Masiha - Messiah...Kitabu kinahusu Neno la Mungu aliye hai. Kupitia kwa Neno hili, kwa uongozo wa...
Transcript of Masiha - Messiah...Kitabu kinahusu Neno la Mungu aliye hai. Kupitia kwa Neno hili, kwa uongozo wa...
www.boazmultimedia.nl
2018
Masiha
aliyeonyeshwa kwenye Maandiko Matakatifu
MWONGOZO WA KUSOMA BIBLIA
Hendrik Schipper
2
Ninawashukuru sana watu, waliotajwa hapa chini, ambao kwa njia moja au nyingine,
walinisaidia kukamilisha kuandika kitabu hiki.
Dkt. Ir. Henk Post
Dkt. Willem H. Velema
Mke wangu Kenna
Nukuu zote kutoka kwa Maandiko zinawasilishwa kwa Biblia ya Kiswahili
Nunua kwenye mtandao kupitia: www.themessiahrevealed.com
ISBN/EAN 978-94-91382-30-7
Kimechapishwa na: Boaz Multi Media - Veenendaal – Uholanzi.
This book is the Swahili translation of “The Messiah revealed in the Holy Scriptures”
akimiliki: Hakimiliki ©2016 ya Hendrik Schipper/Boaz Multi Media.
Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu za chapisho hili zinaweza kutolewa upya,
kuhifadhiwa kwenye mfumo wa upatikanaji tena, au kusambazwa kwa muundo au mbinu yoyote
- ya kielektroniki, kimitambo, fotokopi, kurekodiwa, au nyingine yoyote - isipokuwa nukuu fupi
za kuchapishwa kwenye uhakiki, bila idhini ya awali ya mchapishaji.
3
MAUDHUI
Maudhui mafupi ya kitabu
Utangulizi 5
Majina wa vitabu vya Biblia 7
Mwongozo wa masomo haya ya Biblia
Orodha ya Mafungu ya Biblia yaliyoangaziwa 9
Mada 17
Ufalme wa Masiha wa siku zijazo 27
MWANZO – MALAKI - uangaziaji wa mafungu ya Biblia 30-393
Marejeleo ya Biblia ya Kiebrania (Agano la Kale) 395
-Nukuu na vionyeshi vya Biblia ya Kiebrania kwenye
Vitabu vya Matendo ya Mitume
-Nukuu na vionyeshi vya Biblia ya Kiebrania kwenye
nyaraka za Paulo 403
Bibliografia 409
4
MUKHTASARI MFUPI WA KITABU
Kitabu kinahusu Neno la Mungu aliye hai.Kupitia kwa Neno hili, kwa uongozo wa Roho Mtakatifu,unaweza kujifunza Mungu ni Nani na Mwanawe ni Nani.
Nabii Hosea anasema kwenye Hosea 4:6:
“Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa.”
Na Masiha anasema katika Yohana 5:39:
“Mnayasoma Maandiko kwa bidii; kwa sababu mnadhani kwamba humo mtapata uzima wa milele;
na maandiko yayo hayo ndiyo yanayonishuhudia Mimi.”
Masiha anasema haya kuhusu mistari iliyo kwenye Biblia ya Kiebrania.Hivyo, ni muhimu kiasi gani, kufahamu ni mafungu yapi ya Maandiko
ambayo Masiha alimaanisha.
Katika kitabu hiki utapatana na mafungu zaidi ya 300 kutoka kwa Biblia ya Kiebrania ambayo yanarejelea moja kwa moja au kwa njia isiyo ya
moja kwa moja Masiha aliyeahidiwa.Mafungu haya yanazingatiwa na kuelezwa kwa mujibu wa mafungu
kwenye Agano Jipya ambayo yanahusiana nayo.
Kitabu hiki ni somo la Biblia na mwongozo wa kipekee.Kitabu hiki ni tofauti kwa sababu ni vitabu vichache, iwapo vipo, kwa
sasavinaonyesha umoja wa Biblia kwa njia hii.
Kitabu hiki kinaweza kutumiwa kusomea Biblia au kama marejeleo.
5
Kitabu hiki kinahusu Masiha wa Biblia ya Kiebrania. Kwenye kiini cha Torati, Manabii na Maan-
diko Matakatifu ni kuja kwa Masiha na huduma yake. Masiha atakuwa Mtu Myahudi Atakayekuja
duniani kwanza kabisa kuokoa na kuweka huru watu wake ambao ni taifa la Kiyahudi. Lakini, ku-
lingana na ahadi zilizopewa Abrahamu, mataifa yale mengine yote pia yatabarikiwa kupitia kwake.
Na taifa la Kiyahudi litahusika katika mchakato huo.
Wakati wake alipokuwa duniani, Masiha Yeshua alisema kuwa Maandiko yanamshuhudia. Kwa
hivyo kila kitu kilichofanyika wakati wa kuishi Kwake duniani, kilitabiriwa kwenye Biblia ye Kie-
brania. Hii ina maana kuwa tunaweza kuthibitisha kwenye Maandiko iwapo Yeshua ndiye au siye
Masiha wa kweli. Masiha alikuja duniani kuleta upatanisho wa deni la dhambi, lakini Alitumia
sehemu kubwa ya miaka Yake duniani kufafanua Maandiko kuhusu kuja kwa Masiha na huduma
Yake. Kitu pekee ambacho wanafunzi na wafusai wake Wayahudi walifanya ni kufafanua Maan-
diko na kuita watu wamgeukie Mungu na wawe na imani kwa Masiha Yeshua.
Ni wazi kwamba bado kuna umuhimu mkubwa wa kujua kile kinachofundishwa na Biblia ya Kie-
brania kuhusu Masiha, na ni wapi inafundisha.
Kitabu hiki kitakupa mafungu ya Biblia zaidi ya 300 yanavyohusu kuja kwa Masiha na huduma
Yake. Kitataja pia jinsi mafungu hayo yanavyohusiana na matukio na matangazo yaliyorekodiwa
kwenye Agano Jipya kamilishi.
Kuna aina mbili ya mafungu yanayohusu Masiha. Kwanza, kuna mafungu ambayo moja kwa
moja yanaweza kutambuliwa kuwa yanayohusu Masiha - haya yanaitwa mafungu ya “moja kwa
moja”. Pili, mafungu mengine yanaweza kutambuliwa tu kuwa yanamhusu Masiha na wasomaji
ambao wanafahamu Agano Jipya - haya yanaitwa mafungu yasiyo ya “moja kwa moja”. Kitabu
hiki kinatumia maandishi ya mlazo (kiitaliki) au yaliyokolezwa kwa mafungu ya moja kwa moja.
Mafungu yote yanayohusu Masiaha yamechapishwa kwenye mandhari nyuma ya rangi ya kijivu.
Ili kupunguza ukubwa wa kitabu hiki, mafungu mengi hayajachapishwa ila yametajwa tu kama
mafungu ya marejeleo.
Mafungu yanayohusu Masiha yanarejelea pia kuja Kwake duniani kwa mara ya pili ili kuanzisha
ufalme Wake. Taifa nzima la Kiyahudi litarejea tena kwa ardhi ya babu zao, watamjua Bwana, na
Masiha atakuwa Mfalme wao. Mataifa yote yatakuwa chini Yake. Mafungu yanayorejelea haya ya-
metajwa kwenye sura iliyo kando na kuonyeshwa kwa alama ya #1 - #7.
Kwenye Biblia ya Kiebrania tunapata pia ahadi nyingi zinazohusiana na watu wasio Wayahudi.
Ahadi hizi zinahusiana na wakati uliopo, na Ufalme wa wakati ujao.
Kitabu hiki kimetokana na kuomba bila kukoma ili kupewa hekima na kuongozwa na Roho
UTANGULIZI
6
Mtakatifu. Ni ombi langu kuwa kusoma mafungu haya kutakuwa kwenye baraka; kwamba kwa
kusoma maneno ya Mungu pazia itaondolewa, giza litatokomea na mwangaza wa Roho wa Mungu
utakuwepo na kufanya kazi.
Hendrik Schipper
Julai 2018
UTANGULIZI
7
Agano la Kale
Mwanzo
Kutoka
Mambo ya Walawi
Hesabu
Kumbukumbu la Torati
Yoshua
Waamuzi
Ruthu
1 Samweli
2 Samweli
1 Wafalme
2 Wafalme
1 Mambo ya Nyakati
2 Mambo ya Nyakati
Ezra
Nehemia
Esta
Ayubu
Zaburien
Mithali
Mhubiri
Wimbo Ulio Bora
Isaya
Yeremia
Maombolezo
Ezekieli
Danieli
Hosea
Yoeli
Amosi
Obadia
Yona
Mika
Nahumu
Habakuki
Sefania
Hagai
Zekaria
Malaki
Agano Jipya
Mathayo
Marko
Luka
Yohana
Matendo ya Mitume
Warumi
1 Wakorintho
2 Wakorintho
Wagalatia
Waefeso
Wafilipi
Wakolosai
1 Wathesalonike
2 Wathesalonike
1 Timotheo
2 Timotheo
Tito
Filemoni
Waebrania
Yakobo
1 Petro
2 Petro
1 Yohana
2 Yohana
3 Yohana
Yuda
Ufunuo wa Yohana
MAJINA NA MPANGILIO WA VITABU VYA BIBLIA
8
Kwa kufuata mtindo wa Petro, Stefano na Paulo, ambao walitangaza Masiha kutoka kwa Biblia ya
Kiebrania (kwa utaratibu wa mfululizo), kitabu hiki kinanuia kuwa mwongozo sawia.
Kitabu hiki kinaweza pia kutumiwa kama:
a. Mwongozo wa jumla kwa nyakati zako tulivu;
b. Somo linalofuata mada;
c. Nyenzo ya marejeleo. Hivyo, kwa mfano, utapata mwishoni mwa kitabu mukhtasari wa
mafungu mengi ya Agano Jipya ambayo yanahusiana moja kwa moja na Biblia ya Kiebrania.
Aidha, kimeangazia kwa makini mada ambazo kwa kawaida hazijasisitizwa sana kama:
- Uhusiano kati ya sadaka, sherehe na Masiha;
- Kubadilishwa kwa jamii ya Wayahudi;
- Kurudi kwa Masiha;
- Kurejea kwenye ardhi iliyoahidiwa;
- Agano Jipya
Muombe Bwana akupe mwongozo wa Roho Mtakatifu unaposoma na kutafakari Neno lake.
H.S.
MIONGOZO YA SOMO HILI
9
Mwanzo3:15
3:21
9:26,27
12:3
14:18
17:7,8,19,21
21:12
22:8
22:17,18
26:3-5
28:14
49:8-12
Kutoka3:6
3:14
12:5-14,22-24
12:46
15:1,2
17:6
23:20-21
25:8-9,22
28:12
28:29,36
28:37,38
29:45,46.
33:19
Mambo ya Walawi1:5,13
2:1,2
3:1-5,16
4:3-12, 27-29
7:16
16:1-31
17:11
Mambo ya Walawi22:17-21
23:6-8
23:9-14
23:15-21
23:33-43
26:11,12
HESABU
19:2,3,9
21:9
24:7,8,15-19
28:3-10
Kumbukumbu la Torati11:18-20
18:15-19
21:23
33:3
Ruthu4:13,14,17,21,22
1 Samweli2:10
2 Samweli7:12-16
22:20-25
23:1-4
2 Wafalme1:6,11,12
ORODHA YA MAFUNGU YA BIBLIA YALIYOANGAZIWA
31
32
32
33
33
33,34
34
34
34
35
36
36
38
38
38,39
40
40
40
41
41
42
43
43
43
44
46
46
46,47
48,49
51
52,53
53
UKURASA UKURASA
55
57
57,58
59
60
62
64
64
65
66,67
69
70
72
72
74
75
76
77
78
80
10
1 Mambo ya Nyakati17:11
17:12
17:13
17:14
Ayubu17:3
19:25-27
Zaburien1:1-6
2:1
2:2,3
2:4-6
2:7
2:8
2:9
2:10-12
8:1,2,3
8:7
16:8-11
17:15
18:5-7
18:22-25
20:5-7
21:5
21:6
21:7,8
22:1-3
22:6
22:7
22:8
22:9,10
22:11
22:12,13
22:14
Zaburien22:15
22:16
22:17
22:18
22:22
22:23-31
23:1-6
24:3
24:7-10
27:2
27:12
28:8
30:3
31:4,5
31:11,15
33:6,9
34:20
35:4-6
35:11,12
35:19
38:12,13,20
40:2,3
40:6
40:7
40:8
40:9,10
40:14
41:5-9
42:7
43:3
45:1,2
45:3,4
45:5
45:6,7
45:9,13-15
45:16,17
46:4-11
47:1-9
49:15
ORODHA YA MAFUNGU YA BIBLIA YALIYOANGAZIWA
81
81
81
82
83
83
84
84
85
85
86
87
87
88
88,89
89
89
90
91
92
92
93
94
94
95
95
96
96
97
97
97,98
98
99
99
100
100
100
101
102
103
103
104
104
104
105
105
105
106
106
106
107
107
108
108
109
109
110
110
110
111
111,112
112
113
114
114
116
117
118
119
120
120
UKURASA UKURASA
11
Zaburien50:2-6
51:17
53:6
55:4,5,12-14
61:6,7
62:3,4
65:2
67:1-7
68:1-4
68:18
69:4
69:7-9
69:19-21
69:26
71:20
72:7-19
75:7,8
78:2
80:14,15,17
85:9
85:10-13
86:9
86:12-13
86:15
88:14-18
89:3,4
89:19
89:20,21
89:22
89:23
89:24
89:25
89:26
89:27-29
89:35-37
90:2
91:11, 12
91:13
Zaburien91:14-16
93:1,2
95:1-3
95:7-11
96:1-3
96:7-13
97:1-6
98:1-3
98:4-9
99:1-5
102:1-12
102:13-22
102:25-27
103:3,12
103:4
103:5
103:13
103:11,17
103:22
107:1-16
107:25-29
109:1-5
109:8
109:25
110:1,2
110:3
110:4
110:5,6
110:7
112:4
118:22-24
118:26, 27
119:97-103
129:3
130:7,8
132:11,12
132:13
132:14
ORODHA YA MAFUNGU YA BIBLIA YALIYOANGAZIWA
122
123
124
125
126
126
127
127
128
129
130
130
131
132
132
133
134
135
135
136
136
137
138
138
138
139
139
140
141
141
142
142
142
143
144
144
144
144
145
145
146
146
148
149
150
151
15151,152
152
153
154
155
155
156
156
157
157
158
158
159
159
160
160
160
161
162
163
163
163
164
164
164
165
166
166
167
167
UKURASA UKURASA
12
Zaburien132:15
132:16
132:17,18
138:4,5
139:1-4
139:7-10
145:10-13
146:8
147:3,6
147:2,13-14,20
149:1-5
149:6-9
Mithali1:23
8:22-29
8:9,31
30:4
Wimbo Ulio Bora 5:16
Isaya2:2,3
2:4
2:5
4:2
4:3
4:4-6
5:1,2
6:1-4
6:9,10
7:14-16
8:13-15
9:1
Isaya9:2-4
9:6,7
10:20-22
11:1-3
11:4,5
11:6-9
11:10-12
12:1-6
14:1-3
16:5
17:7
19:23-25
22:22
24:13-16
24:18-23
25:6-12
26:1-4
26:19-21
27:1-3,6,12,13
28:15,16
29:10,13,14
29:18
29:19
29:22-24
30:18-33
32:1-4
32:15-18
33:17-24
35:1-10
40:1-5
40:9-11
41:8-20
41:25
41:26,27
42:1
42:2-4
42:6,7,16
42:21
ORODHA YA MAFUNGU YA BIBLIA YALIYOANGAZIWA
169
1169
169
170
171
172
172
173
174
174
175
176
177
177
178
179
180
181
182
183
184
185
186
188
188,189
189
190
191
191
192
193
195
196,197
198
198,199
199,200
201
202
203
203
204
205
206
207
208
210
211
212
213
214
215
216
219
219
220
220
221
223
224
225
227
228
228,229
229
230
231
232
UKURASA UKURASA
13
Isaya43:1-21
44:1,2
44:3-8
44:21-26
45:17-18
45:21-25
46:3-4,13
47:4
48:15-17
49:1
49:2
49:3
49:4
49:5
49:6
49:7
49:8-26
50:3
50:4
50:5,6
50:7-9
51:1-23
52:1-12
52:13
52:14
52:15
53:1,2
53:3
53:4-6
53:7,8
53:9
53:10,11
53:12
54:1-17
55:1
55:2
55:3
55:4
Isaya55:5
55:6
55:7
55:10,11
55:12,13
56:6-8
57:15-18
57:19
59:16
59:17
59:18-20
59:21
60:1-5
60:6-21
61:1-3
61:4-9
61:10,11
62:1-3
62:4-9
62:10-12
63:1-6
63:7-9
65:1,2
65:8-10
65:17-25
66:1
66:2
66:10-14
66:15-24
Yeremia3:14-19
4:2
10:7
12:15
16:14,15,19
ORODHA YA MAFUNGU YA BIBLIA YALIYOANGAZIWA
233
234
235
236
237
238
238,239
239
239,240
240
241
241
242
242
243
244
244,245
246
246
247
247
248
249
251
251
252
253,254
254
255
256
257
257
258
259
260
261
262
263
262
263
264
264
265
266
267,268
269
269
270
271
271
272
273,274
275
276,277
277
277,278
280
281
282
282,283
284
284
285,286
286
287
287,288
288,289
291
292
293
293
294
UKURASA UKURASA
14
Yeremia17:10
23:3,4,7,8
23:5,6
28:9
30:3-20,23,24
30:21-22
31:1-9
31:15
31:22
31:31-34
32:37-41
33:6-13
33:14-18,22
50:4-7,19,20
Maombolezo3:25,26
3:30
Ezekieli1:26
11:17-20
16:60-63
17:22-24
20:34-44
21:26,27
33:32,33
34:11-15,22-31
36:8-15,24-38
37:1-14
37:21-28
38:16
38:18
38:19
38:20
38:21
Ezekieli38:22
38:23
39:6-8,21-29
47:6-23
Danieli2:34,35,44,45
7:13,14,18,22,27
9:24
9:25
9:26
9:27
10:5,6
12:1
12:2
12:3
Hosea1:10,11
2:15-23
3:4
3:5
6:1-2
6:3
11:1
13:14
14:4-8
Yoeli2:1-17
2:18-27
2:28,29
2:30-32
3:1-21
ORODHA YA MAFUNGU YA BIBLIA YALIYOANGAZIWA
295
296
297
297
298
299
300
301
302
302
304
305
306
307
309
309
310
310
311
312
313
313
314
315
317
318
319,320
321
321
321
322
322
322
322
324
325,326
327
328
330
331
331,332
332
333
333,334
334
335
336
337
338
339
339
340
340
340
341
343
343
344
346
347
UKURASA UKURASA
15
Amosi8:9
8:11
9:11-15
Obadia1:17-21
Yona1:17
2:2-7
Mika2:12,13
4:1-4,7
5:1
5:2
5:3,4
5:5
7:15-20
Habakuki2:3
2:4
2:14
Sefania3:9-20
Hagai2:7-10
2:24
Zekaria1:16,17
2:1-13
3:1-10
6:12,13,15
8:3-23
9:9
9:10-12
10:3-12
11:4-6
11:7
11:8
11:9
11:10-11
11:12,13
12:1-14
13:1,2
13:7
13:8,9
14:1-21
Malaki1:11
3:1
3:2-5,16-18
4:1-4
4:5,6
ORODHA YA MAFUNGU YA BIBLIA YALIYOANGAZIWA
349
349
349,350
351
352
352
353
354
355
355
356
356
357
359
359
360
361
363
363
364
364,365
366,367
368
370
372
372
374
375
376
377
377
378,379
380
381
382
383
383
384,385
388
388
389,390
391
392
UKURASA UKURASA
17
A. Masiha kama Mtu.
01. Masiha ni wa ukoo wa Abrahamu.
Mwanzo 9:26,27; Mwanzo 17:7,8,19,21;
Mwanzo 21:12; Mwanzo 22:17,18;
Mwanzo 28:14.
02. Masiha ni wa ukoo wa Yuda.
Mwanzo 49:8-12.
03. Masiha ni wa ukoo wa Daudi.
Ruthu 4:13,14,17,21,22; 2 Samweli 7:12-16;
1 Mambo ya Nyakati 17:11; Isaya 11:1-3;
Isaya 16:5; Yeremia 30:3-24.
04. Masiha amekuwepo tangu milele.
Zaburi 21:5; Zaburi 89:28-30; Zaburi 90:2;
Zaburi 93:1,2; Mithali 8:22-29; Mika 5:1.
05. Uhusiano kati ya Masiha na Baba Yake.
Kutoka 23:20,21; 1 Mambo ya Nyakati 17:13;
Zaburi 16:8-11; Zaburi 20:5-7; Zaburi 28:8;
Zaburi 89:27; Mithali 8:30-31;
Isaya 42:21; Isaya 49:5; Yeremia 30:21,22.
06. Masiha ndiye Muumbaji.
Zaburi 33:6,9; Zaburi 102:26-28; Isaya 44:1-
8,21-24,26; Yohana 1:1-3.
07. Atakuwa Masiha wa Israeli.
Isaya 4:2; Isaya 49:6; Danieli 9:25.
08. Majina na vyeo vya Masiha.
Kutoka 17:6; Zaburi 95:1-3; Isaya 5:1-2;
Isaya 9:5,6.
B. Asili ya Masiha.
01. Masiha ndiye Mwana wa Mungu.
2 Samweli 7:12-16; Zaburi 2:7;
Mithali 30:4; Isaya 43:1-13,18-21;
Zaburi 89:4,27,28.
02. Masiha ndiye Mwanakondoo wa Mungu.
Mwanzo 22:8; Kutoka 12:5-14,22-24; Mambo
ya Walawi 4:3-12; Mambo ya Walawi 4:27-29;
Mambo ya Walawi 16:1-31; Mambo ya
Walawi 22:17-21;
Hesabu 28:3,4; Isaya 53:7.
03. Masiha ndiye Mwana wa mtu.
Zaburi 80:15,16,18; Isaya 7:14; Isaya 9:5,6;
Ezekieli 1:26; Danieli 7:13.
04. Sifa za Uungu za Masiha.
Zaburi 2:7; Zaburi 24:7,10; Isaya 11:2;
Yeremia 23:5,6; Mika 5:4.
05. Masiha amejawa na Roho na Mtakatifu.
Zaburi 45:8; Zaburi 89:21,22; Isaya 11:1-3;
Isaya 42:1.
06. Masiha ndiye Mchungaji mwema.
Zaburi 95:7; Isaya 40:9-11;
Ezekieli 34:11-15,22-24; Mika 2:12,13;
Zekaria 11:4-6,7.
07. Uweza wa Yote wa Masiha.
Zaburi 8:7; Zaburi 107:25-29; Zaburi 110:3;
Isaya 22:22; Isaya 40:10;
08. Ujuzi wa Yote wa Masiha.
Zaburi 139:1-4; Yeremia 17:10.
09. Uwezo wa Masiha wa kuwa Kila Mahali.
Zaburi 139:7-10.
MADA
18
10. Unyenyekevu na umaskini wa Masiha.
Isaya 42:2-4.
11. Utiifu wa Masiha.
Zaburi 1:1-6; Zaburi 18:22-25; Zaburi 40:8,9;
Isaya 53:7,8.
12. Ukamilifu wa Masiha.
Zaburi 45:3; Isaya 53:9; Mika 5:3.
13. Mamlaka ya Masiha.
Kutoka 3:6; Kumbukumbu la Torati 18:18,19;
2 Samweli 23:1-4; Zaburi 98:9;
Zaburi 110:1,2; Zekaria 9:10.
14. Masiha anatambulisha utukufu wa Mungu
Zaburi 21:6; Zaburi 45:4,5; Isaya 4:2;
Isaya 12:1-6; Isaya 49:3; Isaya 60:1-5.
15. Masiha atajawa na rehema.
Zaburi 103:13; Zaburi 112:4; Isaya 66:2;
Zekaria 11:7.
16. Uweza na nguvu ya Masiha.
Kutoka 17:6; Zaburi 45:6; Isaya 40:9-11; Isaya
49:2,7; Mika 2:12,13.
17. Upole na udhaifu wa Masiha.
Zaburi 45:4,5; Isaya 29:19.
18. Utakatifu, uzuri na utukufu wa Masiha.
Zaburi 17:15; Zaburi 21:6; Zaburi 45:2,3;
Zaburi 99:1-5; Wimbo Ulio Bora 5:16;
Isaya 33:17-24; Isaya 42:21; Danieli 10:5,6.
19. Fumbo la Masiha.
Kutoka 3:14; Zaburi 78:2.
20. Upendo wa Mfalme kwa watu Wake.
Isaya 62:4-9; Hosea 2:15-23.
21. Masiha ndiye Nuru.
2 Samweli 23:1-4; Zaburi 43:3; Isaya 2:5;
Isaya 9:1-3; Isaya 42:6,7,16;
Isaya 60:19,20.
22. Uzuri wa Mungu na Masiha.
Kutoka 15:1,2; Zaburi 86:15; Zaburi
103:11,17; Yeremia 31:1-9.
23. Neema ya Mungu na Masiha.
Mwanzo 28:14; Kutoka 33:19; Zaburi 45:3;
Zaburi 86:15; Isaya 62:4-9;
Maombolezo 3:25,26.
24. Mungu na Masiha hupeana furaha na faraja
kwa wenye haki na waumini.
Isaya 29:19.
C. Kuonekana kwa Masiha.
01. Kuzaliwa kwa Masiha kunatabiriwa.
Mwanzo 3:15; Zaburi 132:11,12; Isaya 9:5,6;
Isaya 11:1-3; Isaya 49:1;
Isaya 60:1-3; Yeremia 23:5,6; Yeremia 31:22;
Yeremia 33:14-15,22; Habakuki 2:3;
Hagai 2:24; Zekaria 3:8.
02. Mtangulizi wa Masiha anatangazwa.
Isaya 40:1-5; Malaki 3:1; Malaki 4:5,6.
03. Mahali pa kuzaliwa kwa Masiha.
Mika 5:1.
04. Maisha ya Masiha hadi kuonekana Kwake
kwa mara ya kwanza.
Isaya 7:14-16.
MADA
19
05. Unabii wa kuuliwa kwa watoto Bethlehemu.
Yeremia 31:15.
D. Kazi za Masiha.
01. Kupakwa kwa mafuta kwa Masiha.
Zaburi 89:21; Mithali 8:22-29; Isaya 61:1.
02. Kazi ya Masiha kama Nabii.
Kumbukumbu la Torati 18:15-19; Isaya 50:4;
Yeremia 28:9; Ezekieli 33:32,33;
Malaki 4:5,6.
03. Kazi ya Masiha kama Kuhani.
Mwanzo 14:18; Kutoka 28:12,29,36-38;
Zaburi 110:4; Yeremia 33:14-18,22;
Zekaria 6:12,13,15.
04. Kazi ya Masiha kama Mfalme.
Mwanzo 49:8-12; Hesabu 24:7,8,15-19;
2 Samweli 7:12-16; 1 Mambo ya Nyakati
17:11;
Zaburi 45:10,14-18; Zaburi 47:2-10;
Zaburi 72:7-19; Zaburi 93:1,2;
Zaburi 132:17,18; Zekaria 9:9.
05. Masiha atakuwa Mkombozi.
Ayubu 19:25-27; Isaya 41:8-20;
Isaya 44:1-8,21,24-26; Isaya 45:17;
Isaya 47:4; Isaya 52:7-12; Isaya 59:18-20;
Isaya 63:1-6; Yeremia 30:3-24;
Yeremia 33:14-18,22; Sefania 3:9-20; Zekaria
3:1-10; Zekaria 10:3-12.
06. Masiha atakuwa Mshauri.
Isaya 59:16.
07. Masiha atakuwa Mpatanishi.
Kumbukumbu la Torati 18:15-19; Isaya
59:16.
08. Masiha atakuwa Dhamana.
Ayubu 17:3; Yeremia 30:21,22.
09. Masiha atakuwa Mwokozi.
Zaburi 130:7,8; Isaya 43:1-13,18-21;
Isaya 25:9; Isaya 30:18; Isaya 45:21,22; Isaya
49:6; Yeremia 23:6; Yeremia 33:16.
10. Masiha atakuwa Hakimu.
Zekaria 3:1-10.
E. Kazi na huduma ya Masiha.
01. Aina ya huduma ya Masiha.
2 Wafalme 1:6,11,12; Isaya 28:15,16;
Isaya 42:6,7,16; Isaya 48:15-17.
02. Mahali pa huduma ya Masiha.
Isaya 8:23; Isaya 41:25; Hosea 11:1.
03. Kujaribiwa kwa Masiha.
Zaburi 91:11,12.
04. Ushindi wa Masiha dhidi ya dhambi.
Hosea 13:14; Zekaria 13:1,2.
05. Miujiza ya Masiha.
Zaburi 146:8; Isaya 35:5-10; Isaya 29:18.
06. Kazi na mwito wa Masiha.
Isaya 61:1-3.
07. Wokovu unaotolewa na Masiha.
Zaburi 85:10; Isaya 55:1,2,6.
08. Haki ya Masiha.
Mwanzo 3:21; Zaburi 40:10,11; Zaburi
MADA
20
45:7,8; Zaburi 85:11-14; Isaya 32:1,2; Isaya
46:13; Isaya 59:16,17; Yeremia 33:14-18,22.
09. Uadilifu wa Masiha.
2 Samweli 23:1-4; Zaburi 45:4,5;
Zaburi 112:4; Isaya 16:5.
10. Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
Mwanzo 12:3; Mwanzo 26:3-5;
Kumbukumbu la Torati 33:3;
Zaburi 2:8; Zaburi 22:24-32; Zaburi 46:11;
Zaburi 72:7-19; Zaburi 98:1-3;
Zaburi 102:14-23;
Isaya 11:10-12; Isaya 19:23-25;
Isaya 24:13-16; Isaya 42:2-4;
Isaya 45:22-25; Isaya 49:6; Isaya 51:1-23;
Isaya 52:15; Isaya 55:4,5; Isaya 56:6-8; Isaya
60:1-5; Isaya 61:10,11;
Isaya 62:1-3,10-12; Isaya 65:1,2;
Isaya 66:10-13,15-24; Yeremia 4:2;
Yeremia 10:7; Yeremia 16:19;
Amosi 9:11-15; Mika 4:1-4; Hagai 2:7-10;
Zekaria 2:1-13; Zekaria 8:1-23;
Zekaria 14:1-21; Malaki 1:11.
11. Masiha atapeana uzima wa milele.
Ayubu 19:25; Zaburi 103:4; Isaya 25:8;
Isaya 55:3; Hosea 13:14;
Ezekieli 37:11-14; Zekaria 2:1-13.
12. Masiha anatimiza sheria ya Mungu.
Kumbukumbu la Torati 11:18-20;
2 Samweli 22:20-25; Zaburi 1:1-6;
Zaburi 40:7; Zaburi 119:97-103; Isaya 42:2-4.
13. Mungu anathibitisha huduma ya Masiha.
Zaburi 20:5-7; Zaburi 89:23,28-30;
Isaya 42:1.
14. Masiha atashinda kifo na giza.
Zaburi 49:16; Zaburi 86:12,13; Zaburi 110:1;
Hosea 13:14.
15. Masiha ataleta habari njema.
Zaburi 96:1-3; Isaya 9:1-3; Isaya 41:26,27;
Isaya 52:7-12; Isaya 61:1-3; Ezekieli 33:32,33.
16. Masiha atabariki watu Wake.
Zaburi 21:7,8; Zaburi 45:10,14-16;
Zaburi 132:13-16; Isaya 4:2; Yoeli 2:18-27.
17. Masiha atajenga hekalu la Mungu.
1 Mambo ya Nyakati 17:12; Zaburi 118:22-
24;
Isaya 66:1; Yeremia 31:1-9;
Ezekieli 37:26-28; Zekaria 1:16,17;
Zekaria 6:12,13,15.
18. Mungu ataishi miongoni mwa watu Wake.
Kutoka 25:8,9; Kutoka 29:45,46;
Mambo ya Walawi 26:11,12; Zaburi 46:5-12;
Isaya 12:1-6; Ezekieli 37:21-28;
Sefania 3:9-20; Zekaria 2:1-13.
19. Masiha atafariji.
Isaya 51:3; Isaya 52:9; Isaya 66:10-13; Zekaria
1:16,17.
20. Masiha ataweka agano jipya.
Isaya 49:8-26; Isaya 55:3; Isaya 59:21; Isaya
61:4-9; Isaya 62:4-9;
Yeremia 31:31-34; Yeremia 32:37-41;
Yeremia 50:4-7,19,20; Ezekieli 16:60-63;
Ezekieli 37:21-28; Hosea 2:15-23;
Amosi 9:11-15.
21. Masiha atasamehe dhambi.
Zaburi 103:3,12; Isaya 55:7; Yeremia 33:6-13;
Yoeli 3:21; Mika 7:15-20.
MADA
21
22. Kazi ya Masiha itakuwa imebarikiwa.
Mwanzo 22:17,18; Mwanzo 28:14;
Zaburi 89:25; Isaya 40:9-11; Isaya 49:4;
Isaya 53:10-12; Isaya 55:10,11;
Isaya 62:10-12; Ezekieli 17:22-24;
Amosi 8:11.
23. Masiha atawabadilisha watu Wake.
Zaburi 51:19; Isaya 57:15-19;
Ezekieli 11:17-20; Hosea 2:15-23; Hosea 3:4;
Hosea 6:1,2; Malaki 4:5,6.
24. Masiha ataleta amani.
Isaya 54:10-13; Isaya 57:15-19;
Isaya 66:10-13; Yeremia 28:9;
Yeremia 33:6-13; Mika 5:4;
Zekaria 9:10-12.
25. asiha ataaminiwa na kusifiwa.
Zaburi 8:2-3; Zaburi 22:23; Zaburi 45:17,18;
Zaburi 103:22; Isaya 8:13-15; Habakuki 2:4;
Zekaria 11:10,11.
26. Kazi ya ukombozi ya Masiha.
Hesabu 21:9; Zaburi 53:7; Zaburi 89:20;
Zaburi 95:7-11; Zaburi 103:4;
Zaburi 107:1-3; Zaburi 130:7,8;
Zaburi 147:3,6; Isaya 40:1-5; Isaya 49:6; Isaya
63:7-9; Ezekieli 34:11-15,22-31;
Danieli 9:24.
27. Kutoa moyo mpya na roho mpya.
Zaburi 51:19; Zaburi 103:5; Ezekieli 11:17-
20; Ezekieli 36:26,27; Ezekieli 37:9,10,14;
Ezekieli 39:29; Yoeli 2:28,29.
F. Mateso na kifo cha Masiha.
01. Kifo cha Masiha kinatabiriwa.
Zaburi 16:8-11; Zaburi 22:1,2;
Zaburi 91:14-16; Danieli 9:25-26;
Zekaria 13:7.
02. Kuingia kwa Masiha Yerusalemu
kunatabiriwa.
Zaburi 118:26,27; Zekaria 9:9.
03. Masiha atakataliwa.
Zaburi 62:4,5; Zaburi 118:22-24;
Isaya 5:1,2; Isaya 8:13-15;
Isaya 29:10,13,14; Isaya 49:4,5,7;
Isaya 53:3; Isaya 65:1,2;
Zekaria 11:8; Zekaria 12:1-14.
04. Matokeo ya kukataliwa kwa Masiha.
Danieli 9:25-27; Zekaria 11:10,11.
05. Masiha atasalitiwa.
Zaburi 41:6-10; Zaburi 55:5,6,13-15; Zaburi
109:8; Isaya 29:18; Zekaria 11:12,13.
06. Masiha ataachwa pweke.
Zaburi 88:15-19; Zekaria 13:7.
07. Masihtaka na majaribu ya Masiha.
Zaburi 27:12; Zaburi 35:11,12;
Zaburi 41:6-10; Zaburi 109:1-5.
08. Maelezo ya kifo cha Masiha.
Zaburi 22:2,3,7-19; Zaburi 34:21;
Isaya 53:9; Amosi 8:9; Zekaria 12:1-14.
09. Dhabihu na kulipiwa makosa na Masiha.
Isaya 53:4-6,10-12.
10. Utayari wa Masiha kwa ajili ya kifo.
Zaburi 31:5,6; Zaburi 40:8.
11. Mateso ya Masiha.
MADA
22
Kumbukumbu la Torati 21:23; Zaburi 18:5-7;
Zaburi 27:2; Zaburi 31:12-16; Zaburi 35:19;
Zaburi 38:13,14,21; Zaburi 40:15; Zaburi
42:8; Zaburi 55:5,6,13-15; Zaburi 69:5,9-10;
Zaburi 102:1-12; Zaburi 109:25; Zaburi
110:7; Isaya 50:3; Isaya 53:1,2; Isaya 63:1-6;
Maombolezo 3:30; Zekaria 11:8.
12. Masiha atapingwa.
Zaburi 2:1-3; Zaburi 35:4-6;
Zaburi 41:6-10; Zaburi 69:5.
13. Maelezo ya mateso ya Masiha.
Kutoka 12:46; Zaburi 69:20-22,27;
Zaburi 88:15-19; Zaburi 129:3; Isaya 50:7-9;
Isaya 52:14; Isaya 53:1-8; Mika 4:14.
14. Masiha hataaminiwa.
Isaya 6:9,10; Isaya 53:1,2.
G. Kufufuka na kupaa mbinguni kwa Masiha.
01. Kufufuka kwa Masiha kunatabiriwa.
Ayubu 19:25-27; Zaburi 16:8-11; Zaburi 30:4;
Zaburi 40:3,4; Zaburi 49:16; Zaburi 71:20;
Zaburi 91:14-16; Isaya 53:10,11;
Yona 1;17; Yona 2:2-7.
02. Kupaa mbinguni kwa Masiha kunatabiriwa.
Zaburi 24:3,7-10; Zaburi 47:2-10;
Zaburi 68:19.
03. Kuinuliwa kwa Masiha kunatabiriwa.
Zaburi 91:14-16; Zaburi 110:7; Isaya 52:13;
Ezekieli 21:26,27.
04. Masiha atatoa Roho Wake.
Zaburi 68:19; Mithali 1:23;
Isaya 32:15-18; Isaya 44:3-4;
Ezekieli 36:8-38; Ezekieli 39:29;
Yoeli 2:28,29; Zekaria 12:10.
05. Masiha atapata matunda mengi.
Zaburi 1:3; Isaya 60:21;
Isaya 61:11; Hosea 14:4-8.
06. Makao ya Roho Mtakatifu.
Isaya 57:15-19; Yeremia 31:33;
Ezekieli 11:19; Ezekieli 36:26,27;
Ezekieli 37:9,10.
H. Mstakabali wa Masiha.
01. Kurudi kwa Masiha kunatabiriwa.
Zaburi 50:3-6; Zaburi 96:13; Isaya 25:6-12;
Isaya 65:17-25; Isaya 66:15,16;
Danieli 7:13,14,18,22,27; Habakuki 2:3;
Zekaria 12:1-14; Zekaria 14:1-21.
02. Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
1 Samweli 2:10; Zaburi 2:4-6,9-12;
Zaburi 50:2-6; Zaburi 68:1-5;
Zaburi 75:8,9; Zaburi 96:7-13; Zaburi 97:1-6;
Zaburi 98:4-9; Zaburi 110:1,2,5,6;
Zaburi 149:6-9; Isaya 2:4; Isaya 11:4,5;
Isaya 24:18-23; Isaya 26:19-21;
Isaya 27:1-3,6,12,13; Isaya 51:5,6;
Isaya 59:18-20; Isaya 63:1-6;
Isaya 66:15-24; Ezekieli 38:16-23;
Danieli 12:1,2; Yoeli 2:1-17,30-32;
Yoeli 3:1-21; Zekaria 11:9; Zekaria 13:8,9;
Malaki 3:2-5,16-18; Malaki 4:1-4.
03. Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
Mwanzo 49:8-12; Hesabu 24:7,8,15-19;
1 Samweli 2:10; 2 Samweli 7:12-16;
1 Mambo ya Nyakati 17:14; Zaburi 2:4-6,8-12;
MADA
23
Zaburi 22:24-32; Zaburi 45:8,9,17,18;
Zaburi 46:5-12; Zaburi 47:2-9; Zaburi 50:2-6;
Zaburi 53:7; Zaburi 65:3.
Zaburi 67:2-7; Zaburi 68:1-5; Zaburi 72:7-19;
Zaburi 85:11-14; Zaburi 86:9;
Zaburi 89:4,5,24,25,26,28-30,36-38;
Zaburi 96:7-13; Zaburi 97:1-6;
Zaburi 98:4-9; Zaburi 99:1-5;
Zaburi 102:14-23; Zaburi 107:1-3;
Zaburi 110:1-3,5,6; Zaburi 130:7,8;
Zaburi 132:11-18; Zaburi 138:4,5;
Zaburi 145:10-13; Zaburi 147:2,13,14,20;
Zaburi 149:1-5; Isaya 2:2-5; Isaya 4:2,6; Isaya
6:1-4; Isaya 10:20-22; Isaya 11:4-12; Isaya
12:1-6; Isaya 14:1-3; Isaya 16:5;
Isaya 17:7; Isaya 19:23-25;
Isaya 24:13-16,18-23; Isaya 25:6-12;
Isaya 26:1-4; Isaya 27:1-3,6,12,13;
Isaya 29:22-24; Isaya 30:18-33;
Isaya 32:1,2,15-18; Isaya 33:17-24;
Isaya 35:5-10; Isaya 40:1-5,9-11;
Isaya 41:8-20; Isaya 42:2-4,6,7,16;
Isaya 43:1-13,18-21; Isaya 44:1-8,21-24,26;
Isaya 45:17,18,22-25; Isaya 46:3,4,13;
Isaya 49:6-26; Isaya 51:1-23; Isaya 52:7-12;
Isaya 54:1-17; Isaya 55:12,13; Isaya 56:6-8;
Isaya 59:18-21; Isaya 60:1-21;
Isaya 61:4-11; Isaya 62:1-12;
Isaya 63:7-9; Isaya 65:17-25;
Isaya 66:15-24; Yeremia 3:14-19;
Yeremia 12:15; Yeremia 15:19-21;
Yeremia 16:14,15,19; Yeremia 23:3-8;
Yeremia 24:6,7; Yeremia 29:14;
Yeremia 30:3-24; Yeremia 31:1-9,31-34;
Yeremia 32:37-41; Yeremia 33:6-13;
Yeremia 50:4-7,19,20; Ezekieli 11:17-20;
Ezekieli 20:34-42; Ezekieli 34:11-31;
Ezekieli 36:8-38; Ezekieli 37:1-14,21-28;
Ezekieli 38:23; Ezekieli 39:6-8,21-29; Ezekieli
47:6-23; Danieli 2:34,35,44,45;
Danieli 7:13,14,18,22,27; Danieli 12:1,3;
Hosea 1:10,11; Hosea 2:15-23; Hosea 3:5;
Hosea 6:1-3; Hosea 13:14; Hosea 14:4-8;
Yoeli 2:18-27; Yoeli 3:1-21; Amosi 9:11-15;
Obadia 1:17-21; Mika 2:12,13;
Mika 4:1-4,7; Mika 5:2,3; Mika 7:15-20;
Habakuki 2:14; Sefania 3:9-20;
Haggaí 2:7-10; Zekaria 1:16,17;
Zekaria 2:1-13; Zekaria 3:1-10;
Zekaria 6:12,13,15; Zekaria 8:1-23; Zekaria
9:10-12; Zekaria 10:3-12;
Zekaria 12:1-14; Zekaria 13:1-2,8,9;
Zekaria 14:1-21; Malaki 1:11;
Malaki 3:2-5,16-18; Malaki 4:1-4.
04. Kiti cha enzi cha Masiha.
Zaburi 45:7; Isaya 9:5,6.
05. Utukufu na nguvu za Masiha zinazokuja.
Zaburi 46:5-12; Zaburi 61:7,8;
Zaburi 72:7-19; Zaburi 95:1-3;
Zaburi 102:14-23; Isaya 25:6-12;
Isaya 60:8-21; Isaya 65:17-25.
06. Kazi ya uombezi ya Masiha.
Isaya 53:12,; Isaya 59:16.
07. Masiha ataketi kwenye mkono wa kulia wa
Mungu.
Zaburi 80:15,16,18; Zaburi 110:1-2.
08. Masiha atakuwa na maisha ya milele.
Zaburi 61:7,8.
09. Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
Zaburi 91:13; Isaya 4:3; Isaya 10:20-22; Isaya
14:1-3; Isaya 17:7; Isaya 27:1-3,6,12,13;
Isaya 33:17-24; Isaya 35:5-10;
Isaya 41:8-20; Isaya 43:1-13,18-21;
Isaya 45:22-25; Isaya 46:3,4,13;
MADA
24
Isaya 49:8-26; Isaya 52:7-12; Isaya 54:1-17;
Isaya 56:6-8; Isaya 57:15-18; Isaya 59:21;
Isaya 60:6-21; Isaya 61;4-9,10,11;
Isaya 62:1-12; Isaya 65:8-10;
Isaya 66:15-24; Yeremia 3:14-19;
Yeremia 12:15; Yeremia 15:19-21;
Yeremia 16:14,15,19; Yeremia 23:3,4,7,8;
Yeremia 24:6,7; Yeremia 29:14;
Yeremia 30:3-24; Yeremia 32:37-41;
Yeremia 33:6-18,22; Ezekieli 20:34-42;
Ezekieli 34:11-31; Ezekieli 36:8-38;
Ezekieli 37:1-14; Ezekieli 39:6-8,21-29;
Danieli 9:27; Hosea 1:10,11; Hosea 2:15-23;
Hosea 3:4; Amosi 9:11-15; Obadia 1:17-21;
Mika 2:12,13; Mika 4:1-4,7;
Mika 7:15-20; Sefania 3:9-20; Hagai 2:7-10;
Zekaria 1:16,17; Zekaria 2:1-13;
Zekaria 3:1-10; Zekaria 8:1-23;
Zekaria 9:10-12; Zekaria 10:3-12;
Zekaria 12:1-14; Zekaria 13:8,9;
Zekaria 14:1-21; Malaki 4:1-4.
10. Unabii wa Ufalme wa milele wa amani.
Isaya 9:6; Isaya 11:6-9;
Ezekieli 37:1-14,21-28; Danieli 2:34,35,44,45;
Danieli 7:13,14,18,22,27; Hosea 2:15-23;
Yoeli 3:1-21.
11. Masiha atatukuzwa.
Isaya 4:2; Isaya 43:21; Isaya 44:23;
Isaya 49:3; Isaya 60:21; Isaya 61:3;
Danieli 7:13,14.
I. Masiha kwenye dhabihu na sherehe.
01. Sadaka ya kuteketeza - na nyama
inawakilisha kazi ya Masiha - ladha nzuri.
Mambo ya Walawi 1:5,13; Mambo ya Walawi
2:1,2.
02. Sadaka ya kuteketeza inaonyesha kazi ya
Masiha - sadaka ya kujitolea kwa hiari.
Mambo ya Walawi 7:16.
03. Sadaka ya kuteketeza inawakilisha kazi ya
Masiha - sadaka isiyo na
dosari - sadaka ya kudumu ya kuteketeza
.
Mambo ya Walawi 22:17-21; Hesabu 28:3,4.
04. Sadaka ya amaini na dhabihu ya kutoa
shukrani inawakilisha kazi ya Masiha.
Mambo ya Walawi 3:1-5,16; Zaburi 51:17.
05. Sadaka ya kuchomwa inarejelea kazi ya
Masiha.
Mambo ya Walawi 4:3-12; Mambo ya Walawi
4:27-29.
06. Siku ya sherehe ya upatanisho inarejelea
kazi ya Masiha.
Mambo ya Walawi 16:1-31; Mambo ya
Walawi 17:11.
07. Sadaka ya ndama wa kike mwekundu
inarejelea kazi ya Masiha.
Hesabu 19:2,3,9.
08. Sherehe ya Pasaka inarejelea kazi ya Masiha.
Kutoka 12:5-14, 22-24.
09. Sherehe ya mkate usiotiwa chachu inarejelea
kazi ya Masiha.
Mambo ya Walawi 23:6-8.
10. Kupungia kwa mgada wa mazao ya kwanza
ya nafaka kunarejelea kufufuka kwa Masiha.
Mambo ya Walawi 23:9-14.
MADA
25
11. Sherehe ya matunda ya kwanza, siku 50
baada ya Pasaka, inarejelea kutolewa kwa
Roho Mtakatifu.
Mambo ya Walawi 23:15-21.
12. Sherehe ya tabenakulo kuhusiana na kazi ya
Masiha.
Mambo ya Walawi 23:33-43.
27
Mistari mingine kwenye Maandiko Matakatifu
inahusiana na kuja kwa Ufalme wa Masiha.
Baada ya kuja kwa Masiha kwa mara ya
kwanza Ufalme umekaribia, lakini Ufalme
utatimia kikamilifu wakati wa kuja Kwake kwa
mara ya pili.
Mistari iliyotajwa hapa chini inarejelea Ufalme.
Ili kuokoa nafasi hatukutaja mistari yote
inayohusika lakini kwa kutumia msimbo
wa nambari tunarejelea vikundi vya mistari
iliyotajwa hapa chini.
Misimbo hii ni #1, #2, #3, #4, #5, #6, #7.
Ufalme wa Masiha wa hapo baadaye siku hiyo:
#1 Nguvu, ukuu na utukufu wa Ufalme wa
Masiha.
Mwanzo 49:10; Hesabu 24:17-19;
1 Samweli 2:10; 2 Samweli 7:12-16;
Zaburi 2:6-12; Zaburi 8:2-3;
Zaburi 21:5; Zaburi 45; Zaburi 46:6-12;
Zaburi 47:3,4,8-10; Zaburi 48:2-4,9-15;
Zaburi 50:2-6; Zaburi 61:7,8;
Zaburi 66:1-5; Zaburi 67:2-8;
Zaburi 68:1-5; Zaburi 72:6-20;
Zaburi 85:2-4,10-14; Zaburi 86:9;
Zaburi 89:1-5,26-29,36,37; Zaburi 93:1;
Zaburi 95:3-7; Zaburi 96:1-13;
Zaburi 97:1,6; Zaburi 98:1-9;
Zaburi 99:1-4; Zaburi 110:1-6;
Zaburi 130:7,8; Zaburi 132:11-14;
Zaburi 138:4,5; Zaburi 145:10-13;
Zaburi 149:1-9; Isaya 2:10-22; Isaya 9:5,6;
Isaya 11:2-10; Isaya 16:5; Isaya 24:19-23;
Isaya 26:1-4; Isaya 32:1-5,13-20;
Isaya 33:17-24; Isaya 35:1-10;
Isaya 40:5,9-11; Isaya 41:18-20;
Isaya 42:4,13,16; Isaya 49:7;
Isaya 52:1-3,10,13; Isaya 63:1-6; Isaya
65:13-25; Isaya 66:10-17,22-24; Yeremia 23:5;
Ezekieli 40-48; Danieli 2:35,44;
Danieli 4:3; Danieli 7:13,14,18,27;
Danieli 12:1-3; Yoeli 2;
Yoeli 3; Obadia 1:17-21; Mika 4:13;
Habakuki 2:14; Sefania 2:11;
Zekaria 6:12,13; Zekaria 9:9-12;
Zekaria 10:11,12; Zekaria 14:9;
Malaki 4:1-6; Mathayo 6:10;
Mathayo 19:28; Mathayo 28:18;
Luka 1:32,33; Luka 22:29; Yohana 17:24;
Yohana 18:36; Matendo ya Mitume 1:6,7;
Warumi 8:19-23; Warumi 14:17; 1
Wakorintho 15:24,25; Waefeso 1:10,20;
Wafilipi 2:9; 1 Wathesalonike 2:12;
1 Timotheo 6:15; Waebrania 1:8;
Waebrania 2:5-9; 1 Petro 1:3-5;
Ufunuo wa Yohana 6:2;
Ufunuo wa Yohana 11:15;
Ufunuo wa Yohana 12:10;
Ufunuo wa Yohana 19:15,16;
Ufunuo wa Yohana 20:1-6.
#2 Kubadilishwa na kuteuliwa kwa Israeli.
Mambo ya Walawi 26:40-45;
Kumbukumbu la Torati 4:29-31;
Kumbukumbu la Torati 30:1-10;
Kumbukumbu la Torati 33:28,29;
Zaburi 47:5;
Zaburi 69:36,37; Zaburi 85:9-14;
Zaburi 102:14,17,18,22; Zaburi 106:5;
Zaburi 121; Zaburi 126; Zaburi 130:7,8;
Isaya 4:2-6; Isaya 12:1-6; Isaya 14:1-3;
Isaya 26:1-4; Isaya 27:6; Isaya 29:18-24;
Isaya 30:18-26; Isaya 40:1,2;
Isaya 41:8-20; Isaya 44:1-8,21-24,26;
Isaya 45:17,18,22-25; Isaya 46:13;
Isaya 49:6-26; Isaya 51;
Isaya 54:1-14,17; Isaya 55:1-3;
Isaya 59:16-21; Isaya 60:10,15-18,21,22;
UFALME WA MASIHA WA SIKU ZIJAZO
28
Isaya 61:1-11; Isaya 62;
Isaya 65:8-10; Yeremia 3:14-16, 18,19;
Yeremia 23:4-6; Yeremia 30:18-24;
Yeremia 31:1-7,16-40; Yeremia 32:38-44;
Yeremia 33:6-22,26; Yeremia 50:4-7,20;
Ezekieli 16:60-63; Ezekieli 34:20-31;
Ezekieli 36:8-15,26-38; Ezekieli 37:1-28;
Hosea 1:7,11; Hosea 2:14-23; Hosea 3:5;
Hosea 14:5,6; Amosi 9:11-15; Mika 4:7;
Mika 5:2-15; Mika 7:14-20;
Sefania 3:11-19; Zekaria 1:12-17;
Zekaria 2:1-5,10,12,13;
Zekaria 3:10; Zekaria 8:3-7,9-19;
Zekaria 9:10-17; Zekaria 10:3-7;
Zekaria 12:1-14; Zekaria 13:1,2,8,9;
Zekaria 14:1-21; Malaki 3:1-6,11,12,16-18;
Matendo ya Mitume 15:16-18;
Warumi 9:27,28; Warumi 11:1-36;
Wagalatia 3:17;
Waebrania 8:6-12; Waebrania 10:16,17;
#3 Kurudi kwa Israeli.
Kumbukumbu la Torati 30:3-5;
Zaburi 14:7;
Zaburi 53:7; Zaburi 106:47;
Zaburi 107:2,3; Zaburi 147:2;
Isaya 10:20-22; Isaya 11:11-16;
Isaya 27:12,13; Isaya 35:8-10; Isaya 43:5,6;
Isaya 49:6,12,22; Isaya 51:11;
Isaya 52:8-10; Isaya 54:7; Isaya 56:8;
Isaya 60:3-11; Isaya 66:20-21;
Yeremia 3:18,19; Yeremia 12:15;
Yeremia 15:19-21; Yeremia 16:14,15;
Yeremia 23:3,7,8; Yeremia 30:3,10,11,17;
Yeremia 31:8-14,17; Yeremia 32:37;
Yeremia 46:27-28; Yeremia 50:19;
Ezekieli 11:17-20; Ezekieli 20:34-44;
Ezekieli 28:24-26; Ezekieli 34:11-14;
Ezekieli 36:24-27; Ezekieli 37:21;
Ezekieli 39:25-29; Hosea 1:11;
Hosea 14:7-8; Mika 2:12,13; Mika 4:6;
Sefania 3:18-20; Zekaria 1:17;
Zekaria 8:7,8; Zekaria 10:8-10;
Yohana 11:52; Waefeso 1:10.
#4 Wayunani watakuja pia.
Mwanzo 26:4;
Kumbukumbu la Torati 32:43;
Zaburi 22:28-32; Zaburi 72:11,17;
Zaburi 86:9; Zaburi 96:10;
Zaburi 102:16-23;
Zaburi 117:1; Isaya 2:2-6; Isaya 5:26;
Isaya 11:10,12;
Isaya 19:16-25; Isaya 25:6-12; Isaya 26:2;
Isaya 43:9; Isaya 51:5; Isaya 55:5;
Isaya 56:6-7; Isaya 60:3-7, 10-14;
Isaya 62:10; Isaya 66:18-23; Yeremia 3:17;
Yeremia 4:2; Yeremia 10:6,7;
Yeremia 16:19; Danieli 7:18,25-27;
Mika 4:1-4; Hagai 2:6,7; Zekaria 2:11;
Sefania 3:8-10;
Zekaria 8:3,20-23; Zekaria 14:16-19;
Maleach 1:11; Marko 11:17; Yohana 10:16;
Warumi 3:29; Warumi 15:9-12;
Wagalatia 3:8; Waefeso 2:11-13;
Waebrania 2:11-13;
Waebrania 12:23;
Ufunuo wa Yohana 7:9-12;
Ufunuo wa Yohana 15:4;
Ufunuo wa Yohana 21:24-26;
Ufunuo wa Yohana 22:2.
#5 Kurudi kwa Masiha na kufufuka kutoka
kwa kifo.
Zaburi 68:22,23; Zaburi 71:20;
Zaburi 126:5,6; Isaya 25:8; Isaya 26:19;
Hosea 13:14; Danieli 12:13;
Mathayo 22:32;
Mathayo 24:27-51; Mathayo 26:64;
Marko 13:24-37; Luka 12:37;
UFALME WA MASIHA WA SIKU ZIJAZO
29
Luka 14:13-15; Luka 20:34-37;
Luka 21:22-36; Luka 22:29; Luka 23:43;
Yohana 3:21; Yohana 5:28,29;
Yohana 6:39,40; Yohana 8:51;
Yohana 11:25,26; Yohana 12:25,26;
Yohana 14:2,3; Yohana 17:24;
Matendo ya Mitume 2:6-8;
Matendo ya Mitume 23:6-8;
Matendo ya Mitume 26:6-8;
Warumi 8:17,24;
1 Wakorintho 6:14; 1 Wakorintho 15:1-58;
2 Wakorintho 4:14,17; Waefeso 1:10;
Wafilipi 2:10,11; Wafilipi 3:20,21;
Wakolosai 3:4; 1 Wathesalonike 1:10;
1 Wathesalonike 4:14-17;
2 Wathesalonike 1:7-10;
2 Wathesalonike 2:7,8;
2 Timotheo 2:11,12,18; 2 Timotheo 4:8;
Waebrania 1:13; Waebrania 11:13,35;
1 Petro 1:4-9; 1 Petro 4:13; 1 Petro 5:4;
2 Petro 1:11; 1 Yohana 3:2; Yuda 1:14;
Ufunuo wa Yohana 1:6,7;
Ufunuo wa Yohana 2:26,27;
Ufunuo wa Yohana 3:21;
Ufunuo wa Yohana 5:1-14;
Ufunuo wa Yohana 7:3,4;
Ufunuo wa Yohana 10:7;
Ufunuo wa Yohana 11:15;
Ufunuo wa Yohana 12:10;
Ufunuo wa Yohana 15:3,4;
Ufunuo wa Yohana 20:1-6.
#6 Siku ya hukumu.
Mwanzo 18:25; Zaburi 1:4; Zaburi 9:8;
Zaburi 68:1-5; Zaburi 73:20;
Zaburi 96:11-13; Zaburi 98:9;
Zaburi 122:5; Mhubiri 12:14;
Isaya 5:30; Isaya 13:1-22; Isaya 30:8,27-30;
Isaya 34:1-4; Isaya 66:15,16;
Danieli 7:9,10;
Danieli 12:1,2; Yoeli 2:1,10,11,30-32;
Yoeli 3:12-16; Mika 1:3,4; Nahumu 1:5,6;
Sefania 1:14-18; Malaki 3:5,16-18;
Mathayo 8:11,12; Mathayo 10:28;
Mathayo 11:21-24; Mathayo 12:36,41,42;
Mathayo 13:40-43; Mathayo 19:28;
Mathayo 24:50,51;
Mathayo 25:21,23,31-46;
Marko 9:43-48; Luka 10:12-14; Luka 19:27;
Luka 20:35,36; Luka 22:30;
Yohana 5:24-29; Yohana 12:31,32;
Matendo ya Mitume 10:42;
Matendo ya Mitume 17:31;
Matendo ya Mitume 24:15;
Warumi 2:5-16; Warumi 14:10-12; 1
Wakorintho 3:12-15;
1 Wakorintho 4:5; 1 Wakorintho 6:1-3;
2 Wakorintho 5:10; Wakolosai 3:6;
2 Timotheo 4:1; Waebrania 6:2;
2 Petro 2:9; 2 Petro 3:7; 1 Yohana 4:17;
Yuda 1:6,13-15; Ufunuo wa Yohana 2:11;
Ufunuo wa Yohana 3:4,5;
Ufunuo wa Yohana 6:12-17;
Ufunuo wa Yohana 11:18,19;
Ufunuo wa Yohana 14:1-11;
Ufunuo wa Yohana 17:14-16;
Ufunuo wa Yohana 19;
Ufunuo wa Yohana 20:10-15;
#7 Mbingu mpya na dunia mpya.
Zaburi 48:8; Isaya 60:18-20;
Isaya 65:17-19; Isaya 66:22-24;
Mathayo 8:11; Mathayo 24:35;
1 Wakorintho 15:24,25; Wagalatia 4:26;
Waebrania 10:12,13; Waebrania 11:10;
Waebrania 12:22-28; 2 Petro 3:7-13;
Ufunuo wa Yohana 3:12,21;
Ufunuo wa Yohana 16:20;
Ufunuo wa Yohana 21, 22.
UFALME WA MASIHA WA SIKU ZIJAZO
31
C01 Kuzaliwa kwa Masiha kunatabiriwa.
MWANZO 3:15 nami nitaweka uadui kati
yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao
wako na uzao wake; huo utakuponda
kichwa, na wewe utamponda kisigino.
HESABU 21:8 Bwana akamwambia Musa,
Jifanyie nyoka ya shaba, ukaiweke juu
ya mti, na itakuwa kila mtu aliyeumwa,
aitazamapo ataishi.
9 Musa akafanya nyoka ya shaba, akaiweka juu
ya mti, hata ikiwa nyoka amemwuma mtu,
alipoitazama ile nyoka ya shaba, akaishi.
ISAYA 53:10 Lakini Bwana aliridhika
kumchubua; Amemhuzunisha;
Utakapofanya nafsi yake kuwa dhabihu kwa
dhambi, Ataona uzao wake, ataishi siku
nyingi, Na mapenzi ya Bwana yatafanikiwa
mkononi mwake;
MATHAYO 27:50 Naye Yesu akiisha kupaza
sauti tena kwa nguvu, akaitoa roho yake.
51 Na tazama, pazia la hekalu likapasuka
vipande viwili toka juu hata chini; nchi
ikatetemeka; miamba ikapasuka;
MATHAYO 28:5 Malaika akajibu, akawaambia
wale wanawake, Msiogope ninyi; kwa
maana najua ya kuwa mnamtafuta Yesu
aliyesulibiwa.
6 Hayupo hapa; kwani amefufuka kama
alivyosema. Njoni, mpatazame mahali
alipolazwa.
LUKA 2:10 Malaika akawaambia,
Msiogope; kwa kuwa mimi ninawaletea
habari njema ya furaha kuu itakayokuwa
kwa watu wote;
11 maana leo katika mji wa Daudi amezaliwa,
kwa ajili yenu, Mwokozi, ndiye Kristo
Bwana.
YOHANA 3:14 Na kama vile Musa
alivyomwinua yule nyoka jangwani,
vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi
kuinuliwa;
WAGALATIA 3:19 Torati ni nini basi? Iliingizwa
kwa sababu ya makosa, hata aje huyo mzao
aliyepewa ile ahadi; iliamriwa kwa utumishi
wa malaika kwa mkono wa mjumbe.
WAGALATIA 4:4 Hata ulipowadia utimilifu wa
wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye
amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini
ya sheria,
5 kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya
sheria, ili sisi tupate kupokea hali ya kuwa
wana.
WAEBRANIA 2:14 Basi, kwa kuwa watoto
wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo
hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya
mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za
mauti, yaani, Ibilisi,
UFUNUO WA YOHANA 12:9 Yule joka
akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani,
aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye
ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na
malaika zake wakatupwa pamoja naye.
UFUNUO WA YOHANA 20:10 Na yule
Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa
katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule
mnyama na yule nabii wa uongo. Nao
watateswa mchana na usiku hata milele na
milele.
MWANZO
32
Ona pia: Hesabu 21:6,7; Marko 16:18; Luka 10:19; Matendo ya Mitume 28:3-6.
E09 Uadilifu wa Masiha.
MWANZO 3:21 Bwana Mungu akawafanyia
Adamu na mkewe mavazi ya ngozi,
akawavika.
MWANZO 3:7 Wakafumbuliwa macho wote
wawili wakajijua kuwa wa uchi, wakashona
majani ya mtini, wakajifanyia nguo.
ISAYA 61:10 Nitafurahi sana katika
Bwana, nafsi yangu itashangilia katika
Mungu wangu; maana amenivika mavazi
ya wokovu, amenifunika vazi la haki, kama
bwana arusi ajipambavyo kwa kilemba cha
maua, na kama bibi arusi ajipambavyo kwa
vyombo vya dhahabu.
UFUNUO WA YOHANA 4:4 Na viti
ishirini na vinne vilikizunguka kile kiti cha
enzi, na juu ya vile viti naliona wazee ishirini
na wanne, wameketi, wamevikwa mavazi
meupe; na juu ya vichwa vyao walikuwa na
taji za dhahabu.
UFUNUO WA YOHANA 7:9 Baada
ya hayo nikaona, na tazama, mkutano
mkubwa sana ambao hapana mtu awezaye
kuuhesabu, watu wa kila taifa, na kabila, na
jamaa, na lugha, wamesimama mbele ya kile
kiti cha enzi, na mbele za Mwana-Kondoo,
wamevikwa mavazi meupe, wana matawi ya
mitende mikononi mwao;
10 wakilia kwa sauti kuu wakisema, Wokovu
una Mungu wetu aketiye katika kiti cha enzi,
na Mwana-Kondoo.
11 Na malaika wote walikuwa wakisimama
pande zote za kile kiti cha enzi, na za hao
wazee, na za wale wenye uhai wanne, nao
wakaanguka kifulifuli mbele ya kile kiti cha
enzi, wakamsujudu Mungu,
12 wakisema, Amina; Baraka na utukufu na
hekima na shukrani na heshima na uweza
na nguvu zina Mungu wetu hata milele na
milele. Amina.
13 Akajibu mmoja wa wale wazee akiniambia,
Je! Watu hawa waliovikwa mavazi meupe ni
akina nani? Na wametoka wapi?
14 Nikamwambia, Bwana wangu, wajua wewe.
Akaniambia, Hao ndio wanatoka katika
dhiki ile iliyo kuu, nao wamefua mavazi yao,
na kuyafanya meupe katika damu ya Mwana-
Kondoo.
UFUNUO WA YOHANA 21:2 Nami
nikauona mji ule mtakatifu, Yerusalemu
mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa
Mungu, umewekwa tayari, kama bibi-arusi
aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.
Ona pia: Zaburi 132:9,16; Isaya 52:1; Ezekieli 16:8-18.
A01 Masiha ni wa ukoo wa Abrahamu.
MWANZO 9:26 Akasema,Na atukuzwe
Bwana,Mungu wa Shemu;Na kaanani awe
mtumwa wake.
27 Mungu akamnafisishe Yafethi,Na akae katika
hema za Shemu; Na kaanani awe mtumwa
wake.
LUKA 3:23 Na Yesu mwenyewe,
alipoanza kufundisha, alikuwa amepata umri
wake kama miaka thelathini, akidhaniwa
kuwa ni mwana wa Yusufu, wa Eli,
LUKA 3:24-33
MWANZO
33
LUKA 3:34 wa Yakobo, wa Isaka, wa
Ibrahimu, wa Tera, wa Nahori,
35 wa Serugi, wa Ragau, wa Pelegi, wa Eberi,
wa Sala,
36 wa Kenani, wa Arfaksadi, wa Shemu, wa
Nuhu, wa Lameki,
Ona pia: Isaya 11:10; Warumi 9:5; Warumi 15:12; Waefeso 2:19;
Waefeso 3:6.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
MWANZO 12:3 nami nitawabariki
wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani;
na katika wewe jamaa zote za dunia
watabarikiwa.
MATENDO YA MITUME 3:25 Ninyi
mmekuwa watoto wa manabii na wa
maagano yale, ambayo Mungu aliagana
na baba zenu, akimwambia Ibrahimu,
Katika uzao wako kabila zote za ulimwengu
zitabarikiwa.
26 Mungu, akiisha kumfufua mtumishi wake
Yesu, alimtuma kwenu ninyi kwanza, ili
kuwabarikia kwa kumwepusha kila mmoja
wenu na maovu yake.
Ona pia: Zaburi 72:17; Warumi 4:11; Wagalatia 3:8,16,28; Wakolosai 3:11; Ufunuo wa Yohana 7:9.
D03 Kazi ya Masiha kama Kuhani.
MWANZO 14:18 Na Melkizedeki mfalme wa
Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa
kuhani wa Mungu Aliye juu sana.
MATHAYO 26:26 Nao walipokuwa wakila
Yesu alitwaa mkate, akabariki, akaumega,
akawapa wanafunzi wake, akasema, Twaeni,
mle; huu ndio mwili wangu
27 Akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa,
akisema, Nyweni nyote katika hiki;
28 kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano,
imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo
la dhambi.
29 Lakini nawaambieni, Sitakunywa kabisa
tangu sasa uzao huu wa mzabibu, hata siku
ile nitakapokunywa mpya pamoja nanyi
katika ufalme wa Baba yangu.
WAEBRANIA 6:20 alimoingia Yesu kwa
ajili yetu, mtangulizi wetu, amekuwa
kuhani mkuu hata milele kwa mfano wa
Melkizedeki.
WAEBRANIA 7:1 Kwa maana Melkizedeki
huyo, mfalme wa Salemu, kuhani wa
Mungu aliye juu, aliyekutana na Ibrahimu
alipokuwa akirudi katika kuwapiga hao
wafalme, akambariki;
2 ambaye Ibrahimu alimgawia sehemu ya
kumi ya vitu vyote; (tafsiri ya jina lake
kwanza ni mfalme wa haki, tena, mfalme wa
Salemu, maana yake, mfalme wa amani;
Ona pia: Zaburi 110:4; Waebrania 5:6,10; Waebrania 7:1-3.
A01 Masiha ni wa ukoo wa Abrahamu.
MWANZO 17:7 Agano langu nitalifanya
imara kati ya mimi na wewe, na uzao wako
baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la
milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na
kwa uzao wako baada yako.
8 Nami nitakupa wewe na uzao wako baada
MWANZO
34
yako nchi hii unayoikaa ugeni, nchi yote
ya Kanaani, kuwa milki ya milele; nami
nitakuwa Mungu wao.
19 Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo
atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita
jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu
imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili
ya uzao wake baada yake.
21 Bali agano langu nitalifanya imara kwa
Isaka, ambaye Sara atakuzalia majira kama
haya mwaka ujao.
MWANZO 21:12 Mungu akamwambia
Ibrahimu, Neno hili lisiwe baya machoni
pako, kwa ajili ya huyo mwana, na huyo
mjakazi wako. Kila akuambialo Sara, sikiza
sauti yake, kwa maana katika Isaka uzao
wako utaitwa.
WARUMI 9:6 Si kana kwamba neno la
Mungu limetanguka. Maana hawawi wote
Waisraeli walio wa uzao wa Israeli.
7 Wala hawawi wote wana kwa kuwa wazao
wa Ibrahimu, bali, Katika Isaka wazao wako
wataitwa;
8 yaani, si watoto wa mwili walio watoto
wa Mungu, bali watoto wa ile ahadi
wanahesabiwa kuwa wazao.
9 Kwa maana neno la ahadi ni hili, Panapo
wakati huu nitakuja, na Sara atakuwa na
mwana.
Ona pia: Mwanzo 21:2,3,6; Wagalatia 4:28-31.
B02 Masiha ndiye Mwanakondoo wa Mungu.
MWANZO 22:8 Ibrahimu akasema, Mungu
atajipatia mwana-kondoo kwa hiyo sadaka,
mwanangu. Basi wakaendelea wote wawili
pamoja.
YOHANA 1:29 Siku ya pili yake amwona
Yesu anakuja kwake, akasema, Tazama,
Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye
dhambi ya ulimwengu!
Ona pia: Yohana 1:36; 1 Petro 1:19,20; Ufunuo wa Yohana 5:6,12; Ufunuo wa Yohana 7:9,13,14.
A01 Masiha ni wa ukoo wa Abrahamu.
E22 Kazi ya Masiha itakuwa imebarikiwa.
MWANZO 22:17 katika kubariki nitakubariki,
na katika kuzidisha nitauzidisha uzao wako
kama nyota za mbinguni, na kama mchanga
ulioko pwani; na uzao wako utamiliki
mlango wa adui zao;
18 na katika uzao wako mataifa yote ya dunia
watajibarikia; kwa sababu umetii sauti
yangu.
YOHANA 8:56 Ibrahimu, baba yenu,
alishangilia kwa vile atakavyoiona siku
yangu; naye akaiona, akafurahi.
MATENDO YA MITUME 3:22 Kwa
maana Musa kweli alisema ya kwamba,
Bwana Mungu wenu atawainulieni nabii,
katika ndugu zenu, kama mimi; msikieni
yeye katika mambo yote atakayonena nanyi.
23 Na itakuwa ya kwamba kila mtu
asiyemsikiliza nabii huyo ataangamizwa na
kutengwa na watu wake.
24 Naam, na manabii wote tangu Samweli na
wale waliokuja baada yake, wote walionena,
walihubiri habari za siku hizi.
MWANZO
35
25 Ninyi mmekuwa watoto wa manabii na wa
maagano yale, ambayo Mungu aliagana
na baba zenu, akimwambia Ibrahimu,
Katika uzao wako kabila zote za ulimwengu
zitabarikiwa.
26 Mungu, akiisha kumfufua mtumishi wake
Yesu, alimtuma kwenu ninyi kwanza, ili
kuwabarikia kwa kumwepusha kila mmoja
wenu na maovu yake.
WARUMI 4:17 (kama ilivyoandikwa,
Nimekuweka kuwa baba wa mataifa
mengi); mbele zake yeye aliyemwamini,
yaani Mungu, mwenye kuwahuisha wafu,
ayatajaye yale yasiyokuwako kana kwamba
yamekuwako.
18 Naye aliamini kwa kutarajia yasiyoweza
kutarajiwa, ili apate kuwa baba wa
mataifa mengi, kama ilivyonenwa, Ndivyo
utakavyokuwa uzao wako.
2 WAKORINTHO 1:20 Maana ahadi zote
za Mungu zilizopo katika yeye ni Ndiyo; tena
kwa hiyo katika yeye ni Amin; Mungu apate
kutukuzwa kwa sisi.
WAGALATIA 3:16 Basi ahadi zilinenwa kwa
Ibrahimu na kwa mzao wake. Hasemi, Kwa
wazao, kana kwamba ni wengi, bali kana
kwamba ni mmoja, Kwa mzao wako, yaani,
Kristo.
17 Nisemalo ni hili; agano lililothibitishwa
kwanza na Mungu, torati iliyotokea miaka
mia nne na thelathini baadaye hailitangui,
hata kuibatilisha ile ahadi.
18 Kwa maana urithi ukiwa kwa sheria, hauwi
tena kwa ahadi; lakini Mungu alimkirimia
Ibrahimu kwa njia ya ahadi.
WAGALATIA 3:29 Na kama ninyi ni wa Kristo,
basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na
warithi sawasawa na ahadi.
Ona pia: Mwanzo 12:2,3; Mwanzo 13:16; Mwanzo 15:1,5,6; Mwanzo 17:1,6,7; Mwanzo 18:18; Mwanzo 22:3,10; Mwanzo
26:4,5; Mwanzo 27:28,29; Mwanzo 28:3,14; Mwanzo 49:25,26; Kumbukumbu la Torati 1:10; Kumbukumbu la Torati 28:2; Zaburi 2:8; Zaburi 72:8,9,17; Yeremia 7:23; Yeremia 33:22;
Danieli 2:44,45; Luka 1:68-75; Waefeso 1:3; Ufunuo wa Yohana 11:15.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
MWANZO 26:3 Kaa ugenini katika nchi hiyo,
nami nitakuwa pamoja nawe, na kukubariki,
maana nitakupa wewe na uzao wako nchi
hizi zote. Nami nitakifanya imara kiapo
nilichomwapia Ibrahimu baba yako.
4 Nitazidisha uzao wako kama nyota za
mbinguni, nami nitawapa uzao wako nchi
hizi zote, na katika uzao wako mataifa yote
ya dunia watajibarikia.
WAEBRANIA 6:17 Katika neno hilo Mungu,
akitaka kuwaonyesha zaidi sana warithio
ile ahadi, jinsi mashauri yake yasivyoweza
kubadilika, alitia kiapo katikati;
WAEBRANIA 11:9 Kwa imani alikaa ugenini
katika ile nchi ya ahadi, kama katika nchi
isiyo yake, akikaa katika hema pamoja na
Isaka na Yakobo, warithi pamoja naye wa
ahadi ile ile.
WAEBRANIA 11:13 Hawa wote wakafa
katika imani, wasijazipokea zile ahadi, bali
wakaziona tokea mbali na kuzishangilia, na
kukiri kwamba walikuwa wageni, na wasafiri
juu ya nchi.
14 Maana hao wasemao maneno kama hayo
waonyesha wazi kwamba wanatafuta nchi
yao wenyewe.
MWANZO
36
15 Na kama wangaliikumbuka nchi ile
waliyotoka, wangalipata nafasi ya kurejea.
16 Lakini sasa waitamani nchi iliyo bora,
yaani, ya mbinguni. Kwa hiyo Mungu
haoni haya kuitwa Mungu wao; maana
amewatengenezea mji.
Ona pia: Mwanzo 12:1-3; Mwanzo 13:15-17; Mwanzo 15:18; Mwanzo 17:8; Mwanzo 22:16-18; Zaburi 32:8; Zaburi 39:12;
Isaya 43:2,5.
A01 Masiha ni wa ukoo wa Abrahamu.
B23 Neema ya Mungu na Masiha.
E22 Kazi ya Masiha itakuwa imebarikiwa.
MWANZO 28:14 Na uzao wako utakuwa kama
mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa
magharibi, na mashariki, na kaskazini, na
kusini; na katika wewe, na katika uzao wako,
jamaa zote za dunia watabarikiwa.
MATENDO YA MITUME 3:25 Ninyi
mmekuwa watoto wa manabii na wa
maagano yale, ambayo Mungu aliagana
na baba zenu, akimwambia Ibrahimu,
Katika uzao wako kabila zote za ulimwengu
zitabarikiwa.
26 Mungu, akiisha kumfufua mtumishi wake
Yesu, alimtuma kwenu ninyi kwanza, ili
kuwabarikia kwa kumwepusha kila mmoja
wenu na maovu yake.
WAGALATIA 3:8 Na andiko, kwa vile
lilivyoona tangu zamani kwamba Mungu
atawahesabia haki Mataifa kwa imani,
lilimhubiri Ibrahimu habari njema
zamani, kusema, Katika wewe Mataifa yote
watabarikiwa.
WAGALATIA 3:16 Basi ahadi zilinenwa kwa
Ibrahimu na kwa mzao wake. Hasemi, Kwa
wazao, kana kwamba ni wengi, bali kana
kwamba ni mmoja, Kwa mzao wako, yaani,
Kristo.
Ona pia: Mwanzo 12:3; Mwanzo 18:17,18; Mwanzo 22:18; Mwanzo 26:4; Zaburi 72:17.
A02 Masiha ni wa ukoo wa Yuda.
D04 Kazi ya Masiha kama Mfalme.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
MWANZO 49:8 Yuda, ndugu zako
watakusifu, Mkono wako utakuwa shingoni
mwa adui zako. Wana wa baba yako
watakuinamia.
9 Yuda ni mwana-simba, Kutoka katika
mawindo, mwanangu, umepanda; Aliinama
akajilaza kama simba, Na kama simba mke;
ni nani atakaye mwamsha?
10 Fimbo ya enzi haitaondoka katika Yuda,
Wala mfanya sheria kati ya miguu yake, Hata
atakapokuja Yeye, mwenye milki, Ambaye
mataifa watamtii.
11 Atafunga punda wake katika mzabibu, Na
mwana-punda wake katika mzabibu mzuri.
Amefua nguo zake kwa mvinyo, Na mavazi
yake kwa damu ya zabibu.
12 Macho yake yatakuwa mekundu kwa
mvinyo, Na meno yake yatakuwa meupe kwa
maziwa.
LUKA 1:30 Malaika akamwambia,
Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata
neema kwa Mungu.
31 Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto
mwanamume; na jina lake utamwita Yesu.
32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa
Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha
MWANZO
37
enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
MATHAYO 1:1 Kitabu cha ukoo wa Yesu
Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa
Ibrahimu.
2 Ibrahimu alimzaa Isaka; Isaka akamzaa
Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda na ndugu
zake;
3 Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari;
Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa
Aramu;
4 Aramu akamzaa Aminadabu; Aminadabu
akamzaa Nashoni; Nashoni akamzaa
Salmoni;
5 Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu; Boazi
akamzaa Obedi kwa Ruthu; Obedi akamzaa
Yese;
6 Yese akamzaa mfalme Daudi.
7 Sulemani akamzaa Rehoboamu; Rehoboamu
akamzaa Abiya; Abiya akamzaa Asa;
8 Asa akamzaa Yehoshafati; Yehoshafati
akamzaa Yoramu; Yoramu akamzaa Uzia;
9 Uzia akamzaa Yothamu; Yothamu akamzaa
Ahazi; Ahazi akamzaa Hezekia;
10 Hezekia akamzaa Manase; Manase akamzaa
Amoni; Amoni akamzaa Yosia;
11 Yosia akamzaa Yekonia na ndugu zake,
wakati wa ule uhamisho wa Babeli.
12 Na baada ya ule uhamisho wa Babeli,
Yekonia akamzaa Shealtieli; Shealtieli
akamzaa Zerubabeli;
13 Zerubabeli akamzaa Abihudi; Abihudi
akamzaa Eliakimu; Eliakimu akamzaa Azori;
14 Azori akamzaa Sadoki; Sadoki akamzaa
Akimu; Akimu akamzaa Eliudi;
15 Eliudi akamzaa Eleazari; Eleazari akamzaa
Matani; Matani akamzaa Yakobo;
16 Yakobo akamzaa Yusufu mumewe Mariamu
aliyemzaa YESU aitwaye Kristo.
17 Basi vizazi vyote tangu Ibrahimu hata Daudi
ni vizazi kumi na vinne; na tangu Daudi
hata ule uhamisho wa Babeli ni vizazi kumi
na vinne; na tangu ule uhamisho wa Babeli
hata Kristo ni vizazi kumi na vinne.
WAEBRANIA 7:14 Maana ni dhahiri kwamba
Bwana wetu alitoka katika Yuda, kabila
ambayo Musa hakunena neno lo lote juu
yake katika mambo ya ukuhani.
UFUNUO WA YOHANA 5:5 Na
mmojawapo wa wale wazee akaniambia,
Usilie; tazama, Simba aliye wa kabila ya
Yuda, Shina la Daudi, yeye ameshinda apate
kukifungua kile kitabu, na zile muhuri zake
saba.
Ona pia: Mwanzo 29:35; Hesabu 24:17; Kumbukumbu la Torati 33:7; 2 Samweli 22:41; 1 Mambo ya Nyakati 5:2; Zaburi
60:6; Zaburi 72:8-11; Isaya 9:6; Isaya 11:1-5; Isaya 42:1-4; Isaya 49:6,7,22,23; Isaya 55:4,5; Isaya 60:1-5; Isaya 63:1-3;
Yeremia 23:5,6; Yeremia 30:21; Hosea 5:14; Hosea 11:12; Hagai 2:7; Mathayo 17:5; Mathayo 21:9; Luka 2:30-32; Warumi 15:12; 1 Wakorintho 15:24,25; Ufunuo wa Yohana 11:15; Ufunuo wa
Yohana 20.
MWANZO
38
B13 Mamlaka ya Masiha.
KUTOKA 3:6 Tena akasema, Mimi ni
Mungu wa baba yako, Mungu wa Ibrahimu,
Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo.
Musa akaficha uso wake; kwa maana
aliogopa kumwangalia Mungu.
MATHAYO 22:31 Tena kwa habari ya kiyama
ya watu, hamjalisoma neno lililonenwa na
Mungu, akisema,
32 Mimi ni Mungu wa Ibrahimu, na Mungu
wa Isaka, na Mungu wa Yakobo? Mungu si
Mungu wa wafu, bali wa walio hai.
33 Na makutano waliposikia, walishangaa kwa
mafunzo yake.
LUKA 20:37 Lakini, ya kuwa wafu
hufufuliwa, hata na Musa alionyesha katika
sura ya Kijiti, hapo alipomtaja Bwana kuwa
ni Mungu wa Ibrahimu, na Mungu wa
Isaka, na Mungu wa Yakobo.
38 Naye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai;
kwa kuwa wote huishi kwake.
Ona pia: Mwanzo 17:7,8; Mwanzo 28:13; Mwanzo 32:9; Kutoka 3:14,15; Kutoka 4:5; 1 Wafalme 18:36; Marko 12:26; Matendo ya
Mitume 7:32; Waebrania 12:21; Ufunuo wa Yohana 1:17.
B19 Fumbo la Masiha.
KUTOKA 3:14 Mungu akamwambia
Musa, MIMI NIKO AMBAYE
NIKO;akasema,Ndivyo utakavyowaambia
wana wa Israeli;MIMI NIKO amenituma
kwenu.
MATHAYO 22:32 Mimi ni Mungu wa
Ibrahimu, na Mungu wa Isaka, na Mungu
wa Yakobo? Mungu si Mungu wa wafu, bali
wa walio hai.
LUKA 9:20 Akawaambia, Nanyi
mwasema ya kwamba mimi ni nani? Petro
akamjibu akasema, Ndiwe Kristo wa Mungu.
YOHANA 6:35 Yesu akawaambia, Mimi
ndimi chakula cha uzima; yeye ajaye kwangu
hataona njaa kabisa, naye aniaminiye
hataona kiu kamwe.
YOHANA 8:58 Yesu akawaambia,
Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu
asijakuwako, mimi niko.
YOHANA 11:25 Yesu akamwambia,
Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye
aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa
anaishi;
WAEBRANIA 13:8 Yesu Kristo ni yeye yule, jana
na leo na hata milele.
UFUNUO WA YOHANA 1:8 Mimi ni
Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, asema
Bwana Mungu, aliyeko na aliyekuwako na
atakayekuja, Mwenyezi.
Ona pia: Zaburi 90:2; Mithali 30:4; Isaya 44:6; Mathayo 13:11; Yohana 8:12; Yohana 10:9,14; Yohana 14:6; Yohana 15:1; Ufunuo
wa Yohana 1:4,17; Ufunuo wa Yohana 4:8.
B02 Masiha ndiye Mwanakondoo wa Mungu.
I08 Sherehe ya Pasaka inarejelea kazi ya
Masiha.
KUTOKA 12:5 Mwana-kondoo wenu
atakuwa hana ila, mume wa mwaka mmoja;
mtamtwaa katika kondoo au katika mbuzi.
6 Nanyi mtamweka hata siku ya kumi na
KUTOKA
39
nne ya mwezi ule ule; na kusanyiko lote la
mkutano wa Israeli watamchinja jioni.
7 Nao watatwaa baadhi ya damu yake na kuitia
katika miimo miwili na katika kizingiti cha
juu, katika zile nyumba watakazomla.
8 Watakula nyama yake usiku ule ule,
imeokwa motoni, pamoja na mkate usiotiwa
chachu; tena pamoja na mboga zenye
uchungu.
9 Msiile mbichi, wala ya kutokoswa majini,
bali imeokwa motoni; kichwa chake pamoja
na miguu yake, na nyama zake za ndani.
10 Wala msisaze kitu chake cho chote hata
asubuhi, bali kitu kitakachosalia hata
asubuhi mtakichoma kwa moto.
11 Tena mtamla hivi; mtakuwa mmefungwa
viuno vyenu, mmevaa viatu vyenu miguuni,
na fimbo zenu mikononi mwenu; nanyi
mtamla kwa haraka; ni pasaka ya Bwana.
12 Maana nitapita kati ya nchi ya Misri usiku
huo, nami nitawapiga wazaliwa wa kwanza
wote katika nchi ya Misri, wa mwanadamu
na wa mnyama; nami nitafanya hukumu
juu ya miungu yote ya Misri; Mimi ndimi
Bwana.
13 Na ile damu itakuwa ishara kwenu katika
zile nyumba mtakazokuwamo; nami
nitakapoiona ile damu, nitapita juu yenu,
lisiwapate pigo lo lote likawaharibu,
nitakapoipiga nchi ya Misri.
14 Na siku hii itakuwa ukumbusho kwenu,
nanyi mtaifanya iwe sikukuu kwa Bwana;
mtaifanya iwe sikukuu katika vizazi vyenu
vyote, kwa amri ya milele
22 Nanyi twaeni tawi la hisopu, mkalichovye
katika ile damu iliyo bakulini na kukipiga
kizingiti cha juu, na miimo miwili ya
mlango, kwa hiyo damu iliyo katika bakuli;
tena mtu ye yote miongoni mwenu asitoke
mlangoni mwa nyumba yake hata asubuhi.
23 Kwa kuwa Bwana atapita ili awapige hao
Wamisri; na hapo atakapoiona hiyo damu
katika kizingiti cha juu, na katika ile miimo
miwili, Bwana atapita juu ya mlango, wala
hatamwacha mwenye kuharibu aingie
nyumbani mwenu kuwapiga ninyi.
24 Nanyi mtalitunza jambo hili kuwa ni amri
kwako na kwa wanao milele.
YOHANA 1:29 Siku ya pili yake amwona
Yesu anakuja kwake, akasema, Tazama,
Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye
dhambi ya ulimwengu!
1 WAKORINTHO 5:7 Basi, jisafisheni,
mkatoe ile chachu ya kale, mpate kuwa
donge jipya, kama vile mlivyo hamkutiwa
chachu. Kwa maana Pasaka wetu amekwisha
kutolewa kuwa sadaka, yaani, Kristo;
WAEFESO 1:7 Katika yeye huyo, kwa damu
yake, tunao ukombozi wetu, masamaha ya
dhambi, sawasawa na wingi wa neema yake.
WAEBRANIA 9:11 Lakini Kristo akiisha kuja,
aliye kuhani mkuu wa mambo mema
yatakayokuwapo, kwa hema iliyo kubwa na
kamilifu zaidi, isiyofanyika kwa mikono,
maana yake, isiyo ya ulimwengu huu,
12 wala si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali
kwa damu yake mwenyewe aliingia mara
moja tu katika Patakatifu, akiisha kupata
ukombozi wa milele.
13 Kwa maana, ikiwa damu ya mbuzi na
mafahali na majivu ya ndama ya ng›ombe
waliyonyunyiziwa wenye uchafu hutakasa
hata kuusafisha mwili;
14 basi si zaidi damu yake Kristo, ambaye
kwamba kwa Roho wa milele alijitoa nafsi
KUTOKA
40
yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na
mawaa, itawasafisha dhamiri zenu na
matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu
aliye hai?
WAEBRANIA 10:29 Mwaonaje?
Haikumpasa adhabu iliyo kubwa zaidi mtu
yule aliyemkanyaga Mwana wa Mungu,
na kuihesabu damu ya agano aliyotakaswa
kwayo kuwa ni kitu ovyo, na kumfanyia jeuri
Roho wa neema?
WAEBRANIA 11:28 Kwa imani
akaifanya Pasaka, na kule kunyunyiza damu,
ili yule mwenye kuwaangamiza wazaliwa wa
kwanza asiwaguse wao.
1 PETRO 1:18 Nanyi mfahamu kwamba
mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo,
kwa fedha au dhahabu; mpate kutoka katika
mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa
baba zenu;
19 bali kwa damu ya thamani, kama ya mwana-
kondoo asiye na ila, asiye na waa, yaani, ya
Kristo.
Ona pia: Kutoka 12:7; Mambo ya Walawi 23:4,5; Hesabu 19:18; Zaburi 51:5; Mathayo 26:17-19,30; Marko 14:12-16; Yohana 1:36; Waebrania 9:7,19; Waebrania 10:14; Waebrania 12:24; Ufunuo
wa Yohana 5:6-13; Ufunuo wa Yohana 21:22,23.
F13 Maelezo ya mateso ya Masiha.
KUTOKA 12:46 Na aliwe ndani ya nyumba
moja; usiichukue nje ya nyumba nyama yake yo
yote; wala msivunje mfupa wake uwao wote.
YOHANA 19:36 Kwa maana hayo yalitukia
ili andiko litimie, Hapana mfupa wake
utakaovunjwa.
Ona pia: Hesabu 9:12; Zaburi 34:20; Yohana 19:33.
B22 Uzuri wa Mungu na Masiha.
KUTOKA 15:1 Ndipo Musa na wana wa
Israeli wakamwimbia Bwana wimbo huu
wakanena, na kusema, Nitamwimbia Bwana,
kwa maana ametukuka sana; Farasi na
mpanda farasi amewatupa baharini.
2 Bwana ni nguvu zangu, na wimbo wangu;
Naye amekuwa wokovu wangu. Yeye ni
Mungu wangu, nami nitamsifu; Ni Mungu
wa baba yangu, nami nitamtukuza.
UFUNUO WA YOHANA 15:3 Nao
wauimba wimbo wa Musa, mtumwa wa
Mungu, na wimbo wa Mwana-Kondoo,
wakisema, Ni makuu, na ya ajabu, matendo
yako, Ee Bwana Mungu Mwenyezi; Ni za
haki, na za kweli, njia zako, Ee Mfalme wa
mataifa.
Ona pia: Zaburi 22:3; Zaburi 132:5; Isaya 66:1; Matendo ya Mitume 4:12; Waefeso 2:21,22; Ufunuo wa Yohana 5:9-14; Ufunuo
wa Yohana 19:1.
A08 Majina na vyeo vya Masiha.
B16 Uweza na nguvu ya Masiha.
KUTOKA 17:6 Tazama, nitasimama mbele
yako huko, juu ya lile jabali katika Horebu;
nawe utalipiga jabali, na maji yatatoka, watu
wapate kunywa. Musa akafanya hivyo mbele
ya wazee wa Israeli.
1 WAKORINTHO 10:1 Kwa maana, ndugu
zangu, sipendi mkose kufahamu ya kuwa
baba zetu walikuwa wote chini ya wingu;
wote wakapita kati ya bahari;
KUTOKA
41
2 wote wakabatizwa wawe wa Musa katika
wingu na katika bahari;
3 wote wakala chakula kile kile cha roho;
4 wote wakanywa kinywaji kile kile cha roho;
kwa maana waliunywea mwamba wa roho
uliowafuata; na mwamba ule ulikuwa ni
Kristo.
Ona pia: Yohana 4:10,14; Yohana 7:37; Ufunuo wa Yohana 22:17.
A05 Uhusiano kati ya Masiha na Baba Yake.
KUTOKA 23:20 Tazama, mimi namtuma
malaika aende mbele yako, ili akulinde
njiani na kukupeleka mpaka mahali pale
nilipokutengezea.
21 Jitunzeni mbele yake, mwisikize sauti
yake; wala msimtie kasirani; maana,
hatawasamehe makosa yenu; kwa kuwa jina
langu limo ndani yake.
MALAKI 3:1 Angalieni, namtuma
mjumbe wangu, naye ataitengeneza njia
mbele yangu; naye Bwana mnayemtafuta
atalijilia hekalu lake ghafula; naam, yule
mjumbe wa agano mnayemfurahia,
angalieni, anakuja, asema Bwana wa
majeshi.
MATHAYO 17:5 Alipokuwa katika kusema,
tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na
tazama, sauti ikatoka katika lile wingu,
ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa
wangu, ninayependezwa naye; msikieni
yeye.
YOHANA 10:30 Mimi na Baba tu umoja.
YOHANA 10:36 je! Yeye ambaye Baba
alimtakasa, akamtuma ulimwenguni, ninyi
mnamwambia, Unakufuru; kwa sababu
nalisema, Mimi ni Mwana wa Mungu?
37 Kama sizitendi kazi za Baba yangu,
msiniamini;
38 lakini nikizitenda, ijapokuwa hamniamini
mimi, ziaminini zile kazi; mpate kujua na
kufahamu ya kuwa Baba yu ndani yangu,
nami ni ndani ya Baba.
YOHANA 17:6 Jina lako nimewadhihirishia
watu wale ulionipa katika ulimwengu;
walikuwa wako, ukanipa mimi, na neno lako
wamelishika.
YOHANA 17:26 Nami naliwajulisha jina
lako, tena nitawajulisha hilo; ili pendo lile
ulilonipenda mimi liwe ndani yao, nami
niwe ndani yao.
Ona pia: Mwanzo 48:16; Kutoka 3:2-6; Kutoka 14:19; Kutoka 32:34; Kutoka 33:2,14,15; Hesabu 20:16; Yoshua 5:13,14; Zaburi
2:12; Isaya 9:6; Isaya 42:8; Isaya 63:9; Yohana 10:30,38; Yohana 12:28; Yohana 14:9,10; Wakolosai 2:9; Waebrania 3:10,11,16;
Waebrania 10:26-29; Waebrania 12:25; Ufunuo wa Yohana 1:8.
E18 Mungu ataishi miongoni mwa watu Wake.
KUTOKA 25:8 Nao na wanifanyie
patakatifu; ili nipate kukaa kati yao.
9 Sawasawa na haya yote nikuonyeshayo,
mfano wa maskani, na mfano wa vyombo
vyake vyote, ndivyo mtakavyovifanya.
22 Nami nitaonana nawe hapo, na kuzungumza
nawe pale nilipo juu ya kiti cha rehema,
katikati ya hayo makerubi mawili yaliyo juu
ya sanduku la ushuhuda, katika mambo yote
nitakayokuagiza kwa ajili ya wana wa Israeli.
LUKA 7:16 Hofu ikawashika wote,
KUTOKA
42
wakamtukuza Mungu, wakisema, Nabii
mkuu ametokea kwetu; na, Mungu
amewaangalia watu wake.
YOHANA 1:14 Naye Neno alifanyika mwili,
akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake,
utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa
Baba; amejaa neema na kweli.
MATENDO YA MITUME 7:44 Ile hema
ya ushahidi ilikuwa pamoja na baba zetu
jangwani, kama alivyoagiza yeye aliyesema
na Musa, ya kwamba aifanye sawasawa na
mfano ule aliouona;
45 ambayo baba zetu, kwa kupokezana,
wakaiingiza pamoja na Yoshua katika milki
ya Mataifa wale, ambao Mungu aliwafukuza
mbele ya baba zetu, mpaka siku za Daudi;
46 aliyepata fadhili mbele za Mungu, naye
aliomba ampatie Mungu wa Yakobo
maskani.
47 Lakini Sulemani alimjengea nyumba.
48 Ila Yeye aliye juu hakai katika nyumba
zilizofanywa kwa mikono, kama vile
asemavyo nabii,
49 Mbingu ni kiti changu cha enzi, Na nchi ni
pa kuwekea miguu yangu; Ni nyumba gani
mtakayonijengea? Asema Bwana,
WAEBRANIA 9:2 Maana hema ilitengenezwa,
ile ya kwanza, mlimokuwa na kinara cha
taa, na meza, na mikate ya Wonyesho; ndipo
palipoitwa, Patakatifu.
3 Na nyuma ya pazia la pili, ile hema iitwayo
Patakatifu pa patakatifu,
4 yenye chetezo cha dhahabu, na sanduku
la agano lililofunikwa kwa dhahabu pande
zote, mlimokuwa na kopo la dhahabu
lenye ile mana, na ile fimbo ya Haruni
iliyochipuka, na vile vibao vya agano;
5 na juu yake makerubi ya utukufu, yakikitia
kivuli kiti cha rehema; basi hatuna nafasi
sasa ya kueleza habari za vitu hivi kimoja
kimoja.
WAEBRANIA 9:11 Lakini Kristo akiisha kuja,
aliye kuhani mkuu wa mambo mema
yatakayokuwapo, kwa hema iliyo kubwa na
kamilifu zaidi, isiyofanyika kwa mikono,
maana yake, isiyo ya ulimwengu huu,
12 wala si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali
kwa damu yake mwenyewe aliingia mara
moja tu katika Patakatifu, akiisha kupata
ukombozi wa milele.
UFUNUO WA YOHANA 21:3 Nikasikia
sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha
enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu
ni pamoja na wanadamu, naye atafanya
maskani yake pamoja nao, nao watakuwa
watu wake. Naye Mungu mwenyewe
atakuwa pamoja nao.
Ona pia: Mwanzo 18:33; Kutoka 15:2; Kutoka 20:24; Kutoka 29:42,43; Kutoka 30:6; Kutoka 31:18; Kutoka 36:2; Mambo
ya Walawi 4:6; Mambo ya Walawi 16:2; Hesabu 7:89; Kumbukumbu la Torati 5:26-31; Zaburi 80:1; Isaya 12:6; Isaya
37:16; Zekaria 2:10; Zekaria 8:3; 2 Wakorintho 6:16; Waebrania 8:5; Waebrania 9:9.
D03 Kazi ya Masiha kama Kuhani.
KUTOKA 28:12 Nawe utavitia vile vito viwili
juu ya vipande vya mabegani vya hiyo
naivera, viwe vito vya ukumbusho kwa ajili
ya wana wa Israeli; naye Haruni atayachukua
majina yao mbele za Bwana juu ya mabega
yake mawili ili kuwa ukumbusho.
WAEBRANIA 7:24 bali yeye, kwa kuwa akaa
milele, anao ukuhani wake usioondoka.
KUTOKA
43
25 Naye, kwa sababu hii, aweza kuwaokoa
kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye;
maana yu hai sikuzote ili awaombee.
26 Maana ilitupasa sisi tuwe na kuhani mkuu
wa namna hii aliye mtakatifu, asiyekuwa na
uovu, asiyekuwa na waa lo lote, aliyetengwa
na wakosaji, aliyekuwa juu kuliko mbingu;
27 ambaye hana haja kila siku, mfano wa
wale makuhani wakuu wengine, kwanza
kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zake
mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi za hao
watu; maana yeye alifanya hivi mara moja,
alipojitoa nafsi yake.
28 Maana torati yawaweka wanadamu walio na
unyonge kuwa makuhani wakuu; bali hilo
neno la kiapo kilichokuja baada ya torati
limemweka Mwana, aliyekamilika hata
milele.
Ona pia: Zekaria 6:13; Luka 1:54,72.
D03 Kazi ya Masiha kama Kuhani.
KUTOKA 28:29 Na Haruni atayachukua
majina ya wana wa Israeli katika kile kifuko
cha kifuani cha hukumu juu ya moyo
wake, hapo atakapoingia ndani ya mahali
patakatifu, kuwa ukumbusho mbele ya
Bwana daima.
WAEBRANIA 8:6 Lakini sasa amepata huduma
iliyo bora zaidi, kwa kadiri alivyo mjumbe
wa agano lililo bora, lililoamriwa juu ya
ahadi zilizo bora.
WAEBRANIA 9:24 Kwa sababu Kristo hakuingia
katika patakatifu palipofanyika kwa mikono,
ndio mfano wa patakatifu halisi; bali aliingia
mbinguni hasa, aonekane sasa usoni pa
Mungu kwa ajili yetu;
D03 Kazi ya Masiha kama Kuhani.
KUTOKA 28:36 Nawe fanya bamba la
dhahabu safi na kuchora juu yake, mfano
wa machoro ya muhuri, MTAKATIFU KWA
Bwana.
WAEFESO 5:27 apate kujiletea Kanisa
tukufu, lisilo na ila wala kunyanzi wala lo
lote kama hayo; bali liwe takatifu lisilo na
mawaa.
Ona pia: Kutoka 39:30; Mambo ya Walawi 8:9; Mambo ya Walawi 10:3; Zekaria 14:20.
D03 Kazi ya Masiha kama Kuhani.
KUTOKA 28:37 Nawe ulitie hilo bamba
katika ukanda wa rangi ya samawi, nalo
litakuwa katika kile kilemba; litakuwa
upande wa mbele wa kile kilemba.
38 Nalo litakuwa katika kipaji cha uso cha
Haruni, na Haruni atauchukua uovu wa vile
vitu vitakatifu, watakavyovitakasa hao wana
wa Israeli katika vipawa vyao vyote vitakatifu,
nalo litakuwa katika kipaji chake cha uso
sikuzote, ili kwamba vipate kukubaliwa
mbele za Bwana.
WAEBRANIA 4:14 Basi, iwapo tunaye kuhani
mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu,
Mwana wa Mungu, na tuyashike sana
maungamo yetu.
Ona pia: Mambo ya Walawi 1:4; Mambo ya Walawi 22:27; Mambo ya Walawi 23:11; Isaya 53:6,11,12; Zekaria 3:1-5; Zekaria
KUTOKA
44
14:20; Yohana 1:29; 2 Wakorintho 5:21; Waebrania 9:28; 1 Petro 2:5,24; 1 Petro 3:18.
E18 Mungu ataishi miongoni mwa watu Wake.
KUTOKA 29:45 Na mimi nitakaa kati ya
wana wa Israeli, nami nitakuwa Mungu wao.
46 Nao watanijua kuwa mimi ndimi Bwana,
Mungu wao, niliyewaleta watoke katika nchi
ya Misri, nipate kukaa kati yao; ni mimi
Bwana Mungu wao.
KUTOKA 25:8 Nao na wanifanyie
patakatifu; ili nipate kukaa kati yao.
KUTOKA 40:34 Ndipo lile wingu
likaifunikiza hema ya kukutania, na huo
utukufu wa Bwana ukaijaza maskani.
ZEKARIA 2:10 Imba, ufurahi, Ee binti
Sayuni; maana, tazama, ninakuja, nami
nitakaa kati yako, asema Bwana.
YOHANA 1:14 Naye Neno alifanyika mwili,
akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake,
utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa
Baba; amejaa neema na kweli.
YOHANA 14:17 ndiye Roho wa kweli;
ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea,
kwa kuwa haumwoni wala haumtambui; bali
ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu,
naye atakuwa ndani yenu.
20 Siku ile ninyi mtatambua ya kuwa mimi ni
ndani ya Baba yangu, nanyi ndani yangu,
nami ndani yenu.
23 Yesu akajibu, akamwambia, Mtu akinipenda,
atalishika neno langu; na Baba yangu
atampenda; nasi tutakuja kwake, na kufanya
makao kwake.
2 WAKORINTHO 6:16 Tena pana
mapatano gani kati ya hekalu la Mungu
na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la
Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema,
ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao
nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao
watakuwa watu wangu.
WAEFESO 2:22 Katika yeye ninyi nanyi
mnajengwa pamoja kuwa maskani ya
Mungu katika Roho.
UFUNUO WA YOHANA 21:3 Nikasikia
sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha
enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu
ni pamoja na wanadamu, naye atafanya
maskani yake pamoja nao, nao watakuwa
watu wake. Naye Mungu mwenyewe
atakuwa pamoja nao.
Ona pia: Mambo ya Walawi 26:12; Hesabu 9:15; Kumbukumbu la Torati 18:15; 1 Wafalme 8:10,11; 2 Mambo ya Nyakati 7:1-3.
B23 Neema ya Mungu na Masiha.
KUTOKA 33:19 Akasema, Nitapitisha wema
wangu wote mbele yako, nami nitalitangaza
jina la Bwana mbele yako; nami nitamfadhili
yeye nitakayemfadhili; nitamrehemu yeye
nitakayemrehemu.
WARUMI 9:15 Maana amwambia Musa,
Nitamrehemu yeye nimrehemuye,
nitamhurumia yeye nimhurumiaye.
16 Basi, kama ni hivyo, si katika uwezo wa yule
atakaye, wala wa yule apigaye mbio; bali wa
KUTOKA
45
yule arehemuye, yaani, Mungu.
17 Kwa maana maandiko yasema juu ya Farao,
ya kwamba, Nilikusimamisha kwa kusudi
hili, ili nionyeshe nguvu zangu kwako, jina
langu likatangazwe katika nchi yote.
18 Basi, kama ni hivyo, atakaye kumrehemu
humrehemu, na atakaye kumfanya mgumu
humfanya mgumu.
WARUMI 9:23 tena, ili audhihirishe wingi
wa utukufu wake katika vile vyombo vya
rehema, alivyovitengeneza tangu zamani
vipate utukufu;
KUTOKA
46
I01 Sadaka ya kuteketeza - na nyama
inawakilisha kazi ya Masiha - ladha nzuri.
MAMBO YA WALAWI 1:5 Naye atamchinja
huyo ng›ombe mbele ya Bwana; kisha wana
wa Haruni, hao makuhani, wataileta karibu
hiyo damu, na kuinyunyiza damu yake
kando-kando katika madhabahu iliyo hapo
mlangoni pa hema ya kukutania
13 lakini matumbo yake, na miguu yake,
ataosha kwa maji; na huyo kuhani
atavisongeza vyote na kuviteketeza juu ya
madhabahu; ni sadaka ya kuteketezwa,
dhabihu ya kusongezwa kwa njia ya moto, ya
harufu ya kupendeza kwa Bwana.
MAMBO YA WALAWI 2:1 Na mtu
atakapomtolea Bwana matoleo ya sadaka
ya unga, matoleo yake yatakuwa ya unga
mwembamba; naye ataumiminia mafuta, na
kutia na ubani juu yake;
2 kisha atauleta kwa wana wa Haruni, hao
makuhani; naye atatwaa konzi moja katika
huo unga mwembamba, na katika mafuta
yake, na huo ubani wote; kisha kuhani
atauteketeza kuwa ndio ukumbusho wake
juu ya madhabahu, ni kafara ya kusongezwa
kwa njia ya moto, ya harufu ya kupendeza
kwa Bwana;
ZABURI 141:2 Sala yangu ipae mbele zako
kama uvumba, Kuinuliwa mikono yangu
kama dhabihu ya jioni.
HOSEA 6:6 Maana nataka fadhili wala si
sadaka; na kumjua Mungu kuliko sadaka za
kuteketezwa.
YOHANA 1:14 Naye Neno alifanyika mwili,
akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake,
utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa
Baba; amejaa neema na kweli.
YOHANA 17:1 Maneno hayo aliyasema
Yesu; akainua macho yake kuelekea
mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha
kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako
naye akutukuze wewe;
YOHANA 17:4 Mimi nimekutukuza
duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa
niifanye.
5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja
nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao
pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
WAEBRANIA 9:14 basi si zaidi damu yake
Kristo, ambaye kwamba kwa Roho wa milele
alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka
isiyo na mawaa, itawasafisha dhamiri zenu
na matendo mafu, mpate kumwabudu
Mungu aliye hai?
Ona pia: Mwanzo 8:21; Kutoka 29:18,25,41; Mambo ya Walawi 2:2,9,12; Mambo ya Walawi 3:5,16; Mambo ya Walawi
4:31; Mambo ya Walawi 6:15,21; Mambo ya Walawi 8:21,28; Mambo ya Walawi 17:6; Mambo ya Walawi 23:13,18; Hesabu
15:3,7,10,13,14,24; Hesabu 18:17; Hesabu 28:2,6,8,13,36; Hesabu 29:2,6,8,13,36; Isaya 1:13; Mathayo 12:7; Marko 12:33; Yohana
4:34; Yohana 6:38; Ufunuo wa Yohana 5:8; Ufunuo wa Yohana 8:3,4.
I04 Sadaka ya amaini na dhabihu ya kutoa
shukrani inawakilisha kazi ya Masiha.
MAMBO YA WALAWI 3:1 Na matoleo yake
kwamba ni sadaka za amani; kwamba
asongeza katika ng›ombe, mume au mke,
atamtoa huyo aliye mkamilifu mbele ya
Bwana.
MAMBO YA WALAWI
47
2 Naye ataweka mkono wake kichwani mwake
huyo aliyemtoa, na kumchinja mlangoni pa
hema ya kukutania; na wana wa Haruni, hao
makuhani, watainyunyiza damu yake katika
madhabahu pande zote.
3 Naye atasongeza katika sadaka hiyo ya
amani, dhabihu kwa Bwana itakayofanywa
kwa njia ya moto; yaani, mafuta yafunikayo
matumbo, na mafuta yote yaliyo juu ya
matumbo,
4 na figo zake mbili, na mafuta
yaliyoshikamana nazo, yaliyo karibu na
kiuno, na hicho kitambi kilicho katika ini,
pamoja na hizo figo; hayo yote atayaondoa.
5 Na wana wa Haruni watayateketeza kwa
moto juu ya madhabahu, juu ya sadaka ya
kuteketezwa, iliyo katika kuni zilizo juu ya
moto; ni dhabihu ya kusongezwa kwa njia ya
moto, harufu ya kupendeza kwa Bwana.
16 Naye kuhani atayateketeza kwa moto juu
ya madhabahu; ni chakula cha dhabihu ya
kusongezwa kwa njia ya moto, iwe harufu ya
kupendeza; mafuta yote ni ya Bwana.
MAMBO YA WALAWI 7:11 Na sheria ya
matoleo ya sadaka za amani, atakazosongeza
mtu kwa Bwana, ni hii.
12 Kwamba aitoa kwa ajili ya shukrani, ndipo
atakaposongeza pamoja na hiyo sadaka
ya shukrani mikate isiyotiwa chachu,
iliyoandaliwa na mafuta, na mikate ya kaki
isiyochachwa iliyopakwa mafuta, na mikate
ya unga mwembamba uliolowama mafuta.
KUMBUKUMBU LA TORATI 27:7 ufanye na
sadaka za amani, ukale huko; nawe furahi
mbele za Bwana, Mungu wako.
LUKA 22:15 Akawaambia, Nimetamani
sana kuila pasaka hii pamoja nanyi kabla ya
kuteswa kwangu;
LUKA 22:19 Akatwaa mkate, akashukuru,
akaumega, akawapa, akisema, [Huu ndio
mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu;
fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.
YOHANA 4:32 Akawaambia, Mimi ninacho
chakula msichokijua ninyi.
33 Basi wanafunzi wake wakasemezana, Je!
Mtu amemletea chakula?
34 Yesu akawaambia, Chakula changu ndicho
hiki, niyatende mapenzi yake aliyenipeleka,
nikaimalize kazi yake.
YOHANA 6:51 Mimi ndimi chakula chenye
uzima kilichoshuka kutoka mbinguni; mtu
akila chakula hiki, ataishi milele. Na chakula
nitakachotoa mimi ni mwili wangu, kwa ajili
ya uzima wa ulimwengu.
52-57
58 Hiki ndicho chakula kishukacho kutoka
mbinguni; si kama mababa walivyokula,
wakafa; bali akilaye chakula hicho ataishi
milele.
1 WAKORINTHO 10:16 Kikombe kile cha
baraka tukibarikicho, je! Si ushirika wa
damu ya Kristo? Mkate ule tuumegao, si
ushirika wa mwili wa Kristo?
1 WAKORINTHO 11:23 Kwa maana mimi
nalipokea kwa Bwana niliyowapa nanyi,
ya kuwa Bwana Yesu usiku ule aliotolewa
alitwaa mkate,
24 naye akiisha kushukuru akaumega,
akasema, Huu ndio mwili wangu ulio kwa
ajili yenu; fanyeni hivi kwa ukumbusho
MAMBO YA WALAWI
48
wangu.
25 Na vivi hivi baada ya kula akakitwaa
kikombe, akisema, Kikombe hiki ni agano
jipya katika damu yangu; fanyeni hivi kila
mnywapo, kwa ukumbusho wangu.
26 Maana kila mwulapo mkate huu na
kukinywea kikombe hiki, mwaitangaza
mauti ya Bwana hata ajapo.
27 Basi kila aulaye mkate huo, au kukinywea
kikombe hicho cha Bwana isivyostahili,
atakuwa amejipatia hatia ya mwili na damu
ya Bwana.
28 Lakini mtu ajihoji mwenyewe, na hivyo aule
mkate, na kukinywea kikombe.
29 Maana alaye na kunywa, hula na
kunywa hukumu ya nafsi yake, kwa
kutokuupambanua ule mwili.
WAEBRANIA 13:15 Basi, kwa njia
yake yeye, na tumpe Mungu dhabihu ya sifa
daima, yaani, tunda la midomo iliungamayo
jina lake.
1 PETRO 2:5 Ninyi nanyi, kama mawe
yaliyo hai, mmejengwa mwe nyumba ya
Roho, ukuhani mtakatifu, mtoe dhabihu za
roho, zinazokubaliwa na Mungu, kwa njia ya
Yesu Kristo.
Ona pia: Kutoka 24:11; Mambo ya Walawi 7:18-21; 1 Samweli 9:12; 1 Samweli 16:3; 1 Wafalme 8:62; Zaburi 27:6; Zaburi 50:14; Zaburi 96:8; Zaburi 107:22; Zaburi 116:17; Ezekieli 43:27; Luka 11:41; Warumi 14:14,17; Waefeso 5:20; Wagalatia 5:22; Wafilipi
4:18; Tito 1:15; Waebrania 13:16; Yohana 1:6-9.
B
B02 Masiha ndiye Mwanakondoo wa Mungu.
I05 Sadaka ya kuchomwa inarejelea kazi ya
Masiha.
Dhambi ya kuhani:
MAMBO YA WALAWI 4:3 kama kuhani
aliyetiwa mafuta akifanya dhambi, hata
analeta hatia juu ya watu; ndipo na atoe
kwa ajili ya dhambi yake aliyoifanya, na
kumsongeza kwa Bwana ng’ombe mume
mchanga mkamilifu, kuwa ni sadaka ya
dhambi.
4 Naye atamleta huyo ng’ombe na kumweka
mlangoni pa hiyo hema ya kukutania,
mbele za Bwana; naye ataweka mkono wake
kichwani mwake ng’ombe, na kumchinja
huyo ng’ombe mbele za Bwana.
5 Kisha huyo kuhani aliyetiwa mafuta atatwaa
baadhi ya damu ya huyo ng’ombe, na kuileta
ndani ya hiyo hema ya kukutania;
6 kisha kuhani atatia kidole chake katika
hiyo damu na kuinyunyiza damu mbele ya
Bwana mara saba, mbele ya pazia la mahali
patakatifu.
7 Kisha kuhani atatia baadhi ya hiyo damu
juu ya pembe za madhabahu ya kufukizia
uvumba mzuri mbele ya Bwana iliyo ndani
ya hema ya kukutania; kisha damu yote
ya huyo ng’ombe ataimwaga hapo chini
ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa,
iliyoko mlangoni pa hema ya kukutania.
MAMBO YA WALAWI 4:8-11
MAMBO YA WALAWI 4:12 maana, huyo
ng’ombe mzima atamchukua nje ya
marago hata mahali safi, hapo wamwagapo
majivu, naye atamchoma moto juu ya kuni;
atachomwa moto hapo majivu yamwagwapo.
Dhambi ya mwanadamu - ujinga:
MAMBO YA WALAWI
49
MAMBO YA WALAWI 4:27 Na mtu awaye yote
katika watu wa nchi akifanya dhambi pasipo
kukusudia, kwa kufanya neno lo lote katika
hayo ambayo Bwana alizuilia yasifanywe,
naye akapata hatia;
28 akijulishwa hiyo dhambi yake aliyoifanya,
ndipo atakapoleta mbuzi mke mkamilifu,
awe matoleo yake kwa ajili ya dhambi yake
aliyoifanya.
29 Naye ataweka mkono wake kichwani mwake
hiyo sadaka ya dhambi, na kumchinja
sadaka ya dhambi mahali hapo pa sadaka ya
kuteketezwa.
ISAYA 53:6 Sisi sote kama kondoo
tumepotea; Kila mmoja wetu amegeukia njia
yake mwenyewe; Na Bwana ameweka juu
yake Maovu yetu sisi sote.
7 Alionewa, lakini alinyenyekea, Wala
hakufunua kinywa chake; Kama mwana-
kondoo apelekwaye machinjoni, Na kama
vile kondoo anyamazavyo Mbele yao wakatao
manyoya yake; Naam, hakufunua kinywa
chake.
ISAYA 53:10 Lakini Bwana aliridhika
kumchubua; Amemhuzunisha;
Utakapofanya nafsi yake kuwa dhabihu kwa
dhambi, Ataona uzao wake, ataishi siku
nyingi, Na mapenzi ya Bwana yatafanikiwa
mkononi mwake;
11 Ataona mazao ya taabu ya nafsi yake, na
kuridhika. Kwa maarifa yake mtumishi
wangu mwenye haki Atawafanya wengi
kuwa wenye haki; Naye atayachukua maovu
yao.
YOHANA 1:29 Siku ya pili yake amwona
Yesu anakuja kwake, akasema, Tazama,
Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye
dhambi ya ulimwengu!
YOHANA 1:36 Akamtazama Yesu
akitembea, akasema, Tazama, Mwana-
kondoo wa Mungu!
MATENDO YA MITUME 8:32 Na
fungu la Maandiko alilokuwa akilisoma ni
hili, Aliongozwa kwenda machinjoni kama
kondoo, Na kama vile mwana-kondoo alivyo
kimya mbele yake amkataye manyoya, Vivyo
hivyo yeye naye hafunui kinywa chake.
WAEBRANIA 7:26 Maana ilitupasa sisi tuwe na
kuhani mkuu wa namna hii aliye mtakatifu,
asiyekuwa na uovu, asiyekuwa na waa lo
lote, aliyetengwa na wakosaji, aliyekuwa juu
kuliko mbingu;
WAEBRANIA 9:12 wala si kwa damu ya mbuzi
na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe
aliingia mara moja tu katika Patakatifu,
akiisha kupata ukombozi wa milele.
13 Kwa maana, ikiwa damu ya mbuzi na
mafahali na majivu ya ndama ya ng’ombe
waliyonyunyiziwa wenye uchafu hutakasa
hata kuusafisha mwili;
14 basi si zaidi damu yake Kristo, ambaye
kwamba kwa Roho wa milele alijitoa nafsi
yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na
mawaa, itawasafisha dhamiri zenu na
matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu
aliye hai?
WAEBRANIA 9:21 Na ile hema nayo na vyombo
vyote vya ibada alivinyunyizia damu vivyo
hivyo.
22 Na katika Torati karibu vitu vyote husafishwa
kwa damu, na pasipo kumwaga damu
hakuna ondoleo.
MAMBO YA WALAWI
50
23 Basi ilikuwa sharti nakala za mambo yaliyo
mbinguni zisafishwe kwa hizo, lakini
mambo ya mbinguni yenyewe yasafishwe
kwa dhabihu zilizo bora kuliko hizo.
24 Kwa sababu Kristo hakuingia katika
patakatifu palipofanyika kwa mikono, ndio
mfano wa patakatifu halisi; bali aliingia
mbinguni hasa, aonekane sasa usoni pa
Mungu kwa ajili yetu;
25 wala si kwamba ajitoe mara nyingi, kama
vile kuhani mkuu aingiavyo katika patakatifu
kila mwaka kwa damu isiyo yake;
WAEBRANIA 10:4 Maana haiwezekani damu ya
mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.
5 Kwa hiyo ajapo ulimwenguni, asema,
Dhabihu na toleo hukutaka, Lakini mwili
uliniwekea tayari;
6 Sadaka za kuteketezwa na sadaka za dhambi
hukupendezwa nazo;
7 Ndipo niliposema, Tazama, nimekuja (katika
gombo la chuo nimeandikiwa) Niyafanye
mapenzi yako, Mungu.
8 Hapo juu asemapo, Dhabihu na matoleo na
sadaka za kuteketezwa na hizo za dhambi
hukuzitaka, wala hukupendezwa nazo
(zitolewazo kama ilivyoamuru torati),
9 ndipo aliposema, Tazama, nimekuja
niyafanye mapenzi yako. Aondoa la kwanza,
ili kusudi alisimamishe la pili.
10 Katika mapenzi hayo mmepata utakaso, kwa
kutolewa mwili wa Yesu Kristo mara moja
tu.
11 Na kila kuhani husimama kila siku akifanya
ibada, na kutoa dhabihu zile zile mara
nyingi; ambazo haziwezi kabisa kuondoa
dhambi.
12 Lakini huyu, alipokwisha kutoa kwa ajili ya
dhambi dhabihu moja idumuyo hata milele,
aliketi mkono wa kuume wa Mungu;
13 tangu hapo akingojea hata adui zake
wawekwe kuwa chini ya miguu yake.
14 Maana kwa toleo moja amewakamilisha hata
milele hao wanaotakaswa.
WAEBRANIA 13:11 Maana wanyama
wale ambao damu yao huletwa ndani ya
patakatifu na kuhani mkuu kwa ajili ya
dhambi, viwiliwili vyao huteketezwa nje ya
kambi.
12 Kwa ajili hii Yesu naye, ili awatakase watu
kwa damu yake mwenyewe, aliteswa nje ya
lango.
13 Basi na tutoke tumwendee nje ya kambi,
tukichukua shutumu lake.
1 PETRO 1:18 Nanyi mfahamu kwamba
mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo,
kwa fedha au dhahabu; mpate kutoka katika
mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa
baba zenu;
19 bali kwa damu ya thamani, kama ya mwana-
kondoo asiye na ila, asiye na waa, yaani, ya
Kristo.
20 Naye amejulikana kweli tangu zamani,
kabla haijawekwa misingi ya dunia; lakini
alifunuliwa mwisho wa zamani kwa ajili
yenu;
UFUNUO WA YOHANA 5:6 Nikaona
katikati ya kile kiti cha enzi na wale wenye
uhai wanne, na katikati ya wale wazee,
Mwana-Kondoo amesimama, alikuwa kana
kwamba amechinjwa, mwenye pembe saba
na macho saba, ambazo ni Roho saba za
Mungu zilizotumwa katika dunia yote.
7 Akaja, akakitwaa kile kitabu katika mkono
wa kuume wake yeye aliyeketi juu ya kile kiti
cha enzi.
8 Hata alipokitwaa kile kitabu, hao wenye uhai
MAMBO YA WALAWI
51
wanne na wale wazee ishirini na wanne
wakaanguka mbele za Mwana-Kondoo,
kila mmoja wao ana kinubi, na vitasa vya
dhahabu vilivyojaa manukato, ambayo ni
maombi ya watakatifu.
9 Nao waimba wimbo mpya wakisema,
Wastahili wewe kukitwaa hicho kitabu
na kuzifungua muhuri zake; kwa kuwa
ulichinjwa, ukamnunulia Mungu kwa damu
yako watu wa kila kabila na lugha na jamaa
na taifa,
Ona pia: Mathayo 18:21,22; Warumi 3:24-26; Warumi 8:1-4; Wagalatia 4:4; Waebrania 1:3; Waebrania 10:29; 1 Petro 2:22-24; 1
Petro 3:18; Yohana 1:7-9; Ufunuo wa Yohana 7:9,10.
I02 Sadaka ya kuteketeza inaonyesha kazi ya
Masiha - sadaka ya kujitolea kwa hiari.
MAMBO YA WALAWI 7:16 Lakini kwamba hii
sadaka ya matoleo yake ni nadhiri, au sadaka
ya hiari, italiwa siku hiyo aliyoileta sadaka
yake; kisha siku ya pili yake kitakachosalia
kitaliwa;
KUTOKA 35:21 Wakaja kila mtu ambaye
moyo wake ulimhimiza, na kila mtu ambaye
roho yake ilimfanya kuwa apenda, nao
wakaleta sadaka za kumpa Bwana, kwa kazi
ya hema ya kukutania, na kwa utumishi
wake, na kwa hayo mavazi matakatifu.
22 Nao wakaja, waume kwa wake, wote
waliokuwa na moyo wa kupenda, wakaleta
vipini, na hazama, na pete za muhuri, na
vikuku, na vyombo vyote vya dhahabu; kila
mtu aliyetoa toleo la dhahabu la kumpa
Bwana.
MAMBO YA WALAWI 22:21 Na mtu
awaye yote atakayemtolea Bwana dhabihu
katika sadaka za amani, ili kuondoa
nadhiri, au sadaka ya moyo wa kupenda,
katika ng’ombe, au katika kondoo, atakuwa
mkamilifu, apate kukubaliwa; pasiwe na
kilema ndani yake cho chote.
ZABURI 40:7 Ndipo niliposema,
Tazama nimekuja, (Katika gombo la chuo
nimeandikiwa,)
ZABURI 66:13 Nitaingia nyumbani mwako
na kafara; Nitaondoa kwako nadhiri zangu;
ISAYA 53:7 Alionewa, lakini
alinyenyekea, Wala hakufunua kinywa
chake; Kama mwana-kondoo apelekwaye
machinjoni, Na kama vile kondoo
anyamazavyo Mbele yao wakatao manyoya
yake; Naam, hakufunua kinywa chake.
LUKA 3:22 Roho Mtakatifu akashuka
juu yake kwa mfano wa kiwiliwili, kama
hua; sauti ikatoka mbinguni, Wewe
ndiwe Mwanangu, mpendwa wangu;
nimependezwa nawe.
YOHANA 2:17 Wanafunzi wake
wakakumbuka ya kuwa imeandikwa, Wivu
wa nyumba yako utanila.
YOHANA 3:16 Kwa maana jinsi hii Mungu
aliupenda ulimwengu, hata akamtoa
Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye
asipotee, bali awe na uzima wa milele.
YOHANA 10:17 Ndiposa Baba anipenda, kwa
sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.
18 Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa
mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa,
ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo
MAMBO YA WALAWI
52
nalilipokea kwa Baba yangu.
YOHANA 17:4 Mimi nimekutukuza
duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa
niifanye.
2 WAKORINTHO 8:9 Maana mmejua
neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, jinsi
alivyokuwa maskini kwa ajili yenu, ingawa
alikuwa tajiri, ili kwamba ninyi mpate kuwa
matajiri kwa umaskini wake.
WAFILIPI 2:7 bali alijifanya kuwa hana
utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa
ana mfano wa wanadamu;
Ona pia: Kutoka 25:39; Kutoka 35:29; Kutoka 36:3; Hesabu 15:3; Kumbukumbu la Torati 12:6; Kumbukumbu la Torati 23:23;
Zaburi 69:9; Zaburi 116:14,18; 1 Mambo ya Nyakati 29:3,9; 2 Mambo ya Nyakati 35:8; Ezekieli 46:12; Mathayo 3:17; Mathayo
17:5; Marko 1:11; Marko 9:7; Luka 9:35; Matendo ya Mitume 2:44; Warumi 12:1; 2 Wakorintho 9:7; Waefeso 5:2; 2 Petro 1:17.
B02 Masiha ndiye Mwanakondoo wa Mungu.
I06 Siku ya sherehe ya upatanisho inarejelea
kaziya Masiha
.
Kulipia kuhani makosa:
MAMBO YA WALAWI 16:1 Bwana akasema na
Musa, baada ya kufa kwa hao wana wawili
wa Haruni, walipokaribia mbele za Bwana,
wakafa;
2 Bwana akamwambia Musa, Sema na Haruni
ndugu yako, kwamba asiingie wakati wo
wote katika mahali patakatifu ndani ya
pazia, mbele ya kiti cha rehema, kilicho
juu ya sanduku, asije akafa; maana, mimi
nitaonekana katika lile wingu juu ya kiti cha
rehema.
MAMBO YA WALAWI 16:3,4,6
Kulipia watoto wa Israeli makosa kwa kuua mbuzi:
MAMBO YA WALAWI 16:5 Kisha atatwaa
mikononi mwa mkutano wa Waisraeli
mbuzi waume wawili, kwa sadaka ya
dhambi; na kondoo mume kwa sadaka ya
kuteketezwa.
7 Kisha atawatwaa wale mbuzi wawili na
kuwaweka mbele za Bwana mlangoni pa
hema ya kukutania.
8 Na Haruni atapiga kura juu ya wale mbuzi
wawili; kura moja kwa ajili ya Bwana; na
kura ya pili kwa ajili ya Azazeli.
9 Na Haruni atamleta yule mbuzi
aliyeangukiwa na kura kwa ajili ya Bwana,
na kumtoa awe sadaka ya dhambi.
MAMBO YA WALAWI 16:11-14
MAMBO YA WALAWI 16:15 Kisha
atamchinja yule mbuzi wa sadaka ya
dhambi, aliye kwa ajili ya watu, na kuileta
damu yake ndani ya pazia, na kwa damu
hiyo atafanya vile vile kama alivyofanya kwa
damu ya ng’ombe, na kuinyunyiza juu ya kiti
cha rehema, na mbele ya kiti cha rehema,
16 naye atafanya upatanisho kwa ajili ya mahali
patakatifu, kwa sababu ya mambo machafu
ya wana wa Israeli, na kwa sababu ya
makosa yao, naam, kwa ajili ya dhambi zao
zote; naye atafanya vile vile kwa ajili ya hema
ya kukutania, ikaayo pamoja nao katikati ya
machafu yao.
MAMBO YA WALAWI 16:17-19
Kulipia watoto wa Israeli makosa kwa kumfukuza
mbuzi:
MAMBO YA WALAWI 16:10 Bali
yule mbuzi aliyeangukiwa na kura kwa ajili
MAMBO YA WALAWI
53
ya Azazeli atawekwa hai mbele za Bwana
ili kumfanyia upatanisho, ili kumpeleka
jangwani kwa ajili ya Azazeli.
20 Naye akiisha kufanya upatanisho kwa ajili ya
mahali patakatifu, na hema ya kukutania, na
madhabahu, atamleta yule mbuzi aliye hai.
21 Na Haruni ataweka mikono yake miwili
juu ya kichwa cha yule mbuzi aliye hai, na
kuungama juu yake uovu wote wa wana
wa Israeli, na makosa yao, naam, dhambi
zao zote; naye ataziweka juu ya kichwa
chake yule mbuzi, kisha atampeleka aende
jangwani kwa mkono wa mtu aliye tayari.
22 Na yule mbuzi atachukua juu yake uovu
wao wote, mpaka nchi isiyo watu; naye
atamwacha mbuzi jangwani.
23 Na Haruni ataingia katika hema ya
kukutania, naye atavua mavazi yake
ya kitani, aliyoyavaa alipoingia katika
patakatifu, atayaacha humo;
MAMBO YA WALAWI 16:24-28
MAMBO YA WALAWI 16:29 Amri
hii itakuwa amri ya milele kwenu; katika
mwezi wa saba, siku ya kumi ya mwezi,
mtajitaabisha roho zenu, msifanye kazi ya
namna yo yote, mzalia na mgeni akaaye kati
yenu.
30 Kwa maana siku hiyo upatanisho utafanywa
kwa ajili yenu, ili kuwatakasa; nanyi
mtatakaswa na dhambi zenu zote mbele za
Bwana.
31 Ni Sabato ya raha ya makini kwenu nanyi
mtajitaabisha roho zenu; ni amri ya milele.
MAMBO YA WALAWI 17:11 Kwa
kuwa uhai wa mwili u katika hiyo damu;
nami nimewapa ninyi hiyo damu juu ya
madhabahu, ili kufanya upatanisho kwa ajili
ya nafsi zenu; kwani ni hiyo damu ifanyayo
upatanisho kwa sababu ya nafsi.
ISAYA 53:4 Hakika ameyachukua
masikitiko yetu, Amejitwika huzuni zetu;
Lakini tulimdhania ya kuwa amepigwa,
Amepigwa na Mungu, na kuteswa.
5 Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu,
Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu
ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa
kupigwa kwake sisi tumepona.
6 Sisi sote kama kondoo tumepotea;
Kila mmoja wetu amegeukia njia yake
mwenyewe; Na Bwana ameweka juu yake
Maovu yetu sisi sote.
MATHAYO 27:51 Na tazama, pazia la hekalu
likapasuka vipande viwili toka juu hata chini;
nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka;
LUKA 23:46 Yesu akalia kwa sauti kuu,
akasema, Ee Baba, mikononi mwako
naiweka roho yangu.
YOHANA 1:29 Siku ya pili yake amwona
Yesu anakuja kwake, akasema, Tazama,
Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye
dhambi ya ulimwengu!
WARUMI 4:24 bali na kwa ajili yetu
sisi mtakaohesabiwa vivyo hivyo, sisi
tunaomwamini yeye aliyemfufua Yesu
Bwana wetu katika wafu;
25 ambaye alitolewa kwa ajili ya makosa yetu,
na kufufuliwa ili mpate kuhesabiwa haki.
WAEBRANIA 7:22 basi kwa kadiri hii Yesu
amekuwa mdhamini wa agano lililo bora
zaidi.
WAEBRANIA 8:1 Basi, katika hayo
tunayosema, neno lililo kuu ndilo hili:
MAMBO YA WALAWI
54
Tunaye kuhani mkuu wa namna hii,
aliyeketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi
cha Ukuu mbinguni,
2 mhudumu wa patakatifu, na wa ile hema
ya kweli, ambayo Bwana aliiweka wala si
mwanadamu.
WAEBRANIA 9:7 Lakini katika hema hiyo ya
pili kuhani mkuu huingia peke yake, mara
moja kila mwaka; wala si pasipo damu,
atoayo kwa ajili ya nafsi yake na kwa dhambi
za kutokujua za hao watu.
8 Roho Mtakatifu akionyesha neno hili, ya
kwamba njia ya kupaingia patakatifu ilikuwa
haijadhihirishwa bado, hapo hema ya
kwanza ilipokuwa ingali ikisimama;
9 ambayo ndiyo mfano wa wakati huu
uliopo sasa; wakati huo sadaka na dhabihu
zinatolewa, zisizoweza kwa jinsi ya dhambi
kumkamilisha mtu aabuduye,
10 kwa kuwa ni sheria za jinsi ya mwili tu,
vyakula na vinywaji na kutawadha kwingine
kwingine, zilizoamriwa hata wakati wa
matengenezo mapya.
11 Lakini Kristo akiisha kuja, aliye kuhani
mkuu wa mambo mema yatakayokuwapo,
kwa hema iliyo kubwa na kamilifu zaidi,
isiyofanyika kwa mikono, maana yake, isiyo
ya ulimwengu huu,
12 wala si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali
kwa damu yake mwenyewe aliingia mara
moja tu katika Patakatifu, akiisha kupata
ukombozi wa milele.
13 Kwa maana, ikiwa damu ya mbuzi na
mafahali na majivu ya ndama ya ng’ombe
waliyonyunyiziwa wenye uchafu hutakasa
hata kuusafisha mwili;
14 basi si zaidi damu yake Kristo, ambaye
kwamba kwa Roho wa milele alijitoa nafsi
yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na
mawaa, itawasafisha dhamiri zenu na
matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu
aliye hai?
15 Na kwa sababu hii ni mjumbe wa agano
jipya, ili, mauti ikiisha kufanyika kwa
kukomboa makosa yaliyokuwa chini ya
agano la kwanza, hao walioitwa waipokee
ahadi ya urithi wa milele.
16 Maana agano la urithi lilipo, lazima iwepo
mauti yake aliyelifanya.
17 Kwa maana agano la urithi lina nguvu
palipotukia kufa kwa mtu; kwa kuwa halina
nguvu kabisa, akiwa yu hai yeye aliyelifanya.
18 Kwa hiyo hata lile la kwanza halikuanzwa
pasipo damu.
19 Maana kila amri ilipokwisha kunenwa na
Musa kwa hao watu wote, kama ilivyoamuru
sheria, aliitwaa damu ya ndama na ya
mbuzi, pamoja na maji na sufu nyekundu
na hisopo, akakinyunyizia kitabu chenyewe,
na watu wote,
20 akisema, Hii ni damu ya agano mliloamriwa
na Mungu.
21 Na ile hema nayo na vyombo vyote vya ibada
alivinyunyizia damu vivyo hivyo.
22 Na katika Torati karibu vitu vyote husafishwa
kwa damu, na pasipo kumwaga damu
hakuna ondoleo.
23 Basi ilikuwa sharti nakala za mambo yaliyo
mbinguni zisafishwe kwa hizo, lakini
mambo ya mbinguni yenyewe yasafishwe
kwa dhabihu zilizo bora kuliko hizo.
24 Kwa sababu Kristo hakuingia katika
patakatifu palipofanyika kwa mikono, ndio
mfano wa patakatifu halisi; bali aliingia
mbinguni hasa, aonekane sasa usoni pa
Mungu kwa ajili yetu;
25 wala si kwamba ajitoe mara nyingi, kama
vile kuhani mkuu aingiavyo katika patakatifu
kila mwaka kwa damu isiyo yake;
MAMBO YA WALAWI
55
26 kama ni hivyo, ingalimpasa kuteswa
mara nyingi tangu kuwekwa msingi wa
ulimwengu; lakini sasa, mara moja tu,
katika utimilifu wa nyakati, amefunuliwa,
azitangue dhambi kwa dhabihu ya nafsi
yake.
27 Na kama vile watu wanavyowekewa kufa
mara moja, na baada ya kufa hukumu;
28 kadhalika Kristo naye, akiisha kutolewa
sadaka mara moja azichukue dhambi za
watu wengi; atatokea mara ya pili, pasipo
dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa
wokovu.
WAEBRANIA 10:4 Maana haiwezekani damu ya
mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.
WAEBRANIA 10:14 Maana kwa toleo
moja amewakamilisha hata milele hao
wanaotakaswa.
1 YOHANA 2:2 naye ndiye kipatanisho kwa
dhambi zetu; wala si kwa dhambi zetu tu,
bali na kwa dhambi za ulimwengu wote.
Ona pia: Mwanzo 32:30; Kutoka 28:2,30; Kutoka 30:10; Kutoka 33:20; Mambo ya Walawi 16:4; Mambo ya Walawi
23:26-32; Mambo ya Walawi 25:9; Hesabu 27:21; Hesabu 29:7; Kumbukumbu la Torati 5:24; Waamuzi 6:22; Zaburi 51:15,17;
Zaburi 103:12; Isaya 38:17; Isaya 43:25; Isaya 44:22; Isaya 53:12; Ezekieli 10:18,19; Danieli 10:5; Hosea 6:2,3; Yona 1-3; Mika 7:19; Mathayo 28:30; Marko 15:38; Luka 23:41,45; Yohana 1:14; Yohana 2:11,19; Yohana 19:23; Matendo ya Mitume 13:39; Warumi 5:9; 2
Wakorintho 5:19,21; Waefeso 2:6; 1 Timotheo 2:5; Waebrania 7:26-28; Waebrania 8:5; Waebrania 10:19-22; Waebrania 12:24; 2 Petro
3:9; Ufunuo wa Yohana 19:7,8.
B02 Masiha ndiye Mwanakondoo wa Mungu.
I03 Sadaka ya kuteketeza inawakilisha kazi ya
Masiha - sadaka isiyo na
dosari - sadaka ya kudumu ya kuteketeza
.
MAMBO YA WALAWI 22:17 Kisha
Bwana akanena na Musa, na kumwambia,
18 Nena na Haruni na wanawe, na wana wa
israeli wote, uwaambie, Mtu ye yote wa
nyumba ya Israeli, au wa wageni walio katika
Israeli, atakayetoa matoleo yake, kama ni
nadhiri zao mojawapo, au kama ni sadaka yo
yote ya hiari, watakayomtolea Bwana kuwa
sadaka ya kuteketezwa;
19 ili mpate kukubaliwa, mtaleta mume
mkamilifu, katika ng’ombe, au katika
kondoo, au katika mbuzi.
20 Lakini mnyama ye yote aliye na kilema
msimtoe; kwa kuwa hatakubaliwa kwa ajili
yenu.
21 Na mtu awaye yote atakayemtolea Bwana
dhabihu katika sadaka za amani, ili kuondoa
nadhiri, au sadaka ya moyo wa kupenda,
katika ng’ombe, au katika kondoo, atakuwa
mkamilifu, apate kukubaliwa; pasiwe na
kilema ndani yake cho chote.
MAMBO YA WALAWI 17:11 Kwa
kuwa uhai wa mwili u katika hiyo damu;
nami nimewapa ninyi hiyo damu juu ya
madhabahu, ili kufanya upatanisho kwa ajili
ya nafsi zenu; kwani ni hiyo damu ifanyayo
upatanisho kwa sababu ya nafsi.
HESABU 28:3 Nawe utawaambia, Hii
ndiyo sadaka isongezwayo kwa moto
mtakayomsongezea Bwana; wana-
kondoo waume wa mwaka wa kwanza
wakamilifu, wawili kila siku, wawe sadaka ya
MAMBO YA WALAWI
56
kuteketezwa ya sikuzote.
4 Mwana-kondoo mmoja utamsongeza
asubuhi, na mwana-kondoo wa pili
utamsongeza jioni;
ZABURI 40:6 Dhabihu na matoleo
hukupendezwa nazo, Masikio yangu
umeyazibua, Kafara na sadaka za dhambi
hukuzitaka.
ISAYA 53:8 Kwa kuonewa na
kuhukumiwa aliondolewa; Na maisha yake
ni nani atakayeisimulia? Maana amekatiliwa
mbali na nchi ya walio hai; Alipigwa kwa
sababu ya makosa ya watu wangu.
MATHAYO 20:28 kama vile Mwana wa Adamu
asivyokuja kutumikiwa, bali kutumika, na
kutoa nafsi yake iwe fidia ya wengi.
MATHAYO 26:28 kwa maana hii ndiyo damu
yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya
wengi kwa ondoleo la dhambi.
MATHAYO 27:19 Na alipokuwa ameketi juu
ya kiti cha hukumu, mkewe alimpelekea
mjumbe, kumwambia, Usiwe na neno na
yule mwenye haki; kwa sababu nimeteswa
mengi leo katika ndoto kwa ajili yake.
LUKA 23:4 Pilato akawaambia wakuu
wa makuhani na makutano, Sioni neno lililo
ovu katika mtu huyu.
LUKA 23:47 Alipokwisha kusema hayo
alikata roho. Yule akida alipoona yaliyotukia,
alimtukuza Mungu, akisema, Hakika yake,
mtu huyu alikuwa mwenye haki.
1 WAKORINTHO 1:30 Bali kwa yeye
ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu,
aliyefanywa kwetu hekima itokayo kwa
Mungu, na haki, na utakatifu, na ukombozi;
WAEFESO 5:2 mkaenende katika upendo,
kama Kristo naye alivyowapenda ninyi tena
akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu
kwa Mungu, kuwa harufu ya manukato.
WAEBRANIA 7:26 Maana ilitupasa sisi tuwe na
kuhani mkuu wa namna hii aliye mtakatifu,
asiyekuwa na uovu, asiyekuwa na waa lo
lote, aliyetengwa na wakosaji, aliyekuwa juu
kuliko mbingu;
WAEBRANIA 10:4 Maana haiwezekani damu ya
mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.
5 Kwa hiyo ajapo ulimwenguni, asema,
Dhabihu na toleo hukutaka, Lakini mwili
uliniwekea tayari;
6 Sadaka za kuteketezwa na sadaka za dhambi
hukupendezwa nazo;
7 Ndipo niliposema, Tazama, nimekuja (katika
gombo la chuo nimeandikiwa) Niyafanye
mapenzi yako, Mungu.
8 Hapo juu asemapo, Dhabihu na matoleo na
sadaka za kuteketezwa na hizo za dhambi
hukuzitaka, wala hukupendezwa nazo
(zitolewazo kama ilivyoamuru torati),
9 ndipo aliposema, Tazama, nimekuja
niyafanye mapenzi yako. Aondoa la kwanza,
ili kusudi alisimamishe la pili.
10 Katika mapenzi hayo mmepata utakaso, kwa
kutolewa mwili wa Yesu Kristo mara moja
tu.
1 PETRO 1:18 Nanyi mfahamu kwamba
mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo,
kwa fedha au dhahabu; mpate kutoka katika
mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa
MAMBO YA WALAWI
57
baba zenu;
19 bali kwa damu ya thamani, kama ya mwana-
kondoo asiye na ila, asiye na waa, yaani, ya
Kristo.
20 Naye amejulikana kweli tangu zamani,
kabla haijawekwa misingi ya dunia; lakini
alifunuliwa mwisho wa zamani kwa ajili yenu;
21 ambao kwa yeye mmekuwa wenye
kumwamini Mungu, aliyemfufua katika
wafu akampa utukufu; hata imani yenu na
tumaini lenu liwe kwa Mungu.
Ona pia: Kutoka 12:5; Mambo ya Walawi 1:1-4,10; Mambo ya Walawi 3:1,6; Mambo ya Walawi 4:32; Mambo ya Walawi 7:11; Mambo ya Walawi 21:16-24; Mambo ya Walawi 22:27; Hesabu 16:40; Kumbukumbu la Torati 14:6; Kumbukumbu la Torati
15:21; Kumbukumbu la Torati 17:1; Ezra 6:8-10; Zaburi 50:8-12; Zaburi 51:16; Isaya 1:11-15; Malaki 1:8,13,14; Mathayo 3:15;
Mathayo 27:19,24,54; Marko 10:45; Marko 14:24; Luka 4:3; Luka 9:56; Luka 23:41; Yohana 4:34; Yohana 5:30; Yohana 6:38; 2
Wakorintho 5:21; Wagalatia 4:4; Waefeso 5:26; 1 Wathesalonike 2:10; Tito 1:7,10; Tito 2:14; Waebrania 9:22; Waebrania 10:19-21;
Waebrania 13:12; Yohana 1:7; Yohana 2:1.
I09 Sherehe ya mkate usiotiwa chachu
inarejelea kazi ya Masiha.
MAMBO YA WALAWI 23:6 Na siku ya kumi
na tano ya mwezi ule ule ni sikukuu kwa
Bwana ya mkate usiotiwa chachu; mtaila
mikate isiyochachwa muda wa siku saba.
7 Siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko
takatifu msifanye kazi yo yote ya utumishi.
8 Lakini mtasongeza sadaka kwa Bwana
kwa njia ya moto siku saba; siku ya saba ni
kusanyiko takatifu; msifanye kazi yo yote ya
utumishi.
KUMBUKUMBU LA TORATI 16:3 Usimle
pamoja na mikate iliyotiwa chachu; siku
saba utakula naye mikate isiyotiwa chachu,
nayo ni mikate ya mateso; kwa maana
ulitoka nchi ya Misri kwa haraka; ili upate
kukumbuka siku uliyotoka nchi ya Misri,
siku zote za maisha yako.
