Kanuni za kiroho za ushindi

Post on 27-May-2015

2.015 views 232 download

Transcript of Kanuni za kiroho za ushindi

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHOZAMAISHA YA USHINDIZA MAISHA YA USHINDI

Kijitonyama Lutheran ChurchKijitonyama Lutheran Church27th Nov – 04th Dec, 2011

Na Mwl Mgisa MtebeMwl. Mgisa Mtebe

0713 497 654

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHO

Kanuni za kiroho,Kanuni za kiroho,ni mambo ambayo yana‐y yathiri ulimwengu wa rohogna kusababisha mabadiliko kutokea katika ulimwengu

wa mwili.

KANUNI ZA KIROHOKanuni za kiroho, ni mambo ambayo tukiyatumia maishaniambayo, tukiyatumia maishani, yatasababisha Roho Mtakatifuyaliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu ndani yetu, zitakazotusaidia kuishi maishazitakazotusaidia kuishi maisha 

ya ushindi na mafanikio.y

KANUNI ZA KIROHO

Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,

kinachomwezesha mtu wakinachomwezesha mtu wa Mungu aishi maisha yaMungu, aishi maisha ya 

ushindi na mafanikio, katika ,kulitimiza kusudi la Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu yeye20 Atukuzwe Mungu, yeye awezaye kutenda mambo ya y yajabu mno (yasiyopimika) 

kuliko yote tunayo‐yawaza au t na o aombatunayoyaomba …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Mungu anaweza kutenda20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa y , (kiwango au kwa kipimo) cha Nguvu zake kinachotenda 

kazi ndani yetu.

KANUNI ZA KIROHOKuna vitu maalum 

vinavyosababisha kuzalishwa kwa Nguvu za Mungukwa Nguvu za Mungu

zinazohitajika ili kutuwezeshazinazohitajika ili kutuwezesha kuishi maisha ya ushindi na y

mafanikio duniani.Waefeso 3:20

KANUNI ZA KIROHOHivyo vitu maalum 

vinavyosababisha kuzalishwa kwa Nguvu za Mungu ilikwa Nguvu za Mungu ili tuishi maisha ya ushindituishi maisha ya ushindi, 

vinaitwa ‘KANUNI ZA KIROHO’.

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHO

Kanuni za kiroho ni mamboKanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia maishani y ymwetu, yatasababisha Roho 

Mtakatif a M ng ali e ndaniMtakatifu wa Mungu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Munguy , g gndani yetu, zitakazotusaidia kuishi 

i h hi di f ikimaisha ya ushindi na mafanikio.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUSiku zote kumbuka kwamba;

KunaUshirika – Partnership

Kati yaMungu & Binadamu

katika kutawala dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwambaHii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea , gsana kiwango cha Nguvu za 

ki h d k iMungu kinachotenda kazi ndani yakondani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Kuna baadhi ya mamboKuna baadhi  ya mambo

maishani mwetu, Mungu hawezi , gkuyafanya, ikiwa hatutengeneza h li hau hatutazalisha Nguvu za Munguza kutosha ndani yetuza kutosha, ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …Kwahiyo …***…  ikiwa tutatengeneza au gtutazalisha Nguvu nyingi za 

Mungu ndani yetu,  tutauwezesha mkono wa Mungututauwezesha mkono wa Mungu, 

kufanya mambo mengi na y gmakubwa, aliyokusudia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini …Lakini …***…  ikiwa tutatengeneza au gtutazalisha Nguvu kidogo za Mungu ndani yetu, basi 

tutauzuia mkono wa Mungututauzuia mkono wa Mungu, kufanya mambo mengi na y gmakubwa aliyokusudia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (1);Kifo cha Yakobo na 

Ukombozi wa Petro gerezanidMatendo 12:1‐19

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Kifo cha Yakobo na Ukombozi wa Petro

Yakobo alipokamatwa, Kanisa h k f bi t k khawakufanya maombi, motokea yake 

akachinjwa. Lakini Petro jalipokamatwa, kanisa likaomba kwa bidii na Mungu akamkomboa Petrobidii, na Mungu akamkomboa Petro 

kutoka gerezani.Unadhani Kwanini?

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Kifo cha Yakobo na Ukombozi wa PetroSi kwamba Mungu anampenda Petro k lik Y k b B li hii i hkuliko Yakobo. Bali hii inaonyesha wazi kwamba, Utendaji kazi wa j

mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvuunategemea sana kiwango cha Nguvu

za Mungu unachozalisha (kinachotenda kazi) ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (2);Ushindi wa Joshua vitani

Kwa maombi ya Musa MlimaniKutoka 17:8‐15

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Ushindi wa Joshua, Maombi ya Musa, yMusa alikunyanyua mikono yake kwa 

bi J h j hi l I limaombi, Joshua na jeshi la Israeli walikuwa wakishinda vitani, Lakini Musa alichoshusha mikono (kuacha kuomba) Joshua na jeshi la Israelikuomba) Joshua na jeshi la Israeli 

walikuwa wakipigwa (wakishindwa).Unadhani Kwanini?

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Ushindi wa Joshua, Maombi ya Musa, yHii haikuwa bahati nzuri au mbaya; Bali hii i h i k b Ut d jihii inaonyesha wazi kwamba, Utendaji kazi wa mkono wa Mungu maishani g

mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu unachozalishaNguvu za Mungu unachozalisha (kinachotenda kazi) ndani yako.

Unadhani Kwanini?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (3);Maombi ya Musa katika 

kumruhusu Mungu kufungua bahari ya Shamubahari ya ShamuKutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28

Kutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28Fimbo ya Musa na Bahari ya Shamuy yMungu hakuifungua bahari akasubiri 

k M li h fi b kmpaka Musa aliponyoosha fimbo yake (maombi) baharini (tatizo lake); ndipo( ) ( ) pMungu akasaba‐ bisha upepo mkali 

uliochana bahari na kufanya ukuta 2 zauliochana bahari na kufanya ukuta 2 za maji. Israeli wakapita nchi kavu. 

Unadhani Kwanini?

Kutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28Fimbo ya Musa na Bahari ya Shamuy yMungu hakuifunga bahari, akasubiri  

k M li h t fi bmpaka Musa aliponyoosha tena fimbo yake (maombi) baharini (tatizo lake); y ( ) ( )ndipo Mungu akasababisha upepo 

kukatika na maji ya bahari yakarudi nakukatika na maji ya bahari yakarudi na kuwaangamiza jeshi lote la Misri.

Unadhani Kwanini?

Kutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28Ushindi wa Joshua, Maombi ya Musa, yHii haikuwa bahati nzuri au mbaya; Bali hii i h i k b Ut d jihii inaonyesha wazi kwamba, Utendaji kazi wa mkono wa Mungu maishani g

mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu unachozalishaNguvu za Mungu unachozalisha (kinachotenda kazi) ndani yako.

Unadhani Kwanini?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni KwasababuNi Kwasababu …Kwahiyo Utendaji wa mkono waKwahiyo Utendaji wa mkono wa 

Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotendaNguvu za Mungu kinachotenda 

kazi ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni Kwasababu …Mungu ameweka ushirika fulani kati 

k i i bi d K hi Kyake na sisi binadamu. Kwahiyo Kuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, yMungu hawezi kuyafanya, ikiwa hatutatengeneza au hatutazalishahatutatengeneza au hatutazalisha 

Nguvu za Mungu za kutosha, Kutokea ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

kwahiyo …yMungu anaweza kufanya kila kitu pasipo msaada wa binadamu, lakini 

alichagua tu kufanya kazi kwaalichagua tu, kufanya kazi kwa ushirika na binadamu; kwahiyo, 

kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na binadamu katika kutawala duniabinadamu katika kutawala dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo basiHivyo basi …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUSiku zote kumbuka kwamba;

KunaUshirika – Partnership

Kati yaMungu & Binadamu

katika kutawala dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 3:91Wakorintho 3:99 Kwa maana sisi tu watenda kazi 

pamoja na Mungu. (kwa ushindi na mafanikio)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28‐30

28 Na kwahiyo basi, katika mambo yote, Mungu hufanya 

k i j lkazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatiawampendao, katika kuwapatia 

mema. (ushindi, faida na mafanikio)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26,28,

26 Tufanye mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu wakatawale

d i t t li i b jdunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso wa duniaya uso wa dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26‐18

28 Mungu akaumba Mwanaume na Mwanamke, akawaweka k tik b t i d ikatika bustani ya dunia, 

akawaambia zaeni mkaongezekeakawaambia, zaeni mkaongezeke na kuitawala (kuitiisha) dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUZaburi 115:16

Mbingu ni mbingu za Bwana, bali nchi amewapa wanadamunchi amewapa wanadamu

Isaya 45:11

k h b i k i ik… kwa habari ya kazi za mikono yangu haya niagizeniyangu, haya niagizeni 

(niamuruni)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐1919 Kwa maana nitawapa funguo 

za Ufalme, na mambo mtakayoyafunga (ninyi) ndipomtakayoyafunga (ninyi) ndipo 

yatakuwa yamefungway y g(mbinguni au rohoni) …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐1919 … na mambo 

mtakayoyafungua (ninyi) ndipo yatakuwa yamefunguliwayatakuwa yamefunguliwa

(mbinguni au katika ulimwengu ( g gwa roho)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐19y18 Na milango ya kuzimu 

haitaweza kulishinda kanisalangu nitakalolijenga  (kwa mfumo huu).     

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu 

kinachotenda kazi ndani yako yaanikinachotenda kazi ndani yako, yaani kiwango cha maombi unachofanya 

maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 3:20

Kiwango cha Nguvu za Mungu kinahusika sana katika kuleta 

mabadiliko ana ohitajika katikamabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na kishaulimwengu wa roho na kisha katika ulimwengu wa mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

MaombiMaombiNi njia mojawapo inayofungulia j j p y gnguvu za Mungu katika maisha 

ya mtu wa Mungu, ili kumwezesha mtu huyo kuishikumwezesha mtu huyo kuishi maisha ya ushindi na mafanikio y

katika mambo yake yote.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …***… ikiwa tutaongeza kiwango…  ikiwa tutaongeza kiwango cha maombi maishani mwetu, 

tutatengeneza au tutazalisha Nguvunyingi za Mungu ndani yetu nanyingi za Mungu ndani yetu,  na kuuwezesha mkono wa Mungu 

kufanya mambo mengi.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini piaLakini pia …***… tukipunguza kiwango cha…  tukipunguza kiwango cha 

maombi maishani mwetu, tutashindwa kutengeneza au 

kuzalisha Nguvu nyingi za Mungukuzalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani yetu,  na kuuzuia mkono wa Mungu kufanya mambo mengi.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu 

kinachotenda kazi ndani yako yaanikinachotenda kazi ndani yako, yaani kiwango cha maombi unachofanya 

maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu 

kinachotenda kazi ndani yako yaanikinachotenda kazi ndani yako, yaani kiwango cha maombi unachofanya 

maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Mungu anaweza kutenda mambo20 Mungu anaweza kutenda mambo ya ajabu mno (yasiyopimika) kuliko 

yote tunayo‐yawaza au tunayoyaomba, kwa kadiri (kwatunayoyaomba, kwa kadiri (kwa 

kiwango au kipimo) cha nguvu  zakeki h d k i d ikinachotenda kazi ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHONi mambo ambayo, tukiyawekaNi mambo ambayo, tukiyaweka 

kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetuMtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

KANUNI ZA KIROHO

Moja ya Kanuni muhimu sana, ni kuwa na Ushirika mzuri na Roho Mtakatifumzuri na Roho Mtakatifu, kitu ambacho kitasababishakitu ambacho kitasababisha tutembee na kiwango cha g

kutosha cha Nguvu za Mungu na kutufanya washindi.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Aina mbili za Nguvu;Aina mbili za Nguvu;Nguvu iliyopoNguvu iliyopo 

‐ (Potential Energy)(Potential Energy)

N i t d k iNguvu inayotenda kazi(Kinetic Energy)‐ (Kinetic Energy)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Aina mbili za Nguvu;Aina mbili za Nguvu;

1. 2.Nguvu iliyopo Itendayo kazi

(Potential Energy)     (Kinetic Energy)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni za sayansi Kupata MwangaKanuni za sayansi     Kupata Mwanga    Taa (Bulb) + Waya (Wire)Taa (Bulb)  +  Waya (Wire)

Nguvu iliyopo Itendayo kazi(P t ti l E ) (Ki ti E )(Potential Energy)     (Kinetic Energy)

Aina mbili za Nguvu;Aina mbili za Nguvu;

Kanuni za SayansiKanuni za Sayansi                 Taa (Bulb)Taa (Bulb)

WayaWaya              

Nguvu iliyopo Itendayo kazi(Potential Energy)     (Kinetic Energy)

Ziunganishwe  (connected)ipasavyo  (sawasawa)  kwa

Kanuni za SayansiKanuni za SayansiTaa (Bulb)Taa (Bulb)

WayaWaya              (Wire)( )

Betrii (Battery) 

Ziunganishwe (connected)

Kanuni za Sayansiipasavyo (sawasawa)  kwa

Kanuni za Sayansi

MwangaMwangaWaya (Light)Waya                                    (Light)(Wire)( )

Betrii (Battery) 

NGUVU ZA UMEMENGUVU ZA UMEME

Aina mbili za Nguvu;Aina mbili za Nguvu;

Nguvu iliyopo Itendayo kazi(Potential Energy)     (Kinetic Energy)

KANUNI ZA KIROHOKanuni za kiroho, ni mambo ambayo tukiyatumia maishaniambayo, tukiyatumia maishani, yatasababisha Roho Mtakatifuyaliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu ndani yetu, zitakazotusaidia kuishi maishazitakazotusaidia kuishi maisha 

ya ushindi na mafanikio.y

NGUVU ZA MUNGUNGUVU ZA MUNGU

Kanuni za KirohoKanuni za Kiroho                   Neno (Bulb)Neno (Bulb)

MaombiMaombi(Wire)( )

Roho Mtakatifu (Battery)  

Aina mbili za Nguvu za MunguAina mbili za Nguvu za Mungu

Kanuni za Kiroho (Connected)Kanuni za Kiroho (Connected)      Neno (Bulb)Neno (Bulb)

MaombiMaombi(Wire)( )

Roho Mtakatifu (Battery)  

Aina mbili za Nguvu za MunguAina mbili za Nguvu za Mungu

Kanuni za Kiroho (Connected)Kanuni za Kiroho (Connected)      Nuru (light)Nuru (light)

MaombiMaombi(Wire)( )

Roho Mtakatifu (Battery)  

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni za Kiroho (Connected);Kanuni za Kiroho (Connected);Ushindi, Afya,nk                     Nuru ya , y , y(Matendo)                            Ulimwengu

Roho Mtakatifu Nguvu za RohoRoho Mtakatifu       Nguvu za Roho(Potential Energy)            (Kinetic Energy)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni jambo moja kuwa na TaaNi jambo moja kuwa na Taa,(bulb) na ni jambo jingine kuwa(bulb) na ni jambo jingine kuwana Mwanga wa (Nuru ya) hiyona Mwanga wa (Nuru ya) hiyoTaa (bulb). Pasipo nguvu za ( ) p gMungu, utabaki taa (bulb) tu, isiyowaka (isiyo na nuru)

Mathayo 5:14‐16Mathayo 5:14 16

14‘‘Ninyi ni nuru ya ulimwengu Mji14 Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji uliojengwa kilimani hauwezi kufichika (kwasababu ya taa zake) ... 16 Vivyo hivyo na ninyi, nuru yenu (ushindi,hivyo na ninyi, nuru yenu (ushindi, mafanikio, nk) na viangaze mbele ya t ili t k t dwatu, ili wapate kuona matendo yenu 

mema wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu anataka tuwe tofauti!Mungu anataka, tuwe tofauti!Kwamba …Kwamba …

Katikati ya giza, sisi tuwe nuru,Katikati ya kuanguka, sisi tusianguke,Katikati ya kufeli, sisi tusifeli, tufaulu,K tik ti h i i t t f idKatikati ya hasara, sisi tupate faida,

Mathayo 5:14‐16Mathayo 5:14 16

Giza Vs NuruGiza Vs   NuruKufeli – KufauluKufeli     KufauluHasara   – Faida 

Kushindwa   – Ushindi Magonjwa   – Afya/UponyajiU i/U H ki/Ut k tifUasi/Uovu   – Haki/Utakatifu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHONi mambo ambayo, tukiyawekaNi mambo ambayo, tukiyaweka 

kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetuMtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

KANUNI ZA KIROHO

Ni mapenzi ya Mungu tuishi maisha ya ushindi na 

mafanikio ili kutimiza kusudimafanikio ili kutimiza kusudi la Mungu na kuishi maishala Mungu na kuishi maisha 

mazuri kama chombo maalum cha kumsifu na kumwabudu 

Mungu.

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kila kitu kilichozaliwa na 

Mungu, huushinda ulimwengu; h k dik k hi dNa huku ndiko kushinda 

kuushindako ulimwengukuushindako ulimwengu, ni hiyo IMANI yetu’ni hiyo IMANI yetu

KANUNI ZA KIROHO3Yohana 1:2

‘Mpenzi, kama vile f iki k tik hunavyofanikiwa katika roho 

yako (katika mambo yako yayako (katika mambo yako ya kiroho), ninaomba pia ufanikiwe ) p

katika mambo yako yote          (ya kimwili)’

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37

‘Na katika mambo yote, tunashinda na zaidi ya kushindatunashinda na zaidi ya kushindakupitia Kristo Yesu aliyetupenda’kupitia Kristo Yesu aliyetupenda(katika yote, sisi ni washindi na(katika yote, sisi ni washindi na zaidi ya washindi, kupitia Yesu 

Kristo aliyetupenda)

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37

Pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi waMungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, lakini badoYesu msalabani, lakini bado 

watu wengi tunaishi maisha ya kushindwa.

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37

Pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi waMungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, lakini badoYesu msalabani, lakini bado watu wengi tuna mamboambayo yametushinda au 

t hi dyanatushinda.

KANUNI ZA KIROHO

Zipo sababu nyingi, Lakini moja ya sababu kubwa, 

ni kutokuwa na Ushirika mzuri na Roho Mtakatifumzuri na Roho Mtakatifu, 

kitu ambacho kinasababishakitu ambacho kinasababisha tutembee na upungufu wa p gNguvu za Mungu maishani.

KANUNI ZA KIROHO

Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,

kinachosababisha mtu wakinachosababisha mtu wa Mungu aishi maisha yaMungu, aishi maisha ya 

ushindi na mafanikio, katika ,kulitimiza kusudi la Mungu.

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Kwahiyo, kusudi la Mungu ni a yo, usud a u gukumwezesha mwanadamu 

k l dkuitawala dunia pamoja na Mungu, ili mwanadamu awe chombo kizuriili mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada, kwasababu ana maisha 

mazuri duniani …(M 1 26 28)(Mwanzo 1:26‐28)

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3Zaburi 22:3Wewe U Mtakatifu naweWewe U Mtakatifu, nawe“UNAKETI” juu ya sifa za Israelj y

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3Zaburi 22:3Wewe U Mtakatifu naweWewe U Mtakatifu, nawe“UNAKETI” juu ya sifa za Israelj y

“Inhabit”                 “Unaishi”Inhabit Unaishi

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zab 22:3Zab 22:3IDABA ndio kitu cha kwanzaIDABA ndio kitu cha kwanza 

kabisa katika moyo wayMungu, kwasababu

MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

KUSUDI LA MUNGUNi Kanisa liweze kulimiliki naKutawala dunia na mazingira

yake ili binadamu aweze kuishiyake, ili binadamu aweze kuishimaisha mazuri na kuwa chombo

kizuri cha kumsifu nakumwabudu Mungu aliye juukumwabudu Mungu aliye juu.

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ibada nzuri hutoka katika moyoIbada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa sana na mazingira mazurisana na mazingira mazuri.

Kumbukumbu 8:6‐18Kumbukumbu 8:6‐18 

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mazingira yakitibuka, maishaa g a ya bu a, a s ayanatibuka, na maisha yakitibuka, b d k b kibada kwa Mungu pia, inatibuka.Hivyo Shetani anachotafuta niHivyo, Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingirayake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka dunianianayoitamani sana kutoka duniani. 

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

MMunguZab 22:3

Ibada NchiKumb 8:6‐18Yoh 4:23‐24

Adam

Zab 150:6

KARAMA ZA ROHO MTAKATIFU 

Kutoka 31:1‐5Bwana akamwambia Musa, kwajili f di b tajili ya ufundi wa vyombo vyotevya hekalu, nimempaka mafutay p f(uwezo) Bezaleli mwana wa Huri, kwa ajili ya kazi zote za kuchorakwa ajili ya kazi zote za kuchora, kuchonga, kukata na ufundi wote

f dh dh h bwa fedha na dhahabu.

KANUNI ZA KIROHO

Kwanini TunaongeleaKwanini TunaongeleaUshindi?Ushindi?

KANUNI ZA KIROHO

Kwanini Ushindi?

Ni kwasababu; Kuna mashindanoKuna mapambanoKuna upinzaniKuna vita na majaribu

Kuna Vita na MapambanoKuna mapambano katika familiaKuna mapambano katika masomoKuna mapambano katika kazi zetuKuna vita katika biashara + miradi

b k ik fKuna mapambano katika afyaK b k tik k iKuna mapambano katika kanisa

Kwanini Ushindi?Waefeso 6:12

“Kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita ya kimwili)damu na nyama (si vita ya kimwili), bali ni vita juu ya falme za giza, j y g ,

mamlaka za giza, wakuu wa giza, na majeshi ya pepo wabaya katika 

ulimwengu wa roho”ulimwengu wa roho

Kwanini Ushindi?

Vita na Mapambano Vyatoka wapi?Ufunuo 12:7‐17

Kwanini Ushindi?Ufunuo 12:7‐17

Kulikuwa na vita mbinguni, M l ik Mk Mik li jMalaika Mkuu Mikaeli pamoja na malaika zake, wakapigana na yulemalaika zake, wakapigana na yule joka aitwaye Ibilisi na Shetani 

pamoja na malaika zake;

Kwanini Ushindi?Ufunuo 12:7‐17

Yule joka (shetani), hakushinda, b li li i l ikbali alipigwa na malaika wa Mungu, akaangushwa kutokaMungu, akaangushwa kutoka mbinguni, akatupwa duniani, yeye pamoja na malaika zake 

li i jwalioasi pamoja naye. 

Kwanini Ushindi?Ufunuo 12:17

Huku duniani, ibilisi shetani kij h i i iakijawa hasira nyingi na 

ghadhabu kali, aliazimu kufanyaghadhabu kali, aliazimu kufanya vita na watoto wa Mungu, akijua 

ana wakati mchache.

Kwanini Ushindi?Waefeso 6:12

“Kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita ya kimwili)damu na nyama (si vita ya kimwili), bali ni vita juu ya falme za giza, j y g ,

mamlaka za giza, wakuu wa giza, na majeshi ya pepo wabaya katika 

ulimwengu wa roho”ulimwengu wa roho

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 10:3‐5

‘Ingawa tunaenenda kimwili, l ki i h t f i it k ji ilakini hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili, bali tunapambana na elimumwili, bali tunapambana na elimuzilizo kinyume na elimu ya Kristo, tukizi‐teka nyara fikra za watu, ili 

i t k tii K i t ’zipate kumtii Kristo’

KANUNI ZA KIROHO

T lTunaongeleaU hi di k b b kUshindi kwasababu kunamashindano ya kiimanimashindano ya kiimaniKatika maisha yetuKatika maisha yetu.

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 16:33‘Ulimwenguni mnayo dhiki, lakini jipeni moyo kwasababu i i i hi d li ’mimi nimeushinda ulimwengu’.

KWANINI ROHO MTAKATIFUKwa jinsi Mungu 

alivyoutengeneza ulimwengualivyoutengeneza ulimwengu huu, binadamu hatawezahuu, binadamu hataweza kusababisha mabadiliko ya 

ushindi maishani mwake, pasipo k f hi k dkufanya hivyo kwa msaada wa 

nguvu fulani za kirohonguvu fulani za kiroho.

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano;

Uumbaji wa vitu vya DuniaMwanzo 1:1‐5, 14‐19

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

1 H M li b1 Hapo mwanzo, Mungu aliumbambingu na nchi; 2 na Duniambingu na nchi; 2 na Dunia

ilikuwa haina umbo tena ilikuwatupu, giza lilikuwa juu ya uso waili di ji R hvilindi vya maji, naye Roho waMungu alitanda juu ya majiMungu alitanda juu ya maji. 

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

3 Mungu akasema “Iwepo nuru’’3 Mungu akasema,  Iwepo nuru  nayo nuru ikawepo. 4 Munguakaona ya kuwa nuru ni njema, di M k i hndipo Mungu akatenganisha nuru

na gizana giza. 

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

5 Mungu akaiita nuru “mchana’’5 Mungu akaiita nuru mchana  na giza akaliita “usiku.’’ Ikawajioni ikawa asubuhi, siku ya

kkwanza. 

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

14 Mungu akasema “Iwepo14 Mungu akasema,  Iwepo mianga kwenye nafasi ya anga iliitenganishe mchana na usiku, 

i l k b li hnayo iwe alama ya kutambulishamajira mbali mbali siku na miakamajira mbali mbali, siku na miaka, 

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

15 nayo iwe ndiyo miangay y gkwenye nafasi ya anga itoe nurujuu ya dunia.’’ Ikawa hivyo. 16Mungu akafanya mianga miwiliMungu akafanya mianga miwili

mikubwa … 

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

16 … Mwanga mkubwa utawalegmchana (Jua) na mwanga mdogo

utawale usiku (Mwezi). PiaMungu akafanya na nyota zaMungu akafanya na nyota za

mbinguni.g

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

17 Mungu akaiweka hiyo mianga17 Mungu akaiweka hiyo miangamikubwa miwili (yaani Jua na(yMwezi) katika anga ili iangaze

dunia. 18 … Mungu akaona kuwahili nalo ni jema 19 Ikawa jionihili nalo ni jema. 19 Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya nne., y

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Kumbe Nuru ya UlimwenguniKumbe Nuru ya Ulimwenguni, haitoki kwenye jua na mwezi, y j ,

kwasababu Nuru ilikuwepo tangusiku ya kwanza wakati jua na

mwezi viliumbwa baadaye kabisamwezi viliumbwa baadaye kabisakatika siku ya nne!y

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Kumbe jua si chanzo chaKumbe jua si chanzo cha Mwanga au Nuru inayoangazag y g

ulimwenguni, bali jua ni“kibebeo” tu cha kuleta mwangaduniani lakini jua si chanzo chaduniani, lakini jua si chanzo cha Nuru inayoangaza duniani.y g

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

N J MNuru Jua Mwanga(Y /N )(Yesu/Neno)Y h 1 7 9Yoh 1:7‐9

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Kwa lugha rahisi;Kwa lugha rahisi;

Mwanga au Nuru inayoangazag y gduniani, ina vyanzo viwili; kimojani kipo katika ulimwengu wamwili na kingine kipo katikamwili na kingine kipo katika

ulimwengu wa roho.g

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Chanzo cha Nuru cha rohoniChanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha p y

Nuru cha mwilini kuwepo.Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzokimwili kinatawaliwa na chanzo

cha Nuru cha kiroho. 

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Hii ina maana kwamba;Hii ina maana kwamba;

Kanuni za Kiroho zilikuwepo kablapya Kanuni za Kimwilini kuwepo.Kwahiyo, Kanuni za Kiroho ndizozinazotawala Kanuni za Kimwili zazinazotawala Kanuni za Kimwili za

Ulimwengu huu.g

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Hii ina maana kwamba;Hii ina maana kwamba;

Hakuna kitu kinachofanyika katikayUlimwengu wa mwili, mpakakimefanyika kwanza katika

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa roho.

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Chanzo cha Nuru cha rohoniChanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha p y

Nuru cha mwilini kuwepo.Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzokimwili kinatawaliwa na chanzo

cha Nuru cha kiroho. 

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 5:1212 Kisha Yesu akasema nao tenak bi “Mi i i Nakawaambia, “Mimi ni Nuru ya

ulimwengu. Mtu ye yote akinifuatag y yhatatembea gizani kamwe, bali

k i ”atakuwa na nuru ya uzima.”

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 3:16‐2019 Hii ndiyo hukumu kwamba: Nurui k j li i timekuja ulimwenguni, nao watuwakapenda giza kuliko Nuru kwap gsababu matendo yao ni maovu.

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

N J MNuru Jua Mwanga(Y /N )(Yesu/Neno)Y h 1 7 9Yoh 1:7‐9

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:1‐4“ h i hi k k“Mtu hataishi kwa mkate tu, b li k kil N li k lbali kwa kila Neno litokalok tik ki h B ”katika kinywa cha Bwana”.

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Mk AfNeno Mkate Afya

KANUNI ZA KIROHOLuka 4:1‐4

Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika mkatetunaokula tu bali kwa katikatunaokula tu, bali kwa katika

Neno litokalo katika kinywa chaNeno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.

KANUNI ZA KIROHOLuka 4:1‐4

Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika Dawaanazotumia tu bali kwa katikaanazotumia tu, bali kwa katikaNeno litokalo katika kinywa chaNeno litokalo katika kinywa cha 

Bwana Mungu.

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N D AfNeno Dawa Afya

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N N b Uli iNeno Nyumba Ulinzi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Ki d U i i iNeno Kitanda Usingizi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Ki b AkiliNeno Kitabu Akili

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N P U dNeno Pete            Upendo

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Ch i K iNeno Cheti Kazi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Aji M f ikiNeno Ajira Mafanikio

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Mistari hii inatuonyesha kwamba, k b k k i i ikumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kulikokiroho, zilizo juu sana kuliko 

kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa 

ki ili k i kkimwili na kanuni zake.

ULIMWENGU WA ROHOWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya kanuni za kiroho

katika maisha yao watawekakatika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi ykatika maisha yanayotimiza 

kanuni za kiroho.   

KANUNI ZA KIROHOKwa lugha rahisi;Waebrania 11:3   

“Vitu vinavyoonekana, ili b k it i iviliumbwa kwa vitu visivyo 

dhahiri (au vitu visivyo wazi wazidhahiri (au vitu visivyo wazi waziau vitu vinavyoonekana)”

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Vitu vinavyoonekana,Vitu vinavyoonekana, vinatawaliwa na vitu visivyoonekana;

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Mambo ya Ulimwengu wa mwiliMambo ya Ulimwengu wa mwiliyanatawaliwa na mambo ya 

ulimwengu wa roho; 

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Kanuni za kimwili (NaturalKanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual 

P i i l )Principles).

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:1‐4“ h i hi k k“Mtu hataishi kwa mkate tu, 

b li k kil N li k l kbali kwa kila Neno litokalo kwaBwana”Bwana .

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Mk AfNeno Mkate Afya

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Mistari hii inatuonyesha kwamba, k b k k i i ikumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kulikokiroho, zilizo juu sana kuliko 

kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa 

ki ili k i kkimwili na kanuni zake.

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Kanuni za kimwili (NaturalKanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual 

P i i l )Principles).

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

i k ( ki ili) ivinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vituvya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) y ( y )

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

KWANINI ROHO MTAKATIFUKwa jinsi Mungu 

alivyoutengeneza ulimwengualivyoutengeneza ulimwengu huu, binadamu hatawezahuu, binadamu hataweza kusababisha mabadiliko ya 

ushindi maishani mwake, pasipo k f hi k dkufanya hivyo kwa msaada wa 

nguvu fulani za kirohonguvu fulani za kiroho.

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4            733

Milele

33                30      3 ½             3 ½   3 ½ 

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4            733

Milele

33                30      3 ½             3 ½   3 ½ 

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Ulimwengu wa Mwili

Torati na Manabii Kuzaliwa Injili

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo Kalvari Kanisa Sasa

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4   7

33

Milele

33               30      3 ½             3 ½   3 ½ 

600                        InjiliUlimwengu wa Roho 2000 Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho 2000                                                                                           Kanisa Dhiki700

Ulimwengu wa Mwili(4) Daniel  7:13 – 14, 27 (5) Ufunuo 20:11 – 15

(3) Isaya 9: 6

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4   7

33

Milele

33               30      3 ½             3 ½   3 ½ 

600                        InjiliUlimwengu wa Roho 2000 Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho 2000                                                                                           Kanisa Dhiki700

Ulimwengu wa Mwili(4) Daniel  7:13 – 14, 27 (5) Ufunuo 20:11 – 15

(3) Isaya 9: 6

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

i k ( ki ili) ivinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vituvya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) y ( y )

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

KANUNI ZAKIROHOUlimwengu wa roho

fKwa Mfano M bi N bii EliMaombi ya Nabii Eliya

Yakobo 5:17 18;Yakobo 5:17‐18;1Wafalme 17‐18;1Wafalme 17 18;

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Eliya alikuwa binadamu tu kama sisiEliya alikuwa binadamu tu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga , f g

mvua, na Mungu alimsikia, na bi ik f ik ( kimbingu zikafungika na mvua (ya ki‐mwilini) haikunyesha juu ya nchi, ) y j y ,kwa  muda wa  miaka 3 na nusu.

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Japo kulikuwa na kanuni zote zaJapo kulikuwa na kanuni zote za kisayansi za mvua kunyesha, lakini y y ,

Eliya, kwa njia ya maombi, alikwenda h i k thi i (tib ) k irohoni, akaathiri (tibua) kanuni 

zinazotawala mvua mwili, na ndio ,maana mvua haikunyesha.

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Baada ya miaka mitatu na nusu nchiBaada ya miaka mitatu na nusu, nchi yote ilikuwa kavu kabisa na misitu y

yote imepukutika; kwahiyo h k k k i k t hhakukuwa na kanuni za kutosha 

kuruhusu mvua kunyesha.y

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Eliya akaomba tena kwa bidii iliEliya akaomba tena kwa bidii, ili kuifungua mvua kutoka katikaf guliwengu wa roho, na Mungu 

li iki bi ik f kalimsikia, na mbingu zikafunguka na mvua (ya ki‐mwilini) ikanyesha na (y ) y

nchi ikazaa matunda yake.

MAANA YA KUOMBAKuomba, ni namna ya mtu, 

kwenda katika ulimwengu wakwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Munguroho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo, i k l b dilik k ikitakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwiliulimwengu huu wa mwili.

Mabadiliko gani hayo?g yKwa Mfano;

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri Kazi nzuriMasomo mazuri,, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

i S ik li i T if i N hinzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watunzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:30‐45Lakini; 

Si maombi pekeef t k b kyanayofanya tupokee baraka za 

Mungu katika maishani yetuMungu katika maishani yetu.

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:30‐45Bali ni maombi pamoja na kanuni zingine za kiroho

zilizoambatanishwa na maombizilizoambatanishwa na maombi ndiyo zilizofanya Waisraeli ndiyo ili ofanya Waisraeli

wapokee ile baraka ya mvua …

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:30‐45

… kutoka kwa rohoni japo k lik h k k ikulikuwa hakuna kanuni za 

kimwili za kutosha za kuruhusukimwili za kutosha za kuruhusu mvua kunyesha.y

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Eliya akawakusanya Waisraeli wote, akaijenga madhabahu ya Bwanaakaijenga madhabahu ya Bwana upya, akaweka sadaka ya ng’ombe juu ya madhabahu, na akawataka wamwage maji pipa 12 juu yakewamwage maji pipa 12 juu yake, 

kama yalivyo mawe 12 ya madhabahu na kabila 12 za Israeli.

