ANNUUR 1062

download ANNUUR 1062

of 16

Transcript of ANNUUR 1062

  • 7/29/2019 ANNUUR 1062

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1062 JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA MACHI 15-21, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Njama za kulitumbukiza Taifakatika machafuko zafichuliwa

    Vyombo vya habari, Serikali yahusishwa

    Waislamu watoa tamko zito, watoa onyo

    Waeleza Serikali inavyokoleza fitna, chuki

    Ukweli wadhihirijuu ya muungano

    Maoni ya Baraza yafunga mjadala

    Si suala la Mzee Moyo wala Uamsho

    Ni la wananchi na Wawakilishi wao

    KATIBU mkuu wa Chama chaWananchi CUF Mh. MaalimSeif Sharif Hamad amemtakaWaziri wa Mambo ya Ndani yaNchi Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Nchimbi ajiuzulu- Maalim Seif

    Na Mwandishi Wetu kujiuzulu katika wadhifwake kutokana na kushindwkusimamia Wizara yake katikutekelezaji wa majukumyake.

    Akizungumza katika mkutan

    Inaendelea Uk.

    WAZIRI Mkuu, MizengoPinda.

    WAZIRI mstaafu,Frederick Sumaye.

    MKUU wa Jeshi la Polisinchini , Said Mwema

    WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt.Emmanuel Nchimbi

    Mtume(saw) amesema, Mahujajiwanarudishiwa kila walichokitumia

    katika Hijja, shilingi moja kwa milionimoja. Hivyo twende wengi,

    na mara nyingi kuhiji. Kadhalika

    tutumie mali zetu KUISIMAMISHANGUZO YA HIJJA. Jiunge na Ahlu

    Sunna wal Jamaa. Gharama zoteni Dola 4,300. Tafadhaliwasiliana

    nasi ifuatavyo: Tanzania Bara:

    0717224437; 0777462022;Unguja:0777458075;Pemba: 0776357117.

    (5) TAJIRIKA KWA KUHIJJI!

    Mahakama kupitia pingamizi

    dhamana ya Imam Hamza Uk. 6

  • 7/29/2019 ANNUUR 1062

    2/16

    2AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA MACHI 15 - 21, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri/Habari/Tangazo

    KAULI aliyotoa Makamuwa K wa n z a wa Ra i swa Zanzibar, MaalimSeif Sharif Hamad hivikaribuni akitahadharishakuwa huenda kuna watuwenye nia mbaya ambaowameamua kuyatumiamatukio ya kuuawa na

    kujeruhiwa viongozi wakidini, kujenga chuki siya kupita bila kutiliwamkazo.

    K a t i k a k a u l i h i y oalipokuwa akihutubia katikahafla ya Maulid ya Kuzaliwakwa Mtume Muhammad(S.A.W), huko Mjini Kiuyu,Wilaya ya Wete, KaskaziniPemba, Maalim Seif alisemakuwa inasikitisha kuonawapo baadhi ya viongoziwenye nia chafu dhidi yaZanzibar wenye tabia yakutoa kauli za kujenga chukina fitna miongoni mwaWazanzibari.

    Ni jambo la kusikitisha

    kuna watu wenye nia chafudhidi ya Zanzibar, ambaowameamua kuya tumiamatukio haya kujenga chukimiongoni mwa Wazanzibariwenyewe kwa wenyewe,alionya Maalim Seif.

    Makamu wa Kwanza waRais alisema kinachoonekanakuna ajenda imetayarishwaya kutaka kulazimisha chukiza kidini Zanzibar, licha yakuwa Zanzibar ina historia yadahari ya watu kuvumilianana kuishi kwa pamoja,

    pamoja na kuwepo watu waimani tafauti.

    Akawataka wananchiwote wa Zanzibar hivi sasawawe macho na ajenda

    zinazolengwa kuwavurugana waendelee kuishi kwamshikamano na umojakama ambavyo wamekuwawakiishi.

    M a a l i m S e i f k a t i k anasaha zake alisema kuwawapo watu wanaolazimishakuwepo ugaidi Zanzibar iliwapate sababu ya kuwadhuruWazanzibari (Waislamu).

    Alisema inasikit ishakuona baadhi ya viongozi namagazeti ya Tanzania Barayanachochea chuki za kidinina kusema kuwa Zanzibarkuna Ugaidi. Na kwamba halihiyo inaonesha kuwa kuna

    Wanaopandikiza ugaidiTanzania ndio magaidi

    Kauli ya Maalim Seif izingatiweajenda imetayarishwa kutakakulazimisha chuki za kidiniZanzibar, kwa sababu hukoTanzania Bara kumetokeamatukio mabaya zaidi, lakinihayajahusishwa na ugaidi.

    Alitoa mfano matukio yakuuawa kwa Kamanda waPolisi Mkoa, na kuchinjwa

    kwa Padri huko Geita, kuwani mabaya kabisa, lakinihakuna hata chombo chahabari kimoja kilichohusishamatukio hayo na Ugaidi.

    Nasema Zanzibar hakunaUgaidi, hakuna ugomviwa kidini. Yanayotokeayametusikitisha sana, nimatokeo ya uhalifu wakupindukia, linalowezak u f a n y w a l i f a n y w ekuwanasa wahalifu hawa,na kuwafikisha mbele yavyombo vya sharia, alisemaMakamu wa Kwanza waRais.

    Aliwataka wananchi wotewa Zanzibar kwa wakatihuu kuwa watulivu nawasitawaliwe na jazba nawala wasichokozane, piawasikubali kuchokozeka.

    Sisi tungependa kutiliamkazo kwa kusema kuwakwa hakika wanaopaliliaagenda ya ugaidi ndio magaidikwa sababu wanachofanyani kujenga mazingira yakuteswa na kuuliwa watuwasio na hatia.

    Uzoe fu unaonyeshakuwa mahali popote dunianiambapo wachafuzi, mafatanina wasaliti walifanikiwakupandikiza kitisho chaugaidi, basi kilichofuatiani mateso na mauwaji kwawananchi wasio na hatia.

    Ni kutokana na uzoefuhuo kama unavyodhihiri

    katika nchi za Afghanistan,Pakistan, Yemen, Kenya,Somali na huko Amerikaya Kusini katika miaka yanyuma, tunadhani kuwaitakuwa jambo la busarakusisitiza nasaha hizi zaMaalim Seif na kuwatakaWatanzania wote kuwazomeana kuwakomesha wale wotewanaotaka kupandikizachuki za kidini na kitisho chaugaidi miongoni mwetu.

    Tukifanya hivyo itakuwasalama kwetu sote, lakinitukiwafumbia macho nakuwachekea, tujue itakuwamsiba kwetu sote pia.

    Ukweli wadhihiri juu ya muungano

    UKWELI sasa upo wazi.Hoja ya Zanzibar kamanchi na Dola kamili, sisuala la watu wachache,

    bal i la wananchi naWawakilishi wao katikaBunge.

    H i l o l i n a d a i w akufahamika baada yakufichuka kuwa maoniya Baraza la WawakilishiZanzibar juu ya KatibaMpya yanafanana na yaleyaliyowahi kutolewa naMzee Hassan Nassor Moyo,Mansour, Masheikh waUamsho na Wazanzibariwalio wengi.

    Inaelezwa kuwa pamojana mambo mengine, katikamaoni yao Wawakilishiwamesis i t iza hoja ya

    kuwepo kwa Jamhuri yaMuungano wa Tanzaniainayotokana na Jamhuri yaTanganyika na Jamhuri yaWatu wa Zanzibar.

    Ikafafanuliwa katikanuk ta h iyo kuwa n ilazima Katiba Mpya ijayoihakikishe kuwepo namaeneo maalum ya mamlakaambayo Zanzibar ina uwezonayo kama nchi (Mamlakaya Dola ya Zanzibar).

    Haba r i za uhak ikazinafahamisha kuwa maoniyaliyowahi kutolewa na

    baadhi ya Wawakilishi kamaMheshimiwa Jussa juu yamuundo wa muungano nahadhi ya Zanzibar katikamuungano huo, yanajitokezakatika maoni ya pamoja yaWawakilishi katika Barazayaliyowasilishwa na SpikaPandu Ameir Kificho kwaidhini ya Kamati ya Uongozina Shughuli za Baraza yaBaraza la Wawakilishi laZanzibar.

    H a b a r i h i z oz i n a f a h a m i s h ak u w a W a w a k i l i s h iwanapendekeza kuwepo naMamlaka ya Zanzibar huruna Mamlaka ya Tanganyikahuru ndani ya Jamhuri yaMuungano.

    K a t i k a h a l i h i y o ,kinachosisitizwa ni kuwaMamlaka ya Muunganoy a w e k w e w a z i n akwamba kuwe na usawawa Ushirikishwaji katikaMamlaka ya Muungano

    baina ya Tanganyika naZanzibar.

    K w a m u j i b u w achanzo chetu cha habarikatika Baraza na katikaTume ya Jaji Warioba,inapendekezwa kuwa ilehali ya sasa ambapo jambolinaweza kuingizwa katikamuungano bila kupata

    Na Mwandishi Wetu ridhaa ya Zanzibar ipigwemarufuku.

    Na zaidi ni kuwa maadhalizilizoungana ni nchi mbilihuru, kila moja ikibakina dola yake kamili, basihata katika utoaji wa Raiswa muungano na makamowake liwe ni jambo lakupokezana.

    Sambamba na h i lo ,kinachosisitizwa ni kuwautungaji wa sera na sheria zamuungano, lisiwe ni jambola kufanyika Dodoma katikamamlaka za muungano,

    bali Dola mbili zihusike nakuridhia.

    Pamoja na maoni hayok a m a y a n a v y o d a i w akuwasilishwa kwa Tume,inashauriwa pia kuwakila nchi iwe na rasilimalizake na kwamba zile za

    muungano zitambuliwe nahizo ndio zitumike katikauendeshaji wa mamlaka zamuungano.

    Na kama kutakuwana kugawana mapatokutokana na rasilimalihizo, basi ugawaji ufanyikekwa uwiano maa lumutakaokuba l iwa kwa

    pamoja na pande mbili zaMuungano.

    Duru za kisiasa nchinizinafahamisha kuwa kamaTume ya Jaji Wariobaitafanya kazi yake kwauadilifu na kujali maoni

    ya wananchi na vyombo

    vyao vya uwakil ishhakuna namna ya kukwepkufanya mabad i l i kmakubwa katika mfumwa muungano.

    Na kw am ba ha ku n

    n a m n a n y i n g i n e ykufanya mabadiliko hayyawakilishe matakwa ywananchi (Wazanzibarna hivyo kukubalika nkupata uhalali wa kisiasila kwa kufikia hatma ykurejesha nchi na Dombili kama zilivyokuwkabla ya 1964 na ndiwatu wajadili mfumo wmuungano.

    Kwa kwe l i kammwisho wa yote muundh u u w a m u u n g a nhautabadilika na kulempya ambapo kila nch

    (Tanganyika na Zanzibazitakuwa Dola mbili zenyhaki sawa katika muunganhuo mpya, kile kinachoitwk e r o z a m u u n g a nkitaendelea kuwepo nmwishowe itakuwa zoglisilo na sababu. Borkufanya marekebishkwa njia za kiungwanna demokrasia kulikkusubiri kusambaratikkama ilivyotokea katik

    baadhi ya nchi la UlayMasharik i . Al isemmchambuzi mmoja wsiasa za Zanzibar akitomaoni yake.

    Uongozi wa Masjid Tungi,Temeke jijini Dar es Salaamunawaarifu Waislamu wotekuwa, kutakuwa na Ibadamaalum ya Itqaf msikitini

    hapo.

    Siku: Jumamosi ijayo tarehe23/03/2013 msikitini hapobaada ya swala ya Isha.

    WOTE MNAKARIBISHWA

    WABILLAH TAWFIIQ

    Itqaf Masjid Tungi

  • 7/29/2019 ANNUUR 1062

    3/16

    3AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA MACHI 15 - 21, 201Habari

    Njama za kulitumbukiza Taifa katika machafuko zafichuliwa

    JUMUIYA na Taasisi zaKiislamu nchini, zimetoat a m k o k u e l e z e a n akutoa tahadhari juu ya

    kampeni zinazoendeleaza kulitumbukiza Taifakatika machafuko yakidini.

    Kat ika t amko h i l oambalo limewasilishwarasmi kwa Waziri Mkuu,Serikali ya Jamhuri yaTanzania imetuhumiwakuhusika kuchochea chukina kupandikiza farkana fitna miongoni mwaWaislamu na Wakristo

    jambo lililoelezwa kuwani la hatari.

    Jambo la hatari sanaambalo sasa linatudhuru,

    ni kampeni za serikali zakuwasingizia Waislamum a m b o m a z i t o y akuhatarisha amani nautulivu nchini ili kuhalalishadhana kuwa Waislamu niwatu hatari.

    I m e s e m a s e h e m uya tamko hilo na kutoamfano wa uzushi uliowahikutangazwa na aliyekuwaWaziri Mkuu MheshimiwaFrederick Sumaye.

    Ikaelezwa kuwa katikauzushi huo Sumaye alidaikuwa kuna magaidi waKi is lamu wal iokuwawamefuzu mafunzo njeya nchi na walikuwawamerejea nchin i nakwamba shabaha yao yakwanza ilikuwa kulipuahospitali ya Muhimbili.

    Na kweli baada ya kaulihiyo ya Sumaye, Waislamuwatatu wafanyakazi waMuhimbi l i ak iwemoProfesa Jahazi, bingwa waBio-Chemistry, wakatiwambaroni kwa tuhumzaza kupanga kui l ipuahospitali.

    T a m k o h i l o l a

    Waislamu linasema kuwajapo watuhum iwa wotewaliachiwa baada ya sikuchache, lakini tayari sumu ya

    propaganda chafu ilikuwaimekwishapenyezwa.

    Kwa Waziri Mkuukutangaza uzushi kamahuo, ni dhahiri kuwa lengolilikuwa ni kuwafanyaw a n a n c h i w e n g i n ewawachukie Waislamukwa kukusudia kufanyauovu wa kulipua hospitali.(Na) la kuzingatia hapa nikwamba baada ya kauli

    Na Mwandishi Wetu

    W A K O L O N I w aK i j e r u m a n i n a w aKiingereza waliaminikuwa Waislamu ni watuhatari sana, kidini nakisiasa. Hivyo waliwekamikakati kadhaa yakuwadhibiti. Imani hiyoya wakoloni ilitokanana msimamo madhubutiwa Waislamu wa kuwatayari kwa udi na ambarikupambana na wakolonihao ili nchi yetu iwehuru.