MATHAYO 26:17 Hata siku ya kwanza ya
mikate isiyotiwa chachu, wanafunzi wake
wakamwendea Yesu, wakamwambia, Ni
wapi utakapo tukuandalie uile Pasaka?
MARKO 14:1 Baada ya siku mbili ilikuwa
sikukuu ya Pasaka, na mikate isiyochachwa;
wakuu wa makuhani na waandishi
wakatafuta njia ya kumkamata kwa hila na
kumwua.
1 WAKORINTHO 5:7 Basi, jisafisheni,
mkatoe ile chachu ya kale, mpate kuwa
donge jipya, kama vile mlivyo hamkutiwa
chachu. Kwa maana Pasaka wetu amekwisha
kutolewa kuwa sadaka, yaani, Kristo;
2 WAKORINTHO 5:21 Yeye asiyejua
dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili
yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu
katika Yeye.
WAEFESO 5:2 mkaenende katika upendo,
kama Kristo naye alivyowapenda ninyi tena
akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu
kwa Mungu, kuwa harufu ya manukato.
Ona pia: Kutoka 12:15-20,39; Kutoka 13:6,7; Kutoka 23:15; Kutoka 34:18; Hesabu 28:17-25; Kumbukumbu la Torati 16:8,16; Waamuzi 6:12-24; 2 Mambo ya Nyakati 30:13,21; 2 Mambo ya
Nyakati 35:17; Ezra 6:22; Marko 14:12; Luka 22:1,7.
I10 Kupungia kwa mgada wa mazao ya kwanza
ya nafaka kunarejelea kufufuka kwa
Masiha.
MAMBO YA WALAWI 23:9 Kisha Bwana
MAMBO YA WALAWI
58
akanena na Musa, na kumwambia,
10 Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Hapo
mtakapokuwa mmekwisha ingia hiyo nchi
niwapayo, na kuyavuna mavuno yake,
ndipo mtakapomletea kuhani mganda wa
malimbuko ya mavuno yenu;
11 naye atautikisa mganda mbele za Bwana ili
kwamba ukubaliwe kwa ajili yenu; siku ya
pili baada ya Sabato kuhani atautikisa.
12 Na siku hiyo mtakayoutikisa mganda,
mtamsongeza mwana-kondoo wa kiume
mkamilifu wa mwaka wa kwanza awe
sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana.
13 Na sadaka yake ya unga itakuwa sehemu
za kumi mbili za efa za unga mwembamba
uliochanganywa na mafuta, ni kafara
iliyosongezwa kwa Bwana kwa moto kuwa
harufu ya kupendeza; na sadaka yake ya
kinywaji itakuwa ni divai, robo ya hini.
14 Nanyi msile mkate, wala bisi, wala masuke
machanga, hata siku iyo hiyo, hata
mtakapokuwa mmekwisha kuleta sadaka ya
Mungu wenu; hii ni amri ya milele katika
vizazi vyenu katika makao yenu yote.
MATHAYO 28:5 Malaika akajibu, akawaambia
wale wanawake, Msiogope ninyi; kwa
maana najua ya kuwa mnamtafuta Yesu
aliyesulibiwa.
6 Hayupo hapa; kwani amefufuka kama
alivyosema. Njoni, mpatazame mahali
alipolazwa.
7 Nanyi nendeni upesi, mkawaambie
wanafunzi wake, Amefufuka katika wafu.
Tazama, awatangulia kwenda Galilaya;
ndiko mtakakomwona. Haya, nimekwisha
waambia.
WARUMI 8:29 Maana wale aliowajua tangu
asili, aliwachagua tangu asili wafananishwe
na mfano wa Mwana wake, ili yeye awe
mzaliwa wa kwanza miongoni mwa ndugu
wengi.
1 WAKORINTHO 15:20 Lakini sasa
Kristo amefufuka katika wafu, limbuko lao
waliolala.
21 Maana kwa kuwa mauti ililetwa na mtu,
kadhalika na kiyama ya wafu ililetwa na mtu.
22 Kwa kuwa kama katika Adamu wote
wanakufa, kadhalika na katika Kristo wote
watahuishwa.
23 Lakini kila mmoja mahali pake; limbuko
ni Kristo; baadaye walio wake Kristo,
atakapokuja.
WAKOLOSAI 1:18 Naye ndiye kichwa cha
mwili, yaani, cha kanisa; naye ni mwanzo, ni
mzaliwa wa kwanza katika wafu, ili kwamba
awe mtangulizi katika yote.
WAEBRANIA 10:10 Katika mapenzi
hayo mmepata utakaso, kwa kutolewa mwili
wa Yesu Kristo mara moja tu.
11 Na kila kuhani husimama kila siku akifanya
ibada, na kutoa dhabihu zile zile mara
nyingi; ambazo haziwezi kabisa kuondoa
dhambi.
12 Lakini huyu, alipokwisha kutoa kwa ajili ya
dhambi dhabihu moja idumuyo hata milele,
aliketi mkono wa kuume wa Mungu;
1 PETRO 1:18 Nanyi mfahamu kwamba
mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo,
kwa fedha au dhahabu; mpate kutoka katika
mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa
baba zenu;
19 bali kwa damu ya thamani, kama ya mwana-
kondoo asiye na ila, asiye na waa, yaani, ya
Kristo.
MAMBO YA WALAWI
59
UFUNUO WA YOHANA 1:17 Nami
nilipomwona, nalianguka miguuni pake
kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake
wa kuume juu yangu, akisema, Usiogope,
Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,
18 na aliye hai; nami nalikuwa nimekufa, na
tazama, ni hai hata milele na milele. Nami
ninazo funguo za mauti, na za kuzimu.
Ona pia: Mwanzo 4:4,5; Mambo ya Walawi 1:10; Yoshua 5:11,12.
I11 Sherehe ya matunda ya kwanza, siku 50
baada ya Pasaka, inarejelea kutolewa kwa
Roho Mtakatifu.
MAMBO YA WALAWI 23:15 Nanyi
mtajihesabia tangu siku ya pili baada ya
Sabato, tangu siku hiyo mliyouleta mganda
wa sadaka ya kutikiswa; zitatimia Sabato
saba;
16 hata siku ya pili ya hiyo Sabato ya
saba mtahesabu siku hamsini; nanyi
mtamsongezea Bwana sadaka ya unga mpya.
17 Mtatoa katika makao yenu mikate miwili
ya kutikiswa, itakuwa ya sehemu za kumi
mbili za efa; itakuwa ya unga mwembamba,
itaokwa na chachu, iwe malimbuko kwa
Bwana.
18 Nanyi, pamoja na hiyo mikate, mtasongeza
wana-kondoo saba, walio wakamilifu, wa
mwaka wa kwanza, na ng›ombe mume
mmoja, na kondoo waume wawili; watakuwa
sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana, pamoja
na sadaka yao ya unga, na sadaka zao za
kinywaji, sadaka ya harufu ya kupendeza
iliyosongezwa kwa Bwana kwa njia ya moto.
19 Nanyi mtasongeza mbuzi mume mmoja
kuwa sadaka ya dhambi, na wana-kondoo
wawili waume wa mwaka wa kwanza kuwa
dhabihu ya sadaka za amani.
20 Kisha kuhani atawatikisa pamoja na hiyo
mikate ya malimbuko kuwa sadaka ya
kutikiswa mbele za Bwana, pamoja na wale
wana-kondoo wawili; watakuwa watakatifu
kwa Bwana, wawe wa huyo kuhani.
21 Nanyi mtapiga mbiu siku iyo hiyo; kutakuwa
na kusanyiko takatifu kwenu; msifanye kazi
yo yote ya utumishi; ni amri ya milele katika
makao yenu yote, katika vizazi vyenu.
YOHANA 15:26 Lakini ajapo huyo Msaidizi,
nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, huyo
Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye
atanishuhudia.
MATENDO YA MITUME 2:1 Hata
ilipotimia siku ya Pentekoste walikuwako
wote mahali pamoja.
2 Kukaja ghafula toka mbinguni uvumi kama
uvumi wa upepo wa nguvu ukienda kasi,
ukaijaza nyumba yote waliyokuwa wameketi.
3 Kukawatokea ndimi zilizogawanyikana,
kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja
wao.
4 Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza
kusema kwa lugha nyingine, kama Roho
alivyowajalia kutamka.
MATENDO YA MITUME 2:32 Yesu huyo
Mungu alimfufua, na sisi sote tu mashahidi
wake.
33 Basi yeye, akiisha kupandishwa hata mkono
wa kuume wa Mungu, na kupokea kwa Baba
ile ahadi ya Roho Mtakatifu, amekimwaga
kitu hiki mnachokiona sasa na kukisikia.
WARUMI 8:23 Wala si hivyo tu; ila na
sisi wenyewe tulio na malimbuko ya
MAMBO YA WALAWI
60
Roho, sisi pia tunaugua katika nafsi zetu,
tukikutazamia kufanywa wana, yaani,
ukombozi wa mwili wetu.
1 WAKORINTHO 12:13 Kwa maana katika
Roho mmoja sisi sote tulibatizwa kuwa
mwili mmoja, kwamba tu Wayahudi, au
kwamba tu Wayunani; ikiwa tu watumwa au
ikiwa tu huru; nasi sote tulinyweshwa Roho
mmoja.
WAEBRANIA 10:15 Na Roho Mtakatifu
naye amshuhudia; kwa maana, baada ya
kusema,
16 Hili ni agano nitakaloagana nao baada
ya siku zile, anena Bwana, Nitatia sheria
zangu mioyoni mwao, Na katika nia zao
nitaziandika; ndipo anenapo,
YAKOBO 1:18 Kwa kupenda kwake
mwenyewe alituzaa sisi kwa neno la kweli,
tuwe kama limbuko la viumbe vyake.
UFUNUO WA YOHANA 14:4 Hawa
ndio wasiotiwa unajisi pamoja na wanawake,
kwa maana ni bikira. Hawa ndio
wamfuatao Mwana-Kondoo kila aendako.
Hawa wamenunuliwa katika wanadamu,
malimbuko kwa Mungu na kwa Mwana-
Kondoo.
Ona pia: Kutoka 19-20; Kutoka 34:22; Mambo ya Walawi 23:10; Hesabu 28:26-31; Kumbukumbu la Torati 16:9-11; Yeremia 31:31-34; Ezekieli 36:24-30; Malaki 1:13,14; Warumi 8:3; 2 Wakorintho
5:21.
I12 Sherehe ya tabenakulo kuhusiana na kazi
ya Masiha.
MAMBO YA WALAWI 23:33 Kisha
Bwana akanena na Musa, na kumwambia,
34 Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Siku
ya kumi na tano ya mwezi huo wa saba ni
sikukuu ya vibanda muda wa siku saba kwa
Bwana.
MAMBO YA WALAWI 23:35-38
MAMBO YA WALAWI 23:39 Lakini
siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba,
hapo mtakapokuwa mmekwisha kuyachuma
mavuno ya nchi, mtaweka sikukuu ya
Bwana muda wa siku saba; siku ya kwanza
kutakuwa na kustarehe kabisa, na siku ya
nane kutakuwa na kustarehe kabisa.
40 Nanyi siku ya kwanza mtajipatia matunda
ya miti mizuri, na makuti ya mitende,
na matawi ya miti minene, na mierebi ya
vijitoni; nanyi mtafurahi mbele za Bwana,
Mungu wenu, muda wa siku saba.
41 Nanyi mtaishika kuwa sikukuu kwa Bwana
muda wa siku saba katika mwaka; ni amri ya
milele katika vizazi vyenu; mtaishika katika
mwezi wa saba.
42 Mtakaa katika vibanda muda wa siku saba;
wazalia wote wa Israeli watakaa katika
vibanda;
43 ili vizazi vyenu vipate kujua ya kuwa
niliwaketisha wana wa Israeli katika vibanda,
hapo nilipowaleta kutoka nchi ya Misri;
mimi ndimi Bwana Mungu wenu.
ISAYA 12:3 Basi, kwa furaha mtateka
maji katika visima vya wokovu.
ISAYA 55:1 Haya, kila aonaye kiu, njoni
majini, Naye asiye na fedha; njoni, nunueni
mle; Naam, njoni, nunueni divai na maziwa,
Bila fedha na bila thamani.
ZEKARIA 14:16 Hata itakuwa, ya kwamba
kila mtu aliyesalia wa mataifa yote, waliokuja
MAMBO YA WALAWI
61
kupigana na Yerusalemu, atakwea mwaka
baada ya mwaka ili kumwabudu Mfalme,
Bwana wa majeshi, na kuishika sikukuu ya
Vibanda.
17 Tena itakuwa, ya kwamba mtu awaye yote
wa jamaa zote zilizomo duniani, asiyekwea
kwenda Yerusalemu ili kumwabudu Mfalme,
Bwana wa majeshi, mvua haitanyesha kwao.
YOHANA 4:13 Yesu akajibu, akamwambia,
Kila anywaye maji haya ataona kiu tena;
14 walakini ye yote atakayekunywa maji yale
nitakayompa mimi hataona kiu milele; bali
yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake
chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa
milele.
YOHANA 7:37 Hata siku ya mwisho, siku
ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama,
akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu,
na aje kwangu anywe.
38 Aniaminiye mimi, kama vile maandiko
yalivyonena, mito ya maji yaliyo hai itatoka
ndani yake.
39 Na neno hilo alilisema katika habari
ya Roho, ambaye wale wamwaminio
watampokea baadaye; kwa maana Roho
alikuwa hajaja, kwa sababu Yesu alikuwa
hajatukuzwa.
WAEBRANIA 11:9 Kwa imani alikaa ugenini
katika ile nchi ya ahadi, kama katika nchi
isiyo yake, akikaa katika hema pamoja na
Isaka na Yakobo, warithi pamoja naye wa
ahadi ile ile.
10 Maana alikuwa akiutazamia mji wenye
misingi, ambao mwenye kuubuni na
kuujenga ni Mungu.
11 Kwa imani hata Sara mwenyewe alipokea
uwezo wa kuwa na mimba; alipokuwa
amepita wakati wake; kwa kuwa alimhesabu
yeye aliyeahidi kuwa mwaminifu.
12 Na kwa ajili ya hayo wakazaliwa na mtu
mmoja, naye alikuwa kama mfu, watu
wengi kama nyota za mbinguni wingi wao,
na kama mchanga ulio ufuoni, usioweza
kuhesabika.
13 Hawa wote wakafa katika imani,
wasijazipokea zile ahadi, bali wakaziona
tokea mbali na kuzishangilia, na kukiri
kwamba walikuwa wageni, na wasafiri juu ya
nchi.
14 Maana hao wasemao maneno kama hayo
waonyesha wazi kwamba wanatafuta nchi
yao wenyewe.
15 Na kama wangaliikumbuka nchi ile
waliyotoka, wangalipata nafasi ya kurejea.
16 Lakini sasa waitamani nchi iliyo bora,
yaani, ya mbinguni. Kwa hiyo Mungu
haoni haya kuitwa Mungu wao; maana
amewatengenezea mji.
UFUNUO WA YOHANA 22:1 Kisha
akanionyesha mto wa maji ya uzima, wenye
kung’aa kama bilauri, ukitoka katika kiti cha
enzi cha Mungu, na cha Mwana-Kondoo,
2 katikati ya njia kuu yake. Na upande huu na
upande huu wa ule mto, ulikuwapo mti wa
uzima, uzaao matunda, aina kumi na mbili,
wenye kutoa matunda yake kila mwezi; na
majani ya mti huo ni ya kuwaponya mataifa.
Ona pia: Kutoka 13:14; Hesabu 29:12-38; Kumbukumbu la Torati 16:13-15; Kumbukumbu la Torati 31:10-13; 1 Wafalme 8:65,66; 2 Mambo ya Nyakati 7:8-10; Ezra 3:4; Nehemia 8:13-17; Zaburi
36:8; Zaburi 42:1,2; Isaya 35:10; Isaya 41:17,18; Isaya 44:3; Isaya 49:10; Yeremia 2:3; Ezekieli 45:25; Yoeli 3:18; Zekaria 3:10; Zekaria 14:18,19; Yohana 4:10-12; Yohana 16:22; 1 Wakorintho
10:4; 2 Wakorintho 5:1; Waebrania 13:13,14; Ufunuo wa Yohana 7:17; Ufunuo wa Yohana 21:6; Ufunuo wa Yohana 22:1,17.
MAMBO YA WALAWI
62
Kulingana na mila ya Kiyahudi sadaka ya
kinywaji ilisherehekewa kama ifuatavyo.
Mwanzoni mwa siku ya saba, siku hiyo huitwa
Hoshana Raba kwa lugha ya Kiebrania, kuhani
alitembelea kidimbwi cha Shiloamu. Alichota
maji kutoka kwa kidimbwi na kuyabeba
kwenye mtungi wa dhahabu hadi kwa hekalu.
Alipofika hapo maji yalimwagwa kama sadaka
kwenye mnyama anayetolewa dhabihu. Wakati
wa sherehe ya sadaka ya maji fungu lifuatalo
lilisomewa watu:
Isaya 12:3 Mtachota maji kwa furaha kwa
visima vya wokovu.
Kitabu cha zamani sana cha Kiyahudi
kinasema: «Yule ambaye hajaona furaha
ikionyeshwa wakati wa kuchota maji hajawahi
kamwe kuona furaha maishani mwake
(Mishna Sukka, 5:1). Hivyo kula na kunywa
kwa furaha kubwa wakati wa sherehe ya
tabenakulo kuliamrishwa na Mungu.
E18 Mungu ataishi miongoni mwa watu Wake.
MAMBO YA WALAWI 26:11 Nami
nitaiweka maskani yangu kati yenu; wala
roho yangu haitawachukia.
12 Nami nitakwenda kati yenu, nami nitakuwa
Mungu wenu, nanyi mtakuwa watu wangu.
EZEKIELI 37:27 Tena maskani yangu itakuwa
pamoja nao; nami nitakuwa Mungu wao,
nao watakuwa watu wangu.
YOHANA 1:14 Naye Neno alifanyika mwili,
akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake,
utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa
Baba; amejaa neema na kweli.
YOHANA 1:49 Nathanaeli akamjibu, Rabi,
wewe u Mwana wa Mungu, ndiwe Mfalme
wa Israeli.
YOHANA 5:46 Kwa maana kama
mngalimwamini Musa, mngeniamini mimi;
kwa sababu yeye aliandika habari zangu.
MATENDO YA MITUME 3:22 Kwa
maana Musa kweli alisema ya kwamba,
Bwana Mungu wenu atawainulieni nabii,
katika ndugu zenu, kama mimi; msikieni
yeye katika mambo yote atakayonena nanyi.
MATENDO YA MITUME 15:16 Baada ya
mambo haya nitarejea, Nami nitaijenga tena
nyumba ya Daudi iliyoanguka. Nitajenga
tena maanguko yake, Nami nitaisimamisha;
17 Ili wanadamu waliosalia wamtafute Bwana,
Na mataifa yote ambao jina langu limetajwa
kwao;
WAEBRANIA 9:11 Lakini Kristo akiisha kuja,
aliye kuhani mkuu wa mambo mema
yatakayokuwapo, kwa hema iliyo kubwa na
kamilifu zaidi, isiyofanyika kwa mikono,
maana yake, isiyo ya ulimwengu huu,
12 wala si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali
kwa damu yake mwenyewe aliingia mara
moja tu katika Patakatifu, akiisha kupata
ukombozi wa milele.
WAEBRANIA 9:22 Na katika Torati karibu vitu
vyote husafishwa kwa damu, na pasipo
kumwaga damu hakuna ondoleo.
UFUNUO WA YOHANA 21:3 Nikasikia
sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha
MAMBO YA WALAWI
63
enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu
ni pamoja na wanadamu, naye atafanya
maskani yake pamoja nao, nao watakuwa
watu wake. Naye Mungu mwenyewe
atakuwa pamoja nao.
Ona pia: Kutoka 29:45,46; Kumbukumbu la Torati 18:15; Yoshua 22:19; 2 Mambo ya Nyakati 29:6; Zaburi 78:59,60; Amosi 9:11,12;
Waebrania 8:5,6; Waebrania 13:10-13.
MAMBO YA WALAWI
64
I07 Sadaka ya ndama wa kike mwekundu
inarejelea kazi ya Masiha.
HESABU 19:2 Hii ndiyo amri ya sheria
Bwana aliyoagiza, akisema, Waambie
wana wa Israeli wakuletee ng’ombe mke
mwekundu asiye na kipaku, mkamilifu,
ambaye hajatiwa nira bado;
3 nanyi mtamleta kwa Eleazari kuhani, naye
atakwenda naye nje ya kambi, na mtu
mmoja atamchinja mbele yake;
9 Kisha mtu mmoja aliye safi atayazoa majivu
ya huyo ng’ombe, na kuyaweka yawe akiba
katika mahali safi nje ya kambi, nayo
yatatunzwa kwa ajili ya mkutano wa wana
wa israeli, kuwa ndiyo maji ya farakano; ni
sadaka ya dhambi.
YOHANA 15:3 Ninyi mmekwisha kuwa safi
kwa sababu ya lile neno nililowaambia.
WAGALATIA 3:13 Kristo alitukomboa katika
laana ya torati, kwa kuwa alifanywa
laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa,
Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti;
WAEFESO 5:26 ili makusudi alitakase na
kulisafisha kwa maji katika neno;
WAEBRANIA 1:3 Yeye kwa kuwa ni mng’ao
wa utukufu wake na chapa ya nafsi yake,
akivichukua vyote kwa amri ya uweza wake,
akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi
mkono wa kuume wa Ukuu huko juu;
WAEBRANIA 9:11 Lakini Kristo akiisha kuja,
aliye kuhani mkuu wa mambo mema
yatakayokuwapo, kwa hema iliyo kubwa na
kamilifu zaidi, isiyofanyika kwa mikono,
maana yake, isiyo ya ulimwengu huu,
12 wala si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali
kwa damu yake mwenyewe aliingia mara
moja tu katika Patakatifu, akiisha kupata
ukombozi wa milele.
13 Kwa maana, ikiwa damu ya mbuzi na
mafahali na majivu ya ndama ya ng’ombe
waliyonyunyiziwa wenye uchafu hutakasa
hata kuusafisha mwili;
14 basi si zaidi damu yake Kristo, ambaye
kwamba kwa Roho wa milele alijitoa nafsi
yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na
mawaa, itawasafisha dhamiri zenu na
matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu
aliye hai?
WAEBRANIA 10:14 Maana kwa toleo
moja amewakamilisha hata milele hao
wanaotakaswa.
WAEBRANIA 13:11 Maana wanyama
wale ambao damu yao huletwa ndani ya
patakatifu na kuhani mkuu kwa ajili ya
dhambi, viwiliwili vyao huteketezwa nje ya
kambi.
12 Kwa ajili hii Yesu naye, ili awatakase watu
kwa damu yake mwenyewe, aliteswa nje ya
lango.
13 Basi na tutoke tumwendee nje ya kambi,
tukichukua shutumu lake.
Ona pia: Waebrania 10:19-22,29.
E26 Kazi ya ukombozi ya Masiha.
HESABU 21:9 Musa akafanya nyoka ya
shaba, akaiweka juu ya mti, hata ikiwa nyoka
amemwuma mtu, alipoitazama ile nyoka ya
shaba, akaishi.
HESABU
65
YOHANA 1:29 Siku ya pili yake amwona
Yesu anakuja kwake, akasema, Tazama,
Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye
dhambi ya ulimwengu!
YOHANA 3:14 Na kama vile Musa
alivyomwinua yule nyoka jangwani,
vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi
kuinuliwa;
15 ili kila mtu aaminiye awe na uzima wa
milele katika yeye.
YOHANA 6:40 Kwa kuwa mapenzi yake
Baba yangu ni haya, ya kwamba kila
amtazamaye Mwana na kumwamini yeye,
awe na uzima wa milele; nami nitamfufua
siku ya mwisho.
WAEBRANIA 12:2 tukimtazama Yesu, mwenye
kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu;
ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele
yake aliustahimili msalaba na kuidharau
aibu, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti
cha enzi cha Mungu.
Ona pia: 2 Wafalme 18:4.
D04 Kazi ya Masiha kama Mfalme.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
HESABU 24:7 Maji yatafurika katika ndoo
zake, Na mbegu zake zitakuwa katika maji
mengi. Na mfalme wake ataadhimishwa
kuliko Agagi, Na ufalme wake utatukuzwa.
8 Mungu amemleta kutoka Misri, Ana nguvu
mfano wa nguvu za nyati; Atawameza
mataifa walio adui zake, Ataivunja mifupa
yao vipande vipande. Atawachoma kwa
mishale yake.
15 Akatunga mithali yake akasema, Balaamu
mwana wa Beori asema, Yule mtu
aliyefumbwa macho asema,
16 Asema, yeye asikiaye maneno ya Mungu, Na
kuyajua maarifa yake Aliye Juu. Yeye aonaye
maono ya Mwenyezi, Akianguka kifudifudi,
amefumbuliwa macho,
17 Namwona, lakini si sasa; Namtazama, lakini
si karibu; Nyota itatokea katika Yakobo
Na fimbo ya enzi itainuka katika Israeli;
Nayo itazipiga-piga pembe za Moabu, Na
kuwavunja-vunja wana wote wa ghasia.
18 Na Edomu itakuwa milki Seiri pia itakuwa
milki, waliokuwa adui zake; Israeli
watakapotenda kwa ushujaa.
19 Mwenye kutawala atakuja toka Yakobo,
Atawaangamiza watakaobaki mjini.
MWANZO 49:10 Fimbo ya enzi haitaondoka
katika Yuda, Wala mfanya sheria kati ya
miguu yake, Hata atakapokuja Yeye, mwenye
milki, Ambaye mataifa watamtii.
ZABURI 110:2 Bwana atainyosha toka
Sayuni Fimbo ya nguvu zako. Uwe na enzi
kati ya adui zako;
DANIELI 2:44 Na katika siku za wafalme
hao Mungu wa mbinguni atausimamisha
ufalme ambao hautaangamizwa milele, wala
watu wengine hawataachiwa enzi yake; bali
utavunja falme hizi zote vipande vipande na
kuziharibu, nao utasimama milele na milele.
MATHAYO 2:1 Yesu alipozaliwa katika
Bethlehemu ya Uyahudi zamani za mfalme
Herode, tazama, mamajusi wa mashariki
walifika Yerusalemu, wakisema,
2 Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa
Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake
HESABU
66
mashariki, nasi tumekuja kumsujudia.
1 WAKORINTHO 15:24 Hapo ndipo
mwisho, atakapompa Mungu Baba ufalme
wake; atakapobatilisha utawala wote, na
mamlaka yote, na nguvu.
25 Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke
maadui wake wote chini ya miguu yake.
WAFILIPI 2:10 ili kwa jina la Yesu kila
goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya
duniani, na vya chini ya nchi;
WAEBRANIA 1:8 Lakini kwa habari za Mwana
asema, Kiti chako cha enzi,Mungu,ni cha
milele na milele; Na fimbo ya ufalme wako
ni fimbo ya adili.
9 Umependa haki, umechukia maasi; Kwa
hiyo Mungu, Mungu wako, amekutia
mafuta, Mafuta ya shangwe kupita wenzio.
UFUNUO WA YOHANA 19:16 Naye ana
jina limeandikwa katika vazi lake na paja
lake, MFALME WA WAFALME, NA Bwana
WA MABwana.
UFUNUO WA YOHANA
22:16 Mimi Yesu nimemtuma malaika
wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo
katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina
na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung’aa
ya asubuhi.
Ona pia: #1; Hesabu 24:4; Zaburi 18:43; Yohana 1:49; Yuda 1:11; 2 Petro 1:19; Ufunuo wa Yohana 2:14; Ufunuo wa Yohana 20.
B02 Masiha ndiye Mwanakondoo wa Mungu.
I03 Sadaka ya kuteketeza inawakilisha kazi ya
Masiha - sadaka isiyo na
dosari - sadaka ya kudumu ya kuteketeza
.
HESABU 28:3 Nawe utawaambia, Hii
ndiyo sadaka isongezwayo kwa moto
mtakayomsongezea Bwana; wana-
kondoo waume wa mwaka wa kwanza
wakamilifu, wawili kila siku, wawe sadaka ya
kuteketezwa ya sikuzote.
4 Mwana-kondoo mmoja utamsongeza
asubuhi, na mwana-kondoo wa pili
utamsongeza jioni;
5 pamoja na sehemu ya kumi ya efa ya
unga mwembamba kuwa sadaka ya unga,
uliochanganywa na robo ya hini ya mafuta
ya kupondwa.
6 Ni sadaka ya kuteketezwa ya sikuzote,
iliyoamriwa huko katika mlima wa Sinai iwe
harufu ya kupendeza, sadaka ya kusongezwa
kwa Bwana kwa moto.
7 Na sadaka yake ya kinywaji itakuwa robo
ya hini kwa mwana-kondoo mmoja; hiyo
sadaka ya kinywaji, ya kileo, utammiminia
Bwana katika mahali hapo patakatifu.
8 Na mwana-kondoo wa pili utamsongeza
wakati wa jioni; kama ile sadaka ya unga
iliyosongezwa asubuhi, na kama sadaka yake
ya kinywaji, ndivyo utakavyoisongeza, ni
sadaka ya kusongezwa kwa moto, ni harufu
ya kupendeza kwa Bwana.
9 Tena katika siku ya Sabato watasongezwa
wana-kondoo wawili, waume wa mwaka wa
kwanza, wakamilifu, pamoja na sehemu ya
kumi mbili za efa za unga mwembamba
kuwa sadaka ya unga, uliochanganywa na
mafuta, pamoja na sadaka yake ya kinywaji;
10 hii ndiyo sadaka ya kuteketezwa ya kila
HESABU
67
Sabato, zaidi ya hiyo sadaka ya kuteketezwa
ya sikuzote, pamoja na sadaka yake ya
kinywaji.
ISAYA 53:10 Lakini Bwana aliridhika
kumchubua; Amemhuzunisha;
Utakapofanya nafsi yake kuwa dhabihu kwa
dhambi, Ataona uzao wake, ataishi siku
nyingi, Na mapenzi ya Bwana yatafanikiwa
mkononi mwake;
MATHAYO 27:51 Na tazama, pazia la hekalu
likapasuka vipande viwili toka juu hata chini;
nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka;
LUKA 23:45 jua limepungua nuru yake;
pazia la hekalu likapasuka katikati.
YOHANA 1:14 Naye Neno alifanyika mwili,
akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake,
utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa
Baba; amejaa neema na kweli.
YOHANA 1:29 Siku ya pili yake amwona
Yesu anakuja kwake, akasema, Tazama,
Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye
dhambi ya ulimwengu!
WAEBRANIA 7:25 Naye, kwa sababu hii, aweza
kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwa
yeye; maana yu hai sikuzote ili awaombee.
26 Maana ilitupasa sisi tuwe na kuhani mkuu
wa namna hii aliye mtakatifu, asiyekuwa na
uovu, asiyekuwa na waa lo lote, aliyetengwa
na wakosaji, aliyekuwa juu kuliko mbingu;
27 ambaye hana haja kila siku, mfano wa
wale makuhani wakuu wengine, kwanza
kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zake
mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi za hao
watu; maana yeye alifanya hivi mara moja,
alipojitoa nafsi yake.
28 Maana torati yawaweka wanadamu walio na
unyonge kuwa makuhani wakuu; bali hilo
neno la kiapo kilichokuja baada ya torati
limemweka Mwana, aliyekamilika hata
milele.
WAEBRANIA 9:26 kama ni hivyo, ingalimpasa
kuteswa mara nyingi tangu kuwekwa msingi
wa ulimwengu; lakini sasa, mara moja tu,
katika utimilifu wa nyakati, amefunuliwa,
azitangue dhambi kwa dhabihu ya nafsi
yake.
WAEBRANIA 10:1 Basi torati, kwa kuwa ni
kivuli cha mema yatakayokuwa, wala si sura
yenyewe ya mambo hayo, kwa dhabihu zile
zile wanazozitoa kila mwaka daima, haiwezi
wakati wo wote kuwakamilisha wakaribiao.
2 Kama ndivyo, je! Dhabihu hazingekoma
kutolewa; kwa maana waabuduo, wakiisha
kusafishwa mara moja, wasingejiona tena
kuwa na dhambi?
3 Lakini katika dhabihu hizo liko
kumbukumbu la dhambi kila mwaka.
4 Maana haiwezekani damu ya mafahali na
mbuzi kuondoa dhambi.
5 Kwa hiyo ajapo ulimwenguni, asema,
Dhabihu na toleo hukutaka, Lakini mwili
uliniwekea tayari;
6 Sadaka za kuteketezwa na sadaka za dhambi
hukupendezwa nazo;
7 Ndipo niliposema, Tazama, nimekuja (katika
gombo la chuo nimeandikiwa) Niyafanye
mapenzi yako, Mungu.
8 Hapo juu asemapo, Dhabihu na matoleo na
sadaka za kuteketezwa na hizo za dhambi
hukuzitaka, wala hukupendezwa nazo
(zitolewazo kama ilivyoamuru torati),
9 ndipo aliposema, Tazama, nimekuja
HESABU
68
niyafanye mapenzi yako. Aondoa la kwanza,
ili kusudi alisimamishe la pili.
10 Katika mapenzi hayo mmepata utakaso, kwa
kutolewa mwili wa Yesu Kristo mara moja
tu.
1 PETRO 1:19 bali kwa damu ya thamani,
kama ya mwana-kondoo asiye na ila, asiye na
waa, yaani, ya Kristo.
20 Naye amejulikana kweli tangu zamani,
kabla haijawekwa misingi ya dunia; lakini
alifunuliwa mwisho wa zamani kwa ajili
yenu;
Ona pia: Kutoka 29:41,42; Mambo ya Walawi 6:9,12; Mambo ya Walawi 9:3; Mambo ya Walawi 12:6; Mambo ya Walawi 14:12,13,21,24,25; Mambo ya Walawi 17:3; Mambo ya Walawi 23:12; Hesabu 6:12,14; Hesabu 29:6,41-43; Waamuzi 13:33; 2
Mambo ya Nyakati 2:4; Ezra 3:4,5; Nehemia 10:33; Zaburi 50:8; Zaburi 51:16-19; Isaya 56:7; Ezekieli 43:27; Ezekieli 46:13-15; Yoeli 2:14; Marko 15:38; Yohana 4:34; Warumi 12:1; Waebrania 10:14;
1 Petro 2:5.
HESABU
69
E12 Masiha anatimiza sheria ya Mungu.
KUMBUKUMBU LA TORATI 11:18 Kwa hiyo
yawekeni maneno yangu mioyoni mwenu
na rohoni mwenu; yafungeni yawe dalili juu
ya mikono yenu, nayo yatakuwa kama utepe
katikati ya macho yenu.
19 Nayo wafunzeni vijana vyenu kwa
kuyazungumza uketipo katika nyumba
yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na
uondokapo.
20 Tena yaandike juu ya miimo ya nyumba
yako, na juu ya malango yako;
YOSHUA 1:8 Kitabu hiki cha torati
kisiondoke kinywani mwako, bali yatafakari
maneno yake mchana na usiku, upate
kuangalia kutenda sawasawa na maneno
yote yaliyoandikwa humo; maana ndipo
utakapoifanikisha njia yako, kisha ndipo
utakapositawi sana.
ZABURI 1:1 Heri mtu yule asiyekwenda
Katika shauri la wasio haki; Wala
hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala
hakuketi barazani pa wenye mizaha.
2 Bali sheria ya Bwana ndiyo impendezayo, Na
sheria yake huitafakari mchana na usiku.
ZABURI 119:11 Moyoni mwangu nimeliweka
neno lako, Nisije nikakutenda dhambi.
ZABURI 119:97 Sheria yako naipenda mno
ajabu, Ndiyo kutafakari kwangu mchana
kutwa.
98 Maagizo yako hunitia hekima kuliko adui
zangu, Kwa maana ninayo sikuzote.
99 Ninazo akili kuliko wakufunzi wangu wote,
Maana shuhuda zako ndizo nizifikirizo.
ISAYA 34:16 Tafuteni katika kitabu
cha Bwana mkasome; hapana katika hao
wote atakayekosa kuwapo, hapana mmoja
atakayemkosa mwenzake; kwa maana
kinywa changu kimeamuru, na roho yake
imewakusanya.
YEREMIA 8:9 Wenye hekima
wametahayari, wamefadhaika na kushikwa;
tazama, wamelikataa neno la Bwana, wana
akili gani ndani yao?
MATHAYO 22:29 Yesu akajibu, akawaambia,
Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko
wala uweza wa Mungu.
LUKA 16:29 Ibrahimu akasema, Wanao
Musa na manabii; na wawasikilize wao.
30 Akasema, La, baba Ibrahimu, lakini
kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu,
watatubu.
31 Akamwambia, Wasipowasikia Musa na
manabii, hawatashawishwa hata mtu
akifufuka katika wafu.
YOHANA 5:39 Mwayachunguza maandiko,
kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna
uzima wa milele ndani yake; na hayo ndiyo
yanayonishuhudia.
MATENDO YA MITUME 17:11 Watu
hawa walikuwa waungwana kuliko wale wa
Thesalonike, kwa kuwa walilipokea lile neno
kwa uelekevu wa moyo, wakayachunguza
maandiko kila siku, waone kwamba mambo
hayo ndivyo yalivyo.
WARUMI 3:2 Kwafaa sana kwa kila njia.
Kwanza kwa kuwa wamekabidhiwa mausia
ya Mungu.
KUMBUKUMBU LA TORATI
70
2 PETRO 1:19 Nasi tuna lile neno
la unabii lililo imara zaidi, ambalo,
mkiliangalia, kama taa ing›aayo mahali
penye giza, mwafanya vyema, mpaka
kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi
kuzuka mioyoni mwenu.
20 Mkijua neno hili kwanza, ya kwamba
hakuna unabii katika maandiko upatao
kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu.
21 Maana unabii haukuletwa po pote kwa
mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu
walinena yaliyotoka kwa Mungu,
wakiongozwa na Roho Mtakatifu.
UFUNUO WA YOHANA 1:3 Heri
asomaye na wao wayasikiao maneno ya
unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa
humo; kwa maana wakati u karibu.
Ona pia: Kumbukumbu la Torati 6:6-8; Zaburi 19:7-10; Waefeso 6:17; Wakolosai 3:16; 1 Wathesalonike 5:27; 1 Petro 2:2.
B13 Mamlaka ya Masiha.
D02 Kazi ya Masiha kama Nabii.
D07 Masiha atakuwa Mpatanishi.
KUMBUKUMBU LA TORATI 18:15 Bwana,
Mungu wako, atakuondokeshea nabii
miongoni mwa ndugu zako kama nilivyo
mimi; msikilizeni yeye.
16 Kama vile ulivyotaka kwa Bwana, Mungu
wako, huko Horebu, siku ya kusanyiko,
ukisema, Nisisikie tena sauti ya Bwana,
Mungu wangu, wala nisiuone tena moto
huu mkubwa, nisije nikafa.
17 Bwana akaniambia, Wametenda vema
kusema walivyosema.
18 Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni
mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami
nitatia maneno yangu kinywani mwake,
naye atawaambia yote nitakayomwamuru.
19 Hata itakuwa, mtu asiyesikiliza maneno
yangu atakayosema yule kwa jina langu,
nitalitaka kwake.
MATHAYO 17:5 Alipokuwa katika kusema,
tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na
tazama, sauti ikatoka katika lile wingu,
ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa
wangu, ninayependezwa naye; msikieni
yeye.
MATHAYO 21:10 Hata alipoingia Yerusalemu,
mji wote ukataharuki, watu wakisema, Ni
nani huyu?
11 Makutano wakasema, Huyu ni yule nabii,
Yesu, wa Nazareti ya Galilaya.
MARKO 16:16 Aaminiye na kubatizwa
ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
LUKA 7:13 Bwana alipomwona
alimwonea huruma, akamwambia, Usilie.
14 Akakaribia, akaligusa jeneza; wale
waliokuwa wakilichukua wakasimama.
Akasema, Kijana, nakuambia, Inuka.
15 Yule maiti akainuka, akaketi, akaanza
kusema. Akampa mama yake.
16 Hofu ikawashika wote, wakamtukuza
Mungu, wakisema, Nabii mkuu ametokea
kwetu; na, Mungu amewaangalia watu wake.
LUKA 9:18 Ikawa alipokuwa akisali
kwa faragha, wanafunzi wake walikuwapo
pamoja naye, akawauliza, Je! Makutano hao
wanasema ya kuwa mimi ni nani?
19 Wakamjibu wakisema, Yohana Mbatizaji;
lakini wengine, Eliya; na wengine kwamba
mmojawapo wa manabii wa kale amefufuka.
KUMBUKUMBU LA TORATI
71
20 Akawaambia, Nanyi mwasema ya kwamba
mimi ni nani? Petro akamjibu akasema,
Ndiwe Kristo wa Mungu.
LUKA 9:35 Sauti ikatoka katika wingu,
ikisema, Huyu ni Mwanangu, mteule
wangu, msikieni yeye.
LUKA 24:17 Akawaambia, Ni
maneno gani haya mnayosemezana hivi
mnapotembea? Wakasimama wamekunja
nyuso zao.
18 Akajibu mmoja wao, jina lake Kleopa,
akamwambia, Je! Wewe peke yako u mgeni
katika Yerusalemu, hata huyajui yaliyotukia
humo siku hizi?
19 Akawauliza, Mambo gani? Wakamwambia,
Mambo ya Yesu wa Nazareti, aliyekuwa mtu
nabii, mwenye uwezo katika kutenda na
kunena mbele za Mungu na watu wote;
20 tena jinsi wakuu wa makuhani na wakubwa
wetu walivyomtia katika hukumu ya kufa,
wakamsulibisha.
YOHANA 1:45 Filipo akamwona
Nathanaeli, akamwambia, Tumemwona
yeye aliyeandikiwa na Musa katika torati, na
manabii, Yesu, mwana wa Yusufu, mtu wa
Nazareti.
YOHANA 4:19 Yule mwanamke
akamwambia, Bwana, naona ya kuwa u
nabii!
YOHANA 4:25 Yule mwanamke
akamwambia, Najua ya kuwa yuaja Masihi,
(aitwaye Kristo); naye atakapokuja, yeye
atatufunulia mambo yote.
26 Yesu akamwambia, Mimi ninayesema nawe,
ndiye.
YOHANA 6:14 Basi watu wale, walipoiona
ishara aliyoifanya, walisema, Hakika huyu ni
nabii yule ajaye ulimwenguni.
YOHANA 7:40 Basi wengine katika
mkutano walipoyasikia maneno hayo,
walisema, Hakika huyu ndiye nabii yule.
41 Wengine walisema, Huyu ndiye Kristo.
Wengine wakasema, Je! Kristo atoka
Galilaya?
42 Andiko halikusema ya kwamba Kristo
atoka katika uzao wa Daudi, na kutoka
Bethlehemu, mji ule alioukaa Daudi?
MATENDO YA MITUME 3:22 Kwa
maana Musa kweli alisema ya kwamba,
Bwana Mungu wenu atawainulieni nabii,
katika ndugu zenu, kama mimi; msikieni
yeye katika mambo yote atakayonena nanyi.
23 Na itakuwa ya kwamba kila mtu
asiyemsikiliza nabii huyo ataangamizwa na
kutengwa na watu wake.
24 Naam, na manabii wote tangu Samweli na
wale waliokuja baada yake, wote walionena,
walihubiri habari za siku hizi.
25 Ninyi mmekuwa watoto wa manabii na wa
maagano yale, ambayo Mungu aliagana
na baba zenu, akimwambia Ibrahimu,
Katika uzao wako kabila zote za ulimwengu
zitabarikiwa.
26 Mungu, akiisha kumfufua mtumishi wake
Yesu, alimtuma kwenu ninyi kwanza, ili
kuwabarikia kwa kumwepusha kila mmoja
wenu na maovu yake.
MATENDO YA MITUME 7:37 Musa
huyo ndiye aliyewaambia Waisraeli, Bwana
Mungu wenu atawainulieni nabii, katika
ndugu zenu, kama mimi; msikieni yeye.
KUMBUKUMBU LA TORATI
72
WAEBRANIA 2:3 sisi je! Tutapataje kupona,
tusipojali wokovu mkuu namna hii?
Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha
ukathibitika kwetu na wale waliosikia;
WAEBRANIA 3:7 Kwa hiyo, kama anenavyo
Roho Mtakatifu, Leo, kama mtaisikia sauti
yake,
8 Msifanye migumu mioyo yenu, Kama wakati
wa kukasirisha, Siku ya kujaribiwa katika
jangwa,
Ona pia: Waebrania 1:1,2; Waebrania 3:2-8; Waebrania 10:26; Waebrania 12:25,26.
F11 Mateso ya Masiha.
KUMBUKUMBU LA TORATI 21:23 mzoga
wake usikae usiku kucha juu ya mti; lazima
utamzika siku iyo hiyo; kwani aliyetundikwa
amelaaniwa na Mungu; usije ukatia unajisi
katika nchi yako akupayo Bwana, Mungu
wako, iwe urithi wako.
WAGALATIA 3:13 Kristo alitukomboa katika
laana ya torati, kwa kuwa alifanywa
laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa,
Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti;
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
KUMBUKUMBU LA TORATI 33:3
Hakika awapenda hayo makabila ya watu;
Watakatifu wake wote wamo mkononi
mwako; Nao waliketi miguuni pako;
Watapokea kila mmoja katika maneno yako.
YOHANA 3:16 Kwa maana jinsi hii Mungu
aliupenda ulimwengu, hata akamtoa
Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye
asipotee, bali awe na uzima wa milele.
YOHANA 10:28 Nami nawapa uzima wa
milele; wala hawatapotea kamwe; wala
hakuna mtu atakayewapokonya katika
mkono wangu.
29 Baba yangu aliyenipa hao ni mkuu
kuliko wote; wala hakuna mtu awezaye
kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu.
YOHANA 17:12 Nilipokuwapo pamoja nao,
mimi naliwalinda kwa jina lako ulilonipa,
nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao
aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili
andiko litimie.
YOHANA 17:24 Baba, hao ulionipa nataka
wawe pamoja nami po pote nilipo, wapate
na kuutazama utukufu wangu ulionipa; kwa
maana ulinipenda kabla ya kuwekwa msingi
ulimwengu.
1 WATHESALONIKE 1: 6 Nanyi mkawa
wafuasi wetu na wa Bwana, mkiisha
kulipokea neno katika dhiki nyingi, pamoja
na furaha ya Roho Mtakatifu.
UFUNUO WA YOHANA 1:16 Naye
alikuwa na nyota saba katika mkono wake
wa kuume; na upanga mkali, wenye makali
kuwili, ukitoka katika kinywa chake; na uso
wake kama jua liking›aa kwa nguvu zake.
UFUNUO WA YOHANA 1:20 Siri ya
zile nyota saba ulizoziona katika mkono
wangu wa kuume, na ya vile vinara saba
vya dhahabu. Zile nyota saba ni malaika wa
KUMBUKUMBU LA TORATI
73
yale makanisa saba; na vile vinara saba ni
makanisa saba.
Ona pia: Kutoka 19:5,6; Kumbukumbu la Torati 7:7-10; 1 Samweli 2:9; Zaburi 31:23; Yeremia 31:3; Malaki 1:2; Luka 10:39; Yohana 17:11-15; Warumi 8:35-39; Warumi 9:11-13; Waefeso 2:4,5;
Yohana 4:19; Yuda 1:1.
KUMBUKUMBU LA TORATI
74
A03 Masiha ni wa ukoo wa Daudi.
RUTHU 4:13 Basi Boazi akamtwaa
Ruthuu, naye akawa mke wake; naye
akaingia kwake, na Bwana akamjalia
kuchukua mimba, naye akazaa mtoto wa
kiume.
14 Nao wale wanawake wakamwambia Naomi,
Na ahimidiwe Bwana, asiyekuacha leo hali
huna wa jamaa aliye karibu; jina lake huyu
na liwe kuu katika Israeli.
17 Nao wale wanawake waliokuwa jirani zake
wakampa jina, wakisema, Naomi amezaliwa
mwana; wakamwita jina lake Obedi; yeye
ndiye baba yake Yese, aliye baba yake Daudi.
21 na Salmoni akamzaa Boazi; na Boazi
akamzaa Obedi;
22 na Obedi akamzaa Yese; na Yese akamzaa
Daudi.
MATHAYO 1:5 Salmoni akamzaa Boazi kwa
Rahabu; Boazi akamzaa Obedi kwa Ruthu;
Obedi akamzaa Yese;
6 Yese akamzaa mfalme Daudi.
MATHAYO 1:15 Eliudi akamzaa Eleazari;
Eleazari akamzaa Matani; Matani akamzaa
Yakobo;
16 Yakobo akamzaa Yusufu mumewe Mariamu
aliyemzaa YESU aitwaye Kristo.
17 Basi vizazi vyote tangu Ibrahimu hata Daudi
ni vizazi kumi na vinne; na tangu Daudi
hata ule uhamisho wa Babeli ni vizazi kumi
na vinne; na tangu ule uhamisho wa Babeli
hata Kristo ni vizazi kumi na vinne.
WARUMI 11:26 Hivyo Israeli wote
wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi
atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na
maasia yake.
Ona pia: Mambo ya Walawi 25:25-29; Mambo ya Walawi 27:13-31; Ayubu 19:25; Zaburi 19:14; Zaburi 78:35; Isaya 41:14; Isaya
44:6,24; Isaya 48:17; Isaya 49:7; Isaya 54:5,8; Isaya 59:20; Isaya 60:16; Mathayo 1:1-17; Luka 3:23-38.
RUTHU
75
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
1 SAMWELI 2:10 Washindanao na Bwana
watapondwa kabisa; Toka mbinguni yeye
atawapigia radi; Bwana ataihukumu miisho
ya dunia; Naye atampa mfalme wake nguvu,
Na kuitukuza pembe ya masihi wake.
ZABURI 96:13 Mbele za Bwana, kwa maana
anakuja, Kwa maana anakuja aihukumu
nchi. Atauhukumu ulimwengu kwa haki, Na
mataifa kwa uaminifu wake.
MATHAYO 25:31 Hapo atakapokuja Mwana
wa Adamu katika utukufu wake, na malaika
watakatifu wote pamoja naye, ndipo
atakapoketi katika kiti cha utukufu wake;
32 na mataifa yote watakusanyika mbele zake;
naye atawabagua kama vile mchungaji
abaguavyo kondoo na mbuzi;
WARUMI 14:10 Lakini wewe je! Mbona
wamhukumu ndugu yako? Au wewe je!
Mbona wamdharau ndugu yako? Kwa
maana sisi sote tutasimama mbele ya kiti
cha hukumu cha Mungu.
11 Kwa kuwa imeandikwa, Kama niishivyo,
anena Bwana, kila goti litapigwa mbele
zangu; Na kila ulimi utamkiri Mungu.
12 Basi ni hivyo, kila mtu miongoni mwetu
atatoa habari zake mwenyewe mbele za
Mungu.
2 WAKORINTHO 5:10 Kwa maana
imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele
ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mtu
apokee ijara ya mambo aliyotenda kwa
mwili, kadiri alivyotenda, kwamba ni mema
au mabaya.
UFUNUO WA YOHANA 20:11 Kisha
nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe,
na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na
mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao
hapakuonekana.
12 Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo,
wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi;
na vitabu vikafunguliwa; na kitabu kingine
kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima; na
hao wafu wakahukumiwa katika mambo
hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu,
sawasawa na matendo yao.
13 Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani
yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu
waliokuwamo ndani yake. Wakahukumiwa
kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.
14 Mauti na Kuzimu zikatupwa katika lile ziwa
la moto. Hii ndiyo mauti ya pili, yaani, hilo
ziwa la moto.
15 Na iwapo mtu ye yote hakuonekana
ameandikwa katika kitabu cha uzima,
alitupwa katika lile ziwa la moto.
Ona pia: #1; #6; Zaburi 2:2; Zaburi 20:6; Zaburi 45:7; Zaburi 89:17,24; Zaburi 92:9; Mathayo 28:18; Luka 1:69; Matendo ya
Mitume 4:27; Matendo ya Mitume 10:38.
1 SAMWELI
76
A03 Masiha ni wa ukoo wa Daudi.
B01 Masiha ndiye Mwana wa Mungu.
D04 Kazi ya Masiha kama Mfalme.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
2 SAMWELI 7:12 Nawe siku zako
zitakapotimia, ukalala na baba zako,
nitainua mzao wako nyuma yako,
atakayetoka viunoni mwako, nami
nitaufanya imara ufalme wake.
13 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa jina
langu, nacho kiti cha enzi cha ufalme wake
nitakifanya imara milele.
14 Mimi nitakuwa baba yake, naye atakuwa
mwanangu; akitenda maovu nitamwadhibu
kwa fimbo ya binadamu na kwa mapigo ya
wanadamu;
15 lakini fadhili zangu hazitamwondoka, kama
vile nilivyomwondolea Sauli, niliyemwondoa
mbele yako.
16 Na nyumba yako, na ufalme wako,
vitathibitishwa milele mbele yako. Nacho kiti
chako kitafanywa imara milele.
ZABURI 89:26 Yeye ataniita, Wewe baba
yangu, Mungu wangu na mwamba wa
wokovu wangu.
27 Nami nitamjalia kuwa mzaliwa wangu wa
kwanza, Kuwa juu sana kuliko wafalme wa
dunia.
28 Hata milele nitamwekea fadhili zangu, Na
agano langu litafanyika amini kwake.
29 Wazao wake nao nitawadumisha milele, Na
kiti chake cha enzi kama siku za mbingu.
MATHAYO 3:17 na tazama, sauti kutoka
mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu,
mpendwa wangu, ninayependezwa naye.
LUKA 1:30 Malaika akamwambia,
Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata
neema kwa Mungu.
31 Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto
mwanamume; na jina lake utamwita Yesu.
32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa
Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha
enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
YOHANA 1:14 Naye Neno alifanyika mwili,
akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake,
utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa
Baba; amejaa neema na kweli.
18 Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo
wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua
cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua.
WAEBRANIA 1:1 Mungu, ambaye alisema
zamani na baba zetu katika manabii kwa
sehemu nyingi na kwa njia nyingi,
2 mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika
Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote,
tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.
3 Yeye kwa kuwa ni mng›ao wa utukufu wake
na chapa ya nafsi yake, akivichukua vyote
kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya
utakaso wa dhambi, aliketi mkono wa
kuume wa Ukuu huko juu;
4 amefanyika bora kupita malaika, kwa kadiri
jina alilolirithi lilivyo tukufu kuliko lao.
5 Kwa maana alimwambia malaika yupi
wakati wo wote, Ndiwe mwanangu, Mimi leo
nimekuzaa? Na tena, Mimi nitakuwa kwake
baba, Na yeye atakuwa kwangu mwana?
6 Hata tena, amletapo mzaliwa wa kwanza
ulimwenguni, asema, Na wamsujudu
malaika wote wa Mungu.
7 Na kwa habari za malaika asema, Afanyaye
2 SAMWELI
77
malaika zake kuwa pepo, Na watumishi
wake kuwa miali ya moto.
8 Lakini kwa habari za Mwana asema, Kiti
chako cha enzi,Mungu,ni cha milele na
milele; Na fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya
adili.
1 YOHANA 4:9 Katika hili pendo la Mungu
lilionekana kwetu, kwamba Mungu
amemtuma Mwanawe pekee ulimwenguni,
ili tupate uzima kwa yeye.
10 Hili ndilo pendo, si kwamba sisi tulimpenda
Mungu, bali kwamba yeye alitupenda sisi,
akamtuma Mwanawe kuwa kipatanisho kwa
dhambi zetu.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
Ona pia: #1; 1 Wafalme 5:5; 1 Wafalme 8:19; 1 Mambo ya Nyakati 17:11; Zaburi 72:17-19; Zaburi 89:36,37; Isaya 9:7;
Yeremia 23:5,6; Danieli 2:44; Danieli 7:14; Zekaria 6:13; Mathayo 16:18; Yohana 12:34; Matendo ya Mitume 13:34-37; 1 Petro 2:5;
Ufunuo wa Yohana 20.
E12 Masiha anatimiza sheria ya Mungu.
2 SAMWELI 22:20 Akanitoa akanipeleka panapo
nafasi; Aliniponya kwa kuwa alipendezwa
nami.
21 Bwana alinitendea sawasawa na haki yangu;
Sawasawa na usafi wa mikono yangu
akanilipa.
22 Maana nimezishika njia za Bwana, Wala
sikumwasi Mungu wangu.
23 Maana hukumu zake zote zilikuwa mbele
yangu; Na kwa habari za amri zake,
sikuziacha.
24 Nami nalikuwa mkamilifu kwake,
Nikajilinda na uovu wangu.
25 Basi Bwana amenilipa sawasawa na haki
yangu; Sawasawa na usafi wa mikono yangu
mbele zake.
ZABURI 1:2 Bali sheria ya Bwana ndiyo
impendezayo, Na sheria yake huitafakari
mchana na usiku.
ZABURI 22:8 Husema, Umtegemee
Bwana; na amponye; Na amwokoe sasa,
maana apendezwa naye.
ZABURI 40:8 Kuyafanya mapenzi yako, Ee
Mungu wangu, ndiyo furaha yangu; Naam,
sheria yako imo moyoni mwangu.
ISAYA 42:1 Tazama mtumishi wangu
nimtegemezaye; mteule wangu, ambaye
nafsi yangu imependezwa naye; nimetia
roho yangu juu yake; naye atawatolea
mataifa hukumu.
MATHAYO 3:17 na tazama, sauti kutoka
mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu,
mpendwa wangu, ninayependezwa naye.
MATHAYO 17:5 Alipokuwa katika kusema,
tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na
tazama, sauti ikatoka katika lile wingu,
ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa
wangu, ninayependezwa naye; msikieni
yeye.
YOHANA 15:10 Mkizishika amri zangu,
mtakaa katika pendo langu; kama vile mimi
nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa
katika pendo lake.
2 SAMWELI
78
YOHANA 17:4 Mimi nimekutukuza
duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa
niifanye.
5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja
nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao
pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
WARUMI 10:4 Kwa maana Kristo ni
mwisho wa sheria, ili kila aaminiye
ahesabiwe haki.
Ona pia: Zaburi 18:19-24; Zaburi 37:31; Zaburi 119:13,30,102; Yohana 8:29; Yohana 13:31,32; Warumi 3:31; Warumi 7:12;
Warumi 8:3,4; Wagalatia 3:13,21; Wagalatia 5:22,23.
B13 Mamlaka ya Masiha.
B21 Masiha ndiye Nuru.
E09 Uadilifu wa Masiha.
2 SAMWELI 23:1 Basi haya ndiyo maneno
ya mwisho ya Daudi. Daudi, mwana wa
Yese, anena, anena huyo mtu aliyeinuliwa
juu, Yeye, masihi wake Mungu wa
Yakobo,Mtungaji wa nyimbo za Israeli
mwenye kupendeza;
2 Roho ya Bwana ilinena ndani yangu, Na
neno lake likawa ulimini mwangu.
3 Mungu wa Israeli alisema, Mwamba wa
Israeli aliniambia, Atawalaye wanadamu
kwa haki, Akitawala katika kicho cha
Mungu,
4 Atakuwa kama nuru ya asubuhi jua lichapo,
Asubuhi isiyo na mawingu.
ZABURI 72:6 Atashuka kama mvua juu
ya majani yaliyokatwa, Kama manyunyu
yainyweshayo nchi.
7 Siku zake yeye, mtu mwenye haki
atasitawi, Na wingi wa amani hata mwezi
utakapokoma.
8 Na awe na enzi toka bahari hata bahari, Toka
Mto hata miisho ya dunia.
MIKA 5:2 Bali wewe, Bethlehemu
Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa
elfu za Yuda; kutoka kwako wewe atanitokea
mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli;
ambaye matokeo yake yamekuwa tangu
zamani za kale, tangu milele.
LUKA 1:76 Nawe, mtoto, utaitwa nabii
wake Aliye juu, Kwa maana utatangulia
mbele za uso wa Bwana umtengenezee njia
zake;
77 Uwajulishe watu wake wokovu, Katika
kusamehewa dhambi zao.
78 Kwa njia ya rehema za Mungu wetu,
Ambazo kwa hizo mwangaza utokao juu
umetufikia,
79 Kuwaangaza wakaao katika giza na uvuli wa
mauti, Na kuiongoza miguu yetu kwenye
njia ya amani.
YOHANA 8:12 Basi Yesu akawaambia tena
akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu,
yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe,
bali atakuwa na nuru ya uzima.
YOHANA 12:35 Basi Yesu akawaambia,
Nuru ingaliko pamoja nanyi muda kidogo.
Enendeni maadamu mnayo nuru hiyo, giza
lisije likawaweza; maana aendaye gizani
hajui aendako.
36 Maadamu mnayo nuru, iaminini nuru
hiyo, ili mpate kuwa wana wa nuru. Hayo
aliyasema Yesu, akaenda zake, akajificha
wasimwone.
UFUNUO WA YOHANA 21:23 Na mji
ule hauhitaji jua wala mwezi kuuangaza,
2 SAMWELI
79
kwa maana utukufu wa Mungu huutia nuru,
na taa yake ni Mwana-Kondoo.
Ona pia: #1; Kumbukumbu la Torati 32:4,30,31; Zaburi 2:6-8; Zaburi 72:6; Zaburi 89:35; Isaya 4:2; Isaya 60:1-3,19,20; Hosea
6:3; Mika 5:8; Yohana 1:6,7.
2 SAMWELI
80
E01 Aina ya huduma ya Masiha.
2 WAFALME 1:6 Wakamwambia, Mtu
alitokea, akaonana nasi, akatuambia,
Enendeni, rudini kwa mfalme yule
aliyewatuma, mkamwambie, Bwana asema
hivi Je! Ni kwa sababu hapana Mungu
katika Israeli, hata mnakwenda kuuliza kwa
Baal-zebubu, mungu wa Ekroni? Basi kwa
ajili ya hayo hutashuka katika kile kitanda
ulichokipanda, bali hakika utakufa.
11 Akatuma tena akida wa hamsini mwingine
pamoja na hamsini wake, wamwendee.
Akajibu, akamwambia, Ewe mtu wa Mungu,
mfalme asema, Shuka upesi.
12 Eliya akajibu, akamwambia, Ikiwa mimi ni
mtu wa Mungu, na ushuke moto kutoka
mbinguni, ukuteketeze wewe na hamsini
wako. Moto wa Mungu ukashuka kutoka
mbinguni, ukamteketeza, yeye na hamsini
wake.
LUKA 9:51 Ikawa, siku za kupaa kwake
zilipokuwa karibu kutimia, yeye aliukaza uso
wake kwenda Yerusalemu;
52 akatuma wajumbe kutangulia mbele ya uso
wake; wakaenda wakaingia katika kijiji cha
Wasamaria, ili kumtengenezea mahali.
53 Lakini wenyeji hawakumkaribisha kwa
vile alivyouelekeza uso wake kwenda
Yerusalemu.
54 Wanafunzi wake Yakobo na Yohana
walipoona hayo, walisema, Bwana, wataka
tuagize moto ushuke kutoka mbinguni,
uwaangamize; [kama Eliya naye alivyofanya]?
55 Akawageukia, akawakanya. [Akasema,
Hamjui ni roho ya namna gani mliyo nayo.]
56 Kwa maana Mwana wa Adamu hakuja
kuziangamiza roho za watu, bali kuziokoa.
Wakaondoka wakaenda mpaka kijiji kingine.
LUKA 24:47 na kwamba mataifa yote
watahubiriwa kwa jina lake habari ya
toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu
Yerusalemu.
YOHANA 3:17 Maana Mungu hakumtuma
Mwana ulimwenguni ili auhukumu
ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe
katika yeye.
YOHANA 12:47 Na mtu akiyasikia maneno
yangu, asiyashike, mimi simhukumu;
maana sikuja ili niuhukumu ulimwengu, ila
niuokoe ulimwengu.
MATENDO YA MITUME 1:8 Lakini
mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu
Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi
wangu katika Yerusalemu, na katika
Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho
wa nchi.
MATENDO YA MITUME
8:14 Na mitume waliokuwako Yerusalemu,
waliposikia ya kwamba Samaria imelikubali
neno la Mungu, wakawapelekea Petro na
Yohana;
Ona pia: Mithali 9:8; Yeremia 23:13; Mika 1:5; Mathayo 18:11; Mathayo 20:28; Luka 19:10; Yohana 4:4,9,40-42; Matendo ya
Mitume 9:31; 1 Timotheo 1:15.
2 WAFALME
81
A03 Masiha ni wa ukoo wa Daudi.
D04 Kazi ya Masiha kama Mfalme.
1 MAMBO YA NYAKATI 17:11 Hata
itakuwa, siku zako zitakapotimia, uende
na babazo, nitainua mzao wako nyuma
yako, atakayekuwa wa wana wako; nami
nitaufanya imara ufalme wake.
MATHAYO 2:1 Yesu alipozaliwa katika
Bethlehemu ya Uyahudi zamani za mfalme
Herode, tazama, mamajusi wa mashariki
walifika Yerusalemu, wakisema,
2 Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa
Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake
mashariki, nasi tumekuja kumsujudia.
MATENDO YA MITUME 13:36 Kwa
maana Daudi, akiisha kulitumikia shauri
la Mungu katika kizazi chake, alilala,
akawekwa pamoja na baba zake, akaona
uharibifu.
37 Bali huyu aliyefufuliwa na Mungu hakuona
uharibifu.
WARUMI 1:3 yaani, habari za Mwanawe,
aliyezaliwa katika ukoo wa Daudi kwa jinsi
ya mwili,
Ona pia: #1.
E17 Masiha atajenga hekalu la Mungu.
1 MAMBO YA NYAKATI 17:12 Yeye ndiye
atakayenijengea nyumba, nami nitakifanya
imara kiti cha enzi cha ufalme wake milele.
YOHANA 2:19 Yesu akajibu, akawaambia,
Livunjeni hekalu hili, nami katika siku tatu
nitalisimamisha.
20 Basi Wayahudi wakasema, Hekalu hili
lilijengwa katika muda wa miaka arobaini na
sita, nawe utalisimamisha katika siku tatu?
21 Lakini yeye alinena habari za hekalu la mwili
wake.
MATENDO YA MITUME 7:47 Lakini
Sulemani alimjengea nyumba.
48 Ila Yeye aliye juu hakai katika nyumba
zilizofanywa kwa mikono, kama vile
asemavyo nabii,
49 Mbingu ni kiti changu cha enzi, Na nchi ni
pa kuwekea miguu yangu; Ni nyumba gani
mtakayonijengea? Asema Bwana,
WAKOLOSAI 2:9 Maana katika yeye unakaa
utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya
kimwili.
Ona pia: #1; Zekaria 6:12,13.
A05 Uhusiano kati ya Masiha na Baba Yake.
1 MAMBO YA NYAKATI 17:13 Nitakuwa
baba yake, naye atakuwa mwanangu;
wala sitamwondolea fadhili zangu, kama
nilivyomwondolea yeye aliyekuwa kabla yako;
LUKA 9:35 Sauti ikatoka katika wingu,
ikisema, Huyu ni Mwanangu, mteule
wangu, msikieni yeye.
YOHANA 3:3 Yesu akajibu, akamwambia,
Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa
mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa
Mungu.
WAEBRANIA 1:5 Kwa maana alimwambia
1 MAMBO YA NYAKATI
82
malaika yupi wakati wo wote, Ndiwe
mwanangu, Mimi leo nimekuzaa? Na
tena, Mimi nitakuwa kwake baba, Na yeye
atakuwa kwangu mwana?
Ona pia: #1; Zaburi 2:7,12.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
1 MAMBO YA NYAKATI 17:14 ila
nitamstarehesha katika nyumba yangu na
katika ufalme wangu milele; na kiti chake
cha enzi kitathibitishwa milele.
LUKA 1:30 Malaika akamwambia,
Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata
neema kwa Mungu.
31 Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto
mwanamume; na jina lake utamwita Yesu.
32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa
Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha
enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
Ona pia: #1; Waebrania 3:6.
1 MAMBO YA NYAKATI
83
D08 Masiha atakuwa Dhamana.
AYUBU 17:3 Nipe rehani basi, uwe
dhamana kwa ajili yangu kwako wewe
mwenyewe; Kuna nani atakayeniwekea
dhamana?
MITHALI 11:15 Amdhaminiye mgeni hakosi
ataumia; Achukiaye mambo ya dhamana yu
salama.
MITHALI 17:18 Aliyepungukiwa na akili
hupana mkono na mtu; Na kuwa mdhamini
mbele ya mwenzake.
MITHALI 22:26 Usiwe mmoja wao wawekao
rehani; Au walio wadhamini kwa deni za
watu;
WAEBRANIA 7:22 basi kwa kadiri hii Yesu
amekuwa mdhamini wa agano lililo bora
zaidi.
Ona pia: Isaya 38:14; Yeremia 30:21,22.
D05 Masiha atakuwa Mkombozi.
E11 Masiha atapeana uzima wa milele.
G01 Kufufuka kwa Masiha kunatabiriwa.
AYUBU 19:25 Lakini mimi najua ya kuwa
Mteteaji wangu yu hai, Na ya kuwa hatimaye
atasimama juu ya nchi.
26 Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa
hivi, Lakini, pasipokuwa na mwili wangu
nitamwona Mungu;
27 Nami nitamwona mimi nafsi yangu,
Na macho yangu yatamtazama, wala si
mwingine. Mtima wangu unazimia ndani
yangu.
ISAYA 26:19 Wafu wako wataishi, maiti
zangu zitafufuka; amkeni, kaimbeni, ninyi
mnaokaa mavumbini, kwa maana umande
wako ni kama umande wa mimea, nayo
ardhi itawatoa waliokufa.
DANIELI 12:2 Tena, wengi wa hao walalao
katika mavumbi ya nchi wataamka, wengine
wapate uzima wa milele, wengine aibu na
kudharauliwa milele.
YOHANA 5:28 Msistaajabie maneno hayo;
kwa maana saa yaja, ambayo watu wote
waliomo makaburini wataisikia sauti yake.
WARUMI 8:13 kwa maana kama tukiishi
kwa kufuata mambo ya mwili, mwataka
kufa; bali kama mkiyafisha matendo ya
mwili kwa Roho, mtaishi.
1 WAKORINTHO 15:22 Kwa kuwa kama
katika Adamu wote wanakufa, kadhalika na
katika Kristo wote watahuishwa.
23 Lakini kila mmoja mahali pake; limbuko
ni Kristo; baadaye walio wake Kristo,
atakapokuja.
UFUNUO WA YOHANA 1:18 na aliye
hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama,
ni hai hata milele na milele. Nami ninazo
funguo za mauti, na za kuzimu.
Ona pia: Ayubu 33:23,24; Zaburi 19:14; Isaya 54:5; Isaya 59:20,21; Ezekieli 37:7-10; Waefeso 1:7; 2 Timotheo 4:8.
AYUBU
84
B11 Utiifu wa Masiha.
E12 Masiha anatimiza sheria ya Mungu.
G05 Masiha atapata matunda mengi.
ZABURI 1:1 Heri mtu yule asiyekwenda
Katika shauri la wasio haki; Wala
hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala
hakuketi barazani pa wenye mizaha.
2 Bali sheria ya Bwana ndiyo impendezayo, Na
sheria yake huitafakari mchana na usiku.
3 Naye atakuwa kama mti uliopandwa
Kandokando ya vijito vya maji, Uzaao
matunda yake kwa majira yake, Wala
jani lake halinyauki; Na kila alitendalo
litafanikiwa.
4 Sivyo walivyo wasio haki; Hao ni kama
makapi yapeperushwayo na upepo.
5 Kwa hiyo wasio haki hawatasimama
hukumuni, Wala wakosaji katika kusanyiko
la wenye haki.
6 Kwa kuwa Bwana anaijua njia ya wenye haki,
Bali njia ya wasio haki itapotea.
ZABURI 40:8 Kuyafanya mapenzi yako, Ee
Mungu wangu, ndiyo furaha yangu; Naam,
sheria yako imo moyoni mwangu.
ISAYA 53:11 Ataona mazao ya taabu ya
nafsi yake, na kuridhika. Kwa maarifa yake
mtumishi wangu mwenye haki Atawafanya
wengi kuwa wenye haki; Naye atayachukua
maovu yao.
YEREMIA 17:7 Amebarikiwa mtu yule
anayemtegemea Bwana, Ambaye Bwana ni
tumaini lake.
8 Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando
ya maji, Uenezao mizizi yake karibu na mto;
Hautaona hofu wakati wa hari ujapo, Bali
jani lake litakuwa bichi; Wala hautahangaika
mwaka wa uchache wa mvua, Wala
hautaacha kuzaa matunda.
YOHANA 4:34 Yesu akawaambia, Chakula
changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake
aliyenipeleka, nikaimalize kazi yake.
WARUMI 3:12 Wote wamepotoka, wameoza
wote pia; Hakuna mtenda mema, la! Hata
mmoja.
WAEBRANIA 7:26 Maana ilitupasa sisi tuwe na
kuhani mkuu wa namna hii aliye mtakatifu,
asiyekuwa na uovu, asiyekuwa na waa lo
lote, aliyetengwa na wakosaji, aliyekuwa juu
kuliko mbingu;
UFUNUO WA YOHANA 22:2 katikati
ya njia kuu yake. Na upande huu na upande
huu wa ule mto, ulikuwapo mti wa uzima,
uzaao matunda, aina kumi na mbili, wenye
kutoa matunda yake kila mwezi; na majani
ya mti huo ni ya kuwaponya mataifa.
Ona pia: Mwanzo 2:9; Kumbukumbu la Torati 11:18-20; Yoshua 1:8; Zaburi 37:30,31; Zaburi 104:34; Zaburi 112:1; Zaburi
119:11,15,16,24,47,97-99; Yeremia 31:33; Malaki 3:17,18; Warumi 7:22; Waebrania 8:10; Yohana 5:3.
F12 Masiha atapingwa.
ZABURI 2:1 Mbona mataifa wanafanya
ghasia, Na makabila wanatafakari ubatili?
LUKA 18:32 Kwa kuwa atatiwa mikononi
mwa Mataifa, atafanyiwa dhihaka; atatendwa
jeuri, na kutemewa mate;
MATENDO YA MITUME 4:24 Nao
waliposikia, wakampazia Mungu sauti zao
ZABURIEN
85
kwa moyo mmoja, wakisema, Mola, wewe
ndiwe Mungu, ndiwe uliyefanya mbingu na
nchi na bahari na vitu vyote vilivyomo;
25 nawe ulinena kwa Roho Mtakatifu kwa
kinywa cha babaetu Daudi, mtumishi wako,
Mbona mataifa wamefanya ghasia, Na
makabila wametafakari ubatili?
26 Wafalme wa dunia wamejipanga, Na wakuu
wamefanya shauri pamoja Juu ya Bwana na
juu ya Kristo wake.
27 Maana ni kweli, Herode na Pontio Pilato
pamoja na Mataifa na watu wa Israeli,
walikusanyika katika mji huu juu ya
Mtumishi wako mtakatifu Yesu, uliyemtia
mafuta,
28 ili wafanye yote ambayo mkono wako na
mashauri yako yamekusudia tangu zamani
yatokee.
UFUNUO WA YOHANA 17:14 Hawa
watafanya vita na Mwana-Kondoo, na
Mwana Kondoo atawashinda, kwa maana
Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa
Wafalme, na hao walio pamoja naye ndio
walioitwa, na wateule, na waaminifu.
Ona pia: #1; Zaburi 83:2-5; Mathayo 21:38; Yohana 11:50; Matendo ya Mitume 5:33; Matendo ya Mitume 16:22.
F12 Masiha atapingwa.
ZABURI 2:2 Wafalme wa dunia
wanajipanga, Na wakuu wanafanya shauri
pamoja, Juu ya Bwana, Na juu ya masihi
wake.
3 Na tuvipasue vifungo vyao, Na kuzitupia
mbali nasi kamba zao.
LUKA 13:31 Saa ile ile Mafarisayo kadha
wa kadha walimwendea, wakamwambia,
Toka hapa, uende mahali pengine, kwa
sababu Herode anataka kukuua.
LUKA 19:14 Lakini watu wa mji wake
walimchukia, wakatuma wajumbe kumfuata
na kusema, Hatumtaki huyu atutawale.
LUKA 23:11 Basi Herode akamfanya
duni, pamoja na askari zake, akamdhihaki,
na kumvika mavazi mazuri; kisha
akamrudisha kwa Pilato.
12 Basi siku ile ile Herode na Pilato walipatana
kwa urafiki kwa maana hapo kwanza
walikuwa na uadui wao kwa wao.
UFUNUO WA YOHANA 17:14 Hawa
watafanya vita na Mwana-Kondoo, na
Mwana Kondoo atawashinda, kwa maana
Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa
Wafalme, na hao walio pamoja naye ndio
walioitwa, na wateule, na waaminifu.
Ona pia: #1; Mathayo 2:16; Mathayo 25:59; Mathayo 27:1; Yohana 1:41; Yohana 15:23; Matendo ya Mitume 4:5-8; Matendo ya Mitume 10:38; Matendo ya Mitume 12:1-6; Waebrania 1:9; 1
Petro 2:7,8.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 2:4 Yeye aketiye mbinguni
anacheka, Bwana anawafanyia dhihaka.
5 Ndipo atakaposema nao kwa hasira yake, Na
kuwafadhaisha kwa ghadhabu yake.
6 Nami nimemweka mfalme wangu Juu ya
Sayuni, mlima wangu mtakatifu.
MATHAYO 23:33 Enyi nyoka, wana wa majoka,
mtaikimbiaje hukumu ya jehanum?
ZABURIEN
86
34 Kwa sababu hiyo, angalieni, mimi natuma
kwenu manabii na wenye hekima na
waandishi; na wengine wao ninyi mtawaua
na kuwasulibisha, na wengine wao
mtawapiga katika masinagogi yenu, na
kuwafukuza mji kwa mji;
35 hivyo ije juu yenu damu yote ya haki
iliyomwagika juu ya nchi, tangu damu ya
Habili, yule mwenye haki, hata damu ya
Zakaria bin Barakia, mliyemwua kati ya
patakatifu na madhabahu.
36 Amin, nawaambieni, Mambo hayo yote
yatakuja juu ya kizazi hiki.
MATHAYO 28:18 Yesu akaja kwao, akasema
nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote
mbinguni na duniani.
WAEFESO 1:22 akavitia vitu vyote chini ya
miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya
vitu vyote kwa ajili ya kanisa; ambalo
UFUNUO WA YOHANA 1:16 Naye
alikuwa na nyota saba katika mkono wake
wa kuume; na upanga mkali, wenye makali
kuwili, ukitoka katika kinywa chake; na uso
wake kama jua liking›aa kwa nguvu zake.
UFUNUO WA YOHANA 14:1 Kisha
nikaona, na tazama, huyo Mwana-Kondoo
amesimama juu ya mlima Sayuni, na
watu mia na arobaini na nne elfu pamoja
naye, wenye jina lake na jina la Baba yake
limeandikwa katika vipaji vya nyuso zao.
UFUNUO WA YOHANA 19:15 Na
upanga mkali hutoka kinywani mwake ili
awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga
kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga
shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira
ya Mungu Mwenyezi.
Ona pia: #1; Zaburi 11:4; Zaburi 37:13; Zaburi 50:16-22; Zaburi 59:8; Zaburi 115:3; Mithali 1:26; Isaya 40:22; Zekaria 1:15; Luka 19:27,43,44; Matendo ya Mitume 2:34-36; Matendo ya Mitume
5:30,31; Waebrania 12:22-25; Ufunuo wa Yohana 14:1; Ufunuo wa Yohana 19:15.
B01 Masiha ndiye Mwana wa Mungu.
B04 Sifa za Uungu za Masiha.
ZABURI 2:7 Nitaihubiri amri; Bwana
aliniambia, Ndiwe mwanangu, Mimi leo
nimekuzaa.
MATHAYO 3:17 na tazama, sauti kutoka
mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu,
mpendwa wangu, ninayependezwa naye.
MATHAYO 25:31 Hapo atakapokuja Mwana
wa Adamu katika utukufu wake, na malaika
watakatifu wote pamoja naye, ndipo
atakapoketi katika kiti cha utukufu wake;
MATENDO YA MITUME 13:32 Na sisi
tunawahubiri habari njema ya ahadi ile
waliyopewa mababa,
33 ya kwamba Mungu amewatimizia watoto
wetu ahadi hiyo, kwa kumfufua Yesu; kama
ilivyoandikwa katika Zaburi ya pili, Wewe
ndiwe Mwanangu, mimi leo nimekuzaa.
WARUMI 1:1 Paulo, mtumwa wa Kristo
Yesu, aliyeitwa kuwa mtume, na kutengwa
aihubiri Injili ya Mungu;
2 ambayo Mungu amekwisha kuiahidi kwa
kinywa cha manabii wake katika maandiko
matakatifu;
3 yaani, habari za Mwanawe, aliyezaliwa katika
ukoo wa Daudi kwa jinsi ya mwili,
ZABURIEN
87
4 na kudhihirishwa kwa uweza kuwa Mwana
wa Mungu, kwa jinsi ya roho ya utakatifu,
kwa ufufuo wa wafu, Yesu Kristo Bwana
wetu;
WAEBRANIA 5:5 Vivyo hivyo Kristo naye
hakujitukuza nafsi yake kufanywa kuhani
mkuu, lakini yeye aliyemwambia, Ndiwe
mwanangu, Mimi leo nimekuzaa.
6 kama asemavyo mahali pengine,
Ndiwe kuhani wa milele Kwa mfano wa
Melkizedeki.
Ona pia: Mathayo 16:16; Mathayo 17:5; Yohana 1:14,18; Warumi 1:1-4; Waebrania 1:5,6.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 2:8 Uniombe, nami nitakupa
mataifa kuwa urithi wako, Na miisho ya
dunia kuwa milki yako.
YOHANA 17:1 Maneno hayo aliyasema
Yesu; akainua macho yake kuelekea
mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha
kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako
naye akutukuze wewe;
2 kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote
wenye mwili, ili kwamba wote uliompa
awape uzima wa milele.
3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue
wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu
Kristo uliyemtuma.
4 Mimi nimekutukuza duniani, hali
nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye.
5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja
nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao
pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
WAFILIPI 2:9 Kwa hiyo tena Mungu
alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile
lipitalo kila jina;
10 ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu
vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini
ya nchi;
11 na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO
NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.
Ona pia: #1; #2; #4; Zaburi 22:17; Matendo ya Mitume 20:21; Matendo ya Mitume 26:18-20; Warumi 16:26; 1 Wathesalonike
1:9; Ufunuo wa Yohana 7:9-12; Ufunuo wa Yohana 15:4.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 2:9 Utawaponda kwa fimbo ya
chuma, Na kuwavunja kama chombo cha
mfinyanzi.
UFUNUO WA YOHANA 2:26 Na yeye
ashindaye, na kuyatunza matendo yangu
hata mwisho, nitampa mamlaka juu ya
mataifa,
27 naye atawachunga kwa fimbo ya chuma,
kama vyombo vya mfinyanzi vipondwavyo,
kama mimi nami nilivyopokea kwa Baba
yangu.
UFUNUO WA YOHANA
12:5 Naye akazaa mtoto mwanamume, yeye
atakayewachunga mataifa yote kwa fimbo ya
chuma. Na mtoto wake akanyakuliwa hata
kwa Mungu, na kwa kiti chake cha enzi.
Ona pia: #1; Zaburi 21:8,9; Zaburi 89:22; Isaya 30:14; Isaya 60:12; Danieli 2:44.
ZABURIEN
88
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 2:10 Na sasa, enyi wafalme,
fanyeni akili, Enyi waamuzi wa dunia,
mwadibiwe.
11 Mtumikieni Bwana kwa kicho, Shangilieni
kwa kutetemeka.
12 Shikeni yaliyo bora asije akafanya hasira,
Nanyi mkapotea njiani,Kwa kuwa
hasira yake itawaka upesi,Heri wote
wanaomkimbilia.
ISAYA 60:1 Ondoka, uangaze; kwa kuwa
nuru yako imekuja, Na utukufu wa Bwana
umekuzukia.
2 Maana, tazama, giza litaifunika dunia, Na
giza kuu litazifunika kabila za watu; Bali
Bwana atakuzukia wewe, Na utukufu wake
utaonekana juu yako.
3 Na mataifa wataijilia nuru yako, Na wafalme
kuujia mwanga wa kuzuka kwako.
4 Inua macho yako, utazame pande zote; Wote
wanakusanyana; wanakujia wewe; Wana
wako watakuja kutoka mbali. Na binti zako
watabebwa nyongani.
5 Ndipo utakapoona na kutiwa nuru, Na moyo
wako utatetemeka na kukunjuka; Kwa kuwa
wingi wa bahari utageuzwa kukujia, Utajiri
wa mataifa utakuwasilia.
YOHANA 5:23 ili watu wote wamheshimu
Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba.
Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba
aliyempeleka.
2 WATHESALONIKE 1:8 katika mwali
wa moto; huku akiwalipiza kisasi wao
wasiomjua Mungu, na wao wasioitii Injili ya
Bwana wetu Yesu;
9 watakaoadhibiwa kwa maangamizi ya milele,
kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa
nguvu zake;
UFUNUO WA YOHANA 19:11 Kisha
nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama,
farasi mweupe, na yeye aliyempanda,
aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa
haki ahukumu na kufanya vita.
12 Na macho yake yalikuwa kama mwali wa
moto, na juu ya kichwa chake vilemba vingi;
naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila
yeye mwenyewe.
13 Naye amevikwa vazi lililochovywa katika
damu, na jina lake aitwa, Neno la Mungu.
14 Na majeshi yaliyo mbinguni wakamfuata,
wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani
nzuri, nyeupe, safi.
15 Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili
awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga
kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga
shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira
ya Mungu Mwenyezi.
16 Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake
na paja lake, MFALME WA WAFALME, NA
Bwana WA MABwana.
Ona pia: #1; #2; Zaburi 40:4; Zaburi 84:12; Zaburi 146:3-5; Mithali 16:20; Yeremia 17:7; Warumi 10:11; Waebrania 1:5;
Waebrania 12:22-25,28,29; 1 Petro 2:6; 1 Petro 1:21.
E25 asiha ataaminiwa na kusifiwa.
ZABURI 8:1 Wewe, MUNGU, Bwana
wetu Jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani
mwote! Wewe umeuweka utukufu wako
mbinguni;
2 Vinywani mwa watoto wachanga na
wanyonyao Umeiweka misingi ya nguvu;
Kwa sababu yao wanaoshindana nawe;
ZABURIEN
89
Uwakomeshe adui na mijilipiza kisasi.
MATHAYO 11:25 Wakati ule Yesu akajibu,
akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana
wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo
haya uliwaficha wenye hekima na akili,
ukawafunulia watoto wachanga.
MATHAYO 21:15 Lakini wakuu wa makuhani
na waandishi walipoyaona maajabu
aliyoyafanya, na watoto waliopaza sauti zao
hekaluni, wakisema, Hosana, Mwana wa
Daudi! Walikasirika,
16 wakamwambia, Wasikia hawa wasemavyo?
Yesu akawaambia, Naam; hamkupata
kusoma, Kwa vinywa vya watoto wachanga
na wanyonyao umekamilisha sifa?
Ona pia: Luka 10:21; 1 Wakorintho 1:27.
B07 Uweza wa Yote wa Masiha.
ZABURI 8:6 Umemtawaza juu ya kazi za
mikono yako; Umevitia vitu vyote chini ya
miguu yake.
WAEFESO 1:22 akavitia vitu vyote chini ya
miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya
vitu vyote kwa ajili ya kanisa; ambalo
Ona pia: Mathayo 28:18; Waebrania 1:2; Waebrania 2:8.
A05 Uhusiano kati ya Masiha na Baba Yake.
F01 Kifo cha Masiha kinatabiriwa.
G01 Kufufuka kwa Masiha kunatabiriwa.
ZABURI 16:8 Nimemweka Bwana mbele
yangu daima, Kwa kuwa yuko kuumeni
kwangu, sitaondoshwa.
9 Kwa hiyo moyo wangu unafurahi, Nao
utukufu wangu unashangilia, Naam, mwili
wangu nao utakaa kwa kutumaini.
10 Maana hutakuachia kuzimu nafsi yangu,
Wala hutamtoa mtakatifu wako aone
uharibifu.
11 Utanijulisha njia ya uzima; Mbele za uso
wako ziko furaha tele; Na katika mkono
wako wa kuume Mna mema ya milele.
ZABURI 49:15 Bali Mungu atanikomboa
nafsi yangu, Atanitoa mkononi mwa
kuzimu, maana atanikaribisha.
ZABURI 71:20 Wewe, uliyetuonyesha
mateso mengi, mabaya, Utatuhuisha tena.
Utatupandisha juu tena Tokea pande za
chini ya nchi.
ISAYA 25:8 Amemeza mauti hata milele;
na Bwana MUNGU atafuta machozi katika
nyuso zote; na aibu ya watu wake ataiondoa
katika ulimwengu wote; maana Bwana
amenena hayo.
MATENDO YA MITUME 2:25 Maana
Daudi ataja habari zake, Nalimwona Bwana
mbele yangu siku zote, Kwa kuwa yuko
upande wa mkono wangu wa kuume,
nisitikisike.
26 Kwa hiyo moyo wangu ukapendezewa, ulimi
wangu ukafurahi; Tena mwili wangu nao
utakaa katika matumaini.
ZABURIEN
90
27 Kwa maana hutaiacha roho yangu katika
kuzimu; Wala hutamtoa Mtakatifu wako
aone uharibifu.
28 Umenijuvisha njia za uzima; Utanijaza
furaha kwa uso wako.
29 Waume, ndugu zangu, mniwie radhi,
niseme kwa ujasiri mbele yenu habari za
baba yetu mkuu, Daudi, ya kuwa alifariki
akazikwa, na kaburi lake liko kwetu hata leo.
30 Basi kwa kuwa ni nabii, akijua ya kuwa
Mungu amemwapia kwa kiapo, ya kwamba
katika uzao wa viuno vyake atamketisha
mmoja katika kiti chake cha enzi;
31 yeye mwenyewe akitangulia kuyaona haya,
alitaja habari za kufufuka kwake Kristo, ya
kwamba roho yake haikuachwa kuzimu,
wala mwili wake haukuona uharibifu.
MATENDO YA MITUME 13:33 ya
kwamba Mungu amewatimizia watoto
wetu ahadi hiyo, kwa kumfufua Yesu; kama
ilivyoandikwa katika Zaburi ya pili, Wewe
ndiwe Mwanangu, mimi leo nimekuzaa.
34 Tena ya kuwa alimfufua katika wafu, asipate
kurudia uharibifu, amenena hivi, Nitawapa
ninyi mambo matakatifu ya Daudi yaliyo
amini.
35 Kwa hiyo anena na pengine, Hutamwachia
Mtakatifu wako kuona uharibifu,
36 Kwa maana Daudi, akiisha kulitumikia
shauri la Mungu katika kizazi chake, alilala,
akawekwa pamoja na baba zake, akaona
uharibifu.
37 Bali huyu aliyefufuliwa na Mungu hakuona
uharibifu.
UFUNUO WA YOHANA 1:18 na aliye
hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama,
ni hai hata milele na milele. Nami ninazo
funguo za mauti, na za kuzimu.
Ona pia: Zaburi 30:3; Zaburi 86:13; Isaya 26:19; Hosea 6:2; Hosea 13:14; Mathayo 27:52,53; Yohana 8:51-55; Matendo ya
Mitume 3:14,15; 1 Wakorintho 15:20,26,42,54,55.
B18 Utakatifu, uzuri na utukufu wa Masiha.
ZABURI 17:15 Bali mimi nikutazame uso
wako katika haki, Niamkapo nishibishwe
kwa sura yako.
MATHAYO 25:31 Hapo atakapokuja Mwana
wa Adamu katika utukufu wake, na malaika
watakatifu wote pamoja naye, ndipo
atakapoketi katika kiti cha utukufu wake;
LUKA 9:26 Kwa sababu kila
atakayenionea haya mimi na maneno yangu,
Mwana wa Adamu atamwonea haya mtu
huyo, atakapokuja katika utukufu wake na
wa Baba na wa malaika watakatifu.
LUKA 9:32 Petro na wale waliokuwa
pamoja naye walikuwa wamelemewa na
usingizi; lakini walipokwisha amka waliuona
utukufu wake, na wale wawili waliosimama
pamoja naye.
33 Ikawa hao walipokuwa wakijitenga naye,
Petro alimwambia Yesu, Bwana mkubwa, ni
vizuri sisi kuwapo hapa; na tufanye vibanda
vitatu; kimoja chako wewe, na kimoja
cha Musa, na kimoja cha Eliya; hali hajui
asemalo.
YOHANA 1:14 Naye Neno alifanyika mwili,
akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake,
utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa
Baba; amejaa neema na kweli.
YOHANA 11:40 Yesu akamwambia, Mimi
sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona
ZABURIEN
91
utukufu wa Mungu?
YOHANA 17:22 Nami utukufu ule ulionipa
nimewapa wao; ili wawe na umoja kama sisi
tulivyo umoja.
23 Mimi ndani yao, nawe ndani yangu, ili wawe
wamekamilika katika umoja; ili ulimwengu
ujue ya kuwa ndiwe uliyenituma,
ukawapenda wao kama ulivyonipenda mimi.
24 Baba, hao ulionipa nataka wawe pamoja
nami po pote nilipo, wapate na kuutazama
utukufu wangu ulionipa; kwa maana
ulinipenda kabla ya kuwekwa msingi
ulimwengu.
MATENDO YA MITUME 7:55 Lakini
yeye akijaa Roho Mtakatifu, akakaza macho
yake, akitazama mbinguni, akauona utukufu
wa Mungu, na Yesu akisimama upande wa
mkono wa kuume wa Mungu.
WARUMI 8:18 Kwa maana nayahesabu
mateso ya wakati huu wa sasa kuwa si kitu
kama utukufu ule utakaofunuliwa kwetu.
1 WAKORINTHO 13:12 Maana wakati wa
sasa tunaona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo;
wakati ule tutaona uso kwa uso; wakati wa
sasa nafahamu kwa sehemu; wakati ule
nitajua sana kama mimi nami ninavyojuliwa
sana.
2 WAKORINTHO 3:18 Lakini sisi sote,
kwa uso usiotiwa utaji, tukiurudisha
utukufu wa Bwana, kama vile katika kioo,
tunabadilishwa tufanane na mfano uo huo,
toka utukufu hata utukufu, kama vile kwa
utukufu utokao kwa Bwana, aliye Roho.
1 YOHANA 3:2 Wapenzi, sasa tu wana
wa Mungu, wala haijadhihirika bado
tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa
atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa
maana tutamwona kama alivyo.
Ona pia: Zaburi 104:31; Zaburi 138:5; Isaya 6:1-5; Isaya 24:14; Isaya 35:2; Isaya 40:5; Isaya 60:1; Isaya 61:6; Ezekieli 3:23;
Ezekieli 10:4; Habakuki 2:14; Mathayo 8:38; Mathayo 19:28; Marko 8:38; Marko 13:26; Luka 19:38; Yohana 12:41.
F11 Mateso ya Masiha.
ZABURI 18:4 Kamba za mauti
zilinizunguka, Mafuriko ya uovu yakanitia
hofu.
5 Kamba za kuzimu zilinizunguka, Mitego ya
mauti ikanikabili.
6 Katika shida yangu nalimwita Bwana, Na
kumlalamikia Mungu wangu. Akaisikia
sauti yangu hekaluni mwake, Kilio changu
kikaingia masikioni mwake.
ZABURI 88:6 Mimi umenilaza katika
shimo la chini, Katika mahali penye giza
vilindini.
7 Ghadhabu yako imenilemea, Umenitesa kwa
mawimbi yako yote.
ZABURI 116:3 Kamba za mauti
zilinizunguka, Shida za kuzimu zilinipata.
Naliona taabu na huzuni;
MARKO 14:33 Akamtwaa Petro na Yakobo
na Yohana pamoja naye, akaanza kufadhaika
sana na kuhangaika.
34 Akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi
kiasi cha kufa; kaeni hapa mkeshe.
35 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka
kifudifudi, akiomba ya kuwa, ikiwezekana,
saa hiyo imwepuke.
ZABURIEN
92
36 Akasema, Aba, Baba, yote yawezekana
kwako; uniondolee kikombe hiki; walakini,
si kama nitakavyo mimi, bali utakavyo wewe.
LUKA 22:44 Naye kwa vile alivyokuwa
katika dhiki, akazidi sana kuomba; hari yake
ikawa kama matone ya damu yakidondoka
nchini.]
WAEBRANIA 5:7 Yeye, siku hizo za mwili
wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa
na kumtoa katika mauti, maombi na
dua pamoja na kulia sana na machozi,
akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha
Mungu;
B11 Utiifu wa Masiha.
ZABURI 18:21 Maana nimezishika njia za
Bwana, Wala sikumwasi Mungu wangu.
22 Hukumu zake zote zilikuwa mbele yangu,
Wala amri zake sikujiepusha nazo.
23 Nami nalikuwa mkamilifu mbele zake,
Nikajilinda na uovu wangu.
24 Mradi Bwana amenilipa sawasawa na haki
yangu, Sawasawa na usafi wa mikono yangu
mbele zake.
LUKA 23:4 Pilato akawaambia wakuu
wa makuhani na makutano, Sioni neno lililo
ovu katika mtu huyu.
LUKA 23:14 akawaambia, Mtu huyu
mmemleta kwangu kana kwamba
anapotosha watu; nami, tazama, nimeamua
mambo yake mbele yenu, ila sikuona
kwake kosa lo lote katika mambo hayo
mliyomshitaki;
LUKA 23:22 Akawaambia mara ya tatu,
Kwa sababu gani? Huyu ametenda uovu
gani? Sikuona kwake hata neno lipasalo
kufa. Basi nikiisha kumrudi nitamfungua.
WAEBRANIA 7:26 Maana ilitupasa sisi tuwe na
kuhani mkuu wa namna hii aliye mtakatifu,
asiyekuwa na uovu, asiyekuwa na waa lo
lote, aliyetengwa na wakosaji, aliyekuwa juu
kuliko mbingu;
Ona pia: Kutoka 23:21; Zaburi 1:2; Zaburi 37:31; Zaburi 40:8; Zaburi 119:1,44,51,97,102; Yeremia 31:33; Ezekieli 36:27; Yohana
18:38; Yohana 19:4,6.
A05 Uhusiano kati ya Masiha na Baba Yake.
E13 Mungu anathibitisha huduma ya Masiha.
ZABURI 20:4 Akujalie kwa kadiri ya haja
ya moyo wako, Na kuyatimiza mashauri yako
yote.
5 Na tuushangilie wokovu wako, Kwa jina la
Mungu wetu tuzitweke bendera zetu. Bwana
akutimizie matakwa yako yote.
6 Sasa najua kuwa Bwana amwokoa masihi
wake;Atamjibu kutoka mbingu zake takatifu.
ZABURI 132:17 Hapo nitamchipushia Daudi
pembe, Na taa nimemtengenezea masihi
wangu.
18 Adui zake nitawavika aibu, Bali juu yake taji
yake itasitawi.
YOHANA 11:42 Nami nalijua ya kuwa
wewe wanisikia sikuzote; lakini kwa ajili
ya mkutano huu wanaohudhuria nalisema
haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe
uliyenituma.
YOHANA 17:1 Maneno hayo aliyasema
ZABURIEN
93
Yesu; akainua macho yake kuelekea
mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha
kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako
naye akutukuze wewe;
2 kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote
wenye mwili, ili kwamba wote uliompa
awape uzima wa milele.
3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue
wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu
Kristo uliyemtuma.
4 Mimi nimekutukuza duniani, hali
nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye.
5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja
nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao
pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
MATENDO YA MITUME 2:36 Basi
nyumba yote ya Israeli na wajue yakini ya
kwamba Mungu amemfanya Yesu huyo
mliyemsulibisha kuwa Bwana na Kristo.
MATENDO YA MITUME 5:31 Mtu huyo
Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa
kuume, awe Mkuu na Mwokozi, awape
Waisraeli toba na msamaha wa dhambi.
WAEBRANIA 5:7 Yeye, siku hizo za mwili
wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa
na kumtoa katika mauti, maombi na
dua pamoja na kulia sana na machozi,
akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha
Mungu;
Ona pia: Zaburi 13:5; Zaburi 18:35,50; Zaburi 28:8; Isaya 57:15; Mathayo 6:9; Yohana 9:31; Matendo ya Mitume 2:33.
A04 Masiha amekuwepo tangu milele.
ZABURI 21:4 Alikuomba uhai, ukampa,
Muda mrefu wa siku nyingi, milele na
milele.
ISAYA 53:10 Lakini Bwana aliridhika
kumchubua; Amemhuzunisha;
Utakapofanya nafsi yake kuwa dhabihu kwa
dhambi, Ataona uzao wake, ataishi siku
nyingi, Na mapenzi ya Bwana yatafanikiwa
mkononi mwake;
MATHAYO 28:5 Malaika akajibu, akawaambia
wale wanawake, Msiogope ninyi; kwa
maana najua ya kuwa mnamtafuta Yesu
aliyesulibiwa.
6 Hayupo hapa; kwani amefufuka kama
alivyosema. Njoni, mpatazame mahali
alipolazwa.
YOHANA 11:25 Yesu akamwambia,
Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye
aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa
anaishi;
UFUNUO WA YOHANA 1:18 na aliye
hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama,
ni hai hata milele na milele. Nami ninazo
funguo za mauti, na za kuzimu.
Ona pia: Zaburi 16:10,11; Zaburi 91:16.
ZABURIEN
94
B14 Masiha anatambulisha utukufu wa Mungu
B18 Utakatifu, uzuri na utukufu wa Masiha.
ZABURI 21:5 Utukufu wake ni mkuu kwa
wokovu wako, Heshima na adhama waweka
juu yake.
YOHANA 13:31 Basi huyo alipokwisha
kutoka, Yesu alisema, Sasa ametukuzwa
Mwana wa Adamu, naye Mungu
ametukuzwa ndani yake.
32 Mungu naye atamtukuza ndani ya nafsi
yake; naye atamtukuza mara.
YOHANA 17:1 Maneno hayo aliyasema
Yesu; akainua macho yake kuelekea
mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha
kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako
naye akutukuze wewe;
2 kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote
wenye mwili, ili kwamba wote uliompa
awape uzima wa milele.
3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue
wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu
Kristo uliyemtuma.
4 Mimi nimekutukuza duniani, hali
nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye.
5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja
nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao
pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
WAFILIPI 2:9 Kwa hiyo tena Mungu
alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile
lipitalo kila jina;
10 ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu
vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini
ya nchi;
11 na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO
NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.
WAEBRANIA 8:1 Basi, katika hayo
tunayosema, neno lililo kuu ndilo hili:
Tunaye kuhani mkuu wa namna hii,
aliyeketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi
cha Ukuu mbinguni,
UFUNUO WA YOHANA 5:13 Na kila
kiumbe kilichoko mbinguni na juu ya nchi
na chini ya nchi ya juu ya bahari, na vitu
vyote vilivyomo ndani yake, nalivisikia,
vikisema, Baraka na heshima na utukufu
na uweza una yeye aketiye juu ya kiti cha
enzi, na yeye Mwana-Kondoo, hata milele na
milele.
Ona pia: #2; Mathayo 28:18; Yohana 17:22; Waefeso 1:20-22; 1 Petro 3:22.
E16 Masiha atabariki watu Wake.
ZABURI 21:6 Maana umemfanya kuwa
baraka za milele, Wamfurahisha kwa furaha
ya uso wako.
7 Kwa kuwa mfalme humtumaini Bwana, Na
kwa fadhili zake Aliye juu hataondoshwa.
MATENDO YA MITUME 3:26
Mungu, akiisha kumfufua mtumishi wake
Yesu, alimtuma kwenu ninyi kwanza, ili
kuwabarikia kwa kumwepusha kila mmoja
wenu na maovu yake.
WAGALATIA 3:9 Basi hao walio wa imani
hubarikiwa pamoja na Ibrahimu aliyekuwa
mwenye imani.
WAGALATIA 3:14 ili kwamba baraka ya
Ibrahimu iwafikilie Mataifa katika Yesu
Kristo, tupate kupokea ahadi ya Roho kwa
ZABURIEN
95
njia ya imani.
WAEFESO 1:3 Atukuzwe Mungu, Baba wa
Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa
baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa
roho, ndani yake Kristo;
WAEBRANIA 2:13 Na tena, Nitakuwa
nimemtumaini yeye. Na tena, Tazama,mimi
nipo hapa na watoto niliopewa na Mungu.
Ona pia: #1; Mwanzo 12:2; Zaburi 16:8,11; Zaburi 18:2; Zaburi 63:2-5; Zaburi 91:2,9.
F01 Kifo cha Masiha kinatabiriwa.
F08 Maelezo ya kifo cha Masiha.
ZABURI 22:1 Mungu wangu, Mungu
wangu, Mbona umeniacha? Mbona U mbali
na wokovu wangu, Na maneno ya kuugua
kwangu?
2 Ee Mungu wangu, nalia mchana lakini
hujibu Na wakati wa usiku lakini sipati raha.
MATHAYO 27:45 Basi tangu saa sita palikuwa
na giza juu ya nchi yote hata saa tisa.
46 Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti
yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama
sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu
wangu, mbona umeniacha?
LUKA 22:41 Mwenyewe akajitenga nao
kama kiasi cha kutupa jiwe, akapiga magoti
akaomba,
42 akisema, Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako,
uniondolee kikombe hiki; walakini si
mapenzi yangu, bali yako yatendeke.
43 Malaika kutoka mbinguni akamtokea
akamtia nguvu.
44 Naye kwa vile alivyokuwa katika dhiki,
akazidi sana kuomba; hari yake ikawa kama
matone ya damu yakidondoka nchini.]
45 Alipoondoka katika kuomba kwake, akawajia
wanafunzi wake, akawakuta wamelala
usingizi kwa huzuni.
46 Akawaambia, Mbona mmelala usingizi?
Ondokeni, mkaombe, msije mkaingia
majaribuni.
WAEBRANIA 5:7 Yeye, siku hizo za mwili
wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa
na kumtoa katika mauti, maombi na
dua pamoja na kulia sana na machozi,
akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha
Mungu;
Ona pia: Zaburi 22:11; Zaburi 32:3,4; Zaburi 38:8; Mathayo 26:39; Marko 15:34; Luka 24:44.
F08 Maelezo ya kifo cha Masiha.
ZABURI 22:6 Lakini mimi ni mdudu wala
si mtu, Laumu ya wanadamu na mzaha wa
watu.
ISAYA 53:3 Alidharauliwa na kukataliwa
na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye
sikitiko; Na kama mtu ambaye watu
humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala
hatukumhesabu kuwa kitu.
MATHAYO 12:24 Lakini Mafarisayo
waliposikia, walisema, Huyu hatoi pepo, ila
kwa Beelzebuli mkuu wa pepo.
MATHAYO 27:28 Wakamvua nguo, wakamvika
vazi jekundu.
ZABURIEN
96
MARKO 9:12 Akajibu akawaambia, Ni
kweli Eliya yuaja kwanza, na kurejeza upya
yote; lakini, pamoja na haya, ameandikiwaje
Mwana wa Adamu ya kwamba atateswa
mengi na kudharauliwa?
LUKA 23:38 Na juu yake palikuwa na
anwani; HUYU NDIYE MFALME WA
WAYAHUDI.
39 Na mmoja wa wale wahalifu waliotungikwa
alimtukana, akisema, Je! Wewe si Kristo?
Jiokoe nafsi yako na sisi.
YOHANA 7:20 Mkutano wakajibu, Ama!
Una pepo! Ni nani anayetafuta kukuua?
YOHANA 7:47 Basi Mafarisayo wakawajibu,
Je! Ninyi nanyi mmedanganyika?
48 Ni nani katika wakuu amwaminiye, au
katika Mafarisayo?
49 Lakini makutano hawa wasioifahamu torati
wamelaaniwa.
Ona pia: Zaburi 31:11; Zaburi 44:13; Zaburi 69:7-12,19,20; Zaburi 88:8; Zaburi 89:41; Zaburi 109:25; Isaya 37:22; Isaya
49:7; Maombolezo 3:30; Waebrania 13:12.
F08 Maelezo ya kifo cha Masiha.
ZABURI 22:7 Wote wanionao hunicheka
sana, Hunifyonya, wakitikisa vichwa vyao;
MATHAYO 27:29 Wakasokota taji ya miiba,
wakaiweka juu ya kichwa chake, na mwanzi
katika mkono wake wa kuume; wakapiga
magoti mbele yake, wakamdhihaki,
wakisema, Salamu, Mfalme wa Wayahudi!
MATHAYO 27:39 Nao waliokuwa wakipita
njiani wakamtukana, wakitikisa-tikisa
vichwa vyao, wakisema,
40 Ewe mwenye kulivunja hekalu na kulijenga
kwa siku tatu, jiokoe nafsi yako; ukiwa ndiwe
Mwana wa Mungu, shuka msalabani.
LUKA 16:14 Basi Mafarisayo, ambao
wenyewe ni wapenda fedha, waliyasikia hayo
yote, wakamdhihaki.
LUKA 23:11 Basi Herode akamfanya
duni, pamoja na askari zake, akamdhihaki,
na kumvika mavazi mazuri; kisha
akamrudisha kwa Pilato.
LUKA 23:35 Watu wakasimama
wakitazama. Wale wakuu nao walikuwa
wakimfanyia mzaha, wakisema, Aliokoa
wengine; na ajiokoe mwenyewe, kama ndiye
Kristo wa Mungu, mteule wake.
36 Wale askari nao wakamfanyia dhihaka,
wakimwendea na kumletea siki,
Ona pia: Zaburi 109:25; Isaya 37:22,23; Isaya 57:4; Marko 15:20,29; Luka 23:21-23.
F08 Maelezo ya kifo cha Masiha.
ZABURI 22:8 Husema, Umtegemee
Bwana; na amponye; Na amwokoe sasa,
maana apendezwa naye.
MATHAYO 27:41 Kadhalika na wale wakuu
wa makuhani wakamdhihaki pamoja na
waandishi na wazee, wakisema, Aliokoa
wengine, hawezi kujiokoa mwenyewe.
42 Yeye ni mfalme wa Israeli; na ashuke sasa
msalabani, nasi tutamwamini.
43 Amemtegemea Mungu; na amwokoe sasa,
kama anamtaka; kwa maana alisema, Mimi
ZABURIEN
97
ni Mwana wa Mungu.
2 WAKORINTHO 13:4 Maana, alisulibiwa
katika udhaifu, lakini anaishi kwa nguvu
za Mungu. Maana sisi nasi tu dhaifu katika
yeye; lakini tutaishi pamoja naye kwa uweza
wa Mungu ulio kwenu.
Ona pia: Zaburi 42:10; Marko 15:30-32; Luka 23:35.
F08 Maelezo ya kifo cha Masiha.
ZABURI 22:9 Naam, Wewe ndiwe
uliyenitoa tumboni, Ulinitumainisha
matitini mwa mama yangu.
10 Kwako nalitupwa tangu tumboni, Toka
tumboni mwa mamangu ndiwe Mungu
wangu.
LUKA 2:40 Yule mtoto akakua,
akaongezeka nguvu, amejaa hekima, na
neema ya Mungu ilikuwa juu yake.
UFUNUO WA YOHANA 12:4 Na
mkia wake wakokota theluthi ya nyota za
mbinguni, na kuziangusha katika nchi.
Na yule joka akasimama mbele ya yule
mwanamke aliye tayari kuzaa, ili azaapo,
amle mtoto wake.
5 Naye akazaa mtoto mwanamume, yeye
atakayewachunga mataifa yote kwa fimbo ya
chuma. Na mtoto wake akanyakuliwa hata
kwa Mungu, na kwa kiti chake cha enzi.
Ona pia: Zaburi 71:6,17; Isaya 7:14,15; Isaya 49:1,2; Luka 1:30-33; Luka 2:52.
F08 Maelezo ya kifo cha Masiha.
ZABURI 22:11 Usiwe mbali nami maana
taabu i karibu, Kwa maana hakuna msaidizi.
MATHAYO 26:31 Ndipo Yesu akawaambia,
Ninyi nyote mtachukizwa kwa ajili
yangu usiku huu kwa kuwa imeandikwa,
Nitampiga mchungaji, na kondoo wa kundi
watatawanyika.
MATHAYO 26:56 Lakini haya yote yamekuwa,
ili maandiko ya manabii yatimizwe. Ndipo
wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.
MATHAYO 26:72 Akakana tena kwa kiapo,
Simjui mtu huyu.
73 Punde kidogo, wale waliohudhuria
wakamwendea, wakamwambia Petro,
Hakika wewe nawe u mmoja wao; kwa
sababu hata usemi wako wakutambulisha.
74 Ndipo akaanza kulaani na kuapa akisema,
Simjui mtu huyu. Na mara akawika jogoo.
YOHANA 16:32 Tazama, saa yaja, naam,
imekwisha kuja, ambapo mtatawanyika kila
mmoja kwao kwao, na kuniacha mimi peke
yangu; walakini mimi si peke yangu, kwa
kuwa Baba yupo pamoja nami.
Ona pia: Zaburi 10:1; Zaburi 38:21; Zaburi 59:1,2; Zaburi 71:12; Mathayo 26:31-56.
F08 Maelezo ya kifo cha Masiha.
ZABURI 22:12 Mafahali wengi
wamenizunguka, Walio hodari wa Bashani
wamenisonga;
13 Wananifumbulia vinywa vyao, Kama simba
ZABURIEN
98
apapuraye na kunguruma.
MATHAYO 26:3 Wakati ule wakuu
wa makuhani, na wazee wa watu,
wakakusanyika katika behewa ya Kuhani
Mkuu, jina lake Kayafa;
4 wakafanya shauri pamoja, ili wamkamate
Yesu kwa hila na kumwua.
MATHAYO 26:59 Basi wakuu wa makuhani na
baraza yote wakatafuta ushuhuda wa uongo
juu ya Yesu, wapate kumwua;
60 wasiuone wangawa walitokea mashahidi wa
uongo wengi.
61 Hata baadaye wawili wakatokea, wakasema,
Huyu alisema, Naweza kulivunja hekalu la
Mungu, na kulijenga kwa siku tatu.
62 Kisha Kuhani Mkuu akasimama
akamwambia, Hujibu neno? Hawa
wanakushuhudia nini?
63 Lakini, Yesu akanyamaza. Kuhani Mkuu
akamwambia, Nakuapisha kwa Mungu aliye
hai, utuambie kama wewe ndiwe Kristo,
Mwana wa Mungu.
64 Yesu akamwambia, Wewe umesema; lakini
nawaambieni, Tangu sasa mtamwona
Mwana wa Adamu ameketi mkono wa
kuume wa nguvu, akija juu ya mawingu ya
mbinguni.
65 Ndipo Kuhani Mkuu akararua mavazi yake,
akisema, Amekufuru; mna haja gani tena ya
mashahidi? Tazameni, sasa mmesikia hiyo
kufuru yake;
MATHAYO 27:1 Na ilipokuwa asubuhi,
wakuu wa makuhani wote na wazee wa
watu wakafanya shauri juu ya Yesu, wapate
kumwua;
MATENDO YA MITUME 4:27 Maana ni
kweli, Herode na Pontio Pilato pamoja na
Mataifa na watu wa Israeli, walikusanyika
katika mji huu juu ya Mtumishi wako
mtakatifu Yesu, uliyemtia mafuta,
F08 Maelezo ya kifo cha Masiha.
ZABURI 22:14 Nimemwagika kama maji,
Mifupa yangu yote imeteguka, Moyo wangu
umekuwa kama nta, Na kuyeyuka ndani ya
mtima wangu.
MATHAYO 26:38 Ndipo akawaambia, Roho
yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa;
kaeni hapa, mkeshe pamoja nami.
LUKA 22:44 Naye kwa vile alivyokuwa
katika dhiki, akazidi sana kuomba; hari yake
ikawa kama matone ya damu yakidondoka
nchini.]
YOHANA 12:27 Sasa roho yangu
imefadhaika; nami nisemeje? Baba, uniokoe
katika saa hii? Lakini ni kwa ajili ya hayo
nilivyoifikia saa hii.
YOHANA 19:32 Basi askari wakaenda,
wakamvunja miguu wa kwanza, na wa pili,
aliyesulibiwa pamoja naye.
33 Lakini walipomjia Yesu na kuona ya kuwa
amekwisha kufa, hawakumvunja miguu;
34 lakini askari mmojawapo alimchoma ubavu
kwa mkuki; na mara ikatoka damu na maji.
35 Naye aliyeona ameshuhudia, na ushuhuda
wake ni kweli; naye anajua ya kuwa anasema
kweli ili ninyi nanyi mpate kusadiki.
36 Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie,
Hapana mfupa wake utakaovunjwa.
ZABURIEN
99
37 Na tena andiko lingine lanena,
Watamtazama yeye waliyemchoma.
Ona pia: Marko 14:33,34.
F08 Maelezo ya kifo cha Masiha.
ZABURI 22:15 Nguvu zangu zimekauka
kama gae, Ulimi wangu waambatana na taya
zangu; Unaniweka katika mavumbi ya mauti
MATHAYO 27:50 Naye Yesu akiisha kupaza
sauti tena kwa nguvu, akaitoa roho yake.
YOHANA 19:28 Baada ya hayo Yesu, hali
akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizika
ili andiko litimizwe, akasema, Naona kiu.
29 Kulikuwako huko chombo kimejaa siki; basi
wakatia sifongo iliyojaa siki juu ya ufito wa
hisopo, wakampelekea kinywani.
30 Basi Yesu alipokwisha kuipokea ile siki,
alisema, Imekwisha. Akainama kichwa,
akaisalimu roho yake.
1 WAKORINTHO 15:3 Kwa maana
naliwatolea ninyi hapo mwanzo yale
niliyoyapokea mimi mwenyewe, ya kuwa
Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama
yanenavyo maandiko;
Ona pia: Zaburi 32:3,4; Zaburi 69:3,21; Isaya 53:12; Waebrania 2:14; Waebrania 9:14.
F08 Maelezo ya kifo cha Masiha.
ZABURI 22:16 Kwa maana mbwa
wamenizunguka; Kusanyiko la waovu
wamenisonga; Wamenizua mikono na miguu.
MARKO 15:16 Nao askari wakamchukua
ndani ya behewa, ndiyo Praitorio (yaani,
nyumba ya uliwali), wakakusanya pamoja
kikosi kizima.
17 Wakamvika vazi la rangi ya zambarau,
wakasokota taji ya miiba, wakamtia
kichwani;
18 wakaanza kumsalimu, Salamu, Mfalme wa
Wayahudi!
19 Wakampiga mwanzi wa kichwa,
wakamtemea mate, wakapiga magoti,
wakamsujudia.
20 Hata wakiisha kumdhihaki, wakamvua
lile vazi la rangi ya zambarau, wakamvika
mavazi yake mwenyewe; wakamchukua nje
ili wamsulibishe.
LUKA 11:53 Alipotoka humo, waandishi
na Mafarisayo walianza kumsonga vibaya, na
kumchokoza kwa maswali mengi,
54 wakimvizia, ili wapate neno litokalo
kinywani mwake.
LUKA 23:10 Wakuu wa makuhani na
waandishi wakasimama wakamshitaki kwa
nguvu sana.
11 Basi Herode akamfanya duni, pamoja na
askari zake, akamdhihaki, na kumvika
mavazi mazuri; kisha akamrudisha kwa
Pilato.
LUKA 23:23 Lakini wakatoa sauti zao kwa
nguvu sana, wakitaka asulibiwe. Sauti zao
zikashinda.
YOHANA 19:37 Na tena andiko lingine
lanena, Watamtazama yeye waliyemchoma.
YOHANA 20:25 Basi wanafunzi wengine
wakamwambia, Tumemwona Bwana.
ZABURIEN
100
Akawaambia, Mimi nisipoziona mikononi
mwake kovu za misumari, na kutia kidole
changu katika mahali pa misumari, na kutia
mkono wangu katika ubavu wake, mimi
sisadiki hata kidogo.
YOHANA 20:27 Kisha akamwambia Tomaso,
Lete hapa kidole chako; uitazame mikono
yangu; ulete na mkono wako uutie ubavuni
mwangu, wala usiwe asiyeamini, bali
aaminiye.
Ona pia: Zaburi 40:6; Zaburi 86:14; Zekaria 12:10; Mathayo 27:41-43; Marko 15:29-32; Luka 23:35; Ufunuo wa Yohana 22:15.
F08 Maelezo ya kifo cha Masiha.
ZABURI 22:17 Naweza kuihesabu mifupa
yangu yote; Wao wananitazama na
kunikodolea macho.
MARKO 15:29 Nao waliokuwa wakipita
njiani wakamtukana, wakitikisa-tikisa
vichwa, wakisema, Ahaa! Wewe mwenye
kulivunja hekalu na kulijenga katika siku
tatu,
30 jiponye nafsi yako, ushuke msalabani.
31 Kadhalika na wakuu wa makuhani
wakamdhihaki wao kwa wao, pamoja na
waandishi, wakisema, Aliponya wengine;
hawezi kujiponya mwenyewe.
32 Kristo, mfalme wa Israeli, na ashuke sasa
msalabani tupate kuona na kuamini.
Hata wale waliosulibiwa pamoja naye
wakamfyolea.
LUKA 23:27 Mkutano mkubwa wa watu
wakamfuata, na wanawake waliokuwa
wakijipiga vifua na kumwombolezea.
YOHANA 19:32 Basi askari wakaenda,
wakamvunja miguu wa kwanza, na wa pili,
aliyesulibiwa pamoja naye.
Ona pia: Zaburi 102:3-5; Isaya 52:14; Mathayo 27:39-41.
F08 Maelezo ya kifo cha Masiha.
ZABURI 22:18 Wanagawanya nguo zangu,
Na vazi langu wanalipigia kura.
YOHANA 19:23 Nao askari walipomsulibisha
Yesu, waliyatwaa mavazi yake, wakafanya
mafungu manne, kwa kila askari fungu lake;
na kanzu nayo. Basi kanzu ile haikushonwa,
ilikuwa imefumwa yote pia tangu juu.
24 Basi wakaambiana, Tusiipasue, lakini
tuipigie kura, iwe ya nani. Ili litimie andiko
lile linenalo, Waligawanya nguo zangu, Na
vazi langu wakalipigia kura. Basi ndivyo
walivyofanya wale askari.
Ona pia: Mathayo 27:35; Marko 15:24; Luka 23:34.
E25 asiha ataaminiwa na kusifiwa.
ZABURI 22:22 Nitalihubiri jina lako
kwa ndugu zangu, Katikati ya kusanyiko
nitakusifu.
WAEBRANIA 2:11 Maana yeye atakasaye na hao
wanaotakaswa wote pia watoka kwa mmoja.
Kwa ajili hii haoni haya kuwaita ndugu zake;
12 akisema, Nitalihubiri jina lako kwa ndugu
zangu; Katikati ya kanisa nitakuimbia sifa.
Ona pia: Zaburi 40:9,10; Mathayo 28:10; Yohana 20:17; Warumi 8:29.
ZABURIEN
101
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 22:23 Ninyi mnaomcha Bwana,
msifuni, Enyi nyote mlio wazao wa Yakobo,
mtukuzeni, Mcheni, enyi nyote mlio wazao
wa Israeli.
ZABURI 22:25-27
ZABURI 22:27 Miisho yote ya dunia
itakumbuka, Na watu watamrejea Bwana;
Jamaa zote za mataifa watamsujudia.
28 Maana ufalme una Bwana, Naye ndiye
awatawalaye mataifa.
29 Wakwasi wote wa dunia watakula na
kusujudu, Humwinamia wote washukao
mavumbini; Naam, yeye asiyeweza
kujihuisha nafsi yake,
30 Wazao wake watamtumikia. Zitasimuliwa
habari za Bwana, Kwa kizazi kitakachokuja,
31 Nao watawahubiri watakaozaliwa haki yake,
Ya kwamba ndiye aliyeyafanya.
MATHAYO 3:9 wala msiwaze mioyoni
mwenu kwamba, Tunaye baba, ndiye
Ibrahimu; kwa maana nawaambia ya
kwamba Mungu aweza katika mawe haya
kumwinulia Ibrahimu watoto.
YOHANA 10:16 Na kondoo wengine ninao,
ambao si wa zizi hili; na hao nao imenipasa
kuwaleta; na sauti yangu wataisikia; kisha
kutakuwako kundi moja na mchungaji
mmoja.
YOHANA 11:25 Yesu akamwambia,
Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye
aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa
anaishi;
26 naye kila aishiye na kuniamini hatakufa
kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?
WARUMI 1:17 Kwa maana haki ya Mungu
inadhihirishwa ndani yake, toka imani hata
imani; kama ilivyoandikwa, Mwenye haki
ataishi kwa imani.
2 WAKORINTHO 5:21 Yeye asiyejua
dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili
yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu
katika Yeye.
WAGALATIA 3:26 Kwa kuwa ninyi nyote
mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya
imani katika Kristo Yesu.
27 Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo
mmemvaa Kristo.
28 Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana
mtumwa wala huru. Hapana mtu mume
wala mtu mke. Maana ninyi nyote
mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu.
29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa
uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na
ahadi.
WAFILIPI 2:10 ili kwa jina la Yesu kila
goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya
duniani, na vya chini ya nchi;
WAEBRANIA 1:8 Lakini kwa habari za Mwana
asema, Kiti chako cha enzi,Mungu,ni cha
milele na milele; Na fimbo ya ufalme wako
ni fimbo ya adili.
9 Umependa haki, umechukia maasi; Kwa
hiyo Mungu, Mungu wako, amekutia
mafuta, Mafuta ya shangwe kupita wenzio.
WAEBRANIA 2:10 Kwa kuwa ilimpasa yeye,
ambaye kwa ajili yake na kwa njia yake
vitu vyote vimekuwapo, akileta wana wengi
waufikilie utukufu, kumkamilisha kiongozi
mkuu wa wokovu wao kwa njia ya mateso.
ZABURIEN
102
11 Maana yeye atakasaye na hao wanaotakaswa
wote pia watoka kwa mmoja. Kwa ajili hii
haoni haya kuwaita ndugu zake;
12 akisema, Nitalihubiri jina lako kwa ndugu
zangu; Katikati ya kanisa nitakuimbia sifa.
13 Na tena, Nitakuwa nimemtumaini yeye. Na
tena, Tazama,mimi nipo hapa na watoto
niliopewa na Mungu.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
Ona pia: #1; #2; #4; Zaburi 49:6-8; Isaya 45:23; Isaya 53:10; Yohana 3:36; Warumi 3:21-25; Warumi 5:19-21; Warumi 14:10-12;
1 Petro 2:9.
B06 Masiha ndiye Mchungaji mwema.
ZABURI 23:1 Bwana ndiye mchungaji
wangu, Sitapungukiwa na kitu.
2 Katika malisho ya majani mabichi hunilaza,
Kando ya maji ya utulivu huniongoza.
3 Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza
Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.
4 Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa
mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe
upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo
yako vyanifariji.
5 Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa
watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani
pangu, Na kikombe changu kinafurika.
6 Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote
za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani
mwa Bwana milele.
YOHANA 10:11 Mimi ndimi mchungaji
mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai
wake kwa ajili ya kondoo.
YOHANA 10:14 Mimi ndimi mchungaji
mwema; nao walio wangu nawajua; nao
walio wangu wanijua mimi;
YOHANA 10:27 Kondoo wangu waisikia sauti
yangu; nami nawajua, nao wanifuata.
28 Nami nawapa uzima wa milele; wala
hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu
atakayewapokonya katika mkono wangu.
29 Baba yangu aliyenipa hao ni mkuu
kuliko wote; wala hakuna mtu awezaye
kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu.
30 Mimi na Baba tu umoja.
WAEBRANIA 13:20 Basi, Mungu wa
amani aliyemleta tena kutoka kwa wafu
Mchungaji Mkuu wa kondoo, kwa damu ya
agano la milele, yeye Bwana wetu Yesu,
1 PETRO 2:25 Kwa maana mlikuwa
mnapotea kama kondoo; lakini sasa
mmemrudia Mchungaji na Mwangalizi wa
roho zenu.
1 PETRO 5:4 Na Mchungaji mkuu
atakapodhihirishwa, mtaipokea taji ya
utukufu, ile isiyokauka.
UFUNUO WA YOHANA 7:17 Kwa
maana huyo Mwana-Kondoo, aliye katikati
ya kiti cha enzi, atawachunga, naye
atawaongoza kwenye chemchemi za maji
yenye uhai, na Mungu atayafuta machozi
yote katika macho yao.
Ona pia: Zaburi 80:1; Isaya 40:11; Isaya 53:11; Ezekieli 34:11,12,23,24; Ezekieli 37:24; Mika 5:5; Zekaria 13:7.
ZABURIEN
103
G02 Kupaa mbinguni kwa Masiha
kunatabiriwa.
ZABURI 24:3 Ni nani atakayepanda katika
mlima wa Bwana? Ni nani atakayesimama
katika patakatifu pake?
MATENDO YA MITUME 1:10
Walipokuwa wakikaza macho mbinguni,
yeye alipokuwa akienda zake, tazama, watu
wawili wakasimama karibu nao, wenye nguo
nyeupe,
11 wakasema, Enyi watu wa Galilaya, mbona
mmesimama mkitazama mbinguni?
Huyu Yesu aliyechukuliwa kutoka kwenu
kwenda juu mbinguni, atakuja jinsi iyo hiyo
mlivyomwona akienda zake mbinguni.
12 Kisha wakarudi kwenda Yerusalemu kutoka
mlima ulioitwa wa Mizeituni, ulio karibu na
Yerusalemu, wapata mwendo wa sabato.
Ona pia: Zaburi 15:1; Zaburi 68:18; Yohana 20:17.
B04 Sifa za Uungu za Masiha.
G02 Kupaa mbinguni kwa Masiha
kunatabiriwa.
ZABURI 24:7 Inueni vichwa vyenu, enyi
malango, Inukeni, enyi malango ya milele,
Mfalme wa utukufu apate kuingia.
8 Ni nani Mfalme wa utukufu? Bwana
mwenye nguvu, hodari, Bwana hodari wa
vita.
9 Inueni vichwa vyenu, enyi malango, Naam,
viinueni, enyi malango ya milele, Mfalme wa
utukufu apate kuingia.
10 Ni nani huyu Mfalme wa utukufu? Bwana
wa majeshi, Yeye ndiye Mfalme wa utukufu.
MARKO 16:19 Basi Bwana Yesu, baada ya
kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni,
akaketi mkono wa kuume wa Mungu.
LUKA 24:51 Ikawa katika kuwabariki,
alijitenga nao; akachukuliwa juu mbinguni.
MATENDO YA MITUME 1:10
Walipokuwa wakikaza macho mbinguni,
yeye alipokuwa akienda zake, tazama, watu
wawili wakasimama karibu nao, wenye nguo
nyeupe,
11 wakasema, Enyi watu wa Galilaya, mbona
mmesimama mkitazama mbinguni?
Huyu Yesu aliyechukuliwa kutoka kwenu
kwenda juu mbinguni, atakuja jinsi iyo hiyo
mlivyomwona akienda zake mbinguni.
MATENDO YA MITUME 7:55 Lakini
yeye akijaa Roho Mtakatifu, akakaza macho
yake, akitazama mbinguni, akauona utukufu
wa Mungu, na Yesu akisimama upande wa
mkono wa kuume wa Mungu.
WAEFESO 1:20 aliotenda katika Kristo
alipomfufua katika wafu, akamweka mkono
wake wa kuume katika ulimwengu wa roho;
WAEBRANIA 9:24 Kwa sababu Kristo hakuingia
katika patakatifu palipofanyika kwa mikono,
ndio mfano wa patakatifu halisi; bali aliingia
mbinguni hasa, aonekane sasa usoni pa
Mungu kwa ajili yetu;
1 PETRO 3:22 Naye yupo mkono wa kuume
wa Mungu, amekwenda zake mbinguni,
malaika na enzi na nguvu zikiisha kutiishwa
chini yake.
UFUNUO WA YOHANA 22:14 Heri
ZABURIEN
104
wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea
huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa
milango yake.
Ona pia: #1; Zaburi 18:19; Zaburi 118:19,20; Isaya 26:2; Yeremia 17:25; Danieli 7:13,14; Zaburi 45:2-5; Isaya 9:7; Isaya 63:1-6; Wakolosai 2:15; Ufunuo wa Yohana 6:2; Ufunuo wa Yohana
19:11-21; Isaya 6:3; Isaya 54:5.
F11 Mateso ya Masiha.
ZABURI 27:2 Watenda mabaya
waliponikaribia, Wanile nyama yangu,
Watesi wangu na adui zangu, Walijikwaa
wakaanguka.
YOHANA 18:3 Basi Yuda, akiisha kupokea
kikosi cha askari na watumishi waliotoka
kwa wakuu wa makuhani na Mafarisayo,
akaenda huko na taa na mienge na silaha.
4 Basi Yesu, hali akijua yote yatakayompata,
akatokea, akawaambia, Ni nani
mnayemtafuta?
5 Wao wakamjibu, Ni Yesu Mnazareti.
Yesu akawaambia, Ni mimi. Yuda naye
aliyemsaliti alikuwa amesimama pamoja
nao.
6 Basi alipowaambia, Ni mimi, walirudi
nyuma, wakaanguka chini.
F07 Masihtaka na majaribu ya Masiha.
ZABURI 27:12 Usinitie katika nia ya
watesi wangu; Maana mashahidi wa uongo
wameniondokea, Nao watoao jeuri kama
pumzi.
MATHAYO 26:59 Basi wakuu wa makuhani na
baraza yote wakatafuta ushuhuda wa uongo
juu ya Yesu, wapate kumwua;
60 wasiuone wangawa walitokea mashahidi wa
uongo wengi.
A05 Uhusiano kati ya Masiha na Baba Yake.
ZABURI 28:8 Bwana ni nguvu za watu
wake, Naye ni ngome ya wokovu kwa masihi
wake.
ZABURI 80:17 Mkono wako na uwe juu
yake Mtu wa mkono wako wa kuume; Juu ya
mwanadamu uliyemfanya Kuwa imara kwa
nafsi yako;
ZABURI 89:20 Nimemwona Daudi,
mtumishi wangu, Nimempaka mafuta
yangu matakatifu.
21 Ambaye mkono wangu utakuwa thabiti
kwake, Na mkono wangu utamtia nguvu.
22 Adui hatamwonea, Wala mwana wa uovu
hatamtesa.
LUKA 22:41 Mwenyewe akajitenga nao
kama kiasi cha kutupa jiwe, akapiga magoti
akaomba,
42 akisema, Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako,
uniondolee kikombe hiki; walakini si
mapenzi yangu, bali yako yatendeke.
43 Malaika kutoka mbinguni akamtokea
akamtia nguvu.
YOHANA 8:28 Basi Yesu akawaambia,
Mtakapokuwa mmekwisha kumwinua
Mwana wa Adamu, ndipo mtakapofahamu
ya kuwa mimi ndiye; na ya kuwa sifanyi
ZABURIEN
105
neno kwa nafsi yangu, ila kama Baba
alivyonifundisha ndivyo ninenavyo.
29 Naye aliyenipeleka yu pamoja nami,
hakuniacha peke yangu; kwa sababu nafanya
sikuzote yale yampendezayo.
YOHANA 10:38 lakini nikizitenda, ijapokuwa
hamniamini mimi, ziaminini zile kazi;
mpate kujua na kufahamu ya kuwa Baba yu
ndani yangu, nami ni ndani ya Baba.
Ona pia: Zaburi 2:2; Zaburi 20:6; Zaburi 68:28; Isaya 61:1.
G01 Kufufuka kwa Masiha kunatabiriwa.
ZABURI 30:3 Umeniinua nafsi yangu, Ee
Bwana, kutoka kuzimu. Umenihuisha na
kunitoa Miongoni mwao washukao shimoni.
MATHAYO 28:6 Hayupo hapa; kwani
amefufuka kama alivyosema. Njoni,
mpatazame mahali alipolazwa.
7 Nanyi nendeni upesi, mkawaambie
wanafunzi wake, Amefufuka katika wafu.
Tazama, awatangulia kwenda Galilaya;
ndiko mtakakomwona. Haya, nimekwisha
waambia.
MATENDO YA MITUME 2:27 Kwa
maana hutaiacha roho yangu katika kuzimu;
Wala hutamtoa Mtakatifu wako aone
uharibifu.
MATENDO YA MITUME 13:35 Kwa hiyo
anena na pengine, Hutamwachia Mtakatifu
wako kuona uharibifu,
Ona pia: Zaburi 16:10; Zaburi 49:15; Zaburi 71:20; Zaburi 86:13; Yona 2:4-6.
F10 Utayari wa Masiha kwa ajili ya kifo.
ZABURI 31:4 Utanitoa katika wavu
walionitegea kwa siri, Maana Wewe ndiwe
ngome yangu.
5 Mikononi mwako naiweka roho yangu;
Umenikomboa, Ee Bwana, Mungu wa kweli.
LUKA 23:46 Yesu akalia kwa sauti kuu,
akasema, Ee Baba, mikononi mwako
naiweka roho yangu.
Ona pia: Zaburi 22:13,17; Zaburi 25:15; Zaburi 35:7; Zaburi 57:6; Zaburi 140:5; Mathayo 27:50; Marko 15:37; Yohana 17:17; Yohana
19:30.
F11 Mateso ya Masiha.
ZABURI 31:11 Kwa sababu ya watesi wangu
nimekuwa laumu, Naam, hasa kwa jirani
zangu; Na kitu cha kutisha kwa rafiki zangu;
Walioniona njiani walinikimbia.
12 Nimesahauliwa kama mfu asiyekumbukwa;
Nimekuwa kama chombo kilichovunjika.
13 Maana nimesikia masingizio ya wengi; Hofu
ziko pande zote. Waliposhauriana juu yangu,
Walifanya hila wauondoe uhai wangu.
14 Lakini mimi nakutumaini Wewe, Bwana,
Nimesema, Wewe ndiwe Mungu wangu.
15 Nyakati zangu zimo mikononi mwako;
Uniponye na adui zangu, nao wanaonifuatia.
MATHAYO 27:39 Nao waliokuwa wakipita
njiani wakamtukana, wakitikisa-tikisa
vichwa vyao, wakisema,
40 Ewe mwenye kulivunja hekalu na kulijenga
kwa siku tatu, jiokoe nafsi yako; ukiwa ndiwe
Mwana wa Mungu, shuka msalabani.
41 Kadhalika na wale wakuu wa makuhani
wakamdhihaki pamoja na waandishi na
ZABURIEN
106
wazee, wakisema, Aliokoa wengine, hawezi
kujiokoa mwenyewe.
42 Yeye ni mfalme wa Israeli; na ashuke sasa
msalabani, nasi tutamwamini.
43 Amemtegemea Mungu; na amwokoe sasa,
kama anamtaka; kwa maana alisema, Mimi
ni Mwana wa Mungu.
44 Pia wale wanyang›anyi waliosulibiwa pamoja
naye walimshutumu vile vile.
Ona pia: Mathayo 26:3,4,59; Mathayo 27:1; Yohana 11:53.
A06 Masiha ndiye Muumbaji.
ZABURI 33:6 Kwa neno la Bwana mbingu
zilifanyika, Na jeshi lake lote kwa pumzi ya
kinywa chake.
9 Maana Yeye alisema, ikawa; Na Yeye
aliamuru, ikasimama.
YOHANA 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako
Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu,
naye Neno alikuwa Mungu.
2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye
hakikufanyika cho chote kilichofanyika.
F08 Maelezo ya kifo cha Masiha.
ZABURI 34:20 Huihifadhi mifupa yake yote,
Haukuvunjika hata mmoja.
YOHANA 19:32 Basi askari wakaenda,
wakamvunja miguu wa kwanza, na wa pili,
aliyesulibiwa pamoja naye.
33 Lakini walipomjia Yesu na kuona ya kuwa
amekwisha kufa, hawakumvunja miguu;
34 lakini askari mmojawapo alimchoma ubavu
kwa mkuki; na mara ikatoka damu na maji.
35 Naye aliyeona ameshuhudia, na ushuhuda
wake ni kweli; naye anajua ya kuwa anasema
kweli ili ninyi nanyi mpate kusadiki.
36 Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie,
Hapana mfupa wake utakaovunjwa.
37 Na tena andiko lingine lanena,
Watamtazama yeye waliyemchoma.
Ona pia: Kutoka 12:46; Hesabu 9:12; Zaburi 22:16,17; Zekaria 12:10; Ufunuo wa Yohana 1:7.
F12 Masiha atapingwa.
ZABURI 35:4 Waaibishwe,
wafedheheshwe, Wanaoitafuta nafsi yangu.
Warudishwe nyuma, wafadhaishwe,
Wanaonizulia mabaya.
5 Wawe kama makapi mbele ya upepo,
Malaika wa Bwana akiwaangusha chini.
6 Njia yao na iwe giza na utelezi, Malaika wa
Bwana akiwafuatia.
YOHANA 17:12 Nilipokuwapo pamoja nao,
mimi naliwalinda kwa jina lako ulilonipa,
nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao
aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili
andiko litimie.
YOHANA 18:4 Basi Yesu, hali akijua yote
yatakayompata, akatokea, akawaambia, Ni
nani mnayemtafuta?
5 Wao wakamjibu, Ni Yesu Mnazareti.
Yesu akawaambia, Ni mimi. Yuda naye
aliyemsaliti alikuwa amesimama pamoja
nao.
6 Basi alipowaambia, Ni mimi, walirudi
nyuma, wakaanguka chini.
ZABURIEN
107
7 Basi akawauliza tena, Mnamtafuta nani?
Wakasema, Yesu Mnazareti.
8 Yesu akajibu, Nimekwisha kuwaambieni ya
kwamba ni mimi; basi ikiwa mnanitafuta
mimi, waacheni hawa waende zao.
9 Ili litimizwe lile neno alilolisema, Wale
ulionipa sikumpoteza hata mmoja wao.
Ona pia: Ayubu 21:17,18; Zaburi 31:17,18; Zaburi 35:26; Zaburi 40:14,15; Zaburi 70:2,3; Zaburi 71:24; Hosea 13:3,4.
F07 Masihtaka na majaribu ya Masiha.
ZABURI 35:11 Mashahidi wa udhalimu
wanasimama, Wananiuliza mambo
nisiyoyajua.
12 Wananilipa mabaya badala ya mema, Hata
nafsi yangu ikaingia ukiwa.
MATHAYO 23:29 Ole wenu, waandishi na
Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnayajenga
makaburi ya manabii, na kuyapamba
maziara ya wenye haki,
30 na kusema, Kama sisi tungalikuwako
zamani za baba zetu, hatungalishirikiana
nao katika damu ya manabii.
31 Hivi mwajishuhudia wenyewe, ya kwamba
ninyi ni wana wao waliowaua manabii.
MATHAYO 26:59 Basi wakuu wa makuhani na
baraza yote wakatafuta ushuhuda wa uongo
juu ya Yesu, wapate kumwua;
60 wasiuone wangawa walitokea mashahidi wa
uongo wengi.
61 Hata baadaye wawili wakatokea, wakasema,
Huyu alisema, Naweza kulivunja hekalu la
Mungu, na kulijenga kwa siku tatu.
62 Kisha Kuhani Mkuu akasimama
akamwambia, Hujibu neno? Hawa
wanakushuhudia nini?
63 Lakini, Yesu akanyamaza. Kuhani Mkuu
akamwambia, Nakuapisha kwa Mungu aliye
hai, utuambie kama wewe ndiwe Kristo,
Mwana wa Mungu.
64 Yesu akamwambia, Wewe umesema; lakini
nawaambieni, Tangu sasa mtamwona
Mwana wa Adamu ameketi mkono wa
kuume wa nguvu, akija juu ya mawingu ya
mbinguni.
YOHANA 7:19 Je! Musa hakuwapa torati?
Wala hakuna mmoja wenu aitendaye torati.
Mbona mnatafuta kuniua?
YOHANA 8:37 Najua ya kuwa ninyi ni uzao
wa Ibrahimu lakini mnatafuta kuniua kwa
sababu neno langu halimo ndani yenu.
MATENDO YA MITUME 7:52 Ni
yupi katika manabii ambaye baba zenu
hawakumwudhi? Nao waliwaua wale
waliotabiri habari za kuja kwake yule
Mwenye Haki; ambaye ninyi sasa mmekuwa
wasaliti wake, mkamwua;
Ona pia: Zaburi 27:12; Marko 14:55-62; Matendo ya Mitume 6:13; Matendo ya Mitume 24:12,13.
F11 Mateso ya Masiha.
ZABURI 35:19 Walio adui zangu bure
wasinisimange, Wanaonichukia bila sababu
wasining›ong›e.
YOHANA 15:25 Lakini litimie lile neno
lililoandikwa katika torati yao, Walinichukia
bure.
ZABURIEN
108
Ona pia: Zaburi 38:19; Zaburi 69:4; Zaburi 109:3.
F11 Mateso ya Masiha.
ZABURI 38:12 Nao wanaoutafuta uhai
wangu hutega mitego; Nao wanaotaka
kunidhuru hunena mabaya; Na kufikiri hila
mchana kutwa.
13 Lakini kama kiziwi sisikii, Nami ni kama
bubu asiyefumbua kinywa chake.
20 Naam, wakilipa mabaya kwa mema, Huwa
adui zangu kwa kuwa nalifuata lililo jema.
ZABURI 109:3 Naam, kwa maneno ya chuki
wamenizunguka, Wamepigana nami bure.
4 Badala ya upendo wangu wao hunishitaki,
Ijapokuwa naliwaombea.
5 Wamenichukuza mabaya badala ya mema,
Na chuki badala ya upendo wangu.
LUKA 20:19 Nao waandishi na wakuu
wa makuhani walitafuta kumkamata saa iyo
hiyo, wakawaogopa watu, maana walitambua
ya kwamba mfano huu amewanenea wao.
20 Wakamvizia-vizia, wakatuma wapelelezi
waliojifanya kuwa watu wa haki, ili wamnase
katika maneno yake, wapate kumtia katika
enzi na mamlaka ya liwali.
1 PETRO 2:23 Yeye alipotukanwa,
hakurudisha matukano; alipoteswa,
hakuogofya; bali alijikabidhi kwake yeye
ahukumuye kwa haki.
Ona pia: Zaburi 35:12; Zaburi 39:9; Zaburi 119:10; Zaburi 140:5; Isaya 53:7; Yeremia 18:20.
G01 Kufufuka kwa Masiha kunatabiriwa.
ZABURI 40:2 Akanipandisha toka shimo
la uharibifu, Toka udongo wa utelezi;
Akaisimamisha miguu yangu mwambani,
Akaziimarisha hatua zangu.
3 Akatia wimbo mpya kinywani mwangu,
Ndio sifa zake Mungu wetu. Wengi wataona
na kuogopa, Nao watamtumaini Bwana
MATENDO YA MITUME 2:24 ambaye
Mungu alimfufua, akiufungua uchungu wa
mauti, kwa sababu haikuwezekana ashikwe
nao.
MATENDO YA MITUME 2:27 Kwa
maana hutaiacha roho yangu katika kuzimu;
Wala hutamtoa Mtakatifu wako aone
uharibifu.
28 Umenijuvisha njia za uzima; Utanijaza
furaha kwa uso wako.
29 Waume, ndugu zangu, mniwie radhi,
niseme kwa ujasiri mbele yenu habari za
baba yetu mkuu, Daudi, ya kuwa alifariki
akazikwa, na kaburi lake liko kwetu hata leo.
30 Basi kwa kuwa ni nabii, akijua ya kuwa
Mungu amemwapia kwa kiapo, ya kwamba
katika uzao wa viuno vyake atamketisha
mmoja katika kiti chake cha enzi;
31 yeye mwenyewe akitangulia kuyaona haya,
alitaja habari za kufufuka kwake Kristo, ya
kwamba roho yake haikuachwa kuzimu,
wala mwili wake haukuona uharibifu.
Ona pia: Zaburi 103:1-5; Isaya 12:1-4; Matendo ya Mitume 2:32-41; Matendo ya Mitume 4:4.
ZABURIEN
109
E12 Masiha anatimiza sheria ya Mungu.
ZABURI 40:6 Dhabihu na matoleo
hukupendezwa nazo, Masikio yangu
umeyazibua, Kafara na sadaka za dhambi
hukuzitaka.
ISAYA 50:5 Bwana MUNGU amenizibua
sikio langu, wala sikuwa mkaidi, wala
sikurudi nyuma.
MATHAYO 9:13 Lakini nendeni, mkajifunze
maana yake maneno haya, Nataka rehema,
wala si sadaka; kwa maana sikuja kuwaita
wenye haki, bali wenye dhambi.
WAEBRANIA 10:4 Maana haiwezekani damu ya
mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.
5 Kwa hiyo ajapo ulimwenguni, asema,
Dhabihu na toleo hukutaka, Lakini mwili
uliniwekea tayari;
6 Sadaka za kuteketezwa na sadaka za dhambi
hukupendezwa nazo;
7 Ndipo niliposema, Tazama, nimekuja (katika
gombo la chuo nimeandikiwa) Niyafanye
mapenzi yako, Mungu.
8 Hapo juu asemapo, Dhabihu na matoleo na
sadaka za kuteketezwa na hizo za dhambi
hukuzitaka, wala hukupendezwa nazo
(zitolewazo kama ilivyoamuru torati),
9 ndipo aliposema, Tazama, nimekuja
niyafanye mapenzi yako. Aondoa la kwanza,
ili kusudi alisimamishe la pili.
10 Katika mapenzi hayo mmepata utakaso, kwa
kutolewa mwili wa Yesu Kristo mara moja
tu.
11 Na kila kuhani husimama kila siku akifanya
ibada, na kutoa dhabihu zile zile mara
nyingi; ambazo haziwezi kabisa kuondoa
dhambi.
12 Lakini huyu, alipokwisha kutoa kwa ajili ya
dhambi dhabihu moja idumuyo hata milele,
aliketi mkono wa kuume wa Mungu;
Ona pia: Kutoka 21:6; Zaburi 51:16; Isaya 1:11; Yeremia 7:21-23; Hosea 6:6.
B11 Utiifu wa Masiha.
F10 Utayari wa Masiha kwa ajili ya kifo.
