mikakati ya kuondoa kero zaMuungano, haziishi.

    Juhudi kadhaa zimefanywakutatua baadhi ya matatizolakini ukweli unabaki kuwamwenye ukurutu akitibiwa

    pele 10 bado ni mgonjwa; tenamgonjwa sana.

    Mwanasheria Mkuu Othmanalikuwa akitoa mada ya awalikatika ufunguzi wa kongamanolililoandaliwa na Chama chaWanasheria Zanzibar (ZanzibarLaw Society) ikiwa ni moja yakukumbuka na kusherehekeamiaka 49 ya Muungano.

    Katika kongamano hi lolililohudhuriwa na wanachamawa ZLS, Mawakili, Wanasherian a w a a l i k w a w e n g i n e ,Mwanasheria Mkuu alitumiafursa hiyo kuwakumbushaWanasheria wa Zanzibar kutimiza wajibu wao kwa jamii

    katika mchakato unaoendelea wakuandaa Katiba mpva va Jamhuriva Muungano.

    Alisema, anawakumbushawajibu huo kwa sababu mchangona ushiriki wa wanasheria katikahatua zilizopita ulikuwa hafifuna hauonekani kuimarika hatakatika hatua va sasa.

    Kwa upande mwingineamesema kuwa i t ikadi (zachuki na mifarakano), zinazuiyaushiriki mzuri wa Wazanzibarikatika mchakato wa kuandaaKatiba mpya jambo ambalolitawazuiya kutumia fursa hiyokuondoa matatizo yaliyo katikamuungano.

    M w a n a s h e r i a M k u uamesisitiza kuwa pamoja na

    juhu di kubwa iliyochukuliwakuwapatanisha Wazanzibari,lakini itikadi za chuki badozimekuwa kikwazo.

    Itikadi yetu ya Zanzibar; miminaifananisha na Togwa. Maanakatika kutengeneza Togwa,

    juh udi kub wa ime chukuli wakuupatanisha mtama na majiuwe kitu kimoja kama vile ilivvokatika uji, lakini imeshindikana.Baada va juhudi vote hivo, Togwalikiwekwa katika chupa, badomtama na maji vinajitenga; maji

    juu, mtama chini.A m e y a s e m a h a y o

    akitahadharisha kuwa mivutanoya kiitikadi badala ya kuangaliamasilahi ya nchi na wananchi,

    Na Mwandishi Wetu ilisababisha wasomi na watu

    weledi kutotoa maoni ya maanawakati wananchi walipotakiwakutoa maoni yao.

    Akasema, Katiba mpyalazima iepuke makosa ya sasahivi (katika muungano)

    Akaongeza kuwa wajibuwa Wazanzibari hivi sasa nikubainisha misingi inayotakiwakwa muungano kusimama juuyake.

    Akaitaja baadhi ya misingi hiyokuwa ni pamoja na Kutambuakuwepo na kuendelea kuwepokwa Washirika wa Muungano.

    Kwa maana kuwa kuwe naSerikali ya Zanzibar na ile yaTanganyika ndipo wawili haowakubaliane katika Muungano.

    Aliutaja msingi mwingine

    kuwa ni Kulinda usawa waWashirika wa Muungano katikakuamua, kusimamia na kuendeshamasuala yote ya Muungano.

    Huku akisema kuwa ni lazimakatika Muungano huo kuwe nautoaji fursa sawa na za kutoshakwa Washirika wa Muunganokuendesha Mambo yasiyo yaMuungano kitaifa na kimataifa;na kwamba kuwe na mambomachache na yaliyo bayana yaMuungano.

    Awali Mwanasheria Mkuualibainisha matatizo makubwa yaMuungano katika mfumo wa sasaambapo alisema kuwa badalaya matatizo hayo kutatuliwayamepewa hadhi na kuitwa Kero

    za Muungano.Amezitaja baadhi ya kasoro

    za msingi za Muungano kuwani Misingi ya Muunganokutokuwekwa bayana.

    Kwamba washir ika waMuungano watambuliwe nahadhi zao kuwekwa bayana.

    Kasoro nvengine va Msingi

    aliyoitaja ni kukosekana usawa

    katika maamuzi vanavohusumambo va Muungano.

    Msingi huu ni mpana.Miongoni mwa mambo muhimuchini ya msingi huu ni kwaWashi r ika wa Muunganokuwa na usawa katika kufanvamaamuzi ya Muungano. Chini

    mfumo wa sasa msingi huuhaupo kabisa. Kwa mfano katika

    uchaguzi wa Rais wa Muungano,

    upande mmoja tu ndio ambaounaweza kuamua nani awe Raiswa Muungano.

    Akasema, kasoro nvenginekubwa ni kukosekana usawakatika usimamizi wa mambo vaMuungano na katika kuamua serana Sheria za Muungano. Aidha,kwa mfumo wa sasa hakunausawa katika kupanga na kutumiarasilimali za Muungano.

    A k i e n d e l e a k u t a j a n akufafanua matatizo ya msingialiyodai kuwa yamepewa hadhi

    kwa kuitwa kero za Muungan

    amesema kuwa kero nyinginni kukosekana uwazi na usawkatika matumizi ya rasilimali Muungano.

    Rasilimali inajumuishm a m l a k a v a J a m h u r i yMuungano katika mahusianna nchi nvengine au Jumuiya zkimataifa.

    Ak i h i t i m i s h a a k a s e mkuwa ka t ika kero kubwinayoteteresha Muungano kutokuwepo ukomo wa mipakya Muungano.

    A k i f a f a n u a a k a s e mMuungano wowote lazimuweke bayana mambo yahayatoweza kuwa ya Muungan

    ama kuwa kwake ya Muunganlazima wananchi waamue.

    Lakini chini ya Mfumwa sasa wa Muungano lololinaweza kufanywa kuwa Muungano ilimradi tu thelutmbili za Wabunge wa kila upandwaridhie.

    Hili akaliunganisha na lile kuwa na Muungano wa Serikambili.

    Kasoro nyengine kubwa ymsingi kabisa ni mfumo wa saSerikali mbili.

    Katika kul ifafanua hiakasema kuwa wapo watwanadhani kuwa mfumo wsasa wa Serikali mbili unawez

    kufanyiwa marekebisho nkuendelea kutumika.Ni imani yangu kuwa mfum

    huo una kasoro moja kubwambayo haiwezi kurekebishwna ndio kiini cha kasoro yak(kwamba) Mfumo wa Serikambili unalazimisha tu mmokati ya Washirika wa Muunganapoteze hadhi yake ya utai(sovereignty) na kuwa sehemya Mshirika mwengine (politicsubdivision).

    H a y o n d i y o m a s a i byaliyoikumba Zanzibar ambaphivi leo haina Dola wala utaifa

    Wakati huo huo, baadhi ywashiriki katika kongamano hiwameitupia lawama Serikali kw

    kuhusika katika kukwamishutoaji huru wa mawazo ywananchi katika mchakato wkupatikana Katiba mpya.

    Ilielezwa katika kongamanhilo kuwa baadhi ya Mashehna Wakuu wa Wilaya walihusikkukwamisha mikutano ywananchi ya kutoa maoni.

    Hata hivyo baadhi ya washiriwakasema kuwa haiwezekaMasheha wakawa na ujasiri hukama Serikali haihusiki.

    Mmoja katika waliotoa maohayo alikuwa Profesa Shariambaye alihoji inakuaje Shehkukwamisha jambo kubwa kamhilo na Serikali isitoe kau(Soma hotuba kamili uk.4

    HUDUMA ya maj i saf ina salama kwa wananchi,imekuwa kilio kikubwa chawabunge katika vikao vyamkutano wa kumi na moja waBunge la Bajeti vinavyoendeleamjini Dodoma.

    Malalamiko ya wabungekuhusu suala la huduma yamaji sehemu mbalimbali nchini,yamekolezwa na makadirioya bajeti ya Wizara ya Maji2013/14 yaliyowasilishwamapema wiki hii na Waziriwa Wizara hiyo Prof. JumanneMaghembe.

    Wengi walisema kuwa bajetiiliyotengwa na serikali kwaajili ya matumizi na shughuliza Wizara hiyo ni ndogo,ikilinganishwa na umuhimu namahitaji makubwa ya hudumayenyewe.

    Sote tunafahamu kwambamaji ni uhai. Maji ni maadaambayo inahitajika kwa kila

    jambo au shughuli inayofanywana mwanadamu katika maishayake ya kila siku.

    Maji ni huduma muhimuzaidi na inayohitajika zaidikatika kuendesha maisha yamwanadamu kuliko miundombinu mingine yetote.

    Kutokana na kutokidhi bajeti

    ya maji,wabunge safari hiiwametambua umuhimu wa majina kuamua kuyapa kipaumbelezaidi. Tayari Bunge limeitakaserikali kuongeza fedha katika

    bajeti ya maji, angalau kupanuahuduma hiyo iwafikie wengizaidi. Hili tunaona kuwa ni

    jambo zuri.Hata hivyo tunadhani kwamba

    serikali yenyewe ndio imekuwachanzo cha kukosekana hudumahii muhimu, kwa kushindwakutambua kuwa huduma ya majiinastahili kupewa kipaumbelezaidi kutokana na umuhimuwake uhai wa wananchi.

    Kwa kifupi ni kwambaserikali imekuwa na matumizimabaya ya fedha za umma,wakati mengine yakiwa hayanalazima, huku ikiweka pembenimambo muhimu ya kutoahuduma kwa umma.

    Kwa mfano, miongoni mwawabunge inashangaza kwambani wa kuteuliwa au wa vitimaalum, wakilipwa mamilioniya fedha kila mwaka ya vikaovya bunge, wakati huo huowabunge hao wanateuliwakuwa wakuu wa mikoa auwilaya.

    Hapa tunahoji, kulikuwa nasababu gani, au kulikuwa naumuhimu gani kiongozi wa nchikuamua kumteua mtu kuwambunge na hapo hapo kumteuakuwa mkuu wa mkoa au Wilayahalafu alipwe fedha za ubungena ukuu wa mkoa au wilaya?

    M a l i p o n a s t a h i l i

    Kudhibiti matumizi mabayakutasaidia bajeti zetu

    wanazolipwa watu hawa kwaubunge wa kuteuliwa na ukuuwa wilaya au mkoa wa kuteuliwakwa kipindi cha miaka mitano,yangeweza kusaidia kujengwavisima kadhaa na kuwasaidiawananchi kuondokana na shidaya maji.

    Zinaundwa Tume kuchunguzamambo ambayo hayahitaj iuchunguzi waTume na kugharimumabilioni ya fedha. Kwa mfano,ser ika l i kuunda Tume yaKuchunguza Matokeo ya Kidatocha Nne ya mwaka jana, hukutayari kukiwa kuna matokeoya Tume zilizokwishaundwakuchunguza jambo hilo hilosiku za nyuma na matokeo yakekutofanyiwa kazi hadi leo.

    Tuna matumaini kuwa majibuya Tume hii ya sasa kuchunguzamatokeo hayo, licha ya kutumiamamilioni ya fedha bado itakujana majibu yale yale ya Tumeiliyoundwa siku za nyumana majibu yake kufungiwakabatini.

    Hatuoni kwanini fedha zakuundwa Tume za namna hiizisitumike kupanua huduma zamaji hasa maeneo ya vijijini. Hiini mifano michache.

    Itoshe tu kusema kwamba,

    wakati wabunge wakiitakaserikali kutafuta mahali pakupatia fedha za kuongeza bajetiya Wizara ya Maji, ni vyemawakaanza na kupinga matumizihaya mabaya ya fedha za serikali,ili kunusuru fedha zitakazosaidiakugharamia shughuli za msingiza kuhudumia watanzania.

    Ni vy em a uk aa ch wa hu uutaratubu wa kuteua wabungekwa ajili ya kukidhi tu, dhanaya uwiano wa wanaume nawanawake Bungeni. Halafu

    baada ya hapo miak a mita noikiisha walipwe mamilioni yafedha kwa kukidhi uwiano. Hayasio matumizi mazuri ya fedha.

    Wabunge huchaguliwa nawananchi majimboni. Kama ni

    uwiano ukatafutwe majimboniau ka t ika vyama, ha la fuwakagombee na kupigiwa kurana wananchi.

    Kwa mtazamo wetu, tunaonakuna haja ya kiongozi wa nchikunusuru fedha za serikalikwa kuacha mazoea ya kuteuawatu kutumikia nyadhifa mbili,Ubunge na Ukuu wa mkoaau Wilaya. Hu sio utaratibuwenye tija kimatumizi, zaidiya kuigharimu serikali tu nakuneemesha watu binafsi.

    Wabunge watadhibiti kwadhati matumizi haya yasiyokuwaya msingi ya serikali, nafuu yafedha itaonekana katika bajetizetu na angalau zitatusogeza.

  • 7/30/2019 ANNUUR 1068

    3/12

    3AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 201Habari

    Familia ya Sheikh Ponda katika wasiwasi mkubwa

    HALI ya wasiwasi imetandakwa ndugu wa SheikhPonda Issa Ponda, baadaya kutakiwa kutolewa damuau mate ili kujiridhisha na

    uraia wa Sheikh Ponda Issaaliyeko mahabusu.

    Habari zilizolifikia An nuur,mapema wiki hii, kutoka kwandugu hao, zinasema, kwambawamekuwa wakisumbuliwana watu wanaojitambulishakwao kuwa ni watu waUhamiaji.

    Wakiongea kwa nyakatitofauti kwa njia ya simukutoka Mkoani Kigoma naJijini Dar es Salaam, nduguhao wamesema, wamekuwawakitakiwa kutoa damu aumate ili vioanishwe na damuau mate ya Sheikh Ponda.