    Vema, mmetuhukumutunyongwe nasi tumekubali.Tumekubali kwa sababu nisisi wenyewe tulioendeamaji ya dawa Ngarambekwa h i a r i ye tu ; kwasababu hatukuona hakiya kutawaliwa na nyinyiwahuni. Na kwa sasakwa kuwa mmenipata,

    basi ninyongeni harakakusudi jina langu libakilikikumbukwa kwamban i l i k u w a m m o j a

    niliyepigania nchi yangu(Selemani Mamba, MajiMaji hero).

    Kauli ya shujaa SuleimanMamba aliyowaambiawakoloni wa kijerumaniwakati wa kunyongwakwake tuliyoinukuu hapo

    juu inaonesha msimamohuo ambao ni wa hatarikwa maslahi ya wakoloni.Ili kulinda maslahi yao,wakoloni wakaona njiarahisi ni kutugawa iliwatutawale. Kwa kuwaw a l i o s i m a m a k i d e t e

    Kiini cha Tatizokupambana nao kisiasawalikuwa ni Waislamu,wakatumia dini kutugawa.Kwa bahati mbaya, dhanahii kuwa Waislamu niwatu hatari sana kidini nakisiasa imekumbatiwa naawamu zote za serikali yaTanzania, bila kuzingatiakilichowafanya wakoloniwawachukie Waislamu.

    Na serikali za awamu zote

    zimekuwa zikihakikishakuwa zinaweka mikakatiya kuwadhibiti raia hawaambao n i ha tar i kwausalama wa nchi. Itoshetu kwa sasa kusema kuwakatika nchi yetu Wakristowa madhehebu mbalimbali,Walutheri, Waanglikana,Wakatoliki, Wasabato, nawengineo wanayo haki nauhuru wa kuratibu mamboyao na kuchagua viongoziwao bila ya kuingiliwa nadola. Lakini kwa Waislamus i v y o . V y o m b o v y aUsalama lazima vihusike

    katika kuamua nani awekiongozi mkuu wa watuhawa hatari! Kwa hiyoserikali imetugawa nainaendelea kutugawa bainaya raia wapenda heri na raiawapenda shari. Tunajuakuwa wapo v iongozikadhaa ambao ni Wakristowaliowahi kuishauri serikali(wakati wa uongozi waMheshimiwa Mkapa) kuwasasa Waislamu nao waachwehuru kuchagua viongoziwao kama raia wengine.Tunawashukuru kwa moyo

    wao huo wa kizalendo, japoserikali bado inaamini njianzuri ya kuimarisha umojawetu ni kuwadhibiti nakuwadhoofisha Waislamu.

    Na kwa baha ti mb ay a,dhana hiyo pia imekuwaikiungwa mkono na baadhiya viongozi wa makanisa.

    Jambo la hatari sanaambalo sasa linatudhuru,ni kampeni za serikali za

    kuwasingizia Waislamum a m b o m a z i t o y akuhatarisha amani nautulivu nchini ili kuhalalishadhana kuwa Waislamu niwatu hatari. Tunataja hapamifano michache tu kwaniorodha ya uzushi ni ndefu.

    Januari 2001, WaziriMkuu wa wakati huo,Mheshimiwa FrederickSumaye aliita waandishi wahabari kuwataarifu kuwaserikali inazo taarifa kuwamagaidi waliopata mafunzonje ya nchi wamerejea nchinina kwamba wamepanga

    kuil ipua Hospital i yaTaifa ya Muhimbili, nakwamba vyombo vyadola vitawatia nguvuni.

    Na kweli mara baada yakauli hiyo Waislamu watatuwafanyakazi wa Muhimbiliakiwemo Profesa Jahazi,

    bingwa wa Bio-Chemistry,wakatiwa mbaroni kwatuhuma za kupanga kuilipuahospitali. Wote waliachiwa

    baada ya siku chache, lakinitayari sumu ya propagandah i y o c h a f u i l i k u w aimekwishapenyezwa. Kwa

    kama hiyo kutolewa naWaziri Mkuu hadharani,lau angetokea jasusi yeyoteakailipua hospitali hiyona kuuwa raia wengiwasio na hatia, hivi nani

    ambaye asingeamini kuwauovu huo umefanywa naWaislamu?

    Linasema na kuhojitamko la Waislamu kwambakwa nini serikali ipandikizechuki ya aina hiyo kwa raiawake? Na inafanya hivyokwa masilahi ya nani?

    Mfano wa pili unaotolewakuonyesha jinsi serikaliinavyopandikiza chukina kupal i l ia f i tna nauhasama kati ya Waislamuna Wakris to , n i pa leilipodai kuwa Waislamu

    wakitumiwa na watu wanje walikuwa wamepangakulipua makanisa siku yaJumapili tarehe 2 Septemba2001.

    Hiyo ilikuwa ni baada ya

    maandamano ya Waislamuya tarehe 24 Agosti 2001Wai s l amu wak ip ingakufungwa Hamisi Dibagulakwa kusema kuwa Yesu siMungu.

    T a m k o l i n a s e m akuwa baada ya kaul ihiyo ya serikali kuwaWaislamu wana mpangowa kulipua makanisa,askari wali tawanywamakanisani kuwalindaWakristo dhidi ya Waislamuwanaotaka kuwadhuru kwamabomu.

    Je, baada ya kaulih izo , ak i tokea jasusiyeyote akatega bomu nakuuwa watu kanisani, ninani atakayeshutumiwakwa mauwaji hayo kama

    si Waislamu? Tamkolinahoji.Pamoja na shutuma hizo

    kwa serikali, vinashutumiwapia baadhi ya vyombo vyahabari ambavyo vimekuwavikizua urongo dhidi yaWaislamu na hakuna hatuazozote zinazochukuliwa.

    Umetajwa mfano wayale madai kuwa Waislamuwalikuwa wameandaa jeshina silaha za kuulia Wakristona kwamba alipokuwa Rais,Alhaj Ally Hassan Mwinyia l ikuwa amewagawia

    Waislamu majambia ykuwachinjia Wakristo wonchini.

    Ukiacha matukio hayya miaka ya nyuma, tamklinagusia pia jinsi matuki

    ya hivi karibuni ya sakala kuchinja Wakristo na lila kuuliwa Padri Zanzibayanavyovishwa gamba ugaidi na watuhumiwwakiwa ni Waislamu.

    Na katika jitihada hizza kuwachafua Waislamuinatajwa kuwa ndio sababse r ika l i imek imb i l ikuwaita FBI bila kujakuwa kufanya hivyo nkujidhalilisha.

    Tamko linasema kuwmabeberu wenye kiu nrasilimali zetu, wanatummwanya huo kujipenyez

    kikachero na kijeshi huksisi tukidhani na kufurahkuwa tunashirikiana na taikubwa kumbe tumejitwenyewe k i tanzi chukibaraka.

    Hakuwezi kuwa nushirikiano wa kweli bainya nchi yenye nguvu na nchdhaifu. Katika ushirikianwa nchi kama hizo ukweni kwamba nchi dhaifinakuwa ni kibaraka tu wnchi yenye nguvu.

    Tamko la Waislamlilisema hayo likinukusehemu ya hotuba mashuhu

    sana ya kuwaaga wananchwa Marekani iliyotolewa nRais George Washington 1Septemba, 1796.

    Tamko l i kas i s i t i zkuwa kwa waliosomna kulielewa Azimio Arusha, yote aliyosemGeorge Wash ing tona l i y a s e m a M w a l i m

    Nyerere katika jitihada zakza kulinusuru taifa letu(Lakini) leo kwa paparyetu ya kujipendekezkwa Wamarekani imefikhadi kuwakaribisha ndanya kambi zetu za jesh

    kana kwamba na wao nWatanzani wenzetu!

    Ni kutokana na ukwehuo alioeleza aliyekuwR a i s w a M a r e k a nGeorge Wash ing tont a m k o l i m e o n y e s h

    jinsi hao washi rika wetwanavyotumia udhaifwetu mpaka kukamatvijana wetu na kuwapachikugaidi huku serikali yetikishindwa kuwatetea.

    Baada ya serikali yet

    Inaendelea Uk.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1062

    4/16

    4AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA MACHI 15 - 21, 20Habari

    Njama za kulitumbukiza Taifa katika machafuko zafichuliwaInatoka Uk. 3

    kufungua mlango wakuwasingizia Waislamumambo yanayohatarishaamani na usalama wa nchi,Wamarekani wameutumia

    u d h a i f u w e t u h u okutuparaganya zaidi nakwa kasi kubwa.

    Hapa ukatajwa mfanowa kukamatwa Ghailaniakidaiwa kuwa ndiyealiyelipua ubalozi waMarekani mwaka 1998 naserikali yetu ikashindwakumtetea.

    Prof. Haroub Othman,( M w e n y e z i M u n g uamrehemu) alifanya kilaaliloweza kumtetea mtotohuyu lakini hakufanikiwa.Allah atamlipa kwa jitihadazake na amjaaliye kijana

    huyu aliyetolewa kafarasubra na hatma njema.Lakini kuthibitisha kauli

    ya Washington kuwa sisitunakuwa vibaraka tukatika ushirika wetu namataifa makubwa, tamkola Waislamu linasemakuwa wakati viongozi wetuwalishindwa kutoa kauli yakumtetea Ahmed KhalifanGhailani, viongozi waUingereza waliwaombeaaskari wao wawili, BrettRichard na Nigel Davidambao Novemba 10, 2004walimbaka kwa zamumsichana wa KitanzaniaK o n j e s t a M w i k a y ekatika fukwe za Hoteliya Silversand na kishakumwua.

    Hatukuweza kuwafikishamahakamani wabakaji haowaliombaka Mtanzania nakumuuwa!

    Katika kumalizia tamkolao, Jumuiya na Taasisiza Ki is lamu z imetoaujumbe unaosema kuwakama walivyopiganiauhuru kuondoa ubaguzi naukandamizaji wa kikoloni,watasimama kidete kupinga

    mpango huu wa makusudiwa kuwagawa Watanzaniana kuleta machafuko yakidini kwa manufaa yamabeberu.

    Hatukupigania uhuruili kukitokea tatizo lolotemiongoni mwetu tuwaombewatu wa nchi nyingine kujakulitatua! Waislamu tunajuakuwa kila anayepinganana mabeberu anakuwagaidina kwa uzoefuwetu wa miaka hamsiniwa namna serikali yetuinavyowatizama Waislamu,

    Kiini cha TatizoInatoka Uk. 3

    Waziri Mkuu kutangazauzushi huo, ni dhahirikuwa lengo lilikuwa nikuwafanya wananchiwengine wawachukieWaislamu kwa kukusudiakufanya uovu wa kulipua

    hosp i t a l i . Lak in i l akuzingatia hapa ni kwambabaada ya kauli kama hiyokutolewa na Waziri Mkuuhadharani, lau angetokea

    jasusi yeyote akai lipuahospitali hiyo na kuuwa raiawengi wasio na hatia, hivinani ambaye asingeaminikuwa uovu huo umefanywana Waislamu? Na kwaniniserikali ipandikize chuki yaaina hiyo kwa raia wake?

    Ni kwa masilahi ya nani?Tarehe 24 Agosti 2001,

    Waislamu waliandamanaDar es Salaam kupingakufungwa kwa Dibagula

    kwa sababu ya kusemaYesu si Mungu. Serikaliilitoa kauli mbili kuhusianana maandamano hayo. Yakwanza ni kwamba watuwote walioandamana nimamluki waliopewa pesa(kiasi cha shilingi elfumoja hadi elfu mbili namia tano) kutoka nje yanchi ili waandamane. Kaulihii ililenga kuwafanyaWaislamu waonekane kuwani vibaraka wa mabwanawa nje. Na kauli ya piliilisema kuwa Waislamuwalikuwa wamepangakuyalipua makanisa sikuya Jumapili ya tarehe 2Septemba 2001. Na kwambaserikali imeweka utaratibuwa kuyalinda. Na kwelimaaskari wakatawanywamakanisani kuwalindaWakristo dhidi ya Waislamuwanaotaka kuwadhuru kwamabomu! Je, baada yakauli hizo akitokea jasusiyeyote akatega bomu nakuuwa watu kanisani, ninani atakayeshutumiwakwa mauaji hayo kama siWaislamu?

    Kazi hiyo ya kuchocheachuki dhidi ya Waislamuimekuwa pia ikifanywa

    na baadhi ya vyombo vyahabari bila ya kuchukuliwahatua yoyote. Kwa mfano

    jarida maarufu la FamilyMirror toleo la pili laMei 1993, lilitangaza kwa

    maandishi ya kukoza kuwavijana 500 wa Kiislamuwamejiandikisha katikaJeshi la Kiislamu i l ikuwauwa Wakristo, nakwamba serikali imekamata

    bandarini makontena yasilaha za Jeshi la Waislamu.Waziri wa Mambo ya Ndaniwa wakati huo alikiri kuwaalikuwa nazo taarifa hizo.Katika toleo lililotanguliailidaiwa kuwa Waislamuwalikuwa wamepangakuuchoma moto ubalozi waVatican nchini na kumwuaAskofu Mkuu wa JimboKuu la Katoliki la Dar

    es Salaam, MuadhamaKadinali Polycarp Pengo.Jarida jingine la TanzaniaAnalysis la 22 Julai, 1995lilidai kuwa Rais Mwinyiamewagawia Waislamumajambia ya kuwachinjiaWakristo wote nchini, kwasababu Waislamu hawatakiMkristo awe Rais.

    Baada ya serikali yetukufungua mlango wakuwasingizia Waislamumambo yanayohatarishaamani na usalama wa nchi,Wamarekani wameutumiau d h a i f u w e t u h u okutuparaganya zaidi nakwa kiasi kikubwa kwa

    kushirikiana na serikaliyetu wenyewe. Serikali yaMarekani nayo ikautumiamwanya huo kudau kuwamtoto Ghailani kuwa ndiyealiyeulipua Ubalozi waMarekani mwaka 1998 naikamkamata na kumpelekaGuantanamo kwa ridhaa yaserikali yetu. Prof. HaroubOthman, (MwenyeziM u n g u a m r e h e m u )alifanya kila alilowezakumtetea mtoto huyulakini hakufanikiwa. Allahatamlipa kwa jitihada zakena amjaalie kijana huyu

    aliyetolewa kafara subira nahatima njema. Hatujui kamaviongozi wetu wamewahikuwaomba viongozi waMarekani kumwachiak i j a n a h u y o , k a m a

    walivyoomba Waingerezana kufanikiwa kuwanusururaia wao. Lakini tunajuak u w a v i o n g o z i w aUingereza waliwaombeaaskari wao wawili, BrettRichard na Nigel Davidambao 10 Novemba 2004walimbaka kwa zamu bintiwa Kitanzania KonjestaMwikaye katika fukwe zaHoteli ya Silversands nakisha kumwua.