ZABURI 40:7 Ndipo niliposema,
Tazama nimekuja, (Katika gombo la chuo
nimeandikiwa,)
LUKA 24:27 Akaanza kutoka Musa na
manabii wote, akawaeleza katika maandiko
yote mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe.
LUKA 24:44 Kisha akawaambia, Hayo
ndiyo maneno yangu niliyowaambia
nilipokuwa nikali pamoja nanyi, ya kwamba
ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa
katika Torati ya Musa, na katika Manabii na
Zaburi.
WAEBRANIA 10:7 Ndipo niliposema,
Tazama, nimekuja (katika gombo la chuo
nimeandikiwa) Niyafanye mapenzi yako,
Mungu.
8 Hapo juu asemapo, Dhabihu na matoleo na
sadaka za kuteketezwa na hizo za dhambi
hukuzitaka, wala hukupendezwa nazo
(zitolewazo kama ilivyoamuru torati),
9 ndipo aliposema, Tazama, nimekuja
niyafanye mapenzi yako. Aondoa la kwanza,
ili kusudi alisimamishe la pili.
UFUNUO WA YOHANA 19:10 Nami
nikaanguka mbele ya miguu yake, ili
ZABURIEN
110
nimsujudie; akaniambia, Angalia, usifanye
hivi; mimi ni mjoli wako na wa ndugu zako
walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudie
Mungu. Kwa maana ushuhuda wa Yesu ndio
roho ya unabii.
Ona pia: Yohana 5:39; 1 Wakorintho 15:3,4; 1 Petro 1:10,11.
B11 Utiifu wa Masiha.
ZABURI 40:8 Kuyafanya mapenzi yako, Ee
Mungu wangu, ndiyo furaha yangu; Naam,
sheria yako imo moyoni mwangu.
YOHANA 4:34 Yesu akawaambia, Chakula
changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake
aliyenipeleka, nikaimalize kazi yake.
YOHANA 17:4 Mimi nimekutukuza
duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa
niifanye.
WAEBRANIA 5:8 na, ingawa ni Mwana,
alijifunza kutii kwa mateso hayo
yaliyompata;
Ona pia: Zaburi 37:30,31; Zaburi 119:16,24,47; Yeremia 31:33; Warumi 7:22.
E08 Haki ya Masiha.
ZABURI 40:9 Nimehubiri habari za haki
katika kusanyiko kubwa. Sikuizuia midomo
yangu; Ee Bwana, unajua.
10 Sikusitiri haki yako moyoni mwangu;
Nimetangaza uaminifu wako na wokovu
wako. Sikuficha fadhili zako wala kweli yako
Katika kusanyiko kubwa.
MARKO 16:15 Akawaambia, Enendeni
ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa
kila kiumbe.
16 Aaminiye na kubatizwa ataokoka;
asiyeamini, atahukumiwa.
LUKA 3:6 Na wote wenye mwili
watauona wokovu wa Mungu.
WARUMI 1:16 Kwa maana siionei haya
Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu
uuletao wokovu, kwa kila aaminiye, kwa
Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia.
17 Kwa maana haki ya Mungu inadhihirishwa
ndani yake, toka imani hata imani; kama
ilivyoandikwa, Mwenye haki ataishi kwa
imani.
WAFILIPI 3:9 tena nionekane katika yeye,
nisiwe na haki yangu mwenyewe ipatikanayo
kwa sheria, bali ile ipatikanayo kwa imani
iliyo katika Kristo, haki ile itokayo kwa
Mungu, kwa imani;
WAEBRANIA 2:12 akisema, Nitalihubiri jina
lako kwa ndugu zangu; Katikati ya kanisa
nitakuimbia sifa.
Ona pia: Zaburi 22:22,25; Zaburi 35:18; Zaburi 71:15-18; Zaburi 119:13; Luka 2:30-32; Luka 4:16-22; Yohana 1:17; Yohana 3:16,17; Matendo ya Mitume 20:20,21; Warumi 3:22-26; Warumi 10:9,10;
1 Timotheo 1:15.
F11 Mateso ya Masiha.
ZABURI 40:14 Waaibike, wafedheheke
pamoja, Wanaoitafuta nafsi yangu
waiangamize. Warudishwe nyuma,
watahayarishwe, Wapendezwao na shari
yangu.
ZABURIEN
111
YOHANA 18:6 Basi alipowaambia, Ni mimi,
walirudi nyuma, wakaanguka chini.
F03 Masiha atakataliwa.
F07 Masihtaka na majaribu ya Masiha.
F12 Masiha atapingwa.
ZABURI 41:5 Adui zangu wananitaja kwa
maneno mabaya, Atakufa lini, jina lake
likapotea?
6 Na mmoja wao akija kunitazama asema
uongo, Moyo wake hujikusanyia maovu,
Naye atokapo nje huyanena.
7 Wote wanaonichukia wananinong›ona,
Wananiwazia mabaya.
8 Neno la kisirani limemgandama, Na iwapo
amelala hatasimama tena.
9 Msiri wangu tena niliyemtumaini, Aliyekula
chakula changu, Ameniinulia kisigino
chake.
MATHAYO 26:20 Basi kulipokuwa jioni aliketi
chakulani pamoja na wale Thenashara.
21 Nao walipokuwa wakila, alisema, Amin,
nawaambia, Mmoja wenu atanisaliti.
22 Wakahuzunika sana, wakaanza kumwuliza
mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana?
23 Akajibu akasema, Yeye aliyetia mkono
wake pamoja nami katika kombe, ndiye
atakayenisaliti.
24 Mwana wa Adamu aenda zake, kama
alivyoandikiwa; lakini ole wake mtu yule
ambaye amsaliti Mwana wa Adamu!
Ingekuwa heri kwake mtu yule kama
asingalizaliwa.
25 Yuda, yule mwenye kumsaliti, akajibu,
akasema, Ni mimi, Rabi? Akamwambia,
Wewe umesema.
LUKA 11:53 Alipotoka humo, waandishi
na Mafarisayo walianza kumsonga vibaya, na
kumchokoza kwa maswali mengi,
54 wakimvizia, ili wapate neno litokalo
kinywani mwake.
LUKA 20:20 Wakamvizia-vizia, wakatuma
wapelelezi waliojifanya kuwa watu wa haki,
ili wamnase katika maneno yake, wapate
kumtia katika enzi na mamlaka ya liwali.
LUKA 22:47 Basi alipokuwa katika
kusema, tazama, mkutano wa watu, na yule
aitwaye Yuda, ambaye ni mmoja wa wale
Thenashara, amewatangulia. Akamkaribia
Yesu ili kumbusu.
48 Yesu akamwambia, Yuda, wamsaliti Mwana
wa Adamu kwa kumbusu?
YOHANA 13:18 Sisemi habari za ninyi nyote;
nawajua wale niliowachagua; lakini andiko
lipate kutimizwa, Aliyekula chakula changu
Ameniinulia kisigino chake.
19 Tangu sasa nawaambia kabla hayajatukia, ili
yatakapotukia mpate kuamini ya kuwa mimi
ndiye.
YOHANA 17:12 Nilipokuwapo pamoja nao,
mimi naliwalinda kwa jina lako ulilonipa,
nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao
aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili
andiko litimie.
Ona pia: Zaburi 12:2; Zaburi 22:6-8; Zaburi 102:8.
F11 Mateso ya Masiha.
ZABURI 42:7 Kilindi chapigia kelele kilindi
kwa sauti ya maboromoko ya maji yako,
ZABURIEN
112
Gharika zako zote na mawimbi yako yote
yamepita juu yangu.
ISAYA 53:5 Bali alijeruhiwa kwa makosa
yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu
ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa
kupigwa kwake sisi tumepona.
ISAYA 53:10 Lakini Bwana aliridhika
kumchubua; Amemhuzunisha;
Utakapofanya nafsi yake kuwa dhabihu kwa
dhambi, Ataona uzao wake, ataishi siku
nyingi, Na mapenzi ya Bwana yatafanikiwa
mkononi mwake;
MATHAYO 27:46 Na kama saa tisa, Yesu
akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi,
Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu,
Mungu wangu, mbona umeniacha?
LUKA 22:44 Naye kwa vile alivyokuwa
katika dhiki, akazidi sana kuomba; hari yake
ikawa kama matone ya damu yakidondoka
nchini.]
WAEBRANIA 5:7 Yeye, siku hizo za mwili
wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa
na kumtoa katika mauti, maombi na
dua pamoja na kulia sana na machozi,
akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha
Mungu;
Ona pia: Zaburi 22:1-10; Zaburi 88:7,15-17; Yona 2:3; Nahumu 1:6; Marko 15:34.
B21 Masiha ndiye Nuru.
ZABURI 43:3 Niletewe nuru yako na kweli
yako ziniongoze, Zinifikishe kwenye mlima
wako mtakatifu na hata maskani yako.
ISAYA 9:2 Watu wale waliokwenda
katika giza Wameona nuru kuu; Wale
waliokaa katika nchi ya uvuli wa mauti, Nuru
imewaangaza.
ISAYA 49:6 naam, asema hivi, Ni neno
dogo sana wewe kuwa mtumishi wangu ili
kuziinua kabila za Yakobo, na kuwarejeza
watu wa Israeli waliohifadhiwa; zaidi ya hayo
nitakutoa uwe nuru ya mataifa, upate kuwa
wokovu wangu hata miisho ya dunia.
YOHANA 1:4 Ndani yake ndimo
ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa
nuru ya watu.
YOHANA 1:14 Naye Neno alifanyika mwili,
akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake,
utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa
Baba; amejaa neema na kweli.
YOHANA 1:17 Kwa kuwa torati ilitolewa
kwa mkono wa Musa; neema na kweli
zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.
YOHANA 8:12 Basi Yesu akawaambia tena
akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu,
yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe,
bali atakuwa na nuru ya uzima.
YOHANA 9:5 Muda nilipo ulimwenguni,
mimi ni nuru ya ulimwengu.
YOHANA 12:35 Basi Yesu akawaambia,
ZABURIEN
113
Nuru ingaliko pamoja nanyi muda kidogo.
Enendeni maadamu mnayo nuru hiyo, giza
lisije likawaweza; maana aendaye gizani
hajui aendako.
36 Maadamu mnayo nuru, iaminini nuru
hiyo, ili mpate kuwa wana wa nuru. Hayo
aliyasema Yesu, akaenda zake, akajificha
wasimwone.
YOHANA 12:46 Mimi nimekuja ili niwe nuru
ya ulimwengu, ili kila mtu aniaminiye mimi
asikae gizani.
YOHANA 14:6 Yesu akamwambia, Mimi
ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa
Baba, ila kwa njia ya mimi.
YOHANA 16:13 Lakini yeye atakapokuja,
huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie
kwenye kweli yote; kwa maana hatanena
kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote
atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo
atawapasha habari yake.
1 YOHANA 1:5 Na hii ndiyo habari
tuliyoisikia kwake, na kuihubiri kwenu, ya
kwamba Mungu ni nuru, wala giza lo lote
hamna ndani yake.
Ona pia: Zaburi 36:9; Isaya 60:1,3,19,20; Yohana 15:26; Yohana 2:7-10.
B12 Ukamilifu wa Masiha.
B18 Utakatifu, uzuri na utukufu wa Masiha.
B23 Neema ya Mungu na Masiha.
ZABURI 45:1 Moyo wangu umefurika kwa
neno jema, Mimi nasema niliyomfanyizia
mfalme; Ulimi wangu ni kalamu ya
mwandishi mstadi.
2 Wewe u mzuri sana kuliko wanadamu;
Neema imemiminiwa midomoni mwako,
Kwa hiyo Mungu amekubariki hata milele.
LUKA 2:40 Yule mtoto akakua,
akaongezeka nguvu, amejaa hekima, na
neema ya Mungu ilikuwa juu yake.
LUKA 2:52 Naye Yesu akazidi kuendelea
katika hekima na kimo, akimpendeza
Mungu na wanadamu.
LUKA 4:21 Akaanza kuwaambia,
Leo maandiko haya yametimia masikioni
mwenu.
22 Wakamshuhudia wote, wakiyastaajabia
maneno ya neema yaliyotoka kinywani
mwake, wakasema, Huyu siye mwana wa
Yusufu?
YOHANA 1:14 Naye Neno alifanyika mwili,
akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake,
utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa
Baba; amejaa neema na kweli.
YOHANA 1:16 Kwa kuwa katika utimilifu
wake sisi sote tulipokea, na neema juu ya
neema.
17 Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa
Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono
wa Yesu Kristo.
MATENDO YA MITUME 15:11 Bali
twaamini kwamba tutaokoka kwa neema ya
Bwana Yesu vile vile kama wao.
WARUMI 3:24 wanahesabiwa haki bure
kwa neema yake, kwa njia ya ukombozi ulio
katika Kristo Yesu;
ZABURIEN
114
WARUMI 5:15 Lakini karama ile haikuwa
kama lile kosa; kwa maana ikiwa kwa kukosa
kwake yule mmoja wengi walikufa, zaidi
sana neema ya Mungu, na kipawa kilicho
katika neema yake mwanadamu mmoja
Yesu Kristo kimezidi kwa ajili ya wale wengi.
1 WAKORINTHO 15:10 Lakini kwa neema
ya Mungu nimekuwa hivi nilivyo; na neema
yake iliyo kwangu ilikuwa si bure, bali
nalizidi sana kufanya kazi kupita wao wote;
wala si mimi, bali ni neema ya Mungu
pamoja nami.
2 WAKORINTHO 1:15 Nami nikiwa na
tumaini hilo nalitaka kufika kwenu hapo
kwanza, ili mpate karama ya pili;
2 WAKORINTHO 12:9 Naye akaniambia,
Neema yangu yakutosha; maana uweza
wangu hutimilika katika udhaifu. Basi
nitajisifia udhaifu wangu kwa furaha nyingi,
ili uweza wa Kristo ukae juu yangu.
WAEFESO 2:8 Kwa maana mmeokolewa
kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo
haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha
Mungu;
TITO 2:11 Maana neema ya Mungu
iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa;
WAEBRANIA 2:9 ila twamwona yeye
aliyefanywa mdogo punde kuliko malaika,
yaani, Yesu, kwa sababu ya maumivu
ya mauti, amevikwa taji ya utukufu na
heshima, ili kwa neema ya Mungu aionje
mauti kwa ajili ya kila mtu.
YAKOBO 4:6 Lakini hutujalia sisi
neema iliyozidi; kwa hiyo husema, Mungu
huwapinga wajikuzao, bali huwapa neema
wanyenyekevu.
UFUNUO WA YOHANA 22:21 Neema
ya Bwana Yesu na iwe pamoja nanyi nyote.
Amina.
Ona pia: Wimbo Ulio Bora 2:3; Wimbo Ulio Bora 5:10-16; Isaya 63:9; Zekaria 9:16; Mathayo 17:2; Warumi 5:17,21;
Warumi 6:1,14,15; Warumi 11:5,6; Warumi 12:3,6; Warumi 16:20; 1 Wakorintho 3:4; 2 Wakorintho 4:15; 2 Wakorintho 8:9; 2 Wakorintho 9:8; 2 Wakorintho 13:14; Wagalatia 1:6; Wagalatia
5:4; Waefeso 1:7; Waefeso 2:5,7; Waefeso 4:7; Wafilipi 1:29; Wakolosai 1:15-18; 1 Timotheo 1:14; 2 Timotheo 2:6; Tito 3:7;
Waebrania 1:3; Waebrania 4:16; Waebrania 7:26; Waebrania 10:29; Waebrania 12:15,28; Waebrania 13:9; 1 Petro 1:10,13; 1 Petro 2:19,20; 1 Petro 5:10,12; 2 Petro 3:18; Ufunuo wa Yohana 1:13-18.
B14 Masiha anatambulisha utukufu wa Mungu
B17 Upole na udhaifu wa Masiha.
E09 Uadilifu wa Masiha.
ZABURI 45:3 Jifungie upanga wako pajani,
wewe uliye hodari, Utukufu ni wako na
fahari ni yako.
4 Katika fahari yako usitawi uendelee Kwa
ajili ya kweli na upole na haki Na mkono
wako wa kuume Utakufundisha mambo ya
kutisha.
SEFANIA 2:3 Mtafuteni Bwana, enyi
nyote mlio wanyenyekevu wa dunia, ninyi
mliozitenda hukumu zake; itafuteni haki,
utafuteni unyenyekevu; huenda mtafichwa
katika siku ya hasira ya Bwana.
MATHAYO 11:29 Jitieni nira yangu, mjifunze
kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na
mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha
nafsini mwenu;
MATHAYO 21:5 Mwambieni binti Sayuni
ZABURIEN
115
Tazama, mfalme wako anakuja kwako,
Mpole, naye amepanda punda, Na mwana-
punda, mtoto wa punda.
YOHANA 17:17 Uwatakase kwa ile kweli;
neno lako ndiyo kweli.
2 WAKORINTHO 10:1 Basi, mimi Paulo
mwenyewe nawasihi kwa upole na utaratibu
wa Kristo; mimi niliye mnyenyekevu
nikiwapo pamoja nanyi, bali nisipokuwapo
ni mwenye ujasiri kwenu;
WAGALATIA 5:22 Lakini tunda la Roho ni
upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu
wema, fadhili, uaminifu,
WAEFESO 4:2 kwa unyenyekevu wote na
upole, kwa uvumilivu, mkichukuliana katika
upendo;
WAKOLOSAI 3:12 Basi, kwa kuwa mmekuwa
wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao,
jivikeni moyo wa rehema, utu wema,
unyenyekevu, upole, uvumilivu,
1 TIMOTHEO 6:11 Bali wewe, mtu wa
Mungu, uyakimbie mambo hayo; ukafuate
haki, utauwa, imani, upendo, saburi, upole.
WAEBRANIA 4:12 Maana Neno la Mungu li
hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko
upanga uwao wote ukatao kuwili, tena
lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na
viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena
li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi
ya moyo.
UFUNUO WA YOHANA 1:16 Naye
alikuwa na nyota saba katika mkono wake
wa kuume; na upanga mkali, wenye makali
kuwili, ukitoka katika kinywa chake; na uso
wake kama jua liking›aa kwa nguvu zake.
UFUNUO WA YOHANA 19:11 Kisha
nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama,
farasi mweupe, na yeye aliyempanda,
aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa
haki ahukumu na kufanya vita.
12 Na macho yake yalikuwa kama mwali wa
moto, na juu ya kichwa chake vilemba vingi;
naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila
yeye mwenyewe.
13 Naye amevikwa vazi lililochovywa katika
damu, na jina lake aitwa, Neno la Mungu.
14 Na majeshi yaliyo mbinguni wakamfuata,
wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani
nzuri, nyeupe, safi.
15 Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili
awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga
kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga
shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira
ya Mungu Mwenyezi.
UFUNUO WA YOHANA 19:21 na wale
waliosalia waliuawa kwa upanga wake
yeye aliyeketi juu ya yule farasi, upanga
utokao katika kinywa chake. Na ndege wote
wakashiba kwa nyama zao.
Ona pia: Hesabu 12:3; Zaburi 18:35; Isaya 49:2,3; Isaya 63:1-6; 1 Wakorintho 4:21; 2 Wakorintho 6:4-7; Wagalatia 6:1; 2 Timotheo
2:25; Tito 3:2; Yakobo 1:21; 1 Petro 3:15.
B16 Uweza na nguvu ya Masiha.
ZABURI 45:5 Mishale yako ni mikali, watu
huanguka chini yako; Imo mioyoni mwa
adui za mfalme.
ZABURIEN
116
MATHAYO 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye
mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza
kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho
Mtakatifu;
MATENDO YA MITUME 4:4 Lakini
wengi katika hao waliosikia lile neno
waliamini; na hesabu ya watu waume ikawa
kama elfu tano.
2 WAKORINTHO 10:3 Maana ingawa
tunaenenda katika mwili, hatufanyi vita kwa
jinsi ya mwili;
4 (maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali
zina uwezo katika Mungu hata kuangusha
ngome;)
5 tukiangusha mawazo na kila kitu
kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya
Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate
kumtii Kristo;
WAEBRANIA 4:12 Maana Neno la Mungu li
hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko
upanga uwao wote ukatao kuwili, tena
lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na
viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena
li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi
ya moyo.
13 Wala hakuna kiumbe kisichokuwa wazi
mbele zake, lakini vitu vyote vi utupu na
kufunuliwa machoni pake yeye aliye na
mambo yetu.
Ona pia: #1; Zaburi 22:27,28; Zaburi 66:3,4; Matendo ya Mitume 5:14; Matendo ya Mitume 6:7.
B05 Masiha amejawa na Roho na Mtakatifu.
E08 Haki ya Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H04 Kiti cha enzi cha Masiha.
ZABURI 45:6 Kiti chako cha enzi, Mungu,
ni cha milele na milele, Fimbo ya ufalme
wako ni fimbo ya adili.
7 Umeipenda haki; Umeichukia dhuluma.
Kwa hiyo MUNGU, Mungu wako,
amekupaka mafuta, Mafuta ya furaha kuliko
wenzako.
MATHAYO 3:15 Yesu akajibu akamwambia,
Kubali hivi sasa; kwa kuwa ndivyo itupasavyo
kuitimiza haki yote. Basi akamkubali.
LUKA 1:32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa
Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu
atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
YOHANA 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako
Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu,
naye Neno alikuwa Mungu.
MATENDO YA MITUME 10:37 jambo lile
ninyi mmelijua, lililoenea katika Uyahudi
wote likianzia Galilaya, baada ya ubatizo
aliouhubiri Yohana;
38 habari za Yesu wa Nazareti, jinsi Mungu
alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na
nguvu naye akazunguka huko na huko,
akitenda kazi njema na kuponya wote
walioonewa na Ibilisi; kwa maana Mungu
alikuwa pamoja naye.
WAEBRANIA 1:8 Lakini kwa habari za Mwana
ZABURIEN
117
asema, Kiti chako cha enzi,Mungu,ni cha
milele na milele; Na fimbo ya ufalme wako
ni fimbo ya adili.
9 Umependa haki, umechukia maasi; Kwa
hiyo Mungu, Mungu wako, amekutia
mafuta, Mafuta ya shangwe kupita wenzio.
WAEBRANIA 7:26 Maana ilitupasa sisi tuwe na
kuhani mkuu wa namna hii aliye mtakatifu,
asiyekuwa na uovu, asiyekuwa na waa lo
lote, aliyetengwa na wakosaji, aliyekuwa juu
kuliko mbingu;
Ona pia: #1; Zaburi 33:5; Zaburi 89:29,36,37; Zaburi 93:2; Zaburi 145:13.
D04 Kazi ya Masiha kama Mfalme.
E16 Masiha atabariki watu Wake.
ZABURI 45:9 Binti za wafalme wamo
Miongoni mwa akina bibi wako wastahiki.
Mkono wako wa kuume amesimama malkia
Amevaa dhahabu ya Ofiri.
13 Binti mfalme yumo ndani ana fahari tupu,
Mavazi yake ni ya nyuzi za dhahabu.
14 Atapelekwa kwa mfalme Na mavazi
yaliyofumwa kwa uzuri. Wanawali wenzake
wanaomfuata, Watapelekwa kwako.
15 Watapelekwa kwa furaha na shangwe, Na
kuingia katika nyumba ya mfalme.
WIMBO ULIO BORA 1:4 Nivute nyuma
yako, na tukimbie; Mfalme ameniingiza
vyumbani mwake. Tutafurahi na
kukushangilia; Tutazinena pambaja zako
kuliko divai; Ndiyo, ina haki wakupende.
WIMBO ULIO BORA 2:10 Mpendwa wangu
alinena, akaniambia, Ondoka, mpenzi
wangu, mzuri wangu, uje zako,
WIMBO ULIO BORA 6:2 Mpendwa wangu
ameshukia bustani yake, Kwenye matuta
ya rihani; Ili kulisha penye bustani, Ili
kuchuma nyinyoro.
3 Mimi ni wake mpendwa wangu, naye ni
wangu, Hulisha kundi lake penye nyinyoro.
ISAYA 61:10 Nitafurahi sana katika
Bwana, nafsi yangu itashangilia katika
Mungu wangu; maana amenivika mavazi
ya wokovu, amenifunika vazi la haki, kama
bwana arusi ajipambavyo kwa kilemba cha
maua, na kama bibi arusi ajipambavyo kwa
vyombo vya dhahabu.
YOHANA 17:24 Baba, hao ulionipa nataka
wawe pamoja nami po pote nilipo, wapate
na kuutazama utukufu wangu ulionipa; kwa
maana ulinipenda kabla ya kuwekwa msingi
ulimwengu.
2 WAKORINTHO 11:2 Maana nawaonea
wivu, wivu wa Mungu; kwa kuwa
naliwaposea mume mmoja, ili nimletee
Kristo bikira safi.
1 WATHESALONIKE 4:17 Kisha sisi tulio hai,
tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika
mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na
hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.
2 WATHESALONIKE 1:10 yeye atakapokuja
ili kutukuzwa katika watakatifu wake,
na kustaajabiwa katika wote waliosadiki
katika siku ile, (kwa sababu ushuhuda wetu
ulisadikiwa kwenu).
ZABURIEN
118
1 YOHANA 3:2 Wapenzi, sasa tu wana
wa Mungu, wala haijadhihirika bado
tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa
atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa
maana tutamwona kama alivyo.
UFUNUO WA YOHANA 3:5 Yeye
ashindaye atavikwa hivyo mavazi meupe,
wala sitalifuta kamwe jina lake katika kitabu
cha uzima, nami nitalikiri jina lake mbele za
Baba yangu, na mbele ya malaika zake.
UFUNUO WA YOHANA 7:15 Kwa hiyo
wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu,
nao wanamtumikia mchana na usiku katika
hekalu lake, na yeye aketiye katika kiti cha
enzi atatanda hema yake juu yao.
16 Hawataona njaa tena, wala hawataona kiu
tena, wala jua halitawapiga, wala hari iliyo
yote.
17 Kwa maana huyo Mwana-Kondoo, aliye
katikati ya kiti cha enzi, atawachunga, naye
atawaongoza kwenye chemchemi za maji
yenye uhai, na Mungu atayafuta machozi
yote katika macho yao.
UFUNUO WA YOHANA 19:7 Na
tufurahi, tukashangilie, tukampe utukufu
wake; kwa kuwa arusi ya Mwana-Kondoo
imekuja, na mkewe amejiweka tayari.
8 Naye amepewa kuvikwa kitani nzuri,
ing›arayo, safi; kwa maana kitani nzuri hiyo
ni matendo ya haki ya watakatifu.
Ona pia: Isaya 35:10; Isaya 51:11; Isaya 55:12,13; Isaya 60:19,20; Waefeso 2:4-6.
D04 Kazi ya Masiha kama Mfalme.
E25 asiha ataaminiwa na kusifiwa.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 45:16 Badala ya baba zako
watakuwapo watoto wako, Utawafanya kuwa
wakuu katika nchi zote.
17 Jina lako nitalifanya kuwa kumbukumbu
Katika vizazi vyote. Kwa hiyo mataifa
watakushukuru Milele na milele.
MATHAYO 19:28 Yesu akawaambia, Amin,
nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata
mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi
Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu
wake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi
na viwili, mkiwahukumu kabila kumi na
mbili za Israeli.
29 Na kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu
wa kiume au wa kike, au baba, au mama,
au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina
langu, atapokea mara mia, na kuurithi
uzima wa milele.
MATHAYO 26:13 Amin, nawaambieni,
Kila patakapohubiriwa Injili hii katika
ulimwengu wote, tendo hilo alilolitenda
huyu litatajwa pia kwa kumbukumbu lake.
MATHAYO 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye
mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza
kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho
Mtakatifu;
1 PETRO 2:9 Bali ninyi ni mzao mteule,
ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa
milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili
zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie
katika nuru yake ya ajabu;
ZABURIEN
119
UFUNUO WA YOHANA 5:9 Nao
waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili
wewe kukitwaa hicho kitabu na kuzifungua
muhuri zake; kwa kuwa ulichinjwa,
ukamnunulia Mungu kwa damu yako watu
wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa,
10 ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa
Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi.
Ona pia: #1; #2; #4.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
E18 Mungu ataishi miongoni mwa watu Wake.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H05 Utukufu na nguvu za Masiha zinazokuja.
ZABURI 46:4 Kuna mto, vijito vyake
vyaufurahisha mji wa Mungu, Patakatifu pa
maskani zake Aliye juu.
5 Mungu yu katikati yake hautatetemeshwa;
Mungu atausaidia asubuhi na mapema.
6 Mataifa yalighadhibika, falme zikataharuki;
Alitoa sauti yake, nchi ikayeyuka.
7 Bwana wa majeshi yu pamoja nasi, Mungu
wa Yakobo ni ngome yetu.
8 Njoni myatazame matendo ya Bwana, Jinsi
alivyofanya ukiwa katika nchi.
9 Avikomesha vita hata mwisho wa dunia;
Avunja uta, akata mkuki, achoma moto
magari.
10 Acheni, mjue ya kuwa Mimi ni Mungu,
Nitakuzwa katika mataifa, nitakuzwa katika
nchi.
11 Bwana wa majeshi yu pamoja nasi, Mungu
wa Yakobo ni ngome yetu.
ISAYA 2:4 Naye atafanya hukumu
katika mataifa mengi, atawakemea watu wa
kabila nyingi; nao watafua panga zao ziwe
majembe, na mikuki yao iwe miundu; taifa
halitainua upanga juu ya taifa lingine, wala
hawatajifunza vita tena kamwe.
MIKA 4:3 Naye atafanya hukumu kati
ya watu wa kabila nyingi, naye atawakemea
mataifa wenye nguvu walio mbali; nao
watafua panga zao ziwe majembe, na mikuki
yao iwe miundu; taifa halitainua upanga juu
ya taifa lingine, wala hawatajifunza vita tena
kamwe.
4 Bali wataketi kila mtu chini ya mzabibu
wake, na chini ya mtini wake; wala hapana
mtu atakayewatia hofu; kwa kuwa kinywa
cha Bwana wa majeshi kimesema hivi.
ZEKARIA 2:10 Imba, ufurahi, Ee binti
Sayuni; maana, tazama, ninakuja, nami
nitakaa kati yako, asema Bwana.
YOHANA 3:14 Na kama vile Musa
alivyomwinua yule nyoka jangwani,
vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi
kuinuliwa;
YOHANA 12:32 Nami nikiinuliwa juu ya
nchi, nitawavuta wote kwangu.
YOHANA 17:1 Maneno hayo aliyasema
Yesu; akainua macho yake kuelekea
mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha
kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako
naye akutukuze wewe;
2 kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote
wenye mwili, ili kwamba wote uliompa
awape uzima wa milele.
3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue
wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu
Kristo uliyemtuma.
4 Mimi nimekutukuza duniani, hali
ZABURIEN
120
nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye.
5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja
nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao
pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
MATENDO YA MITUME 5:31 Mtu huyo
Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa
kuume, awe Mkuu na Mwokozi, awape
Waisraeli toba na msamaha wa dhambi.
UFUNUO WA YOHANA 15:3 Nao
wauimba wimbo wa Musa, mtumwa wa
Mungu, na wimbo wa Mwana-Kondoo,
wakisema, Ni makuu, na ya ajabu, matendo
yako, Ee Bwana Mungu Mwenyezi; Ni za
haki, na za kweli, njia zako, Ee Mfalme wa
mataifa.
4 Ni nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza
jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako
u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote
watakuja na kusujudu mbele zako; kwa
kuwa matendo yako ya haki yamekwisha
kufunuliwa.
Ona pia: #2, #5; Zaburi 66:7; Zaburi 83:2-4; Isaya 5:16; Isaya 8:9; Yeremia 16:19; Habakuki 2:20; Yohana 8:28; Matendo ya
Mitume 2:33; Wafilipi 2:9.
D04 Kazi ya Masiha kama Mfalme.
G02 Kupaa mbinguni kwa Masiha
kunatabiriwa.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 47:1 Enyi watu wote, pigeni
makofi, Mpigieni Mungu kelele kwa Sauti ya
shangwe.
2 Kwa kuwa Bwana Aliye juu, mwenye
kuogofya, Ndiye mfalme mkuu juu ya dunia
yote.
3 Atawatiisha watu wa nchi chini yetu, Na
mataifa chini ya miguu yetu.
4 Atatuchagulia urithi wetu, Fahari ya Yakobo
ambaye alimpenda.
5 Mungu amepaa kwa kelele za shangwe,
Bwana kwa sauti ya baragumu.
6 Mwimbieni Mungu, naam, imbeni;
Mwimbieni mfalme wetu, naam, imbeni.
7 Maana Mungu ndiye mfalme wa dunia yote,
Imbeni kwa akili.
8 Mungu awamiliki mataifa, Mungu ameketi
katika kiti chake kitakatifu.
9 Wakuu wa watu wamekusanyika, Wawe
watu wa Mungu wa Ibrahimu. Maana ngao
za dunia zina Mungu, Ametukuka sana.
LUKA 24:50 Akawaongoza mpaka
Bethania, akainua mikono yake akawabariki.
51 Ikawa katika kuwabariki, alijitenga nao;
akachukuliwa juu mbinguni.
52 Wakamwabudu; kisha wakarudi Yerusalemu
wenye furaha kuu.
53 Nao walikuwa daima ndani ya hekalu,
wakimsifu Mungu.
MATENDO YA MITUME 1:6 Basi
walipokutanika, wakamwuliza, wakisema, Je!
Bwana, wakati huu ndipo unapowarudishia
Israeli ufalme?
7 Akawaambia, Si kazi yenu kujua nyakati
wala majira, Baba aliyoyaweka katika
mamlaka yake mwenyewe.
8 Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia
juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa
mashahidi wangu katika Yerusalemu, na
katika Uyahudi wote, na Samaria, na hata
mwisho wa nchi.
9 Akiisha kusema hayo, walipokuwa
wakitazama, akainuliwa, wingu likampokea
kutoka machoni pao.
10 Walipokuwa wakikaza macho mbinguni,
ZABURIEN
121
yeye alipokuwa akienda zake, tazama, watu
wawili wakasimama karibu nao, wenye nguo
nyeupe,
11 wakasema, Enyi watu wa Galilaya, mbona
mmesimama mkitazama mbinguni?
Huyu Yesu aliyechukuliwa kutoka kwenu
kwenda juu mbinguni, atakuja jinsi iyo hiyo
mlivyomwona akienda zake mbinguni.
WAEFESO 4:8 Hivyo husema, Alipopaa juu
aliteka mateka, Akawapa wanadamu vipawa.
9 Basi neno hilo, Alipaa, maana yake nini
kama siyo kusema kwamba yeye naye
alishuka mpaka pande zilizo chini za nchi?
10 Naye aliyeshuka ndiye yeye aliyepaa juu sana
kupita mbingu zote, ili avijaze vitu vyote.
1 TIMOTHEO 3:16 Na bila shaka siri
ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa
katika mwili, Akajulika kuwa na haki
katika roho, Akaonekana na malaika,
Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa
katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika
utukufu.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
Ona pia: #1; #2; #4; #5; Kumbukumbu la Torati 33:29; Yoshua 21:44; Zaburi 18:47; Zaburi 24:7-10; Zaburi 68:17,18,24,25,33;
Ufunuo wa Yohana 20.
E14 Masiha atashinda kifo na giza.
G01 Kufufuka kwa Masiha kunatabiriwa.
ZABURI 49:15 Bali Mungu atanikomboa
nafsi yangu, Atanitoa mkononi mwa
kuzimu, maana atanikaribisha.
YOHANA 20:11 Lakini Mariamu alikuwa
akisimama karibu na kaburi, nje yake,
analia. Basi akilia hivi, aliinama na
kuchungulia ndani ya kaburi.
12 Akaona malaika wawili, wenye mavazi
meupe, wameketi, mmoja kichwani na
mmoja miguuni, hapo ulipolazwa mwili
wake Yesu.
YOHANA 20:15 Yesu akamwambia, Mama,
unalilia nini? Unamtafuta nani? Naye,
huku akidhania ya kuwa ni mtunza bustani,
akamwambia, Bwana, ikiwa umemchukua
wewe, uniambie ulipomweka, nami
nitamwondoa.
16 Yesu akamwambia, Mariamu. Yeye
akageuka, akamwambia kwa Kiebrania,
Raboni! (Yaani, Mwalimu wangu).
17 Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana
sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda
kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa
kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu,
kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.
MATENDO YA MITUME 2:27 Kwa
maana hutaiacha roho yangu katika kuzimu;
Wala hutamtoa Mtakatifu wako aone
uharibifu.
MATENDO YA MITUME 13:35 Kwa hiyo
anena na pengine, Hutamwachia Mtakatifu
wako kuona uharibifu,
ZABURIEN
122
MATENDO YA MITUME 26:23 ya
kwamba Kristo hana budi kuteswa na ya
kwamba yeye kwanza kwa kufufuliwa katika
wafu atatangaza habari za nuru kwa watu
wake na kwa watu wa Mataifa.
Ona pia: Zaburi 16:10; Zaburi 30:3; Zaburi 71:20; Zaburi 86:13; Yona 2:4-6.
H01 Kurudi kwa Masiha kunatabiriwa.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 50:2 Tokea Sayuni, ukamilifu wa
uzuri, Mungu amemulika.
3 Mungu wetu atakuja wala hatanyamaza,
Moto utakula mbele zake, na tufani yavuma
sana ikimzunguka pande zote.
4 Ataziita mbingu zilizo juu, Na nchi pia
awahukumu watu wake.
5 Nikusanyieni wacha Mungu wangu
Waliofanya agano nami kwa dhabihu.
6 Na mbingu zitatangaza haki yake, Kwa
maana Mungu ndiye aliye hakimu.
ZABURI 97:6 Mbingu zimetangaza haki
yake, Na watu wote wameuona utukufu
wake.
ISAYA 12:6 Paza sauti, piga kelele,
mwenyeji wa Sayuni; Maana Mtakatifu wa
Israeli ni mkuu kati yako.
ISAYA 33:22 Kwa maana Bwana ndiye
mwamuzi wetu; Bwana ndiye mfanya sheria
wetu; Bwana ndiye mfalme wetu; ndiye
atakayetuokoa.
MATHAYO 24:31 Naye atawatuma malaika
zake pamoja na sauti kuu ya parapanda,
nao watawakusanya wateule wake toka pepo
nne, toka mwisho huu wa mbingu mpaka
mwisho huu.
YOHANA 12:48 Yeye anikataaye mimi,
asiyeyakubali maneno yangu, anaye
amhukumuye; neno hilo nililolinena ndilo
litakalomhukumu siku ya mwisho.
MATENDO YA MITUME 17:31 Kwa
maana ameweka siku atakayowahukumu
walimwengu kwa haki, kwa mtu yule
aliyemchagua; naye amewapa watu wote
uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua
katika wafu.
WARUMI 2:5 Bali kwa kadiri ya ugumu
wako, na kwa moyo wako usio na toba,
wajiwekea akiba ya hasira kwa siku ile ya
hasira na ufunuo wa hukumu ya haki ya
Mungu,
WARUMI 2:16 katika siku ile Mungu
atakapozihukumu siri za wanadamu,
sawasawa na injili yangu, kwa Kristo Yesu.
1 WATHESALONIKE 4:16 Kwa sababu
Bwana mwenyewe atashuka kutoka
mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya
malaika mkuu, na parapanda ya Mungu;
nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa
kwanza.
17 Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa
pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki
Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja
na Bwana milele.
2 TIMOTHEO 4:1 Nakuagiza mbele za Mungu,
na mbele za Kristo Yesu, atakayewahukumu
ZABURIEN
123
walio hai na waliokufa; kwa kufunuliwa
kwake na kwa ufalme wake;
WAEBRANIA 12:22 Bali ninyi
mmeufikilia mlima Sayuni, na mji wa
Mungu aliye hai, Yerusalemu wa mbinguni,
na majeshi ya malaika elfu nyingi,
23 mkutano mkuu na kanisa la wazaliwa wa
kwanza walioandikwa mbinguni, na Mungu
mwamuzi wa watu wote, na roho za watu
wenye haki waliokamilika,
24 na Yesu mjumbe wa agano jipya, na damu
ya kunyunyizwa, inenayo mema kuliko ile ya
Habili.
25 Angalieni msimkatae yeye anenaye. Maana
ikiwa hawakuokoka wale waliomkataa
yeye aliyewaonya juu ya nchi, zaidi sana
hatutaokoka sisi tukijiepusha na yeye
atuonyaye kutoka mbinguni;
26 ambaye sauti yake iliitetemesha nchi wakati
ule; lakini sasa ameahidi akisema, Mara
moja tena nitatetemesha si nchi tu, bali na
mbingu pia.
UFUNUO WA YOHANA 15:4 Ni
nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza
jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako
u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote
watakuja na kusujudu mbele zako; kwa
kuwa matendo yako ya haki yamekwisha
kufunuliwa.
UFUNUO WA YOHANA 16:5 Nami
nikamsikia malaika wa maji akisema, Wewe
u mwenye haki, uliyeko na uliyekuwako,
Mtakatifu, kwa kuwa umehukumu hivi;
6 kwa kuwa walimwaga damu ya watakatifu na
ya manabii, nawe umewapa damu wainywe;
nao wamestahili.
7 Nikaisikia hiyo madhabahu ikisema, Naam,
Bwana Mungu Mwenyezi, ni za kweli, na za
haki, hukumu zako.
UFUNUO WA YOHANA 19:2 kwa
kuwa hukumu zake ni za kweli na za haki;
maana amemhukumu yule kahaba mkuu
aliyeiharibu nchi kwa uasherati wake,
na kuipatiliza damu ya watumwa wake
mkononi mwake.
UFUNUO WA YOHANA 22:20 Yeye
mwenye kuyashuhudia haya asema, Naam;
naja upesi. Amina; na uje, Bwana Yesu.
Ona pia: #1; #6; Mwanzo 18:25; Zaburi 7:11; Zaburi 94:2; 1 Wakorintho 6:2,3; Yakobo 5:9; 1 Petro 4:5; Ufunuo wa Yohana
11:15; Ufunuo wa Yohana 16:7; Ufunuo wa Yohana 19:2; Ufunuo wa Yohana 20.
E23 Masiha atawabadilisha watu Wake.
E27 Kutoa moyo mpya na roho mpya.
I04 Sadaka ya amaini na dhabihu ya kutoa
shukrani inawakilisha kazi ya Masiha.
ZABURI 51:17 Dhabihu za Mungu ni
roho iliyovunjika; Moyo uliovunjika na
kupondeka, Ee Mungu, hutaudharau.
ISAYA 57:15 Maana yeye aliye juu,
aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina
lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi
mahali palipoinuka, palipo patakatifu; tena
pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu
na kunyenyekea, ili kuzifufua roho za
wanyenyekevu, na kuifufua mioyo yao
waliotubu.
MATHAYO 5:3 Heri walio maskini wa roho;
Maana ufalme wa mbinguni ni wao.
ZABURIEN
124
MARKO 12:33 na kumpenda yeye kwa
moyo wote, na kwa ufahamu wote, na kwa
nguvu zote, na kumpenda jirani kama
nafsi yako, kwafaa kuliko sadaka nzima za
kuteketezwa na dhahibu zote pia.
LUKA 15:10 Nawaambia, Vivyo hivyo
kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu
kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja
atubuye.
LUKA 18:11 Yule Farisayo akasimama
akiomba hivi moyoni mwake; Ee Mungu,
nakushukuru kwa kuwa mimi si kama
watu wengine, wanyang›anyi, wadhalimu,
wazinzi, wala kama huyu mtoza ushuru.
12 Mimi nafunga mara mbili kwa juma; hutoa
zaka katika mapato yangu yote.
13 Lakini yule mtoza ushuru alisimama mbali,
wala hakuthubutu hata kuinua macho yake
mbinguni, bali alijipiga-piga kifua akisema,
Ee Mungu, uniwie radhi mimi mwenye
dhambi.
14 Nawaambia, huyu alishuka kwenda
nyumbani kwake amehesabiwa haki kuliko
yule; kwa maana kila ajikwezaye atadhiliwa,
naye ajidhiliye atakwezwa.
WARUMI 12:1 Basi, ndugu zangu,
nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni
miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu,
ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu
yenye maana.
1 PETRO 2:5 Ninyi nanyi, kama mawe
yaliyo hai, mmejengwa mwe nyumba ya
Roho, ukuhani mtakatifu, mtoe dhabihu za
roho, zinazokubaliwa na Mungu, kwa njia ya
Yesu Kristo.
Ona pia: Zaburi 22:24; Zaburi 34:18; Zaburi 102:17; Zaburi 147:3; Isaya 61:1-3; Isaya 66:2; Luka 15:2-7,21-32; Wafilipi 4:18;
Waebrania 3:16.
E26 Kazi ya ukombozi ya Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 53:6 Laiti wokovu wa Israeli
utoke katika Sayuni! MUNGU awarudishapo
wafungwa wa watu wake; Yakobo
atashangilia, Israeli atafurahi.
ISAYA 59:20 Na Mkombozi atakuja
Sayuni, kwao waachao maasi yao katika
Yakobo, asema Bwana.
MATHAYO 1:21 Naye atazaa mwana, nawe
utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye
atakayewaokoa watu wake na dhambi zao.
LUKA 1:68 Atukuzwe Bwana, Mungu wa
Israeli, Kwa kuwa amewajia watu wake, na
kuwakomboa.
LUKA 4:18 Roho wa Bwana yu juu
yangu, Kwa maana amenitia mafuta
kuwahubiri maskini habari njema.
Amenituma kuwatangazia wafungwa
kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona
tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
19 Na kutangaza mwaka wa Bwana
uliokubaliwa.
LUKA 21:28 Basi mambo hayo yaanzapo
kutokea, changamkeni, mkaviinue
vichwa vyenu, kwa kuwa ukombozi wenu
umekaribia.
WARUMI 11:26 Hivyo Israeli wote
wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi
ZABURIEN
125
atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na
maasia yake.
27 Na hili ndilo agano langu nao,
Nitakapowaondolea dhambi zao.
WAEBRANIA 9:12 wala si kwa damu ya mbuzi
na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe
aliingia mara moja tu katika Patakatifu,
akiisha kupata ukombozi wa milele.
Ona pia: #1; # 2; #3; Zaburi 14:7; Zaburi 42:11; Zaburi 43:5; Zaburi 44:4; Zaburi 74:12; Zaburi 78:35; Zaburi 111:9; Habakuki
3:13; Luka 1:71; Luka 2:38; Waefeso 1:7; Wakolosai 1:14.
F05 Masiha atasalitiwa.
F11 Mateso ya Masiha.
ZABURI 55:4 Moyo wangu unaumia ndani
yangu, Na hofu za mauti zimeniangukia.
5 Hofu na tetemeko limenijia, Na hofu kubwa
imenifunikiza.
12 Kwa maana aliyetukana si adui; Kama
ndivyo, ningevumilia. Aliyejitukuza juu
yangu siye anichukiaye; Kama ndivyo,
ningejificha asinione.
13 Bali ni wewe, mtu mwenzangu, Rafiki
yangu, niliyejuana nawe sana.
14 Tulipeana shauri tamu; na kutembea
Nyumbani mwa Mungu pamoja na
mkutano.
MATHAYO 26:31 Ndipo Yesu akawaambia,
Ninyi nyote mtachukizwa kwa ajili
yangu usiku huu kwa kuwa imeandikwa,
Nitampiga mchungaji, na kondoo wa kundi
watatawanyika.
32 Lakini baada ya kufufuka kwangu,
nitawatangulia kwenda Galilaya.
33 Petro akajibu, akamwambia,
Wajapochukizwa wote kwa ajili yako, mimi
sitachukizwa kamwe.
34 Yesu akamwambia, Amin, nakuambia wewe,
usiku huu kabla ya kuwika jogoo, utanikana
mara tatu.
35 Petro akamwambia, Ijaponipasa kufa nawe,
sitakukana kamwe. Na wanafunzi wote
wakasema vivyo hivyo.
36 Kisha Yesu akaenda pamoja nao mpaka
bustani iitwayo Gethsemane, akawaambia
wanafunzi wake, Ketini hapa, hata niende
kule nikaombe.
37 Akamchukua Petro na wale wana wawili
wa Zebedayo, akaanza kuhuzunika na
kusononeka.
38 Ndipo akawaambia, Roho yangu ina huzuni
nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa, mkeshe
pamoja nami.
YOHANA 13:21 Naye alipokwisha kusema
hayo, Yesu alifadhaika rohoni, akashuhudia
akisema, Amin, amin, nawaambieni, Mmoja
wenu atanisaliti.
YOHANA 13:27 Na baada ya hilo tonge
Shetani alimwingia. Basi Yesu akamwambia,
Uyatendayo yatende upesi.
YOHANA 13:37 Petro akamwambia, Bwana,
kwa nini mimi nisiweze kukufuata sasa?
Mimi nitautoa uhai wangu kwa ajili yako.
38 Yesu akamjibu, Je! Wewe utautoa uhai wako
kwa ajili yangu? Amin, amin, nakuambia,
Jimbi hatawika hata wewe utakapokuwa
umenikana mara tatu.
Ona pia: Zaburi 6:3; Zaburi 69:20,21; Zaburi 102:3-5; Marko 14:33,34.
ZABURIEN
126
H05 Utukufu na nguvu za Masiha zinazokuja.
H08 Masiha atakuwa na maisha ya milele.
ZABURI 61:6 Utaziongeza siku za mfalme,
Miaka yake itakuwa kama vizazi vingi.
7 Atakaa mbele za Mungu milele, Ziagize
fadhili na kweli zimhifadhi.
2 SAMWELI 7:16 Na nyumba yako, na ufalme
wako, vitathibitishwa milele mbele yako.
Nacho kiti chako kitafanywa imara milele.
LUKA 1:30 Malaika akamwambia,
Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata
neema kwa Mungu.
31 Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto
mwanamume; na jina lake utamwita Yesu.
32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa
Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha
enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
WAEBRANIA 9:24 Kwa sababu Kristo hakuingia
katika patakatifu palipofanyika kwa mikono,
ndio mfano wa patakatifu halisi; bali aliingia
mbinguni hasa, aonekane sasa usoni pa
Mungu kwa ajili yetu;
Ona pia: #1; Zaburi 41:12; Waebrania 7:21-25.
F03 Masiha atakataliwa.
ZABURI 62:3 Hata lini mtamshambulia
mtu, Mpate kumwua ninyi nyote pamoja?
Kama ukuta unaoinama, Kama kitalu kilicho
tayari kuanguka,
4 Hufanya shauri kumwangusha tu katika
cheo chake; Huufurahia uongo. Kwa kinywa
chao hubariki; Kwa moyo wao hulaani.
ZABURI 2:1 Mbona mataifa wanafanya
ghasia, Na makabila wanatafakari ubatili?
2 Wafalme wa dunia wanajipanga, Na wakuu
wanafanya shauri pamoja, Juu ya Bwana, Na
juu ya masihi wake.
3 Na tuvipasue vifungo vyao, Na kuzitupia
mbali nasi kamba zao.
MATHAYO 26:3 Wakati ule wakuu
wa makuhani, na wazee wa watu,
wakakusanyika katika behewa ya Kuhani
Mkuu, jina lake Kayafa;
4 wakafanya shauri pamoja, ili wamkamate
Yesu kwa hila na kumwua.
MATHAYO 27:1 Na ilipokuwa asubuhi,
wakuu wa makuhani wote na wazee wa
watu wakafanya shauri juu ya Yesu, wapate
kumwua;
YOHANA 11:49 Mtu mmoja miongoni
mwao, Kayafa, aliyekuwa Kuhani Mkuu
mwaka ule, akawaambia, Ninyi hamjui neno
lo lote;
50 wala hamfikiri ya kwamba yafaa mtu mmoja
afe kwa ajili ya watu, wala lisiangamie taifa
zima.
51 Na neno hilo yeye hakulisema kwa nafsi
yake; bali kwa kuwa alikuwa Kuhani Mkuu
mwaka ule, alitabiri ya kwamba Yesu atakufa
kwa ajili ya taifa hilo.
MATENDO YA MITUME 4:25 nawe
ulinena kwa Roho Mtakatifu kwa kinywa
cha babaetu Daudi, mtumishi wako, Mbona
mataifa wamefanya ghasia, Na makabila
wametafakari ubatili?
26 Wafalme wa dunia wamejipanga, Na wakuu
ZABURIEN
127
wamefanya shauri pamoja Juu ya Bwana na
juu ya Kristo wake.
27 Maana ni kweli, Herode na Pontio Pilato
pamoja na Mataifa na watu wa Israeli,
walikusanyika katika mji huu juu ya
Mtumishi wako mtakatifu Yesu, uliyemtia
mafuta,
28 ili wafanye yote ambayo mkono wako na
mashauri yako yamekusudia tangu zamani
yatokee.
Ona pia: Mathayo 2:14-16.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 65:2 Wewe usikiaye kuomba,
Wote wenye mwili watakujia.
ZABURI 22:27 Miisho yote ya dunia
itakumbuka, Na watu watamrejea Bwana;
Jamaa zote za mataifa watamsujudia.
ZABURI 86:9 Mataifa yote uliowafanya
watakuja; Watakusujudia Wewe, Bwana,
Watalitukuza jina lako;
ISAYA 66:23 Na itakuwa, mwezi mpya
hata mwezi mpya, na sabato hata sabato,
wanadamu wote watakuja kuabudu mbele
zangu, asema Bwana.
LUKA 11:9 Nami nawaambia, Ombeni,
nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona;
bisheni, nanyi mtafunguliwa.
10 Kwa kuwa kila aombaye hupokea;
naye atafutaye huona; naye abishaye
atafunguliwa.
YOHANA 12:32 Nami nikiinuliwa juu ya
nchi, nitawavuta wote kwangu.
1 YOHANA 5:14 Na huu ndio ujasiri tulio nao
kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na
mapenzi yake, atusikia.
15 Na kama tukijua kwamba atusikia,
tuombacho chote, twajua kwamba tunazo
zile haja tulizomwomba.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
Ona pia: #1; Zaburi 66:4; Zaburi 145:18,19; Isaya 49:6; Isaya 65:24; Yeremia 29:12,13.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 67:1 Mungu na atufadhili na
kutubariki, Na kutuangazia uso wake.
2 Njia yake ijulike duniani, Wokovu wake
katikati ya mataifa yote.
3 Watu na wakushukuru, Ee Mungu, Watu
wote na wakushukuru.
4 Mataifa na washangilie, Naam, waimbe
kwa furaha, Maana kwa haki utawahukumu
watu, Na kuwaongoza mataifa walioko
duniani.
5 Watu na wakushukuru, Ee Mungu, Watu
wote na wakushukuru.
6 Nchi imetoa mazao yake MUNGU, Mungu
wetu, ametubariki.
7 Mungu atatubariki sisi; Miisho yote ya dunia
itamcha Yeye.
ISAYA 2:2 Na itakuwa katika siku
ZABURIEN
128
za mwisho, mlima wa nyumba ya Bwana
utawekwa imara juu ya milima, nao
utainuliwa juu ya vilima; na mataifa yote
watauendea makundi makundi.
3 Na mataifa mengi watakwenda na kusema,
Njoni, twende juu mlimani kwa Bwana,
nyumbani kwa Mungu wa Yakobo, naye
atatufundisha njia zake, nasi tutakwenda
katika mapito yake maana katika Sayuni
itatoka sheria, na neno la Bwana katika
Yerusalemu.
4 Naye atafanya hukumu katika mataifa
mengi, atawakemea watu wa kabila
nyingi; nao watafua panga zao ziwe
majembe, na mikuki yao iwe miundu; taifa
halitainua upanga juu ya taifa lingine, wala
hawatajifunza vita tena kamwe.
DANIELI 7:14 Naye akapewa mamlaka, na
utukufu, na ufalme, ili watu wa kabila zote,
na taifa zote, na lugha zote, wamtumikie;
mamlaka yake ni mamlaka ya milele,
ambayo hayatapita kamwe, na ufalme wake
ni ufalme usioweza kuangamizwa.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 15:4 Ni
nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza
jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako
u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote
watakuja na kusujudu mbele zako; kwa
kuwa matendo yako ya haki yamekwisha
kufunuliwa.
Ona pia: #1; #2; #4; #5; Yeremia 10:10.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 68:1 Mungu huondoka, adui
zake wakatawanyika, Nao wamchukiao
huukimbia uso wake.
2 Kama moshi upeperushwavyo, Ndivyo
uwapeperushavyo wao; Kama nta iyeyukavyo
mbele ya moto, Ndivyo waovu wapoteavyo
usoni pa Mungu.
3 Bali wenye haki hufurahi, Na kuushangilia
uso wa Mungu, Naam, hupiga kelele kwa
furaha.
4 Mwimbieni Mungu, lisifuni jina lake,
Mtengenezeeni njia ya barabara, Apitaye
majangwani kama mpanda farasi; Jina lake
ni YAHU; shangilieni mbele zake.
2 WATHESALONIKE 1:8 katika mwali
wa moto; huku akiwalipiza kisasi wao
wasiomjua Mungu, na wao wasioitii Injili ya
Bwana wetu Yesu;
9 watakaoadhibiwa kwa maangamizi ya milele,
kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa
nguvu zake;
UFUNUO WA YOHANA 18:20 Furahini
juu yake, enyi mbingu, nanyi watakatifu na
mitume na manabii; kwa maana Mungu
amehukumu hukumu yenu juu yake.
UFUNUO WA YOHANA 19:7 Na
tufurahi, tukashangilie, tukampe utukufu
wake; kwa kuwa arusi ya Mwana-Kondoo
imekuja, na mkewe amejiweka tayari.
Ona pia: #1; Kutoka 3:14; Isaya 12:4-6; 1 Wathesalonike 5:16; 1 Petro 1:8; Ufunuo wa Yohana 6:16,17.
ZABURIEN
129
G02 Kupaa mbinguni kwa Masiha
kunatabiriwa.
G04 Masiha atatoa Roho Wake.
ZABURI 68:18 Wewe umepaa juu, umeteka
mateka, Umepewa vipawa katikati ya
wanadamu; Naam, hata na wakaidi, Bwana
Mungu akae nao.
MARKO 16:19 Basi Bwana Yesu, baada ya
kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni,
akaketi mkono wa kuume wa Mungu.
LUKA 24:51 Ikawa katika kuwabariki,
alijitenga nao; akachukuliwa juu mbinguni.
YOHANA 7:39 Na neno hilo alilisema katika
habari ya Roho, ambaye wale wamwaminio
watampokea baadaye; kwa maana Roho
alikuwa hajaja, kwa sababu Yesu alikuwa
hajatukuzwa.
MATENDO YA MITUME 1:2 hata
siku ile alipochukuliwa juu, alipokuwa
amekwisha kuwaagiza kwa Roho Mtakatifu
wale mitume aliowachagua;
MATENDO YA MITUME 1:8 Lakini
mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu
Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi
wangu katika Yerusalemu, na katika
Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho
wa nchi.
9 Akiisha kusema hayo, walipokuwa
wakitazama, akainuliwa, wingu likampokea
kutoka machoni pao.
MATENDO YA MITUME 2:17
Itakuwa siku za mwisho, asema Mungu,
nitawamwagia watu wote Roho yangu, na
wana wenu na binti zenu watatabiri; na
vijana wenu wataona maono; na wazee wenu
wataota ndoto.
18 Naam, na siku zile nitawamwagia watumishi
wangu wanaume na wanawake Roho yangu,
nao watatabiri.
WARUMI 12:6 Basi kwa kuwa tuna karama
zilizo mbalimbali, kwa kadiri ya neema
mliyopewa; ikiwa unabii, tutoe unabii kwa
kadiri ya imani;
7 ikiwa huduma, tuwemo katika huduma yetu;
mwenye kufundisha, katika kufundisha
kwake;
WAEFESO 1:3 Atukuzwe Mungu, Baba wa
Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa
baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa
roho, ndani yake Kristo;
WAEFESO 4:8 Hivyo husema, Alipopaa juu
aliteka mateka, Akawapa wanadamu vipawa.
9 Basi neno hilo, Alipaa, maana yake nini
kama siyo kusema kwamba yeye naye
alishuka mpaka pande zilizo chini za nchi?
WAEBRANIA 4:14 Basi, iwapo tunaye kuhani
mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu,
Mwana wa Mungu, na tuyashike sana
maungamo yetu.
WAEBRANIA 6:20 alimoingia Yesu kwa
ajili yetu, mtangulizi wetu, amekuwa
kuhani mkuu hata milele kwa mfano wa
Melkizedeki.
WAEBRANIA 8:1 Basi, katika hayo
tunayosema, neno lililo kuu ndilo hili:
Tunaye kuhani mkuu wa namna hii,
aliyeketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi
ZABURIEN
130
cha Ukuu mbinguni,
Ona pia: Zaburi 24:3,7-10; Zaburi 47:5; Zaburi 72:17-19; Zaburi 104:3; Zaburi 110:1; 1 Wakorintho 12:4-10; 1 Petro 3:22.
F11 Mateso ya Masiha.
F12 Masiha atapingwa.
ZABURI 69:4 Wanaonichukia bure ni
wengi Kuliko nywele za kichwa changu.
Watakao kunikatilia mbali wamekuwa
hodari, Adui zangu kwa sababu isiyo kweli.
Hata mimi nalilipishwa kwa nguvu Vitu
nisivyovichukua.
YOHANA 15:25 Lakini litimie lile neno
lililoandikwa katika torati yao, Walinichukia
bure.
YOHANA 19:4 Kisha Pilato akatokea tena
nje, akawaambia, Mtu huyu namleta nje
kwenu, mpate kufahamu ya kuwa mimi
sioni hatia yo yote kwake.
2 WAKORINTHO 5:21 Yeye asiyejua
dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili
yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu
katika Yeye.
1 PETRO 2:22 Yeye hakutenda dhambi,
wala hila haikuonekana kinywani mwake.
1 PETRO 2:24 Yeye mwenyewe alizichukua
dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti,
tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe
hai kwa mambo ya haki; na kwa kupigwa
kwake mliponywa.
1 PETRO 3:18 Kwa maana Kristo naye
aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi,
mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili
atulete kwa Mungu; mwili wake akauawa,
bali roho yake akahuishwa,
Ona pia: Zaburi 35:19; Zaburi 109:3; Isaya 53:4-7; Mathayo 26:59.
F11 Mateso ya Masiha.
ZABURI 69:7 Maana kwa ajili yako
nimestahimili laumu, Fedheha imenifunika
uso wangu.
8 Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu, Na
msikwao kwa wana wa mama yangu.
9 Maana wivu wa nyumba yako umenila, Na
laumu zao wanaokulaumu zimenipata.
MATHAYO 26:48 Na yule mwenye kumsaliti
alikuwa amewapa ishara, akisema,
Nitakayembusu, huyo ndiye; mkamateni.
49 Mara akamwendea Yesu, akasema, Salamu,
Rabi, akambusu.
50 Yesu akamwambia, Rafiki, fanya ulilolijia.
Wakaenda, wakanyosha mikono yao
wakamkamata Yesu.
MATHAYO 26:56 Lakini haya yote yamekuwa,
ili maandiko ya manabii yatimizwe. Ndipo
wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.
MATHAYO 26:74 Ndipo akaanza kulaani na
kuapa akisema, Simjui mtu huyu. Na mara
akawika jogoo.
YOHANA 1:10 Alikuwako ulimwenguni,
hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako,
wala ulimwengu haukumtambua.
11 Alikuja kwake, wala walio wake
ZABURIEN
131
hawakumpokea.
YOHANA 2:16 akawaambia wale waliokuwa
wakiuza njiwa, Yaondoeni haya; msiifanye
nyumba ya Baba yangu kuwa nyumba ya
biashara.
17 Wanafunzi wake wakakumbuka ya kuwa
imeandikwa, Wivu wa nyumba yako utanila.
YOHANA 7:5 Maana hata nduguze
hawakumwamini.
YOHANA 15:21 Lakini haya yote
watawatenda kwa ajili ya jina langu, kwa
kuwa hawamjui yeye aliyenipeleka.
22 Kama nisingalikuja na kusema nao,
wasingalikuwa na dhambi; lakini sasa
hawana udhuru kwa dhambi yao.
23 Yeye anichukiaye mimi humchukia na Baba
yangu.
24 Kama nisingalitenda kwao kazi asizozitenda
mtu mwingine, wasingalikuwa na dhambi;
lakini sasa wametuona mimi na Baba yangu,
na kutuchukia.
WARUMI 15:8 Kwa maana nasema, ya
kwamba Kristo amefanyika mhudumu
wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli
ya Mungu, kusudi azithibitishe ahadi
walizopewa baba zetu;
Ona pia: Zaburi 22:6-8; Zaburi 31:11; Zaburi 119:139; Mathayo 26:70-74; Marko 11:15-17.
F13 Maelezo ya mateso ya Masiha.
ZABURI 69:19 Wewe umejua kulaumiwa
kwangu, Na kuaibika na kufedheheka
kwangu, Mbele zako Wewe wako watesi
wangu wote.
20 Laumu imenivunja moyo, Nami ninaugua
sana. Nikangoja aje wa kunihurumia, wala
hakuna; Na wa kunifariji, wala sikumwona
mtu.
21 Wakanipa uchungu kuwa chakula changu;
Nami nilipokuwa na kiu wakaninywesha
siki.
MATHAYO 27:34 wakampa kunywa divai
iliyochanganyika na nyongo; lakini yeye
alipoionja hakutaka kunywa.
MATHAYO 27:39 Nao waliokuwa wakipita
njiani wakamtukana, wakitikisa-tikisa
vichwa vyao, wakisema,
40 Ewe mwenye kulivunja hekalu na kulijenga
kwa siku tatu, jiokoe nafsi yako; ukiwa ndiwe
Mwana wa Mungu, shuka msalabani.
41 Kadhalika na wale wakuu wa makuhani
wakamdhihaki pamoja na waandishi na
wazee, wakisema, Aliokoa wengine, hawezi
kujiokoa mwenyewe.
42 Yeye ni mfalme wa Israeli; na ashuke sasa
msalabani, nasi tutamwamini.
43 Amemtegemea Mungu; na amwokoe sasa,
kama anamtaka; kwa maana alisema, Mimi
ni Mwana wa Mungu.
44 Pia wale wanyang›anyi waliosulibiwa pamoja
naye walimshutumu vile vile.
45 Basi tangu saa sita palikuwa na giza juu ya
nchi yote hata saa tisa.
46 Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti
yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama
sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu
wangu, mbona umeniacha?
47 Na baadhi yao waliohudhuria, waliposikia,
walisema, Huyu anamwita Eliya.
48 Mara mmoja wao akaenda mbio, akatwaa
sifongo, akaijaza siki, akaitia juu ya mwanzi,
ZABURIEN
132
akamnywesha.
MARKO 15:23 Wakampa mvinyo iliyotiwa
manemane, asiipokee.
YOHANA 19:28 Baada ya hayo Yesu, hali
akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizika
ili andiko litimizwe, akasema, Naona kiu.
29 Kulikuwako huko chombo kimejaa siki; basi
wakatia sifongo iliyojaa siki juu ya ufito wa
hisopo, wakampelekea kinywani.
30 Basi Yesu alipokwisha kuipokea ile siki,
alisema, Imekwisha. Akainama kichwa,
akaisalimu roho yake.
WAEBRANIA 12:2 tukimtazama Yesu, mwenye
kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu;
ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele
yake aliustahimili msalaba na kuidharau
aibu, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti
cha enzi cha Mungu.
1 PETRO 2:23 Yeye alipotukanwa,
hakurudisha matukano; alipoteswa,
hakuogofya; bali alijikabidhi kwake yeye
ahukumuye kwa haki.
24 Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu
katika mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu
kwa mambo ya dhambi, tuwe hai kwa
mambo ya haki; na kwa kupigwa kwake
mliponywa.
Ona pia: Zaburi 22:6,7; Isaya 53:3-5.
F13 Maelezo ya mateso ya Masiha.
ZABURI 69:26 Maana wanamwudhi mtu
uliyempiga Wewe, Wanasimulia maumivu
ya hao uliowatia jeraha.
MARKO 15:28 Basi andiko likatimizwa
linenalo, Alihesabiwa pamoja na waasi.]
29 Nao waliokuwa wakipita njiani
wakamtukana, wakitikisa-tikisa vichwa,
wakisema, Ahaa! Wewe mwenye kulivunja
hekalu na kulijenga katika siku tatu,
30 jiponye nafsi yako, ushuke msalabani.
31 Kadhalika na wakuu wa makuhani
wakamdhihaki wao kwa wao, pamoja na
waandishi, wakisema, Aliponya wengine;
hawezi kujiponya mwenyewe.
32 Kristo, mfalme wa Israeli, na ashuke sasa
msalabani tupate kuona na kuamini.
Hata wale waliosulibiwa pamoja naye
wakamfyolea.
Ona pia: Isaya 53:4,10; Zekaria 13:7.
G01 Kufufuka kwa Masiha kunatabiriwa.
ZABURI 71:20 Wewe, uliyetuonyesha
mateso mengi, mabaya, Utatuhuisha tena.
Utatupandisha juu tena Tokea pande za
chini ya nchi.
LUKA 24:6 Hayupo hapa, amefufuka.
Kumbukeni alivyosema nanyi alipokuwa
akaliko Galilaya,
LUKA 24:34 wakisema, Bwana amefufuka
kweli kweli, naye amemtokea Simoni.
WARUMI 14:9 Maana Kristo alikufa akawa
hai tena kwa sababu hii, awamiliki waliokufa
na walio hai pia.
MATENDO YA MITUME 2:27 Kwa
maana hutaiacha roho yangu katika kuzimu;
Wala hutamtoa Mtakatifu wako aone
ZABURIEN
133
uharibifu.
Ona pia: Zaburi 16:10; Zaburi 30:3; Zaburi 49:15; Zaburi 86:13; Yona 2:4-6; Matendo ya Mitume 13:35.
D04 Kazi ya Masiha kama Mfalme.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H05 Utukufu na nguvu za Masiha zinazokuja.
ZABURI 72:7 Siku zake yeye, mtu mwenye
haki atasitawi, Na wingi wa amani hata
mwezi utakapokoma.
8 Na awe na enzi toka bahari hata bahari,
Toka Mto hata miisho ya dunia.
9 Wakaao jangwani na wainame mbele zake;
Adui zake na warambe mavumbi.
10 Wafalme wa Tarshishi na visiwa na walete
kodi; Wafalme wa Sheba na Seba na watoe
vipawa.
11 Naam, wafalme wote na wamsujudie; Na
mataifa yote wamtumikie.
12 Kwa maana atamkomboa mhitaji aliapo, Na
mtu aliyeonewa iwapo hana msaidizi.
13 Atamhurumia aliye dhaifu na maskini, Na
nafsi za wahitaji ataziokoa.
14 Atawakomboa nafsi zao na kuonewa na
udhalimu, Na damu yao ina thamani
machoni pake.
15 Basi na aishi; Na wampe dhahabu ya Sheba;
Na wamwombee daima; Na kumbariki
mchana kutwa.
16 Na uwepo wingi wa nafaka Katika ardhi juu
ya milima; Matunda yake na yawaye-waye
kama Lebanoni, Na watu wa mjini wasitawi
kama majani ya nchi.
17 Jina lake na lidumu milele, Pindi ling›aapo
jua jina lake liwe na wazao; Mataifa yote na
wajibariki katika yeye, Na kumwita heri.
18 Na ahimidiwe Bwana, Mungu, Mungu wa
Israeli, Atendaye miujiza Yeye peke yake;
19 Jina lake tukufu na lihimidiwe milele; Dunia
yote na ijae utukufu wake. Amina na Amina.
MATHAYO 2:11 Wakaingia nyumbani,
wakamwona mtoto pamoja na Mariamu
mamaye, wakaanguka wakamsujudia;
nao walipokwisha kufungua hazina zao,
wakamtolea tunu; dhahabu na uvumba na
manemane.
MATHAYO 28:18 Yesu akaja kwao, akasema
nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote
mbinguni na duniani.
MARKO 16:15 Akawaambia, Enendeni
ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa
kila kiumbe.
16 Aaminiye na kubatizwa ataokoka;
asiyeamini, atahukumiwa.
WAFILIPI 2:10 ili kwa jina la Yesu kila
goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya
duniani, na vya chini ya nchi;
WAEBRANIA 13:8 Yesu Kristo ni yeye yule, jana
na leo na hata milele.
UFUNUO WA YOHANA 1:18 na aliye
hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama,
ni hai hata milele na milele. Nami ninazo
funguo za mauti, na za kuzimu.
UFUNUO WA YOHANA 7:9 Baada
ya hayo nikaona, na tazama, mkutano
mkubwa sana ambao hapana mtu awezaye
kuuhesabu, watu wa kila taifa, na kabila, na
jamaa, na lugha, wamesimama mbele ya kile
kiti cha enzi, na mbele za Mwana-Kondoo,
ZABURIEN
134
wamevikwa mavazi meupe, wana matawi ya
mitende mikononi mwao;
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 17:14 Hawa
watafanya vita na Mwana-Kondoo, na
Mwana Kondoo atawashinda, kwa maana
Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa
Wafalme, na hao walio pamoja naye ndio
walioitwa, na wateule, na waaminifu.
Ona pia: #1; #2; #5; Mwanzo 22:18; Zaburi 21:4.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
ZABURI 75:7 Bali Mungu ndiye
ahukumuye; Humdhili huyu na kumwinua
huyu.
8 Maana mkononi mwa Bwana mna kikombe,
Na mvinyo yake inatoka povu; Kumejaa
machanganyiko; Naye huyamimina. Na sira
zake wasio haki wa dunia Watazifyonza na
kuzinywa.
LUKA 1:52 Amewaangusha wakuu
katika viti vyao vya enzi; Na wanyonge
amewakweza.
MATENDO YA MITUME 17:31 Kwa
maana ameweka siku atakayowahukumu
walimwengu kwa haki, kwa mtu yule
aliyemchagua; naye amewapa watu wote
uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua
katika wafu.
WARUMI 2:16 katika siku ile Mungu
atakapozihukumu siri za wanadamu,
sawasawa na injili yangu, kwa Kristo Yesu.
2 TIMOTHEO 4:1 Nakuagiza mbele za Mungu,
na mbele za Kristo Yesu, atakayewahukumu
walio hai na waliokufa; kwa kufunuliwa
kwake na kwa ufalme wake;
UFUNUO WA YOHANA 14:9 Na
mwingine, malaika wa tatu, akawafuata,
akisema kwa sauti kuu, Mtu awaye yote
akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake,
na kuipokea chapa katika kipaji cha uso
wake, au katika mkono wake,
10 yeye naye atakunywa katika mvinyo ya
ghadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo
kuchanganywa na maji, katika kikombe
cha hasira yake; naye atateswa kwa moto
na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na
mbele za Mwana-Kondoo.
11 Na moshi wa maumivu yao hupanda juu
hata milele na milele, wala hawana raha
mchana wala usiku, hao wamsujuduo huyo
mnyama na sanamu yake, na kila aipokeaye
chapa ya jina lake.
UFUNUO WA YOHANA 16:19 Na mji
ule mkuu ukagawanyikana mafungu matatu,
na miji ya mataifa ikaanguka; na Babeli ule
mkuu ukakumbukwa mbele za Mungu,
kupewa kikombe cha mvinyo ya ghadhabu
ya hasira yake.
Ona pia: #1; #6; 1 Samweli 2:7,8; Isaya 51:17-22; Yeremia 25:15-17.
ZABURIEN
135
B19 Fumbo la Masiha.
ZABURI 78:2 Na nifunue kinywa changu
kwa mithali, Niyatamke mafumbo ya kale.
MATHAYO 13:10 Wakaja wanafunzi,
wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa
mifano?
11 Akajibu, akawaambia, Ninyi mmejaliwa
kuzijua siri za ufalme wa mbinguni, bali
wao hawakujaliwa.
12 Kwa maana ye yote mwenye kitu atapewa,
naye atazidishiwa tele; lakini ye yote asiye na
kitu, hata kile alicho nacho atanyang›anywa.
13 Kwa sababu hii nasema nao kwa mifano;
kwa kuwa wakitazama hawaoni, na wakisikia
hawasikii, wala kuelewa.
MATHAYO 13:34 Hayo yote Yesu aliwaambia
makutano kwa mifano; wala pasipo mfano
hakuwaambia neno;
35 ili litimie neno lililonenwa na nabii,
akisema, Nitafumbua kinywa changu kwa
mifano, Nitayatamka yaliyositirika tangu
awali.
MARKO 4:11 Akawaambia, Ninyi
mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu,
bali kwa wale walio nje yote hufanywa kwa
mifano,
YOHANA 16:25 Hayo nimesema nanyi kwa
mithali; saa yaja ambapo sitasema nanyi
tena kwa mithali, lakini nitawapa waziwazi
habari ya Baba.
1 WAKORINTHO 4:1 Mtu na atuhesabu
hivi, kuwa tu watumishi wa Kristo, na
mawakili wa siri za Mungu.
Ona pia: Zaburi 49:4; Hosea 12:9; Mathayo 21:45; Marko 3:23; Marko 4:2,13,33; Marko 12:1; Luka 8:10; 1 Wakorintho 13:2; 1
Wakorintho 14:2.
B03 Masiha ndiye Mwana wa mtu.
H07 Masiha ataketi kwenye mkono wa kulia
wa Mungu.
ZABURI 80:14 Ee Mungu wa majeshi,
tunakusihi, urudi, Utazame toka juu uone,
uujilie mzabibu huu.
15 Na mche ule ulioupanda Kwa mkono wako
wa kuume; Na tawi lile ulilolifanya Kuwa
imara kwa nafsi yako.
17 Mkono wako na uwe juu yake Mtu wa
mkono wako wa kuume; Juu ya mwanadamu
uliyemfanya Kuwa imara kwa nafsi yako;
ISAYA 11:1 Basi litatoka chipukizi katika
shina la Yese, na tawi litakalotoka katika
mizizi yake litazaa matunda.
ZEKARIA 3:8 Sikiliza sasa, Ee Yoshua,
kuhani mkuu, wewe na wenzako waketio
mbele yako; maana hao ni watu walio ishara;
kwa maana, tazama, ninamleta mtumishi
wangu, aitwaye Chipukizi.
YOHANA 15:1 Mimi ndimi mzabibu wa
kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
MATENDO YA MITUME 10:38 habari za
Yesu wa Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia
mafuta kwa Roho Mtakatifu na nguvu naye
akazunguka huko na huko, akitenda kazi
njema na kuponya wote walioonewa na
Ibilisi; kwa maana Mungu alikuwa pamoja
naye.
MATENDO YA MITUME 15:15 Na
ZABURIEN
136
maneno ya manabii yapatana na hayo, kama
ilivyoandikwa,
16 Baada ya mambo haya nitarejea, Nami
nitaijenga tena nyumba ya Daudi
iliyoanguka. Nitajenga tena maanguko yake,
Nami nitaisimamisha;
17 Ili wanadamu waliosalia wamtafute Bwana,
Na mataifa yote ambao jina langu limetajwa
kwao;
WAKOLOSAI 1:15 naye ni mfano wa Mungu
asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa
viumbe vyote.
16 Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa,
vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi,
vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa
ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au
mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia
yake, na kwa ajili yake.
17 Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu
vyote hushikana katika yeye.
18 Naye ndiye kichwa cha mwili, yaani, cha
kanisa; naye ni mwanzo, ni mzaliwa
wa kwanza katika wafu, ili kwamba awe
mtangulizi katika yote.
19 Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifu
wote ukae;
WAEBRANIA 1:1 Mungu, ambaye alisema
zamani na baba zetu katika manabii kwa
sehemu nyingi na kwa njia nyingi,
2 mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika
Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote,
tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.
3 Yeye kwa kuwa ni mng›ao wa utukufu wake
na chapa ya nafsi yake, akivichukua vyote
kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya
utakaso wa dhambi, aliketi mkono wa
kuume wa Ukuu huko juu;
Ona pia: #2; Zaburi 7:7; Zaburi 80:8; Zaburi 90:13; Isaya 63:15,17; Yeremia 2:21; Yeremia 23:5,6; Ezekieli 17:22-24; Danieli
9:16-19; Zekaria 6:12; Marko 12:1-9.
E07 Wokovu unaotolewa na Masiha.
ZABURI 85:9 Hakika wokovu wake u
karibu na wamchao, Utukufu ukae katika
nchi yetu.
YOHANA 1:14 Naye Neno alifanyika mwili,
akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake,
utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa
Baba; amejaa neema na kweli.
MATENDO YA MITUME 13:26 Ndugu
zangu, wana wa ukoo wa Ibrahimu, na hao
miongoni mwenu wanaomcha Mungu,
kwetu sisi neno la wokovu huu limepelekwa.
Ona pia: #2; Zaburi 24:4,5; Zaburi 50:23; Marko 12:32-34; Matendo ya Mitume 10:2-4; Matendo ya Mitume 13:14-16.
E08 Haki ya Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 85:10 Fadhili na kweli zimekutana,
Haki na amani zimehusiana.
11 Kweli imechipuka katika nchi, Haki
imechungulia kutoka mbinguni.
12 Naam, Bwana atatoa kilicho chema, Na nchi
yetu itatoa mazao yake.
13 Haki itakwenda mbele zake, Nayo itazifanya
hatua zake kuwa njia.
MATHAYO 3:15 Yesu akajibu akamwambia,
Kubali hivi sasa; kwa kuwa ndivyo itupasavyo
kuitimiza haki yote. Basi akamkubali.
ZABURIEN
137
MATHAYO 21:32 Kwa sababu Yohana alikuja
kwenu kwa njia ya haki, ninyi msimwamini;
lakini watoza ushuru na makahaba
walimwamini, nanyi hata mlipoona,
hamkutubu baadaye, ili kumwamini.
YOHANA 14:6 Yesu akamwambia, Mimi
ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa
Baba, ila kwa njia ya mimi.
WARUMI 5:1 Basi tukiisha kuhesabiwa
haki itokayo katika imani, na mwe na amani
kwa Mungu, kwa njia ya Bwana wetu Yesu
Kristo,
2 WAKORINTHO 5:21 Yeye asiyejua
dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili
yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu
katika Yeye.
WAFILIPI 1:10 mpate kuyakubali yaliyo
mema; ili mpate kuwa na mioyo safi, bila
kosa, mpaka siku ya Kristo;
11 hali mmejazwa matunda ya haki, kwa njia ya
Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa ya Mungu.
2 PETRO 3:13 Lakini, kama ilivyo ahadi
yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi
mpya, ambayo haki yakaa ndani yake.
1 YOHANA 2:6 Yeye asemaye ya kuwa
anakaa ndani yake, imempasa kuenenda
mwenyewe vile vile kama yeye alivyoenenda.
UFUNUO WA YOHANA 19:11 Kisha
nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama,
farasi mweupe, na yeye aliyempanda,
aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa
haki ahukumu na kufanya vita.
Ona pia: #1; #2; Yohana 13:14-16,34; Warumi 3:25,26; Waefeso 5:1,2; Wafilipi 2:5-8; Waebrania 12:1,2; 1 Petro 2:18-24.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 86:9 Mataifa yote uliowafanya
watakuja; Watakusujudia Wewe, Bwana,
Watalitukuza jina lako;
ISAYA 66:23 Na itakuwa, mwezi mpya
hata mwezi mpya, na sabato hata sabato,
wanadamu wote watakuja kuabudu mbele
zangu, asema Bwana.
ZEKARIA 14:9 Naye Bwana atakuwa
Mfalme juu ya nchi yote; siku hiyo Bwana
atakuwa mmoja, na jina lake moja.
WARUMI 11:25 Kwa maana, ndugu zangu,
sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa
wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu
umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa
Mataifa uwasili.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 15:4 Ni
nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza
jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako
u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote
watakuja na kusujudu mbele zako; kwa
kuwa matendo yako ya haki yamekwisha
kufunuliwa.
Ona pia: #1; #4.
ZABURIEN
138
E14 Masiha atashinda kifo na giza.
ZABURI 86:12 Nitakusifu Wewe, Bwana,
Mungu wangu, Kwa moyo wangu wote,
Nitalitukuza jina lako milele.
13 Maana fadhili zako kwangu ni nyingi sana;
Umeiopoa nafsi yangu na kuzimu.
1 WATHESALONIKE 1:10 na kumngojea
Mwanawe kutoka mbinguni, ambaye
alimfufua katika wafu, naye ni Yesu,
mwenye kutuokoa na ghadhabu itakayokuja.
Ona pia: Zaburi 16:10; Zaburi 56:13; Yona 2:3-6.
B22 Uzuri wa Mungu na Masiha.
B23 Neema ya Mungu na Masiha.
ZABURI 86:15 Lakini Wewe, Bwana, U
Mungu wa rehema na neema, Mvumilivu,
mwingi wa fadhili na kweli.
YOHANA 1:17 Kwa kuwa torati ilitolewa
kwa mkono wa Musa; neema na kweli
zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.
WARUMI 5:20 Lakini sheria iliingia ili kosa
lile liwe kubwa sana; na dhambi ilipozidi,
neema ilikuwa nyingi zaidi;
21 ili kwamba, kama vile dhambi ilivyotawala
katika mauti, vivyo hivyo kwa njia ya haki
neema itawale hata uzima wa milele kwa
Yesu Kristo Bwana wetu.
WAEFESO 1:9 akiisha kutujulisha siri ya
mapenzi yake, sawasawa na uradhi wake,
alioukusudia katika yeye huyo.
WAEFESO 2:4 Lakini Mungu, kwa kuwa
ni mwingi wa rehema, kwa mapenzi yake
makuu aliyotupenda;
5 hata wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu
ya makosa yetu; alituhuisha pamoja na
Kristo; yaani, tumeokolewa kwa neema.
6 Akatufufua pamoja naye, akatuketisha
pamoja naye katika ulimwengu wa roho,
katika Kristo Yesu;
7 ili katika zamani zinazokuja audhihirishe
wingi wa neema yake upitao kiasi kwa wema
wake kwetu sisi katika Kristo Yesu.
Ona pia: Zaburi 86:5; Zaburi 103:8; Zaburi 111:4; Zaburi 130:4,7; Zaburi 145:8; Yoeli 2:13; Mika 7:18.
F06 Masiha ataachwa pweke.
F13 Maelezo ya mateso ya Masiha.
ZABURI 88:14 Bwana, kwa nini kuitupa
nafsi yangu, Na kunificha uso wako?
15 Nateswa mimi hali ya kufa tangu ujana,
Nimevumilia vitisho vyako na kufadhaika.
16 Hasira zako kali zimepita juu yangu,
Maogofyo yako yameniangamiza.
17 Yamenizunguka kama maji mchana kutwa,
Yamenisonga yote pamoja.
18 Mpenzi na rafiki umewatenga nami, Nao
wanijuao wamo gizani.
MATHAYO 26:37 Akamchukua Petro na
wale wana wawili wa Zebedayo, akaanza
kuhuzunika na kusononeka.
38 Ndipo akawaambia, Roho yangu ina huzuni
nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa, mkeshe
pamoja nami.
39 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka
kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu,
ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke;
walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama
ZABURIEN
139
utakavyo wewe.
40 Akawajia wale wanafunzi, akawakuta
wamelala, akamwambia Petro, Je!
Hamkuweza kukesha pamoja nami hata saa
moja?
MATHAYO 26:56 Lakini haya yote yamekuwa,
ili maandiko ya manabii yatimizwe. Ndipo
wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.
MATHAYO 27:28 Wakamvua nguo, wakamvika
vazi jekundu.
29 Wakasokota taji ya miiba, wakaiweka juu
ya kichwa chake, na mwanzi katika mkono
wake wa kuume; wakapiga magoti mbele
yake, wakamdhihaki, wakisema, Salamu,
Mfalme wa Wayahudi!
30 Kisha wakamtemea mate, wakautwaa ule
mwanzi, wakampiga-piga kichwani.
31 Walipokwisha kumdhihaki, wakalivua lile
vazi, wakamvika mavazi yake, wakamchukua
kumsulibisha.
MATHAYO 27:46 Na kama saa tisa, Yesu
akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi,
Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu,
Mungu wangu, mbona umeniacha?
Ona pia: Zaburi 22:11-21; Zaburi 31:11; Zaburi 38:10,11; Zaburi 69:17-21; Zaburi 88:8; Zaburi 143:3,4; Isaya 53:4-6,8,10,11; Isaya
63:3; Danieli 9:26; Zekaria 13:7; Mathayo 27:39-44; Marko 14:33,34; Luka 22:44; Warumi 8:32; Wagalatia 3:13; 1 Petro 2:24.
B01 Masiha ndiye Mwana wa Mungu.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 89:3 Nimefanya agano na mteule
wangu, Nimemuapia Daudi, mtumishi
wangu.
4 Wazao wako nitawafanya imara milele,
Nitakijenga kiti chako cha enzi hata milele.
MATHAYO 12:18 Tazama, mtumishi wangu
niliyemteua; Mpendwa wangu, moyo wangu
uliyependezwa naye; Nitatia roho yangu juu
yake, Naye atawatangazia Mataifa hukumu.
19 Hatateta wala hatapaza sauti yake; Wala mtu
hatasikia sauti yake njiani.
20 Mwanzi uliopondeka hatauvunja, Wala
utambi utokao moshi hatauzima, Hata
ailetapo hukumu ikashinda.
21 Na jina lake Mataifa watalitumainia.
LUKA 1:32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa
Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu
atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
MATENDO YA MITUME 2:29 Waume,
ndugu zangu, mniwie radhi, niseme kwa
ujasiri mbele yenu habari za baba yetu
mkuu, Daudi, ya kuwa alifariki akazikwa, na
kaburi lake liko kwetu hata leo.
30 Basi kwa kuwa ni nabii, akijua ya kuwa
Mungu amemwapia kwa kiapo, ya kwamba
katika uzao wa viuno vyake atamketisha
mmoja katika kiti chake cha enzi;
Ona pia: Zaburi 89:28-34; Yeremia 30:9; Ezekieli 34:23,24; Hosea 3:5; Mathayo 3:17; Waebrania 7:21.
E26 Kazi ya ukombozi ya Masiha.
ZABURI 89:19 Ndipo ulipowaambia
watakatifu wako kwa njozi, Ukasema,
nimempa aliye hodari msaada;
Nimemtukuza aliyechaguliwa miongoni
mwa watu.
ZABURIEN
140
KUMBUKUMBU LA TORATI 18:18 Mimi
nitawaondokeshea nabii miongoni mwa
ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia
maneno yangu kinywani mwake, naye
atawaambia yote nitakayomwamuru.
19 Hata itakuwa, mtu asiyesikiliza maneno
yangu atakayosema yule kwa jina langu,
nitalitaka kwake.
LUKA 1:32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa
Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu
atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
LUKA 7:16 Hofu ikawashika wote,
wakamtukuza Mungu, wakisema, Nabii
mkuu ametokea kwetu; na, Mungu
amewaangalia watu wake.
MATENDO YA MITUME 3:22 Kwa
maana Musa kweli alisema ya kwamba,
Bwana Mungu wenu atawainulieni nabii,
katika ndugu zenu, kama mimi; msikieni
yeye katika mambo yote atakayonena nanyi.
WAFILIPI 2:6 ambaye yeye mwanzo
alikuwa yuna namna ya Mungu, naye
hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni
kitu cha kushikamana nacho;
7 bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa
namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa
wanadamu;
8 tena, alipoonekana ana umbo kama
mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii
hata mauti, naam, mauti ya msalaba.
9 Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha
mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina;
10 ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu
vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini
ya nchi;
11 na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO
NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.
UFUNUO WA YOHANA 3:7 Na
kwa malaika wa kanisa lililoko Filadelfia
andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye
mtakatifu, aliye wa kweli, aliye na ufunguo
wa Daudi, yeye mwenye kufungua wala
hapana afungaye, naye afunga wala hapana
afunguaye.
Ona pia: Kumbukumbu la Torati 33:29; Marko 1:24; Waebrania 2:9-17.
B05 Masiha amejawa na Roho na Mtakatifu.
D01 Kupakwa kwa mafuta kwa Masiha.
ZABURI 89:20 Nimemwona Daudi,
mtumishi wangu, Nimempaka mafuta
yangu matakatifu.
21 Ambaye mkono wangu utakuwa thabiti
kwake, Na mkono wangu utamtia nguvu.
LUKA 4:18 Roho wa Bwana yu juu
yangu, Kwa maana amenitia mafuta
kuwahubiri maskini habari njema.
Amenituma kuwatangazia wafungwa
kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona
tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
YOHANA 3:34 Kwa kuwa yeye aliyetumwa
na Mungu huyanena maneno ya Mungu;
kwa sababu hamtoi Roho kwa kipimo.
YOHANA 12:3 Basi Mariamu akatwaa ratli
ya marhamu ya nardo safi yenye thamani
nyingi, akampaka Yesu miguu, akamfuta
miguu kwa nywele zake. Nayo nyumba pia
ZABURIEN
141
ikajaa harufu ya marhamu.
YOHANA 12:7 Basi Yesu alisema, Mwache
aiweke kwa siku ya maziko yangu.
MATENDO YA MITUME 10:38 habari za
Yesu wa Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia
mafuta kwa Roho Mtakatifu na nguvu naye
akazunguka huko na huko, akitenda kazi
njema na kuponya wote walioonewa na
Ibilisi; kwa maana Mungu alikuwa pamoja
naye.
WAEBRANIA 1:8 Lakini kwa habari za Mwana
asema, Kiti chako cha enzi,Mungu,ni cha
milele na milele; Na fimbo ya ufalme wako
ni fimbo ya adili.
9 Umependa haki, umechukia maasi; Kwa
hiyo Mungu, Mungu wako, amekutia
mafuta, Mafuta ya shangwe kupita wenzio.
Ona pia: #2; Zaburi 89:13; Isaya 41:10; Isaya 42:1; Zekaria 10:12; Mathayo 26:12.
E13 Mungu anathibitisha huduma ya Masiha.
ZABURI 89:22 Adui hatamwonea, Wala
mwana wa uovu hatamtesa.
MATHAYO 4:1 Kisha Yesu alipandishwa na
Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi.
2 Akafunga siku arobaini mchana na usiku,
mwisho akaona njaa.
3 Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe
Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe
haya yawe mikate.
4 Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu
hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno
litokalo katika kinywa cha Mungu.
5 Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mji
mtakatifu, akamweka juu ya kinara cha
hekalu,
6 akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana
wa Mungu jitupe chini; kwa maana
imeandikwa, Atakuagizia malaika zake;
Na mikononi mwao watakuchukua; Usije
ukajikwaa mguu wako katika jiwe.
7 Yesu akamwambia, Tena imeandikwa,
Usimjaribu Bwana Mungu wako.
8 Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mlima
mrefu mno, akamwonyesha milki zote za
ulimwengu, na fahari yake,
9 akamwambia, Haya yote nitakupa,
ukianguka kunisujudia.
10 Ndipo Yesu alipomwambia, Nenda zako,
Shetani; kwa maana imeandikwa, Msujudie
Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke
yake.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 89:23 Bali nitawaponda
watesi wake mbele yake, Nitawapiga
wanaomchukia.
YOHANA 15:23 Yeye anichukiaye mimi
humchukia na Baba yangu.
LUKA 19:27 Tena, wale adui zangu,
wasiotaka niwatawale, waleteni hapa
mwachinje mbele yangu.
Ona pia: #1; Zaburi 2:1-6; Zaburi 21:8,9; Zaburi 110:1; Zaburi 132:8.
ZABURIEN
142
E22 Kazi ya Masiha itakuwa imebarikiwa.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 89:24 Uaminifu wangu na fadhili
zangu atakuwa nazo, Na kwa jina langu
pembe yake itatukuka.
YOHANA 17:6 Jina lako nimewadhihirishia
watu wale ulionipa katika ulimwengu;
walikuwa wako, ukanipa mimi, na neno lako
wamelishika.
YOHANA 17:11 Wala mimi simo tena
ulimwenguni, lakini hawa wamo
ulimwenguni, nami naja kwako. Baba
mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde
hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo.
YOHANA 17:25 Baba mwenye haki,
ulimwengu haukukujua; lakini mimi
nalikujua, na hao wamejua ya kuwa ndiwe
uliyenituma.
Ona pia: #1; Zaburi 89:16,17,28,33; Zaburi 91:14.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 89:25 Nitaweka mkono wake juu
ya bahari, Na mkono wake wa kuume juu ya
mito.
KUTOKA 23:21 Jitunzeni mbele yake,
mwisikize sauti yake; wala msimtie kasirani;
maana, hatawasamehe makosa yenu; kwa
kuwa jina langu limo ndani yake.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
Ona pia: #1.
A05 Uhusiano kati ya Masiha na Baba Yake.
B01 Masiha ndiye Mwana wa Mungu.
ZABURI 89:26 Yeye ataniita, Wewe baba
yangu, Mungu wangu na mwamba wa
wokovu wangu.
MATHAYO 11:27 Akasema, Nimekabidhiwa
vyote na baba yangu; wala hakuna amjuaye
Mwana, ila Baba; wala hakuna amjuaye
Baba, ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana
apenda kumfunulia.
LUKA 23:46 Yesu akalia kwa sauti kuu,
akasema, Ee Baba, mikononi mwako
naiweka roho yangu.
YOHANA 14:7 Kama mngalinijua mimi,
mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua,
tena mmemwona.
YOHANA 14:23 Yesu akajibu, akamwambia,
Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na
Baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake,
na kufanya makao kwake.
YOHANA 20:17 Yesu akamwambia.
Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda
kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu
ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba
yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu
wangu naye ni Mungu wenu.
ZABURIEN
143
2 WAKORINTHO 6:18 Nitakuwa Baba
kwenu, Nanyi mtakuwa kwangu wanangu
wa kiume na wa kike,
WAEBRANIA 1:5 Kwa maana alimwambia
malaika yupi wakati wo wote, Ndiwe
mwanangu, Mimi leo nimekuzaa? Na
tena, Mimi nitakuwa kwake baba, Na yeye
atakuwa kwangu mwana?
UFUNUO WA YOHANA 3:21 Yeye
ashindaye, nitampa kuketi pamoja nami
katika kiti changu cha enzi, kama mimi
nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba
yangu katika kiti chake cha enzi.
Ona pia: 2 Samweli 22:47; 1 Mambo ya Nyakati 22:10; Zaburi 18:46; Zaburi 62:2,6,7; Zaburi 95:1; Mathayo 10:32,33; Mathayo
26:39,42; Yohana 8:54; Yohana 11:41; Wagalatia 4:6.
A04 Masiha amekuwepo tangu milele.
B01 Masiha ndiye Mwana wa Mungu.
E13 Mungu anathibitisha huduma ya Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 89:27 Nami nitamjalia kuwa
mzaliwa wangu wa kwanza, Kuwa juu sana
kuliko wafalme wa dunia.
28 Hata milele nitamwekea fadhili zangu, Na
agano langu litafanyika amini kwake.
29 Wazao wake nao nitawadumisha milele, Na
kiti chake cha enzi kama siku za mbingu.
MATENDO YA MITUME 13:32 Na sisi
tunawahubiri habari njema ya ahadi ile
waliyopewa mababa,
33 ya kwamba Mungu amewatimizia watoto
wetu ahadi hiyo, kwa kumfufua Yesu; kama
ilivyoandikwa katika Zaburi ya pili, Wewe
ndiwe Mwanangu, mimi leo nimekuzaa.
34 Tena ya kuwa alimfufua katika wafu, asipate
kurudia uharibifu, amenena hivi, Nitawapa
ninyi mambo matakatifu ya Daudi yaliyo
amini.
WAEBRANIA 1:5 Kwa maana alimwambia
malaika yupi wakati wo wote, Ndiwe
mwanangu, Mimi leo nimekuzaa? Na
tena, Mimi nitakuwa kwake baba, Na yeye
atakuwa kwangu mwana?
6 Hata tena, amletapo mzaliwa wa kwanza
ulimwenguni, asema, Na wamsujudu
malaika wote wa Mungu.
7 Na kwa habari za malaika asema, Afanyaye
malaika zake kuwa pepo, Na watumishi
wake kuwa miali ya moto.
8 Lakini kwa habari za Mwana asema, Kiti
chako cha enzi,Mungu,ni cha milele na
milele; Na fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya
adili.
WAKOLOSAI 1:15 naye ni mfano wa Mungu
asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa
viumbe vyote.
16 Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa,
vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi,
vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa
ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au
mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia
yake, na kwa ajili yake.
17 Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu
vyote hushikana katika yeye.
18 Naye ndiye kichwa cha mwili, yaani, cha
kanisa; naye ni mwanzo, ni mzaliwa
wa kwanza katika wafu, ili kwamba awe
mtangulizi katika yote.
19 Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifu
wote ukae;
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
ZABURIEN
144
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
Ona pia: #1; #2; #4; Warumi 8:20.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 89:35 Neno moja nimeliapa kwa
utakatifu wangu, Hakika sitamwambia
Daudi uongo,
36 Wazao wake watadumu milele, Na kiti chake
kitakuwa kama jua mbele zangu.
37 Kitathibitika milele kama mwezi; Shahidi
aliye mbinguni mwaminifu.
LUKA 1:32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa
Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu
atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
Ona pia: Isaya 9:8; Ufunuo wa Yohana 1:5.
A04 Masiha amekuwepo tangu milele.
ZABURI 90:2 Kabla haijazaliwa milima,
wala hujaiumba dunia, Na tangu milele hata
milele ndiwe Mungu.
YOHANA 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako
Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu,
naye Neno alikuwa Mungu.
Ona pia: Mithali 8:22-26; Isaya 44:6; Waebrania 1:10-12; Waebrania 13:8; Ufunuo wa Yohana 1:8.
E03 Kujaribiwa kwa Masiha.
ZABURI 91:11 Kwa kuwa atakuagizia
malaika zake Wakulinde katika njia zako
zote.
12 Mikononi mwao watakuchukua, Usije
ukajikwaa mguu wako katika jiwe.
LUKA 4:9 Akamwongoza mpaka
Yerusalemu, akamweka juu ya kinara cha
hekalu, akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana
wa Mungu, jitupe chini;
10 kwa maana imeandikwa, Atakuagizia
malaika zake wakulinde;
11 na ya kwamba,mikononi mwao
watakuchukua, Usije ukajikwaa mguu wako
katika jiwe.
12 Yesu akajibu akamwambia, Imenenwa,
Usimjaribu Bwana Mungu wako.
Ona pia: Mathayo 4:6; Waebrania 1:14.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ZABURI 91:13 Utawakanyaga simba na
nyoka, Mwana-simba na joka utawaseta kwa
miguu.
MARKO 16:18 watashika nyoka; hata
wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru
kabisa; wataweka mikono yao juu ya
wagonjwa, nao watapata afya.
MATENDO YA MITUME 28:3 Paulo
alipokuwa amekusanya mzigo wa kuni, na
kuuweka motoni, nyoka akatoka kwa ajili ya
ule moto akamzonga-zonga mkononi.
4 Wenyeji walipomwona yule nyoka akilewa-
lewa mkononi, wakaambiana, Hakosi
ZABURIEN
145
mtu huyu ni mwuaji; ambaye ijapokuwa
ameokoka katika bahari haki haimwachi
kuishi.
5 Lakini yeye akamtukusia motoni asipate
madhara.
2 TIMOTHEO 4:17 Lakini Bwana
alisimama pamoja nami akanitia nguvu, ili
kwa kazi yangu ule ujumbe utangazwe kwa
utimilifu, hata wasikie Mataifa yote; nami
nikaokolewa katika kinywa cha simba.
Ona pia: Isaya 1:6-8; Isaya 35:9; Isaya 65:25; Danieli 6:21; Ufunuo wa Yohana 5:5.
F01 Kifo cha Masiha kinatabiriwa.
G01 Kufufuka kwa Masiha kunatabiriwa.
G03 Kuinuliwa kwa Masiha kunatabiriwa.
ZABURI 91:14 Kwa kuwa amekaza
kunipenda Nitamwokoa; na kumweka palipo
juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu.
15 Ataniita nami nitamwitikia; Nitakuwa
pamoja naye taabuni, Nitamwokoa na
kumtukuza;
16 Kwa siku nyingi nitamshibisha, Nami
nitamwonyesha wokovu wangu.
YOHANA 12:28 Baba, ulitukuze jina
lako. Basi ikaja sauti kutoka mbinguni,
Nimelitukuza, nami nitalitukuza tena.
YOHANA 13:32 Mungu naye atamtukuza
ndani ya nafsi yake; naye atamtukuza mara.
YOHANA 14:23 Yesu akajibu, akamwambia,
Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na
Baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake,
na kufanya makao kwake.
YOHANA 16:14 Yeye atanitukuza mimi,
kwa kuwa atatwaa katika yaliyo yangu na
kuwapasha habari.
YOHANA 16:27 kwa maana Baba mwenyewe
awapenda kwa kuwa ninyi mmenipenda
mimi, na kusadiki ya kwamba mimi nalitoka
kwa Baba.
YOHANA 21:19 Akasema neno hilo
kwa kuonyesha ni kwa mauti gani
atakayomtukuza Mungu. Naye akiisha
kusema hayo akamwambia, Nifuate.
WAEBRANIA 5:7 Yeye, siku hizo za mwili
wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa
na kumtoa katika mauti, maombi na
dua pamoja na kulia sana na machozi,
akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha
Mungu;
8 na, ingawa ni Mwana, alijifunza kutii kwa
mateso hayo yaliyompata;
Ona pia: Warumi 8:28; Zaburi 18:3,4; Zaburi 16:10; Zaburi 21:4; Zaburi 61:5,6.
A04 Masiha amekuwepo tangu milele.
D04 Kazi ya Masiha kama Mfalme.
ZABURI 93:1 Bwana ametamalaki,
amejivika adhama, Bwana amejivika,
na kujikaza nguvu. Naam, ulimwengu
umethibitika usitikisike;
2 Kiti chako kimekuwa thabiti tokea zamani;
Wewe ndiwe uliye tangu milele.
MITHALI 8:22 Bwana alikuwa nami katika
mwanzo wa njia yake, Kabla ya matendo
yake ya kale.
ZABURIEN
146
23 Nalitukuka tokea milele, tangu awali, Kabla
haijawako dunia.
WAEBRANIA 1:2 mwisho wa siku hizi
amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka
kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliufanya
ulimwengu.
3 Yeye kwa kuwa ni mng›ao wa utukufu wake
na chapa ya nafsi yake, akivichukua vyote
kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya
utakaso wa dhambi, aliketi mkono wa
kuume wa Ukuu huko juu;
UFUNUO WA YOHANA 19:6 Nikasikia
sauti kama sauti ya makutano mengi, na kama
sauti ya maji mengi, na kama sauti ya radi
yenye nguvu, ikisema, Haleluya; kwa kuwa
Bwana Mungu wetu, Mwenyezi, amemiliki.
7 Na tufurahi, tukashangilie, tukampe utukufu
wake; kwa kuwa arusi ya Mwana-Kondoo
imekuja, na mkewe amejiweka tayari.
Ona pia: #1; #2; Mika 5:2; Waebrania 1:10-12; Waebrania 13:8; Ufunuo wa Yohana 1:8,17,18.
A08 Majina na vyeo vya Masiha.
H05 Utukufu na nguvu za Masiha zinazokuja.
ZABURI 95:1 Njoni, tumwimbie Bwana,
Tumfanyie shangwe mwamba wa wokovu
wetu.
2 Tuje mbele zake kwa shukrani, Tumfanyie
shangwe kwa zaburi.
3 Kwa kuwa Bwana ni Mungu mkuu, Na
Mfalme mkuu juu ya miungu yote.
2 SAMWELI 22:2 akasema, Bwana ndiye jabali
langu, na ngome yangu, na mwokozi wangu,
naam, wangu;
2 SAMWELI 22:32 Maana ni nani aliye Mungu,
ila Bwana? Ni nani aliye mwamba, ila
Mungu wetu?
2 SAMWELI 22:47 Bwana ndiye aliye hai; Na
ahimidiwe mwamba wangu; Na atukuzwe
Mungu wa mwamba wa wokovu wangu;
2 SAMWELI 23:3 Mungu wa Israeli alisema,
Mwamba wa Israeli aliniambia, Atawalaye
wanadamu kwa haki, Akitawala katika kicho
cha Mungu,
1 WAKORINTHO 10:4 wote wakanywa
kinywaji kile kile cha roho; kwa maana
waliunywea mwamba wa roho uliowafuata;
na mwamba ule ulikuwa ni Kristo.
Ona pia: #1; #4; Kumbukumbu la Torati 32:4,15,18; Zaburi 18:1,2,31,46; Zaburi 19:14; Zaburi 31:2,3; Zaburi 62:2,6,7; Zaburi
71:3; Zaburi 73:26; Zaburi 78:35; Zaburi 89:26; Zaburi 92:15; Zaburi 94:22; Zaburi 144:1; Isaya 26:4; Isaya 30:29; Isaya 44:8.
B06 Masiha ndiye Mchungaji mwema.
E26 Kazi ya ukombozi ya Masiha.
ZABURI 95:7 Kwa maana ndiye Mungu
wetu, Na sisi tu watu wa malisho yake, Na
kondoo za mkono wake. Ingekuwa heri leo
msikie sauti yake!
8 Msifanye migumu mioyo yenu; Kama vile
huko Meriba Kama siku ya Masa jangwani.
9 Hapo waliponijaribu baba zenu,
Wakanipima, wakayaona matendo yangu.
10 Miaka arobaini nalihuzunika na kizazi kile,
Nikasema, Hao ni watu waliopotoka mioyo,
Hawakuzijua njia zangu.
11 Nikaapa kwa hasira yangu Wasiingie rahani
mwangu.
ZABURIEN
147
MATHAYO 11:28 Njoni kwangu, ninyi nyote
msumbukao na wenye kulemewa na mizigo,
nami nitawapumzisha.
29 Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa
kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa
moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;
YOHANA 10:14 Mimi ndimi mchungaji
mwema; nao walio wangu nawajua; nao
walio wangu wanijua mimi;
15 kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo
Baba. Nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya
kondoo.
16 Na kondoo wengine ninao, ambao si wa zizi
hili; na hao nao imenipasa kuwaleta; na sauti
yangu wataisikia; kisha kutakuwako kundi
moja na mchungaji mmoja.
WAEBRANIA 3:7 Kwa hiyo, kama anenavyo
Roho Mtakatifu, Leo, kama mtaisikia sauti
yake,
8 Msifanye migumu mioyo yenu, Kama wakati
wa kukasirisha, Siku ya kujaribiwa katika
jangwa,
9 Hapo baba zenu waliponijaribu,
wakanipima, Wakaona matendo yangu
miaka arobaini.
10 Kwa hiyo nalichukizwa na kizazi hiki,
Nikasema, Sikuzote ni watu waliopotoka
mioyo hawa; Hawakuzijua njia zangu;
11 Kama nilivyoapa kwa hasira yangu,
Hawataingia rahani mwangu.
12 Angalieni, ndugu zangu, usiwe katika
mmoja wenu moyo mbovu wa kutokuamini,
kwa kujitenga na Mungu aliye hai.
13 Lakini mwonyane kila siku, maadamu
iitwapo leo; ili mmoja wenu asifanywe
mgumu kwa udanganyifu wa dhambi.
14 Kwa maana tumekuwa washirika wa Kristo,
kama tukishikamana na mwanzo wa uthabiti
wetu kwa nguvu mpaka mwisho;
15 hapo inenwapo, Leo, kama mtaisikia sauti
yake, Msifanye migumu mioyo yenu, Kama
wakati wa kukasirisha.
16 Maana ni akina nani waliokasirisha,
waliposikia? Si wale wote waliotoka Misri
wakiongozwa na Musa?
17 Tena ni akina nani aliochukizwa nao miaka
arobaini? Si wale waliokosa, ambao mizoga
yao ilianguka katika jangwa?
18 Tena ni akina nani aliowaapia ya kwamba
hawataingia katika raha yake, ila wale
walioasi?
19 Basi twaona ya kuwa hawakuweza kuingia
kwa sababu ya kutokuamini kwao.
WAEBRANIA 4:1 Basi, ikiwa ikaliko ahadi ya
kuingia katika raha yake, na tuogope, mmoja
wenu asije akaonekana ameikosa.
2 Maana ni kweli, sisi nasi tumehubiriwa
habari njema vile vile kama hao. Lakini neno
lile lililosikiwa halikuwafaa hao, kwa sababu
halikuchanganyika na imani ndani yao
waliosikia.
3 Maana sisi tulioamini tunaingia katika raha
ile; kama vile alivyosema, Kama nilivyoapa
kwa hasira yangu, Hawataingia rahani
mwangu:
4 Kwa maana ameinena siku ya saba mahali
fulani hivi, Mungu alistarehe siku ya saba,
akaziacha kazi zake zote;
5 na hapa napo, Hawataingia rahani mwangu.
6 Basi, kwa kuwa neno hili limebaki kwamba
wako watu watakaoingia humo, na wale
waliohubiriwa habari ile zamani walikosa
kuingia kwa sababu ya kuasi kwao,
7 aweka tena siku fulani, akisema katika
Daudi baada ya muda mwingi namna hii,
Leo; kama ilivyonenwa tangu zamani,
Leo,kama mtaisikia sauti yake, Msifanye
ZABURIEN
148
migumu mioyo yenu.
8 Maana kama Yoshua angaliwapa raha,
asingaliinena siku nyingine baadaye.
9 Basi, imesalia raha ya sabato kwa watu wa
Mungu.
10 Kwa maana yeye aliyeingia katika raha yake
amestarehe mwenyewe katika kazi yake,
kama vile Mungu alivyostarehe katika kazi
zake.
11 Basi, na tufanye bidii kuingia katika raha ile,
ili kwamba mtu ye yote asije akaanguka kwa
mfano uo huo wa kuasi.
1 PETRO 2:25 Kwa maana mlikuwa
mnapotea kama kondoo; lakini sasa
mmemrudia Mchungaji na Mwangalizi wa
roho zenu.
YUDA 1:5 Tena napenda
kuwakumbusha, ijapokuwa mmekwisha
kujua haya yote, ya kwamba Bwana, akiisha
kuwaokoa watu katika nchi ya Misri,
aliwaangamiza baadaye wale wasioamini.
Ona pia: Mwanzo 2:2,3; Kutoka 17:2-7; Hesabu 14:11-30; Kumbukumbu la Torati 1:34,35; Kumbukumbu la Torati 2:14-
16; Zaburi 78:17,18,40,41,56; Matendo ya Mitume 20:28; 1 Wakorintho 10:9; Waebrania 11:16; Waebrania 12:25; Ufunuo wa
Yohana 14:13.
E15 Masiha ataleta habari njema.
ZABURI 96:1 Mwimbieni Bwana wimbo
mpya, Mwimbieni Bwana, nchi yote.
2 Mwimbieni Bwana, libarikini jina lake,
Tangazeni wokovu wake siku kwa siku.
3 Wahubirini mataifa habari za utukufu wake,
Na watu wote habari za maajabu yake.
MATHAYO 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye
mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza
kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho
Mtakatifu;
LUKA 24:47 na kwamba mataifa yote
watahubiriwa kwa jina lake habari ya
toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu
Yerusalemu.
WAEFESO 1:3 Atukuzwe Mungu, Baba wa
Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa
baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa
roho, ndani yake Kristo;
UFUNUO WA YOHANA 5:13 Na kila
kiumbe kilichoko mbinguni na juu ya nchi
na chini ya nchi ya juu ya bahari, na vitu
vyote vilivyomo ndani yake, nalivisikia,
vikisema, Baraka na heshima na utukufu
na uweza una yeye aketiye juu ya kiti cha
enzi, na yeye Mwana-Kondoo, hata milele na
milele.
UFUNUO WA YOHANA 14:6 Kisha
nikaona malaika mwingine, akiruka
katikati ya mbingu, mwenye Injili ya milele,
awahubiri hao wakaao juu ya nchi, na kila
taifa na kabila na lugha na jamaa,
7 akasema kwa sauti kuu, Mcheni Mungu,
na kumtukuza, kwa maana saa ya hukumu
yake imekuja. Msujudieni yeye aliyezifanya
mbingu na nchi na bahari na chemchemi za
maji.
ZABURIEN
149
H01 Kurudi kwa Masiha kunatabiriwa.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 96:7 Mpeni Bwana, enyi jamaa za
watu, Mpeni Bwana utukufu na nguvu.
8 Mpeni Bwana utukufu wa jina lake, Leteni
sadaka mkaziingie nyua zake.
9 Mwabuduni Bwana kwa uzuri wa utakatifu,
Tetemekeni mbele zake, nchi yote.
10 Semeni katika mataifa, Bwana ametamalaki;
Naam, ulimwengu umethibitika usitikisike,
Atawahukumu watu kwa adili.
11 Mbingu na zifurahi, nchi na ishangilie,
Bahari na ivume na vyote viijazavyo,
12 Mashamba na yashangilie, na vyote
vilivyomo, Ndipo miti yote ya mwituni iimbe
kwa furaha;
13 Mbele za Bwana, kwa maana anakuja,
Kwa maana anakuja aihukumu nchi.
Atauhukumu ulimwengu kwa haki, Na
mataifa kwa uaminifu wake.
WAGALATIA 1:16 alipoona vema
kumdhihirisha Mwanawe ndani yangu,
ili niwahubiri Mataifa habari zake; mara
sikufanya shauri na watu wenye mwili na
damu;
1 WATHESALONIKE 4:16 Kwa sababu
Bwana mwenyewe atashuka kutoka
mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya
malaika mkuu, na parapanda ya Mungu;
nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa
kwanza.
17 Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa
pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki
Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja
na Bwana milele.
18 Basi, farijianeni kwa maneno hayo.
2 WATHESALONIKE 1:10 yeye atakapokuja
ili kutukuzwa katika watakatifu wake,
na kustaajabiwa katika wote waliosadiki
katika siku ile, (kwa sababu ushuhuda wetu
ulisadikiwa kwenu).
2 TIMOTHEO 4:8 baada ya hayo nimewekewa
taji ya haki, ambayo Bwana, mhukumu
mwenye haki, atanipa siku ile; wala si
mimi tu, bali na watu wote pia waliopenda
kufunuliwa kwake.
TITO 2:13 tukilitazamia tumaini lenye
baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo
Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
2 PETRO 3:12 mkitazamia hata ije siku ile
ya Mungu, na kuihimiza; ambayo katika hiyo
mbingu zitafumuliwa zikiungua, na viumbe
vya asili vitateketea na kuyeyuka?
UFUNUO WA YOHANA 11:18 Na
mataifa walikasirika, hasira yako nayo ikaja,
na wakati ukaja wa kuhukumiwa waliokufa,
na wa kuwapa thawabu yao watumwa wako
manabii na watakatifu, na hao walichao
jina lako, wadogo kwa wakubwa, na wa
kuwaharibu hao waiharibuo nchi.
UFUNUO WA YOHANA 19:11 Kisha
nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama,
farasi mweupe, na yeye aliyempanda,
aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa
haki ahukumu na kufanya vita.
Ona pia: #1; #2; #6.
ZABURIEN
150
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 97:1 Bwana ametamalaki, nchi na
ishangilie, Visiwa vingi na vifurahi.
2 Mawingu na giza vyamzunguka, Haki na
hukumu ndio msingi wa kiti chake.
3 Moto hutangulia mbele zake, Nao
huwateketeza watesi wake pande zote.
4 Umeme wake uliuangaza ulimwengu, Nchi
ikaona ikatetemeka.
5 Milima iliyeyuka kama nta mbele za Bwana,
Mbele za Bwana wa dunia yote.
6 Mbingu zimetangaza haki yake, Na watu
wote wameuona utukufu wake.
2 WATHESALONIKE 1:8 katika mwali
wa moto; huku akiwalipiza kisasi wao
wasiomjua Mungu, na wao wasioitii Injili ya
Bwana wetu Yesu;
WAEBRANIA 12:29 maana Mungu
wetu ni moto ulao.
2 PETRO 3:10 Lakini siku ya Bwana itakuja
kama mwivi; katika siku hiyo mbingu
zitatoweka kwa mshindo mkuu, na viumbe
vya asili vitaunguzwa, na kufumuliwa, na
nchi na kazi zilizomo ndani yake zitateketea.
11 Basi, kwa kuwa vitu hivi vyote vitafumuliwa
hivyo, imewapasa ninyi kuwa watu wa tabia
gani katika mwenendo mtakatifu na utauwa,
12 mkitazamia hata ije siku ile ya Mungu, na
kuihimiza; ambayo katika hiyo mbingu
zitafumuliwa zikiungua, na viumbe vya asili
vitateketea na kuyeyuka?
UFUNUO WA YOHANA 1:7 Tazama,
yuaja na mawingu; na kila jicho litamwona,
na hao waliomchoma; na kabila zote za
dunia wataomboleza kwa ajili yake. Naam.
Amina.
UFUNUO WA YOHANA 5:13 Na kila
kiumbe kilichoko mbinguni na juu ya nchi
na chini ya nchi ya juu ya bahari, na vitu
vyote vilivyomo ndani yake, nalivisikia,
vikisema, Baraka na heshima na utukufu
na uweza una yeye aketiye juu ya kiti cha
enzi, na yeye Mwana-Kondoo, hata milele na
milele.
UFUNUO WA YOHANA 6:16
wakiiambia milima na miamba, Tuangukieni,
tusitirini, mbele za uso wake yeye aketiye juu ya
kiti cha enzi, na hasira ya Mwana-Kondoo.
17 Kwa maana siku iliyo kuu, ya hasira yao,
imekuja; naye ni nani awezaye kusimama?
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 19:2 kwa
kuwa hukumu zake ni za kweli na za haki;
maana amemhukumu yule kahaba mkuu
aliyeiharibu nchi kwa uasherati wake,
na kuipatiliza damu ya watumwa wake
mkononi mwake.
Ona pia: #1; #6; #7.
ZABURIEN
151
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
ZABURI 98:1 Mwimbieni Bwana wimbo
mpya, Kwa maana ametenda mambo ya
ajabu. Mkono wa kuume wake mwenyewe,
Mkono wake mtakatifu umemtendea
wokovu.
2 Bwana ameufunua wokovu wake, Machoni
pa mataifa ameidhihirisha haki yake.
3 Amezikumbuka rehema zake, Na uaminifu
wake kwa nyumba ya Israeli. Miisho yote ya
dunia imeuona Wokovu wa Mungu wetu.
ISAYA 52:10 Bwana ameweka wazi
mkono wake mtakatifu Machoni pa mataifa
yote; Na ncha zote za dunia Zitauona
wokovu wa Mungu wetu.
ISAYA 52:15 ndivyo atakavyowasitusha
mataifa mengi; wafalme watamfumbia
vinywa vyao; maana mambo wasiyoambiwa
watayaona; na mambo wasiyoyasikia
watayafahamu.
MATHAYO 28:18 Yesu akaja kwao, akasema
nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote
mbinguni na duniani.
19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote
kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la
Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
MARKO 16:15 Akawaambia, Enendeni
ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa
kila kiumbe.
LUKA 1:70 Kama alivyosema tangu
mwanzo Kwa kinywa cha manabii wake
watakatifu;
71 Tuokolewe na adui zetu Na mikononi mwao
wote wanaotuchukia;
72 Ili kuwatendea rehema baba zetu, Na
kulikumbuka agano lake takatifu;
73 Uapo aliomwapia Ibrahimu, baba yetu,
74 Ya kwamba atatujalia sisi, Tuokoke mikononi
mwa adui zetu, Na kumwabudu pasipo hofu,
75 Kwa utakatifu na kwa haki Mbele zake siku
zetu zote.
LUKA 2:30 Kwa kuwa macho yangu
yameuona wokovu wako,
31 Uliouweka tayari machoni pa watu wote;
32 Nuru ya kuwa mwangaza wa Mataifa, Na
kuwa utukufu wa watu wako Israeli.
WARUMI 10:18 Lakini nasema, Je! Wao
hawakusikia? Naam, wamesikia, Sauti yao
imeenea duniani mwote, Na maneno yao
hata miisho ya ulimwengu.
WARUMI 15:8 Kwa maana nasema, ya
kwamba Kristo amefanyika mhudumu
wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli
ya Mungu, kusudi azithibitishe ahadi
walizopewa baba zetu;
9 tena ili Mataifa wamtukuze Mungu kwa ajili
ya rehema zake; kama ilivyoandikwa, Kwa
hiyo nitakushukuru kati ya Mataifa, Nami
nitaliimbia jina lako.
Ona pia: Mambo ya Walawi 26:14-45; Zaburi 106:45; Isaya 45:21-23; Isaya 49:6; Mika 7:20; Luka 3:6.
B13 Mamlaka ya Masiha.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 98:4 Mshangilieni Bwana, nchi
yote, Inueni sauti, imbeni kwa furaha,
imbeni zaburi.
ZABURIEN
152
5 Mwimbieni Bwana zaburi kwa kinubi, Kwa
kinubi na sauti ya zaburi.
6 Kwa panda na sauti ya baragumu.
Shangilieni mbele za Mfalme, Bwana.
7 Bahari na ivume na vyote viijazavyo,
Ulimwengu nao wanaokaa ndani yake.
8 Mito na ipige makofi, Milima na iimbe
pamoja kwa furaha.
9 Mbele za Bwana; Kwa maana anakuja
aihukumu nchi. Atauhukumu ulimwengu
kwa haki, Na mataifa kwa adili.
MATHAYO 24:30 ndipo itakapoonekana
ishara yake Mwana wa Adamu mbinguni;
ndipo mataifa yote ya ulimwengu
watakapoomboleza, nao watamwona
Mwana wa Adamu akija juu ya mawingu
ya mbinguni pamoja na nguvu na utukufu
mwingi.
MATHAYO 26:64 Yesu akamwambia, Wewe
umesema; lakini nawaambieni, Tangu sasa
mtamwona Mwana wa Adamu ameketi
mkono wa kuume wa nguvu, akija juu ya
mawingu ya mbinguni.
UFUNUO WA YOHANA 1:7 Tazama,
yuaja na mawingu; na kila jicho litamwona,
na hao waliomchoma; na kabila zote za
dunia wataomboleza kwa ajili yake. Naam.
Amina.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 14:14 Kisha
nikaona, na tazama, wingu jeupe, na juu
ya wingu hilo ameketi mmoja, mfano wa
Mwanadamu, mwenye taji ya dhahabu juu
ya kichwa chake, na katika mkono wake
mundu mkali.
15 Na malaika mwingine akatoka katika hekalu,
akimlilia kwa sauti kuu yeye aliyekuwa
ameketi juu ya lile wingu, Tia mundu wako,
ukavune; kwa kuwa saa ya kuvuna imekuja;
kwa kuwa mavuno ya nchi yamekomaa.
16 Na yeye aliyeketi juu ya wingu akautupa
mundu wake juu ya nchi, nchi ikavunwa.
Ona pia: #5; #6; Matendo ya Mitume 1:9-11.
B18 Utakatifu, uzuri na utukufu wa Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 99:1 Bwana ametamalaki, mataifa
wanatetemeka; Ameketi juu ya makerubi,
nchi inatikisika.
2 Bwana katika Sayuni ni mkuu, Naye
ametukuka juu ya mataifa yote.
3 Na walishukuru jina lake kuu la kuhofiwa;
Ndiye mtakatifu.
4 Nguvu za mfalme nazo zapenda hukumu;
Wewe ndiwe uliyeithibitisha adili; Ulifanya
hukumu na haki katika Yakobo.
5 Mtukuzeni Bwana, Mungu wetu; Sujuduni
penye kiti cha miguu yake; Ndiye mtakatifu.
ISAYA 14:32 Wajumbe wa taifa hilo
waletewe jibu gani? Ya kuwa Bwana
ameiweka misingi ya Sayuni, na ndani yake
wale walioonewa katika watu wake wataona
kimbilio.
MATHAYO 28:18 Yesu akaja kwao, akasema
nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote
ZABURIEN
153
mbinguni na duniani.
WAEBRANIA 12:22 Bali ninyi
mmeufikilia mlima Sayuni, na mji wa
Mungu aliye hai, Yerusalemu wa mbinguni,
na majeshi ya malaika elfu nyingi,
23 mkutano mkuu na kanisa la wazaliwa wa
kwanza walioandikwa mbinguni, na Mungu
mwamuzi wa watu wote, na roho za watu
wenye haki waliokamilika,
24 na Yesu mjumbe wa agano jipya, na damu
ya kunyunyizwa, inenayo mema kuliko ile ya
Habili.
1 YOHANA 3:3 Na kila mwenye matumaini
haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo
mtakatifu.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 14:1 Kisha
nikaona, na tazama, huyo Mwana-Kondoo
amesimama juu ya mlima Sayuni, na
watu mia na arobaini na nne elfu pamoja
naye, wenye jina lake na jina la Baba yake
limeandikwa katika vipaji vya nyuso zao.
UFUNUO WA YOHANA 19:11 Kisha
nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama,
farasi mweupe, na yeye aliyempanda,
aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa
haki ahukumu na kufanya vita.
UFUNUO WA YOHANA 19:16 Naye ana
jina limeandikwa katika vazi lake na paja
lake, MFALME WA WAFALME, NA Bwana
WA MABwana.
Ona pia: #1; #2.
F11 Mateso ya Masiha.
ZABURI 102:1 Ee Bwana, usikie kuomba
kwangu, Kilio changu kikufikie.
2 Usinifiche uso wako siku ya shida yangu,
Unitegee sikio lako, siku niitapo unijibu
upesi.
3 Maana siku zangu zinatoweka kama moshi,
Na mifupa yangu inateketea kama kinga.
4 Moyo wangu umepigwa kama majani na
kukauka, Naam, ninasahau kula chakula
changu.
5 Kwa ajili ya sauti ya kuugua kwangu Mifupa
yangu imegandamana na nyama yangu.
6 Nimekuwa kama mwari nyuni wa jangwani,
Na kufanana na bundi wa mahameni.
7 Nakesha, tena nimekuwa kama shomoro
Aliye peke yake juu ya nyumba.
8 Adui zangu wananilaumu mchana kutwa;
Wanaonichukia kana kwamba wana wazimu
Huapa kwa kunitaja mimi.
9 Maana nimekula majivu kama chakula, Na
kukichanganya kinywaji changu na machozi.
10 Kwa sababu ya ghadhabu yako na hasira
yako; Maana umeniinua na kunitupilia
mbali.
11 Siku zangu zi kama kivuli kilichotandaa,
Nami ninanyauka kama majani.
MARKO 14:33 Akamtwaa Petro na Yakobo
na Yohana pamoja naye, akaanza kufadhaika
sana na kuhangaika.
34 Akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi
kiasi cha kufa; kaeni hapa mkeshe.
ZABURIEN
154
LUKA 22:44 Naye kwa vile alivyokuwa
katika dhiki, akazidi sana kuomba; hari yake
ikawa kama matone ya damu yakidondoka
nchini.]
WAEBRANIA 5:7 Yeye, siku hizo za mwili
wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa
na kumtoa katika mauti, maombi na
dua pamoja na kulia sana na machozi,
akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha
Mungu;
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H05 Utukufu na nguvu za Masiha zinazokuja.
ZABURI 102:13 Wewe mwenyewe
utasimama, Na kuirehemu Sayuni, Kwa
maana ndio wakati wa kuihurumia, Naam,
majira yaliyoamriwa yamewadia.
14 Maana watumishi wako wameyaridhia mawe
yake, Na kuyaonea huruma mavumbi yake.
15 Kisha mataifa wataliogopa jina la Bwana, Na
wafalme wote wa dunia utukufu wako;
16 Bwana atakapokuwa ameijenga Sayuni,
Atakapoonekana katika utukufu wake,
17 Atakapoyaelekea maombi yake aliye mkiwa,
Asiyadharau maombi yao.
18 Kizazi kitakachokuja kitaandikiwa hayo, Na
watu watakaoumbwa watamsifu Bwana.
19 Maana ametazama toka patakatifu pake pa
juu, Toka mbinguni Bwana ameiangalia
nchi,
20 Ili akusikie kuugua kwake aliyefungwa, Na
kuwafungua walioandikiwa kufa.
21 Watu walitangaze jina la Bwana katika
Sayuni, Na sifa zake katika Yerusalemu,
22 Pindi mataifa watapokusanyika pamoja,
Falme nazo ili kumtumikia Bwana.
ZEKARIA 2:10 Imba, ufurahi, Ee binti
Sayuni; maana, tazama, ninakuja, nami
nitakaa kati yako, asema Bwana.
11 Na mataifa mengi watajiunga na Bwana
katika siku ile, nao watakuwa watu wangu;
nami nitakaa kati yako, nawe utajua ya kuwa
Bwana wa majeshi amenituma kwako.
12 Na Bwana atairithi Yuda, iwe sehemu
yake katika nchi takatifu, naye atachagua
Yerusalemu tena.
LUKA 2:32 Nuru ya kuwa mwangaza
wa Mataifa, Na kuwa utukufu wa watu wako
Israeli.
MATENDO YA MITUME 13:46
Paulo na Barnaba wakanena kwa ushujaa
wakasema, Ilikuwa lazima neno la Mungu
linenwe kwenu kwanza; lakini kwa kuwa
mnalisukumia mbali, na kujiona nafsi
zenu kuwa hamkustahili uzima wa milele,
angalieni, twawageukia Mataifa.
47 Kwa sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana,
Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, Upate
kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.
48 Mataifa waliposikia hayo wakafurahi,
wakalitukuza neno la Bwana, nao waliokuwa
wamekusudiwa uzima wa milele wakaamini.
WARUMI 11:25 Kwa maana, ndugu zangu,
sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa
wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu
umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa
Mataifa uwasili.
26 Hivyo Israeli wote wataokoka; kama
ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka
Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake.
27 Na hili ndilo agano langu nao,
ZABURIEN
155
Nitakapowaondolea dhambi zao.
UFUNUO WA YOHANA 21:24 Na
mataifa watatembea katika nuru yake. Na
wafalme wa nchi huleta utukufu wao ndani
yake.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; Zaburi 51:18; Matendo ya Mitume 10:45; Matendo ya Mitume 11:1,18; Matendo ya Mitume 13:42.
A06 Masiha ndiye Muumbaji.
ZABURI 102:25 Hapo mwanzo uliutia msingi
wa nchi, Na mbingu ni kazi ya mikono yako.
26 Hizi zitaharibika, bali Wewe utadumu
Naam, hizi zitachakaa kama nguo; Na kama
mavazi utazibadilisha, Nazo zitabadilika.
27 Lakini Wewe U Yeye yule; Na miaka yako
haitakoma.
LUKA 21:33 Mbingu na nchi zitapita,
lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
WAEBRANIA 1:1 Mungu, ambaye alisema
zamani na baba zetu katika manabii kwa
sehemu nyingi na kwa njia nyingi,
2 mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika
Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote,
tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.
WAEBRANIA 1:10 Na tena, Wewe,Bwana,hapo
mwanzo uliitia misingi ya nchi, Na mbingu
ni kazi za mikono yako;
11 Hizo zitaharibika, bali wewe unadumu;
Nazo zote zitachakaa kama nguo,
12 Na kama mavazi utazizinga, nazo
zitabadilika; Lakini wewe u yeye yule, Na
miaka yako haitakoma.
WAEBRANIA 13:8 Yesu Kristo ni yeye yule, jana
na leo na hata milele.
Ona pia: 2 Petro 3:7-12; Ufunuo wa Yohana 20:11; Ufunuo wa Yohana 21:1.
E21 Masiha atasamehe dhambi.
ZABURI 103:3 Akusamehe maovu yako
yote, Akuponya magonjwa yako yote,
12 Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi,
Ndivyo alivyoweka dhambi zetu mbali nasi.
ZABURI 147:3 Huwaponya waliopondeka
moyo, Na kuziganga jeraha zao.
ISAYA 33:24 Wala hapana mwenyeji
atakayesema, Mimi mgonjwa; watu wakaao
humo watasamehewa uovu wao.
ISAYA 43:25 Mimi, naam, mimi, ndimi
niyafutaye makosa yako kwa ajili yangu
mwenyewe, wala sitazikumbuka dhambi
zako.
ISAYA 53:5 Bali alijeruhiwa kwa makosa
yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu
ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa
kupigwa kwake sisi tumepona.
MARKO 2:5 Naye Yesu, alipoiona imani
yao, akamwambia yule mwenye kupooza,
Mwanangu, umesamehewa dhambi zako.
MARKO 2:10 Lakini mpate kujua ya
kwamba Mwana wa Adamu anayo amri
duniani ya kusamehe dhambi, (hapo
amwambia yule mwenye kupooza),
ZABURIEN
156
11 Nakuambia, Ondoka, ujitwike godoro lako
uende nyumbani kwako.
YAKOBO 5:15 Na kule kuomba kwa imani
kutamwokoa mgonjwa yule, na Bwana
atamwinua; hata ikiwa amefanya dhambi,
atasamehewa.
1 YOHANA 1:7 bali tukienenda nuruni,
kama yeye alivyo katika nuru, twashirikiana
sisi kwa sisi, na damu yake Yesu, Mwana
wake, yatusafisha dhambi yote.
E11 Masiha atapeana uzima wa milele.
E26 Kazi ya ukombozi ya Masiha.
ZABURI 103:4 Aukomboa uhai wako na
kaburi, Akutia taji ya fadhili na rehema,
1 WAKORINTHO 9:25 Na kila
ashindanaye katika michezo hujizuia
katika yote; basi hao hufanya hivyo kusudi
wapokee taji iharibikayo; bali sisi tupokee
taji isiyoharibika.
2 WAKORINTHO 1:10 aliyetuokoa sisi
katika mauti kuu namna ile; tena atatuokoa;
ambaye tumemtumaini kwamba atazidi
kutuokoa;
WAGALATIA 3:13 Kristo alitukomboa katika
laana ya torati, kwa kuwa alifanywa
laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa,
Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti;
2 TIMOTHEO 4:8 baada ya hayo nimewekewa
taji ya haki, ambayo Bwana, mhukumu
mwenye haki, atanipa siku ile; wala si
mimi tu, bali na watu wote pia waliopenda
kufunuliwa kwake.
YAKOBO 1:12 Heri mtu astahimiliye
majaribu; kwa sababu akiisha kukubaliwa
ataipokea taji ya uzima, Bwana aliyowaahidia
wampendao.
1 PETRO 5:4 Na Mchungaji mkuu
atakapodhihirishwa, mtaipokea taji ya
utukufu, ile isiyokauka.
UFUNUO WA YOHANA 2:10 Usiogope
mambo yatakayokupata; tazama, huyo
Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili
mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku
kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami
nitakupa taji ya uzima.
UFUNUO WA YOHANA 5:9 Nao
waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili
wewe kukitwaa hicho kitabu na kuzifungua
muhuri zake; kwa kuwa ulichinjwa,
ukamnunulia Mungu kwa damu yako watu
wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa,
E27 Kutoa moyo mpya na roho mpya.
ZABURI 103:5 Aushibisha mema uzee
wako, Ujana wako ukarejezwa kama tai;
2 WAKORINTHO 4:16 Kwa hiyo hatulegei;
bali ijapokuwa utu wetu wa nje unachakaa,
lakini utu wetu wa ndani unafanywa upya
siku kwa siku.
1 TIMOTHEO 6:17 Walio matajiri wa
ulimwengu wa sasa uwaagize wasijivune,
ZABURIEN
157
wala wasiutumainie utajiri usio yakini, bali
wamtumaini Mungu atupaye vitu vyote kwa
wingi ili tuvitumie kwa furaha.
B15 Masiha atajawa na rehema.
ZABURI 103:13 Kama vile baba
awahurumiavyo watoto wake, Ndivyo Bwana
anavyowahurumia wamchao.
MATENDO YA MITUME 13:26 Ndugu
zangu, wana wa ukoo wa Ibrahimu, na hao
miongoni mwenu wanaomcha Mungu,
kwetu sisi neno la wokovu huu limepelekwa.
Ona pia: Isaya 63:15; Yeremia 31:9,20; Malaki 3:16,17.
B22 Uzuri wa Mungu na Masiha.
ZABURI 103:11 Maana mbingu zilivyoinuka
juu ya nchi, Kadiri ile ile rehema zake ni kuu
kwa wamchao.
17 Bali fadhili za Bwana zina wamchao Tangu
milele hata milele, Na haki yake ina wana wa
wana;
ISAYA 54:8 Kwa ghadhabu ifurikayo
nalikuficha uso wangu dakika moja; lakini
kwa fadhili za milele nitakurehemu, asema
Bwana, Mkombozi wako.
YEREMIA 31:3 Bwana alinitokea zamani,
akisema, Naam nimekupenda kwa upendo
wa milele, ndiyo maana nimekuvuta kwa
fadhili zangu.
HOSEA 2:20 Nami nitakuposa kwa
uaminifu; nawe utamjua Bwana.
WARUMI 2:4 Au waudharau wingi
wa wema wake na ustahimili wake na
uvumilivu wake, usijue ya kuwa wema wa
Mungu wakuvuta upate kutubu?
WARUMI 11:22 Tazama, basi, wema na ukali
wa Mungu; kwa wale walioanguka, ukali,
bali kwako wewe wema wa Mungu, ukikaa
katika wema huo; kama sivyo, wewe nawe
utakatiliwa mbali.
2 WAKORINTHO 6:6 katika kuwa safi,
katika elimu, katika uvumilivu, katika utu
wema, katika Roho Mtakatifu, katika upendo
usio unafiki;
2 WAKORINTHO 10:1 Basi, mimi Paulo
mwenyewe nawasihi kwa upole na utaratibu
wa Kristo; mimi niliye mnyenyekevu
nikiwapo pamoja nanyi, bali nisipokuwapo
ni mwenye ujasiri kwenu;
WAGALATIA 5:22 Lakini tunda la Roho ni
upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu
wema, fadhili, uaminifu,
WAEFESO 2:7 ili katika zamani zinazokuja
audhihirishe wingi wa neema yake upitao
kiasi kwa wema wake kwetu sisi katika
Kristo Yesu.
WAKOLOSAI 3:12 Basi, kwa kuwa mmekuwa
wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao,
jivikeni moyo wa rehema, utu wema,
unyenyekevu, upole, uvumilivu,
TITO 3:4 Lakini wema wake Mwokozi wetu
ZABURIEN
158
Mungu, na upendo wake kwa wanadamu,
ulipofunuliwa, alituokoa;
5 si kwa sababu ya matendo ya haki
tuliyoyatenda sisi; bali kwa rehema yake,
kwa kuoshwa kwa kuzaliwa kwa pili na
kufanywa upya na Roho Mtakatifu;
Ona pia: Hesabu 14:19; 2 Samweli 7:15; 2 Samweli 22:51; 1 Mambo ya Nyakati 16:34,41; 1 Mambo ya Nyakati 17:13; 2
Mambo ya Nyakati 20:21; Nehemia 1:5; Nehemia 13:22; Zaburi 5:7; 6:4; 13:5; 18:50; 21:7; 25:6,7,10; 26:3; 31:7,16,21; 32:10;
33:5,18,22; 36:5,7,10; 42:7; 44:26; 51:1; 52:2,7; 57:3,10; 59:10,16,17; 61:7; 62:12; 63:3; 66:20; 69:13,16; 77:8; 85:7,10; 86:5,13,15;
88:11; 89:2,14,24,28,33,49; 90:14; 92:2; 94:18; 98:3; 100:5; 101:1; 103:4,8,11; 106:1,7,45; 107:1,8,15,21,31,43; 108:4; 109:21,26; 115:1; 117:1; 118:1-4,29; 119:41,64,76,88,90,124,149,159; 130:7; 136:(26
x); 138:2,8; 143:8,12; 144:2; 145:8; 147:11; Mithali 3:3; Mithali 16:6; Isaya 16:5; Isaya 54:10; Isaya 63:7; Yeremia 3:12; Yeremia
16:5; Yeremia 32:18; Yeremia 33:11; Maombolezo 3:22,32; Yoeli 2:13; Yona 4:2; Mika 7:18,20; Zekaria 7:9; Yohana 3:16; Waefeso 2:3-5.
E25 asiha ataaminiwa na kusifiwa.
ZABURI 103:22 Mhimidini Bwana, enyi
matendo yake yote, Mahali pote pa milki
yake. Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.
UFUNUO WA YOHANA 5:12 wakisema
kwa sauti kuu, Astahili Mwana-Kondoo
aliyechinjwa, kuupokea uweza na utajiri na
hekima na nguvu na heshima na utukufu na
baraka.
13 Na kila kiumbe kilichoko mbinguni na juu
ya nchi na chini ya nchi ya juu ya bahari, na
vitu vyote vilivyomo ndani yake, nalivisikia,
vikisema, Baraka na heshima na utukufu
na uweza una yeye aketiye juu ya kiti cha
enzi, na yeye Mwana-Kondoo, hata milele na
milele.
14 Na wale wenye uhai wanne wakasema,
Amina. Na wale wazee wakaanguka,
wakasujudu.
E26 Kazi ya ukombozi ya Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 107:1 Mshukuruni Bwana kwa
kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni
za milele.
2 Na waseme hivi waliokombolewa na Bwana,
Wale aliowakomboa na mkono wa mtesi.
3 Akawakusanya kutoka nchi zote, Mashariki
na magharibi, kaskazini na kusini.
ZABURI 107:4-16
YEREMIA 23:6 Katika siku zake Yuda
ataokolewa, na Israeli atakaa salama, na jina
lake atakaloitwa ni hili, Bwana ni haki yetu.
LUKA 1:68 Atukuzwe Bwana, Mungu wa
Israeli, Kwa kuwa amewajia watu wake, na
kuwakomboa.
LUKA 1:74 Ya kwamba atatujalia sisi,
Tuokoke mikononi mwa adui zetu, Na
kumwabudu pasipo hofu,
LUKA 24:21 Nasi tulikuwa tukitumaini ya
kuwa yeye ndiye atakayewakomboa Israeli.
Zaidi ya hayo yote, leo ni siku ya tatu tangu
yalipotendeka mambo hayo;
WAGALATIA 3:13 Kristo alitukomboa katika
laana ya torati, kwa kuwa alifanywa
laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa,
Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti;
1 WATHESALONIKE 1:10 na kumngojea
Mwanawe kutoka mbinguni, ambaye
alimfufua katika wafu, naye ni Yesu,
mwenye kutuokoa na ghadhabu itakayokuja.
TITO 2:14 ambaye alijitoa nafsi yake
ZABURIEN
159
kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi
yote, na kujisafishia watu wawe milki yake
mwenyewe, wale walio na juhudi katika
matendo mema.
Ona pia: #1; #2; #3; Zaburi 31:5; Isaya 43:1; 2 Wakorintho 1:10; 1 Petro 1:18; Yuda 1:5.
B07 Uweza wa Yote wa Masiha.
ZABURI 107:25 Maana husema, akavumisha
upepo wa dhoruba, Ukayainua juu mawimbi
yake.
26 Wapanda mbinguni, watelemka vilindini,
Nafsi yao yayeyuka kwa hali mbaya.
27 Wayumba-yumba, wapepesuka kama mlevi,
Akili zao zote zawapotea.
28 Wakamlilia Bwana katika dhiki zao,
Akawaponya na shida zao.
29 Huituliza dhoruba, ikawa shwari, Mawimbi
yake yakanyamaza.
MATHAYO 8:24 Kukawa msukosuko mkuu
baharini, hata chombo kikafunikizwa na
mawimbi; naye alikuwa amelala usingizi.
25 Wanafunzi wake wakamwendea,
wakamwamsha, wakisema, Bwana, tuokoe,
tunaangamia.
26 Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga,
enyi wa imani haba? Mara akaondoka,
akazikemea pepo na bahari; kukawa shwari
kuu.
Ona pia: Yona 1:4; Marko 4:39-41; Luka 8:23-25.
F07 Masihtaka na majaribu ya Masiha.
ZABURI 109:1 Ee Mungu wa sifa zangu,
usinyamaze,
2 Kwa maana wamenifumbulia kinywa;
Kinywa cha mtu asiye haki, cha hila,
Wamesema nami kwa ulimi wa uongo.
3 Naam, kwa maneno ya chuki
wamenizunguka, Wamepigana nami bure.
4 Badala ya upendo wangu wao hunishitaki,
Ijapokuwa naliwaombea.
5 Wamenichukuza mabaya badala ya mema,
Na chuki badala ya upendo wangu.
MATHAYO 26:59 Basi wakuu wa makuhani na
baraza yote wakatafuta ushuhuda wa uongo
juu ya Yesu, wapate kumwua;
60 wasiuone wangawa walitokea mashahidi wa
uongo wengi.
61 Hata baadaye wawili wakatokea, wakasema,
Huyu alisema, Naweza kulivunja hekalu la
Mungu, na kulijenga kwa siku tatu.
62 Kisha Kuhani Mkuu akasimama
akamwambia, Hujibu neno? Hawa
wanakushuhudia nini?
YOHANA 10:32 Yesu akawajibu, Kazi njema
nyingi nimewaonyesha, zitokazo kwa Baba;
kwa ajili ya kazi ipi katika hizo mnanipiga
kwa mawe?
YOHANA 15:25 Lakini litimie lile neno
lililoandikwa katika torati yao, Walinichukia
bure.
Ona pia: Zaburi 22:12; Zaburi 31:13; Zaburi 35:7,12; Zaburi 38:20; Zaburi 64:3,4; Zaburi 69:5; Zaburi 88:17,18; Zaburi 140:3.
ZABURIEN
160
F05 Masiha atasalitiwa.
ZABURI 109:8 Siku zake na ziwe chache,
Usimamizi wake na atwae mtu mwingine.
YOHANA 17:12 Nilipokuwapo pamoja nao,
mimi naliwalinda kwa jina lako ulilonipa,
nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao
aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili
andiko litimie.
MATENDO YA MITUME 1:20 Kwa
maana imeandikwa katika chuo cha Zaburi,
Kikao chake na kiwe ukiwa, Wala asiwepo
mtu mwenye kukaa humo;
Ona pia: Mathayo 25:41; Luka 9:54-56; 13:27; 1 Wakorintho 16:22; Wagalatia 1:8; Ufunuo wa Yohana 6:10-17; Ufunuo wa Yohana
19:1-6.
F11 Mateso ya Masiha.
ZABURI 109:25 Nami nalikuwa laumu kwao,
Wanionapo hutikisa vichwa vyao.
MATHAYO 27:39 Nao waliokuwa wakipita
njiani wakamtukana, wakitikisa-tikisa
vichwa vyao, wakisema,
40 Ewe mwenye kulivunja hekalu na kulijenga
kwa siku tatu, jiokoe nafsi yako; ukiwa ndiwe
Mwana wa Mungu, shuka msalabani.