    Bi. Tausi Issa Ponda,

    a l i y e d a d a wa S h e i k hPonda, akiongea na An nuur,Jumatano wiki hii akiwa JijiniDar es Salaam alisema, sualahilo amelisikia akiwa hapaJijini kutoka nyumbani kwaoKigoma.

    Baada ya kuelezwa kwakina suala hili sikukubaliananalo kabisa hata mamanimeongea naye mwenyewepamoja na ndugu wenginewo t e wa k u z a l i wa n aPonda kwa ujumla wakawawamekataa, na kushangazwana hatua hiyo. AlifafanuaBi. Tausi.

    Lakini, Bi. Tausi, alisemajuzi (Jumatano) mjomba wao(Kaka wa mama yake) aliyepoDar es Salaam, alimpigia simuna kwamba watu wa Uhamiajiwamemfuata nyumban ikwake, na kumuhoji kuhusumama yake na kuwaeleza halihalisi ya dada yake.

    Hata hivyo, alisema, watuhao wa Uhamiaji walimjibukuwa na wao wameshafanyauchunguzi mwingi hadi kwaowamefika, lakini walichokuwawanataka ni kujiridhiashazaidi kupitia njia hiyo yavipimo vya damu ya ShekhPonda, Mama wa Ponda nandugu yake, ili viwekwepamoja viangaliwe kama ni

    kweli yule ni mama yakealiyemzaa.

    M j o m b a a k a w aamenifahamisha hizo habariakaniambia wewe unaonaje,nikamwambia kwakwelihizo habari sikubaliani nazokabisa. Alisema.

    Hata hivyo Bi. Tausi,alidai kuwa mjomba wakealimweleza kuwa jamaa haowamemuhakikishia usalamawa dada yake (Mama Ponda),na kwamba katika utoaji huodamu hapatakuwa na tatizololote.

    Kwa mujibu wa dada

    Na Bakari Mwakangwale huyo wa Sheikh Ponda,alimuuliza mjomba wakekuwa ik iwa Mama yaoatakataa kuchukuliwa matena damu itakuwaje, mjombawake alimjibu kuwa, akikataawatajenga hoja kuwa mwanaesio raia kweli, na kwambakama ana uhakika asingekataakutoa hiyo damu.

    Bi. Tausi alisema, baadaya kuongea hayo na mjombawake ilimlazimu ampigiesimu kaka yake mkubwaaliyeko Mkoani Kigoma,na baada ya kuongea nayealimuleza hatoweza kuondokana mama yao kutokana nashughuli zake.

    Bi Tausi, lisema aliwezakuwasiliana na ndugu yakeal iyemta ja kwa j ina l aMayasa Sadala, ambaye nimtoto wa mjomba wake,naye alimweleza wazi kuwahilo suala haliwezekani, na

    kwamba linahitaji umakini nauangalifu.

    Bi. Tausi alisema kwataarifa walizo nazo mpakaJumatano wiki hii, ni kuwaSerikali ilishaandaa pesaza ndege pamoja na pesaya kujikimu, kwa ajili yakuwasafirisha kuja Jijini Dares Salaam kwa ajili ya zoezila kutolewa damu.

    Awali, Bi. Tausi, alisemamjomba wake alitowa wazokuwa familia ikubalianetu, kwamba Sheikh Pondaakatolewe hiyo damu, ilijamaa hao wajirizishe, kwaniwao hawana shaka na hilo.

    Hata hivyo Bi Tausi ,alisema kuwa hawana imanina waendeshaji wa zoezi hilo,kwani wanaweza wakazuakinyume na ukweli wa vipimokwani familia haina shakahata chembe na uraia wandugu yao bali uadilifu wawatu hao.

    Bi. Tausi, alisema hayo yoteyanakuja kwa lengo la kutakakujua uraia wa Sheikh Ponda,na kupata uhakika pamoja nakwamba awali walishafanyauchunguzi lakini wanadaihawajajiridhisha.

    Alisema, kufuatia zoezihilo, familia na ndugu kwaujumla wamekuwa na hofujuu ya zoezi hilo, kwani hivi

    karibuni uhamiaji wenyewewalifuatilia suala hilo nakuthibitisha uraia wa SheikhPonda.

    Bi. Tausi, alisema uhamiajiwalifika nyumbani kwaoKigoma na wao kama familiaya Mzee Issa, walifikawakachukua vyeti vyao vyakuzaliwa wakatoa kopi,lakini pia walipewa kitabucha kupigania Uhuru wakatiNyerere anataka kuingia katikautawala ambacho kilikuwa naorodha ya majina ya wazeewaliopigania Uhuru na MzeeIssa Ponda alikuwemo.

    Naye Bi. Mayasa Sadala,akizungumzia sakata hilo

    alisema, watu wa Uhamiajiwalifika nyumbani kwa babayake (Mzee Sadallah), nakudai kuwa wameelekezwakuwa yeye ni mjomba wakeSheikh Ponda.

    Bi. Mayasa alieleza kuwawatu hao walimueleza baba

    yake kuwa wanachotaka niSheikh Ponda na Mama yakewapimwe damu pamoja nakaka yake, na kwamba tiketizao za ndege zipo tayari,kuletwa Jijini Dar es Salaam.

    B i . M a y a s a ,al iyej i tambulisha kuwan i Kat ibu wa Sadal lahFoundation, alisema, baadaya maelezo hayo alimpigiakaka yake Ponda s imu,ambapo alimueleza ujio wawatu hao na kufafanua juuya usalama wao katika zoezihilo, jambo ambalo kaka waPonda alikataa, na kuagizwaaambiwe dada yake (Tausi)aliyeko Jijini Dar es Salaam,kwa sasa.

    Tausi alipopigiwa simu namjomba wake (Mzee Sadala),naye aligoma akasema yeyehaafiki mama yake kuja walakutolewa damu, hivyo aliwapajamaa hao namba ya simuya Tausi ili waongee naye.Alisema Bi. Mayasa.

    Bi. Mayasa, alisema baadaya hapo, watu hao walimuelezaM z e e S a d a l l a h , k u w awanakwenda kukaa kikao naendapo watakubaliana, MamaPonda na wanae wakusanyikeili waenda kutolewa damuhuko huko Kigoma, kishawatakuja kumtoa damu SheikhPonda.

    Bi. Mayasa, alisema kwataarifa aliyonayo mpakasasa (Jumatano) ni kwambafamilia chini ya Mama Pondawamekutana na wamesemahawatatoa damu wala mateyao.

    Mama Ponda kasema hatandege ifike mlangoni kwakehatotoka na wala hiyo sindanohatochomwa, kwa sababuUhamiaji walisha pelelezana wakamfuata mama yakePonda, aliwaeleza kila kituna taarifa walitoa baada yauchunguzi wao. Alisema Bi.Mayasa, akinukuu maelezo yaMama Ponda.

    Bi . Mayasa , a l i semakujirudia kwa suala hilimuda huu, wakati tayariwalishajiridhisha kuwa Pondani raia, huenda kuna kitukinatafutwa dhidi ya SheikhPonda.

    Bi. Mayasi alisema, kwamara ya mwisho watu haowalimwambia kaka wa Ponda,kuwa kama wana mashaka nausalama kwa kutolewa damubasi watoe hata mate yao tu.

    Alisema, familia inaonakuna jambo nyuma ya paziakwani kama ni uhalali wauraia, kwa kawaida damu

    huchukuliwa ya baba, sasaakahoji vipi leo walazimishekuchukua damu ya Mamana ndugu zake Ponda, iliwajirishe na uraia wake.

    Hata Mzee Sadallah,aliuliza hilo, na kuonyesha

    hofu yake alidai (Mzee)wa l i s h i n d wa k u l i t o l e aufafanuzi, wamedai eti hatakwa mama inawezekana,sasa tunashindwa kuelewahili zoezi ni kwa lengogani haswa. Alisema Bi.Mayasa.

    Kama ni kujiridhisha uraia

    wa Sheikh Ponda, wakatafukaburi la Mzee Issa Pondlilipo ndipo wajirizishe, lakisio kwa mama au kaka na dadzake haya kwetu ni mapya, npengine ipo namna. AlisemBi. Mayasa.

    Alipoulizwa Mjomba w

    Sheikh Ponda, Bw. Sadalalikiri kufuatwa na maafiswa uhamiaji lakini hakuelezwalikuwa wakihitaji kitgani.Juhudi za kuwapamaofisa wa Idara ya Uhamiakuzungumzia suala hizinaendelea.

    Wafungwa 8 wasilimishwaWAFUNGWA wanane(8) wa Gereza la Kimbiji

    wamesilimu.Wafungwa hao wamesilimu

    baa da ya kuku ta na naw a f u n g w a W a i s l a m uwalioingia kifungoni baadaya kuhukumiwa kutokana nakesi ya maandamano.

    Ha y o y a m e fa h a m i k akutokana na taarifa iliyotolewana Amir wa Kamati iliyoundwakuhudumiwa wafungwa haopamoja na familia zao.

    Akiongea na An nuur,Amir wa Kamati hiyo Ust.Baiya S. Buiya amesemakuwa, katika ziara yake katikagereza la Bagamoyo alipataushirikiano mzuri kutoka kwa

    Waislamu wa Mji huo ambaoaliambatanao kufika katikagereza hilo na kuwajulia haliwenzao.

    Alisema, kwa ujumlaW a i s l a m u h a o w a l i oMagerezani wamekuwawakihitaji Misahafu, Juzuuna vitabu vywa swala namaarisho yake na vinginevyenye mafund isho yaUislamu kwa ujumla.

    Alisema, kwa Waislamuwa gereza la Bagamoyo,w a m e w e z a k u a n z i s h autaratibu wa ibada gerezanihumo ambao awali ilikuwangumu, ambapo katika gereza

    la Kimbiji, Waislamu haowameshasilimisha wafungwaWakristo nane, na wameombawapatiwe vitabu zaidi kwaajili ya Daawa.

    Kwa upande mwingine,Waislamu nchini wametakiwakutoa ushiriakiano wa halina mali kwa kamati yakuhudumia Waislamu 52,waliofungwa mwaka mmojajela pamoja na familia zaowalizozicha.

    Wito huo umetolewa nauongozi wa Shura ya Maimam(T), baada ya Shura hiyokuunda kamati maalum April14, 2013, ya kuwahudumia

    Na Bakari Mwakangwale wa fu n g wa wa k e s i ymaandamano, kufuati kikakilichowakutanisha Maimakutoka Misikiti mbalimbali y

    Jijini Dar es Salaam.Taarifa hiyo iliyosainiwa nAmir wa Shura ya MaimamSheikh Mussa Y. Kundechilisema Shura imeunda kamaya watu sita, ambao watakuwna jukumu la kukusanymichango Misikitini na kwWaislamu mbalimbali.

    Hivyo naitambulishkwako kamati hii ili muwezkutoa ushirikiano wa hali nmali kwa ajili ya kuwahudumWaislamu 52 wa maandamanwaliopo magerezani.

    Ilisema sehemu ya baruya kuitambulisha kamati hiykwa Waislamu.

    Akiongea na An nuur, Amwa Kamati hiyo Ust. BaiyS. Buiya, alisema jukumkubwa la kamati hiyo nkuwatembelea ndugu zaWaislamu waliohukumiwkifungo cha mwaka mmojhivi karibuni, kujua matatizyao sambamba na kuwa karibna familia zao.

    Buiya alisema Muuminwa kweli atakaye baki katikimani yake sawasawa lazimakutane na mambo matataliyataja mambo hayo kuwni kufungwa kwa ajili ya Alla(s.w), ambapo huyo atakuwhajapata hasara, kwa sababatakuwa ametekeleza sunn

    ya Nabii Yusuph.Ust. Buiya, alisema jamb

    la pili ni kufukuzwa katiknchi yake kwa ajili ya Diyake na huyo naye yakimfikhayo a takuwa ha japa thasara kwake kwani atakuwkatekeleza Hijra MtumMuhammad (s.a.w).

    Lakini kubwa lingine UsBuiya, alisema Muumini huypia ategemee kuuwawa kwajili ya Allah au Uislamu, nayatakuwa hana hasara kwanatakuwa kafa Shaheed.

    Ust. Buiya, alisema ikiw

    Inaendelea Uk.

  • 7/30/2019 ANNUUR 1068

    4/12

    4AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 20Makala

    Wafungwa 8 wasilimishwaInatoka Uk. 3

    Muumini huyo kafikwa namoja kati ya kadhia hizo,basi ni jukumu la Waislamu

    waliobaki kuziangalia familiazao kama zipo, kwa hali namali.

    Ndiyo maana Shura yaMaimam nchini imeonaupo umuhimu wa kuundakamati hii ili kuzunguka kwaWaislamu wote walioguswana kadh ia h i i wawezekuchangia kwa ajili ya haowalio magerezani na familiawalizoziacha. Alisema Ust.Buiya.

    Aidha, Ust. Buiya, alisemakwamba mbali ya jukumu hilokamati pia imepewa jukumula kuzungukia Magereza yotematano ambayo Waislamuhao wametawanywa baadaya hukumu hiyo ya mwakammoja kujua hal i kwaujumla.

    Alisema, mpaka sasamara tu baada ya kuteuliwawamesha wafikia Waislamuhao wote 52, waliofungwak a t i k a m a g e re z a y o t ewaliyotawanywa ambayoaliyataja Magereza hayo naidadi yao katika mabano kuwani Gereza la Ukonga, JijiniDar es salaam (3), Gereza laMvuti Dondwe (13), Gerezala Bagamoyo (10), Gereza laMngaru Kibiti, Bimani (20),yaliyopo Mkoa wa Pwani

    Pamoja na Gereza la KimbijKigamboni (6), Jijini Dar eSalaam.

