Nguvu ya maombi

709

Click here to load reader

Transcript of Nguvu ya maombi

Page 1: Nguvu ya maombi

KUUFAHAMU NA KUUTAWALAKUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO 

KWAKWA

NGUVU YA MAOMBIMKESHA WA MAOMBI ‐MAGOMENI  AIC (T) 

Tarehe 16 Sept 2011Tarehe 16, Sept. 2011

M l M i M bMwl. Mgisa Mtebe0713 497 654

Page 2: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBI

M k 11 12 14Marko 11:12‐14

12 K h k li k kit k12 Kesho yake walipokuwa wakitokaBethania, Yesu alikuwa na njaa. , j

Page 3: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBI

M k 11 12 14Marko 11:12‐1413 Alipouona mtini kwa mbali13 Alipouona mtini kwa mbali, 

akaenda ili aone kama ulikuwa namatunda. Alipoufikia, akakuta unamajani tu kwa kuwa hayakuwamajani tu, kwa kuwa hayakuwa

majira ya tini.j y

Page 4: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBI

Marko 11:12 14Marko 11:12‐1414 Yesu akauambia ule mti ‘‘Tangu14 Yesu akauambia ule mti,  Tanguleo mtu ye yote na asile matundakutoka kwako tena.’’ WanafunziWake walimsikia akisema hayoWake walimsikia akisema hayo. 

Page 5: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBI

Marko 11:20 24Marko 11:20‐2420 Asubuhi yake walipokuwa20 Asubuhi yake, walipokuwawakipita, wakauona ule mtini

umenyauka kutoka juu hadi kwenyemizizi yakemizizi yake. 

Page 6: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBI

Marko 11:20 24Marko 11:20‐2421 Petro akakumbuka na21 Petro akakumbuka na

kumwambia Yesu, “Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani

umenyauka!umenyauka!

Page 7: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBI

Marko 11:20 24Marko 11:20‐2422 Yesu akawajibu akawaambia22 Yesu akawajibu akawaambia, 

“Mwaminini Mungu. 23 Amin, aminnawaambia, mtu ye yote

atakayeuambia mlima huu ‘Ng’okaatakayeuambia mlima huu Ng okaukatupwe baharini,’…

Page 8: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIMarko 11:20‐24

23 l i h k i23 …wala asione shaka moyonimwake, bali aamini kwamba hayomwake, bali aamini kwamba hayo

asemayo yametukia, yatakuwa yake.24 Kwa sababu hiyo nawaambia, yoyote myaombayo mkisali aminini yayote myaombayo mkisali, aminini ya

kwamba mnayapokea nayoyatakuwa yenu.  

Page 9: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIMarko 11:20‐24

23 l i h k i23 …wala asione shaka moyonimwake, bali aamini kwamba hayomwake, bali aamini kwamba hayo

asemayo yametukia, yatakuwa yake.

S B dSasa Baadaye

Page 10: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIMarko 11:20‐24

24 t b ki li24 yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwambaaminini ya kwamba

mnayapokea nayo yatakuwa yenu.

Sasa Baadaye

Page 11: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBI

Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemeamaishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za 

Mungu kinachotenda kazi ndaniyako yaani kiwango chayako, yaani kiwango cha 

maombi unachofanya maishani maombi unachofanya maishanimwako.

Page 12: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maombi ni namna mojawapo ya kuzalisha Nguvu za Munguzinazohitajika ili kutuwezesha kuishi maisha ya ushindi nakuishi maisha ya ushindi na 

mafanikio duniani.mafanikio duniani.Waefeso 3:20Waefeso 3:20

Page 13: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kuna kiwango maalumkinachohitajika ili Mungu aweze kufanya mambo aliyoyakusudia dunianialiyoyakusudia duniani.

Waefeso 3:20Waefeso 3:20

Page 14: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu yeye20 Atukuzwe Mungu, yeye awezaye kutenda mambo ya y yajabu mno (yasiyopimika) 

kuliko yote tunayo‐yawaza au t na o aombatunayoyaomba…

Page 15: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Mungu anaweza kutenda20 … Mungu anaweza kutenda mambo ya ajabu mno … lakini ni y jkwa kadiri ( ni kwa kiwango au ni kwa kipimo) cha nguvu  zakekinachotenda ka i ndani etkinachotenda kazi ndani yetu.

Page 16: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwambaHii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, ,unategemea sana kiwango

hcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

Page 17: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Kuna baadhi ya mamboKuna baadhi  ya mambo

maishani mwetu, Mungu hawezi , gkuyafanya, ikiwa hatutengeneza 

h li hau hatutazalisha Nguvu za Mungu za kutosha ndani yetuMungu za kutosha, ndani yetu.

Page 18: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …Kwahiyo …***…  ikiwa tutatengeneza au gtutazalisha Nguvu nyingi za 

Mungu ndani yetu,  tutauwezesha mkono watutauwezesha mkono wa 

Mungu, kufanya mambo mengi g , y gna makubwa, aliyokusudia.

Page 19: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini …Lakini …***…  ikiwa tutatengeneza au gtutazalisha Nguvu kidogo za Mungu ndani yetu, basi 

tutauzuia mkono wa Mungututauzuia mkono wa Mungu, kufanya mambo mengi na y gmakubwa aliyokusudia.

Page 20: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (1);Kifo cha Yakobo na 

Ukombozi wa Petro gerezaniMatendo 12:1‐19

Page 21: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (2);Ushindi wa Joshua vitani

Kwa maombi ya Musa MlimaniKutoka 17:8‐15

Page 22: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo,Kwahiyo, Maombi ni njia mojawapo j j p

inayofungulia nguvu za Mungukatika maisha ya mtu wa 

Mungu ili kumwezesha mtuMungu, ili kumwezesha mtu huyo kuishi maisha ya ushindiy yna mafanikio katika maisha.

Page 23: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

*** ikiwa tutaongeza kiwango***…  ikiwa tutaongeza kiwango cha maombi maishani mwetu, tutatengeneza au tutazalisha Ng n ingi a M ng ndaniNguvu nyingi za Mungu ndani 

yetu,  na kuuwezesha mkono wa y ,Mungu kufanya mambo mengi 

i h i tmaishani mwetu.

Page 24: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

*** tukipunguza kiwango cha***…  tukipunguza kiwango cha maombi maishani mwetu, 

tutashindwa kutengeneza au k alisha Ng n ingi a M ngkuzalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani yetu,  na kuuzuia mkono wa y ,Mungu kufanya mambo mengi 

i h i tmaishani mwetu.

Page 25: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni KwasababuNi Kwasababu …Kwahiyo Utendaji wa mkono waKwahiyo Utendaji wa mkono wa 

Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotendaNguvu za Mungu kinachotenda 

kazi ndani yako.

Page 26: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

Page 27: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kuna mambo mengi sana maishaniKuna mambo mengi sana maishani mwetu, tumeyabatiza kwamba ni 

mapenzi ya Mungu, kumbe hayakuwa mapenzi ya Munguhayakuwa mapenzi ya Mungu, lakini ukweli ni kwamba, sisi 

binadamu ndio tunaohusika katika kusababisha mambo hayokusababisha mambo hayo kufanyika au kutofanyika.

Page 28: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Kuna mambo mengi sana maishaniKuna mambo mengi sana maishani 

mwetu, tumemsingizia Mungu, wakati kumbe sisi binadamu, ndio tunaohusika katika kusababishatunaohusika katika kusababisha

mambo hayo kufanyika au kutofanyika.

Page 29: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (3);Maombi ya Musa katika 

kumruhusu Mungu kufungua bahari ya Shamubahari ya ShamuKutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28

Page 30: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

‘Musa usinililie mimi; si kazi yanguMusa usinililie mimi; si kazi yangu kufungua bahari, bali ni yako; g ymimi nipo tu kukuwezesha; n oosha fimbo ako baharininyoosha fimbo yako baharini, 

ndipo nguvu zangu zitaingia kazini p g g gkukusaidia na kukuwezesha’.

Kutoka 14:15‐28

Page 31: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐19y19 Kwa maana nitawapa funguo za Ufalme, na mambo mtakayoyafunga

(ninyi) yatakuwa yamefungwa(ninyi) yatakuwa yamefungwa (mbinguni), na mambo 

mtakayoyafungua (ninyi) yatakuwa yamefunguliwa (mbinguni)yamefunguliwa (mbinguni)

Page 32: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukweli ni Kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu pasipo msaada wa binadamu, lakini 

alichagua tu kufanya kazi kwaalichagua tu, kufanya kazi kwa ushirika na binadamu; kwahiyo, 

kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na binadamu katika kutawala duniabinadamu katika kutawala dunia.

Page 33: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 3:99 Kwa maana sisi tu watenda kazi 

j Mpamoja na Mungu. (kwa ushindi na mafanikio)(kwa ushindi na mafanikio)

Page 34: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28‐3028 Na kwahiyo basi katika mambo28 Na kwahiyo basi, katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamojay , g y p j

na wale wampendao, katika k tikuwapatia mema. 

(ushindi faida na mafanikio)(ushindi, faida na mafanikio)

Page 35: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26,1826 Tufanye mtu kwa sura yetu na 

k f t k t l d ikwa mfano wetu wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso y y j y

wa dunia.

Page 36: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26‐18k b28 Mungu akaumba Mwanaume na 

Mwanamke, akawaweka katikaMwanamke, akawaweka katika bustani ya dunia, akawaambia, zaeni mkaongezeke na kuitawala

(kuitiisha) dunia(kuitiisha) dunia.

Page 37: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 115:16Mbingu ni mbingu za Bwana, bali 

nchi amewapa wanadamu

Isaya 45:11… kwa habari ya kazi za mikono yangu haya niagizeni (niamuruni)yangu, haya niagizeni (niamuruni)

Page 38: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐19y19 Kwa maana nitawapa funguo za Ufalme, na mambo mtakayoyafunga 

(ninyi) yatakuwa yamefungwa(ninyi) yatakuwa yamefungwa (mbinguni), na mambo 

mtakayoyafungua  (ninyi) yatakuwa yamefunguliwa (mbinguni)yamefunguliwa (mbinguni)

Page 39: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐1918 Na milango ya kuzimu 

haitaweza kulishinda kanisa l it k l lijlangu nitakalolijenga  (kwa mfumo huu)(kwa mfumo huu).     

Page 40: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

MaombiMaombiNi njia mojawapo inayofungulia j j p y gnguvu za Mungu katika maisha 

ya mtu wa Mungu, ili kumwezesha mtu huyo kuishikumwezesha mtu huyo kuishi maisha ya ushindi na mafanikio y

katika mambo yake yote.

Page 41: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …***… ikiwa tutaongeza kiwango…  ikiwa tutaongeza kiwango cha maombi maishani mwetu, tutatengeneza au tutazalisha Nguvu nyingi za Mungu ndaniNguvu nyingi za Mungu ndani 

yetu,  na kuuwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi.

Page 42: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini piaLakini pia …***… tukipunguza kiwango cha…  tukipunguza kiwango cha 

maombi maishani mwetu, tutashindwa kutengeneza au 

kuzalisha Nguvu nyingi za Mungukuzalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani yetu,  na kuuzuia mkono wa Mungu kufanya mambo mengi.

Page 43: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea 

sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako, yaani kiwango cha maombi 

unachofanya maishani mwako.

Page 44: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

Page 45: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

Page 46: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

Page 47: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

Page 48: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …

Kiwango cha       =        Kiwango chaMaombi NguvuMaombi                         Nguvu

Page 49: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea 

sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako, yaani kiwango cha maombi 

unachofanya maishani mwako.

Page 50: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16‐1817 Eliya likuwa mwanadamu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii mvua isinyeshe juu yabidii, mvua isinyeshe juu ya 

nchi, na mvua haikunyesha juunchi, na mvua haikunyesha juu ya nchi kwa muda wa miaka mitatu (3) na miezi sita (6).

Page 51: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16‐1818 (baada ya miaka mitatu na nusu) Eliya akaomba tena kwa bidii ili mvua inyeshe na mvuabidii, ili mvua inyeshe, na mvua 

ikanyesha, na nchi ikazaaikanyesha, na nchi ikazaa matunda yake.

Page 52: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16‐1816 Kwahiyo basi, vivyo hivyo na 

ninyi, ombeaneni ili mpate kuponywa; kuomba kwakekuponywa; kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana,mwenye haki kwafaa sana, 

akiomba kwa bidii.

Page 53: Nguvu ya maombi

Lakini lengo letu ni kujifunzaNAMNA YA KWENDANAMNA YA KWENDAMBELE ZA MUNGU

AU

NAMNA YA KUOMBASAWA SAWA

Page 54: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili 

kuwasiliana na Mungu wake, nakuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika 

b i k l b diliknamna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.g

Page 55: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwendakatika ulimwengu wa roho, ili 

kuwasiliana na Mungu wake, nakuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika 

b i k l b diliknamna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.g

Page 56: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwendakatika ulimwengu wa roho, ili

kuwasiliana na Mungu wake, nakuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika 

b i k l b diliknamna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.g

Page 57: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAKwasababu,

Mungu ni Roho,(Yohana 4:23‐24)

Hii ina maana kwamba, 

Mungu anaishi katika        li hulimwengu wa roho.

Page 58: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBA Na Kwasababu …

Kuomba ni ‘namna ya mtu     kumwendea Mungu’kumwendea Mungu  (Waebrania 11:6)

“Kila mtu amwendeaye Mungu, i k i i k b Minampasa kuamini kwamba Mungu 

yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao”

Page 59: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAKwahiyo, 

Kuomba, ni namna ya mtu, , y ,kwenda au kuingia katika

uwepo wa Mungu, (katika ulimwengu wa roho)… 

Page 60: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

… ili kuongea na Mungu …

Page 61: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

… na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna 

ambayo …

Page 62: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

… itasababisha na kuleta mabadiliko katika ulimwengu 

wa mwili.   

Page 63: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBA

Mabadiliko gani hayo?

Page 64: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, i i imasomo mazuri, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma 

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri Kanisa zuri jamii ya watunzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.

Page 65: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, i i imasomo mazuri, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma 

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri Kanisa zuri jamii ya watunzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.

Page 66: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, i i iMasomo mazuri,, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri Kanisa zuri Jamii ya watunzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.

Page 67: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, i i iMasomo mazuri,, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri Kanisa zuri Jamii ya watunzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.

Page 68: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, i i iMasomo mazuri,, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri Kanisa zuri Jamii ya watunzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.

Page 69: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, i i iMasomo mazuri,, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri Kanisa zuri Jamii ya watunzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.

Page 70: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, i i iMasomo mazuri,, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri Kanisa zuri Jamii ya watunzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.

Page 71: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, i i iMasomo mazuri,, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri Kanisa zuri Jamii ya watunzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.

Page 72: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, i i iMasomo mazuri,, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri Kanisa zuri Jamii ya watunzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.

Page 73: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, i i iMasomo mazuri,, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri Kanisa zuri Jamii ya watunzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.

Page 74: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, i i iMasomo mazuri,, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri Kanisa zuri Jamii ya watunzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.

Page 75: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, i i iMasomo mazuri,, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri Kanisa zuri Jamii ya watunzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.

Page 76: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, i i iMasomo mazuri,, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri Kanisa zuri Jamii ya watunzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.

Page 77: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, i i iMasomo mazuri,, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri,Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri Kanisa zuri Jamii ya watunzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.

Page 78: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri Kazi nzuriMasomo mazuri,, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, , ,Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

i S ik li i T if i N hinzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watunzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.

Page 79: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA

B YBwana Yesu anasema;

“Ombeni nanyi mtapewa, k l bKwa maana kila aombaye

H k (h )Hupokea (hupewa) …(Mathayo 7:7 11)(Mathayo 7:7‐11)

Page 80: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA

Na wachache wanaoombaNa wachache wanaoombaBiblia anasema;Biblia anasema;

“Mnaomba na hata hampati,p ,Kwasababu mnaomba vibaya”y

(Yakobo 4:3)

Page 81: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA

Bwana Yesu anasema;Bwana Yesu anasema;

“Hata mpaka sasa hamjaombaHata mpaka sasa hamjaombaombeni (vizuri) basi ili furahaombeni (vizuri) basi, ili furaha

yenu, iwe timilifu”y , f(Yohana 16:24)

Page 82: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

NAMNA YANAMNA YA KUOMBA KWA USAHIHIKUOMBA KWA USAHIHI

HATA KULETAHATA KULETAMABADILIKO DUNIANI.

Page 83: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA

Mambo Muhimu yaMambo Muhimu ya Kufahamu ili kujua;Kufahamu, ili kujua; 

NAMNA YA KUOMBA IPASAVYO

Page 84: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA

Mambo Muhimu yaMambo Muhimu ya Kufahamu ili kujua;Kufahamu, ili kujua; 

NAMNA YA KUOMBA KWA UFANISI

Page 85: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa roho

Page 86: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa rohoNamna ya kwenda rohoniy

Page 87: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa rohoNamna ya kwenda rohoniyNafasi/Mamlaka yako rohoni

Page 88: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa rohoNamna ya kwenda rohoniyNafasi/Mamlaka yako rohoniNamna ya Kupiga Vita rohoni 

Page 89: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa rohoNamna ya kwenda rohoniyNafasi/Mamlaka yako rohoniNamna ya Kupiga Vita rohoni Namna ya Kuathiri rohoni 

Page 90: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa rohoNamna ya kwenda rohoniyNafasi/Mamlaka yako rohoniNamna ya Kupiga Vita rohoni Namna ya Kuathiri rohoni 

(Nguvu ya Maombi)

Page 91: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBAKwahiyo

Hebu tujifunze sasa;

1. KUUFAHAMU ULIMWENGU WA ROHO. 

Page 92: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwendakatika ulimwengu wa roho, ili

kuwasiliana na Mungu wake, nakuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika 

b i k l b diliknamna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.g

Page 93: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAKwahiyo, 

Kuomba, ni namna ya mtu, , y ,kwenda au kuingia katika

uwepo wa Mungu, (katika ulimwengu wa roho)… 

Page 94: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

… ili kuongea na Mungu …

Page 95: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

… na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna 

ambayo …

Page 96: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

… itasababisha na kuleta mabadiliko katika ulimwengu 

wa mwili.   

Page 97: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAMabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri Kazi nzuriMasomo mazuri,, Kazi nzuri, 

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, , ,Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

i S ik li i T if i N hinzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri,  Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watunzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu 

wazuri, nk. nk. nk.

Page 98: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAKwahiyo, 

Kuomba, ni namna ya mtu, , y ,kwenda au kuingia katikakatika Ulimwengu wa roho ...

Page 99: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa roho ni nini?ni nini?

Page 100: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w

Ulimwengu wa roho niUlimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu 

visivyoonekana na kushikika l ki i i it h li i k bilakini ni vitu halisi kabisa; Ni vitu vilivyopo kabisaNi vitu vilivyopo kabisa

ila hatuvioni tuila hatuvioni tu. 

Page 101: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

‘N i t j k li‘Nasi twajua ya kuwa, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, nauliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) h k b k lhavikuumbwa kwa vitu vilivyo 

dhahiri (wazi wazi)’dhahiri (wazi wazi)

Page 102: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

‘ li li b k N‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekanala Mungu, na vitu vinavyoonekana(vya kimwili) viliumbwa kwa vitu 

dh h ( )’visivyo dhahiri (wazi wazi)’(vitu vya kiroho)‐ (vitu vya kiroho) ‐

Page 103: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu kunaKatika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

Vit i i k• Vitu visivyoonekananana

• Vitu vinavyoonekana• Vitu vinavyoonekana

Page 104: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w

Vitu visivyoonekana (vya ulimwengu wa roho) ndivyoulimwengu wa roho) ndivyo 

vilivyosababisha vitu yvinavyoonekana (vya ulimwengu 

ili) k t k k bikwa mwili) kutokea na kuumbika.(Waebrania 11:3)(Waebrania 11:3)

Page 105: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

‘ li li b k N‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekanala Mungu, na vitu vinavyoonekana(vya kimwili) viliumbwa kwa vitu 

dh h ( )’visivyo dhahiri (wazi wazi)’(vitu vya kiroho)‐ (vitu vya kiroho) ‐

Page 106: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18

T i i li it i kTusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali(vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana 

( k h ) k b b h(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumundivyo vya vya kudumu 

(vinavyotawala vya kimwili).

Page 107: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu kunaKatika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

Vit i i k• Vitu visivyoonekana(Vitu vya Kiroho)(Vitu vya Kiroho)

Page 108: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu kunaKatika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

Vit i k• Vitu vinavyoonekana(Vitu vya Kimwili)(Vitu vya Kimwili)

Page 109: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu kunaKatika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

• Vitu visivyoonekana• Vitu vinavyoonekana

Na vyote viko kwa pamoja

Page 110: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa roho ni 

li it h li i k biulimwengu wa vitu halisi kabisa, na uko hapa hapa tulipo, lakinina uko hapa hapa tulipo, lakini hatuvioni tu kwa macho haya ya kawaida (macho ya kimwili).