WARUMI 15:3 Kwa maana Kristo naye
hakujipendeza mwenyewe; bali kama
ilivyoandikwa, Malaumu yao waliokulaumu
wewe yalinipata mimi.
WAEBRANIA 12:2 tukimtazama Yesu, mwenye
kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu;
ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele
yake aliustahimili msalaba na kuidharau
aibu, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti
cha enzi cha Mungu.
Ona pia: Zaburi 22:6,7; Zaburi 69:9-12,19-21; Waebrania 13:13.
B13 Mamlaka ya Masiha.
E14 Masiha atashinda kifo na giza.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H07 Masiha ataketi kwenye mkono wa kulia
wa Mungu.
ZABURI 110:1 Neno la Bwana kwa Bwana
wangu, Uketi mkono wangu wa kuume,
Hata niwafanyapo adui zako Kuwa chini ya
miguu yako.
2 Bwana atainyosha toka Sayuni Fimbo ya
nguvu zako. Uwe na enzi kati ya adui zako;
MATHAYO 22:41 Na Mafarisayo
walipokusanyika, Yesu aliwauliza, akisema,
Mwaonaje katika habari za Kristo?
42 Ni mwana wa nani? Wakamwambia, Ni wa
Daudi.
43 Akawauliza, Imekuwaje basi Daudi katika
Roho kumwita Bwana, akisema,
44 Bwana alimwambia Bwana wangu, Uketi
mkono wangu wa kuume, Hata niwawekapo
adui zako Kuwa chini ya miguu yako?
45 Basi, Daudi akimwita Bwana, amekuwaje ni
mwanawe?
46 Wala hakuweza mtu kumjibu neno; wala
hakuthubutu mtu ye yote tangu siku ile
kumwuliza neno tena.
MATENDO YA MITUME 2:33 Basi yeye,
akiisha kupandishwa hata mkono wa kuume
wa Mungu, na kupokea kwa Baba ile ahadi
ZABURIEN
161
ya Roho Mtakatifu, amekimwaga kitu hiki
mnachokiona sasa na kukisikia.
34 Maana Daudi hakupanda mbinguni;
bali yeye mwenyewe anasema, Bwana
alimwambia Bwana wangu, Keti upande wa
mkono wangu wa kuume.
35 Hata nitakapowaweka adui zako chini ya
miguu yako.
1 WAKORINTHO 15:24 Hapo ndipo
mwisho, atakapompa Mungu Baba ufalme
wake; atakapobatilisha utawala wote, na
mamlaka yote, na nguvu.
25 Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke
maadui wake wote chini ya miguu yake.
26 Adui wa mwisho atakayebatilishwa ni mauti.
27 Kwa kuwa, Alivitiisha vitu vyote chini ya
miguu yake. Lakini atakaposema, Vyote
vimetiishwa, ni dhahiri ya kuwa yeye
aliyemtiishia vitu vyote hayumo.
28 Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake,
ndipo Mwana mwenyewe naye atatiishwa
chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili
kwamba Mungu awe yote katika wote.
WAEFESO 1:20 aliotenda katika Kristo
alipomfufua katika wafu, akamweka mkono
wake wa kuume katika ulimwengu wa roho;
21 juu sana kuliko ufalme wote, na mamlaka,
na nguvu, na usultani, na kila jina litajwalo,
wala si ulimwenguni humu tu, bali katika
ule ujao pia;
22 akavitia vitu vyote chini ya miguu yake,
akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa
ajili ya kanisa; ambalo
23 ndilo mwili wake, ukamilifu wake
anayekamilika kwa vyote katika vyote.
WAEBRANIA 1:1 Mungu, ambaye alisema
zamani na baba zetu katika manabii kwa
sehemu nyingi na kwa njia nyingi,
2 mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika
Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote,
tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.
3 Yeye kwa kuwa ni mng›ao wa utukufu wake
na chapa ya nafsi yake, akivichukua vyote
kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya
utakaso wa dhambi, aliketi mkono wa
kuume wa Ukuu huko juu;
WAEBRANIA 1:13 Je! Yuko malaika
aliyemwambia wakati wo wote, Uketi mkono
wangu wa kuume Hata nitakapoweka adui
zako chini ya nyayo zako?
WAEBRANIA 10:13 tangu hapo
akingojea hata adui zake wawekwe kuwa
chini ya miguu yake.
14 Maana kwa toleo moja amewakamilisha hata
milele hao wanaotakaswa.
Ona pia: #1; Marko 12:35-37; Marko 16:19; Luka 20:41-44; Matendo ya Mitume 2:34-37; Waebrania 12:2; 1 Petro 3:22.
B07 Uweza wa Yote wa Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 110:3 Watu wako wanajitoa kwa
hiari, Siku ya uwezo wako; Kwa uzuri wa
utakatifu, Tokea tumbo la asubuhi, Unao
umande wa ujana wako.
MATENDO YA MITUME 2:41 Nao
waliolipokea neno lake wakabatizwa; na siku
ile wakaongezeka watu wapata elfu tatu.
MATENDO YA MITUME 19:20 Hivyo
ndivyo neno la Bwana lilivyozidi na
kushinda kwa nguvu.
ZABURIEN
162
MATENDO YA MITUME
21:20 Nao waliposikia wakamtukuza
Mungu, wakamwambia, Ndugu yetu,
unaona jinsi Wayahudi walioamini walivyo
elfu nyingi, nao wote wana wivu sana kwa
ajili ya torati.
WAEFESO 1:4 kama vile alivyotuchagua
katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya
ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio
na hatia mbele zake katika pendo.
WAFILIPI 2:13 Kwa maana ndiye Mungu
atendaye kazi ndani yenu, kutaka kwenu na
kutenda kwenu, kwa kulitimiza kusudi lake
jema.
WAEBRANIA 13:21 awafanye ninyi
kuwa wakamilifu katika kila tendo jema,
mpate kuyafanya mapenzi yake, naye
akifanya ndani yetu lipendezalo mbele zake,
kwa Yesu Kristo; utukufu una yeye milele na
milele. Amina.
UFUNUO WA YOHANA 7:9 Baada
ya hayo nikaona, na tazama, mkutano
mkubwa sana ambao hapana mtu awezaye
kuuhesabu, watu wa kila taifa, na kabila, na
jamaa, na lugha, wamesimama mbele ya kile
kiti cha enzi, na mbele za Mwana-Kondoo,
wamevikwa mavazi meupe, wana matawi ya
mitende mikononi mwao;
Ona pia: #1; #2; #4; Matendo ya Mitume 1:8; Matendo ya Mitume 4:4,30-35; 2 Wakorintho 8:3; 2 Wakorintho 13:4; 1
Wathesalonike 4:7; Tito 2:14.
D03 Kazi ya Masiha kama Kuhani.
ZABURI 110:4 Bwana ameapa, Wala
hataghairi, Ndiwe kuhani hata milele, Kwa
mfano wa Melkizedeki.
WAEBRANIA 5:5 Vivyo hivyo Kristo naye
hakujitukuza nafsi yake kufanywa kuhani
mkuu, lakini yeye aliyemwambia, Ndiwe
mwanangu, Mimi leo nimekuzaa.
6 kama asemavyo mahali pengine,
Ndiwe kuhani wa milele Kwa mfano wa
Melkizedeki.
WAEBRANIA 6:20 alimoingia Yesu kwa
ajili yetu, mtangulizi wetu, amekuwa
kuhani mkuu hata milele kwa mfano wa
Melkizedeki.
WAEBRANIA 7:21 (maana wale walifanywa
makuhani pasipo kiapo; bali yeye, pamoja
na kiapo, kwa yeye aliyemwambia, Bwana
ameapa wala hataghairi, Wewe u kuhani wa
milele;)
22 basi kwa kadiri hii Yesu amekuwa mdhamini
wa agano lililo bora zaidi.
WAEBRANIA 7:28 Maana torati yawaweka
wanadamu walio na unyonge kuwa
makuhani wakuu; bali hilo neno la kiapo
kilichokuja baada ya torati limemweka
Mwana, aliyekamilika hata milele.
Ona pia: Mwanzo 14:18; Zekaria 6:13; Waebrania 5:7-10; Waebrania 7:1-28; Waebrania 10:1-11.
ZABURIEN
163
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 110:5 Bwana yu mkono wako wa
kuume; Ataseta wafalme, Siku ya ghadhabu
yake.
6 Atahukumu kati ya mataifa, Ataijaza nchi
mizoga; Ataseta kichwa katika nchi nyingi.
MARKO 16:19 Basi Bwana Yesu, baada ya
kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni,
akaketi mkono wa kuume wa Mungu.
YOHANA 5:22 Tena Baba hamhukumu mtu
ye yote, bali amempa Mwana hukumu yote;
MATENDO YA MITUME 2:34 Maana
Daudi hakupanda mbinguni; bali yeye
mwenyewe anasema, Bwana alimwambia
Bwana wangu, Keti upande wa mkono
wangu wa kuume.
35 Hata nitakapowaweka adui zako chini ya
miguu yako.
36 Basi nyumba yote ya Israeli na wajue yakini
ya kwamba Mungu amemfanya Yesu huyo
mliyemsulibisha kuwa Bwana na Kristo.
WAEBRANIA 10:12 Lakini huyu,
alipokwisha kutoa kwa ajili ya dhambi
dhabihu moja idumuyo hata milele, aliketi
mkono wa kuume wa Mungu;
13 tangu hapo akingojea hata adui zake
wawekwe kuwa chini ya miguu yake.
14 Maana kwa toleo moja amewakamilisha hata
milele hao wanaotakaswa.
Ona pia: #1; #4; #6; Zaburi 16:8; Isaya 2:4; Isaya 42:1; Isaya 51:5; Matendo ya Mitume 7:56.
F11 Mateso ya Masiha.
G03 Kuinuliwa kwa Masiha kunatabiriwa.
ZABURI 110:7 Atakunywa maji ya mto
njiani; Kwa hiyo atakiinua kichwa chake.
ZABURI 27:6 Na sasa kichwa
changu kitainuka Juu ya adui zangu
wanaonizunguka. Nami nitatoa dhabihu za
shangwe hemani mwake; Nitaimba, naam,
nitamhimidi Bwana.
MATHAYO 20:22 Yesu akajibu akasema,
Hamjui mnaloliomba. Je! Mwaweza
kunywea kikombe nitakachonywea mimi?
Wakamwambia, Twaweza.
MATHAYO 26:42 Akaenda tena mara ya pili,
akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwa
haiwezekani kikombe hiki kiniepuke
nisipokunywa, mapenzi yako yatimizwe.
LUKA 24:26 Je! Haikumpasa Kristo
kupata mateso haya na kuingia katika
utukufu wake?
Ona pia: Zaburi 3:3; Zaburi 102:9; Isaya 53:11,12; Yohana 18:11; Wafilipi 2:7-11; Waebrania 2:9,10; 1 Petro 1:11.
B15 Masiha atajawa na rehema.
E09 Uadilifu wa Masiha.
ZABURI 112:4 Nuru huwazukia wenye adili
gizani; Ana fadhili na huruma na haki.
LUKA 6:36 Basi, iweni na huruma,
kama Baba yenu alivyo na huruma.
YOHANA 12:46 Mimi nimekuja ili niwe nuru
ZABURIEN
164
ya ulimwengu, ili kila mtu aniaminiye mimi
asikae gizani.
2 WAKORINTHO 8:8 Sineni ili
kuwaamuru, bali kwa bidii ya watu wengine
nijaribu unyofu wa upendo wenu.
9 Maana mmejua neema ya Bwana wetu Yesu
Kristo, jinsi alivyokuwa maskini kwa ajili
yenu, ingawa alikuwa tajiri, ili kwamba ninyi
mpate kuwa matajiri kwa umaskini wake.
1 YOHANA 2:29 Kama mkijua ya kuwa yeye
ni mwenye haki, jueni ya kuwa kila atendaye
haki amezaliwa na yeye.
Ona pia: Wakolosai 1:12,13; Yohana 3:7,10.
E17 Masiha atajenga hekalu la Mungu.
F03 Masiha atakataliwa.
ZABURI 118:22 Jiwe walilolikataa waashi
Limekuwa jiwe kuu la pembeni.
23 Neno hili limetoka kwa Bwana, Nalo ni ajabu
machoni petu.
24 Siku hii ndiyo aliyoifanya Bwana,
Tutashangilia na kuifurahia.
ISAYA 28:16 kwa ajili ya hayo Bwana,
MUNGU, asema hivi, Tazama, naweka
jiwe katika Sayuni, liwe msingi, jiwe
lililojaribiwa, jiwe la pembeni lenye thamani,
msingi ulio imara; yeye aaminiye hatafanya
haraka.
MATHAYO 21:42 Yesu akawaambia,
Hamkupata kusoma katika maandiko, Jiwe
walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe
kuu la pembeni; Neno hili limetoka kwa
Bwana, Nalo ni ajabu machoni petu?
LUKA 20:17 Akawakazia macho akasema,
Maana yake nini basi neno hili lililoandikwa,
Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa
jiwe kuu la pembeni?
MATENDO YA MITUME 2:23 mtu
huyu alipotolewa kwa shauri la Mungu
lililokusudiwa, na kwa kujua kwake tangu
zamani, ninyi mkamsulibisha kwa mikono
ya watu wabaya, mkamwua;
MATENDO YA MITUME 3:13 Mungu
wa Ibrahimu na wa Isaka na wa Yakobo,
Mungu wa baba zetu, amemtukuza
mtumishi wake Yesu, ambaye ninyi
mlimsaliti na kumkana mbele ya Pilato,
alipokuwa ametoa hukumu yake afunguliwe.
MATENDO YA MITUME 4:10 jueni
ninyi nyote na watu wote wa Israeli ya kuwa
kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye
ninyi mlimsulibisha, na Mungu akamfufua
katika wafu, kwa jina hilo mtu huyu
anasimama ali mzima mbele yenu.
11 Yeye ndiye jiwe lile lililodharauliwa na ninyi
waashi, nalo limewekwa kuwa jiwe kuu la
pembeni.
WARUMI 9:33 kama ilivyoandikwa, Tazama,
naweka katika Sayuni jiwe likwazalo, na
mwamba uangushao; Na kila amwaminiye
hatatahayarika.
WAEFESO 2:20 Mmejengwa juu ya msingi
wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu
mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni.
21 Katika yeye jengo lote linaungamanishwa
vema na kukua hata liwe hekalu takatifu
katika Bwana.
22 Katika yeye ninyi nanyi mnajengwa pamoja
ZABURIEN
165
kuwa maskani ya Mungu katika Roho.
1 PETRO 2:6 Kwa kuwa imeandikwa
katika maandiko Tazama, naweka katika
Sayuni jiwe kuu la pembeni, teule,
lenye heshima, Na kila amwaminiye
hatatahayarika.
Ona pia: Danieli 2:34; Zekaria 3:9; Zekaria 4:7; Zekaria 12:3; Mathayo 28:1-8; Marko 12:10,11; Matendo ya Mitume 5:31,32; 1
Wakorintho 3:11; Waefeso 1:19-22; 1 Petro 2:4-8.
F02 Kuingia kwa Masiha Yerusalemu
kunatabiriwa.
ZABURI 118:26 Na abarikiwe yeye ajaye
kwa jina la Bwana; Tumewabarikia toka
nyumbani mwa Bwana.
27 Bwana ndiye aliye Mungu, Naye ndiye
aliyetupa nuru. Ifungeni dhabihu kwa
kamba Pembeni mwa madhabahu.
MATHAYO 21:9 Na makutano waliotangulia,
na wale waliofuata, wakapaza sauti,
wakisema, Hosana, Mwana wa Daudi; ndiye
mbarikiwa, yeye ajaye kwa jina la Bwana;
Hosana juu mbinguni.
10 Hata alipoingia Yerusalemu, mji wote
ukataharuki, watu wakisema, Ni nani huyu?
11 Makutano wakasema, Huyu ni yule nabii,
Yesu, wa Nazareti ya Galilaya.
MATHAYO 23:39 Kwa maana nawaambia,
Hamtaniona kamwe tangu sasa, hata
mtakaposema, Amebarikiwa ajaye kwa jina
la Bwana.
LUKA 19:36 Na alipokuwa akienda
walitandaza nguo zao njiani.
37 Hata alipokuwa amekaribia matelemko
ya mlima wa Mizeituni, kundi zima la
wanafunzi wake walianza kufurahi na
kumsifu Mungu kwa sauti kuu, kwa ajili ya
matendo yote ya uwezo waliyoyaona,
38 wakasema, Ndiye mbarikiwa Mfalme ajaye
kwa jina la Bwana; amani mbinguni, na
utukufu huko juu.
YOHANA 12:13 wakatwaa matawi ya
mitende, wakatoka nje kwenda kumlaki,
wakapiga makelele, Hosana! Ndiye
mbarikiwa ajaye kwa jina la Bwana, Mfalme
wa Israeli!
WAEFESO 1:3 Atukuzwe Mungu, Baba wa
Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa
baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa
roho, ndani yake Kristo;
Ona pia: Marko 11:9,10.
E12 Masiha anatimiza sheria ya Mungu.
ZABURI 119:97 Sheria yako naipenda mno
ajabu, Ndiyo kutafakari kwangu mchana
kutwa.
98 Maagizo yako hunitia hekima kuliko adui
zangu, Kwa maana ninayo sikuzote.
99 Ninazo akili kuliko wakufunzi wangu wote,
Maana shuhuda zako ndizo nizifikirizo.
100 Ninao ufahamu kuliko wazee, Kwa kuwa
nimeyashika mausia yako.
101 Nimeiepusha miguu yangu na kila njia
mbaya, Ili nilitii neno lako.
102 Sikujiepusha na hukumu zako, Maana
Wewe mwenyewe umenifundisha.
103 Mausia yako ni matamu sana kwangu,
Kupita asali kinywani mwangu.
ZABURIEN
166
MATHAYO 11:25 Wakati ule Yesu akajibu,
akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana
wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo
haya uliwaficha wenye hekima na akili,
ukawafunulia watoto wachanga.
LUKA 2:46 Ikawa baada ya siku tatu
wakamwona hekaluni, ameketi katikati
ya waalimu, akiwasikiliza na kuwauliza
maswali.
47 Nao wote waliomsikia walistaajabia fahamu
zake na majibu yake.
YOHANA 3:2 Huyo alimjia usiku,
akamwambia, Rabi, twajua ya kuwa u
mwalimu, umetoka kwa Mungu; kwa maana
hakuna mtu awezaye kuzifanya ishara hizi
uzifanyazo wewe, isipokuwa Mungu yu
pamoja naye.
YOHANA 4:34 Yesu akawaambia, Chakula
changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake
aliyenipeleka, nikaimalize kazi yake.
YOHANA 15:10 Mkizishika amri zangu,
mtakaa katika pendo langu; kama vile mimi
nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa
katika pendo lake.
WARUMI 13:10 Pendo halimfanyii jirani
neno baya; basi pendo ndilo utimilifu wa
sheria.
1 YOHANA 2:5 Lakini yeye alishikaye
neno lake, katika huyo upendo wa Mungu
umekamilika kweli kweli. Katika hili twajua
ya kuwa tumo ndani yake.
1 YOHANA 5:3 Kwa maana huku ndiko
kumpenda Mungu, kwamba tuzishike amri
zake; wala amri zake si nzito.
Ona pia: Kumbukumbu la Torati 4:6-8; Yeremia 2:8; Yeremia 8:9; Yoeli 2:23; Mathayo 13:11; Mathayo 15:6-9,14; Waebrania
5:12.
F13 Maelezo ya mateso ya Masiha.
ZABURI 129:3 Wakulima wamelima
mgongoni mwangu, Wamefanya mirefu
mifuo yao.
ISAYA 50:6 Naliwatolea wapigao mgongo
wangu, na wang›oao ndevu mashavu yangu;
sikuficha uso wangu usipate fedheha na
kutemewa mate.
ISAYA 53:5 Bali alijeruhiwa kwa makosa
yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu
ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa
kupigwa kwake sisi tumepona.
MATHAYO 20:19 kisha watampeleka kwa
Mataifa wapate kumdhihaki, na kumpiga
mijeledi, na kumsulibisha; na siku ya tatu
atafufuka.
MATHAYO 27:26 Ndipo akawafungulia
Baraba; na baada ya kumpiga Yesu mijeledi,
akamtoa ili asulibiwe.
Ona pia: Isaya 51:23; Marko 10:34; Marko 15:15; Luka 18:33.
ZABURIEN
167
D09 Masiha atakuwa Mwokozi.
E26 Kazi ya ukombozi ya Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 130:7 Ee Israeli, umtarajie Bwana;
Maana kwa Bwana kuna fadhili, Na kwake
kuna ukombozi mwingi.
8 Yeye atamkomboa Israeli na maovu yake
yote.
ZABURI 103:3 Akusamehe maovu yako
yote, Akuponya magonjwa yako yote,
4 Aukomboa uhai wako na kaburi, Akutia taji
ya fadhili na rehema,
MATHAYO 1:21 Naye atazaa mwana, nawe
utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye
atakayewaokoa watu wake na dhambi zao.
LUKA 1:68 Atukuzwe Bwana, Mungu wa
Israeli, Kwa kuwa amewajia watu wake, na
kuwakomboa.
WARUMI 3:24 wanahesabiwa haki bure
kwa neema yake, kwa njia ya ukombozi ulio
katika Kristo Yesu;
WARUMI 6:14 Kwa maana dhambi
haitawatawala ninyi, kwa sababu hamwi
chini ya sheria, bali chini ya neema.
WARUMI 11:26 Hivyo Israeli wote
wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi
atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na
maasia yake.
WAEFESO 1:7 Katika yeye huyo, kwa damu
yake, tunao ukombozi wetu, masamaha ya
dhambi, sawasawa na wingi wa neema yake.
TITO 2:14 ambaye alijitoa nafsi yake
kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi
yote, na kujisafishia watu wawe milki yake
mwenyewe, wale walio na juhudi katika
matendo mema.
WAEBRANIA 9:12 wala si kwa damu ya mbuzi
na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe
aliingia mara moja tu katika Patakatifu,
akiisha kupata ukombozi wa milele.
1 YOHANA 3:5 Nanyi mnajua ya kuwa yeye
alidhihirishwa, ili aziondoe dhambi; na
dhambi haimo ndani yake.
6 Kila akaaye ndani yake hatendi dhambi; kila
atendaye dhambi hakumwona yeye, wala
hakumtambua.
7 Watoto wadogo, mtu na asiwadanganye;
atendaye haki yuna haki, kama yeye alivyo
na haki;
8 atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa
Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo.
Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu
alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi.
Ona pia: #2; #3; Marko 15:31; Luka 2:38; Luka 21:28; Luka 24:21; 1 Wakorintho 1:30; Waefeso 1:14; Wakolosai 1:14.
C01 Kuzaliwa kwa Masiha kunatabiriwa.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 132:11 Bwana amemwapia Daudi
neno la kweli, Hatarudi nyuma akalihalifu,
Baadhi ya wazao wa mwili wako Nitawaweka
katika kiti chako cha enzi.
12 Wanao wakiyashika maagano yangu, Na
shuhuda nitakazowafundisha; Watoto wao
nao wataketi Katika kiti chako cha enzi
milele.
ZABURIEN
168
LUKA 1:30 Malaika akamwambia,
Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata
neema kwa Mungu.
31 Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto
mwanamume; na jina lake utamwita Yesu.
32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa
Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha
enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
LUKA 1:69 Ametusimamishia pembe ya
wokovu Katika mlango wa Daudi, mtumishi
wake.
70 Kama alivyosema tangu mwanzo Kwa
kinywa cha manabii wake watakatifu;
MATENDO YA MITUME 2:30 Basi
kwa kuwa ni nabii, akijua ya kuwa Mungu
amemwapia kwa kiapo, ya kwamba katika
uzao wa viuno vyake atamketisha mmoja
katika kiti chake cha enzi;
Ona pia: #1; #2; Zaburi 102:28; Isaya 59:21.
E16 Masiha atabariki watu Wake.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 132:13 Kwa kuwa Bwana
ameichagua Sayuni, Ameitamani akae ndani
yake.
WAEBRANIA 12:22 Bali ninyi
mmeufikilia mlima Sayuni, na mji wa
Mungu aliye hai, Yerusalemu wa mbinguni,
na majeshi ya malaika elfu nyingi,
23 mkutano mkuu na kanisa la wazaliwa wa
kwanza walioandikwa mbinguni, na Mungu
mwamuzi wa watu wote, na roho za watu
wenye haki waliokamilika,
24 na Yesu mjumbe wa agano jipya, na damu
ya kunyunyizwa, inenayo mema kuliko ile ya
Habili.
Ona pia: #1; Zaburi 68:16; Zaburi 78:68,69; Zaburi 87:2; Isaya 14:32.
E16 Masiha atabariki watu Wake.
ZABURI 132:14 Hapo ndipo mahali pangu
pa raha milele, Hapo nitakaa kwa maana
nimepatamani.
MATHAYO 11:28 Njoni kwangu, ninyi nyote
msumbukao na wenye kulemewa na mizigo,
nami nitawapumzisha.
29 Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa
kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa
moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;
YOHANA 14:23 Yesu akajibu, akamwambia,
Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na
Baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake,
na kufanya makao kwake.
WAEBRANIA 4:3 Maana sisi tulioamini
tunaingia katika raha ile; kama vile
alivyosema, Kama nilivyoapa kwa hasira
yangu, Hawataingia rahani mwangu:
Ona pia: #1; #2; Zaburi 68:16; Zaburi 76:1,2; Zaburi 132:8,9; Zaburi 135:21; Isaya 57:15; Isaya 66:1; Ezekieli 38:8; 43:7,9; 2
Wakorintho 6:16; Waebrania 4:1-11.
ZABURIEN
169
E16 Masiha atabariki watu Wake.
ZABURI 132:15 Hakika nitavibariki vyakula
vyake Wahitaji wake nitawashibisha chakula.
MATHAYO 5:6 Heri wenye njaa na kiu ya
haki; Maana hao watashibishwa.
MATHAYO 6:32 Kwa maana hayo yote
Mataifa huyatafuta; kwa sababu Baba yenu
wa mbinguni anajua ya kuwa mnahitaji hayo
yote.
33 Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki
yake; na hayo yote mtazidishiwa.
MARKO 8:6 Akawaagiza mkutano waketi
chini; akaitwaa ile mikate saba, akashukuru,
akaimega, akawapa wanafunzi wake
wawaandikie; wakawaandikia mkutano.
7 Walikuwa na visamaki vichache;
akavibarikia, akasema wawaandikie na hivyo
pia.
8 Wakala, wakashiba, wakakusanya mabaki ya
vipande vya mikate makanda saba.
9 Na watu waliokula wapata elfu nne.
Akawaaga.
LUKA 1:53 Wenye njaa amewashibisha
mema, Na wenye mali amewaondoa mikono
mitupu.
YOHANA 6:35 Yesu akawaambia, Mimi
ndimi chakula cha uzima; yeye ajaye kwangu
hataona njaa kabisa, naye aniaminiye
hataona kiu kamwe.
MATENDO YA MITUME 2:44 Na wote
walioamini walikuwa mahali pamoja, na
kuwa na vitu vyote shirika,
45 wakiuza mali zao, na vitu vyao walivyokuwa
navyo, na kuwagawia watu wote kama kila
mtu alivyokuwa na haja.
46 Na siku zote kwa moyo mmoja walidumu
ndani ya hekalu, wakimega mkate nyumba
kwa nyumba, na kushiriki chakula chao kwa
furaha na kwa moyo mweupe,
Ona pia: Zaburi 34:9,10; Isaya 33:16; Yeremia 31:14; Mathayo 14:19-21.
E16 Masiha atabariki watu Wake.
ZABURI 132:16 Na makuhani wake
nitawavika wokovu, Na watauwa wake
watashangilia.
WAGALATIA 3:27 Maana ninyi nyote
mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo.
UFUNUO WA YOHANA 1:6 na
kutufanya kuwa ufalme, na makuhani kwa
Mungu, naye ni Baba yake; utukufu na ukuu
una Yeye hata milele na milele. Amina.
Ona pia: #1; #2; 2 Mambo ya Nyakati 6:41; Zaburi 132:9; Isaya 61:10; Ufunuo wa Yohana 3:5; Ufunuo wa Yohana 4:4; Ufunuo
wa Yohana 7:9-14; Ufunuo wa Yohana 20:6.
D04 Kazi ya Masiha kama Mfalme.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 132:17 Hapo nitamchipushia Daudi
pembe, Na taa nimemtengenezea masihi
wangu.
18 Adui zake nitawavika aibu, Bali juu yake taji
yake itasitawi.
LUKA 1:67 Na Zakaria, baba yake,
akajazwa Roho Mtakatifu, akatabiri,
ZABURIEN
170
akisema,
68 Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli, Kwa
kuwa amewajia watu wake, na kuwakomboa.
69 Ametusimamishia pembe ya wokovu Katika
mlango wa Daudi, mtumishi wake.
70 Kama alivyosema tangu mwanzo Kwa
kinywa cha manabii wake watakatifu;
71 Tuokolewe na adui zetu Na mikononi mwao
wote wanaotuchukia;
LUKA 2:25 Na tazama, pale Yerusalemu
palikuwa na mtu, jina lake Simeoni, naye ni
mtu mwenye haki, mcha Mungu, akiitarajia
faraja ya Israeli; na Roho Mtakatifu alikuwa
juu yake.
26 Naye alikuwa ameonywa na Roho Mtakatifu
ya kwamba hataona mauti kabla ya
kumwona Kristo wa Bwana.
27 Basi akaja hekaluni ameongozwa na Roho;
na wale wazazi walipomleta mtoto Yesu
ndani, ili wamfanyie kama ilivyokuwa
desturi ya sheria,
28 yeye mwenyewe alimpokea mikononi
mwake, akamshukuru Mungu, akisema,
29 Sasa, Bwana, wamruhusu mtumishi wako,
Kwa amani, kama ulivyosema;
30 Kwa kuwa macho yangu yameuona wokovu
wako,
31 Uliouweka tayari machoni pa watu wote;
32 Nuru ya kuwa mwangaza wa Mataifa, Na
kuwa utukufu wa watu wako Israeli.
LUKA 20:42 Maana, Daudi mwenyewe
asema katika chuo cha Zaburi, Bwana
alimwambia Bwana wangu, Uketi mkono
wangu wa kuume,
43 Hata niwaweke adui zako Kuwa kiti cha
kuwekea miguu yako.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
Ona pia: #1; #2; #5; Zaburi 21:8,9; Zaburi 109:29; Zaburi 148:14; Ezekieli 29:21.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 138:4 Ee Bwana, wafalme wote
wa dunia watakushukuru, Watakapoyasikia
maneno ya kinywa chako.
5 Naam, wataziimba njia za Bwana, Kwa
maana utukufu wa Bwana ni mkuu.
ISAYA 49:22 Bwana MUNGU asema
hivi, Tazama, nitawainulia mataifa mkono
wangu, na kuwatwekea kabila za watu
bendera yangu; nao wataleta wana wako
vifuani mwao, na binti zako watachukuliwa
mabegani mwao.
23 Na wafalme watakuwa baba zako za
kulea, na malkia zao mama zako za kulea;
watainama mbele yako kifudifudi, na
kuramba mavumbi ya miguu yako; nawe
utajua ya kuwa mimi ni Bwana, tena
waningojeao hawatatahayarika.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
Ona pia: #1; #5.
ZABURIEN
171
B08 Ujuzi wa Yote wa Masiha.
ZABURI 139:1 Ee Bwana, umenichunguza
na kunijua.
2 Wewe wajua kuketi kwangu na kuondoka
kwangu; Umelifahamu wazo langu tokea
mbali.
3 Umepepeta kwenda kwangu na kulala
kwangu, Umeelewa na njia zangu zote.
4 Maana hamna neno ulimini mwangu
Usilolijua kabisa, Bwana.
MATHAYO 9:4 Naye Yesu, hali akijua
mawazo yao, akasema, Mbona mnawaza
maovu mioyoni mwenu?
MATHAYO 12:36 Basi, nawaambia, Kila neno
lisilo maana, watakalolinena wanadamu,
watatoa hesabu ya neno hilo siku ya
hukumu.
37 Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa
haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
LUKA 9:47 Naye Yesu alipotambua
mawazo ya mioyo yao, alitwaa mtoto mdogo
akamweka karibu naye,
LUKA 10:22 Akasema, Nimekabidhiwa
vyote na Baba yangu, wala hakuna amjuaye
Mwana ila Baba; wala hakuna amjuaye
Baba ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana
apenda kumfunulia.
YOHANA 2:24 Lakini Yesu hakujiaminisha
kwao; kwa kuwa yeye aliwajua wote;
25 na kwa sababu hakuwa na haja ya mtu
kushuhudia habari za mwanadamu; kwa
maana yeye mwenyewe alijua yaliyomo
ndani ya mwanadamu.
YOHANA 13:21 Naye alipokwisha kusema
hayo, Yesu alifadhaika rohoni, akashuhudia
akisema, Amin, amin, nawaambieni, Mmoja
wenu atanisaliti.
YOHANA 16:30 Sasa tumejua ya kuwa wewe
wafahamu mambo yote, wala huna haja
ya mtu akuulize; kwa hiyo twasadiki ya
kwamba ulitoka kwa Mungu.
YOHANA 21:17 Akamwambia mara ya
tatu, Simoni wa Yohana, wanipenda? Petro
alihuzunika kwa vile alivyomwambia mara
ya tatu, Wanipenda? Akamwambia, Bwana,
wewe wajua yote; wewe umetambua ya
kuwa nakupenda. Yesu akamwambia, Lisha
kondoo zangu.
1 WAKORINTHO 4:5 Basi ninyi
msihukumu neno kabla ya wakati wake,
hata ajapo Bwana; ambaye atayamulikisha
yaliyositirika ya giza, na kuyadhihirisha
mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu
atakapoipata sifa yake kwa Mungu.
WAEBRANIA 4:13 Wala hakuna kiumbe
kisichokuwa wazi mbele zake, lakini vitu
vyote vi utupu na kufunuliwa machoni pake
yeye aliye na mambo yetu.
UFUNUO WA YOHANA 3:8 Nayajua
matendo yako. Tazama, nimekupa mlango
uliofunguliwa mbele yako, ambao hapana
awezaye kuufunga, kwa kuwa unazo nguvu
kidogo, nawe umelitunza neno langu, wala
hukulikana jina langu.
Ona pia: Zaburi 17:3; Zaburi 44:21; Zaburi 94:11; Zaburi 121:3-8; Zaburi 139:23; Mithali 5:21; Mhubiri 12:14; Isaya 29:15; Isaya
37:28; Yeremia 12:3; Yeremia 17:9,10; Yeremia 23:24; Danieli 2:22; Malaki 3:16; Yohana 4:16-19,28.
ZABURIEN
172
B09 Uwezo wa Masiha wa kuwa Kila Mahali.
ZABURI 139:7 Niende wapi nijiepushe
na roho yako? Niende wapi niukimbie uso
wako?
8 Kama ningepanda mbinguni, Wewe uko;
Ningefanya kuzimu kitanda changu, Wewe
uko.
9 Ningezitwaa mbawa za asubuhi, Na kukaa
pande za mwisho za bahari;
10 Huko nako mkono wako utaniongoza, Na
mkono wako wa kuume utanishika.
MATHAYO 18:20 Kwa kuwa walipo wawili
watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami
nipo papo hapo katikati yao.
MATHAYO 28:20 na kuwafundisha kuyashika
yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi
nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu
wa dahari.
YOHANA 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako
Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu,
naye Neno alikuwa Mungu.
YOHANA 14:20 Siku ile ninyi mtatambua ya
kuwa mimi ni ndani ya Baba yangu, nanyi
ndani yangu, nami ndani yenu.
WAKOLOSAI 1:17 Naye amekuwako kabla ya
vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika
yeye.
Ona pia: Yeremia 23:23,24; Mika 5:2; Ufunuo wa Yohana 21:2,3,10,22,23.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 145:10 Ee Bwana, kazi zako zote
zitakushukuru, Na wacha Mungu wako
watakuhimidi.
11 Wataunena utukufu wa ufalme wako, Na
kuuhadithia uweza wako.
12 Ili kuwajulisha watu matendo yake makuu,
Na utukufu wa fahari ya ufalme wake.
13 Ufalme wako ni ufalme wa zamani zote, Na
mamlaka yako ni ya vizazi vyote.
WAEFESO 3:7 Injili hiyo ambayo
nalifanywa mhudumu wake, kwa kadiri ya
kipawa cha neema ya Mungu niliyopewa
kwa kadiri ya utendaji wa uweza wake.
8 Mimi, niliye mdogo kuliko yeye aliye mdogo
wa watakatifu wote, nalipewa neema hii
ya kuwahubiri Mataifa utajiri wake Kristo
usiopimika;
1 TIMOTHEO 1:17 Sasa kwa Mfalme
wa milele, asiyeweza kuona uharibifu,
asiyeonekana, Mungu peke yake, na iwe
heshima na utukufu milele na milele.
Amina.
WAEBRANIA 13:15 Basi, kwa njia
yake yeye, na tumpe Mungu dhabihu ya sifa
daima, yaani, tunda la midomo iliungamayo
jina lake.
UFUNUO WA YOHANA 5:12 wakisema
kwa sauti kuu, Astahili Mwana-Kondoo
aliyechinjwa, kuupokea uweza na utajiri na
hekima na nguvu na heshima na utukufu na
baraka.
13 Na kila kiumbe kilichoko mbinguni na juu
ya nchi na chini ya nchi ya juu ya bahari, na
vitu vyote vilivyomo ndani yake, nalivisikia,
ZABURIEN
173
vikisema, Baraka na heshima na utukufu
na uweza una yeye aketiye juu ya kiti cha
enzi, na yeye Mwana-Kondoo, hata milele na
milele.
UFUNUO WA YOHANA 7:9 Baada
ya hayo nikaona, na tazama, mkutano
mkubwa sana ambao hapana mtu awezaye
kuuhesabu, watu wa kila taifa, na kabila, na
jamaa, na lugha, wamesimama mbele ya kile
kiti cha enzi, na mbele za Mwana-Kondoo,
wamevikwa mavazi meupe, wana matawi ya
mitende mikononi mwao;
10 wakilia kwa sauti kuu wakisema, Wokovu
una Mungu wetu aketiye katika kiti cha enzi,
na Mwana-Kondoo.
11 Na malaika wote walikuwa wakisimama
pande zote za kile kiti cha enzi, na za hao
wazee, na za wale wenye uhai wanne, nao
wakaanguka kifulifuli mbele ya kile kiti cha
enzi, wakamsujudu Mungu,
12 wakisema, Amina; Baraka na utukufu na
hekima na shukrani na heshima na uweza
na nguvu zina Mungu wetu hata milele na
milele. Amina.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
16 Na wale wazee ishirini na wanne waketio
mbele za Mungu katika viti vya enzi vyao
wakaanguka kifulifuli, wakamsujudia
Mungu
17 wakisema, Tunakushukuru wewe, Bwana
Mungu Mwenyezi, uliyeko na uliyekuwako,
kwa sababu umeutwaa uweza wako ulio
mkuu, na kumiliki.
UFUNUO WA YOHANA 12:10
Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, Sasa
kumekuwa wokovu, na nguvu, na ufalme
wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo
wake; kwa maana ametupwa chini mshitaki
wa ndugu zetu, yeye awashitakiye mbele za
Mungu wetu, mchana na usiku.
UFUNUO WA YOHANA 19:5 Sauti
ikatoka katika kile kiti cha enzi ikisema,
Msifuni Mungu wetu, enyi watumwa wake
wote, ninyi mnaomcha, wadogo kwa wakuu.
6 Nikasikia sauti kama sauti ya makutano
mengi, na kama sauti ya maji mengi, na
kama sauti ya radi yenye nguvu, ikisema,
Haleluya; kwa kuwa Bwana Mungu wetu,
Mwenyezi, amemiliki.
Ona pia: #1; #2; 1 Wakorintho 15:21-28.
E05 Miujiza ya Masiha.
ZABURI 146:8 Bwana huwafumbua macho
waliopofuka; Bwana huwainua walioinama;
Bwana huwapenda wenye haki;
ISAYA 35:5 Ndipo macho ya vipofu
yatafumbuliwa, na masikio ya viziwi
yatazibuliwa.
MATHAYO 9:30 Macho yao yakafumbuka.
Naye Yesu akawaagiza kwa nguvu, akisema,
Angalieni hata mtu mmoja asijue.
MATHAYO 11:5 vipofu wanapata kuona,
viwete wanakwenda, wenye ukoma
wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu
wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa
ZABURIEN
174
habari njema.
LUKA 18:42 Yesu akamwambia, Upewe
kuona; imani yako imekuponya.
YOHANA 9:10 Basi wakamwambia, Macho
yako yalifumbuliwaje?
11 Yeye akajibu, Mtu yule aitwaye Yesu alifanya
tope, akanipaka macho akaniambia, Nenda
Siloamu ukanawe; basi nikaenda na kunawa,
nikapata kuona.
MATENDO YA MITUME
26:18 uwafumbue macho yao, na kuwageuza
waiache giza na kuielekea nuru, waziache na
nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu;
kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na
urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa
imani iliyo kwangu mimi.
WAEFESO 1:18 macho ya mioyo yenu yatiwe
nuru, mjue tumaini la mwito wake jinsi
lilivyo; na utajiri wa utukufu wa urithi wake
katika watakatifu jinsi ulivyo;
1 PETRO 2:9 Bali ninyi ni mzao mteule,
ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa
milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili
zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie
katika nuru yake ya ajabu;
Ona pia: Isaya 42:16,18.
E26 Kazi ya ukombozi ya Masiha.
ZABURI 147:3 Huwaponya waliopondeka
moyo, Na kuziganga jeraha zao.
6 Bwana huwategemeza wenye upole,
Huwaangusha chini wenye jeuri.
MATHAYO 5:5 Heri wenye upole; Maana
hao watairithi nchi.
LUKA 4:18 Roho wa Bwana yu juu
yangu, Kwa maana amenitia mafuta
kuwahubiri maskini habari njema.
Amenituma kuwatangazia wafungwa
kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona
tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
Ona pia: 1 Petro 5:6.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 147:2 Bwana ndiye aijengaye
Yerusalemu, Huwakusanya waliotawanyika
wa Israeli.
13 Maana ameyakaza mapingo ya malango
yako, Amewabariki wanao ndani yako.
14 Ndiye afanyaye amani mipakani mwako,
Akushibishaye kwa unono wa ngano.
20 Hakulitendea taifa lo lote mambo kama
hayo, Wala hukumu zake hawakuzijua.
Haleluya.
ISAYA 11:12 Naye atawatwekea mataifa
bendera, atawakutanisha watu wa Israeli
waliotupwa, atawakusanya watu wa Yuda
waliotawanyika, kutoka ncha nne za dunia.
ZEKARIA 8:3 Bwana asema hivi, Mimi
nimerudi Sayuni, nami nitakaa katikati ya
Yerusalemu; na Yerusalemu utaitwa, Mji
wa kweli; na Mlima wa Bwana wa majeshi
utaitwa, Mlima mtakatifu.
ZABURIEN
175
WARUMI 3:1 Basi Myahudi ana ziada
gani? Na kutahiriwa kwafaa nini?
2 Kwafaa sana kwa kila njia. Kwanza kwa kuwa
wamekabidhiwa mausia ya Mungu.
WARUMI 11:25 Kwa maana, ndugu zangu,
sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa
wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu
umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa
Mataifa uwasili.
26 Hivyo Israeli wote wataokoka; kama
ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka
Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake.
27 Na hili ndilo agano langu nao,
Nitakapowaondolea dhambi zao.
Ona pia: #1; #2; #3; Zaburi 102:13-16; Mathayo 16:18; Mathayo 19:13,14; Waefeso 1:10; Waefeso 2:17-19; Warumi 11:25.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZABURI 149:1 Haleluya. Mwimbieni Bwana
wimbo mpya, Sifa zake katika kusanyiko la
watauwa.
2 Israeli na amfurahie Yeye aliyemfanya, Wana
wa Sayuni na wamshangilie mfalme wao.
3 Na walisifu jina lake kwa kucheza, Kwa
matari na kinubi wamwimbie.
4 Kwa kuwa Bwana awaridhia watu wake,
Huwapamba wenye upole kwa wokovu.
5 Watauwa na waushangilie utukufu, Waimbe
kwa sauti kuu vitandani mwao.
MATHAYO 21:5 Mwambieni binti Sayuni
Tazama, mfalme wako anakuja kwako,
Mpole, naye amepanda punda, Na mwana-
punda, mtoto wa punda.
LUKA 19:38 wakasema, Ndiye mbarikiwa
Mfalme ajaye kwa jina la Bwana; amani
mbinguni, na utukufu huko juu.
WAEBRANIA 2:12 akisema, Nitalihubiri jina
lako kwa ndugu zangu; Katikati ya kanisa
nitakuimbia sifa.
1 PETRO 1:8 Naye mwampenda,
ijapokuwa hamkumwona; ambaye
ijapokuwa hamwoni sasa, mnamwamini;
na kufurahi sana, kwa furaha isiyoneneka,
yenye utukufu,
1 PETRO 3:4 bali kuwe utu wa
moyoni usioonekana, katika mapambo
yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na
utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za
Mungu.
UFUNUO WA YOHANA 5:9 Nao
waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili
wewe kukitwaa hicho kitabu na kuzifungua
muhuri zake; kwa kuwa ulichinjwa,
ukamnunulia Mungu kwa damu yako watu
wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa,
10 ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa
Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi.
UFUNUO WA YOHANA 19:6 Nikasikia
sauti kama sauti ya makutano mengi, na
kama sauti ya maji mengi, na kama sauti
ya radi yenye nguvu, ikisema, Haleluya;
kwa kuwa Bwana Mungu wetu, Mwenyezi,
amemiliki.
Ona pia: #1; #2; Kumbukumbu la Torati 7:6,7; 1 Samweli 12:22; Zaburi 22:22,25; Zaburi 33:2,3; Zaburi 96:1; Zaburi 98:1; Zaburi 100:1-3; Zaburi 111:1; Zaburi 116:18; Zaburi 135:3,4; Zaburi 144:9;
Zaburi 150:4; Isaya 42:10; Isaya 54:5; Isaya 62:4,5; 1 Petro 5:5.
ZABURIEN
176
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
ZABURI 149:6 Sifa kuu za Mungu na ziwe
vinywani mwao, Na upanga mkali kuwili
mikononi mwao.
7 Ili kufanya kisasi juu ya mataifa, Na adhabu
juu ya kabila za watu.
8 Wawafunge wafalme wao kwa minyororo,
Na wakuu wao kwa pingu za chuma.
9 Kuwafanyia hukumu iliyoandikwa; Hiyo
ndiyo heshima ya watauwa wake wote.
Haleluya.
ZEKARIA 14:17 Tena itakuwa, ya kwamba
mtu awaye yote wa jamaa zote zilizomo
duniani, asiyekwea kwenda Yerusalemu ili
kumwabudu Mfalme, Bwana wa majeshi,
mvua haitanyesha kwao.
18 Na kama jamaa ya Misri hawakwei, wala
hawaji, pia haitanyesha kwao; itakuwako
tauni, ambayo Bwana atawapiga mataifa,
wasiokwea ili kushika sikukuu ya Vibanda.
19 Hii ndiyo adhabu ya Misri, na adhabu ya
mataifa yote, wasiokwea ili kushika sikukuu
ya Vibanda.
1 WAKORINTHO 6:2 Au hamjui
ya kwamba watakatifu watauhukumu
ulimwengu? Na ikiwa ulimwengu
utahukumiwa na ninyi, je! Hamstahili
kukata hukumu zilizo ndogo?
3 Hamjui ya kuwa mtawahukumu malaika,
basi si zaidi sana mambo ya maisha haya?
WAEBRANIA 4:12 Maana Neno la Mungu li
hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko
upanga uwao wote ukatao kuwili, tena
lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na
viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena
li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi
ya moyo.
UFUNUO WA YOHANA 1:16 Naye
alikuwa na nyota saba katika mkono wake
wa kuume; na upanga mkali, wenye makali
kuwili, ukitoka katika kinywa chake; na uso
wake kama jua liking›aa kwa nguvu zake.
UFUNUO WA YOHANA 3:21 Yeye
ashindaye, nitampa kuketi pamoja nami
katika kiti changu cha enzi, kama mimi
nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba
yangu katika kiti chake cha enzi.
Ona pia: #1; #6; Zaburi 96:14; Zaburi 145:3-5; Zaburi 148:14; Danieli 7:18,22; Luka 2:14; Ufunuo wa Yohana 19:11-21.
ZABURIEN
177
G04 Masiha atatoa Roho Wake.
MITHALI 1:23 Geukeni kwa ajili ya maonyo
yangu; Tazama, nitawamwagia roho yangu,
Na kuwajulisheni maneno yangu.
YOELI 2:28 Hata itakuwa, baada ya hayo,
ya kwamba nitamimina roho yangu juu ya
wote wenye mwili; na wana wenu, waume
kwa wake, watatabiri, wazee wenu wataota
ndoto, na vijana wenu wataona maono;
ZEKARIA 12:10 Nami nitawamwagia watu
wa nyumba ya Daudi, na wenyeji wa
Yerusalemu, roho ya neema na kuomba; nao
watamtazama yeye ambaye walimchoma;
nao watamwombolezea, kama vile mtu
amwombolezeavyo mwanawe wa pekee; nao
wataona uchungu kwa ajili yake, kama vile
mtu aonavyo uchungu kwa ajili ya mzaliwa
wake wa kwanza.
MATENDO YA MITUME 2:4 Wote
wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza
kusema kwa lugha nyingine, kama Roho
alivyowajalia kutamka.
MATENDO YA MITUME 2:38 Petro
akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila
mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate
ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea
kipawa cha Roho Mtakatifu.
Ona pia: Isaya 32:15.
A04 Masiha amekuwepo tangu milele.
D01 Kupakwa kwa mafuta kwa Masiha.
MITHALI 8:22 Bwana alikuwa nami katika
mwanzo wa njia yake, Kabla ya matendo
yake ya kale.
23 Nalitukuka tokea milele, tangu awali, Kabla
haijawako dunia.
24 Wakati visipokuwako vilindi nalizaliwa,
Wakati zisipokuwako chemchemi zilizojaa
maji.
25 Kabla milima haijawekwa imara, Kabla ya
vilima nalizaliwa.
26 Alipokuwa hajaiumba dunia, wala makonde
Wala chanzo cha mavumbi ya dunia;
27 Alipozithibitisha mbingu nalikuwako;
Alipopiga duara katika uso wa bahari;
28 Alipofanya imara mawingu yaliyo juu;
Chemchemi za bahari zilipopata nguvu;
29 Alipoipa bahari mpaka wake, Kwamba maji
yake yasiasi amri yake; Alipoiagiza misingi
ya nchi;
YOHANA 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako
Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu,
naye Neno alikuwa Mungu.
2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye
hakikufanyika cho chote kilichofanyika.
4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao
ule uzima ulikuwa nuru ya watu.
YOHANA 17:5 Na sasa, Baba, unitukuze
mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule
niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya
ulimwengu kuwako.
YOHANA 17:24 Baba, hao ulionipa nataka
wawe pamoja nami po pote nilipo, wapate
na kuutazama utukufu wangu ulionipa; kwa
MITHALI
178
maana ulinipenda kabla ya kuwekwa msingi
ulimwengu.
WAKOLOSAI 1:15 naye ni mfano wa Mungu
asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa
viumbe vyote.
16 Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa,
vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi,
vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa
ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au
mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia
yake, na kwa ajili yake.
17 Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu
vyote hushikana katika yeye.
18 Naye ndiye kichwa cha mwili, yaani, cha
kanisa; naye ni mwanzo, ni mzaliwa
wa kwanza katika wafu, ili kwamba awe
mtangulizi katika yote.
19 Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifu
wote ukae;
WAEBRANIA 1:1 Mungu, ambaye alisema
zamani na baba zetu katika manabii kwa
sehemu nyingi na kwa njia nyingi,
2 mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika
Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote,
tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.
3 Yeye kwa kuwa ni mng›ao wa utukufu wake
na chapa ya nafsi yake, akivichukua vyote
kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya
utakaso wa dhambi, aliketi mkono wa
kuume wa Ukuu huko juu;
4 amefanyika bora kupita malaika, kwa kadiri
jina alilolirithi lilivyo tukufu kuliko lao.
5 Kwa maana alimwambia malaika yupi
wakati wo wote, Ndiwe mwanangu, Mimi leo
nimekuzaa? Na tena, Mimi nitakuwa kwake
baba, Na yeye atakuwa kwangu mwana?
Ona pia: Mwanzo 1:26; Zaburi 2:6; Mika 5:2; Waefeso 1:10,11; Yohana 1:1,2.
A05 Uhusiano kati ya Masiha na Baba Yake.
MITHALI 8:29 Alipoipa bahari mpaka
wake, Kwamba maji yake yasiasi amri yake;
Alipoiagiza misingi ya nchi;
30 Ndipo nilipokuwa pamoja naye, kama stadi
wa kazi; Nikawa furaha yake kila siku;
Nikifurahi daima mbele zake;
31 Nikiifurahia dunia inayokaliwa na watu; Na
furaha yangu ilikuwa pamoja na wanadamu.
MATHAYO 3:16 Naye Yesu alipokwisha
kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na
tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona
Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija
juu yake;
17 na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema,
Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu,
ninayependezwa naye.
YOHANA 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako
Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu,
naye Neno alikuwa Mungu.
2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye
hakikufanyika cho chote kilichofanyika.
YOHANA 1:18 Hakuna mtu aliyemwona
Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana
pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu
ndiye aliyemfunua.
YOHANA 4:34 Yesu akawaambia, Chakula
changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake
aliyenipeleka, nikaimalize kazi yake.
YOHANA 5:19 Mwana hawezi kutenda neno
mwenyewe ila lile ambalo amwona Baba
analitenda; kwa maana yote ayatendayo yeye,
ndiyo ayatendayo Mwana vile vile.
MITHALI
179
20 Kwa kuwa Baba ampenda Mwana, naye
humwonyesha yote ayatendayo mwenyewe;
hata na kazi kubwa zaidi kuliko hizo
atamwonyesha, ili ninyi mpate kustaajabu.
Ona pia: Zaburi 40:6-8; Isaya 42:1; Mathayo 17:5; Yohana 12:28; Yohana 13:1; Yohana 16:28; 2 Wakorintho 8:9.
B01 Masiha ndiye Mwana wa Mungu.
MITHALI 30:4 Ni nani aliyepanda
mbinguni na kushuka chini? Ni nani
aliyekamata upepo kwa makonzi yake? Ni
nani aliyeyafunga maji ndani ya nguo yake?
Ni nani aliyefanya imara ncha zote za
nchi? Jina lake ni nani? Na ni nani jina la
mwanawe, kama wajua?
ISAYA 9:6 Maana kwa ajili yetu mtoto
amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume;
Na uweza wa kifalme utakuwa begani
mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri
wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa
milele, Mfalme wa amani.
YEREMIA 23:6 Katika siku zake Yuda
ataokolewa, na Israeli atakaa salama, na jina
lake atakaloitwa ni hili, Bwana ni haki yetu.
YOHANA 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako
Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu,
naye Neno alikuwa Mungu.
YOHANA 1:18 Hakuna mtu aliyemwona
Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana
pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu
ndiye aliyemfunua.
YOHANA 3:13 Wala hakuna mtu aliyepaa
mbinguni, ila yeye aliyeshuka kutoka
mbinguni, yaani, Mwana wa Adamu.
WAEFESO 4:9 Basi neno hilo, Alipaa,
maana yake nini kama siyo kusema kwamba
yeye naye alishuka mpaka pande zilizo chini
za nchi?
10 Naye aliyeshuka ndiye yeye aliyepaa juu sana
kupita mbingu zote, ili avijaze vitu vyote.
Ona pia: Kumbukumbu la Torati 30:3; Waamuzi 13:18; Ayubu 38:4; Zaburi 2:7; Yeremia 7:14; Mathayo 1:21-23; Yohana 6:46;
Warumi 10:6,7.
MITHALI
180
B18 Utakatifu, uzuri na utukufu wa Masiha.
WIMBO ULIO BORA 5:16 Kinywa chake
kimejaa maneno matamu, Ndiye mzuri sana
pia pia. Ni huyu mpendwa wangu, ni huyu
rafiki yangu, Enyi binti za Yerusalemu.
ZABURI 45:1 Moyo wangu umefurika kwa
neno jema, Mimi nasema niliyomfanyizia
mfalme; Ulimi wangu ni kalamu ya
mwandishi mstadi.
YOHANA 3:29 Aliye naye bibi arusi ndiye
bwana arusi; lakini rafiki yake bwana arusi,
yeye anayesimama na kumsikia, aifurahia
sana sauti yake bwana arusi.
WAGALATIA 2:20 Nimesulibiwa pamoja na
Kristo; lakini ni hai; wala si mimi tena, bali
Kristo yu hai ndani yangu; na uhai nilio
nao sasa katika mwili, ninao katika imani
ya Mwana wa Mungu, ambaye alinipenda,
akajitoa nafsi yake kwa ajili yangu.
1 YOHANA 4:16 Nasi tumelifahamu pendo
alilo nalo Mungu kwetu sisi, na kuliamini.
Mungu ni upendo, naye akaaye katika
pendo, hukaa ndani ya Mungu, na Mungu
hukaa ndani yake.
Ona pia: Wimbo Ulio Bora 1:2; Wimbo Ulio Bora 2:16; Wimbo Ulio Bora 6:3; Mathayo 11:19; Mathayo 26:50; Luka 7:34; Yakobo
2:23.
WIMBO ULIO BORA
181
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 2:2 Na itakuwa katika siku
za mwisho, mlima wa nyumba ya Bwana
utawekwa imara juu ya milima, nao
utainuliwa juu ya vilima; na mataifa yote
watauendea makundi makundi.
3 Na mataifa mengi watakwenda na kusema,
Njoni, twende juu mlimani kwa Bwana,
nyumbani kwa Mungu wa Yakobo, naye
atatufundisha njia zake, nasi tutakwenda
katika mapito yake maana katika Sayuni
itatoka sheria, na neno la Bwana katika
Yerusalemu.
ZABURI 22:27 Miisho yote ya dunia
itakumbuka, Na watu watamrejea Bwana;
Jamaa zote za mataifa watamsujudia.
28 Maana ufalme una Bwana, Naye ndiye
awatawalaye mataifa.
ISAYA 49:22 Bwana MUNGU asema
hivi, Tazama, nitawainulia mataifa mkono
wangu, na kuwatwekea kabila za watu
bendera yangu; nao wataleta wana wako
vifuani mwao, na binti zako watachukuliwa
mabegani mwao.
23 Na wafalme watakuwa baba zako za
kulea, na malkia zao mama zako za kulea;
watainama mbele yako kifudifudi, na
kuramba mavumbi ya miguu yako; nawe
utajua ya kuwa mimi ni Bwana, tena
waningojeao hawatatahayarika.
YEREMIA 3:17 Wakati ule watauita
Yerusalemu kiti cha enzi cha Bwana;
na mataifa yote watakusanyika huko
Yerusalemu, kwa ajili ya jina la Bwana; wala
hawatakwenda tena kwa ukaidi wa moyo
wao mbaya.
ZEKARIA 8:20 Bwana wa majeshi asema
hivi, Itatokea halafu ya kwamba watakuja
mataifa na wenyeji wa miji mingi;
21 wenyeji wa mji huu watauendea mji huu,
wakisema, Haya! Twendeni zetu kwa haraka
tuombe fadhili za Bwana, na kumtafuta
Bwana wa majeshi; Mimi nami nitakwenda.
22 Naam, watu wa kabila nyingi na mataifa
hodari watakuja Yerusalemu kumtafuta
Bwana wa majeshi, na kuomba fadhili za
Bwana.
23 Bwana wa majeshi asema hivi, Siku hizo
watu kumi, wa lugha zote za mataifa,
wataushika upindo wa nguo yake yeye aliye
Myahudi; naam, wataushika wakisema,
Tutakwenda pamoja nanyi, kwa maana
tumesikia kwamba Mungu yu pamoja nanyi.
YOHANA 6:45 Imeandikwa katika manabii,
Na wote watakuwa wamefundishwa na
Mungu. Basi kila aliyesikia na kujifunza kwa
Baba huja kwangu.
MATENDO YA MITUME 1:8 Lakini
mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu
Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi
wangu katika Yerusalemu, na katika
Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho
wa nchi.
WARUMI 15:18 Maana sitathubutu kutaja
neno asilolitenda Kristo kwa kazi yangu,
Mataifa wapate kutii, kwa neno au kwa
tendo,
1 YOHANA 2:27 Nanyi, mafuta yale
mliyoyapata kwake yanakaa ndani yenu,
wala hamna haja ya mtu kuwafundisha;
ISAYA
182
lakini kama mafuta yake yanavyowafundisha
habari za mambo yote, tena ni kweli wala si
uongo, na kama yalivyowafundisha, kaeni
ndani yake.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 12:10
Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, Sasa
kumekuwa wokovu, na nguvu, na ufalme
wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo
wake; kwa maana ametupwa chini mshitaki
wa ndugu zetu, yeye awashitakiye mbele za
Mungu wetu, mchana na usiku.
UFUNUO WA YOHANA 15:4 Ni
nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza
jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako
u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote
watakuja na kusujudu mbele zako; kwa
kuwa matendo yako ya haki yamekwisha
kufunuliwa.
UFUNUO WA YOHANA 17:14 Hawa
watafanya vita na Mwana-Kondoo, na
Mwana Kondoo atawashinda, kwa maana
Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa
Wafalme, na hao walio pamoja naye ndio
walioitwa, na wateule, na waaminifu.
UFUNUO WA YOHANA 21:10
Akanichukua katika Roho mpaka mlima
mkubwa, mrefu, akanionyesha ule mji
mtakatifu, Yerusalemu, ukishuka kutoka
mbinguni kwa Mwenyezi Mungu;
Ona pia: Zaburi 2:8; Zaburi 72:8,11,17-19; Zaburi 86:9; Zaburi 89:15-17; Zaburi 110:2; Isaya 2:2,3; Isaya 11:10; Isaya 27:15; Isaya 30:29; Isaya 49:6,7; Isaya 50:4,5; Isaya 51:4,5; Isaya 54:13; Isaya 55:5; Isaya 60:3-14; Yeremia 16:19; Yeremia 31:6; Yeremia 50:4,5; Danieli 2:44,45; Danieli 7:14,18,22,27; Hosea 2:23; Amosi 9:11,12;
Mika 4:1-3; Sefania 3:9,10; Zekaria 2:11; Zekaria 8:3; Zekaria 14:9; Malaki 1:11; Malaki 3:12; Matendo ya Mitume 13:46-48;
Warumi 10:18; Ufunuo wa Yohana 20.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 2:4 Naye atafanya hukumu
katika mataifa mengi, atawakemea watu wa
kabila nyingi; nao watafua panga zao ziwe
majembe, na mikuki yao iwe miundu; taifa
halitainua upanga juu ya taifa lingine, wala
hawatajifunza vita tena kamwe.
ISAYA 60:18 Jeuri haitasikiwa tena katika
nchi yako, Ukiwa na uharibifu hazitakuwa
mipakani mwako; Bali utaziita kuta zako,
Wokovu, Na malango yako, Sifa.
ZEKARIA 9:10 Na gari la vita nitaliondoa
liwe mbali na Efraimu, na farasi awe
mbali na Yerusalemu, na upinde wa vita
utaondolewa mbali; naye atawahubiri
mataifa yote habari za amani; na mamlaka
yake yatakuwa toka bahari hata bahari, na
toka Mto hata miisho ya dunia.
YOHANA 5:22 Tena Baba hamhukumu mtu
ye yote, bali amempa Mwana hukumu yote;
23 ili watu wote wamheshimu Mwana
kama vile wanavyomheshimu Baba.
Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba
aliyempeleka.
MATENDO YA MITUME 17:31 Kwa
maana ameweka siku atakayowahukumu
walimwengu kwa haki, kwa mtu yule
ISAYA
183
aliyemchagua; naye amewapa watu wote
uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua
katika wafu.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 19:11 Kisha
nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama,
farasi mweupe, na yeye aliyempanda,
aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa
haki ahukumu na kufanya vita.
Ona pia: 1 Samweli 2:10; Zaburi 46:9; Zaburi 72:3-7; Zaburi 82:8; Zaburi 96:13; Zaburi 110:6; Isaya 9:7; Isaya 11:3-9; Isaya 60:17; Hosea 2:19; Yoeli 3:10; Mika 4:3; Ufunuo wa Yohana 20.
B21 Masiha ndiye Nuru.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 2:5 Enyi wa nyumba ya Israeli,
njoni, twende katika nuru ya Bwana.
ISAYA 30:26 Na tena nuru ya mwezi
itakuwa kama nuru ya jua, na nuru ya jua
itaongezeka mara saba, kama nuru ya siku
saba, katika siku ile Bwana atakapofunga
mapigo ya watu wake, na kuliponya pigo la
jeraha yao.
ISAYA 49:6 naam, asema hivi, Ni neno
dogo sana wewe kuwa mtumishi wangu ili
kuziinua kabila za Yakobo, na kuwarejeza
watu wa Israeli waliohifadhiwa; zaidi ya hayo
nitakutoa uwe nuru ya mataifa, upate kuwa
wokovu wangu hata miisho ya dunia.
LUKA 1:79 Kuwaangaza wakaao katika
giza na uvuli wa mauti, Na kuiongoza miguu
yetu kwenye njia ya amani.
YOHANA 8:12 Basi Yesu akawaambia tena
akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu,
yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe,
bali atakuwa na nuru ya uzima.
YOHANA 12:35 Basi Yesu akawaambia,
Nuru ingaliko pamoja nanyi muda kidogo.
Enendeni maadamu mnayo nuru hiyo, giza
lisije likawaweza; maana aendaye gizani
hajui aendako.
36 Maadamu mnayo nuru, iaminini nuru
hiyo, ili mpate kuwa wana wa nuru. Hayo
aliyasema Yesu, akaenda zake, akajificha
wasimwone.
WARUMI 13:12 Usiku umeendelea sana,
mchana umekaribia, basi na tuyavue
matendo ya giza, na kuzivaa silaha za nuru.
WAEFESO 5:8 Kwa maana zamani ninyi
mlikuwa giza, bali sasa mmekuwa nuru
katika Bwana; enendeni kama watoto wa
nuru,
9 kwa kuwa tunda la nuru ni katika wema
wote na haki na kweli;
1 WATHESALONIKE 5:5 Kwa kuwa ninyi
nyote mmekuwa wana wa nuru, na wana wa
mchana; sisi si wa usiku, wala wa giza.
6 Basi tusilale usingizi kama wengine, bali
tukeshe, na kuwa na kiasi.
1 YOHANA 1:7 bali tukienenda nuruni,
kama yeye alivyo katika nuru, twashirikiana
sisi kwa sisi, na damu yake Yesu, Mwana
wake, yatusafisha dhambi yote.
ISAYA
184
UFUNUO WA YOHANA 21:23 Na mji
ule hauhitaji jua wala mwezi kuuangaza,
kwa maana utukufu wa Mungu huutia nuru,
na taa yake ni Mwana-Kondoo.
24 Na mataifa watatembea katika nuru yake. Na
wafalme wa nchi huleta utukufu wao ndani
yake.
Ona pia: Zaburi 18:29; Zaburi 89:15; Isaya 2:3; Isaya 42:6,16; Isaya 50:10; Isaya 51:4; Isaya 60:1,3,19,20; Zekaria 14:6,7.
A07 Atakuwa Masiha wa Israeli.
B14 Masiha anatambulisha utukufu wa Mungu
E16 Masiha atabariki watu Wake.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H11 Masiha atatukuzwa.
ISAYA 4:2 Siku hiyo chipukizi la Bwana
litakuwa zuri, lenye utukufu, na matunda ya
nchi yatakuwa mema sana, na kupendeza,
kwa ajili ya Waisraeli wale waliookoka.
YEREMIA 23:5 Tazama siku zinakuja,
asema Bwana, nitakapomchipushia Daudi
Chipukizi la haki; naye atamiliki mfalme,
atatenda kwa hekima, naye atafanya
hukumu na haki katika nchi.
6 Katika siku zake Yuda ataokolewa, na Israeli
atakaa salama, na jina lake atakaloitwa ni
hili, Bwana ni haki yetu.
YOELI 3:18 Tena itakuwa siku ile, ya
kwamba milima itadondoza divai tamu, na
vilima vitatiririka maziwa, na vijito vyote
vya Yuda vitatoa maji tele; na chemchemi
itatokea katika nyumba ya Bwana, na
kulinywesha bonde la Shitimu.
ZEKARIA 6:12 ukamwambie, ukisema,
Bwana wa majeshi asema hivi, ya kwamba,
Tazama, mtu huyu ndiye ambaye jina lake ni
Chipukizi; naye atakua katika mahali pake,
naye atalijenga hekalu la Bwana.
13 Naam, yeye atalijenga hekalu la Bwana; naye
atauchukua huo utukufu; ataketi akimiliki
katika kiti chake cha enzi; na kutakuwa na
kuhani katika kiti chake cha enzi; na shauri
la amani litakuwa kati ya hao wawili.
LUKA 1:30 Malaika akamwambia,
Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata
neema kwa Mungu.
31 Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto
mwanamume; na jina lake utamwita Yesu.
32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa
Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha
enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
YOHANA 15:5 Mimi ni mzabibu; ninyi ni
matawi, akaaye ndani yangu nami ndani
yake, huyo huzaa sana; maana pasipo mimi
ninyi hamwezi kufanya neno lo lote.
WAGALATIA 5:22 Lakini tunda la Roho ni
upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu
wema, fadhili, uaminifu,
UFUNUO WA YOHANA 22:2 katikati
ya njia kuu yake. Na upande huu na upande
huu wa ule mto, ulikuwapo mti wa uzima,
uzaao matunda, aina kumi na mbili, wenye
kutoa matunda yake kila mwezi; na majani
ya mti huo ni ya kuwaponya mataifa.
Ona pia: #1; #2; #3; Mathayo 24:22; Yohana 1:14; Yohana 15:2-4,8,16; 2 Wakorintho 4:6; Wakolosai 1:10; 2 Petro 1:16; Ufunuo
wa Yohana 7:9-14.
ISAYA
185
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 4:3 Tena itakuwa ya kwamba
yeye aliyebaki katika Sayuni, na yeye
aliyeachwa ndani ya Yerusalemu, ataitwa
mtakatifu; yaani, kila mmoja aliyeandikwa
miongoni mwa hao walio hai ndani ya
Yerusalemu;
YOELI 3:16 Naye Bwana atanguruma
toka Sayuni, atatoa sauti yake toka
Yerusalemu; na mbingu na nchi
zitatetemeka; lakini Bwana atakuwa kimbilio
la watu wake, na ngome ya wana wa Israeli.
17 Hivyo ndivyo mtakavyojua ya kuwa mimi
ndimi Bwana, Mungu wenu, nikaaye Sayuni,
mlima wangu mtakatifu; ndipo Yerusalemu
utakapokuwa mtakatifu, wala wageni
hawatapita tena ndani yake kamwe.
ZEKARIA 14:20 Siku hiyo katika njuga
za farasi yataandikwa maneno haya,
WATAKATIFU KWA Bwana; navyo vyombo
vilivyomo ndani ya nyumba ya Bwana
vitakuwa kama mabakuli yaliyoko mbele ya
madhabahu.
21 Naam, kila chombo katika Yerusalemu,
na katika Yuda, kitakuwa kitakatifu kwa
Bwana wa majeshi; nao wote watoao
dhabihu watakuja kuvitwaa vile vyombo, na
kutokosa nyama ndani yake; wala siku hiyo
hatakuwamo tena mfanya biashara ndani ya
nyumba ya Bwana wa majeshi.
WARUMI 11:16 Tena malimbuko yakiwa
matakatifu, kadhalika na donge lote; na
shina likiwa takatifu, matawi nayo kadhalika.
WARUMI 11:26 Hivyo Israeli wote
wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi
atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na
maasia yake.
27 Na hili ndilo agano langu nao,
Nitakapowaondolea dhambi zao.
WAEFESO 1:4 kama vile alivyotuchagua
katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya
ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio
na hatia mbele zake katika pendo.
WAEFESO 5:26 ili makusudi alitakase na
kulisafisha kwa maji katika neno;
27 apate kujiletea Kanisa tukufu, lisilo na ila
wala kunyanzi wala lo lote kama hayo; bali
liwe takatifu lisilo na mawaa.
WAEBRANIA 12:14 Tafuteni kwa
bidii kuwa na amani na watu wote, na huo
utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona
Bwana asipokuwa nao;
WAEBRANIA 12:22 Bali ninyi
mmeufikilia mlima Sayuni, na mji wa
Mungu aliye hai, Yerusalemu wa mbinguni,
na majeshi ya malaika elfu nyingi,
UFUNUO WA YOHANA 3:5 Yeye
ashindaye atavikwa hivyo mavazi meupe,
wala sitalifuta kamwe jina lake katika kitabu
cha uzima, nami nitalikiri jina lake mbele za
Baba yangu, na mbele ya malaika zake.
UFUNUO WA YOHANA 13:8 Na watu
wote wakaao juu ya nchi watamsujudu,
kila ambaye jina lake halikuandikwa katika
kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo,
aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya
dunia.
ISAYA
186
UFUNUO WA YOHANA 17:8 Yule
mnyama uliyemwona alikuwako, naye
hayuko, naye yu tayari kupanda kutoka
kuzimu na kwenda kwenye uharibifu. Na
hao wakaao juu ya nchi, wasioandikwa
majina yao katika kitabu cha uzima
tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu,
watastaajabu wamwonapo yule mnyama,
ya kwamba alikuwako, naye hayuko, naye
atakuwako.
UFUNUO WA YOHANA 20:15 Na iwapo
mtu ye yote hakuonekana ameandikwa
katika kitabu cha uzima, alitupwa katika lile
ziwa la moto.
UFUNUO WA YOHANA 21:27 Na ndani
yake hakitaingia kamwe cho chote kilicho
kinyonge, wala yeye afanyaye machukizo na
uongo, bali wale walioandikwa katika kitabu
cha uzima cha Mwana-Kondoo.
UFUNUO WA YOHANA 22:15 Huko
nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na
wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila
mtu apendaye uongo na kuufanya.
Ona pia: #1; #2; Kutoka 32:32,33; Kumbukumbu la Torati 12:7,12; Ezekieli 13:9; Ezekieli 43:12; Ezekieli 44:9; Zekaria 1:17; Mathayo 21:12,13; Luka 10:20; Yohana 17:17; Matendo ya Mitume 13:48; 1 Wakorintho 3:16; 1 Wakorintho 6:9-11; Waefeso 2:19-22; Wafilipi
4:3; Wakolosai 3:12; 1 Petro 2:9; Ufunuo wa Yohana 18:11-15.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 4:4 hapo Bwana atakapokuwa
ameuosha uchafu wa hao binti za Sayuni
na kuisafisha damu ya Yerusalemu kati
yake, kwa roho ya hukumu na kwa roho ya
kuteketeza.
5 Tena juu ya makao yote ya mlima Sayuni, na
juu ya makusanyiko yake, Bwana ataumba
wingu na moshi wakati wa mchana, na
mwangaza wa miali ya moto wakati wa
usiku; kwa maana juu ya utukufu wote
itatandazwa sitara.
6 Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati
wa mchana kwa sababu ya hari, na kuwa
mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa
tufani na mvua.
ZABURI 87:2 Bwana ayapenda malango ya
Sayuni Kuliko maskani zote za Yakobo.
3 Umetajwa kwa mambo matukufu, Ee Mji wa
Mungu.
ISAYA 31:5 Kama ndege warukao,
Bwana wa majeshi ataulinda Yerusalemu;
ataulinda na kuuokoa, atapita juu yake na
kuuhifadhi.
ISAYA 33:20 Angalia Sayuni, mji wa
sikukuu zetu; macho yako yatauona
Yerusalemu umekuwa kao la raha;
hema isiyotanga-tanga; vigingi vyake
havitang›olewa, wala kamba zake
hazitakatika.
EZEKIELI 36:25 Nami nitawanyunyizia maji
safi, nanyi mtakuwa safi; nitawatakaseni na
uchafu wenu wote, na vinyago vyenu vyote.
26 Nami nitawapa ninyi moyo mpya, nami
nitatia roho mpya ndani yenu, nami nitatoa
moyo wa jiwe uliomo ndani ya mwili wenu,
nami nitawapa moyo wa nyama.
27 Nami nitatia roho yangu ndani yenu, na
kuwaendesha katika sheria zangu, nanyi
mtazishika hukumu zangu, na kuzitenda.
28 Nanyi mtakaa katika nchi ile niliyowapa baba
zenu, nanyi mtakuwa watu wangu, nami
nitakuwa Mungu wenu.
ISAYA
187
29 Nami nitawaokoeni na uchafu wenu wote;
nitaiita ngano, na kuiongeza, wala sitaweka
njaa juu yenu tena.
ZEKARIA 12:8 Katika siku hiyo Bwana
atawalinda wenyeji wa Yerusalemu; na yeye
aliye dhaifu miongoni mwao atakuwa kama
Daudi siku hiyo; nayo nyumba ya Daudi
itakuwa kama Mungu, kama malaika wa
Bwana mbele yao.
ZEKARIA 13:1 Katika siku hiyo watu
wa nyumba ya Daudi, na wenyeji wa
Yerusalemu, watafunguliwa chemchemi kwa
dhambi na kwa unajisi.
2 Kisha itakuwa katika siku hiyo, asema
Bwana wa majeshi, nitakatilia mbali majina
ya sanamu katika nchi, yasikumbukwe
tena; pia nitawafukuza manabii, na roho ya
uchafu, watoke katika nchi.
MATHAYO 3:11 Kweli mimi nawabatiza
kwa maji kwa ajili ya toba; bali yeye ajaye
nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala
sistahili hata kuvichukua viatu vyake; yeye
atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa
moto.
12 Ambaye pepeto lake li mkononi mwake,
naye atausafisha sana uwanda wake; na
kuikusanya ngano yake ghalani, bali makapi
atayateketeza kwa moto usiozimika.
YOHANA 16:8 Naye akiisha kuja, huyo
atauhakikisha ulimwengu kwa habari ya
dhambi, na haki, na hukumu.
9 Kwa habari ya dhambi, kwa sababu
hawaniamini mimi;
10 kwa habari ya haki, kwa sababu mimi
naenda zangu kwa Baba, wala hamnioni
tena;
11 kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule
mkuu wa ulimwengu huu amekwisha
kuhukumiwa.
1 WAKORINTHO 6:11 Na baadhi yenu
mlikuwa watu wa namna hii; lakini
mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini
mlihesabiwa haki katika jina la Bwana Yesu
Kristo, na katika Roho wa Mungu wetu.
UFUNUO WA YOHANA 1:5 tena
zitokazo kwa Yesu Kristo, shahidi aliye
mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa
waliokufa, na mkuu wa wafalme wa dunia.
Yeye atupendaye na kutuosha dhambi zetu
katika damu yake,
UFUNUO WA YOHANA 7:14
Nikamwambia, Bwana wangu, wajua wewe.
Akaniambia, Hao ndio wanatoka katika
dhiki ile iliyo kuu, nao wamefua mavazi yao,
na kuyafanya meupe katika damu ya Mwana-
Kondoo.
UFUNUO WA YOHANA 14:1 Kisha
nikaona, na tazama, huyo Mwana-Kondoo
amesimama juu ya mlima Sayuni, na
watu mia na arobaini na nne elfu pamoja
naye, wenye jina lake na jina la Baba yake
limeandikwa katika vipaji vya nyuso zao.
Ona pia: #1; #2; #5; Kutoka 13:21,22; Zaburi 27:5; Zaburi 78:14; Zaburi 91:1; Mithali 18:10; Isaya 25:4; Isaya 26:20; Isaya 37:35;
Yeremia 16:19; Ezekieli 11:16; Ezekieli 16:6-9; Ezekieli 22:15,18-22; Ezekieli 24:7-14; Yoeli 3:16-21; Zekaria 2:5-10; Mathayo 18:20; Mathayo 23:37; Mathayo 28:20; Ufunuo wa Yohana 7:15,16;
Ufunuo wa Yohana 11:15; Ufunuo wa Yohana 20.
ISAYA
188
A08 Majina na vyeo vya Masiha.
F03 Masiha atakataliwa.
ISAYA 5:1 Na nimwimbie mpenzi
wangu wimbo wa mpenzi wangu katika
habari za shamba lake la mizabibu. Mpenzi
wangu alikuwa na shamba la mizabibu,
Kilimani penye kuzaa sana;
2 Akafanya handaki kulizunguka pande
zote, Akatoa mawe yake, Akapanda ndani
yake mzabibu ulio mzuri, Akajenga mnara
katikati yake, Akachimba shinikizo ndani
yake; Akatumaini ya kuwa utazaa zabibu,
Nao ukazaa zabibu-mwitu.
ZABURI 80:14 Ee Mungu wa majeshi,
tunakusihi, urudi, Utazame toka juu uone,
uujilie mzabibu huu.
15 Na mche ule ulioupanda Kwa mkono wako
wa kuume; Na tawi lile ulilolifanya Kuwa
imara kwa nafsi yako.
YEREMIA 2:21 Nami nalikuwa
nimekupanda, mzabibu mwema sana,
mbegu nzuri kabisa; umegeukaje, basi,
kuwa mche usiofaa wa mzabibu-mwitu
machoni pangu?
MATHAYO 21:33 Sikilizeni mfano mwingine.
Kulikuwa na mtu mwenye nyumba,
naye alipanda shamba la mizabibu,
akalizungusha ugo, akachimba shimo la
shinikizo ndani yake, akajenga mnara,
akapangisha wakulima, akasafiri.
34 Wakati wa matunda ulipokuwa karibu,
akawatuma watumwa wake kwa wale
wakulima, wapokee matunda yake.
35 Wale wakulima wakawakamata watumwa
wake, huyu wakampiga, na huyu
wakamwua, na huyu wakampiga kwa mawe.
36 Akawatuma tena watumwa wengine wengi
kuliko wa kwanza wakawatenda vile vile.
37 Mwishowe akamtuma mwanawe kwao,
akisema, Watamstahi mwanangu.
38 Lakini wale wakulima walipomwona yule
mwana, wakasemezana wao kwa wao, Huyu
ni mrithi; haya na tumwue, tuutwae urithi
wake.
39 Wakamkamata, wakamtupa nje ya shamba la
mizabibu, wakamwua.
YOHANA 3:29 Aliye naye bibi arusi ndiye
bwana arusi; lakini rafiki yake bwana arusi,
yeye anayesimama na kumsikia, aifurahia
sana sauti yake bwana arusi.
YOHANA 15:1 Mimi ndimi mzabibu wa
kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
Ona pia: Kumbukumbu la Torati 32:32,33; Zaburi 80:7; Wimbo Ulio Bora 2:8,16; Wimbo Ulio Bora 5:2,16; Wimbo Ulio Bora
6:3; Isaya 5:7; Isaya 27:2,3; Hosea 10:1; Marko 12:1-9; Luka 13:7; Yohana 2:1-11; Warumi 9:4,5.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 6:1 Katika mwaka ule aliokufa
mfalme Uzia nalimwona Bwana ameketi
katika kiti cha enzi, kilicho juu sana na
kuinuliwa sana, na pindo za vazi lake
zikalijaza hekalu.
2 Juu yake walisimama maserafi; kila mmoja
alikuwa na mabawa sita; kwa mawili
alifunika uso wake, na kwa mawili alifunika
miguu yake, na kwa mawili aliruka.
3 Wakaitana, kila mmoja na mwenzake,
wakisema, Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu,
ni Bwana wa majeshi; dunia yote imejaa
utukufu wake.
4 Na misingi ya vizingiti ikatikisika kwa
ISAYA
189
sababu ya sauti yake aliyelia, nayo nyumba
ikajaa moshi.
MATHAYO 25:31 Hapo atakapokuja Mwana
wa Adamu katika utukufu wake, na malaika
watakatifu wote pamoja naye, ndipo
atakapoketi katika kiti cha utukufu wake;
UFUNUO WA YOHANA 4:11
Umestahili wewe, Bwana wetu na Mungu
wetu, kuupokea utukufu na heshima na
uweza; kwa kuwa wewe ndiwe uliyeviumba
vitu vyote, na kwa sababu ya mapenzi yako
vilikuwako, navyo vikaumbwa.
UFUNUO WA YOHANA 15:3 Nao
wauimba wimbo wa Musa, mtumwa wa
Mungu, na wimbo wa Mwana-Kondoo,
wakisema, Ni makuu, na ya ajabu, matendo
yako, Ee Bwana Mungu Mwenyezi; Ni za
haki, na za kweli, njia zako, Ee Mfalme wa
mataifa.
4 Ni nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza
jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako
u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote
watakuja na kusujudu mbele zako; kwa
kuwa matendo yako ya haki yamekwisha
kufunuliwa.
Ona pia: #1; Kutoka 24:10,11; Hesabu 12:8; 1 Wafalme 8:10,11; Zaburi 24:7-10; Ezekieli 1:25-28; Danieli 7:9; Yohana 1:18; 1
Timotheo 6:16; Ufunuo wa Yohana 4:1-11; Ufunuo wa Yohana 5:1,7; Ufunuo wa Yohana 6:16; Ufunuo wa Yohana 7:11,12.
F14 Masiha hataaminiwa.
ISAYA 6:9 Naye akaniambia, Enenda,
ukawaambie watu hawa, Fulizeni kusikia,
lakini msifahamu; fulizeni kutazama, lakini
msione.
10 Uunoneshe moyo wa watu hawa, ukayatie
uzito masikio yao, ukayafumbe macho yao;
wasije wakaona kwa macho yao, na kusikia
kwa masikio yao, na kufahamu kwa mioyo
yao, na kurejea na kuponywa.
YOHANA 12:39 Ndiyo sababu wao
hawakuweza kusadiki; kwa maana Isaya
alisema tena,
40 Amewapofusha macho, Ameifanya mizito
mioyo yao; Wasije wakaona kwa macho yao,
Wakafahamu kwa mioyo yao, Wakaongoka,
nikawaponya.
41 Maneno hayo aliyasema Isaya, kwa kuwa
aliuona utukufu wake, akataja habari zake.
MATENDO YA MITUME 28:24 Wengine
waliamini yale yaliyonenwa, wengine
hawakuyaamini.
25 Na walipokuwa hawapatani wao kwa wao,
wakaenda zao, Paulo alipokwisha kusema
neno hili moja, ya kwamba, Roho Mtakatifu
alinena vema na baba zetu, kwa kinywa cha
nabii Isaya,
26 akisema, Enenda kwa watu hawa,
ukawaambie, Kusikia, mtasikia wala
hamtafahamu; Na kuona, mtaona wala
hamtatambua;
27 Kwa maana mioyo ya watu hawa
imepumbaa, Na masikio yao ni mazito
ya kusikia, Na macho yao wameyafumba;
Wasije wakaona kwa macho yao, Na kusikia
kwa masikio yao, Na kufahamu kwa mioyo
yao, Na kubadili nia zao, nikawaponya.
Ona pia: Kumbukumbu la Torati 2:30; Isaya 6:5; Isaya 29:10,13; Isaya 30:8-11; Isaya 63:17; Ezekieli 3:6-11; Hosea 1:9; Mathayo 13:14,15; Marko 4:12; Luka 8:10; Matendo ya Mitume 28:26,27;
Warumi 11:8; 2 Wakorintho 2:16.
ISAYA
190
B03 Masiha ndiye Mwana wa mtu.
C04 Maisha ya Masiha hadi kuonekana Kwake
kwa mara ya kwanza.
ISAYA 7:14 Kwa hiyo Bwana mwenyewe
atawapa ishara. Tazama, bikira atachukua
mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye
atamwita jina lake Imanueli.
15 Siagi na asali atakula, wakati ajuapo
kuyakataa mabaya na kuyachagua mema.
16 Kwa maana kabla mtoto huyo hajajua
kuyakataa mabaya na kuyachagua mema,
nchi ile, ambayo wewe unawachukia
wafalme wake wawili, itaachwa ukiwa.
MATHAYO 1:20 Basi alipokuwa akifikiri
hayo, tazama, malaika wa Bwana alimtokea
katika ndoto, akisema, Yusufu, mwana wa
Daudi, usihofu kumchukua Mariamu mkeo,
maana mimba yake ni kwa uweza wa Roho
Mtakatifu.
21 Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina
lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa
watu wake na dhambi zao.
22 Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno
lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii
akisema,
23 Tazama, bikira atachukua mimba, Naye
atazaa mwana; Nao watamwita jina lake
Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi.
MATHAYO 16:15 Akawaambia, Nanyi
mwaninena mimi kuwa ni nani?
16 Simoni Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe
Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.
MATHAYO 18:20 Kwa kuwa walipo wawili
watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami
nipo papo hapo katikati yao.
MATHAYO 28:20 na kuwafundisha kuyashika
yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi
nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu
wa dahari.
LUKA 1:30 Malaika akamwambia,
Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata
neema kwa Mungu.
31 Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto
mwanamume; na jina lake utamwita Yesu.
32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa
Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha
enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
34 Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje
neno hili, maana sijui mume?
35 Malaika akajibu akamwambia, Roho
Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake
Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa
sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa
kitakatifu, Mwana wa Mungu.
YOHANA 1:15 Yohana alimshuhudia,
akapaza sauti yake akasema, Huyu ndiye
niliyenena habari zake ya kwamba, Ajaye
nyuma yangu amekuwa mbele yangu; kwa
maana alikuwa kabla yangu.
YOHANA 14:15 Mkinipenda, mtazishika
amri zangu.
16 Nami nitamwomba Baba, naye atawapa
Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata
milele;
17 ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu
hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni
wala haumtambui; bali ninyi mnamtambua,
maana anakaa kwenu, naye atakuwa ndani
yenu.
ISAYA
191
UFUNUO WA YOHANA 21:3 Nikasikia
sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha
enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu
ni pamoja na wanadamu, naye atafanya
maskani yake pamoja nao, nao watakuwa
watu wake. Naye Mungu mwenyewe
atakuwa pamoja nao.
Ona pia: Mwanzo 3:15; Isaya 9:6; Luka 2:40-52; Yohana 1:1,2,14; 1 Timotheo 3:16.
E25 asiha ataaminiwa na kusifiwa.
F03 Masiha atakataliwa.
ISAYA 8:13 Bwana wa majeshi ndiye
mtakayemtakasa; na awe yeye hofu yenu, na
awe yeye utisho wenu.
14 Naye atakuwa ni mahali patakatifu; bali ni
jiwe la kujikwaza na mwamba wa kujikwaa
kwa nyumba za Israeli zote mbili, na mtego
na tanzi kwa wenyeji wa Yerusalemu.
15 Na wengi watajikwaa juu yake, na kuanguka
na kuvunjika, na kunaswa na kukamatwa.
MATHAYO 11:6 Naye heri awaye yote
asiyechukizwa nami.
MATHAYO 13:57 Wakachukizwa naye. Yesu
akawaambia, Nabii hakosi kupata heshima,
isipokuwa katika nchi yake, na nyumbani
mwake mwenyewe.
LUKA 2:34 Simeoni akawabariki,
akamwambia Mariamu mama yake, Tazama,
huyu amewekwa kwa kuanguka na kuinuka
wengi walio katika Israeli, na kuwa ishara
itakayonenewa.
LUKA 20:17 Akawakazia macho akasema,
Maana yake nini basi neno hili lililoandikwa,
Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa
jiwe kuu la pembeni?
18 Kila mtu aangukaye juu ya jiwe hilo
atavunjika-vunjika; na ye yote ambaye
litamwangukia litamsaga kabisa.
LUKA 21:35 kwa kuwa ndivyo
itakavyowajilia watu wote wakaao juu ya uso
wa dunia nzima.
WARUMI 9:31 bali Israeli wakiifuata sheria
ya haki hawakuifikilia ile sheria.
32 Kwa sababu gani? Kwa sababu hawakuifuata
kwa njia ya imani, bali kana kwamba kwa
njia ya matendo. Wakajikwaa juu ya jiwe lile
likwazalo,
33 kama ilivyoandikwa, Tazama, naweka
katika Sayuni jiwe likwazalo, na mwamba
uangushao; Na kila amwaminiye
hatatahayarika.
1 PETRO 2:7 Basi, heshima hii ni kwenu
ninyi mnaoamini. Bali kwao wasioamini,
Jiwe walilolikataa waashi, Limekuwa jiwe
kuu la pembeni.
Ona pia: Ezekieli 11:16; Mathayo 15:14; Mathayo 21:43-45; 1 Wakorintho 1:23,24.
E02 Mahali pa huduma ya Masiha.
ISAYA 9:1 Lakini yeye aliyekuwa katika
dhiki hatakosa changamko. Hapo kwanza
aliiingiza nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali
katika hali ya kudharauliwa, lakini zamani za
mwisho ameifanya kuwa tukufu, karibu na
njia ya bahari; ng›ambo ya Yordani, Galilaya
ya mataifa.
ISAYA
192
MATHAYO 2:22 Lakini aliposikia ya kwamba
Arkelao anamiliki huko Uyahudi mahali
pa Herode babaye, aliogopa kwenda huko;
naye akiisha kuonywa katika ndoto, akasafiri
pande za Galilaya,
23 akaenda, akakaa katika mji ulioitwa Nazareti;
ili litimie neno lililonenwa na manabii,
Ataitwa Mnazorayo.
MATHAYO 4:12 Basi Yesu aliposikia ya
kwamba Yohana amefungwa, alikwenda
zake mpaka Galilaya;
13 akatoka Nazareti, akaja akakaa Kapernaumu,
mji ulioko pwani, mipakani mwa Zabuloni
na Naftali;
14 ili litimie neno lililonenwa na nabii Isaya,
akisema,
15 Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, Njia
ya bahari, ng›ambo ya Yordani, Galilaya ya
mataifa,
YOHANA 1:45 Filipo akamwona
Nathanaeli, akamwambia, Tumemwona
yeye aliyeandikiwa na Musa katika torati, na
manabii, Yesu, mwana wa Yusufu, mtu wa
Nazareti.
46 Nathanaeli akamwambia, Laweza neno jema
kutoka Nazareti? Filipo akamwambia, Njoo
uone.
B21 Masiha ndiye Nuru.
E15 Masiha ataleta habari njema.
ISAYA 9:2 Watu wale waliokwenda
katika giza Wameona nuru kuu; Wale
waliokaa katika nchi ya uvuli wa mauti, Nuru
imewaangaza.
3 Umeliongeza taifa, umezidisha furaha yao;
Wanafurahi mbele zako, Kama furaha ya
wakati wa mavuno, Kama watu wafurahivyo
wagawanyapo nyara.
4 Kwa maana umeivunja nira ya mzigo wake,
na gongo la bega lake, na fimbo yake yeye
aliyemwonea, kama katika siku ya Midiani.
MATHAYO 4:16 Watu wale waliokaa katika
giza Wameona mwanga mkuu, Nao waliokaa
katika nchi na uvuli wa mauti Mwanga
umewazukia.
LUKA 1:76 Nawe, mtoto, utaitwa nabii
wake Aliye juu, Kwa maana utatangulia
mbele za uso wa Bwana umtengenezee njia
zake;
77 Uwajulishe watu wake wokovu, Katika
kusamehewa dhambi zao.
78 Kwa njia ya rehema za Mungu wetu,
Ambazo kwa hizo mwangaza utokao juu
umetufikia,
79 Kuwaangaza wakaao katika giza na uvuli wa
mauti, Na kuiongoza miguu yetu kwenye
njia ya amani.
YOHANA 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako
Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu,
naye Neno alikuwa Mungu.
2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye
hakikufanyika cho chote kilichofanyika.
4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao
ule uzima ulikuwa nuru ya watu.
5 Nayo nuru yang›aa gizani, wala giza
halikuiweza.
YOHANA 8:12 Basi Yesu akawaambia tena
akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu,
yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe,
bali atakuwa na nuru ya uzima.
ISAYA
193
YOHANA 12:35 Basi Yesu akawaambia,
Nuru ingaliko pamoja nanyi muda kidogo.
Enendeni maadamu mnayo nuru hiyo, giza
lisije likawaweza; maana aendaye gizani
hajui aendako.
36 Maadamu mnayo nuru, iaminini nuru
hiyo, ili mpate kuwa wana wa nuru. Hayo
aliyasema Yesu, akaenda zake, akajificha
wasimwone.
46 Mimi nimekuja ili niwe nuru ya ulimwengu,
ili kila mtu aniaminiye mimi asikae gizani.
WAEFESO 5:8 Kwa maana zamani ninyi
mlikuwa giza, bali sasa mmekuwa nuru katika
Bwana; enendeni kama watoto wa nuru,
Ona pia: Isaya 50:10; Isaya 60:1-3,19; Luka 2:32; 1 Petro 2:9; Yohana 1:5-7.
A08 Majina na vyeo vya Masiha.
B03 Masiha ndiye Mwana wa mtu.
C01 Kuzaliwa kwa Masiha kunatabiriwa.
H04 Kiti cha enzi cha Masiha.
H10 Unabii wa Ufalme wa milele wa amani.
ISAYA 9:6 Maana kwa ajili yetu mtoto
amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume;
Na uweza wa kifalme utakuwa begani
mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri
wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa
milele, Mfalme wa amani.
7 Maongeo ya enzi yake na amani
Hayatakuwa na mwisho kamwe, Katika
kiti cha enzi cha Daudi na ufalme wake;
Kuuthibitisha na kuutegemeza Kwa
hukumu na kwa haki, Tangu sasa na hata
milele. Wivu wa Bwana wa majeshi ndio
utakaotenda hayo.
MATHAYO 1:23 Tazama, bikira atachukua
mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita
jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja
nasi.
MATHAYO 9:15 Yesu akawaambia,
Walioalikwa arusini wawezaje kuomboleza,
muda bwana arusi akiwapo pamoja nao?
Lakini siku zitakuja watakapoondolewa
bwana arusi; ndipo watakapofunga.
MATHAYO 28:18 Yesu akaja kwao, akasema
nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote
mbinguni na duniani.
MARKO 10:33 akisema, Angalieni,
tunapanda kwenda Yerusalemu; na Mwana
wa Adamu atatiwa mikononi mwa wakuu wa
makuhani na waandishi, nao watamhukumu
afe, watamtia mikononi mwa Mataifa,
LUKA 1:32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa
Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu
atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
LUKA 1:35 Malaika akajibu
akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu
yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika
kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho
kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana
wa Mungu.
LUKA 2:10 Malaika akawaambia,
Msiogope; kwa kuwa mimi ninawaletea
habari njema ya furaha kuu itakayokuwa
kwa watu wote;
11 maana leo katika mji wa Daudi amezaliwa,
kwa ajili yenu, Mwokozi, ndiye Kristo
ISAYA
194
Bwana.
YOHANA 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako
Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu,
naye Neno alikuwa Mungu.
YOHANA 1:18 Hakuna mtu aliyemwona
Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana
pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu
ndiye aliyemfunua.
YOHANA 1:29 Siku ya pili yake amwona
Yesu anakuja kwake, akasema, Tazama,
Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye
dhambi ya ulimwengu!
YOHANA 4:25 Yule mwanamke
akamwambia, Najua ya kuwa yuaja Masihi,
(aitwaye Kristo); naye atakapokuja, yeye
atatufunulia mambo yote.
26 Yesu akamwambia, Mimi ninayesema nawe,
ndiye.
YOHANA 10:11 Mimi ndimi mchungaji
mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai
wake kwa ajili ya kondoo.
MATENDO YA MITUME 4:26
Wafalme wa dunia wamejipanga, Na wakuu
wamefanya shauri pamoja Juu ya Bwana na
juu ya Kristo wake.
1 WAKORINTHO 15:45 Ndivyo
ilivyoandikwa, Mtu wa kwanza, Adamu,
akawa nafsi iliyo hai; Adamu wa mwisho ni
roho yenye kuhuisha.
2 WAKORINTHO 4:4 ambao ndani yao
mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao
wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya
utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.
WAEFESO 1:20 aliotenda katika Kristo
alipomfufua katika wafu, akamweka mkono
wake wa kuume katika ulimwengu wa roho;
21 juu sana kuliko ufalme wote, na mamlaka,
na nguvu, na usultani, na kila jina litajwalo,
wala si ulimwenguni humu tu, bali katika
ule ujao pia;
22 akavitia vitu vyote chini ya miguu yake,
akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa
ajili ya kanisa; ambalo
WAEFESO 2:14 Kwa maana yeye ndiye
amani yetu, aliyetufanya sisi sote tuliokuwa
wawili kuwa mmoja; akakibomoa kiambaza
cha kati kilichotutenga.
WAFILIPI 2:7 bali alijifanya kuwa hana
utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa
ana mfano wa wanadamu;
2 WATHESALONIKE 3:16 Sasa, Bwana wa
amani mwenyewe na awape amani daima
kwa njia zote. Bwana awe pamoja nanyi
nyote.
1 TIMOTHEO 2:5 Kwa sababu Mungu ni
mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na
wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo
Yesu;
2 TIMOTHEO 4:8 baada ya hayo nimewekewa
taji ya haki, ambayo Bwana, mhukumu
mwenye haki, atanipa siku ile; wala si
mimi tu, bali na watu wote pia waliopenda
kufunuliwa kwake.
WAEBRANIA 1:3 Yeye kwa kuwa ni mng›ao
wa utukufu wake na chapa ya nafsi yake,
ISAYA
195
akivichukua vyote kwa amri ya uweza wake,
akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi
mkono wa kuume wa Ukuu huko juu;
WAEBRANIA 4:14 Basi, iwapo tunaye kuhani
mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu,
Mwana wa Mungu, na tuyashike sana
maungamo yetu.
WAEBRANIA 5:6 kama asemavyo mahali
pengine, Ndiwe kuhani wa milele Kwa
mfano wa Melkizedeki.
WAEBRANIA 12:2 tukimtazama Yesu, mwenye
kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu;
ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele
yake aliustahimili msalaba na kuidharau
aibu, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti
cha enzi cha Mungu.
1 PETRO 2:6 Kwa kuwa imeandikwa
katika maandiko Tazama, naweka katika
Sayuni jiwe kuu la pembeni, teule,
lenye heshima, Na kila amwaminiye
hatatahayarika.
UFUNUO WA YOHANA 1:5 tena
zitokazo kwa Yesu Kristo, shahidi aliye
mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa
waliokufa, na mkuu wa wafalme wa dunia.
Yeye atupendaye na kutuosha dhambi zetu
katika damu yake,
UFUNUO WA YOHANA 1:8 Mimi ni
Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, asema
Bwana Mungu, aliyeko na aliyekuwako na
atakayekuja, Mwenyezi.
UFUNUO WA YOHANA 19:11 Kisha
nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama,
farasi mweupe, na yeye aliyempanda,
aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa
haki ahukumu na kufanya vita.
UFUNUO WA YOHANA 19:16 Naye ana
jina limeandikwa katika vazi lake na paja
lake, MFALME WA WAFALME, NA Bwana
WA MABwana.
UFUNUO WA YOHANA
22:16 Mimi Yesu nimemtuma malaika
wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo
katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina
na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung›aa
ya asubuhi.
Ona pia: Waamuzi 13:18; 1 Samweli 7:16; Zaburi 2:8; Zaburi 72:8-11; Zaburi 89:35-37; Isaya 7:14; Yeremia 33:15-17; Danieli
2:44; Danieli 7:14,27; Yohana 18:37; 1 Wakorintho 15:24-28; Waefeso 1:20-22.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 10:20 Tena itakuwa katika siku
hiyo mabaki ya Israeli, na hao waliopona wa
nyumba ya Yakobo, hawatamtegemea tena
yeye aliyewapiga, bali watamtegemea Bwana,
Mtakatifu wa Israeli, kwa kweli.
21 Mabaki, nao ni mabaki ya Yakobo,
watamrudia Mungu, aliye mwenye nguvu.
22 Maana watu wako, Ee Israeli, wajapokuwa
wengi kama mchanga wa pwani, ni mabaki
tu watakaorudi; kuangamiza kumekusudiwa,
kunakofurika kwa haki.
ZABURI 53:6 Laiti wokovu wa Israeli
utoke katika Sayuni! MUNGU awarudishapo
wafungwa wa watu wake; Yakobo
atashangilia, Israeli atafurahi.
ISAYA
196
ISAYA 1:9 Kama Bwana wa majeshi
asingalituachia mabaki machache sana,
tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana
na Gomora.
ISAYA 12:6 Paza sauti, piga kelele,
mwenyeji wa Sayuni; Maana Mtakatifu wa
Israeli ni mkuu kati yako.
HOSEA 1:9 Bwana akasema, Mwite
jina lake Lo-ami kwa maana ninyi si watu
wangu,wala mimi sitakuwa MUNGU wenu.
10 Tena itakuwa ya kwamba hesabu ya wana
wa Israeli itafanana na mchanga wa bahari,
usioweza kupimwa wala kuhesabiwa; tena
itakuwa, badala ya kuambiwa, Ninyi si watu
wangu, wataambiwa, Ninyi ndio wana wa
Mungu aliye hai.
ZEKARIA 10:9 Nami nitawapanda kama
mbegu kati ya mataifa; nao watanikumbuka
katika nchi zilizo mbali; nao watakaa pamoja
na watoto wao; tena watarudi.
WARUMI 9:25 Ni kama vile alivyosema
katika Hosea, Nitawaita watu wangu wale
wasiokuwa watu wangu, Na mpenzi wangu
yeye asiyekuwa mpenzi wangu.
26 Tena itakuwa mahali pale walipoambiwa,
Ninyi si watu wangu, Hapo wataitwa wana
wa Mungu aliye hai.
27 Isaya naye atoa sauti yake juu ya
Israeli, kusema, Hesabu ya wana wa
Israeli,ijapokuwa ni kama mchanga wa
bahari,ni mabaki yao tu watakaookolewa.
28 Kwa maana Bwana atalitekeleza neno lake
juu ya nchi, akilimaliza na kulikata.
29 Tena kama Isaya alivyotangulia kunena,
Kama Bwana wa majeshi asingalituachia
uzao, Tungalikuwa kama Sodoma,
tungalifananishwa na Gomora.
WARUMI 11:5 Basi ni vivi hivi wakati huu
wa sasa, yako mabaki waliochaguliwa kwa
neema.
WARUMI 11:25 Kwa maana, ndugu zangu,
sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa
wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu
umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa
Mataifa uwasili.
26 Hivyo Israeli wote wataokoka; kama
ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka
Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake.
27 Na hili ndilo agano langu nao,
Nitakapowaondolea dhambi zao.
2 WAKORINTHO 3:14 ila fikira zao
zilitiwa uzito. Kwa maana hata leo hivi,
wakati lisomwapo Agano la Kale, utaji uo
huo wakaa; yaani, haikufunuliwa kwamba
huondolewa katika Kristo;
15 ila hata leo, torati ya Musa isomwapo, utaji
huikalia mioyo yao.
16 Lakini wakati wo wote watakapomgeukia
Bwana, ule utaji huondolewa.
Ona pia: #1; #2; #3; #4.
A03 Masiha ni wa ukoo wa Daudi.
B04 Sifa za Uungu za Masiha.
B05 Masiha amejawa na Roho na Mtakatifu.
C01 Kuzaliwa kwa Masiha kunatabiriwa.
ISAYA 11:1 Basi litatoka chipukizi katika
shina la Yese, na tawi litakalotoka katika
mizizi yake litazaa matunda.
2 Na roho ya Bwana atakaa juu yake, roho
ya hekima na ufahamu, roho ya shauri
ISAYA
197
na uweza, roho ya maarifa na ya kumcha
Bwana;
3 na furaha yake itakuwa katika kumcha
Bwana; wala hatahukumu kwa kuyafuata
ayaonayo kwa macho yake, wala hataonya
kwa kuyafuata ayasikiayo kwa masikio yake;
MATHAYO 3:16 Naye Yesu alipokwisha
kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na
tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona
Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija
juu yake;
17 na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema,
Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu,
ninayependezwa naye.
LUKA 2:52 Naye Yesu akazidi kuendelea
katika hekima na kimo, akimpendeza
Mungu na wanadamu.
YOHANA 3:34 Kwa kuwa yeye aliyetumwa
na Mungu huyanena maneno ya Mungu;
kwa sababu hamtoi Roho kwa kipimo.
35 Baba ampenda Mwana, naye amempa vyote
mkononi mwake.
36 Amwaminiye Mwana yuna uzima wa milele;
asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali
ghadhabu ya Mungu inamkalia.
YOHANA 16:13 Lakini yeye atakapokuja,
huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie
kwenye kweli yote; kwa maana hatanena
kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote
atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo
atawapasha habari yake.
MATENDO YA MITUME 10:37 jambo lile
ninyi mmelijua, lililoenea katika Uyahudi
wote likianzia Galilaya, baada ya ubatizo
aliouhubiri Yohana;
38 habari za Yesu wa Nazareti, jinsi Mungu
alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na
nguvu naye akazunguka huko na huko,
akitenda kazi njema na kuponya wote
walioonewa na Ibilisi; kwa maana Mungu
alikuwa pamoja naye.
MATENDO YA MITUME 13:21 Hatimaye
wakaomba kupewa mfalme; Mungu
akawapa Sauli mwana wa Kishi, mtu wa
kabila ya Benyamini, kwa muda wa miaka
arobaini.
22 Na alipokwisha kumwondoa huyo,
akamwinua Daudi awe mfalme wao ambaye
alimshuhudia, akisema, Nimemwona Daudi,
mwana wa Yese, mtu anayeupendeza moyo
wangu, atakayefanya mapenzi yangu yote.
23 Katika uzao wake mtu huyo Mungu
amewaletea Israeli Mwokozi, yaani, Yesu,
kama alivyoahidi;
1 WAKORINTHO 1:30 Bali kwa yeye
ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu,
aliyefanywa kwetu hekima itokayo kwa
Mungu, na haki, na utakatifu, na ukombozi;
UFUNUO WA YOHANA 4:5 Na katika
kile kiti cha enzi kunatoka umeme na sauti
na ngurumo. Na taa saba za moto zilikiwaka
mbele ya kile kiti cha enzi, ndizo Roho saba
za Mungu.
UFUNUO WA YOHANA 5:6 Nikaona
katikati ya kile kiti cha enzi na wale wenye
uhai wanne, na katikati ya wale wazee,
Mwana-Kondoo amesimama, alikuwa kana
kwamba amechinjwa, mwenye pembe saba
na macho saba, ambazo ni Roho saba za
Mungu zilizotumwa katika dunia yote.
ISAYA
198
Ona pia: Isaya 42:1; Isaya 59:21; Isaya 61:1; Mathayo 12:25; Mathayo 13:54; Luka 2:40,52; Luka 3:21,22; Yohana 1:32,33;
Waefeso 1:17,18; 2 Timotheo 1:7; Ufunuo wa Yohana 3:1.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 11:4 bali kwa haki atawahukumu
maskini, naye atawaonya wanyenyekevu wa
dunia kwa adili; naye ataipiga dunia kwa
fimbo ya kinywa chake, na kwa pumzi ya
midomo yake atawaua wabaya.
5 Na haki itakuwa mshipi wa viuno vyake, na
uaminifu mshipi wa kujifungia.
YEREMIA 23:5 Tazama siku zinakuja,
asema Bwana, nitakapomchipushia Daudi
Chipukizi la haki; naye atamiliki mfalme,
atatenda kwa hekima, naye atafanya
hukumu na haki katika nchi.
6 Katika siku zake Yuda ataokolewa, na Israeli
atakaa salama, na jina lake atakaloitwa ni
hili, Bwana ni haki yetu.
2 WAKORINTHO 6:7 katika neno la
kweli, katika nguvu ya Mungu; kwa silaha za
haki za mkono wa kuume na za mkono wa
kushoto;
WAEFESO 6:14 Basi simameni, hali
mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa dirii ya
haki kifuani,
2 WATHESALONIKE 2:8 Hapo ndipo
atakapofunuliwa yule asi, ambaye Bwana
Yesu atamwua kwa pumzi ya kinywa chake,
na kumwangamiza kwa ufunuo wa kuwapo
kwake;
UFUNUO WA YOHANA 1:16 Naye
alikuwa na nyota saba katika mkono wake
wa kuume; na upanga mkali, wenye makali
kuwili, ukitoka katika kinywa chake; na uso
wake kama jua liking›aa kwa nguvu zake.
UFUNUO WA YOHANA 19:11 Kisha
nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama,
farasi mweupe, na yeye aliyempanda,
aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa
haki ahukumu na kufanya vita.
UFUNUO WA YOHANA 19:15 Na
upanga mkali hutoka kinywani mwake ili
awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga
kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga
shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira
ya Mungu Mwenyezi.
UFUNUO WA YOHANA 20:11 Kisha
nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe,
na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na
mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao
hapakuonekana.
12 Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo,
wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi;
na vitabu vikafunguliwa; na kitabu kingine
kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima; na
hao wafu wakahukumiwa katika mambo
hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu,
sawasawa na matendo yao.
Ona pia: #1; #2; #5; 1 Petro 4:1; Ufunuo wa Yohana 1:13.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H10 Unabii wa Ufalme wa milele wa amani.
ISAYA 11:6 Mbwa-mwitu atakaa pamoja
na mwana-kondoo, na chui atalala pamoja
na mwana-mbuzi; ndama na mwana-simba
ISAYA
199
na kinono watakuwa pamoja, na mtoto
mdogo atawaongoza.
7 Ng›ombe na dubu watalisha pamoja; watoto
wao watalala pamoja; na simba atakula
majani kama ng›ombe.
8 Na mtoto anyonyaye atacheza penye tundu la
nyoka, na mtoto aliyeachishwa atatia mkono
wake katika pango la fira.
9 Hawatadhuru wala hawataharibu katika
mlima wangu wote mtakatifu; maana dunia
itajawa na kumjua Bwana, kama vile maji
yanavyoifunika bahari.
HABAKUKI 2:14 Kwa maana dunia itajazwa
maarifa ya utukufu wa Bwana, kama maji
yaifunikavyo bahari.
ZEKARIA 14:8 Tena itakuwa siku hiyo,
ya kwamba maji yaliyo hai yatatoka katika
Yerusalemu; nusu yake itakwenda upande
wa bahari ya mashariki, na nusu yake
upande wa bahari ya magharibi; wakati wa
hari na wakati wa baridi itakuwa hivi.
9 Naye Bwana atakuwa Mfalme juu ya nchi
yote; siku hiyo Bwana atakuwa mmoja, na
jina lake moja.
MATHAYO 5:44 lakini mimi nawaambia,
Wapendeni adui zenu, waombeeni
wanaowaudhi,
45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye
mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake
waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye
haki na wasio haki.
MATENDO YA MITUME 2:44 Na wote
walioamini walikuwa mahali pamoja, na
kuwa na vitu vyote shirika,
45 wakiuza mali zao, na vitu vyao walivyokuwa
navyo, na kuwagawia watu wote kama kila
mtu alivyokuwa na haja.
46 Na siku zote kwa moyo mmoja walidumu
ndani ya hekalu, wakimega mkate nyumba
kwa nyumba, na kushiriki chakula chao kwa
furaha na kwa moyo mweupe,
47 wakimsifu Mungu, na kuwapendeza watu
wote. Bwana akalizidisha kanisa kila siku
kwa wale waliokuwa wakiokolewa.
WARUMI 14:17 Maana ufalme wa Mungu si
kula wala kunywa, bali ni haki na amani na
furaha katika Roho Mtakatifu.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
Ona pia: #1; #5; #6; #7; Ayubu 5:23; 1 Wakorintho 6:9-11; 1 Wathesalonike 5:15; Ufunuo wa Yohana 5:9,10; Ufunuo wa
Yohana 20:2-6.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 11:10 Na itakuwa katika siku hiyo,
shina la Yese lisimamalo kuwa ishara kwa
kabila za watu, yeye ndiye ambaye mataifa
watamtafuta; na mahali pake pa kupumzikia
patakuwa na utukufu.
11 Na itakuwa katika siku hiyo, Bwana
atapeleka mkono wake mara ya pili, ili
ajipatie watu wake watakaosalia, kutoka
Ashuru, na kutoka Misri, na kutoka
Pathrosi, na kutoka Kushi, na kutoka Elamu,
na kutoka Shinari, na kutoka Hamathi, na
kutoka visiwa vya bahari.
12 Naye atawatwekea mataifa bendera,
ISAYA
200
atawakutanisha watu wa Israeli waliotupwa,
atawakusanya watu wa Yuda waliotawanyika,
kutoka ncha nne za dunia.
WIMBO ULIO BORA 5:10 Mpendwa wangu
ni mweupe, tena mwekundu, Mashuhuri
miongoni mwa elfu kumi;
ISAYA 59:19 Basi, wataliogopa jina
la Bwana toka magharibi, na utukufu
wake toka maawio ya jua; maana yeye
atakuja kama mkondo wa mto ufurikao,
uendeshwao kwa pumzi ya Bwana.
YOHANA 11:51 Na neno hilo yeye
hakulisema kwa nafsi yake; bali kwa kuwa
alikuwa Kuhani Mkuu mwaka ule, alitabiri
ya kwamba Yesu atakufa kwa ajili ya taifa
hilo.
52 Wala si kwa ajili ya taifa hilo tu; lakini
pamoja na hayo awakusanye watoto wa
Mungu waliotawanyika, ili wawe wamoja.
WARUMI 11:15 Maana ikiwa kutupwa kwao
kumeleta upatanisho kwa ulimwengu, je!
Kukubaliwa kwao kutakuwa nini kama si
uhai baada ya kufa?
WARUMI 11:22 Tazama, basi, wema na ukali
wa Mungu; kwa wale walioanguka, ukali,
bali kwako wewe wema wa Mungu, ukikaa
katika wema huo; kama sivyo, wewe nawe
utakatiliwa mbali.
23 Na hao pia, wasipokaa katika kutokuamini
kwao, watapandikizwa; kwa kuwa Mungu
aweza kuwapandikiza tena.
24 Kwa maana ikiwa wewe ulikatwa ukatolewa
katika mzeituni, ulio mzeituni mwitu
kwa asili yake, kisha ukapandikizwa,
kinyume cha asili, katika mzeituni ulio
mwema, si zaidi sana wale walio wa asili
kuweza kupandikizwa katika mzeituni wao
wenyewe?
25 Kwa maana, ndugu zangu, sipendi msiijue
siri hii, ili msijione kuwa wenye akili; ya
kwamba kwa sehemu ugumu umewapata
Israeli, mpaka utimilifu wa Mataifa uwasili.
26 Hivyo Israeli wote wataokoka; kama
ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka
Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake.
WARUMI 15:9 tena ili Mataifa wamtukuze
Mungu kwa ajili ya rehema zake; kama
ilivyoandikwa, Kwa hiyo nitakushukuru kati
ya Mataifa, Nami nitaliimbia jina lako.
10 Na tena anena, Furahini,Mataifa,pamoja na
watu wake.
11 Na tena, Enyi Mataifa yote,msifuni Bwana;
Enyi watu wote,mhimidini.
12 Na tena Isaya anena, Litakuwako shina la
Yese, Naye aondokeaye kuwatawala Mataifa;
Ndiye Mataifa watakayemtumaini.
2 WAKORINTHO 3:16 Lakini wakati wo
wote watakapomgeukia Bwana, ule utaji
huondolewa.
WAEBRANIA 4:9 Basi, imesalia raha ya sabato
kwa watu wa Mungu.
UFUNUO WA YOHANA 5:9 Nao
waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili
wewe kukitwaa hicho kitabu na kuzifungua
muhuri zake; kwa kuwa ulichinjwa,
ukamnunulia Mungu kwa damu yako watu
wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa,
10 ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa
Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi.
UFUNUO WA YOHANA
ISAYA
201
22:16 Mimi Yesu nimemtuma malaika
wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo
katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina
na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung›aa
ya asubuhi.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5.
B14 Masiha anatambulisha utukufu wa Mungu
E18 Mungu ataishi miongoni mwa watu Wake.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 12:1 Na katika siku hiyo utasema,
Ee Bwana, nitakushukuru wewe; Kwa
kuwa ijapokuwa ulinikasirikia, Hasira yako
imegeukia mbali, Nawe unanifariji moyo.
2 Tazama, Mungu ndiye wokovu wangu;
Nitatumaini wala sitaogopa; Maana Bwana
YEHOVA ni nguvu zangu na wimbo wangu;
Naye amekuwa wokovu wangu.
3 Basi, kwa furaha mtateka maji katika visima
vya wokovu.
4 Na katika siku hiyo mtasema, Mshukuruni
Bwana, liitieni jina lake; Yatangazeni
matendo yake kati ya mataifa, Litajeni jina
lake kuwa limetukuka.
5 Mwimbieni Bwana; kwa kuwa ametenda
makuu; Na yajulikane haya katika dunia
yote.
6 Paza sauti, piga kelele, mwenyeji wa Sayuni;
Maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu kati
yako.
ZABURI 132:13 Kwa kuwa Bwana
ameichagua Sayuni, Ameitamani akae ndani
yake.
14 Hapo ndipo mahali pangu pa raha milele,
Hapo nitakaa kwa maana nimepatamani.
ISAYA 66:13 Mfano wa mtu
ambaye mama yake amfariji, ndivyo
nitakavyowafariji ninyi; nanyi mtafarijiwa
katika Yerusalemu.
YEREMIA 23:6 Katika siku zake Yuda
ataokolewa, na Israeli atakaa salama, na jina
lake atakaloitwa ni hili, Bwana ni haki yetu.
SEFANIA 3:15 Bwana ameziondoa hukumu
zako, Amemtupa nje adui yako; Mfalme wa
Israeli, naam, yeye Bwana, yu katikati yako;
Hutaogopa uovu tena.
16 Katika siku ile Yerusalemu utaambiwa,
Usiogope, Ee Sayuni; mikono yako isilegee.
17 Bwana, Mungu wako, yu katikati yako
shujaa awezaye kuokoa; Atakushangilia kwa
furaha kuu, Atakutuliza katika upendo wake,
Atakufurahia kwa kuimba.
ZEKARIA 2:5 Kwa maana mimi,
asema Bwana, nitakuwa ukuta wa moto
kuuzunguka pande zote, nami nitakuwa huo
utukufu ndani yake.
YOHANA 4:14 walakini ye yote
atakayekunywa maji yale nitakayompa
mimi hataona kiu milele; bali yale maji
nitakayompa yatakuwa ndani yake
chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa
milele.
YOHANA 7:37 Hata siku ya mwisho, siku
ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama,
akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu,
na aje kwangu anywe.
38 Aniaminiye mimi, kama vile maandiko
yalivyonena, mito ya maji yaliyo hai itatoka
ndani yake.
39 Na neno hilo alilisema katika habari
ISAYA
202
ya Roho, ambaye wale wamwaminio
watampokea baadaye; kwa maana Roho
alikuwa hajaja, kwa sababu Yesu alikuwa
hajatukuzwa.
UFUNUO WA YOHANA 7:17 Kwa
maana huyo Mwana-Kondoo, aliye katikati
ya kiti cha enzi, atawachunga, naye
atawaongoza kwenye chemchemi za maji
yenye uhai, na Mungu atayafuta machozi
yote katika macho yao.
UFUNUO WA YOHANA 15:4 Ni
nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza
jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako
u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote
watakuja na kusujudu mbele zako; kwa
kuwa matendo yako ya haki yamekwisha
kufunuliwa.
UFUNUO WA YOHANA 21:6
Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa
na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi
nitampa yeye mwenye kiu, ya chemchemi ya
maji ya uzima, bure.
UFUNUO WA YOHANA 22:1 Kisha
akanionyesha mto wa maji ya uzima, wenye
kung›aa kama bilauri, ukitoka katika kiti cha
enzi cha Mungu, na cha Mwana-Kondoo,
UFUNUO WA YOHANA 22:17 Na Roho
na Bibi-arusi wasema, Njoo! Naye asikiaye
na aseme, Njoo! Naye mwenye kiu na aje; na
yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure.
Ona pia: #1; #2; #3; #4.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 14:1 Maana Bwana atamhurumia
Yakobo, atamchagua Israeli tena, naye
atawaweka katika nchi yao wenyewe; na
mgeni atajiunga nao, nao wataambatana na
nyumba ya Yakobo.
2 Na hao mataifa watawatwaa na kuwaleta
mpaka mahali pao wenyewe, na nyumba
ya Israeli watawamiliki, na kuwafanya
watumishi na wajakazi katika nchi
ya Bwana; nao watawachukua hali ya
kufungwa watu wale waliowafunga wao, nao
watawamiliki watu wale waliowaonea.
3 Tena itakuwa katika siku ile, ambayo Bwana
atakupa raha baada ya huzuni yako, na baada
ya taabu yako, na baada ya utumishi ule
mgumu uliotumikishwa;
ZABURI 102:13 Wewe mwenyewe
utasimama, Na kuirehemu Sayuni, Kwa
maana ndio wakati wa kuihurumia, Naam,
majira yaliyoamriwa yamewadia.
ISAYA 61:5 Na wageni watasimama na
kulisha makundi yenu, na watu wa kabila
nyingine watakuwa wakulima wenu, na
watunzaji wa mizabibu yenu.
EZEKIELI 28:24 Wala hautakuwapo
mchongoma uchomao kwa nyumba ya
Israeli; wala mwiba uumizao miongoni mwa
wote wamzungukao, waliowatenda mambo
ya jeuri; nao watajua ya kuwa mimi ndimi
Bwana MUNGU.
ZEKARIA 1:17 Piga kelele tena, na kusema,
Bwana wa majeshi asema hivi, Miji yangu
kwa kufanikiwa itaenezwa huko na huko
ISAYA
203
tena; naye Bwana ataufariji Sayuni tena,
atauchagua Yerusalemu tena.
LUKA 1:72 Ili kuwatendea rehema baba
zetu, Na kulikumbuka agano lake takatifu;
73 Uapo aliomwapia Ibrahimu, baba yetu,
74 Ya kwamba atatujalia sisi, Tuokoke mikononi
mwa adui zetu, Na kumwabudu pasipo hofu,
LUKA 2:32 Nuru ya kuwa mwangaza
wa Mataifa, Na kuwa utukufu wa watu wako
Israeli.
WARUMI 15:27 Naam, imewapendeza, tena
wamekuwa wadeni wao. Kwa maana ikiwa
Mataifa wameyashiriki mambo yao ya roho,
imewabidi kuwahudumu kwa mambo yao ya
mwili.
UFUNUO WA YOHANA 15:4 Ni
nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza
jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako
u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote
watakuja na kusujudu mbele zako; kwa
kuwa matendo yako ya haki yamekwisha
kufunuliwa.
Ona pia: #2; #3; #4; Isaya 14:4-18; Matendo ya Mitume 15:14-17; Waefeso 2:12-19.
A03 Masiha ni wa ukoo wa Daudi.
E09 Uadilifu wa Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 16:5 Na kiti cha enzi kitafanywa
imara kwa rehema; na mmoja ataketi juu
yake katika kweli, katika hema ya Daudi;
akifanya hukumu, akitaka sana yaliyo haki,
mwepesi wa kutenda haki.
LUKA 1:33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo
hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna
mwisho.
LUKA 1:69 Ametusimamishia pembe ya
wokovu Katika mlango wa Daudi, mtumishi
wake.
70 Kama alivyosema tangu mwanzo Kwa
kinywa cha manabii wake watakatifu;
YOHANA 12:48 Yeye anikataaye mimi,
asiyeyakubali maneno yangu, anaye
amhukumuye; neno hilo nililolinena ndilo
litakalomhukumu siku ya mwisho.
MATENDO YA MITUME 15:16 Baada ya
mambo haya nitarejea, Nami nitaijenga tena
nyumba ya Daudi iliyoanguka. Nitajenga
tena maanguko yake, Nami nitaisimamisha;
17 Ili wanadamu waliosalia wamtafute Bwana,
Na mataifa yote ambao jina langu limetajwa
kwao;
Ona pia: #1; Zaburi 89:14.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 17:7 Katika siku hiyo
mwanadamu atamwangalia Muumba wake,
na macho yake yatamtazama Mtakatifu wa
Israeli.
ISAYA 10:20 Tena itakuwa katika siku
hiyo mabaki ya Israeli, na hao waliopona wa
nyumba ya Yakobo, hawatamtegemea tena
yeye aliyewapiga, bali watamtegemea Bwana,
Mtakatifu wa Israeli, kwa kweli.
21 Mabaki, nao ni mabaki ya Yakobo,
ISAYA
204
watamrudia Mungu, aliye mwenye nguvu.
22 Maana watu wako, Ee Israeli, wajapokuwa
wengi kama mchanga wa pwani, ni mabaki
tu watakaorudi; kuangamiza kumekusudiwa,
kunakofurika kwa haki.
HOSEA 3:5 baada ya hayo wana wa
Israeli watarejea, na kumtafuta Bwana,
Mungu wao, na Daudi, mfalme wao; nao
watamwendea Bwana na wema wake kwa
kicho siku za mwisho.
MIKA 7:7 Lakini mimi, nitamtazamia
Bwana; nitamngojea Mungu wa wokovu
wangu; Mungu wangu atanisikia.
8 Usifurahi juu yangu, Ee adui yangu;
niangukapo, nitasimama tena; nikaapo
gizani, Bwana atakuwa nuru kwangu.
MATENDO YA MITUME 15:16 Baada ya
mambo haya nitarejea, Nami nitaijenga tena
nyumba ya Daudi iliyoanguka. Nitajenga
tena maanguko yake, Nami nitaisimamisha;
17 Ili wanadamu waliosalia wamtafute Bwana,
Na mataifa yote ambao jina langu limetajwa
kwao;
1 YOHANA 3:2 Wapenzi, sasa tu wana
wa Mungu, wala haijadhihirika bado
tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa
atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa
maana tutamwona kama alivyo.
UFUNUO WA YOHANA 1:7 Tazama,
yuaja na mawingu; na kila jicho litamwona,
na hao waliomchoma; na kabila zote za
dunia wataomboleza kwa ajili yake. Naam.
Amina.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 19:23 Katika siku hiyo itakuwako
njia kuu itokayo Misri na kufika hata
Ashuru; Mwashuri atafika Misri, na Mmisri
atafika Ashuru, na Wamisri wataabudu
pamoja na Waashuri.
24 Katika siku hiyo Israeli atakuwa wa tatu
pamoja na Misri na Ashuru, watakuwa
baraka kati ya dunia;
25 kwa kuwa Bwana wa majeshi amewabariki,
akisema, Wabarikiwe watu wangu Misri;
na wewe Ashuru, kazi ya mikono yangu; na
wewe Israeli, urithi wangu.
ISAYA 66:12 Maana Bwana asema
hivi, Tazama, nitamwelekezea amani
kama mto, na utukufu wa mataifa
kama kijito kifurikacho, nanyi mtapata
kunyonya; mtabebwa; na juu ya magoti
mtabembelezwa.
ZEKARIA 2:11 Na mataifa mengi
watajiunga na Bwana katika siku ile, nao
watakuwa watu wangu; nami nitakaa kati
yako, nawe utajua ya kuwa Bwana wa
majeshi amenituma kwako.
ZEKARIA 10:11 Naye atapita kati ya bahari ya
mateso, na kuyapiga mawimbi ya bahari, na
vilindi vyote vya mto wa Nile vitakauka; na
kiburi cha Ashuru kitashushwa; na fimbo ya
enzi ya Misri itatoweka.
ZEKARIA 14:18 Na kama jamaa ya Misri
hawakwei, wala hawaji, pia haitanyesha
kwao; itakuwako tauni, ambayo Bwana
atawapiga mataifa, wasiokwea ili kushika
sikukuu ya Vibanda.
ISAYA
205
LUKA 2:32 Nuru ya kuwa mwangaza
wa Mataifa, Na kuwa utukufu wa watu wako
Israeli.
WARUMI 3:29 Au je! Mungu ni Mungu wa
Wayahudi tu? Siye Mungu wa Mataifa pia?
Naam, ni Mungu wa Mataifa pia;
WARUMI 9:24 ndio sisi aliotuita, si watu wa
Wayahudi tu, ila na watu wa Mataifa pia?
25 Ni kama vile alivyosema katika Hosea,
Nitawaita watu wangu wale wasiokuwa watu
wangu, Na mpenzi wangu yeye asiyekuwa
mpenzi wangu.
WARUMI 10:11 Kwa maana andiko lanena,
Kila amwaminiye hatatahayarika.
12 Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na
Myunani; maana yeye yule ni Bwana wa
wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao;
13 kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana
ataokoka.
WAEFESO 2:18 Kwa maana kwa yeye sisi
sote tumepata njia ya kumkaribia Baba
katika Roho mmoja.
19 Basi tangu sasa ninyi si wageni wala
wapitaji, bali ninyi ni wenyeji pamoja na
watakatifu, watu wa nyumbani mwake
Mungu.
20 Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na
manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni
jiwe kuu la pembeni.
21 Katika yeye jengo lote linaungamanishwa
vema na kukua hata liwe hekalu takatifu
katika Bwana.
22 Katika yeye ninyi nanyi mnajengwa pamoja
kuwa maskani ya Mungu katika Roho.
Ona pia: #1; #4; #5; Kumbukumbu la Torati 32:43; Isaya 19:16-22; Isaya 49:6; Warumi 15:9; Waefeso 3:6-8; 1 Petro 2:10.
B07 Uweza wa Yote wa Masiha.
ISAYA 22:22 Na ufunguo wa nyumba
ya Daudi nitauweka begani mwake; yeye
atafungua wala hapana atakayefunga; naye
atafunga wala hapana atakayefungua.
MATHAYO 16:18 Nami nakuambia, Wewe
ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu
nitalijenga kanisa langu; wala milango ya
kuzimu haitalishinda.
19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme
wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga
duniani, litakuwa limefungwa mbinguni;
na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa
limefunguliwa mbinguni.
MATHAYO 18:18 Amin, nawaambieni, yo
yote mtakayoyafunga duniani yatakuwa
yamefungwa mbinguni; na yo yote
mtakayoyafungua duniani yatakuwa
yamefunguliwa mbinguni.
19 Tena nawaambia, ya kwamba wawili wenu
watakapopatana duniani katika jambo lo lote
watakaloliomba, watafanyiwa na Baba yangu
aliye mbinguni.
UFUNUO WA YOHANA 1:18 na aliye
hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama,
ni hai hata milele na milele. Nami ninazo
funguo za mauti, na za kuzimu.
UFUNUO WA YOHANA 3:7 Na
kwa malaika wa kanisa lililoko Filadelfia
andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye
mtakatifu, aliye wa kweli, aliye na ufunguo
wa Daudi, yeye mwenye kufungua wala
hapana afungaye, naye afunga wala hapana
afunguaye.
ISAYA
206
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 24:13 Maana katikati ya dunia,
katikati ya mataifa, itakuwa hivi; kama
wakati utikiswapo mzeituni, kama wakati
waokotapo zabibu baada ya mavuno yake.
14 Hawa watainua sauti zao, watapiga kelele;
kwa sababu ya utukufu wa Bwana watapiga
kelele toka baharini.
15 Basi, mtukuzeni Bwana katika mashariki,
litukuzeni jina la Bwana, Mungu wa Israeli,
katika visiwa vya bahari.
16 Toka pande za mwisho wa dunia tumesikia
nyimbo, Atukuzwe mwenye haki. Ndipo
niliposema, Kukonda kwangu! Kukonda
kwangu! Ole wangu! Watenda hila
wametenda hila, naam, watendao hila
wametenda hila sana.
ISAYA 12:5 Mwimbieni Bwana; kwa
kuwa ametenda makuu; Na yajulikane haya
katika dunia yote.
6 Paza sauti, piga kelele, mwenyeji wa Sayuni;
Maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu kati
yako.
ISAYA 42:10 Mwimbieni Bwana wimbo
mpya, Na sifa zake tokea mwisho wa dunia;
Ninyi mshukao baharini, na vyote vilivyomo,
Na visiwa, nao wakaao humo.
11 Jangwa na miji yake na ipaze sauti zao,
Vijiji vinavyokaliwa na Kedari; Na waimbe
wenyeji wa Sela, Wapige kelele toka vilele
vya milima.
12 Na wamtukuze Bwana, Na kutangaza sifa
zake visiwani.
MATENDO YA MITUME 13:47 Kwa
sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana,
Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, Upate
kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.
1 PETRO 1:7 ili kwamba kujaribiwa
kwa imani yenu, ambayo ina thamani kuu
kuliko dhahabu ipoteayo, ijapokuwa hiyo
hujaribiwa kwa moto, kuonekane kuwa
kwenye sifa na utukufu na heshima, katika
kufunuliwa kwake Yesu Kristo.
1 PETRO 4:12 Wapenzi, msione kuwa ni
ajabu ule msiba ulio kati yenu, unaowapata
kama moto ili kuwajaribu, kana kwamba ni
kitu kigeni kiwapatacho.
13 Lakini kama mnavyoyashiriki mateso ya
Kristo, furahini; ili na katika ufunuo wa
utukufu wake mfurahi kwa shangwe.
14 Mkilaumiwa kwa ajili ya jina la Kristo ni heri
yenu; kwa kuwa Roho wa utukufu na wa
Mungu anawakalia.
UFUNUO WA YOHANA 15:2 Tena
nikaona kitu kama mfano wa bahari ya kioo
iliyochangamana na moto, na wale wenye
kushinda, watokao kwa yule mnyama, na
sanamu yake, na kwa hesabu ya jina lake,
walikuwa wamesimama kando-kando
ya hiyo bahari ya kioo, wenye vinubi vya
Mungu.
3 Nao wauimba wimbo wa Musa, mtumwa
wa Mungu, na wimbo wa Mwana-Kondoo,
wakisema, Ni makuu, na ya ajabu, matendo
yako, Ee Bwana Mungu Mwenyezi; Ni za
haki, na za kweli, njia zako, Ee Mfalme wa
mataifa.
4 Ni nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza
jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako
u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote
watakuja na kusujudu mbele zako; kwa
kuwa matendo yako ya haki yamekwisha
ISAYA
207
kufunuliwa.
Ona pia: #1; #2; #3; #4.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 24:18 Itakuwa kila akimbiaye
sauti ya hofu ataanguka katika shimo; na
kila apandaye na kutoka shimoni atanaswa
na mtego; kwa maana madirisha yaliyo
juu yamewekwa wazi, na misingi ya dunia
inatikisika.
19 Dunia kuvunjika, inavunjika sana; dunia
kupasuka, imepasuka sana; dunia kutikisika,
imetikisika sana.
20 Dunia inalewa-lewa kama mlevi, nayo
inawaya-waya kama machela; na mzigo wa
dhambi zake utailemea; nayo itaanguka,
wala haitainuka tena.
21 Tena itakuwa katika siku hiyo, Bwana
ataliadhibu jeshi la mahali palipo juu katika
mahali palipo juu, na wafalme wa dunia
katika dunia;
22 nao watakusanywa pamoja kama vile
wakusanywavyo wafungwa katika shimo nao
watafungwa katika gereza; na baada ya muda
wa siku nyingi watajiliwa.
23 Ndipo mwezi utatahayari, na jua litaona
haya; kwa kuwa Bwana wa majeshi
atatawala katika mlima wa Sayuni, na katika
Yerusalemu, na mbele ya wazee wake kwa
utukufu.
ZEKARIA 14:4 Na siku hiyo miguu yake
itasimama juu ya mlima wa Mizeituni,
unaoelekea Yerusalemu upande wa
mashariki, nao mlima wa Mizeituni
utapasuka katikati yake, upande wa
mashariki na upande wa magharibi;
litakuwako huko bonde kubwa sana; na nusu
ya mlima ule utaondoka kwenda upande wa
kaskazini, na nusu yake itaondoka kwenda
upande wa kusini.
MATHAYO 24:29 Lakini mara, baada ya dhiki
ya siku zile, jua litatiwa giza, na mwezi
hautatoa mwanga wake, na nyota zitaanguka
mbinguni, na nguvu za mbinguni
zitatikisika;
WAEBRANIA 12:22 Bali ninyi
mmeufikilia mlima Sayuni, na mji wa
Mungu aliye hai, Yerusalemu wa mbinguni,
na majeshi ya malaika elfu nyingi,
23 mkutano mkuu na kanisa la wazaliwa wa
kwanza walioandikwa mbinguni, na Mungu
mwamuzi wa watu wote, na roho za watu
wenye haki waliokamilika,
24 na Yesu mjumbe wa agano jipya, na damu
ya kunyunyizwa, inenayo mema kuliko ile ya
Habili.
UFUNUO WA YOHANA 6:12 Nami
nikaona, alipoifungua muhuri ya sita,
palikuwa na tetemeko kuu la nchi; jua likawa
jeusi kama gunia la singa, mwezi wote
ukawa kama damu,
UFUNUO WA YOHANA 6:14 Mbingu
zikaondolewa kama ukurasa ulivyokunjwa,
na kila mlima na kisiwa kikahamishwa
kutoka mahali pake.
15 Na wafalme wa dunia, na wakuu, na
majemadari, na matajiri, na wenye
nguvu, na kila mtumwa, na mwungwana,
wakajificha katika pango na chini ya miamba
ya milima,
16 wakiiambia milima na miamba,
ISAYA
208
Tuangukieni, tusitirini, mbele za uso wake
yeye aketiye juu ya kiti cha enzi, na hasira ya
Mwana-Kondoo.
17 Kwa maana siku iliyo kuu, ya hasira yao,
imekuja; naye ni nani awezaye kusimama?
Ona pia: #1; #2; #5; #6; Zaburi 149:6-9; Isaya 4:1,2; Isaya 5:30; Isaya 13:9-11; Marko 13:24-37; Luka 21:25-36; Ufunuo wa Yohana
18:9.
D09 Masiha atakuwa Mwokozi.
E11 Masiha atapeana uzima wa milele.
H01 Kurudi kwa Masiha kunatabiriwa.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H05 Utukufu na nguvu za Masiha zinazokuja.
ISAYA 25:6 Na katika mlima huu Bwana
wa majeshi atawafanyia mataifa yote karamu
ya vitu vinono, karamu ya divai iliyokaa
juu ya urojorojo wake, karamu ya vinono
vilivyojaa mafuta, karamu ya divai iliyokaa
juu ya urojorojo wake, iliyochujwa sana.
7 Naye katika mlima huu atauharibu uso wa
sitara iliyowekwa juu ya watu wote, na utaji
ule uliotandwa juu ya mataifa yote.
8 Amemeza mauti hata milele; na Bwana
MUNGU atafuta machozi katika nyuso
zote; na aibu ya watu wake ataiondoa katika
ulimwengu wote; maana Bwana amenena
hayo.
9 Katika siku hiyo watasema, Tazama, huyu
ndiye Mungu wetu, Ndiye tuliyemngoja
atusaidie; Huyu ndiye Bwana tuliyemngoja,
Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake.
10 Kwa maana mkono wa Bwana utatulia
katika mlima huu, na Moabu atakanyagwa
chini huko aliko, kama vile majani makavu
yakanyagwavyo katika maji ya jaa.
11 Naye atanyosha mikono yake katikati yake,
kama vile aogeleaye anyoshavyo mikono
yake ili aogelee, naye atashusha kiburi
chake, pamoja na hila za mikono yake.
12 Na boma la ngome ya kuta zako
ameliinamisha, na kulilaza chini, na
kulitupa chini hata mavumbini.
YEREMIA 33:10 Bwana asema hivi, katika
mahali hapo ambapo mnasema kwamba ni
ukiwa, hapana mwanadamu wala mnyama,
naam, katika miji ya Yuda na katika njia
za Yerusalemu, zilizo ukiwa, hazina
mwanadamu wala mwenyeji wala mnyama,
11 itasikilikana tena sauti ya furaha na sauti ya
shangwe, sauti ya bwana arusi na sauti ya
bibi arusi, sauti yao wasemao Mshukuruni
Bwana wa majeshi, maana Bwana ni
mwema, rehema zake ni za milele; na sauti
zao waletao sadaka za shukrani nyumbani
kwa Bwana. Kwa kuwa nitawarudisha
wafungwa wa nchi hii kama kwanza, asema
Bwana.
MATHAYO 8:11 Nami nawaambieni, ya
kwamba wengi watakuja kutoka mashariki
na magharibi, nao wataketi pamoja na
Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo katika ufalme
wa mbinguni;
MATHAYO 26:29 Lakini nawaambieni,
Sitakunywa kabisa tangu sasa uzao huu
wa mzabibu, hata siku ile nitakapokunywa
mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba
yangu.
MATHAYO 28:5 Malaika akajibu, akawaambia
wale wanawake, Msiogope ninyi; kwa
maana najua ya kuwa mnamtafuta Yesu
aliyesulibiwa.
6 Hayupo hapa; kwani amefufuka kama
ISAYA
209
alivyosema. Njoni, mpatazame mahali
alipolazwa.
1 WAKORINTHO 15:26 Adui wa mwisho
atakayebatilishwa ni mauti.
1 WAKORINTHO 15:54 Basi huu
uharibikao utakapovaa kutokuharibika, na
huu wa kufa utakapovaa kutokufa, hapo
ndipo litakapokuwa lile neno lililoandikwa,
Mauti imemezwa kwa kushinda.
55 Ku wapi, Ewe mauti, kushinda kwako? U
wapi, Ewe mauti, uchungu wako?
56 Uchungu wa mauti ni dhambi, na nguvu za
dhambi ni torati.
57 Lakini Mungu na ashukuriwe atupaye
kushinda kwa Bwana wetu Yesu Kristo.
2 WAKORINTHO 3:13 nasi si kama Musa
alivyotia utaji juu ya uso wake, ili kwamba
Waisraeli wasitazame sana mwisho wa ile
iliyokuwa ikibatilika;
14 ila fikira zao zilitiwa uzito. Kwa maana hata
leo hivi, wakati lisomwapo Agano la Kale,
utaji uo huo wakaa; yaani, haikufunuliwa
kwamba huondolewa katika Kristo;
15 ila hata leo, torati ya Musa isomwapo, utaji
huikalia mioyo yao.
16 Lakini wakati wo wote watakapomgeukia
Bwana, ule utaji huondolewa.
17 Basi <Bwana> ndiye Roho; walakini alipo
Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru.
18 Lakini sisi sote, kwa uso usiotiwa utaji,
tukiurudisha utukufu wa Bwana, kama vile
katika kioo, tunabadilishwa tufanane na
mfano uo huo, toka utukufu hata utukufu,
kama vile kwa utukufu utokao kwa Bwana,
aliye Roho.
2 TIMOTHEO 1:10 na sasa
inadhihirishwa kwa kufunuliwa kwake
Mwokozi wetu Kristo Yesu; aliyebatili mauti,
na kuufunua uzima na kutokuharibika, kwa
ile Injili;
WAEBRANIA 2:14 Basi, kwa kuwa watoto
wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo
hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya
mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za
mauti, yaani, Ibilisi,
15 awaache huru wale ambao kwamba maisha
yao yote kwa hofu ya mauti walikuwa katika
hali ya utumwa.
UFUNUO WA YOHANA 7:15 Kwa hiyo
wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu,
nao wanamtumikia mchana na usiku katika
hekalu lake, na yeye aketiye katika kiti cha
enzi atatanda hema yake juu yao.
16 Hawataona njaa tena, wala hawataona kiu
tena, wala jua halitawapiga, wala hari iliyo
yote.
17 Kwa maana huyo Mwana-Kondoo, aliye
katikati ya kiti cha enzi, atawachunga, naye
atawaongoza kwenye chemchemi za maji
yenye uhai, na Mungu atayafuta machozi
yote katika macho yao.
UFUNUO WA YOHANA 19:7 Na
tufurahi, tukashangilie, tukampe utukufu
wake; kwa kuwa arusi ya Mwana-Kondoo
imekuja, na mkewe amejiweka tayari.
8 Naye amepewa kuvikwa kitani nzuri,
ing›arayo, safi; kwa maana kitani nzuri hiyo
ni matendo ya haki ya watakatifu.
9 Naye akaniambia, Andika, Heri walioalikwa
karamu ya arusi ya Mwana-Kondoo.
Akaniambia, Maneno haya ni maneno ya
kweli ya Mungu.
ISAYA
210
UFUNUO WA YOHANA 21:3 Nikasikia
sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha
enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu
ni pamoja na wanadamu, naye atafanya
maskani yake pamoja nao, nao watakuwa
watu wake. Naye Mungu mwenyewe
atakuwa pamoja nao.
4 Naye atafuta kila chozi katika macho
yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala
maombolezo, wala kilio, wala maumivu
hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya
kwanza yamekwisha kupita.
Ona pia: #1; #2; #5; Isaya 61:10,11; Yeremia 25:10; Yoeli 2:16; Mathayo 22:1-14; Mathayo 25:1-13; Mathayo 27:51,52; Yohana
3:29; Yohana 11:25,26; Waefeso 3:5,6; Waebrania 12:22-26; Ufunuo wa Yohana 1:7,17,18; Ufunuo wa Yohana 20:14.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 26:1 Siku ile wimbo huu
utaimbwa katika nchi ya Yuda; Sisi tunao
mji ulio na nguvu; Ataamuru wokovu kuwa
kuta na maboma.
2 Wekeni wazi malango yake, Taifa lenye haki,
lishikalo kweli, liingie.
3 Utamlinda yeye ambaye moyo wake
umekutegemea Katika amani kamilifu, kwa
kuwa anakutumaini.
4 Mtumainini Bwana siku zote Maana Bwana
YEHOVA ni mwamba wa milele.
ISAYA 9:6 Maana kwa ajili yetu mtoto
amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume;
Na uweza wa kifalme utakuwa begani
mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri
wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa
milele, Mfalme wa amani.
7 Maongeo ya enzi yake na amani Hayatakuwa
na mwisho kamwe, Katika kiti cha enzi cha
Daudi na ufalme wake; Kuuthibitisha na
kuutegemeza Kwa hukumu na kwa haki,
Tangu sasa na hata milele. Wivu wa Bwana
wa majeshi ndio utakaotenda hayo.
ISAYA 57:19 Mimi nayaumba matunda
ya midomo; Amani, amani, kwake yeye aliye
mbali, na kwake yeye aliye karibu; asema
Bwana; nami nitamponya.
20 Bali wabaya wanafanana na bahari
iliyochafuka; maana haiwezi kutulia, na maji
yake hutoa tope na takataka.
