KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda...
Transcript of KUSHIRIKI KWENYE NGUVU - dynamicchurches.files.wordpress.com · mwalimu wangu. 2. Andaa ushuhuda...
KUSHIRIKI KWENYE
NGUVU
MMOJA-KWA-MMOJA
ii
iii
WALIOKUSUDIWA
Ukufunzi wa mmoja-kwa-mmoja wenye nguvu umeandikiwa wale wote
waliojitolea kwa mwito mkuu wa Bwana wetu Yesu Kristo, na wamejitoa
mhanga kuhakikisha kwamba wanashiriki kuwafanya wengineo hadi kila
mmoja kote ulimwenguni atakapomjua Mungu kibinafsi.
SHUKURANI
Nakala hii imetayarishwa ili kueleza mafunzo kamili jinsi wakriso wachanga
wanavyoweza kukomaa katika mwenendo wao na Mungu na kuweza
kusaidia wengine. Shukrani kwa wale wote waliosaidia kuiandaa.
Dynamic Churches International
Kenya Representative
Simeon Oyugi P O Box 798-00515
BURUBURU, NAIROBI, KENYA EAST AFRICA
Email: [email protected]
Vifungu vya Biblia vilivyonakiliwa katika kitabu hiki vyote ni kutoka kwa
Biblia Habari Njema toleo la 1995, na ile ya mashirika yaliyoungana ya
1994,1952,1989. 2016 Dynamic Churches International.
Haki zote zinahifadhiwa. (Pamoja na utafsiri)
iv
YALIYOMO
UTANGULIZI ................................................................................ V
SOMO LA KWANZA
KUMJUA MUNGU KIBINAFSI ...............................................…..... 1
SOMO LA PILI
KUSHIRIKI HABARI NJEMA ......................................................... 11
SOMO LA TATU
UFANISI KATIKA ZIARA YA NYUMBANI ............................... 21
SOMO LA NNE
UJUMBE WA KUSHIRIKI ………................................................... 31
SOMO LA TANO
UJASIRI WA KUSHIRIKI NA RAFIKI ........................................... 39
SOMO LA SITA
WATU KUWAFIKIA WATU ...................................................... 49
NAKALA YA UINJILISTI WA NYUMBA KWA NYUMBA ………. 59
MASWALI KWA MAJIRANI …...................................................... 63
MASHAURI KWA WAKUFUNZI .............................…................. 65
MAELEZO YA MFULULIZO WA MAISHA YA USHINDI ......... 69
RIPOTI YA KUWASILIANA NA MGENI ....................................... 71
CHETI CHA KUFAULU …................................................................ 73
v
KUSHIRIKI KWENYE NGUVU
MMOJA-KWA-MMOJA
Utangulizi
Fundisho hili limeandaliwa ili liweze kutumiwa pamoja na mojawapo ya njia
za kuihubiri injili.
Vitabu vingine vinavyoweza kutumika.
Je ungependa kumjua Mungu kibinafsi? au Je umesikia kanuni nne za
kiroho? Vyote vimeandkikwa na Dr. Bill Bright
Hatua za amani na Mungu kimeandikwa na Dr. Billy Graham.
Kwa mafunzo ya maisha ya kiroho kamili tunakubali kijitabu kiitwacho
Je umegundua maisha tele ya kiroho? Kilichoandikwa na Dr. Bill Bright.
Vijitabu vingine vinaweza kutumika, lakini ni lazima vitimize au viwe
vinalingana na maelezo sahihi.
Tumia vijitabu vinavyokubaliwa na uongozi wa kanisa lako.
Kwasababu ya utumizi wa vijitabu vilivyotajwa hapo juu baadhi ya maelezo
kuhusu jinsi ya kuvitumia vijitabu hivi kikamilifu yamechukuliwa kutoka kwa
maandishi mbalimbali yaliyotolewa na Here's life publishers.
vi
Mfululizo wa maisha yenye nguvu
Ushirika imara ni mojawapo ya hali ya kukua katika maisha yenye nguvu
kwa kanisa iliyo kusudiwa kustawisha Wakristo kuelekea ukomavu ndani ya
Kristo.
Mchoro ufuatao unaonyesha jinsi KushirikI Kwenye Nguvu kunavyopatana
na hatua zilizopendekezwa na Dynamic Churches Internatinal kwa kanisa.
(Kwa mafunzo ya jumla angalia maelezo kwa waalimu).
Mfululizo wa maisha yenye nguvu
Ja
mii
Misingi Ushirika
Vijana
Kuabuda
Huduma
Zingine
Ku
ku
nzw
a kw
a kion
go
zi
Kuin
gizw
a katika hu
dum
a
Ukufunzi
Kikundi cha Uhai Kundi Dogo
1
SAHIHISHA SOMO LA KWANZA
Kwa kukamilisha somo hili nita (sahihisha unapokamilisha)
MAANDALIZI (Kukamilishwa kabla ya kukutana pamoja)
1. Kamilisha mambo yote ya somo la kwanza kabla ya kukutana na
mwalimu wangu.
2. Andaa ushuhuda wangu wa dakika moja. (Nitakuwa tayari
kumsomea mwalimu/mkufunzi wangu).
3. Weka akilini alama yote ya kwanza pamoja na vifungu na nakili
zilizomo katika vijitabu vya injili".
(nitakuwaa ttayari kushiriki na mwalimu wangu)
KUKAMILISHWA PAMOJA NA MKUFUNZI
1. Marudio kwa somo la kwanza
2. Kusoma ushuhuda na kuusahihisha ipasavyo.
3. Kushiriki kutoka kwa kukariri kwa alama ya kwanza ya kijitabu
cha injili.
4. Kurudia kwa kifupi "Hatua za kufanya matembezi ya nyumba kwa
nyumba. (Angalia alama ya 8 na 9 hapo chini).
5. Shirikiana na mkufunzi anapopanga wakati wa kukutana na mtu
aliye wasiliwa kupitia kanisani. Kipindi (somo) cha pili
kitahusishwa wakati huu.
Wakati wa maombi
6. Jadiliana na mkufunzi na andika orodha ya marafiki watatu.
Tutawaombea kila juma kwa wokovu wao.
______________________________________________________
______________________________________________________
______________________________________________________
2
Ninauliza maombi juma hili kwa ajili ya:
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Msifu Mungu kwa ajili ya wokovu wetu:
Tutaomba pamoja kwa ajili ya miadi yetu. Tutakaowambea kwa
majina (Ikiwezekana) wale wote tutakaowatembelea Tutaomba kwa ajili ya
kukubaliwa au kupokelewa kwa neno la injili.
7. Kurudia "masahihisho ya somo la pili" Maandalizi" " kazi za
matayarisho zikamilishwe kabla ya wakati wa kukutana tena.
Ziara ya kiuinjilisti
8. Kwa pamoja tutajitambulisha na kujenga urafiki
9. Muangalie mkufunzi kwa utulivu anapotoa mwongozo kwa
yafuatayo:
Anapo:
Shiriki Ushuhuda wake
Uliza maswali ya uchunguzi
Shiriki injili au ujumbe wa maisha yaliyojawa na Roho
Shiriki ujumbe wa injili au maisha kamili ya kiroho vikundi vya maisha
au Mmoja-kwa-Mmoja.
Malizia ziara kwa Maombi
Kamilisha ripoti ya mgeni/jmawasiliano baada ya miadi.
(Ripoti hii ipewe kiongozi wa kikundi cha maisha au
msimamizi wa ziara.)
3
KUSHIRIKI KWENYE
NGUVU Somo la kwanza
KUMJUA MUNGU KIBINAFSI
UTANGULIZI
Pongezi! Uko tayari kujiandaa kwa kuingia katika jukumu muhimu sana lijulikanalo
kwa mwanadamu. Ni la muhimu sana kiasi ya kwamba, “Yesu aliachia enzi
yake mbinguni” ili akalitimilize. Kama vile tunavyosoma katika kitabu cha
Yohana 17:4, kwamba kabla ya kusulubiwa aliomba kwa babaye akisema
“.Mimi nimekutukuza hapa duniani; nimeikamilisha ile kazi
uliyonikabidhi kuifanya”. Alipokuwa akifa pale msalabani kwa ajili ya
dhambi za ulimwengu ili kutukomboa sisi sote, Alisema “Imekwisha”. Sasa
basi umebahatika kushiriki katika Huduma yake hii kuu, huduma ya
kuupatanisha ulimwengu na Mungu. Mungu atakubariki unapofanya kile
kinacho mpendeza moyoni mwake.
“ Na uhai wa milele ndio huu: kukujua wewe uliye peke yako
Mungu wa kweli, na kumjua Yesu Kristo uliyemtuma.”
Yohana 17:3
Wewe ni Mkristo leo kwasababu Mungu alikufikia, nawe ukaitikia kwa
kumkubali Yesu Kristo kuwa mwokozi wako. Dhambi zako zimesamehewa
nawe sasa una amani na Mungu.
KUJIENDELEZA KIBINAFSI
KUANDAA MAISHA YANGU
Maagizo ya kwanza yake Yesu kwa wanafunzi wake yalikuwa yapi?
Mariko1:17 ___________________________________________________
_____________________________________________________________
Andrea alifanya nini baada ya kukutana na Yesu?
Yohana1:40-42 ________________________________________________
_____________________________________________________________
4
Maagizo yake Yesu ya mwisho yalikuwa yapi?
Mathayo 28:16-20 ______________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Matendo ya Mitume 1:8 _________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Kwa nini mtume Paulo hakuionea haya injili yake Yesu Kristo?
Warumi 1:16 __________________________________________________
_____________________________________________________________
Je, lengo lake Paulo kwa maisha yake lilikua nini?
Wakolosai 1:28, 29 _____________________________________________
_____________________________________________________________
Kila kitu Yesu alichosema na kutenda kilisaidia kufikia kilele cha shabaha
ya maisha yake ambayo ilikuwa ni kuukomboa ulimwengu. Alidhihirisha
upendo wake kwa wote kwa kufa msalabani. Yesu anataka uwe mwanafunzi
wake, kwa hivyo uonyeshe upendo wako kwake kwa kuenda na kufanya
wengine kuwa wanafunzi wake.
Kufanya wanafunzi ni hatua.
Nendeni Basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu,
mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.
Wafundisheni kushika maagizo yote niliyowapeni. Nami nipo pamoja nanyi
siku zote; naam, mpaka mwisho wa nyakati. Mathayo 28:19-20
Fanya wanafunzi watakao ...
Kufanya wanafunzi ni hatua.
Enda ulim- wenguni kote (Uinjilisti)
Shuhudia Kristo Batiza wote watakaom-
pokea Kristo
Wafundisha kushika
Maagizo
Obedient Disciples Share Christ & Make Other Disciples
5
Kama wakristo, tunajukumu katika kazi yote, lakini hatua ya kwanza katika
kazi hiyo yote ni kuhubiri. Pasipo na hatua hii ya kwanza, ni vigumu
kuwafanya watu kuwa wanafunzi.
Kabla ya kushuhudia Kristo kwa wengine unahitaji kujiandaa.
1. Uwe na uhakika wa uhusiano wako na Mungu. Hauwezi kuwaambia
wengine kuhusu amani ya Mungu isipokuwa unamjua Yesu Kristo
kibinafsi..
Je unajua kama Kristo anaishi ndani yako? ________________________
Unajuaje kama Kristo yu ndani yako?
___________________________________________________________
___________________________________________________________
___________________________________________________________
2. Hakikisha ya kuwa uko radhi kuungama dhambi zote unazozijua.
Dhambi hukata mtiririko wa nguvu za Mungu ndani ya maisha yako.
Kama wewe ni Mkristo aliyeshindwa hautataka kushiriki na wengine kwa
sababu hauhisi ukweli wa Kristo katika maisha yako wakati huu.
Hebu jiulize maswali yafuatayo (answer Yes or No).
Je, kunayo dhambi yoyote ambayo siko tayari kuitubu? ______
Je, ninachuki kwa mmoja wa jamii au rafiki? ______
Je nimeipoteza furaha ya uhusiano wangu na Kristo? _______
Je Mungu, anayajibu maombi yangu? _______
Ili ukaweze kuhisi na kuupokea upendo, na msamaha wake Mungu, ni utubu
dhambi zako.
1. Muulize Roho Mtakatifu akufunulie dhambi ambazo haujazitubu ndani
ya maisha yako.
2. Ziandike kwenye karatasi. Mwambie Mungu ni nini umekosea maishani
mwako. Orodha hii ni kati yako na Mungu.
3. Andika juu ya Orodha hii ahadi za 1Yohana 1:9
4. Umshukuru Mungu kwa msamaha wake na utakaso
5. Iharibu hio Orodha
6. Ikihitajika itabidi uwaombe msamaha watu wengine ukifanya upatanisho
inapohitajika.
Mara unapokuwa umemwamini Mungu kwa msamaa na utakaso wa dhambi
zako zote na umepewa Nguvu na Roho Mtakatifu, basi unakuwa uko tayari
kushiriki na wengine ushuhuda wako (Hadithi ya maisha yako) ulivyo mjua
Mungu kibinafsi.
6
MAFUNZO KWA VITENDO
KIKAO CHA “HADITHI YA MAISHA YANGU”
Kusudi la kikao hichi ni kukusaidia uweze kuandika ushuhuda wako na jinsi
ya kuelezea wengine.
JINSI YA KUANDAA "HADITHI YA MAISHA YANGU"
USHUHUDA WA KIBINAFSI.
Mjadala wowote unaweza kuelezwa kwa ufasaha kama kuna mpangilio ulio
mzuri. Ushuhuda ambao umeandaliwa vema, na kutiwa nguvu na Roho
Mtakatifu, unaweza kutumika kwa haraka na unaweza kutumika mahala
popote pa kushuhudia. Tamanio letu liwe kutaka kumueleza Kristo kwa
njia iliyo wazi, ya kupendeza, ambayo ni rahisi, ili wote watakaosikia
wakatamani kumjua yeye pia, na Jinsi ya kumpokea kibinafsi.
Yale ya kufanya na yale yakutofanya katika ushuhuda wa kibinafsi.
Ya Kufanya.
1. Muombe Mungu akupe hekima na mwongozo unapoandika
(Yakobo 1:5, 6)
2. Fuata mpangilio wa vipengele vinne; Hadithi ya maisha yangu (Angalia
Karatasi ya mfano)
a. Eleza maisha yako kabla ya kumjua Kristo
b. Eleza jinsi ulivyomjua Kristo. (Uwe wazi)
c. Eleza kuhusu maisha yako baada ya kumpokea Kristo (mabadiliko
aliyokufanyia, na ana maana ngani kwako sasa).
d. Peana kifungu cha Biblia kinachothibitisha hayo.
3. Sisitiza alama ya “c” kama ulifanyika Mkristo ukiwa bado mtoto.
4. Tumia kama sekunde 10 kwa alama ya (a) sekunde 20 kwa alama ya (b)
sekunde 25 kwa alama ya (c) na sekunde 5 kwa alama ya (d). Alama ya
(a) na (b) ni maisha ya kale. Mara tu ukiyaandaa hautahitajika
kuyabadilisha. Alama ya (c) ni muhimu ifanywe kuwa ya sasa na mpya -
yaani vile Kristo anafanya ndani ya maisha yako sasa.
5. Anza na sentensi ya kusisimua, yakuvutia na umalizie na mwisho mzuri.
Jaribu kufuata kiini fulani hadi mwisho. Mifano ni kama:
Kusudi la Kuishi Hali ya kujisikia kukubaliwa
Neno la Mungu Hakikisho la wokovu
Uhuru kutoka kwa uoga wa Maisha Utimilifu
Uhuru kutoka kwa ubinafsi Amani akilini
Uhuru kutokana na hofu ya Kifo Upendo wa Mungu
Msamaha wake Mungu Ufanisi
6. Andika katika njia ambayo wengine watajihisi kuhusika au kufanana
nawe katika maisha yako ya kale na pia katika maisha yako ya sasa.