(2 Wakorintho 4:18)

Page 111: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoKwa lugha rahisi ni kwamba, li h dulimwengu huu, una pande 

mbili. Yaani upande wa rohonimbili. Yaani upande wa rohonina upande wa mwilini. Ni ulimwengu mmoja, ila una 

pande mbilipande mbili.

Page 112: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoYaani upande wa vitu 

i k ( ili i)vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekanaupande wa vitu visivyoonekana(yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, viko pamoja!

(2Wakorintho 4:18)

Page 113: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

Hii ni kwasababuUlimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwakwanza; na kisha ulipokamilishwa, 

ndipo Mungu akasababishaulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka 

katika ulimwengu wa rohokatika ulimwengu wa roho. (Waebrania 11:3)(Waebrania 11:3)

Page 114: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

K hi M li b d iKwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu waaliiumba katika ulimwengu wa 

kiroho kwanza, na alipoikalimisha h d k ( krohoni, ndipo akaizaa (akai‐

photocopy au akai‐print) katikaphotocopy au akai print) katika ulimwengu wa mwili.

Page 115: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina original copy na photocopy yakeoriginal copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft‐copy na hard‐copy 

yake (yaani kina upande wayake (yaani kina upande wa mwilini na wa rohoni).)

Page 116: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kil h Ki iliKila cha Kimwili, kina cha kiroho chakekina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

Page 117: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

1 W k i th 15 441 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asiliIkiwa kuna mwili wa asili, 

Basi na mwili wa roho pia, upo”p , p

Page 118: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

fKwa Mfano U b ji D iUumbaji wa DuniaWaebrania 11:3Waebrania 11:3

Page 119: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Kumb Isa Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21Mwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4   7

Milele

33               

30      3 ½             3 ½   3 ½ 

e

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Page 120: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Kumb Isa Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21Mwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4   7

Milele

33               

30      3 ½             3 ½   3 ½ 

e

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Ulimwengu wa Mwili

Torati na Manabii Kuzaliwa Injili

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo Kalvari Kanisa Sasa

Page 121: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Kumb Isa Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21Mwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4   7

Milele

33               

30      3 ½             3 ½   3 ½ 

600                        Injili Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho 700                                                            2000

Ulimwengu wa Mwili

(4) Daniel  7:13 – 14, 27                             (5) Daniel  7:13 – 14, 27 

(3) Isaya 9: 6                                                                    

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo

Page 122: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

K hi M li b d iKwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika ulimwengualiiumba kwanza katika ulimwengu 

wa kiroho, na alipoikalimisha h d k ( krohoni, ndipo akaizaa (akai‐

photocopy au akai‐print) katikaphotocopy au akai print) katika ulimwengu wa mwili.

Page 123: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoKwahiyo

Kil h Ki iliKila cha Kimwili, kina cha kiroho chakekina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

Page 124: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

1 W k i th 15 441 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asiliIkiwa kuna mwili wa asili, 

Basi na mwili wa roho pia, upo”p , p

Page 125: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina original copy na photocopy yakeoriginal copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft‐copy na hard‐copy 

yake (yaani kina upande wayake (yaani kina upande wa mwilini na wa rohoni).)

Page 126: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Ayubu 8:9“ k i i i j“Kwakuwa sisi ni wa jana tu, 

wala hatujui neno maisha yetuwala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”‐ Photocopy  ‐

Page 127: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Zaburi 39:6a“ i d h k h k“Binadamu huko na huko

k ki li”kama kivuli”‐ Photocopy ‐‐ Photocopy  ‐

Page 128: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo usije ukafikirimahali fulani leo, usije ukafikiri 

limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hil li jit k l ki i b khilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaailipandwa huko rohoni siku kadhaa 

zilizopita.

Page 129: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18

T i i li it i kTusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali(vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana 

( k h ) k b b h(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumundivyo vya vya kudumu 

(vinavyotawala vya kimwili).

Page 130: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Kwasababu, Ulimwengu wa rohondio unaotawala ulimwengu wa mwili Na hii ina maana kwambamwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyikahakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, g ,mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

Page 131: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengujambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilo 

moja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katikabali analifanya kwanza katika 

ulimwengu wa roho.

Page 132: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Munguutaratibu wa uumbaji wa Mungu 

duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya 

k i i k ’kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)(Waebrania 11:3)

Page 133: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta 

mabadiliko katika mambo yamabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktknamna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko ykatika ulimwengu wa mwili.

Page 134: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

fKwa Mfano M bi N bii EliMaombi ya Nabii Eliya

Yakobo 5:17 18;Yakobo 5:17‐18;

Page 135: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Eliya alikuwa binadamu tu kama sisiEliya alikuwa binadamu tu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga , f g

mvua, na Mungu alimsikia, na bi ik f ik ( kimbingu zikafungika na mvua (ya ki‐mwilini) haikunyesha juu ya nchi, ) y j y ,kwa  muda wa  miaka 3 na nusu.

Page 136: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Japo kulikuwa na kanuni zote zaJapo kulikuwa na kanuni zote za kisayansi za mvua kunyesha, lakini y y ,

Eliya, kwa njia ya maombi, lik d h i k thi i (tib )alikwenda rohoni, akaathiri (tibua) 

kanuni zinazotawala mvua mwili, na ,ndio maana mvua haikunyesha.

Page 137: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Baada ya miaka mitatu na nusu nchiBaada ya miaka mitatu na nusu, nchi yote ilikuwa kavu kabisa na misitu y

yote imepukutika; kwahiyo h k k k i k t hhakukuwa na kanuni za kutosha 

kuruhusu mvua kunyesha.y

Page 138: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Eliya akaomba tena kwa bidii iliEliya akaomba tena kwa bidii, ili kuifungua mvua kutoka katikaf guliwengu wa roho, na Mungu 

li iki bi ik f kalimsikia, na mbingu zikafunguka na mvua (ya ki‐mwilini) ikanyesha na (y ) y

nchi ikazaa matunda yake.

Page 139: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Kwa Mfano wa Nabii Eliya1Wafalme 18:41‐44;

Angalia hilo neno, “nasikia sauti ya mvua tele” (mst 41)mvua tele  (mst.41)

Hiyo haikuwa mvua ya mwilini, bali y yrohoni, kwasababu ni Eliya peke yake 

li i iki k t taliyeisikia, na kutoa tangazo.

Page 140: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Kabla ya Toba (Kumb 28:15‐24) 

Ulimwengu wa Mwili 

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Page 141: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba (Kumb 28:1‐14)/     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /        Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 

Page 142: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /     Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        /

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /    Mvua ya Mwilini /        //      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       /

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /       /      /      /      /       /        /

Page 143: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Japo hakukuwa na kanuni zozote zaJapo hakukuwa na kanuni zozote za 

kisayansi za kuruhusu mvua ykunyesha, lakini Eliya, kwa njia ya 

bi lik d h i k thi imaombi, alikwenda rohoni, akaathiri kanuni zinazosababisha mvua mwili, ,na ndio maana mvua ikanyesha.

Page 144: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Kabla ya Toba                                  Baada ya Toba                                Baada ya Maombi

/     /     /     /      /       /        /        /                /  /        /         /         /          /      

/    /     /    (mstari wa 41)    /        /             /        /        /         /         /          /      

/ / Mvua ya rohoni / / / / Mvua ya rohoni //     /     Mvua ya rohoni  /     /      /                  /        Mvua ya rohoni /          

/     /     /     /      /      /      /     /      /            /        /        /       /         /          /    

/      /      /      /       /        /       /       /              /   /       /      /     /     /      /     /        

Ulimwengu wa Mwili                                                                            /        /         /         /          // / / / / /

Efe 2:2                                 Efe 6:12                               Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

/        /        /         /         /          //        / (mstari 44‐45) /       /

/        /  Mvua ya Mwilini // / / / //        /         /         /          /

/        /        /         /         /          /Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 

Page 145: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo usije ukafikirimahali fulani leo, usije ukafikiri 

limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hil li jit k l ki i b khilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaailipandwa huko rohoni siku kadhaa 

zilizopita.

Page 146: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiriKanuni za kiroho zikiathiri 

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili jambo fulanikanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika   njia za kawaida za kimwili.

Page 147: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18

T i i li it i kTusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali(vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana 

( k h ) k b b h(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumundivyo vya vya kudumu 

(vinavyotawala vya kimwili).

Page 148: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya 

maombi kumbuka kwamba aduimaombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetakamambo ambayo usingetaka     

kabisa yakupate.

Page 149: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Kwasababu, Ulimwengu wa rohondio unaotawala ulimwengu wa mwili Na hii ina maana kwambamwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyikahakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, g ,mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

Page 150: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengujambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilo 

moja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katikabali analifanya kwanza katika 

ulimwengu wa roho.

Page 151: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Munguutaratibu wa uumbaji wa Mungu 

duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya 

k i i k ’kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)(Waebrania 11:3)

Page 152: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta 

mabadiliko katika mambo yamabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktknamna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko ykatika ulimwengu wa mwili.

Page 153: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu kunaKatika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

Vit i i k• Vitu visivyoonekananana

• Vitu vinavyoonekana• Vitu vinavyoonekana

Page 154: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoYaani kuna upande wa vitu i k ( ili i)vinavyoonekana (mwilini) na 

upande wa vitu visivyoonekanaupande wa vitu visivyoonekana(yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, viko pamoja!

(2Wakorintho 4:18)

Page 155: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoNi kama vile karatasi, ina 

d b l iupande wa mbele na ina upande wa nyuma. Lakini niupande wa nyuma. Lakini ni karatasi moja (sio mbili). Ni kama mkono (kiganja) kina 

pande a mbele na a n maupande wa mbele na wa nyuma.

Page 156: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoNi kama vile mkono wako (ki j h k ) ki(kiganja cha mkono) kina 

upande wa mbele na wa nyuma.upande wa mbele na wa nyuma. Lakini ni mkono mmoja, ila una apnde mbili. Basi ni vivyo hivyo 

na d nia etna dunia yetu.

Page 157: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) navitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana(yaani vya rohoni); lakini vyote 

viko hapa hapa katika dunia mojaviko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti! p

Yaani Rohoni na Mwilini. 

Page 158: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho1.

Kwa Mfano wa N bii Eli h G h iNabii Elisha na Gehazi.

2 Wafalme 6:8 172 Wafalme 6:8‐17

Page 159: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 6:8‐17Elisha, alipokuwa amezungukwa na maadui Gehazi alipatwa na hofumaadui, Gehazi alipatwa na hofu na woga, kwasababu hakujua 

kwamba kuna malaika wa Mungu wamewazunguka Ni kwasababuwamewazunguka. Ni kwasababu pale pale, ila ni katika upande p p , p

usioonekana (rohoni).

Page 160: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 6:8‐17Baada ya Elisha kufanya maombi, ili macho yake yafunguke ndipoili macho yake yafunguke, ndipo Gehazi akawaona malaika wengi wa mbinguni waliowazunguka 

pande zote Kwahiyo macho yakepande zote. Kwahiyo, macho yake yakaruhusiwa kuona upande wa y p

pili wa dunia (rohoni).

Page 161: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 6:8‐17Malaika wanaoneka hapa, 

hawakuja baada ya Elisha kufanyahawakuja baada ya Elisha kufanya maombi, bali walikuwepo siku zote pamoja nao, ila huwa wapo katika ulimwengu wa roho ambao machoulimwengu wa roho ambao macho 

yetu hayajaruhusiwa kuuona.y y j

Page 162: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

2 Wafalme 6:8‐17Gehazi hakuwa tu amewezeshwa kuchungulia rohoni ndio maanakuchungulia rohoni, ndio maana hakuweza kuwaona malaika wa mbinguni, japo walikuwepo hapo pamoja nao siku zote ila ni katikapamoja nao, siku zote, ila ni katika ulimwengu wa roho ambao macho g

yetu hayajaruhusiwa kuuona.

Page 163: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) navitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana(yaani vya rohoni); lakini vyote 

viko hapa hapa katika dunia mojaviko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti! p

Yaani Rohoni na Mwilini. 

Page 164: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho2.

Kwa Mfano wa N bii Eli Eli hNabii Eliya na Elisha.2 Wafalme 2:7 152 Wafalme 2:7‐15

Page 165: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 2:7‐10‐12‐15Kama Eliya angetoweka ghafla 

b l h Eli hmbele ya macho ya Elisha, angekuwa ametoka katikaangekuwa ametoka katika ulimwengu wa mwili tu na 

kupenya katika ulimwengu wa h b h t iroho ambao hatuuoni.

Page 166: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 2:7‐10‐12‐15Kwa mtu ambaye si mwonaji(N bii) i b(Nabii) asingeona mambo ya rohoni mwanzo wala mwishorohoni, mwanzo wala mwisho wa kuondoka kwa Eliya; bali angeona, Eliya ametoweka tu h fl b l h kghafla mbele ya macho yake. 

Page 167: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 2:7‐10‐12‐15Lakini kwa mtu ambaye ni 

ji (N bii)mwonaji (Nabii), angeona mwanzo na mwisho wamwanzo na mwisho wa 

kuondoka kwa Eliya; kwasababu anaruhusiwa (anawezeshwa) 

k h li h ikuchungulia rohoni.

Page 168: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) navitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana(yaani vya rohoni); lakini vyote 

viko hapa hapa katika dunia mojaviko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti! p

Yaani Rohoni na Mwilini. 

Page 169: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho3.

Kwa Mfano wa B Y W f iBwana Yesu na Wanafunzi

Wawili wa EmmausWawili wa Emmaus.Luka 24:13‐52Luka 24:13‐52

Page 170: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

Luka 24:13‐52Kama wangeruhusiwa (wezeshwa) kuchungulia katika ulimwengu wakuchungulia katika ulimwengu waroho, hawa ndugu 2, wasingeona , g , gYesu akitoweka mbele yao, bali 

k i hwangeona mwanzo mpaka mwisho wa kuondoka kwa Bwana Yesu,wa kuondoka kwa Bwana Yesu, 

mbele ya macho yao. 

Page 171: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

Luka 24:13‐52Kwasababu kutoweka ghafla kwa Bwana Yesu mbele ya macho yaoBwana Yesu, mbele ya macho yao, kulikuwa ni hali ya Bwana Yesu kutoka tu katika ulimwengu wa 

mwili na kupenya (kuingia) katikamwili, na kupenya (kuingia) katika ulimwengu wa roho ambao macho g

yetu hayauoni tu.

Page 172: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

Luka 24:13‐52Lakini kwa kuwa hawakuruhusiwa (h k h ) k h li(hawakuwezeshwa) kuchungulia rohoni, ndio maana hawakuwezarohoni, ndio maana hawakuweza kuona, mwanzo wala mwisho wa 

kuondoka kwa Bwana Yesu. Katika macho yao Yesu alitowekaKatika macho yao Yesu alitoweka.

Page 173: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) navitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana(yaani vya rohoni); lakini vyote 

viko hapa hapa katika dunia mojaviko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti! p

Yaani Rohoni na Mwilini. 

Page 174: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho4.

Kwa Mfano wa B Y W f iBwana Yesu na Wanafunzi

Waliomwona akipaa MbinguniWaliomwona akipaa Mbinguni.Matendo 1:9‐11Matendo 1:9‐11

Page 175: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

Matendo 1:9‐11Kwakuwa waliruhusiwa (wezeshwa) kuchungulia katika ulimwengu wakuchungulia katika ulimwengu waroho, hawa wanafunzi wa Yesu, 

waliona jinsi Bwana Yesu akipaa juu kwenda mbinguni (tangu mwanzokwenda mbinguni, (tangu mwanzo kuondoka kwake mpaka mwisho wa p

upeo wa macho yao). 

Page 176: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa RohoMatendo 1:9‐11

Kwasababu waliruhusiwa kuchungulia rohoni hivyo katikakuchungulia rohoni, hivyo katika kutazama kwao, Bwana Yesu 

hakutoweka ghafla katika macho yao, bali waliona mwondoko mzimayao, bali waliona mwondoko mzima wa Bwana Yesu kutoka mwilini na k k k (k ) hkupenya kwake (kuingia) rohoni.

Page 177: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

Matendo 1:9‐11Lakini kama angekuwepo mtu miongoni mwao ambaye simiongoni mwao ambaye si 

mwanafunzi wa Yesu, yamkinimwanafunzi wa Yesu, yamkini asingeona kuondoka kwa Bwana Yesu, bali yeye angeona Yesu ametoweka tu mbele yaoametoweka tu mbele yao.

Page 178: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa RohoMatendo 1:9‐11

Hii ingefanyika hivyo, kama tu mtu huyo (ambaye si mwanafunzi),huyo (ambaye si mwanafunzi), 

hajapewa ruhusa (hajawezeshwa) k b li hkuona mambo ya ulimwengu wa roho; huyo, angeshitukia tu Yesu ametoweka y , g

mbele yao, lakini kumbe wakati wenzake wote wanamwona Bwanawenzake wote wanamwona Bwana Yesu akiondoka juu na mawingu.  

Page 179: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

K hi M li b d iKwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika ulimwengualiiumba kwanza katika ulimwengu 

wa kiroho, na alipoikalimisha h d k ( krohoni, ndipo akaizaa (akai‐

photocopy au akai‐print) katikaphotocopy au akai print) katika ulimwengu wa mwili.

Page 180: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

Hii ni kwasababuUlimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwakwanza; na kisha ulipokamilishwa, 

ndipo Mungu akasababishaulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka 

katika ulimwengu wa rohokatika ulimwengu wa roho. Waebrania 11:3Waebrania 11:3

Page 181: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) navitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana(yaani vya rohoni); lakini vyote 

viko hapa hapa katika dunia mojaviko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti! p

Yaani Rohoni na Mwilini. 

Page 182: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kil h Ki iliKila cha Kimwili, kina cha kiroho chakekina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

Page 183: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

1 W k i th 15 441 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asiliIkiwa kuna mwili wa asili, 

Basi na mwili wa roho pia, upo”p , p

Page 184: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18

T i i li it i kTusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali(vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana 

( k h ) k b b h(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumundivyo vya vya kudumu 

(vinavyotawala vya kimwili).

Page 185: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa roho

Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili. 

K hiKwahiyoHakuna kitu kinafanyka katikaHakuna kitu kinafanyka katika 

mwili, mpaka kwanzamwili, mpaka kwanza kimefanyika katika roho. 

Waebrania 11:3

Page 186: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo usije ukafikirimahali fulani leo, usije ukafikiri 

limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hil li jit k l ki i b khilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaailipandwa huko rohoni siku kadhaa 

zilizopita.

Page 187: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta 

mabadiliko katika mambo yamabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktknamna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko ykatika ulimwengu wa mwili.

Page 188: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Kwasababu, Ulimwengu wa rohondio unaotawala ulimwengu wa mwili Na hii ina maana kwambamwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyikahakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, g ,mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

Page 189: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30‘Mungu ameshatubariki kwa barakaMungu ameshatubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho; kama alivyotuchagua katika yeye, kabla ya kuwekwa misingi ya y y , y g y

ulimwengu, tuwe watakatifu’.

Page 190: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba (Kumb 28:1‐14)/     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /        Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 

Page 191: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /     Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        /

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /    Mvua ya Mwilini /        //      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       /

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /       /      /      /      /       /        /

Page 192: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAKwahiyo, 

Maombi, ndio njia ya mtu,kwenda katika ulimwengu wa roho ili kuwasiliana na Munguroho, ili kuwasiliana na Mungu 

wake, na kuuathiri ulimwengu wa , groho mpaka kuleta mabadilikokatika ulimwengu wa mwilini. 

Page 193: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Kama Eliya asingeomba kwa bidii ileKama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni, na huku duniani, 

watu wa Mungu wangeishi maisha ya g g yshida na taabu; na kumbe wana baraka nyingi sana kwa maisha yao rohoninyingi sana kwa maisha yao, rohoni.

Page 194: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiriKanuni za kiroho zikiathiri 

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili jambo fulanikanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika   njia za kawaida za kimwili.

Page 195: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Na sisi pia tusipoomba baraka hiziNa sisi pia tusipoomba, baraka hizi zote tulizopewa katika ulimwengu wa roho, zitabaki huko huko rohoni,wakati huku duniani tunatesekawakati huku duniani, tunateseka kwa maisha magumu, yaliyojaa g y y j

shida na taabu nyingi.

Page 196: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Kwanini tunaishi maisha magumuKwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso, yaliyojaa shida na 

taabu nyingi, na kumbe kule rohonituna baraka zetu nyingi sanatuna baraka zetu nyingi sana 

kutoka kwa Mungu, za kutusaidia gkatika maisha yetu ya kila siku?

Page 197: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Ni kwasababu; watu wa MunguNi kwasababu; watu wa Mungu,

(1)  Hatujajua siri ya ulimwengu wa ( ) j j y groho inavyoingiliana na ulimwengu 

ili h t k l t b dilikwa mwili, hata kuleta mabadiliko tunayotaka kuyaona huku duniani.  y y

~ kutokujua ~

Page 198: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Ni kwasababu; watu wa MunguNi kwasababu; watu wa Mungu, (2)  Hatuna nidhamu na bidii ya ( ) ykwenda rohoni kwa njia ya 

bi h t k h kmaombi, hata kuchukua na kutelemsha baraka zetu duniani.      

