Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

47
Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki 1 Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki Kauli Za Wanachuoni Mbali Mbali Imefasiriwa Na Kukusanywa Na: Abu Bakr Khatwiyb al-Atrush

description

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Transcript of Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Page 1: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

1

Uwajibu Wa Kuwachukia

Makafiri Na Kutofanya

Nao Urafiki

Kauli Za Wanachuoni Mbali Mbali

Imefasiriwa Na Kukusanywa Na:

Abu Bakr Khatwiyb al-Atrush

Page 2: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

2

Kuwapenda makafiri ni namna mbili:

1) Kuna mapenzi yanayolazimisha kuritadi na kutoka katika Uislamu. Haya ni

mapenzi ya kuwapenda kwa ajili ya dini yao.

2) Kuna mapenzi ambayo ni haramu, lakini hayomtoi mtu katika Uislamu. Haya ni

mapenzi ya kuwapenda makafiri kwa sababu ya mambo ya dunia yao. Wakati

mwingine kunatokea kuchanganya na kutatizika kati ya kuishi vizuri na makafiri

(wasio katika vita na Waislamu) na kati ya kuwachukia na kuwakataa. Ni lazima

kutofautisha kati ya mambo mawili. Kuwatendea haki, kuishi nao vizuri bila ya

mapenzi ya ndani, kama kumuonea huruma mnyonge wao, kuwa na kauli nzuri kwao

kwa njia ya kuwa mpole kwao na kuwa na huruma, ni jambo linalofaa. Allaah

Mtukufu kuhusu jambo hilo Amesema kuwa: "Allaah Hakukatazeni kuhusu wale

ambao hawakupigeni katika dini na hawakukutoeni katika nyumba zenu,

(hakukatazeni) kuwafanyia wema na kuwafanyia uadilifu” [al-Mumtahinah 60 : 08].

Ama kuwachukia na kuwafanya adui ni jambo jingine. Jambo hilo Ameliamrisha

Allaah Mtukufu kwa kauli Yake isemayo kuwa: "Enyi ambao mmeamini, msiwafanye

maadui wangu na maadui wenu wapenzi mnaokutana nao kwa upendo". [al-

Mumtahinah 60 : 01] Kwa hiyo inawezekana kufanya uadilifu katika kushirikiana

nao pamoja na kuwachukia na kutowapenda, kama alivyofanya Mtume kwa Mayahudi

wa Madiynah.” (Imenukuliwa kutoka kwenye kitabu ”Maswali muhimu katika

maisha ya Muislamu” uk. 56 footnot ya 07)

Page 3: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

3

Fataawa zilizomo:

Kuwapenda makafiri ni namna mbili

01. al-Walaa´ wal-Baraa

02. Hukumu Ya Kumuita Kafiri Kuwa Ni Rafiki!

03. "Nchi Za Waislamu Hazina Uislamu, Uislamu Unapatikana Ulaya"

04. Asiyemkufurisha Kafiri Na Yeye Ni Kafiri Kama Yeye

05. Mtu Kuwaambia Ndugu Zake Manaswara "Mimi Nawapenda"

06. Khatari Ya Kusema Manaswara Na Mayahudi Ni Ndugu Zetu?

07. Kuwasifia Makafiri Na Kuwaponda Waislamu

08. Hii Ndio Sababu Ya Wasilamu Kuwachukia Makafiri

09. Kutangamana Na Makafiri

10. Kujifananisha Na Makafiri Kimavazi

11. Kuvaa Nguo Yenye Picha Ya Kafiri?

12. Inajuzu Kuwapenda Wazazi Ambao Ni Makafiri?

13. Kuwapenda Na Kuwanusuru Makafiri Yanapokutana

14. Kumpenda Mke Kafiri Kwa Dini Yake

15. Kuwasifia Manaswara Na Mayahudi Kwamba Wanachunga Ahadi

16. Atakayejifananisha Na Makafiri Basi Yeye Ni Katika Wao

17. Kutabasamu Na Kumkumbatia Kafiri

18. Tafsiri Sahihi Ya Aina Za Kufanya Urafiki Na Makafiri

19. Kuita Nchi Ya Kikafiri Kuwa Ni Nchi Rafiki

20. Wanaosema "Heshimuni Dini Ya Kinaswara Na Kiyahudi"

21. Kwanini Wastaajabu Kwa Teknolojia Walio Nayo Makafiri

Page 4: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

4

22. Kukubaliana Na Makafiri Juu Ya Kitu Cha Shirki

23. Kuleta Kicheko Na Makafiri

24. Kuangalia Mazoezi Ya Makafiri Kwenye TV Na Kutamani Washinde

25. Ibara Ya Kusema "Makafiri Ni Waislamu Bila Ya Uislamu"

26. Kumpenda Raisi Wa Nchi Ambaye Ni Kafiri

27. Ni Kupi Kujifananisha Na Makafiri?

28. Kuwapenda Makafiri Pamoja Na Kuwasaidia Dhidi Ya Waislamu Na

Uislamu

29. Uwajibu Wa Kuchukia Makafiri Na Ukafiri Wao

30. Hukumu Ya Kusema Dini Zote Ni Sawa Twamuabudu Mungu Mmoja

31. Kafiri Anajijongeza Kwangu Na Kusema "Ndugu Yangu", Nifanye Nini?

32. Kubusu Kichwa Cha Mzazi Asiyeswali

33. Kusoma Elimu Ya Dini Katika Miji Ya Makafiri

34. Tofauti Kati Ya Nchi Ya Kiislamu Na Ya Kikafiri

35. Kuvaa Nguo Yenye Msalaba

36. Kumtembelea Kafiri Ambaye Ni Mgonjwa Kwa Lengo La Da´wah

37. Ufaransa Imepiga Marfuku Kuvaa Hijaab, Tuhame?

38. Kuishi Katika Miji Ya Kikafiri Pamoja Na Kudhihirisha Dini

39. Makafiri Ni Ndugu Zetu Kibinaadamu

40. Kwa nini Sisi Tu Ndo Twavaa Mavazi Ya Makafiri Wao Hawavai

Mavazi Yetu?

41. Hukumu Ya Kusema Mayahudi Na Wakristo Ni Ndugu Zetu

42. Hukumu Ya Kujiita Majina Ya Makafiri

43. Kuongea Lugha Za Makafiri Pasina Haja

Page 5: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

5

44. Kuvaa Nguo (Jezi) Yenye Jina Au Picha Ya Kafiri

45. Kuvaa Suruwali Ni Kujifananisha Na Makafiri

46. Maandamano Ni Kujifananisha Na Makafiri Kikamilifu

47. Hukumu Ya Kushiriki Sikukuu Za Makafiri Na Kuwapongeza

48. Kula Pamoja Na Kafiri Na Kumpa Swadaqah

49. Jinsi Ya Kutangamana Na Makafiri Katika Shirika Unapofanya Nao Kazi

50. Mwanamke Kafa Baba Yake Mdogo Kafiri

51. Kuvaa Nguo Za Makafiri Za Kumalizia Masomo

52. Hukumu Ya Muislamu Kuwa Na Urafiki Na Makafiri

53. Kumuomba Kafiri Msaada Kwa Kitu Anachokiweza

54. Kumualika Jirani Kafiri Katika Walima

55. Kuwapa Mkono Wa Pole Makafiri Wanapofiwa

Wanachuoni waliomo:

01. Imaam Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy

02. ´Allaamah Muhammad Amaan al-Jaamiy

03. ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkaliy

04. ´Allaamah Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan

05. ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan

06. ´Allaamah Zayd bin Haadiy al-Madkhaliy

Page 6: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

6

بسم اللـه الرحمـن الرحيم

01. al-Walaa´ wal-Baraa´

Swali:

Kumekuja maswali mengi kuhusiana na watu ambao wanachukulia sahali al-

Walaa´ wa-Baraa´. Tunatarajia kutoka kwako kutuwekea wazi jambo hili.