7
Zungumzia mabadiliko katika tabia kama; kutopenda wengine, au chuki
kwa upendo; chukizokwa kuhusika; kutokuwa na furaha kwa furaha; hali
ya wasiwasi kwa imani; Kutokuwa na uvumilivu kwa uvumilivu, kukosa
nidhamu kwa kiasi.
7. Sahihisha kwa makini halafu uuandike vizuri kabla ya kuchapisha.
8. Kariri ushuhuda wako na uufanyie mazoezi mpaka uweze kuutoa bila
shida.
Yakutofanya: 1. Usitumie maneno magumu ya Kikristo - maneno kama: kuokoa,
kubadilishwa, kushawishiwa, kuzaliwa mara ya pili, dhambi. Ijapo
maneno haya na misemo hii ni mizuri kwetu, mara nyingi imeeleweka
vibaya na wasio Wakristo.
2. Usiwe mtu wa maneno mengi, kutokuwa na ufasaha, au usisitize sana
jinsi ulivyokuwa mtu mbaya sana.
3. Usitumie maneno kama ajabu, utukufu, Lashangaza, n.k.
4. Usitaje dhehebu la kanisa, hasa kwa kima dharau.
5. Usinene ubaya au kinyume cha mtu yeyote au kundi lolote la watu.
6. Usionyesha kana kwamba maisha ya Kikristo ni maisha yasiyo na shida
zozote.
CHUNGUZA “HADITHI YA MAISHA YAKO”.
1. Kiini changu ni nini? _________________________________________
2. Maneno yangu ya kuanzia yatawavutia?
Maisha yangu kabla ya kumpokea Kristo.
1. Kumbuka, nitakuwa nikiongea na wasio Wakristo, Je, wanaweza
kujitambulisha nami? Je niya hakika?
2. Nini kilinisababisha nigundue kwamba nilihitaji Kristo?
Jinsi nilipompokea Kristo.
1. Je, nilisema kwa kinaganaga jinsi nilivyomkaribisha Kristo ndani ya
maisha yangu?
2. Je, asiyekuwa Mkristo ataweza kujua vipi na kutamani kupokea Kristo
kutoka kwa kusikia ushuhuda wangu?
8
Maisha yangu baada ya kumpokea Kristo.
1. Je nimetumia mifano wazi, na rahisi jinsi vile Kristo ameyabadilisha
maisha yangu?
2. Je, niya kweli? Kumbuka hakuna aliye mkamilifu.
3. Je, unadhihirisha kwamba ni Kristo anayeleta utofauti ndani ya maisha
yangu?
Vifungu sahihi vya Biblia
1. Je kifungu hichi kinaulinganifu na kiini cha “hadithi ya maisha yangu”?
Unaposhiriki Ushuhuda wako, hakikisha:
1. Unashiriki kwa upendo katika uwezo na Roho Mtakatifu (Waefeso 5:18)
2. Zungumza kwa uwazi, kwa ufasaha, na kwa sauti nzuri.
3. Uache tabia fulani wakati unapozungumza, kama kugusagusa pua,
kusafisha koo na kutumia maneno ya mmm na aha.
4. Usitumie lazima ili mtu aamue kwa Kristo. Kumbuka watu huzaliwa na
Roho, sio kwa ushawishi au ujuzi wa kibinadamu, ijapo Mungu anaweza
kutumia vyote.
5. Uache kuwahubiria watu. Eleza Ushuhuda, na si uhubiri. Sema “I” sio
“wewe”. Kumbuka ni hadidhi yako.
6. Tabasamu daima! Muombe Bwana akupe Uso wa furaha na mwangavu.
9
“KARATASI LENYE HADITHI YA MAISHA YANGU”
MAISHA YANGU YA KABLA YA KUMPOKEA KRISTO
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
JINSI NILIVYOMPOKEA KRISTO (UWE SAHIHI)
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
MAISHA YANGU BAADA YA KUMPOKEA KRISTO
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
KIFUNGU SAHIHI CHA BIBLIA
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
10
11
MAMBO YA KUTIMIZA KWA SOMO LA PILI
Kwa kumaliza somo hili nita (sahihisha ukimaliza)
MAANDALIZI
1. Kamilisha kazi yote ya somo la pili.
2. Jiandae kufanya mazoezi ya ushuhuda wangu na mwalimu wangu.
(Soma nakala ya mwisho kwa mwalimu).
3. Jiandae kufanya mazoezi kijitabu cha injili.
4. Kariri alama ya pili ya kijitabu cha injili (nitajiandaa kushirikiana
na mwalimu wangu).
KUKAMILISHWA PAMOJA NA MKUFUNZI
1. Rudieni somo la pili
2. Fanya mazoezi ya ushuhuda
3. Mchunguze mkufunzi anavyoshiriki kijitabu cha injili.
4. Shiriki kutoka kwa kukariri alama ya pili ya kijitabu cha injili.
5. Jizoeshe alama ya nne matukio mbalimbali.
6. Kwa kifupi rudia "hatua za kufanya ziara ya nyumbani.
(Tazama alama ya 10 na 11 hapo chini)
7. Mchuguze mkufunzi anapopanga siku ya kumtembelea mtu muliye
wasililiana naye kwa sehemu ya tatu.
Wakati wa Maombi
8. Endelea kuwaombea watu wale watatu kwenye orodha ya majina.
Nahitaji maombi juma hili kwa ajili ya:
_____________________________________________________
_____________________________________________________
_____________________________________________________
Tuombe pamoja kwa ajili ya agano letu.
12
9. Fanya marudio ya Mambo ya kutimiza kwa somo la tatu. Kazi
za maandalizi zimalizike kabla ya kukutana tena.
Ziara ya kiuinjilisti.
10. Kujitambulisha kwa pamoja na kujenga urafiki.
11. Kumchunguza mkufunzi anapo:
Shiriki Ushuhuda wake
Uliza Maswali ya utafiti
Shiriki injili au ujumbe wa maisha yaliyojawa na Roho
Waalike kwa kikundi cha maisha na mafundisho ya
Mmoja-kwa-Mmoja.
Malizia ziara kwa maombi
Kamilisha ripoti ya wageni (hii ipeanwe kwa msimamizi au
kiongozi wa kikundi cha maisha).
13
KUSHIRIKI KWENYE
NGUVU
Somo la Pili
KUSHUHUDIA HABARI NJEMA
KUJIENDELEZA KIBINAFSI
Ili kuwa mshuhuda bora wa Yesu Kristo, tunastahili kuwa vifaa vinavyofaa
zaidi. Mungu ametuchagua ili tukaishiriki habari njema ya injili na ametupa
njia zaidi za kutosha za kumshuhudia Kristo, Maandalizi ni muhimu sana.
Hebu tuangalie jinsi gani tunaweza kuwa washuhuda bora.
KUWEZESHWA KUSHUHUDIA.
Unapokuwa na ufahamu kupokea upendo na msamaha wake Mungu na
unapokua umejazwa na Roho wake Mtakatifu utakuwa ukifurahia maisha
kamili. Utatamani kushiriki na wengine. Pia utakuwa na nguvu za
kushuhudia imani yako kikamilifu.
Maisha kamili ya Kiroho ni maisha yanayo ongozwa na Kristo ambayo
Kristo mwenyewe anaishi ndani na kupitia kwako katika nguvu za Roho
Mtakatifu. Unaweza kujazwa na Roho Mtakatifu tu kwa imani,
ukimtumaini Mungu ili akuwezeshe kuishi maisha yenye matunda kama
aliyoahidi.
Unaweza kujazwa na Roho Mtakatifu uki
a. Kiri dhambi zote . (Zaburi 66:18)
b. Jiachilie kwa Mungu na mapenzi yake (Warumi 12:1, 2)
c. Mwamini Roho mtakatifu akujaze kulingana na amri yake katika
Waefeso 5:18, “bali mjazwe na ahadi yake katika 1Yohana 5:14, 15
Iandike ahadi yake. “Be filled with the Spirit” and His promise in
1 John 5:14, 15
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
14
Tunajua ni mapenzi ya Mungu kwa sababu ametuamuru tujazwe. Tunajua
atayajibu maombi yetu kwa sababu hayo ndiyo mapenzi yake.
JINSI YA KUOMBA KWA IMANI ILI TUJAZWE NA ROHO
MTAKATIFU.
Kama ungependa kuwa na uhakika kama Roho Mtakatifu anayaongoza
maisha yako, omba ombi hili.
“Bwana mpendwa, nimekutenda dhambi kwa kuyaongoza maisha
yangu. Asante kwa kuzisamehe dhambi zangu. Sasa nakuomba
ukayaongoze maisha yangu kabisa. Kwa imani, sasa ninadai nguvu za
Roho Mtakatifu na uongozi na ninakushukuru kwa kuniongoza”.
Je, Umeomba ombi hili? _________________________________________
Je, unajua sasa umejazwa na Roho Mtakatifu? ________________________
Unajuaje (How do you know?) ____________________________________
_____________________________________________________________
NGUVU ZA KUDUMU
Kwa tendo la kupenda unaweza kuendelea kuzihisi nguvu za Roho Mtakatifu
kila siku. Unapoitambua dhambi maishani mwako.
1. Kubaliana na Mungu kwamba umetenda dhambi. Tubu- Umwamini
Mungu kubadilisha nia na vitendo vyako.
2. Yatoe maisha yako ili yatawaliwe na Kristo.
3. Dai kwa imani ujazo wa Roho Mtakatifu maishani mwako.
4. Amini kwamba sasa anakuongoza na kukupa nguvu.
Unapoendelea kutembea katika nguvu za Roho Mtakatifu, utakuwa na amani
na Mungu. Utazidi kufanana na Yesu. Utaanza kuwapenda waliopotea na
kuwa na huruma ya kuwafikia wengine kwa ajili ya upendo na huruma za
Kristo ndani yako. Ndipo utakuwa tayari kuwashuhudia jinsi ya kupata
amani na Mungu. Utaendelea kujifunza kumtumaini yeye zaidi, utamruhusu
kuunda tabia ya Kristo ndani yako na kukupa nguvu za kuwa shahidi wake.
15
MAFUNZO KWA MATENDO
KUVIKWA SILAHA ILI KUSHUHUDIA.
Watu wengi wametatanika sana na maana halisi ya Ukristo. Jukumu letu ni
Kuitoa injili yake Yesu Kristo kwa njia itakayoeleweka waziwazi. Kwa nini
ni muhimu wasikie na kuelewa kuhusu Kristo?
Yohana 14:6 ___________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Matendo ya mitume 4:12 _________________________________________
_____________________________________________________________
Ujumbe wake Paulo ulikua upi? 1Wakoritho 1:23,24
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Waefeso 3:8 __________________________________________________
Vitu gani muhimu kwa Injili kulingana na 1Wakorintho 15:3-4?
Vitaje 1. ___________________________________________________
2. ___________________________________________________
3. ___________________________________________________
4. ___________________________________________________
Inatupasa tuitangaze injili kwa njia ya kueleweka na kwa kiujuzi. Kijitabu
cha injili kitakusaidia kuyatazama maandiko ambayo mtu huhitaji kujua ili
ampokee Kristo.
MANUFAA YA KUTUMIA KIJITABU NI:
1. Injili inaweza kuonekana na kusikika pia.
2. Injili inaweza kuachiwa mtu kwasababu;
a. itamsaidia mwamini kusoma na kujifunza tena kibinafsi madai ya
injili.
16
b. Itampa mwamini njia ya kushuhudia Kristo mara moja na mtu
mwingine.
c. Itampa fursa mtu yule ambaye hakuomba kujisomea jinsi ya kuwa
Mkristo wakati mwingine.
3. Kijitabu kinaweza kukaririwa na kuwasilishwa pasipo na kijitabu hicho.
4. Baada ya kuvikariri vifungu vya Biblia toka kwa kijitabu, vifungu hivi
vinaweza kutumika kutoka kwa Biblia ikihitajika.
JINSI YA KUSHIRIKI INJILI KWA KUTUMIA KIJITABU CHA
INJILI.
A. PATIKANA KWA MUNGU.
2 Timotheo 4:2 inasema “hubiri huo ujumbe, sisitiza kuutangaza (iwe ni
wakati wa kufaa au wakati usiofaa), Karipia onya na himiza watu
ukiwafundisha kwa uvumilivu wote”.
Mungu atawavuta watu kwa Kristo kupitia kwako, kama uko tayari. Kupitia
kufundishwa jinsi ya kuihubiri injili waziwazi unajiandaa ili ukatumiwe na
Mungu. Roho Mtakatifu atakuongoza kwa watu ambao mioyo yao
imeandaliwa ili kuisikia habari njema ya injili.
B. UWE MAKINI KWA WATU
Shabaha yetu ya kutumia kijitabu cha injili siku zote iwe kutaka kushiriki
upendo wake Mungu.Usifanye mijadala wala kulazimisha mtu yeyote
kufanya maamuzi ya kumpokea Kristo. Sehemu yetu ni kushuhudia, sehemu
yake Mungu ni kuubadilisha moyo wa mtu na kumfanya amwamini Kristo.
Mwache Kristo ampende mtu yule kupitia kwako.
Iwasilishe injili kwa urahisi na wazi. Njia nzuri ya kufanya hivyo ni kwa
kukisoma kijitabu kwa sauti ya kueleweka bila ya kukifananua. (Kumbuka,
unapo wafunza wengine, uwe mfano kwa kukisoma kijitabu. Hii,
itahakikisha kwamba wao pia watafanya vivyo hivyo) Usikisome kwa
mzaha bali ukimaanisha kumbuka haushiriki kijitabu tu, bali unashiriki
habari njema zaidi ya zote - yaani injili!
Usijihisi ni lazima ushiriki au umalize kijitabu chote kama huyo mtu
hapendelei. Si kila mtu yuko tayari au wazi kumpokea Kristo. Daima
umfanye mtu asikuchukulie vibaya wewe na ujumbe wako katika hali yoyote
ile. Jaribu umuachie kijitabu.
Mpatie nafasi ya kuomba. Wengi huwa wazi kuhusiana na madai ya Kristo
maishani mwao, na watakuwa tayari uwasaidie, lakini hakuna anayetaka
17
kulazimishwa. Usisitize kuwakaribisha kuomba ili wampokee Kristo.
Kutofanya hiyo huwafanya watu kukushuku na kutothamini kwamba hakika
hizi ni habari njema.
Ni tujaribu kuwaacha watu katika hamu na tamaa ya kutaka nafasi nyingine
kuongea nasi au mtu mwingine wakati mwingine ambaye atakuja
kumzungumzia kuhusu uhusiano wake na Kristo.
C. JINSI YA KUBINAFSISHA UJUMBE WAKO
1. Uwe mkarimu. Tumia jina lake.
2. Shika kijitabu ili kiweze kuonekana waziwazi na msikilizaji.
3. Tumia kalamu kuonyesha sehemu zilizo za muhimu na picha au
michoro.
4. Usimsomee kijitabu tu; bali ushiriki naye huyo mtu.
5. Soma kijitabu chote. Hata hivyo, usisome kijitabu tu na ukose kuhusika
na msikilizaji. Ukihisi msikilizaji wako hfuatilii unavyosoma,
simamisha na umuulize, "Je hii inaleta maana yoyote kwako?
6. Unapoulizwa maswali ambayo yatabadilisha mazungumzo unaweza
kusema, “Hilo ni swali zuri. Je tunaweza kulijadili baada ya kusoma
hiki kijitabu?” Mueleze kwamba mengi ya maswali yatajibika kadri
munavyosoma hicho kijitabu. Ni vyema kujibu maswali baada ya
kumshirikisha ombi la kumpokea Kristo kwasababu;
(a) Unaweza kurudia yale umeshiriki Kwenye kijitabu wakati wa
kujibu maswali.
(b) Kwa kumkaribisha kuomba unabinafisisha ujumbe na hivyo basi
kuweza kujadili mambo ya kibinafsi badala ya mambo
yasiyohusika.
(c) Ni muhimu umuonyeshe jinsi ya kumpokea Kristo. Hata kama hata
omba nawe, Mungu anaweza kutumia ujumbe huu kumleta karibu
naye wakati mwingine.