~  Uzembe  ~

Page 199: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya 

maombi kumbuka kwamba aduimaombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetakamambo ambayo usingetaka     

kabisa yakupate.

Page 200: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Kwahiyo, ni lazima tujue kwamba, Ulimwengu wa roho ndio 

unaotawala ulimwengu wa mwili;unaotawala ulimwengu wa mwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna ,

kitu kitakachofanyika katika Uli ili i kUlimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika kwan a kimefanyika katika

Ulimwengu wa roho.

Page 201: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengujambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilo 

moja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katikabali analifanya kwanza katika 

ulimwengu wa roho.

Page 202: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Munguutaratibu wa uumbaji wa Mungu 

duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya 

k i i k ’kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)(Waebrania 11:3)

Page 203: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBAKwahiyo basi, 

Maombi, ndio njia ya mtu,kwenda katika ulimwengu wa roho ili kuwasiliana na Munguroho, ili kuwasiliana na Mungu 

wake, na kuuathiri ulimwengu wa , groho hata kuleta mabadilikokatika ulimwengu wa mwilini. 

Page 204: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA

Mambo Muhimu yaMambo Muhimu ya Kufahamu ili kujua;Kufahamu, ili kujua; 

NAMNA YA KUOMBA KWA UFANISI

Page 205: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa roho

Page 206: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa roho

2.  Namna ya kwenda rohoniy

Page 207: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA

2. NAMNA YA KUMWENDEA MUNGU.Namna ya kuingia rohoni.

Page 208: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBATafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwendakatika ulimwengu wa roho, ili

kuwasiliana na Mungu wake, nakuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika 

b i k l b diliknamna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.g

Page 209: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBA Na Kwasababu …

Kuomba ni ‘namna ya mtu     kumwendea Mungu’kumwendea Mungu  (Waebrania 11:6)

“Kila mtu amwendeaye Mungu, i k i i k b Minampasa kuamini kwamba Mungu 

yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao”

Page 210: Nguvu ya maombi

NINI MAANA YA KUOMBA

Mungu yuko wapi?

Page 211: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBAKwasababu,

Mungu ni Roho,(Yohana 4:23‐24)

Hii ina maana kwamba, 

Mungu anaishi katika        li hulimwengu wa roho.

Page 212: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBAKwahiyo, 

Kuomba, ni namna ya mtu, , y ,kwenda au kuingia katika

uwepo wa Mungu, (katika ulimwengu wa roho)… 

Page 213: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBANdio maana Biblia inasema;

“Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba Mungu 

yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao”wale wote wamtafutao

(Waebrania 11:6)

Page 214: Nguvu ya maombi

MUNGU YUKOWAPI?MUNGU YUKO WAPI?

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!MUNGU ANAKAA NDANI YETU!‘Mtu akinipenda Mimi na BabaMtu akinipenda, Mimi na Baba tutampenda, na kuja kufanya makao ndani yake na kujifunua 

(k jidhihi i h ) k k ’(kujidhihirisha) kwake’Yohana 14:21 23Yohana 14:21,23

Page 215: Nguvu ya maombi

MUNGU YUKOWAPI?MUNGU YUKO WAPI?

“Ndani yake”Ndani yakemaana yake nini?maana yake nini?

Page 216: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Sehemu Kuu za MwanadamuSehemu Kuu za Mwanadamu

Roho          RohoNafsiMwili

Page 217: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwanadamu niMwanadamu ni1. Mwili,   ,2. Nafsi,   na3. Roho. 

Page 218: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili Nafsi RohoMwili,   Nafsi,  Roho 

Page 219: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili Nafsi RohoMwili,   Nafsi,  Roho 

Ulimwengu  UlimwenguM ili Ki R hwa Mwili           Kiungo wa Roho

Page 220: Nguvu ya maombi

SEHEMU KUU ZA MWANADAMUSEHEMU KUU ZA MWANADAMU

Mwa 2:7Mwa 2:7NyamaDamu

Mwili Nafsi RohoMifupa

Mwili Roho

MwanadamuMwanadamu

Page 221: Nguvu ya maombi

SEHEMU KUU ZA MWANADAMUSEHEMU KUU ZA MWANADAMU

Mwa 2:7 MtuMwa 2:7                 Mtu

FikraHisia

NAFSI ROHOMaamuzi

NAFSI ROHO

Page 222: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili Nafsi RohoMwili,   Nafsi,  Roho 

Ulimwengu  UlimwenguM ili Ki R hwa Mwili           Kiungo             wa Roho

Page 223: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki‐Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divinemfano wa Mungu (Divine 

Nature). Kwahiyo Roho yako ) y yndiyo inayoweza kuwasiliana 

na ulimwengu wa roho.

Page 224: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Kwahiyo kumbe dirisha (tundu)Kwahiyo, kumbe dirisha (tundu) la kuingilia na kugusana na g gulimwengu wa roho, haliko b li i lik d imbali nasi, liko ndani yetu

(rohoni)(rohoni). 

Page 225: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Kwahiyo mtu wa Mungu akitakaKwahiyo, mtu wa Mungu akitaka kwenda rohoni, kukutana na ,Ulimwengu wa roho, anaweza k d k ji ifkwenda kwa njia zifuatazo;

Page 226: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;Namna ya kwenda rohoni; 

Page 227: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;Namna ya kwenda rohoni; 

1 K ji M bi1. Kwa njia ya Maombi

Page 228: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;Namna ya kwenda rohoni; 

1 K ji M bi1. Kwa njia ya Maombi2 Kwa njia ya Ibada2. Kwa njia ya Ibada

Page 229: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;Namna ya kwenda rohoni; 

1 K ji M bi1. Kwa njia ya Maombi2 Kwa njia ya Ibada2. Kwa njia ya Ibada3 Kwa njia ya Ndoto3. Kwa njia ya Ndoto

Page 230: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;Namna ya kwenda rohoni; 

1 K ji M bi1. Kwa njia ya Maombi2 Kwa njia ya Ibada2. Kwa njia ya Ibada3 Kwa njia ya Ndoto3. Kwa njia ya Ndoto4. Kwa njia ya Maono4. Kwa njia ya Maono

Page 231: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;Namna ya kwenda rohoni; 

1 K ji M bi1. Kwa njia ya Maombi2 Kwa njia ya Ibada2. Kwa njia ya Ibada3 Kwa njia ya Ndoto3. Kwa njia ya Ndoto4. Kwa njia ya Maono4. Kwa njia ya Maono

Page 232: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

1 Kwa njia ya Maombi1. Kwa njia ya Maombi

“Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwambainampasa kuamini kwamba 

Mungu yupo, na huwapa thawabu, g y p pwale wote wamtafutao”

(Waebrania 11:6)

Page 233: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

1 Kwa njia ya Maombi1. Kwa njia ya MaombiMtu wa Mungu anapoingia katika,Mtu wa Mungu anapoingia katika, 

maombi, huwa anahamisha fikra zake hi i k k t k k tik ilina hisia zake, kutoka katika mwili

(ambako ndiko ameishi zaidi ktk siku nzima) na kuziweka katika roho yake, 

mahali Mungu alipo (anaishi) ilimahali Mungu alipo (anaishi) ili kuwasiliana naye.

Page 234: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

1 Kwa njia ya Maombi1.  Kwa njia ya MaombiKwa njia ya maombi mtu huwaKwa njia ya maombi, mtu huwa 

anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao 

hauonekani kwa macho yetu yahauonekani kwa macho yetu ya kimwili, lakini upo., p

Page 235: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

2 Kwa njia ya Ibada2. Kwa njia ya Ibada

“Ingieni malangoni mwake k K h k i i i ikwa Kushukuru, ingieni nyuani 

mwake kwa kusifu”mwake kwa kusifu(Zaburi 100:1‐5)

Page 236: Nguvu ya maombi

MUNGU ANAKAA WAPI?MUNGU ANAKAA WAPI?

h d !Mungu anaishi ndani yetu!

Au hamjui ya kuwa miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu nahekalu la Roho Mtakatifu, na kwamba Mungu anaishi ndani gyenu? (1Wakorintho  3: 9, 16)

Page 237: Nguvu ya maombi

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu

Patakatifu paPatakatifu pa 

Patakatifu

PatakatifuPatakatifu

Uwanda            Uwanda         wa Nje

Page 238: Nguvu ya maombi

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu

Mwili Nafsi RohoMwili   Nafsi   Roho

Nje

Page 239: Nguvu ya maombi

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu

Mwili Nafsi RohoMwili     Nafsi    Roho  

Nje      Ptf

Page 240: Nguvu ya maombi

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu 

Mwili Nafsi RohoMwili    Nafsi   Roho 

Nje      Ptf    PPP

Page 241: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Nje      Ptf    PPP

Page 242: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Nje      Fikra Hisia

Page 243: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la MunguUkitaka kukutana na MunguUkitaka kukutana na Mungu 

(Utukufu) lazima ujue namna ya ( ) j ykuuhamisha moyo/nafsi wako k t k k tik ili k jikutoka katika mwili  na kwa njia 

ya maombi, na kuielekezaya maombi, na kuielekeza rohoni mwako.

Page 244: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Mwenendo   Fikra  Hisia

Page 245: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUINGIA ROHONINi muhimu tujue kwamba;“Kusifu na kuabudu pia, kuna 

k j bnamna yake ya ajabu sana, ya kukuingiza katika ulimwengu wakukuingiza katika ulimwengu wa roho unapotaka kuomba, na 

kukukutanisha utukufu wa Mungukule ndani katika roho yako,”kule ndani katika roho yako,

Page 246: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo mtu ukiweze kupenya naKwahiyo, mtu ukiweze kupenya na 

kuingia ndani yako (rohoni mwako), kwa njia ya maombi, 

t k k tutakuwa umekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawalaUlimwengu wa roho, unaotawala 

ulimwengu wa mwili

Page 247: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguWewe ni HEKALU la Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Mwenendo   Fikra  Hisia

Page 248: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

2 Kwa njia ya Ibada2.  Kwa njia ya IbadaKwa njia ya ibada mtu huwaKwa njia ya ibada, mtu huwa anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao 

hauonekani kwa macho yetu yahauonekani kwa macho yetu ya kimwili, ila upo., p

Page 249: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;Namna ya kwenda rohoni; 

K ji M biKwa njia ya Maombi

Page 250: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;Namna ya kwenda rohoni; 

K ji M biKwa njia ya MaombiKwa njia ya IbadaKwa njia ya Ibada

Page 251: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;Namna ya kwenda rohoni; 

K ji M biKwa njia ya MaombiKwa njia ya IbadaKwa njia ya Ibada

3 Kwa njia ya Ndoto3.  Kwa njia ya Ndoto

Page 252: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3 Kwa njia ya Ndoto3.  Kwa njia ya NdotoKwa kuwa ndoto si kitu mtuKwa kuwa ndoto si kitu mtu anaweza kupanga, basi hawezi p g ,kuki‐control. Ndoto ni kitu b h bi i kik kambacho utasubiri kikutokee.

(M k )(Mungu akupe mwenyewe)

Page 253: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3 Kwa njia ya Ndoto3.  Kwa njia ya NdotoMtu analala usingizini mwili wakeMtu analala usingizini, mwili wake 

huwa unapumzika, hivyo, nafsi yake (fikra na mawazo) vinakosa k i hi h k kikazi, hivyo huamua kumgeukia roho, ambayo iko‐connected naroho, ambayo iko connected na 

ulimwengu wa roho.

Page 254: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3 Kwa njia ya Ndoto3.  Kwa njia ya NdotoKwahiyo japo mtu amelala usingiziKwahiyo, japo mtu amelala usingizi 

(mwilini), lakini roho, ambayo iko‐connected na ulimwengu wa 

h i d l k t broho, inaendelea kutembea na kufanya mambo mengi sanakufanya mambo mengi sana katika ulimwengu wa roho.

Page 255: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3 Kwa njia ya Ndoto3.  Kwa njia ya NdotoKwahiyo kwa njia ya ndoto mtuKwahiyo, kwa njia ya ndoto, mtu 

anakuwa ameunganishwa (connected) na ulimwengu wa h d l k t b lroho, na anaendelea kutembelea na kufanya mambo mengi sanana kufanya mambo mengi sana katika ulimwengu wa roho.

Page 256: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3 Kwa njia ya Ndoto3.  Kwa njia ya NdotoMathayo 1:20‐25Mathayo 1:20 25 

20 Yusufu alitokewa na malaika wa Bwana katika ndoto na kusema, 

“usiogope kumchukua Maria awe mkeusiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni 

k R h Mt k tif ”kwa uweza wa Roho Mtakatifu”.

Page 257: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3 Kwa njia ya Ndoto3.  Kwa njia ya Ndoto21 “Naye atamzaa mwana , nawe y ,utamwita jina lake Yesu, kwa maana 

di t k k tyeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”

(Mathayo 1:20‐25) 

Page 258: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3 Kwa njia ya Ndoto3.  Kwa njia ya Ndoto24 Yosefu alipoamka kutoka usingizini, p g ,akamchukua Maria kuwa mke wake. 

ki i h k k ki ili k25 Lakini hawakukutana kimwili mpaka Maria alipojifungua mwanaye wa p j g ykwanza na akamwita jina lake Yesu. 

( h )(Mathayo 1:20‐25) 

Page 259: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3 Kwa njia ya Ndoto3.  Kwa njia ya NdotoMara nyingi unapokwenda kulalaMara nyingi unapokwenda kulala na ukaota ndoto, roho yako huwa inakwenda katika ulimwengu wa roho na kukutana na mamboroho na kukutana na mambo mengi sana na kufanya mambo g y

mengi, huko rohoni.

Page 260: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3 Kwa njia ya Ndoto3.  Kwa njia ya NdotoKuamka usingizini na kuzindukaKuamka usingizini na kuzinduka kutoka katika ndoto, kwa uhalisi kabisa, huwa ina maana kwamba, umerudi tu mwilini kutoka katikaumerudi tu mwilini kutoka katika ulimwengu wa kiroho ulikokuwa gumekwenda kwa njia ya ndoto.

Page 261: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3 Kwa njia ya Ndoto3.  Kwa njia ya NdotoKwa njia ya ndoto mtu huwaKwa njia ya ndoto, mtu huwa anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao 

hauonekani kwa macho yetu yahauonekani kwa macho yetu ya kimwili.

Page 262: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;Namna ya kwenda rohoni; 

K ji M biKwa njia ya Maombi

Page 263: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;Namna ya kwenda rohoni; 

K ji M biKwa njia ya MaombiKwa njia ya IbadaKwa njia ya Ibada

Page 264: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;Namna ya kwenda rohoni; 

K ji M biKwa njia ya MaombiKwa njia ya IbadaKwa njia ya IbadaKwa njia ya NdotoKwa njia ya Ndoto

Page 265: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;Namna ya kwenda rohoni; 

K ji M biKwa njia ya MaombiKwa njia ya IbadaKwa njia ya IbadaKwa njia ya NdotoKwa njia ya Ndoto

4. Kwa njia ya Maono4.  Kwa njia ya Maono

Page 266: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4 Kwa njia ya Maono4.   Kwa njia ya MaonoKama ndoto maono pia si kitu mtuKama ndoto, maono pia si kitu mtuanaweza kupanga, basi hawezi piakuki‐control. Kama ndoto, maono ni

kitu ambacho mtu atasubirikitu ambacho mtu atasubirikimtokee. (Yaani ni mpaka Mungu

akupe mwenyewe)

Page 267: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4 Kwa njia ya Maono4.   Kwa njia ya MaonoMaono ni kama ndoto ni taswira auMaono ni kama ndoto, ni taswira au 

maono ambayo mtu anayapataakiwa hajasinzia (hajalala). Mf t kMfano; mtu anaweza akawaanomba, anatembea, amekaa,anomba, anatembea, amekaa, anafanya shughuli zake, n.k.

Page 268: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4 Kwa njia ya Maono4.   Kwa njia ya Maono(Ufunuo 1:9‐10)(Ufunuo 1:9 10)

9 Mimi Yohana, ninayeshiriki pamojananyi mateso kwa ajili ya Yesu, nilikuwa katika kisiwa kiitwachonilikuwa katika kisiwa kiitwacho

Patmo kwa ajili ya neno la Mungu naushuhuda wa Bwana Yesu. 

Page 269: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4 Kwa njia ya Maono4.  Kwa njia ya Maono10 Nilikuwa katika roho siku ya10 Nilikuwa katika roho siku yaBwana (jumapili), nami nikasikiasauti kubwa ikisema, “Andikakwenye kitabu haya yotekwenye kitabu haya yote

unayoyaona, kisha uyapeleke kwamakanisa saba nitakayokuambia.

Page 270: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4 Kwa njia ya Maono4.   Kwa njia ya MaonoUfunuo 20:11‐15Ufunuo 20:11‐15

‘Kisha nikaona, kiti cha enzi; mautiKisha nikaona, kiti cha enzi; mautina kuzimu zikawatoa wafu wake; wote, wakasimamishwa mbele zakiti cha enzi; vitabu vikafunguliwa’kiti cha enzi; vitabu vikafunguliwa

Page 271: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4 Kwa njia ya Maono4.   Kwa njia ya MaonoUfunuo 20:11‐15Ufunuo 20:11‐15

‘nikaona majina yakisomwa, nanikaona majina yakisomwa, naiwapo mtu akuonekana

ameandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika lile ziwa lauzima, alitupwa katika lile ziwa la moto, ndio Jehanamu ya milele’

Page 272: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4 Kwa njia ya Maono4.  Kwa njia ya MaonoKwa njia ya maono mtu huwaKwa njia ya maono, mtu huwa 

anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao 

hauonekani kwa macho yetu yahauonekani kwa macho yetu ya kimwili, lakini upo., p

Page 273: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Uwezo wa ki‐MunguUwezo wa ki Mungukatika roho yakokatika roho yako.

Page 274: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Yohana 14:23 21Yohana 14:23, 21

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, njia ya kuingilia katika 

ulimwengu wa roho, haiko b li i ik d imbali nasi, iko ndani yetu.

(rohoni)(rohoni)

Page 275: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1.KujitambuajAsili ya roho yakoy y

(Wewe)

Page 276: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kuitambua asili yaKuitambua asili ya Mungu iliyopo“Ndani yako”

Page 277: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo basi, Kumbey ,Chanzo kingine cha nguvu za Mungu 

za kutusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio ni kutokeaushindi na mafanikio, ni kutokeandani yetu; Kwasababu Roho 

Mtakatifu wa Mungu anaishi katika utu wetu wa ndani (roho zetu)utu wetu wa ndani (roho zetu).

Page 278: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

“Ndani yetu”Ndani yetumaana yake nini?y

Page 279: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 2:7 inasemaMwanzo 2:7, inasema‘Bwana Mungu akafanya mtuBwana Mungu akafanya mtu

kwa mavumbi ya ardhi, akapuliza puani pumzi iliyoh i t k f i h i’hai, mtu akawa nafsi hai’.

Page 280: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 2:7 inasemaMwanzo 2:7, inasema

Mwili    Nafsi   Roho

Page 281: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo from Mwanzo 2:7Kwahiyo, from Mwanzo 2:7Mwanadamu niMwanadamu ni

1. Mwili2. Nafsi3. Roho

Page 282: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa uhalisi kabisa iko hivi;Kwa uhalisi kabisa, iko hivi;

RohoNafsiMwili

Page 283: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo roho (wewe) inabebaKwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; kwasabau y g ;

imeumbwa/umeumbwa kwa f Msura na mfano wa Mungu 

mwenyewe.mwenyewe. 

Page 284: Nguvu ya maombi

Mungu Ndiye Asili Yetu.Mungu Ndiye Asili Yetu. 

Mwa 2:7 MunguMwa 2:7                          Mungu 

Dunia      Mwili    Nafsi   Roho

Page 285: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7Mwa 2:7                                      MunguMungu

RohoDunia                                 Nafsi(Udongo)                         Mwili

Page 286: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba ndaniHii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za y g

ki‐Mungu. Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki‐Mungu; kuna sura naasili ya ki‐Mungu; kuna sura na 

mfano wa Mungu. 

Page 287: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu ndiye asili yetug y y(sisi roho)

Page 288: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, roho yako (wewe)Kwahiyo, roho yako (wewe) unabeba asili ya Mungu kabisa; kwasababu roho yako (wewe) umeumbwa kwa sura na mfanoumeumbwa kwa sura na mfano

wa Mungu mwenyewe. 

Page 289: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo;Kwahiyo;Ndani yako (rohoni) kuna asiliNdani yako (rohoni) kuna asili ya ki‐Mungu. Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna 

uwezo wa ki‐Mungu;uwezo wa ki‐Mungu; (Nguvu za Mungu)( g g )

Page 290: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7Mwa 2:7                                      MunguMungu

RohoDunia                                 Nafsi(Udongo)                         Mwili

Page 291: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe ni munguKwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani!

Zab 82:6Zab 82:6

Page 292: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zab 82:6Zab 82:66 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’,6 Nilisema, Ninyi ni  miungu , ninyi nyote ni wana wa Aliye 

Juu Sana. 

