WAKALA WA VIPIMO - Tanzania · mwelekezi (Consultant) akikabidhi funguo za jengo. Kituo cha Kupimia...
Transcript of WAKALA WA VIPIMO - Tanzania · mwelekezi (Consultant) akikabidhi funguo za jengo. Kituo cha Kupimia...
WAKALA WA VIPIMO
TAARIFA ZA MAFANIKIO YA SERIKALI YA AWAMU YA NNE KWA SEKTA YA
VIWANDA NA BIASHARA KIPINDI CHA MWAKA 2005-2015
UTANGULIZI
Wakala wa Vipimo ilianzishwa mwaka 2002 kwa sheria ya Wakala wa Serikali Sura
Na. 245 ya mwaka 2002. Kabla ya kuwa Wakala, ilikuwa Idara chini ya Wizara ya
Viwanda na Biashara
Wakala wa Vipimo inafanya majukumu yake kwa kutumia sheria Sura Na. 340 na
kupitiwa upya mwaka 2002.
Wakala ina jukumu kubwa moja ambalo ni kumlinda mlaji (mwananchi) kupitia
vipimo sahihi.
Katika kipindi cha mwaka 2005-2014 Wakala ilitekeleza majuku yake na kupata
mafanikio mbalimbali kama inavyooneshwa katika picha mbalimbali hapo chini
MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA KIPINDI HIKI
1. Kuanzishwa kwa Kitengo cha Bandari kwa ajili ya kusimamia vipimo
vitumikavyo kupimia mafuta yanayoingizwa nchini pamoja na gesi
2. Kununua vifaa mbalimbali vya kitaalam kwa ajili ya kuboresha huduma ya
ukaguzi wa vipimo vinavyotumika katika biashara ili kumlinda mlaji (
mwananchi)
3. Ununuzi wa viwanja kumi na tisa ( 19) vya Wakala kwa ajili ya kujenga ofisi
na vituo vya kupimia magari yabebayo mafuta
4. Ukarabati wa ofisi mbili (2) za Morogoro na Tanga
5. Kufanya utafiti wa jinsi mfumo wa vipimo katika sekta ya gesi asilia ( Natural
gas) kwa ajili ya kusimamia sekta hiyo
6. Ujenzi wa vituo vya kupimia magari ( Calibration bays) yabebayo mafuta vya
Iringa na Mwanza, na kukiboresha kituo cha zamani cha Ilala
7. Kujenga vituo vya kukagua bidhaa zilizofungashwa mipakani (Sirari,
Namanga, Horiri, Horohoro na bandari za Mwanza, Tanga,Dar es Salaam).
8. Maandalizi ya kujenga kituo cha kukagulia magari Misugusugu mkoani Pwani
( michoro ipo tayari mchakato wa kumpata mjenzi unaendelea)
9. Wakala imepanua wigo wa maeneo ya kufanyia kazi hivyo imeongeza ajra
kwa watanzania. Kabla ya 2015 watumishi walikua ……….. na mpaka mwaka
uliopita wa fedha 2013/2014, watumishi walikuwa………………
10. Wakala imefanikiwa kununua magari mazuri ya kufanyia kazi tofauti
na ilivyokuwa hapo awali.
BAADHI YA VIFAA VYA KITAALAM VILIVYONUNULIWA NA WAKALA KATIKA KIPINDI HICHO
Vifaa vya kitaalam vilivyonunuliwa na Wakala
Vifaa vya kitaalam vilivyonunuliwa na Wakala
Vifaa vya kitaalam vilivyonunuliwa na Wakala
Vifaa vya kitaalam vilivyonunuliwa na Wakala
WAKALA INASIMAMIA VIPIMO VINAVYOTUMIKA KATIKA SEKTA YA VIWANDA NA BIASHARA
ILI KUPATA BIDHA ZENYE VIPIMO SAHIHI
Ukaguzi wa Bidhaa
zilizofungashwa, viwandani,
bandarini na baadhi ya vituo
vya mipakani
Ukaguzi wa Bidhaa zilizofungashwa, viwandani, bandarini na baadhi
ya vituo vya mipakani
Upimaji wa bidhaa viwandani kupata usahihi wake.
Ukaguzi wa Bidhaa zilizofungashwa, viwandani, bandarini na baadhi
ya vituo vya mipakani( maafisa Vipimo wakikagua)
WAKALA KUSIMAMIA USALAMA
Upimaji wa mwendo kazi wa magari kwa kutumia vifaa vya
kitaalam ( maarufu tochi)
WAKALA HUSIMAMIA VIPIMO VINAVYOTUMIKA KUPIMIA MAFUTA YAINGIAYO NCHINI
Usimamizi na udhibiti wa kiasi cha mafuta ya petrol na gesi
yaingiayo nchi kupitia vipimo sahihi (Wakala inasimamia)
WAKALA HUSIMAMIA VIPIMO VITUMIKAVYO KUPIMIA MAFUTA KWENYE SOKO
Upimaji wa matenki kwa kutumia kifaa cha kitaalam (Prover)
Upimaji
wa
matenki
ya ardhini
Upimaji wa matenki ya treni
Upimaji wa matenki makubwa ya kuhifadhia mafuta na gesi
WAKALA HUTOA ELIMU WA WANANCHI KUHUSU MATUMIZI YA VIPIMO
SAHIHI
Afisa vipimo bw. akitoa elimu kwa naibu Katibu Mkuu wa Viwanda na
Biashara Bi…………..
Kaimu meneja wa Habari Bi. Irene John akifafanua jambo kwa waandishi wa
habari kuhusu matumizi ya vipimo ( Hawapo pichani)
Utoaji wa elimu kwa wananchi kwenye maonyesho kuhusu
vipimo
MAENEO MAPYA YA KAZI ZA VIPIMO YAMEONGEZA AJIRA KWA VIJANA
Maeneo mapya maafisa wakipima urfu wa mabati kama yanakidhi matakwa
ya sheria ya vipimo
Maafisa wakipima ili wajiridhishe vipimo vyake
MAGARI YA WAKALA KIPINDI CHA NYUMA KABLA YA 2005
MAGARI YA WAKALA KATIKA KIPINDI KUANZIA 2005
WAKALA INATEKELEZA MIRADI MBALIMBALI
Ofisi ya Morogoro baada ya kukarabatiwa, Picha mshauri
mwelekezi (Consultant) akikabidhi funguo za jengo.
Kituo cha Kupimia magari yabebayo mafuta kilichojengwa
mkoani Iringa
Mfano wa kituo cha kupimia magari yanayobeba mafuta
kitakachojengwa eneo la Misugusugu mkoani Pwani
(Impression drawings)
Ofisi itakayojengwa eneo la Misugusugu kwa ajili ya kazi za
kituo hicho
WAKALA IMEPATA TUZO MBALIMBALI ZA KITAIFA NA KIMATAIFA
(1)
(2)
(1). The Most Accountable and Transparent Organization Award receive in
Ghana during African Public Services Exhibitions
(2) OIML Award for Excellent Achievements in Legal Metrology in Developing
Countries