Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na...

24
MATOKEO BAADA YA UHAMASISHAJI ...Endelea Uk. 4 Mchanganyiko wa wanafunzi wa Shule ya Msingi Kambala wakiwa na furaha wakisubiri kuwapokea wageni wao kutoka ziara ya ufuatiliaji ya pamoja iliyoongozwa na Foundation, wali- potembelea shule yao Februari Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na ng’ombe kujenga bweni la wasichana NA JOACHIM NYAMBO, MBEYA Katika wilaya ya Ileje, mwaka 2013 ulianza kwa tukio muhimu katika sekta ya elimu. Inaripotiwa kwam- ba wanafunzi wote walioshinda mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa muda. Haya ndio mafanikio bora zaidi kwa mkoa mzima wa Mbeya, ikifuatiwa na wilaya za Chunya na Rungwe. Kuamsha ufahamu wa wananchi kuchangia elimu kwaleta mafanikio Ileje ...Endelea Uk. 4 Afisa Elimu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Kaponda, anasisitiza kuhusu mafanikio haya katika mkutano wa hivi karibuni na wajumbe wa kamati ya ushauri ya mkoa kuhusu elimu, na anaeleza kwamba haya yote yaliwezekana kutokana na kuongezeka kwa madarasa ambayo yalijengwa na serikali kwa kushirikiana na wananchi. Hivyo, kuwaleta watu pamoja ili wachangie katika sekta ya elimu inaonekana imeleta mafanikio. NA VINCENT NALWENDELA MOROGORO – Wakati Bi. Hellen Mbezi na wenzake walipoanzisha mradi wa kuhamasisha wana jamii katika kijiji cha Kambala, wilaya ya Mvomero, kuhusu elimu na kulinda wasichana wadogo dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia, matokeo yake yalionekana hayatakuwa na maana sana. Lakini baada ya muda mfupi tu ta- yari kulikuwa na mafanikio yaliyoanza kujitokeza. Binafsi hakuweza kudha- nia kwamba jamii ya Wamasai katika kijiji hicho ingeyapokea mawazo yake haraka kiasi hicho – na kuanza mradi wa ujenzi wa bweni la wasichana. Hiki ndicho kilichokuwa kiki- onekana kuteka akili ya Bi. Hellen ali- pokutana na kundi kubwa la wageni, mwishoni mwa mwezi Februari. Kwa ujumla alilielezea jambo hilo kama sehemu kuu ya mafanikio ya mradi – wakati alipokuwa akitoa maelezo kwa kundi la Wabia wa Maendeleo ambao walifanya ziara ya pamoja katika mkoa wa Morogoro ili kupata picha halisi ya jinsi miradi inayofadhiliwa kupitia Foundation for Civil Society ilivyo. Bi. Hellen ni Mwenyekiti wa asasi ya SWAA (Chama cha Wanawake na UKIMWI Afrika) yenye makao makuu yake Morogoro. Akijaribu kufafanua kadri alivyowe- za, suala la utekelezaji wa mradi ndio lilikuwa jambo muhimu katika ziara hiyo wakati Wabia wa Maendeleo walipofika kwa mara ya kwanza katika ofisi za SWAA. Ni kweli, ilionyesha mwanzo wa ziara ya pamoja ya mwaka huu ya kutembelea miradi ambayo ilipangwa kwa mikoa ya Morogoro na Iringa, kama ilivyoandaliwa na Foundation kupitia kitengo chake cha Ufuatiliaji na Tathmini. Kwa kawaida, sampuli ya asasi zinazopokea ruzuku hutem- belewa mara kwa mara ili kupata hisia ya jinsi miradi inayotekelezwa ilivyo. Hivyo, Foundation huandaa ziara mbili za pamoja kila mwaka Shukrani ziwaendee asasi ya Kilio cha Mama na Watoto Mbeya (Kiwamambe) walioweza kuhisisha na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zilizopo na kuleta maendeleo katika sekta ya elimu. Asasi ilitekeleza mradi huo kupitia ufadhili kutoka Foundation. Kwa upande wake, mkazi mwenye furaha kutoka kata ya Isongole katika wilaya ya Ileje, Raymond Ntenga, aliusifu sana mradi – akisema kwamba umewafunua macho kuanza kujihamasisha katika kujenga madarasa na miradi mingine ya elimu katika kata yao. Ntenga anakiri kwamba ni kweli kwa muda mrefu wakazi wa Ileje walikuwa wagumu kupita kiasi katika kutoa mchango wa chochote ili kuboresha sekta ya elimu. Ilionekana kwamba ni jukumu la serikali, na kwa kiasi fulani hii ilisababisha uhaba wa madarasa na ISSN 1821 - 5335 TOLEO NA. 28 Jarida la The Foundation for Civil Society Januari - Machi 2013 @ “The Foundation News” ni jarida linalotolewa na The Foundation for Civil Society kwa lengo la kupashana habari juu ya shughuli zake na zile za sekta ya Asasi za kiraia Tanzania. Mchapishaji The Foundation for Civil Society Mhariri Mkuu Vincent Nalwendela Mhariri Msaidizi Mwanaidi Msangi Usanifu na Kupiga Chapa PENplus Ltd, 022 2182059, 0713 236855 Email: [email protected], [email protected] Kwa mawasiliano: The Foundation for Civil Society Haidery Plaza, Ghorofa ya Tano, Mtaa wa Upanga/Kisutu, S.L.P. 7192, Dar es Salaam, Tanzania Simu: +255 22 2138530/1/2 Nukushi: +255 22 2138533 Barua pepe: information@thefoundation- tz.org Maoni yaliyotolewa na wachangiaji siyo lazima yanawakilisha mtizamo wa the Foundation for Civil Society au Wabia wake wa Maendeleo. Mchapaji amechukua hadhari kuhakikisha usahihi wa taarifa zote na hawajibiki kwa tatizo lolote litakalotokana na makosa yaliyofanywa kwa nia njema katika chapisho hili. Y ALIYOM O NDANI PICHA NYINGI ZA KUVUTIA KAZI ZA WANARUZUKU WETU Soma zaidi kuhusu ripoti za mafanikio waliyopata wana ruzuku wetu kutoka Iringa, Zanzibar na Tanga Angalia picha kuhusiana na midahalo iliyofanyika Zanzibar na ziara ya pamoja ya ufuatiliaji wa miradi katika mikoa ya Morogoro & Iringa

Transcript of Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na...

Page 1: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

MATOKEO BAADA YA UHAMASISHAJI

...Endelea Uk. 4

Mchanganyiko wa wanafunzi wa Shule ya Msingi Kambala wakiwa na furaha wakisubiri kuwapokea wageni wao kutoka ziara ya ufuatiliaji ya pamoja iliyoongozwa na Foundation, wali-potembelea shule yao Februari

Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na ng’ombe kujenga bweni la wasichana

NA JOACHIM NYAMBO, MBEYA

Katika wilaya ya Ileje, mwaka 2013 ulianza kwa tukio muhimu katika sekta ya elimu. Inaripotiwa kwam-ba wanafunzi wote walioshinda mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa muda.

Haya ndio mafanikio bora zaidi kwa mkoa mzima wa Mbeya, ikifuatiwa na wilaya za Chunya na Rungwe.

Kuamsha ufahamu wa wananchi kuchangia elimu kwaleta mafanikio Ileje

...Endelea Uk. 4

Afisa Elimu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Kaponda, anasisitiza kuhusu mafanikio haya katika mkutano wa hivi karibuni na wajumbe wa kamati ya ushauri ya mkoa kuhusu elimu, na anaeleza kwamba haya yote yaliwezekana kutokana na kuongezeka kwa madarasa ambayo yalijengwa na serikali kwa kushirikiana na wananchi.

Hivyo, kuwaleta watu pamoja ili wachangie katika sekta ya elimu inaonekana imeleta mafanikio.

NA VINCENT NALWENDELA

MOROGORO – Wakati Bi. Hellen Mbezi na wenzake walipoanzisha mradi wa kuhamasisha wana jamii katika kijiji cha Kambala, wilaya ya Mvomero, kuhusu elimu na kulinda wasichana wadogo dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia, matokeo yake yalionekana hayatakuwa na maana sana.

Lakini baada ya muda mfupi tu ta-yari kulikuwa na mafanikio yaliyoanza kujitokeza. Binafsi hakuweza kudha-nia kwamba jamii ya Wamasai katika kijiji hicho ingeyapokea mawazo yake haraka kiasi hicho – na kuanza mradi wa ujenzi wa bweni la wasichana.

Hiki ndicho kilichokuwa kiki-onekana kuteka akili ya Bi. Hellen ali-pokutana na kundi kubwa la wageni, mwishoni mwa mwezi Februari. Kwa ujumla alilielezea jambo hilo kama sehemu kuu ya mafanikio ya mradi – wakati alipokuwa akitoa maelezo kwa kundi la Wabia wa Maendeleo ambao walifanya ziara ya pamoja katika mkoa wa Morogoro ili kupata picha halisi ya jinsi miradi inayofadhiliwa kupitia Foundation for Civil Society ilivyo.

Bi. Hellen ni Mwenyekiti wa asasi ya SWAA (Chama cha Wanawake na UKIMWI Afrika) yenye makao makuu yake Morogoro.

Akijaribu kufafanua kadri alivyowe-za, suala la utekelezaji wa mradi ndio lilikuwa jambo muhimu katika ziara hiyo wakati Wabia wa Maendeleo walipofika kwa mara ya kwanza katika ofisi za SWAA.

Ni kweli, ilionyesha mwanzo wa ziara ya pamoja ya mwaka huu ya kutembelea miradi ambayo ilipangwa kwa mikoa ya Morogoro na Iringa, kama ilivyoandaliwa na Foundation kupitia kitengo chake cha Ufuatiliaji na Tathmini. Kwa kawaida, sampuli ya asasi zinazopokea ruzuku hutem-belewa mara kwa mara ili kupata hisia ya jinsi miradi inayotekelezwa ilivyo. Hivyo, Foundation huandaa ziara mbili za pamoja kila mwaka

Shukrani ziwaendee asasi ya Kilio cha Mama na Watoto Mbeya (Kiwamambe) walioweza kuhisisha na kuhamasisha jamii kutumia rasilimali zilizopo na kuleta maendeleo katika sekta ya elimu. Asasi ilitekeleza mradi huo kupitia ufadhili kutoka Foundation.

Kwa upande wake, mkazi mwenye furaha kutoka kata ya Isongole katika wilaya ya Ileje, Raymond Ntenga, aliusifu sana mradi – akisema kwamba umewafunua macho kuanza

kujihamasisha katika kujenga madarasa na miradi mingine ya elimu katika kata yao.

Ntenga anakiri kwamba ni kweli kwa muda mrefu wakazi wa Ileje walikuwa wagumu kupita kiasi katika kutoa mchango wa chochote ili kuboresha sekta ya elimu. Ilionekana kwamba ni jukumu la serikali, na kwa kiasi fulani hii ilisababisha uhaba wa madarasa na

ISSN 1821 - 5335 TOLEO NA. 28 Jarida la The Foundation for Civil Society Januari - Machi 2013

@

“The Foundation News” ni jarida linalotolewa na The

Foundation for Civil Society kwa lengo la kupashana habari

juu ya shughuli zake na zile za sekta ya Asasi za kiraia

Tanzania.

MchapishajiThe Foundation for Civil Society

Mhariri MkuuVincent Nalwendela

Mhariri MsaidiziMwanaidi Msangi

Usanifu na Kupiga ChapaPENplus Ltd, 022 2182059, 0713 236855Email: [email protected], [email protected]

Kwa mawasiliano:The Foundation for Civil Society Haidery Plaza, Ghorofa ya Tano, Mtaa wa Upanga/Kisutu,S.L.P. 7192, Dar es Salaam, TanzaniaSimu: +255 22 2138530/1/2Nukushi: +255 22 2138533Barua pepe: [email protected]

Maoni yaliyotolewa na wachangiaji siyo lazima yanawakilisha mtizamo wa the Foundation for Civil Society au Wabia wake wa Maendeleo. Mchapaji amechukua hadhari kuhakikisha usahihi wa taarifa zote na hawajibiki kwa tatizo lolote litakalotokana na makosa yaliyofanywa kwa nia njema katika chapisho hili.

YaliYom o NdaNi

PICHA NYINGI ZA KUVUTIA

KAZI ZA WANARUZUKU WETUSoma zaidi kuhusu ripoti za mafanikio waliyopata wana ruzuku wetu kutoka Iringa, Zanzibar na Tanga

Angalia picha kuhusiana na midahalo iliyofanyika Zanzibar na ziara ya pamoja ya ufuatiliaji wa miradi katika mikoa ya Morogoro & Iringa

Page 2: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

2 |

UJUMBE WA MKURUGENZI MTENDAJI

John UlangaMkurugenzi Mtendaji

[email protected]

Tumerudi – na simulizi nyingine za kutia moyo kuhusu kazi za wana ruzuku wetu na watu tunaokutana nao ambao wanaleta mabadiliko makubwa ya kweli.

Kama il ivyo desturi yetu, tunakuletea mchanganyiko mzuri wa hadithi zinazotokana na afua za Asasi za Kiraia (AZAKi) kama wakala wa mabadiliko.

Kwa hiyo kuna kitu gani hasa maalumu katika toleo hili jipya la Jarida la Foundation? Utauliza.

Tunakuletea hadithi anuwai za mafanikio yaliyopatikana baada ya juhudi za pamoja za kuleta mabadiliko – ndani kabisa katika jamii – kupitia kuamsha ufahamu kwa mbinu tofauti. ‘Mabadiliko baada ya uhamasishaji’ inajitokeza kuwa ni hadithi kubwa na vivyo hivyo kuwa ndio kauli mbiu ya toleo hili.

Lakini kwa wastani na kwa uzito huo huo, unahakikishiwa kusoma hadithi za mafanikio ya aina mbalimbali kuhusu hatua kubwa za

Tunawasilisha mabadiliko makubwa katika njia tofautimaendeleo yaliyopatikana katika sekta ya elimu (kama ilivyogusiwa katika njia tofauti); katika VVU/UKIMWI; haki za wanawake; haki za ardhi na uwajibikaji – pamoja na nyinginezo.

Pia, ikichanganyika pamoja na mtiririko wa hadithi zinazofanana, ni maelezo ya jumla ya mambo yaliyojitokeza wakati wa ziara ya pamoja ya kutembelea miradi na Wabia wa Maendeleo, ziara iliyofanyika mwishoni mwa Februari katika mikoa ya Morogoro na Iringa.

Jambo la kuvutia zaidi linalotokana na ziara hii – tunaweza kushirikishana na wewe baadhi ya matokeo ya kupendeza kuhusu kumlinda mtoto msichana dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia, ambapo jamii ya Wamasai katika wilaya ya Mvomero baada ya kupata mafunzo mfulululizo kutoka kwa asasi inayopokea ruzuku kutoka kwetu, SWAA, waliamua kuanza ujenzi wa bweni la wasichana. Kwa njia moja au nyingine ni mojawapo ya mafanikio katika sekta ya elimu.

Pia kuna Rehema Msola wa Iringa ambaye alitoa ushuhuda wa matumaini mapya katika maisha ya watu wanaoishi na VVU/UKIMWI (WWVVU) – wajisikie kwamba hata wao pia ni sehemu ya jamii na wanaweza kushiriki kikamilifu katika kupanga upya mwelekeo wa maisha yao. Hapa sifa ziende kwa mwanaruzuku wetu, asasi ya IMO, ambayo iliweza kuwafikia jumla ya watu 150 wanaoishi na VVU katika mji mdogo wa Ilula wenye shughuli nyingi.

Pia utaweza kuvutiwa na mabadiliko yaliyopatikana katika kuimarisha haki za ardhi ambapo wanavijiji wameweza tena katika wilaya ya Mvomero, kukaa pamoja na kutatua migogoro ya ardhi, kupitia kutoa elimu na kuwajengea uwezo, kupitia asasi inayopokea ruzuku kutoka Foundation, asasi ya MOC.

Vijana ambao ndio nguvu kazi ya jamii, pia walipata msaada – wasikae bure na hivyo kujishughulisha katika stadi za ujasiriamali. Katika toleo hili utagundua jinsi ambavyo baadhi yao katika jiji la Tanga wameitikia vyema

kwa ‘dozi’ ya stadi za ujasiriamali waliyopewa na mwana ruzuku wetu, Kituo cha Vijana cha Novelty.

Licha ya hayo yote, ni kama vile toleo hili limesheheni masuala ya sekta ya elimu peke yake, lakini kwa mpangilio ulivyo, si hivyo. Kwetu sisi Foundation, tunachukulia kila sehemu ya mafanikio yaliyopatikana kupitia mwanaruzuku wetu kwa uzito sawa. Labda, mtu anaweza kusema kwamba tumeshawishika kufanya hivyo kwa sababu ya matokeo mabaya ya Kidato cha Nne, ambayo yalitanda kwenye vyombo vya habari katika robo hii. Hata hivyo, hilo litabakia kuwa jambo la kujadiliana!

Lakini kikubwa zaidi katika toleo hili, tuna furaha kuripoti hatua kubwa za maendeleo katika elimu. Kuna simulizi kutoka Ileje ambako uhamasishaji wa wananchi kuchangia katika sekta ya elimu kumezaa matunda. Wilaya imeweza kuwapatia nafasi na kuwasajili wanafunzi wote walioshinda mitihani yao kujiunga na elimu ya sekondari.