D. KUSHIRIKI KIJITABU CHA INJILI
Kushiriki imani yako na Mtu mwingine si jambo ngumu kufanya. Hiki
kijitabu huwa na mambo manne ambayo yanaeleza yale yote mtu anahitaji
kujua ili ampokee Kristo.
Kwanza - kusudi la Mungu Pili - Shida zetu
Tatu - suluhisho la Mungu Nne - wajibu wetu
18
Alama ya kwanza hadi ya tatu ni isomwe tu; kusiwe na umuhimu sana wa
kufafanua zaidi.
E. KUMSAIDIA MTU HUYO KUJITAMBUA KIROHO
Lengo letu katika kushiriki kijitabu cha injili ni tuonyeshe kwa udhahiri jinsi
ya kumpokea Kristo. Hii itatekelezwa wakati wa maombi. Hata hivyo, ni
muhimu kumsaidia mtu kuelewa kwamba haitoshi tu kujua maana ya kuwa
Mkristo. Ni lazima aone umuhimu wa yeye mwenyewe kufanya uamuzi wa
kibinafsi. Kumsaidia mtu huyu, fuata mpangilio huu rahisi.
Kipengele cha Nne ni wajibu wetu - kumpokea Kristo.
Baada ya kusoma Ufunuo 3:20 soma maneno yafuatayo na uelezee mchoro.
Unaweza kusema, “choro huu unaelezea aina mbili za kiroho. Ya
upande wa kushoto ni mtu aliyetenganishwa na Mungu. Maisha yake
yamelinganishwa na (soma kijitabu). Ya upande wa kulia ni mtu
aliyemfikia Mungu kupitia kwa Yesu Krristo. Maisha yake
yamelinganishwa na (Soma kijitabu)”
Baada ya kuelezea mchoro uliza kwa urahisi, “Je wewe u upande huu
(onyesha kushoto)..... au upande huu (Onyesha upande wa kulia)?” Fuatilia mtiririko wa mchoro upande wa pili na ufanye mazoezi yaa matukio
mbali mbali. Ni muhimu sana ujihisi tayari kupokea matukio yoyote
yale. Hii itakupa ujasiri na utimamu unao hitaji ili kushiriki imani yako.
Tuwe tayari kushiriki ili tutii. Mungu atatuwezesha na kutupa nafasi zote
tunapokuwa tumejiandaa.
19
Njia ya
Mungu
Unauliza, "uko
hapa au hapa".
Anasema Njia ya
mwanadamu au "sina
uhakika" au anabaki
kimya
Unasema,
“Ungependa kuwa
wapi?”
Anasema, “Njia
ya mwanadamu” Anasema, “Njia ya
Mungu”
Unasema “Siku nyingine
ungependa kumpokea
Kristo. Nakusihi niendelee
kukuonyesha jinsi ya
Kumpokea Kristo?”
Anasema
Ndio
Anajibu “La” Endelea kusoma ombi na useme "ungependa kuomba hili
ombi na umpokee Kristo maishani mwako?
Njia ya
mwanadamu
KUSHOTO KULIA
Unasema "Hebu
nikakuonyeshe jinsi ya kumpokea
Kristo"
Anajibu
“Hasha”
Jaribu kuendelea na
kumuonyesha jinsi ya kupokea
uzima wa milele - 1Yohana 5:12,
13. Halafu uliza “baada ya kuona
wazi maana ya kumpokea Kristo.
Je ungependa kuomba kumpokea
Kristo?”
Angalia Ukurasa wa 43 E #2
Anajibu
“Ndio”
Anasema
"Hasha"
Jaribu kumuachia kijitabu.
Acha hali ya kufurahisha
yako na ya injili. Endelea
kujenga urafiki. Mkaribishe
kwa mafunzo ya biblia
au............
Sema: “Hebu niombe ombi hili
hatua kwa hatua, nawe urudie
nyuma yangu ili umpokee
Kristo”. Ombeni pamoja. Soma
kitabu chote. Ukitaja Hakikisho,
kukua na ushirika wa Wakristo.
Mkaribishe audhurie kuja kwa kikundi cha maisha pamoja nawe na kwa
mafunzo ya mmoja kwa mmoja pamoja na shunguli zinginezo za kanisani.
20
Njia ya
mwanadamu Njia ya
Mungu
Unauliza, “uko
hapa au hapa.”
Anasema, "Njia
ya Mungu" KUSHOTO KULIA
Sema: “Hivyo ni vizuri sana! Wacha niendelee kukuonyesha jinsi
unavyoweza kushiriki Imani yako na wengine”. Endelea kusoma umalize
ombi, halafu uliza: “Ushawahi kumkaribisha Kristo awe Bwana na Mwokozi
kama ombi hili linavyoeleza?”
Anajibu
“La”
Sema,
“Ungetaka au
sio?”
Sema: “Vyema
sana! Kwanini
usiniambie basi”.
Anajibu
“ndio”.
Anajibu
“La”
Anajibu
“Ndio”
Anatoa Ushuhuda
wa matendo
Anatoa
ushuhunda
wa imani
Sema, “Hebu niombe ombi
hili msitari baada ya
mwingine, na urudie
nyuma yangu umpokee
Kristo”.
Endelea pamoja naye hadi
mwisho wa kijitabu.
Uliza , “Je Umewahi kufikia
mahala maishani mwako na
ukawa na uhakikisho
kwamba wewe ni mwana wa
Mungu, na ijapo ufe leo
utakwenda mbinguni?”
Jaribu kumuachia
kijitabu. Acha hali
ya kufurahisha
yako na ya injili.
Endelea kujenga
urafiki wenu.
Umkaribishe
kwa mafunzo
ya biblia au............
Anajibu
"Ndio"
Anajibu
"La"
Anajibu
"Ndio"
Shiriki naye uhakikisho
wako na usome I Yohana
5:12,13 Uliza “Je ungalitaka
kuwa na uhakikisho?”
Anajibu
“La”
Yeye ni Mkristo. Kama ameshindwa,
shiriki pamoja naye kijitabu cha maisha
yaliyojawa na Roho Mtakatifu. Kama ni
mwenye ushindi, muhimize ashiriki
imani yake na wengine.
Umkaribishe kuhudhuria kikundi cha maisha" pamoja nawe na kwa mafunzo ya
Mmoja-kwa-Mmoja pamoja na shunguli zinginezo za kikanisa.
21
MAMBO YA KUTIMIZA KWA SOMO LA TATU
Ili nikamilishe somo hili nita: (sahihisha ukimaliza)
MAANDALIZI
1. Kamilisha mambo yotekatika somo la tatu.
2. Jiandaa kutoa ushuhuda wangu kupitia kwa kukariri wakati wa ziara
yetu.
3. Kariri alama tatu ya kijitabu cha injili.
4. Jiandae kushiriki kijitabu cha injili na mkufunzi wangu.
5. Jiandae kufanya kila kitu katika Hatua za ziara ya nyumbani.
(Hakikisha kufanya mazoezi ya sehemu ya “G” - maswali ya
uchunguzi.)
KUKAMILISHWA PAMOJA NA MKUFUNZI.
1. Fanya marudio somo la tatu
2. Fanya mazoezi ya ushuhuda
3. Shiriki alama ya tatu ya kijitabu cha injili kwa kukariri.
4. Fanya mazoezi ya kijitabu cha injili pamoja na mkufunzi kama kwa
mwenye dhambi.
5. Fana mazoezi kila hatua jinsi ya kufanya ziara ya nyumbani
Fanya mazoezi ya maswali ya uchunguzi sehemu ya “G”.
6. Mwanafunzi kupanga siku ya kukutana na rafiki kwa kipindi cha
nne. (Ona Jinsi ya Kupanga Wakati wa Kukutana kwenye somo la
tano).
22
Wakati wa maombi
7. Omba ili kupata fursa ya kuieleza injili kwa wale waliomo katika
orodha yetu ya maombi
Nauliza maombi juma hili kwa ajili ya: ______________________
_____________________________________________
_____________________________________________
______________________________________________________
Tuombe pamoja kwa ajili ya ahadi.
8. Fanya marudio ya haraka Maandalizi ya Somo La nne. Kazi za
Matayarisho na zimemalizike kabla ya kukutana tena.
Ziara ya Kiuinjilisti
9. Kwa pamoja tutajitabulisha na kujenga uhusiano.
10. Mwanafunzi kushiriki au kupeana ushuhuda kwa dakika moja.
11. Mwanafunzi amwangalia mwalimu anapo:
Uliza maswali ya uchunguzi
Shiriki kijitabu cha injili au ujumbe wa maisha kamili katika
Roho.
Wakaribishe kuja kwa mafunzo ya Kikundi cha Maisha au
Mmoja-kwa-Mmoja.
Malizia ziara kwa maombi.
Kamilisha ripoti ya mgeni/mtu wa kufuatilia. (Ripoti hii
ipeanwe kwa kiongozi wako wa Kikundi cha Maisha au
simamizi wa ziara).
23
KUSHIRIKI KWENYE
NGUVU Somo la tatu
JINSI YA KUWA NA MATEMBEZI YA UFANISI YA NYUMBANI
KUJIENDELEZA KIBINAFSI
JINSI YA KUWAOMBEA WALIOANGAMIA
Kuna njia tatu ambazo maombi yetu yanapaswa kuelekezwa:
A. YAKIELEKEZWA KINYUME CHA SHETANI, NGUVU ZINAZO
MSHIKILIA MWENYE DHAMBI.
1. Soma 2 Timotheo 2:25, 26
Mwenye dhambi ame ____________________________na ibilisi
2. Soma 2 Wakorintho 4:3, 4
Mwenye dhambi ni _____________________________ kwa injili.
Mambo mawili sharti yafanyike kabla ya mtu aliyepotea kuokolewa.
1. Soma II Wakorintho 10:4
Ni sharti awekwe huru kutoka kwa _____________________________
2. Soma 1Wakorintho 2:4, 5
Ni nani sharti apeane mwangaza? ______________________________
Hebu mfikirie rafiki au mpendwa wako ambaye anaikataa injili. Je shetani:
Amemfungaje? (Kwa mfano: uoga, kiburi, madawa ya kulevya, muziki,
dini)
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Amemfunga (Kwa mfano: kupoteza marafiki, kutopendezewa tena)
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Haya yote yanaweza kushindwa kwa njia ya maombi.
24
B. YAKIELEKEZWA KWA WAKRISTO
Mungu humwandaa mwenye dhambi, halafu akamfikia mkristo na kuwaleta
pamoja, wote wawili. Tunahitaji Wakristo wengi waliotayari kutumiwa na
Mungu ili kushiriki na wengine.
Je Yesu aliwaagizaje wanafunzi wake katika Mathayo 9:37, 38?
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Vivyo hivyo ndivyo Mungu anavyotenda kazi leo.
C. KUELEKEZWA KWA MWOKOZI WETU.
Andika Yohana 6:44_____________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Mtu aliyepotea hataepuka mitego ya shetani hadi Mungu atakapomjalia toba.
Ombea waliopotea.
Hivi ndivyo unavyopaswa kuwaombea waliopotea ili waokolewe. Tumia
mamlaka yako juu yake shetani katika Jina la Yesu. Shetani Sharti atii. Ni
sharti akubali. Mungu atawainua mashahidi kama jibu kwa maombi yako.
Roho wa Mungu atashawishi na kumvuta aliyepotea na kumpa moyo wa
kutubu. Yesu atabisha katika mlango wa moyo wake kama utamuuliza
kufanya hivyo.
Tulia sasa na umuombee yule rafiki au mpendwa wako.
MAFUNZO KWA MAZOEZI.
JINSI YA KUONGOZA ZIARA YA NYUMBANI KWA UFANISI.
Kunazo njia nyingi za kushiriki au kuishuhudia injili, na tutapata fursa za
kufanya hivyo katika mazingara mbalimbali. Kutembelea nyumba za watu
ambao wamekuwa na mawasiliano na kanisa letu ni moja ya njia ambazo ni
bora na ziletazo matunda mema katika kushiriki au kushuhudia.
25
TARATIBU ZA KUFANYA ZIARA YA NYUMBANI
A. Panga wakati wa kukutana na huyo mtu (Ikiwezekana)
B. Omba
C. Taratibu za kuwasili
D. Jenga uhusiano/Urafiki
E. Wafahamishe kuhusu kanisa letu
F. Shiriki ushuhuda wa kibinafsi
D. Jenga uhusiano/Urafiki
E. Wafahamishe kuhusu kanisa letu
F. Shiriki ushuhuda wa kibinafsi
G. Uliza maswali ya uvumbuzi
H. Shiriki ujumbe wako
I. Peana nafasi kwa uamuzi
J. Changamoto ya kukua
K. Funga kwa maombi.
Hebu tuiangalie kila sehemu kwa kibinafsi.
A. PANGA SIKU YA KUKUTANA (Ikiwezekana)
1. Pata majina ya watu wa kuwasiliana nao toka kwa mchungaji wako au mtu
anayesimamia kazi ya ziara ya nyumbani. Ifuatayo ni mifano:
a) Mgeni wa kanisa
“Hujambo! ________________, huyu ni _______________________
wa kanisa la ____________________. Je uhali gani leo? (tua, ili
upate jibu) Tulifurahia kwa wewe kutembelea kanisa letu Jumapili
iliyopita (au kwa sherehe yoyote ile). Rafiki yangu______________
na mimi tungependa kukutembelea kwa kifupi kwa niaba ya kanisa
letu. Je (siku na saa) itakuwa sawa au (siku na saa) ingekua bora
zaidi?” (Kama zote si sawa basi panga wakati mwingine ikiwezekana.
Kama ni hapana au kama ilikuwa kutembea tu lakini wanaenda kanisa
lengine muwashukuru na muwakaribishe kutembea tena.)
(b) Wazazi wa watoto wa shule ya Jumapili au kikundi cha watoto.
“Hujambo________________, huyu ni __________ wa kanisa la
___________________. Je, uhali gani leo? (Subiri ili upate jibu).
Tunafuraha kuwa na (Jibu au majina ya watoto) katika mafunzo ya
shule ya jumapili au kikundi). Rafiki yangu__________na mini
tungependa kukutembelea kwa kifupi kwa niaba ya kanisa letu.
Je, (siku na saa) itakuwa sawa au (siku na saa) itakuwa bora
zaidi?” (Kama zote si sawa basi panga wakati mwingine ikiwezekana.
Kama ni hapana, basi washukuru kwa fursa ya kuwa na (jina au majina)
Kuja kwa ___________.) Muwahimize kuwasiliana na kanisa kama
wako na maswali yeyote. Wahakikishie ya kwamba watakaribishwa
26
watakapotembelea kanisa letu wakati wowote.
2. Ni vyema kupanga na watu kabla ya wakati hasa kwa wale wanaishi
umbali wa zaidi ya dakika 10-15 kutoka kanisani.
3. Waweza pia kuchagua kutembea bila ya ahadi kama mtu huyo ako na
shughuli nyingi utakapotembea, basi agana naye ili umtembelee wakati
mwingine. Utahitaji majina ya watu wengi wa kutembelea katika
sehemu moja, inapotokea ya kwamba wengine hawatakuwepo nyumbani
au hawana nafasi ya kutembelewa na wewe.
4. Hakikisha unawajua majina yao kikamilifu kabla ya kuanza matembezi.
5. Kama hauwezi kufanya ziara ya nyumbani, basi chukua fursa ua
kutumia karatasi ya maswali kwa majirani (Ona mfano baada somo la
sita). Mwalimu wako ni awe amepata majirani walioteuliwa kutoka kwa
msimamizi wa ziara kanisani. Wakati mpango wenu unaonekana
kushindwa, Mungu huwa na mpango bora kwa ajili yenu daima. Kwa
kuwa na karatasi, mnakuwa na mpango mwingine uliotofauti.
B. OMBA
Ombeaneni, ili Roho Mtakatifu awape mwongozo na nguvu. Muwaombee
kwa majina wale mnaowatembelea. Muombe Mungu ili achukue usukani
wa uongozi wa kila hali wakati wa ziara. Muombe ili wampokee Kristo au
kama ni Wakristo tayari waweze kuomba ili wajazwe kwa Roho Mtakatifu.