´Allaamah al-Fawzaan:

Muislamu anatakiwa kuwapenda Waislamu na kuwanusuru. Na wachukia

makafiri, kuwabughudhi na akawakate katika mapenzi. Ama kuamiliana nao

katika mambo ambayo yanaruhusiwa; kama kuuza na kununua (biashara),

kujifunza kutoka kwao elimu na mambo mengine yasiyokuwa hayo - katika

mambo ya kidunia - hili halina ubaya. Hali kadhalika kumlipiza wema pindi

anapowatendea Waislamu jambo ambalo Waislamu watafaidika kwalo, au

kujizuia kuwadhuru Waislamu, nao watalipizwa wema. Anasema Allaah

(Jalla wa ´Alaa):

وه ن دياركم أن تبر ين ولم يخرجوكم م ه عن الاذين لم يقاتلوكم في الد م وتقسطوا إليهم إ لا ينهاكم اللـا ه ي نا اللـا

المقسطين

"Allaah Hakukatazeni kuwafanyia wema na uadilifu wale wasiokupigeni vita

katika Dini, na wala hawakukutoeni kutoka majumbani mwenu. Hakika

Allaah Anapenda wafanyao uadilifu." (60:08)

Hili ni kwa ajili ya kulipiza wema tu na sio kwa ajili ya mapenzi. Hili ni kwa

ajili ya kulipiza wema kutokana na wema wao watakaokuwa wamefanya. Hili

ndilo wanalostahikimakafiri. Kuwafanya ni maadui na kuwachukia. Ama

kuamiliana nao katika mambo ambayo yanawafaa Waislamu, hakuna ubaya.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/4292.mp3

Page 7: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

7

02. Hukumu Ya Kumuita Kafiri Kuwa Ni Rafiki!

Swali:

Ipi hukumu ya neno rafiri kumwambia kafiri?

´Allaamah al-Fawzaan:

Haijuzu. Haijuzu kumwambia kafiri rafiki. Rafiki maana yake ni kipenzi.

Haijuzu hili.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/alldroo...

03. "Nchi Za Waislamu Hazina Uislamu, Uislamu Unapatikana Ulaya"

Swali:

Kuna mlinganizi mmoja anasema:

"Uislamu uko huku kwetu na roho yake [Uislamu huo] iko Ulaya."

Sikiliza maajabu:

"Dhati na udhahiri wa Uislamu tuko nao sisi huku katika nchi za Kiislam -

kwa mfano katika nchi hii [Saudi Arabia] - na nchi zingine katika nchi za

Waislamu, lakini roho ya Uislamu iko Ulaya."

Page 8: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

8

´Allaamah Muhammad al-Jaamiy:

Maneno haya yana maana? Huu ni upotofu. Ni maneno yasiyokuwa na

maana yoyote. Hali kadhalika, kuna baadhi ya wengine wanasema:

"Katika nchi za Kiislamu kuna Waislamu bila ya Uislamu na kuna Waislamu

pasina Waislamu."

Ibara hii zamani aliisema Muhammad ´Abd [aliyekuwa Muftiy wa Misri].

Aliishi Ufaransa na akawa na ada za watu wa Ulaya akarejea katika nchi yake

[Misri] akasema hivi. Na wafuasi wake - walikuwa wanamwita ni Imaam -

walikuwa wanachukulia maneno haya ni maneno ya mtu mwenye busara

sana. Ya kwamba Uislamu unapatikana Ulaya pasina Waislamu, na katika

nchi za Waislamu kuna Waislamu pasina Uislamu. Ni kina nani ambao wako

Ulaya? Ikiwa katika zama za Muhammad ´Abd anasema maneno haya

ambayo leo yanasemwa na vijana, kuna nini Ulaya? Kumejaa pombe, maasi na

Fusuuq. Uislamu uko wapi unaopatikana Ulaya? Watu wa Ulaya wenyewe

lau watapelekewa maneno haya watayakadhibisha. Watu wa Ulaya wenyewe

lau watapelekewa maneno haya watayakadhibisha. Wao wenyewe

watayakadhibisha. Watu wa Ulaya wanajua kuwa Uislamu uko huku, dhati

yake na roho yake. Hivyo, maneno haya ni batili. Yasiwadanganye vijana.

Watanabahi.

Chanzo: http://www.eljame.com/mktba/catplay.php?catsmktba=3

04. Asiyemkufurisha Kafiri Na Yeye Ni Kafiri Kama Yeye

Swali:

Page 9: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

9

Amejitokeza mmoja wa wanachuoni ambaye anamsifu mkristo anayeit-wa

Edward Sa´iyd. Na anamuomba Allaah aufaidishe Ummah kupitia kwake. Na

akasema:

"Sisi tunawachukulia wakristo wa kiarabu ni Waislamu kwa utamaduni na

ustaarabu, ingawa sio Muislamu kwa ´Aqiydah yake na Dini yake." Je,

maneno haya haya ni sahihi na huchukuliwa ni moja katika mambo

yanayovunja Uislamu wa mtu?

´Allaamah al-Fawzaan:

Maneno haya ni batili na wala hayawagusi Waislamu. Bali yanamgusa

aliyeyasema. Ikiwa yeye hamkufurishi mnaswara basi yeye ndiye kafiri. Yule

asiyemkufurisha kafiri, basi na yeye ni kafiri kama yeye.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/9660

05. Mtu Kuwaambia Ndugu Zake Manaswara "Mimi Nawapenda"

Swali:

Mimi nina ndugu manaswara. Ni ninapoongea nao daima hunambia kuwa

wananipenda. Je, inajuzu kwangu kuwaambia pia kuwanawapenda, lakini sio

mapenzi ya Kishari´ah bali ni ya kimaumbile?

´Allaamah al-Fawzaan:

Hapana. Usiwaambie kuwa mimi nawapenda, usiwaambie kuwa mimi

nawapenda. Kamwe! Waambie ikiwa kweli mnanipenda basi ingieni katika

Uislamu. Mimi nawapendelea Uislamu na muokoke na Moto.

Page 10: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

10

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/7622_0.mp3

06. Khatari Ya Kusema Manaswara Na Mayahudi Ni Ndugu Zetu?

Swali:

Ipi rai yako kwa yanayosemwa na baadhi ya wenye kufutu na khaswa kupitia

chaneli za satellite wanasema: "Ndugu zetu manaswara au mfano wa maneno

haya, ibara inayoashiria kwamba sote ni waumini?

´Allaamah al-Fawzaan:

Hii ni kufuru na upotofu. Allaah Atukinge. Yule anayeona kuwa manaswara

na mayahudi ni Waislamu na kwamba ni waumini na kwamba ni ndugu zetu,

huyu anaritadi kutoka katika Dini ya Uislamu. Kila yule ambaye hakumfuata

Mtume Muhammad ( صلى هللا عليه وسلم) ni kafiri, ambaye hakumfuata Mtume

Muhammad ( صلى هللا عليه وسلم) ni kafiri. Sawa ikiwa ni myahudi au mnaswara

au wasiokuwa hao. Baada ya kutumwa Mtume Muhammad ( صلى هللا عليه وسلم)

hakuna Dini wala Imani ila kumfuata Mtume Muhammad ( صلى هللا عليه وسلم).

Yule anayesema baada ya kutumwa Mtume Muhammad (صلى هللا عليه وسلم) watu

sio lazima kumuamini, wanaweza kubaki katika uyahudi na unaswara na ni

Dini sahihi, huyu huchukuliwa ni kafiri na karitadi kutoka katika Dini ya

Kiislamu.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/9657

Page 11: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

11

07. Kuwasifia Makafiri Na Kuwaponda Waislamu

Swali:

Je, kuwapaka mafuta makafiri, kuitikia matendo yao na mambo yao, na kutaja

aibu za Waislamu mbele yao ni katika kuwafanya marafiki na ni katika

kuwapenda?

´Allaamah al-Fawzaan:

Ndio. Ndani ya hili kuna kitu kama kuwasifia makafiri na kuwaponda

Waislamu. Hili ni jambo lisilojuzu. Hili dogo tuwezalo kusema ni kwamba ni

dhambi na ni maasi, hata kama uinje wake linaonekana kuwa ni kufuru.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/7618_0.mp3

08. Hii Ndio Sababu Ya Wasilamu Kuwachukia Makafiri

Muulizaji:

Ipi hukumu ya kumpenda kafiri?

´Allaamah al-Fawzaan:

Haijuzu kumpenda kafiri. Kumpenda kafiri haijuzu. Yule ambaye Allaah

Anamchukia, na wewe watakiwa kumchukia. Allaah ni adui wa makafiri, na

wewe watakiwa kuwa adui wa makafiri.

