staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani...

313
NOTI\MAELEZO ZA KISWAHILI Kitabu hiki cha noti za Kiswahili kinajumulisha mada zote ambazo zinastahili kusomwa na wanafunzi wote wa shule za sekondari. Kinafuata mtindo wa vile maswali yanavyo ulizwa katika mtihani wa kitaifa.Ni matumaini ya watayarishaji wa noti hizi kuwa kitabu hiki kitawasaidia waalimu na wanafunzi wa Kiswahili katika shule za sekondari humu nchini. MADA ZILIZOMO Ukurasa Insha za Kiuamilifu 2 Ufahamu 16 Ufupisho 54 Matumizi ya lugha 91 Isimu Jamii 153 Ushairi 164 Fasihi Page | 1

Transcript of staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani...

Page 1: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

NOTI\MAELEZO ZA KISWAHILIKitabu hiki cha noti za Kiswahili kinajumulisha mada zote ambazo zinastahili kusomwa na wanafunzi wote wa shule za sekondari.

Kinafuata mtindo wa vile maswali yanavyo ulizwa katika mtihani wa kitaifa.Ni matumaini ya watayarishaji wa noti hizi kuwa kitabu hiki kitawasaidia waalimu na wanafunzi wa Kiswahili katika shule za sekondari humu nchini.

MADA ZILIZOMO

Ukurasa

Insha za Kiuamilifu 2

Ufahamu 16

Ufupisho 54

Matumizi ya lugha 91

Isimu Jamii 153

Ushairi 164

Fasihi

Page | 1

Page 2: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

INSHA MBALI MBALI KULINGANA NA SILABASI MPYAKaratasi hii imedhamiria kutahini uwezo wa mtahiniwa wa kuwasiliana na

msomaji na kuwasilisha ujumbe sahihi, wenye mtiririko mzuri kimawazo, lugha ya kuvutia na yenye mawazo asili, ubunifu mwingi na hati nadhifu. Kutegemea maagizo ya swali lenyewe na umahiri wa lugha, ni lazima kutilia mkazo mtindo, mada na uwezo wa mtahiniwa kufuata maagizo vilivyo.

Mtahini Iazima aisome insha yote ili aweze kuikadiria akizingatia viwango mbalimbali vilivyopendekezwa, yaani A, B, C, ama D kutegemea mahali popote pale pafaapo, kuikaadiria insha ya mtahiniwa.

Kiwango Cha D Maki 01-051. Insha ya aina hii haieleweki kwa vyovyote, ama uwezo wa mtahiniwa wa

kutumia lugha ni hafifu sana, hivi kwamba mtahini lazima afikirie kile anachojaribu kuandika.

2. Mtahiniwa hana uwezo wa kutumia maneno ya Kiswahili kwa njia inayofaa.

3. Lugha imevurugika, uakifishaji haufai na insha ina makosa ya kila aina: kisarufi kimaendelezo kimtindo n.k.

Viwango tofauti vya DD- (kiwango cha chini) Maki 01-02 Insha haina mpangilio maalum na haieleweki kwa vyovyote vile. Kwa

mfano, Kunakili swali au kujitungia swali tofauti na kulijibu. Kunakili kichwa na kukosa kuishughulikia madaD (Wastani ) Maki 03 Utiririko wa mawazo haupo na insha haieleweki Makosa ni mengi. Insha imepotoka kimaudhuiD+(Kiwango cha juu) Maki 04-05 Ingawa insha hii ina lugha dhaifu ya Kiswahili na makosa mengi ya kila

aina, unaweza kutambua kile ambacho anajaribu kuwasilisha.Kiwango cha C Maki 06-101. Mtahiniwa anaweza kuwasilisha mawazo yake lakini kwa kiwango

kisichoeleweka kikamilifu.2. Hana uhakika wa matumizi ya lugha.3. Mada huwa haikukuzwa au kuendelezwa kikamilifu4. Mtahiniwa anaweza kupotoka hapa na pale.5. Kujirudiarudia ni dhahiri.6. Mpangilio wake wa kazi ni hafifu na hauna mtiririko.7. Hana matumizi mazuri ya lugha.8. Mtahiniwa ana athari za lugha ya kwanza ambayo huonekana dhahiri,

kama vile ‘papa’ badala ya ‘baba’ ‘karamu’ badala ya ‘kalamu’ n.k

2

Page 3: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Viwango vya C C- (Kiwango cha chini) Maki 06-071. Mtahiniwa ana shida ya kuwasilisha mawazo yake.2. Hana msamiati ufaao wala muundo wa sentensi ufaao.3. Ana makosa mengi ya msamiati, hijai na matumizi mabaya ya sarufi. C (Wastani) Maki 081. Mtahiniwa anawasilisha ujumbe vizuri lakini kwa njia hafifu.2. Hufanya maakosa mengi ya sarufi.3. Hana ubunifu wa kutosha.4. Katika sentensi ndefu uakifishaji wake ni mbaya.5. Ana makosa kadhaa ya hijai na msamiati. C+ (kiwango cha juu) Maki 09 - 101. Mtahiniwa anawasilisha ujumbe vizuri lakini kwa njia isiyo na mvuto

sana.2. Dhana tofauti tofauti hazijitokezi kikamilifu.3. Hutumia misemo, methali, tashbihi, tanakali za sauti n.k. kwa njia

isiyofaa.4. Mtiririko wa mawazo bado haujitokezi wazi.5. Kuna makosa machache ya sarufi na hijai.Kiwango cha Bmaki 11-151. Katika kiwango hiki mtahiniwa anaonyesha kuimudu lugha vilivyo.2. Mtahiniwa hudhihirisha kwamba anaweza kutumia lugha kwa urahisi

katika kujieleza.3. Hutumia miundo tofauti tofauti ya sentensi vizuri.4. Mtahiniwa ana uwezo wa kutumia lugha kwa ufasaha kama vile sentensi

kuandikwa kwa njia tofauti na ikaleta maana sawa.5. Mada huwa imekuzwa na kuendelezwa kikamilifuViwango tofauti vya BB-(kiwango cha chini) Maki 11-121. Mtahiniwa huwasilisha ujumbe wake kwa kuonyesha hoja tofauti tofauti.2. Kuna utiririko mzuri wa mawazo.3. Ana uwezo wa kutumia miundo tofauti ya sentensi.4. Makosa ni machache.B+(wastani) Maki 131. Mtahiniwa anadhihirisha hali ya kuimudu lugha.2. Anawasilisha ujumbe wake wazi wazi kwa mawazo yanayodhihirika.3. Matumizi ya lugha ya mnato huweza kudhihirika.4. Anatumia mifano michache ya msamiati mwafaka.5. Matumizi ya tamathali za semi yanaanza kudhihirika.6. Makosa yanaweza kutokea hapa na pale7. Sarufi yake ni nzuriB+ (kiwango cha juu) Maki 14-151. Mawazo ya mtahiniwa yanadhihirika.2. Mtahiniwa anawasilisha ujumbe wake kwa njia inayovutia na kwa urahisi.3. Kuna makosa ya hapa na pale ambayo mtahiniwa hakudhamiria

kuyafanya.4. Uteuzi wake wa msamiati ni mzuri.5. Sarufi yake ni nzuri.

3

Page 4: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

6. Hutumia miundo tofauti ya sentensi kiufundi7. Hujieleza kikamilifu na makosa ni nadra kupatikana.A+ (KIWANGO CHA JUU) MAKI 19-201. Mtahiniwa huwasilisha ujumbe kulingana na mada.2. Hutiririsha mawazo yake vizuri zaidi.3. Hujieleza kikamilifu bila shida.4. Hutoa hoja zilizokomaa.5. Makosa ni machache sana.6. Jumla ya makosa yasizidi matano.7. Msamiati wake ni wa hali ya juu

Jinsi ya Kutuza insha mbalimbali. 1. Mtahiniwa asipozingatia sura ya insha aondolewe maki 4 -5 baada ya

kutuzwa.2. Mitindo ya uandishi isiingilie sana utahini.3. Hati ya mtahiniwa isitiliwe maanani mnoMakosa ya SarufiSahihisha kwa makini sana ukionyesha makosa yote yanayotokea. Makosa ya

sarufi huwa katika:1. Kuakifisha vibaya: Mifano, vikomo, vituo, alama ya kuuliza n.k.2. Kutumia herufi ndogo au kubwa mahali si pake.3. Matumizi mabaya ya ngeli na viambishi, nyakati, vihusiano, muundo

mbaya wa sentensi na mnyambuliko wa vitenzi na majina.4. Kuacha au kuongeza maneno katika sentensi kwa mfano, ‘kwa kwa’5. Matumizi ya herufi kubwa. Tazama: Matumizi ya herufi kubwaa) Mwanzo wa sentensi.b) Majina ya pekeec) Majina ya mahali, miji, nchi n.k.d) Siku za juma, miezi n.k.e) Mashirika, masomo, vilabu n.k.f) Makabila, lugha n.k.g) Jina la Mungu.Makosa ya hijai/ tahajiaHaya ni makosa ya maendelezo. Sahihisha huku ukionyesha yanapotokea

mara ya kwanza tu.Makosa ya tahajia huwa katika:1. Kutenganisha maneno kama vile ‘aliye-kuwa’2. Kuunganisha maneno kama vile ‘kwasababu’3. Kukata silabi vibaya kama vile ‘ngan-o’4. Kuandika herufi isiyofaa katika neno kama ‘mahari’ badala ya ‘mahali’5. Kuacha herufi katika neno kama aliekuja badala ya aliyekuja.6. Kuongeza herufi isiyofaa katika neno kama piya badala ya pia7. Kuacha alama inayotarajiwa kuwepo katika herufi.

4

Page 5: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

8. Kutoandika kistari cha kuunganisha neno ufikiapo pambizo au mwisho; au kuandika mahali si pake.

9. Kuandika kistari pahali pasipofaa.10. Kuacha ritifaa au kuiweka mahali pasipofaa.11. Kuandika maneno kwa ufupi mfano k.m. nk, v.v.MtindoMambo yatakayochunguzwa.1. Mpangilio wa kazi kiaya.2. Mtiririko wa mawazo.3. Hati nzuri inayosomeka kwa urahisi.4. Namna anavyotumia methali, misemo, tamathali za usemi na

mengineyo.5. Unadhifu wa kazi.6. Kuandika herufi vizuri k.m. Jj, Pp, Uu, n.k.7. Sura ya insha.MsamiatiJumla ya maneno yaliyotumiwa kuafikiana na mada au kichwa

kilichopendekezwa.MIFANO1. Wewe ni katibu wa kamati ya usalama katika mtaa wako. Andika

kumbukumbu za mkutano uliofanywa hivi karibuni kuzungumzia swala la kuzorota kwa usalama.

Jibu lichukue mtindo wa kumbukumbuMasharti Kichwa huonyesha jina la mkutano, mahali na wakati Orodha ya waliohudhuria Orodha ya waalikwa ikiwa wapo Orodha ya waliotuma udhuru Orodha ya wasiohudhuria na hawakutuma udhuru Maudhui ya kumbukumbu - maudhui yagusie visa vya kuzorota kwa

usalama , wahasiriwa, wahusika na hatua za kudhibiti usalama. Tanabihi: kumbuka kuwa idadi ya maneno katika kumbukumbu

huanza kuhesabiwa wakati unapoanza kuandika kumbukumbu. Aondolewe maki (3mt) asipozingatia mtindo wa kumbukumbu. Asiyezingatia urefu atolewe maki(2,u) urefu2. Mwenye shoka hakosi kuni.Methalia. mtahiniwa asimulie kisa kuonyesha ukweli kuwa mtu aliyejiaanda,

ndiye hupata ufanisi.b. mathlani ni mtu mwenye elimu anayenufaika endapo kitu cha

thamani kitatangazwa kwa dharura.c. Anaweza kuonyesha au kutoonyesha maana ya methalid. Atakayeshindwa kutoa urefu atolewe maki (2,u) za urefu.3. Serikali imetoa elimu ya bure katika shule za upili humu nchini. Jadili

athari zake.Mtahiniwa aweze kujadili athari changa (+) na athari hasi (-) zinazotokana na

elimu ya bure katika Shule za upili.

Mada muhimu

5

Page 6: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

i) ongezeko la idadi ya wanafunziii) uhaba wa vifaa vya masomoiii) uhaba wa walimuiv) hulipaji ushuru kuongezekav) miradi mingine ya serikali kuathiriwavi) wanafunzi kutoka jamii maskini watapata elimuvii) wazazi kupunguziwa malipo ya karo

mwalimu akadirie athari zingineTanbihi: Mwanafunzi atakayeshindwa kuwasilisha angalau hoja /mada 5

asipite grediB4. Andika insha itakayoisha kwa maneno yafuatayo:…………….nilipogutuka niliangaza macho huku na kule. Aah! Kumbe nilikuwa

nikiota! Ni insha ya kuwalela/kubuni fikra Azingatie sehemu zote K.V utangulizi, mwili, hitimisho. Mtahiniwa atunge kisa kinachomalizia kifungu kilichotolewa.Tanbihi: Mwanafunzi atakayeshindwa kumaliza insha na kimalizio hiki

achukuliwe amejitungia swali na atuzwe D- (01-02)

1. Mbunge wa eneo lako akiandamana na chifu wa eneo hilo walimtembelea mwalimu mkuu wa shule yako ili kujadiliana juu ya hasara za vita. Andika mazungumzo yaliyojiri.

2. Heri kumwelimisha mtoto wa kike kuliko wa kiume. Jadili.3. Chura akitupwa majini hafi4. Endeleza kisa kifuatachoWanangu, sasa hivi dunia imekuwa kijiji kimoja. Mmevuruga vikwazo na vizuizi

vya mipaka ya nchi, bara, pamoja na tamaduni. Mmedhihirisha kuwa mke au mume anaweza akapatikana kutoka eneo lolote duniani mradi tu pawe na maelewano……………………………………….

1. Wewe ni mwandishi wa habari uliyetembelea ofisi ya takwimu ya umoja wa mataifa inayohusiana na haki za binadamu. Andika mahojiano kati yako na afisa mkuu anayehusiana na maswala ya haki za binadamu kuhusu vile haki za binadamu zilivyokiukwa wakati wa ghasia za uchaguzi nchini mwako

a) Mapigano na vita vinachangia katika kudhulumiwa kwa watoto na kuwanyima

haki zao za kuishi katika mazingira ya amani.(b) Kunyimwa nfasi ya kujiamulia(c) Kubaguliwa (d) Watu kuuawa bila hatia(e) Kuharibiwa kwa mali ya watu binafsi(f) Kukosa makao(g) Kuwa na wakimbizi katika nchi yao wenyewe(h) Msongamano wa watu katika kambi unaosababisha hali mbaya ya

afya.(i) Ukosefu wa huduma muhimu ( wagonjwa wa ukimwi kukosa dawa)(j) Visa vya ulakaji wa watoto na wanawake(k) Watoto kukosa shule(l) Ukahaba – ili kujikimu maishani

6

Page 7: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(m) Kuzuia watu kuendelea na shughuli zao za kila siku k.v kilimo, biashara. n.k

TANBIHI:(a) Mtahiniwa azingatie sura ya mahojiano. Asipozingatia sura aondolewe

maki 4s.(b) Mtahiniwa awe ndiye mwandishi wa habari na mdadisi.(c) Mada izingatie ukiukaji wa haki za binadamu wakati wa ghasia za

uchaguzi. Asiposhughulikia haya , atakuwa hajajibu swali.(d) Sharti mtahiniwa ajihusishe na ahusishe nchi yake. Asipofanya hivyo,

aondolewe maki 2W.2. Kufanya hali kuwa bora katika magereza ni kukuza uhalifu. Jadili.Kuunga- Magereza yakiboreshwa watu watataka kuishi huko kukwepa

maisha mabaya nje.- Watu wavivu watafanya uhalifu ili watiwe gerezani- Ukosefu wa usalama utafanya watu kukatalia gerezani.- Maisha mazuri gerezani yatafanya watu kuishi huko kama makao.- Wengine watakwepo majukumu- Marupurupu yanayotolewa ambayo si rahisi kupata nje ya gereza.- Kuwepo vifaa vya kisasa k.v runinga, basi n.k- Wengine watajiendeleza kimasomo kwa urahisi k.m ufundi, ya

sekondari n.k- Si adhabu tenaKupinga(a) Aibu ambayo inatokana na kuwa mfungwa humfanya mtu asipende

kuishi gerezani.(b) Rekodi ya kuwa mfungwa humnyima mtu nafasi ya ajira katika

viwango Fulani.(c) Watu wengine huthamini uhuru sana kuliko kuishi kifungoni, kwa

hivyo, kifungo ni adhabu kubwa kwao.(d) Mtu hukosa kujiendeleza maishani(e) Mateso ya kifungoni ni makali k.m chakula kidogo, kazi ngumu,

viboko. n.kMITAZAMO(i) Mtahiniwa aweze kushughulika upande wa kuunga pekee.(ii) Mtahiniwa aweze kushughulikia upande wa upinga pekee(iii) Mtahiniwa aweze kushughulikia pande zote mbili na kutoa

uamzi/msimamo wako.3. Andika insha itakayoishia kwa maneno haya: …………… nilisimama

nikaangalia nyuma, machozi yakanitoka njia mbilimbili nilipokumbuka wosia wa walimu. Wazazi na wenzangu.

Mtahiniwa aandika kisa(ii) Kisa kinachomhusisha yeye akitenda makosa (iii) Pawe na wosia / maonyo kutoka kwa wazazi, walimu na wenzake(iv) Akaida wosia(v) Ajipate matatani na kujutaTANBIHI(a) Asiyejihusisha amepotoka(b) Akikosa sehemu moja k.m maonyo au kukaidi aondolewe maki - 4M

7

Page 8: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(c) Asipomalizia maneno mawili au moja aondolewe maki 2K. Akizidisha hajajibu swali.

(d) Akiacha maneno mawili au moja aondolewe maki 2K, yakizidi hajajibu swali.

4. Mguu mtembezi haukosi mwiba.Mtahiniwa aandike kisa au visa vinavyothibitisha ukweli wa methali

Maana ya methali: Mtu anayetembeatembea hakosi kuchomwa na miiba.Matumizi: Hufunza kwamba atafutaye kwa juhudi hakosi japo kidogo. Au mtu

anayefanya shughuli hakosi kupambana matatizo ya hapa na pale.TANBIHI:

Lazima mtahiniwa aeleze pande zote mbili za methali; asipofanya hivyo amepotoka.

1.Andika mahojiano kati ya Mtafuta kazi ya ukarani na Jopo la Mahojiano.Mtindo ni ule wa mahojiano; wa maswali na majibu Mtahiniwa awashirikishe Wanajopo wa mahojiano na Mtafuta kazi

katika mazungumzo ya mtindo wa maswali na majibu. Wanajopo wanaweza kuwa wawili au zaidi.

Huu ni upande wa kuuliza maswali. Mtafuta kazi ni mmoja. Huu ni upande wa kuyajibu maswali.

Baadhi ya vipengele vya maudhui (hoja) Jina, umri, anakotoka mtafuta kazi Kiwango cha masomo/vyeti/stakabadhi za masomo Shule/taasisi/kozi alizosomea Vipi alivyoipata habari kuhusu nafasi ya kazi. Tajiriba ya mtafuta kazi. Je, amewahi kuifanya kazi hiyo? Wapi?

Kwa muda gani? Kwa nini anaitaka ile kazi. Ahadi zake iwapo atafikiriwa. Mshahara atakaotaka apate.n.k.(Hakiki na kuzitambua hoja zozote tofauti ambazo ni mwafaka kulingana na

mada)2. Jamii inapaswa kuzizingatia kwa dhati haki za watoto. Fafanua huku

ukidokeza haki mbalimbali na umuhimu wa kuzizingatia.Mtahiniwa atoe ufafanunizi wa dhana ‘Haki za watoto’- Ni mahitaji ambayo jamii inawajibika kuwapa watoto. Huwa na msingi

wa kisheria.Baadhi ya haki za watoto: Haki ya chakula Haki ya makazi bora Haki ya mavazi Haki ya masomo Haki ya kutodhulumiwa k.v. ajira za watoto wa kike na wa kiume Kwa wasichana: kutopashwa tohara, kutodhulumiwa kimapenzi,

kutoozwa mapema n.k.(Haki na kuzitambua hoja zozote tofauti kulingana na mada. Mtahiniwa

azifafanue hoja kikamilifu)

8

Page 9: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Umuhimu wa kuzizingatia haki za watoto Watoto watapata maarifa ya maisha bora ya baadaye –

watataalamika kupitia masomo Nchi itakuwa na umma uliosoma na itaimarika katika nyanja zake

mbalimbali Watoto hawatakumbwa na dhiki / magonjwa mbalimbali wakipata

lishe bora, makazi bora na mavazi Afya ya watoto haitaathirika kupitia k.m. ajira za watoto. Watoto watakua kwa imani na ukakamavu maishani

wasiponyanyaswa kwa njia yoyote. Hawataathirika kisaikolojia na kimwili Wasichana watapata nafasi sawa na wavulana za kuendelea na

masomo ya kupata maisha bora baadaye. Wasichana hawatapokea hatari/uchungu wowote usio na mashiko

yoyote kupitia tohara n.k.(Hakiki na kuzitambua hoja zozote tofauti zilizo mwafaka)3. Mti mkuu ukianguka, ndege huwa mashakani.Mti mkuu ukianguka, ndege huwa mashakaniHili ni swali la methaliMtahiniwa anaweza kutoa ufafanuzi wa methali kimaana.Maana: Mti mkubwa ukianguka ndege ambao huutegemea mti ule kama

makazi hutaabika Mtu anayetegemewa na wengine akiondoka / akifa, waliokuwa wakimtegemea

watadhihirika mno na hali ya kusambaratika.K.m. Baba/mama katika familia akifa, watoto hutaabika

Mtahiniwa atunge kisa au visa vinavyodhihirisha ukweli wa methali.Kisa lazima kioane na maana ya methali.Anayekitoa kisa kinachofungamana na maana ya methali tofauti, achukuliwe

kuwa:(i) Amejitungia swali na kulijibu.(ii) Amepotoka kimaudhui.Watahiniwa wa aina hii ni wa viwango. D-02 au D-034.Pendekeza mbinu zinazoweza kutumiwa katika juhudi za kuhifadhi mazingira

nchini.Mazingira – chochote kilicho karibu nasi na tunakiathiri au kinatuathiri kwa njia

moja au nyingine k.m. hewa, maji, udongo n.k.Mbinu za kuhifadhi

Maji mitoni – kutopanda miti wala kukuza mimea yoyote kwenye chemchemi za maji

- Viwanda viwekewe vikwazo kutoyatupa maji taka / kemikali taka mitoni

Kutotupa taka ovyo. Pawe na majaa ya kuwekwa taka popote nyumbani, sokoni au popote

Kutoikata miti ovyo Kuhifadhi misitu. Viwanda vinavyoitoa mioshi mikubwa viwekewe vikwazo viidhibiti

mioshi. Magari mabovu yanayotoa sauti za juu za kuudhi zisiruhusiwe

kuhudumu.

9

Page 10: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Kelele za aina yoyote k.v. redio zinazofunguliwa kwa sauti za juu zikomeshwe.

Kuzuia mmomonyoko wa udongo. Unyunyiziaji maji mashamba katika sehemu kame zisizopata mvua(Hakiki na kuzitambua hoja zozote tofauti ambazo ni mwafaka kulingana na

mada/swali).1.Wewe ni mkuu wa mkoa wa Bonde la Ufa. Andika hotuba utakayoisoma

kwenye mkutano wa hafla kuhusu mikakati itakayochukuliwa na serikali katika kuhakikisha kuna amani na utangamano mkoani.

Vipengele vyote vya hotuba vizingatiwe mathalan:- Kichwa- Utangulizi – maamkizi pamoja na mdokezo wa mada.- Mwili – mada zishughulikiwe katika aya mbalimbali- HitimishoBaadhi ya mikakati iwe:

i) Kuwahimiza viongozi/ wa kisiasa na kidini / kuhubiri amani na utangamano katika mikutano ya hafla.ii) Kubuni mpango utakaowawezesha walioathiriwa kurejelea maisha

ya kawaida.iii) Kuimarisha doria za walinda usalama/ kujenga vituo vya polisi

katika maeneo yaliyoathirika.iv) Kuanzisha elimu ya umma itakayowahamasisha wananchi kuhusu

umuhimu wa kuishi kwa amani bila kujali tofauti za kisiasa na kikabiki na umuhimu kuheshimu haki za binadamu.

v) Kuhimiza wananchi kutoka makabila mbalimbali kushiriki katika michezo mbalimbali kwa pamoja.

vi) Kutafuta na kunyang’anya jamii zilizo na silaha hatari.vii) Kujengea makao upya kwa wale walioharibiwa nyumba zao.viii) Hoja / mikakati mingine yoyote muhimu ikubaliwe.* Waweze kushughulikia hoja zozozte tano.2. Simu za rununu zina madhara mengi kuliko manufaa. Jadili.Madhara ya rununu.

i) Zimechangia katika kuongezeka kwa visa vya ajali barabarani.ii) Kuchangia katika kuzoroteka kwa maadili ya jamii/ zinafilamu

potofu.iii) Visa vingi vya uhalifu vimefanikiwa kupitia rununuiv) Familia / Ndoa zimevunjika / kukosana kupitia rununu.v) Wanafunzi wameshindwa kujimudu ki-lugha kwa sababu ya rununu

/ wemezoea lugha mkato na isiyo sahihi kisarufi na msamiati.vi) Zinaathiri mbegu za uzazi iwapo zinawekwa kwenye mfuko wa

nguo kwa muda mrefu.vii) Ni ghali kutumia kwa vile huhitaji kununua kadi ili kuwasilianaFAIDAi) Kuwezesha kufanikiwa kwa mawasiliano wakati wowote.ii) Husaidia katika kuweka ujumbe / siri muhimu.iii) Ni nyepesi/ hubebeka kwa urahisi* Lazima mwanafunzi adhihirishe msimamo wake.

10

Page 11: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

3. Tatizo la njaa limekithiri tangu nchi nyingi za Afrika zijipatie uhuru. Pendekeza mikakati ifaayo kufuatwa ili kuimarisha ukuzaji wa chakula cha kutosha nchini ili kuondoa tatizo la njaa nchini.

Tatizo la njaa- Andika kichwa cha insha- Andika utangulizi- Kutambua hoja na kuzijadili kwa kufafanua ipasavyo.

HOJAi) Wakulima wafadhiliwe, kupewa pembejeo za kilimo k.m mbegu,

mbolea,ii) Bei ya mbolea, mbegu, jembe kushushwa.iii) Kuwasaidia wakulima kuuza mazaoiv) Kuhimiza upanzi wa vyakula vya kiasili k.m mtama, viazi vitamu,

mihogov) Kuhimiza vyakula vinavyohimili kiangazivi) Wakulima kufunzwa mbinu za kisasa za kilimo vii) Uhifadhi wa chakula kutumia mbinu za kisasa kwenye maghala k.m

shrike la kuhifadhi nafaka viii) Mashamba ambayo hayatumiwi ya twaliwe au kulipiwa ushuru.ix) Wakulima wapewe mikopo ili kununua vifaa vya kisasa km.

Tingatinga.x) Serikali ifadhili na kudhamini vyama vya ushirika vya wakulima.xi) Taasisi za kilimo kama vile K.F.A –shirika la kilimo la Kenya,

N.C.P.B, A.F.C zisambazwe hadi mashinanixii) Mipango ifanywe ili maonyesho ya kilimo yapewe kipaumbele na

kufikihwa mashinani.xiii) Kila eneo lihusishwe katika maendeleo na pesa za kustawisha eneo

Bunge C.D.F. zitumiwe kuwawezesha wananchi wazalishe na kukuza mimea ya chakula.

xiv) Shirika la chakula tumaini (WFP) na shirika la chakula na kilimo (FAO) kushirikishwa na serikali katika mikakati ya kuwahamasisha na kuwafadhili wakulma.

Washughulikie hoja zozote tano.4. Andika insha itakayodhihirisha: Mla nawe hafi nawe ila mzaliwa naweMethali Mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.

Maana ya juu ya methali:Yue mtu mnayekula naye mara nyingi hakuacha wakati wa shinda. Ni yule tu

mliyezaliwa naye anayekushughulikia.Maana ya ndani- Tusiwategemee sana marafiki huku tukiwapuuza ndugu.- Mwanafunzi atunge kisa/ visa kudhihirisha maana na matumizi ya

methali hii.1.Wewe kama waziri wa Elimu toa hotuba itakayohusu hali ya kuimarisha

kiwango cha elimu mkoani mwako 2. Fahali wawili wapiganapo nyasi ndizo huum3. Usalama unaendelea kuzorota nchini. Jadili mambo yanayosababisha

kuzorota huko na upendekeze njia za kuimarisha usalama.4. Andika insha itakayomalizikia ……………….ilinichukua muda mrefu kusadiki niliyoyapata.

11

Page 12: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

12

Page 13: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Mkusanyiko huu umegawanywa katika sehemu tatu kuu kulingana na karatasi ya Kiswahili.

Karatasi ya kwanza 102/1

Insha za kiuamilifu 1. Andika mahojiano baina ya mkuu wa wilaya na mwandishi wa habari

kuhusu utovu wa usalama wilayani mwako.

2. Hali ya usalama imekuwa ikizorota katika lokesheni yako. Andika barua kwa chifu wa eneo lenu ukionyesha visa vya ukosefu wa usalama na upendekeze njia za kukabiliana na hali hiyo.

3. Umealikwa katika ofisi ya mkuu wa wilaya kupendekeza njia za kukomesha uadui unaotokana na ukabila nchini. Andika mazungumzo jinsi yalivyoendelea.

4. Wewe ni kiranja anaye husika na masomo shuleni mwako. Mwandikie kiranja anayehusika na masomo katika shule jirani ukiwaalika wanafunzi wake katika mjadala shuleni mwako.

Ambatanisha ratiba itakayofuata siku hiyo.

5. Kitengo kinachohusika na usalama barabarani kimekuchagua wewe kama mwanajopo kati ya

wanachama watano. Mmetakiwa kuchunguza kinachosababisha ajali nyingi nchini na kutoa mapendekezo yenu jinsi ya kurekebisha hali hiyo. Andaa ripoti yenu.

6. Umehudhuria mkutano wa vijana kujadili njia za kuboresha maisha ya vijana katika jamii.

Andika kumbukumbu za mkutano huo.

7. Umefikishwa hospitalini ukiugua. Andika mahojiano kati yako na daktari

8. Wewe ni Afisa Mkuu wa Polisi wilayani mwenu; Andika kumbukumbu za mkutano wa kamati

ya usalama uliofanyika hivi karibuni kuhusu mikakati ya kuimarisha usalama wilayani humo.

9 Suala la ufisadi limekuwa tatizo sugu katika jamii ya Kenya. Andika mahojiano kati ya

mwenyekiti pamoja na Afisa wa Sheria katika Tume ya Kupambana na Ufisadi nchini

13

Page 14: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

na mwandishi wa habari juu ya mbinu za kupambana na ufisadi.

10. Mkuu wa mkoa wa Tuinuane ameongoza mkutano wa viongozi mkoani uliojadili kuhusu

amani na maridhiano baada ya vita vya kikabila mkoani humo. Andika kumbukumbu za mkutano huo

11. Matokeo ya mtihani wa kitaifa wa kidato cha nne yametangazwa. Imesadifu kwamba wewe

ndiye mwanafunzi bora katika Mkoa wa Magharibi. Mwanahabari wa Gazeti la

Tujivune amekutembelea nyumbani kwenu. Andika mahojiano yenu.

12. Wewe ni Katibu wa kamati ya chama cha wazazi na walimu shuleni mwenu. Andika kumbukumbu za mkutano uliofanyika hivi karibuni.

13. Kumetokea mzozo wa kisiasa nchini mwako. Mmealika msuluhishi kutoka nchi jirani.

Andika mahojiano baina ya msuluhishi huyo na mwanasiasa.

14. Shule yenu ilishiriki hivi majuzi katika mashindano ya riadha ya shule za Sekondari

wilayani. Ulikuwa mmojawapo wa washiriki. Andika ripoti kuhusu mashindano hayo.

15. Mhariri wa gazeti la Jicho Pevu ametangazia wasomaji katika toleo la Jumatano kutuma makala

yao ili kuchangia katika kuandika tahariri itakayohusu mabadiliko ya hali ya anga na athari zake

katika toleo la Jumapili. Andika makala yako.Insha za kawaida

1. Andika insha itakayotamatika na ....kweli dunia ni mwendo wa ngisi, ina masalata wengi.2. Elimu bila malipo nchini Kenya ina changamoto zake. Jadili3. Eleza namna katiba mpya inavyofaa kutetea nafasi na hadhi ya jinsia ya kike.4. Ajira ya watoto ina madhara mengi. Fafanua.5. Zigo la kuliwa halilemei. 6. Andika insha itakayomalizikia kwa :

….mkuu wa askari aliwaeleza kuwa ikiwa njia hizo zingetumika, uhalifu ungezikwa kwenye kaburi la sahau

7. Mwenye kovu sidhani kapoa. 8. Elimu ya bure inayotolewa na serikali katika shule za msingi za umma

humu nchini,

14

Page 15: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

imekuwa na athari mbalimbali. Jadili. 9. Andika insha itakayomalizikia maneno yafuatayo:-

....aliyakumbuka mashauri ya mamake ambayo aliyakaidi. Machozi yalimbubujika alipojiona kadhoofika kiafya jinsi ile; mguu mmoja duniani, mwingine kaburini.

10. Uhaba wa kazi ni tatizo sugu katika nchi zinazoendelea. Jadili.

11. Andika kisa kinachodhihirisha ukweli wa methali: “subira huvuta heri”

12. Andika insha itakayoishia kwa maneno haya:- ...........nilipiga magoti chini na kumshukuru Maulana kwa kuyanusuru maisha yangu.

13. Kumekuwa na kilio kila uchao. Pendekeza njia mbalimbali za kutokomezea mbali umaskini

katika jamii yako. Fahali wawili wapiganapo, nyasi huumia. 14. Andika insha itakayoishia kwa maneno yafuatayo:-

15. ....hapo ndipo nilipoapa kwamba sitawahi kumfungulia mtu yeyote yule mlango usiku. 16. Asifuye mvua imemnyea.Thibitisha ukweli wa methali hii kwa kisa.

17. Utovu wa nidhamu shuleni umesababishwa na mabadiliko katika sekta ya Elimu. Jadili. 18. Andika insha itakayomalizikia kwa maneno ...ama kweli dunia ni mti

mkavu; ukiuegemea utaanguka. Nilikuja kutambua kwamba ni heri uwe maskini wa mali na tajiri wa

fadhili kuliko tajiri wa mali na fukara wa utu. 19. Licha ya kufaulu kiasi, utoaji wa elimu ya bure katika shule za msingi na upili umekumbana

na matatizo si haba. Jadili20. Mchuma janga, hula na wa kwao.21. Andika insha itakayoishia kwa maneno haya………… moyo ulinidunda nilipoona gari letu

likibingiria kuelekea ufuo wa bahari, machozi yakanitoka kwa wingi nikakumbuka yote

niliyokuwa nimetenda ulimwenguni, nikayafunga macho yangu.

22. Udongo uwahi/upatilize ungali maji.

23. Kuavya mimba ni uovu usioweza kuvumiliwa , jadili. 24. Andika insha itakayomalizikia kwa maneno haya:

.................ndipo nilipogundua kuwa mtu ambaye siku yake imefika hana budi kufa hata akafanyiwa dawa za aina gani.

15

Page 16: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

25. Wewe kama Mwalimu ambaye amehitimu katika chuo kikuu cha Kenyatta, kuna nafasi ya kufundisha katika shule ya upili ya Angeko. Andika wasifu-kazi utakaoandamana na barua yako.

26. Mgema akisifiwa tembo hulitia maji.27. Vizingiti \Vikwazo vya kuundwa na kupatikana kwa katiba mpya nchini Kenya sio wanasiasa

pekee.Fafanua. 28. Andika insha itakayomalizikia kwa: . . . Na katika uchaguzi wa marudio

uliofanywa baada ya kisa hicho, Hidaya akapata ushindi mkubwa na kuwa mbunge wa eneo bunge la Kubali.

29. Mchama ago hanyeli, huenda akauya papo

30 Uavyaji wa mimba ni suala sugu hapa nchini Kenya. Jadili31. Ilikuwa mara ya kwanza kufikishwa mahakamani…………….. endeleza

31. Kisa cha mwanafunzi kilingane na chanzo hiki na aonyeshe ubunifu na matumizi mazuri ya lugha32. Eleza jinsi haki za watoto zinavyokiukwa katika jamii huku ukipendekeza suluhu. 33. Cha Mchama huchama, cha Mgura hugura. 34. Rais Julius Kabarage Nyerere ni mtu anayejulikana katika taifa la Afrika kusini na

Mataifa mengine. Alipozaliwa............................................................................35. Shughuli ya kuavya mimba iharamishwe. Jadili36. Ganga ganga ya mganga humlaza mgonjwa na matumaini.

37. Andika insha itakayomalizikia kwa: Baadaye niligundua kuwa kutotii wazazi kunaweza kuwa na

madhara ya muda mrefu sana.

38. Bandu bandu huisha gogo. 39. Suluhu kwa matatizo yanayoikabili nchi yetu ni katiba mpya. Jadili,

40. Kamilisha mtungo wako kwa kifungu kifuatacho.

………………………………………………. Ni uso wa nani usiotahayuri kwa kisa kama hiki?41 Mchumia juani hulia kivulini. 42. Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia hali hii na upendekeze njia za kukabiliana nao. 43. Andika insha itakayomalizikia maneno haya-----------------------niliketi nikishika tama. Iliyokuwa nyumba yangu ikawa jivu tu! Sikuyazuia machozi yalionibubujika. 44. Andika Mtungo unaothibitisha ukweli wa methali: Jitihada haiondoi kudura.

16

Page 17: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

45. Simu za rununu zina madhara mengi kuliko manufaa . Jadili.

46. Andika insha itakayoisha kwa maneno yafuatayo: ..............nilipogutuka niliangaza macho huku

na kule. Aah! kumbe nilikuwa nikiota!

47. Fafanua njia mbalimbali za kukabiliana na umaskini nchini mwetu.

48. Samaki mkunje angali mbichi. 49. Hauchi hauchi unakucha. Naam, siku njema niliyosubiri kwa hamu na ghamu iliwadia. Nilifurahi ghaya ya kufurahi……. (endeleza insha hii).

Karatasi ya pili 102/2

UFAHAMU

17

Page 18: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

1. Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali.

Panografia ni tendo, maandishi, picha au michoro inaoonyesha au kueleza uchi wa mtu au vitendo vya ngono kwa ajili ya kuchochea ashiki ya kuifanya. Mambo haya machafu huwasilishwa ana kwa ana kupitia sinema, magazeti, vitabu, muziki, televisheni, tovuti na kanda za kunasia picha na sauti.

Ponografia imekuwepo tangu jadi, hasa katika nchi za magharibi. Lakini sasa limekuwa tatizo sugu. Hii ni kwa sababu imeenea kote ulimwenguni mithili ya moto mbugani wakati wa kiangazi. Kuenea kwake kumechangiwa na mambo kadha wa kadha. Mchango mkubwa zaidi ukiwa umetokana na kuimarika kwa vyombo vya teknolojia ya habari na mawasiliano. Hata hivyo, kazi hii hubuniwa au kutengenezwa na makundi mbalimbali ya watu. Miongoni mwa hawa ni watu wasiojali maadili. Pili, kuna wale wenye matatizo ya kisaikolojia na kijamii. Wao hutengeneza na kueneza uchafu huu kwa lengo la kuvuruga madili katika jamii au kuchukiza wanajamii waadilifu.Kundi lingine ni lile la wanaoichukulia ponografia kama nyenzo ya kutosheleza ashiki zao. Kwa mfano, baadhi ya wanamuziki hutumia ponografia kuvutia wateja na hivyo kuzidisha mauzo yao.

Kushamiri kwa wimbi na uonyeshaji wa ponografia kuna athari kubwa kwa jamii hasa watoto. Ingawa watu wengine hudai picha hizi haziwaathiri, upo ushaihidi kuonyesha kuwa wale wanaotazama picha za ngono hupata matatizo. Lazima ieleweke kwamba kinachoonekana kwa jicho au kusikika kwa sikio huathiri fikira au hisia. Picha za matusi zinachangia kwa kisasi ikubwa kuharibu akili. Badala ya kuzingatia mambo muhimu kama vile masomo, watu huanza kutafakari mambo machafu.

Vijana wengi ni kama bendera, huyaiga wanayoyaona na kuyasikia. Hii ni tatizo linalowafanya kuacha mkondo wa maadili. Hivyo basi wengi hushawishiwa kuingilia shughuli za ngono mapema kabla hawajakomaa kimwili, kiakili na kihisia. Matokeo yake ni ukahaba, utendaji mbaya shuleni, mahudhurio mabaya darasani na mimba zisizotarajiwa. Vijana wengi huacha shule kabisa huku wengine wakiambukizwa magonjwa ya zinaa ambayo yanaweza kuwaletea mauti.

Yasemekana kuwa akili za binadamu hunasa zaidi mambo yanayowalishwa kwa picha na hivyo basi matusi haya yaweza kudumishwa katika kumbukumbu zao. Tabia mbaya kama vie ushoga, ubasha na usagaji huwa matokeo yake na hata matokeo ya vijana hugeuka wanapoanza kuiga mitindo mibaya ya mavazi yanayoanika uchi wao. Hali kadhalika, lugha, ishara na miondoko inayohusiana nanmgono huibuka. Yote haya yanakinzana na desturi za mwafrika. Si ajabu visa vya ubakaji vinaongezeka kuchapo. Utazamaji wa picha chafu aghalabu huandamana na maovu mengine kama vile unywaji pombe na matumizi ya vileo ambavyo huchochea uchu wa ngono na kuibua tabia za kinyama.

Kuendelea kuzitazama picha hizi huzifanya nishai na hisia za watu kuwa butu, huondoa makali kiasi kwamba hata katika uzima mtu hupoteza mhemko na kugeuswa kuwa mtegemezi wa ponografia. Tatizo

18

Page 19: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

hili linaenea kwa vishindo mjini na vijijini. Ipo haja ya dharura kuikinga jamii kutokana na malezi haya yasiyo na kizuizi.

Kuuongeza ufahamu wa umma wote kuhusu uovu wa picha hizi, watu wazima kuwajibika kwa kuwalinda na kuwahimiza vijana kuhusu maovu haya na wale wenye midahilishi, video na sinema kutowaruhusu vijana kutazama uchafu huu kunaweza kuwa maana ya kuyakinga au hata kuyaepuka madhara ya ponografia. Ni sharti pia sheria izuie na kupiga marufuku utengenezaji na uenezaji wa upungufu huu. Bila shaka, sheria na hatua kali za ziweze kuchukulia dhidi ya waivunjao. Hali kadhalika, wazazi wasijipweteke tu bali wawaelekeze watoto wao ipasavyo na ila mtu alitekeleze jukumu lake.

Maswali(a) Yape makala uliyosoma anwani mwafaka

(b) Toa sababu za kusambaa kwa uchafu unazozungumziwa katika taarifa (c) ‘Bendera hufuata upepo’. Thibitisha ukweli wa usemi huu kulingana na makala

(d) Ni kwa nini ni muhimu kuwakanya vijana dhidi ya uchafu huu?

(e) Ni hatua zipi zinazofaa kuchukuliwa dhidi ya aina ya uozo unaozungumziwa na mwandishi?

(f) Fafanua msamiati huu kimuktadha

(i) uchu …………………………………………………………………(ii) wasijipweteke ……………………………………………………………. (iii) nishai …………………………………………………………………

2. Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali.Ilikuwa Jumamosi. Nilifika nyumbani kwangu saa moja jioni. Tangu

nistaafu miaka miwili awali sikupenda kuchelewa Taarifa ya Habari.

Mwezi mmoja ukawa umepita tangu nipewe pesa za kiinua mgongo. Mwezi mmoja mzima nilikuwa katika shughuli za kulipa deni hapa na kulipa karo huku. Kuwekeza kwenye mradi ule na kununua hili. Sasa shilingi laki mbili tu zilikuwa zimesalia katika benki.

Watu wengi walinishawishi nijaribu kilimo cha mahindi. Bei ilikuwa imeanza kuimarika. Katika taarifa ya habari jioni hiyo, Waziri wa Kilimo alitangaza bei mpya. Shilingi 1,500 kwa kila gunia. Nami nilikuwa naanza kuumakinikia mradi huu.

Baaada ya taarifa, nilikoga, nikala na nikaenda kulala. Kwa sababu ya uchovu, usingizi ulinichukua mara moja.. Usingizini niliota. Katika ndoto niliutekeleza mradi wangu. Msimu huo wa kilimo nilitenga ekari kumu za shamba langu. Wataalamu walinishauri kuwa wakati mzuri wa kulima ni wa kiangazi. Mwezi wa Januari ulipoanza tu nilitafuta trekta na kulima. Malipo yalikuwa shilingi 1,200 kila ekari. Katikakati ya mwezi wa Machi, nilitafuta trekta la kutifua shamba tena kwa gharama ya shilingi 15,000 ekari zote kumi. Kufuatia ushauri wa manyakanga wa kilimo,

19

Page 20: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

nilipa shilingi elfu kumi na tatu kupiga shamba lote haro.Mwishoni mwa mwezi huo, nilienda mjini kutafuta pembejeo.

Kwanza, nililipa shilingi 20,500 kwa magunia 15 ya mbolea. Kisha nilinunua magunia manne ya mbegu ya mahindi yenye uzani wa kilo 25 kwa shilingi 3,300 kila gunia. Mwezi wa Aprili ulipotimia tu, niliamua kupanda. Ili nipate mazao bora, nilipanda kwa tandazi. Gharama ilikuwa shilingi 1,000 kila ekari. Mvua ilinyesha vizuri na baada ya siku saba mahindi yalianza kuota. Ilifurahisha kuhesabu mistari ya kijani iliyonyooka. Hali hii iliwezekana tu baada ya kuajiri vijana wa kuwafukuza korongo na vidiri ili wasifukue mbegu mchangani.

Baada ya mwezi mmoja, hatua ya kupalilia ilifika. Nilitafuta vibarua wa kupalilia. Malipo yalikuwa shilingi 700 kila ekari. Kumbe kupalilia kulichochea mtifuko wa mahindi. Punde yakawa yananifikia magotini. Hii ikawa ishara kuwa yanahitaji kumwagiwa mbolea ya kunawirisha iitwayo ‘amonia.’ Gharama yake ikawa shilingi1,300 kila gunia. Hivyo, nikalipa shilingi 19,500 kwa magunia kumi na matano..

Mahindi yalibadilika kimiujiza. Ghafla tu yalirefuka na kunenepa mashina. Yalibadilika rangi yakapiga weusi. Shamba liligeuka likawa kama msitu wa rangi ya kijani iliyokolea. Wapita njia waliajabia mimea na juhudi zangu. Shamba langu sasa likawa kielelezo. Maafisa wa kilimo wakawa kila siwanawaleta wakulima wengine kujifunza siri ya ufanis wangu. Hapo nikaanza kuhesabu mavuno nitakayopata kukadiria faida. Nilipuuza kabisa ushauri wa wahenga kuwa ‘Usikate majani, mnyama hajauawa.’

Bila taarifa wala tahadhari mvua ikatoweka. Hayakupita majuma mawili mahindi yakaanza kubadilika. Juma moja baadaye mahindi yalinyauka. Badala ya mahindi, shamba likageuka la vitunguu vilivyochomwa na jua. Makasio yangu ya faida yaliyeyuka jinsi ufanyavyo moshi.

Lakini ‘Muumba ndiye Muumbua.’ Siku moja mawingu yalitanda na mvua ikanyesha. Muda is muda mahindi yalianza kunawiri. Kumbe tukio lililonivunja moyo lilikuwa laja. Siku moja mvua kubwa ilinyesha. Asubuhi nilipotoka nje nilipigwa na butwaa. Barafu ilitapakaa pote. Shamba lilikuwa limetapakaa barafhuku majani ya mahindi yamechanika kama nyuzi. Niliugua. Baada ya wiki moja, nilipata nafuu. Nilipotazama upande wa shamba nikaona dalili za majani mapya ya mahindi yakianza kuchomoza. Maumbile ni kitu cha ajabu kweli.

Muda si mrefu mahindi yalirudi hali yake tena, kisha yakakomaa. Harakati za kutafuta watu wa kuyakata na kuyakusanya zilianza. Gharama ya shughuli hii ikawa shilingi 5,000. Kuvuna, kusafirisha kutoka shamba na kukoboa kwa mashine magunia 200 yakachukua shilingi 20,500. Kufikia hapo nilikuwa nimetumia takribani shilingi 192,700. Gharama nyingine zilikuwa za usafiri, gharama ya dharura na usimamizi, usumbufu wangu binafsi, gharama ya magunia na kadhalika. Mahindi yalipokuwa tayari kwenye magunia nilifunga safari kwenda mjini kutafuta soko. Niliposhuka tu niliona gazeti. Habari motomoto siku hiyo ilikuwa: ‘MAHINDI GUNIA 900/=.’ Niligutuka usingizini.

20

Page 21: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Maswali:a) Andika kichwa mwafaka kwa kifungu hiki cha habari.b) Msimulizi alikuwa na kiasi gani cha pesa katika benki baada ya

mradi kukamilika?c) Taja matatizo matatu yaliyotisha mradi wa msimulizi wa kukuza

mahindi.d) Eleza maana ya methali zifuatazo:

(i) Usikate majani, mnyama hajauawa.

e) Eleza mambo mawili yaliyosababisha msimulizi asipate faida alivyotarajia.

f) Kwa nini msimulizi alisema maumbile ni kitu cha ajabu?

g) Eleza maana ya:(i) kiinua mgongo.(ii) manyakanga wa kilimo.

3. Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali.Mtoto anapozaliwa huwa ni malaika wa Mungu. Hutaraji kuongozwa kwa kila

njia ili awe mwana mwelekea. Jukumu la kulea mtoto huanzia nyumbani. Wako baadhi ya watu ambao wanaamini kuwa jukumu hili muhimu hutekeleezwa bora na mama; wengine husema kuwa ni jukumu la baba. Ni kweli kwamba mtoto huwa na mama yake kwa muda mrefu zaidi ya baba lakini kivuli cha baba hakikosi kumwandama na kumwathiri maisha yake.

Uongozi wa mama huanzia siku ya mwanawe kuingia ulimwenguni. Kwa hivyo, mama zaidi ya baba huwa ndiye chanzo chachemichemi ya maisha ya mwanawe. Mtoto kwa kawaida ana tabia ya kuiga kila jambo analoliona na kusikia na mambo ya awali ajifunzayo hutokana na mamaye.

Je; mtoto huiga kutokana na mama pekee? Kila utamaduni hasa huku kwetu Afrika, una taratibu zake zilizopangwa kuhusu malezi ya watoto. Kwa mfano; akina baba wengine wanaoishi maisha ya kijadi huonelea kwamba ni jukumu lao kuwalea watoto wa kiume. Kwa hivyo mvulana anayekulia katika mazingira haya akishachuchuka kiasi cha kujua lipi zuri lipi baya huanzia kuwa mtoto wa baba zaidi ya kuwa wa mama. Baba humuathiri mtoto wake kwa kumshauri kuhusu maneno ya kiada ya wanaume. Hupenda kukaa naye katika uga wake kwa kumshauri kuhusu maneno ya kiada ya wanaume huku akimkataza kukaa jikoni na kumsisitizia kuwa wanawake ni tofauti naye. Aidha, humfunza sifa kama vile ushujaa na uvumilivu kwa namna ambayo huona kuwa ni ya kiume. Pindi mtoto anapoonyesha tabia za kikekike, baba hujiandaa kuzitadaruki kwa kumkaripia. Baba hutaka kujiona mwenyewe katika hulka ya mwanawe.

Baba kama huyu humpa nafasi ndogo sana mkewe ya kumwongoza mtoto wake wa kiume kwa jambo lolote hata kama wakati mwingine ni la heri. Kwa upande mwngine baba huyu huwa na machache ya kuzungumza na bintiye kwa kuwa huona kuwa si stahili yake kufanya hivyo. Mtoto wa kike huachiwa mamake. Lakini kutokeapo

21

Page 22: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

jambo la kulipima mama huona linampita kimo, humwita baba kuingilia kati na aghalabu baba naye humwagiza dadake aje atoe suluhisho mwafaka.

Ulezi kama huu una nafasi yake katika jamii, lakini ni lazima tukiri kuwa pia unaendeleza maisha ya fawaishi na kuanzisha taasubi ambayo hatima yake ni mwanamke kukandamizwa na mwanaume. Wazazi walio na mwelekeo huu katika malezi yao hufikiri kuwa wataishi na watoto wao katika mazingira finyu na kwa hivyo waendelee kuwapulizia pumzi za kuhilikisha. Lakini ni sharti wakumbuke kuwa wao sio walezi peke yao na wala mtoto hawezi kuishi peke yake na kuwa na tabia ya kipekee. Leo ataishi kwao lakini kesho itambidi atoke aone ulimwengu. Kila atakapotia mguu ataona mambo mapya yatakayompa tajriba mpya na mawazo mapya ambayo aghalabu yataendelea kuiathiri hulka yake. Iwapo tabia alizozipata kwa wazazi wake hapo awali zilikuwa na misingi isiyokuwa madhubuti na mielekeo finyu, zinaweza kuwa pingamizi katika maingiliano yake na watu wengine. Mambo haya yanatuelekeza katika kufikiri kwamba maisha ya siku hizi hayaruhusu ugawaji wa kazi ya malezi ya namna ya baba na mama wa kijadi. Baba na mama ni walezi wa kwanza ambao kwa pamoja wanapaswa kuwaelekeza watoto wao katika maisha ya ulimwengu uliojaa bughudha na ghururi. Ni lazima wazazi watambue tangu awali kuwa katika malezi hakuna cha ubaguzi. Hakuna, mambo ajifunzayo mtoto wa kiume ambayo hayamhusu mtoto wa kike. Uvumilivu, bidii, utiifu na kadhalika ni sifa zinazomwajibikia kila mtoto kama vile upishi, ukulima na usafi. Mwanamke tangu azali ameumbwa kuwa mama na haipasi kulazimishwa kuchagua baina ya mtoto wa kike na kiume. Mapenzi na wajibu wa wazazi yapaswa yasiwe na mipaka bali yawe maridhawa kwa watoto wote.