Page 293: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33‐36Yoh 10:33‐3633 Wayahudi wakamjibu, 

“Hutukupigi mawe kwa sababuya mambo mema uliyotenda,ya mambo mema uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru. W i i dWewe ingawa ni mwanadamuunajifanya kuwa Mungu.’’ j y g

Page 294: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33‐36Yoh 10:33‐3634 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je, haikuandikwa katika Torati yenukwamba, ‘Ninyi nimiungu?’kwamba,  Ninyi nimiungu?  

35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’,ninyi ambao neno la Mungu

limewajia …limewajia …

Page 295: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33‐36Yoh 10:33‐3636 Si zaidi sana mimi, ambaye

Baba ameniweka wakfu(mtakatifu), kujiita Mungu? Sasa,(mtakatifu), kujiita Mungu? Sasa, mnawezaje kusema kwamba, 

i k f ti k b bninakufuru eti kwasababunimesema ‘Mimi ni Mwana wa

Mungu (au Mungu)?’ 

Page 296: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1 41Yohana 5:1‐41 Kila mtu aaminiye kwamba1 Kila mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo, amezaliwa na Mungu (kwahiyo, ni Mungu 

d d i i)mdogo duniani).(Zaburi 82:6)(Zaburi 82:6)

Page 297: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1‐41Yohana 5:1‐44 Kwa maana, kila kitu,kilichozaliwa na Mungu, huushinda ulimwengu nahuushinda ulimwengu, nahuku ndiko kushinda, ,

kuushindako ulimwengu, hiyoImani yetu ”Imani yetu.”

Page 298: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1Waebrania 11:11 Imani ni kuwa na uhakika wa1 Imani ni kuwa na uhakika wa 

mambo yasiyoonekana.

Page 299: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUWaebrania 11:1

Kwahiyo, hata kama huoni kwa h h j hik k ikmacho au hujashika kwa mikono, 

lakini amini tu kwamba, wewe nilakini amini tu kwamba, wewe ni Mungu mdogo duniani. 

Kwasababu ‘Hatuenendi kwa kuona bali kwa imani (2Kor 5:7)’kuona, bali kwa imani. (2Kor 5:7)

Page 300: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUWaebrania 11:1

Na huko kuamini hivyo, ndiko k k f li N Mkunakofungulia Nguvu za Mungu,za kuushinda ulimwengu. Imaniza kuushinda ulimwengu. Imani hiyo ndiyo inayo switch ‘ON’ 

k k d inguvu za Mungu kutoka ndani yako (mito ya maji ya uzima).yako (mito ya maji ya uzima).

Page 301: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe na Mimi niKwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!

Zaburi 82:6  Yoh 10:33‐36

Page 302: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo basi, Kumbey ,Chanzo kingine cha nguvu za Mungu 

za kutusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio ni kutokeaushindi na mafanikio, ni kutokeandani yetu; Kwasababu Roho 

Mtakatifu wa Mungu anaishi katika utu wetu wa ndani (roho zetu)utu wetu wa ndani (roho zetu).

Page 303: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kwamba roho yako ndiyo inayotumiwa naroho yako ndiyo inayotumiwa na Mungu kuachilia nguvu zake, 

kutakufanya uwe mtu mwoga nadhaifu maisha;dhaifu maisha; 

Page 304: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katikakutakuondolea ujasiri katika 

kukabiliana na maisha ya kila siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na vita dhidi ya mtu wa Munguvita dhidi ya mtu wa Mungu.

Page 305: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa nguvu zakuzima utendaji kazi wa nguvu za Mungu maishani mwako; nawe 

utaishi chini ya kiwango cha mtoto waMungu (yaani maisha yawa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika))

Page 306: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakufanya uwe mtu wa kuhangaika huku na 

huku kutafuta msaada wa mbali juuhuku kutafuta msaada wa mbali, juu ya mambo ambayo wangeweza kuyatawala, kama wangekuwa na ufahamu wa msaada walionaoufahamu wa msaada walionao 

karibu zaidi (yaani, ulio ndani yao).(y , y )

Page 307: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hosea 4:6Hosea 4:6Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Kwasababu 

i k ifnimekupa maarifa, nawe umeyakataa, basi na mimiumeyakataa, basi na mimi 

nimekukataa wewe.

Page 308: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndi Bibli iNdio maana Biblia inasema kwamba, unatakiwa kufundishwakwamba, unatakiwa kufundishwana kufundishika ili tukue kiroho mpaka kufika katika cheo cha

Kristo YesuKristo Yesu.Waefeso 4:11‐14

Page 309: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14Nguvu za Mungu zilizopo ndani yako, zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi na kuyatawala mazingira yako kwana kuyatawala mazingira yako kwa ushindi na kwa mafanikio, kama 

Bwana Yesu alivyoishi na kuyatawala mazingira yake bila kushindwa aumazingira yake, bila kushindwa au 

kuzuiliwa na hali yoyote.

Page 310: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Uwezo wa ki‐MunguUwezo wa ki Mungukatika roho yakokatika roho yako.

Page 311: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 14:23 21Yohana 14:23, 21‘Mtu akinipenda mimi na BabaMtu akinipenda, mimi na Baba tutampenda, na kuja kufanya 

makao ndani yake, na k jidhihi i h (k jif ) k k ’kujidhihirisha (kujifunua) kwake’.MUNGU ANAKAA NDANI YETU!MUNGU ANAKAA NDANI YETU!

Page 312: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wewe una asili ya MunguWewe una asili ya Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Mwili    Nafsi  Roho

Page 313: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wewe una asili ya MunguWewe una asili ya Mungu 

UTUKUFU

Kuona     Kuelewa         Kujua(See)      (Understand)   (Knowing)

Page 314: Nguvu ya maombi

Mungu Ndiye Asili Yetu.Mungu Ndiye Asili Yetu. 

Mwa 2:7 MunguMwa 2:7                          Mungu 

Dunia      Mwili    Nafsi   Roho

Page 315: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo roho (wewe) inabebaKwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; inayowezaasili ya Mungu; inayoweza 

kutawala mazingira yako, bila kuzuilika na kanuni za 

kimwili/kiduniakimwili/kidunia.(Physical Principles)(Physical Principles)

Page 316: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba ndaniHii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za y g

ki‐Mungu. Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki‐Mungu; kuna sura naasili ya ki‐Mungu; kuna sura na 

mfano wa Mungu. 

Page 317: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7Mwa 2:7                                      MunguMungu

RohoDunia                                 Nafsi(Udongo)                         Mwili

Page 318: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu ndiye asili yetug y y(sisi roho).

Page 319: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndani yako (rohoni) kuna asiliNdani yako (rohoni) kuna asili ya Mungu kabisa. Na hii ina y gmaana kwamba, ndani yako 

k ki M ikuna uwezo wa ki‐Mungu, yaani tabia za Kiungu;tabia za Kiungu; 

(Nguvu za Mungu)2Petro 1:3‐4 

Page 320: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Petro 1:3‐42Petro 1:3 4                                      Mungug

RohoDunia                                 Nafsi(Ud ) M ili(Udongo)                         Mwili

Page 321: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Tabia za Kiungu;Tabia za Kiungu; 2Petro 1:3‐42Petro 1:3 4 

‘… Mungu ametukirimia ahadi kubwa mno za thamani, ambazo kwa hizo (ahadi)ambazo, kwa hizo (ahadi), ametushirikisha tabia za 

uungu.’

Page 322: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe ni munguKwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani!

Zab 82:6Zab 82:6

Page 323: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zab 82:6Zab 82:66 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’,6 Nilisema, Ninyi ni  miungu ,ninyi nyote ni wana wa Aliye 

Juu Sana. 

Page 324: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki Mungu; yaani surawa wa ki‐Mungu; yaani surana mfano wa Mungu (Divine g (Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kutawala 

ulimwengu wa roho na mwiliulimwengu wa roho na mwili.

Page 325: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na kama roho ya binadamuNa kama roho ya binadamu ikitengwa na mwili au mwili

wake ukidhoofishwa, basi rohoit k dhihi i h kitaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki‐Mungu iliyonayo; yaani ilewa ki Mungu iliyonayo; yaani ile ‘tabia ya uungu.’ (2Petro 1:3‐4).

Page 326: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Roho ya mwanadamu ina uwezoRoho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki‐Mungu kabisa;wa ki Mungu kabisa; 

Kwa MfanoKwa Mfano; Uwezo wa kujua mambo bilaUwezo wa kujua mambo, bila 

kuelezwa au kuona.

Page 327: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 1:Tajiri na LazaroLuka 16:19‐31

Page 328: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19‐31Swali:

Tajiri na Lazaro wamekufa, hi k j iilihivyo, wako nje ya miili yao. Kule kuzimu tajiri alamwonaKule kuzimu, tajiri alamwona Lazaro upande wa pili akiwa kifuani kwa Baba Ibrahimu.

Page 329: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19‐31Swali:

Ikiwa enzi zile hakukua na picha l id T ji i lij jwala video, Tajiri alijuaje kwamba yule palekwamba, yule pale 

aliyempakata Lazaro ndiye Baba Ibrahimu aliyeishi zamani sana? 

Page 330: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19‐31Jibu:

Tajiri alikuwa nje ya mwili wake, hi h k j ilihivyo roho yake nje ya mwili, ilikuwa na uwezo wa Kujua bilailikuwa na uwezo wa Kujua bila 

kuambiwa.

Page 331: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 2:Yesu, Musa na Eliya;

Petro, Yakobo na Yohana; wakiwa katika maombi ya 

MlimaniMlimani.Mathayo 17:1‐9Mathayo 17:1‐9

Page 332: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1‐9Katika maombi ya Bwana Yesu kule mlimani, Utukufu wa 

Mungu unafunuka na ManabiiMungu unafunuka, na Manabii Musa na Eliya wanatokea y

pamoja na Yesu, na Petro anakirikwa Bwana Yesu, kuwatambua.

Page 333: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1‐9Swali: 

Ikiwa enzi zile hakukua na picha l id P t li jwala video, Petro aliwezaje 

kujua kwamba yule pale nikujua kwamba, yule pale ni Petro na yule pale ni Musa?

Page 334: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1‐9Jibu: 

Wanafunzi wa Yesu, walikuwa d i Ut k f Mndani ya Utukufu wa Mungu, kwahiyo nafsi zao zilikuwakwahiyo nafsi zao zilikuwa 

rohoni zaidi kuliko mwilini, ndio maana walijua bila kuambiwa.

Page 335: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya MtuUwezo wa roho ya Mtu

Mwili Nafsi RohoMwili,   Nafsi,  Roho 

Ulimwengu  UlimwenguM ili Ki R hwa Mwili           Kiungo        wa Roho

Page 336: Nguvu ya maombi

Mungu Ndiye Asili Yetu.Mungu Ndiye Asili Yetu. 

Mwa 2:7 MunguMwa 2:7                          Mungu 

Dunia      Mwili    Nafsi   Roho

Page 337: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya MunguWewe una asili ya Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Kuona   Kuelewa   Kujua

Page 338: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu (wewe)Roho ya mwanadamu (wewe), ina uwezo wa ki‐Mungu kabisa;ina uwezo wa ki Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili kudhoofishwa, basi rohoitaweza kudhihirisha tabia zaitaweza kudhihirisha tabia za uungu/ki‐Mungu iliyonayo.uungu/ki Mungu iliyonayo.

Page 339: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili sikutukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” nasi tutaweza kutembea 

katika kiwango cha ki Mungu chakatika kiwango cha ki‐Mungu cha mafanikio na ushindi, bila mafanikio na ushindi, bilakuzuiliwa na chochote. 

Page 340: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

*** Mawazo (ktk nafsi) yako yana uwezo mkubwa sana wa kuwasha (ON) au kuzima (OFF)kuwasha (ON) au kuzima (OFF) nguvu za Mungu na kuathiringuvu za Mungu na kuathiri 

mazingira yako, vizuri au vibaya;Inategemea tu, nafsi imeegemea upande upi, rohoni au mwilini.

Page 341: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya MunguWewe una asili ya Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Kuona   Kuelewa   Kujua

Page 342: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe na Mimi niKwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!

Zaburi 82:6  Yoh 10:33‐36

Page 343: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 3:Mfano 3:

Miujiza iliyofanywa na Wanafunzi wa Yesu.(Matendo 5:12/19:11)

Page 344: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Matendo 5:12/19:11Mungu akafanya kwa mikono ya 

mitume, miujiza ya kupita kawaida Mikono yao vivulikawaida. Mikono yao, vivuli vyao na leso zao, zilikuwa na y ,

nguvu za Mungu zilizowaponya watu walioonewa na ibilisi.

Page 345: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu (wewe)Roho ya mwanadamu (wewe), ina uwezo wa ki‐Mungu kabisa;ina uwezo wa ki Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili kudhoofishwa, basi roho

itaweza kudhihirisha uwezo wakeitaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki‐Mungu iliyonayo.wa ki Mungu iliyonayo.

Page 346: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki‐Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divinemfano wa Mungu (Divine 

Nature). Kwahiyo Roho yako ) y yndiyo inayoweza kuwasiliana 

na ulimwengu wa roho.

Page 347: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu ina uwezoRoho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki‐Mungu kabisa; na kamawa ki Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili

kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa kikudhihirisha uwezo wake wa ki‐

Mungu iliyonayo.Mungu iliyonayo.

Page 348: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili sikutukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” nasi tutaweza kutembea 

katika kiwango cha ki Mungu chakatika kiwango cha ki‐Mungu cha mafanikio na ushindi, bila mafanikio na ushindi, bilakuzuiliwa na chochote. 

Page 349: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili sikutukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” kwasababu, mawazo yako yananafasi kubwa ya kuwasha auyananafasi kubwa ya kuwasha au 

kuzima nguvu za Mungu na ku ima nguvu a Mungu nakutawala mazingira ya kimwili.

Page 350: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Kujitambua1. Kujitambua(Mawazo ya Ushindi)(Mawazo ya Ushindi) 

Mithali 23:7‘ajionavyo mtu nafsini mwake(kwenye mawazo yake) ndivyo

alivyo (atakavyokuwa)’alivyo (atakavyokuwa)

Page 351: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano;Mfano;Gideon na Malaika wa MunguGideon na Malaika wa Mungu

Waamuzi 6:1‐16‘ajionavyo mtu nafsini mwake(kwenye mawazo yake) ndivyo

alivyo (atakavyokuwa)’alivyo (atakavyokuwa)

Page 352: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon amezaliwa na kukuliaGideon amezaliwa na kukulia katika utumwa, na ndivyokatika utumwa, na ndivyo alivyokuwa anajiona na

kujiwazia; na hali hiyo ndiyo iliyozima uwezo na nguvu zailiyozima uwezo na nguvu za 

Mungu ndani yake. Mungu ndani yake.

Page 353: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Malaika wa Mungu alimwonaMalaika wa Mungu alimwonaGideon, tofauti na yeyeGideon, tofauti na yeye 

alivyojiona; na ndio maana alimwita Gideon jina la SHUJAAjapo Gideon alikuwa anajionajapo Gideon alikuwa anajiona 

MTUMWA. MTUMWA.

Page 354: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Malaika wa Mungu akapuuzaMalaika wa Mungu akapuuzamalalamiko ya Gideoni, nay

kumwambia, “(usitegemee kwambanitak pa chochote k asababnitakupa chochote, kwasababu

ulichonacho, kinakutosha sana, ila, ,umekizima mwenyewe, kwa jinsi tu  

ji k ji iunavyojiona na kujiwazia.

Page 355: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kisha Malaika wa Munguakamwambia Gideoni kwamba, “(ukibadilisha ujavyojiona na(ukibadilisha ujavyojiona na

kujiwazia, kutoka mtumwa kwendah j M d i kshujaa, nguvu za Mungu ndani yakozitaingia kazini) basi enenda katikag )

nguvu zako (hizo), ukawapigewamidiani ”wamidiani.

Page 356: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideoni aliposikia na kuamini tuGideoni aliposikia na kuamini tu maneno ya Malaika, namaneno ya Malaika, na akabadilisha alivyokuwa 

anajiona na kujiwazia, ndipo nguvu za Mungu zilizokuwanguvu za Mungu, zilizokuwa 

ndani yake ziliingia kazini (ON).ndani yake iliingia ka ini (ON).

Page 357: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon na wana wa IsraeliGideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao

(wamidian) kwa nguvu za Mungu, amba o ilik epo sik ote ndaniambazo zilikuwepo siku zote ndaniyao, lakini zilikuwa zimalala (zima) y , ( )kwa jinsi walivyokuwa wanajiona

k ji i (kit )na kujiwazia (kitumwa).

Page 358: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon na wana wa IsraeliGideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao

(wamidian) kwa nguvu za Mungu, na si k a sabab n ingine o otena si kwa sababu nyingine yoyote

ya kibinadamu.yWamidian 30,000 : 300  Waisrael

Wamidian 100 :  1  Waisrael

Page 359: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Kujitambua1. Kujitambua(Mawazo ya Ushindi)(Mawazo ya Ushindi) 

Mithali 23:7‘ajionavyo mtu nafsini mwake(kwenye mawazo yake) ndivyo

alivyo (atakavyokuwa)’alivyo (atakavyokuwa)

Page 360: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili sikutukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” kwasababu, mawazo yako yananafasi kubwa ya kuwasha auyananafasi kubwa ya kuwasha au 

kuzima nguvu za Mungu na ku ima nguvu a Mungu nakutawala mazingira ya kimwili.

Page 361: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Kujiambua1. KujiambuaMawazo ya UshindiMawazo ya Ushindi

Warumi 12:2Warumi 12:2, ‘Mgeuzwe fikra zenu na nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi yaMungu kwenu yaliyo mema ’Mungu kwenu, yaliyo mema…’

Page 362: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo ya UshindiMawazo ya Ushindi

Waefeso 4:21‐23Waefeso 4:21‐23, 21 ‘ikiwa mlisikia na kufundishwa, 

kama kweli ilivyo katika Yesu, 22 basi mvue mwenendo wa22 basi mvue mwenendo wa

kwanza, utu wa zamani, unaoharibika …’

Page 363: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo ya UshindiMawazo ya Ushindi

W f 4 21 23Waefeso 4:21‐23, 24 ‘ mvae utu mpya ulioumbwa24 … mvae utu mpya, ulioumbwakwa namna/mfano wa Mungu … 23 kisha mfanywe wapya katikaroho ya nia zenu (nafsi zenu)’roho ya nia zenu (nafsi zenu)  

Page 364: Nguvu ya maombi

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12, ,Roho Mtakatifu tuliyenaye, ndiyel kaliyekuwa ndani ya Kristo Yesu, na ndiye aliye chanzo cha nguvu zandiye aliye chanzo cha nguvu za Mungu, tunazohitaji kufanya b k b idi k lmambo makubwa zaidi, kama yale 

yale na kuliko yale aliyoyafanya y y y y yBwana Yesu! 

Page 365: Nguvu ya maombi

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12,Yohana 14:12, Ni aibu kuwa na Roho Mtakatifu wa Mungu, halafu ukabaki kuwa 

bi d k idbinadamu wa kawaida.‘Ordinary human being’Ordinary human being‘Natural human being’Natural human being  

Page 366: Nguvu ya maombi

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12,Yohana 14:12, Roho Mtakatifu wa Mungu, 

anataka kufanya uwe binadamu i k id ( j b )asiye wa kawaida (wa ajabu).

‘Extra Ordinary human being’Extra ‐Ordinary human being‘Super‐Natural human being’Super Natural human being  

Page 367: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 14:12/16:7‐8‘Amini Amini nawaambia, kila mtuaniaminiaye mimi kazi nizifanyazoaniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam, hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa babakwasababu nakwenda kwa baba 

kuwaletea, Roho yule yule , y yaliyeniwezesha mimi kufanya haya.

Page 368: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na si Yesu peke yake, hata bi d i k idbinadamu wengine wa kawaida, waliweza kufaya mambo ya ajabuwaliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikiomaisha ya ushindi na mafanikio 

duniani, bila kuzuilika.Yohana 14:12/16:7‐8

Page 369: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Musa aliweza kufungua b h i Sh t illi i 2bahari ya Shamu na watu millioni 2 wakapita katika nchi kavu, katikati ya p , yghorofa mbili za maji kitu ambacho ni kin me kabisa na kan ni a ka aidakinyume kabisa na kanuni za kawaida 

za kimwili (archmedis priciple).( p p )Kutoka 14:1‐31

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 370: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Joshua aliweza k i i h k d ikusimamisha mzunguko wa dunia 

hata jua likasimama mpaka j pwalipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kin me kabisa naambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Joshua 10:12‐15Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 371: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Eliya aliweza kuzuia k i k it t jmvua kwa miaka mitatu japo 

kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya y ykuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kin me kabisa naambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17‐18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 372: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na ndio maana pia aliweza kurudisha j hi j h k kmvua juu ya nchi, japo hakukuwa na 

kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu ambacho ni kin me kabisa naambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17‐18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 373: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Petro aliweza kumponya kil k tik l h k l bilkilema katika mlango wa hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu p y g ( ),

ambacho ni kinyume kabisa na kan ni a ka aida a kim ilikanuni za kawaida za kimwili.