ه ورسوله ادا اللـا ون من ه واليوم الخر يواد لا تجد قوما يؤمنون باللـا

Page 12: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

12

"Hutokuta (ee Muhammad صلى هللا عليه وآله وسلم) watu wanaomuamini Allaah na

Siku ya Mwisho (kuwa) wanawapenda wale wanaopinzana na Allaah na

Mtume Wake." (58:22)

كم أولياء ي وعدوا خذوا عدو ل تتا

“Msimchukue adui Wangu na adui wenu (kuwa) marafiki wandani

mkiwapelekea (siri za mikakati) kwa mapenzi." (60:01)

Haijuzu kumpenda kafiri. Kwa sababu Allaah Anawachukia, hivyo wewe

watakiwa kumchukia yule Anayemchukia Allaah. Kwa kuwa ni adui wa

Allaah. Hivyo wewe unamfanya adui yule ambaye ni adui wa Allaah.

كم أولياء ي وعدوا خذوا عدو ل تتا

"Enyi mlioamini! Msimchukue adui Wangu na adui wenu (kuwa) marafiki

wandani mkiwapelekea (siri za mikakati) kwa mapenzi." (60:01)

Muulizaji:

Na atakayempenda kafiri kwa ajili ya kitendo chake kizuri alichomfa-nyia au

kwa kuwa mwanamke kafiri ni mke wake, je pia hili limekatazwa?

´Allaamah al-Fawzaan:

Usimpende kwa ajili ya kitendo chake kizuri, lakini unamlipa kwa kitendo

kizuri alichokufanyia au kumfanyia na wewe wema.

وهم وتقسطوا إ لي هم ن دياركم أن تبر ين ولم يخرجوكم م ه عن الاذين لم يقاتلوكم في الد اللـا ل ينهاكم هللاا

"Allaah Hakukatazeni kuwafanyia wema na uadilifu wale wasiokupigeni vita

katika Dini, na wala hawakukutoeni kutoka majumbani mwenu." (60:08)

Utatangamana nae kwa wema na kumlipa kwa wema wake. Ama hilo

kukufanya wewe umpende, hapana. Usiwapende isipokuwa Waislamu peke

yao.

ه ورسوله والاذين آمنوا كم اللـا ما ولي إنا

Page 13: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

13

"Hakika Waliyy (Mlinzi) wenu ni Allaah na Mtume Wake na wale

walioamini." (05:55)

Usiwapende isipokuwa Waislamu peke yao. Ama mume kumpenda mke

wake ambaye ni mkristo au myahudi, haya sio mapenzi ya ki-´Ibaadah, bali ni

mapenzi ya kimaumbile yanayokuwepo baina ya mume na mke. Hayaingii

katika mambo ya Dini. Ni kama jinsi unapenda chakula, kunywa, kumpenda

yule anayekufanyia wema. Haya ni mapenzi ya kimaumbile.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/taxonomy/term/117

09. Kutangamana Na Makafiri

Swali:

Je, inajuzu kutangamana na makafiri, kukaa nao na kuishi nao?

´Allaamah al-Fawzaan:

Hapana. Haijuzu kutangamana nao na wala usiishi nao. Kwa kuwa hili

linaonesha dalili ya kuwapenda. Hakukuwi kutangamana nao isipokuwa ni

pamoja na kuwapenda. Kwa kuwa ungekuwa huwapendi usingelitangamana

nao. Lakini kule wewe kufanya nao biashara au kubadilishana nao faida za

kudunia, hakuna makatazo. Lakini bila ya kutangamana nao na bila ya

kuwapenda.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/8236

Page 14: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

14

10. Kujifananisha Na Makafiri Kimavazi

Swali:

Ipi hukumu kwa mtu ambaye akienda katika miji ya kikafiri anavaa mavazi

yao na wala havai mavazi ambayo alikuwa akivaa katika mji wa watu wake.

Je, huku ni kujifananisha [nao]?

´Allaamah al-Fawzaan:

Ndio. Atazingatiwa kuwa anajifananisha nao. Isipokuwa tu ikiwa kama

ataogopa lau akibaki katika mavazi yao - anaogopa asije kupata madhara au

mali yake - atavaa mavazi yao ili kuepukana na shari yao. Katika hali hii

kapewa ruhusa. Ama ikiwa na amani na wala haogopi na kafanya hilo ili

kujifananisha nao, hili halijuzu.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/8216_0.mp3

11. Kuvaa Nguo Yenye Picha Ya Kafiri?

Swali:

Ipi hukumu ya kumtukuza kafiri? Kama kuvaa picha yake kwenye kifua na

mfano wa hayo?

´Allaamah al-Fawzaan:

Page 15: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

15

Haijuzu kuvaa picha hata ikiwa ni ya Muislamu. Muislamu mzuri mwenye

msimamo haijuzu kwake kuvaa picha kwenye kifua chake. Hili ni Haramu.

Vipi tusemeje ikiwa ni ya kafiri?

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/8229

12. Inajuzu Kuwapenda Wazazi Ambao Ni Makafiri?

Swali:

Je, Muislamu atakuwa mwenye kupata madhambi kwa mapenzi ya

kimaumbile kuwapenda wazazi wake makafiri, au mke wake myahudi au

mkristo?

´Allaamah al-Fawzaan:

Asimpendi kafiri. Hata kama atakuwa ni mzazi wake, au baba yake au kaka

yake. Anasema (Ta´ala):

ه ورسوله ولو كانوا آ ادا اللـا ون من ه واليوم الخر يواد م أو باءهم أو أبناءهم أو إخوانه لا تجد قوما يؤمنون باللـا

عشيرتهم

"Hutokuta (ee Muhammad صلى هللا عليه وآله وسلم) watu wanaomuamini Allaah na

Siku ya Mwisho (kuwa) wanawapenda wale wanaopinzana na Allaah na

Mtume Wake, japo wakiwa (ni) baba zao, au watoto wao, au ndugu zao, au

jamaa zao." (58:22)

Anatakiwa kumchukia kafiri, chuki ya kidini kwa ajili ya Allaah (´Azza wa

Jalla). Hata akiwa ni katika jamaa wa karibu sana kwake.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/8877.mp3

Page 16: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

16

13. Kuwapenda Na Kuwanusuru Makafiri Yanapokutana

Swali:

Urafiki unaomtoa mtu katika Uislamu je, ni lazima uwe na mambo mawili;

kuwapenda na kuwanusuru?

´Allaamah al-Fawzaan:

Kukiwa kuna kuwapenda na kuwanusuru, huku ni kuritadi. Ama ikiwa ikiwa

ni moja wapo kati ya hayo - mapenzi bila ya kuwapenda - hili ni dhambi

kubwa katika madhambi makubwa na ni khatari kwa mtu. Au kuwanusuru

bila ya kuwapenda, hili pia ni khatari. Lakini halifikii katika kiwango cha

ukafiri.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/5096.mp3

14. Kumpenda Mke Kafiri Kwa Dini Yake

Swali:

Kuna shubuha wanaitumia baadhi ya watu pale wanaposema kuwa Dini

inaamrisha kumpenda mke. Vipi sasa ikiwa mke atakuwa ni myahudi au

mkristo. Je, huku si kuwafanya marafiki na kuwapenda makafiri?

Page 17: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

17

´Allaamah al-Fawzaan:

Ikiwa anampenda kwa ajili ya Dini yake, itakuwa ni kufanya naye urafiki.

Ama ikiwa anampenda kwa ajili ya uke, haya ni mapenzi ya kindoa na wala

sio mapenzi ya kidini.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/5097.mp3

15. Kuwasifia Manaswara Na Mayahudi Kwamba Wanachunga Ahadi

Swali:

Wasemaje kwa yule anayewasifia manaswara na mayahudi kwa kuwa

wanachunga ahadi na wanajua kufanya kazi?

´Allaamah al-Fawzaan:

Yeye anawasifu kwa kuwa wanachunga ahadi na wala haoni kufuru waliomo

mpaka awasifu? Wako na kufuru, na wala hakuna baada ya kufuru dhambi

nyingine. Haijuzu kuwasifu. Haijuzu kuwasifu nao wako na kufuru na ndio

aina kubwa ya dhambi na Shirki na Ilhaad. Yote haya wako nayo. Haya ni

maslahi ya kidunia yao na wala hayana uhusiano wowote na Dini wala Imani,

wanafanya hayo kwa maslahi ya dunia yao.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/8203

16. Atakayejifananisha Na Makafiri Basi Yeye Ni Katika Wao

Page 18: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

18

Swali:

Kauli ya Mtume (صلى هللا عليه وسلم):

"Yule mwenye kujifananisha na watu, basi yeye ni katika wao."