C. HATUA ZA KUWASILI
1. Ufike kwa wakati (kama umeweka ahadi)
2. Kama unaendesha gari lako hakikisha hauyazuilii njia magari mengine.
Usikae ndani ya gari, uendee mlango kwa ukimya na kwa njia ya
kupendeza.
3. Uwe na Biblia ya mfukoni ili uweze kuviangalia vifungu vya Biblia
ikihitajika.
4. Angalia kwa makini kitu chochote kinachoweza kukuwezesha kuanzisha
mazungumzo (kwa mfano shamba, watoto, nyumba nzuri, mumeishi
hapa kwa muda gani? unafanya kazi wapi?
5. Piga kengele ya mlango au bisha kwa upole, halafu rudi nyuma kama
hatua tatu toka mlangoni. Wetembezi wawe karibu sana iwezekanavyo
na wawe wanaweza kumuona yule anayekuja kufungua mlango.
27
Mlango unapofunguliwa, tabasamu kwa hali ya urafiki na uongee mara
moja.
6. Mjitambulishe hapo mlangoni. Mnaweza kusema, “Hujambo, mimi ni
_______________________. Huyu ni _______________ tunaweza
kuingia kwa kifupi?” Kama mlikuwa na ahadi mnaweza kusema,
“asante kwa kuturuhusu ili tuje kuwatembelea.”
7. Kama wako na watu wengine au kwasababu zingine hawana nafasi ya
kuwapokea, mnaweza kuomba msamaha na muahidi kutembea tena
wakati mwingine kama mmekataliwa, muwashukuru kwa upole, jaribuni
kuacha vikaratasi vya kusoma halafu muondoke.
8. Wakati munapoingia ndani ya nyumba, yule aliyechaguliwa kama
kiongozi ajaribu kuchagua kiti karibu na mwenye nyumba/mwenyeji ili
aweze kushiriki naye vyema. Kama sebule ni kubwa au imepangwa viti
mbalimbali, uombe mkutane kwa meza ya mankuli.
D. TENGENEZA UHUSIANO/URAFIKI
Ni muhimu sana kuweza kumjua au kuwajua watu unaowatembelea.
Ukaonyeshe kupendezewa kuwajua. Watu hutarajia kwamba utachukua
uongozi wa mazungumzo. Hujisikia na amani kama wakijua si wao watakao
ongoza mazungumzo. Zungumza vyema kuhusu mambo wayapendayo.
Watu hupenda sana kuzungumza mambo yawahusuyo. Usionekane kana
kwamba unawachimbuachimbua. Maswali yasiulizwe yakifuatana karibu
karibu bali kuwe na nafasi ambayo italeta majadiliano au mazungumzo kati
ya maswali.Kaa utulie. Ongea ukiwa na utulivi. Tabasamu.
NB. Kumbuka, usijaribu kuwafanya watoe shuhuda zao au kuuliza
maswali kama "umeokoka?" Wakati huu. Hii itajulikana wakati wa
maswali ya uvumbuzi yatakapo ulizwa. Uwe mwangalifu usijifanye kana
kwamba unajua hali ya kiroho ya mtu huyu. Enda na nia iliyo wazi na
mtumaini Mungu kukuwezesha kuvumilia kila hali.
Mpangilio ufuatao utakusaidia kuwa katika njia yako:
1. Awali: “Kwa muda gani umeishi hapa?” au “Ulikuwa ukiishi wapi
mbeleni kabla ya kuhamia hapa?”
2. Kazi: “Kazi gani unafanya?” (Uliza kila mtu)
3. Jamii: Uliza maswali kuhusu hapo nyumbani, watoto wao, mambo
wayapendayo sana.
28
E. KUWAFAHAMISHA JUU YA KANISA LETU
1. Ili mkayaendee maswala ya kiroho unaweza kuuliza hivi; “Kwa nini
ulichagua kuja kwa kanisa letu?” (Toa shukrani kwa kutembea
kwao).
2. Tafuta kuyajibu maswali yao. Sema, “tulitamani kukutembelea ili
kuona kama unamaswali yoyote kuhusiana na kanisa letu. Mko na
maswali yoyote ambayo tunaweza kuyajibu wakati huu?”
Shiriki taarifa ya jumapili au kijitabu kizungumziacho kanisa lako.
Kama hauwezi kujibu maswali yoyote, ahidi kufanya uchunguzi na tena
uwafahamishe wakati mwingine. Jitolee kuwatambulisha au
kutambulisha familia zao kwa watu wanaosimamia maeneo
wayapendayo.
Kumbuka; Kufikia hapa mmoja tu wa hilo kundi aweze kuongea na
kuongoza; wale wengine waweze kuomba kwa utulivu na wawe tayari
kuzuilia jambo lolote ambalo linaweza kutatiza (watoto, wanyama, n.k).
F. USHUHUDA WA KIBINAFSI
Tanguliza ushuhuda wako kwa kusema “moja ya sababu ya
kukutembelea/kuwatembelea ni kushiriki nawe/nanyi Yesu ana maana
gani kwetu. Hebu niwaeleze Yesu kwangu ana maanisha nini?” (Kama
ni wakati wa mwenzako kushiriki sema) _____________________ unaweza
kusema Kristo ni nani kwako?
Mruhusu Roho Mtakatifu awawezeshe mnaposhiriki hadithi zenu. Mara
nyingi watu hujifananisha katika mambo mliyoyapitia. Muifanye fupi
(dakika moja) lakini uishiriki kwa moyo wote.
G. MASWALI YA UCHUNGUZI
Maswali haya mawili yafuatayo yatakusaidia kutambua hali ya Kiroho ya
Mtu huyu.
“Je umeshawahi kufikia mahali katika maisha yako ya kiroho ambapo
umejua hakika kwamba kama ungekufa leo ungeenda mbinguni?”
“Kama ungekufa leo, na usimame mbele zake Mungu naye akwambie,
kwa sababu gani nikuruhusu kuingia mbingu yangu? Ungesemaje?”
(Maswali ya Kennedy E.E)
Jifunze hati iliyo ukurasa wa pili
29
H. SHIRIKI UJUMBE WAKO
Kulingana na majibu ya maswali ya uvumbuzi hapo juu, uwe tayari kushiriki
injili ukitumia kijitabu cha injili au maisha-kamili yaliyojawa na Roho
ukitumia kijitabu Je umefanya uvumbuzi wa maisha kamili ya Kiroho?.
I. TOA FURSA YA KUFANYA UAMUZI
Usijaribu kuamua kama huyo mtu yuko tayari kumpokea Kristo au kujazwa
na Roho mtakatifu; umpe fursa nzuri ya kufanya hivyo. Mara nyingi watu
hupenda kuomba wanapopewa nafasi njema ya kumuuliza Yesu Kristo kuwa
mwokozi na Bwana wa maisha yao.
J. CHANGAMOTO YA KUKUA
Daima mkaribishe mtu huyo au watu hao kuja kwa mafunzo ya Kikundi cha
Maisha ya kwenu kanisani bila kujali kama wamekubali au kumkataa Kristo.
Hakikisha kumkaribisha kila mmoja kwa mafunzo ya Mmoja-kwa-Mmoja
ambayo yatafaa. Unaweza kusema; "Tuna furaha sana ya kwamba
umefanya uamuzi huu. Ni muhimu sasa uyafurahiye maisha yako
kikamilifu. Tunazo nafasi mbili kwako kukua. Moja ni ya kundi la
maisha ambapo utakutana na marafiki wapya. Ni lingine ni "mafunzo
ya Mmoja-kwa-Mmoja "ambapo utaweza kujifunza kuishi maisha ya
Kikristo" Onyesha msisimko wako kwa kila huduma. Uwakaribishe kwa
kundi lako la maisha ikiwezekana.
K. OMBA
Hitimisha ziara yenu kwa ombi fupi. Ombea nyumba yao, familia yao na
onyesha kuhusika kwako.
Jaza ripoti yako ya ugeni/ Mtu wa kuwasiliana na uipeane kwa kiongozi wa
kundi la maisha au msimamizi wa ziara.
30
Orodha ya maswali ya Uchunguzi
Uliza “Je umeshafikia mahali katika maisha yako ya kiroho umeweza
kujua kwa hakika kwamba kama ukifa leo utaenda mbinguni?”
Anajibu
“hapana”
Sema; “Hebu nishiriki nawe
kijitabu hiki kinachoelezea jinsi
ya kuwa na uhakika SHIRIKI
KIJITABU CHA INJILI
Anajibu
“ndio”
Sema; “Vyema! Hebu nikuulize swali lingine: Kama ungekufa
leo, na usimame mbele yake Mungu nayeye akwambie, kwa sababu
gani ni kuruhusu kuingia mbingu yangu? Utasemaje?”
Anapeana
jibu lingine
Anajibu: “Nimempokea Yesu Kristo
maishani mwangu kama mwokozi na
Bwana”. (Hili ndilo jibu la sawa ijapo
linaweza kosa kujibiwa kama hivi hapa)
Sema: “Hebu
nishiriki kijitabu
hiki nawe kinacho
eleza jinsi
unavyoweza
kuwa na uhakika”.
SHIRIKI
KIJITABU
CHA INJILI
Sema: “Hivyo ni vyema!
Shiriki nasi vile ilivyotokea?”
Baada ya yeye kushiriki,
muulize: “Unakifahamu
kijitabu hiki?” (Muonyeshe
kijitabu cha injili). “Je
unaweza kushiriki nawe na
nikuonyeshe jinsi unaweza
kukitumia kushiriki Kristo
kwa wengine?”
Au….
Kama inaonekana kama mtu huyo ni Mkristo lakini
ameshindwa na haishi kwa ushindi ....
Sema: “Hebu nishiriki nawe mambo ya misingi inayofunzwa na
kanisa letu kuhusu maisha kamili ya Kiroho” au “Hebu nishiriki
nawe jambo limekuwa la maana sana kwangu, jambo la maisha
yaliyojawa na Roho?”
SHIRIKI KIJITABU “Uvumbuzi wa ajabu wa maisha yaliyo
jawa na Roho”.
31
MAMBO YA KUTIMIZA KWA SOMO LA NNE
Ili kukamilisha somo hili nita: (sahihisha ukikamilisha)
MATAYARISHO
1. Kamilisha vifaa vyote vya somo la nne
2. Jiandae kufanya mazoezi ya kijitabu chote cha injili
3. Fanya mazoezi ya maswali ya sehemu ya Nne
4. Kariri alama ya nne.
KUKAMILISHA PAMOJA NA MKUFUNZI
1. Rudia vifaa vyote vya somo la nne
2. Fanya tena alama ya nne kwa kukariri
3. Fanya mazoezi ya kijitabu chote cha injili
4. Fanya mazoezi kwa pamoja maswali ya alama ya nne.
5. Panga wakati wa kukutana na mtu mliye wasiliana naye wa
kanisa kwa kipindi cha tano.
Wakati wa Maombi
6. Panga na kuomba kwa ajili ya mbinu za kushiriki injili na mtu
mmoja kwa kila mtu kati ya wale walio katika orodha ya
maombi yetu.
_____________________________________________________
_____________________________________________________
Nauliza maombi juma hili kwa ajili ya ______________________
_____________________________________________________
_____________________________________________________
Omba pamoja kwa ajili ya ahadi yetu.
Jadiliana na kuomba kuhusu nani atakayefunza wakati
tutakapokamilisha mafunzo yetu.
32
7. Rudia "mambo ya kukamilisha somo la tano. Kazi zote kufanyia
nyumbani za "matayarisho" Kukamilishwa kabla ya wakati wa
kukutana tena wakati mwingine.
Ziara na kiuinjilisti
8. Kwa pamoja kujitambulisha na kujenga uhusiano.
9. Kumchunguza mwalimu anapo:
shiriki ushuhuda wake.
Uliza maswali ya uchunguzi
10. Mwanafunzi anaposhiriki ujumbe wa injili au maisha
yaliyokamilika ya kiroho.
11. Kumchunguza mwalimu anapo:
Wakaribisha kwa mafunzo ya kundi la maisha na Mmoja-
kwa-Mmoja.
Maliza ziara kwa maombi.
Kamilisha ripoti ya mgeni/mtu wa kuwasiliana. (ripoti hii ni
ipeanwe kwa kiongozi wa kundi la maisha au msimamizi wa
ziara.).
33
KUSHIRIKI KWENYE
NGUVU Somo la nne
UJUMBE WA NGUVU ZA KUSHIRIKI
KUJIENDELEZA KIBINAFSI
INJILI MAANA YAKE NI “HABARI NJEMA”
Tunaposhiriki injili twatangaza habari kuu za nyakati zote. Ni ujumbe wa
tumaini na nafasi ya amani na Mungu. Kwa wote wasio na ufahamu wa
Mungu kama mwokozi wao na Bwana kwa hakika ni “HABARI NJEMA”.
Tunaposhiriki hii habari njema twamdhihirisha mtu, Bwana Yesu Kristo -
sio mpango.
Funzo la ushuhunda wa Paulo lilikuwa lipi?
1Wakorintho 1:23, 24 ___________________________________________
_____________________________________________________________
Soma Wakolosai I:15-17; 2:9 Waebrania 1:3,8; Yohana 10:30; 14:9,10
kuhusu uungu wake Yesu Kristo.
Unapompokea Kristo, unapokea maisha mapya kabisa ya uzima wa Milele -
aina ya uzima/maisha Mungu alio nao. Wakati Yesu akiingia ndani ya
maisha yako, kwa sababu yeye ni Mungu, analeta nguvu/uwezo wa maisha
yake ndani ya ujuzi wako.
Soma 2 Wakorintho 5:17. Ni nini kimepita? _________________________
Ni nini kimekuwa kipya? _________________________________________
Andika mambo machache ambayo yamekuwa mapya maishani mwako?
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Je haya ndiyo mabadiliko ambayo wengine wangeyahitaji maishani mwao?
_____________________________________________________________
34
Wakati Yesu anapoyaishi maisha yake ndani yako kupitia kwa nguvu za
Roho Mtakatifu, matokeo yake huwa nini? Soma Wagalatia 5:22,23 na
uandike mambo ambayo atayatoa maishani mwako,
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Hii ndiyo sababu injili inaitwa “HABARI NJEMA”.
Ulimwengu unahamu sana kutaka kupata hii “HABARI NJEMA”. Ni jambo
dharura kwa ulimwengu - kifo au uzima na hasa kwa wale tunaoshiriki nao,
hivyo ni sharti tuwe makini kushiriki injili kwa njia ya rahisi na ya wazi.
Pia ni tuishiriki mara kwa mara kwa maana wako wengi ambao hawajasikia
ukweli wa kumhusu Yesu Kristo.
Wasemaje kuhusu Warumi 10:14, 15? ______________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
INJILI NI NINI?
Kijitabu cha injili kimeandikwa ili kiweze kuwasilisha huo ujumbe kwa njia
ya rahisi na wazi. Andika kutoka kwa kukariri kila alama na upeane vifungu
vya Biblia kwa kila alama.
Moja _________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Mbili ________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Tatu _________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Nne __________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
35
TARAJIA WATU KUKUBALI
Wakristo wengine hufikiria kwamba labda wakimshuhudia mtu, mtu huyo
ataudhika na hivyo basi urafiki wao utaharibika. Ijapo si kila mtu
utakayeshiriki naye atakuwa tayari kumpokea kristo mara ya kwanza
unaposhiriki naye, lakini watu wengi mara nyingi hufurahia ya kwamba
unajali sana hata kuchukua hatua ya kuwaambia kuhusu upendo wa Mungu.
Tabia yako ni muhimu sana! Tarajia watu wakubali si kwa sababu ya
uwezo wako lakini kwa sababu ya ujasiri ulio nao kwa Mungu, upendo
wake, nguvu zake, mamlaka yake na ahadi zake.
Andika kwa maneno yako 2 Peter 3:9 ina maana gani kwako.
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Tunaweza kutarajia watu kukubali kwa sababu ni Mungu aliyetutumia ili
tukawaambie. Yesu anatuamuru tukafanye wanafunzi. Mathayo 28:19-20.