Matendo 3:1‐16Matendo 3:1 16Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 374: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Matendo 5:12/19:11Mungu akafanya kwa mikono ya 

mitume, miujiza ya kupita kawaida Mikono yao vivulikawaida. Mikono yao, vivuli vyao na leso zao, zilikuwa na y ,

nguvu za Mungu zilizowaponya watu walioonewa na ibilisi.

Page 375: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Filipo aliweza kusafiri k k k k likwa kupaa na kunyakuliwa 

(kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho ( ) ,ni kinyume kabisa na kanuni za 

ka aida a kim ilikawaida za kimwili.Matendo 8:26‐40Matendo 8:26 40

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 376: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii inaonyesha wazi kwamba; Roho yako ndiyo iliyo na uwezo 

ki M iwa wa ki‐Mungu; yaani sura na mfano wa Mungu (Divinemfano wa Mungu (Divine 

Nature). Kwahiyo Roho yako ina uwezo wa kutawala 

li h iliulimwengu wa roho na mwili.

Page 377: Nguvu ya maombi

Mungu Ndiye Asili Yetu.Mungu Ndiye Asili Yetu. 

Mwa 2:7 MunguMwa 2:7                          Mungu 

Dunia      Mwili    Nafsi   Roho

Page 378: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya MunguWewe una asili ya Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Kuona   Kuelewa   Kujua

Page 379: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kwamba R h M k d iRoho wa Mungu yuko ndani 

yako na hivyo roho yako ndiyoyako, na hivyo, roho yako ndiyo inayotumiwa na Mungu kuachilia nguvu zake, kutakufanya uwe t dh if i hmtu mwoga na dhaifu maisha; 

Page 380: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katikakutakuondolea ujasiri katika kukabiliana na maisha ya kila ysiku, yaliyojaa kila aina ya 

upinzani na vita dhidi ya mtu wa MunguMungu.

Page 381: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kutazima utendaji kazi wa nguvu zakutazima utendaji kazi wa nguvu za Mungu maishani mwako; nawe 

utaishi chini ya kiwango cha mtoto waMungu (yaani maisha yawa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika))

Page 382: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Kutokujua (Kutokuwa naKwa Kutokujua (Kutokuwa na ufahamu huu) watu wa Mungu 

wengi wamezuia utendaji kazi wa nguvu za Mungu kutoka ndaninguvu za Mungu kutoka ndani yao, na Nguvu kubwa sana zayao, na Nguvu kubwa sana za Mungu zimebaki ndani yao zimelala (hazijatumika). 

Page 383: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na matokeo yake ni kwamba, watuwa Mungu wengi wanahangaika nakutumia muda mwingi na gharamag gkubwa, kukimbia‐kimbia kushoto nakulia, kutafuta msaada wa mbali,kulia, kutafuta msaada wa mbali,    wakati ndani yao wameacha

msaada ulio karibu; yaani nguvu zamsaada ulio karibu; yaani nguvu zaMungu nyingi, zimebaki zimelala

ndani yao bila kutumikandani yao, bila kutumika.   

Page 384: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo yana nguvu ya kuathiriMawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako. 

Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya Na maneno yana nguvuvibaya. Na maneno yana nguvu 

ya kuumba!ya kuumba!Mithali 18:20‐21

Page 385: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

‘Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao 

wautumiao watakula matundawautumiao, watakula matunda yake.’

Page 386: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOManeno ya nguvu za kuumba.Maneno ya nguvu za kuumba. 

Ulimwengu uliumbwa kwaNENO la Mungu.Yohana 1 1 4Yohana 1:1‐4

Ebrania 11:3/4:12Ebrania 11:3/4:12

Page 387: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOInatokana na Uhai wa NenoInatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao unatokana na 

h k if d iuwepo wa Roho Mtakatifu ndani ya hilo Nenoya hilo Neno

Waebrania 4:12

Page 388: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWaebrania 4:12Waebrania 4:12

“ l li h i“Neno la Mungu li haitena lina Nguvu”tena lina Nguvu

Page 389: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOYohana 6:63Yohana 6:63

‘Roho ndio itiayo uzima (uhai), kwani mwili (pasipo roho) 

h f i ki ’haufai kitu’

Page 390: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Wakorintho 3:62 Wakorintho 3:6

“ dik k k li l ki i“Andiko peke yake linaua, lakini Roho wa Mungu anahuisha”Roho wa Mungu anahuisha

Page 391: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOInatokana na Uhai wa NenoInatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao ni uwepo wa h k if d iRoho Mtakatifu ndani ya Neno

Waebrania 4:12Waebrania 4:12

Page 392: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16‐172 Timotheo 3:16 17

Kila andiko lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho    na kubadilisha mwenendona kubadilisha mwenendo.

Page 393: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16‐17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)Andiko + Pumzi  Neno (Hai)

Herufi   +  Roho = Nguvu

Page 394: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Unapoachilia Neno la Mungukutoka ndani yako kwa imani, 

Roho wa Mungu huja kulivuvia iliRoho wa Mungu huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa 

hilo neno maishani mwako.

Page 395: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Unapoachilia neno baya kutoka ndani yako kwa imani, basi roho 

mbaya huja kulivuvia ilimbaya  huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa hilo neno hilo maishani mwako.

Page 396: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao 

wautumiao watakula matundawautumiao, watakula matunda yake.

Page 397: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 6:2Mithali 6:2

Umetegwa kwa maneno yako na umekamatwa na maneno ya 

kinywa chakokinywa chako.

Page 398: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWakolosai 3:16Wakolosai 3:16

Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yako katika hekima yote. 

Page 399: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWaefeso 4:29Waefeso 4:29

Neno lolote lililo ovu, lisitoke kinywani mwenu, bali lile lililo 

jema la kumfaa msikiajijema, la kumfaa msikiaji. 

Page 400: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOManeno ya nguvu za kuumba.Maneno ya nguvu za kuumba. 

Yohana 1:1‐4Ebrania 11:3/4:12

Page 401: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOManeno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na Mawazo mazuri. Na mawazo 

i h kmazuri hutokana na Mtazamo/kuona vizuri.Mtazamo/kuona vizuri.

Ukikosea kuona, utakosea kuwaza na kutakosea kuongea.

Page 402: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniKutembea kwa Imani

Mawazo MtazamoManeno

Page 403: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukikosea kuona utakoseaUkikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza,kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo, Ili kuongea vizuri, lazima uwazevizuri na ili uwaze vizurivizuri, na ili uwaze vizuri, 

lazima uone vizuri.la ima uone vi uri.

Page 404: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mambo yatakayokusaidiaMambo yatakayokusaidiaKutembea kwa Ushindi.a) Macho ya rohonib) Mawazo ya ushindic) Maneno ya Ushindic) Maneno ya Ushindi

Page 405: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniHesabu 13:26‐33 4:1‐9Hesabu 13:26 33, 4:1 9

Wengine waliona majitu, wakatig j ,wengine waliwaona hao majitu

ni ‘chakula’ kwao.

Page 406: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya Rohoni Waefeso 1:15‐19Waefeso 1:15 19

Mtume Paul alituombea, macho ya mioyo yetu, yatiwe nuru, ili 

tupate kujua mambo yafuatayo;tupate kujua mambo yafuatayo; (1) tumaini (2) utajiti na 

(3)nguvu zilizo ndani yetu. 

Page 407: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

10 Kutembea kwa Imani10. Kutembea kwa Imani

Mtazamo

Page 408: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(b) Mawazo ya Ushindi(b) Mawazo ya UshindiMithali 23:7Mithali 23:7

‘Ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo’

(Rum 12 2 Efe 4 20 24)(Rum 12:2, Efe 4:20‐24)

Page 409: Nguvu ya maombi

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

Mawazo Mtazamo

Page 410: Nguvu ya maombi

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

Maneno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo 

mazuri hutokana na kuona vizuri.kik k k kUkikosea kuona, utakosea kuwaza 

na kutakosea kuongea.na kutakosea kuongea.

Page 411: Nguvu ya maombi

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

(c) Maneno ya Baraka/Ushindi(c) Maneno ya Baraka/UshindiYohana 6:63, Ebr 4:12‐13Mith 18:20‐21, Mith 6:1‐2

Page 412: Nguvu ya maombi

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

Maneno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo 

mazuri hutokana na kuona vizuri.kik k k kUkikosea kuona, utakosea kuwaza 

na kutakosea kuongea.na kutakosea kuongea.

Page 413: Nguvu ya maombi

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

Mawazo MtazamoManeno

Page 414: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1 Kujiambua1. Kujiambua

Mawazo ya UshindiyMith 23:7

Page 415: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Yohana 14:23 21Yohana 14:23, 21

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, njia ya kuingilia katika 

ulimwengu wa roho, haiko b li i ik d imbali nasi, iko ndani yetu.

(rohoni)(rohoni)

Page 416: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo mtu ukiweze kupenya naKwahiyo, mtu ukiweze kupenya na 

kuingia ndani yake (rohoni mwake), kwa njia ya maombi, 

t k k tatakuwa amekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawalaUlimwengu wa roho, unaotawala 

ulimwengu wa mwili.

Page 417: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya MunguWewe una asili ya Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Mwenendo   Fikra  Hisia

Page 418: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya MunguWewe una asili ya Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Kuona  ‐ Kuelewa  ‐ Kujua

Page 419: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili Nafsi RohoMwili            Nafsi Roho

Kuona         Kuelewa Kujuaj(See) (Understand)    (Know)

Page 420: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo roho (wewe) inabebaKwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; kwasababu y g ;imeumbwa/umeumbwa kwa 

f Msura na mfano wa Mungu mwenyewe.mwenyewe. 

Page 421: Nguvu ya maombi

Mungu Ndiye Asili Yetu.Mungu Ndiye Asili Yetu. 

Mwa 2:7 MunguMwa 2:7                          Mungu 

Dunia      Mwili    Nafsi   Roho

Page 422: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7Mwa 2:7                                      MunguMungu

RohoDunia                                 Nafsi(Udongo)                         Mwili

Page 423: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba ndaniHii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za y g

ki‐Mungu. Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki‐Mungu; kuna sura naasili ya ki‐Mungu; kuna sura na 

mfano wa Mungu. 

Page 424: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu ndiye asili yetug y y(sisi roho).

Page 425: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, roho yako (wewe)Kwahiyo, roho yako (wewe) unabeba asili ya Mungu kabisa; kwasababu roho yako (wewe) umeumbwa kwa sura na mfanoumeumbwa kwa sura na mfano

wa Mungu mwenyewe. 

Page 426: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndani yako (rohoni) kuna asiliNdani yako (rohoni) kuna asili ya ki‐Mungu. Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna 

uwezo wa ki‐Mungu;uwezo wa ki‐Mungu; (Nguvu za Mungu)( g g )

Page 427: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7Mwa 2:7                                      MunguMungu

RohoDunia                                 Nafsi(Udongo)                         Mwili

Page 428: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe ni munguKwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani!

Zab 82:6Zab 82:6

Page 429: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zab 82:6Zab 82:66 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’,6 Nilisema, Ninyi ni  miungu , ninyi nyote ni wana wa Aliye 

Juu Sana. 

Page 430: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33‐36Yoh 10:33‐3633 Wayahudi wakamjibu, 

“Hutukupigi mawe kwa sababuya mambo mema uliyotenda,ya mambo mema uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru. W i i dWewe ingawa ni mwanadamuunajifanya kuwa Mungu.’’ j y g

Page 431: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33‐36Yoh 10:33‐3634 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je, haikuandikwa katika Torati yenukwamba, ‘Ninyi nimiungu?’kwamba,  Ninyi nimiungu?  

35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’,ninyi ambao neno la Mungu

limewajia …limewajia …

Page 432: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33‐36Yoh 10:33 3636 Si zaidi sana mimi, ambayeBaba ameniweka wakfu naBaba ameniweka wakfu na

kunituma ulimwenguni; kujiita? S jMungu? Sasa, mnawezaje

kusema kwamba, ninakufuru etikwasababu nimesema ‘Mimi ni

Mwana wa Mungu?’Mwana wa Mungu?  

Page 433: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe na Mimi niKwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!

Zaburi 82:6  Yoh 10:33‐36

Page 434: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki‐Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divinemfano wa Mungu (Divine 

Nature). Kwahiyo Roho yako ) y yndiyo inayoweza kuwasiliana 

na ulimwengu wa roho.

Page 435: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu ina uwezoRoho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki‐Mungu kabisa; na kamawa ki Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili

kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa kikudhihirisha uwezo wake wa ki‐Mungu katika kujua mambo bila Mungu katika kujua mambo bila

kuelezwa au kuona.

Page 436: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 1:Yesu, Musa na Eliya;

Petro, Yakobo na Yohana; wakiwa katika maombi ya 

MlimaniMlimani.Mathayo 17:1‐9Mathayo 17:1‐9

Page 437: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1‐9Katika maombi ya Bwana Yesu kule mlimani, Utukufu wa 

Mungu unafunuka na ManabiiMungu unafunuka, na Manabii Musa na Eliya wanatokea y

pamoja na Yesu, na Petro anakirihivyo kwa Bwana Yesu.

Page 438: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1‐9Swali: 

Ikiwa enzi zile hakukua na picha l id P t li jwala video, Petro aliwezaje 

kujua kwamba yule pale nikujua kwamba, yule pale ni Petro na yule pale ni Musa?

Page 439: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1‐9Jibu: 

Wanafunzi wa Yesu, walikuwa d i Ut k f Mndani ya Utukufu wa Mungu, kwahiyo nafsi zao zilikuwakwahiyo nafsi zao zilikuwa 

rohoni zaidi kuliko mwilini, ndio maana walijua bila kuambiwa.

Page 440: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili Nafsi RohoMwili,   Nafsi,  Roho 

Ulimwengu  UlimwenguM ili Ki R hwa Mwili           Kiungo             wa Roho

Page 441: Nguvu ya maombi

Mungu Ndiye Asili Yetu.Mungu Ndiye Asili Yetu. 

Mwa 2:7 MunguMwa 2:7                          Mungu 

Dunia      Mwili    Nafsi   Roho

Page 442: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya MunguWewe una asili ya Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Kuona   Kuelewa   Kujua

Page 443: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili Nafsi RohoMwili            Nafsi Roho

Kuona         Kuelewa Kujuaj(See) (Understand)    (Know)

Page 444: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu ina uwezoRoho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki‐Mungu kabisa; na kamawa ki Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili

kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa kikudhihirisha uwezo wake wa ki‐

Mungu katika kujua bila Mungu katika kujua bilakuelezwa au kuona.

Page 445: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kuweka nafsi (fikra,tukifanikiwa kuweka nafsi (fikra, hisia na maamuzi) zetu rohonizaidi, basi tutaweza kutembea 

katika kiwango cha ki Mungu chakatika kiwango cha ki‐Mungu cha kujua na kuamua mambo kwa kujua na kuamua mambo kwausahihi kabisa, bila kubahatisha. 

Page 446: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 2:Tajiri na LazaroLuka 16:19‐31

Page 447: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19‐31Swali:

Tajiri na Lazaro wamekufa, hi k j iilihivyo, wako nje ya miili yao. Kule kuzimu tajiri alamwonaKule kuzimu, tajiri alamwona Lazaro upande wa pili akiwa kifuani kwa Baba Ibrahimu.

Page 448: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19‐31Swali:

Ikiwa enzi zile hakukua na picha l id T ji i lij jwala video, Tajiri alijuaje kwamba yule palekwamba, yule pale 

aliyempakata Lazaro ndiye Baba Ibrahimu aliyeishi zamani sana? 

Page 449: Nguvu ya maombi

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19‐31Jibu:

Tajiri alikuwa nje ya mwili wake, hi h k j ilihivyo roho yake nje ya mwili, ilikuwa na uwezo wa Kujua bilailikuwa na uwezo wa Kujua bila 

kuambiwa.

Page 450: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe na Mimi niKwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!

Zaburi 82:6  Yoh 10:33‐36

Page 451: Nguvu ya maombi

Mungu Ndiye Asili Yetu.Mungu Ndiye Asili Yetu. 

Mwa 2:7 MunguMwa 2:7                          Mungu 

Dunia      Mwili    Nafsi   Roho

Page 452: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili Nafsi RohoMwili,   Nafsi,  Roho 

Ulimwengu  UlimwenguM ili Ki R hwa Mwili           Kiungo             wa Roho

Page 453: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya MunguWewe una asili ya Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Kuona   Kuelewa   Kujua

Page 454: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki‐Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divinemfano wa Mungu (Divine 

Nature). Kwahiyo Roho yako ) y yndiyo inayoweza kuwasiliana 

na ulimwengu wa roho.

Page 455: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu ina uwezoRoho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki‐Mungu kabisa; na kamawa ki Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili

kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa kikudhihirisha uwezo wake wa ki‐

Mungu katika kujua bila Mungu katika kujua bilakuelezwa au kuona.

Page 456: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kuweka nafsi (fikra,tukifanikiwa kuweka nafsi (fikra, hisia na maamuzi) zetu rohonizaidi, basi tutaweza kutembea 

katika kiwango cha ki Mungu chakatika kiwango cha ki‐Mungu cha kujua na kuamua mambo kwa kujua na kuamua mambo kwausahihi kabisa, bila kubahatisha. 

Page 457: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa roho

Page 458: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa rohoNamna ya kwenda rohoniy

Page 459: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa rohoNamna ya kwenda rohoniy

3.  Nafasi/Mamlaka yako rohoni

Page 460: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA

3. MAMLAKA YA ROHONINafasi yako katika yUlimwengu wa rohog

Page 461: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Tumeshajifunza kwamba Ulimwengu h di l liwa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili. Na hakuna kituwa mwili. Na hakuna kitu 

kinachoweza kufanyika katika ulimwengu wa kimwili mpaka kwanza kimefanyika katikakwanza kimefanyika katika 

ulimwengu wa roho. 

Page 462: Nguvu ya maombi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI “Mashal”KABLA YA DHAMBI      Mashal

MkuuMUNGU

ADAMMfalme

Mtawala

MALAIKA Mwakilishi

mungu

DUNIA

S

g

Zab 8:4‐8SHETANI

Page 463: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Shetani akiijua siri hii, na akitaka kuwa mungu wa dunia, aliatafuta kwa bidii kumwangusha Adamkwa bidii kumwangusha Adam katika kiti /nafasi yake (rohoni); / y ( );na alipofanikiwa, aliushika na kuutawala ulimwengu wa roho. 

Page 464: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Shetani alijua siri hii, na alipoukamata tu ulimwengu wa roho akawekeza majeshi yakeroho, akawekeza majeshi yake 

yote katika ulimwengu wa roho ili y gatawale ulimwengu wa mwili na 

kuwa mkuu wa dunia hii.

Page 465: Nguvu ya maombi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI

MkuuMUNGU

ADAM

Mfalme

Mtawala

MALAIKA Mwakilishi

mungu

Zaburi 8:4‐8 S

DUNIA

g

“Juu ya” = “Mashal”SHETANI

Page 466: Nguvu ya maombi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

MUNGU

SHETANI

MALAIKA

SHETANI  ALITAPELI NAFASI YA ADAM

DUNIA

NAFASI YA ADAMADAM

Page 467: Nguvu ya maombi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11MkuuMUNGU

SHETANIMfalme

Mtawala

Waefeso 2:1‐2

1Yohana 5:19

MALAIKA Mwakilishi

mungu

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

Warumi 5:12, 14DUNIA

g

Waebrania 2:14, 15ADAM

Page 468: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Efe 2:1‐2   – Mfalme wa angafe fa e a a ga2Kor 4:4    – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19  – Mtawala (Controler) Yoh 12:31  – Mkuu wa UlimwenguY h 14 30 Mk UliYoh 14:30  – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11  – Mkuu wa Ulimwengu

Page 469: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Warumi 5:14Warumi 5:14Kwahiyo, mauti ikatawalay ,

(shetani) tangu wakati wa Adamu hadi wakati wa Musa; mauti 

iliwatawala watu wote hata waleiliwatawala watu wote hata wale ambao hawakuvunja amri kama j

alivyofanya Adamu

Page 470: Nguvu ya maombi

BAADA YA WOKOVU

Walosai 2:13‐15Walosai 2:13 15Kwa njia ya msalaba na damu yake, Bwana Yesu alifuta kabisa 

d i l dh bi (h ti hit k )deni la dhambi (hati ya mashitaka) juu yetu; kisha akavunja nguvu najuu yetu; kisha akavunja nguvu na mamlaka za shetani na kumfanya 

aidu hadharani.