Je, ina maana ni katika wao kihakika? Akijifananisha na makafiri anakuwa

kafiri kabisa?

´Allaamah al-Fawzaan:

Anasema Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) kuhusu

Hadiyht hii:

"Dogo tuwezalo kusema ni dalili ioneshayo uharamu wa kujifananisha [na

makafiri], hata kama uinje wake inaonesha dalili kuwa ni kufuru."

Kujifananisha kunatofautiana; kuna wakati inakuwa kufuru, Fisq na maasi.

Inatofautiana kutokana na aina zake.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/8186

17. Kutabasamu Na Kumkumbatia Kafiri

Swali:

Ipi hukumu ya kutabasamu kwa kafiri, kupeana naye mikono na

kukumbatiana naye?

´Allaamah al-Fawzaan:

Page 19: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

19

Haijuzu kutabasamu kwa kafiri. Lakini akikusalimia unamrudishia. Kama

alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).

"Msianze kuwasalimia mayahudi na manaswara. Na wakiwatolea Salaam,

warudishieni kwa kusema: "Wa ´alaykum."

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/8177

18. Tafsiri Sahihi Ya Aina Za Kufanya Urafiki Na Makafiri

Swali:

Kuna ambao wanasema "Kufanya urafiki na makafiri kunakuwa kwa sampuli

tatu:

1) Kufanya urafiki nao kikamilifu pasina mipaka kabisa." Hii ni kufuru

inayomtoa mtu katika Uislamu.

2) "Kwa ajili ya kuhifadhi maslahi maalum na hakuna kinachopelekea kufanya

hivyo kama kuwa na khofu na mfano wake." Hili ni Haramu na sio kufuru.

3) "Mtu kufanya hivyo kwa ajili ya kuwa na khofu kwa makafiri na mfano

wake." Hukumu ya hilo inajuzu, kwa sharti kufanya urafiki huku iwe kwa

uinje tu na si moyoni. Je, mgawanyo huu ni sahihi?

´Allaamah al-Fawzaan:

Ndio. Haya ndio tuliyoyasema katika darsa yetu leo. Haya ndio jumla ya

tuliyoyasema katika darsa yetu.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/7312.mp3

Page 20: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

20

19. Kuita Nchi Ya Kikafiri Kuwa Ni Nchi Rafiki

Swali:

Inajuzu kuita nchi ya kikafiri kuwa ni "nchi rafiki" au kumwita kafiri kuwa ni

"rafiki yangu"?

´Allaamah al-Fawzaan:

Hili halijuzu. Kwa kuwa rafiki maana yake ni mapenzi. Hawi rafiki ila yule

unayempenda.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/91.mp3

20. Wanaosema "Heshimuni Dini Ya Kinaswara Na Kiyahudi"

Swali:

Kupitia kampeni hii kumejitokeza ambao wanalingania kuheshimu Dini tatu

kukiwemo na unaswara na uyahudi, pamoja na kujua kwamba - kama

ulivyosema - ya kuwa Dini zao zimefutwa na Uislamu sio katika Dini yao?

´Allaamah al-Fawzaan:

Sisi tunaheshimu asli ya Dini; Dini ya ´Iysa na Muusa (´alayhimus-Salaam).

Na tunaheshimu kitabu chake Tawrat. Tunaheshimu asli. Na tunaheshimu

Page 21: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

21

Dini za Mitume wote kwa jumla. Dini za Mitume tunaziheshimu. Ama Dini

zilizofutwa na zilizobadiliwa, sisi hatuziheshimu. Kwa kuwa haziwi Dini tena.

Asli ya Dini ndio sahihi, kutoka kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa). Sisi tunaheshimu

Dini ya Muusa na ´Iysa.

ا ب ق اق ويعقو والسباط وم ولوا آمنا ه وما أنزل إلينا وما أنزل إلى إبراهيم وإسماعيل وإس ى ا أوتي موس اللـا

بهم بيون من را وعيسى وما أوتي النا

"Semeni: “Tumemwamini Allaah na yaliyoteremshwa kwetu na

yaliyoteremshwa kwa Ibraahiym na Ismaa’iyl na Is-haaq na Ya’quwb na al-

Asbaatw na aliyopewa Muwsaa na ‘Iysaa na waliyopewa Manabii kutoka kwa

Mola wao." (02:136)

Na nguzo sita za Imani: "Kuamini Allaah, Malaika Wake, Mitume Wake na

Mitume Wake... " Tunaamini vitabu vyote na Mitume wote. Ama Dini

zilizofutwa na kubadilishwa, sisi hatuziheshimu. Sisi hatuishii kumtetea

Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) peke yake. Wallaahi

naapa lau kama kuna yeyote atakayemponda ´Iysa (´alayhis-Salaam)

msimamo wetu utakuwa kama msimamo wa Mtume Muhammad (Swalla

Allaahu ´alayhi wa sallam). Wallaahi naapa lau kama kuna yeyote

atakayemponda Muusa (´alayhis-Salaam) basi msimamo wetu utakuwa kama

msimamo wa tunavyomtetea Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa

sallam). Hatutofautishi baina ya yeyote katika wao. Hili sio khaswa kwa

Mtume wetu Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), bali hili

msimamo wetu ni kwa Mitume wote, tunawatetea, tunawaheshimu na

tunawaamini (´alayhimus-Swalaat was-Salaam).

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/8166

21. Kwanini Wastaajabu Kwa Teknolojia Walio Nayo Makafiri

Swali:

Page 22: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

22

Ipi hukumu ya mwenye kukithirisha kustaajabu kwa mayahudi, elimu zao,

mafanikio yao na kuona wako na haki kwa hayo, je huku ni kuritadi au

kuwafanya ni marafiki na ipi nasaha zako kwa watu hawa?

´Allaamah al-Fawzaan:

Allaah (Jalla wa ´Alaa) Anamwambia Mtume Wake:

نيا لنفتنهم في ياة الد نهم زهرة ال عنا به أزواجا م نا عينيك إلى ما متا ه ول تمدا

"Na wala usikodolee macho yako kwa yale Tuliyowastareheshea baadhi ya

watu miongoni mwao, (kwani) hayo ni mapambo ya maisha ya dunia tu."

(20:131)

نيا ياة الد بهم بها في ال ه ليعذ ما يريد اللـا ون وتزهق أنفسهم وهم كافر فل تعجبك أموالهم ول أولدهم إنا

"Basi isikupendezee mali zao, na wala watoto wao. Hakika Allaah Anataka

kuwaadhibu kwayo katika maisha ya dunia, na zitokelee mbali nafsi zao

(katika mauti) na hali wakiwa makafiri." (09:55)

نيا وتزهق أ بهم بها في الد ه أن يعذ ما يريد اللـا م وهم كافرون نفسه ول تعجبك أموالهم وأولدهم إنا

"Na wala isikupendezee mali zao, na watoto wao. Hakika Allaah Anataka

kuwaadhibu kwayo duniani, na zitokelee mbali nafsi zao (katika mauti), na

hali wao ni makafiri." (09:85)

ورزق ربك خير وأبقى

"Na riziki ya Mola wako ni bora zaidi na ni yenye kubakia." (02:131)

Haijuzu kwa mtu kustaajabu kwa yaliyo kwa makafiri na kusema hawa ndio

wako katika haki. Na kama wangekuwa hawako katika haki wasingelifikia

teknolojia hii. Ewe ndugu! Huku ni kuwavuta pole pole. Usistaajabu kwa

mazuri ya dunia walio nayo kwa kuwa haya ni katika kuwavuta pole pole.

Hili ni jambo lipo katika Qur-aan, limetajwa katika Qur-aan. Allaah

Kamkataza Mtume Wake asistaajabu kwa walio nayo makafiri na asidokolee

macho yake kwa walio nayo.