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

1 Madhabahu Ibada1. Madhabahu – Ibada(Kusifu na Kuabudu)(Kusifu na Kuabudu)

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

1 Madhabahu Ibada1. Madhabahu – Ibada(Kusifu na Kuabudu)(Kusifu na Kuabudu)Zaburi 100:1‐5Zaburi 22:3

Yohana 4:23‐24

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

2 Ng’ombe Sadaka2.   Ng’ombe – Sadaka(Zaka)(Zaka)

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

2 Ng’ombe Sadaka2.   Ng’ombe – Sadaka(Zaka)(Zaka)

Walawi 27:30‐31Malaki 3:7‐12

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

3 Pipa 12 za Maji Sadaka3.   Pipa 12 za Maji – Sadaka(Dhabihu)(Dhabihu)

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

3 Pipa 12 za Maji Sadaka3.   Pipa 12 za Maji – Sadaka(Dhabihu)(Dhabihu)

Malaki 3:9‐122Wakorintho 9:6‐13

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

4 Maombi ya Kuumba Mahitaji4. Maombi ya Kuumba ‐ Mahitaji(Kusababisha vitokee)(Kusababisha vitokee)

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

4 Maombi ya Kuumba Mahitaji4. Maombi ya Kuumba ‐ Mahitaji(Kusababisha vitokee)(Kusababisha vitokee)

Mathayo 7:7‐11yWafilipi 4:6‐7Isaya 43:26

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

5 Neno la Mungu Ahadi5.  Neno la Mungu ‐ Ahadi(Mungu huangalia Neno)(Mungu huangalia Neno)

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

5 Neno la Mungu Ahadi5.  Neno la Mungu ‐ Ahadi(Neno lina Nguvu ya Kuumba)(Neno lina Nguvu ya Kuumba)

Waebrania 11:3Waebrania 4:12Yeremia 1:12

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

6 Kuangamiza Ma Baali Toba6.   Kuangamiza Ma‐Baali ‐ Toba (Kuondoa kinachozuia)(Kuondoa kinachozuia)

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

6 Kuangamiza Ma Baali Toba6.   Kuangamiza Ma‐Baali ‐ Toba (Kuondoa kinachozuia)(Kuondoa kinachozuia)Kumbukumbu 23:14Yohana 11:39‐40

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

7 Maombi ya Kufungulia Vita7.   Maombi ya Kufungulia ‐ Vita (Kutelemsha baraka)(Kutelemsha baraka)

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

7 Maombi ya Kufungulia Vita7.   Maombi ya Kufungulia ‐ Vita (Kutelemsha baraka)(Kutelemsha baraka)Mathayo 16:19,18yYakobo 5:17‐18,16

NGUVU YA MAOMBI

Yakobo 5:18;

MATOKEO:MATOKEO:Ushindi ‐ Nchi kuzaa matunda

(Kufaidi mema ya nchi)

Kanuni za Kiroho (1Fal 18:30‐45)

1. Kusifu na Kuabudu (Zab 100:4‐5)2. Sadaka ya Zaka (Malaki 3:7‐12)3 S d k Dh bih (2K 9 6 11)3. Sadaka ya Dhabihu (2Kor 9:6‐11)4 Maombi ya Mahitaji (Fil 4:6‐7)4. Maombi ya Mahitaji (Fil 4:6‐7)5. Neno la Mungu (Yer 1:12)g ( )6. Maombi ya Toba (Kumb 23:14)7. Maombi ya Vita (Math 16:18‐19)

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐44;Baada ya Nabii Eliya kufanya  Maombi na Sadaka, Mungu 

akaleta baraka ya mvua katikaakaleta baraka ya mvua katika nchi ya Israeli, mvua ambayonchi ya Israeli, mvua ambayo ilikuwa haijanyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na nusu.

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Kumbuka, mvua ilikuwa haijanyesha kwa kipindi chahaijanyesha kwa kipindi cha 

miaka mitatu na nusu; kwahiyo, ; y ,katika kipindi hicho, majiyalikuwa ni moja ya bidhaa adimu sana katika jamiiadimu sana katika jamii. 

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Kwahiyo, kwa Waisraeli kutoa maji katika madhabahu yamaji katika madhabahu ya 

Jehovah, walikuwa wamefanya , ytendo la kujitoa sana; hivyo yale maji yalikuwa ni Sadaka kubwa

na ya thamani sana kwaona ya thamani sana kwao.

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Ile Sadaka ilipotolewa sawa sawana maagizo ya Mungu (pipa 12)na maagizo ya Mungu (pipa 12), ndipo mbingu zilipofunguka, na p g p g ,baraka ya mvua ikaachiliwa juu ya nchi yao, kwa mara ya kwanza baada ya miaka mitatu na nusubaada ya miaka mitatu na nusu.

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐44;Baada ya ile Sadaka na Maombi, Nabii Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni nasikia sauti ya mvua‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua 

tele’ (mstari 41), watutele  (mstari 41), watu walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani ili kufanya MAOMBI;

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14)/     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /        Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Na watu walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito marabaada ya maombi mazito mara saba (7), ndipo mvua kubwasaba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi 

(mstari 44‐45).

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /     Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        /

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /    Mvua ya Mwilini /        //      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       /

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /       /      /      /      /       /        /

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili, 

mpaka kwanza ilipotengenezwampaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kirohokatika ulimwengu wa kiroho

kwanza.

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:41‐45;

Kwahiyo, kumbuka kwamba, i ki h diKanuni za kiroho, ndizo 

zilizotangulia kusababisha atharizilizotangulia kusababisha athari katika ulimwengu wa rohonig

kwanza, ili mvua inyeshe katika ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Kwahiyo, 

Ile mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili, mpaka kwanza ilipotengenezwa katikakwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho kwanza.u e gu a o o a a.

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu wa i f bImani, anayefanya mambo 

yasiyoonekana kwanza kabla yayasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika y y

ulimwengu wa mwili(ulimwengu wa yanayoonekana)

KWANINI ROHO MTAKATIFUKwa jinsi Mungu 

alivyoutengeneza ulimwengualivyoutengeneza ulimwengu huu, binadamu hatawezahuu, binadamu hataweza kusababisha mabadiliko ya 

ushindi maishani mwake, pasipo k f hi k dkufanya hivyo kwa msaada wa 

nguvu fulani za kirohonguvu fulani za kiroho.

KANUNI ZA KIROHO‘Hivyo Basi mtu wa Mungu 

akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani katikana Mungu wa Imani, katika 

maisha yake duniani, lazima awe maisha yake duniani, la ima awena ufahamu wa mambo 

yasiyoonekana (mambo ya h i) i I irohoni) yaani Imani.

KWANINI ROHO MTAKATIFU

Hivyo basi binadamu waHivyo basi, binadamu wa kawaida, hataweza kusababisha ,mabadiliko ya ushindi maishani mwake, pasipo kufanya hivyo 

kwa msaada wakwa msaada wa ‘nguvu fulani za kiroho’nguvu fulani za kiroho .

KANUNI ZA KIROHOHuu ndio Utaratibu wa Mungu

katika kuitawala dunia;kwamba mambo yanayotakiwakwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kufanyika katika ulimwengu wakimwili, sharti yafanyike kwanza katika ulimwengu wa kiroho,

k d ki hkwa msaada wa nguvu za kiroho

KWANINI ROHO MTAKATIFU

Ndio maana Mungu ametupaNdio maana Mungu ametupa Roho wake, ili tuweze ,

kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwetu, kwa msaada wa Nguvu za ajabu zamsaada wa Nguvu za ajabu za

Roho Mtakatifu.Roho Mtakatifu.

KWANINI ROHO MTAKATIFUNa ndio maana, Bwana Yesu 

Kristo mwenyewe hakuthubutuKristo mwenyewe, hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalmekuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja

ufalme wa shetani, pasipok “k j Nkwanza “kujazwa na Nguvu za 

Roho Mtakatifu”Roho Mtakatifu .

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1 14Luka 4:1, 141 Yesu alipokwisha kubatizwa1 Yesu alipokwisha kubatizwa, 

aliongozwa na Roho gMtakatifu kwenda nyikani k ik bi ikkatika maombi ya siku 40.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1 14Luka 4:1, 1414 Yesu alipomaliza maombi na14 Yesu alipomaliza maombi na majaribu yote, alirudi Galilaya j y y

katika nguvu za Roho k ifMtakatifu.

TOFAUTI YA ROHO NA NGUVU

Luka 4:1                Luka 4:14

Alitembea kwa Alitembea naAlitembea kwa       Alitembea naUongozi NguvuUongozi Nguvuwa Roho za RohoMtakatifu                Mtakatifu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 10:3838 Mungu alimpaka Yesu Kristo mafuta, kwa Roho Mtakatifuna Nguvu; naye akazungukana Nguvu; naye akazunguka kote kote akitenda mema nakote kote akitenda mema na kuwaponya wote walioteswa

na ibilisi shetani.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:18‐19Roho wa Bwana Mungu yuko 

juu yangu, kwa maana amenipaka mafuta (amenipaamenipaka mafuta (amenipa uwezo) wa kuwahubiri watuuwezo) wa kuwahubiri watu na kuwatangazia kufunguliwa kutoka katika mateso ya ibilisi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ikiwa Bwana Yesu mwenyeweIkiwa Bwana Yesu mwenyewe, alihitaji Nguvu za Mungu naalihitaji Nguvu za Mungu na alizitafuta, kwa maombi mazito na makali sana 

maishani mwake si zaidi sanamaishani mwake, si zaidi sana sisi binadamu wa kawaida?sisi binadamu wa kawaida?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ni namna tu ya Bwana YesuHii ni namna tu ya Bwana Yesu kutuonyesha na kutuangalizakutuonyesha na kutuangaliza kwamba, Nguvu za Mungu ni za lazima sana katika maisha ya mwanadamu dunianiya mwanadamu, duniani.

(‘It’s a necessity’)( It s a necessity )

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Pasipo Nguvu za MunguPasipo, Nguvu za Mungu, (nguvu za kiroho)(nguvu za kiroho) 

mwanadamu hataweza kutawala mazingira yake kwa ukamilifu; hataweza kuwa naukamilifu; hataweza kuwa na 

ushindi kamili maishani. ushindi kamili maishani.

KWANINI ROHO MTAKATIFUNa ndio maana, Bwana Yesu 

Kristo mwenyewe hakuthubutuKristo mwenyewe, hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalmekuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja

ufalme wa shetani, pasipok “k j Nkwanza “kujazwa na Nguvu za 

Roho Mtakatifu”Roho Mtakatifu .

KWANINI ROHO MTAKATIFUNdio maana, na Bwana Yesu, aliwakataza wanafunzi wakealiwakataza wanafunzi wake

kuanza kazi ya kuujenga Ufalmekuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja

ufalme wa shetani, pasipok “k j Nkwanza “kujazwa na Nguvu za 

Roho Mtakatifu”Roho Mtakatifu .

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 20:20 21Yohana 20:20‐21Akawaambia, kama BabaAkawaambia, kama Baba alivyonituma mimi, nami nawapeleka ninyi; akiisha kusema hayo akawavuviakusema hayo, akawavuvia (akawapulizia) akawaambia, pokeeni Roho Mtakatifu;

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 24:49Luka 24:49(Pamoja na kwamba(Pamoja na kwamba 

ameshawapa Roho Mtakatifu)“… Lakini, msiondoke humu mjini, 

mpaka mtakapovikwa uwezampaka mtakapovikwa uwezautokao juu (Nguvu za Mungu).j ( g g )

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ni namna tu ya Bwana YesuHii ni namna tu ya Bwana Yesu kutuonyesha na kutuangalizakutuonyesha na kutuangaliza kwamba, Nguvu za Mungu ni za lazima sana katika maisha ya mwanadamu dunianiya mwanadamu, duniani.

(‘It’s a necessity’)( It s a necessity )

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 22:29Mathayo 22:2929 Yesu alisema ‘Mwapotoka29 Yesu alisema,  Mwapotoka 

na kupotea kwa sababu phamjui maandiko, wala uweza 

( )wa Mungu (Nguvu za Mungu). 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Bwana Yesu mwenyewe,Bwana Yesu mwenyewe, alihitaji Nguvu za Roho Mtakatifu wa Mungu na 

alizitafuta kwa maombi mazitoalizitafuta, kwa maombi mazito maishani mwake, kabla hata yamaishani mwake, kabla hata ya 

kuanza kazi ya Ufalme wa Mungu duniani?

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3;   Zab 8:4‐8

Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba ulimwengu wanamna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka

ya Mungu kutoka katika Uli hUlimwengu wa roho.

KANUNI ZA KIROHOWarumi 3:23/Warumi 5:12‐19

Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungualipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na g

kushindwa kuutawala ulimwengu ili b d l kwa mwili; badala yake, 

ulimwengu wa mwili ukamtawalaulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.

KANUNI ZA KIROHO

KABLA YA DHAMBIUTARATIBU ULIKUWA HIVI

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO) Utukufu (Msaada) Mungu

Mwili RohoMwili Roho

Dunia Nafsi

Shetani

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI “Mashal”KABLA YA DHAMBI      Mashal

MkuuMUNGU

ADAMMfalme

Mtawala

MALAIKA Mwakilishi

mungu

DUNIA

S

g

Zab 8:4‐8SHETANI

KANUNI ZA KIROHOZaburi 8:4‐8, Mwanzo 1:26‐28Mwanadamu ni nani hata umwangalie kwa kiasi hiki?umwangalie kwa kiasi hiki?  Umemfanya ‘punde kidogo’y p g

kuliko Mungu, ukamvika taji ya ‘Ut k f ’ H hi ki h‘Utukufu’ na Heshima; kisha 

ukamtawaza ‘Juu ya’ kazi zote zaukamtawaza  Juu ya kazi zote za mikono yako …

KANUNI ZA KIROHOZaburi 8:4‐8, Mwanzo 1:26‐28… na ukaviweka vitu vyote ulivyoviumba wewe ‘chini ya’ulivyoviumba wewe,  chini ya  miguu yake; wanyama wote, g y y

ndege wote, samaki na kila kitu ki it h k tik ji jikipitacho katika njia za maji.

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI “Mashal”KABLA YA DHAMBI      Mashal

MkuuMUNGU

ADAMMfalme

Mtawala

MALAIKA Mwakilishi

mungu

DUNIA

S

g

Zab 8:4‐8SHETANI

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO) Utukufu (Msaada) Mungu

Mwili RohoMwili Roho

Dunia Nafsi

Shetani

KANUNI ZA KIROHO

BAADA YA DHAMBIMAMBO YAKAWA HIVI

BAADA YA DHAMBIBAADA YA DHAMBI Msaada Ukakatika Mungug

Mwili Roho

DuniaNafsi

Shetani

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

MUNGU

SHETANI

MALAIKA

SHETANI  ALITAPELI NAFASI YA ADAM

DUNIA

NAFASI YA ADAMADAM

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11MkuuMUNGU

SHETANIMfalme

Mtawala

Waefeso 2:1‐2

1Yohana 5:19

MALAIKA Mwakilishi

mungu

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

Shetani akakaa katika        nafasi ya Adam na

DUNIA

g

nafasi ya Adam na akavaa vyeo vyote vya Adam      

ADAM

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Efe 2:1‐2   – Mfalme wa angafe fa e a a ga2Kor 4:4    – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19  – Mtawala (Controler) Yoh 12:31  – Mkuu wa UlimwenguY h 14 30 Mk UliYoh 14:30  – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11  – Mkuu wa Ulimwengu

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11MkuuMUNGU

SHETANIMfalme

Mtawala

Waefeso 2:1‐2

1Yohana 5:19

MALAIKA Mwakilishi

mungu

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

Warumi 5:12, 14DUNIA

g

Waebrania 2:14, 15ADAM

KANUNI ZA KIROHO

BAADA YA WOKOVUMAMBO YAKAWA HIVI

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Uhusiano Mungu(Utukufu) Uhusiano Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTO

BAADA YA WOKOVUBAADA YA WOKOVU

MkuuMUNGU + ADAM ‐ 2

MALAIKAMfalme

Mtawala

SHETANI Mwakilishi

mungu

Waefeso 2:1‐6DUNIA

g

Waefeso 1:18‐23ADAM  ‐ 1

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Roho Mt Mungu(Utukufu) Roho Mt. Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani (Rum 8:9‐11) 

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9‐10Ufunuo 5:9‐109 Wewe unastahili kukitwaakitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwakwa sababu ulichinjwa na kwa 

damu yako ukamnunulia M t k t k k tik kilMungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na , g , j

kila taifa (kanisa). 

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9 10Ufunuo 5:9‐1010 Nawe umewafanya hawa10 Nawe umewafanya hawa wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao 

iliki d i ’’wanamiliki dunia.’’

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:26‐28/Zaburi 8:4‐8

Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba ulimwengu wanamna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka

ya Mungu kutoka katika Uli hUlimwengu wa roho.

KANUNI ZA KIROHOWarumi 3:23/Warumi 5:12‐19

Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungualipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na g

kushindwa kuutawala ulimwengu ili b d l kwa mwili; badala yake, 

ulimwengu wa mwili ukamtawalaulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.

KANUNI ZA KIROHOWaefeso 2:1‐6/Ufunuo 5:8‐10

Lakini Mtu anapotubu dhambi zake na kuupokea Wokovu wa Bwanana kuupokea Wokovu wa Bwana Yesu Krsito, anaunganishwa tena gna Mungu na kupewa mamlaka

k idi k lik lmakuu zaidi, kuliko yale aliyoyapoteza Adam na Evaaliyoyapoteza Adam na Eva   katika bustani ya Eden.

KANUNI ZA KIROHOWaefeso 1:18‐23/2:1‐6

hMungu wetu, hataweza kukurithisha mamlaka yakukurithisha mamlaka ya 

Ulimwengu wa roho ili uweze kuleta mabadiliko katika 

ulimwengu wa mwili kamaulimwengu wa mwili, kama hajazaliwa mara ya pili, kwa njia j y p , j

ya Wokovu wa Yesu Kristo.

KANUNI ZA KIROHO

Laikini …Kila mtu amwaminiye Yesu Kristo, na Wokovu wake, anaunganishwa tena na Mungu katika utu watena na Mungu, katika utu wa ndani, ambao pale mwanzo 

ulivunjika kwa ile dhambi ya Adam na Eva kule katika bustani ya Edenna Eva kule katika bustani ya Eden.

KANUNI ZA KIROHO

Baada ya Wokovu mtu waBaada ya Wokovu, mtu wa Mungu huyo, anajazwa Roho g y , jMtakatifu na Nguvu zake, ili 

k d h l kkumrudishia mamlaka na uwezatuliyopoteza katika bustani yatuliyopoteza katika bustani ya Eden, kwa njia ya dhambi., j y

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Roho Mt Mungu(Utukufu) Roho Mt. Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani (Rum 8:9‐11) 

KANUNI ZA KIROHO

Bwana Yesu aliomba hivi:Yohana 17:22

‘Baba, Utukufu ule ulionipa, i i (K i )’nami nimewapa wao (Kanisa)’;

‘yaani watu walioniamini walinipokeayaani watu walioniamini, walinipokea maishani mwao na wanaishi kwa kanuni 

zangu za kiroho’

KANUNI ZA KIROHO

‘Utukufu’ huo ni Roho MtakatifuUtukufu huo, ni Roho Mtakatifuyule yule aliyepewa Adam wa y y y pkwanza, ili aweze kuutawala 

l d hulimwengu wa dunia hii.Z b i 8 4 8Zaburi 8:4‐8

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 8:4‐8Huwezi kutawazwa juu ya kazi za mikono ya Mungu, pasipo kwanza kuvikwa Nguvu zakwanza kuvikwa Nguvu za Mungu ( Taji ya UTUKUFU na heshima). = “Kutawazwa”

KANUNI ZA KIROHONguvu za Kiroho ni maalumu kutuwezesha kupamba na ulimwengu wa mwili ambaoulimwengu wa mwili ambao huwa wakati mwingine, huwa wakati mwingine,

unakataa tu kufanya kazi vile inavyotakiwa au vile  ili tilivyotegemewa.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

• Biashara                        Zaburi 8:4‐8• Shamba• Mifugo H i k i• Mifugo • Masomo 

Haiwezekanikuitawala Dunia

• Familia K i

pasipo nguvu( k f )• Kazi 

• Afya(utukufu) wa

MunguAfya• Mipango 

Mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni KwambaNi Kwamba …Nguvu za Mungu zinawezaNguvu za Mungu zinaweza kukuvusha na kukufanikisha 

pale ambapo kanuni za kawaida ki ili ( ki ili)za kimwili (za kiasili) 

zinapogoma kufanya kazizinapogoma kufanya kazi.

Yohana 14:12

‘Amini Amini nawaambeni, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi (za ushindi) ninazozifanya, na yeye atazifanya naam hata kubwaatazifanya, naam hata kubwa 

kuliko hizo, atafanya,kuliko hizo, atafanya, kwasababu mimi nakwenda  

kwa Baba’.

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 14:12‘… Kila aniaminiaye mimi, 

ataushinda ulimwengu kama i i ili hi d k b bmimi nilivyoshinda, kwasababu mimi nakwenda kwa Babamimi nakwenda kwa Baba, kuwaletea Roho Mtakatifu, ,

aliyeniwezesa mimi kushinda’.

KANUNI ZA KIROHO

‘Ni kwa njia ya Roho Mtakatifuwa Mungu, mtu wa Mungu 

ataweza kushinda mapambanoataweza kushinda mapambanoyote aliyonayo maishani.y y y

KANUNI ZA KIROHO‘Hivyo Basi mtu wa Mungu 

akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani katikana Mungu wa Imani, katika 

maisha yake duniani, lazima awe maisha yake duniani, la ima awena ujazo kamili wa Roho

Mtakatifu katika maisha yake.

KANUNI ZA KIROHO

‘Ni kwa njia ya Roho Mtakatifuhwa Mungu, hata Bwana Yesu

mwenyewe aliweza kushindamwenyewe aliweza kushindamapambano yote aliyokutana p y y

nayo duniani.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1 14Luka 4:1, 141 Yesu alipokwisha kubatizwa1 Yesu alipokwisha kubatizwa, 

aliongozwa na Roho gMtakatifu kwenda nyikani k ik bi ikkatika maombi ya siku 40.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1 14Luka 4:1, 1414 Yesu alipomaliza maombi na14 Yesu alipomaliza maombi na majaribu yote, alirudi Galilaya j y y

katika nguvu za Roho k ifMtakatifu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ni kwasababu …Hii ni kwasababu … Mungu wetu ni Mungu wa g g

viwango maalum, hafanyi kazi k k h l (katika hali yoyote tu (japo anaweza) bali anafanya kazianaweza), bali anafanya kazi katika viwango vyake maalum.g y

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kiwango maalum cha Nguvu zaKiwango maalum cha Nguvu za Mungu kinahusika sana katika 

kuleta mabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho nakatika ulimwengu wa roho na ndipo yatokee au yadhihirikendipo yatokee au yadhihirike katika ulimwengu wa mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kuna tofauti ya kuwa na        Roho Mtakatifu na kuwa naRoho Mtakatifu na kuwa na Nguvu za Roho Mtakatifug

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1 14Luka 4:1, 141 Yesu alipokwisha kubatizwa1 Yesu alipokwisha kubatizwa, 

aliongozwa na Roho gMtakatifu kwenda nyikani k ik bi ikkatika maombi ya siku 40.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1 14Luka 4:1, 1414 Yesu alipomaliza maombi na14 Yesu alipomaliza maombi na majaribu yote, alirudi Galilaya j y y

katika nguvu za Roho k ifMtakatifu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGULuka 4:1           Luka 4:14Alitembea          Alitembea

K k tikKwa                    katikaUongozi NguvuUongozi Nguvu

wa zawa                         za Roho Mtakatifu Roho MtakatifuRoho Mtakatifu    Roho Mtakatifu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ikiwa Bwana Yesu mwenyewe, y ,alihitaji Nguvu za Roho Mtakatifu wa Mungu na alizitafuta kwa maombializitafuta, kwa maombi 

mazito na makali maisha yake yyote duniani, si zaidi sana sisi 

binadamu wa kawaida?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 20:20 21Yohana 20:20‐21Akawaambia, kama BabaAkawaambia, kama Baba alivyonituma mimi, nami nawapeleka ninyi; akiisha kusema hayo akawavuviakusema hayo, akawavuvia (akawapulizia) akawaambia, pokeeni Roho Mtakatifu;

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 24:49Luka 24:49(Pamoja na kwamba(Pamoja na kwamba 

nimeshawapa Roho Mtakatifu)“… Lakini, msiondoke humu mjini, 

mpaka mtakapovikwa uwezampaka mtakapovikwa uwezautokao juu (Nguvu za Mungu).j ( g g )

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 1:8Matendo 1:88 Lakini mtapokea nguvu akiisha p g

kuwajilia juu yenu Roho k f kMtakatifu, nanyi mtakuwa 

mashahidi Wangu katikamashahidi Wangu katika Yerusalemu, Uyahudi kote na , y

Samaria, hadi miisho ya dunia.’’ 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 22:29Mathayo 22:2929 Yesu alisema ‘Mwapotoka29 Yesu alisema,  Mwapotoka 

na kupotea kwa sababu phamjui maandiko, wala uweza 

( )wa Mungu (Nguvu za Mungu). 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 3:20Waefeso 3:20Kiwango cha Nguvu za Mungu g g gkinahusika sana katika kuleta b d l k h k k kmabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na kishaulimwengu wa roho na kisha katika ulimwengu wa mwili.g

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OMungu anaweza kutenda mambo makubwa mno na ya ajabu sana 

(yasiyopimika) kuliko yote(yasiyopimika) kuliko yote tunayoyawaza na kuliko yotetunayoyawaza na kuliko yote 

tunayoyaomba, …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O

l ki i i k k di i (k… lakini ni  kwa kadiri (kwa kiwango au kipimo) cha nguvukiwango au kipimo) cha nguvu zake kinachotenda kazi ndani

yetu.

NGUVU ZA MUNGUNGUVU ZA MUNGU

Kanuni za KirohoKanuni za Kiroho                   Neno (Bulb)Neno (Bulb)

MaombiMaombi(Wire)( )

Roho Mtakatifu (Battery)  

Aina mbili za Nguvu za MunguAina mbili za Nguvu za Mungu

Kanuni za Kiroho (Connected)Kanuni za Kiroho (Connected)      Neno (Bulb)Neno (Bulb)

MaombiMaombi(Wire)( )

Roho Mtakatifu (Battery)  

Aina mbili za Nguvu za MunguAina mbili za Nguvu za Mungu

Kanuni za Kiroho (Connected)Kanuni za Kiroho (Connected)      Nuru (light)Nuru (light)

MaombiMaombi(Wire)( )

Roho Mtakatifu (Battery)  

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni za Kiroho (Connected);Kanuni za Kiroho (Connected);Ushindi, Afya,nk                     Nuru ya , y , y(Matendo)                            Ulimwengu

Roho Mtakatifu Nguvu za RohoRoho Mtakatifu       Nguvu za Roho(Potential Energy)            (Kinetic Energy)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni jambo moja kuwa na TaaNi jambo moja kuwa na Taa,(bulb) na ni jambo jingine kuwa(bulb) na ni jambo jingine kuwana Mwanga wa (Nuru ya) hiyona Mwanga wa (Nuru ya) hiyoTaa (bulb). Pasipo nguvu za ( ) p gMungu, utabaki taa (bulb) tu, isiyowaka (isiyo na nuru)

Mathayo 5:14‐16Mathayo 5:14 16

14 ‘‘Ninyi ni nuru ya ulimwengu14 ‘‘Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji uliojengwa kilimaniMji uliojengwa kilimani 

hauwezi kufichika(kwasababu ya taa zake) ... 

Mathayo 5:14‐16Mathayo 5:14 16

16 Vivyo hivyo na ninyi nuru16 Vivyo hivyo na ninyi, nuru yenu (ushindi, mafanikio, nk)yenu (ushindi, mafanikio, nk) na viangaze mbele ya watu, ili wapate kuona matendo yenu 

k B bmema wamtukuze Baba yenu aliye mbingunialiye mbinguni.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu anataka tuwe tofauti!Mungu anataka, tuwe tofauti!Kwamba …Kwamba …

Katikati ya giza, sisi tuwe nuru,Katikati ya kuanguka, sisi tusianguke,Katikati ya kufeli, sisi tusifeli, tufaulu,K tik ti h i i t t f idKatikati ya hasara, sisi tupate faida,

Mathayo 5:14‐16Mathayo 5:14 16Giza Vs   Nuru

Kufeli    – KufauluHasara   – Faida hi d hi diKushindwa   – Ushindi 

Magonjwa Afya/UponyajiMagonjwa   – Afya/UponyajiUasi/Uovu – Haki/UtakatifuUasi/Uovu    Haki/Utakatifu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni jambo moja kuwa naNi jambo moja kuwa na Jenereta, na ni jambo jingineJenereta, na ni jambo jingine kuwa na Umeme (Nguvu ya Umeme). Pasipo nguvu za 

Mungu utabaki kuwa JeneretaMungu, utabaki kuwa Jenereta tu, isiyowaka (isiyozaa umeme)tu, isiyowaka (isiyo aa umeme)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHONi mambo ambayo, tukiyawekaNi mambo ambayo, tukiyaweka 

kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetuMtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

Ndio maana tunataka kujifunza;

KANUNI ZA KIROHO

ILI KUTENGENEZA NA KUZALISHA NGUVU ZA MUNGUMAISHANINGUVU ZA MUNGU MAISHANI NA KUTUWEZESHA KUISHI KWA 

USHINDI DUNIANI

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwasababuKwasababu …Utendaji kazi wa mkono waUtendaji kazi wa mkono wa Mungu maishani mwako, gunategemea sana kiwango

hcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

BasiBasi … Tengeneza au ZalishaTengeneza au Zalisha

KIWANGOcha kutosha cha Nguvu za Mungu 

Ndani yako

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 23:5Zaburi 23:5Ndio maana Mfalme Daudi alisemaNdio maana Mfalme Daudi alisema 

“Waandaa meza (baraka) mbele yangu, machoni pa watesi wangu 

(adui); Umenipaka mafuta(adui); Umenipaka mafuta kichwani kwangu, na kikombe 

changu kinafurika.”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 23:5Zaburi 23:5Hii inaonyesha kwamba, MfalmeHii inaonyesha kwamba, Mfalme 

Daudi hakutaka kutembea duniani, akiwa na kiwango robo au nusu au robo tatu cha Nguvuau nusu au robo tatu cha Nguvu za Mungu maishani mwake; Bali alitaka kikombe chake kifurike.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Kavu / Tupu1. Kavu / Tupu   

Kiwango, Kipimo, Ujazo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2 Robo2. Robo  

Kiwango, Kipimo, Ujazo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

3 Nusu3.  Nusu 

Kiwango, Kipimo, Ujazo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4 Robo Tatu4. Robo Tatu 

Kiwango, Kipimo, Ujazo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5 Kumwagika5.  Kumwagika   

Kiwango, Kipimo, Ujazo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 23:5Zaburi 23:5Hii inaonyesha kwamba, MfalmeHii inaonyesha kwamba, Mfalme 

Daudi hakutaka kutembea duniani, akiwa na kiwango robo au nusu au robo tatu cha Nguvuau nusu au robo tatu cha Nguvu za Mungu maishani mwake; Bali alitaka kikombe chake kifurike.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 5:18Waefeso 5:18Ni mapenzi ya Mungu kwambaNi mapenzi ya Mungu kwamba, tutembee katika ujazo wa Roho jMtakatifu na kufurika nguvu za 

Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Efeso 5:18Efeso 5:18Msilewe kwa pombe (mvinyo)Msilewe kwa pombe (mvinyo) kwani kuna ufisadi (uchafu), ( )

bali mjazwe kwa Roho k ifMtakatifu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo;y ;Kila mtu amwaminiye Yesu Kristo, kama Bwana na Mwokozi wake, ana Roho Mtakatifu wa Mungu ndaniRoho Mtakatifu wa Mungu ndani yake; kwahiyo, ana chanzo cha Nguvu za Mungu ndani yake.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14Nguvu za Mungu zilizopo ndani yako, zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi na kuyatawala mazingira yako kamana kuyatawala mazingira yako, kama Bwana Yesu alivyoishi na kuyatawala mazingira yake, bila kushindwa au 

kuzuiliwa na hali yoyotekuzuiliwa na hali yoyote.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28‐30Warumi 8:28 3030 Na wale aliowajua, aliwaita, j , ,na wale aliowaita, aliwahesabia h k l l h bhaki, na wale aliowahesabia  

haki aliwatukuzahaki, aliwatukuza. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28‐30Warumi 8:28 3029 Wale aliowajua tangu zamani, j g ,aliwaita ili wafananishwe na 

fmfano wa mwanaye.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kwamba h k di i iroho yako ndiyo inayotumiwa na Mungu kuachilia nguvu zakeMungu kuachilia nguvu zake, 

kutakufanya uwe mtu mwoga nadhaifu maisha; 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katikakutakuondolea ujasiri katika kukabiliana na maisha ya kila ysiku, yaliyojaa kila aina ya 

upinzani na vita dhidi ya mtu wa MunguMungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa ngvu zakuzima utendaji kazi wa ngvu za Mungu maishani mwako; nawe 

utaishi chini ya kiwango cha mtoto waMungu (yaani maisha yawa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika))

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Kutokujua (Kutokuwa naKwa Kutokujua (Kutokuwa na ufahamu huu) watu wa Mungu 

wengi wamezuia utendaji kazi wa nguvu za Mungu kutoka ndaninguvu za Mungu kutoka ndani yao, na Nguvu kubwa sana zayao, na Nguvu kubwa sana za Mungu zimebaki ndani yao zimelala (hazijatumika). 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na matokeo yake ni kwamba,Na matokeo yake ni kwamba, watu wa Mungu wengi wanaishi 

maisha ua kuhangaika na wanatumia muda mwingi nawanatumia muda mwingi na gharama kubwa, kukimbia‐gharama kubwa, kukimbia

kimbia kushoto na kulia kutafuta msaada wa mbali …    

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

wakati ndani yao wameachaymsaada ulio karibu; kwani Nguvu

i i N k bnyingi sana au Nguvu kubwasana za Mungu zimebaki ndanigyao, zimelala bila kutumika.(Hosea 4:6, Warumi 10:2)   

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Mungu anasema g‘watu wangu wanaangamia kwa 

kukosa maarifa’.(Hosea 4:6)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Biblia inasema; ;‘watu wa Mungu, wana bidii sana

katika Bwana, lakini si katika if ’maarifa’.