21 Hapana amani kwa wabaya; asema Mungu
wangu.
YOHANA 14:27 Amani nawaachieni; amani
yangu nawapa; niwapavyo mimi sivyo kama
ulimwengu utoavyo. Msifadhaike mioyoni
mwenu, wala msiwe na woga.
MATENDO YA MITUME 2:47
wakimsifu Mungu, na kuwapendeza watu
wote. Bwana akalizidisha kanisa kila siku
kwa wale waliokuwa wakiokolewa.
WARUMI 5:1 Basi tukiisha kuhesabiwa
haki itokayo katika imani, na mwe na amani
kwa Mungu, kwa njia ya Bwana wetu Yesu
Kristo,
WAEFESO 2:14 Kwa maana yeye ndiye
amani yetu, aliyetufanya sisi sote tuliokuwa
wawili kuwa mmoja; akakibomoa kiambaza
cha kati kilichotutenga.
15 Naye akiisha kuuondoa ule uadui kwa mwili
wake; ndiyo sheria ya amri zilizo katika
maagizo; ili afanye hao wawili kuwa mtu
mpya mmoja ndani ya nafsi yake; akafanya
amani.
16 Akawapatanisha wote wawili na Mungu
ISAYA
211
katika mwili mmoja, kwa njia ya msalaba,
akiisha kuufisha ule uadui kwa huo msalaba.
Ona pia: #1; #2; #4; #7; Kumbukumbu la Torati 32:4,15; 1 Samweli 2:2; Zaburi 18:1; Zaburi 106:5; Isaya 50:10; Yeremia
17:7,8; Wafilipi 4:7; 1 Petro 2:9.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
ISAYA 26:19 Wafu wako wataishi, maiti
zangu zitafufuka; amkeni, kaimbeni, ninyi
mnaokaa mavumbini, kwa maana umande
wako ni kama umande wa mimea, nayo
ardhi itawatoa waliokufa.
20 Njoni, watu wangu, ingia wewe ndani ya
vyumba vyako, ukafunge mlango nyuma
yako ujifiche kitambo kidogo, mpaka
ghadhabu hii itakapopita.
21 Kwa maana, tazama, Bwana anakuja
kutoka mahali pake, ili kuwaadhibu
wakaao duniani, kwa sababu ya uovu
wao; ardhi nayo itafunua damu yake, wala
haitawafunika tena watu wake waliouawa.
ZABURI 71:20 Wewe, uliyetuonyesha
mateso mengi, mabaya, Utatuhuisha tena.
Utatupandisha juu tena Tokea pande za
chini ya nchi.
ISAYA 25:8 Amemeza mauti hata milele;
na Bwana MUNGU atafuta machozi katika
nyuso zote; na aibu ya watu wake ataiondoa
katika ulimwengu wote; maana Bwana
amenena hayo.
DANIELI 12:2 Tena, wengi wa hao walalao
katika mavumbi ya nchi wataamka, wengine
wapate uzima wa milele, wengine aibu na
kudharauliwa milele.
YOHANA 5:28 Msistaajabie maneno hayo;
kwa maana saa yaja, ambayo watu wote
waliomo makaburini wataisikia sauti yake.
29 Nao watatoka; wale waliofanya mema
kwa ufufuo wa uzima, na wale waliotenda
mabaya kwa ufufuo wa hukumu.
YOHANA 11:25 Yesu akamwambia,
Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye
aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa
anaishi;
26 naye kila aishiye na kuniamini hatakufa
kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?
MATENDO YA MITUME 24:15 Nina
tumaini kwa Mungu, ambalo hata hao nao
wanalitazamia, ya kwamba kutakuwa na
ufufuo wa wafu, wenye haki na wasio haki
pia.
1 WATHESALONIKE 4:14 Maana, ikiwa
twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka,
vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu,
Mungu atawaleta pamoja naye.
15 Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la
Bwana, kwamba sisi tulio hai, tutakaosalia
hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika
hatutawatangulia wao waliokwisha kulala
mauti.
UFUNUO WA YOHANA 20:5 Hao wafu
waliosalia hawakuwa hai, hata itimie ile
miaka elfu.
6 Huo ndio ufufuo wa kwanza. Heri, na
mtakatifu, ni yeye aliye na sehemu katika
ufufuo wa kwanza; juu ya hao mauti ya pili
haina nguvu; bali watakuwa makuhani wa
Mungu na wa Kristo, nao watatawala pamoja
naye hiyo miaka elfu.
ISAYA
212
UFUNUO WA YOHANA 20:12
Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo,
wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi;
na vitabu vikafunguliwa; na kitabu kingine
kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima; na
hao wafu wakahukumiwa katika mambo
hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu,
sawasawa na matendo yao.
13 Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani
yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu
waliokuwamo ndani yake. Wakahukumiwa
kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.
Ona pia: #5; #6; Ezekieli 37:1-14.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 27:1 Katika siku hiyo Bwana, kwa
upanga wake ulio mkali, ulio mkubwa, ulio
na nguvu, atamwadhibu lewiathani, nyoka
yule mwepesi, na lewiathani, nyoka yule
mwenye kuzonga-zonga; naye atamwua yule
joka aliye baharini.
2 Katika siku hiyo; Shamba la mizabibu la
mvinyo, liimbieni.
3 Mimi, Bwana, nalilinda, Nitalitia maji kila
dakika, Asije mtu akaliharibu; Usiku na
mchana nitalilinda.
6 Siku zijazo Yakobo atatia mizizi; Israeli
atatoa maua na kuchipuka; Nao watajaza uso
wa ulimwengu matunda.
12 Tena itakuwa katika siku hiyo, Bwana
atayapiga-piga matunda yake toka gharika
ya Mto hata kijito cha Misri, nanyi
mtakusanywa mmoja mmoja, enyi wana wa
Israeli.
13 Tena itakuwa katika siku hiyo, tarumbeta
kubwa itapigwa, nao waliokuwa karibu na
kuangamia katika nchi ya Ashuru watakuja;
na hao waliotupwa katika nchi ya Misri;
nao watamsujudu Bwana katika mlima
mtakatifu huko Yerusalemu.
ISAYA 4:2 Siku hiyo chipukizi la Bwana
litakuwa zuri, lenye utukufu, na matunda ya
nchi yatakuwa mema sana, na kupendeza,
kwa ajili ya Waisraeli wale waliookoka.
LUKA 3:8 Basi, toeni matunda
yapatanayo na toba; wala msianze kusema
mioyoni mwenu, Tunaye baba, ndiye
Ibrahimu; kwa maana nawaambia ya
kwamba katika mawe haya Mungu aweza
kumwinulia Ibrahimu watoto.
YOHANA 10:27 Kondoo wangu waisikia sauti
yangu; nami nawajua, nao wanifuata.
28 Nami nawapa uzima wa milele; wala
hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu
atakayewapokonya katika mkono wangu.
29 Baba yangu aliyenipa hao ni mkuu
kuliko wote; wala hakuna mtu awezaye
kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu.
30 Mimi na Baba tu umoja.
YOHANA 15:5 Mimi ni mzabibu; ninyi ni
matawi, akaaye ndani yangu nami ndani
yake, huyo huzaa sana; maana pasipo mimi
ninyi hamwezi kufanya neno lo lote.
YOHANA 15:8 Hivyo hutukuzwa Baba
yangu, kwa vile mzaavyo sana; nanyi
mtakuwa wanafunzi wangu.
YOHANA 15:16 Si ninyi mlionichagua mimi,
ISAYA
213
bali ni mimi niliyewachagua ninyi; nami
nikawaweka mwende mkazae matunda; na
matunda yenu yapate kukaa; ili kwamba
lo lote mmwombalo Baba kwa jina langu
awapeni.
UFUNUO WA YOHANA 20:2
Akamshika yule joka, yule nyoka wa zamani,
ambaye ni Ibilisi na Shetani, akamfunga
miaka elfu;
UFUNUO WA YOHANA 20:7 Na
hiyo miaka elfu itakapokwisha, Shetani
atafunguliwa, atoke kifungoni mwake;
UFUNUO WA YOHANA 20:10 Na yule
Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa
katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule
mnyama na yule nabii wa uongo. Nao
watateswa mchana na usiku hata milele na
milele.
UFUNUO WA YOHANA 22:2 katikati
ya njia kuu yake. Na upande huu na upande
huu wa ule mto, ulikuwapo mti wa uzima,
uzaao matunda, aina kumi na mbili, wenye
kutoa matunda yake kila mwezi; na majani
ya mti huo ni ya kuwaponya mataifa.
Ona pia: #1; #2; #3; Isaya 5:1-7; Isaya 26:1; Isaya 46:4; Mathayo 21:28-46; Wakolosai 1:5,6.
E01 Aina ya huduma ya Masiha.
ISAYA 28:15 Kwa sababu mmesema,
Tumefanya agano na mauti, tumepatana
na kuzimu; pigo lifurikalo litakapopita,
halitatufikia sisi; kwa maana tumefanya
maneno ya uongo kuwa kimbilio letu,
tumejificha chini ya maneno yasiyo kweli;
16 kwa ajili ya hayo Bwana, MUNGU, asema
hivi, Tazama, naweka jiwe katika Sayuni,
liwe msingi, jiwe lililojaribiwa, jiwe la
pembeni lenye thamani, msingi ulio imara;
yeye aaminiye hatafanya haraka.
ZABURI 118:22 Jiwe walilolikataa waashi
Limekuwa jiwe kuu la pembeni.
MATHAYO 21:42 Yesu akawaambia,
Hamkupata kusoma katika maandiko, Jiwe
walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe
kuu la pembeni; Neno hili limetoka kwa
Bwana, Nalo ni ajabu machoni petu?
MATENDO YA MITUME 4:11 Yeye
ndiye jiwe lile lililodharauliwa na ninyi
waashi, nalo limewekwa kuwa jiwe kuu la
pembeni.
12 Wala hakuna wokovu katika mwingine
awaye yote, kwa maana hapana jina jingine
chini ya mbingu walilopewa wanadamu
litupasalo sisi kuokolewa kwalo.
WARUMI 9:31 bali Israeli wakiifuata sheria
ya haki hawakuifikilia ile sheria.
32 Kwa sababu gani? Kwa sababu hawakuifuata
kwa njia ya imani, bali kana kwamba kwa
njia ya matendo. Wakajikwaa juu ya jiwe lile
likwazalo,
33 kama ilivyoandikwa, Tazama, naweka
katika Sayuni jiwe likwazalo, na mwamba
uangushao; Na kila amwaminiye
hatatahayarika.
1 WAKORINTHO 3:11 Maana msingi
mwingine hakuna mtu awezaye kuuweka,
isipokuwa ni ule uliokwisha kuwekwa, yaani,
Yesu Kristo.
ISAYA
214
WAEFESO 2:17 Akaja akahubiri amani
kwenu ninyi mliokuwa mbali, na amani
kwao wale waliokuwa karibu.
18 Kwa maana kwa yeye sisi sote tumepata njia
ya kumkaribia Baba katika Roho mmoja.
19 Basi tangu sasa ninyi si wageni wala
wapitaji, bali ninyi ni wenyeji pamoja na
watakatifu, watu wa nyumbani mwake
Mungu.
20 Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na
manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni
jiwe kuu la pembeni.
21 Katika yeye jengo lote linaungamanishwa
vema na kukua hata liwe hekalu takatifu
katika Bwana.
22 Katika yeye ninyi nanyi mnajengwa pamoja
kuwa maskani ya Mungu katika Roho.
1 PETRO 2:4 Mmwendee yeye, jiwe lililo
hai, lililokataliwa na wanadamu, bali kwa
Mungu ni teule, lenye heshima.
5 Ninyi nanyi, kama mawe yaliyo hai,
mmejengwa mwe nyumba ya Roho,
ukuhani mtakatifu, mtoe dhabihu za roho,
zinazokubaliwa na Mungu, kwa njia ya Yesu
Kristo.
6 Kwa kuwa imeandikwa katika maandiko
Tazama, naweka katika Sayuni jiwe kuu
la pembeni, teule, lenye heshima, Na kila
amwaminiye hatatahayarika.
7 Basi, heshima hii ni kwenu ninyi
mnaoamini. Bali kwao wasioamini, Jiwe
walilolikataa waashi, Limekuwa jiwe kuu la
pembeni.
8 Tena, Jiwe la kujikwaza mguu, na mwamba
wa kuangusha, Kwa maana hujikwaza kwa
neno lile,wasiliamini,nao waliwekwa kusudi
wapate hayo.
Ona pia: Mwanzo 49:24; Isaya 8:14; Hosea 2:19-21; Zekaria 3:9; Marko 12:10; Luka 20:17,18.
F03 Masiha atakataliwa.
ISAYA 29:10 Kwa maana Bwana
amewamwagieni roho ya usingizi,
amefumba macho yenu, yaani, manabii;
amefunika vichwa vyenu, yaani, waonaji.
13 Bwana akanena, Kwa kuwa watu hawa
hunikaribia na kuniheshimu kwa vinywa
vyao, bali mioyo yao wamefarakana nami,
na kicho chao walicho nacho kwangu ni
maagizo ya wanadamu waliyofundishwa;
14 kwa sababu hiyo mimi nitafanya tena kazi
ya ajabu kati ya watu hawa, kazi ya ajabu na
mwujiza; na akili za watu wao wenye akili
zitapotea, na ufahamu wa wenye busara wao
utafichwa.
ZABURI 69:22 Meza yao mbele yao na iwe
mtego; Naam, wakiwa salama na iwe tanzi.
EZEKIELI 33:32 Na tazama, wewe umekuwa
kwao kama wimbo mzuri sana, wa mtu
mwenye sauti ipendezayo, awezaye kupiga
kinanda vizuri; maana, wasikia maneno
yako, lakini hawayatendi.
33 Na hayo yatakapokuwapo (tazama,
yanakuja), ndipo watakapojua ya kuwa nabii
amekuwapo kati yao.
MATHAYO 15:7 Enyi wanafiki, ni vema
alivyotabiri Isaya kwa habari zenu, akisema,
8 Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila
mioyo yao iko mbali nami.
9 Nao waniabudu bure, Wakifundisha
mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.
MARKO 4:11 Akawaambia, Ninyi
mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu,
bali kwa wale walio nje yote hufanywa kwa
ISAYA
215
mifano,
12 ili wakitazama watazame, wasione; Na
wakisikia wasikie, wasielewe; Wasije
wakaongoka, na kusamehewa.
MARKO 7:6 Akawaambia, Isaya alitabiri
vema juu yenu ninyi wanafiki, kama
ilivyoandikwa, Watu hawa huniheshimu kwa
midomo Ila mioyo yao iko mbali nami;
7 Nao waniabudu bure, Wakifundisha
mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu,
8 Ninyi mwaiacha amri ya Mungu, na
kuyashika mapokeo ya wanadamu.
MATENDO YA MITUME 28:26 akisema,
Enenda kwa watu hawa, ukawaambie,
Kusikia, mtasikia wala hamtafahamu; Na
kuona, mtaona wala hamtatambua;
27 Kwa maana mioyo ya watu hawa
imepumbaa, Na masikio yao ni mazito
ya kusikia, Na macho yao wameyafumba;
Wasije wakaona kwa macho yao, Na kusikia
kwa masikio yao, Na kufahamu kwa mioyo
yao, Na kubadili nia zao, nikawaponya.
WARUMI 11:7 Imekuwaje basi? Kitu
kile ambacho Israeli alikuwa akikitafuta
hakukipata; lakini wale waliochaguliwa
walikipata, na wengine walitiwa uzito.
8 Kama ilivyoandikwa, Mungu aliwapa roho
ya usingizi, macho hata wasione, na masikio
hata wasisikie, hata siku hii ya leo.
9 Na Daudi asema, Meza yao na iwe tanzi na
mtego, Na kitu cha kuwakwaza, na malipo
kwao;
10 Macho yao yatiwe giza ili wasione,
Ukawainamishe mgongo wao siku zote.
Ona pia: Isaya 6:9,10; Isaya 30:10; Isaya 35:5; Isaya 44:18; Yeremia 12:2; Ezekieli 33:31; Mika 3:6; Mathayo 15:2-6; Marko
7:1,2; 2 Wakorintho 4:4; 2 Wathesalonike 2:9-12.
E05 Miujiza ya Masiha.
ISAYA 29:18 Na katika siku hiyo viziwi
watasikia maneno ya hicho chuo, na macho
ya vipofu yataona katika upofu na katika
giza.
MATHAYO 11:5 vipofu wanapata kuona,
viwete wanakwenda, wenye ukoma
wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu
wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa
habari njema.
MATHAYO 13:14 Na neno la nabii Isaya
linatimia kwao, likisema, Kusikia mtasikia,
wala hamtaelewa; Kutazama mtatazama,
wala hamtaona.
15 Maana mioyo ya watu hawa imekuwa mizito,
Na kwa masikio yao hawasikii vema, Na
macho yao wameyafumba; Wasije wakaona
kwa macho yao, Wakasikia kwa masikio yao,
Wakaelewa kwa mioyo yao, Wakaongoka,
nikawaponya.
16 Lakini, heri macho yenu, kwa kuwa yanaona;
na masikio yenu, kwa kuwa yanasikia.
LUKA 4:18 Roho wa Bwana yu juu
yangu, Kwa maana amenitia mafuta
kuwahubiri maskini habari njema.
Amenituma kuwatangazia wafungwa
kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona
tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
19 Na kutangaza mwaka wa Bwana
uliokubaliwa.
LUKA 7:22 Ndipo alipojibu,
akawaambia, Nendeni mkamweleze Yohana
hayo mliyoyaona na kuyasikia; vipofu
wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye
ukoma wanatakasika, viziwi wanasikia, wafu
ISAYA
216
wanafufuliwa, maskini wanahubiriwa habari
njema.
MATENDO YA MITUME
26:18 uwafumbue macho yao, na kuwageuza
waiache giza na kuielekea nuru, waziache na
nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu;
kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na
urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa
imani iliyo kwangu mimi.
2 WAKORINTHO 3:14 ila fikira zao
zilitiwa uzito. Kwa maana hata leo hivi,
wakati lisomwapo Agano la Kale, utaji uo
huo wakaa; yaani, haikufunuliwa kwamba
huondolewa katika Kristo;
15 ila hata leo, torati ya Musa isomwapo, utaji
huikalia mioyo yao.
16 Lakini wakati wo wote watakapomgeukia
Bwana, ule utaji huondolewa.
17 Basi <Bwana> ndiye Roho; walakini alipo
Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru.
18 Lakini sisi sote, kwa uso usiotiwa utaji,
tukiurudisha utukufu wa Bwana, kama vile
katika kioo, tunabadilishwa tufanane na
mfano uo huo, toka utukufu hata utukufu,
kama vile kwa utukufu utokao kwa Bwana,
aliye Roho.
WAEFESO 1:17 Mungu wa Bwana wetu Yesu
Kristo, Baba wa utukufu, awape ninyi roho
ya hekima na ya ufunuo katika kumjua yeye;
18 macho ya mioyo yenu yatiwe nuru, mjue
tumaini la mwito wake jinsi lilivyo; na utajiri
wa utukufu wa urithi wake katika watakatifu
jinsi ulivyo;
YAKOBO 1:21 Kwa hiyo wekeeni mbali
uchafu wote na ubaya uzidio, na kupokea
kwa upole neno lile lililopandwa ndani,
liwezalo kuziokoa roho zenu.
UFUNUO WA YOHANA 3:18
Nakupa shauri, ununue kwangu dhahabu
iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri,
na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya uchi
wako isionekane, na dawa ya macho ya
kujipaka macho yako, upate kuona.
Ona pia: Kumbukumbu la Torati 29:4; Zaburi 12:5; Isaya 29:10-12,16; Isaya 42:16-19; Marko 7:37; 2 Wakorintho 4:2-6; 1 Petro 2:9.
B17 Upole na udhaifu wa Masiha.
B24 Mungu na Masiha hupeana furaha na
faraja kwa wenye haki na waumini.
ISAYA 29:19 Wanyenyekevu nao
wataongeza furaha yao katika Bwana, na
maskini katika wanadamu watafurahi katika
Mtakatifu wa Israeli.
MAMBO YA WALAWI 23:40 Nanyi
siku ya kwanza mtajipatia matunda ya miti
mizuri, na makuti ya mitende, na matawi ya
miti minene, na mierebi ya vijitoni; nanyi
mtafurahi mbele za Bwana, Mungu wenu,
muda wa siku saba.
KUMBUKUMBU LA TORATI 16:11 nawe
utafurahi mbele ya Bwana, Mungu wako,
wewe na mwana wako na binti yako,
na mtumwa wako na mjakazi wako, na
Mlawi aliye ndani ya malango yako, na
mgeni, na yatima, na mjane aliyefiliwa
na mumewe, walio katikati yako, katika
mahali atakapochagua Bwana, Mungu wako,
apakalishe jina lake.
ZABURI 5:11 Nao wote wanaokukimbilia
ISAYA
217
watafurahi; Watapiga daima kelele za furaha.
Kwa kuwa Wewe unawahifadhi, Walipendao
jina lako watakufurahia.
ZABURI 32:11 Mfurahieni Bwana;
Shangilieni, enyi wenye haki Pigeni
vigelegele vya furaha; Ninyi nyote mlio
wanyofu wa moyo.
ZABURI 64:10 Mwenye haki atamfurahia
Bwana na kumkimbilia, Na wote wenye
moyo wa adili watajisifu.
ZABURI 68:3 Bali wenye haki hufurahi, Na
kuushangilia uso wa Mungu, Naam, hupiga
kelele kwa furaha.
ZABURI 107:30 Ndipo walipofurahi kwa
kuwa yametulia Naye huwaleta mpaka
bandari waliyoitamani.
ZABURI 118:24 Siku hii ndiyo aliyoifanya
Bwana, Tutashangilia na kuifurahia.
ZABURI 149:2 Israeli na amfurahie
Yeye aliyemfanya, Wana wa Sayuni na
wamshangilie mfalme wao.
WIMBO ULIO BORA 1:4 Nivute nyuma
yako, na tukimbie; Mfalme ameniingiza
vyumbani mwake. Tutafurahi na
kukushangilia; Tutazinena pambaja zako
kuliko divai; Ndiyo, ina haki wakupende.
ISAYA 9:3 Umeliongeza taifa,
umezidisha furaha yao; Wanafurahi mbele
zako, Kama furaha ya wakati wa mavuno,
Kama watu wafurahivyo wagawanyapo
nyara.
ISAYA 25:9 Katika siku hiyo watasema,
Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Ndiye
tuliyemngoja atusaidie; Huyu ndiye Bwana
tuliyemngoja, Na tushangilie na kuufurahia
wokovu wake.
YEREMIA 31:12 Nao watakuja, na kuimba
katika mlima Sayuni, wataukimbilia wema
wa Bwana, nafaka, na divai, na mafuta, na
wachanga wa kondoo na wa ng›ombe; na
roho zao zitakuwa kama bustani iliyotiwa
maji; wala hawatahuzunika tena kabisa.
13 Ndipo bikira atafurahi katika kucheza, na
vijana na wazee pamoja; maana nitageuza
masikitiko yao kuwa furaha, nami
nitawafariji, na kuwafurahisha waache
huzuni zao.
HABAKUKI 3:18 Walakini nitamfurahia
Bwana Nitamshangilia Mungu wa wokovu
wangu.
ZEKARIA 2:10 Imba, ufurahi, Ee binti
Sayuni; maana, tazama, ninakuja, nami
nitakaa kati yako, asema Bwana.
MATHAYO 5:3 Heri walio maskini wa roho;
Maana ufalme wa mbinguni ni wao.
MATHAYO 5:5 Heri wenye upole; Maana
hao watairithi nchi.
MATHAYO 11:29 Jitieni nira yangu, mjifunze
kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na
mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha
nafsini mwenu;
LUKA 1:14 Nawe utakuwa na furaha
na shangwe, na watu wengi watakufurahia
kuzaliwa kwake.
ISAYA
218
LUKA 2:10 Malaika akawaambia,
Msiogope; kwa kuwa mimi ninawaletea
habari njema ya furaha kuu itakayokuwa
kwa watu wote;
YOHANA 3:29 Aliye naye bibi arusi ndiye
bwana arusi; lakini rafiki yake bwana arusi,
yeye anayesimama na kumsikia, aifurahia
sana sauti yake bwana arusi.
YOHANA 16:22 Basi ninyi hivi sasa mna
huzuni; lakini mimi nitawaona tena; na
mioyo yenu itafurahi, na furaha yenu
hakuna awaondoleaye.
YOHANA 20:20 Naye akiisha kusema hayo,
akawaonyesha mikono yake na ubavu
wake. Basi wale wanafunzi wakafurahi
walipomwona Bwana.
MATENDO YA MITUME 5:41 Nao
wakatoka katika ile baraza, wakifurahi kwa
sababu wamehesabiwa kuwa wamestahili
kuaibishwa kwa ajili ya Jina hilo.
MATENDO YA MITUME 13:48 Mataifa
waliposikia hayo wakafurahi, wakalitukuza
neno la Bwana, nao waliokuwa
wamekusudiwa uzima wa milele wakaamini.
MATENDO YA MITUME 13:52 Na
wanafunzi walijaa furaha na Roho Mtakatifu.
WAFILIPI 2:17 Naam, hata nikimiminwa
juu ya dhabihu na ibada ya imani yenu,
nafurahi; tena nafurahi pamoja nanyi nyote.
18 Nanyi vivyo hivyo furahini, tena furahini
pamoja nami.
WAFILIPI 4:4 Furahini katika Bwana
sikuzote; tena nasema, Furahini.
1 WATHESALONIKE 3:9 Maana ni shukrani
gani tuwezayo kumlipa Mungu kwa ajili
yenu, kwa furaha ile yote tunayoifurahia,
kwa sababu yenu mbele za Mungu wetu;
1 PETRO 4:13 Lakini kama mnavyoyashiriki
mateso ya Kristo, furahini; ili na katika
ufunuo wa utukufu wake mfurahi kwa
shangwe.
1 YOHANA 1:4 Na haya twayaandika, ili
furaha yetu itimizwe.
Ona pia: Hesabu 10:10; Kumbukumbu la Torati 12:7,12,18; Kumbukumbu la Torati 14:26; Kumbukumbu la Torati 16:14; Kumbukumbu la Torati 26:11; Kumbukumbu la Torati 27:7; 1 Samweli 2:1; 1 Wafalme 1:39,40; 1 Mambo ya Nyakati 15:16; 2 Mambo ya Nyakati 29:30; 2 Mambo ya Nyakati 30:23,26;
Nehemia 8:9,11,16; Nehemia 12:43,44; Esta 9:22; Zaburi 2:11; Zaburi 9:2,14; Zaburi 13:5; Zaburi 14:7; Zaburi 16:9,11; Zaburi
28:7; Zaburi 31:7; Zaburi 32:7; Zaburi 33:1,3,21; Zaburi 34:2; Zaburi 35:9,27; Zaburi 40:16; Zaburi 43:4; Zaburi 45:8,15; Zaburi 48:11; Zaburi 51:8,12,14; Zaburi 53:6; Zaburi 59:16; Zaburi 63:5,7,11; Zaburi 66:6; Zaburi 67:4; Zaburi 69:32;
Zaburi 70:4; Zaburi 81:1; Zaburi 89:16; Zaburi 90:14,15; Zaburi 92:4; Zaburi 95:1; Zaburi 96:11,12; Zaburi 97:1,8,11,12; Zaburi
98:4; Zaburi 100:2; Zaburi 104:34; Zaburi 105:3,43; Zaburi 106:5; Zaburi 107:42; Zaburi 119:14,62,74,111; Zaburi 122:1;
Zaburi 126:3; Zaburi 149:5; Mithali 10:28; Mithali 15:15; Isaya 9:3; Isaya 12:3,6; Isaya 24:14; Isaya 30:29; Isaya 35:1,2,10; Isaya 41:16; Isaya 44:23; Isaya 51:5,13; Isaya 54:1; Isaya 55:12; Isaya 56:7; Isaya 60:15; Isaya 61:3,7,10; Isaya 62:5; Isaya 65:18,19;
Isaya 66:2,10,14; Yeremia 15:16; Yeremia 33:9,11; Yeremia 49:25; Yoeli 2:21,23; Sefania 3:14,17; Zekaria 8:19; Zekaria 9:9;
Zekaria 10:7; Mathayo 2:10; Mathayo 5:12; Mathayo 13:44; Luka 1:47,58; Luka 6:23; Luka 10:17,20; Luka 15:7,23,32; Luka
19:6,37; Luka 24:41,52; Yohana 4:36; Yohana 8:56; Yohana 14:28; Yohana 15:11; Yohana 16:20,24; Yohana 17:13; Matendo ya Mitume 2:26,28,46,47; Matendo ya Mitume 8:8,39; Matendo ya Mitume 11:23; Matendo ya Mitume 14:17; Matendo ya Mitume 15:3,31; Matendo ya Mitume 16:34; Matendo ya Mitume 20:24;
Warumi 12:12,15; Warumi 14:17; Warumi 15:10,13; 1 Wakorintho 12:26; 2 Wakorintho 1:24; 2 Wakorintho 2:3; 2 Wakorintho 7:4; 2 Wakorintho 8:2; Wagalatia 5:22; Wafilipi 1:4,18,25; Wafilipi
2:2,29; Wafilipi 3:1; Wafilipi 4:1; Wakolosai 1:11; 1 Wathesalonike 1:6; 1 Wathesalonike 2:20; 1 Wathesalonike 3:9; 2 Timotheo
1:4; Waebrania 10:34; 1 Petro 1:6,8; Yohana 1:12,4; Ufunuo wa Yohana 14:3; Ufunuo wa Yohana 19:7.
ISAYA
219
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 29:22 Basi, Bwana aliyemkomboa
Ibrahimu asema hivi, katika habari za
nyumba ya Yakobo; Yakobo hatatahayarika
sasa, wala uso wake hautabadilika rangi
yake.
23 Bali atakapowaona watoto wake, walio
kazi ya mikono yangu, katikati yake, wao
watalitakasa jina langu; naam, watamtakasa
Mtakatifu wa Yakobo, nao watamcha Mungu
wa Israeli.
24 Hao nao wakosao rohoni mwao watapata
kufahamu, na hao wanung›unikao
watajifunza elimu.
MATENDO YA MITUME 2:37
Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao,
wakamwambia Petro na mitume wengine,
Tutendeje, ndugu zetu?
WAEFESO 2:10 Maana tu kazi yake,
tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende
matendo mema, ambayo tokea awali Mungu
aliyatengeneza ili tuenende nayo.
1 TIMOTHEO 1:13 ingawa hapo
kwanza nalikuwa mtukanaji, mwenye
kuudhi watu, mwenye jeuri, lakini nalipata
rehema kwa kuwa nalitenda hivyo kwa
ujinga, na kwa kutokuwa na imani.
Ona pia: #1; #2; #4; Isaya 5:16; Isaya 8:13; Mathayo 5:9; Luka 15:17-19; Yohana 6:45; 2 Wakorintho 4:2-6; Wagalatia 5:22,23; 1
Petro 2:9.
D09 Masiha atakuwa Mwokozi.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 30:18 Kwa ajili ya hayo Bwana
atangoja, ili awaonee huruma, na kwa ajili ya
hayo atatukuzwa, ili awarehemu; kwa maana
Bwana ni Mungu wa hukumu; heri wote
wamngojao.
19 Kwa maana watu watakaa katika Sayuni
huko Yerusalemu; wewe hutalia tena; hakika
yake atakuonea rehema nyingi kwa sauti ya
kilio chako; asikiapo ndipo atakapokujibu.
20 Na ingawa Bwana atawapeni chakula cha
shida na maji ya msiba, lakini waalimu
wako hawatafichwa tena, ila macho yako
yatawaona waalimu wako;
ISAYA 30:21-25
ISAYA 30:26 Na tena nuru ya mwezi
itakuwa kama nuru ya jua, na nuru ya jua
itaongezeka mara saba, kama nuru ya siku
saba, katika siku ile Bwana atakapofunga
mapigo ya watu wake, na kuliponya pigo la
jeraha yao.
ISAYA 30:27-28
ISAYA 30:29 Mtakuwa na wimbo kama
vile wakati wa usiku, ishikwapo sikukuu
takatifu, mtakuwa na furaha ya moyo kama
vile mtu aendapo na filimbi katika mlima wa
Bwana, aliye Mwamba wa Israeli.
ISAYA 30:30-33
WARUMI 11:25 Kwa maana, ndugu zangu,
sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa
wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu
umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa
Mataifa uwasili.
26 Hivyo Israeli wote wataokoka; kama
ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka
Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake.
27 Na hili ndilo agano langu nao,
ISAYA
220
Nitakapowaondolea dhambi zao.
WAEBRANIA 8:10 Maana hili ndilo agano
nitakaloagana na nyumba ya Israeli Baada
ya siku zile, asema Bwana; Nitawapa sheria
zangu katika nia zao, Na katika mioyo yao
nitaziandika; Nami nitakuwa Mungu kwao,
Nao watakuwa watu wangu.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
Ona pia: #1; #2; #5.
E08 Haki ya Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 32:1 Tazama, mfalme atamiliki
kwa haki, na wakuu watatawala kwa
hukumu.
2 Na mwanadamu atakuwa kama mahali pa
kujificha na upepo, na mahali pa kujisitiri na
dhoruba; kama mito ya maji mahali pakavu,
kama kivuli cha mwamba mkubwa katika
nchi yenye uchovu.
ISAYA 32:3,4
ISAYA 9:6 Maana kwa ajili yetu mtoto
amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume;
Na uweza wa kifalme utakuwa begani
mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri
wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa
milele, Mfalme wa amani.
7 Maongeo ya enzi yake na amani Hayatakuwa
na mwisho kamwe, Katika kiti cha enzi cha
Daudi na ufalme wake; Kuuthibitisha na
kuutegemeza Kwa hukumu na kwa haki,
Tangu sasa na hata milele. Wivu wa Bwana
wa majeshi ndio utakaotenda hayo.
MATHAYO 5:6 Heri wenye njaa na kiu ya
haki; Maana hao watashibishwa.
MATHAYO 11:28 Njoni kwangu, ninyi nyote
msumbukao na wenye kulemewa na mizigo,
nami nitawapumzisha.
YOHANA 4:14 walakini ye yote
atakayekunywa maji yale nitakayompa
mimi hataona kiu milele; bali yale maji
nitakayompa yatakuwa ndani yake
chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa
milele.
Ona pia: #1; #2; Isaya 7:14; Mika 5:4,5.
G04 Masiha atatoa Roho Wake.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 32:15 hata roho itakapomwagwa
juu yetu kutoka juu; hata jangwa
litakapokuwa shamba lizaalo sana; nalo
shamba lizaalo sana litakapohesabiwa kuwa
msitu.
16 Ndipo hukumu itakaa katika jangwa, na haki
itakaa katika shamba lizaalo sana.
17 Na kazi ya haki itakuwa amani; na mazao
ya haki yatakuwa ni utulivu na matumaini
daima.
18 Na watu wangu watakaa katika kao la amani;
na katika maskani zilizo salama, na katika
mahali pa kupumzikia penye utulivu.
ISAYA 44:3 Kwa maana nitamimina maji
ISAYA
221
juu yake aliye na kiu, na vijito vya maji juu
ya mahali pakavu; nitamwaga roho yangu
juu ya wazao wako, na baraka yangu juu yao
utakaowazaa;
YOHANA 7:37 Hata siku ya mwisho, siku
ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama,
akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu,
na aje kwangu anywe.
38 Aniaminiye mimi, kama vile maandiko
yalivyonena, mito ya maji yaliyo hai itatoka
ndani yake.
39 Na neno hilo alilisema katika habari
ya Roho, ambaye wale wamwaminio
watampokea baadaye; kwa maana Roho
alikuwa hajaja, kwa sababu Yesu alikuwa
hajatukuzwa.
MATENDO YA MITUME 2:17
Itakuwa siku za mwisho, asema Mungu,
nitawamwagia watu wote Roho yangu, na
wana wenu na binti zenu watatabiri; na
vijana wenu wataona maono; na wazee wenu
wataota ndoto.
18 Naam, na siku zile nitawamwagia watumishi
wangu wanaume na wanawake Roho yangu,
nao watatabiri.
MATENDO YA MITUME 2:33 Basi yeye,
akiisha kupandishwa hata mkono wa kuume
wa Mungu, na kupokea kwa Baba ile ahadi
ya Roho Mtakatifu, amekimwaga kitu hiki
mnachokiona sasa na kukisikia.
WAGALATIA 5:22 Lakini tunda la Roho ni
upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu
wema, fadhili, uaminifu,
2 WAKORINTHO 3:8 je! Huduma ya
roho haitazidi kuwa katika utukufu?
TITO 3:5 si kwa sababu ya matendo ya haki
tuliyoyatenda sisi; bali kwa rehema yake,
kwa kuoshwa kwa kuzaliwa kwa pili na
kufanywa upya na Roho Mtakatifu;
6 ambaye alitumwagia kwa wingi, kwa njia ya
Yesu Kristo Mwokozi wetu;
Ona pia: #1; #2; #5; Mithali 1:23; Zaburi 104:30; Luka 24:49.
B18 Utakatifu, uzuri na utukufu wa Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 33:17 Macho yako yatamwona
mfalme katika uzuri wake, yataona nchi
iliyoenea sana.
ISAYA 33:18-19
ISAYA 33:20 Angalia Sayuni, mji wa
sikukuu zetu; macho yako yatauona
Yerusalemu umekuwa kao la raha;
hema isiyotanga-tanga; vigingi vyake
havitang›olewa, wala kamba zake
hazitakatika.
21 Bali huko Bwana atakuwa pamoja nasi,
mwenye adhama; mahali penye mito
mipana na vijito, pasipopita mashua na
makasia yake; wala hapana merikebu ya vita
itakayopita hapo.
22 Kwa maana Bwana ndiye mwamuzi wetu;
Bwana ndiye mfanya sheria wetu; Bwana
ndiye mfalme wetu; ndiye atakayetuokoa.
23 Kamba zako zimelegea; hawakuweza kukaza
sana shina la mlingoti wao; hawakuweza
kulikunjua tanga; ndipo mapato ya mateka
yaligawanywa, hata wachechemeao walipata
mateka.
24 Wala hapana mwenyeji atakayesema,
Mimi mgonjwa; watu wakaao humo
watasamehewa uovu wao.
ISAYA
222
YEREMIA 31:33 Bali agano hili ndilo
nitakalofanya na nyumba ya Israeli, baada ya
siku zile, asema Bwana; Nitatia sheria yangu
ndani yao, na katika mioyo yao nitaiandika;
nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa
watu wangu.
MATHAYO 17:2 akageuka sura yake mbele
yao; uso wake ukang›aa kama jua, mavazi
yake yakawa meupe kama nuru.
MATHAYO 21:5 Mwambieni binti Sayuni
Tazama, mfalme wako anakuja kwako,
Mpole, naye amepanda punda, Na mwana-
punda, mtoto wa punda.
LUKA 1:33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo
hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna
mwisho.
YOHANA 1:14 Naye Neno alifanyika mwili,
akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake,
utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa
Baba; amejaa neema na kweli.
YOHANA 17:24 Baba, hao ulionipa nataka
wawe pamoja nami po pote nilipo, wapate
na kuutazama utukufu wangu ulionipa; kwa
maana ulinipenda kabla ya kuwekwa msingi
ulimwengu.
YOHANA 18:37 Basi Pilato akamwambia,
Wewe u mfalme basi? Yesu akajibu, Wewe
wasema, kwa kuwa mimi ni mfalme. Mimi
nimezaliwa kwa ajili ya haya, na kwa ajili
ya haya mimi nalikuja ulimwenguni, ili
niishuhudie kweli. Kila aliye wa hiyo kweli
hunisikia sauti yangu.
MATENDO YA MITUME 10:42
Akatuagiza tuwahubiri watu na kushuhudia
ya kuwa huyu ndiye aliyeamriwa na Mungu
awe Mhukumu wa walio hai na wafu.
1 WAKORINTHO 15:24 Hapo ndipo
mwisho, atakapompa Mungu Baba ufalme
wake; atakapobatilisha utawala wote, na
mamlaka yote, na nguvu.
25 Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke
maadui wake wote chini ya miguu yake.
1 TIMOTHEO 6:13 Nakuagiza mbele
za Mungu anayevihifadhi hai vitu vyote,
na mbele za Kristo Yesu, aliyeyaungama
maungamo mazuri yale mbele ya Pontio
Pilato,
14 kwamba uilinde amri hii pasipo mawaa,
pasipo lawama, hata kufunuliwa kwake
Bwana wetu Yesu Kristo;
15 ambako yeye kwa majira yake
atakudhihirisha, yeye aliyehimidiwa,
Mwenye uweza peke yake, Mfalme wa
wafalme, Bwana wa mabwana;
1 YOHANA 3:2 Wapenzi, sasa tu wana
wa Mungu, wala haijadhihirika bado
tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa
atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa
maana tutamwona kama alivyo.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 15:3 Nao
wauimba wimbo wa Musa, mtumwa wa
Mungu, na wimbo wa Mwana-Kondoo,
ISAYA
223
wakisema, Ni makuu, na ya ajabu, matendo
yako, Ee Bwana Mungu Mwenyezi; Ni za
haki, na za kweli, njia zako, Ee Mfalme wa
mataifa.
UFUNUO WA YOHANA 17:14 Hawa
watafanya vita na Mwana-Kondoo, na
Mwana Kondoo atawashinda, kwa maana
Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa
Wafalme, na hao walio pamoja naye ndio
walioitwa, na wateule, na waaminifu.
Ona pia: #1; #2; #5; #6; #7; Zaburi 45:2; Wimbo Ulio Bora 5:10; Isaya 32:1,2; Zekaria 9:17.
E05 Miujiza ya Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 35:1 Nyika na mahali palipo
ukiwa patafurahi; jangwa litashangilia na
kuchanua maua kama waridi.
2 Litachanua maua mengi, na kufurahi, naam,
kwa shangwe na kuimba; litapewa uzuri wa
Lebanoni, utukufu wa Karmeli na Sharoni;
watauona utukufu wa Bwana, ukuu wa
Mungu wetu.
3 Itieni nguvu mikono iliyo dhaifu, yafanyeni
imara magoti yaliyolegea.
4 Waambieni walio na moyo wa hofu, Jipeni
moyo, msiogope; tazama, Mungu wenu
atakuja na kisasi, na malipo ya Mungu;
atakuja na kuwaokoa ninyi.
5 Ndipo macho ya vipofu yatafumbuliwa, na
masikio ya viziwi yatazibuliwa.
6 Ndipo mtu aliye kilema ataruka-ruka kama
kulungu, na ulimi wake aliye bubu utaimba;
maana katika nyika maji yatabubujika; na
vijito jangwani.
7 Na mchanga ung›aao mfano wa maji
utakuwa ziwa la maji, na nchi yenye
kiu itakuwa chemchemi za maji; katika
makao ya mbweha, walipokuwa wamelala,
patakuwa na majani, pamoja na mianzi na
manyasi.
8 Na hapo patakuwa na njia kuu, na njia,
nayo itaitwa, Njia ya utakatifu; wasio safi
hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili
ya watu hao; wasafirio, wajapokuwa wajinga,
hawatapotea katika njia hiyo.
9 Hapo hapatakuwa na simba, wala mnyama
mkali hatapanda juu yake; hawataonekana
hapo; bali waliokombolewa watakwenda
katika njia hiyo.
10 Na hao waliokombolewa na Bwana watarudi,
watafika Sayuni wakiimba; na furaha ya
milele itakuwa juu ya vichwa vyao; nao
watapata kicheko na furaha, huzuni na
kuugua zitakimbia.
MATHAYO 11:4 Yesu akajibu akawaambia,
Nendeni mkamweleze Yohana mnayoyasikia
na kuyaona;
5 vipofu wanapata kuona, viwete wanakwenda,
wenye ukoma wanatakaswa, viziwi
wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini
wanahubiriwa habari njema.
6 Naye heri awaye yote asiyechukizwa nami.
MATHAYO 12:22 Wakati ule akaletewa
mtu mwenye pepo, kipofu, naye ni bubu;
akamponya, hata yule bubu akanena na
kuona.
23 Makutano wote wakashangaa, wakasema,
Huyu siye mwana wa Daudi?
LUKA 4:18 Roho wa Bwana yu juu
yangu, Kwa maana amenitia mafuta
kuwahubiri maskini habari njema.
ISAYA
224
Amenituma kuwatangazia wafungwa
kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona
tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
YOHANA 9:39 Yesu akasema, Mimi
nimekuja ulimwenguni humu kwa hukumu,
ili wao wasioona waone, nao wanaoona
wawe vipofu.
YOHANA 10:28 Nami nawapa uzima wa
milele; wala hawatapotea kamwe; wala
hakuna mtu atakayewapokonya katika
mkono wangu.
29 Baba yangu aliyenipa hao ni mkuu
kuliko wote; wala hakuna mtu awezaye
kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu.
30 Mimi na Baba tu umoja.
YOHANA 14:6 Yesu akamwambia, Mimi
ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa
Baba, ila kwa njia ya mimi.
UFUNUO WA YOHANA 21:4 Naye
atafuta kila chozi katika macho yao, wala
mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo,
wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo
tena; kwa kuwa mambo ya kwanza
yamekwisha kupita.
UFUNUO WA YOHANA 22:14 Heri
wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea
huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa
milango yake.
Ona pia: #1; #2; #5; #7; Zaburi 146:8; Isaya 29:18; Isaya 32:3,4; Isaya 42:7,16; Isaya 43:8; Isaya 44:3,4; Mathayo 9:27-33; Mathayo
15:29-31; Mathayo 20:30-34; Mathayo 21:14; Marko 7:32-35; Marko 8:22-25; Yohana 4:14; Yohana 5:2-9; Yohana 7:38; Yohana 9:1-7; Matendo ya Mitume 9:17,18; Matendo ya Mitume 14:8-10;
Matendo ya Mitume 26:18.
C02 Mtangulizi wa Masiha anatangazwa.
E26 Kazi ya ukombozi ya Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 40:1 Watulizeni mioyo, watulizeni
mioyo, watu wangu, asema Mungu wenu.
2 Semeni na moyo wa Yerusalemu,
kauambieni kwa sauti kuu ya kwamba vita
vyake vimekwisha, uovu wake umeachiliwa;
kwa kuwa amepokea kwa mkono wa Bwana
adhabu maradufu kwa dhambi zake zote.
3 Sikiliza, ni sauti ya mtu aliaye, Itengenezeni
nyikani njia ya Bwana; Nyosheni jangwani
njia kuu kwa Mungu wetu.
4 Kila bonde litainuliwa, Na kila mlima
na kilima kitashushwa; Palipopotoka
patakuwa pamenyoka, Na palipoparuza
patasawazishwa;
5 Na utukufu wa Bwana utafunuliwa, Na wote
wenye mwili watauona pamoja; Kwa kuwa
kinywa cha Bwana kimenena haya.
MATHAYO 3:1 Siku zile aliondokea Yohana
Mbatizaji akihubiri katika nyika ya Uyahudi,
na kusema,
2 Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni
umekaribia.
3 Kwa sababu huyo ndiye aliyenenwa na nabii
Isaya, akisema, Sauti ya mtu aliaye nyikani,
Itengenezeni njia ya Bwana, Yanyosheni
mapito yake.
MARKO 1:1 Mwanzo wa Injili ya Yesu
Kristo, Mwana wa Mungu.
2 Kama ilivyoandikwa katika nabii Isaya,
Tazama, namtuma mjumbe wangu Mbele ya
uso wako, Atakayeitengeneza njia yako.
3 Sauti ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni
njia ya Bwana, Yanyosheni mapito yake.
4 Yohana alitokea, akibatiza nyikani, na
ISAYA
225
kuuhubiri ubatizo wa toba liletalo ondoleo la
dhambi.
LUKA 1:52 Amewaangusha wakuu
katika viti vyao vya enzi; Na wanyonge
amewakweza.
53 Wenye njaa amewashibisha mema, Na
wenye mali amewaondoa mikono mitupu.
LUKA 3:2 wakati wa ukuhani mkuu wa
Anasi na Kayafa, neno la Mungu lilimfikia
Yohana, mwana wa Zakaria, jangwani.
3 Akafika nchi yote iliyo karibu na Yordani,
akihubiri ubatizo wa toba liletalo ondoleo la
dhambi,
4 kama ilivyoandikwa katika chuo cha maneno
ya nabii Isaya; Sauti ya mtu aliaye nyikani,
Itengenezeni njia ya Bwana, Yanyosheni
mapito yake.
5 Kila bonde litajazwa, Na kila mlima na
kilima kitashushwa; Palipopotoka patakuwa
pamenyoka, Na palipoparuza patalainishwa;
6 Na wote wenye mwili watauona wokovu wa
Mungu.
YOHANA 1:14 Naye Neno alifanyika mwili,
akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake,
utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa
Baba; amejaa neema na kweli.
2 WAKORINTHO 3:18 Lakini sisi sote,
kwa uso usiotiwa utaji, tukiurudisha
utukufu wa Bwana, kama vile katika kioo,
tunabadilishwa tufanane na mfano uo huo,
toka utukufu hata utukufu, kama vile kwa
utukufu utokao kwa Bwana, aliye Roho.
WAEBRANIA 1:3 Yeye kwa kuwa ni mng›ao
wa utukufu wake na chapa ya nafsi yake,
akivichukua vyote kwa amri ya uweza wake,
akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi
mkono wa kuume wa Ukuu huko juu;
UFUNUO WA YOHANA 21:23 Na mji
ule hauhitaji jua wala mwezi kuuangaza,
kwa maana utukufu wa Mungu huutia nuru,
na taa yake ni Mwana-Kondoo.
Ona pia: #1; #2; #5; #7; Isaya 42:11-16; Isaya 57:15-19; Ezekieli 17:24; Hosea 2:15; Luka 18:14; 2 Wakorintho 1:4; 1 Wathesalonike
4:15-18.
B06 Masiha ndiye Mchungaji mwema.
B07 Uweza wa Yote wa Masiha.
B16 Uweza na nguvu ya Masiha.
E22 Kazi ya Masiha itakuwa imebarikiwa.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 40:9 Wewe uuhubiriye Sayuni
habari njema, Panda juu ya mlima mrefu;
Wewe uuhubiriye Yerusalemu habari njema,
Paza sauti kwa nguvu; Paza sauti yako,
usiogope; Iambie miji ya Yuda, Tazameni,
Mungu wenu.
10 Tazameni, Bwana Mungu atakuja
kama shujaa, Na mkono wake ndio
utakaomtawalia; Tazameni, thawabu yake i
pamoja naye, Na ijara yake i mbele zake.
11 Atalilisha kundi lake kama mchungaji,
Atawakusanya wana-kondoo mikononi
mwake; Na kuwachukua kifuani mwake,
Nao wanyonyeshao atawaongoza polepole.
ISAYA 62:11 Tazama, Bwana ametangaza
habari mpaka mwisho wa dunia,
Mwambieni binti Sayuni, Tazama, wokovu
wako unakuja; Tazama, thawabu yake i
pamoja naye, Na malipo yake yako mbele
zake.
ISAYA
226
EZEKIELI 34:23 Nami nitaweka mchungaji
mmoja juu yao, naye atawalisha, naam,
mtumishi wangu, Daudi; yeye atawalisha,
naye atakuwa mchungaji wao.
24 Na mimi, Bwana, nitakuwa Mungu wao, na
mtumishi wangu, Daudi, atakuwa mkuu kati
yao; mimi, Bwana, nimesema haya.
MIKA 4:1 Lakini itakuwa katika siku za
mwisho, ya kwamba mlima wa nyumba ya
Bwana utawekwa imara juu ya milima, nao
utainuliwa juu ya vilima; na watu wa mataifa
watauendea makundi makundi.
2 Na mataifa mengi watakwenda na kusema,
Njoni, twende juu mlimani kwa Bwana,
na nyumbani kwa Mungu wa Yakobo; naye
atatufundisha njia zake, nasi tutakwenda
katika mapito yake; kwa maana katika
Sayuni itatoka sheria, na neno la Bwana
litatoka Yerusalemu.
MATHAYO 9:36 Na alipowaona makutano,
aliwahurumia, kwa sababu walikuwa
wamechoka na kutawanyika kama kondoo
wasio na mchungaji.
YOHANA 10:11 Mimi ndimi mchungaji
mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai
wake kwa ajili ya kondoo.
12 Mtu wa mshahara, wala si mchungaji,
ambaye kondoo si mali yake, humwona
mbwa-mwitu anakuja, akawaacha kondoo na
kukimbia; na mbwa-mwitu huwakamata na
kuwatawanya.
13 Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa mshahara;
wala mambo ya kondoo si kitu kwake.
14 Mimi ndimi mchungaji mwema; nao walio
wangu nawajua; nao walio wangu wanijua
mimi;
15 kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo
Baba. Nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya
kondoo.
16 Na kondoo wengine ninao, ambao si wa zizi
hili; na hao nao imenipasa kuwaleta; na sauti
yangu wataisikia; kisha kutakuwako kundi
moja na mchungaji mmoja.
WARUMI 10:18 Lakini nasema, Je! Wao
hawakusikia? Naam, wamesikia, Sauti yao
imeenea duniani mwote, Na maneno yao
hata miisho ya ulimwengu.
WAEFESO 1:20 aliotenda katika Kristo
alipomfufua katika wafu, akamweka mkono
wake wa kuume katika ulimwengu wa roho;
21 juu sana kuliko ufalme wote, na mamlaka,
na nguvu, na usultani, na kila jina litajwalo,
wala si ulimwenguni humu tu, bali katika
ule ujao pia;
22 akavitia vitu vyote chini ya miguu yake,
akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa
ajili ya kanisa; ambalo
23 ndilo mwili wake, ukamilifu wake
anayekamilika kwa vyote katika vyote.
WAEBRANIA 2:14 Basi, kwa kuwa watoto
wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo
hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya
mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za
mauti, yaani, Ibilisi,
15 awaache huru wale ambao kwamba maisha
yao yote kwa hofu ya mauti walikuwa katika
hali ya utumwa.
1 PETRO 5:4 Na Mchungaji mkuu
atakapodhihirishwa, mtaipokea taji ya
utukufu, ile isiyokauka.
UFUNUO WA YOHANA 7:17 Kwa
maana huyo Mwana-Kondoo, aliye katikati
ISAYA
227
ya kiti cha enzi, atawachunga, naye
atawaongoza kwenye chemchemi za maji
yenye uhai, na Mungu atayafuta machozi
yote katika macho yao.
Ona pia: #1; #2; #3; Zaburi 23:1; Zaburi 78:71,72; Zaburi 80:1; Isaya 9:6,7; Isaya 41:27; Isaya 49:9,10; Isaya 52:7; Yohana 12:13-
15; Matendo ya Mitume 2:7-11; Waebrania 13:20; 1 Petro 2:25.
D05 Masiha atakuwa Mkombozi.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 41:8 Nawe, Israeli, mtumishi
wangu; Yakobo, niliyekuchagua; mzao wa
Ibrahimu, rafiki yangu;
9 wewe niliyekushika toka miisho ya dunia,
na kukuita toka pembe zake, nikikuambia,
Wewe u mtumishi wangu; nimekuchagua
wala sikukutupa;
10 usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe;
usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu
wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,
naam, nitakushika kwa mkono wa kuume
wa haki yangu.
ISAYA 41:11-13
ISAYA 41:14 Usiogope, Yakobo uliye
mdudu, nanyi watu wa Israeli; mimi
nitakusaidia, asema Bwana, na mkombozi
wako ni Mtakatifu wa Israeli.
15 Tazama, nitakufanya kuwa chombo kikali
kipya cha kupuria, chenye meno; utaifikicha
milima, na kuisaga; nawe utafanya vilima
kuwa kama makapi.
16 Utawapepeta, na upepo utawapeperusha;
upepo wa kisulisuli utawatawanya; nawe
utamfurahia Bwana, utajitukuza katika
Mtakatifu wa Israeli.
17 Maskini na wahitaji wanatafuta maji, wala
hapana; ndimi zao zimekauka kwa kiu;
mimi, Bwana, nitawasikia, mimi, Mungu wa
Israeli, sitawaacha.
18 Nitafunua vijito vya maji juu ya vilima, na
chemchemi katikati ya mabonde; nitageuza
jangwa kuwa ziwa la maji, na mahali pakavu
kuwa vijito vya maji.
19 Nitapanda katika jangwa mwerezi, mshita,
mhadasi, na mbono; nitatia katika nyika
mberoshi, mtidhari, na mteashuri pamoja;
20 ili waone, na kujua, wakafikiri, na kufahamu
pamoja, ya kuwa mkono wa Bwana ndio
uliofanya jambo hilo. Mtakatifu wa Israeli
ndiye aliyeliumba.
ISAYA 10:17 Na mwanga wa Israeli
utakuwa ni moto, na Mtakatifu wake
atakuwa mwali wa moto; nao utateketeza na
kula mbigili zake na miiba yake katika siku
moja.
ISAYA 10:20 Tena itakuwa katika siku
hiyo mabaki ya Israeli, na hao waliopona wa
nyumba ya Yakobo, hawatamtegemea tena
yeye aliyewapiga, bali watamtegemea Bwana,
Mtakatifu wa Israeli, kwa kweli.
ISAYA 43:15 Mimi ni Bwana, Mtakatifu
wenu, Muumba wa Israeli, mfalme wenu.
ISAYA 47:4 Mkombozi wetu, Bwana wa
majeshi ndilo jina lake, Mtakatifu wa Israeli.
ISAYA 49:7 Bwana, mkombozi wa
Israeli, Mtakatifu wake, amwambia hivi
yeye anayedharauliwa na wanadamu;
yeye anayechukiwa na taifa hili; yeye aliye
mtumishi wao watawalao; Wafalme wataona,
watasimama; wakuu nao watasujudu;
ISAYA
228
kwa sababu ya Bwana aliye mwaminifu,
Mtakatifu wa Israeli aliyekuchagua
MARKO 1:24 akisema, Tuna nini
nawe, Yesu wa Nazareti? Je! Umekuja
kutuangamiza?
YOHANA 4:14 walakini ye yote
atakayekunywa maji yale nitakayompa
mimi hataona kiu milele; bali yale maji
nitakayompa yatakuwa ndani yake
chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa
milele.
YOHANA 6:35 Yesu akawaambia, Mimi
ndimi chakula cha uzima; yeye ajaye kwangu
hataona njaa kabisa, naye aniaminiye
hataona kiu kamwe.
UFUNUO WA YOHANA 3:7 Na
kwa malaika wa kanisa lililoko Filadelfia
andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye
mtakatifu, aliye wa kweli, aliye na ufunguo
wa Daudi, yeye mwenye kufungua wala
hapana afungaye, naye afunga wala hapana
afunguaye.
UFUNUO WA YOHANA 7:16
Hawataona njaa tena, wala hawataona kiu
tena, wala jua halitawapiga, wala hari iliyo
yote.
17 Kwa maana huyo Mwana-Kondoo, aliye
katikati ya kiti cha enzi, atawachunga, naye
atawaongoza kwenye chemchemi za maji
yenye uhai, na Mungu atayafuta machozi
yote katika macho yao.
UFUNUO WA YOHANA 22:1 Kisha
akanionyesha mto wa maji ya uzima, wenye
kung›aa kama bilauri, ukitoka katika kiti cha
enzi cha Mungu, na cha Mwana-Kondoo,
Ona pia: #1; #2; #3; #5; Isaya 17:7,13; Isaya 21:10.
E02 Mahali pa huduma ya Masiha.
ISAYA 41:25 Nimemwinua mtu toka
kaskazini, naye amekuja; toka maawio ya jua
amekuja anitajaye jina langu; naye atawajilia
maliwali kama akanyagaye matope, na kama
mfinyanzi afinyangaye udongo.
ISAYA 9:1 Lakini yeye aliyekuwa katika
dhiki hatakosa changamko. Hapo kwanza
aliiingiza nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali
katika hali ya kudharauliwa, lakini zamani za
mwisho ameifanya kuwa tukufu, karibu na
njia ya bahari; ng›ambo ya Yordani, Galilaya
ya mataifa.
MATHAYO 4:13 akatoka Nazareti, akaja
akakaa Kapernaumu, mji ulioko pwani,
mipakani mwa Zabuloni na Naftali;
14 ili litimie neno lililonenwa na nabii Isaya,
akisema,
15 Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, Njia
ya bahari, ng›ambo ya Yordani, Galilaya ya
mataifa,
E15 Masiha ataleta habari njema.
ISAYA 41:26 Ni nani aliyeihubiri
habari tokea mwanzo, tupate kuijua? Na
tokea zamani, tupate kusema, Yeye ni
mwenye haki? Naam, hapana hata mmoja
aliyetujulisha; naam, hapana hata mmoja
aliyetuonyesha; naam, hapana hata mmoja
ISAYA
229
aliyesikia maneno yenu.
27 Mimi kwanza nitauambia Sayuni, Tazama;
hawa ndio; nami nitampa Yerusalemu
mletaji wa habari njema.
ISAYA 61:1 Roho ya Bwana MUNGU
i juu yangu; kwa sababu Bwana amenitia
mafuta niwahubiri wanyenyekevu
habari njema; amenituma ili kuwaganga
waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka
uhuru wao, na hao waliofungwa habari za
kufunguliwa kwao.
LUKA 1:30 Malaika akamwambia,
Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata
neema kwa Mungu.
31 Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto
mwanamume; na jina lake utamwita Yesu.
32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa
Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha
enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
LUKA 2:10 Malaika akawaambia,
Msiogope; kwa kuwa mimi ninawaletea
habari njema ya furaha kuu itakayokuwa
kwa watu wote;
11 maana leo katika mji wa Daudi amezaliwa,
kwa ajili yenu, Mwokozi, ndiye Kristo
Bwana.
WARUMI 10:15 Tena wahubirije,
wasipopelekwa? Kama ilivyoandikwa, Ni
mizuri kama nini miguu yao wahubirio
habari ya mema!
UFUNUO WA YOHANA 2:8 Na kwa
malaika wa kanisa lililoko Smirna andika;
Haya ndiyo aneneyo yeye aliye wa kwanza na
wa mwisho, aliyekuwa amekufa, kisha akawa
hai.
Ona pia: Isaya 40:9; Isaya 43:9,10; Isaya 44:6,7; Isaya 48:12; Isaya 52:9.
B05 Masiha amejawa na Roho na Mtakatifu.
E13 Mungu anathibitisha huduma ya Masiha.
ISAYA 42:1 Tazama mtumishi wangu
nimtegemezaye; mteule wangu, ambaye nafsi
yangu imependezwa naye; nimetia roho
yangu juu yake; naye atawatolea mataifa
hukumu.
MATHAYO 3:16 Naye Yesu alipokwisha
kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na
tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona
Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija
juu yake;
17 na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema,
Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu,
ninayependezwa naye.
MATHAYO 12:16 akawakataza
wasimdhihirishe;
17 ili litimie neno lililonenwa na nabii Isaya,
akisema,
18 Tazama, mtumishi wangu niliyemteua;
Mpendwa wangu, moyo wangu
uliyependezwa naye; Nitatia roho yangu juu
yake, Naye atawatangazia Mataifa hukumu.
MATHAYO 17:5 Alipokuwa katika kusema,
tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na
tazama, sauti ikatoka katika lile wingu,
ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa
wangu, ninayependezwa naye; msikieni
yeye.
ISAYA
230
YOHANA 3:34 Kwa kuwa yeye aliyetumwa
na Mungu huyanena maneno ya Mungu;
kwa sababu hamtoi Roho kwa kipimo.
WAEFESO 1:4 kama vile alivyotuchagua
katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya
ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio
na hatia mbele zake katika pendo.
WAFILIPI 2:7 bali alijifanya kuwa hana
utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa
ana mfano wa wanadamu;
Ona pia: Zaburi 89:19,20; Isaya 11:2-5; Isaya 43:10; Isaya 49:3-8; Isaya 50:4-9; Isaya 52:13; Isaya 61:1; Malaki 1:11; Marko 1:10,11; Luka 3:22; Yohana 1:32-34; Yohana 6:27; Matendo ya Mitume 9:15; Matendo ya Mitume 10:38; Matendo ya Mitume 11:18;
Matendo ya Mitume 26:17,18,28; Warumi 15:8-16; Waefeso 3:8; Wakolosai 1:13; 2 Petro 1:17.
B10 Unyenyekevu na umaskini wa Masiha.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
E12 Masiha anatimiza sheria ya Mungu.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 42:2 Hatalia, wala hatapaza sauti
yake, wala kuifanya isikiwe katika njia kuu.
3 Mwanzi uliopondeka hatauvunja, wala
utambi utokao moshi hatauzima; atatokeza
hukumu kwa kweli.
4 Hatazimia, wala hatakata tamaa, hata
atakapoweka hukumu duniani; na visiwa
vitaingojea sheria yake.
MATHAYO 11:28 Njoni kwangu, ninyi nyote
msumbukao na wenye kulemewa na mizigo,
nami nitawapumzisha.
29 Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa
kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa
moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;
30 kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo
wangu ni mwepesi.
MATHAYO 12:19 Hatateta wala hatapaza sauti
yake; Wala mtu hatasikia sauti yake njiani.
20 Mwanzi uliopondeka hatauvunja, Wala
utambi utokao moshi hatauzima, Hata
ailetapo hukumu ikashinda.
21 Na jina lake Mataifa watalitumainia.
YOHANA 17:4 Mimi nimekutukuza
duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa
niifanye.
5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja
nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao
pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
WAEBRANIA 2:17 Hivyo ilimpasa
kufananishwa na ndugu zake katika mambo
yote, apate kuwa kuhani mkuu mwenye
rehema, mwaminifu katika mambo ya
Mungu, ili afanye suluhu kwa dhambi za
watu wake.
18 Na kwa kuwa mwenyewe aliteswa
alipojaribiwa, aweza kuwasaidia wao
wanaojaribiwa.
WAEBRANIA 12:2 tukimtazama Yesu, mwenye
kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu;
ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele
yake aliustahimili msalaba na kuidharau
aibu, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti
cha enzi cha Mungu.
3 Maana mtafakarini sana yeye
aliyeyastahimili mapingamizi makuu namna
hii ya watendao dhambi juu ya nafsi zao,
msije mkachoka, mkizimia mioyoni mwenu.
1 PETRO 2:22 Yeye hakutenda dhambi,
wala hila haikuonekana kinywani mwake.
23 Yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano;
ISAYA
231
alipoteswa, hakuogofya; bali alijikabidhi
kwake yeye ahukumuye kwa haki.
Ona pia: #1; #4; Zaburi 147:3; Isaya 53:2-12; Isaya 57:15; Isaya 61:1-3; Isaya 66:2; Yeremia 31:25; Ezekieli 34:16; Mathayo 18:11-14.
B21 Masiha ndiye Nuru.
E01 Aina ya huduma ya Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 42:6 Mimi, Bwana, nimekuita
katika haki, nami nitakushika mkono, na
kukulinda, na kukutoa uwe agano la watu,
na nuru ya mataifa;
7 kuyafunua macho ya vipofu, kuwatoa
gerezani waliofungwa, kuwatoa wale
walioketi gizani katika nyumba ya
kufungwa.
16 Nitawaleta vipofu kwa njia wasiyoijua;
katika mapito wasiyoyajua nitawaongoza;
nitafanya giza kuwa nuru mbele yao; na
mahali palipopotoka kuwa pamenyoka. Haya
nitayatenda, wala sitawaacha.
ISAYA 29:18 Na katika siku hiyo viziwi
watasikia maneno ya hicho chuo, na macho
ya vipofu yataona katika upofu na katika
giza.
MATHAYO 11:5 vipofu wanapata kuona,
viwete wanakwenda, wenye ukoma
wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu
wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa
habari njema.
LUKA 2:28 yeye mwenyewe alimpokea
mikononi mwake, akamshukuru Mungu,
akisema,
29 Sasa, Bwana, wamruhusu mtumishi wako,
Kwa amani, kama ulivyosema;
30 Kwa kuwa macho yangu yameuona wokovu
wako,
31 Uliouweka tayari machoni pa watu wote;
32 Nuru ya kuwa mwangaza wa Mataifa, Na
kuwa utukufu wa watu wako Israeli.
LUKA 3:5 Kila bonde litajazwa, Na kila
mlima na kilima kitashushwa; Palipopotoka
patakuwa pamenyoka, Na palipoparuza
patalainishwa;
LUKA 4:17 Akapewa chuo cha nabii
Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali
palipoandikwa,
18 Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana
amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari
njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa
kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona
tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
19 Na kutangaza mwaka wa Bwana
uliokubaliwa.
20 Akakifunga chuo, akamrudishia mtumishi,
akaketi; na watu wote waliokuwamo katika
sinagogi wakamkazia macho.
21 Akaanza kuwaambia, Leo maandiko haya
yametimia masikioni mwenu.
LUKA 24:45 Ndipo akawafunulia akili zao
wapate kuelewa na maandiko.
YOHANA 9:39 Yesu akasema, Mimi
nimekuja ulimwenguni humu kwa hukumu,
ili wao wasioona waone, nao wanaoona
wawe vipofu.
MATENDO YA MITUME 13:46
Paulo na Barnaba wakanena kwa ushujaa
wakasema, Ilikuwa lazima neno la Mungu
ISAYA
232
linenwe kwenu kwanza; lakini kwa kuwa
mnalisukumia mbali, na kujiona nafsi
zenu kuwa hamkustahili uzima wa milele,
angalieni, twawageukia Mataifa.
47 Kwa sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana,
Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, Upate
kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.
MATENDO YA MITUME
26:18 uwafumbue macho yao, na kuwageuza
waiache giza na kuielekea nuru, waziache na
nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu;
kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na
urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa
imani iliyo kwangu mimi.
2 WAKORINTHO 4:6 Kwa kuwa Mungu,
aliyesema, Nuru itang›aa toka gizani, ndiye
aliyeng›aa mioyoni mwetu, atupe nuru ya
elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa
Yesu Kristo.
UFUNUO WA YOHANA 3:18
Nakupa shauri, ununue kwangu dhahabu
iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri,
na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya uchi
wako isionekane, na dawa ya macho ya
kujipaka macho yako, upate kuona.
Ona pia: #1; #2; Zaburi 107:10-16; Zaburi 146:7,8; Isaya 9:2; Isaya 29:18; Isaya 32:3; Isaya 35:5,8; Isaya 40:4; Isaya 42:1; Isaya 45:13; Isaya 48:17; Isaya 49:6,8,9; Isaya 51:4,5; Isaya 60:1-3; Isaya 61:1; Yeremia 31:8; Yeremia 32:39,41; Luka 1:69-72,78,79; Yohana 8:12; Matendo ya Mitume 26:23; Warumi 3:25,26; Warumi 15:8,9; Wagalatia 3:15-17; Waefeso 1:17,18; Waefeso 5:8; 2 Timotheo 2:26; Waebrania 1:8,9; Waebrania 8:6; Waebrania 9:15; Waebrania
12:24; Waebrania 13:5,20; 1 Petro 2:9.
A05 Uhusiano kati ya Masiha na Baba Yake.
B18 Utakatifu, uzuri na utukufu wa Masiha.
ISAYA 42:21 Bwana akapendezwa, kwa
ajili ya haki yake, kuitukuza sheria, na
kuiadhimisha.
MATHAYO 3:17 na tazama, sauti kutoka
mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu,
mpendwa wangu, ninayependezwa naye.
MATHAYO 5:17 Msidhani ya kuwa nalikuja
kuitangua torati au manabii; la, sikuja
kutangua, bali kutimiliza.
YOHANA 8:29 Naye aliyenipeleka yu
pamoja nami, hakuniacha peke yangu; kwa
sababu nafanya sikuzote yale yampendezayo.
YOHANA 13:31 Basi huyo alipokwisha
kutoka, Yesu alisema, Sasa ametukuzwa
Mwana wa Adamu, naye Mungu
ametukuzwa ndani yake.
YOHANA 15:10 Mkizishika amri zangu,
mtakaa katika pendo langu; kama vile mimi
nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa
katika pendo lake.
YOHANA 17:4 Mimi nimekutukuza
duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa
niifanye.
5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja
nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao
pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
WARUMI 10:4 Kwa maana Kristo ni
mwisho wa sheria, ili kila aaminiye
ahesabiwe haki.
ISAYA
233
Ona pia: Zaburi 40:8; Mathayo 5:18-20; Mathayo 17:5; Warumi 3:26,31; Warumi 7:12; Warumi 8:3; Wagalatia 3:13,21; Wagalatia
5:22,23; Wafilipi 3:9; Waebrania 8:10.
B01 Masiha ndiye Mwana wa Mungu.
D09 Masiha atakuwa Mwokozi.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
H11 Masiha atatukuzwa.
ISAYA 43:1 Lakini sasa, Bwana
aliyekuhuluku, Ee Yakobo, yeye
aliyekuumba, Ee Israeli, asema hivi,
Usiogope, maana nimekukomboa;
nimekuita kwa jina lako, wewe u wangu.
2 Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja
nawe; na katika mito, haitakugharikisha;
uendapo katika moto, hutateketea; wala
mwali wa moto hautakuunguza.
ISAYA 43:3-4
ISAYA 43:5 Usiogope; maana mimi
ni pamoja nawe; nitaleta wazao wako toka
mashariki, nitakukusanya toka magharibi;
6 nitaiambia kaskazi, Toa; nayo kusi, Usizuie;
waleteni wana wangu kutoka mbali, na binti
zangu kutoka miisho ya dunia.
7 Kila mmoja aliyeitwa kwa jina langu,
niliyemwumba kwa ajili ya utukufu
wangu; mimi nimemwumba, naam, mimi
nimemfanya.
ISAYA 43:8-9
ISAYA 43:10 Ninyi ni mashahidi wangu,
asema Bwana, na mtumishi niliyemchagua;
mpate kujua, na kuniamini, na kufahamu ya
kuwa mimi ndiye; kabla yangu hakuumbwa
Mungu awaye yote, wala baada yangu mimi
hatakuwapo mwingine.
11 Mimi, naam, mimi, ni Bwana, zaidi yangu
mimi hapana mwokozi.
12 Nimetangaza habari, nimeokoa,
nimeonyesha, na hapakuwa mungu wa
kigeni kati yenu; kwa sababu hiyo ninyi ni
mashahidi wangu, asema Bwana, nami ni
Mungu.
ISAYA 43:13-17
ISAYA 43:18 Msiyakumbuke mambo
ya kwanza, wala msiyatafakari mambo ya
zamani.
19 Tazama, nitatenda neno jipya; sasa
litachipuka; je! Hamtalijua sasa? Nitafanya
njia hata jangwani, na mito ya maji nyikani.
20 Wanyama wa kondeni wataniheshimu,
mbweha pia na mbuni; kwa sababu
nimewapa maji jangwani, na mito nyikani,
ili kuwanywesha watu wangu, wateule
wangu;
21 watu wale niliojiumbia nafsi yangu, ili
wazitangaze sifa zangu.
MATHAYO 12:18 Tazama, mtumishi wangu
niliyemteua; Mpendwa wangu, moyo wangu
uliyependezwa naye; Nitatia roho yangu juu
yake, Naye atawatangazia Mataifa hukumu.
MATHAYO 16:16 Simoni Petro akajibu
akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa
Mungu aliye hai.
LUKA 1:47 Na roho yangu imemfurahia
Mungu, Mwokozi wangu;
LUKA 2:11 maana leo katika mji wa
Daudi amezaliwa, kwa ajili yenu, Mwokozi,
ndiye Kristo Bwana.
YOHANA 1:7 Huyo alikuja kwa ushuhuda,
ili aishuhudie ile nuru, wote wapate kuamini
kwa yeye.
8 Huyo hakuwa ile nuru, bali alikuja ili
aishuhudie ile nuru.
ISAYA
234
YOHANA 6:69 Nasi tumesadiki, tena
tumejua, ya kuwa wewe ndiwe Mtakatifu wa
Mungu.
YOHANA 15:27 Nanyi pia mnashuhudia, kwa
kuwa tangu mwanzo mmekuwapo pamoja
nami.
MATENDO YA MITUME 1:8 Lakini
mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu
Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi
wangu katika Yerusalemu, na katika
Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho
wa nchi.
MATENDO YA MITUME 4:12 Wala
hakuna wokovu katika mwingine awaye
yote, kwa maana hapana jina jingine chini
ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo
sisi kuokolewa kwalo.
1 YOHANA 4:14 Na sisi tumeona na
kushuhudia ya kuwa Baba amemtuma
Mwana kuwa Mwokozi wa ulimwengu.
Ona pia: #1; #2; Isaya 12:2; Isaya 44:7,8; Isaya 45:21,22; Isaya 46:10; Hosea 13:4; Luka 4:41; Yohana 11:27; Yohana 16:14; Tito
3:4-6; 2 Petro 3:18.
D05 Masiha atakuwa Mkombozi.
ISAYA 44:1 Lakini sikia sasa, Ee Yakobo,
mtumishi wangu; na Israeli, niliyekuchagua;
2 Bwana, aliyekufanya, na kukuumba toka
tumboni, yeye atakayekusaidia, asema hivi;
Usiogope, Ee Yakobo, mtumishi wangu; na
wewe, Yeshuruni, niliyekuchagua.
ZABURI 105:6 Enyi wazao wa Ibrahimu,
mtumishi wake; Enyi wana wa Yakobo,
wateule wake.
ZABURI 105:43 Akawatoa watu wake kwa
shangwe, Na wateule wake kwa nyimbo za
furaha.
MATHAYO 24:31 Naye atawatuma malaika
zake pamoja na sauti kuu ya parapanda,
nao watawakusanya wateule wake toka pepo
nne, toka mwisho huu wa mbingu mpaka
mwisho huu.
WARUMI 2:28 Maana yeye si Myahudi aliye
Myahudi kwa nje tu, wala tohara siyo ile ya
nje tu katika mwili;
29 bali yeye ni Myahudi aliye Myahudi kwa
ndani, na tohara ni ya moyo, katika roho, si
katika andiko; ambaye sifa yake haitoki kwa
wanadamu bali kwa Mungu.
WARUMI 11:7 Imekuwaje basi? Kitu
kile ambacho Israeli alikuwa akikitafuta
hakukipata; lakini wale waliochaguliwa
walikipata, na wengine walitiwa uzito.
WARUMI 11:28 Basi kwa habari ya Injili
wamekuwa adui kwa ajili yenu; bali kwa
habari ya kule kuchaguliwa wamekuwa
wapenzi kwa ajili ya baba zetu.
29 Kwa sababu karama za Mungu hazina
majuto, wala mwito wake.
WAKOLOSAI 3:12 Basi, kwa kuwa mmekuwa
wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao,
jivikeni moyo wa rehema, utu wema,
unyenyekevu, upole, uvumilivu,
1 WATHESALONIKE 1:4 Kwa maana, ndugu
mnaopendwa na Mungu, twajua uteule
wenu;
ISAYA
235
2 WATHESALONIKE 2:13 Lakini imetupasa
sisi kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili
yenu, ndugu mliopendwa na Bwana, kwa
kuwa Mungu amewachagua tangu mwanzo
mpate wokovu, katika kutakaswa na Roho,
na kuiamini kweli;
1 PETRO 2:9 Bali ninyi ni mzao mteule,
ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa
milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili
zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie
katika nuru yake ya ajabu;
2 PETRO 1:10 Kwa hiyo ndugu, jitahidini
zaidi kufanya imara kuitwa kwenu na uteule
wenu; maana mkitenda hayo hamtajikwaa
kamwe.
Ona pia: Zaburi 106:5; Isaya 41:8,9; Isaya 45:4; Yeremia 31:3; Amosi 3:1,2; Marko 13:27; Warumi 8:33.
G04 Masiha atatoa Roho Wake.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 44:3 Kwa maana nitamimina maji
juu yake aliye na kiu, na vijito vya maji juu
ya mahali pakavu; nitamwaga roho yangu
juu ya wazao wako, na baraka yangu juu yao
utakaowazaa;
4 nao watatokea katika manyasi, kama mierebi
karibu na mifereji ya maji.
5 Mmoja atasema, Mimi ni wa Bwana; na
mwingine atajiita kwa jina la Yakobo; na
mwingine ataandika juu ya mkono wake,
Kwa Bwana, na kujiita kwa jina la Israeli.
6 Bwana, Mfalme wa Israeli, Mkombozi wako,
Bwana wa majeshi, asema hivi; Mimi ni wa
kwanza, na mimi ni wa mwisho; zaidi yangu
mimi hapana Mungu.
ISAYA 44:7-8
ISAYA 41:4 Ni nani aliyetenda na
kufanya jambo hilo, aviitaye vizazi tangu
mwanzo? Mimi, Bwana, wa kwanza na wa
mwisho, mimi ndiye.
ISAYA 49:10 Hawataona njaa, wala
hawataona kiu; hari haitawapiga, wala
jua; kwa maana yeye aliyewarehemu
atawatangulia, naam, karibu na chemchemi
za maji atawaongoza.
EZEKIELI 39:29 wala sitawaficha uso wangu
tena; kwa maana nimemwaga roho yangu
juu ya nyumba ya Israeli, asema Bwana
MUNGU.
YOHANA 7:37 Hata siku ya mwisho, siku
ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama,
akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu,
na aje kwangu anywe.
38 Aniaminiye mimi, kama vile maandiko
yalivyonena, mito ya maji yaliyo hai itatoka
ndani yake.
39 Na neno hilo alilisema katika habari
ya Roho, ambaye wale wamwaminio
watampokea baadaye; kwa maana Roho
alikuwa hajaja, kwa sababu Yesu alikuwa
hajatukuzwa.
MATENDO YA MITUME 2:17
Itakuwa siku za mwisho, asema Mungu,
nitawamwagia watu wote Roho yangu, na
wana wenu na binti zenu watatabiri; na
vijana wenu wataona maono; na wazee wenu
wataota ndoto.
MATENDO YA MITUME 2:33 Basi yeye,
akiisha kupandishwa hata mkono wa kuume
ISAYA
236
wa Mungu, na kupokea kwa Baba ile ahadi
ya Roho Mtakatifu, amekimwaga kitu hiki
mnachokiona sasa na kukisikia.
MATENDO YA MITUME
5:14 walioamini wakazidi kuongezeka kwa
Bwana, wengi, wanaume na wanawake;
UFUNUO WA YOHANA 21:6
Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa
na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi
nitampa yeye mwenye kiu, ya chemchemi ya
maji ya uzima, bure.
Ona pia: #1; #2; Isaya 32:15; Isaya 35:6,7; Isaya 41:17; Isaya 43:10,11,19,20; Isaya 48:12; Isaya 59:20,21; Ezekieli 34:26;
Yoeli 2:28; Yoeli 3:18; Mika 4:2; Zekaria 8:20-23; Zekaria 12:10; Mathayo 25:34; Mathayo 27:37; Matendo ya Mitume 2:41-47;
Matendo ya Mitume 4:4; Matendo ya Mitume 10:45; 1 Timotheo 3:16; Tito 3:5,6; Ufunuo wa Yohana 1:8,11,17; Ufunuo wa Yohana
2:8; Ufunuo wa Yohana 22:13,17.
A06 Masiha ndiye Muumbaji.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H11 Masiha atatukuzwa.
ISAYA 44:21 Kumbuka haya, Ee Yakobo;
nawe Israeli, maana wewe u mtumishi
wangu; nimekuumba; u mtumishi wangu;
Ee Israeli, hutasahauliwa na mimi.
22 Nimeyafuta makosa yako kama wingu zito,
na dhambi zako kama wingu; unirudie;
maana nimekukomboa.
23 Imbeni, enyi mbingu, maana Bwana
ametenda hayo; Pigeni kelele, enyi mabonde
ya nchi; Pazeni nyimbo, enyi milima; Nawe,
msitu, na kila mti ndani yake. Maana Bwana
amemkomboa Yakobo, Naye atajitukuza
katika Israeli.
24 Bwana, mkombozi wako, yeye aliyekuumba
tumboni, asema hivi; Mimi ni Bwana,
nifanyaye vitu vyote; nizitandaye mbingu
peke yangu; niienezaye nchi; ni nani aliye
pamoja nami?
25 Nizitanguaye ishara za waongo, na kuwatia
waganga wazimu; niwarudishaye nyuma
wenye hekima, na kuyageuza maarifa yao
kuwa ujinga;
26 nilithibitishaye neno la mtumishi wangu, na
kuyafikiliza mashauri ya wajumbe wangu;
niuambiaye Yerusalemu, Utakaliwa na
watu, nayo miji ya Yuda, Itajengwa, nami
nitapainua mahali pake palipobomoka;
AMOSI 9:14 Nami nitawarejeza tena
watu wangu Israeli waliohamishwa, nao
wataijenga miji iliyoachwa maganjo, na
kukaa ndani yake; nao watapanda mizabibu
katika mashamba, na kunywa divai yake; nao
watafanyiza bustani, na kula matunda yake.
YOHANA 1:3 Vyote vilifanyika kwa huyo;
wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote
kilichofanyika.
WARUMI 11:26 Hivyo Israeli wote
wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi
atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na
maasia yake.
1 WAKORINTHO 8:6 lakini kwetu sisi
Mungu ni mmoja tu, aliye Baba, ambaye vitu
vyote vimetoka kwake, nasi tunaishi kwake;
yuko na Bwana mmoja Yesu Kristo, ambaye
kwake vitu vyote vimekuwapo, na sisi kwa
yeye huyo.
WAEBRANIA 1:1 Mungu, ambaye alisema
zamani na baba zetu katika manabii kwa
sehemu nyingi na kwa njia nyingi,
2 mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika
Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote,
ISAYA
237
tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.
1 PETRO 1:18 Nanyi mfahamu kwamba
mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo,
kwa fedha au dhahabu; mpate kutoka katika
mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa
baba zenu;
19 bali kwa damu ya thamani, kama ya mwana-
kondoo asiye na ila, asiye na waa, yaani, ya
Kristo.
1 PETRO 4:11 Mtu akisema, na aseme
kama mausia ya Mungu; mtu akihudumu,
na ahudumu kwa nguvu anazojaliwa na
Mungu; ili Mungu atukuzwe katika mambo
yote kwa Yesu Kristo. Utukufu na uweza una
yeye hata milele na milele. Amina.
UFUNUO WA YOHANA 5:11 Nikaona
nikasikia sauti ya malaika wengi pande zote
za kile kiti cha enzi, na za wale wenye uhai,
na za wale wazee, na hesabu yao ilikuwa elfu
kumi mara elfu kumi na elfu mara elfu,
12 wakisema kwa sauti kuu, Astahili Mwana-
Kondoo aliyechinjwa, kuupokea uweza na
utajiri na hekima na nguvu na heshima na
utukufu na baraka.
13 Na kila kiumbe kilichoko mbinguni na juu
ya nchi na chini ya nchi ya juu ya bahari, na
vitu vyote vilivyomo ndani yake, nalivisikia,
vikisema, Baraka na heshima na utukufu
na uweza una yeye aketiye juu ya kiti cha
enzi, na yeye Mwana-Kondoo, hata milele na
milele.
Ona pia: #1; #2; Zaburi 103:12; Isaya 1:18; Isaya 40:22; Isaya 43:25; Isaya 45:12,13; Isaya 49:13; Isaya 51:13; Isaya 61:4; Yeremia 3:12-14; Yeremia 33:8; Ezekieli 36:10; Matendo ya Mitume 3:19; Warumi 11:28,29; Waefeso 3:9; Wakolosai 1:12-18; Waebrania 1:10-12; Ufunuo wa Yohana 12:12; Ufunuo wa Yohana 18:20;
Ufunuo wa Yohana 19:1-6.
D05 Masiha atakuwa Mkombozi.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 45:17 Bali Israeli wataokolewa
na Bwana kwa wokovu wa milele; ninyi
hamtatahayarika, wala kufadhaika, milele na
milele.
18 Maana Bwana, aliyeziumba mbingu, asema
hivi; Yeye ni Mungu; ndiye aliyeiumba
dunia na kuifanya; ndiye aliyeifanya imara;
hakuiumba ukiwa, aliiumba ili ikaliwe
na watu; Mimi ni Bwana, wala hapana
mwingine.
MATENDO YA MITUME 13:39 na
kwa yeye kila amwaminiye huhesabiwa
haki katika mambo yale yote asiyoweza
kuhesabiwa haki kwa torati ya Musa.
WARUMI 2:28 Maana yeye si Myahudi aliye
Myahudi kwa nje tu, wala tohara siyo ile ya
nje tu katika mwili;
29 bali yeye ni Myahudi aliye Myahudi kwa
ndani, na tohara ni ya moyo, katika roho, si
katika andiko; ambaye sifa yake haitoki kwa
wanadamu bali kwa Mungu.
WARUMI 8:1 Sasa, basi, hakuna hukumu
ya adhabu juu yao walio katika Kristo Yesu.
WARUMI 11:25 Kwa maana, ndugu zangu,
sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa
wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu
umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa
Mataifa uwasili.
26 Hivyo Israeli wote wataokoka; kama
ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka
Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake.
2 WAKORINTHO 5:21 Yeye asiyejua
ISAYA
238
dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili
yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu
katika Yeye.
Ona pia: #1; #2; Isaya 26:4; Warumi 3:24,25; Warumi 5:1,18,19; 1 Wakorintho 1:30,31; 1 Wakorintho 6:11; Wafilipi 3:8,9; Yohana
4:15.
D09 Masiha atakuwa Mwokozi.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 45:21 Hubirini, toeni habari;
naam, na wafanye mashauri pamoja; ni nani
aliyeonyesha haya tangu zamani za kale? Ni
nani aliyeyahubiri hapo zamani? Si mimi,
Bwana? Wala hapana Mungu zaidi ya mimi;
Mungu mwenye haki, mwokozi; hapana
mwingine zaidi ya mimi.
22 Niangalieni mimi, mkaokolewe, enyi ncha
zote za dunia; maana mimi ni Mungu;
hapana mwingine.
23 Kwa nafsi yangu nimeapa, neno hili
limetoka kinywani mwangu katika haki,
wala halitarudi, ya kwamba mbele zangu kila
goti litapigwa, kila ulimi utaapa.
24 Mmoja ataniambia, Kwa Bwana, peke
yake, iko haki na nguvu; naam, watu
watamwendea yeye, na wote waliomkasirikia
watatahayarika.
25 Katika Bwana wazao wote wa Israeli
watapewa haki, na kutukuka.
YOHANA 3:16 Kwa maana jinsi hii Mungu
aliupenda ulimwengu, hata akamtoa
Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye
asipotee, bali awe na uzima wa milele.
YOHANA 6:40 Kwa kuwa mapenzi yake
Baba yangu ni haya, ya kwamba kila
amtazamaye Mwana na kumwamini yeye,
awe na uzima wa milele; nami nitamfufua
siku ya mwisho.
WARUMI 9:33 kama ilivyoandikwa, Tazama,
naweka katika Sayuni jiwe likwazalo, na
mwamba uangushao; Na kila amwaminiye
hatatahayarika.
WARUMI 11:26 Hivyo Israeli wote
wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi
atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na
maasia yake.
WARUMI 14:10 Lakini wewe je! Mbona
wamhukumu ndugu yako? Au wewe je!
Mbona wamdharau ndugu yako? Kwa
maana sisi sote tutasimama mbele ya kiti
cha hukumu cha Mungu.
11 Kwa kuwa imeandikwa, Kama niishivyo,
anena Bwana, kila goti litapigwa mbele
zangu; Na kila ulimi utamkiri Mungu.
12 Basi ni hivyo, kila mtu miongoni mwetu
atatoa habari zake mwenyewe mbele za
Mungu.
Ona pia: #1; #2; Mwanzo 22:15-18; Zaburi 65:5; Zekaria 12:10; Waebrania 12:2.
E08 Haki ya Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 46:3 Nisikilizeni, enyi wa nyumba
ya Yakobo, ninyi mlio mabaki ya nyumba ya
Israeli, mliochukuliwa nami tangu tumboni,
mlioinuliwa tangu mimbani;
4 na hata uzee wenu mimi ndiye, na hata
ISAYA
239
wakati wenu wa mvi nitawachukueni;
nimefanya, nami nitachukua; naam,
nitachukua na kuokoa.
13 Mimi ninaleta karibu haki yangu, haitakuwa
mbali, na wokovu wangu hautakawia; nami
nitaweka wokovu katika Sayuni kwa ajili ya
Israeli, utukufu wangu.
WARUMI 1:17 Kwa maana haki ya Mungu
inadhihirishwa ndani yake, toka imani hata
imani; kama ilivyoandikwa, Mwenye haki
ataishi kwa imani.
WARUMI 3:21 Lakini sasa, haki ya Mungu
imedhihirika pasipo sheria; inashuhudiwa
na torati na manabii;
22 ni haki ya Mungu iliyo kwa njia ya imani
katika Yesu Kristo kwa wote waaminio.
Maana hakuna tofauti;
WARUMI 10:3 Kwa maana, wakiwa hawaijui
haki ya Mungu, na wakitaka kuithibitisha
haki yao wenyewe, hawakujitia chini ya haki
ya Mungu.
4 Kwa maana Kristo ni mwisho wa sheria, ili
kila aaminiye ahesabiwe haki.
5 Kwa maana Musa aliandika juu ya haki
itokayo kwa sheria, ya kuwa, Mtu afanyaye
hiyo ataishi kwa hiyo.
6 Bali ile haki ipatikanayo kwa imani yanena
hivi, Usiseme moyoni mwako, Ni nani
atakayepanda kwenda mbinguni? (Yaani, ni
kumleta Kristo chini),
WARUMI 11:26 Hivyo Israeli wote
wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi
atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na
maasia yake.
Ona pia: #1; #2.
D05 Masiha atakuwa Mkombozi.
ISAYA 47:4 Mkombozi wetu, Bwana wa
majeshi ndilo jina lake, Mtakatifu wa Israeli.
ISAYA 44:6 Bwana, Mfalme wa Israeli,
Mkombozi wako, Bwana wa majeshi, asema
hivi; Mimi ni wa kwanza, na mimi ni wa
mwisho; zaidi yangu mimi hapana Mungu.
WARUMI 11:26 Hivyo Israeli wote
wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi
atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na
maasia yake.
UFUNUO WA YOHANA 1:8 Mimi ni
Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, asema
Bwana Mungu, aliyeko na aliyekuwako na
atakayekuja, Mwenyezi.
Ona pia: Mwanzo 32:24-31; 2 Samweli 22:3; Ayubu 19:25; Zaburi 19:14; Zaburi 78:35; Isaya 41:14; Isaya 44:24; Isaya 48:17; Isaya
49:7,26; Isaya 54:5,8; Isaya 59:20; Isaya 60:16; Isaya 63:16; Ufunuo wa Yohana 1:11; Ufunuo wa Yohana 21:6; Ufunuo wa
Yohana 22:13.
E01 Aina ya huduma ya Masiha.
ISAYA 48:15 Mimi, naam, mimi,
nimenena; naam, nimemwita; nimemleta,
naye ataifanikisha njia yake.
16 Nikaribieni, sikieni haya; tokea mwanzo
sikunena kwa siri; tangu yalipokuwapo,
mimi nipo; na sasa Bwana MUNGU
amenituma, na roho yake.
17 Bwana, mkombozi wako, mtakatifu wa
Israeli, asema hivi; Mimi ni Bwana, Mungu
wako, nikufundishaye ili upate faida,
ISAYA
240
nikuongozaye kwa njia ikupasayo kuifuata.
LUKA 4:18 Roho wa Bwana yu juu
yangu, Kwa maana amenitia mafuta
kuwahubiri maskini habari njema.
Amenituma kuwatangazia wafungwa
kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona
tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
YOHANA 3:34 Kwa kuwa yeye aliyetumwa
na Mungu huyanena maneno ya Mungu;
kwa sababu hamtoi Roho kwa kipimo.
YOHANA 6:45 Imeandikwa katika manabii,
Na wote watakuwa wamefundishwa na
Mungu. Basi kila aliyesikia na kujifunza kwa
Baba huja kwangu.
YOHANA 18:20 Yesu akamjibu, Mimi
nimesema na ulimwengu waziwazi; sikuzote
nalifundisha katika sinagogi na katika
hekalu, wakusanyikapo Wayahudi wote; wala
kwa siri mimi sikusema neno lo lote.
YOHANA 20:21 Basi Yesu akawaambia tena,
Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma
mimi, mimi nami nawapeleka ninyi.
22 Naye akiisha kusema hayo, akawavuvia,
akawaambia, Pokeeni Roho Mtakatifu.
WAEFESO 4:21 ikiwa mlimsikia
mkafundishwa katika yeye, kama kweli ilivyo
katika Yesu,
Ona pia: Zaburi 32:8; Isaya 49:9,10.
C01 Kuzaliwa kwa Masiha kunatabiriwa.
ISAYA 49:1 Nisikilizeni, enyi visiwa;
tegeni masikio yenu, enyi kabila za watu
mlio mbali sana; Bwana ameniita tangu
tumboni; toka tumbo la mama yangu
amenitaja jina langu.
MATHAYO 1:20 Basi alipokuwa akifikiri
hayo, tazama, malaika wa Bwana alimtokea
katika ndoto, akisema, Yusufu, mwana wa
Daudi, usihofu kumchukua Mariamu mkeo,
maana mimba yake ni kwa uweza wa Roho
Mtakatifu.
21 Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina
lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa
watu wake na dhambi zao.
YOHANA 10:36 je! Yeye ambaye Baba
alimtakasa, akamtuma ulimwenguni, ninyi
mnamwambia, Unakufuru; kwa sababu
nalisema, Mimi ni Mwana wa Mungu?
WAEFESO 2:17 Akaja akahubiri amani
kwenu ninyi mliokuwa mbali, na amani
kwao wale waliokuwa karibu.
WAEBRANIA 12:25 Angalieni
msimkatae yeye anenaye. Maana ikiwa
hawakuokoka wale waliomkataa yeye
aliyewaonya juu ya nchi, zaidi sana
hatutaokoka sisi tukijiepusha na yeye
atuonyaye kutoka mbinguni;
1 PETRO 1:19 bali kwa damu ya thamani,
kama ya mwana-kondoo asiye na ila, asiye na
waa, yaani, ya Kristo.
20 Naye amejulikana kweli tangu zamani,
kabla haijawekwa misingi ya dunia; lakini
alifunuliwa mwisho wa zamani kwa ajili
ISAYA
241
yenu;
Ona pia: Zaburi 71:5,6; Isaya 42:1-4,12; Isaya 45:22; Isaya 49:5; Isaya 51:5; Isaya 55:3; Sefania 2:11; Luka 1:15,31; Luka 2:10,11.
B16 Uweza na nguvu ya Masiha.
ISAYA 49:2 Naye anifanya kinywa
changu kuwa kama upanga mkali; katika
kivuli cha mkono wake amenisitiri; naye
amenifanya kuwa mshale uliosuguliwa;
katika podo lake amenificha;
ZABURI 27:5 Mradi atanisitiri bandani
mwake siku ya mabaya, Atanisitiri katika
sitara ya hema yake, Na kuniinua juu ya
mwamba.
ZABURI 45:5 Mishale yako ni mikali, watu
huanguka chini yako; Imo mioyoni mwa
adui za mfalme.
ZABURI 91:15 Ataniita nami nitamwitikia;
Nitakuwa pamoja naye taabuni, Nitamwokoa
na kumtukuza;
WAEBRANIA 4:12 Maana Neno la Mungu li
hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko
upanga uwao wote ukatao kuwili, tena
lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na
viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena
li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi
ya moyo.
UFUNUO WA YOHANA 1:16 Naye
alikuwa na nyota saba katika mkono wake
wa kuume; na upanga mkali, wenye makali
kuwili, ukitoka katika kinywa chake; na uso
wake kama jua liking›aa kwa nguvu zake.
UFUNUO WA YOHANA 2:12 Na kwa
malaika wa kanisa lililoko Pergamo andika;
Haya ndiyo anenayo yeye aliye na huo
upanga mkali, wenye makali kuwili.
UFUNUO WA YOHANA 19:15 Na
upanga mkali hutoka kinywani mwake ili
awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga
kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga
shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira
ya Mungu Mwenyezi.
Ona pia: Zaburi 45:2-5; Zaburi 91:11; Isaya 50:4; Isaya 51:16; Isaya 61:1-3; Isaya 66:19.
B14 Masiha anatambulisha utukufu wa Mungu
H11 Masiha atatukuzwa.
ISAYA 49:3 akaniambia; Wewe u
mtumishi wangu, Israeli, ambaye katika
wewe nitatukuzwa.
YOHANA 12:28 Baba, ulitukuze jina
lako. Basi ikaja sauti kutoka mbinguni,
Nimelitukuza, nami nitalitukuza tena.
YOHANA 17:1 Maneno hayo aliyasema
Yesu; akainua macho yake kuelekea
mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha
kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako
naye akutukuze wewe;
YOHANA 17:4 Mimi nimekutukuza
duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa
niifanye.
Ona pia: Yohana 13:31,32; Wafilipi 2:6-11.
ISAYA
242
E22 Kazi ya Masiha itakuwa imebarikiwa.
F03 Masiha atakataliwa.
ISAYA 49:4 Lakini nikasema,
Nimejitaabisha bure, nimetumia nguvu
zangu bure bila faida; lakini hakika hukumu
yangu ina Bwana, na thawabu yangu ina
Mungu wangu.
MATHAYO 17:17 Yesu akajibu, akasema, Enyi
kizazi kisichoamini, kilichopotoka, nitakaa
pamoja nanyi hata lini? Nitachukuliana
nanyi hata lini? Mleteni huku kwangu.
MATHAYO 23:37 Ee Yerusalemu, Yerusalemu,
uwauaye manabii, na kuwapiga kwa mawe
wale waliotumwa kwako! Ni mara ngapi
nimetaka kuwakusanya pamoja watoto
wako, kama vile kuku avikusanyavyo pamoja
vifaranga vyake chini ya mabawa yake, lakini
hamkutaka!
YOHANA 1:11 Alikuja kwake, wala walio
wake hawakumpokea.
YOHANA 17:4 Mimi nimekutukuza
duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa
niifanye.
5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja
nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao
pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
WARUMI 10:21 Lakini kwa Israeli asema,
Mchana kutwa naliwanyoshea mikono watu
wasiotii na wakaidi.
2 WAKORINTHO 12:15 Nami kwa furaha
nyingi nitatapanya, tena nitatapanywa
kwa ajili ya roho zenu. Je! Kadiri nizidivyo
kuwapenda sana, ninapungukiwa
kupendwa?
WAGALATIA 4:11 Nawachelea, isiwe labda
nimejitaabisha bure kwa ajili yenu.
WAFILIPI 2:9 Kwa hiyo tena Mungu
alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile
lipitalo kila jina;
WAEBRANIA 12:2 tukimtazama Yesu, mwenye
kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu;
ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele
yake aliustahimili msalaba na kuidharau
aibu, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti
cha enzi cha Mungu.
Ona pia: Zaburi 22:22-31; Isaya 40:10; Isaya 53:10-12; Isaya 62:11; Isaya 65:2.
A05 Uhusiano kati ya Masiha na Baba Yake.
F03 Masiha atakataliwa.
ISAYA 49:5 Na sasa Bwana asema
hivi, yeye aliyeniumba tangu tumboni niwe
mtumishi wake, ili nimletee Yakobo tena, na
Israeli wakusanyike mbele zake tena; (maana
mimi nimepata heshima mbele ya macho ya
Bwana, na Mungu wangu amekuwa nguvu
zangu);
MATHAYO 15:24 Akajibu, akasema,
Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa
nyumba ya Israeli.
MATHAYO 23:37 Ee Yerusalemu, Yerusalemu,
uwauaye manabii, na kuwapiga kwa mawe
wale waliotumwa kwako! Ni mara ngapi
nimetaka kuwakusanya pamoja watoto
wako, kama vile kuku avikusanyavyo pamoja
ISAYA
243
vifaranga vyake chini ya mabawa yake, lakini
hamkutaka!
YOHANA 1:11 Alikuja kwake, wala walio
wake hawakumpokea.
12 Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa
kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale
waliaminio jina lake;
YOHANA 3:35 Baba ampenda Mwana, naye
amempa vyote mkononi mwake.
YOHANA 13:31 Basi huyo alipokwisha
kutoka, Yesu alisema, Sasa ametukuzwa
Mwana wa Adamu, naye Mungu
ametukuzwa ndani yake.
32 Mungu naye atamtukuza ndani ya nafsi
yake; naye atamtukuza mara.
MATENDO YA MITUME 10:36 Neno lile
alilowapelekea wana wa Israeli akihubiri
habari njema ya amani kwa Yesu Kristo
(ndiye Bwana wa wote),
UFUNUO WA YOHANA 5:12 wakisema
kwa sauti kuu, Astahili Mwana-Kondoo
aliyechinjwa, kuupokea uweza na utajiri na
hekima na nguvu na heshima na utukufu na
baraka.
Ona pia: Zaburi 110:1-3; Isaya 49:1; Mathayo 3:17; Mathayo 11:27; Mathayo 17:5; Mathayo 21:37-41; Mathayo 28:18; Luka 19:42; Warumi 15:8; Waefeso 1:20-22; 1 Wathesalonike 2:15,16;
Yakobo 5:20-27; 1 Petro 3:22.
A07 Atakuwa Masiha wa Israeli.
D09 Masiha atakuwa Mwokozi.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
E26 Kazi ya ukombozi ya Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 49:6 naam, asema hivi, Ni neno
dogo sana wewe kuwa mtumishi wangu ili
kuziinua kabila za Yakobo, na kuwarejeza
watu wa Israeli waliohifadhiwa; zaidi ya
hayo nitakutoa uwe nuru ya mataifa, upate
kuwa wokovu wangu hata miisho ya dunia.
LUKA 2:32 Nuru ya kuwa mwangaza
wa Mataifa, Na kuwa utukufu wa watu wako
Israeli.
LUKA 24:46 Akawaambia, Ndivyo
ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na
kufufuka siku ya tatu;
47 na kwamba mataifa yote watahubiriwa
kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la
dhambi, kuanza tangu Yerusalemu.
MATENDO YA MITUME 13:46
Paulo na Barnaba wakanena kwa ushujaa
wakasema, Ilikuwa lazima neno la Mungu
linenwe kwenu kwanza; lakini kwa kuwa
mnalisukumia mbali, na kujiona nafsi
zenu kuwa hamkustahili uzima wa milele,
angalieni, twawageukia Mataifa.
47 Kwa sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana,
Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, Upate
kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.
48 Mataifa waliposikia hayo wakafurahi,
wakalitukuza neno la Bwana, nao waliokuwa
wamekusudiwa uzima wa milele wakaamini.
WAEBRANIA 8:10 Maana hili ndilo agano
nitakaloagana na nyumba ya Israeli Baada
ISAYA
244
ya siku zile, asema Bwana; Nitawapa sheria
zangu katika nia zao, Na katika mioyo yao
nitaziandika; Nami nitakuwa Mungu kwao,
Nao watakuwa watu wangu.
Ona pia: #1; #2; Isaya 42:6; Yohana 1:4-9; Matendo ya Mitume 26:18,32.
B16 Uweza na nguvu ya Masiha.
F03 Masiha atakataliwa.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 49:7 Bwana, mkombozi wa
Israeli, Mtakatifu wake, amwambia hivi
yeye anayedharauliwa na wanadamu;
yeye anayechukiwa na taifa hili; yeye
aliye mtumishi wao watawalao; Wafalme
wataona, watasimama; wakuu nao
watasujudu; kwa sababu ya Bwana
aliye mwaminifu, Mtakatifu wa Israeli
aliyekuchagua
ZABURI 35:19 Walio adui zangu bure
wasinisimange, Wanaonichukia bila sababu
wasining›ong›e.
MATHAYO 27:22 Pilato akawaambia, Basi,
nimtendeje Yesu aitwaye Kristo? Wakasema
wote, Asulibiwe.
23 Akasema, Kwani? Ni ubaya gani alioutenda?
Wakazidi sana kupiga kelele, wakisema, Na
asulibiwe.
YOHANA 7:47 Basi Mafarisayo wakawajibu,
Je! Ninyi nanyi mmedanganyika?
48 Ni nani katika wakuu amwaminiye, au
katika Mafarisayo?
49 Lakini makutano hawa wasioifahamu torati
wamelaaniwa.
YOHANA 15:22 Kama nisingalikuja na
kusema nao, wasingalikuwa na dhambi;
lakini sasa hawana udhuru kwa dhambi yao.
23 Yeye anichukiaye mimi humchukia na Baba
yangu.
24 Kama nisingalitenda kwao kazi asizozitenda
mtu mwingine, wasingalikuwa na dhambi;
lakini sasa wametuona mimi na Baba yangu,
na kutuchukia.
25 Lakini litimie lile neno lililoandikwa katika
torati yao, Walinichukia bure.
WARUMI 14:11 Kwa kuwa imeandikwa,
Kama niishivyo, anena Bwana, kila goti
litapigwa mbele zangu; Na kila ulimi
utamkiri Mungu.
WAFILIPI 2:10 ili kwa jina la Yesu kila
goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya
duniani, na vya chini ya nchi;
11 na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO
NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.
Ona pia: #1; #2; #4; Zaburi 22:6-8; Zaburi 69:7-9; Zaburi 109:3; Isaya 42:1; Isaya 52:15; Isaya 53:13; Mathayo 20:28; Mathayo
26:67; Mathayo 27:38-44; Luka 22:27; Luka 23:18,23,35; Yohana 18:40; Yohana 19:6,15; 1 Petro 2:4.
E20 Masiha ataweka agano jipya.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 49:8 Bwana asema hivi, Wakati
uliokubalika nimekujibu, na siku ya wokovu
nimekusaidia; nami nitakuhifadhi, nitakutoa
uwe agano la watu hawa, ili kuiinua nchi
hii, na kuwarithisha urithi uliokuwa ukiwa;
9 kuwaambia waliofungwa, Haya, tokeni;
na hao walio katika giza, Jionyesheni.
Watajilisha katika njia, na juu ya majabali
ISAYA
245
watapata malisho.
10 Hawataona njaa, wala hawataona kiu; hari
haitawapiga, wala jua; kwa maana yeye
aliyewarehemu atawatangulia, naam, karibu
na chemchemi za maji atawaongoza.
11 Nami nitafanya milima yangu yote kuwa
njia, na njia kuu zangu zitatukuzwa zote.
12 Tazama, hawa watakuja kutoka mbali; na
tazama, hawa kutoka kaskazini, na kutoka
magharibi, na hawa kutoka nchi ya Sinimu.
13 Imbeni, enyi mbingu; ufurahi, Ee nchi;
Pazeni sauti ya kuimba, enyi milima; Kwa
kuwa Bwana amewafariji watu wake, Naye
atawahurumia watu wake walioteswa.
ISAYA 49:14-15
ISAYA 49:16 Tazama, nimekuchora katika
vitanga vya mikono yangu; kuta zako ziko
mbele zangu daima.
ISAYA 49:17-21
ISAYA 49:22 Bwana MUNGU asema
hivi, Tazama, nitawainulia mataifa mkono
wangu, na kuwatwekea kabila za watu
bendera yangu; nao wataleta wana wako
vifuani mwao, na binti zako watachukuliwa
mabegani mwao.
ISAYA 49:23-26
MIKA 7:19 Atarejea na kutuhurumia;
atayakanyaga maovu yetu; nawe utazitupa
dhambi zao zote katika vilindi vya bahari.
MATHAYO 5:6 Heri wenye njaa na kiu ya
haki; Maana hao watashibishwa.
MATHAYO 12:18 Tazama, mtumishi wangu
niliyemteua; Mpendwa wangu, moyo wangu
uliyependezwa naye; Nitatia roho yangu juu
yake, Naye atawatangazia Mataifa hukumu.
LUKA 2:13 Mara walikuwapo pamoja na
huyo malaika, wingi wa jeshi la mbinguni,
wakimsifu Mungu, na kusema,
14 Atukuzwe Mungu juu mbinguni, Na duniani
iwe amani kwa watu aliowaridhia.
LUKA 4:18 Roho wa Bwana yu juu
yangu, Kwa maana amenitia mafuta
kuwahubiri maskini habari njema.
Amenituma kuwatangazia wafungwa
kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona
tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
LUKA 12:32 Msiogope, enyi kundi dogo;
kwa kuwa Baba yenu ameona vema kuwapa
ule ufalme.
YOHANA 6:35 Yesu akawaambia, Mimi
ndimi chakula cha uzima; yeye ajaye kwangu
hataona njaa kabisa, naye aniaminiye
hataona kiu kamwe.
YOHANA 10:14 Mimi ndimi mchungaji
mwema; nao walio wangu nawajua; nao
walio wangu wanijua mimi;
2 WAKORINTHO 6:2 (Kwa maana
asema, Wakati uliokubalika nalikusikia,
Siku ya wokovu nalikusaidia;tazama,wakati
uliokubalika ndiyo sasa; tazama siku ya
wokovu ni sasa)
WAEBRANIA 5:7 Yeye, siku hizo za mwili
wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa
na kumtoa katika mauti, maombi na
dua pamoja na kulia sana na machozi,
akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha
Mungu;
8 na, ingawa ni Mwana, alijifunza kutii kwa
mateso hayo yaliyompata;
9 naye alipokwisha kukamilishwa, akawa
ISAYA
246
sababu ya wokovu wa milele kwa watu wote
wanaomtii;
UFUNUO WA YOHANA 7:15 Kwa hiyo
wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu,
nao wanamtumikia mchana na usiku katika
hekalu lake, na yeye aketiye katika kiti cha
enzi atatanda hema yake juu yao.
16 Hawataona njaa tena, wala hawataona kiu
tena, wala jua halitawapiga, wala hari iliyo
yote.
17 Kwa maana huyo Mwana-Kondoo, aliye
katikati ya kiti cha enzi, atawachunga, naye
atawaongoza kwenye chemchemi za maji
yenye uhai, na Mungu atayafuta machozi
yote katika macho yao.
Ona pia: #1; #2; #3; Zaburi 23:1-6; Zaburi 102:13; Zaburi 107:10-14; Zaburi 146:7; Isaya 42:7; Yohana 10:1-16; Wakolosai 1:13; 1
Petro 2:9.
F11 Mateso ya Masiha.
ISAYA 50:3 Mimi nazivika mbingu
weusi, nami nafanya nguo ya magunia kuwa
kifuniko chao.
MATHAYO 27:45 Basi tangu saa sita palikuwa
na giza juu ya nchi yote hata saa tisa.
Ona pia: Luka 23:44,45; Ufunuo wa Yohana 6:12.
D02 Kazi ya Masiha kama Nabii.
ISAYA 50:4 Bwana MUNGU amenipa
ulimi wa hao wafundishwao, nipate kujua
jinsi ya kumtegemeza kwa maneno yeye
aliyechoka, huniamsha asubuhi baada ya
asubuhi; huniamsha, sikio langu lipate
kusikia kama watu wafundishwao.
MATHAYO 11:28 Njoni kwangu, ninyi nyote
msumbukao na wenye kulemewa na mizigo,
nami nitawapumzisha.
MATHAYO 13:54 Na alipofika nchi yake,
akawafundisha katika sinagogi lao, hata
wakashangaa, wakasema, Huyu amepata
wapi hekima hii na miujiza hii?
LUKA 4:22 Wakamshuhudia wote,
wakiyastaajabia maneno ya neema yaliyotoka
kinywani mwake, wakasema, Huyu siye
mwana wa Yusufu?
LUKA 21:15 kwa sababu mimi nitawapa
kinywa na hekima ambayo watesi wenu wote
hawataweza kushindana nayo wala kuipinga.
YOHANA 5:19 Mwana hawezi kutenda neno
mwenyewe ila lile ambalo amwona Baba
analitenda; kwa maana yote ayatendayo yeye,
ndiyo ayatendayo Mwana vile vile.
YOHANA 7:15 Wayahudi wakastaajabu
wakisema, Amepataje huyu kujua elimu,
ambaye hakusoma?
16 Basi Yesu akawajibu, akasema, Mafunzo
yangu si yangu mimi, ila ni yake yeye
aliyenipeleka.
17 Mtu akipenda kuyatenda mapenzi yake,
atajua habari ya yale mafunzo, kwamba
yatoka kwa Mungu, au kwamba mimi
nanena kwa nafsi yangu tu.
YOHANA 7:46 Wale watumishi wakajibu.
Hajanena kamwe mtu ye yote kama huyu
anavyonena.
ISAYA
247
Ona pia: Kutoka 4:11,12; Zaburi 45:2; Yeremia 1:9.
F13 Maelezo ya mateso ya Masiha.
ISAYA 50:5 Bwana MUNGU amenizibua
sikio langu, wala sikuwa mkaidi, wala
sikurudi nyuma.
6 Naliwatolea wapigao mgongo wangu, na
wang›oao ndevu mashavu yangu; sikuficha
uso wangu usipate fedheha na kutemewa
mate.
MATHAYO 26:39 Akaendelea mbele kidogo,
akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema,
Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki
kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi,
bali kama utakavyo wewe.
MARKO 14:65 Wengine wakaanza
kumtemea mate, wakamfunika uso, na
kumpiga makonde, na kumwambia, tabiri.
Hata watumishi nao wakampiga makofi.
YOHANA 8:29 Naye aliyenipeleka yu
pamoja nami, hakuniacha peke yangu; kwa
sababu nafanya sikuzote yale yampendezayo.
YOHANA 14:31 Lakini ulimwengu ujue
ya kuwa nampenda Baba; na kama vile
Baba alivyoniamuru; ndivyo nifanyavyo.
Ondokeni, twendeni zetu.
YOHANA 19:1 Basi ndipo Pilato alipomtwaa
Yesu, akampiga mijeledi.
2 Nao askari wakasokota taji ya miiba,
wakamtia kichwani, wakamvika vazi la
zambarau.
3 Wakawa wakimwendea, wakisema, Salamu!
Mfalme wa Wayahudi! Wakampiga makofi.
WAFILIPI 2:7 bali alijifanya kuwa hana
utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa
ana mfano wa wanadamu;
8 tena, alipoonekana ana umbo kama
mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii
hata mauti, naam, mauti ya msalaba.
9 Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha
mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina;
Ona pia: Zaburi 40:6-8; Maombolezo 3:30; Mika 5:1; Mathayo 5:39; Mathayo 26:67,68; Marko 15:19; Luka 22:63; Waebrania
5:8; Waebrania 10:5-9.
F13 Maelezo ya mateso ya Masiha.
ISAYA 50:7 Maana Bwana MUNGU
atanisaidia; kwa sababu hiyo sikutahayari,
kwa sababu hiyo nimekaza uso wangu kama
gumegume, nami najua ya kuwa sitaona
haya.
8 Yeye anipatiaye haki yangu yu karibu; ni
nani atakayeshindana nami? Na tusimame
pamoja; ni nani aliye hasimu yangu? Na
anikaribie basi.
9 Tazama, Bwana MUNGU atanisaidia;
ni nani atakayenihukumu kuwa mkosa?
Tazama hao wote watachakaa kama vazi;
nondo atawala.
MATHAYO 27:19 Na alipokuwa ameketi juu
ya kiti cha hukumu, mkewe alimpelekea
mjumbe, kumwambia, Usiwe na neno na
yule mwenye haki; kwa sababu nimeteswa
mengi leo katika ndoto kwa ajili yake.
LUKA 9:51 Ikawa, siku za kupaa kwake
zilipokuwa karibu kutimia, yeye aliukaza uso
wake kwenda Yerusalemu;
LUKA 23:4 Pilato akawaambia wakuu
ISAYA
248
wa makuhani na makutano, Sioni neno lililo
ovu katika mtu huyu.
LUKA 23:14 akawaambia, Mtu huyu
mmemleta kwangu kana kwamba
anapotosha watu; nami, tazama, nimeamua
mambo yake mbele yenu, ila sikuona
kwake kosa lo lote katika mambo hayo
mliyomshitaki;
YOHANA 8:46 Ni nani miongoni mwenu
anishuhudiaye ya kuwa nina dhambi? Nami
nikisema kweli, mbona ninyi hamnisadiki?
WARUMI 8:33 Ni nani atakayewashitaki
wateule wa Mungu? Mungu ndiye mwenye
kuwahesabia haki.
WAEBRANIA 1:11 Hizo zitaharibika, bali wewe
unadumu; Nazo zote zitachakaa kama nguo,
12 Na kama mavazi utazizinga, nazo
zitabadilika; Lakini wewe u yeye yule, Na
miaka yako haitakoma.
Ona pia: Ayubu 13:28; Zaburi 89:21-27; Zaburi 102:26; Isaya 41:1,21; Isaya 51:6-8; Ezekieli 3:8,9; Zekaria 3:1; Mathayo 5:25;
Ufunuo wa Yohana 12:10.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
E19 Masiha atafariji.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 51:1-2
ISAYA 51:3 Maana Bwana ameufariji
Sayuni; amepafariji mahali pake palipokuwa
ukiwa; amefanya jangwa lake kuwa kama
bustani ya Edeni, na nyika yake kama
bustani ya Bwana; furaha na kicheko
zitaonekana ndani yake, kushukuru, na sauti
ya kuimba.
4 Nisikilizeni mimi, enyi watu wangu;
nisikieni, taifa langu; maana sheria itatoka
kwangu, nami nitaistarehesha hukumu
yangu iwe nuru ya mataifa.
5 Haki yangu i karibu, wokovu wangu
umekuwa wazi, na mikono yangu
itawahukumu kabila za watu; visiwa
vitaningoja, navyo vitautumainia mkono
wangu.
6 Inueni macho yenu mbinguni, mkaitazame
nchi chini; maana mbingu zitatoweka kama
moshi, na nchi itachakaa kama vazi, nao
wakaao ndani yake watakufa kadhalika; bali
wokovu wangu utakuwa wa milele, na haki
yangu haitatanguka.
ISAYA 51:7-10
ISAYA 51:11 Nao waliokombolewa
na Bwana watarejea, Watafika Sayuni,
wakiimba; Furaha ya milele itakuwa juu ya
vichwa vyao; Watapata shangwe na furaha;
Huzuni na kuugua zitakimbia.
ISAYA 51:12-23
ISAYA 2:3 Na mataifa mengi
watakwenda na kusema, Njoni, twende juu
mlimani kwa Bwana, nyumbani kwa Mungu
wa Yakobo, naye atatufundisha njia zake,
nasi tutakwenda katika mapito yake maana
katika Sayuni itatoka sheria, na neno la
Bwana katika Yerusalemu.
ISAYA 34:4 Na jeshi lote la mbinguni
litafumuliwa, na mbingu zitakunjwa
kama karatasi, na jeshi lao lote litanyauka
kama vile jani la mzabibu linyaukavyo
na kupukutika, na kama jani la mtini
linyaukavyo na kupukutika.
MATHAYO 5:17 Msidhani ya kuwa nalikuja
kuitangua torati au manabii; la, sikuja
ISAYA
249
kutangua, bali kutimiliza.
LUKA 2:30 Kwa kuwa macho yangu
yameuona wokovu wako,
31 Uliouweka tayari machoni pa watu wote;
32 Nuru ya kuwa mwangaza wa Mataifa, Na
kuwa utukufu wa watu wako Israeli.
MATENDO YA MITUME 13:47 Kwa
sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana,
Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, Upate
kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.
MATENDO YA MITUME 26:23 ya
kwamba Kristo hana budi kuteswa na ya
kwamba yeye kwanza kwa kufufuliwa katika
wafu atatangaza habari za nuru kwa watu
wake na kwa watu wa Mataifa.
2 WAKORINTHO 1:3 Na ahimidiwe
Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo,
Baba wa rehema, Mungu wa faraja yote;
4 atufarijiye katika dhiki zetu zote ili nasi
tupate kuwafariji wale walio katika dhiki za
namna zote, kwa faraja hizo, tunazofarijiwa
na Mungu.
1 PETRO 2:9 Bali ninyi ni mzao mteule,
ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa
milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili
zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie
katika nuru yake ya ajabu;
UFUNUO WA YOHANA 6:12 Nami
nikaona, alipoifungua muhuri ya sita,
palikuwa na tetemeko kuu la nchi; jua likawa
jeusi kama gunia la singa, mwezi wote
ukawa kama damu,
13 na nyota zikaanguka juu ya nchi kama
vile mtini upukutishavyo mapooza yake,
utikiswapo na upepo mwingi.
14 Mbingu zikaondolewa kama ukurasa
ulivyokunjwa, na kila mlima na kisiwa
kikahamishwa kutoka mahali pake.
Ona pia: #1; #2; #3:#5; #6; #7.
D05 Masiha atakuwa Mkombozi.
E15 Masiha ataleta habari njema.
E19 Masiha atafariji.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 52:1-6
ISAYA 52:7 Jinsi ilivyo mizuri juu ya
milima Miguu yake aletaye habari njema,
Yeye aitangazaye amani, Aletaye habari
njema ya mambo mema, Yeye autangazaye
wokovu, Auambiaye Sayuni, Mungu wako
anamiliki!
8 Sauti ya walinzi wako! Wanapaza sauti zao,
wanaimba pamoja; Maana wataona jicho
kwa jicho, Jinsi Bwana arejeavyo Sayuni.
9 Pigeni kelele za furaha, imbeni pamoja, Enyi
mahali pa Yerusalemu palipokuwa ukiwa;
Kwa kuwa Bwana amewafariji watu wake,
Ameukomboa Yerusalemu.
10 Bwana ameweka wazi mkono wake
mtakatifu Machoni pa mataifa yote; Na ncha
zote za dunia Zitauona wokovu wa Mungu
wetu.
ISAYA 52:11-12
ZABURI 22:27 Miisho yote ya dunia
itakumbuka, Na watu watamrejea Bwana;
Jamaa zote za mataifa watamsujudia.
ZABURI 98:1 Mwimbieni Bwana wimbo
mpya, Kwa maana ametenda mambo ya
ISAYA
250
ajabu. Mkono wa kuume wake mwenyewe,
Mkono wake mtakatifu umemtendea
wokovu.
2 Bwana ameufunua wokovu wake, Machoni
pa mataifa ameidhihirisha haki yake.
3 Amezikumbuka rehema zake, Na uaminifu
wake kwa nyumba ya Israeli. Miisho yote ya
dunia imeuona Wokovu wa Mungu wetu.
ISAYA 66:13 Mfano wa mtu
ambaye mama yake amfariji, ndivyo
nitakavyowafariji ninyi; nanyi mtafarijiwa
katika Yerusalemu.
ISAYA 66:18 Nami nayajua matendo
yao na mawazo yao; wakati unakuja
nitakapokusanya mataifa yote na lugha zote;
nao watakuja, nao watauona utukufu wangu.
MATHAYO 5:4 Heri wenye huzuni; Maana
hao watafarijika.
LUKA 1:74 Ya kwamba atatujalia sisi,
Tuokoke mikononi mwa adui zetu, Na
kumwabudu pasipo hofu,
LUKA 2:38 Huyu alitokea saa ile ile
akamshukuru Mungu, na wote waliokuwa
wakiutarajia ukombozi katika Yerusalemu
akawatolea habari zake.
LUKA 3:6 Na wote wenye mwili
watauona wokovu wa Mungu.
LUKA 4:18 Roho wa Bwana yu juu
yangu, Kwa maana amenitia mafuta
kuwahubiri maskini habari njema.
Amenituma kuwatangazia wafungwa
kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona
tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
MATENDO YA MITUME 13:47 Kwa
sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana,
Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, Upate
kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.
WARUMI 10:15 Tena wahubirije,
wasipopelekwa? Kama ilivyoandikwa, Ni
mizuri kama nini miguu yao wahubirio
habari ya mema!
2 WAKORINTHO 1:10 aliyetuokoa sisi
katika mauti kuu namna ile; tena atatuokoa;
ambaye tumemtumaini kwamba atazidi
kutuokoa;
WAEBRANIA 2:3 sisi je! Tutapataje kupona,
tusipojali wokovu mkuu namna hii?
Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha
ukathibitika kwetu na wale waliosikia;
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 14:6 Kisha
nikaona malaika mwingine, akiruka
katikati ya mbingu, mwenye Injili ya milele,
awahubiri hao wakaao juu ya nchi, na kila
taifa na kabila na lugha na jamaa,
UFUNUO WA YOHANA 15:4 Ni
nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza
jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako
u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote
watakuja na kusujudu mbele zako; kwa
kuwa matendo yako ya haki yamekwisha
kufunuliwa.
ISAYA
251
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Isaya 42:10-13; Isaya 48:20; Isaya 49:6; Isaya 55:12; Mathayo 24:30,31; Matendo ya Mitume 2:5-11; 2
Wakorintho 1:3-5; Wakolosai 2:2,3; Ufunuo wa Yohana 1:7.
G03 Kuinuliwa kwa Masiha kunatabiriwa.
ISAYA 52:13 Tazama, mtumishi wangu
atatenda kwa busara, atatukuzwa, na
kuinuliwa juu, naye atakuwa juu sana.
ISAYA 9:7 Maongeo ya enzi yake na
amani Hayatakuwa na mwisho kamwe,
Katika kiti cha enzi cha Daudi na ufalme
wake; Kuuthibitisha na kuutegemeza Kwa
hukumu na kwa haki, Tangu sasa na hata
milele. Wivu wa Bwana wa majeshi ndio
utakaotenda hayo.
YOHANA 5:22 Tena Baba hamhukumu mtu
ye yote, bali amempa Mwana hukumu yote;
23 ili watu wote wamheshimu Mwana
kama vile wanavyomheshimu Baba.
Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba
aliyempeleka.
MATENDO YA MITUME 2:31 yeye
mwenyewe akitangulia kuyaona haya, alitaja
habari za kufufuka kwake Kristo, ya kwamba
roho yake haikuachwa kuzimu, wala mwili
wake haukuona uharibifu.
33 Basi yeye, akiisha kupandishwa hata mkono
wa kuume wa Mungu, na kupokea kwa Baba
ile ahadi ya Roho Mtakatifu, amekimwaga
kitu hiki mnachokiona sasa na kukisikia.
34 Maana Daudi hakupanda mbinguni;
bali yeye mwenyewe anasema, Bwana
alimwambia Bwana wangu, Keti upande wa
mkono wangu wa kuume.
35 Hata nitakapowaweka adui zako chini ya
miguu yako.
36 Basi nyumba yote ya Israeli na wajue yakini
ya kwamba Mungu amemfanya Yesu huyo
mliyemsulibisha kuwa Bwana na Kristo.
WAFILIPI 2:9 Kwa hiyo tena Mungu
alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile
lipitalo kila jina;
10 ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu
vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini
ya nchi;
11 na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO
NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.
UFUNUO WA YOHANA 5:13 Na kila
kiumbe kilichoko mbinguni na juu ya nchi
na chini ya nchi ya juu ya bahari, na vitu
vyote vilivyomo ndani yake, nalivisikia,
vikisema, Baraka na heshima na utukufu
na uweza una yeye aketiye juu ya kiti cha
enzi, na yeye Mwana-Kondoo, hata milele na
milele.
Ona pia: #1; Isaya 9:6; Isaya 49:6; Mathayo 28:18; Waefeso 1:20-23; Waebrania 1:3; Ufunuo wa Yohana 5:6-12.
F13 Maelezo ya mateso ya Masiha.
ISAYA 52:14 Kama vile wengi
walivyokustaajabia, (uso wake ulikuwa
umeharibiwa sana zaidi ya mtu ye yote, na
umbo lake zaidi ya wanadamu),
ZABURI 22:6 Lakini mimi ni mdudu wala
si mtu, Laumu ya wanadamu na mzaha wa
watu.
MATHAYO 27:29 Wakasokota taji ya miiba,
wakaiweka juu ya kichwa chake, na mwanzi
katika mkono wake wa kuume; wakapiga
ISAYA
252
magoti mbele yake, wakamdhihaki,
wakisema, Salamu, Mfalme wa Wayahudi!
30 Kisha wakamtemea mate, wakautwaa ule
mwanzi, wakampiga-piga kichwani.
WAFILIPI 2:5 Iweni na nia iyo hiyo ndani
yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo
Yesu;
6 ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna
ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa
na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana
nacho;
7 bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa
namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa
wanadamu;
8 tena, alipoonekana ana umbo kama
mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii
hata mauti, naam, mauti ya msalaba.
Ona pia: Zaburi 71:7; Mathayo 7:28; Mathayo 26:67; Marko 5:42; Marko 6:51; Luka 2:47.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
ISAYA 52:15 ndivyo atakavyowasitusha
mataifa mengi; wafalme watamfumbia
vinywa vyao; maana mambo wasiyoambiwa
watayaona; na mambo wasiyoyasikia
watayafahamu.
MATHAYO 11:28 Njoni kwangu, ninyi nyote
msumbukao na wenye kulemewa na mizigo,
nami nitawapumzisha.
MATHAYO 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye
mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza
kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho
Mtakatifu;
LUKA 24:47 na kwamba mataifa yote
watahubiriwa kwa jina lake habari ya
toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu
Yerusalemu.
YOHANA 1:29 Siku ya pili yake amwona
Yesu anakuja kwake, akasema, Tazama,
Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye
dhambi ya ulimwengu!
YOHANA 3:16 Kwa maana jinsi hii Mungu
aliupenda ulimwengu, hata akamtoa
Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye
asipotee, bali awe na uzima wa milele.
17 Maana Mungu hakumtuma Mwana
ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali
ulimwengu uokolewe katika yeye.
YOHANA 7:37 Hata siku ya mwisho, siku
ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama,
akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu,
na aje kwangu anywe.
YOHANA 8:12 Basi Yesu akawaambia tena
akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu,
yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe,
bali atakuwa na nuru ya uzima.
MATENDO YA MITUME 2:21 Na
itakuwa kila atakayeliitia jina la Bwana
ataokolewa.
MATENDO YA MITUME 13:47 Kwa
sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana,
Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, Upate
kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.
MATENDO YA MITUME 17:30 Basi,
zamani zile za ujinga Mungu alijifanya
kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu
ISAYA
253
wote wa kila mahali watubu.
31 Kwa maana ameweka siku
atakayowahukumu walimwengu kwa haki,
kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa
watu wote uthabiti wa mambo haya kwa
kumfufua katika wafu.
WARUMI 15:20 kadhalika nikijitahidi
kuihubiri Injili, nisihubiri hapo ambapo
jina la Kristo limekwisha kutajwa, nisije
nikajenga juu ya msingi wa mtu mwingine;
21 bali kama ilivyoandikwa, Wale
wasiohubiriwa habari zake wataona, Na wale
wasiojasikia watafahamu.
WARUMI 16:25 Sasa na atukuzwe yeye
awezaye kuwafanya imara, sawasawa na
injili yangu na kwa kuhubiriwa kwake Yesu
Kristo, sawasawa na ufunuo wa ile siri
iliyositirika tangu zamani za milele,
26 ikadhihirishwa wakati huu kwa maandiko ya
manabii, ikajulikana na mataifa yote kama
alivyoamuru Mungu wa milele, ili waitii
Imani.
2 WAKORINTHO 5:19 yaani, Mungu
alikuwa ndani ya Kristo, akiupatanisha
ulimwengu na nafsi yake, asiwahesabie
makosa yao; naye ametia ndani yetu neno la
upatanisho.
WAEFESO 3:8 Mimi, niliye mdogo kuliko
yeye aliye mdogo wa watakatifu wote,
nalipewa neema hii ya kuwahubiri Mataifa
utajiri wake Kristo usiopimika;
9 na kuwaangaza watu wote wajue habari za
madaraka ya siri hiyo, ambayo tangu zamani
zote ilisitirika katika Mungu aliyeviumba
vitu vyote;
1 TIMOTHEO 2:3 Hili ni zuri, nalo lakubalika
mbele za Mungu Mwokozi wetu;
4 ambaye hutaka watu wote waokolewe, na
kupata kujua yaliyo kweli.
TITO 2:11 Maana neema ya Mungu
iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa;
2 PETRO 3:9 Bwana hakawii kuitimiza
ahadi yake, kama wengine wanavyokudhani
kukawia, bali huvumilia kwenu, maana
hapendi mtu ye yote apotee, bali wote
wafikilie toba.
1 YOHANA 2:2 naye ndiye kipatanisho kwa
dhambi zetu; wala si kwa dhambi zetu tu,
bali na kwa dhambi za ulimwengu wote.
1 YOHANA 4:14 Na sisi tumeona na
kushuhudia ya kuwa Baba amemtuma
Mwana kuwa Mwokozi wa ulimwengu.
1 YOHANA 5:11 Na huu ndio ushuhuda, ya
kwamba Mungu alitupa uzima wa milele; na
uzima huu umo katika Mwanawe.
12 Yeye aliye naye Mwana, anao huo uzima;
asiye naye Mwana wa Mungu hana huo
uzima.
Ona pia: Mathayo 11:29; Yohana 4:42; 2 Wakorintho 5:14; 1 Timotheo 2:6; Waebrania 2:3,4,9; 1 Petro 3:18; Ufunuo wa
Yohana 22:17.
F11 Mateso ya Masiha.
F13 Maelezo ya mateso ya Masiha.
F14 Masiha hataaminiwa.
ISAYA 53:1 Ni nani aliyesadiki
habari tuliyoileta? Na mkono wa Bwana
amefunuliwa nani?
ISAYA
254
2 Maana alikua mbele zake kama mche
mwororo, Na kama mzizi katika nchi kavu;
Yeye hana umbo wala uzuri; Na tumwonapo
hana uzuri hata tumtamani.
MARKO 6:3 Huyu si yule seremala,
mwana wa Mariamu, na ndugu yao Yakobo,
na Yose, na Yuda, na Simoni? Na maumbu
yake hawapo hapa petu? Wakajikwaa kwake.
YOHANA 12:37 Walakini ajapokuwa
amefanya ishara nyingi namna hiyo mbele
yao, hawakumwamini;
38 ili litimie lile neno la nabii Isaya alilolisema,
Bwana, ni nani aliyezisadiki habari zetu; Na
mkono wa Bwana amefunuliwa nani?
39 Ndiyo sababu wao hawakuweza kusadiki;
kwa maana Isaya alisema tena,
40 Amewapofusha macho, Ameifanya mizito
mioyo yao; Wasije wakaona kwa macho yao,
Wakafahamu kwa mioyo yao, Wakaongoka,
nikawaponya.
WARUMI 8:3 Maana yale yasiyowezekana
kwa sheria, kwa vile ilivyokuwa dhaifu kwa
sababu ya mwili, Mungu, kwa kumtuma
Mwanawe mwenyewe katika mfano wa
mwili ulio wa dhambi, na kwa sababu ya
dhambi, aliihukumu dhambi katika mwili;
WARUMI 10:16 Lakini si wote walioitii ile
habari njema. Kwa maana Isaya asema,
Bwana, ni nani aliyeziamini habari zetu?
17 Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na
kusikia huja kwa neno la Kristo.
WAFILIPI 2:6 ambaye yeye mwanzo
alikuwa yuna namna ya Mungu, naye
hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni
kitu cha kushikamana nacho;
7 bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa
namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa
wanadamu;
Ona pia: Isaya 11:1,2; Yeremia 23:5; Ezekieli 17:22-24; Zekaria 6:12; Luka 2:7,40,52.
F03 Masiha atakataliwa.
F13 Maelezo ya mateso ya Masiha.
ISAYA 53:3 Alidharauliwa na kukataliwa
na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye
sikitiko; Na kama mtu ambaye watu
humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala
hatukumhesabu kuwa kitu.
ZABURI 22:7 Wote wanionao hunicheka
sana, Hunifyonya, wakitikisa vichwa vyao;
8 Husema, Umtegemee Bwana; na amponye;
Na amwokoe sasa, maana apendezwa naye.
MATHAYO 26:65 Ndipo Kuhani Mkuu
akararua mavazi yake, akisema, Amekufuru;
mna haja gani tena ya mashahidi? Tazameni,
sasa mmesikia hiyo kufuru yake;
66 mwaonaje ninyi? Wakajibu, wakasema,
Imempasa kuuawa.
67 Ndipo wakamtemea mate ya uso,
wakampiga makonde; wengine wakampiga
makofi,
68 wakisema, Ewe Kristo, tufumbulie; ni nani
aliyekupiga?
MARKO 9:11 Wakamwuliza, wakisema,
Mbona waandishi hunena ya kwamba
imempasa Eliya kuja kwanza?
12 Akajibu akawaambia, Ni kweli Eliya yuaja
kwanza, na kurejeza upya yote; lakini,
pamoja na haya, ameandikiwaje Mwana
ISAYA
255
wa Adamu ya kwamba atateswa mengi na
kudharauliwa?
13 Lakini nawaambia, Eliya amekwisha kuja,
nao wakamtenda yote waliyoyataka kama
alivyoandikiwa.
WAEBRANIA 12:2 tukimtazama Yesu, mwenye
kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu;
ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele
yake aliustahimili msalaba na kuidharau
aibu, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti
cha enzi cha Mungu.
3 Maana mtafakarini sana yeye
aliyeyastahimili mapingamizi makuu namna
hii ya watendao dhambi juu ya nafsi zao,
msije mkachoka, mkizimia mioyoni mwenu.
Ona pia: Zaburi 69:10-12,19,20; Isaya 50:6; Mika 5:1; Zekaria 11:8-13; Mathayo 27:39-44; Marko 15:19; Luka 9:22; Luka 16:14;
Yohana 8:48.
F09 Dhabihu na kulipiwa makosa na Masiha.
F13 Maelezo ya mateso ya Masiha.
ISAYA 53:4 Hakika ameyachukua
masikitiko yetu, Amejitwika huzuni zetu;
Lakini tulimdhania ya kuwa amepigwa,
Amepigwa na Mungu, na kuteswa.
5 Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu,
Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu
ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa
kupigwa kwake sisi tumepona.
6 Sisi sote kama kondoo tumepotea; Kila
mmoja wetu amegeukia njia yake mwenyewe;
Na Bwana ameweka juu yake Maovu yetu
sisi sote.
MATHAYO 8:16 Hata kulipokuwa jioni,
wakamletea wengi wenye pepo; akawatoa
pepo kwa neno lake, akawaponya wote
waliokuwa hawawezi,
17 ili litimie lile neno lililonenwa na nabii
Isaya, akisema, Mwenyewe aliutwaa udhaifu
wetu, Na kuyachukua magonjwa yetu.
WARUMI 4:24 bali na kwa ajili yetu
sisi mtakaohesabiwa vivyo hivyo, sisi
tunaomwamini yeye aliyemfufua Yesu
Bwana wetu katika wafu;
25 ambaye alitolewa kwa ajili ya makosa yetu,
na kufufuliwa ili mpate kuhesabiwa haki.
2 WAKORINTHO 5:21 Yeye asiyejua
dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili
yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu
katika Yeye.
WAGALATIA 3:13 Kristo alitukomboa katika
laana ya torati, kwa kuwa alifanywa
laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa,
Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti;
1 PETRO 2:21 Kwa sababu ndio mlioitiwa;
maana Kristo naye aliteswa kwa ajili yenu,
akawaachia kielelezo, mfuate nyayo zake.
22 Yeye hakutenda dhambi, wala hila
haikuonekana kinywani mwake.
23 Yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano;
alipoteswa, hakuogofya; bali alijikabidhi
kwake yeye ahukumuye kwa haki.
24 Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu
katika mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu
kwa mambo ya dhambi, tuwe hai kwa
mambo ya haki; na kwa kupigwa kwake
mliponywa.
25 Kwa maana mlikuwa mnapotea kama
kondoo; lakini sasa mmemrudia Mchungaji
na Mwangalizi wa roho zenu.
1 YOHANA 2:2 naye ndiye kipatanisho kwa
ISAYA
256
dhambi zetu; wala si kwa dhambi zetu tu,
bali na kwa dhambi za ulimwengu wote.
Ona pia: Danieli 9:24; Mathayo 20:28; Luka 15:3-7; Warumi 5:6-10; 1 Wakorintho 15:3; Waefeso 5:2; Waebrania 9:12-15,28;
Waebrania 10:14; 1 Petro 3:18.
B02 Masiha ndiye Mwanakondoo wa Mungu.
B11 Utiifu wa Masiha.
F13 Maelezo ya mateso ya Masiha.
ISAYA 53:7 Alionewa, lakini
alinyenyekea, Wala hakufunua kinywa
chake; Kama mwana-kondoo apelekwaye
machinjoni, Na kama vile kondoo
anyamazavyo Mbele yao wakatao manyoya
yake; Naam, hakufunua kinywa chake.
8 Kwa kuonewa na kuhukumiwa aliondolewa;
Na maisha yake ni nani atakayeisimulia?
Maana amekatiliwa mbali na nchi ya walio
hai; Alipigwa kwa sababu ya makosa ya
watu wangu.
MATHAYO 26:62 Kisha Kuhani Mkuu
akasimama akamwambia, Hujibu neno?
Hawa wanakushuhudia nini?
63 Lakini, Yesu akanyamaza. Kuhani Mkuu
akamwambia, Nakuapisha kwa Mungu aliye
hai, utuambie kama wewe ndiwe Kristo,
Mwana wa Mungu.
64 Yesu akamwambia, Wewe umesema; lakini
nawaambieni, Tangu sasa mtamwona
Mwana wa Adamu ameketi mkono wa
kuume wa nguvu, akija juu ya mawingu ya
mbinguni.
MATHAYO 27:12 Lakini aliposhitakiwa na
wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu
hata neno.
13 Ndipo Pilato akamwambia, Husikii ni
mambo mangapi wanayokushuhudia?
14 Asimjibu hata neno moja, hata liwali
akastaajabu sana.
MARKO 15:3 Nao wakuu wa makuhani
walikuwa wakimshitaki mambo mengi.
4 Pilato akamwuliza tena akisema, Hujibu
neno? Tazama ni mambo mangapi
wanayokushitaki!
5 Wala Yesu hakujibu neno tena, hata Pilato
akastaajabu.
LUKA 23:9 Akamwuliza maneno mengi,
yeye asimjibu lo lote.
LUKA 23:33 Na walipofika mahali
paitwapo Fuvu la Kichwa, ndipo
walipomsulibisha yeye, na wale wahalifu,
mmoja upande wa kuume, na mmoja
upande wa kushoto.
MATENDO YA MITUME 8:30 Basi
Filipo akaenda mbio, akamsikia anasoma
chuo cha nabii Isaya; akanena, Je!
Yamekuelea haya unayosoma?
31 Akasema, Nitawezaje kuelewa, mtu
asiponiongoza? Akamsihi Filipo apande na
kuketi pamoja naye.
32 Na fungu la Maandiko alilokuwa akilisoma
ni hili, Aliongozwa kwenda machinjoni
kama kondoo, Na kama vile mwana-kondoo
alivyo kimya mbele yake amkataye manyoya,
Vivyo hivyo yeye naye hafunui kinywa chake.
33 Katika kujidhili kwake hukumu yake
iliondolewa. Ni nani atakayeeleza
kizazi chake? Kwa maana uzima wake
umeondolewa katika nchi.
Ona pia: Zaburi 22:12-21; Zaburi 69:12; Mathayo 26:66-68; Yohana 19:7-9; 1 Petro 2:23.
ISAYA
257
B12 Ukamilifu wa Masiha.
F08 Maelezo ya kifo cha Masiha.
ISAYA 53:9 Wakamfanyia kaburi pamoja
na wabaya; Na pamoja na matajiri katika
kufa kwake; Ingawa hakutenda jeuri, Wala
hapakuwa na hila kinywani mwake.
MATHAYO 27:57 Hata ilipokuwa jioni akafika
mtu tajiri wa Arimathaya, jina lake Yusufu,
naye mwenyewe alikuwa mwanafunzi wa
Yesu;
58 mtu huyu alimwendea Pilato akauomba
mwili wa Yesu. Ndipo Pilato akaamuru
apewe.
59 Yusufu akautwaa mwili, akauzonga-zonga
katika sanda ya kitani safi,
60 akauweka katika kaburi lake jipya, alilokuwa
amelichonga mwambani; akavingirisha jiwe
kubwa mbele ya mlango wa kaburi, akaenda
zake.
MARKO 15:27 Na pamoja naye
walisulibisha wanyang›anyi wawili, mmoja
mkono wake wa kuume na mmoja mkono
wake wa kushoto. [
28 Basi andiko likatimizwa linenalo,
Alihesabiwa pamoja na waasi.]
WAEBRANIA 5:9 naye alipokwisha
kukamilishwa, akawa sababu ya wokovu wa
milele kwa watu wote wanaomtii;
WAEBRANIA 7:26 Maana ilitupasa sisi tuwe na
kuhani mkuu wa namna hii aliye mtakatifu,
asiyekuwa na uovu, asiyekuwa na waa lo
lote, aliyetengwa na wakosaji, aliyekuwa juu
kuliko mbingu;
Ona pia: Marko 15:43-46; Luka 23:41,50-53; Yohana 19:38-42; Matendo ya Mitume 13:28; 1 Wakorintho 15:4; Yohana 3:5.
E22 Kazi ya Masiha itakuwa imebarikiwa.
F09 Dhabihu na kulipiwa makosa na Masiha.
G01 Kufufuka kwa Masiha kunatabiriwa.
ISAYA 53:10 Lakini Bwana aliridhika
kumchubua; Amemhuzunisha;
Utakapofanya nafsi yake kuwa dhabihu kwa
dhambi, Ataona uzao wake, ataishi siku
nyingi, Na mapenzi ya Bwana yatafanikiwa
mkononi mwake;
11 Ataona mazao ya taabu ya nafsi yake, na
kuridhika. Kwa maarifa yake mtumishi
wangu mwenye haki Atawafanya wengi kuwa
wenye haki; Naye atayachukua maovu yao.
ZABURI 110:3 Watu wako wanajitoa kwa
hiari, Siku ya uwezo wako; Kwa uzuri wa
utakatifu, Tokea tumbo la asubuhi, Unao
umande wa ujana wako.
MATHAYO 28:18 Yesu akaja kwao, akasema
nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote
mbinguni na duniani.
19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote
kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la
Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
20 na kuwafundisha kuyashika yote
niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo
pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa
dahari.
LUKA 22:44 Naye kwa vile alivyokuwa
katika dhiki, akazidi sana kuomba; hari yake
ikawa kama matone ya damu yakidondoka
nchini.]
YOHANA 12:24 Amin, amin, nawaambia,
Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi,
ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali
ikifa, hutoa mazao mengi.
ISAYA
258
WARUMI 3:21 Lakini sasa, haki ya Mungu
imedhihirika pasipo sheria; inashuhudiwa
na torati na manabii;
22 ni haki ya Mungu iliyo kwa njia ya imani
katika Yesu Kristo kwa wote waaminio.