ورزق ربك خير وأبقى

Page 23: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

23

"Na riziki ya Mola wako ni bora zaidi na ni yenye kubakia." (02:131)

Riziki ndogo iliyo ya Halali ni bora kuliko vya dunia vingi, mali na maendeleo

pamoja na kufuru. Kuwa na pato kidogo pamoja na Imani na kushikamana na

Dini ni bora kuliko kupata dunia yote pamoja na kufuru.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/8160

22. Kukubaliana Na Makafiri Juu Ya Kitu Cha Shirki

Swali:

Atakayekubaliana na makafiri kwa uinje na si kwa undani na bila ya

kuchukia, kufuru yake inakuwa ndogo?

´Allaamah al-Fawzaan:

Hapana. Atakapokubaliana nao kwa uinje bila ya kuchukia hata kama si kwa

undani, anakuwa kama wao. Akakubaliana nao juu ya kumshirikisha Allaah,

juu ya kwamba Masiyh ni mwana wa Allaah na wala hapingi hili, akasema hii

ni dini yao na ´Aqiydah yao na Dini zote ni sawa, kila mmoja ashikamane na

la kwake. Huyu anaritadi kutoka katika Dini ya Kiislamu.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/860.mp3

23. Kuleta Kicheko Na Makafiri

Page 24: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

24

Swali:

Ipi hukumu ya kuleta kicheko na kuwa na tabia nzuri pamoja na makafiri? Je,

hili linaingia katika kufanya nao urafiki na kuwapenda?

´Allaamah al-Fawzaan:

Ndio. Ikiwa kuleta kwako kicheko pamoja nao ni kwa mapenzi, hili linaingia

katika kufanya nao urafiki. Kwa kuwa kitendo cha nje huafiki kitendo cha

ndani cha kuwapenda. Kule kuleta kwako kicheko pamoja nao, hili bila ya

shaka ni aina moja wapo ya kuwafanya marafiki.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/861.mp3

24. Kuangalia Mazoezi Ya Makafiri Kwenye TV Na Kutamani Washinde

Swali:

Watu wengi siku hizi wamepewa mtihani kwa kuangalia mazoezi (michezo),

wanaishaji´isha, kuitolea mali na kutamani ishinde. Na huenda kati yao

kukawa makafiri. Hili linaweza kuingia katika kufanya urafiki na makafiri na

kuwapenda?

´Allaamah al-Fawzaan:

Ikiwa anapenda kafiri ashinde - hata kama sio mazoezi - huku ni kuwapenda.

Ikiwa anapenda ashinde hata kama sio mazoezi, huku ni kufanya nao urafiki.

Page 25: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

25

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/8156

25. Ibara Ya Kusema "Makafiri Ni Waislamu Bila Ya Uislamu"

Swali:

Ibara hii tunaisikia kwa wale ambao wanastaajabu kwa makafiri, wanasema:

"Ni Waislamu bila ya Uislamu."

´Allaamah al-Fawzaan:

Haya ni maneno machafu. Sio Waislamu. Bali wao ni makafiri. Tunawaita

"makafiri" kama Alivyowaita Allaah (´Azza wa Jalla).

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/8155

26. Kumpenda Raisi Wa Nchi Ambaye Ni Kafiri

Swali:

Sisi ni vijana tunaishi katika nchi moja wapo ya Ulaya. Wametupa fatwa

baadhi ya watu ya kwamba ni wajibu juu yetu kumpenda raisi wetu

anayehukumu nchi hiyo, pamoja na kuwa ni kafiri. Akasema "mtampenda

mapenzi ya kimaumbile". Upi usahihi wa maneno haya?

Page 26: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

26

´Allaamah al-Fawzaan:

Haya ni maneno machafu. Huku ni katika kufanya nao urafiki. Haijuzu kwa

Muislamu kumpenda kafiri. Hata kama kafiri atakufanyia wema, haijuzu

kumpenda. Isipokuwa tu utamlipa nawe wema, kumlipa wema kwa wema

wake. Lakini asimpende kwa hilo. Na kwa ajili hiyo, ndio maana baba ambaye

ni kafiri ni wajibu kwa mtoto amtendee wema kwa ajili tu ya kulipiza wema

na wala asimpende moyoni mwake. Amchukie kwa ukafiri wake huku

akimtendea wema kwa kuwa ni mzazi wake na ana haki juu yake.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1306.mp3

27. Ni Kupi Kujifananisha Na Makafiri?

Swali:

Kipimo ni kipi kwa kujifananisha na makafiri? Je, ni kwa yale ambayo ni

maalum kwako au ni kwa kila kinachotoka kwao?

´Allaamah al-Fawzaan:

Ni kujifananisha nao katika mambo ya ´Ibaadah zao, hili halijuzu.

Kujifananisha nao katika mambo ya kiada ambayo ni maalum kwao; katika

mavazi yao, utembeaji wao na mfano wa hayo.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1943_0.mp3

Page 27: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

27

28. Kuwapenda Makafiri Pamoja Na Kuwasaidia Dhidi Ya Waislamu Na

Uislamu

Swali:

Kuwapenda makafiri bila ya kuwasaidia dhidi ya Waislamu ni dhambi kubwa

katika madhambi makubwa au ni kufuru inayomtoa mtu katika Uislamu?

´Allaamah al-Fawzaan:

Tumekwishasema hili ya kwamba kuwapenda makafiri bila ya kuwa pamoja

na kupenda huko kitendo dhidi ya Waislamu na Waislamu ya kwamba ni

Haramu na ni dhambi kubwa katika madhambi makubwa. Ama kuwapenda

makafiri pamoja na kupenda huko kukawa na kuwasaidia [dhidi ya

Waislamu], huku ni kuritadi kwa wazi.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/2031.mp3

29. Uwajibu Wa Kuchukia Makafiri Na Ukafiri Wao

Swali:

Kuna mtu leo kaandika makala kwenye gazeti la Riyaadh ya kwamba

kuchukia makafiri ni jambo la wajibu, na anadai yeye ya kwamba wajibu ni

kuchukia kufuru na sio kuchukia makafiri. Je, kauli yake ni sahihi na vipi

kumjibu?

´Allaamah al-Fawzaan:

Page 28: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

28

Sisi tunachukia kufuru na mwenye kufuru hiyo, sisi tunachukia yote mawili.

Kauli yake ya kwamba ni wajibu kuchukia kufuru na asichukiwe mtu,

upambanuzi huu ni batili.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/2898.mp3

30. Hukumu Ya Kusema Dini Zote Ni Sawa Twamuabudu Mungu Mmoja

Swali:

Yapi maoni yako kwa ibara hii:

"Waislamu na wakristo ni ndugu katika ulimwengu wa kiarabu na ´Ibaadah

zote ni kwa Mungu Mmoja"?

´Allaamah al-Fawzaan:

Haya maneno ni ya batili. Haya maneno ni ya batili.

كمون أفنجعل المسلمين كالمجرمين ما لكم كيف ت

”Je, Tuwajaalie Waislamu kama wakhalifu? Mna nini! Vipi mnahukumu?”

(68:35-36)

Muislamu hawezi kuwa sawa na kafiri. Kamwe! Na ambaye atawafanya kuwa

sawa, basi na yeye ni kafiri kama wao. Mwenye kusema Uislamu na kufuru ni

sawa, huyu ni kafiri. Kwa kuwa hakuukanusha ukafiri bali ameukubali na

kuufanya ni kama Uislamu. Allaah Atukinge. Ikiwa anajua alisemalo na

kakusudia jambo hili, anakuwa kafiri. Na kama ni mjinga, ni wajibu kwake

kukaa kimya na asome kwanza kabla ya kuongelea masuala haya ya khatari.

Uislamu haulingani na dini yeyote katika ardhi; sawa ikiwa ni uyahudi,

unaswara na nyenginezo. Hakuna dini ya sahihi isipokuwa Dini ya Uislamu

Page 29: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

29

ambayo katumwa nayo Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa

sallam). Na ikawa ni wajibu kwa watu wote duniani kumfuata. Yule

asiyemfuata Mtume huyu ni kafiri, mkaidia, kwa kuwa Allaah (Ta´ala)

Kawaamrisha walimwengu wote kumfuata Mtume huyu.