(Warumi 10:2)(Warumi 10:2)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana, inasema kwamba, tunatakiwa kufundishwa na kufundishika, ili tupate maarifa na tukue kirohotupate maarifa na tukue kiroho mpaka kufika katika cheo chap

Bwana wetu Kristo Yesu. ( )(Waefeso 4:11‐15)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐15Waefeso 4:11 15Kwa huduma mbalimbali ambazo Bwana Yesu ameziweka katika k kkanisa, sisi waumini, tunatakiwa kufundishwa na kufundishikakufundishwa na kufundishika … 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐15Waefeso 4:11 15… ili tukue kiroho mpaka kufika pkatika cheo cha Bwana Yesu na k bkutembea na Nguvu za Mungu duniani bila kuzuiliwa na kituduniani, bila kuzuiliwa na kitu 

chochote.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14

11 Yeye ndiye aliyeweka wengine kuwa mitume, na wengine kuwa 

bii i kmanabii, wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwawainjilisti, na wengine kuwa wachungaji na wengine kuwa 

waalimu, 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14

12 kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu kwa ajili ya kazi za h d ili k b ilihuduma, ili kwamba mwili wa Kristo upate kujengwa naKristo upate kujengwa na 

kuimarika.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14

14 Ili tusiwe tena watotowachanga, tukitupwatupwa huku

h k k h k li kilna huku na kuchukuliwa na kilaupepo wa mafundisho kwa hilaupepo wa mafundisho kwa hilaza watu, kwa ujanja, kwa kufuata

njia zao za udanganyifu. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14

13 … bali tufundishike na kukuakiroho, mpaka sisi sote

t t k fiki ki i htutakapoufikia kipimo cha ukamilifu wa Kristoukamilifu wa Kristo. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14Kwahiyo, Nguvu za Mungu 

zilizowekwa ndani yako, zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi dunianikabisa kukuwezesha kuishi duniani, 

katika kiwango cha ushindi na mafanikio, kama kile kile cha Bwana Yesu bila kuzuiliwa na kitu chochoteYesu, bila kuzuiliwa na kitu chochote. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

BasiBasi … Tengeneza au ZalishaTengeneza au Zalisha

KIWANGOcha kutosha cha Nguvu za Mungu 

Ndani yako

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5 Kumwagika5.  Kumwagika   

Kiwango, Kipimo, Ujazo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

O O

Joto                                HewaMOTO

(Heat)                             (Oxygen)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwasababuKwasababu …Utendaji kazi wa mkono waUtendaji kazi wa mkono wa Mungu maishani mwako, gunategemea sana kiwango

hcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ni kwasababu …Hii ni kwasababu … Mungu wetu ni Mungu wa g g

viwango maalum, hafanyi kazi k k h l (katika hali yoyote tu (japo anaweza) bali anafanya kazianaweza), bali anafanya kazi katika viwango vyake maalum.g y

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu tu ndani yako 

(wokovu) bali tafuta kuongezeka(wokovu), bali tafuta kuongezekakiwango cha kiroho na nguvu za g g

Mungu maishani mwako.(Ujaza wa Roho Mtakatifu)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 3:20Waefeso 3:20Kiwango cha Nguvu za Mungu g g gkinahusika sana katika kuleta b d l k h k k kmabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na kishaulimwengu wa roho na kisha katika ulimwengu wa mwili.g

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OMungu anaweza kutenda mambo makubwa mno na ya ajabu sana 

(yasiyopimika) kuliko yote(yasiyopimika) kuliko yote tunayoyawaza na kuliko yotetunayoyawaza na kuliko yote 

tunayoyaomba, …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O

l ki i i k k di i (k… lakini ni  kwa kadiri (kwa kiwango au kipimo) cha nguvukiwango au kipimo) cha nguvu zake kinachotenda kazi ndani

yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukweli ni Kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu pasipo msaada wa binadamu, lakini 

alichagua tu kufanya kazi kwaalichagua tu, kufanya kazi kwa ushirika na binadamu; kwahiyo, 

kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na binadamu katika kutawala duniabinadamu katika kutawala dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwambaHii ina maana kwamba …***… ikiwa tutatengeneza au…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu kidogo za Mungu ndani yetu, tutauzuia 

mkono wa Mungu kufanya mambomkono wa Mungu kufanya mambo mengi na makubwa anayotaka kufanya maishani mwetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini …***…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu za Mungu kwa wingi (za kutosha) ndani yetuwingi (za kutosha) ndani yetu,

tutauwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi na 

makubwa anayotaka kufanyamakubwa anayotaka kufanya.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 24:47‐48

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu tu ndani yako 

( oko ) bali taf ta k onge eka(wokovu), bali tafuta kuongezekakiwango cha kiroho na nguvu zakiwango cha kiroho na nguvu za 

Mungu maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wakolosai 1:29Wakolosai 1:29‘Kwa ajili ya jambo hili,Kwa ajili ya jambo hili, 

ninajitaabisha, nikijitahidi kwa kadiri (kiwango) cha nguvu za Mungu ambazo kwa uwezoMungu, ambazo kwa uwezo 

mwingi zinatenda kazindani yangu. ’ 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 3:16‐17Waefeso 3:16 1716 Nami namwomba Mungu 

awaimarishe na ninyi, kwa kuwatia nguvu mioyoni yenu, kwa njia yanguvu mioyoni yenu, kwa njia ya Roho Wake; na kwa kadri ya utajiri 

k f k ili k bwa utukufu wake, 17 ili kwamba, Kristo apate kukaa mioyoni mwenu p y

kwa njia ya imani. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wafilipi 2:13Wafilipi 2:13‘kwa maana Mungu ndiyekwa maana Mungu ndiye atendaye kazi ndani yenu, y ykutaka kwenu na kutenda 

k k k li i i k dikwenu kwa kulitimiza kusudi lake jema’lake jema . 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 21:22Ufunuo 21:22‘Na katika mji ule hakunaNa katika mji ule, hakuna kinyonge kitakachoingia (bali y g g (

wenye nguvu)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 11:12Mathayo 11:12Tangu siku za Yohana MbatizajiTangu siku za Yohana Mbatizaji hata sasa, Ufalme wa Mungu ghupatikana kwa nguvu, nao 

diwenye nguvu tu ndio wanaoutekawanaouteka.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 4:201Wakorintho 4:20Ufalme wa Mungu hauwi katikaUfalme wa Mungu hauwi katika maneno na majadiliano, bali jkatika Nguvu za Mungu. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 2:1 51Wakorintho 2:1‐54 Injili yangu haikuja kwenu4. Injili yangu haikuja kwenu 

kwa maneno makavu au maneno matupu, bali katika 

d lili (i h ) hdalili (ishara) za Roho Mtakatifu na NguvuMtakatifu na Nguvu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 2:1 51Wakorintho 2:1‐55 Ili imani zenu zisiwe katika5. Ili imani zenu zisiwe katika hekima za wanadamu, bali 

ziwe katika Nguvu za Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KUJAZWA ROHO Mt.

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu tu ndani yako 

( oko ) bali taf ta k onge eka(wokovu), bali tafuta kuongezekakiwango cha kiroho na nguvu zakiwango cha kiroho na nguvu za 

Mungu maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KUJAZWA ROHO Mt.

Kiwango cha Nguvu za Mungu kinahusika sana katika kuleta 

mabadiliko ana ohitajika katikamabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na kishaulimwengu wa roho na kisha katika ulimwengu wa mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KUJAZWA ROHO Mt.

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi katika hali o ote t (japokatika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazianaweza), bali anafanya kazi katika viwango vyake maalum.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5 Kumwagika5.  Kumwagika   

Kiwango, Kipimo, Ujazo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

O O

Joto                                HewaMOTO

(Heat)                             (Oxygen)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni hizi tunazojifunza zikiwekwaKanuni hizi tunazojifunza, zikiwekwa  kwa pamoja ndani yetu (rohoni), katika kiwango kinachotakiwa, 

zitasababisha Roho Mtakatifu aliyezitasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu unazozihitaji kwa ajili ya 

maisha ya ushindi dunianimaisha ya ushindi duniani.

Ndio maana tunataka kujifunza;

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHOZAMAISHA YA USHINDIZA MAISHA YA USHINDI

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Semina yetu;

KANUNI ZA KIROHO                  ZA KUSABABISHA NGUVU ZA 

G SMUNGU ZA KUTUPA MAISHA YA USHINDI NA MAFANIKIOUSHINDI NA MAFANIKIO

KANUNI ZA KIROHO

Nguvu NguvuNguvu                     NguvuZa zaZa                            za

Kimwili Vs KirohoKimwili        Vs        Kiroho (Natural                (Spiritual  ( ( pPrinciples)            Principles)p ) p )

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Ni muhimu uje kwamba, Dunia yetu inatawaliwa kwa  

K i k Mbili (2)Kanuni kuu Mbili (2)2 Kanuni za Kimwili2. Kanuni za Kimwili1 Kanuni za Kiroho1. Kanuni za Kiroho

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Ni muhimu uje kwamba, Kanuni za Kimwilizinatawaliwa na Kanuni za Kiroho

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Ni KwasababuNi Kwasababu, 

Mambo ya Ulimwengu wa mwilili k byanatawaliwa kwa mambo ya 

ulimwengu wa roho;ulimwengu wa roho; 

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Ni Kwasababu,Ni Kwasababu, Ulimwengu wa MwiliUlimwengu wa Mwili

ulizaliwa kupitiaulizaliwa kupitia Ulimwengu wa Kiroho.g

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Hivyo;Hakuna kitu kinafanyika katika Uli M ili kUlimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katikakwanza kimefanyika katika   Ulimwengu wa Kiroho.

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Kwahiyo,Kwahiyo, Kanuni za kimwili (NaturalKanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual 

P i i l )Principles).

KANUNI ZA KIROHO

Nguvu NguvuNguvu                     NguvuZa zaZa                            za

Kimwili Vs KirohoKimwili        Vs        Kiroho (Natural                (Spiritual  ( ( pPrinciples)            Principles)p ) p )

Ulimwengu wa RohoHii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zilitumikaKanuni za kiroho zilitumika 

kuleta athari ya aina fulani katika yulimwengu wa roho, hata 

kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili mvua iwezeza kimwili, ili mvua iweze kunyesha hata kama katika yU’mwilini hakuna misitu.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30‘Mungu ameshatubariki kwaMungu ameshatubariki kwa baraka zote za rohoni, katikaulimwengu wa roho; kama 

alivyotuchagua katika yeye kablaalivyotuchagua katika yeye, kablaya kuwekwa misingi ya ulimwengu, y g y g

tuwe watakatifu’.

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14)/     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /        Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:41‐45, Yakobo 5:17‐18

Wana wa Israeli, walikuwa wanateseka kwa maishawanateseka kwa maisha 

magumu, katika ulimwengu wa g , gmwili, wakati wao ni wabarikiwa wenye baraka nyingi sana katika 

ulimwengu wa rohoulimwengu wa roho.

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /     Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        /

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /    Mvua ya Mwilini /        //      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       /

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /       /      /      /      /       /        /

NGUVU YA MAOMBI

Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni naingekomea huko huko rohoni, na huku duniani, watu wa Mungu , gwangeishi maisha ya shida na taabu; na kumbe wana baraka nyingi sana katika U’rohoninyingi sana katika U rohoni.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Na sisi pia tusipoomba baraka hiziNa sisi pia tusipoomba, baraka hizi zote tulizopewa katika ulimwengu wa roho, zitabaki huko huko rohoni,wakati huku duniani tunatesekawakati huku duniani, tunateseka kwa maisha magumu, yaliyojaa g y y j

shida na taabu nyingi.

ULIMWENGU WA ROHO

Kwanini tunaishiKwanini tunaishi maisha ya kushindwa?maisha ya kushindwa?

ULIMWENGU WA ROHOHebu jiulize mwenye…

Kwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso huku mwili yaliyojaana ya mateso huku mwili, yaliyojaa shida na taabu nyingi, na kumbe kule rohoni tumebarikiwa na Mungu kwa baraka zote tenaMungu kwa baraka zote, tena 

nyingi sana, za kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku?

NGUVU YA MAOMBI

Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(1)  Hatujajua siri ya ulimwengu wa ( ) j j y groho inavyoingiliana na ulimwengu 

ili h t k l t b dilikwa mwili, hata kuleta mabadiliko tunayotaka kuyaona huku duniani.  y y

~ kutokujua ~

NGUVU YA MAOMBI

Ni kwasababu; watu wa Mungu, 

(2)  Hatuna nidhamu na bidii ya ( ) ykwenda rohoni kwa njia ya 

bi h t k h kmaombi, hata kuchukua na kutelemsha baraka zetu duniani.      

~  Uzembe  ~

NGUVU YA MAOMBI

Ni kwasababu; watu wa Mungu, 

(3) Hatuna maarifa na bidii yak t i k i ki h kkutumia kanuni za kiroho, kwa

namna sahihi, katika,madhabahu ya Bwana 

(ulimwengu wa kiroho).

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHO

Mungu alizifanya kanuni zaMungu alizifanya kanuni za kiroho, ziwe njia ya kuutawalakiroho, ziwe njia ya kuutawala ulimwengu wa mwili kwa kuwa 

na uwezo wa kusababisha mabadiliko kutokea katikamabadiliko kutokea katika 

ulimwengu wa roho.ulimwengu wa roho.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUNa huu ndio utaratibu na 

k i b M lii kkanuni ambazo Mungu aliiweka duniani ili kutuwezeshaduniani, ili kutuwezesha 

kutawala ulimwengu wa mwili, kwa kutumia kanuni za kirohoi hi i k lizinazoathiri kwanza ulimwengu 

wa kirohowa kiroho.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Mtu yeyote, hataweza kufanikiwa duniani kwa asilimiakufanikiwa duniani kwa asilimia 100%, bila ya kufuata kanuni hii100%, bila ya kufuata kanuni hii 

kuu ya uumbaji wa Mungu duniani.

KANUNI ZA KIROHOWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya kanuni za kiroho

katika maisha yao watawekakatika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi ykatika maisha yanayotimiza 

kanuni za kiroho.   

Kanuni za Kiroho (1Fal 18:30‐45)

1. Kusifu na Kuabudu (Zab 100:4‐5)2. Sadaka ya Zaka (Malaki 3:7‐12)3 S d k Dh bih (2K 9 6 11)3. Sadaka ya Dhabihu (2Kor 9:6‐11)4 Maombi ya Mahitaji (Fil 4:6‐7)4. Maombi ya Mahitaji (Fil 4:6‐7)5. Neno la Mungu (Yer 1:12)g ( )6. Maombi ya Toba (Kumb 23:14)7. Maombi ya Vita (Math 16:18‐19)

NGUVU YA MAOMBI

Kwahiyo;1Wafalme 18:30‐45

Si maombi pekee yanayofanya t k b k Mtupokee baraka za Mungu katika maishani yetukatika maishani yetu.

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:30‐45Bali ni maombi pamoja na kanuni zingine za kiroho

zilizoambatanishwa na maombizilizoambatanishwa na maombi ndizo zinazofanya Watu wa ndi o ina ofanya Watu wa

Mungu tupokee hizi baraka za Mungu tulizopewa na Yesu…

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:30‐45… kutoka katika ulimwengu wa  rohoni hata kama hakuna 

kanuni za kimwili za kutosha zakanuni za kimwili za kutosha za kuruhusu tupokee baraka na kuruhusu tupokee baraka na

ushindi maishani.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiriKanuni za kiroho zikiathiri 

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili jambo fulanikanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika   njia za kawaida za kimwili.

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐199 Mimi Yohana, ndugu yenu

i hi iki j i tninayeshiriki pamoja nanyi matesokatika Yesu na katika ufalme nauvumilivu katika saburi, nilikuwak ik ki i kii h P kkatika kisiwa kiitwacho Patmo kwaajili ya neno la Mungu na ushuhudaajili ya neno la Mungu na ushuhuda

wa Bwana wetu Yesu Kristo. 

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐1910 Nilikuwa katika Roho siku ya

B ik iki ti k b kBwana, nikasikia sauti kubwa kamaya tarumbeta nyuma yanguy y y g

11 ikisema, “Andika kwenye kitabuh ki hhaya yote unayoyaona, kisha

ukipeleke kwa makanisa saba…’’ukipeleke kwa makanisa saba…

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐1912 Ndipo nikageuka ili nione ni sauti

i ili k iki iya nani iliyokuwa ikisema nami. Nami nilipogeuka … 13 nikaona mtup gkama Mwana wa Adamu, amevaaj h f k d dh h bjoho refu na mkanda wa dhahabu

umefungwa kifuani mwake.umefungwa kifuani mwake. 

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐1916 … Uso wake kama jua kali 

li l ’ k k tlinalong’aa kwa nguvu zake zote. 17 Nilipomwona, nilianguka miguunip , g gpake kama aliyekufa. Ndipo akawekak k k jmkono wake wa kuume juu yangu nakusema, “Usiogope, Mimi ni wakusema,  Usiogope, Mimi ni wa

Kwanza na wa Mwisho. 

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐1918 Mimi ni Yeye aliye hai, niliyekuwai k f t i h i il lnimekufa na tazama, ni hai milele na

milele! Nami ninazo funguo za mautigna kuzimu. 19 Basi andika mambo li li ( ) luliyoyaona, yaliyopo (sasa) na yale

yatakayotukia baadaye.yatakayotukia baadaye.

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 16:33‘Ulimwenguni mnayo dhiki, lakini jipeni moyo kwasababu i i i hi d li ’mimi nimeushinda ulimwengu’.

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kila kitu kilichozaliwa na 

Mungu, huushinda ulimwengu; h k dik k hi dNa huku ndiko kushinda 

kuushindako ulimwengukuushindako ulimwengu, ni hiyo IMANI yetu’ni hiyo IMANI yetu

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37

‘Na katika mambo yote, tunashinda na zaidi ya kushindatunashinda na zaidi ya kushindakupitia Kristo Yesu aliyetupenda’kupitia Kristo Yesu aliyetupenda(katika yote, sisi ni washindi na(katika yote, sisi ni washindi na zaidi ya washindi, kupitia Yesu 

Kristo aliyetupenda)

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37

Pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi waMungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, lakini badoYesu msalabani, lakini bado watu wengi tuna mamboambayo yametushinda au 

t hi dyanatushinda.

SEMINA YETU

KANUNI ZA KIROHOZA MAISHA YA USHINDI

KANUNI ZA KIROHO

11. KUUFAHAMUKUUFAHAMU 

G O OULIMWENGU WA ROHO NA KANUNI ZAKE

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa roho ni nini?ni nini?

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu halisi kabisa na uko hapa hapakabisa, na uko hapa hapa 

tulipo, lakini hatuvioni tu kwatulipo, lakini hatuvioni tu kwa macho haya ya kawaida (macho ya kimwili).

ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w

Ulimwengu wa roho niUlimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu 

visivyoonekana na kushikika l ki i i it h li i k bilakini ni vitu halisi kabisa; Ni vitu vilivyopo kabisaNi vitu vilivyopo kabisa

ila hatuvioni tuila hatuvioni tu. 

ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu kunaKatika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

Vit i i k• Vitu visivyoonekananana

• Vitu vinavyoonekana• Vitu vinavyoonekana

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoKwa lugha rahisi ni kwamba, li h dulimwengu huu, una pande 

mbili. Yaani upande wa rohonimbili. Yaani upande wa rohonina upande wa mwilini. Ni ulimwengu mmoja, ila una 

pande mbilipande mbili.

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoYaani upande wa vitu 

i k ( ili i)vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekanaupande wa vitu visivyoonekana(yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, viko pamoja!

(2Wakorintho 4:18)

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

i k ( ki ili) ivinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vituvya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) y ( y )

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 8:37,   1Yohana 5:4Basi mtu wa Mungu akitaka 

kutembea duniani na Mungu wa Imani kwa ushindi ni lazimaImani, kwa ushindi, ni lazima ajue kutembea kwa imani;ajue kutembea kwa imani;

kwani Imani yetu ndiyo siri ya ushindi wa maisha yetu duniani.

KANUNI ZA KIROHOKumbuka;

Waebrania 11:1, 3   Imani ni uhakika (ufahamu na j i ) it i i kujuzi wa) vitu visivyoonekana (vilivyoumbwa kwanza)(vilivyoumbwa kwanza).

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu f b k ikanayefanya mambo katika 

ulimwengu wa yasiyoonekanaulimwengu wa yasiyoonekanakwanza, kabla ya kuyasababisha , y yyatokee katika ulimwengu wa mwili wa yanayoonekana.

KANUNI ZA KIROHO

Kwanini tujue habari za

Ulimwengu wa RohoKama Kanuni?

Waebrania 11:1, 3   

KANUNI ZA KIROHOKumbuka kwamba;Waebrania 11:1, 3   

Vitu vinavyoonekana, viliumbwa k it i i dh hi i ( itkwa vitu visivyo dhahiri (au vitu 

visivyo wazi wazi au vituvisivyo wazi wazi au vitu vinavyoonekana)

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Kwahiyo, ukitaka kuleta b dilik f l i k ikmabadiliko fulani katika 

ulimwengu wa mwili iliulimwengu wa mwili, ili utembee kwa ushindi duniani, ,basi ni lazima ujue kuutawala ulimwengu wa roho kwanza.

ULIMWENGU WA ROHO

Kwa Mfano bUumbaji wa Dunia

W b i 11 3Waebrania 11:3

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

‘N i t j k li‘Nasi twajua ya kuwa, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, nauliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) h k b k lhavikuumbwa kwa vitu vilivyo 

dhahiri (wazi wazi)’dhahiri (wazi wazi)

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

‘ li li b k N‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekanala Mungu, na vitu vinavyoonekana(vya kimwili) viliumbwa kwa vitu 

dh h ( )’visivyo dhahiri (wazi wazi)’(vitu vya kiroho)‐ (vitu vya kiroho) ‐

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kila kitu kilichozaliwa na 

Mungu, huushinda ulimwengu; h k dik k hi dNa huku ndiko kushinda

kuushindako ulimwengu yaanikuushindako ulimwengu, yaani hiyo IMANI yetu’y y

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37

‘Na katika mambo yote, tunashinda na zaidi ya kushindatunashinda na zaidi ya kushindakupitia Kristo Yesu aliyetupenda’kupitia Kristo Yesu aliyetupenda(katika yote, sisi ni washindi na(katika yote, sisi ni washindi na zaidi ya washindi, kupitia Yesu 

Kristo aliyetupenda)

NGUVU YA MAOMBI NA SADAKA

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta 

mabadiliko katika mambo yamabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktknamna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko ykatika ulimwengu wa mwili.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUNa huu ndio utaratibu na k i b Mkanuni ambazo Mungu aliziweka duniani ilializiweka duniani, ili 

kutuwezesha kutawala ulimwengu wa mwili, kwa 

k i ki h i hi ikanuni za kiroho zinazoathiri kwanza ulimwengu wa kirohokwanza ulimwengu wa kiroho.

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4            733

Milele

33                30      3 ½             3 ½   3 ½ 

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4            733

Milele

33                30      3 ½             3 ½   3 ½ 

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Ulimwengu wa Mwili

Torati na Manabii Kuzaliwa Injili

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo Kalvari Kanisa Sasa

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4   7

33

Milele

33               30      3 ½             3 ½   3 ½ 

600                        InjiliUlimwengu wa Roho 2000 Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho 2000                                                                                           Kanisa Dhiki700

Ulimwengu wa Mwili(4) Daniel  7:13 – 14, 27 (5) Ufunuo 20:11 – 15

(3) Isaya 9: 6

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4   7

33

Milele

33               30      3 ½             3 ½   3 ½ 

600                        InjiliUlimwengu wa Roho 2000 Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho 2000                                                                                           Kanisa Dhiki700

Ulimwengu wa Mwili(4) Daniel  7:13 – 14, 27 (5) Ufunuo 20:11 – 15

(3) Isaya 9: 6

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo

KANUNI ZA KIROHOWarumi 4:17   

Mungu wetu ni Mungu i j i i kanayevitaja, visivyokuwepo, 

kana kwamba vimekuwepo;kana kwamba vimekuwepo; (yaani anataja visivyoonekana(y j ykana kwamba vinaonekana).

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 2:11   

Ndio maana shetani alikimbilia k k li hkukamata Ulimwengu wa roho, ili na yeye aweze kusababishaili na yeye aweze kusababisha  visivyokuwepo, kana kwamba y p ,

vimekuwepo; 

ULIMWENGU WA ROHO

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea leo, usije ukafikiri 

limeanza leo hapana; Ukweli nilimeanza leo, hapana; Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo , jlimejitokeza katika mwili, lakini mbegu yake ilishapandwa huko rohoni wakati fulani uliopitarohoni wakati fulani uliopita.

ULIMWENGU WA ROHO

2 Wakorintho 4:18Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali(vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana 

(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumundivyo vya vya kudumu 

(vinavyotawala vya kimwili).( y y )

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili; 

Na hii ina maana kwambaNa hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyikahakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, g ,mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengujambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilo 

moja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katikabali analifanya kwanza katika 

ulimwengu wa roho.

ULIMWENGUWA ROHOULIMWENGU WA ROHO

Mungu alizifanya kanuni zaMungu alizifanya kanuni za kiroho, ziwe njia ya kuutawalakiroho, ziwe njia ya kuutawala ulimwengu wa mwili kwa kuwa 

na uwezo wa kusababisha mabadiliko kutokea katikamabadiliko kutokea katika 

ulimwengu wa roho.ulimwengu wa roho.

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11: 3, 6Basi mtu wa Mungu akitaka 

kutembea duniani na Mungu wa Imani kwa ushindi ni lazimaImani, kwa ushindi, ni lazima ajue kutembea kwa imani;ajue kutembea kwa imani;

kwani Imani yetu ndiyo siri ya ushindi wa maisha yetu duniani.

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:6‘Pasipo imani, haiwezekani 

kumpendeza Mungu’.

1Yohana 5:41Yohana 5:4‘Imani ni siri ya ushindi wetu’Imani ni siri ya ushindi wetu

KANUNI ZA KIROHO

Amos 3:3‘Watu wawili hawawezi 

kutembea katika njia moja, i ’wasipopatana’.

KANUNI ZA KIROHO

Waebrani 11:1

‘I i i h kik‘Imani ni uhakika ( f h j i)(ufahamu na ujuzi) wa

b i kmambo yasiyoonekana(mambo ya rohoni)(mambo ya rohoni).

ULIMWENGU WA ROHONa huu ndio utaratibu na 

k i b M lii kkanuni ambazo Mungu aliiweka duniani ili kutuwezeshaduniani, ili kutuwezesha 

kutawala ulimwengu wa mwili, kwa kutumia kanuni za kirohoi hi i k lizinazoathiri kwanza ulimwengu 

wa kirohowa kiroho.

ULIMWENGU WA ROHO

Mtu yeyote, hataweza kufanikiwa duniani kwa asilimiakufanikiwa duniani kwa asilimia 100%, bila ya kufuata kanuni hii100%, bila ya kufuata kanuni hii 

kuu ya uumbaji wa Mungu duniani.

ULIMWENGU WA ROHOWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya kanuni za kiroho

katika maisha yao watawekakatika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi ykatika maisha yanayotimiza 

kanuni za kiroho.   

Ndio maana tunataka kujifunza;

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHOZAMAISHA YA USHINDIZA MAISHA YA USHINDI

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kila kitu kilichozaliwa na 

Mungu, huushinda ulimwengu; h k dik k hi dNa huku ndiko kushinda 

kuushindako ulimwengukuushindako ulimwengu, ni hiyo IMANI yetu’ni hiyo IMANI yetu

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:1‘Imani ni kuwa na uhakika(wa sasa), wa mambo 

yasiyoonekana;(mambo ya rohoni)

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:1‘Imani ni uthibitisho (bayana)  wa yale mambo tunayoyatarajia

(baadaye)’

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Ikiwa Imani ndiyo siri ya ushindi wetu, na Imani ni uhakika wa 

b li hmambo ya ulimwengu wa roho(yasiyoonekana)’(yasiyoonekana)

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Basi mtu wa Mungu asipokuwa 

na ufahamu wa mambo ya h i h k i hi i hrohoni, hataweza kuishi maisha 

ya ushindi duniani’ya ushindi duniani .

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:6‘Basi pasipo Imani, haiwezekani 

t k d M ’mtu kumpendeza Mungu’.

KANUNI ZA KIROHO

W b i 10 38Waebrania 10:38‘B i h ki‘Basi mwenye haki wangu, ataishi kwa Imani lakiniataishi kwa Imani, lakini 

akisitasita, roho yangu haina , y gfuraha naye’.

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kwakuwa Imani ndiyo siri ya ushindi wetu, na Imani ni 

h kik buhakika wa mambo yasiyoonekana (mambo yayasiyoonekana (mambo ya 

ulimwengu wa roho)’g )

KANUNI ZA KIROHO‘Hivyo Basi mtu wa Mungu 

akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani katikana Mungu wa Imani, katika 

maisha yake duniani, lazima awe maisha yake duniani, la ima awena ufahamu wa mambo 

yasiyoonekana (mambo ya h i) i I irohoni) yaani Imani.

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu wa i f bImani, anayefanya mambo 

yasiyoonekana kwanza kabla yayasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika y y

ulimwengu wa mwili(ulimwengu wa yanayoonekana)

KANUNI ZA KIROHOKwa Mfano;

Uumbaji wa vitu vya DuniaMwanzo 1:1‐5, 14‐19

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

1 H M li b1 Hapo mwanzo, Mungu aliumbambingu na nchi; 2 na Duniambingu na nchi; 2 na Dunia

ilikuwa haina umbo tena ilikuwatupu, giza lilikuwa juu ya uso waili di ji R hvilindi vya maji, naye Roho waMungu alitanda juu ya majiMungu alitanda juu ya maji. 

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

3 Mungu akasema “Iwepo nuru’’3 Mungu akasema,  Iwepo nuru  nayo nuru ikawepo. 4 Munguakaona ya kuwa nuru ni njema, di M k i hndipo Mungu akatenganisha nuru

na gizana giza. 

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

5 Mungu akaiita nuru “mchana’’5 Mungu akaiita nuru mchana  na giza akaliita “usiku.’’ Ikawajioni ikawa asubuhi, siku ya

kkwanza. 

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

14 Mungu akasema “Iwepo14 Mungu akasema,  Iwepo mianga kwenye nafasi ya anga iliitenganishe mchana na usiku, 

i l k b li hnayo iwe alama ya kutambulishamajira mbali mbali siku na miakamajira mbali mbali, siku na miaka, 

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

15 nayo iwe ndiyo miangay y gkwenye nafasi ya anga itoe nurujuu ya dunia.’’ Ikawa hivyo. 16Mungu akafanya mianga miwiliMungu akafanya mianga miwili

mikubwa … 

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

16 … Mwanga mkubwa utawalegmchana (Jua) na mwanga mdogo

utawale usiku (Mwezi). PiaMungu akafanya na nyota zaMungu akafanya na nyota za

mbinguni.g

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

17 Mungu akaiweka hiyo mianga17 Mungu akaiweka hiyo miangamikubwa miwili (yaani Jua na(yMwezi) katika anga ili iangaze

dunia. 18 … Mungu akaona kuwahili nalo ni jema 19 Ikawa jionihili nalo ni jema. 19 Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya nne., y

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Kumbe Nuru ya UlimwenguniKumbe Nuru ya Ulimwenguni, haitoki kwenye jua na mwezi, y j ,

kwasababu Nuru ilikuwepo tangusiku ya kwanza wakati jua na

mwezi viliumbwa baadaye kabisamwezi viliumbwa baadaye kabisakatika siku ya nne!y

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Kumbe jua si chanzo chaKumbe jua si chanzo cha Mwanga au Nuru inayoangazag y g

ulimwenguni, bali jua ni“kibebeo” tu cha kuleta mwangaduniani lakini jua si chanzo chaduniani, lakini jua si chanzo cha Nuru inayoangaza duniani.y g

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

N J MNuru Jua Mwanga

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

N J MNuru Jua Mwanga(Y /N )(Yesu/Neno)Y h 1 1 9Yoh 1:1‐9

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

1 H lik k1 Hapo mwanzo, alikuwakoNeno Huyo Neno alikuwaNeno. Huyo Neno alikuwa

pamoja na Mungu, naye Nenopamoja na Mungu, naye Nenoalikuwa Mungu. 2 Tangu

mwanzo huyo Neno alikuwapamoja na Mungu. 

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

3 Vitu vyote viliumbwa kwa Yeye3 Vitu vyote viliumbwa kwa Yeye, wala pasipo Yeye hakuna chowala pasipo Yeye hakuna chochote kilichoumbwa ambacho

kimeumbwa. 

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

4 Ndani Yake ndimo ulimokuwa4 Ndani Yake ndimo ulimokuwauzima na huo uzima ulikuwa nuruuzima na huo uzima ulikuwa nuruya watu. 5 Nuru hung’aa gizani

nalo giza halikuishinda. 

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

7 Yohana Mbatizaji alikuja kuwaushuhuda ili aishuhudie ileushuhuda, ili aishuhudie ile

Nuru, hata watu wote wapataNuru, hata watu wote wapatakumwamini.

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

8 Huyo Yohana hakuwa ile Nuru, bali alikuja ili aishuhudie ilebali alikuja ili aishuhudie ile

Nuru, ili watu wote wamwamini.Nuru, ili watu wote wamwamini.

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

9 Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye kila mtu Nuru akijaamtiaye kila mtu Nuru, akija

katika Ulimwengu.katika Ulimwengu.

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

14 Naye Neno (Nuru) alifanyikamwili akakaa kwetu nasimwili, akakaa kwetu, nasi

tukauona Utukufu wake (mn’gaotukauona Utukufu wake (mn gaowake), Utukufu kama waMwana pekee atokaye kwa

B b j k liBaba; amejaa neema na kweli.

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

14 Naye Neno (Nuru) alifanyikamwili akakaa kwetu nasimwili, akakaa kwetu, nasi

tukauona Utukufu wake (mn’gaotukauona Utukufu wake (mn gaowake), Utukufu kama waMwana pekee atokaye kwa

B b j k liBaba; amejaa neema na kweli.

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐199 Mimi Yohana, ndugu yenu

i hi iki j i tninayeshiriki pamoja nanyi matesokatika Yesu (nilimwona huyu ambaye( y y

ndiye “Nuru” ya Ulimwengu); k b k k ik ik hinakumbuka katika siku hiyo…

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐1910 Nilikuwa katika Roho siku ya

B ik iki ti k b kBwana, nikasikia sauti kubwa kamaya tarumbeta nyuma yanguy y y g

11 ikisema, “Andika kwenye kitabuh ki hhaya yote unayoyaona, kisha

ukipeleke kwa makanisa saba…’’ukipeleke kwa makanisa saba…

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐1912 Ndipo nikageuka ili nione ni sauti

i ili k iki iya nani iliyokuwa ikisema nami. Nami nilipogeuka … 13 nikaona mtup gkama Mwana wa Adamu, amevaaj h f k d dh h bjoho refu na mkanda wa dhahabu

umefungwa kifuani mwake.umefungwa kifuani mwake. 

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐1915 … nywele zake ni nyeupe kamasufu miguu yake inang’aa kamasufu, miguu yake inang aa kamashaba iliyosuguliwa sana, macho 

yake ni kama mwali wa moto, sautiyake ni kama sauti ya maji mengi nayake ni kama sauti ya maji mengi na

Uso wake kama (nuru) jua kalilinalong’aa kwa nguvu zake zote. 

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐1917 Nilipomwona, nilianguka miguunik k li k f Ndi k kpake kama aliyekufa. Ndipo akaweka

mkono wake wa kuume juu yangu naj y gkusema, “Usiogope, Mimi ni wa

K M i h Nili kKwanza na wa Mwisho. Niliyekuwanimekufa, lakini sasa Niko Hai, milelenimekufa, lakini sasa Niko Hai, milele

hata milele yote. 

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 5:1212 Kisha Yesu akasema nao tenak bi “Mi i i Nakawaambia, “Mimi ni Nuru ya

ulimwengu. Mtu ye yote akinifuatag y yhatatembea gizani kamwe, bali

k i ”atakuwa na nuru ya uzima.”

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 3:16‐2019 Hii ndiyo hukumu kwamba: Nurui k j li i timekuja ulimwenguni, nao watuwakapenda giza kuliko Nuru kwap gsababu matendo yao ni maovu.

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

N J MNuru Jua Mwanga(Y /N )(Yesu/Neno)Y h 1 7 9Yoh 1:7‐9

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Kwa lugha rahisi;Kwa lugha rahisi;

Mwanga au Nuru inayoangazag y gduniani, ina vyanzo viwili; kimojani kipo katika ulimwengu wamwili na kingine kipo katikamwili na kingine kipo katika

ulimwengu wa roho.g

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Chanzo cha Nuru cha rohoniChanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha p y

Nuru cha mwilini kuwepo.Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzokimwili kinatawaliwa na chanzo

cha Nuru cha kiroho. 

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Hii ina maana kwamba;Hii ina maana kwamba;

Kanuni za Kiroho zilikuwepo kablapya Kanuni za Kimwilini kuwepo.Kwahiyo, Kanuni za Kiroho ndizozinazotawala Kanuni za Kimwili zazinazotawala Kanuni za Kimwili za

Ulimwengu huu.g

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Hii ina maana kwamba;Hii ina maana kwamba;

Hakuna kitu kinachofanyika katikayUlimwengu wa mwili, mpakakimefanyika kwanza katika

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa roho.

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Chanzo cha Nuru cha rohoniChanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha p y

Nuru cha mwilini kuwepo.Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzokimwili kinatawaliwa na chanzo

cha Nuru cha kiroho. 