    Akielezea hali zao kw

    ujumla, Amiri wa Kamahiyo, alisema kwa ujumhali zao ni nzuri ukiachilmaradhi ya kawaida ambaymiongoni mwao waliingnayo, lakini alidai wanapamatibabu chini ya uangaliwa Magereza.

    Amir Bu iya a l i semW a i s l a m u w a j i t o l ekuwasa id ia ndugu zawaliopo Magerezani pamona familia zao, kwani Shuhaina vyanzo vya mapatzaidi ya Waumini wao kupitMisikiti yao.

    Alisema, kamati hiypia imeweka utarat ibu w

    kukutana na familia hizo 5katika siku maalum kwajili ya kuangalia namna ykuweza kutatua baadhi ymatatizo, husasani masuala ychakula, ada kwa watoto wapamoja na kodi za nyumba

    Hivi karibuni Mahakamya Hakimu Mkazi Kisutiliwahukumu Waislamu 5kifungo cha mwaka mmojjela kwa kosa la kuandamanbila kibali, ambapo waislamhao wametawanywa katikMagereza mbalimbali katikmikoa ya Dar es salaam nPwani.

    Katibu Mkuu, Zanzibar LawSociety,

    Wajumbe wa Kamati Tendaji,Zanzibar Law Society,Mawakili na Wanasheria;Wageni Waalikwa; Mabibi naMabwana

    Kwanza napenda kuchukuafursa hii kuishukuru ZLS kwadhati kwa kuandaa Kongamanohili adhimu ambalo limekujakatika wakati muafaka kabisa.Aidha, naishukuru ZLS kwakunipa heshima ya kutanguliakuzungumza na kufungua rasmikongamano hili.

    Nd ug u Was hi ri ki , uz ur iwa shughuli hii sio tu katikakuadhimisha miaka 49 yaMuungano lakini ni fursa muhimusana ya kuwazindua Wananchi nahasa Wanasheria wa Zanzibarkutimiza wajibu wao kwa jamiikatika mchakato unaoendeleawa kuandaa Katiba mpya yaJamhuri ya Muungano. Kwahakika mchango na ushiriki wawanasheria katika hatua zilizopitaumekuwa hafifu na hauonekanikuimarika hata katika hatua yasasa. Ninaamini ZLS lmefanyashughuli hii kutuzindua.

    Nd ug u Wash ir ik i, ka matunavyofahamu mchakato waKatiba mpya umekuja kutokanana ukweli kwamba ipo haja yakuimarisha mfumo wa utawalakatika nchi yetu kama tunatakakuleta maendeleo ya kweli.Kwa vile Katiba ndivo mamawa Utawala wa Umma, haina

    budi kuangaliwa upya. Aidha,ni ukweli usiobishika kwambaMuungano wetu umekuwana matatizo mengi ambayoyanatishia kuvunjika kwakekama hayakufanyiwa mapitioya kina na dhati na kurekebishakasoro zake hasa zile ambazo niza kiini.

    Ndugu Washiriki, mchakatowa Katiba mpya una hatua nyingi,Hatua ya mwanzo ilikua ile yakutunga Sheria ya kusimamiamchakato huu. Naomba nikirina niwahakikishie kuwa ushirikimzuri na wa hamasa wa wananchi,hasa wa Zanzibar, kulisaidia sanakuifanya Sheria iliyopo izingatieusawa na maslahi ya pande mbiliza Muungano. Bila ya ushirikimzuri wa wananchi, sioni haya

    kusema kwamba, sidhani kamaSheria hiyo ingekuwa kamailivyo. Hatua ya pili ilikuwaya kuunda Tume ya KuratibuMchakato wa Katiba. Na hapa

    pia ushiriki wa wananchi kupitiaJumuiya na taasisi zao mbalimbali ulisaidia sana. Hata hivyo,ushiriki wa wananchi katikahatua hii haukua mzuri sanawala wa hamasa kama ule wamwanzo.

    Ndugu Washirik i, hatua yaTatu ni ile ya kukusanya maoniya Wananchi. Katika hatua hiiushiriki wa wananchi kwa upandewa Zanzibar labda mnisaidienyinyi kama ulikuwa mzuri au la.Kwa maoni yangu ushiriki ulikua

    Hotuba ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar katika kongamanola maadhimisho ya miaka 49 ya Muungano

    wa kuvunja movo sana kwasababu zifuatazo. Kwanza ni ile

    ya hatua hii kutawaliwa na itikadiza kisiasa. Hatlmaye maoniambayo yalihitaji Hoja yakawakama kura arnbayo ilihitajiidadi. Wananchi walikubalikuwa watii kwa maslahi yaoya itikadi za siasa badala yakuwa wapiganaji wa kupiganiahatima yao, hatima ya haki yaona hatima ya nchi yao. Sidhanikama tuliisaidia sana Tume. Pili,hatua hii ilitawaliwa, baadhi yasehemu, na jazba badala ya hoja.Hatimaye badala ya mchakatohuu kuwa wa kuimarishaumoja ukawa wa kutugawa, wakutuletea uhasama na ugomvi;tofauti sana na muelekeo ambaotayarl tulishauchukua katikanchi yetu,

    Kwa ufupi tulirudia viragovyetu ambavyo tulishavitupana tukaacha vazi jipya na lastaha ambalo tulishaamuakulitumia. Na sababu ya tatu nikuwa ushiriki wa watu wenyeweledi wa katiba kama vilewaandishi wa habari, wasomi,wanataaluma na wanasheriaulikua hafifu sana. Hapa ndipotulipothibitisha ile itikadi yetu yaZanzibar; itikadi ambayo miminaifananisha na Togwa. Maanakatika kutengeneza Togwa,

    juhudi kub wa imec hukuliwakuupatanisha mtama na majiuwe kitu kimoja kama vile ilivyokatika uji, lakini imeshindikana.Baada ya juhudi yote hiyo,Togwa likiwekwa katika chupa,

    bado mtama na maji vinajitenga;maji juu, mtama chini.

    Ndugu Washiriki, katika hatuaya sasa Tume inaandaa rasimu yaKatiba ambayo hatimaye italetwakatika Mabaraza ya Katiba ilikupata maoni. Sote tumeona

    jinsi ya uchaguzi wa Mabarazaya Katiba ul ivyokwenda.Mimi inanipa wasi wasi kamakweli tumefahamu maanaya mchakato huu na hatimayetu sote. Wasiwasi huo ndiounaonifanya nione Kongamanola leo kuwa ni fursa adhimu yakukumbushana tunakoelekea.

    N a o m b a k u t a n a b a h i s h awenzangu kwamba njia yetuni moja sasa hivi, lakini hukombele ya safari, tutakutana nanjia panda.

    Itatulazimu kuchagua wapitunaelekea. Kama hatujaamuahivi sasa katika safari hiitunakwenda kutafuta nini, nidhahiri tutapofika njia pandatutashindwa kuamua wapituelekee. Hatimaye tutafatamkumbo, na wanafa l safawanasema, afataye mkumbohana safari, ni mzururaji tu!

    Nd ugu Wash ir ik i, wakatiras imu i t apole twa ka t ikaMabaraza ya Katiba, haitaletwaili ipigiwe kura bali ichambuliwekwa hoja madhubuti. Kilakipengele lazima kikubaliwe aukikataliwe kwa hoja. Hapa niwazi kuwa kunahitajika uweledi,maarifa na uwezo wa kujenga

    hoja. Hatua hii sio ya kugombeaidadi ni ya kugombea nguvu

    ya hoja. Hii si hatua ya itikadini hatua ya mustakbala. Hii sihatua ya utashi bali ni hatuaya tafakuri. Naomba tuangaliembele yetu tuone tunakokwendana tufungue kumbukumbu zetutujue tunakotoka.

    Ndugu Washiriki, ni ukweliambao umethibitishwa na tafiti nataarifa kadhaa kuwa Muunganowetu una matatizo makubwa naya msingi kabisa. Juhudi kadhaazimefanywa kutatua baadhiya matatizo. Baadhi zimezaamatunda. Lakini ukweli unabakikuwa mwenye ukurutu akitibiwa

    pele 10 bado ni mgonjwa; tenamgonjwa sana. Sababu kubwani kuwa zile kasoro za msingi

    bado hazi japa tiwa ufumbuzi .

    Matokeo yake sasa kasoro hizozimepewa heshima na kupewajina kuwa Kero za Muunganona zinajadiliwa kwa ratiba nataadhima kubwa. Ni vyematuzitathmini kasoro hizo zamsingi, tuzijadili kwa kina bilaya kuona haya au kuogopataasisi zetu ama za itikadi auza itifaki. Tukifanya hivyo,kazi yetu katika Mabaraza yaKatiba itakuwa rahisi sana.Vyenginevyo, nina wasi wasitutayageuza Mabaraza hayokuwa ni maonyesho ya mojakwa moja ya Comedy za mfumowa kizazi kipya.

    Ndugu Washiriki, kwa maoniyangu, baadhi ya kasoro zamsingi za Muungano

    wetu ni kama zifuatazo:a) Misingi ya Muungano

    k u t o k u w e k w a b a y a n a :Ushirikiano wowote una misingiyake muhimu. Mmoja kati yamisingi hiyo ni kutambuliwaWashirika wa Muungano nahadhi zao kuwekwa bayana.Muungano wetu ni wa nchimbil i zi l izokuwa huru nazinazojitegemea. Makubalianoyoyote ya kuendesha Muungano,iwe Katiba au Mkataba lazimayaweke bayana ukweli huo naueleze bayana hadhi za Washirikahao wa Muungano. Mfano mzurini Katiba ya Uswiss ya 1999ambayo inafuata mfumo waShirikisho Huru (Confederation).Ibara ya 1 ya Katiba inaeleza

    Nchi (Canton) zote zilizoundaMuungano. Ibara va 3 inaeleza

    bayana kwamba nchi zilizoundaShirikisho hila ziko huru nazina mamlaka kamili kwa kiasikile ambacho hakitapinganana mamlaka ya Shirikisho.Kukosekana kwa msingi huundani ya Katiba yetu ni mojaya sababu ya matatizo kwavile Mshirika mmoja amebaki

    bayana na mwengine hajulikanialipo. Aidha, kukosekana kwamsingi huu muhimu kumefanyamasuala ya Muungano kuwa yaupande mmoja bila ya kuweponjia rasmi za majadiliano bainaya Washirika kuhusu mambo yaMuungano. Muungano wowotewa baadaye lazima ujengwe juu

    ya msingi huu muhimu.b} Kasoro nyengine ya Msingi

    ni kukosekana usawa katikamaamuzi yanayohusu mamboya Muungano. Msingi huu nimpana. Miongoni mwa mambomuhimu chini ya msingi huu nikwa Washirika wa Muunganokuwa na usawa katika kufanyamaamuzi ya Muungano. Chiniya mfumo wa sasa msingi huuhaupo kabisa. Kwa mfano katikauchaguzi wa Rais wa Muungano,upande mmoja tu ndio ambaounaweza kuamua nani aweRais wa Muungano. Nchi yaMarekani imeweka mfumo wauchaguzi wa Rais kwa mfumo wakura za Majimbo ili kuhakikishakuwa Majimbo hata madogoyana sauti katika kuamua naniawe Rais wa Marekani. Kasoro

    nyengine kubwa ni kukosekanausawa katika usimamizi wamambo ya Muungano na katikakuamua sera na Sheria zaMuungano. Aidha, kwa mfumowa sasa hakuna usawa katikakupanga na kutumia rasilimaliza Muungano.

    c} Kukosekana uwazi na usawakatika matumizi ya rasilimali za

    Muungano ni kasoro kubwa nmsingi. Rasilimali inajumuishmamlaka ya Jamhuri ya

    Muungano katika mahusianna nchi nyengine au jumuiya zkimataifa;

    d) Kasoro nyengine ya msinni Mambo ya Muungano nyasiyo ya Muungano kutokuw

    bayana:e) Kasoro nyengine y

    msingi ni kutokuwepo ukomwa mipaka ya MuunganHapa inakusudiwa kwambMuungano wowote lazimuweke bayana mambo yahayatoweza kuwa ya Muunganama kuwa kwake ya Muunganlazima wananchi waamue. Chiya Mfumo wa sasa wa Muunganlolote linaweza kufanywa kuwla Muungano ilimradi tu thelutmbili za Wabunge wa kila upanwaridhie;

    f) Kasoro nyengine kubwa ymsingi kabisa ni mfumo wa sa

    Serikali mbili. Wengi wanadhakuwa mfumo wa sasa wa Serikambil i unaweza kufanyiwmarekebisho na kuendelekutumika. Ni imani yangkuwa mfumo huo una kasormoja kubwa ambayo haiwekurekebishwa na ndio kiini ch

    Inaendelea Uk.

  • 7/30/2019 ANNUUR 1068

    5/12

    5AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 201Makala

    HIMAYA ya Zanzibar chiniya Sultan ilianzia Rasiya Asir katika pwani yaBenadir Somalia, mpakamto Ruvuma katika Rasiya Delgado, na ndanimpaka maziwa makuu.Mtawala wake alidhibitie n e o l o t e l a K u s i n iMashariki mwa kona yaArabia. Umashuhuri wakeulisambaa mbali zaidi yamipaka hii mipana.

    Wakati wa kilele chaHimaya h i i , Zanzibar ilifahamika zaidi kwa msemowake maarufu: Ukipiga

    Zumari Zanzibar, Waafrikawote wanacheza. Himayahii ya Zanzibar imepita, lakinisehemu kubwa ya athari zakeimebaki. Kiswahili, ambachokinatambuliwa kama lughaya Kiafrika (Kiislamu) nimoja ya lugha saba kubwazaidi duniani.