Kwing ineko huko Pemba, asasi inayopokea ruzuku kutoka Foundation, asasi ya PIRO, imesaidia wanafunzi wengi kurudi darasani kufuatia kuboreshwa kwa mahusiano na walimu. Pia katika kisiwa hicho, mwanaruzuku wetu, SACOMME ameongezea nguvu mapambano dhidi ya utoro shuleni, ambao ulionekana kuzidi kuenea katika shule za Pemba.

Kwa Foundation kazi zote hizi zinahesabika kama ‘hatua kubwa mbele’ wakati tukijitahidi kusaidia jamii kujihusisha na kufanikisha maisha bora.

Ni kweli kabisa, huko nje kuna mambo mengi yanayoendelea kubadilika na orodha ya kazi za AZAKi inaendelea kuwa ndefu zaidi siku hadi siku. Ni matumaini yetu kwamba utazipenda hadithi hizi.

Tunakutakia usomaji mwema!!

VINCENT [email protected]

TAHARIRI

Chapisho la hivi karibuni la Mkutano wa Uchumi wa Dunia linalojulikana kama Mustakabali wa Asasi za Kiraia linatoa fursa nzuri kwetu sisi tulio kwenye Asasi za Kiraia kutafakari kuhusu wajibu wetu wa sasa, mabadiliko tunayoleta katika jamii zetu na mienendo kwa siku za baadaye. Tafakuri hii ni muhimu kama zoezi la kufikiri kimkakati ndani ya sekta, na kwetu sisi ndani ya Foundation for Civil Society wakati tukijitayarisha kuanza muongo wetu wa pili wa uwepo wetu.

Mkutano wa Uchumi wa Dunia unathibitisha kwamba hata ufafanuzi unaoambatana na asasi za kiraia unabadilika, kwani asasi za kiraia zinatambulika kuwa ni mjumuisho wa mambo mengi zaidi ya kuwa “sekta” peke yake, iliyotawaliwa na jamii ya Mashirika Yasiyokuwa ya Kiserikali. Na kwamba, leo hii asasi za kiraia hujumuisha kwa upeo mpana zaidi makundi mengi yanayochacharika, yaliyo na muundo rasmi na yasiyo na muundo rasmi, kwa vile watendaji wapya wa asasi za kiraia hufifisha mipaka kati ya sekta na majaribio na mifumo mipya ya mashirika, ndani na nje ya mitandao.

Chapisho hilo linaendelea zaidi na kusema kwamba: “wajibu pia unabadilika – watendaji wa asasi za kiraia wanaonyesha thamani yao kama wawezeshaji, waandaaji na wavumbuzi, pia kama watoa huduma na watetezi”.

Hata hivyo, toleo hili la Jarida letu linakubaliana na uthibitisho huo. Wana ruzuku wa Foundation for Civil Society ambao kazi zao zimesimuliwa ndani ya jarida hili wameonyesha wajibu mbalimbali unaotekelezwa na sekta ya asasi za kiraia.

Kupitia midahalo ya hadhara, mwana ruzuku wetu wa Muungano wa Asasi za Kiraia Iringa (ICISO) amewezesha kujenga na kuitisha mkutano wa mfumo wa utawala ulio wazi na unaowajibikaji kupitia jukwaa ambapo wananchi wana haki ya kuwauliza maswali viongozi wao. Watu wa Iringa inasemekana

Wajibu Wetu, Matokeo ya Kazi Zetu, Mustakabali Wetuwaliweka pembeni tofauti zao, na hivyo kuendeleza masuala yenye maslahi ya taifa kwa Wabunge na Madiwani wao - kwa ajili ya ajenda ya utekelezaji.

Katika jarida hili tunaona kazi iliyofanywa na mwana ruzuku wetu katika wilaya ya Mvomero, mkoa wa Morogoro, Chama cha Wanawake na UKIMWI Afrika (SWAA) kufanya utetezi ili huduma bora zitolewe kwa wasichana katika wilaya kupitia uhamasishaji wa jamii ya Wamasai katika wilaya ya Mvomero, kuandaa utaratibu wa kupata rasilimali kutoka ndani ya jamii yao kwa ajili ya ujenzi wa bweni la wasichana, hivyo kuboresha maisha ya wanawake na wasichana.

Pia katika jarida hili tunaona kazi inayofanywa na mwana ruzuku wetu mkoani Iringa kutetea haki za watu wanaoishi na VVU/UKIMWI.

Katika jarida hili pia tunaonana wajibu wa uwezeshaji na kuitisha mikutano unaofanywa na wana ruzuku wetu huko Zanzibar (visiwa vya Unguja na Pemba), kufanya majadiliano kuhusu Sheria ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa. Aidha, pia walitekeleza wajibu wa kuwa wataalamu katika kuunda muundo na maudhui ya Sheria na programu ya maboresho ya serikali za mitaa kwa ujumla. Kama wataalamu, AZAKi zinaleta maarifa ya kipekee na uzoefu wa kuunda sera na mkakati, kuainisha na kujenga suluhisho. Hivyo huko Zanzibar tunaambiwa kwamba wataalamu kuhusu Mamlaka ya Serikali za Mitaa pamoja na madiwani, Wabunge, Wawakilishi na wajumbe wa Kamati za Maendeleo katika visiwa vya Unguja na Pemba wametaka pawepo na maboresho kadhaa katika Sheria ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa. Kwetu sisi hapa Foundation tunalichukulia jambo hili kama mchango muhimu wa wataalamu kwa faida ya vizazi vyetu vijavyo, ambalo tuliweza kufadhili kupitia mtandao wa Mashirika Yasiyokuwa ya Kiserikali Zanzibar (ANGOZA).

jamii hivyo kuendelea kuhitajika na jamii. Ripoti ya hivi karibuni ya tathmini ya mabadiliko ya kazi ya Foundation pia inatoa ushahidi wa mabadiliko yanayoongezeka yaliyotokana na kazi za asasi za kiraia zinazofadhiliwa na Foundation kwa jamii wanazohudumia.

Hivyo, pointi muhimu ya tafakuri kwa maoni yangu, inaweza kuwa “je, wajibu wa asasi za kiraia kwa siku zijazo utakuwaje?” Mara tutakapokubali kutafakari swali hilo, swali linalofuatia hili litakuwa, “je, tumejitayarisha kwa wajibu wetu wa siku za baadaye, au je, tunakitayarisha kizazi kijacho cha viongozi wa asasi za kiraia kutimiza wajibu huo?”

Mkutano wa Uchumi wa Dunia unatupatia aina nne za mazingira yanayoweza kutokea katika siku za baadaye, ambazo ni: Dunia iliyojaa magomvi ya kimataifa na kitaifa, ambapo biashara na jamii hudhibitiwa vikali na Serikali; Uwazi Uliofifia, Misukosuko na Upungufu wa Kuaminiana, na Dunia Iliyobinafsishwa. Kwa kila aina ya mazingira, hali tofauti imeelezewa kwa kipindi hadi mwaka 2030 na huamsha maswali na changamoto zinazofuatana kwa sekta ya asasi za kiraia na jamii kwa jumla. Changamoto hizi zinahusu upatikanaji wa rasilimali fedha, amani na utulivu katika nchi, mahusiano kati ya serikali, sekta binafsi na asasi za kiraia, muundo wa maendeleo ya kimataifa, n.k.

Ni muhimu kwetu sisi katika asasi za kiraia nchini Tanzania na kwingineko kutafakari kwa kina na kujitayarisha kwa siku za baadaye. Sisi hapa Foundation for Civil Society tunataka kuanza matayarisho ya Mpango Mkakati wetu ujao kwa kipindi cha mwaka 2014 – 2018, na tutajihusisha katika tafakuri hizo. Pia tutatumia fursa hiyo kujihusisha na wadau wengine mbalimbali kutafakari kuhusu mustakabali wa nchi yetu, sekta yetu na Foundation yetu.

Tunawakaribisha wote.

Aidha katika jarida hili, tunajivunia hata zaidi kuonyesha kazi tulizofanya kusaidia AZAKi kufanikisha wajibu mw i ng i ne kama wa vumbu z i na watamiaji – kwa kutayarisha suluhisho ambalo linaweza kuchukua muda mrefu kuzaa matunda. Kupitia mwanaruzuku wetu, asasi ya PIRO (Pemba Island Relief Organization) tumesaidia kutafuta suluhisho la msingi ambapo wanafunzi katika kisiwa cha Pemba wamesaidiwa kurudi darasani kufuatia kuboreshwa kwa mahusiano na walimu wao.

Pia tunajivunia kuweza kumsaidia mwanaruzuku wetu Kituo cha Vijana cha Novelty katika jiji la Tanga kufanikisha wajibu mwingine wa msingi wa AZAKi, kama ulivyofafanuliwa na Mkutano wa Uchumi wa Dunia, kama mfafanuzi wa viwango – kutengeneza taratibu ambazo hujenga shughuli za masoko

na dola. Leo vijana katika jiji la Tanga wamenufaika kutokana na mafunzo ya stadi za ujasiriamali kwa ajili ya kujiajiri. Mifano mingi zaidi ingeweza kuonyeshwa katika jarida hili lakini nafasi ni haba. Hata hivyo inatosha kusema kwamba kazi tunayofanya inasaidia wajibu mbalimbali wa asasi nyingi za kiraia nchini Tanzania.

Wajibu mbalimbali ambao sekta ya asasi za kiraia hutimiza katika jamii na nchi huleta mabadiliko makubwa yanayofika maeneo mengi. Maisha ya watu binafsi yanaboreshwa, matumaini yao yanaongezwa, na ukakamavu unaimarishwa. Aidha, mamlaka ya jami i inakuzwa, uwajibikaji unaimarishwa na ubora wa maisha unainuliwa. Jarida hili na ushahidi mwingine unaonyesha kwamba sekta ya asasi za kiraia inaendelea kuleta mabadiliko katika

Wajibu mbalimbali ambao sekta ya asasi za kiraia hutimiza katika jamii na nchi huleta mabadiliko makubwa

yanayofika maeneo mengi. Maisha ya watu binafsi yanaboreshwa, matumaini

yao yanaongezwa, na ukakamavu unaimarishwa.

Page 3: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

| 3

Asha Aboud Mzee Makamu Mwenyekiti,

ANGOZA

ANGOZA yashika usukani katika maendeleo ya asasi za kiraia Zanzibar

DARUBINI KWENYE SEKTA YA ASASI ZA KIRAIA ZANZIBAR

Mtandao wa Asasi Zisizokuwa za Kiserikali Zanzibar (ANGOZA) ni shirika mwavuli la Asasi za Kiraia na Asasi za Kijamii ambazo kimsingi zinashughulikia masuala ya maendeleo na utetezi ndani na nje ya Zanzibar. Mwezi Machi katikati mtandao uliendesha midahalo kadhaa katika visiwa vya Pemba na Unguja, kabla ya kufanyika mdahalo mkubwa na maonyesho na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi. MWANAIDI MSANGI alizungumza na Makamu Mwenyekiti wa mtandao, Asha Aboud Mzee, kuhusu kazi zao na mabadiliko waliyoleta katika jamii. Endelea kusoma...

Ndio kwanza mmekamilisha midahalo ya awali katika visiwa vya Pemba na Unguja kuhusu Sheria ya Serikali za Mitaa, na wito wa kuifanyia mapitio. Je, mmegundua nini hasa, au mmefanikisha nini?

Tunafurahi kusema kwamba midahalo ilikwenda vizuri sana. Tuliweza kuvutia idadi nzuri ya Madiwani, Wabunge na wajumbe wa kamati za Maendeleo na hatimaye walitaka maboresho yafanyike katika Sheria ya Serikali za Mitaa .

Unaweza kutupatia historia fupi ya asasi yako?

ANGOZA iliasisiwa mwaka 1993 na kusajiliwa chini ya Sheria ya urithi wa ardhi unaoendelea Na. 101 ya mwaka 1953; na kusajiliwa tena upya chini ya Sheria ya Vyama Na. 6 ya mwaka 1995. ANGOZA ilianzishwa na asasi mbili: Chama cha Watu Wenye Ulemavu Zanzibar (ZDA) na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar (ZLSC). Hizi ni asasi mbili ambazo zilianzisha shirika kivuli ili kuhimiza asasi nyingine kufanya kazi ya kuondoa umasikini Zanzibar. Sasa hivi ANGOZA imekua hadi kufikia zaidi ya wanachama 213, ambao wanasaidia juhudi za kutokomeza umasikini Zanzibar. ANGOZA inatarajia kuzifikia Asasi Zisizokuwa za Kiserikali na Asasi za Kiraia zote zilizoko visiwani na kutwaa nafasi ya mbele katika sekta ya asasi za kiraia. Angoza ilianzishwa ikiwa na dira ya “jamii iliyo huru na umasikini uliokithiri, rushwa na ukiukwaji wa haki za binadamu”. Dhamira ya asasi ni kuchangia katika kupunguza umasikini Dhamira ya asasi ni kuchangia katika kupunguza umasikini uliokithiri, kupambana na rushwa na kukuza haki za binadamu kwa kuwawezesha wanachama wa Asasi za Kiraia katika kujenga uwezo, kushirikiana rasilimali na huduma za ushauri.

Ni mabadiliko gani yameletwa na kazi za AZAKi Zanzibar?

Asasi za Kiraia hutoa msingi muhimu unaoifanya serikali iwajibike, kuhakikisha utawala bora, na kukuza aina zote za haki za binadamu – zikiwemo haki za kiuchumi, kijamii na kitamaduni. Tunathamini umuhimu wa makundi mbalimbali, makundi hayo ni pamoja na jamii, mashirika, waandishi wa habari katika kujenga na kuendeleza jamii yenye afya na changamfu.

Wajibu wetu mkuu ni kushinikiza ushirikishwaji wa watu katika michakato ya kutengeneza sera na tumesaidia kuimarisha ushirikishwaji

wa jamii katika masuala mbalimbali ya kitaifa hapa Zanzibar.

Kup i t i a a f ua z e t u ka t i ka kuhamasisha jamii kupambana dhidi ya VVU/UKIMWI, tumeisaidia serikali kupunguza unyanyapaa katika maeneo tofauti na tumeamsha ufahamu miongoni mwa watu kuhusu umuhimu wa kupima na ushauri nasaha wa hiari, kwa kweli tumetekeleza wajibu muhimu katika kuongoza mwitikio wa jamii dhidi ya VVU/UKIMWI.

Asasi za Kiraia (AZAKi) visiwani Zanzibar ni watendaji wakuu katika kuendeleza maadili yanayotumika duniani kote kuhusu haki za binadamu, mazingira, viwango vya kazi na mapambano dhidi ya rushwa. AZAKi visiwani Zanzibar zimeweza kukuza utawala bora kupitia kuwa mstari wa mbele katika uwazi, uathirifu, mwitikio na uwajibikaji katika Serikali.

Tunafahamu kwamba kuimarisha asasi za kiraia na kuongeza ushiriki wa wananchi ni kiambato cha msingi ili kupata demokrasia thabiti. Hivyo, tumeendelea kutekeleza miradi tofauti ya kujenga uwezo wa AZAKi visiwani Zanzibar ili ziweze kufanya vizuri katika majukumu yao.

AZAKi visiwani Zanzibar zimeweza kukuza haki za watu wenye ulemavu na haki nyingine za binadamu, kuhakikisha zinalindwa na kila mtu anafahamu haki zake.

Je, unafikiri yale uliyofanikisha hadi sasa yanatosha?

Hata kidogo. Huu ni mchakato, na kwa muda huu kuna mambo mengi yanayohitaji kufanyiwa kazi. Bado

hakuna AZAKi za kutosha visiwani Zanzibar, na kibaya zaidi, nyingi kati ya hizo zilizopo ziko maeneo ya mijini. Bado tunahitaji kuona AZAKi nyingi zikisajiliwa maeneo ya vijijini ili kusaidia jamii zilizoko kule. Zaidi ya yote, bado tunahitajika kuzijengea uwezo AZAKi nyingi – ili kuhakikisha utendaji bora.

Wajibu wa ANGOZA kwa AZAKi visiwani Zanzibar ni nini?

Kwa kweli tuna majukumu mengi ambayo tunatakiwa tuyafanye kama shirika mwamvuli. Tuna jukumu la kujenga uwezo wa AZAKi wanachama hapa Zanzibar, kuzileta pamoja AZAKi zilizoko Zanzibar kupitia midahalo, warsha na katika miradi mbalimbali. Kupitia mitandao yetu tumeweza kutafuta fedha na fursa za kupata fedha kwa AZAKi, na tayari miradi mingi imetekelezwa katika maeneo mbalimbali.

ANGOZA ni shirika mwavuli la Asasi za Kiraia na Asasi za Kijamii ambazo kimsingi zinashughulikia masuala ya maendeleo na utetezi ndani na nje ya Zanzibar.

Tunatarajia kuona AZAKi (Asasi Zisizokuwa za Kiserikali na Asasi za Kijamii) zilizo na ujuzi na uwezo wa kuitikia mahitaji na stahiki za jamii. Pia tunalenga katika kuimarisha uwezo wa AZAKi ili ziweze kuchangia kikamilifu katika ustawi wa kijamii na kiuchumi wa jamii kwa kukuza ushiriki wao na kujihusisha katika njia endelevu na yenye usawa, katika ngazi za msingi na taifa.