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

N J MNuru Jua Mwanga(Y /N )(Yesu/Neno)Y h 1 7 9Yoh 1:7‐9

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:1‐4“ h i hi k k“Mtu hataishi kwa mkate tu, b li k kil N li k lbali kwa kila Neno litokalok tik ki h B ”katika kinywa cha Bwana”.

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Mk AfNeno Mkate Afya

KANUNI ZA KIROHOLuka 4:1‐4

Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika mkatetunaokula tu bali kwa katikatunaokula tu, bali kwa katika

Neno litokalo katika kinywa chaNeno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.

KANUNI ZA KIROHOLuka 4:1‐4

Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika Dawaanazotumia tu bali kwa katikaanazotumia tu, bali kwa katikaNeno litokalo katika kinywa chaNeno litokalo katika kinywa cha 

Bwana Mungu.

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N D AfNeno Dawa Afya

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N N b Uli iNeno Nyumba Ulinzi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Ki d U i i iNeno Kitanda Usingizi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Ki b AkiliNeno Kitabu Akili

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N P U dNeno Pete            Upendo

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Ch i K iNeno Cheti Kazi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Aji M f ikiNeno Ajira Mafanikio

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Mistari hii inatuonyesha kwamba, k b k k i i ikumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kulikokiroho, zilizo juu sana kuliko 

kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa 

ki ili k i kkimwili na kanuni zake.

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Utamkumbuka Bwana MunguUtamkumbuka Bwana Munguwako aliyekulisha kuku Jangwani, y g ,

japo jangwani hakuna kuku, aliyekupa maji kutoka kwenyemwamba na sio kutoka katikamwamba na sio kutoka katika

mito iliyo chini ya ardhi.y y

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Ni Mungu aliyekulisha kwa mikateNi Mungu aliyekulisha kwa mikateya Mana, usiyoilima walay , y

kuivuna, lakini uliila na ulishiba; japo uliishi jangwani kwa miakaarobaini ili upate kujua kwambaarobaini, ili upate kujua kwamba, mtu hataishi kwa mkate tu …

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

ila mtu ataishi kwa kila Nenoila mtu ataishi kwa kila Nenolitokalo kwa Mungu. Na wewegmwenyewe ni shahidi kwamba, japo ulikwa jangwani, lakini

haukupungukiwa na lolote kwahaukupungukiwa na lolote, kwamiaka yote hiyo arobaini, iwey y ,

masika au kiangazi.

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Nikakuleta katika nchi nzuri yenyeNikakuleta katika nchi nzuri yenyekila utajiri ndani yake, rutuba, j y , ,misitu, mafuta shaba, n.k. Kwamkono wangu nikakurithisha

mizeituni ambayo haukuipandamizeituni ambayo haukuipandawewe na nikakurithisha nyumbayambazo haukuzijenga wewe; 

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Na bado ninakuahidi endapoNa bado ninakuahidi, endapohautamsahau Bwana Mungugwako, basi wanyama wako

wataongezeka, mashamba yakoyataongezeka fedha yako nayataongezeka, fedha yako na

dhahabu yako vitaongezeka, nay g ,kila kitu chako kitaongezeka.

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Sasa basi uwe mwangalifu sanaSasa basi, uwe mwangalifu sanamoyoni mwako, usijey , j

ukamsahahu Bwana Mungu wakoaliyekutendea yote haya; Walausije ukasema eti mkono wanguusije ukasema, eti mkono wanguna uwezo wangu ndio vimenipatiag p

utajiri huu.

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Bali utamkumbuka Bwana MunguBali utamkumbuka Bwana Munguwako, aliyekutoa katika nchi ya, y yMisri; kwani yeye ndiye akupaye

nguvu za kupata utajiri, ilikuliimarisha agano ambalokuliimarisha agano ambalo

Mungu aliahidiana na Baba zenu.g

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Mistari hii inatuonyesha kwamba, k b k k i i ikumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kulikokiroho, zilizo juu sana kuliko 

kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa 

ki ili k i kkimwili na kanuni zake.

KANUNI ZA KIROHOKwa lugha rahisi;Waebrania 11:3   

“Vitu vinavyoonekana, ili b k it i iviliumbwa kwa vitu visivyo 

dhahiri (au vitu visivyo wazi wazidhahiri (au vitu visivyo wazi waziau vitu vinavyoonekana)”

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Vitu vinavyoonekana,Vitu vinavyoonekana, vinatawaliwa na vitu visivyoonekana;

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Mambo ya Ulimwengu wa mwiliMambo ya Ulimwengu wa mwiliyanatawaliwa na mambo ya 

ulimwengu wa roho; 

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Kanuni za kimwili (NaturalKanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual 

P i i l )Principles).

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:1‐4“ h i hi k k“Mtu hataishi kwa mkate tu, 

b li k kil N li k l kbali kwa kila Neno litokalo kwaBwana”Bwana .

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Mk AfNeno Mkate Afya

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Mistari hii inatuonyesha kwamba, k b k k i i ikumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kulikokiroho, zilizo juu sana kuliko 

kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa 

ki ili k i kkimwili na kanuni zake.

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Kanuni za kimwili (NaturalKanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual 

P i i l )Principles).

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

i k ( ki ili) ivinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vituvya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) y ( y )

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano;Uumbaji wa DuniaWaebrania 11:3

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19   

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

“Nasi twajua ya kuwa, ulimwengu li b k N l Muliumbwa kwa Neno la Mungu, hata vitu vinavyoonekana,hata vitu vinavyoonekana, 

havikuumbwa kwa vitu vilivyo dhahiri (au vitu vilivyo wazi wazi 

it i k )”au vitu vinavyoonekana)”

KANUNI ZA KIROHOKwa lugha rahisi;Waebrania 11:3   

“Vitu vinavyoonekana, ili b k it i iviliumbwa kwa vitu visivyo 

dhahiri (au vitu visivyo wazi wazidhahiri (au vitu visivyo wazi waziau vitu vinavyoonekana)”

ULIMWENGU WA ROHO

Hii ina maana kwamba;Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwakwanza; na kisha ulipokamilishwa, 

ndipo Mungu akasababishaulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka 

katika ulimwengu wa rohokatika ulimwengu wa roho. (Waebrania 11:3)(Waebrania 11:3)

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

K hi M li b d iKwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu waaliiumba katika ulimwengu wa 

kiroho kwanza, na alipoikalimisha h d k ( krohoni, ndipo akaizaa (akai‐

photocopy au akai‐print) katikaphotocopy au akai print) katika ulimwengu wa mwili.

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18Waebrania :3, Wakorintho 4: 8

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki MileniaUumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1         Mwa 3                      Manabii Math 1             Math 27                   1 Thes 4                        Ufu 21

7 100033               (1) Ufu 13 :8                                      Kristo

( ) f 1 3 4 f30        3 ½                            (2) Efe 1:3‐4 Mfalme

InjiliKalvari KanisaKalvari Kanisa

Milele

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18Waebrania :3, Wakorintho 4: 8

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki MileniaUumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1         Mwa 3                      Manabii Math 1             Math 27                   1 Thes 4                        Ufu 21

7 100033               (1) Ufu 13 :8                                      Kristo

( ) f 1 3 4 f30        3 ½                            (2) Efe 1:3‐4 Mfalme

Injili600 Kalvari Kanisa600                                 Kalvari Kanisa

700                                   2000

Milele(4) Daniel  7:13 – 14, 27

(3) Isaya 9: 6                                   33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15

Bahari Miti Upepo Ulimwengu wa Mwili

ULIMWENGU WA ROHOWaebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia aliiumba kwanza katikadunia, aliiumba kwanza katika 

ulimwengu wa kiroho, na g ,alipoikalimisha, ndipo akaizaa(akai‐photocopy au akai‐print) katika ulimwengu wa mwilikatika ulimwengu wa mwili.

ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu kunaKatika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

• Vitu visivyoonekana• Vitu vinavyoonekana

Na vyote viko kwa pamoja

ULIMWENGU WA ROHO

Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina original copy na photocopy yakeoriginal copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft‐copy na hard‐copy yake (yaani kina upande wa rohoniyake (yaani kina upande wa rohoni

na wa upande wa mwilini).p )

ULIMWENGU WA ROHO

KwahiyoKil h Ki iliKila cha Kimwili, 

kina cha kiroho chakekina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

ULIMWENGU WA ROHO

1 Wakorintho 15:44“Iki k ili ili“Ikiwa kuna mwili wa asili, 

Basi na mwili wa roho pia upo”Basi na mwili wa roho pia, upo

ULIMWENGU WA ROHO

Ayubu 8:9“Kwakuwa sisi ni wa jana tu, 

wala hatujui neno maisha yetuwala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”ni kama kivuli‐ Photocopy  ‐

ULIMWENGU WA ROHO

Zaburi 39:6a“Binadamu huko na huko

kama kivuli”Photocopy‐ Photocopy  ‐

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu f b k ikanayefanya mambo katika 

ulimwengu wa yasiyoonekanaulimwengu wa yasiyoonekanakwanza, kabla ya kuyasababisha , y yyatokee katika ulimwengu wa mwili wa yanayoonekana.

KANUNI ZA KIROHOWarumi 4:17   

Mungu wetu ni Mungu i j i i kanayevitaja, visivyokuwepo, 

kana kwamba vimekuwepo;kana kwamba vimekuwepo; (yaani anataja visivyoonekana(y j ykana kwamba vinaonekana).

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 8:37,   1Yohana 5:4Basi mtu wa Mungu akitaka 

kutembea duniani na Mungu wa Imani kwa ushindi ni lazimaImani, kwa ushindi, ni lazima ajue kutembea kwa imani;ajue kutembea kwa imani;

kwani Imani yetu ndiyo siri ya ushindi wa maisha yetu duniani.

KANUNI ZA KIROHOKumbuka;

Waebrania 11:1, 3   Imani ni uhakika (ufahamu na j i ) it i i kujuzi wa) vitu visivyoonekana (vilivyoumbwa kwanza)(vilivyoumbwa kwanza).

KANUNI ZA KIROHOKumbuka kwamba;Waebrania 11:1, 3   

Vitu vinavyoonekana, viliumbwa k it i i dh hi i ( itkwa vitu visivyo dhahiri (au vitu 

visivyo wazi wazi au vituvisivyo wazi wazi au vitu vinavyoonekana)

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

i k ( ki ili) ivinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vituvya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) y ( y )

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Kwahiyo, ukitaka kuleta b dilik f l i k ikmabadiliko fulani katika 

ulimwengu wa mwili iliulimwengu wa mwili, ili utembee kwa ushindi duniani, ,basi ni lazima ujue kuutawala ulimwengu wa roho kwanza.

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:1‘Imani ni kuwa na uhakika(wa sasa), wa (mambo ya

rohoni) mambo yasiyoonekana;

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kila kitu kilichozaliwa na 

Mungu, huushinda ulimwengu; h k dik k hi dNa huku ndiko kushinda 

kuushindako ulimwengu yaanikuushindako ulimwengu, yaani hiyo IMANI yetu’y y

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kwakuwa Imani ndiyo siri ya ushindi wetu, na Imani ni 

h kik buhakika wa mambo yasiyoonekana (mambo yayasiyoonekana (mambo ya 

ulimwengu wa roho)’g )

KANUNI ZA KIROHO‘Hivyo Basi mtu wa Mungu 

akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani katikana Mungu wa Imani, katika 

maisha yake duniani, lazima awe maisha yake duniani, la ima awena ufahamu wa mambo 

yasiyoonekana (mambo ya h i) i I irohoni) yaani Imani.

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu wa i f bImani, anayefanya mambo 

yasiyoonekana kwanza kabla yayasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika y y

ulimwengu wa mwili(ulimwengu wa yanayoonekana)

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3,  1Yoh 5:4   

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta b dilik f l i k ikmabadiliko fulani katika 

ulimwengu wa mwili iliulimwengu wa mwili, ili utembee kwa ushindi duniani,  ,

ni lazima ujue kuutawala ulimwengu wa roho kwanza.

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano;

Ushindi wa Yesu wa Pasaka1Petro 3:18‐20   

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20

Siku ile Bwana Yesu alipoangikwa msalabani watu waliuona mwilimsalabani, watu waliuona mwili wake ukining’inia msalabani,wake ukining inia msalabani, lakini hawakuoiona roho yake

ikiondoka kwenda katika ulimwengu wa wafu (kuzimuni)ulimwengu wa wafu (kuzimuni).

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20

18 “Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili yaaliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajilidhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake ukauwaw, bali roho yake ikahuishwa”bali roho yake ikahuishwa”. 

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20

19 “Kwa hiyo (roho yake)aliwaendea roho waliokuwaaliwaendea roho waliokuwa 

kifungoni, akawahubiri (injili nikifungoni, akawahubiri (injili ni uweza wa Mungu uletao wokovu)  yaani akawakomboa wale wote waliofungwa au waliozuiliwa)waliofungwa au waliozuiliwa)

KANUNI ZA KIROHOMathayo 27:45

45 “Basi tangu saa 6 mpaka saa 9, palikuwa na giza juu ya nchi yotepalikuwa na giza juu ya nchi yote 46 na ilipofika saa 9, Yesu akapaza46 na ilipofika saa 9, Yesu akapaza 

sauti yake … 50 (akasema imekwisha) aliposema hivyo, 

akaitoa roho yakeakaitoa roho yake.

KANUNI ZA KIROHOMathayo 27:45

51 “na tazama pazia la hekalu likapasuka kutoka juu hata chini;likapasuka kutoka juu hata chini; 

nchi ikatetemeka, miambanchi ikatetemeka, miamba ikapasuka, 52 na makaburi 

yakafunguka na ikainuka miili mingi ya watakatifu waliolalamingi ya watakatifu waliolala.

KANUNI ZA KIROHO

Waefeso 4:88 “alipopaa juu, aliteka mateka, k d i ”akawapa wanadamu vipawa”

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20 

Kumbe hatua zote za ukombozi d li fwa mwanadamu, alioufanya 

Bwana Yesu pale msalabaniBwana Yesu pale msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika 

ulimwengu wa kiroho kwanza kabla ya kutokea katika mwili.

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20 

Kumbe mambo ya aina mbili lik ki d l kyalikuwa yakiendelea kwa 

wakati mmoja (ktk dunia moja);wakati mmoja (ktk dunia moja);Mengine katika ulimwengu waMengine katika ulimwengu wa 

mwili na mengine katikaulimwengu wa roho.

1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54    Wakolosai 2:14‐15Mathayo alitumiwa   Paulo alitumiwa na  

Mungu kuelezea Mungu kuelezeaMungu kuelezea        Mungu kuelezea

Mambo yaliyotokea mambo yaliyotokeaMambo yaliyotokea mambo yaliyotokea 

Katika ulimwengu katika ulimwengu

wa kimwili wa kiroho

1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54       Wakolosai 2:14‐15Uli M ili Uli R hUlimwengu wa Mwili     Ulimwengu wa Roho

1. 1.1. 1.

Alikuwa Alikuwa  Analia. Anashangilia.“Eloi Eloi                     “akizishangilia ktk

lama sabaktan”                     msalaba”

1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54       Wakolosai 2:14‐15Uli M ili Uli R hUlimwengu wa Mwili     Ulimwengu wa Roho

2. 2.2. 2.

Alikuwa Alikuwa  Anateseka Anazitesa.“Naona Kiu”            “falme na mamlaka

wakamnywesha siki          za giza (shetani)”

1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54       Wakolosai 2:14‐15Uli M ili Uli R hUlimwengu wa Mwili     Ulimwengu wa Roho

3. 3.3. 3.

Alivuliwa Nguo         Alizivua mamlaka g

kwa aibu (uchi)       za giza (mashetani)

1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54       Wakolosai 2:14‐15Uli M ili Uli R hUlimwengu wa Mwili     Ulimwengu wa Roho

4. 4.4.                                       4.

Aliaibishwa Aliziaibisha  ‘Akafa kifo cha laana             ‘akaziharibu na 

mateso na aibu sana’            kuzifedhehesha

juu ya msalaba’

1Petro 3:18‐20 Mathayo 27:32‐54       Wakolosai 2:14‐15Uli M ili Uli R hUlimwengu wa Mwili     Ulimwengu wa Roho

5. 5.5.                                     5.

Alikuwa Alikuwa  Anashindwa.         Anashinda.

‘Akafa kifo cha mateso      ‘akaenda kuzimuni

na aibu sana’              kukomboa watakatifu

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20 

Kumbe mambo ya aina mbili lik ki d l kyalikuwa yakiendelea kwa 

wakati mmoja (ktk dunia moja);wakati mmoja (ktk dunia moja);Mengine katika ulimwengu waMengine katika ulimwengu wa 

mwili na mengine katikaulimwengu wa roho.

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18‐20 

Kumbe hatua zote za ukombozi d li fwa mwanadamu, alioufanya 

Bwana Yesu pale msalabaniBwana Yesu pale msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika 

ulimwengu wa kiroho kwanza kabla ya kutokea katika mwili.

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3 

Huu ndio Utaratibu wa Munguk ik k i l d ikatika kuitawala dunia;

kwamba mambo yanayotakiwakwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa y gkimwili, sharti yafanyike kwanza katika ulimwengu wa kiroho.

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3,  1Yoh 5:4   

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta b dilik f l i k ikmabadiliko fulani katika 

ulimwengu wa mwili iliulimwengu wa mwili, ili utembee kwa ushindi duniani,  ,

ni lazima ujue kuutawala ulimwengu wa roho kwanza.

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Mambo ya Ulimwengu wa mwiliMambo ya Ulimwengu wa mwiliyanatawaliwa na mambo ya 

ulimwengu wa roho; 

KANUNI ZA KIROHOi h ( iNguvu za Kiroho (vitu 

visivyoonekana) zikihusishwa auvisivyoonekana) zikihusishwa au zikipambanishwa duniani, katika pulimwengu wa mwili (wa vitui k ) i lvinavyoonekana) zinatawala na kuvibadilisha hivyo vitu vilivyokuvibadilisha hivyo vitu vilivyo katika ulimwengu wa mwili wa g

vitu vinavyoonekana;

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3 

Huu ndio Utaratibu wa Munguk ik k i l d ikatika kuitawala dunia;

kwamba mambo yanayotakiwakwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa y gkimwili, sharti yafanyike kwanza katika ulimwengu wa kiroho.

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3,  1Yoh 5:4   

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta b dilik f l i k ikmabadiliko fulani katika 

ulimwengu wa mwili iliulimwengu wa mwili, ili utembee kwa ushindi duniani,  ,

ni lazima ujue kuutawala ulimwengu wa roho kwanza.

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Kanuni za Ulimwengu wa mwiliKanuni za Ulimwengu wa mwilizinatawaliwa na Kanuni za 

Ulimwengu wa roho; 

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Mambo ya Ulimwengu wa mwiliMambo ya Ulimwengu wa mwiliyanatawaliwa na mambo ya 

ulimwengu wa roho; 

KANUNI ZA KIROHOi h ( iNguvu za Kiroho (vitu 

visivyoonekana) zikihusishwa auvisivyoonekana) zikihusishwa au zikipambanishwa duniani, katika pulimwengu wa mwili (wa vitui k ) i lvinavyoonekana) zinatawala na kuvibadilisha hivyo vitu vilivyokuvibadilisha hivyo vitu vilivyo katika ulimwengu wa mwili wa g

vitu vinavyoonekana;

KANUNI ZA KIROHO

Nguvu NguvuNguvu                     NguvuZa zaZa                            za

Kimwili Vs KirohoKimwili        Vs        Kiroho (Natural                (Spiritual  ( ( pPrinciples)            Principles)p ) p )

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Nguvu za Kiroho zikihusika au iki b i h d i izikipambanishwa duniani, 

(katika ulimwengu wa mwili)(katika ulimwengu wa mwili) zinaweza kuleta mabadiliko 

yafuatayo;

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

1. Zinaweza kuzisababishak i ki ili ili kkanuni za kimwili, zilizokataakufanya kazi ziweze kufanyakufanya kazi, ziweze kufanyakazi kama ilivyotegemewa.y g(kama kawaida yake)( y )

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

2. Zinaweza kuzisababishak i ki ili i ikanuni za kimwili, zisizowezakufanya kazi zipindishwekufanya kazi, zipindishwehata ziweze kufanya kaziy

katika hali isivyotegemewa.(si kawaida yake)

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

3. Zinaweza kuzisababishak i ki ili i ikanuni za kimwili, zisizowezakufanya kazi zirukwe hatakufanya kazi, zirukwe, hatajambo lifanyike bila kupitiakatika njia yake ya asili.

(si kawaida yake)

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Kanuni za Ulimwengu wa mwiliKanuni za Ulimwengu wa mwilizinatawaliwa na Kanuni za 

Ulimwengu wa roho; 

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

i k ( ki ili) ivinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vituvya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) y ( y )

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Kwahiyo, ukitaka kuleta b dilik f l i k ikmabadiliko fulani katika 

ulimwengu wa mwili iliulimwengu wa mwili, ili utembee kwa ushindi duniani, ,basi ni lazima ujue kuutawala ulimwengu wa roho kwanza.

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4,  Warumi 8:37‘Basi mtu wa Mungu asipokuwa 

na ufahamu wa mambo ya h i h k b krohoni, hataweza kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imaniushindi na Mungu wa Imani, katika maisha yake duniani’.y

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:1, 6Kwasababu, Imani ni uhakika (ujuzi na maarifa) ya mambo 

i k i diyasiyoonekana. Na Imani ndio siri ya Ushindi wetusiri ya Ushindi wetu.

1Yohana 5:41Yohana 5:4

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2.Kumpokea YesuKumpokea Yesu

(W k )(Wokovu)

ULIMWENGU WA ROHO

KumbukaWaebrania 11:3

M li b d i lii bMungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu wa kirohokatika ulimwengu wa kiroho

kwanza, na alipoikalimisha rohoni,d k ( k hndipo akaizaa (akai‐photocopy au 

akai‐print) katika mwili.akai print) katika mwili.

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4            733

Milele

33                30      3 ½             3 ½   3 ½ 

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4            733

Milele

33                30      3 ½             3 ½   3 ½ 

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Ulimwengu wa Mwili

Torati na Manabii Kuzaliwa Injili

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo Kalvari Kanisa Sasa

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4   7

33

Milele

33               30      3 ½             3 ½   3 ½ 

600                        InjiliUlimwengu wa Roho 2000 Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho 2000                                                                                           Kanisa Dhiki700

Ulimwengu wa Mwili(4) Daniel  7:13 – 14, 27 (5) Ufunuo 20:11 – 15

(3) Isaya 9: 6

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo

ULIMWENGU WA ROHOWaebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia aliiumba kwanza katikadunia, aliiumba kwanza katika 

ulimwengu wa kiroho, na g ,alipoikalimisha, ndipo akaizaa(akai‐photocopy au akai‐print) katika ulimwengu wa mwilikatika ulimwengu wa mwili.

ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu kunaKatika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

• Vitu visivyoonekana• Vitu vinavyoonekana

Na vyote viko kwa pamoja

ULIMWENGU WA ROHO

Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina original copy na photocopy yakeoriginal copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft‐copy na hard‐copy yake (yaani kina upande wa rohoniyake (yaani kina upande wa rohoni

na wa upande wa mwilini).p )

ULIMWENGU WA ROHO

KwahiyoKil h Ki iliKila cha Kimwili, 

kina cha kiroho chakekina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

ULIMWENGU WA ROHO

1 Wakorintho 15:44“Iki k ili ili“Ikiwa kuna mwili wa asili, 

Basi na mwili wa roho pia upo”Basi na mwili wa roho pia, upo

ULIMWENGU WA ROHO

Ayubu 8:9“Kwakuwa sisi ni wa jana tu, 

wala hatujui neno maisha yetuwala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”ni kama kivuli‐ Photocopy  ‐

ULIMWENGU WA ROHO

Zaburi 39:6a“Binadamu huko na huko

kama kivuli”Photocopy‐ Photocopy  ‐

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu f b k ikanayefanya mambo katika 

ulimwengu wa yasiyoonekanaulimwengu wa yasiyoonekanakwanza, kabla ya kuyasababisha , y yyatokee katika ulimwengu wa mwili wa yanayoonekana.

KANUNI ZA KIROHOWarumi 4:17   

Mungu wetu ni Mungu i j i i kanayevitaja, visivyokuwepo, 

kana kwamba vimekuwepo;kana kwamba vimekuwepo; (yaani anataja visivyoonekana(y j ykana kwamba vinaonekana).

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 8:37,   1Yohana 5:4Basi mtu wa Mungu akitaka 

kutembea duniani na Mungu wa Imani kwa ushindi ni lazimaImani, kwa ushindi, ni lazima ajue kutembea kwa imani;ajue kutembea kwa imani;

kwani Imani yetu ndiyo siri ya ushindi wa maisha yetu duniani.

KANUNI ZA KIROHOKumbuka;

Waebrania 11:1, 3   Imani ni uhakika (ufahamu na j i ) it i i kujuzi wa) vitu visivyoonekana (vilivyoumbwa kwanza)(vilivyoumbwa kwanza).

KANUNI ZA KIROHOKumbuka kwamba;Waebrania 11:1, 3   

Vitu vinavyoonekana, viliumbwa k it i i dh hi i ( itkwa vitu visivyo dhahiri (au vitu 

visivyo wazi wazi au vituvisivyo wazi wazi au vitu vinavyoonekana)

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

i k ( ki ili) ivinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vituvya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) y ( y )

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Kwahiyo, ukitaka kuleta b dilik f l i k ikmabadiliko fulani katika 

ulimwengu wa mwili iliulimwengu wa mwili, ili utembee kwa ushindi duniani, ,basi ni lazima ujue kuutawala ulimwengu wa roho kwanza.

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kila kitu kilichozaliwa na 

Mungu, huushinda ulimwengu; h k dik k hi dNa huku ndiko kushinda 

kuushindako ulimwengu yaanikuushindako ulimwengu, yaani hiyo IMANI yetu’y y

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWaefeso 1:18‐23/2:1‐6

Mtu wa Mungu, hataweza kuuathiri Ulimwengu wa roho nakuuathiri Ulimwengu wa roho na 

kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili, kama 

h j k ti h k iliki hhajaketishwa na kumilikishwa Ulimwengu wa roho kwa njia yaUlimwengu wa roho kwa njia ya Wokovu wa Bwana Yesu Kristo.

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWaefeso 1:18‐23/2:1‐6

hMungu wetu, hataweza kukurithisha mamlaka yakukurithisha mamlaka ya 

Ulimwengu wa roho ili uweze kuleta mabadiliko katika 

ulimwengu wa mwili kamaulimwengu wa mwili, kama hajazaliwa mara ya pili. kwa njia j y p jya Wokovu wa Bwana Yesu Kristo.

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAMwanzo 1:26‐28/Zaburi 8:4‐8

Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba ulimwengu wanamna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka

ya Mungu kutoka katika Uli hUlimwengu wa roho.

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWarumi 3:23/Warumi 5:12‐19

Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungualipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na g

kushindwa kuutawala ulimwengu ili b d l kwa mwili; badala yake, 

ulimwengu wa mwili ukamtawalaulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KABLA YA DHAMBIUTARATIBU ULIKUWA HIVI

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)KABLA YA DHAMBI (ANGUKO) 

Msaada MunguMsaada Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUZaburi 8:4‐8

‘Mwanadamu ni nani hata umejalia kiasi hiki? Umemfanya mdogokiasi hiki? Umemfanya mdogo 

kidogo kuliko Mungu; ukamvika taji g g ; jya Utukufu na heshima, 

k t j k i ikukamtawaza juu ya kazi za mikono yako; ukavitia vitu vyote chini ya y ; y y

miguu yake’

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI “Mashal”KABLA YA DHAMBI      Mashal

MkuuMUNGU

ADAMMfalme

Mtawala

MALAIKA Mwakilishi

mungu

DUNIA

S

g

Zab 8:4‐8SHETANI

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWarumi 3:23/Warumi 5:12‐19

Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungualipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na g

kushindwa kuutawala ulimwengu ili b d l kwa mwili; badala yake, 

ulimwengu wa mwili ukamtawalaulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

BAADA YA DHAMBIMAMBO YAKAWA HIVI

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 3:23“Watu wote wamefanya dhambi      

na kupungukiwa na utukufuna kupungukiwa na utukufuwa Mungu”wa Mungu

BAADA YA DHAMBIBAADA YA DHAMBI Msaada Ukakatika Mungug

Mwili Roho

DuniaNafsi

Shetani

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

MUNGU

SHETANI

MALAIKA

SHETANI  ALITAPELI NAFASI YA ADAM

DUNIA

NAFASI YA ADAMADAM

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11MkuuMUNGU

SHETANIMfalme

Mtawala

Waefeso 2:1‐2

1Yohana 5:19

MALAIKA Mwakilishi

mungu

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

Shetani akakaa katika        nafasi ya Adam na

DUNIA

g

nafasi ya Adam na akavaa vyeo vyote vya Adam      

ADAM

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Efe 2:1‐2   – Mfalme wa angafe fa e a a ga2Kor 4:4    – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19  – Mtawala (Controler) Yoh 12:31  – Mkuu wa UlimwenguY h 14 30 Mk UliYoh 14:30  – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11  – Mkuu wa Ulimwengu

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11MkuuMUNGU

SHETANIMfalme

Mtawala

Waefeso 2:1‐2

1Yohana 5:19

MALAIKA Mwakilishi

mungu

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

Warumi 5:12, 14DUNIA

g

Waebrania 2:14, 15ADAM

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 5:12, 14Kwa kosa la mtu mmoja, mauti ilita ala anadam hata aleilitawala wanadamu, hata wale 

ambao hawakufanya kosa la Adam.f y

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 2:14, 15“Kwa njia ya mauti, Yesu alimharibu 

le ad i ali ek a na ng ayule adui, aliyekuwa na nguvu ya mauti, yaani shetani”, y

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

BAADA YA WOKOVUMAMBO YAKAWA HIVI

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Uhusiano Mungu(Utukufu) Uhusiano Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:1‐6

1 Kwa habari zenu mlikuwa wafu1 Kwa habari zenu, mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu, 2,ambazo mlizitenda mlipofuatisha namna ya ulimwengu huu na za yule mtawala wa ufalme wayule mtawala wa ufalme wa anga, yule roho atendaye kazi 

ndani ya wale wasiotii. 

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:1‐6

3 Sisi sote pia tuliishi katikati yao hapo zamani tukifuata tamaa zahapo zamani, tukifuata tamaa za mwili na mawazo yake. Nasi kwa y

asili tulikuwa wana wa ghadhabu, kama mtu mwingine 

ye yoteye yote. 

MAMLAKA YA MKRISTO

Waefeso 2:1‐64 L ki i M k d4 Lakini Mungu, kwa upendo 

Wake mwingi kwetu sisiWake mwingi kwetu sisi, ambaye ni mwingi wa rehema, 

MAMLAKA YA MKRISTO

Waefeso 2:1‐65 h t t li k f k jili5 hata tulipokuwa wafu kwa ajili ya makosa yetu alitufanya tuweya makosa yetu, alitufanya tuwe hai pamoja na Kristo Yesu, yaani, 

mmeokolewa kwa neema.

MAMLAKA YA MKRISTO

Waefeso 2:1‐66 M lit f f j6 Mungu alitufufua pamoja na Kristo na kutuketisha pamojaKristo na kutuketisha pamoja 

naye katika ulimwengu wa roho katika Kristo Yesu,

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:12‐13

12 kumbukeni kwamba wakati ule mlikuwa hamna Kristo mkiwamlikuwa hamna Kristo, mkiwa wageni katika jumuiya ya watu g j y ywa Mungu … mliishi duniani mkiwa hamna tumaini wala 

MunguMungu. 

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:12‐13

13 Lakini sasa katika Kristo Yesu, ninyi ambao hapo kwanzaninyi ambao hapo kwanza 

mlikuwa mbali na Mungu, sasa g ,mmeletwa karibu kwa njia ya 

damu ya Kristo.

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:22

22 Katika Yeye ninyi nanyi nyote mnajengwa pamoja ili mpatemnajengwa pamoja ili mpate kuwa makao ambayo Mungu y ganaishi ndani yake kwa njia ya 

Roho Wake.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …yKila mtu amwaminiye Yesu Kristo, na wokovu wake, anaunganishwa tena na Mungu katika utu watena na Mungu, katika utu wa ndani, ambao pale mwanzo 

ulivunjika kwa ile dhambi ya Adam na Eva kule katika bustani ya Edenna Eva kule katika bustani ya Eden.

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:22

22 Katika Yeye ninyi nanyi nyote mnajengwa pamoja ili mpatemnajengwa pamoja ili mpate kuwa makao ambayo Mungu y ganaishi ndani yake kwa njia ya 

Roho Wake.

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Uhusiano Mungu(Utukufu) Uhusiano Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:1‐6

5 hata tulipokuwa wafu kwa ajili ya makosa yetu alitufanya tuweya makosa yetu, alitufanya tuwe hai pamoja na Kristo Yesu, kwa p j ,

neema ya wokovu wake.

MAMLAKA YA MKRISTOWaefeso 2:1‐6

6 Mungu ali‐ tufufua pamoja na Kristo na kutu ketisha pamojaKristo na kutu‐ ketisha pamoja 

naye (juu sana) katika y (j )ulimwengu wa roho.

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA WOKOVU

MkuuMUNGU + ADAM  2

MALAIKAMfalme

Mtawala

SHETANI Mwakilishi

mungu

Waefeso 1:18‐23DUNIA

g

Waefeso 2:6ADAM   1

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTO

BAADA YA WOKOVUBAADA YA WOKOVU

MkuuMUNGU + ADAM ‐ 2

MALAIKAMfalme

Mtawala

SHETANI Mwakilishi

mungu

DUNIA

g

ADAM  ‐ 1

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 17:22Ndio maana Bwana Yesu analisema…

“B b t k f l li i“Baba, utukufu ule ulionipa, nimewapa wao (kanisa)”nimewapa wao (kanisa)

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Roho Mt Mungu(Utukufu) Roho Mt. Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani (Rum 8:9‐11) 

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9‐10Ufunuo 5:9‐109 Wewe unastahili kukitwaakitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwakwa sababu ulichinjwa na kwa 

damu yako ukamnunulia M t k t k k tik kilMungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na , g , j

kila taifa (kanisa). 

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9 10Ufunuo 5:9‐1010 Nawe umewafanya hawa10 Nawe umewafanya hawa wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao 

iliki d i ’’wanamiliki dunia.’’

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWaefeso 1:18‐23/2:1‐6

Mtu wa Mungu, hataweza kuuathiri Ulimwengu wa roho nakuuathiri Ulimwengu wa roho na 

kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili, kama 

h j k ti h k iliki hhajaketishwa na kumilikishwa Ulimwengu wa roho kwa njia yaUlimwengu wa roho kwa njia ya Wokovu wa Bwana Yesu Kristo.

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAMwanzo 1:26‐28/Zaburi 8:4‐8

Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba ulimwengu wanamna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka

ya Mungu kutoka katika Uli hUlimwengu wa roho.

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWarumi 3:23/Warumi 5:12‐19

Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungualipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na g

kushindwa kuutawala ulimwengu ili b d l kwa mwili; badala yake, 

ulimwengu wa mwili ukamtawalaulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWaefeso 2:1‐6/Ufunuo 5:8‐10

Lakini Mtu anapotubu dhambi zake na kuupokea Wokovu wa Bwanana kuupokea Wokovu wa Bwana Yesu Krsito, anaunganishwa tena gna Mungu na kupewa mamlaka

k idi k lik lmakuu zaidi, kuliko yale aliyoyapoteza Adam na Evaaliyoyapoteza Adam na Eva   katika bustani ya Eden.