    Kiswah i l i k imeeneakwa kiasi kikubwa kuanziaZanzibar mpaka Congo,zamani Zaire. Katika maeneoya Kusini ya Arabia, Masharikimwa India na Madagascar,kuna watu wanaozungumzaKiswahili. Mandhari ya asili

    Zanzibar kabla ya MuunganoNa Said Rajab.

    katika visiwa vya Mauritiusna Reunion vina asili yaZanzibar.

    Lugha zao, ingawa niKifaransa katika Msamiati,lakini ni Kiswahili katikasarufi yake. Mtu pia unawezakusikia lafudhi inayofanana naKiswahili cha Zanzibar katikavisiwa vya Mauritius. Katikamiaka ya 60, Tanganyika,Kenya na Uganda zilichukuaKiswahili kama lugha yataifa na kisiasa, lakini siyolugha rasmi kama ilivyo

    Zanzibar. Utaifa wa Zanzibaruliwezekana kutokana nautambulisho usio wa kibaguziwa lugha ya Kiswahili.

    Kwa hiyo, Kiswahili nilugha ya Waislamu wa eneo laAfrika Mashariki, kama ilivyoKiarabu katika ulimwenguwa Waislamu. Kiswahilicha Zanzibar, ambachokimetokana na lafudhi yaKisumaria, ndiyo lughape ke e am ba yo im ea zi masehemu kubwa ya msamiatiw a k e k u t o k a k w e n y eKiarabu, kuliko Kiingerezakilivyoazima kutoka kwenye

    Ki l a t i n i . L a k i n i m a rabaa da ya kumalizika kwaUkoloni wa Kiingereza naKijerumani katika eneo laAfrika Mashariki, Zanzibarikatengwa kwa makusudi naUlimwengu wa Waislamutangu mwaka 1964, kutokanana ukweli kwamba ndiyoiliyokuwa nchi pekee katikaAfrika Mashariki, ambapoSheria ya Kiislamu ilikuwandiyo Sheria Kuu ya nchi.

    Zanzibar haikuwa tu ndiyompinzani mkuu wa kuingia

    kwa utamaduni wa kigeni(Kikristo) kuanzia Kenyampaka Tanganyika, bali piailikuwa ni kituo cha taalumaya lugha ya Kiswahili naelimu ya Kiislamu katikaukanda huu wa Afrika. Mkuuwa zamani wa ZanzibarMuslim Academy, SheikhSayyid Omar bin Abdullah(1917 -1988), alihitimuChuo Kikuu cha Oxfordji ji ni Lo nd on Ui ng er ez aalipata kusema kwambavisiwa vya Zanzibar vilikuwamuhimu sana kwa uingiajiwa madhehebu ya Kishafii

    nchini Tanganyika, Kenyana Uganda. Hiki kilikuwani kipindi cha Abu HamidMuhammad al-Ghazzali(1058 - 1111), Profesa waNidhamiyah Shafii MuslimAcademy mjini Baghdad namwanafunzi wa AbdullahMuhammad Idriss al-Shafii(767 -820), muasisi wa Fiqhya Kishafii. Hii inawezakuthibitishwa na msafirimaarufu duniani kutokaMorocco Abu Abdullah binMuhammad al-Tunzi (1304

    - 1378), maarufu kama IbnBatuta ambaye alitembeleavisiwa vya Waislamu waAfrika Mashariki, ikiwemoMombasa na Pemba.

    Alibainisha kuwepo kwajamii ya Wais lamu, shu leza Kiislamu, Wanazuoni waKishafii na vitukuu vyaMtume Muhammad (saw)katika visiwa vya AfrikaMashariki. Sheikh AbdullahSaleh a l -Farsy (1912-1982), Mwanahistoria waKimataifa wa Zanzibarna Mwanazuoni mkubwawakati wa Usultani, ingawa

    ulikuwa chini ya ukolon

    wa Kiingereza. Masultan

    wa Zanzibar walikuw

    wakipeleka Wanazuoni w

    Kishafii Tanganyika, Keny

    Uganda, Malawi, Msumbimpaka Congo kwa lengo kueneza Uislamu.

    Wakati wa kipindi chUkoloni wa KiingerezZanzibar ndiyo ilikuwkituo pekee cha kusambazUislamu katika eneo zimla Afrika Mashariki na Kachini ya Usultani wa Zanziba

    Misikiti ya Gofu na Barz

    ilichukua wanafunzi kutok

    nchi zote za Afrika Masharina Kati, kwa ajili ya kuwap

    elimu ya Kiislamu. Chuo chZanzibar Muslim Academkilikuwa chachu ya kuenezUislamu Afrika Mashariki.

    Dola ya Zanzibar yenym re n g o wa Ki i s l a m uilionekana kuwa ni tishio kwUkristo Afrika MasharikM a p i n d u z i n a k i s hMuungano, yamekuwa kamni mwendelezo wa crusaddhidi ya Uislamu. Uislamumetiwa kitanzi Zanzibtangu mwaka 1964.

    BUNGE sasa limegeukakuwa uwanja wa vyama vyasiasa kutambiana, kubishana,kutukanana , kukeje l i ana,kudhihakiana na kutafutanaumaarufu wa kisiasa. Kwa

    jinsi tunav yoshuhudia katik avikao vya Bunge mjini Dodomahivi sasa, tunadhihirisha wazikwamba wabunge walio wengihawana habari na kutimizawajibu wao walilokabidhiwana wananchi wa kupigania,kutetea na kulinda, maslahiya umma. Wengi wao ndaniya vifua vyao wanaonekanakutanguliza maslahi yao binafsina ya vyama vyao. Maslahi ya

    wananchi ni ya baadae.Inafahamika wazi kwambawananchi wamewachaguawabunge , s i kwa sababunyingine zaidi ya kuwawakilishaili wakashughulikie maslahiyao. Ukiacha wabunge wa vitimaalum na wale wa kuteuliwa naRais, Wabunge wamechaguliwakwa kura za wananchi. Japoawali hupitia katika michakatoya vyama vya siasa, lakiniutaratibu huu ni kwasababutu kwamba sheria zetu zauchaguzi haziruhusu mgombea

    binafsi. Hivyo mtu anayetakakuwa mwakilishi au kiongozi

    Wabunge zindukeni udini utatupeka pabayaSerikali imeshashikwaHuu sio muda wa Bunge la vyama

    Na Shaban Rajab wa wananchi, analazimikakuwania nafasi hiyo kupitiatiketi ya chama cha siasa, ndipoahalalishwe kuwa mgombea.

    Lakini kwa upande wa wapigakura kwa maana ya wananchi,wao hawana shuruti ya kupigwamhuri wa chama chochote chasiasa ili awe na haki ya kupigakura.

    Ndio maana anayechaguliwakwa kura , bas i anakuwaamechaguliwa na watu wengiwasiosimamia itikadi za vyamavya siasa. Kwa maana hiyoMbunge ni kiongozi wa wote.

    Inaeleweka vyema kwambawananchi wanamchagua mbungehuku wakiwa na sababu zaoza kimsingi za kumchagua.Kwamba akawawaki l i she

    Bungeni shida na kero zao.Akasimamie mahitaji yao,vipaumbele vyao vya maendeleo,kawatungie sheria nzuri zenyemaslahi kwa umma nk.

    Lakini ajabu, leo tunashuhudiawabunge wakitumia nguvunyingi kutetea maslahi yao navyama vyao, huku masuala yawananchi ambao ndio waajiriwao yakifanyiwa mzaha. Kwakiwango kikubwa, mabishano namatusi yaliyomwagwa bungenikatika mikutano ya kikao hiki chakumi cha Bunge, yametokana nahisia za kipinzani wa kivyama.

    Mtu anakuwa na uchungu zaidi

    na chama chake kuliko wananchiwaliomtuma. Kwamba yupotayari kumtetea al iyepigamuhuri wa kuhalalishwa kuwamgombea, kuliko aliyempigiakura na kumpatia ubunge.

    Si vibaya Mbunge kuteteailani ya chama chake, lakini nivyema akawa na vipaumbele.Maslahi ya umma kwanza,maslahi binafsi na ya vyamavyao baadae. Ifahamike tukwamba halikuwa lengo lamwananchi kumchagua Mbungeili akasimamie maslahi ya chamachake wala ya mtu binafsi.

    Hi v i s a s a W a t a n z a n i awanakabiliwa na mpasukomkubwa wa kidini. Kadiri siku,miezi na miaka inavyosonga,

    ndivyo mpasuko huo unavyozidikukua na kukita zaidi miziziyake. Kwa bahati mbaya, mpakawakati huu serikali haijaonakama kuna haja ya kuchukuahatua za dharura, ili kuchunguzana kubaini kiini cha tatizo nahatimaye kumaliza hitilafuhizi zinazotishia umoja, amanina usalama wa wananchi kwaujumla.

    Wabunge nao, l icha yakuwa wao ndio wawakilishi wawananchi bungeni na serikalinina kwamba wako karibu na watu,lakini nao wamepiga kimya

    licha ya tatizo kuwa kubwa nakutishia kusambaratisha amanina umoja wetu.

    Kwa muda mrefu sasa,jamii ya Waislamu wamekuwawakilalamika kuwa wamekuwawakidhulumiwa, wakinyimwafursa na kutotendewa hakina serikali ikilinganishwa nawenzao Wakristo.

    Inafahamika kwamba mizozoya kidini ni moja ya mamboyanayoweza kupoteza amani yanchi na umoja na mshikamanokwa wananchi kama mizozo yakiimani kwa haraka sana kulikohata ukabila.

    Taifa lolote lililo makini kwausalama wa raia wake, haliwezikuzembea kuchukua kuondoahali kama hii.

    Kwa m t a z a m o wa n g u ,bada la ya wabun ge wetukutumia muda mwingi bungenikupigana vijembe kwa sababutu ya tofauti zao za kichama,

    tunaona kuwa kwa kipindihiki walistahili kujitambuakuwa wao wawakilishi wawananchi na walistahili kuwaza

    juu ya tatizo lililopo la udini.Walistahili kujadili namna yakulishughulikia na kulimaliza namapema kwa kuzingatia maslahiya pande zote za imani kablamabo hayajaharibika kabisa.

    Kwa nafasi waliyo nayo,ingekuwa vyema kama wangeletahoja rasmi bungeni kuhusu tatizola udini nchini, wakaijadili kwakina kwa maslahi ya umoja waTaifa letu.

    Kulingana na ukubwa wtatizo na madhara yanayowezkupatikana kwa Taifa juu yudini, Bunge walilistahili hakuunda Kamati Maalum kwajili ya kuchunguza madai y

    Waislamu na Wakristo ili kubaiukweli.

    Kamati itizame hoja zWaislamu na madai yao kamni sahihi au la, kadhalika upanwa Wakristo. Pia ingekuwsi vibaya wachunguze hatuilizochukua serikali kama sahihi au la, na kama zilifanikiwau kuchochea hitilafu zaidi.

    Kama inavyofanyika katikkadhia nyingine kama vile ufisana ubadhirifu wa fedha na maza umma, Kamati hiyo inatakiwkuja na majibu kamili.

    Majibu hayo ni mapendekezj u u y a h a t u a m u a f a kzinazostahili kuchukuliwa n

    serikali kuhusu ugonjwa huhatari wa udini. Lengo hapni kunusuru mustakabali wumoja wa watu wa Taifa hkwa kuondoa dharau, dhulmna uonevu unaofanywa na wawa imani moja dhidi ya wawa imani nyingine, na serikaikiendelea kupiga kimya.

    Kuendelea kupigia kimytatizo hili, tusitarajie kwambudini ulipo unaweza kwisha akondoka wenyewe kwa kupigsiasa za majukwaani. Vinginevytusubiri balaa kubwa zaidi ndiptutakapotahayari.

  • 7/30/2019 ANNUUR 1068

    6/12

    6AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 20MAKALA

    MWANDISHI StephenL e n d m a n a m e a n d i k am a k a l a a l i y o i p a j i n a

    Americas War on Islamakielezea jinsi Serikali yaMarekani inavyoandaa nakubuni maadui wa ndaniili iweze kupata sababu yakuzivamia, kuzishambuliaau kuweka jeshi katika nchiinazozitaka kwa masilahiyake.

    Akasema kuwa Waislamuwamekuwa na bahati mbayak wa s a b a b u wa o n d i owamechaguliwa kuwa ndioadui na gunia la kufanyiamazoezi kila Serikali yaM a r e k a n i i n a p o t a f u t akisingizio cha kupiga nchinyingine au kuimarisha

    mtandao wake wa kijeshiduniani.Ukiacha hilo la kutumia

    adui wa kubuni ugaidi waKiislamu ili kupata kisingiziocha kuvamia, kupiga nchi nakuzikalia kijeshi au kuwekakambi za kijeshi na kikachero,zimwi ugaidi limebuniwana linatafutiwa mbinu zakudumishwa ili ionekane kuwakinachopigwa vita ni ugaidina sio Uislamu na Waislamu.Kwa mkakati huo, hata baadhiya Waislamu na baadhi yanchi zinazoitwa za Kiislamuzinaweza kutumika kuwapigav i ta Wais lamu wenzaobaada ya kusomeshwa nakumezeshwa propagandakuwa ni magaidi.