Malengo yetu mahususi ni kusaidia

AZAKi moja moja kwa kuweka na kuainisha kwa uhakika shabaha, malengo, mipango mkakati, masoko na upeo/maeneo mahususi ya shughuli. Pia tunajitahidi kuziwezesha AZAKi kufanya kazi, kushirikiana na kujenga ubia na serikali, sekta binafsi, wabia wa maendeleo na wadau wengine – kuunganisha mtandao na kubuni mikakati ya pamoja katika maeneo ambayo kwa pamoja tunayashughulikia.

Pia tunafanya kazi na AZAKi nyingine kufuatilia utendaji wa serikali, kujumuisha maoni ya wananchi katika masuala yanayohusiana na ustawi wao, na ushiriki wao katika mchakato wa maendeleo.

Je, unafanyaje kazi na serikali, mahusiano ni mazuri?

Asasi za kiraia zinatambulika kwa upana na serikali kuwa ni nguvu muhimu na chombo ambacho lazima kiwepo katika kuimarisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii. AZAKi huhesabika kama wabia muhimu kwa maendeleo na ujenzi wa taifa; na huonekana kama msukumo muhimu katika kukuza demokrasia na kuchangia katika pato la taifa na kupunguza umasikini. Kuanzia miaka ya katikati ya 1980, wakati mabadiliko makubwa ya kisiasa, kijamii na kiuchumi yalipotokea, shughuli za Asasi Zisizokuwa za Kiserikali zimeendelea kuongezeka na idadi yake imekuwa.

Mchango wa asasi za kiraia katika mapambano ya maendeleo ya Zanzibar umekuwa ukiongezeka tangu miaka ya 1990 – hivyo kuisaidia serikali katika juhudi zake za kuleta maendeleo kwa watu wake. Kuongezeka kwa mchango wa asasi hizo kumesababisha ongezeko la haraka katika idadi ya asasi zinazoomba usajili rasmi.

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inatambua haja ya kufanya kazi na Asasi Zisizokuwa za Kiserikali. Kuundwa kwa Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais – Katiba na Utawala Bora mwaka 2000, ambayo ilipewa jukumu la kuratibu Asasi Zisizokuwa za Kiserikali, kulitoa fursa kubwa kwa sekta binafsi na ya umma kushirikiana.

Tunafanya kazi vizuri sana na serikali; wanatuona kama ni msukumo muhimu katika kuleta mabadiliko, na si maadui kama ilivyokuwa ikifikiriwa hapo mwanzo.

Kwa miaka sita sasa ANGOZA imekuwa ikiandaa midahalo na maonyesho kwa Baraza la Wawakilishi, kuna mafanikio gani hadi sasa?

Ni kweli kabisa. Kupitia ufadhili kutoka

Foundation, kila mwaka tunatayarisha midahalo na maonyesho ya AZAKi kwa Baraza la Wawakilishi, tunafurahi kusema tumefanikiwa mambo mengi: • Sasa h iv i AZAKi z inaweza

kuwasilisha maoni yao kuhusu masuala mbalimbali kwa serikali na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi.

• Asasi nyingi zimejenga kujiamini na kuonyesha uwezo wa hali ya juu katika kupanga mikakati kwenye ushawishi na utetezi wao kuhusu masuala mbalimbali wanayopigania.

• Ku tokana na u t e t e z i huu uliongezeka, kuna utekelezaji mzuri zaidi wa “Mpango wa Kuharakisha Kupunguza Vifo vya Mama, Mtoto Mchanga na Mtoto Zanzibar’ (2008 – 2015) – ambao unalenga katika kuimarisha huduma kwa wajawazito na watoto. Mpango huu unaainisha wajibu na ushiriki wa sekta binafsi katika kuhakikisha upatikanaji wa huduma za afya ya mama na mtoto.

• Kama sehemu ya utekelezaji wa sera hii, AZAKi zinahakikisha kwamba vituo vya afya vingi zaidi vinatoa huduma bure kwa wajawazito. Tuna matumaini kwamba ushawishi huu hatimaye utapelekea kupungua kwa changamoto zinazokabili huduma za afya kwa wakina mama.

• AZAKi zilitumia fursa ya mwaliko wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais kwa wananchi kushiriki katika utekelezaji wa Mfumo wa Ufuatiliaji wa Matumizi ya Fedha za Umma (PETS). Hivyo waliweza kufuatilia matumizi ya fedha za umma katika sekta za maji na elimu. Matatizo yao yakiwa yamewekwa maanani, inatarajiwa kwamba hii itapelekea katika ufanisi katika matumizi ya fedha za umma na katika kutoa huduma za jamii kwa kiwango fulani.

Je, una maoni gani kuhusu maendeleo ya sekta ya AZAKi Zanzibar?

Idadi ya AZAKi visiwani Zanzibar imeongezeka sana katika miaka michache iliyopita lakini zaidi katika baadhi ya maeneo ya nchi, hasa katika maeneo ya mijini kuliko vijijini.

A Z A K i v i s i w a n i Z a n z i b a r zinachangia katika michakato ambayo ni ya umuhimu wa msingi kwa maendeleo ya nchi. Inaaminika kwamba serikali zinahitaji asasi za kiraia zilizochangamka na zenye machachari ili ziweze kufanya vizuri. Asasi za kiraia madhubuti ni muhimu katika mchakato wa demokrasia wa nchi yoyote. Ninaamini AZAKi visiwani Zanzibar zimetimiza wajibu wao.

Asasi za Kiraia (AZAKi) visiwani Zanzibar ni watendaji wakuu katika kuendeleza

maadili yanayotumika duniani kote kuhusu haki za binadamu, mazingira, viwango vya

kazi na mapambano dhidi ya rushwa

Page 4: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

4 |

Kuamsha ufahamu wa wananchi kuchangia …… ....Kutoka Uk. 1

nyumba za walimu.Mambo yalianza kuonekana yanabadilika

baada ya wawakilishi kutoka kata tano katika wilaya walipohudhuria mafunzo na kusambaza ujumbe kwa watu wengine ili waunganishe jitihada zao kuboresha sekta. Uhamasishaji sasa umelipa. Watu katika wilaya wamebadili mtazamo wao kifikra na wako tayari kuchangia, ama kupitia fedha taslimu au kwa kutoa nguvu kazi zao kutegemeana na mahitaji.

“Kwa mfano, wananchi wa Isongole walikuwa hawataki kujishughulisha ati kwa sababu shule za kata ni za serikali hivyo hawawezi kuchukua jukumu la kujenga madarasa, nyumba za walimu au mabweni. Lakini baada ya mafunzo, na wito kwa watendaji wa kata na kijiji kwamba waonyeshe aina zote za fedha zilizokusanywa, watu sasa wamejenga imani na wameanza kuchangia,” anasema Ntenga.

Mratibu wa Kiwamambe, Pardon Mwampashi, anasema kwamba mwanzoni mambo yalikuwa magumu kidogo. Ilibidi asasi iwatumie watu ‘wanaoheshimika’ na maarufu katika jamii na kuwaelimisha wao kwanza. Baada ya hapo, walichukua jukumu

Jamii ya Wamasai yahamasishwa........Kutoka Uk. 1

MATOKEO BAADA YA UHAMASISHAJI

na kuwaachia Wadau wa Maendeleo wajionee wenyewe baadhi ya wana ruzuku katika maeneo tofauti nchini kote.

Katika ziara ya pamoja ya mwaka huu, Wadau wa Maendeleo walioshiriki walikuwa ni pamoja na: Zabdiel Kimambo kutoka Idara ya Maendeleo ya Kimataifa ya Serikali ya Uinger-eza (DfID), Sonia Elmer na Leticia Mashimba kutoka Shirika la Uswisi la Ushirikiano wa Maendeleo (SDC), Arjen Kool na Bebelle Ernest kutoka Ubalozi wa Uholanzi na Tausi Mwilima kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto aliyeiwakilisha serikali.

Hivyo, wakati asasi ya SWAA ikiwa na makao yake makuu katika mji wa Morogoro, asasi hutekeleza kazi zake za mradi - zinazo-fadhiliwa na Foundation – katika wilaya ya Mvomero. Huelimisha wana jamii kuhusu sheria za kulinda watoto na wasichana wadogo dhidi ya vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia, pia kuanzisha vilabu vya shule katika shule sita ili kuamsha ufahamu wa Sheria ya Kumlinda Mtoto Na. 21 ya mwaka 2009. Sheria hii ina lengo la kukuza haki za mtoto kupata huduma muhimu kutoka kwa wazazi na jamii kwa ujumla.

Chanzo cha mradi Kulingana na maelezo ya Bi. Hellen, kazi ya uhamasishaji ya SWAA inayofanywa katika kijiji cha Kambala ilisisitiza ukweli kwamba wanafunzi katika jamii za wafugaji hutembea umbali mrefu kutoka majumbani kwao kuja shuleni. Hivyo, baadhi waliishia kuacha shule na kupata mimba za utotoni na zisizotarajiwa.

Pia alitoa mfano kwamba shule ya msingi ya Kambala wakati mmoja ilikuwa mojawapo ya shule zilizofanya vibaya zaidi (katika shule 10 za chini) katika wilaya. Wakati katika shule ya sekondari ya jirani ya Mlongola, kati ya wanafunzi 80 ambao hawakurudi shuleni mwaka jana wa masomo (2012), 52 walikuwa wasichana. Pia aligusia kwamba katika Shule ya Sekondari Mascat katika wilaya, takribani wasichana 8 walipata mimba, kitu ambacho kiliwasukuma kuzungumza na jamii ya Wamasai katika kijiji cha Kambala ili wachukue hatua katika shule yao.

Kwa juhudi zao wenyewe za kushirikiana na madiwani wa kata na wanasheria wa wilaya, SWAA iliripoti kwa Wadau wa Maendeleo kwamba sasa imeweza kutayarisha rasimu ya muundo wa kuanzisha mfuko wa elimu – un-

aolenga katika kusimamia haki za kisheria kwa wasichana wenye umri wa kwenda shule, na hata kuwashtaki wale watakaopatikana na hatia ya kuwapa wanafunzi mimba. “Rasimu itawasil-ishwa katika mkutano wa halmashauri kwa ajili ya kupitishwa na usajili itakapofika Juni, 2013 na tunafurahi kuwasilisha nakala kwa Mkuu wa Wilaya leo,” anasema Bi. Hellen.

Kutiwa moyo baada ya uhamasishaji “Unaweza kutueleza ni kitu gani SWAA imeweza kufanikisha na tutarajie kitu gani katika kijiji cha Kambala?” aliuliza Zabdiel Kimambo ku-toka DfID, na Hellen haraka akaanza kuelezea matokeo ya kazi yao ya uhamasishaji.

“Muda mfupi ujao tutakwenda shule ya msingi Kambala ambako tunafurahi kusema kwamba, baada ya kazi yetu ya uhamasishaji, kamati ya shule na wazazi wameibua mradi wa kujenga bweni la wasichana ambalo lina uwezo wa kulaza wanafunzi 60 wanaoishi mbali na shule – ili wa-ondokane na mimba za utotoni,” anasema Hellen.

Anaongeza kwamba: “Katika programu zetu za mafunzo tumewashauri kuchukua hatua kwa sababu wasichana wengi wanashindwa kwenda shule na wengine hubakwa mara kwa mara, hii ni kwa sababu ya kutembea umbali mrefu kutoka nyumbani.”

Kama matumaini mapya yanayochanua, Bi. Hellen pamoja na afisa uenezi wa SWAA, Jona-than David, hawakusita kuonyesha njia kuelekea katika kijiji cha mbali cha wafugaji wa Kambala kukutana na jamii ya walengwa, na kuonyesha kazi zao kuhusu kulinda watoto wa shule.

Njia sio nzuri sana na katikati ya mbuga yenye ukame kuelekea shule ya msingi Kam-bala, kulionekana baadhi ya wanafunzi wa kike

wakisindikizwa na wazazi wao au walezi.Tulipofika, hali ilijaa bashasha na jamii ya

Wamasai katika Shule ya Msingi Kambala walionye-sha kufurahishwa kupita kiasi na walikuwa tayari kuwapokea Wadau wa Maendeleo, pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Antony Mtaka, ambaye ali-onyesha shauku ya hali ya juu kujiunga na ziara hii. Hii kweli ilionekana kama fursa nadra kwa baadhi ya Morani wa Kimasai ambao baadaye waliingia jukwaani na kucheza ngoma yao ya utamaduni.

Tunaingia sasa katika kile kilichotupeleka Kambala, wakati umati shuleni hapo ukisikiliza kwa makini, huku wakijaribu kwenda sambamba na muda. Sonia Elmer kutoka SDC, aliwauliza viongozi wa kamati ya shule, ni kitu gani wa-menufaika kutokana na mradi wa SWAA.

Akijibu haraka, mwenyekiti wa kijiji cha Kambala, Kasho Moleto, alikiri kwamba SWAA imefanya kazi kubwa ya uhamasishaji kuhusu kuwalinda watoto wa kike dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia, na kutokana na hilo walitiwa moyo na kuibua mradi wao wenyewe wa kujenga bweni la wasichana shuleni hapo.

Tayari kijiji kimeanza kukusanya Shilingi 10,000 pamoja na ng’ombe mmoja kutoka kila kaya kama mkakati wa kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wa bweni. Wadau wa Maendeleo walipelekwa kuona kwa macho yao wenyewe sehemu iliyotengwa kwa ajili ya ujenzi wakati

matofali machache yakiwa yatari yameshapele-kwa katika sehemu ya ujenzi. Kwa kweli kile walichokiona Wadau wa Maendeleo kinakubali-ana na ndimi za busara – umoja ni nguvu!

“Tumeanza kukusanya fedha, shilingi 10,000 kutoka kila familia, na kweli kila kaya iko tayari kuchangia ng’ombe kwa ajili ya mradi wa bweni la wasichana,” anasema mwenyekiti wa kamati ya shule ya Kambala, Issaya Rijiwa, huku akishangiliwa.

Hata hivyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Founda-tion, John Ulanga, alisema: “Nilipomuona Mkuu wa Wilaya akiwa nasi hapa leo, ilinipa matu-maini kwamba mradi huu siku moja utakamilika. Lakini naipongeza jamii ya Wamasai katika kijiji cha Kambala kwa mwitikio wenu chanya kwa mradi huu – kusikia kwamba mnaweza kuchangia shilingi 10,000 na ng’ombe kutoka kila familia kwa ajili ya bweni la wasichana. Kwa uhakika, elimu ndio zawadi bora zaidi kwa watoto wetu kuliko kitu kingine chochote.”

Katika kufunga shughuli hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Mvomero aliwashukuru Foundation for Civil Society na kazi inayofanywa na SWAA – akisisitiza kwamba Halmashauri ya Wilaya yake watakuwa wakifuatilia kwa karibu maendeleo ya bweni la wasichana na kwa hakika nao watatimiza wajibu wao kuhakikisha kila kitu kinaenda inavyostahili.

la kuwaelimisha na kupitisha ujumbe kwa wananchi wengine hadi muafaka ulipofikiwa.

Kwa asasi ya Kiwamambe, hiki ndio kilikuwa kichocheo kufanya kila kitu kitokee kuelekea umiliki wa pamoja wa maendeleo katika sekta ya elimu ya wilaya.

Kwa upande wake, mwalimu katika Shule ya Sekondari ya Itumba, Owekisha Asimwe, anasema tangu kuanzishwa kwa shule mwaka 2007, kulikuwa hakuna hata nyumba moja ya mwalimu.

“Lakini baada ya hatua kuchukuliwa, na kupitia michango ya watu, tumejenga nyumba moja na kwa sasa jitihada zinaendelea kujenga ukumbi wa mikutano, ambao utatumika kwa ajili ya mitihani na shughuli nyingine,” anasema Asimwe.

Pia anataraji kwamba mahusiano ya kazi ya karibu, baina ya jamii na walimu sasa yameimarishwa, ukilinganisha ilivyokuwa huko nyuma – na hivyo kusababisha kupungua kwa idadi ya walimu wanaoomba uhamisho kwenda sehemu nyingine.

Hivyo, jumla ya kata tano za Chitete, Isongole, Itunmba, Ndola na Itale zimenufaika kutokana na mradi wa elimu katika wilaya ya Ileje.

“Tumeanza kukusanya fedha, shilingi 10,000 kutoka kila familia, na kweli kila kaya iko tayari kuchangia ng’ombe kwa ajili ya mradi wa bweni la wasichana”

Elizabeth Amaria wa Kamati ya Shule ya Msingi Kambala akitoa maelezo kwa washiriki wa timu ya pamoja ya ufuatiliaji kuhusu jinsi jamii ilivyonufaika na mradi kutoka SWAA.

Viongozi wa kesho. Wa-nafunzi wakiwa katika eneo lao la shule mkoani Iringa. Wanafunzi kama hawa katika maeneo ya vijijini siku zote wataku-salimu kwa tabasamu endapo juhudi zao za kuandikishwa shuleni zi-nafanikiwa.

Page 5: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

| 5

NA ISSA YUSSUF, ZANZIBAR Inaripotiwa kwamba katika shule nyingi za Pemba wanafunzi walikuwa wakiishi kwa hofu kwa sababu ya kukosekana kwa mahusiano mazuri kati yao na walimu wao. Walimu wengi walizoea kuwa wakali kwa wanafunzi, wakifikiri kwamba hiyo ndiyo njia bora zaidi ya kuwafanya wajifunze na kubaki shuleni, inadaiwa.