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWaefeso 1:18‐23/2:1‐6

hMungu wetu, hataweza kukurithisha mamlaka yakukurithisha mamlaka ya 

Ulimwengu wa roho ili uweze kuleta mabadiliko katika 

ulimwengu wa mwili kamaulimwengu wa mwili, kama hajazaliwa mara ya pili. kwa njia j y p jya Wokovu wa Bwana Yesu Kristo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …yKila mtu amwaminiye Yesu Kristo, na wokovu wake, anaunganishwa tena na Mungu katika utu watena na Mungu, katika utu wa ndani, ambao pale mwanzo 

ulivunjika kwa ile dhambi ya Adam na Eva kule katika bustani ya Edenna Eva kule katika bustani ya Eden.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

3.KUJAZWAKUJAZWA

NGUVU ZA ROHOMtNGUVU ZA ROHO Mt.

KUTEMBEA NA NGUVUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUZA MUNGU

YOHANA 7:37‐39WAEFESO 3:2O

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

YOHANA 7: 37‐3938 Ye yote aniaminiye Mimi, kama maandiko yasemavyo, it ji i it ti i ikmito ya maji ya uzima, itatiririka

kutokea ndani yake”kutokea ndani yake .

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

YOHANA 7: 37‐3939 Habari hizo (za mito ya uzima) Yesu alizisema kumhusu Roho

Mt k tif b lMtakatifu, ambaye wale wamwaminio watampokeawamwaminio watampokea … 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

YOHANA 7: 37‐39

KILA MTU AMWAMINIYE YESU ANAKILA MTU AMWAMINIYE YESU ANA ROHO MTAKATIFU NDANI YAKE.

Na ROHO MTAKATIFU NDIYE CHANZO

CHA NGUVU ZA MUNGUCHA NGUVU ZA MUNGU.

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTO

Efeso 2:22Efeso 2:2222 Katika Yeye (Yesu) ninyi nanyi22 Katika Yeye  (Yesu) ninyi nanyi 

nyote mnajengwa pamoja ili mpate kuwa makao ambayo 

Mungu anaishi ndani yake kwaMungu anaishi ndani yake kwa njia ya Roho wake.

VITA YA MWILI NA ROHOVITA YA MWILI NA ROHO 

Roho Mt MunguRoho Mt. Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani (Rum 8:9‐11) 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

YOHANA 7: 37‐39

KILA MTU AMWAMINIYE YESU ANAKILA MTU AMWAMINIYE YESU ANA ROHO MTAKATIFU NDANI YAKE.

Na ROHO MTAKATIFU NDIYE CHANZO

CHA NGUVU ZA MUNGUCHA NGUVU ZA MUNGU.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.Yohana 14:12

12 Amin, amin, nawaambia, ye yote i i i Mi i k i i ifaniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo 

yeye atazifanya, naam na kubwa yeye ata a ya, aa a ub akuliko hizi atazifanya, kwa sababu 

i i i k d k bMimi ninakwenda kwa Baba. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.Yohana 16:7

7 Lakini amin nawaambia, yafaa Mi i i d k k kMimi niondoke kwa kuwa 

nisipoondoka, huyo Msaidizi s poo do a, uyo sa dhatakuja kwenu, lakini nikienda 

i knitamtuma kwenu. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.Luka 24:49

49 “Tazama nawaletea juu yenu h di B b Y l ki i k iahadi ya Baba Yangu, lakini kaeni 

humu Yerusalemu mpaka mtakapo‐u u e usa e u pa a ta apovikwa uwezo utokao juu.” 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.Matendo 1:8

8 Lakini mtapokea nguvu akiisha k jili j R h Mt k tifkuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu, nanyi mtakuwa mashahidi Wangu a y ta u a as a d a gukatika Yerusalemu, Uyahudi kote na S i h di ii h d i ’’Samaria, hadi miisho ya dunia.’’ 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi katika hali o ote t (japokatika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazianaweza), bali anafanya kazi katika viwango vyake maalum.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Kiwango cha Nguvu za Mungu kinahusika sana katika kuleta 

mabadiliko ana ohitajika katikamabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na kishaulimwengu wa roho na kisha katika ulimwengu wa mwili.

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Matendo 19:1‐7Kuna Wakristo walioridhika kuwa na Roho Mtakatifu ndani yao (wokovu) bila UJAZO wa Roho(wokovu) bila UJAZO wa Roho 

Mtakatifu(NGUVU ZA ROHO)

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Matendo 19:1‐71 Wakati Apolo akiwa huko 

Korintho, Paulo alisafiri sehemu za bara akafika Efeso Hukoza bara, akafika Efeso. Huko 

akawakuta wanafunzi kadhaa, 2,akawauliza, “Je, mlipokea Roho 

Mtakatifu mlipoamini?” 

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Matendo 19:1‐7Wakajibu, “Hapana, hata 

hatukusikia kuwa kuna Roho Mtakatifu ” 3 Ndipo PauloMtakatifu.  3 Ndipo Paulo 

akawauliza, “Je, mlibatizwa kwa , ,ubatizo gani?” Wakajibu, “Kwa 

ubatizo wa Yohana.” 

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Matendo 19:1‐74 Paulo akasema, “Ubatizo wa

Yohana ulikuwa wa toba,aliwaambia watu wamwaminialiwaambia watu wamwaminiyeye atakayekuja baada yake, y y y j y ,

yaani, Yesu.” 5 Waliposikia haya, wakabatizwa katika jina la Yesu. 

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Matendo 19:1‐76 Paulo alipoweka mikono yake 

juu yao, Roho Mtakatifu akawashukia nao wakanena kwaakawashukia, nao wakanena kwa lugha mpya na kutabiri. 7 Idadi g pyyao ilikuwa wapata wanaume 

( )kumi na wawili (wanawake 25).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Kuna tofauti ya Roho Mtakatifu naKuna tofauti ya Roho Mtakatifu na Nguvu za Roho Mtakatifu

Luka 4:1,14;      Matendo 10:38Yohana 20 22 Luka 24 49Yohana 20:22;    Luka 24:49

Yohana 14:12

‘Amini Amini nawaambeni, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi (za ushindi) ninazozifanya, na yeye atazifanya naam hata kubwaatazifanya, naam hata kubwa 

kuliko hizo, atafanya,kuliko hizo, atafanya, kwasababu mimi nakwenda  

kwa Baba’.

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 14:12‘… Kila aniaminiaye mimi, 

ataushinda ulimwengu kama i i ili hi d k b bmimi nilivyoshinda, kwasababu mimi nakwenda kwa Babamimi nakwenda kwa Baba, kuwaletea Roho Mtakatifu, ,

aliyeniwezesa mimi kushinda’.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1 14Luka 4:1, 141 Yesu alipokwisha kubatizwa1 Yesu alipokwisha kubatizwa, 

aliongozwa na Roho gMtakatifu kwenda nyikani k ik bi ikkatika maombi ya siku 40.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1 14Luka 4:1, 1414 Yesu alipomaliza maombi na14 Yesu alipomaliza maombi na majaribu yote, alirudi Galilaya j y y

katika nguvu za Roho k ifMtakatifu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ikiwa Bwana Yesu mwenyeweIkiwa Bwana Yesu mwenyewe, alihitaji Nguvu za Mungu naalihitaji Nguvu za Mungu na alizitafuta, kwa maombi 

mazito na makali maisha yake yote duniani si zaidi sana sisiyote duniani, si zaidi sana sisi 

binadamu wa kawaida?binadamu wa kawaida?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 20:20 21Yohana 20:20‐21Akawaambia, kama BabaAkawaambia, kama Baba alivyonituma mimi, nami nawapeleka ninyi; akiisha kusema hayo akawavuviakusema hayo, akawavuvia (akawapulizia) akawaambia, pokeeni Roho Mtakatifu;

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 24:49Luka 24:49(Pamoja na kwamba(Pamoja na kwamba 

nimeshawapa Roho Mtakatifu)“… Lakini, msiondoke humu mjini, 

mpaka mtakapovikwa uwezampaka mtakapovikwa uwezautokao juu (Nguvu za Mungu).j ( g g )

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 22:29Mathayo 22:2929 Yesu alisema ‘Mwapotoka29 Yesu alisema,  Mwapotoka 

na kupotea kwa sababu phamjui maandiko, wala uweza 

( )wa Mungu (Nguvu za Mungu). 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi katika hali o ote t (japokatika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazianaweza), bali anafanya kazi katika viwango vyake maalum.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.Matendo 19:1‐7

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu ndani yako (wokovu) bila UJAZO wandani yako (wokovu) bila UJAZO wa 

Roho Mtakatifu. (Tafuta NGUVU za Roho Mt.)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu tu ndani yako 

( oko ) bali taf ta k onge eka(wokovu), bali tafuta kuongezekakiwango cha kiroho na nguvu zakiwango cha kiroho na nguvu za 

Mungu maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Kiwango cha Nguvu za Mungu kinahusika sana katika kuleta 

mabadiliko ana ohitajika katikamabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na kishaulimwengu wa roho na kisha katika ulimwengu wa mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jehova Mungu ni Mungu mwenyeJehova Mungu ni Mungu mwenye enzi yote (Mwenyezi). Hakuna y y

jambo asiloliweza. Amefanya kila kit t nachokiona na t si o ionakitu tunachokiona na tusivyoviona, 

kutoka katika Neno lake tu. Mungu anaweza kufanya kila kitu!

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OMungu anaweza kutenda mambo makubwa mno na ya ajabu sana 

(yasiyopimika) kuliko yote(yasiyopimika) kuliko yote tunayoyawaza na kuliko yotetunayoyawaza na kuliko yote 

tunayoyaomba, …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O

l ki i i k k di i (k… lakini ni  kwa kadiri (kwa kiwango au kipimo) cha nguvukiwango au kipimo) cha nguvu zake kinachotenda kazi ndani

yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwambaHii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango

hcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwambaHii ina maana kwamba …***… ikiwa tutatengeneza au…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu kidogo za Mungu ndani yetu, tutauzuia 

mkono wa Mungu kufanya mambomkono wa Mungu kufanya mambo mengi na makubwa anayotaka kufanya maishani mwetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini …***…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu za Mungu kwa wingi (za kutosha) ndani yetuwingi (za kutosha) ndani yetu,

tutauwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi na 

makubwa anayotaka kufanyamakubwa anayotaka kufanya.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukweli ni Kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu pasipo msaada wa binadamu, lakini 

alichagua tu kufanya kazi kwaalichagua tu, kufanya kazi kwa ushirika na binadamu; kwahiyo, 

kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na binadamu katika kutawala duniabinadamu katika kutawala dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwambaKwamba …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (1);Kifo cha Yakobo na 

Ukombozi wa Petro gerezanidMatendo 12:1‐19

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Kifo cha Yakobo na Ukombozi wa Petro

Yakobo alipokamatwa, Kanisa h k f bi t k khawakufanya maombi, motokea yake 

akachinjwa. Lakini Petro jalipokamatwa, kanisa likaomba kwa bidii na Mungu akamkomboa Petrobidii, na Mungu akamkomboa Petro 

kutoka gerezani.Unadhani Kwanini?

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Kifo cha Yakobo na Ukombozi wa PetroSi kwamba Mungu anampenda Petro k lik Y k b B li hii i hkuliko Yakobo. Bali hii inaonyesha wazi kwamba, Utendaji kazi wa j

mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvuunategemea sana kiwango cha Nguvu

za Mungu unachozalisha (kinachotenda kazi) ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (2);Ushindi wa Joshua vitani

Kwa maombi ya Musa MlimaniKutoka 17:8‐15

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Ushindi wa Joshua, Maombi ya Musa, yMusa alikunyanyua mikono yake kwa 

bi J h j hi l I limaombi, Joshua na jeshi la Israeli walikuwa wakishinda vitani, Lakini Musa alichoshusha mikono (kuacha kuomba) Joshua na jeshi la Israelikuomba) Joshua na jeshi la Israeli 

walikuwa wakipigwa (wakishindwa).Unadhani Kwanini?

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Ushindi wa Joshua, Maombi ya Musa, yHii haikuwa bahati nzuri au mbaya; Bali hii i h i k b Ut d jihii inaonyesha wazi kwamba, Utendaji kazi wa mkono wa Mungu maishani g

mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu unachozalishaNguvu za Mungu unachozalisha (kinachotenda kazi) ndani yako.

Unadhani Kwanini?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (3);Maombi ya Musa katika 

kumruhusu Mungu kufungua bahari ya Shamubahari ya ShamuKutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28

Kutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28Fimbo ya Musa na Bahari ya Shamuy yMungu hakuifungua bahari akasubiri 

k M li h fi b kmpaka Musa aliponyoosha fimbo yake (maombi) baharini (tatizo lake); ndipo( ) ( ) pMungu akasaba‐ bisha upepo mkali 

uliochana bahari na kufanya ukuta 2 zauliochana bahari na kufanya ukuta 2 za maji. Israeli wakapita nchi kavu. 

Unadhani Kwanini?

Kutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28Fimbo ya Musa na Bahari ya Shamuy yMungu hakuifunga bahari, akasubiri  

k M li h t fi bmpaka Musa aliponyoosha tena fimbo yake (maombi) baharini (tatizo lake); y ( ) ( )ndipo Mungu akasababisha upepo 

kukatika na maji ya bahari yakarudi nakukatika na maji ya bahari yakarudi na kuwaangamiza jeshi lote la Misri.

Unadhani Kwanini?

Kutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28Ushindi wa Joshua, Maombi ya Musa, yHii haikuwa bahati nzuri au mbaya; Bali hii i h i k b Ut d jihii inaonyesha wazi kwamba, Utendaji kazi wa mkono wa Mungu maishani g

mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu unachozalishaNguvu za Mungu unachozalisha (kinachotenda kazi) ndani yako.

Unadhani Kwanini?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni KwasababuNi Kwasababu …Kwahiyo Utendaji wa mkono waKwahiyo Utendaji wa mkono wa 

Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotendaNguvu za Mungu kinachotenda 

kazi ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni Kwasababu …Mungu ameweka ushirika fulani kati 

k i i bi d K hi Kyake na sisi binadamu. Kwahiyo Kuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, yMungu hawezi kuyafanya, ikiwa hatutatengeneza au hatutazalishahatutatengeneza au hatutazalisha 

Nguvu za Mungu za kutosha, Kutokea ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Sikiliza …Mungu anaweza kufanya kila kitu pasipo msaada wa binadamu, lakini 

alichagua tu kufanya kazi kwaalichagua tu, kufanya kazi kwa ushirika na binadamu; kwahiyo, 

kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na binadamu katika kutawala duniabinadamu katika kutawala dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwambaHii ina maana kwamba …***… ikiwa tutatengeneza au…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu kidogo za Mungu ndani yetu, tutauzuia 

mkono wa Mungu kufanya mambomkono wa Mungu kufanya mambo mengi na makubwa anayotaka kufanya maishani mwetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini …***…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu za Mungu kwa wingi (za kutosha) ndani yetuwingi (za kutosha) ndani yetu,

tutauwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi na 

makubwa anayotaka kufanyamakubwa anayotaka kufanya.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mistari

Ushirika – PartnershipMungu & Binadamu

katika kutawala dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 3:99 Kwa maana sisi tu watenda kazi 

pamoja na Mungu. (k hi di f iki )(kwa ushindi na mafanikio)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28‐3028 Na kwahiyo basi, katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja

na wale wampendao katikana wale wampendao, katika kuwapatia mema. 

(ushindi, faida na mafanikio)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26,18,26 Tufanye mtu kwa sura yetu na 

kwa mfano wetu wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya usona vyote tulivyoviumba juu ya uso 

wa dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26‐1828 Mungu akaumba Mwanaume na Mwanamke, akawaweka katika bustani ya dunia akawaambiabustani ya dunia, akawaambia, zaeni mkaongezeke na kuitawala

(kuitiisha) dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 115:16Mbingu ni mbingu za Bwana, bali 

nchi amewapa wanadamu

Isaya 45:11… kwa habari ya kazi za mikono yangu haya niagizeni (niamuruni)yangu, haya niagizeni (niamuruni)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐19y19 Kwa maana nitawapa funguo za Ufalme, na mambo mtakayoyafunga 

(ninyi) yatakuwa yamefungwa(ninyi) yatakuwa yamefungwa (mbinguni), na mambo 

mtakayoyafungua  (ninyi) yatakuwa yamefunguliwa (mbinguni)yamefunguliwa (mbinguni)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐19y18 Na milango ya kuzimu 

haitaweza kulishinda kanisa langu nitakalolijenga  (kwa mfumo huu)(kwa mfumo huu).     

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.Matendo 19:1‐7

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu ndani yako (wokovu) bila UJAZO wandani yako (wokovu) bila UJAZO wa 

Roho Mtakatifu. (Tafuta NGUVU za Roho Mt.)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu tu ndani yako 

( oko ) bali taf ta k onge eka(wokovu), bali tafuta kuongezekakiwango cha kiroho na nguvu zakiwango cha kiroho na nguvu za 

Mungu maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Kiwango cha Nguvu za Mungu kinahusika sana katika kuleta 

mabadiliko ana ohitajika katikamabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na kishaulimwengu wa roho na kisha katika ulimwengu wa mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana hata Mitume waNdio maana hata Mitume wa kwanza wanatuonyesha mfano yna kutusisitiza sana kupitia 

l k b i iNeno la Mungu kwamba, sisi watoto wa Mungu wa leowatoto wa Mungu wa leo, 

tutembee na nguvu za Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wafilipi 3:10Wafilipi 3:10‘Natamani kuendelea kumjuaNatamani kuendelea kumjua 

Yesu Kristo na uweza au nguvu za kufufuka kwake.’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wakolosai 1:29Wakolosai 1:29‘Kwa ajili ya jambo hili,Kwa ajili ya jambo hili, 

ninajitaabisha, nikijitahidi kwa kadiri (kiwango) cha nguvu za Mungu ambazo kwa uwezoMungu, ambazo kwa uwezo mwingi zinatenda kazi ndani 

yangu. ’ 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 3:16‐17Waefeso 3:16 1716 Nami namwomba Mungu 

awaimarishe na ninyi, kwa kuwatia nguvu mioyoni yenu, kwa njia yanguvu mioyoni yenu, kwa njia ya Roho Wake; na kwa kadri ya utajiri 

k f k ili k bwa utukufu wake, 17 ili kwamba, Kristo apate kukaa mioyoni mwenu p y

kwa njia ya imani. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wafilipi 2:13Wafilipi 2:13‘kwa maana Mungu ndiyekwa maana Mungu ndiye atendaye kazi ndani yenu, y ykutaka kwenu na kutenda 

k k k li i i k dikwenu kwa kulitimiza kusudi lake jema’lake jema . 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 21:22Ufunuo 21:22‘Na katika mji ule hakunaNa katika mji ule, hakuna kinyonge kitakachoingia (bali y g g (

wenye nguvu)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 11:12Mathayo 11:12Tangu siku za Yohana MbatizajiTangu siku za Yohana Mbatizaji hata sasa, Ufalme wa Mungu ghupatikana kwa nguvu, nao 

diwenye nguvu tu ndio wanaoutekawanaouteka.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 4:201Wakorintho 4:20Ufalme wa Mungu hauwi katikaUfalme wa Mungu hauwi katika maneno na majadiliano, bali jkatika Nguvu za Mungu. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 2:1 51Wakorintho 2:1‐54 Injili yangu haikuja kwenu4. Injili yangu haikuja kwenu 

kwa maneno makavu au maneno matupu, bali katika 

d lili (i h ) hdalili (ishara) za Roho Mtakatifu na NguvuMtakatifu na Nguvu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 2:1 51Wakorintho 2:1‐55 Ili imani zenu zisiwe katika5. Ili imani zenu zisiwe katika hekima za wanadamu, bali 

ziwe katika Nguvu za Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.Matendo 19:1‐7

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu ndani yako (wokovu) bila UJAZO wandani yako (wokovu) bila UJAZO wa 

Nguvu za Roho Mtakatifu. (Tafuta NGUVU za Roho Mt.)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu tu ndani yako 

( oko ) bali taf ta k onge eka(wokovu), bali tafuta kuongezekakiwango cha kiroho na nguvu zakiwango cha kiroho na nguvu za 

Mungu maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Kiwango cha Nguvu za Mungu kinahusika sana katika kuleta 

mabadiliko ana ohitajika katikamabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na kishaulimwengu wa roho na kisha katika ulimwengu wa mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi katika hali o ote t (japokatika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazianaweza), bali anafanya kazi katika viwango vyake maalum.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Musa na Wazee 70 wa Israeli.

Kutoka 24:1‐18

7. Ngazi (Level) ya Wito

Kutoka 24:1‐18Musa, ondoka na wazee 70 k t k k ti t kkutoka kati ya watu wako 

(umati) chini ya mlima weka(umati) chini ya mlima, weka kambi katikati ya mlima, lakini wewe peke yako, upande juu 

li kil l iya mlima, kileleni.  

7. Ngazi (Level) ya WitoKutoka 24:1‐18

^               1st Class

^^^ 2nd Class^^^ 2nd Class

^^^^^^^^^^ 3rd Class

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi katika hali o ote t (japokatika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazianaweza), bali anafanya kazi katika viwango vyake maalum.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.

Luka 6:13‐16

NGUVU YA SADAKA

120120

NGUVU YA SADAKA

223 703 70

120120

NGUVU YA SADAKA

2 122 123 703 70

120120

NGUVU YA SADAKA

332 122 123 703 70

120120

NGUVU YA SADAKA

1 33

2 122 123 703 70

120120

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.Matendo 19:1‐7

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu ndani yako (wokovu) bila UJAZO wandani yako (wokovu) bila UJAZO wa 

Roho Mtakatifu. (Tafuta NGUVU za Roho Mt.)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu tu ndani yako 

( oko ) bali taf ta k onge eka(wokovu), bali tafuta kuongezekakiwango cha kiroho na nguvu zakiwango cha kiroho na nguvu za 

Mungu maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni hizi tunazojifunza zikiwekwaKanuni hizi tunazojifunza, zikiwekwa  kwa pamoja ndani yetu (rohoni), katika kiwango kinachotakiwa, 

zitasababisha Roho Mtakatifu aliyezitasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu unazozihitaji kwa ajili ya 

maisha ya ushindi dunianimaisha ya ushindi duniani.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwambaHii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango

hcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwambaKwamba …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutatengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa hiyoKwa hiyo …***… ikiwa tutatengeneza au…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu kidogo za Mungu ndani yetu, tutauzuia 

mkono wa Mungu kufanya mambomkono wa Mungu kufanya mambo mengi na makubwa anayotaka kufanya maishani mwetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

LakiniLakini …***… ikiwa tutatengeneza au…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu za Mungu kwa wingi (za kutosha) ndani yetu,

tutauwezesha mkono wa Mungututauwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi na 

makubwa anayotaka kufanya.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHONi mambo ambayo, tukiyawekaNi mambo ambayo, tukiyaweka 

kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetuMtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwakuwaKwakuwa  …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango

hcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

BasiBasi … tengeneza au zalishatengeneza au zalisha

KIWANGOcha kutosha cha Nguvu za Mungu 

Ndani yako

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OMungu anaweza kutenda mambo makubwa mno na ya ajabu sana 

(yasiyopimika) kuliko yote(yasiyopimika) kuliko yote tunayoyawaza na kuliko yotetunayoyawaza na kuliko yote 

tunayoyaomba, …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O

l ki i i k k di i (k… lakini ni  kwa kadiri (kwa kiwango au kipimo) cha nguvukiwango au kipimo) cha nguvu zake kinachotenda kazi ndani

yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 23:5Zaburi 23:5Ndio maana Mfalme Daudi alisemaNdio maana Mfalme Daudi alisema 

“Waandaa meza (baraka) mbele yangu, machoni pa watesi wangu 

(adui); Umenipaka mafuta(adui); Umenipaka mafuta kichwani kwangu, na kikombe 

changu kinafurika.”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 23:5Zaburi 23:5Hii inaonyesha kwamba, MfalmeHii inaonyesha kwamba, Mfalme 

Daudi hakutaka kutembea duniani, akiwa na kiwango robo au nusu au robo tatu cha Nguvuau nusu au robo tatu cha Nguvu za Mungu maishani mwake; Bali alitaka kikombe chake kifurike.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Kavu / Tupu1. Kavu / Tupu   

Kiwango, Kipimo, Ujazo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2 Robo2. Robo  

Kiwango, Kipimo, Ujazo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

3 Nusu3.  Nusu 

Kiwango, Kipimo, Ujazo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4 Robo Tatu4. Robo Tatu 

Kiwango, Kipimo, Ujazo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5 Kumwagika5.  Kumwagika   

Kiwango, Kipimo, Ujazo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 5:18Waefeso 5:18Ni mapenzi ya Mungu kwambaNi mapenzi ya Mungu kwamba, tutembee katika ujazo wa Roho jMtakatifu na kufurika nguvu za 

Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Efeso 5:18Efeso 5:18Msilewe kwa pombe (mvinyo)Msilewe kwa pombe (mvinyo) kwani kuna ufisadi (uchafu), ( )

bali mjazwe kwa Roho k ifMtakatifu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo;y ;Kila mtu amwaminiye Yesu Kristo, kama Bwana na Mwokozi wake, ana Roho Mtakatifu wa Mungu ndaniRoho Mtakatifu wa Mungu ndani yake; kwahiyo, anazo Nguvu za 

Mungu ndani yake.

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12, Yohana 16:6‐7,“12 … ye yote aniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo yeye atazifanya, 

naam na kubwa kuliko hizinaam na kubwa kuliko hizi atazifanya, kwa sababu Mimi 

ninakwenda kwa Baba (kuwaletea Roho Mtakatifu)(kuwaletea Roho Mtakatifu) 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14Nguvu za Mungu zilizopo ndani yako, zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi na kuyatawala mazingira yako kamana kuyatawala mazingira yako, kama Bwana Yesu alivyoishi na kuyatawala mazingira yake, bila kushindwa au 

kuzuiliwa na hali yoyotekuzuiliwa na hali yoyote.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28‐30Ni kusudi la Mungu na ni mpango wa Mungu tangu awali, kwamba, sisi sote tuishi na kutembea katikasisi sote tuishi na kutembea katika kiwango kile kile kinachofanana na cha Bwana Yesu; yaani kwa nguvu na uweza ule ule kama wa Yesuna uweza ule ule kama wa Yesu. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28‐30Warumi 8:28 3030 Na wale aliowajua, aliwaita, j , ,na wale aliowaita, aliwahesabia h k l l h bhaki, na wale aliowahesabia  

haki aliwatukuzahaki, aliwatukuza. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28‐30Warumi 8:28 3029 Wale aliowajua tangu zamani, j g ,aliwaita ili wafananishwe na 

fmfano wa mwanaye.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kwamba h k di i iroho yako ndiyo inayotumiwa na Mungu kuachilia nguvu zakeMungu kuachilia nguvu zake, 

kutakufanya uwe mtu mwoga nadhaifu maisha; 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katikakutakuondolea ujasiri katika kukabiliana na maisha ya kila ysiku, yaliyojaa kila aina ya 

upinzani na vita dhidi ya mtu wa MunguMungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa ngvu zakuzima utendaji kazi wa ngvu za Mungu maishani mwako; nawe 

utaishi chini ya kiwango cha mtoto waMungu (yaani maisha yawa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika))

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Kutokujua (Kutokuwa naKwa Kutokujua (Kutokuwa na ufahamu huu) watu wa Mungu 

wengi wamezuia utendaji kazi wa nguvu za Mungu kutoka ndaninguvu za Mungu kutoka ndani yao, na Nguvu kubwa sana zayao, na Nguvu kubwa sana za Mungu zimebaki ndani yao zimelala (hazijatumika). 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na matokeo yake ni kwamba, watu waMungu wengi wanahangaika nakutumia muda mwingi na gharamag gkubwa, kukimbia‐kimbia kushoto nakulia kutafuta msaada wa mbalikulia kutafuta msaada wa mbali,wakati ndani yao wameacha msaadaulio karibu; yaani nguvu kubwa sana zaulio karibu; yaani nguvu kubwa sana zaMungu zimebaki zimelala bila kutumika.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Mungu anasema g‘watu wangu wanaangamia kwa 

kukosa maarifa’.Hosea 4:6

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwasababu hiyo, Biblia inasema kwamba, tunatakiwa kufundishwa na kufundishika ili tupate maarifa nakufundishika, ili tupate maarifa na tukue kiroho mpaka kufika katika cheo cha Bwana wetu Kristo Yesu.

(Waefeso 4:11 15)(Waefeso 4:11‐15)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa huduma mbalimbali ambazo Yesu ameziweka katika kanisa, sisi 

i i k id t t kiwaumini wa kawaida, tunatakiwa kufundishwa na kufundishika ili tukue kiroho mpaka kufika katika h h B Y k t bcheo cha Bwana Yesu na kutembea 

na Nguvu za Mungu.g g

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐1411 Yeye ndiye aliyeweka wenginekuwa mitume, na wengine kuwamanabii wengine kuwa wainjilistimanabii, wengine kuwa wainjilisti,na wengine kuwa wachungaji nawengine kuwa waalimu,

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐1412 kwa kusudi la kuwakamilishawatakatifu kwa ajili ya kazi zahuduma ili kwamba mwili wa Kristohuduma, ili kwamba mwili wa Kristoupate kujengwa na kuimarika.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐1414 Ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwatupwa huku na huku nakuchukuliwa na kila upepo wakuchukuliwa na kila upepo wa

mafundisho kwa hila za watu, kwaujanja, kwa kufuata njia zao za

udanganyifuudanganyifu. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14

13 … bali tufundishike na kukuakiroho, mpaka sisi sote

t t k fiki ki i htutakapoufikia kipimo cha ukamilifu wa Kristoukamilifu wa Kristo. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14Kwahiyo, Nguvu za Mungu 

zilizowekwa ndani yako, zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi nakabisa kukuwezesha kuishi na 

kufanya kazi duniani, katika kiwango cha ushindi na mafanikio, 

kama kile kile cha Bwana Yesukama kile kile cha Bwana Yesu, 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.Matendo 19:1‐7

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu ndani yako (wokovu) bila UJAZO wandani yako (wokovu) bila UJAZO wa 

Roho Mtakatifu. (Tafuta NGUVU za Roho Mt.)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2. KUJAZWA ROHO Mt.

Usiridhike kuwa na Roho Mtakatifu tu ndani yako 

( oko ) bali taf ta k onge eka(wokovu), bali tafuta kuongezekakiwango cha kiroho na nguvu zakiwango cha kiroho na nguvu za 

Mungu maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

4.USHIRIKA NAUSHIRIKA NA

ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU.

USHIRIKA NAUSHIRIKA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

2 Wakorintho 13:142 Wakorintho 13:14

USHIRIKA NAUSHIRIKA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

2 Wakorintho 13:14‘Neema ya Bwana wetu YesuKristo, na Upendo wa Mungu

Baba Ushirika wa RohoBaba, Ushirika wa RohoMtakatifu, ukae nanyi nyote’

USHIRIKA NAUSHIRIKA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

2 Wakorintho 13:14Ushirika ni uhusiano mzuri 

uliotokana na makubaliano fulani baina ya watu wawili au zaidi kwabaina ya watu wawili au zaidi kwa makusudi/malengo maalumu.

USHIRIKA NAUSHIRIKA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:141Wakorintho 13:14

ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14“Neema ya Bwana wetu YesuKristo, na Upendo wa MunguBaba na Ushirika wa RohoBaba, na Ushirika wa Roho

Mtakatifu, ukae nasi sote sasa na,hata milele, amen”

ROHO MTAKATIFU

2Wakorintho 13:14Ili kupata msaada na nguvu za Roho Mtakatifu maishani 

k i l i t bmwako, ni lazima umtambue na kumpa ushirika anaotakana kumpa ushirika anaotaka 

maishani mwako. 

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

Ushirika wa Rohoni nini?

1W k i h 13 141Wakorintho 13:14

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14

USHIRIKAUSHIRIKA“Ni uhusiano mzuri, kati ya watu,Ni uhusiano mzuri, kati ya watu,

uliojengeka kwa makusudiyanayofanana.

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14

KIFUNGO CHA USHIRIKAKIFUNGO CHA USHIRIKA“Kifungo kikuu cha USHIRIKA, niKifungo kikuu cha USHIRIKA, niuhusiano uliopo kati ya hoa watuwalio katika fungamano lenye

makusudi fulanimakusudi fulani.

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14

KIFUNGO CHA USHIRIKAKIFUNGO CHA USHIRIKA“Huwezi kuwa na USHIRIKAHuwezi kuwa na USHIRIKA 

mzuri, na Roho Mtakatifu, kamahuna uhusiano mzuri naye.

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14

KIFUNGO CHA USHIRIKAKIFUNGO CHA USHIRIKA“Na huwezi kuwa na UhusianoNa huwezi kuwa na Uhusiano mzuri na Roho Mtakatifu, kama 

humfahamu vizuri Roho MtakatifuMtakatifu.

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14KIFUNGO CHA USHIRIKA

UshirikaUh iUhusiano

UfahamuUfahamu

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14

KIFUNGO CHA USHIRIKAKIFUNGO CHA USHIRIKA“Huwezi kupata NGUVU NAHuwezi kupata NGUVU NA MSAADA  wa Roho Mtakatifu, 

kama huna ushirika unaotokanana uhusiano mzuri na yeyena uhusiano mzuri na yeye.

ROHO MTAKATIFU NI NANI?

1. Roho Mtakatifu1. Roho Mtakatifu Ni Mungu Mwenyezig y

Matendo 5:1‐5‘Anania, kwanini kumdanganya h k f ? k dRoho Mtakatifu? Hukumdanganya Mwanadamu, bali Mungu’ , g

ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGUNGUVU YA MUNGU

Katika Mungu MwenyeziKuna NAFSI tatu; 

Mungu BabaMungu MwanaR h M k ifRoho Mtakatifu

ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGUNGUVU YA MUNGU

Katika Mungu MwenyeziM NAFSIMwenye NAFSI tatu;Nguvu zake ziko katikaNguvu zake ziko katika 

NAFSI ya tatuNAFSI ya tatuRoho Mtakatifu.Roho Mtakatifu. 

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

NAFASI YA BABA

BABA : KUAGIZAAU

KUSEMAKUSEMA

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

NAFASI YA MWANA

MWANA : KUTENDAAU 

KUTEKELEZAKUTEKELEZA

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

NAFASI YA ROHO MTAKATIFU

ROHO : KUDHIHIRISHAAU

KULETA KTK UHALISIKULETA KTK UHALISI

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

NAFASI ZAO KATIKA UTATUNi Baba: Aliyesema“Tufanye mtu kwa sura na kwa 

f t ”mfano wetu …”(Mwa 1:26)(Mwa 1:26)

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

NAFASI ZAO KATIKA UTATUNi Mwana:Aliyekwenda kufinyanga udongo

Kwa umbo la mtu(Mwa 2 7)(Mwa 2:7)

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

NAFASI ZAO KATIKA UTATUNi Roho Mtakatifu:

Aliyeatamia ule udongoAkaubadilisha na kuwa 

nafsi hai ya mtunafsi hai ya  mtu(Mwa 2:7)(Mwa 2:7)

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa MwangagNi Baba: Aliyesema“Tuwashe nuru ulimwenguni kwani 

i li k ”giza limekuwa nene”(Mwa 1:1‐3)(Mwa 1:1‐3)

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa MwangagNi Mwana:Aliyekwenda kufinyanga mpira

(tufe) la udongo kwa umbo la Jua.(Yohana 1 1 3)(Yohana 1:1‐3)

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa MwangaNi Roho Mtakatifu:

Ali k d k li t i lil t fAliyekwenda kuliatamia lile tufe(mpira) wa jua la udongo, hatakuliwasha kiberiti mpaka hivi leo

linaendelea kuungua na kuwaka bilalinaendelea kuungua na kuwaka bilakuongezewa petrol wala diesel

(M 1 1 3)(Mwa 1:1‐3)

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa KipofupBaba: Aliyesema“Mguse kipofu machoni ili apata 

k t ”kuona tena”(Marko 8:22‐23)(Marko 8:22‐23)

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa KipofupMwana:Aliyekwenda kuweka mikono yake 

k tik h ki fkatika macho ya kipofu.(Marko 8:22‐23)(Marko 8:22‐23)(Yohana 1:1‐3)( )

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa KipofupRoho Mtakatifu:Aliyerudisha kwa upya zile goroli 

d i h li kndani ya macho ya aliyekuwa kipofupofu

(Marko 8:22‐23)

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa LazaroBaba: Aliyesema

“Nenda kamfufue Lazaro”(Yohana 11 1 46)(Yohana 11:1‐46)

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa LazaroMwana:

Aliyekwenda kumwita Lazaro k t k k b i ikutoka kaburini.(Yohana 11:1‐46)(Yohana 11:1‐46)

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa LazaroRoho Mtakatifu:

Aliyemfufua Lazaro kutoka katika wafu(Yohana 11 1 46)(Yohana 11:1‐46)

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa HarusiniBaba: Aliyesema

“Nenda kafanya muujiza”(Yohana 1 1 11)(Yohana 1:1‐11)

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa HarusiniMwana:Aliyekwenda kuagiza mabalasi 

j jiyajazwe maji.(Yohana 1:1‐11)(Yohana 1:1‐11)

MUNGU MMOJA, NAFSI TATU,

Kwa Mfano wa HarusiniRoho Mtakatifu:

Aliyegeuza maji kuwa divai(Yohana 1:1‐11)

ROHO MTAKATIFU

2. Roho Mtakatifu Ni NGUVU ya 

Mungu Mwenyezi(Luka 4:18‐19)

ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGUNGUVU YA MUNGU

Katika Mungu MwenyeziM NAFSIMwenye NAFSI tatu;Nguvu zake ziko katikaNguvu zake ziko katika 

NAFSI ya tatuNAFSI ya tatuRoho Mtakatifu.Roho Mtakatifu. 