    Ka t i k a m a k a l a h i y oaliyoiandika mara tu baadaya kutokea kile kilichoitwaBoston Marathon bombing,Lendman anaungana nawasomi na wachambuziwengine wa siasa za Marekanina inayoitwa vita dhidi yaugaidi wakionyesha wasiwasiwao kuwa hilo lilikuwashambulio la kupanga nakwamba watuhumiwa ambaon i v i jana wa Ki i s lamukutoka Chechnya/Dagestan,w a m e k u w a w a h a n g awengine wa mpango waFBI wa kuwafanyia usaniivi jana wa Kiis lamu naMasheikh kuwaingiza katikamtego, kuwapa miongozo,kuwachochea, kuwawezeshana kisha kuwakamata.

    Anasema katika Vita dhidiya Ugaidi Waislamu ndiokisingizio na kwa sababu huounaendelea kuwa mtaji waMarekani kufanya ubabe wakemahali pengi duniani, basikila wakati itaibua gaidi aushambulio la kigaidi ili kitishona hofu iendelee kudumu. Nikwa sababu baada ya kuwashambulio la Septemba 11

    Vita dhidi ya Uislamu yapamba motoUnapokuwa Sheikh huna hakiPolisi wajue nao hawapo salama

    Si lazima waige ya Pennsylvania Avenue

    Na Omar Msangi

    April 24, 2013 InformationC l e a r i n g H o u s e -American Everyman

    If you believe the officialstory of what happened onApril 15th at the finish-line ofthe Boston Marathon, then youhave to know that DzhokharTsarnaev is innocent of thecharges leveled against him.You cannot avoid it.

    According to the newofficial story (remember theBag Men story that wasfed to the New York Post

    by officials?) Tamerlan andDzhokhar Tsarnaev wentdown to the finish-line of theBoston marathon carryingbombs in their backpacks andplanted them in two locationsabout a block apart and thenhung around and watched thecarnage unfold.

    They claimed they hadvideo proof of at least one ofthem, Dzhokhar, droppinghis bomb and an eyewitnesswho saw Tamerlan drop his atthe feet of the witness whilemaking eye contact with himand walking away.

    They then, according tothe story they have videoevidence of this, hung around,watched the carnage only toslowly walk away from thescene.

    That is the official story.And tha t s to ry p rovesDzhokhar is innocent. And ifDzhokhar is innocent, morethan likely, so is Tamerlan.Let me show you why.

    1 . Circumstantial butbased on hard evidence

    First of all, the Feds haveproduced neither of the twovideos they claim to haveshowing 1. Dzhokhar plantinga bomb and 2. them hangingout watching the aftermaththen slowly walking away.In fact, the evidence we havesuggests a totally differentstory. The new story aboutall of this drops any mentionof those two videos down thememory hole.

    The second thing toremember is the fact thatthe FBI pretended to needour help to identify the twomen while the entire timetheir own local field officeshad been in steady contactwith the boys for at least two

    years. The FBI has comeout since and admitted theirinvolvement with the boysand several congressmen areasking how they dropped theball on this one. The FBI isavoiding answering congressquestions.

    I have found evidence tosuggest that they were infact being handled by an FBIconfidential informant andI believe that fact is likelyto come out very soon. Thecongressmen are startingto ask for the FBIs files onthese boys. Family members,

    even the one trying to helpthe Feds, suggest that theywere being manipulated bymentors which is standardoperating procedure for theFBIs domestic terrorism taskforce. In fact, it appears fromthe official photos of the boys,they were indeed waitingfor quite a while in front ofa restaurant in the area tomeet someone someonewho told them to be there.Someone who deliberatelyput them in the wrong placeat the right time.

    Inaendelea Uk. 7

    limefanya kazi yake na saslinataka kusahaulika, nlazima kuibuliwe kisingizkingine kama hiki cha BostoMarathon Bombing.

    Post-9/11, Muslimwere targeted for politicadvantage. Post-Bostobombings,Americas waon terror continues. Perhaplast weeks Boston bombingadvanced it. Muslims remaAmericas enemy of choicExpect Obama and Congreto take ful l advantagExpect the worst of times tfollow.

    A n a s e m a S t e p h eLendman na kuongezkuwa ndio maana baadhi ymagazeti ya Marekani matu baada ya shambulio hiyalisema katika kurasa zaza mbele kuwa ugaidi waru

    tena Marekani. Maandismakubwa yakakolezwa iwananchi warudishe mawazna hofu ya kitisho chWaislamu.

    Terror Has ReturnedNdivyo gazeti la USA Todalilivyoripoti katika kukolezkitisho.

    Stephen Lendman akielezehali inayowakabili Waislamhivi leo anasema kuwwamekuwa wakisingiziwmakosa, kubambikiziwa keskudhalilishwa, kunyimwhaki zao za kibinadamuk u o n d o l e wa u t u wa okuwekwa rumande bi

    ya kupewa dhamana ninapotokea kuhukumiwmahakamani, hupewa adhabkali kinyume na watu wenginkwa kosa hilo hilo.

    Inakuwa kana kwambSerikali na mfumo mzimwa uongozi wa Dola unhasira kali na kwa hasira hizinawashukia Waislamu kwlengo la kuwakomoa.

    A n a s e m a , T h e y rdehumanized, spied onse t up as pats ies, huntedown, rounded up, held detention, kept in isolatiodenied bail, restricted their right to counsel, trieon secret evidence, convicteon bogus charges, given lonsentences, and treated harshas political prisoners.

    Anasema, shambulio Boston likichunguzwa, ikiwni pamoja na taarifa ya polisvyombo vya habari, viongowa serikali na wananchwalioshuhudia tukio hilpamoja na picha za videokunapatikana mashimo menna ukungu mwingi unaotowasiwasi kuwa ni jamblimepangwa na watuhumiwni wahanga tu.

    Uchaguzi wa vijana haInaendelea Uk.

    Boston Bombing: The Official Story Proves

    Dzhokhar Is Innocent a Photo EssayBy Scott Creighton

  • 7/30/2019 ANNUUR 1068

    7/12

    7AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 201Makala

    Vita dhidi ya Uislamu yapamba motoInatoka Uk. 6

    wa Kiislamu katika tukiohil i , l inaonekana kuwachaguzi stahiki kwa vilevijana hao Tamerlan Tsarnaev

    na Dzhokhar Tsarnaev niWaislamu kutoka Chechnyana ukileta madai kuwaMchechen ni gaidi nijambo la kusaidia propagandakwa sababu Waislamu waChechnya walishapigana naUrusi wakipinga kukaliwakimabavu na Moscow, Serikaliya Urusi ikawapakaziaugaidi.

    Mwandishi akanukuu piagazeti la New York Postlikiwa na habari yenye kichwacha habari kisemacho: Theunfinished war, na kishakusema yafuatayo:

    .These have been scary

    days. (It was) chilling to seehow successfully the suspects,Chechen Muslim immigrants,were not just in allegedlykilling people, but in instillingwidespread fear, especially inthe Northeast.

    The week served as apainful reminder tha t thi snation remains in an ongoingfight against ter ror andthat the homeland is stillvulnerable.

    The war on terror isntover. Alas, far from it.

    U f u p i w a m a n e n o ,mwandishi akiwaambiaWamarekani kuwa Vita yaUgaidi haijaisha na kwa

    maana hiyo, bado nchiyao ipo katika hatari yakukabiliana na kitisho chaugaidi na magaidi wenyeweni kama hawa Waislamu waChechnya.

    Ukiacha makala hiyo yaStephen Lendman ipo pia ileya mwandishi Craig Murray(Aprili 23, 2013) ambayeanasema: The OfficialTsarnaev Story Makes NoSense: - There are gapingholes in the official story ofthe Boston bombings.

    Anasema kinachoelezwakatika taarifa ya Serikali, nimambo ya kuzua na urongo

    mtupu. Akichambua sehemuya taarifa hiyo anasema kuwani pale inapodaiwa kuwaTamerlan Tsarnaev aliwahikuorodheshwa na Serikaliya Urusi kuwa ni gaidihatari kutoka Dagestani auChecheny (Chechen Islamistterrorist), na kwamba etikatika mwaka 2010 Urusiwalikuwa wakihangaika sananamna ya kumkamata kijanahuyo wa Kiislamu na kwahiyo ikaitaka Serikali yaMarekani ichukue hatua.

    Craig anasema kuwashimo la kwanza ni kuwa

    wakati huo Marekani ilikuwahaina ushirikiano wa karibuna Urusi katika Nyanja zakikachero hasa baada yaUrusi kuivamia na kuikaliaGeorgia mwaka 2008.

    Lakini jingine anasema

    kuwa mwaka 2012 TamerlanTsarnaev, alisafiri kwendaUrusi akitokea Marekani,hakupita njia za panya balikupitia viwanja vya ndege nakatika hatua zote za Visa na

    Uhamiaji. Kama kweli Urusi

    ilikuwa inamjua kijana huyokuwa alikuwa gaidi na ilikuwaikimsaka au kuwa na hofunaye, kwanini isimkamatealipoingia uwanja wa ndegeMoscow?

    Kutoka Urusi Tamerlan

    a l i k w e n d a D a g e s t ainayokaliwa kimabavu nUrusi. Akiielezea DagestaCraig anasema ni thworlds heaviest militaroccupation and the worldmost far reaching secrpolice surveillance. Lakikijana huyo anayedaiwa sakuwa gaidi hakumatwa!!!

    Hapo ndipo Craig Murraanasema kuwa maelezo kamhaya ni ya kutunga tu na yeybinafsi ana uhakika kuwkinachodaiwa kutokea nurongo mtupu. Ni mambo ykutengeneza.

    That is the official storand I have no doubt it dinot happen. I know Russand I know the Russiasecurity services. Whateveelse they may be, they arextremely well-equippe

    experienced and efficient anembedded into a social fabraccustomed to cooperatiowith their mastery. Thscenario is simply impossibin the real world.

    A n a s e m a M u r r aakikamalisha makala yakCraig Murray aliwahi kuwBalozi wa Uingereza katiknchi ya Uzbekistan kutokAgosti 2002 hadi Ottob2004 na Rector wa ChuKikuu cha Dundee (20072010).

    Na ye mwandish i Da vLindorff katika makala yakaliyoipa kichwa cha haba

    kisemacho: SomethingRotten in Boston na kishkuhoji: Whos Investigatinthe FBI Investigators?

    Yeye pia anatuhumkuwepo shambul iz i kupanga ili kuhuisha kitishcha ugaidi ili ipatikansababu ya kuushambulUislamu halikadhalika kupakisingizio cha kujitanuk i jesh i mahal i popo tinapotaka Marekani.

    I n a e l e z w a k u wkinachoitwa Al-Qaidan a m a j i n a m e n g i nyanayopakaziwa ugaidni majina yaliyobuniwna Marekani na washirikwake kupewa mafunzo nMarekani toka wakati wvita ya Afghanistan na Uruna kwamba kila uchao sasMarekani inaongeza idadi ytaasisi za kigaidi ipendavykulingana na jinsi inavyotakkuzitumia taasisi hizo kwmalengo yake.

    Imekuwa ni bahati mbaykuwa kwa vile Marekanilishasema kuwa ama upnayo katika kupambana nmagaidi au nawe ni gaidi, baumekuwa ni msiba kwamb

    Inatoka Uk. 6

    As damning as all of thisis, the lies, the connectionsto the boys, the artifice ofnot knowing who they were,their being brought there bysomeone as damning as it is,its primarily circumstantial.Though that is not to say itdoes not qualify as potentialevidence in a court of law, itis not hard physical evidenceof Dzhokhar Tsarnaevsinnocence.

    Not to worry, the officialstory itself provides that.

    2. Hard evidenceThe new narrat ive is

    that one of the victims, Jeff

    Bauman, identified the olderbrother Tamerlan as beingthe one who placed his bombdown at Jeffs feet whilemaking eye contact with himand then he walked away.He said he had a dark ballcap and glasses and that isTamerlan in the photos.

    Honestly, that story is ripewith wrong. Were anyoneto do that to you would youjust stand there next to thebackpack waiting to see whathappened? I doubt it. Buttake him at his word (andremember, the FBI has teamstrained to illicit the kinds

    of witness statements theyneed). And also remember,they claim this informationcame to them on Wednesday,while Jeff was still heavilydrugged.

    But lets take them at theirword. After all, it is theirofficial story and thus theone some of the people inthis country accept as thegospel.

    Jeff was injured in the firstexplosion, the one closest tothe finish line. Of that there isno question. That means thebag that was dropped therewas Tamerlans bag. Letslook at the evidence.

    F i r s t , t h e i r b a g s

    respectively Tamerlan hasa darker colored bag while hisyounger brother is carryinga light grey bag. Also noticethe color of Tamerlans pants.This will be important latertrust me.

    If you take the FBIsrecounting of Jeffs statementat face value, then that meansTamerlans bag is this one,from the official evidence ofthe crime scene:

    You can make the argumentthat this is a lighter color thanTamerlans bag and you canalso wonder why it is that it

    seemed to have audio cablein it as if its just one of thetechies bag from the set-upof the finish-line PA systemor TV cameras. You can makethat argument, but for the sakeof suspended disbelief, letssay it is indeed Tamerlansbag and the bag the bombwas in when Jeff lost his legs.Well give the official story amulligan on that one.

    If that is the dark bagcarried by the two brothers,over next to the site of the firstbombing, then the only bagleft to be at the scene of thesecond explosion is the onebeing carried by DzhokharTsarnaev. And indeed, that is

    the official story.This is where it gets

    interesting.Here is a picture of what

    is being hailed as an imageof Dzhokhar Tsarnaevdropping his pack whichhad the bomb in it.

    What you see is not a mandropping a bag. What yousee is a man CARRYING abag while walking by. Notice,right above the girls shoesyou can see the bottom ofthe bag. It is suspended in theair, not touching the ground.