Matumizi ya aina fulani ya adhabu ya vi-boko mara nyingi imesababisha kuwepo kwa hofu miongoni mwa wanafunzi. Inasemekana wanafunzi wa kike ndio waliokuwa waathirika wakubwa zaidi wa hofu, ukilinganisha na wen-zao wa kiume. Wanafunzi wa kiume walikuwa wanadiriki kutoroka kutoka shuleni, kuepuka aina hii ya adhabu. Hatimaye, wataalamu wa-nasema kwamba mwenendo huu ni mbaya kwani unaweza kusababisha wanafunzi kuacha masomo na kupelekea katika utendaji mbovu shuleni.

Katika juhudi za kushughulikia matatizo shuleni, asasi ya PIRO (Pemba Island Relief Organization) ilizindua mradi wa kuimarisha mazingira ya kujifunzia kwa watoto shuleni, kupitia ufadhili kutoka Foundation.

Mradi unalenga katika kukuza mabadiliko ya tabia katika shule, ambapo walimu na wanafunzi wanakutana kama kitu kimoja – kuliko kuwa wapinzani wa jadi, pia kujitahidi kupunguza ma-suala ya jinsia yanayotokota chini chini kati ya wavulana na wasichana katika shughuli za shule.

“Tunaona mabadiliko tangu mradi uanze Aprili mwaka jana. Walimu wetu wanakuwa marafiki zaidi, na hata adhabu ya kuchapwa imepungua sana. Wengi wetu hatuwaoni tena walimu wetu kama kitu cha kuogopa,” anakiri Hamad Omar, ambaye ni mwanafunzi wa darasa la 6 kisiwani Pemba.

Mwanafunzi mwingine, Mariam Kombo, anas-ema: “Kwa sisi wasichana ilikuwa ni matatizo zaidi kwa sababu hatuwezi kutoroka kwa urahisi. Kwa hiyo inapotokea kosa lolote dogo, tunaishia kuteseka kwa adhabu za kazi za mikono. Lakini sasa tunashukuru kwamba mambo yanabadilika, na inapotokea kazi yoyote shuleni, tunafanya pamoja na wavulana.”

Sheikh Juma Masoud, ambaye ni kiongozi wa dini ya Kiislamu na mzazi anasema, ku-tokuwepo kwa mazingira mazuri ya kujifunzia katika shule kumefanya wanafunzi wengi waache shule na kuingia katika ajira mbaya za watoto, kwa kisingizio cha umasikini. “Wanafunzi hapa

Wanafunzi Pemba wasaidiwa kurudi masomoni kufuatia kuboreshwa kwa mahusiano na walimu

KUBAINI CHANZO CHA TATIZO

“Tunaona mabadiliko tangu mradi uanze Aprili mwaka jana. Walimu wetu wanakuwa marafiki zaidi, na hata adhabu ya kuchapwa viboko imepungua sana. Wengi wetu hatuwaoni tena walimu wetu kama kitu cha kuogopa”

“Wazazi kutelekeza watoto, watoto

kuchapwa viboko, na mazingira mabovu ya kujifunzia, yamekuwa

chanzo cha hofu na utoro miongoni

mwa wanafunzi shuleni. Mradi wetu

unalenga katika kuboresha mazingira

ya kujifunzia katika shule, na hii kwa kweli

imesaidia kubadili hali”

wanatumia fursa ya kuacha shule na kwenda kufanya kazi za hatari, kama vile kuvunja mawe na kuvua,” anasema.

Anasema kulikuwa na mazoea ya kuwalaumu wanafunzi kwa kuacha masomo, bila ya kuta-futa ufumbuzi wa sababu za msingi za tatizo hilo. “Naamini mahusiano mazuri ya kazi kati ya wanafunzi na walimu wao yatasaidia kuleta mabadiliko.”

Kulingana na maafisa wa PIRO, mazingira ya kujifunzia yasiyo rafiki katika shule yamelazi-misha takribani wanafunzi 900 kuacha masomo na kujishughulisha na ajira mbaya za watoto, hasa kugonga kokoto.

“Wazazi kutelekeza watoto, watoto kuchapwa viboko, na mazingira mabovu ya kujifunzia, yamekuwa chanzo cha hofu na utoro miongoni mwa wanafunzi shuleni. Mradi wetu unalenga katika kuboresha mazingira ya kujifunzia katika shule, na hii kwa kweli imesaidia kubadili hali,” anasema Juma Mohammed Tamim, ambaye ni afisa elimu na ushauri wa PIRO.

Tamim anaendelea: “Tulifanya warsha (iliyohusisha walimu) na mikutano ya kijiji, na kugawa vipeperushi ili kusukuma mabadiliko ya mazingira ya kujifunzia katika shule. Na mtazamo kuhusu masuala ya jinsia miongoni mwa wanafunzi wa kiume, walimu na wazazi pia yamekuwa yakiboreka.”

Anasema kupitia mradi zaidi ya wanafunzi 400 kati ya 900 walioacha masomo kwa sababu ya kuogopa wamerudi shuleni kuendelea na masomo, na kwamba sasa adhabu ya viboko inakatazwa katika shule zote.

Kulingana na Katibu Mkuu wa PIRO, Bi. Khadija Said Khalfan, mradi ulilenga katika kuimarisha mazingira ya kujifunzia katika shule, na umenufaisha shule katika maeneo yote ya Kangagani, Ole, Mjini-Kiuyu, Kojani, Miti-Ulaya, Micheweni, Kiuyu-Mbuyuni, Msuka, Shumba-

Mjini (Karume), na Kwale-Mgogoni katika kisiwa cha Pemba.

Pia, Bw. Hamad Nassor, ambaye ni mwalimu kisiwani Pemba, anakiri kwamba kulikuwa na hisia za uhasama kati ya wanafunzi na walimu. Anaongeza kwa kusema kwamba wazazi hawaku-furahishwa kabisa na walimu waliokuwa ‘waki-wachapa’ watoto wao. “Kwa msaada wa mradi, mazingira ya kujifunzia sasa yameboreshwa na wadau wote wanafanya kazi pamoja kusukuma gurudumu la maendeleo,” anasema Nassor.

Anaongeza: “Sasa tunajivunia kuweza kujenga mazingira mazuri ya kujifunzia yetu wenyewe. Tumefikia makubaliano kwamba elimu ni muhimu zaidi kwa mustakabali wa jamii yetu, na itapatikana tu kupitia mazingira mazuri ya kujifunzia.”

Bi. Fatma Mohammed Nassor, ambaye ni afisa anayefanya kazi na PIRO, anasema mradi wao pia umeamsha ufahamu kwa wanafunzi dhidi ya kujiingiza katika masuala ya ngono wakati wakiwa shuleni.

“Licha ya umasikini kujionyesha wazi katika kisiwa hiki, tumewaomba wanafunzi wakae mba-li na vishawishi ambavyo vinaweza kuwafanya wajiingize katika masuala ya ngono wakiwa bado wadogo ambalo ni tishio kubwa kwa maisha yao ya sasa na ya baadaye,” anaeleza Fatma.

Utekelezaji wa mradi hadi sasa umesifiwa karibu na wadau wote, na leo hii kuna ushuhuda kwamba mazingira rafiki ya kujifunzia yameanza kurejeshwa katika sehemu kubwa ya kisiwa.

Bw. Hamad Nassor, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Karume katika wilaya ya Micheweni, Kaskazini Pemba (kushoto)akiongoza jinsi ya kufufua mahusiano kati ya walimu na wanafunzi kwa kuzungumza nao wote ofisini kwake.

Page 6: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

6 |

wa jamii (Sheha), na walimu wana wajibu mkubwa wa kutekeleza kufanya programu ifani-kiwe. Takribani wanafunzi 500 walikuwa watoro wa muda mrefu katika shule hapa Chachechake, lakini tangu kampeni ilipoanza wengi wao wamerudi darasani,” wanatamka maafisa wa SACOMME.

Wao pia wanailaumu jamii (hasa wazazi) kwa kupuuzia suala la utoro kwa sababu za umasikini na ujinga, wakati baadhi ya wanafunzi wanawa-laumu walimu wao kwa kudaiwa kutumia adhabu ya viboko hata kwa makosa madogo wanapokuwa darasani.

“Adhabu ya viboko hufukuza wanafunzi kwa sababu huwatia hofu hivyo kuamua kuendelea kutokuwepo darasani,” anasema mwanafunzi mmoja Chakechake.

Katika utafiti wao mdogo, SACOMME waliona kwamba baadhi ya wazazi wanajaribu kutoa visingizio visivyo na msingi kwa ajili ya utoro, wakidai kwamba hawana uwezo wa kulipa karo ya shule, na kwamba hawawezi kununua sare ya shule kwa watoto wao, na hata kuwapa chakula kwa muda unaotakiwa. Hivyo, wengi wameishia kuwaunga mkono watoto wao wanaotafuta kazi za vibarua badala ya kuhudhuria shule.”

Lakini katika kampeni ya kutokomeza au kupunguza utoro, walimu wameombwa kub-

Mapambano dhidi ya utoro katika shule za Pemba yapamba moto

NA ISSA YUSSUF, ZANZIBAR

Kuimarishwa kwa uwajibikaji wa pamoja wa matunzo ya watoto kumesaidia wakazi wa wilaya ya Chakechake, Pemba kupambana na utoro mashuleni. Wilaya na sehemu nyingine za kisiwa cha Pemba vimekuwa kwa muda mrefu zikikabiliwa utoro wa ‘hali ya juu’ katika shule.

Chini ya mradi wa SACOMME (Okoa Jamii kwa Elimu), wazazi, walimu, viongozi wa jamii (Sheha), na wazee wa vijiji wamekubaliana kufanya kazi pamoja kuhakikisha kwamba utoro unatokomezwa.

Wanafunzi wengi katika kisiwa cha Pemba wameonekana wakizurura katika mitaa wakati wa saa za darasani, wakati wengine wengi tu waki-jishughulisha na kazi za vibarua kwa watoto. Lakini tangu mbinu hii mpya ilipoanzishwa mwanzoni mwa 2012, baadhi ya mabadiliko yameshaanza kuonekana. Hii ni kwa sababu ya kuhimizana juu ya uwajibikaji wa pamoja ili kushughulikia chanzo cha tatizo.

Hivyo, kupitia ufadhili kutoka kwa Foun-dation, SACOMME imeweza kuendesha mradi kuhusu mapambano dhidi ya mahudhurio ma-baya ya watoto katika shule na tayari mafanikio yameshaanza kuonekana.

“Tulianza vizuri kwa kuwahamasisha vion-gozi wa maeneo, wazazi, na walimu kusaidia programu kwa uzito unaostahili, ili kuwaokoa watoto kutokana na ujinga wa kutojua kusoma na kuandika, anasema Aki Bakar Mohamed.

Alisema watoto wa shule pia walipewa fursa ya kujadili masuala yanayohusiana na utoro; kupitia midahalo ya hadhara iliyoandaliwa ka-tika shule zao. Midahalo ya watoto ilikuwa na manufaa, ilifanya kazi na iliwasaidia wanafunzi kubadili tabia zao.”

Maafisa wa Mradi katika asasi ya SACOMME, Mohammed Ali, na Abdulwahab Said wanaamini kwamba mapambano dhidi ya utoro yameshika kasi lakini kujituma zaidi bado kunahitajika.

“Kamati za vijiji, kamati za shule, viongozi

KAZI ZA WANARUZUKU WETU

adili mtazamo wao unaonekana wa vitisho na kuonyesha upendo kwa wanafunzi kwa kuepuka matumizi ya adhabu ya viboko.

Bw, Rahim Juma, ambaye kitaaluma ni mwalimu, anasema kupambana na utoro katika shule za Pemba ni changamoto kubwa kutokana na kukosekana kwa uwajibikaji wa pamoja, uma-sikini miongoni mwa jamii, na uhaba mkubwa wa walimu.

Anaona kwamba shule nyingi katika kisiwa cha Pemba zinahitaji vifaa, na kwamba wana-funzi wanaorudi darasani wanahitaji kupigwa ‘msasa’ kabla ya kujiunga na wenzao. “Lakini tuna uhaba wa walimu na vifaa vya kufundishia,” anasema Juma.

Anaendelea: “Pia tunahitaji vyoo. Uhaba wa vyoo ni tatizo kwa wanafunzi, hasa wa kike. Shule zote zinapaswa kuwa na vyoo vinavyo-stahili kwa walimu na wanafunzi, ili ziweze kuwavutia wote.”

Maeneo ambayo yana utoro sugu katika shule ni pamoja na: Pujin Dodo, Mgelema, Matale, na Kilindi – ambako wanafunzi wanajihusisha na uvuvi na shughuli nyingine za vibarua kwa watoto ili wapate pesa ya kujikimu wao na wazazi wao.

Kamati za shule zilizoundwa, ambazo zinahu-sisha wazazi, zimepewa jukumu la kuhakikisha

kwamba utoro unapunguzwa katika shule zote, na kwamba wazee wote na viongozi wa jamii wanaanzisha hatua zinazohusisha watu wote ili kupambana na utoro.

Mratibu wa mradi wa SACOMME, Yussuf Abdal-lah, anasema ijapokuwa wamedhamiria kumaliza au kupunguza utoto shuleni, lakini kazi hii itachukua muda mrefu kutokana na kiwango cha juu cha umasikini unaozikabili familia nyingi. Baadhi ya familia haziwezi hata kumudu kununua sare ili watoto wao waende shule.

“Watoto wanahitaji sare, na angalau mlo mmoja asubuhi ili waweze kufuatilia masomo shuleni. Hii ina maana kwamba tunahitaji kuchanga fedha kuwasaidia wabaki shuleni,” anasema Abdallah.

Kupitia ufadhili wa Foundation, maafisa wa SACOMME, Masheha, walimu na kamati za wa-nafunzi zinalenga katika kuhakikisha kwamba zaidi ya watoro sugu 600 katika shule za msingi wanarudi darasani kisiwani Pemba.

Asasi hii ya jamii imekuwa ikiwasukuma kwa nguvu wazazi na viongozi wa jamii katika wilaya watekeleze wajibu wao, na hata kuwawajibisha raia wowote kwa ulegevu unaosababisha watoto kuacha shule.

Juhudi za SACOMME zimewasukuma wakuu wa shule na viongozi mbalimbali kufanya mazungumzo ya mara kwa mara kuhusiana na changamoto zinazoikabili elimu katika shule na utoro kama hatua muhimu kuzuia tatizo hili.

“Wazazi, walimu, na wazee wa kijiji watawa-jibika iwapo mtoto yoyote atapatikana anazurura au ameajiriwa katika kazi za vibarua. Ninajivunia kwamba makubaliano yamefikiwa ili tufanye kazi pamoja kutokomeza utoro,” anasema Abdallah.

Kutoka kwenye hali ya utukutu na kurejea katika utaratibu wa kawaida. Baadhi ya wanafunzi (wasio na sare) wa Shule ya Msingi Pujin, katika wilaya ya Chake-chake, Pemba. Hapa wanaonekana mara baada ya kurudishwa darasani kutoka kwenye utoro uliokithiri.

Utoro sasa hauna nafasi tena. Wanafunzi wakiwa wameenea vizuri darasani katika Shule ya Msingi Pujin, wilaya ya Chake-chake, Pemba.

“Kamati za vijiji, kamati za shule, viongozi wa jamii (Sheha), na walimu wana wajibu mkubwa wa kutekeleza kufanya programu ifanikiwe. Takribani wanafunzi 500 walikuwa watoro wa muda mrefu katika shule hapa Chachechake, lakini tangu kampeni ilipoanza wengi wao wamerudi darasani”

Page 7: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

| 7

Rehema Msola, mkazi wa Ilula, akitoa ushuhuda wake kuhusu matumaini mapya waliyopewa Watu Wanaoishi na VVU katika eneo lao kutokana na Mradi wa mwanaruzuku wetu, IMO.

KAZI ZA WANARUZUKU WETU

Hata hivyo huu sio mwisho wa dunia• Asasi yatumia Sheria ya UKIMWI ya mwaka 2008 kubadili mtazamo wa jamii

NA VINCENT NALWENDELA

IRINGA – Busara za kawaida zinasema kwamba unapoona mtu yuko juu kwa maana ya kujiamini, basi ujue huenda palikuwepo na jitihada za kugeuza mambo kutoka katika hali ya matokeo fulani mabaya yasiyoridhisha.

Leo hii mkazi wa Ilula, wilaya ya Kilolo katika mkoa wa Iringa, Rehema Msola, ni ushuhuda wa matumaini mapya katika maisha wanayopewa watu wanaoishi na VVU/UKIMWI (WWVVU) – wajisikie kwamba nao pia ni sehemu ya jamii na wanaweza kushiriki kikamilifu katika kuamua upya mwenendo wa maisha yao wenyewe. Ni kwa sababu ya juhudi za asasi ya IMO (Asasi ya Huruma ya Iringa), ambao kupitia ufadhili kutoka Foundation for Civil Society, imeweza kuwafikia watu 150 Wanaoishi na Virusi vya Ukimwi katika mji mdogo wenye biashara nyingi wa Ilula.

Hapa ni mahali ambapo madereva wa magari makubwa husimama ili ‘kuongeza nguvu’ kwa ajili ya safari ndefu mbele yao!

Kwa hakika kiwango kikubwa cha kujiamini na cha kujikubali kinachoonyeshwa na Rehema, pamoja na jamaa zake, walipokuwa wanawapokea wageni wao, Wadau wa Maendeleo katika eneo la utekelezaji wa mradi kwenye mji wa Ilula, kunaweza kutoa simulizi kubwa!