Maana hakuna tofauti;
23 kwa sababu wote wamefanya dhambi, na
kupungukiwa na utukufu wa Mungu;
24 wanahesabiwa haki bure kwa neema yake,
kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo
Yesu;
1 WAKORINTHO 6:11 Na baadhi yenu
mlikuwa watu wa namna hii; lakini
mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini
mlihesabiwa haki katika jina la Bwana Yesu
Kristo, na katika Roho wa Mungu wetu.
2 WAKORINTHO 5:20 Basi tu wajumbe
kwa ajili ya Kristo, kana kwamba Mungu
anasihi kwa vinywa vyetu; twawaomba ninyi
kwa ajili ya Kristo mpatanishwe na Mungu.
21 Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa
dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kuwa
haki ya Mungu katika Yeye.
WAEFESO 4:11 Naye alitoa wengine kuwa
mitume, na wengine kuwa manabii; na
wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa
wachungaji na waalimu;
12 kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu,
hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili
wa Kristo ujengwe;
WAEBRANIA 9:22 Na katika Torati karibu vitu
vyote husafishwa kwa damu, na pasipo
kumwaga damu hakuna ondoleo.
WAEBRANIA 12:2 tukimtazama Yesu, mwenye
kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu;
ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele
yake aliustahimili msalaba na kuidharau
aibu, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti
cha enzi cha Mungu.
UFUNUO WA YOHANA 5:9 Nao
waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili
wewe kukitwaa hicho kitabu na kuzifungua
muhuri zake; kwa kuwa ulichinjwa,
ukamnunulia Mungu kwa damu yako watu
wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa,
10 ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa
Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi.
Ona pia: Isaya 42:1; Mathayo 17:5; Yohana 12:27-32; Warumi 5:1,9,18,19; Wagalatia 4:19; Tito 3:6,7; 1 Petro 2:24; 1 Petro 3:18;
Ufunuo wa Yohana 7:9-17.
E22 Kazi ya Masiha itakuwa imebarikiwa.
F09 Dhabihu na kulipiwa makosa na Masiha.
H06 Kazi ya uombezi ya Masiha.
ISAYA 53:12 Kwa hiyo nitamgawia
sehemu pamoja na wakuu, Naye atagawanya
nyara pamoja nao walio hodari; Kwa sababu
alimwaga nafsi yake hata kufa, Akahesabiwa
pamoja na hao wakosao. Walakini alichukua
dhambi za watu wengi, Na kuwaombea
wakosaji.
MARKO 15:28 Basi andiko likatimizwa
linenalo, Alihesabiwa pamoja na waasi.]
LUKA 22:37 Kwa kuwa nawaambia,
hayo yaliyoandikwa hayana budi kutimizwa
kwangu; ya kuwa, Alihesabiwa pamoja na
wahalifu. Kwa sababu yanipasayo yanao
mwisho wake.
LUKA 23:34 Yesu akasema, Baba,
ISAYA
259
uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo.
Wakagawa mavazi yake, wakipiga kura.
WAFILIPI 2:8 tena, alipoonekana ana
umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza
akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya
msalaba.
9 Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha
mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina;
10 ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu
vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini
ya nchi;
11 na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO
NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.
Ona pia: Zaburi 2:8; Isaya 49:24,25; Isaya 52:15; Mathayo 12:28,29; Wakolosai 2:15; Waebrania 2:14,15.
E24 Masiha ataleta amani.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 54:1-4
ISAYA 54:5 Kwa sababu Muumba wako
ni mume wako; Bwana wa majeshi ndilo
jina lake; na Mtakatifu wa Israeli ndiye
Mkombozi wako; Yeye ataitwa Mungu wa
dunia yote.
ISAYA 54:6-9
ISAYA 54:10 Maana milima itaondoka,
na vilima vitaondolewa; bali wema wangu
hautaondoka kwako, wala agano langu
la amani halitaondolewa; asema Bwana
akurehemuye.
11 Ewe uliyeteswa, uliyerushwa na tufani,
usiyetulizwa, tazama, nitaweka mawe yako
kwa rangi nzuri, nitaweka misingi yako kwa
yakuti samawi.
12 Nami nitaifanya minara yako ya akiki
nyekundu, na malango yako ya almasi, na
mipaka yako yote ya mawe yapendezayo.
13 Na watoto wako wote watafundishwa na
Bwana; na amani ya watoto wako itakuwa
nyingi.
ISAYA 54:14-17
LUKA 10:21 Saa ile ile alishangilia kwa
Roho Mtakatifu, akasema, Nakushukuru,
Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa
kuwa mambo haya umewaficha wenye
hekima na akili; umewafunulia watoto
wachanga; Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo
ilivyokupendeza.
LUKA 24:45 Ndipo akawafunulia akili zao
wapate kuelewa na maandiko.
YOHANA 6:45 Imeandikwa katika manabii,
Na wote watakuwa wamefundishwa na
Mungu. Basi kila aliyesikia na kujifunza kwa
Baba huja kwangu.
YOHANA 6:65 Akasema, Kwa sababu hiyo
nimewaambia ya kwamba hakuna mtu
awezaye kuja kwangu isipokuwa amejaliwa
na Baba yangu.
YOHANA 14:26 Lakini huyo Msaidizi, huyo
Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka
kwa jina langu, atawafundisha yote, na
kuwakumbusha yote niliyowaambia.
MATENDO YA MITUME 14:22 wakifanya
imara roho za wanafunzi na kuwaonya
wakae katika ile Imani, na ya kwamba
imetupasa kuingia katika ufalme wa Mungu
kwa njia ya dhiki nyingi.
ISAYA
260
WAEFESO 4:21 ikiwa mlimsikia
mkafundishwa katika yeye, kama kweli ilivyo
katika Yesu,
1 WATHESALONIKE 4:9 Katika habari ya
upendano, hamna haja niwaandikie; maana
ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu
kupendana.
WAEBRANIA 8:10 Maana hili ndilo agano
nitakaloagana na nyumba ya Israeli Baada
ya siku zile, asema Bwana; Nitawapa sheria
zangu katika nia zao, Na katika mioyo yao
nitaziandika; Nami nitakuwa Mungu kwao,
Nao watakuwa watu wangu.
11 Nao hawatafundishana kila mtu na jirani
yake, Na kila mtu na ndugu yake, akisema,
Mjue Bwana; Kwa maana wote watanijua,
Tangu mdogo wao hata mkubwa wao.
UFUNUO WA YOHANA 21:18 Na
majenzi ya ule ukuta wake yalikuwa ya yaspi,
na mji ule ulikuwa wa dhahabu safi, mfano
wa kioo safi.
19 Na misingi ya ukuta wa mji ilikuwa
imepambwa kwa vito vya thamani vya kila
namna. Msingi wa kwanza ulikuwa yaspi;
wa pili yakuti samawi; wa tatu kalkedoni; wa
nne zumaridi;
20 wa tano sardoniki; wa sita akiki; wa saba
krisolitho; wa nane zabarajadi; wa kenda
yakuti ya manjano; wa kumi krisopraso; wa
kumi na moja hiakintho; wa kumi na mbili
amethisto.
21 Na ile milango kumi na miwili ni lulu kumi
na mbili; kila mlango ni lulu moja. Na njia
ya mji ni dhahabu safi kama kioo kiangavu.
Ona pia: #1; #2; #3; #5; Zaburi 25:8-12; Zaburi 34:19; Zaburi 71:17; Isaya 2:3; Isaya 11:9; Isaya 51:6; Yeremia 31:34; Mathayo
11:27; Warumi 11:29; Yohana 2:20,27.
E07 Wokovu unaotolewa na Masiha.
ISAYA 55:1 Haya, kila aonaye kiu, njoni
majini, Naye asiye na fedha; njoni, nunueni
mle; Naam, njoni, nunueni divai na maziwa,
Bila fedha na bila thamani.
YOHANA 4:13 Yesu akajibu, akamwambia,
Kila anywaye maji haya ataona kiu tena;
YOHANA 7:37 Hata siku ya mwisho, siku
ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama,
akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu,
na aje kwangu anywe.
38 Aniaminiye mimi, kama vile maandiko
yalivyonena, mito ya maji yaliyo hai itatoka
ndani yake.
1 PETRO 2:2 Kama watoto wachanga
waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili
yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia
wokovu;
UFUNUO WA YOHANA 21:6
Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa
na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi
nitampa yeye mwenye kiu, ya chemchemi ya
maji ya uzima, bure.
UFUNUO WA YOHANA 22:17 Na Roho
na Bibi-arusi wasema, Njoo! Naye asikiaye
na aseme, Njoo! Naye mwenye kiu na aje; na
yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure.
Ona pia: Isaya 41:18; Isaya 52:3; Isaya 63:1; Yoeli 3:18; Mathayo 13:44; Mathayo 26:29; Warumi 3:24; 1 Wakorintho 3:2; Waefeso
2:8.
ISAYA
261
E07 Wokovu unaotolewa na Masiha.
ISAYA 55:2 Kwani kutoa fedha kwa ajili
ya kitu ambacho si chakula? Na mapato yenu
kwa kitu kisichoshibisha? Nisikilizeni kwa
bidii, mle kilicho chema, Na kujifurahisha
nafsi zenu kwa unono.
MATHAYO 15:9 Nao waniabudu bure,
Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya
wanadamu.
MATHAYO 22:4 Akatuma tena watu kwa
wengine, akisema, Waambieni wale
walioalikwa, Tazameni, nimeandaa
karamu yangu; ng›ombe zangu na vinono
vimekwisha kuchinjwa, na vyote vimekuwa
tayari, njoni arusini.
MARKO 7:14 Akawaita makutano tena,
akawaambia, Nisikieni nyote na kufahamu.
WARUMI 10:2 Kwa maana nawashuhudia
kwamba wana juhudi kwa ajili ya Mungu,
lakini si katika maarifa.
3 Kwa maana, wakiwa hawaijui haki ya
Mungu, na wakitaka kuithibitisha haki
yao wenyewe, hawakujitia chini ya haki ya
Mungu.
WARUMI 10:17 Basi imani, chanzo chake ni
kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.
WAFILIPI 3:7 Lakini mambo yale
yaliyokuwa faida kwangu, naliyahesabu
kuwa hasara kwa ajili ya Kristo.
Ona pia: Zaburi 34:11; Mithali 8:32; Isaya 46:6; Isaya 51:1,4,7; Yeremia 2:13; Yeremia 31:14; Habakuki 2:13; Luka 15:23; Yohana
6:48-58.
E11 Masiha atapeana uzima wa milele.
E20 Masiha ataweka agano jipya.
ISAYA 55:3 Tegeni masikio yenu, na
kunijia; Sikieni, na nafsi zenu zitaishi; Nami
nitafanya nanyi agano la milele, Naam,
rehema za Daudi zilizo imara.
MATHAYO 13:16 Lakini, heri macho yenu,
kwa kuwa yanaona; na masikio yenu, kwa
kuwa yanasikia.
MATHAYO 17:5 Alipokuwa katika kusema,
tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na
tazama, sauti ikatoka katika lile wingu,
ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa
wangu, ninayependezwa naye; msikieni
yeye.
YOHANA 5:24 Amin, amin, nawaambia,
Yeye alisikiaye neno langu na kumwamini
yeye aliyenipeleka yuna uzima wa milele;
wala haingii hukumuni, bali amepita kutoka
mautini kuingia uzimani.
25 Amin, amin, nawaambia, Saa inakuja,
na sasa ipo, wafu watakapoisikia sauti
ya Mwana wa Mungu, na wale waisikiao
watakuwa hai.
YOHANA 6:37 Wote anipao Baba watakuja
kwangu; wala ye yote ajaye kwangu
sitamtupa nje kamwe.
YOHANA 6:44 Hakuna mtu awezaye kuja
kwangu, asipovutwa na Baba aliyenipeleka;
nami nitamfufua siku ya mwisho.
45 Imeandikwa katika manabii, Na wote
watakuwa wamefundishwa na Mungu. Basi
kila aliyesikia na kujifunza kwa Baba huja
kwangu.
ISAYA
262
YOHANA 7:37 Hata siku ya mwisho, siku
ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama,
akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu,
na aje kwangu anywe.
YOHANA 8:47 Yeye aliye wa Mungu
huyasikia maneno ya Mungu; hivyo ninyi
hamsikii kwa sababu ninyi si wa Mungu.
YOHANA 10:27 Kondoo wangu waisikia sauti
yangu; nami nawajua, nao wanifuata.
MATENDO YA MITUME 13:34 Tena ya
kuwa alimfufua katika wafu, asipate kurudia
uharibifu, amenena hivi, Nitawapa ninyi
mambo matakatifu ya Daudi yaliyo amini.
Ona pia: Mwanzo 17:7; Zaburi 78:1; Zaburi 89:35-37; Mithali 4:20; Isaya 61:8; Yeremia 32:40; Yeremia 50:5; Ezekieli 37:24,25;
Mathayo 11:28; Waebrania 13:20.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
ISAYA 55:4 Angalieni, nimemweka kuwa
shahidi kwa kabila za watu; kuwa kiongozi
na jemadari kwa kabila za watu.
YOHANA 10:3 Bawabu humfungulia
huyo, na kondoo humsikia sauti yake; naye
huwaita kondoo wake kwa majina yao, na
kuwapeleka nje.
YOHANA 10:27 Kondoo wangu waisikia sauti
yangu; nami nawajua, nao wanifuata.
YOHANA 13:13 Ninyi mwaniita, Mwalimu,
na, Bwana; nanyi mwanena vema, maana
ndivyo nilivyo.
YOHANA 18:37 Basi Pilato akamwambia,
Wewe u mfalme basi? Yesu akajibu, Wewe
wasema, kwa kuwa mimi ni mfalme. Mimi
nimezaliwa kwa ajili ya haya, na kwa ajili
ya haya mimi nalikuja ulimwenguni, ili
niishuhudie kweli. Kila aliye wa hiyo kweli
hunisikia sauti yangu.
1 TIMOTHEO 6:13 Nakuagiza mbele
za Mungu anayevihifadhi hai vitu vyote,
na mbele za Kristo Yesu, aliyeyaungama
maungamo mazuri yale mbele ya Pontio
Pilato,
UFUNUO WA YOHANA 1:5 tena
zitokazo kwa Yesu Kristo, shahidi aliye
mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa
waliokufa, na mkuu wa wafalme wa dunia.
Yeye atupendaye na kutuosha dhambi zetu
katika damu yake,
UFUNUO WA YOHANA 3:14 Na kwa
malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika;
Haya ndiyo anenayo yeye aliye Amina,
Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli,
mwanzo wa kuumba kwa Mungu.
Ona pia: Ezekieli 34:23,24; Danieli 9:25; Hosea 3:5; Mika 5:2-4; Mathayo 2:6; Yohana 3:16; Yohana 12:26; Waebrania 2:10;
Waebrania 5:9.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
ISAYA 55:5 Tazama, utaita taifa
usilolijua, na taifa lisilokujua wewe
litakukimbilia, kwa sababu ya Bwana,
Mungu wako, na kwa ajili yake Mtakatifu wa
Israeli; maana amekutukuza.
YOHANA 10:16 Na kondoo wengine ninao,
ambao si wa zizi hili; na hao nao imenipasa
ISAYA
263
kuwaleta; na sauti yangu wataisikia; kisha
kutakuwako kundi moja na mchungaji
mmoja.
YOHANA 13:31 Basi huyo alipokwisha
kutoka, Yesu alisema, Sasa ametukuzwa
Mwana wa Adamu, naye Mungu
ametukuzwa ndani yake.
32 Mungu naye atamtukuza ndani ya nafsi
yake; naye atamtukuza mara.
YOHANA 17:1 Maneno hayo aliyasema
Yesu; akainua macho yake kuelekea
mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha
kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako
naye akutukuze wewe;
WARUMI 15:21 bali kama ilivyoandikwa,
Wale wasiohubiriwa habari zake wataona, Na
wale wasiojasikia watafahamu.
1 PETRO 1:11 Wakatafuta ni wakati
upi, na wakati wa namna gani ulioonywa
na Roho wa Kristo aliyekuwa ndani
yao, ambaye alitangulia kuyashuhudia
mateso yatakayompata Kristo, na utukufu
utakaokuwako baada ya hayo.
Ona pia: Mwanzo 49:10; Zaburi 18:43; Zaburi 110:1-3; Isaya 11:10; Isaya 52:15; Isaya 60:5,9; Hosea 1:10; Matendo ya Mitume
3:13; Matendo ya Mitume 5:31; Waebrania 5:5.
E07 Wokovu unaotolewa na Masiha.
ISAYA 55:6 Mtafuteni Bwana, maadamu
anapatikana, Mwiteni, maadamu yu karibu;
MATHAYO 6:33 Bali utafuteni kwanza
ufalme wake, na haki yake; na hayo yote
mtazidishiwa.
MATHAYO 7:7 Ombeni, nanyi mtapewa;
tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi
mtafunguliwa;
8 kwa maana kila aombaye hupokea;
naye atafutaye huona; naye abishaye
atafunguliwa.
LUKA 11:9 Nami nawaambia, Ombeni,
nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona;
bisheni, nanyi mtafunguliwa.
10 Kwa kuwa kila aombaye hupokea;
naye atafutaye huona; naye abishaye
atafunguliwa.
YOHANA 12:35 Basi Yesu akawaambia,
Nuru ingaliko pamoja nanyi muda kidogo.
Enendeni maadamu mnayo nuru hiyo, giza
lisije likawaweza; maana aendaye gizani
hajui aendako.
36 Maadamu mnayo nuru, iaminini nuru
hiyo, ili mpate kuwa wana wa nuru. Hayo
aliyasema Yesu, akaenda zake, akajificha
wasimwone.
WARUMI 11:7 Imekuwaje basi? Kitu
kile ambacho Israeli alikuwa akikitafuta
hakukipata; lakini wale waliochaguliwa
walikipata, na wengine walitiwa uzito.
WAEBRANIA 2:3 sisi je! Tutapataje kupona,
tusipojali wokovu mkuu namna hii?
Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha
ukathibitika kwetu na wale waliosikia;
Ona pia: Zaburi 27:8; Zaburi 69:32; Zaburi 105:4; Zaburi 145:18; Zaburi 148:14; Isaya 12:6; Isaya 45:19; Isaya 46:13; Yeremia 29:12-14; Maombolezo 3:25; Amosi 5:4; Sefania 2:3; Malaki 3:1; Mathayo
7:7,8; Luka 12:31; Luka 13:25; Yohana 6:26; Yohana 7:33,34; 2 Wakorintho 6:1,2.
ISAYA
264
E21 Masiha atasamehe dhambi.
ISAYA 55:7 Mtu mbaya na aache njia
yake, Na mtu asiye haki aache mawazo yake;
Na amrudie Bwana, Naye atamrehemu; Na
arejee kwa Mungu wetu, Naye atamsamehe
kabisa.
MATHAYO 7:21 Si kila mtu aniambiaye,
Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme
wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi
ya Baba yangu aliye mbinguni.
22 Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana,
hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa
jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako
kufanya miujiza mingi?
23 Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi
kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao
maovu.
MATHAYO 9:13 Lakini nendeni, mkajifunze
maana yake maneno haya, Nataka rehema,
wala si sadaka; kwa maana sikuja kuwaita
wenye haki, bali wenye dhambi.
LUKA 7:47 Kwa ajili ya hayo nakuambia,
Amesamehewa dhambi zake ambazo ni
nyingi, kwa kuwa amependa sana; lakini
asamehewaye kidogo, huyo hupenda kidogo.
LUKA 15:10 Nawaambia, Vivyo hivyo
kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu
kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja
atubuye.
LUKA 15:24 kwa kuwa huyu mwanangu
alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa
amepotea, naye ameonekana. Wakaanza
kushangilia.
MATENDO YA MITUME 3:19 Tubuni
basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate
kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako
kwake Bwana;
1 TIMOTHEO 1:15 Ni neno la
kuaminiwa, tena lastahili kukubalika kabisa,
ya kwamba Kristo Yesu alikuja ulimwenguni
awaokoe wenye dhambi; ambao wa kwanza
wao ni mimi.
16 Lakini kwa ajili hii nalipata rehema, ili katika
mimi wa kwanza, Yesu Kristo audhihirishe
uvumilivu wake wote; niwe kielelezo kwa
wale watakaomwamini baadaye, wapate
uzima wa milele.
Ona pia: Kutoka 34:6,7; Zaburi 130:7; Isaya 1:16-18; Isaya 43:25; Isaya 44:22; Yeremia 3:12; Ezekieli 3:18,19; Ezekieli 18:21-23,27-32; Ezekieli 33:11,14-16; Hosea 13:16; Hosea 14:1; Yona 3:10; Mathayo
23:25,26; Warumi 5:16-21; 1 Wakorintho 6:9-11; Waefeso 1:6-8; Yakobo 4:8-10.
E22 Kazi ya Masiha itakuwa imebarikiwa.
ISAYA 55:10 Maana kama vile mvua
ishukavyo, na theluji, kutoka mbinguni,
wala hairudi huko; bali huinywesha ardhi,
na kuizalisha na kuichipuza, ikampa mtu
apandaye mbegu, na mtu alaye chakula;
11 ndivyo litakavyokuwa neno langu, litokalo
katika kinywa changu; halitanirudia
bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo
litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma.
MATHAYO 24:35 Mbingu na nchi zitapita;
lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
YOHANA 6:63 Roho ndiyo itiayo
uzima, mwili haufai kitu; maneno hayo
niliyowaambia ni roho, tena ni uzima.
ISAYA
265
WARUMI 10:17 Basi imani, chanzo chake ni
kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.
1 WATHESALONIKE 2:13 Kwa sababu hiyo
sisi nasi twamshukuru Mungu bila kukoma,
kwa kuwa, mlipopata lile neno la ujumbe
la Mungu mlilolisikia kwetu, mlilipokea
si kama neno la wanadamu, bali kama
neno la Mungu; na ndivyo lilivyo kweli
kweli; litendalo kazi pia ndani yenu ninyi
mnaoamini.
WAEBRANIA 1:1 Mungu, ambaye alisema
zamani na baba zetu katika manabii kwa
sehemu nyingi na kwa njia nyingi,
WAEBRANIA 2:3 sisi je! Tutapataje kupona,
tusipojali wokovu mkuu namna hii?
Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha
ukathibitika kwetu na wale waliosikia;
YAKOBO 1:18 Kwa kupenda kwake
mwenyewe alituzaa sisi kwa neno la kweli,
tuwe kama limbuko la viumbe vyake.
1 PETRO 1:23 Kwa kuwa mmezaliwa mara
ya pili; si kwa mbegu iharibikayo, bali kwa
ile isiyoharibika; kwa neno la Mungu lenye
uzima, lidumulo hata milele.
Ona pia: Isaya 45:23; Isaya 46:10; Luka 8:11-16.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 55:12 Maana mtatoka kwa furaha,
Mtaongozwa kwa amani; Mbele yenu
milima na vilima vitatoa nyimbo; Na miti
yote ya kondeni itapiga makofi.
13 Badala ya michongoma utamea msunobari,
Na badala ya mibigili, mhadesi; Jambo hili
litakuwa la kumpatia Bwana jina, Litakuwa
ishara ya milele isiyokatiliwa mbali.
WARUMI 5:1 Basi tukiisha kuhesabiwa
haki itokayo katika imani, na mwe na amani
kwa Mungu, kwa njia ya Bwana wetu Yesu
Kristo,
WARUMI 15:13 Basi Mungu wa tumaini
na awajaze ninyi furaha yote na amani
katika kuamini, mpate kuzidi sana kuwa na
tumaini, katika nguvu za Roho Mtakatifu.
1 WAKORINTHO 6:9 Au hamjui ya kuwa
wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu?
Msidanganyike; waasherati hawataurithi
ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu,
wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi,
wala watukanaji, wala wanyang›anyi.
11 Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna
hii; lakini mlioshwa, lakini mlitakaswa,
lakini mlihesabiwa haki katika jina la Bwana
Yesu Kristo, na katika Roho wa Mungu wetu.
2 WAKORINTHO 5:17 Hata imekuwa,
mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe
kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa
mapya.
WAGALATIA 5:22 Lakini tunda la Roho ni
upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu
wema, fadhili, uaminifu,
WAKOLOSAI 1:11 mkiwezeshwa kwa uwezo
wote, kwa kadiri ya nguvu ya utukufu wake,
mpate kuwa na saburi ya kila namna na
uvumilivu pamoja na furaha;
ISAYA
266
UFUNUO WA YOHANA 2:7 Yeye
aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo
Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye,
nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio
katika bustani ya Mungu.
UFUNUO WA YOHANA 22:2 katikati
ya njia kuu yake. Na upande huu na upande
huu wa ule mto, ulikuwapo mti wa uzima,
uzaao matunda, aina kumi na mbili, wenye
kutoa matunda yake kila mwezi; na majani
ya mti huo ni ya kuwaponya mataifa.
Ona pia: #1; #2; #5.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 56:6 Na wageni, walioandamana
na Bwana ili wamhudumu, na kulipenda
jina la Bwana, kuwa watumishi wake; kila
aishikaye sabato asiivunje, na kulishika sana
agano langu;
7 Nitawaleta hao nao hata mlima wangu
mtakatifu, na kuwafurahisha katika nyumba
yangu ya sala; makafara yao na dhabihu zao
zitakubaliwa juu ya madhabahu zangu; kwa
maana nyumba yangu itaitwa nyumba ya
sala kwa mataifa yote.
8 Bwana MUNGU, akusanyaye waliofukuzwa
katika Israeli asema, Pamoja na hayo
nitamkusanyia na wengine, zaidi ya hao
walio wake waliokusanywa.
ISAYA 43:6 nitaiambia kaskazi, Toa; nayo
kusi, Usizuie; waleteni wana wangu kutoka
mbali, na binti zangu kutoka miisho ya
dunia.
ISAYA 49:22 Bwana MUNGU asema
hivi, Tazama, nitawainulia mataifa mkono
wangu, na kuwatwekea kabila za watu
bendera yangu; nao wataleta wana wako
vifuani mwao, na binti zako watachukuliwa
mabegani mwao.
MARKO 11:17 Akafundisha, akasema,
Je! Haikuandikwa, Nyumba yangu itaitwa
nyumba ya sala kwa mataifa yote? Bali ninyi
mmeifanya kuwa pango la wanyang›anyi.
YOHANA 10:16 Na kondoo wengine ninao,
ambao si wa zizi hili; na hao nao imenipasa
kuwaleta; na sauti yangu wataisikia; kisha
kutakuwako kundi moja na mchungaji
mmoja.
YOHANA 11:51 Na neno hilo yeye
hakulisema kwa nafsi yake; bali kwa kuwa
alikuwa Kuhani Mkuu mwaka ule, alitabiri
ya kwamba Yesu atakufa kwa ajili ya taifa
hilo.
52 Wala si kwa ajili ya taifa hilo tu; lakini
pamoja na hayo awakusanye watoto wa
Mungu waliotawanyika, ili wawe wamoja.
MATENDO YA MITUME 2:41 Nao
waliolipokea neno lake wakabatizwa; na siku
ile wakaongezeka watu wapata elfu tatu.
MATENDO YA MITUME 10:34 Petro
akafumbua kinywa chake, akasema, Hakika
natambua ya kuwa Mungu hana upendeleo;
35 bali katika kila taifa mtu amchaye na
kutenda haki hukubaliwa na yeye.
WAEFESO 1:10 Yaani, kuleta madaraka ya
wakati mkamilifu atavijumlisha vitu vyote
katika Kristo, vitu vya mbinguni na vitu vya
ISAYA
267
duniani pia. Naam, katika yeye huyo;
WAEFESO 2:11 Kwa ajili ya hayo kumbukeni
ya kwamba zamani ninyi, mlio watu wa
Mataifa kwa jinsi ya mwili, mnaoitwa
Wasiotahiriwa na wale wanaoitwa
Waliotahiriwa, yaani, tohara ya mwilini
iliyofanyika kwa mikono;
12 kwamba zamani zile mlikuwa hamna Kristo,
mmefarakana na jamii ya Israeli, wageni
wasio wa maagano ya ahadi ile. Mlikuwa
hamna tumaini, hamna Mungu duniani.
13 Lakini sasa, katika Kristo Yesu, ninyi
mliokuwa mbali hapo kwanza mmekuwa
karibu kwa damu yake Kristo.
WAEFESO 2:18 Kwa maana kwa yeye sisi
sote tumepata njia ya kumkaribia Baba
katika Roho mmoja.
19 Basi tangu sasa ninyi si wageni wala
wapitaji, bali ninyi ni wenyeji pamoja na
watakatifu, watu wa nyumbani mwake
Mungu.
20 Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na
manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni
jiwe kuu la pembeni.
21 Katika yeye jengo lote linaungamanishwa
vema na kukua hata liwe hekalu takatifu
katika Bwana.
WAEBRANIA 12:22 Bali ninyi
mmeufikilia mlima Sayuni, na mji wa
Mungu aliye hai, Yerusalemu wa mbinguni,
na majeshi ya malaika elfu nyingi,
23 mkutano mkuu na kanisa la wazaliwa wa
kwanza walioandikwa mbinguni, na Mungu
mwamuzi wa watu wote, na roho za watu
wenye haki waliokamilika,
24 na Yesu mjumbe wa agano jipya, na damu
ya kunyunyizwa, inenayo mema kuliko ile ya
Habili.
WAEBRANIA 13:15 Basi, kwa njia
yake yeye, na tumpe Mungu dhabihu ya sifa
daima, yaani, tunda la midomo iliungamayo
jina lake.
1 PETRO 2:5 Ninyi nanyi, kama mawe
yaliyo hai, mmejengwa mwe nyumba ya
Roho, ukuhani mtakatifu, mtoe dhabihu za
roho, zinazokubaliwa na Mungu, kwa njia ya
Yesu Kristo.
UFUNUO WA YOHANA 14:1 Kisha
nikaona, na tazama, huyo Mwana-Kondoo
amesimama juu ya mlima Sayuni, na
watu mia na arobaini na nne elfu pamoja
naye, wenye jina lake na jina la Baba yake
limeandikwa katika vipaji vya nyuso zao.
Ona pia: #1; #3; #4; Isaya 56:3; Matendo ya Mitume 11:23; 2 Wakorintho 8:5; Waebrania 10:19-22; 1 Petro 1:1,2.
E23 Masiha atawabadilisha watu Wake.
G06 Makao ya Roho Mtakatifu.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 57:15 Maana yeye aliye juu,
aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina
lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi
mahali palipoinuka, palipo patakatifu; tena
pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu
na kunyenyekea, ili kuzifufua roho za
wanyenyekevu, na kuifufua mioyo yao
waliotubu.
16 Kwa kuwa sitashindana na watu siku zote,
wala sitakuwa na hasira siku zote; maana
roho ingezimia mbele zangu, na hizo nafsi
nilizozifanya.
ISAYA
268
17 Kwa sababu ya uovu wa kutamani kwake
naliona hasira, nikampiga; nalificha uso
wangu, nikaona ghadhabu; naye akaendelea
kwa ukaidi, kuifuata njia ya moyo wake
mwenyewe.
18 Nimeziona njia zake; nami nitamponya;
nitamwongoza pia, nitamrudishia faraja
zake, yeye na hao wanaomlilia.
MATHAYO 19:28 Yesu akawaambia, Amin,
nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata
mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi
Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu
wake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi
na viwili, mkiwahukumu kabila kumi na
mbili za Israeli.
LUKA 4:18 Roho wa Bwana yu juu
yangu, Kwa maana amenitia mafuta
kuwahubiri maskini habari njema.
Amenituma kuwatangazia wafungwa
kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona
tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
YOHANA 1:12 Bali wote waliompokea
aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa
Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;
13 waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa
mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya
mtu, bali kwa Mungu.
YOHANA 3:3 Yesu akajibu, akamwambia,
Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa
mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa
Mungu.
4 Nikodemo akamwambia, Awezaje mtu
kuzaliwa, akiwa mzee? Aweza kuingia
tumboni mwa mamaye mara ya pili
akazaliwa?
5 Yesu akajibu, Amin, amin, nakuambia, Mtu
asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi
kuuingia ufalme wa Mungu.
6 Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na
kilichozaliwa kwa Roho ni roho.
7 Usistaajabu kwa kuwa nilikuambia, Hamna
budi kuzaliwa mara ya pili.
8 Upepo huvuma upendako, na sauti yake
waisikia, lakini hujui unakotoka wala
unakokwenda; kadhalika na hali yake kila
mtu aliyezaliwa kwa Roho.
WAGALATIA 6:15 Kwa sababu kutahiriwa si
kitu, wala kutokutahiriwa, bali kiumbe kipya.
WAEFESO 2:1 Nanyi mlikuwa wafu kwa
sababu ya makosa na dhambi zenu;
WAKOLOSAI 3:9 Msiambiane uongo, kwa
kuwa mmevua kabisa utu wa kale, pamoja
na matendo yake;
10 mkivaa utu mpya, unaofanywa upya upate
ufahamu sawasawa na mfano wake yeye
aliyeuumba.
TITO 3:5 si kwa sababu ya matendo ya haki
tuliyoyatenda sisi; bali kwa rehema yake,
kwa kuoshwa kwa kuzaliwa kwa pili na
kufanywa upya na Roho Mtakatifu;
YAKOBO 1:18 Kwa kupenda kwake
mwenyewe alituzaa sisi kwa neno la kweli,
tuwe kama limbuko la viumbe vyake.
1 PETRO 1:3 Ahimidiwe Mungu, Baba
wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa
rehema zake nyingi alituzaa mara ya pili ili
tupate tumaini lenye uzima kwa kufufuka
kwake Yesu Kristo katika wafu;
1 PETRO 1:23 Kwa kuwa mmezaliwa mara
ISAYA
269
ya pili; si kwa mbegu iharibikayo, bali kwa
ile isiyoharibika; kwa neno la Mungu lenye
uzima, lidumulo hata milele.
1 PETRO 2:2 Kama watoto wachanga
waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili
yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia
wokovu;
1 YOHANA 2:29 Kama mkijua ya kuwa yeye
ni mwenye haki, jueni ya kuwa kila atendaye
haki amezaliwa na yeye.
1 YOHANA 3:9 Kila mtu aliyezaliwa na
Mungu hatendi dhambi, kwa sababu
uzao wake wakaa ndani yake; wala hawezi
kutenda dhambi kwa sababu amezaliwa
kutokana na Mungu.
1 YOHANA 5:1 Kila mtu aaminiye kwamba
Yesu ni Kristo amezaliwa na Mungu. Na kila
mtu ampendaye mwenye kuzaa, ampenda
hata yeye aliyezaliwa na yeye.
1 YOHANA 5:4 Kwa maana kila kitu
kilichozaliwa na Mungu huushinda
ulimwengu; na huku ndiko kushinda
kuushindako ulimwengu, hiyo imani yetu.
1 YOHANA 5:18 Twajua ya kuwa kila mtu
aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi; bali
yeye aliyezaliwa na Mungu hujilinda, wala
yule mwovu hamgusi.
Ona pia: #2; Zaburi 51:10; Zaburi 103:9-16; Zaburi 138:6; Zaburi 147:3; Isaya 66:2; Yeremia 31:33; Yeremia 32:40; Ezekieli 11:19; Ezekieli 18:31; Ezekieli 36:26,27; Mathayo 5:3; Luka 15:20-24;
Yohana 14:23; Warumi 5:21; 2 Wakorintho 5:17; Waefeso 2:5,8,10; Wafilipi 2:13; Wakolosai 1:13; Wakolosai 2:13; Yakobo 4:6.
E24 Masiha ataleta amani.
ISAYA 57:19 Mimi nayaumba matunda
ya midomo; Amani, amani, kwake yeye aliye
mbali, na kwake yeye aliye karibu; asema
Bwana; nami nitamponya.
LUKA 2:14 Atukuzwe Mungu juu
mbinguni, Na duniani iwe amani kwa watu
aliowaridhia.
WAEFESO 2:14 Kwa maana yeye ndiye
amani yetu, aliyetufanya sisi sote tuliokuwa
wawili kuwa mmoja; akakibomoa kiambaza
cha kati kilichotutenga.
15 Naye akiisha kuuondoa ule uadui kwa mwili
wake; ndiyo sheria ya amri zilizo katika
maagizo; ili afanye hao wawili kuwa mtu
mpya mmoja ndani ya nafsi yake; akafanya
amani.
16 Akawapatanisha wote wawili na Mungu
katika mwili mmoja, kwa njia ya msalaba,
akiisha kuufisha ule uadui kwa huo msalaba.
17 Akaja akahubiri amani kwenu ninyi
mliokuwa mbali, na amani kwao wale
waliokuwa karibu.
D06 Masiha atakuwa Mshauri.
D07 Masiha atakuwa Mpatanishi.
E08 Haki ya Masiha.
H06 Kazi ya uombezi ya Masiha.
ISAYA 59:16 Akaona ya kuwa hapana
mtu, akastaajabu kwa kuwa hapana
mwombezi; basi, mkono wake mwenyewe
ndio uliomletea wokovu; na haki yake ndiyo
iliyomsaidia.
ISAYA
270
ZABURI 20:6 Sasa najua kuwa Bwana
amwokoa masihi wake;Atamjibu kutoka
mbingu zake takatifu.
ZABURI 80:17 Mkono wako na uwe juu
yake Mtu wa mkono wako wa kuume; Juu ya
mwanadamu uliyemfanya Kuwa imara kwa
nafsi yako;
1 TIMOTHEO 2:5 Kwa sababu Mungu ni
mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na
wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo
Yesu;
WAEBRANIA 9:15 Na kwa sababu hii ni
mjumbe wa agano jipya, ili, mauti
ikiisha kufanyika kwa kukomboa makosa
yaliyokuwa chini ya agano la kwanza, hao
walioitwa waipokee ahadi ya urithi wa
milele.
WAEBRANIA 10:7 Ndipo niliposema,
Tazama, nimekuja (katika gombo la chuo
nimeandikiwa) Niyafanye mapenzi yako,
Mungu.
1 YOHANA 2:1 Watoto wangu wadogo,
nawaandikia haya ili kwamba msitende
dhambi. Na kama mtu akitenda dhambi
tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo
mwenye haki,
Ona pia: Mwanzo 18:23-32; Zaburi 40:7; Zaburi 98:1,2; Zaburi 106:23; Zaburi 108:6; Zaburi 138:7; Isaya 63:5; Yeremia 5:1;
Ezekieli 22:30.
E08 Haki ya Masiha.
ISAYA 59:17 Akajivika haki kama deraya
kifuani, na chapeo cha wokovu kichwani
pake, akajivika mavazi ya kisasi yawe mavazi
yake, naye alivikwa wivu kama joho.
ISAYA 11:5 Na haki itakuwa mshipi
wa viuno vyake, na uaminifu mshipi wa
kujifungia.
WARUMI 13:12 Usiku umeendelea sana,
mchana umekaribia, basi na tuyavue
matendo ya giza, na kuzivaa silaha za nuru.
2 WAKORINTHO 6:7 katika neno la
kweli, katika nguvu ya Mungu; kwa silaha za
haki za mkono wa kuume na za mkono wa
kushoto;
WAEFESO 6:14 Basi simameni, hali
mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa dirii ya
haki kifuani,
15 na kufungiwa miguu utayari tupatao kwa
Injili ya amani;
16 zaidi ya yote mkiitwaa ngao ya imani,
ambayo kwa hiyo mtaweza kuizima mishale
yote yenye moto ya yule mwovu.
17 Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga
wa Roho ambao ni neno la Mungu;
1 WATHESALONIKE 5:8 Lakini sisi tulio
wa mchana, tuwe na kiasi, hali tukijivika
kifuani imani na upendo, na chapeo yetu
iwe tumaini la wokovu.
UFUNUO WA YOHANA 19:11 Kisha
nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama,
farasi mweupe, na yeye aliyempanda,
aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa
ISAYA
271
haki ahukumu na kufanya vita.
Ona pia: Isaya 51:9.
D05 Masiha atakuwa Mkombozi.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 59:18 Kadiri ya matendo yao,
kwa kadiri iyo hiyo atawalipa, ukali kwao
wampingao, malipo kwa adui zake; naye
atavirudishia visiwa malipo.
19 Basi, wataliogopa jina la Bwana toka
magharibi, na utukufu wake toka maawio ya
jua; maana yeye atakuja kama mkondo wa
mto ufurikao, uendeshwao kwa pumzi ya
Bwana.
20 Na Mkombozi atakuja Sayuni, kwao
waachao maasi yao katika Yakobo, asema
Bwana.
ISAYA 11:10 Na itakuwa katika siku hiyo,
shina la Yese lisimamalo kuwa ishara kwa
kabila za watu, yeye ndiye ambaye mataifa
watamtafuta; na mahali pake pa kupumzikia
patakuwa na utukufu.
MALAKI 1:11 Kwa maana tokea maawio
ya jua hata machweo yake jina langu ni
kuu katika Mataifa; na katika kila mahali
unatolewa uvumba na dhabihu safi kwa
jina langu; maana jina langu ni kuu katika
Mataifa, asema Bwana wa majeshi.
MATHAYO 16:27 Kwa sababu Mwana wa
Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake
pamoja na malaika zake; ndipo atakapomlipa
kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.
WARUMI 11:25 Kwa maana, ndugu zangu,
sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa
wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu
umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa
Mataifa uwasili.
26 Hivyo Israeli wote wataokoka; kama
ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka
Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake.
27 Na hili ndilo agano langu nao,
Nitakapowaondolea dhambi zao.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
Ona pia: #1; #2; #4; #5; Mambo ya Walawi 25:25,26; Ruthu 4:1-22; Isaya 41:14; Isaya 44:6,24; Isaya 48:17; Isaya 49:7; Isaya
54:5,8; Isaya 60:16; Isaya 63:16; Yeremia 14:8; 2 Wakorintho 1:10; Wagalatia 4:5; 2 Timotheo 4:18; Tito 2:14; Waebrania 2:15;
2 Petro 2:9.
E20 Masiha ataweka agano jipya.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 59:21 Tena katika habari zangu,
hili ndilo agano langu nao, asema Bwana;
roho yangu iliyo juu yako, na maneno yangu
niliyoyatia kinywani mwako, hayataondoka
kinywani mwako, wala kinywani mwa wana
wako, wala kinywani mwa wajukuu wako,
asema Bwana, tangu leo na hata milele.
YEREMIA 31:31 Angalia, siku zinakuja,
asema Bwana, nitakapofanya agano jipya na
nyumba ya Israeli, na nyumba ya Yuda.
32 Si kwa mfano wa agano lile nililolifanya
na baba zao, katika siku ile nilipowashika
ISAYA
272
mkono, ili kuwatoa katika nchi ya Misri;
ambalo agano langu hilo walilivunja, ingawa
nalikuwa mume kwao, asema Bwana.
33 Bali agano hili ndilo nitakalofanya na
nyumba ya Israeli, baada ya siku zile, asema
Bwana; Nitatia sheria yangu ndani yao, na
katika mioyo yao nitaiandika; nami nitakuwa
Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
34 Wala hawatamfundisha kila mtu jirani yake,
na kila mtu ndugu yake, wakisema, Mjue
Bwana; kwa maana watanijua wote, tangu
mtu aliye mdogo miongoni mwao hata aliye
mkubwa miongoni mwao, asema Bwana;
maana nitausamehe uovu wao, wala dhambi
yao sitaikumbuka tena.
LUKA 11:13 Basi, ikiwa ninyi mlio waovu
mnajua kuwapa watoto wenu vipawa vyema,
je! Baba aliye mbinguni hatazidi sana
kuwapa Roho Mtakatifu hao wamwombao?
WARUMI 9:6 Si kana kwamba neno la
Mungu limetanguka. Maana hawawi wote
Waisraeli walio wa uzao wa Israeli.
7 Wala hawawi wote wana kwa kuwa wazao
wa Ibrahimu, bali, Katika Isaka wazao wako
wataitwa;
8 yaani, si watoto wa mwili walio watoto
wa Mungu, bali watoto wa ile ahadi
wanahesabiwa kuwa wazao.
WAEBRANIA 8:8 Maana, awalaumupo, asema
Angalia, siku zinakuja, asema Bwana, Nami
nitawatimizia nyumba ya Israeli na nyumba
ya Yuda agano jipya;
9 Halitakuwa kama agano lile nililoagana
na baba zao, Katika siku ile nilipowashika
mikono yao niwatoe katika nchi ya Misri.
Kwa sababu hawakudumu katika agano
langu, Mimi nami sikuwajali asema Bwana.
10 Maana hili ndilo agano nitakaloagana na
nyumba ya Israeli Baada ya siku zile, asema
Bwana; Nitawapa sheria zangu katika nia
zao, Na katika mioyo yao nitaziandika; Nami
nitakuwa Mungu kwao, Nao watakuwa watu
wangu.
Ona pia: #1; #2; Mathayo 26:26-29.
B14 Masiha anatambulisha utukufu wa Mungu
C01 Kuzaliwa kwa Masiha kunatabiriwa.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 60:1 Ondoka, uangaze; kwa kuwa
nuru yako imekuja, Na utukufu wa Bwana
umekuzukia.
2 Maana, tazama, giza litaifunika dunia, Na
giza kuu litazifunika kabila za watu; Bali
Bwana atakuzukia wewe, Na utukufu wake
utaonekana juu yako.
3 Na mataifa wataijilia nuru yako, Na wafalme
kuujia mwanga wa kuzuka kwako.
4 Inua macho yako, utazame pande zote; Wote
wanakusanyana; wanakujia wewe; Wana
wako watakuja kutoka mbali. Na binti zako
watabebwa nyongani.
5 Ndipo utakapoona na kutiwa nuru, Na moyo
wako utatetemeka na kukunjuka; Kwa kuwa
wingi wa bahari utageuzwa kukujia, Utajiri
wa mataifa utakuwasilia.
MATHAYO 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye
mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza
kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho
Mtakatifu;
LUKA 2:30 Kwa kuwa macho yangu
yameuona wokovu wako,
ISAYA
273
31 Uliouweka tayari machoni pa watu wote;
32 Nuru ya kuwa mwangaza wa Mataifa, Na
kuwa utukufu wa watu wako Israeli.
LUKA 24:47 na kwamba mataifa yote
watahubiriwa kwa jina lake habari ya
toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu
Yerusalemu.
YOHANA 1:9 Kulikuwako Nuru halisi,
amtiaye nuru kila mtu, akija katika
ulimwengu.
YOHANA 8:12 Basi Yesu akawaambia tena
akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu,
yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe,
bali atakuwa na nuru ya uzima.
MATENDO YA MITUME 13:47 Kwa
sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana,
Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, Upate
kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.
MATENDO YA MITUME
26:18 uwafumbue macho yao, na kuwageuza
waiache giza na kuielekea nuru, waziache na
nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu;
kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na
urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa
imani iliyo kwangu mimi.
WARUMI 11:11 Basi nasema, Je!
Wamejikwaa hata waanguke kabisa? Hasha!
Lakini kwa kosa lao wokovu umewafikilia
Mataifa, ili wao wenyewe watiwe wivu.
12 Basi, ikiwa kosa lao limekuwa utajiri wa
ulimwengu, na upungufu wao umekuwa
utajiri wa Mataifa, je! Si zaidi sana utimilifu
wao?
13 Lakini nasema na ninyi, mlio watu wa
Mataifa. Basi, kwa kadiri nilivyo mtume wa
watu wa Mataifa, naitukuza huduma iliyo
yangu,
14 nipate kuwatia wivu walio damu moja na
mimi na kuwaokoa baadhi yao.
15 Maana ikiwa kutupwa kwao kumeleta
upatanisho kwa ulimwengu, je! Kukubaliwa
kwao kutakuwa nini kama si uhai baada ya
kufa?
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Mathayo 15:14; Mathayo 23:19,24; Matendo ya Mitume 14:16; Matendo ya Mitume 17:30,31;
Warumi 15:9-12; Waefeso 5:14.
B21 Masiha ndiye Nuru.
G05 Masiha atapata matunda mengi.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H05 Utukufu na nguvu za Masiha zinazokuja.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
H11 Masiha atatukuzwa.
ISAYA 60:6-7
ISAYA 60:8 Ni nani hawa warukao kama
wingu, Na kama njiwa waendao madirishani
kwao?
9 Hakika yake visiwa vitaningojea, Na
merikebu za Tarshishi kwanza, Ili kuleta
wana wako kutoka mbali, Na fedha yao
na dhahabu yao pamoja nao, Kwa ajili
ya jina la Bwana, Mungu wako, Kwa ajili
yake Mtakatifu wa Israeli, Kwa kuwa
amekutukuza wewe.
10 Na wageni watajenga kuta zako, Na
wafalme wao watakuhudumu; Maana katika
ghadhabu yangu nalikupiga, Lakini katika
upendeleo wangu nimekurehemu.
11 Malango yako nayo yatakuwa wazi daima;
Hayatafungwa mchana wala usiku; Ili watu
wapate kukuletea utajiri wa mataifa, Na
wafalme wao wakiongozwa pamoja nao.
ISAYA
274
ISAYA 60:12-15
ISAYA 60:16 Utanyonya maziwa ya
mataifa, Utanyonya matiti ya wafalme; Nawe
utajua ya kuwa mimi, Bwana, ni mwokozi
wako, Na mkombozi wako, Mwenye enzi wa
Yakobo.
17 Badala ya shaba nitaleta dhahabu, Na badala;
ya chuma nitaleta fedha, Na badala ya mti,
shaba, Na badala ya mawe, chuma; Tena
nitawafanya wasimamizi wako wawe amani,
Na hao wakutozao fedha kuwa haki.
18 Jeuri haitasikiwa tena katika nchi yako,
Ukiwa na uharibifu hazitakuwa mipakani
mwako; Bali utaziita kuta zako, Wokovu, Na
malango yako, Sifa.
19 Jua halitakuwa nuru yako tena wakati wa
mchana, Wala mwezi hautakupa nuru kwa
mwangaza wake; Bali Bwana atakuwa nuru
ya milele kwako, Na Mungu wako atakuwa
utukufu wako.
20 Jua lako halitashuka tena, Wala mwezi wako
hautajitenga; Kwa kuwa Bwana mwenyewe
atakuwa nuru yako ya milele; Na siku za
kuomboleza kwako zitakoma.
21 Watu wako nao watakuwa wenye haki wote,
Nao watairithi nchi milele;
ZABURI 37:29 Wenye haki watairithi nchi,
Nao watakaa humo milele.
ZABURI 72:11 Naam, wafalme wote na
wamsujudie; Na mataifa yote wamtumikie.
ISAYA 26:1 Siku ile wimbo huu
utaimbwa katika nchi ya Yuda; Sisi tunao
mji ulio na nguvu; Ataamuru wokovu kuwa
kuta na maboma.
2 Wekeni wazi malango yake, Taifa lenye haki,
lishikalo kweli, liingie.
ISAYA 49:23 Na wafalme watakuwa baba
zako za kulea, na malkia zao mama zako
za kulea; watainama mbele yako kifudifudi,
na kuramba mavumbi ya miguu yako;
nawe utajua ya kuwa mimi ni Bwana, tena
waningojeao hawatatahayarika.
YOHANA 9:5 Muda nilipo ulimwenguni,
mimi ni nuru ya ulimwengu.
YOHANA 12:28 Baba, ulitukuze jina
lako. Basi ikaja sauti kutoka mbinguni,
Nimelitukuza, nami nitalitukuza tena.
YOHANA 15:1 Mimi ndimi mzabibu wa
kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
2 Kila tawi ndani yangu lisilozaa huliondoa; na
kila tawi lizaalo hulisafisha, ili lizidi kuzaa.
YOHANA 15:8 Hivyo hutukuzwa Baba
yangu, kwa vile mzaavyo sana; nanyi
mtakuwa wanafunzi wangu.
WARUMI 1:17 Kwa maana haki ya Mungu
inadhihirishwa ndani yake, toka imani hata
imani; kama ilivyoandikwa, Mwenye haki
ataishi kwa imani.
WARUMI 5:19 Kwa sababu kama kwa kuasi
kwake mtu mmoja watu wengi waliingizwa
katika hali ya wenye dhambi, kadhalika
kwa kutii kwake mmoja watu wengi
wameingizwa katika hali ya wenye haki.
WAEFESO 2:10 Maana tu kazi yake,
tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende
matendo mema, ambayo tokea awali Mungu
aliyatengeneza ili tuenende nayo.
2 PETRO 3:13 Lakini, kama ilivyo ahadi
ISAYA
275
yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi
mpya, ambayo haki yakaa ndani yake.
UFUNUO WA YOHANA 21:12 ulikuwa
na ukuta mkubwa, mrefu, wenye milango
kumi na miwili, na katika ile milango
malaika kumi na wawili; na majina
yameandikwa ambayo ni majina ya kabila
kumi na mbili za Waisraeli.
13 Upande wa mashariki milango mitatu;
na upande wa kaskazini milango mitatu;
na upande wa kusini milango mitatu; na
upande wa magharibi milango mitatu.
14 Na ukuta wa mji ulikuwa na misingi kumi
na miwili, na katika ile misingi majina kumi
na mawili ya wale mitume kumi na wawili
wa Mwana-Kondoo.
UFUNUO WA YOHANA 21:23 Na mji
ule hauhitaji jua wala mwezi kuuangaza,
kwa maana utukufu wa Mungu huutia nuru,
na taa yake ni Mwana-Kondoo.
24 Na mataifa watatembea katika nuru yake. Na
wafalme wa nchi huleta utukufu wao ndani
yake.
25 Na milango yake haitafungwa kamwe
mchana; kwa maana humo hamna usiku.
26 Nao wataleta utukufu na heshima ya mataifa
ndani yake.
27 Na ndani yake hakitaingia kamwe
cho chote kilicho kinyonge, wala yeye
afanyaye machukizo na uongo, bali wale
walioandikwa katika kitabu cha uzima cha
Mwana-Kondoo.
UFUNUO WA YOHANA 22:5 Wala
hapatakuwa na usiku tena; wala hawana haja
ya taa wala ya nuru ya jua; kwa kuwa Bwana
Mungu huwatia nuru, nao watatawala hata
milele na milele.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Zaburi 1:5; Zaburi 112:1-6; Isaya 57:13.
D01 Kupakwa kwa mafuta kwa Masiha.
E06 Kazi na mwito wa Masiha.
E15 Masiha ataleta habari njema.
H11 Masiha atatukuzwa.
ISAYA 61:1 Roho ya Bwana MUNGU
i juu yangu; kwa sababu Bwana amenitia
mafuta niwahubiri wanyenyekevu
habari njema; amenituma ili kuwaganga
waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka
uhuru wao, na hao waliofungwa habari za
kufunguliwa kwao.
2 Kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa,
na siku ya kisasi cha Mungu wetu; kuwafariji
wote waliao;
3 kuwaagizia hao waliao katika Sayuni,
wapewe taji ya maua badala ya majivu,
mafuta ya furaha badala ya maombolezo,
vazi la sifa badala ya roho nzito; wapate
kuitwa miti ya haki, iliyopandwa na Bwana,
ili atukuzwe.
ISAYA 57:15 Maana yeye aliye juu,
aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina
lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi
mahali palipoinuka, palipo patakatifu; tena
pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu
na kunyenyekea, ili kuzifufua roho za
wanyenyekevu, na kuifufua mioyo yao
waliotubu.
MATHAYO 3:16 Naye Yesu alipokwisha
kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na
tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona
Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija
juu yake;
17 na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema,
ISAYA
276
Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu,
ninayependezwa naye.
MATHAYO 5:4 Heri wenye huzuni; Maana
hao watafarijika.
5 Heri wenye upole; Maana hao watairithi
nchi.
LUKA 4:17 Akapewa chuo cha nabii
Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali
palipoandikwa,
18 Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana
amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari
njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa
kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona
tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
19 Na kutangaza mwaka wa Bwana
uliokubaliwa.
20 Akakifunga chuo, akamrudishia mtumishi,
akaketi; na watu wote waliokuwamo katika
sinagogi wakamkazia macho.
21 Akaanza kuwaambia, Leo maandiko haya
yametimia masikioni mwenu.
YOHANA 1:32 Tena Yohana akashuhudia
akisema, Nimemwona Roho akishuka kama
hua kutoka mbinguni; naye akakaa juu yake.
33 Wala mimi sikumjua; lakini yeye
aliyenipeleka kubatiza kwa maji, huyo
aliniambia, Yeye ambaye utamwona Roho
akishuka na kukaa juu yake, huyo ndiye
abatizaye kwa Roho Mtakatifu.
34 Nami nimeona, tena nimeshuhudia ya kuwa
huyu ni Mwana wa Mungu.
YOHANA 15:11 Hayo nimewaambia, ili
furaha yangu iwe ndani yenu, na furaha
yenu itimizwe.
2 WAKORINTHO 6:2 (Kwa maana
asema, Wakati uliokubalika nalikusikia,
Siku ya wokovu nalikusaidia;tazama,wakati
uliokubalika ndiyo sasa; tazama siku ya
wokovu ni sasa)
2 WAKORINTHO 7:9 Sasa nafurahi, si
kwa sababu ya ninyi kuhuzunishwa, bali
kwa sababu mlihuzunishwa, hata mkatubu.
Maana mlihuzunishwa kwa jinsi ya Mungu,
ili msipate hasara kwa tendo letu katika
neno lo lote.
10 Maana huzuni iliyo kwa jinsi ya Mungu
hufanya toba liletalo wokovu lisilo na
majuto; bali huzuni ya dunia hufanya mauti.
Ona pia: #1; Zaburi 30:11; Isaya 12:1; Ezekieli 16:8-13; Yohana 14:14-26; Tito 3:4-6.
E20 Masiha ataweka agano jipya.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 61:4 Nao watajenga mahali pa
kale palipoharibiwa, watapainua mahali
palipokuwa ukiwa zamani, watatengeneza
miji iliyoharibiwa, mahali palipoachwa
kizazi baada ya kizazi.
5 Na wageni watasimama na kulisha makundi
yenu, na watu wa kabila nyingine watakuwa
wakulima wenu, na watunzaji wa mizabibu
yenu.
6 Bali ninyi mtaitwa makuhani wa Bwana;
watu watawaiteni wahudumu wa Mungu
wetu; mtakula utajiri wa mataifa, na kujisifia
utukufu wao.
7 Badala ya aibu yenu mtapata maradufu, na
badala ya fedheha wataifurahia sehemu yao;
basi katika nchi yao watamiliki maradufu;
furaha yao itakuwa ya milele.
ISAYA
277
8 Maana mimi, Bwana, naipenda hukumu
ya haki, nauchukia wivi na uovu; nami
nitawalipa malipo katika kweli, nitaagana
nao agano la milele.
9 Na kizazi chao kitajulikana katika mataifa,
na uzao wao katika kabila za watu; wote
wawaonao watakiri ya kuwa wao ni kizazi
kilichobarikiwa na Bwana.
MATENDO YA MITUME 20:28 Jitunzeni
nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo
Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa
waangalizi ndani yake, mpate kulilisha
kanisa lake Mungu, alilolinunua kwa damu
yake mwenyewe.
WAEBRANIA 8:8 Maana, awalaumupo, asema
Angalia, siku zinakuja, asema Bwana, Nami
nitawatimizia nyumba ya Israeli na nyumba
ya Yuda agano jipya;
9 Halitakuwa kama agano lile nililoagana
na baba zao, Katika siku ile nilipowashika
mikono yao niwatoe katika nchi ya Misri.
Kwa sababu hawakudumu katika agano
langu, Mimi nami sikuwajali asema Bwana.
10 Maana hili ndilo agano nitakaloagana na
nyumba ya Israeli Baada ya siku zile, asema
Bwana; Nitawapa sheria zangu katika nia
zao, Na katika mioyo yao nitaziandika; Nami
nitakuwa Mungu kwao, Nao watakuwa watu
wangu.
11 Nao hawatafundishana kila mtu na jirani
yake, Na kila mtu na ndugu yake, akisema,
Mjue Bwana; Kwa maana wote watanijua,
Tangu mdogo wao hata mkubwa wao.
12 Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na
dhambi zao sitazikumbuka tena.
13 Kwa kule kusema, Agano jipya, amelifanya
lile la kwanza kuwa kuukuu. Lakini kitu
kianzacho kuwa kikuukuu na kuchakaa ki
karibu na kutoweka.
1 PETRO 2:9 Bali ninyi ni mzao mteule,
ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa
milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili
zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie
katika nuru yake ya ajabu;
1 PETRO 5:1 Nawasihi wazee walio
kwenu, mimi niliye mzee, mwenzi wao, na
shahidi wa mateso ya Kristo, na mshirika wa
utukufu utakaofunuliwa baadaye;
2 lichungeni kundi la Mungu lililo kwenu, na
kulisimamia, si kwa kulazimishwa, bali kwa
hiari kama Mungu atakavyo; si kwa kutaka
fedha ya aibu, bali kwa moyo.
3 Wala si kama wajifanyao mabwana juu ya
mitaa yao, bali kwa kujifanya vielelezo kwa
lile kundi.
4 Na Mchungaji mkuu atakapodhihirishwa,
mtaipokea taji ya utukufu, ile isiyokauka.
UFUNUO WA YOHANA 1:6 na
kutufanya kuwa ufalme, na makuhani kwa
Mungu, naye ni Baba yake; utukufu na ukuu
una Yeye hata milele na milele. Amina.
UFUNUO WA YOHANA 5:10
ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa
Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi.
UFUNUO WA YOHANA 20:6 Huo
ndio ufufuo wa kwanza. Heri, na mtakatifu,
ni yeye aliye na sehemu katika ufufuo wa
kwanza; juu ya hao mauti ya pili haina
nguvu; bali watakuwa makuhani wa Mungu
na wa Kristo, nao watatawala pamoja naye
hiyo miaka elfu.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5.
ISAYA
278
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
G05 Masiha atapata matunda mengi.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 61:10 Nitafurahi sana katika
Bwana, nafsi yangu itashangilia katika
Mungu wangu; maana amenivika mavazi
ya wokovu, amenifunika vazi la haki, kama
bwana arusi ajipambavyo kwa kilemba cha
maua, na kama bibi arusi ajipambavyo kwa
vyombo vya dhahabu.
11 Maana kama nchi itoavyo machipuko
yake, na kama bustani ioteshavyo vitu
vilivyopandwa ndani yake; ndivyo Bwana
MUNGU atakavyootesha haki na sifa mbele
ya mataifa yote.
MWANZO 3:11 Akasema, Ni nani
aliyekuambia ya kuwa u uchi? Je! Umekula
wewe matunda ya mti niliyokuagiza usiyale?
LUKA 1:46 Mariamu akasema, Moyo
wangu wamwadhimisha Bwana,
47 Na roho yangu imemfurahia Mungu,
Mwokozi wangu;
2 WAKORINTHO 5:2 Maana katika
nyumba hii twaugua, tukitamani sana
kuvikwa kao letu litokalo mbinguni;
3 ikiwa tukiisha kuvikwa hatutaonekana tu
uchi.
UFUNUO WA YOHANA 3:5 Yeye
ashindaye atavikwa hivyo mavazi meupe,
wala sitalifuta kamwe jina lake katika kitabu
cha uzima, nami nitalikiri jina lake mbele za
Baba yangu, na mbele ya malaika zake.
UFUNUO WA YOHANA 3:18
Nakupa shauri, ununue kwangu dhahabu
iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri,
na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya uchi
wako isionekane, na dawa ya macho ya
kujipaka macho yako, upate kuona.
UFUNUO WA YOHANA 7:14
Nikamwambia, Bwana wangu, wajua wewe.
Akaniambia, Hao ndio wanatoka katika
dhiki ile iliyo kuu, nao wamefua mavazi yao,
na kuyafanya meupe katika damu ya Mwana-
Kondoo.
UFUNUO WA YOHANA 19:7 Na
tufurahi, tukashangilie, tukampe utukufu
wake; kwa kuwa arusi ya Mwana-Kondoo
imekuja, na mkewe amejiweka tayari.
8 Naye amepewa kuvikwa kitani nzuri,
ing›arayo, safi; kwa maana kitani nzuri hiyo
ni matendo ya haki ya watakatifu.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Mwanzo 2:25; Mwanzo 3:7-15; Wafilipi 4:4; 1 Petro 1:3-9; 1 Petro 2:9.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 62:1 Kwa ajili ya Sayuni
sitanyamaza, na kwa ajili ya Yerusalemu
sitatulia, hata haki yake itakapotokea kama
mwangaza, na wokovu wake kama taa
iwakayo.
2 Na mataifa wataiona haki yako, na wafalme
wote watauona utukufu wako; nawe utaitwa
jina jipya, litakalotajwa na kinywa cha
Bwana.
3 Nawe utakuwa taji ya uzuri katika mkono
wa Bwana, na kilemba cha kifalme mkononi
ISAYA
279
mwa Mungu wako.
MATENDO YA MITUME 9:15 Lakini
Bwana akamwambia, Nenda tu; kwa maana
huyu ni chombo kiteule kwangu, alichukue
Jina langu mbele ya Mataifa, na wafalme, na
wana wa Israeli.
1 WAKORINTHO 9:25 Na kila
ashindanaye katika michezo hujizuia
katika yote; basi hao hufanya hivyo kusudi
wapokee taji iharibikayo; bali sisi tupokee
taji isiyoharibika.
WAFILIPI 4:1 Basi, ndugu zangu,
wapendwa wangu, ninaowaonea shauku,
furaha yangu, na taji yangu, hivyo simameni
imara katika Bwana, wapenzi wangu.
2 TIMOTHEO 4:8 baada ya hayo nimewekewa
taji ya haki, ambayo Bwana, mhukumu
mwenye haki, atanipa siku ile; wala si
mimi tu, bali na watu wote pia waliopenda
kufunuliwa kwake.
YAKOBO 1:12 Heri mtu astahimiliye
majaribu; kwa sababu akiisha kukubaliwa
ataipokea taji ya uzima, Bwana aliyowaahidia
wampendao.
1 PETRO 5:4 Na Mchungaji mkuu
atakapodhihirishwa, mtaipokea taji ya
utukufu, ile isiyokauka.
UFUNUO WA YOHANA 2:10 Usiogope
mambo yatakayokupata; tazama, huyo
Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili
mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku
kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami
nitakupa taji ya uzima.
UFUNUO WA YOHANA 2:17 Yeye
aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo
Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye
nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa,
nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo
limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye
anayelipokea.
UFUNUO WA YOHANA 3:11 Naja
upesi. Shika sana ulicho nacho, asije mtu
akaitwaa taji yako.
UFUNUO WA YOHANA 4:4 Na viti
ishirini na vinne vilikizunguka kile kiti cha
enzi, na juu ya vile viti naliona wazee ishirini
na wanne, wameketi, wamevikwa mavazi
meupe; na juu ya vichwa vyao walikuwa na
taji za dhahabu.
UFUNUO WA YOHANA 4:10 ndipo hao
wazee ishirini na wanne huanguka mbele
zake yeye aketiye juu ya kile kiti cha enzi,
nao humsujudia yeye aliye hai hata milele na
milele, nao huzitupa taji zao mbele ya kile
kiti cha enzi, wakisema,
11 Umestahili wewe, Bwana wetu na Mungu
wetu, kuupokea utukufu na heshima na
uweza; kwa kuwa wewe ndiwe uliyeviumba
vitu vyote, na kwa sababu ya mapenzi yako
vilikuwako, navyo vikaumbwa.
UFUNUO WA YOHANA 12:1 Na ishara
kuu ilionekana mbinguni; mwanamke
aliyevikwa jua, na mwezi ulikuwa chini ya
miguu yake, na juu ya kichwa chake taji ya
nyota kumi na mbili.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Mathayo 27:29; 1 Wathesalonike 2:19; Ufunuo wa Yohana 6:2; Ufunuo wa Yohana 14:14.
ISAYA
280
B20 Upendo wa Mfalme kwa watu Wake.
B23 Neema ya Mungu na Masiha.
E20 Masiha ataweka agano jipya.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 62:4 Hutaitwa tena Aliyeachwa,
wala nchi yako haitaitwa tena, Ukiwa; bali
utaitwa Hefsiba; na nchi yako Beula;kwa
kuwa Bwana anakufurahia ,na nchi yako
itaolewa.
5 Maana kama vile kijana amwoavyo
mwanamwali, ndivyo wana wako
watakavyokuoa wewe; na kama vile bwana
arusi amfurahiavyo bibi arusi, ndivyo
Mungu wako atakavyokufurahia wewe.
6 Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee
Yerusalemu; hawatanyamaza mchana wala
usiku; ninyi wenye kumkumbusha Bwana,
msiwe na kimya;
7 wala msimwache akae kimya, mpaka
atakapoufanya imara Yerusalemu, na
kuufanya kuwa sifa duniani.
8 Bwana ameapa kwa mkono wake wa kuume,
na kwa mkono wa nguvu zake, Hakika
sitawapa adui zako nafaka yako tena kuwa
chakula chao; wala wageni hawatakunywa
divai yako, uliyoifanyia kazi.
9 Lakini walioivuna, ndio watakaoila, na
kumhimidi Bwana; na walioichuma, ndio
watakaoinywa, ndani ya nyua za patakatifu
pangu.
HOSEA 2:20 Nami nitakuposa kwa
uaminifu; nawe utamjua Bwana.
21 Tena itakuwa siku hiyo, mimi nitaitika,
asema Bwana; nitaziitikia mbingu, nazo
zitaiitikia nchi;
ISAYA 54:6 Maana Bwana amekuita
kama mke aliyeachwa na kuhuzunishwa
rohoni, kama mke wakati wa ujana,
atupwapo, asema Mungu wako.
7 Kwa kitambo kidogo nimekuacha; lakini kwa
rehema nyingi nitakukusanya.
SEFANIA 3:17 Bwana, Mungu wako,
yu katikati yako shujaa awezaye kuokoa;
Atakushangilia kwa furaha kuu, Atakutuliza
katika upendo wake, Atakufurahia kwa
kuimba.
LUKA 12:32 Msiogope, enyi kundi dogo;
kwa kuwa Baba yenu ameona vema kuwapa
ule ufalme.
LUKA 15:7 Nawaambia, Vivyo hivyo
kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya
mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa
ajili ya wenye haki tisini na kenda ambao
hawana haja ya kutubu.
YOHANA 3:29 Aliye naye bibi arusi ndiye
bwana arusi; lakini rafiki yake bwana arusi,
yeye anayesimama na kumsikia, aifurahia
sana sauti yake bwana arusi.
YOHANA 15:11 Hayo nimewaambia, ili
furaha yangu iwe ndani yenu, na furaha
yenu itimizwe.
WARUMI 9:27 Isaya naye atoa sauti yake
juu ya Israeli, kusema, Hesabu ya wana
wa Israeli,ijapokuwa ni kama mchanga wa
bahari,ni mabaki yao tu watakaookolewa.
UFUNUO WA YOHANA 19:7 Na
tufurahi, tukashangilie, tukampe utukufu
wake; kwa kuwa arusi ya Mwana-Kondoo
ISAYA
281
imekuja, na mkewe amejiweka tayari.
UFUNUO WA YOHANA 21:9 Akaja
mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na
vile vitasa saba vilivyojaa yale mapigo saba ya
mwisho, naye akanena nami, akisema, Njoo
huku, nami nitakuonyesha yule Bibi-arusi,
mke wa Mwana-Kondoo.
Ona pia: #1; #2; #3; #5; Kumbukumbu la Torati 4:31; Kumbukumbu la Torati 30:9; Kumbukumbu la Torati 31:6,8,16-18; Yoshua 1:5; 1 Samweli 12:22; 1 Wafalme 19:10; 1 Mambo ya
Nyakati 16:31; Zaburi 16:11; Zaburi 94:14; Isaya 49:14-16; Isaya 53:10; Isaya 54:1,6,7; Isaya 60:10; Isaya 62:12; Yeremia 32:41;
Ezekieli 20:41; Hosea 1:7-11; Yohana 17:13; Warumi 14:17; Wafilipi 2:2; Ufunuo wa Yohana 21:2.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
E22 Kazi ya Masiha itakuwa imebarikiwa.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 62:10 Piteni, piteni, katika
malango; Itengenezeni njia ya watu; Tutieni,
tutieni barabara; toeni mawe yake; Twekeni
bendera kwa ajili ya kabila za watu.
11 Tazama, Bwana ametangaza habari mpaka
mwisho wa dunia, Mwambieni binti Sayuni,
Tazama, wokovu wako unakuja; Tazama,
thawabu yake i pamoja naye, Na malipo yake
yako mbele zake.
12 Nao watawaita, Watu watakatifu,
Waliokombolewa na Bwana; Nawe utaitwa,
Aliyetafutwa, Mji usioachwa.
KUTOKA 17:15 Musa akajenga madhabahu,
akaiita jina lake Yehova-nisi;
ISAYA 11:10 Na itakuwa katika siku hiyo,
shina la Yese lisimamalo kuwa ishara kwa
kabila za watu, yeye ndiye ambaye mataifa
watamtafuta; na mahali pake pa kupumzikia
patakuwa na utukufu.
MATHAYO 1:21 Naye atazaa mwana, nawe
utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye
atakayewaokoa watu wake na dhambi zao.
MATHAYO 3:3 Kwa sababu huyo ndiye
aliyenenwa na nabii Isaya, akisema, Sauti
ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni njia ya
Bwana, Yanyosheni mapito yake.
MATHAYO 21:5 Mwambieni binti Sayuni
Tazama, mfalme wako anakuja kwako,
Mpole, naye amepanda punda, Na mwana-
punda, mtoto wa punda.
LUKA 1:17 Naye atatangulia mbele
zake katika roho ya Eliya, na nguvu zake,
ili kuigeuza mioyo ya baba iwaelekee
watoto, na kuwatilia waasi akili za wenye
haki, na kumwekea Bwana tayari watu
waliotengenezwa.
YOHANA 3:14 Na kama vile Musa
alivyomwinua yule nyoka jangwani,
vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi
kuinuliwa;
WARUMI 10:18 Lakini nasema, Je! Wao
hawakusikia? Naam, wamesikia, Sauti yao
imeenea duniani mwote, Na maneno yao
hata miisho ya ulimwengu.
UFUNUO WA YOHANA 22:12 Tazama,
naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami,
kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Kumbukumbu la Torati 7:6; Kumbukumbu la Torati 26:19; Kumbukumbu la Torati 28:9;
Zaburi 98:1-3; Wimbo Ulio Bora 5:10; Isaya 18:3; Isaya 49:22; Isaya 57:14; Isaya 59:19; Marko 16:15; Warumi 10:11-18.
ISAYA
282
D05 Masiha atakuwa Mkombozi.
D06 Masiha atakuwa Mshauri.
F11 Mateso ya Masiha.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
ISAYA 63:1 Ni nani huyu atokaye
Edomu, Mwenye mavazi ya kutiwa damu
kutoka Bosra? Huyu aliye na nguo za fahari,
Anayekwenda katika ukuu wa uweza wake?
2 Kwani mavazi yako kuwa mekundu, Na
nguo zako kama za mtu akanyagaye zabibu?
3 Nalikanyaga shinikizoni peke yangu; Wala
katika watu hakuwapo mtu pamoja nami;
Naam, naliwakanyaga kwa hasira yangu,
Naliwaponda kwa ghadhabu yangu; Na
mavazi yangu yametiwa madoa kwa damu
yao, Nami nimezichafua nguo zangu zote.
4 Maana siku ya kisasi ilikuwamo moyoni
mwangu, Na mwaka wao niliowakomboa
umewadia.
5 Nikatazama, wala hakuna wa kusaidia;
Nikashangaa kwa kuwa hakuna mwenye
kutegemeza; Basi, mkono wangu mwenyewe
uliniletea wokovu, Ghadhabu yangu ndiyo
iliyonitegemeza.
6 Nikazikanyaga kabila za watu kwa hasira
yangu, Nikawalevya kwa ghadhabu yangu,
Nami nikaimwaga damu yao chini.
LUKA 12:50 Lakini nina ubatizo unipasao
kubatiziwa, nami nina dhiki kama nini hata
utimizwe!
YOHANA 16:32 Tazama, saa yaja, naam,
imekwisha kuja, ambapo mtatawanyika kila
mmoja kwao kwao, na kuniacha mimi peke
yangu; walakini mimi si peke yangu, kwa
kuwa Baba yupo pamoja nami.
WAEBRANIA 1:3 Yeye kwa kuwa ni mng›ao
wa utukufu wake na chapa ya nafsi yake,
akivichukua vyote kwa amri ya uweza wake,
akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi
mkono wa kuume wa Ukuu huko juu;
UFUNUO WA YOHANA 14:19 Malaika
yule akautupa mundu wake hata nchi,
akauchuma mzabibu wa nchi, akazitupa
zabibu katika shinikizo hilo kubwa la
ghadhabu ya Mungu.
20 Shinikizo lile likakanyagwa nje ya mji, damu
ikatoka katika shinikizo mpaka kwenye
hatamu za farasi, kama mwendo wa maili
mia mbili.
UFUNUO WA YOHANA 19:13 Naye
amevikwa vazi lililochovywa katika damu, na
jina lake aitwa, Neno la Mungu.
14 Na majeshi yaliyo mbinguni wakamfuata,
wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani
nzuri, nyeupe, safi.
15 Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili
awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga
kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga
shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira
ya Mungu Mwenyezi.
Ona pia: #1; #5; Isaya 59:16,17; Ufunuo wa Yohana 6:9-17; Ufunuo wa Yohana 18:20.
E26 Kazi ya ukombozi ya Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ISAYA 63:7 Nitautaja wema wa Bwana,
sifa za Bwana kwa yote aliyotukirimia
Bwana; na wingi wa wema wake kwa
nyumba ya Israeli, aliowakirimia kwa
rehema zake, na kwa wingi wa wema wake.
8 Maana alisema, Hakika ndio watu wangu
ISAYA
283
hawa, wana wasio na hila; akawa Mwokozi
wao.
9 Katika mateso yao yote yeye aliteswa,
na malaika wa uso wake akawaokoa;
kwa mapenzi yake, na huruma zake,
aliwakomboa mwenyewe; akawainua,
akawachukua siku zote za kale.
MATHAYO 14:14 Yesu akatoka, akaona
mkutano mkuu, akawahurumia,
akawaponya wagonjwa wao.
WARUMI 11:1 Basi, nauliza, Je! Mungu
aliwasukumia mbali watu wake? Hasha!
Kwa kuwa mimi nami ni Mwisraeli, mmoja
wa wazao wa Ibrahimu, mtu wa kabila ya
Benyamini.
2 Mungu hakuwasukumia mbali watu wake
aliowajua tokea awali. Au hamjui yale
yaliyonenwa na maandiko juu ya Eliya? Jinsi
anavyowashitaki Waisraeli mbele za Mungu,
WARUMI 11:28 Basi kwa habari ya Injili
wamekuwa adui kwa ajili yenu; bali kwa
habari ya kule kuchaguliwa wamekuwa
wapenzi kwa ajili ya baba zetu.
TITO 3:4 Lakini wema wake Mwokozi wetu
Mungu, na upendo wake kwa wanadamu,
ulipofunuliwa, alituokoa;
5 si kwa sababu ya matendo ya haki
tuliyoyatenda sisi; bali kwa rehema yake,
kwa kuoshwa kwa kuzaliwa kwa pili na
kufanywa upya na Roho Mtakatifu;
6 ambaye alitumwagia kwa wingi, kwa njia ya
Yesu Kristo Mwokozi wetu;
7 ili tukihesabiwa haki kwa neema yake,
tupate kufanywa warithi wa uzima wa
milele, kama lilivyo tumaini letu.
WAEBRANIA 2:17 Hivyo ilimpasa
kufananishwa na ndugu zake katika mambo
yote, apate kuwa kuhani mkuu mwenye
rehema, mwaminifu katika mambo ya
Mungu, ili afanye suluhu kwa dhambi za
watu wake.
18 Na kwa kuwa mwenyewe aliteswa
alipojaribiwa, aweza kuwasaidia wao
wanaojaribiwa.
WAEBRANIA 4:15 Kwa kuwa hamna kuhani
mkuu asiyeweza kuchukuana nasi katika
mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa
sawasawa na sisi katika mambo yote, bila
kufanya dhambi.
WAEBRANIA 5:8 na, ingawa ni Mwana,
alijifunza kutii kwa mateso hayo
yaliyompata;
1 YOHANA 4:9 Katika hili pendo la Mungu
lilionekana kwetu, kwamba Mungu
amemtuma Mwanawe pekee ulimwenguni,
ili tupate uzima kwa yeye.
10 Hili ndilo pendo, si kwamba sisi tulimpenda
Mungu, bali kwamba yeye alitupenda sisi,
akamtuma Mwanawe kuwa kipatanisho kwa
dhambi zetu.
1 YOHANA 4:14 Na sisi tumeona na
kushuhudia ya kuwa Baba amemtuma
Mwana kuwa Mwokozi wa ulimwengu.
UFUNUO WA YOHANA 1:5 tena
zitokazo kwa Yesu Kristo, shahidi aliye
mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa
waliokufa, na mkuu wa wafalme wa dunia.
Yeye atupendaye na kutuosha dhambi zetu
katika damu yake,
ISAYA
284
Ona pia: #1; #2; Mwanzo 22:11-17; Mwanzo 48:16; Isaya 41:8; Isaya 43:11; Isaya 46:3,4; Yeremia 14:8; Hosea 13:4; Malaki 3:1.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
F03 Masiha atakataliwa.
ISAYA 65:1 Watu wasionitaka wanauliza
habari zangu; nimeonekana na hao
wasionitafuta; naliliambia taifa lisiloitwa kwa
jina langu,
2 Nitazameni, nitazameni. Mchana kutwa
nimewanyoshea mikono yangu watu
walioasi, watu waendao katika njia isiyo
njema, wakifuata mawazo yao wenyewe;
KUMBUKUMBU LA TORATI
32:21 Wamenitia wivu kwa kisicho Mungu;
Wamenikasirisha kwa ubatili wao; Nami
nitawatia wivu kwa wasio watu, Nami
nitawakasirisha kwa taifa lipumbaalo.
MATHAYO 23:37 Ee Yerusalemu, Yerusalemu,
uwauaye manabii, na kuwapiga kwa mawe
wale waliotumwa kwako! Ni mara ngapi
nimetaka kuwakusanya pamoja watoto
wako, kama vile kuku avikusanyavyo pamoja
vifaranga vyake chini ya mabawa yake, lakini
hamkutaka!
MATENDO YA MITUME 13:40 Angalieni,
basi, isiwajilie habari ile iliyonenwa katika
manabii.
41 Tazameni, enyi mnaodharau, kastaajabuni,
mkatoweke; kwa kuwa natenda kazi mimi
siku zenu, kazi ambayo msingeisadiki
kabisa, ijapo mtu akiwasimulia sana.
WARUMI 9:24 ndio sisi aliotuita, si watu wa
Wayahudi tu, ila na watu wa Mataifa pia?
25 Ni kama vile alivyosema katika Hosea,
Nitawaita watu wangu wale wasiokuwa watu
wangu, Na mpenzi wangu yeye asiyekuwa
mpenzi wangu.
26 Tena itakuwa mahali pale walipoambiwa,
Ninyi si watu wangu, Hapo wataitwa wana
wa Mungu aliye hai.
WARUMI 10:20 Na Isaya anao ujasiri
mwingi, asema, Nalipatikana nao
wasionitafuta, Nalidhihirika kwao
wasioniulizia.
21 Lakini kwa Israeli asema, Mchana kutwa
naliwanyoshea mikono watu wasiotii na
wakaidi.
Ona pia: Mithali 1:24; Luka 13:34; Luka 19:41,42.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 65:8 Bwana asema hivi, Kama
vile divai mpya ipatikanavyo katika kichala,
na mtu mmoja husema, Usikiharibu kwa
maana mna baraka ndani yake; ndivyo
nitakavyotenda kwa ajili ya watumishi
wangu, ili nisiwaharibu wote.
9 Nami nitaleta uzao toka Yakobo, na mrithi
wa milima yangu toka Yuda, na mteule
wangu atairithi, na watumishi wangu
watakaa huko.
10 Na Sharoni itakuwa zizi la makundi ya
kondoo, na bonde la Akori mahali pa kulala
makundi ya ng›ombe, kwa ajili ya watu
wangu walionitafuta.
MWANZO 49:10 Fimbo ya enzi haitaondoka
katika Yuda, Wala mfanya sheria kati ya
miguu yake, Hata atakapokuja Yeye, mwenye
milki, Ambaye mataifa watamtii.
ISAYA
285
ISAYA 35:2 Litachanua maua mengi, na
kufurahi, naam, kwa shangwe na kuimba;
litapewa uzuri wa Lebanoni, utukufu wa
Karmeli na Sharoni; watauona utukufu wa
Bwana, ukuu wa Mungu wetu.
HOSEA 2:16 Tena siku hiyo itakuwa,
asema Bwana, utaniita Ishi
WARUMI 9:27 Isaya naye atoa sauti yake
juu ya Israeli, kusema, Hesabu ya wana
wa Israeli,ijapokuwa ni kama mchanga wa
bahari,ni mabaki yao tu watakaookolewa.
28 Kwa maana Bwana atalitekeleza neno lake
juu ya nchi, akilimaliza na kulikata.
29 Tena kama Isaya alivyotangulia kunena,
Kama Bwana wa majeshi asingalituachia
uzao, Tungalikuwa kama Sodoma,
tungalifananishwa na Gomora.
WARUMI 11:5 Basi ni vivi hivi wakati huu
wa sasa, yako mabaki waliochaguliwa kwa
neema.
WARUMI 11:24 Kwa maana ikiwa wewe
ulikatwa ukatolewa katika mzeituni, ulio
mzeituni mwitu kwa asili yake, kisha
ukapandikizwa, kinyume cha asili, katika
mzeituni ulio mwema, si zaidi sana wale
walio wa asili kuweza kupandikizwa katika
mzeituni wao wenyewe?
25 Kwa maana, ndugu zangu, sipendi msiijue
siri hii, ili msijione kuwa wenye akili; ya
kwamba kwa sehemu ugumu umewapata
Israeli, mpaka utimilifu wa Mataifa uwasili.
26 Hivyo Israeli wote wataokoka; kama
ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka
Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake.
WAGALATIA 3:29 Na kama ninyi ni wa Kristo,
basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na
warithi sawasawa na ahadi.
WAGALATIA 4:7 Kama ni hivyo, wewe si
mtumwa tena bali u mwana; na kama u
mwana, basi, u mrithi kwa Mungu.
WAEBRANIA 1:1 Mungu, ambaye alisema
zamani na baba zetu katika manabii kwa
sehemu nyingi na kwa njia nyingi,
2 mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika
Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote,
tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.
1 PETRO 2:9 Bali ninyi ni mzao mteule,
ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa
milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili
zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie
katika nuru yake ya ajabu;
Ona pia: #1; #2; #3; Mathayo 24:21; Marko 13:20; Warumi 11.
H01 Kurudi kwa Masiha kunatabiriwa.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H05 Utukufu na nguvu za Masiha zinazokuja.
ISAYA 65:17 Maana, tazama, mimi
naumba mbingu mpya na nchi mpya, na
mambo ya kwanza hayatakumbukwa, wala
hayataingia moyoni.
18 Lakini furahini, mkashangilie daima, kwa
ajili ya hivi niviumbavyo; maana, tazama,
naumba Yerusalemu uwe shangwe, na watu
wake wawe furaha.
ISAYA 65:19-22
ISAYA 65:23 Hawatajitaabisha kwa kazi
bure, wala hawatazaa kwa taabu; kwa sababu
wao ni wazao wa hao waliobarikiwa na
Bwana, na watoto wao pamoja nao.
ISAYA
286
24 Na itakuwa ya kwamba, kabla hawajaomba,
nitajibu; na wakiwa katika kunena, nitasikia.
25 Mbwa-mwitu na mwana-kondoo watalisha
pamoja, na simba atakula majani kama
ng›ombe; na mavumbi yatakuwa chakula
cha nyoka. Hawatadhuru wala kuharibu
katika mlima wangu mtakatifu wote, asema
Bwana.
ISAYA 61:9 Na kizazi chao kitajulikana
katika mataifa, na uzao wao katika kabila za
watu; wote wawaonao watakiri ya kuwa wao
ni kizazi kilichobarikiwa na Bwana.
2 PETRO 3:12 mkitazamia hata ije siku ile
ya Mungu, na kuihimiza; ambayo katika hiyo
mbingu zitafumuliwa zikiungua, na viumbe
vya asili vitateketea na kuyeyuka?
13 Lakini, kama ilivyo ahadi yake, mnatazamia
mbingu mpya na nchi mpya, ambayo haki
yakaa ndani yake.
UFUNUO WA YOHANA 7:16
Hawataona njaa tena, wala hawataona kiu
tena, wala jua halitawapiga, wala hari iliyo
yote.
17 Kwa maana huyo Mwana-Kondoo, aliye
katikati ya kiti cha enzi, atawachunga, naye
atawaongoza kwenye chemchemi za maji
yenye uhai, na Mungu atayafuta machozi
yote katika macho yao.
UFUNUO WA YOHANA 21:1 Kisha
nikaona mbingu mpya na nchi mpya;
kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya
kwanza zimekwisha kupita, wala hapana
bahari tena.
2 Nami nikauona mji ule mtakatifu,
Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka
mbinguni kwa Mungu, umewekwa tayari,
kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa
mumewe.
3 Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile
kiti cha enzi ikisema, Tazama, maskani
ya Mungu ni pamoja na wanadamu,
naye atafanya maskani yake pamoja nao,
nao watakuwa watu wake. Naye Mungu
mwenyewe atakuwa pamoja nao.
4 Naye atafuta kila chozi katika macho
yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala
maombolezo, wala kilio, wala maumivu
hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya
kwanza yamekwisha kupita.
Ona pia: #1; #2; #3; #5.
E17 Masiha atajenga hekalu la Mungu.
ISAYA 66:1 Bwana asema hivi, Mbingu
ni kiti changu cha enzi, na dunia ni mahali
pa kuweka miguu yangu; mtanijengea
nyumba ya namna gani? Na mahali pangu
pa kupumzikia ni mahali gani?
MATHAYO 24:2 Naye akajibu akawaambia,
Hamyaoni haya yote? Amin, nawaambieni,
Halitasalia hapa jiwe juu ya jiwe ambalo
halitabomoshwa.
MARKO 14:58 Sisi tulimsikia akisema,
Mimi nitalivunja hekalu hili lililofanyika kwa
mikono, na katika siku tatu nitajenga jingine
lisilofanyika kwa mikono.
MATENDO YA MITUME 7:47 Lakini
Sulemani alimjengea nyumba.
48 Ila Yeye aliye juu hakai katika nyumba
zilizofanywa kwa mikono, kama vile
asemavyo nabii,
ISAYA
287
49 Mbingu ni kiti changu cha enzi, Na nchi ni
pa kuwekea miguu yangu; Ni nyumba gani
mtakayonijengea? Asema Bwana,
MATENDO YA MITUME 17:24 Mungu
aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote
vilivyomo, yeye, kwa kuwa ni Bwana wa
mbingu na nchi, hakai katika hekalu
zilizojengwa kwa mikono;
UFUNUO WA YOHANA 21:22 Nami
sikuona hekalu ndani yake; kwa maana
Bwana Mungu Mwenyezi na Mwana-
Kondoo, ndio hekalu lake.
Ona pia: 1 Wakorintho 3:16-19; 2 Wakorintho 6:16; Waefeso 2:21; Ufunuo wa Yohana 15:5-8.
B15 Masiha atajawa na rehema.
ISAYA 66:2 Maana mkono wangu
ndio uliofanya hivi vyote, vitu hivi vyote
vikapata kutokea, asema Bwana; lakini
mtu huyu ndiye nitakayemwangalia, mtu
aliye mnyonge, mwenye roho iliyopondeka,
atetemekaye asikiapo neno langu.
MATHAYO 5:3 Heri walio maskini wa roho;
Maana ufalme wa mbinguni ni wao.
MATENDO YA MITUME 9:6 Lakini
simama, uingie mjini, nawe utaambiwa
yakupasayo kutenda.
MATENDO YA MITUME 16:29 Akataka
taa ziletwe, akarukia ndani, akitetemeka kwa
hofu, akawaangukia Paulo na Sila;
30 kisha akawaleta nje akasema, Bwana zangu,
yanipasa nifanye nini nipate kuokoka?
1 WAKORINTHO 1:18 Kwa sababu neno
la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi,
bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya
Mungu.
19 Kwa kuwa imeandikwa, Nitaiharibu hekima
yao wenye hekima, Na akili zao wenye akili
nitazikataa.
WAFILIPI 2:12 Basi, wapendwa wangu,
kama vile mlivyotii sikuzote, si wakati mimi
nilipokuwapo tu, bali sasa zaidi sana mimi
nisipokuwapo, utimizeni wokovu wenu
wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka.
WAEBRANIA 1:2 mwisho wa siku hizi
amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka
kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliufanya
ulimwengu.
1 PETRO 3:4 bali kuwe utu wa
moyoni usioonekana, katika mapambo
yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na
utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za
Mungu.
Ona pia: Isaya 40:26; Wakolosai 1:17.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
E19 Masiha atafariji.
E24 Masiha ataleta amani.
ISAYA 66:10 Furahini pamoja na
Yerusalemu, shangilieni kwa ajili yake, ninyi
nyote mmpendao; furahini pamoja naye kwa
furaha, ninyi nyote mliao kwa ajili yake;
11 mpate kunyonya, na kushibishwa kwa
maziwa ya faraja zake, mpate kukama, na
kufurahiwa kwa wingi wa utukufu wake.
12 Maana Bwana asema hivi, Tazama,
nitamwelekezea amani kama mto, na
ISAYA
288
utukufu wa mataifa kama kijito kifurikacho,
nanyi mtapata kunyonya; mtabebwa; na juu
ya magoti mtabembelezwa.
13 Mfano wa mtu ambaye mama yake amfariji,
ndivyo nitakavyowafariji ninyi; nanyi
mtafarijiwa katika Yerusalemu.
ISAYA 66:14-17
ISAYA 60:16 Utanyonya maziwa ya
mataifa, Utanyonya matiti ya wafalme; Nawe
utajua ya kuwa mimi, Bwana, ni mwokozi
wako, Na mkombozi wako, Mwenye enzi wa
Yakobo.
ZEKARIA 14:11 Na watu watakaa ndani
yake, wala hakutakuwako laana tena; lakini
Yerusalemu utakaa salama.
YOHANA 14:27 Amani nawaachieni; amani
yangu nawapa; niwapavyo mimi sivyo kama
ulimwengu utoavyo. Msifadhaike mioyoni
mwenu, wala msiwe na woga.
WARUMI 5:1 Basi tukiisha kuhesabiwa
haki itokayo katika imani, na mwe na amani
kwa Mungu, kwa njia ya Bwana wetu Yesu
Kristo,
1 PETRO 2:2 Kama watoto wachanga
waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili
yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia
wokovu;
UFUNUO WA YOHANA 21:24 Na
mataifa watatembea katika nuru yake. Na
wafalme wa nchi huleta utukufu wao ndani
yake.
25 Na milango yake haitafungwa kamwe
mchana; kwa maana humo hamna usiku.
26 Nao wataleta utukufu na heshima ya mataifa
ndani yake.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H01 Kurudi kwa Masiha kunatabiriwa.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ISAYA 66:15 Maana Bwana atakuja na
moto, na magari yake ya vita kama upepo
wa kisulisuli; ili atoe malipo ya ghadhabu
yake kwa moto uwakao, na maonyo yake kwa
miali ya moto.
ISAYA 66:16-17
ISAYA 66:18 Nami nayajua matendo
yao na mawazo yao; wakati unakuja
nitakapokusanya mataifa yote na lugha zote;
nao watakuja, nao watauona utukufu wangu.
19 Nami nitaweka ishara kati yao, nami
nitawatuma hao waliookoka kwa mataifa,
Tarshishi, na Puli, na Ludi, wavutao upinde,
kwa Tubali na Yavani, visiwa vilivyo mbali;
watu wasioisikia habari yangu, wala kuuona
utukufu wangu; nao watahubiri utukufu
wangu katika mataifa.
ISAYA 66:20-21
ISAYA 66:22 Kama vile mbingu mpya
na nchi mpya, nitakazofanya, zitakavyokaa
mbele zangu, asema Bwana, ndivyo uzao
wenu na jina lenu litakavyokaa.
23 Na itakuwa, mwezi mpya hata mwezi mpya,
na sabato hata sabato, wanadamu wote
watakuja kuabudu mbele zangu, asema
Bwana.
24 Nao watatoka nje na kuitazama mizoga ya
watu walioniasi; maana funza wao hatakufa,
wala moto wao hautazimika nao watakuwa
ISAYA
289
chukizo machoni pa wote wenye mwili.
ISAYA 2:2 Na itakuwa katika siku
za mwisho, mlima wa nyumba ya Bwana
utawekwa imara juu ya milima, nao
utainuliwa juu ya vilima; na mataifa yote
watauendea makundi makundi.
YOHANA 17:2 kama vile ulivyompa
mamlaka juu ya wote wenye mwili, ili
kwamba wote uliompa awape uzima wa
milele.
3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue
wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu
Kristo uliyemtuma.
4 Mimi nimekutukuza duniani, hali
nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye.
WARUMI 15:8 Kwa maana nasema, ya
kwamba Kristo amefanyika mhudumu
wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli
ya Mungu, kusudi azithibitishe ahadi
walizopewa baba zetu;
9 tena ili Mataifa wamtukuze Mungu kwa ajili
ya rehema zake; kama ilivyoandikwa, Kwa
hiyo nitakushukuru kati ya Mataifa, Nami
nitaliimbia jina lako.
10 Na tena anena, Furahini,Mataifa,pamoja na
watu wake.
11 Na tena, Enyi Mataifa yote,msifuni Bwana;
Enyi watu wote,mhimidini.
12 Na tena Isaya anena, Litakuwako shina la
Yese, Naye aondokeaye kuwatawala Mataifa;
Ndiye Mataifa watakayemtumaini.
2 WAKORINTHO 5:17 Hata imekuwa,
mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe
kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa
mapya.
2 WATHESALONIKE 1:6 Kwa kuwa ni haki
mbele za Mungu kuwalipa mateso wale
wawatesao ninyi;
7 na kuwalipa ninyi mteswao raha pamoja na
sisi; wakati wa kufunuliwa kwake Bwana
Yesu kutoka mbinguni pamoja na malaika
wa uweza wake
8 katika mwali wa moto; huku akiwalipiza
kisasi wao wasiomjua Mungu, na wao
wasioitii Injili ya Bwana wetu Yesu;
9 watakaoadhibiwa kwa maangamizi ya milele,
kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa
nguvu zake;
WAEBRANIA 8:13 Kwa kule kusema, Agano
jipya, amelifanya lile la kwanza kuwa
kuukuu. Lakini kitu kianzacho kuwa
kikuukuu na kuchakaa ki karibu na
kutoweka.
2 PETRO 3:10 Lakini siku ya Bwana itakuja
kama mwivi; katika siku hiyo mbingu
zitatoweka kwa mshindo mkuu, na viumbe
vya asili vitaunguzwa, na kufumuliwa, na
nchi na kazi zilizomo ndani yake zitateketea.
11 Basi, kwa kuwa vitu hivi vyote vitafumuliwa
hivyo, imewapasa ninyi kuwa watu wa tabia
gani katika mwenendo mtakatifu na utauwa,
12 mkitazamia hata ije siku ile ya Mungu, na
kuihimiza; ambayo katika hiyo mbingu
zitafumuliwa zikiungua, na viumbe vya asili
vitateketea na kuyeyuka?
13 Lakini, kama ilivyo ahadi yake, mnatazamia
mbingu mpya na nchi mpya, ambayo haki
yakaa ndani yake.
UFUNUO WA YOHANA 19:15 Na
upanga mkali hutoka kinywani mwake ili
awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga
kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga
ISAYA
290
shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira
ya Mungu Mwenyezi.
UFUNUO WA YOHANA 21:1 Kisha
nikaona mbingu mpya na nchi mpya;
kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya
kwanza zimekwisha kupita, wala hapana
bahari tena.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Matendo ya Mitume 11:25,26.
ISAYA
291
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
YEREMIA 3:14 Rudini, enyi watoto wenye
kuasi, asema Bwana; maana mimi ni mume
wenu; nami nitatwaa mtu mmoja wa mji
mmoja, na wawili wa jamaa moja, nami
nitawaleta hata Sayuni;
15 nami nitawapa ninyi wachungaji
wanipendezao moyo wangu, watakaowalisha
kwa maarifa na fahamu.
16 Kisha itakuwa, mtakapoongezeka na kuwa
wengi katika nchi hiyo, asema Bwana, siku
zile hawatasema tena, Sanduku la agano
la Bwana; wala halitaingia moyoni; wala
hawatalikumbuka, wala hawatalizuru, wala
hayatafanyika hayo tena.
17 Wakati ule watauita Yerusalemu kiti cha enzi
cha Bwana; na mataifa yote watakusanyika
huko Yerusalemu, kwa ajili ya jina la Bwana;
wala hawatakwenda tena kwa ukaidi wa
moyo wao mbaya.
18 Siku zile nyumba ya Yuda watakwenda
pamoja na nyumba ya Israeli, nao watakuja
pamoja, kutoka nchi ya kaskazini, mpaka
nchi ile niliyowapa baba zenu iwe urithi
wao.
19 Lakini mimi nalisema, Nitawezaje kukuweka
pamoja na watoto, na kukupa nchi
ipendezayo, urithi ulio mwema wa mataifa?
Nami nikasema, Mtaniita, Baba yangu, wala
hamtageuka na kuacha kunifuata.
ISAYA 17:6 Lakini kilichosazwa na
mvunaji kitakuwa ndani yake, kama vile
wakati wa kupiga mizeituni, matunda
mawili matatu yaliyo juu sana; matunda
manne matano katika matawi, matawi ya
mti wa matunda, asema Bwana, Mungu wa
Israeli.
EZEKIELI 34:11 Maana, Bwana MUNGU
asema hivi; Tazama, mimi mwenyewe,
naam, mimi, nitawatafuta kondoo zangu, na
kuwaulizia.
12 Kama vile mchungaji atafutavyo kondoo
zake, siku ile anapokuwa kati ya kondoo zake
waliotawanyika; ndivyo nitakavyowatafuta
kondoo zangu; nami nitawaokoa katika
mahali pote walipotawanyika, katika siku ya
mawingu na giza.
ZEKARIA 13:7 Amka, Ee upanga, juu
ya mchungaji wangu, na juu ya mtu
aliye mwenzangu, asema Bwana wa
majeshi; mpige mchungaji, nao kondoo
watatawanyika; nami nitaugeuza mkono
wangu juu ya wadogo.
YOHANA 4:21 Yesu akamwambia,
Mama, unisadiki, saa inakuja ambayo
hamtamwabudu Baba katika mlima huu,
wala kule Yerusalemu.
22 Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi
tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu
watoka kwa Wayahudi.
23 Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo
waabuduo halisi watamwabudu Baba katika
roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta
watu kama hao wamwabudu.
YOHANA 10:1 Yesu aliwaambia, Amin,
amin, nawaambieni, Yeye asiyeingia
mlangoni katika zizi la kondoo, lakini
akwea penginepo, huyo ni mwivi naye ni
mnyang›anyi.
2 Aingiaye mlangoni ni mchungaji wa
kondoo.
3 Bawabu humfungulia huyo, na kondoo
humsikia sauti yake; naye huwaita kondoo
wake kwa majina yao, na kuwapeleka nje.
YEREMIA
292
4 Naye awatoapo nje kondoo wake wote,
huwatangulia; na wale kondoo humfuata,
kwa maana waijua sauti yake.
5 Mgeni hawatamfuata kabisa, bali
watamkimbia; kwa maana hawazijui sauti za
wageni.
YOHANA 21:15 Basi walipokwisha kula,
Yesu akamwambia Simoni Petro, Je! Simoni
wa Yohana, wewe wanipenda kuliko hawa?
Akamwambia , Naam ,Bwana, wewe wajua
kuwa nakupenda. Akamwambia, Lisha
wana-kondoo wangu.
16 Akamwambia tena mara ya pili, Simoni wa
Yohana, wanipenda? Akamwambia, Ndiyo,
Bwana, wewe wajua kuwa nakupenda.
Akamwambia, Chunga kondoo zangu.
17 Akamwambia mara ya tatu, Simoni wa
Yohana, wanipenda? Petro alihuzunika
kwa vile alivyomwambia mara ya tatu,
Wanipenda? Akamwambia, Bwana, wewe
wajua yote; wewe umetambua ya kuwa
nakupenda. Yesu akamwambia, Lisha
kondoo zangu.
WARUMI 9:27 Isaya naye atoa sauti yake
juu ya Israeli, kusema, Hesabu ya wana
wa Israeli,ijapokuwa ni kama mchanga wa
bahari,ni mabaki yao tu watakaookolewa.
WARUMI 11:26 Hivyo Israeli wote
wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi
atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na
maasia yake.
27 Na hili ndilo agano langu nao,
Nitakapowaondolea dhambi zao.
WAEBRANIA 9:11 Lakini Kristo akiisha kuja,
aliye kuhani mkuu wa mambo mema
yatakayokuwapo, kwa hema iliyo kubwa na
kamilifu zaidi, isiyofanyika kwa mikono,
maana yake, isiyo ya ulimwengu huu,
12 wala si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali
kwa damu yake mwenyewe aliingia mara
moja tu katika Patakatifu, akiisha kupata
ukombozi wa milele.
Ona pia: #1; #2; #3; #5; Ezekieli 34:13,14; Hosea 2:20,21; Zekaria 13:8,9; Luka 15:11-32; Matendo ya Mitume 20:28; Warumi 11:4-6;
Waefeso 4:11,12; 1 Petro 5:1-4.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
YEREMIA 4:1 Kama ukitaka kurudi, Ee
Israeli, asema Bwana, utanirudia mimi;
na kama ukitaka kuyaondoa machukizo
yako, yasiwe mbele ya macho yangu, ndipo
hutaondolewa;
2 nawe utaapa hivi, Kama Bwana aishivyo,
katika kweli, na katika hukumu, na katika
haki ndipo mataifa watajibariki katika yeye,
nao watajitukuza katika yeye.
MATENDO YA MITUME 11:1 Basi
mitume na ndugu waliokuwako katika
Uyahudi wakapata habari ya kwamba
watu wa Mataifa nao wamelipokea neno la
Mungu.
MATENDO YA MITUME 11:18
Waliposikia maneno haya wakanyamaza,
wakamtukuza Mungu, wakisema, Basi,
Mungu amewajalia hata mataifa nao toba
liletalo uzima.
MATENDO YA MITUME 13:46
Paulo na Barnaba wakanena kwa ushujaa
wakasema, Ilikuwa lazima neno la Mungu
linenwe kwenu kwanza; lakini kwa kuwa
mnalisukumia mbali, na kujiona nafsi
YEREMIA
293
zenu kuwa hamkustahili uzima wa milele,
angalieni, twawageukia Mataifa.
47 Kwa sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana,
Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, Upate
kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.
48 Mataifa waliposikia hayo wakafurahi,
wakalitukuza neno la Bwana, nao waliokuwa
wamekusudiwa uzima wa milele wakaamini.
49 Neno la Bwana likaenea katika nchi ile yote.
MATENDO YA MITUME 14:27
Hata walipofika wakalikutanisha kanisa,
wakawaeleza mambo yote aliyoyafanya
Mungu pamoja nao, na ya kwamba
amewafungulia Mataifa mlango wa imani.
WAGALATIA 3:8 Na andiko, kwa vile
lilivyoona tangu zamani kwamba Mungu
atawahesabia haki Mataifa kwa imani,
lilimhubiri Ibrahimu habari njema
zamani, kusema, Katika wewe Mataifa yote
watabarikiwa.
Ona pia: Mwanzo 22:18; Zaburi 72:17.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
YEREMIA 10:7 Ni nani asiyekucha wewe,
Ee mfalme wa mataifa? Maana hii ni sifa
yako wewe; kwa kuwa miongoni mwa wenye
hekima wote wa mataifa, na katika hali yao
ya enzi yote pia, hapana hata mmoja kama
wewe.
MATHAYO 28:18 Yesu akaja kwao, akasema
nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote
mbinguni na duniani.
LUKA 12:5 Lakini nitawaonya
mtakayemwogopa; mwogopeni yule
ambaye akiisha kumwua mtu ana uweza
wa kumtupa katika Jehanum; naam,
nawaambia, Mwogopeni huyo.
YOHANA 17:1 Maneno hayo aliyasema
Yesu; akainua macho yake kuelekea
mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha
kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako
naye akutukuze wewe;
2 kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote
wenye mwili, ili kwamba wote uliompa
awape uzima wa milele.
UFUNUO WA YOHANA 15:4 Ni
nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza
jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako
u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote
watakuja na kusujudu mbele zako; kwa
kuwa matendo yako ya haki yamekwisha
kufunuliwa.
Ona pia: #1; #4; Zaburi 22:28; Isaya 2:4; Yeremia 10:6; 1 Wakorintho 1:19,20.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
YEREMIA 12:15 Tena itakuwa, baada ya
kuwang›oa, nitarudi na kuwahurumia; nami
nitawaleta tena, kila mtu aingie katika urithi
wake, na kila mtu aingie katika nchi yake.
YEREMIA 15:19 Kwa sababu hiyo Bwana
asema hivi, Ukirudi, ndipo mimi
nitakapokurejeza, upate kusimama mbele
zangu; nawe ukitoa kilicho cha thamani
katika kilicho kibovu, utakuwa kama
kinywa changu; nao watakurudia wewe, bali
YEREMIA
294
hutawarudia wao.
20 Nami nitakufanya kuwa kama ukuta wa
boma la shaba juu ya watu hawa; nao
watapigana nawe; lakini hawatakushinda;
maana mimi nipo pamoja nawe, ili
nikuokoe, na kukuponya, asema Bwana.
21 Nami nitakuokoa na mkono wa watu
wabaya, nami nitakukomboa katika mkono
wao wenye kutisha.
YEREMIA 24:6 Kwa maana nitawatulizia
macho yangu, wapate mema, nami
nitawaingiza katika nchi hii tena;
nami nitawajenga, wala sitawabomoa;
nitawapanda wala sitawang›oa.
7 Nami nitawapa moyo, wanijue ya kuwa
mimi ni Bwana; nao watakuwa watu wangu,
nami nitakuwa Mungu wao; kwa maana
watanirudia kwa moyo wao wote.
YEREMIA 29:14 Nami nitaonekana kwenu,
asema Bwana, nami nitawarudisha watu
wenu waliofungwa, nami nitawakusanya
ninyi, nikiwatoa katika mataifa yote,
na katika mahali pote, nilikowafukuza,
asema Bwana; nami nitawaleta tena, hata
mahali ambapo kutoka hapo naliwafanya
mchukuliwe mateka.
WARUMI 11:26 Hivyo Israeli wote
wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi
atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na
maasia yake.
27 Na hili ndilo agano langu nao,
Nitakapowaondolea dhambi zao.
WAEBRANIA 8:8 Maana, awalaumupo, asema
Angalia, siku zinakuja, asema Bwana, Nami
nitawatimizia nyumba ya Israeli na nyumba
ya Yuda agano jipya;
9 Halitakuwa kama agano lile nililoagana
na baba zao, Katika siku ile nilipowashika
mikono yao niwatoe katika nchi ya Misri.
Kwa sababu hawakudumu katika agano
langu, Mimi nami sikuwajali asema Bwana.
10 Maana hili ndilo agano nitakaloagana na
nyumba ya Israeli Baada ya siku zile, asema
Bwana; Nitawapa sheria zangu katika nia
zao, Na katika mioyo yao nitaziandika; Nami
nitakuwa Mungu kwao, Nao watakuwa watu
wangu.
11 Nao hawatafundishana kila mtu na jirani
yake, Na kila mtu na ndugu yake, akisema,
Mjue Bwana; Kwa maana wote watanijua,
Tangu mdogo wao hata mkubwa wao.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
YEREMIA 16:14 Kwa hiyo, angalia,
siku zinakuja, asema Bwana, ambapo
hawatasema tena, Aishivyo Bwana,
aliyewaleta wana wa Israeli toka nchi ya
Misri;
15 lakini, Aishivyo Bwana, aliyewaleta wana wa
Israeli toka nchi ya kaskazini, na toka nchi
zote alikowafukuza; nami nitawarudisha
katika nchi yao wenyewe niliyowapa baba
zao.
19 Ee Bwana, nguvu zangu, ngome yangu, na
kimbilio langu siku ya taabu, kwako wewe
watakuja mataifa yote toka ncha za dunia,
wakisema, Baba zenu hawakurithi kitu ila
uongo, naam, ubatili na vitu visivyofaa.
YEREMIA
295
ZABURI 22:27 Miisho yote ya dunia
itakumbuka, Na watu watamrejea Bwana;
Jamaa zote za mataifa watamsujudia.
MATHAYO 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye
mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza
kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho
Mtakatifu;
LUKA 24:47 na kwamba mataifa yote
watahubiriwa kwa jina lake habari ya
toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu
Yerusalemu.
MATENDO YA MITUME 9:15 Lakini
Bwana akamwambia, Nenda tu; kwa maana
huyu ni chombo kiteule kwangu, alichukue
Jina langu mbele ya Mataifa, na wafalme, na
wana wa Israeli.
MATENDO YA MITUME 10:45 Na wale
waliotahiriwa, walioamini, wakashangaa,
watu wote waliokuja pamoja na Petro, kwa
sababu Mataifa nao wamemwagiwa kipawa
cha Roho Mtakatifu.
MATENDO YA MITUME 13:47 Kwa
sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana,
Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, Upate
kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.
WAGALATIA 3:14 ili kwamba baraka ya
Ibrahimu iwafikilie Mataifa katika Yesu
Kristo, tupate kupokea ahadi ya Roho kwa
njia ya imani.
UFUNUO WA YOHANA 7:9 Baada
ya hayo nikaona, na tazama, mkutano
mkubwa sana ambao hapana mtu awezaye
kuuhesabu, watu wa kila taifa, na kabila, na
jamaa, na lugha, wamesimama mbele ya kile
kiti cha enzi, na mbele za Mwana-Kondoo,
wamevikwa mavazi meupe, wana matawi ya
mitende mikononi mwao;
UFUNUO WA YOHANA 15:4 Ni
nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza
jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako
u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote
watakuja na kusujudu mbele zako; kwa
kuwa matendo yako ya haki yamekwisha
kufunuliwa.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Matendo ya Mitume 14:27; Matendo ya Mitume 28:28; Warumi 10:18; 1 Wathesalonike 2:16.
B08 Ujuzi wa Yote wa Masiha.
YEREMIA 17:10 Mimi, Bwana, nauchunguza
moyo, navijaribu viuno, hata kumpa kila
mtu kiasi cha njia zake, kiasi cha matunda
ya matendo yake.
YOHANA 2:25 na kwa sababu hakuwa
na haja ya mtu kushuhudia habari za
mwanadamu; kwa maana yeye mwenyewe
alijua yaliyomo ndani ya mwanadamu.
WARUMI 8:27 Na yeye aichunguzaye
mioyo aijua nia ya Roho ilivyo, kwa kuwa
huwaombea watakatifu kama apendavyo
Mungu.
WAEBRANIA 4:12 Maana Neno la Mungu li
hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko
upanga uwao wote ukatao kuwili, tena
lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na
viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena
li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi
YEREMIA
296
ya moyo.
13 Wala hakuna kiumbe kisichokuwa wazi
mbele zake, lakini vitu vyote vi utupu na
kufunuliwa machoni pake yeye aliye na
mambo yetu.
UFUNUO WA YOHANA 2:23 nami
nitawaua watoto wake kwa mauti. Na
makanisa yote watajua ya kuwa mimi ndiye
achunguzaye viuno na mioyo. Nami nitampa
kila mmoja wenu kwa kadiri ya matendo
yake.
Ona pia: Zaburi 7:9; Zaburi 139:1,2,23,24; Mithali 17:3; Yeremia 11:20; Yeremia 20:12; Yeremia 32:19.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
YEREMIA 23:3 Nami nitakusanya mabaki
ya kundi langu, katika nchi zile zote
nilizowafukuza, nami nitawaleta tena
mazizini mwao; nao watazaa na kuongezeka.
4 Nami nitaweka juu yao wachungaji
watakaowalisha; wala hawataona hofu tena,
wala kufadhaika, wala hatapotea hata mmoja
wao, asema Bwana.
7 Kwa hiyo, angalia, siku zinakuja, asema
Bwana, ambapo hawatasema tena, Aishivyo
Bwana, aliyewatoa wana wa Israeli katika
nchi ya Misri;
8 lakini, Aishivyo Bwana, aliyewapandisha na
kuwaongoza wazao wa nyumba ya Israeli
kutoka nchi ya kaskazini, na kutoka nchi
zote nilikowafukuza; nao watakaa katika
nchi yao wenyewe.
YOHANA 6:39 Na mapenzi yake
aliyenipeleka ni haya, ya kwamba katika
wote alionipa nisimpoteze hata mmoja, bali
nimfufue siku ya mwisho.
40 Kwa kuwa mapenzi yake Baba yangu ni
haya, ya kwamba kila amtazamaye Mwana
na kumwamini yeye, awe na uzima wa
milele; nami nitamfufua siku ya mwisho.
YOHANA 10:27 Kondoo wangu waisikia sauti
yangu; nami nawajua, nao wanifuata.
28 Nami nawapa uzima wa milele; wala
hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu
atakayewapokonya katika mkono wangu.
29 Baba yangu aliyenipa hao ni mkuu
kuliko wote; wala hakuna mtu awezaye
kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu.
30 Mimi na Baba tu umoja.
YOHANA 17:12 Nilipokuwapo pamoja nao,
mimi naliwalinda kwa jina lako ulilonipa,
nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao
aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili
andiko litimie.
YOHANA 18:9 Ili litimizwe lile neno
alilolisema, Wale ulionipa sikumpoteza hata
mmoja wao.
1 PETRO 1:5 Nanyi mnalindwa na nguvu
za Mungu kwa njia ya imani hata mpate
wokovu ulio tayari kufunuliwa wakati wa
mwisho.
Ona pia: #1; #2; #3; Mika 2:12,13; Yohana 21:15-17; Matendo ya Mitume 20:28,29; 1 Petro 5:1-5.
YEREMIA
297
B04 Sifa za Uungu za Masiha.
C01 Kuzaliwa kwa Masiha kunatabiriwa.
D09 Masiha atakuwa Mwokozi.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
YEREMIA 23:5 Tazama siku zinakuja,
asema Bwana, nitakapomchipushia Daudi
Chipukizi la haki; naye atamiliki mfalme,
atatenda kwa hekima, naye atafanya
hukumu na haki katika nchi.
6 Katika siku zake Yuda ataokolewa, na Israeli
atakaa salama, na jina lake atakaloitwa ni
hili, Bwana ni haki yetu.
MATHAYO 1:1 Kitabu cha ukoo wa Yesu
Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa
Ibrahimu.
MATHAYO 1:21 Naye atazaa mwana, nawe
utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye
atakayewaokoa watu wake na dhambi zao.
LUKA 1:32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa
Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu
atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
LUKA 1:71 Tuokolewe na adui zetu Na
mikononi mwao wote wanaotuchukia;
72 Ili kuwatendea rehema baba zetu, Na
kulikumbuka agano lake takatifu;
73 Uapo aliomwapia Ibrahimu, baba yetu,
74 Ya kwamba atatujalia sisi, Tuokoke mikononi
mwa adui zetu, Na kumwabudu pasipo hofu,
LUKA 19:9 Yesu akamwambia, Leo
wokovu umefika nyumbani humu, kwa
sababu huyu naye ni mwana wa Ibrahimu.
10 Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja
kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.
YOHANA 1:45 Filipo akamwona
Nathanaeli, akamwambia, Tumemwona
yeye aliyeandikiwa na Musa katika torati, na
manabii, Yesu, mwana wa Yusufu, mtu wa
Nazareti.
WARUMI 11:26 Hivyo Israeli wote
wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi
atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na
maasia yake.
27 Na hili ndilo agano langu nao,
Nitakapowaondolea dhambi zao.
1 WAKORINTHO 1:30 Bali kwa yeye
ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu,
aliyefanywa kwetu hekima itokayo kwa
Mungu, na haki, na utakatifu, na ukombozi;
UFUNUO WA YOHANA 19:11 Kisha
nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama,
farasi mweupe, na yeye aliyempanda,
aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa
haki ahukumu na kufanya vita.
Ona pia: #1; #2; #3; Zaburi 72:2; Isaya 7:14; Isaya 53:10; Yeremia 33:15; Zekaria 3:8; Warumi 3:22; 2 Wakorintho 5:21; Wafilipi 3:9.
D02 Kazi ya Masiha kama Nabii.
E24 Masiha ataleta amani.
YEREMIA 28:9 Nabii atabiriye habari za
amani, neno la nabii yule litakapotokea,
ndipo nabii yule atakapojulikana, kuwa
Bwana amemtuma kweli kweli.
MATHAYO 3:17 na tazama, sauti kutoka
mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu,
YEREMIA
298
mpendwa wangu, ninayependezwa naye.
LUKA 2:14 Atukuzwe Mungu juu
mbinguni, Na duniani iwe amani kwa watu
aliowaridhia.
LUKA 24:36 Na walipokuwa katika
kusema habari hiyo, yeye mwenyewe
alisimama katikati yao, akawaambia, Amani
iwe kwenu.
YOHANA 14:27 Amani nawaachieni; amani
yangu nawapa; niwapavyo mimi sivyo kama
ulimwengu utoavyo. Msifadhaike mioyoni
mwenu, wala msiwe na woga.
MATENDO YA MITUME 10:36 Neno lile
alilowapelekea wana wa Israeli akihubiri
habari njema ya amani kwa Yesu Kristo
(ndiye Bwana wa wote),
WARUMI 10:15 Tena wahubirije,
wasipopelekwa? Kama ilivyoandikwa, Ni
mizuri kama nini miguu yao wahubirio
habari ya mema!
Ona pia: Isaya 52:7; Yeremia 6:14; Ezekieli 13:10-16; Nahumu 1:15; Zekaria 9:10; Mathayo 17:5; Luka 7:50; Luka 19:42; Yohana
20:19,21; Matendo ya Mitume 9:31; Warumi 5:1; Warumi 8:6; Warumi 14:17; 1 Wakorintho 14:33; Waefeso 2:14,15,17; Wakolosai
3:15; 2 Wathesalonike 3:16; Waebrania 12:14; 2 Petro 1:2,17; Ufunuo wa Yohana 1:4.
A03 Masiha ni wa ukoo wa Daudi.
D05 Masiha atakuwa Mkombozi.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
YEREMIA 30:3 Kwa maana, tazama, siku
zinakuja, asema Bwana, nitakapowarejeza
watu wangu wa Israeli na Yuda waliofungwa,
asema Bwana; nami nitawarudisha hata nchi
niliyowapa baba zao, nao wataimiliki.
YEREMIA 30:4-8
YEREMIA 30:9 bali watamtumikia Bwana,
Mungu wao, na Daudi, mfalme wao,
nitakayemwinua kwa ajili yao.
10 Kwa sababu hiyo usiogope, Ee Yakobo,
mtumishi wangu, asema Bwana; wala
usifadhaike, Ee Israeli; kwa maana, tazama,
nitakuokoa toka mbali, na wazao wako toka
nchi ya uhamisho wao; na Yakobo atarudi,
naye atatulia na kustarehe, wala hapana mtu
atakayemtia hofu.
11 Maana mimi ni pamoja nawe, asema
Bwana, nikuokoe; maana nitawakomesha
kabisa mataifa yote huko nilikokutawanya,
bali sitakukomesha wewe kabisa; lakini
nitakurudi kwa hukumu, wala sitakuacha
bila adhabu.
YEREMIA 30:12-15
YEREMIA 30:16 Basi, watu wote wakulao
wataliwa; na adui zako wote watakwenda
kufungwa; kila mmoja wao; na hao
waliokuteka nyara watatekwa; na wote
waliokuwinda nitawafanya kuwa mawindo.
YEREMIA 30:17,18
YEREMIA 30:19 Tena kwao itasikiwa
shukrani, na sauti yao wachangamkao; nami
nitawazidisha, wala hawatakuwa wachache;
tena nitawatukuza, wala hawatakuwa
wanyonge.
20 Watoto wao nao watakuwa kama zamani,
na kusanyiko lao litathibitika mbele zangu,
nami nitawaadhibu wote wawaoneao.
YEREMIA 30:23,24
2 SAMWELI 22:51 Ampa mfalme wake wokovu
mkuu; Amfanyia fadhili masihi wake Daudi
na mzao wake ,hata milele.
YEREMIA
299
LUKA 1:30 Malaika akamwambia,
Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata
neema kwa Mungu.
31 Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto
mwanamume; na jina lake utamwita Yesu.
32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa
Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha
enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
LUKA 1:69 Ametusimamishia pembe ya
wokovu Katika mlango wa Daudi, mtumishi
wake.
YOHANA 12:15 Usiogope, binti Sayuni;
tazama, Mfalme wako anakuja, amepanda
mwana-punda.
MATENDO YA MITUME 2:30 Basi
kwa kuwa ni nabii, akijua ya kuwa Mungu
amemwapia kwa kiapo, ya kwamba katika
uzao wa viuno vyake atamketisha mmoja
katika kiti chake cha enzi;
WARUMI 11:25 Kwa maana, ndugu zangu,
sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa
wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu
umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa
Mataifa uwasili.
26 Hivyo Israeli wote wataokoka; kama
ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka
Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake.
27 Na hili ndilo agano langu nao,
Nitakapowaondolea dhambi zao.
28 Basi kwa habari ya Injili wamekuwa adui
kwa ajili yenu; bali kwa habari ya kule
kuchaguliwa wamekuwa wapenzi kwa ajili
ya baba zetu.
UFUNUO WA YOHANA 19:15 Na
upanga mkali hutoka kinywani mwake ili
awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga
kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga
shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira
ya Mungu Mwenyezi.
16 Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake
na paja lake, MFALME WA WAFALME, NA
Bwana WA MABwana.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5.
A05 Uhusiano kati ya Masiha na Baba Yake.
D08 Masiha atakuwa Dhamana.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
YEREMIA 30:21 Na mkuu wao atakuwa
mtu wa kwao wenyewe, naye mwenye
kuwatawala atakuwa mtu wa jamaa yao;
nami nitamkaribisha, naye atanikaribia;
maana ni nani aliye na moyo wa kuthubutu
kunikaribia? Asema Bwana.
22 Nanyi mtakuwa watu wangu, nami nitakuwa
Mungu wenu.
YEREMIA 24:7 Nami nitawapa moyo,
wanijue ya kuwa mimi ni Bwana; nao
watakuwa watu wangu, nami nitakuwa
Mungu wao; kwa maana watanirudia kwa
moyo wao wote.
WAEBRANIA 4:15 Kwa kuwa hamna kuhani
mkuu asiyeweza kuchukuana nasi katika
mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa
sawasawa na sisi katika mambo yote, bila
kufanya dhambi.
16 Basi na tukikaribie kiti cha neema kwa
ujasiri, ili tupewe rehema, na kupata neema
ya kutusaidia wakati wa mahitaji.
YEREMIA
300
WAEBRANIA 5:4 Na hapana mtu ajitwaliaye
mwenyewe heshima hii, ila yeye aitwaye na
Mungu, kama vile Haruni.
5 Vivyo hivyo Kristo naye hakujitukuza nafsi
yake kufanywa kuhani mkuu, lakini yeye
aliyemwambia, Ndiwe mwanangu, Mimi leo
nimekuzaa.
6 kama asemavyo mahali pengine,
Ndiwe kuhani wa milele Kwa mfano wa
Melkizedeki.
WAEBRANIA 7:22 basi kwa kadiri hii Yesu
amekuwa mdhamini wa agano lililo bora
zaidi.
23 Tena wale walifanywa makuhani wengi, kwa
sababu wazuiliwa na mauti wasikae;
24 bali yeye, kwa kuwa akaa milele, anao
ukuhani wake usioondoka.
25 Naye, kwa sababu hii, aweza kuwaokoa
kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye;
maana yu hai sikuzote ili awaombee.
WAEBRANIA 8:10 Maana hili ndilo agano
nitakaloagana na nyumba ya Israeli Baada
ya siku zile, asema Bwana; Nitawapa sheria
zangu katika nia zao, Na katika mioyo yao
nitaziandika; Nami nitakuwa Mungu kwao,
Nao watakuwa watu wangu.
UFUNUO WA YOHANA 21:3 Nikasikia
sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha
enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu
ni pamoja na wanadamu, naye atafanya
maskani yake pamoja nao, nao watakuwa
watu wake. Naye Mungu mwenyewe
atakuwa pamoja nao.
Ona pia: Mwanzo 49:10; Kumbukumbu la Torati 26:17-19; Yeremia 24:7; Yeremia 31:1,33; Ezekieli 11:20; Ezekieli 36:28;
Ezekieli 37:27; Hosea 2:23; Zekaria 13:9; Waebrania 9:14,15,24.
B22 Uzuri wa Mungu na Masiha.
E17 Masiha atajenga hekalu la Mungu.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
YEREMIA 31:1 Wakati huo, asema Bwana,
nitakuwa Mungu wa jamaa zote za Israeli,
nao watakuwa watu wangu.
2 Bwana asema hivi, Watu wale walioachwa
na upanga walipata neema jangwani; yaani,
Israeli, hapo nilipokwenda kumstarehesha.
3 Bwana alinitokea zamani, akisema, Naam
nimekupenda kwa upendo wa milele, ndiyo
maana nimekuvuta kwa fadhili zangu.
4 Mara ya pili nitakujenga, nawe utajengwa,
Ee bikira wa Israeli mara ya pili utapambwa
kwa matari yako, nawe utatokea katika
michezo yao wanaofurahi.
5 Mara ya pili utapanda mizabibu juu ya
milima ya Samaria; wapanzi watapanda, nao
watayafurahia matunda yake.
6 Maana kutakuwa siku moja, ambayo walinzi
watalia juu ya vilima vya Efraimu, Inukeni,
tukaende Sayuni, kwa Bwana, Mungu wetu.
7 Maana Bwana asema hivi, Mwimbieni
Yakobo kwa furaha, mkampigie kelele mkuu
wa mataifa, tangazeni, sifuni, mkaseme,
Ee Bwana, uwaokoe watu wako, mabaki ya
Israeli.
8 Tazama, nitawaleta toka nchi ya kaskazini,
na kuwakusanya katika miisho ya dunia,
na pamoja nao watakuja walio vipofu, na
hao wachechemeao, mwanamke mwenye
mimba, na yeye pia aliye na utungu wa
kuzaa; watarudi huko, jeshi kubwa.
9 Watakuja kwa kulia, na kwa maombi
nitawaongoza; nitawaendesha penye mito
ya maji, katika njia iliyonyoka; katika njia
hiyo hawatajikwaa; maana mimi ni baba wa
Israeli, na Efraimu ni mzaliwa wa kwanza
wangu.
YEREMIA
301
MWANZO 45:7 Mungu alinipeleka mbele
yenu kuwahifadhia masazo katika nchi, na
kuwaokoa ninyi kwa wokovu mkuu.
AMOSI 9:11 Siku hiyo nitaiinua tena
maskani ya Daudi iliyoanguka, na kuziba
mahali palipobomoka; nami nitayainua
magofu yake, na kuyajenga kama siku za
kale;
MATENDO YA MITUME 15:16 Baada ya
mambo haya nitarejea, Nami nitaijenga tena
nyumba ya Daudi iliyoanguka. Nitajenga
tena maanguko yake, Nami nitaisimamisha;
WARUMI 9:27 Isaya naye atoa sauti yake
juu ya Israeli, kusema, Hesabu ya wana
wa Israeli,ijapokuwa ni kama mchanga wa
bahari,ni mabaki yao tu watakaookolewa.
WARUMI 11:5 Basi ni vivi hivi wakati huu
wa sasa, yako mabaki waliochaguliwa kwa
neema.
WAEFESO 2:20 Mmejengwa juu ya msingi
wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu
mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni.
21 Katika yeye jengo lote linaungamanishwa
vema na kukua hata liwe hekalu takatifu
katika Bwana.
22 Katika yeye ninyi nanyi mnajengwa pamoja
kuwa maskani ya Mungu katika Roho.
1 PETRO 2:9 Bali ninyi ni mzao mteule,
ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa
milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili
zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie
katika nuru yake ya ajabu;
UFUNUO WA YOHANA 5:10
ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa
Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi.
UFUNUO WA YOHANA 21:10
Akanichukua katika Roho mpaka mlima
mkubwa, mrefu, akanionyesha ule mji
mtakatifu, Yerusalemu, ukishuka kutoka
mbinguni kwa Mwenyezi Mungu;
Ona pia: #1; #2; #3; #5; Yeremia 31:10-14,27-30,38-40.
C05 Unabii wa kuuliwa kwa watoto
Bethlehemu.
YEREMIA 31:15 Bwana asema hivi, Sauti
imesikiwa Rama, kilio, na maombolezo
mengi, Raheli akiwalilia watoto wake;
asikubali kufarijiwa kwa watoto wake, kwa
kuwa hawako,
MWANZO 35:16 Wakasafiri kutoka Betheli,
hata ukabaki mwendo wa kitambo tu kufika
Efrathi, Raheli akashikwa na utungu wa
kuzaa, na utungu wake ulikuwa mzito.
17 Ikawa alipokuwa anashikwa sana na utungu,
mzalisha akamwambia, Usiogope, maana
sasa utamzaa mwanamume mwingine.
18 Ikawa hapo katika kutoa roho yake, maana
alikufa, akamwita jina lake Benoni, lakini
babaye alimwita Benyamini.
19 Akafa Raheli, akazikwa katika njia ya Efrathi,
ndio Bethlehemu.
20 Yakobo akasimamisha nguzo juu ya kaburi
lake, ndiyo nguzo ya kaburi la Raheli hata
leo.
MATHAYO 2:16 Ndipo Herode, alipoona ya
kuwa amedhihakiwa na wale mamajusi,
alighadhabika sana, akatuma watu akawaua
YEREMIA
302
watoto wote wanaume waliokuwako huko
Bethlehemu na viungani mwake mwote,
tangu wenye miaka miwili na waliopungua,
kwa muda ule aliouhakikisha kwa wale
mamajusi.
17 Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii
Yeremia, akisema,
18 Sauti ilisikiwa Rama, Kilio, na maombolezo
mengi, Raheli akiwalilia watoto wake,
Asikubali kufarijiwa, kwa kuwa hawako.
C01 Kuzaliwa kwa Masiha kunatabiriwa.
YEREMIA 31:22 Hata lini utatanga-tanga,
Ee binti mwenye kuasi? Kwa maana Bwana
ameumba jambo jipya duniani; mwanamke
atamlinda mwanamume.
MATHAYO 1:18 Kuzaliwa kwake Yesu
Kristo kulikuwa hivi. Mariamu mama yake
alipokuwa ameposwa na Yusufu, kabla
hawajakaribiana, alionekana ana mimba kwa
uweza wa Roho Mtakatifu.
19 Naye Yusufu, mumewe, kwa vile alivyokuwa
mtu wa haki, asitake kumwaibisha, aliazimu
kumwacha kwa siri.
20 Basi alipokuwa akifikiri hayo, tazama,
malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto,
akisema, Yusufu, mwana wa Daudi, usihofu
kumchukua Mariamu mkeo, maana mimba
yake ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
21 Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina
lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa
watu wake na dhambi zao.
WAGALATIA 4:4 Hata ulipowadia utimilifu wa
wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye
amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini
ya sheria,
Ona pia: Mwanzo 3:15; Zaburi 2:7,8; Isaya 7:14; Luka 1:34,35.
E20 Masiha ataweka agano jipya.
G06 Makao ya Roho Mtakatifu.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
YEREMIA 31:31 Angalia, siku zinakuja,
asema Bwana, nitakapofanya agano jipya na
nyumba ya Israeli, na nyumba ya Yuda.
32 Si kwa mfano wa agano lile nililolifanya
na baba zao, katika siku ile nilipowashika
mkono, ili kuwatoa katika nchi ya Misri;
ambalo agano langu hilo walilivunja, ingawa
nalikuwa mume kwao, asema Bwana.
33 Bali agano hili ndilo nitakalofanya na
nyumba ya Israeli, baada ya siku zile, asema
Bwana; Nitatia sheria yangu ndani yao, na
katika mioyo yao nitaiandika; nami nitakuwa
Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
34 Wala hawatamfundisha kila mtu jirani yake,
na kila mtu ndugu yake, wakisema, Mjue
Bwana; kwa maana watanijua wote, tangu
mtu aliye mdogo miongoni mwao hata aliye
mkubwa miongoni mwao, asema Bwana;
maana nitausamehe uovu wao, wala dhambi
yao sitaikumbuka tena.
MATHAYO 26:27 Akakitwaa kikombe,
akashukuru, akawapa, akisema, Nyweni
nyote katika hiki;
28 kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano,
imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo
la dhambi.
29 Lakini nawaambieni, Sitakunywa kabisa
tangu sasa uzao huu wa mzabibu, hata siku
ile nitakapokunywa mpya pamoja nanyi
katika ufalme wa Baba yangu.
YEREMIA
303
YOHANA 1:15 Yohana alimshuhudia,
akapaza sauti yake akasema, Huyu ndiye
niliyenena habari zake ya kwamba, Ajaye
nyuma yangu amekuwa mbele yangu; kwa
maana alikuwa kabla yangu.
16 Kwa kuwa katika utimilifu wake sisi sote
tulipokea, na neema juu ya neema.
17 Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa
Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono
wa Yesu Kristo.
YOHANA 6:45 Imeandikwa katika manabii,
Na wote watakuwa wamefundishwa na
Mungu. Basi kila aliyesikia na kujifunza kwa
Baba huja kwangu.
2 WAKORINTHO 3:2 Ninyi ndinyi
barua yetu, iliyoandikwa mioyoni mwetu,
inajulikana na kusomwa na watu wote;
3 mnadhihirishwa kwamba mmekuwa barua
ya Kristo tuliyoikatibu, iliyoandikwa si kwa
wino, bali kwa Roho wa Mungu aliye hai;
si katika vibao vya mawe, ila katika vibao
ambavyo ni mioyo ya nyama.
4 Na tumaini hilo tunalo mbele za Mungu kwa
njia ya Kristo.
5 Si kwamba twatosha sisi wenyewe kufikiri
neno lo lote kwamba ni letu wenyewe, bali
utoshelevu wetu watoka kwa Mungu.
6 Naye ndiye aliyetutosheleza kuwa
wahudumu wa agano jipya; si wa andiko,
bali wa roho; kwa maana andiko huua, bali
roho huhuisha.
WAGALATIA 3:17 Nisemalo ni hili; agano
lililothibitishwa kwanza na Mungu, torati
iliyotokea miaka mia nne na thelathini
baadaye hailitangui, hata kuibatilisha ile
ahadi.
WAEBRANIA 8:6 Lakini sasa amepata huduma
iliyo bora zaidi, kwa kadiri alivyo mjumbe
wa agano lililo bora, lililoamriwa juu ya
ahadi zilizo bora.
7 Maana kama lile la kwanza lingalikuwa
halina upungufu, nafasi isingalitafutwa kwa
lile la pili.
8 Maana, awalaumupo, asema Angalia, siku
zinakuja, asema Bwana, Nami nitawatimizia
nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda agano
jipya;
9 Halitakuwa kama agano lile nililoagana
na baba zao, Katika siku ile nilipowashika
mikono yao niwatoe katika nchi ya Misri.
Kwa sababu hawakudumu katika agano
langu, Mimi nami sikuwajali asema Bwana.
10 Maana hili ndilo agano nitakaloagana na
nyumba ya Israeli Baada ya siku zile, asema
Bwana; Nitawapa sheria zangu katika nia
zao, Na katika mioyo yao nitaziandika; Nami
nitakuwa Mungu kwao, Nao watakuwa watu
wangu.
11 Nao hawatafundishana kila mtu na jirani
yake, Na kila mtu na ndugu yake, akisema,
Mjue Bwana; Kwa maana wote watanijua,
Tangu mdogo wao hata mkubwa wao.
12 Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na
dhambi zao sitazikumbuka tena.
13 Kwa kule kusema, Agano jipya, amelifanya
lile la kwanza kuwa kuukuu. Lakini kitu
kianzacho kuwa kikuukuu na kuchakaa ki
karibu na kutoweka.
1 YOHANA 2:27 Nanyi, mafuta yale
mliyoyapata kwake yanakaa ndani yenu,
wala hamna haja ya mtu kuwafundisha;
lakini kama mafuta yake yanavyowafundisha
habari za mambo yote, tena ni kweli wala si
uongo, na kama yalivyowafundisha, kaeni
ndani yake.
YEREMIA
304
Ona pia: #1; #2; Kutoka 19-20; Matendo ya Mitume 2:14-47.
E20 Masiha ataweka agano jipya.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
YEREMIA 32:37 Tazama, nitawakusanya, na
kuwatoa katika nchi zote nilikowafukuza,
katika hasira yangu, na uchungu wangu, na
ghadhabu yangu nyingi; nami nitawaleta
tena hata mahali hapa, nami nitawakalisha
salama salimini;
38 nao watakuwa watu wangu, nami nitakuwa
Mungu wao;
39 nami nitawapa moyo mmoja na njia moja,
wapate kunicha sikuzote; kwa mema yao, na
ya watoto wao baada yao;
40 nami nitafanya agano la milele pamoja
nao, kwamba sitageuka wala kuwaacha,
ili niwatendee mema; nami nitatia kicho
changu mioyoni mwao, ili wasiniache.
41 Naam, nitafurahi juu yao niwatendee mema,
nami nitawapanda katika nchi hii kweli
kweli, kwa moyo wangu wote, na kwa roho
yangu yote.
EZEKIELI 11:19 Nami nitawapa moyo
mmoja, nami nitatia roho mpya ndani yao;
nami nitauondoa moyo wa kijiwe katika
miili yao, nami nitawapa moyo wa nyama;
20 ili waende katika amri zangu, na kuyashika
maagizo yangu, na kuyatenda; nao watakuwa
watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.
LUKA 1:72 Ili kuwatendea rehema baba
zetu, Na kulikumbuka agano lake takatifu;
73 Uapo aliomwapia Ibrahimu, baba yetu,
74 Ya kwamba atatujalia sisi, Tuokoke mikononi
mwa adui zetu, Na kumwabudu pasipo hofu,
75 Kwa utakatifu na kwa haki Mbele zake siku
zetu zote.
YOHANA 17:21 Wote wawe na umoja; kama
wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami
ndani yako; hao nao wawe ndani yetu; ili
ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe
ndiwe uliyenituma.
MATENDO YA MITUME 4:32 Na
jamii ya watu walioamini walikuwa na
moyo mmoja na roho moja; wala hapana
mmoja aliyesema ya kuwa kitu cho chote
alicho nacho ni mali yake mwenyewe; bali
walikuwa na vitu vyote shirika.
WAEBRANIA 7:22 basi kwa kadiri hii Yesu
amekuwa mdhamini wa agano lililo bora
zaidi.
1 YOHANA 3:8 atendaye dhambi ni wa
Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi
tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa
Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za
Ibilisi.
9 Kila mtu aliyezaliwa na Mungu hatendi
dhambi, kwa sababu uzao wake wakaa ndani
yake; wala hawezi kutenda dhambi kwa
sababu amezaliwa kutokana na Mungu.
10 Katika hili watoto wa Mungu ni dhahiri, na
watoto wa Ibilisi nao. Mtu ye yote asiyetenda
haki hatokani na Mungu, wala yeye
asiyempenda ndugu yake.
1 YOHANA 5:18 Twajua ya kuwa kila mtu
aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi; bali
yeye aliyezaliwa na Mungu hujilinda, wala
yule mwovu hamgusi.
Ona pia: #1; #2; #3; #5; Mwanzo 17:7; Kumbukumbu la Torati 26:17-19; Isaya 55:3; 2 Wakorintho 13:11; Wagalatia 3:14-17;
YEREMIA
305
Waebrania 6:13-18; Waebrania 8:9-11.
E21 Masiha atasamehe dhambi.
E24 Masiha ataleta amani.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
YEREMIA 33:6 Tazama, nitauletea afya
na kupona, nami nitawaponya; nami
nitawafunulia wingi wa amani na kweli.
7 Nami nitawarudisha wafungwa wa Yuda, na
wafungwa wa Israeli, na kuwajenga kama
kwanza.
8 Nami nitawasafisha na uovu wao wote,
ambao kwa huo wamenitenda dhambi; nami
nitawasamehe maovu yao yote, ambayo
kwayo wamenitenda dhambi, na kukosa juu
yangu.
9 Na mji huu utakuwa kwangu jina la furaha,
na sifa na utukufu, mbele ya mataifa yote
ya dunia, watakaosikia habari ya mema
yote niwatendeayo, nao wataogopa na
kutetemeka, kwa sababu ya mema yote na
amani nitakaoupatia mji huo.
YEREMIA 33:10-13
MATHAYO 28:18 Yesu akaja kwao, akasema
nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote
mbinguni na duniani.
19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote
kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la
Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
20 na kuwafundisha kuyashika yote
niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo
pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa
dahari.
LUKA 4:18 Roho wa Bwana yu juu
yangu, Kwa maana amenitia mafuta
kuwahubiri maskini habari njema.
Amenituma kuwatangazia wafungwa
kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona
tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
19 Na kutangaza mwaka wa Bwana
uliokubaliwa.
20 Akakifunga chuo, akamrudishia mtumishi,
akaketi; na watu wote waliokuwamo katika
sinagogi wakamkazia macho.
21 Akaanza kuwaambia, Leo maandiko haya
yametimia masikioni mwenu.
YOHANA 1:17 Kwa kuwa torati ilitolewa
kwa mkono wa Musa; neema na kweli
zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.
WAEBRANIA 8:10 Maana hili ndilo agano
nitakaloagana na nyumba ya Israeli Baada
ya siku zile, asema Bwana; Nitawapa sheria
zangu katika nia zao, Na katika mioyo yao
nitaziandika; Nami nitakuwa Mungu kwao,
Nao watakuwa watu wangu.
11 Nao hawatafundishana kila mtu na jirani
yake, Na kila mtu na ndugu yake, akisema,
Mjue Bwana; Kwa maana wote watanijua,
Tangu mdogo wao hata mkubwa wao.
12 Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na
dhambi zao sitazikumbuka tena.
1 PETRO 2:24 Yeye mwenyewe alizichukua
dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti,
tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe
hai kwa mambo ya haki; na kwa kupigwa
kwake mliponywa.
1 YOHANA 1:7 bali tukienenda nuruni,
kama yeye alivyo katika nuru, twashirikiana
sisi kwa sisi, na damu yake Yesu, Mwana
wake, yatusafisha dhambi yote.
8 Tukisema kwamba hatuna dhambi,
YEREMIA
306
twajidanganya wenyewe, wala kweli haimo
mwetu.
9 Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni
mwaminifu na wa haki hata atuondolee
dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu
wote.
UFUNUO WA YOHANA 1:5 tena
zitokazo kwa Yesu Kristo, shahidi aliye
mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa
waliokufa, na mkuu wa wafalme wa dunia.
Yeye atupendaye na kutuosha dhambi zetu
katika damu yake,
Ona pia: #1; #2; #3; #5; Zaburi 65:3; Yohana 18:37; Waebrania 9:11-14.
C01 Kuzaliwa kwa Masiha kunatabiriwa.
D03 Kazi ya Masiha kama Kuhani.
D05 Masiha atakuwa Mkombozi.
D09 Masiha atakuwa Mwokozi.
E08 Haki ya Masiha.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
YEREMIA 33:14 Tazama, siku zinakuja,
asema Bwana, nitakapolitimiza neno lile
jema nililolinena, katika habari za nyumba
ya Israeli, na katika habari za nyumba ya
Yuda.
15 Katika siku zile, na wakati ule,
nitamchipushia Daudi Chipukizi la haki;
naye atafanya hukumu na haki katika nchi
hii.
16 Katika siku zile Yuda ataokolewa, na
Yerusalemu utakaa salama, na jina lake
atakaloitwa ni hili, Bwana ni haki yetu.
17 Maana Bwana asema hivi, Daudi hatakosa
kuwa na mtu wa kuketi katika kiti cha enzi
cha nyumba ya Israeli;
18 wala makuhani Walawi hawatakosa kuwa na
mtu wa kusimama mbele zangu, na kutoa
sadaka za kuteketezwa, na kufukiza matoleo,
na kufanya dhabihu daima.
22 Kama vile jeshi la mbinguni haliwezi
kuhesabiwa, wala mchanga wa bahari
kupimwa; ndivyo nitakavyoongeza wazao
wa Daudi, mtumishi wangu, na Walawi
wanaonihudumia.
LUKA 1:32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa
Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu
atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
WARUMI 11:26 Hivyo Israeli wote
wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi
atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na
maasia yake.
WAEBRANIA 7:17 maana ameshuhudiwa
kwamba, Wewe u kuhani milele Kwa mfano
wa Melkizedeki.
18 Maana, kuna kubatiliwa kwa ile amri
iliyotangulia, kwa sababu ya udhaifu wake,
na kutokufaa kwake;
19 (kwa maana ile sheria haikukamilisha neno);
na pamoja na hayo kuliingizwa matumaini
yaliyo mazuri zaidi, ambayo kwa hayo
twamkaribia Mungu.
20 Na kwa kuwa haikuwa pasipo kiapo,
21 (maana wale walifanywa makuhani pasipo
kiapo; bali yeye, pamoja na kiapo, kwa
yeye aliyemwambia, Bwana ameapa wala
hataghairi, Wewe u kuhani wa milele;)
22 basi kwa kadiri hii Yesu amekuwa mdhamini
wa agano lililo bora zaidi.
YEREMIA
307
1 PETRO 2:5 Ninyi nanyi, kama mawe
yaliyo hai, mmejengwa mwe nyumba ya
Roho, ukuhani mtakatifu, mtoe dhabihu za
roho, zinazokubaliwa na Mungu, kwa njia ya
Yesu Kristo.
UFUNUO WA YOHANA 1:4 Yohana,
kwa yale makanisa saba yaliyoko Asia;
Neema na iwe kwenu na amani, zitokazo
kwake yeye aliyeko na aliyekuwako na
atakayekuja; na zitokazo kwa roho saba
walioko mbele ya kiti chake cha enzi;
5 tena zitokazo kwa Yesu Kristo, shahidi
aliye mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa
waliokufa, na mkuu wa wafalme wa dunia.