Page 471: Nguvu ya maombi

BAADA YA WOKOVU

Walosai 2:13‐15/1:13Walosai 2:13 15/1:13Lakini, kwa kifo cha Bwana Yesu, , ,

ufalme wa shetani duniani, l d l b d l kulipinduliwa na mabadiliko ya kimamlaka yalitokea katikakimamlaka yalitokea katika 

Ulimwengu wa roho;gUfunuo 11:15 

Page 472: Nguvu ya maombi

BAADA YA WOKOVU

Walosai 1:13Walosai 1:13‘Naye Mungu, alituokoa kutoka y g ,

katika nguvu za giza na k h h kkutuhamisha na kutuingiza katika Ufalma wa mwanayekatika Ufalma wa mwanaye 

mpendwa, Yesu Kristo.’p

Page 473: Nguvu ya maombi

BAADA YA WOKOVU

Waefeso 2:6/1:20‐23Waefeso 2:6/1:20 23Akatufufua pamoja naye, 

akatuketisha pamoja naye, katika Uli h li k ti hUlimwengu wa roho; aliomketisha Kristo Yesu siku aliyomfufua, juu y f f , j

sana kuliko falme zote na mamlaka ili i h i izote za mwilini na rohoni pia.

Page 474: Nguvu ya maombi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA WOKOVU

MkuuMUNGU + ADAM  2

MALAIKAMfalme

Mtawala

SHETANI Mwakilishi

mungu

Waefeso 2:6DUNIA

g

Waefeso 1:18‐23ADAM   1

Page 475: Nguvu ya maombi

BAADA YA WOKOVU

Ufunuo 11:15Ufunuo 11:15Kisha, malaika wa saba akapiga 

tarumbeta, na jeshi lote la bi i k h ili k k l lmbinguni wakashangilia kwa kelele za ushindi wakisema, ufalme wa , f

dunia, umekwisha kuwa Ufalme wa i kBwana wetu na wa Kristo wake.

Page 476: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Luka 10:19Luka 10:19Tazama, nimewapa mamlaka yote 

ya kukanyaga nge (nguvu ya i ) k ( i)maumivu) na nyoka (nguvu ya uasi) 

na nguvu zote za yule aduig y(waganga, wachawi, nk); na wala h k ki ki k h dhhakuna kitu kitakachowadhuru.

Page 477: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Mathayo 16:18‐19Mathayo 16:18 19Nitalijenga kanisa langu, wala milango ya kuzimu haitaweza k li hi d b tkulishinda; na mambo yoyote mtakayoyafunga duniani, y y f g ,

yatakuwa yamefungwa mbinguni (k ik li h )(katika ulimwengu wa roho).

Page 478: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Mathayo 16:18‐19Mathayo 16:18 19… na mambo yoyote 

mtakayoyafungua duniani, t k f liyatakuwa yamefunguliwa 

mbinguni (yaani yatakuwa g (y yyamefunguliwa pia katika 

li h )ulimwengu wa roho).

Page 479: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Ufunuo 5:8‐10Ufunuo 5:8 10Watu walionunuliwa kwa damu ya 

Mwana‐kondoo Yesu Kristo, f ik W f lwamefanyika Wafalme na 

Makuhani; nao wamepewa kumiliki; pna kutawala juu ya nchi (katika 

li ili)ulimwengu wa mwili).

Page 480: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Yeremia 1:9‐10Yeremia 1:9 10Tazama, nimekuweka leo juu ya falme na juu ya mamlaka, ili 

k j k b k h ibkuvunja, kubomoa, kuharibu, na kung’oa, kisha nimekuweka ili g ,

kujenga na kupanda.

Page 481: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Yeremia 51:20Yeremia 51:20Wewe ni rungu langu la vita; kwa kukutumia wewe, nitavunja‐vunja f l it j j l kfalme na nitavunja‐vunja mamlaka.

(kwakuwa nimekuweka juu ya(kwakuwa nimekuweka juu ya falme na juu ya mataifa)

(Yeremia 1:9‐10)

Page 482: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Ufunuo 5:8‐10Ufunuo 5:8 10Kwahiyo, watu walionunuliwa kwa damu ya Mwana‐kondoo Yesu K i t f ik W f lKristo, wanafanyika Wafalme na 

Makuhani; nao wanapewa kumiliki ; pna kutawala juu ya nchi.

Page 483: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Ufunuo 5:8‐10Ufunuo 5:8 10Mtu anapotubu dhambi zake na kupokea wokovu wa Bwana wetu Y K i t b i di hiYesu Kristo, basi anarudishiwa 

mamlaka ya ‘Adam’ ya kumiliki na y ykutawala dunia (mazingira yake na 

i h k k j l )maisha yake kwa ujumla).

Page 484: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Waefeso 2:6/1:18‐23Waefeso 2:6/1:18 23Mtu wa Mungu anapokwenda 

katika ulimwengu wa roho, akitaka k hi dikuwa mshindi na mwenye 

mafanikio, basi ni lazima na ni f ,muhimu ajue mamlaka aliyonayo

k ik li hkatika ulimwengu wa roho.

Page 485: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Kwanini tunaishi maisha magumuKwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso, yaliyojaa shida na taabu nyingi, wakati kule rohonitumepewa baraka nyingi sanatumepewa baraka nyingi sana 

kutoka kwa Mungu, za kutusaidia gkatika maisha yetu ya kila siku?

Page 486: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Ni kwasababu; watu wa MunguNi kwasababu; watu wa Mungu,

(1)  Hatujajua siri ya ulimwengu wa ( ) j j y groho inavyoingiliana na ulimwengu 

ili h t k l t b dilikwa mwili, hata kuleta mabadiliko tunayotaka kuyaona huku duniani.  y y

~ kutokujua ~

Page 487: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Ni kwasababu; watu wa MunguNi kwasababu; watu wa Mungu, (2)  Hatuna nidhamu na bidii ya ( ) ykwenda rohoni kwa njia ya 

bi h t k h kmaombi, hata kuchukua na kutelemsha baraka zetu duniani.      

~  Uzembe  ~

Page 488: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Ni kwasababu; watu wa MunguNi kwasababu; watu wa Mungu, (3) Hatujui mamlaka yetu, ( ) j y ,tuliyopewa na Kristo, katika

Uli hUlimwengu wa roho.~ Kutojua ~  Kutojua

Page 489: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa roho

Page 490: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa rohoNamna ya kwenda rohoniy

Page 491: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa rohoNamna ya kwenda rohoniyNafasi/Mamlaka yako rohoni

Page 492: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa rohoNamna ya kwenda rohoniyNafasi/Mamlaka yako rohoni

4.  Namna ya Kupiga Vita rohoni 

Page 493: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA

4. VITA VYA ROHONIMapambano yaliyopo katika 

Ulimwengu wa roho

Page 494: Nguvu ya maombi

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18Mathayo 16:18“Kuna mashindano (kuna vita), ( ),

kati ya milango ya kuzimu ( ) k l(nguvu za giza) na kanisa la 

Bwana Yesu Kristo ”Bwana Yesu Kristo.Ufunuo 12:7‐12, 17Ufunuo 12:7 12, 17

Page 495: Nguvu ya maombi

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:7‐12, 17Ufunuo 12:7 12, 177 “Kulikuwa na vita mbinguni, g ,Malaika Mkuu wa majeshi ya 

l k k lMungu, Malaika Mikaeli, akapigana na yule joka naakapigana na yule joka na 

malaika zake …”

Page 496: Nguvu ya maombi

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:7‐12, 17Ufunuo 12:7 12, 178 “Nao hawakushinda, wala ,

mahali pao hapakuonekana tena b l kmbinguni. 9 Yule joka aitwaye ibilisi na shetani akatupwaibilisi na shetani, akatupwa duniani, na malalika zake wakatupwa pamoja naye.

Page 497: Nguvu ya maombi

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:7‐12, 17Ufunuo 12:7 12, 1710 “Nikasikia sauti kuu mbinguni, g ,ikisema, sas kumekuwa wokovu 

f lna nguvu na ufalme wa Mungu wetu na mamlaka ya Kristowetu na mamlaka ya Kristo wake, kwa maana ametupwa pchini mshitaki wa ndugu zetu”.

Page 498: Nguvu ya maombi

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:7‐12, 17Ufunuo 12:7 12, 1711 “Nao wakamshinda yule joka y jna malaika zake, kwa damu ya 

k d k lmwana kondoo na kwa neno la ushuhuda wao ambaoushuhuda wao, ambao 

hawakupenda maisha yao hata p ykufa”.

Page 499: Nguvu ya maombi

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:7‐12, 17Ufunuo 12:7 12, 1712 “Kwahiyo shangilieni enyi enyi y g y ywote mkaao mbinguni; lakini ole 

i i k d i i! Kwa ninyi mkaao duniani! Kwa maana yule joka ibilisi ameshukamaana yule joka ibilisi, ameshuka kwenu, ana hasira nyingi akijua 

ana wakati mchache!

Page 500: Nguvu ya maombi

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:17Ufunuo 12:1717 “Joka akamkasirikia yule ymwanamke (kanisa), akaenda f kafanye vita juu wa wazao wake wazishikao amri za Mungu nawazishikao amri za Mungu na kuwa na ushuhuda wa Yesu …”

Page 501: Nguvu ya maombi

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18Mathayo 16:18“Nitalijenga kanisa langu, j g g ,litapambana na milango ya k ( )kuzimu (nguvu za giza), na 

milango ya kuzimu haitawezamilango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”g

Page 502: Nguvu ya maombi

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18Mathayo 16:18“Kwahiyo, kuna mashindano y ,(kuna vita), kati ya milango ya 

k ( ) kkuzimu (nguvu za giza) na kanisala Bwana Yesu Kristo ”la Bwana Yesu Kristo.

Ufunuo 12:17Ufunuo 12:17

Page 503: Nguvu ya maombi

VITA VYA ROHONI

2Wakorintho 10:3‐52Wakorintho 10:3 5“Ingawa tunaenenda katika g

mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya l l l hmwili. Bali silaha zetu zina nguvu katika Mungu (roho) ”katika Mungu (roho).

Page 504: Nguvu ya maombi

VITA VYA ROHONI

Waefeso 6:12Waefeso 6:12“Kushindana kwetu (vita) si juu ( ) jya damu na nyama (mwili) bali ni 

f l l kjuu ya falme za giza, mamlaka za giza wakuu wa giza na majeshigiza, wakuu wa giza na majeshi 

ya pepo wabaya katikay p p yulimwengu wa roho.”

Page 505: Nguvu ya maombi

VITA VYA ROHONI

Waefeso 6:12Waefeso 6:12“Vaeni silaha zote na Twaeni 

silaha zote za Mungu ili muweze k h d f lkushindana na falme za giza, 

mamlaka za giza wakuu wa gizamamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabayaj y p p ykatika ulimwengu wa roho.”

Page 506: Nguvu ya maombi

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18Mathayo 16:18“Kwahiyo, kuna mashindano y ,(kuna vita), kati ya milango ya 

k ( ) kkuzimu (nguvu za giza) na kanisala Bwana Yesu Kristo ”la Bwana Yesu Kristo.

Ufunuo 12:17Ufunuo 12:17

Page 507: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA

4. VITA VYA ROHONI

Rejea habari yaRejea habari ya

Maombi ya Nabii EliyahMaombi ya Nabii Eliyah1Wafalme 18:41‐45

Page 508: Nguvu ya maombi

VITA VYA KIROHO

1Wafalme 18:41‘Katika ulimwengu wa roho, Mungu alikuwa ameshatelemsha barakaalikuwa ameshatelemsha baraka walizokuwa wanahitaji katika ulimwengu wa mwili; lakini 

kulikuwa na kizuizi kilichokuwakulikuwa na kizuizi kilichokuwa kinaishikilia baraka yao (kinaizuia) y ( )

katika ulimwengu wa roho’.

Page 509: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba (Kumb 28:1‐14)/     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /        Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 

Page 510: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /     Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        /

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /    Mvua ya Mwilini /        //      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       /

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /       /      /      /      /       /        /

Page 511: Nguvu ya maombi

VITA VYA KIROHOKwahiyo, 

Kwa njia ya Maombi,  yaani kwendakatika ulimwengu wa roho mtu wakatika ulimwengu wa roho, mtu wa Mungu ataweza kuwasiliana na 

Mungu wake, na kuuathiriulimwengu wa roho mpaka kuletaulimwengu wa roho mpaka kuleta 

mabadiliko duniani, katika ,ulimwengu wa mwilini. 

Page 512: Nguvu ya maombi

VITA VYA KIROHOKwahiyo, 

Kwa njia ya Maombi,  Eliya aliweza kwenda katika ulimwengu wa rohokwenda katika ulimwengu wa roho,na kupambana na nguvu za giza 

zilizokuwa zinazuia baraka ya Israeli(rohoni) ili kuzuia watu wa Mungu(rohoni) ili kuzuia watu wa Mungu

wasifurahie maisha katikafulimwengu wa mwili.

Page 513: Nguvu ya maombi

VITA VYA KIROHOUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Kama Eliya asingeomba kwa bidii ileKama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni, na huku duniani, 

watu wa Mungu wangeishi maisha ya g g yshida na taabu; na kumbe wana baraka nyingi sana kwa maisha yao rohoninyingi sana kwa maisha yao, rohoni.

Page 514: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiriKanuni za kiroho zikiathiri 

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili jambo fulanikanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika   njia za kawaida za kimwili.

Page 515: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 6:10‐13, 2Wakorontho 10:3‐5Na sisi pia tusipopambana naNa sisi pia tusipopambana na nguvu za giza, baraka hizi zote 

tulizopewa katika ulimwengu wa roho zitabaki huko huko rohoniroho, zitabaki huko huko rohoni,wakati huku duniani, tunateseka kwa maisha ya shida na taabu.

Page 516: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Kwanini tunaishi maisha magumuKwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso, yaliyojaa shida na taabu nyingi, wakati kule rohonitumepewa baraka nyingi sanatumepewa baraka nyingi sana 

kutoka kwa Mungu, za kutusaidia gkatika maisha yetu ya kila siku?

Page 517: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Ni kwasababu; watu wa MunguNi kwasababu; watu wa Mungu,

(1)  Hatujajua siri ya ulimwengu wa ( ) j j y groho inavyoingiliana na ulimwengu 

ili h t k l t b dilikwa mwili, hata kuleta mabadiliko tunayotaka kuyaona huku duniani.  y y

~ kutokujua ~

Page 518: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Ni kwasababu; watu wa MunguNi kwasababu; watu wa Mungu, (2)  Hatuna nidhamu na bidii ya ( ) ykwenda rohoni kwa njia ya 

bi h t k h kmaombi, hata kuchukua na kutelemsha baraka zetu duniani.      

~  Uzembe  ~

Page 519: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Ni kwasababu; watu wa MunguNi kwasababu; watu wa Mungu, (3) Hatujui mamlaka yetu, ( ) j y ,tuliyopewa na Kristo, katika

Uli hUlimwengu wa roho.~ Kutojua ~  Kutojua

Page 520: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Ni kwasababu; watu wa MunguNi kwasababu; watu wa Mungu, 

(4) Hatujui namna ya kupigana na( ) j y p gkushindana na nguvu za giza, k tik Uli hkatika Ulimwengu wa roho.

~ Kutojua ~  Kutojua

Page 521: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Kwahiyo, ni lazima tujue kwamba, Ulimwengu wa roho ndio 

unaotawala ulimwengu wa mwili;unaotawala ulimwengu wa mwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna ,

kitu kitakachofanyika katika Uli ili i kUlimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika kwan a kimefanyika katika

Ulimwengu wa roho.

Page 522: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya 

maombi kumbuka kwamba aduimaombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetakamambo ambayo usingetaka     

kabisa yakupate.

Page 523: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengujambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilo 

moja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katikabali analifanya kwanza katika 

ulimwengu wa roho.

Page 524: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Munguutaratibu wa uumbaji wa Mungu 

duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya 

k i i k ’kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)(Waebrania 11:3)

Page 525: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA

4. VITA VYA ROHONI

Rejea habari yaRejea habari ya

Maombi ya DanielMaombi ya DanielDaniel 10:1‐14, 20,

Page 526: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Siku  21

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Uyahudi Uajemi Uyunani

Page 527: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Siku  21

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Uyahudi Uajemi Uyunani

Page 528: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Vita ya Siku 3 

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

mfalmemfalme mfalme

Uyahudi Uajemi Uyunani

Page 529: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Siku  21

Uyahudi Uajemi UyunaniSiku 3

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

mfalme mfalme mfalme

Siku 24

Uyahudi Uajemi Uyunani

Page 530: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Siku  21

Uyahudi Uajemi UyunaniSiku 3

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

mfalmemfalme mfalme

Siku 24

Uyahudi Uajemi Uyunani

Page 531: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Fitina2Nyak 20

Math 12:25Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

Uyahudi Uajemi Uyunani

Page 532: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Fitina2Nyak 20

Math 12:25                            

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

Uyahudi Uajemi Uyunani

Page 533: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Fitina2Nyak 20

Math 12:25                            

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

Uyahudi Uajemi Uyunani

Page 534: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Fitina2Nyak 20

Math 12:25                            

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

Uyahudi Uajemi Uyunani

Page 535: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Fitina2Nyak 20

Math 12:25                            

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

Uyahudi Uajemi Uyunani

Page 536: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Fitina2Nyak 20

Math 12:25                            

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

Uyahudi Uajemi Uyunani

Page 537: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa   mwili kwahiyo hakuna kitumwili; kwahiyo, hakuna kitu kitakachofanyika katikakitakachofanyika katika 

Ulimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika 

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa roho.

Page 538: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ukombozi wa Israeli, ulifanyika kwanza katika ulimwengu wa roho ndipo ukaweza kutokearoho, ndipo ukaweza kutokea katika Ulimwengu wa mwili.g

Page 539: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo usije ukafikirimahali fulani leo, usije ukafikiri 

limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hil li jit k l ki i b khilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaailipandwa huko rohoni siku kadhaa 

zilizopita (wakati uliopita).

Page 540: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengujambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilo 

moja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katikabali analifanya kwanza katika 

ulimwengu wa roho.

Page 541: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Munguutaratibu wa uumbaji wa Mungu 

duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya 

k i i k ’kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)(Waebrania 11:3)

Page 542: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya 

maombi kumbuka kwamba aduimaombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetakamambo ambayo usingetaka     

kabisa yakupate.

Page 543: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 6:12Kushindana kwetu sisi si juu ya 

damu na nyama (mwili) bali ni juudamu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme na mamlaka za giza, wakuu y g

wa giza na majeshi ya mapepo b k tik li hwabaya, katika ulimwengu wa roho.

Page 544: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20‐21Waefeso 1:20 21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa 

mahali alipoketishwa yeye, katikaulimwengu wa roho juu sana kulikoulimwengu wa roho, juu sana kuliko 

falme na mamlaka za giza; ili g ;tuweze kuvunja na kuharibu kazi za 

h t i d i ishetani duniani. 

Page 545: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Na ndio maana Mungu anatuambia katika Neno lake kwamba, 

‘tusijisumbue kwa jambo lolote‘tusijisumbue kwa jambo lolote maishani, bali katika kila jambo, , j ,tusali na kuomba na kushukuru...’ 

(W fili i 4 6 7)(Wafilipi 4:6‐7)

Page 546: Nguvu ya maombi

VITA VYA KIROHO

Matendo 19:18‐20Matendo 19:18 20Inatufundisha kwamba, UsijaribuInatufundisha kwamba, Usijaribu kupigana vita vya kiroho, kama 

huna mamlaka ya kiroho.

Page 547: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA

Silaha za VitaSilaha za Vita VyetuVyetu 

Page 548: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Kwahiyo;Mtu wa mungu anapokwenda rohoni ni lazima ajue kwambarohoni, ni lazima ajue kwamba, 

atakutana na adui shetani anayetawala eneo lake (eneo 

linaloombewa)linaloombewa) 

Page 549: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Hivyo basi, inampasa mtu wa Mungu k k l b dilik janayetaka kuleta mabadiliko, ajue 

namna ya kupigana na adui shetaninamna ya kupigana na adui shetani juu ya maeneo anayoyaombea.

Waefeso 6:12, 10‐11,13

Page 550: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Aina kuu 2 za silahaAina kuu a silaha1. Silaha za Ulinzi (mst.11)2. Silaha za Kupiga (mst.13)

Waefeso 6:12, 10‐11,13

Page 551: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA

1. Silaha za Ulinzi(Kujilinda)(Kujilinda) (Waefeso 6:13)( )

Page 552: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)a) Kofia ya Chuma kichwani 

(WOKOVU)(WOKOVU)Kwenda rohoni / vitani wakatiKwenda rohoni / vitani wakati hujaokoka, ni kama kwenda vitani 

bila kofia ya chuma ( i 10 9 10 d 19 8 20)(Warumi 10:9‐10, Mdo 19:8‐20) 

Page 553: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)b) Gamba la chuma kifuani 

(UTAKATIFU)(UTAKATIFU)Kwenda rohoni / vitani wakatiKwenda rohoni / vitani wakati hauishi maisha matakatifu, ni 

kama kwenda vitani ulinzi kifuani. (1 1 1 16 b 23 1 )(1Pet 1:15‐16, Kumb 23:14) 

Page 554: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)c) Mkanda wa Kweli kiunoni     

(NENO LA KUIMARISHA)(NENO LA KUIMARISHA)Kwenda rohoni / vitani wakati hunaKwenda rohoni / vitani wakati huna 

maneno ya kukuimarisha, ni kama kuvaa gwanda bila mkanda. ( h 1 1 l i 3 16)(Yohana 17:17, Kolosai 3:16) 

Page 555: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)d) Mabuti ya Utayari Miguuni     

(UTAYARI UJASIRI)(UTAYARI + UJASIRI)Kwenda rohoni / vitani wakati hunaKwenda rohoni / vitani wakati huna 

ujasiri, ni kama kwenda vitani bila mabuti ya jeshi/kazi. 