وما أرسلناك إل كافة للناس

"Na Hatukukutuma (ee Muhammad صلى هللا عليه وآله وسلم)isipokuwa (ni Mtume

Wetu) kwa watu wote." (34:28)

ه إليكم جميعا ها النااس إني رسول اللـا قل يا أي

"Sema (ee Mtume Muhammad صلى هللا عليه وآله وسلم): “Hakika mimi ni Mtume wa

Allaah kwenu nyinyi nyote." (07:158)

Yule mwenye kusema Uislamu na kufuru ni sawa, huyu ikiwa ni mjinga basi

kakosea na ni juu yake kutubia na asome kabla ya kuongea. Na ikiwa kasema

hiyo kwa ujuzu ni kafiri, kwa kuwa kafanya haki na batili kuwa sawa.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/8139

31. Kafiri Anajijongeza Kwangu Na Kusema "Ndugu Yangu", Nifanye Nini?

Swali:

Naishi na mtu ambaye ni mkristo na ananambia: "Ewe ndugu yangu, sisi ni

ndugu." Na anakula na kunywa na sisi. Inajuzu kufanya hivi na lipi la wajibu?

´Allaamah al-Fawzaan:

Lililo la wajibu ni kujiweka nae mbali na wala usiishi nae. Kwa kuwa ni adui

wa Allaah, Mtume Wake na ni adui wako. Kuishi kwako pamoja nae, na

kucheka nae, na kufanya nae urafiki na kutangamana nae hili linapingana na

Page 30: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

30

al-Walaa´ wal-Baraa´. Ni juu yako kujitenga nae. Na akikwambia: "Ndugu

yangu".Mwambie: "Muongo wewe, wewe sio ndugu yangu." Wewe ni ndugu

wa Shaytwaan. Wewe sio ndugu yangu. Haijuzu kuchukulia sahali katika

masuala haya.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/8136

32. Kubusu Kichwa Cha Mzazi Asiyeswali

Swali:

Inajuzu kubusu kichwa cha mmoja katika wazazi wawili ikiwa anaswali

wakati fulani au haswali kamwe?

´Allaamah al-Fawzaan:

Haijuzu kufanya hivyo. Kwa kuwa hili ni katika mapenzi, kumbusu ni katika

mapenzi. Haijuzu kubusu kichwa chake. Lakini lisifanye hili kutomtendea

wema. Kumfanyia wema katika mambo ya kidunia. Ama kumdhihirishia

mapenzi, kama kumbusu kichwa na mfano wa hayo, hili halijuzu.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/13267_0.mp3

33. Kusoma Elimu Ya Dini Katika Miji Ya Makafiri

Page 31: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

31

Swali:

Je, linaingia katika hali ulizotaja kutafuta elimu ya kidunia - kama ilivyo

katika Hadiyth ya Jariyr (Radhiya Allaahu ´anhu)?

´Allaamah al-Fawzaan:

Makusudio ni kutafuta elimu ya kidunia. Ama kutafuta elimu ya Kishari´ah

haijuzu kuitafuta katika miji ya makafiri. Elimu ya Kishari´ah haijuzu

kuitafuta katika miji ya makafiri. Hili halijuzu. Linalojuzu ni elimu za kidunia

tu; elimu ya uhandisi, utabibu n.k., elimu za kidunia ndio zinazotafutwa kwa

makafiri ikiwa hazikupatikana katika miji ya Waislamu. Ama elimu ya

Kishari´ah haijuzu kuitafuta katika miji ya makafiri, na wala haijuzu kusoma

kwa makafiri. Hawakuangamia Waislamu ila pale walipoanza kuwasomesha

watoto wao elimu ya Kishari´ah kwa makafiri ambao wanawatatiza katika

Dini yao na´Aqiydah yao. Halijuzu hili.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/12975.mp3

34. Tofauti Kati Ya Nchi Ya Kiislamu Na Ya Kikafiri

Swali:

Baadhi ya ndugu yanatofautiana sana katika kupambanua kati ya nchi ya

kikafiri na nchi ya Kiislamu. Ni kipi kipimo?

´Allaamah al-Fawzaan:

Nchi ya kikafiri ni ile ambayo inahukumu kinyume na Aliyoteremsha Allaah.

Namna hii ndivyo walivyosema wanachuoni. Kwamba nchi ambayo

Page 32: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

32

haihukumu kwa Shari´ah ya Allaah, huzingatiwa ni nchi ya kikafiri. Hali

kadhalika miji ambayo kunadhiri alama za Shirki, kama manasamu na

hayakatazwi wala kuvunjwa, hii pia huzingatiwa ni mji wa kikafiri.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/4106

35. Kuvaa Nguo Yenye Msalaba

Swali:

Ni nini hukumu ya kuvaa msalaba au picha ya msalaba?

´Allaamah al-Fawzaan:

Halijuzu hili. Kuvaa msalaba haijuzu kwa hali yoyote ile. Kwa kuwa Mtume

(Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa haachi nyumbani kwake kitu

katika msalaba isipokuwa anakivunja. Halijuzu hili. Msalaba ni lazima

uondoshwe kwenye nguo, saa, gari au kitu kingine chochote. Ni lazima

kuuondosha. Kwa kuwa ni alama ya manaswara, msalaba ni alama ya

manaswara. Na manaswara wanaabudu msalaba.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/11150.mp3

36. Kumtembelea Kafiri Ambaye Ni Mgonjwa Kwa Lengo La Da´wah

Page 33: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

33

Swali:

Vipi kumtembelea kafiri wakati ni mgonjwa?

´Allaamah al-Fawzaan:

Kumtembelea wakati ni mgonjwa, ikiwa makusudio ni kumfanyia Da´wah

katika Dini ya Allaah, pengine akakubali Uislamu na akafa ni Muislamu, hii ni

fursa nzuri. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimtembelea myahudi

na akamlingania katika Uislamu akasilimu naye alikuwa juu ya kitanda

anataka kukata roho, akafa hali ya kuwa ni Muislamu. Na akamtembelea ami

yake Abu Twaalib na kumlingania katika Uislamu, akamwamia: "Sema

"hapana mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allaah." Ikiwa lengo la

kumtembelea kafiri mgonjwa ni ili kumlingania katika Uislamu, hili ni jambo

zuri.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/7625.mp3

37. Ufaransa Imepiga Marfuku Kuvaa Hijaab, Tuhame?

Swali:

Waislamu wanawake Ufaransa wamekatazwa kuvaa Hijaab. Je, unawanasihi

kufanya Hijrah kuhamia katika nchi hii au wafanye nini?

´Allaamah al-Fawzaan:

Hata kama hawakuwakataza kuvaa Hijaab. Pale ambapo wanaweza kufanya

Hijrah itakuwa ni wajibu. Haijuzu kwa Muislamu kubaki katika nchi za

Page 34: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

34

makafiri naye anaweza kufanya Hijrah. Kwa kuwa Allaah Kawapa matishio

makali wale ambao wameacha kufanya Hijrah ilihali wanaweza kuhama.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/4087

38. Kuishi Katika Miji Ya Kikafiri Pamoja Na Kudhihirisha Dini

Swali:

Baadhi ya Madu´aat wamesafiri kwenda katika miji ya kikafiri na kuishi huko,

tunapojadiliana nao wanasema: "Waislamu walifanya Hijrah kuhamia

Habashah na ilikuwa ni nchi ya kikafiri na Najaash alikuwa akiwapa haki zao

na kuwatetea, na sisi huku hatudhulumiwi, ni bora kuliko nchi nyingi za

Kiislamu." Kauli hii inakubaliwa?

´Allaamah al-Fawzaan:

Hili itategemea na kiasi ya hali itavyokuwa. Ikiwa mji watokapo

wanakandamizwa na kupewa mitihani kwa Dini yao na wakapata mji

ambapo wanadhihirisha Dini yao na wala hakuna yeyote anayewaudhi,

wanaweza kuhamia mji huyo hata kama itakuwa ni nchi ya kikafiri. Ikiwa

wanaweza kudhihirisha Dini yao. Najaash aliwapa uwezo Waislamu na uhuru

wa kuweza kufanya Da´wah, mpaka hata yeye mwenyewe (Rahimahu Allaah)

akasilimu kwa sababu ya Da´wah yao.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/5556.mp3

Page 35: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

35

39. Makafiri Ni Ndugu Zetu Kibinaadamu

Swali:

Mwenye kusema makafiri ni ndugu zetu wa kibinaadamu na si katika Dini. Je,

maneno yake haya ni sahihi?