Hata hivyo, kiwango cha kujiamini sio ati ni kwa sababu ilikuwa inakaribia mwisho wa mwezi (ilikuwa Februari) ambapo idadi kubwa ya watu wanaofanya kazi walikuwa wanapata mishahara yao. Ilikuwa ni kwa sababu ya hisia iliyojengeka ya kujikubali na moyo mpya wa

“Sasa hivi nafahamu vyema Sheria ya Ukimwi ya mwaka 2008. Najua na nakubali kwamba nina

wajibu wa kuzuia kuenea kwa virusi; kuwalinda wengine wasipate maambukizi na kuto-

wanyanyapaa au kunyanyapaliwa kutokana na hali yako ya VVU/UKIMWI, iwe ni hali ya kweli, ya

kuhisi au kudhaniwa”

maisha ya kuwajibika zaidi katika jamii. Hivyo, Rehema na walengwa wenzake wa kazi

inayofanywa na IMO bila ya wasiwasi walipanda jukwaani na kuimba wimbo wa kuwakaribisha Wadau wa Maendeleo ambao ziara yao ya kutembelea miradi imewachukua hadi Iringa, baada ya siku yenye shughuli nyingi mkoani Morogoro. Kwa kawaida, sampuli ya asasi zinazopokea ruzuku hutembelewa mara kwa mara ili kupata hisia ya jinsi miradi inavyotekelezwa, na Foundation huandaa ziara mbili za pamoja kila mwaka na kuwaachia Wadau wa Maendeleo wajionee wenyewe baadhi ya wana ruzuku katika maeneo tofauti nchini kote.

Baada ya kufika katika kata ya Nyalumbu katika mji wa Ilula, timu ya Wadau wa Maendeleo walikuwa tayari kupokea taarifa ya mradi wa jinsi watu wanaoishi na VVU/UKIMWI na jamii wanavyosaidiwa kushiriki katika Sheria ya Kuzuia na Kudhibiti Ukimwi ya mwaka 2008. Wadau wa Maendeleo walijumuisha: Leticia Mashimba kutoka Shirika la Uswisi la Ushirikiano wa Maendeleo – SDC na Arjen Kool na Bebelle Ernest kutoka Ubalozi wa Uholanzi. Pia aliyeambatana

Na hivyo muda wa kutoa ushuhuda wa kazi ya mradi uliwadia. Akiongozwa na haiba ya kujiamini, ilikuwa ni Bi. Rehema Msola aliyeamka kutoka kwenye kiti chake – akionyesha mbwembwe za kucheza ambazo ni nadra kuziona – basi akaanza kusimulia ushuhuda wake kama mlengwa wa mradi.

“Sasa hivi nafahamu vyema Sheria ya Ukimwi ya mwaka 2008. Najua na nakubali kwamba nina wajibu wa kuzuia kuenea kwa virusi; kuwalinda wengine wasipate maambukizi na kuto-wanyanyapaa au kunyanyapaliwa kutokana na hali yako ya VVU/UKIMWI, iwe ni hali ya kweli, ya kuhisi au kudhaniwa.

“Nafahamu nina haki sawa ya kupata huduma ya tiba. Haki ya kupata elimu kama ilivyo kwa mtu mwingine yoyote, haki ya kuajiriwa bila ya kuzuiwa kwa sababu ya hali yangu ya VVU/UKIMWI, iwe ni hali ya kweli, ya kuhisi au kudhaniwa,” anasema Rehema.

Akielezea kama ni matokeo ya kazi ya uhamasishaji inayofanywa na IMO, Rehema pia anajivunia kwamba sasa anajimudu na anaweza kuchangia katika jamii kwa kushiriki katika shughuli za uzalishaji mali.

“Kwa kweli tunashukuru kwa msaada tulioupata kupitia asasi hii. Sasa hivi tumeyapanga upya maisha yetu, tunaweza hata kumiliki mali na hata wapi tunapoweza kupata msaada wa kisheria,” anasema Rehema.

Licha ya kazi ya uhamasishaji na mafunzo yanayotolewa kwa jamii katika mji wa Ilula, Dk. Wilson Mwakibete, ambaye ndiye daktari

wa IMO katika programu zake za kuwafikia watu vijijini, alifanya marejeo ya takwimu za kiwango cha kuenea kwa VVU katika eneo hili.

Alisema kiwango cha kuenea kwa VVU bado kiko juu, kufikia hata asilimia 15.7, lakini pia kuna mafanikio makubwa yaliyopatikana chini ya mradi huu.

“Tunajivunia kusema kwamba takribani asilimia 90 ya watu wanaoishi na VVU/UKIMWI ambao huko nyuma walikuwa wamelala kitandani, sasa hivi wanatembea na wanaendelea na shughuli zao kutokana na jitihada zetu. Watu binafsi kufichua hali zao za VVU/UKIMWI kumeongezeka, hii ni baada ya kupambana dhidi ya unyanyapaa, na cha kufurahisha zaidi ni kwamba wengi wao miongoni mwa watu wanaoishi na VVU/UKIMWI kwa sasa wanashiriki katika shughuli za kijamii na kiuchumi,” anasema Dk. Mwakibete.

Tena, licha ya kuwepo na kuchanganyika na madereva wa magari makubwa katika barabara kuu, Dk. Mwakibete anaamini kwamba kiwango cha juu cha kuenea kwa VVU katika mji wa Ilula ni kutokana na kukithiri kwa unywaji wa pombe ya kienyeji, inayojulikana kama Ulanzi.

Hata hivyo, IMO kupitia ufadhili kutoka Foundation imeweza kuwafikia zaidi ya watu 180, wakiwemo madereva wa magari makubwa, na kuwapatia ujuzi zaidi kuhusu Sheria ya Ukimwi ya mwaka 2008. Hivyo, kupitia mradi wa IMO, Elitha Chusi ambaye ni mratibu wa mradi anaona kwamba mustakabali wa jamii yao unazidi kuwa mzuri zaidi.

nao alikuwa, Bi. Tausi Mwilima, kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto aliyeiwakilisha serikali.

Mambo yote yalikuwa tayari na mazingira katika ukumbi wa Nyalumbu uliokaribia kufurika – katikati ya mji wa Ilula, wilaya ya Kilolo – yalikuwa tulivu. Na Elitha Chusi, ambaye ni mratibu wa mradi wa IMO, alianza kuelezea shughuli za asasi yake zinazolenga katika kuhamasisha na kuinua ushiriki wa Watu Wanaoishi na VVU na jamii katika kutekeleza Sheria Na. 28 ya Kuzuia na Kudhibiti Ukimwi ya mwaka 2008.

Katika kutaka kujua baadhi ya taarifa kwa undani, Arjen Kool, Katibu wa Kwanza – Utawala, kutoka Ubalozi wa Uholanzi aliuliza: “Je mnawalenga watu wanaoishi na VVU/UKIMWI peke yake?”

Katika kujibu kwa haraka, Bi. Elitha alisema kwamba lengo la IMO ni kulenga jamii yote zaidi ya watu wanaoishi na VVU/UKIMWI peke yake ili kujenga hisia jumuishi za uwajibikaji katika kupambana na tatizo – kwa kutumia chapisho rahisi la Sheria ya Ukimwi ya mwaka 2008, ambayo waliitayarisha upya.

Page 8: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

8 |

KAZI ZA WANARUZUKU WETU

Wanawake Iringa wasaidiwa kupata haki zao

Akiwa amezaliwa na kulelewa katika mila za Kimasai, leo hii Bi. Ezeleda Paulo anajikuta ni mkazi wa Kijiji cha Izazi mkoani Iringa ambako maisha ya ndoa yamemfanya aende huko.

Akielezea mkasa wake, Ezeleda anasema kwamba alipokuwa na umri wa miaka 12, alilazimishwa kuolewa na mzee wa miaka 60, na hata hivyo karibu kila mtu katika jamii yake ya Kimasai hakutaka kuja kumuokoa. Alijiona hana msaada wowote na hapakuwa na njia nyingine bali kuolewa.

“Kwa kweli, katika maisha yangu huu ulikuwa mwanzo wa maumivu na mateso, lakini niliendelea kuwa na matumaini kwamba kuna uwezekano kwangu kujikomboa na hata kuondoka mahala hapa. Sina nitakachopoteza, kwa sababu sina ng’ombe wala ardhi ya kung’ang’ania,” anasema mwanamke huyo.

Ezeleda anasema kitu kilichompa wakati mgumu ni pale alipozaa watoto wawili katika kipindi kifupi sana, wakati hakuna mtu wa kumtunza. Si mume wake, wala watu wa familia yake walijali kuhusu afya yake. Pia alitaka sana kumpata mtu mwingine wa kumwelezea shida zake, lakini hapakuwa na mtu wa kumsaidia. Kwa bahati mbaya, jamii yote ya Kimasai anakotoka bado wanafikiri kwamba mambo yaliyomkuta ni sawa kabisa.

Lakini kama watu wanavyosema, mlango mmoja ukifungwa, mwingine unafunguka. Siku moja Ezeleda alikaribishwa kwenye warsha iliyoandaliwa na Kikundi cha Ngoma cha Alpha kujadili kuhusu masuala ya wanawake. “Niliposikia watu wakizungumzia shughuli hii, na kwamba masuala ya haki za wanawake yatajadiliwa, nilipatwa na shauku na kudhamiria kutokukosa warsha hiyo.”

Kama mfano mwema, baada ya mafunzo, alijua nini cha kufanya. Kitu cha kwanza alichofanya ilikuwa ni kurudi kwa wazazi wake, na kujadiliana nao kuhusu kurudisha mahari ili aweze kuishi akiwa huru na hata kuoana na mwanaume anayempenda. Baada ya majadiliano marefu na wazazi wake walikubali, mahari ikarudishwa. Alihamia kijiji kingine kuanza maisha mapya.

Huu ni mfano wa kawaida wa wanawake katika eneo hilo ambao walinyimwa haki yao ya kuamua waolewe na nani na wakati gani.

Wanawake wamekuwa waathirika wa ukatili na ubaguzi katika karibu tamaduni zote kutokana na mfumo dume ‘usio na mantiki’ – ukifikiria kwamba wanaume daima ndio bora zaidi kuliko wanawake.

Hivyo, wanawake wamekuwa waathirika wa ukatili majumbani, wengi wao wakishuhudia mateso makubwa katika nyumba zao za ndoa. Masuala ya ndoa za utotoni husababisha tatizo hili.

Kufuatana na maelezo ya mratibu wa Kikundi cha Ngoma cha Alpha, Severin Mtitu, kupitia ufadhili wa Foundation, wameweza kuendesha mfululizo wa mafunzo ya uwezeshaji wa wanawake katika vijiji vya Izazi na Kalenga katika Manispaa ya Iringa.

“Tumeendesha mafunzo kwa siku tano, na kuwaelimisha wanawake kuhusu masuala ya sera, kama vile haki ya kumiliki mali na ardhi, na katika kuandika wosia kama inavyotamkwa katika Sheria ya Ardhi ya mwaka 1999,” anasema.

Pia asasi inatumia aina mbalimbali za sanaa kuamsha ufahamu kuhusu haki za wanawake.

“Tayari wanawake watano wamerejeshewa mali zao za haki mahakamani kupitia msaada na mwongozo kutoka kwenye asasi,” anasema Mtitu.

Baada ya kufahamu tatizo linalomkabili Ezeleda, asasi ilichukua hatua na kumwezesha kupata cherehani inayomwezesha kuingiza kipato kwa ajili ya familia yake.

Asasi pia ilimsaidia Dora Lubugo kupata mirathi yake baada ya mume wake kufariki. Ilionekana kwamba mashemeji zake walichukua kila kitu na kumzuia kupata chochote. Lakini alikuwa ameshapata elimu na alipitia hatua za mahakama kabla hajafanikiwa kupata haki yake.

Aliiomba serikali kuharakisha mchakato wa marekebisho ya sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kwani inadhoofisha haki za maendeleo za mtoto wa kike na wanawake kwa ujumla.

Cha ajabu sheria hii inahalalisha ndoa ya msichana katika umri wa miaka 14 na 15 kupitia ridhaa ya wazazi au walezi. Imekuja kufahamika kwamba baadhi ya wazazi/walezi wanatumia vibaya mapungufu katika sheria ya ndoa, na kuwalazimisha watoto wao wa kike kufunga ndoa ili wapate mahari, hivyo kuwanyima wasichana hawa haki yao ya kupata elimu rasmi au isiyo rasmi.

Wajane hawa wanaofahamika, Sabina Kibuga, Kera Mwakifuga na Nuru Mbinda wanakipongeza Kikundi cha Ngoma cha Alpha kwa kuinua ufahamu, hadi sasa wanaweza kupigania haki zao na kulinda familia pia na mali zao. Baada ya mafunzo, wanawake hawa wamerudi katika familia zao na kudai sehemu zao za ardhi ili nao pia waingize kipato. Tayari matumaini ni makubwa.

Mwenyekiti wa kijiji cha Migoli, Bw. Anderson Kihava, anasema kiwango cha matukio ya ukatili wa kijinsia kimeongezeka kwa sababu wanawake wengi zaidi wana ufahamu wa haki zao kuliko ilivyokuwa huko nyuma. Anasema hii ni dalili njema kwamba sasa wanawake wanaweza kupigania haki zao bila woga.

“Sasa hivi wanawake wanashiriki vyema katika mikutano ya kijiji kwa ajili ya kufanya maamuzi muhimu, na hata kudai ufafanuzi popote pale wanapoona matatizo,” anasema Kihava.

Ezeleda (katikati) sasa hivi ni mwanamke aliyerudia hali yake ya kawaida kama ilivyo hapa, ambapo kwa kujiamini anawaonyesha rafiki zake waraka wa haki zake nyumbani kwake Iringa.

“Tumeendesha mafunzo kwa siku tano, na

kuwaelimisha wanawake kuhusu masuala ya

sera, kama vile haki ya kumiliki mali na ardhi, na

katika kuandika wosia kama inavyotamkwa

katika Sheria ya Ardhi ya mwaka 1999. Sasa hivi wanawake wanashiriki vyema katika mikutano

ya kijiji kwa ajili ya kufanya maamuzi

muhimu, na hata kudai ufafanuzi popote pale wanapoona matatizo”

“Kwa kweli, katika maisha yangu huu ulikuwa mwanzo wa maumivu na mateso, lakini niliendelea kuwa na matumaini kwamba kuna uwezekano kwangu kujikomboa na hata kuondoka mahala hapa. Sina nitakachopoteza, kwa sababu sina ng’ombe wala ardhi ya kung’ang’ania”

Page 9: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

| 9

MABADILIKO KATIKA MASUALA YA ARDHI

Wanavijiji Mvomero waanza kuchukua hatua binafsi kutatua migogoro ya ardhi

“Kama ilivyo katika kata nyingine

tatu, katika kijiji cha Melela

tumeimarisha mabaraza ya ardhi ili watu

waweze kutatua migogoro yao ya

ardhi wakiwa huru kupitia mafunzo.

Tumetuma wataalamu wetu

wa sheria kusaidia mabaraza na

taratibu za kisheria, na sasa tunajivunia

kutamka kwamba jamii katika kata za Magale, Magali na Melela zinafahamu

zifanye nini ili kutatua migogoro

ya ardhi”

Baadhi ya wajumbe wa timu ya pamoja ya ufuatiliaji wakisikiliza kwa makini ushuhuda kutoka kwa wanakijiji wa Melela, Morogoro kufuatia afua za masu-ala ya Ardhi na mwana ruzuku wetu, MOC.

Mwenyekiti wa Kijiji cha Melela, mkoa wa Morogoro, Amini Membe, akitoa ud-huhuda wa mabadiliko chanya yaliyopatikana kijijini kwake kutokana na afua za mabaraza ya ardhi, kupitia muunganisho na asasi ya MOC (Mvomero Organizations Coali-tion).

NA VINCENT NALWENDELA

MOROGORO – Kwa miaka mingi sasa sehemu za wilaya ya Mvomero katika mkoa wa Morogoro zimekuwa na sifa ambayo si nzuri ya kile kinachoaminika kuwa migogoro ya ardhi isiyokwisha kati ya wafugaji na wakulima.

Kuna wakati mmoja jambo hili lilienea hata kuhusisha baadhi ya wilaya za jirani, na kusababisha mapigano makali, majeraha na watu kupoteza maisha. Na kila upande unamlaumu mwenzake kwa kutotenda haki.

Kupitia ufadhili kutoka Foundation for Civil Society, asasi ya MOC (Mvomero Organisation Coalition), ililichukulia suala hili kwa uzito unaostahili na kuanza kuhamasisha jamii katika wilaya kuhusu sera ya ardhi kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 1997, pamoja na Sheria ya Ardhi ya Kijiji ya mwaka 1999 – ili kupata matumizi bora ya ardhi na kutatua migogoro.

Ikiwa ni jambo linaloamsha hisia, Foundation kupitia kitengo chake cha Ufuatiliaji na Tathmini ilichagua kufanya ziara ya pamoja kwenda kwenye asasi pamoja na Wabia wa Maendeleo, asasi ambayo ofisi zake ziko Mtaa wa Ukutu katika mji wa Morogoro, ili kupata hisia ya jinsi miradi inayotekelezwa ilivyo. Hivyo, Foundation huandaa ziara mbili za pamoja kila mwaka na kuwaachia Wadau wa Maendeleo wajionee wenyewe baadhi ya wana ruzuku katika maeneo tofauti nchini kote.