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14

KIFUNGO CHA USHIRIKAKIFUNGO CHA USHIRIKA“Huwezi kupata NGUVU NAHuwezi kupata NGUVU NA MSAADA  wa Roho Mtakatifu, 

kama huna ushirika unaotokanana uhusiano mzuri na yeyena uhusiano mzuri na yeye.

ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGUNGUVU YA MUNGU

Katika Mungu MwenyeziM NAFSIMwenye NAFSI tatu;Nguvu zake ziko katikaNguvu zake ziko katika 

NAFSI ya tatuNAFSI ya tatuRoho Mtakatifu.Roho Mtakatifu. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1 14Luka 4:1, 1414 Yesu alipomaliza maombi na14 Yesu alipomaliza maombi na majaribu yote, alirudi Galilaya j y y

katika nguvu za Roho k ifMtakatifu.

ROHO MTAKATIFU

Luka 4:14Luka 4:14Baada ya maombi ya siku 40 y yBwana Yesu alirudi Galilaya 

k k hkatika Nguvu za Roho MtakatifuMtakatifu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 10:38Matendo 10:38Jinsi Mungu alivyompaka YesuJinsi Mungu alivyompaka Yesu

Kristo mafuta, kwa RohoMt k tif NMtakatifu na Nguvu; nayeakazunguka katika miji naakazunguka katika miji na

vijiji, akiponya na kuwafunguali ibili iwote walioonewa na ibilisi.

ROHO MTAKATIFU

Luka 4:18‐19Akaingia hekaluni, akawaambia,Roho wa Bwana Mungu yuko juu 

i k f tyangu, amenipaka mafuta (amenipa uwezo na nguvu) (a e pa u e o a gu u)kuhubiri injili na kuwafungua 

li fwote waliofungwa.

ROHO MTAKATIFU

Matendo 10:38Jinsi Mungu alivyompaka Yesu 

Kristo mafuta, kwa Roho Mtakatifu na Nguvu nayeMtakatifu na Nguvu, naye 

akazunguka kote kote, akiponya watu na kuwafungua wote 

walioonewa na ibilisiwalioonewa na ibilisi

ROHO MTAKATIFU

Luka 1:30‐35Malaika akamwambia Mariam kwamba, “Roho Mtakatifu wa 

Mungu atakujilia juu yako na NguvuMungu atakujilia juu yako, na Nguvu zake aliye juu zitakufunuka; Nawe utazamzaa Mtakatifu Mwana wa Mungu na kumwita jina lake Yesu”Mungu na kumwita jina lake Yesu . 

ROHO MTAKATIFU

2. Roho Mtakatifu Ni NGUVU ya 

Mungu Mwenyezi(Luka 4:18‐19)

ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGUNGUVU YA MUNGU

Katika Mungu MwenyeziM NAFSIMwenye NAFSI tatu;Nguvu zake ziko katikaNguvu zake ziko katika 

NAFSI ya tatuNAFSI ya tatuRoho Mtakatifu.Roho Mtakatifu. 

ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGUNGUVU YA MUNGU

Katika Mungu MwenyeziM NAFSIMwenye NAFSI tatu;

Nguvu zake (huyo Mungu) zikoNguvu zake (huyo Mungu) ziko katika NAFSI yake ya tatukatika NAFSI yake ya tatuYaani Roho Mtakatifu. 

ROHO MTAKATIFU

2. Roho Mtakatifu Ni NGUVU ya 

Mungu Mwenyezi(Luka 4:18‐19)

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14

KIFUNGO CHA USHIRIKAKIFUNGO CHA USHIRIKA“Huwezi kupata NGUVU NAHuwezi kupata NGUVU NA MSAADA  wa Roho Mtakatifu, 

kama huna ushirika unaotokanana uhusiano mzuri na yeyena uhusiano mzuri na yeye.

ROHO MTAKATIFU NGUVU YA MUNGUNGUVU YA MUNGU

Katika Mungu MwenyeziM NAFSIMwenye NAFSI tatu;Nguvu zake ziko katikaNguvu zake ziko katika 

NAFSI ya tatuNAFSI ya tatuRoho Mtakatifu.Roho Mtakatifu. 

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

Lakini kikubwa zaidi;

Roho Mtakatifu anataka kuongoza! 

Ndio moja ya kazi yake iliyomleta duniani

Yohana 16:13

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

Yohana 16:13‘Lakini huyo Roho mtakatifu t k k j ATAWAONGOZAatakapokuja, ATAWAONGOZAawatie kwenye kweli yote; naawatie kwenye kweli yote; na kuwapasha habari hata za 

mambo yajayo’

Roho Mtakatifu Ni MTURoho Mtakatifu Ni MTU

Yaani ni Nafsi iliyo Hai;Ndio maana Yesu alisema 

‘Huyo’ Roho, atakapokuja,f di h k b hatawafundisha … atawakumbusha 

yote niliyosema.yote niliyosema. 

Roho Mtakatifu Ni MTURoho Mtakatifu Ni MTU

Roho Mtakatifu angekuwa si mtu b li i ki ( f )bali ni kitu (moto, mafuta, upepo), 

Yesu angesemaYesu angesema‘Hiyo roho, itakapokuja,

itawafundisha na itawakumbusha yote niliyosemayote niliyosema.

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14

“Huwezi kupata NGUVU NAHuwezi kupata NGUVU NA MSAADA  wa Roho Mtakatifu, 

kama huna ushirika unaotokanah i ina uhusiano mzuri na yeye.

Roho Mtakatifu Ni MTURoho Mtakatifu Ni MTUNa ndio maana, Biblia inasema;, ;• Anaongea      (Mdo 13:2, Ufu 2:7,11,29)A f hi (Md 13 52)• Anafurahi (Mdo 13:52)

• Anahuzunika (Efe 4:30)( )• Anakataza      (Mdo 16:6‐7)

h ( d d• Anaruhusu     (Mdo 13:2‐3, Mdo 16:8‐10• Anaamua        (1Kor 12: 1‐4)( )• Anachagua     (Mdo 13: 1‐3)

Roho Mtakatifu ni MTURoho Mtakatifu ni MTU

Na kwasababu ni NAFSI iliyo hai, basiy ,ANA HISIA KAMA ZAKO

•Anataka kutambulika• Anataka kuheshimika• Anataka kuheshimika• Anataka kujulikanaj• Anataka kupendwa• Anataka kusemeshwa, n.k n.k.

Roho Mtakatifu ni MTURoho Mtakatifu ni MTU

ANA NAFSI HAI; ANA HISIA (FEELINGS)( )‐ Asipotambukila ‐ AsipoheshimikaAsipoulizwa‐ Asipoulizwa

‐ Asiposikilizwa‐ ASIPOONGOZA‐ ANAHUZUNIKA SANA!

Roho Mtakatifu ni MTURoho Mtakatifu ni MTU

ANA NAFSI HAI; ANA HISIA (FEELINGS)( )

NA ROHO MTAKATIFU WA MUNGU AKIHUZUNIKA, ANAZIMA NGUVUAKIHUZUNIKA, ANAZIMA NGUVU ZAKE NA UWEZA WAKE (MSAADA)

TABIA ZA ROHO MTAKATIFU 

Kwa Tabia za Roho Mtakatifu(kama Njiwa)  

1. Ni mtulivu sana, 2 Ni t tib2. Ni mtaratibu sana,3 Ni mkimya sana3. Ni mkimya sana,4. Ni mpole sana,  na5. Ni anaumia haraka (delicate)

Roho Mtakatifu ni MTURoho Mtakatifu ni MTU

ANA NAFSI HAI; ANA HISIA (FEELINGS)( )‐ Asipotambukila ‐ AsipoheshimikaAsipoulizwa‐ Asipoulizwa

‐ Asiposikilizwa‐ ASIPOONGOZA‐ ANAHUZUNIKA SANA!

Roho Mtakatifu ni MTURoho Mtakatifu ni MTU

ANA NAFSI HAI; ANA HISIA (FEELINGS)( )

NA ROHO MTAKATIFU WA MUNGU AKIHUZUNIKA, ANAZIMA NGUVUAKIHUZUNIKA, ANAZIMA NGUVU ZAKE NA UWEZA WAKE (MSAADA)

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12‐29‘’17 Huyo ndiye Roho wa kweli ambaye ulimwengu hauwezi 

kumpokea kwa sababukumpokea, kwa sababu haumwoni wala haumtambui. 

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12‐29‘’17 … Ninyi mnamjua 

(mnamtambua) kwa kuwa yuko pamoja nanyi naye anakaapamoja nanyi, naye anakaa 

ndani yenu. da ye u

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU 

Kanisa la Kwanza walifauluKanisa la Kwanza walifaulu katika kujua hilo, kwasababu Yesu alisha waonya mapema, kabla ya kumleta Roho wakekabla ya kumleta Roho wake.

Yohana 16:1‐16,22Yohana 14:12‐17

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZAKWANZA

Baada ya miaka 300 tu ya injili, y y j ,kanisa la kwanza walikuwa 

k lwameuteka ulimwengu wote uliokuwa unakaliwa na watuuliokuwa unakaliwa na watu.

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZAKWANZA

l l k k bKanisa lilikuwa nguvu kubwa isiyoweza kuzuilika au kushindwaisiyoweza kuzuilika au kushindwa.

Waebrania 11:32‐38Waebrania 11:32 38 Matendo 17:6

‘These that have turned the world upside down are come here also’

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA

1. Walimtambua Roho MtakatifuMtakatifu 

(katika Utu wake)(katika Utu wake)

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA

2. Walimthamini Roho MtakatifuMtakatifu  

(katika Nafasi yake)(katika Nafasi yake)

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA

3. Walimshirikisha mambo yao yote 

(K ik bi)(Katika Maombi)

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA

4. Walimsikiliza alichosema ( k )(Maagizo yake)

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA

5. Walimtii Roho (k )(kama Kiongozi wao)

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA USHINDI WA KANISA LAKWANZA

1. Walimtambua Roho Mtakatifu2 W li th i i R h Mt k tif2. Walimthamini Roho Mtakatifu3 Walimshirikisha Roho Mtakatifu3. Walimshirikisha Roho Mtakatifu4. Walimsikiliza Roho Mtakatifu5. Walimtii Roho Mtakatifu

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

SOMA KITABU CHA MATENDO YA MITUMEMATENDO YA MITUME

Kila sura inamtaja Roho MtakatifuKila sura inamtaja Roho MtakatifuAu Kazi zake

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

SOMA KITABU CHA MATENDO YA MITUMEMATENDO YA MITUME

Kila sura inamtaja Roho MtakatifujAu Kazi zake

~  Kwa mfano ~

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 1:2 Roho Mtakatifu anatajwa kumnyakuaRoho Mtakatifu anatajwa kumnyakua

Yesu mawinguni siku alipopaa juumbinguni.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 1:8Yesu anamtaja Roho kuwa ndiyeYesu anamtaja Roho kuwa ndiyeatakayewatia nguvu kanisa kuhubiri

injili.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 2:1‐4; Roho anaonekana akiwajaza nguvuRoho anaonekana akiwajaza nguvu

kanisa kuanza kazi ya injili.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 2:37‐47;Roho Mtakatifu anawachomaRoho Mtakatifu anawachoma

mioyo, watu kwa ile injili ya Petro, Wakaokoka watu 8,000.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 3:6‐7; Petro anaonekana akimponya kilemaPetro anaonekana akimponya kilema

kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 4:8;Petro akijaa Roho MtakatifuPetro akijaa Roho Mtakatifu, anawajibu wakuu wa dinikatika kikao cha baraza.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 4:31; Roho anatajwa kuwajaza KanisaRoho anatajwa kuwajaza Kanisa, nguvu zake kwa upya, ili kuukabili

upinzani.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 5:1‐5;Roho Mtakatifu anamnong’onezaRoho Mtakatifu anamnong onezaPetro kufichua uongo wa Anania na

Safira.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 6:10; Roho Mtakatifu anamtia StefanoRoho Mtakatifu anamtia Stefano hekima aliyowashinda wapinzani

wake wote.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 7:51; Wayahudi wanaambiwa kulipingaWayahudi wanaambiwa, kulipinga

uamsho ni kumpinga kwa RohoMtakatifu.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 8:39; Roho Mtakatifu ananyakua FilipoRoho Mtakatifu ananyakua Filipo

kutoka sehemu moja na kumpelekakwingine.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 9:17‐19; Anania anasali na Sauli anajazwaAnania anasali na Sauli anajazwa

Roho Mtakatifu na upofu unamtoka.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo10:44‐47;Roho Mtakatifu anawashukiaRoho Mtakatifu anawashukia

familia ya Kornelio nao wananenakwa lugha.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 11:27‐30; Roho Mtakatifu anawaonyeshaRoho Mtakatifu anawaonyeshakanisa, kuhusu njaa kubwa

itakayokuja.(Yohana 16:13)(Yohana 16:13)

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 12:1‐5‐17; Kanisa linatiwa nguvu na Roho iliKanisa linatiwa nguvu na Roho, ilikuomba kwa ajili ya Petro gerezani.

(Warumi 8:26‐27)

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 13:1‐3; Roho Mtakatifu ndiyeRoho Mtakatifu ndiye

anayewachagua watu wa kingiakatika huduma ya injili.(1Samuel 16:1 13)(1Samuel 16:1‐13)

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 14: 8‐18; Kwa uweza wa Roho MitumeKwa uweza wa Roho, Mitume

wapindua kijiji kizima kwa miujiza ya nguvu za ajabu za Kristo.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 15:1‐12;  Roho Mtakatifu anatajwa kuwajazaRoho Mtakatifu anatajwa kuwajaza

mataifa kama alivyowajazaWayahudi.

(Matendo 2:1 4)(Matendo 2:1‐4)

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Matendo 16:6;Roho Mtakatifu anawakatazaRoho Mtakatifu anawakatazakuhubiri katika pande za nchi zap

Asia. Nao Wanatii!(Isaya 1:19)

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.~  My Best ~Matendo 5:32; 

Roho Mtakatifu anatajwa naRoho Mtakatifu anatajwa namitume katika baraza, kama

shahidi mwenzao.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.~  My Best ~M t d 15 28Matendo 15:28; 

Roho Mtakatifu anatajwa na Wazee wajKanisa la Kwanza, kuwa mmoja wa

waliohusika katika kuandika waraka wawaliohusika katika kuandika waraka wamapokeo, kwa wanaumini wapya

wa mji mwingine.

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA KANISA LA KWANZA.

Walimtambua na kumpokea RohoMtakatifu katika maisha yao, waoMtakatifu katika maisha yao, waokama kanisa la Kristo, na kumfanyaR h Mt k tif kRoho Mtakatifu kama mwenzao au

mwenza wao (partner)(p )

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

Kanisa la LeoTunatakiwa Kujua

kwamba… 

ROHO MTAKATIFU NI NANI

Roho Mtakatifu ni;;

1. Ni Mungu Mwenyezi2. Ni Nguvu ya Mungu3. Roho Mtakatifu ni Mtu

SIRI YA KANISA LA LEO

Siri ya Kanisa la leo, na wauminiwa leo ipo katika;

K R h Mt k tifKumpa Roho MtakatifuHeshima yakeHeshima yake.

SIRI YA KANISA LA LEO

Siri ya Kanisa la leo, ipo katika;Kumpa Roho Mtakatifu

Heshima yake.YaaniYaani …

SIRI YA KANISA LA LEO

Siri ya Kanisa la leo, ipo katika;y , p ;1. Kumtambua Roho Mtakatifu2. Kumthamini Roho Mtakatifu3. Kumshirikisha Roho Mtakatifu4 Kumsikili a Roho Mtakatifu4. Kumsikiliza Roho Mtakatifu5 Kumtii Roho Mtakatifu5. Kumtii Roho Mtakatifu

SIRI YA KANISA LA LEO

Siri ya Kutembea na Nguvu zaSiri ya Kutembea na Nguvu zaMungu ipo katika utii wa

uongozi wa Roho Mtakatifumaishani mwakomaishani mwako.

SIRI YA KANISA LA LEO

Kiwango cha nguvu za MunguKiwango cha nguvu za Mungumaishani mwako, kitategemeakiwango cha utii unaompaRoho Mtakatifu ambaye niRoho Mtakatifu, ambaye ni

Msaidizi wako.Msaidizi wako.

SIRI YA KANISA LA LEO

Kiwango cha Utii unaompa RohoKiwango cha Utii unaompa Roho Mtakatifu, kinategemea kiwango cha usikivu wako ktk  k b k ( l)• kuitambua sauti yake (signal)k i iki ti k (k l )• kuisikia sauti yake (kuelewa) 

• kuitii sauti yake (kutenda)• kuitii sauti yake (kutenda)

SIRI YA KANISA LA LEO

Kiwango cha Utii unaompaKiwango cha Utii unaompaRoho Mtakatifu, kinategemeakiwango cha usikivu ulionao

kwa uongozi wa Msaidizi wakokwa uongozi wa Msaidizi wako, Roho Mtakatifu.Roho Mtakatifu.

KUONGOZWA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

NAMNA YA KUSIKIA SAUTI YA MUNGU NA 

UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU

KUONGOZWA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

A Namna za KAWAIDAA. Namna za KAWAIDAB Namba ZISIZO KAWAIDAB. Namba ZISIZO KAWAIDA

KUONGOZWA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

A Namba Za KAWAIDAA.  Namba Za KAWAIDA

KUONGOZWA  NA ROHO MTAKATIFU

A. Namna za KAWAIDA

1. Kwa Neno lake(L )(Lagos); 

(Zab 119:105 2Tim 3;16‐17)(Zab 119:105, 2Tim 3;16‐17)

KUONGOZWA  NA ROHO MTAKATIFUA. Namna za KAWAIDA

2 Kwa Ushuhuda wa moyoni2. Kwa Ushuhuda wa moyoni(Rhema)    ( )

(Rum 8:16, 1Kor 2:16)(2Nyak 6:7, 2Nyak 7:11)

KUONGOZWA  NA ROHO MTAKATIFUA. Namna za KAWAIDA

3. Kwa Amani ya rohoni3. Kwa Amani ya rohoni(Furaha/Uhuru) 

(Isa 55:12, Kol 3:15)(Efe 4:1‐3)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

A. Namna za KAWAIDA

4 Kwa njia ya Ndoto4. Kwa njia ya Ndoto

(Math 1:18‐25  Math 2;19‐21)( ; )

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

A. Namna za KAWAIDA

5. Kwa kutumia watu wengine.   

(Math18:16, Mdo 6:3‐6)

KUONGOZWA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

B Namba ZISIZO KAWAIDAB.  Namba ZISIZO KAWAIDA

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUB. Namna ZISIZO KAWAIDA

6 Kwa njia ya Maono6. Kwa njia ya Maono

(Mdo 10‐11:5, Mdo 9:10‐12)(Mdo 10 11:5, Mdo 9:10 12) (Mdo 16:9‐10)( )

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUB. Namna ZISIZO KAWAIDA

7 Kwa Neno la Maarifa7. Kwa Neno la Maarifa

(1Kor 12:4‐8; Mdo 5:1‐11)(1Kor 12:4 8; Mdo 5:1 11)(Math 12:22‐28)( )

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUB. Namna ZISIZO KAWAIDA

8 Kwa Neno la Hekima8. Kwa Neno la Hekima

(1Kor 12:4‐8; 2Fal 2:19‐21)(1Kor 12:4 8; 2Fal 2:19 21)(Yoh 9:1‐7)( )

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

B. Namna ZISIZO KAWAIDA

9 K ji U bii9. Kwa njia ya Unabii. 

(1Kor 12;7‐10 1Kor 14:10)(1Kor 12;7‐10, 1Kor 14:10)(Mdo 13:1‐3)(Mdo 13:1 3)  

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

B. Namna ZISIZO KAWAIDA

10 K S ti Nj10. Kwa Sauti ya Nje

(Mk 9:1‐8 Mdo 9:1‐9)(Mk 9:1‐8, Mdo 9:1‐9)(Yoh 12:28‐30)(Yoh 12:28 30)

KUONGOZWA NA ROHO 

KUONGEZA USIKIZUKUONGEZA USIKIZU WAKO KWAWAKO KWA 

ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

KUONGOZWA NA ROHO Requirements;

1. Utakatifu    (1Pet 1:15‐16, Isa 57:17)2 K b d (J h 4 23 24 P 22 3)2. Kuabudu     (John 4:23‐24, Psa 22:3) 3. Maombi (Exo 24:12‐18, Luk6:1219)3. Maombi      (Exo 24:12 18, Luk6:1219)4. Neno            (Heb 4:12, Col 3:16)5. Ibada            (Math 18:19‐20)

KUONGOZWA NA ROHO 

VIZUIZI VYA KUSIKIAVIZUIZI VYA KUSIKIA UONGOZI WAUONGOZI WA 

ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

KUONGOZWA NA ROHO Requirements;

1. Dhambi    (Yoh 9:31, Isa 59:1‐2)2 M ili (G l 5 16 25 1K 3 1 9)2. Mwili        (Gal 5:16‐25, 1Kor 3:1‐9) 3. Charge (Yoh 4:14/7:37‐39, Efe 5:18)3. Charge      (Yoh 4:14/7:37 39, Efe 5:18)4. Kiwango   (Ebr 5:11‐14, Efe 4:11‐15)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

55. Maisha yaUtakatifuUtakatifu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wakorintho 6:14‐18Mungu wetu hana ushirika na 

dhambi. Ukitaka awe Baba yako na wewe uwe mwanaye ni lazimawewe uwe mwanaye, ni lazima ujitenge na uovu wa kila namna

Waefeso 4:17‐25

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Petro 1:15‐1615 Iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote kama mimi Mungu wenuwenu wote, kama mimi Mungu wenu 

nilivyo Mtakatifu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Petro 1:15‐1616 Kwa maana imeandikwa, mtakuwa watakatifu (wakamilifu) kama mimiwatakatifu (wakamilifu) kama mimi Mungu wenu nilivyo Mtakatifu 

(Mkamilifu).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Isaya 57:15yMungu wetu anakaa mahali 

patakatifu pamoja na mtu aliye na roho iliyotubu na kumyenyekearoho iliyotubu na kumyenyekea

1Thesalonike 4:1‐4‐7esa o e

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 12:1414 Tafuteni kwa bidii kuwa na amanina watu wote, na huo utakatifu, ambao, pasipo huo, hakuna mtu, p p ,

ataweza kumwona Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwili Vs RohoMwili Vs Roho

KUNA VITA KATI YA MWILI NA ROHO

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwili Vs RohoWagalatia 5:16‐25

‘Basi enendeni kwa Roho, wala h khamtazitimiza kamwe tamaa za mwili; kwa maana mwili na rohomwili; kwa maana mwili na roho 

vinashindana, hata ninyi yhamuwezi kufanya mnayotaka’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwili Vs RohoWarumi 8:5‐10

‘Wale waufuatao mwili, k lwanawaza na kutawaliwa na  

mambo ya mwili bali walemambo ya mwili, bali wale waifuatayo roho, wanawaza na ykutawaliwa na mambo ya Roho;

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwili Vs RohoWarumi 8:5‐10

‘Wale waufuatao mwili, h k b k dhawawezi kabisa kumpendeza Mungu kwasababu mwili unaMungu, kwasababu mwili una uadui na Mungu na hauwezi gkufuata sheria za Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwili Vs RohoWarumi 8:5‐10

‘Kufuata mambo ya mwili k b b h l kkunasababisha mauti, lakini kufuata mambo ya Rohokufuata mambo ya Roho kunaleta uzima na amani.

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Uhusiano Mungu(Utukufu) Uhusiano Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani

MAMLAKA YA MKRISTOWagalatia 5:16

Basi enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa zahamtazitimiza kamwe tamaa za 

mwili. Kwa maana mwili unashindana na Roho, na Roho i hi d ili h tinashindanan na mwili hata 

hamuwezi kufanya mnayoyataka.hamuwezi kufanya mnayoyataka.

MAMLAKA YA MKRISTO1Wathesalonike 4:1‐4‐7

1. Ndugu zangu, iliyobaki sasa, ni kuishi maisha matakatifukuishi maisha matakatifu.

4. Kila mmoja wenu ajue namna ya4. Kila mmoja wenu ajue namna ya kuuweza (kuuthibiti) mwili wake7. Mungu hakutuitia uchafu, bali 

t k tif fiutakatifu na usafi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

MITHALI 4:2323 Zaidi ya yote, linda moyowako, kuliko yote uyalindayo, maana huko ndiko zitokakomaana huko ndiko zitokako 

chemchemi za uzima.chemchemi za uzima. 

5. Maisha ya Utakatifu

Kumbukumbu 23:14,‘Na kiwe kitakatifu kituo chako(moyo wako) ili nitakapokujakukutembelea ili nikuokoe nakukutembelea ili nikuokoe naadui zako, nisikute kitu kichafuadui zako, nisikute kitu kichafu

kinanifanya nigeuke nakukuacha’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wakorintho 6:14‐18Mungu wetu hana ushirika na 

dhambi. Ukitaka awe Baba yako na wewe uwe mwanaye ni lazimawewe uwe mwanaye, ni lazima ujitenge na uovu wa kila namna

Waefeso 4:17‐25

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wakorintho 6:14‐18Dhambi inakata network na Mungu katika ulimwengu wa 

hroho.

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWarumi 3:23/Warumi 5:12‐19

Mwanadamu alipofanya dhambi, alipoteza mamlaka ya Mungualipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na g

kushindwa kuutawala ulimwengu ili b d l kwa mwili; badala yake, 

ulimwengu wa mwili ukamtawalaulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAWaefeso 1:18‐23/2:1‐6

Mtu wa Mungu, hataweza kuuathiri Ulimwengu wa roho nakuuathiri Ulimwengu wa roho na 

kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwili, kama 

h j k ti h k iliki hhajaketishwa na kumilikishwa Ulimwengu wa roho kwa njia yaUlimwengu wa roho kwa njia ya Wokovu wa Bwana Yesu Kristo.

1. WOKOVU ‐ KUOKOKAMwanzo 1:26‐28/Zaburi 8:4‐8

Mungu aliitengeneza dunia katika namna kwamba ulimwengu wanamna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka

ya Mungu kutoka katika Uli hUlimwengu wa roho.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wakorintho 6:14‐18Dhambi inakata network na Mungu katika ulimwengu wa 

hroho.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa mfano wa Daniel na wenzake

Daniel 1:1‐17

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa mfano wa DanielDaniel 1:1‐17

Danieli na wenzake waliazimu i i k t k ji h fmoiyoni mwao kutokujichafua, na 

Mungu akawapa vipawa vya ajabu u gu a a apa pa a ya ajabuvilivyowawezesha kuishi na 

k b kkutembea kwa nguvu za Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Daniel 1:1‐17Danieli na wenzake walijua jinsi dhambi inakata network na M k tik liMungu katika ulimwengu wa roho; wakajiepusha nayo.roho; wakajiepusha nayo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Daniel 1:66 Na Daniel aliazimu moyoni mwake k b k ( k hkwamba, kamwe (na kwa gharama 

yoyote), hatajichafua (hatajinajisi) kwa y y ), j ( j j )vyakula vya Mfalme (ambavyo Mungu 

k t W i li k it iamewakataza Waisraeli kuvitumia kama chakula). Daniel aliazimia 

moyoni, kuishi maisha matakatifu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Daniel 1:1717 Na katika habari za hao vijana 

li d i lwaliompenda Mungu, Daniel, Shadrack, Meshack, na Abednego, , , g ,Mungu aliwapa akili, busara na if k b idi 10maarifa; na kuwa bora zaidi, mara 10 

kuliko werevu wote, waganga wote   na wachawi wote wa Babeli.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

MITHALI 4:23Uhusiano wako na mungu ndio kitu cha thamani kuliko vyote 

k tik i hkatika maisha.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

MITHALI 4:2323 Zaidi ya yote, linda moyowako, kuliko yote uyalindayo, maana huko ndiko zitokakomaana huko ndiko zitokako 

chemchemi za uzima.chemchemi za uzima. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

YOHANA 7: 37‐39YOHANA 7: 37 3938 Ye yote aniaminiye Mimi, y y ,kama maandiko yasemavyo, 

kmito ya maji ya uzima, itatiririkandani yake” au (itatiririkandani yake  au (itatiririkakutokea ndani mwake.))

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

YOHANA 7: 37‐39YOHANA 7: 37 3939 Habari hizo alizisema kwahabari ya Roho Mtakatifu,

b lambaye wale wamwaminiowatampokeawatampokea … 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wakorintho 6:14‐18Mungu wetu hana ushirika na 

dhambi. Ukitaka awe Baba yako na wewe uwe mwanaye ni lazimawewe uwe mwanaye, ni lazima ujitenge na uovu wa kila namna

Waefeso 4:17‐25

5. Maisha ya Utakatifu

Kumbukumbu 23:14,‘Na kiwe kitakatifu kituo chako(moyo wako) ili nitakapokujakukutembelea ili nikuokoe nakukutembelea ili nikuokoe naadui zako, nisikute kitu kichafuadui zako, nisikute kitu kichafu

kinanifanya nigeuke nakukuacha’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Petro 1:15‐1615 Iweni watakatifu katika 

mwenendo wenu wote, kama mimi Mungu wenu nilivyomimi Mungu wenu nilivyo 

Mtakatifu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Petro 1:15‐1616 Kwa maana imeandikwa, 

mtakuwa watakatifu (wakamilifu) kama mimi Mungu(wakamilifu) kama mimi Mungu 

wenu nilivyo Mtakatifu y(Mkamilifu).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Petro 1:15‐1616 Kwa maana imeandikwa, 

mtakuwa watakatifu (wakamilifu) kama mimi Mungu(wakamilifu) kama mimi Mungu 

wenu nilivyo Mtakatifu y(Mkamilifu).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

66. Maisha yaMaombiMaombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya Maombia) Maombi ni namna ya mtu waMungu kwenda katika ulimwenguwa roho, ili kuongea na Mungu, na, g g ,kuuathiri ulimwengu wa roho katika

namna ambayo itakaletanamna ambayo itakaletamabadiliko katika ulimwengu wa

ilimwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya MaombiLakini…Lakini…

b) Maombi si kuongea na Mungu tu, bali pia, maombi ni namna ya mtukupokea vitu kutoka kwa Mungukupokea vitu kutoka kwa Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maisha ya MaombiMaisha ya MaombiLuk 6:12, 17‐19Luk 6:12, 17 19

Kwa Mfano waBwana Yesu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya MaombiLuk 6:12, 17‐19Luk 6:12, 17 19

12 Ikawa siku zile, Yesu alikwendamlimani ili kuomba (kuongea naMungu); na akakesha usiku kuchaMungu); na akakesha usiku kucha

katika kumwomba Mungu. g

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya MaombiLuk 6:12, 17‐19

17 Akashuka pamoja nao akasimamamahali penye uwanja tambarare. Hapo palikuwa na idadi kubwa yawanafunzi Wake na umati mkubwawa watu kutoka sehemu zote zaUyahudi, Yerusalemu na kutokay

pwani ya Tiro na Sidoni … 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya MaombiLuk 6:12, 17‐19

… waliokuwa wamekuja kumsikiliza nakuponywa magonjwa yao. 18 Wale waliokuwa wakiteswa na pepowachafu akawaponya. 19 Watu wotewalikuwa wanajitahidi kumgusa kwasababu nguvu zilikuwa zikimtoka nagkuwaponya wote. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya Maombi

Kwa Mfano waNabii Musa

Kutoka 24:12‐18Kutoka 34:29‐35

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya MaombiMusa akaa katika maombi mudaMusa akaa katika maombi mudawa siku 40, alipotoka, ngozi yasura yake ilikuwa inang’aa kamajua kwasababu Mungu alikuwajua, kwasababu Mungu alikuwaamemwambukiza utukufu wake  

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya MaombiLakini…Lakini…

Maombi si kuongea na Mungu tu, bali pia, maombi ni namna ya mtukupokea vitu kutoka kwa Mungukupokea vitu kutoka kwa Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya MaombiBaada ya kupokea kutoka kwaBaada ya kupokea kutoka kwaMungu; Nguvu hizo pia zinawezakuachiliwa kutoka ndani yako

kwa njia ya maombikwa njia ya maombi. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya Maombi  c) Kwahiyo, Maombi si kupokeac) Kwahiyo, Maombi si kupokea kutoka kwa Mungu tu, bali pia, 

maombi ni namna ya mtu kuachilia Nguvu za Mungukuachilia Nguvu za Mungu 

kutoka ndani yake.y

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu pasipo msaada wa binadamu, lakini 

alichagua tu kufanya kazi kwaalichagua tu kufanya kazi kwa ushirika na binadamu; kwahiyo, 

kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na binadamubinadamu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (1);Kifo cha Yakobo (Ndugu yake Y ) Uk b i PYesu) na Ukombozi wa Petro 

gerezanigerezaniMatendo 12:1‐19Matendo 12:1 19

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (2);Ushindi wa Joshua vitani

Kwa maombi ya Musa MlimaniKutoka 17:8‐15

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (3);Maombi ya Musa katika 

kumruhusu Mungu kufungua bahari ya Shamubahari ya ShamuKutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa hiyoKwa hiyo …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutatengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango

hcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya Maombi  b) Kwahiyo, Maombi si kupokeab) Kwahiyo, Maombi si kupokea kutoka kwa Mungu tu, bali pia, 

maombi ni namna ya mtu kuachilia Nguvu za Mungukuachilia Nguvu za Mungu 

kutoka ndani yake.y

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya MaombiMatendo 5:12

Na kwa mikono ya mitume, Mungualitenda miujiza ya kupita kawaida, hata vivuli vyao, vilitosha kugusawatu; na kila aliyeguswa na kivulicha Petro, alikutana na nguvu zaajabu za Mungu za kuponywaj g p y

magojwa yake na mapepo yalitoka.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya MaombiMatendo 19:11‐12

Na kwa mikono ya mitume, Mungualitenda miujiza ya kupita kawaidaalitenda miujiza ya kupita kawaida, hata leso na vitambaa vilivyotokak tik iili ilikkatika miili yao, vilikuwa na nguvuza ajabu za kuponya wagijwa na

kutoa mapepo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

6 Maisha ya Maombi6. Maisha ya Maombi  b) Kwahiyo, Maombi si kupokeab) Kwahiyo, Maombi si kupokea kutoka kwa Mungu tu, bali pia, 

maombi ni namna ya mtu kuachilia Nguvu za Mungukuachilia Nguvu za Mungu 

kutoka ndani yake.y

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 5:8Ufunuo 5:8Kisha nikaona … malaika wengi. Hesabu yao ilikuwa maelfu kwamaelfu. Na kila mmoja wao,maelfu. Na kila mmoja wao, walikuwa na vinubi na vitasa

(bakuli) za dhahabu yaliyokuwa(bakuli) za dhahabu, yaliyokuwayamejaa manukato, ambayo ni

maombi ya watakatifu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 8:1‐5Ufunuo 8:1‐5Malaika wakaleta mabakuli

yaliyojaa maombi ya watakatifu, wakayaleta mbele za Mungu,wakayaleta mbele za Mungu, yakachanganywa na uvumba; 

kisha malaika akachukua makaakisha malaika akachukua makaaya moto wa madhabahuni …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 8:1‐5Ufunuo 8:1‐5… kayachanganya na ule uvumba

kwenye bakuli, kisha Munguakasema, yarushie duniani.akasema, yarushie duniani. 