´Allaamah al-Fawzaan:

Haitoshi kiubinaadamu. Wala mtu hasemi hivi kwa kutaka kuwapaka mafuta

au kupata hisia zao. Mtu hasemi hivi. Inatakiwa kusema wao ni maadui wetu

wala mtu hasemi ndugu zetu wa kibinaadamu. Bali mtu anatakiwa kusema ni

maadui wetu. Ikiwa ni maadui wetu katika Dini, udugu wa kibinaadamu

utafidisha nini? Utafidisha nini? Fir´awn alikuwa pia binaadamu. Au sio? Je

alikuwa pia ndugu yetu? Haitakikani kusema hivi.

Chanzo: http://alfawzan.ws/node/1875

Tarehe: 1431-04-14/2010-03-29

40. Kwa nini Sisi Tu Ndo Twavaa Mavazi Ya Makafiri Wao Hawavai

Mavazi Yetu?

Swali:

Je, ni sahihi kwa mwenye kusema ya kwamba kuvaa Kanzu katika miji ya

kimagharibi kama Amerika na kwenginepo, huchukuliwa ni katika kutafuta

umaarufu?

Page 36: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

36

´Allaamah al-Fawzaan:

Hapana, sivyo. Mtu avae nguo za kawaida. Kwa nini wao wanapokuja kwetu

hawavai mavazi yetu? Sisi tu ndo tukiHuu ni udhalili kwetu. Mavazi ya

kawaida usiyaache ewe ndugu. enda kwao tunavaa mavazi yao.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/taxonomy/term/117

41. Hukumu Ya Kusema Mayahudi Na Wakristo Ni Ndugu Zetu

Swali:

Ipi hukumu kwa yule asemaye:

"Ndugu zetu mayahudi na wakristo"?

´Allaamah al-Fawzaan:

Ndio, ni wandugu zake yeye, ni wandugu zake yeye. Lakini sisi sio ndugu

zetu. Sisi tunajitenga nao mbali. Ama kwa yule asemaye ni ndugu zake, basi

watakuwa ndugu zake kweli isipokuwa kama atatubu kwa Allaah ('Azza wa

Jalla) kwa kauli hii chafu. Na kama hatotubia basi watakuwa ndugu zake

kweli.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/taxonomy/term/117

42. Hukumu Ya Kujiita Majina Ya Makafiri

Page 37: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

37

Swali:

Ipi hukumu ya mwenye kujiita kwamajina ya baadhi ya makafiri?

´Allaamah al-Luhaydaan:

Akiitwa kwa majina ya baadhi ya makafiri, dogo tuwezalo kusema ni kwamba

hii ni aina ya kujifananisha nao. Na Mtume Anasema:

"Mwenye kujifananisha na watu, basi yeye ni katika wao."

Tunamuomba Allaah Atukinge. Kipi kinachomkataza kuitwa majina ya

Kiislamu na waislamu. Na lau angeenda katika vitabu angepata majina mengi

sana. Hakuitwa majina ya baadhi ya makafiri isipokuwa ni kwa sababu

amevutika nao.

Chanzo:

http://www.alharamain.gov.sa/index.cfm?do=cms.scholarsubject&schid=3098

1&subjid=31339

43. Kuongea Lugha Za Makafiri Pasina Haja

Swali:

Je, kuongea lugha ya makafiri kunaingia katika Hadiyth "Mwenye

kujifananisha na watu basi yeye ni katika wao."?

´Allaamah al-Fawzaan:

Page 38: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

38

Kuiongea wakati wa haja, hakuna neno. Ama kuiongea pasina haja, hili

limeharamishwa. Kwa kuwa kuna kujifananisha na kuihama lugha ya

kiarabu.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/alldroos?tid_1=240

44. Kuvaa Nguo (Jezi) Yenye Jina Au Picha Ya Kafiri

Swali:

Mwenye kuvaa wanayovaa makafiri na kukawa nyuma ya mgongo wake

katika vazi lake jina la kafiri na wala hanuwii kujifananisha na mtu huyo au

watu hao katika kuvaa huko...

´Allaamah al-Fawzaan:

Huku ni kumuadhimisha kafiri. Maadamu anavaa nguo yenye jina la kafiri au

picha yake, huku ni kumuadhimisha kafiri. na wala halijuzu hili. Dogo

tuwezalo kusema ni kwamba ni haramu. Na ikiwa anamuadhimisha,

kunakhofiwa akaritadi kabisa.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/alldroos?tid_1=240

45. Kuvaa Suruwali Ni Kujifananisha Na Makafiri

Page 39: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

39

Swali:

Yapi maoni yako kuvaa suruwali? Na je, inajuzu kuivaa?

´Allaamah Rabiy´ al-Madkhaliy:

Kuvaa suruwali kuna kujifananisha na makafiri.

Chanzo: http://subulsalam.com/catplay.php?catsmktba=355

46. Maandamano Ni Kujifananisha Na Makafiri Kikamilifu

Imaam Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy:

Haya maandamano... ambayo tulikuwa tukiyaona kwa macho yetu wakati

Ufaransa ilipokuwa inatawala Syria, na tulikuwa tukiyasikia katika miji

mingine na sasa tumeyasikia [tena] Algeria. Lakini Algeria imezidi miji

mingine kwa upotevu huu na kujifananisha huku [na hawa makafiri]. Kwa

kuwa tulikuwa hatuoni wasichana pia wanashiriki kutoka nje kwenye

maandamano, jambo ambalo kikamilifu ni kujifananisha na makafiri na

makafiri wa kike. Kwa sababu ndio tunayoyaona kwenye picha na TV na

redio,wanatoka maelfu ya makafiri wakiume na wakike mchanganyiko, sawa

ikiwa ni wa Ulaya, Syria au wengine. Wanasongamana wanawake na

wanaume na huenda hata sehemu za mbele zikagusana na makalio. Huku ni

kujifananisha na makafiri kikamilifu, nako ni kutoka wasichana na wavulana

kutoka nje na kuandamana.

Jambo lingine ni kwamba haya maandamano kuna kujifananisha na makafiri

wazi wazi kwa kupinga au kuonesha kwao hasira zao kwa baadhi ya kanuni

ambazo viongozi wao wamewawekea, nitaongezea kitu kimoja. Haya

maandamano ya kiulaya ambayo waislamu wamekuja kuyaiga kichwa

Page 40: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

40

mchunga, siyo njia ya Kishari´ah kwa kutengeneza hukumu na kutengeneza

jamii.

Kuanzia nukta hii yanakosea makundi na mapote yote ya Kiislamu ambayo

hayafuati njia ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika

kutengeneza jamii. Jamii haibadilishwi kwa nidhamu za Kiislamu kwa fujo,

maneno mabaya na maandamano. Bali [jamii inabadilishwa] kwa utulivu na

kueneza elimu kati ya waislamu na kuwalea na Uislamu huu hadi malezi haya

yalete matunda, hata kama litapatikana hili baada ya kipindi kirefu.

Fataawa Juddah (12)

47. Hukumu Ya Kushiriki Sikukuu Za Makafiri Na Kuwapongeza

Swali:

Ipi hukumu ya kuwapa pongezi (hongera) makafiri kwa sikukuu zao na

kushiriki katika sikukuu zao?

´Allaamah al-Fawzaan:

Tunamuomba Allaah afya! Haijuzu kushiriki na manaswara katika sikukuu

zao wala kuwapa pongezi wala kuhudhuria.

وا كراما وا باللاغو مر ور وإذا مر والاذين ل يشهدون الز

"Na wale wambao hawatoi ushahidi wa uongo." (25:72)

Na uongo ni sikukuu za mashirikina, kushudia na kuhudhuria. Hakuna

kuhudhuria, kuwasaidia na wala kuwapa pongezi. Hata sikukuu za Bid´ah

ambazo zipo kwa Waislamu, kama sikukuu ya Maulidi na mfano wa hayo

katika sikukuu za Bid´ah haijuzu kwa mtu kushiriki wala kuhudhuria wala

Page 41: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

41

kuwapa pongezi wala kuwasaidia wala asile katika chakula ambacho

wametayarisha khaswa kwa ajili ya hizo sherehe.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/alldroos?tid_1=240

48. Kula Pamoja Na Kafiri Na Kumpa Swadaqah

Swali:

Ipi njia nzuri tunayotakiwa kuifuata katika kuwalingania makafiri ambao

wako pamoja nami kazini? Je, naweza pia kula pamoja naona kuwapa

Swadaqah?