    Waislamu tulipiganiauhuru wa nchi yetu ilisisi wananchi wa nchi hiituwe na haki na uhuru wa

    kujiamulia mambo yetu sisiwenyewe. Hatukupiganiauhuru ili tuwe vibaraka wawatu wengine. Tulipiganiauhuru kwa kushirikianana Watanzania wenzetuwa makabila na dinimbalimbali ili tuishi kwaamani na udugu kama raiahuru na sawa katika nchiyetu. Hatukupigania uhuruili baada ya uhuru utaratibuule ule wa kuwagawaraia kwa misingi ya diniau ukabila uendelee.Kama tu l ivyosimamakidete kuupinga ubaguzimiongoni mwetu wakatiwa kupigania uhuru natukafanikiwa, tutaendeleakuupinga mpango huu wamakusudi wa kutugawaili kuwe na machafukonchini kwa manufaa yawakoloni mamboleo, naInsha-Allah tutafaulu.Waislamu tulipiganiauhuru kwa kujua kuwamaana ya kujitawala ni

    pamoja na kuwa na uwezowa kuyakabili na kuyatatuamatatizo yetu sisi wenyewe.Hatukupigania uhuru ilikukitokea tatizo lolotemiongoni mwetu tuwaombe

    tunataraji kuwa mwakahuu utakuwa wa matesomakubwa kwa Waislamuna hasa kwa viongozi wetukwa kubambikiziwa kesizisizokuwa na kichwa walamiguu, kudhalilishwa na

    kunyimwa dhamana kamafimbo ya kuwaadhibu.Ha ta h ivyo t amko

    likawataka Waislamuwasivunjike moyo walakukata tamaa na kurejeanyuma bali washikamanena msimamo wa Mzee wao

    Shujaa Selemani Mamba.S e l eman i Mamba

    a m b a y e a l i k a t a akutawaliwa na wakoloniwahun i akapambananao na al ipokamatwana kufikishwa katika

    kitanzi cha kunyongewahakuomba msamaha balikwa uzalendo na ushujaamkubwa alisema manenoyafuatayo:

    Vema mmetuhukumutunyongwe nasi tumekubali.

    Tumekubali kwa sababu nisisi wenyewe tulioendeamaji ya dawa Ngarambekwa hiar i ye tu ; kwasababu hatukuona hakiya kutawaliwa na nyinyiwahuni. Na kwa sasa

    kwa kuwa mmenipata,basi ninyongeni harakakusudi jina langu libakilikikumbukwa kwamban i l i k u w a m m o j aniliyepigania nchi yangu.

    N i k w a k u f u a t a

    watu wa nchi nyingine kujkulitatua! Tumesikitishwsana na mfano mbayunaooneshwa na serikayetu ya kuwakimbiliwatu wasio na uchungwowote na nchi yetu kujkutusaidia kutatua mambyetu. Na tunashangazw

    na tabia ya wananchwenzetu wanaodhani kuwmatatizo yetu makubwau madogo ya kiutawayanaweza kumal izwkwa kuyapeleka kwenyBaraza la Wawakilishwa Marekani. Haya nmatatizo yetu na ni lazimtufanye kila njia kuyatatusisi wenyewe. Waislamt u n a j u a k u w a k i lanayepingana na mabeberanakuwa gaidi na sasa nchzetu zimeanza kupewdrone za kuulia raia waoSisi tunaapa hatutakwend

    kuwalalamikia Marekani awatu wengine matatizo nmisukosuko inayotukumbkama raia. Tutafanya kitunaloweza upatikanufumbuzi unaotokanna sisi wenyewe kamraia wa nchi hii. Kwuzoefu wetu wa miakhamsini wa namna serikayetu inavyowatazamWaislamu, tunatarajikuwa mwaka huu utakuwwa mateso makubwkwa Waislamu na haskwa viongozi wetu kwkubambik i z iwa ke

    zisizokuwa na kichwa wamiguu, kudhalilishwa nkunyimwa dhamana kamfimbo ya kuwaadhibu wathatari kidini na kisiasHilo likitokea tutalazimikkutafakari hatima yet

    baada ya miaka hamsini ykuvumilia.

    (Sehemu ya Tamko Waislamu lililowasilishwkwa Waziri Mkuu kuhusKampeni Zinazoendeleza Kulitumbukiza TaifKatika Machafuko yKidini.)

    msimamo huo wa SheikSelemani Mamba, tamko Waislamu likasema kuwWaislamu wataendelekupinga mpango huu wmakusudi wa kuwagawWatanzania kwa msing

    ya kidini.N a k w a m b a k w

    kufanya hivyo watakuwwametoa mchango wakatika kudumisha amanutulivu na mshikamankatika nchi hii.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1062

    5/16

    5AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA MACHI 15 - 21, 201Habari za Kimataifa

    Iran na Pakistan zazindua mradi wa bomba la gesiTEHRANR A I S M a h m o u dAhmadinejad wa Jamhuriya Kiislamu ya Iran namwenzake wa Pakistan AsifAli Zardari, Jumatatu ya

    wiki hii wamezindua rasmiawamu ya kwanza ya ujenziwa bomba la kusafirisha gesiutakaogharimu mabilioniya dola.

    M a r a i s h a o w a w i l iwamehudhuria hafla yauzinduzi huo iliyofanyikampakani mwa nchi hizombili na kuhudhuriwa piana Waziri wa Mafuta wa IranRostam Qasemi na Waziriwa Mambo ya Nje Ali AkbarSalehi.

    Bomba hilo litasafirishagesi asilia kutoka Irankuelekea nchini Pakistan naviongozi wa nchi hizi mbili,wamesema kuwa mradi huoutaimarisha amani, usalamana maendeleo ya Iran,Pakistan pamoja na mataifamengine ya eneo hilo.

    Bomba h i lo la ges ilitakalokuwa na urefu wakilometa 1,600, litapunguzauhaba wa nishati nchiniPakistan kwa kusafirishakila siku cubic meters zagesi asilia milioni 21.5 (8.7

    bill ion cubic met ers kwamwaka) kutoka Iran hadiPakistan.

    Hata hivyo baada yakuzinduliwa rasmi awamu yakwanza ya ujenzi wa bombahilo la kusafirisha gesi kutoka

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iranhadi Pakistan, serikali yaMarekani imeingilia katimradi huo na kutoa vitisho vyakuiwekea vikwazo Pakistankwa vile imeshirikiana naIran kwenye mradi huo.

    Msemaji wa Wizara yaMambo ya Nchi za Nje yaMarekani Victoria Nuland,amesema kuwa Washingtonimeingiwa na wasiwasi juuya ujenzi wa bomba hilo lakusafirisha gesi kutoka Iranhadi Pakistan.

    Licha kuwepo vikwazokadhaa, mradi wa bombala gesi kutoka Iran hadi

    Pakis tan u ta teke lezwaipasavyo, amebainisha Waziriwa Habari na Utangazajiwa Pakistan, Firdous AshiqAwan, katika mkutano wahadhara ulioitishwa katikawilaya ya Marla mjini Lahoremwishoni mwa wiki.

    W a s h i n g t o n b a a d aya kusikia mpango huoimekuwa ikifanya jitihadaza kuishinikiza Pakistanikufuta mradi huo licha yakwamba Pakistan imekuwaikihangaika kukidhi mahitajiyake ya nishati, ambayoyameongezeka kwa kasi siku

    za hivi karibuni.Mwezi uliopita, jarida

    la International HeraldTribune, liliripoti kuwaMarekani imekuwa ikijaribukuishawishi Islamabad

    kujitoa katika mradi huo wagesi kutoka Iran na kuahidikuwa ingetoa kwa Pakistanmkataba wa kuipatia nchihiyo gesi ya bei rahisi zaidi.

    R a i s M a h m o u dAhmadine jad wa I r analisema licha ya mashinikizomakubwa yanayotolewa naMarekani juu ya uzinduzi wamradi huo, nchi za Magharibihazina haki ya kuzuia mradihuo utakaogharimu kiasi chadola bilioni 7.5.

    Imekadiriwa kuwa ujenziwa bomba hilo lenye urefuwa kilomita 1,600 utachukuamuda wa miaka miwili.

    Bunge Ethiopia kujadili mgao wa maji mto NileADDIS ABABAS e r i k a l i y a E th i o p i ai m e k u s u d i a k u j a d i l imakubaliano ya Entebbekwenye bunge la nchi hiyojuu ya kugawanywa kwauadilifu maji ya mto Nile.

    Wizara ya Mambo yaNchi za Nje ya Ethiopiaimeeleza kuwa, makubalianoya Entebbe ya kugawanamaji ya mto Nile yanapingwavikali na nchi za Sudan naMisri, ambazo zimekuwazikitumia kikamilifu majiyam to huo katika kilimo chaumwagiliaji.

    Makubaliano ya Entebbeyanataka kupunguza hisaya nchi za Misri na Sudanna kuziongezea hisa nchinyingine zinazochangia majiya Mto Nile kwa njia yausawa.

    Tanzania, Kenya, Uganda,E th iop ia , Rwanda , naEritrea zilitangaza kwambamakubaliano ya mwaka1929, hayakuwa ya kiadilifuhivyo ziliamua kutia sainimakubaliano ya Entebbe yamwezi Mei 2010 kwa lengola kugawana kwa usawamatumizi ya maji ya Mto

    Nile.U k i a c h a m a t u m i z i

    mengine , hivi kar ibuniTanzania ilishakamilishamradi mkubwa wa maji ya

    bomba kutoka ziwa Victoria,maji ambayo yamesambazwakatika mabomba mkoaniShinyanga.

    Taarifa ya wizara yaMambo ya Nje ya Ethiopiaimeeleza kuwa, mpango wakujadili mgawo wa maji ya

    Ni le ul is imamis hwa kwasababu ya zoezi la uchaguzi

    wa Rais na Bunge nchinMisri.

    Taarifa hiyo imeongezk u w a , J a m h u r i yKidemokrasia ya Kongnayo tayari imeshatia sainma k u b a l i a n o h a y o nnchi ya Sudan Kusini pimetangaza kuwa itayasaihivi karibuni.

    Nch i 11 zinaz och angmaji ya Mto Nile ni UgandKenya, Tanzania, RwandMisri, Sudan, Sudan KusinJamhuri ya Kidemokrasia yKongo, Eritrea na Burundi

    Karzai abaini Marekani

    inazungumza kwa siri na TalibanKABULRais Hamid Karzai waAfghanistan, ameendeleak u i s h a m b u l i aMarekani na kuikosoavikali akisema kuwa,Washington imekuwaikifanya mazungumzona Taliban kila siku huko

    nchini Qatar.Rais Karzai ametoa

    matamshi hayo makalid h i d i y a M a r e k a n isambamba na safari yaChuck Hagel, Waziriwa Ulinzi wa Marekaninchini Afghanistan, haliinayoonesha kuwepoh i t i l a f u b a i n a y aWashington na Kabul.

    Karzai amesis i t izakuwa, mashambul iz iyanayofanywa na kundi lawanamgambo wa Talibannch in i Afghan i s t an ,

    yanatoa huduma kwaMarekani hasa kwa kutiliamaanani kwamba, Talibanna Washington wamekuwawakifanya mazungumzo

    bila ya serikali ya Kabulk u w a n a t a a r i f a y amazungumzo hayo.

    Taya r i se r i ka l i yaMarekani imetoa taarifa nakukanusha vikali tuhumaza kuweko uhusiano katiyao na kundi la Taliban.Wakati huo huo Rais Karzaiamevipiga marufuku vikosivya kigeni vinavyoongozwana Marekani kuingia katikamaeneo ya Vyuo Vikuuvya nchi hiyo na kuwatiambaroni wanachuo.

    Ames i s i t i za kuwa ,hatua hizo zinakinzanana mamlaka ya kujitawalaAfghanistan.

    RAIS Mahmoud Ahmednejad wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (kulia) na Rais wa Pakistan Asif AZardari, wakisaini mkataba wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Iran kwenda Pakistan mwanzomwa wiki hii.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1062

    6/16

    6AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA MACHI 15 - 21, 20Habari/Matangazo

    SHAMBA LA EKARI 14 LINAUZWAKWA HARAKA

    LIPO CHAMAZI-DOVYA DAR ESSALAAM

    BEI NI MAELEWANOKWA MAWASILIANO:

    PIGA SIMU: 0759 4504250784 4632070754 479783

    WAHI MAPEMA BAHATI NI YAKO

    SHAMBA LINAUZWA

    Inawatangazia Waislamu wote Kuwa Imeandaa Safari ya Hijja Mwaka 2013 Sawa na Mwaka 1434Hijria kwa Dola US$ 3550 tu.Umra kwa Mwezi wa Ramadhani itakuwa ni Dola US$ 1995Fomu zinapatikana katika ofisi zifuatazo:-1. Ofisi ya Ahlul Daawa Dar es salaam Mtaa wa Dosi na Mkadini Nyumba Namba 26 Mkabalna Showroom ya Magari Tel 0713 730 444, au 0773 804101 au 0785 930444 na 0773 930444.2. Ofisi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo Tel 0777 484982 au 0777 413 987.3. Abubakar Maulana wa Markaz Kiwalani Dar es salaam 0784 4538384. Abdallah Salehe Mazrui ( HOKO) Dar es salaam 0715 724 4445. Salim Is-haq Dar es salaam 0754 286010 au 0774 7861016. Dukani kwa Abdala Hafidh Mazrui wete pemba 0777 482 6657. Dukani kwa Mohamed Hafidh Mazrui Mkoani Pemba 0777 4569118. Sheikh Daudi khamis sheha 0777 6796929. Maalim Seif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar 0777 417736Wahi kulipia.

    Ofisi ya Ahlul Daawa Dar es salaam 0713 730 444 au 0773 804101 au 0785 930444.Ofisi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo 0777 484982 au 0777 413 987.Maalim Seif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar 0777 417736Sheikh Salim Mohamed Salim 0774 412974 au Kupitia ACCOUNT NAMBA 048101000030

    NBC

    Tanbih:Atakae maliza Taratibu zote kuanzia sasa Mpaka 15 July 2013 atapata Punguzo la asilimia 16%atalipia $ Dola 2982 tu.Atakae maliza Taratibu zote kuanzia Tarehe 16-july Hadi Tarehe 15 Augost 2013 atapata Punguzo laAsilimia sita 6% atalipia Dola $3337 tu.Kutakuwa na umra ya utangulizi kabla ya Umra ya Hijja kwa atakae maliza kufanya hivyo.Atakae maliza taratibu zote mwanzo ndie atakae shughulikiwa mwanzo.Ukilipia kwa njia ya Account kwanza piga simu 0774 412975.Kumbuka Kikundi cha Ahlul Daawa Kwa Bei nafuu kuliko wote na Huduma bora Kuliko wengi.