Ndipo kukawa na radi, ngurumo, tetemeko na sauti kuu dunianitetemeko na sauti kuu duniani.

Nguvu ya Mungu!g y g

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 8:1‐5Ufunuo 8:1‐5Bakuli za maombi hazikuletwambele za Mungu mpaka zilpojaamaombi katika kiwango sahihimaombi katika kiwango sahihi

cha vipimo vilivyohitajika

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 8:1‐5Ufunuo 8:1‐5Kila agenda ya maombi

uliyonayo, inafunguliwa akauntiyake ya bakuli la maombi, katikayake ya bakuli la maombi, katika

hekalu la mbinguni. Munguhatajibu ombi lako mpakahatajibu ombi lako, mpakabakuli lako limejaa katia

kiwango chake.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

MaombiMaombiNi njia mojawapo inayofungulia j j p y gnguvu za Mungu katika maisha ya mtu wa Mungu, ni kiwango 

cha maombi kinachozaacha maombi, kinachozaa kiwango cha imani.g

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …***… ikiwa tutaongeza kiwango…  ikiwa tutaongeza kiwango cha maombi maishani mwetu, tutatengeneza au tutazalisha Nguvu nyingi za Mungu ndaniNguvu nyingi za Mungu ndani 

yetu,  na kuuwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini piaLakini pia …***… tukipunguza kiwango cha…  tukipunguza kiwango cha 

maombi maishani mwetu, tutashindwa kutengeneza au 

kuzalisha Nguvu nyingi za Mungukuzalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani yetu,  na kuuzuia mkono wa Mungu kufanya mambo mengi.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea 

sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako, yaani kiwango cha maombi 

unachofanya maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Maombi = Imani = NguvuMaombi    =           Imani      =      Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Maombi = Imani = NguvuMaombi    =           Imani      =      Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Maombi = Imani = NguvuMaombi    =           Imani      =      Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Maombi = Imani = NguvuMaombi    =           Imani      =      Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Maombi = Imani = NguvuMaombi    =           Imani      =      Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea 

sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako, yaani kiwango cha maombi 

unachofanya maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

MaombiMaombiNi njia mojawapo inayofungulia j j p y gnguvu za Mungu katika maisha ya mtu wa Mungu, ni kiwango 

cha maombi kinachozaacha maombi, kinachozaa kiwango cha imani.g

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …***… ikiwa tutaongeza kiwango…  ikiwa tutaongeza kiwango cha maombi maishani mwetu, tutatengeneza au tutazalisha Nguvu nyingi za Mungu ndaniNguvu nyingi za Mungu ndani 

yetu,  na kuuwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini piaLakini pia …***… tukipunguza kiwango cha…  tukipunguza kiwango cha 

maombi maishani mwetu, tutashindwa kutengeneza au 

kuzalisha Nguvu nyingi za Mungukuzalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani yetu,  na kuuzuia mkono wa Mungu kufanya mambo mengi.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

65 Maisha ya Mombi65. Maisha ya MombiWaefeso 6:18,Waefeso 6:18, Wakolosai 4:2, 

1Wathesalonike 5:17Math 16:16‐18.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Tengeneza Kiu Bidii na NidhamuTengeneza Kiu, Bidii na Nidhamuya Kukaa na Munguya Kukaa na Mungu

Kut 33:7‐11, Zab 63:1‐3

Silaha za Vita Vyetu 

Funguo za UfalmeFunguo za Ufalme(Katika Ulimwengu wa roho)(Katika Ulimwengu wa roho)

Mathayo 16:18‐19Mathayo 16:18 19

Silaha za Vita Vyetu 

Mathayo 16:18‐19‘Nami nitalijenga kanisa langu, 

wala milango ya kuzimu h it li hi d khaitalishinda; kwa maana 

nitakupa funguo za Ufalme, ilinitakupa funguo za Ufalme, ili kufunga na kufungua’

Silaha za Vita Vyetu Mathayo 16:18‐19

‘Na lolote utakalolifunga duniani, li k li f bi ilitakuwa limefungwa mbinguni (katika ulimwengu wa roho);(katika ulimwengu wa roho); 

na lolote utakalolifungua dunianina lolote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni 

(katika ulimwengu wa roho)

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Kwahiyo;Mtu wa mungu anapokwenda rohoni ni lazima ajue kwambarohoni, ni lazima ajue kwamba, 

atakutana na adui shetani anayetawala eneo lake (eneo 

linaloombewa)linaloombewa) 

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Hivyo basi, inampasa mtu wa Mungu k k l b dilik janayetaka kuleta mabadiliko, ajue 

namna ya kupigana na adui shetaninamna ya kupigana na adui shetani juu ya maeneo anayoyaombea.

Waefeso 6:12, 10‐11,13

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Aina kuu 2 za silahaAina kuu a silaha1. Silaha za Ulinzi (mst.11)2. Silaha za Kupiga (mst.13)

Waefeso 6:12, 10‐11,13

NAMNA YA KUOMBA

1. Silaha za Ulinzi(Kujilinda)(Kujilinda) (Waefeso 6:13)( )

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)a) Kofia ya Chuma kichwani 

(WOKOVU)(WOKOVU)Kwenda rohoni / vitani wakatiKwenda rohoni / vitani wakati hujaokoka, ni kama kwenda vitani 

bila kofia ya chuma ( i 10 9 10 d 19 8 20)(Warumi 10:9‐10, Mdo 19:8‐20) 

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)b) Gamba la chuma kifuani 

(UTAKATIFU)(UTAKATIFU)Kwenda rohoni / vitani wakatiKwenda rohoni / vitani wakati hauishi maisha matakatifu, ni 

kama kwenda vitani ulinzi kifuani. (1 1 1 16 b 23 1 )(1Pet 1:15‐16, Kumb 23:14) 

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)c) Mkanda wa Kweli kiunoni     

(NENO LA KUIMARISHA)(NENO LA KUIMARISHA)Kwenda rohoni / vitani wakati hunaKwenda rohoni / vitani wakati huna 

maneno ya kukuimarisha, ni kama kuvaa gwanda bila mkanda. ( h 1 1 l i 3 16)(Yohana 17:17, Kolosai 3:16) 

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)d) Mabuti ya Utayari Miguuni     

(UTAYARI UJASIRI)(UTAYARI + UJASIRI)Kwenda rohoni / vitani wakati hunaKwenda rohoni / vitani wakati huna 

ujasiri, ni kama kwenda vitani bila mabuti ya jeshi/kazi. 

(2 i h 2 2 i h 1 )(2Timotheo 4:2, 2Timotheo 1:7) 

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)e) Ngao ya Imani mkononi     

(UHAKIKA)(UHAKIKA)Kwenda rohoni / vitani wakati hunaKwenda rohoni / vitani wakati huna 

uhakika (imani), ni kama kwenda vitani bila ngao mkononi. 

( b i 11 1 6 k 11 20 2 )(Ebrania 11:1, 6, Mark 11:20‐24) 

NAMNA YA KUOMBA

2. Silaha za Kupigap g(Kushambulia)(Kushambulia) (Waefeso 6:13)( )

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

a) JINA LA YESU Wafilipi 2:9‐10, Marko 16:16‐20Ji l Y li tJina la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, ndilo y ,

Jina kuu zaidi, jina la Baba.Yoh 17:6,11

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

b) NENO LA YESU Waebrania 4:12, Waefeso 6:17N l Y li tNeno la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Neno y ,

ni Bwana Yesu mwenyewe.Yoh 1:1‐4

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

c) DAMU YA YESU Ufunuo 12:11, Waefeso 1:7

D Y i tDamu ya Yesu ina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Damu y ,

ya Yesu ina Roho wa Yesu.Walawi 17:14

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

d) ROHO WA YESU 2Wathesalonike 2:8, Yeremia 51:1R h Y tRoho wa Yesu ana nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Roho y ,

wa Yesu ni Uhai wa Mungu1 Wakorintho 2:11‐12

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)e) JESHI LA MALAIKA WA YESU 

Ufunuo 19:10, Mathayo 26:52‐53M l ik YMalaika wa Yesu wana nguvu na 

mamlkaka juu ya mashetani, j y ,ikiwa tu watapewa maagizo

Ufunuo 12:7‐10, Zab 34:7, Zab 91

NAMNA YA KUOMBA

NGUVU YA MAOMBI Namna ya Kuuathiri 

Ulimwengu wa roho kwa njia ya maombi.j y

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

1.Kufunga Mambo unayotaka f ikyafungike

Mathayo 16:18‐19Mathayo 16:18‐19Yakobo 5:16‐18

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

2. Kufungua Mambo unayotaka f kyafunguke

Mathayo 16:18‐19Mathayo 16:18‐19Yakobo 5:16‐18

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

3. Kuua Kufisha Mambo unayotaka f k biyafe kabisa

Marko 11:12‐14Marko 11:12‐14‘tangu leo mtu asile matunda kwako’g

(Kuanzia leo Ufe kabisa)

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

4. Kuhuisha / Kufufua Mambo k f f kunayotaka yafufuke

Yohana 11:11‐15Yohana 11:11‐15‘Lazaro, rudi katika uhai wako tena’,

Ezekieli 37:1‐14

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

5. Kuhamisha Nyakati/MatukioMarko 13:14‐19

‘O b i k ki bi k i k ti‘Ombeni kukimbia kusiwe wakati wa baridi (kuwe wakati wa joto)’( j )Yohana 2:1‐11, Isaya 38:1‐5

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1‐5/13:8)

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1‐5/13:8)b)Y S (D 1 17 20/17 24)b)Ya Sasa (Dan 1:17‐20/17‐24)

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1‐5/13:8)b)Y S (D 1 17 20/17 24)b)Ya Sasa (Dan 1:17‐20/17‐24)c)Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13‐14 17)c)Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13‐14,17)

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

7. Kuwa sehemu 2 wakati mmoja1Wakorintho 5:3‐4

Ingawa sipo nanyi kimwili, lakini mjue kwamba nipo nanyi kirohomjue kwamba nipo nanyi kiroho

Wafalme 5:14‐27Wafalme 5:14 27

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

Tukijua siri hii ya maombi, jinsi yanavyoweza kubadilisha  

ulimwengu wa roho tutajibidiishaulimwengu wa roho, tutajibidiisha kuomba, ili kuleta mabadiliko ,tunayotamani kuyaona katika 

maisha yetu, duniani. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

JengaJenga  Kiu Bidii na Nidhamu yaKiu, Bidii na Nidhamu ya 

kimaombi

7. UTUMIAJI WA NENO 

LA MUNGU

Waebrania 4:12‐13

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini piaLakini pia …

2 Kiwango cha Neno2. Kiwango cha NenoWarumi 10:17Warumi 10:17

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Neno = Imani = NguvuNeno        =         Imani       =        Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Neno = Imani = NguvuNeno    =           Imani      =      Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Neno = Imani = NguvuNeno    =           Imani      =      Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Neno = Imani = NguvuNeno    =           Imani      =      Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Neno = Imani = NguvuNeno    =           Imani      =      Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

77. Kujaa Neno la 

li iiMungu na KulitiiKol 3 16Kol 3:16

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOUlimwengu uliumbwa kwaUlimwengu uliumbwa kwa

NENO la Mungu.NENO la Mungu.Yohana 1:1‐4

Ebrania 11:3/4:12

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOInatokana na Uhai wa NenoInatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao unatokana na uwepo wa Roho Mtakatifu ndani 

ya hilo Nenoya hilo NenoWaebrania 4:12

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWaebrania 4:12Waebrania 4:12

“Neno la Mungu li haitena lina Nguvu”tena lina Nguvu”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOYohana 6:63Yohana 6:63

‘Roho ndio itiayo uzima (uhai), kwani mwili (pasipo roho) 

haufai kitu’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Wakorintho 3:62 Wakorintho 3:6

“Andiko peke yake linaua, lakini Roho wa Mungu anahuisha”Roho wa Mungu anahuisha

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOInatokana na Uhai wa NenoInatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao ni uwepo wa Roho Mtakatifu ndani ya Neno

Waebrania 4:12Waebrania 4:12

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16‐172 Timotheo 3:16 17

Kila andiko lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho    na kubadilisha mwenendona kubadilisha mwenendo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16‐17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)Andiko + Pumzi  Neno (Hai)

Herufi   +  Roho = Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Unapoachilia Neno la Mungukutoka ndani yako kwa imani, 

Roho wa Mungu huja kulivuvia iliRoho wa Mungu huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa j

hilo neno maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Unapoachilia neno baya kutoka ndani yako kwa imani, basi roho 

mbaya huja kulivuvia ilimbaya  huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa jhilo neno hilo maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao 

wautumiao watakula matundawautumiao, watakula matunda yake.y

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 6:2Mithali 6:2

Umetegwa kwa maneno yako na umekamatwa na maneno ya 

kinywa chakokinywa chako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWakolosai 3:16Wakolosai 3:16

Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yako katika hekima yote. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWaefeso 4:29Waefeso 4:29

Neno lolote lililo ovu, lisitoke kinywani mwenu, bali lile lililo 

jema la kumfaa msikiajijema, la kumfaa msikiaji. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOManeno ya nguvu za kuumba.Maneno ya nguvu za kuumba. 

Yohana 1:1‐4Ebrania 11:3/4:12

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOManeno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na Mawazo mazuri. Na mawazo 

mazuri hutokana na Mtazamo/kuona vizuriMtazamo/kuona vizuri.

Ukikosea kuona, utakosea kuwaza na kutakosea kuongea.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniKutembea kwa Imani

Mawazo MtazamoManeno

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukikosea kuona utakoseaUkikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza,kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo, Ili kuongea vizuri, lazima uwazevizuri na ili uwaze vizurivizuri, na ili uwaze vizuri, 

lazima uone vizuri.la ima uone vi uri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mambo yatakayokusaidiaMambo yatakayokusaidiaKutembea kwa Ushindi.a) Macho ya rohonib) Mawazo ya ushindi) hi dic) Maneno ya Ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniHesabu 13:26‐33 4:1‐9Hesabu 13:26‐33, 4:1‐9

Wengine waliona majitu, wakatiWengine waliona majitu, wakatiwengine waliwaona hao majitu

ni ‘chakula’ kwao.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya Rohoni Waefeso 1:15‐19Waefeso 1:15 19

Mtume Paul alituombea, macho ya mioyo yetu, yatiwe nuru, ili 

tupate kujua mambo yafuatayo;tupate kujua mambo yafuatayo; (1) tumaini (2) utajiti na ( ) ( ) j(3)nguvu zilizo ndani yetu. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniKutembea kwa Imani

Mtazamo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(b) Mawazo ya Ushindi(b) Mawazo ya UshindiMithali 23:7Mithali 23:7

‘Ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo’

( 2 2 f 20 2 )(Rum 12:2, Efe 4:20‐24)

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

Mawazo MtazamoMawazo Mtazamo

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

Maneno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo 

mazuri hutokana na kuona vizuri.Ukikosea kuona, utakosea kuwaza 

na kutakosea kuongeana kutakosea kuongea.

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

(c) Maneno ya Baraka/Ushindi(c) Maneno ya Baraka/UshindiYohana 6:63, Ebr 4:12‐13Mith 18:20‐21, Mith 6:1‐2

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

Maneno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo 

mazuri hutokana na kuona vizuri.Ukikosea kuona, utakosea kuwaza 

na kutakosea kuongeana kutakosea kuongea.

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

Mawazo MtazamoManeno

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

7 Kujaa na Kulitii Neno7. Kujaa na Kulitii Neno2Tim 3:15‐172Tim 3:15 172 Kor 3:6Ebr 4:12Kol 3:16 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

7 Kujaa na Kulitii Neno7. Kujaa na Kulitii NenoEbr 4:12, 2Tim 3:16‐17, Kol 3:16Ebr 4:12, 2Tim 3:16 17, Kol 3:16 Neno la Mungu li hai, tena linanguvu ya Mungu; kwahiyo nguvu

za Mungu maishani mwetuza Mungu maishani mwetu, zinategemea kiwango cha Nenog g

lake ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

7 Kujaa na Kulitii Neno7. Kujaa na Kulitii Neno Ebr 4:12, Kol 3:16Ebr 4:12, Kol 3:16 

Kutolitii Neno la Mungu la Mungu kunazima nguvu za Mungu, lakini 

kulitii neno la Mungukulitii neno la Mungu, kunafungulia  nguvu za Mungug g g

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

88. Maisha ya IbadaKusifu na Kuabudu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

7 Maisha ya Kusifu na Kuabudu7. Maisha ya Kusifu na KuabuduZab 22:3, Yoh 4:23‐24,Zab 22:3, Yoh 4:23 24, 

Mungu wetu anakaa kwenye sifa zawatu wake. Kila mtu apendayekumsifu na kumwabudu Mungu,kumsifu na kumwabudu Mungu, atatembea na uwepo na nguvu na

t k f M tutukufu wa Mungu wetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

7 Maisha ya Kusifu na Kuabudu7. Maisha ya Kusifu na KuabuduUfu 4:8‐11, Ufu 5:11‐14.Ufu 4:8 11, Ufu 5:11 14.

Ndio maana kule mbinguni Munguamejizungushia mabilio na

mabilioni ya malaika wanaomsifumabilioni ya malaika, wanaomsifuna kuwabudu usiku na mchana.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU7. Maisha ya Kusifu na Kuabudu 

2Nyak 5:12‐14Kusifu na kuabudu kunavuta uwepo 

wa Mungu. Kwahiyo ukiwa mtuwa Mungu. Kwahiyo ukiwa mtu wa ibada sana, kila mara 

uatembelea na uwepo wa Mungu na hivyo maisha yako yatajaana hivyo maisha yako yatajaa 

Nguvu za Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

7. Maisha ya Kusifu na Kuabudu y2Nyak 5:12‐14

Kusifu na kuabudu kunaachilia nguvu za Mungu katika 

ulimwengu wa roho na kuathiriulimwengu wa roho na kuathiri kanuni za rohoni hata kuleta 

mabadiliko mwilini. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

7. Maisha ya Kusifu na Kuabudu y

Kwa Mfano wa Daudi1 Samweli 16:14‐23 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Samweli 16:14‐23Daudi alipopigamuziki wa 

kumsifu Mungu vizuri, aliathiri k i h i h tkanuni za rohoni, hata nguvu za Mungu zikaachiliwa naza Mungu zikaachiliwa na kufukuza mapepo yote 

yaliyomtesa Mfalme Sauli 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8. Maisha ya Kusifu na Kuabudu y2Nyak 5:12‐14

Kusifu na kuabudu kunaachilia nguvu za Mungu katika 

ulimwengu wa roho na kuathiriulimwengu wa roho na kuathiri kanuni za rohoni hata kuleta 

mabadiliko mwilini. 

NAMNA YA KUMWENDEA MUNGUNAMNA YA KUMWENDEA MUNGU

Mfalme Daudi anasema;Mfalme Daudi anasema;

Zaburi  100:1‐5

“  1  Mfanyieni Bwana shangwe dunia  yote;  2Mtumikieni  Bwana  kwa f h j i b l k kfuraha,  njooni  mbele  zake  kwa 

kuimba;kuimba; 

NAMNA YA KUMWENDEA MUNGUNAMNA YA KUMWENDEA MUNGU

Mfalme Daudi anasema;Mfalme Daudi anasema;

Zaburi  100:1‐5

“ 3Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu, ndiye aliyetuumba na i i k ksisi tu watu wake, tu watu wake na Kondoo wa malisho yake”.na Kondoo wa malisho yake . 

NAMNA YA KUMWENDEA MUNGUNAMNA YA KUMWENDEA MUNGU

Mfalme Daudi anasema;Mfalme Daudi anasema;

Zaburi  100:1‐5

“4Ingieni malangoni mwake kwakushukuru, nyuani mwake kwa k if h k i lihi idi i jikusifu, mshukuruni lihimidini jina lake takatifu.lake takatifu.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGUZA MUNGU

Ni muhimu tujue kwamba;“K if k b d k k“Kusifu na kuabudu, kuna namna yake ya ajabu sana, ya kukuingiza katika 

ulimwengu wa roho unapotaka kuomba, na kukukutanisha utukufu wa Munguna kukukutanisha utukufu wa Mungu

kule ndani katika roho yako,”

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mfalme Daudi aliliongea jambo hili g j(la kukutana na Mungu rohoni 

k ) k i h h k lmwako) kwa picha ya hekalu ya Mungu la zamani g

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu

Patakatifu paPatakatifu pa 

Patakatifu

P t k tifPatakatifu

Uwanda            wa Nje

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGUZA MUNGU

Ni muhimu tujue kwamba;“K if k b d k f“Kusifu na kuabudu, kunafungua 

milango ya mbingu, kukuingiza katika ulimwengu wa roho na kukukutanisha utukufu wa Mungu kule ndani katikautukufu wa Mungu kule ndani katika 

roho yako,”

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Nje      Ptf    PPP

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Mwenendo   Fikra  Hisia

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Mwili    Nafsi   Roho

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la MunguUkitaka kukutana na MunguUkitaka kukutana na Mungu (Utukufu) lazima ujue namna(Utukufu) lazima ujue namna ya kuuhamisha moyo/nafsi wako kutoka katika mwili  na k ieleke a rohoni m akokuielekeza rohoni mwako.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo mtu ukiweze kupenya naKwahiyo, mtu ukiweze kupenya na 

kuingia ndani yako (rohoni mwako), utakuwa umekutana na Ulimwengu wa roho unaotawalaUlimwengu wa roho, unaotawala 

ulimwengu wa mwiliu e gu a

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Na hiyo inafanyika kwaNa hiyo inafanyika kwaKujua namna ya KUMSIFU naKujua namna ya KUMSIFU na 

KUMWABUDU

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

99. Utoaji Mzuriwa Sadakawa Sadaka

(Zaka + Dhabihu)(Zaka + Dhabihu)           

NINI MAANA YA KUOMBAKwahiyo basi, 

Maombi, ndio njia ya mtu,kwenda katika ulimwengu wa roho ili kuwasiliana na Munguroho, ili kuwasiliana na Mungu 

wake, na kuuathiri ulimwengu wa , groho hata kuleta mabadilikokatika ulimwengu wa mwilini. 

NINI MAANA YA KUOMBALakini, 

Si maombi pekee, yanayoleta majibu (au mabadiliko) maishani mwetu; bali sadaka ikisindikizamwetu; bali sadaka ikisindikiza 

maombi yako, yatakuwamaombi yako, yatakuwa yamejengewa uwezo zaidi, wa kuleta mabadiliko duniani.

NGUVU YA SADAKA NA MAOMBINGUVU YA SADAKA NA MAOMBI

Ndio maanaNdio maana …   Mungu aliifanya sadaka iweMungu aliifanya sadaka, iwe moja ya kanuni za kiroho, j yzinazoweza kusababisha b dilik f l i k kmabadiliko fulani kutokea 

katika ulimwengu wa kimwilikatika ulimwengu wa kimwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Sadaka yako, ina nguvu yaSadaka yako, ina nguvu ya kufungulia baraka maalumu (mahitaji ya kila siku), ili 

kukuwezesha kuendelea kuishikukuwezesha kuendelea kuishi hapa duniani kwa utoshelevu nahapa duniani kwa utoshelevu na 

mafanikio makubwa.(Zaburi 23:1, 2Wakorintho 9:8)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Sadaka yako, ina nguvu yaSadaka yako, ina nguvu ya kufungulia upako maalumu 

(msaada wa Roho Mtakatifu), ili kukuwezesha kushinda katikakukuwezesha kushinda katika vita vya kiroho tulivyonavyovita vya kiroho tulivyonavyo 

duniani na adui zetu!(Yohana 16:33, Warumi 8:37)

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUNa huu ndio utaratibu na 

k i b M lii kkanuni ambazo Mungu aliiweka duniani ili kutuwezeshaduniani, ili kutuwezesha 

kutawala ulimwengu wa mwili, kwa kutumia kanuni za kirohoi hi i k lizinazoathiri kwanza ulimwengu 

wa kirohowa kiroho.

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

Mungu aliifanya sadaka iweMungu aliifanya sadaka, iwe moja ya kanuni za kiroho,moja ya kanuni za kiroho, zinazoweza kusababisha mabadiliko fulani kutokea 

katika ulimwengu wa kimwilikatika ulimwengu wa kimwili.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

NGUVU YA SADAKA NA MAOMBIUlimwengu wa roho

fKwa Mfano M bi N bii EliMaombi ya Nabii Eliya

Yakobo 5:17 18;Yakobo 5:17‐18;

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Eliya alikuwa binadamu tu kama sisiEliya alikuwa binadamu tu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga , f g

mvua, na Mungu alimsikia, na bi ik f ik ( kimbingu zikafungika na mvua (ya ki‐mwilini) haikunyesha juu ya nchi, ) y j y ,kwa  muda wa  miaka 3 na nusu.

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Japo kulikuwa na kanuni zote zaJapo kulikuwa na kanuni zote za kisayansi za mvua kunyesha, lakini y y ,

Eliya, kwa njia ya maombi, lik d h i k thi i (tib )alikwenda rohoni, akaathiri (tibua) 

kanuni zinazotawala mvua mwili, na ,ndio maana mvua haikunyesha.

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Baada ya miaka mitatu na nusu nchiBaada ya miaka mitatu na nusu, nchi yote ilikuwa kavu kabisa na misitu y

yote imepukutika; kwahiyo h k k k i k t hhakukuwa na kanuni za kutosha 

kuruhusu mvua kunyesha.y

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Eliya akawakusanya Waisraeli wote, akaijenga madhabahu ya Bwanaakaijenga madhabahu ya Bwana upya, akaweka sadaka ya ng’ombe juu yake, na akawataka wamwage juu ya madhabahu maji ya pipa 12juu ya madhabahu, maji ya pipa 12 

kama yalivyo mawe 12 ya madhabahu na kabila 12 za Israeli.

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Kumbuka, mvua ilikuwa haijanyesha kwa miaka mitatu na nusu; kwahiyokwa miaka mitatu na nusu; kwahiyo, kwa kipindi hicho, maji yalikuwa 

bidhaa adimu sana. Kwa Israeli kutoa maji katika madhabahu ya Jehovahmaji katika madhabahu ya Jehovah, walifanya tendo la kujitoa sana; 

hivyo yale maji yalikuwa ni Sadaka. 

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Ile Sadaka ilipotolewa sawa sawa na maagizo ya Mungu (pipa 12) kitumaagizo ya Mungu (pipa 12), kitu cha ajabu kikatokea, mbingu 

zikafunguka, na baraka ya mvuaikaachiliwa juu ya nchi yao kwaikaachiliwa juu ya nchi yao, kwa mara ya kwanza, baada ya kuishi 

katika ukame kwa miaka 3 na nusu. 

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐44;Baada ya Nabii Eliya kufanya  Maombi na Sadaka, Mungu 

akaleta baraka ya mvua katikaakaleta baraka ya mvua katika nchi ya Israeli, mvua ambayonchi ya Israeli, mvua ambayo ilikuwa haijanyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na nusu.

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐44;Baada ya ile Sadaka na Maombi, Nabii Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni nasikia sauti ya mvua‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua 

tele’ (mstari 41), watutele  (mstari 41), watu walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani ili kufanya MAOMBI;

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Na watu walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito marabaada ya maombi mazito mara saba (7), ndipo mvua kubwasaba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi 

(mstari 44‐45).

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14)/     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /        Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /     Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        /

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /    Mvua ya Mwilini /        //      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       /

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /       /      /      /      /       /        /

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili, 

mpaka kwanza ilipotengenezwampaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kirohokatika ulimwengu wa kiroho

kwanza.

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu wa i f bImani, anayefanya mambo 

yasiyoonekana kwanza kabla yayasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika y y

ulimwengu wa mwili(ulimwengu wa yanayoonekana)

KANUNI ZA KIROHO‘Hivyo Basi mtu wa Mungu 

akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani katikana Mungu wa Imani, katika 

maisha yake duniani, lazima awe maisha yake duniani, la ima awena ufahamu wa mambo 

yasiyoonekana (mambo ya h i) i I irohoni) yaani Imani.

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Kumbuka, mvua ilikuwa haijanyesha kwa kipindi chahaijanyesha kwa kipindi cha 

miaka mitatu na nusu; kwahiyo, ; y ,katika kipindi hicho, majiyalikuwa ni moja ya bidhaa adimu sana katika jamiiadimu sana katika jamii. 

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Kwahiyo, kwa Waisraeli kutoa maji katika madhabahu yamaji katika madhabahu ya 

Jehovah, walikuwa wamefanya , ytendo la kujitoa sana; hivyo yale maji yalikuwa ni Sadaka kubwa

na ya thamani sana kwaona ya thamani sana kwao.

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Ile Sadaka ilipotolewa sawa sawana maagizo ya Mungu (pipa 12)na maagizo ya Mungu (pipa 12), ndipo mbingu zilipofunguka, na p g p g ,baraka ya mvua ikaachiliwa juu ya nchi yao, kwa mara ya kwanza baada ya miaka mitatu na nusubaada ya miaka mitatu na nusu.

Ulimwengu wa RohoHii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zilitumikaKanuni za kiroho zilitumika 

kuleta athari ya aina fulani katika yulimwengu wa roho, hata 

kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili mvua iwezeza kimwili, ili mvua iweze kunyesha hata kama katika yU’mwilini hakuna misitu.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiriKanuni za kiroho zikiathiri 

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili jambo fulanikanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika   njia za kawaida za kimwili.

NGUVU YA MAOMBI

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta 

mabadiliko katika mambo yamabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktknamna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko ykatika ulimwengu wa mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa Sadaka(Zaka + Dhabihu)(Zaka + Dhabihu)           

Mfano 1;1 Falme 17:1‐16, 17‐24

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa SadakaMaombi ya Mwanamke huju Mjane,Maombi ya Mwanamke huju Mjane, 

yalishaumba majibu ya mahitajiyake katika ulimwengu wa kiroho; lakini alikuwa akitembea chini yalakini alikuwa akitembea chini yambingu iliyofungwa, iliyozuiamaombi yake (kupata chakula).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa SadakaMungu akampeleka Nabii EliyaMungu akampeleka Nabii Eliyakwake, ili amtunze. Katika kufanyahivyo, akawa ametoa sadaka ya

chakula sadaka ambayochakula, sadaka ambayoiliyofungulia majibu ya maombi

yake kutoka rohoni.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa SadakaMungu huwa anasikia maombiMungu huwa anasikia maombi yako na anataka sana kukujibu na 

kukupa unachohitaji. Mungu anajua mahitaji yetu kabla hataanajua mahitaji yetu kabla hata hatujamwomba na anataka kukujaza upungufu wako. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa SadakaIla hawezi kufanya hivyo bilaIla hawezi kufanya hivyo bila 

wewe kutimiza kanuni ya kutoa na kupokea. Ndio maana 

anakuletea nafasi ya kupandaanakuletea nafasi ya kupanda sadaka katika shamba la Bwana.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa Sadaka(Zaka + Dhabihu)(Zaka + Dhabihu)           

Mfano 2;2 Falme 4:8‐17, 18‐37

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa SadakaMaombi ya Mwanamke huju Tajiri, y j j

yalishatengeneza majibu yamahitaji yake katika ulimwengumahitaji yake katika ulimwengu

wa kiroho; lakini alikuwaki b hi i biakitembea chini ya mbingu

iliyofungwa, iliyozuia maombiy g , yyake kujibiwa (kupata mtoto).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa SadakaMungu akampeleka Nabii ElishaMungu akampeleka Nabii Elisha kwake, ili amtunze. Katika kufanyahivyo, akawa ametoa sadaka ya

nyumba sadaka ambayonyumba, sadaka ambayoiliyofungulia majibu ya maombi

yake kutoka rohoni.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa SadakaMungu huwa anasikia maombiMungu huwa anasikia maombi yako na anataka sana kukujibu na 

kukupa unachohitaji. Mungu anajua mahitaji yetu kabla hataanajua mahitaji yetu kabla hata hatujamwomba na anataka kukujaza upungufu wako. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa SadakaIla hawezi kufanya hivyo bilaIla hawezi kufanya hivyo bila 

wewe kutimiza kanuni ya kutoa na kupokea. Ndio maana 

anakuletea nafasi ya kupandaanakuletea nafasi ya kupanda sadaka katika shamba la Bwana.

SIRI YA KUPATA MSAADA WA MUNGU MAISHANI MWAKO.

UTII ‐ OBEDIENCEKiwango cha nguvu za Mungumaishani mwako kitategemeamaishani mwako, kitategemeakiwango cha utii unaompag pRoho Mtakatifu, ambaye ni

Msaidizi wakoMsaidizi wako.

WAFILIPI 4:14‐19WAFILIPI 4:14 19

14 Lakini mlifanya vema kushiriki14 Lakini, mlifanya vema kushirikinami katika taabu zangu. 15 Zaidi yahayo, ninyi Wafilipi mnajua kwambasiku za kwanza nilipoanza kuhubirisiku za kwanza nilipoanza kuhubiriInjili, nilipoondoka Makedonia, hakuna kanisa jingine lililoshirikinami katika masuala ya kutoa nanami katika masuala ya kutoa na

kupokea isipokuwa ninyi. 

WAFILIPI 4:14‐19WAFILIPI 4:14 19

16 Kwa maana hata nilipokuwa16 Kwa maana hata nilipokuwa huko Thesalonike, mliniletea msaada kwa ajili ya mahitaji ang aidi a mara mojayangu zaidi ya mara moja. 

18 nimepokea sadaka yenye harufu18 nimepokea sadaka yenye harufu nzuri, dhabihu inayokubalika na 

ya kumpendeza Mungu.

WAFILIPI 4:14‐19WAFILIPI 4:14 19

19 Naye Mungu wangu atawajaza19 Naye Mungu wangu atawajaza ninyi kila mnachohitaji kwa kadiri y jya utajiri Wake katika utukufu 

ndani a Kristo Yesndani ya Kristo Yesu. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa Sadaka(Zaka + Dhabihu)(Zaka + Dhabihu)           

h bMhubiri 5:12Kor 9:6 122Kor 9:6‐12,

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

8 Utoaji Mzuri wa Sadaka8. Utoaji Mzuri wa Sadaka(Zaka + Dhabihu)(Zaka + Dhabihu)           

Kumb 8:6‐18,Hag 1:5 11Hag 1:5‐11,  

Malaki 3:7‐12,Malaki 3:7 12, 

ZAKA NA SADAKA

Kwa Mfano;wa Baba IbrahimuMwanzo 14:17‐20

ZAKA NA SADAKA

Mwanzo 14:17‐2017 Abramu aliporudi kutoka kuwapiga Wafalme mfalme wakuwapiga Wafalme mfalme wa 

Sodoma akatoka kwendaSodoma akatoka kwenda kumlaki katika bonde la Shawe, 

(yaani, Bonde la Mfalme.)