Inaanza “na mamlaka yote mbinguni na duniani amenipa mimi kwa hivyo
nendeni..”. Hatuhitahi ruhusa ya mtu yeyote ili twende; tumeamurishwa
kwenda tayari na Mungu mwenyewe.
Yesu alimaliza amri yake kwa ahadi “nami nipo pamoja nanyi siku zote;
naam, mpaka mwisho wa nyakati”. Ahadi hii ni yetu pia sisi leo hivyo basi
kwa ujasiri tunaweza kwenda tukijua ya kwamba ataiheshimu uaminifu
wetu katika kushuhudia.
Kama tutashiriki kwa ujasiri ambao Wakristo wa kwanza walidhihirisha,
nasi pia tuta hisi mabadiliko makubwa ulimwenguni.
Chukua hatua ya imani na uone kile Mungu anaweza kufanya kupitia
kwako.
MAFUNZO KWA VITENDO
KUSHIRIKI KIJITABU CHA INJILI - KUMTIA MOYO MTU
KUOMBA ILI AMPOKEEE KRISTO
A. ULIZA DAIMA
Baada ya kusoma ombi, uliza swali, “Je ungependa kuomba ombi hili ili
umpokee Kristo maishani mwako?” Kwa kuuliza swali hili unampatia mtu
huyo mwaliko wa kumpokea Kristo. Kama huyo mtu atakubali:
36
B. JITOE KUMWONGOZA HUYO MTU KUOMBA
a. Sema: “Hebu niombe ombi hili, msitari kwa msitari nawe urudie
nyuma yangu na umpokee Kristo”.
b. Kama mtu huyo anaona vigumu kurudia ombi, muulize aombe ombi
lake mwenyewe kwa sauti.
c. Wengine wanaweza kusitasita kuomba kwa sauti, ikiwa wewe
unaongoza au wakiomba ombi lao wenyewe. Pengine wangekuwa tayari
kuomba kimya kimya. Uwahimize kufanya hivyo.
KUMSAIDIA MTU KUJUA KWAMBA KRISTO YU NDANI YAKE
Kujua ya kuwa Kristo yu ndani yake ni muhimu sana kwa yule mwamini
mpya. Wengine wanaweza sema kuwa Kristo yu “Upande wangu”, au “Yu
karibu nami”, au “na tumai yu ndani yangu”. Anahitaji kuelewa ya kuwa
aliomba kwa imani, Mungu akajibu na Kristo sasa yuaishi ndani yake.
Kumbuka, mtu hazaliwi kiroho kwa kuomba ombi bali kwa imani,
akiamini kwamba Kristo huingia ndani anapokaribishwa kuingia.
A. JINSI YA KUJUA KRISTO YU NDANI YA MAISHA YAKO
Uliza:
1. “Je ulimpokea Kristo maishani mwako?” ngojea jibu.
Kama mtu hajibu uliza “Maanisha wakati ulipo omba ombi ili?”
2. “Kulingana na ahadi yake katika Ufunuo 3:20, Je Kristo aliingia
maishani mwako?” angalia alama ya nne usome tena Ufunuo 3:20 na
uliulize swali hili tena.
3. “Kristo alisema kwamba ataingia ndani yako. Je anaweza
kukudanganya?” Ngoja jibu.
4. “Je unajuaje kwamba Mungu amejibu ombi lako?” Alisema
ataingia kama nitamkaribisha kwa dhati) Mungu hadanganyi!
B. BIBLIA INAAHIDI UZIMA WA MILELE KWA WALE
WANAOMPOKEA KRISTO.
Unaposoma I Yohana 5:11-13, sisitiza maneno haya ana na jua kwenye
mistari ya 12 na 13.
C. USITEGEMEE HISIA ZAKO
Eleza umuhimu wa kutotegemea hisia. Uliza, “Kama utahisi kwamba
Mungu yuko mbali, anaweza kuwa yuko wapi?” Umkumbushe
kumshukuru Mungu mara kwa mara kwamba Kristo yu maishani mwako.
37
D. TANGAZA IMANI YAKO
Toa wazo la wewe kuomba pamoja naye na kumshukuru Mungu kwa yale
ameyatenda. Katika kumuongoza huyo mtu katika ombi la shukrani elezea
ya kuwa wewe ndiwe utakayeanza kuomba. Halafu omba obi fupi, rahisi la
asante Baada ya kuomba, umuhimize naye pia kuomba. Unaweza kusema,
“Mshukuru Mungu, kwa maneno yako mwenyewe, kwa kuingia
maishani mwako”.
E. KUKUA KIKRISTO
Endelea kukisoma kijitabu hadi ukurasa wa mwisho ukionyesha jinsi vile
mtu anaweza kukua kama Mkristo. Umuhimize kwenda kanisani (yako au
moja iliyo karibu na nyumbani kwake ambapo anaweza kuwa na ushirika na
watu wengine na kukua katika uhusiano wake na Kristo). Umuhimize huyo
mtu kushiriki na rafiki au mtu wajamii kijitabu cha injili.
KUMSAIDIA MTU ASIYETAKA KUOMBA KUMPOKEA KRISTO
BAADA YA KULISOMA OMBI.
1. Dumisha hali ya kutotaharika na ya upendo. Sio watu wote wako
tayari kumpokea Kristo unapowaalika kufanya hivyo. Hakikisha
unaonyesha upendo na urafiki kwa mtu huyo, bila kujali vile
atakavyojibu.
2. Unaweza kusema, “Hebu nikuonyeshe nini kingetokea kama
ngemuuliza Kristo kuingia maishani mwako”. Kamilisha kurasa za
hakikisho na umpatie nafasi nyingine mtu huyo ya kuomba. Unaweza
kusema hivi, “Vile sasa umeelewa kwa undani zaidi nini maana ya
kumpokea Kristo maishani mwako, je ungependa kuomba ombi lile
na umpokee Kristo?”
3. Wazo lingine kwa mtu asiyekubali kumpokea Kristo ni kurudia pamoja
naye ushuhuda wako wa vile wewe uliweza kumjua Kristo na
mabadiliko yaliyotokea ndani ya maisha yako.
4. Unaweza kuuliza, “Je kunayo sababu yoyote kwa nini usimpokee
Kristo wakati huu?”
5. Ikiwa mtu bado hajisikii kuomba, basi unaweza kumwambia, “Huu ni
uamuzi ambao nina hakika ungependa kufanya hivi karibuni.” Muhimize kuomba kumpokea Kristo baada ya kujisomea kijitabu
binafsi. Umuachie kijitabu.
6. Umuhimize kusoma kitabu cha injili ya Yohana.
38
KUMSAIDIA MTU ANAYESEMA, “NINAOMBA OMBI KAMA HILI
KILA SIKU”.
1. Soma Waefeso 2:8,9 na ueleze ya kuwa ni kwa imani twaokolewa, si
kwa ombi. si tu kumuuliza Kristo kuingia ndani ya maisha yangu
kunakoniokoa bali kuamini kwamba aliingia ndani yangu
nilipomuuliza.
2. Ikikubalika, umshauri aombe ombi hilo kwa mara ya mwisho, akiamini
kwamba Kristo ataiweka ahadi yake na aingie maishani mwake. Toka
hapo na kuendelea umshauri kwamba inampasa kumshukuru Yesu kila
siku vile yu ndani ya maisha yake.
Gusia vifungu hivi:
Ufunuo 3:20 ...………Kristo huingia ndani ukimuuliza kwa imani
Waebrania13:5………Hatakuacha kamwe
1Yohana 5:13…… Alipeana Neno lake “ili ukajue”.
Kama mtu hakukubali kumpokea Kristo wakati wa kwanza pamoja naye,
muhakikishe kupatikana kwako kwa urahisi. Jitoe kukutana naye tena kama
atataka maongeo zaidi. Endelea kuomba kwa ajili ya wokovu wake.
Labda ungependa kumkaribisha kwa mafundisho au masomo ya Biblia kwa
wale hawajampokea Kristo.
39
MAMBO YA KUTEKELEZA KWA SOMO LA TANO
Kukamilisha somo hili nita: (Sahihisha unapomaliza)
MATAYARISHO
1. Kamilisha vifaa vya somo la tano.
2. Tayarisha kufanya mazoezi ya wa kijitabu Umegundua maisha
tele ya kiroho?
3. Fanya mazoezi ya mpangilio wa ziara na rafiki, hasa
vidokezo.
KUKAMILISHWA PAMOJA NA MWALIMU.
1. Kufanya marudio ya somo la tano.
2. Kila mmoja kushiriki vile alifikia kuelewa maisha - tele ya
kiroho na kufanya mazoezi kijitabu cha Roho Mtakatifu.
3. Kufanya mazoezi ya ziara na rafiki, hasa vidokezo.
4. Panga siku ya kukutana na rafiki kwa kipindi cha sita.
5. Kuzugumza ni nani kila mmoja wetu atakaye mfundisha na
kupanga kuwapa changamoto juma hili. (Tumia karatasi ya
Kushiriki Kwenye Nguvu, fursa Mwisho wa somo hili). Tutajaza
karatasi yetu ya malengo ya mafunzo hapo chini. Tumia kalamu
ya makaa kwa majina yaliyoteuliwa, tumia kalamu ya wino
yakithibitishwa).
LENGO YA MAFUNDISHO
40
Wakati wa maombi
6. Ninahitaji maombi juma hili kwa ajili ya:
______________________________________________________
______________________________________________________
______________________________________________________
Kuomba pamoja kwa ajili ya ahadi ya leo.
Waombee wale utawapa changamoto ili wakafanye mafunzo
haya.
7. Rudia Mambo ya kutimiza ya somo la sita.
Kazi za matayarisho nizikamilishwe kabla ya kukutana tena.
Ziara za kiuinjilisti
8. Kwa pamoja kujitabulisha kujenga uhusiano.
9. Niangaliwe na mwalimu katika hatua zote za ziara za
nyumbani kwa mtu wa maangano.
Shiriki ushuhuda.
Uliza maswali ya uchunguzi.
Shiriki kijitabu cha injili au ujumbe wa maisha tele ya
Kiroho.
Niwakaribishe kushiriki kwa mafunzo ya kundi la maisha na
Mmoja-kwa-Mmoja.
Kamilisha ripoti ya matembezi (ripoti hii ni ikabithiwe kwa
kiongozi wako wa kundi la maisha au msimamizi wa ziara.
41
KUSHIRIKI KWENYE
NGUVU Somo la tano
UJASIRI WA KUSHIRIKI NA RAFIKI
KUJIENDELEZA KIBINAFSI
KUISHI NA KUSHIRIKI MAISHA YA UKAMILIFU
Wakati ulipompokea Kristo kama mwokozi na Bwana wako wa kibinafsi
uliingia katika hali mpya ya ufumbuzi. Yesu alisema katika Yohana 10:10
“Nalikuja ili wawe na uzima na wawe nao tele”. 2 Wakorintho 5:17
inasema “Na hata mtu akiwa ndani ya Kristo, amekuwa kiumbe kipya;
yakale yamepita, na tazama yamekuwa mapya!” Jambo la kuhuzunisha ni
kwamba Wakristo wengi hawajui maana ya kuwa kiumbe kipya. Mara
nyingi hujaribu kuyaishi maisha ya Ukristo katika nguvu zao na hivyo basi
kushindwa mara kwa mara. Wengi wameshushwa moyo na kuvunjika moyo
kiasi ya kuamua ya kuwa haiwezekani kuishi kama vile Kristo anavyo tarajia
Ijapo ni kweli kwamba hatuwezi kuyaishi maisha ya Kikristo, lakini ukweli
ni kwamba tunaweza kuyaishi. Mkristo ako na kila anachokihitaji ili
kuyaishi maisha haya, lakini pengine anaweza kosa kufahamu ni vipi. Uko
na nafasi ya kushiriki naye jinsi vile anaweza kuishi maisha ya ushindi
yatakayoleta utukufu kwa Mungu. Hali hii ya maisha ndiyo itakayo
mwezesha kutaka kushiriki imani yake na wengine. Roho mtakatifu
amepeanwa kwetu ili atuwezeshe kuwa washuhuda.
KUISHI MAISHA KAMILI
Je unajua kwa uhakika kwamba Roho Mtakatifu anakuongoza na
kukuwezesha maishani mwako sasa hivi? ____________________________
Unajuaje? _____________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Kama kumpokea Kristo kama mwokozi, kujazwa na Roho Mtakatifu si tu
jambo la kuomba ombi bali ni kukiri kwa imani kwamba amejibu maombi
yetu.
42
Ishi kana kwamba anatawala, maana alisema atafanya hivyo ukikiri kwa
imani kwamba atawale.
Kisome kijitabu chote cha “Je umegundua maisha ya ajabu ya Kiroho?”
Jiandae kushiriki na mwalimu wako jinsi ulivyofikia kufahamu maisha
kamili katika Roho, pia, jiandae kukisoma kijitabu kwa mwalimu wako na
kukijadili.
WAKATI GANI WA KUSHIRIKI UJUMBE WA MAISHA KAMILI
KATIKA ROHO.
Ni vyema kushiriki kijitabu cha injili kwanza labda uwe umejua ya kuwa
huyo ni Mkristo. Ukiwa na uhakika au ukigundua ya kwamba mtu huyo ni
Mkristo wakati ukiendelea kushiriki kijitabu cha injili, mhimize kushiriki
imani yake na wengine. Lakini akionekana ameshindwa au amevunjika
moyo basi geuka kwa kijitabu cha Roho mtakatifu.
UTAKACHOSHIRIKI NINI
Unaweza kusema, “Hebu nishiriki nawe kijitabu hiki kiko na maana
sana. Kinaelezaa jinsi ya kuishi maisha ya ukamilifu ya Ukristo.” Shiriki kijitabu. Kisome tu, kukiwa na maelezo kidogo sana au hata pasipo
na maelezo yoyote yale. Katika ukurasa wa tisa kabla ya kuuliza; “Je mtu
anawezaje kujazwa na Roho Mtakatifu?” Rudi kwa ukurasa wa pili na
watatu na uulize; “Ni upi kati ya miviringo hii mitatu inafanana na
maisha yako sasa?”
Akisema mviringo unaonyesha mtu wa kiroho, basi endelea kusoma ukurasa
wa tisa, kumuonyesha jinsi anavyoweza kushiriki na watu mwengine.
Akisema mviringo unao onyesha, Mtu wa kimwili, basi endelea kusoma
ukurasa wa tisa. Mpatie fursa mtu huyo kuomba ili kumruhusu Roho
Mtakatifu kutawala maisha yake.
FUATILIA HADI MWISHO
Bila kutojali majibu ya mtu huyo mkaribishe kwa mafunzo ya maisha ya
kundi na Mmoja-kwa-Mmoja ambayo yatafaa zaidi.
43
NGUVU ZA MUNGU KUSHINDA VIZUIZI
Mambo sita ambayo huwa vizuizi kwa kuwa mshawishi kwa Kristo
yameandikwa hapo chini. Soma neno la Mungu linavyosema kwa kila
kizuizi. Kwa maneno yako mwenyewe, andika sentensi inayoeleza vile
Mungu anasema kuhusu kushinda kila kuzuizi.
KIZUIZI NENO LA MUNGU JIBU LANGU
“Nahitaji kumjua
mtu huyo vyema”
Yohana 4:7-30, 39
Luka 14:21, 23
Matendo ya mitume
8:4, 40
“Ikiwa watu
wanapendezewa
wataniuliza”
2 Wakorintho 4:13
Yohana 20:21
2 Wakorintho 5:20
“Kuna watu
wengine na hali
ambazo zinazuilia
mazungumzo ya
kiroho.”
Wakolosai 1:28
Matendo 5:42
1Wathesalonike 2:2-4
“Ninahofia kumuudhi
huyo mtu. Ninaweza
kupoteza urafiki
wake.”
Matendo 5:41
2 Wakorintho 4:1, 2
Luka 9:26
“Najihisi sijahitimu.
Mtu mwingine
anaweza kusema
naye.”
2 Wakorintho 3:5
Mathayo 4:19
Yohana 15:16
2 Wakorintho 5:18
“Hatapendezewa.
Amefanikiwa sana.”
