KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda...

80
KUSHIRIKI KWENYE NGUVU MMOJA-KWA-MMOJA

Transcript of KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda...

Page 1: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

KUSHIRIKI KWENYE

NGUVU

MMOJA-KWA-MMOJA

Page 2: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

ii

Page 3: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

iii

WALIOKUSUDIWA

Ukufunzi wa mmoja-kwa-mmoja wenye nguvu umeandikiwa wale wote

waliojitolea kwa mwito mkuu wa Bwana wetu Yesu Kristo, na wamejitoa

mhanga kuhakikisha kwamba wanashiriki kuwafanya wengineo hadi kila

mmoja kote ulimwenguni atakapomjua Mungu kibinafsi.

SHUKURANI

Nakala hii imetayarishwa ili kueleza mafunzo kamili jinsi wakriso wachanga

wanavyoweza kukomaa katika mwenendo wao na Mungu na kuweza

kusaidia wengine. Shukrani kwa wale wote waliosaidia kuiandaa.

Dynamic Churches International

Kenya Representative

Simeon Oyugi P O Box 798-00515

BURUBURU, NAIROBI, KENYA EAST AFRICA

Email: [email protected]

Vifungu vya Biblia vilivyonakiliwa katika kitabu hiki vyote ni kutoka kwa

Biblia Habari Njema toleo la 1995, na ile ya mashirika yaliyoungana ya

1994,1952,1989. 2016 Dynamic Churches International.

Haki zote zinahifadhiwa. (Pamoja na utafsiri)

Page 4: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

iv

YALIYOMO

UTANGULIZI ................................................................................ V

SOMO LA KWANZA

KUMJUA MUNGU KIBINAFSI ...............................................…..... 1

SOMO LA PILI

KUSHIRIKI HABARI NJEMA ......................................................... 11

SOMO LA TATU

UFANISI KATIKA ZIARA YA NYUMBANI ............................... 21

SOMO LA NNE

UJUMBE WA KUSHIRIKI ………................................................... 31

SOMO LA TANO

UJASIRI WA KUSHIRIKI NA RAFIKI ........................................... 39

SOMO LA SITA

WATU KUWAFIKIA WATU ...................................................... 49

NAKALA YA UINJILISTI WA NYUMBA KWA NYUMBA ………. 59

MASWALI KWA MAJIRANI …...................................................... 63

MASHAURI KWA WAKUFUNZI .............................…................. 65

MAELEZO YA MFULULIZO WA MAISHA YA USHINDI ......... 69

RIPOTI YA KUWASILIANA NA MGENI ....................................... 71

CHETI CHA KUFAULU …................................................................ 73

Page 5: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

v

KUSHIRIKI KWENYE NGUVU

MMOJA-KWA-MMOJA

Utangulizi

Fundisho hili limeandaliwa ili liweze kutumiwa pamoja na mojawapo ya njia

za kuihubiri injili.

Vitabu vingine vinavyoweza kutumika.

Je ungependa kumjua Mungu kibinafsi? au Je umesikia kanuni nne za

kiroho? Vyote vimeandkikwa na Dr. Bill Bright

Hatua za amani na Mungu kimeandikwa na Dr. Billy Graham.

Kwa mafunzo ya maisha ya kiroho kamili tunakubali kijitabu kiitwacho

Je umegundua maisha tele ya kiroho? Kilichoandikwa na Dr. Bill Bright.

Vijitabu vingine vinaweza kutumika, lakini ni lazima vitimize au viwe

vinalingana na maelezo sahihi.

Tumia vijitabu vinavyokubaliwa na uongozi wa kanisa lako.

Kwasababu ya utumizi wa vijitabu vilivyotajwa hapo juu baadhi ya maelezo

kuhusu jinsi ya kuvitumia vijitabu hivi kikamilifu yamechukuliwa kutoka kwa

maandishi mbalimbali yaliyotolewa na Here's life publishers.

Page 6: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

vi

Mfululizo wa maisha yenye nguvu

Ushirika imara ni mojawapo ya hali ya kukua katika maisha yenye nguvu

kwa kanisa iliyo kusudiwa kustawisha Wakristo kuelekea ukomavu ndani ya

Kristo.

Mchoro ufuatao unaonyesha jinsi KushirikI Kwenye Nguvu kunavyopatana

na hatua zilizopendekezwa na Dynamic Churches Internatinal kwa kanisa.

(Kwa mafunzo ya jumla angalia maelezo kwa waalimu).

Mfululizo wa maisha yenye nguvu

Ja

mii

Misingi Ushirika

Vijana

Kuabuda

Huduma

Zingine

Ku

ku

nzw

a kw

a kion

go

zi

Kuin

gizw

a katika hu

dum

a

Ukufunzi

Kikundi cha Uhai Kundi Dogo

Page 7: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

1

SAHIHISHA SOMO LA KWANZA

Kwa kukamilisha somo hili nita (sahihisha unapokamilisha)

MAANDALIZI (Kukamilishwa kabla ya kukutana pamoja)

1. Kamilisha mambo yote ya somo la kwanza kabla ya kukutana na

mwalimu wangu.

2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari

kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu).

3. Weka akilini alama yote ya kwanza pamoja na vifungu na nakili

zilizomo katika vijitabu vya injili".

(nitakuwaa ttayari kushiriki na mwalimu wangu)

KUKAMILISHWA PAMOJA NA MKUFUNZI

1. Marudio kwa somo la kwanza

2. Kusoma ushuhuda na kuusahihisha ipasavyo.

3. Kushiriki kutoka kwa kukariri kwa alama ya kwanza ya kijitabu

cha injili.

4. Kurudia kwa kifupi "Hatua za kufanya matembezi ya nyumba kwa

nyumba. (Angalia alama ya 8 na 9 hapo chini).

5. Shirikiana na mkufunzi anapopanga wakati wa kukutana na mtu

aliye wasiliwa kupitia kanisani. Kipindi (somo) cha pili

kitahusishwa wakati huu.

Wakati wa maombi

6. Jadiliana na mkufunzi na andika orodha ya marafiki watatu.

Tutawaombea kila juma kwa wokovu wao.

______________________________________________________

______________________________________________________

______________________________________________________

Page 8: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

2

Ninauliza maombi juma hili kwa ajili ya:

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Msifu Mungu kwa ajili ya wokovu wetu:

Tutaomba pamoja kwa ajili ya miadi yetu. Tutakaowambea kwa

majina (Ikiwezekana) wale wote tutakaowatembelea Tutaomba kwa ajili ya

kukubaliwa au kupokelewa kwa neno la injili.

7. Kurudia "masahihisho ya somo la pili" Maandalizi" " kazi za

matayarisho zikamilishwe kabla ya wakati wa kukutana tena.

Ziara ya kiuinjilisti

8. Kwa pamoja tutajitambulisha na kujenga urafiki

9. Muangalie mkufunzi kwa utulivu anapotoa mwongozo kwa

yafuatayo:

Anapo:

Shiriki Ushuhuda wake

Uliza maswali ya uchunguzi

Shiriki injili au ujumbe wa maisha yaliyojawa na Roho

Shiriki ujumbe wa injili au maisha kamili ya kiroho vikundi vya maisha

au Mmoja-kwa-Mmoja.

Malizia ziara kwa Maombi

Kamilisha ripoti ya mgeni/jmawasiliano baada ya miadi.

(Ripoti hii ipewe kiongozi wa kikundi cha maisha au

msimamizi wa ziara.)

Page 9: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

3

KUSHIRIKI KWENYE

NGUVU Somo la kwanza

KUMJUA MUNGU KIBINAFSI

UTANGULIZI

Pongezi! Uko tayari kujiandaa kwa kuingia katika jukumu muhimu sana lijulikanalo

kwa mwanadamu. Ni la muhimu sana kiasi ya kwamba, “Yesu aliachia enzi

yake mbinguni” ili akalitimilize. Kama vile tunavyosoma katika kitabu cha

Yohana 17:4, kwamba kabla ya kusulubiwa aliomba kwa babaye akisema

“.Mimi nimekutukuza hapa duniani; nimeikamilisha ile kazi

uliyonikabidhi kuifanya”. Alipokuwa akifa pale msalabani kwa ajili ya

dhambi za ulimwengu ili kutukomboa sisi sote, Alisema “Imekwisha”. Sasa

basi umebahatika kushiriki katika Huduma yake hii kuu, huduma ya

kuupatanisha ulimwengu na Mungu. Mungu atakubariki unapofanya kile

kinacho mpendeza moyoni mwake.

“ Na uhai wa milele ndio huu: kukujua wewe uliye peke yako

Mungu wa kweli, na kumjua Yesu Kristo uliyemtuma.”

Yohana 17:3

Wewe ni Mkristo leo kwasababu Mungu alikufikia, nawe ukaitikia kwa

kumkubali Yesu Kristo kuwa mwokozi wako. Dhambi zako zimesamehewa

nawe sasa una amani na Mungu.

KUJIENDELEZA KIBINAFSI

KUANDAA MAISHA YANGU

Maagizo ya kwanza yake Yesu kwa wanafunzi wake yalikuwa yapi?

Mariko1:17 ___________________________________________________

_____________________________________________________________

Andrea alifanya nini baada ya kukutana na Yesu?

Yohana1:40-42 ________________________________________________

_____________________________________________________________

Page 10: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

4

Maagizo yake Yesu ya mwisho yalikuwa yapi?

Mathayo 28:16-20 ______________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Matendo ya Mitume 1:8 _________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Kwa nini mtume Paulo hakuionea haya injili yake Yesu Kristo?

Warumi 1:16 __________________________________________________

_____________________________________________________________

Je, lengo lake Paulo kwa maisha yake lilikua nini?

Wakolosai 1:28, 29 _____________________________________________

_____________________________________________________________

Kila kitu Yesu alichosema na kutenda kilisaidia kufikia kilele cha shabaha

ya maisha yake ambayo ilikuwa ni kuukomboa ulimwengu. Alidhihirisha

upendo wake kwa wote kwa kufa msalabani. Yesu anataka uwe mwanafunzi

wake, kwa hivyo uonyeshe upendo wako kwake kwa kuenda na kufanya

wengine kuwa wanafunzi wake.

Kufanya wanafunzi ni hatua.

Nendeni Basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu,

mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.

Wafundisheni kushika maagizo yote niliyowapeni. Nami nipo pamoja nanyi

siku zote; naam, mpaka mwisho wa nyakati. Mathayo 28:19-20

Fanya wanafunzi watakao ...

Kufanya wanafunzi ni hatua.

Enda ulim- wenguni kote (Uinjilisti)

Shuhudia Kristo Batiza wote watakaom-

pokea Kristo

Wafundisha kushika

Maagizo

Obedient Disciples Share Christ & Make Other Disciples

Page 11: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

5

Kama wakristo, tunajukumu katika kazi yote, lakini hatua ya kwanza katika

kazi hiyo yote ni kuhubiri. Pasipo na hatua hii ya kwanza, ni vigumu

kuwafanya watu kuwa wanafunzi.

Kabla ya kushuhudia Kristo kwa wengine unahitaji kujiandaa.

1. Uwe na uhakika wa uhusiano wako na Mungu. Hauwezi kuwaambia

wengine kuhusu amani ya Mungu isipokuwa unamjua Yesu Kristo

kibinafsi..

Je unajua kama Kristo anaishi ndani yako? ________________________

Unajuaje kama Kristo yu ndani yako?

___________________________________________________________

___________________________________________________________

___________________________________________________________

2. Hakikisha ya kuwa uko radhi kuungama dhambi zote unazozijua.

Dhambi hukata mtiririko wa nguvu za Mungu ndani ya maisha yako.

Kama wewe ni Mkristo aliyeshindwa hautataka kushiriki na wengine kwa

sababu hauhisi ukweli wa Kristo katika maisha yako wakati huu.

Hebu jiulize maswali yafuatayo (answer Yes or No).

Je, kunayo dhambi yoyote ambayo siko tayari kuitubu? ______

Je, ninachuki kwa mmoja wa jamii au rafiki? ______

Je nimeipoteza furaha ya uhusiano wangu na Kristo? _______

Je Mungu, anayajibu maombi yangu? _______

Ili ukaweze kuhisi na kuupokea upendo, na msamaha wake Mungu, ni utubu

dhambi zako.

1. Muulize Roho Mtakatifu akufunulie dhambi ambazo haujazitubu ndani

ya maisha yako.

2. Ziandike kwenye karatasi. Mwambie Mungu ni nini umekosea maishani

mwako. Orodha hii ni kati yako na Mungu.

3. Andika juu ya Orodha hii ahadi za 1Yohana 1:9

4. Umshukuru Mungu kwa msamaha wake na utakaso

5. Iharibu hio Orodha

6. Ikihitajika itabidi uwaombe msamaha watu wengine ukifanya upatanisho

inapohitajika.

Mara unapokuwa umemwamini Mungu kwa msamaa na utakaso wa dhambi

zako zote na umepewa Nguvu na Roho Mtakatifu, basi unakuwa uko tayari

kushiriki na wengine ushuhuda wako (Hadithi ya maisha yako) ulivyo mjua

Mungu kibinafsi.

Page 12: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

6

MAFUNZO KWA VITENDO

KIKAO CHA “HADITHI YA MAISHA YANGU”

Kusudi la kikao hichi ni kukusaidia uweze kuandika ushuhuda wako na jinsi

ya kuelezea wengine.

JINSI YA KUANDAA "HADITHI YA MAISHA YANGU"

USHUHUDA WA KIBINAFSI.

Mjadala wowote unaweza kuelezwa kwa ufasaha kama kuna mpangilio ulio

mzuri. Ushuhuda ambao umeandaliwa vema, na kutiwa nguvu na Roho

Mtakatifu, unaweza kutumika kwa haraka na unaweza kutumika mahala

popote pa kushuhudia. Tamanio letu liwe kutaka kumueleza Kristo kwa

njia iliyo wazi, ya kupendeza, ambayo ni rahisi, ili wote watakaosikia

wakatamani kumjua yeye pia, na Jinsi ya kumpokea kibinafsi.

Yale ya kufanya na yale yakutofanya katika ushuhuda wa kibinafsi.

Ya Kufanya.

1. Muombe Mungu akupe hekima na mwongozo unapoandika

(Yakobo 1:5, 6)

2. Fuata mpangilio wa vipengele vinne; Hadithi ya maisha yangu (Angalia

Karatasi ya mfano)

a. Eleza maisha yako kabla ya kumjua Kristo

b. Eleza jinsi ulivyomjua Kristo. (Uwe wazi)

c. Eleza kuhusu maisha yako baada ya kumpokea Kristo (mabadiliko

aliyokufanyia, na ana maana ngani kwako sasa).

d. Peana kifungu cha Biblia kinachothibitisha hayo.

3. Sisitiza alama ya “c” kama ulifanyika Mkristo ukiwa bado mtoto.

4. Tumia kama sekunde 10 kwa alama ya (a) sekunde 20 kwa alama ya (b)

sekunde 25 kwa alama ya (c) na sekunde 5 kwa alama ya (d). Alama ya

(a) na (b) ni maisha ya kale. Mara tu ukiyaandaa hautahitajika

kuyabadilisha. Alama ya (c) ni muhimu ifanywe kuwa ya sasa na mpya -

yaani vile Kristo anafanya ndani ya maisha yako sasa.

5. Anza na sentensi ya kusisimua, yakuvutia na umalizie na mwisho mzuri.

Jaribu kufuata kiini fulani hadi mwisho. Mifano ni kama:

Kusudi la Kuishi Hali ya kujisikia kukubaliwa

Neno la Mungu Hakikisho la wokovu

Uhuru kutoka kwa uoga wa Maisha Utimilifu

Uhuru kutoka kwa ubinafsi Amani akilini

Uhuru kutokana na hofu ya Kifo Upendo wa Mungu

Msamaha wake Mungu Ufanisi

6. Andika katika njia ambayo wengine watajihisi kuhusika au kufanana

nawe katika maisha yako ya kale na pia katika maisha yako ya sasa.

Page 13: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

7

Zungumzia mabadiliko katika tabia kama; kutopenda wengine, au chuki

kwa upendo; chukizokwa kuhusika; kutokuwa na furaha kwa furaha; hali

ya wasiwasi kwa imani; Kutokuwa na uvumilivu kwa uvumilivu, kukosa

nidhamu kwa kiasi.