    Nyote mnakaribishwa

    Ahlul Daawa Hajj And Travel Agency

    Nchimbi ajiuzulu - Maalim SeifInatoka Uk. 1

    wa hadhara wa Chama hichouliofanyika katika viwanja vyaMbagala Zakhiem MaalimSeif ambae pia ni Makamo waKwanza wa Rais wa Zanzibaramesema Dkt . Nch i mbianalazimika kujiuzulu kutokanana wizara yake kushindwakusimamia ulinzi wa Wananchina mali zao.

    Amesema, jukumu la ulinziwa raia na mali zao ni jukumula serikali hivyo kupitia Wizaraya Mambo ya Ndani ya nchiambayo ndio yenye jukumu lakusimamia ulinzi imeshindwakutekeleza wajibu huo.

    Amesema matukio ya kihalifuyanayo endelea kujitokeza nchiniiwemo kushambuliwa pamoja nakuuwawa kwa viongozi na raiawasio na hatia kunatokana naserikali kushindwa kuimarishaulinzi kwa raia wake.

    Kumekuwa na matukiom b a l i m b a l i y a k i h a l i f uyanayotokea hapa nchiniambayo Waziri Nchimbi nawizara yake wameshindwakuyatafutia ufumbuzi hadi leo,hivyo hana budi kujiuzulu kwaniameshindwa kutekeleza wajibuwake kama waziri anaehusikausalama wa raia na mali zao,alisema Maalim Seif.

    Akizungumzia matukio yakushambuliwa kwa viongozi

    wa dini yaliotokea Zanzibarhivi karibuni kuwa hayapaswikuhusishwa na itikadi za kidinikutokana na utamaduni wa mudamrefu wa kuvumiliana kidiniuliojengeka kwa Wananchi waZanzibar.

    A i d h a M a a l i m s e i f amechukizwa na kauli ya Dkt.Nchimbi kulihusisha tukio lakuuwawa kwa Padre EvaristMushi na matukio ya kigaidi nakusema tukio hilo si la kigaidikwani Zanzibar hakuna ugaidi.

    Huyu ana lengo ganina Zanzibar hata kutangazaugaidi kwa Zanzibar kwaniZanzibar hakuna ugaidi na walahautatokea kamwe. Alisema

    Maalim Seif.Akizungumzia mwenendo

    wa Serikali ya Umoja wa kitaifaya Zanzibar amesema Serikalikwa kiasi kikubwa imefanikiwakuleta maendeleo kwa Wananchiwake ikiwa ni pamoja na kuinuajuhudi za waku lim a ka tik aukuzaji wa kilimo chenye tijakwa wakulima na taifa kwaujumla.

    Amesema kuwa serikaliya Mapinduzi ya Zanzibarimefanikiwa kuinua zao lakarafuu kwa kupandisha bei

    ya karafuu kutoka shilingi elfutatu kwa kilo hadi elfu kumibei ambayo inampa mkulimaasilimia thamanini ya bei yasoko la dunia.

    Pia imefanikiwa kukuzaki l imo cha mpunga kwakuwapatia wakulima wa kilimohicho kwa kuwapatia wataalamuwa kutosha pamoja na kushushagharama za pembejeo za kilimoikiwemo mbolea na dawa zakuulia wadudu ili kuwawezeshawakulima kulima kilimo chenyetija na kuondokana na utegemeziwa chakula kutoka nje.

    Aidha amesema kuwa serikaliimefanikiwa kuongeza kiwangocha mishahara ya wafanyakazihadi asilimia ishirini na tanokwa wafanyakazi wa kima

    cha chini ili kuweza kujikimukimaisha.

    Nae Naibu katibu mkuu waCUF Tanzania Bara Mh. JuliusMtatiro amewataka wanachamahicho kujitokeza katika kuwanianafasi za ujumbe wa mabarazaya katiba ili kuweza kupatakatiba bora itakayo endana namahitaji ya Wananchi.

    Amesema kuwa kutokushirikikatika mabaraza ya katiba yawilaya kutawapa nafasi watuwasiotaka maslahi mazurikwa wananchi kuingia katikamabaraza hayo jambo litakalosababisha kukosekana kwakatiba bora.

    MAHAKAMA ya HakimuM f a w i d h i W i l a y a y aN y a m a g a n a , i m e s e m aitapitia hoja zilizowasilishwaMahakamani hapo na Wakiliwa upande wa utetezi, kupingazuio la dhamana lililowekwa

    Mahakama kupitia pingamizi dhamana ya Imam HamzaNa Shaban Rajab na upande wa Jamhuri dhidi

    ya mshtakiwa Imam HamzaOmari.

    Ust. Hamza, alikamatwa hivikaribuni na kuwekwa mahabusuambapo baadae alifikishwaMahakamani na kufunguliwa

    kesi ya uchochezi na kuvunjaamani.

    Hakimu anayesikiliza kesi

    hiyo, Bw. Mwambapa, alisemaMahakani hapo Jumatano wiki hiikwamba, ufafanuzi juu ya madaiya Wakili wa upande wa uteteziyaliyowasilishwa Mahakanihapo ya kutaka kuondolewa zuiola dhamana kwa mshtakiwa,utatolewa Machi 27, 2013, kesihiyo itakapotajwa tena.

    Sheikh Jabir Katura, mmojawa viongozi wa Kiislamuwanaofuatilia kesi hiyo, alisemaWaislamu wengi wa Kandaya Ziwa wanaona kama kesialiyofunguliwa Imam Hamza,imelenga kumshikisha adabukutokana na na kutoa msimamoambao ulimkera Waziri Mkuu,Mizengo Pinda kuhusu sakata lakuchinja Mkoani Geita.

    Alisema kuwa wakati wa

    sakata la kuchinja kule Geita,

    Imam Hamza alikuwa kiongoziwa upande wa Waislamu katikahatua za kutafuta suluhu juu yamzozo huo.

    Alisema katika mazungumzoya kupata suluhu yaliyohusishapande mbili kati ya Waislamuna Wakristo chini ya WaziriMkuu P inda, upande waWaislamu wakiongozwa naImam Hamza, ulitaka kwanzawatuhumiwa Waislamu ambaowameswekwa ndani kufuatiakadhia iliyotokea, nao kuachiwakama ambavyo wenzao Wakristowalivyoachiwa, ili mazungumzohayo yawe ya suluhu ya haki naya kweli.

    Sheikh Katura, al isemapengine msimamo huo wa Imam

    Hamza na Waislamu ulimke

    Waziri Mkuu na sasa inaonekankuwa kuna haja ya kumshikisadabu.

    Alisema pamoja na kwambmoja ya sababu za kumkamata nkumfungulia kesi Imam Hamzni madai ya kusikika akifanyuchochezi kupitia mahubiri yakkatika CD, lakini alisema katikCD hizo, hakuna ambapo ImaHamza, kachochea zaidi ykueleza hali ya yale yaliyojikule Geita na kufafanua jinWaislamu wanavyopuuzwa kiwanapojitetea.

    Ndege wote watalia lakiakilia Bundi ni uchuro, ni mojya CD inayotajwa kusikikImam Hamza akihubiri, ambayinadaiwa kuwa kuna uchoche

    ndani yake.

    Sheikh Jabir Katura (kulia) akisisitiza jambo katika moja ya mikutano yake hivi karibun

  • 7/29/2019 ANNUUR 1062

    7/16

    7AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA MACHI 15 - 21, 201Habari/Matangazo

    WAISLAMU wametakiwak u k a t a a p r o p a g a n d azinazopandikizwa na watuwasioitakia mema nchi hii,kuwa kuna uhasama bainaya Waislamu na Wakristo.

    Wito huo umetolewana Amir wa Baraza Kuu

    la Jumuiya na Taasisi zaKiislamu (T), Sheikh MussaYusuph Kundecha akiongeana viongozi wa Jumuiyana Taasisi mbalimbali zaKiislamu katika seminamaalum iliyofanyika katikaHoteli ya Lamada, Ilala JijiniDar es Salaam, mwishonimwa wiki iliyopita.

    Amir Kundecha amesemaWaislamu siku zote kiliochao kipo kwa Serikalina si Wakristo na msingimkubwa wa malalamiko yaoni kutotendewa haki kamawatu wengine katika jamii.

    Amir Kundecha aliwataka

    viongozi hao kuf ikishaujumbe huo kwa Waislamuili kuepuka na kukataa

    propaganda zinazolazimishwakuwa kuna uhasama baina yaWaislamu na wasiokuwaWaislamu katika jamii.

    N i n g e l i k u o m b e n imkaondoe dhana hiyo katika

    jamii kwa maana maalumuna maana mahususi, kataenikuonyesha kuna mvutanona wasiokuwa Waislamu,sisi tuna tatizo na Serikaliyetu kupuuza madai yetu.Alisema Amir Kundecha.

    Alisema, kimsingi katikanchi hii hakuna mgogoro

    kati ya Waislamu na Wakristokwani wanaishi pamoja kwakushirikiana katika mambombalimbali ya kijamii.

    Amir Kundecha alionyeshawasiwasi wake kwa Serikalikwamba inaweza kuwachanzo cha kuvunjika kwaamani kutokana na kupuuzana kutoshughulikia madai yamsingi ya Waislamu.

    Alianisha madai hayo kuwani pamoja na tatizo la Barazala Mitihani, kuwepo kwaMahakama ya Kadhi, sualala Tanzania kujiunga na OICna kuwepo kwa MoU kati ya

    Serikali na Makanisa.Akifafanua hayo alisema,

    umma wa Kiislamu nchiniuna tatizo dhidi ya Serikaliyao kwa kuzuiwa kuwa namahusiano ya kitaasisi naTaasisi ya Kimataifa yaKiislamu ya OIC.

    U k i t a z a m a h o j az inazo to lewa kuzuiwaWaislamu kuwa na mahusianona Taasisi hiyo pamoja naSerikali kujiridhisha kuwahakuna Tatizo Tanzaniakujiunga utakuta ni hojazisizo na msingi kabisa.

    Kundecha atoa mwongozo

    kwa viongozi wa Waislamu

    Asema tatizo ni serikali sio Wakristo

    Na Bakari Mwakangwale

    Alisema, akiwa katika mojaya mkutano wa viongioziwa dini, alipata kusimamakiongozi mmoja akidai kuwaOIC, ni taasisi ya kidini na nihatari kabisa kwa umoja wakitaifa na amani ya nchi.

    Alisema, baada ya kutolewa

    kwa hoja hiyo, alimtaka mtoahoja aonyeshe kipengele chaKatiba ya OIC, ambacho anawasiwasi nacho huku akihojiuhalali wa kuwepo nchiniUbalozi wa Makao Makuuya Kanisa Katoliki Vatcan, ilihali hiyo si nchi.

    Akifafanua hali ya mvutanokama huo, Amir Kundecha,a l i s e m a k i n a c h o t a k akujengwa miongoni mwawanajamii ni kuonesha kuwaupo mvutano na tatizo bainaya Waislamu na wasiokuwaWaislamu nchini.

    Alisema, mfano wa hivisasa ni kuwa Waislamuwameilalamikia Serikalikuhusu Baraza la Mitihanila Taifa (NECTA), lakiniwanapuuzwa.

    N y i n y i k w a u m r iwenu, mmepata hata sikumoja kusikia Waislamuwakilalamika juu ya jambohilo? Nasema tunapuuzwakwa sababu Serikali imekataakwa makusudi kuona uzito watunacho kilalamikia na sikuzote imepuuza jambo hilo.Alisema Amir Kundecha.

    Alisema, kadhia hiyona NECTA, Waislamuwaliipeleka kama tatizomahala husika, lakini alidaikwa kuwa kuna dhana yakupuuza jambo likisemwana Waislamu, hata kama linaukweli, badala yake walipewamajibu yasiyofaa.

    Amir Kundecha, alisemaCHADEMA, walipelekahoja yao binafsi katika kikaocha Bunge lililopita kuhusu

    NE CTA, na ukiangal iayale yaliyolalamikiwa nisawa na yale malalamikoya Waislamu yaliyopuuzwa,kilichobadilika ni mahali

    pali poandikwa Wais lamupameandikwa CHADEMA.

    Amir Kundecha, alidaikwamba tatizo lingine laWaislamu na Serikali yao nikugawanywa (na Serikali)

    kwa nguvu miongoni mwaWaislamu.Akitolea mfano juu ya

    madai hayo, Amir Kundechaalisema, wakati Waislamuwanahangaika na masualaya Mahakama ya Kadhi,Waislamu walikubalianakuunda timu ya pamoja,kutoka Jumuiya na Taasisimbalimbali za Kiislamu.

    A l i s e ma , t i mu h i y oiliundwa ikiwa na washiriki25, kwa bahati mbaya alidaikatika kikao kilichoitishwa naSerikali na kufanyika Mkoani

    Dodoma, mgeni rasmi akiwani Makamu wa Rais, Dk.Ghalib Bilali, Serikali iliamuakuwagawa Waislamu.

    Serikali kwa makusudi

    ikaamua kutugawa Waislamu,

    ikijua kabisa wanachokifanya

    kitaleta mtafaruku mkubwahuku nje. Timu ina uwakilishiwa Taasisi 25, lakini Serikaliikaiita Taasisi ya Bakwata tu,na kuwapa fulsa ya kuchaguaMakadhi nch i nz ima .Aliainisha Amir Kundecha.

    Alisema, ipo mifano mingijuu ya Serikali kuwapindishia

    haki Waislamu, jambo ambaalidai wanatamkama kwmapana kuwa Waislammgomvi wao ni Serikayao na si watu wa imannyingine.

    Alisema, wakati fulankip ind i cha uchaguzWakatoliki walitoa ilan

    ya uchaguzi wakatoa nwaraka, Mh. Kingung(Ngombalemwiru), alisemhaiwezekani chombo chdini kikatoa ilani, na kwambilani hutolewa na Chama Chsiasa.

    Alisema, baada ya mudShura ya Maimam nayo ilitoMuongozo wa WaislamKatika Uchaguzi, lakinalidai kilichofuata baada ymuongozo huo ni kauli ya RaKikwete akisema kwambyanayofanywa na viongowa dini sio sahihi, wakahakuweza kusema lolote ju

    ya Ilani ya Maaskofu..Alisema, kauli hiyo y

    Rais Kikwete, iliambatanna ahadi ya kuwaita viongowa Dini ili kukaa pamojkuzungumzia masuala haykwa ujumla kutokana nmwenendo uliopo kutokuwmzuri.

    Amir Kundecha, alisemilifika siku viongozi wdini waliitwa, kwa Wakrisyaliitwa madhehebu yayote ya Kikristo lakini kwWaislamu Serikali iliwaiBakwata tu, na kuziachJ u m u i y a z i n g i n e z

    Kiislamu.Sisi tunasema, Serikali kw

    maana nyingi sana imekuwsi sikivu kwa wasiokuwWaislamu, kwa muda mrefhivi kweli Waislamu nchiwamekuwa wabaya kiahicho.? Alisema na kuhojAmir Kundecha.