Mathayo 9:37
2 Wakorintho 5:16
Yohana 4:35
44
MAFUNZO KWA MATENDO
UJASIRI WA KUSHIRIKI NA RAFIKI
Soma Luka 10:25-37
Mwanasheria mmoja alimwendea Yesu na akamuuliza “Mwalimi mkuu
nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” Yesu akamfanya ajibu swali lake
mwenyewe kutoka kwa sheria ya Musa. Andika jibu lake katika msitari wa
27.
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Msitari wa 29 unasema: “Lakini akitaka kujidai haki akamwuliza Yesu, na
jirani yangu ni nani?” Yesu anaelezea hadithi ya msamaria mwema ili
kufafanua.
Kulingana na hadithi hii, jirani yako ni nani?
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Ni nini kilicho mhimiza huyo msamaria kumsaidia mtu asiyemjua?
_____________________________________________________________
Wanasaikolojia wanasema hitaji letu kubwa ni kupenda na kupendwa. Yesu
anatupa upendo wake, upendo ulio mkuu zaidi, na tena anatwambia
tutaushiriki upendo huu wake kwa wengine. Baadhi ya watu hawa
hatutawajua lakini wengi watakuwa ni watu wa karibu sana kwetu.
Tumejifunza kujizoesha jinsi ya kufanya ziara ya Nyumbani na mtu ambaye
kwa njia moja au nyingine amewasiliana na kanisa letu. Sasa hebu tuangalie
jinsi ya kushiriki injili na rafiki. Utapata nafasi nyingi sana za kuweza
kushiriki imani yako na rafiki zako na watu wa jamii. Kwa wewe kuweza
kushiriki kikamilifu na kwa ujasiri, utahitaji mafunzo na mazoezi.
Mpangilio wetu wa ziara utakuwa sawa na ule ambao tumekuwa tukiutumia.
Tutafanya mabadiliko machache tu ya muhimu ikibidi.
45
A. KUPANGA WAKATI WA KUKUTANA
1. Chagua mtu mmoja kati ya wale waliomo katika orodha
yako ya maombi (ikiwezekana).
2. Panga mkutane nyumbani mwao au kwa mkahawa au kwa
hoteli.
Panga mkutano huu mwenyewe au upige simu. Unaweza kusema: “Ujambo
_____________________ huyu ni _________________________.
Habari yako? (Zungumza jambo ambalo mwafahamikiana nalo. Sababu
ya kuwasiliana nawe _______________________, ni kwamba rafiki
yangu _____________________na mimi twajifunza hatua nne za
kuelezea jinsi ya kumjua Mungu kibinafsi. Moja ya kazi tulizopewa ni
kushiriki na rakiki. Tungependa kushiriki nawe. Je, ______________
Jioni ______________________ kwa hoteli _______________ kwa
kikombe cha kahawa ni sawa? Nitanunua”
Kama haiwezekani, panga wakati mwingine na mahali. Kama imekubalika
sema: “Vyema sawa, tutakutana ______________ jioni ______________
kwa _______________________ hoteli."
AU
“Habari __________________ huyu ni ___________________ habari
yako? (zungumzia jambo mlijualo kwa pamoja.). _______________ niko
na kitu ninataka kukipitisha kwako. Rafiki yangu ___________, na
mimi twajifunza njia nne za kumjua Mungu kibinafsi. Sijui kama
utapendezewa, lakini tungependa tukutane kwa kikombe cha kahawa
na tushirikiane nawe. Je, asubuhi ya ______________ saa ___________
itakuaje kwako? Twaweza kuja nyumbani kwako au tukutane hoteli ya
________________.”
Kama haiwezekani, panga wakati mwingine na mahali pengine.) Ikikubalika
sema: “Vyema sana, tutaonana asubuhi ya _______________ saa
___________ Nyumbani kwako”.
B. OMBA (sawa na somo la tatu)
C. UTARATIBU WA KUWASILI (sawa na somo la tatu)
46
D. JENGA UHUSIANO (sawa kama mbeleni ikiwa ni kutembelea
nyumbani) Kama mnakutana kwa mkahawa au hotelini, umtambulishe
rafiki yako mliye naye kwa rafiki yako. Baada ya kujuana unaweza
kusema; “Twashukuru kwa fursa ya kukutana leo ___________ .”
Eleza jinsi wewe na mwenzako mnavyo furahia kuendelea kujuana kwa
kanisa.
E. ACHA SEHEMU YA "KUWAFAHAMISHA KUHUSU KANISA
LETU". Enda kwa sehemu “F”
Kumbuka: Kufikia hapa mmoja katika timu ni aongee na kuongoza na
yule mwingine aombe kimoyomoyo. Sehemu zote za maagano zitafanywa
kama zile 1za somo la Tatu.
F. USHUHUDA WA KIBINAFSI
G. MASWALI YA UCHAMBUZI
H. SHIRIKI UJUMBE
I. PEANA FURSA YA UAMUZI
J. CHANGAMOTO YA KUKUA (akitaka)
K. OMBA (ikiwezekana)
47
KUSHIRIKI KWENYE
NGUVU
MMOJA- KWA- MMOJA
FURSA
Wakristo wengi leo wanatamani sana kuhisi nguvu za ajabu, maisha yenye
uwezo mkuu na ya kutosheleza kama yanavyozungumziwa katika barua za
angano Jipya. Haikuwa tu kutimizwa kwao, lakini ilikuwa ubadilisho wa
maisha yao kwa aina mpya ya maisha ambavyo waliyaita "Kristo kuishi
ndani yao" Maisha hayo yanapatikana kwetu sisi tunapolisikia neno la
Mungu.
MPANGO WA MUNGU Mpango wa Mungu ni kwa kila mwamini awe shahidi wake. Wewe ni
kiungo muhimu sana kwa kazi ile ya ulimwengu mzima ambayo angependa
watu wake waitimilize katika kizazi hiki. Je, kunalo la muhimu zaidi?
NGUVU ZA MUNGU. Ahadi ya Mungu: “Lakini wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni
nyinyi, mtapokea nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika
Yerusalemu, Katika nchi zote ya Yudea na Samaria, na hata mwisho ya
dunia.” Matendo ya Mitume 1:8
KUSHIRIKI KWENYE NGUVU NI KUPI?
1. Kunahusisha vipindi sita vya mafunzo ya mmoja kwa mmoja
vinavyotumiwa na mtu mmoja kumfundisha mtu mmoja
ambaye naye atafundisha mtu mwingine.
2. Katika wakati wa kila kipindi utatumia muda wa saa moja
kukutana pamoja kwa shabaha ya:
kuelewa vifaa vyote
kushirikiana
Kuchukua jukumu la kufanya kazi .
kuomba
Halafu mtaenda kwa ziara za kiuinjilisti (Kawaida matembezi huchukua mda
wa saa moja pamoja na usafiri).
KWA NINI MMOJA-KWA-MMOJA?
48
1. Mafunzo ya mda mfupi ya uinjilisti ya mmoja kwa mmoja huzalisha.
(Njia ya uhakika ya kupitisha mafunzo kutoka kwa mmoja hadi
mwingine).
2. Karibu kila mmoja anaweza kufanya mafunzo ya kibinafsi. Mwanaume
anamfunza mwanaume, mwanamke anafunza mwanamke.
3. Inakupa uwezo wa kufanyika kiongozi.
4. Unajukumika zaidi.
5. Inakufanya ujitoe kikamilifu kumtii Kristo unapounda njia thabiti za
injili.
6. Utapata fursa ya kujenga uhusiano thabiti wa Kikristo.
MADHUMUNI YA "KUSHIRIKI KWENYE NGUVU" NI: 1. Kukusaidia kupata maono ya uinjilisti
2. Kukusaidia uwe na ujasiri wa matumaini yako katika Roho Mtakatifu
3. Kukusaidia kujifundisha jinsi ya kushiriki ushuhuda wako.
4. Kukuandaa uwe shahidi wa Kristo.
5. Kukusaidia kupanga kikamilifu mfuatilio.
6. Kukusaidia kuanzisha kikamilifu kufundisha wengine kushuhudia
(kuongeza).
“Chukua yale mafundisho uliyonisikia nikitangaza mbele ya mashahidi
wengi, uyakabidhi kwa watu wanaoaminika, ambao wataweza
kuwafundisha wengine pia.” 2 Timotheo 2:2
UNAHITAJIKA KUWA NA NINI ILI UKASTAHILI KUHUSIKA
KATIKA KUSHIRIKI KWENYE NGUVU? 1. Hamu ya kutaka kukua katika uhusiano wako na Kristo.
2. Nia ya kufundishika - utayari wa kujifunza na kuambatana na wengine.
3. Kununua vifaa au vitabu vya mafundisho.
4. Kujitoa kwenda kwa vipindi vya mafunzo kila juma/wiki.
5. Kujitoa kukamilisha kazi za kujifanyia nyumbani.
JE UMEFANYA MPANGO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA
KUSHIRIKI KWENYE NGUVU?
JE, NAWEZA KUKUFANYIA MPANGO?
49
MAMBO YA KUTIMIZA KWA SOMO LA SITA
Ili kukamilisha somo hili, nita (Sahihisha unapokamilisha)
MAANDALIZI
1. Kamilisha vifaa vyote vya somo la sita.
2. Jiandae kufanya mazoezi kuhusika kikamilifu katika
maelezo ya kumtembelea rafiki.
3. Hitimisha agano na rafiki yangu
KUKAMILISHWA PAMOJA NA MWALIMU
1. Rudia somo la sita
2. Kufanya mazoezi mpangililio wote wa kutembelea rafiki, na
kufanyia mazoezi ya viambatanisho vyote.
3. Wasiliana na yule unayetarajia kuwa mwanafunzi wako ili
ajipatie fomu za "ushuhuda wenye nguvu, ni “Fursa” na
athibitishe tarehe za kuanza.
Wakati wa maombi
4. Ombeni pamoja kwa ajili ya agano la leo na rafiki.
Nauliza maombi juma hili kwa ajili ya:
______________________________________________________
______________________________________________________
______________________________________________________
Waombee kwa majina wale tutakaowafunza baadaye.
Tujiombee wakati tunapoyazalisha maisha yetu kwa watu
wengine.
50
Ziara za Kiuinjilisti
5. Kwa pamoja kujitambulisha na kujenga uhusiano
6. Kuchunguzwa na mwalimu katika hatua zote za kumtembelea
rafiki.
Shiriki ushuhuda.
Kuuliza maswali ya uchunguzi.
Kushiriki kijitabu cha injili au ujumbe wa maisha kamili ya
kiroho.
Kuwakaribisha kwa mafunzo ya kundi la maisha au Mmoja-
kwa-Mmoja.
Kukamilisha ripoti ya mgeni/Mawasiliano (Ripoti hii ni
ipeanwe kwa kiongozi wa kundi la maisha au msimamizi wa
ziara)
51
KUSHIRIKI KWENYE
NGUVU Somo la sita
WATU KUWAFIKIA WATU
KUJIENDELEZA KIBINAFSI
ONO KWA ULIMWENGU WANGU
Hitaji la dharura la wakati huu kwa Wakristo ni kulipata ono lililokuwemo
ndani ya amri yake Yesu Kristo kwa wanafunzi wake, “Enendeni
ulimwenguni kote mkaihubiri habari njema kwa kila kiumbe.” Marko 16:15.
Agizo hili kuu kutoka kwa Bwana wetu lilikuwa changamoto wazi kwamba
wanafunzi hawangeweza kulitimiliza kwa nguvu zao. Bali, Roho Mtakatifu
aliweza kutembea kupitia kwa wanaume na wanawake, kuleta hali ya
ubadilisho mkuu kwa duniani ya wakati ule katika karne ya kwanza kuisikia
injili yake Kristo. Injili iliyapenya maisha ya watu kwa uwezo mkuu kiasi
kwamba mtu ambaye alikuwa hakumwamini Mungu wa asili ya Ufalme wa
kirumi “aligeuzwa juu chini”.
Nguvu zake Yesu Kristo na injili yake hazijadidimia hata leo, ijapo, mguso
wa Wakristo wa karne ya ishirini haujafikia ule wa karne ya kwanza. Hii
imesababisha kwamba karibu nusu ya watu wanaishi leo kutopata kusikia
ujumbe wake Kristo leo.
Bwana wetu hajawahi kuambia ulimwengu ufuate Wakristo. Bali,
amewaambia Wakristo waenende ulimwenguni na kutoa ujumbe wa injili,
ambao peke yake ni "nguvu zake Mungu kufikia wokovu". Lengo la somo
hili ni kukufunza na kukutia moyo kuhusiana na uwezekano wako na kuvuta
wengine kwa Kristo.
Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa na hii imewafanya wasiweze
kuwashuhudia wengine. Mwelekeo mwingi umetolewa kwa mambo maovu
ambayo jamii ya kisasa imeleta, lakini Wakristo hawafamishwi jinsi Mungu
navyoweza kuwatumia kuleta mabadiliko mema. Kama vile Paulo alijisikia
kutokamilika hata akajielezea hali yake kuwa “katika udhaifu na uoga na
kwa kutetemeka” 1Wakorintho 2:3, hivyo Wakristo wengi wamesetwa na
shauku ya kuwa hawawezi kuleta mguso wowote kwa wasio Wakristo.
Inakupasa kuona ya kuwa Paulo hakushindwa na hisia zake za kujiona si
kitu. Huduma yake ilikuwa na nguvu. “Kwasababu hiyo tunamhubiri
Kristo kwa watu wote: tunawaonya na kuwafundisha wote kwa hekima
52
yote, ili tuweze kumleta kila mmoja mbele ya Mungu akiwa amekomaa
katika kuungana na Kristo. Kwa madhumuni hayo mimi nafanya kazi na
kujitahidi nikiitumia nguvu kuu ya Kristo ifanyayo kazi ndani yangu” Wakolosai 1:28, 29. Unaweza pia kutumiwa na Mungu, si kwa sababu ujasiri
au mwenye hekima, lakini kwa sababu Mungu anatenda kazi ndani yako.
KANUNI ZA KUWEZESHA KUWAAMBUKIZA WENGINE
Taja kanuni tatu za muhimu zitakazokuwezesha kuwaelekeza wengine kwa
Kristo kama zinavyopeanwa katika Wakolosai 4:2-6
1. __________________________________________________________
2. __________________________________________________________
3. __________________________________________________________
MFANO WA PAULO
Soma Wakorintho 9:19-23. Andika kila sehemu au maneno ambayo Paulo
aliweza kushawishi.
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Kwanini Paulo alitamani au alitafuta kuwa na mguso mkubwa hivyo?
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Ili tuweze kuwashawishi wengine, lengo letu ni liwe lipi?
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
MIFANO MINGINE YA MGUSO WA MOJA KWA MOJA
1. Andrea alimleta nani Kwa Yesu? Yohana 1:35-42
__________________________________________________________
2. Filipo alimleta nani kwa Kristo? Yohana 1:43-49
__________________________________________________________
ENEO LAKO LA KUSHAWISHI NI KUBWA KULIKO VILE
UNAVYODHANIA
Uko na eneo kubwa la kushawishi ambalo limezingirwa na watu unao wajua
vyema na hata watu ambao unao uweza wa kuwajua. Watu unaowajua wamo
katika eneo lako la mguso wa moja kwa moja. Inawezekana kuwa
53
unakutana nao kila siku katika eneo lako. Na wengine labda mnakutana mara
moja kwa miezi au hata kwa miaka kadhaa. Kwa watu ambao
hamfahamikiani vyema, lakini kunao uwezekano wa kukutana, ndio
wanaochukua nafasi ya eneo lako la kuweza kuwashawishi. Kwa mafano,
mmoja wa kikundi cha eneo lako au rafiki wa rafiki anaweza kuwa muhimu
kwa ushawishi wa eneo lako.
ENEO LAKO LA KUAMBUKIZA MOJA KWA MOJA
Wengi wetu hatutambui ni umbali gani tunaweza kushawishi. Tumia njia
ifuatayo kuratibu hesabu ya wasio Wakristo katika eneo lako la kushawishi
moja kwa moja.