7. Sahihisha kwa makini halafu uuandike vizuri kabla ya kuchapisha.

8. Kariri ushuhuda wako na uufanyie mazoezi mpaka uweze kuutoa bila

shida.

Yakutofanya: 1. Usitumie maneno magumu ya Kikristo - maneno kama: kuokoa,

kubadilishwa, kushawishiwa, kuzaliwa mara ya pili, dhambi. Ijapo

maneno haya na misemo hii ni mizuri kwetu, mara nyingi imeeleweka

vibaya na wasio Wakristo.

2. Usiwe mtu wa maneno mengi, kutokuwa na ufasaha, au usisitize sana

jinsi ulivyokuwa mtu mbaya sana.

3. Usitumie maneno kama ajabu, utukufu, Lashangaza, n.k.

4. Usitaje dhehebu la kanisa, hasa kwa kima dharau.

5. Usinene ubaya au kinyume cha mtu yeyote au kundi lolote la watu.

6. Usionyesha kana kwamba maisha ya Kikristo ni maisha yasiyo na shida

zozote.

CHUNGUZA “HADITHI YA MAISHA YAKO”.

1. Kiini changu ni nini? _________________________________________

2. Maneno yangu ya kuanzia yatawavutia?

Maisha yangu kabla ya kumpokea Kristo.

1. Kumbuka, nitakuwa nikiongea na wasio Wakristo, Je, wanaweza

kujitambulisha nami? Je niya hakika?

2. Nini kilinisababisha nigundue kwamba nilihitaji Kristo?

Jinsi nilipompokea Kristo.

1. Je, nilisema kwa kinaganaga jinsi nilivyomkaribisha Kristo ndani ya

maisha yangu?

2. Je, asiyekuwa Mkristo ataweza kujua vipi na kutamani kupokea Kristo

kutoka kwa kusikia ushuhuda wangu?

Page 14: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

8

Maisha yangu baada ya kumpokea Kristo.

1. Je nimetumia mifano wazi, na rahisi jinsi vile Kristo ameyabadilisha

maisha yangu?

2. Je, niya kweli? Kumbuka hakuna aliye mkamilifu.

3. Je, unadhihirisha kwamba ni Kristo anayeleta utofauti ndani ya maisha

yangu?

Vifungu sahihi vya Biblia

1. Je kifungu hichi kinaulinganifu na kiini cha “hadithi ya maisha yangu”?

Unaposhiriki Ushuhuda wako, hakikisha:

1. Unashiriki kwa upendo katika uwezo na Roho Mtakatifu (Waefeso 5:18)

2. Zungumza kwa uwazi, kwa ufasaha, na kwa sauti nzuri.

3. Uache tabia fulani wakati unapozungumza, kama kugusagusa pua,

kusafisha koo na kutumia maneno ya mmm na aha.

4. Usitumie lazima ili mtu aamue kwa Kristo. Kumbuka watu huzaliwa na

Roho, sio kwa ushawishi au ujuzi wa kibinadamu, ijapo Mungu anaweza

kutumia vyote.

5. Uache kuwahubiria watu. Eleza Ushuhuda, na si uhubiri. Sema “I” sio

“wewe”. Kumbuka ni hadidhi yako.

6. Tabasamu daima! Muombe Bwana akupe Uso wa furaha na mwangavu.

Page 15: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

9

“KARATASI LENYE HADITHI YA MAISHA YANGU”

MAISHA YANGU YA KABLA YA KUMPOKEA KRISTO

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

JINSI NILIVYOMPOKEA KRISTO (UWE SAHIHI)

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

MAISHA YANGU BAADA YA KUMPOKEA KRISTO

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

KIFUNGU SAHIHI CHA BIBLIA

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Page 16: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

10

Page 17: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

11

MAMBO YA KUTIMIZA KWA SOMO LA PILI

Kwa kumaliza somo hili nita (sahihisha ukimaliza)

MAANDALIZI

1. Kamilisha kazi yote ya somo la pili.

2. Jiandae kufanya mazoezi ya ushuhuda wangu na mwalimu wangu.

(Soma nakala ya mwisho kwa mwalimu).

3. Jiandae kufanya mazoezi kijitabu cha injili.

4. Kariri alama ya pili ya kijitabu cha injili (nitajiandaa kushirikiana

na mwalimu wangu).

KUKAMILISHWA PAMOJA NA MKUFUNZI

1. Rudieni somo la pili

2. Fanya mazoezi ya ushuhuda

3. Mchunguze mkufunzi anavyoshiriki kijitabu cha injili.

4. Shiriki kutoka kwa kukariri alama ya pili ya kijitabu cha injili.

5. Jizoeshe alama ya nne matukio mbalimbali.

6. Kwa kifupi rudia "hatua za kufanya ziara ya nyumbani.

(Tazama alama ya 10 na 11 hapo chini)

7. Mchuguze mkufunzi anapopanga siku ya kumtembelea mtu muliye

wasililiana naye kwa sehemu ya tatu.

Wakati wa Maombi

8. Endelea kuwaombea watu wale watatu kwenye orodha ya majina.

Nahitaji maombi juma hili kwa ajili ya:

_____________________________________________________

_____________________________________________________

_____________________________________________________

Tuombe pamoja kwa ajili ya agano letu.

Page 18: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

12

9. Fanya marudio ya Mambo ya kutimiza kwa somo la tatu. Kazi

za maandalizi zimalizike kabla ya kukutana tena.

Ziara ya kiuinjilisti.

10. Kujitambulisha kwa pamoja na kujenga urafiki.

11. Kumchunguza mkufunzi anapo:

Shiriki Ushuhuda wake

Uliza Maswali ya utafiti

Shiriki injili au ujumbe wa maisha yaliyojawa na Roho

Waalike kwa kikundi cha maisha na mafundisho ya

Mmoja-kwa-Mmoja.

Malizia ziara kwa maombi

Kamilisha ripoti ya wageni (hii ipeanwe kwa msimamizi au

kiongozi wa kikundi cha maisha).

Page 19: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

13

KUSHIRIKI KWENYE

NGUVU

Somo la Pili

KUSHUHUDIA HABARI NJEMA

KUJIENDELEZA KIBINAFSI

Ili kuwa mshuhuda bora wa Yesu Kristo, tunastahili kuwa vifaa vinavyofaa

zaidi. Mungu ametuchagua ili tukaishiriki habari njema ya injili na ametupa

njia zaidi za kutosha za kumshuhudia Kristo, Maandalizi ni muhimu sana.

Hebu tuangalie jinsi gani tunaweza kuwa washuhuda bora.

KUWEZESHWA KUSHUHUDIA.

Unapokuwa na ufahamu kupokea upendo na msamaha wake Mungu na

unapokua umejazwa na Roho wake Mtakatifu utakuwa ukifurahia maisha

kamili. Utatamani kushiriki na wengine. Pia utakuwa na nguvu za

kushuhudia imani yako kikamilifu.

Maisha kamili ya Kiroho ni maisha yanayo ongozwa na Kristo ambayo

Kristo mwenyewe anaishi ndani na kupitia kwako katika nguvu za Roho

Mtakatifu. Unaweza kujazwa na Roho Mtakatifu tu kwa imani,

ukimtumaini Mungu ili akuwezeshe kuishi maisha yenye matunda kama

aliyoahidi.

Unaweza kujazwa na Roho Mtakatifu uki

a. Kiri dhambi zote . (Zaburi 66:18)

b. Jiachilie kwa Mungu na mapenzi yake (Warumi 12:1, 2)

c. Mwamini Roho mtakatifu akujaze kulingana na amri yake katika

Waefeso 5:18, “bali mjazwe na ahadi yake katika 1Yohana 5:14, 15

Iandike ahadi yake. “Be filled with the Spirit” and His promise in

1 John 5:14, 15

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Page 20: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

14

Tunajua ni mapenzi ya Mungu kwa sababu ametuamuru tujazwe. Tunajua

atayajibu maombi yetu kwa sababu hayo ndiyo mapenzi yake.

JINSI YA KUOMBA KWA IMANI ILI TUJAZWE NA ROHO

MTAKATIFU.

Kama ungependa kuwa na uhakika kama Roho Mtakatifu anayaongoza

maisha yako, omba ombi hili.

“Bwana mpendwa, nimekutenda dhambi kwa kuyaongoza maisha

yangu. Asante kwa kuzisamehe dhambi zangu. Sasa nakuomba

ukayaongoze maisha yangu kabisa. Kwa imani, sasa ninadai nguvu za

Roho Mtakatifu na uongozi na ninakushukuru kwa kuniongoza”.

Je, Umeomba ombi hili? _________________________________________

Je, unajua sasa umejazwa na Roho Mtakatifu? ________________________

Unajuaje (How do you know?) ____________________________________

_____________________________________________________________

NGUVU ZA KUDUMU

Kwa tendo la kupenda unaweza kuendelea kuzihisi nguvu za Roho Mtakatifu

kila siku. Unapoitambua dhambi maishani mwako.

1. Kubaliana na Mungu kwamba umetenda dhambi. Tubu- Umwamini

Mungu kubadilisha nia na vitendo vyako.

2. Yatoe maisha yako ili yatawaliwe na Kristo.

3. Dai kwa imani ujazo wa Roho Mtakatifu maishani mwako.

4. Amini kwamba sasa anakuongoza na kukupa nguvu.

Unapoendelea kutembea katika nguvu za Roho Mtakatifu, utakuwa na amani

na Mungu. Utazidi kufanana na Yesu. Utaanza kuwapenda waliopotea na

kuwa na huruma ya kuwafikia wengine kwa ajili ya upendo na huruma za

Kristo ndani yako. Ndipo utakuwa tayari kuwashuhudia jinsi ya kupata

amani na Mungu. Utaendelea kujifunza kumtumaini yeye zaidi, utamruhusu

kuunda tabia ya Kristo ndani yako na kukupa nguvu za kuwa shahidi wake.

Page 21: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

15

MAFUNZO KWA MATENDO

KUVIKWA SILAHA ILI KUSHUHUDIA.

Watu wengi wametatanika sana na maana halisi ya Ukristo. Jukumu letu ni

Kuitoa injili yake Yesu Kristo kwa njia itakayoeleweka waziwazi. Kwa nini

ni muhimu wasikie na kuelewa kuhusu Kristo?

Yohana 14:6 ___________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Matendo ya mitume 4:12 _________________________________________

_____________________________________________________________

Ujumbe wake Paulo ulikua upi? 1Wakoritho 1:23,24

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Waefeso 3:8 __________________________________________________

Vitu gani muhimu kwa Injili kulingana na 1Wakorintho 15:3-4?

Vitaje 1. ___________________________________________________

2. ___________________________________________________

3. ___________________________________________________

4. ___________________________________________________

Inatupasa tuitangaze injili kwa njia ya kueleweka na kwa kiujuzi. Kijitabu

cha injili kitakusaidia kuyatazama maandiko ambayo mtu huhitaji kujua ili

ampokee Kristo.

MANUFAA YA KUTUMIA KIJITABU NI:

1. Injili inaweza kuonekana na kusikika pia.

2. Injili inaweza kuachiwa mtu kwasababu;

a. itamsaidia mwamini kusoma na kujifunza tena kibinafsi madai ya

injili.

Page 22: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

16

b. Itampa mwamini njia ya kushuhudia Kristo mara moja na mtu

mwingine.

c. Itampa fursa mtu yule ambaye hakuomba kujisomea jinsi ya kuwa

Mkristo wakati mwingine.

3. Kijitabu kinaweza kukaririwa na kuwasilishwa pasipo na kijitabu hicho.

4. Baada ya kuvikariri vifungu vya Biblia toka kwa kijitabu, vifungu hivi

vinaweza kutumika kutoka kwa Biblia ikihitajika.

JINSI YA KUSHIRIKI INJILI KWA KUTUMIA KIJITABU CHA

INJILI.

A. PATIKANA KWA MUNGU.

2 Timotheo 4:2 inasema “hubiri huo ujumbe, sisitiza kuutangaza (iwe ni

wakati wa kufaa au wakati usiofaa), Karipia onya na himiza watu

ukiwafundisha kwa uvumilivu wote”.

Mungu atawavuta watu kwa Kristo kupitia kwako, kama uko tayari. Kupitia

kufundishwa jinsi ya kuihubiri injili waziwazi unajiandaa ili ukatumiwe na

Mungu. Roho Mtakatifu atakuongoza kwa watu ambao mioyo yao

imeandaliwa ili kuisikia habari njema ya injili.

B. UWE MAKINI KWA WATU

Shabaha yetu ya kutumia kijitabu cha injili siku zote iwe kutaka kushiriki

upendo wake Mungu.Usifanye mijadala wala kulazimisha mtu yeyote

kufanya maamuzi ya kumpokea Kristo. Sehemu yetu ni kushuhudia, sehemu

yake Mungu ni kuubadilisha moyo wa mtu na kumfanya amwamini Kristo.

Mwache Kristo ampende mtu yule kupitia kwako.

Iwasilishe injili kwa urahisi na wazi. Njia nzuri ya kufanya hivyo ni kwa

kukisoma kijitabu kwa sauti ya kueleweka bila ya kukifananua. (Kumbuka,

unapo wafunza wengine, uwe mfano kwa kukisoma kijitabu. Hii,

itahakikisha kwamba wao pia watafanya vivyo hivyo) Usikisome kwa

mzaha bali ukimaanisha kumbuka haushiriki kijitabu tu, bali unashiriki

habari njema zaidi ya zote - yaani injili!

Usijihisi ni lazima ushiriki au umalize kijitabu chote kama huyo mtu

hapendelei. Si kila mtu yuko tayari au wazi kumpokea Kristo. Daima

umfanye mtu asikuchukulie vibaya wewe na ujumbe wako katika hali yoyote

ile. Jaribu umuachie kijitabu.

Mpatie nafasi ya kuomba. Wengi huwa wazi kuhusiana na madai ya Kristo

maishani mwao, na watakuwa tayari uwasaidie, lakini hakuna anayetaka

Page 23: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

17

kulazimishwa. Usisitize kuwakaribisha kuomba ili wampokee Kristo.

Kutofanya hiyo huwafanya watu kukushuku na kutothamini kwamba hakika

hizi ni habari njema.

Ni tujaribu kuwaacha watu katika hamu na tamaa ya kutaka nafasi nyingine

kuongea nasi au mtu mwingine wakati mwingine ambaye atakuja

kumzungumzia kuhusu uhusiano wake na Kristo.

C. JINSI YA KUBINAFSISHA UJUMBE WAKO

1. Uwe mkarimu. Tumia jina lake.

2. Shika kijitabu ili kiweze kuonekana waziwazi na msikilizaji.

3. Tumia kalamu kuonyesha sehemu zilizo za muhimu na picha au

michoro.

4. Usimsomee kijitabu tu; bali ushiriki naye huyo mtu.

5. Soma kijitabu chote. Hata hivyo, usisome kijitabu tu na ukose kuhusika

na msikilizaji. Ukihisi msikilizaji wako hfuatilii unavyosoma,

simamisha na umuulize, "Je hii inaleta maana yoyote kwako?

6. Unapoulizwa maswali ambayo yatabadilisha mazungumzo unaweza

kusema, “Hilo ni swali zuri. Je tunaweza kulijadili baada ya kusoma

hiki kijitabu?” Mueleze kwamba mengi ya maswali yatajibika kadri

munavyosoma hicho kijitabu. Ni vyema kujibu maswali baada ya

kumshirikisha ombi la kumpokea Kristo kwasababu;

(a) Unaweza kurudia yale umeshiriki Kwenye kijitabu wakati wa

kujibu maswali.

(b) Kwa kumkaribisha kuomba unabinafisisha ujumbe na hivyo basi

kuweza kujadili mambo ya kibinafsi badala ya mambo

yasiyohusika.

(c) Ni muhimu umuonyeshe jinsi ya kumpokea Kristo. Hata kama hata

omba nawe, Mungu anaweza kutumia ujumbe huu kumleta karibu

naye wakati mwingine.

D. KUSHIRIKI KIJITABU CHA INJILI

Kushiriki imani yako na Mtu mwingine si jambo ngumu kufanya. Hiki

kijitabu huwa na mambo manne ambayo yanaeleza yale yote mtu anahitaji

kujua ili ampokee Kristo.