Maswali(a) Toa kichwa mwafaka cha makala haya

(b) Kulingana na kifungu hiki, taja mambo mawili ambayo yanaweza kuwa hatari kwa

malezi ya watoto

(c) Kwa nini baba humpa nafasi ndogo sana mkewe ya kumwongoza mtoto wa kiume katika jambo lolote hata kama wakati mwingine ni la heri

(d) Eleza mambo mawili ambayo ni ya manufaa katika ulezi jadi

(e) Kulingana na makala haya, ushahidi gani unaonyesha kwamba kuna kutegemeana katika ulezi jadi?

(f) Taja sifa mbili ambazo baba humfundisha mwana wa kiume

(g) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika kaktika kifungu hiki:

(i) Chanzo cha chemichemi...

22

Page 23: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(ii) Akishachuchuka...

(iii) Hulka.

4. Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali.Habari kuwa watoto chini ya miaka mitatu ‘huwindwa’ kitandani na

kuraushwa na wazazi wao waende shuleni mwendo wa saa kumi na moja asubuhi ni za kusikitisha.

Kwa mujibu wa ripoti za wataalamu wa elimu ya watoto wachanga (ECD), watoto hao hutakikana kuwa darasani kabla ya saa kumi na mbili asubuhi.

Wanapowasili wao huanza kufukuza ratiba ya masomo ambayo huwapatia muda mfupi mno wa kula, kucheza, kupumzika na hata kuchunguza afya na usalama wao.

Badala ya kuondoka mapema kuelekea nyumbani, wengi wao hufika saa za usiku pamoja na wazazi wao wakitoka kazini. Wanapowasili nyumbani wanapaswa kuoga na kupata chakula cha jioni kwa pupa ili wafanye mazoezi waliyopewa na walimu wao.

Mazoezi hayo huwa ya masomo yote matano huku kila somo likiwa na zaidi ya maswali thelathini. Badala ya kupumzika mwishoni mwa juma, watoto hao huhitjika kuhudhuria shule siku nzima ya Jumamosi. Jumapili wanatakiwa Kanisani na hali hii hujirudia mpaka muhula umalizike. Ikiwa ulidhani watapewa nafasi ya kupumzika wakati wa likizo , umekosea kwa sababu watoto hao huhitajika kuhudhuria shule. Hili limekuwa likiendelea hata baada ya Wizara ya Elimu kupiga marufuku kusomesha wakati wa likizo.

Wazazi-hasa wale wanaofanya kazi mijini- wamekuwa wakiunga mkono mtindo huu kwa sababu unawaondolea mzigo wa malezi na gharama ya kuwaajiri walezi.Wataalamu wanasema matokeo ya hali hii ni watoto wakembe wenye afya na maadili mabaya kutokana na kuchanganyishwa akili na walimu wanaowataka wajue kila kitu wakiwa na umri mdogo.

Kuwashinikiza watoto wakembe wahudhurie shule na zaidi ya hayo wajue kila kitu kuna madhara mengi. Kwanza kabisa, kuraushwa kwa watoto macheo waende shule kunawanyima fursa ya kulala na kupumzika. Utafiti unaonyesha kuwa watoto wanahitaji kulala na kupumzika kwa zaidi ya saa 12 kwa siku. Hii ina maana kuwa mbali na muda mfupi wanaolala na kupumzika mchana kutwa, watoto wanapaswa kutumia usiku mzima kwa usingizi.

Hii huwasaidia kukua wakiwa na afya nzuri hasa kiakili. Matokeo ya kuwarausha watoto hao waende shule saa hizo huwafanya wakose furaha mbali na kuwafanya wachanganyikiwe kiakili.

Pili, kuwalazimisha watoto wakae darasani kuanzia saa kumi na mbili asubuhi hadi saa kumi na mbili jioni huwa kunawanyima fursa ya kucheza na kutangamana. Wataalamu wa afya ya watoto wanapendekeza kuwa watoto wachanga wanapaswa kucheza ili viungo vya miili yao kama moyo, akili, mapafu na kadhalika vifanye kazi vizuri.

Kinyume na watu wazima ambao hufanya kazi nzito nzito na kuwawezesha kufanya mazoezi, watoto huwa hawafanyi kazi hizo.

23

Page 24: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Wazazi na walimu wanapaswa kufahamu kuwa kazi ya watoto ni mchezo na wana kila haki ya kupewa furaha ya kucheza wakiwa shuleni na hata nyumbani.

Tatu, wazazi wengi ambao hufurahia kuwaachia walimu jukumu la kuwalea watoto wao huku wao wakiwa kazini huwa wanasahau kuwa sio kila mwalimu ana maadili yanayopaswa kuigwa na mwanawe. Ingawa tunawatarajia walimu wawe mifano bora ambayo inaweza kuigwa na kila mtu, ukweli ni kwamba baadhi ya walimu hawajui maana wala hawana maadili. Hatari ni kwamba watoto wakembehusoma kwa kuiga wakubwa wao na ikiwa walimu wanaoshinda nao shule wamepotoka kimaadili, kuna uwezekano mkubwa wa watoto hao kupotoka pia. Hii ndiyo sababu wazazi wengi wamekuwa wakilalamika kuwa wanawao tabia mbaya ambazo hawaelewi zilipotoka.

Kila mzazi anayejali maisha ya mwanawe anapaswa kutekeleza jukumu lake la kumlea na kumwelekeza jinsi anavyotaka akue. Ni kinaya kuwa wanawatarajia wanawao wawe na tabia na maadili kama yao ilhali hawachukui muda wa kukaa nao na kuwaelekeza.

Nne, kuwawinda, kuwaamsha, kuwaosha na kuwalazimisha watoto waende shule kila siku hata ingawa hawataki huwa kunawafanya wawe wategemezi wasioweza kujipangia na kutekeleza mambo kivyao.

(TAIFA LEO, IJUMAA, FEBRUARI 5, 2010) MASWALI.(a) Ipe taarifa anwani mwafaka

(b) Mwandishi anatoa maoni gani kuhusu ratiba ya masomo?

(c) Eleza athari za mfumo wa elimu unaoangaziwa hapa

(d) Ni ushauri upi unaotolewa kwa wazazi ?

(e)Taja mbinu zozote mbili za lugha alizotumia mwandishi

(f) Eleza maana ya maneno haya kama yalivyotumiwa katika taarifa.

(i) ‘huwindwa’ kitandani

(ii) Maadili(iii) Kuwashinikiza…

(iv) Wakembe…

5. Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali.Ufisadi ni uhalifu unaohusu kuzitumia njia

za ulaghai kujipatia pesa, mali au vitu hasa vya umma. Nchini Kenya ufisadi hujitokeza kwa njia mbalimbali na kila

mojawapo ina athari zake. Kwa mfano kuna maafisa wa serikali wajipatiao pesa kwa kuuza stakabadhi za serikali kama vile pasi, vyeti vya kuzaliwa, vyeti vya kumiliki mashamba, vitambulisho n.k. kwa raia, kuna hatari kubwa kwa sababu watu wasio raia wa Kenya wameweza

24

Page 25: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

kusajiliwa kama wakenya na kuendeleza uhalifu kama ugaidi, wizi na ulanguzi wa dawa za kulevya.

Wengine hujipatia vibali vya kufanya kazi na kuajiriwa kazi ambazo zingefanywa na wakenya. Hii imechangia ongezeko la uhaba wa kazi nchini.

Watumizi wengine wa umma huuza mali ya serikali kama vile magari nyumba na ardhi na kufutika pesa za mauzo mifukoni mwao. Wengine wao hujinyakulia na kufanya vitu hivyo kuwa mali yao. Ufisadi wa aina hii umegharibu serikali kiasi kikubwa cha fedha. Serikali imelazimika kununulia maafisa wake magari baada ya muda mfupi, kulipia wafanyi kazi wake kodi za nyumba na kukosa viwanja vya upanuzi na ujenzi wa shule hospitali, vituo vya polisi na taasisi zingine maalumu.

Baadhi ya wataalamu kama madaktari huiba dawa kutoka hospitali za umma kupeleka vituo vyao vyaafya. Pia hutumia wakati wao mwingi katika kazi zao za kibinafsi na kuwaacha wagonjwa katika hospitali za umaa wakihangaika. Sio madaktari tu, kuna masoroveya, whandisi, mawakili, walimu na mahesibu ambao hukwepa majukumu yao serikalini na kufanya kazi za kibinafsi.. Wengine wasio wataalam huendesha biashara za aina tofauti, na huku wanaendelea kupokea mishahara.

Wanafunzi wanaotaka kujiunga na vyuo na shule bora za umma na hawakuhitimu wakati mwinginehulazimika kusalimu amri na kutoa hongo hili wapate nafasi za kusoma. Kiasi cha pesa kinachohitajika huwa kikubwa hivi kwamba ni wachache humudu hizo rushwa. Wale wasiojimudu kifedha hubaki wakilia ngoa. Kuna wazazi ambao hutumia vyeo vyao na ‘undugu’ kupata nafasi zilizotajwa, jambo ambalo huwanyima wanafunzi werevu kutoka jamii maskini nafasi ya kupata elimu. Matokeo huwa ni kuelimisha watu wasiostahili na ambao mwishowe hawaziwezi kazi wanazosomea wakihitimu na kuanza hudumia jamii.

Ufisadi umekita mizizi na kushamiri katika sekta za umma za kibinafsi kwa upande wa kuajiri wafanyikazi. Ni vigumu kupata kazi ikiwa hujui mtu mkubwa katika shirika linalohusika au uzunguke mbuyu. Matokeo ni kuajiri wafanyikazi wasiohitimu na wasiohitimu na wasiowajibika kazini.

Vyeo na madaraka katika baadhi ya mashirika hutolewa kwa njia ya mapendeleo na ufisadi. Kwa hivyo, wafanyikazi wenye biddi hufa moyo kwa sababu hawasaidiwi ipasavyo. Badala yake wale wasioleta bidii hupandishwa vyeo na kuwaacha palepale.

Hata hivyo, mbio za sakafuni huishaia ukingoni. Serikali imetangaza vita dhidi ya ufisadi. Tayari tume kadhaa zimeteuliwa kuchunguza visa vya ufisadi uliotekelezwa hapo mbeleni. Mojawapo ya tume hizo ni Tume ya Kuchunguzavisa vya ufisadi uliotekelezwa hapo mbeleni. Mojawapo ya tume hizo ni Tume ya kuchunguza Kashfa ya “Goldenberg” ambapo pesa za umma (mabilioni ya shilingi) ziliporwa na mashirika na watu binafsi kwa njia siziso halali. Watakaopatikana na hatia ya kushiriki ufisadi huo watahitajika kurudisha pesa hizo.

Serikali pia imeunda kamati ya kupikea malalamiko kutoka kwa wananchi waliohasiriwa na mawakili walaghai ambao hupokea ridhaa

25

Page 26: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

kwa niaba ya wateja wao na kukosa wakalipa, au wakilipwa kuwatetea mahakamani wanakwepa jukumu hilo ilhali wamekwishalipwa. Ni matumaini yetu kuwa ulaghai huu utaangamizwa kabisa kwani hakuna refu lisilokuwa na ncha.

Maswali 1. Eleza aina nne za ufisadi zilizotajwa katika kifungu ulichosoma

2. Kulingana na kifungu ulichosoma, ufisadi umeathiri nchi yetu kwa njia gani?

3. Serikali inafanya jitihada gani ili kukomesha ufisadi?

4. Kwa maoni yako, unafikiri ufisadi husababishwa na nini?

5. Toa msamiati mwingine wenye maana sawa na rushwa

6. Eleza mana ya msamiati ufuatao kama ulivyotumiwa kifunguni;(a)Majukumu (b) Kashfa

(c) Shamiri

(d) wakilia ngoa (e) Waliohasiriwa(f) Kita mizizi

6. Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswaliAibu kubwa ya taifa kushindwa kukabiliana na tatizo sugu la ajali

za barabarani bado inaendelea. Wahusika katika sekta ya uchukuzi na mawasiliano licha ya matumizi ya vidhibiti mwendo na kanda za usalama. Ajali za barabarani zinaangamiza idadi kubwa ya watu kila mwaka, wakiwemo viongozi na watu mashuhuri.

Miongoni mwa sababu ambazo zinaleta maafa barabarani ni pamoja na uendeshaji kasi kupita inavyotakikana, yaani kukiuka masharti yaliyowekwa na wizara ya uchukuzi na mawasiliano. Madereva wengi hung’oa vithibiti mwendo vilivyowekwa hawarekebishi mikanda ya usalama, wala hawa peleki magari yao kwa ukaguzi mara kwa mara kama inavyopaswa kutekeleza kanuni zilizowekwa kwa hivyo hutegemea hongo kuwa barabarani. Fauka ya hao, madereva wa malori na matrela mara nyingi huendesha magari hayo wakiwa walevi. Dawa za kulevya kama vile miraa na bangi, hutumiwa sana na watu hawa, na matokeo yake huwa ajali mbaya.

Hata hivyo, lawama haiwezi kuelekezewa madereva pekee. Ukiangazia barabara nchini utapata kuwa barabara nchini Kenya haziko katika hali nzuri . Zile za lami zimekuwa na mashimo makubwa ambapo mvua ikinyesha hufanya vidimbi mithili ya machimbo ya madini yaliyojaa maji baada ya kuachwa wazi. Na zile barabara zisizokuwa za lami zimeharibika kiasi kwamba ni vigumu kuzitofautisha na njia za ng’ombe

26

Page 27: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

kwenye maeneo kame.Kinachohitajika ni serikali kuzifanyia ukarabati ili kuzirudisha katika kiwango ambacho zitaweza kufaa tena.

Wananchi pia inafaa waelimishwe ili wasikubali kuingia kwenye magari ambayo tayari yamejaaa kupita kiasi. Hili litawasaidia wananchi wenyewe kudumisha usalama wao barabarani. Pia inafaa watambue ya kwamba wana jukumu la kuwaarifu walinda usalama endapo dereva anaendesha kwa kasi sana kuliko ile ya kilomita 80 kwa saa iliyokubaliwa.

Inafahamika kuwa maafisa wa uslama ndio wafisadi zaidi, hivyo basi huchangia katika kuongeza idadi ya vifo barabarani. Katika vita dhidi ya ufisadi na ajali za barabarni, ni mwananchi mwenyewe ambaye alawezesha kukomesha hali hii. Kwa mfano, afisa wa usalama akipatikana akichukua hongo, yeye pamoja na yule aliyetoa hongo wapelekwe kwenye vituo vya kukabiliana na ufisadi na wachukuliwe hatua kali, matatizo haya yataisha.

Lakini kabla kufika hapo, ni muhimu kumhamasisha mwananchi kuhusu haki zake na namna ya kukabiliana na suala hili la ufisadi. Hali hii inatuonyesha kwamba mipango maalum inapaswa kufanywa na serikali ili kuwaelimisha wananchi kama hatua ya kwanza ya kukabiliana na ufisadi hatimaye izilainishe sekta zote wala si ya uchukuzi na mawasiliano pekee.

Maswali1. (a) Mbali na ajali za barabarani, taja, tatizo lingine sugu ambalo

linakumba nchi ya Kenya (b) Ajali za barabarani zinasababishwa na nini?

(c) Mwandishi anapendekeza hatua zipi zichukuliwe na serikali ili suluhisho la kudumu lipatikane?

(d) Taja hatua ambazo serikali imechukua ili kuimarisha uchukuzi

(e) Ni kitu gani ambacho kinaonyesha kuwa serikali imeshindwa kukabiliana na ajali

barabarani?

(f) Eleza maana ya maneno haya:-

(i) Tatizo sugu.(ii) Vithibiti mwendo.(iii) Machimbo.(iv) Ukarabati.(v) Hongo.(vi) Kuhamasisha..

7. Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali

Nchini Kenya, pamoja na kuwa mwanamke amepewa hadhi kubwa ikilinganishwa na hapo awali, kumetokea visa vingi vya unyanyasajiwa

27

Page 28: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

wanawake. Visa hivi haviwakati wengi maini, bali ni vyombo vya kuwazindua viongozi kuona kwamba hali haijafika kiwango cha kuridhisha. Visa vya ubakaji wa watoto wa kike na wazee, na wakati mwingine baba zao, vimetokea katika miaka ya hivi karibuni. Isitoshe, akina mama wengi wamekuwa wahasiriwa wa mivua ya makonde kutoka kwa waume zao, hata kwa makosa madogo madogo. Hivi majuzi mmoja wa wanawake hawa, ambao maisha kwao ni shairi tu, alichomwa vibaya na mumewe, kisa na maanaamejitia kujua kuwa kuna siku ya wapenzi, yaani Valentine day. Mwanamke huyu, baada ya kutoa mashambani kuja kujumuika na mumewe kusherehekea siku ya wapenzi, alipata sherehe za kuchoma moto huku mumewe akilalamika kuingiliwa uhuruwake. Mama huyu bado anauguza majeraha ya mwili na moyo!

Mwanamke aliyesoma na kupewa fursa ya kufanya kazi na ajira ofisini naye amekabiliwa na changamoto nyingi. Huyu lazima atekeleze majukumu yake kama mama, mke na mfayikazi. Wengi wa wanawake wanaofanya kazi mjini hulalamika wanafanya kazi maradufu ya wanaume. Mwanamke kama huyu, kama alivyolalamika mmoja wao ambaye ni afisa wa utawala wa mikoa, huanza siku yake alfajiri na mapema kuitayarishia familia staftahi, kisha kuelekea ofisisni ambapo anakabiliwa na migogoro mingi ya kusuluhisha. Arejeapo nyumbani jioni, hali huwa hiyo hiyo, kutayarisha chajio, kushughulikia kazi za shule za watoto na kuichangamsha familia. Maisha yake huwa hivyo, siku nenda siku rudi. Utashangaa mja huyu atayabeba mangapi?

Hali huwa mbaya zaidi kwa wanawake ambao wameingia siasa. Hawa mikasa yao haihesabiki. Mara watupiwe mabezo ya kila aina na wanasiasa wenzao, mara washutumiwe na kutiwa midomoni na wanajamii kwa kuonekana wakichapa kazi na kuwa na uhusiano wa karibu na wazalendo wenzao wa kiume. Maisha yake hupigwa darubini hata nyakati ambazo hayahitaji kuangazwa.

Mwanamke amekuwa kinyago cha kufanyiwa mzaha. Juzi karibu mbingu zianguke alipojitokeza mwana vitimbi mmoja aliyejitia kufanyia utani yasiyohitaji. Alimwasiri mwanamke kama aliyechangia kukosewa heshima kwake kwa kule kutamani kufanywa hivyo. Ingawa wanawake walimshinikiza mhusika huyu kuomba msamaha, upayukaji wake haupaswi kuchukuliwa kama mzaha. Ni ishara ya hisia ya ndani za watu wengi kuhusu mwanamke; kwamba ingawa wakenya wamejitahidi kupigania haki za wanawake; baadhi yetu bado wana zile fikira za kijadi kuhusu wanawake.

Uchumi wa nchi kamwe hauwezi kuendelea bila kumhusisha kila mtu. Nchini humu, baada ya kutambua haya, mwanamke amepewa nyadhifa mbalimbali katika serikali. Ingawa kuna baadhi ya wanawake waliohusika na kashfa mbalimbali za kifisadi, Kuna wale ambao wametumia nyadhifa zao kuhifadhi nchi. Mmoja wa wanawake amejaribu kwa jino na ukucha kuyalinda mazingira dhidi ya mapapa. Nani asiyekumbuka matusi na mabezo aliyopata mwanamke huyu anayejitoa mhanga kuikinga sehemu Fulani ya burudani dhidi ya kunyakuliwa na wanaostahili? Hakuyajutia yaliyompata. Aliowatisha walijaribu kummeza mzimamzima lakini mwishowe walisalimu amri na kuliacha eneo hilo. Hiki kilikuwa kitendo cha ujasiri na uzalendo mkubwa. Matunda yake

28

Page 29: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

yamewafaidi wengi, vijana kwa wazee. Kila mwisho wa wiki huwaona watu wakimiminika kwenye eneo hili kujipumbaza. Hii si fahari kwake tu, bali kwa nchi kwa jumla. Wale waliompinga na kumwita punguani wakati huo wamebaki kuinamisha nyuso tu; bila shaka wamefunzwa mengi.

Wanawake sasa wana haki ya kumiliki mali mathalani shamba. Kutokana na hili tumeshuhudia ongezeko kubwa la uzalishaji wa chakula mashambani na kwa hivyo kupunguza njaa na umaskini.

Biashara ndogondogo zinazoendelezwa sokoni na mitaani, kwa kiasi kikubwa, huhusisha wanawake. Biashara hizi huchangia pakubwa katika kuimarisha uchumi wa nchi kwani hutoa ajira ya kibinafsi kwa maelfu ya watu. Ushuru na leseni zinazokatiwa biashara hizi huongezea serikali pato la ndani.

Mgala muuwe na haki umpe. Ni ukweli kwamba tumekuwa na visa vya hapa na pale vya ukiukaji wa haki za wanawake. Hata hivyo, ni dhahiri kwamba nchi hii imejitahidi mno kuendelea kumkwamua mwanamke kwayo. Hata mashirika ambayo hapo awali hayakupenda kuwaajiri wanawake, sasa yanawapa nafasi sawa na wanaume. Vyuo vikuu vya kibinafsi vimeanzishwa kuwasajili wanawake. Jijini humu, mna chuo kikuu cha sayansi cha wanawake. Aidha kumeanzishwa kituo (shule) cha kuwasajili wasichana kutoka familia maskini kujiunga na kidato cha kwanza. Wasichana hawa watapata wadhamini kutoka mashrika na watu mbalimbali ili kujiendeleza kimasomo.

Kumheshimu mwanamke ni miongoni mwa haki za kibinadamu ambazo shart zitekelezwe. Hata hivyo, wanawake wakumbuke kwamba hata wanapopuliza siwa kuhusu pupewa haki, lazima wao pia wawajibike. Wao ndio walimu wa kwanza wa wanao; ikiwa basi wataonekana kwenye vyombo vya habari wakining’inia juu ya magari ya wachunga magereza kwa kuzitafutia pesa za mayatima maumizi bora, watakuwa wanapotosha watoto wao. Wawe watu wa vitendo zaidi ya upayukaji.

Maswali a) Kwa mujibu wa taarifa, ni mambo yapi yanayoonyesha ukiukaji wa

haki za wanawakeb) Fafanua jinsi mwanamke aliyesoma huteseka maradufu zaidi ya

mwanammec) Ni faida gani ambazo zimepatikana kutokana na wanawake kupigania

haki zao?d) Hatimaye wanawake wanahimizwa kufanya nini?

e) Eleza maana ya msamiati ufuatao jinsi ulivyotumiwa katika nakala

Kinyago… Mabezof) Andika mfano wa mbalagha na uhuishi uliotumiwa katika makala haya

i) Mbalagha………… ii) Uhuishi…………

29

Page 30: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

8. Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali:-Uundaji wa istilahi – hasa za lugha ya Kiswahili ni shughuli nyeti na

nzito hivikwamba, haipaswi kupapiwa na mtu yeyote. Hii ni shughuli inayohitaji umakinifu zaidi kwa wanaoshiriki katika mchakato wa uundaji istilahi za kutufaa katika mawasiliano na kukuza Kiswahili kwa jumla. Ufanisi wa watu binafsi, vyombo vya habari kama vile Shirika la Habari la Kenya (KBC), Taifa Leo na mashirika mengineyo katika ukuzaji wa lugha hutegemea mno sera na utayarishaji wa serikali katika kugharamia shughuli hii. Aidha, shughuli za kukuza lugha hukwama kwa sababu ya ukosefu wa fedha pamoja na sera maalum ya serikali kuhusu lugha.

Hata hivyo, katika kuyakwepa matatizo haya, pamekuwepo na hatua za kimataifa za kujaribu kusawazisha shughuli ya uundaji wa maneno. Hatua hii ilichochea kubuniwa kwa shirikisho la kimataifa la vyama vya usanifishaji istilahi mnamo 1936. Lengo la kitengo hiki lilikuwa ni kufafanua msingi madhubuti ya uundaji wa istilahi duniani. Kwa hakika, shirikisho hilo limesaidia mno katika kuweka misingi ya shughuli za ukuzaji wa istilahi. Misingi hiyo ni ya jumla na haihusu taaluma yoyote mahususi. Katika makala hii, tunapiga darubini baadhi ya misingi hiyo pamoja na mapendekezo yake.

Mosi, uundaji istilahi unafaa uanzie kwenye dhana na wala sio neno. Hii ina maana kwamba, kwanza pawepo na dhana au hali ambayo inahitaji itafutiwe neno au istilahi ya kuielezea. Inasikitisha sana kwamba pana wataalamu ambao wanaukaidi au kuukiuka msingi huu. Wanataaluma hawa hufanya mambo kinyume kwa kujibunia maneno yao na kuyahifadhi kwenye mikoba yao – halafu wakasubiri dhana izuke ndiposa waipachike istilahi yao. Pili, dhana zinabuniwa au kutolea istilahi au maneo ni muhimu zielezwe kwa ukamilifu na uwazi. Istilahi zinazoundwa zinafaa ziwe fupi iwezekanavyo na ziwe na uwezo wa kuelezea dhana kwa njia inayoeleweka bila utata. Tatu, maneno yanayoundwa sharti yawe na uhusiano wa aina fulani na dhana zinazowakilishwa na maneno hayo.

Uhusiano huo unaweza kuwa ama ni wa kimaumbile au wa kiutendaji. kwa mfano, Mzee Sheikh Nanhany wa Mombasa alipobuni istilahi ‘uka’ kwa maana ya ‘ray’. Neno hili latokana na kupambauka au (kupambazuka kwa lafudhi ya kiamu. Neno ‘image’ ni jazanda kwa Kiswahili. ‘Mirage’ kwa Kiswahili ni ‘mangati’ (kutoka kwa mang’aanti) – yaani kung’aa kwa nchi. Mtaalamu mwingine aliyewazia uendajikazi wa kifaa na kubuni istilahi inayokubalika mpaka sasa ni Prof. Rocha Chimerah ambaye alibuni istilahi ‘tarakilishi’. Pengine Prof. Chimerah alifikiria kazi ni kifaa husika na kuunda neno la Kiswahili linaloakisi kazi hiyo. Tunajua kwamba kompyuta hufanya kazi inayohusu tarakimu kwa haraka kama umeme. Labda Chimerah ameegemea sifa hii kuibuka na istilahi hii.

Maneno mengine ambayo yamebuniwa kufuatana na msingi huu ni ya Mzee Nabhany-mathalan ‘barua pepe’ (e-mail), na wavuti (website). Tukiegemea maumbile, neno ‘kifaru’ lina maana ya vita ilihali tuna zana ya vita iliyopewa jina hilo kwa sababu ya labda kuwa na maumbile sawa

30

Page 31: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

na kifarumnyama. Nne, istilahi zinaweza kukopwa kutoka lugha nyingine. Yamkini hakuna lugha hata moja ulimwenguni-zikiwemo lugha duniani kama vile kiingereza zinazoweza kujitosheleza. Takriban asilimia 80 ya maneno katika kiingereza ni ya kukopwa. Kwa hivyo, lugha ya Kiswahili inapokopa, hali hiyo haipaswi kuchukuliwa kuwa ni lugha dhaifu.

Hata hivyo, istilahi zinazokopwa zi-nafaa zichukuliwe zilivyo katika umbo lao asili. Umbo hili linaweza kufanyiwa marekebisho machache tu, kulingana na sarufi na matumizi ya lugha kopaji. Mifano ya istilahi kama hizi ni ‘televisheni’ (television), kopmpyuta (computer), kioski (kutokana na jina ‘kiosk’ la Kijerumani) na redio (radio), Tano, pale istilahi haiwezi kukopwa, lugha husika ijaribu kubuni msamiati ufaao, kufanya hivyo ni kuhakikisha kwamba, lugha inastawi. Lakini tahadhari inapaswa kuchukuliwa hivi kwamba, Kiswahili kisikope maneno kiasi cha kupoteza upekee wake. Mwisho, uundaji wa istilahi uzingatie mofolojia ya kawaida ya lugha. Istilahi zinazoundwa kwa kuzingatia mofolojia huwa rahisi kuiua maneno yenye uhusiano wa istilahi asili kwa njia ya mnyambuliko.

Maswali(i) Taja mambo ambayo huchnagia ukuaji na ufanisi wa jumla wa

lugha ya Kiswahili(ii) “Lugha ya Kiswahili ni dhaifu na isiyotosheleza” Je, mwandishi

wa makala haya ana msimamo upi kuhusu kauli hii?

(iii) Tahadhari zipi zinazofaa kuchukuliwa kabla ya kukopa istilahi kutoka lugha zingine?

(iv) Yape makala haya anwani mwafaka(v) Eleza maana ya maneno yafuatayo:

(a) Dhana- (b) Takribani –

(c) Istilahi –.(d) Mofolojia –....

9. Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali:-Kitabu kinaeleza Mungu kamuumba mwanamke kutokana na

ubavu tu wa mwanamume. Na hapa bila shaka ndipo linapojisalimishia shina lisilokuwa na mzizi thabiti la ubinafsi wa kiume – mwanamume akijijadilia kimoyomoyo. Ikiwa huyu mwanamke alitokana na ubavu wangu, yeye awe nani kwangu? Hakuna shaka ni wangu, mali yangu. Kwa sababu hii, miaka nenda miaka rudi mwanamke amekuwa akiugua na kuguna chini ya uonevu wa mwanamume.

Swala la kitabu kumleta duniani mwanamke kupitia ubavu wa mwanamume laweza kueleweka katika muktadha wa kile ambacho kimekuja kujulikana kama taasubi ya kiume. Na ili tuelewane barabara kuhusu maoni haya, tujisitishe kidogo katika kunusa tumbako huku

31

Page 32: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

tukijiuliza: ni nani au ni kina nani walihusika katika kubuni au kuandika hadithi ya asili ya mwanamke kitabuni? Ni kawaida ya binadamu kutazama na kueleza jambo kibinafsi. Asili ya mwanamke ilivyoelezwa kitabuni katika mkururo wa fikra hii yaweza kutambulikana kama uzushi tu.

Kiutamaduni, hasa wa Kiafrika, huku akiwa yuakua, mtoto wa kike husombezewa kasumba ya mawazo akilini, na kwa bahati mbaya sana, aghalabu na mamake au nyanyake, kuhusu namna anavyotarajiwa kutabasamu, kujinyenyekeza, na jumla kujidunisha mbele ya mvulana. Ni mwiko kwakekudhihirisha tabia za kimabavu, sitaji kujitetea, ili asije akatiwa mdomoni mitaani! Msichana atacharazwa na wazazi wake kwa ujasiri licha ya kuthubutu kupigana na mvulana. Na hapo ndipo ilipojificha siri ya kuwa anapoolewa na akosane na mumewe, daima yeye hutolewa makosa na kupatikana na hatia mbele ya wazee.

Wavulana kwa upande wao ni wanaume na lazima afanye mambo kiume. Si ajabu kuwa kinyume cha yale yanayowafika wasichana, wavulana wengi huonyeshwa mbovu na baba zao kwa sababu wamepigwa na wenzao. Ni vibaya baba kusikia mtoto (mvulana) wake amepigwa.

Nyumbani msichana hutarajiwa kujilindia heshima kimwili hasa kwa kuhifadhi ubikira mpaka aolewe. Anapotembea na wanaume huitwa Malaya. Ni ajabu kuwa hakuna bikira wala Malaya mwanaume. Mvulana ambaye hajajuana kimwili na mwanamke kabla ya ndoa huchukuliwa kuwa zuzu; ilhali anayetembea ovyo na wanawake ndiye dume.

Fauka ya hayo, inasikitisha kabisa kuwa mwanamke hana mahali pa kutua kikamilifu duniani. Kabla hajaolewa nyumbani, huchukuliwa kuwa mpita njia tu. Na anapoolewa ni poa kaolewa. Isitoshe mwanamke huolewa, haoi wala yeye na mume hawaoani. Mwanamke mahali pake ni jikoni pia anaonekana tu; ni hatia kwake kujaribu kusikika.

Mkutano kuhusu mwongo wa wanawake uliofanyika miaka miwili iliyopita jijini Nairobi ilinuiwa kupalilia vizuri mwamko juu ya ukweli kuwa binadamu ni binadamu na hakuna haja ya wao kubaguana. Tofauti za kimaumbile haziwezi kuwa hoja. Tusiupigie makelele ubaguzi wa rangi huko Afrika kusini ilhali kwetu tuna ubaguzi wa kimaumbile. Tusipozingatia ushauri huu daima tutakuwa kwenye kile kinaya cha kuchekwa katika muktadha wa methali kuwa nyani haoni ngokoye.

Ni kweli kosa lilifanyika tangu awali ambapo kufumba na kufumbua, mwanamke akapigwa jeki na kuachwa akilewalewa katika hali ambayo hangeweza kujitetea hivyo basi akachukuliwa kuwa kiumbe duni. Lakini haidhuru, yaliyopita si ndwele, tugange yajayo. Kinachohitajika ni wanawake kuwa na nia na msimamo imara. Ni lazima wajifunge kibwebwe na kujitoa mhanga na kupambana dhidi ya taasubi ya kiume.

Maswali

(a) Andika kichwa kinachofaa kutokana na taarifa uliyoisoma

32

Page 33: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(b) Taasubi ya kiume ilianzaje?

(c) Katika utamaduni wa mwafrika ni kasumba gani anayosombezewa mtoto wa kike anapokua?

(d) “Wavulana walidekezwa na utamaduni”. Eleza

(e) Taja kwa ufupi mambo muhimu yaliyoshughulikiwa katika mkutano wa mwongo wa

wanawake mjini Nairobi

(f) Eleza maana ya semi zifuatazo kama zilivyotumiwa katika taarifa uliyosoma:-

(i) Nyani haoni ngokoye . (ii) Akatiwa midomoni (iii) Huonyeshwa mbovu (iv) Wajifunge kibwebwe(v) Yaliyopita si ndwele ganga yajayo

10. Soma taarifa hii kisha ujibu maswaliAsifuye mvua imemnyea. Huu ni msemo wenye hakika isiopingika,

na kutilia shaka ni sawa na kudai jua linaweza kubadilika na kuchomozea upande wa magharibi badala ya mashariki. Huu ndio ukweli uliodhihirika juzi katika vyombo vyetu vya magazeti.

Lisemwalo lipo, na kama halipo li njiani. Waama, pafukapo moshi pana moto. Mwanafunzi mmoja wa kike kwa jina P.N. katika chuo kikuu kimojawapo nchini alishangaza umma wa Kenya na ulimwengu kwa jumla alipodai kuwaambukiza wanafunzi wenzake wa kiume mia moja na ishirini na wanne virusi vya Ukimwi.

Kisa na maana? Aliambukizwa Ukimwi na mwanafunzi mwenzake aliyekuwa akifanya majaribio ya ualimu katika shule yao ya upili. Baada ya kushawishika sana alijuana naye kimwili, na matokeo yakawa kifo ambacho sasa alikuwa anawagawia wenzake.

Kisa kama hiki kinachangia kueleza kina kirefu cha kutamauka na upweke ambao maisha ya waja wengi yameingia kiasi cha kuwaacha wanyama ijapo wanaenda kwa miguu miwili bado. Katika mojawapo ya mafunzo ya kidini ambayo Padre alinifunza mimi na wanafunzi wenzangu, tuliambiwa kisasi ni chake Mola, sisi waja wetu ni kushukuru tu. Mbona basi mwanafunzi kama huyu kutaka kulipiza?

Ima fa ima, na waswahili husema, “mlaumu nunda na kuku pia”. Huyu mwanafunzi hawezi kuachiwa atende alivyotenda. Aliyekula naye raha alikuwa mtu aliyefahamika vizuri sana kwake. Isitoshe, huenda wakati huo alikosana na mama na baba kulala nje. Huenda alikosana na ndugu zake kwa kuepa nyumbani usiku wa manane kwenda kumwona huyu kalameni. Huenda alikosana na mwalimu wake kwa sababu kiburi kilianza kuingia. Kwa vyovyote vile, alikula raha na hastahili kuwaadhibu watu wasio na hatia kufidia makosa yake. Je, kama yeye na huyo jamaa wasingekuwa na Ukimwi, raha kiasi gani wangezila hadi leo?

33

Page 34: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Jamii na watu wote kwa jumla hawana budi basi kulaani vitendo vya P.N. vya kuambukiza wanafunzi wenzake virusi huku akijua. Hili ni kosa ambalo linastahili adhabu ya kifo. Dawa ya moto ni moto ni adhabu inastahili kuchukuliwa haraka ili P.N. ambaye tayari amekiri hatia, atiwe nguvuni na adhabu itolewe.

Barua ya P.N. inafafanua jambo jingine sugu. Kwamba kiwango cha maadili katika vyuo vyetu kimezorota kiasi cha kufanyiana unyama usiosemeka. Vijana wengi siku hizi wanashiriki tendo la ndoa bila haya. Huu upotofu wa maadili katika jamii wapaswa kushutumiwa na wote. P.N. hana sababu yoyote ya kibinadamu, kidini au kitu chochote kile kudai haki kwa uovu huo wake.

Maswali1.Taja kichwa kwa makala haya

2. Katika aya mbili za kwanza, mwandishi anamlaumu mwanafunzi kwa kosa gani? Eleza chanzo cha tabia za P.N

4. Mwandishi wa taarifa hii anataka P.N achukuliwe hatua gani? Kwa nini?

5. Barua ya P.N. bila shaka imeonyesha uvumbuzi mpya. Utaje

6. Eleza maana ya vifungu hivi kama vilivyotumiwa katika taarifa:

(a) Kina kirefu cha kutamauka(b) Ima fa ima (c) Kufidia makosa yake

11. Soma taarifa hii kisha ujibu maswaliCHIMBUKO LA USHAIRI

Ushairi ni fani kongwe kama mwanadamu mwenyewe alivyo mkongwe duniani. Na mashairi yamekuwepo kitambo sana hata kabla ya lugha ya Kiswahili bado haijanawiri na kushamiri kama ilivyo hivi leo. Ndipo tunasikia kuna mashiri ya kipemba, mashairi ya kimvita, mashairi ya kivumba, mashairi ya kipate, mashairi ya kiyunani, ya kirumi na kadhalika,. Almradi kila jamii na kila kabila lilikuwa na mashairi yake.

Katika utafiti na kongomano zao, wataalam wa arudhi za Kiswahili asili wamechambua na kufafanua kwamba mashairi ya Kiswahili asili yake ni nyimbo za jadi zilizokuwa zikiimbwa na manju, wangoi au waimbaji stadi wa tangu na tangu walipojumuika katika matukio na hafla mbalimbali kama za jando, arusi, matanga, ngoma na shangwe zao za maishani.

Nyimbo hizi zilitumiwa na watangulizi wetu, kidhamira hazikuhitalafiana hata kidogo na mashairi ya Kiswahili tunayohimiza wakati huu. Farka iko katika lugha na umbo kwani kila jamii ilitumia lugha yake na lahaja ya mazingira yake. Na kwa upande wa umbo, tungo hizo za awali kabisa hazikuwa na sanaa kwa maana ya ushauri tunauona leo. Bali tungo hizo zilijengeka katika nguzo mbili kuu. Kwanza ni uzito wa mawazo maadilifu ambayo yalitaamaniwa sana. Na pili ni mizani ya

34

Page 35: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

sauti ya manju kulingana na lahani, pumzi zake pamoja na madoido katika uimbaji ambao ulikuwa burudani naathari katika noyo za wasikilizaji wake.

Kwa kifupi ni kwamba, nyimbo hizo ziliuhifaid umma kwa njia mbili, mawaidha kwa mapana na taathira au jadhba kutokana na sauti tamu ya manju.Kama utakubalika, basi huo ndio ushairi wa awali kabisa ullioambatana na nyimbo zetu za kienyeji. Kila kabila katika nchi zetu lilikuwa na ushauri wake au nyimbo zake zenye undani uliolenga sababu maalum na tukio maalum katika jamii.

Nyimbo kama hizo kwa jina la sasa tunaweza kuita mashairi ndizo zile zilizoitwa ‘mwali’ na wakamba; gichandi kwa ‘wakikuyu’; ‘gigia gi sigele’ kwa waluo na ‘wagashe’ kwa wasukuma zilikuwa na undani wa kipekee tena uliodidimia ambao si bure kutolewa hadharani.Aina za mashairi ya watu wa mwambao ni kama lelemama, misemele,

gungu, nyiso, kongozi n.k.(Walla Bin Walla – Malenga wa Ziwa Kuu , E.A.E.P)

1. Ni nini haswa chimbuko la ushairi?

2. Kulingana na kifungu hiki, ni nini umuhimu wa ushairi ?

3. Ni maswala gani yaliyowapendeza wasikilizaji wa tungo hizo za zama ?

4. Tofauti kati ya nyimbo za zama na ushairi wa leo upo kwenye vipengele gani viwili ?

5. Kifungu : ‘haijanawiri na kushamiri’ ina maana gani katika lugha nyepesi ?

6. Eleza maana ya :

(a) Kongamano …(b) Jadhiba (c) Farka(d) Awali..

12. Soma taarifa hii kisha ujibu maswaliChamkosi alipiga goti huku machozi yakimdondoka njia nne nne.

Mbele yake, palikuwa na makaburi mawili. Waliokuwa wamelala mle hawakuwa na habari juu ya kihoro na simanzi ya aliyepiga magoti pale. La kwanza, lilikuwa kongwe kiasi na lilikuwa limemea vichaka na magugu. La pili lilionyesha upya kwani shada za maua zilizowekwa na waombolezaji zilikuwa bado kukauka. La kwanza, ndimo babake mzazi alipolala. Nalo la pili, ndimo mamake alimolazwa kiasi cha siku mbili zilizopita.

Kwa Chamkosi, maisha hayakuwa na maana tena. Alikuwa mwanafunzi wa miaka kumi na miwili. Hakuwa amehitimu kujitegemea na kukimu mahitaji yake. Aliokuwa akiwategemea sasa wamemwacha akiwa yatima. Hakuna yeyote ambaye angejaza pengo la wazazi wake wawili kwa kipindi cha mwaka mmoja. Haya yalikuwa kama donda sugu lisilopona.

35

Page 36: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Kwa sasa, Chamkosi anayakumbuka mengi. Anakumbuka maisha ya babake. Alikuwa jibaba nene, zito lenye sura jamala na sifa nzuri. Baba mtu alikuwa na chake na alijiweza kiuchumi. Wengi pale mjini walimheshimu na kumstahi kutokana na uwezo wake wa kiuchumi. alitunza familia yake vizuri. Chamkosi hakumbuki siku moja aliyokosa chochote alichohitaji kutoka kwa babake. Alikuwa na bidii kazini mwake pia.

Walakini, kama mja asiyekamilika, baba mtu alikuwa na dosari moja. Aliyapenda maisha ya anasa na kufukuzia wasichana wadogo pale mtaani. Mamake Chamkosi aliyajua haya. Alijaribu kuzozana na mumewe ili aachane na tiabia hizi lakini kila akitaka ushauri, mama mtu alikemewa na kufokewa kuwa aache upuzi wa wanawake. Akafikia kufyata ulimi na kumwachia Mungu aongoze maisha ya bwanake.

Hata hivyo hakuna marefu yasiyo na kikomo. Baada ya kuponda raha na vimada si haba, baba mtu alianza kuugua. Maradhi yake yakawa ni msururu. Mara, alipata mafua yasiyopona, mara kuendesha, mara maradhi ya ngozi. Haya yalimtia wasiwasi. Baada ya kukaguliwa na daktari, alipatikana kuwa ameumwa na mbuzi. Hakuamini haya. Baba aliyekuwa bashasha na mcheshi aliingiwa na upweke na kutotaka kutangamana na yeyote hata jamaa zake.

Waliosema kuwa hakuna msiba usiokuwa na mwenzake, hawakukosea. Maradhi ya baba mtu yaliifilisi jamaa huku waking’ang’ania kumtafutia tiba. Wakaenda kwa waganga si haba. Waganga nao wakafaidi tamu.

Muda si mrefu, mama mtu naye akaanza kuugua. Baada ya uchunguzi, alipatikana kuwa na maradhi yayo hayo ya bwanake. Ikawa ni kama mji umelogwa. Baada ya muda mfupi baba mtu aliaga dunia, mama naye hakukawia. Naye akasalimu amri na kumfuata bwanake kaburini. Familia ikawa kama inaangamia. Chamkosi kijana mdogo akaachwa pweke.

Kama kawaida, mja hakosi neno. Wengi walisikika wakisema hili na lile kuhusu vifo hivi. Wengi walieneza uvumi. Lakini, Chamkosi alijua ukweli wa vifo vya wazazi wake.

Sasa hapa alipo aliyatambulia macho makaburi ya wazazi wake, anasononeka. Anaomboleza zaidi kifo cha mamake ambaye alimwona hana hatia na hakupaswa kufa kwa maradhi yale. Anaukumbuka vizuri wema wa mamake usio na kifani. anakumbuka alivyojitunza kama mke na mzazi.

Anakumbuka jinsi mamake alivyomshughulikia babake katika siku zake za mwisho licha ya baba mtu kuungama maisha yake maovu. Chamkosi alishindwa kujua kwa nini mamake akawa msamehevu kiasi hicho. Hakukosa kukumbuka wasia wa mama yake. Haya yalimfariji. Faraja hizi zilimpa nguvu mpya za kuyakabili maisha.

Chamkosi aliwaza juu ya maisha yake. Akaona kuwa, kama yatima atawategemea wafadhili miongoni mwa jamaa na marafiki wenye huruma iwapo wapo. Aliwaza jinsi anasa za babake zilivyowaathiri watu wengi.Alitambua kuwa Ukimwi haumwathiri aliyeupata tu, bali na wengine wengi. Kweli, mtego wa Panya huingia waliokuwemo na wasiokuwemo. Lakini akiwatazama watu, hakuelewa kwa nini

36

Page 37: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

walidhamiria kuishi ujingani. Aliwaona baadhi ya vimada wa babake wakishikana viuno na vijana wadogo. Akawasikitikia. Akabaki na swali kwa nini watu wengine wanafikiria kuwa virusi hivi haviwezi kuwapata. Kwani wanafikiria kuwa vinabagua na kuwa wao hawahatarishi maisha yao? Alishindwa kufahamu watu watabadili vipi mienendo yao miovu na waweze kukabili janga hili lini?

Kwa wakati huu, Chamkosi alikata shauri kusomea Taaluma ya Uelekezi na Ushauri kutokana na vifo vya wazazi wake. Alitaka kupata ujuzi utakaomwezesha kuwashauri na kuwaelekeza vijana wenzake ambao wanahatarisha maisha yao. Kama mshauri, alinuia kuhamasisha na kuzindua jamii juu ya hatari za Ukimwi.

Alitaka kuhakikisha kuwa hatua zimechukuliwa na kila mtu katika jamii kukabili janga hili n kuliangamiza

Chamkosi aliomba dua fupi. Akainuka na kuondoka huku akiwa na faraja na matumaini moyoni kutokana na azimio lake lile.

(a) Toa kichwa mwafaka kwa makala haya

(b) Eleza madhara mawili ya ugonjwa sugu uliotajwa katika makala haya

(c) Taja mifano ya tabia zinazoweza kumfanya mtu aathiriwe na ugonjwa wa Ukimwi

(d) Tofautisha tabia za baba na mama wa Chamkosi

(e) Chamkosi baada ya kufikwa na madhila hayo yote aliamua kufanya nini? Toa maoni

(f) Eleza maana ya:

(i) Tumbulia macho ...............................................................................................................

(ii) Ameumwa na mbuzi......................................................................................................

13. Soma taarifa hii kisha ujibu maswaliLicha ya kuwa na historia ya kiasi, maisha ya binadamu ni kioja

kikubwa. Hebu jiulize jinsi uhai wako wewe mwenyewe ulivyoanza sembuse unavyoweza kupumua na kuishi siku nenda siku rudi.

Dini zimefahamisha kuwa sisi binadamu tumeumbwa na Mwenyezi Muumba. Hata hivyo muumba hutumia mume na mke kutuanzishia maisha yetu humu humu duniani. Uhai wa hapa duniani huanzia katika tumbo la mwanamke muda mfupi tu baada ya mume na mke kushirikiana katika tendo la kujamiana. Katika ngono hii yenye ufanisi, mbegu moja ya manii kutoka kwa mwanamume, hudunga na kujiingiza katika yai la mwanamke huku ikilirutubisha. Tangu hapo mtu huwa na mama akawa mjamzito. Hatua ya kwanza ya uhai!

Wanasayansi wametuthibitishia kuwa mbegu katika shahawa kutoka kwa mwanamume ina kromosomu ishirini na tatu (23) nalo yai la

37

Page 38: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

mwanamke lina idadi iyo hiyo ya kromosomu. Basi katika hatua ya kwanza ya uhai wake, binadamu ana kromosomu arubaini na sita (46).

Kromosomu hizo zote ndizo humfanya mtu kuwa mkamilifu kwa kukadiria mambo mbalimbali adhimu. Kwa mfano, kukadiria kama kiumbe kitakuwa cha kike au cha kiume, mtu mweupe au mtu mweusi, mwerevu au wa wakia chache, mwenye nywele za singa au za kipilipili, atakuwa na damu ya namna gani, michoro ya vidole vyake itakuwa vipi na hata utu wake utakuwa wa namna gani katika siku za usoni.

Elimu yote anayopata mtu kutoka kwa jamii na mazingira huweza tu kujenga juu ya yaliyokwisha kuanzilishwa na kromosomu katika yai lililorutubishwa tumboni.

Haihalisi kabisa kufikiria kwamba huwa katika hali ya ukupe. La hasha! Yeye hujitegemea kwa vyovyote na ana upekee wake. Hatangamani na mama yake. Roho yake humdunda mwenyewe na damu yake ambayo huenda ikawa tofauti kabisa na ya mama yake, humtembea na kumpiga mishipani mwake. Isitoshe, yeye si mojawapo katika viungo vya mwili wa mama yake vinavyomdhibiti katika himaya yake ndogo.

Amini usiamini, hapana binadamu hata mmoja ambaye amewahi kuwa sawa kimaumbile na mwingine na wala hatakuweko. Hata watoto pacha kutoka yai moja la mama hawawi sawa, lazima watofautiane. Si nadra kusikia mtu amepata ajali akahitaji msaada wa damu, na pakakosekana kabisa mtu hata mmoja kutoka jamaa yake wa kimwauni. Basi ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni.

Maswali-1. Ipe taarifa uliosoma anwani mwafaka

2. Mwandishi ana maana gani anaposema ‘ngono yenye ufanisi’?

3. Uchunguzi wa sayansi umekita mizizi imani gani ya kidini?

4. Taja majukumu yoyote matano yanayotekelezwa na kromosomu

5. Katika makala, elimu kutoka kwa jamii na mazingira yaelekea kuwa bure ghali. Kwa nini?

6. Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika makala:-

(i) huwa katika hali ya ukupe…(ii) himaya(iii) hatangamani na mama yake

14. Soma ufahamu ufuatao kisha ujibu maswaliKwa zaidi ya mwongo mmoja uliopita, ulimwengu mzima

uliathiriwa na masaibu ya kifua kikuu kwa kiwango cha kuogofya kiasi kwamba katika mwaka wa 1993, shirika la afya duniani (WHO) lilitangaza ugonjwa huu kuwa swala dharura la kimataifa.

Ongezeko kubwa la visa vya kifua kikuu lililotokana na kuchipuka kwa viini vinavyosababisha maradhi hatari ya Ukimwi na magonjwa yaliyohusiana na punde baadaye ilibainika kuwa bara la Afrika lilikuwa

38

Page 39: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

ndilo lililoathiriwa zaidi na Ukimwi pamoja na maradhi ya kifua kikuu. Hii ndiyo hali inayotawala sasa ulimwenguni. Afrika likiwa bara linaloongoza kwa wagonjwa walioambukizwa viini vya Ukimwi lilikuwa likishuhudia visa vya maradhi ya kifua kikuu.

Viini vya Ukimwi vinapunguza uwezo wa mwili wa mgonjwa kupigana na vijidudu vya maambukizi. Swala linalowafanya wagonjwa hawa kutodhibiti maambukizi ya magonjwa mbalimbali. Katika hali ya kawaida mwili wa mtu kama huyo unaweza kujikinga dhidi ya viini kama hivyo. Maambukizi kama haya kawaida hujitokeza kukiwa na nafasi duni ya kinga mwilini. Katika baadhi ya mataifa kama vile Kenya, maambukizi ya kifua kikuu hufanyika mapema katika umri mchanga maishani.

Kwa kawaida, viini hivyo huwa havisababishi ugonjwa wenyewe. Badala yake, kinga katika mwili wa aliyeambukizwa unaweza kusitiri maambukizi hayo bila mhusika kuwa mgonjwa kutokana na sababu mbalimbali. Viini hivyo baadaye vinaweza kuwa hai tena na kumfanya mgonjwa kukumbwa na ugonjwa. Swala hili kwa kawaida hujitokeza wakati mgonjwa anapoambukizwa virusi vya Ukimwi. Virusi hivyo pia huongeza hatari ya ugonjwa kujitokeza baada ya maambukizi au pengine kujitokeza tena baada ya mgonjwa kupokea tiba ya kwanza.

Kulingana na utafiti, inakadiriwa kwamba mmoja kati ya wagonjwa wawili au watu wenye virusi vya Ukimwi watapata kifua kikuu wakati mmoja katika maisha yao. Inakadiriwa kwamba karibu asilimia 50 hadi 60 ya wagonjwa wenye maradhi ya kifua kikuu nchini Kenya pia wameambukizwa viini vya Ukimwi. Kwa upande mwingine, maradhi ya kifua kikuu hujitokeza kama kawaida kwa wagonjwa wenye virusi vya ukimwi. Kwa hivyo, wakati wa kushughulikia wagonjwa ni lazima pia wafanyiwe uchunguzi wa kubaini ikiwa wameambukizwa kifua kikuu.

Maswali(a) Ipe taarifa uliyoisoma kichwa mwafaka

(b) Ni nini hasa kilichochangia kuongezeka sana kwa maradhi ya kifua kikuu?

(c) Kwa kifupi, eleza ni kwa nini ugonjwa wa Ukimwi ni hatari mwilini

(d) Ukimwi na kifua kikuu una uhusiano mkubwa, eleza uhusiano huu kulingnana na taarifa uliyoisoma

(e) Andika urefu wa neno ‘Ukimwi”(f) Eleza mambo mawili ambayo yametokana na utafiti

(g) Ni jambo lipi ambalo ni la kushangaza kuhusiana na kifua kikuu

(h) Andika maana ya msamiati ufuatao kama ulivyotumika katika kifungu hiki

(i) Kusitiri (ii)Mwongo(iii) Swala la dharura.