ZAKA NA SADAKA

Mwanzo 14:17‐2018 Ndipo Melkizedeki mfalme wa 

Salemu alipoletamkate naSalemu alipoleta mkate na divai. Alikuwa kuhani wadivai. Alikuwa kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana;

ZAKA NA SADAKA

Mwanzo 14:17‐2019 Melkizedeki mfalme wa Salemu akambariki AbramuSalemu akambariki Abramu, akisema, “Abarikiwe Abramuakisema,  Abarikiwe Abramu na Mungu Aliye Juu Sana, 

Muumba wa mbingu na nchi. 

ZAKA NA SADAKA

Mwanzo 14:17‐2020 Abarikiwe Mungu Aliye Juu Sana ambaye amewawekaSana, ambaye amewaweka adui zako mkononi mwako.’’adui zako mkononi mwako.  

Ndipo Abramu akampa  Melkizedeki sehemu ya kumi (Zaka)ya kila kitu (Nyara)(Zaka)ya kila kitu (Nyara).  

NGUVU YA SADAKA

Ibrahim alimpa MunguIbrahim alimpa Mungu (Melkizedeki) Zaka (Sadaka) na ( ) ( )Mungu (Melkizedeki) alimpa Ibrahim Mkate na Divai!

NGUVU YA SADAKA

TafsiriTafsiri

Mkate na Divai!Mkate na         Divai!

Mahitaji ya              Upako waKila siku               Kushinda Vita(Baraka)                (Mafanikio)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Sadaka yako, ina nguvu yaSadaka yako, ina nguvu ya kufungulia baraka maalumu (mahitaji ya kila siku), ili 

kukuwezesha kuendelea kuishikukuwezesha kuendelea kuishi hapa duniani kwa utoshelevu nahapa duniani kwa utoshelevu na 

mafanikio makubwa.(Zaburi 23:1, 2Wakorintho 9:8)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Sadaka yako, ina nguvu yaSadaka yako, ina nguvu ya kufungulia upako maalumu 

(msaada wa Roho Mtakatifu), ili kukuwezesha kushinda katikakukuwezesha kushinda katika vita vya kiroho tulivyonavyovita vya kiroho tulivyonavyo 

duniani na adui zetu!(Yohana 16:33, Warumi 8:37)

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Na huu ndio utaratibu ambaoNa huu ndio utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili ya g j ykuitunza ofisi yake duniani 

(kanisa)(kanisa). 

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

Mungu aliifanya sadaka iweMungu aliifanya sadaka, iwe moja ya kanuni za kiroho,moja ya kanuni za kiroho, zinazoweza kusababisha mabadiliko fulani kutokea 

katika ulimwengu wa kimwilikatika ulimwengu wa kimwili.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

ZAKA NA SADAKAZAKA NA SADAKA

Kwa mfano wa;Kwa mfano wa;

Ujenzi wa Nyumba (Hema)Ujenzi wa Nyumba (Hema) ya Mungu Jangwaniya Mungu Jangwani

Kutoka 25:1‐9Kutoka 25:1 9Kutoka 36:1‐7Kutoka 36:1 7 

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7Wakati wa ujenzi wa nyumba yaWakati wa ujenzi wa nyumba ya Mungu au hema ya kukutania 

(kule jangwani), Mungu alimwambia Musa watu wotealimwambia Musa, watu wote wenye moyo wa kupenda kutoa, wafnye kazi na kuleta matoleo …

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7… kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya… kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Mungu. Mungu aliwaagiza watu walete dhahabu, fedha na mali 

nyingine mbalimbali zilizohitajikanyingine mbalimbali, zilizohitajika kwa ajili ya ujenzi wa hema ya 

Mungu.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7Wajenzi wa hekalu wakamwambiaWajenzi wa hekalu wakamwambia 

Musa, watu wameleta sadakanyingi sana na kuzidi, kuliko tulivyokuwa tunahitajitulivyokuwa tunahitaji. 

Tumewazui, lakini hawataki, nao bado wanaleta tu.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7Tunaomba wewe Baba, labdaTunaomba wewe Baba, labda watakusikia; Ndipo Musa akatoa amri, kwamba watu wasilete tena matoleo kwa ajili ujenzi wa hemamatoleo kwa ajili ujenzi wa hema ya ibada, kwasababu walikuwawameleta vingi sana na kuzidi.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7… Hivyo watu wakazuiliwa kuleta… Hivyo watu wakazuiliwa kuleta zaidi, kwa sababu vitu vilivyokuwa 

vimeletwa, tayari vilikuwa vimetosha na hata kuzidi sanavimetosha, na hata kuzidi sana, kwa ajili ya  kuifanya kazi yote. 

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

Watu wa MunguWatu wa Mungu waliomheshimu Mungu,waliomheshimu Mungu, 

walitoa mali zao, kuliko hata bajeti iliyokuwa inahitajika 

k jili j i bkwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Mungu kule jangwaniya Mungu kule jangwani.

NGUVU YA SADAKA NA IBADAWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

H di t tib bHuu ndio utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili yaMungu aliuweka kwa ajili ya kuitunza ofisi yake dunianikuitunza ofisi yake duniani 

(kanisa).Malaki 3:10‐12 

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Na Mungu anawapenda, wale wanatoa mali zao kwa heshima

ii k f hna utii, na kwa moyo wa furaha, katika kuifanya kazi yakekatika kuifanya kazi yake.   2 Wakorintho 9:6‐72 Wakorintho 9:6 7 

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Lakini mtu wa Mungu hawezi kutoa kwa kupenda na kwa 

f h k h j l k ifuraha, kama hajaelewa kazi ya sadaka kama kanuni mojawaposadaka kama kanuni mojawapo 

ya kiroho, inayosababisha mafanikio katika ulimwengu 

k iliwake wa mwili.

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Mtu wa Mungu anahitaji kujua vizuri kwamba, ulimwengu huu 

ili liwa mwili, unatawaliwa na ulimwengu wa kiroho; hivyoulimwengu wa kiroho; hivyo 

unatawaliwa kwa kanuni fulani za kiroho.

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Na Sadaka ni moja ya kanuni za j ykiroho, zinazosababisha athari 

fulani zitokee katika ulimwengu wa roho hataulimwengu wa roho hata 

kusababisha mabadiliko katikakusababisha mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.

NINI MAANA YA KUOMBAKwahiyo basi, 

Maombi, ndio njia ya mtu,kwenda katika ulimwengu wa roho ili kuwasiliana na Munguroho, ili kuwasiliana na Mungu 

wake, na kuuathiri ulimwengu wa , groho hata kuleta mabadilikokatika ulimwengu wa mwilini. 

NINI MAANA YA KUOMBALakini, 

Si maombi pekee, yanayoleta majibu (au mabadiliko) maishani mwetu; bali sadaka ikisindikizamwetu; bali sadaka ikisindikiza 

maombi yako, yatakuwamaombi yako, yatakuwa yamejengewa uwezo zaidi, wa kuleta mabadiliko duniani.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiriKanuni za kiroho zikiathiri 

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili jambo fulanikanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika   njia za kawaida za kimwili.

NGUVU YA SADAKA NA IBADAWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

H di t tib bHuu ndio utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili yaMungu aliuweka kwa ajili ya kuitunza ofisi yake dunianikuitunza ofisi yake duniani 

(kanisa).Malaki 3:10‐12 

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUNa huu ndio utaratibu na 

k i b M lii kkanuni ambazo Mungu aliiweka duniani ili kutuwezeshaduniani, ili kutuwezesha 

kutawala ulimwengu wa mwili, kwa kutumia kanuni za kirohoi hi i k lizinazoathiri kwanza ulimwengu 

wa kirohowa kiroho.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1O1O Kuondoa Kizuiacho

(Vizuizi)(Vizuizi)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Wathesalonike 5:231 Wathesalonike 5:23‘Mungu awatakase kabisa rohoMungu awatakase kabisa rohozenu, nafsi zenu na miili yenu, ilimuwe safi na kamili mpaka sikuya kuja kwake Bwana wetu naya kuja kwake Bwana wetu naMwokozi wetu Yesu Kristo.’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2 Wakorintho 5:172 Wakorintho 5:17

Toba na Utakaso kamili (wa kweli), ni ule unaoshughulikia si rohoni ule unaoshughulikia si rohopeke yake, bali pia na nafsi zetu

na miili yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2 Wakorintho 5:172 Wakorintho 5:17

‘Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Krsito amekuwa kiumbe kipya yaKrsito, amekuwa kiumbe kipya, ya 

kale yamepita, tazama yoteyameuwa mapya’.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:17‐24Waefeso 4:17‐24

‘mvue kwa habari ya mwenendo wa‘mvue kwa habari ya mwenendo wakwanza wa uovu, mkavae utu

mpya, unaofanywa kwa namna ya (mfano wa) Mungu; mfanywe(mfano wa) Mungu; mfanywewapya katika roho ya nia zenu

( f i ) ’(nafsi zenu) …’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:17 24Waefeso 4:17‐24

Wokovu katika roho ya mtu (mabadiliko) ni wa ghafla (wa(mabadiliko), ni wa ghafla (wa hapo hapo); lakini wokovu 

(mabadiliko) ya nafsi na mwili, ni ya hatua kwa hatua (ni process)ya hatua kwa hatua (ni process).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 11:1‐39‐45

Mfano wa Bwana Yesu katikaKumfufua LazaroKumfufua Lazaro.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 11:1 39 45Yohana 11:1‐39‐45Kwa lugha nyingine Bwana Yesug y galikuwa anasema kwamba, Nguvuzangu zipo za kutosha kufanyazangu zipo za kutosha kufanyamuujiza huu (ufufuo) lakini

itategemea kama mtaliondoa jiwe. Na ni kazi yenu (wajibu wenuNa ni kazi yenu (wajibu wenukuliondoa jiwe (kile kizuiacho)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Samwel 21:1‐142Samwel 21:1 14

Mfano wa Daudi na Njaa kaliKatika nchi ya Israel

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Samwel 21:1 142Samwel 21:1‐14Kwa lugha nyingine Mungu alikuwa g y g g

anajaribu kutounyesha kwamba, Nguvu zake za kujibu maombi yaNguvu zake za kujibu maombi ya 

watoto wake, zilikuwa zinazuilika na uovu/mikataba ya uovu (damu) 

iliyokuwa inasimama katika yake nailiyokuwa inasimama katika yake na watoto wake, Israeli.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 19:18‐20

Kwa mfano wa toba ya Kanisa la Kwanza

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 19:18 20Matendo 19:18‐20Wale walioamini (waliookoka) a e a oa ( a oo o a)waliendelea kufundishwa na

kusaidiwa kuvunja mikataba yakusaidiwa kuvunja mikataba ya uovu waliyoiweka zamani, kwa

maisha ya giza na uasi.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wathesalonike 4:1 4 71Wathesalonike 4:1‐4‐7Tusiposhughulikia nafsi na miili yetuus pos ug u a afs a yetuipasavyo, miili yetu itakuwa kizuizicha sisi kutembea na nguvu zacha sisi kutembea na nguvu za

Mungu na hata kushindwa kuingiambinguni.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 9:27Kila siku ninaushughulikia mwiliKila siku ninaushughulikia mwiliwangu, ili nikiiisha kuwahubirigwengine, nisije nikawa mtu wa

k k t likukataliwa.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 7:15 23Mathayo 7:15‐23Jihadharini … maana wengine wenu gnitawakataa. Ktk siku ya mwisho, wengine watasema tulitoa unabiiwengine watasema, tulitoa unabii kwa jina lako, tuliponya wangonjwa na kufanya miujiza kwa jina lako; lakini mimi nitawaambia ondokenilakini mimi nitawaambia, ondokeni 

kwangu ninyi mtendao maovu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Wathesalonike 4:1 4 71 Wathesalonike 4:1‐4‐7Mwenende katika utakatifu kama fmlivyojifunza kwetu, … kila mmoja wenu ajue namna ya kuushughulikiawenu ajue namna ya kuushughulikia mwili wake, katika usafi na utakatifu 

wa kweli.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 12:10 12Ufunuo 12:10‐12

Shetani ni mshitaki wetumbele a M ngmbele za Mungu. 

10. Kuondoa Vizuizi10. Kuondoa Vizuizi

Ufunuo 12:10‐12Ufunuo 12:10‐1210 ... nikasikia sauti kuu mbinguni ikisema, “Sasa Wokovu na uweza na Ufalme wa Mungu wetu umekuja na g jmamlaka ya Kristo wake. Kwa kuwa ametupwa chini mshtaki wa nduguametupwa chini mshtaki wa nduguzetu, anayewashtaki mbele za M ik hMungu usiku na mchana. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 12:10‐12Ufunuo 12:10 1211 Nao wakamshinda kwa damu yaMwana‐Kondoo na kwa neno la ushuhuda wao 12 Kwa hiyoushuhuda wao… 12 Kwa hiyo, furahini ninyi mbingu na wotey gwakaao humo!  Lakini …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 12:10‐12Ufunuo 12:10 12… Lakini ole wenu nchi na bahari, kwa maana huyo Shetani ameshuka kwenu akiwa amejaaameshuka kwenu, akiwa amejaaghadhabu, kwa sababu anajua ya g j ykuwa muda wake ni mfupi!’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ufunuo 12:10‐12Ufunuo 12:10 12

Shetani ni mshitaki wetuShetani ni mshitaki wetumbele za Mungu. Tujitahidi kuondoa

vitu vya zamani ili akija kwetuvitu vya zamani, ili akija kwetu, asikute kitu cha kutushitaki nacho 

mbele za Mungumbele za Mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 14:30Yohana 14:30

Yesu alisema ‘mkuu wa ulimwenguhuu anakuja lakini hana kituhuu, anakuja, lakini hana kitu

kwangu (hapati kitu)’.Si chochote cha kwake

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 3:312 i k i21 Wapenzi, kama mioyo yetuhaituhukumu, tunao ujasiri mbele

l b lza Mungu. 22 Lo lote tuombalo,twalipokea kutoka Kwake, kwasababu tumezitii amri Zake nakutenda yale yanayompendeza.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:19 23Warumi 8:19‐23Tusiposhughulikia nafsi na miili yetuTusiposhughulikia nafsi na miili yetu ipasavyo, miili yetu itakuwa kizuizi 

cha sisi kukua kiroho hata kushindwa kutembea na nguvu zakushindwa kutembea na nguvu za 

Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:19 23Warumi 8:19‐23Viumbe vya asili vinasubiri kwaViumbe vya asili vinasubiri kwa hamu kufunuliwa kwa wana wa Mungu. Nasi tukiisha kufanya 

ukombozi wa miili yetuukombozi wa miili yetu, tunapokea hali ya kufanywa wana.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:19 23Warumi 8:19‐23Tofauti ya Mwana wa Mungu naTofauti ya Mwana wa Mungu na 

Mtoto wa Mungu ipo katika kutembea na nguvu za Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1111. Kutembea kwa

ImaniImani

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniEbr 11:1, 6Ebr 11:1, 6Ebr 10:38

Mathayo 17:20

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:20Mathayo 17:2019 Kisha wanafunzi wakamwendeaYesu wakati ambapo hapakuwa nawatu wakamwuliza “Kwa nini sisiwatu, wakamwuliza,  Kwa nini sisihatukuweza kumtoa yule Pepo?”20 k jib k bi ‘‘ i20 Yesu Akawajibu kuwaambia ‘‘Ni kwasababu ya imani yenu kuway y

ndogo… 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:20Mathayo 17:20“… Ninawaambia kweli, mkiwa naimani kama punje ndogo ya haradaliimani kama punje ndogo ya haradali, mtaweza kuiambia milima, ‘ondokahapa uende pale’ nao utaondoka Nahapa uende pale  nao utaondoka. Na 

wala hakutakuwa na jambolisilowezekana kwenu ’’ 21 halilisilowezekana kwenu. 21  … halikama hii haitoki ila kwa kuomba na

kufunga ’’kufunga.’’ 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniEbr 11:1, 6Ebr 11:1, 6Ebr 10:38Mfano (1);

Warumi 4:16‐20.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24Warumi 4:16‐24.16 Kwa hiyo, ahadi huja kwa njia ya

imani, ili iwe ni kwa neema naitolewe kwa wazao wa Abrahamu, si,kwa wale walio wa sheria peke yaobali pia kwa wale walio wa imani yabali pia kwa wale walio wa imani yaAbrahamu. Yeye ndiye baba yetu sisi

tsote. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24Warumi 4:16‐24.17 Kama ilivyoandikwa: ‘‘Nimekufanya

wewe kuwa baba wa mataifamengi.’’ Yeye ni baba yetu mbele zag y yMungu ambaye alimwamini, Mungu

awapaye ahadi waliokufa naawapaye ahadi waliokufa nakuvitaja vile vitu ambavyo havikok k b i k i h k kkana kwamba vimekwisha kuwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16 24Warumi 4:16‐24.17 … Ibrahimu baba yetu17 … Ibrahimu baba yetu alimwamini, Mungu awapaye ahadi waliokufa na akaanza 

kuvitaja vile vitu ambavyo havikokuvitaja vile vitu ambavyo haviko kana kwamba vimekwisha 

kuwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16 24Warumi 4:16‐24.18 Akitarajia yasiyoweza kutarajiwa, j y y j ,Abrahamu akaamini atakuwa, ‘‘Baba 

t if i ’’ kwa mataifa mengi,’’ kamaalivyoahidiwa kwamba, ‘‘Uzao wakoy

utakuwa mwingi mno.’’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16 24Warumi 4:16‐24.19 Abrahamu hakuwa dhaifu katikaimani hata alipofikiri juu ya mwilik b lik k li k fwake, ambao ulikuwa kama uliokufa, 

kwani umri wake ulikuwa unakaribiamiaka mia moja, au alipofikiiri juu ya

ufu wa tumbo la Saraufu wa tumbo la Sara. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.Warumi 4:16 24.20 Lakini Abrahamu hakusitasita kwakutokuamini ahadi ya Mungu balikutokuamini ahadi ya Mungu, balialitiwa nguvu katika imani yake nakumpa Mungu utukufu 21 akiwa nakumpa Mungu utukufu, 21 akiwa na

hakika kabisa kwamba Mungualik a na e o a k timi a lilealikuwa na uwezo wa kutimiza lilealiloahidi. 22 Hii ndio sababu, “ilih bi k k k h ki ”“ilihesabiwa kwake kuwa haki.”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24Warumi 4:16‐24.23 Maneno haya, “Ilihesabiwa kwakekuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajiliyake peke yake, 24 bali kwa ajili yetuy p y , j ysisi pia, ambao Mungu atatupa haki, kwa ajili yetu tunaomwamini Yeyekwa ajili yetu tunaomwamini Yeye

aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutokak fkwa wafu. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniEbr 11:1, 6Ebr 11:1, 6Ebr 10:38Mfano (2);

Marko 11:12‐14, 20‐24

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2412 Kesho yake walipokuwa wakitokay p

Bethania, Yesu alikuwa na njaa. l k b l k d13 Alipouona mtini kwa mbali, akaenda

ili aone kama ulikuwa na matunda. Alipoufikia, akakuta una majani tu, kwa kuwa hayakuwa majira ya tinikwa kuwa hayakuwa majira ya tini. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2414 Yesu akauambia ule mti, ‘‘Tangu leo, gmtu ye yote na asile matunda kutoka

kwako tena ’’ Wanafunzi Wakekwako tena.’’ Wanafunzi Wake walimsikia akisema hayo. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2420 Asubuhi yake, walipokuwa wakipita, y , p p ,

wakauona ule mtini umenyaukakutoka juu hadi kwenye mizizi yakekutoka juu hadi kwenye mizizi yake. 21 Petro akakumbuka na kumwambiaYesu, “Mwalimu, tazama! Ule mtini

ulioulaani umenyauka!’’ulioulaani umenyauka!  

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2422 Yesu akawajibu akawaambia, j ,“Mwaminini Mungu. 23 Amin, aminnawaambia mtu ye yote atakayenawaambia, mtu ye yote atakaye‐

uambia mlima huu ‘Ng’oka ukatupwebaharini,’ wala asione shaka moyonimwake, bali aamini kwamba hayomwake, bali aamini kwamba hayo

asemayo yametukia, yatakuwa yake. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2424 Kwa sababu hiyo nawaambia24 Kwa sababu hiyo nawaambia, 

yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba

mmeyapokea nayo yatakuwammeyapokea nayo yatakuwayenu.y

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniMambo tuyasemayo huwa

yanaumbika katika ulimwengu wakiroho kwanza (yametukia). Baada(y )ya kuyasema au kuyakiri, ndiponguvu za Mungu huingia kazininguvu za Mungu huingia kazinikuyaumba katika ulimwengu wa

ili ( t k k )mwili (yatakuwa yake).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniSiri ya kutembea katika imani ipoSiri ya kutembea katika imani ipo 

katika kukiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakika wa Roho Mtakatifu ukiwa katika haliRoho Mtakatifu ukiwa katika hali ya maombi juu ya swala hilo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hatua za Imani TimilifuHatua za Imani Timilifu(1) Kulipata Neno (Warumi 10:17)(1) Kulipata Neno (Warumi 10:17)(2) Kulifanya litokee (Mrk 11:23)(3) Kuthibitisha Uhakika (Rum 4:21)(4) Kukiri kwa Uhakika (Rum 4:17)(5) Kutenda kwa ujasiri (Mwa 17:1 9)(5) Kutenda kwa ujasiri (Mwa 17:1‐9)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniManeno ya nguvu za kuumba.Maneno ya nguvu za kuumba. Ulimwengu uliumbwa kwa NENO

la Mungu.Yohana 1:1 4Yohana 1:1‐4

Ebrania 11:3/4:12Ebrania 11:3/4:12

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniManeno ya nguvu za kuumba.Maneno ya nguvu za kuumba. 

Ulimwengu uliumbwa kwaNENO la Mungu.

hYohana 1:1‐4Ebrania 11:3/4:12Ebrania 11:3/4:12

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOInatokana na Uhai wa NenoInatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao unatokana na uwepo wa Roho Mtakatifu ndani 

ya hilo Nenoya hilo NenoWaebrania 4:12

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWaebrania 4:12Waebrania 4:12

“Neno la Mungu li haitena lina Nguvu”tena lina Nguvu”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOYohana 6:63Yohana 6:63

‘Roho ndio itiayo uzima (uhai), kwani mwili (pasipo roho) 

haufai kitu’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Wakorintho 3:62 Wakorintho 3:6

“Andiko peke yake linaua, lakini Roho wa Mungu anahuisha”Roho wa Mungu anahuisha

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOInatokana na Uhai wa NenoInatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao ni uwepo wa Roho Mtakatifu ndani ya Neno

Waebrania 4:12Waebrania 4:12

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16‐172 Timotheo 3:16 17

Kila andiko lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho    na kubadilisha mwenendona kubadilisha mwenendo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16‐17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)Andiko + Pumzi  Neno (Hai)

Herufi   +  Roho = Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Unapoachilia Neno la Mungukutoka ndani yako kwa imani, 

Roho wa Mungu huja kulivuvia iliRoho wa Mungu huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa j

hilo neno maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Unapoachilia neno baya kutoka ndani yako kwa imani, basi roho 

mbaya huja kulivuvia ilimbaya  huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa jhilo neno hilo maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao 

wautumiao watakula matundawautumiao, watakula matunda yake.y

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 6:2Mithali 6:2

Umetegwa kwa maneno yako na umekamatwa na maneno ya 

kinywa chakokinywa chako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWakolosai 3:16Wakolosai 3:16

Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yako katika hekima yote. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWaefeso 4:29Waefeso 4:29

Neno lolote lililo ovu, lisitoke kinywani mwenu, bali lile lililo 

jema la kumfaa msikiajijema, la kumfaa msikiaji. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa Imani

Maneno ya nguvu za kuumba. Yohana 1:1‐4

b i 3/ 2Ebrania 11:3/4:12

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16 24Warumi 4:16‐24.17 … Ibrahimu baba yetu17 … Ibrahimu baba yetu alimwamini, Mungu awapaye ahadi waliokufa na akaanza 

kuvitaja vile vitu ambavyo havikokuvitaja vile vitu ambavyo haviko kana kwamba vimekwisha 

kuwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniBaada ya kupata uhakika (imani)Baada ya kupata uhakika (imani) Mambo yafuatayo yatakusaidia kukuwezesha kukiri kwa ushindi yake uyatakayo kudhihirika katikayake uyatakayo kudhihirika katika 

ulimwengu wa mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniManeno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na mawzo mazuri. Na mawazo 

mazuri hutokana na kuona vizuri.Ukikosea kuona utakosea kuwazaUkikosea kuona, utakosea kuwaza 

na kutakosea kuongea.g

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniKutembea kwa Imani

Mawazo MtazamoManeno

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa Imania) Macho ya rohonia) Macho ya rohonib) Mawzo ya ushindic) Maneno ya Ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniKwa hiyo, mambo yafuatayoKwa hiyo, mambo yafuatayo yatakusaidia kukuwezesha kukiri kwa ushindi yake uyatakayo 

kudhihirika katika ulimwengu wakudhihirika katika ulimwengu wa mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa Imani(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniHesabu 13:26‐33, 4:1‐9

Efe 1:15‐19, Mwa 21:14‐19

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa Imani

Mtazamo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

1 Umbali (Yakobo 4:8)1. Umbali (Yakobo 4:8)Ukiwa mbali na Mungu, matatizoUkiwa mbali na Mungu, matatizounayokutana nayo yataonekanamakubwa, na utawaza vibaya.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

2.  Mwanga (Yohana 8:12)Ukitumia Mwanga wa Yesu kuangaziaUkitumia Mwanga wa Yesu kuangaziamaisha yako (Neno), utaona tofauti na

wengine na matatizo makubwawengine, na matatizo makubwa, kwako yataonekana madogo na

utawazi vizuriutawazi vizuri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

3.  Lense (Yohana 8:12)Uki i L Y k iUkitumia Lense za Yesu kuangaziamaisha yako (Neno), utaona tofautina wengine, na matatizo makubwa, kwako yataonekana madogo na

utawaza vizuri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

4.  Lishe (1Petro 2:2)Ukiwa na nidhamu ya kula lishe ya Neno la Mungu vizuri utakuwa naNeno la Mungu vizuri, utakuwa na

uwezo wa kuona tofauti na wengine, na utawaza tofauti na wengine.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)5.  Kimo (Waefeso 4:11‐15)Ukit i N l M i iUkitumia Neno la Mungu vizuri, 

pamoja na maombi, itakupa kukuana kuongezeka kimo chako kiimani, na kukupa uwezo wa kuona nana kukupa uwezo wa kuona nakuwaza tofauti na wengine.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

6.  Dawa (Ufunuo 3:15‐18)Ukitumia Neno la Mungu vizuri, kamadawa katika maisha yako pia iakupadawa katika maisha yako, pia iakupauwezo wa kuona tofauti na wengine, na pia utawaza tofauti na wengine.

(a) Macho ya Rohoni(a)   Macho ya Rohoni 

Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)1. Umbali (Yakobo 4:8)2. Mwanga (Yohana 8:12)3 Lense (Warumi 13:14)3. Lense (Warumi 13:14)4. Lishe (1Petro 2:2)( )5. Kimo (Ufunuo 3:15‐18)6 D (Uf 3 15 18)6. Dawa (Ufunuo 3:15‐18)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa Imani(b) Mawazo ya Ushindi(b) Mawazo ya Ushindi

Waamuzi 6:1‐16Mith 23:7, Rum 12:2, Ef 4 20 24Efe 4:20‐24

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

b k iKutembea kwa Imani

Mawazo MtazamoMawazo Mtazamo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniManeno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo 

mazuri hutokana na kuona vizuri.Ukikosea kuona utakosea kuwazaUkikosea kuona, utakosea kuwaza 

na kutakosea kuongea.g

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa Imani(c) Maneno ya Baraka/Ushindi(c) Maneno ya Baraka/UshindiYohana 6:63, Ebr 4:12‐13

Mark 11:12‐14, 20‐24, Luka 24:1‐6 Mith 18:20‐21, Mith 6:1‐2

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

11 Kutembea kwa Imani11. Kutembea kwa ImaniManeno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo 

mazuri hutokana na kuona vizuri.Ukikosea kuona utakosea kuwazaUkikosea kuona, utakosea kuwaza 

na kutakosea kuongea.g

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniKutembea kwa Imani

Mawazo MtazamoManeno

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1212. Kujenga

Kiu, Bidii na Nidhamuya kiroho

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHO

Kanuni za kiroho ni mamboKanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia maishani y ymwetu, yatasababisha Roho 

Mtakatif a M ng ali e ndaniMtakatifu wa Mungu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Munguy , g gndani yetu, zitakazotusaidia kuishi 

i h hi di f ikimaisha ya ushindi na mafanikio.

KANUNI ZA KIROHO

Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu

kinachohitajika ili Mungu aweze kufanya mamboaweze kufanya mambo aliyoyakusudia duniani.aliyoyakusudia duniani.

Waefeso 3:20Waefeso 3:20

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu yeye20 Atukuzwe Mungu, yeye awezaye kutenda mambo ya y yajabu mno (yasiyopimika) 

kuliko yote tunayo‐yawaza au t na o aombatunayoyaomba …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Mungu anaweza kutenda20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa y , (kiwango au kwa kipimo) cha Nguvu zake kinachotenda 

kazi ndani yetu.

KANUNI ZA KIROHO

Kanuni za Kiroho ni vitu maalum  vinavyosababisha kuzalishwa kwa Nguvu zakuzalishwa kwa Nguvu za 

Mungu ili kutuwezesha kuishiMungu ili kutuwezesha kuishi Maisha ya Ushindi.y

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

Joto                                Hewa(Heat)                             (Oxygen)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

Joto                                Hewa(Heat)                             (Oxygen)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

Joto                                Hewa(Heat)                             (Oxygen)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

Joto                                Hewa(Heat)                             (Oxygen)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

Joto                                HewaMOTOMOTO

(Heat)                             (Oxygen)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)( )

O O

Joto                                HewaMOTO

(Heat)                             (Oxygen)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHONi mambo ambayo, tukiyawekaNi mambo ambayo, tukiyaweka 

kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetuMtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na NidhamuJenga Kiu na Bidii na Nidhamuya Kukaa na Munguya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa MusaKut 24:1‐18K t 34 29 35Kut 34:29‐35

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na NidhamuJenga Kiu na Bidii na Nidhamuya Kukaa na Munguya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa JoshuaKut 24:1‐18/32:9‐19

K t 33 7 11Kut 33:7‐11 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua 3:7Joshua 3:77 Ndipo BWANA akamwambiapYoshua, “Leo nitaanza kukutukuzamachoni pa Israeli yote ili wapatemachoni pa Israeli yote, ili wapatekujua kuwa niko pamoja nawek ili k jkama nilivyokuwa pamoja naMose. (Nitafungua maji ya mto( g j y

Jordan mbele yako)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na NidhamuJenga Kiu na Bidii na Nidhamuya Kukaa na Munguya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa Mfalme DaudiZab 63:1‐3Z b 27 4Zab 27:4

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na NidhamuJenga Kiu na Bidii na Nidhamuya Kukaa na Munguya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa Bwana YesuMath 14:22‐23L k 6 12 17 19Luka 6:12,17‐19

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12“12 Amin, amin, nawaambia, ye 

yote aniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo yeye atazifanya naamnizifanyazo yeye atazifanya, naam na kubwa kuliko hizi atazifanya, kwa sababu Mimi ninakwenda 

kwa Babakwa Baba. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Nyakati 16:92Nyakati 16:99 Macho ya Bwana yanakimbia‐9 Macho ya Bwana yanakimbiakimbia duniani mwote, yakitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili Mungu 

ajionyeshe kwamba yeye niajionyeshe kwamba yeye ni mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.

Kanuni za KirohoKanuni za Kiroho

Hitimisho!

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Z li hZalisha N MNguvu za Mungu 

Ndani yako

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni hizi tulizojifunza zikusaidieKanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani g gyako, kwasababu, utendani kazi a mkono a M ng maishaniwa mkono wa Mungu maishani 

mwako unategemea sana kiwango g gcha nguvu zake, kinachotenda kazi 

d i kndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwambaHii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango

hcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwambaKwamba …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutatengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa hiyoKwa hiyo …***… ikiwa tutatengeneza au…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu kidogo za Mungu ndani yetu, tutauzuia 

mkono wa Mungu kufanya mambomkono wa Mungu kufanya mambo mengi na makubwa anayotaka kufanya maishani mwetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

LakiniLakini …***… ikiwa tutatengeneza au…  ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu za Mungu kwa wingi (za kutosha) ndani yetu,

tutauwezesha mkono wa Mungututauwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi na 

makubwa anayotaka kufanya.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Z li hZalisha KIWANGOKIWANGO

h k h hcha kutosha cha Nguvu za Mungu 

Ndani yako

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwasababu …Kwasababu …

Utendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, 

kiunategemea sana kiwangocha Nguvu za Mungucha Nguvu za Mungu 

kinachotenda kazi ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Mungu anaweza kufanya mambo yag y ymakubwa sana na ya ajabu mno(yasiyopimika) katika maisha yako(yasiyopimika) katika maisha yako,kuliko mambo yote unayo‐yawaza auunayoyaomba, lakini ni kwa kadiri(kwa kiwango au kipimo) cha nguvu(kwa kiwango au kipimo) cha nguvuzake kinachotenda kazi ndani yeko.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni muhimu tujue kwambaNi muhimu tujue kwamba,Haiwezekani kuutawalaHaiwezekani kuutawala 

ulimwengu wa mwili (dunia) kwa nguvu za mwili peke yake;  pasipo nguvu za kiroho; nguvupasipo nguvu za kiroho; nguvu 

za Mungu (Utukufu)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Utukufu  au Nguvu za Mungu za kutuwezesha kuutawala 

ulimwengu wa mwili (dunia)ulimwengu wa mwili (dunia), Mungu ameziweka ndani yetug yKwa njia ya Roho Mtakatifu! (Warumi 8:11,  1Yoh 4:13,17)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni hizi tulizojifunza zikusaidieKanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani g gyako, kwasababu, utendani kazi a mkono a M ng maishaniwa mkono wa Mungu maishani 

mwako unategemea sana kiwango g gcha nguvu zake, kinachotenda kazi 

d i kndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHONi mambo ambayo, tukiyawekaNi mambo ambayo, tukiyaweka 

kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetuMtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni muhimu tujue kwambaNi muhimu tujue kwamba,Haiwezekani kuutawalaHaiwezekani kuutawala 

ulimwengu wa mwili (dunia) kwa nguvu za mwili peke yake;  pasipo nguvu za kiroho; nguvupasipo nguvu za kiroho; nguvu 

za Mungu (Utukufu)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Utukufu  au Nguvu za Mungu za kutuwezesha kuutawala 

ulimwengu wa mwili (dunia)ulimwengu wa mwili (dunia), Mungu ameziweka ndani yetug yKwa njia ya Roho Mtakatifu! (Warumi 8:11,  1Yoh 4:13,17)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni hizi tulizojifunza zikusaidieKanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani g gyako, kwasababu, utendani kazi a mkono a M ng maishaniwa mkono wa Mungu maishani 

mwako unategemea sana kiwango g gcha nguvu zake, kinachotenda kazi 

d i kndani yako.

Ibada na UtoajiIbada na Utoaji

Mwisho!

Mafundisho MengineMafundisho Mengine

Vitabu vingine, CD na DVD za g ,Mafundisho vya Mwalimu Mgisa 

M b ik k ik d k lMtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo laVitabu vya Kikristo la Azania Front Cathedral 

Luther House, Sokoine DriveDar es Salaam.

Kwa mawasiliano zaidi,Kwa mawasiliano zaidi,

Mwl Mgisa MtebeMwl. Mgisa Mtebe (Christ Rabbon Ministry)

P. O. Box 837,Dar es Salaam TanzaniaDar es Salaam, Tanzania.

+255 713 497 654+255 783 497 654

mgisamtebe@yahoo.com