YA MTANDAO...Matumizi yasiyo ya kibiashara: hauna uhuru wa kutumia kanuni hizi kwa biashara yoyote....

21
INITIATIVE FOR EQUALITY AND NON DISCRIMINATION (INEND) KANUNI ZA KIFEMINISTI ZA MATUMIZI YA MTANDAO

Transcript of YA MTANDAO...Matumizi yasiyo ya kibiashara: hauna uhuru wa kutumia kanuni hizi kwa biashara yoyote....

  • INITIATIVE FOR EQUALITY AND

    NON DISCRIMINATION (INEND)

    KANUNI ZA KIFEMINISTI

    ZA MATUMIZI YA MTANDAO

  • UCHAPISHAJIK anuni hiz i z imechapishwa na shir ik a la kutetea hak i za k ibinadamu la I nit iat ive for Equal it y and Non Discr imination ( INEND), Oktoba 2020.

    K anuni hiz i z imeungwa mkono na Shir ik a la Associat ion for Progressive Communication, (APC ) .

    WAHUSIKAMtafs i r i : Helen MudoraWahar i r i : Wanafeminist i k at ik a mi j i ya Mombasa, K isumu na NairobiM pangi l io wa Muundo: Arafa Hamadi Uchoraj i : Arafa Hamadi

    MATUMIZIUko huru kugawa, kunak i l i /kupiga chapa na kusambaza tena k anuni h iz i k wa mbinu au a ina yoyote i le k wa mashar t i yafuatayo: - Shar t i utoe s i fa na uonyeshe iwapo mabadi l iko yoyote yamefanyik a . Uko na uhuru wa kufanya hiv yo i la s i k wa nj ia i tak ayoonyesha k wamba mchapishaj i wa k anuni h iz i ameidhinisha hatua hiyo.

    M atumizi yas iyo ya k ibiashara : hauna uhuru wa kutumia k anuni h iz i k wa biashara yoyote.

    KUTUHUSUI n i t iat ive for Equal i t y and Non Discr iminat ion ( INEND) ni shir ik a la kutetea hak i za binadamu k at ik a mkoa wa Pwani , l i l i loundwa k at ik amwak a wa 2015. INEND hufanya utaf i t i na kuchukua hatua na mik ak at i ambayo inapelekea usawa, kukubal ik a na kujumuishwa k wa k i la mwanadamu k at ik a jami i . Tunashir ik iana na mashir ik a na washik adau wengine i l i kuhak ik isha kutobagul iwa k wa watu wal io na maumbiletofaut i ya k i j ins ia na k impanzi na wengine.

  • K anuni z i fuatazo ni muhimu i l i kuinua k igezo cha mtandao ambao unazingat ia usawa wa k i j ins ia na wa watu wote. Mtandao wa k i feminist i huanza na kuwezesha wanawake, na watu wenye his ia tofaut i za k imapenzi na j ins ia kufurahia mtandao ambao ni wa kukubal ik a , kuj imudu, uwazi , maana, us io na mashar t i , na

    unaopat ik ana k wa urahis i na k wa usawa.

    Mtandao wa k i feminist i huwezesha wanawake na watu wenye his ia tofaut i za k imapenzi na j ins ia kufurahia tofaut i zetu, hak i zetu, huku tuk ivunja mis ingi ya mfumo dume. Hal i h i i inajumuisha tofaut i za hal i zetu, na muktadha, k ama vi le tofaut i za umri , j ins ia , u lemavu, tabak a mbal i mbal i , hal i zetu za k iuchumi , imani na mis imamo tofaut i za k is iasa na k idini , k ik abi la na rangi za ngozi z inazotutenganisha.K anuni z i fuatazo ni muhimu k at ik a kuaf ik ia

    malengo ya mtandao wa k i feminist i ; - .

  • Mtandao wa k i feminist i huanza na kuwezesha wanawake na watu wenye his ia tofaut i za k imapenzi na j ins ia kufurahia huduma za mtandao k wa bei nafuu, b i la mashar t i z inazokubal ik a , z i l izo wazi , na uf ik ia j i sawa ul imwenguni .