39

Page 40: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(iv)Viini

15. Soma makala yafuatayo kisha kisha ujibu maswali:-Waajiri wengi wanazilaumu taasisi za elimu kwa kukosa kutoa

wafanya kazi wenye ujuzi tosha, hasa wa kiteknolojia za kisasa kama kutumia kompyuta kutenda kazi mbalimbali. Hali hii imekuwa ya kuhuzunisha sana.

Ujuzi wa kuweza kutumia Kompyuta unaweza kumfaa mwanafunzi hata anapokosa nafasi ya kujiunga na chuo kikuu kwa vile anaweza kuendelea na elimu yake kupitia kwa elimu mtandao. Pia anaweza kufanya utafiti wa kina kupitia intaneti na kwa njia hii akaimarisha elimu yake.

Mojawapo ya njia ya kuimarisha elimu kuhusu maswala ya teknolojia ni kuanzishwa kwa mikakati mipya ya kufunza. Somo la Kompyuta laweza kuimarika mashuleni endapo kwanza walimu watahamasishwa juu ya faida za ujuzi huu.

Kwa kutumia Kompyuta kufunza, walimu wanaweza kufunza madarasa kadhaa katika kipindi kimoja bila kulazimika kuyahudhuria. Hii itapunguza kiwango cha kazi kwa walimu kwa vile watapata muda wa kufanya utafiti mpana. Aidha, watapata habari na ufahamu zaidi wa mambo kwa kutumia mitambo ya Kompyuta kutoka kwenye intaneti, kupitia tovuti.

Hata hivyo mipango hii inakabiliwa na changamoto kama vile bei za juu za mitambo na vifaa vya Kompyuta, ukosefu wa miundo msingi itakayowezesha utumiaji wa mitambo hii na ukosefu wa walimu waliohitimu somo la Kompyuta.

Pia, kuna tatizo la ukosefu wa nguvu za umeme hasa maeneo ya mashambani; vile vile, katika maeneo yaya haya, wanafunzi na wazazi wengi huvichukulia somo la Kompyuta kuwa gumu na linalofaa wakaazi na wanafunzi kutoka maeneo ya mijini na linalofaa wakaazi muhimu kwao mashambani.

Maswali(a) Ipe taarifa uliyoisoma anwani inayoifaa

(b) “Hali hii imekuwa ya kuhuzunisha.” Ni hali gani inayozungumziwa katika aya ya 1?

(c) Ujuzi wa kutumia Kompyuta unaweza kumfaidi vipi mwanafunzi?

(d) Mikakati mipya ya kuimarisha elimu kuhusu maswala ya teknolojia inakabiliwa na

vizingiti vipi?(e) Taja manufaa mawili ambayo mwalimu anaweza kupata kutokana na

ujuzi wa teknolojia ya Kompyuta

(f) Andika msamiati mwafaka zaidi kwa maneno yafuatayo:

40

Page 41: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(i) Kompyuta

(ii) Intaneti

MAJIBUUFAHAMU

A1A Lazima maisha yabadilike kwa kutegemea wakati na mwingilino wa tamaduni(alama2) B Kwa kuzingatia utamaduni wa wahenga wao ambamo wazazi wao ndimo

walimokuliaC uaminifu, heshima kwa wakuu, bidii ushirikiano, ukarimu, unyenyekevu, hadhi

katika kila Jambo utiifu na kujitegemea (1/2 x 8 = alama 4 )D Mambo hay a yanawapotosha wakaona kuwa y ale y a zamani hayana

mafao na kuwa yalemaendeleo ya siku hizi kama video, filamu, vitabu elimu nk ndiyo pekee yafaayo kuzingatiwa na kufiiatwaataj e juu ya maisha ya zamanimaisha yaleo (siku hizi) (alama 4)

E Walimu, majirani, wanasiasa, wahubiriF Wanapaswa kuchagua y ale mazuri kutoka kwa utamaduni wa kiafrika na

pia kutoka kwa usasa wayaiuate (alama2)

G (i) Maovu, Maasi (ii) Tulivu, makini (alama2)H - Usiache mbachao kwa mswala upitao

-Mwaehamilanimtumwa (alama1)

A2a) Mambo manne ambayo ni imani potovu (alama 4)

1. Kunambngunaardhitubasi

41

Page 42: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

2. Duniaipokatikatiyamaumbileyote3. Dunianitambarare4. Juu ya ardhi nimbinguiliyojavimulimulividogoviitwavyonyota5. Baina ya vimulimuli vipo viwili vitwavyo mwezi najua6. Mwezi najua nividogokuliko ardhi7. Mwezi ni nyota

b) Maana ya ukweli wa mambo umejigenga kando"ni kwamba (alama 2)

Sikweli auUkweli unatofautana na imani hii au Ni kinyume na imani hii au Ukweli ni mbali na imani hii

c) Sifa zozote NNE za maumbile ya anga (alama 4)1. Inarangi ya samawati2. Ninusumvtfingo3. Nikubwasana4. Inazidi kupanuka 5. Ndanimnagalaksinyingiajabukilaucho.6. Ndaniyagalaksimnanyotanyingiajabii7. Nyota ni kubwa sana 8. Mna sayari tisa zinazolizunguka jua.

d) Tajavituviwilivipatikanavyokatikagalaksi (alama2)Sayari nanyotaauMieziau sayari najuaaunajuaau Mirihi5mshitara,zaibakin.knajua

e). Sayari mbili ambazo ni kubwa kulikord hi ni: (alama 2}Mshitara, zohali, utaridi, sumblaZohali ni sawa na saraten au zaratani

f) Nyota siovijitaa vidogokwasababu (alama 10)- Jua na nyota kubwa sana au

42

Page 43: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

-JuauindogolikilinganislTwananyota/ingineaunyotamkubwaajabu g) Nuru mbili zilizo angani ni (alama 1)

Nuru ya jua au nyota iliyo asilia na nuni ya sayari au miezi kutokana na mmererrteto wa jua

h) i) Neno lenye mana sawa na "anga" au “upeo" ni; (alama 1)

- Bwakaau - Mbingu

(ii) Neno moja lililoko na piaana sawa na paa ni; (alama 1)

TOSIi) Mambo ni sawa na ardhi au huenda magalaksi mengine yakawa na maajabu

kama haya

A31. a) Gesihatarikutokaviwandani ,

Moshi kutoka vi wandani Utupaji ovyo ovyo wa takataka . (alama 3)

b) Miti ikishakatwa mizizj iliyoshikilfa udongo haiko tena hivyo kukinyesha maji yanateremka ovyo ovyo- Majiyabahariyakipitajotoinapanukanakufurikayenyewe Majiyakipatajotomvukeunakuwamwinginamawingumazitoya ghafla. - Mitiikikatwajotolinaletamajangwa- Sehemuzenye barafo buyeyukana haya maji huletamafiirikomitoninabaharini(ala 3)

c) OngezekoJawatudunianiAmechaftiamazingirayake (alama 3)

d) - Kugundua kuwa mwezi ni hakuna hewa ama mvua.- Kuwa sayari nyingine ml. Mirihi zina mvua iakini ni nyingi zaidi

43

Page 44: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Kuwa sayari nymginezhiajotozaidinanyinginezina baridi zaidi (alama 3)

e) - Hakunahewahukoambayowachimbajiwangevutawakichimba Ni ghali sana kupeleka watu na mitambo na nyingine zina baridi zaidi.

(alama3)f) Mauti kwa kuj aribu kuunda kiunde cha zebaki na pia kutumia viunde

vya elektroniki aukompyuta (alama3)g) - Mashavu - viungovyasamakivyakuvutiahewa.Madungu - makaoyanayoeleaangani/viotavyandege Asihasirike - asidhurike / asipate madhara Kiunde kitu kilicho undwa na binadamu (alama4)

A4a) Kutumbisha:

Sayansiyakutumbisha SayansimpyaSayansi ya kutumbisha na matokeo yake ? Sayansi ya'Cloning'Tamaa ya kutumbishaAjabu katika uzalishaj i Uzalishajimpya (yoyote 1 x 2)

b) NjaaUpungufu wa ardhi Kupigania mashamba (zotembili2x 1)

c) gali wanafanyiwa utafiti Hawajui ni madhara gani yanayoweza kuletwa nao / kivaoHawanauhakikakamawanawezakuishinjeyamaabara. SheriahaiwaruhusuwanasayansikuwaLoanje (yoyote 1 x 3 = 3)

d) Jinisi binadamu anavyoendelea kufanya utafiti ili ajiondolee unyama ndivyo

44

Page 45: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

anavyojijuta katika maafa au utafiti ukikithiri utaleta maafa.‘Akijieleza sawasawa (alama 2)‘Aliyeshughulikia upande moja (alama 1)

e) - Aliyetumbishwa aweza kuwa mweledi zaidi ya binadamu wa kawaida na

kuwatatiza.Aliyetumbishwa aweza kuwa na uwezo mdogo wa kiakili na hivyo mzigo kwa wale wa i kawaida. Ubinadamuutadunishwa Nidhambiaukumdharaumuumbawetu. Nikuharibumsingiwajamii.

f) Matumizimabayayaujuziule Mweledi atatumbisha watu wasiowa kawaida.Mweledi aweza kuangamiza ulim wengu huunakuutawalaulimwengumpyawote.Kutakuwa na msongamano wa watu duniani. - Ukosefu wa huduma muhimu kwa jamii yoyote (1 x 4 = 4)

g) - Watoto hao wanaweza kuwa weledi zaidi. Wanaweza kuwa na uwezo mdogo

kiakili. Wengi wao watakuwa mayatima.Watarithi kasoro za mwili au magonj wa yasiyo na tiba au yanayo ambukiza na kuangajniza binadamuwakawaida.Kuwepo kwa uhuru wa kutumbi sha mayai ya wafu

'zozote 2x2 = 4) .

A5a) Mahalipamwanamkenijikoni.

Kaziyakenikuitumikiajamii (1x2 = 2)b) Aiiafanyishwakazinyingi (1x2 = 2)c) Afanyalomwanammemwanamkepiahulifanya (alama2)d) Ndoa

Kiasili Kisasa

45

Page 46: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Ndoa ya lazima - Ndoa si lazima Alazimika kumzalia mume watoto - Anazaa watoto kwahiari Alitumishwa - Ana uhuru wa kufanya atakalo Alifanyakaziyajikoni - Si lazima aende jikoni Aliamuliwakwakilajambo - Anajiamulia mwenyeweAlimtegemea mume - Anajitegemea/hujikimu Alinyamaza alipoteswa - Hujitetea akiteswa/hupiganiahaki, ElimuHakuenda shuleni - Anafendashuleni Alikuwa na elimu ya kiasili - Hana elimu ya kiasi

(1x2 = 2)e) Hapendezwi naye. Ni mkaidi, mshindani, mzushif) - Mahalipakenijikoni

- Akiteswaalipaswakunyamaza/kufyataulimi. - Lazima aolewe amzalie mume watoto. Hapaswi kupelekwashuleni. - Anapaswakufenyiwauamuzi. - Hapaswi kujitetea. - Anakazimaalum (1x4 = 4)

g) - Akifyata ulimi - Akanyamaza - Ukatani -Umaskini in) - Taasubi za kiume - Fikra/wazo la kibaguzi/uchoyo

- Mwanaume kujiona bora kuliko mke - Audii - Maisha/kudumu/milele/daima/alfulela

46

Page 47: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

A61. a) Mashambani Mjini

- Hutegemea kilimo - hutegemea viwanda- Wanawake hawajui haki zao/hawazipiganii - wanawake wanajua haki zao.- Hawana maendeleo / waishi kama babu zao - waishi kisasa - Hawapendi mabadiliko - Hawana tekinolojiab) Uhusiano -Mungu ndiye mwenye uwezo mkubwa/ndiye aliyeviumba viumbe.- Viumbe ni wategemezi / hafifti / hawana uwezo / wanyongeHisia - Viumbe humtegemea Mungu kiasi kuwa bila yeye wataangamia.- Hisiayahuruma.

c) Wanawakenawatoto hawana haki / ni watumwa.d) -Tarakilishi -kuwasiliana

- Mangala - kuonaviumbevidogo- Nagala - kuonasayariyathureazilizokombali- Runinga - kusikilizanakuona- Simu - kuwasiliana- Ghala - kuhifadhiavitu - Magari - usafirishaji- Viwanda - Uundajiwabidhaa - Majumba - makaazi / biashara

e) - Waweza kuwasiliana ulimwenguni kote kwa kutumia tekinolojia ya kisasa

(vifaa vilivyotajwa katika (d)- Kuonanakusikia kote ulimwenguni.

f) i) Mahali/nafasi/hadhi/wajibu/jukumuzao katika jamii.ii) Wameendelea kielimu /sayansi /tekinolojia/ kimawasiliano /kiufundi

47

Page 48: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

A7a) i) Mwanaume

Alikuwana uwezo wakuamua kuamuaAlistahili elimu ya juu NimrithiNikiongoziNi mwenye akili boraAlidhaminiwa kuliko mwanamkeNimshauriii) Mwanamke HatoiuamuziHastahili kupata elimu ya juuHastahili kurithi mail, ufalmeSi kiongozi WakuolewaNi chombo cha kutamanikaNi ngazi ya kujinufaishaAna akili dhaifu ana/akili duni

b) i) Kwa nini mfalme aliwauliza wakwasi kwanza tafsiri ya kitendawili? (alamal)

Waliaminika au walidhaminiwa kuwa wenye ujuzi na maarifa.Waliheshimiwa/nasaba bora/ukoo mzuriWalikuwa washauri wakuu wa mfalme.Alitarajia mmoja wao amuoe bintiye(Hoja yoyote iliyokamilika.)ii) Kwa nini mfalme alishangazwa na jawabu la binti yake?

(alama 2)Mfalme alitarajiadhamaniyatibaiwekubwaKishaufunikituduni.

c) "Akili ni nywele, kila mtu ana zake." Dhihirisha jinsi methali hii inavyobainika katika hadithi hii.

(alama 4)1. Mwanakishwira ana akili bora kuliko mfalme /wakwasi

48

Page 49: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

2. Mchungaji alikuwanaakili nyingi kuliko mfalme.3. Mwanakishwira na mchungaji walikuwa na akili nyingi kuliko wakwasi

na mfalme. (Lazimapande zote mbili zilinganishwe wenye maarifa kilaupdnde.)

d) Ni nini maoni yako kuhusu mwanaume aliyemwoa Mwanakiswhira na kwa

nini alikubali kuolewa na huyo. (alama 3)1. Mwanamume hana taasubi ya kiume.2. Mchungaji ana akili sawana Mwanakishwira.3. Mchungajindiyealitoatibayaugonjwawake.4. Mmoja alifumba fumbo (Mwanakishwira) na mwingine akafombua (mchungaji).

(Hoja yoyote moja.) (alama 3)e) i) Licha ya kuwa / bali na / zaidi ya kuwa / juu ya hayo / vile vile / pia /

isitoshe / aidha /kuongeza.ii) Akilalamika/akifuya/akihuzunika/akisononeka/ akiwa na uchungu

uliopita kiasi iii) Uzuriusiokifani/waajabu/mwingisana. iv) Ukamshauri / akampa mawaidha / akamwosia / akamwangazia /

akamwai nbia / akamwarifu.

49

Page 50: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

A81. a) Kutokana na busara yake / urazini / hekima / uwezo wake / maarifa yake

ya kuweza kuyatawala mazingira. Binadamu anasababisha hasara / anahatarisha maisha ya viumbe vyote / anaharibu mazingira akisingizia maendeleo.(AJkiegemea upande wa maarifa akose kutaj a matendo ya uharibifu mpe alama 2) (Akiegemeapande zote mbili mpe alama 4)

b) Binadamu hujaribu kujiimarisha kimaisha kwa kukata miti kutengeneza bidhaa viwandani nahivyo kusababisha ukosefo wa mvua? kuwepo kwa jangwa, ukatji wa miti uchafuzi wa maji, uchafuzi wahewa, maji yakitiririka kwa mito yanaleta madharambalimbali(alama4)

c) - Itaangamiza maisha ya viumbe vyote- Miale ya jua yenye surnu itatuflkia moja kwa moja na kutowesha uhai wa viumbe vyote.- Miale ya jua itaangamiza/itatowesha uhai/kusababisha maafa / kuhatarisha uhai (Wazolakutoauhailijitokeze) (alama2)

d) - Kusababisha ukosefuwamvua/uhabawamvua.- Maafayamimeaauviumbepamojanamaradhi. - Uhai utatoweka duniani.- Kuwadhuruviumbe wamajini- Madhara kwa mimea na binadamu kupitia kwa ulaji wa vyakula - Kiangazi/kukaukakwamimeanavisimavyamaji - Uharibifu wa utandu (ozoni) (alama 5)

e) - Sisiwenyewekuchukuajukumulakusafishamazingirayetu.- Kuwafunzawatotokuhifadhimazingirayaonakuyawekasafi.- Kutahadharisha umma wa ulimwengu dhidi ya uharibifu wa mazingiranamaliasili.- Kuzuiautirmkajiwamajimachafli/yasiingiebaharininanaitom- Kuzuiahewayenyesumukutokaviwandaninakuzuiakusambaakwagesi.

50

Page 51: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

- Kusafisha maj i yaendayo mitoni .- Kujengaviwandambalinamakaoyawanadamu. (alama2)

f) Mtoto hufuata maagizo (tabia na mwenendo) wa mamaye/mtoto hufuata

tabia ya mamaye.(alamal)

51

Page 52: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

A9a) i) Neno hili limeundwa kutokana na maneno matatu ambayo ni

utamaduni , tanda na ardhi (utamaduni uliyobobea katika ardhi nzima).

ii) Kutanda - kuenea, kutapakaa, kusambaa, zagaa, choga. i) -b) i) Walizuru kote duniani.

- Kufanya kazi kote duniani- Wanauwezo wa kuwasiliana na wenzao kote ulimwenguni.- Kupokea habari kupitia mashirika matandaridhi.

ii) Hutangaza habari zaulimwengu/kimataifa. Ninjiayakujitambulishakamawatandaridhi. Ni njia za kuendeshea maisha yao kwa sababu ni mashirika matandaridhi ya habari.

c) i) UtandaridhiumeletauwianomwemUmeendeleza zaidi ustaarabu wa waja wote.

ii) Umechangia pakubwa katika maangamizi ya tamaduni ya kimsingi.

- yameangamiza kwa lugha za tamaduni hizo.- kutoroka kwa utu miongoni mwa wanadamu wote.- umechangia kwa uhasama miongoni mwa walimwengu.

d) Chungu nzimae) i) amara-ishitighala/mbinu/shughuli/nguzo

ii) mlahaka-uhusianoAiwiano/uelewano .iii) Wakereketwa - wafuasi sugu/ wakagidhina/watetezi/wenye imani

kaliA10.

a) kutomchapa/kubembeleza/kumdekeza mtoto anaokosea/anapokiuka uadilifu

unamharibu/ unamzorotesha tabia zake/unamfanyamtundu.b) Mtazamo wa zamani ambapo ulichukuliwa kuwa watoto na hata wanawake

hawana akili lakini ukweli i kwamba watu wana akili sawawote wanafanana/wanaume na wanawake. Ni utata unaoletwa na misimampmiwilitofautiusasanaukale. (Lazimaugusieusasanaukale).

52

Page 53: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

c) Kama ambavyo mmea hudhoofu usipotuuzwa ndivyo ambavyo mt^^ fl

dpopewa malezi mazuri atazorota kitabia.d) Wanaume kuwadharau watoto na wanawake kwamba wana akili pungufu

ni iraikosa.- Akihusisha wacnawake, watoto na taarifa- Silazimaatajewanaume ,- Binadamu yoyote huzaliwa na akili zake; hivyo basi si haki kudharauliana kwa msingi wa kiakili.- Binadamu yoyote huzaliwa na akili zake.

e) Kumwadhibu mtoto kwa kumhini au kumnyima haki zake ni kufanya akili yake isikomee kikamilifu. Kuadhibunakurudi napia kumnyima haki zake - kuonea/kuhini.

f) i) Kushindilia/kulifanya lieleweke/kulisukumiza/kuHlazimisha ii) Kujiaminisha/kujidai/ kujiepusha/ kujifanya/ kugangaza/ kukwepa/

kujiberegeza/ kujibambanya/kujitiaA11

a) Kutokananaurefunapiamaumboyake. -b) i) -mavazi

- idadi ya watu- uendeshaji magari wa wanawake-utembeaji kasiwa watu wa Nairobi

ii) - Kwa sababu wanavalia nadhifu sana.- Kwa sababu wanazungumza Kiswahili na kiingereza-Kwa sababu wanaendeshamagari.- Wanaume huendesha magari na kuyaegesha karibu na ofisi zao kisha hutembea kwa madaha kuingiaofisinifimguozikining- Watu hutembea kwa kasi bila kutangamana kwa nafsi.

c) i) Msimulizi ametoa maelezo hayo iii kuonyesha msomaj i kuwa mj i wa

Nairobi una watu wengi sana ingawa sio kiasi cha kukanyagana. ii) Kwa sababu wanafanya kazi katika maofisi ya serikali au ya watu

binafsi.

53

Page 54: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Pia wengine hufanya biashara ya kucheza ngono kwa malipo. Kwa hivyo ndio maana wanakuwa nadhifu iliwapatewateja.

d) Kuonyesha kuwa linauzito katika lughaambapoimeombamisiamiti katika lughazingine.

e) i) mawazo/dhana ii) linalolingana iii) kitu kinachoguza mawingu iv) waendeleenashughuli/ishtighalazao

54

Page 55: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

A12a) i) Ufisadi, ii)uongozi mbaya, iii)turathi za kikoloni

ii) Uchumi unaoegemezwa kwenye kilimoiii) Idadi ya watu inayopiku uwezo wa uchumi.iv) Ukosefu wa mali kukwamua raia kutoka lindi la uimaskiniv) Ukosefu wa elimu na nafsi za j iravi) Madeni ya kigeni.

b) i) kudidimiza maendeleoii) umaskini-kuzidishaiii) Husababishauhalifu

c) i) Kuwa na sera bora zinazotambua raia wengi wa mataifa hayo ni maskini.

ii) Kuzalisha nafasi za ajira (kazi).iii) Kupanua viwanda hasa vinavyohusia na kilimo.iv) Kuendeleza elimuv) Kuimarishamiundo msingivi) Kuchunga mfumo wa soko huru kuwa viwanda asilia huzidisha

umaskinid) i) Kuua Viwanda asilia

ii) Kuendeleza umaskini e) i) Kupambananalokuliangamiza, kulikabili nalo / kulitatua, kulishughulikia,

kusababisha.ii) Kuzuia, Kupanda, Kukuza, kuanzisha, kuolesha.iii) Kuondolea, kusamehe, kuyafeleti, kubihi.

55

Page 56: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

A13a) - Mtandao mpana kote ulimwenguni umewafany a wenye nia mbay a (nia tule)

kuwalangua watoto kwaurahisi- Huwapa wenye nia tule kana usafirishaj i na ulanguzi wa watoto fiirsa ya kuzitosheleza hawaa zao. (alamal)

b) -Ushirikianowamataifakuikomeshabiasharahiiharamu.- Jamaakukomakuuzwakwa watoto kutokananamsaada.-Kukomakwa mfumofisadiwakisheria. Kukoma kwa msabaratiko wa muundo wa jamaa naubinafsi wa kijamii

c) - Huzongomezwakwenyemadanguro.- Kufanyizwa kazi za sulubu na za kitopasi - Huishi maisha duni

d) Kichocheo / chanzo / kisababishi / dhana ya chachu / kiini / kizundushi cha

kuhamasisha maendeleoe) -KukitiakizazikizimakitanzinalmkiUambukizakwenyematatizokathiri

-Hawatakuwanakizazichapakazichausoni. - Watoto wengiwatazongomezeakatikamadanguro. - Watoto wengi watafanyizeakazi za sulubu nakitopas.- Watoto wengiwataishimaishaduni.- Itakuwa na matatizo mengi siku za usoni.-Nikuwakizazikitatiwakitanzikatikaishifighalazake.

f) -Sababu/madhumuni/kusudi/nia/azma/lengo- Tamaa / shauku / tamaa / uchu / kiu / hamu .

A14a) -Uwanjawasheria

- Ushahidi huweza kutolewa mintarafu ya kuona, kusikia, kugusa, kunusa?kuonj a. au ushahidi unaweza kutolewa mintarafu yahisiazote.

b) HushidwakumpelekamsomajiawempakananyanyazajuuzaufahamunafuAtasWndwakiiwasiiishamandhariHusWndwakumkamilishabinadamuawezekuyrfaidi

56

Page 57: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Msom^ihatawezakushirikimatukHakuna mfulisi kisanii. HushindwakuwasilishamandharihalisikwamsomajiHisi zisipotumia humfanyamsomaji asitafakari zaidiHftflumaza sanaaHudhalisha akili ya msomajiMsomaj i hataweza kuzama na kuelewa fikra za mwandishiMsomaji hataweza kufikia uamuzi kuhusu picha zinzochorwa lolotel x2(alama2)

c) i)- Ni ile ambayo mahusisha hisia zote tano ii)- Humkamilisha binadamu kufaidi maisha yakc.- Humpeleka binadamu katika nyanja ya juu ya fahamu yake.- Humpatiamandharikamiliyauhalisia.- Humwezesha msomaji kufikia uamuzi wa picha zinazochorwa.- Humwezesha msomaji kuzama katika matendo na kuelewa fikra za mwandishi.- Kukuza wasomaji kisanii.- Haitamflisi msomaji kisanii.-Haitadumaza msomaji

d) (i) muflisi kisanii - upungufu wa usanii/isiyojitosheleza /yenye kasoro/dosari/dhaifu, hafifu duni,chapwa(ii) jerehalamasaibu-shida/matatizo/machungu, taabu(ii) Kumuashiki janabi- kumfenya ampende/kufanya avutiwe/kumpenda, kumteka akilikimihamasisha,fanyatamani?tamanishaAiahamu/shauku(iv)umbuji-uttinzi/uflmdi/usardi/uimdaj

(alama4)

57

Page 58: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

58

Page 59: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

SEHEMUYAPILI( UFUPISHO )

B1Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali

Ili kupiga vita propaganda za wakoloni mamboleo katika vyuo vikuu vyetu, inafaa kutumia Kiswahili kufundisha masomo yote. Jambo hili ni la lazima na linawezakana kabisa, ingawa lina matatizo yake. Jambo linalotakiwa kufanywa ni kuchukua wananchi wenye elimu ya juu wakatafsiri fikra za wazalendo katika Kiswahili. Kwa njia hiyo, lugha ya wanachuo itakua ndiyo lugha ile ile ya umma.

Ni jambo la kuepukwakuwana lugha mbili ambazo zinasaidiakuwatenganaumma. Wasomi wetu watakuwa wamekaribia umma kwa kutumia lugha iliyozoelekea na umma wenyewe. Jambo linalotutinga ni hili: mara nyingi wasomi wengine waliozoea kutakalamu lugha ya kiingereza wanapojaribu kuwaeleza watu wengine jambo la kielimu au kitaaluma, hushindwa kabisa. Wao huchanganya sana maneno ya Kiingereza na Kiswahili hata kufikia kiasi ambacho mtu wa kawaida haelewi chochote.

Kwa kuwa wakoloni mamboleo wameelewa kwamba lugha ni kioo cha kiichuj ia utamaduni, iniaka ya hivi karibuni wamejifunza kwa dhati kuliko wakati mwingine kupigania ufundishaji wa lugha zao, hususan, kifaransa na Kiingereza. Wakati huo wao wanatoa porojo kuwa lugha ya Kiswahili haifai na kwamba ni lugha ya watumwa. Kwa mfano, utaona katika maandishi mengi kila wanapoorodesha lugha kuu za dunia. Kiswahili hakionyeshwi katikahizo.

Badala yake wanaki weka kwenye kiwango sawa na kiganda, Kikuyu, Kinyamwezi na lugha kadha wa kadha za kikabila. Hiyo na harakati kubwa ya kudanganya umma na kukivua Kiswahili hadhi yake ilhali lugha hii inatumiwa na zaidi ya watu milioni mia moja wanaosambaa katika sehemu mbalirnbali za ulimwengu. Kwa kutumia hila hii, wao wanawasadikisha watu wengi watu wengi ili wachukulie Kiswahili kama lugha nyingine ya kikabi la. Ndiposa hawa wakoloni mambo leo wanawashawishi baadhi ya watumiaji wa Kiswahili wastawishe lugha za makabila mbalimbali na kuonyesha kwamba umaarufu wa lugha hizo ni sawa na wa Kiswahili. Hayo bila shaka ni mawazo. Ukweli uliopo ni kwamba mawazo kama haya yaweza kuendeleza ukabila. Hata hi wo sharti

59

Page 60: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

tueleweke kwamba kusema hivyo si kudhalilisha umuhimu wa kukuza lugha za kikabila. Tusemacho ni kuwa ukuzaji wa lugha hizo ungekuwa na kusudi moj a kuu ambalo ni kustawisha Kiswahili kufikia ngazi za kimataif a

Swali ambalo ni muhimu kujiuliza ni hili: wakoloni - mamboleo wanatuonaje tunapokazania Kiswahili? Je wanaona ni faida kwao au kwetu? Jambo muhimu zaidi ni kutambua jinsi kiswahii kinavyotuwezesha kuungana na kuwa kitu kimoja. Ni dhairi kwamba wakoloni - mamboleo hawafurahii wanapoona Kiswahili kikituunganisha. Machoni mwao Kiswahili ni ishara mojawapo ya kujikomboa wetu kutokana na minyororo yao. Hivi si kusema kwamba hatupaswi kujifunza Kiingereza, Kifransa au Kijerumani, la hasha. Tunachosema ni kwamba tutumieKiswahili ambacho ni kioo cha utamaduni wetu.Maswali: (a) Mwandishi amesema nini kuhusu utengano kati ya umma na wasomi?

(maneno 30-40) (alam4)(b) Eleza pingamizi zilizowekwa na wakoloni -mamboleo ili kudunisha Kiswahili

(alam5)c) Kulingana na mwandishi ni sababu gani zinazo fanya wakoloni mamboleo

kupinga maendeleo ya Kiswahili? (alama 8)

60

Page 61: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

B2 UFUPISHOSoma habari ifuatayo kisha ujibu maswali ,

Mababu walituachia msemo maarufu kuwa "kuzaa si kazi. Kazi kubwa ni kulea." Busara iliyomo katika methali hii inatupambazukia peupe pindi tukianza maisha ya vij ana wa siku hizi katika jamii zote hasa zile za Afrika. Kwa upande mmoja, maisha ya vijana hawa yanaonyesha cheche ya matumaini kwa maisha ya siku za usoni kwa sifa zao za mori na kupenda kujaribu na kushika mambo upesi kama sumaku. Lakini kwa upande wa pili, tunashuhudia upotovu wa kimawazo ha hulka ambayo ndiyo kipingamizi cha kuendelea kwao kama raia wa kutegemewa.

Kuwanyeshea vijana'lawama na kashfa za kila aina hakufai wala haufui dafu katika juhudi za kuwaongoza na kuwalea. Kwa hili hatuna budi kusadiki. "mtoto umleavyo ndivyo akuavyo." Basi hivyo badala ya kuwashambulia vijana hatuna budi kupeleleza na kurekebisha mbinu zote tuzitumiazo za kuwalelea na kuwaelii nisha vijana wenyevve. Tutafanya hivyo kwa imani kuwa "mwiba uchomeako ndiko utokeako." Kiini cha matatizo ya vijana wa leo ni namna ya mwongczo na vielezo wanavyopokea kutoka kwa wazazi, waalimu, vie ngozi wa kijamii wakiwemo pia wale wa madhehebu tofauti na hasa kutokana na vyombo tofauti vy habari, vitabu, majarida, filamu, magazeti na kadhalika.

Jamii ina haki gani kuwashtumu vijana iwapo mzazi, tangu utotoni mwao amewahubiria maji na huku mwenyewe anakunywa mvinyo? Kama fasihi na mandishi mengine wanayobugia vijana yamejazwa amali, picha, j azanda na tas wira zinazo himidi ugeni na kutweza Uafrika, tutashangazwa na nini pale vijana watakapoanza kupania zile amali za ugenini? Iwapo jamii na mazingira wanamokulia vijana yanatukuza kitu kuliko.utu, hatupaswi kupepcsa macho nakukonyeza tunapowaona vijana wakihalifu shfcria zote kwa tamaya kujinufaisha binafsi.

Ni hoja isiyopingika kuwa kulea sio tu kulisha na kuvisha au kumpeleka mtoto shuleni. Sharti itambulikane wazi wazi kuwa sehemu kubwa ya elimu na mwongozo unaoathiri mienendo ya vijana na watoto haitokani na yale waambiwayo bali hasa yote wanayoshuhudi kwa macho na hisia zao.

61

Page 62: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(a) Katika aya ya kwanza, maisha ya vijana wa kisasa yameelezwaje? (alama 6)

(maneno25-30)(b) Kwa nini vijana hawapaswi kulaumiwa kulingana na mw^andishi? (alama 8)

(Maneno30-35)c) Elezasifazamalezibora (alama6)

(maneno 20-25)

62

Page 63: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

B3MUHTASARISoma habari ifuatayo kisha ujibu maswali

Vijana wengi wake kwa waume, walikuwa ndio tu wakamilishe shughuli ya kusajiliwa chuoni. Walikuwa bado nadhari zao zimetekwa na ugeniy hawajapata starehe akilini mwao wala kujisikia wamekaribia kama kwao nyumbani. Kwa hakika mazingira yale mpya yalikuwa yanawapa kiwewe kidogo au tuseme hata woga kiasi. Kusema kweli, kwa wakati ule walikuwa hawajui ni maisha ya namna gani yanayowasubiri mahali pale. Hawakuweza kukadiria kwa uyakinifu wowote iwapo makaazi yao pale ya rniaka minne mizima kuanzia wakati ule, yangekuwa ya; ufculivu na raha au pengine yangeondokea kuwa ya roho juu juu na matatizo chungu nzima Walisubiri.

Walimsuburi Mkuu wa Chuo aingie wamsikize atakalosema, kisha ndipo waweze kubashiri vyema mkondo wa maisha yao utakavyokuwa. Lakini j insi walivyosubiri mkuu wa chuo aingie ukumb i ni ndi vyo wayo wayo 1 ao lilivyozidi kuwacheza shere, Waliwaza ugeni jamani kweli ni taabu. Mawazo mengi yaliwapiti bongoni mwao. Wakawa kimya ukumbi mzima, kama kwamba wamekuja mazishini badala ya kuja kusoma. Waliwaza na kuwazua.I Waliona au pengine walidhani kuwa kila kitu ni tofauti.

Wanafunzi hawa waliona tofauti nyingi kati ya mambo pale chuoni na yale waliyokuwa wameyazoea. Kwa mfano, Mwalimu mkuu hapa hakuitwa 'headmaster' kama kule katika shule za msingi na vilevile shule za upili, bali aliitwa 'vice-chancellor'. Nyumba zakulala hazikuitwa 'dormitory' au 'mabweni' kama walivyozoea, bali ziliitwa'halls' kwa sababu sio kumbi za aina yoyote ile bali ni nyumba hasa zenye vyamba vya kulala, kama nyumba nyingine zozote zile. Shule yenyewe haikuitwa shule au skuli, au hata chuo kikuu kama walivyozoea kuiita walipokuwa shule zao za upili huku, bali hapa wenyewe wenyeji waliita kwa majina mengine kabisa!. Mara Uni versity, mara Zutafindaki, mara Ndaki kwa ufupi, mara Jamahiriya na kadahlika na kadhalika. Waliwaza kweli mahali hapa panaweza kumkanganya mtu! Kwakweli kabisa panaweza kumzubaisha mtu hadi kufikia kiwango chakuonekana kama zuzu! Hata hivyo hawakuvunjika moyo, bali walipiga moyo konde wakanena kimoyomoyo: potelea mbali!

63

Page 64: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Ukiyavulia nguo yaoge! Walikuwa wamo katika hali hii ya kurandaranda katika ulimwengu wa mawazo pale katika ulimwengu mwingine kabisa usiofanana hata chembe na ule waliouzoea, Mkuu wa Chuo alipoingia.

Kuingia Mkuu wa Chuo, wote walisimama kwa pamoja na kwa mjiko, wamekauka kama askari katika gwaride. Kuona hivyo, Mkuu wa Chuo akawaashiria wakae tu, bila kujisumbua. Kicheko kikawatoka bila kukosa adabu na heshima, kisha wakakaa kwa makini. Ndio mwanzo wakajisikia wamepoa.

Kuona kuwa sasa wametulia na wamestarehe, Mkuu wa Chuo akaanza kwa kuwaamkua, kisha akawajulisha kwa wakuu wote wa vitivo mbali mbali na idara mbalimbali waliokuwa wamekaa pale jukwaani alipo yeye upande huu na huu.

Kufika hapo, alaka ikawa imeungwa baina ya wenyeji na wageni wao. Kila mtu akaona mambo yamesibu tena; huo bila shaka ni mwanzo mwema, na kama ilivyosemwa na wenye busara, siku njenia huonekana asubuhi. Hii kwa wote ndiyo asubuhi: na si asubuhi tu, bali ni asubuhi njema si haba. , .......(Baadaya kila swali umeachrwa nafasiya kuandaliajibu lako kablaya kuliandiku kikamilifu)a) Ukirejelea aya ya kwanza na ya pili, eleza wasiwasi wanafunzi

waliokuwa nayo wakati wakisubiri (maneno 45-55) (alama7)

(b) Ni mambo gani mageni ambayo wanafunzi hawakuyazoeleshwa katika kifungu?

(Maneno25-30) (alama3)(c) Bila kubadilisha maana, fupisha aya tatu za mwisho kwa kutumia

maneno yako niwenyeweTumia maneno 40-45 (alama10)

64

Page 65: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

B4UFUPISHOSoma makala haya kisha ujibu maswali yanayofuata

Lugha ya Kiswahili ni lugha iliyoendelea sana. Leo hii lugha hii inasemwa na watu wote nchini Tanzania, Rwanda na Burundi. Inasemwa na watu wote nchini Kenya. Nchini Uganda, Zaire, Malawi, Msumbiji, Zambia, Somalia, Bukini (Madagascar) na Ngazija (Comoro), inasemwa na asilimia kubwa kubwa za wananchi wa huko. Aidha lugha hii ina wasemaj i si haba katika kisiwa cha Soktra na nchini Oman.

Fauka ya maendeleo haya, Kiswahili kinatumika kwa minajili ya matangazo ya habari katika idhaa nyingi za mashirika ya habari ulimwenguni. Nchi zenye idhaa za Kiswahili ni kama vile hizi zetu za Afiika ya Mashariki na ya kati, Afrika ya Kusini, Nigeria, Ghana, Uingereza (Shirika la B.B.C), Marekani (Shirika la V.O.A), Ujerumani (Shirika la Radio Duetch Welle, Cologne), Urusi (Radio Moscow), China, India na kadhalika.

Maendeleo mengine yanapatikana upande wa elimu, Marekani peke yake, kuna vyuo zaidi ya mia moja vinavyofundisha Kiswahili kama lugha muhimu ya kigeni. Huko Uingereza, vyuo kama London, Cambridge na Oxford vinafundisha lugha hii. Nchi nyingine ambazo zina vyuo vinavyofunza lugha ya Ki swahili ni kama vile Japan Korea, Ghana, Nigeria na kadhalika.

Kweli Kiswahili kimeendelea jamani. Lakini kilianza vipi? Na ilikuwaje kikaweza kupiga hattia hizi zote?Kiswahii kilianza kuzungumzwa na kabila dogo la watu waliokuwa wakiitwa Wangozi. Watu hawa walikuwa wakiishi maliali palipoitwa Shungwaya. Shungwaya ni nchi ya zamani iliyokuwa eneo lililoko katika nchi mbili j irani ambazo siku hizi ni Kenya na Somalia. Kabila hili la Wangozi liliishi jirani na makabila mengine kama vile Wamijikenda, Wapokorno, Wamalakote, (au Waelwrana) na Wangazija (kabla hawajallamia visiwa vya ngazija). Lugha ya Wangozi siku hizo, ambayo ndiyo mzazi wa Kiswahili cha leo, ilijulikana kwa j ina Kingozi. Kama ilivyosemwa hapo awali, Kingozi kilisemwa na watu wachache sana.

65

Page 66: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Je, lugha hii ilikuwaje mpaka ikapata mendeleo haya makubwa tunayoshuhudia siku hizi? Ama kwa hakika, Kiswahili ni lugha iliyobahatika tu. Inaweza kusemwa kwamba lugha hii ilipendelewa na mazingira na historic.

Jambo la kwanza wageni waliotoka Mashariki ya kati kufikia hizi janibu zetu za Africa ya Mashriki walikaribishwa vizuri na hawa Wangozi. Wakaingiliana wageni na wenyeji kindakindaki, kjdini, kitwala, kibiashara na kitamaduni kwa jumla. Punde si Punde Wangozi, ambao walijulikana kama Waswahili na wageni hawa, wakaelimika katika dini (ya Kiislamu), biashara na mambo ya utawala aina mpya. Lugha yao nayo ikapanuka pale ilipochukua msamiati wa kigeni hususan wa Kiarabu na Kiajemi na kuufanya uwe wake, ili kueleza kwa rahisi zaidi mambo haya mageni katika taaluma za dini, biashara, siasa na hata sayansi kama vile unajimu. Wakati huo lugha ya Wangozi sasa ikitwa Kiswahili wala si kingozi. Tatizo hapa ni kuwa kwa vile Kiswahili kilichukua msamiati mwingi wa kigeni ili kuelezea taaluma hizi mpya, baadaye kimekuj ashukiwa kwamba ni lugha ya kigeni ilhali ni lugha ya kiaftika asilia, na kitovu chake ni nchi mpya za Kiafrika ziitwazo Kenya na Somalia hii leo.

(a) Thibitisha kuwa Kiswahili kimekuwa lughayakimataifa (maneno 35-40) (alama 6)(b) Eleza kwa ufupi asili ya Kiswahili hadi kuja kwa wageni (maneno20-25)

(alama 4)(c) Ukitumia maneno yakomwenyewe, elezaujumbe uliomo katika ayayamwisho

(maneno 50-60) (alama 10)

66

Page 67: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

B5UFUPISHOSoma makala yafuatayo kisha ujibu maswali

Siku hiyo nilipitia mahali hapo kama yalivyokuwa mazoea yangu. Nilimuona yule mtu amelala pale pale, hatingishiki, kama nilivyokuwa nikimuona siku hizi zote, mwaka nenda mwaka rudi. Nilisimama huku nikishangaa kwa mara nyingine tena.

Nilikuwa najitayarisha kujiendea na hamsini zangu mtu huyo alipojipinda kwa mbali sana. Kwa hakika nilidhani macho yangu yananihadaa. Nikayakodoa zaidi ili nione vizuri zaidi ibura iliyonifunikia pale. Kwa muda, hakuna lililotendeka. Nikafikicha macho yangu nikitumia nishati yote iliyomo mwilini mwangu ill niyatoe matongo ambayo nilituhumu kwamba yalitia zingezinge nadhari yangu kiasi cha kunifanya kutoona barabara. Nilipohakikisha ya kwamba ni akili yangu tu iliyokuwa imenihadaa, nikaamua kuendelea na safari yangu kwenda kujitafutia riziki.

Hatua ya kwanza na ya pili, moyo haukunipa. Sauti katika kilindi cha moyo wangu.ikanisihi na kunitafadhalisha nitazame nyuma. Kutupa jicho nyuma, nikamnasa mtu huyo akigeuka! Nikashtuka sana! Jambo la kwanza nilidhani macho yameingiwa na kitu kilichoyafanya kuona mambo yasiyokuwepo. Pili nilidhani iwapo niliyoyaona yana msingo wowote, basi huenda ama nina wazimu, au yule mtu ni mzuka, hasa kwa vile ilionekana ni mimi tu nimuonaye. Nilikuwa nike katika hali ya kufanya uamuzi kuhusu dhana zangu hizi aina aina mtu huyo alipojigeuza, kisha akafunua macho! Moyo ulinienda mbio. Nilitaka kutifua vumbi ili wazimu usinizidie, lakini sikupata nafasi. Mtu yule alijizoazoa na kuketi kitako. Kisha akatokwa na maneno katika lugha iliyofanana sana na Kiswahili. Niliyaelewa aliyokuwa akisema

Ajabu ya maajabu, mtu yuyo alidai ya kwamba tangu alio lala kivulini hapo tangu jana baada ya chakula cha mchana, hakuota ndoto hata moja bali usingizi wake ulikuwa mithili ya gogo! Sasa nilikuwa na hakika kwamba ikiwa mimi sina wazimu basi kiumbe yule aliyevaa ngozi iliyochakaa sana katika rnpito wa miaka hakika ana wazimu. Nilitaka kuhakikisha, hivyo nilimkumbusha kwamba amelala mahali hapo kwa muda wa miaka mingi sana.

67

Page 68: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Kusikia hayo alianza kunikagua. Akasema nimevaa kizungu. Akanitajia tofauti nyingi baina ya vijana aliowazoea na mimi. Mwisho wa yote akaniuliza kama siku hiyo si tarehe kumi na nane mwezi wa pili mwaka wa 1897. Nikadhani anafanya mzaha kwa hivyo nikacheka. Nilipoona kicheko changu kinamuudhi, nikamwambia siku hiyo ni tarehe kumi na nane mwezi wa pili mwaka wa 1997. Nilipoona ameshangaa kwa dhati, nikagundua ukweli. Alikuwa amelala kwa karnenzima!

Maswali (Baada ya kila swali umeachiwa nafasi unayoweza kuitumia kuandalia jibu lako kabla ya kuliandika kikamilifo)(a) Eleza hoja nne muhimuzinazojitokeza katika aya tatu za mwanzo

(Maneno 75-85) (alama 12) NakalachaJEu:B) Kwa maneno yako mwenyewe, fupisha aya mbili za mwisho bila

kubadilisha maana. (Tumia maneno 40-50) (alama 8)

68

Page 69: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

B6UFUPISHOSoma makala yufi atayo kisha ujibumaswali

Raha ni kitu gani? Je ni kitu kizuri au kibaya ? Mbona kila mtu hupigania na kama ionekanavyo, kila aionjaye hatimaye hunrvvunguza? Au pengine wakop wengine wasioungua? Hebu basi tuzingatie wale wasemekanao huitafuta sana raha na penginepo wakafanikiwa kuipata.

Chukua mfano wa msichana na mvulana wapendanao. Hawa wawili wanapopendana, lengo lao huwa ni kuoana na wakishaoana, waishi raha mustarehe milele. Hata hivyo, jambo la kwanza ni kwamba hata kabla hawajaoana, wanadhikika na kudhikishana kwa kutaka sana kuaminiana lakini kwa vile ni binadamu, wanatiliana shaka akila wanapokuwa mbali mbali. Watu hawa hulaumiana lakini kwa vile ni binadamu, wanatiliana shaka kila wanapokuwa mbali mbali. Watu hawa hulaumiana si mara haba wakati wakiwa wapenzi. Mara kadha wa kadha husameheana na kuendelea na mapenzi. Baadaye wakiwa na bahati huoana.

Mara tu wanapooana hugundua kuwa huko kuishi raha mustarehe ilikuwa ni ndoto tu ya ujana iliyotengana kabisa na uhalisia. Uhalisia unapowabainikia huwa ni kuendelea na huko kudhikishana, kutoridhishana, kutiliana shaka, kuombana msamaha na kuendelea tu.

Ama tumwangalie mwanasiasa. Huyu anapigania usiku na mchana ili awe mjumbe. Mwisho anachaguliwa lakini afikapo bunge, anakuta hakuna anayemtambua kama Bwana mkubwa. Inambainikia kwamba ubwana-mkubwa

69

Page 70: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

hautegemei kuchaguliwa tu bali unategemea mambo mengine pia, kama vile pesa nyingi magari makubwa makubwa, sauti katika jamii na wadhamini wanaotambulikana. Ralia kwa mwanasiasa huyu inakuwa mithili ya mazigazi tu, "maji" uyaonayo kwa mbali wakati una kiu kali sana, kumbe si maji bali ni mmemetuko wa jua tu.

Mwingine na kupigiwa mfano ni msomi. Huyu huanza bidii yake akiwa mdogo sana. Lengo lake huwa ni atambuliwe kote kwa uhodari wake katika uwanja wa elimu. Basi mtu huyu husoma mpaka akaifikia daraja ya juu kabisa yausomaji. Akapata shahada tatu : yaukapera,ya uzamili na ya uzamilifu. Akajiona yuu peoni mwa ulimwengu. Akatafuta kazi akapata. Kisha akagundua kwamba watu hawakijali sana kisomo chake. Wakamwona ni kama mwehu tu. Fauka ya hayo wakamlaumu kwa kupoteza muda wake mwingi kupekuapekua vitabu wakamfananisha na mtu mvivu.

Mwisho tuangalie mfano wa mwanamuziki. Huyu analaghaika na wazo la kwamba sauti yake ikiwaongoa watu, atapendwa sana na wengi na kuwazuzua wengi kama mbalarnwezi au kuwaongoza kama nyota. Mtu huyu anapofikia kilele cha malengo yake, hata husahau kama ni binadamu wa kawaida, akawa anai shi katika muktadha wa watu kuzirai kwa sababu ya akili kujawa pomoni na upungaji wake. Watu hutamani hata kumgusa tu. Hata hivyo, mtu huyu huishia kujisikia mkiwa pale wakati unapowadia wa kupumzika. Je, raha yote huwa imekimbilia wapi?(a) "Mapenzi ni kuvumiliana". Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jinsi

msemo huu ulivyo muhtasari mwafaka wa aya ya pili na ya tatu ya habari hii(Maneno 30-35) (abmiaS) Nakalachatu:

(b) Kwa muhtasari, raha ni "asali chungu" Fafanua dai hili huku ukirejele mwanasiasa, msomi na mwanamuziki (Maneno 45-55) (alama 12)

70

Page 71: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

B7UFUPISHO

Yusuf Bin Hassan, Mflame wa mwisho wa halali wa Mombasa, alijitayarisha kuihama himaya yake. Alikuwa amewashinda Wareno, mahasimu wake, vibaya, lakini alijua watarudi na watamwadhibu vikali. Hivyo basi, badaa ya kusubiri waje wazitie baruti nyumba na kuzilipua, badala ya kungojea waje wawachinje raia wake kama kuku, badala ya kungoja ashuhudie minazi yote kisiwani na miti mingine ya manufaa kukatwakatwa na maktii hao, badala ya kuj itayarisha kichwa chake kukatwa j uu ya gongo, na mwili wake kuchanjwa vipande vipande aliamua auchome yeye mwenyewe mji, fauka ya kuikatakata miti yote ili Wareno wakija wasikute chochote cha kuvutia macho na watokomee kabisa. Alijua asipotekeleza uamuzi huo mkali, basi Wareno watakuja na hasira zote na kuadhibu waliomo na wasiokuwemo, kama walivyofanya

Unyama uliofanyika huko alikuwa ameusikia ukisimuliwa marazisizohesbika. Katika masimulizi hayo, alikua amesikia ya kwamba Falme hiyo ya Faza ilipoasi utawala wa kireno, askari wa Kireno, chini ya uongozi wa Martin Affenso de mello, walifanya unyama hapo mjini Faza ambao ulikuwa haujawahi kutokea, hata katika mawazo. Inavyosemakana ni kwamba Wareno waliamua kuangamiza chochote chenye uhai, hata wanyama na miti na wakautimiza muradi wao. Ajabu ni kwamba hata kasisi aliyeheshimika sana wa Kireno enzi hizo, baba Joan Dos Santos, aliunga mkono tukio hili akisema ya kwamba wafaza walistahili kuadhibiwa. Hakuna mtu hata mmoja upande wa Wareno aliyekilaani kitendo cha kutisha.

Hii ndiyo sababu Mfalme Yusuf na raia wake walipowazima wareno hapo Mombasa, aliwaamuru watu wake wahame, na yeye mwenyewe auangamize mji na chochote kilichomo, ili Wareno watakapokuja kulipiza kisasi wasikute chochote cha kuvutia.

Uamuzi mwingine aliofanya ni wa kivita. Aliamua ya kwamba Wareno hawawezi kushindika mahali pamoja pamoja kama vile Mombasa. Ilibainika kwamba ili kuwakomesha kabisa ilibidi watu wajitolee kuwashambulia kwenye vituo vyao vyote katika mwambao mzima wa mashariki ya Afrika. Baada ya kuamua hivyo aliendaUarabun kutafuta silaha ili atekeleze azimio lake.

71

Page 72: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Alipopata zana za kutosha, ikiwa ni pamoja na silaha na meli, alianza kupambana na Wareno huko Uarabuni, mahali paitwapo Shihr. Halafu alielekea mwambao wa pwani ya Africa Mashariki ambako aliungwa mkono kila mji alioenda. Alifika hata Msumbiji ambako aliwasumbua sana maadui zake. Mwisho alikita makao yake Bukini ambako aliendelea kuwashambulia Wareno kokote walikokuwa.(a) Eleza sababu zilizomfanya Mfalme Hassan kuuangamiza mji wake, na

halafu kuuhama (maneno 30-40) (alama5)

(b) Ukitumia maneno yako mwenyewe na bila kupoteza maana, fupisha kuanzia aya ya pili hadi mwishc wakifungu. (Maneno 75-80) (alanial2)NakalachafuJibu

72

Page 73: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

B8UFUPISHO

Vipindi mbalimbali vya historia vimeshuhudia kuibuka kwa magonjwa ya ajabu. Magonjwa hayo yamehahangaisha watu na kuzishughulisha bongo za wanasayansi na madaktari katika kutafuta tiba. Magonjwa kama vile tauni, kifua kikuu, homa ya matumbo na ndui ni baadhi ya yale yaliyotisha saria nyakati fulani za historia ya binadamu. Magonjwa haya yaliwauwa maelfu ya watu nakutibua mifumo na taratibu za maisha ya watu.

Hata hivyo magonjwa hayo yaliweza kuchunguzwa na kutafutiwa tiba kabla ya kumaliza kabisa kizazi cha binadamu. Lakini hii baada ya kuwasukuma maelfu ya watu kaburini. Ulimwengu wa sasa unashuhudia janga jingine la maradhi sugu ya Ukimwi. Neno "UKIMWI" lilitolewa kutokana na athari za ugonjwa huo mwilini. Neno' "UKIMWI humanisha Ukosefa wa Kinga mwilini, ambapo herufi za kwanza za maneno matatu ziliunganshwa pamoja na kuunda neno hilo. Ugonjwa huu ambao tayari umewaua mamilioni ya watu kote ulimwenguni unazidi kuenea kwa kasi, mfano wa moto katika kichaka. Kutokana na kasi yake ya kuua watu, ugonj wa wa UKIMWI umepewa majina kama vile 'umeme’ 'napia 'ugonjwa wa vijana'. Watu wengi wanaoambukizwa virusi vya UKIMWI ni wale walio na miaka kati ya 15 hadi 49. Kundi hili kwa kweli ndilo, linalohesbiwa kuwa na nguvu za kutunza jamii kwa njia nyingi. Iwapo wengi katika kundi hili watakumbwa na maradhi haya, watasalia wakongwe na watoto wasioweza kujimudu.