Kwanza - kusudi la Mungu Pili - Shida zetu

Tatu - suluhisho la Mungu Nne - wajibu wetu

Page 24: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

18

Alama ya kwanza hadi ya tatu ni isomwe tu; kusiwe na umuhimu sana wa

kufafanua zaidi.

E. KUMSAIDIA MTU HUYO KUJITAMBUA KIROHO

Lengo letu katika kushiriki kijitabu cha injili ni tuonyeshe kwa udhahiri jinsi

ya kumpokea Kristo. Hii itatekelezwa wakati wa maombi. Hata hivyo, ni

muhimu kumsaidia mtu kuelewa kwamba haitoshi tu kujua maana ya kuwa

Mkristo. Ni lazima aone umuhimu wa yeye mwenyewe kufanya uamuzi wa

kibinafsi. Kumsaidia mtu huyu, fuata mpangilio huu rahisi.

Kipengele cha Nne ni wajibu wetu - kumpokea Kristo.

Baada ya kusoma Ufunuo 3:20 soma maneno yafuatayo na uelezee mchoro.

Unaweza kusema, “choro huu unaelezea aina mbili za kiroho. Ya

upande wa kushoto ni mtu aliyetenganishwa na Mungu. Maisha yake

yamelinganishwa na (soma kijitabu). Ya upande wa kulia ni mtu

aliyemfikia Mungu kupitia kwa Yesu Krristo. Maisha yake

yamelinganishwa na (Soma kijitabu)”

Baada ya kuelezea mchoro uliza kwa urahisi, “Je wewe u upande huu

(onyesha kushoto)..... au upande huu (Onyesha upande wa kulia)?” Fuatilia mtiririko wa mchoro upande wa pili na ufanye mazoezi yaa matukio

mbali mbali. Ni muhimu sana ujihisi tayari kupokea matukio yoyote

yale. Hii itakupa ujasiri na utimamu unao hitaji ili kushiriki imani yako.

Tuwe tayari kushiriki ili tutii. Mungu atatuwezesha na kutupa nafasi zote

tunapokuwa tumejiandaa.

Page 25: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

19

Njia ya

Mungu

Unauliza, "uko

hapa au hapa".

Anasema Njia ya

mwanadamu au "sina

uhakika" au anabaki

kimya

Unasema,

“Ungependa kuwa

wapi?”

Anasema, “Njia

ya mwanadamu” Anasema, “Njia ya

Mungu”

Unasema “Siku nyingine

ungependa kumpokea

Kristo. Nakusihi niendelee

kukuonyesha jinsi ya

Kumpokea Kristo?”

Anasema

Ndio

Anajibu “La” Endelea kusoma ombi na useme "ungependa kuomba hili

ombi na umpokee Kristo maishani mwako?

Njia ya

mwanadamu

KUSHOTO KULIA

Unasema "Hebu

nikakuonyeshe jinsi ya kumpokea

Kristo"

Anajibu

“Hasha”

Jaribu kuendelea na

kumuonyesha jinsi ya kupokea

uzima wa milele - 1Yohana 5:12,

13. Halafu uliza “baada ya kuona

wazi maana ya kumpokea Kristo.

Je ungependa kuomba kumpokea

Kristo?”

Angalia Ukurasa wa 43 E #2

Anajibu

“Ndio”

Anasema

"Hasha"

Jaribu kumuachia kijitabu.

Acha hali ya kufurahisha

yako na ya injili. Endelea

kujenga urafiki. Mkaribishe

kwa mafunzo ya biblia

au............

Sema: “Hebu niombe ombi hili

hatua kwa hatua, nawe urudie

nyuma yangu ili umpokee

Kristo”. Ombeni pamoja. Soma

kitabu chote. Ukitaja Hakikisho,

kukua na ushirika wa Wakristo.

Mkaribishe audhurie kuja kwa kikundi cha maisha pamoja nawe na kwa

mafunzo ya mmoja kwa mmoja pamoja na shunguli zinginezo za kanisani.

Page 26: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

20

Njia ya

mwanadamu Njia ya

Mungu

Unauliza, “uko

hapa au hapa.”

Anasema, "Njia

ya Mungu" KUSHOTO KULIA

Sema: “Hivyo ni vizuri sana! Wacha niendelee kukuonyesha jinsi

unavyoweza kushiriki Imani yako na wengine”. Endelea kusoma umalize

ombi, halafu uliza: “Ushawahi kumkaribisha Kristo awe Bwana na Mwokozi

kama ombi hili linavyoeleza?”

Anajibu

“La”

Sema,

“Ungetaka au

sio?”

Sema: “Vyema

sana! Kwanini

usiniambie basi”.

Anajibu

“ndio”.

Anajibu

“La”

Anajibu

“Ndio”

Anatoa Ushuhuda

wa matendo

Anatoa

ushuhunda

wa imani

Sema, “Hebu niombe ombi

hili msitari baada ya

mwingine, na urudie

nyuma yangu umpokee

Kristo”.

Endelea pamoja naye hadi

mwisho wa kijitabu.

Uliza , “Je Umewahi kufikia

mahala maishani mwako na

ukawa na uhakikisho

kwamba wewe ni mwana wa

Mungu, na ijapo ufe leo

utakwenda mbinguni?”

Jaribu kumuachia

kijitabu. Acha hali

ya kufurahisha

yako na ya injili.

Endelea kujenga

urafiki wenu.

Umkaribishe

kwa mafunzo

ya biblia au............

Anajibu

"Ndio"

Anajibu

"La"

Anajibu

"Ndio"

Shiriki naye uhakikisho

wako na usome I Yohana

5:12,13 Uliza “Je ungalitaka

kuwa na uhakikisho?”

Anajibu

“La”

Yeye ni Mkristo. Kama ameshindwa,

shiriki pamoja naye kijitabu cha maisha

yaliyojawa na Roho Mtakatifu. Kama ni

mwenye ushindi, muhimize ashiriki

imani yake na wengine.

Umkaribishe kuhudhuria kikundi cha maisha" pamoja nawe na kwa mafunzo ya

Mmoja-kwa-Mmoja pamoja na shunguli zinginezo za kikanisa.

Page 27: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

21

MAMBO YA KUTIMIZA KWA SOMO LA TATU

Ili nikamilishe somo hili nita: (sahihisha ukimaliza)

MAANDALIZI

1. Kamilisha mambo yotekatika somo la tatu.

2. Jiandaa kutoa ushuhuda wangu kupitia kwa kukariri wakati wa ziara

yetu.

3. Kariri alama tatu ya kijitabu cha injili.

4. Jiandae kushiriki kijitabu cha injili na mkufunzi wangu.

5. Jiandae kufanya kila kitu katika Hatua za ziara ya nyumbani.

(Hakikisha kufanya mazoezi ya sehemu ya “G” - maswali ya

uchunguzi.)

KUKAMILISHWA PAMOJA NA MKUFUNZI.

1. Fanya marudio somo la tatu

2. Fanya mazoezi ya ushuhuda

3. Shiriki alama ya tatu ya kijitabu cha injili kwa kukariri.

4. Fanya mazoezi ya kijitabu cha injili pamoja na mkufunzi kama kwa

mwenye dhambi.

5. Fana mazoezi kila hatua jinsi ya kufanya ziara ya nyumbani

Fanya mazoezi ya maswali ya uchunguzi sehemu ya “G”.

6. Mwanafunzi kupanga siku ya kukutana na rafiki kwa kipindi cha

nne. (Ona Jinsi ya Kupanga Wakati wa Kukutana kwenye somo la

tano).

Page 28: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

22

Wakati wa maombi

7. Omba ili kupata fursa ya kuieleza injili kwa wale waliomo katika

orodha yetu ya maombi

Nauliza maombi juma hili kwa ajili ya: ______________________

_____________________________________________

_____________________________________________

______________________________________________________

Tuombe pamoja kwa ajili ya ahadi.

8. Fanya marudio ya haraka Maandalizi ya Somo La nne. Kazi za

Matayarisho na zimemalizike kabla ya kukutana tena.

Ziara ya Kiuinjilisti

9. Kwa pamoja tutajitabulisha na kujenga uhusiano.

10. Mwanafunzi kushiriki au kupeana ushuhuda kwa dakika moja.

11. Mwanafunzi amwangalia mwalimu anapo:

Uliza maswali ya uchunguzi

Shiriki kijitabu cha injili au ujumbe wa maisha kamili katika

Roho.

Wakaribishe kuja kwa mafunzo ya Kikundi cha Maisha au

Mmoja-kwa-Mmoja.

Malizia ziara kwa maombi.

Kamilisha ripoti ya mgeni/mtu wa kufuatilia. (Ripoti hii

ipeanwe kwa kiongozi wako wa Kikundi cha Maisha au

simamizi wa ziara).

Page 29: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

23

KUSHIRIKI KWENYE

NGUVU Somo la tatu

JINSI YA KUWA NA MATEMBEZI YA UFANISI YA NYUMBANI

KUJIENDELEZA KIBINAFSI

JINSI YA KUWAOMBEA WALIOANGAMIA

Kuna njia tatu ambazo maombi yetu yanapaswa kuelekezwa:

A. YAKIELEKEZWA KINYUME CHA SHETANI, NGUVU ZINAZO

MSHIKILIA MWENYE DHAMBI.

1. Soma 2 Timotheo 2:25, 26

Mwenye dhambi ame ____________________________na ibilisi

2. Soma 2 Wakorintho 4:3, 4

Mwenye dhambi ni _____________________________ kwa injili.

Mambo mawili sharti yafanyike kabla ya mtu aliyepotea kuokolewa.

1. Soma II Wakorintho 10:4

Ni sharti awekwe huru kutoka kwa _____________________________

2. Soma 1Wakorintho 2:4, 5

Ni nani sharti apeane mwangaza? ______________________________

Hebu mfikirie rafiki au mpendwa wako ambaye anaikataa injili. Je shetani:

Amemfungaje? (Kwa mfano: uoga, kiburi, madawa ya kulevya, muziki,

dini)

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Amemfunga (Kwa mfano: kupoteza marafiki, kutopendezewa tena)

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Haya yote yanaweza kushindwa kwa njia ya maombi.

Page 30: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

24

B. YAKIELEKEZWA KWA WAKRISTO

Mungu humwandaa mwenye dhambi, halafu akamfikia mkristo na kuwaleta

pamoja, wote wawili. Tunahitaji Wakristo wengi waliotayari kutumiwa na

Mungu ili kushiriki na wengine.

Je Yesu aliwaagizaje wanafunzi wake katika Mathayo 9:37, 38?

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Vivyo hivyo ndivyo Mungu anavyotenda kazi leo.

C. KUELEKEZWA KWA MWOKOZI WETU.

Andika Yohana 6:44_____________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Mtu aliyepotea hataepuka mitego ya shetani hadi Mungu atakapomjalia toba.

Ombea waliopotea.

Hivi ndivyo unavyopaswa kuwaombea waliopotea ili waokolewe. Tumia

mamlaka yako juu yake shetani katika Jina la Yesu. Shetani Sharti atii. Ni

sharti akubali. Mungu atawainua mashahidi kama jibu kwa maombi yako.

Roho wa Mungu atashawishi na kumvuta aliyepotea na kumpa moyo wa

kutubu. Yesu atabisha katika mlango wa moyo wake kama utamuuliza

kufanya hivyo.

Tulia sasa na umuombee yule rafiki au mpendwa wako.

MAFUNZO KWA MAZOEZI.

JINSI YA KUONGOZA ZIARA YA NYUMBANI KWA UFANISI.

Kunazo njia nyingi za kushiriki au kuishuhudia injili, na tutapata fursa za

kufanya hivyo katika mazingara mbalimbali. Kutembelea nyumba za watu

ambao wamekuwa na mawasiliano na kanisa letu ni moja ya njia ambazo ni

bora na ziletazo matunda mema katika kushiriki au kushuhudia.

Page 31: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

25

TARATIBU ZA KUFANYA ZIARA YA NYUMBANI

A. Panga wakati wa kukutana na huyo mtu (Ikiwezekana)

B. Omba

C. Taratibu za kuwasili

D. Jenga uhusiano/Urafiki

E. Wafahamishe kuhusu kanisa letu

F. Shiriki ushuhuda wa kibinafsi

D. Jenga uhusiano/Urafiki

E. Wafahamishe kuhusu kanisa letu

F. Shiriki ushuhuda wa kibinafsi

G. Uliza maswali ya uvumbuzi

H. Shiriki ujumbe wako

I. Peana nafasi kwa uamuzi

J. Changamoto ya kukua

K. Funga kwa maombi.

Hebu tuiangalie kila sehemu kwa kibinafsi.

A. PANGA SIKU YA KUKUTANA (Ikiwezekana)

1. Pata majina ya watu wa kuwasiliana nao toka kwa mchungaji wako au mtu

anayesimamia kazi ya ziara ya nyumbani. Ifuatayo ni mifano:

a) Mgeni wa kanisa

“Hujambo! ________________, huyu ni _______________________

wa kanisa la ____________________. Je uhali gani leo? (tua, ili

upate jibu) Tulifurahia kwa wewe kutembelea kanisa letu Jumapili

iliyopita (au kwa sherehe yoyote ile). Rafiki yangu______________

na mimi tungependa kukutembelea kwa kifupi kwa niaba ya kanisa

letu. Je (siku na saa) itakuwa sawa au (siku na saa) ingekua bora

zaidi?” (Kama zote si sawa basi panga wakati mwingine ikiwezekana.

Kama ni hapana au kama ilikuwa kutembea tu lakini wanaenda kanisa

lengine muwashukuru na muwakaribishe kutembea tena.)

(b) Wazazi wa watoto wa shule ya Jumapili au kikundi cha watoto.

“Hujambo________________, huyu ni __________ wa kanisa la

___________________. Je, uhali gani leo? (Subiri ili upate jibu).

Tunafuraha kuwa na (Jibu au majina ya watoto) katika mafunzo ya

shule ya jumapili au kikundi). Rafiki yangu__________na mini

tungependa kukutembelea kwa kifupi kwa niaba ya kanisa letu.

Je, (siku na saa) itakuwa sawa au (siku na saa) itakuwa bora

zaidi?” (Kama zote si sawa basi panga wakati mwingine ikiwezekana.

Kama ni hapana, basi washukuru kwa fursa ya kuwa na (jina au majina)

Kuja kwa ___________.) Muwahimize kuwasiliana na kanisa kama

wako na maswali yeyote. Wahakikishie ya kwamba watakaribishwa

Page 32: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

26

watakapotembelea kanisa letu wakati wowote.

2. Ni vyema kupanga na watu kabla ya wakati hasa kwa wale wanaishi

umbali wa zaidi ya dakika 10-15 kutoka kanisani.

3. Waweza pia kuchagua kutembea bila ya ahadi kama mtu huyo ako na

shughuli nyingi utakapotembea, basi agana naye ili umtembelee wakati

mwingine. Utahitaji majina ya watu wengi wa kutembelea katika

sehemu moja, inapotokea ya kwamba wengine hawatakuwepo nyumbani

au hawana nafasi ya kutembelewa na wewe.

4. Hakikisha unawajua majina yao kikamilifu kabla ya kuanza matembezi.

5. Kama hauwezi kufanya ziara ya nyumbani, basi chukua fursa ua

kutumia karatasi ya maswali kwa majirani (Ona mfano baada somo la

sita). Mwalimu wako ni awe amepata majirani walioteuliwa kutoka kwa

msimamizi wa ziara kanisani. Wakati mpango wenu unaonekana

kushindwa, Mungu huwa na mpango bora kwa ajili yenu daima. Kwa

kuwa na karatasi, mnakuwa na mpango mwingine uliotofauti.

B. OMBA

Ombeaneni, ili Roho Mtakatifu awape mwongozo na nguvu. Muwaombee

kwa majina wale mnaowatembelea. Muombe Mungu ili achukue usukani

wa uongozi wa kila hali wakati wa ziara. Muombe ili wampokee Kristo au

kama ni Wakristo tayari waweze kuomba ili wajazwe kwa Roho Mtakatifu.