    Amir wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T), Sheikh Mussa Yusuph Kundechaakiongea na viongozi wa Jumuiya na Taasisi mbalimbali za Kiislamu katika semina maalumiliyofanyika katika Hoteli ya Lamada, Ilala Jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita.

    KUPATA AKAUNTI NA. 011206008550 NBCBENKI

    Tunapenda kuwafahamisha kuwa kwa muda mrefu

    tumekuwa tukiomba michango ya ujenzi wa msikitikupitia namba za simu.

    Kwa sasa tunaomba michango yote itumwe kupitiaAccount Namba 011206008550 NBC. Jina la AccountMASJID MUZDALIFA - MBEZI KWA YUSUFU

    Hata hivyo kama kutakuwa na mahitajio ya kupatamaelezo/ufafanuzi kuhusiana na Ujenzi wa MasjidMuzdalifa tumia nambari za simu za Mwenyekiti nazoni 0713 673 216 na 0754 952 008.

    pia tunawafahamisha kuwa namba za simuzifuatazo zisitumike tena kwa jambo lolote lilelinalo husu MASJID MUZDALIFA - MBEZI KWAYUSUFU (0717 649413 na 0657 531367)

    MASJID MUZDALIFA - MBEZI KWA YUSUFU

  • 7/29/2019 ANNUUR 1062

    8/16

    8AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA MACHI 15 - 21, 20TANGAZO

  • 7/29/2019 ANNUUR 1062

    9/16

    9AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA MACHI 15 - 21, 201Makala

    SIKU ya tarehe 3 Machi1996, enzi zile Wazanzibariw al ipogaw anyw a nakutiwa chuki baina yao,ilidaiwa na serikali kuwamafisa watatu wa usalamawaliokuwa kwenye doriahuko katika kijiji chaShengejuu, kis iwaniPemba, walipigwa nak u p o r w a s i l a h a n awanakijiji. Kwa suraya kawaida ya uaskari,ni vigumu kuaminikakwamba askari watatuwakiwa na silaha mikononiwaporwe silaha zao wotewatatu na wapigwe bilaya wao hata kujeruhi mtuyeyote au kujeruhiwa waowenyewe.

    Muda sio mrefu, sikuya pili yake tu, kijiji hichokilivamiwa na kiasi chaaskari wapatao 300 wa

    kikosi cha FFU na jeshil a wananch i ( J W TZ)waliokuwa wako kamilikivita. Unyama, matesona vi tendo vya kihuniwalifanyiwa wananchiwa kijiji cha Shengejuuwaliokuwa hawana hatiayoyote. Baadhi ya wanakijijiwalipigwa hadi kuzirai,wengine waliibiwa malizao kama vile kuku nambuzi, maduka yaliporwa,wanawake walibakwa nawatu wapatao 80 waliwekwandani. Kati ya watu hao 80,watu 30 waliachiliwa huruna waliobaki waliendeleakusota ndani kwa kipindikirefu sana. Kiongozi mmojamkuu wa SMZ wakati ule,aliwahi kufanya mkutanona waandishi wa habarikuelezea hali ya mtafarukuinayoendelea katika kijijihicho cha Shengejuu, nahapa namnukuu moja yakauli zake aliyoitoa kupitiakikao hichoSasa tunatakakuwafanya watu wajuekama serikali ipo.

    K a t i k a e n z i h i z owafuasi wa CUF walikuwawakisingiziwa kuhusika nahujuma mbalimbali kama

    vile kuchomwa motomadarasa ya skuli, kupakavinyesi kwenye kuta zaskuli, kutia vinyesi kwenyevisima n.k. Hizi bila shakazilikuwa ni mwendelezowa propaganda chafu zakisiasa zilizokuwa na lengola kujenga picha ya uongona kuhalalisha hujuma dhidiya watu wasio na hatia.Waliokuwa wakifanya hayani watu waliofundishwavyema propaganda nasiasa chafu za uchochezi.Waki tekeleza v i tendohivyo huku wakilindwa na

    Wanaoleta agenda ya ugaidi

    hawaitakii mema Zanzibar

    Na Ahmed Omar Khamis

    WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Dr. EmmanuelNchimbi

    askari polisi. Madhumunini kuendelea kupata fursaya kuwatesa raia wasiona hatia kwa kuwapiga,kuwaweka gerezani nak u w a u a . W a l i o k u w awakifanya vitendo hivyoh a w a k u j u a k w a m b awalikuwa wanaonekana nawanafuatiliwa nyendo zaona hivyo kufahamika waona waliowatuma.

    Katika hatua nyengineSiku moja wanakijiji haohao wa Shengejuu katika

    nyakati za usiku wakiwakatika doria yao ya kuangaliani nani hasa wanaofanyavitendo hivi, walifanikiwakuwafumania watu hao.Wakiwa wanaendelea nadoria, wanakijiji hao waliionagari yenye namba za usajiliZNZ-12633 ikisimama kiasicha umbali wa mita 100 hivikutoka ilipokuwepo skuli yaShengejuu (Soma kitabu chaDr. Bakari, 2001 kiitwachoThe democratization processin Zanzibar). Ghafla watuwatatu waliokuwa na galoni

    la mafuta ya petroli walishukakutoka katika gari hiyo.Haraka haraka wakamwagamafuta na kuchoma baadhiya majengo ya shule hiyona kukimbia. Wanakijijiwakajitokeza ghafla nakuwazingira wahalifu hao.Lakini mara milio ya risasihewani ikasikika na watuhao kuingia ndani ya gariyao na kukimbia. Wanakijijiwaliwahi kuuzima motohuo. Il i thibi t ika kuwawatu waliofanya vitendo

    hivyo ni wanamaskaniwaliokuwa wakilindwana wanausalama ndiowaliokuwa wakitekelezavitendo na hujuma zile kwania ya kukizulia chama chaCUF na kuwatesa raia bilaya hatia yoyote kwa maslahibinafsi ya kisiasa.

    Maadui wa Zanzibarbaada ku li ona wi mbi lakudai mabadiliko katikamfumo na muundo waMuungano wa Tanzanialinaongezeka, wameamuakujipanga upya na kujaribuk u w a s a m b a r a t i s h a

    Wazanzibari ili wasifikielengo lao kwa kupit iambinu hizo zilizotumikahuko nyuma za kuandaauongo na kuupandikizakatika jamii. Bila shakawakitaraj ia uongo huoutaweza kuzaa chuki na fitnamiongoni mwa makundimbali mbali yaliyoshikakamba ya pamoja kutafutamaslahi ya nchi yao nahivyo kuiwachia kamba hiyona kusambaratika. Chukiambazo zinajengwa hapani baina ya CUF na CCMkwa vitendo kama vile vyakuzichoma moto maskaniza CCM na kuwasingizia

    CUF. Kuwatesa wafuasiwa CUF kwa visingiziombali mbali kama vilekupambana na UAMSHO iliwafuasi wa CUF wakasirikena serikali na chao kwakuwa CUF ni sehemu yaserikali hiyo. Wafuasi waCUF wakikasirika dhidiya chama chao itakuwat a y a r i u m e f a n i k i s h akulisambaratisha kundikubwa linashikilia engineya kudai mabadiliko nahivyo kuliwacha kundi hilolikiwa dhaifu.

    Inabidi hapa ichukuliwetahadhari kubwa sana isijeikawa kuna watu wameundam a k u n d i m a a l u m y auharamia, kurat ibu nakutekeleza vurugu, kuchomamoto maskani za CCM,kuchoma moto makanisana kushambul ia kamailivyokuwa Shengejuu.

    Hivi karibuni kumeibukavitendo vya kuwashambuliakwa risasi na kuwauwaviongozi wa dini ya Kikristokwa kutumia bunduki .Usiku wa tarehe 25/12/2012Padri wa kanisa Katolikimjini Zanzibar AmbroseMkenda amepigwa risasi na

    watu wasiofahamika akiwaanawasili nyumbani kwakeambapo watu hao waliokuwawamepanda chombo aina yavespa wamepiga risasi akiwagetini ndani ya gari kuingianyumbani kwake maeneo yaTomondo visiwani humo.Siku ya tarehe 16/02/2013Padri Everist Mushi wakan i s a ka t o l i k i hukovisiwani Zanzibar, alipigwarisasi kichwani na watuwasiojulikana na kufarikipapo hapo wakati akielekeakwenye ibada katika kanisakatoliki Mtoni Zanzibar.

    Uchunguzi unaendelelakini zipo dalili nyingi zkuyahusisha matukio haya nnjama za kuijengea Zanzibpicha ya UGAIDI mbele yjamii ya kimataifa. Wauwawanaonekana n i watwaliotumwa na mtandamaalum ili kutimiza agendyao hii. Hapa hatuwekusema ni akina nani nnani lakini kwa mujibwa kile kinachoendeleZanzibar itoshe kuaminkuwa ni mipango maalumya kuiteka nyara sauti yumoja wa Wazanzibaambayo b i la ya wogkutoka kwa Wazanzibawenyewe, viongozi wawakuu na taasisi kadhaza serikali yao kwambwanataka mabadiliko kutokkatika mfumo wa sasa wMuungano kwenda katikmfumo mpya wa muunganutakaoipat ia Zanzibamamlaka yake kamikitaifa na kimataifa. Kwkuwa kuna taasisi za dini yKiislamu zilibeba agenda hkwa ari na hamasa ya haya juu, isije wakatafutiwsababu.

    Wazanzibari wameishna ndugu zao wa kikristkwa karne nyingi sanhuku utamaduni wa dini yKiislamu ukiwa ni wenykutawala Zanzibar. Katikkipindi chote hicho Wakriswamekuwa wakiwaheshimWaislamu kwa kila hali n

    hivyo Waislamu hawakuionha j a wa l a s ababu ykuwabugudhi Wakristo. HaAskofu Shayo akizungumzkadhia hii alipata kutamkmimi nimeishi Zanzibkwa miaka 20 sasa, sikupakuona haya. Haya nmapya sana, haya ni mambmaalum katika agendmaalum. Haya si mambya kidini wala ugaidi bani vitimbi vinavyopangwkiufundi vya kuhakikishWazanzibari hawafikii lenglao.

    Hebu tujiulize ni kwnini mauwaj i ya mtmmoja ambayo si mauwaya kawaida kwa Zanzibkwa ghafla sana yanaitwmauwaj i ya ugaid iKuyaita mauwaji hayugaid i n i kwa sababaliyeuwawa ni Padri nhivyo iaminike kauliwa nWaislamu? Kule Bara watkadhaa wamekua wakiuliwkatika kadhia kadha wkadhaa hatujaona viongowa Bara kuyaita matukihayo kuwa ni ugaidi. Ni kwnini Zanzibar?

  • 7/29/2019 ANNUUR 1062

    10/16

    10AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA MACHI 15 - 21, 20Makala/Tangazo

    MACHI 8 mwaka huuulimwengu uliadhimishasiku ya wanawake. Katikam a e n e o y a P a l e s t i n ayaliyovamiwa na Israel,wananchi husheherekea

    siku hiyo ya wanawakekwa kukumbuka madhilawanayopata.

    W a k a t i u l i m w e n g uukiwa unaadhimisha siku yawanawake, hali ni tofauti kwawanawake wa Kipalestinawanaokandamizwa na Israel.Wengi wao wanatesekakutokana na mashambuliziya Gaza ya Novemba 2012.Kutokana na mashambulizihayo ya kijeshi Wapalestina171 waliuawa, 102 kati yaowakiwa raia wa kawaidapamo ja na wana wake 14 .Aidha raia wa Kipalestina 625walijeruhiwa vibaya , kati yaowakiwa wanawake 93.

    Haya n i ma t okeo yamashambul iz i ya Is raelkwa kutumia silaha nzito zamaangamizi. Huu ni uhalifuwa sheria ya kimataifa ambayoimepiga marufuku mauaji yaraia wakati wa vita.

    Licha ya sheria hiyo, majeshiya Israel yanashambulia bila yakuangalia nani raia na nanimpiganaji. Pia hayaangaliimajengo yanayoshambulia niya kijeshi au ya kiraia.

    Matokeo yake ni kuwaw a n a w a k e n a w a t o t owanashambuliwa na kuuawana majeshi hayo. Huu niuharamia wa kivita na uhalifuwa sheria ya kimataifa

    Kwa mfano, Novemba18, 2012, majeshi ya Israelyalishambulia kwa makombora

    na kuteketeza nyumba yafamilia ya al-Dalu, katikamaeneo ya Gaza.

    Matokeo yake watu 10wa familia hiyo walikufa,wakiwemo wanawake wannena watoto watano. Katikamashambulizi kama hayo yaNov emb a 19, 201 2, mto tommoja na wanawake wawilikutoka familia ya Abu Zour,waliuliwa kwa makombora yamajeshi ya Israel.

    A i dha wanawake waPalestina pia wanatesekakisaikolojia kutokana nakupoteza wanafamilia katikamashambulizi ya Israel. Maelfuya wanawake wanaathirika kwavile wamegeuzwa wakimbizi

    katika nchi yao.Miaka ya hivi karibuni

    wanawake wengi wameathirikakutokana na sera ya Israelhuko Gaza. Kwa mfano,wanawake wengi wanazuiliwakuwatembelea watoto waoau waume zao walio katikamagereza ya Israel. Wakatih u o h u o w a n a z u i l i w akuwatembelea ndugu zao kwavile Gaza imezingirwa namajeshi ya Israel. Gaza ni sawana jela kubwa duniani.

    Utawala wa Israel umekuwapia unawakandamiza raia waPalestina kwa kuwanyimamahi ta j i yao ya lazimakama dawa na matibabu.

    Wanawake wa Kipalestina chini ya utawala wa Israel

    Wanawake wa Kipalestina wakidhalilishwa namajeshi ya Israel

    Wakati huohuo wazayunihao wamewawekea vikwazoWapalest ina i l i wasiwezekutembeleana baina ya walewanaoishi maeneo ya Gaza naUkingo wa Magharibi.

    Kituo cha Palestina chaHaki za Binadamu kimeitakajumuia ya kimataifa kutekelezawajibu wake kwa kuchukuahatua za kuzuia mateso hayayanayowasibu raia wa Palestina,hususan wanawake ambao ndiowanateseka zaidi.

    Kituo hicho pia kimeitakam a m l a k a i n a y o s i m a m i autekelezaji wa Makubaliano yaNne ya Geneva, kuilazimishaIsrael iheshimu makubalianohayo kwa kuhakikisha kuwawanawake na raia wote waP a l e s t i n a w a n a l i n d w aipasavyo.