Katika ziara ya pamoja ya mwaka huu, Wadau wa Maendeleo walioshiriki walikuwa ni pamoja na: Zabdiel Kimambo kutoka Idara ya Maendeleo ya Kimataifa ya Serikali ya Uingereza (DFID), Sonia Elmer na Leticia Mashimba kutoka Shirika la Uswisi la Ushirikiano wa Maendeleo (SDC), Arjen Kool na Bebelle Ernest kutoka Ubalozi wa Uholanzi na Tausi Mwilima kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto aliyeiwakilisha serikali.

Stanford Kalala ni mkurugenzi mtendaji wa asasi ya MOC na alipokutana na Wadau wa Maendeleo anatanguliza taarifa kwamba asasi yao imeweza kuvifikia vijiji kadhaa na kamati za ardhi za kata na kuwapa mafunzo kwenye sera husika ya ardhi, na sheria za kuundwa kwa mabaraza ya ardhi.

Majadiliano sasa yameanza kugusa mada muhimu ya jambo hili na maswali yakaanza kutiririka. “Kwa hiyo ninyi kama shirika mmefanya nini kuyasaidia mabaraza ya kata,” anauliza Leticia Mashimba kutoka SDC.

“Kama ilivyo katika kata nyingine tatu, katika kijij i cha Melela tumeimarisha mabaraza ya ardhi ili watu waweze kutatua migogoro yao ya ardhi wakiwa huru kupitia mafunzo. Tumetuma wataalamu wetu wa sheria kusaidia mabaraza na taratibu za kisheria, na sasa tunajivunia kutamka kwamba jamii katika kata za Magale, Magali na Melela zinafahamu zifanye nini ili kutatua migogoro ya ardhi,” alisema Mkurugenzi Mtendaji wa MOC,

Sanford Kalala. Baada ya hapo viongozi wa MOC

waliwachukua Wabia wa Maendeleo kwenda kukutana na baadhi ya walengwa wa mradi katika kijiji cha Melela. Walipofika, Wabia wa Maendeleo walipata fursa ya kusikia ushuhuda kutoka kwa wanakijiji waliokusanyika kwa wingi nje ya ukumbi karibu na ofisi ya afisa mtendaji wa kijiji.

Mwenyekiti wa jijiji cha Melela, Amini Membe anasema watu wake wanaifahamu vyema kazi ya mabaraza ya ardhi, na tayari wameweza kutatua kesi 2 kati ya kesi 3 ngumu ambapo wafugaji wamekubali kuwalipa fidia wakulima kwa uharibifu waliosababisha.

Bahati Mwinyimvua ambaye ni mwana kijiji wa Melela pia anasema: Kabla ya MOC kuja kwetu tulikuwa

hatujui thamani ya hati na kupima ardhi yetu. Sasa hivi tunafahamu thamani yake na hii imepunguza sana migogoro.

Ku l i ngana na mae l e zo y a Mwenyekiti wa kijiji, Amini Membe, maombi ya takribani hati 500 za miliki ya ardhi yametumwa katika eneo lao la kata kutokana na uhamasishaji.

“Sasa hivi tunaweza kushughulikia masuala yetu kuhusu migogoro ya ardhi kwa utaratibu mzuri. Tunapokuwa na malalamiko kutoka kwa wanakijiji, tunapima matatizo hayo kwa kushauriana na sheria zetu ndogo ndogo, kutembelea maeneo ya migogoro kwa kuwatumia wataalamu wa kilimo, na kuthibitisha matatizo halisi kwa ajili ya kuyapeleka katika mabaraza ya kata ambayo yana mamlaka ya kupiga faini na kuwaadhibu wakosaji. Hii imetusaidia

kutatua matat i zo , ” anasema mwenyekiti wa baraza la ardhi la kijiji cha Melela, Thomas Kunambi.

“Kwa hiyo, MOC imewasaidia nini ninyi kama wanakijiji,” anauliza Argen Kool, kutoka Ubalozi wa Holand.

Am in i Membe ambay e n i Mwenyekiti wa kijiji cha Melela, anahitimisha kwamba: “Tunaishukuru MOC kwa kutuwezesha kushughulikia migogoro yetu ya ardhi kwa utaratibu mzuri. Wametuletea wataalamu wa sheria ili watupatie mafunzo kwenye masuala ya usimamizi wa ardhi na leo, mimi ni shuhuda mzuri nasema kwamba nina muda mwingi wa kushughulikia masuala ya maendeleo, kuliko kujaribu kutatua migogoro. Hii ni kwa sababu mabaraza ya ardhi sasa hivi yanafanya kazi vizuri na yanatimiza wajibu wake vyema.”

Page 10: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

10 |

KAZI ZA WANARUZUKU WETU

Wapiga kura Iringa wasaidiwa kuonana na viongozi wao kukuza uwajibikaji

NA LILIAN MKUSA

Mkoa wa Iringa unaweza kuwa mfano mzuri wa kuigwa na hivyo kuthibitisha usemi kwamba “wawakilishi lazima wawasikilize wapiga kura wao”.

Kwa kiasi kikubwa sasa, wananchi wa Iringa wameweza kuweka kando tofauti zao za kisiasa na kufanya kazi pamoja ili kuleta maendeleo ya mkoa. Mafanikio haya yamepatikana baada ya kuimarisha uhusiano kati ya wapiga kura (majimbo) na Wabunge wao – kupitia midahalo ya hadhara. Midahalo hiyo imeendeshwa na Mtandao wa Asasi za Kiraia Iringa (ICSCO).

Kupitia ufadhili kutoka Foundation, ICSCO imewaleta pamoja Wabunge, Asasi za Kiraia na wapiga kura katika mkoa wa Iringa ili kujadili masuala ya kijamii na maendeleo, kubadilishana mawazo katika majukwaa ya wazi – kama njia ya kukuza uwazi na uwajibikaji katika majimbo ya uchaguzi.

Mratibu wa ICSCO, Raphael Mtitu, anasema midahalo ilikusudiwa kujenga fursa za kuhusisha wananchi, na hivyo kukuza uwazi na uwajibikaji kupitia mashauriano na wapiga kura wao katika majimbo husika.

“Kabla ya midahalo hii na Wabunge na madiwani, tuliendesha mikutano ya hadhara kuhusu mchakato wa mapitio ya katiba katika mji wa Iringa, na zaidi ya watu 250 walihudhuria katika maeneo ya Isimani, Kalenga na Kilolo,” anasema Mtitu. Pia alisema kupitia vyombo vya habari waliweza kuwafikia watu wengi zaidi, na hivyo, zaidi ya watu

“Viongozi wetu walikuwepo wakati wa mikutano hii, hivyo walifuatilia kelele zetu, ndio maana wakaanza kuzikarabati mara moja. Tunaona haya kwamba ni matokeo mazuri”

100,000 wamenufaika kutokana na elimu hii.Alisema midahalo imesaidia kujenga mfumo

wa utawala ulio wazi na unaowajibika ambapo wananchi wana haki ya kuwauliza maswali viongozi wao.

Midahalo iliyoendeshwa Iringa imewafanya watu kuweka pembeni tofauti zao za kisiasa, na hivyo kupeleka masuala yenye maslahi kwa taifa kwa Wabunge wao – kwa ajili ya ajenda ya utekelezaji.

Mmojawapo wa washiriki wa mdahalo kutoka kata ya Kihesa, Zawadi Malekela, amasema kwamba mwanzoni alikuwa hawezi kuuliza maswali kwa Wabunge wake au madiwani wakati akiwa katika mikutano ya hadhara. Alifikiri kwamba kufanya hivyo ilikuwa haiwezekani kabisa, lakini sasa anaweza kuuliza maswali kwa kujiamini and kuelezea masuala mbele yao.

“Sasa ninajivuna. Midahalo imenifanya kujiamini zaidi kutoa fikra na msimamo wangu kwa maslahi ya taifa,” anaonyesha.

Mamlaka zinazofanya kazi bila kificho na zilizo wazi zinawajibika zaidi kwa watu wake na rushwa inakuwa ni kidogo. Na, uwazi huzaa kuaminiana – kutengeneza njia ya ushiriki wenye manufaa wa wananchi. Kutokana na hili sera bora hufanya kazi. Hivyo, midahalo imeonyesha njia kwa wananchi kujua kwamba ni haki yao kuhusishwa na kusikilizwa.

James Chapile kutoka kata ya Mivinjeni ana maoni kwamba, ‘wananchi waliotaarifiwa vya kutosha hufahamu haki zao’. Sasa hivi amehamasishwa vyema na anaweza kudai

maelezo iwapo mambo hayaendi kama ilivyokubaliwa.

Kwa niaba yake mwenyewe, diwani wa kata ya Kitwiru, Ally Mohammed, anaeleza kwamba kupitia midahalo wameweza kupata fursa ya kukutana na watu wao na kujadili masuala ya maendeleo pamoja. “Wote tumeweza kupeana mirejesho yenye manufaa, na kila mtu ameridhika”.

“Nadhani ni muhimu kukutana na watu wetu mara kwa mara na kujenga uhusiano unaofanya kazi,” anasema Mohammed.

Watu wa Kilolo wanakiri kwamba midahalo iliyofanyika katika maeneo yao imewasaidia kuwawajibisha viongozi wao, na kutokana na hilo, barabara zao mbaya zinafanyiwa ukarabati, kama mwitikio wa malalamiko yao ya muda mrefu.

“Viongozi wetu walikuwepo wakati wa mikutano hii, hivyo walifuatilia kelele zetu, ndio maana wakaanza kuzikarabati mara moja. Tunaona haya kwamba ni matokeo mazuri,” anasema Given Mbosa, mkazi wa Kilolo.

Sauti za watu kama hawa husaidia kukuza uwajibikaji.

Page 11: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

| 11

NA PETER MOHAMED, TANGA

Upatikanaji wa ajira rasmi bado ni suala gumu. Leo hii vijana wengi nchini hawana kazi rasmi, na changamoto kubwa zaidi ni kwamba hata wanapotafuta kazi, mafanikio ni kidogo. Lakini kutokana na kukata tamaa, baadhi wamejiingiza katika vitendo vya kutumia madawa ya kulevya na uhalifu.

Il i kuiondolea jamii ‘bomu linalosubiri kulipuka’, kutokana na vijana wasio na ajira wanavyoendelea kuonekana kama vile wameshindikana, Kituo cha Vijana cha Novelty cha jijini Tanga kimejitokeza na kuonyesha njia.

Asasi hii imeanza kuelimisha vijana katika stadi za ujasiriamali ili kuwapatia maarifa yanayohitajika na hivyo kuweza kujiajiri. Asasi ilianza kazi zake mwaka 2001 kwa lengo la kuwawezesha vijana katika kufanya maamuzi.

Asasi ilitekeleza mradi wa stadi za ujasiriamali na kupunguza umasikini miongoni mwa vijana katika kata nne za Tanga, ambazo ni: Duga, Kisosora, Mikanjuni, Sahare na Kange. Lengo lilikuwa ni kuchochea midahalo ya sera kuhusu faida zinazoweza kupatikana za ujasiriamali wa vijana kama njia mojawapo inayoweza kuleta ajira.

Kulingana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Vijana cha Novelty, Joson Eliakim Rubinda, asasi ilifanya utafiti katika kata tano za Tanga kuhusu hali ya ajira miongoni mwa vijana katika mkoa. Matokeo ya utafiti huu yameonyesha kwamba tatizo lina sifa kuu mbili: kukosekana kwa fursa za kazi katika miji, na matumizi madogo ya nguvukazi iliyoko vijijini.

Hivyo, kupitia ufadhili kutoka Foundation, asasi ilianza kuelimisha vijana kuanzisha biashara ndogo ndogo kama nj ia mbadala za kuingiza kipato. Hivyo, vijana walipata mafunzo ya kuwawezesha kupata stadi na maarifa muhimu ya ujasiriamali.

Zaidi ya stadi za ujasiriamali, asasi pia ilitoa elimu kwa vijana kuhusu VVU/UKIMWI, athari za madawa ya kulevya, afya ya kina mama na masuala mengine ya kijamii ili kuwapatia maarifa muhimu yatakayowasaidia katika maisha yao.

Edward Nathaniel, mkazi wa Tanga na ambaye pia amenufaika na mradi huu anakiri kwa kusema: “Mwanzoni, nilianzisha biashara ya duka la reja reja lakini baada muda mfupi nikaanguka. Sasa mimi ni mtu aliyebadilika. Baada ya kupata mafunzo mara kadhaa, nimeweza kulifufua, na sasa linakua.”

“Stadi za ujasiriamali zimetusaidia wengi wetu kuishi maisha bora. Sasa hivi hatupotezi muda kupiga porojo mitaani. Wengi wetu tunatumia stadi za ujasiriamali kujikimu kimaisha,” anasema Nathaniel.

Vijana walipatiwa stadi za jinsi ya kuanzisha mradi au biashara, kuendeleza na upatikanaji wa mtaji, pia ufuatiliaji wa biashara kwa utaratibu maalumu.

Kutokana na mradi, zaidi ya vijana

Vijana wanufaika na mafunzo ya stadi za ujasiriamali ili waweze kujiajiri

UJASIRIAMALI

Picha (Chanzo – intaneti)

500 wamefikiwa katika kata za Duga, Kisosora, Mikanjuni, Sahare na Kange.

Mratibu wa Mradi wa Kituo cha Vijana cha Novelty, Immaculate Wambura, anasema katika vikundi vya vijana ambao wamewapatia mafunzo, wengi wameanza kubuni mawazo ya biashara ambayo yanazalisha zaidi na hata kuacha baadhi ya tabia hatarishi. Anasema kwao wao ni mwanzo wa matumaini mapya.

Maliki Twalibu ni mmojawapo wa vijana waliobadilika baada ya

mafunzo. Inaelezwa kwamba alizoea kukaa tu nyumbani asifanye shughuli yoyote, lakini baada ya mafunzo kadhaa ya ujasiriamali, sasa hivi ameanza biashara zake mwenyewe na ameanzisha bustani kubwa nyumbani kwake– ambayo inamuingizia kipato.

“ B i a s h a r a y a n g u m p y a imeniwezesha kumudu maisha yangu. Nimeweza kumpeleka mtoto wangu shule, na sasa tunaishi maisha bora na familia yangu,” Twalibu anajivuna.

“Stadi za ujasiriamali zimetusaidia wengi wetu kuishi maisha bora. Sasa hivi hatupotezi muda kupiga porojo mitaani. Wengi wetu tunatumia stadi za ujasiriamali kujikimu kimaisha”

Page 12: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

12 |

1Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Antony Mtaka, akizindua CD in-ayoelezea juhudi za kuelekea utekelezaji wa mradi wa elimu na kumlinda mtoto wa kike dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia katika kijiji cha Kambala, wilaya ya Mvomero.

2Baadhi ya wajumbe wa timu ya pamoja ya ufuatiliaji wa miradi inay-oongozwa na Foundation wakiangalia juhudi za utunzaji wa msitu katika kijiji cha Makatapola, Iringa vijijini.

4 Mkurugenzi Mtendaji wa Foundation for Civil Society, John Ulanga akimwelezea jambo fulani Katibu wa Utawala katika Ubalozi wa Falme za Uholanzi, Arjen Kool, wakati wa kumtembelea mwanaruzuku wetu, Asasi ya Mercy, Iringa.

6 Baadhi ya wajumbe wa timu ya pamoja ya ufuatiliaji wa miradi wakipitia ripoti ya maendeleo katika ofisi za mwanaruzuku, LASWA mjini Kilolo, Iringa.

5 Afisa Miradi wa Asasi Inayopokea Ruzuku kutoka Foundation, Mazombe Mahenge Development Association, Vivian Kisanga akilelezea jambo kuhusu juhudi za kuhifadhi msitu wa Makatapola mkoani Iringa, kwa Tausi Mwilima kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto (kushoto) na Leticia Mashimba wa Shirika la Uswisi la Ushirikiano wa Maendeleo (kulia).

7 Mwenyekiti wa Kijiji cha Kambala, Kasho Moleto (kushoto) akitoa ushuhuda kwa wajumbe wa timu ya pamoja ya ufuatiliaji wa miradi katika Shule ya Msingi Kambala.

8Baadhi ya wajumbe wa timu ya pamoja ya ufuatiliaji wa miradi wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji wa asasi ya Mvomero (Mvomero Organisation Coalition) Stanford Kalala (hayuko kwenye picha)

3Mwenyekiti wa Chama cha Wazee Morogoro, Mathew Kassian Mkoba, akitoa maelezo kwa timu ya pamoja ya ufuatiliaji wa miradi inayoon-gozwa na Foundation, ofisini kwake mjini Morogoro.

1

ZIARA YA PAMOJA YA UFUATILIAJI WA MIRADI KATIKA PICHA

3

2

5

1

4

6

7 8

Page 13: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

| 13

6 Washiriki kutoka sehemu mbalimbali wakifuatilia mdahalo kuhusu Sheria ya Serikali za Mitaa kisiwani Unguja.

7 Fatma Saleh, mtaalamu wa masuala ya Mamlaka za Serikali za Mitaa akiwasilisha mada yake kuhusu haja ya kufanyia mapitio Sheria ya Serikali za Mitaa.