C. HATUA ZA KUWASILI

1. Ufike kwa wakati (kama umeweka ahadi)

2. Kama unaendesha gari lako hakikisha hauyazuilii njia magari mengine.

Usikae ndani ya gari, uendee mlango kwa ukimya na kwa njia ya

kupendeza.

3. Uwe na Biblia ya mfukoni ili uweze kuviangalia vifungu vya Biblia

ikihitajika.

4. Angalia kwa makini kitu chochote kinachoweza kukuwezesha kuanzisha

mazungumzo (kwa mfano shamba, watoto, nyumba nzuri, mumeishi

hapa kwa muda gani? unafanya kazi wapi?

5. Piga kengele ya mlango au bisha kwa upole, halafu rudi nyuma kama

hatua tatu toka mlangoni. Wetembezi wawe karibu sana iwezekanavyo

na wawe wanaweza kumuona yule anayekuja kufungua mlango.

Page 33: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

27

Mlango unapofunguliwa, tabasamu kwa hali ya urafiki na uongee mara

moja.

6. Mjitambulishe hapo mlangoni. Mnaweza kusema, “Hujambo, mimi ni

_______________________. Huyu ni _______________ tunaweza

kuingia kwa kifupi?” Kama mlikuwa na ahadi mnaweza kusema,

“asante kwa kuturuhusu ili tuje kuwatembelea.”

7. Kama wako na watu wengine au kwasababu zingine hawana nafasi ya

kuwapokea, mnaweza kuomba msamaha na muahidi kutembea tena

wakati mwingine kama mmekataliwa, muwashukuru kwa upole, jaribuni

kuacha vikaratasi vya kusoma halafu muondoke.

8. Wakati munapoingia ndani ya nyumba, yule aliyechaguliwa kama

kiongozi ajaribu kuchagua kiti karibu na mwenye nyumba/mwenyeji ili

aweze kushiriki naye vyema. Kama sebule ni kubwa au imepangwa viti

mbalimbali, uombe mkutane kwa meza ya mankuli.

D. TENGENEZA UHUSIANO/URAFIKI

Ni muhimu sana kuweza kumjua au kuwajua watu unaowatembelea.

Ukaonyeshe kupendezewa kuwajua. Watu hutarajia kwamba utachukua

uongozi wa mazungumzo. Hujisikia na amani kama wakijua si wao watakao

ongoza mazungumzo. Zungumza vyema kuhusu mambo wayapendayo.

Watu hupenda sana kuzungumza mambo yawahusuyo. Usionekane kana

kwamba unawachimbuachimbua. Maswali yasiulizwe yakifuatana karibu

karibu bali kuwe na nafasi ambayo italeta majadiliano au mazungumzo kati

ya maswali.Kaa utulie. Ongea ukiwa na utulivi. Tabasamu.

NB. Kumbuka, usijaribu kuwafanya watoe shuhuda zao au kuuliza

maswali kama "umeokoka?" Wakati huu. Hii itajulikana wakati wa

maswali ya uvumbuzi yatakapo ulizwa. Uwe mwangalifu usijifanye kana

kwamba unajua hali ya kiroho ya mtu huyu. Enda na nia iliyo wazi na

mtumaini Mungu kukuwezesha kuvumilia kila hali.

Mpangilio ufuatao utakusaidia kuwa katika njia yako:

1. Awali: “Kwa muda gani umeishi hapa?” au “Ulikuwa ukiishi wapi

mbeleni kabla ya kuhamia hapa?”

2. Kazi: “Kazi gani unafanya?” (Uliza kila mtu)

3. Jamii: Uliza maswali kuhusu hapo nyumbani, watoto wao, mambo

wayapendayo sana.

Page 34: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

28

E. KUWAFAHAMISHA JUU YA KANISA LETU

1. Ili mkayaendee maswala ya kiroho unaweza kuuliza hivi; “Kwa nini

ulichagua kuja kwa kanisa letu?” (Toa shukrani kwa kutembea

kwao).

2. Tafuta kuyajibu maswali yao. Sema, “tulitamani kukutembelea ili

kuona kama unamaswali yoyote kuhusiana na kanisa letu. Mko na

maswali yoyote ambayo tunaweza kuyajibu wakati huu?”

Shiriki taarifa ya jumapili au kijitabu kizungumziacho kanisa lako.

Kama hauwezi kujibu maswali yoyote, ahidi kufanya uchunguzi na tena

uwafahamishe wakati mwingine. Jitolee kuwatambulisha au

kutambulisha familia zao kwa watu wanaosimamia maeneo

wayapendayo.

Kumbuka; Kufikia hapa mmoja tu wa hilo kundi aweze kuongea na

kuongoza; wale wengine waweze kuomba kwa utulivu na wawe tayari

kuzuilia jambo lolote ambalo linaweza kutatiza (watoto, wanyama, n.k).

F. USHUHUDA WA KIBINAFSI

Tanguliza ushuhuda wako kwa kusema “moja ya sababu ya

kukutembelea/kuwatembelea ni kushiriki nawe/nanyi Yesu ana maana

gani kwetu. Hebu niwaeleze Yesu kwangu ana maanisha nini?” (Kama

ni wakati wa mwenzako kushiriki sema) _____________________ unaweza

kusema Kristo ni nani kwako?

Mruhusu Roho Mtakatifu awawezeshe mnaposhiriki hadithi zenu. Mara

nyingi watu hujifananisha katika mambo mliyoyapitia. Muifanye fupi

(dakika moja) lakini uishiriki kwa moyo wote.

G. MASWALI YA UCHUNGUZI

Maswali haya mawili yafuatayo yatakusaidia kutambua hali ya Kiroho ya

Mtu huyu.

“Je umeshawahi kufikia mahali katika maisha yako ya kiroho ambapo

umejua hakika kwamba kama ungekufa leo ungeenda mbinguni?”

“Kama ungekufa leo, na usimame mbele zake Mungu naye akwambie,

kwa sababu gani nikuruhusu kuingia mbingu yangu? Ungesemaje?”

(Maswali ya Kennedy E.E)

Jifunze hati iliyo ukurasa wa pili

Page 35: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

29

H. SHIRIKI UJUMBE WAKO

Kulingana na majibu ya maswali ya uvumbuzi hapo juu, uwe tayari kushiriki

injili ukitumia kijitabu cha injili au maisha-kamili yaliyojawa na Roho

ukitumia kijitabu Je umefanya uvumbuzi wa maisha kamili ya Kiroho?.

I. TOA FURSA YA KUFANYA UAMUZI

Usijaribu kuamua kama huyo mtu yuko tayari kumpokea Kristo au kujazwa

na Roho mtakatifu; umpe fursa nzuri ya kufanya hivyo. Mara nyingi watu

hupenda kuomba wanapopewa nafasi njema ya kumuuliza Yesu Kristo kuwa

mwokozi na Bwana wa maisha yao.

J. CHANGAMOTO YA KUKUA

Daima mkaribishe mtu huyo au watu hao kuja kwa mafunzo ya Kikundi cha

Maisha ya kwenu kanisani bila kujali kama wamekubali au kumkataa Kristo.

Hakikisha kumkaribisha kila mmoja kwa mafunzo ya Mmoja-kwa-Mmoja

ambayo yatafaa. Unaweza kusema; "Tuna furaha sana ya kwamba

umefanya uamuzi huu. Ni muhimu sasa uyafurahiye maisha yako

kikamilifu. Tunazo nafasi mbili kwako kukua. Moja ni ya kundi la

maisha ambapo utakutana na marafiki wapya. Ni lingine ni "mafunzo

ya Mmoja-kwa-Mmoja "ambapo utaweza kujifunza kuishi maisha ya

Kikristo" Onyesha msisimko wako kwa kila huduma. Uwakaribishe kwa

kundi lako la maisha ikiwezekana.

K. OMBA

Hitimisha ziara yenu kwa ombi fupi. Ombea nyumba yao, familia yao na

onyesha kuhusika kwako.

Jaza ripoti yako ya ugeni/ Mtu wa kuwasiliana na uipeane kwa kiongozi wa

kundi la maisha au msimamizi wa ziara.

Page 36: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

30

Orodha ya maswali ya Uchunguzi

Uliza “Je umeshafikia mahali katika maisha yako ya kiroho umeweza

kujua kwa hakika kwamba kama ukifa leo utaenda mbinguni?”

Anajibu

“hapana”

Sema; “Hebu nishiriki nawe

kijitabu hiki kinachoelezea jinsi

ya kuwa na uhakika SHIRIKI

KIJITABU CHA INJILI

Anajibu

“ndio”

Sema; “Vyema! Hebu nikuulize swali lingine: Kama ungekufa

leo, na usimame mbele yake Mungu nayeye akwambie, kwa sababu

gani ni kuruhusu kuingia mbingu yangu? Utasemaje?”

Anapeana

jibu lingine

Anajibu: “Nimempokea Yesu Kristo

maishani mwangu kama mwokozi na

Bwana”. (Hili ndilo jibu la sawa ijapo

linaweza kosa kujibiwa kama hivi hapa)

Sema: “Hebu

nishiriki kijitabu

hiki nawe kinacho

eleza jinsi

unavyoweza

kuwa na uhakika”.

SHIRIKI

KIJITABU

CHA INJILI

Sema: “Hivyo ni vyema!

Shiriki nasi vile ilivyotokea?”

Baada ya yeye kushiriki,

muulize: “Unakifahamu

kijitabu hiki?” (Muonyeshe

kijitabu cha injili). “Je

unaweza kushiriki nawe na

nikuonyeshe jinsi unaweza

kukitumia kushiriki Kristo

kwa wengine?”

Au….

Kama inaonekana kama mtu huyo ni Mkristo lakini

ameshindwa na haishi kwa ushindi ....

Sema: “Hebu nishiriki nawe mambo ya misingi inayofunzwa na

kanisa letu kuhusu maisha kamili ya Kiroho” au “Hebu nishiriki

nawe jambo limekuwa la maana sana kwangu, jambo la maisha

yaliyojawa na Roho?”

SHIRIKI KIJITABU “Uvumbuzi wa ajabu wa maisha yaliyo

jawa na Roho”.

Page 37: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

31

MAMBO YA KUTIMIZA KWA SOMO LA NNE

Ili kukamilisha somo hili nita: (sahihisha ukikamilisha)

MATAYARISHO

1. Kamilisha vifaa vyote vya somo la nne

2. Jiandae kufanya mazoezi ya kijitabu chote cha injili

3. Fanya mazoezi ya maswali ya sehemu ya Nne

4. Kariri alama ya nne.

KUKAMILISHA PAMOJA NA MKUFUNZI

1. Rudia vifaa vyote vya somo la nne

2. Fanya tena alama ya nne kwa kukariri

3. Fanya mazoezi ya kijitabu chote cha injili

4. Fanya mazoezi kwa pamoja maswali ya alama ya nne.

5. Panga wakati wa kukutana na mtu mliye wasiliana naye wa

kanisa kwa kipindi cha tano.

Wakati wa Maombi

6. Panga na kuomba kwa ajili ya mbinu za kushiriki injili na mtu

mmoja kwa kila mtu kati ya wale walio katika orodha ya

maombi yetu.

_____________________________________________________

_____________________________________________________

Nauliza maombi juma hili kwa ajili ya ______________________

_____________________________________________________

_____________________________________________________

Omba pamoja kwa ajili ya ahadi yetu.

Jadiliana na kuomba kuhusu nani atakayefunza wakati

tutakapokamilisha mafunzo yetu.

Page 38: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

32

7. Rudia "mambo ya kukamilisha somo la tano. Kazi zote kufanyia

nyumbani za "matayarisho" Kukamilishwa kabla ya wakati wa

kukutana tena wakati mwingine.

Ziara na kiuinjilisti

8. Kwa pamoja kujitambulisha na kujenga uhusiano.

9. Kumchunguza mwalimu anapo:

shiriki ushuhuda wake.

Uliza maswali ya uchunguzi

10. Mwanafunzi anaposhiriki ujumbe wa injili au maisha

yaliyokamilika ya kiroho.

11. Kumchunguza mwalimu anapo:

Wakaribisha kwa mafunzo ya kundi la maisha na Mmoja-

kwa-Mmoja.

Maliza ziara kwa maombi.

Kamilisha ripoti ya mgeni/mtu wa kuwasiliana. (ripoti hii ni

ipeanwe kwa kiongozi wa kundi la maisha au msimamizi wa

ziara.).

Page 39: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

33

KUSHIRIKI KWENYE

NGUVU Somo la nne

UJUMBE WA NGUVU ZA KUSHIRIKI

KUJIENDELEZA KIBINAFSI

INJILI MAANA YAKE NI “HABARI NJEMA”

Tunaposhiriki injili twatangaza habari kuu za nyakati zote. Ni ujumbe wa

tumaini na nafasi ya amani na Mungu. Kwa wote wasio na ufahamu wa

Mungu kama mwokozi wao na Bwana kwa hakika ni “HABARI NJEMA”.

Tunaposhiriki hii habari njema twamdhihirisha mtu, Bwana Yesu Kristo -

sio mpango.

Funzo la ushuhunda wa Paulo lilikuwa lipi?

1Wakorintho 1:23, 24 ___________________________________________

_____________________________________________________________

Soma Wakolosai I:15-17; 2:9 Waebrania 1:3,8; Yohana 10:30; 14:9,10

kuhusu uungu wake Yesu Kristo.

Unapompokea Kristo, unapokea maisha mapya kabisa ya uzima wa Milele -

aina ya uzima/maisha Mungu alio nao. Wakati Yesu akiingia ndani ya

maisha yako, kwa sababu yeye ni Mungu, analeta nguvu/uwezo wa maisha

yake ndani ya ujuzi wako.

Soma 2 Wakorintho 5:17. Ni nini kimepita? _________________________

Ni nini kimekuwa kipya? _________________________________________

Andika mambo machache ambayo yamekuwa mapya maishani mwako?

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Je haya ndiyo mabadiliko ambayo wengine wangeyahitaji maishani mwao?

_____________________________________________________________

Page 40: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

34

Wakati Yesu anapoyaishi maisha yake ndani yako kupitia kwa nguvu za

Roho Mtakatifu, matokeo yake huwa nini? Soma Wagalatia 5:22,23 na

uandike mambo ambayo atayatoa maishani mwako,

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Hii ndiyo sababu injili inaitwa “HABARI NJEMA”.

Ulimwengu unahamu sana kutaka kupata hii “HABARI NJEMA”. Ni jambo

dharura kwa ulimwengu - kifo au uzima na hasa kwa wale tunaoshiriki nao,

hivyo ni sharti tuwe makini kushiriki injili kwa njia ya rahisi na ya wazi.

Pia ni tuishiriki mara kwa mara kwa maana wako wengi ambao hawajasikia

ukweli wa kumhusu Yesu Kristo.

Wasemaje kuhusu Warumi 10:14, 15? ______________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

INJILI NI NINI?

Kijitabu cha injili kimeandikwa ili kiweze kuwasilisha huo ujumbe kwa njia

ya rahisi na wazi. Andika kutoka kwa kukariri kila alama na upeane vifungu

vya Biblia kwa kila alama.

Moja _________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Mbili ________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Tatu _________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Nne __________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Page 41: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

35

TARAJIA WATU KUKUBALI

Wakristo wengine hufikiria kwamba labda wakimshuhudia mtu, mtu huyo

ataudhika na hivyo basi urafiki wao utaharibika. Ijapo si kila mtu

utakayeshiriki naye atakuwa tayari kumpokea kristo mara ya kwanza

unaposhiriki naye, lakini watu wengi mara nyingi hufurahia ya kwamba

unajali sana hata kuchukua hatua ya kuwaambia kuhusu upendo wa Mungu.

Tabia yako ni muhimu sana! Tarajia watu wakubali si kwa sababu ya

uwezo wako lakini kwa sababu ya ujasiri ulio nao kwa Mungu, upendo

wake, nguvu zake, mamlaka yake na ahadi zake.

Andika kwa maneno yako 2 Peter 3:9 ina maana gani kwako.

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Tunaweza kutarajia watu kukubali kwa sababu ni Mungu aliyetutumia ili

tukawaambie. Yesu anatuamuru tukafanye wanafunzi. Mathayo 28:19-20.

Inaanza “na mamlaka yote mbinguni na duniani amenipa mimi kwa hivyo

nendeni..”. Hatuhitahi ruhusa ya mtu yeyote ili twende; tumeamurishwa

kwenda tayari na Mungu mwenyewe.