  • Tunakubal iana na kul inda hak i ya kupata habar i muhimu k wa wanawake na watu wenye his ia tofaut i za k imapenzi na j ins ia . Habar i h i i inahusu haswa hak i na afya za k ingono na uzazi , raha, n j ia sa lama za uav yaj i mimba, uf ik ia j i wa hak i na maswala ya Muungano wa LGBTQGNC++

    Habar i h iz i z i taz ingat ia tofaut i k at ik a lugha, muktadha, uwezo na mapendeleo za k ibinafs i .

  • Wanawake, watu wenye his ia tofaut i za k imapenzi na j ins ia wana hak i ya kutengeneza msimbo (code) , kubuni ,kubadi l isha na kutumia tek noloj ia ya habar i na mawasi l iano ( IC T ) k wa nj ia endelevu. Wanawake na watu wenye his ia tofaut i za k imapenzi na j ins ia pia wana nafas i ya kutawala k at ik a sekta ya tek noloj ia k ama juk waa la ubunifu na kuj ie leza , v i le v i le na kupambana na changamoto za k i tamaduni za ubaguzi wa k i j ins ia na ubaguzi k wa ujumla.

  • Mtandao ni mahal i ambapo k anuni za k i jami i hujadi l iwa na kuzingat iwa, hal i ambayo inatok ana na i t ik adi za kueneza mfumo dume, na kuchangia chuk i k wa watu wenye his ia tofaut i za k imapenzi na j ins ia . Tunasis i t iza mtandao wa k i feminist i ambao unahusisha dhana tofaut i k wa hal i na sehemu zote, iwe ni hadharani au sehemu za k ibinafs i .

  • Tunaelewa k wamba mtandao ni mahal i panapoweza kubadi l i mawazo ya watu. Kwa hiv yo, mtandao una uwezo wa kujenga uraia upya ambao unawezesha watu wenye his ia tofaut i za k imapenzi na j ins ia kuj i tambua na kuj ie leza . Zaidi ya hayo, mtandao una uwezo wa kuunganisha watu wa j ins ia tofaut i u l imwengu mzima, uk is is i t iza uwazi na uwaj ibik aj i pamoja na kutengeneza muungano endelevu wa k i feminist i .

  • Tunaamini ya k wamba mifumo k ama mfumo dume ambao umechangia k wa ukubwa mawazo na mwongozo wa mtandao waweza kubadi l ishwa, hasa tuk is is i t iza kujumishwa k wa wale wanaopigania usawa wa k i j ins ia na watu wenye his ia tofaut i za k imapenzi na j ins ia k at ik a uongozi wa mtandao. Tungependa demok ras ia iz ingat iwe k at ik a kuunda sera ambazo z inaaathir i umi l ik i na utumizi wa mtandao duniani kote.

  • Tunazingat ia kuchunguza f ik ra za k ibepar i z inazoendeleza tek noloj ia k wa kusis i t iza ubinafs ishaj i , na kuj i fa idisha. Tunaj i tolea kuunda nj ia mbadala za utawala wa k iuchumi z i l izo na msingi k wenye k anuni za ushir ik iano, umoja , u jamaa, uhi fadhi wa mazingira na uwazi .

  • Tunania ya kubuni na kufanya majar ibio na tek noloj ia , tuk iz ingat ia usalama wa k idi j i ta l i na matumizi ya programu (sof t ware) za bure k ama vi le FLOSS. Tunasis i t iza kukuza , kusambaza, kuel imisha na kueneza maar i fa ya tek noloj ia ya FLOSS .

  • Tunadai ubingwa wa mtandao kukuza habar i za matuk io hal is i ya wanawake na watu wenye his ia tofaut i za k imapenzi na j ins ia . Tunapinga na kuk ataa kudhal i l i shwa k wa saut i za wafeminist i na wanaharak at i wa hak i za k ibinadamu na nguvu za k iser ik al i , d ini na v ikundi v i l iv yo na mis imamo mik al i ambayo inaamua na kutawala maadi l i .

  • Tunatetea hak i na umuhimu wa usemi wa his ia za k imapenzi k ama swala la uhuru wa kuj ie leza na l i s i lo duni ya semi z ingine k ama vi le za k idini na k is iasa . Tunapinga v ik al i juhudi za ser ik al i na mashir ik a kudhibit i , kuchunguza, na kuzuia semi za k i feminist i , watu wenye his ia tofaut i za k imapenzi na j ins ia k wenye mtandao, matumizi ya tek noloj ia , na sher ia .

    Tunatambua hi i k ama njama kudhibit i maadi l i na ujenzi wa v igezo v ya uraia na hak i za k ibinadamu.