    Inaendelea Uk.Inaendelea Uk. 9

    Boston Bombing: The Official Story ProvesDzhokhar Is Innocent a Photo Essay

  • 7/30/2019 ANNUUR 1068

    8/12

    8AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 20Makala

    Na Khalid S Mtwangi

    Hotuba ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar katika kongamano la maadhimisho ya miaka 49 ya MuunganoInatoka Uk. 4

    kasoro yake. Mfumo wa Serikalimbili unalazimisha tu mmojakati ya Washirika wa Muungano

    apoteze hadhi yake ya utaifa(sovereignty) na kuwa sehemuya Mshirika mwengine (politicalsubdivision). Katika mfumowa Serikali tatu, Washirikawote wanapoteza hadhi yaoya utaifa na Shirikisho ndiyolinakuwa taifa. Katika mfumowa Shirikisho Huru, Washirikawanatoa tu sehemu ya utaifa waona kuubakiza UTAIFA wao kwakiasi watavyokubaliana.

    Nduqu Washiriki, makala namaandiko mengi yameandikwakuhusu Muungano. Aidha, katikamchakato wa utoaji maoni katikahatua za awali umebainishamaeneo muhimu yenye kasoroza msingi katika Muungano.

    Ni wajibu wetu kuzitafuta nakuzifahamu kwani taalumahiyo ndiyo itayosaidia katikaMabaraza ya Katiba. Itikadi,

    jazba na idadi haitosaidia.

    Nd ug u Was hi ri ki , ka manilivyotangulia kueleza hapoawali, Katiba mpya lazimaiepuke makosa ya sasa hivi.Hivyo, pamoja na mambomengine, Hoja zetu lazimaziwe na madhumuni ya kuwekamisingi ifuatayo ndani yaMuungano:

    a) Kutambua kuwepo nak u e n d e l e a k u w e p o k w aWashirika wa Muungano;

    b ) Ku l in d a u s a wa waWashi r ika wa Muunganokatika kuamua, kusimamia nakuendesha masuala vote yaMuungano;

    c) Kutoa fursa sawa na zakutosha kwa Washirika wa

    Muungano kuendesha Mamboyasiyo ya Muungano kitaifa nakimataifa;

    d) Kuwepo mambo machachena bayana ya Muungano.

    Ninaamini kwamba misingihiyo inahi taj i kutafsir iwakwa vitendo ndani ya Katiba.

    Ndu gu Was hi ri ki , bi la yamisingi hiyo kuwekwa bayanandani ya Katiba, Muunganoutaendelea kuwa wa mivutanona manunguniko. Nchi haiwezikuendelea na wala kuwa naamani kama misingi yake yakikatiba sio imara. Ndio maanaMwanamapinduzi maarufu waAmerika ya Kusini, SimonBolivar, baada ya kukamilishakuzikomboa nchi nyingi zaAmerika Kusini kutoka katikaukoloni wa Hispania, aliliombaBunge la Venezuela yafuatayo:grant to Venezuela a government

    p r e e m i n e n t l y p o p u l a r ,preeminently just, preeminentlymoral, which will hold in chainsoppression, anarchy and guilt.A government which will allow

    righteousness, tolerance, peaceunder protection of inexorablelaws. (February 15, 1819). NayeEdmund Burke, aliyewahi kuwaMbunge na kiongozi mahirikatika kuendesha nchi aliwahikuliambia Bunge la Uingerezaumuhimu wa kujenga misingi yakuendesha nchi kwa maelewanokwa maneno yafuatayo: anation is not governed which isto be perpetually conquered ..(House of Commons, March,1775). Maana yake kwa ufupini kuwa huwezi kuendesha nchikwa mtindo wa kulazimishamambo kila siku.

    Ndugu Washiriki, ni wazikuwa katika hatua hii Wanasheria,wanataaluma na weledi wenginewana jukumu kubwa sana katika

    hatua hii. Ni wajibu ambatunapaswa kuutekeleza kwdhati na kwa juhudi kubwa. Nvyema tukumbuke yale manenya Mwanamapinduzi wa Chi

    Sun Yat-sen aliyoyasema Mar2, 1924 kuwa unapohesabu idaya Wananchi wa kuitumiknchi anza kujihesabu wewmwenyewe kwanza na usemmimi ndio wa kwanza katika ywatu wote hawa.

    Ndugu Washiriki, n imalizkwa kuwaomba tusirejee makotul iyofanya huko nyummakosa ya kudhani Katibmpya itajengwa kwa itikadi siasa, hamasa au jazba. Katiitajengwa kwa umakini wkutambua tunachotaka, kujenhoja na kuzieleza bila wowala jazba.

    N a w a s h u k u r u k wkunisikiliza

    NI sawa kabisa kuwa sakatala kuwa nani achinje nyamaya kuuzwa katika mabuchalimeleta mtafaruku mkubwasana nchini.

    Pia itakuwa sahihi kutanabahikuwa mpango maalum huuumekuwa ni wa watu wasioitakianchi hii mema, kiasi kwambawatafaidika kwa kiwangokikubwa ikiwa zitazuka fujo zakiwango kikubwa sana na watukuuwana kama ilivyotokea hukoGeita. Lakini hawa wanawezakuwa ni watu wa aina ganiwanayoitakia Tanzania zahamaya kiwango hicho?

    Kwanza washukiwa wakubwawanaweza kuwa yale makanisamadogo madogo yanayozukakila siku na kufadhiliwa na

    baadhi ya WALOKOLE (BornAgain Fundamentalists) waliokoMarekani. Kwanza wao hawatakikabisa kuwepo Uislamu duniani(ikiwa hivyo hivyo Ukatoliki).

    I n a f a h a m i k a k u w a n ihawa waliomchochea BORNAGAIN mwenzao aliyekuwaRais wa Marekani, Bw. GeorgeWalker Bush, kuzishambulianchi za Kiislamu zikiwemo

    Iraq na Afghanistan. Alikuwaanajitayarisha kuivamia Iran

    pia.Pili ni kuwa hawa BORN

    AGAIN ni wafanyabiasharawakubwa huko Marekani waliona utajiri mkubwa sana. Nidhamira yao kutawala utajiri wadunia nzima, hasa panapokuwakuna mafuta ya petrol na

    Sakata la kuchinja: Tanzania kuwa Kongo nyingine?gesi yake. Kama Wamasaiwanavyoamini kuwa ngombewote duniani ni mali yao; hivyowanahaki ya kuwaswaga kwendakwao popote wanapowakuta;hata katika zizi la Msukuma!

    Nd io hivy o ki na Bw. Bu sh

    na Makamu wake Bw. DickCheney, wanaamini kuwa lazimawadhibiti utajiri wa mafuta narasilimali nyingine popote zilipoduniani.

    Kila mtu anafahamu madhilayanayoisibu nchi jirani yaJamhuri ya Kidemokrasia yaKongo (Democratic Republicof the Congo) ama DRC kamainavyojulikana kwa kifupi.Tangu Wazungu kutoka Ulayawaingie katika karne ya kumina sita, wananchi wa nchi hiyohawajaona amani. Warenowalioingia kwanza walikuwatu, wakiiba mali na kusafirishakwenda kwao, hasa baada yakumlaghai yule mfalme waBakongo aliyeitwa NzingaMbemba.

    Katika laghai hizo walimbatizana kumpa jina la Affonso. Kamawanasiasa wa zama za kupiganiauhuru walivyokuwa wakihubiri,

    baad a ya kubatiz wa Affo nsona watu wake , wal ikuwawakifumba macho kusali hukuhao waliowafundisha kusaliwakiwaibia ardhi yao. Halafu

    baadae aliingia Mfalme Leopoldambaye aliweza kuifanya nchiyote ya Kongo kuwa mali yake

    binafsi.Mfalme huyu alikuwa na

    mwakilishi wake aliyeitwaHenry Morton Stanley, ingawa

    jina lake hasa lili kuwa JohnRowlands kwao kukiwa niWales, Uingereza. Hapo ndipokweli Wananchi wa Kongo

    walikiona cha moto. Kwanzailikuwa kama hawakufikishaidadi fulani ya zao la mpirawalikuwa wakikatwa viganjavya mikono; kama akipoteza

    jino la temb o basi anakatw akichwa.

    Alikuwapo karani mmojawa huyo Mfalme Leopoldaliyeitwa Leon Rom, ambayealiona fakhari kutundika katika

    bustani yake vichwa vya watualiowauwa ama waliouawa kwaamri yake. Hayo yote yaliwasibuWananchi wa Kongo kwa sababuya utajiri uliopatikana nchinihumo. Utawala wa Ubelgijiulipomyanyanganya nchi hiyoMfalme Leopold, nao watawala

    hao walikuwa wakatili kwelikweli.Sehemu zingine za nchi

    waliwaachia Kanisa Katolikikuwa ndio watawala na hukohaikuruhusiwa kusikia adhanakabisa. Pale palipokuwa pakiitwaStanleyville, sasa Kisangani,Waislam walitengwa na kupewamakazi yao katika kisiwa kidogokatikati ya mto Congo. Kitongojichao kiliitwa ARABISQUE.

    Bahati mbaya sana, utajiri huohuo ambao umeifanya nchi hiyokusakamwa na mikasa kamahiyo mpaka leo hii. Tangu ipateuhuru mwaka 1960 kumekuwahakuna amani nchini Kongo.Inafahamika kuwa hizo ni mbinuza makusudi kabisa kwambanchi isiweze kutawalika kabisa.Panapokuwa na fujo zisizokwisha

    kama hivyo, serekali haiwezikutekeleza majukumu yake yakuweka amani na Wananchiwapate mahitaji yao ya kawaidaikiwa ni pamoja na elimu.

    F u j o h i z o z i n a f a n y apas iwe po na usa lam a hiv yowale wanaopora mali wanafanyahivyo bila kuwa na wasi wasiwa kukamatwa. Hakika waoambao wanachochea fujo hizowanashirikiana kwa karibukabisa na baadhi ya watawalakufanikisha azma zao. Hawawatawala nao wanafaidikakivyao bila kujali maslahi yaWananchi.

    Sasa hebu tuitazame Tanzaniayetu. Kwa miaka mingi sanaWakristo wamekuwa wakilan y a m a i l i y o c h i n j w a n a

    Waislamu. Hakika hasa vijijinini jambo la kawaida kwanyumba ya Wakristo kumuombaMuislamu awachinjie, iwe kukuama mbuzi; iwe kwa shereheama kwa matumizi ya nyumbanitu. Kama ilivyoelezwa hukonyuma, ni mila ya Kichaga kwamfano kuwa mchinjaji lazimaawe ni mtu aliyetahiriwa. Hatakwa Mchaga mwenzao mtuhawezi kuwa na uhakika kabisa

    kuwa huyo Mchaga mwenzaokatahiriwa, hasa siku hizi ambazowatu wanaishi hovyo hovyo tu.Lakini mtu anaweza kuwa nauhakika asilimia tisini na tisakuwa Muislamu katahiriwana akichinja huyu, basi nyamahiyo inatohara. Hayo ni kwa

    mila ya Wachaga ambao wengiwao wanafuata madh-hebi zaKikristo.

    Pia muhimu ni kukumbukakuwa Yesu (Rasul-ul-LLah IssaA.S) aliishi miongoni mwaWayahudi ambao wana sheriakali kuhusu vyakula. Asingewezakula nyama ambayo haikuchinjwakufuatana na sheria hizo, yaanikuw KOSHER. Kiongozi yeyotewa Kikrito anafahamu kuwasheria hizo ni sawa kabisa na zilewanazozitekeleza Waislamu.

    Hivi karibuni huko Uholanzisereka l i ya huko i l i t akakurekebisha uchinjaji wa nyama,kwa mfumo ambao haufuatanina sheria za Kiyahudi, hivyohivyo za Kiislamu. Hapa hawaWayahudi waliungana na

    Waislamu kupinga mpangohuo mpya na serekal i yahuko Uholanzi iliwasikiliza.Inafahamika kuwa hakika nchihiyo ina idadi kubwa ya Wakristowalio Wananchi wake. Ni wazikuwa kama Yesu (Nabii Issa AS)angeshuka leo hapa Tanzania,angekula nyama iliyochingwana Khalid na sio iliyochijwa naMchungaji Azor aliyejipapatika

    jina la Kiyahudi bila kufua tamila wala dini hiyo!!

    S a s a k w a n i n i h a w awachungaji, wengine wakiwauchwara kufuatana na makanisayanayochipuka ziku hizi, kwanini wanaleta fujo kuhusuuchinjaji wa nyama?

    Katika toleo moja la gazetihili ilidokezwa kuwa palipotokeafujo pale Geita, walionekana

    Wazungu wamishionari wakiwakatika yale makundi ya Wakristowalioanzisha fujo pale. Hawahawakuulizwa la kheri walala shari, ni Waislam tu ndiowaliosumbuliwa.

    Imekwisha elezwa hukonyuma kuwa ni hawa Pentecosth u k o M a r e k a n i a m b a owanakiunga mkono sana chamacha Republican. Ni chama hichi

    cha Republican (wahafidhinna mabwenyenye) ambawanataka kuhodhi utajiri woduniani. Hivi sasa Tanzanimetambuliwa kuwa ina utajmkubwa, kwanza wa dhahabna sasa inatambulika kuwa ngesi ambayo ni ndugu wa mafu

    ya petroli.Kwa muda mrefu Tanzan

    imejul ikana kama ni ncambayo inalinda kwa wivmkubwa uhuru wao. Hivyinapokuwa na utajiri kamhuo na nchi yenyewe ikiwekuudhibiti utajiri huo, hawwanyanganyi hawatopata nafanzuri ya kupora mali hiyo kamwanavyofanya Kongo hivi leo

    Sasa hawa jamaa wanafahamkuwa kwa kukosa kuona mbamiongoni mwa baadhi ywale Wananchi walio katikutawala, hasa wale wenykufuata madh-hebi hii amile ya Kikristo, ndani ya nchii kuna mfarakano mkubwkati ya Wakristo na Waislam

    Waislamu sasa wameamka nwamechoka kuonewa. Wanadhaki yao kama Wananchi wnchi hii. Hapa wameona panmwanya ambao wanawezkuutumia kuleta fujo ambayinawawezesha kupora maza nchi hii kwa urahisi kamwanavyofanya Jamhuri yKidemocfrasi ya Congo.