Yesu alimaliza amri yake kwa ahadi “nami nipo pamoja nanyi siku zote;

naam, mpaka mwisho wa nyakati”. Ahadi hii ni yetu pia sisi leo hivyo basi

kwa ujasiri tunaweza kwenda tukijua ya kwamba ataiheshimu uaminifu

wetu katika kushuhudia.

Kama tutashiriki kwa ujasiri ambao Wakristo wa kwanza walidhihirisha,

nasi pia tuta hisi mabadiliko makubwa ulimwenguni.

Chukua hatua ya imani na uone kile Mungu anaweza kufanya kupitia

kwako.

MAFUNZO KWA VITENDO

KUSHIRIKI KIJITABU CHA INJILI - KUMTIA MOYO MTU

KUOMBA ILI AMPOKEEE KRISTO

A. ULIZA DAIMA

Baada ya kusoma ombi, uliza swali, “Je ungependa kuomba ombi hili ili

umpokee Kristo maishani mwako?” Kwa kuuliza swali hili unampatia mtu

huyo mwaliko wa kumpokea Kristo. Kama huyo mtu atakubali:

Page 42: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

36

B. JITOE KUMWONGOZA HUYO MTU KUOMBA

a. Sema: “Hebu niombe ombi hili, msitari kwa msitari nawe urudie

nyuma yangu na umpokee Kristo”.

b. Kama mtu huyo anaona vigumu kurudia ombi, muulize aombe ombi

lake mwenyewe kwa sauti.

c. Wengine wanaweza kusitasita kuomba kwa sauti, ikiwa wewe

unaongoza au wakiomba ombi lao wenyewe. Pengine wangekuwa tayari

kuomba kimya kimya. Uwahimize kufanya hivyo.

KUMSAIDIA MTU KUJUA KWAMBA KRISTO YU NDANI YAKE

Kujua ya kuwa Kristo yu ndani yake ni muhimu sana kwa yule mwamini

mpya. Wengine wanaweza sema kuwa Kristo yu “Upande wangu”, au “Yu

karibu nami”, au “na tumai yu ndani yangu”. Anahitaji kuelewa ya kuwa

aliomba kwa imani, Mungu akajibu na Kristo sasa yuaishi ndani yake.

Kumbuka, mtu hazaliwi kiroho kwa kuomba ombi bali kwa imani,

akiamini kwamba Kristo huingia ndani anapokaribishwa kuingia.

A. JINSI YA KUJUA KRISTO YU NDANI YA MAISHA YAKO

Uliza:

1. “Je ulimpokea Kristo maishani mwako?” ngojea jibu.

Kama mtu hajibu uliza “Maanisha wakati ulipo omba ombi ili?”

2. “Kulingana na ahadi yake katika Ufunuo 3:20, Je Kristo aliingia

maishani mwako?” angalia alama ya nne usome tena Ufunuo 3:20 na

uliulize swali hili tena.

3. “Kristo alisema kwamba ataingia ndani yako. Je anaweza

kukudanganya?” Ngoja jibu.

4. “Je unajuaje kwamba Mungu amejibu ombi lako?” Alisema

ataingia kama nitamkaribisha kwa dhati) Mungu hadanganyi!

B. BIBLIA INAAHIDI UZIMA WA MILELE KWA WALE

WANAOMPOKEA KRISTO.

Unaposoma I Yohana 5:11-13, sisitiza maneno haya ana na jua kwenye

mistari ya 12 na 13.

C. USITEGEMEE HISIA ZAKO

Eleza umuhimu wa kutotegemea hisia. Uliza, “Kama utahisi kwamba

Mungu yuko mbali, anaweza kuwa yuko wapi?” Umkumbushe

kumshukuru Mungu mara kwa mara kwamba Kristo yu maishani mwako.

Page 43: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

37

D. TANGAZA IMANI YAKO

Toa wazo la wewe kuomba pamoja naye na kumshukuru Mungu kwa yale

ameyatenda. Katika kumuongoza huyo mtu katika ombi la shukrani elezea

ya kuwa wewe ndiwe utakayeanza kuomba. Halafu omba obi fupi, rahisi la

asante Baada ya kuomba, umuhimize naye pia kuomba. Unaweza kusema,

“Mshukuru Mungu, kwa maneno yako mwenyewe, kwa kuingia

maishani mwako”.

E. KUKUA KIKRISTO

Endelea kukisoma kijitabu hadi ukurasa wa mwisho ukionyesha jinsi vile

mtu anaweza kukua kama Mkristo. Umuhimize kwenda kanisani (yako au

moja iliyo karibu na nyumbani kwake ambapo anaweza kuwa na ushirika na

watu wengine na kukua katika uhusiano wake na Kristo). Umuhimize huyo

mtu kushiriki na rafiki au mtu wajamii kijitabu cha injili.

KUMSAIDIA MTU ASIYETAKA KUOMBA KUMPOKEA KRISTO

BAADA YA KULISOMA OMBI.

1. Dumisha hali ya kutotaharika na ya upendo. Sio watu wote wako

tayari kumpokea Kristo unapowaalika kufanya hivyo. Hakikisha

unaonyesha upendo na urafiki kwa mtu huyo, bila kujali vile

atakavyojibu.

2. Unaweza kusema, “Hebu nikuonyeshe nini kingetokea kama

ngemuuliza Kristo kuingia maishani mwako”. Kamilisha kurasa za

hakikisho na umpatie nafasi nyingine mtu huyo ya kuomba. Unaweza

kusema hivi, “Vile sasa umeelewa kwa undani zaidi nini maana ya

kumpokea Kristo maishani mwako, je ungependa kuomba ombi lile

na umpokee Kristo?”

3. Wazo lingine kwa mtu asiyekubali kumpokea Kristo ni kurudia pamoja

naye ushuhuda wako wa vile wewe uliweza kumjua Kristo na

mabadiliko yaliyotokea ndani ya maisha yako.

4. Unaweza kuuliza, “Je kunayo sababu yoyote kwa nini usimpokee

Kristo wakati huu?”

5. Ikiwa mtu bado hajisikii kuomba, basi unaweza kumwambia, “Huu ni

uamuzi ambao nina hakika ungependa kufanya hivi karibuni.” Muhimize kuomba kumpokea Kristo baada ya kujisomea kijitabu

binafsi. Umuachie kijitabu.

6. Umuhimize kusoma kitabu cha injili ya Yohana.

Page 44: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

38

KUMSAIDIA MTU ANAYESEMA, “NINAOMBA OMBI KAMA HILI

KILA SIKU”.

1. Soma Waefeso 2:8,9 na ueleze ya kuwa ni kwa imani twaokolewa, si

kwa ombi. si tu kumuuliza Kristo kuingia ndani ya maisha yangu

kunakoniokoa bali kuamini kwamba aliingia ndani yangu

nilipomuuliza.

2. Ikikubalika, umshauri aombe ombi hilo kwa mara ya mwisho, akiamini

kwamba Kristo ataiweka ahadi yake na aingie maishani mwake. Toka

hapo na kuendelea umshauri kwamba inampasa kumshukuru Yesu kila

siku vile yu ndani ya maisha yake.

Gusia vifungu hivi:

Ufunuo 3:20 ...………Kristo huingia ndani ukimuuliza kwa imani

Waebrania13:5………Hatakuacha kamwe

1Yohana 5:13…… Alipeana Neno lake “ili ukajue”.

Kama mtu hakukubali kumpokea Kristo wakati wa kwanza pamoja naye,

muhakikishe kupatikana kwako kwa urahisi. Jitoe kukutana naye tena kama

atataka maongeo zaidi. Endelea kuomba kwa ajili ya wokovu wake.

Labda ungependa kumkaribisha kwa mafundisho au masomo ya Biblia kwa

wale hawajampokea Kristo.

Page 45: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

39

MAMBO YA KUTEKELEZA KWA SOMO LA TANO

Kukamilisha somo hili nita: (Sahihisha unapomaliza)

MATAYARISHO

1. Kamilisha vifaa vya somo la tano.

2. Tayarisha kufanya mazoezi ya wa kijitabu Umegundua maisha

tele ya kiroho?

3. Fanya mazoezi ya mpangilio wa ziara na rafiki, hasa

vidokezo.

KUKAMILISHWA PAMOJA NA MWALIMU.

1. Kufanya marudio ya somo la tano.

2. Kila mmoja kushiriki vile alifikia kuelewa maisha - tele ya

kiroho na kufanya mazoezi kijitabu cha Roho Mtakatifu.

3. Kufanya mazoezi ya ziara na rafiki, hasa vidokezo.

4. Panga siku ya kukutana na rafiki kwa kipindi cha sita.

5. Kuzugumza ni nani kila mmoja wetu atakaye mfundisha na

kupanga kuwapa changamoto juma hili. (Tumia karatasi ya

Kushiriki Kwenye Nguvu, fursa Mwisho wa somo hili). Tutajaza

karatasi yetu ya malengo ya mafunzo hapo chini. Tumia kalamu

ya makaa kwa majina yaliyoteuliwa, tumia kalamu ya wino

yakithibitishwa).

LENGO YA MAFUNDISHO

Page 46: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

40

Wakati wa maombi

6. Ninahitaji maombi juma hili kwa ajili ya:

______________________________________________________

______________________________________________________

______________________________________________________

Kuomba pamoja kwa ajili ya ahadi ya leo.

Waombee wale utawapa changamoto ili wakafanye mafunzo

haya.

7. Rudia Mambo ya kutimiza ya somo la sita.

Kazi za matayarisho nizikamilishwe kabla ya kukutana tena.

Ziara za kiuinjilisti

8. Kwa pamoja kujitabulisha kujenga uhusiano.

9. Niangaliwe na mwalimu katika hatua zote za ziara za

nyumbani kwa mtu wa maangano.

Shiriki ushuhuda.

Uliza maswali ya uchunguzi.

Shiriki kijitabu cha injili au ujumbe wa maisha tele ya

Kiroho.

Niwakaribishe kushiriki kwa mafunzo ya kundi la maisha na

Mmoja-kwa-Mmoja.

Kamilisha ripoti ya matembezi (ripoti hii ni ikabithiwe kwa

kiongozi wako wa kundi la maisha au msimamizi wa ziara.

Page 47: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

41

KUSHIRIKI KWENYE

NGUVU Somo la tano

UJASIRI WA KUSHIRIKI NA RAFIKI

KUJIENDELEZA KIBINAFSI

KUISHI NA KUSHIRIKI MAISHA YA UKAMILIFU

Wakati ulipompokea Kristo kama mwokozi na Bwana wako wa kibinafsi

uliingia katika hali mpya ya ufumbuzi. Yesu alisema katika Yohana 10:10

“Nalikuja ili wawe na uzima na wawe nao tele”. 2 Wakorintho 5:17

inasema “Na hata mtu akiwa ndani ya Kristo, amekuwa kiumbe kipya;

yakale yamepita, na tazama yamekuwa mapya!” Jambo la kuhuzunisha ni

kwamba Wakristo wengi hawajui maana ya kuwa kiumbe kipya. Mara

nyingi hujaribu kuyaishi maisha ya Ukristo katika nguvu zao na hivyo basi

kushindwa mara kwa mara. Wengi wameshushwa moyo na kuvunjika moyo

kiasi ya kuamua ya kuwa haiwezekani kuishi kama vile Kristo anavyo tarajia

Ijapo ni kweli kwamba hatuwezi kuyaishi maisha ya Kikristo, lakini ukweli

ni kwamba tunaweza kuyaishi. Mkristo ako na kila anachokihitaji ili

kuyaishi maisha haya, lakini pengine anaweza kosa kufahamu ni vipi. Uko

na nafasi ya kushiriki naye jinsi vile anaweza kuishi maisha ya ushindi

yatakayoleta utukufu kwa Mungu. Hali hii ya maisha ndiyo itakayo

mwezesha kutaka kushiriki imani yake na wengine. Roho mtakatifu

amepeanwa kwetu ili atuwezeshe kuwa washuhuda.

KUISHI MAISHA KAMILI

Je unajua kwa uhakika kwamba Roho Mtakatifu anakuongoza na

kukuwezesha maishani mwako sasa hivi? ____________________________

Unajuaje? _____________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Kama kumpokea Kristo kama mwokozi, kujazwa na Roho Mtakatifu si tu

jambo la kuomba ombi bali ni kukiri kwa imani kwamba amejibu maombi

yetu.

Page 48: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

42

Ishi kana kwamba anatawala, maana alisema atafanya hivyo ukikiri kwa

imani kwamba atawale.

Kisome kijitabu chote cha “Je umegundua maisha ya ajabu ya Kiroho?”

Jiandae kushiriki na mwalimu wako jinsi ulivyofikia kufahamu maisha

kamili katika Roho, pia, jiandae kukisoma kijitabu kwa mwalimu wako na

kukijadili.

WAKATI GANI WA KUSHIRIKI UJUMBE WA MAISHA KAMILI

KATIKA ROHO.

Ni vyema kushiriki kijitabu cha injili kwanza labda uwe umejua ya kuwa

huyo ni Mkristo. Ukiwa na uhakika au ukigundua ya kwamba mtu huyo ni

Mkristo wakati ukiendelea kushiriki kijitabu cha injili, mhimize kushiriki

imani yake na wengine. Lakini akionekana ameshindwa au amevunjika

moyo basi geuka kwa kijitabu cha Roho mtakatifu.

UTAKACHOSHIRIKI NINI

Unaweza kusema, “Hebu nishiriki nawe kijitabu hiki kiko na maana

sana. Kinaelezaa jinsi ya kuishi maisha ya ukamilifu ya Ukristo.” Shiriki kijitabu. Kisome tu, kukiwa na maelezo kidogo sana au hata pasipo

na maelezo yoyote yale. Katika ukurasa wa tisa kabla ya kuuliza; “Je mtu

anawezaje kujazwa na Roho Mtakatifu?” Rudi kwa ukurasa wa pili na

watatu na uulize; “Ni upi kati ya miviringo hii mitatu inafanana na

maisha yako sasa?”

Akisema mviringo unaonyesha mtu wa kiroho, basi endelea kusoma ukurasa

wa tisa, kumuonyesha jinsi anavyoweza kushiriki na watu mwengine.

Akisema mviringo unao onyesha, Mtu wa kimwili, basi endelea kusoma

ukurasa wa tisa. Mpatie fursa mtu huyo kuomba ili kumruhusu Roho

Mtakatifu kutawala maisha yake.

FUATILIA HADI MWISHO

Bila kutojali majibu ya mtu huyo mkaribishe kwa mafunzo ya maisha ya

kundi na Mmoja-kwa-Mmoja ambayo yatafaa zaidi.

Page 49: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

43

NGUVU ZA MUNGU KUSHINDA VIZUIZI

Mambo sita ambayo huwa vizuizi kwa kuwa mshawishi kwa Kristo

yameandikwa hapo chini. Soma neno la Mungu linavyosema kwa kila

kizuizi. Kwa maneno yako mwenyewe, andika sentensi inayoeleza vile

Mungu anasema kuhusu kushinda kila kuzuizi.

KIZUIZI NENO LA MUNGU JIBU LANGU

“Nahitaji kumjua

mtu huyo vyema”

Yohana 4:7-30, 39

Luka 14:21, 23

Matendo ya mitume

8:4, 40

“Ikiwa watu

wanapendezewa

wataniuliza”

2 Wakorintho 4:13

Yohana 20:21

2 Wakorintho 5:20

“Kuna watu

wengine na hali

ambazo zinazuilia

mazungumzo ya

kiroho.”

Wakolosai 1:28

Matendo 5:42

1Wathesalonike 2:2-4

“Ninahofia kumuudhi

huyo mtu. Ninaweza

kupoteza urafiki

wake.”

Matendo 5:41

2 Wakorintho 4:1, 2

Luka 9:26

“Najihisi sijahitimu.

Mtu mwingine

anaweza kusema

naye.”

2 Wakorintho 3:5

Mathayo 4:19

Yohana 15:16

2 Wakorintho 5:18

“Hatapendezewa.

Amefanikiwa sana.”