Yeye atupendaye na kutuosha dhambi zetu
katika damu yake,
6 na kutufanya kuwa ufalme, na makuhani
kwa Mungu, naye ni Baba yake; utukufu na
ukuu una Yeye hata milele na milele. Amina.
UFUNUO WA YOHANA 5:10
ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa
Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi.
Ona pia: #1; #2; #5; Isaya 4:2; Isaya 11:1-5; Isaya 53:2; 2 Wakorintho 1:20; 1 Petro 2:9.
E20 Masiha ataweka agano jipya.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
YEREMIA 50:4 Katika siku hizo, na wakati
huo, asema Bwana, wana wa Israeli
watakuja, wao na wana wa Yuda pamoja;
Wataendelea njiani mwao wakilia, nao
watamtafuta Bwana, Mungu wao.
5 Watauliza habari za Sayuni, na nyuso zao
zitaelekea huko, wakisema, Njoni ninyi,
mjiunge na Bwana, kwa agano la milele
ambalo halitasahauliwa.
6 Watu wangu wamekuwa kondoo
waliopotea, wachungaji wao wamewapoteza;
wamewapotosha milimani; wamekwenda
toka mlima hata kilima, wamesahau mahali
pao pa kupumzika.
7 Watu wote waliowaona wamewala; na adui
zao walisema, Sisi hatuna hatia, kwa kuwa
hao wametenda dhambi juu ya Bwana, aliye
kao la haki, yaani, Bwana, tumaini la baba
zao.
19 Nami nitamleta Israeli tena malishoni
kwake, naye atalisha juu ya Karmeli, na
Bashani, na nafsi yake itashiba juu ya
milima ya Efraimu, na katika Gileadi.
20 Katika siku hizo na wakati huo, asema
Bwana, uovu wa Israeli utatafutwa,
wala uovu hapana; na dhambi za Yuda
zitatafutwa, wala hazitaonekana; maana
nitawasamehe wale niwaachao kuwa
mabaki.
ISAYA 44:22 Nimeyafuta makosa yako
kama wingu zito, na dhambi zako kama
wingu; unirudie; maana nimekukomboa.
MIKA 7:19 Atarejea na kutuhurumia;
atayakanyaga maovu yetu; nawe utazitupa
dhambi zao zote katika vilindi vya bahari.
MATENDO YA MITUME 3:19 Tubuni
basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate
kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako
kwake Bwana;
MATENDO YA MITUME 3:26
Mungu, akiisha kumfufua mtumishi wake
Yesu, alimtuma kwenu ninyi kwanza, ili
kuwabarikia kwa kumwepusha kila mmoja
YEREMIA
308
wenu na maovu yake.
WARUMI 8:33 Ni nani atakayewashitaki
wateule wa Mungu? Mungu ndiye mwenye
kuwahesabia haki.
34 Ni nani atakayewahukumia adhabu? Kristo
Yesu ndiye aliyekufa; naam, na zaidi ya
hayo, amefufuka katika wafu, naye yuko
mkono wa kuume wa Mungu; tena ndiye
anayetuombea.
WARUMI 11:16 Tena malimbuko yakiwa
matakatifu, kadhalika na donge lote; na
shina likiwa takatifu, matawi nayo kadhalika.
WARUMI 11:26 Hivyo Israeli wote
wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi
atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na
maasia yake.
27 Na hili ndilo agano langu nao,
Nitakapowaondolea dhambi zao.
WAEBRANIA 10:16 Hili ni agano
nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena
Bwana, Nitatia sheria zangu mioyoni mwao,
Na katika nia zao nitaziandika; ndipo
anenapo,
17 Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena
kabisa.
18 Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo
tena kwa ajili ya dhambi.
Ona pia: #2; #3.
YEREMIA
309
B23 Neema ya Mungu na Masiha.
MAOMBOLEZO 3:25 Bwana ni mwema
kwa hao wamngojeao, Kwa hiyo nafsi
imtafutayo.
26 Ni vema mtu autarajie wokovu wa Bwana Na
kumngojea kwa utulivu.
ISAYA 25:9 Katika siku hiyo watasema,
Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Ndiye
tuliyemngoja atusaidie; Huyu ndiye Bwana
tuliyemngoja, Na tushangilie na kuufurahia
wokovu wake.
LUKA 2:38 Huyu alitokea saa ile ile
akamshukuru Mungu, na wote waliokuwa
wakiutarajia ukombozi katika Yerusalemu
akawatolea habari zake.
1 WATHESALONIKE 1:10 na kumngojea
Mwanawe kutoka mbinguni, ambaye
alimfufua katika wafu, naye ni Yesu,
mwenye kutuokoa na ghadhabu itakayokuja.
WAEBRANIA 9:28 kadhalika Kristo naye,
akiisha kutolewa sadaka mara moja
azichukue dhambi za watu wengi; atatokea
mara ya pili, pasipo dhambi, kwa hao
wamtazamiao kwa wokovu.
WAEBRANIA 10:37 Kwa kuwa bado
kitambo kidogo sana, Yeye ajaye atakuja,
wala hatakawia.
1 PETRO 1:13 Kwa hiyo vifungeni viuno vya
nia zenu, na kuwa na kiasi; mkiitumainia
kwa utimilifu ile neema mtakayoletewa
katika ufunuo wake Yesu Kristo.
Ona pia: Zaburi 22:26; Zaburi 27:14; Zaburi 33:20; Zaburi 39:7; Zaburi 130:5; Isaya 8:17; Isaya 26:8; Isaya 33:2; Isaya 64:4; Mika
7:7; Habakuki 2:3.
F11 Mateso ya Masiha.
MAOMBOLEZO 3:30 Na amwelekezee
yule ampigaye shavu lake; Ashibishwe
mashutumu.
ISAYA 50:6 Naliwatolea wapigao mgongo
wangu, na wang›oao ndevu mashavu yangu;
sikuficha uso wangu usipate fedheha na
kutemewa mate.
MIKA 5:1 Sasa utajikusanya vikosi
vikosi, Ee binti wa vikosi; yeye amemhusuru;
watampiga mwamuzi wa Israeli shavuni
mwake kwa fimbo.
MATHAYO 26:67 Ndipo wakamtemea mate
ya uso, wakampiga makonde; wengine
wakampiga makofi,
MAOMBOLEZO
310
B03 Masiha ndiye Mwana wa mtu.
EZEKIELI 1:26 Na juu ya anga, lililokuwa
juu ya vichwa vyao, palikuwa na mfano wa
kiti cha enzi, kuonekana kwake kama yakuti
samawi; na juu ya mfano huo wa kiti cha
enzi, ulikuwako mfano kama kuonekana
kwa mfano wa mwanadamu juu yake.
DANIELI 7:13 Nikaona katika njozi za
usiku, na tazama, mmoja aliye mfano wa
mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya
mbingu akamkaribia huyo mzee wa siku,
wakamleta karibu naye.
14 Naye akapewa mamlaka, na utukufu, na
ufalme, ili watu wa kabila zote, na taifa zote,
na lugha zote, wamtumikie; mamlaka yake
ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita
kamwe, na ufalme wake ni ufalme usioweza
kuangamizwa.
WAEBRANIA 1:8 Lakini kwa habari za Mwana
asema, Kiti chako cha enzi,Mungu,ni cha
milele na milele; Na fimbo ya ufalme wako
ni fimbo ya adili.
WAEBRANIA 8:1 Basi, katika hayo
tunayosema, neno lililo kuu ndilo hili:
Tunaye kuhani mkuu wa namna hii,
aliyeketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi
cha Ukuu mbinguni,
UFUNUO WA YOHANA 5:13 Na kila
kiumbe kilichoko mbinguni na juu ya nchi
na chini ya nchi ya juu ya bahari, na vitu
vyote vilivyomo ndani yake, nalivisikia,
vikisema, Baraka na heshima na utukufu
na uweza una yeye aketiye juu ya kiti cha
enzi, na yeye Mwana-Kondoo, hata milele na
milele.
Ona pia: Isaya 6:1; Danieli 7:9,10; Zekaria 6:13; Waebrania 12:2; Ufunuo wa Yohana 4:2,3; Ufunuo wa Yohana 20:11.
E23 Masiha atawabadilisha watu Wake.
E27 Kutoa moyo mpya na roho mpya.
G06 Makao ya Roho Mtakatifu.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
EZEKIELI 11:17 Basi nena, Bwana MUNGU
asema hivi; Nitawakusanya ninyi toka kati ya
kabila za watu, na kuwakutanisha toka nchi
zile mlizotawanyika, nami nitawapeni nchi
ya Israeli.
18 Nao watafika huko, nao wataondolea mbali
vitu vyake vyote vichukizavyo, na machukizo
yake yote.
19 Nami nitawapa moyo mmoja, nami nitatia
roho mpya ndani yao; nami nitauondoa
moyo wa kijiwe katika miili yao, nami
nitawapa moyo wa nyama;
20 ili waende katika amri zangu, na kuyashika
maagizo yangu, na kuyatenda; nao watakuwa
watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.
EZEKIELI 36:25 Nami nitawanyunyizia maji
safi, nanyi mtakuwa safi; nitawatakaseni na
uchafu wenu wote, na vinyago vyenu vyote.
26 Nami nitawapa ninyi moyo mpya, nami
nitatia roho mpya ndani yenu, nami nitatoa
moyo wa jiwe uliomo ndani ya mwili wenu,
nami nitawapa moyo wa nyama.
27 Nami nitatia roho yangu ndani yenu, na
kuwaendesha katika sheria zangu, nanyi
mtazishika hukumu zangu, na kuzitenda.
MATHAYO 3:11 Kweli mimi nawabatiza
kwa maji kwa ajili ya toba; bali yeye ajaye
nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala
sistahili hata kuvichukua viatu vyake; yeye
atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa
EZEKIELI
311
moto.
YOHANA 3:3 Yesu akajibu, akamwambia,
Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa
mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa
Mungu.
MATENDO YA MITUME 2:38 Petro
akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila
mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate
ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea
kipawa cha Roho Mtakatifu.
TITO 3:5 si kwa sababu ya matendo ya haki
tuliyoyatenda sisi; bali kwa rehema yake,
kwa kuoshwa kwa kuzaliwa kwa pili na
kufanywa upya na Roho Mtakatifu;
1 PETRO 1:3 Ahimidiwe Mungu, Baba
wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa
rehema zake nyingi alituzaa mara ya pili ili
tupate tumaini lenye uzima kwa kufufuka
kwake Yesu Kristo katika wafu;
Ona pia: #1; #2; #3; Yohana 1:13; 1 Petro 1:23; 1 Petro 2:2; Yohana 2:29; Yohana 3:9; Yohana 4:7; Yohana 5:1,4,18.
E20 Masiha ataweka agano jipya.
EZEKIELI 16:60 Walakini nitalikumbuka
agano langu nililolifanya pamoja nawe,
katika siku za ujana wako, nami nitaweka
imara agano la milele pamoja nawe.
61 Hapo ndipo utakapozikumbuka njia zako,
na kutahayarika, hapo utakapowakaribisha
maumbu yako, walio wakubwa wako na
wadogo wako; nami nitakupa hao wawe binti
zako, lakini si kwa agano lako.
62 Nami nitaweka imara agano langu nawe;
nawe utajua ya kuwa mimi ndimi Bwana;
63 upate kukumbuka, na kufadhaika,
usifumbue kinywa chako tena, kwa sababu
ya aibu yako; hapo nitakapokusamehe yote
uliyoyatenda, asema Bwana MUNGU.
MATHAYO 26:28 kwa maana hii ndiyo damu
yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya
wengi kwa ondoleo la dhambi.
WAEBRANIA 8:6 Lakini sasa amepata huduma
iliyo bora zaidi, kwa kadiri alivyo mjumbe
wa agano lililo bora, lililoamriwa juu ya
ahadi zilizo bora.
7 Maana kama lile la kwanza lingalikuwa
halina upungufu, nafasi isingalitafutwa kwa
lile la pili.
8 Maana, awalaumupo, asema Angalia, siku
zinakuja, asema Bwana, Nami nitawatimizia
nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda agano
jipya;
9 Halitakuwa kama agano lile nililoagana
na baba zao, Katika siku ile nilipowashika
mikono yao niwatoe katika nchi ya Misri.
Kwa sababu hawakudumu katika agano
langu, Mimi nami sikuwajali asema Bwana.
10 Maana hili ndilo agano nitakaloagana na
nyumba ya Israeli Baada ya siku zile, asema
Bwana; Nitawapa sheria zangu katika nia
zao, Na katika mioyo yao nitaziandika; Nami
nitakuwa Mungu kwao, Nao watakuwa watu
wangu.
11 Nao hawatafundishana kila mtu na jirani
yake, Na kila mtu na ndugu yake, akisema,
Mjue Bwana; Kwa maana wote watanijua,
Tangu mdogo wao hata mkubwa wao.
12 Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na
dhambi zao sitazikumbuka tena.
13 Kwa kule kusema, Agano jipya, amelifanya
lile la kwanza kuwa kuukuu. Lakini kitu
EZEKIELI
312
kianzacho kuwa kikuukuu na kuchakaa ki
karibu na kutoweka.
Ona pia: #1; #2; #5; Luka 22:14-20; Yohana 6:45; 2 Wakorintho 3:2-6,14-16; Waebrania 10:15-17; Waebrania 12:24; Waebrania
13:20.
E22 Kazi ya Masiha itakuwa imebarikiwa.
EZEKIELI 17:22 Bwana MUNGU asema
hivi; Mimi nami nitakitwaa kilele kirefu cha
mwerezi, na kukipandikiza mahali; na katika
vitawi vyake vilivyo juu nitatwaa kitawi
kimoja kilicho chororo, nami nitakipanda
juu ya mlima mrefu ulioinuka sana;
23 juu ya mlima wa mahali palipoinuka pa
Israeli nitakipanda; nacho kitatoa matawi,
na kuzaa matunda, nao utakuwa mwerezi
mzuri; na chini yake watakaa ndege wa kila
namna ya mbawa; katika uvuli wa matawi
yake watakaa.
24 Na miti yote ya mashamba itajua ya kuwa
mimi, Bwana, nimeushusha chini mti
mrefu, na kuuinua mti mfupi, na kuukausha
mti mbichi, na kuusitawisha mti mkavu;
mimi, Bwana, nimenena, nami nimelitenda
jambo hili.
MATHAYO 7:17 Vivyo hivyo kila mti mwema
huzaa matunda mazuri; na mti mwovu
huzaa matunda mabaya.
18 Mti mwema hauwezi kuzaa matunda
mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda
mazuri.
19 Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa
ukatupwa motoni.
20 Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua.
YOHANA 12:24 Amin, amin, nawaambia,
Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi,
ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali
ikifa, hutoa mazao mengi.
YOHANA 15:4 Kaeni ndani yangu, nami
ndani yenu. Kama vile tawi lisivyoweza
kuzaa peke yake, lisipokaa ndani ya
mzabibu; kadhalika nanyi, msipokaa ndani
yangu.
5 Mimi ni mzabibu; ninyi ni matawi, akaaye
ndani yangu nami ndani yake, huyo huzaa
sana; maana pasipo mimi ninyi hamwezi
kufanya neno lo lote.
6 Mtu asipokaa ndani yangu, hutupwa nje
kama tawi na kunyauka; watu huyakusanya
na kuyatupa motoni yakateketea.
7 Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno
yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo
lote nanyi mtatendewa.
8 Hivyo hutukuzwa Baba yangu, kwa vile
mzaavyo sana; nanyi mtakuwa wanafunzi
wangu.
WAFILIPI 2:9 Kwa hiyo tena Mungu
alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile
lipitalo kila jina;
10 ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu
vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini
ya nchi;
11 na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO
NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.
Ona pia: Zaburi 80:15; Zaburi 92:12; Zaburi 96:11-13; Isaya 4:2; Isaya 11:1; Isaya 27:6; Isaya 55:12,13; Yeremia 23:5; Yeremia
33:15,16; Zekaria 4:12-14; Zekaria 6:12,13.
EZEKIELI
313
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
EZEKIELI 20:34 nami nitawatoa katika
mataifa, na kuwakusanya, na kuwatoa katika
nchi mlizotawanyika ndani yake, kwa mkono
hodari, na kwa mkono ulionyoshwa, na kwa
ghadhabu iliyomwagika;
35 nami nitawaingiza katika jangwa la mataifa,
na huko ndiko nitakakoteta nanyi uso kwa
uso.
EZEKIELI 20:36-39
EZEKIELI 20:40 Kwa maana katika mlima
wangu mtakatifu, katika mlima mrefu sana
wa Israeli, asema Bwana MUNGU, ndiko
watakakonitumikia nyumba yote ya Israeli,
wote pia katika nchi ile; nami nitawatakabali
huko, na huko nitataka matoleo yenu, na
malimbuko ya dhabihu zenu, pamoja na vitu
vyenu vitakatifu vyote.
41 Nitawatakabali kama harufu ipendezayo,
nitakapowatoa katika mataifa, na
kuwakusanya toka nchi zile mlizotawanyika;
nami nitatakaswa kwenu machoni pa
mataifa.
42 Nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana,
nitakapowaingiza katika nchi ya Israeli,
katika nchi ile ambayo niliuinua mkono
wangu kwamba nitawapa baba zenu.
EZEKIELI 20:43-44
WARUMI 9:6 Si kana kwamba neno la
Mungu limetanguka. Maana hawawi wote
Waisraeli walio wa uzao wa Israeli.
7 Wala hawawi wote wana kwa kuwa wazao
wa Ibrahimu, bali, Katika Isaka wazao wako
wataitwa;
8 yaani, si watoto wa mwili walio watoto
wa Mungu, bali watoto wa ile ahadi
wanahesabiwa kuwa wazao.
WARUMI 11:26 Hivyo Israeli wote
wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi
atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na
maasia yake.
27 Na hili ndilo agano langu nao,
Nitakapowaondolea dhambi zao.
WAGALATIA 6:15 Kwa sababu kutahiriwa si
kitu, wala kutokutahiriwa, bali kiumbe kipya.
16 Na wote watakaoenenda kwa kanuni hiyo,
amani na iwe kwao na rehema, naam, kwa
Israeli wa Mungu.
WAEFESO 1:5 Kwa kuwa alitangulia
kutuchagua, ili tufanywe wanawe kwa njia
ya Yesu Kristo, sawasawa na uradhi wa
mapenzi yake.
6 Na usifiwe utukufu wa neema yake, ambayo
ametuneemesha katika huyo Mpendwa.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Ezekieli 28:24-26.
G03 Kuinuliwa kwa Masiha kunatabiriwa.
EZEKIELI 21:26 Bwana MUNGU asema hivi;
Kiondoe kilemba, ivue taji; haya hayatakuwa
tena kama yalivyo; kikweze kilicho chini,
kakishushe kilichoinuka.
27 Nitakipindua, nitakipindua, nitakipindua;
hiki nacho hakitakuwa tena, hata
atakapokuja yeye ambaye ni haki yake; nami
nitampa.
WAEBRANIA 2:7 Umemfanya mdogo punde
kuliko malaika, Umemvika taji ya utukufu
na heshima, Umemtawaza juu ya kazi za
mikono yako;
8 Umeweka vitu vyote chini ya nyayo zake.
Kwa maana katika kuweka vitu vyote chini
EZEKIELI
314
yake hakusaza kitu kisichowekwa chini yake.
Lakini sasa bado hatujaona vitu vyote kutiwa
chini yake.
9 ila twamwona yeye aliyefanywa mdogo
punde kuliko malaika, yaani, Yesu, kwa
sababu ya maumivu ya mauti, amevikwa taji
ya utukufu na heshima, ili kwa neema ya
Mungu aionje mauti kwa ajili ya kila mtu.
UFUNUO WA YOHANA 4:4 Na viti
ishirini na vinne vilikizunguka kile kiti cha
enzi, na juu ya vile viti naliona wazee ishirini
na wanne, wameketi, wamevikwa mavazi
meupe; na juu ya vichwa vyao walikuwa na
taji za dhahabu.
UFUNUO WA YOHANA 4:10 ndipo hao
wazee ishirini na wanne huanguka mbele
zake yeye aketiye juu ya kile kiti cha enzi,
nao humsujudia yeye aliye hai hata milele na
milele, nao huzitupa taji zao mbele ya kile
kiti cha enzi, wakisema,
11 Umestahili wewe, Bwana wetu na Mungu
wetu, kuupokea utukufu na heshima na
uweza; kwa kuwa wewe ndiwe uliyeviumba
vitu vyote, na kwa sababu ya mapenzi yako
vilikuwako, navyo vikaumbwa.
E15 Masiha ataleta habari njema.
D02 Kazi ya Masiha kama Nabii.
EZEKIELI 33:32 Na tazama, wewe umekuwa
kwao kama wimbo mzuri sana, wa mtu
mwenye sauti ipendezayo, awezaye kupiga
kinanda vizuri; maana, wasikia maneno
yako, lakini hawayatendi.
33 Na hayo yatakapokuwapo (tazama,
yanakuja), ndipo watakapojua ya kuwa nabii
amekuwapo kati yao.
MATHAYO 21:46 Nao walipotafuta
kumkamata, waliwaogopa makutano, kwa
maana wao walimwona kuwa nabii.
LUKA 7:16 Hofu ikawashika wote,
wakamtukuza Mungu, wakisema, Nabii
mkuu ametokea kwetu; na, Mungu
amewaangalia watu wake.
LUKA 7:31 Bwana akasema,
Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki?
Nao wamefanana na nini?
32 Wamefanana na watoto walioketi sokoni na
kuitana, wakisema, Tuliwapigia filimbi wala
hamkucheza; tuliomboleza, wala hamkulia.
33 Kwa kuwa Yohana Mbatizaji alikuja, hali
mkate wala hanywi divai, nanyi mwasema,
Ana pepo.
34 Mwana wa Adamu amekuja, anakula na
kunywa; nanyi mwasema, Tazama, mlafi
huyu, na mnywaji wa divai, rafiki wao
watoza ushuru na wenye dhambi.
35 Na hekima imejulikana kuwa ina haki kwa
watoto wake wote.
YOHANA 6:14 Basi watu wale, walipoiona
ishara aliyoifanya, walisema, Hakika huyu ni
nabii yule ajaye ulimwenguni.
MATENDO YA MITUME 3:22 Kwa
maana Musa kweli alisema ya kwamba,
Bwana Mungu wenu atawainulieni nabii,
katika ndugu zenu, kama mimi; msikieni
yeye katika mambo yote atakayonena nanyi.
23 Na itakuwa ya kwamba kila mtu
asiyemsikiliza nabii huyo ataangamizwa na
kutengwa na watu wake.
EZEKIELI
315
Ona pia: Yeremia 28:9.
B06 Masiha ndiye Mchungaji mwema.
E26 Kazi ya ukombozi ya Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
EZEKIELI 34:11 Maana, Bwana MUNGU
asema hivi; Tazama, mimi mwenyewe,
naam, mimi, nitawatafuta kondoo zangu, na
kuwaulizia.
12 Kama vile mchungaji atafutavyo kondoo
zake, siku ile anapokuwa kati ya kondoo zake
waliotawanyika; ndivyo nitakavyowatafuta
kondoo zangu; nami nitawaokoa katika
mahali pote walipotawanyika, katika siku ya
mawingu na giza.
13 Nami nitawatoa katika watu wa mataifa,
na kuwakusanya katika nchi zote, nami
nitawarudisha katika nchi yao wenyewe;
nami nitawalisha juu ya milima ya Israeli,
kando ya mifereji ya maji; na katika mahali
pote pa nchi panapokaliwa na watu.
14 Nami nitawalisha malisho mema, pa juu
ya milima ya mahali palipoinuka pa Israeli
litakuwa zizi lao; huko watalala katika zizi
jema; nao watakula malisho mema, juu ya
milima ya Israeli.
15 Mimi mwenyewe nitawalisha kondoo zangu,
nami nitawalaza, asema Bwana MUNGU.
22 basi mimi nitaliokoa kundi langu, wala
hawatakuwa mateka tena; nami nitahukumu
kati ya mnyama na mnyama.
23 Nami nitaweka mchungaji mmoja juu yao,
naye atawalisha, naam, mtumishi wangu,
Daudi; yeye atawalisha, naye atakuwa
mchungaji wao.
24 Na mimi, Bwana, nitakuwa Mungu wao, na
mtumishi wangu, Daudi, atakuwa mkuu kati
yao; mimi, Bwana, nimesema haya.
EZEKIELI 34:25-31
EZEKIELI 20:41 Nitawatakabali kama
harufu ipendezayo, nitakapowatoa katika
mataifa, na kuwakusanya toka nchi zile
mlizotawanyika; nami nitatakaswa kwenu
machoni pa mataifa.
EZEKIELI 28:25 Bwana MUNGU asema hivi;
Nitakapokuwa nimewakusanya nyumba
ya Israeli, na kuwatoa katika watu ambao
wametawanyika kati yao, na kutakasika kati
yao machoni pa mataifa, ndipo watakapokaa
katika nchi yao wenyewe, niliyompa
mtumishi wangu, Yakobo.
26 Nao watakaa humo salama; naam, watajenga
nyumba, na kupanda mashamba ya
mizabibu, na kukaa salama; nitakapokuwa
nimetekeleza hukumu zangu juu ya watu
wote, wanaowatenda mambo ya jeuri pande
zote; nao watajua ya kuwa mimi ndimi
Bwana, Mungu wao.
EZEKIELI 30:3 Kwa maana siku ile i karibu,
siku ile ya Bwana i karibu, siku ya mawingu;
itakuwa wakati wa mataifa.
LUKA 15:4 Ni nani kwenu, mwenye
kondoo mia, akipotewa na mmojawapo,
asiyewaacha wale tisini na kenda nyikani,
aende akamtafute yule aliyepotea hata
amwone?
5 Naye akiisha kumwona, humweka mabegani
pake akifurahi.
6 Na afikapo nyumbani kwake, huwaita rafiki
zake na jirani zake, akawaambia, Furahini
pamoja nami, kwa kuwa nimekwisha
kumpata kondoo wangu aliyepotea.
EZEKIELI
316
YOHANA 10:9 Mimi ndimi mlango; mtu
akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na
kutoka, naye atapata malisho.
10 Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu;
mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha
wawe nao tele.
11 Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji
mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya
kondoo.
12 Mtu wa mshahara, wala si mchungaji,
ambaye kondoo si mali yake, humwona
mbwa-mwitu anakuja, akawaacha kondoo na
kukimbia; na mbwa-mwitu huwakamata na
kuwatawanya.
13 Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa
mshahara; wala mambo ya kondoo si kitu
kwake.
14 Mimi ndimi mchungaji mwema; nao walio
wangu nawajua; nao walio wangu wanijua
mimi;
15 kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo
Baba. Nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya
kondoo.
16 Na kondoo wengine ninao, ambao si wa zizi
hili; na hao nao imenipasa kuwaleta; na sauti
yangu wataisikia; kisha kutakuwako kundi
moja na mchungaji mmoja.
YOHANA 21:15 Basi walipokwisha kula,
Yesu akamwambia Simoni Petro, Je! Simoni
wa Yohana, wewe wanipenda kuliko hawa?
Akamwambia , Naam ,Bwana, wewe wajua
kuwa nakupenda. Akamwambia, Lisha
wana-kondoo wangu.
WAEBRANIA 13:20 Basi, Mungu wa
amani aliyemleta tena kutoka kwa wafu
Mchungaji Mkuu wa kondoo, kwa damu ya
agano la milele, yeye Bwana wetu Yesu,
21 awafanye ninyi kuwa wakamilifu katika kila
tendo jema, mpate kuyafanya mapenzi yake,
naye akifanya ndani yetu lipendezalo mbele
zake, kwa Yesu Kristo; utukufu una yeye
milele na milele. Amina.
1 PETRO 2:25 Kwa maana mlikuwa
mnapotea kama kondoo; lakini sasa
mmemrudia Mchungaji na Mwangalizi wa
roho zenu.
1 PETRO 5:4 Na Mchungaji mkuu
atakapodhihirishwa, mtaipokea taji ya
utukufu, ile isiyokauka.
UFUNUO WA YOHANA 7:16
Hawataona njaa tena, wala hawataona kiu
tena, wala jua halitawapiga, wala hari iliyo
yote.
17 Kwa maana huyo Mwana-Kondoo, aliye
katikati ya kiti cha enzi, atawachunga, naye
atawaongoza kwenye chemchemi za maji
yenye uhai, na Mungu atayafuta machozi
yote katika macho yao.
UFUNUO WA YOHANA 21:3 Nikasikia
sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha
enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu
ni pamoja na wanadamu, naye atafanya
maskani yake pamoja nao, nao watakuwa
watu wake. Naye Mungu mwenyewe
atakuwa pamoja nao.
Ona pia: #1; #2; #3; #5; Sefania 1:15.
EZEKIELI
317
E27 Kutoa moyo mpya na roho mpya.
G04 Masiha atatoa Roho Wake.
G06 Makao ya Roho Mtakatifu.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
EZEKIELI 36:8 Lakini ninyi, enyi milima ya
Israeli, mtachipuza matawi yenu na kuwapa
watu wangu Israeli matunda yenu; maana
wa karibu kuja.
EZEKIELI 36:9-14
EZEKIELI 36:15 wala sitakusikizisha tena
aibu yao wasioamini, wala hutachukua
matukano ya watu tena; wala hutalikwaza
taifa lako tena, asema Bwana MUNGU.
EZEKIELI 36:24 Maana nitawatwaa kati ya
mataifa, nami nitawakusanya na kuwatoa
katika nchi zote, na kuwarudisha katika nchi
yenu wenyewe.
25 Nami nitawanyunyizia maji safi, nanyi
mtakuwa safi; nitawatakaseni na uchafu
wenu wote, na vinyago vyenu vyote.
26 Nami nitawapa ninyi moyo mpya, nami
nitatia roho mpya ndani yenu, nami nitatoa
moyo wa jiwe uliomo ndani ya mwili wenu,
nami nitawapa moyo wa nyama.
27 Nami nitatia roho yangu ndani yenu, na
kuwaendesha katika sheria zangu, nanyi
mtazishika hukumu zangu, na kuzitenda.
28 Nanyi mtakaa katika nchi ile niliyowapa baba
zenu, nanyi mtakuwa watu wangu, nami
nitakuwa Mungu wenu.
EZEKIELI 36:32- 38
EZEKIELI 11:19 Nami nitawapa moyo
mmoja, nami nitatia roho mpya ndani yao;
nami nitauondoa moyo wa kijiwe katika
miili yao, nami nitawapa moyo wa nyama;
EZEKIELI 36:31 Ndipo mtazikumbuka njia
zenu mbaya, na matendo yenu yasiyokuwa
mema, nanyi mtajichukia nafsi zenu kwa
macho yenu, kwa sababu ya maovu yenu na
machukizo yenu.
WARUMI 6:21 Ni faida gani basi
mliyopata siku zile kwa mambo hayo
mnayoyatahayarikia sasa? Kwa maana
mwisho wa mambo hayo ni mauti.
22 Lakini sasa mkiisha kuwekwa huru, na kuwa
mbali na dhambi, na kufanywa watumwa wa
Mungu, mnayo faida yenu, ndiyo kutakaswa,
na mwisho wake ni uzima wa milele.
WARUMI 8:14 Kwa kuwa wote
wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao
ndio wana wa Mungu.
15 Kwa kuwa hamkupokea tena roho wa
utumwa iletayo hofu; bali mlipokea roho ya
kufanywa wana, ambayo kwa hiyo twalia,
Aba, yaani, Baba.
16 Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na
roho zetu, ya kuwa sisi tu watoto wa Mungu;
WARUMI 11:25 Kwa maana, ndugu zangu,
sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa
wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu
umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa
Mataifa uwasili.
26 Hivyo Israeli wote wataokoka; kama
ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka
Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake.
2 WAKORINTHO 3:7 Basi, ikiwa huduma
ya mauti, iliyoandikwa na kuchorwa katika
mawe, ilikuja katika utukufu, hata Waisraeli
hawakuweza kuukazia macho uso wa Musa,
kwa sababu ya utukufu wa uso wake; nao ni
utukufu uliokuwa ukibatilika;
EZEKIELI
318
8 je! Huduma ya roho haitazidi kuwa katika
utukufu?
2 WAKORINTHO 5:17 Hata imekuwa,
mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe
kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa
mapya.
WAGALATIA 5:22 Lakini tunda la Roho ni
upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu
wema, fadhili, uaminifu,
WAGALATIA 6:15 Kwa sababu kutahiriwa si
kitu, wala kutokutahiriwa, bali kiumbe kipya.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Kutoka 19-20; Luka 11:13; Matendo ya Mitume 2:14-47; 1 Wakorintho 3:16; Waefeso 1:13,14; Waefeso
2:10; Tito 3:5,6; Waebrania 10:22; 1 Petro 1:18,19,22; Yohana 3:24; Yohana 5:5.
E11 Masiha atapeana uzima wa milele.
E27 Kutoa moyo mpya na roho mpya.
G06 Makao ya Roho Mtakatifu.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
H10 Unabii wa Ufalme wa milele wa amani.
EZEKIELI 37:1-8
EZEKIELI 37:9 Ndipo akaniambia, Tabiri,
utabirie upepo, mwanadamu, ukauambie
upepo, Bwana MUNGU asema hivi; Njoo,
kutoka pande za pepo nne, Ee pumzi,
ukawapuzie hawa waliouawa, wapate kuishi.
10 Basi nikatabiri kama alivyoniamuru; pumzi
ikawaingia, wakaishi, wakasimama kwa
miguu yao, jeshi kubwa mno.
11 Kisha akaniambia, Mwanadamu, mifupa
hii ni nyumba yote ya Israeli; tazama, wao
husema, Mifupa yetu imekauka, matumaini
yetu yametupotea; tumekatiliwa mbali
kabisa.
12 Basi tabiri, uwaambie, Bwana MUNGU
asema hivi; Tazama, nitafunua makaburi
yenu, na kuwapandisha kutoka katika
makaburi yenu, enyi watu wangu, nami
nitawaingizeni katika nchi ya Israeli.
13 Nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana,
nitakapoyafunua makaburi yenu, na
kuwatoa ninyi katika makaburi yenu, enyi
watu wangu.
14 Nami nitatia roho yangu ndani yenu, nanyi
mtaishi, nami nitawawekeni katika nchi
yenu, nanyi mtajua ya kuwa mimi, Bwana,
nimesema hayo, na kuyatimiza, asema
Bwana.
ISAYA 66:14 Nanyi mtaona, na mioyo
yenu itafurahi, na mifupa yenu itasitawi
kama majani mabichi; na mkono wa Bwana
utajulikana, uwaelekeao watumishi wake,
naye atawaonea adui zake ghadhabu.
EZEKIELI 28:25 Bwana MUNGU asema hivi;
Nitakapokuwa nimewakusanya nyumba
ya Israeli, na kuwatoa katika watu ambao
wametawanyika kati yao, na kutakasika kati
yao machoni pa mataifa, ndipo watakapokaa
katika nchi yao wenyewe, niliyompa
mtumishi wangu, Yakobo.
HOSEA 6:2 Baada ya siku mbili
atatufufua; siku ya tatu atatuinua, nasi
tutaishi mbele zake.
AMOSI 9:14 Nami nitawarejeza tena
watu wangu Israeli waliohamishwa, nao
wataijenga miji iliyoachwa maganjo, na
kukaa ndani yake; nao watapanda mizabibu
katika mashamba, na kunywa divai yake; nao
watafanyiza bustani, na kula matunda yake.
EZEKIELI
319
15 Nami nitawapanda katika nchi yao, wala
hawatang›olewa tena watoke katika nchi yao
niliyowapa, asema Bwana, Mungu wako.
WARUMI 8:11 Lakini, ikiwa Roho yake yeye
aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani
yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu katika
wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika
hali ya kufa, kwa Roho wake anayekaa ndani
yenu.
WARUMI 11:1 Basi, nauliza, Je! Mungu
aliwasukumia mbali watu wake? Hasha!
Kwa kuwa mimi nami ni Mwisraeli, mmoja
wa wazao wa Ibrahimu, mtu wa kabila ya
Benyamini.
2 Mungu hakuwasukumia mbali watu wake
aliowajua tokea awali. Au hamjui yale
yaliyonenwa na maandiko juu ya Eliya? Jinsi
anavyowashitaki Waisraeli mbele za Mungu,
3 Bwana, wamewaua manabii wako,
wamezibomoa madhabahu zako, nami
nimesalia peke yangu, nao wananitafuta
roho yangu.
4 Lakini ile jawabu ya Mungu yamwambiaje?
Nimejisazia watu elfu saba wasiopiga goti
mbele ya Baali.
5 Basi ni vivi hivi wakati huu wa sasa, yako
mabaki waliochaguliwa kwa neema.
WARUMI 11:24 Kwa maana ikiwa wewe
ulikatwa ukatolewa katika mzeituni, ulio
mzeituni mwitu kwa asili yake, kisha
ukapandikizwa, kinyume cha asili, katika
mzeituni ulio mwema, si zaidi sana wale
walio wa asili kuweza kupandikizwa katika
mzeituni wao wenyewe?
25 Kwa maana, ndugu zangu, sipendi msiijue
siri hii, ili msijione kuwa wenye akili; ya
kwamba kwa sehemu ugumu umewapata
Israeli, mpaka utimilifu wa Mataifa uwasili.
26 Hivyo Israeli wote wataokoka; kama
ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka
Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake.
27 Na hili ndilo agano langu nao,
Nitakapowaondolea dhambi zao.
WARUMI 11:32 Maana Mungu amewafunga
wote pamoja katika kuasi ili awarehemu
wote.
Ona pia: #1; #2; #5; Zaburi 126:2,3; Isaya 32:15; Yeremia 33:24-26; Ezekieli 11:19; Ezekieli 16:62,63; Ezekieli 36:24-31; Ezekieli
37:21,25; Ezekieli 39:29; Yoeli 2:28.
E17 Masiha atajenga hekalu la Mungu.
E18 Mungu ataishi miongoni mwa watu Wake.
E20 Masiha ataweka agano jipya.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H10 Unabii wa Ufalme wa milele wa amani.
EZEKIELI 37:21 Ukawaambie, Bwana
MUNGU asema hivi; Tazama, nitawatwaa
wana wa Israeli toka kati ya mataifa
walikokwenda, nami nitawakusanya pande
zote, na kuwaleta katika nchi yao wenyewe;
22 nami nitawafanya kuwa taifa moja katika
nchi hiyo, juu ya milima ya Israeli; na
mfalme mmoja atakuwa mfalme wao wote;
wala hawatakuwa tena mataifa mawili, wala
hawatagawanyikana kuwa falme mbili tena,
hata milele.
23 Wala hawatajitia uchafu tena kwa vinyago
vyao, wala kwa vitu vyao vichukizavyo,
wala kwa makosa yao mojawapo; lakini
nitawaokoa, na kuwatoa katika makao yao
yote, ambayo wamefanya dhambi ndani
yake, nami nitawatakasa; basi watakuwa
watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.
24 Na mtumishi wangu, Daudi, atakuwa
EZEKIELI
320
mfalme juu yao, nao wote watakuwa na
mchungaji mmoja; nao wataenenda katika
hukumu zangu, na kuzishika amri zangu,
na kuzitenda.
25 Nao watakaa katika nchi niliyompa Yakobo,
mtumishi wangu, walimokaa baba zenu;
nao watakaa humo, wao na watoto wao, na
watoto wa watoto wao, milele; na Daudi,
mtumishi wangu, atakuwa mkuu wao
milele.
26 Tena nitafanya agano la amani pamoja nao;
litakuwa agano la milele pamoja nao; nami
nitawaweka na kuwazidisha, na patakatifu
pangu nitapaweka katikati yao milele.
27 Tena maskani yangu itakuwa pamoja nao;
nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa
watu wangu.
28 Na mataifa watajua ya kuwa mimi ndimi
Bwana, mimi niwatakasaye Israeli,
patakatifu pangu patakapokuwa katikati yao
milele.
EZEKIELI 11:19 Nami nitawapa moyo
mmoja, nami nitatia roho mpya ndani yao;
nami nitauondoa moyo wa kijiwe katika
miili yao, nami nitawapa moyo wa nyama;
20 ili waende katika amri zangu, na kuyashika
maagizo yangu, na kuyatenda; nao watakuwa
watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.
LUKA 1:32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa
Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu
atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
YOHANA 10:14 Mimi ndimi mchungaji
mwema; nao walio wangu nawajua; nao
walio wangu wanijua mimi;
15 kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo
Baba. Nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya
kondoo.
16 Na kondoo wengine ninao, ambao si wa zizi
hili; na hao nao imenipasa kuwaleta; na sauti
yangu wataisikia; kisha kutakuwako kundi
moja na mchungaji mmoja.
17 Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa
uhai wangu ili niutwae tena.
WARUMI 11:15 Maana ikiwa kutupwa kwao
kumeleta upatanisho kwa ulimwengu, je!
Kukubaliwa kwao kutakuwa nini kama si
uhai baada ya kufa?
WARUMI 11:25 Kwa maana, ndugu zangu,
sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa
wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu
umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa
Mataifa uwasili.
26 Hivyo Israeli wote wataokoka; kama
ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka
Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake.
2 WAKORINTHO 6:16 Tena pana
mapatano gani kati ya hekalu la Mungu
na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la
Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema,
ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao
nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao
watakuwa watu wangu.
WAKOLOSAI 2:9 Maana katika yeye unakaa
utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya
kimwili.
WAEBRANIA 12:22 Bali ninyi
mmeufikilia mlima Sayuni, na mji wa
Mungu aliye hai, Yerusalemu wa mbinguni,
na majeshi ya malaika elfu nyingi,
23 mkutano mkuu na kanisa la wazaliwa wa
EZEKIELI
321
kwanza walioandikwa mbinguni, na Mungu
mwamuzi wa watu wote, na roho za watu
wenye haki waliokamilika,
UFUNUO WA YOHANA 21:3 Nikasikia
sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha
enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu
ni pamoja na wanadamu, naye atafanya
maskani yake pamoja nao, nao watakuwa
watu wake. Naye Mungu mwenyewe
atakuwa pamoja nao.
UFUNUO WA YOHANA 21:22 Nami
sikuona hekalu ndani yake; kwa maana
Bwana Mungu Mwenyezi na Mwana-
Kondoo, ndio hekalu lake.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Mwanzo 17:7; Kutoka 31:13; Kumbukumbu la Torati 30:1-10; 2 Samweli 23:5; Zaburi 126:1-6;
Isaya 9:6,7; Isaya 27:6,12,13; Isaya 40:11; Isaya 43:5,6; Isaya 49:8-26; Isaya 55:3,4; Isaya 59:20,21; Isaya 60:21,22; Yeremia
16:14-17; Yeremia 23:3-8; Yeremia 30:3,8-11,17-22; Yeremia 31:8-10,27,32-40; Yeremia 32:37-44; Yeremia 33:7-26; Yeremia
50:4,5; Ezekieli 11:11-16; Ezekieli 14:11; Ezekieli 20:12,43; Ezekieli 28:25,26; Ezekieli 34:13,23-25; Ezekieli 36:23-31,36-38; Ezekieli 38:23; Ezekieli 39:7; Ezekieli 43:7-9; Danieli 2:44,45; Hosea
1:11; Hosea 2:19-23; Hosea 3:4,5; Hosea 14:4-7; Amosi 9:14,15; Obadia 1:17-21; Mika 5:2-4,8,12,13; Yoeli 3:20; Zekaria 2:2-6;
Zekaria 6:12,13; Zekaria 8:4,5; Zekaria 13:1,2; Zekaria 14:11,21; 1 Wakorintho 1:30; 1 Wathesalonike 5:23; Waefeso 5:25,26.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
EZEKIELI 38:16 nawe utapanda juu uwajilie
watu wangu, Israeli, kama wingu kuifunika
nchi; itakuwa katika siku za mwisho,
nitakuleta upigane na nchi yangu, ili mataifa
wanijue, nitakapotakaswa kwako, Ewe Gogu,
mbele ya macho yao.
ZEKARIA 12:9 Hata itakuwa siku hiyo, ya
kwamba nitatafuta kuwaangamiza mataifa
yote watakaokuja kupigana na Yerusalemu.
2 TIMOTHEO 3:1 Lakini ufahamu neno hili, ya
kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za
hatari.
Ona pia: #1; #4; Isaya 2:2; Ezekieli 36:23; Ezekieli 38:8,23; Ezekieli 39:21; Danieli 10:14; Mika 4:1; 7:15-17.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
EZEKIELI 38:18 Itakuwa katika siku hiyo,
Gogu atakapokuja kupigana na nchi ya
Israeli, asema Bwana MUNGU, ghadhabu
yangu itapanda katika mianzi ya pua yangu.
WAEBRANIA 12:29 maana Mungu
wetu ni moto ulao.
Ona pia: Ezekieli 36:5,6; Zaburi 18:7,8; Zaburi 89:46.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
EZEKIELI 38:19 Kwa maana katika wivu
wangu, na katika moto wa ghadhabu
yangu, nimenena, Hakika katika siku ile
kutakuwako tetemeko kubwa katika nchi ya
Israeli;
WAEBRANIA 12:26 ambaye sauti
yake iliitetemesha nchi wakati ule; lakini
sasa ameahidi akisema, Mara moja tena
nitatetemesha si nchi tu, bali na mbingu pia.
UFUNUO WA YOHANA 11:13 Na katika
saa ile palikuwa na tetemeko kuu la nchi,
na sehemu ya kumi ya mji ikaanguka;
wanadamu elfu saba wakauawa katika
tetemeko lile. Na waliosalia wakaingiwa na
hofu, wakamtukuza Mungu wa mbingu.
EZEKIELI
322
Ona pia: Isaya 42:13; Ezekieli 39:25; Yoeli 2:18; Yoeli 3:16; Hagai 2:6,7,21,22; Zekaria 1:14; Zekaria 14:3-5; Ufunuo wa Yohana
16:10.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
EZEKIELI 38:20 hata samaki wa baharini, na
ndege wa angani, na wanyama wa kondeni,
na vitu vyote vitambaavyo juu ya nchi,
na wanadamu wote walio juu ya uso wa
nchi, watatetemeka mbele ya uso wangu;
nayo milima itatupwa chini, na magenge
yataanguka, na kila ukuta utaanguka chini.
UFUNUO WA YOHANA 6:12 Nami
nikaona, alipoifungua muhuri ya sita,
palikuwa na tetemeko kuu la nchi; jua likawa
jeusi kama gunia la singa, mwezi wote
ukawa kama damu,
13 na nyota zikaanguka juu ya nchi kama
vile mtini upukutishavyo mapooza yake,
utikiswapo na upepo mwingi.
Ona pia: #6; Isaya 30:25; Yeremia 4:23-26; Hosea 4:3; Zekaria 14:3-5.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
EZEKIELI 38:21 Nami nitaita upanga, uje
juu yake katika milima yangu yote, asema
Bwana MUNGU; nao upanga wa kila mtu
utakuwa juu ya ndugu yake.
22 Nami nitamhukumu kwa tauni, na kwa
damu; nami nitanyesha mvua ifurikayo, na
mvua ya mawe makubwa sana, na moto na
kiberiti juu yake, na vikosi vyake, na watu wa
kabila nyingi walio pamoja naye.
HAGAI 2:22 nami nitakipindua kiti cha
enzi cha falme, nami nitaziharibu nguvu za
falme za mataifa; nami nitayapindua magari,
na hao wapandao ndani yake; farasi na hao
wawapandao wataanguka chini; kila mtu
kwa upanga wa ndugu yake.
23 Katika siku ile, asema Bwana wa majeshi,
nitakutwaa wewe, Ee Zerubabeli, mtumishi
wangu, mwana wa Shealtieli, asema Bwana,
nami nitakufanya kuwa kama pete yenye
muhuri; kwa kuwa nimekuchagua, asema
Bwana wa majeshi.
UFUNUO WA YOHANA 11:19 Kisha
Hekalu la Mungu lililoko mbinguni
likafunguliwa, na sanduku la agano lake
likaonekana ndani ya hekalu lake. Kukawa
na umeme, na sauti, na radi, na tetemeko la
nchi, na mvua ya mawe nyingi sana.
UFUNUO WA YOHANA 16:21 Na mvua
ya mawe kubwa sana, ya mawe mazito kama
talanta, ikashuka kutoka mbinguni juu
ya wanadamu. Wanadamu wakamtukana
Mungu kwa sababu ya lile pigo la mvua ya
mawe; kwa maana pigo lake ni kubwa mno.
Ona pia: #6; Zaburi 11:6; Isaya 28:17; Isaya 29:6; Isaya 54:17; Yeremia 25:31; Ezekieli 13:11; Zekaria 12:2,9.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
EZEKIELI 38:23 Nami nitajitukuza, na
kujitakasa, na kujidhihirisha, mbele ya
macho ya mataifa mengi; nao watajua ya
kuwa mimi ndimi Bwana.
MATHAYO 24:35 Mbingu na nchi zitapita;
lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
EZEKIELI
323
2 WATHESALONIKE 1:7 na kuwalipa ninyi
mteswao raha pamoja na sisi; wakati wa
kufunuliwa kwake Bwana Yesu kutoka
mbinguni pamoja na malaika wa uweza
wake
8 katika mwali wa moto; huku akiwalipiza
kisasi wao wasiomjua Mungu, na wao
wasioitii Injili ya Bwana wetu Yesu;
WAEBRANIA 12:26 ambaye sauti
yake iliitetemesha nchi wakati ule; lakini
sasa ameahidi akisema, Mara moja tena
nitatetemesha si nchi tu, bali na mbingu pia.
27 Lakini neno lile, Mara moja tena,
ladhihirisha kuhamishwa vile viwezavyo
kutetemeshwa, kama vitu vilivyoumbwa, vitu
visivyoweza kutetemeshwa vikae.
28 Basi kwa kuwa tunapokea ufalme usioweza
kutetemeshwa, na mwe na neema, ambayo
kwa hiyo tumtolee Mungu ibada ya
kumpendeza, pamoja na unyenyekevu na
kicho;
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 15:3 Nao
wauimba wimbo wa Musa, mtumwa wa
Mungu, na wimbo wa Mwana-Kondoo,
wakisema, Ni makuu, na ya ajabu, matendo
yako, Ee Bwana Mungu Mwenyezi; Ni za
haki, na za kweli, njia zako, Ee Mfalme wa
mataifa.
4 Ni nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza
jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako
u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote
watakuja na kusujudu mbele zako; kwa
kuwa matendo yako ya haki yamekwisha
kufunuliwa.
UFUNUO WA YOHANA 19:1 Baada ya
hayo nikasikia sauti kama sauti ya makutano
mengi, sauti kubwa mbinguni, ikisema,
Haleluya; wokovu na utukufu na nguvu zina
BWANA MUNGU wetu.
2 kwa kuwa hukumu zake ni za kweli na za
haki; maana amemhukumu yule kahaba
mkuu aliyeiharibu nchi kwa uasherati wake,
na kuipatiliza damu ya watumwa wake
mkononi mwake.
3 Wakasema mara ya pili, Haleluya. Na moshi
wake hupaa juu hata milele na milele.
4 Na wale wazee ishirini na wanne, na
wale wenye uhai wanne, wakasujudu na
kumwabudu Mungu, aketiye katika kile kiti
cha enzi, wakisema, Amina, Haleluya.
5 Sauti ikatoka katika kile kiti cha enzi
ikisema, Msifuni Mungu wetu, enyi
watumwa wake wote, ninyi mnaomcha,
wadogo kwa wakuu.
6 Nikasikia sauti kama sauti ya makutano
mengi, na kama sauti ya maji mengi, na
kama sauti ya radi yenye nguvu, ikisema,
Haleluya; kwa kuwa Bwana Mungu wetu,
Mwenyezi, amemiliki.
UFUNUO WA YOHANA 21:1 Kisha
nikaona mbingu mpya na nchi mpya;
kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya
kwanza zimekwisha kupita, wala hapana
bahari tena.
Ona pia: #1; #5; #6; Ezekieli 36:23; Ezekieli 37:28; 2 Petro 3:10,11.
EZEKIELI
324
E27 Kutoa moyo mpya na roho mpya.
G04 Masiha atatoa Roho Wake.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
EZEKIELI 39:6 Nami nitapeleka moto juu ya
Magogu; na juu ya watu wote wakaao salama
katika visiwa; nao watajua ya kuwa mimi
ndimi Bwana.
7 Na jina langu takatifu nitalifanya kuwa
limejulika kati ya watu wangu Israeli; wala
sitaliacha jina langu takatifu kutiwa unajisi
tena; nao mataifa watajua ya kuwa mimi
ndimi Bwana, na Aliye Mtakatifu katika
Israeli.
8 Tazama, linakuja, nalo litatendeka, asema
Bwana MUNGU; hii ndiyo siku ile
niliyoinena.
21 Nami nitauweka utukufu wangu kati ya
mataifa, na mataifa wote wataiona hukumu
yangu niliyoitekeleza, na mkono wangu
niliouweka juu yao.
22 Basi, nyumba ya Israeli watajua ya kuwa
mimi ndimi Bwana, Mungu wao, tangu siku
hiyo na baadaye.
23 Nao mataifa watajua ya kuwa nyumba ya
Israeli walihamishwa, na kwenda kifungoni,
kwa sababu ya uovu wao; kwa sababu
waliniasi, nami nikawaficha uso wangu; basi
nikawatia katika mikono ya adui zao, nao
wakaanguka kwa upanga, wote pia.
24 Kwa kadiri ya uchafu wao, kwa kadiri ya
makosa yao, ndivyo nilivyowatenda, nami
nikawaficha uso wangu.
25 Kwa sababu hiyo, Bwana MUNGU asema
hivi, Sasa nitawarejeza watu wa Yakobo
waliohamishwa, nitawahurumia nyumba
yote ya Israeli; nami nitalionea wivu jina
langu takatifu.
26 Nao watachukua aibu yao, na makosa
yao yote waliyoniasi, watakapokaa salama
katika nchi yao wenyewe, wala hapana mtu
atakayewatia hofu;
27 nitakapokuwa nimewaleta tena kutoka kabila
za watu, na kuwakusanya kwa kuwatoa
katika nchi za adui zao, na kutakaswa kati
yao mbele ya macho ya mataifa mengi.
28 Nao watajua ya kuwa mimi ndimi Bwana,
Mungu wao, kwa kuwa naliwahamisha,
waende utumwani kati ya mataifa, na mimi
nikawakusanya, na kuwaingiza katika nchi
yao wenyewe; wala sitawaacha tena huko
kamwe, hata mmojawapo;
29 wala sitawaficha uso wangu tena; kwa maana
nimemwaga roho yangu juu ya nyumba ya
Israeli, asema Bwana MUNGU.
YOELI 2:28 Hata itakuwa, baada ya hayo,
ya kwamba nitamimina roho yangu juu ya
wote wenye mwili; na wana wenu, waume
kwa wake, watatabiri, wazee wenu wataota
ndoto, na vijana wenu wataona maono;
29 tena juu ya watumishi wenu, wanaume kwa
wanawake, katika siku zile, nitamimina roho
yangu.
YOHANA 17:3 Na uzima wa milele ndio
huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa
kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
MATENDO YA MITUME 2:33 Basi yeye,
akiisha kupandishwa hata mkono wa kuume
wa Mungu, na kupokea kwa Baba ile ahadi
ya Roho Mtakatifu, amekimwaga kitu hiki
mnachokiona sasa na kukisikia.
WARUMI 9:6 Si kana kwamba neno la
Mungu limetanguka. Maana hawawi wote
Waisraeli walio wa uzao wa Israeli.
EZEKIELI
325
7 Wala hawawi wote wana kwa kuwa wazao
wa Ibrahimu, bali, Katika Isaka wazao wako
wataitwa;
8 yaani, si watoto wa mwili walio watoto
wa Mungu, bali watoto wa ile ahadi
wanahesabiwa kuwa wazao.
WARUMI 11:1 Basi, nauliza, Je! Mungu
aliwasukumia mbali watu wake? Hasha!
Kwa kuwa mimi nami ni Mwisraeli, mmoja
wa wazao wa Ibrahimu, mtu wa kabila ya
Benyamini.
2 Mungu hakuwasukumia mbali watu wake
aliowajua tokea awali. Au hamjui yale
yaliyonenwa na maandiko juu ya Eliya? Jinsi
anavyowashitaki Waisraeli mbele za Mungu,
3 Bwana, wamewaua manabii wako,
wamezibomoa madhabahu zako, nami
nimesalia peke yangu, nao wananitafuta
roho yangu.
4 Lakini ile jawabu ya Mungu yamwambiaje?
Nimejisazia watu elfu saba wasiopiga goti
mbele ya Baali.
5 Basi ni vivi hivi wakati huu wa sasa, yako
mabaki waliochaguliwa kwa neema.
6 Lakini ikiwa ni kwa neema, haiwi kwa
matendo tena, au hapo neema isingekuwa
neema.
7 Imekuwaje basi? Kitu kile ambacho Israeli
alikuwa akikitafuta hakukipata; lakini wale
waliochaguliwa walikipata, na wengine
walitiwa uzito.
WARUMI 11:26 Hivyo Israeli wote
wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi
atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na
maasia yake.
27 Na hili ndilo agano langu nao,
Nitakapowaondolea dhambi zao.
28 Basi kwa habari ya Injili wamekuwa adui
kwa ajili yenu; bali kwa habari ya kule
kuchaguliwa wamekuwa wapenzi kwa ajili
ya baba zetu.
29 Kwa sababu karama za Mungu hazina
majuto, wala mwito wake.
30 Kwa maana kama ninyi zamani
mlivyomwasi Mungu, lakini sasa mmepata
rehema kwa kuasi kwao;
31 kadhalika na hao wameasi sasa, ili kwa
kupata rehema kwenu wao nao wapate
rehema.
Ona pia: #1; #2; #3; #5; Ezekieli 40-48; Matendo ya Mitume 2:14-18; Yohana 3:24.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
EZEKIELI 47:6 Akaniambia, Mwanadamu,
je! Umeona haya? Kisha akanichukua
akanirudisha mpaka ukingo wa mto.
7 Basi nikiisha kurudi, tazama, kando ya
ukingo wa mto ilikuwapo miti mingi sana,
upande huu na upande huu.
8 Ndipo akaniambia, Maji haya yanatoka
kwenda pande za nchi ya mashariki, nayo
yanashuka mpaka Araba, na kuingia katika
bahari maji yatokezwayo yataingia baharini
,na maji yake yataponyeka.
9 Tena itakuwa, kila kiumbe hai
kisongamanacho, kila mahali itakapofika
mito hiyo, kitaishi; kutakuwapo wingi
mkubwa wa samaki, kwa sababu maji
haya yamefika huko maana maji yale
yataponyeka, na kila kitu kitaishi po pote
utakapofikilia mto huo.
10 Tena itakuwa, wavuvi watasimama karibu
nao; toka Engedi mpaka En-eglaimu,
patakuwa ni mahali pa kutandazia
nyavu; samaki wao watakuwa namna zao
EZEKIELI
326
mbalimbali, kama samaki wa bahari kubwa,
wengi sana.
11 Bali mahali penye matope, na maziwa yake,
hayataponywa; yataachwa yawe ya chumvi.
12 Na karibu na mto, juu ya ukingo wake,
upande huu na upande huu, utamea
kila mti wa chakula, ambao majani
yake hayatanyauka, wala matunda yake
hayatatindika kamwe; utatoa matunda
mapya kila mwezi, kwa sababu maji yake
yanatoka mahali patakatifu; na matunda
yake yatakuwa ni chakula; na majani yake
yatakuwa ni dawa.
EZEKIELI 47:13-23
MATHAYO 4:18 Naye alipokuwa akitembea
kando ya bahari ya Galilaya, aliona ndugu
wawili, Simoni aitwaye Petro, na Andrea
nduguye, wakitupa jarife baharini; kwa
maana walikuwa wavuvi.
19 Akawaambia, Nifuateni, nami nitawafanya
kuwa wavuvi wa watu.
20 Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.
MATHAYO 13:47 Tena ufalme wa mbinguni
umefanana na juya, lililotupwa baharini,
likakusanya samaki wa kila namna;
48 hata lilipojaa, walilivuta pwani; wakaketi,
wakakusanya walio wema vyomboni, bali
walio wabaya wakawatupa.
49 Ndivyo itakavyokuwa katika mwisho wa
dunia; malaika watatokea, watawatenga
waovu mbali na wenye haki,
UFUNUO WA YOHANA 22:1 Kisha
akanionyesha mto wa maji ya uzima, wenye
kung›aa kama bilauri, ukitoka katika kiti cha
enzi cha Mungu, na cha Mwana-Kondoo,
2 katikati ya njia kuu yake. Na upande huu na
upande huu wa ule mto, ulikuwapo mti wa
uzima, uzaao matunda, aina kumi na mbili,
wenye kutoa matunda yake kila mwezi; na
majani ya mti huo ni ya kuwaponya mataifa.
Ona pia: #1; #2; #5; Mwanzo 2:10; Hesabu 34:1-12; Zaburi 65:9; Isaya 43:19,20.
EZEKIELI
327
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H10 Unabii wa Ufalme wa milele wa amani.
DANIELI 2:34 Nawe ukatazama hata jiwe
likachongwa bila kazi ya mikono, nalo jiwe
hilo likaipiga sanamu miguu yake, iliyokuwa
ya chuma na udongo, likaivunja vipande
vipande.
35 Ndipo kile chuma, na ule udongo, na
ile shaba, na ile fedha, na ile dhahabu,
vilivunjwa vipande vipande pamoja vikawa
kama makapi ya viwanja vya kupepetea
wakati wa hari; upepo ukavipeperusha
hata pasionekane mahali pake; na lile jiwe
lililoipiga hiyo sanamu likawa milima
mikubwa, likaijaza dunia yote.
44 Na katika siku za wafalme hao Mungu wa
mbinguni atausimamisha ufalme ambao
hautaangamizwa milele, wala watu wengine
hawataachiwa enzi yake; bali utavunja falme
hizi zote vipande vipande na kuziharibu, nao
utasimama milele na milele.
45 Na kama vile ulivyoona ya kuwa jiwe
lilichongwa mlimani bila kazi ya mikono,
na ya kuwa lilivunja-vunja kile chuma,
na ile shaba na ule udongo, na ile fedha,
na ile dhahabu; basi Mungu aliye mkuu
amemjulisha mfalme mambo yatakayokuwa
baadaye; na ndoto hii ni ya hakika, na tafsiri
yake ni thabiti.
2 SAMWELI 7:16 Na nyumba yako, na ufalme
wako, vitathibitishwa milele mbele yako.
Nacho kiti chako kitafanywa imara milele.
ISAYA 9:6 Maana kwa ajili yetu mtoto
amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume;
Na uweza wa kifalme utakuwa begani
mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri
wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa
milele, Mfalme wa amani.
7 Maongeo ya enzi yake na amani Hayatakuwa
na mwisho kamwe, Katika kiti cha enzi cha
Daudi na ufalme wake; Kuuthibitisha na
kuutegemeza Kwa hukumu na kwa haki,
Tangu sasa na hata milele. Wivu wa Bwana
wa majeshi ndio utakaotenda hayo.
MATHAYO 26:29 Lakini nawaambieni,
Sitakunywa kabisa tangu sasa uzao huu
wa mzabibu, hata siku ile nitakapokunywa
mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba
yangu.
LUKA 1:32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa
Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu
atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
YOHANA 18:36 Yesu akajibu, Ufalme wangu
sio wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu
ungekuwa wa ulimwengu huu, watumishi
wangu wangenipigania, nisije nikatiwa
mikononi mwa Wayahudi. Lakini ufalme
wangu sio wa hapa.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 12:10
Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, Sasa
kumekuwa wokovu, na nguvu, na ufalme
wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo
wake; kwa maana ametupwa chini mshitaki
DANIELI
328
wa ndugu zetu, yeye awashitakiye mbele za
Mungu wetu, mchana na usiku.
Ona pia: #1.
B03 Masiha ndiye Mwana wa mtu.
H01 Kurudi kwa Masiha kunatabiriwa.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H10 Unabii wa Ufalme wa milele wa amani.
H11 Masiha atatukuzwa.
DANIELI 7:13 Nikaona katika njozi za
usiku, na tazama, mmoja aliye mfano wa
mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya
mbingu akamkaribia huyo mzee wa siku,
wakamleta karibu naye.
14 Naye akapewa mamlaka, na utukufu, na
ufalme, ili watu wa kabila zote, na taifa zote,
na lugha zote, wamtumikie; mamlaka yake
ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita
kamwe, na ufalme wake ni ufalme usioweza
kuangamizwa.
18 Lakini watakatifu wake Aliye juu wataupokea
ufalme, na kuumiliki huo ufalme milele,
naam hata milele na milele.
22 hata akaja huyo mzee wa siku, nao
watakatifu wake Aliye juu wakapewa
hukumu; na majira yakawadia watakatifu
waumiliki ufalme.
27 Na ufalme, na mamlaka, na ukuu wa
ufalme, chini ya mbingu zote, watapewa
watu wa watakatifu wake Aliye juu; ufalme
wake ni ufalme wa milele, na wote wenye
mamlaka watamtumikia na kumtii.
MATHAYO 11:27 Akasema, Nimekabidhiwa
vyote na baba yangu; wala hakuna amjuaye
Mwana, ila Baba; wala hakuna amjuaye
Baba, ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana
apenda kumfunulia.
MATHAYO 24:30 ndipo itakapoonekana
ishara yake Mwana wa Adamu mbinguni;
ndipo mataifa yote ya ulimwengu
watakapoomboleza, nao watamwona
Mwana wa Adamu akija juu ya mawingu
ya mbinguni pamoja na nguvu na utukufu
mwingi.
MATHAYO 25:31 Hapo atakapokuja Mwana
wa Adamu katika utukufu wake, na malaika
watakatifu wote pamoja naye, ndipo
atakapoketi katika kiti cha utukufu wake;
MATHAYO 26:64 Yesu akamwambia, Wewe
umesema; lakini nawaambieni, Tangu sasa
mtamwona Mwana wa Adamu ameketi
mkono wa kuume wa nguvu, akija juu ya
mawingu ya mbinguni.
MATHAYO 28:18 Yesu akaja kwao, akasema
nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote
mbinguni na duniani.
19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote
kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la
Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
20 na kuwafundisha kuyashika yote
niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo
pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa
dahari.
LUKA 10:22 Akasema, Nimekabidhiwa
vyote na Baba yangu, wala hakuna amjuaye
Mwana ila Baba; wala hakuna amjuaye
Baba ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana
apenda kumfunulia.
DANIELI
329
LUKA 21:27 Hapo ndipo watakapomwona
Mwana wa Adamu akija katika wingu
pamoja na nguvu na utukufu mwingi.
YOHANA 3:35 Baba ampenda Mwana, naye
amempa vyote mkononi mwake.
YOHANA 5:22 Tena Baba hamhukumu mtu
ye yote, bali amempa Mwana hukumu yote;
23 ili watu wote wamheshimu Mwana
kama vile wanavyomheshimu Baba.
Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba
aliyempeleka.
YOHANA 5:27 Naye akampa amri ya
kufanya hukumu kwa sababu ni Mwana wa
Adamu.
WAEFESO 1:19 na ubora wa ukuu wa uweza
wake ndani yetu tuaminio jinsi ulivyo; kwa
kadiri ya utendaji wa nguvu za uweza wake;
20 aliotenda katika Kristo alipomfufua katika
wafu, akamweka mkono wake wa kuume
katika ulimwengu wa roho;
21 juu sana kuliko ufalme wote, na mamlaka,
na nguvu, na usultani, na kila jina litajwalo,
wala si ulimwenguni humu tu, bali katika
ule ujao pia;
22 akavitia vitu vyote chini ya miguu yake,
akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa
ajili ya kanisa; ambalo
2 TIMOTHEO 2:12 Kama tukistahimili,
tutamiliki pamoja naye; Kama tukimkana
yeye, yeye naye atatukana sisi;
WAEBRANIA 12:28 Basi kwa kuwa
tunapokea ufalme usioweza kutetemeshwa,
na mwe na neema, ambayo kwa hiyo
tumtolee Mungu ibada ya kumpendeza,
pamoja na unyenyekevu na kicho;
UFUNUO WA YOHANA 1:7 Tazama,
yuaja na mawingu; na kila jicho litamwona,
na hao waliomchoma; na kabila zote za
dunia wataomboleza kwa ajili yake. Naam.
Amina.
UFUNUO WA YOHANA 2:26 Na yeye
ashindaye, na kuyatunza matendo yangu
hata mwisho, nitampa mamlaka juu ya
mataifa,
27 naye atawachunga kwa fimbo ya chuma,
kama vyombo vya mfinyanzi vipondwavyo,
kama mimi nami nilivyopokea kwa Baba
yangu.
UFUNUO WA YOHANA 5:9 Nao
waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili
wewe kukitwaa hicho kitabu na kuzifungua
muhuri zake; kwa kuwa ulichinjwa,
ukamnunulia Mungu kwa damu yako watu
wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa,
10 ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa
Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi.
UFUNUO WA YOHANA 20:6 Huo
ndio ufufuo wa kwanza. Heri, na mtakatifu,
ni yeye aliye na sehemu katika ufufuo wa
kwanza; juu ya hao mauti ya pili haina
nguvu; bali watakuwa makuhani wa Mungu
na wa Kristo, nao watatawala pamoja naye
hiyo miaka elfu.
UFUNUO WA YOHANA 22:5 Wala
hapatakuwa na usiku tena; wala hawana haja
ya taa wala ya nuru ya jua; kwa kuwa Bwana
Mungu huwatia nuru, nao watatawala hata
milele na milele.
DANIELI
330
Ona pia: #1; #5; Zaburi 8:6; Ezekieli 1:26; Mathayo 13:41; Marko 14:61,62; Yohana 3:13; Yohana 12:34; Matendo ya Mitume 2:33-36;
1 Petro 3:22; Ufunuo wa Yohana 14:14.
E26 Kazi ya ukombozi ya Masiha.
DANIELI 9:24 Muda wa majuma sabini
umeamriwa juu ya watu wako, na juu ya mji
wako mtakatifu, ili kukomesha makosa, na
kuishiliza dhambi, na kufanya upatanisho
kwa ajili ya uovu, na kuleta haki ya milele,
na kutia muhuri maono na unabii, na
kumtia mafuta yeye aliye mtakatifu.
MATHAYO 1:21 Naye atazaa mwana, nawe
utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye
atakayewaokoa watu wake na dhambi zao.
MATHAYO 11:13 Kwa maana manabii wote na
torati walitabiri mpaka wakati wa Yohana.
LUKA 4:18 Roho wa Bwana yu juu
yangu, Kwa maana amenitia mafuta
kuwahubiri maskini habari njema.
Amenituma kuwatangazia wafungwa
kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona
tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
19 Na kutangaza mwaka wa Bwana
uliokubaliwa.
20 Akakifunga chuo, akamrudishia mtumishi,
akaketi; na watu wote waliokuwamo katika
sinagogi wakamkazia macho.
21 Akaanza kuwaambia, Leo maandiko haya
yametimia masikioni mwenu.
LUKA 24:25 Akawaambia, Enyi
msiofahamu, wenye mioyo mizito ya
kuamini yote waliyoyasema manabii!
26 Je! Haikumpasa Kristo kupata mateso haya
na kuingia katika utukufu wake?
27 Akaanza kutoka Musa na manabii wote,
akawaeleza katika maandiko yote mambo
yaliyomhusu yeye mwenyewe.
YOHANA 1:41 Huyo akamwona
kwanza Simoni, ndugu yake mwenyewe,
akamwambia, Tumemwona Masihi (maana
yake, Kristo).
MATENDO YA MITUME 3:22 Kwa
maana Musa kweli alisema ya kwamba,
Bwana Mungu wenu atawainulieni nabii,
katika ndugu zenu, kama mimi; msikieni
yeye katika mambo yote atakayonena nanyi.
WARUMI 5:10 Kwa maana ikiwa tulipokuwa
adui tulipatanishwa na Mungu kwa mauti
ya Mwana wake; zaidi sana baada ya
kupatanishwa tutaokolewa katika uzima
wake.
2 WAKORINTHO 5:18 Lakini vyote pia
vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha
sisi na nafsi yake kwa Kristo, naye alitupa
huduma ya upatanisho;
19 yaani, Mungu alikuwa ndani ya Kristo,
akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake,
asiwahesabie makosa yao; naye ametia ndani
yetu neno la upatanisho.
20 Basi tu wajumbe kwa ajili ya Kristo, kana
kwamba Mungu anasihi kwa vinywa
vyetu; twawaomba ninyi kwa ajili ya Kristo
mpatanishwe na Mungu.
21 Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa
dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kuwa
haki ya Mungu katika Yeye.
WAFILIPI 3:9 tena nionekane katika yeye,
nisiwe na haki yangu mwenyewe ipatikanayo
kwa sheria, bali ile ipatikanayo kwa imani
DANIELI
331
iliyo katika Kristo, haki ile itokayo kwa
Mungu, kwa imani;
WAKOLOSAI 2:14 akiisha kuifuta ile hati
iliyoandikwa ya kutushitaki kwa hukumu
zake, iliyokuwa na uadui kwetu; akaiondoa
isiwepo tena, akaigongomea msalabani;
WAEBRANIA 1:8 Lakini kwa habari za Mwana
asema, Kiti chako cha enzi,Mungu,ni cha
milele na milele; Na fimbo ya ufalme wako
ni fimbo ya adili.
WAEBRANIA 7:26 Maana ilitupasa sisi tuwe na
kuhani mkuu wa namna hii aliye mtakatifu,
asiyekuwa na uovu, asiyekuwa na waa lo
lote, aliyetengwa na wakosaji, aliyekuwa juu
kuliko mbingu;
WAEBRANIA 10:14 Maana kwa toleo
moja amewakamilisha hata milele hao
wanaotakaswa.
1 YOHANA 3:8 atendaye dhambi ni wa
Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi
tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa
Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za
Ibilisi.
Ona pia: Mambo ya Walawi 25:8; Hesabu 14:35; Zaburi 45:7; Isaya 53:10,11; Isaya 56:1; Isaya 61:1; Yeremia 23:5,6; Ezekieli 4:6; Luka 24:44,45; 1 Wakorintho 1:30; 2 Wakorintho 5:21; Wakolosai 1:20; Waebrania 2:17; Waebrania 9:11-14,26; Ufunuo wa Yohana
14:6.
A07 Atakuwa Masiha wa Israeli.
F01 Kifo cha Masiha kinatabiriwa.
F04 Matokeo ya kukataliwa kwa Masiha.
DANIELI 9:25 Basi ujue na kufahamu, ya
kuwa tangu kuwekwa amri ya kutengeneza
na kuujenga upya Yerusalemu hata zamani
zake masihi aliye mkuu; kutakuwa na
majuma saba; na katika majuma sitini na
mawili utajengwa tena pamoja na njia kuu
zake na handaki, naam, katika nyakati za
taabu.
ISAYA 55:4 Angalieni, nimemweka kuwa
shahidi kwa kabila za watu; kuwa kiongozi
na jemadari kwa kabila za watu.
MARKO 13:14 Lakini mlionapo chukizo la
uharibifu likisimama pasipolipasa, (asomaye
na afahamu), ndipo walio katika Uyahudi na
wakimbilie milimani;
YOHANA 1:41 Huyo akamwona
kwanza Simoni, ndugu yake mwenyewe,
akamwambia, Tumemwona Masihi (maana
yake, Kristo).
MATENDO YA MITUME 3:15
mkamwua yule Mkuu wa uzima, ambaye
Mungu amemfufua katika wafu; na sisi tu
mashahidi wake.
MATENDO YA MITUME 5:31 Mtu huyo
Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa
kuume, awe Mkuu na Mwokozi, awape
Waisraeli toba na msamaha wa dhambi.
Ona pia: Isaya 9:6; Mika 5:2; Mathayo 24:15; Yohana 4:25.
F01 Kifo cha Masiha kinatabiriwa.
DANIELI 9:26 Na baada ya yale majuma
sitini na mawili, masihi atakatiliwa mbali,
naye atakuwa hana kitu; na watu wa
mkuu atakayekuja watauangamiza mji,
na patakatifu; na mwisho wake utakuwa
DANIELI
332
pamoja na gharika, na hata mwisho ule vita
vitakuwapo; ukiwa umekwisha kukusudiwa.
ISAYA 53:8 Kwa kuonewa na
kuhukumiwa aliondolewa; Na maisha yake
ni nani atakayeisimulia? Maana amekatiliwa
mbali na nchi ya walio hai; Alipigwa kwa
sababu ya makosa ya watu wangu.
MATHAYO 24:2 Naye akajibu akawaambia,
Hamyaoni haya yote? Amin, nawaambieni,
Halitasalia hapa jiwe juu ya jiwe ambalo
halitabomoshwa.
MARKO 9:12 Akajibu akawaambia, Ni
kweli Eliya yuaja kwanza, na kurejeza upya
yote; lakini, pamoja na haya, ameandikiwaje
Mwana wa Adamu ya kwamba atateswa
mengi na kudharauliwa?
MARKO 13:2 Yesu akajibu, akamwambia,
Wayaona majengo haya makubwa?
Halitasalia hapa jiwe juu ya jiwe ambalo
halitabomolewa.
LUKA 21:24 Wataanguka kwa ukali
wa upanga, nao watatekwa nyara na
kuchukuliwa katika mataifa yote; na
Yerusalemu utakanyagwa na Mataifa, hata
majira ya Mataifa yatakapotimia.
LUKA 24:26 Je! Haikumpasa Kristo
kupata mateso haya na kuingia katika
utukufu wake?
LUKA 24:46 Akawaambia, Ndivyo
ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na
kufufuka siku ya tatu;
YOHANA 11:51 Na neno hilo yeye
hakulisema kwa nafsi yake; bali kwa kuwa
alikuwa Kuhani Mkuu mwaka ule, alitabiri
ya kwamba Yesu atakufa kwa ajili ya taifa
hilo.
52 Wala si kwa ajili ya taifa hilo tu; lakini
pamoja na hayo awakusanye watoto wa
Mungu waliotawanyika, ili wawe wamoja.
YOHANA 12:32 Nami nikiinuliwa juu ya
nchi, nitawavuta wote kwangu.
33 Aliyanena hayo akionyesha ni mauti gani
atakayokufa.
34 Basi mkutano wakamjibu, Sisi tumesikia
katika torati ya kwamba Kristo adumu
hata milele; nawe wasemaje ya kwamba
imempasa Mwana wa Adamu kuinuliwa?
Huyu Mwana wa Adamu ni nani?
Ona pia: Luka 19:43,44; Luka 21:6; 1 Petro 2:24; 1 Petro 3:18.
F04 Matokeo ya kukataliwa kwa Masiha.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
DANIELI 9:27 Naye atafanya agano thabiti
na watu wengi kwa muda wa juma moja; na
kwa nusu ya juma hiyo ataikomesha sadaka
na dhabihu; na mahali pake litasimama
chukizo la uharibifu; na hivyo, hata ukomo,
na ghadhabu iliyokusudiwa imemwagwa juu
yake mwenye kuharibu.
MATHAYO 24:14 Tena habari njema ya ufalme
itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa
ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule
mwisho utakapokuja.
15 Basi hapo mtakapoliona chukizo la
uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli,
limesimama katika patakatifu (asomaye na
afahamu),
DANIELI
333
MARKO 13:14 Lakini mlionapo chukizo la
uharibifu likisimama pasipolipasa, (asomaye
na afahamu), ndipo walio katika Uyahudi na
wakimbilie milimani;
LUKA 21:20 Lakini, hapo mtakapoona mji
wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi,
ndipo jueni ya kwamba uharibifu wake
umekaribia.
21 Ndipo walio katika Uyahudi na wakimbilie
milimani, na walio katikati yake wakimbilie
nje, na walio katika mashamba wasiuingie.
22 Kwa kuwa siku hizo ndizo za mapatilizo, ili
yatimizwe yote yaliyoandikwa.
23 Ole wao wenye mimba na wanaonyonyesha
katika siku hizo! Kwa kuwa kutakuwa na
shida nyingi katika nchi, na hasira juu ya
taifa hili.
24 Wataanguka kwa ukali wa upanga, nao
watatekwa nyara na kuchukuliwa katika
mataifa yote; na Yerusalemu utakanyagwa
na Mataifa, hata majira ya Mataifa
yatakapotimia.
Ona pia: Kumbukumbu la Torati 4:26-28; Kumbukumbu la Torati 28:15; Kumbukumbu la Torati 31:28,29; Isaya 10:22,23;
Isaya 28:22; Danieli 8:13; Danieli 11:36; Danieli 12:11; 1 Wathesalonike 2:14-16.
B18 Utakatifu, uzuri na utukufu wa Masiha.
DANIELI 10:5 naliinua macho yangu,
nikatazama, na kumbe, mtu aliyevikwa nguo
za kitani, viuno vyake vimefungwa dhahabu
safi ya Ufazi;
6 mwili wake pia ulikuwa kama zabarajadi
safi, na uso wake mfano wa umeme, na
macho yake kama taa za moto, na mikono
yake na miguu yake rangi yake kama shaba
iliyosuguliwa sana, na sauti ya maneno yake
kama sauti ya umati wa watu.
UFUNUO WA YOHANA 1:13 na
katikati ya vile vinara nikaona mtu mfano
wa Mwanadamu, amevaa vazi lililofika
miguuni, na kufungwa mshipi wa dhahabu
matitini.
14 Kichwa chake na nywele zake zilikuwa
nyeupe kama sufu nyeupe, kama theluji; na
macho yake kama mwali wa moto;
15 na miguu yake kama shaba iliyosuguliwa
sana, kana kwamba imesafishwa katika
tanuru; na sauti yake kama sauti ya maji
mengi.
16 Naye alikuwa na nyota saba katika mkono
wake wa kuume; na upanga mkali, wenye
makali kuwili, ukitoka katika kinywa chake;
na uso wake kama jua liking›aa kwa nguvu
zake.
17 Nami nilipomwona, nalianguka miguuni
pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono
wake wa kuume juu yangu, akisema,
Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa
mwisho,
Ona pia: Mathayo 17:2; Luka 9:29; Ufunuo wa Yohana 19:12.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
DANIELI 12:1 Wakati huo Mikaeli
atasimama, jemadari mkuu, asimamaye
upande wa wana wa watu wako; na
kutakuwa na wakati wa taabu, mfano
wake haukuwapo tangu lilipoanza kuwapo
taifa hata wakati uo huo; na wakati huo
watu wako wataokolewa; kila mmoja
atakayeonekana ameandikwa katika kitabu
DANIELI
334
kile.
ISAYA 4:3 Tena itakuwa ya kwamba
yeye aliyebaki katika Sayuni, na yeye
aliyeachwa ndani ya Yerusalemu, ataitwa
mtakatifu; yaani, kila mmoja aliyeandikwa
miongoni mwa hao walio hai ndani ya
Yerusalemu;
MATHAYO 24:21 Kwa kuwa wakati huo
kutakuwapo dhiki kubwa, ambayo haijatokea
namna yake tangu mwanzo wa ulimwengu
hata sasa, wala haitakuwapo kamwe.
LUKA 10:20 Lakini, msifurahi kwa vile
pepo wanavyowatii; bali furahini kwa sababu
majina yenu yameandikwa mbinguni.
UFUNUO WA YOHANA 3:5 Yeye
ashindaye atavikwa hivyo mavazi meupe,
wala sitalifuta kamwe jina lake katika kitabu
cha uzima, nami nitalikiri jina lake mbele za
Baba yangu, na mbele ya malaika zake.
UFUNUO WA YOHANA 17:14 Hawa
watafanya vita na Mwana-Kondoo, na
Mwana Kondoo atawashinda, kwa maana
Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa
Wafalme, na hao walio pamoja naye ndio
walioitwa, na wateule, na waaminifu.
Ona pia: #2; Zaburi 69:28; Isaya 9:7; Isaya 26:20,21; Yeremia 30:7; Ezekieli 34:24; Danieli 9:25; Danieli 10:21; Marko 13:19;
Luka 21:23,24; Wafilipi 4:3; Ufunuo wa Yohana 13:8; Ufunuo wa Yohana 16:17-21; Ufunuo wa Yohana 19:11-16.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
DANIELI 12:2 Tena, wengi wa hao walalao
katika mavumbi ya nchi wataamka, wengine
wapate uzima wa milele, wengine aibu na
kudharauliwa milele.
MATHAYO 25:31 Hapo atakapokuja Mwana
wa Adamu katika utukufu wake, na malaika
watakatifu wote pamoja naye, ndipo
atakapoketi katika kiti cha utukufu wake;
32 na mataifa yote watakusanyika mbele zake;
naye atawabagua kama vile mchungaji
abaguavyo kondoo na mbuzi;
33 atawaweka kondoo mkono wake wa kuume,
na mbuzi mkono wake wa kushoto.
34 Kisha Mfalme atawaambia wale walioko
mkono wake wa kuume, Njoni, mliobarikiwa
na Baba yangu, urithini ufalme mliowekewa
tayari tangu kuumbwa ulimwengu;
MATENDO YA MITUME 17:31 Kwa
maana ameweka siku atakayowahukumu
walimwengu kwa haki, kwa mtu yule
aliyemchagua; naye amewapa watu wote
uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua
katika wafu.
WARUMI 2:16 katika siku ile Mungu
atakapozihukumu siri za wanadamu,
sawasawa na injili yangu, kwa Kristo Yesu.
1 WATHESALONIKE 4:14 Maana, ikiwa
twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka,
vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu,
Mungu atawaleta pamoja naye.
UFUNUO WA YOHANA 20:12
Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo,
wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi;
na vitabu vikafunguliwa; na kitabu kingine
kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima; na
hao wafu wakahukumiwa katika mambo
hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu,
DANIELI
335
sawasawa na matendo yao.
Ona pia: #5; #6; Ayubu 19:25-27; Mathayo 22:32; Warumi 9:21.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
DANIELI 12:3 Na walio na hekima
watang›aa kama mwangaza wa anga; na hao
waongozao wengi kutenda haki watang›aa
kama nyota milele na milele.
MATHAYO 13:43 Ndipo wenye haki
watakapong›aa kama jua katika ufalme wa
Baba yao. Mwenye masikio, na asikie.
MATHAYO 19:28 Yesu akawaambia, Amin,
nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata
mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi
Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu
wake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi
na viwili, mkiwahukumu kabila kumi na
mbili za Israeli.
WAFILIPI 2:16 mkishika neno la uzima;
nipate sababu ya kuona fahari katika siku
ya Kristo, ya kuwa sikupiga mbio bure wala
sikujitaabisha bure.
17 Naam, hata nikimiminwa juu ya dhabihu na
ibada ya imani yenu, nafurahi; tena nafurahi
pamoja nanyi nyote.
1 WATHESALONIKE 2:19 Maana tumaini
letu, au furaha yetu, au taji ya kujionea
fahari, ni nini? Je! Si ninyi, mbele za Bwana
wetu Yesu, wakati wa kuja kwake?
20 Maana ninyi ndinyi utukufu wetu, na furaha
yetu.
Ona pia: #1; Danieli 11:33,35; Luka 1:16,17; 1 Wakorintho 3:10; Waefeso 4:11.
DANIELI
336
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
HOSEA 1:10 Tena itakuwa ya kwamba
hesabu ya wana wa Israeli itafanana na
mchanga wa bahari, usioweza kupimwa
wala kuhesabiwa; tena itakuwa, badala
ya kuambiwa, Ninyi si watu wangu,
wataambiwa, Ninyi ndio wana wa Mungu
aliye hai.
11 Na wana wa Yuda na wana wa Israeli
watakusanyika pamoja, nao watajiwekea
kichwa kimoja, nao watakwea watoke katika
nchi hii; kwa maana siku ya Yezreeli itakuwa
kuu sana.
MWANZO 13:16 Na uzao wako nitaufanya
uwe kama mavumbi ya nchi; hata mtu
akiweza kuyahesabu mavumbi ya nchi, uzao
wako nao utahesabika.
YOHANA 11:52 Wala si kwa ajili ya taifa
hilo tu; lakini pamoja na hayo awakusanye
watoto wa Mungu waliotawanyika, ili wawe
wamoja.
MATENDO YA MITUME 2:47
wakimsifu Mungu, na kuwapendeza watu
wote. Bwana akalizidisha kanisa kila siku
kwa wale waliokuwa wakiokolewa.
WARUMI 9:26 Tena itakuwa mahali pale
walipoambiwa, Ninyi si watu wangu, Hapo
wataitwa wana wa Mungu aliye hai.
27 Isaya naye atoa sauti yake juu ya
Israeli, kusema, Hesabu ya wana wa
Israeli,ijapokuwa ni kama mchanga wa
bahari,ni mabaki yao tu watakaookolewa.
WAGALATIA 3:27 Maana ninyi nyote
mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo.
28 Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana
mtumwa wala huru. Hapana mtu mume
wala mtu mke. Maana ninyi nyote
mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu.
29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa
uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na
ahadi.
WAGALATIA 6:15 Kwa sababu kutahiriwa si
kitu, wala kutokutahiriwa, bali kiumbe kipya.
16 Na wote watakaoenenda kwa kanuni hiyo,
amani na iwe kwao na rehema, naam, kwa
Israeli wa Mungu.
WAEFESO 1:10 Yaani, kuleta madaraka ya
wakati mkamilifu atavijumlisha vitu vyote
katika Kristo, vitu vya mbinguni na vitu vya
duniani pia. Naam, katika yeye huyo;
WAEBRANIA 11:12 Na kwa ajili ya hayo
wakazaliwa na mtu mmoja, naye alikuwa
kama mfu, watu wengi kama nyota za
mbinguni wingi wao, na kama mchanga ulio
ufuoni, usioweza kuhesabika.
13 Hawa wote wakafa katika imani,
wasijazipokea zile ahadi, bali wakaziona
tokea mbali na kuzishangilia, na kukiri
kwamba walikuwa wageni, na wasafiri juu ya
nchi.
UFUNUO WA YOHANA 7:4 Nikasikia
hesabu yao waliotiwa muhuri katika kila
kabila ya Waisraeli, watu mia na arobaini na
nne elfu.
Ona pia: #1; #2; #3; Mwanzo 32:12; Isaya 43:5,6; Isaya 49:17-26; Isaya 54:1-3; Isaya 60:4-22; Isaya 66:20-22; Hosea 2:23.
HOSEA
337
B20 Upendo wa Mfalme kwa watu Wake.
E20 Masiha ataweka agano jipya.
E23 Masiha atawabadilisha watu Wake.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
H10 Unabii wa Ufalme wa milele wa amani.
HOSEA 2:15 Nami nitampa mashamba
yake ya mizabibu toka huko, na bonde
la Akori kuwa mlango wa tumaini; naye
ataniitikia huko, kama siku zile za ujana
wake, na kama siku ile alipopanda kutoka
nchi ya Misri.
16 Tena siku hiyo itakuwa, asema Bwana,
utaniita Ishi
17 Kwa maana nitayaondoa majina ya Mabaali
kinywani mwake, wala hawatatajwa tena kwa
majina yao.
18 Nami siku hiyo nitafanya agano na wanyama
wa mashamba kwa ajili yao, tena na ndege
wa angani, tena na wadudu wa nchi; nami
nitavivunja upinde na upanga na silaha
vitoke katika nchi, nami nitawalalisha
salama salimini.
19 Nami nitakuposa uwe wangu kwa milele;
naam, nitakuposa kwa haki, na kwa
hukumu, na kwa ufadhili, na kwa rehema.
20 Nami nitakuposa kwa uaminifu; nawe
utamjua Bwana.
21 Tena itakuwa siku hiyo, mimi nitaitika,
asema Bwana; nitaziitikia mbingu, nazo
zitaiitikia nchi;
22 nayo nchi itaiitikia nafaka na divai na
mafuta; nayo yataiitikia Yezreeli.
23 Nami nitampanda katika nchi kwa ajili
yangu mwenyewe; nami nitamrehemu yeye
asiyepewa rehema; nami nitawaambia wale
wasiokuwa watu wangu, Ninyi ndinyi watu
wangu; nao watasema, Wewe ndiwe Mungu
wangu.
ISAYA 11:6 Mbwa-mwitu atakaa pamoja
na mwana-kondoo, na chui atalala pamoja
na mwana-mbuzi; ndama na mwana-simba
na kinono watakuwa pamoja, na mtoto
mdogo atawaongoza.
7 Ng›ombe na dubu watalisha pamoja; watoto
wao watalala pamoja; na simba atakula
majani kama ng›ombe.
8 Na mtoto anyonyaye atacheza penye tundu la
nyoka, na mtoto aliyeachishwa atatia mkono
wake katika pango la fira.
ISAYA 54:5 Kwa sababu Muumba wako
ni mume wako; Bwana wa majeshi ndilo
jina lake; na Mtakatifu wa Israeli ndiye
Mkombozi wako; Yeye ataitwa Mungu wa
dunia yote.
HABAKUKI 2:4 Tazama, roho yake hujivuna,
haina unyofu ndani yake; lakini mwenye
haki ataishi kwa imani yake.
MATHAYO 11:27 Akasema, Nimekabidhiwa
vyote na baba yangu; wala hakuna amjuaye
Mwana, ila Baba; wala hakuna amjuaye
Baba, ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana
apenda kumfunulia.
YOHANA 17:3 Na uzima wa milele ndio
huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa
kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
WARUMI 1:17 Kwa maana haki ya Mungu
inadhihirishwa ndani yake, toka imani hata
imani; kama ilivyoandikwa, Mwenye haki
ataishi kwa imani.
WARUMI 9:24 ndio sisi aliotuita, si watu wa
Wayahudi tu, ila na watu wa Mataifa pia?
25 Ni kama vile alivyosema katika Hosea,
HOSEA
338
Nitawaita watu wangu wale wasiokuwa watu
wangu, Na mpenzi wangu yeye asiyekuwa
mpenzi wangu.
26 Tena itakuwa mahali pale walipoambiwa,
Ninyi si watu wangu, Hapo wataitwa wana
wa Mungu aliye hai.
WARUMI 11:26 Hivyo Israeli wote
wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi
atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na
maasia yake.
27 Na hili ndilo agano langu nao,
Nitakapowaondolea dhambi zao.
2 WAKORINTHO 11:2 Maana nawaonea
wivu, wivu wa Mungu; kwa kuwa
naliwaposea mume mmoja, ili nimletee
Kristo bikira safi.
WAEBRANIA 8:11 Nao hawatafundishana kila
mtu na jirani yake, Na kila mtu na ndugu
yake, akisema, Mjue Bwana; Kwa maana
wote watanijua, Tangu mdogo wao hata
mkubwa wao.
1 YOHANA 5:20 Nasi twajua kwamba Mwana
wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa
akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli,
nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli,
yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo.
Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa
milele.
UFUNUO WA YOHANA 12:6 Yule
mwanamke akakimbilia nyikani, ambapo
ana mahali palipotengenezwa na Mungu, ili
wamlishe huko muda wa siku elfu na mia
mbili na sitini.
UFUNUO WA YOHANA 12:14
Mwanamke yule akapewa mabawa mawili
ya tai yule mkubwa, ili aruke, aende zake
nyikani hata mahali pake, hapo alishwapo
kwa wakati na nyakati na nusu ya wakati,
mbali na nyoka huyo.
UFUNUO WA YOHANA 21:3 Nikasikia
sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha
enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu
ni pamoja na wanadamu, naye atafanya
maskani yake pamoja nao, nao watakuwa
watu wake. Naye Mungu mwenyewe
atakuwa pamoja nao.
Ona pia: #1; #2; #5; Mambo ya Walawi 26:40-45; Kumbukumbu la Torati 26:17-19; Kumbukumbu la Torati 30:3-5; Isaya 49:13-26; Isaya 51:3; Yeremia 2:2; Yeremia 3:12-24; Yeremia 24:7; Yeremia 30:18-22; Yeremia 31:1-37; Yeremia 32:36-41; Yeremia 33:6-26;
Ezekieli 34:22-31; Ezekieli 36:8-15; Ezekieli 37:11-28; Ezekieli 39:25-29; Hosea 1:11; Amosi 9:11-15; Mika 7:14-20; Sefania 3:12-20;
Zekaria 1:16,17; Zekaria 8:12-15; Zekaria 10:9-12; Zekaria 13:9.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
HOSEA 3:4 Kwa maana wana wa Israeli
watakaa siku nyingi bila mfalme, wala
mtu mkuu, wala sadaka, wala nguzo, wala
naivera, wala kinyago;
MATHAYO 24:1 Yesu akaenda zake, akatoka
hekaluni; wanafunzi wake wakamwendea ili
kumwonyesha majengo ya hekalu.
2 Naye akajibu akawaambia, Hamyaoni haya
yote? Amin, nawaambieni, Halitasalia hapa
jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomoshwa.
LUKA 21:24 Wataanguka kwa ukali
wa upanga, nao watatekwa nyara na
kuchukuliwa katika mataifa yote; na
Yerusalemu utakanyagwa na Mataifa, hata
majira ya Mataifa yatakapotimia.
HOSEA
339
YOHANA 19:15 Basi wale wakapiga kelele,
Mwondoshe! Mwondoshe! Msulibishe!
Pilato akawaambia, Je! Nimsulibishe mfalme
wenu! Wakuu wa makuhani wakamjibu, Sisi
hatuna mfalme ila Kaisari.
Ona pia: Mwanzo 49:10; Ezekieli 34:23,24; Danieli 8:11-13; Danieli 9:27; Danieli 12:11; Mika 5:2-5; Zekaria 13:2; Waebrania
10:26.
E23 Masiha atawabadilisha watu Wake.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
HOSEA 3:5 baada ya hayo wana wa
Israeli watarejea, na kumtafuta Bwana,
Mungu wao, na Daudi, mfalme wao; nao
watamwendea Bwana na wema wake kwa
kicho siku za mwisho.
MATENDO YA MITUME 15:16 Baada ya
mambo haya nitarejea, Nami nitaijenga tena
nyumba ya Daudi iliyoanguka. Nitajenga
tena maanguko yake, Nami nitaisimamisha;
17 Ili wanadamu waliosalia wamtafute Bwana,
Na mataifa yote ambao jina langu limetajwa
kwao;
18 Asema Bwana, ajulishaye hayo tangu milele.
WARUMI 11:25 Kwa maana, ndugu zangu,
sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa
wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu
umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa
Mataifa uwasili.
26 Hivyo Israeli wote wataokoka; kama
ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka
Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake.
WAEBRANIA 1:1 Mungu, ambaye alisema
zamani na baba zetu katika manabii kwa
sehemu nyingi na kwa njia nyingi,
2 mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika
Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote,
tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.
Ona pia: #2; Yeremia 3:22,23; Hosea 5:15; Hosea 10:3.
E23 Masiha atawabadilisha watu Wake.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
HOSEA 6:1 Njoni, tumrudie Bwana;
maana yeye amerarua, na yeye atatuponya;
yeye amepiga, na yeye atatufunga jeraha
zetu.
2 Baada ya siku mbili atatufufua; siku ya tatu
atatuinua, nasi tutaishi mbele zake.
WARUMI 11:15 Maana ikiwa kutupwa kwao
kumeleta upatanisho kwa ulimwengu, je!
Kukubaliwa kwao kutakuwa nini kama si
uhai baada ya kufa?
WARUMI 11:26 Hivyo Israeli wote
wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi
atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na
maasia yake.
1 WAKORINTHO 15:4 na ya kuwa
alizikwa; na ya kuwa alifufuka siku ya tatu,
kama yanenavyo maandiko;
Ona pia: #1; #2; Mwanzo 1:9-13; Hesabu 17:8; Isaya 26:19; Isaya 55:7; Yeremia 3:22; Maombolezo 3:22,40,41; Hosea 5:15; Hosea
13:16; Luka 24:21; Yohana 2:1; Warumi 14:8; Ufunuo wa Yohana 11:14,15.
HOSEA
340
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
HOSEA 6:3 Nasi na tujue, naam,
tukaendelee kumjua Bwana; kutokea kwake
ni yakini kama asubuhi; naye atatujilia kama
mvua, kama mvua ya vuli iinyweshayo nchi.
2 SAMWELI 23:3 Mungu wa Israeli alisema,
Mwamba wa Israeli aliniambia, Atawalaye
wanadamu kwa haki, Akitawala katika kicho
cha Mungu,
4 Atakuwa kama nuru ya asubuhi jua lichapo,
Asubuhi isiyo na mawingu.
LUKA 1:78 Kwa njia ya rehema za
Mungu wetu, Ambazo kwa hizo mwangaza
utokao juu umetufikia,
YOHANA 17:3 Na uzima wa milele ndio
huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa
kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
UFUNUO WA YOHANA
22:16 Mimi Yesu nimemtuma malaika
wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo
katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina
na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung›aa
ya asubuhi.
Ona pia: #1; #2; Hosea 10:12; 2 Petro 1:19.
E02 Mahali pa huduma ya Masiha.
HOSEA 11:1 Israeli alipokuwa mtoto,
nalikuwa nikimpenda, nikamwita
mwanangu atoke Misri.
MATHAYO 2:13 Na hao walipokwisha
kwenda zao, tazama, malaika wa Bwana
alimtokea Yusufu katika ndoto, akasema,
Ondoka, umchukue mtoto na mama yake,
ukimbilie Misri, ukae huko hata nikuambie;
kwa maana Herode anataka kumtafuta
mtoto amwangamize.
14 Akaondoka akamchukua mtoto na mama
yake usiku, akaenda zake Misri;
15 akakaa huko hata alipokufa Herode; ili
litimie neno lililonenwa na Bwana kwa
ujumbe wa nabii, akisema, Kutoka Misri
nalimwita mwanangu.
E04 Ushindi wa Masiha dhidi ya dhambi.
E11 Kazi na huduma ya Masiha.
E14 Masiha atashinda kifo na giza.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
HOSEA 13:14 Nitawakomboa na nguvu za
kaburi; nitawaokoa na mauti; ewe mauti,
ya wapi mapigo yako? Ewe kaburi, ku wapi
kuharibu kwako? Kujuta kutafichwa na
macho yangu.
1 WAKORINTHO 15:52 kwa dakika
moja, kufumba na kufumbua, wakati wa
parapanda ya mwisho; maana parapanda
italia, na wafu watafufuliwa, wasiwe na
uharibifu, nasi tutabadilika.
53 Maana sharti huu uharibikao uvae
kutokuharibika, nao huu wa kufa uvae
kutokufa.
54 Basi huu uharibikao utakapovaa
kutokuharibika, na huu wa kufa utakapovaa
kutokufa, hapo ndipo litakapokuwa lile
neno lililoandikwa, Mauti imemezwa kwa
kushinda.
55 Ku wapi, Ewe mauti, kushinda kwako? U
wapi, Ewe mauti, uchungu wako?
HOSEA
341
56 Uchungu wa mauti ni dhambi, na nguvu za
dhambi ni torati.
57 Lakini Mungu na ashukuriwe atupaye
kushinda kwa Bwana wetu Yesu Kristo.
Ona pia: Isaya 26:19; 1 Wakorintho 15:21,22; 2 Wakorintho 5:4; Ufunuo wa Yohana 20:13; Ufunuo wa Yohana 21:14.
G05 Masiha atapata matunda mengi.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
HOSEA 14:4 Mimi nitawaponya kurudi
nyuma kwao; nitawapenda kwa ukunjufu wa
moyo; kwa maana hasira yangu imemwacha.
5 Nitakuwa kama umande kwa Israeli;
naye atachanua maua kama nyinyoro, na
kuieneza mizizi yake kama Lebanoni.
6 Matawi yake yatatandaa, na uzuri wake
utakuwa kama uzuri wa mzeituni, na harufu
yake kama Lebanoni.
7 Na wao wakaao chini ya uvuli wake
watarejea; watafufuka kama ngano, na
kuchanua maua kama mzabibu; harufu yake
itakuwa kama harufu ya divai ya Lebanoni.
8 Efraimu atasema, Mimi nina nini tena
na sanamu? Mimi nimeitika, nami
nitamwangalia. Mimi ni kama mberoshi
wenye majani mabichi. Kwangu mimi
yamepatikana matunda yako.
ISAYA 44:3 Kwa maana nitamimina maji
juu yake aliye na kiu, na vijito vya maji juu
ya mahali pakavu; nitamwaga roho yangu
juu ya wazao wako, na baraka yangu juu yao
utakaowazaa;
4 nao watatokea katika manyasi, kama mierebi
karibu na mifereji ya maji.
WIMBO ULIO BORA 2:3 Kama mpera kati ya
miti ya msituni, Kadhalika mpendwa wangu
kati ya vijana. Naliketi kivulini mwake kwa
furaha, Na matunda yake naliyaonja kuwa
matamu.
MIKA 4:4 Bali wataketi kila mtu
chini ya mzabibu wake, na chini ya mtini
wake; wala hapana mtu atakayewatia hofu;
kwa kuwa kinywa cha Bwana wa majeshi
kimesema hivi.
MIKA 5:7 Na hayo mabaki ya Yakobo
yatakuwa kati ya kabila nyingi mfano wa
umande utokao kwa Bwana, mfano wa
manyunyu katika manyasi; yasiyomngojea
mtu, wala kuwakawilia wanadamu.
ZEKARIA 3:10 Katika siku ile, asema Bwana
wa majeshi, ninyi mtamwalika kila mtu
jirani yake chini ya mzabibu, na chini ya
mtini.
LUKA 3:8 Basi, toeni matunda
yapatanayo na toba; wala msianze kusema
mioyoni mwenu, Tunaye baba, ndiye
Ibrahimu; kwa maana nawaambia ya
kwamba katika mawe haya Mungu aweza
kumwinulia Ibrahimu watoto.
9 Na sasa hivi shoka limekwisha kuwekwa
penye mashina ya miti; basi kila mti usiozaa
matunda mazuri hukatwa na kutupwa
motoni.
LUKA 6:43 Kwa maana hakuna mti
mzuri uzaao matunda mabaya, wala mti
mbaya uzaao matunda mazuri;
44 kwa kuwa kila mti hutambulikana kwa
matunda yake; maana, katika miiba
hawachumi tini, wala katika michongoma
hawachumi zabibu.
HOSEA
342
YOHANA 15:2 Kila tawi ndani yangu
lisilozaa huliondoa; na kila tawi lizaalo
hulisafisha, ili lizidi kuzaa.
3 Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya
lile neno nililowaambia.
4 Kaeni ndani yangu, nami ndani yenu.
Kama vile tawi lisivyoweza kuzaa peke yake,
lisipokaa ndani ya mzabibu; kadhalika nanyi,
msipokaa ndani yangu.
5 Mimi ni mzabibu; ninyi ni matawi, akaaye
ndani yangu nami ndani yake, huyo huzaa
sana; maana pasipo mimi ninyi hamwezi
kufanya neno lo lote.
6 Mtu asipokaa ndani yangu, hutupwa nje
kama tawi na kunyauka; watu huyakusanya
na kuyatupa motoni yakateketea.
7 Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno
yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo
lote nanyi mtatendewa.
8 Hivyo hutukuzwa Baba yangu, kwa vile
mzaavyo sana; nanyi mtakuwa wanafunzi
wangu.
Ona pia: #1; #2; Zaburi 72:16; Isaya 27:6; Isaya 35:2; Isaya 57:18; Yeremia 2:21; Yeremia 3:22; Yeremia 33:6; Ezekieli 17:8,22-
24; Hosea 2:12; Hosea 10:1; Yoeli 2:22; Habakuki 3:17,18.
HOSEA
343
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
YOELI 2:1 Pigeni tarumbeta katika
Sayuni, Pigeni na kelele katika mlima
wangu mtakatifu; Wenyeji wote wa nchi
na watetemeke; Kwa maana siku ya Bwana
inakuja. Kwa sababu inakaribia;
YOELI 2:2-12
YOELI 2:13 rarueni mioyo yenu, wala si
mavazi yenu, mkamrudie Bwana, Mungu
wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye
neema, amejaa huruma; si mwepesi wa
hasira, ni mwingi wa rehema, naye hughairi
mabaya.
14 N›nani ajuaye kwamba hatarudi na kugeuka,
na kutuachia baraka nyuma yake, naam,
sadaka ya unga, na sadaka ya kinywaji, kwa
Bwana, Mungu wenu?
YOELI 2:15-17
WARUMI 2:4 Au waudharau wingi
wa wema wake na ustahimili wake na
uvumilivu wake, usijue ya kuwa wema wa
Mungu wakuvuta upate kutubu?
1 WATHESALONIKE 5:2 Maana ninyi
wenyewe mnajua yakini ya kuwa siku ya
Bwana yaja kama vile mwivi ajavyo usiku.
1 PETRO 4:7 Lakini mwisho wa mambo
yote umekaribia; basi, iweni na akili, mkeshe
katika sala.
Ona pia: #5; Zaburi 103:8; Isaya 57:15; 66:2; Amosi 3:6; Mika 7:18; Sefania 2:3; 3:11; Zekaria 8:3; Malaki 4:2.
E16 Masiha atabariki watu Wake.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
YOELI 2:18 Hapo ndipo Bwana alipoona
wivu kwa ajili ya nchi yake, akawahurumia
watu wake.
19 Bwana akajibu, akawaambia watu wake;
Tazameni, nitawaletea nafaka, na divai, na
mafuta, nanyi mtashiba kwa vitu hivyo; wala
sitawafanya tena kuwa aibu kati ya mataifa;
YOELI 2:20-22
23 Furahini, basi, enyi wana wa Sayuni,
mkamfurahie Bwana, Mungu wenu; kwa
kuwa yeye huwapa ninyi mvua ya masika,
kwa kipimo cha haki, naye huwanyeshea
mvua, mvua ya masika, na mvua ya vuli,
kama kwanza.
YOELI 2:24-25
YOELI 2:26 Nanyi mtakula chakula tele
na kushiba, na kulihimidi jina la Bwana,
Mungu wenu, aliyewatendea mambo ya
ajabu; na watu wangu hawatatahayari
kamwe.
27 Nanyi mtajua ya kuwa mimi ni katikati ya
Israeli, na ya kuwa mimi ndimi Bwana,
Mungu wenu, wala hakuna mwingine; na
watu wangu hawatatahayari kamwe.
WARUMI 9:23 tena, ili audhihirishe wingi
wa utukufu wake katika vile vyombo vya
rehema, alivyovitengeneza tangu zamani
vipate utukufu;
YAKOBO 5:11 Angalieni, twawaita heri
wao waliosubiri. Mmesikia habari ya subira
yake Ayubu, mmeuona mwisho wa Bwana
ya kwamba Bwana ni mwingi wa rehema,
mwenye huruma.
UFUNUO WA YOHANA 21:3 Nikasikia
YOELI
344
sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha
enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu
ni pamoja na wanadamu, naye atafanya
maskani yake pamoja nao, nao watakuwa
watu wake. Naye Mungu mwenyewe
atakuwa pamoja nao.
Ona pia: #1; #2; #3; Zaburi 72:6,7.
E27 Kutoa moyo mpya na roho mpya.
G04 Masiha atatoa Roho Wake.
YOELI 2:28 Hata itakuwa, baada ya hayo,
ya kwamba nitamimina roho yangu juu ya
wote wenye mwili; na wana wenu, waume
kwa wake, watatabiri, wazee wenu wataota
ndoto, na vijana wenu wataona maono;
29 tena juu ya watumishi wenu, wanaume kwa
wanawake, katika siku zile, nitamimina roho
yangu.
ISAYA 44:3 Kwa maana nitamimina maji
juu yake aliye na kiu, na vijito vya maji juu
ya mahali pakavu; nitamwaga roho yangu
juu ya wazao wako, na baraka yangu juu yao
utakaowazaa;
MATHAYO 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye
mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza
kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho
Mtakatifu;
LUKA 11:13 Basi, ikiwa ninyi mlio waovu
mnajua kuwapa watoto wenu vipawa vyema,
je! Baba aliye mbinguni hatazidi sana
kuwapa Roho Mtakatifu hao wamwombao?
YOHANA 3:5 Yesu akajibu, Amin, amin,
nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na
kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa
Mungu.
YOHANA 7:38 Aniaminiye mimi, kama vile
maandiko yalivyonena, mito ya maji yaliyo
hai itatoka ndani yake.
39 Na neno hilo alilisema katika habari
ya Roho, ambaye wale wamwaminio
watampokea baadaye; kwa maana Roho
alikuwa hajaja, kwa sababu Yesu alikuwa
hajatukuzwa.
YOHANA 14:16 Nami nitamwomba Baba,
naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae
nanyi hata milele;
17 ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu
hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni
wala haumtambui; bali ninyi mnamtambua,
maana anakaa kwenu, naye atakuwa ndani
yenu.
YOHANA 15:26 Lakini ajapo huyo Msaidizi,
nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, huyo
Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye
atanishuhudia.
YOHANA 16:7 Lakini mimi nawaambia iliyo
kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa
maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi
hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu,
nitampeleka kwenu.
8 Naye akiisha kuja, huyo atauhakikisha
ulimwengu kwa habari ya dhambi, na haki,
na hukumu.
9 Kwa habari ya dhambi, kwa sababu
hawaniamini mimi;
10 kwa habari ya haki, kwa sababu mimi
naenda zangu kwa Baba, wala hamnioni
tena;
11 kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule
YOELI
345
mkuu wa ulimwengu huu amekwisha
kuhukumiwa.
12 Hata bado nikali ninayo mengi ya
kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili
hivi sasa.
13 Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa
kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli
yote; kwa maana hatanena kwa shauri
lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia
atayanena, na mambo yajayo atawapasha
habari yake.
14 Yeye atanitukuza mimi, kwa kuwa atatwaa
katika yaliyo yangu na kuwapasha habari.
MATENDO YA MITUME 2:16 lakini
jambo hili ni lile lililonenwa kwa kinywa cha
nabii Yoeli,
17 Itakuwa siku za mwisho, asema Mungu,
nitawamwagia watu wote Roho yangu, na
wana wenu na binti zenu watatabiri; na
vijana wenu wataona maono; na wazee wenu
wataota ndoto.
18 Naam, na siku zile nitawamwagia watumishi
wangu wanaume na wanawake Roho yangu,
nao watatabiri.
MATENDO YA MITUME 10:44 Petro
alipokuwa akisema maneno hayo Roho
Mtakatifu akawashukia wote waliolisikia lile
neno.
45 Na wale waliotahiriwa, walioamini,
wakashangaa, watu wote waliokuja
pamoja na Petro, kwa sababu Mataifa nao
wamemwagiwa kipawa cha Roho Mtakatifu.
MATENDO YA MITUME 13:2 Basi
hawa walipokuwa wakimfanyia Bwana
ibada na kufunga, Roho Mtakatifu akasema,
Nitengeeni Barnaba na Sauli kwa kazi ile
niliyowaitia.
WARUMI 5:5 na tumaini halitahayarishi;
kwa maana pendo la Mungu limekwisha
kumiminwa katika mioyo yetu na Roho
Mtakatifu tuliyepewa sisi.
WARUMI 8:13 kwa maana kama tukiishi
kwa kufuata mambo ya mwili, mwataka
kufa; bali kama mkiyafisha matendo ya
mwili kwa Roho, mtaishi.
14 Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa
Mungu, hao ndio wana wa Mungu.
15 Kwa kuwa hamkupokea tena roho wa
utumwa iletayo hofu; bali mlipokea roho ya
kufanywa wana, ambayo kwa hiyo twalia,
Aba, yaani, Baba.
16 Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na
roho zetu, ya kuwa sisi tu watoto wa Mungu;
1 WAKORINTHO 2:12 Lakini sisi
hatukuipokea roho ya dunia, bali Roho
atokaye kwa Mungu, makusudi tupate
kuyajua tuliyokirimiwa na Mungu.
13 Nayo twayanena, si kwa maneno
yanayofundishwa kwa hekima ya
kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho,
tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno
ya rohoni.
1 WAKORINTHO 6:19 Au hamjui ya kuwa
mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu
aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu?
Wala ninyi si mali yenu wenyewe;
Ona pia: Mithali 1:23; Mathayo 12:32; Warumi 8:9-12; 1 Wakorintho 12:4,8,11,13; 1 Wakorintho 15:45; 2 Wakorintho 3:6;
Wagalatia 4:6; 2 Wathesalonike 2:13; 1 Petro 1:11,12.
YOELI
346
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
YOELI 2:30 Nami nitaonyesha mambo ya
ajabu katika mbingu na katika dunia, damu,
na moto, na minara ya moshi.
31 Jua litageuzwa kuwa giza, na mwezi kuwa
damu, kabla haijaja hiyo siku ya Bwana iliyo
kuu na itishayo.
32 Na itakuwa ya kwamba mtu awaye yote
atakayeliita jina la Bwana ataponywa;
kwa kuwa katika mlima Sayuni na
katika Yerusalemu watakuwako watu
watakaookoka, kama Bwana alivyosema; na
katika mabaki, hao awaitao Bwana.
MATHAYO 24:29 Lakini mara, baada ya dhiki
ya siku zile, jua litatiwa giza, na mwezi
hautatoa mwanga wake, na nyota zitaanguka
mbinguni, na nguvu za mbinguni
zitatikisika;
30 ndipo itakapoonekana ishara yake Mwana
wa Adamu mbinguni; ndipo mataifa yote
ya ulimwengu watakapoomboleza, nao
watamwona Mwana wa Adamu akija juu ya
mawingu ya mbinguni pamoja na nguvu na
utukufu mwingi.
31 Naye atawatuma malaika zake pamoja na
sauti kuu ya parapanda, nao watawakusanya
wateule wake toka pepo nne, toka mwisho
huu wa mbingu mpaka mwisho huu.
MATHAYO 27:45 Basi tangu saa sita palikuwa
na giza juu ya nchi yote hata saa tisa.
MARKO 13:24 Lakini siku zile, baada
ya dhiki hiyo, jua litatiwa giza, na mwezi
hatautoa mwanga wake.
25 na nyota za mbinguni zitakuwa zikianguka,
na nguvu zilizo mbinguni zitatikisika.
LUKA 21:11 kutakuwa na matetemeko
makubwa ya nchi; na njaa na tauni mahali
mahali; na mambo ya kutisha na ishara kuu
kutoka mbinguni.
LUKA 21:25 Tena, kutakuwa na ishara
katika jua, na mwezi, na nyota; na katika
nchi dhiki ya mataifa wakishangaa kwa
uvumi wa bahari na msukosuko wake;
26 watu wakivunjika mioyo kwa hofu, na
kwa kutazamia mambo yatakayoupata
ulimwengu. Kwa kuwa nguvu za mbinguni
zitatikisika.
MATENDO YA MITUME 2:19 Nami
nitatoa ajabu katika mbingu juu, na ishara
katika nchi chini, damu na moto, na mvuke
wa moshi.
20 Jua litageuka kuwa giza, na mwezi kuwa
damu, kabla ya kuja ile siku ya Bwana iliyo
kuu na iliyo dhahiri.
21 Na itakuwa kila atakayeliitia jina la Bwana
ataokolewa.
UFUNUO WA YOHANA 6:12 Nami
nikaona, alipoifungua muhuri ya sita,
palikuwa na tetemeko kuu la nchi; jua likawa
jeusi kama gunia la singa, mwezi wote
ukawa kama damu,
13 na nyota zikaanguka juu ya nchi kama
vile mtini upukutishavyo mapooza yake,
utikiswapo na upepo mwingi.
Ona pia: #5; #6; #7; Zaburi 50:15; Isaya 13:9,10; Isaya 34:4,5; Yoeli 2:10; Yoeli 3:15; Zekaria 13:9; Warumi 10:11-14; 1 Wakorintho
1:2.
YOELI
347
E21 Masiha atasamehe dhambi.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H10 Unabii wa Ufalme wa milele wa amani.
YOELI 3:1 Kwa maana, angalieni,
siku zile, na wakati ule, nitakapowarudisha
mateka wa Yuda na Yerusalemu,
YOELI 3:2-16
YOELI 3:17 Hivyo ndivyo mtakavyojua
ya kuwa mimi ndimi Bwana, Mungu wenu,
nikaaye Sayuni, mlima wangu mtakatifu;
ndipo Yerusalemu utakapokuwa mtakatifu,
wala wageni hawatapita tena ndani yake
kamwe.
18 Tena itakuwa siku ile, ya kwamba milima
itadondoza divai tamu, na vilima vitatiririka
maziwa, na vijito vyote vya Yuda vitatoa maji
tele; na chemchemi itatokea katika nyumba
ya Bwana, na kulinywesha bonde la Shitimu.
19 Misri itakuwa ukiwa, na Edomu itakuwa
jangwa tupu, kwa sababu ya dhuluma
waliowatenda wana wa Yuda; kwa sababu
wamemwaga damu isiyo na hatia katika nchi
yao.
20 Bali Yuda atadumu milele, na Yerusalemu
tangu kizazi hata kizazi.
21 Nami nitaitakasa damu yao ambayo
sijaitakasa; kwa maana Bwana ndiye akaaye
Sayuni.
DANIELI 12:1 Wakati huo Mikaeli
atasimama, jemadari mkuu, asimamaye
upande wa wana wa watu wako; na
kutakuwa na wakati wa taabu, mfano
wake haukuwapo tangu lilipoanza kuwapo
taifa hata wakati uo huo; na wakati huo
watu wako wataokolewa; kila mmoja
atakayeonekana ameandikwa katika kitabu
kile.
MIKA 4:7 Nami nitamfanya yeye
aliyechechemea kuwa mabaki, na yeye
aliyetupwa mbali kuwa taifa lenye nguvu,
na Bwana atawamiliki katika mlima Sayuni
tangu sasa na hata milele.
ZEKARIA 13:1 Katika siku hiyo watu
wa nyumba ya Daudi, na wenyeji wa
Yerusalemu, watafunguliwa chemchemi kwa
dhambi na kwa unajisi.
YOHANA 4:13 Yesu akajibu, akamwambia,
Kila anywaye maji haya ataona kiu tena;
14 walakini ye yote atakayekunywa maji yale
nitakayompa mimi hataona kiu milele; bali
yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake
chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa
milele.
UFUNUO WA YOHANA 21:3 Nikasikia
sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha
enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu
ni pamoja na wanadamu, naye atafanya
maskani yake pamoja nao, nao watakuwa
watu wake. Naye Mungu mwenyewe
atakuwa pamoja nao.
UFUNUO WA YOHANA 21:6
Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa
na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi
nitampa yeye mwenye kiu, ya chemchemi ya
maji ya uzima, bure.
UFUNUO WA YOHANA 21:27 Na ndani
yake hakitaingia kamwe cho chote kilicho
kinyonge, wala yeye afanyaye machukizo na
uongo, bali wale walioandikwa katika kitabu
cha uzima cha Mwana-Kondoo.
UFUNUO WA YOHANA 22:1 Kisha
YOELI
348
akanionyesha mto wa maji ya uzima, wenye
kung›aa kama bilauri, ukitoka katika kiti cha
enzi cha Mungu, na cha Mwana-Kondoo,
2 katikati ya njia kuu yake. Na upande huu na
upande huu wa ule mto, ulikuwapo mti wa
uzima, uzaao matunda, aina kumi na mbili,
wenye kutoa matunda yake kila mwezi; na
majani ya mti huo ni ya kuwaponya mataifa.
3 Wala hapatakuwa na laana yo yote tena. Na
kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-
Kondoo kitakuwamo ndani yake. Na
watumwa wake watamtumikia;
Ona pia: #1; #2; #3; #5; Kumbukumbu la Torati 30:3; 2 Mambo ya Nyakati 6:36-39; Isaya 4:3-6; Isaya 11:11-16; Isaya 19:1-15;
Isaya 33:20-22; Isaya 41:17-20; Isaya 52:1; Isaya 55:12,13; Yeremia 16:15,16; Yeremia 23:3-8; Yeremia 30:3,18; Yeremia 31:23-25;
Yeremia 49:17; Maombolezo 4:21,22; Ezekieli 35:1-15; Ezekieli 36:25-38; Ezekieli 37:21-28; Ezekieli 39:25-29; Ezekieli 43:12; Ezekieli 47:1-12; Yoeli 2:27; Amosi 9:13-15; Sefania 3:14-20;
Zekaria 8:3; Zekaria 10:10-12; Zekaria 14:8,9,18-21; Malaki 1:3,4.
YOELI
349
F08 Maelezo ya kifo cha Masiha.
AMOSI 8:9 Tena itakuwa siku hiyo,
asema Bwana MUNGU, nitalifanya jua litue
wakati wa adhuhuri, nami nitaitia nchi giza
wakati wa nuru ya mchana.
MATHAYO 27:45 Basi tangu saa sita palikuwa
na giza juu ya nchi yote hata saa tisa.
Ona pia: Amosi 4:13; Amosi 5:8.
E22 Kazi ya Masiha itakuwa imebarikiwa.
AMOSI 8:11 Angalia, siku zinakuja,
asema Bwana MUNGU, ambazo nitaleta
njaa katika nchi; si njaa ya kukosa chakula,
wala kiu ya kukosa maji, bali ya kukosa
kuyasikia maneno ya Bwana.
MATHAYO 4:25 Na makutano mengi
wakamfuata, kutoka Galilaya, na Dekapoli,
na Yerusalemu, na Uyahudi, na ng›ambo ya
Yordani
MATHAYO 7:28 Ikawa, Yesu alipoyamaliza
maneno hayo, makutano walishangaa mno
kwa mafundisho yake;
MATHAYO 8:1 Naye aliposhuka mlimani,
makutano mengi walimfuata.
MATHAYO 9:36 Na alipowaona makutano,
aliwahurumia, kwa sababu walikuwa
wamechoka na kutawanyika kama kondoo
wasio na mchungaji.
MATHAYO 12:23 Makutano wote
wakashangaa, wakasema, Huyu siye mwana
wa Daudi?
MATHAYO 13:34 Hayo yote Yesu aliwaambia
makutano kwa mifano; wala pasipo mfano
hakuwaambia neno;
MATHAYO 21:11 Makutano wakasema, Huyu
ni yule nabii, Yesu, wa Nazareti ya Galilaya.
MATHAYO 22:33 Na makutano waliposikia,
walishangaa kwa mafunzo yake.
Ona pia: Mathayo 9:33; Mathayo 12:15; Mathayo 13:2; Mathayo 14:13; Mathayo 15:30,31; Marko 10:1; Luka 4:42; Luka 5:15; Luka
9:11.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
E20 Masiha ataweka agano jipya.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
AMOSI 9:11 Siku hiyo nitaiinua tena
maskani ya Daudi iliyoanguka, na kuziba
mahali palipobomoka; nami nitayainua
magofu yake, na kuyajenga kama siku za
kale;
12 wapate kuyamiliki mabaki ya Edomu, na
mataifa yote yaitwayo kwa jina langu, asema
Bwana, afanyaye hayo.
13 Angalieni, siku zinakuja, asema Bwana,
ambazo huyo alimaye atamfikilia avunaye,
na yeye akanyagaye zabibu atamfikilia
apandaye mbegu; nayo milima itadondoza
divai tamu, na vilima vyote vitayeyuka.
14 Nami nitawarejeza tena watu wangu Israeli
waliohamishwa, nao wataijenga miji
iliyoachwa maganjo, na kukaa ndani yake;
nao watapanda mizabibu katika mashamba,
na kunywa divai yake; nao watafanyiza
bustani, na kula matunda yake.
AMOSI
350
15 Nami nitawapanda katika nchi yao, wala
hawatang›olewa tena watoke katika nchi yao
niliyowapa, asema Bwana, Mungu wako.
MATENDO YA MITUME 15:14 Simeoni
ametueleza jinsi Mungu hapo kwanza
alivyowaangalia Mataifa ili achague watu
katika hao kwa ajili ya jina lake.
15 Na maneno ya manabii yapatana na hayo,
kama ilivyoandikwa,
16 Baada ya mambo haya nitarejea, Nami
nitaijenga tena nyumba ya Daudi
iliyoanguka. Nitajenga tena maanguko yake,
Nami nitaisimamisha;
17 Ili wanadamu waliosalia wamtafute Bwana,
Na mataifa yote ambao jina langu limetajwa
kwao;
Ona pia: #1; #2; #3; #4; Isaya 11:14; Isaya 14:1,2; Obadia 1:8.
AMOSI
351
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
OBADIA 1:17 Bali katika mlima Sayuni
watakuwako wenye kuokoka, nao utakuwa
mtakatifu; na nyumba ya Yakobo watamiliki
milki zao.
18 Na nyumba ya Yakobo itakuwa moto, na
nyumba ya Yusufu itakuwa mwali wa moto,
na nyumba ya Esau itakuwa mabua makavu,
nao watawaka kati yao, na kuwateketeza;
wala hatasalia mtu awaye yote katika
nyumba ya Esau; kwa kuwa Bwana amesema
hayo.
19 Na watu wa Negebu wataumiliki mlima
wa Esau; na watu wa Shefela watawamiliki
Wafilisti; nao watalimiliki konde la Efraimu,
na konde la Samaria, na Benyamini atamiliki
Gileadi.
20 Na watu wa jeshi hili la wana wa Israeli
waliotekwa, walio kati ya Wakanaani,
watamiliki mpaka Sarepta; na hao watu wa
Yerusalemu waliotekwa, waliomo Sefaradi,
wataimiliki miji ya Negebu.
21 Tena waokozi watakwea juu ya mlima
Sayuni ili kuuhukumu mlima wa Esau; na
huo ufalme utakuwa ni mali ya Bwana.
ZABURI 2:6 Nami nimemweka mfalme
wangu Juu ya Sayuni, mlima wangu
mtakatifu.
ZABURI 102:15 Kisha mataifa wataliogopa
jina la Bwana, Na wafalme wote wa dunia
utukufu wako;
ISAYA 24:23 Ndipo mwezi utatahayari,
na jua litaona haya; kwa kuwa Bwana wa
majeshi atatawala katika mlima wa Sayuni,
na katika Yerusalemu, na mbele ya wazee
wake kwa utukufu.
LUKA 1:32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa
Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu
atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
WAEBRANIA 12:22 Bali ninyi
mmeufikilia mlima Sayuni, na mji wa
Mungu aliye hai, Yerusalemu wa mbinguni,
na majeshi ya malaika elfu nyingi,
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 14:1 Kisha
nikaona, na tazama, huyo Mwana-Kondoo
amesimama juu ya mlima Sayuni, na
watu mia na arobaini na nne elfu pamoja
naye, wenye jina lake na jina la Baba yake
limeandikwa katika vipaji vya nyuso zao.
UFUNUO WA YOHANA 21:27 Na ndani
yake hakitaingia kamwe cho chote kilicho
kinyonge, wala yeye afanyaye machukizo na
uongo, bali wale walioandikwa katika kitabu
cha uzima cha Mwana-Kondoo.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5.
OBADIA
352
G01 Kufufuka kwa Masiha kunatabiriwa.
YONA 1:17 Bwana akaweka tayari
samaki mkubwa ili ammeze Yona, naye
Yona akawa ndani ya tumbo la samaki yule
muda wa siku tatu, mchana na usiku.
YONA 2:2 Akasema, Nalimlilia Bwana
kwa sababu ya shida yangu, Naye akaniitikia;
Katika tumbo la kuzimu naliomba, Nawe
ukasikia sauti yangu.
3 Maana ulinitupa vilindini, Ndani ya moyo
wa bahari; Gharika ya maji ikanizunguka
pande zote; Mawimbi yako yote na gharika
zako zote zimepita juu yangu.
4 Nami nikasema, Nimetupwa mbali na
macho yako; Lakini nitatazama tena kukabili
hekalu lako takatifu.
5 Maji yalinizunguka, hata nafsini mwangu;
Vilindi vilinizunguka; Mwani ulikizinga
kichwa changu;
6 Nalishuka hata pande za chini za milima;
Hiyo nchi na mapingo yake yalinifunga hata
milele; Lakini umeipandisha nafsi yangu
kutoka shimoni, Ee Bwana, Mungu wangu,
7 Roho yangu ilipozimia ndani yangu,
Nalimkumbuka Bwana; Maombi yangu
yakakuwasilia, Katika hekalu lako takatifu.
MATHAYO 12:39 Akajibu, akawaambia, Kizazi
kibaya na cha zinaa chatafuta ishara, wala
hakitapewa ishara, ila ishara ya nabii Yona.
40 Kwani kama vile Yona alivyokuwa siku
tatu mchana na usiku katika tumbo la
nyangumi, hivyo ndivyo Mwana wa Adamu
atakavyokuwa siku tatu mchana na usiku
katika moyo wa nchi.
41 Watu wa Ninawi watasimama siku ya
hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki,
nao watawahukumu kuwa wamekosa; kwa
sababu wao walitubu kwa mahubiri ya Yona;
na hapa yupo aliye mkuu kuliko Yona.
MATHAYO 16:4 Kizazi kibaya na cha zinaa
chataka ishara; wala hakitapewa ishara,
isipokuwa ishara ya Yona. Akawaacha,
akaenda zake.
Ona pia: Mwanzo 22:4; 2 Wafalme 20:8; Zaburi 27:13; Zaburi 42:7; Zaburi 66:11,12; Zaburi 68:20; Zaburi 69:1,2.
YONA
353
B06 Masiha ndiye Mchungaji mwema.
B16 Uweza na nguvu ya Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
MIKA 2:12 Hakika nitakukusanya, Ee
Yakobo, nyote pia; Bila shaka nitawakusanya
waliobaki wa Israeli; Nitawaweka pamoja
kama kondoo wa Bozra; Kama kundi la
kondoo kati ya malisho yao; Watafanya
mvumo kwa wingi wa watu;
13 Avunjaye amekwea juu mbele yao;
Wamebomoa mahali, wakapita mpaka
langoni, Wakatoka nje huko; Mfalme wao
naye amepita akiwatangulia, Naye Bwana
ametangulia mbele yao.
ISAYA 42:13 Bwana atatokea kama shujaa;
Ataamsha wivu kama mtu wa vita; Atalia,
naam, atapiga kelele; Atawatenda adui zake
mambo makuu.
ISAYA 55:4 Angalieni, nimemweka kuwa
shahidi kwa kabila za watu; kuwa kiongozi
na jemadari kwa kabila za watu.
1 WAKORINTHO 15:25 Maana sharti
amiliki yeye, hata awaweke maadui wake
wote chini ya miguu yake.
WAEBRANIA 2:9 ila twamwona yeye
aliyefanywa mdogo punde kuliko malaika,
yaani, Yesu, kwa sababu ya maumivu
ya mauti, amevikwa taji ya utukufu na
heshima, ili kwa neema ya Mungu aionje
mauti kwa ajili ya kila mtu.
10 Kwa kuwa ilimpasa yeye, ambaye kwa
ajili yake na kwa njia yake vitu vyote
vimekuwapo, akileta wana wengi waufikilie
utukufu, kumkamilisha kiongozi mkuu wa
wokovu wao kwa njia ya mateso.
WAEBRANIA 2:14 Basi, kwa kuwa watoto
wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo
hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya
mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za
mauti, yaani, Ibilisi,
15 awaache huru wale ambao kwamba maisha
yao yote kwa hofu ya mauti walikuwa katika
hali ya utumwa.
WAEBRANIA 6:20 alimoingia Yesu kwa
ajili yetu, mtangulizi wetu, amekuwa
kuhani mkuu hata milele kwa mfano wa
Melkizedeki.
UFUNUO WA YOHANA 6:2
Nikaona, na tazama, farasi mweupe, na yeye
aliyempanda ana uta, akapewa taji, naye
akatoka, ali akishinda tena apate kushinda.
UFUNUO WA YOHANA 7:17 Kwa
maana huyo Mwana-Kondoo, aliye katikati
ya kiti cha enzi, atawachunga, naye
atawaongoza kwenye chemchemi za maji
yenye uhai, na Mungu atayafuta machozi
yote katika macho yao.
UFUNUO WA YOHANA 17:14 Hawa
watafanya vita na Mwana-Kondoo, na
Mwana Kondoo atawashinda, kwa maana
Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa
Wafalme, na hao walio pamoja naye ndio
walioitwa, na wateule, na waaminifu.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Yohana 10:27-30; Ufunuo wa Yohana 19:13-17.
MIKA
354
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
MIKA 4:1 Lakini itakuwa katika siku za
mwisho, ya kwamba mlima wa nyumba ya
Bwana utawekwa imara juu ya milima, nao
utainuliwa juu ya vilima; na watu wa mataifa
watauendea makundi makundi.
2 Na mataifa mengi watakwenda na kusema,
Njoni, twende juu mlimani kwa Bwana,
na nyumbani kwa Mungu wa Yakobo; naye
atatufundisha njia zake, nasi tutakwenda
katika mapito yake; kwa maana katika
Sayuni itatoka sheria, na neno la Bwana
litatoka Yerusalemu.
3 Naye atafanya hukumu kati ya watu wa
kabila nyingi, naye atawakemea mataifa
wenye nguvu walio mbali; nao watafua
panga zao ziwe majembe, na mikuki yao iwe
miundu; taifa halitainua upanga juu ya taifa
lingine, wala hawatajifunza vita tena kamwe.
4 Bali wataketi kila mtu chini ya mzabibu
wake, na chini ya mtini wake; wala hapana
mtu atakayewatia hofu; kwa kuwa kinywa
cha Bwana wa majeshi kimesema hivi.
7 Nami nitamfanya yeye aliyechechemea kuwa
mabaki, na yeye aliyetupwa mbali kuwa taifa
lenye nguvu, na Bwana atawamiliki katika
mlima Sayuni tangu sasa na hata milele.
ISAYA 2:2 Na itakuwa katika siku
za mwisho, mlima wa nyumba ya Bwana
utawekwa imara juu ya milima, nao
utainuliwa juu ya vilima; na mataifa yote
watauendea makundi makundi.
3 Na mataifa mengi watakwenda na kusema,
Njoni, twende juu mlimani kwa Bwana,
nyumbani kwa Mungu wa Yakobo, naye
atatufundisha njia zake, nasi tutakwenda
katika mapito yake maana katika Sayuni
itatoka sheria, na neno la Bwana katika
Yerusalemu.
4 Naye atafanya hukumu katika mataifa
mengi, atawakemea watu wa kabila
nyingi; nao watafua panga zao ziwe
majembe, na mikuki yao iwe miundu; taifa
halitainua upanga juu ya taifa lingine, wala
hawatajifunza vita tena kamwe.
5 Enyi wa nyumba ya Israeli, njoni, twende
katika nuru ya Bwana.
LUKA 1:33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo
hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna
mwisho.
MATENDO YA MITUME 17:31 Kwa
maana ameweka siku atakayowahukumu
walimwengu kwa haki, kwa mtu yule
aliyemchagua; naye amewapa watu wote
uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua
katika wafu.
WARUMI 11:5 Basi ni vivi hivi wakati huu
wa sasa, yako mabaki waliochaguliwa kwa
neema.
6 Lakini ikiwa ni kwa neema, haiwi kwa
matendo tena, au hapo neema isingekuwa
neema.
WARUMI 11:25 Kwa maana, ndugu zangu,
sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa
wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu
umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa
Mataifa uwasili.
26 Hivyo Israeli wote wataokoka; kama
ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka
Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake.
27 Na hili ndilo agano langu nao,
MIKA
355
Nitakapowaondolea dhambi zao.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Mathayo 25:31,32; Yohana 5:22-29; Matendo ya Mitume 4:32-35.
F13 Maelezo ya mateso ya Masiha.
MIKA 5:1 Sasa utajikusanya vikosi
vikosi, Ee binti wa vikosi; yeye amemhusuru;
watampiga mwamuzi wa Israeli shavuni
mwake kwa fimbo.
MATHAYO 26:67 Ndipo wakamtemea mate
ya uso, wakampiga makonde; wengine
wakampiga makofi,
68 wakisema, Ewe Kristo, tufumbulie; ni nani
aliyekupiga?
Ona pia: Isaya 33:22; Maombolezo 3:30; Mathayo 27:30; Yohana 18:22; Yohana 19:3.
A04 Masiha amekuwepo tangu milele.
C03 Mahali pa kuzaliwa kwa Masiha.
MIKA 5:2 Bali wewe, Bethlehemu
Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa
elfu za Yuda; kutoka kwako wewe atanitokea
mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli;
ambaye matokeo yake yamekuwa tangu
zamani za kale, tangu milele.
MATHAYO 2:4 Akakusanya wakuu wa
makuhani wote na waandishi wa watu,
akatafuta habari kwao, Kristo azaliwa wapi?
5 Nao wakamwambia, Katika Bethlehemu ya
Uyahudi; kwa maana ndivyo ilivyoandikwa
na nabii,
6 Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda,
Hu mdogo kamwe katika majumbe wa
Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala
Atakayewachunga watu wangu Israeli.
LUKA 1:31 Tazama, utachukua mimba
na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake
utamwita Yesu.
32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa
Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha
enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
LUKA 2:4 Yusufu naye aliondoka
Galilaya, toka mji wa Nazareti, akapanda
kwenda Uyahudi mpaka mji wa Daudi,
uitwao Bethlehemu, kwa kuwa yeye ni wa
mbari na jamaa ya Daudi;
5 ili aandikwe pamoja na Mariamu mkewe,
ambaye amemposa, naye ana mimba.
6 Ikawa, katika kukaa huko, siku zake za
kuzaa zikatimia,
7 akamzaa mwanawe, kifungua mimba,
akamvika nguo za kitoto, akamlaza
katika hori ya kulia ng›ombe, kwa sababu
hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.
YOHANA 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako
Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu,
naye Neno alikuwa Mungu.
YOHANA 7:41 Wengine walisema, Huyu
ndiye Kristo. Wengine wakasema, Je! Kristo
MIKA
356
atoka Galilaya?
42 Andiko halikusema ya kwamba Kristo
atoka katika uzao wa Daudi, na kutoka
Bethlehemu, mji ule alioukaa Daudi?
1 PETRO 1:20 Naye amejulikana kweli
tangu zamani, kabla haijawekwa misingi ya
dunia; lakini alifunuliwa mwisho wa zamani
kwa ajili yenu;
21 ambao kwa yeye mmekuwa wenye
kumwamini Mungu, aliyemfufua katika
wafu akampa utukufu; hata imani yenu na
tumaini lenu liwe kwa Mungu.
Ona pia: Ruthu 4:11; 1 Mambo ya Nyakati 4:4; Zaburi 102:25-27; Zaburi 132:6; Mithali 8:22-31; Isaya 9:6,7; Isaya 11:1; Isaya 53:2;
Ezekieli 17:22-24; Ezekieli 34:23,24; Ezekieli 37:22-25; Amosi 9:11; Zekaria 9:9; Luka 23:38; Yohana 1:1-3; Yohana 19:14-22;
Waebrania 13:8; Yohana 1:1; Ufunuo wa Yohana 1:11-18; Ufunuo wa Yohana 19:16; Ufunuo wa Yohana 21:6.
B12 Ukamilifu wa Masiha.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
MIKA 5:3 Kwa sababu hiyo atawatoa,
hata wakati wa kuzaa kwake aliye na utungu;
ndipo hayo mabaki ya nduguze watawarudia
wana wa Israeli.
4 Naye atasimama, na kulisha kundi lake kwa
nguvu za Bwana, kwa enzi ya jina la Bwana,
Mungu wake; nao watakaa; maana sasa
atakuwa mkuu hata miisho ya dunia.
MATHAYO 1:21 Naye atazaa mwana, nawe
utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye
atakayewaokoa watu wake na dhambi zao.
LUKA 1:32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa
Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu
atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake.
YOHANA 10:16 Na kondoo wengine ninao,
ambao si wa zizi hili; na hao nao imenipasa
kuwaleta; na sauti yangu wataisikia; kisha
kutakuwako kundi moja na mchungaji
mmoja.
YOHANA 10:27 Kondoo wangu waisikia sauti
yangu; nami nawajua, nao wanifuata.
28 Nami nawapa uzima wa milele; wala
hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu
atakayewapokonya katika mkono wangu.
29 Baba yangu aliyenipa hao ni mkuu
kuliko wote; wala hakuna mtu awezaye
kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
Ona pia: #1; #2; #3; Mathayo 25:31; Yohana 14:9-11; 2 Wakorintho 6:16; Ufunuo wa Yohana 1:13-18; Ufunuo wa Yohana
12:1,2.
B04 Sifa za Uungu za Masiha.
E24 Masiha ataleta amani.
MIKA 5:5 Na mtu huyu atakuwa amani
yetu;
YOHANA 14:27 Amani nawaachieni; amani
yangu nawapa; niwapavyo mimi sivyo kama
ulimwengu utoavyo. Msifadhaike mioyoni
mwenu, wala msiwe na woga.
WARUMI 16:20 Naye Mungu wa amani
atamseta Shetani chini ya miguu yenu upesi.
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na iwe
MIKA
357
pamoja nanyi. [Amina.]
WAEFESO 2:14 Kwa maana yeye ndiye
amani yetu, aliyetufanya sisi sote tuliokuwa
wawili kuwa mmoja; akakibomoa kiambaza
cha kati kilichotutenga.
WAKOLOSAI 1:20 na kwa yeye kuvipatanisha
vitu vyote na nafsi yake akiisha kufanya
amani kwa damu ya msalaba wake; kwa
yeye, ikiwa ni vitu vilivyo juu ya nchi, au
vilivyo mbinguni.
WAEBRANIA 13:20 Basi, Mungu wa
amani aliyemleta tena kutoka kwa wafu
Mchungaji Mkuu wa kondoo, kwa damu ya
agano la milele, yeye Bwana wetu Yesu,
Ona pia: Zaburi 72:7; Isaya 9:6,7; Luka 2:14; Yohana 14:27; Yohana 16:33; Warumi 3:17; 2 Wakorintho 13:11; Waefeso 2:14-17; Wafilipi 4:9; 1 Wathesalonike 5:23; 2 Wathesalonike 3:16;
Waebrania 7:2.
E21 Masiha atasamehe dhambi.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
MIKA 7:15 Kama katika siku zile
za kutoka kwako katika nchi ya Misri
nitamwonyesha mambo ya ajabu.
16 Mataifa wataona, na kuzitahayarikia nguvu
zao zote; wataweka mikono yao juu ya
vinywa vyao, masikio yao yatakuwa na uziwi.
17 Watayaramba mavumbi kama nyoka, kama
vitu vitambaavyo juu ya nchi watatoka
katika mahali walimojificha, wakitetemeka;
watakuja kwa Bwana, Mungu wetu, kwa
hofu, nao wataogopa kwa sababu yako.
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe, mwenye
kusamehe uovu, na kuliachilia kosa la watu
wa urithi wake waliosalia? Hashiki hasira
yake milele, kwa maana yeye hufurahia
rehema.
19 Atarejea na kutuhurumia; atayakanyaga
maovu yetu; nawe utazitupa dhambi zao
zote katika vilindi vya bahari.
20 Wewe utamtimilizia Yakobo kweli yako, na
Ibrahimu rehema zako, ulizowaapia baba
zetu tangu siku za kale.
2 MAMBO YA NYAKATI 7:14 ikiwa
watu wangu, walioitwa kwa jina langu,
watajinyenyekesha, na kuomba, na
kunitafuta uso, na kuziacha njia zao
mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na
kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi
yao.
ISAYA 55:7 Mtu mbaya na aache njia
yake, Na mtu asiye haki aache mawazo yake;
Na amrudie Bwana, Naye atamrehemu; Na
arejee kwa Mungu wetu, Naye atamsamehe
kabisa.
MAOMBOLEZO 3:32 Maana
ajapomhuzunisha atamrehemu, Kwa kadiri
ya wingi wa huruma zake.
HOSEA 3:5 baada ya hayo wana wa
Israeli watarejea, na kumtafuta Bwana,
Mungu wao, na Daudi, mfalme wao; nao
watamwendea Bwana na wema wake kwa
kicho siku za mwisho.
ZEKARIA 10:6 Nami nitaitia nguvu nyumba
ya Yuda, nami nitaiokoa nyumba ya Yusufu,
nami nitawarudisha, kwa maana nawaonea
rehema; nao watakuwa kana kwamba
sikuwatupa; kwa maana mimi ni Bwana,
Mungu wao, nami nitawasikia.
MIKA
358
MATHAYO 18:21 Kisha Petro akamwendea
akamwambia, Bwana, ndugu yangu anikose
mara ngapi nami nimsamehe? Hata mara
saba?
22 Yesu akamwambia, Sikuambii hata mara
saba, bali hata saba mara sabini.
LUKA 7:49 Ndipo wale walioketi
chakulani pamoja naye walianza kusema
mioyoni mwao, Ni nani huyu hata asamehe
dhambi?
WAEBRANIA 10:16 Hili ni agano
nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena
Bwana, Nitatia sheria zangu mioyoni mwao,
Na katika nia zao nitaziandika; ndipo
anenapo,
17 Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena
kabisa.
1 PETRO 2:10 ninyi mliokuwa kwanza si
taifa, bali sasa ni taifa la Mungu; mliokuwa
hamkupata rehema, bali sasa mmepata
rehema.
Ona pia: #1; #2; #3; #5; Zaburi 103:3.
MIKA
359
C01 Kuzaliwa kwa Masiha kunatabiriwa.
H01 Kurudi kwa Masiha kunatabiriwa.
HABAKUKI 2:3 Maana njozi hii bado ni
kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili
kuufikilia mwisho wake, wala haitasema
uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina
budi kuja, haitakawia.
ZABURI 130:5 Nimemngoja Bwana,
roho yangu imengoja, Na neno lake
nimelitumainia.
6 Nafsi yangu inamngoja Bwana, Kuliko
walinzi waingojavyo asubuhi, Naam, walinzi
waingojao asubuhi.
ISAYA 8:17 Nami nitamngojea Bwana,
awafichaye uso wake nyumba ya Yakobo,
nami nitamtazamia.
ISAYA 46:13 Mimi ninaleta karibu haki
yangu, haitakuwa mbali, na wokovu wangu
hautakawia; nami nitaweka wokovu katika
Sayuni kwa ajili ya Israeli, utukufu wangu.
LUKA 18:7 Na Mungu, je! Hatawapatia
haki wateule wake wanaomlilia mchana na
usiku, naye ni mvumilivu kwao?
8 Nawaambia, atawapatia haki upesi; walakini,
atakapokuja Mwana wa Adamu, je! Ataiona
imani duniani?
WAEBRANIA 10:37 Kwa kuwa bado
kitambo kidogo sana, Yeye ajaye atakuja,
wala hatakawia.