  • Tunatambua kuwa swala la pornograf ia k wenye mtandao l inahusiana na wak ala , idhini na uwezo. Tunapinga kusawasisha na kujumishwa k wa pornograf ia na unyanyasaj i dhidi ya wanawake au kul inganishwa na maudhui yenye madhara i l i kudunisha kuj ie leza k wa wanawake na watu wenye his ia tofaut i za k imapenzi na j ins ia . Tunaunga mkono juhudi za kuj ie leza k wa kubuni maudhui mbadala na utawala wa mfumo dume ambao hudhibit i na kudhal i l i sha wanawake na watu wenye his ia tofaut i za k imapenzi na j ins ia .

  • Tunatoa mwito wa kutungwa k wa maadi l i na s iasa za idhini k at ik a tamaduni , muundo, sera na mashar t i ya utumiaj i wa majuk waa ya mitandao. Tunaamini k wamba kuj ie leza k wa wanawake inategemea uwezo wao wa kufanya maamuzi kuhusu mambo yao ya s i r i au mambo ya umma watak ao sambaza k wenye mtandao.

  • Tunaunga mkono hak i ya k i la mtu kuwa na faragha na udhibit i wa habar i za k ibinafs i k at ik a v iwango v yote v ya mtandao. Tunapinga hatua ya ser ik al i na mashir ik a ya k ibinafs i kutumia data k wa aj i l i ya kupata fa ida na kutoa habar i za kupotosha kuhusu tabia na mapendeleo ya k ibinafs i Tunatambua uchunguzi k ama chombo cha k ihistor ia cha mfumo dume unaotumiwa kudhibit i mi i l i , maongezi na uwanaharak at i wa wanawake. Pia tunaangazia tabia za udhibit i unaotok ana na matendo ya watu binafs i , mashir ik a ya k ibinafs i na washik a dau wasio wa k iser ik al i .

  • Tunahak i ya kuwa na umil ik i juu ya histor ia na kumbukumbu zetu k at ik a mtandao. H i i inajumuisha kuweza kupata data na habar i z inazotuhusu mtandaoni , na kuweza kudhibit i pamoja na kujua nani ana uwezo wa kuf ik ia habar i zetu za k ibinafs i na kuwa na uwezo wa kuzi futa hiz i data mi le le.

  • Tunatetea hak i ya kutojul ik ana na kuk ataa madai yote ya kuzuia kutojul ik ana k wenye mtandao. Kutojul ik ana kunawezesha uhuru wetu wa kuj ie leza k wa mtandao, haswa maswala ya kuvunja mi iko ya uj ins ia na i tk adi za ubaguzi , kufanya majar ibu ya kuj i tambul isha k i j ins ia , na kuwezesha usalama k wa wanawake na watu wenye his ia tofaut i za k imapenzi na j ins ia k at ik a jami i u l ioathir iwa na ubaguzi .

  • Tunatoa mwito wa kushir ik ishwa k wa v i jana k wa maamuzi ya usalama wao wak iwa k wenye mtandao, faragha , ukuzaj i wa usalama wao, na upat ik anaj i wa habar i . Tunatambua hak i ya watoto k wa afya , k ihemko, kupata habar i sawa kuhusu ngono na j ins ia , k wa wak at i unaofaa.

  • Tunatoa wito k wa wadau wote wa mtandao pamoja na watumiaj i wa mtandao, watunga sera , na sekta za k ibinafs i kushughul ik ia swala la unyanyasaj i na v i ta k at ik a mtandao na za k i tek noloj ia . Tunaelewa ya k wamba kuna v isa v ingi v ya mashambul iz i na v i t isho dhidi ya wanawake, na watu wenye his ia tofaut i za k imapenzi na j ins ia . Hal i h i i n i ya kushangaza, na ina madhara k wa wanaolengwa na hiv i v i t isho na mashambul iz i . N i jukumu letu wote kuimar isha uwaj ibik aj i wetu dhidi ya swala nzima la unyanyasaj i wa k i j ins ia .

  • w w w.inend.org [email protected]

    P.O BOX 10315-80101 Mombasa, Kenya

    I nit iat ive for Equal i t y and Non Discr iminat ion

    @INENDorg @inend.ke

    KANUNI ZA KIFEMINISTI

    ZA MATUMIZI YA MTANDAO