    Aidha, asasi ya kuteteahaki za wafungwa (Addameer)imetangaza kufunguliwa kwaBibi Abla Saadat, ambayealikamatwa akiwa anasafirikuelekea mkutano wa kimataifatarehe 21 Januari 2003. Baada yakukamatwa alipewa kifungo chamiezi minne bila ya kufunguliwamashtaka. Akafunguliwa tarehe7 Machi 2003.

    Alipokamatwa hakupewasababu ya kuf ungwa naalipoachiliwa kabla ya mudapia hakupewa sababu.

    Addameer ilitoa risala siku yawanawake iliyosema wananchiwanakumbuka wanawake 65wa Kipalestina walio katikajela ya Ramleh nchini Israel .Kati yao 10 ni wasichana wenyeumri chini ya miaka 18. Wawiliwalifungwa wakiwa chini yamiaka 15.

    Wasichana hawa wamefungwakatika hali isiyokubalikakimataifa na kinyume chamkataba wa kimataifa wa hakiza watoto. Mkataba huu unasemawatoto chini ya miaka 18hairuhusiwi kuwekwa katika haliinayowadhalilisha na kuwatesa.Pia hairuhusiwi kuwafunga bilaya sababu maalum inayoelewekakisheria.

    Wanawake sita wamefungwabila ya kufikishwa mahakamani,yaani bila ya mashtaka au kesi.Mwanamke mmoja, Bi. TahaniAl Titi, amefungwa katikahali hii tangu Juni 13, 2002.Mtindo huu wa kuwafungawanawake bila ya mashtakaumekuwa ukiongezeka sana hivi

    karibuni.Kati ya wafungwa hawa

    wanawake, kuna kina mamawakiwa na watoto wadogo.Mmoja ni Bibi Mervat Taha,aliyekamatwa tarehe Juni13, 2002 wakati akiwa namimba. Akajifungua akiwajela anatumikia adhabu ya miezi20.

    P i a k u n a m t i n d o w akuwafunga wanawake waKipalestina ili kuwashinikizawanafamilia wao wanaotafutwana Israel au walio kifungoni.Mfano mmoja ni Bibi AblaSaadaat, mke wa katibu mkuuwa chama cha PFLP Bw. AhmadSaaadat, pamoja na Bibi Asma

    Abu Al Hayjah, mke wa Jamal

    Abu Al Hayjah, aliyefungwakatika jela ya Israel.

    Huyu Bibi Al Hayjah anamagonjwa kadha. Ameonekanaanaugua saratani ya ubongo naamefanyiwa upasuaji mara mbili.Alikuwa akingojea kupasuliwamara ya tatu ndipo alipokamatwana akatupwa jela.

    Na hali ya maisha katika jelani ya kinyama. Wafungwa wakike huwekwa katika sehemumbili. Walio katika sehemumoja hawaruhusiwi kuonana nawenzio walio katika sehemu yapili. Pia wafunga hao hupewaadhabu za kijumla, yaaniwanaohusika na wasiohusika.

    Adhabu moja ni marufukuya kutembelewa na ndugu na

    jamaa. Adhabu ny ingine nikuwekwa katika chumba chagiza kisicho na dirisha kwamuda mrefu. Wengine huzuiwakupata chakula au vitu kutokanje.

    Wakati huo huo vyumba vyawafungwa wa kike husachiwamara kwa mara na vitu vyaohupokonywa au kuharibiwa.Ng uo za o hu ch af ul iw a navyakula hutupwa. Wafungwahao pia hunyimwa matumizi yaumeme au maji ya moto kamanjia ya kuwaadhibu.

    Chakula wanachopewa huwahakitoshi, hakiliki na hakikidhimahitaji ya mwili, matokeo yakeni kuwa wafungwa hao hupatamatatizo ya kiafya.

    N d i o m a a n a a f y a y awafungwa wa kike ni dhaifusana. Wanapougua magonjwah a w a p a t i w i m a t i b a b u .Mara nyingi wafungwa waKipalestina hubaguliwa kwavi le hawapat iwi hudumawanazopatiwa wafungwa waKiisrael. Wanapohitaji matibabuhuwa wanacheleweshwa. Badalaya kukimbizwa hospitali hupewavidonge vya kutuliza maumivubi la ya kuja li ma gonjw ayanayowasumbua.

    Wafungwa wa kike waKipalestina wanaolalamikahuadhibiwa. Kwa mfano,mnamo Julai 2002 waliamuakugoma kula. Matokeo yake

    askari wa jela waliwatupia

    mabomu ya machozi katikavyumba vyao vidogo. Wengiwao walijeruhiwa. Baada yahapo wafungwa wa kike wannewakahamishiwa jela nyinginena wakafungiwa katika vyumbavya giza.

    Kwa vile wafungwa wakike wananyimwa haki yakutembelewa na familia zaokwa muda unaozidi mwakammoja, matokeo yake wanakosanguo au vitu vya matumiziya kawaida vinavyoletwa nandugu zao. Zaidi ya mwakammoja sasa fami l ia zaokutoka Ukingo wa Magharibiwamekuwa wakikataliwa vibalivya kuwatembelea wafungwakatika gereza ya Ramleh. Hii

    ni kinyume na Makubaliano yaNne ya Geneva.

    Mawaki l i wanaojar ibukuwatembelea wafungwawa kike, nao mara nyingi

    husumbuliwa na kudhalilishwna maofisa wa magerezWanalazimishwa kusubiri kwmuda mrefu, hadi saa nne, kabya wafungwa kuletwa kwaMatokeo yake ni kuwa mawak

    hao hushindwa kukutana nwafungwa wote waliokusudkuwaona kwa sababu muda wahumalizika kwa haraka.

    Kwa mfano, Februari 2003, wakili wa Addameer, BwMahmoud Hassan, alilazimikkusubiri kwa saa tatu katikjel a ya Nev eh Terza h kabya mfungwa kuletwa. Hakunsababu yoyote iliyotolewa kwwakili huyo kuwekwa ndaya gereza akisubiri kwa mudwote huo.

    H i v i n d i v ywanavyodhalilishwa wafungwwa kike katika magereza yIsrael.

    Katika muda wa miak43 iliyopita inakisiwa kuw

    wanawake wa Kipalestintakriban 10,000 wamekamatwna kufungwa chini ya amri ywavamizi wa Kiisraeli.

    Wafungwa wa kike kwkawaida huwa wanafungwkatika jela za Hasharon na DamoJela hizi ziko nje ya maeneo yPalestina yaliyovamiwa mwak

    1967. Huu ni uhalifu wa kifung

    cha 76 cha Makubaliano y

    Geneva, ambacho kinasem

    dola inayovamia nchi nyingin

    hairuhusiwi kuwafunga raia wnchi hiyo nje ya nchi yao.

    Imeandal iwa na Ki tucha Habari cha Palestin(Tanzania)

    P.O Box 20307, 612 URoad Upanga West, Daes Salaam Tel: 2152812150643 Fax: 2153257 [email protected] Website: wwwpal-tz.org

    VIWANJA VILIVYOPIMWAKONGOWE KIBAHA TOWNSHIP

    REGISTERED PLAN No. 70995 BLOCK H

    PLOT HATUA ENEO MRABA GHARAMA TSH

    H1 50 x 29 1341 Sqm 4,023,000/=

    H2 32 x 32 1136 Sqm 3408000/=

    H3 50 x 30 1470 Sqm 4410000/=

    H4 37 x 30 1115 Sqm 3345000/=H5 50 X 45 2259 Sqm 6750000/=

    H6 33 x 37 1566 Sqm 4695000/=

    H7 60 x 45 2423 Sqm 7269000/=

    H8 50 x 40 1984 Sqm 5952000/=

    H9 67 x 50 3564 Sqm 10692000/=

    H10 70 x 45 2842 Sqm 8526000/=

    H11 90 x 50 3780 Sqm 11340000/=

    Vipo Barabara ya Kongowe-Soga Kilomita mojatoka barabara ya Morogoro.

    Simu No.0755 090 754/0715 090 754.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1062

    11/16

    11AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA MACHI 15 - 21, 201Makala

    ZANZIBAR kwa miaka mingikimekuwa ni kisiwa cha amaniya kweli hata ukaangushakiroba cha mamilioni ya pesaatakayeziokota atazipelekaZanzibar TV kwa mtangazajiau msikitini kwa Imamu iliakatangazie umma mwenyemzigo wake aje achukue.Lakini baada ya kuanzishwakwa m f um o wa v y a m avingi hapa nchini mwaka1992 kisiwa hiki cha amanikimejikuta mara kwa marakikitwishwa lawama za kigaidizinazotolewa na wanasiasauchwara waliochoka kufikirikwa kigezo maalumu chakuibaka demokras ia naustaarabu visiwani humo.Tatizo la kubakwa kwademokrasia visiwani Zanzibarni tatizo sugu na la muda mrefulakini kabla sijathibitishahilo hapo baadae, ningeombatuangalie kwa makini naupana maana ya ugaidi.

    Kwanza kab i sa kab l ahatujaanza kuliangalia suala

    lenyewe kwa kirefu, ni vizurituyajibu maswali machachemuhimu yafuatayo: Ugaidimaana yake nini? Nani anawezakuwa gaidi? Je, kuna aina ngapiza ugaidi? Je, Nchimbi anauzoefu au uhusiano gani naugaidi au magaidi? Je, gaidianaweza kuwa mtu binafsi auhata serikali inaweza kuwa yakigaidi?

    Haya ni maswala muhimusana ambayo kila mmoja wetuanatakiwa atafute majibu yakeili tuweze kuhalalisha msemowa Nchimbi au kuukanusha:Gaidi ni neno la kigeni ambalolimefanywa kutafasiriwa kwenyelugha ya Kiswahili lakini nenolenyewe linatokana na neno la

    Kiingereza la Terrorist. Sasakulingana na tafasiri ya nenohili kutoka kwenye kamusiya Kiingereza ya Oxford nikwamba gaidi ni mtu ambayeanatumia vitendo vya vuruguna huku vikiambatana navitisho vyenye madhumuni yakushinda au kudhibiti aidhaserikali au jamii. Kulinganana tafasiri hii, mtu au serikaliinaweza kuwa gaidi. Aina zaugadi zinaweza kuwa nyingiinategemea na mtu au serikaliimeamua kutumia mbinu zipi?Kulingana na tafasiri ya ugaidinilivyoielezea hapo juu, WaziriNc hi mb i ka ma mw an as is a(Mbunge) inawezekana kabisatena mara nyingi tu katika

    harakati zake za kuwa mbungeaidha alishawahi kuwa gaidi aualishawahi kuwasadia magaidihasa ukizingatia kwambauchaguzi wa viongozi wa ummahapa nchini si huru na wala si wahaki! Tumeshaona kwamba mtuau kikundi cha watu kinawezakuwa cha kigaidi, pia serikaliinaweza kuwa ya kigaidi autaasisi za serikali na vyombovya umma kama vile kitengo chausalama wa taifa, jeshi la polisi,tume ya uchaguzi, takukurunakadhalika.

    Pamoja na tafasiri ya nenougaidi kama lilivyoelezewakwenye kamusi ya Oxford,lakini uelewa wa neno hili kwa

    Mr. Nchimbi: Ikiwa BaraUhalifu, Zanzibar ugaidi!

    Amefanya kweli Maalim Seif kuhojiWanasiasa uchwara watawaponza

    Na Dr. Noordin Jella

    MAALIM Seif Sharif Hamad DR. Emmanuel Nchimbi IGP Said Mwema

    nchi za magharibi ni tofauti nauelewa tunaouelewa sisi hapanyumbani; na ndiyo maanaMaalim Seif Shariff Hamadamekuwa akipinga kauli zaNc hi mb i kw a vil e an aj uani jinsi gani ambavyo nenougaidi limetumika kuibakademokrasia ya Zanzibar kwazaidi ya miaka 20 sasa. Je,

    padr e hawezi kupigwa risasina jambazi aliyekuwa na nia yakumuibia sadaka zilizotolewa nawaumini? Ni kwa nini Nchimbiasitumie kwanza neno jambazibadala ya gaidi? Angelikuwa IGPSaid Mwema ndiye aliyekuwaameulizwa kuhusu tukio hilo lakuuwawa kwa padre, naaminiasingelisema ni ugaidi baliangelisema ni jambazi, kwa vileIGP ni polisi na ni mtaalamu wavitendo vya uhalifu, lakini kwavile Nchimbi ni mwanasiasa,amerukia neno ugaidi kwavile lina maslahi makubwa yakisiasa hasa ukilinganisha najinsi ambavyo nchi za Magharibizinavyolitafasiri neno hilo, najinsi ambavyo wafuasi wa CUF

    walivyoweza kudhulumiwa kwamiaka 20 mfulululizo. Tukiohili lingelikuwa limetokea kuleAmerika wasingelisema ugaidi,bali wangelidai aidha kwambani mwizi, mdunguaji au mtuamefyatua risasi kwa makusudiau bahati mbaya na kumuuapadri.

    Tangu tuanze mfumo wavyama vingi vya siasa hapanchini mwaka 1992 uchaguziwa Zanzibar haujawahi kuwa wahuru na haki hata siku moja (hayoni maoni yangu) na kulinganana dhuluma waliofanyiwaraia wa Zanzibar, wamekuwawakijitahidi kutafuta haki yaoya kimsingi na ya kikatiba, lakini

    serikali ya muungano imekuwaikikihusisha chama cha CUF naugaidi na kuweza kuzishawishinchi za Magharibi ziidhinishena kuhalalisha dhuluma hiyokwa kigezo cha kigaidi! Yuleanayeanzisha dhuluma siyogaidi bali yule anayedai hakiyake ndiye gaidi! Ajabu ganihii! Na serikali ya Marekani

    imekuwa mustari wa mbele sanakatika kuhakikisha kwambaZanzibar inatawaliwa kimabavukwa kigezo cha kigaidi!

    Mwaka 2000 uchaguzi waZanzibar ulimwaga damu yaWatanzania baada ya wafuasiwa CUF kukataa matokeona kufanya maandamanomatokeo yake walikufa watu75 wakiwemo raia na polisi,na wakat i mauwaj i hayoyanatokea Rais Mkapa alikuwaUswizi kwenye mkutano, naalipojulishwa kuhusu mauajihayo alirudi nyumbani naalipofika akaanza kushangaakwamba kwa nini wamuambieni watu 75 wakati ni watu 17 tuwaliokufa? Yeye kwake watu 17

    ni wachache sana, lakini mfikiriemtu mwenye watoto wawili tu,(sijui Mkapa ana wangapi). Sasakama wangelikuwamo kwenyehilo kundi la watu 17 si anabakina watoto sifuri?