(2 i h 2 2 i h 1 )(2Timotheo 4:2, 2Timotheo 1:7) 

Page 556: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)e) Ngao ya Imani mkononi     

(UHAKIKA)(UHAKIKA)Kwenda rohoni / vitani wakati hunaKwenda rohoni / vitani wakati huna 

uhakika (imani), ni kama kwenda vitani bila ngao mkononi. 

( b i 11 1 6 k 11 20 2 )(Ebrania 11:1, 6, Mark 11:20‐24) 

Page 557: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA

2. Silaha za Kupigap g(Kushambulia)(Kushambulia) (Waefeso 6:13)( )

Page 558: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

a) JINA LA YESU Wafilipi 2:9‐10, Marko 16:16‐20Ji l Y li tJina la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, ndilo y ,

Jina kuu zaidi, jina la Baba.Yoh 17:6,11

Page 559: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

b) NENO LA YESU Waebrania 4:12, Waefeso 6:17N l Y li tNeno la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Neno y ,

ni Bwana Yesu mwenyewe.Yoh 1:1‐4

Page 560: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

c) DAMU YA YESU Ufunuo 12:11, Waefeso 1:7

D Y i tDamu ya Yesu ina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Damu y ,

ya Yesu ina Roho wa Yesu.Walawi 17:14

Page 561: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

d) ROHO WA YESU 2Wathesalonike 2:8, Yeremia 51:1R h Y tRoho wa Yesu ana nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Roho y ,

wa Yesu ni Uhai wa Mungu1 Wakorintho 2:11‐12

Page 562: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)e) JESHI LA MALAIKA WA YESU 

Ufunuo 19:10, Mathayo 26:52‐53M l ik YMalaika wa Yesu wana nguvu na 

mamlkaka juu ya mashetani, j y ,ikiwa tu watapewa maagizo

Ufunuo 12:7‐10, Zab 34:7, Zab 91

Page 563: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengujambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilo 

moja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katikabali analifanya kwanza katika 

ulimwengu wa roho.

Page 564: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Munguutaratibu wa uumbaji wa Mungu 

duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya 

k i i k ’kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)(Waebrania 11:3)

Page 565: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo usije ukafikirimahali fulani leo, usije ukafikiri 

limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hil li jit k l ki i b khilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaailipandwa huko rohoni siku kadhaa 

zilizopita (wakati uliopita).

Page 566: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya 

maombi kumbuka kwamba aduimaombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetakamambo ambayo usingetaka     

kabisa yakupate.

Page 567: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 6:12Kushindana kwetu sisi si juu ya 

damu na nyama (mwili) bali ni juudamu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme na mamlaka za giza, wakuu y g

wa giza na majeshi ya mapepo b k tik li hwabaya, katika ulimwengu wa roho.

Page 568: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya 

maombi kumbuka kwamba aduimaombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetakamambo ambayo usingetaka     

kabisa yakupate.

Page 569: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20‐21Waefeso 1:20 21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa 

mahali alipoketishwa yeye, katikaulimwengu wa roho juu sana kulikoulimwengu wa roho, juu sana kuliko 

falme na mamlaka za giza; ili g ;tuweze kuvunja na kuharibu kazi za 

h t i d i ishetani duniani. 

Page 570: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Luka 10:19Luka 10:19Tazama, nimewapa mamlaka yote 

ya kukanyaga nge (nguvu ya i ) k ( i)maumivu) na nyoka (nguvu ya uasi) 

na nguvu zote za yule aduig y(waganga, wachawi, nk); na wala h k ki ki k h dhhakuna kitu kitakachowadhuru.

Page 571: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Mathayo 16:18‐19Mathayo 16:18 19‘milango ya kuzimu haitaweza kulishinda kanisa nililojenga; na 

b t t k fmambo yoyote mtakayoyafunga au mtakayofungua duniani, yatakuwa y f g , y

yamefungwa na kufunguliwa bi i ( li h )mbinguni (ulimwengu wa roho).

Page 572: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Yeremia 1:9‐10Yeremia 1:9 10Tazama, nimekuweka leo juu ya falme na juu ya mamlaka, ili 

k j k b k h ibkuvunja, kubomoa, kuharibu, na kung’oa, kisha nimekuweka ili g ,

kujenga na kupanda.

Page 573: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Yeremia 51:20Yeremia 51:20Wewe ni rungu langu la vita; kwa kukutumia wewe, nitavunja‐vunja f l it j j l kfalme na nitavunja‐vunja mamlaka.

(kwakuwa nimekuweka juu ya(kwakuwa nimekuweka juu ya falme na juu ya mataifa)

(Yeremia 1:9‐10)

Page 574: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Ufunuo 5:8‐10Ufunuo 5:8 10Watu walionunuliwa kwa damu ya 

Mwana‐kondoo Yesu Kristo, f ik W f lwamefanyika Wafalme na 

Makuhani; nao wamepewa kumiliki; pna kutawala juu ya nchi (katika 

li ili)ulimwengu wa mwili).

Page 575: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20‐21Waefeso 1:20 21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa 

mahali alipoketishwa yeye, katikaulimwengu wa roho juu sana kulikoulimwengu wa roho, juu sana kuliko 

falme na mamlaka za giza; ili g ;tuweze kuvunja na kuharibu kazi za 

h t i d i ishetani duniani. 

Page 576: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii wazi kwamba Kanuni za kirohozikiathiri ulimwengu wa rohozikiathiri ulimwengu wa roho 

inavyotakiwa, zitapindua kanuni za ki ili ili b k ili ikimwili, ili mambo yako ya mwilini, 

yafanyike na kukamilika, sawa sawa na mapenzi ya Mungu, hata ikibidi, iwe bila kupitia katika njia za kawaida zabila kupitia katika njia za kawaida za 

kimwili.

Page 577: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa roho

Page 578: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa rohoNamna ya kwenda rohoniy

Page 579: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa rohoNamna ya kwenda rohoniyNafasi/Mamlaka yako rohoni

Page 580: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa rohoNamna ya kwenda rohoniyNafasi/Mamlaka yako rohoniNamna ya Kupiga Vita rohoni 

Page 581: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBIKuujua Ulimwengu wa rohoKuujua Ulimwengu wa rohoNamna ya kwenda rohoniyNafasi/Mamlaka yako rohoniNamna ya Kupiga Vita rohoni 

5.  Namna ya Kuathiri rohoni (Nguvu ya Maombi)

Page 582: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA

5. NGUVU YA MAOMBINamna unavyoweza  

h lKuuathiri Ulimwengu wa Roho hata kubadilishaRoho hata kubadilisha Ulimwengu wa mwiliUlimwengu wa mwili.

Page 583: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBI

M k 11 12 14Marko 11:12‐14

12 K h k li k kit k12 Kesho yake walipokuwa wakitokaBethania, Yesu alikuwa na njaa. , j

Page 584: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBI

M k 11 12 14Marko 11:12‐1413 Alipouona mtini kwa mbali13 Alipouona mtini kwa mbali, 

akaenda ili aone kama ulikuwa namatunda. Alipoufikia, akakuta unamajani tu kwa kuwa hayakuwamajani tu, kwa kuwa hayakuwa

majira ya tini.j y

Page 585: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBI

Marko 11:12 14Marko 11:12‐1414 Yesu akauambia ule mti ‘‘Tangu14 Yesu akauambia ule mti,  Tanguleo mtu ye yote na asile matundakutoka kwako tena.’’ WanafunziWake walimsikia akisema hayoWake walimsikia akisema hayo. 

Page 586: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBI

Marko 11:20 24Marko 11:20‐2420 Asubuhi yake walipokuwa20 Asubuhi yake, walipokuwawakipita, wakauona ule mtini

umenyauka kutoka juu hadi kwenyemizizi yakemizizi yake. 

Page 587: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBI

Marko 11:20 24Marko 11:20‐2421 Petro akakumbuka na21 Petro akakumbuka na

kumwambia Yesu, “Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani

umenyauka!umenyauka!

Page 588: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBI

Marko 11:20 24Marko 11:20‐2422 Yesu akawajibu akawaambia22 Yesu akawajibu akawaambia, 

“Mwaminini Mungu. 23 Amin, aminnawaambia, mtu ye yote

atakayeuambia mlima huu ‘Ng’okaatakayeuambia mlima huu Ng okaukatupwe baharini,’…

Page 589: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIMarko 11:20‐24

23 l i h k i23 …wala asione shaka moyonimwake, bali aamini kwamba hayomwake, bali aamini kwamba hayo

asemayo yametukia, yatakuwa yake.24 Kwa sababu hiyo nawaambia, yoyote myaombayo mkisali aminini yayote myaombayo mkisali, aminini ya

kwamba mnayapokea nayoyatakuwa yenu.  

Page 590: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIMarko 11:20‐24

23 l i h k i23 …wala asione shaka moyonimwake, bali aamini kwamba hayomwake, bali aamini kwamba hayo

asemayo yametukia, yatakuwa yake.

S B dSasa Baadaye

Page 591: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIMarko 11:20‐24

24 t b ki li24 yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwambaaminini ya kwamba

mnayapokea nayo yatakuwa yenu.

Sasa Baadaye

Page 592: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maombi ni namna mojawapo ya kufungulia 

Nguvu za Mungu zilizo ndani yetu ili kuzipambanisha nayetu, ili kuzipambanisha na mambo ya mwili, yaliyogomamambo ya mwili, yaliyogoma kufanya kazi vile ilivyotakiwa.y y

Page 593: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maombi yalimwezesha Bwana Yesu, kuwa na uwezokatika maneno yake, uwezo ulimwezesha kuumiliki naulimwezesha kuumiliki na kuutawala ulimwengu wakuutawala ulimwengu wa mwili kwa nguvu za kiroho, g

kama alivyotaka yeye!

Page 594: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na Bwana Yesu akatuambia, tusimshangae yeye kwa 

alichofanya, kwasababu hata na sisi tuna uwezo huo huona sisi, tuna uwezo huo huo wa kiroho, ndani yetu, wawa kiroho, ndani yetu, wa kutawala na kubadilisha mambo yanayotuzunguka.

Page 595: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa kutumia Nguvu za kiroho, yaani ile Sura na 

Mfano wa Munguzilizowekezwa ndani yetuzilizowekezwa ndani yetu, 

tuna uwezo mkubwa sana watuna uwezo mkubwa sana wa kumiliki na kutawala

mazingira na mambo yetu.

Page 596: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBI

Marko 11:20 24Marko 11:20‐2422 Yesu akawajibu akawaambia22 Yesu akawajibu akawaambia, 

“Mwaminini Mungu. 23 Amin, aminnawaambia, mtu ye yote

atakayeuambia mlima huu ‘Ng’okaatakayeuambia mlima huu Ng okaukatupwe baharini,’…

Page 597: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIMarko 11:20‐24

23 l i h k i23 …wala asione shaka moyonimwake, bali aamini kwamba hayomwake, bali aamini kwamba hayo

asemayo yametukia, yatakuwa yake.24 Kwa sababu hiyo nawaambia, yoyote myaombayo mkisali aminini yayote myaombayo mkisali, aminini ya

kwamba mnayapokea nayoyatakuwa yenu.  

Page 598: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIMathayo 16:19, 18

19 M b t t k f19 Mambo yoyote mtakayoyafungaduniani, yatakuwa yamefungwaduniani, yatakuwa yamefungwambinguni (rohoni); na mambo 

k f dyoyote mtakayoyafungua duniani, yatakuwa pia yamefunguliwayatakuwa pia yamefunguliwa

mbinguni (rohoni);

Page 599: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIMathayo 16:19, 18

18 N k f h b i h t i18 Na kwa mfumo huu, basi shetanina milango yote ya kuzimu,na milango yote ya kuzimu, 

hataweza kulishinda Kanisa langu,l k l k flitakalojengwa kwa mfumo naufunuo huu (mwamba huu)ufunuo huu (mwamba huu)

Page 600: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIWaefeso 3:20

20 N M k t d20 Na Mungu anaweza kutendamambo makubwa mno na ya ajabumambo makubwa mno na ya ajabusana, kuliko tunayoweza kuelezea

k l k bna kuliko mambo tunayowezakuwaza, ni kwa kadri (kiwango nakuwaza, ni kwa kadri (kiwango na

kipimo) cha Nguvu zake, kinachotenda kazi ndani yetu.

Page 601: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBI

Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemeamaishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za 

Mungu kinachotenda kazi ndaniyako yaani kiwango chayako, yaani kiwango cha 

maombi unachofanya maishani maombi unachofanya maishanimwako.

Page 602: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maombi ni namna mojawapo ya kuzalisha Nguvu za Munguzinazohitajika ili kutuwezesha kuishi maisha ya ushindi nakuishi maisha ya ushindi na 

mafanikio duniani.mafanikio duniani.Waefeso 3:20Waefeso 3:20

Page 603: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Maombi yana nguvu ya y g yajabu sana ya kuuagiza Mkono wa Mungu na k k kkuuingiza kazini Mkono   

wa Munguwa MunguIsa a 45 11Isaya 45:11

Page 604: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Isaya 45:11Kwa habari ya Kazi za Mikono yangu, haya niagizeni, haya 

niamuruni

Page 605: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiriKanuni za kiroho zikiathiri 

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili jambo fulanikanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika   njia za kawaida za kimwili.

Page 606: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIMathayo 16:18‐19

Mambo mtakayoyafunga ninyi duniani, ndipo yatakuwa yamefungwa mbinguni; nayamefungwa mbinguni; na mambo mtakayoyafunguamambo mtakayoyafungua 

ninyi duniani, ndipo yatafunguliwa mbinguni

Page 607: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA

Daniel 4:17Vijana 4 waliojua namna ya 

k thi i li hkuuathiri ulimwengu wa roho,walisabababisha Mfalme wa nchiwalisabababisha Mfalme wa nchi 

kuwa kichaa kwa muda.

Page 608: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBADaniel 4:17

Hukumu hii (juu yako Mfalme, kukufanya kichaa kwa muda) imekuja kwa agizo la Walinziimekuja kwa agizo la Walinzi 

(Waombaji)(Waombaji)Isaya 62:7‐11y

Page 609: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBAYakobo 5:17‐18

Nabii Eliya alipoathiri kanuni za kiroho kwa njia ya maombi, 

mvua haikunyesha juu ya nchimvua haikunyesha juu ya nchi, japo kulikuwa na kanuni zotejapo kulikuwa na kanuni zote za kisayansi za mvua kunyesha.

Page 610: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBAYakobo 5:17‐18

Baada ya miaka 3 na nusu ya ukame mkali, Nabii Eliya aliziathiri tena kanuni zaaliziathiri tena kanuni za 

kiroho kwa njia ya maombi, nakiroho kwa njia ya maombi, na mvua ikanyesha juu ya nchi, na nchi ikazaa matunda yake.

Page 611: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBAKutoka 14:1‐43

Baada ya Musa kuziathiri kanuni za kiroho kwa njia ya maombi, maji ya bahari yaligawanyikamaji ya bahari yaligawanyika na kusimama kama ukuta,na kusimama kama ukuta, kushoto na kulia, na Israeli wakapita juu ya nchi kavu.

Page 612: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBAKutoka 14:1‐43

Baada ya Yesu kuziathiri kanuni za kiroho sawa sawa, kwa njia ya maombi maji ya kawaidamaombi, maji ya kawaida 

yalibadilika na kuwa divai safiyalibadilika na kuwa divai safi bila kutumia maabara.

Page 613: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBAMatendo 8:26‐40

Baada ya kanuni za kiroho kuathiriwa ipasavyo, Filipo alinyakuliwa na Roho waalinyakuliwa na Roho wa 

Mungu na kutoweka mbele yaMungu na kutoweka mbele ya watu, na akatokea nchi 

nyingine bila kutumia usafiri.

Page 614: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiriKanuni za kiroho zikiathiri 

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili jambo fulanikanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika   njia za kawaida za kimwili.

Page 615: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kutembea juu ya maji, kitu 

ambacho ni kinyume kabisa naambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Mathayo 14:22‐33Kanuni za kimwili hazikumzuia k f li h l i ik k fkufanya alicholazimika kufanya.

Page 616: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kugeuza ( )maji kuwa divai (bila maabara), 

kitu ambacho ni kinyume kabisakitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yohana 2:1‐11Kanuni za kimwili hazikumzuia k f li h l i ik k fkufanya alicholazimika kufanya.

Page 617: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza k li k f bilkumponya aliyekuwa na upofu, bila kumfanyia operation ya macho, kitukumfanyia operation ya macho, kitu 

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Marko 8:23 25Marko 8:23‐25Kanuni za kimwili hazikumzuiaKanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.

Page 618: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kumfufua li k f k kimtu aliyekufa na kuoza, kitu 

ambacho ni kinyume kabisa naambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yohana 11:17‐53k l h kKanuni za kimwili hazikumzuia 

kufanya alicholazimika kufanya.kufanya alicholazimika kufanya.

Page 619: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kuingia d i b ili f bilndani ya nyumba iliyofungwa bila 

kupita mlangoni wala dirishani, kitukupita mlangoni wala dirishani, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.Yohana 20:19 25/Luka 24:36 43Yohana 20:19‐25/Luka 24:36‐43Kanuni za kimwili hazikumzuiaKanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.

Page 620: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kuinuliwa k j k d bi ina kupaa juu kwenda mbinguni, 

(bila baloon) kitu ambacho ni(bila baloon) kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za 

kawaida za kimwili.Matendo 1:6 11Matendo 1:6‐11

Kanuni za kimwili hazikumzuiaKanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.

Page 621: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiriKanuni za kiroho zikiathiri 

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili jambo fulanikanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika   njia za kawaida za kimwili.

Page 622: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Na huu ndio utaratibu ambao Mungu alikusudia tuweze kuutawala ulimwengu palekuutawala ulimwengu, pale 

kanuni za kimwili zinapotuzuia au pzinapokataa kufanya kazi kama li ji ( i )tulivyotarajia (zinapotugomea).

Page 623: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

‘Amini Amini nawaambia, kila mtui i i i i k i i ifaniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, 

(miujiza) na yeye atazifanya, naam,(miujiza) na yeye atazifanya, naam, hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba 

kuwaletea Roho yule yulekuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.

Yohana 14:12/16:7‐8

Page 624: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa Roho

Kwahiyo, si Yesu peke yake, hata bi d i k idbinadamu wengine wa kawaida, waliweza kufaya mambo ya ajabuwaliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikiomaisha ya ushindi na mafanikio 

duniani, bila kuzuilika.Yohana 14:12/16:7‐8

Page 625: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa RohoNdio maana Musa aliweza kufungua b h i Sh t illi i 2bahari ya Shamu na watu millioni 2 wakapita katika nchi kavu, katikati ya p , yghorofa mbili za maji kitu ambacho ni kin me kabisa na kan ni a ka aidakinyume kabisa na kanuni za kawaida 

za kimwili.Kutoka 14:1‐31

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 626: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa RohoNdio maana Musa aliweza kutoa maji k t k k b tkutoka kwenye mwamba na watu millioni 2 na wanyama wao, wote  y ,wakanywa na kutosheka kitu ambacho ni kin me kabisa naambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Kutoka 17:1‐7Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 627: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa RohoNdio maana Joshua aliweza 

k i i h k d ikusimamisha mzunguko wa dunia hata jua likasimama mpaka j p

walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kin me kabisa naambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Joshua 10:12‐15Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 628: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa RohoNdio maana Eliya aliweza  kuzuia 

k i k it t jmvua kwa miaka mitatu japo kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya y y

kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kin me kabisa naambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17‐18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 629: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa RohoNa ndio maana pia aliweza  kurudisha 

j hi j h k kmvua juu ya nchi, japo hakukuwa na kanuni za kimwili za kuruhusu 

(kusababisha) mvua kunyesha, kitu ambacho ni kin me kabisa naambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17‐18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 630: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa RohoNdio maana Petro aliweza kumponya kil k tik l h k l bilkilema katika mlango wa hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu p y g ( ),

ambacho ni kinyume kabisa na kan ni a ka aida a kim ilikanuni za kawaida za kimwili.

Matendo 3:1‐16Matendo 3:1 16Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 631: Nguvu ya maombi

Ulimwengu wa RohoNdio maana Filipo aliweza kusafiri 

k k k k likwa kupaa na kunyakuliwa (kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho ( ) ,

ni kinyume kabisa na kanuni za ka aida a kim ilikawaida za kimwili.Matendo 8:26‐40Matendo 8:26 40

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Page 632: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiriKanuni za kiroho zikiathiri 

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili jambo fulanikanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika   njia za kawaida za kimwili.

Page 633: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maombi yalimwezesha Bwana Yesu, kuwa na uwezokatika maneno yake, uwezo ulimwezesha kuumiliki naulimwezesha kuumiliki na kuutawala ulimwengu wakuutawala ulimwengu wa mwili kwa nguvu za kiroho, g

kama alivyotaka yeye!