Nchini Kenya, UKIMWI uligunduliwa kwa mara ya kwanza mnamo mwaka wa 1984. Kufika mwezi wa Juni 1996, inakisiwa kuwa ugonjwa huu ulikuwa umewaua watu wapatao 65,647 nchini. Hivi sasa, inasemekana kuwa takriban watu zaidi ya 500 hufa kila siku nchini Kenya kutokana na janga hili. Aidha, imethibitishwa kwamba takriban watu milioni mbili u nusu tayari watapoteza maisha yao kutokana na kuambukiza virusi vya ugonj wa huu humu nchini. Maradhi haya sasa yamekuwa janga la kitaifa.

Kutokana na kuongezeka kwa visa vya UKIMWI, hospitali na zahanati nyingi kote nchini zinashindwa kukidhi mahitaji ya wagonjwa. Kwa hivyo makundi ya kujitoleanamashirika mbalimbali yameundwa ili kuwahudumia wagonjwa wa UKIMWI. Baadhi ya makundi hayo hutoa tiba ya kisaikolojia

73

Page 74: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

pamoja na kuwapa ushauri wa hima yakuishi,badala ya kukata tamaa. Wagonjwa wengi pia huishia kutibiwa nyumbani kwao.

Lakini jambo la kuzingatia ni hili, tujifunze kutokana na historia. Tuwe na matumaini kwamba siku moja tiba ya ugonj wa huu itapatikana. Hii ni kwa sababu tumethibitishiwa haya kutoka katika historia yetu wenyewe. Ikiwa magonjwa yaliyosababisha vifo vya wengi kutokana na ukosefu wa tiba yalitokomezwa kupitia juhudi za kimatibabu, sembuse huu ugonjwa tulio nao sasa? Huku tukijikinga kutokana na maradhi haya tusife moyo bali tuwe na matumaini kwani subira huvuta heri.(a) Kwa kutumia maneno yako mwenyewe na bila kupoteza maana,

fupisha aya nne za mwanzo (maneno 90-100 ) (alama3kwamtiririko) (alama 12)

(b) Eleza mambo yanayoleta matumaini kwa wagonjwa wa UKIMWI kulingana na aya tatu za mwisho (Maneno40-50) (alama 1 kwa mtiririko) {alama 4)

Nakalachafu

74

Page 75: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

B9UFUPISHOSoma makala yafuatayo kisha ujibu maswali

Ukiwa mtoto unadhani ulimwengu ni kipande cha keki kilicho kitamu mithili ya asali. Hakuna dhiki, hakuna mateso, hakuna kuhuzunika kwa aina yoyote. Neno huzuni linasikika masikioni kama neno lisiloelekea kwenye uhalisia wowote. Kwa watoto dunia imejaa raha starehe na vicheko visivyoisha. Maisha ni ahadi njema, yenye iriatokeo ya kufarahishanakustareheshatu. Sio KUDHIKISHA NA KUHUZUNISHA.

Huyu tunayemzungumzia hapa ni mtoto mdogo ambaye hajajua kubainisha kitendekacho mkono wake wa kushoto na kile kinachofanyika hasa katika mkono wake wa kulia. Hata hivyo, jinsi mtoto anavyoendelea kukua na kufahamikiwa na mambo, vigambo na kadhia zinazoendelea katika mazingira yake, anabainika na mengi machungu ambayo huleta huzuni, sio raha.

Hebu tuanze na nyumbani kwao mtoto. Aghalabu, watoto wote hupendwa kwao nyumbani, iwapo wazazi wao ni watu wangwana na wana nafasi ya kulea watoto wao bila taabu. Hata hivyo watoto huchapwa pale wanapokuwa watundu, jambo ambalo huwahuzunisha sana, japo ni wajibu wa wazazi sababu, kama isemwavyo, mcha mwana kulia hulia yeye. Pili, inajulikana wazi kwamba watoto wengi siku hizi huenda shule. Huko shule, wao hupendelea sana kucheza kuliko kusoma. Ili wasome kama inavyotakikana, ni sharti waelekezwe barabara katika njia hiyo na walimu wao. Katika kuelekezwa huku, walimu wanaweza kulazimika kuwaacihibu, hasa wale ambao huzembea

75

Page 76: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

na kutofanya kazi zao wanazopewa kufanya nyumbani kama kawaida ya mfiimo wa shule ilivyo. Watoto wa aina hii wanapotiwa adabu raha hujitenga na huzuni huwatawala. Huzuni, hivyo basi, inaonekana ya kuwa ni uso wa pili katika maisha ya mwanadamu, uso wa kwanza ukiwa raha. Na kwa hakika wanapohuzunika watoto peke yao. Kila mtu duniani ni sharti katika wakati mmoja au mwingine azongwe na huzuni. Inajulikana wazi kwamba wanadamu wote hawapendi huzuni as i hmi na hakika kabisa kila binadamu huchukia huzuni na kustahabu raha. Hata hivyo raha humjia binadamu kwa nadra sana ilhali huzuni humvami wakati wowote hata akiwayumo katikati ya kustarehe. Si inajulikana dhahiri shahiri kwamba hakuna mtu asiyewahi kuonja huzuni, japo wapo watu wengi kweli kweli wasiowahi kuonja raha nfi; ushani mwao.

Zingatia mtoto anayezaliwa halafu wazazi wake wanaaga dunia, pengine katika ajali, kabla i ntoto mwenyewe haj aweza kujikimu. Mtoto huyu anaishi kutegemea jamaa za wazazi wake. Watu hawa wasipoku wa na nafasi wao wenyewe kimaishapamoja na ukarimu unaohitajika basi mtoto anateseka na kuhuzunika sana katika maisha yake yote. Ama zingatia mtoto anayetupwa na mamake kijana, aliyempata bila kupanga. Hata mtoto hi lyu akiokotwa na kulelewa na wahisani, maisha yake yatakuwa ya taabu, dhiki na huzuni. Au zingatia mtoto anayel elewa na mama wa kambo ambaye babake ni mlevi na analojua ni kurudi nyumbani usiku akiimba nyimbo za ki k vi, kuita mkewe kwa sauti kubwa kuitisha chakula na kufurahia kupiga watoto wote na mama yao ndipo apate usingizi mnono. Mtoto mwenye baba wa aina hiyo atakayoijua ni huzuni tu, si raha asilani.(a) Ukitumia maneno yako mwenyewe na bila kupoteza maana, fupisha aya i me za

mwanzo(maneno-l00) (alamal0)Nakalachafu

(b) Ukizingatia ayayamwisho eleza hali mbalimbali zinazowatia watoto huzuni (maneno 40-45)(alama 6)Nakalachafo -

76

Page 77: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

B10UFUPISHO

Maendeleo ya taifa hutegemea jinsi wananchi wanavyojitolea katika kulibingirisha gurudumu la uchumi wao. Kila mwana jamii ana hitaji kujibidiisha katika kazi au taaluma yake. Mzalendo yeyote yule hupata motisha ya kufanya kazi iwapo anaweza kupata ile kazi aliyokuwa akitamani.

Kumakinika katika taaluma Fulani si jambo jepesi na huchukua muda kutengenea. Kwa mfano, ili mhazili apate staha ya uhazili sharti apitie ngazi mbali mbali. Mwanzo kabisa lazima ahitimu vyema katika masomo rasmi ya darasani. Masomo hayo pamoja na cheti huweza kumpa fursa ya kujiunga na vyuo mbalimbali vya uhazili. Anapojiunga na vyuo hivyo ndipo safari inapoandaliwa. Kukamilisha safari hii anahitaji muda wa miaka minne -mitano. Anapohitimu huwa tayari ameimudu shughuli hiyo. Wengi waliokwishapata ujuzi huo wa uhazili huona kuwa hawatapata kazi nzuri yenye mshahara mkubwa. Baadhi yao hujilinganisha na wale wenzao ambao katika masomowana utaalamu kama wao. Ijapokuwa wote ni wahazili, viwango vyao ni tofauti na mishahara pia hutofautiana. Tofauti hapa ni daraja zao za vyeo. Baada ya kuhitimu na kupata vyeti vya uhazili ni rahisi kupata au kutopata kazi zenye ujira wa kuvutia. Anayefanikiwa na safari ya kujikakamua hasa kwa upande wa uzingatifu wa kazi kikamilifu na kutunza hadhi ya ofisi yake.

Kuna mashirika makubwa yanayo jiweza kiuchumi, ambayo raslimali yake ni imara. Mashirika madogo huwa yana raslimali yenye kuyumbayumba. Mashirika haya yana wahazili na wafanyikazi ambao hupata mishahara duni. Wafanyikazi wote hao hufanya kazi kwa kutokuwa na uhakika wa kulipwa mwisho wa mwezi. Watu kama hao hawawezi kutilia maanani kazi zao. Mashirika mengine hayana utaratibu maalum wa kulipa mishahara kwa vile hutegemea utu wa mkurugenzi. Baadhi ya wakuu hao huwa na chama cha kupigania haki za wafanyikazi. Wakati wanapotafuta kazi, wahazili wengi huwa ni wahitaji na hukubali chochote wanachopewa.

Wale waliobahatika kupata nafasi ya ajira katika kampuni kubwa za kimataifa, mishahara huwa ni ya kutia moyo. Katika dunia hii wahazili wana vibarua vigumu, kwa sababu lazima wapate tajriba na uzoefu wa taaluma inayoendelezwanashirika Fulani. Mhazili sharti azoee istilahi zinazoturniwa.

77

Page 78: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Wakurugenzi mara nyingi huwa hawana subira. Mhazili ampotumiamsamiatiusioendasambam Wavumilivumiongoni mwao hula mbivu. Hawa hawafi moyo bali hujitahidi zaidi ili wasikumbwe na kimbunga cha kufokewa. Kuna wengine ambao humwagaung&(a) Bila kupoteza maana iliyokusudiwa na mwandishi wa taarifa,

fupisha aya ya kwanza na aya pili (maneno 60-70) (alama2 kwamtiririko). (alama5)

(b) Kwa kuzingatia aya mbili za mwisho, eleza mambo muhimu yanayoshughulikiwa na mwandishi (maneno 60 -70) (alama2kwamtiririko) (alama5)

78

Page 79: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

B11UFUPISHO

Ujambazi wa kimataifa ni tatizo lililowasumbua walimwengu kwa muda mrefu sana. Serikali nyingi zimetumia pesa nyingi kwa miaka mingi sana zikijitahidi kupambana na janga hili. Hata hivyo, fanaka hajapatikana, wala haielekei kamwe kuwa itapatikana leo au karne nyingi baadaye.

Yumkini tatizo kubwa lililopo ni kuhusu jelezi la dhana ya “ujambaz” tena “wa kimataifa”. Hili ni tatizo mojawapo na yapo mengi sana. Tatizo la pili ni kiburi. Kuna wale watu binafsi na hasa viongozi wa nchi kubwakubwa na serikali zao zilizojiaminisha kuwa ujambazi ni balaa kweli, tena belua, Jakini huo ni wa huko, wala hauwezi kuwagusa licha ya kuwashtua wao.

Kulingana na maoni ya watakaburi hao, ujambazi ni wa watu 'washenzi’ wasiostaarabika, wapatikanao kaiika nchi zisizoendelea bado. Ujambazi pekee wanaouona unafaa kukabiliwa ni dhidi ya mbubujiko wa madawa ya kulevya uliosababishwa na vinyangarika kutoka nchi hizo maaluni za "ulimwengu wa tatu''. Kulingana na wastaarabu wa nchi zilizoendeiea. Vinyangarika hivi ndivyo hasa adui mkubwa wa ustaarabu uiimwengunj na ni sharti vifagiliwe mbalibila huruma. Baada ya kusagwasagwa. Ulimwengu ustaarabu utazidi kutononoka na ahadi ya mbingu hapa ardhini itakamilika.

Imani ya watu hawa ya kuwa ujambazi wa kimataifa, hata i wapo upo. hauwezi kuwashtua wala kuwatingisha wao ilikuwa kamili na timamu hadi hapo mwezi Septemba tarehe 11 mwaka wa 2001, ndege tatu za abiria zilipoelekezwa katika majumba mawili ya fahari, yenye urefu wa zaidi ya ghorofa mia moja kuyatwangilia mbali. Mshtuko na kimako kwa kuwa,kabla ya siku hiyo, Wamarekani hawange wezakudhani kwamba ingewezekana taifa lolote an mtu yeyote kuthubutu kuishambulia nchi hiyo, taifa wasifa lililojihami Barabara dhidi ya aina yoyote ile ya uchokozi kutoka pembe lolote la dunia

Hakuna ulimwenguni mzima, aliyeamini kuwa Marekani ingewezakushambuliwa. Kwa ajili hiyo, mshtuko uliitingisha ardhi yote na huzuni ilitanda kote, kana kwamba-sayari nzima imeshambuliwa, wala sio Marekani pekee.

Mintarafu hiyo, Marekani ilipolipiza kisasi kwakuwaunguza waliokuwemo na wasioknwemo kwa mabomu hatari huko Afghanistan, idadi kubwa ya watu

79

Page 80: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

duniani ilishangilia na kusherehekea. Kwa bahati mbaya, tafsiri ya shambulizi la minara-pacha ya Newyork na Pentagon, uti wa uwezo wa kivita wa Marekani, ilizorota. Kuna wengi waliodhani huo ni mwanzo wa vita vya Waislamu dhidi ya Wakristo na kwa muda, Waislamu wote wakashukiwa kimakosa kuwa ni majambazi wa kimataifa.(a) Bila kubadilisha maana, fupisha aya tatu za kwanza (maneno 65-

75) (alama 10,2 za utiririko) Matayarisho Nakalasafi(b) Ukizingatia aya tatu za niwisho. Fafanua fikira ZA WATU na mambo yote

yaliyotokea baada ya Septemba tarehe11, 2001(maneno 65-75)

80

Page 81: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

B12UFUPISHO

Ajira ya watoto ni tatizo sugu linalokumba ulimiwengu wa sasa, hasa katika nchi zinazoendelea. Jambo la kusikitisha ni kwamba hivi ndivyo vilivyo, katika nchi nyingi za ulimwengu huu. Kuna idadi kubwa ya watoto wanaoajiriwa katika nyanja mbalimbali za jamii. Zipo sababu nyingi zinaowasukuma watoto kutafuta ajira barani Afrika kwa mfano, familia nyingihuishi maisha y ufukara hivi kwamba hushindwa kuyatimiza mahi taj i muhimu hususan kwa watoto. Kupanda kwa gharama ya maisha kunazidisha viwango vya umaskinL Ukosei 11 wa lishe pia huwafanya watoto kutoroka nyumbani kutafuta ajira. Janga la UKIMWI limesababisha kuwepo kwa idadi kubwa ya mayatima wanaoishia kutafuta ajira ili kuyakimu maisha. UKIMWI umezifanya familia nyingi pia kuwaondoa watoto shuleni ili waweze kuajiriwa kwa lengo la kualisha pato la familia hizo. Watoto wengine hutoroka makwao kwa sababu ya maonevu. Maonevu haya ni kama vile kupigwa, kutukanwa kila wakati, kunyanyaswa kijinsia na kadhalika. Huko nje hutaabishwa kimwili na kiakili.Hu tanyishwa kazi za sulubu zenye malipo duni au wasilipwe kabisa. Hili huwasononesha na kuathiri afya zao.

Wengine hujiingizakatikaviteado vyajinai gale wanapokosa ajira. Huchukua sheria mikononi mwao, wakaendeleza vitendo vya ukatili kama vile kuwahangaisha watu na kupora mali yao au hata kuwakaba roho. Aidha, wengine hiyikutakwenyemadanguroambakohuendeshabiasharaharamu.

Uundaji wa umoja wa Afrika hivi majuzi ni hatua muhimu ya kushughulikia rnatatizo ya Afrika kama vile ajira ya watoto, kuzorota kwa miundo msingi, magonjwa njaa, umaskini, ufisadi na ukabila. Kal ika kushughulikia hali za watoto nchi za Afrika hazina budi kuzingatia masharti yaliyowekwa na umoja wa matai fa kuhusu haki za watoto. Nchi nyingi za Afiika ziliidhinisha mkataba wa masharti hayo ikiwemo nchi ya Kenya. Nchi hizi basi lazima zishughulikie haki za watoto kupitia sheria zia nchi. Watoto ni rasilimali muhimu na ndio tumaini la kuwepo kwa kizazi cha binadamu.a) Eleza mambo yote muhimu anayozungumzia mwandishi katika aya ya

kwanza. (maneno 45-50)(alama 7,1 ya utiririko) Jibu:

81

Page 82: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

b) Bila kubadilisha maana aliyokusudia mwandishi, fiipisha aya mbili za mwisho (mancno 50-55).(alama 8, 1 ya utiririko). Jibu:

B13UFUPISHO

Ubinafsishaji wa mashirika ya umma ni nguzo kuu katika ulimwengu wa leo. Kimsingi, ubinafsishaji ni hatua na harakati zinazochukuliwa kupunguza kushiriki kwa serikali katika uendeshaji wa mashirika na kuhimiza kupanuka kwa sekta yakibinafsi.

Serikali huweza kuhimiza, kutokana na uuzaji, uhawilishaji wa mali kutoka umiliki wa umma hadi kwenye umilikaji wa sekta ya kibinafsi. Aidha, serikali inaweza kuuza hisa zake kwenye mashirika ya umma. Njia nyingine ni kuchochea ugavi wa zabuni kupitia kwa mikataba ambayo inashindaniwa na mashirika a 11 kampuni tofauti. Lengo kuu la ubinafsishaji ni kuigatua nafasi ya serikali katika utendakazi na uendeshaji wa mashirika.

Uuzaji wa mashirika ya kiserikali auJiisa huwa chano cha mapato yanayoweza kutumiwa k i lendesha rniradi mingine. Hii ni njia ya kupunguza harij a ya serikali inayotokana na uendeshaj i wa mashirika yasiyoleta faida. Ubinafsishaj i huzuia uwezekano wa kuingiliwa kwa mashirika na wanasiasa, huimarisha utamaduni mpya wa muundo wa mashirika na huvunja uhodhi wa kiserikali. Ubinafsishaji huweza kuatika mbegu za ujasiriamali wa raia, kutamani kuanzisha amali tofauti.

Ubinafsishaji huweza kuyaruhusu mashirika ya kimataifa kutwaa mashirika muhimu nchini, kufutwa kazi kwa wafanyikazi na kuongezeka kwa umaskini.Ubinafsishaji wa sekta zinazohusiana na elimu na afya huweza kuathiri vibaya wenye mapato ya chini.

Ubinafsishaji haumaanishi ufanisi wa utendakazi wa makampuni na mashirika. Aidha, ikiwa haupo utaratibu mzuri wa kutathmini au kupima thamani za hisa pana uwezekano wa hisa zinazouzwa kupewa thamani ya juu au ya chini.

82

Page 83: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

a) Bila kupoteza maana iliyokusudiwa na mwandishi wa kifungu, fanya muhtasari ya aya ya kwanza na ya pili. (maneno35-40) (alama6,1 ya utiririko)

b) Dondoa hojamuhimu zinazojitokeza katika aya yatatu na ya nne.(maneno 45 - 50) alama 9,1 ya utiririko)MatayarishoNakala safi

83

Page 84: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

B14UFUPISHO

Uchumi wa soko huria ni hali ya kiuchumi ambapo itokeapo amali, shughuli na ha rakati zote za kiuchiumi ghairi ya zile ambazo ni za lazima kwa serikali au dola kama ulinzi, sheria na mpangilio mzima wa jamii, huwa huria kwa watu binafsi. Msingi wa soko huria, sifa kuu ya utandawazi, ni kuibua na kudumisha mazingira na hali zinazochochea na kumruhusu mtu yeyote kuongozwa na hawaa, au matamanio ya kibiashara anayoyaona sawa pasi na hofu ya kuingiliwa na udhibiti wa serikali.

Mazingira hayo yanawapa watu satua ya kufanya maamuzi kuhusu hatima yao ya kiuchumi, uamuzi kuhusu suala la ajira yao, matumizi ya mtaji - kipato na harija zake, na uwekezaji mzima. Suala mojawapo linaloibuka kuhusiana na mfumo wa soko huria ni kuweka mipaka bainifu na wazi baina ya amali na shughuli zinazohusishwa na serikali na zile ambazo huachwa huria kwa watu. Kwa mfano, inaaminiwa kuwa haki ya kuishi na kulindwa dhidi ya shambulizi, liwe la kijambazi au la kigaidi, ni ya kimsingi ambayo haiwezi kuhusishwa na uwezo wa kiuchumi wa i ntu binafsi. Aidha huduma za kimsingi za afya nazo zinaingia katika kumbo hili. Ikiwa hudmna h izi zitaachwa huria pa na uwezekano mkubwa kuwa zitaishia kuwa istihaki ya wenye mtaji na kipato cha juu tu.

Licha ya kuwepo kwa sheria au kanuni huria kutoka nyanja maalum, hutokea hali ambapo udhibit i wa kiserikali ni lazima. Hili hutokea pale ambapo ipo haja ya kuyalinda mazingira hasa kutokana na uchafuzi wa viwanda au tasnia. Aidha udhibiti huo ni lazima pale ambapo haki za watu wengine zinahusika; yaani ikiwa uhurii wa hata mtu mmoja unaadhirika kutokajia na sera hizo, pana haja ya kuingilia ili kuisawazisha liali yenyewe.a) Andika kwa muhtasari maana ya uchumi wa soko huria kulingana na taarifa hii.

(maneno 25 - 30) (alama 5,1 ya utiririko)b) Eleza mawazo makuu yanayojitokeza aya katika aya pili na ya tatu

(maneno 70 - 75) (alama 10,3 ya utiririko)MatayarishoJibu

84

Page 85: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

MAJIBU YA UFUPISHOBIa) i) Wasomi kutafsiri fikra za wazalendo kwa Kiswahili

ilikufikia/kukaribiananaiunma.ii)Wasomi wanapojaribu kueleza umma jambo la kielimu ama kitaalamu

hushindwa kabisa kujieleza Kwa lugha ya Kiswahili.iii) Badala yake wanachanganya Kiswahili na Kiingereza kiasi kwamba

wanaosikiliza hawaelewi hata kidogo lugha mbili zinatenga wasomi na umma - tucpuke kutumia lughambili. (aiama4)

b) i) Wanapigania ufundishaji wa lugha zao kama Kiingereza na Kifaransa.

ii) Wanatoa porojo kuwa lugha ya Kiswahili haifai na kwamba ni lugha ya

watumwa. iii)Wanaaishia lugha kuu za dunia kwa upendeleo na wanaweka Kiswahili

katika kiwango , sawana lugha zakikabila. iv) Kuwashawishiwatukustawisha lugha zakikabiliana lugha zamababa zao.(alama5)

c) i) Kuunganishawenyewe-kutuunganisha.ii) Kujengautamaduni/kuukwasishautamadiiniaukioochautamadiiniwetu.iii) Kujikomboawenywe.iv) Kinashindaniahadina lugha zao.

(alama6)B2.a) 1. Maishayavijanayanaonyeshachecheyamatumainikwasikuzausoni.

2. Wana sifa za mori na kupenda kujaribu kushika mambo upesi.3.

Wanaupotovuwakimawazonakuigaambayonikipingamizichakuerideleakamaraianakutegemewa. (zote3x2 = 6)

b) 1. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.

85

Page 86: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

2. Kiini cha matatizo ya vijana wa leo ni mwongozo na vielezo wanavyopokea kutoka kwa walezi / wakuu wao.

3. Upotovu wa vyombo vya habari au maandishi na vyombo vya habari.

4. Walezi hufunza wasiyoyatenda au walezi hufanya wasivyosema. Au walezi huhubmm^inakiinywamvinyo.

5. Jamii na mazingira wanamokulia kutukuza kitu kuliko (zote 5x1 = 5)

c) Sifa yamalezi bora. 1. Kulisha,kuvisha na kuelimisha.2. Kupewa mwongozo unaofaabadala ya kuwanyoshea lawama.3. Kupewa vielelezo vinavyofaa (zole 3x2 =)

Jumlani 17na3kwautiririko.B3a) Bado wanahisi ni wageni

MazingirayaliwafenyawahisiuogaWasiwasi juu ya maisha yatakavyokuwa pale chuoni.Kuwa na woga juu ya yale mkuu wa chuo angesema.Walidhani maisha pale chuoni yangekuwa tofauti (alama?)

b) - Majina tofauti yamwalimumkim, chuo chenyewehatachumbachakulala.- Walizoeakusimamamwalimuaingiapo (alama 3)

c) Mkuu wa chuo alipoingia wanafunzi wote walisimama lakini akawaambia wnkae.

Ndipo alipowajulisha wakuu wote wa vitivo mbali mbali kwa wanafunzi. Wanaftm/i nao wakajua kwamba pale chuoni hamna haja ya uoga, kuwa mambo yatakuwa maznri k wao. Wasiwasi ukawaishianawakapoatayarikuanza maisha ya pale.

(alama 10)B4.a) - Kiswahili kinasemwa na watu wengi ulimwenguni

- Kinafumika kwa minajili ya matangazo ya habari katika idhaa nyingi ya mashirika habari ulimwenguni.

86

Page 87: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

- Kinafunzwa katika vyuo mbalimbali ulimwenguni au kama lugha ya kigeni

(3x2 = 6)b) - Oianzaloiziinguniuzvvanawangozi

- Wangozi waliishi shungwaya (kati ya Somalia na Kenya) - Lugha ya wangozi siku hizo, ambayo ndiyo mzazi wa Kiswahili, iliitwa

kingozi.c) - Wageni waliotoka mashariki ya kati walikaribishwa na Wangozi.

- Wageni waliingiliana na wenyeji kwa kila njia/hali- Wangozi wakaitwa waswahili na wageni - Wangozi walielimika kwa njia/halimbalimbali.- Lugha yaoilipanukailipochukuamsarrdatiwakigeni.- Lugha yao ikaitwa Kiswahili wala si Kingozi.- Kiswahili kilishukiwa kujva lugha ya kigerd.- Lugha ya kiafrika asilia hata hivyo / kitovu chake ni Kenya na Somalia "8x1=8

B5A Hoja

Alikuwa na mazoea ya kupitia pale pale.Alikuwa amelala pale pale bila kutingishika.Alikuwa katika hali hiyo kwa miaka mingi.Alishangaatena.Alimwona akijipinda kwa mbali akadhani macho yanamhandaa. Alipohakikisha macho yanamdanganya, akaqpiua kwenda zake.Lakini kutazama nyuma alishtuka kumwona mtu yule akigeuka, akifunua macho na kuketi.Alizungumuza lughailiyofanananaKiswahili.(kilahoja l'/2x8=12)

B HojaMtu huyu alidai kuwa amelala pale kwa siku mqja / muda mfupi. Kiumbe huyu alikuwa artievaliangoziiliyochakaa kwa mpitowawakati.

87

Page 88: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Alimkumbusha Ibvamba alikuwa amelala pale kwa miaka mingi. Kiumbe yule alimkagua na akasema (amevaa kizungu) alikuwa tofauti na vi jana aliowazoea.Aligundua kuwa alikuwa amelala pale kwa karne nzima.

(kila wazo alama 1x5 = 5utiririko alama 3alama 8

B62. a) - Vijanawapendanaohulengakuishirahamustarehe.

- KablahawajaoanahudMkikanakidWkishanakwalmtak^au- Kutilianashaka kila wanapokuwa mbalimbali.- Aghalabuhulaunuiuana- Husameheananakuendelezamapenzi.- Wakibahatikahuoaoa.- Hugunduailerahanindototu.- Uhalisiawamambonikuvumiliana

b) - Mwanasiasahupiganaawemjumbe- Achaguliwapo amakuta hatambuliwi kama bwana mkubwa.- Huo hukubwa hutegemea mambo mengi / mengine / pesa, magari / sauti katika jamii. - Msomihuanzabidiiudogoni.- Hulengakutabuliwakielimu.- Husomaafikiekilele/darajayajuu/shahadatatukwamifano.- Akiajiriwahugundua watu hawakijali kisomo chaka / watu humwona mvivu.- Mwanamziki hulaghaika kwamba akiongoza atapendwa na wengi.- Anapofikakilelehusahaukamanibinadamu wakawaida.- Huishikujisiamkiwa.

B72. a) i) Alikuwa amewashinda wareno mahasimu wake na kwa hivyo wangerudi

kumwadhibu vikali.

88

Page 89: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

ii) Hi wareno wakija wasikute chochote cha kuwavutia macho na watokomee kabisa.

iii) Hakutaka yaliyowapata wafaza yampate yeye na watu wake. (3x2 alama

b) i) Faza ilipoasi utawala wa kireno iliangamizwa kinyama/ faza ilipoasi

utawala wa kireno wareno waliangamiza chochote chenye chenye uhai. ii)

Kilamrenohatakasisialiimgamkonotokeohili/hakunaMrenohataMmqaliyekilaani kitendo hiki.

iii) Mfalme Yusuf baada ya kuwashinda wareno aliwamuru watu wake wahame au aangamize mji ili wareno warudipo wasipate chochote cha kuwavutia.

iv) Aliamua kuwashambulia wareno katika vituo vyao vyote katika mwambao mzima wa mashariki ya Afrika.

v) AliendaUarabunikutafotasilaha.vi) Alianza kuwashambulia wareno kuwashambulia katika mwambao

wa Afrika mashariki na kokote walikokuwa.(6x2 = 12)

B82. a) Matayarisho

Katika vipindi mbalimbali vya historia kumeibuka magonj wa mengi hatari. Magonj wa haya yalitafutiwa tiba baadaya kuwaua watu wengi. Kuna ugonjwa mpya duniani uitwao Ukimwi.Ukimwi umewaua mamilioni ya watu kote ulimwenguni na unazidi kuenea kwa kasi. Umewadhiri sana walio kati ya umri wa miaka 15 hadi 49. Hili ndio kundi linaloweza kutunza jamii . Kutokana na kuwaua watu wengi nchini Kenya maradhi haya sasa ni j anga la kitaifa. Nchini Kenya ukimwi uligunduli wa m waka wa 1984 na kutokea hapo umew w la watu wengi sana. -

Jibu

89

Page 90: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

i) Vipindi mbalimbali vya historia vimeshuhudia kuibuka kwa magonj wa ya ajabu/tauni, kifua kikuu,homa ya matumbo n.k.

ii) Magonj wa haya yamewahangaisha watu na kuzishughulisha bongo za wanasayansi na madaktari katika kutaflita tiba.

iii) Magonj wa haya yaliwaua maelefu ya watu na kutibua mifumo na taratibu za maisha ya watu yaliwaua watu wengi.

iv) Magonj wahayoyaliwezakuchunguzwanakutafutiwa tiba.Kablaya kumaliza kizazi cha binadamu (akamilishe hadi mwisho)

v) Ulimwengu wa sasa imashuhudia janga jingine la maradhi sugu ya ukimwi

vi) Ukimwi unazidi kuenea kwa kasi. Umewaua mamilioni ya watu kote ulimwenguni.

vii) Ukimwi unazidi kuenea kwa kasi ulimwengum(lazimawazolakasilitokee

viii) Wengiwawalioambukizwanikatiyamiakal5-49 ix) Kundi hili lina nguvu/linatunza jamii/wanaosalia ni watoto na

wakongwe wanaoachwa. x) Ukimwi uligunduliwa Kenya mwakawal 984 (lazima ataje Kenya) xi) Watu zaidiya 500 hufakila siku. xii) Ukimwi sasa nijanga la kitaifa.

MatayarishoHospitali, zahanati, makundi ya klijitolea na mashirika mbalimbali huwahudumia wagonj wa. Huwapatiba ya Idsaikologia na kuwapa ushauri hima wa kuishi ili wasikate tamaa. Historia inatupa matumainimema kuwa siku moja tiba itapatikana. Tujikinge tukiwa na subira kwani subira huvuta heri.Jibui) Masharika na makundi yakiijitolealoii) Makundi hutoa tiba ya kisaikologia na kuwapa ushauri na hima ya kuishi

badala ya kukata tamaa.iii) Wengi hutibiwanyumbanikwao.

90

Page 91: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

iv) Matumaini ya tiba kutokea. .

B9a) - Mtoto hufikiri ulimwengu umejaa raha na hauna huzuni

- Hudhani ulhnwengu ni kipande cha keki ambapo hakuna mateso wala huzuiii.

- Mtoto huyu ndiye hajajua mambo.- Mtoto anapokuwa ndipo anapata fahamu ya kubainisha yaletwayo na

huzuni. ^-Ingawa watoto

hupendakwaowanapokuwawatunduhiiadhibiwanaohuhu/iinika. /- Shuleni wanapokuwa wavivu kazini wanaadhibiwa na pili-

huwahuzunisha.- Huzuni huwa ni ya pili katika maisha ya mja/binadamu na raha/urende ndio huja ya kwanza.- Kila mja hukumbwa na huzuni duniani.- Raha (urende) humjia mwanadamu kwa nadra lakini huzuni humvamiawakatiwowote.-Kuna watu wengi ambao hawajawahi kuona raha maishani(Mtahini lazima ahitimishe hoja na neno huzuni)

b) - Mtoto anapofiwa na wazazi wake- Mtoto anayetupwa na mamaye- Mtoto anayelelewa na mama wakambomwovu.- Mtoto ambaye babake ni mlevi.- Mwongozo wa kutumikia mtahini wa

B10.a) Maendeleo ya taifa hutegemea bidii/kujitolea kwa wananchi kazini. Mzalendo

hupata motisha apatapo aliyotawani. Taajuma yoyote huchukua muda kutengemea kumakinika katika taaluma. Mhazili lazima ahitimu darasani. Anapofunga vyuo vya uhazili huchukua muda kuhitimu. Anatakiwa

91

Page 92: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

afanye mazoezi kila mara ili asisahau. Wengi huona kuwa hawatapata kazi nzuri ambayo itawapa mshahara mzuri, Wengi hulinganisha wenzao wenye vi wango tofauti au mishahara tofauti ni rahisi kupata kazi zenye uj ira wa kuvutia. Anayefaniki wa lazima aushartiajikakamue kazini. iv

b) Mashirika makubwa yanaj iweza kiuchumi kuliko yale madogo . Mashirika

madogo hulipa mishahara durii isiyotegemewa. Wafanyikazi hawawezi kutilia maanani kazi yao. Baadhi ya wakurugenzi huwabaniza na kuwapunj a wafanyikazi wao au ulipaj i wa mishahara hutegemea utu wa mkurugenzi . Mashirika mengme hayana ustaarabu maalum wa kulipa mishahara. Kuna haja ya kuwa na chama cha kupigania haki za wafanyikazi. Wanaoajiriwa katika kampuni za kimataifa hulipwa mishahara mikubwa. Wahazili lazima wapate tajriba au uzoefu na wawe wavumilivu. Wakurugenzi wasio na subira huwafokea na hufutwa au kuwafutakazi.

B11.a) Ujambazi wa kimataifa umekuwa tatizo ambalo limewasumbua walimwengu sana.

Serikali imetumia pesa nyingilovamudamrefuilikulikabilijangahili. Suluhishohalijapatikanakamwe. latizolinginenikiburi. Watu binafsi hasa viongozi wa nchi kubwa kubwa na serikali zao zinazojiaminisha kuwa ujambazi ni balaa kweli ingawa hauwezi kuwagusa licha ya kuwashtua. Kulingana na maoni yao, ujambazi ni wa wasiostarabika hasa wa nchi zisizoendelea. Vinyang' arika vya ulimwengu wa tatu ndivyo adui wa ustaarabu ulimwenguni na vinafaa viondolewe ili ustaarabu uwepo. (maneno 77)

b) Wamarekani hawakufikiria kuwa taifa lao lingeshambuliwa lakini walishangaa

pale ambapo majumba mawili marefu ya fahari yalishambuliwa na ndege tatu za abiria. Watu wa ulimwengu mzima hawakufikiria kuwa Wamarekani wangeweza kushambuliwa hivyo kwamba kusababisha huzuni kubwa kwao. watu duniani walishangilia wakati Marekani ililipiza kisasi kwa kuwashambulia waliokuwa na wasiokuwa na hatia huko

92

Page 93: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Afghanistan. Watu wengi walifikiria kuwa huo ni mwanzo wa vita vya Waislamu dhidi ya Wakristo hivyo kwamba wakashukiwa kimakosa kuwa maj ambazi wa kitaifa. (maneno 75)

B12.i) Ajira yawatotoni tatizo sugu ulimwenguni. ii) Wengi huajiriwakatika nyanjambalimbali. iii) Familianyinginimaskini/fukara. iv) Kupandakwagharamayamaishahuzidishaumaskini. v) Nja huwatorosha nyumbani. vi) Ukimwiumezidishamayatima. vii) Wengi huondolewashuleni.viii) Wenginehutoroshwamakwaonamaonevu ix) Hukolmtaabishwakimwilinakiakili

Hufanyishwa kazi za sulubu / hulipwa malipo duni au wasilipwe kabisa.x) Hilihuwasononeshnakuathiriafyayao.

93

Page 94: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

B13.a) -Ubinafsishajiwa mashirika yaiinHnaninguzokuuulimwengum.

- Kupungusa kushiriki kwa serikali katika mashirika.- Kupanuka kwa sekta ya kibinasi.- Uuzaji wa mali kutoka sekta ya serikali hadi ya umma. - Ugavi wa sababuni inayoshindaniwa kati ya kampuni na mashirika tofauti kupitia mikataba.- Lengo lake ni kuigatua nafasi ya serikali katika utendakazi na uendeshaj i wa mashirika.

b) - Uuzaji wa mashirika ya serikali au hisa huwa chanzo cha mapato ya kuendesha

miradi mingine.- Kuzuia kuingiliwa na serikali.-Kupunguzahirij a ya serikali kwa mapato yasiyoleta faida.-Hupunguza mashirika kuingiliwa nawanasiasa.- Huimarisha utamaduni na kuvunja uhodhi wa kiserikali.-Huipajamiiujasiriwakuanzishaamalitofauti.- Mashirika ya kigeni hutwaa na kuongeza umaskini.- Haumanishi ufanisi wa utendakasi wa makampuni na mashurika.- Utaratibu usipokuwepo, hisa zinazouzwa hushushwa au hupa.

B14.a) Jibu ;

Uchumi wa soko huria ni hali ya kiuchumi ambapo shughuli zote za kiuchumi ghairi ya zile ambazo ni za lazima kwa serikali huwa huria kwa watu binafsi. (alama 5,1 ya utiririko)

b) Jibu1. Soko huru huwawezesha watu kuamua hatua yao kiuchumi.2. Swala ibuka ni kuweka mipaka bainifu kati ya shughuli zinazohusishwa na serikali na zile zinawekwa huria kwa watu binafsi.3. Haki ya kuishi na kulindwa dhidi ya shambulizi haiwezi kuachiwa mtu binafsi4. Huduma za kimsingi za afya haziwezi kubinafsishwa

94

Page 95: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

5. Huduma hizo zikiwachwa huru zitaishia kuwaisitihaki ya watu wa kipato cha juu6. Udhibiti wa kiserikali hutokea kuyalinda mazingira dhidi ya uchafuzi wa viwanda.7. Pia udhibiti huo hutokea kulinda haki za watu

95

Page 96: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

MATUMIZI ZA LUGHA

STADI ZA LUGHAKatika Kiswahili kuna sauti mbili ambazo ni

Konsonanti Irabu

Ilikueleza sifa za konsonanti tunazingatia:a) Hewa inayotoka mapafuni huzuiliwa wapi?b) Sauti hizo ni ghuna au si ghuna( sauti ambazo zinamrindimo au kulegea

katika koo)c) Hewa hiyo inapatikana kinywani au puani.

Sehemu za kutamkia sauti na ambako hewa huzuiliwai. Menoni (sauti: th, dh)ii. Midomoni(sauti: p,b,m.w)iii. Ufizi(sauti: s, z,t,d,n,l,r.)iv. Kaakaa laini( sauti: k,g,gh,ng)v. Kaakaa gumu (sauti: y,s,ny,ch,j)

Kuina ina mbalimbali za konsonanti Nazali: ni sauti ambazo zinapotamkwa kaakaa laini huzuia hewa isipite kinywanina badalla yake hewa hupiti puani. Mifano ya sauti hizi ni m, n, ny na ng’ sauti hizisi ghuna.

Kitambaza: hii ni sauti ambapokutamkwa kwake ncha ya ulimi hugongagonga kwenye ufizi na hewa hupitia katkati. Sauti hii ni r.Kitambaza: sautih hii inapotamkwa ulimi hugotagota kwenye ufizi na hewa hupitia pembeni mwa ulimi huo. Sauti hii ni l Vipasuo: zinapotamkwa hewa hutoka mapafuni, husukumwa nje kwa nguvu na huzuiwa kabisa kabla ya kuachiliwa kwa ghalfa kwa namna ya’ kipasuo’ Sauti hizi ni p,b,t,d,g,k.Vikwamizo/ vikwaruza : zinapotamkwa ala za kutamkia hukaribiana kama zinazogusana kisha hewa hupita kwa mkwaruzo Fulani. Mfano gh, h,z,s,dh,th,v,fVipasuo-kwamizo: zinapotamkwa hewa huzuiliwa na kuachiliwa kana kwamba inakwamizwa.( inaachiliwa kama ilivyo kwa vikwamizo) sauti hii ni ch.Viyeyusho/ nusu-irabu : hewa huzuililiwa kama inavyotokea kwa vikwamizo lakini sio huru kama ilivyo katika irabu, ndio maana ni nusu irabu. W, y

Sifa kuu za irab/vokali.

96

Page 97: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Hizi ni sauti ambapo zinapotamkwa sehemu za kutamkia huwa wazi, hewa haizuiliwi wakati wa kutamka kwake, hii ni tofauti na konsonanti ambapo hewa huzuiliwa. Vokali huwa tano tu a, e,I,o,u.

Mbele juu i u nyuma juue o nyuma katikati

mbele katkati e

a kati chini

sifa za irabua) mkao wa mdomo: irabu hutamkwa ikiwa midomo imetandazwa au

imevirigwa.

mkao wa mviringo :( o,u)mkao wa mtandazo: ( a, I,e)

b) mwinuko wa ulimi : huwa ni aina tatumwinuko wa chini : ulimi huwa umeinuka kidogo sana, huwa umelala chini kwen

ye upande wa chini wa kinywa sauti ya [a]

nusu chini: ulimi huwa haupo chini lakini upo karibu sana na chini [ e,o]

juu: ulimi huinuka juu zaidi kwenye kinywa suati hii ni ( i u)c) mahali pa kutamkia

mbele ya ulimi [ e i)

katikati ya ulimi ( a)

nyuma ya ulimi (o,u)

Eleza tofauti kuu baina ya jozi za sauti zifuatazoP,b (b) k,g( c) m,n( d) t,d.andika sifa za kutambulisha sauti hizik, h,, j, gh, ny.

MADA: SILABI TATANISHISilabi ni tamko kamili katika neno. Ni kipashio cha matamshi katika lugha maalum. kuna aina tatu kuu za silabi katika Kiswahili

Silabi ambazo huwa ni sauti moja tu, silabi hizi aghalabu huwa sauti zote za irabu kwa mfano (a –a/o, e-e/mbe I –i/mba , o-o/sha , u-u/kiwa. Silabi hizi hupatikana pia katika konsonanti k.m m-tu , s-s/tarehe.

Silabi za sauti zilizo shikana k.m bi/na/da/mu , ka/la/mu.Silabi za konsonati kadhaa na irabu zilizo ambatana k.m nywe/sha,

ma/chew/o.

97

Page 98: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Kuna makosa ambayo hutokea katika kutamka kwa watu , makosa haya huweza kutatanisha watu. Makosa haya hutokea zaidi katika matamshi ya silabi zenye sauti za nusu irabu . w, y, h

{h} ---h/aina—(kosa) aina(sahihi) kuongeza sauti/silabi{h} a/pa –ha/pa kudondosha silabi

Makosa haya hutokea pia katika silabi zinazo husu sauti ya ving’ong’o /m//m/ (sauti) mu/tu (kosa) mtu ( sahihi)Makosa mengine pia hutokea katika maneno yalio kopwa kutoka lugha nyingine na kutoholewa

A/pi/ri/ri (kosa) A /pri/li.Makosa mengine ni ambapo vokali hudondoshwa katika maneno yaliyo kopwa

k.m ru/hsa (kosa) ,ru/hu/sa ra/tba (kosa) , ra/ti/ba.

Eleza tofauti ya shadda(mkazo) na kiimbo Shadda ninguvu inayosikaka wakati wa kutamka silabi. Kuna silabi ambazo hutiliwa mkazo na zingine hazitiliw, katika Kiswahili, mkazo mkazo huwekwa kwenye silabi ya pili kutoka mwisho wa neno.Mfano ‘ amka, ende’lea

Shadda hutumika kutofauti maana tofauti ya meneno ya Kiswahili. Mfano Bara’bara( baraste, njia kuu)Ba’rabara( vyema, shwari)Wala’kini( hata hivyo)Wa’lakini( udhaifu) Yapo maneno ya kigeni haswa ya kiarabu ambapo mkazo huwekwa sehemu tofauti.Ta’fadhali‘ahadi

Kiimbo: ni kupanda na kushuka kwa sauti wakati wa utankaji wa maneno katika sentensi.Kinachotiliwa maanani sana ni toni katika utamkaji, hii hutegemea dhamira ya usemi. Kwa mfano toni ya amri ni tofauti na ya kuongea kwa kawaida, au ile ya mshangao.Katika sentensi au matamshi ya maswali au mshangao toni hupanda ilhali sentensi au kauli ikiwa ya amri au ya kawaida toni hushuka.

Mfano Mama ameenda.( sentensi kauli/ taarifa) kiimbo kinashuka Mama ameenda! ( mshangao) hisia kubwa hutumika kuonyesha hali ya kushangaa kiimbo hupandaMama ameenda ( swali) kiimbo hupanda.

MOFIMUNi kipashio kidogo sana cha tamko kilicho na maana.Sifa za mofimu

huweza kuwa neno zima, mzizi wa neno au kiambishi. Ndiyo inayobeba maana ya kimsingi ya neno. Huwakilisha maana

98

Page 99: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Haiwezi kugawika zaidi Mofimu za viambishi huliongezea neno maana ya ziada, ile ya kimsingi

inabaki.

Zinapo aina mbili kuu za mofimuMofimu huru: ni aina ya mofimu inayojisimamia hujitegemea peke yake kama neno. Huleta maana bila kutegemea viambishi vyovyote. Mofimu huru huwa aina za maneno kama nomino, vitenzi, vihisishi, vielezi, viunganishi n.k,Mofimu tegemezi: ni mofimu ambazo hazijitegemei, hazijisimamii peke yake, hadi viongezewe viambishi ndiposa iweze kutoa maana kamili. Mifano a-li-m-ku-ji-a, tu-li-pig-a-na.Viambishini mofimu zinazo ambishwa kwenye mzizi wa itenzi au neno ilikukamilisha kimaana.kuna viambishi aina mbiliViambishi awali ambavyo huambishwa kabla ya mzizi wa kitenzi.mfanoa-li-tu –tembe-lea, a-na-ye-jenga.Viambishi tamati huwa baada ya mzizi wa kitenzi. Mfano a-li-wa-pig-i-a, a-wa-chek-e-le-a-oMzizi ni sehemu ya neno ambayo haibadiliki kamwe na ndiyo inayo beba maana ya neno husika. Ilikutambua mzizi wa kitenzi ni vyema uandike mnyambuliko wa neno husika na uangalia ni neno ipi inayobaki vivyo hivyo katika maneno yote.

Viambishi huwa na manuafaa ipi?Viambishi awaliHuonyesha hali ya udogo na ukubwa ya nomino, ambapo katika udogo hutumia kiambishi ki-ji mfano kiatu huwa kijiatu ilhali ukubwa huambishwa ji na kuwa jiatu Huonyesha urejeshi wa neno husika ambapo kiambishi -ye- , o huwekwa kabla ya mzizi wa neno mfano waliotutembelea, aliyemwajiri.Huonyesha hali ya mtenda au mtendewa. Viambishi –ye na –o hutumika. Huonyesha upatanisho wa ngeli , upatanisho huu ,huhusisha nomino inayozungumziwa yaweza kuwa ngeli ya A-WA mfano alikuja- walikuja, ulianguka –zilianguka ngeli ya U-ZI.viambishi vya hali ambavyo hutumiwa kuonyesha hali mbai mbali mfano hali ya mazoea( hu) timilifu(me) masharti(ki) -nge, ngeli, ngali.Hutumika kuonyesha nyakati mbalimbali kiambishi (li)hutumika kuonyesha wakati uliopita, (ta) ujao, (na) uliopo.Pia hutumika kuonyesha ukanushi ambapo ( ha,au hu ) hutumika. Mfano hatuendi, hukumkejeli.

Eleza umuhimu wa viambishi tamati.

SARUFI Ni utaratibu wa sheria zinazotawala matumizi sahihi ya muundo wa lugha.sheria hizi za lugha ndizo huleta ufasaha na usanifu katika luhga na kumwezesha mzungumzaji kuelewa tungo zinazotolewa na mzungumzaji. Kila lugha huwa na sheria zake katika utunzi wa maneno.AINA ZA MANENOkuna aina nane za maneno katika lugha ya Kiswahili. Hizi ni

99

Page 100: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

a. vivumishib. viwakilishic. nominod. vielezie. vihusishif. vihisishig. viunganishih. vitenzi

NOMINONi aina ya maneno inayotaja majina ya watu, mahali , kitu , au hali. Ili sentensi iwe kamili lazima nomino au kiwakilishi chake kitumiwe. Kuna aina saba za nomino , hizi ni:

Nomino za pekee/ maalum Hizi ni nomino halisi zinazotaja majina ya watu, mahali, siku au miezi vitu na MunguNomino hizi zinapo andikwa ,hutangulizw kwa herufi kubwa.nomino hizi ni:

Nomino zinazotaja mahali: Kenya, Tanzania , Eldoret Kisumu, Mlima Kenya, Mto Nyiro .n.kNomino zinazotaja siku : Jumapil, Jumanne n.kNomino zinazotaja sikukuu: Siku ya Madaraka, Krisimasi, Iddi Mubarak

n.kNomino zinazotaja majina ya watu: Faith, Adul, Jelimo, Nafula. Otieno.

NkNomino zinazotaja miezi: Agosti, January , Oktoba.Nomino zinazotaja dini: Kiyahudi Kiiislamu , Kikristo.Nomino zinazotaja luhga na lahaja: Kingereza , Kiamu, Kiarabu Kijaluo.

NOMINO ZA KAWAIDANomino hizi hutaja vitu vya kawaida visivyo vya kipekee, havina ubainifu wowote.sio lazima ziwe na herufi kubwa katika maandishi kama vile zilivyo nomino za pekee.nomino hizi zinaweza kuwa na umoja na wingi, hata hivyo kuna baahdi ya nomino za kawaida ambazo zina umoja au wingi tu.

Kwa mfano: mwalimu/ walimukiti/vitimtu/waturedio (haina wingi)

NOMINO ZA DHAHANIANi majina ambayo hufikiriwa tu , hayawezi kugusika , kuonekana, kunusika wala kusikika. Mara nyingi huanza kwa kiambishi ‘U’ ingawa zingine zinaweza kuanza kwa herufi tofauti. Nomino hizi huwa katika fikra au akilini ma mtu.

Kwa mfano : ujinga, wivu , urembo, unono, woga ,wema , chuki mawaidha, utukufu mapenzi.

NOMINO ZA JAMII/ MAKUNDI

100

Page 101: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Haya ni majina ambayo hutaja vitu vilivyo katika vikundi, ni nomino ambazo ndani yake kuna vitu vingi. Hufumbata maana ya jumuiya ambayo inasifa yakauli moja.

Kwa mfano : Baraza la mawaziri, halaiki ya watoto ,, umati wa watu.

NOMINO ZA KITENZI JINA/ KITENZI Ni majina ambayo huundwa kutokana na kitenzi. Hutambulishwa na kiambishi ‘KU’

Kwa mfano kucheza , kuimba , kusoma, kuchunguza.

NOMINO ZA WINGINi nomino ambazo hutokea kwa wingi. Nomino hizi ni za kawaida ila tu hutokea kwa wingi pekee.

Kwa mfano:marashi, matata, marashi , mate , maji , machozi, matumizi, maringo,maudhui.

NOMINO AMBATA/AMBATANI. Ni majina ambayo huundwa kutokana na maneno mawili mbalimabli Kwa mfano : mpiga+ picha= mpigapichakinasa+sauti= kinasa sauti.

VIVUMISHINi neon linalo eleza zaidi kuhusu nomino huvumisha nomino au majina. Kuna aina mbali mbali za vivumishiVYA SIFA : ni vivumishi vinavyoeleza sifa za nomino, jinsi gani illivyo. Vivumishi hivi hubadilika kutegemea ngeli za majina, yaani huchukuwa upatanisho wa kisarufi. K.m

-zuri( dada mzuri, ndizi nzuri)-baya( mtu mbaya, kitu kibaya)-tamu( chakula kitamu, maneno matamu)

VYA IDADI : vivumishi hivi hufafanua jumla ya vitu vinavyohesabika au visivyohesabika. Vivumishi hivi huchukuwa viambishi kutegemea ngeli inayo husika.Kwa mfano: --ili ( watu wawili, mawe mawili, runinga mbili)-haba( miti haba, watu haba , runinga haba)-chache( miti michache, watu wachache, , runinga chache)-ingi( watu wengi, miti nyingi, runinga nyingi)

VIVUMISHI VIONYESHI/ VIASHIRAI Huonyesha umbali au ukaribu wa nomino. Vivumishi hivi ni kama huyu, hawa, wale, hao, hivi . hapa .pale, mle.Vivumishi vionyeshi visisitizi Hutilia mkazo swala , jambo , nomino au jambo Fulani linalorejelewa kwa mfano: pale pale, kukohuko, mumo mumo, uu huu uo huo, uleule.Vivumishi vya pekee

101

Page 102: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Vivumishi hivihuchukuwaa viambishi vya ngeli husika.-enye : hutumika kuonyesha kuwa nomino Fulani inamiliki kitu Fulani

k.m mawe yenye rangi, watu wenye miraba minne.