    S is i tumej ibu maswal imengi kuhusiana na ugaidihivyo ni wakati muafaka kwaWaziri wa Mambo ya NdaniDr. Emanuel Nchimbi kujibumaswali yafuatayo ili tuwezekutatua matatizo yanayoikabilijamii ya vis iwani Zan zib ar.Je, kitendo cha Dr. StephenUlimboka kutekwa nyara nakuteswa kisha kutupwa porinikama mbwa, ni ugaidi au niutawala bora? Je, kitendo cha Dr.

    Harris Mwakiyembe kuwekewasumu na kuumuka mwili mzimasiyo ugaidi? Je, kitendo chapolisi wakiwa katika sare za kazikuwakamata wafanyibiasharaw a m a d i n i w a I f a k a r akuwanyanganya madini na pesazao na kisha kuwauwa ni ugaidiau ni utawala bora? Je, kitendocha kuchakachua matokeo ya

    chaguzi mbalimbali hapa nchinisiyo vitendo vya kigaidi? Je,chama cha siasa kinachojengamazingira ya vitisho kwa raiawake ili kishinde uchaguzi siyougaidi? Je, Jeshi la wananchi waTanzania linalojenga mazingiraya vitisho kwa wananchi wakehasa wakati wa uchaguzi mkuukwa makusudi ya kukisaidiachama cha CCM kishindeuchaguzi huo siyo ugaidi? Je,vitendo vya uporwaji wa ardhihapa nchini na watu wanaoitwawawekezaji wakishirikianana viongozi mbalimbali waserikali siyo ugaidi? Je, vitendovya kuugandamiza umma kwakutumia mtutu wa bunduki nakungangania mikataba ya

    dhahabu ya kinyanganyi siyougaidi? Je, kujenga mazingira yavitisho ili wananchi wakubalianena vile serikali inavyotaka siyougaidi? Nadhani kwa leo maswalihaya yanamtosha Nchimbi,na akiyajibu viruzi kwa herufikubwa ataweza kubadilishamsemo wake juu ya kuwawapadri.

    Wanasiasa wamekuwa watuwepesi sana kukurupuka nakutumia maneno mazito ambayowakati mwingine yawezakuliingiza taifa katika winguzito la woga kwa maslahi yakisiasa tu! Vitendo vinavyotokeaZanzibar pia hutokea hata hukuTanganyika lakini cha ajabu

    matukio kama hayo yakitokhuku Bara wanasiasa wanatummaneno mengine kuyatafasiisipokuwa yakitokea kukisiwani Zanzibar basi tayalazima matukio hayo yahusishwna ugaidi kwa vile neno Ugaidlina mashiko mazuri na matamsana kwa serikali ya CCMSerikali ya CCM wamewezkufaidi matunda ya Zanzibkwa kutumia neno rahisi sankulitamka la Ugaidi kwa zaiya miaka 20 sasa! Hivyo kwa mmchambuzi mzuri wa mambo ysiasa hapa nchini hasa siasa zkule Zanzibar hatashangaa hakibaka akihusishwa na vitendvya ugaidi kwa vile neno hilinaleta kula!

    Wazanzibar na Watanganyikwote kwa ujumla wapo katikkipindi muhimu sana cha kutafukatiba mpya i takayowezkuyaongoza mataifa haya mawkwa miaka mingine minijayo. Wananchi wa Zanzibwamekuwa wawazi kwa kuelebayana kwamba hawaridhiki mfumo wa muungano uliophivi sasa na kwa maana hiy

    walikuwa wanataka mfumo huubadilishwe; pia kwa upandwa Tanganyika nao wanatakserikali yao iliyouwawa tangmwaka 1964 ifufuliwe nkuwe na muungano wa kweunaozijumuisha nchi hizi mbkiukweki na kikamilifu. Kwvile tunajua kwamba siasa mchezo mchafu; nina wasiwaneno ugaidi lisije kutumiwkama kigezo cha kubakdemocrasia ya kupitisha katibinayoandaliwa hivi sasa, haukizingatia kwamba wanancwa Zanzibar walio wenhawautaki muungano kamulivyo hivi sasa!

    K u u w a w a k w a p a dkumeifanya serikali ihusish

    vyombo vya nje vya ulinzi vyMarekani kama vile FBI. KwWamarekani neno Ugaidwao ni biashara kubwa sanambayo inawaingizia mabilioya dola kila mwaka (terrorisis a big business), hivyo ncyoyote duniani bila ya kujakwamba ipo kona gani ya dunimadhali imesema kuna ugaibasi Wamarekani wapo tayawakati wowote wapeleke askawao wakafe huko potelea mbalakini wahakikishe kwambwanafanya biashara kubwkutokana na neno hilo ugaidi!

    Sisi tunapolitumia neno ugaidhatufikirii suala la biasharhapana, bali sisi tunasema hivy

    ili kuibaka demokrasia tuendelkuwepo madarakani na huktukiwa tumeshawawezesha wawakosoaji wakubwa duniawa ubakwaji wa demokraskufanya biashara inayotokanna neno ugaidi ambalo tayatumewatonya nalo!

    Mwisho kabisa napendnimshauri Dr. Nchimbi kammwanasiasa mchanga anayetakkujivunia ujana wake wa siahapo baadae atakapokuwa mzekwamba aachane na siasa kizazi cha wazee wa CCMambazo zimepitwa na wakatsiasa za wazee hao hazina mvutena Tanzania.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1062

    12/16

    12AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA MACHI 15 - 21, 201Mashairi/Barua/Makala

    Ndugu Mhariri, Assalaamalaikum.Huwa wakati mwenginesitaki kuandika chochoteau kusema kitu. Lakinikila siku mambo yanazidi;

    na chumvi inazidi kutiwaZanzibar, na hatimayemantiki inatoweka katikafikra za binadamu.

    Sasa h iv i tumes ik iakuwa kuna watuhumiwaw a m e k a m a t w a k w akuhusishwa na mauwajiya Padri Evarist Mushi,lakini, kama watuhimiwawamekamatwa tokea tarehe17 Februari 2013 (baadhiyao), kwa nini hatusikiik u w a w a m e f i k i s h w amahakamani? Nafikiri badoile sheria ya masaa 48 tokeakukamatwa kwako ufikishwemahakamani bado ipo.

    T u s e m e n a h a w a

    Tunataka kuwaona watuhumiwa mahakamaniwaliokamatwa juzi juzi tu,na hao waliokuja kutusaidia(kwa mujibu wa Kamishnaw a P o l i s i M u s s a A l iMussa) kuna watu wapyawamekamatwa hatuonikufikishwa mahakamani. Auhawa sheria zao nyenginekwa vile imemhusu Padri?

    Bado imekuwa kitendawilikwangu: kwa nini piaupelelezi usianzie palekanisani, au katika mfumomzima wa kanisa Zanzibarna Tanzania kwa ujumla?Upelelezi huu umekuwaupande mmoja tu.

    Ni kwel i khulka yabinadamu siku zote inakuwaina upendeleo fulani waupande mmoja, lakini katikakazi kama hizi kinachotakiwani ukweli na uadilifu, siokuegemea upande mmojatu.

    Hapa ndipo inapozukshaka kubwa miongonmwetu kuamini akutoamini mfumo mzimwa utoaji haki, utendaji hakSisi siku zote tunaingia ndaya tukio, kama alivyofanyWaziri wa Mambo ya NdaMheshimiwa Dr. Emmanu

    Nchimbi.Lakini tujue kuwa poli

    kama taasisi, sidhani kamwananchi wengi wanaiamivya kutosha. Mnakumbuklile tukio la kuibiwa mfany

    biashara Dar es Salaam jujuzi tu; na pesa zilizopatikanwaligawana jamaa! Hiyripoti ya Afande SuleimaKova iko wapi? Kama poliimefikia kufanya haya nmengine mengi itakuajeTumuamini nani?

    MwananchiZanzibar

    Simtaki Sheikh huyu, sifa zake siyo njema,Yafaa kumuepuka, Sheikh huyu sio mwema,Yazidi yake jeuri, wala hana sifa njema,Sheikh huyu Sheikh gani, aso faida na umma.

    Yu pamoja na kafir, hajui cheo neema,Hugawa Waislamu, kwa zao dhamira njema,Ghururi za ulimwengu, Sheikh zimemwandama,Sheikh huyu Sheikh gani, aso faida na umma.

    Kitabu chakojolewa, mbio mbio kulalama,Kakojolea mtoto, asitupiwe lawama,Hivi unakithamini, kitabu chake Rabana,Sheikh huyu Sheikh gani, aso faida na umma.

    Majumba hata magari, sio vitu vya maana,Ipo siku siku moja, vyote vitakusakama,Muogope Mola wako, adhabu zake ni pana,Sheikh huyu Sheikh gani, aso faida na umma.

    Bora wangu ufukara, kesho nipate salama,Kuliko maisha bora, dhulma kukutawala,Huwezi pata salama, tubu utaangamia,Sheikh huyu Sheikh gani, aso faida na umma.

    Mwisho ninakuusia, ewe Sheikh ulo Dar,Wengi waloangamia, fedha ziliwahadaa,Waliuza utu wao, dini wakaikataa,Sheikh huyu Sheikh gani, aso faida na umma.

    Abaa Abdul-azizi (Ngamia wa Jangwani)Dar.

    Sheikh huyu Sheikh gani

    Kama!Kama ningeliwezaga, nami pia kuandika,Kalamu ningeshikaga, maswali ningewatwika,Wote wanaovuruga, amani yetu hakika,Kama ningeliwezaga, hofu kando kuiweka.

    Kama ningeliwezaga, kusema na kutamka,Kipaza ningeshikaga, yote ningeyatapika,Yanayo tuumizaga, kote yangeli sikika,Kama ningeliwezaga, hofu kando kuiweka.

    Kama ningeliwezaga, kutunga zikatungika,Habari za kuwazuga, wananchi potosheka,Mapema tungefikaga, nchi yetu kuchafuka,

    Kama ningeliwezaga, hofu kando kuiweka.

    Kama ningeliwezaga, ukweli kuutamka,Ningelivalia njuga, bahari nikaivuka,Visiwani tiananga, wauaji kuwasaka,Kama ningeliwezaga, hofu kando kuiweka.

    Kama ningeliwezaga, kuongopa pasi shaka,Ningeliwachafuaga, nyote mkawa mwanuka,Kwangu ningesafishaga, uchafu ukaondoka,Kama ningeliwezaga, hofu kando kuiweka.

    Kama ningeliwezaga, kuamuru Amrika,Wote ningeliwaswaga, barazani vibaraka,Ummatumewachokaga,nanyingizenu dhihaka,Kama ningeliwezaga, hofu kando kuiweka.

    Kama ningeliwezaga, kufuta likafutika,Baraza ngelifutaga, kabisa likafutika,Moyo wa niumizaga, kushoto wakijiweka,

    Kama ningeliwezaga, hofu kando kuiweka.

    Kama ningeliwezaga, kutangaza Tanganyika.Visiwani hawanaga, sheria imeshindika,Raia kumilikaga, silaha mekatazika,Kama ningeliwezaga, hofu kando kuiweka.

    Kama ningeliwezaga, uliza likajibika,Nani aliyempaga, silaha ikatumika?Mauaji kafanyaga, au nje ametoka?Kama ningeliwezaga, hofu kando kuiweka.

    Kama ningeliwezaga, kaditama nimefika,Hili ningelisemaga, uongo siyo kichaka,Timamu kujifichaga, majinuni sina shaka,Kama ningeliwezaga, hofu kando kuiweka.

    Isihaka Hemed MzuzuriMorogoro

    Na Sheikh MohamedObaida

    Msamaha katika Uislamu

    Shukrani zote anastahikiMwenyezi Mungu na rehemana amani z imf ikie BinAbdillahi huyu ni neemayenye kutegemewa na jamaazake na sahaba zake na walewote waliomfuata yeye amabaada ya utangulizi huu.

    Mpenzi msomaji, makalahi i anuani yake utakutaimekusanya maneno matatuyenye herufi chache, lakinimwenye kutafakari manenohaya, atayakuta yamebebamaana kubwa miongoni mwa

    mambo muhimu ambayohapaswi kuyakosa kwa watuwote.

    Na kabla hatujaingia katikasomo la msamaha katikaUislamu, tunapenda kwanzatuitambulishe kwenu maana yamsamaha kwa lugha ya kiarabuna mpatano wa wanazuoni.

    Ama msamaha kwa lughani salama na uwepesi. Kwamakubalianoya wasomi, nikusamehe watu katika hudumambalimbali kwa kufanya wepesiwa mambo na kulainisha,ambako kunaonyesha uwepesina bila ya kutumia nguvu.

    Miongoni mwa vitu vilivyowazi kabisa katika msamaha

    wa Kiislamu:- Msamaha waKiislamu katika sheria zakeinakusudiwa kwamba, Uislamuni dini nyepesi na msamaha nasheira zake zote zinasimamiaju u ya hu u ms in gi mk uu .Amesema mwenyezi Mungu(anataka Mwenyezi Mungukwenu wepesi na wala hatakikwenu uzito).

    Na pia amesema tena (Na walahataki kuwafanyieni katika diniuzito) Surat Haji, na amesema,Na mcheni mwenyezi Mungukiasi muwezacho. Taghabun

    16.Pia amesema,Hamlazimishi

    Mola mtu yeyote isipokuwalile unalioweza kulifanya.Na miongoni mwa hadithi zaMtume (SAW) ile aliyoipokeaImamu Bukhari katika Sahihizake, kwamba dini ni nyepesi naatakayeitia ugumu dini isipokuaitamshinda. Basi anayetazamakwa makini juu ya dalili hiziza aya na hadithi zinabainikakwake, na kumfafanul iakuwa sheria zote za Kiislamuzimejengewa katika wepesi namsamaha na ulaini.

    Msamaha wa Uislamu katikakuhudumiana (Kuishi vizuri).Kwa hakika umelinganiaUislamu kwa Waislamu juu yamsamaha katika kuhudumiana,katika kuuza na kununua nakukopa na kulipa na kuyafanyamambo hayo kunapelekeakatika Rehema za MwenyeziMungu na mapenzi yake.

    Maana ya msamaha katikakuuza ni kuwa, asiwe muuzajabahili juu ya bidhaa zake namwenye kupandisha bei bidhaana kutaka faida zaidi, bali awempole na mwenye kuridhia kwakidogo akipatacho miongonimwa faida.

    Msamaha katika kununua.Awe mwenye kununua mwepesikatika kununua kwake asiwemlal ia j i wala muombaj ipunguzo ili asizuie bidhaa hiyokuuzika.

    Msamaha katika kudai.