Page 634: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na Bwana Yesu akatuambia, tusimshangae yeye kwa 

alichofanya, kwasababu hata na sisi tuna uwezo huo huona sisi, tuna uwezo huo huo wa kiroho, ndani yetu, wawa kiroho, ndani yetu, wa kutawala na kubadilisha mambo yanayotuzunguka.

Page 635: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa kutumia Nguvu za kiroho, yaani ile Sura na 

Mfano wa Munguzilizowekezwa ndani yetuzilizowekezwa ndani yetu, 

tuna uwezo mkubwa sana watuna uwezo mkubwa sana wa kumiliki na kutawala

mazingira na mambo yetu.

Page 636: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBINGUVU YA MAOMBI

Marko 11:20 24Marko 11:20‐2422 Yesu akawajibu akawaambia22 Yesu akawajibu akawaambia, 

“Mwaminini Mungu. 23 Amin, aminnawaambia, mtu ye yote

atakayeuambia mlima huu ‘Ng’okaatakayeuambia mlima huu Ng okaukatupwe baharini,’…

Page 637: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Shetani akijua siri hii, alimwangusha Adam kishaalimwangusha Adam, kisha akaketi katika nafasi yaakaketi katika nafasi ya kuitawala dunia kupitia ulimwengu wa rohoni, 

i 3 23 i 2Warumi 3:23, Warumi 5:12‐17

Page 638: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Alipkwisha kumwangusha Adam k t k k tik h h kkutoka katika cheo chake,  

akaviweka vikosi vya majeshiakaviweka vikosi vya majeshi yake yote katika ulimwengu wa roho, ili aweze kuitawala dunia.

Waefeso 6:12

Page 639: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 6:12Kushindana kwetu sisi si juu ya 

damu na nyama (mwili) bali ni juudamu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme na mamlaka za giza, wakuu y g

wa giza na majeshi ya mapepo b k tik li hwabaya, katika ulimwengu wa roho.

Page 640: Nguvu ya maombi

KUMBUKA TULICHOJIFUNZA

3. MAMLAKA YA ROHONINafasi yako katika yUlimwengu wa rohog

Page 641: Nguvu ya maombi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI “Mashal”KABLA YA DHAMBI      Mashal

MkuuMUNGU

ADAMMfalme

Mtawala

MALAIKA Mwakilishi

mungu

DUNIA

S

g

Zab 8:4‐8SHETANI

Page 642: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Shetani akiijua siri hii, na akitaka kuwa mungu wa dunia, aliatafuta kwa bidii kumwangusha Adamkwa bidii kumwangusha Adam katika kiti /nafasi yake (rohoni); / y ( );na alipofanikiwa, aliushika na kuutawala ulimwengu wa roho. 

Page 643: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Shetani alijua siri hii, na alipoukamata tu ulimwengu wa roho akawekeza majeshi yakeroho, akawekeza majeshi yake 

yote katika ulimwengu wa roho ili y gatawale ulimwengu wa mwili na 

kuwa mkuu wa dunia hii.

Page 644: Nguvu ya maombi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOKABLA YA DHAMBI

MkuuMUNGU

ADAM

Mfalme

Mtawala

MALAIKA Mwakilishi

mungu

Zaburi 8:4‐8 S

DUNIA

g

“Juu ya” = “Mashal”SHETANI

Page 645: Nguvu ya maombi

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)KABLA YA DHAMBI (ANGUKO) 

(Utukufu) Msaada Mungu(Utukufu) Msaada Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani

Page 646: Nguvu ya maombi

BAADA YA DHAMBI (ANGUKO)BAADA YA DHAMBI (ANGUKO) 

(Utukufu) Uhusiano Mungu(Utukufu) Uhusiano Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani

Page 647: Nguvu ya maombi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

MUNGU

SHETANI

MALAIKA

SHETANI  ALITAPELI NAFASI YA ADAM

DUNIA

NAFASI YA ADAMADAM

Page 648: Nguvu ya maombi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Yohana 16:11MkuuMUNGU

SHETANIMfalme

Mtawala

Waefeso 2:1‐2

1Yohana 5:19

MALAIKA Mwakilishi

mungu

Luka 4:5‐8

2Korintho 4:3‐4

Warumi 5:12, 14DUNIA

g

Waebrania 2:14, 15ADAM

Page 649: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Efe 2:1‐2   – Mfalme wa angafe fa e a a ga2Kor 4:4    – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19  – Mtawala (Controler) Yoh 12:31  – Mkuu wa UlimwenguY h 14 30 Mk UliYoh 14:30  – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11  – Mkuu wa Ulimwengu

Page 650: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Warumi 5:14Warumi 5:14Kwahiyo, mauti ikatawalay ,

(shetani) tangu wakati wa Adamu hadi wakati wa Musa; mauti 

iliwatawala watu wote hata waleiliwatawala watu wote hata wale ambao hawakuvunja amri kama j

alivyofanya Adamu

Page 651: Nguvu ya maombi

BAADA YA WOKOVU

Walosai 2:13‐15Walosai 2:13 15Kwa njia ya msalaba na damu yake, Bwana Yesu alifuta kabisa 

d i l dh bi (h ti hit k )deni la dhambi (hati ya mashitaka) juu yetu; kisha akavunja nguvu najuu yetu; kisha akavunja nguvu na mamlaka za shetani na kumfanya 

aidu hadharani.

Page 652: Nguvu ya maombi

BAADA YA WOKOVU

Walosai 2:13‐15/1:13Walosai 2:13 15/1:13Lakini, kwa kifo cha Bwana Yesu, , ,

ufalme wa shetani duniani, l d l b d l kulipinduliwa na mabadiliko ya kimamlaka yalitokea katikakimamlaka yalitokea katika 

Ulimwengu wa roho;gUfunuo 11:15 

Page 653: Nguvu ya maombi

BAADA YA WOKOVU

Walosai 1:13Walosai 1:13‘Naye Mungu, alituokoa kutoka y g ,

katika nguvu za giza na k h h kkutuhamisha na kutuingiza katika Ufalma wa mwanayekatika Ufalma wa mwanaye 

mpendwa, Yesu Kristo.’p

Page 654: Nguvu ya maombi

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 

(Utukufu) Uhusiano Mungu(Utukufu) Uhusiano Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani

Page 655: Nguvu ya maombi

BAADA YA WOKOVU

Waefeso 2:6/1:20‐23Waefeso 2:6/1:20 23Akatufufua pamoja naye, 

akatuketisha pamoja naye, katika Uli h li k ti hUlimwengu wa roho; aliomketisha Kristo Yesu siku aliyomfufua, juu y f f , j

sana kuliko falme zote na mamlaka ili i h i izote za mwilini na rohoni pia.

Page 656: Nguvu ya maombi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA WOKOVU

MkuuMUNGU + ADAM  2

MALAIKAMfalme

Mtawala

SHETANI Mwakilishi

mungu

Waefeso 2:6DUNIA

g

Waefeso 1:18‐23ADAM   1

Page 657: Nguvu ya maombi

BAADA YA WOKOVU

Ufunuo 11:15Ufunuo 11:15Kisha, malaika wa saba akapiga 

tarumbeta, na jeshi lote la bi i k h ili k k l lmbinguni wakashangilia kwa kelele za ushindi wakisema, ufalme wa , f

dunia, umekwisha kuwa Ufalme wa i kBwana wetu na wa Kristo wake.

Page 658: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Luka 10:19Luka 10:19Tazama, nimewapa mamlaka yote 

ya kukanyaga nge (nguvu ya i ) k ( i)maumivu) na nyoka (nguvu ya uasi) 

na nguvu zote za yule aduig y(waganga, wachawi, nk); na wala h k ki ki k h dhhakuna kitu kitakachowadhuru.

Page 659: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Mathayo 16:18‐19Mathayo 16:18 19Nitalijenga kanisa langu, wala milango ya kuzimu haitaweza k li hi d b tkulishinda; na mambo yoyote mtakayoyafunga duniani, y y f g ,

yatakuwa yamefungwa mbinguni (k ik li h )(katika ulimwengu wa roho).

Page 660: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Mathayo 16:18‐19Mathayo 16:18 19… na mambo yoyote 

mtakayoyafungua duniani, t k f liyatakuwa yamefunguliwa 

mbinguni (yaani yatakuwa g (y yyamefunguliwa pia katika 

li h )ulimwengu wa roho).

Page 661: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Ufunuo 5:8‐10Ufunuo 5:8 10Watu walionunuliwa kwa damu ya 

Mwana‐kondoo Yesu Kristo, f ik W f lwamefanyika Wafalme na 

Makuhani; nao wamepewa kumiliki; pna kutawala juu ya nchi (katika 

li ili)ulimwengu wa mwili).

Page 662: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Yeremia 1:9‐10Yeremia 1:9 10Tazama, nimekuweka leo juu ya falme na juu ya mamlaka, ili 

k j k b k h ibkuvunja, kubomoa, kuharibu, na kung’oa, kisha nimekuweka ili g ,

kujenga na kupanda.

Page 663: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Yeremia 51:20Yeremia 51:20Wewe ni rungu langu la vita; kwa kukutumia wewe, nitavunja‐vunja f l it j j l kfalme na nitavunja‐vunja mamlaka.

(kwakuwa nimekuweka juu ya(kwakuwa nimekuweka juu ya falme na juu ya mataifa)

(Yeremia 1:9‐10)

Page 664: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Ufunuo 5:8‐10Ufunuo 5:8 10Kwahiyo, watu walionunuliwa kwa damu ya Mwana‐kondoo Yesu K i t f ik W f lKristo, wanafanyika Wafalme na 

Makuhani; nao wanapewa kumiliki ; pna kutawala juu ya nchi.

Page 665: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Ufunuo 5:8‐10Ufunuo 5:8 10Mtu anapotubu dhambi zake na kupokea wokovu wa Bwana wetu Y K i t b i di hiYesu Kristo, basi anarudishiwa 

mamlaka ya ‘Adam’ ya kumiliki na y ykutawala dunia (mazingira yake na 

i h k k j l )maisha yake kwa ujumla).

Page 666: Nguvu ya maombi

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Waefeso 2:6/1:18‐23Waefeso 2:6/1:18 23Mtu wa Mungu anapokwenda 

katika ulimwengu wa roho, akitaka k hi dikuwa mshindi na mwenye 

mafanikio, basi ni lazima na ni f ,muhimu ajue mamlaka aliyonayo

k ik li hkatika ulimwengu wa roho.

Page 667: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Na ndio maana Mungu alipomfufuaNa ndio maana, Mungu alipomfufua Yesu kutoka katika wafu, naye pia 

alimketisha katika ulimwengu wa roho ili aweze kuitawala dunia ya mwilini.y

Waefeso 1:18‐21

Page 668: Nguvu ya maombi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA WOKOVU

MkuuMUNGU + ADAM  2

MALAIKAMfalme

Mtawala

SHETANI Mwakilishi

mungu

Waefeso 2:6DUNIA

g

Waefeso 1:18‐23ADAM   1

Page 669: Nguvu ya maombi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9‐10Ufunuo 5:9‐109 Wewe unastahili kukitwaakitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwakwa sababu ulichinjwa na kwa 

damu yako ukamnunulia M t k t k k tik kilMungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na , g , j

kila taifa (kanisa). 

Page 670: Nguvu ya maombi

MAMLAKA YA MKRISTOMAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9 10Ufunuo 5:9‐1010 Nawe umewafanya hawa10 Nawe umewafanya hawa wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao 

iliki d i ’’wanamiliki dunia.’’

Page 671: Nguvu ya maombi

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ufunuo 5:8‐10

Ufalme Makuhani

Kutawala Ibada 

Page 672: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Na sio Yesu tu, bali Mungu akatufufua na sisi pia kutoka katika wafu, na a s s p a uto a at a a u, a

ktuketisha na sisi pia katika ulimwengu wa roho juu sana kuliko falme nawa roho, juu sana kuliko falme na 

mamlaka za giza, ili tuweze kuitawala dunia ya mwilini.

Waefeso 1:18 21 / Waefeso2:6Waefeso 1:18‐21 / Waefeso2:6

Page 673: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii ni kutokana na kanuni ya uumbaji wa dunia; kwamba, ulimwengu wa a du a; a ba, u e gu aroho ndio ulioumbwa kwanza, kisha 

ukauzaa ulimwengu wa mwili kwahiyoukauzaa ulimwengu wa mwili; kwahiyo, mtu akishika ulimwengu wa roho, anakuwa na uwezo wa kuutawala 

ulimwengu wa mwiliulimwengu wa mwili.

Page 674: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili; 

kwahiyokwahiyo, Hakuna kitu kitakachofanyikaHakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, 

mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa roho.

Page 675: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Utendaji kazi wa Mungu duniani, huanzia katika ulimwengu wa roho

kwanza Mambo yakikamilikakwanza. Mambo yakikamilika rohoni, ndipo huyazaa mambo hayo 

katika ulimwengu wa mwili.

Page 676: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, siku yako/yetu ya kesho (future) ipo kamili kabisa katika 

ulimwengu wa roho na una uwezoulimwengu wa roho, na una uwezo wa kwenda rohoni kuirekebisha, 

kabla haijazaliwa katika ulimwengu wa mwiliwa mwili.

Page 677: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya 

maombi kumbuka kwamba aduimaombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetakamambo ambayo usingetaka     

kabisa yakupate.

Page 678: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:20‐21Bwana Yesu alipofufuka, alitufufua 

na sisi kutoka katika mautina sisi kutoka katika mauti (dhambi), na akatuketisha mahali ( )

alipoketishwa yeye, katikali hulimwengu wa roho.

Page 679: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20‐21Waefeso 1:20 21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa 

mahali alipoketishwa yeye, katikaulimwengu wa roho juu sana kulikoulimwengu wa roho, juu sana kuliko 

falme na mamlaka za giza; ili g ;tuweze kuvunja na kuharibu kazi za 

h t i d i ishetani duniani. 

Page 680: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kupitia siri hii, tunaweza kutawala mambo yote ya mwili (physicalmambo yote ya mwili (physical 

creation) kama tutaijua siri hii kuu ya ulimwengu wa roho na kama tutajua namna ya kwenda natutajua namna ya kwenda na 

kuutawala ulimwengu wa roho.

Page 681: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBA

NGUVU YA MAOMBI Namna ya Kuuathiri 

Ulimwengu wa roho kwa njia ya maombi.j y

Page 682: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

1.Kufunga Mambo unayotaka f ikyafungike

Mathayo 16:18‐19Mathayo 16:18‐19Yakobo 5:16‐18

Page 683: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

2. Kufungua Mambo unayotaka f kyafunguke

Mathayo 16:18‐19Mathayo 16:18‐19Yakobo 5:16‐18

Page 684: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

3. Kuua Kufisha Mambo unayotaka f k biyafe kabisa

Marko 11:12‐14Marko 11:12‐14‘tangu leo mtu asile matunda kwako’g

(Kuanzia leo Ufe kabisa)

Page 685: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

4. Kuhuisha / Kufufua Mambo k f f kunayotaka yafufuke

Yohana 11:11‐15Yohana 11:11‐15‘Lazaro, rudi katika uhai wako tena’,

Ezekieli 37:1‐14

Page 686: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

5. Kuhamisha Nyakati/MatukioMarko 13:14‐19

‘O b i k ki bi k i k ti‘Ombeni kukimbia kusiwe wakati wa baridi (kuwe wakati wa joto)’( j )Yohana 2:1‐11, Isaya 38:1‐5

Page 687: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1‐5/13:8)

Page 688: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1‐5/13:8)b)Y S (D 1 17 20/17 24)b)Ya Sasa (Dan 1:17‐20/17‐24)

Page 689: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1‐5/13:8)b)Y S (D 1 17 20/17 24)b)Ya Sasa (Dan 1:17‐20/17‐24)c)Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13‐14 17)c)Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13‐14,17)

Page 690: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

7. Kuwa sehemu 2 wakati mmoja1Wakorintho 5:3‐4

Ingawa sipo nanyi kimwili, lakini mjue kwamba nipo nanyi kirohomjue kwamba nipo nanyi kiroho

Wafalme 5:14‐27Wafalme 5:14 27

Page 691: Nguvu ya maombi

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

Tukijua siri hii ya maombi, jinsi yanavyoweza kubadilisha  

ulimwengu wa roho tutajibidiishaulimwengu wa roho, tutajibidiisha kuomba, ili kuleta mabadiliko ,tunayotamani kuyaona katika 

maisha yetu, duniani. 

Page 692: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

JengaJenga  Kiu Bidii Stamina naKiu, Bidii, Stamina na Nidhamu ya kimaombiNidhamu ya kimaombi

Page 693: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

JengaJengaKiu ya MaombiKiu ya Maombi, Bidii ya Maombi,Bidii ya Maombi, Stamina ya MaombiyNidhamu ya kimaombi

Page 694: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na NidhamuJenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Munguya Kukaa na Mungu 

Kwa Mfano wa MusaKut 24:1‐18K 34 29 35Kut 34:29‐35

Page 695: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na NidhamuJenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Munguya Kukaa na Mungu 

Kwa Mfano wa JoshuaKut 24:1‐18/32:9‐19

K 33 7 11Kut 33:7‐11 

Page 696: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua alikuwa na bidii na nidhamuJoshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika y y j y

uwepo wa Mungu/Kutoka 24:1‐18/32:9‐19

Wazee walishindwa kumsubiri MusaWazee walishindwa kumsubiri Musa katika maombi, lakini Joshua ,aliweza kukaa siku zote 40.  

Page 697: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua alikuwa na bidii na nidhamu yaJoshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika uwepo 

Mwa MunguKutoka 33:7‐11

Mzee Musa alichoka kuomba, akaondoka katika hema lakiniakaondoka katika hema, lakini Joshua alikaa katika uwepo wa 

Mungu hata kwa muda wa ziada .  

Page 698: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua alikuwa na bidii na nidhamuJoshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika y y j y

uwepo wa Mungu

Bidii na Nidhamu katika mambo ya Mungu, inalipa. 

(Inakupa kibali mbele za Mungu) 

Page 699: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua 3:7Joshua 3:77 Ndipo BWANA akamwambia pYoshua, “Leo nitaanza kukutukuza machoni pa Israeli yote ili wapatemachoni pa Israeli yote, ili wapate kujua kuwa niko pamoja nawe k ili k jkama nilivyokuwa pamoja na Mose. (Nitafungua maji ya mto ( g j y

Jordan mbele yako)

Page 700: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na NidhamuJenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Munguya Kukaa na Mungu 

Kwa Mfano wa Mfalme DaudiZab 63:1‐3Z b 27 4Zab 27:4

Page 701: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Bwana Yesu alikuwa na bidii naBwana Yesu alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa 

k kkatika uwepo wa MunguNa ndio maana bidii yake naNa ndio maana, bidii yake na 

nidhamu katika mambo ya Mungu, ilikuwa inamlipa. 

(Inampa kibali mbele a M ng )(Inampa kibali mbele za Mungu) 

Page 702: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na NidhamuJenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Munguya Kukaa na Mungu 

Kwa Mfano wa Bwana YesuMath 14:22‐23L k 6 12 17 19Luka 6:12,17‐19

Page 703: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Nyakati 16:92Nyakati 16:99 Macho ya Bwana yanakimbia‐9 Macho ya Bwana yanakimbiakimbia duniani mwote, yakitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili Mungu 

ajionyeshe kwamba yeye niajionyeshe kwamba yeye ni mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.

Page 704: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na NidhamuJenga Kiu na Bidii na Nidhamu Wengi wana Kiu, lakini hawana;gNguvu za kuomba muda mrefu. H b t b M tHebu tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba 

kwa muda mrefu. L ka 22 40 46Luka 22:40‐46

Page 705: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na NidhamuJenga Kiu na Bidii na Nidhamu Bwana Yesu alipochoka kuomba, Mungu alimtia nguvu mpya ili azidiMungu alimtia nguvu mpya ili azidi 

kuomba mpaka kuvuka jaribu alilokuwa nalo Hebu nasisialilokuwa nalo. Hebu nasisi 

tumwombe Mungu atupe nguvu ili t k b k dmpya, ili tuweze kuomba kwa muda 

mrefu, ili tuvuke na kushinda. Luka 22:40‐46

Page 706: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwambaHii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, ,unategemea sana kiwango

hcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

Page 707: Nguvu ya maombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 3:20Waefeso 3:20Atukuzwe Mungu awezayeAtukuzwe Mungu, awezaye kutenda mambo ya ajabu mno, kuliko yote tuyaombayo au 

tuyawazayo kwa kadri ya nguvutuyawazayo, kwa kadri ya nguvuzake zitendazo kazi ndani yetu.

Page 708: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiriKanuni za kiroho zikiathiri 

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili jambo fulanikanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika   njia za kawaida za kimwili.

Page 709: Nguvu ya maombi

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20‐21Waefeso 1:20 21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa 

mahali alipoketishwa yeye, katikaulimwengu wa roho juu sana kulikoulimwengu wa roho, juu sana kuliko 

falme na mamlaka za giza; ili g ;tuweze kuvunja na kuharibu kazi za 

h t i d i ishetani duniani.