Mathayo 9:37

2 Wakorintho 5:16

Yohana 4:35

Page 50: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

44

MAFUNZO KWA MATENDO

UJASIRI WA KUSHIRIKI NA RAFIKI

Soma Luka 10:25-37

Mwanasheria mmoja alimwendea Yesu na akamuuliza “Mwalimi mkuu

nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” Yesu akamfanya ajibu swali lake

mwenyewe kutoka kwa sheria ya Musa. Andika jibu lake katika msitari wa

27.

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Msitari wa 29 unasema: “Lakini akitaka kujidai haki akamwuliza Yesu, na

jirani yangu ni nani?” Yesu anaelezea hadithi ya msamaria mwema ili

kufafanua.

Kulingana na hadithi hii, jirani yako ni nani?

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Ni nini kilicho mhimiza huyo msamaria kumsaidia mtu asiyemjua?

_____________________________________________________________

Wanasaikolojia wanasema hitaji letu kubwa ni kupenda na kupendwa. Yesu

anatupa upendo wake, upendo ulio mkuu zaidi, na tena anatwambia

tutaushiriki upendo huu wake kwa wengine. Baadhi ya watu hawa

hatutawajua lakini wengi watakuwa ni watu wa karibu sana kwetu.

Tumejifunza kujizoesha jinsi ya kufanya ziara ya Nyumbani na mtu ambaye

kwa njia moja au nyingine amewasiliana na kanisa letu. Sasa hebu tuangalie

jinsi ya kushiriki injili na rafiki. Utapata nafasi nyingi sana za kuweza

kushiriki imani yako na rafiki zako na watu wa jamii. Kwa wewe kuweza

kushiriki kikamilifu na kwa ujasiri, utahitaji mafunzo na mazoezi.

Mpangilio wetu wa ziara utakuwa sawa na ule ambao tumekuwa tukiutumia.

Tutafanya mabadiliko machache tu ya muhimu ikibidi.

Page 51: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

45

A. KUPANGA WAKATI WA KUKUTANA

1. Chagua mtu mmoja kati ya wale waliomo katika orodha

yako ya maombi (ikiwezekana).

2. Panga mkutane nyumbani mwao au kwa mkahawa au kwa

hoteli.

Panga mkutano huu mwenyewe au upige simu. Unaweza kusema: “Ujambo

_____________________ huyu ni _________________________.

Habari yako? (Zungumza jambo ambalo mwafahamikiana nalo. Sababu

ya kuwasiliana nawe _______________________, ni kwamba rafiki

yangu _____________________na mimi twajifunza hatua nne za

kuelezea jinsi ya kumjua Mungu kibinafsi. Moja ya kazi tulizopewa ni

kushiriki na rakiki. Tungependa kushiriki nawe. Je, ______________

Jioni ______________________ kwa hoteli _______________ kwa

kikombe cha kahawa ni sawa? Nitanunua”

Kama haiwezekani, panga wakati mwingine na mahali. Kama imekubalika

sema: “Vyema sawa, tutakutana ______________ jioni ______________

kwa _______________________ hoteli."

AU

“Habari __________________ huyu ni ___________________ habari

yako? (zungumzia jambo mlijualo kwa pamoja.). _______________ niko

na kitu ninataka kukipitisha kwako. Rafiki yangu ___________, na

mimi twajifunza njia nne za kumjua Mungu kibinafsi. Sijui kama

utapendezewa, lakini tungependa tukutane kwa kikombe cha kahawa

na tushirikiane nawe. Je, asubuhi ya ______________ saa ___________

itakuaje kwako? Twaweza kuja nyumbani kwako au tukutane hoteli ya

________________.”

Kama haiwezekani, panga wakati mwingine na mahali pengine.) Ikikubalika

sema: “Vyema sana, tutaonana asubuhi ya _______________ saa

___________ Nyumbani kwako”.

B. OMBA (sawa na somo la tatu)

C. UTARATIBU WA KUWASILI (sawa na somo la tatu)

Page 52: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

46

D. JENGA UHUSIANO (sawa kama mbeleni ikiwa ni kutembelea

nyumbani) Kama mnakutana kwa mkahawa au hotelini, umtambulishe

rafiki yako mliye naye kwa rafiki yako. Baada ya kujuana unaweza

kusema; “Twashukuru kwa fursa ya kukutana leo ___________ .”

Eleza jinsi wewe na mwenzako mnavyo furahia kuendelea kujuana kwa

kanisa.

E. ACHA SEHEMU YA "KUWAFAHAMISHA KUHUSU KANISA

LETU". Enda kwa sehemu “F”

Kumbuka: Kufikia hapa mmoja katika timu ni aongee na kuongoza na

yule mwingine aombe kimoyomoyo. Sehemu zote za maagano zitafanywa

kama zile 1za somo la Tatu.

F. USHUHUDA WA KIBINAFSI

G. MASWALI YA UCHAMBUZI

H. SHIRIKI UJUMBE

I. PEANA FURSA YA UAMUZI

J. CHANGAMOTO YA KUKUA (akitaka)

K. OMBA (ikiwezekana)

Page 53: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

47

KUSHIRIKI KWENYE

NGUVU

MMOJA- KWA- MMOJA

FURSA

Wakristo wengi leo wanatamani sana kuhisi nguvu za ajabu, maisha yenye

uwezo mkuu na ya kutosheleza kama yanavyozungumziwa katika barua za

angano Jipya. Haikuwa tu kutimizwa kwao, lakini ilikuwa ubadilisho wa

maisha yao kwa aina mpya ya maisha ambavyo waliyaita "Kristo kuishi

ndani yao" Maisha hayo yanapatikana kwetu sisi tunapolisikia neno la

Mungu.

MPANGO WA MUNGU Mpango wa Mungu ni kwa kila mwamini awe shahidi wake. Wewe ni

kiungo muhimu sana kwa kazi ile ya ulimwengu mzima ambayo angependa

watu wake waitimilize katika kizazi hiki. Je, kunalo la muhimu zaidi?

NGUVU ZA MUNGU. Ahadi ya Mungu: “Lakini wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni

nyinyi, mtapokea nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika

Yerusalemu, Katika nchi zote ya Yudea na Samaria, na hata mwisho ya

dunia.” Matendo ya Mitume 1:8

KUSHIRIKI KWENYE NGUVU NI KUPI?

1. Kunahusisha vipindi sita vya mafunzo ya mmoja kwa mmoja

vinavyotumiwa na mtu mmoja kumfundisha mtu mmoja

ambaye naye atafundisha mtu mwingine.

2. Katika wakati wa kila kipindi utatumia muda wa saa moja

kukutana pamoja kwa shabaha ya:

kuelewa vifaa vyote

kushirikiana

Kuchukua jukumu la kufanya kazi .

kuomba

Halafu mtaenda kwa ziara za kiuinjilisti (Kawaida matembezi huchukua mda

wa saa moja pamoja na usafiri).

KWA NINI MMOJA-KWA-MMOJA?

Page 54: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

48

1. Mafunzo ya mda mfupi ya uinjilisti ya mmoja kwa mmoja huzalisha.

(Njia ya uhakika ya kupitisha mafunzo kutoka kwa mmoja hadi

mwingine).

2. Karibu kila mmoja anaweza kufanya mafunzo ya kibinafsi. Mwanaume

anamfunza mwanaume, mwanamke anafunza mwanamke.

3. Inakupa uwezo wa kufanyika kiongozi.

4. Unajukumika zaidi.

5. Inakufanya ujitoe kikamilifu kumtii Kristo unapounda njia thabiti za

injili.

6. Utapata fursa ya kujenga uhusiano thabiti wa Kikristo.

MADHUMUNI YA "KUSHIRIKI KWENYE NGUVU" NI: 1. Kukusaidia kupata maono ya uinjilisti

2. Kukusaidia uwe na ujasiri wa matumaini yako katika Roho Mtakatifu

3. Kukusaidia kujifundisha jinsi ya kushiriki ushuhuda wako.

4. Kukuandaa uwe shahidi wa Kristo.

5. Kukusaidia kupanga kikamilifu mfuatilio.

6. Kukusaidia kuanzisha kikamilifu kufundisha wengine kushuhudia

(kuongeza).

“Chukua yale mafundisho uliyonisikia nikitangaza mbele ya mashahidi

wengi, uyakabidhi kwa watu wanaoaminika, ambao wataweza

kuwafundisha wengine pia.” 2 Timotheo 2:2

UNAHITAJIKA KUWA NA NINI ILI UKASTAHILI KUHUSIKA

KATIKA KUSHIRIKI KWENYE NGUVU? 1. Hamu ya kutaka kukua katika uhusiano wako na Kristo.

2. Nia ya kufundishika - utayari wa kujifunza na kuambatana na wengine.

3. Kununua vifaa au vitabu vya mafundisho.

4. Kujitoa kwenda kwa vipindi vya mafunzo kila juma/wiki.

5. Kujitoa kukamilisha kazi za kujifanyia nyumbani.

JE UMEFANYA MPANGO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA

KUSHIRIKI KWENYE NGUVU?

JE, NAWEZA KUKUFANYIA MPANGO?

Page 55: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

49

MAMBO YA KUTIMIZA KWA SOMO LA SITA

Ili kukamilisha somo hili, nita (Sahihisha unapokamilisha)

MAANDALIZI

1. Kamilisha vifaa vyote vya somo la sita.

2. Jiandae kufanya mazoezi kuhusika kikamilifu katika

maelezo ya kumtembelea rafiki.

3. Hitimisha agano na rafiki yangu

KUKAMILISHWA PAMOJA NA MWALIMU

1. Rudia somo la sita

2. Kufanya mazoezi mpangililio wote wa kutembelea rafiki, na

kufanyia mazoezi ya viambatanisho vyote.

3. Wasiliana na yule unayetarajia kuwa mwanafunzi wako ili

ajipatie fomu za "ushuhuda wenye nguvu, ni “Fursa” na

athibitishe tarehe za kuanza.

Wakati wa maombi

4. Ombeni pamoja kwa ajili ya agano la leo na rafiki.

Nauliza maombi juma hili kwa ajili ya:

______________________________________________________

______________________________________________________

______________________________________________________

Waombee kwa majina wale tutakaowafunza baadaye.

Tujiombee wakati tunapoyazalisha maisha yetu kwa watu

wengine.

Page 56: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

50

Ziara za Kiuinjilisti

5. Kwa pamoja kujitambulisha na kujenga uhusiano

6. Kuchunguzwa na mwalimu katika hatua zote za kumtembelea

rafiki.

Shiriki ushuhuda.

Kuuliza maswali ya uchunguzi.

Kushiriki kijitabu cha injili au ujumbe wa maisha kamili ya

kiroho.

Kuwakaribisha kwa mafunzo ya kundi la maisha au Mmoja-

kwa-Mmoja.

Kukamilisha ripoti ya mgeni/Mawasiliano (Ripoti hii ni

ipeanwe kwa kiongozi wa kundi la maisha au msimamizi wa

ziara)

Page 57: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

51

KUSHIRIKI KWENYE

NGUVU Somo la sita

WATU KUWAFIKIA WATU

KUJIENDELEZA KIBINAFSI

ONO KWA ULIMWENGU WANGU

Hitaji la dharura la wakati huu kwa Wakristo ni kulipata ono lililokuwemo

ndani ya amri yake Yesu Kristo kwa wanafunzi wake, “Enendeni

ulimwenguni kote mkaihubiri habari njema kwa kila kiumbe.” Marko 16:15.

Agizo hili kuu kutoka kwa Bwana wetu lilikuwa changamoto wazi kwamba

wanafunzi hawangeweza kulitimiliza kwa nguvu zao. Bali, Roho Mtakatifu

aliweza kutembea kupitia kwa wanaume na wanawake, kuleta hali ya

ubadilisho mkuu kwa duniani ya wakati ule katika karne ya kwanza kuisikia

injili yake Kristo. Injili iliyapenya maisha ya watu kwa uwezo mkuu kiasi

kwamba mtu ambaye alikuwa hakumwamini Mungu wa asili ya Ufalme wa

kirumi “aligeuzwa juu chini”.

Nguvu zake Yesu Kristo na injili yake hazijadidimia hata leo, ijapo, mguso

wa Wakristo wa karne ya ishirini haujafikia ule wa karne ya kwanza. Hii

imesababisha kwamba karibu nusu ya watu wanaishi leo kutopata kusikia

ujumbe wake Kristo leo.

Bwana wetu hajawahi kuambia ulimwengu ufuate Wakristo. Bali,

amewaambia Wakristo waenende ulimwenguni na kutoa ujumbe wa injili,

ambao peke yake ni "nguvu zake Mungu kufikia wokovu". Lengo la somo

hili ni kukufunza na kukutia moyo kuhusiana na uwezekano wako na kuvuta

wengine kwa Kristo.

Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa na hii imewafanya wasiweze

kuwashuhudia wengine. Mwelekeo mwingi umetolewa kwa mambo maovu

ambayo jamii ya kisasa imeleta, lakini Wakristo hawafamishwi jinsi Mungu

navyoweza kuwatumia kuleta mabadiliko mema. Kama vile Paulo alijisikia

kutokamilika hata akajielezea hali yake kuwa “katika udhaifu na uoga na

kwa kutetemeka” 1Wakorintho 2:3, hivyo Wakristo wengi wamesetwa na

shauku ya kuwa hawawezi kuleta mguso wowote kwa wasio Wakristo.

Inakupasa kuona ya kuwa Paulo hakushindwa na hisia zake za kujiona si

kitu. Huduma yake ilikuwa na nguvu. “Kwasababu hiyo tunamhubiri

Kristo kwa watu wote: tunawaonya na kuwafundisha wote kwa hekima

Page 58: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

52

yote, ili tuweze kumleta kila mmoja mbele ya Mungu akiwa amekomaa

katika kuungana na Kristo. Kwa madhumuni hayo mimi nafanya kazi na

kujitahidi nikiitumia nguvu kuu ya Kristo ifanyayo kazi ndani yangu” Wakolosai 1:28, 29. Unaweza pia kutumiwa na Mungu, si kwa sababu ujasiri

au mwenye hekima, lakini kwa sababu Mungu anatenda kazi ndani yako.

KANUNI ZA KUWEZESHA KUWAAMBUKIZA WENGINE

Taja kanuni tatu za muhimu zitakazokuwezesha kuwaelekeza wengine kwa

Kristo kama zinavyopeanwa katika Wakolosai 4:2-6

1. __________________________________________________________

2. __________________________________________________________

3. __________________________________________________________

MFANO WA PAULO

Soma Wakorintho 9:19-23. Andika kila sehemu au maneno ambayo Paulo

aliweza kushawishi.

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Kwanini Paulo alitamani au alitafuta kuwa na mguso mkubwa hivyo?

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Ili tuweze kuwashawishi wengine, lengo letu ni liwe lipi?

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

MIFANO MINGINE YA MGUSO WA MOJA KWA MOJA

1. Andrea alimleta nani Kwa Yesu? Yohana 1:35-42

__________________________________________________________

2. Filipo alimleta nani kwa Kristo? Yohana 1:43-49

__________________________________________________________

ENEO LAKO LA KUSHAWISHI NI KUBWA KULIKO VILE

UNAVYODHANIA

Uko na eneo kubwa la kushawishi ambalo limezingirwa na watu unao wajua

vyema na hata watu ambao unao uweza wa kuwajua. Watu unaowajua wamo

katika eneo lako la mguso wa moja kwa moja. Inawezekana kuwa

Page 59: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

53

unakutana nao kila siku katika eneo lako. Na wengine labda mnakutana mara

moja kwa miezi au hata kwa miaka kadhaa. Kwa watu ambao

hamfahamikiani vyema, lakini kunao uwezekano wa kukutana, ndio

wanaochukua nafasi ya eneo lako la kuweza kuwashawishi. Kwa mafano,

mmoja wa kikundi cha eneo lako au rafiki wa rafiki anaweza kuwa muhimu

kwa ushawishi wa eneo lako.

ENEO LAKO LA KUAMBUKIZA MOJA KWA MOJA

Wengi wetu hatutambui ni umbali gani tunaweza kushawishi. Tumia njia

ifuatayo kuratibu hesabu ya wasio Wakristo katika eneo lako la kushawishi

moja kwa moja.