´Allaamah al-Fawzaan:

Ndio, hakuna neno. Waweza kula nao na wao wakala nawe katika [chakula]

kinachoruhusiwa. Kuwapa Swadaqah ya Zakaah haijuzu. Ama [Swadaqah] ya

kujitolea [ya kawaida] hakuna ubaya kwa hilo. Khaswa ikiwa kwa hili

walenga kuwaingiza katika Uislamu

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/alldroo...

49. Jinsi Ya Kutangamana Na Makafiri Katika Shirika Unapofanya Nao Kazi

Swali:

Page 42: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

42

Vipi ntatangamana na makafiri? Kwa kuwa wanachanganyika nami kazini

kila siku.

´Allaamah al-Fawzaan:

Ukipata kazi nyingine mbali nao ndio bora. La sivyo, fanya kazi yako na

waache katika kazi yao. Kila mmoja afanye kazi yake.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/alldroo...

50. Mwanamke Kafa Baba Yake Mdogo Kafiri

Swali:

Kuna baba mdogo wa mwanamke kafa ambaye alikuwa ni kafiri. Je inajuzu

kwa mwanamke kuhudhuria janaza yake

´Allaamah al-Fawzaan:

Hapana, watahudhuria makafiri! Watamsimamia makafiri na si Waislamu.

Lakini kukiwa hakuna mtu katika makafiri, anaweza kumsimamia - yaani

akamuosha akamkafini na akamzika mahala pa mbali na si katika makaburi

ya Waislamu. Haifai kumuosha kwa kuwa kuosha ni ´ibaadah na haifai kwa

kafiri. Mzingire kwenye kitu na amzike mahala mbali na njia [manyumba].

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/alldroo...

Page 43: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

43

51. Kuvaa Nguo Za Makafiri Za Kumalizia Masomo

Swali:

Sisi ni mjumuiko wa wanafunzi tunaenda Thanawiy na karibu madrasah yetu

yatafanya hafla ya kumaliza madrasah na wametuomba kuvaa nguo za

kumaliza madrasah. Ni nguo zinazovaa watu wa magharibi wamalizapo

masomo. Je inajuzu kwangu kuvaa nguo hizi katika hafla hii?

´Allaamah al-Fawzaan:

Vaa nguo katika nguo za Waislamu na usivae nguo za makafiri. Vaa nguo za

Waislamu zenye kusitiri nzuri na usivae katika nguo za makafiri. Usiwaige

makafiri

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/alldroo...

52. Hukumu Ya Muislamu Kuwa Na Urafiki Na Makafiri

Swali:

Ipi hukumu ya kufanya urafiki na makafiri na ipi sura ya kufanya nao urafiki?

´Allaamah Zayd al-Madkhaliy

Ufanyaji urafiki na makafiri unalioharamishwa na kukubaliana na dini yao, na

kupenda dini yao. Akimpenda Muislamu mkristo kwa ukristo wake na

Page 44: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

44

myahudi kwa uyahudi wake, na mwenye kuabudu moto kwa hilo basi hapo

atakuwa kama wao. Na urafiki kama huu umeharamishwa.

ه منهم نكم فإنا ومن يتولاهم م

"Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao."

(05:51)

Ama urafiki wa kikazi tu; kununua na kuuza, na kubadilishana mambo yenye

manufaa, na kazi makafiri kwa Waislamu. Hakika si katika urafiki hata ikiwa

Muislamu atafanya kazi kwa kafiri ili apate mshahara wake. Hakuna ubaya.

Na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliweka mfanya kazi siku ya

kuhama kwake kwenda Madiynah mtu ambae alikuwa ni kafiri ili amuoneshe

njia ya kwenda Madiynah na akampa mshahara wake. Jambo hili kuhusu

urafiki linahitajia ufafanuzi. Ataejenga nao urafiki na akawapenda kwa dini

yao anakufuru. Kwa dalili ya Aayah hii:

ه منهم نكم فإنا ومن يتولاهم م

"Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao."

(05:51)

Ama urafiki kwa maana kufanya nazo kazi katika jambo la maslahi tu, hakuna

ubaya na wala si katika jambo limelokatazwa.

Chanzo: http://z-salafi.com/v2/action?s_menu=...

53. Kumuomba Kafiri Msaada Kwa Kitu Anachokiweza

Swali:

Inajuzu kuwaomba makafiri msaada kwa wayawezayo?

Page 45: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

45

´Allaamah al-Fawzaan:

Wakati wa haja na dharurah hakuna ubaya. Unapokuwa katika safari na

wewe unahitajia msaada huwezi kumwambia nisaidie? Hili ni jambo linajuzu.

Hili ni jambo mubaha.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/alldroo...

54. Kumualika Jirani Kafiri Katika Walima

Swali:

Inajuzu kumualika jirani kafiri mnaswara katika walima wa ndugu yangu

nikitarajia ni njia ya yeye kuingia katika Uislamu?

´Allaamah al-Fawzaan:

Hakuna ubaya kumuita kafiri kula chakula, na kuitikia wito wake akikuita

kwenda kula chakula naye ni jirani yako au ndugu yako, hakuna ubaya kwa

hilo. Masuala ya kula chakula na kuitikia mwaliko wake hili sio katika

kufanya nae urafiki. Hili ni katika kuamiliana nae katika mambo ya kidunia,

na huenda ikawa ni njia ya kumfanyia Da´wah, na khaswa ikiwa ni jirani yako

yuko na haki zake hata kama ni kafiri. Anasema Allaah (Jalla wa ´Alaa):

ب والاحب بالنب وبالوالدين إحسانا وبذي القرب واليتامى والمساكني والار ذي القرب والار الن واعبدوا اللـه ول تشركوا به شيئابيل وما ملكت أيانكم وابن الس

”Na mwabuduni Allaah na wala msimshirikishe na chochote. Na wafanyieni ihsaan wazazi wawili na jamaa wa karibu, na mayatima, na masikini na majirani wa karibu na majirani walio mbali, na rafiki wa ubavuni na msafiri na waleiliyowamiliki mikono yenu ya kulia.” (04:36)

Page 46: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

46

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/alldroos?tid_1=240

55. Kuwapa Mkono Wa Pole Makafiri Wanapofiwa

Swali La Kwanza:

Kiongozi wa upotofu kafariki Papa Johanna. Je inajuzu kusema mafikio yake

ni Motoni kwa kuwa kafa katika kufuru na ipi hukumu ya kutoa taazia

[mkono wa pole]...

´Allaamah al-Fawzaan:

Kipi kikujulishacho kwamba kafa katika kufuru? Usilenge. Usilenge moja kwa

moja kwamba kafa katika kufuru. Haijuzu kumshuhudia yeyote Pepo wala

Moto ila yule aliyemshuhudia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa

sallam). Usilenge moja kwa moja kwamba kafa katika kufuru. Allaah Anajua

zaidi. Hivyo ndo maana usilenge kwamba ni katika watu wa Motoni. Hii ndo

kanuni kwamba hashuhudiwi mtu maalumu. Ama makafiri, manaswara na

mayahudi kwa ujumla ni motoni. Ila kusema Johanna [Paulo] ataingia motoni

ni kosa. Watakiwa kusema Kuna uwezekano akaingia motoni. Allaah Anajua

zaidi. Unaweza pia kusema ikiwa kafa katika ukafiri basi ataingia motoni na

ikiwa alikufa kwa kufanya Tawbah ataingia Peponi. Usilenge kitu ila kwa

dalili.

Swali La Pili:

Na ipi hukumu ya kutoa taazia (mkono wa pole) kwa makafiri wanapokufa?

Page 47: Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

Uwajibu Wa Kuwachukia Makafiri Na Kutofanya Nao Urafiki

47

´Allaamah al-Fawzaan:

Mtu (haijuzu) kutoa taazia kwa makafiri. Mtu anatoa taazia kwa kafiri kwa

muumini. Ikiwa ndugu yake muumini (muislamu) kafa, unatoa taazia kwa

muumini. Ama kutoa taazia kwa kafiri haijuzu kufanya hivyo.

Chanzo: http://www.alfawzan.af.org.sa/alldroos?tid_1=240

Swalah na salaam zimwedee mbora wa Mitume, na ahli zake na

Maswahabah zake ajmaa´iyn