    Kwanza tuwaulize hawwaumini wa makanisa hayyanayochipua kama uyoga hisasa kama kweli wanataka nchii iwe ya amani mwizi asipanafasi ya kupora mali yao. Halatuwaulizwe wale Wananchi walkatika madaraka ya juu nchihumu; hivi kweli hamfahamkama bila kutoa haki kwa ki

    mwananchi nchi hii inawezkulipuka na kuwawezeshkina BORN AGAIN ambao mabwenyenye wa Marekakuja kupora utajiri wa Tanzankwa urahisi kabisa?

    Hivi kweli mnataka Tanzaniwe kama inateseka maishkama ilivyo Kongo kwa takribakarne tano?

  • 7/30/2019 ANNUUR 1068

    9/12

    9AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 201Makala/Tangazo/Habari

    Vita dhidi ya Uislamu yapamba motoInatoka Uk. 7

    kila serikali duniani, kilaIdara ya Usalama na kilaKamanda wa Polisi anajitahidikujiunga katika vita hii kwa

    kukaa upande wa Marekaniakiwa tayari kuwasingiziaugaidi wananchi wenzake nahata kupandikiza ugaidi usiokuwepo katika nchi.

    Ni kat ika mtiza mo huutunaona kuwa maafande wetuhawaishi kuzungumzia ugaidiwa Al Qaida, Al Shabab nahata kuzua mambo ambayohayapo. Na kama ilivyo kwawenye mpango huu, hutasikiamsamiati huu ukitumiwa kwamtu asiyekuwa Sheikh auMuislamu. Ndio pale tukaonahapo nyuma juhudi kubwailifanyika kupitia vyombovya habari na hata baadhi

    ya viongozi wa Serikalikuwapachika uanachamawa Al Qaidah (Al Shabab naBoko Haram) Masheikh waUamsho na Sheikh Ponda.

    Inavyoonekana ni kuwabaada ya jaribio lile kufel i(kwa sababu lilikuwa urongona njama zi l igundulikamapema wakazomewa),wapo watu bado hawajakubalikushindwa. Wanachotaka nikuhakikisha kuwa wanajisajilikwa bwana mkubwa kuwawamepandikiza kitisho chaAl Qaidah, Al Shabab naBoko Haram na kimekubalikakatika jamii. Kwa maanany ing ine hawajakubal ikukosa tenda ya kuijengeaMarekani sababu ya kuingiakikachero na kijeshi pamojana madege yake ya dronekupata masilahi yake huku piaikiwapatia kisingizio makafirina washirikina kuupiga vitaUislamu.

    Ndi o ka ul i ka ma hi zitunazis ikia kutoka kwaKamishna Mwandamiziwa Polisi Hussein NassorLaisseri akidai kuwa zipodalili za kuibuka makundiya kigaidi ndani ya nchiyakiratibiwa na makundi yaAl Qaeda na Al Shabab.

    Afande Laisseri alitoa

    tahadhari hiyo alipokuwaakiwasilisha mada kuhusuhali ya uhalifu Tanzania Barana Visiwani Zanzibar katikasemina ya Wajumbe waBaraza la Wawakilishi.

    Semina hiyo iliyokuwac h i n i y a M w e n y e k i t iwake Spika wa Baraza laWawakilishi, Pandu AmeirKificho, ilijadili mpango kaziwa kuboresha Jeshi la Polisinchini.

    Taarifa za kiintelijensiazinatutahadharisha kuhusuuwapo wa magenge ya kigaidiAl Qaeda na Al Shabab nchini

    mwetu pamoja na kuibukamakundi ya kigaidi ya ndani,alisema SACP Laisseri.

    Pamoja na kuthaminijuhudi kubwa inayofanywana Polisi na vyombo vyetuvya dola kwa ujumla, katikakulinda na kudumisha amaniya nchi hii, ipo haja ya kuwamakini zaidi tunaposhinikizwa

    kuingia katika agenda za watuwengine. Tunatoa tahadharihii ili tusije tukajidhuru sisiwenyewe na kuwadhuru watuwetu kwa ujinga halafu tukajakujilaumu.

    Katika mambo ambayoyataitesa sana Serikali yaMarekani kwa muda mrefu,ni kutafuta namna ya kujibu

    shutuma na hoja zinazozidikuibuka kila uchao na kupataumaarufu juu ya shambuliola Septemba 11. Pamojana mambo mengine, watuwanahoji: Nini kilitokea kwawaliokufa 1,116 wa 9/11waliopotea?

    Kwamba katika historiaya kuanguka majumba kote

    duniani, miili ya waliokuwote inapatikana ikiwkatika hali ya kawaidHii ni kwa sababu jenglinaloanguka linavunja mii

    ya watu. Hayaiteketekuwa vipandepande vidogau kuisababisha kupotekiajabu.

    Lakini mnamo Septemb11, 2001, kuanguka kwmajengo kulisababisha miiya zaidi ya waliokufa 1,00kupotea kana kwamba nkwa miujiza. Hakuna hakipande cha ngozi, kichembcha ukucha, au cha mfupkimeonekana kutoka kwmiili yote hiyo au kupatikanwakati wowote ule, lichya umakini mkubwa wjuhudi za kupeta na kutkwenye ndoo za waokona watafutaji miili. Ninkilitokea kwa karibu mii3,000 pamoja na samanza ofisi, kabati za chumkuwekea mafaili, simumakompyuta, na vitu vinginvilivyokuwa katika minahiyo? Kama wanavyoelezwatafiti mbalimbali, hakunmabaki yaliyopatikana ytakriban chochote kile.

    Ha y a k u p a t i k a n a p imabaki ya ndege mbiaina ya Boeing 757, mojikidaiwa kuanguka Pentagona nyingine ShanksvillPennsylvania. Ndege hizziliyeyuka pamoja na (maiza) abiria wake na mizig

    Kwa mujibu wa maelezna uchambuzi wa Na DkKevin Barret, havikupatikanp i a v i s a n d u ku v y e uvisivyoharibika vya ndegzilizogonga minara miwili.

    Watu wanauliza, visandukvyeusi visivyo haribikmizigo, mabaki ya ndegna abiria, waliyeyuka nkutoweka kimiujiza?

    Ni kutokana na maswakama haya, wasomi nwachambuzi wa mambwanajenga wasiwasi kuwhuenda mambo kama hayni ya kupangwa kwa ajili ymasilahi na agenda fulani.

    Lakini la ziada ni kuwupo ushahidi mwingi kuwkinacho i twa Al Qaidn i m t a n d a o u l i o k u wumebuniwa, kujengwkuwezeshwa na kuimarishwna Marekani yenyewe. Nkwamba hata mpaka sasinautumia msamiati huo nkuwatumia wanachama wakkatika kuandaa na kutekelezmashambulizi, au kutumwatu wengine (makacherokufanya shambulizi na kishkusingizia Al Qaidah.

    Ufupi wa maneno ukisik

    Inatoka Uk. 7

    Look at how its suspended atan angle. Its being carried bythe strap, the right strap, in hisleft hand. Look at how he ismoving past the people, on hisway somewhere. And moreimportantly, look at wherehe is in relation to the irongrate and the metal securityfencing. These facts will beimportant in a second.

    Also note the light colorof the pack as consistent withthe image from before.

    There is an image thatis not circulated that muchanymore because it tells avery different story than theofficial one. The image belowshows the moments after thesecond bomb detonated andthe location of several keypieces of evidence includingwhat is claimed to be the bagthat was carrying the secondbomb.

    This is an important imagebecause it clearly shows theblast pattern of the explosivewhich was placed in frontof the fence beside themailbox, as you can see bythe locations of the fence

    and other debris just after theblast. There is no quest ionwhere the detonation tookplace. In fact, a bystander hasrecently given an interviewclaiming his life was saved bythe mailbox. If the bomb hadbeen place behind the fenceand behind the mailbox onthe sidewalk, no bystanderscould make that claim, onlyrunners.

    But leaving that for aminute as it goes to witnessstatements and this is abouthard evidence, lets get backto the evidence.

    Remember this pic?This bag is in the exact

    location of where the bombhad to be placed. It is a largeenough bag to hold a backpackand a pressure cooker, thoughit is not clear if the secondbomb was actually made witha pressure cooker. But lookat the location and then lookat this.

    We can see from theblast wave of the explosionthat something close to thedetonation blocked the blastat a single point and forcedmore of the energy onto the

    sidewalk and down the street.That would be the mailbox.Look again at the location ofthat bag.

    I am not saying that bagwas the bomb. It may havebeen, but I am saying that bagis in the location the bombwas detonated. It went off INFRONT OF THE FENCE andBESIDE THE MAILBOX.

    Part of one section offence is wrapped around themailbox. The other section isblown back into the crowd andon the sidewalk as you see.Were the bag to be partially

    under the fence as appears inthe photo of the bag in frontof the fence, that could easilybe the result.

    That is NOT the locationt h e F e d s c l a i m t h e yshow Dzhokhar Tsarnaevdropping his pack. Had thebomb gone off where he wasand where that image showshim CARRYING his pack,then the fence would havebeen blown into the street.

    No w, le ts lo ok at th eevidence of the pack itself.

    As the image above shows,

    Inaendelea Uk. 11 Inaendelea Uk. 1

    Boston Bombing: The Official Story Proves

    Dzhokhar Is Innocent a Photo Essay

  • 7/30/2019 ANNUUR 1068

    10/12

    10AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 20Mashairi/Makala/Matangazo

    Naanza kuwasalimu, kwa salamu ya Imani,Asalam aleykhumu, wa Bara na Visiwani,

    Nimekamata kalamu, kuwatanabahisheni,Nimepoteza mdomo, sijapoteza akili.

    Subira jambo adili, inadumisha amani,Itatuweka kwambali, nanjama zake shetwani,Tupinge tusikubali, kuingia mtegoni,

    Nimepoteza mdomo, sijapoteza akili.

    Ajenda imejificha, wanakusudia nini!Yahitaji kuchekecha, niya yao kubaini,

    Macho ukiyafikicha, utaona ya mbeleni,Nimepoteza mdomo, sijapoteza akili.

    Kuzibwa kwangu mdomo, wapowalo furahani,Wameibuwa msemo, mchochezi kifungoni,Athari zake mfumo, ndiyo hizo tambueni,

    Nimepoteza mdomo, sijapoteza akili.

    Muda wamenitafuta, kuniingiza shimoni,Sababu wameipata, sasa nipo hukumuni,Kimya kwa miezi sita, sito sikika nchini,

    Nimepoteza mdomo, sijapoteza akili.

    Usiseme bilikuli, sitorejea hewani,Zitupilie kwa mbali, hisia hizo ni duni,Kukata ni ujahili, tamaa nisikizeni,

    Nimepoteza mdomo, sijapoteza akili.

    Mtulie nawaasa, kazini na majumbani,Kisa hufata mkasa, ni yao matumaini,Kwa hili wakitukosa, watavunjika moyoni,

    Nimepoteza mdomo, sijapoteza akili.

    Kaditama ninafunga, narejea vitabuni,Mkutubi si mganga, kutabiri ya mbeleni,Bali mimi ni malenga, nayaona ya usoni,

    Nimepoteza mdomo, sijapoteza akili.

    Isihaka Hemed MzuzuriMorogoro.

    Wanahabari vishoka !

    KWANZA ni vema kamanitaanza makala yanguhii fupi kwa kumpongezamuhariri wa gazeti laAN-NUUR kwa maoniyake katika Gazeti hilola Aprili 12, 2013. Hasapale alipo mpongezaBwana Reginald Mengi;Mwenyekiti wa Chamacha Wamiliki wa vyombovya habari Tanzania(MOAT) kutokana namsimamo wake katikamjadala wa kuchinja.Bwana Mengi haonikama kuna sababu yakuwepo kwa mgogorobaina ya Waislamu naWakristo katika suala lakuchinja.

    Ni dhahi ri kw ambamjadala wa kadhia ya nanimwenye haki ya kuchinjaba in a ya Waisl am u naWakristo hapa Tanzaniaambao umetawala vyombovya habari na mitaani kotehapa nchini, ni mjadalawa kubuniwa tu. Haunaasili wala msingi wowotekwa Watanzania, kwanini zaidi ya miaka hamsinihii leo kadhia ya kuchinjainajulikana na mwenye hakiya kuchinja pia anajulikana.Hivyo, ni nani huyo aliye

    ubuni mjadala huu?Aidha ni sababu gani

    iliyo mfanya mtu huyoaibue mjadala huu?!Mijadala ya kubuniwakama hii inapo sambazwanchini, na watu harakawakaipokea na wakakubalikuburuzwa, ni dalili mbayakwa Watanzania. Ni daliliya udhaifu kama si daliliya kuchelewa sana kufikiribaada ya matukio.

    Ni karne nyingi tangututawaliwe na wakoloni,siku ya mapumziko ya juma

    Mjadala wa kuchinja umebuniwa na nani?