2 PETRO 3:9 Bwana hakawii kuitimiza
ahadi yake, kama wengine wanavyokudhani
kukawia, bali huvumilia kwenu, maana
hapendi mtu ye yote apotee, bali wote
wafikilie toba.
Ona pia: Zaburi 27:14; Isaya 30:18; Maombolezo 3:25,26; Mika 7:7; Luka 2:25; 2 Wathesalonike 2:6-8; Yakobo 5:7,8.
E25 asiha ataaminiwa na kusifiwa.
HABAKUKI 2:4 Tazama, roho yake hujivuna,
haina unyofu ndani yake; lakini mwenye
haki ataishi kwa imani yake.
WARUMI 1:17 Kwa maana haki ya Mungu
inadhihirishwa ndani yake, toka imani hata
imani; kama ilivyoandikwa, Mwenye haki
ataishi kwa imani.
WAGALATIA 2:16 hali tukijua ya kuwa
mwanadamu hahesabiwi haki kwa matendo
ya sheria, bali kwa imani ya Kristo Yesu; sisi
tulimwamini Kristo Yesu ili tuhesabiwe haki
kwa imani ya Kristo, wala si kwa matendo
ya sheria; maana kwa matendo ya sheria
hakuna mwenye mwili atakayehesabiwa
haki.
WAGALATIA 3:11 Ni dhahiri ya kwamba
hakuna mtu ahesabiwaye haki mbele za
Mungu katika sheria; kwa sababu Mwenye
haki ataishi kwa imani.
12 Na torati haikuja kwa imani, bali,
Ayatendaye hayo ataishi katika hayo.
WAEBRANIA 10:38 Lakini mwenye
haki wangu ataishi kwa imani; Naye akisita-
sita, roho yangu haina furaha naye.
Ona pia: Isaya 53:11; Yeremia 23:5; Mathayo 27:19; Matendo ya Mitume 3:14; Matendo ya Mitume 22:14; Yohana 2:1; Yohana
5:10-12.
HABAKUKI
360
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
HABAKUKI 2:14 Kwa maana dunia itajazwa
maarifa ya utukufu wa Bwana, kama maji
yaifunikavyo bahari.
ISAYA 11:9 Hawatadhuru wala
hawataharibu katika mlima wangu wote
mtakatifu; maana dunia itajawa na kumjua
Bwana, kama vile maji yanavyoifunika
bahari.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 15:4 Ni
nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza
jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako
u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote
watakuja na kusujudu mbele zako; kwa
kuwa matendo yako ya haki yamekwisha
kufunuliwa.
Ona pia: #1; Zaburi 67:1-7; Zaburi 72:19; Zaburi 86:9; Zaburi 98:1-8; Isaya 6:3.
HABAKUKI
361
D05 Masiha atakuwa Mkombozi.
E18 Mungu ataishi miongoni mwa watu Wake.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
SEFANIA 3:9 Maana hapo ndipo
nitakapowarudishia mataifa lugha iliyo safi,
wapate kuliitia jina la Bwana, wamtumikie
kwa nia moja.
SEFANIA 3:10-11
SEFANIA 3:12 Lakini nitasaza ndani
yako watu walioonewa na maskini, nao
watalitumainia jina la Bwana.
13 Mabaki ya Israeli hawatatenda uovu, wala
kusema uongo; wala ulimi wa hadaa
hautaonekana kinywani mwao; kwa maana
watakula na kulala, wala hapana mtu
atakayewaogofya.
14 Imba, Ee binti Sayuni; piga kelele, Ee Israeli;
Furahi na kushangilia kwa moyo wako wote,
Ee binti Yerusalemu.
15 Bwana ameziondoa hukumu zako,
Amemtupa nje adui yako; Mfalme wa
Israeli, naam, yeye Bwana, yu katikati yako;
Hutaogopa uovu tena.
16 Katika siku ile Yerusalemu utaambiwa,
Usiogope, Ee Sayuni; mikono yako isilegee.
17 Bwana, Mungu wako, yu katikati yako
shujaa awezaye kuokoa; Atakushangilia kwa
furaha kuu, Atakutuliza katika upendo wake,
Atakufurahia kwa kuimba.
SEFANIA 3:18-19
SEFANIA 3:20 Wakati huo nitawaingizeni,
na wakati huo nitawakusanya; kwa
maana nitawafanya ninyi kuwa sifa na
jina, miongoni mwa watu wote wa dunia,
nitakapowarudisha wafungwa wenu mbele
ya macho yenu, asema Bwana.
EZEKIELI 37:24 Na mtumishi wangu,
Daudi, atakuwa mfalme juu yao, nao wote
watakuwa na mchungaji mmoja; nao
wataenenda katika hukumu zangu, na
kuzishika amri zangu, na kuzitenda.
25 Nao watakaa katika nchi niliyompa Yakobo,
mtumishi wangu, walimokaa baba zenu;
nao watakaa humo, wao na watoto wao, na
watoto wa watoto wao, milele; na Daudi,
mtumishi wangu, atakuwa mkuu wao
milele.
MATHAYO 21:9 Na makutano waliotangulia,
na wale waliofuata, wakapaza sauti,
wakisema, Hosana, Mwana wa Daudi; ndiye
mbarikiwa, yeye ajaye kwa jina la Bwana;
Hosana juu mbinguni.
MATHAYO 26:61 Hata baadaye wawili
wakatokea, wakasema, Huyu alisema,
Naweza kulivunja hekalu la Mungu, na
kulijenga kwa siku tatu.
62 Kisha Kuhani Mkuu akasimama
akamwambia, Hujibu neno? Hawa
wanakushuhudia nini?
63 Lakini, Yesu akanyamaza. Kuhani Mkuu
akamwambia, Nakuapisha kwa Mungu aliye
hai, utuambie kama wewe ndiwe Kristo,
Mwana wa Mungu.
MATHAYO 27:12 Lakini aliposhitakiwa na
wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu
hata neno.
13 Ndipo Pilato akamwambia, Husikii ni
mambo mangapi wanayokushuhudia?
14 Asimjibu hata neno moja, hata liwali
akastaajabu sana.
LUKA 4:18 Roho wa Bwana yu juu
yangu, Kwa maana amenitia mafuta
SEFANIA
362
kuwahubiri maskini habari njema.
Amenituma kuwatangazia wafungwa
kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona
tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
19 Na kutangaza mwaka wa Bwana
uliokubaliwa.
LUKA 24:47 na kwamba mataifa yote
watahubiriwa kwa jina lake habari ya
toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu
Yerusalemu.
YOHANA 13:1 Basi, kabla ya sikukuu ya
Pasaka, Yesu, hali akijua ya kuwa saa yake
imefika, atakayotoka katika ulimwengu
kwenda kwa Baba, naye ali amewapenda
watu wake katika ulimwengu, aliwapenda
upeo.
YOHANA 15:11 Hayo nimewaambia, ili
furaha yangu iwe ndani yenu, na furaha
yenu itimizwe.
12 Amri yangu ndiyo hii, Mpendane, kama
nilivyowapenda ninyi.
13 Hakuna aliye na upendo mwingi kuliko huu,
wa mtu kuutoa uhai wake kwa ajili ya rafiki
zake.
WARUMI 8:37 Lakini katika mambo hayo
yote tunashinda, na zaidi ya kushinda, kwa
yeye aliyetupenda.
UFUNUO WA YOHANA 15:4 Ni
nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza
jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako
u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote
watakuja na kusujudu mbele zako; kwa
kuwa matendo yako ya haki yamekwisha
kufunuliwa.
UFUNUO WA YOHANA 19:1 Baada ya
hayo nikasikia sauti kama sauti ya makutano
mengi, sauti kubwa mbinguni, ikisema,
Haleluya; wokovu na utukufu na nguvu zina
BWANA MUNGU wetu.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Isaya 62:1-7; Isaya 65:19; Yeremia 32:41; Mathayo 28:18,19; Matendo ya Mitume 6:7; Matendo ya
Mitume 9:15; Ufunuo wa Yohana 19:7.
SEFANIA
363
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
HAGAI 2:6 Kwa maana Bwana wa
majeshi asema hivi, Mara moja tena, ni
kitambo kidogo tu, nami nitazitikisa hizo
mbingu, na hii nchi, na bahari, na nchi
kavu;
7 nami nitatikisa mataifa yote, na vitu
vinavyotamaniwa na mataifa yote vitakuja;
nami nitaijaza nyumba hii utukufu, asema
Bwana wa majeshi.
8 Fedha ni mali yangu, na dhahabu ni mali
yangu, asema Bwana wa majeshi.
9 Utukufu wa mwisho wa nyumba hii
utakuwa mkuu kuliko utukufu wake wa
kwanza, asema Bwana wa majeshi; na katika
mahali hapa nitawapa amani, asema Bwana
wa majeshi.
MWANZO 49:10 Fimbo ya enzi haitaondoka
katika Yuda, Wala mfanya sheria kati ya
miguu yake, Hata atakapokuja Yeye, mwenye
milki, Ambaye mataifa watamtii.
YOHANA 1:14 Naye Neno alifanyika mwili,
akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake,
utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa
Baba; amejaa neema na kweli.
WARUMI 14:17 Maana ufalme wa Mungu si
kula wala kunywa, bali ni haki na amani na
furaha katika Roho Mtakatifu.
2 WAKORINTHO 3:9 Kwa maana ikiwa
huduma ya adhabu ina utukufu, siuze
huduma ya haki ina utukufu unaozidi.
10 Maana hata ile iliyotukuzwa haikuwa na
utukufu hivi, kwa sababu ya utukufu uzidio
sana.
UFUNUO WA YOHANA 21:2 Nami
nikauona mji ule mtakatifu, Yerusalemu
mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa
Mungu, umewekwa tayari, kama bibi-arusi
aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.
3 Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile
kiti cha enzi ikisema, Tazama, maskani
ya Mungu ni pamoja na wanadamu,
naye atafanya maskani yake pamoja nao,
nao watakuwa watu wake. Naye Mungu
mwenyewe atakuwa pamoja nao.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Luka 21:10,11.
C01 Kuzaliwa kwa Masiha kunatabiriwa.
HAGAI 2:23 Katika siku ile, asema
Bwana wa majeshi, nitakutwaa wewe, Ee
Zerubabeli, mtumishi wangu, mwana wa
Shealtieli, asema Bwana, nami nitakufanya
kuwa kama pete yenye muhuri; kwa kuwa
nimekuchagua, asema Bwana wa majeshi.
LUKA 3:23 Na Yesu mwenyewe,
alipoanza kufundisha, alikuwa amepata
umri wake kama miaka thelathini,
akidhaniwa kuwa ni mwana wa Yusufu, wa
Eli,
24 wa Mathati, wa Lawi, wa Melki, wa Yana, wa
Yusufu,
25 wa Matathia, wa Amosi, wa Nahumu, wa
Esli, wa Nagai,
26 wa Maathi, wa Matathia, wa Semei, wa
Yusufu, wa Yuda,
27 wa Yoana, wa Resa, wa Zerubabeli, wa
Shealtieli, wa Neri,
HAGAI
364
E17 Masiha atajenga hekalu la Mungu.
E19 Masiha atafariji.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
.
ZEKARIA 1:16 Kwa sababu hiyo Bwana
asema hivi, Ninaurudia Yerusalemu kwa
rehema nyingi; nyumba yangu itajengwa
ndani yake, asema Bwana wa majeshi, na
kamba itanyoshwa juu ya Yerusalemu.
17 Piga kelele tena, na kusema, Bwana wa
majeshi asema hivi, Miji yangu kwa
kufanikiwa itaenezwa huko na huko
tena; naye Bwana ataufariji Sayuni tena,
atauchagua Yerusalemu tena.
ISAYA 40:1 Watulizeni mioyo, watulizeni
mioyo, watu wangu, asema Mungu wenu.
2 Semeni na moyo wa Yerusalemu,
kauambieni kwa sauti kuu ya kwamba vita
vyake vimekwisha, uovu wake umeachiliwa;
kwa kuwa amepokea kwa mkono wa Bwana
adhabu maradufu kwa dhambi zake zote.
ISAYA 40:9 Wewe uuhubiriye Sayuni
habari njema, Panda juu ya mlima mrefu;
Wewe uuhubiriye Yerusalemu habari njema,
Paza sauti kwa nguvu; Paza sauti yako,
usiogope; Iambie miji ya Yuda, Tazameni,
Mungu wenu.
ISAYA 66:13 Mfano wa mtu
ambaye mama yake amfariji, ndivyo
nitakavyowafariji ninyi; nanyi mtafarijiwa
katika Yerusalemu.
MATHAYO 9:35 Naye Yesu alikuwa
akizunguka katika miji yote na vijiji,
akifundisha katika masinagogi yao, na
kuihubiri habari njema ya ufalme, na
kuponya magonjwa yote na udhaifu wa kila
aina.
LUKA 4:43 Akawaambia, Imenipasa
kuihubiri habari njema ya ufalme wa Mungu
katika miji mingine pia; maana kwa sababu
hiyo nalitumwa.
MATENDO YA MITUME 1:8 Lakini
mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu
Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi
wangu katika Yerusalemu, na katika
Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho
wa nchi.
MATENDO YA MITUME 5:16 Nayo
makutano ya watu wa miji iliyoko kandokando
ya Yerusalemu wakakutanika, wakileta
wagonjwa, nao walioudhiwa na pepo wachafu;
nao wote wakaponywa.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
E18 Mungu ataishi miongoni mwa watu Wake.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ZEKARIA 2:1-2
ZEKARIA 2:3 Na tazama, yule malaika
aliyesema nami akasimama karibu, na
malaika mwingine akatoka ili kuonana naye;
4 naye akamwambia, Piga mbio, kamwambie
kijana huyu, na kusema, Yerusalemu
utakaliwa na watu, kama vijiji visivyo na
kuta, kwa sababu ya wingi wa watu na
mifugo iliyomo ndani yake.
5 Kwa maana mimi, asema Bwana, nitakuwa
ukuta wa moto kuuzunguka pande zote,
ZEKARIA
365
nami nitakuwa huo utukufu ndani yake.
ZEKARIA 2:6-9
ZEKARIA 2:10 Imba, ufurahi, Ee binti
Sayuni; maana, tazama, ninakuja, nami
nitakaa kati yako, asema Bwana.
11 Na mataifa mengi watajiunga na Bwana
katika siku ile, nao watakuwa watu wangu;
nami nitakaa kati yako, nawe utajua ya kuwa
Bwana wa majeshi amenituma kwako.
12 Na Bwana atairithi Yuda, iwe sehemu
yake katika nchi takatifu, naye atachagua
Yerusalemu tena.
13 Nyamazeni, ninyi nyote wenye mwili, mbele
za Bwana; kwa maana ameamka, na kutoka
katika maskani yake takatifu.
ZABURI 40:7 Ndipo niliposema,
Tazama nimekuja, (Katika gombo la chuo
nimeandikiwa,)
LUKA 2:32 Nuru ya kuwa mwangaza
wa Mataifa, Na kuwa utukufu wa watu wako
Israeli.
YOHANA 8:14 Yesu akajibu, akawaambia,
Mimi ningawa ninajishuhudia mwenyewe,
ushuhuda wangu ndio kweli; kwa sababu
najua nilikotoka na niendako; lakini ninyi
hamjui nilikotoka wala niendako.
YOHANA 8:42 Yesu akawaambia, Kama
Mungu angekuwa baba yenu, mngenipenda
mimi; kwa maana nalitoka kwa Mungu,
nami nimekuja; wala sikuja kwa nafsi yangu,
bali yeye ndiye aliyenituma.
YOHANA 14:28 Mlisikia ya kwamba mimi
naliwaambia, Naenda zangu, tena naja
kwenu. Kama mngalinipenda, mngalifurahi
kwa sababu naenda kwa Baba, kwa maana
Baba ni mkuu kuliko mimi.
MATENDO YA MITUME 9:15 Lakini
Bwana akamwambia, Nenda tu; kwa maana
huyu ni chombo kiteule kwangu, alichukue
Jina langu mbele ya Mataifa, na wafalme, na
wana wa Israeli.
WARUMI 3:29 Au je! Mungu ni Mungu wa
Wayahudi tu? Siye Mungu wa Mataifa pia?
Naam, ni Mungu wa Mataifa pia;
WARUMI 11:25 Kwa maana, ndugu zangu,
sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa
wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu
umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa
Mataifa uwasili.
WARUMI 15:8 Kwa maana nasema, ya
kwamba Kristo amefanyika mhudumu
wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli
ya Mungu, kusudi azithibitishe ahadi
walizopewa baba zetu;
9 tena ili Mataifa wamtukuze Mungu kwa ajili
ya rehema zake; kama ilivyoandikwa, Kwa
hiyo nitakushukuru kati ya Mataifa, Nami
nitaliimbia jina lako.
10 Na tena anena, Furahini,Mataifa,pamoja na
watu wake.
11 Na tena, Enyi Mataifa yote,msifuni Bwana;
Enyi watu wote,mhimidini.
12 Na tena Isaya anena, Litakuwako shina la
Yese, Naye aondokeaye kuwatawala Mataifa;
Ndiye Mataifa watakayemtumaini.
WAEBRANIA 9:27 Na kama vile watu
wanavyowekewa kufa mara moja, na baada
ya kufa hukumu;
28 kadhalika Kristo naye, akiisha kutolewa
sadaka mara moja azichukue dhambi za
ZEKARIA
366
watu wengi; atatokea mara ya pili, pasipo
dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa
wokovu.
WAEBRANIA 10:7 Ndipo niliposema,
Tazama, nimekuja (katika gombo la chuo
nimeandikiwa) Niyafanye mapenzi yako,
Mungu.
UFUNUO WA YOHANA 3:11 Naja
upesi. Shika sana ulicho nacho, asije mtu
akaitwaa taji yako.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 16:15 (Tazama,
naja kama mwivi. Heri akeshaye, na
kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata
watu wakaione aibu yake.)
UFUNUO WA YOHANA 22:7 Na
tazama, naja upesi; heri yeye ayashikaye
maneno ya unabii wa kitabu hiki.
UFUNUO WA YOHANA 22:12 Tazama,
naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami,
kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo.
UFUNUO WA YOHANA 22:17 Na Roho
na Bibi-arusi wasema, Njoo! Naye asikiaye
na aseme, Njoo! Naye mwenye kiu na aje; na
yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure.
UFUNUO WA YOHANA 22:20 Yeye
mwenye kuyashuhudia haya asema, Naam;
naja upesi. Amina; na uje, Bwana Yesu.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Yohana 17:13; Matendo ya Mitume 10:45; Matendo ya Mitume 11:1,18; Waebrania 10:9; 1 Petro 5:4.
C01 Kuzaliwa kwa Masiha kunatabiriwa.
D05 Masiha atakuwa Mkombozi.
D10 Masiha atakuwa Hakimu.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ZEKARIA 3:1 Kisha akanionyesha Yoshua,
kuhani mkuu, amesimama mbele ya
malaika wa Bwana, na Shetani amesimama
mkono wake wa kuume ili kushindana naye.
2 Bwana akamwambia Shetani, Bwana na
akukemee Ewe Shetani; naam, Bwana,
aliyechagua Yerusalemu, na akukemee; je!
Hiki si kinga kilichotolewa motoni?
3 Basi, Yoshua alikuwa amevaa nguo chafu
sana, naye alikuwa akisimama mbele ya
malaika.
4 Naye huyo akajibu, akawaambia wale
waliosimama mbele yake, akisema, Mvueni
nguo hizi zenye uchafu. Kisha akamwambia
yeye, Tazama, nimekuondolea uovu wako,
nami nitakuvika mavazi ya thamani nyingi.
5 Nikasema, Na wampige kilemba kizuri
kichwani pake. Basi, wakampiga kilemba
kizuri kichwani pake, wakamvika mavazi;
naye malaika wa Bwana akasimama karibu.
ZEKARIA 3:6-7
ZEKARIA 3:8 Sikiliza sasa, Ee Yoshua,
kuhani mkuu, wewe na wenzako waketio
mbele yako; maana hao ni watu walio ishara;
kwa maana, tazama, ninamleta mtumishi
wangu, aitwaye Chipukizi.
9 Maana, litazame jiwe hili nililoliweka mbele
ya Yoshua; katika jiwe moja yako macho
ZEKARIA
367
saba; tazama, nitachora machoro yake,
asema Bwana wa majeshi, nami nitauondoa
uovu wa nchi ile katika siku moja.
10 Katika siku ile, asema Bwana wa majeshi,
ninyi mtamwalika kila mtu jirani yake chini
ya mzabibu, na chini ya mtini.
MATHAYO 22:11 Lakini alipoingia yule
mfalme ili kuwatazama wageni wake,
akaona mle mtu mmoja asiyevaa vazi la
arusi.
12 Akamwambia, Rafiki, uliingiaje humu nawe
huna vazi la arusi? Naye akatekewa.
LUKA 1:32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa
Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu
atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
WARUMI 16:20 Naye Mungu wa amani
atamseta Shetani chini ya miguu yenu upesi.
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na iwe
pamoja nanyi. [Amina.]
WAEFESO 6:11 Vaeni silaha zote za Mungu,
mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani.
12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu
ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na
mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya
majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu
wa roho.
13 Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za
Mungu, mpate kuweza kushindana siku
ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote,
kusimama.
1 YOHANA 3:8 atendaye dhambi ni wa
Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi
tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa
Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za
Ibilisi.
UFUNUO WA YOHANA 4:4 Na viti
ishirini na vinne vilikizunguka kile kiti cha
enzi, na juu ya vile viti naliona wazee ishirini
na wanne, wameketi, wamevikwa mavazi
meupe; na juu ya vichwa vyao walikuwa na
taji za dhahabu.
UFUNUO WA YOHANA 4:10 ndipo hao
wazee ishirini na wanne huanguka mbele
zake yeye aketiye juu ya kile kiti cha enzi,
nao humsujudia yeye aliye hai hata milele na
milele, nao huzitupa taji zao mbele ya kile
kiti cha enzi, wakisema,
11 Umestahili wewe, Bwana wetu na Mungu
wetu, kuupokea utukufu na heshima na
uweza; kwa kuwa wewe ndiwe uliyeviumba
vitu vyote, na kwa sababu ya mapenzi yako
vilikuwako, navyo vikaumbwa.
UFUNUO WA YOHANA 7:9 Baada
ya hayo nikaona, na tazama, mkutano
mkubwa sana ambao hapana mtu awezaye
kuuhesabu, watu wa kila taifa, na kabila, na
jamaa, na lugha, wamesimama mbele ya kile
kiti cha enzi, na mbele za Mwana-Kondoo,
wamevikwa mavazi meupe, wana matawi ya
mitende mikononi mwao;
10 wakilia kwa sauti kuu wakisema, Wokovu
una Mungu wetu aketiye katika kiti cha enzi,
na Mwana-Kondoo.
11 Na malaika wote walikuwa wakisimama
pande zote za kile kiti cha enzi, na za hao
wazee, na za wale wenye uhai wanne, nao
wakaanguka kifulifuli mbele ya kile kiti cha
enzi, wakamsujudu Mungu,
12 wakisema, Amina; Baraka na utukufu na
hekima na shukrani na heshima na uweza
ZEKARIA
368
na nguvu zina Mungu wetu hata milele na
milele. Amina.
13 Akajibu mmoja wa wale wazee akiniambia,
Je! Watu hawa waliovikwa mavazi meupe ni
akina nani? Na wametoka wapi?
14 Nikamwambia, Bwana wangu, wajua wewe.
Akaniambia, Hao ndio wanatoka katika
dhiki ile iliyo kuu, nao wamefua mavazi yao,
na kuyafanya meupe katika damu ya Mwana-
Kondoo.
UFUNUO WA YOHANA 19:8 Naye
amepewa kuvikwa kitani nzuri, ing›arayo,
safi; kwa maana kitani nzuri hiyo ni
matendo ya haki ya watakatifu.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Isaya 6:2,3; Isaya 64:6; Zekaria 6:11-13.
D03 Kazi ya Masiha kama Kuhani.
E17 Masiha atajenga hekalu la Mungu.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZEKARIA 6:12 ukamwambie, ukisema,
Bwana wa majeshi asema hivi, ya kwamba,
Tazama, mtu huyu ndiye ambaye jina lake
ni Chipukizi; naye atakua katika mahali
pake, naye atalijenga hekalu la Bwana.
13 Naam, yeye atalijenga hekalu la Bwana;
naye atauchukua huo utukufu; ataketi
akimiliki katika kiti chake cha enzi; na
kutakuwa na kuhani katika kiti chake cha
enzi; na shauri la amani litakuwa kati ya
hao wawili.
15 Nao walio mbali watakuja na kujenga katika
hekalu la Bwana, nanyi mtajua ya kuwa
Bwana wa majeshi amenituma kwenu. Na
haya yatatokea, kama mkijitahidi kuitii sauti
ya Bwana, Mungu wenu.
MATHAYO 12:6 Lakini nawaambieni,
kwamba hapa yupo aliye mkuu kuliko
hekalu.
MATHAYO 26:61 Hata baadaye wawili
wakatokea, wakasema, Huyu alisema,
Naweza kulivunja hekalu la Mungu, na
kulijenga kwa siku tatu.
LUKA 1:31 Tazama, utachukua mimba
na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake
utamwita Yesu.
32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa
Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha
enzi cha Daudi, baba yake.
33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na
ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
YOHANA 2:19 Yesu akajibu, akawaambia,
Livunjeni hekalu hili, nami katika siku tatu
nitalisimamisha.
20 Basi Wayahudi wakasema, Hekalu hili
lilijengwa katika muda wa miaka arobaini na
sita, nawe utalisimamisha katika siku tatu?
21 Lakini yeye alinena habari za hekalu la mwili
wake.
YOHANA 17:1 Maneno hayo aliyasema
Yesu; akainua macho yake kuelekea
mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha
kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako
naye akutukuze wewe;
2 kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote
wenye mwili, ili kwamba wote uliompa
awape uzima wa milele.
3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue
wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu
Kristo uliyemtuma.
ZEKARIA
369
MATENDO YA MITUME 2:39 Kwa kuwa
ahadi hii ni kwa ajili yenu, na kwa watoto
wenu, na kwa watu wote walio mbali, na kwa
wote watakaoitwa na Bwana Mungu wetu
wamjie.
MATENDO YA MITUME 15:14 Simeoni
ametueleza jinsi Mungu hapo kwanza
alivyowaangalia Mataifa ili achague watu
katika hao kwa ajili ya jina lake.
15 Na maneno ya manabii yapatana na hayo,
kama ilivyoandikwa,
16 Baada ya mambo haya nitarejea, Nami
nitaijenga tena nyumba ya Daudi
iliyoanguka. Nitajenga tena maanguko yake,
Nami nitaisimamisha;
17 Ili wanadamu waliosalia wamtafute Bwana,
Na mataifa yote ambao jina langu limetajwa
kwao;
2 WAKORINTHO 6:16 Tena pana
mapatano gani kati ya hekalu la Mungu
na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la
Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema,
ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao
nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao
watakuwa watu wangu.
WAEFESO 2:19 Basi tangu sasa ninyi si
wageni wala wapitaji, bali ninyi ni wenyeji
pamoja na watakatifu, watu wa nyumbani
mwake Mungu.
20 Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na
manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni
jiwe kuu la pembeni.
21 Katika yeye jengo lote linaungamanishwa
vema na kukua hata liwe hekalu takatifu
katika Bwana.
22 Katika yeye ninyi nanyi mnajengwa pamoja
kuwa maskani ya Mungu katika Roho.
WAEBRANIA 3:3 Kwa maana huyo
amehesabiwa kuwa amestahili utukufu zaidi
kuliko Musa, kama vile yeye aitengenezaye
nyumba alivyo na heshima zaidi ya hiyo
nyumba.
4 Maana kila nyumba imetengenezwa na
mtu; ila yeye aliyevitengeneza vitu vyote ni
Mungu.
5 Na Musa kweli alikuwa mwaminifu katika
nyumba yote ya Mungu kama mtumishi,
awe ushuhuda wa mambo yatakayonenwa
baadaye;
6 bali Kristo, kama mwana, juu ya nyumba
ya Mungu; ambaye nyumba yake ni sisi,
kama tukishikamana sana na ujasiri wetu na
fahari ya taraja letu mpaka mwisho.
WAEBRANIA 7:24 bali yeye, kwa kuwa akaa
milele, anao ukuhani wake usioondoka.
WAEBRANIA 10:12 Lakini huyu,
alipokwisha kutoa kwa ajili ya dhambi
dhabihu moja idumuyo hata milele, aliketi
mkono wa kuume wa Mungu;
1 PETRO 3:22 Naye yupo mkono wa kuume
wa Mungu, amekwenda zake mbinguni,
malaika na enzi na nguvu zikiisha kutiishwa
chini yake.
UFUNUO WA YOHANA 21:3 Nikasikia
sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha
enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu
ni pamoja na wanadamu, naye atafanya
maskani yake pamoja nao, nao watakuwa
watu wake. Naye Mungu mwenyewe
atakuwa pamoja nao.
UFUNUO WA YOHANA 21:22 Nami
sikuona hekalu ndani yake; kwa maana
ZEKARIA
370
Bwana Mungu Mwenyezi na Mwana-
Kondoo, ndio hekalu lake.
Ona pia: #1; #3; Isaya 9:7; Zekaria 4:1-6; Matendo ya Mitume 2:1-4,16-18,37-42; 17:31; 19:4-6; Waefeso 1:20-23; Wafilipi 2:7-11;
Waebrania 2:7-9.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ZEKARIA 8:1-2
ZEKARIA 8:3 Bwana asema hivi, Mimi
nimerudi Sayuni, nami nitakaa katikati ya
Yerusalemu; na Yerusalemu utaitwa, Mji
wa kweli; na Mlima wa Bwana wa majeshi
utaitwa, Mlima mtakatifu.
4 Bwana wa majeshi asema hivi, Wazee
wanaume na wazee wanawake watakaa
tena katika njia za Yerusalemu, kila mtu
ana mkongojo wake mkononi, kwa kuwa ni
mzee sana.
5 Na hizo njia za mji zitajaa wavulana, na
wasichana, wakicheza katika njia zake.
6 Bwana wa majeshi asema hivi, Ingawa hili
ni neno lililo gumu mbele ya macho ya
mabaki ya watu hawa katika siku hizo, je!
Liwe neno gumu mbele ya macho yangu?
Asema Bwana wa majeshi.
7 Bwana wa majeshi asema hivi, Tazama,
nitawaokoa watu wangu toka nchi ya
mashariki, na toka nchi ya magharibi;
8 nami nitawaleta, nao watakaa katikati ya
Yerusalemu; nao watakuwa watu wangu,
nami nitakuwa Mungu wao, katika kweli na
katika haki.
ZEKARIA 8:9-11
ZEKARIA 8:12 Kwa maana itakuwako
mbegu ya amani; mzabibu utatoa matunda
yake, nayo ardhi itatoa mazao yake, na
hizo mbingu zitatoa umande wake; nami
nitawarithisha mabaki ya watu hawa vitu
hivi vyote.
13 Kisha itakuwa, kama vile mlivyokuwa laana
katika mataifa, Ee nyumba ya Yuda, na
nyumba ya Israeli, ndivyo nitakavyowaokoa,
nanyi mtakuwa baraka; msiogope, lakini
mikono yenu na iwe hodari.
ZEKARIA 8:14-19
ZEKARIA 8:20 Bwana wa majeshi asema
hivi, Itatokea halafu ya kwamba watakuja
mataifa na wenyeji wa miji mingi;
21 wenyeji wa mji huu watauendea mji huu,
wakisema, Haya! Twendeni zetu kwa haraka
tuombe fadhili za Bwana, na kumtafuta
Bwana wa majeshi; Mimi nami nitakwenda.
22 Naam, watu wa kabila nyingi na mataifa
hodari watakuja Yerusalemu kumtafuta
Bwana wa majeshi, na kuomba fadhili za
Bwana.
23 Bwana wa majeshi asema hivi, Siku hizo
watu kumi, wa lugha zote za mataifa,
wataushika upindo wa nguo yake yeye aliye
Myahudi; naam, wataushika wakisema,
Tutakwenda pamoja nanyi, kwa maana
tumesikia kwamba Mungu yu pamoja nanyi.
LUKA 24:45 Ndipo akawafunulia akili zao
wapate kuelewa na maandiko.
46 Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba
Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu;
47 na kwamba mataifa yote watahubiriwa
kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la
dhambi, kuanza tangu Yerusalemu.
WARUMI 11:25 Kwa maana, ndugu zangu,
sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa
wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu
umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa
Mataifa uwasili.
ZEKARIA
371
26 Hivyo Israeli wote wataokoka; kama
ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka
Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake.
27 Na hili ndilo agano langu nao,
Nitakapowaondolea dhambi zao.
28 Basi kwa habari ya Injili wamekuwa adui
kwa ajili yenu; bali kwa habari ya kule
kuchaguliwa wamekuwa wapenzi kwa ajili
ya baba zetu.
29 Kwa sababu karama za Mungu hazina
majuto, wala mwito wake.
30 Kwa maana kama ninyi zamani
mlivyomwasi Mungu, lakini sasa mmepata
rehema kwa kuasi kwao;
31 kadhalika na hao wameasi sasa, ili kwa
kupata rehema kwenu wao nao wapate
rehema.
32 Maana Mungu amewafunga wote pamoja
katika kuasi ili awarehemu wote.
WARUMI 15:8 Kwa maana nasema, ya
kwamba Kristo amefanyika mhudumu
wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli
ya Mungu, kusudi azithibitishe ahadi
walizopewa baba zetu;
9 tena ili Mataifa wamtukuze Mungu kwa ajili
ya rehema zake; kama ilivyoandikwa, Kwa
hiyo nitakushukuru kati ya Mataifa, Nami
nitaliimbia jina lako.
10 Na tena anena, Furahini,Mataifa,pamoja na
watu wake.
11 Na tena, Enyi Mataifa yote,msifuni Bwana;
Enyi watu wote,mhimidini.
12 Na tena Isaya anena, Litakuwako shina la
Yese, Naye aondokeaye kuwatawala Mataifa;
Ndiye Mataifa watakayemtumaini.
WARUMI 16:25 Sasa na atukuzwe yeye
awezaye kuwafanya imara, sawasawa na
injili yangu na kwa kuhubiriwa kwake Yesu
Kristo, sawasawa na ufunuo wa ile siri
iliyositirika tangu zamani za milele,
26 ikadhihirishwa wakati huu kwa maandiko ya
manabii, ikajulikana na mataifa yote kama
alivyoamuru Mungu wa milele, ili waitii
Imani.
2 WAKORINTHO 6:16 Tena pana
mapatano gani kati ya hekalu la Mungu
na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la
Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema,
ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao
nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao
watakuwa watu wangu.
WAGALATIA 3:8 Na andiko, kwa vile
lilivyoona tangu zamani kwamba Mungu
atawahesabia haki Mataifa kwa imani,
lilimhubiri Ibrahimu habari njema
zamani, kusema, Katika wewe Mataifa yote
watabarikiwa.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 15:4 Ni
nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza
jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako
u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote
watakuja na kusujudu mbele zako; kwa
kuwa matendo yako ya haki yamekwisha
kufunuliwa.
UFUNUO WA YOHANA 21:3 Nikasikia
sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha
enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu
ZEKARIA
372
ni pamoja na wanadamu, naye atafanya
maskani yake pamoja nao, nao watakuwa
watu wake. Naye Mungu mwenyewe
atakuwa pamoja nao.
UFUNUO WA YOHANA 21:24 Na
mataifa watatembea katika nuru yake. Na
wafalme wa nchi huleta utukufu wao ndani
yake.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Luka 8:43,44; Yohana 12:20,21; Ufunuo wa Yohana 7:9.
D04 Kazi ya Masiha kama Mfalme.
F02 Kuingia kwa Masiha Yerusalemu
kunatabiriwa.
ZEKARIA 9:9 Furahi sana, Ee binti Sayuni;
Piga kelele, Ee binti Yerusalemu; Tazama,
mfalme wako anakuja kwako; Ni mwenye
haki, naye ana wokovu; Ni mnyenyekevu,
amepanda punda, Naam, mwana-punda,
mtoto wa punda.
MWANZO 49:10 Fimbo ya enzi haitaondoka
katika Yuda, Wala mfanya sheria kati ya
miguu yake, Hata atakapokuja Yeye, mwenye
milki, Ambaye mataifa watamtii.
11 Atafunga punda wake katika mzabibu, Na
mwana-punda wake katika mzabibu mzuri.
Amefua nguo zake kwa mvinyo, Na mavazi
yake kwa damu ya zabibu.
ISAYA 62:11 Tazama, Bwana ametangaza
habari mpaka mwisho wa dunia,
Mwambieni binti Sayuni, Tazama, wokovu
wako unakuja; Tazama, thawabu yake i
pamoja naye, Na malipo yake yako mbele
zake.
MATHAYO 21:4 Haya yote yamekuwa, ili
litimie neno lililonenwa na nabii, akisema,
5 Mwambieni binti Sayuni Tazama, mfalme
wako anakuja kwako, Mpole, naye amepanda
punda, Na mwana-punda, mtoto wa punda.
YOHANA 12:12 Nayo siku ya pili yake watu
wengi walioijia sikukuu walisikia ya kwamba
Yesu anakuja Yerusalemu;
13 wakatwaa matawi ya mitende, wakatoka
nje kwenda kumlaki, wakapiga makelele,
Hosana! Ndiye mbarikiwa ajaye kwa jina la
Bwana, Mfalme wa Israeli!
14 Naye Yesu alikuwa amepata mwana-punda,
akampanda, kama vile iliyoandikwa,
15 Usiogope, binti Sayuni; tazama, Mfalme
wako anakuja, amepanda mwana-punda.
16 Mambo hayo wanafunzi wake
hawakuyafahamu hapo kwanza; lakini Yesu
alipotukuzwa, ndipo walipokumbuka ya
kwamba ameandikiwa hayo, na ya kwamba
walimtendea hayo.
Ona pia: Isaya 12:6; Isaya 40:9; Isaya 52:9,10; Sefania 3:14,15; Zekaria 2:10; Marko 11:7-10; Luka 19:29-38.
B13 Mamlaka ya Masiha.
E24 Masiha ataleta amani.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ZEKARIA 9:10 Na gari la vita nitaliondoa
liwe mbali na Efraimu, na farasi awe
mbali na Yerusalemu, na upinde wa vita
utaondolewa mbali; naye atawahubiri
mataifa yote habari za amani; na mamlaka
yake yatakuwa toka bahari hata bahari, na
toka Mto hata miisho ya dunia.
ZEKARIA 9:11-12
ZEKARIA
373
ZABURI 72:7 Siku zake yeye, mtu mwenye
haki atasitawi, Na wingi wa amani hata
mwezi utakapokoma.
ISAYA 9:6 Maana kwa ajili yetu mtoto
amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume;
Na uweza wa kifalme utakuwa begani
mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri
wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa
milele, Mfalme wa amani.
7 Maongeo ya enzi yake na amani Hayatakuwa
na mwisho kamwe, Katika kiti cha enzi cha
Daudi na ufalme wake; Kuuthibitisha na
kuutegemeza Kwa hukumu na kwa haki,
Tangu sasa na hata milele. Wivu wa Bwana
wa majeshi ndio utakaotenda hayo.
MATHAYO 8:27 Wale watu wakamaka
wakisema, Huyu ni mtu wa namna gani hata
pepo na bahari zamtii?
MATHAYO 9:6 Lakini mpate kujua ya
kwamba Mwana wa Adamu anayo amri
duniani ya kusamehe dhambi, (amwambia
yule mwenye kupooza) Ondoka, ujitwike
kitanda chako, uende nyumbani kwako.
MATHAYO 28:18 Yesu akaja kwao, akasema
nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote
mbinguni na duniani.
MARKO 1:27 Wakashangaa wote, hata
wakaulizana, wakisema, Nini hii? Ni elimu
mpya! Maana kwa uweza awaamuru hata
pepo wachafu, nao wamtii!
LUKA 2:14 Atukuzwe Mungu juu
mbinguni, Na duniani iwe amani kwa watu
aliowaridhia.
LUKA 4:32 wakashangaa mno kwa
mafundisho yake, kwa kuwa neno lake
lilikuwa na uwezo.
YOHANA 5:22 Tena Baba hamhukumu mtu
ye yote, bali amempa Mwana hukumu yote;
YOHANA 5:27 Naye akampa amri ya
kufanya hukumu kwa sababu ni Mwana wa
Adamu.
YOHANA 10:17 Ndiposa Baba anipenda, kwa
sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.
18 Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa
mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa,
ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo
nalilipokea kwa Baba yangu.
YOHANA 14:27 Amani nawaachieni; amani
yangu nawapa; niwapavyo mimi sivyo kama
ulimwengu utoavyo. Msifadhaike mioyoni
mwenu, wala msiwe na woga.
YOHANA 16:33 Hayo nimewaambieni mpate
kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni
mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi
nimeushinda ulimwengu.
YOHANA 17:1 Maneno hayo aliyasema
Yesu; akainua macho yake kuelekea
mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha
kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako
naye akutukuze wewe;
2 kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote
wenye mwili, ili kwamba wote uliompa
awape uzima wa milele.
MATENDO YA MITUME 9:31 Basi
kanisa likapata raha katika Uyahudi wote na
Galilaya na Samaria, likajengwa, likiendelea
ZEKARIA
374
na kuongezeka katika kicho cha Bwana, na
faraja ya Roho Mtakatifu.
MATENDO YA MITUME 10:36 Neno lile
alilowapelekea wana wa Israeli akihubiri
habari njema ya amani kwa Yesu Kristo
(ndiye Bwana wa wote),
WARUMI 5:1 Basi tukiisha kuhesabiwa
haki itokayo katika imani, na mwe na amani
kwa Mungu, kwa njia ya Bwana wetu Yesu
Kristo,
WAEFESO 2:17 Akaja akahubiri amani
kwenu ninyi mliokuwa mbali, na amani
kwao wale waliokuwa karibu.
2 WATHESALONIKE 3:16 Sasa, Bwana wa
amani mwenyewe na awape amani daima
kwa njia zote. Bwana awe pamoja nanyi
nyote.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; 1 Samweli 2:10; Zaburi 2:8; Zaburi 22:27; Zaburi 37:11; Zaburi 67:7; Zaburi 72:8; Zaburi 85:8-10; Zaburi 98:3; Zaburi 122:6-8; Zaburi 147:14; Isaya 26:12; Isaya
45:22; Isaya 48:18; Isaya 52:7; Isaya 53:5; Isaya 55:12; Isaya 57:19; Isaya 62:11; Isaya 66:12; Yeremia 8:11; Yeremia 16:19-21; Yeremia 28:9; Yeremia 33:9; Hosea 1:7; Hosea 2:19; Mika 5:4,10,11; Hagai
2:32; Danieli 4:17; Danieli 7:13,14,27; Marko 1:27; Luka 4:32; Luka 10:19; Luka 11:31; Luka 12:15; Yohana 10:17,18; Yohana
20:19,21,26; Warumi 10:15,17,18; Warumi 14:17; 1 Wakorintho 15:24; 2 Wakorintho 10:4,5; Waefeso 2:14,15; Wakolosai 1:20;
Wakolosai 3:15; 2 Petro 3:14.
D05 Masiha atakuwa Mkombozi.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ZEKARIA 10:3-5
ZEKARIA 10:6 Nami nitaitia nguvu nyumba
ya Yuda, nami nitaiokoa nyumba ya Yusufu,
nami nitawarudisha, kwa maana nawaonea
rehema; nao watakuwa kana kwamba
sikuwatupa; kwa maana mimi ni Bwana,
Mungu wao, nami nitawasikia.
7 Na watu wa Efraimu watakuwa kama shujaa,
na moyo wao utafurahi kana kwamba ni kwa
divai; naam, watoto wao wataona mambo
haya, na kufurahi; mioyo yao itamfurahia
Bwana.
8 Nitawapigia kelele, na kuwakusanya
pamoja; kwa maana nimewakomboa; nao
wataongezeka kama walivyoongezeka.
9 Nami nitawapanda kama mbegu kati ya
mataifa; nao watanikumbuka katika nchi
zilizo mbali; nao watakaa pamoja na watoto
wao; tena watarudi.
10 Tena nitawarudisha toka nchi ya Misri,
nitawakusanya na kuwatoa katika Ashuru;
nami nitawaingiza katika nchi ya Gileadi
na Lebanoni; ila nafasi ya kuwatosha
haitaonekana.
11 Naye atapita kati ya bahari ya mateso, na
kuyapiga mawimbi ya bahari, na vilindi
vyote vya mto wa Nile vitakauka; na kiburi
cha Ashuru kitashushwa; na fimbo ya enzi
ya Misri itatoweka.
12 Nami nitawatia nguvu katika Bwana; nao
watatembea huko na huko katika jina lake,
asema Bwana.
MATHAYO 24:14 Tena habari njema ya ufalme
itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa
ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule
mwisho utakapokuja.
MATHAYO 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye
mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza
kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho
Mtakatifu;
20 na kuwafundisha kuyashika yote
niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo
pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa
ZEKARIA
375
dahari.
LUKA 21:24 Wataanguka kwa ukali
wa upanga, nao watatekwa nyara na
kuchukuliwa katika mataifa yote; na
Yerusalemu utakanyagwa na Mataifa, hata
majira ya Mataifa yatakapotimia.
WARUMI 11:11 Basi nasema, Je!
Wamejikwaa hata waanguke kabisa? Hasha!
Lakini kwa kosa lao wokovu umewafikilia
Mataifa, ili wao wenyewe watiwe wivu.
12 Basi, ikiwa kosa lao limekuwa utajiri wa
ulimwengu, na upungufu wao umekuwa
utajiri wa Mataifa, je! Si zaidi sana utimilifu
wao?
13 Lakini nasema na ninyi, mlio watu wa
Mataifa. Basi, kwa kadiri nilivyo mtume wa
watu wa Mataifa, naitukuza huduma iliyo
yangu,
14 nipate kuwatia wivu walio damu moja na
mimi na kuwaokoa baadhi yao.
15 Maana ikiwa kutupwa kwao kumeleta
upatanisho kwa ulimwengu, je! Kukubaliwa
kwao kutakuwa nini kama si uhai baada ya
kufa?
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Matendo ya Mitume 2:5-11; 1 Petro 1:1,2; Ufunuo wa Yohana 8:7-11.
F04 Matokeo ya kukataliwa kwa Masiha.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
ZEKARIA 11:4 Bwana, Mungu wangu,
alisema hivi, Lilishe kundi la machinjo,
5 ambalo wenye kundi hilo huwachinja,
kisha hujiona kuwa hawana hatia; na hao
wawauzao husema, Na ahimidiwe Bwana,
kwa maana mimi ni tajiri; na wachungaji
wao wenyewe hawawahurumii.
6 Maana mimi sitawahurumia tena wenyeji
wa nchi hii, asema Bwana; bali, tazama,
nitawatia, kila mmoja wao, mikononi mwa
mwenzake, na mikononi mwa mfalme; nao
wataipiga hiyo nchi, wala mimi sitawaokoa
mikononi mwao.
EZEKIELI 34:23 Nami nitaweka mchungaji
mmoja juu yao, naye atawalisha, naam,
mtumishi wangu, Daudi; yeye atawalisha,
naye atakuwa mchungaji wao.
MIKA 5:4 Naye atasimama, na kulisha
kundi lake kwa nguvu za Bwana, kwa enzi
ya jina la Bwana, Mungu wake; nao watakaa;
maana sasa atakuwa mkuu hata miisho ya
dunia.
MATHAYO 15:24 Akajibu, akasema,
Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa
nyumba ya Israeli.
MATHAYO 23:1 Kisha Yesu akawaambia
makutano na wanafunzi wake, akasema,
2 Waandishi na Mafarisayo wameketi katika
kiti cha Musa;
3 basi, yo yote watakayowaambia, myashike na
kuyatenda; lakini kwa mfano wa matendo
yao, msitende; maana wao hunena lakini
hawatendi.
4 Wao hufunga mizigo mizito na kuwatwika
watu mabegani mwao; wasitake wenyewe
kuigusa kwa kidole chao.
LUKA 19:41 Alipofika karibu aliuona mji,
akaulilia,
42 akisema, Laiti ungalijua, hata wewe katika
siku hii, yapasayo amani! Lakini sasa
yamefichwa machoni pako.
ZEKARIA
376
43 Kwa kuwa siku zitakuja, adui zako
watakapokujengea boma, likuzunguke;
watakuzingira na kukuhusuru pande zote;
44 watakuangusha chini wewe na watoto wako
ndani yako, wasikuachie jiwe juu ya jiwe,
kwa sababu hukutambua majira ya kujiliwa
kwako.
YOHANA 19:13 Basi Pilato, aliposikia
maneno hayo, akamleta Yesu nje, akaketi juu
ya kiti cha hukumu, mahali paitwapo Sakafu
ya Mawe, au kwa Kiebrania, Gabatha.
14 Nayo ilikuwa Maandalio ya pasaka, yapata
saa sita. Akawaambia Wayahudi, Tazama,
Mfalme wenu!
15 Basi wale wakapiga kelele, Mwondoshe!
Mwondoshe! Msulibishe! Pilato
akawaambia, Je! Nimsulibishe mfalme
wenu! Wakuu wa makuhani wakamjibu, Sisi
hatuna mfalme ila Kaisari.
YOHANA 21:15 Basi walipokwisha kula,
Yesu akamwambia Simoni Petro, Je! Simoni
wa Yohana, wewe wanipenda kuliko hawa?
Akamwambia , Naam ,Bwana, wewe wajua
kuwa nakupenda. Akamwambia, Lisha
wana-kondoo wangu.
16 Akamwambia tena mara ya pili, Simoni wa
Yohana, wanipenda? Akamwambia, Ndiyo,
Bwana, wewe wajua kuwa nakupenda.
Akamwambia, Chunga kondoo zangu.
17 Akamwambia mara ya tatu, Simoni wa
Yohana, wanipenda? Petro alihuzunika
kwa vile alivyomwambia mara ya tatu,
Wanipenda? Akamwambia, Bwana, wewe
wajua yote; wewe umetambua ya kuwa
nakupenda. Yesu akamwambia, Lisha
kondoo zangu.
Ona pia: Isaya 40:9-11; Mathayo 23:14,37; Mathayo 24:10; Luka 12:52,53; Luka 21:16,17; Yohana 12:13; Waebrania 2:3; Waebrania
10:26,27.
B06 Masiha ndiye Mchungaji mwema.
B15 Masiha atajawa na rehema.
ZEKARIA 11:7 Basi nikalilisha kundi
la machinjo, kweli kondoo waliokuwa
wanyonge kabisa. Kisha nikajipatia fimbo
mbili; nami nikaiita ya kwanza, Neema, na
ya pili nikaiita, Vifungo; nikalilisha kundi
lile
MATHAYO 9:35 Naye Yesu alikuwa
akizunguka katika miji yote na vijiji,
akifundisha katika masinagogi yao, na
kuihubiri habari njema ya ufalme, na
kuponya magonjwa yote na udhaifu wa kila
aina.
36 Na alipowaona makutano, aliwahurumia,
kwa sababu walikuwa wamechoka na
kutawanyika kama kondoo wasio na
mchungaji.
MATHAYO 11:5 vipofu wanapata kuona,
viwete wanakwenda, wenye ukoma
wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu
wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa
habari njema.
YOHANA 10:16 Na kondoo wengine ninao,
ambao si wa zizi hili; na hao nao imenipasa
kuwaleta; na sauti yangu wataisikia; kisha
kutakuwako kundi moja na mchungaji
mmoja.
YOHANA 17:21 Wote wawe na umoja; kama
wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami
ndani yako; hao nao wawe ndani yetu; ili
ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe
ZEKARIA
377
ndiwe uliyenituma.
22 Nami utukufu ule ulionipa nimewapa wao;
ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja.
23 Mimi ndani yao, nawe ndani yangu, ili wawe
wamekamilika katika umoja; ili ulimwengu
ujue ya kuwa ndiwe uliyenituma,
ukawapenda wao kama ulivyonipenda mimi.
Ona pia: Isaya 61:1; Yeremia 5:4; Ezekieli 37:16-23; Sefania 3:12; Zekaria 11:4,10,11,14.
F03 Masiha atakataliwa.
F11 Mateso ya Masiha.
ZEKARIA 11:8 Nami nikawakatilia mbali
wachungaji watatu katika mwezi mmoja;
maana nafsi yangu ilikuwa imechoka kwa
ajili yao, na nafsi zao pia walinichukia.
MATHAYO 23:34 Kwa sababu hiyo, angalieni,
mimi natuma kwenu manabii na wenye
hekima na waandishi; na wengine wao ninyi
mtawaua na kuwasulibisha, na wengine
wao mtawapiga katika masinagogi yenu, na
kuwafukuza mji kwa mji;
35 hivyo ije juu yenu damu yote ya haki
iliyomwagika juu ya nchi, tangu damu ya
Habili, yule mwenye haki, hata damu ya
Zakaria bin Barakia, mliyemwua kati ya
patakatifu na madhabahu.
36 Amin, nawaambieni, Mambo hayo yote
yatakuja juu ya kizazi hiki.
MATHAYO 27:20 Nao wakuu wa makuhani
na wazee wakawashawishi makutano ili
wamtake Baraba, na kumwangamiza Yesu.
LUKA 12:50 Lakini nina ubatizo unipasao
kubatiziwa, nami nina dhiki kama nini hata
utimizwe!
LUKA 19:14 Lakini watu wa mji wake
walimchukia, wakatuma wajumbe kumfuata
na kusema, Hatumtaki huyu atutawale.
YOHANA 7:7 Ulimwengu hauwezi
kuwachukia ninyi; bali hunichukia mimi,
kwa sababu mimi naushuhudia ya kuwa kazi
zake ni mbovu.
YOHANA 15:18 Iwapo ulimwengu
ukiwachukia, mwajua ya kuwa umenichukia
mimi kabla ya kuwachukia ninyi.
YOHANA 15:23 Yeye anichukiaye mimi
humchukia na Baba yangu.
24 Kama nisingalitenda kwao kazi asizozitenda
mtu mwingine, wasingalikuwa na dhambi;
lakini sasa wametuona mimi na Baba yangu,
na kutuchukia.
25 Lakini litimie lile neno lililoandikwa katika
torati yao, Walinichukia bure.
Ona pia: Zaburi 106:40; Isaya 49:7; Yeremia 12:8; Hosea 9:15.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
ZEKARIA 11:9 Ndipo nikasema,
Sitawalisheni; afaye na afe; atakayekatiliwa
mbali na akatiliwe mbali; nao waliosalia,
kila mmoja na ale nyama ya mwili wa
mwenziwe.
YEREMIA 23:33 Na watu hawa, au nabii au
kuhani, atakapokuuliza, akisema, Mzigo wa
Bwana ni nini? Ndipo utawaambia, Mzigo
gani? Bwana asema, Nitawatupilia mbali.
ZEKARIA
378
YEREMIA 23:39 basi, kwa hiyo angalieni,
nitawasahau ninyi kabisa, nami
nitawatupilia mbali, pamoja na mji huu
niliowapa ninyi na baba zenu, mtoke mbele
za uso wangu;
MATHAYO 15:14 Waacheni; hao ni viongozi
vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza
kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni
wote wawili.
MATHAYO 21:19 Akaona mtini mmoja kando
ya njia, akauendea, asione kitu juu yake
ila majani tu; akauambia, Yasipatikane
matunda kwako tangu leo hata milele. Mtini
ukanyauka mara.
MATHAYO 21:43 Kwa sababu hiyo nawaambia,
Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao
watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda
yake.
MATHAYO 23:38 Angalieni, nyumba yenu
mmeachiwa hali ya ukiwa.
39 Kwa maana nawaambia, Hamtaniona
kamwe tangu sasa, hata mtakaposema,
Amebarikiwa ajaye kwa jina la Bwana.
YOHANA 8:21 Basi akawaambia tena, Mimi
naondoka, nanyi mtanitafuta; nanyi mtakufa
katika dhambi yenu; mimi niendako ninyi
hamwezi kuja.
YOHANA 8:24 Kwa hiyo naliwaambieni ya
kwamba mtakufa katika dhambi zenu; kwa
sababu msiposadiki ya kuwa mimi ndiye,
mtakufa katika dhambi zenu.
MATENDO YA MITUME 13:46
Paulo na Barnaba wakanena kwa ushujaa
wakasema, Ilikuwa lazima neno la Mungu
linenwe kwenu kwanza; lakini kwa kuwa
mnalisukumia mbali, na kujiona nafsi
zenu kuwa hamkustahili uzima wa milele,
angalieni, twawageukia Mataifa.
47 Kwa sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana,
Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, Upate
kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.
MATENDO YA MITUME 28:26 akisema,
Enenda kwa watu hawa, ukawaambie,
Kusikia, mtasikia wala hamtafahamu; Na
kuona, mtaona wala hamtatambua;
27 Kwa maana mioyo ya watu hawa
imepumbaa, Na masikio yao ni mazito
ya kusikia, Na macho yao wameyafumba;
Wasije wakaona kwa macho yao, Na kusikia
kwa masikio yao, Na kufahamu kwa mioyo
yao, Na kubadili nia zao, nikawaponya.
28 Basi ijulikane kwenu ya kwamba wokovu
huu wa Mungu umepelekwa kwa Mataifa,
nao watasikia!
UFUNUO WA YOHANA 22:11 Mwenye
kudhulumu na azidi kudhulumu; na
mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu;
na mwenye haki na azidi kufanya haki; na
mtakatifu na azidi kutakaswa.
Ona pia: Isaya 9:20,21; Yeremia 19:9; Ezekieli 5:10.
E25 asiha ataaminiwa na kusifiwa.
F04 Matokeo ya kukataliwa kwa Masiha.
ZEKARIA 11:10 Nikaitwaa hiyo fimbo yangu,
iitwayo Neema, nikaikata vipande viwili, ili
nipate kulivunja agano langu nililolifanya na
watu wa kabila zote.
11 Nayo ikavunjwa siku ile; na hivyo wale
ZEKARIA
379
kondoo wanyonge walionisikiliza wakajua ya
kuwa neno hili ndilo neno la Bwana.
LUKA 2:25 Na tazama, pale Yerusalemu
palikuwa na mtu, jina lake Simeoni, naye ni
mtu mwenye haki, mcha Mungu, akiitarajia
faraja ya Israeli; na Roho Mtakatifu alikuwa
juu yake.
LUKA 2:38 Huyu alitokea saa ile ile
akamshukuru Mungu, na wote waliokuwa
wakiutarajia ukombozi katika Yerusalemu
akawatolea habari zake.
LUKA 21:5 Na watu kadha wa kadha
walipokuwa wakiongea habari za hekalu,
jinsi lilivyopambwa kwa mawe mazuri na
sadaka za watu, alisema,
6 Haya mnayoyatazama, siku zitakuja
ambapo halitasalia jiwe juu ya jiwe ambalo
halitabomoshwa.
LUKA 21:32 Amin, nawaambieni, Kizazi
hiki hakitapita hata hayo yote yatimie.
LUKA 23:51 (wala hakulikubali shauri
na tendo lao), naye ni mtu wa Arimathaya,
mji mmoja wa Wayahudi, tena anautazamia
ufalme wa Mungu;
LUKA 24:49 Na tazama, nawaletea juu
yenu ahadi ya Baba yangu; lakini kaeni
humu mjini, hata mvikwe uwezo utokao
juu.
WARUMI 9:3 Kwa maana ningeweza
kuomba mimi mwenyewe niharimishwe
na kutengwa na Kristo kwa ajili ya ndugu
zangu, jamaa zangu kwa jinsi ya mwili;
4 ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa
wana, na ule utukufu, na maagano, na
kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi
zake;
5 ambao mababu ni wao, na katika hao alitoka
Kristo kwa jinsi ya mwili. Ndiye aliye juu ya
mambo yote, Mungu, mwenye kuhimidiwa
milele. Amina.
WARUMI 11:7 Imekuwaje basi? Kitu
kile ambacho Israeli alikuwa akikitafuta
hakukipata; lakini wale waliochaguliwa
walikipata, na wengine walitiwa uzito.
8 Kama ilivyoandikwa, Mungu aliwapa roho
ya usingizi, macho hata wasione, na masikio
hata wasisikie, hata siku hii ya leo.
9 Na Daudi asema, Meza yao na iwe tanzi na
mtego, Na kitu cha kuwakwaza, na malipo
kwao;
10 Macho yao yatiwe giza ili wasione,
Ukawainamishe mgongo wao siku zote.
11 Basi nasema, Je! Wamejikwaa hata
waanguke kabisa? Hasha! Lakini kwa kosa
lao wokovu umewafikilia Mataifa, ili wao
wenyewe watiwe wivu.
12 Basi, ikiwa kosa lao limekuwa utajiri wa
ulimwengu, na upungufu wao umekuwa
utajiri wa Mataifa, je! Si zaidi sana utimilifu
wao?
WAGALATIA 3:16 Basi ahadi zilinenwa kwa
Ibrahimu na kwa mzao wake. Hasemi, Kwa
wazao, kana kwamba ni wengi, bali kana
kwamba ni mmoja, Kwa mzao wako, yaani,
Kristo.
17 Nisemalo ni hili; agano lililothibitishwa
kwanza na Mungu, torati iliyotokea miaka
mia nne na thelathini baadaye hailitangui,
hata kuibatilisha ile ahadi.
18 Kwa maana urithi ukiwa kwa sheria, hauwi
tena kwa ahadi; lakini Mungu alimkirimia
ZEKARIA
380
Ibrahimu kwa njia ya ahadi.
WAEBRANIA 7:22 basi kwa kadiri hii Yesu
amekuwa mdhamini wa agano lililo bora
zaidi.
WAEBRANIA 8:8 Maana, awalaumupo, asema
Angalia, siku zinakuja, asema Bwana, Nami
nitawatimizia nyumba ya Israeli na nyumba
ya Yuda agano jipya;
9 Halitakuwa kama agano lile nililoagana
na baba zao, Katika siku ile nilipowashika
mikono yao niwatoe katika nchi ya Misri.
Kwa sababu hawakudumu katika agano
langu, Mimi nami sikuwajali asema Bwana.
10 Maana hili ndilo agano nitakaloagana na
nyumba ya Israeli Baada ya siku zile, asema
Bwana; Nitawapa sheria zangu katika nia
zao, Na katika mioyo yao nitaziandika; Nami
nitakuwa Mungu kwao, Nao watakuwa watu
wangu.
11 Nao hawatafundishana kila mtu na jirani
yake, Na kila mtu na ndugu yake, akisema,
Mjue Bwana; Kwa maana wote watanijua,
Tangu mdogo wao hata mkubwa wao.
12 Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na
dhambi zao sitazikumbuka tena.
13 Kwa kule kusema, Agano jipya, amelifanya
lile la kwanza kuwa kuukuu. Lakini kitu
kianzacho kuwa kikuukuu na kuchakaa ki
karibu na kutoweka.
Ona pia: Zaburi 89:39; Isaya 8:17; Isaya 26:8,9; Yeremia 14:21; Yeremia 31:31,32; Ezekieli 7:20-22; Ezekieli 16:59-61; Ezekieli
24:21; Danieli 9:26; Mika 7:7; Luka 24:49-53.
F05 Masiha atasalitiwa.
ZEKARIA 11:12 Nikawaambia, Mkiona vema,
nipeni ujira wangu; kama sivyo, msinipe.
Basi wakanipimia vipande thelathini vya
fedha, kuwa ndio ujira wangu.
13 Kisha Bwana akaniambia, Mtupie mfinyanzi
kima kizuri, hicho nilichotiwa kima na watu
hao. Basi nikavitwaa vile vipande thelathini
vya fedha, nikamtupia huyo mfinyanzi ndani
ya nyumba ya Bwana.
MATHAYO 26:14 Wakati huo mmoja wa
wale Thenashara, jina lake Yuda Iskariote,
aliwaendea wakuu wa makuhani,
15 akasema, Ni nini mtakachonipa, nami
nitamsaliti kwenu? Wakampimia vipande
thelathini vya fedha.
16 Tokea wakati huo akawa akitafuta nafasi
apate kumsaliti.
MATHAYO 27:3 Kisha Yuda, yule mwenye
kumsaliti, alipoona ya kuwa amekwisha
kuhukumiwa, alijuta, akawarudishia
wakuu wa makuhani na wazee vile vipande
thelathini vya fedha, akasema, Nalikosa
nilipoisaliti damu isiyo na hatia.
4 Wakasema, Basi, haya yatupasani sisi?
Yaangalie haya wewe mwenyewe.
5 Akavitupa vile vipande vya fedha katika
hekalu, akaondoka; akaenda, akajinyonga.
6 Wakuu wa makuhani wakavitwaa vile
vipande vya fedha, wakasema, Si halali
kuviweka katika sanduku ya sadaka, kwa
kuwa ni kima cha damu.
7 Wakafanya shauri, wakavitumia kwa
kununua konde la mfinyanzi liwe mahali pa
kuzika wageni.
8 Kwa hiyo konde lile huitwa konde la damu
hata leo.
9 Ndipo likatimia neno lililonenwa na nabii
Yeremia, akisema, Wakavitwaa vipande
thelathini vya fedha, kima chake aliyetiwa
kima, ambaye baadhi ya Waisraeli walimtia
ZEKARIA
381
kima; 1)
10 wakavitumia kwa kununua konde la
mfinyanzi, kama Bwana alivyoniagiza.
1) Maneno yaliyonukuliwa hapa hayapatikani
kwenye kitabu cha Yeremia, lakini kwenye
kitabu cha Zekaria; na makisio mbalimbali
yameundwa, ili kupatanisha utofauti
huu. Maoni yenye uwezekano mkubwa
zaidi yanaonekana kuwa, jina la nabii
halikujumuishwa awali na Mwinjilisti, na
kwamba jina la Yeremia liliongezwa na mtu
fulani aliyenakili baada yake. Watu wa zamani
wenye hekima walikuwa wanasema: “Roho wa
Yeremia anaishi ndani ya Zekaria”.
F03 Masiha atakataliwa.
F08 Maelezo ya kifo cha Masiha.
G04 Masiha atatoa Roho Wake.
H01 Kurudi kwa Masiha kunatabiriwa.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ZEKARIA 12:1-2
ZEKARIA 12:3 Tena itakuwa siku
hiyo, nitafanya Yerusalemu kuwa jiwe
la kuwalemea watu wa kabila zote;
wote watakaojitwika jiwe hilo watapata
jeraha nyingi; na mataifa yote ya dunia
watakusanyika pamoja juu yake.
ZEKARIA 12:4-7
ZEKARIA 12:8 Katika siku hiyo Bwana
atawalinda wenyeji wa Yerusalemu; na yeye
aliye dhaifu miongoni mwao atakuwa kama
Daudi siku hiyo; nayo nyumba ya Daudi
itakuwa kama Mungu, kama malaika wa
Bwana mbele yao.
9 Hata itakuwa siku hiyo, ya kwamba
nitatafuta kuwaangamiza mataifa yote
watakaokuja kupigana na Yerusalemu.
10 Nami nitawamwagia watu wa nyumba
ya Daudi, na wenyeji wa Yerusalemu,
roho ya neema na kuomba; nao
watamtazama yeye ambaye walimchoma;
nao watamwombolezea, kama vile mtu
amwombolezeavyo mwanawe wa pekee; nao
wataona uchungu kwa ajili yake, kama vile
mtu aonavyo uchungu kwa ajili ya mzaliwa
wake wa kwanza.
ZEKARIA 12:11-14
YOHANA 19:34 lakini askari mmojawapo
alimchoma ubavu kwa mkuki; na mara
ikatoka damu na maji.
35 Naye aliyeona ameshuhudia, na ushuhuda
wake ni kweli; naye anajua ya kuwa anasema
kweli ili ninyi nanyi mpate kusadiki.
36 Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie,
Hapana mfupa wake utakaovunjwa.
37 Na tena andiko lingine lanena,
Watamtazama yeye waliyemchoma.
MATENDO YA MITUME 2:17
Itakuwa siku za mwisho, asema Mungu,
nitawamwagia watu wote Roho yangu, na
wana wenu na binti zenu watatabiri; na
vijana wenu wataona maono; na wazee wenu
wataota ndoto.
18 Naam, na siku zile nitawamwagia watumishi
wangu wanaume na wanawake Roho yangu,
nao watatabiri.
MATENDO YA MITUME 2:23 mtu
huyu alipotolewa kwa shauri la Mungu
lililokusudiwa, na kwa kujua kwake tangu
zamani, ninyi mkamsulibisha kwa mikono
ya watu wabaya, mkamwua;
24 ambaye Mungu alimfufua, akiufungua
ZEKARIA
382
uchungu wa mauti, kwa sababu
haikuwezekana ashikwe nao.
MATENDO YA MITUME 2:33 Basi yeye,
akiisha kupandishwa hata mkono wa kuume
wa Mungu, na kupokea kwa Baba ile ahadi
ya Roho Mtakatifu, amekimwaga kitu hiki
mnachokiona sasa na kukisikia.
MATENDO YA MITUME 2:36 Basi
nyumba yote ya Israeli na wajue yakini ya
kwamba Mungu amemfanya Yesu huyo
mliyemsulibisha kuwa Bwana na Kristo.
37 Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao,
wakamwambia Petro na mitume wengine,
Tutendeje, ndugu zetu?
38 Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila
mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate
ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea
kipawa cha Roho Mtakatifu.
UFUNUO WA YOHANA 1:7 Tazama,
yuaja na mawingu; na kila jicho litamwona,
na hao waliomchoma; na kabila zote za
dunia wataomboleza kwa ajili yake. Naam.
Amina.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Matendo ya Mitume 10:45; Matendo ya Mitume 11:15; Tito 3:5,6.
E04 Ushindi wa Masiha dhidi ya dhambi.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
ZEKARIA 13:1 Katika siku hiyo watu
wa nyumba ya Daudi, na wenyeji wa
Yerusalemu, watafunguliwa chemchemi kwa
dhambi na kwa unajisi.
2 Kisha itakuwa katika siku hiyo, asema
Bwana wa majeshi, nitakatilia mbali majina
ya sanamu katika nchi, yasikumbukwe
tena; pia nitawafukuza manabii, na roho ya
uchafu, watoke katika nchi.
EZEKIELI 36:25 Nami nitawanyunyizia maji
safi, nanyi mtakuwa safi; nitawatakaseni na
uchafu wenu wote, na vinyago vyenu vyote.
YOHANA 1:29 Siku ya pili yake amwona
Yesu anakuja kwake, akasema, Tazama,
Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye
dhambi ya ulimwengu!
1 WAKORINTHO 6:11 Na baadhi yenu
mlikuwa watu wa namna hii; lakini
mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini
mlihesabiwa haki katika jina la Bwana Yesu
Kristo, na katika Roho wa Mungu wetu.
TITO 3:5 si kwa sababu ya matendo ya haki
tuliyoyatenda sisi; bali kwa rehema yake,
kwa kuoshwa kwa kuzaliwa kwa pili na
kufanywa upya na Roho Mtakatifu;
6 ambaye alitumwagia kwa wingi, kwa njia ya
Yesu Kristo Mwokozi wetu;
1 YOHANA 1:7 bali tukienenda nuruni,
kama yeye alivyo katika nuru, twashirikiana
sisi kwa sisi, na damu yake Yesu, Mwana
wake, yatusafisha dhambi yote.
UFUNUO WA YOHANA 1:5 tena
zitokazo kwa Yesu Kristo, shahidi aliye
mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa
waliokufa, na mkuu wa wafalme wa dunia.
Yeye atupendaye na kutuosha dhambi zetu
katika damu yake,
UFUNUO WA YOHANA 7:13 Akajibu
mmoja wa wale wazee akiniambia, Je! Watu
ZEKARIA
383
hawa waliovikwa mavazi meupe ni akina
nani? Na wametoka wapi?
14 Nikamwambia, Bwana wangu, wajua wewe.
Akaniambia, Hao ndio wanatoka katika
dhiki ile iliyo kuu, nao wamefua mavazi yao,
na kuyafanya meupe katika damu ya Mwana-
Kondoo.
Ona pia: #1; #2; #5; Ezekieli 37:23-26; Hosea 2:18; Hosea 14:7; Sefania 1:3,4; Waefeso 5:25-27; Waebrania 9:13,14; Yohana 5:6.
F01 Kifo cha Masiha kinatabiriwa.
F06 Masiha ataachwa pweke.
ZEKARIA 13:7 Amka, Ee upanga, juu
ya mchungaji wangu, na juu ya mtu
aliye mwenzangu, asema Bwana wa
majeshi; mpige mchungaji, nao kondoo
watatawanyika; nami nitaugeuza mkono
wangu juu ya wadogo.
MATHAYO 26:31 Ndipo Yesu akawaambia,
Ninyi nyote mtachukizwa kwa ajili
yangu usiku huu kwa kuwa imeandikwa,
Nitampiga mchungaji, na kondoo wa kundi
watatawanyika.
MATHAYO 26:56 Lakini haya yote yamekuwa,
ili maandiko ya manabii yatimizwe. Ndipo
wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.
MARKO 14:27 Yesu akawaambia,
Mtakunguwazwa ninyi nyote kwa ajili
yangu usiku huu; kwa kuwa imeandikwa,
Nitampiga mchungaji, na kondoo
watatawanyika.
MARKO 14:50 Ndipo wakamwacha,
wakakimbia wote.
YOHANA 16:32 Tazama, saa yaja, naam,
imekwisha kuja, ambapo mtatawanyika kila
mmoja kwao kwao, na kuniacha mimi peke
yangu; walakini mimi si peke yangu, kwa
kuwa Baba yupo pamoja nami.
YOHANA 17:12 Nilipokuwapo pamoja nao,
mimi naliwalinda kwa jina lako ulilonipa,
nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao
aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili
andiko litimie.
YOHANA 18:7 Basi akawauliza tena,
Mnamtafuta nani? Wakasema, Yesu
Mnazareti.
8 Yesu akajibu, Nimekwisha kuwaambieni ya
kwamba ni mimi; basi ikiwa mnanitafuta
mimi, waacheni hawa waende zao.
9 Ili litimizwe lile neno alilolisema, Wale
ulionipa sikumpoteza hata mmoja wao.
Ona pia: Isaya 5:1-5; Isaya 27:1,2; Mathayo 18:10-14; Matendo ya Mitume 2:23.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
ZEKARIA 13:8 Hata itakuwa, ya kwamba
katika nchi yote mafungu mawili
yatakatiliwa mbali, nao watakufa, asema
Bwana; lakini fungu la tatu litabaki humo.
9 Nami nitalileta fungu lile la tatu na
kulipitisha kati ya moto, nami nitawasafisha
kama fedha isafishwavyo, nami nitawajaribu
kama dhahabu ijaribiwavyo; wataliitia jina
langu, nami nitawasikia; mimi nitasema,
Watu hawa ndio wangu; nao watasema,
Bwana ndiye Mungu wangu.
ZEKARIA
384
MATHAYO 21:43 Kwa sababu hiyo nawaambia,
Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao
watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda
yake.
44 Naye aangukaye juu ya jiwe hilo atavunjika-
vunjika; naye ye yote ambaye litamwangukia,
litamsaga tikitiki.
MATHAYO 24:2 Naye akajibu akawaambia,
Hamyaoni haya yote? Amin, nawaambieni,
Halitasalia hapa jiwe juu ya jiwe ambalo
halitabomoshwa.
MATHAYO 24:21 Kwa kuwa wakati huo
kutakuwapo dhiki kubwa, ambayo haijatokea
namna yake tangu mwanzo wa ulimwengu
hata sasa, wala haitakuwapo kamwe.
22 Na kama siku hizo zisingalifupizwa,
asingeokoka mtu ye yote; lakini kwa ajili ya
wateule zitafupizwa siku hizo.
LUKA 21:24 Wataanguka kwa ukali
wa upanga, nao watatekwa nyara na
kuchukuliwa katika mataifa yote; na
Yerusalemu utakanyagwa na Mataifa, hata
majira ya Mataifa yatakapotimia.
UFUNUO WA YOHANA 8:7 Malaika
wa kwanza akapiga baragumu, kukawa
mvua ya mawe na moto vilivyotangamana
na damu, vikatupwa juu ya nchi; theluthi
ya nchi ikateketea, na theluthi ya miti
ikateketea, na majani mabichi yote
yakateketea.
8 Malaika wa pili akapiga baragumu, na kitu,
mfano wa mlima mkubwa uwakao moto,
kikatupwa katika bahari; theluthi ya bahari
ikawa damu.
9 Wakafa theluthi ya viumbe vilivyomo
baharini, vyenye uhai; theluthi ya merikebu
zikaharibiwa.
10 Malaika wa tatu akapiga baragumu, nyota
kubwa ikaanguka kutoka mbinguni,
iliyokuwa ikiwaka kama taa, ikaanguka juu
ya theluthi ya mito, na juu ya chemchemi za
maji.
11 Na jina lake ile nyota yaitwa Pakanga;
theluthi ya maji ikawa pakanga, na
wanadamu wengi wakafa kwa maji hayo,
kwa kuwa yalitiwa uchungu.
12 Malaika wa nne akapiga baragumu, theluthi
ya jua ikapigwa, na theluthi ya mwezi, na
theluthi ya nyota, ili kwamba ile theluthi
itiwe giza, mchana usiangaze theluthi yake,
wala usiku vivyo hivyo.
UFUNUO WA YOHANA 16:19 Na mji
ule mkuu ukagawanyikana mafungu matatu,
na miji ya mataifa ikaanguka; na Babeli ule
mkuu ukakumbukwa mbele za Mungu,
kupewa kikombe cha mvinyo ya ghadhabu
ya hasira yake.
Ona pia: #1; #2; #5; Zaburi 66:10-12; Mathayo 23:35-37; Luka 19:41-44; Luka 21:20-24; Luka 23:28-30; 1 Wakorintho 3:11-13; 1
Wathesalonike 2:15,16; 1 Petro 1:6-8; 1 Petro 4:12,13.
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H01 Kurudi kwa Masiha kunatabiriwa.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
.
ZEKARIA 14:1-2
ZEKARIA 14:3 Hapo ndipo atakapotokea
Bwana, naye atapigana na mataifa hayo,
kama vile alipopigana zamani siku ya vita.
4 Na siku hiyo miguu yake itasimama
juu ya mlima wa Mizeituni, unaoelekea
Yerusalemu upande wa mashariki, nao
mlima wa Mizeituni utapasuka katikati
ZEKARIA
385
yake, upande wa mashariki na upande wa
magharibi; litakuwako huko bonde kubwa
sana; na nusu ya mlima ule utaondoka
kwenda upande wa kaskazini, na nusu yake
itaondoka kwenda upande wa kusini.
5 Nanyi mtakimbia kwa njia ya bonde la
milima yangu; kwa maana bonde lile
la milima litaenea hata Aseli; naam,
mtakimbia, kama vile mlivyokimbia mbele
ya tetemeko la nchi, siku za Uzia, mfalme
wa Yuda; na Bwana, Mungu wangu, atakuja,
na watakatifu wote pamoja naye.
6 Tena itakuwa siku hiyo, ya kwamba nuru
yake haitakuwa na mwangaza na kiwi;
7 lakini itakuwa siku moja, iliyojulikana na
Bwana; si mchana, wala si usiku; lakini
itakuwa, ya kwamba wakati wa jioni
kutakuwako nuru.
8 Tena itakuwa siku hiyo, ya kwamba maji
yaliyo hai yatatoka katika Yerusalemu;
nusu yake itakwenda upande wa bahari ya
mashariki, na nusu yake upande wa bahari
ya magharibi; wakati wa hari na wakati wa
baridi itakuwa hivi.
9 Naye Bwana atakuwa Mfalme juu ya nchi
yote; siku hiyo Bwana atakuwa mmoja, na
jina lake moja.
ZEKARIA 14:10-15
ZEKARIA 14:16 Hata itakuwa, ya kwamba
kila mtu aliyesalia wa mataifa yote, waliokuja
kupigana na Yerusalemu, atakwea mwaka
baada ya mwaka ili kumwabudu Mfalme,
Bwana wa majeshi, na kuishika sikukuu ya
Vibanda.
17 Tena itakuwa, ya kwamba mtu awaye yote
wa jamaa zote zilizomo duniani, asiyekwea
kwenda Yerusalemu ili kumwabudu Mfalme,
Bwana wa majeshi, mvua haitanyesha kwao.
18 Na kama jamaa ya Misri hawakwei, wala
hawaji, pia haitanyesha kwao; itakuwako
tauni, ambayo Bwana atawapiga mataifa,
wasiokwea ili kushika sikukuu ya Vibanda.
19 Hii ndiyo adhabu ya Misri, na adhabu ya
mataifa yote, wasiokwea ili kushika sikukuu
ya Vibanda.
20 Siku hiyo katika njuga za farasi yataandikwa
maneno haya, WATAKATIFU KWA Bwana;
navyo vyombo vilivyomo ndani ya nyumba
ya Bwana vitakuwa kama mabakuli yaliyoko
mbele ya madhabahu.
21 Naam, kila chombo katika Yerusalemu,
na katika Yuda, kitakuwa kitakatifu kwa
Bwana wa majeshi; nao wote watoao
dhabihu watakuja kuvitwaa vile vyombo, na
kutokosa nyama ndani yake; wala siku hiyo
hatakuwamo tena mfanya biashara ndani ya
nyumba ya Bwana wa majeshi.
ISAYA 2:2 Na itakuwa katika siku
za mwisho, mlima wa nyumba ya Bwana
utawekwa imara juu ya milima, nao
utainuliwa juu ya vilima; na mataifa yote
watauendea makundi makundi.
3 Na mataifa mengi watakwenda na kusema,
Njoni, twende juu mlimani kwa Bwana,
nyumbani kwa Mungu wa Yakobo, naye
atatufundisha njia zake, nasi tutakwenda
katika mapito yake maana katika Sayuni
itatoka sheria, na neno la Bwana katika
Yerusalemu.
4 Naye atafanya hukumu katika mataifa
mengi, atawakemea watu wa kabila
nyingi; nao watafua panga zao ziwe
majembe, na mikuki yao iwe miundu; taifa
halitainua upanga juu ya taifa lingine, wala
hawatajifunza vita tena kamwe.
MATHAYO 16:27 Kwa sababu Mwana wa
Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake
pamoja na malaika zake; ndipo atakapomlipa
ZEKARIA
386
kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.
MATHAYO 24:35 Mbingu na nchi zitapita;
lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
36 Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna
aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala
Mwana, ila Baba peke yake.
37 Kwa maana kama vile ilivyokuwa siku za
Nuhu, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake
Mwana wa Adamu.
MATHAYO 28:18 Yesu akaja kwao, akasema
nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote
mbinguni na duniani.
YOHANA 4:10 Yesu akajibu, akamwambia,
Kama ungaliijua karama ya Mungu, naye
ni nani akuambiaye, Nipe maji ninywe,
ungalimwomba yeye, naye angalikupa maji
yaliyo hai.
YOHANA 4:14 walakini ye yote
atakayekunywa maji yale nitakayompa
mimi hataona kiu milele; bali yale maji
nitakayompa yatakuwa ndani yake
chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa
milele.
YOHANA 7:37 Hata siku ya mwisho, siku
ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama,
akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu,
na aje kwangu anywe.
38 Aniaminiye mimi, kama vile maandiko
yalivyonena, mito ya maji yaliyo hai itatoka
ndani yake.
39 Na neno hilo alilisema katika habari
ya Roho, ambaye wale wamwaminio
watampokea baadaye; kwa maana Roho
alikuwa hajaja, kwa sababu Yesu alikuwa
hajatukuzwa.
MATENDO YA MITUME 1:10
Walipokuwa wakikaza macho mbinguni,
yeye alipokuwa akienda zake, tazama, watu
wawili wakasimama karibu nao, wenye nguo
nyeupe,
11 wakasema, Enyi watu wa Galilaya, mbona
mmesimama mkitazama mbinguni?
Huyu Yesu aliyechukuliwa kutoka kwenu
kwenda juu mbinguni, atakuja jinsi iyo hiyo
mlivyomwona akienda zake mbinguni.
12 Kisha wakarudi kwenda Yerusalemu kutoka
mlima ulioitwa wa Mizeituni, ulio karibu na
Yerusalemu, wapata mwendo wa sabato.
UFUNUO WA YOHANA 11:13 Na katika
saa ile palikuwa na tetemeko kuu la nchi,
na sehemu ya kumi ya mji ikaanguka;
wanadamu elfu saba wakauawa katika
tetemeko lile. Na waliosalia wakaingiwa na
hofu, wakamtukuza Mungu wa mbingu.
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 16:18 Pakawa
na umeme na sauti na radi; na palikuwa
na tetemeko la nchi kubwa, ambalo tangu
wanadamu kuwako juu ya nchi hapakuwa
namna ile, jinsi lilivyokuwa kubwa tetemeko
hilo.
19 Na mji ule mkuu ukagawanyikana mafungu
matatu, na miji ya mataifa ikaanguka; na
Babeli ule mkuu ukakumbukwa mbele za
Mungu, kupewa kikombe cha mvinyo ya
ghadhabu ya hasira yake.
20 Kila kisiwa kikakimbia, wala milima
ZEKARIA
387
haikuonekana tena.
21 Na mvua ya mawe kubwa sana, ya mawe
mazito kama talanta, ikashuka kutoka
mbinguni juu ya wanadamu. Wanadamu
wakamtukana Mungu kwa sababu ya lile
pigo la mvua ya mawe; kwa maana pigo lake
ni kubwa mno.
UFUNUO WA YOHANA 21:23 Na mji
ule hauhitaji jua wala mwezi kuuangaza,
kwa maana utukufu wa Mungu huutia nuru,
na taa yake ni Mwana-Kondoo.
24 Na mataifa watatembea katika nuru yake. Na
wafalme wa nchi huleta utukufu wao ndani
yake.
25 Na milango yake haitafungwa kamwe
mchana; kwa maana humo hamna usiku.
UFUNUO WA YOHANA 22:1 Kisha
akanionyesha mto wa maji ya uzima, wenye
kung›aa kama bilauri, ukitoka katika kiti cha
enzi cha Mungu, na cha Mwana-Kondoo,
2 katikati ya njia kuu yake. Na upande huu na
upande huu wa ule mto, ulikuwapo mti wa
uzima, uzaao matunda, aina kumi na mbili,
wenye kutoa matunda yake kila mwezi; na
majani ya mti huo ni ya kuwaponya mataifa.
UFUNUO WA YOHANA 22:5 Wala
hapatakuwa na usiku tena; wala hawana haja
ya taa wala ya nuru ya jua; kwa kuwa Bwana
Mungu huwatia nuru, nao watatawala hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 22:17 Na Roho
na Bibi-arusi wasema, Njoo! Naye asikiaye
na aseme, Njoo! Naye mwenye kiu na aje; na
yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure.
Ona pia: #1; #2; #3; #4; #5; Ufunuo wa Yohana 21:1-3.
ZEKARIA
388
E10 Masiha atakuwa pia Masiha wa Wayanuni.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
MALAKI 1:11 Kwa maana tokea maawio
ya jua hata machweo yake jina langu ni
kuu katika Mataifa; na katika kila mahali
unatolewa uvumba na dhabihu safi kwa
jina langu; maana jina langu ni kuu katika
Mataifa, asema Bwana wa majeshi.
ISAYA 66:20 Nao watawaleta ndugu zenu
wote kutoka mataifa yote, kuwa sadaka kwa
Bwana, juu ya farasi, na katika magari, na
katika machela, na juu ya nyumbu, na juu
ya wanyama wepesi, mpaka mlima wangu
mtakatifu Yerusalemu, asema Bwana; kama
vile wana wa Israeli waletavyo sadaka yao
nyumbani kwa Bwana katika chombo safi.
WARUMI 14:11 Kwa kuwa imeandikwa,
Kama niishivyo, anena Bwana, kila goti
litapigwa mbele zangu; Na kila ulimi
utamkiri Mungu.
WAFILIPI 2:10 ili kwa jina la Yesu kila
goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya
duniani, na vya chini ya nchi;
WAEBRANIA 9:9 ambayo ndiyo mfano wa
wakati huu uliopo sasa; wakati huo sadaka
na dhabihu zinatolewa, zisizoweza kwa jinsi
ya dhambi kumkamilisha mtu aabuduye,
10 kwa kuwa ni sheria za jinsi ya mwili tu,
vyakula na vinywaji na kutawadha kwingine
kwingine, zilizoamriwa hata wakati wa
matengenezo mapya.
11 Lakini Kristo akiisha kuja, aliye kuhani
mkuu wa mambo mema yatakayokuwapo,
kwa hema iliyo kubwa na kamilifu zaidi,
isiyofanyika kwa mikono, maana yake, isiyo
ya ulimwengu huu,
12 wala si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali
kwa damu yake mwenyewe aliingia mara
moja tu katika Patakatifu, akiisha kupata
ukombozi wa milele.
UFUNUO WA YOHANA 8:3 Na
malaika mwingine akaja akasimama mbele
ya madhabahu, mwenye chetezo cha
dhahabu, akapewa uvumba mwingi, ili autie
pamoja na maombi ya watakatifu wote juu
ya madhabahu ya dhahabu, iliyo mbele ya
kiti cha enzi.
4 Na moshi wa ule uvumba ukapanda mbele
za Mungu pamoja na maombi ya watakatifu,
kutoka mkononi mwa malaika.
Ona pia: #1; #4; #5; Zaburi 113:3,4; Isaya 45:6; Isaya 59:19.
C02 Mtangulizi wa Masiha anatangazwa.
MALAKI 3:1 Angalieni, namtuma mjumbe
wangu, naye ataitengeneza njia mbele yangu;
naye Bwana mnayemtafuta atalijilia hekalu
lake ghafula; naam, yule mjumbe wa agano
mnayemfurahia, angalieni, anakuja, asema
Bwana wa majeshi.
ISAYA 40:3 Sikiliza, ni sauti ya mtu
aliaye, Itengenezeni nyikani njia ya Bwana;
Nyosheni jangwani njia kuu kwa Mungu
wetu.
MATHAYO 3:3 Kwa sababu huyo ndiye
aliyenenwa na nabii Isaya, akisema, Sauti
ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni njia ya
Bwana, Yanyosheni mapito yake.
MATHAYO 11:10 Huyo ndiye aliyeandikiwa
MALAKI
389
haya, Tazama, mimi namtuma
mjumbe wangu Mbele ya uso wako,
Atakayeitengeneza njia yako mbele yako.
11 Amin, nawaambieni, Hajaondokea mtu
katika wazao wa wanawake aliye mkuu
kuliko Yohana Mbatizaji; walakini aliye
mdogo katika ufalme wa mbinguni ni mkuu
kuliko yeye.
MARKO 1:2 Kama ilivyoandikwa
katika nabii Isaya, Tazama, namtuma
mjumbe wangu Mbele ya uso wako,
Atakayeitengeneza njia yako.
3 Sauti ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni
njia ya Bwana, Yanyosheni mapito yake.
4 Yohana alitokea, akibatiza nyikani, na
kuuhubiri ubatizo wa toba liletalo ondoleo la
dhambi.
LUKA 1:76 Nawe, mtoto, utaitwa nabii
wake Aliye juu, Kwa maana utatangulia
mbele za uso wa Bwana umtengenezee njia
zake;
77 Uwajulishe watu wake wokovu, Katika
kusamehewa dhambi zao.
78 Kwa njia ya rehema za Mungu wetu,
Ambazo kwa hizo mwangaza utokao juu
umetufikia,
79 Kuwaangaza wakaao katika giza na uvuli wa
mauti, Na kuiongoza miguu yetu kwenye
njia ya amani.
LUKA 7:26 Lakini, mlitoka kwenda
kuona nini? Nabii? Naam, nawaambia, na
aliye zaidi ya nabii.
27 Huyo ndiye aliyeandikiwa haya, Tazama,
namtuma mjumbe wangu Mbele ya uso
wako, Atakayeitengeneza njia yako mbele
yako.
28 Nami nawaambia, Katika wale waliozaliwa
na wanawake hakuna aliye mkuu kuliko
Yohana; lakini aliye mdogo katika ufalme wa
Mungu ni mkuu kuliko yeye.
LUKA 10:24 Kwa kuwa nawaambia
ya kwamba manabii wengi na wafalme
walitamani kuyaona mnayoyaona ninyi
wasiyaone; na kuyasikia mnayoyasikia ninyi
wasiyasikie.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
MALAKI 3:2 Lakini ni nani
atakayestahimili siku ya kuja kwake? Au ni
nani atakayesimama atakapoonekana yeye?
Kwa maana yeye ni mfano wa moto wa mtu
asafishaye fedha, ni mfano wa sabuni ya mtu
afuaye nguo;
3 naye ataketi kama asafishaye fedha na
kuitakasa, naye atawatakasa wana wa Lawi,
atawasafisha kama dhahabu na fedha; nao
watamtolea Bwana dhabihu katika haki.
4 Wakati ule ndipo dhabihu za Yuda na
Yerusalemu zitakapopendeza mbele za
Bwana, kama katika siku za kale, na kama
katika miaka ya zamani.
5 Nami nitawakaribieni ili kuhukumu;
nami nitakuwa shahidi mwepesi juu ya
wachawi, na juu ya wazinzi, na juu yao
waapao kwa uongo; na juu yao wamwoneao
mwenye kuajiriwa, kwa ajili ya mshahara
wake, wamwoneao mjane na yatima, na
kumpotosha mgeni asipate haki yake,
wala hawaniogopi mimi, asema Bwana wa
majeshi.
16 Ndipo wale waliomcha Bwana
MALAKI
390
waliposemezana wao kwa wao. Naye
Bwana akasikiliza, akasikia; na kitabu cha
ukumbusho kikaandikwa mbele zake,
kwa ajili ya hao waliomcha Bwana, na
kulitafakari jina lake.
17 Nao watakuwa wangu, asema Bwana
wa majeshi, katika siku ile niifanyayo;
naam, watakuwa hazina yangu hasa; nami
nitawaachilia, kama vile mtu amwachiliavyo
mwanawe mwenyewe amtumikiaye.
18 Ndipo mtakaporudi, nanyi mtapambanua
kati ya wenye haki na waovu, na kati ya yeye
amtumikiaye Mungu na yeye asiyemtumikia.
DANIELI 7:10 Mto kama wa moto
ukatoka ukapita mbele zake; maelfu elfu
wakamtumikia, na elfu kumi mara elfu
kumi wakasimama mbele zake; hukumu
ikawekwa, na vitabu vikafunuliwa.
MATHAYO 3:10 Na shoka limekwisha
kuwekwa penye mashina ya miti; basi kila
mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na
kutupwa motoni.
11 Kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya
toba; bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu
kuliko mimi, wala sistahili hata kuvichukua
viatu vyake; yeye atawabatiza kwa Roho
Mtakatifu na kwa moto.
12 Ambaye pepeto lake li mkononi mwake,
naye atausafisha sana uwanda wake; na
kuikusanya ngano yake ghalani, bali makapi
atayateketeza kwa moto usiozimika.
MATHAYO 12:35 Mtu mwema katika akiba
njema hutoa mema; na mtu mbaya katika
akiba mbaya hutoa mabaya.
36 Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana,
watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu
ya neno hilo siku ya hukumu.
37 Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa
haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
YOHANA 12:48 Yeye anikataaye mimi,
asiyeyakubali maneno yangu, anaye
amhukumuye; neno hilo nililolinena ndilo
litakalomhukumu siku ya mwisho.
YOHANA 17:24 Baba, hao ulionipa nataka
wawe pamoja nami po pote nilipo, wapate
na kuutazama utukufu wangu ulionipa; kwa
maana ulinipenda kabla ya kuwekwa msingi
ulimwengu.
WAEFESO 5:26 ili makusudi alitakase na
kulisafisha kwa maji katika neno;
2 WATHESALONIKE 1:7 na kuwalipa ninyi
mteswao raha pamoja na sisi; wakati wa
kufunuliwa kwake Bwana Yesu kutoka
mbinguni pamoja na malaika wa uweza
wake
8 katika mwali wa moto; huku akiwalipiza
kisasi wao wasiomjua Mungu, na wao
wasioitii Injili ya Bwana wetu Yesu;
TITO 2:14 ambaye alijitoa nafsi yake
kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi
yote, na kujisafishia watu wawe milki yake
mwenyewe, wale walio na juhudi katika
matendo mema.
1 PETRO 2:5 Ninyi nanyi, kama mawe
yaliyo hai, mmejengwa mwe nyumba ya
Roho, ukuhani mtakatifu, mtoe dhabihu za
roho, zinazokubaliwa na Mungu, kwa njia ya
Yesu Kristo.
UFUNUO WA YOHANA 1:6 na
kutufanya kuwa ufalme, na makuhani kwa
MALAKI
391
Mungu, naye ni Baba yake; utukufu na ukuu
una Yeye hata milele na milele. Amina.
7 Tazama, yuaja na mawingu; na kila jicho
litamwona, na hao waliomchoma; na kabila
zote za dunia wataomboleza kwa ajili yake.
Naam. Amina.
UFUNUO WA YOHANA 6:17 Kwa
maana siku iliyo kuu, ya hasira yao, imekuja;
naye ni nani awezaye kusimama?
UFUNUO WA YOHANA 15:4 Ni
nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza
jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako
u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote
watakuja na kusujudu mbele zako; kwa
kuwa matendo yako ya haki yamekwisha
kufunuliwa.
Ona pia: #1; #2; #5; Malaki 4:1; Amosi 5:18-20; Mathayo 23:13-35; Luka 3:9,17; Luka 12:49; Yohana 4:23,24; Warumi 11:5-10;
Waebrania 10:28-30; Waebrania 12:25,26.
H02 Hukumu ya Masiha ya siku zijazo.
H03 Ufalme wa Masiha wa siku zijazo.
H09 Unabii wa mustakabali wa watu Wake.
MALAKI 4:1 Kwa maana, angalieni, siku
ile inakuja, inawaka kama tanuru; na watu
wote wenye kiburi, nao wote watendao uovu,
watakuwa makapi; na siku ile inayokuja
itawateketeza, asema Bwana wa majeshi;
hata haitawaachia shina wala tawi.
2 Lakini kwenu ninyi mnaolicha jina langu,
jua la haki litawazukia, lenye kuponya
katika mbawa zake; nanyi mtatoka nje, na
kucheza-cheza kama ndama wa mazizini.
3 Nanyi mtawakanyaga waovu; maana
watakuwa majivu chini ya nyayo za miguu
yenu; katika siku ile niifanyayo, asema
Bwana wa majeshi.
4 Ikumbukeni torati ya Musa, mtumishi
wangu, niliyomwamuru huko Horebu kwa
ajili ya Israeli wote, naam, amri na hukumu.
MATHAYO 3:12 Ambaye pepeto lake li
mkononi mwake, naye atausafisha sana
uwanda wake; na kuikusanya ngano yake
ghalani, bali makapi atayateketeza kwa moto
usiozimika.
LUKA 1:50 Na rehema zake hudumu
vizazi hata vizazi Kwa hao wanaomcha.
YOHANA 1:4 Ndani yake ndimo
ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa
nuru ya watu.
5 Nayo nuru yang›aa gizani, wala giza
halikuiweza.
YOHANA 3:19 Na hii ndiyo hukumu; ya
kuwa nuru imekuja ulimwenguni, na watu
wakapenda giza kuliko nuru; kwa maana
matendo yao yalikuwa maovu.
YOHANA 8:12 Basi Yesu akawaambia tena
akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu,
yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe,
bali atakuwa na nuru ya uzima.
MATENDO YA MITUME 13:26 Ndugu
zangu, wana wa ukoo wa Ibrahimu, na hao
miongoni mwenu wanaomcha Mungu,
kwetu sisi neno la wokovu huu limepelekwa.
WARUMI 16:20 Naye Mungu wa amani
atamseta Shetani chini ya miguu yenu upesi.
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na iwe
pamoja nanyi. [Amina.]
MALAKI
392
2 WATHESALONIKE 1:8 katika mwali
wa moto; huku akiwalipiza kisasi wao
wasiomjua Mungu, na wao wasioitii Injili ya
Bwana wetu Yesu;
UFUNUO WA YOHANA 11:15 Malaika
wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti
kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa
dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana
wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata
milele na milele.
UFUNUO WA YOHANA 11:18 Na
mataifa walikasirika, hasira yako nayo ikaja,
na wakati ukaja wa kuhukumiwa waliokufa,
na wa kuwapa thawabu yao watumwa wako
manabii na watakatifu, na hao walichao
jina lako, wadogo kwa wakubwa, na wa
kuwaharibu hao waiharibuo nchi.
Ona pia: #1; #2; #5; Isaya 50:10; Isaya 66:1,2; 2 Petro 3:7.
C02 Mtangulizi wa Masiha anatangazwa.
D02 Kazi ya Masiha kama Nabii.
E23 Masiha atawabadilisha watu Wake.
MALAKI 4:5 Angalieni, nitawapelekea
Eliya nabii, kabla haijaja siku ile ya Bwana,
iliyo kuu na kuogofya.
6 Naye ataigeuza mioyo ya baba iwaelekee
watoto wao, na mioyo ya watoto iwaelekee
baba zao, ili nisije nikaipiga dunia kwa
laana.
MATHAYO 11:13 Kwa maana manabii wote na
torati walitabiri mpaka wakati wa Yohana.
14 Na ikiwa mnataka kukubali, yeye ndiye Eliya
atakayekuja.
MATHAYO 17:11 Naye akajibu, akawaambia,
Kweli Eliya yuaja kwanza, naye atatengeneza
yote,
12 ila nawaambia, ya kwamba Eliya amekwisha
kuja, wasimtambue, lakini wakamtenda yote
waliyotaka. Vivyo hivyo Mwana wa Adamu
naye yuaenda kuteswa kwao.
13 Ndipo wale wanafunzi walipofahamu ya
kuwa amesema nao habari za Yohana
Mbatizaji.
LUKA 1:16 Na wengi katika Waisraeli
atawarejeza kwa Bwana Mungu wao.
17 Naye atatangulia mbele zake katika roho ya
Eliya, na nguvu zake, ili kuigeuza mioyo ya
baba iwaelekee watoto, na kuwatilia waasi
akili za wenye haki, na kumwekea Bwana
tayari watu waliotengenezwa.
YOHANA 1:14 Naye Neno alifanyika mwili,
akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake,
utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa
Baba; amejaa neema na kweli.
15 Yohana alimshuhudia, akapaza sauti yake
akasema, Huyu ndiye niliyenena habari zake
ya kwamba, Ajaye nyuma yangu amekuwa
mbele yangu; kwa maana alikuwa kabla
yangu.
16 Kwa kuwa katika utimilifu wake sisi sote
tulipokea, na neema juu ya neema.
17 Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa
Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono
wa Yesu Kristo.
MATENDO YA MITUME 3:22 Kwa
maana Musa kweli alisema ya kwamba,
Bwana Mungu wenu atawainulieni nabii,
katika ndugu zenu, kama mimi; msikieni
yeye katika mambo yote atakayonena nanyi.
23 Na itakuwa ya kwamba kila mtu
MALAKI
393
asiyemsikiliza nabii huyo ataangamizwa na
kutengwa na watu wake.
UFUNUO WA YOHANA 1:16 Naye
alikuwa na nyota saba katika mkono wake
wa kuume; na upanga mkali, wenye makali
kuwili, ukitoka katika kinywa chake; na uso
wake kama jua liking›aa kwa nguvu zake.
Ona pia: #5; Isaya 40:3; Malaki 3:1; Mathayo 13:14-26; Mathayo 23:35-38; Mathayo 24:27-30; Mathayo 27:47-49; Marko 9:11-13; Luka 1:76; Luka 7:26-28; Luka 19:41-44; Luka 21:22-27; Yohana
1:21,25.
MALAKI
394
395
Nukuu na vionyeshi vya Biblia ya Kiebrania
kwenye Vitabu vya Matendo ya Mitume.
MATHAYO
1:23 Isaya 7:14
2:6 Mika 5:1
2:15 Hosea 11:1
2:18 Yeremia 31:15
2:23 Hesabu 6:13; Zaburi 69:9,10;
Isaya 53:2
3:3 Isaya 40:3
4:4 Kumbukumbu la Torati 8:3
4:6 Zaburi 91:11,12
4:10 Kumbukumbu la Torati 6:13,14;
Kumbukumbu la Torati 10:20
4:15,16 Isaya 9:1,2
4:7 Kumbukumbu la Torati 6:16
5:3 Isaya 57:15
5:4 Isaya 61:2,3
5:5 Isaya 29:19; Isaya 61:1
5:6 Isaya 41:17; Isaya 49:10;
Isaya 55:1-3
5:7 Zaburi 112:4; Mika 6:8
5:8 Zaburi 73:1; Mithali 22:11;
Ezekieli 36:25
5:11 Isaya 66:5
5:12 Isaya 3:10
5:13 Mambo ya Walawi 2:13; Ayubu 6:6;
5:14 Mithali 4:18
5:15 Kutoka 25:37
5:16 Isaya 60:1-3; Isaya 61:3
5:17 Zaburi 40:7-9; Isaya 42:21
5:18 Isaya 40:8; Isaya 51:6; Zaburi 119:89
5:19 Kumbukumbu la Torati 12:32;
Kumbukumbu la Torati 27:26;
Danieli 12:3
5:21 Mwanzo 9:5,6; Kutoka 20:13;
Kumbukumbu la Torati 5:17
5:23-24 Kumbukumbu la Torati 16:16,17;
Isaya 1:10-17
MATHAYO
5:25 Mithali 25:8
5:27 Kutoka 20:14;
Kumbukumbu la Torati 5:18
5:31 Kumbukumbu la Torati 24:1
5:33 Mambo ya Walawi 19:12; Hesabu 30:2
5:34,35 Hosea 4:15; Zekaria 5:3
5:38 Kutoka 21:24
5:42 Kumbukumbu la Torati 15:7-14
5:43 Mambo ya Walawi 19:18;
Zaburi 139:21
5:44 Kutoka 23:45
5:48 Mambo ya Walawi 19:2;
Mambo ya Walawi 20:26
6:2 Zaburi 37:21; Mithali 20:6
6:4 Isaya 58:10-12
6:5,6 2 Wafalme 4:33; Danieli 6:10
6:7 Mhubiri 5:2
6:8 Zaburi 38:10
6:9 Isaya 63:16; Isaya 64:8
6:10 Danieli 2:44; Danieli 7:27
6:11 Kutoka 16:16-35
6:12 Kutoka 34:7; Isaya 1:18
6:13 Kumbukumbu la Torati 8:2
6:16 Isaya 58:3-5
6:17 Mhubiri 9:8; Danieli 10:3
6:19 Zaburi 62:11; Mhubiri 5:10-14
6:24 Kutoka 20:39
6:25 Zaburi 55:23
6:26 Mwanzo 1:29-30
6:31 Mambo ya Walawi 25:20-22;
Zaburi 55:23
6:33 1 Wafalme 3:11-13; Mithali 3:9,10
6:34 Kutoka 16:18-20; Maombolezo 3:23
7:3 2 Samweli 12:5; Zaburi 50:16-21
7:7 Isaya 55:6,7; Yeremia 29:12,13
7:11 Mwanzo 8:5; Zaburi 103:11-13
7:12 Amosi 5:14,15; Zekaria 8:16,17
7:14 Isaya 35:8
7:15 Kumbukumbu la Torati 13:1-3
MAREJELEO YA BIBLIA YA KIEBRANIA (AGANO LA KALE)
396
MATHAYO
7:17 Zaburi 92:14,15
7:18 Yeremia 17:8
7:19 Ezekieli 15:2-7
7:21 Isaya 29:13; Hosea 8:2,3
7:23 Zaburi 6:9
7:26,27 Ezekieli 13:10-16
7:29 Kumbukumbu la Torati 18:18,19
8:17 Isaya 53:4
9:13 Mithali 21:3; Hosea 6:6;
Mika 6:6-8
10:35,36 Mwanzo 3:15; Yeremia 12:6
10:37 Kumbukumbu la Torati 33:9
10:41 Mwanzo 20:7
11:5 Isaya 29:18; Isaya 35:4-6;
Isaya 42:6-7
11:10 Malaki 3:1
11:14 Malaki 4:5
11:23 Isaya 14:13,15
11:24 Maombolezo 4:6
11:25 Zaburi 8:3; Yeremia 1:5-8
11:26 Isaya 45:10
11:28 Isaya 11:10; Isaya 55:1-3;
Yeremia 6:16
11:29 Isaya 42:1-4; Zekaria 9:9;
Yeremia 6:16
12:1 Kumbukumbu la Torati 23:25
12:2 Kutoka 23:12; Hesabu 15:32-36
12:3 1 Samweli 21:3-6
12:4 Kutoka 25:30; Kutoka 29:33;
Mambo ya Walawi 24:8-9
12:5 Hesabu 28:19,20; Nehemia 13:17
12:6 Malaki 3:1
12:7 Isaya 1:11-17; Hosea 6:6;
Mika 6:6-8
12:11 Kutoka 23:4,5
12:17,21 Isaya 11:2,10; Isaya 42:14;
Isaya 49:6
12:35 Zaburi 37:30,31
12:36 Mhubiri 12:14
MATHAYO
12:37 Mithali 13:3
12:40 Yona 1:17
12:41,42 1 Wafalme 10:110
13:3 Ezekieli 17:2; Ezekieli 24:3
13:11 Zaburi 25:8,9,14; Isaya 29:10
13:13 Isaya 44:15; Ezekieli 12:2
13:14,15 Isaya 6:9,10; Isaya 29:10,12
13:35 Zaburi 78:2
13:43 Danieli 12:3
15:4 Kutoka 20:12; Mambo ya Walawi 20:9;
Kumbukumbu la Torati 5:16
15:8 Isaya 29:3
15:13 Zaburi 92:14; Isaya 60:21
15:14 Isaya 9:16
15:18 Mithali 10:32
15:19 Mwanzo 6:5; Yeremia 17:9
16:4 Yona 1:17
16:27 Zaburi 62:13; Danieli 7:10
17:11 Malaki 4:5,6
18:10 Zaburi 34:8; Zaburi 91:11;
Zekaria 13:7
18:14 Isaya 40:11; Zekaria 13:7
18:15 Mambo ya Walawi 19:17
18:16 Kumbukumbu la Torati 19:15
18:22 Isaya 55:7
19:4 Mwanzo 1:27
19:5,6 Mwanzo 2:24
19:7 Kumbukumbu la Torati 24:1
19:9 Yeremia 3:1
19:18 Kutoka 20:12-17;
Kumbukumbu la Torati 5:16-21
19:19 Mambo ya Walawi 19:3
19:23 Kumbukumbu la Torati 8:10-18
19:26 Yeremia 32:27; Zekaria 8:6
19:28 Isaya 66:22; Danieli 7:22
21:4,5 Zekaria 9:9
21:9 Zaburi 118:26
21:12 Malaki 3:1,2
21:13 Isaya 56:7
MAREJELEO YA BIBLIA YA KIEBRANIA (AGANO LA KALE)
397
MAREJELEO YA BIBLIA YA KIEBRANIA (AGANO LA KALE)
MATHAYO
21:16 Zaburi 8:4
21:42 Zaburi 118:22,23
21:43 Kutoka 32:10; Isaya 26:2; Isaya 55:5
21:44 Isaya 8:14; Zekaria 12:3
22:32 Kutoka 3:6
22:37 Kumbukumbu la Torati 6:5;
Kumbukumbu la Torati 10:12;
Kumbukumbu la Torati 30:6
22:39 Mambo ya Walawi 19:18
22:44 Zaburi 110:1
23:12 Mithali 29:23; Isaya 57:15
23:35 Mwanzo 4:28;
2 Mambo ya Nyakati 24:20-22
23:38 Yeremia 22:5
23:39 Zaburi 118:26
24:15 Danieli 9:27
24:21 Danieli 12:1
24:29 Isaya 13:10; Ezekieli 32:7,8; Yoeli 2:31
24:30 Danieli 7:10,13; Zekaria 12:10
24:31 Isaya 11:12; Isaya 27:13
24:35 Zaburi 102:27; Isaya 51:6
25:31 Danieli 7:13,14
25:32 Ezekieli 34:17-22
25:35 Mwanzo 18:2-8; Mithali 25:21
25:36 Ayubu 31:19,20
25:46 Danieli 12:2
26:15 Zekaria 11:12,13
26:23 Zaburi 41:10
26:31 Zekaria 13:7
26:52 Mwanzo 9:6
26:54 Zaburi 22:1-32; Isaya 53:1-12
26:56 Zekaria 13:7
26:64 Zaburi 110:1; Danieli 7:13
27:9-10 Zekaria 11:12,13
27:35 Zaburi 22:19
28:18 Zaburi 2:6-9; Zaburi 8:7; Danieli 7:14
MARKO
1:11 Zaburi 2:7; Isaya 42:1
1:2,3 Isaya 40:3; Malaki 3:1
1:15 Danieli 2:44
1:17 Ezekieli 47:10
1:24 Zaburi 89:19,20
2:25 1 Samweli 21:3-6
2:26 Mambo ya Walawi 24:9
2:27 Kutoka 31:14;
Kumbukumbu la Torati 5:12-15
4:2 Zaburi 78:2
4:3-9 Isaya 55:10,11
4:12 Isaya 6:9,10
4:22 Zaburi 78:2-4; Zaburi 90:9,10
4:27 Mhubiri 8:17
4:29 Yoeli 3:13
4:30-32 Ezekieli 31:5,6; Danieli 4:10-12
4:39 Zaburi 107:29; Zaburi 93:4
6:34 Yeremia 50:6; Zekaria 10:2
6:45-52 Zaburi 107:2332
7:6 Isaya 29:13; Ezekieli 33:31
7:10 Kutoka 20:12;
Kumbukumbu la Torati 5:16
7:21-23 Mwanzo 6:5; Zaburi 14:1,3
7:24 Isaya 42:2
8:18 Zaburi 115:5-7; Yeremia 5:21
8:31 Hosea 6:2; Yona 1:17
8:37 Zaburi 49:8,9
9:2 Isaya 33:17
9:3 Danieli 7:9
9:7 Danieli 7:13
9:11 Malaki 3:1; Malaki 4:5
9:12 Zaburi 22:1-32; Isaya 40:3-5;
Isaya 53:1-12
9:13 Malaki 4:5,6
9:44-48 Isaya 66:24
9:49 Mambo ya Walawi 2:13
10:6 Mwanzo 1:27; Mwanzo 5:2
10:7,8 Mwanzo 2:24
398
MARKO
10:18 1 Samweli 2:12; Zaburi 86:5
10:19 Kutoka 20:1217;
Kumbukumbu la Torati 5:1620
10:34 Zaburi 16:10; Zaburi 22:7-9,14
10:34 Isaya 53:10; Hosea 6:2
10:44 Isaya 53:10-12; Danieli 9:24,26
11:7 Zekaria 9:9
11:9 Zaburi 118:26
11:10 Ezekieli 34:24; Ezekieli 37:24
11:17 Isaya 56:7; Yeremia 7:11
12:10,11 Zaburi 118:22,23
12:19 Mwanzo 38:8;
Kumbukumbu la Torati 25:5-10
12:26 Kutoka 3:6,16
12:29,30 Kumbukumbu la Torati 6:4,5;
Kumbukumbu la Torati 10:12;
Mambo ya Walawi 19:18
12:36 Zaburi 110:1
13:8 Hagai 2:22; Zekaria 14:13
13:14 Danieli 11:31; Danieli 12:11
13:19 Danieli 9:12; Danieli 12:1
13:24,25 Isaya 13:10; Isaya 24:20-23; Yoeli 2:31
13:26 Danieli 7:13-14
13:27 Kumbukumbu la Torati 30:4;
Danieli 7:13
13:31 Zaburi 102:26-28; Isaya 40:8;
Isaya 51:6
14:18 Zaburi 41:10
14:21 Isaya 53:1-12; Danieli 9:26
14:27 Zekaria 13:7
14:50 Zaburi 38:12; Zaburi 88:9; Isaya 63:3
14:62 Zaburi 110: 1; Danieli 7:13
14:65 Isaya 50:6; Mika 4:14
15:24 Zaburi 22:19
15:28 Isaya 53:12
15:29 Zaburi 22:8,9; Zaburi 109:25;
Maombolezo 1:12
15:34 Zaburi 22:2
15:36 Zaburi 69:22
LUKA
1:17 Malaki 4:5,6
1:48 Zaburi 113:7,8; Zaburi 136:23;
Malaki 3:12
1:50 Mwanzo 17:7; Zaburi 103:17
1:51 Zaburi 98:1; Isaya 21:10
1:52 Zaburi 107:40,41; Amosi 9:11
1:53 Zaburi 107:9
1:54 Zaburi 98:3
1:55 Mwanzo 12:3; Mwanzo 22:18;
Mwanzo 28:14
1:69 1 Samweli 2:10; Zaburi 132:17,18;
Ezekieli 29:21
1:70 Mwanzo 3:15;
Kumbukumbu la Torati 18:15-19;
Danieli 9:24-27
1:71 Kumbukumbu la Torati 33:29;
Zaburi 106:10;
Isaya 14:1-3
1:72 Mwanzo 12:3; Mwanzo 28:14;
Zaburi 98:3
1:73 Mwanzo 22:16,17
1:74 Sefania 3:15; Zekaria 9:8-10
1:75 Yeremia 31:33,34
1:76 Malaki 3:1; Malaki 4:5
1:78 Hesabu 24:17; Malaki 4:2
1:79 Isaya 9:1; Isaya 60:1-3
2:21 Mwanzo 17:12;
Mambo ya Walawi 12:3
2:23 Kutoka 13:2,12,15
2:24 Mambo ya Walawi 12:6-8
2:31 Zaburi 96:13; Zaburi 98:2,3
2:32 Isaya 49:6
2:34 Isaya 8:14,15
3:46 Isaya 40:35
4:4 Kumbukumbu la Torati 8:3
4:8 Kumbukumbu la Torati 6:13;
Kumbukumbu la Torati 10:20;
Zaburi 83:18
MAREJELEO YA BIBLIA YA KIEBRANIA (AGANO LA KALE)
399
LUKA
4:10,11 Zaburi 91:11,12
4:12 Kumbukumbu la Torati 6:16
4:17-19 Isaya 61:1,2
4:25,26 1 Wafalme 17:116
4:27 2 Wafalme 5:1-14
5:14 Mambo ya Walawi 13:2
5:21 Kutoka 34:7;
Mambo ya Walawi 24:16
6:2 Kutoka 31:15; Kutoka 35:2
6:3,4 Mambo ya Walawi 24:5-9;
1 Samweli 21:3-6
6:21 Zaburi 126:5,6; Isaya 55:1,2
7:21-22 Zaburi 146:8; Isaya 28:18,19
7:27 Yeremia 4:3; Malaki 4:5
8:21 Kumbukumbu la Torati 29:4;
Zaburi 25:14
9:16,17 2 Wafalme 4:42-44
9:54 2 Wafalme 1:10-14
9:61,62 1 Wafalme 19:1922
10:42 Zaburi 27:4; Zaburi 62:13
11:31,32 1 Wafalme 10:1,2;
2 Mambo ya Nyakati 9:1;
Isaya 9:5,6
13:14 Kutoka 20:9; Kutoka 23:12;
Mambo ya Walawi 23:3
14:11 Isaya 57:15
14:16 Isaya 25:6
15:11-32 Kumbukumbu la Torati 21:1521
16:8 Zaburi 27:4; Zaburi 49:11-20
17:25 Isaya 53:3
17:26,27 Mwanzo 7:7-23
17:28 Mwanzo 19:4-15
17:29 Mwanzo 19:16-25
17:32 Mwanzo 19:26
18:7 Zaburi 55:18; Zaburi 86:3;
Yeremia 20:11-13
18:11 Yeremia 2:35
18:19 Ayubu 14:4
18:20 Kutoka 20:12-17
LUKA
18:22 Zaburi 27:4
18:31 Zaburi 22:1-32; Zaburi 69:1-37;
Isaya 53:1-12
18:32 Isaya 50:6; Isaya 52:14; Isaya 53:3
18:33 Zaburi 71:20; Hosea 6:2
19:38 Zekaria 9:9
19:41 Yeremia 17:16; Hosea 11:8
19:42 Kumbukumbu la Torati 5:29;
Isaya 6:9,10;
Isaya 29:10-14
19:43 Kumbukumbu la Torati 28:49-58;
Danieli 9:26,27
19:44 Isaya 29:3; Yeremia 6:6; Danieli 9:24;
Mika 3:12
20:17 Zaburi 118:22
20:18 Isaya 8:14,15
20:42,43 Zaburi 2:1-9; Zaburi 110:1
20:44 Zaburi 2:7; Zaburi 89:28; Zaburi 110:1
21:6 Isaya 64:10,11; Mika 3:12;
Zekaria 14:2
21:10 Zekaria 14:2,3,13
21:20 Danieli 9:27
21:22 Mhubiri 9:12; Danieli 9:26,27
21:25 Isaya 13:10,13; Ezekieli 32:7,8;
Yoeli 2:30,31
21:26 Kumbukumbu la Torati 28:32-34,65-67
21:27 Danieli 7:13
21:33 Zaburi 102:27; Isaya 51:6
21:34,35 Isaya 24:17
22:2 Zaburi 2:1-5
22:3 Zaburi 41:10; Zaburi 55:13-15
22:21 Zaburi 41:10
22:22 Zaburi 22:1-32; Zaburi 55:13-16;
Zaburi 109:6-8
22:30 Zaburi 49:15
22:37 Isaya 53:12
22:63 Isaya 50:6; Mika 4:14
22:69 Zaburi 110:1; Danieli 7:14
23:30 Yeremia 2:19; Hosea 10:8
MAREJELEO YA BIBLIA YA KIEBRANIA (AGANO LA KALE)
400
LUKA
23:34 Zaburi 22:19
23:36 Zaburi 69:22
23:46 Zaburi 31:6
23:53 Isaya 53:9
24:36 Mambo ya Walawi 16:28
24:46,47 Mwanzo 49:10; Hesabu 21:6-9;
Kumbukumbu la Torati 18:15;
24:46,47 Zaburi 22:1-32; Isaya 53:1-12;
Mika 5:1-3;
YOHANA
1:1 Mwanzo 1:1; Mithali 8:22-31
1:3 Isaya 45:12,18
1:10 Mwanzo 11:6-7
1:14 Zaburi 45:3; Isaya 7:14; Isaya 60:1,2
1:15 Mithali 8:22; Isaya 9:5
1:18 Kutoka 33:20-23; Yoshua 5:13-15;
Mithali 8:30
1:19 Mambo ya Walawi 16:21,22;
Isaya 53:11
1:23 Isaya 40:3
1:45 Kumbukumbu la Torati 18:1518;
Isaya 4:2;
Mika 5:1; Zekaria 6:12
1:51 Danieli 7:9-14
2:17 Zaburi 69:10
3:14 Hesabu 21:9
3:17 Isaya 53:10-12
3:35 Mithali 8:30; Isaya 42:1
3:36 Zaburi 2:12; Habakuk 2;4
4:23 Isaya 58:9,10
4:24 Isaya 57:15; Isaya 58:9,10
5:10 Isaya 58:13; Yeremia 17:21,27
5:19 Mwanzo 1:26
5:20 Mithali 8:22-31
5:37 Kutoka 20:19;
Kumbukumbu la Torati 4:12
5:46 Kumbukumbu la Torati 18:15,18,19
6:14 Kumbukumbu la Torati 18:15-18
YOHANA
6:31,35 Zaburi 78:24,25; Kutoka 16:4,8,15;
Hesabu 11:69
6:39 Hesabu 26:65
6:45 Isaya 54:13; Yeremia 31:33,34
7:2 Kumbukumbu la Torati 16:13-16;
Zekaria 14:16-19
7:3 Yeremia 12:6
7:6 Zaburi 102:14; Mhubiri 3:1
7:7 Mithali 8:36; Isaya 49:7; Zekaria 11:8
7:10 Zaburi 40:9; Isaya 42:2,3
7:15 Amosi 7:15
7:17 Zaburi 25:8,9,12
7:22 Mwanzo 17:10-14
7:24 Kumbukumbu la Torati 1:16,17,19
7:38 Kumbukumbu la Torati 18:15
7:41,42 Mika 5:1
7:51 Kumbukumbu la Torati 17:8-11;
Kumbukumbu la Torati 19:15-19
8:5 Mambo ya Walawi 20:10
8:7 Kumbukumbu la Torati 17:6;
Zaburi 50:16-20; Yeremia 17:13
8:12 Isaya 9:1; Isaya 49:6; Isaya 60:1-3
8:16 Zaburi 98:9; Yeremia 23:5,6
8:17 Kumbukumbu la Torati 19:15
8:28 Kumbukumbu la Torati 18:18
8:42 Kumbukumbu la Torati 18:18
8:44 Mwanzo 3:3-7
8:56 Mwanzo 22:18
9:5 Isaya 42:6,7; Isaya 49:6
10:9 Zaburi 23:1-6; Ezekieli 34:12-16
10:11 Isaya 40:11; Ezekieli 37:24;
Mika 5:3
10:12 Isaya 56:10-12; Ezekieli 34:2-6
10:16 Mwanzo 49:10; Zekaria 8:20-23
10:30 Zekaria 14:9
10:34 Zaburi 82:6
12:13 Zaburi 118:25,26; Sefania 3:15
12:15 Isaya 62:11; Sefania 3:16,17;
Zekaria 2:9-11
MAREJELEO YA BIBLIA YA KIEBRANIA (AGANO LA KALE)
401
YOHANA
12:37,38 Isaya 53:1
12:40 Isaya 6:10; Isaya 29:10
12:46 Isaya 42:6,7; Malaki 4:2
12:49 Kumbukumbu la Torati 18:18
13:18 Zaburi 41:10
13:21,26 Zaburi 41:10
14:21 Kumbukumbu la Torati 30:6-8;
Yeremia 31:31-34
14:31 Zaburi 40:9
15:25 Zaburi 35:19; Zaburi 69:5;
Zaburi 109:3
16:32 Zekaria 13:7
16:33 Zaburi 68:19; Zaburi 85:9-12;
Isaya 9:5,6
17:12 Zaburi 109:6-8
18:22 Isaya 50:6; Mika 4:14
19:23,24 Zaburi 22:19
19:28,29 Zaburi 22:16; Zaburi 69:22
19:36 Kutoka 12:46; Zaburi 34:21
19:37 Zekaria 12:10
20:19 Mambo ya Walawi 16:28
MATENDO YA MITUME
1:5 Yoeli 2:28,29; Isaya 44:3
1:8 Zaburi 22:28; Isaya 2:3
1:16 Zaburi 41:10; Zaburi 55:13-15
1:20 Zaburi 69:26; Zaburi 109:8
2:17-21 Yoeli 2:28-32
2:25-28 Zaburi 16:8-11
MATENDO YA MITUME
2:31 Zaburi 16:10
2:34,35 Zaburi 110:1
2:39 Yoeli 2:28
3:18 Isaya 50:6; Isaya 53:1-12
3:22,23 Kumbukumbu la Torati 18:1519
3:25 Mwanzo 22:18
4:11 Zaburi 118:22; Isaya 28:16
4:25,26 Zaburi 2:1,2
MATENDO YA MITUME
5:38 Mithali 21:30; Maombolezo 3:37
6:3 Kumbukumbu la Torati 1:13
7:2,3 Mwanzo 12:1
7:5 Mwanzo 12:7; Mwanzo 13:15
7:6 Mwanzo 15:13,16
7:7 Mwanzo 15:14-16; Kutoka 7:1-14
7:8 Mwanzo 17:9-14; Mwanzo 21:2;
Mwanzo 25:24
7:9 Mwanzo 37:4-11,18-29;
Mwanzo 39:21-23
7:10 Mwanzo 41:12-46
7:11 Mwanzo 41:54-57
7:12 Mwanzo 42:1
7:13 Mwanzo 45:4
7:14 Mwanzo 45:9-11
7:15 Mwanzo 46:3-7; Mwanzo 49:33
7:16 Mwanzo 49:29-32; Kutoka 13:19;
Yoshua 24:32
7:17-45 Kutoka 1-40
7:44 Kutoka 38:21
7:45 Yoshua 3:11-14
7:46 1 Wafalme 8:17-19; Zaburi 132:1-5
7:47 1 Wafalme 6:1;
2 Mambo ya Nyakati 2:1-4:22
7:48 1 Wafalme 8:27
7:49 Isaya 66:1; Yeremia 7:4-11
7:50 Mwanzo 1:4; Kutoka 20:11
7:51 Kutoka 32:9;
Kumbukumbu la Torati 10:16;
Isaya 63:10
7:53 Kumbukumbu la Torati 33:2;
Kutoka 19:3
8:32,33 Isaya 53:7,8
10:14 Mambo ya Walawi 11:1-17;
Mambo ya Walawi 20:25
10:35 Isaya 56:3-8
13:17 Mwanzo 12:1-3; Kutoka 1:7-9;
Kutoka 6:1
13:18 Kutoka 16:35; Zaburi 78:17-42
MAREJELEO YA BIBLIA YA KIEBRANIA (AGANO LA KALE)
402
MATENDO YA MITUME
13:19 Kumbukumbu la Torati 7:1; Y
oshua 24:11; Zaburi 78:55
13:20 Waamuzi 2:16; Waamuzi 3:9,10;
1 Samweli 3:20
13:21 1 Samweli 8:5,6; 1 Samweli 10:1
13:22 1 Samweli 15:11; 1 Samweli 16:12,13
13:32 Mwanzo 3:15; Danieli 9:24,25
13:33 Zaburi 2:7
13:34 Zaburi 89:3-5,20-38; Isaya 55:3
13:35 1 Mambo ya Nyakati 17:11;
Zaburi 16:10
13:41 Isaya 28:14; Habakuki 1:5
13:47 Isaya 42:6; Isaya 49:6
14:15 Mwanzo 1:1; Zaburi 33:6;
Zaburi 124:8
14:16 Zaburi 81:13
14:17 Zaburi 65:10-14; Yeremia 5:24;
Yeremia 14:22
15:15,16 Amosi 9:11,12
15:17 Zaburi 22:27,28; Isaya 65:1
15:18 Isaya 46:9,10
15:29 Mambo ya Walawi 17:14
17:24 Isaya 45:18; Isaya 66:1; Danieli 4:25
17:25 Mwanzo 2:7; Isaya 42:5;
Zaburi 50:8-13
17:26 Mwanzo 3:20;
Kumbukumbu la Torati 32:8
17:27 Yeremia 23:23,24
17:28 Ayubu 12:10; Zaburi 79:13
17:29 Isaya 44:9-20; Habakuki 2:19,20
17:31 Zaburi 96:13
23:5 Kutoka 22:28
26:6 Mwanzo 3:15; Malaki 4:2
28:26 Isaya 6:9,10; Ezekieli 12:2
28:27 Isaya 29:10; Isaya 66:4
MAREJELEO YA BIBLIA YA KIEBRANIA (AGANO LA KALE)
403
Nukuu na vionyeshi vya Biblia ya Kiebrania
kwenye nyaraka za Paulo.
WARUMI
1:17 Habakuki 2:4
2:6 Zaburi 62:13
2:11 Kumbukumbu la Torati 10:17
2:13 Kumbukumbu la Torati 6:3
2:16 Zaburi 96:13
2:18 Nehemia 9:14
2:24 Isaya 52:5
2:28,29 Kumbukumbu la Torati 30:6
3:4 Zaburi 51:6
3:10-12 Zaburi 14:1-3; 53:1-4
3:13A Zaburi 5:10
3:13B Zaburi 140:3; Zaburi 5:10
3:14 Zaburi 10:7
3:15-17 Isaya 59:7-8
3:18 Zaburi 36:2
4:3 Mwanzo 15:6
4:7-8 Zaburi 32:1-2
4:17 Mwanzo 17:5
4:18 Mwanzo 15:5
7:7 Kutoka 20:17;
Kumbukumbu la Torati 5:21
8:36 Zaburi 44:23
9:7 Mwanzo 21:12
9:9 Mwanzo 18:10,14
9:12 Mwanzo 25:23
9:13 Malaki 1:2,3
9:15 Kutoka 33:19
9:17 Kutoka 9:16
9:25 Hosea 2:23
9:26 Hosea 1:10; 2:1
9:27-28 Isaya 10:22; Hosea 1:10
9:29 Isaya 1:9
9:33 Isaya 8:14; 28:16
10:5 Mambo ya Walawi 18:5
10:6-8 Kumbukumbu la Torati 30:12-14
10:11 Isaya 49:23
WARUMI
10:13 Yoeli 2:32; 3:5
10:15 Isaya 52:7
10:16 Isaya 53:1
10:18 Zaburi 19:5
10:19 Kumbukumbu la Torati 32:21
10:20-21 Isaya 65:1-2
11:3 1 Wafalme 19:10
11:4 1 Wafalme 19:18
11:8 Kumbukumbu la Torati 29:4
11:9-10 Zaburi 69:23-24
11:26-27 Isaya 59:20,21
11:27B Yeremia 31:31-34
11:34 Isaya 40:13
11:35 Ayubu 41:11
12:19 Kumbukumbu la Torati 32:35
12:20 Mithali 25:21-22
13:9A Kumbukumbu la Torati 5:17-21
13:9B Mambo ya Walawi 19:18
14:11 Isaya 45:23
15:3 Zaburi 69:10
15:9 Zaburi 18:50
15:10 Kumbukumbu la Torati 32:43
15:11 Zaburi 117:1
15:12 Isaya 11:10
15:21 Isaya 52:15
1 WAKORINTHO
1:19 Isaya 29:14
1:31 Yeremia 9:23,24
2:16 Isaya 40:13
3:19 Ayubu 5:13
3:20 Zaburi 94:11
5:13 Kumbukumbu la Torati 17:7
6:16 Mwanzo 2:24
9:9 Kumbukumbu la Torati 25:4
10:7 Kutoka 32:6
10:26 Zaburi 24:1; 50:12
14:21 Isaya 28:11-12
15:27 Zaburi 8:7
MAREJELEO YA BIBLIA YA KIEBRANIA (AGANO LA KALE)
404
1 WAKORINTHO
5:32 Isaya 22:13
15:45 Mwanzo 2:7
15:54 Isaya 25:8
15:55 Hosea 13:14
2 WAKORINTHO
3:16 Hosea 3:4,5
4:13 Zaburi 116:10
6:2 Isaya 49:8
6:16 Mambo ya Walawi 26:12
6:17 Isaya 52:11
6:18 2 Samweli 7:14
8:15 Kutoka 16:18
9:7 Kumbukumbu la Torati 15:4
9:9 Zaburi 112:9
10:17 Yeremia 9:24
13:1 Kumbukumbu la Torati 19:15
WAGALATIA
3:6 Mwanzo 15:6
3:8 Mwanzo 12:3; 18:18
3:10 Kumbukumbu la Torati 27:26
3:11 Habakuki 2:4
3:12 Mambo ya Walawi 18:5
3:13 Kumbukumbu la Torati 21:23
3:16 Mwanzo 13:15; 17:7; 22:18
4:27 Isaya 54:1
4:30 Mwanzo 21:10
5:14 Mambo ya Walawi 19:18
WAEFESO
4:8 Zaburi 68:19
5:31 Mwanzo 2:24
6:2,3 Kutoka 20:12;
Kumbukumbu la Torati 5:16
1 WATHESALONIKE
4:16,17 Isaya 57:1,2
1 TIMOTHEO
5:18 Kumbukumbu la Torati 24:14,15; 25:4
2 TIMOTHEO
2:19 Zaburi 1:6; Nahumu 1:7
2:19 Zaburi 34:15
WAEBRANIA
1:1 Kumbukumbu la Torati 18:15;
Hesabu 12:6-8
1:2 Zaburi 2:6-9;
Mithali 8:22-31
1:4 Zaburi 2:7,8; Isaya 9:6
1:5 Zaburi 2:7; Zaburi 89:27,28
1:6 Zaburi 97:7; Mithali 8:24,25
1:7 Zaburi 104:4
1:8 Zaburi 45:7,8; Zaburi 145:13;
Isaya 9:6
1:9 Zaburi 45:8; Zaburi 89:21;
Isaya 61:1
1:10 Zaburi 102:26-28
1:11 Isaya 50:9; Isaya 51:6,8
1:12 Zaburi 102:27,28
1:13 Zaburi 110:1
1:14 Zaburi 103:20,21; Danieli 7:10
2:2 Mambo ya Walawi 24:14-16
2:6 Zaburi 8:6,7; Ayubu 7:17,18
2:8 Zaburi 8:7; Danieli 7:14
2:12 Zaburi 22:23,26
2:13 Zaburi 16:1; Isaya 8:18;
Isaya 12:2
2:14 Isaya 25:8; Hosea 13:14
2:15 Zaburi 56:14
2:16 Mwanzo 22:18
3:2 Hesabu 12:7
3:3 Zekaria 6:13
3:5 Kumbukumbu la Torati 18:15-19
3:8 Kutoka 17:7; Zaburi 106:14
3:9 Kumbukumbu la Torati 4:9;
Hesabu 14:33; Yoshua 23:3;
MAREJELEO YA BIBLIA YA KIEBRANIA (AGANO LA KALE)
405
WAEBRANIA
3:10 2 Wafalme 21:9; Isaya 63:17
3:11 Kumbukumbu la Torati 1:34,35;
Hesabu 32:10-13
3:15 Kumbukumbu la Torati 10:16
3:17 Hesabu 26:64,65
3:18 Kumbukumbu la Torati 1:34,35
4:3 Zaburi 95:11
4:4 Mwanzo 2:2
4:5 Zaburi 95:11
4:7 Zaburi 95:7,8
4:9 Isaya 11:10
4:12 Mhubiri 12:11; Isaya 49:2;
Yeremia 17:10
4:13 Zaburi 33:13-15; Zaburi 90:8
5:3 Mambo ya Walawi 9:7;
Mambo ya Walawi 16:6
5:4 Kutoka 28:1
5:5 Zaburi 2:7
5:6 Zaburi 110:4
6:13 Mwanzo 22:15-18
6:14 Mwanzo 12:3; Mwanzo 22:17
6:15 Mwanzo 15:2-6
6:16 Kutoka 22:11
6:17 Mithali 19:21; Zaburi 33:11
7:1 Mwanzo 14:18-20
7:2 Mwanzo 28:22;
Mambo ya Walawi 27:32
7:3 Mwanzo 14:18-20; Zaburi 110:4
7:4 Mwanzo 14:20
7:5 Hesabu 18:21-26
7:6 Mwanzo 14:19,20
7:9 Mwanzo 14:20
7:12 Yeremia 31:31-34
7:14 Mwanzo 49:10; Isaya 11:1
7:17 Zaburi 110:4
7:21 Zaburi 110:4
8:5 Kutoka 25:40; Kutoka 26:30
8:8 Yeremia 31:31-34; Ezekieli 37:26
8:9 Kutoka 34:10,28; Isaya 63:11-13;
WAEBRANIA
Yeremia 31:32
8:10 Yeremia 31:33; Ezekieli 36:26,27
8:11 Yeremia 31:34
8:12 Yeremia 33:8; Yeremia 50:20;
Mika 7:19
9:2 Kutoka 25:23,30; Kutoka 40:4;
Mambo ya Walawi 24:5,6
9:3 Kutoka 26:31-33;
1 Wafalme 8:6
9:4 Kutoka 16:33; Hesabu 17:8-10;
Kumbukumbu la Torati 10:2-5;
9:5 Kutoka 25:17-22
9:6 Kutoka 27:21; Kutoka 30:7,8
9:7 Kutoka 30:10;
Mambo ya Walawi 16:2-20,34
9:8 Isaya 63:11
9:9 Zaburi 40:7,8; Zaburi 51:18-21
9:10 Kutoka 30:19-21;
Mambo ya Walawi 11:2;
Kumbukumbu la Torati 14:3-21;
9:13 Mambo ya Walawi 16:14-16;
Hesabu 19:2-21
9:19 Kutoka 12:22; Kutoka 24:8;
Mambo ya Walawi 16:14-18
9:20 Kumbukumbu la Torati 29:12
9:21 Kutoka 29:12,20,36
9:22 Mambo ya Walawi 4:20,26,35;
Mambo ya Walawi 5:10,12,18;
Mambo ya Walawi 17:11
9:25 Kutoka 30:10;
Mambo ya Walawi 16:2-34
10:4 Zaburi 51:18; Isaya 1:11-15;
Hosea 6:6
10:5 Zaburi 40:7-9; Yeremia 6:20;
Amosi 5:21,22
10:6 Malaki 1:10
10:7 Mwanzo 3:15; Zaburi 40:8
10:9 Zaburi 40:8; Malaki 1:10
10:11 Zaburi 50:8-13; Isaya 1:11
10:12,13 Zaburi 110:1
MAREJELEO YA BIBLIA YA KIEBRANIA (AGANO LA KALE)
406
WAEBRANIA
10:16 Yeremia 31:33,34
10:22 Ezekieli 36:25
10:26 Hesabu 15:28-31
10:27 Zaburi 21:10; Yeremia 4:4
10:28 Hesabu 15:30,31,36;
Kumbukumbu la Torati 13:6-10
10:29 Kumbukumbu la Torati 32:35,36;
Zaburi 98:9
10:31 Zaburi 90:11; Isaya 33:14
10:37 Habakuki 2:3; Ezekieli 18:24
10:38 Habakuki 2:4
11:3 Mwanzo 1:1; Zaburi 33:6
11:4 Mwanzo 4:3-5
11:5 Mwanzo 5:22-24
11:6 Isaya 55:3
11:7 Mwanzo 6:13,22; Mwanzo 7:1,5
11:8 Mwanzo 12:1-4; Mwanzo 15:5;
Mwanzo 22:18
11:9 Mwanzo 13:8; Mwanzo 17:8;
Mwanzo 26:3
11:11 Mwanzo 17:17-19; Mwanzo 18:11-14;
Mwanzo 21:1,2
11:12 Mwanzo 22:17
11:13 Mwanzo 23:4; Mwanzo 49:10;
Zaburi 39:12
11:15 Mwanzo 11:31; Mwanzo 24:6-8
11:16 Mwanzo 17:7,8; Isaya 41:8-10
11:17 Mwanzo 22:1-12
11:18 Mwanzo 17:19; Mwanzo 22:12
11:20 Mwanzo 27:27-40
11:21 Mwanzo 47:31; Mwanzo 48:5-22
11:22 Mwanzo 50:24,25; Kutoka 13:19
11:23 Kutoka 2:2
11:24-27 Kutoka 2:10-15
11:28 Kutoka 12:3-14; Kutoka 12:21-30
11:29 Kutoka 14:13-31
11:30 Yoshua 6:3-20
11:31 Yoshua 2:1-22; Yoshua 6:22-25
11:32 Waamuzi 4:6; Waamuzi 6:11;
WAEBRANIA
Waamuzi 11:1; Waamuzi 12:7
11:33 Zaburi 44:3-7
11:34 1 Samweli 17:51:52;
2 Samweli 21:16,17;
2 Wafalme 6:16-18;
11:34 Waamuzi 8:4-10;
Waamuzi 15:14-20;
Ayubu 42:10;
11:35 1 Wafalme 17:22-24;
2 Wafalme 4:27-37
11:36 Waamuzi 16:25; Yeremia 20:7
11:37 1 Samweli 22:17-19; 2 Wafalme 1:8;
Yeremia 2:30
11:38 1 Samweli 23:15; 1 Wafalme 17:3
12:5 Ayubu 5:17; Mithali 3:11
12:6 Kumbukumbu la Torati 8:5;
Mithali 3:12
12:12 Isaya 35:3
12:13 Mithali 4:26,27; Isaya 35:6
12:16 Mwanzo 25:31-34
12:17 Mwanzo 27:31-41
12:18 Kutoka 19:10-19; Kutoka 20:18;
Kutoka 24:17;
Kumbukumbu la Torati 5:22-26
12:19 Kutoka 19:16-19; Kutoka 20:18,19;
Kumbukumbu la Torati 5:24-27;
Kumbukumbu la Torati 18:16
12:20 Kutoka 19:13,16
12:21 Kutoka 19:16,19; Isaya 6:3-5
12:24 Mwanzo 4:10
12:26 Kutoka 19:18; Isaya 2:19;
Isaya 13:13
12:29 Kutoka 24:17;
Kumbukumbu la Torati 4:24
13:5 Mwanzo 28:15;
Kumbukumbu la Torati 31:6,8;
Zaburi 119:36
13:6 Zaburi 56:12; Zaburi 118:6
13:10 Hesabu 7:5
MAREJELEO YA BIBLIA YA KIEBRANIA (AGANO LA KALE)
407
13:11 Kutoka 29:14;
Mambo ya Walawi 4:16-21
13:15 Zaburi 116:17-19; Hosea 14:2
13:20 Isaya 40:11; Ezekieli 34:23
MAREJELEO YA BIBLIA YA KIEBRANIA (AGANO LA KALE)
408
409
Lugha ya Kiingereza
Abram Kenneth Abraham, Promises of the
Messiah, New Testament Fulfilment of Old
Testament Prophecies, 1987 Barbour and
Company, USA.
Bibleworks, 2001, LLC. Hermeneutika
Computer Bible Research Software,
Bigfork,USA.
Briggs, Charles A., Messianic prophecy, 1988,
Hendrickson Publishers, Peabody, MA.
Delitzsch, Franz, Messianic prophecies in
historical succession, 1998, WIPP & Stock
Publishers, Eugene, OH.
Dewart, Edwart Hartley, Jesus the Messiah in
prophecy and fulfilment, 1891, Cranston &
Stowe, Cincinnati, OH.
Fruchtenbaum, Arnold G., Messianic
Christology, 1998, Manna Books, UK.
Fruchtenbaum, Arnold G., The Feasts of
Israel, 1993 Ariel Ministries, Manna Books,
UK.
Fryland, Rachmiel, What the Rabbies know
about the Messiah, 1993, Messianic
Publishing Company, Columbus, MD.
Henry, Matthew, Commentary of the whole
Bible, 1991, Henrickson Publishers,
Peabody, MA.
Hengstenberg, W.E., Christology of the Old
Testament, 1970, Kregel Publications,
Grand Rapids, MI.
Kaiser, Walter C., The Messiah in the Old
Testament, 1995, Zondervan Publishing
House, Grand Rapids, MI.
Klingerman, Aaron J., Messianic prophecy
in the Old Testament, 1957, Zondervan
Publishing House, Grand Rapids, MI.
Locklyer, Herbert, All the Messianic
Prophesies of the Bible, 1973, Zondervan
Publishing House, Grand Rapids, MI.
Meldau, Fred John, The Messiah in Both
Testaments, 1967, The Christian Victory
Publishing Company, Denver, USA
Payne, Barton J., Encyclopedia of Biblical
Prophecy, 1973, Baker Books, Grand
Rapids, MI.
Reich, Max I. The Messianic Hope of
Israel, 1940, W.M. Eerdmans Publishing
Company, Grand Rapids, MI.
Santala, Risto, The Messiah in the Old
Testament, 1992, Keren Ahvat Meshhit,
Jerusalem.
Smith, James, What the Bible teaches about
the promised Messiah, 1993, Thomas
Nelson Publishers, Nashville, TN.
Spurgeon, C.H., Christ in the Old Testament,
1994, AMG Publishers, Chattanooga, TN.
Stern, David H. Jewish New Testament
Commentary, 1992, Jewish New Testament
Publications, Clarksville, MD.
BIBLIOGRAFIA
410
Lugha ya Kiholanzi
Ambrosius, Isaäc, Het zien op Jezus, 1984,
Den Hertog, Houten
à Brakel, Wilhelmus, Redelijke Godsdienst, 7e
druk, De Banier, Utrecht.
Bunyan, John, Al de werken, deel I, 1967,
Den Hertog B.V.
Calvijn, J., Institutie of onderwijzing in de
christelijke godsdienst, Uit het Latijn
vertaald door A. Sizoo.
Calvijn, J., Uitlegging op de Profetieën van de
Profeten Isaya en Jeremia, deel I, 1900,
Ten Bokkel Huinink, Utrecht.
van Campen, M., Leven uit Gods beloften,
1988
De Groot Goudriaan,Kampen
van Campen, M., “Brede aandacht voor de
Joden in Nederland tijdens de zeventiende
en achttiende eeuw", 2007, in Profetisch
Perspectief.
Edelkoort, A.H., De Christus-verwachting in
het Oude Testament, 1941, H. Veenman &
Zn.
Klein Haneveld, Jb., God’s feestkalender
voor Israël, 1975, Brochure Morgenrood,
Bodegraven
Klein Haneveld, Jb., De Messias in het oude
en nieuwe testament, vrije bewerking naar
Fred John Meldau, St. Israël en de Bijbel,
Harmelen.
Haverkamp, B., De tent onder de wolk, 1963,
De Banier, Utrecht.
De Heer, Joh., Het duizend jarig Vrederijk,
1939, Zoeklicht Boekhandel, Rotterdam.
Hoek, J., Hoop op God: Eschatologische
verwachting, 2004, Boekencentrum
Zoetermeer.
van Kooten, R., Verzoend door Christus, 1996,
Uitg. J. J. Groen en Zn., Leiden
van Kooten, R., Meer kennis van Christus,
1995, Uitg. J. J. Groen en Zn., Leiden
Koekoek, H. G., De geheimen van de Offers,
Uitg. Het Licht des Levens, Alphen a/d
Rijn.
Mackintosh, C.H., Aantekeningen op Mambo
ya Walawi,
Uit het Woord der Waarheid, Winschoten.
van Nieuwpoort, A., Tenach opnieuw, 2006,
Van Gennep, Amsterdam.
Spurgeon, C.H., De Zaburien Davids, 5e
druk, D.Los, Amsterdam
Stier, A.B., Warumi IX-XI.
Verduin, M., Canticum Canticorum: Het Lied
der liederen.
Vreekamp, H., Zonder Israël niet volgroeid,
1988, J.H. Kok, Kampen.
de Vries, P., Het Lam overwint, 2003, Groen,
Heerenveen.
van de Weerd, Gert A., De Profeet Ezekieli,
Bijbelverklaring, deel 1, 2006, PMI,
Veenendaal.
van de Weerd, Gert A., De Profeet Danieli,
Bijbelverklaring, deel 1 & 2, 2000, PMI,
Veenendaal.
van de Weerd, Gert A., De Profeet Mika,
Bijbelverklaring, 2001, PMI, Veenendaal.
van de Weerd, Gert A., De Profeet Hosea,
Bijbelverklaring, 2007, PMI, Veenendaal.
van de Weerd, Gert A., De Profeet Zacharia,
Bijbelverklaring, 1999, PMI, Veenendaal.
BIBLIOGRAFIA
411
412