Jamii + wafanyi kazi wenzako + majirani + marafiki + Uwafahamuo
_________ + ________ + _________ + _________ + _________
Jumla ya wote hapo juu ni: _______________ (Jumla A)
Kama 7 kati ya watu hawa wangempokea Kristo na kuanza kuwafikia wale
wa eneo lao la mguso ni wangapi ungeweza kuwashawishi kupitia kwao?
Jumla A X 7 = _________________ (Jumla B)
(A) _______________ + (B) _______________ = _______________
TAMBUA ENEO LAKO LA UFAHAMU WA KARIBU
WEWE
54
Katika hali ya maombi, chagua watu 7 na utafute kushiriki nao Kristo moja
kwa moja.
1. ___________________________ 5. ___________________________
2. ___________________________ 6. __________________________
3. ___________________________ 7. ___________________________
4. ___________________________
Mmoja kati ya hao saba akimpokea kristo, hakikisha umemsaidia ili naye
aweze kufikia eneo lake la mguso moja kwa moja.
MAFUNZO KWA VITENDO
MBINU MAHUSUSI ZA KUUFIKIA ULIMWENGU
Kazi ya injili inaonekana kuleta hofu au uoga katika mioyo ya Wakristo
wengi. Waumini wengi bado hawajashiriki imani yao na wengine?
Kwasababu gani. Je ni kwasababu wale wasioenda kanisani wako kinyume
au wanapinga injili? Hasha! Watu wengi wanapoulizwa kama wanaweza
kwenda kanisani kama wakikaribishwa na rafiki, husema, “Ndio, ninaweza”
Wengi tunaoshiriki nao huwa wazi kwa injili si wote wako tayari kumpokea
Kristo lakini wako wazi kuzungumza na kutaka kuelewa.
Ulimwengu unabadilika! Ulimwengu umo katika shida hakuna
kinachoonekana kuleta maana! Injili inaleta maana! Inapeana tumaini kwa
ulimwengu usio na tumaini. Watu wengi wanapenda kusikia. Jukumu letu ni
kuchangua njia zinazofaa na za kueleweka.
Kuna njia nyingi zinginezo zinazofanya kazi vizuri kuliko zingine.
Kukusaidia ili ukawe mvumbuzi mzuri hapa kunayo maoni machache.
1. Wakaribishe watu kanisani
Mwambie rafiki yako amlete rafiki yake kwa mkahawa au hoteli
mkutane. Mfahamu huyo rafiki yake na umkaribishe kanisani au kwa
kundi lako la mafundisho.
2. Fomu ya Maswali kwa majirani (ona mfano mwisho wa somo hili)
Hii ni rahisi kufanya na inafanya kazi vizuri sana. Mtu mmoja na rafiki
yake walitembelea, hivi majuzi, nyumba 12 kwa mda wa saa limoja.
Wakazungumza na watu 8, wakashiriki injili na watu 5, na
wakawaombea watu 3 kumpokea Kristo. Watu wako wazi,
55
watazungumza na wageni na hata kumpokea Kristo mbele ya milango
yao.
3. Ushuhuda wa Kibinafsi
Shiriki ushuhuda wako kwa dakika moja unapopata fursa. Watu hutaka
kujua kile Mungu amekutendea. Kila Mkristo anatakikana kuwa na njia
ya rahisi ya kuelezea ushuhuda wake. Wasaidie marafiki zako kuandaa
hadithi za maisha yao. Tumia kipindi cha mijadala cha somo la kwanza.
4. Vijitabu vya injili
Daima beba vijitabu vya injili na Roho Mtakatifu kwenye mkoba wako
au pochi yako, hivyo basi utakuwa umejiandaa kikamilifu.
5. Filamu na kanda za video
• Filamu za Yesu
• Ndoa
• Wazazi na vijana wadogo
• Utumiaji mbaya wa madawa, n.k
Unaweza kumuachia rafiki yako moja atazame na halafu umfuatie au
uwakaribishe marafiki kuja jioni kuziona filamu hizi. Hii
naweza.kufanywa wakati wowote ule. Nyakati maalumu kama
Krisimasi au Pasaka huwa inarithawa kabisa.
6. Karamu za urafiki
Tazama kijitabu kiitwacho “Jinsi ya kufanya karamu za urafiki”, kwa
maelezo sahihi ya jinsi ya kuandaa na kuendesha karamu za urafiki. Hii
ni njia mahususi kabisa ya kutumia pamoja na kundi lako la mafunzo ya
maisha au pamoja na marafiki wengine.
7. Kushiriki Kwenye Nguvu kwa Mmoja-Kwa-Mmoja
Matunda ya kazi ya Mmoja Kwa Mmoja itaonekana kwa jinsi vile watu
wengi watakavyoweza kufikiwa. Itahitaji uvumilivu hapo mwanzo, kwa
sababu huanza na watu wachache. Kadiri unavyo wafunza wengine
ambao nao wanawafunza wengine, hesabu ndivyo inavyokua.
Hakikisha kuanza kufundisha mtu mwingine mara tu unapokamilisha
na mmoja. Pata majina ya watu wa kutembelea kutoka kwa mchungaji
wako au msimamizi wa ziara. Kila huduma katika kanisa lenu ijaze
fomu ya wageni au ripoti ya mawasiliano kwa kila mtu mgeni
wanayekumbana naye. Endelea kuongeza majina ya watu katika eneo
lako la ushawushi. Uwaombee kila wakati na utafute kushiriki na kila
mmoja wao kuhusu Kristo.
56
8. Kushiriki Kristo kama mtindo wa maisha
Sasa vile umejua jinsi ya kushiriki injili, na umepata ujuzi mbalimbali
wa kufanya hivyo, sasa uko tayari kushiriki na mtu yeyote mahali
popote. Hili ndilo lilikuwa ono la Paulo na mzigo wake. Anza kutumia
kanuni hizi maishani mwako.
JINSI YA KUSHIRIKI KAMA MTINDO WA MAISHA
A. UPATIKANE KWA MUNGU NA KWA WATU
Soma 2 Timotheo 4:2a Kifungu hiki kina maana gani kwako?
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Mungu anapendezewa sana na kupatikana kwako kuliko uwezo wako.
Atawaleta watu kwa Kristo kupitia kwako wakati unapatikana kwake.
B. MUULIZE MUNGU AKUPE FURSA YA KUSHUHUDIA
1. Uwe na mwelekeo. Muombe Mungu akupangie nafasi tukufu.
Muombe akuelekeze kwa mtu fulani.
2. Chukulia kuwa ni jibu la ombi lako wakati uko peke yako na mtu
mwingine kwa dakika chache.
3. Chukulia nafasi yoyote ya kushuhudia kama kibali tu, sio jukumu lako.
C. KUTANA NA WATU MAHALI WALIPO
Wakristo wengi hutumia mda wao mwingi pamoja na Wakristo wengine
wakienda kutoka shuhuli moja ya Kikristo hadi nyengine, na hivyo
kutokuwa au kutoweza kuwa na nafasi ya kukutana na wale ambao
hawajaamini.
Ili ukaweze kushuhudia wale hawajaamini, ni sharti uende mahali walipo.
Ukae chonjo na ushuhudie Bwana akikupa fursa hiyo.
D. MUOMBE MUNGU AKUPE TAMAA YA KUPENDA KILA MTU
UTAKAYEKUTANA NAYE.
1. Uwe mwadilifu.
2. Anza maongeo kwa kuuliza maswali. Maswali ya wapi, nani, vipi, lini
na kwa nini husaidia kujenga mazungumzo.
57
a. Soma Yohana 4:7. Swali gani Yesu alilomuuliza yule mwanamke
pale kisimani?
__________________________________________________________
Kwa nini alimuuliza swali hili? ________________________________
__________________________________________________________
b. Soma Matendo 8:30. Swali gani Filipo aliuliza?
__________________________________________________________
__________________________________________________________
Kwanini aliuliza swali hili? ___________________________________
__________________________________________________________
3. Baadhi ya maswali ambayo unaweza kuuliza:
a) Jirani “Hujambo, jina langu ni _________________. Nilitaka
nafasi tu ya kukutana nawe. Umeishi hapa kwa muda gani?”
b) Msafiri mwenzako:
“Hujambo, jina langu ni __________. Unasafiri kuelekea wapi?”
c) Wengine:
“Je, unaishi hapa mjini (mtaa)?”
“Wafanya kazi gani ili kujipatia mkate wa kila siku?”
“Je, naweza kukusaidia?”
“Je, unaweza kunisaidia na ___________________ ?”
E. ZUNGUMZA KUHUSU KRISTO
Soma Matendo 8:4. Yasema nini kuhusu mwamini?
_____________________________________________________________
_____________________________________________________________
Wakristo wa Karne ya kwanza waliongea habari njema za Kristo katika
mazungumzo yao ya kila siku kila mahali walipoenda. Leo tunahitaji macho
yetu yafunguliwe ili tukazione fursa nyingi tulizonazo za kukutana na watu
na kuwashuhudia Kristo. Wewe ni mtu wa maalum na uko na eneo la
58
ushawishi ambalo si kutoka kwa mtu mwingine. Anza kujenga uhusiano na
watu kwa kuuliza maswali, kushiriki ujuzi wako mwenyewe, na hatimaye
ukitumia viambatanisho rahisi vitakavyo kuwezesha kuwashuhudia injili.
MIFANO YA VIAMBATANISHO
1. “Nimekuwa nikisoma kijitabu ambacho kilikuwa kikileta maana sana.
Je ninaweza kushiriki nawe?”
2. “Niko na kijitabu ambacho kinaelezea maana ya kuwa Mkristo. Je
ninaweza kukishiriki nawe?”
3. Toa ushuhuda wako kwa kifupi kisha useme, “Hebu nikuonyeshe ni
mambo gani yanayohitajika ili kuwa Mkristo.”
4. “Je, kuna wakati hufikiria, kuhusu mambo ya kiroho?” au “Je
unapendezewa na mambo ya kiroho?”
5 “Je, nawezashiriki nawe jinsi Yesu Kristo anavyohusika na maisha leo?
Uko na dakika chache?”
6. “Je, katika maisha ya Kiroho, umeshafikia mahali ambapo unajua kwa
uhakika kwamba kama ukifa leo utaenda mbinguni?” *KAMA ndio,
sema, “Kama ungekufa leo, na usimame mbele za Mungu naye
akwambie, ‘Kwa nini nikuruhusu kwangu mbinguni?’, Utasemaje?”
* Maswali ya Kennedy E.E.
Chagua mbinu ambazo zitakufaa pamoja na watu mbalimbali ambao
unafursa ya kushiriki nao upendo wa Mungu.
Kumbuka ku:
Patikakana kwa Mungu na kwa watu.
Omba Mungu akupe nafasi za kushuhudia.
Kutana na watu mahali walipo.
Omba Mungu akupe hamu ya kumpenda kila mtu unayekutana naye.
Zungumza kuhusu Kristo.
Mungu akubariki unaposhiriki habari njema za Yesu Kristo na kuwafundisha
wengine kufanya hivyo.
59
MASWALI KWA MAJIRANI
MASHAURI
1. Omba kabla ya kwenda. Yule ambaye hashiriki ni aombe kimoyomoyo
wakati yule mwingine anashiriki.
2. Karibieni kila nyumba kwa utaratibu.
3. Muwe na nakala za maswali (kwenye chombo cha kubebea
makaratasiikiwezekana) au kalamu ya makaa na kijitabu cha injili au
Roho mtakatifu tayari kabla ya kuujongelea mlango. Mwenzako abebe
vitabu vinavyozungumzia kuhusu kanisa lenu na ashughulikie kujaza
karatasi za nakala za Nyumba-kwa-Nyumba.
Kumbuka:Daima ukiweke kijitabu cha injili juu ya vyengine na wazi
ili kiweze kuonekana tayari kutumika mwisho wa kukamilisha
maswali.
4. Mjitambulishe kwa njia ya kiurafiki kwa kusoma au kutoa kutoka kwa
kumbukumbu tangulizi katika nakala.
5. Soma kila swali. Kama hawataki kujibu moja, nenda kwa swali lingine.
Utakapokuwa ukishiriki swali la mwisho, fungua kijitabu cha injili na
uwe tayari kukishiriki mara moja.
6. Kama hawataki uipitie nakala ya maswali omba ushiriki kijitabu. Sema,
“Hebu nishiriki hiki kijitabu kuhusu jinsi ya kumjua Mungu
kibinafsi?”
7. Kama hawataki uweze kukisoma kijitabu omba uwaachie. Pia omba
uwaachie baadhi ya vijitabu kutoka kanisani kwenu.
8. Enendeni kwa nyumba nyingine.
9. Mwenzako ajaze karatasi la nakala za Nyumba-kwa-Nyumba kabla ya
kuifikia nyumba nyingine.
10. Mahali ambapo panahitaji kutembelewa tena, toa habari hii kutoka kwa
karatasi ya Nyumba-kwa- Nyumba hadi kwa Ripoti ya mgeni/mtu wa
kuwasiliana na muipeane kwa msimazizi wa ziara.
Hakikisha kuwa na nakala za kutosha zenye maelezo ya kanisa lako, na zile
za maswali kwa majiranikwa ajili ya nyumba zote pia muwekenakala ya
fomu ya nyumba kwa nyumba kama inavyoonyeshwa hapo chini.
60
*. Uliz
a jin
a tu
kam
a a
mekubali w
okovu H
akik
isha k
ure
gesha fo
mu h
ii uta
hita
ji kunakili h
abari z
ake k
wa a
jili ya k
ufu
atilia
.
O
nly
record
the h
ouse n
um
ber if th
ere
is c
onta
ct
And
ika k
wa h
eru
fi kub
wa
Wate
mb
ezi: _
__
___
___
___
____
___
___
__
___
___
___
_
Tahere
: ___
___
__
___
___
_
Sem
em
u: _
___
___
___
___
_
NA
MB
AR
I YA
NY
UM
BA
J
INA
*
NA
KA
LA
YA
UIN
JIL
IST
I WA
NY
UM
BA
KW
A N
YU
MB
A J
ina
la k
an
isa : _
_____
___
__
____
___
___
__
___
___
___
_____
_
Kufikiwa
Majibu
Alikataa
Alimaliza
Nilishikiri kitabu cha injili
Nilishiriki kitabu cha Roho Mtakatifu
Aliomba kumpokea Yesu
Alikua Mkristo Tayari
Ana kanisa la nyumbani ndio/la
Nitafuatilia
Anahitaji huduma ya karibu
Special Attention
Co
mm
en
ts
61
NAKALA YA MASWALI KWA MAJIRANI
“Hujambo, Mimi ni ___________ na huyu ni __________. Tunatoka kanisa
la ______________. Tunazunguka tukifanya utafiti kwa majirani ili
tupate kujua mahitaji ya jamii yetu. Je unaweza kupata wakati ili ujibu
maswali saba?”
ULIZA:
1. Umeishi kwa mtaa kwa muda gani? ______________________________
2. Unafikiria hitaji kuu ambalo jamii hii yetu inahitaji ni nini?
___________________________________________________________
3. Ni mambo gani ambayo kanisa linastahili kufanya jamii hii kuwa bora?
___________________________________________________________
4. Je, unaenda kanisani mara kwa mara? ____ ndio ____ la
kama ni “la” uliza: kama ungekaribishwa
kwenda kanisani na rafiki, unaweza kwenda? ndio ____ ndio ____ la
5. Je, kanisa katika jamii hii linatimiza jukumu lake la
kuwaleta watu karibu na Mungu? ____ ndio ____ la
6. Je, unaamini kama Mungu yuko? ____ ndio ____ la
Kama ni “Ndio” uliza; “Katika maisha yako ya
kiroho umefikia mahali ambapo unajua kwa uhakika
kwamba kama ukifa leo utaenda mbinguni?” * ____ ndio ____ la
Kama ni “ndio” Uliza: “Kwa mfano kama ungekufa leo, na usimame
mbele zake Mungu naye akwambie ‘kwa nini nikuruhusu kuingia
mbingu yangu?’, utasemaje?”*
Kama ni “la” au “sina uhakika” enda kwa swali lifuatalo.