-enyewe: husisitiza nomino inayorejelewa. Kwa mafano mtoto mwenyewe alienda, kiti chenyewe kilivunjika.

-ote : huonyesha ujumla wa vitu, watu au kitu pasipo na kubakisha. Kwa mfano wageni wote wamewasili, mawe yote yali tumika.

0-0te : huonyesha dhna ya bila ubaguzi’. Hutumiwa kumaanisha kila’Kwa mfano : wageni wowote watawasili.

Mawe yoyote yatatumika-ingine: hurejelea hali ya kuwa ‘ tofauti au ‘zaidi ya kitu ‘au mahali fulani.

Kwa mfano :Amenunua lori lingineKuchapa kwingine kunatisha.

-ingineo: hutumiwa kumaanisha badala ya[ au tofauti na’ kitu kingine. Pia hutumika kama hitimisho ya orodha ambayo haikukamilika. Kwa mfano:

Watu wengineo hapa ni wabaya Bakuli linginelo nila mtoto.

VIVUMISHI VIMILIKISHIVivumishi hivi huonyesha kitu Fulani kinamilikiwa na nomino fulani.

Kwa mfano Kiti chakeRedio yangu.

Vivumishi hivi hubadilika kiumbo kutegemea ngeli za nomino zinazotumika.

VIVUMISHI VIULIZIHuuliza swali kuhusiana na nomino inayohusika. Kwa mfano : kiuulizi gani hakichukui kiambishi chochote na hutumika katika nominoya ngeli zote.Kiulizi –pi huambishwa kiambishi kwenye nomina ya ngeli. Kiulizi –ngapi vile vile huambishwa kiambishi lakini huuliza idadi ya nomino katika wingi pekeevivumishi nomino/ vivumishi vya jina kwa jina.Hivi ni vivumishi vinavyo tumia nomino au majina kuvumisha nomino nyingine. Huchukuwa nafasi ya kivumishi katika sentensi ambapo huvumisha nomino nyingine.Kwa mfano Dada askari aligombea kiti cha eneo bunge.Mwanasiasa zeruzeru anazifa nzuri.

102

Page 103: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Vivumishi vya a- unganifu: vivumishi hivi huundwa kwa mzizi wa kihusishi-a- unganifu’. Vivumishi hivi hufananua daraja , umilikaji, au aina ya nomino husika. A, unganifu ina nafasi mbalilmbali katika sentensi kutegemea jinsi imetumika.

Kwa mfano Mtoto wa dada amewasili--- umilikajiGaidi wa alshabab ni yule – kitambulizi/ aina.

Vivumishi rejeshi ni vivumishi vinavyo onyesha urejelezi wa nomino. Matumizi ya –ye na- o- ya urejeshi.

Kwa mfano Mbuzi waliokufa watatupwa.Gaidi aliyeshikwa atashtakiwa.

VITENZI (T)Ni viarifa au maneno yanayotumiwa kuonyesha vitendo vinavyofanywa.vitenzi huwa na maana mbalimbali kulingana mnyambuliko wake. Kuna ina mbalimbali za vitenziVITENZI HALISIVi vitenzi vinavyo elezea matukio yanayofanyika, yatakayofanyika, yaliyofanyika, yatakayofanyika kwa nomino au jina k.m kulia kucheza kuimba. Vitenzi halisi vinaweza kutumiwa zaidi ya moja katika sentensi.

Kwa mfano Rais amewasili nchini.Mama anawalisha mifugo wake.

Vitenzi vikuuNi aina ya vitenzi halisi. Huwa na ujumbe mkuu katika sentensi .

Hutokea cha pili katika sentensi iwapo kuna vitenzi viwili katika sentensi.kwa mfano

Askari wa jiji walikuwa wakiwachapa wachuuzi kiholela

VITENZI VISAIDIZI TSHutumika na vitenzi vikuu au halisi katika sentensi ilikukamilisha jambo. Hutokea cha kwanza katika sentensi na kufuatwa na kitenzi halisi au kikuu , ilikuonyesha wakati kama ujao, uliopita ambapo kitendo kimefanyika. Kwa mfano

Wanamichezo watakuwa wakipewa fidia na serikali.Mtoto alikuwa akicheza na paka.

VITENZI SAMBAMBANi vitenzi vinavyotokea kwa pamoja katika sentensi ilikutoa ujumbee kamili. Vitenzi vikuu vikitoke pamoja na vitenzi visaidizi kwa mfulilizo basi huitwa vitenzi sambamba.Kwa mfano Mtoto alikuwa akicheza na paka.Baba alikwisha tambua alikuwa mkaidi.

103

Page 104: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

VITENZI VISHIRIKISHI (S)Ni vitenzi vinavyohitaji vijalizo ilikukamilisha uarifa wao kimaana.vitenzi hivi huonyesha hali au tabia Fulani ya kitu au mtu isiyokuwepo. Vitenzi hivi huwa vya aina mbili vishikishi vikamilifu Huchukuwa viambishi vinavyowakilisha nafsi, ngeli, wakati, au hali timilifu k.m ‘ngali’’ kuwa’ Mifano Mtama ule ungali nkwenye jua.Wanafunzi wamekuwa na mitihani wiki hii.

VITENZI VISHIRIKISHI VIPUNGUFUVitenzi vya aina hii havichukui viambishi vya wakati au ujao, hata hivyo huchukuwa viambishi vya nafsi au nafsi. Hivi ni ni, si ndi-, u, na li Mifano katika sentensi Kaka yu mtanashati. Yeye ni mefu

VIWAKILISHI. Ni maneno yanayowakilisha nomino katika miktadha mbali mbali. Hufanya kazi ya jina katika sentensi , pia huitw vibadala .kuna aina mbalimbali ya viwakilishi. VIWAKILISHI NAFSI HURUNi vile vinavyotumiwa kuonyesha umoja nawingi wa nafsi tatu za viumbe hai katika ngeli ya A-WA Mimi , wewe ,sisi, yeye,wao, nyinyi.VIWAKISHI NAFSI TEGEMEZI Ni viambishi ngeli vya A-WA vinavyoambatanishwa na vitenzi, huwakilisha nafsi ya tatu. K.m Wa watimba, mimi nitaimba.

VIWAKILISHI VIMILIKISHI Huonyesha umilikaji wa nomino. Mifano Wangu ameendaWetu amewasili

VIWAKILISHI VIULIZI Haya ni maswali yanayo wakilisha nomino. Kwa mfano Nani amefariki? Wapi ni pake? Ni yupi aliye na dosari?Viwakilishi vya idadiHutaja idadi ya nomino. MifanoWengi wameendaMmoja ni wake.Wachache wataadhibiwa.

104

Page 105: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

VIWALKISHI VIONYESHIHusimamia nomino kuonyesha umbali au ukaribu uliko baina ya vitu viwili au zaidi. MifanoYule ni mamakeHaya yatajadiliwaHuo unatisha.VIWAKILISHI VISISITIZI.Mifano wawahawa ndio wezi waliotuingiliaKilekile kimevunjika.VIWAKILISHI VYA ‘A’ UNGANIFUHuundwa kwa matumizi ya kihusishi -a- unganifu ilimkusimamia nomino. Mifano. Wa sita amewasili( wakimbiaji)Wa shamba( jogoo)

VIWAKILISHI VYA SIFA Viwakilishi hivi huwakilisha tabia ya nomino .Mifano Mbaya aliuwawa( mzee)Mrembo alitekwa nyara( binti)

VIWAKILISHI VIREJESHIHutokea pale ambapo amba- inasimama badala ya nomino Mifano Ambaye ameaga( fidel)Ambayo haipendezi( chai)VIWAKILISHI VYA PEKEEHuchukuwa maumbo mbalimbali kutegemea jinsi inavyotumika. Kwa mfano-ote ( wote) wote waenda -enye ( mwenye) mwenye kuiba ni Yule)o-te( zenyewe) zenyewe zmeoza.-ingine(jingine) jingine ndilo hillo.-ingineo ( mengineo) mengineo yataliwa

VIUNGANISI ( U)Ni neno au vifungu vya maneno vinavyo unganisha sentensi, virai au vishazi pamoja. Baadhi ya viunganishi ni kama na, au, lakini, kwa sababu, fauka ya , klicha ya, seuze ya, kwa maana n.k wanafunz i wataje baadhi. Mifano Licha ya Musa kuwa mwezi pia ni jambazi.

VIHUSISHINi maneno yanayoonyesha uhusiano uliopo baina ya vitu, mahali watu au neon moja na jingine.

105

Page 106: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Vihusishi vya wakati kabla ya , tangu, hadi, baadaya. Vihusishi vya mahali ndani ya , kando ya, chini ya, kati ya, ukingonivihusishi mwa sababu kwa ajili ya, kwa vile kwa sababu ya n.k

VIHISISHI( H.) ni maneno yanayo onyesha hisia za mzungumzaji. Mifano Laiti! Lo! Oyee! Hoyee!ZoeziTunga sentensi kwa kutumia vihisishi vifuatavyoMaskini!, alhamdulullaih!, bu!, chubwi!

VIELEZI(E)Ni maneno yanayotoa taarifa zaidi kuhusu kitenzi. Heleza jinsi kitendo kilivyo tendwa tendeka. Kuna aina mbalimbali ya vieleziVIELEZI VYA NAMNA/JINSIHueleza namna au jinsi tendo lilitendeka . tendo lilitendeka aje.Mifano Mkongwe alitembea poleole. VIELEZI VYA MAHALI Huonyesha au kueleza mahali tendo limetoka. Hueza jengwa kwa viambishi tamati –ni mifano alienda nyumbani, au kwa viambishi kama –po, -mo,-ko.Mifano Walimoingia wamejaa kunguruAlikoenda nikucha

VIELEZI VYA WAKATI hueleza wakati tendo linapofanyika. Huwa maneno kamili ya wakati usiku, jioni au vikadokezwa kwa kiambishi –po kilichoambishwa kwenye wa kitenzi. Mifano Alipowasili shimanzi ijijaa.Tutahudhuria siku ya pili.Alijifungua usiku.

VIELEZI VYAA IDADI Hutaja kiasi ambacho kitendo kilifanywa, kitafanywa , huonyesha kitendo kimetendwa mara ngapi kwa mfano mara nyingi, tena, kila mwaka.

MNYAMBULIKO WA VITENZI.Ni hali ya kuongeza viambishi kwenye mzizi , haswa viambishi tamati na hivyo kukipa kitenzi kinacho husika maana tofauti. Kuna kauli mbalimbali za mnyambuliko Mfano Kauli ya kutendaHuonyesha hali ya kutenda jambo., ambapo kiambishi ‘ a’ huongezwa kwenye mzizi .Kwa mfano

106

Page 107: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Lima limaSoma somaKauli ya kutendeaVitenzi vinavyoishia irabu - ‘ea’ MifanoChora choreaSema semea

Vitenzi vinavyoishia irabu ‘ - i a’ MifanoFinya finyiaSifu sifiaVitenzi vinavyoishia kwa –leaMifanoOndoa ondoleaBomoa bomolea

Vitenzi vinavyoishia kwa- liaPakua pakuwaFua fulia

Kaulika ya kutendwa Kauli hii huonyesha athari kwa kitu kingine kwamba kitu Fulani kinapokea tendo fulani. Huwa na viambishi tamati au vimbishi hivi Vinavyoishia kwa – waMifanoLipa lipwaKula kulwa Vinavyoishia kwa – liwa au lewa Mifano Bomoa bomolewaChukuwa chukuliwa

Kauli ya kutendeka Kauli hii huonyesha kutokea kwa jambo bila mhusikaVitenzi vinavyoishia kwa vokali mbili –‘aa; ua; ia huambishwa -‘lika Mifano Vaa valikaTia tilikaVitenzi vinavyo na irabu ‘i u a’ huchukuwa –‘ika’ MifanoFahamu fahamikapika pikika Vitenzi vyenye vokali –e, o katika mzizi huishia kwa –ekaMifanoOsha oshekaCheza chezeka

107

Page 108: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Kauli ya kutendua Huonyesha hali yakinyume, viambishi ni –‘ua , oa.MifanoKunja kunjuaChoma chomoa

Kauli ya kutendanaNi hali ya kumtendea mtu jambo naye pia anakutendea, kitendo kinaenda pande mbili . kiambishi tamati ni –an’ Mifano Soma someanaTega tegeana

Kauli ya kutendataHuashiriwa kwautumia kiambishi tamati –at’ si maneno yote yanayoweza kunyambulika katika sehemu hii, kunabaadhi tu yameneno yanayoweza kunyambuliwa.MifanoPaka pakataFumba fumbataOkoa okota

Kauli ya kutendama Huonyesha kuwa kitenzi au kitendo kuwa katika hali Fulani bila kubadilika. Vitenzi vya aina hii havipatika kwa urahisiMifanoLala lalamaKwaa kwamaFicha fichamaKauli ya kutendeshMnyambuliko huu huchukuwa miundo tofauti tofauti.Mifano -esha

Cheza chezeshaKishio –‘za’

Tembea tembezaKishio-vya

Mlevya, Kishio –‘fya

Ogofya Kishio –sha

Pikisha

TANABAHISio vitenzi vyote vya lugha ya Kiswahili huwa na sifa ambazo tumeziona hapo juu kunavitenzi vyenye asili ya kigeni na vyenye silabi moja. Katika kunyambua vitenzi vyenye silabi moja huambishwa ‘KU mwanzoni iliviweze kueleweka.Mfano kula , kupa, kunywa.

108

Page 109: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Katika Kiswahili kuna wakati ambapo muundo wa neno unaelekea kukubali hali fulani lakini semantiki inakataa.Kwa mfano Kuja jiana , jiwa mfano katika sentensimama alijiwa na mumewe.

Kunatofauti kubwa kati ya vitenzivya asili ya kigeni na vitenzi vya asili ya kibantu ambavyo huishia kwa irabu ‘ a’ na vya kigeni kwa u ,e , i.

ZOEZI Nyambua vitenzi hivi katika kauli ya kutendeana, tendea, tendwa na tendeka.HesabuSadikiHasidiHujumuHojiStareheadhimu

UKANUSHAJINi hali ya kubadilisha usemi Maneno au jambo kutoka hali yakinifu hadi hali ya kukana.Ukanushaji wa nyakati na hali mbalimbali hutokea kama inavyofuataWakati uliopo(-li)sentensi ukanushaji

Alicheza jana hakucheza jana.

walienda hawakuenda

Wakati ulipo(-na)sentensi ukanushajiNinasoma sisomi

Unapika Hupiki

Anacheza hachezi

wakati ujao(-ta)

sentensi ukanushajiKitatupwa hicho Hakitatupwa hicho

Ataenda dukani Hataenda dukani

Embe litaoza Embe halitaoza

109

Page 110: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

HALIHali timilifu (me)Hurejelea matendo yaliotendeka muda mfupi uliopita.Sentensi Ukanushaji

Alshababu wamefika kenya Alshababu hawajafika Kenya

Waziri ametoa taarifa kuhusu ushambulizi Waziri hajatoa taarifa kuhusu shabuliz

Hali ya mazoea( hu)Ni matukio yanayofanywa kila mara au mara kwa maraSentensi Ukanushaji

Mgaganga hugangua Mganga hagangi

Wanamgambo hutatiza watu Wanamgambo hawatatizi watu

Hali ya (ka)Hutumika katika vitenzi katika nyakati mbalimbali ujao, uliopita, uliopo, pia huweza kuonyesha matukio yaliyofuatana yalipotokea.Sentensi Ukanushaji

Aliosha nguo akavaa, akaenda kutembea Hakuosha nguo, hakuvaa wala hakuenda kutembea

Hali ya (ki)Hufafanua matukio yalivyotokea yakifuatana au matukio fulani yalitegemea kwa kutokea kwao, hutumiwa kuonyesha mashartiSentensi Ukanushaji

Ukicheza utachafuka Usipo cheza hutachafuka

Hali ya- nge, -ngeli, na ngaliHudhihirisha masharti yasiyowezakana na yanyotegemeana ambapo yale matukio ya baadaye hutegemea ya hapo awali. –nge hudhihirisha uwezokano wa kutokea kwa jambo, - ngeli na – ngali huonyesha kutowezakana kwa jambo.Sentensi Ukanushaji

Ningelipwa ningemsaidia Nisingelipwa nisingemsaidia

Angeliitwa ningeliitika Nisingeli itwa nisingeliitika

110

Page 111: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Ungalisikiliza ungalipata Baraka Usingalisikiza usingalipata Baraka

Ni nini tofauti ya kinyume na kukanusha?

KINYUMENi hali ya kupinga kwa mawazo , jambo au maana husika.Hali ya vinyume hujidhihirisha katika kategoria tofauti tofauti kwa mfanoVinyume vya vivumishi-baya -zuri-fupi -refu-eupe -eusiVivyume vya nomino Mjinga mwerevuNjaa shibeLaana Baraka Kitwana mjakazi

Vinyume vya vitenzi Vinyume vya hali ya kutenduaTega teguaBandika banduaZiba zibua

Vinyume vya maneno yanayo kinzanaSimama ketiTembea kimbiaToka rudiFukuza karibisha.Zingatia Iwapo vitenzivimefuatana vitenzi sambamba, basi kitenzi cha kwanza ambacho ni kitenzi kisaidizi ndicho hukanushwa. Kwa mfano Mama alikuwa akiwatayarishia watoto chakulaJawabu; mama hakuwa akiwatayarishia watoto chakula.

Huku ukitoa mifano mwafaka, tofautisha dhana zinazofuataVitateVisaweVitaweVitateNi maneno yanyo karibiana kimatamshi lakini yana maana tofauti sana.MfanoAnwani –kichwa, maelezo ya sanduku la baruaAnuwai—aina tofauti tofautiKaribia—kusongea au nusuraKaripia—kuzomea , fokeaBacha – tundu lililoko ukutani

111

Page 112: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Pacha—vitu viwili vinavyo fanana ambavyo hutokea kwa pamoja, watoto wanao tokana kwa mimba moja.

VitaweMenono yenye maana zaidi ya moja, pia huitwa polisemia.Kaa—aina ya mnyama wa majini, kuketi kitako , kuni ilioungua.Chache—haribika kwa chakula au chochote kile,kuwa na hasira, chafuka kwa bahari, ongezeka.

VisaweNi maneno yenye maana sawa . Pia huitwa ashibahi.

Pesa, fedha ,njenje, ngwenje,Mtu, insi, binadamu,mja, mahuluki.Heshima, nidhamu, adabu,fahari utukufu, taadhima.Barabara baraste njia kuu.

UAKIFISHAJINi hali inayoshughulikia alama zinazotumiwa kisarufi,huleta maana ipasavyo, kurahisisha usomaji , kuongea na hivyo neon au sentensi kufahamika vyema.Je, matumizi ya alama za uakifishaji ni zipi?Nukta/kitone/kituo .Hutumiwa kuonyesha:

a) Maneno yaliofupishwa. Mfano Dkt. Mhe. S.L,P( sanduku la posta.)

b) Hutumiwa mwisho wa sentensi, kuonyesha hoja imekami-lika.

c) Mgao wa pesa. Mfano 70.30, ( shilingi sabini nukta na senti thelathini), 3.06( shilingi tatu na senti sita)

d) Hutumika kuandika tarehe, ambapo hutenganisha siku, mwezi na mwaka. Mfano 12.4.2016.

Herufi kubwa HHutumika :

a) Mwanzoni mwa sentensi.b) Baada ya nukta au alama y a mshangao au kiulizio..hii huonyesha

kwamba sentensi au maneno yanayfuata baada ya alama hizi hujitege-mea hivyo huanza kwa herufi kubwa.

c) Mwanzoni mwa majina au nomino mbalimbali mfano majina ya watu, vyeo kwa kifupi,mahali miezi, siku za juma na sikukuu.

d) Kusisitiza jambo katika sentnsi mfano alitaka kujua CHANZO cha mgomo.

e) Kuonyesha anwani ya filamu, THE A HUNDREDS ,kitabu mfano GAMBA LA NYOKA.

f) Hutumika katika ufupisho wa neno au maneno mfano S.L.P, ODM, UNEP.

112

Page 113: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

herufi ndogo hHutumika katika maandishi isipokuwa pale ambapo sentensi mpya inapoanzaau nomino halisiRitifaa/ kibainishi ‘Hutumika katika uandishi wa ving’ong’o ilikuyatofautisha kimatamshi. Mfano ng’ara, ng’oaHutumika kuonyesha kudodoshwa kwa herufi katika neon hasaa katika mashairi.Mfano n’kaenda,’ tawasifu (nitawasifu, tutawasifu, watawasifu)Nukta mkato/koloni/nusu/;

a) Hutumika kutenganisha sentensi ndefu sana . Ambao huonyesha kutua au kipumuo

Nilijiuliza maswali mbalimbali, kuhusu chanzo cha yeye kuachishwa kazi; lakini sikupata jawabu, kwa sabau sikuona kosa katika utendakazi wake.

b) Hutumiwa kuunganisha sentensi mfano subira ; huvuta heri.

Nukta pacha/ nukta mbili/kolonia. Hutumika kuorodhesha maneno mfano baba alimwambia alete :

kalamu, vitabu, chaki na wembe.b. Hutumiwa kutenganisha saa , dakika na sekunde. Mfano 12: 35:o4c. Hutumika kuonyesha maneno ya msemaji badala ya kutumia alama za

nukuu mfano Nilipokutana naye, nilitaka kujua ni kwanini amepote hivyo; alipenduka na kusema: nilikuwa nimtekwa nyara.

d. Hutumika kutenganisha wahusika katika tamthilia mfano Mwelusi :naliona janga likija kwa kasi mno

Patu : lipi hilo?

e.Huweza kutanguliza kifungu kirefu ambacho kimenukuliwa kutoka kitabuni

Alama ya mshangao/ kihisishi/alama hisi !Hutumiwa baada ya viigiziMfano tulipoenda kwao tulisikia mlio wa paka miow!Hutumiwa kwa neon linalo onyesha hisia Fulani au mshangao. MfanoAlas ! A ajali hiyo.Nukta mbilina nakistari:-Hutumiwa kudokeza ilikutoa mifano. Kwa mfanoUkiambiwa uoge:- tafuta sabuni, maji na kitambaa cha kutoa uchafu mwilini.

Mkato/ mkwaju(/)a. Hutumika badala ya ‘au’ mfano Bi/Bw/Prof.b. Hutumika katika nambari za kumbukumbu . mfano REF/13/07c. Hutumikakatika kutenganisha tarehe, mwezi n siku mfano 27/1/2016.

113

Page 114: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Nukta dukukuku …Hutumika kuonyesha kuwa neon lililoashwa laweza kuwa la matusi , la aibu . ni njia y kuonyesha adhabu kwa lughaUtingo Yule alitutusi… nilishangaa sana.Huonyesha kuwa kuna usemi au menono yaliokatwa kabla ya kukamilika.Alama za kiulizi/ kuuliza.?Hutumika kuuliza jambo au kutaka jawabu Mfano mbona unalia?Hutumika kuonyesha iwapo mtu hana uhakika wa jambo au usemi fulani , hivyo hutumia alama za kiuliziMfano E. Kezilahabi au Mlokozi ni mwandishi wa kitabu cha GAMBA LA NYOKA?

mabano ( )au parandesi []Hutumika kufungia nambari au herufi za orodha. Mfano (a) (ii)Hutumika katika tamthilia ilikufungia maandishi ya maelekezo ya jukwaani. MfanoNatalia :( akitembea atembea) siamini ananifanyia haya!Hutumika kuelezea mambo fulani yasio ya lazima katika sentensi lakini huwa na maana kutegemea na muktadha husikaAlipokuwa akirudi nyumbani ,alikutana na vijana wawili( walikuwa wamshikana mikono) alijifanya hajawaona na kwenda zake.Alama za usemi au kunukuu(‘’ ‘’)

a. Hutumika katika uandishi wa hotuba hasa mwonzo na mwisho wake.b. Hutumiwa katika usemi hasili ambapo maneno yaliyosemwa hunukuliwa.

Mfano mama alisema, ‘’ nitaenda kwenye karamu kesho ‘’.hutumika badala ya kupiga mstari chini ya neo mfano ‘’uzalendo’’

c. Hutumika wakati neno la lugha tofauti linatumiwa katika lugha tofauti

Mfano tuliandaliwa ‘’indumbu’’ tulipoenda eneo la magharibi.d. Hutumiwa usisitiza maneno katika sentensi au kifungu mfano

Ukija kwenye karamu hakikisha umevalia ‘’ rinda refu nyeusi’’

Kistari kirefu – na kifupi i. Huonyesha kwamba neno Fulani limefika mwisho na huendelea katika

mstari unaofuata.ii. Hutumika katika uandishi wa tarehe. 12-6-2016.iii. Hutumika kuunganisha sentensi mbili ambapo sentensi ya pili huwa

ufafanuziwa sentensi ya kwanza. iv. Mfano Haya maeneo maji hushinda yamepotea kila siku- mifereji ya

kupitisha maji yalikuwa yamepasuka.v. Hutumiwa mwanzoni mwa neno kuonyesha kuwa kunakiambishi amba-

cho kinahitajika. Mfano -pi? –ngineo, -eusi.

Kipumuo/koma/mkato

114

Page 115: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Honyesha :a) Kupumzika kwa muda mfupi wakati wa kusoma.b) Hutumika katika kutenganisha orodha ya vitu mbalimbali. Mfano

alinunua:nyanya,vitunguu, mafuta na mboga.c) Hutumika katika uandishi wa anwani za barua.d) Hutenganisha sentensi ambazo zingesababisha matatizo ya

kueleweka zikisomwa kwa ujumla. Mfano badala ya mamia, maelfu waliwasili.

e) Hutumiwa baada ya baadhi ya vihisishi hasa kuuliza mfano je, ni yeye kweli?

f) Hutumika katika tarakimu mfano 356,678. 120,000,05.

Taja matumizi mengine ya alama za uakifishaji.

USEMI HALISI NA USEMI TAARIFA.Usemi halisiNi maneno halisi kama yalivyosemwa na mzungumzaji. Nyakati zote hutumika, alama za kunukuu, za hisi na za kiulizi hutumika. Hutangulizwa na herufi kumbwa. Mfano ‘’Alas! Gari limeanguka,’’Maria alishtuka.

Usemi wa taarifaHuu ni usemi unaoripotiwa, ni maelezo yaliyosemwa na msemaji hutolewa maelezo tu bila kuyanukaa.wakati uliopita hutumika,alama za kuakifisha kama vile kiulizi na mshangao hazitumiki,nafasi ya tatu ndiyo inayotumiwa kwa umoja au wingi isipokuwa tu pale anayehusika msemaji.Mfano Mwalimu alitaka kujua iwapo wanafunzi walimaliza zoezi.

SENTENSI Ni mpangilio wa neno au maneno kadhaa yanayoleta maana Kuna ina mbalimbali za sentensi Sentensi sahiliNi sentensi yenye muundo wa kishazi huru tu.Huwa na kitenzi kimoja kikuu na huwasilisha wazo moja tu. Huchukuwa miundo miwili

a) Sentensi sahili ya kikundi tenzi pekee

Mfano

Analima, tuliwasili, walikaribishwa.b) sentensi sahili ya kikundi nomino (KN) na kundi tenzi ( KT)

mfano

115

Page 116: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Ongeri (KN)anasumbua( KT)

uchambuzi wa sentensi sahili

Analolisoma

a-kiwakilishi nafsi

na- wakati uliopo

lo-kitendwa/shamrisho

li-kiendelezi

-soma- mzizi wa kitenzi.

Faith anaimba wimbo wa taifa.

Faith ( nomino)

Anaimba ( kitenzi)

Wimbo wa taifa ( nomino)

Sentensi ambatano

Sentensi ambano ni sentensi sahili mbili au zaidi ambapo viunganishi hutumika katika kuunganisha sentensi moja na ingine . Alama za uakifishaji kama vile koma, mkato na nusu koloni hutumiwa katika sentensi za aina hii.

Mfano

Mama alienda nyumbani. Hakumkuta mwanawe. Alienda kumtafuta

Mama alienda nyumbani ingawa hakumkuta mwanawe,alienda kumtafuta.

116

Page 117: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Sentensi changamano

Ni sentensi ndefu inayochanganya sentensi sahili na ambatano. Ni sentensi inayoundwa kwa kishazi kimoja huru na na kishazi kingine tegemezi sifa hii huinyeshwa kwa kuwepo kwa kirejeshi amba au –o.MfanoAskari walio uwawa huko somaia, waletwa nchini leo asubuhi , kabla ya kupelekwa makwao walifanyiwa heshima yao ya mwisho na maombi kuandaliwa katika bustani ya Uhuru.

Sentensi huchananganuliwa kwa njia tatu kuu Visanduku Matawi Mstari.

Njia ya mstariMwanafunzi mtiifu atazawadiwa sare . S KN+ KT KN N + V N mwanafunzi V MtifuKT T+KNT atazawadiwaKN NN sare

MatawiS

KN KT

N V T KN

N

mwanafunzi mtiifu atazawadiwa sare.

Visanduku

117

Page 118: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

S

KN KT

. N

Sehemu kuu za sentensiSentensi huwa na mkusanyiko wa maneno ambayo yamepangwa kwa utaratibu. Sehemu kuu za sentensi ni

KiimaKiarifaKiraiKishaziKundi nomino/fungu nomino( KN/FN)Kundi tenzi/ fungu tenzi( KT/ FT)

KiimaNi kipasshio cha sentensi kinachodhihirisha mhusika katika usemaji. Ni nafasi inayokaliwa na kikundi nomino au nomino, pia ni mtenda katika sentensi. MfanoWanamgambo walivamiwa na wanajeshi wa Kenya.

Kiima pia hupatika katika sentensi zinazo anza kwa kitenzi jina. Mfano Kucheza na kuimba kwake kunapendeza.

KiarifaSehemu hii hutoa taarifa kuhusu kiima, ni sehemu ya sentensi iliyo na kitenzi.MfanoDada anakimbia

KiraiNi kipashio cha kimuundo kitokeacho kama nomino, kielezi au kivumishi katika sentensi.Kuna aina mbalimbali za viraiKirai nomino ni aina ya kirai ambapo nomino ama kiwakilishi chake ndicho hutangulia Kira ikitenzi kitenzi ndicho hutangulia katika sentensi.Kirai kielezi kielezi katika sentensi hutanguliaKirai kihusishi kihusishi hutangulia kisha nomino hufuata.Kirai kivumishi katika sentensi kivumishi ndicho hutangulia.

118

Page 119: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

KishaziNi sehemu ya sentensi iliyo na kiima na kiarifa, vishazi huwa huru au tegemezi. Vishazi huru hujisimamia na kuwa na maana kamili ilhali vishazi tegemezi havijisimami na haitoi maana kamili, hutegemea vishazi vingine.

Kikundi nominoNi sehemu ya sentensi iliyona nomino au kiwakilishi chake, kivumishi, huwakisha mtenda au mtendwa, kitenzi jina . Pia huitwa kiima. Kifungu tenziNi sehemu ya sentensi inayotoa taarifa kuhusu nomino. Huwakilishwa na kitenzi au vitenzi zaidi ya moja, kielezi nomino.

MATUMIZI YA KWAHutumiwa kuonyesha nia ya neno- pamoja naMfano Vijana kwa wazee waliwasili kanisaniKuonyesha kuwa kitu Fulani kilitumiwa kufanyia jambo FulaniAlienda kwa miguuAlimchapa kwa mwiko.

Hutumika kuuliza maswaliMfano Kwa nini unapenda kusumbua?Kwa nini unaenda?Kuonyesha kuwa kitendo Fulani kinahusishwa na mtu Fulani MfanoKukimbia kwa cherono kunafurahisha.

Hutumika kuonyesha jinsi jambo lilivyofanywa, litakavyo fanywaMfanoBanati Yule alitembea kwa ujasiri.Mtoto alioga kwa haraka iliasichelewe.

Kuonyesha sehemu ya kitu kizimaMfanoAlipoulizwa mbili kwa nne hakujua.Hutumika kuonyesha umilikaji MfanoNitaenda kwetuKwangu ni kule.

Hutumika katika misemo au nahau na kwa kuunganisha maneno mawili sawa au yanayohusiana Mfano

119

Page 120: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Tulionana naye ana kwa anaTuliandamana naye moja kwa moja hadi kwenye kituo.

Matumizi ya niHuonyesha dhana ya wingi Mfano Endeni Njooni Hutumika kama kielezi cha mahali au kuonyesha “ndani” Ameingia shimoni Mwanafunzi aliweka vifaa vyake sandukuni.Hutumika kuelezea saaMfano Ni wakati wa chajio. Ni saa za machweo.Hutumiwa kama vishio vya kuulizia, au viulizi Mfano Alienda lini?Uliambiwa nini?

Hutumika kuonyesha matokea ya vitu.

MIFANOMASWALI YA SARUFI

C1 (a) Akifisha kifungu kifuatacho "Baba Wafua, ona barua iliyotoka kwa mwanao. Hata hati haisomeki" "Lo" baba watoto akamaka. Hii barua kweli imetoka kwa mwanangu Wafua.

120

Page 121: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

"Waniuliza mimi?" mama akamjibu "Tazama maandishi na anwani basi. Shule ya Msingi ya Burungani S.L.P 128 Vuga" (alama 5) (b) (i) Andika sentensi ifutayo kwa wingi

Uwanja mwingineo umechimbuliwa kuongezea ule wazamani (alama 1) (ii) Unda jina kutokana na kivumishi hikiRefu(alama 1) (iii) Tunga sentensi moj a ukitumia-ki-yamsahrti (alama 1)(c) (i) Tunga sentensi tano kuonyesha matumizi matano tofautiyaneno ,KWA (alama5)

(ii) Tumia viunganishi vifuatavyo katika sentensi I) Mighairi ya II Maadam (alama 2)

(d) Sentensi ifuatavyo ina maanambilitofauti. ZielezeHuyu amekuja kutuliza (alama 2)(e) Tofautisha maana (i) Ningekuwa na uwezo ningesafiri kwenda ng'ambo(ii) Ningalikuwanauwezoningalisarikikwendang'ambo (alama2)(f) Ainisha sehemu zote sarufi katika sentensi ifuatayo

Ninaondoka (g) Unda jina moja kutokana na majina yoyote mawiliyaKiswahilisanifti (alamal)

121

Page 122: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C2 (a) SahiWshamakosayaliyomokatika sentensi hizi mbili zifuatazo(i) Bei za vitu zimepanda juu sana siku hizi (ii) Weka mizigo kwa gari (alama2) (b) Elezamaanaya sentensi hizi (i) mikono yao imeshikana (ii) mikono yao imeshikamana (alama2)(c) Andika sentensi zifuatazo ukitumia kinyume cha neon lililoandikwa kwa herufi za mlazo;

(i) Usijaribu kupaaza sauti unapoimba (alamal)(ii) Huyu ni mtu mwenyebusara (alamal) (iii) Binadamu hawezi kumuumbua mwenzake (alama 1 )

(d) Akifisha kifungu kifioatacho:Bwana mwenyekiti mgeni wetu wa leo wazazi waalimu wote hata wanafunzi leo ni siku muhimu je mngependa niwafahamishe msaada tuliopokea kutoka kwa wizara ya elimu

(alama 4)(e) Tunasema: Mtoto huyu mzuri anapendezaUkitumia majina yafuatayo kamilisha sentensi ukifuata mfano ulio hapo juu(i) Ngome (alamal)(ii) Mitume (alamal) (iii) Heshima (iv) Ng'ombe (alamal)(v) Vilema (alamal)(h) Kutokana na vitenzi tunaweza kuunda maj ina, na pia kutokana na maj ina tunaweza kuunda vitenzi. Mfano:Jina KiteadoMwuzaji uza Muzo uzaWimbo imbaSasa kamilisha:

122

Page 123: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Jina Kitendo(i) Mnada _________ (n) Kikomo _________ (iii) ___________ ruhusu (iv) ____________ ashiki (v) ___________ husudu (alama5)(i) Andika katika msemo halisi

Mvulana, alimwambia baba yake kuwa alitaka kwenda sokoni (alama 2)(n) Andika katika msemo wataarifa

Nitakuwa nikija hapa kila siku kukuona",Kamau alimwambia shangazi yake 'Eleza matumizi ya' Po' katika sentensi hii Nilipofika nilirnwona pale alipokuwa amesimama(alama 2)(k) Mtu akicheza mchezo mahali fulani tunaweza kusema alicheza hapo

ukifuata mfano huu, tumia vitenzi vilivyoko l^tika mabano lojkamilisha:(i) Ali hapo (la)(ii) Ali hapo (fa)(iii) Ali hapo (oa)C3Jibu maswali yafutayo kulingana na maagizo(a) Andika katika msemo wa taarifaMzazi 'lieshonatokaufikenyumba Mtoto: "Nitajaribu, lakini mwalimu alisema tutafanya mtihani jioni (alama4) (b) Badiisha katika udogo kisha uukanushe udogo huo(i) Guu lake limepona baada ya kuumwa na jibwa la jijini (alama2)(ii) Nyumba yenyewe ilijengwa bondeni karibu na mto (alama2)(c) Andika katika kauli ya kutendesha(i) Nataka upike chakula hiki vizuri (alamal)(ii) Toa ushuru forodhani (alamal)(d) Sahihisha bila kubadilisha maana ;

123

Page 124: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(i) Usikuje hapa kwetu kwani sitakuwamo (alamal)(ii) Basi la shule limeharibika moshi nyingi inatokea dirishani na maji inatiririka ovyo

(alamal) (e) Eila kubadilisha maana andika sentensi zifuatazo ukitumia kirejeleo cha ngeli kifaacho (i) Nyumba alishinda farasi kukimbia (alamal)(ii) Milango yote yajifunga ovyonenda ukafunge (alamal)(iii) Hamisiamekatanyasivizuri (alamal)(iv) Jiwe lile liliangukia matunda (alamal) (f) Eleza matumizi manne tofautiya - na - (alama 4) (g) Eleza maana mbili mbili zinazotakana na sentensi zifuatazo (i) Mtoto alitimua mbio, kuona nyoka (alama 2)(ii) Juma alifagia chakula (alamal)(iii) sisikii vizuri (alama2) (h) Tunga sentensi ya neno moja ambayo ina visehemu vifuatavyo vya sarufi

-kiima,-Wakati -kirejeleo - Kiwakilishi kitendwa-Kitenzi (alama 5)

(i) Bila kunyambua andika maneno mawili ambayo yanatokana na shina moja na neno:Imani C4 1. (a) Akifisha kifungu hiki:

nilipomwendea aliniangalia kisha akaniambia siamini kuwa ni wewe uliyeandika barua (alama3)

(b) Onyesha viunganishi vingine badala ya vile vilivyotumiwa katika sentensi hizi:

Watu wanne walipeperushwajuu kwajuu na upepo mkali (alama 4)

124

Page 125: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(c) Tumia viunganishi vingine badataya vile vilivyotumiwa katika sentensi hizi:

(i) Anayetafuta hachoki hata akichoka keshapata (alama 1)(ii) Ngojeeni hadi washiriki wote wafike (alama 1)

(d) Tumia kiulizio –pi-kukamilisha:(i) Nimitume........... ........... aliowataja? (alama 1)(ii) Ni kiziwi ..................... aliyemwona akipita? (alama 1)

(e) Tunatumia viashiria vya kuthibitisha kwa mfano:-Kitabu kiki hikiSasa kamilisha:Ni mbwa ................. aliyekula chakula cha mtoto (alama 1)

(f) Andika upya sentensi ifutayo ukitumia kirejeshi (kihusiano cha ngeli cha mwisho

Mwanafunzi anayefanikiwa maishani ni yule anayesoma kwa bidii na pia anayetii wakuu wake. (alama 2)

(g) Jaza viambishi vifaavyo katika sentensi zifuatazo: (i) Ukuta..........enyewe uria hyiifa nyingi lakini fundi....ote anaweza

kuukarabati (alama2)(ii) Maji yalizoa changarawe....ote na vitu....ingine....o ufuoni mwa

bahariC5A. (a) Jaza kiambishi kifaacho:

Ume_______ona kalamu nyekundu zili____potea? (alama 2)(b) Andika kwa umoja:

Tumewaondoleeni matatizo yenu yafaa mtushukuru (alama 2)(c) Nyambua vitenzi vifiiavyo ili kupata majina (nomino) mawili tofauti:

(i) Kumbuka.........................................................(ii) Shona...............................................................(m) Cheka.............................................................

(d) Ondoa - amba-bila kubadilisha maana:(i) Kuimba ambako kulisifika siku nyingi sasa kunatia shaka (alama 1)(ii) Mibuni ambayo hupandwa wakati wa mvua hustawi (alama 1)

125

Page 126: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(e) Sahihisha:Siku hizi mahitaji imezidi na pesa haitoshi (alama 1)

(f) Akifisha:Sijaona kitabu kizuri kama hiki utaniazima siku ngapi Bashiri alimwuliza

Sijaona (alama4)(g) Eleza maana mbili za sentenzi:

Jua nisemalo ni muhimu kwetu (alama2)(h) Kiambishi-U-hutambulisha majinayangeliyaU (umoja), Hatahivyobaadhiya

majina haya huchukua viambishi tofauti katika wingi. Orodhesha maj ina matano kama hayo, kisha . uonyeshe viambishi hivyo tofauti vya ngeli (katika umoja na wingi)

(alama 5)

126

Page 127: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C6A. (a) Eleza tofauti iliyopo katika jozi hii ya sentensi

Alimpatia soda na chupa Alimpatia soda kwa chupa

(alama2)(b) Kamiliska jedwali ukifuatia mfano uliopewa

Wimbo Mwimbaji Uimbaji Jengo ........................ ..............Pendo ........................ …..........

(c) Taja vielezi vinavyopatikana katika sentensi hizi; kiska eleza nl vielei4 vya aika gain (alama4)(i) Aliamka alfajiri (ii) Mtu huyu ni hodari sana

(d) Andika kwa usemi kalisiYohana alisema kwamba nj iani kulikuwa kumenyesha sana ndio sababu tulichikwa. (alama2)

(e) Tunga sentensi moja mojaukkttmia alama zifuatazo za udkifishaji (alam 4)

(i) ritifaa(ii) parandesi(iii) ckikuduku (iv) mshangao

(f) Tunga sentensi ukionyesha niatumizi ya vitenzi vya silabi moja katika jinsi ya kutendesha ukitumia silabi hizi ... (alam 3) (i) -la (ii) nywa (iii) fa

(g) Taja na ubainishe aina za viwakilishi katika sentensi zifuatazo (alama 4)

(i) He minazi yangu niliyopalilia inakua vizuri(ii) Mimi niriataka kumwona mwanariadha aliyepata nishani ya dhahabu

127

Page 128: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(h) Andika kwa wingi:(i) Uta wake nimrefunamkubwa sana (ii) Merikebu itakayofika kesho itang'oa nanga keshokutwa

(i) Andika upya sentenzi zifiiatazo ukitumia neno amba (alama 2) (i) Kijiti kilichovinjika kiliimwumiza Anmina mguuni (ii) Barua zitakazoandikwa na baba kesho zitatumwa mwaka uj ao

(j) Sahihisha sentensi hizi: (alama 2)(i) Bahasha ilionunuliwa jana ni kubwa na mzuri(ii) Mananasi hizi zinauzwa ghali kwa sababu zimeiva vizuri sana

C7(a) Kwa kutumia kirejeshi kifaacho9 rekebisha sentensi ifuatayo kwa njia mbili tofauti

Yulendiyeinkwasiambayealiyeniisurika (alama 2)(b) Andika umoja wa sentensi hizi:

(i) Kwato za wanyama hutufaidi(ii) Mnabdca vyeti vya kuwasaidia?

(c) Andika ukubwa waMwizi aliiba kikapu na ng'ombe

(d) Tunga sentensi sahihi ukidhihinsha wingi wa majina yafuatayo (i) Ukanda(ii) Uzee

(e) Sahihisha sentensizifuatazo bila kugeuza maana (i) Kikombechenyekimevunjikantkipya(ii) Nimepeanakilabukwamwalimumkuu (alamal)

(f) Tunaweza kusema katika chumba au(i) …………………………………………………………..(ii) …………………………………………………………..

(g) Andika sentensi zifuatazo katika halt ya kutendewa(i) Yuleng'ombealizaandamanikubwajana(ii) Mavu hawa wamemsumbua Nyatogo kwa muda mrefu

(h) Kwa kurejelea ngeli za mahali, andika sentensi tatu ukionyesha matumiziya kila moja (alama 3)

128

Page 129: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(i) Andika sentenm za mseto kutokana na mbilifupi uizopewa(i) Mwanafunzi amesoma kwa bidii. Mwanafunzi anataka kupita mtihani

(alamal)(ii) Leonimerucknyumbani. Sipendelei kuishi hapa - (alama 2)

(j) Geuza sentensi hizi kutoka msemo wa taarifa hadi msemo halisi(i) Mamaalisemanichukuenafakayetunikauzesokoni

(alama2)(ii) Mwalimualiombaaletewevitabuvyake kutoka darasani (alama 2)(k) Eleza maana mbili tofauti za sentensi hii.

Wenzake wamelipwa pesa zao, yeye bado amelala (alama 2)

C8(a) Eleza matumizi matatuyaKIna utunge sentensi moja kwa kila mojawapo.

(alama 6) (b) Tambulisha viwakilishi nafsi katika sentensi zifuatazo, halafu u/igeuze sentensi

hizokwawingi . (i) Nilisomakitabuchake (ii) Umekuwa mwadilifu kupindukia(iii) Alishinda nishani ya dhahabu (alama 6)

(c) Akifisha sentensi hit -Watu wengi warnezoea kusema ajali bwana basi yakaishia hapo lakini

kufanyahivyo ni sawa. (alama 3)

(d) Andika sentensi hizi kwa umola (alama 2)(i) Mafuta haya yanachuruzika sana(ii) Miinuko ile ndiyo mwanzo wa milima ya Chungu

(e) Sahihisha sentensi zifuatazo: (alama 2)(i) Kile kitabu kilipasuka ni changu(ii) Mtotomwenyeameangukaninduguyangu

129

Page 130: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(f) Kanusha:(i) Matawi ya mti ambayo yalikauka yalikatwa (alama 2)(ii) Matofali haya yanatumiwa kwa ujenzi wa nyumba

(g) Andika sentensi hizi upya ukitumia -o-te-(i) Chakula kikibaki hutupiliwa mbali (alama 2)(ii) Kila nyumba unayoingia unapata watoto wawili

h) Yapange majina yafuatayo katika ngeli zake(i) Neno.............................................(ii) Kiongozi..........................................(iii) Mate............................................. (alama 3)

j) Ukizingatia neno lililo katika mabano, andika sentensi hizi katika haliya kutendeka (alama 2)(i) Daraja hili(vuka)tu wa kati wakiangazi (ii) Kitabu hicho (soma) ijapokuwa sura zingine hazimo

(j) Tunga sentensi ukionyesha matumiziya:(i) -enye (alama 2)(ii) -enyewe

C9(a) Tumia viashiria vya kutilia mkazo katika sentensi zifutazo

(i) Kibogoyo................ Ndiye anayehitaj i meno ya dhahabu(ii) Vyakula.................. mvipikavyo nyinyi, nasi twavipika

(b) Geuza sentensi zifuatazo ziwe katika haliya umoja(i) Huku kuimba kwenu kuzuri kutawapendeza wageni(ii) Hii miche ni mizuri sana, itatufaa (alama 2)

(c) Unganisha sentensi zifuatazo kwa kutumiaviunganisliivifaavyo(i) Chakula hiki hakina mchuzi. Hakina chumvi (alama 1) (ii) Romeo aliamka. Alitazama saa yake Akaia kiamsha kinywa mbio

mbio (alama 2)

(d) Ziandike upya sentensi zifuatazo kwa kufaata maagizo uliyopewa(i) Nimemleta paka ili aue panya wote wanaotusumbua hapa kwetu

nyumbani (anza: Panya......) (alama2)

130

Page 131: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(ii) Mbwa ambaye aliripotiwa kuwa ameibwa amepatikana katika bwawa la maji (anza Katika bwawa.....) (alama 2)

(e) Andikakwamsemohalisi sentensi. Tajiri alishangaa kuwa niliweza kuubeba mzigo huo peke yangu

(alama 2)(f) Piga mstari vivumishi katika sentensi hizi

(i) Sina nguo yoyote niwezayo kuvaa (alama 1) (ii) Mtoto mwenyewe ataileta kalamu (alama 1)

(g) Andika vitenzi vinavyotokana na majina haya; (i) mfuasi (ii) kifaa (iii) mharibu (alama 3)

(h) Kanusha(i) Ungemwuliza vizuri angekujibu bila wasiwasi (alama 1) (ii) Andika kinyume

Mjomba alichomeka upanga kwenye ala - (alama 2) (i) Eleza maana nne tofauti za sentensi hii

Alinunuliwa samaki na mtoto wake (alama 4)

(j) Eleza tofauti bainaya sentensi hizi(i) Ningekuwa na pesa ningenunua shamba (a) Ningalikuwa na pesa ningalinunua shamba (alama 2)B. (a) kamilisha tashbihi zifuatazo

(i) Baidika kama (ii) Mzima kama

(b) Tumia tanakali za sauti zifuatazo kukamilisha sentensi hizi; (i) Sauti ya waimbaji haikusikika tena, ilikuwa imedidima...... wageni

walipoflka katika jukwaa

131

Page 132: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(ii) Simba ni mnyama hodari sana, akimkamata swara humrarua (alama 2)

(c) Tunga sentensi mbili tofauti zinazo bainisha maana tofauti kati ya: (i) Nduni (ii) Duni (alama 4),

(d) (i) Mdudu anayetengeneza utandu huitwa (alama 1)(ii) Mdudu mwenye mkia uliopinda nchani ambao una sumu ni

(alama 1)(e) Andika inethali mojainayotokananamaelezoyafuatayo Asiye na uwezo

ataendelea kuwa bila uwezo hata akifanya bidii namna gain (alama 2)C1O(a) Andika udogo na ukubwa wa jina ngoma

(i) ____________(ii) ………………

(b) (i) Eleza namna mbili za matumizi ya alama ifutayo ya uakifishi (;)(ii) Tunga sentensi mbili tofauti zinazoonyesha matumizi hayo.

(c) Tofautishamaanaza sentensi zifuatazo: (i) Kazi yote ni muhimu (ii) Kazi yoyote nimuhimu

(d) Tunga sentensi mbilimbili kuonyesha matumizi mawili tofauti ya: Ka (i) ………………………..

(ii) ………………………Ndivyo (i) …………………………

(ii) …………………………(e) Tunga sentensi kuonyesha matumizi sahihiyaviunganishihivi

(i) ingawaje ______________________(ii) ilhali _________________________

(f) Tambulisha kielelezi, kivumishi na mnyambuliko wa kitenzi katika sentensi ifuatayo: Msichana mrembo alikuja upesi akimkimbilia dadake.

(g) Andika kifungu hiki kutoka usemi wa taarifa hadi usemi halisi (alama 2)

Watoto waliambiwa na mama yao watakaporudi nyumbani waoge, wale, hala III waanze kusoma moja kwa moja badala ya kuharibu wakati wao kwa kutazama vipindi vya runinga. Aliwakumbusha kuwa wanaofanya

132

Page 133: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

maonyesho kwenye runinga tayari wamefuzu shuleni na wameaj iriwa kazi.

(h) (i) Taja vihusishi vitatu vinavyorejelea mahali, wakati na kiwango(alama3)

(ii) Tunga sentensi kuonyesha matumizi ya kila kihusishi (i) Andika sentensi zifuatazo upya kwa kufuata maagizo

(i) Alicheza kwa bidii akawafurahisha wengi waliohudhuria tamasha hizo Anza kwa: Kucheza

(ii) Karamu hiyo ilifana sana, kila mtu alikula chakula akatosheka Anza kwa: Chakula

(j) Tunga sentensi mbili tofauti ukitumia vitenzi hivi vya silabi moja(i) Pa ________________(ii) La

(k) Unda vitenzi kutokana na maj ina haya: (i) Mtukufu ______________(ii) Mchumba

133

Page 134: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C11(a) Bainisha aina ya vivumishi katika sentensi hii

Nyiimba yangu rd maridadi(b) Kamilishajedwali

Kufanya kufanyia kufanywaKula _____Kuunga ______ ______

(c) Eleza matumizi ya kwa katika sentensi hii Aliimba kwa sauti tamu

(d) Andika kwa wingiPahala hapa ni pake

(e) Eleza mtumizi ya na katika sentensi:Halima na Asha wanasaidiana

(f) Huku ukitoa mifano, fafanua miundo mitatu ya majina katika ngeli ya LI-YA

(g) Onyesha (i) Kielezi (ii) Kitenzi katika sentensi: Mvua ilinyeshamfululizo(h) Kanusha sentensi hii:

Tumechukua nguo chache kuuza(i) Tumia-ndi-pamojanaviashiria vyangelikujazamapengo cw-

(i) Wewe _____ninayekutafiita(ii) Nyinyi______mnaoongoza

(j) Andika sentensi hiiupya kwa kufuatamaagizo (i) Nilikuwa nimejitayarisha vizuri kwa hivyo sikuona ugumu wowote

katika safari yanguAnza: Safari............. (alama2)

(k) Geuza vitenzi hivi viwe majina(i) Shukuru(ii) Enda

(1) Eleza maana mbili tofauti za sentensi hii. Mamake Juma na Mariamu walitutembelea

134

Page 135: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C12a) Tunga sentensi inayodhihirisha matumizi ya ngeli ya I -1b) Changanua sentensi ifiiatayoukitumiamchoro wa matawi: Mkulima

mzembe amepata hasarac) Onyesha viambishi awali na tamati katika kitenzi: Alimchezead) Taja sauti mbili zinazo tamki wa midomonie) Kanusha sentensi ifiiatayo: Ningaiikuwa napesa ningalinunua nyumba.f) Kitenzi Fumbata kiko katika hali( kauli) ya Tendata, Fanyata.g) Tunga sentensi ukitumiakielelezi cha:

i) Wakatiii) Mahali

h) Andika sentensi zifuatazo kulingana na maagizo uliyopewa. i) Mhunzi mrefu alisliinda tuzo (anza kwa: Tuzo.....) ii) Mwanaftinzi huyu anasoma Idf aransa (Anza kwa Idashiria kisisitizi)

i) Sentensi hizi ni za aina gani?i) Lonare anatembea kwa kasi. ii) HalimaanaandikahaliEkomwa anasoma.

j) Tunga sentensi moja ukitumia neneo useuze" k) Bmnisha kirai nomino na Kirai Tenzi katika sentensi:

Jirani mwema alinipa chakula) l) Unda Nimino kutqkana na vitenzi

i) Chelewaii) Andika

m) Onyesha hali katika sentensi zifuatazo: i) Huenda mvua ikanyesha leo.ii) Miti hukatwa kila siku duniani

n) Unganisha sentensi zifuatazo ukitumianeno "japo"i) Selinaalijitahidi sanaii) Selinahakushindambiohizo.

o) Andikakinyumecha: - Mwise alikunja nguo aliokua ameanika.p) Sahihisha sentensi:q) Andlka katika msemo wa taarifa. "Sitathubutu kumpa pesa zaagu"

Mkolwe alisema.