1Mgeni wa Heshima, Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, Dadi Faki akitoa maelezeo yake wakati wa mdahalo kuhusu Sheria ya Serikali za Mitaa, mjini Chake chake, Pemba.

2 Mwanasheria Mwandamizi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Ally Ally Hassan, akiwasilisha mada yake wakati wa mdahalo mjini Chake chake, Pemba.

4 Washiriki kutoka sehemu mbalimbali wakisiliza mada ikiwakilishwa wakati wa mdahalo mjini Chake chake, Pemba.

5 Diwani wa Mkunazini. Nassor Amin Said akichangia mada kuhusu utendaji wa Serikali za Mitaa Zanzibar

3 Mmoja wa washiriki wakati wa mdahalo mjini Chake chake, Pemba. 1

MIDAHALO PEMBA NA UNGUJA KUHUSU SHERIA YA SERIKALI ZA MITAA

4

2

5

6

3

1

7

Page 14: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

14 |

MIDAHALO

Wito watolewa kufanya mapitio ya Sheria ya Serikali za Mitaa

ZanzibarNA MWANAIDI MSANGI

ZANZIBAR – Madiwani, Wabunge, Baraza la Wawakilishi na Wajumbe wa Kamati za Maende-leo visiwani Pemba na Unguja wametoa wito yafanyike maboresho katika Sheria ya Serikali za Mitaa.

Hii ilidhihirika wakati wa midahalo ya awali iliyofanyika katikati ya mwezi Machi, visiwani Pemba na Unguja, kujadili Sheria ya Serikali za Mitaa kama chombo muhimu katika kutekeleza Sera ya Serikali za Mitaa.

Mbunge wa jimbo la Ole, Pemba, Rajab Mbaruk, anaendelea kuhoji kwamba Zanzibar haiendelei mbele kwa sababu mfumo wa Mam-laka za Serikali za Mitaa haufanyi kazi kama ilivyotarajiwa. Unakwamisha kazi za maendeleo katika vijiji na hata katika maeneo ya mijini. Anadhani kwamba hata madiwani hawawezi kutekeleza wajibu wao kwa sababu mfumo haujapangwa vyema.

Hata hivyo, masuala muhimu yaliyoibuliwa katika mdahalo wa awali kisiwani Pemba ni pamoja na: utawala bora na uwajibikaji katika mamlaka za serikali za mitaa, sifa za madiwani, mamlaka za madiwani na ushiriki wa wananchi katika miradi ya maendeleo.

Kila mwaka mtandao wa ANGOZA (Mtandao wa Asasi Zisizokuwa za Kiserikali Zanzibar) na PACSO (Mtandao wa Asasi za Kiraia Pemba) chini ya ufadhili na msaada wa kitaalamu kutoka Foundation for Civil Society, ziliendesha mida-halo na maonyesho na wajumbe wa baraza la wawakilishi, madiwani, maafisa wa serikali na wawakilishi wa AZAKi kujadili masuala mbalim-bali yanayohusiana na utawala bora na kuwa-jibika, kujihusisha kwenye sera na mengineyo.

Katika midahalo, washiriki walisisitiza kwamba Mamlaka za Serikali za Mitaa si suala la muungano, hivyo suala hilo halilindwi na Katiba ya Muungano. Katika Tanzania Bara, Mamlaka za Serikali za Mitaa zinadhaniwa kuwa katika hatua ya juu zaidi kimaendeleo kuliko Zanzibar.

Katika Tanzania Bara, Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya mwaka 1977, Ibara 145 na 146 zinatamka kwamba Bunge au Baraza la

Ibara 146 inatamka kwamba moja ya madhumuni ya kuwapo kwa Serikali za Mitaa ni ‘kuimarisha

demokrasia katika eneo lake na kuitumia demokrasia kuharakisha maendeleo ya wananchi’. Katika

Tanzania Bara kuna takribani sheria tano zinazohusu Serikali za Mitaa.

Wawakilishi, kadri itakavyokuwa, itatunga Sheria itakayofafanua utaratibu wa kuanzisha vyombo vya Serikali za Mitaa. Ibara 146 ina-tamka kwamba moja ya madhumuni ya kuwapo kwa Serikali za Mitaa ni ‘kuimarisha demokrasia katika eneo lake na kuitumia demokrasia kuhara-kisha maendeleo ya wananchi’. Katika Tanzania Bara kuna takribani sheria tano zinazohusu Serikali za Mitaa.

Lakini kisiwani Zanzibar, kuna sheria mbili zinazohusu Serikali za Mitaa: Sheria Na. 3 ya mwaka 1995 ambayo inataka kuanzishwa kwa Halmashauri za Manispaa, Zanzibar na mambo mengine yanayohusiana nayo, na Sheria Na. 4 ya mwaka 1995, ambayo inataka kuanzishwa kwa halmashauri za wilaya na miji na mambo mengine yanayohusiana nayo.

Akiwasilisha mada wakati wa mdahalo kisi-wani Unguja, Abdulrahman Mnoga Afisa Mwan-damizi kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na mtaalamu wa masuala ya serikali za mitaa alisema: matatizo ya maboresho ya serikali za mitaa yalianza kuanzia mwanzo kabisa. Alikuwa na maoni kwamba, tofauti na hali ilivyo katika sehemu kama vile Tanzania Bara, Rwanda na Uganda, kuanzishwa kwa Serikali za Mitaa katika visiwa vya Zanzibar kulifanyika bila ya kufanyika kwa uchambuzi na tafiti kupata data za msingi ili kuhakiki mahitaji halisi na maslahi ya watu. Kwa hiyo ilielekea kushindikana kuanzia mwanzo kabisa.

“Sera ya ‘Serikali za Mitaa’ ilitiwa saini na Rais mwaka 2012, lakini sheria bado ni ile ile iliyojaa mapungufu mengi, ambayo inahitaji kurekebishwa ili ikidhi hali ya sasa,”

alisema. Sera ina maeneo makuu matatu, ambayo ni muundo, sheria na uimarishaji wa utawala bora. Hata hivyo, utawala bora kama ilivyotajwa katika sera unajumuisha: utawala unaozingatia sheria, uwajibikaji, usawa na ushiriki wa wananchi.

Hata hivyo Mnoga alisema kwamba kuna udhaifu katika Sheria ya Halmashauri, Zanzibar, kwani haionyeshi vipaumbele vya utoaji huduma na maendeleo katika maeneo husika, wakati katika sera, wananchi wanahimizwa kushiriki wakati serikali za mitaa zikifanya maamuzi.

Alisema Sheria za Mamlaka za Serikali za Mitaa zinapaswa kutoa nafasi kwa Halmashauri kuandaa midahalo ya hadhara ili watu wapate nafasi ya kuhoji viongozi wao wa kisiasa na wale walioshikilia ofisi za umma. Halmashauri pia zimepewa uwezo wa kuanzisha aina maalumu za bodi za huduma, ambazo ziko wazi kwa wa-nanchi wote katika eneo husika na kutoa fursa ya kushawishi utoaji huduma.

Pia katika suala la utengenezaji wa bajeti ambao ni shirikishi, Mbunge kutoka jimbo la Kwamtipura, Hamza Hassan, alisema kuna haja ya mchakato huu uainishwe upya kwa uwazi zaidi ili kuongeza ushiriki wa wananchi. Alitaka kuenea kwa mfumo wa kupanga bajeti ambao unaanzia chini kwenda juu kupitia kamati za maendeleo za kata na miundo ya kidemokrasia iliyo juu yake.

Mantiki ya kufanya maboresho ya Mamlaka za Serikali za Mitaa inasisitiza jitihada za kufanikisha Dira 2012, Awamu ya Kwanza ya MKUZA 1, mkakati wa utawala bora, umuhimu wa kupeleka maamuzi kwenye ngazi za chini na ushiriki wa wananchi katika kufanya maamuzi.

Inatarajiwa kwamba Sera ya Serikali za Mitaa, iwapo itatekelezwa vyema, itapelekea kwenye utoaji mzuri wa huduma za kijamii kwa watu, itasaidia kupunguza umasikini na hivyo kuongeza viwango vya kipato na kupunguza utegemezi kwa serikali kuu.

Hata hivyo, wawakilishi wa AZAKi katika midahalo ya Unguja na Pemba wanauona mfumo uliopo wa Serikali za Mitaa kwamba hautoshelezi vya kutosha. Wito ulitolewa kurudisha uongozi kwa watu; kuanzisha Mamlaka za Serikali za Mitaa, ambazo zitatoa kipaumbele kwa watu kuamua; na kuhakikisha kwamba kila Mwananchi anajihusisha kwa kila jambo linalowagusa.

“Kuna haja ya kufanya mapitio ya Sheria ya Mamlaka za Serikali za Mitaa ili iendane na sera amabyo tayari ina nia njema ya kuboresha mfumo wa Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini. Iwapo sera tayari inatengenezwa, hakuna ugumu wa kuandika sheria mpya ambayo itaendana nayo,” alisema Jecha Jecha.

Ali Zuberi, ambaye ni afisa mstaafu katika huduma ya Serikali za Mitaa, Zanzibar anasema, sheria ya sasa inakosa kipengele cha utashi wa kisiasa ili kutekeleza mageuzi. Anasema sheria zipo ambazo zinaruhusu kuanzishwa na utekelezaji wa Serikali za Mitaa. Hata hivyo, anadhani kwamba serikali kuu imekuwa ikisita sana kuachia majukumu ambayo yametengwa na sheria kwenda kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa.

“Sheria ya sasa haitupi mamlaka ya kutosha ya kukusanya mapato na kupanga vipaumbele vyetu. Hata haijaainisha viwango vya utendaji na baadhi ya vipengele haijulikani vinamhusu nani. Kwa mfano, wakuu wa idara za halmashauri wanawajibika zaidi kwa serikali kuu kuliko kwa halmashauri ambako ndiko wanakofanya kazi,” anakiri Nassoro Amiri Saidi, Diwani kutoka Mkunazini.

Kwa upande wake, Diwani wa Mpendae, Bimkubwa Sukwa, anasema miongoni mwa changamoto wanazokabilliana nazo ni ukosefu wa rasilimali fedha na rasilimali watu yenye ujuzi. Alisema kama inavyojulikana kila mahali, kwamba huduma nzuri na endelevu inategemea kwa kiwango kikubwa katika uwezo wa kifedha na mipango mizuri.

Katika midahalo, pia ilibainika kwamba serikali nyingi za mitaa wanakuwa na uhaba wa rasilimali fedha za kukidhi mahitaji yao, na hata kukosa wafanyakazi waliofuzu na wa kutosha kufanya shughuli za kitaalamu ndani ya idara za Mamlaka za Serikali za Mitaa. Hivyo, kukosa uwezo muhimu wa kutekeleza maboresho yaliyokusudiwa.

Kulingana na Said Suleiman, ambaye ni Mbunge, maboresho ya muundo wa kitaasisi inabidi yapendekezwe na kutekelezwa ili Serikali za Mitaa Zanzibar zinakuwa athirifu na zilizo changamka katika usimamizi na utoaji wa hu-duma za jamii.

Katika kuhitimisha, washiriki wa midahalo wanapendekeza kwamba, kuna haja ya kurekebi-sha sheria za sasa ili kushughulikia wasiwasi wowote utakaoonyeshwa na wananchi. Pia ilipendekezwa kwamba, serikali itafute njia za kuzijumuisha AZAKi na wananchi ili washiriki katika hatua zote za maendeleo.

Fasihi inaonyesha kwamba hatua mbalimbali tayari zimeshachukuliwa – ikijumuisha Tume ya Rais wa Zanzibar ya mwaka 1992 ya kupende-keza kuundwa kwa Serikali za Mitaa, Programu ya Utawala Bora ya mwaka 2003, Mkakati wa Maboresho ya Serikali za Mitaa kwa Zanzibar, ya mwaka 2004, Serikali za Mitaa na Usimamizi Endelevu wa Mazingira – Zanzibar, mwaka 2008, programu iliyofadhiliwa na Benki ya Dunia. La-kini kama mambo yalivyo kwa sasa, bado kuna mambo mengi ya kufanya.

Jambo kubwa ambalo linakosolewa katika nchi nyingi za Afrika, ikiwemo Tanzania ni kwamba Mamlaka za Serikali za Mitaa hazi-tekelezi wajibu wake ipasavyo kuleta maendeleo katika ngazi za chini - hasa ikipimwa katika utoaji wao wa huduma. Hii pengine ni kwa sa-babu uwezo wao wa kutunga sera na utekelezaji bado ni mdogo sana.

Makamu Mwenyekiti wa ANGOZA, Asha Aboud Mzee akiwasilisha mada yake wakati wa mdahalo kuhusu Mamlaka za Serikali za Mitaa katika kisiwa cha Unguja.

Page 15: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

| 15

JARIDA LATUPIA MACHO KILIMO

Mkataba wa Kulinda Aina Mpya za Mimea unawatia wasiwasi Asasi za Kiraia na Wakulima

• Asasi za Kiraia na Wakulima wanasema itawaathiri vibaya wakulima nchini Tanzania

“Haraka ya Zanzibar kuridhia

Muswada wa Haki za Wazalisha

Mimea ni wazi ililenga kutimiza

masharti ya UPOV na

kuharakisha Tanzania iingie katika muundo huu wa umiliki

wa kisheria wa kazi za kitaaluma”

“Baraza pia lilifahamisha kwamba, mara Rasimu ya Sheria kwa Zanzibar itakaporidhiwa, haki za wazalisha mimea zitahusisha nchi nzima na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaweza kuwa mwanachama wa UPOV”

Picha na Scott Wallace, Benki ya Dunia.

NA CATHERINE SAEZ

Tanzania iko njiani kuwa mwanachama wa Umoja wa Kimataifa wa Kulinda Aina Mpya za Mimea (UPOV), lakini Asasi za Kiraia za Kitanzania na mashirika ya wakulima wameonya kuhusu uwezekano wa kutokea kwa athari mbaya kwa wakulima wadogo na wameiomba serikali kusitisha mchakato wa kuridhia mkataba huo hadi hapo wadau wote watakaposhauriana.

Wasiwasi mkubwa wa wakulima wenyeji ni kwamba kukubaliana na sheria mpya za UPOV kutazuia kwa kiasi kikubwa uwezo wa wakulima kurudia matumizi ya mbegu kutoka kwenye mazao yao, kama walivyokuwa wakifanya tokea enzi na enzi.

Kulingana na taarifa kwa vyombo vya habari iliyochapishwa na UPOV, Baraza, ambalo lilifanya kikao chake maalumu cha 13 tarehe 22 Machi, “lilipokea kukubaliwa kwa matumizi ya Haki za Wazalisha Mimea kwa Tanzania Bara mnamo Novemba 5.”

Aidha, Baraza hilo la Kulinda Aina Mpya za Mimea (UPOV) “liliamua kwamba Muswada wa Haki za Wazalisha Mimea kwa Zanzibar, litakapofanyiwa marekebisho kadhaa, unakubaliana na masharti ya Sheria ya Mkataba wa UPOV wa mwaka 1991.”

“Baraza pia lilifahamisha kwamba, mara Rasimu ya Sheria kwa Zanzibar itakaporidhiwa, haki za wazalisha mimea zitahusisha nchi nzima na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaweza kuwa mwanachama wa UPOV,” kulingana na taarifa hiyo.

Katika kikao cha mwisho cha Baraza tarehe 1 Novemba, Baraza lilichunguza rasimu ya sheria ya Tanzania Bara inayohusu Bioanuwai/ Rasilimali za Kijenetiki/Bioteknolojia, tarehe 29 Oktoba 2012).

Siku hiyo hiyo, baadhi ya asasi za kiraia na mashirika ya wakulima, kama vile Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Uswisi Tanzania (Swissaid), Kituo cha Afrika cha Usalama wa Kibaiolojia, Shirikisho la Wakulima wa Afrika Mashariki na Kusini, na ActionAid Tanzania walitoa tamko linaloonya kuhusu madhara ya kukubali Sheria ya Mkataba wa UPOV wa mwaka 1991.

Mkataba wa UPOV wa mwaka 1991 ndio mkataba wa mwisho wa UPOV uliofanyiwa marekebisho, ambao kwa mara ya kwanza ulipitishwa katika jiji la Paris mwaka 1961 na kufanyiwa marekebisho katika miaka ya 1972, 1978 na 1991. Wawakilishi wa Asasi za Kiraia wanasema kwamba Mkataba wa UPOV wa mwaka 1991 ni mkali zaidi kuliko ile iliyotangulia, ambayo haiwanufaishi wakulima wadogo.

Katika tamko lao la tarehe 22 Machi 2013, wawakilishi wa Asasi za Kiraia Tanzania walioshiriki kujadili haki za mkulima walisema: “haraka ya Zanzibar kuridhia Muswada wa Haki za Wazalisha Mimea ni wazi ililenga kutimiza masharti ya UPOV na kuharakisha Tanzania iingie katika muundo huu wa umiliki wa kisheria wa kazi za kitaaluma.”

Watia saini hao walisema mchakato haukuwa shirikishi, na uliwanyima wakulima fursa ya kuchangia. “Tuna wasiwasi mkubwa kwamba mashirika

ya wakulima na asasi za kiraia husika hazikupata nafasi ya mashauriano kuhusu Muswada wa Haki za Wazalisha Mimea kwa Zanzibar.”