7. Biblia inasema, tunaweza kumjua Mungu kibinafsi na tuwe na uzima
wa milele. Hebu nichukue dakika chache kushiriki nawe kijitabu hiki
kuhusu uhusiano huu wa muhimu sana?
Kama “ndio” shiriki kijitabu cha injili au Roho Mtakatifu.
Kama ni “la” Hebu niwaachie kijitabu hiki na baadhi ya vitabu kuhusu
kanisa letu. * Maswali ya Keneddy E.E
62
63
KUSHIRIKI KWENYE
NGUVU
MASHAURI KWA WAKUFUNZI
Pongezi! Umekamilisha mafunzo yako na sasa umehitimu kufunza wengine.
Uko karibu kuanza jambo la kusisimua la kumfanya mwamini mwingine
kuwa mshuhuda wa Kristo.
Utaipata furaha ya kuwa mtiifu kwa Kristo unapomsaidia Mkristo
mwenzako kukua katika imani na utiifu.
Mpango wa Mungu kwa kila mwamini ni kuwa awe mshuhuda wake. Wewe
ni kiungo muhimu katika kazi hii ya ulimwengu mzima ambayo Mungu
angependa watu wake waweze kuikamilisha katika enzi hii. Je, kunalo lililo
bora zaidi ya hili.
“Kwa maana Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea”
Luka 19:10
MPANGO WA MUNGU
Mpango wa Mungu wa kuufikia ulimwengu ni kwa sisi kufanya wanafunzi
kupitia kuieneza injili na kuwafunza kutii. Ni sharti tuwe watiifu na tupitishe
utiifu huu kwa wengine.
Kama ukifundisha mtu mmoja kwa muda wa miezi minne (watu watatu kila
mwaka) na watu hao watazaa katika njia hiyo kwa kila miezi minne, kuanzia
wakati walipomaliza mafunzo yao, hivi ndivyo itakavyotokea:
MWAKA JUMLA
1
2
3
4
5
7
49
343
2,401
16,807
Huu ndio mtiririko wa UZAZI. Katika kufanya wanafunzi (Mathayo 28:18-
20) tunapaswa kuwa watiifu katika kwenda (uinjilisti) na katika kufunza
utiifu. Kama vile Paulo alivyomfunza Timotheo, ambaye naye
angeliwafunza watu waaminifu (binadamu), ambao nao pia wangefunza
wengine kutii, hivyo basi nasi twapaswa kufanya vivyo hivyo.
64
KUZALISHA NDIO FUNGUO! Uanza pole pole, lakini huendelea
kupanuka kwa haraka wakati UZALISHO unapoendeleakufanyika.
Paulo Timotheo Watu waaminifu Wengine
Mimi Mwanafunzi Wangu Wanafunzi wao Wengine
Weka rekodi ya wale unaowafundisha na wale wanaowafunza. Funguo halisi
ya uzalishaji ni katika kuwachagua watu ambao wataipitisha na tena kufanya
kazi nao mpaka watakapoweza kuipitisha kwa watu kama watatu wengine
watakaofanya vivyo hivyo.
NGUVU ZA KUSHIRIKI, MMOJA-KWA-MMOJA
MANUFAA YA KUFUNZA MMOJA-KWA-MMOJA
• inatoa uwezo wa mkufunzi na mwanafunzi.
• inatoa watu wenye ushawishi uliyopitia kufikiria kwa kibinafsi.
• inajenga ujasiri wa kibinafsi.
• inawasaidia wanafunzi kujieleza waziwazi.
• inaruhusu kuhusika kikamilifu, ambayo matokeo yake ni kuongezeka
kwa kutiwa moyo.
• huwasaidia kuwa wazi kwa mawazo mapya kwasababu huweza
kutambua kuwa wanatengeneza ujuzi mpya na hivyo wataweza kupokea
mafunzo yako.
65
• Inaruhusu kutokuwa na mitindo. Mwalimu na mwanafunzi huweza
kujua vile mwingine anafikiria na kuhisi, hivyo basi kupeana fursa ya
kusaidia katika mahitaji ya kibinafsi.
• haitaji kiongozi mwenye ujuzi wa kuongea kwa watu wengi ili kufaulu.
Karibu kila mtu anaweza kufanya mafunzo ya kibinafsi.
• inamwezesha mwalimu kuamua kama mwanafunzi kwa hakika
anajifunza au la.
• kwa haraka huzalisha. Mmoja-kwa-Mmoja huanza polepole, ikiwa na
watu wachache wanaohusika. Wakati kila mmoja anazalisha uwezo wa
kuwapa vifaa watu wengi ili kuweza kushiriki imani yao si ya kifani.
Mafunzo ya kuzalisha ndilo tumaini letu la kulifikia kundi kubwa la
ulimwengu wetu na kutimiliza agizo kuu la Bwana wetu.
MADHUMUNI
Madhumuni ya nguvu za kushirika kwa Mmoja-kwa-Mmoja ni kujifunza na
kuweza kupitisha njia hii ya kushiriki imani yako kwa wengine na kuendelea
kuwapitishia wengineo.
LENGO
1. Kumsaidia mwanafunzi kupata maono ya kazi ya injili.
2. Kujenga ujasiri wa mwanafunzi katika nguvu za Roho mtakatifu na
uongozi wake katika kushuhudia.
3. Kumsaidia mwanafunzi katika kujifunza jinsi ya kushiriki ushuhuda
wake wa kibinafsi.
4. Kumuwezesha mwanafunzi kuwa mshuhuda wa Kristo kwa maneno na
kwa maisha.
5. Kumuimarisha kila mtu aliyetembelewa kwa mafunzo ya Mmoja-kwa-
Mmoja na kundi la maisha.
6. Kumuwezesha mwanafunzi kuweza kuwafundisha wengi kushuhudia na
kuyazalisha maisha yake kwa wengine.
7. Kuimarisha wanafunzi washuhuda wakutosha ili kuiweka wazi jumuiya
yote kwa injili yake Yesu Kristo.
66
JINSI YA KUCHAGUA MWANAFUNZI
1. Omba, muulize Mungu akuongoze kwa mtu wa chaguo lake.
2. Wape changamoto wale walio katika kundi lako la maisha.
3. Wafunze wale unaowaongoza kwa kristo.
4. Wafikirie marafiki zako kanisani mwenu.
5. Mwanaume humfunza mwanaume na mwanamke kumfunza
mwanamke.
UTAMPAJE MTU CHANGAMOTO YA KUFUNZWA
1. Ufanye mawasiliano ya kibinafsi.
2. Shiriki na mtu huyo nini maana ya Kushiriki Kwenye Nguvu, moja-
kwa-Mmoja (Tumia fomu ya “Kushiriki Kwenye Nguvu, Ni fursa”
mwisho wa somo la tano).
3. Shiriki na mtu huyo kwa nini mafunzo haya ni muhimu sana kwako na
vile wewe umefaidika kutoka kwa mafunzo haya.
4. Shiriki maono yako ya kuwa sehemu moja ya muhimu ya kuzidisha
kuufikia ulimwengu.
JINSI YA KUANZA
1. Mpe huyo mtu changamoto ya kujitoa kwa muda wa majuma sita.
Muelezee ya kuwa inahitajika kuwa na jukumu la kazi za kufanyia
nyumbani, kukutana kwa saa moja kila wiki ili kujadili somo, na
baadaye kuenda kwa agano la uinjilisti kila juma.
2. Jaribu kukamilisha vipindi vyako sita kwa majuma sita. Unapoanza,
panga tarehe ya kuja pamoja ili muziweke kwenye kalenda zenu.
WHEN TO MEET
1. You and your trainee can meet any time that is convenient for the two of
you and the people you are visiting.
2. Plan to meet at the same time each week for six consecutive weeks.
Adjust your schedule as needed to facilitate the evangelistic
appointment.
(Something is mixed up in this section please check with the English)
67
3. Labda mngetaka kukutana kanisani wakati mmoja kila juma pamoja na
wanafunzi na waalimu wengine kufanya mafunzo yenu ya Mmoja-kwa-
Mmoja.
UTARATIBU (Wakati utategemea na nafasi zenu)
12:45 jioni * Marudio ya somo la Mmoja-kwa-Mmoja
1:45 jioni * Wote kukutana pamoja
* Kupokea majina (kama mnakiongozi anaye
pangamaagano
* Kuomba pamoja
2:00 usiku * Kila timu (mwanafunzi na mwalimu) kwenda
kwa maagano yenu.
Manufaa ya kufunza pamoja na wengine.
a. Kuhimizana
b. Kuendeleza. Mnakuwa na wakati maalumu kwa kupangilia kila wiki.
c. Mnakuwa na jukumu la mmoja kwa mwingine mara kwa mara
d. Fursa zingine hutokea kama agano lenu linahairishwa.
e. Maombi ya kundi kwa kusaidiana.
MWONGOZO KWA MWALIMU
MWONGOZO MAHUSUSI
1. Andaa somo linalopaswa kabla ya kukutana na mwanafunzi.
2. Chunguza mambo ya kukamilisha kwa kila somo.
3. Kwa wakati wa kila kipindi mtatumia muda wa saa moja kukutana
makusudi ya:
* Kuyaelewa mafunzo
* kushiriki pamoja
* Kufanya mazoezi
* Kuomba
Halafu mtaenda kwa ziara ya kiuinjilisti (kawaida, ziaraitachukua muda
wa saa moja pamoja na muda wa kusafiri).
4. Panga ziaraya kiuinjilisti juma moja kabla. Omba ya kwamba
hakuna jambo litakalotatiza kuja kwenu pamoja baada ya kupanga.
Aina za ahadi/maagano
a. Mtembelee mtu ambaye ameshatembelea kanisa.
b. Tembelea mtu ambaye amewasiliana na kanisa, kama wazazi wa
watoto au vijana wanaojishuhulisha na huduma fulani kanisani.
68
c. Tembea Nyumba-kwa-Nyumba na nakala za maswali kwa majirani
iliyoandaliwa maalumu kwa kushiriki injili (ona mfano). Kumbuka
kujaza ripoti ya wageni na uipeane kwa kiongozi wa kundi la
maisha au msimamizi wa ziara.
d. Katika kipindi cha nne na cha sita utatembelea marafiki wenu wa
kibinafsi.
5. Mwisho wa kila matembezi ya kiuinjilisti, ombeni pamoja. Mshukuru
Bwana kwa yale ameyatenda na muwaombee wale mmewatembelea.
6. Peana “Cheti cha Kufaulu” mwisho wa kipindi cha sita. Inapostahili,
kupeanwa cheti hiki kifanywe kwenye kundi la maisha. Wale
wanaokamilisha mafunzo ya Misingi, Ukufunzi na Kushiriki wapewe
pongezi maalumu na mchungaji wakati wa ibada ya jumapili.
Mwongo wa jumla
1. Furahia wakati wenu pamoja; mchukue wakati wa kumsifu Mungu.
Uwe mwenye kupenda na wakusaidia kwa njia yoyote.
2. Uwe wazi kushiriki udhaifu wako lakini usisitize ukamilifu na
kutosheleza kwa Kristo (2 Wakorintho 12:8-10) Nyote mwajifunza
kumtumainia Mungu.
3. Muombee mwanafunzi wako kila wakati.
4. Uwe mvumulivu. Uwe mwenye kutia moyo.
5. Uwe mwenye msisimko. Tabia yako huambukiza.
6. Shiriki vile Mungu anafanya kazi ndani yako ili kukufanya kuwa
mshuhuda mwaminifu.
7. Jibu kwa shukrani wakati unapoona Mungu akifanya kazi maishani mwa
watu.
69
KUFAFANUA MTIRIRIKO WA NGUVU ZA MAISHA
JINSI YA KUELEZA MCHORO WA MTIRIRIKO WA
NGUVU ZA MAISHA
Kamilisha mchoro kwa kuandika maneno hapo chini wakati unapoeleza kila
alama ya mtiriko.
Mfululizo wa maisha yenye nguvu
1. Jumuiya. Wakati kanisa letu linapoifikia jumuiya na kushiriki nay
upendo wa Mungu, tunahitajika kuwavutia watu wapya kwa kanisa letu.
2. Vijana, ibada, shule ya jumapili na Huduma zengine, zote hupeana
fursaya kuwakaribisha watu wapya kushiriki kwa uhai wa kanisa.
Kupitia kwa kila moja ya huduma hizi, tutaweza kupata majina ya wale
wanaokuja.
3. Matembezi ya wageni. Mawasiliano yatafanywa kuwatembelea watu
wapya. Wale watakaotembelewa watajulishwa kwa wanachama wa
kundi, watafahamishwa huduma za kanisa letu, injili itashirikiwa
(ikiwezekana) na wakaribishwe kwa mafunzo ya kundi la Maisha na
mafundisho ya Mmoja-kwa-Mmoja.
Kundi Dogo + Mmoja-Kwa-Mmoja = Kikundi cha Uhai
Ja
mii
Misingi Ushirika
Vijana
Kuabudu
Huduma
Zingine
Ku
ku
nzw
a kw
a kion
go
zi
Kuin
gizw
a katika hu
dum
a
Ukufunzi
Kikundi cha Uhai Kundi Dogo
70
4. Kundi la Maisha. Kwa kila juma kwa saa moja, kundi la watu wapya
kukutana na wale walio waalimu wa mafunzo ya Mmoja-kwa-Mmoja,
kujenga urafiki katika misingi ya masomo ya Biblia kwa kifupi na
wakati wa maombi.
5. Mmoja-kwa-Mmoja. Huu ni wakati mzuri wa kujuana, masomo ya
Biblia, kutenda na maombi. Mwanamume anakutana na mwanamume
au mwanamke kukutana na mwanamke kila wiki wakati wao unaofaa.
6. Misingi Yenye Nguvu: Vipindi hivi vinne vya kusoma
vitawafahamisha Wakristo wapya na ukweli wa Biblia ulio wa muhimu
kwa kukua.
7. Ukufunzi Wenye Nguvu. Vipindi hivi tisa vya mafunzo vitajenga tabia
na mtindo wa maisha ndani ya Mkristo mchanga wakati anapotumia
yale aliyojifunza.
8. Kushiriki Kwenye Nguvu. Vipindi hivi sita vyamafunzo
vitakuwezesha kushiriki imani yako kwa ujasiri na kwa njia ya kiasili.
9. Kuwatambulisha vyena wanachama. Funzo hili fupi litakufahamisha
na viongozi wa kanisa letu na dhehebu letu, na kukuandaa kwa ubatizo
na uwanachama.
10. Kuwekwa kwa huduma. Baada ya kuandaliwa katika mtiririko wa
nguvu za maisha, sasa uko tayari kuwasaidia wengine kukua, kuna
sehemu nyingi za kuchagua kuanzia kwa zile ambazo umezikamilisha.
(k.m. Misingi Yenye Nguvu, Ukufunzi na Kushiriki).
71
RIPOTI YA MGENI/
MAWASILIANO
Ijazwe na irudishe papo hapo Sehemu ya huduma______________________ Tarehe ____________ Mnakili __________________________________________________ Jina_____________________________________________________ Anwani __________________________________________________ Simu (Nyumbani) _____________ Mahali(kazini) _____________ Umri ______
Mke/Mume ___________________________________________ Umri ______ Watoto 1._ ______________________________________ Umri ______
2. _______________________________________ Umri ______
3. _______________________________________ Umri ______
4. _______________________________________ Umri ______
Mgeni wa ______________________________________________________
Alitembelewa na _____________ wakiwa na ____________ Tarehe ________
Na maoni: ________________________________________________
________________________________________________________
________________________________________________________
________________________________________________________
________________________________________________________
________________________________________________________
________________________________________________________
________________________________________________________
________________________________________________________
72
73
Ch
eti c
ha
K
uh
itim
u
Hii
ni kuth
ibitis
ha k
wam
ba
_______________________________
Am
efa
ulu
ku
mali
za m
afu
nd
ish
o y
a
KU
SH
IRIK
I K
WE
NY
E N
GU
VU
_____________________
Ta
reh
e
__
___
___
___
___
___
___
___
__
__
__
__
M
wa
limu
74