135

Page 136: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

r) Tunga sentensi kuonyesha tofauti kati ya vitate vifuatavyo: Suka na Zuka

s) Eleza matumizi ya ritifaa katika: N'shamchukua t) Andika udogo na ukubwa wa neno'kiti'u) Eleza matumizi ya "na" Katika sentensi:

Sofia naRaeliwanaandaliwachainampishi C13

a) Tunga sentensi moja ukitumia nomino dhahania.b) Eleza maana mbili za sentensi ifoatayo:

Hawa ni watoto wa amarehemu Bwana Nzovu na Bi Makamo. (alama 2)c) Unda nomino moja kutokana na kitensi "ghafilika". (alama 1)d) Andika kwa wingi:Nyundo hii imevunjika mpini wake. (alama 1)e) Ainisha sentensi ifuatayo ukitumiajedwali. (alama 3)

Mvulana mrefu anavuka barabaraf) Tambua na ueleze aina za vivumishi katika sentensi ziftiatazo:

i) Mtoto mwenyewe alienda shambani. (alama 1)

ii) Kazi yetu haihitajiki shuleni. (alama 1)g) Koloni/nuktambili(:)hutumiwa katika kuorodhesha. Onyesha matumizi mengine

matatuyakoloni(:) (alama 3)h) Tunga sentensi itakayoonyesha matumizi ya kihusishi cha a-unganifu. (alama 2)i) Bainisha kishazi huru na kishazi tegemezi katika seiatensi ifuatayo

'Mkulima aliyepanda wakati ufaao amepata mavuno mazuri(alama 2)

j) Ainisha viambishi katika neno: kujidhiki. (alama 2)

136

Page 137: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

k) Tambua na ueleze aina za vitenzi katika sentensi ifuatayo'Kalamu aliyokuwa nayo Mwalimu ni ya mwanafunzi. (alama 2)

l) Andika viwakilishi ngeli vya nomino zifuatazo:i)

Chakula.....................................................................................................(alama 1)

ii) Kwetu...................:.............. ........................................................ (alama 1)m) Badilisha sentensi ifuatayo ili iwe katika hali ya kuamuru. Baba ingia ndani.

(alama 2)n) Elezamaanaya sentensi

'Ningalikuwa na pesa ningalinunua nyurnba na ningalistarehe'. (alama 2)o) Fafanua aina za hali zinazotumika katika sentensi hizi.

i) Mwimbaji aliimba, akacheza na akachanganisha sana. (alama 1)

ii) Shangazihujakilamara. (alama 1)p) Andika. Katika mnsemo wa taarifa ‘nitakuarifu nimkimwona’, Elma alisema.

(alama 3) q) Nyambua kitenzi "ota" kama kinavyotokea katika kirai "ota ndoto" ili tofauti tatu

zilitoke (alama 3)C14a) Tambuamzizi katika neno. (alama 1)

“msahaulifu”..................................................b) Tunga sentensi ukitumiakivumishichanomino. (alama 1)c) Andikakinyumecha:

Wasichanawatatuwanaingiadarasanikwaharaka (alama 2)d) (i) Fafanua maana ya “mofimu huru” (alama 1)

(ii) Toa mfano mmoja wa mofimu huru.e) Tambua kiambushi awali na tamati katika neno alaye. (alama 2)

137

Page 138: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Tumia kirejeshi-amba-kuunganisha sentensi ziluatazo:(i) Mwanafunziwlenimrefli. (ii) Mwanafiinziyuleamepitaintihani. (alama 2)

g) Sahihisha sentensi hii:Waya yangu imepotea ............................................................................................ (alama 1)

h) Taja aina ya yambwa iliyopigiwa mstari katika sentensi ifuatayo: Mpishi amempikia mgeni wall vizuri. (alama 1)

i) Ibadilishe chagizo ya mbahali kwa vile ile ya wakati katika sentensi ifuatayo: Mchezaji aliucheza mpira mjini Malindi.

j) Elezamaanambiliza sentensi:Yohana alimpigia Husha mpira,Yohana alipiga mpira badalayaHusha

k) ' Kanusha:Sisi tumemaliza kujenga nyumba ambayo ingaikuwa yake angalifurahi......................................................................................................... (alama 1)

l) Undano minokutokananai) Zingua....................................................................... (alama

1)ii) Tosa......................................................................... (alama

1)m) Ichoree vielezo matawi sentensi:

Paka mdogo amepanda mchungwani. (alama 2)n) Tumia kihusishi badalia kutunga upya sentensi hii:

Mgeni yuko katika nyumba (alama 2)o) Undakitenzikutokanananen “sahili”

............................................................... (alama 1)p) Eleza tofauti kati ya sauti (z) na (d) (alama 2)q) Tambua aina ya kitenzi kilichopigiwa mstari katika sentensi. Mzee

huenda anacheza kamari. (alama 1)

138

Page 139: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

r) Badilisha kiwakilishi kimildlishi kwa kiwakilishi kionyeshi katika sentensi:

Cha keki lipatikanao chini (alama 1)s) Tumia mfano mmoja mmoja kutofautisha baina ya sahili na ambatano.

(alama 4)(t) Tunga Sentensi itakayodhihirisha matumizi ya kielezi cha nomino

(alama 1)(u) Andika kwa wingi:

Mvu imebomoa nyumba ya jirani

v) Akifisha kifungu kifuatacho:huenda serikali iwezie kuidhibiti bei ya petroli hatuwezi kuyaruhusu makampuni ya petroli kuuyanyasa umma alisema waziri wa kawi bei ya petroli imeongezwa maranne katika kipindi cha mwezi mmoja.

139

Page 140: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

MAJIBUMATUMIZI YA LUGH A - SARUFI

Cla) "Baba Wafua, ona barua iliyotoka kwa mwanao. Hata hati haisomeki." Lo! Baba

watoto akamaka. Hii kweli imetoka kwa mwanangu Wafua?" Waniuliza mimi?" Mama watoto akamjibu. "Tazama maandishi na anwani basi. Shule ya Msingi ya Burungani, S.L.P. 128 Vuga"

KituolHerufi ndogo 1Alama ya kuuiiza 2Kikomo 1Alama ya mshangao 1Alama za kufiinga na kufungua (jumla alama 5)

b) i) Nyanja nyinginezo zimechimbuliwa kuongeza zile za zamaniii) Urefiiiii) Ukifika utamkuta nyumbani

c) i) Amenunua kwa shilingi tatu (bei)ii) Ameenda moja kwa moja (kufululiza)iii) Juma amekwenda kwa Hamisi (mahali)iv) Walipata nyongeza ya mshahara ya ishirini kwa mia (sehemu ya

kitu)v) Walikuja mkutanoni wake kwa waume (pamoja)vi) Alitembea kwa maringo (namna)vii) Kwa mnajili / kwa mintarafu (ya kurejelea)

ii) - Minghairi ya kwenda nyumbani kij ana alikwenda sinema- Maadam nina bidii nitapita mtihani huu

d) i) -Kutufanya tulieii) -Kupoza

e) i) -Kuna uwezekanoii) - Hakuna uwezekano

f) i) Ni - na - ondok - aii) Nafsi - wakati - shina - kiishio

140

Page 141: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

g) Mwanahewa Mwanamwali Bata mzinga Mwana Serere Mwanamaji Mkaza mwana n.k.

C21. Sarufia) i) Bei ya vitu imepanda sana siku hizi (anaweza kuacha juu)

ii) Weka mizigo katika gari / ndani ya ngari / garini /juu ya.gari / kwenye

gari (alama2)b) i) Mikono yao imcgusana au kukutana lakini inaweza kutengana kwa urahisi

ushirika wa kawaida / kusalimiana. ii) Mikono yao imekwamananivigumu kutengana /imeganda (alama 2)

c) i) Usijaribu kupunguza / kushusha / kufifisha / kuteremsha / kudidimiza

sauti unaoimba. i) Huyu ni mtu mpumbavu/mjinga (alamal)ii) Binadamu hawezi kumuumba mwenzake.

d) Kuakifisha"Bwana Mwenyeketi, mgeni wetu wa leo, wazazi, walimu -wote na hata wanaftuizi.Leo ni siku muhimu.

Je,rrmgependaniwafahariaishpmsaadatuliopokeaku^yaElimu?"

e) i) Ngome hii nzuri inapendeza au Ngome hizi ni nzuri zinapendeza

ii) Mitume hawa wazuri wanapendezaiii) Heshima hii nzuri inapendeza.

141

Page 142: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

iv) Ng'ombe huyu mzuri anapendezaNg'ombe hawa wazuri wanapendeza

v) Vilema hawa wazuri wanapendezaVilema hivi vizuri vinapendeza

(alama5)f) Jina Kitenzi (alama5)

Mnada NadiKikomo KomaRuhusa ruhusuAshiki / shauku ashiki Hasidi / husuda husudu

g) i) Mseifto halisi"Ninanataka kwenda sokoni" mvulana alimwamiba baba yake. Au Mvulanaalimwambia baba yake, ""Ninataka kwenda sokoni""Babaninataka kwenda sokoni," (alama2)

ii) Msemo wa taarifaKamau alimwambia shangazi yake kuwa angekuwa akienda pale / hapo kila siku kumwona (alama 2)

h) Po ya kwanza inaonyesha wakatiPo ya pili inaonyesha mahali (alama 2)

i)i) Alilia hapoii)Alifia hapo iii)Aliolea hapo

Akiongeza 'ku' mkosoe kisafuri (alama 3) Jumla =40

142

Page 143: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C31. SARUFIa) Mzazialitakamtotoafikenyumbanimapemasilm

alikuwa ameyasikia hayo aliyoambiwa. Mtoto akajibu kuwa angejaribu kufanya hivyo lakini mwalimu alikuwa amesema wao wangefanya mtihani jioni ya siku hiyo

(alama 4)b) i) Kiguu chake hakijapona baada ya kuumwa na kijibwa cha kijijini

ii)Kijumba chenyewe hakikujengwa kibondeni karibu na kijito (alama2)

c) i) Nataka upikishe chakula hiki vizuriii) Tolesha ushuru wa forodhani

d) i) - Usijehapapetukwanisitakuwapo- Usij e huku kwetu kwani sitakuwako- Usijehumumwetu kwani sitakuwamo (alama 2)

ii) Basi la shule limeharibika, moshi mwingi unatokea dirishani na maji yanatiririka ovyo.

e) i) - Nyumbua alimshinda farasi kukimbia- Milango yote yajifunga ovyo, nenda ukaifunge- Hamisiamezikatanyasi vizuri.- Jiwelileliliyaangukiamatunda

f) i) kauli ya kufanyiana/kufanyana mf. Kupiganaii) wakatiuliopo-anakujaiii) 'na' yakiunganishi-mama na watotoiv) Kiambatanishi naye.v) na ya kutendwa mf. Amepigwa na jiwe

g) i) -alikimbia kwenda kuona nyoka - alikimbia alipoona nyoka

ii) - alikifagiakwaufagio- alikula chakula chote

iii) - masikio yangu si mazuri ama sielewi unavyosema- mimi ni mgonj wa

h) i) - yaliyowafika

143

Page 144: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

- aliyemfahamisha- litakalompata

j) - Amini - Amana

C4a) Nilipomwendea, aliniangalia kisha akaniambia, "Siamini kuwa ni wewe

uliyeandika barua hii." (V2x6 = 3)b) Watu Wanne Walipeperushwa

Jina Kivumishi KitenziJuukwajuu na upepo mkaliKielezi kiunganishi jina kivumishiChukua kimojawapo cha majina hayo mawili na vivumishi hivyo viwili.

(Kila kisehemu = Alama 1x4 = 4)c) i) Na

ii) Mpaka au hata d) Kiulizo-Pi

i) Wapi/Wepi ii) Yupi

e) YUYU HUYUf) Mwanafunzi afanikiwaye maishani ni yule asomaye kwa bidii na pia atiiye

/ awatiiye wakuuwake (alama 2)Sehemu 3 = Alama 2

2 - Alama 1V2

1 = V2 alamag) i)Wenyewe / yeyote

ii) Yoyote/vinginevyo

144

Page 145: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C5a) Umezionakalamunyekunduzilizopotea ' (alama 2)b) Nimekuondolea tatizo lako yafaa miishukuru (alama 2)c) i) Makumbushano, makumbuslio, kumbusho (ma), kumbukizi,

ukumbukaji, ........................... ku.................ii) Mshono, ushonaji, washonaji, mishono, mshono, ushoni, shono,

ushono, mashoni, mashono, mashoneleaji, ushonoleaji, washonaji, shoni.

iii) Mcheko, mcheshi, ucheshi, uchekaj i, kicheko, kichekesho iv) Vicheko, macheko, mchekesaji........... kucheka.............. (1x6 =

6)d) i) Kulikosifika (1x1=1)

ii) Ipandwayo / inayopandwa (1x1 = 1)e) Yamezidi

Hazitoshi (V2x2 = l)f) "Sijaona kitabu kizuri kama hiki, utaniazima siku pgapi?" Bashiri alimwuliza

Sijaona (V2x8 = 4)au"Sijaona, Sijaona kitabu kizuri karna hiki, utaniazima siku ngapi?" Bashiri alimwuliza Sijaona. (1/2x6 = 3)auBashiri alimwuliza Sijaona, "Sijaona kitabu kizuri kama hiki, utaniazima siku ngapi?"

(1/2x6 = 3)g) Faliamu, elewa, tambua, maizi

Gimba / Nyota itoayo mwanga / rnwangaza mkubwaau /.Kwetu (nafsi) iMahali (Umilikaji) \

h)

145

Page 146: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

u my mf uzi-nyuzi uta-nyutau k mf ukuta - kuu ukope – kopeu m mf ugonjwa -mgonjwau f mf ufagio - fagio uteo - teou mb mf ubao - mbaou nd mf uluni-ndimiumoja mf waraka - nyaraka / wayo – nyayo(1x5 = 5)C6a) i) Alipatiwa vi vvili, soda na chupa kando kando.

ii) Alipatiwa vitu viwili pamoja, soda ikiwa ndani ya chupa.b) i) Jengo-mj6ngaji/mjenzi-ujengaji/ujenzi

Pendo - mpendaj i / mpenzi - upendo / upendaji c) i) Alfaj iri - kielezi cha wakati

ii) Sana - kielezi cha namna / jinsi / kiasi / kiwa ngo Msemo halisi

Yohana alisema “Njiani kulikuwa kumenyesha sana ridio sababu tumechelewa.”

e) i) Ritifaa - kuonyeshamaneno /majinaya ving'ong'o mf. ng'ombeKuflipisha maneno mf. takwenda (tutakwenda)

ii) Parandesi- Kutoa maelezo zaidi / kufafanua- Kuonyesha maneno yaliyo ya lazima.- Kuonyesha maneno yaliyo na maneno va waigizaji- Kufungulia nambari za kuorodhesha.

iii) Dukuduku kukatiza userni, kutumaliza, kigugumizi iv) Mshangao - Kuonyesha hisia za moyorii, huzuni, hasira, furaha

n.k.f) Silabi Vitendo Matumizi

-la lisha Alimlisha mtoto-nywa kunywa Alimnywesha

maziwa-fa ficha Alijificha kichakani

g) i) ile - ngeli / j ina / kionyesha / kiwakilishi / kiasliiria

146

Page 147: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

yangu - kiwakilisliiniliyo - kiwakilishi / wakati / nafasi / “O” rejeshiina - ngeli / wakati / j ina / kiwakilishi

ii) mimi-nafsinina - nafsi / wakatikumwona - kitenzialiyepatfL - nafsi / o'rejeshi

h) i) Nyutazao/zakenindefunakubwasana. ii) Merikebu zitakazofika kesho zitang'oa nanga kesho kutwa

i) i) Kijiti ambacho kiliviuijika kilimuumiza Amina mguu.ii) Bama ambazo zitaandikwa ria baba kesho zitatumwa mwaka ujao.

j) i) Bahashailiyonunuliwaj cilia ni kubwananzuri.ii) Mananasi haya yanauzwa ghali kwa sababu yameiva vizuri sana.

C7a) i) Yule ridiye mkwasi aliyenusurika

ii) Yule ndiye mkwasi ambaye alinusurikab) i) Ukwatowan'inyarnahunifaidi

ii) Unatakachetichakukusaidia/kumsaidiac) i) Jizililiibakapunagombed) i) Ukanda

uzi au mshipi/eneo ama sehemu fulani/wingi wake ni kanda ii) UzeeHauna wingi ni uzee tu

e) i) a) Kikombe kilichovunjikani kipya/kikombe chenye kuvunjikani kipya/kikombe kipya kimevimjika/kikombe kipya ndicho

kilichovunjikaii) a) Nimempa mwalimu mkuu Idtabu/Nimempatia mwalimu

mkuu kitabuf) i) Chumbani

ii) Ndani ya chumbag) Andika sentensi zifuatazo kat i ka hali ya kutendewa

i) a) Ndamamkubwaalizali\va!:ang*ombeyulejana.

147

Page 148: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

ii) a) Nyatogo amesumbuliwa na mavu hawa kwa muda mrefuh) - Hapo ndipo alipozaliawa (PA)

- Huko ndiko alikozalwa (KU)- Humo ndimo alimozailiwa (MU)

i) a) Mwanafunzi anasoma kwa bidii ili apite mtihani. Pia kusudi/kwa kuwa

anataka kwa vile anataka/ndiposa/ndipo/rnaadam/madhali nk.ii) a) Leo nimerudi nyumbani ingawa sipendelei kuishi hapa. Pia ijapo/

isipokuwa/hata kama/ingawaje/ijapokuwa//lakini n.k.j) i) a) Mama alisema "chukini nafaka yetu ukauze sokoni"

b) "Chukua nafaka yetu ukauze sokoni" Mamaakasemaii) a) "Nileteeni vitabu vyangu kutoka darasani Mwalimu aliniita. "Tafadhali niletee vitabu vyangu kutokn darasani" mwalimu aliomba.

k) 1. Pesazao wenyewepamojanazake.2. Pesazaowenyewebilazake.3. Pesa zao na wengine na waliohusika hawana/angali usingizini/hana habari (Aegemee upande wapesa an upande wa kulala.)

C8a) Kianzishi cha ngeli ya KI-VI k .m. ki su kimevunj ika - visu vimevunj ika.

Kuonyesha hali yaudogo. k.m. mtu-kijitu. Kijitu kirnepotea. Kitendo kutendeka hulcu kingine kikiendelea Ki r kuonyesha masharti - Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni.Ki - kuonyesha nyakati zote • Nilipofika alikuwa akiandika.

b) i) Nilisoma kitabu chakoTulisoma vitabu vyao

ii) Umekuwa mwadilifu kupindukia MmekuN va waadilifu kupindukia

iii) Alishinda nishani ya dhahabu.walishinda nishani za dhahabu.

c) Watu wengi wamezoea kusen la, "Ajali bwana!" Basi yakaishia hapo. Lakini

148

Page 149: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

kufanya hivyo ni sawa?d) i) Mafuta haya yanachuiuzika sana.

ii) Mwinuko ule ndio rm vanzo wa mlima wa Chungu.e) i) Kitabu kilichopasi±aiiichangu/Kjtabukileldlichopasukam

kilichopasuka ni changu. ii) Mtoto aliyeanguka ni iidugu yangu/Mtoto ambaye ameanguka ni

ndugu yangu.f) i) Matawi ya mti ambay o hayakukauka hay akukatwa.

ii) Matofali haya hayatiu uiwi kwa ujenzi wa nyumba.g) i) Chakulachochotekikibakihutupiliwambali.

ii) Nyumba yoyote uingiayo/unayoingia unapata watoto wawilih) i) Neno - Li-ya (umoj a)

ii) Kiongozi - a-wa (umoj a)iii) Mate - ya-ya(wingi)

i) i) Daraja hili huvukika/li tiavukika/litavuldka/lilivua wakati wa kiangazi.

ii) Kitabu hicho Idnasomeka/chasomeka/hiusomeka/ldlisomeka/kitasomeka ijapokuwa sura zingine hazimo.

j) i) Sanduku lenyefedhalimeibiwa. ii) Sanduku lenyewe limepatikana.

C9(a) (i) Yuyu huyu/huyu huyu (alama 1)

(ii) vivi hivi/vivyohivyo/vilevile (alama 1)(b) (i) Huku kuimba kwako kuzuri kutampendeza mgeni (alama 1)

(ii) Huumchue ni mzuri sana utanifaa (alama 1)(c) (i) Chakula hiki hakina mchuzi wala chumvi (alam a 1)

(ii) Romeo aliamka, akatazama saa yake kasha/halafu akala kiamsha kinywa

(alama 2)(d) (i) panya wote wanaotusumbua hapa nyumbani, wameletewa paka ili

awaue

149

Page 150: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

wote (alama 2) (ii) katika bwawa la maji pamepatikana mbwa ambaye aliripotiwa kuwa

ameibwa.(e) "Umeweza kuubeba mzigo huu peke yako!" Tajiri akashangaa au "Lo!

Umeweza kuubeba mzigo huu peke yako?" Tajiri akashangaa(f) (i) sina nguo yoyote niwezayo kuvaa

(ii) mtoto mwenyewe ataileta kalamu(g) Mfuasi - fiiata

Kifaa-faaMharibifu - haribu / haribiwa

(h) (i) usingemuuliza vizuri asingekujbu bia wasiwasi(ii) shangazi alichomoa upanga kwenye ala

(i) - Mtoto alinunua samaki kwa niaba ya mzazi.- Mtoto alinunua kwa ajili ya mzazi (ili amletee mzazi).- mtu na mtoto wake wote walin unuli wa samaki.- mtu Fulani alinunuliwa samaki na mtoto wa mtu mwingine.

(j) (i) Bado kuna uwezekano/hususan wakati uliopo. (ii) hakuna uwezekano /wakati uliopita.

B. (a) (i) ardhi na mbingu/mbingu na ardhi (ii) Kigogo

(b) didi di raru ram

(c) Nduni - ibura/sifa maalumu ya kitu/jambo lisilo la kawaida/miujiza/ajabu/kioja/shani Duni - bovu/isiyopendeza/isiyodhamani/ovyo.

(d) (i) bui bui/bui(ii) nge/kisuse/sisuza

(e) mtaka hendi mkele na angeenda mkele apakie jahazi mtele tele huvuma na upele Dau la mnyonge haliendi joshiKuku wa mkata hatagi na akitaga haangui na aki angua halei na akilea huchukuliwa na mwewe (alama 2)

150

Page 151: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C10.a) i) Kigoma/kijigoma

ii) Goma/jigomab) i) - Kutenganishasehemukuuyasentensi.

- Kuelezazaidi/kjfafanuzi- Kupumzika kwa muda mrefu- Kjimganishi/badalayakiungcUiishi

ii) - Kutenganishasehemukuuyasentensi.- Mapenzi ni lazima; kila mtu lazima apitie njia liiyo.- Kwa sentensi iliyo na vituo vingi k.m.- Tulipofikamjini, mahali lulipopangakufikatanguj tungejua.

c) Yote: Nzinia/jmiila/ujumla/bila kubakia ila kupingua Yoyote: Bila kuchagua/bilakujali

d) Ka i) Lengo/nia - Nipe pesa nikanunue kitabu.ii) Kitendo cha pili matokeo ya kitendo cha kwanza alianguka

akaumia.Ndivyo i) Jinsi namna-Hivi ndivyo unavyovalia.

ii) Kukubali-Hivyo ndivyoiii) NgeliKI-VI(wingi)-Viatu hivi ndivyo

e) Hatakama,hataikiwa,ijapo,ingawa, ijapokuwa. mf. Nilipata pesa ingawaje haikutosha. Wakati, ambapo mf. Ulimwacha peke yake ilhali ulijua ni mgonjwa.

(ziiigatia kutoa dhana mbili).

151

Page 152: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

f) Kivumishi Kielezi Mnyambuliko (kufanyia)Mrembo upesi akimkimbilia

g) "Mtakaporudi nyumbani muoge, mle, halafu muanze kusoma moja kwa moja badala ya kuharibu wakati wenu kwa kutazama vipindi vya runinga," Mama aliwaambia wanawe. "Wariaofanyamaonyesho kwenye runinga." Aliendeleakuwakumbusha, "Wanaofanya maonyesho kwenye runinga tayari wamefuzu shuleni na wameajiriwa kazi."

h) i) Mahali-Ndaniya, kandoya, mkabalamwa?hali,mpakaWakati - tokea, kutoka, tanguKiwango - kuliko, kushindaTanhibi: Majibuyatofautiane

ii) Mahali-walisafiri hadi Mombasa ili wamtafuteWakati - Tangu akiwa mdogo, hajawahi kumkosea babake. Kiwango-Yeye ni mwerevu kuliko nduguye.

i) i) Kucheza kwake kwa bidii kuliwafurahisha wengi waliohudhuriaii) Chakula kililiwa hadi kila mtu akatosheka katika karamu hiyo

iliyofana saria ya kufana sana.j) i) Pa Alimpamwalimukitabuchake.

ii) La-Alipokuwaakila, wengine walimchungulia.Unga-Kula/liana/lisha/la/ika kwa mnyambuliko wowote.

j) i) Mtukufu - tukuka, tukuza, tukuzwa,tukua hukuzaii) Mchimiba-chimibia^Wmbiana/chumbiwa.

(Zingatia kunyambua kitenzi.)

152

Page 153: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C11a) yangu - kivuishi kimilikishi maridadi - kivumishi cha sifab) Kula Kulia Kuliwa

Kuunga KuungjaKuungwac) Kuonyesha namna kitendo fulani kilivyofanywa.d) Pahala hapa ni paoe) pamojana

wakati uliopokatika kiisliia cha kauli ya kufanyiana (-iana)

f) i) Majinamenginehuanzanaii katika. 1 Umoja na makatika wingi k.m.Jiko - majiko, Jina - Majina, jibu - majibu, jicho - macho

ii) Majina mengine huanza najikatikaUmojanamekatikawingi. k.mJino-meno.

iii) Majina mengine hayaanzi kwa ji katika umoja lakini wingi wake huanza na mak.m. shati- mashati, blanketi- mablanketi, andazi – maandazi

g) ilinyesha-Kitenzi Mfululizo - kielezi

h) Hatujachukua nguo chache kuuza.i) Wewe ndiweninavekutafuta. ii) Nyinyi ndinyimnaoongoza.

j) i) Safari yangu haikuwa na ugumu wowote kwani nilikuwa nimejitayarisha

vizuri.k) i) Shukuru – Shukrani

ii) Enda-mwendo/uendeshaji/mwendeshaji/mwenda1) - MamawaJumapamojanamariyamuwatutembelea.

Mamake Juma na mamake Mariyamu walitutembelea.

153

Page 154: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C12.a) Chai, Chumvi?Sukari,Asali,Mvua,Barafu,Huzuni,Teknolojia.b)

SNomino Kielezi/ kitenzi kitenzi

Nomino nomino

Mkulima mvivu amepata hasarac)

A - li - m - chez - e - aTamati

A / li / m / e / aVitenzi tamatib p wb / p / m/ w b / p / m w

e) Nisingalikuwa na pesa nisingalinunua nyumbaf) Tendata. Fanyatag) Tunga sentensi ukitumia kielelezi cha:

i) liniii) wapi?

h) i) Tuzo ilishindwa na mhunzi mrefu Tuzo (Z) ilishindwa na (Wa) mhunzi mrefu:

ii) Yuyu huyu ndiye mwanafunzi anayesomaHuyu huyu ndiye mwanafunzi anayesoma kifaransa

i) i) Sahili / sentensi ya wazo moja / kitenzi kimoja.ii) Ahibatapa/ vitenzi viwili zaidi /mawazo ma\yili /zaidi (kiunganishi)

(alama 1) j) Nilinunuagariseuzebaiskelik) Jirani mwema alinipa chakula

K/nomino k/kitenzi

154

Page 155: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

l) i) Uchelewaji, mchelewaji, chelezo, machelezo, wachelewa, mcheleweshaji,

wakilelewaji, mchelewa, ucheleweshaji. ii) Andiko, mwandiko, uandishi, uandikaji, mwandikiwa, mwandiki

m) i) Uwezekano / hali ya kutenda.ii) Mazoea / hali ya kutendwa.

n) Japo Selina alijitahidi saha hakushinda mbio hizoSelina alijitahidi sana japo hakushinda mbio hizoJapo alijitahidi sana, Selina hakushinda mbio hizo.Japo hakushinda mbio hizo, Selina alij itahidi sana

o) Mwise alikunjua nguo alizokuwa ameanua.p) Mtoto ambaye nilimsomesha ameasi jamii

Mtoto niliyemsomesha ameasi jamii.q) Mkolwe alisema ya kwamba hangethubutu kumpa pesa zake.

Mkolwe alisema ya kwamba / kuwa asingethubutu ksmpa pesa zake.r) Alisuka maziwa ya ng'ombe -kutikisa

Alisuka nywele vizuri - nywele Ugonjwa hatari ungezuka. –kuibuka

s) Kufupisha neno-kukata/sulubi/dondosha/ondoat) i) kijiti

ii) Jitiu) Kiunganishi -pamojana 3-2 alama

Wakati uliopo 2-1 1A alamaKihusishi-mtenda 1-1 alama

155

Page 156: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C13.a) - Vitu visivyowezi kugusika, kuonjeka au kuorekana k.m. uwongo,

ulafi, wema, usingizi, ubaya, imani, roho, wazo, uzembe, kiu, ushetani n.k. k.m. Uwongo wake ulimtia mashakani- Si lazimaiwe mwanzoni mwa sentensi.

b) i) Baadhi ya watoto ni wa Bw. Nzovu na wengine ni wa Bi. Makambo. ii) Watoto wote ni wa B w. Nzovu na Bi. Makambo (familia) iii) Wote waweza kuwa marehemu (Bw. Nzovu naBi. Makambo)iv) Bw.-Nzovu ndiye marehemu na Bi. Makambo yu hai. v) Hawa ni watoto wa B w. Nzovu na Bi Makamo (pamoja) vi) Kuwa wazazi wao wanaofahamishwa ndio waliaga duania. vii) Bwana Nzovu na Bi. Makambo wanafahamishwa watoto ariibao mzazi / wazazi walioagadunia. (2x1)

c) Kughafilika, ghafiliko, kighafilikishi, mghafUikishi mghafilika, ughafilikaji, mghafilikishwa, mghafilikiwa, ughafili, mghafili, mghafala (hatakatika wingi)

d) Nyundohizi zimevunjika mipini yao.

156

Page 157: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

e)S

KN KT

N V T N

Mvulana mrefu anavuka barabara

auS

KN (FN) KT (FT)

N V T KN

N2

Mvulana mrefu anavuka barabara

f) i) Mwenyewe - kivumishi cha pekeeii) Yetii-kivumishi kimilikishi

g) i) Kuonyesha saa: km. 2 : 04ii) KutajamafunguyaBibiliaauKurani.iii) Kurejelea wahusika katika Tamthiliaiv) Hutumika katika kimukuu kabla yakifungu fulaniv) Kuandika tarehevi) Kuandika madaaubaruarasmi.vii) Katika hesabukuonyeshauwiano (ratio)viii) Katika ufafanuzi.ix) Katika barua'rasmi au pepe.x) Kutanguliza wahusika xi) Kutangulisha usemi halisixii) Kutenganisha dakika na sekunde katika kuandika wakati

k.m.10.53:10

157

Page 158: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

zozote 3 x 1 = 3h) Sentensi iwe na 'a' unganifu k.v. ya, cha, la n.k.

Kando ya / ndani ya / juu ya / miongonimwa / mbali na / kwa n.k.i) Mkulima aliyepanda wakati ufaao-kishazi tegemezi r .

(Mkulima) Amepata mavuno mazuri - kishazi hum. : .j) Ku-ji-dhik-i

Ku-kiambishichangeli/ kitenzi jina ji-kirejeshichanafsi/mtenda/yambwa/mtendajidhik-mziz i - irabu ya mwisho / kiishio

k) Aliyokuwa- Kitenzi kishirikishi kikamdifuni - kitenzi kishirikishi kikamilifu

l) i) ki/ki-vi ii) Ku/ku-ku

m) Baba ingia ndani! (akiacha baba alama 1)Baba ingia!/Ingia ndani/ingia! .

n) - Mtu huyu hakuwa na pesa,hakununua nyumba na hakustarehe- Hakuna uwezekano/haiwezekani- Amepoteza matumaini- wakati uliopita

o) i) Kitendokilitendekanakufuatwanakingine.Mfululizo wa vitenziMfiiatanowavitenzi

ii) Mazoea / hali ya kurudiarudia / kiia wakati (mara kwa mara) p) Elma alisema(kuwa) angelimwarfu kama angemwonaq) Otesha ndoto / oteshwa ndoto / oteshana ndoto / otea ndoto / otewa ndoto / iOteana ndoto

158

Page 159: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C.14 a) sahaub) baba mlezi/mama mzazi/askari kanzu Mwalimu mzee c) Wasichana watatu wanaondoka/wanatoka darasani pole pqle/kwa

utaratibu/asteaste/ alaala/halahala/henezi d) (i) Ni ile inayojisimamia kimaana/isiyokubali viambishi Ni kipasho

kisichoweza kuambishwa. (ii) Nairobi, Baba, Mama, sahani/ngombe n.k.

e) a- awali ye - tamati akiunganisha aye (o)f) 1. Mwanfunzi yule ambaye ni mrefu amepita mtihani.

2. Mwanafunzi yule ambaye amepita mtihani ni mrefu.3. Mwanafunzi ambaye amepita mtihani ni yule mrefu.4. Yule mwanafunzi ambaye ni mrefu amepta mtihani.5. Mtihani umepitwa na yule mwanafunzi ambaye ni mrefu.6. Mwanafunzi mrefu ndiye ambaye amepita mtihani.

g) Wayawanguumepoteah) Yambwatendwa/kipozi / shamrisho kipozi i) Mchezaji aliucheza mpira mjini Malindi.

Mchezajialiuchezaropirajanajioni/mwakajana. j) 1. Yohana alipiga mpira badalaya Husha

2. Yohana alipiga mpira umwendee Husha3. Yohana alimpiga Husha k.sya mpira4. Yohana alimpiga Husha kwa kutumia mpira 5. Yohana aliupiga mpira kwa kumpendeza/kumfurahisha/kumfaa

Hushak) Sisi hatujamaliza kujenga nyumba ambayo isingalikuwa yake asingalifurahi.I) i) Zingua - Mzinguo, rnzinguliwa, kuzingua, uzinguzi, mzingua.

ii) Tosa-utosaji,kutosa,mtosaji,mtoswa,mtosa,kitoso,mtosim)

159

Page 160: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

n) Mgeniyuko/yumo/yundaniya nyumbao) sahilisha, :;ahilishana, sahilishwa, sahilika, sahilia.p) z-sautiyakikwamizo

d- sauti ya kipasuo kizuli waq) Ni kitenzi kisaidizi(Ts)

Hiki/Hicho/kile kilipatikana nchini(s) Sahili huwa na kitenzi kimoja.

K.m. Mwalimu anacheza.Ambatano huwa na vitenzi viwili. ( Baba anasoma gazeti huku mama anapika.

t) Baba ameenda Nairobi/Ulaya/Shule(u) Mvua imezibomoa nyumba za majirani.

Mvuaimebornoanyumba zamajirani.(v) "Huenda serikali iwazie kuidhibiti bei ya petroli. Hatuwezi

kuyaruhusu makampuni ya petroli kunyanyasa umma," alisema waziri wa kawi. "Bei ya petroli imeongezwa mara nne katika kipindi cha mwezi mmoja(.)(!)"

160

Page 161: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

MSAMIATIC1 (a) I Zifuatazo ni sehemu gani za mwili

(i) Kisugudi (ii) NguyuII Andika maneno mengine yenye maana sawa nai) Damu , (ii) Jura

(b) Tumia kitenzi KAA inavyofaa kujaza nafasvzilizoachwaOnyango alipofika nyumbani alikosa mahali pa...............Watu walikuwa wamejaa na hapakuwa na kitihata kimpja cha. (alama

2) (c) Fafanna maana ya methali

I Wasohayawariamjiwao II Tunasema kifurushi cha kalamu

…………………………… ya ndizi(d) Ni mbinu gani za lugha zinzotumiwa katika sentensi hizi?

I Juma si simba wetu hapa kijijiniII Jymanishujaakama samba

(e) Andika sentensi tatu kuonyesha maana tatu tofauti za neno KINA (alama 3)(f) Eleza tofauti ya semi mbili zilizopigwa mstari

i) Kevogo hana muhali; ikiwa hawezi kukufanyia iambo atakwambiaii) Kevogo hana muhali; hivi sasa amekuambia hawezi kukufanvia

janabo hilg) Yaandike maneno yajuatayo katika ufupi wake

(i) Shangazizako(ii) Mama zako

161

Page 162: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C2(a) Fafanna maana za misemo ifuatayo kwa kuitungia sentensi

(i) Kula uvundo(ii) kulauhondo (alama2)(iii) kula mori

(b) Eleza kazi ifanywayo na:(i) Mhariri (ii) Jasusi

C3(a) i) Eleza maana ya misemo ifuatayo kwa kuitungia sentensi moja moja

Kuramba kisogo (alama2)Kuzunguka mbuyu (alama2)

ii) Andika methali nyingine ambayo maanayake ni kinyume chaRiziki kama ajali huitambui ijapo

(b) Mahali palipo hamwa panaitwa (alamal)C4(a) Taja madini mawili ambayo yametukuzwa zaidi, moja kwa tharnani yake

ya kifedha na nyingine kwa kutengeneza vyuma vigumu kuliko madini mengine

(alama 2)(b) Watu wafuatao wanafanya kazi gani (alama 2)

(i) Mhasibu............................................................................................

(ii) Mhazili............................................................................................(c) Eleza tofauti mbili muhimu za kimaumbile kat ya wanyama

(i) Kifaru (ii) Nyati (alama

4)(d) Tumia semi hizi katika sentensi kuonyesha maana:

(i) Kuchokoachokoa maneno (alama 2)

162

Page 163: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(ii) kumeza shubiri (alama2) (e) Tunga sentensi mbili zinazobainisha tofauti kati ya

(i) Goma(ii) Koma (alama2)

163

Page 164: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C5.(a) (i) Andika metbali nyinging yenye maana na:

Mweriye kelele hana neon (alama 1)(ii) Eleza maana yamisemo

I.

Hanamwiko...................................................................................II.

Ameliambugimiguuni......................................................................(alama 2)

(b) Tunga sentensi mbili kuonyesha tofauti kati ya (i) Tega(ii) Tenga (alama 2)

(c) Eleza maana mbili mbili tofauti za maneno:(i) Rudi (ii) Funza

d) jumba la kuhifadhi vitu vya kale ili watu wavitazarm huitwa(e) Andika kwa tarakimu:

Nusu kuonueza sudusi ni sawabn na thuluthi mbili(f) Jaza kiungo cha niwili ki faacho:

(i) _ _ ya jicho hurekebisha kiasi cha mwanga uingiao kwenye jicho

(alama 1)(ii) Saa hukmgiwa kwenye ____ cha mkono (alama 1}

(g) (i) Mjukuu ni wo habu; mpwa ni wa (aiama 1)(ii) Tunachunga unga. tunapeta (alama 1}

164

Page 165: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C6(a) Tunawaitaje watu hawa(alama 2)

i) Mtu anayebeba mzigo kwa ujira(ii) Mtu anayeshugliulikia elimu ya nyota

(b) Taja methali inayoafikiana na maelezo haya:(i) Wengine wanapozozanana kugombana, kunao wanaoiiirahia kabisa hali

hiya(ii) Afadhali kuhudhuria huo mkutano hata kama umechelewa

(c) Tunga sentensi tatu zikionyesha maana tatu za neno chungu (alama 1)(d) Kamilisha

(i) Bumba la, (ii) Genge la

(e) (i) Juhudi zake hizo si chochote bali kutapatapa kwa mfamaji(ii) Leo kapasua yote, hata mtama kwarnwagia kuku

C7.(a) Eleza katika sentensi maana ya misemo ifuatayo

(i) Uso wa chuma (alama 1)(ii) Kuramba kisogo (alama 1)

(b) Andika visawe (manenozyenye maana sawa) vya maneno haya;(i) Sarafu ................................ (alama 1)(ii) Kejeli................................. (alama 1)(iii) Daktari................................ (alama 1)

(c) Kwa kila}ozi la maneno uliyopewa, tunga sentensi kutofautisha maana (i) Ini

Hini (alama 2)(ii) tairi

tahiri (alama 2)(d) Andika kinyume cha

(i) Shari .................................. (alama 1)(ii) Oa..................................... (alama 1)

(e) (i) Anayefundisha mwari mambo ya unyumba huitwa (alama 1)

165

Page 166: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(ii) Samaki anayejirusha kutoka majini huitwa (alama 1)

166

Page 167: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C8(a) Tunga sentensi zitakazobainisha maana yajozi za maneno zifuatazo

(alama 4)(i) Mbari Mbali(ii) Kaakaa Gaagaa

(b) Tumia misemo ifuatayo katika sentensi (alama2) (i) Enda nguu (ii) Chemsha roho

(c) Eleza maana mbilitofautizaRudi (alama 2)

(d) eleza maana ya methali:Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni

(alama 2)(a) Tofautisha maana za sentensi zifuatazo:

i) Kazi yote ni muhimu.ii) Kazi yoyote ni muhimu

(b) Eleza maana ya methali ifuatayo kwa kifupi: uji uki wa moto hupozwi kwa ulimi(c) Eleza maana ya misemo ifuatayo

(i) kukunjua jamvi____________________________(ii) kulamate ___ _____________________________

(d) Maana moja ya 'andika' ni kuchora maandishi ubaoni, kitabuni n.k Toa maana nyingine ya neno hilo (alamal)

167

Page 168: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C10.(a) Eleza maana ya

(i) Sina pa kuuweka uso wangu(ii) Ana mkono wa buli _____

(b) Jaza jedwali Kiume KikeMjakaziJogooFahali

(c) (i) Kati ya madini haya taj a yale yanayopatikana baharini Zinduna Zebaki Lulu Ambari Yakuti Marumaru

(alama 3)(ii) Haya ni rnagonjwa gani?

I MatutywitubwiII Tetewanga

(iii) Mbuni huzaa matunda gani?Cll.a)Tunga sentensi moja moja kuonyesha tofauti kati ya vitate vifuatavyo. (i) Karama....................................................................(ii) Gharama...........................................................................b)Tunga sentensi MOJA itakayoonyesha maana mbili tofauti za neno pembe.

(alama 2)C12.Neno "Chuo" lina maana ya "Shule inayotoa mafunzo maalum ya kazi fulani". Tunga sentensi mbili kubainisha matumizi mengine mawili ya neno hili.

(alama2)

168

Page 169: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

MAJ1BUMSAMIATI

C1I i) Kisugudinikifundochamkono-kiachamkono

ii) Nguyunikifundochamguu (alama2)II i) Ngeu

ii) Jiaha / nipuinbavu / mjkiga / zuzu / mbumbumbu/bwege/mjahili (alama 2)b) Kukaa (alama 1)

Kukalia (alama 1) c) i) Watu wenye mazoea mabaya kusikizana wao kwa wao hata ikiwa

waunguana hushangazwa nao (alama 1) ii) Chaneyandizi (alama 1)

d) i) -Istiara/jazanda (alama 1)ii) -Tashbihi (alama 1)

e) - Shimo hili lina kina kirefu- Shairi lako halina kina cha mwisho- Kitabu changu kina picha nzuri- Amekwenda kwa akina Amma

zozote 3 (alama 1x3 = 3)f) - Hana shida / ngumu (alama 1)

- Hana muda / wakati (alama 1)g) i) Shangazizoii) Mamazo (alama 2)C2a) i) Kula uvundo - kotofaidika, kupata hasara, kupata shida, kula mwata.

ii) Kula uhondo - kupata starehe / neema / raha / ufanisi / manufaa / faida /

utamu (alama 2) iii) Kula mori - kukasirika / kughadhabika

b) Maana

169

Page 170: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Mhariri - Anayesoma au kusahihisha au kurekebisha maandishi tayari kwa uchapishaji/kusanifisha / kukosoa)Jasusi - Anayepeleleza habari fulani (alama

4)

170

Page 171: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C3a) i) -Kumwendea mtu kinyume

- Kupewa hongo kutunga sentensi alama 1 kueleza alama 1

ii) -Ukitakachamvungiinishartiuiname- Ukiona vyaelea vimeundwa

b) i) - ago- mahame, ganjo

C4a) Pekee: Dhahabu Almasib) i) Mhasibu: Uwekaj i hesabu ya pesa / anaye hesabu na kuweka hesabu hiyo.

ii) Mhazili: Mpiga taipu, anayeshughulikia maandishi. ofisini / sekretari /

karani.c) - Kifaruhanamanyoyaiihalinyatianayo.

- Kifaru ana masikio madogo kuliko ya nyati.ii) Kiko / Kiwiko

g) i) - Mjombaii) - Nafaka - mawele, mchele, mahindi

C6a) i) hamali/mchukuzi/mpagazi

ii) Mnajimu/majusib) i) Vita vya panzi neema ya kunguru

ii) Kawia ufikec) - Chakula kimemwagika chungu nzima (mf.)

- iungu la vitu / idadi . - mdudu rhdogo mweusi- kali - kinyume cha tamu-pele-uviqibemwilini/chunusi

d) i) bumbala-nguo/nyuki/karatasi/noti ii) genge la - wezi / vibarua / wakora

e) i) hatafaulu / hatafaniki wa / hatafba dafu / kula inwande ii) kutoboa siri / fichua siri / fiikua siri

171

Page 172: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C7a) Eleza katika sentensi maana ya misemo ifiiatayo:

i) Uso wa chuma- Sentensi ionyeshe uso usioonyesha hisia zozote ii)Kurambakisogo- Kusengenya kwa kutumia ishara

b) Andika visawe (maneno yenye maana sawa) vya maneno haya:i) SarafU, ghawazi / fulusi / darahima / hela / pesa / dirhamu / njenje –ii) Kejeli. Dhihaki / stihizai / dharau / bezo / kebehi / dunishaiii) Daktari. Tabibu/mganga

c) Kwa kila jozi ya maneno uliyopewa timga sentensi mbili kutofautisha maana:

i) Ini - kiungo cha mwiliniHini - nyanyasa, haini, kunyima, onean.k.

ii) Tairi-mpira wa nje wa gurudumu k.v. lagari.Tahiri.- tia tohara, chuna jogoo

d) Andika kinyume chai) Shari - shwari / heri / sudi / utulivu / wema / neema / barakaii) Oa-Taliki/acha/tenga . ;

e) i) Anayefimdishamwarimamboyaunyumbahuita- Kungwi au somo

ii) Samakianayejirushakutokamajinihuitwa-Mkizi

172

Page 173: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C8a) i) Mbari - Ukoo/mlango

Watu wa kitovu kimojajamii, ukoo, nasabaji.k, KamauniwambariMbali-

kisichokuwakaribu/masafamarefubainayamahalinamahali/siosawasawa, tofauti. k.m. Shati hili lina rangi mbili na lile.

ii) Kaakaa - ishi mahali kwamda/kinywanisehkaakaayake.

Gaagaa- geukageuka katika haliyakujilaza,tuatua,piagaragara k.m. vile aligaagaa Idtandani kwa mauvivu.

b) i) Enda nguu-(katatamaa)kukata tama kabisaAlienda nguuhatakablayakujaribu

ii) Chemsharoho-kasirisha - Kuwa mkali, kasirika. Baada ya kuusiwa alichemka roho

wakapigana.c) i) Rejea

ii) ToaAdhabu,kanyaiii) Toa malipo ya pesa kwa aj ili ya kila alichopokea. iv) Kufupikakwanguo.

d) Ukistaajabu mambo madogo utafanyanini ukipata makubwa.- Si vizuri kustaj abishwa na j ambo kwani kuna uwezekano wa kupatwa na makubwa.- Usishangazwe na madogo.

C9a) i) Yote:Nzima/JunJa/ujumla

ii) YoyoterBilakuchagua/bilakujali b) Mtu hawezi kuj iingiza matatani/kule mambo yalikochacha; atadhurika. Mambo

ya kiwa hatari yatalutiwa mbinu mufti ya kuyatatua.c) i) Kuanzashughuli

ii) Kukosachakula/kukosarizikid) Kupanga/kuandaa meza kwa ajili ya kuweka chakula

173

Page 174: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

C10a) i) Ninaona haya

ii) Nimchoyoahili b) Kitwana/mtwana

Tembe/koo Mbugumac) i) Maramaru, lulu, ambari

ii) ugonjwa wakuvimba sehemuyashingonamashavu/machapwiugonjwa unaofanana na ndui ndogo/tete kuwanga.

iii) buniC11. a) i) Karama-Kipawa au uwezo kutoka kwa Mungu

ii) Gharama-Matumiziyapesa/beiyakituchenyethamani.b) i) Karama - Kipawa au uwezo kutoka kwa Mungu.

ii) Gharama-Matumiziyapesa/beiyakituchenyethamani.C.12 l.Ndoa 2. Mahali watoto hujifunza kurani/madrasa3. kitabu cha dini ya kiislamu^7 kiarabu4. kifaa cha kuchokolea nazi. :

174

Page 175: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(ISIMU JAMII)6.UTAHINI WA ISIMU YA JAMII KATIKA SILABISI MPYA YA K.C.S.E

Swali la isimu jamii litatuzwa alama 10Isimu Jamii - Ni sehemu ya Isimu ambayo huangalia mahusiano yaliyopo baina

ya lugha najamii hasa hushughulikiajinsi watu wanavyotumia lugha katikajamii. Swali la isimu jamii litatuzwa alama 10.

5.1.AINA YA MASWALI KATIKA MTIHANI WA K.C.S.E

5.2.Mifano ya masawali .1. Eleza maana ya a. Isimu jamiiNi tawi la isimu linaloshughulikia uhusiano uliopo baina ya lugha na jamii na

huchunguza jinsi watu wanavyotumia lugha katika mazingira na miktadha mbalimbali ya jamii.

b. Msimbo Ni lugha ya kupanga c. Lugha – lugha ni chombo cha mawasiliano/mfumo wa sauti/utamaduni

wa watu.d. Lafudhi (accent) – jinsi mtu anavyo tamka maneno na kubainisha

upekee wake na jamii yake ya lugha na kabila lake.e. Lahaja dialect – vilugha vinavyo zaliwa kutokana na lugha moja. Mf

Kingozi, kiamu, kitikuu, nk katika lugha ya Kiswahili.f. Pijini – lugha inayo tumia msamiati kutoka lugha mbali mbali

wanazozifahamu watu ambao ni wa asili tofauti na wenye lugha tofauti tofauti.g. Krioli – pijini iliyo komaa. Wazungumzaji wa pijini baada ya kuishi

pamoja kwa muda mrefu. Pijini hukua na kupata muundo wa lugha iliyokomaa. Hii ndiyo krioli.

175

Lazima mtahiniwa aelewe yafuatayo Zingatia maana ya istilahi/msamiati aina aina katika isimu jamii. Sajili au rejista tofauti

tofauti na sababu za matumizi mbali mbali ya lugha. Mwaka wa 2006. Swali lilihusu sajili ya mahakamani.

Pia zingatia masharti yanayofanikisha mawasiliano kati ya vikundi mblimbali vya wazungumzaji. Mwaka wa 2007, swali la isimu jamii lilihusu kaida ya kufanikisha matumizi ya lugha.

Historia ya lugha ya Kiswahili Umuhimu wa lugha y Kiswahili nchini Dhima ya lugha kwa mwanadamu Matatizo katika kukizua Kiswahili Usanifishaji wa lugha ya Kiswahili Tofauti kati ya lugha ya mazungumzo na lugha ya kiswahili Tofauti kati ya lahaja na lugha Wingilugha – sababu za wingilugha manufaa ya wingilugha

Page 176: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

h. Lugha sanifu – lugha iliyo sanifishwa kwa kuzingatia vipengele vyote vya lugha.(mofolojia – maumbo ya sarufi) sintaksia – mpangilio wa maneno, semantiki na msamiati.

i. Lugha kienzo – metalanguages (lugha au istilahi ambazo wanaisimu hutumia kufafanua lugha mbali mbali – mf vishazi, virai, vivumishi, viashiria na kadhilika.

j. Lugha mame – protolanguage: lugha yenye umbo lake la awali. Mf Kiswahili cha zamani.

k. Lugha azali – lugha ambayo huzaa lugha zingine.l. Lugha nasaba – lugha zinazotokana na lugha mame moja mf. Lugha za

kibantu.m. Lugha rasmi – lugha inayoteuliwa katika nchi Fulani kwa madhumuni ya

kutumika katika shughuli zote rasmin. Lugha rasimi – mtindo wa zamani wa lugha iliyotumika na watu Fulani

mashuhuri na ulioaminika kuwa ndio mtindo bora wa kutumiwa. (shakespear)2. Taja na ueleze sifa za lugha mahirimu a. Hutumia lugha mseto b. Hutumia lugha yenye utani c. Hutumia lugha ya chuku d. Wanapenda kutumia mbinu rejeshi e. Lugha yao huwa legevu f. Ni lugha isiyo Kiswahili sanifu 3. Taja na ueleze sifa za lugha ya taifa a. Huwa na muundo wa kiisumu unaofanana na ule wa baadhi ya lugha za

watu 1 lugha huzika b. Wazunugmzaji huwa na mengi mno katika taifa c. Yananweza kukalugha lugha ya kwanza / mama ya watu Fulani katika

taifa .d. Huwa lugha ya kienyeji e. Hueneza hisia za kizalendo na utaifa f. Huunganisha watu/ haina chuki 4. Taja na ueleze matatizo yanayokumba ukuzaji wa Kiswahili

nchini Kenya a. Athari ya lugha zingine b. Sera mbovu katika maenezi yake c. Tangu uhuru lugha hi ni rasmi d. Huchukuliwa kama ya watu wasiosoma e. Ukosefu wa wataalamu wa kutosha na vifaa ( 3 x 1=3)5. Eleza umuhimu wa lugha ya taifa a. Huleta umoja b. Huziba mipaka ya kikabila c. Hukuza utamaduni wa watu d. Hutumbuiza watu wa taifa, nyimbo za taifa, , bendera e. Huleta aina mbali mbali ya maendeleo katika taifa f. Husawasisha watu kilugha – hisia huwa sawa g. Hufanisisha uongozi – sera za serikali hufikia umma (7 x1=7)6. Eleza kwa nini vijana wanapenda kutumia lugha ya ‘sheng’

katika mawasiliano yao.a. Athari ya wenzao – mazingira

176

Page 177: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

b. Kuonyesha eti wamepevuka kimawazo c. Kuficha ukweli/jambo Fulani kwa watu wengine d. Baadi ya majarida hutumia lugha hii e. Vyombo vya habari hutumia ‘lugha hii’ FMf. Wanamuziki hutumia lugha hii – muziki wa kisasa – uigaji g. ‘lugha hii’ haina kanuni – sheria za kufuata(5 x1=5)7. Taja na ueleza sifa na umuhimu wa lugha ya wahubiri kwa

waumini wao Sifa .a. Imejaa takriri b. Lugha shawishi c. Ina chuku nyingi d. Imejaa taswira e. Imejaa ahadi nyingi – kuridhi ufalme wa mbingu f. Mbinu rejeshi hutumika katika mifano g. Lugha ya vitisho hutumika h. Mhubiri ni kamahuwa anazungumza kwa mtu mmoja i. Msamiati wa heshima upo – ndugu, kaka, nk.