Jamii + wafanyi kazi wenzako + majirani + marafiki + Uwafahamuo

_________ + ________ + _________ + _________ + _________

Jumla ya wote hapo juu ni: _______________ (Jumla A)

Kama 7 kati ya watu hawa wangempokea Kristo na kuanza kuwafikia wale

wa eneo lao la mguso ni wangapi ungeweza kuwashawishi kupitia kwao?

Jumla A X 7 = _________________ (Jumla B)

(A) _______________ + (B) _______________ = _______________

TAMBUA ENEO LAKO LA UFAHAMU WA KARIBU

WEWE

Page 60: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

54

Katika hali ya maombi, chagua watu 7 na utafute kushiriki nao Kristo moja

kwa moja.

1. ___________________________ 5. ___________________________

2. ___________________________ 6. __________________________

3. ___________________________ 7. ___________________________

4. ___________________________

Mmoja kati ya hao saba akimpokea kristo, hakikisha umemsaidia ili naye

aweze kufikia eneo lake la mguso moja kwa moja.

MAFUNZO KWA VITENDO

MBINU MAHUSUSI ZA KUUFIKIA ULIMWENGU

Kazi ya injili inaonekana kuleta hofu au uoga katika mioyo ya Wakristo

wengi. Waumini wengi bado hawajashiriki imani yao na wengine?

Kwasababu gani. Je ni kwasababu wale wasioenda kanisani wako kinyume

au wanapinga injili? Hasha! Watu wengi wanapoulizwa kama wanaweza

kwenda kanisani kama wakikaribishwa na rafiki, husema, “Ndio, ninaweza”

Wengi tunaoshiriki nao huwa wazi kwa injili si wote wako tayari kumpokea

Kristo lakini wako wazi kuzungumza na kutaka kuelewa.

Ulimwengu unabadilika! Ulimwengu umo katika shida hakuna

kinachoonekana kuleta maana! Injili inaleta maana! Inapeana tumaini kwa

ulimwengu usio na tumaini. Watu wengi wanapenda kusikia. Jukumu letu ni

kuchangua njia zinazofaa na za kueleweka.

Kuna njia nyingi zinginezo zinazofanya kazi vizuri kuliko zingine.

Kukusaidia ili ukawe mvumbuzi mzuri hapa kunayo maoni machache.

1. Wakaribishe watu kanisani

Mwambie rafiki yako amlete rafiki yake kwa mkahawa au hoteli

mkutane. Mfahamu huyo rafiki yake na umkaribishe kanisani au kwa

kundi lako la mafundisho.

2. Fomu ya Maswali kwa majirani (ona mfano mwisho wa somo hili)

Hii ni rahisi kufanya na inafanya kazi vizuri sana. Mtu mmoja na rafiki

yake walitembelea, hivi majuzi, nyumba 12 kwa mda wa saa limoja.

Wakazungumza na watu 8, wakashiriki injili na watu 5, na

wakawaombea watu 3 kumpokea Kristo. Watu wako wazi,

Page 61: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

55

watazungumza na wageni na hata kumpokea Kristo mbele ya milango

yao.

3. Ushuhuda wa Kibinafsi

Shiriki ushuhuda wako kwa dakika moja unapopata fursa. Watu hutaka

kujua kile Mungu amekutendea. Kila Mkristo anatakikana kuwa na njia

ya rahisi ya kuelezea ushuhuda wake. Wasaidie marafiki zako kuandaa

hadithi za maisha yao. Tumia kipindi cha mijadala cha somo la kwanza.

4. Vijitabu vya injili

Daima beba vijitabu vya injili na Roho Mtakatifu kwenye mkoba wako

au pochi yako, hivyo basi utakuwa umejiandaa kikamilifu.

5. Filamu na kanda za video

• Filamu za Yesu

• Ndoa

• Wazazi na vijana wadogo

• Utumiaji mbaya wa madawa, n.k

Unaweza kumuachia rafiki yako moja atazame na halafu umfuatie au

uwakaribishe marafiki kuja jioni kuziona filamu hizi. Hii

naweza.kufanywa wakati wowote ule. Nyakati maalumu kama

Krisimasi au Pasaka huwa inarithawa kabisa.

6. Karamu za urafiki

Tazama kijitabu kiitwacho “Jinsi ya kufanya karamu za urafiki”, kwa

maelezo sahihi ya jinsi ya kuandaa na kuendesha karamu za urafiki. Hii

ni njia mahususi kabisa ya kutumia pamoja na kundi lako la mafunzo ya

maisha au pamoja na marafiki wengine.

7. Kushiriki Kwenye Nguvu kwa Mmoja-Kwa-Mmoja

Matunda ya kazi ya Mmoja Kwa Mmoja itaonekana kwa jinsi vile watu

wengi watakavyoweza kufikiwa. Itahitaji uvumilivu hapo mwanzo, kwa

sababu huanza na watu wachache. Kadiri unavyo wafunza wengine

ambao nao wanawafunza wengine, hesabu ndivyo inavyokua.

Hakikisha kuanza kufundisha mtu mwingine mara tu unapokamilisha

na mmoja. Pata majina ya watu wa kutembelea kutoka kwa mchungaji

wako au msimamizi wa ziara. Kila huduma katika kanisa lenu ijaze

fomu ya wageni au ripoti ya mawasiliano kwa kila mtu mgeni

wanayekumbana naye. Endelea kuongeza majina ya watu katika eneo

lako la ushawushi. Uwaombee kila wakati na utafute kushiriki na kila

mmoja wao kuhusu Kristo.

Page 62: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

56

8. Kushiriki Kristo kama mtindo wa maisha

Sasa vile umejua jinsi ya kushiriki injili, na umepata ujuzi mbalimbali

wa kufanya hivyo, sasa uko tayari kushiriki na mtu yeyote mahali

popote. Hili ndilo lilikuwa ono la Paulo na mzigo wake. Anza kutumia

kanuni hizi maishani mwako.

JINSI YA KUSHIRIKI KAMA MTINDO WA MAISHA

A. UPATIKANE KWA MUNGU NA KWA WATU

Soma 2 Timotheo 4:2a Kifungu hiki kina maana gani kwako?

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Mungu anapendezewa sana na kupatikana kwako kuliko uwezo wako.

Atawaleta watu kwa Kristo kupitia kwako wakati unapatikana kwake.

B. MUULIZE MUNGU AKUPE FURSA YA KUSHUHUDIA

1. Uwe na mwelekeo. Muombe Mungu akupangie nafasi tukufu.

Muombe akuelekeze kwa mtu fulani.

2. Chukulia kuwa ni jibu la ombi lako wakati uko peke yako na mtu

mwingine kwa dakika chache.

3. Chukulia nafasi yoyote ya kushuhudia kama kibali tu, sio jukumu lako.

C. KUTANA NA WATU MAHALI WALIPO

Wakristo wengi hutumia mda wao mwingi pamoja na Wakristo wengine

wakienda kutoka shuhuli moja ya Kikristo hadi nyengine, na hivyo

kutokuwa au kutoweza kuwa na nafasi ya kukutana na wale ambao

hawajaamini.

Ili ukaweze kushuhudia wale hawajaamini, ni sharti uende mahali walipo.

Ukae chonjo na ushuhudie Bwana akikupa fursa hiyo.

D. MUOMBE MUNGU AKUPE TAMAA YA KUPENDA KILA MTU

UTAKAYEKUTANA NAYE.

1. Uwe mwadilifu.

2. Anza maongeo kwa kuuliza maswali. Maswali ya wapi, nani, vipi, lini

na kwa nini husaidia kujenga mazungumzo.

Page 63: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

57

a. Soma Yohana 4:7. Swali gani Yesu alilomuuliza yule mwanamke

pale kisimani?

__________________________________________________________

Kwa nini alimuuliza swali hili? ________________________________

__________________________________________________________

b. Soma Matendo 8:30. Swali gani Filipo aliuliza?

__________________________________________________________

__________________________________________________________

Kwanini aliuliza swali hili? ___________________________________

__________________________________________________________

3. Baadhi ya maswali ambayo unaweza kuuliza:

a) Jirani “Hujambo, jina langu ni _________________. Nilitaka

nafasi tu ya kukutana nawe. Umeishi hapa kwa muda gani?”

b) Msafiri mwenzako:

“Hujambo, jina langu ni __________. Unasafiri kuelekea wapi?”

c) Wengine:

“Je, unaishi hapa mjini (mtaa)?”

“Wafanya kazi gani ili kujipatia mkate wa kila siku?”

“Je, naweza kukusaidia?”

“Je, unaweza kunisaidia na ___________________ ?”

E. ZUNGUMZA KUHUSU KRISTO

Soma Matendo 8:4. Yasema nini kuhusu mwamini?

_____________________________________________________________

_____________________________________________________________

Wakristo wa Karne ya kwanza waliongea habari njema za Kristo katika

mazungumzo yao ya kila siku kila mahali walipoenda. Leo tunahitaji macho

yetu yafunguliwe ili tukazione fursa nyingi tulizonazo za kukutana na watu

na kuwashuhudia Kristo. Wewe ni mtu wa maalum na uko na eneo la

Page 64: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

58

ushawishi ambalo si kutoka kwa mtu mwingine. Anza kujenga uhusiano na

watu kwa kuuliza maswali, kushiriki ujuzi wako mwenyewe, na hatimaye

ukitumia viambatanisho rahisi vitakavyo kuwezesha kuwashuhudia injili.

MIFANO YA VIAMBATANISHO

1. “Nimekuwa nikisoma kijitabu ambacho kilikuwa kikileta maana sana.

Je ninaweza kushiriki nawe?”

2. “Niko na kijitabu ambacho kinaelezea maana ya kuwa Mkristo. Je

ninaweza kukishiriki nawe?”

3. Toa ushuhuda wako kwa kifupi kisha useme, “Hebu nikuonyeshe ni

mambo gani yanayohitajika ili kuwa Mkristo.”

4. “Je, kuna wakati hufikiria, kuhusu mambo ya kiroho?” au “Je

unapendezewa na mambo ya kiroho?”

5 “Je, nawezashiriki nawe jinsi Yesu Kristo anavyohusika na maisha leo?

Uko na dakika chache?”

6. “Je, katika maisha ya Kiroho, umeshafikia mahali ambapo unajua kwa

uhakika kwamba kama ukifa leo utaenda mbinguni?” *KAMA ndio,

sema, “Kama ungekufa leo, na usimame mbele za Mungu naye

akwambie, ‘Kwa nini nikuruhusu kwangu mbinguni?’, Utasemaje?”

* Maswali ya Kennedy E.E.

Chagua mbinu ambazo zitakufaa pamoja na watu mbalimbali ambao

unafursa ya kushiriki nao upendo wa Mungu.

Kumbuka ku:

Patikakana kwa Mungu na kwa watu.

Omba Mungu akupe nafasi za kushuhudia.

Kutana na watu mahali walipo.

Omba Mungu akupe hamu ya kumpenda kila mtu unayekutana naye.

Zungumza kuhusu Kristo.

Mungu akubariki unaposhiriki habari njema za Yesu Kristo na kuwafundisha

wengine kufanya hivyo.

Page 65: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

59

MASWALI KWA MAJIRANI

MASHAURI

1. Omba kabla ya kwenda. Yule ambaye hashiriki ni aombe kimoyomoyo

wakati yule mwingine anashiriki.

2. Karibieni kila nyumba kwa utaratibu.

3. Muwe na nakala za maswali (kwenye chombo cha kubebea

makaratasiikiwezekana) au kalamu ya makaa na kijitabu cha injili au

Roho mtakatifu tayari kabla ya kuujongelea mlango. Mwenzako abebe

vitabu vinavyozungumzia kuhusu kanisa lenu na ashughulikie kujaza

karatasi za nakala za Nyumba-kwa-Nyumba.

Kumbuka:Daima ukiweke kijitabu cha injili juu ya vyengine na wazi

ili kiweze kuonekana tayari kutumika mwisho wa kukamilisha

maswali.

4. Mjitambulishe kwa njia ya kiurafiki kwa kusoma au kutoa kutoka kwa

kumbukumbu tangulizi katika nakala.

5. Soma kila swali. Kama hawataki kujibu moja, nenda kwa swali lingine.

Utakapokuwa ukishiriki swali la mwisho, fungua kijitabu cha injili na

uwe tayari kukishiriki mara moja.

6. Kama hawataki uipitie nakala ya maswali omba ushiriki kijitabu. Sema,

“Hebu nishiriki hiki kijitabu kuhusu jinsi ya kumjua Mungu

kibinafsi?”

7. Kama hawataki uweze kukisoma kijitabu omba uwaachie. Pia omba

uwaachie baadhi ya vijitabu kutoka kanisani kwenu.

8. Enendeni kwa nyumba nyingine.

9. Mwenzako ajaze karatasi la nakala za Nyumba-kwa-Nyumba kabla ya

kuifikia nyumba nyingine.

10. Mahali ambapo panahitaji kutembelewa tena, toa habari hii kutoka kwa

karatasi ya Nyumba-kwa- Nyumba hadi kwa Ripoti ya mgeni/mtu wa

kuwasiliana na muipeane kwa msimazizi wa ziara.

Hakikisha kuwa na nakala za kutosha zenye maelezo ya kanisa lako, na zile

za maswali kwa majiranikwa ajili ya nyumba zote pia muwekenakala ya

fomu ya nyumba kwa nyumba kama inavyoonyeshwa hapo chini.

Page 66: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

60

*. Uliz

a jin

a tu

kam

a a

mekubali w

okovu H

akik

isha k

ure

gesha fo

mu h

ii uta

hita

ji kunakili h

abari z

ake k

wa a

jili ya k

ufu

atilia

.

O

nly

record

the h

ouse n

um

ber if th

ere

is c

onta

ct

And

ika k

wa h

eru

fi kub

wa

Wate

mb

ezi: _

__

___

___

___

____

___

___

__

___

___

___

_

Tahere

: ___

___

__

___

___

_

Sem

em

u: _

___

___

___

___

_

NA

MB

AR

I YA

NY

UM

BA

J

INA

*

NA

KA

LA

YA

UIN

JIL

IST

I WA

NY

UM

BA

KW

A N

YU

MB

A J

ina

la k

an

isa : _

_____

___

__

____

___

___

__

___

___

___

_____

_

Kufikiwa

Majibu

Alikataa

Alimaliza

Nilishikiri kitabu cha injili

Nilishiriki kitabu cha Roho Mtakatifu

Aliomba kumpokea Yesu

Alikua Mkristo Tayari

Ana kanisa la nyumbani ndio/la

Nitafuatilia

Anahitaji huduma ya karibu

Special Attention

Co

mm

en

ts

Page 67: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

61

NAKALA YA MASWALI KWA MAJIRANI

“Hujambo, Mimi ni ___________ na huyu ni __________. Tunatoka kanisa

la ______________. Tunazunguka tukifanya utafiti kwa majirani ili

tupate kujua mahitaji ya jamii yetu. Je unaweza kupata wakati ili ujibu

maswali saba?”

ULIZA:

1. Umeishi kwa mtaa kwa muda gani? ______________________________

2. Unafikiria hitaji kuu ambalo jamii hii yetu inahitaji ni nini?

___________________________________________________________

3. Ni mambo gani ambayo kanisa linastahili kufanya jamii hii kuwa bora?

___________________________________________________________

4. Je, unaenda kanisani mara kwa mara? ____ ndio ____ la

kama ni “la” uliza: kama ungekaribishwa

kwenda kanisani na rafiki, unaweza kwenda? ndio ____ ndio ____ la

5. Je, kanisa katika jamii hii linatimiza jukumu lake la

kuwaleta watu karibu na Mungu? ____ ndio ____ la

6. Je, unaamini kama Mungu yuko? ____ ndio ____ la

Kama ni “Ndio” uliza; “Katika maisha yako ya

kiroho umefikia mahali ambapo unajua kwa uhakika

kwamba kama ukifa leo utaenda mbinguni?” * ____ ndio ____ la

Kama ni “ndio” Uliza: “Kwa mfano kama ungekufa leo, na usimame

mbele zake Mungu naye akwambie ‘kwa nini nikuruhusu kuingia

mbingu yangu?’, utasemaje?”*

Kama ni “la” au “sina uhakika” enda kwa swali lifuatalo.