    Na Sheikh AbdallahAhmad Bawazir

    hapa nchini ni Jumapili nawala hilo halina mjadala.Watu wote wanajua kuwasiku ya Jumapili ndio sikuya mapumziko ya jumahapa nchini. Afisi zote za

    Serikali na zile zisizo zaSerikali hufungwa katikasiku hiyo na kazi nyingimuhimu pia siku hiyohusimamishwa. Hili watuwote wanalijua siku hiyoni sikukuu ya juma kwaWakristo na ndio siku muhimuya ibada makanisani. Pamojana yote haya bado hatujaonaMuislamu akajitokeza nakuibua mjadala wa siku hiyo,kwamba Jumapili ifutwekuwa ni siku ya mapumzikona badala yake iwe siku yaIjumaa peke yake au iweJumatano siku ambayo haina

    mvutano baina ya dini kuunchini. Jambo kubwa kwaWaislamu ni kutaka sikuyao ya Ijumaa nayo ipeweheshima ya peke yake, kwanisiku hiyo ndio sikukuu yajuma kwa Waislamu na ndaniyake kuna ibada muhimuya swala ya Ijumaa ambayoni faradhi (lazima) juu yakila Muislamu. Hali hiyohiyo ndivyo ilivyo katikasikukuu za Krimasi naPasaka sanjari na sikukuuza Idil-Fitri na Idili-Hajji.Hali hii kwa sasa ni zaidi yanusu karne watu hapa kwetu

    wanaishi kwa kuvumilianna kuwa pamoja katikkujenga nchi yetu nkufikiria mustakabali wnchi yetu.

    K w a u p a n d e w

    Waislamu mjadala huhauna haja ya kuundiwa tumwala hapana haja ya kuitishkongamano au mazungumzya pamoja baina ya viongowa Kiislamu na wale wKikristo, kwa sababu nmjadala wa kutengenezwau kubuniwa. Kama kunumuhimu wa kuundwkwa tume, basi tumhiyo iundwe kwa ajiya kufuatilia na kutafichimbuko la mjadala huuNi nani aliye uibua mjadahuu ambao umeshaletmaafa miongoni mwetuNini lengo lake katika kuibumjadala huu? Aidha huyaliye uibua mjadala huu yeymwenyewe binafsi anafaidiknao vipi?

    Hasa itakuwa ni kinyumcha busara za idi kamtume hiyo itakuwa chinya Bakwata. Kwa sababBakwata ya siku hizi hainushirikiano na Taasinyengine za Kiislamu. Nhilo pia kwa Waislamu ntatizo nyeti ambalo kwumuhimu wake lenyewlinahitaji kuundiwa tume

    Wabillah taufiq.

    Kalamu nimeishika, kwa kheri si songombingo,Nabtadi kuandika, ukweli si longolongo,Wandishi kuwamulika, wa habari ndilo lengo,

    Ni wazushi na warongo, Wanahabari vishoka.

    Kuweta nalazimika, mapaparazi wa Bongo,Wanahabari vishoka, kwa wao mtimanyongo,Si wote wazi naweka, waandikao mafyongo,

    Ni wazushi na warongo, wanahabari vishoka.

    Wandikayo bila shaka, makusudi si kwa nongo,Fuadini yanatoka, kwa ghaidhi na usongo,Maadili wayazika, kwa uzushi na urongo,

    Ni wazushi na warongo, wanahabari vishoka.

    Habarizo za kupika, zadhihirisha usungo,Walo wenyewe jivika, kwa nadhari za matongo,Si jarima kuwaweka, wa ufisadi mrengo,

    Ni wazushi na warongo, wanahabari vishoka.

    Wengi wao kwa hakika, lengolo kusaka bingo,Hivyo ndivyo kwa hakika, walivyo si masimango,Silikayo kwa hakika, si makengeza ni chongo,

    Ni wazushi na warongo, wanahabari vishoka.

    Kwayo chongo waporomoka, kwa la upofu korongo,Uoniwo wapofuka, kwa wao hasi mpango,

    Natijaye kwathirika, fani kwa wao mchango,Ni wazushi na warongo, wanahabari vishoka.

    Wafaa kubadilika, kwa kuenzi lao jengo,Tasniayo kwenzika, walizibe hili pengo,Hapo wataheshimika, na kutoitwa warongo,

    Ni wazushi na warongo, wanahabari vishoka.

    Kaditama nimefika, nane nafunga mlango,Lengo risala kufika, kwa waandishi wa Bongo,Kalamu chini naweka, kwaherini wana nzengo,WANAHABARI VISHOKA, NI WAZUSHI NA WARONGO.

    Abuu NyamkomogiMWANZA.

    Nimepoteza mdomo!

    Omari bakari Almas Video Production, wanakutangazkuwa katika maduka yao ya Mtaa wa Livingstone naMahiwa mkabala na Kariakoo Bazar na lile la Mtaawa Mafia jirani na Msikiti wa Manyema Kariakoo jijinDar es salaam. Zinapatikana DVD, CD,Original zaMawaidha ya Kiislamu kutoka kwa Masheikh wetuMaarufu Pia CD Mpya za Sheikh Nurdini Kishki zakila wiki zinapatikana pamoja na Hijja ya mwaka 2012aliyoiongeza yeye. Njoo ujipatie DVD bora zenyekiwango cha kimataifa.

    Kwa mawasiliano zaidi piga simu kwa nambazifuatazo 0754 805 528, 0785 793 395 au 0716888 358

    Nyote mnakaribishwa

    Tangazo

    MUUGUZI NA OPTOMETRIST

    WANAHITAJIKA.

    Muuguzi na Optometrist wanahitajika harakakuanza kazi katika klinik yetu mpya ya Machoiliyopo Msasani Dar es Salaam. Barua zamaombi ya kazi na CV za waombaji zitumwekupitia. [email protected] . Maombi yawaliokubaliwa tu ndio zitakazojibiwa. Tafadhalwasiliana nasi, 0757289520, 0713747420 kwamaelezo zaidi.

    Tangazo la Kazi

  • 7/30/2019 ANNUUR 1068

    11/12

    11AN-NUU

    JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 201Makala

    Vita dhidi ya Uislamu yapamba motoInatoka Uk. 9

    shambulio la kigaidi naikapigwa tarumbeta sanakuwa wahusika ni Al Qaida,Al Shabab au Boko Haram;

    basi rejea kwanza utafakariyale yaliyofanyika katikaOperation Northwoos auOperation Susannah, maarufuLavon Affairs.

    Ni kutokana na rekodi naukweli huo tunasema kuwaisingekuwa busara kwetusisi kuparamia tu misamiati

    na agenda za watu wengine.Tunajidhalilisha.

    Lakini pia tunatakiwa kuwana uzalendo japo kidogo tu.Hakuna mahali ambapo watu

    wameshinikizwa wakamezapropaganda hii ya Al Qaida,Al Shabab na jinamizi laugaidi, wakawa salama.Na sababu yake rahisi sanakuielewa. Maadhali mwenyeagenda hii anachotaka nikujenga hofu ya kweli lakiniya kupanga (ya kudumu) kwamalengo yake, atakachofanya

    ni kuhakikisha kuwa kilamara kunakuwa na shambuliolinalouwa watu, kujeruhi nakuharibu mali.

    Hivyo ndivyo i l ivyoIraq, Afghanistan, Yemen,

    Somalia, Kenya, Pakistan na

    hata Marekani kwenyewe.

    Boston Marathon Bombing

    hazitaisha.

    J e , h a y o n d i y o

    tunayoyataka katika nchi

    y e t u ? T u n a c h o t a k i w a

    kufahamu ni kuwa kuingia

    katika mtego huo inawezakuwa rahisi sana. Ni kiasi tucha kutokea mashambulizimawili matatu ukasema ni ya

    kigaidi, ukapata Masheikhna vijana wa Kiislamu wakuwasingizia, vyombo vyahabari navyo vikafanyakazi yake ya propagandachafu, basi umemaliza.

    Lakini tu jue kuwaukishafanikiwa katikahatua hizo na bwanamkubwa akaridhika kuwamnastahiki kuzawadiwaDrones; mmeshaingiakatika janga la kudumu.Na hakuna atakayekuwa

    salama.Katika mamia na maelfu

    ya watu waliokwishakuul iwa Pakistan na

    Yemen, wenye tuhuma zugaidi hawafiki asilim10. Wengi ni wanawakwatoto na raia wenginwasio na hatia.

    Msikiti au nyumba ySheikh (asiye na hatiikichaguliwa kama shabahbomu ku toka dronlitauwa na kuangamizmajirani na wapita njhata kama itakuwa familya Kamishna wa Polisi aAskofu!!!

    Na hao ndio wenyeww e n y e a g e n d a y aw a n a s e m a k u w a nCollateral Damage

    part of the pack was foundin the street. Shape chargesinside the pack would havedone that if it was placed onthe street side of the fence.This is a close-up view of thebags side by side. Remember,the dark bag owned byDzhokhars older brother hasalready been accounted for inthe official story. So the onlybag left is the light grey onecarried by him.

    As you can see, these twothings are not the same. Noteven close.

    The remains of the bagwas apparently photographednear its original position on

    the street, laying closer to thelarge white line you can seeabove. It is a dark coloredbag like many others seen byunofficial investigators on theweb being carried by variouspeople (some of whom arethere on a official basis)

    Here is an official imagewhich puts the bombs piecesright there on the grate asshown in the image of the bagin front of the fence but notwhere they claim Dzhokhardropped his bag.

    Again, th is is their evidence.

    Lastly, this grisly photo of

    the blast scene.Bodies blown back,fence blown back toward thesidewalk and the restaurant.

    S o a s y o u c a n s e e ,the official story clearsDzhokhar.

    But lets continue.Remember that I told you

    the official story was theyhad a video of these brothersstanding around watching thecarnage before slowly andcalmly walking away andthat they have not producedthat visual evidence as of yetand seem to be walking thatstory back?

    Inatoka Uk. 9 Check this out:This kid was clearly not

    standing around watching theexplosions. He was runningaway like everyone else. Butlook closer:

    His right arm is down,straight down, while his leftarm is bent and his left shoulderis raised as he is running. Heis carrying something he isCARRYING HIS BAG.

    The bomb has gone off andhe is fleeing like everyoneelse and apparently he iscarrying his bag.

    But look closerIs that Tamerlan trying

    to catch up with his brotherafter the explosions? The

    hat matches, the pants andshoes match. The jacketmatches. Is that is Tamerlanrunning from the scene andnot walking away like theofficials claimed they had avideo of him doing?

    T h i s i m a g e i s l e s sconvincing that the othersin the sequence but I willput it here for the sake ofdiscussion. It is part ofsomeone elses photo essayon the subject which I highlyrecommend taking the time tohave a look.

    UPDATE: Turns out there

    is a higher resolution versionof this photo and that guyis not Tamerlan. A readerpointed that out. Thanks

    -Heres my point:The official story itself does

    not prove these brothers set offthose bombs. You dont needthe conspiracy theorists totell you that. All you have todo is look at the evidence theythemselves provide. Considerall the dishonesty they havedisplayed thus far and theirown evidence.

    Boston Bombing: The Official Story ProvesDzhokhar Is Innocent a Photo Essay

  • 7/30/2019 ANNUUR 1068

    12/12

    AN-NUUR12 JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 2013

    Usikose nakala yako ya

    AN-NUUR kila

    Ijumaa

    WAISLAMU Jijini Dar esSalaam wamesema kwambas i l a h a k u b w a y a m t ualiyedhulumiwa hapa duniani,ni kumuelekea Mungu wakekwa dua.

    Hayo yameelezwa na NaibuKatibu Elimu na Habari waJumuiya ya Uamsho Zanzibar,Sheikh Said Amour, wakatiakiongea na waandishi wahabari nje ya Msiki t i waMtambani, Kinondoni JijiniDar es Salaam, wakati akitoa

    ufafanuzi kwa waandishihao, waliotaka kujua msingiwa dua iliyokuwa ikisomwaMsikitini hapo majira ya saanane mchana siku ya Jumatanona kuwakutanisha mamia yaWaislamu.

    Alisema dua hiyo ni maalumkatika mfululizo wa ibada zaItikaf, kama ilivyoazimiwa naWaislamu chini ya Jumuiya naTaasisi za Kiislamu, ambazozinaendelea katika Misikitimbalimbali nchini, Waislamuwakimshitakia Allah (s.w).

    Mwenyezi Mungu anasemakuwa si laha ya muumini(Muislamu) aliyedhulumiwa nidua, na ndicho wanachokifanyaWaislamu hivi sasa kwak u m s h i t a k i a M w e n y e z iMungu kufuatia madhila yotewanayofanyiwa. Alisema

    Sheikh huyo.Aliongeza kuwa vitendo

    vya dhulma na unyanyasajiwanavyofanyiwa WaislamuTanzania bara na Zanzibarvimekithiri kiasi cha kuwafanyamuda wote wawe katika hofu yakukamatwa.

    Alisema kwa jinsi hali ilivyosasa huko Visiwani, linapotokeatatizo lolote katika jamii, watuhunyooshewa kidole kuwa niUamsho.

    Naye Katibu wa Msikiti waMtambani Sheikh AbdallahMohammed Ally, alisemaJumuiya na Taasisi za Kiislamukwa kushirikiana na Shura yaMaimam, wataendelea na zoezila dua kumuomba MwenyeziMungu.

    Sheikh Abdallah alisema

    Waislamu wameamua kuendeleana utaratibu huu, baada yakuona dhulma dhidi yao inazidikuongezeka siku baada yasiku, kama ilivyo sasa ambapotayari Waislamu wamefungwa,Masheikh wamekamatwa nawengine kunyimwa dhamanakinyume cha sheria.

    A l i f a f a n u a k w a m b aWaislamu wameshatumia njianyingi za kufikisha madai yaoSerikalini, lakini hakuna majibuwala wa kuwasikiliza kwa dhatina kuyatafutia u