    Aombe deni lake au haki yakkwa upendo na sio kwa ubabna iwe kwa ulaini bila kutumnguvu na achunge hali ymdeni wake, na akiwa hankitu amsubirie au amsamehhilo deni lake. AmesemMwenyezi Mungu mtukufu, Nanapokuwa mdaiwa hana kitna asubiriwe hadi atakapopana mtakapotoa sadaka ni khekwenu ikiwa mnajua . Barak28.

    Msamaha katika ulipaji denArudishe haki kwa mwenyew

    kwa wakati waliokubaliana nwala asimlazimishe kwa nguvkisha akafuatia kutekeleza hakwa mwenyewe na wingi wasante na dua au kumkimbikiwa anaweza.

    Na mfano hai na bora kabini ule ambao mtu mmojalikuwa anamdai Mtume, akakuliomba deni hilo kabla ymuda, akakusudia SayidinOmar kutaka kumuua, Mtumakasema; Nilitarajia kuwutaniamrisha kuwa nimlipe, tenkwa vizuri zaidi, akaamrishalipwe deni lake na ziadakasema hii ziada ni malipya kule kumtisha kwako ewOmar.

    Vile vile miongoni mwmsamaha wa Kiislamu kuongea maneno mazuri na kau

    nzuri. Amesema MwenyeMungu mtukufu, Nasemwaambie waja wangu wasemyaliyo mazuri zaidi.

    A m e s e m a M t u m e wMwenyezi Mungu, Neno zuni sadaka.

    Hii ni baadhi ya mifano hya kuonyesha msamaha wUislamu, ambao laiti tungyazungumzia kwa upanbasi pasin gali tos ha. Lakintunatosheka na maneno haymafupi ambayo yatampmsomaji picha ya uhakika juya msamaha wa Kiislam nutukufu wa sheria zake.

    Basi Mwenyezi Mungu ndiymumwezeshaji.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1062

    13/16

    13AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA MACHI 15 - 21, 201MAKALA

    Na IbrahimMohammed Hussein

    HIVI karibuni Waziriwa Mambo ya ndanialiitangazia Dunia kwambasehemu moja ya Tanzaniakuna ugaidi, sehemu hiyoni Zanzibar. Kisa cha

    Pamoja na ugaidi, tuangaliena yale aliyosema Kikwetekuitangazia Dunia nikuuwawa kwa kiongoziwa Kanisa. Rais JakayaKikwete ameahidi kuagizawapelelezi na makacherokutoka nchi za nje kusaidiaupelelezi. Huu ni uamuziwa busara ikiwa tutautumiavyema kuchunguza mauajiyaliyotokea huko nyumana haya yanayoendeleakutokea hivi sasa. Sualala usalama wa raia na malizao ni suala la Muungano.W a z a n z i b a r i b a d owanataka kujuwa ukweli

    wa mambo juu ya kuuwawaViongozi na raia wengi wanchi hii. Waziri kuiambiaDunia kwamba Zanzibarkuna magaidi ni jambozito sana. Uzito wa jambohilo unategemea Duniaitakavyolipokea neno laWaziri wa Mambo ya Ndaniwa Serikali ya Jamhuri yaMuungano la kuipata tafsiriya Ugaidi.

    Wengi wetu tunaposikianeno ugaidi linatajwa kwenyevyombo vya habari, basiharaka hutujia kumbukumbuya zile hujuma za kigaidi

    zilizofanywa katika vituovya Biashara vya jijini NewYork, Marekani, maarufuSeptember 11. Wengi piamiongoni mwetu tunaposikiahabari za mashambulizi yakigaidi, basi hutujia zilekumbukumbu za hujumaza kigaidi zilizofanywadhidi ya majengo ya Baloziza Marekani huko Dar esSalaam na Nairobi mwaka1998. Tafsiri ya nenougaidi kwa wengi wetu nimashambulizi yanayofanywana kundi la watu wanaodaihaki zao kwa kutumia nguvu

    na ukatili dhidi ya mahasimuwao. Kitendo cha ugaidisiku zote au kwa kawaida,hunasibishwa na harakatiza kisiasa za mapambao yakitabaka, kati ya tabaka lawanaokandamizwa dhidiya dola. Hii ndio dhanai l iyo jengeka s iku h iz imiongozi mwa watu wengiUlimwenguni kote.

    Maana ya neno Ugaidi aukwa Kiingereza Terrorism

    ni kitendo chenye kutiahofu na kusababisha maafana machungu makubwa.Ugaidi s i dhana mpyaulimwenguni kama wengiwetu tunavyodhani. Ugaidi nineno jipya katika msamiati waKiswahili ambalo limeanzakutumika baada ya kuzukawimbi la mashambuliziya kigaidi Duniani. Hukonyuma, kiasi cha miongomitatu iliyopita neno hilihalikuwepo ingawa vitendohivi vilishamiri sana hukoulaya na mashariki ya kati.

    Hivi leo, jamii dunianikote imejenga dhana yamtazamo wa upande mmoja,kwamba ugaidi ni kitendocha kikatili kinachofanywana kundi fulani dhidi ya dolaau tabaka la mwenye nguvuza kisiasa na kiuchumi nao

    pia huweza kufanya vitendovya kigaidi. Mfano wanukta hii, ni kwamba dolayeyote isiyo heshimu haki za

    binaadamu na haki nyengineza raia basi dola hiyo itakuainafanya vitendo vya kigaidina hivyo hugeuka na kuadola ya kigaidi. Kama maanahalisi ya ugaidi ni kutia hofuinayowaletea wanaadamumaafa na mchungu, kwahivyo hata dola kama inafanyahivyo dhidi ya raia zake basinayo huitwa dola ya kigaidi.

    Kama itasemwa kuwaZanzibar kuna ugaidi, basi

    ugaidi huo utakuwa wa doambao ulianza mara baadya Mapinduzi matukufu y1964. Wale vijana wa zamawatakumbuka kwambawamu ya kishindo kilichothofu na machungu makubwmiongoni mwa WazanzibarVijana wa leo nao piwatakumbuka jinsi gani rawalivyoteseka mara baadya kuanzishwa mfumo wsiasa za vyama vingi. Ugaiwa dola uliofanyika katikawamu ya kwanza ya serikaya Mapinduzi ulifanywa dhiya Wazanzibari kwa visingiz

    mbali mbali vikiwemk u w a d h i b i t i w a p i n gMapinduzi, wezi wa mali yumma, tuhuma za kupinduserikali na kadhalika. MpingMapinduzi kwa wakati hualikua hata Yule aliepitikiwna usingizi wa jioni wakaBwana Mkubwa alipokuakihutubia mkutano whadhara kwenye viwanja vyMaisara. Wengine waliitwwapinga Mapinduzi kwkua watoto wao waliikimbnchi kwa sababu za kitoto tHivi ndivyo ilivyokuwa doya Tanzania ikiwatendea razale. Nasema Tanzania kw

    sababu Wazanzibari wote raia wa Tanzania na suala uraia ni suala la Muungano

    Katika kipindi hichhakukua na sheria wamahakama za kiraia bamahkama za kimapinduzilizo hukumu kwa chuki nutashi wa Bwana Mkubwna kamati yake ya watu 1Mahakama za miji ya Unguna Pemba zilikua na wazewaliokua wakiwafungraia bila ya hatia yoyotWananchi wengi wasio nhatia waliathirika chini ymahakama hizi. Wakati huwa ugaidi wa dola, hata askawa chama cha ASP-Valantinao walikua na sauti na amya kumpiga mtu mijeledi nkumlaza mtu ndani.

    Ka t ika ha l i h iyo ykutokuwepo kwa sheria nhaki watoto wengi walipotez

    baba zao, wanawake wenwalipoteza waume zao nwatu wakapoteza ndugmarafiki na hata wachumbwao. Haya yalifanywa ndola dhidi ya raia zakIlikua haipiti wiki moja bikusikia, mume wa fulankachukuliwa, baba yakfulani kachukuliwa, ndug

    Inaendelea Uk. 1

  • 7/29/2019 ANNUUR 1062

    14/16

    14AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA MACHI 15 - 21, 20Makala

    WAISLAMU MNATANGAZIWA NAFASIZA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YACHETICHUO CHA UALIMU KIRINJ IKOISLAMIC

    A. SIFA:

    Muombaji awe na sifa zifuatazo:(a) Ufaulu wa kidato cha 4 usiopunguaalama 27 katika kikao kimoja cha mtihani,asiwe amekaa zaidi ya miaka mitano (5)tangu amalize kidato cha nne.(b) Awe na credits 4 kiwango cha Cendapo amekaa mtihani kwa vikao zaidiya kimoja.(c) Kuhitimu kidato cha 6 ni sifa yanyongeza.

    NAFASI ZA MASOMO YA UALIMU NGAZI YA CHETI 2013/2014

    B. MAELEKEZO MUHIMU KWA WAOMBAJIWOTE1. Fomu ya maombi iambatanishwe na vyeti(leaving and Academic certificates) vya kidatocha 4 pamoja na picha ya hivi karibuni.2. Fomu irudishwe siku ya kufanyiwa usaili

    tarehe 8/6/2013 saa 2:00 asubuhi.3. Vituo vya usaili ni hivi vifuatavyo:(a) Kirinjiko Islamic T.C SAME(b) Ubungo Islamic T.C DSM(c) Nyasaka Islamic S.S. Mwanza4. Majibu yatatolewa kwa watakaochaguliwatu.5. Fomu zinapatikana kwa gharama yashilingi elfu kumi katika vituo vinavyoonekanaukurasa wa 15 katika tangazo la Shule.

    Pamoja na ugaidi, tuangalie na yale aliyosema KikweteInatoka Uk. 13

    yake Fulani kachukuliwaau mjomba yake Fulanikachukuliwa usiku wamanane. Hali hiyo iliwatiahofu na machungu makubwa

    raia. Vibuhuti na simanziviliingia majumbani. Huondio uliokua ugaidi wa doladhidi ya raia zake.

    Ugaidi wa dola katikasiku za awamu ya kwanzaya Mapinduz i u l ivukamipaka hata ya kidini kwakulazimisha ndoa zisizo kuana idhini ya wazee. Kamaidhini ilitolewa na mzazi

    basi ilikua chini ya khofukubwa. Wake na watotowaliopotelewa na waumena baba zao hawakuelezwa,angalau wakatimiza mashartiya kidini ya eda na urithi.

    Ndoa hizo zilikua si lolotebali ni zinaa na makadhi na

    masheikh wakijua hivyo,lakini waliwaogopa watawalakuliko Mola wao. Baadhi yawatoto wa kike walioolewachini ya mpango huo wampata mpatae walifanyamajaribio kadhaa ya kujiuaa u k u z i h a t i b u mi mb azilizoingizwa chini ya zinaahiyo ya jumla jamala. Hivyondivyo Dola inapokua ya

    kigaidi-State Terrorism.Dola linapokua gaidi huahatari kuliko chui mla watu,mwenye njaa kali.

    Wakati Fulani Mfalmemmoja huko katika China

    ya kale, alikitembelea kijijikimoja katika mahmia yake.Alipofika kwenye kijiji hichoalimkuta mama mmoja analiakwa uchungu mkubwa nahuku anaomboleza. Mfalmeakaingiwa na huzuni naakasimamisha msafara wake,kisha akamuuliza yule mama,nini kilichomsibu . Mamayule akamueleza Mfalmekwamba mwanawe ameliwana chui asubuhi ya siku ile.Mfalme akambembelezasana na akamtia moyo kwakumwambia kua asikatetamaa Mwenyezi Munguatampa mtoto mwengine.Yule mama akapiga mayowena kuangua kilio kuliko chamwanzo.

    Mama yule akamwambiamfalme, chui huyu kauamume wangu kwanza nakisha kaua watoto wanguwatano na huyu wa leo niwa sita, sina tena mtu mimi.Mfalme akahuzunishwa sanana masahibu yaliomkutamama yule. Baadae mfalme

    yule akamshauri yule mamaaondoke kwenye kijiji kile.Mama yule akamwambiamfalme kwamba siwezikuhama hapa, kwani katikakijiji chetu kuna utawalamzuri unaoheshimu hakiza watu. Mfalme akasema,kumbe watawala wabayani hatari kuliko chui mlawatu. Vivyo hivyo, kumbedola linapokua gaidi ni hatarikuliko chui mla watu.

    Dola l inapokua gaidimaisha ya raia hua kitu kisichona thamani na utu wa mtu huahauna maana. Lakini bayazaidi ni kua dola inapokuagaidi hua si rahisi kujibadilina hata ikificha kucha zake

    basi meno yake yataonekanapale inapocheka.

    Zanzibar hivi sasa ni tulivuna shwari kutokana na damunyingi iliyomwagika huko

    nyuma ambayo hatimaeilipelekea kupatikana hikikifaa kinachoitwa Mwafaka.Lakini madhara na simanzi zaenzi ya dola ya kigaidi badozipo na ni vigumu kusahaulikakwa sababu bado serikaizilizopo madarakani hazitakikukubali kwamba mamboyaliofanyika huko nyumayalikua ni makosa makubwa

    ya kisiasa na kijamii. Sasahivi katika ulimwengu wetuhuu kumezuka utamaduniwa kisiasa ambao unaletamwelekeo mwema wa kuletaumoja wa kitaifa, utengemano

    na uzalendo. Utamaduni huuni ule wa kutafuta maridhianokwa nia ya kusahau yaliopitana kuanza ukurasa mpyakatika Taifa.

    Ili kuondoa sura mbaya yaugaidi wa dola uliofanyikah u k o n y u ma d h i d i y araia basi haitakua jambola aibu serikali kukiri kuawaliotangulia walitendakosa. Kinyume cha hivyo,serikali zetu zinapoendeleakukaa kimya na kujifanyaviziwi basi huenda jambo hilihuko mbele likachukua suranyengine. Viongozi wetuwasijifanye vipofu na viziwi,wasikilize na watazame ninikinatokea ulimwenguni hiileo kuhusu masuala kamahaya. Kumnyima mwananchihaki yake ya kiraia kuihojiSerikali na pia kuwakatazawatu wasiyaseme maovuyaliofanywa na Serikalidhidi ya raia zake ni badokuendeleza ugaidi wa dola.

    Hivi sasa Kadinali Pengoametoa matamko mazitoanasema:

    Hili si tukio la dharurkiasi kwamba watu wetu wusalama wa Taifa washindwkuzuia, hili lilijulikana nlingeweza kuzuilika.

    K w a m a n e n o h a yya Kardinali panahitajikuchunguz i wa ha l i y

    juu. Vile vile tusikimbilugaidi tu, hata kauli ya RaKikwete alioitoa miezi ynyuma ya kuwaonya baadya Viongozi wa dini ambawanajishirikisha na uuzaji wmadawa ya kulevya ni vizukutupiwa macho. Siku zotunasikia kwamba Zanzibni njia kuu za madawy