Sababu muhimu wa matumizi haya a. Takriri ili kusisitiza ujumbe/ dhamira ya mhubiri b. Waumini ni muhimu wasawishike na uyasemayo c. Chuku hutumika ili ushawishi uimarike d. Taswira hutumika ili waumini waweze na waamue e. Ahadi nyingi ni ishara ya matumaini ya mema na kuendelea kuaminif. Mbinu rejeshi ili kusisitiza ujumbe g. Lugha vitisho – mbinu ya ushawishi ili waamini haraka h. Ujumbe hulenga mtu mmoja – kijumla wenig wabadilika kushawishi

mmoja 8. Lugha ni njiaya mawasiliano. Jadili kauili hii ukitaja mambo

matano ambayo huathiri mawasiliano kati ya watu wa jamii Fulani. (alama 10)

Jibu: lengo mahususi la matumizi ya lugha yoyote ni mawasiliano. Baadhi ya masharti amabayo huzingatiwa ni

a. Mazingira: lugha rasmi hutumika katika mazingira rasmi mf. Mahakamani, lugha ya huzuni hutumika mahali ambapo kuna mzishi au maombolezi

b. Uhusiano : mf, Mzazi na mwanawe, Mtawala na mtawaliwa, Mhubiri na muumini, hakimu na mshtakiwa nk. (lugha huwa ya heshima na haina utani ; watu wa rika moja huwa na uhuru hata wa kutaniana)

c. Hali ya mtu: mf: mlevi – ligha hutumiwa ovyoMgonjwa – lugha ya kuliwaza na yenye Huruma Mwenye hasira – lugha ya chuki na ghalabu d. Cheo na mamlaka: mf. Hakimu mahakamani, mwalimu, kasis kanisani,

imamu msikitini, nk cheo huathiri matumizi yake ya lugha, watakazo tumia kwa maaana sharti wateue maneno kulingana na mamlaka au vyeo vyao

e. Madhumuni : leno la mzungumzaji huathiri matumizi yake ya lugha mathalan, iwapo anataka kuvutia msikilizaji, kv, kasisi anapohubiri, lugha yake itakuwa na unyenyekevu na usawishi kwa mpokezi

177

Page 178: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

f. Ujuzi wa lugha azijuazo mzungumzaji: huzoesha kuchanganya ndimi iwapo iwapo mzungumzaji hana ufasaha wa kutosha katika lugha anayoitumia.

g. Umri: lugha ya vijana ni tofauti na lugha ya wazee. Hutumia lugha yenye mafumbo na hekima ya kina kirefu. Vijana hawajali uteuzi wa maneno wanayotumia

h. Jinsia: wanaume hutumia lugha tofauti na wanawake wanapozungumza kati yao au kati ya mwanamke na mwanaume. (zozote 5 x2 = 10)

9. Eleza tofauti iliyoko kati ya lahaja na lugha.a. Lugha huchukuliwa kuwa sanifu na huenziwa. Lahaja hukosa hadhi na

haina usanifu b. Kuna mawasiliano kati ya lahaja za lugha moja mf. Kimvita na kiamu, ni

vigumu kupata mawasiliano kaati ya lugha mbili tofauti mf. Kiswahili na kimasai c. Lahaja hazitumiki sana katika maandishi ila tu katika mawasiliano ya kila

siku. Lugha ndiyo hutumika katika maandishi d. Lugha husemwa katika eneo pana kijiographia kuliko lahaja. Kwa mfano,

lugha ya Kiswahili sanifu husemwa kote nchini Kenya ilhali lahaja ya kiamu, husemwa kisiwani lamu na kipate, kisiwani pate

e. Lugha huwa na athari kubwa kijamii kisiasa, na kiuchumi kuliko lahaja za lugha hiyo

10.Eleza jinsi uwingi lugha unaweza kuleta athari katika lugha na mawasiliano miongoni mwa wanajamii

Jibu: a. Athari za lugha moja kisarufi hutokea kwa nyingine. Mfano, lugha ya

Kiswahili imeathiriwa na lugha ya kiingirezab. Ukopaji wa maneno kutoka lugha nyingine c. Uwezekano wa wazungumzaji wa llugha moja kuihama lugha yao na

kuzugumza tu ile ya pili. Mf. Lugha za kwanza zinadidimia haraka wazungumzaji huku wakihamia lugha zingine kama Kiswahili na kiingereza nchini Kenya

d. Athari za mabadiliko katika miundo na misamiati wa lugha husika ambazo baada ya muda mrefu zaweza kuwa lugha mchanganyiko kv. Kirioli na pijini

e. Lugha inaweza kutoweka kabisa na lugha zingine zikaendelea kutumika f. Vilugha vingine vyaweza kuibuka mf. Sheng 12.Eleza ukitolea mifano, mambo ambayo yamesababisha maenezi ya

wingilugha nchini Kenya.Jibu:a. Siasa – kwa sababu ya shughuli za kisiasa, wazungumzaji wengi

wamelazimishwa kujifunza zaidi ya Lugha moja. Inabidi hasa wanaogombea viti ubunge wahafahamu Lugha ya Kiswahili na warudi mashinani kuomba kura, inabidi tena waweza kuzungumza Lugha zao za kwanza.

b. Biashara – Lugha ya Kiswahili ni Lugha ya taifa na inabidi wafanyibiashara waimudu iwapo wanataka ufanisi katika biashara zao, wengi hujifunza kiingereza pia na hata Lugha zingine za makabila tofauti.

c. Dini – kando na Lugha za kwanza, Lugha ya Kiswahili hutumika sana kukuza imani za dini. Waislamu nchini hulazimika kujifunza lugha za kiarabu pia ili kuelewa vizuri mafunzo ya dini yao

d. Elimu – nchini Kenya lugha ya kiingereza hutumiwa kufunzia na kutahini masomo yote rasmi isipokuwa Kiswahili ambalo pia ni la Lazima. Hivyo basi. Kila mwanafunzi baada ya masomo yake huweza kuzimudu angalao lugha tatu;

178

Page 179: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

lughaya kwanza labda kiluhya, lugha ya Kiswahili, na lugha ya kiingereza. Kuna wachache ambao wanazimudu zaidi ya lugha tatu hasa ale ambao waweza kujifunza kijerumani na kifaransa au kijapani na lugha zingine za kigeni.

e. Uchumi – shughuli za kutafuta kazi huwafanya watu wengi kuhamia mjini au katika sehemu zingine mbali na nyumbani. Hali hii inawafanya kujifunza lugha zingine.

f. Ndoa za mseto – mapenzi yamewasukuma watu kujifunza lugha za kabila mpya ambazowamejiunga nazo, Kwa mfano. Mkikuyu na mjaluo

g. Makabila mengi – nchi y Kenya ina makabila mengi hali hii pia umechangia kuwepo kwa wingi lugha/ulumbi.

10. Kuna watu wengi duniani ambao ujuzi wa kuzungumza lugha nyingi kwa ufasaha, wanaisimu jamii huita dhana hii wingilugha au ulumbi. Eleza manufaa yoyote matano ya wingi lugha

a. Huwezesha mzungumzaji kushiriki kikamilifu katika mawasiliano b. Mtu huweza kuwa na mkabala mwema na majirani wake hatakutoka

makabila tofauti na kabila lakec. Huwezesha aliye na ujuzi huu kuzifahamu tamaduni mbalimbali na hali

hii hufanya tamaduni zipate kukua na kuendelea d. Mipaka ya kikabila huvunjwa na idadi ya wanajamii kuzifahamu lugha

nyingie. Umoja hujengeka miongoni mwa wanajamiif. Humsaidia mzungumzaji mwenye ujuzi huu kuwa na mtazamo mpana wa

dunia g. Nafasi za kazi huongezeka kwa wenye ujuzi wa wingi lugha 11. Eleza dhima ya lugha kwa binadamu a. Kufanikisha mawasiliano b. Chombo cha kuelimisha c. Kuendeleza na kuhifadhi utamadunid. Kujenga utangamano miongoni mwa wana jamii e. Hufanikisha shughuli za biashara

12. Eleza tofauti kati ya lugha ya maandishi na lugha ya mazungumzo

Lugha ya Maandishi Lugha ya mazungumzo1.Haija kuwepo kwa muda mrefu: Imekuwepo tangu mwanzo wa mwanadamu kuanza kuishi duniani 2.Huzingatia urasmi na usanifu wa kiwango cha juu : Aghalabu haizingatii urasmi na hukosa usanifu 3. Hai badiliki badiliki‘liandikwalo halifutiki’: Mzungumzaji hubadilisha badilisha maneno na muunod wa sentensi anapoendelea kunena4.Huchukuwa muda kutayarisha na kuteua maneno, miundo ya sentensi nk. Ndiposa inusanifu wakiwango cha juu :Mzungumzaji hana muda wa kupanga maneno na kuunda sentensi. Ndiposa makosa ya sarufi huwa mengi 5.Haina mtindo wa kuchanganya changanya na kuhamisha ndimi kiholela.:Mbinu ya kuchanganya na kuhamisha ndimi hutumika sana

179

Page 180: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

6.Haiandamani na sauti zozote :Huandamana na sautihata sauti zisizo za lugha kama vile kucheka, kukohoa, kula miayo. 7.Haina ishara zozote Huwa na ishara nyingi kv kukunja uso:Kubirua mdomo, kuinua mkono nk8.Hudumu kwa muda mrefu:Haidumu kwa muda mrefu 9.Huifadhiwa katika maandishi:Huhufadhiwa katika akili za watu 10.Haina uhai: Huwa hai kwa kuambatanishwa na sauti

14.“Semeni Amen. Na ndugu atamsaliti mtoto na watoto wataondoka juu ya wazazi wao na kuwafisha. Nanyi mtakuwa mkichukiwa na watu wote kwa ajili ya jina langu; lakini mwenye kusaburi hata mwisho, ndiye atakayeokoka”.

Maswalia) Eleza muktadha wa mazungumzo haya. ( alama 2)b) Fafanua sifa ya lugha iliyotumika katika mazungumzo haya. ( alama

5 ) C) Eleza sababu zinazofanya mazungumzo yanayotokea katika

mazingira mbalimbali kuwana sifa tofauti tofauti za kimatumizi ya lugha. ( alama 3 )

Haya ni mazingira ya mahubiri. Kuna mhubiri/ kasisi na waumini/ wasikilizaji.b) - Ni lugha ya unyenyekevu.

- Ni lugha ya kubembeleza/ kushawishi wasio waumini- Sauti hupanda na kushuka kulingana na maudhui na pia.- Matumizi ya msamiati maalum kwa mfano majina mbali mbali k.v

Jehovah.- Hurejelea vifungu/ sura mbali mbali katika Biblia.- Msamiati ni wa lugha ya kikale.- Ni lugha ya kuamrisha.- Ni lugha ya matumaini.- Ni msamiati wastani wala si mgumu unaeleweka na mtu wa

kawaida.- Matumizi ya ishara ili kusisitiza linalosemwa/ kuwasiliana na

wasiosikia.- Kuzungumza kwa pamoja katika sala, sentensi huwa fupifupi.

(5 x 1 =5)c) - Cheo

- Umri- Mazingira- Elimu- Rika

15.Soma kifungu hiki kisha ujibu maswali yanayofuata.Kama mnionavyo, mimi ni mpenda maendeleo. Hii ndiyo maana naishi

mjini lakini ninawajali kila mara. Semeni simba! simba! Mimi ni simba na mnavyojua jogoo wa shamba hawiki mjini.

Hivyo mnipe kura zenu kwa wingi ili niwaletee maendeleo ambayo hamjapata kuona tangu taifa letu tukufu lipate uhuru, zaidi ya miaka aribaini zilizopita...

180

Page 181: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

1.a) Hii ni sajili ya wapi ? (ala. 1)b) Toa ithibati kwa jawabu lako. (ala. 3)

2.Kwa nini wakenya wengi wanapenda kuchanganya au kubadili msimbo/ndimi? (ala. 3)

3. Toa ithibati tosha kuwa Kiswahili ni lugha ya kimataifa. (ala. 3)1(a) Siasa(i) Matumizi ya lakabu k.m. simba(ii) Lugha ya kushawishi k.m. ninawajili, niwaletee maendeleo ambayo

hamjapata kuona tangu……(iii) Msamiati uliotumika k.m. kura, maendeleo, uhuru nk

(Hoja yoyote ambayo inajibu swali mwalimu akadirie Hoja 3 x 1 = 3

2.(i) Ari ya kutaka kueleka zaidi(ii) Kuonyesha umahiri wa lugha zote mbili(iii) Kuonyesha hisia k.m. chuki, furaha, woga n.k.(iv) Kufidia upungufu wa msamiati au lugha anayotumia kukosa msamiati(v) Kulenga au kushirikisha watu katika mazungumzo na kadhalika (hoja

3 x 1 = 3)3. Kiswahili – Lugha ya kimataifa(i) Ni lugha inayotumiwa na vyombo vya habari ulimwenguni kuwajuza

watu juu ya matukio mbali mbali.(ii) Kimependekezwa kitumike katika mikutano ya umoja wa mataifa. Ni

lugha ya saba ya kimataifa ulimwenguni(iii) Nchi nyingi za Ulaya, Marekani, Asia na Mashariki ya mbali

zinazungumza Kiswahili(iv) Mitambo ya tarakilishi imeweka progamu kwa lugha ya kiswahili.

Tayari kamusi ya kiswahili imewekwa kwenye mitambo ya tarakilishi(v) Hufunzwa kama lugha ya kimataifa katika vyuo vikuu vya mataifa

mengi(Hoja 3 x 1 = 3Mwalimu akadirie majibu ya mwanafunzi

"Timu yetu iliweza kuichabanga Simba F.C Magoli tatu kwa nunge.”Mwalimu wetu alituhutubia.a)Eleza sajili ilyotumiwa hapa. (alama 2)b) Eleza sifa zozote nane za sajili hii (alama

8)a) Mchezo wa mpira al. 2b) I. kuchanganya lugha/ndimiII. kutohoa magoli (utohozi) III. lugha ya mdokezoIV. kupiga chukuV. matumizi ya misimu kwa wingiVI. sentensi fupiVII. matumizi ya vihisishi kwa wingiVIII. kuvunja sarufi/lugha isiyofasahaIX. lugha isiyorasmi hutumiwa ( hoja zozote 8x 1=

al 8

181

Page 182: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

16.Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali yanayofuata Nini? Umetumana ?Utatumia chai ya kahawa au majani?Nataka kachai na katosti!Tosti ni kumi . Tea is twenty shillings Mbona unaniletea maji ukisema ni chai ?Samahani customer . Ngoja nikuletee moto .a) Lugha iliyo katika kifungu hiki hutumika katika muktadha upi? (Alama

1)b) Taja sifa nne za matumizi ya lugha katika muktadha huu. (Alama

4)c) Toa sababu mbili zonazoonyesha umuhimu wa lugha ya Kiswahili nchini

Kenya d) Orodhesha hatua tatu zinazoweza kuchukuliwa kusuluhisha matatizo

yanayokumba Kiswahili nchini Kenya (alama 3)

Muktadha wa hotelini/Mkahawani (ala 1)b) Sifa za muktadha huu.

i) Sentensi fupi / neno moja ii ) Lugha yenye utata k.m chai ya kahawa au majani.iii) Sarufi haizingatiwi k.m kachai, katosti.iv) Ubadilishaji msimbo / kuchanganya ndimi.V) Lugha ya kubembeleza k.m samahani n.k (zozote 4 alama 4)

c) Umuhimu wa lugha ya Kiswahili nchini Kenya.i) Kuwaunganisha raia wa makabila tofauti.ii) Kuwaunganisha raia wa Afrika Mashariki.iii) Kitambulishi muhimu cha utaifa na uzalendo.iv) Chombo cha mawasiliano k.m biashara.v) NI lugha ya kiafrika, si ya kigeni kwa hivyo ni muhimu kupenda chako

kwanza.( ala 2)d) Suluhisho.

i) Kutilia mkazo ufundishaji ufaao wa Kiswahili.ii) Kuhumiza matumizi ya Kiswahili katika nyanja nyingi za maisha.iii) Kupitishwa kwa sera zinazoweka wazi malengo ya serikali kuhusu

Kiswahili.iv) Raia kukumbushwa kuionea fahari Kiswahili.v) Machapisho ya Kiswahili kuongezeka.vi) Kuwepo na vipindi vya redio na runinga vinavyohimiza ufasaha wa

lugha hii.vii) Serikali kutenga pesa za kuendeleza utafiti katika lugha hii. (zozote 3ala

3)Utahini- Ondoa nusu alama kwa kila kosa la sarufi litokeapo kwa mara ya kwanza hadi

nusu ya alama ulizotuza kwa kila sehemu.- Ondoa nusu alama kwa kila kosa la hijai hadi makosa sita.

182

Page 183: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

DlSoma kifungu kifutacho kisha ujibu maswali yanayofuata.Kwa mujibu wa sheria kifungu nambari 3 sehemu ya A ya sheria za nchi, umepatikana na hatia ya kutatiza utulivu wa raia wapenda amani kwa kuwatusi na kutisha kuwapiga. Kiongozi wa mashtaka amethibitisha haya kwa kuwaleta mashahidi ambao wametoa ushahidi usiotetereka kuhusu vitendo vyako katika tukio hilo. Korti hii imeonelea una hatia na imeamuru ufungwe jela kwa muda wa miaka miwili bila faini ili liwe funzo kwako na kwa wenzako wenye tabia kama zako. Una majuma mawili kukata rufani.(alamal)b)Toa ushahidi wajibu lako (alama3)

c) Zaidi ya sifa zilizo katika kifongu hiki, Eleza sifa zingine sita za matumizi ya lugha katika muktadha huu. (alama6)D2a) Huku ukitoa mifano mwafaka, fafanua kaida tano katikajamii ambazo matumizi ya lugha hutegemea. (alama 10)D3.a) Eleza huku ukiota mifano sifa tano za kimsingi zinazo tambulisha sajili ya

mazungumzo. (alama 10)MAJIBU

Dl.a) Muktadha washeria/mahakama/Kortini/Daawab) l.Msamiatiteule-Jela,rafani,mashtaka,sheria,

2. Washikadau / wahusika - kwa mfano kiongozi wa mashtaka, mashahidi, hakimuJaji, mhalifu3.Sentensinindefiindefukimuundo. mmtmia 4.Kurejeleavifunguvyasheriazanchi. 5. Lugha ya hakimu niya kuamuru.6.Lugharasmiimetumika. .

183

Page 184: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

7. Lugha sanifu imetumika8. Lugha iliyotumika ni ya mfululizo - Hakimu anapotoa hukumu

hakatizwi.9. Utaratibu nitindo maalum wa kufiiatwa kesi inapoamuliwa.10. Lugha ya kuamuru.

c) 1. Lugha yenye kudadisi2. Lugha yenye kukopa kutoka lugha nyingine.3. Lugha ya heshima4. Lugha ya ishara hutumiwa.5. Lugha hudhihirisha ukweli.6. Mawakili huzozana hadharani7. Lugha ya mapuuzo.8. Lugha ya kushawishi kwa hekima.9. Wanasheria wana lugha yao maalum.10. Mshtakiwa / Mshahidi ana uhuru wa kutumia lugha aliyozoea.11. Lugha huhitaji kufasiriwa.12. Hakuna lugha ya ucheshi wala utani.

f) i) Karama-KipawaauuwezokutokakwaMungu.ii) Gharama - Matumizi ya pesa / bei ya kitu chenye thamani.

D2Cheo / hadhi - lugha huwa rasmi, nyenyekevu na neshima.Jinsia / uana - lugha ya wanawake huwa ya upole, adabu na utaratibu ilhali wanaumehuwa kali, bila hisi na kukata kauli.Umri-watu hutumia lugha kulingana na umri. Tabaka/malezi - hutumia viwango tofauti vya lugha.Hali - lugha hutegemea hali ya mtu kwa wakati huo. k.m. mlevi, mgonj wa, mwepesi wahasira, furaha n.kMada / madhumuni / lengo - k.m. mahubiri, mahojiano, ngano. n.k Uhusiano-wakikazi,kijamaa,kirafiki, kielimu n.k.Lughaazijuazo mzungumzaji - kuchanganyandimi.

184

Page 185: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Mazingira - hutegemea mazingira ya wazungumzaji k.v. ofisi, sokoni, mahakamani,kanisani n.k.Mtindo wa mawasiliano - huwa na athari kwa lughaWahusika k.m. sheng hutumiwa tu na wanahirimu.Malezi Taaluma-kaziNjiaya mawasilianoDini/imaniHadhiraWakati / MisimuMuktadhaKiwango cha elimu - TajribaD31. Kukatiza uneni/kalima/usemi/mf. Yohani - nilikuwanauliza.. Otieno: Ngojakwanza2. Lughayamajibizano;mf. Wamboi: HujamboOtieno: Sijambo3. Kuchanganya ndimi - Nanga: Ameenda wapi Kibunya: Ameenda shopping4. Sentensi fupi - Mzeendolo: waendawapiSalimu:Mjini Njuguna: We are still waiting5. Kuhamishamsimbo: Tutaendelealaifanyahi\yohadijioni-Otieno: Tutasafiri k wa aeropleni hadi umarekani6. Utohozi7. Kutozingatia sarufi-Anyango: Zile mbwa zilinifuatambio 8. Kukamilishanamaneno: Kenigo: Utakwenda soko9. Uradidi/Kumdiarudia maneno: Ngwiri: Naomba ruhusa kutaiuta pesa Meneja: La! La! haiwezekani10. Matumizi ya ishara - maelezo11. Kubadilika kwamada - (lazima ijitokeze)12. Kutokamilisha sentensi - Charo: Nilikuona hapa tena...13. Haliyadoyolejia/mazungumzi- Ali:Huumtihaninimgumu Juma: Lasivyo

185

Page 186: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

14. Matumizi ya utani/ucheshi - mfano - kicheko15. Kusitasita - Juma: a... utakiya... kuniona lini sina.. .uhakika lakini nafikiri16. Vihisishi Lo!

USHAIRI

Swali la ushairi litatuzwa alama 20 katika mtihani wa KCSE Wanafunzi wengi hufikiria kuwa ushahiri ni mgumu na kufa moyo mapema.

Inampasa mwalimu kuwahamasisha wanafunzi wake kwa kuanza mafunzo ya ushahiri kuanzia mhula wa kwanza katika kidato cha kwanza. Wanafunzi wazingatie mashairi mepesi mepesi yenye maudhui rahisi na muundo rahisi.

Istilahi muhimu za shairi ziundwe mapema Wanafunzi wajizoeshe kutunga mashairi hasa ya kiarudhi Wanafunzi wasome mashairi mengi yenye masuala ibuka (maktaba iwe na

magazeti ya Kiswahili mf. Taifa leo)a)ISTILAHI ZA USHAHIRI (Lazima kila mwanafunzi azijue)Mshororo: - mstari mmoja wa shairi Kipande: - sehemu moja ya mshororo Ukwapi :- kipande cha kwanza cha mshororo Utao:- kipande cha pili cha mshororoMwandamizi :- kipande cha tatu cha mshororoUkingo :- kipande cha nne cha mshororoUbeti :- kifungu kimoja cha shairi Mizani :- idadi ya silabi katika maneno

186

Page 187: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Vina :-silabi zinazo fanana mwishoni mwa kila kipande Mwanzo :- mshororo wa kwanza katika ubeti Mloto:- mshororo wa pili katika ubeti Mleo:- mshororo wa tatu katika ubeti Kibwagizo/mkarara/kikomo:- mshororo wa mwisho unaorudiwarudiwa

katika kila ubeti Kituo/kimalizio/kikomo:-mshororo wa mwisho usio rudiwarudiwa Sabilia:- shairi ambalo halina kibwagizo Arudhi:- sheria au kanuni zinazohusu utunzi wa mashairi

Huwa zinahusu:- a. Mishororo inayolingana katika kila ubeti b. Urari wa vina c. Vipande katika mishororo d. Mizani e. Beti f. Utoshelezi (kila ubeti ijitosheleze kimaudhui)g. Muwala (mtiririko mzuri wa mawazo)h. KibwagizoKiangiko :- mshororo wa kwanza unaorudiwarudiwa b)AINA ZA MASHAIRI:Aina huzingatia idadi ya mishororo katika ubeti mmoja Baathi ya aina hizi ni:- Tathmina/ tathmia – shairi la mshororo mmoja katika kila ubeti Tathnitha/ tathnia/uwili – shairi la mishororo miwiliTathlitha/utatu – la mishororo mitatu Tarbia/unne – la mishororo mineTakhmisa/utano – la mishoror mitano Tasdisa – la mishororo sitaUsaba – la mishororo saba Unane – la mishororo minane Utisa – la mishororo tisaUkumi – la mishororo kumi Utenzi – la mishororo mingi katika ubeti mmoja

187

Page 188: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Hamziya – lina mishororo mirefu na mizani agh. 30 ; limegawanywa katika vipande vinne katitka kila mshororo.

c)BAHARI ZA USHAIRIZingatia idadi ya vipande katika mshororo, urari wa vina, mpangilio wa

mishororo na urefu wa mishororo, Mathalan:Kikai – shairi la mizani kuminambili katika kila mshororoMtiririko – vina vya kati hulingana na pia vya mwisho kutoka ubeti mmoja

hadi mwingine Ukara – vina vya kati hulingana lakini vya mwisho hutofautiana au vya kati

kutofautiana na vya mwisho kulinganaUkaraguni – vina vya kati na pia vya mwisho hutofautina kutoka ubeti mmoja

hadi mwingine. Msuko – shairi ambalo kibwagizo kimefupishwa Kikwamba – neon moja hutumiwa kuanzia kila mshororoPindu/nyoka/Mkufu – mshororo wa mwisho, kipande chake au neon moja

hutumiwa kuanzia ubeti unaofuatia.Utenzi – shairi la kipande kimoja, kina kimoja, mizani chache na beti nyingiKisarambe – huwa na urari wa vina bila kuwa na urari wa mizani.(mizani 11

kila mshororo)Mathnawi – lenye vipande viwili katika kila mshororo. (ukwapi, utao na

mwandamizi)Sakarani – ni mchanganyiko wa aina au bahari nyingi katika shairi mojaMandhuma – shairi ambalo ukwapi hutoa wazo au swali, nao utawi hutoa jibuNgonjera – huwa na wahusika wanaojibizana au kuzungumza kwa njia ya

kishahiri Malumbano – aina ya ngonjera ambapo wahusika wake ni washairi

wanaoshindana ili kupata bingwaMauve/mapingiti/mashairi huru/mazuhali/shairir guni – mashairir

yasiyozingatia arudhi au kanuni za utunzi wa mashairiShairi msemele – huwa na misemo yenye hekima na methali zenye busara Shairi kiambo – huzugumzia juu ya kiumbe na mazingira yake Shairi burudishi/tumbuizo – ina mishoro mingi na mirefu ambayo huimbwa

188

Page 189: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Makiwa – husimulia hofu na masikitiko ya mtu kufuatiya kifo cha mtu mwingine

Shairi kumbukizi – ni la kumbusho /ukumbusho wa jambo Fulani lililotokea Barua – hutungwa kama barua lakini bila anwani Bariza – shairi ambalo husifu utawala au uongozi Fulani Abjadi – herufi ya kwanza ya kila mstari hufuatia mpangilio wa alfabeti

unaotengeneza jina la mtu au kitu. Ni mwanzoni na mwishoni mwa vipandeTaabili – ni shairi ambalo humsifu mtu aliyekufad)UHURU WA MSHAIRI Kuboronga/kufinyanga/kubananga lugha/sarufi – ni kutumika mtindo wa

kuandika maneno yasiyo ya Kiswahili km. wangu mtoto badala ya mtoto wangu Inkisari - kufupisha maneno ili kutimiza idadi ya maneno /mizani Mazida/mazda – kurefusha maneno ili kutimza ili kutimiza idadi ya mizani

iliyopungua km. ihisani badala ya hisani Tabdila – kubadilisha matamshi katika neon pasina kuongeza wala

kupunguza idadi ya mizani km. pia – piya, toa – towa, niya – niya, chukua – chukuwa

Utohozi – mbinu ya kuswahilisha maneno yasiyo asili ya Kiswahili ili yatamkike ja ya Kiswahili km. radio – redio

Lahaja – lugha ndogo inayoundwa lugha kubwa k.m. kimvita nti - nchi, ndoo – njoo, ndaa – njaa, teka – cheka

E)AINA YA MASWALI YA USHAIRI YANAYOWEZA KUTARAJIWA KATIKA MITIHANI YA K.C.S.E

1.Maswali yanayohusu kichwa au anwani

189

Page 190: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Mf. Lipe shairi hili kichwa mwafaka Maswali haya mara nyingi hubeba alama moja au mbili na hayahitaji majibu

marefu, watahini hutarajia jibu lakutoka neno moja hadi maneno sita pekeeZingatia;a. Kipande katika kibwagizo kilicho na uzito. Chaweza kuwa ukwapi(kipande

cha kwanza) au utao kipande cha pili)b. Neno au maneno yaliyo rudiwarudiwa katika shairi kwa mfano ; katika

shairi la bahari ya kikwamba, neno moja hurudiwa na kuwa kama nguzo katika shairi hilo. Neno hilo laweza kuwa kichwa mwafaka cha shairi

c. Usizidishe maneno sita2.Maswali kuhusu dhamira /tasnifu Dhamira ni lengo kuu la mtunzi wa shairi. Kueleza dhamira ya shairi Fulani ni

sawa na kueleza sababu ya mshairi kulitunga shairi lake. Tunaweza kupata dhamira kwa kuzingatia vipengele vifuatavyo

a. Anwani b. Mshororo unaorudiwarudiwa (kipokeo au mkarara)c. Ujumbe uliokaririwa Jibu lafaa litoe lengo la mtunzi kwa jumla pasipo kuorodhesha maudhui

yanayojitokeza katika shairi. Wanafunzi wengi hutoa maudhui badala ya dhamira.Majibu ya dhamira yaweza kuchukua mianzo ifuatayo:a. Mtunzi alitaka kuonyesha… b. Mshairi alidhamiria…. c. Dhamira ya mshairi ni ku…… Maswali haya huchukua alama mbili au tatu na kwa hivyo hayataji maelezo

marefu3.Maswali juu ya lugha iliyotumika katika shairi Kuna maswali yanayohusu lugha iliyotumiwa na mshairi. Mf. Eleza kwa kifupi

lugha iliyotumiwa katika shairi uliyosoma a. Zingatia mbinu za lugha iliyo tumiwa na mshairi k.v tamathali za lugha Mifano;

190

Page 191: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

- Nahau/ misemo/semi- Methali - Tashbihi - Sitiari/istiari - Jazanda - Takriri- Tabaini- Tanakuzi - Ritifa- Tafsida/usafidi - Kejeli /dharau - Kinaya Balagha Kijembe Chuku Tanakali sauti/milioTanakali lafudhi

Lakabu Taswira Taashira Tashhisi uhaishaji/uhuishiStihizai Mdokezo TaniabZingatia maneno yaliyotoholewa (kuswahilisha maneno ya lugha zingine) mf.

Sigareti – cigarette, weita kavlia paipu(waiter, pipe)Mifano ya maswali na majibu 4.Maswali yanayohusu muundo wa shairiSwali hili huletwa sana katika mtihani haswa mtihani wa KCSE Muundo au umbo ni mjengo wa shairi. Ni vile shairi linavyo onekana

kulingana na sura ya nje .Mara nyingi, swali hili hutuzwa alama 5 kwa sababu mtahiniwa anatarajiwa

kutaja hoja zifuatazo :a. Idadi ya mishororo katika kila ubeti na aseme shairir ni la aina

gani Mf.1.Ana siku mwizi, hata awe nani Weka ubazazi, watu kuwhakhiniAtajuta mwizi, hili ni yakini2.Hili ni yakini, aone taabu Aseme kwa nini,mimi sikutubu

191 | P a g e

Page 192: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Awe mashakani, kwa yale, 3.Kwa yalomsibu, yatamutatizaApate dharabu, waja kumuumiza Dola imwadhibu, ndani ya gerezaMf. Kila ubeti una mishororo mitatu, ni shairi la aina ya tathlitha.b. Idadi ya mizani Mf. Kila mishororo una mizani 16 (kuna wanafunzi ambao hupteza muda wakihesabu mizani katika shairi zima.

Taja idadi ya mizani katika kla mishororo wa shairi.c. Mpangilio wa vina Tazama shairi lianonyesha bahari mtiririko, ukara au ukaraguni.Kmf. Katika shairi letu , vina vya kati na vya mwisho havitiririki. Ni bahari ya

ukaraguni.d. Idadi ya vipande Katika mfano wa shairi letu hapa, vipande ni viwili. Kwahivyo shairi ni la

mathnawi. (shairir la vipande vitatu huitwa shairir la bahari ya ukawafi)Wanafunzi wengi huviita vipande hivi sehemu au upande. Ni makosa e. Mshororo wa mwisho.Kuna alama kwa kueleza kama mshororo wa mwisho wa shairi umekaririwa

au la. Iwapo umekaririwa, taja kuwa shairi lina kibwagizo. Iwapo haujakaririwa, taja kuwa shairi ni la sabilia – halina kibwagizo

f. Idadi ya beti Taja idadi ya beti katika shairi.Mashairi mengine hasa mashairi huru, humbwa kwa sura aina aina.

Mf. Mviringo, kama alama ya swali, pia, roho nk.5.Maswali yanayohusu uhuru wa mshairi.Mshairi huwa na kibali au idhini ya kutumika msamiati atakavyo ili

kufanikisha utunzi wa shairi lake. Uhuru wa mshairi hujitokeza kwa njia zifuataz;a. Inkisari (kutokana na neno) – kufupisha maneno kitaalam bila

kupoteza asili ya neno hilo.Mifano.

192 | P a g e

Page 193: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Kifika – ukifika Likosa – alikosa Ulio – ulo Kisicho – kicho Nitakapokuja – tapoja Kusiko – kuso Usiyoila – sola b. Mazida (kutokana na ‘zidi’ au ‘ziada’ kinyume cha Inkisari) –

kurefusha maneno. Lengo la kutumika mazda ni kupata mizani inayohitajika.Mifano Tuimbe – tuimbile Huenda – huenenda Walimwita – walikimwita c. Tabdila – (kutokana na neno ‘badili’) – ni kubadilisha matamshi

bila kuongeza idadi ya mizani kwa kubadilisha ireful au vocalic au kubadilisha silabi katika neno ili culet take au umbo Fulani.

MifanoJuan – juwa Lia – liya Oa – owa d. Kufinyanga sarufi au Kuboronga sarufi Kubadilisha mipangilio wa maneno katika mstari wa ubeti Mifano- Shukrani akosaye, zako juhudi hajali – akosaye shukrani, hajali juhudi

zako.- Bure anajisumbua – anajisumbua bure - Wamtamani wenzake – wenzake wamtamani - Wayachokoa mabaya – mabaya wayachokoa - Mzazi wadharauje, mbali alishakutoa – wadharauje mzazi, alishakutoa

mbalie. Utohozi

193 | P a g e

Page 194: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Hii ni mbinu ya kuwasilisha maneno kutoka lugha zingine. Mshairi hulichukua nneno Fulani kutoka lugha moja na kulipa matamshi na mwedelezo wa lugha pokezi

Mfano Lipofika udhia, nikaanza kuswetiNaye akaniwevia kuniona simfati Sistee kaingia, kwa motii kalostiVijana na mabenati, kipi Kiswahili hiki

(walla bin walla – Malenga wa ziwa kuu)Time – taimu Teacher – tiche Pipe – paipu Steam – stime Carbon – kaboni Nitrogen – naitrojeni f. Matumizi ya Lahaja mbalimbali ya Kiswahili Lahaja ni Vilugha ambavyo hutumiwa na kikundi Fulani cha watu na

huonyesha tofauti za maneno, umbo na matamshi. Mf. Kimvita, kiamu, kivumba.

Mshairi ana kibali cha kutumika msamiati wa kilahaja ili kutimiza idadi ya mizani au kupata urari wa vina.

6.Maswali yanayohusu bahari za ushairiBahari ni mkondo wa tungo za ushairi zenye sifa na vitanzu

mbalimbali.Swali laweza kulenga uwezo wa mwanafunzi kutambua bahari Fulani katika

shairi na kueleza sababu za utambuzi wake. Shairi laweza kuwa nazaidi ya bahari moja na hivyo basi, ni bora iwapo mwanafunzi ana ufahamu wa kutosha kuzitambua bahari hizi.

Bahari za ushairi zaweza kuainishwa kwa njia zifuatazoa. Kwa kuzingatia mipangilio wa vina b. Kwa kuzingatia idadi ya vipande

194 | P a g e

Page 195: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

c. Kwa kuzingatia mipangilio wa maneno a. Kupitia kwa mipangilio wa vina tunapata bahari zifuatazo Mtiririko Ukara Ukaragunib. Bahari zinazoiainisha kwa kuzingatia mpangilo wa maneno

katika shairi. Bahari zifuatazo hupatikana katika kitengo hiki: Kikwamba Msuko Pindu Zivindo Kikai Kikwamba : neno moja hutumiwa katika mianzo ya mistari katika ubeti

mzima na kuwa nguzo katika shairi. Neno hilo laweza kukaririwa katika shairi zima.Mf.

Dunia yetu dunia, watu hawakufitiniDinia huna udhia, watu wanakulaani Dunia huna hatia, wabebeshwa kila zani Dunia unaonewa, umetenda kosa gani (Malenga wa ziwa kuu uk.

110)Msuko :Kibwagizo huwa kimefupishwa Mf. Mlinzi linda dafina, jukumu hilo ni lako Katu usiwe fitina, timiza wajibu wako Linda japo ni mchana, na usiku ukiweko Ulinzi ni dhima yako (Malenga wa ziwa kuu. Uk. 137)Pindu (mkufu)Ni bahari ambapo neno la mwisho katika ubeti mmoja linatumiwa kama la

kwanza katika ubeti unaofuata. Pindu au mkufu hupatikana pia wakati neno la mwisho katika mshororo linkuwa la kwanza katika mshororo unaofuata.

195 | P a g e

Page 196: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Mf. Kalili huwa imara, iwapo ni kiongozi Kiongozi wa busara, asiye na ubaguziUbaguzi ni hasara, isofaa sikuhiziSiku hizi za fukara, za watu wanomaiziKumaizi yalo bora, yasiyo na pingamizi (Malenga wa vumba,

1982:850Zivindo Bahari ambapo maana mbali mbali za neno hujitokeza ili kufundisha lugha

Mf. Alika, ni karibisha, nyumbani nakualikaAlika, ni kungonyoa, kitu kinacho vunjikaAlika, patia dawa, na gangoni kutotokaAlike, binti alike, nyumbani awe akaa.Zivindo pata Bahari ambapo neo linalorudiwa mwanzoni linajitokeza tena kabla ya

kipande cha pili katika mshororo ule.Mf. Piga ngoma isikike, piga ili tuicheze Piga sana usichoke, piga sana usijilegezePiga kwa mdundo wake, piga nyoyo tusuuze Piga ngoma ipendeze, piga anga izagaze (K.W. Wamitilia – kamusi ya fasihi)Kikai Katika bahari hii ‘kipande kimojahuwa idadi kubwa ya mizani kuliko kipande

hicho kingine.Bahari ya kikai huwa na muundo kama huu.___________________,___________________________________,________________

___________________,___________________________________,________________

Mfano.Baba panga walinoa, makali kutia

196 | P a g e

Page 197: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Nini kigumu zidia, wataka katia Pekeo wajisemea, mori kuzidiaBaba naogopa (S.Kuvuna – Nuru ya Ushairi)Bahari nyinginezo Masivina – mashairi yenye mizani lakini hayana vina Ngojera – mashairi ya majibizano au mazungumzo Utenzi – shairi refu la kimasimulizi lenye kinakimoja cha nje Kisarambe/ mauve – mashairir yasiyo Zingatia urari wa vina wala mizani Sakarani – beti huwa na idadi tofauti ya mishororo.mf. Shairi laweza kuchanganya beti za aina tofauti tofauti za mashairi k.v

tathlitha, tarbia, na takhmmisa.Mandhuma – ukwapi hutoa wazo Fulani na utao hutoa jawabu au msisitizo

wa mawazo. Sabilia – shairi lisilo na kibwagizo7.Maswali yanayohusu aina ya mashairi.Aina za mashairi huainishwa kulingana na idadi ya mishororo katika kila

ubeti wa shairi.Mfano wa swali.Shairi hili ni la aina gani? Toa sababu. (alama 2)Ili mwanafunzi aweze kujibu swali hili, atahitaji kujua majina ya aina

mbalimbali za mashairi ambayo hupewa majina yao kulingana na idadi ya mishororo.

Kwa mfano:Idadi ya mishororo Aina ya ushairi1 Tathmina / umoja2 Tathnia / uwili

197 | P a g e

Page 198: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

3 Tathlitha / utatu4 Tarbia / unne5 Takhmisa / utano6 Tasdisa / usita7 Usaba / 8 Unane9 Utisa10 ukumi

8.Maswali yanayohusu lugha nathari.Lugha nathari pia hujulikana kama lugha tutumbi. Hii ni lugha ya

kawaida isiyo ya kishairi. Mwanafunzi anapoulizwa abadilishe ubeti mmoja kutoka lugha ya kishairi hadi lugha nathari, anatakiwa aandike:

kwa mfululizo wa mawazo aondoe mbinu zozote za uhuru wa mashairi kv. Inkisari, mazda,

kufinyanga sarufi nk mishororo aibadilishe iwe sentensi. Asirudierudie maneno au mistari ambayo imerudiwa rudiwa mf.

Kibwagizo.Maswali juu ya dhamira katika shairi

Mf. Ni nini dhamira ya mshairi katika shairi hii?- Soma shairi na uchunguze kwa makini ni kwa nini mshairi

ameliandika shairi. Lazima pawe na sababu ya kuandika kwani mwandishi haandiki katika

ombwe tupu.9.Maswali yanayohusu maudhui.Maudhui ni yaliyomo katika shairi. Maswali juu ya maudhui utathmini

ufahamu wa mwanafunzi wa ujumbe uliojitokeza katika shairi.Mf. Fafanua maudhui (ujumbe) yanayojitokeza katika shairi.- Hapa tunaeleza yale mambo muhimu yanayozungumzia mshairi.

Kuna jambo muhimu analosisitiza mwandishi kama kuna kibwagizo.

198 | P a g e

Page 199: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

- Neon moja linaporudiwarudiwa hulenga maudhui.- Maudhui mengine ujitokeza unaposoma zimz kwa dhati.Mifano : Vita, Malezi, Siasa, Uhuru, Uchafu, Usafi, Utamaduni, n.k.10.Maswahi juu ya msamiatiMsamiati hutakiwa kujibiwa kulingana na mukhtadha wa matumizi.Mifano ya maswali na majibu.Soma shairi lifuatalo kiha ujibu maswali yote. Kila nikaapo hushika tamaNa kuiwazia hali inayonizungukaHuyawazia nmadhilaHuziwazia shidaHuiwazia dhikiDhiki ya uleziShida ya kudhalilishwa kaziniMadhila ya kufanyiwa dharauKwa sababu ya jinsia yangu ya kikeHukaa na kujidadisiHujidadisi kujua kwa nini

Jamii haisikii kilio changuWenzangu hawanishiki mikono

bali wanidharau kwa kuukosoa utamadunihukaa na kujulizaI wapi afua yangu dunia hii?I wapi raha yangu dunia huu?I wapi jamaa nzima ya wanawake?a) Lipe shairi hii anwani mwafaka. { Alama 1}b) Ni nini dhamira ya shairi hii? { Alama 2}c) Eleza maudhui yanayojitokeza katika shairi hili. { Alama 4 }d) Kwa kutolea mifano mwafaka, eleza fani 3 zilizotumika katika shairi

hili{Alama 6e) Dhibitisha kamba shairi hili ni huru. { Alama 3}

199 | P a g e

Page 200: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

f) Eleza msamiati ufuatao kama ulivyotumiwa katika shairi hili. { Alama 4 }

i. Dhikiii. Afuaiii. Madhilaiv. Hawanishiki mikono

Majibu a) MwanamkeJinsi ya kike Alama 1b) Kuonyesha uonevu na udhalilishaji unaofanyiwa kina mama.

Alama 2c) Mawazo yahofu hunijaa juu ya mateso, dhiki na shidaNawaza juu ya mateso kazini, kufanyiwa dharau, dhiki ya uleziHaya yote ni kwa sababu mimi ni mwanamkeSielewi kwa nini jamii inapuuza kilio changuJamii hunidharau na kupigia debe utamaduniNina maswali chungu nzima juu ya afya na raha ya mwanamke duniani.Zozote 4 = 1 * 4 =Alama 4d) Nahau – kushika tamaBalagha – I wapi jamaa nzima ya wanawakeI wapi raha yangu ulimwengu huuTakriri- maneno mengi yamerudiwarudiwa mf. I wapi….., I wapi….;Hukaa na kujjidadisi, hujidadisi….Kutaja 1Mfano 1 2*3 = alama 6e) Halijazingatia urari wa mizaniMtunzi hajafungwa kwa kanuni ya kulinganisha idadi ya mishororo katika beti

zakePia hajafungwa na kanuni ya kulinganisha vina vya kati na vya mwisho

Alama 1 *3 = alama 3f) i) dhiki – shida, taabu, mashaka, masumbuko, matatizo

200 | P a g e

Page 201: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

ii) afua – usalama, nusuruiii) madhila – mateso, taabuiv) hawanishiki mikono – hawanisaidii, hawaniauni alama 1 * 4

= 4soma shairi lifuatayo kisha ujibu maswali yote.

Nami nambe, niwe kama waambaoNiupambe, uendeze wasomaoNiufumbe, wafumbuwe wawezao

Kuna mamba, mtoni ‘metakabariAjigamba, na kujiona hodariYuwaamba, wamba ataishi dahariMeghururi, ghururi za kipumbavuAfikiri, hataishiwa na nguvu

Takaburi, hakika ni maangavuAkumbuke, siku yake itafikaRoho yake, ajuwe itamtokaNguvu zake, kikomoche zitafikaAfahamu, mtu hajuwi la keshoHatadumu, angatumia vitishoMaadamu, lenye mwanzo lina mwishoa) Lipe shairi hili kichwa mwafaka.{ alama 1}b) Eleza maudhui yanayojitokeza katika shairi hili. {alama 4}c) Eleza umbo la shairi hili. {alama 4}d) Andika ubeti wa 2 kwa lugha ya nathari. {alama 3}e) Taja na utoe mifano ya tamathali mbili za usemi ambazo

zimetumiwa katika shairi hili. { alama 2}f) Dadavua fumbo lililofumbwa katika shairi hili kama anavyodai

mshairi katika ubeti wa kwanza. { alama 2}g) Bainisha mifano miwili ya uhuru wa mshairi katika shairi hili.

{ alama 2}

201 | P a g e

Page 202: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

h) Eleza maana za maneno yafuatayo kama yalivyotumiwa katika shairi: { al 2}

i) dahariii) ghururiMAJIBUa) mambalenye mwanzo lina mwishouovu haudumukiburi kasha kaburi (Alama 1)b) i) shairi lazungumzia juu ya mtu ambaye ana majisifuii) ajiona hodari.iii) anasema kuwa ataishi mileleiv) haoni kama anaweza kuishiwa na nguvuv) anakumbushwa nguvu zake zitafika mwishovi) pia, vitisho vyake vitafika mwisho na attga dunia siku mojazozote 4* 1= Alama 4

i. Mishororo mitatu katika kila ubeti – tathlitha

ii. Mizani 12 katika kila mshoror (ukwapi 4, utao 8)

iii. Vina vya kati na vya mwisho vinabadilikabadilika kutoka ubeti mmoja hadi mwingine – ukaraguni

iv. Lina vipande viwili – nathnawi

v. Lina kituo sabilia

vi. Lina beti 5

d) kuna namba mtoniambaye anajigmba na kujiona hodarianasema kuwa ataishi milele. (Alama 3)

e) jazanda - nambamethali – lenye mwanzo lina mwisho (Alama 2)

202 | P a g e

Page 203: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

f) shairi linazungumzia mamba likimaanisha binadamu. Limetaja matendo ambayo mamba hawezi kuyatenda kama kujigamba, kujiona hodari , kusema, kufikiri, kukumbuka nk. (Alama 2)

g) inkisarimetakabari – anatakabariafikiri – anafikiri

‘taishi – ataishiKikomoche – kikomo chake

TabdilaWafumbuwe – wafumbueAjuwa – ajuaHajuwi – hajui

Kufinyanga/kuboronga sarufiKikomoche zitafika – zitafika kikomocheWafumbue wawezao – wawezao wafumbuweKutaja – ½ Mfano – ½ ½ x 4 = alama 2

h) Dahari – daima, azali, milele, maisha, dawamu, siku zote, kila mara, abadi.

Ghururi – majivuno, kiburi, ndweo, majitano, tepo, taraghani, madaha, mapozi, mashobo, matuko, maringo, goya, gogi, majisifu, deko, haujamu. 1 x 2 = alama 2

Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali yote. MWEPESI WA KUSAHAU

Alikuwa mtu duni alizongwa na shakawaHana alichoauni wala alichoambuaWalikimwita mhuni na thamani kumtowaWalikimwita mhuni jinsi ya alivyokuwa Mwepesi wa kusahauAlipita mtihani kuomba kusaidiwaMtoto wa kimaskini riziki haizumbuwaAlizubaa mjini lake jua na mvuwa

203 | P a g e

Page 204: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Apate walau nini japo kipande cha muwa Mwepesi wa kusahauEkosa kwenda chuoni kwani alibaguliwaDaima ‘kawa mbioni kulima na kuvuwaKijembe ki mkononi aitafuta afuwa‘chunia chungu mekoni furaha kwake haiwa Mwepesi wa kusahauWakati ukabaini mjinga akatambuliwa‘kutoka usingizini napo kweupe kukawaWatu wakamwamini kuwa mtu wa muruaKumbe vile atahini na jeuri kuingiwa Mwepesi wa kusahauMaswali.a) Eleza kwa ufafanuzi anwani ya shairi hii (alam2)b) Eleza maudhui ya shairi hili. (alam4)c) Taja na utoe mifano ya tamathali mbili za usemi katika shairi hili

(alam2)d) Andika ubeti wa 4 kwa lugha nathari (alam4)e) Eleza muundo wa shairi hili. (alam4)f) Eleza kwa kutoa mifano mbinu mbili za uhuru wa mshairi katika shairi

hili (alam2)g) Eleza maneno yafuatayo kama yalivyotumiwa katika shairi hili:

i. Shakawaii. Atahini

Majibua) Mhusika anayezungumziwa katika shairi alisahau dhiki na masaibu

yote aliyokuwa nayo akawa muovu na kuanza majivuno na dharau kwa watu wengine.Alama 2 b) i) Mhusika katika shairi aliishi maisha ya dhiki kuu.

ii) Umaskini ulikithiri akalazimika kuomba usaidizi kutoka kwa watu iii) Alidharauliwa sana

204 | P a g e

Page 205: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

iv) Alinyimwa nafasi ya kuendelea na masomo yake v) Alifanya kazi ya kijungujiko ambayo haikumwezesha kutosheleza

mahitaji yake- alihangaika mno. vi) Baadaye alikaramka na mambo yakaanza kumwendea viruri vii) Aliweza kujiaminisha kwa watu na akapata madaraka viii) Alianza kuwa mjeuri na mtu mui. ix) Alijitambulisha mtu wa kusahau mamb haraka

Zozote 4 x 1 = alama 4b) i) Taswira – kijembe ki mkononi, katoka usingizini,

napo kweupe kukawaii) Jazanda – lake jua na mvua

Kutaja – alama ½Mfano – alama ½

c) Wakati ulifika ambapo alierevukana mambo yake yakaanza kuwa mazuri.Watu walianza kumuamini kuwa mtu mzuri.Lakini punde tu alianza kubadilika na kuwa mtu mui na wa maringo. Alionekana mtu wa kusahau upesi

Alama 4(* mwanafunzi afululize mawazo katika sentensi sahihi kwa lugha ya

kawaida. Asiorodheshe hoja.) d) - Mizani 8 katika kila kipande 16 katika kila mshororo isipokuwaa

kibwagizo mbacho kina mizani -nane- Urari wa vina vya kati na vya mwisho – mtiririko - Shairi lina vipande viwili katika kila ubeti - mathnawi - kibwagizo kimefupishwa – msuko - lina beti tano - mishororo mitano katika kila ubeti

205 | P a g e

Page 206: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

e) Inkisari - mbinu ya kufupisha maneno Mf. :Walikimwita – walikuwa wakimwita Ekosa – alikosaHaiwa - haikuwa Kawa – akawa Tabdila : kubadilisha matamshi Mf. Alichoambuwa – alichoambua Kumtowa – kumtoa Mvuwa – mvua Akatambuwa – akatambua Muruwa – muruwa Kufinyanga/kuboronga sarufi Mf. Furaha kwake haiwa – kwake furaha haiwa Kumbe vile atahini – kumbe atahini vile Na jeuri kuingiwa – na kuingiwa na jeuri Mwingine katu hajawa – mwingine hajawa katu Anga kwake limeguni – anga limeguni kwake Mbinu – alama ½ Mfano – alama ½ ½ x 4 = 2 f) Shida mamsumbuko, dhiki, taabu, kero, adha, mashaka, matatizo,

harubu, gubu, udhia, idhilali, jekejeke, taklifu, shabuka, mzingile, ikabu, gingimizo, mwao, karaha.