7. Biblia inasema, tunaweza kumjua Mungu kibinafsi na tuwe na uzima

wa milele. Hebu nichukue dakika chache kushiriki nawe kijitabu hiki

kuhusu uhusiano huu wa muhimu sana?

Kama “ndio” shiriki kijitabu cha injili au Roho Mtakatifu.

Kama ni “la” Hebu niwaachie kijitabu hiki na baadhi ya vitabu kuhusu

kanisa letu. * Maswali ya Keneddy E.E

Page 68: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

62

Page 69: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

63

KUSHIRIKI KWENYE

NGUVU

MASHAURI KWA WAKUFUNZI

Pongezi! Umekamilisha mafunzo yako na sasa umehitimu kufunza wengine.

Uko karibu kuanza jambo la kusisimua la kumfanya mwamini mwingine

kuwa mshuhuda wa Kristo.

Utaipata furaha ya kuwa mtiifu kwa Kristo unapomsaidia Mkristo

mwenzako kukua katika imani na utiifu.

Mpango wa Mungu kwa kila mwamini ni kuwa awe mshuhuda wake. Wewe

ni kiungo muhimu katika kazi hii ya ulimwengu mzima ambayo Mungu

angependa watu wake waweze kuikamilisha katika enzi hii. Je, kunalo lililo

bora zaidi ya hili.

“Kwa maana Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea”

Luka 19:10

MPANGO WA MUNGU

Mpango wa Mungu wa kuufikia ulimwengu ni kwa sisi kufanya wanafunzi

kupitia kuieneza injili na kuwafunza kutii. Ni sharti tuwe watiifu na tupitishe

utiifu huu kwa wengine.

Kama ukifundisha mtu mmoja kwa muda wa miezi minne (watu watatu kila

mwaka) na watu hao watazaa katika njia hiyo kwa kila miezi minne, kuanzia

wakati walipomaliza mafunzo yao, hivi ndivyo itakavyotokea:

MWAKA JUMLA

1

2

3

4

5

7

49

343

2,401

16,807

Huu ndio mtiririko wa UZAZI. Katika kufanya wanafunzi (Mathayo 28:18-

20) tunapaswa kuwa watiifu katika kwenda (uinjilisti) na katika kufunza

utiifu. Kama vile Paulo alivyomfunza Timotheo, ambaye naye

angeliwafunza watu waaminifu (binadamu), ambao nao pia wangefunza

wengine kutii, hivyo basi nasi twapaswa kufanya vivyo hivyo.

Page 70: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

64

KUZALISHA NDIO FUNGUO! Uanza pole pole, lakini huendelea

kupanuka kwa haraka wakati UZALISHO unapoendeleakufanyika.

Paulo Timotheo Watu waaminifu Wengine

Mimi Mwanafunzi Wangu Wanafunzi wao Wengine

Weka rekodi ya wale unaowafundisha na wale wanaowafunza. Funguo halisi

ya uzalishaji ni katika kuwachagua watu ambao wataipitisha na tena kufanya

kazi nao mpaka watakapoweza kuipitisha kwa watu kama watatu wengine

watakaofanya vivyo hivyo.

NGUVU ZA KUSHIRIKI, MMOJA-KWA-MMOJA

MANUFAA YA KUFUNZA MMOJA-KWA-MMOJA

• inatoa uwezo wa mkufunzi na mwanafunzi.

• inatoa watu wenye ushawishi uliyopitia kufikiria kwa kibinafsi.

• inajenga ujasiri wa kibinafsi.

• inawasaidia wanafunzi kujieleza waziwazi.

• inaruhusu kuhusika kikamilifu, ambayo matokeo yake ni kuongezeka

kwa kutiwa moyo.

• huwasaidia kuwa wazi kwa mawazo mapya kwasababu huweza

kutambua kuwa wanatengeneza ujuzi mpya na hivyo wataweza kupokea

mafunzo yako.

Page 71: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

65

• Inaruhusu kutokuwa na mitindo. Mwalimu na mwanafunzi huweza

kujua vile mwingine anafikiria na kuhisi, hivyo basi kupeana fursa ya

kusaidia katika mahitaji ya kibinafsi.

• haitaji kiongozi mwenye ujuzi wa kuongea kwa watu wengi ili kufaulu.

Karibu kila mtu anaweza kufanya mafunzo ya kibinafsi.

• inamwezesha mwalimu kuamua kama mwanafunzi kwa hakika

anajifunza au la.

• kwa haraka huzalisha. Mmoja-kwa-Mmoja huanza polepole, ikiwa na

watu wachache wanaohusika. Wakati kila mmoja anazalisha uwezo wa

kuwapa vifaa watu wengi ili kuweza kushiriki imani yao si ya kifani.

Mafunzo ya kuzalisha ndilo tumaini letu la kulifikia kundi kubwa la

ulimwengu wetu na kutimiliza agizo kuu la Bwana wetu.

MADHUMUNI

Madhumuni ya nguvu za kushirika kwa Mmoja-kwa-Mmoja ni kujifunza na

kuweza kupitisha njia hii ya kushiriki imani yako kwa wengine na kuendelea

kuwapitishia wengineo.

LENGO

1. Kumsaidia mwanafunzi kupata maono ya kazi ya injili.

2. Kujenga ujasiri wa mwanafunzi katika nguvu za Roho mtakatifu na

uongozi wake katika kushuhudia.

3. Kumsaidia mwanafunzi katika kujifunza jinsi ya kushiriki ushuhuda

wake wa kibinafsi.

4. Kumuwezesha mwanafunzi kuwa mshuhuda wa Kristo kwa maneno na

kwa maisha.

5. Kumuimarisha kila mtu aliyetembelewa kwa mafunzo ya Mmoja-kwa-

Mmoja na kundi la maisha.

6. Kumuwezesha mwanafunzi kuweza kuwafundisha wengi kushuhudia na

kuyazalisha maisha yake kwa wengine.

7. Kuimarisha wanafunzi washuhuda wakutosha ili kuiweka wazi jumuiya

yote kwa injili yake Yesu Kristo.

Page 72: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

66

JINSI YA KUCHAGUA MWANAFUNZI

1. Omba, muulize Mungu akuongoze kwa mtu wa chaguo lake.

2. Wape changamoto wale walio katika kundi lako la maisha.

3. Wafunze wale unaowaongoza kwa kristo.

4. Wafikirie marafiki zako kanisani mwenu.

5. Mwanaume humfunza mwanaume na mwanamke kumfunza

mwanamke.

UTAMPAJE MTU CHANGAMOTO YA KUFUNZWA

1. Ufanye mawasiliano ya kibinafsi.

2. Shiriki na mtu huyo nini maana ya Kushiriki Kwenye Nguvu, moja-

kwa-Mmoja (Tumia fomu ya “Kushiriki Kwenye Nguvu, Ni fursa”

mwisho wa somo la tano).

3. Shiriki na mtu huyo kwa nini mafunzo haya ni muhimu sana kwako na

vile wewe umefaidika kutoka kwa mafunzo haya.

4. Shiriki maono yako ya kuwa sehemu moja ya muhimu ya kuzidisha

kuufikia ulimwengu.

JINSI YA KUANZA

1. Mpe huyo mtu changamoto ya kujitoa kwa muda wa majuma sita.

Muelezee ya kuwa inahitajika kuwa na jukumu la kazi za kufanyia

nyumbani, kukutana kwa saa moja kila wiki ili kujadili somo, na

baadaye kuenda kwa agano la uinjilisti kila juma.

2. Jaribu kukamilisha vipindi vyako sita kwa majuma sita. Unapoanza,

panga tarehe ya kuja pamoja ili muziweke kwenye kalenda zenu.

WHEN TO MEET

1. You and your trainee can meet any time that is convenient for the two of

you and the people you are visiting.

2. Plan to meet at the same time each week for six consecutive weeks.

Adjust your schedule as needed to facilitate the evangelistic

appointment.

(Something is mixed up in this section please check with the English)

Page 73: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

67

3. Labda mngetaka kukutana kanisani wakati mmoja kila juma pamoja na

wanafunzi na waalimu wengine kufanya mafunzo yenu ya Mmoja-kwa-

Mmoja.

UTARATIBU (Wakati utategemea na nafasi zenu)

12:45 jioni * Marudio ya somo la Mmoja-kwa-Mmoja

1:45 jioni * Wote kukutana pamoja

* Kupokea majina (kama mnakiongozi anaye

pangamaagano

* Kuomba pamoja

2:00 usiku * Kila timu (mwanafunzi na mwalimu) kwenda

kwa maagano yenu.

Manufaa ya kufunza pamoja na wengine.

a. Kuhimizana

b. Kuendeleza. Mnakuwa na wakati maalumu kwa kupangilia kila wiki.

c. Mnakuwa na jukumu la mmoja kwa mwingine mara kwa mara

d. Fursa zingine hutokea kama agano lenu linahairishwa.

e. Maombi ya kundi kwa kusaidiana.

MWONGOZO KWA MWALIMU

MWONGOZO MAHUSUSI

1. Andaa somo linalopaswa kabla ya kukutana na mwanafunzi.

2. Chunguza mambo ya kukamilisha kwa kila somo.

3. Kwa wakati wa kila kipindi mtatumia muda wa saa moja kukutana

makusudi ya:

* Kuyaelewa mafunzo

* kushiriki pamoja

* Kufanya mazoezi

* Kuomba

Halafu mtaenda kwa ziara ya kiuinjilisti (kawaida, ziaraitachukua muda

wa saa moja pamoja na muda wa kusafiri).

4. Panga ziaraya kiuinjilisti juma moja kabla. Omba ya kwamba

hakuna jambo litakalotatiza kuja kwenu pamoja baada ya kupanga.

Aina za ahadi/maagano

a. Mtembelee mtu ambaye ameshatembelea kanisa.

b. Tembelea mtu ambaye amewasiliana na kanisa, kama wazazi wa

watoto au vijana wanaojishuhulisha na huduma fulani kanisani.

Page 74: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

68

c. Tembea Nyumba-kwa-Nyumba na nakala za maswali kwa majirani

iliyoandaliwa maalumu kwa kushiriki injili (ona mfano). Kumbuka

kujaza ripoti ya wageni na uipeane kwa kiongozi wa kundi la

maisha au msimamizi wa ziara.

d. Katika kipindi cha nne na cha sita utatembelea marafiki wenu wa

kibinafsi.

5. Mwisho wa kila matembezi ya kiuinjilisti, ombeni pamoja. Mshukuru

Bwana kwa yale ameyatenda na muwaombee wale mmewatembelea.

6. Peana “Cheti cha Kufaulu” mwisho wa kipindi cha sita. Inapostahili,

kupeanwa cheti hiki kifanywe kwenye kundi la maisha. Wale

wanaokamilisha mafunzo ya Misingi, Ukufunzi na Kushiriki wapewe

pongezi maalumu na mchungaji wakati wa ibada ya jumapili.

Mwongo wa jumla

1. Furahia wakati wenu pamoja; mchukue wakati wa kumsifu Mungu.

Uwe mwenye kupenda na wakusaidia kwa njia yoyote.

2. Uwe wazi kushiriki udhaifu wako lakini usisitize ukamilifu na

kutosheleza kwa Kristo (2 Wakorintho 12:8-10) Nyote mwajifunza

kumtumainia Mungu.

3. Muombee mwanafunzi wako kila wakati.

4. Uwe mvumulivu. Uwe mwenye kutia moyo.

5. Uwe mwenye msisimko. Tabia yako huambukiza.

6. Shiriki vile Mungu anafanya kazi ndani yako ili kukufanya kuwa

mshuhuda mwaminifu.

7. Jibu kwa shukrani wakati unapoona Mungu akifanya kazi maishani mwa

watu.

Page 75: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

69

KUFAFANUA MTIRIRIKO WA NGUVU ZA MAISHA

JINSI YA KUELEZA MCHORO WA MTIRIRIKO WA

NGUVU ZA MAISHA

Kamilisha mchoro kwa kuandika maneno hapo chini wakati unapoeleza kila

alama ya mtiriko.

Mfululizo wa maisha yenye nguvu

1. Jumuiya. Wakati kanisa letu linapoifikia jumuiya na kushiriki nay

upendo wa Mungu, tunahitajika kuwavutia watu wapya kwa kanisa letu.

2. Vijana, ibada, shule ya jumapili na Huduma zengine, zote hupeana

fursaya kuwakaribisha watu wapya kushiriki kwa uhai wa kanisa.

Kupitia kwa kila moja ya huduma hizi, tutaweza kupata majina ya wale

wanaokuja.

3. Matembezi ya wageni. Mawasiliano yatafanywa kuwatembelea watu

wapya. Wale watakaotembelewa watajulishwa kwa wanachama wa

kundi, watafahamishwa huduma za kanisa letu, injili itashirikiwa

(ikiwezekana) na wakaribishwe kwa mafunzo ya kundi la Maisha na

mafundisho ya Mmoja-kwa-Mmoja.

Kundi Dogo + Mmoja-Kwa-Mmoja = Kikundi cha Uhai

Ja

mii

Misingi Ushirika

Vijana

Kuabudu

Huduma

Zingine

Ku

ku

nzw

a kw

a kion

go

zi

Kuin

gizw

a katika hu

dum

a

Ukufunzi

Kikundi cha Uhai Kundi Dogo

Page 76: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

70

4. Kundi la Maisha. Kwa kila juma kwa saa moja, kundi la watu wapya

kukutana na wale walio waalimu wa mafunzo ya Mmoja-kwa-Mmoja,

kujenga urafiki katika misingi ya masomo ya Biblia kwa kifupi na

wakati wa maombi.

5. Mmoja-kwa-Mmoja. Huu ni wakati mzuri wa kujuana, masomo ya

Biblia, kutenda na maombi. Mwanamume anakutana na mwanamume

au mwanamke kukutana na mwanamke kila wiki wakati wao unaofaa.

6. Misingi Yenye Nguvu: Vipindi hivi vinne vya kusoma

vitawafahamisha Wakristo wapya na ukweli wa Biblia ulio wa muhimu

kwa kukua.

7. Ukufunzi Wenye Nguvu. Vipindi hivi tisa vya mafunzo vitajenga tabia

na mtindo wa maisha ndani ya Mkristo mchanga wakati anapotumia

yale aliyojifunza.

8. Kushiriki Kwenye Nguvu. Vipindi hivi sita vyamafunzo

vitakuwezesha kushiriki imani yako kwa ujasiri na kwa njia ya kiasili.

9. Kuwatambulisha vyena wanachama. Funzo hili fupi litakufahamisha

na viongozi wa kanisa letu na dhehebu letu, na kukuandaa kwa ubatizo

na uwanachama.

10. Kuwekwa kwa huduma. Baada ya kuandaliwa katika mtiririko wa

nguvu za maisha, sasa uko tayari kuwasaidia wengine kukua, kuna

sehemu nyingi za kuchagua kuanzia kwa zile ambazo umezikamilisha.

(k.m. Misingi Yenye Nguvu, Ukufunzi na Kushiriki).

Page 77: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

71

RIPOTI YA MGENI/

MAWASILIANO

Ijazwe na irudishe papo hapo Sehemu ya huduma______________________ Tarehe ____________ Mnakili __________________________________________________ Jina_____________________________________________________ Anwani __________________________________________________ Simu (Nyumbani) _____________ Mahali(kazini) _____________ Umri ______

Mke/Mume ___________________________________________ Umri ______ Watoto 1._ ______________________________________ Umri ______

2. _______________________________________ Umri ______

3. _______________________________________ Umri ______

4. _______________________________________ Umri ______

Mgeni wa ______________________________________________________

Alitembelewa na _____________ wakiwa na ____________ Tarehe ________

Na maoni: ________________________________________________

________________________________________________________

________________________________________________________

________________________________________________________

________________________________________________________

________________________________________________________

________________________________________________________

________________________________________________________

________________________________________________________

Page 78: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

72

Page 79: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

73

Ch

eti c

ha

K

uh

itim

u

Hii

ni kuth

ibitis

ha k

wam

ba

_______________________________

Am

efa

ulu

ku

mali

za m

afu

nd

ish

o y

a

KU

SH

IRIK

I K

WE

NY

E N

GU

VU

_____________________

Ta

reh

e

__

___

___

___

___

___

___

___

__

__

__

__

M

wa

limu

Page 80: KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu). 3. Weka akilini

74