Asi, saliti, kuwa mbaya 2 x 1 = alama

MASWALI YA ZIADA NA MAJIBU KATIKA FASIHIA.Soma shairi hili kisha ujibu maswali yanayofuata:

1. Tohara, usinmwazie, mwanamke,

206 | P a g e

Page 207: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Tohara, usikaribie, mwili wake, Tohara, usiifikie, ngozi yake,Tohara ya mwanamke, katwaani siwazie!

2. Tohara, hiyo haramu, adha kwake,Tohara, ni kubwa sumu, si kufu yake, Tohara, ni za kudumu, dhara zake,Tohara ya mwanamke, katwaani siwazie!

3. Tohara, kile kijembe, usikishike, Tohara, yule kiumbe, si haki yake, Tohara. usimtimbe, kwayo makeke,Tohara ya mwanamke, katwaani siwazie!

4. Tohara, nitamaduni,usiyashike, Tohara, ati uzimani, ajumuike, Tohara, umaaluni, kwa mwanamke,Tohara ya mwanamke, katwaani siwazie!

5. Tohara, akijifungua, ataabike, Tohara, yaweza ua, hufa wanawake, Tohara, inausumbua, uhai wake, Tohara ya mwanamke, katwaani siwazie!

6. Tohara, nasikuhizi,hayauyashike,Tohara, gonjwaumaizi, lije limshike, Tohara, ageuke uzi, huo mwili wake,Tohara ya mwanamke, katwaani siwazie!

7. Tohara, nasisitiza, mwanamke, Tohara, inaibeza, hadhi yake, Tohara, inadumaza, fikira yake,

207 | P a g e

Page 208: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Tohara ya mwanamke, katwaani si wazie! (a) Elezadhamirayamsanii katika shairi hili (b) Fafanuamadharamanneya tohara kwa mwanamke.(c) Taja na ueleze mbinu mbili za kifasihi zilizotumika katika shairi.(d) Kulingana na mshairi, mwanamke hupashwa tohara kwa nini?(e) Andikaubetiwasita katika lughanathari.(f) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yali vyotumika katika shairi(i) adha(ii) usimtimbe (g) Upashaji wa tohara kwa mwanamke ni mqjawapo ya maswala ibuka katika jamii yetu. Taja maswala ibuka mengine mawili yanayohusu mwanamke. (alama2)

208 | P a g e

Page 209: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

( FASIHI )FASIHI SIMULIZIHii ni sanaa ambayo hupokelewa kutoka kizazi kimoja hadi kingine Fasihi simulizi ni tot auti na fasihi andishikwani fasihi andishi, huhifadhiwa katika maandishi kama vile riwaya, tamthilia au mashairi lakini katika fasihi-simulizi hupokelewa kwa njiayamasimulizi. 4Tungo hizi za fasihi simulizi ziliwasilishwa katika nyanja tofauti. TOFAUTIKATI YA FASIHI SIMULIZI NA FASIHI ANDISHI Fasihi simulizi• Uwasilishaji:hutendwa,huibwa,hutongolewa• Kubuniwa: wakati huo huo• Wakati: huambatana na tukio maalum yaani kuna wakati maalum wa usambaj i nyimbo, ngoma, vitendawili n.kUtendaji:Hushirikishahadhira• Mahali:Hutendwaauhutolewamahali maalum k.mmtoni,harusini,penyematanga,sherehen]n.kjfv • Mshawashawamatambaji: hujadili majukumuyajamii k.m mateso dhuluma, ushirikina, ndoan.k.® Historia: hasa huwa na sulua ndefu• Hadhira: Huwa mbele ya mtambaj i na hushirikishwa katika utambaj i (ana kwa ana)

209 | P a g e

Page 210: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

• Utendaji:kimauhumwakuongeakwala• Muda:hutegemeamsimulizi • Mantild:msimidizihuzingatiauehangam• Tamalaki: huwa ni mali yajamii Fasihi simulizi ilirithishwa na watoto kutoka kwa mababu au nyanya zao kwani ilichukuliwa kuwa ni mali yajamii.FasihiAndishi• Huwashilishwa kwa maandishi• Msanii huchukua muda kuandika • Hutolewa wakati wowote • Hadhira husoma kazi iliyoandikwa na kuhifadhiwa katika maktaba.• Msomaji anaweza kusoma mahali popote kwa wakati wake.• Mwandishi hujadili matatizoyawasomi• Hujikita katika maandishi yamsinii• Hutegemewanaukubwawakaziyamsanii• Msanii hutegemea mtiririko wake na mantiki kwa kuzingatia fani mbalimbali za lugha• Ni mali ya wasanii.Umuhimu wa Fasihi SimuliziHusaidia msikilizaji au hadhira:-1. Ilikuelewahistoriayamisingiyabinadamu2. Ililmtafsirimisingiyabirmdamulavamahitajiya maendeleo ya kijamii, kisiasa, kidini, kiuchumi n.k3. Hupatauhondowaasiliyawakereketoiliyopitishwakwamasimulizi.4. Hi kukuza sanaa ya mwafrika kwa manufaa ya kizazikijacho.Chimbuko la Fasihi SimuliziFasihi simulizi ilianza na mwanadamu mwenyewe hususan alipokuwa anapambana kwa kutangamana na mazingira yake. Katika ishitighala za

210 | P a g e

Page 211: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

furaha, bezo na huzuni. Mwanadamu alihitaji njia mojawapo ya kujiliwaza na kukuzaau kuafikiana na mazingira yake. Hali hii ndiyo iliyozaa tanzu za Fasihi simulizi na, vipera na vijipera vyake.Wakati wa kuchunguza maudhui ya fasihi simulizi au hali ya maisha inayozungumziwa hadithini ni bora yafuatayo yazingatiwe:1. Msaniianatufahardshanini? 2. Msanii kamUmgia mtu mtu wa tabaka gani? 3. Msimulizi anamtukuza4. Mtambajianatakahatxiaganizichukuliweilikutatuaswalahilo.5. Mizozano inayorejelewa na msanii ina umuhimu gani katika maisha ya jamii? k.m ya kiuchumi, kisiasa, kincifsia, kati ya gezo kwa gezo katika matabaka mazingira au utamaduni. n.k6. Suluhisho litaehangiavipikiFasihi simulizi na tanzu zakeFasihi simulizi ni sanaa ambayo, hupokelewa kutoka kizazi kimoj a hadi kingine kwa njia ya mazungumzo ambapo lazimapawepo namtambaji (msimulizi) namsikilizaji au wasikilizaji (hadhira).Fasihi simulizi huwana tanzu nneau vipera vikuuviimeambavyoni:-1. Hadithi2. Semi 3. Maigizo 4. Ushairi na kila tanzu ya fasihi simulizi huwa na vipera vyake ainati. Kwa mfano;Hadithi- visa asili, mighani, miviga, ngano, hekaya, hurafa n.k. ' Semi - nahau, misemo,.vitendawili, mafumbo, lakabu, misiniu, vitanza ndimi, methali n.k. Maigizo - ngonjera, ngomezi, majigambo, vichekesho, malumbani n.k. Ushairi - nyimbo, ngonjera, shairi n.k.Vipera hiviv>^aTanzu hiziza fasihi simulizi viliwasilishwa katika nyanjatofautitofauti.Mathalan; a. Vitendawili

211 | P a g e

Page 212: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

b. Nyimbo ,c. Mafumbod. Methali e. Hadithi(ngano)namtarizikof. Mashairi g. Itikadhi / miikoh. Sarakasi (maagizo)n.k i. Misimu j. Lakabu. k. Miviga l. Mighani m Hurafa/Kharafa (a) Vitendawili Fasihi simulizi ilivithishwa na watoto kutoka kwa mababu au nyanya zao kwani ilichukuliwa kuwa ni mali ya jamii. .'Fasihi simulizi ni tofauti na fasihi andishi kwani fasihi andishi, huhifadhiwa katika maandishi kama vile riwaya, tamthilia au mashairi lakini katika fasihi simulizi, hupol ;elewa kwa nj iaya masimulizi.Haya ni maneno ambayo huficha maana ya kitu au jambo fulani ili lisijulikane /kisijulikane kwa urahisi na mwenye kufichiwa maana hiyoMwanzo wakitendawili huwa kitendawili naye msikilizaji anajibu 'tega'.Umuhimu wa vitendawili• Hufanya bongo zawatukuchemka(kutafakari kwa ubatini)• Hufanya mtuatumbuike(afurahike) • Hufanya mtualiwazike(afarijike) • Huficha aibuyamambo ambayo yangesemwawazi.• Hufanya mtuaelimike• Hufanyamtu awe nabidiiyakufanya jambo fulani. • Huhufadhihistoriaya jamii Mifano

212 | P a g e

Page 213: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

• Kiti cha sultani hakikaliwi - Jibu lake ni moto iSote£j• Kisimakidogohakikauki-jibunimate. • Nikichekakinacheka, nikinunakinanuna -jibulake- upara/kipara • Kila akizungumza, warn hubabaika –jibu lake ni radi Kunayo mifano ainati ya vitendawilib) NyimboHaya ni maneno ya kimuziki yanayotamkwa kwa mpangilio na hutumia mahadhi, mapigo na mtiririko maalumAinaza nyimbo• Zaki shujaa • Za kubembeleza watoto (mbelesi)Zakutumbuiza n.k Zakufariji(mbolezi)Umuhimuwa Nyimbo• Huchangamshakwakusisimuahadhira• Hufunzakupitiamadakuu.• Huliwazawatubaadayakupatwanajangwa• HuWmizawaftiwafanyekazikwabidii• Huadilishajamii• Huhifadhi utamaduni wa jamii inayohusika• Hueleza chanzo cha mabadiliko ya kihistoria n.kMifano• Wimbo wa Daudi Kabaka -,Malaika• Wimbo wataifa - Ee Mungu nguvu zetu n.kc) MafumboHaya ni maelezo ambayo huficha maana na hutumiwa kuchemsha bongo za watu au kuzichanganua.Mifano ya Mafumbo :

213 | P a g e

Page 214: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

• Kama nguo yangu moja inachukua saa nne juani kukauka je, nguo ishirini zitachukua muda gani? Jibu ni saa moja tu kwani zinatumia jua lile lile moja kukauka.• Ninataka kupika kakao. Nina maji, sufuria, moto na kichujio lakini hakuwezekana Mbona? Jibu ni haikuwezekana kwa sababu hakuna kakao inayotumika.• Kuku ana vifaranga wanne. Mwewe wanne. Mwewe anapita juu yao na wote wana ngalia juu. Je, ni macho mangapi yaliyotazamajuu.? Jibu ni macho matano kwani wote wawanglaia kwa jicho moja moja wakiwa watano.• Gari ndogo la kubebea abiria watano linapinduka na hakuna mtu aliyeumia isipokuwa dereva iliwezekana vipi?Jibu nil iii gari lipinduke lazima liwe na dereva anayeliendesha kwa hivyo ni dereva tu aliyeumia kwani hatuambiwikamalilikuwana watu hao watano au la. Umuhimu wa mafumbo• Huchanganuaakili \• Huelimisha(hufimza)kwak: • Huchangamsha,hukosoa,hukejelinakudhihaki. • * Huonyesha ubingwa wa mtu na kuwaweka wengine katika nafasi hiyo ili kuiendelpza j amii stadi.d) MethaliHizini semi ambazohutoa maelezo yake kwa njiayamafumbo. Mifano yamethali• -Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo- Mtoto akipewa mafunzo yoyote yawe mazuri au mabaya, atayazoea na itakuwa vigumu kutengana nayo maishani.• Hutimiiwakwamtuambayehanamwelekeomzuri.• Mgaagaa na upwa hali wall mkavu- Ni vyema mtu atie bidii katikajambo lolote lile ili aweze kufanikiwa maishani mwake.e) Hadithi (ngano)Hizi ni ngano za kimapokeo ambapo wanyama, miti, na watu huhusishwa.Hadithi zilipokelewa kwa nj ia ya mdomo kutoka kwa kizazi kimoj a hadi kiingine kwa hakika zilikuwa mali ya jamii.Ainaza hadithi

214 | P a g e

Page 215: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

VisasiliHizi ni hadithi ambazo zina fungamana na maswala ya imani na dini na pia mizungu yaj amii fulani zinahusika asili (chanzo/chimbuko) ya malimwengu, viumbe na pia sifa zao ambazo zimekuweko kwa muda mrefu.Mifano• Kwa nini chura hana manyoya • Kwa nini sungura hana masikio marefu? • Kwa nini kuku anachakurachakura?Kwa nini kobe hutembea pole pole?n.kMighani Hizi ni hadithi ambazo zinahusu wahusika ambao ni mashujaa na wanaoheshimiwa sana. Hubandikwa jina kamamajaginaaunjemba. Hawa watu huonekanakama watu wasio wakawaida na maranyingihushindwa na watu wadogo.Mifano • Mighani ya Lwanda Magere • Mighani ya Goriato na Daudi katika bibilia• Mighani ya Samsoni katika bibilia n.k MivigaHizi ni hadithi za chanzo cha makabila. Sio za ukweli lakini wanaosimulia huwafanya watu kusadiki kuwa wanachosimulia ni ukweli mtupu. Hutumiwa kihistoriaMifano • Miviga ya asili ya wa masai • Mi vigaya asili ya wa kikuyu• Miviga ya asili ya wa embu • Miviga ya asili ya wakamba• Miviga ya asili ya unyangoni nkUmuhimu• Huchangamsha . ;

215 | P a g e

Page 216: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

• Huburudisha• Huelimisha kuhusu chimbuko au historia ya famii fulani.• Huwafany a watu wamakabila kulivunia kabila laoHekayaHizi ni hadithi ambazo hudhamiria kuchekesha aghalabu huwa na mhusika mmoja anayewahini wengine. Mifano Hekaya zaabunuwasi• Hekaya za Adili na nduguze n.kKharafa:Hizi ni hadithi ambazo wahusika wake ni wanyama lakini tabia ni za kibinada mu Mifano• Kaharafuyakobenapolepoleyake .• Kharafa yasungura(kitungule)naujanja wake.• Kharafa yafisinaulafi wake• Kharafa yasimbanaukali wake. • Kharafa yakinyonga(lumbwi)naugeukaji wake n.kViadaHizi ni hadithi ambazo zinamethali,vitendawili, adanahatadesturi za jando na unyago, furaha, huzuni (simanzi) nakadhalika.IsharaHizi ni hadithi ambazo zimeshaheni mafumbo ambayo yana mafunzo kwa mfano misemo, methali, nahau na kadhalika. Umuhimu wa hadithi• Huonya• Hutoa adhabu• Huelimisha auhutdafunzo kwa wanajamii • Hutoa historia ya jamii ambayo ni simulizi.• Hufanya watu wawe na utu na wema katika jamii

216 | P a g e

Page 217: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

• Hadithi nyingi ambazo zilitambwa zilikuwa na utangulizi wake.Mathalan kuna mwanzo kama vile:-Paukwa, pakawa, kaondokea chanjagea kajenga nyumba kaka, mwanangu mwanasiti, vijino kama chikuchu vya kujengea mkate na kilango vya kupitia.f) MashairiShairi ni wimbo uliotumiwa lugha ya mkato na maneno teule ili kuwasilisha uj timbe fulani unaokusudiwaMifano• Shairigumu-shaMlisilofUatak^ wamashairi• Mavue-shairiambalohalifuatiurariwavinaauwamizani.• Msemele- shairi lililo na mafumbo, methali misemo na hata vitendawili nia.• Maghani- ni tungo za kishairi ambazo husimuli wa bila ya kutumia mahadhi yoyote na ulea maana inayokusudiwa.• Maghani huimbwa kwa kuzingatia kiimbo au ushushajiwa sauti.Umuhimu wa mashairi • Huhifadhi historia ya jamii • Huipa jamii maelekezo• Huburudisha jamii • Hutoa mafunzo kwa wana jamii• Hutoniwakuboreshalughainayotumiwa• Hutoamaortikuhusumtazamowajamii

g) MisimuHizi ni tamathali za usemi ibuka zinazotokana na mazingira na pia kipindi Fulani. Hutumiwa na watu ill wawe na mawasiliano yao wenyewe kwa lugha ya kimafumbo.MifanoKupandishapresha-yaanikukasirika• -Kiboko yao-yaani yeye ni mrembo au mzuri

217 | P a g e

Page 218: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

-Kutupambao-yaanikuwanaakilipunguvu-Kupiga ngeta-yaanikumvamiamtu-Kaa kibiashara- yaani kukaa vizuri.h) LakabuHaya ni majina ya kupanga au msimbo ambayo hutumiwa mara nyingi na wasanii. Mifano• Ismail Bakari hujita "Swila mchiriza sumu"• -Mshairi maarufu Boukheit amana anajiita "Mtu mle" n.k.• Nuhu Zubeti Bakari “Ustadh Pasua”Umuhimu wa lakabu• Huchekesha (kama vile maneno kama tumbo nene, mkia, mbuzi,, kinywawazi yanapotumiwa)• Huchangamsha • Huburudisha• Huelimisha(kwani maneno yaKiswahili hutumiwa). MASWALI NA MAJIBU KATIKA FASIHI SIMULIZI

a) Taja mbinu zozote tatu zinazotumiwa kuhifadhi fasihi simulizi huku ukitolea mifano

(alama 6)b) Eleza umuhimu wa kuhifadhi fasihi simulizi

(alama 6)c) Semi ni utanzu wa fasihi simulizi ambao ni mfupi na uundwao

kwa maneno machache au sentensi kadha.Taja na ujadili vipengele vyovyote vinne vinavyojumuishwa na kundi hili

(alama 8)MAJIBU

i) Huhifadhiwa na binadamu katika akili yake k.m ngano za usuli na visasili hupokezwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine.

ii) Maumbile na mazingira pia huhifadhi fasihi K.m Fisi daima huchechemea, kinyonga naye hutembea pole pole.

218 | P a g e

Page 219: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

iii) fasihi nyingine huhifadhiwa katika vifaa meme k.m nyimbo magizo na hadithi nyingine huwekwa katika kanda za sauti, video, sidi n.k

iv) Kazi ya binadamu kama vile michoro huhifadhi fasihi – michoro iliyochorwa k.v kabila Fulani likiwinda au likisherehekea huhifadhi matokeo maalum.

Hoja za kwanza 3 x 2 =6kutaja mbinu alama 1mf – alama 1

a) Fasihi huhifadhiwa kwa kizazi kijacho ili:- kukielimisha mf hekaya kukielekeza na kukishauri – methali, ngano, misemo Kukionya na kukihatadharisha –methali kukiburudisha na kukifurahisha – nyimbo, maigizo n.k kukuza uwezo wake wa kufikiri- vitanza ndimi, chemsha

bongo, vitendawili n.k Kukifahamisha zaidi kuhusu mazingira na maumbile fulani

n.k Kukieleza asili yake (historia) – Visasili, ngono ya usuli.

kutaja kizazi kijacho alama 1sababu 5x1jumla (6)

b)i) Misimu – semi za muda, pengine kwa rika, kundi mahali na

tabaka Fulani ii) Mafumbo/ chemsha bongo – kauli zenye maana iliyafichwa

kwa madhumuni ya kumfikirisha msikilizaji.iii) Misemo / nahau – maneno ya kawaida ambayo

yakiunganishwa na mengine huleta maana isiyo ya kawaida ama isiyoeleweka kwa urahisi

iv) Methali – ni kifungu cha maneno yanayotumiwa pamoja kwa ufundi mkubwa kwa njia ya kufumbwa.

219 | P a g e

Page 220: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

v) Vitendawili – semi za kimafumbo ambayo humpasa anayeulizwa kufumbua.

vi) Kitanza ndimi- ni kihunzi cha maneno; maneno yanayolingana na kushabiana kisilabi huletwa pamoja na kuunda kihunzi cha maneno chenye maana mara nyingi silabi tatanishi huhusishwa.

vii) Lakabu – majina ya kupangaviii) Shirikina – ni imani au itikadi au desturi zilizoaminiwa

za kwanza 4 x 2= 8kutaja kipengele al 1ufafanuzi al.1SWALI.(a) (i) Eleza maana ya misimu (alama 1) (ii) Kuchipuka kwa misimu kunategemea mambo mengi. Taja matano miongoni mwa haya. (alama 5) (iii) Eleza muhimu wa misimu katika jamii (alama 4)(b) (i) Nini maana ya ngomezi? (alama 2)

(ii) Ngomezi ina umuhimu gani? (alama 5)(i) Taja udhaifu wa ngomezi katika kuwasilisha ujumbe katika jamii

(ala3)MAJIBU5. (i) Maana ya misimu- ni usemi ambao huzuka katika lugha na kutoweka baada ya muda Fulani 1 x 1 = 1(ii) Mambo ambayo ni msingi wa kuchipuka kwa misimu

(i) Rika na umri wa watumizi k.m vijana, wazee(ii) Mazingira – sokoni, bandarini, shuleni(iii) Mada husika – mavazi, mtu(iv) Jinsia inayohusika(v) Sababu za kutumia – kuficha siri n.k

220 | P a g e

Page 221: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(vi) Tabia za watumizi – walimu, wachokozi n.k Zozote 5 x 1 = 5(ii) Umuhimu wa Misimu

(i) kuhifadhi siri(ii) kuonyesha ubabe fulani(iii) Kujitambulisha na kundi fulani – la vijana, ngoma n.k(iv) Urahisi wa kusema mambo bila usumbufu wa kufuata kanuni(v) Kupamba lugha(vi) Kuongeza maneno mapya katika lugha

B) (i) Maana ya ngomezi- fasihi ya ngoma/ile hali ya kutumia mapigo ya ngoma kuwasilisha ujumbe Fulani bila wahusika kuukariri au kuutamka. 1 x 2 = 2

(ii) Umuhimu(i) Si ghali kuwasilisha ujumbe(ii) Maadui hawawezi kujua siri zenu(iii) Kuhifadhi historia(iv) Kuendeleza utamaduni(v) Kukuza umoja 5 x 1 = 5(iii) Udhaifu(i) Si kila mtu anaweza kutafsiri ujumbe unaokusudiwa(ii) Husikika na idadi ndogo tu ya watu.(iii) Mapigo yanaweza kuhitilafiana 3 x 1 =3

SWALI(a) Eleza maana ya tanzu zifuatazo. (alama 6)(i) Vitendawili(ii) Ngano(iii) Vitanza ndimib) Eleza sifa za- Vitendawili. (alama 4)

221 | P a g e

Page 222: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

- Ngano (alama 6)- Vitanza ndimi. (alama 4)MAJIBUi) VitendawiliAina za tungo ambazo ni fupi na zinatoa maelezo yanayoishia kwenye swali. ( 1 x 2 =2)

ii) Ngano.Hadithi huwa na mianzo tofauti ( 1 x 2 =2)

iii) Vitanza ndimiVifungu vya maneno ambayo hutoa maneno yanayokaribiana ki maana na jinsi yanavyotamkika. ( hoja 1 x 2 = 2SIFA

i) VITENDAWILI- Huwa na kitangulizi / kiigizo- Huwa kama mafumbo- Huwa na maumbo mbalimbali mafupi na marefu.- Vitendawili huwa na maneno ya ukinzani- Kujibu swali au kutegua.- Dhana ya mji anapokosa / shindwa kutegua. ( zo zote 4

x 1 = 4)NGANO

- Hurithishwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine.- Maneno au vifungu hurudiwarudiwa katika uwasilishaji wake.- Nyimbo hujitokeza katika ngano nyingi.- Mifano mingi kuhusu wanyama, ndege, binadamu na mazimwi.- Mtambaji mara nyingi huiga sauti katika hadithi.- Ngano huwa mianzo maalaum k.m hapo zamani ….- Mara nyingi hadhira hushirikishwa katika utambaji.- Ngano huwa na chuku.

222 | P a g e

Page 223: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

- Msimulizi hujulisha hadira yake mwisho wa ngano au hadithi.- Huwa na mafunzo hutoa maadili katika jamii.( zo zote 6 x 1 = 6)

VITANZA NDIMI- Huwa na maneno yenye utata- Maneno yanayotamkwa hukaribiana kimatamshi.- Ulimi hutatizika k- Lengo la vitanza ndimi ni kuburudusha.- Hukuza kipawa cha matamshi na kuzungumza. ( zo zote 4 x 1

=4)Kutuza1. Tazama idadi ya mawazo/ hoja katika swali ( usituze hoja ya ziada 2. Ajibu maswali manne pekee MASWALI6 a) Maghani ni nini? (alama 2)b) Eleza fani zifuatazo za maghani i) Vivugoii) Tondoziiii) Pembezi

iv) Rara (alama 8)b) Eleza maana ya neno ULUMBI (alama 2)c) Bainisha sifa tisa (a) za mlumbi (alama 8)MAJIBU(a)Maghani ni utungo wa kishairi ambao hutongolewa kwa kutumia sauti iliyo

kati ya uimbaji na uzungumzaji.(b)(i) Vivugo ni ushairi wa kujisifia unatungwa papo kwa hapo aghalabu na

janani mwanaume.(ii) Tondozi – utungo wa kutukuza watu, wanyama vitu kama magari, miti, ng’ombe,

223 | P a g e

Page 224: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

milima n.k.(iii) Pembezi – ni aina ya tondozi ambayo imekusudiwa kusifia watu wa aina Fulani katika jamii kutokana na matendo yao au mchango wao katika jamii.(iv) Rara: Ni utungo wa kishairi wenye ubunifu mkubwa unaokusudiwa kusisimua. (Hoja 4 x 2 = 8)(c) Uhodari wa kuzungumza au kuiga mazungumzo kwausanii na uhodari

mkubwa (alama 2(d)– Ujuzi wa kina wa utamaduni, desturi, mila na sheria za jamii- Mzingiro mpana wa maisha- Ufundi wa kutumia lugha, semi, mafumbo n.k.- Uwezo wa kutumia mbinu mbali mbali za kuwasiliana mfano, nyimbo, ushairi n.k.- Umahiri wa kughani, kusema kwa mfululizo na mwendo wa kasi.- Kutumia sauti inayosikika bila shida. - Ufundi wa kutumia kunga za maswaliSWALIa) Taja majukumu manne ya Fasihi Simulizi. (alama 4)

b) (i) Mawaidha ni nini? (alama 1) (ii) Fafanua sifa tatu za mawaidha. (alama 3)c) Eleza maana na umuhimu wa aina hizi za nyimbo.(i) Nyiso (alama 2)(ii) Mbolezi (alama 2)(iii) Vave (wawe) (alama 2)d) Taja vijipera vitatu vya maigizo. (alama 3)e) Fafanua sifa tatu za methali. (alama 3)

MAJIBUMajukumu ya fasihi simulizi.

i) Huburudishaii) Huelimisha

224 | P a g e

Page 225: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

iii) Hupa jamii mwelekeoiv) Huhifadhi historian na utamaduniv) Huendeleza stadi za lugha / Hukuza sanaa.vi) Hufundishavii) Hukuza ushirikiano.viii) Ni pato ( zo zote

4x1=4)b) i) Mawaidha- Utoaji wa ushauri, maonyo na wosia wenye lengo la kuhimiza mwelekeo na tabia zinazokubaliwa katika jamii. ( 1 x1 = 1)ii) Sifa za mawaidha

i) Huwa na mawazo mazito kuhusu maisha.ii) Hutumia lugha iliyojaa misemo, methali na tamathali za sauti.iii) Hutumia lugha ya kuvutia na ya kubembeleza.iv) Huhitaji ustadi wa ulumbi/ hutolewa na mtu mmoja.v) Ujumbe ni wa moja kwa moja/ mfululizo.vi) Mambo muhimu yenye mafunzo huibuka.vii) Hulenga maudhui mbalimbali k.m unyago.viii) Mtambaji anaweza kuwa kijana au mzee bora awe na ujuzi wa

jambo hilo.(zo zote 3 x1=3)c) i) Nyiso ni nyimbo zinazoimbwa wakati wa kupasha tohara.Ni muhimu kuwapa moyo wanaotahiriwa / kuwahamasisha n.k (alama 2)

ii) Mbolezi ni nyimbo zinazoimbwa wakati wa huzuni na majonzi hasa kuomboleza.Ni muhimu kwa kuwafariji waliofikiwa na maafa/ majonzi /msiba. (alama 2)

i) Vave/ wawe ni nyimbo zinazoimbwa na wakulima wakiwa shambani.

Ni muhimu kwa kuwatia nguvu ya kufanya kazi. (alama 2)d) Vipera vya maigizo.

225 | P a g e

Page 226: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

i) Michezoii) Vichekeshoii) Ngojeraiii) Majigamboiv) Utambajiv) Mazingira ( zo zote

3x1 = 3)e) Sifa za methali)i) Huweza kutumiwa katika miktadha mbalimbali.ii) Huwa na maana fasiri mbalimbali (maana ya ndani na maana ya

wazi)iii) Methali hutumia mbinu nyingi kupitisha ujumbe.iv) Methali nyingi huwa na sehemu mbili. ( zo zote 3 x 1

=3) SWALI(a) (i) Fafanua maana ya methali (alama 2) (ii) Fafanua sifa tano za methali (alama 5) (iii) Eleza majukumu matano ya methali (alama 5)(b) (i) Eleza jinsi fasihi simulizi inavyohifadhiwa siku hizi (alama 4)

(ii) Taja njia nne za kukusanya fasihi simulizi (alama 4)MAJIBU(a) (i) Methali: Ni semi fupi za kimapokeo zenye maana mzito na huwa zimejaa busara au hekima (alama 2)

(ii) Sifa za methali- Zinatumia tamathali mbalimbali- Zinatumia lugha za kishairi

226 | P a g e

Page 227: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

- Huwa na maana ya nje / juu naya ndani- Zingine ni ndefu na zingine ni fupi- Methali zimegawika mara mbili (wazo na jibu)- Baadhi hutumia msamiati wa wanyama- Hujikita katika mazingira ya jamii husika- Kuna methali zinazopingana- Kuna methali zenye maana sawa Zozote 5 x 1 = 5

(iii) Majukumu ya methali- hufunza maadili katika jamii- kukashifu, kukosoa na kusuta matendo mabaya- kuonya na kutahadharisha- kufariji, kuliwaza na kupongeza- kuonyesha mahusiano mema yanayotarajiwa miongoni

mwa wanajamii- kupamba lugha / kukuza lugha/kutukuza usanii

zozote 5 x 1 = 5* lazima mwanafunzi aeleze(b) (i) uhifadhi wa fasihi simulizi

- maandishi- kaanda za sauti- video / pataninga, filamu- tarakilishi- mafanani zozote 4 x 1

(ii) njia za kukusanya- hojaji- mahojiano- kushiriki ( kuwa mmoja wa wasilishaji kwa muda)- kurekodi kutumia vifaa vya kisasa- makavazi zozote 4 x 1 = 4

227 | P a g e

Page 228: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

SWALIa) Fafanua vipera vifuatavyo vya fasihi simulizi (al 4)

visasili maghani hekaya vitanza ndimi

b) Eleza mifano mitatu ya mazungumzo katika fasihi simulizi .alama 6c) i) Eleza maana ya ngomezi . alama 2ii) Taja mambo manne yanayofaa kuzingatiwa katika kufaulisha . alam 2iv) Eleza majukumu mawili ya ngomezi katika jamii. alama 2MAJIBUa) (i) Visasili ni visa vinavyosimulia mianzo au asili ya watu, vitu, imani mtazamo au tabia fulani.

(iii) Hekaya – hadithi za kuchokesha(iv) maghani ni aina ya ushairi ambao hutolewa kwa kalmia au maneno

badala ya kuibwa (v) Vitanza ndimi – mchezo wa maneno yanayokanganya kimatamshi(4

x 1 = 4)(b) Mifano ya mazungumzo

(i) Hotuba – maelezo yanayotolewa na msemaji aliyeteuliwa ili kuwasilisha ujumbe kwa hadhira.

(ii) Malumbano ya utani – haya ni mazungumzo ya kutaniana kwa kujibizana kati ya marafiki, mashemeji, makundi n.k.

(iii) Soga – mazungumzo ya kupitisha wakati yasiyozingatia mada maalum.

(iv) Mawaidha – utoaji wa ushauri, maonyo na wosia wenye lengo la kuhimiza mwelekeo na tabia zinazohalisi katika jamii.

(v) ulumbi – uwezo na ustadi wa kuzungumza au kuiga mazungumzo kwa usanii na uhodari mkubwa (zozote 3 x 2 = 6)

(c) (i) Maana ya ngomezi

228 | P a g e

Page 229: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Ngomezi ni fasihi ya ngoma; ujumbe huwasilishwa kwa njia ya ngoma au zana nyingine za muziki – kwa mapigo maalum ambayo hutoa midundo, wizani au toni ya kipekee ambayo huwasilisha dhana, wazo au ujumbe fulani kutegemea ukubalifu na jamii husika . (1 x 2 = 2)(ii) Mambo yanayofaa kuzingatiwa katika kufaulisha ngomezi

- Kuwapo kwa ngoma- Mapigo ya ngoma yafuate toni na wizani au nidhimu ambayo

huwakilisha maneno fulani- Wasikilizaji wa ngoma au ujumbe ambao unawasilishwa na maneno

hayo- Kueleweka kwa mapigo hayo na jamii- Kuwepo kwa ala nyingine (zozote 4 x 1 =4)

(iii) Mifano ya ngomezi zinazopatikana katika jamii - Miluzi- Vifoli (kupiganisha vyanda)- Kengele zinazotumia umeme- Kengele za kawaida- Filimbi- Milio na mapigo ya kimuziki katika ambulensi, magari ya polisi na ya

wazima moto / mlio ya magari (honi)- Milio na mapigo ya kimuziki katika simu za mikononi- Ngoma- Ving’ora (zozote 2 x 1 =2)

(iv) Majukumu ya ngomezi katika jamii- Hutumika kutoa matangazo rasmi kuhusu matukio fulani kama kifo.- Hutumika kutahadharisha watu kuhusu matukio ya dharura k.v.

kujiri kwa mvua au kiangazi.- Hutoa taarifa kwa njia nyepesi na kuwafahamisha kuhusu matukio

fulani k.m. sherehe au mkutano wa umma.- Ni njia mojawapo ya kudhihirisha ufundi wa jamii, hasa katika

kutumia zana za muziki kupasha habari.

229 | P a g e

Page 230: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

- Ni njia moja ya kudumisha utamaduni wa watu (zozote 2 x 1 =2

MASWALIa) Eleza umuhimu wa kusoma fasihi simulizi katika shule nchini. (ala. 4)b) Ngomezi ni nini katika fasihi simulizi? (ala. 2)c)i) Ainisha vipera vya ngano katika Fasihi simulizi. (ala. 3)d) Eleza sifa zozote tatu za vitendawili. (ala. 3)e) Eleza umuhimu wa vitendawili katika jamii yako. (ala. 5)MAJIBU(a) - Ili vijana waweze kuhifadhi utamaduni wao wa jadi

- Ili waweze kunawirisha maadili yao- Ili waweze kukuza ujuzi wao wa lugha- Ili watu waweze kuepuka maovu aina aina katika jamii- Kuendeleza au kukuza umoja miongoni mwa vijana- Ili waweze kujiamulia mambo kwa njia ya busara- Kukuza vipawa vya wanafunzi katika burudani- Hoja zozote nne 4 x 1 =ala. 4

(b) Majibu- Ni matumizi ya ala kama ngoma, panda ili kupashia ujumbe. Huwa

njia mmoja wapo ya mawasiliano. Kila pigo la ala muwa na ujumbe Fulani katika jamii

husika.( ala. 2)(c) Majibu

(ii) Ngano za kuishujaa / mighari(iii) Hekaya / ngano za ayari(iv) Huraja / khurafa(v) Ngano za mtanziko (vi) Ngano za mazimwi(ala. 3)

230 | P a g e

Page 231: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(ii) (a) Usuli sifa- Maelezo kuhusu asili ya hali Fulani- Hujibu swali kwa nini kitu hicho kiko- Wahusika ni binadamu au wanyama- Maudhui ya kiada (desturi) hujitokeza- Lugha ya adabu hutumika- Huwa kazi ya ubumifu au ukwel( ala. 1)

(b) Hekaya / Ngano za ayari- Masimulizi ya moja kwa moja- Wahusika wakuu ni binadamu au wanyama - Matendo ni ya binadamu- Kisa kifupi- Mafunzo hujitokeza – Hekima, maadili, mwenendo bora- Uerevu hujitokeze- Ujanja hujitokeza- Ushindi hujitokeza (ala. 1)

(c) Hurafa- Wahusika huwa wanyama- Hutenda kama binadamu- Mafunzo – maadili, hekima, mienendo ya jamii ( ala. 1)

(d) Majibu- Huwa na kitangulizi / kiigizo- Baadhi ya vitendawili ni kama mafumbo- Huwa na maumbo mbalimbali - fupi / ndefu- Vitendawili vinavyotumwa maneno ya ukinzani- Kuna vitendawili vya sauti pekee- Vitendawili vya kusisitiza maneno

(e) Majibu

231 | P a g e

Page 232: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

- Huwafanya watu wakomeze akili- Huwa ni kama burudani- Huwapa watu motisha kuhusu imani ya jamii zao- Watu wanakuwa na uwezo wa kukumbuka mambo- Watu wanaelewa mazingira yao- Hukuza umoja/ushirika katika jamii- Mafunzo mbalimbali kwa vijana – maadili- Huwezesha vijana kuwa wepesi wa kufikiria na kuamua ( zozote

tatu kamilifu(3))SWALIa) Fasihi simulizi ina makundi manne makuu, yataje . al 4b) Kwa kila kikundi ulichotaja katika swali la 1 (a) , toa mifano miwili ya vipera vya kila kikundi na utoe maelezo mafupi ya vipera hivyo al 8 c) Nyimbo huwa na jukumu gani katika usimulizi al 2d) Fasihi simulizi ina sifa ya kuhifadhiwa akilini . Eleza udhaifu wa uhifadhi wa akilini. Al 6MAJIBU

(a)Ulumbi – uhodari wa kuzungumza au kuiga mazungumzo kwa usanii na uhodari mkubwa.

Soga – Utanzu mdogo wa hadithi za fasihi simulizi unaotumiwa kwa ajili ya kuchekesha, kukejeli au kuumbua / kufanyia dhihaka. alama 2 x 2 = 4

(b)Sifa za Ulumbi(i) Ujuzi wa kina wa utamaduni / desturi au mila.(ii) Tajriba ya maisha – maarifa ya maisha.(iii) Ufundi wa kutumia lugha,Semi ,mafumbo,methali n.k(iv) Uwezo wa kutumia mbinu mbalimbali za kuwasiliana k.m Sauti,

ishara, milio, vyombo n.k(v) Umahiri wa kughani – kusema kwa mfululizo na kasi.(vi) Uwezo wa kutumia kunga za maswali ya balagha.

232 | P a g e

Page 233: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

(vii) Mavazi/mapambo na zana maalum za kuvutia hadhira ngozi, fimbo n.k

(viii) Sauti inayosikika bila shida. Zozote 7 x 1 = C. Miviga Maarufu

(i) Sherehe za kuzaliwa(ii) Sherehe za tohara(iii) Sherehe za ndoa(iv) Shughuli za mazishi(v) Sherehe za kutambika(vi) Sherehe za jando na unyago(vii) Sherehe za kupatanisha wanajamii /jamii (viii) D. Umuhimu(i) Kufundisha wanajamii- mambo muhimu(ii) Msingi wa kusisitiza umuhimu wa kuonyesha shukrani(iii) Msingi muhimu wa kuwendeleze jadi na desturi ya jamii inayohusika(iv) Husaidia kuikuza imani ya mwanajamii kwenye jamii yake/Aweze

kuionea fahari.(v) Msingi wa kuiendeleza elimu na utamaduni wa jamii husika(vi) Kielelezo kizuri cha jinsi jamii yaweza kukuza umoja utangamano na

ushirikiano kati ya wanajamii.(vii) Kusaidia wanajamii wakati wa tanzia / huzuni – vifo,mazishi.Zozote

6 x 1 = SWALIFasihi Simulizi

Wewe sasa ni mwenzetu,Naam, mwenzetu.Utakapotoa siri,Ugeuke rangi ya kijivu kama majivu.Umekuwa dadangu/kakangu

233 | P a g e

Page 234: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Naam, umekuwa.Utakapotoa siri,Ugeuke rangi ya kijivu kama majivu.Umekuwa mmoja wetu.Utakapotoa siri,Na ugeuke rangi ya kijivu kama majivu.Umekuwa mwanangu,Naam, mwanangu.Utakapotoa siri,Ugeuke rangi ya kijivu kama majivuMtoto wangu hasa (kike au kiume),Naam mwanangu hasa.Utakapotoa siri,Ugeuke rangi ya kijivu kama majivu.Tumekutahirisha.Naam, tumekutahirisha,Utakapotoa siri,Ugeuke rangi ya kijivu kama majivu.Sasa umekomaa,Naam umekoma,Utakapotoa siri Ugeuke rangi ya kijivu kama majivu.Wewe sasani mmoja wetu,Naam mmoja wetu,Utakapotoa siri zetu,Siri zetu siri zetu,Ugeuke rangi ya kijivu kama majivu

TUMEKUTAHIRISHA!

234 | P a g e

Page 235: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Maswali6. iAinisha kazi hii ya sanaa katika fasihi simulizi. (alama 2)

ii)Kazi ya sanaa inayorejelewa hapo juu ina umuhimu gani katika jamii(alama 6)

iiiTaja na kutoa mifano ya tamathali mbili zinazojitokeza katika kifungu hiki. (alama 2)

iv) Fafanua vipera vifuatavyo vya fasihi simulizi;a) sogab) Methalic) Ulumbid) Vitendawilie) Mivighaf) Ngomezi (alama 6)

Eleza tofauti kati ya visasili na visaviini. (a4) SWALI(a) Linganisha na linganua baina ya methali na vitendawili (alama 12) (b) Eleza maana na matumizi ya methali zifuatazo: (alama 6) (i)Mbaazi ukikosa maua husingizia jua (ii)Kazi mbi si mchezo mwema (c)Tegua vitendawili vifuatavyo (i) Kakangu nikimwita msituni naye anaiita hatimaye (alama 1) (ii) Waendao huko hawarudi (alama 1)JIBU.a) Ulinganifu

zote ni tanzu fupi ni mafumbo yanayohitaji ufumbuzi zina fomula: methali: ‘wahenga walinena…….’ vitendawili ‘kitendawili/

tega

235 | P a g e

Page 236: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

hufupisha ujumbe zote huhusisha vifananishi huchemsha ubongo hutumia mchezo wa sauti / tauri ni vipera vya kufafanunua maadili ya jamii hueleza utamaduni hufafanua falsafa ya jamii na hekima ya watu wa kale hufunza / huelimisha ni vipera vya kuburudisha Za mwanzo 6x1 =alama 6

TofautiMethali

ni ya jadi na haibadiliki hutumiwa kutilia ladha katika uzungumzi hutumiwa kutilia ladha katika uandishi hutumia mbinu za kishairi hutumia takriri

Vitendawili vitendawili vinaendelea kuundwa kufuatana na maisha ya kisiasa ni kama mchezo, hutumika kwa mashindano huhitaji kipindi chake / nafasi maalumu hunoa udadisi wa wahusika

methali hoja 3x1=3: vitendawili hoja 3x1=3 jumla alama 6b) i) Mbaazi ukikosa maua husingizia juaMbaazi ni mmea uzaao mbegu ndogo ndogo katika vitumba zifananazo na kunde. Mmea huu ukishindwa kupata mbegu au maua husema ni kwa sababu ya ukosefu wa mvua .maana ya ndaniMtu akishindwa kufaulu katika jambo fulani hutafuta visababu au visingiziomatumizi

236 | P a g e

Page 237: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Methali hii huonya vijana dhidi ya kupuuza wajibu kisha kutafuta visingizio alama =3 ii)Kazi mbi si mchezo mwemamaaelezo-kufanya kazi mbaya si sawa na kushiriki mchezo unaofurahishamaana ya ndani Ni bora mtu kufanya kazi hata iwe duni ili apate natija kuliko afurahie mchezo usio na faidamatumizi Huhimiza mtu afanye kazi hata kwa manufaa yake kuliko kukaa bure. maana alama 1=matumizi 2=alama =3c)Tegua vitendawilii) mwangwi (sauti inayorejea kwa mara ya pili baada ya kutolewa) alama 1ii) kifo / mauti / enda ahera / enda jongomeo alama 16. a) Wimbo bembelezi - lala mtoto b)Sifa

huimbwa na walezi huimbiwa watoto wachanga huimbwa kwa sauti nyororo huonyesha hisia za mlezi maneno hurudiwarudiwa mdundo taratibu vifungu vifupi vifupi huambatana na kumpapasa mtoto kwa upole huhusisha watoto na wazazi hufunza watoto lugha na amali ya jamii toa ahadi mbalimbali kwa watoto patia mtoto matumaini ya kumwona mama Hoja zozote 4x1=4

237 | P a g e

Page 238: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

c) umuhimu funza utamanduni / mila /itikadi funza lugha ya ulezi / mama liwaza mtoto mama akiwa mbali bembeleza mtoto alale funza kuhusu amali za jamii mfano chakula n.k mlezi hutoa malalamiko yake funza mtoto mahusiano ya watu kwao mlezi hupata nafasi ya kufanya kazi zote Hoja zoozte 4x11=4

d)amali vyakula k.v nyama, mketi biashara, sokoni ukulima wa ngano, mkate, ndazi

Hoja 2x1 kutaja ½ = ufafanuzi 1/2 alama1x2e) Mbinu

kishairi takriri Hoja 2x2=4(kutaja 1= ufafanuzi 1)(za mwanzo)

f) Vitendo ambatano kupapasa mtoto mlezi hutembetembea tikisa mtoto beba mtoto mgongoni, begani, kifuani imba Hoja za mwanzo 2x1=alama 2

g) Wahusika wawili alama 1 mtoto na mlezi alama 1

SWALIa) Fasihi simulizi ina makundi manne makuu, yataje . al 4

238 | P a g e

Page 239: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

b) Kwa kila kikundi ulichotaja katika swali la 1 (a) , toa mifano miwili ya vipera vya kila kikundi na utoe maelezo mafupi ya vipera hivyo al 8 c) Nyimbo huwa na jukumu gani katika usimulizi al 2d) Fasihi simulizi ina sifa ya kuhifadhiwa akilini . Eleza udhaifu wa uhifadhi wa akilini. Al 6JIBUhadithi/ simulizi

maigizo semi ushairi x 1= 4

b) Hadithi / simulizi mighani hekaya hurafa ngano za mazimwi ngano za mtanziko visasili N.k 1=

maigizo michezo ya jukwaani mazungumzo vichekesho ngomezi Ulumbi malumbano ya utani soga 2 x 1= 2

ushairi nyimbo ngonjera sifo

239 | P a g e

Page 240: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

maghani majigambo 1= 2

semi methali nahau misimu misemo lakabu vitendawili 2 x 1

c) Nyimbo katika usimulizi hutumika kutenganisha matukio katika hadithi kurefusha usimulizi na kujenga taharuki kuonyesha hisia katika usimulizi kurudia na kusisitiza maudhui kuelezea jambo la siri kati ya wahusika kujenga uhusiano wa karibu kati ya mtambaji na hadhira yake 2 x

1= 2d) udhaifu wa uhifadhi wa akilini

kumbukumbu za akilini zinaweza kufifia au kusahaulika siku hizi matatizo mengi ya ajali yanaweza kuharibu ubongo na

kuufanya usiwe na uwezo wa kuhifadhi mambo anayehifadhi kazi hii anaweza kubadilisha mambo muhimu katika

masimulizi. 3 x 2=61. Eleza maana ya fasihi

Fasihi ni sanaa ambayo hutumia lugha kupitisha ujumbe kwa wanajamii.2. Andika sifa nne kuu za fasihi simulizi

-Hushirikisha hadhira na fanani—utendaji.--Kuepo kwa fanani ambayo husimulia.--Hutegemea sana sanaa za maonyesho.

240 | P a g e

Page 241: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

--Huenda na wakati na mazingira.--Huzaliwa,hukua,huishi na hufa.--Huwa na uwanja maalum wa kutendea.--Ni mali ya jamii.

3. Kwa kutoa mifano mwafaka. Eleza dhima au kazi ya fasihi simulizi

-Kuburudisha.-Kuelimisha.--Kuipa jamii mwelekeo. --kuhifadhi historia utamaduni.--Maana ya fasihi simulizi,  Hii ni sanaa itoayo maudhui yake kwa kutumia lugha ya maneno ambayo hutamkwa au kutendwa.Makala ya Fasihi Simulizi:  i)Lugha ndiyo itumiwayo fanani.  ii) Matumizi ya maneno kisanaa.  iii) Huonyesha hisia za binadamu.  iv) Hufunulia shughuli na kazi za watu husika.  v) Huonyesha uhusiano baina ya binadamu na mwingine.  vi) Humtazama binadamu na mazingira yake.  vii) Huwajenga watu kitabia.Umuhimu wa Fasihi Simulizi:   i) Hutuwezesha kuelewa utamaduni na historia yetu vyema.   ii) Husaidia katika elimu ya jamii.  iii) Husaidia katika uga wa siasa- ulumbi  iv) Hukuza ufasaha na ustadi wa mtambaji.  v) Hufurahisha na kuburudisha.  vi) Huendeleza umoja na utangamano.  vii) Hukuza mtalaa wa lugha.  viii) Huipa jamii mwelekeo na nasaha kwa kuonya na kushauri.  ix) Hukuza upeo wa wanafunzi.  x) Hufunza mbinu za sanaa na uchambuzi.  xi) Kupokezana utamaduni wa jamii.  xii) Kukuza maadili katika jamii.  xiii) Ni kazi kwani watu hupata malipo kutokana na fasihi.  xiv) Huwazindua watu ili wajue haki zao.  xv) Hurekebisha tabia.Sifa bainifu za uwasilishaji wa Fasihi Simulizi na Fasihi Andishi:

241 | P a g e

Page 242: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

Fasihi Simulizi                                          Fasihi Andishi1. Huwasilishwa kwa mdomo                     -Hutegemea maandishi yasomwayo2. Hadhira huwasiliana na mwasilishaji        -Si lazima hadhira iwasiliane na msimulizi3. Hadhira huweza kuchangia                     -Hadhira haina njia ya kuchangia usimulizi4. Humilikiwa na jamii                                 -Ni milki ya mtunzi au mwandishi5. Ina tanzu nyingi                                      -Haina tanzu nyingi6. Sifa zisizo za lugha kutumika                  -Hutegemea sifa za lugha isipokuwa igizo7. Huonyesha ubunifu mpya                       -Hubakia kama ilivyoandikwa na mtunzi8. Huifadhiwa akilini kwa kukumbuka           -Huifadhiwa kwa maandishi vitabuni9. Huweza kubadilishwa (ufaraguzi)             -Msomaji hana uhuru wa kubadilisha10. Msamiati wa utungo kupotea                 -Kazi hubakia kama ilivoandikwa11. Kuambatanisha na utendaji                    -Haiambatanishwi na utendaji ijapo’ igizo12. Hutumia wahusika changamano              -Hutegemea sana wahusika binadamuMuainisho wa Fasihi Simulizi:    Tanzu nne kuu za Fasihi Simulizi ni:    a) Hadithi/ Simulizi-hutumia lugha nathari    b) Maigizo-uwasilishaji mbele ya hadhira    c) Semi- ufupi wa kimuundo    d) Ushairi- uimbaji na muundo maalumVipera vya Tanzu hizi:  a) Hadithi/ Simulizi         b) Maigizoi) Migani/ mighani                    I) Michezo ya jukwaaniii) Hekaya                               ii) Mazungumzoiii) Khurafa/ hurafa                    iii) Vichekeshoiv) Ngano za mazimwi             iv) Ngomeziv) Soga                                  v) Ulumbivi) Ngano za mtanziko            iv) Malumbano ya utanic) Ushairi                     d) Semi/ Tanzu-bainifui) Nyimbo                                    I) Methaliii) Ngonjera                                 ii) Nahauiii) Sifo                                        iii) Misimuiv) Maghani                                 iv) Misemov) Majigambo                              v) Lakabu

242 | P a g e

Page 243: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

vi) Vitendawilivii) Vitanza-ndimi

NGANO: Ngano ni hadithi ambazo hurithi kutoka kizazi kimoja hadi kingineSifa za Ngano:  i) Huwa na mianzio maalum k.m. Paukwa! Pakawa!  ii) Urudiaji wa maneno au matukio ili kusisitiza maudhui fulani.  iii) Matumizi ya nyimbo ili:     - kupunguza ukinaifu     - kubadilisha mtindo     - kuishirikisha hadhira     - kusisitiza ujumbe au maudhui     - kutumbuiza  iv) Mtuo wa kidrama ili kusisitiza ujumbe na kuongeza taharuki.  v) Matumizi ya tanakali sauti- kuongeza utamu na kuipa hadhira picha kamili.  vi) Hutumia ishara-mwili ili kuonyesha picha na kuendeleza uelewaji.  vii) Mbinu ya ufaraguzi-kuigiza maneno, methali, misemo.  viii) Maswali ya balagha- kusisitiza ujumbe na kushirikisha hadhira.  ix) Miishio maalum- kutaja maadili waziwazi au kuyafumbata kwa methali.Uchambuzi wa Ngano:a) Wahusika- ni nani?  - ni watu au nu wanyama?  - Kama ni wanyama, wanawakilisha nini?  - Wahusika muhimu ni wapi?  - Wahusika wana sifa gani?  - Wanyama wanawakilisha sifa gani za binadamu?b) Muundo au msuko:  - kuna nini mwanzo, kati na mwisho?  - Matukio yanahusiana kwa jinsi gani?  - Tukio gani linalosababisha matendo ya ngano?  - Kuna tatizo kuu?c) Taharuki:  - hamu ya kusoma au kuisikiliza inatokana na nini?  - Hamu hiyo inakidhiwa mwishoni?  - Kama inakidhiwa, inakidhiwa kwa jinsi gani?d) Maudhui:  - Ngano inahusu nini?

243 | P a g e

Page 244: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

  - Ujumbe mkuu unaopatikana ni upi?e) Adili/ Maadili/ Funzo:  - ngano hiyo ina funzo gani?  - Inalenga kutuonyesha nini?f)  Dhamira:  - mwenye ngano alilenga kutuonyesha nini? ( lengo la mtunzi au mtambaji)

kuungnisha vizazi vya jamii. kufundisha. kukuza ushikiano kukuza na kuendeleza lugha.

244 | P a g e

Page 245: staugustinesirimasec.files.wordpress.com€¦  · Web view2019. 3. 26. · hiki? 41Mchumia juani hulia kivulini. 42.Uhalifu umekithiri sana humu nchini. Jadili sababu zinazochangia

245 | P a g e