Jambo la kutia wasiwasi zaidi ni ukweli kwamba wakulima wadogo, wake kwa waume wanategemea sekta ya mbegu isiyo rasmi na mazoea ya kuhifadhi, kutumia, kubadilishana na kuuza mbegu zinazotoka shambani na vipandikizi vingine; mazoea haya yatapigwa “marufuku” au kuzuiwa na Mkataba wa UPOV wa mwaka 1991.

Watia saini wa tamko hi l i wanaiomba serikali ya Tanzania “kusitisha mara moja michakato yote inayopelekea kuridhiwa kwa Mkataba wa UPOV wa mwaka 1991, hadi hapo wadau wote husika – wakiwemo wakulima – wamekuwa na mashauriano na hofu zao kushughulikiwa vya kutosha.”

Nchi Zinazoendelea Kupinga Mkataba wa UPOV 1991Asasi kadhaa za Kiraia kutoka nchi za Kiafrika zilisema mnamo Novemba, 2012 kwamba Shirika la Kijimbo la Afrika la Hakimiliki za Kazi za Kitaaluma (ARIPO) limependekeza rasimu ya kijimbo katika sera na muundo wa kisheria ambazo ni linganishi, kuhusiana na kulinda aina mpya za mimea kwa misingi ya

Mkataba wa UPOV wa 1991, kulingana na taarifa ya vyombo vya habari, na kwamba “ushiriki wa wakulima, vyama vya wakulima na asasi za kiraia umeonekana wazi kukosekana kabisa.” ARIPO inatarajiwa kuendesha mashauriano ya kitaifa na kijimbo mwaka huu, kulingana na asasi hiyo ya kiraia.

Upinzani huo dhidi ya UPOV 91 pia ulikuwepo nchini Colombia, ambako Mahakama ya Katiba ilitamka kwamba UPOV 91 inakwenda kinyume cha Katiba kwa sababu wenyeji wa asili, na watu wa Colombia wenye asili ya Afrika hawakushiriki katika mashauriano kabla ya kupitisha Sheria Na. 1518 ya mwaka 2012. Asasi za Kiraia za Colombia zilisema kwamba serikali ilitarajiwa kuanza mchakato wa mashauriano na wenyeji wa asili, na watu wa Colombia wenye asili ya Afrika (Bioanuwai/ Rasilimali za Kijenetiki/Bioteknolojia, tarehe 04 Februari 2013).

Serbia ni mwanachama mpya wa UPOV. Nchi hiyo ilitia saini ya kuridhia Sheria ya Mkataba wa UPOV ya mwaka 1991 tarehe 5 Desemba 2012, kulingana na taarifa za UPOV.

Chanzo: http://www.ip-watch.org

Page 16: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

16 |

MABADILIKO KATIKA ULEMAVU

Ahueni miongoni mwa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar

Mabadiliko makubwa yanatokea visiwani Zanzibar katika utoaji wa huduma kwa watu wenye ulemavu. Hii inatokana na ufadhili wa Foundation for Civil Society (FCS) kwa programu zinazoendelea za mafunzo na kuamsha ufahamu visiwani.

Lakini licha ya maendeleo, bado kuna mambo mengi ya kufanya, hasa msaada wa serikali katika kutekeleza sera zinazolinda haki za watu wenye ulemavu.

Kuna uwezekano mkubwa kwa watu wenye ulemavu kuishi maisha ya umasikini, kuwa na sifa chache za kuhitimu elimu, kushuhudia ubaguzi na kunyanyaswa, kupata huduma duni na kukosa kazi, iwapo sera hazitatumika.

Kituo cha Ulemavu na Maendeleo Jumuishi Zanzibar (ZACDID) hivi karibuni kiliandaa programu zinazofululiza za mafunzo na kuamsha ufahamu visiwani Zanzibar, zilizolenga katika kuboresha maisha ya watu wenye ulemavu ili waheshimiwe na kujumuishwa kama wana jamii walio sawa na wengine. Washiriki katika mafunzo hayo ni pamoja na maafisa kutoka vyama vya watu wenye ulemavu, Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais (idara inayoshughulikia watu wenye ulemavu), wanasheria, Mfuko wa Hifadhi

ya Jamii Zanzibar (ZSSF) na maafisa wa Polisi.Kulingana na waratibu wa programu za

ZACDID, Bi. Talaa Said na Abdallah Suleiman, mafunzo yamekuwa na manufaa na mabadiliko tayari yanaonekana visiwani. Pia wanasema matangazo yanayoonyesha ugumu wa maisha wanaokabiliana nao watu wenye ulemavu katika sekta ya uchukuzi na kupata huduma katika majengo ya umma, yamekuwa na matokeo chanya katika jamii.

“Tulikuwa na matangazo mawili kwenye TV ya Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC-tv) ambayo yanaonyesha kwamba mawasiliano kati ya watu viziwi/bubu na maofisi bado ni tatizo lakini pia ni vigumu kwa watu wenye ulemavu kuyafikia majengo mengi ya umma”, alisema.

Alitamka kwamba tangazo jingine ambalo liliongeza ufahamu kuhusu haki za watu wenye ulemavu visiwani Zanzibar liliendeshwa na radio ya ZBC-radio na kituo binafsi cha radio cha ZenjiFM radio. Matangazo hayo yalielezea haja ya mabasi yetu ya kubeba abiria mijini kuwa na vifaa/sehemu maalumu kwa ajili ya watu wenye ulemavu”. Alisema matangazo hayo yaliishia Desemba mwaka jana, na uhaba wa fedha ulizuia yasiendelee kwa muda mrefu zaidi.

“Makundi yote katika jamii yana wajibu mkubwa wa kutekeleza katika kufanikisha mabadiliko katika maisha ya watu wenye

ulemavu”, anasema Talaa – akihimiza kwamba watu wenye ulemavu bado wanakabiliwa na changamoto za aina mbalimbali.

Aina ya changamoto ambazo watu wenye ulemavu bado wanakabiliana nazo in pamoja na: kutunga sera – muundo wa sera na utoaji huduma ambao hauchukulii maanani mahitaji ya watu wenye ulemavu na mazingira yasiyo rafiki – majengo na mfumo wa uchukuzi.

Bw. Juma Abdurrahman, mwenyekiti wa Chama cha Viziwi Zanzibar alikuwa mtu wa kwanza kutoa ushuhuda kwamba amenufaika na mafunzo yaliyoandaliwa na ZACDID mwezi Aprili mwaka jana visiwani Zanzibar, lakini akaomba mafunzo ya aina hiyo kuwa mengi zaidi.

“Mafunzo yalikuwa muhimu sana kwa sababu yalinisaidia mimi na wengine kujenga maarifa yetu kuhusu haki zetu, ushawishi na kuhakikisha sauti zetu zinasikika, kwa bahati nzuri, vijana 6 wameajiriwa katika kiwanja cha ndege cha Zanzibar. Huu unaweza kutajwa kuwa mfano wa faida kutokana na mafunzo”, alisema Juma.

Pia alisema kwamba mfumo wa mahakama unaunga mkono mageuzi hasa ukichukulia kwamba wanaajiri watu wanaojua lugha ya alama ili kurahisisha mawasiliano mahakamani wakati wa kesi zinazowahusu viziwi “hili limekuwa ni tukio muhimu katika kufanikisha haki za watu wenye ulemavu”.

Alisema viziwi ni miongoni mwa watu wanaoathirika na vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia na ubakaji, lakini inapokuja katika kutoa ushahidi katika vituo vya polisi na mahakama, mara zote ni vigumu kwa sababu ya kukosekana kwa wafanyakazi wanaojua lugha ya alama mahakamani.

Hata hivyo, Juma, alisema kwamba takribani watu 3,500 wenye matatizo ya kusikia bado wanakabiliwa na changamoto kadhaa ikiwemo kupata nafasi chache katika shule, kukosekana kwa vifaa/huduma, unyanyapaa unaofanywa na baadhi ya wanajamii na ugumu wa mawasiliano kwa sehemu kama hospitali.

Alisema uhaba wa fedha pia ni changamoto nyingine katika kufikia malengo yao kama vile kuendesha programu za kuamsha ufahamu na utambuzi wa watu viziwi katika maeneo ya vijijini, “Tunahitaji angalau shilingi milioni 40 kwa mwaka ili kutekeleza programu zetu, lakini tunategemea wafadhili peke yake”.

Bi. Jabu Sharif Haji, mratibu- programu za watu wenye ulemavu, Ofisi ya Makamu wa Rais alisema, “Mafunzo yalikuwa ya kipekee, tulikumbushwa kuhusu wajibu wetu katika kuwaendeleza watu wenye ulemavu katika kupanga programu, na hata katika kupanga bajeti ya serikali”.

Alisema moja wapo ya faida inayotokana na mafunzo ilikuwa ni ushiriki jumuishi, “Sasa hivi tunasisitiza kuwahusisha watu wenye ulemavu katika kupanga programu na hata katika kupanga bajeti ya serikali”.

Jabu alisema kwamba maarifa kuhusu elimu jumuishi na ushiriki imemsaidia yeye na walengwa wengine kuondokana na hisia kwamba watu wenye ulemavu kama vile watu wenye matatizo ya akili hawajiwezi. “imethibitishwa kwamba hata watu wenye matatizo ya akili wana manufaa katika jamii “.

Alisema mafunzo pia yamewatia nguvu kupigania ujenzi wa nyumba za wageni kwa ajili ya watu wenye ulemavu ili maafisa ambao

wako katika majengo yasiyofikika na watu wenye ulemavu wanaweza kukutana nao karibu na lango kuu”.

Bw. Jasadi Akhamad Bungala, mwanasheria na afisa mipango kutoka Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar (ZSLC) alisema mafunzo yalikuwa muhimu, kwa sababu ni hatua ya kukuza haki za watu wenye ulemavu, hasa katika kuhakikisha kwamba watu wenye ulemavu wanajihusisha katika kupanga maendeleo.

Bw. Haroub Soud Mzee, mtu mwenye ulemavu ambaye ni mwajiriwa wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF), alisema pamekuwepo mabadiliko yanayoonekana katika ofisi yake aliyoyasukuma baada ya mafunzo ya ZACDID.

“Bahati nzuri dawati la kuhudumia watu wenye ulemavu limeanzishwa, angalau choo kwa ajili ya watu wenye ulemavu kimejengwa, na marumaru katika karibu vyumba vyote ni rafiki kwa watu wenye ulemavu”, alisema Haroub, mwanafunzi katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) na kuongeza, “Pia nimepiga debe kwa ajili ya kuboresha mazingira ya chuo changu kikuu, ili milango, marumaru na vyoo pia viwe rafiki kwa watu wenye ulemavu”.

Afisa wa Polisi ambaye hakutaka atajwe jina alisema mafunzo ya ZACDID yalikuwa na “manufaa sana”. Ni ukweli kwamba walinzi wengi wa amani wanakosa maarifa ya msingi ya kushughulikia watu wenye ulemavu hasa viziwi na watu wasioona. Ni mbaya zaidi inapotokea mtu mwenye ulemavu amenyanyaswa kijinsia.

Kulingana na maafisa wa ZACDID, angalau washiriki 20 kutoka makundi tofauti wakiwemo Polisi, wanasheria, mahakimu, maafisa kutoka taasisi za serikali zikiwemo idara zenye majukumu kwa watu wenye ulemavu, na kutoka vyama vya watu wenye ulemavu walihudhuria mafunzo.

ZACDID na walengwa wameshukuru sana Foundation, lakini wakapendekeza kwamba Serikali itekeleze mipango ya kuboresha maisha ya watu wenye ulemavu.

“Mafunzo yalikuwa muhimu sana kwa sababu yalinisaidia mimi na wengine kujenga maarifa

yetu kuhusu haki zetu, ushawishi na kuhakikisha sauti zetu zinasikika, kwa bahati nzuri, vijana 6

wameajiriwa katika kiwanja cha ndege cha Zanzibar. Huu unaweza kutajwa kuwa mfano wa faida

kutokana na mafunzo”

Page 17: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

| 17

Mmoja wa maafisa wa Foundation, Omar Jecha akitoa msaada kwa baadhi ya washiriki wakati wa mafunzo ya ‘Simamia Ruzuku Yako’ mjini Dodoma mwezi Februari.

Ta r e he y a mw i s ho kwa Foundation for Civil Society (FCS kupokea maombi kwa mzunguko wa kwanza wa mwaka 2013, ilikuwa tarehe 1 Februari, 2013, na jumla ya maombi 1404 yamepokelewa. Katika maombi yote haya, 36 yalikuwa kwa ajili ya Ruzuku Kubwa, 623 yalikuwa kwa ajili ya Ruzuku ya Kati na 745 yalikuwa kwa ajili ya Ruzuku Ndogo.

Kulingana na taratibu za Foundation, maombi yanaweza k u e n d e l e a k u p o k e l e w a baada ya tarehe ya mwisho ya awali kupita. Hata hivyo, mchakato wa mchujo umeanza kwa wale ambao maombi yao yameshapokelewa hadi sasa. Maombi yaliyopokelewa baada ya tarehe 1 Februari hayatachujwa hadi tarehe ya pili ya mwisho wa mzunguko wa pili ambayo ni Julai 1.

Asasi 1404 zaomba

ruzuku katika mzunguko wa kwanza wa mwaka

2013

Wanawake wapewa changamoto ya kupigania haki zao

Asasi zanufaika na Mafunzo ya ‘Simamia Ruzuku Yako’ mjini Dodoma

Wanawake wamepewa changamoto ya kuacha kujisikia wanyonge na hawajiwezi katika kupigania haki zao, na hivyo wajitahidi kukusanya nguvu zao kupigania haki zao za kijinsia katika michakato ya kufanya maamuzi katika ngazi zote.

Maneno hayo yalitamkwa Machi wakati wa mdahalo wa umma kuhusu masuala ya usawa wa kijinsia katika jimbo la Njombe, na Profesa Frank Mwaisambe kutoka Chuo Kikuu cha Tumaini, Iringa. Mdahalo huo uliandaliwa na Mtandao wa Asasi za Kiraia Njombe, kupitia ufadhili wa Foundation for Civil Society.

Mwaisambe alisema zaidi ya asilimia 75 ya matatizo yote ya usawa wa jinsia yanasababishwa na wanawake wenyewe wanapojisikia wanyonge na hawawezai kufanya maamuzi yoyote katika jamii.

“Wanawake kwanza wanapaswa kuondokana na mazoea yaliyojengeka kwamba hawawezi kuchangia chochote kwa jamii, na kwamba wajibu wao ni kusikiliza tu na kufuata yale yaliyokwisha amuliwa na watu wengine. Mnapaswa muweze kushiriki katika mikutano na kuchangia katika kile mnachoona kina manufaa kwa jamii,” alishauri Mwaisambe.

Kwa upande wao, wanawake walioshiriki katika mdahalo waliipongeza kwa kuwaletea jukwaa la umma – wakikubali kwamba limeamsha fikra zao kuhusu jinsi ya kusimamia na kushughulikia masuala mbalimbali ya usawa wa jinsia. Hata hivyo, wameeleza kwamba taratibu za kitamaduni ndizo zinazowafanya wengi wao wajisikie wanyonge.

“Tupo hivi kama tulivyo kwa sababu ya tabia za kitamaduni na kimila zinazobagua. Baadhi yetu tulinyimwa haki ya kupata elimu na kumiliki mali, na wajibu wetu mkuu ulikuwa ni kuolewa, kutunza watoto na familia. Huku kufunguliwa macho kulikofanywa na mdahalo huu, umetuonyesha jinsi tutakavyosonga mbele,” alisema Ruth Malingumu, mmoja wa washiriki wa mdahalo.

Jumla ya washiriki 492 kutoka asasi mpya 246 wamepata mafunzo ya jinsi ya kubuni mradi, usimamizi wa fedha, kuandika ripoti, Ufuatiliaji na Tathmini wakati wa mafunzo ya ’Simamia Ruzuku Yako’ yaliyofanyika Dodoma Februari mwaka jana.

Mafunzo haya ya kujenga uwezo yaliyolenga asasi za mzunguko

wa mwisho kwa mwaka 2012 yalibuniwa ili kukuza uwezo wa AZAKi chache ambazo zilikuwa na sifa ya kupata ruzuku kutoka FCS. Mafunzo yalishughulikia masuala kuhusiana na misingi ya kubuni mradi na usimamizi, usimamizi wa fedha, kuandika ripoti, na Ufuatiliaji na Tathmini kwa lengo la

HABARI

kuwawezesha wana ruzuku kupata ujuzi wa kitaaluma wa miradi yao, kadri ya usimamizi mzuri wa ruzuku unavyohusika.

Kutokana na mafunzo haya, washiriki wanatarajiwa kusimamia na kufanya mapitio ya nyaraka zao za mradi, kwa kuzingatia viambatisho vya mkataba wa ruzuku.

Pia inatarajiwa kwamba kazi ya mradi itakidhi viwango vinavyokubalika vya utendaji bora kati ya matokeo ya mradi, malengo, matokeo, shughuli, bajeti, mpango kazi na muundo mzima wa ufuatiliaji na tathmini.

“Kutokana na mafunzo haya, washiriki wanatarajiwa kusimamia na kufanya mapitio ya nyaraka zao za mradi, kwa kuzingatia viambatisho vya mkataba wa ruzuku”

Wanawake kama hawa katika maeneo ya vijijini wanahitajika zaidi kuacha kujisikia wanyonge.

Page 18: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

18 |

Ruzuku zilizotolewa kwa Asasi kuanzia Oktoba 2012 hadi sasaTAREHE JINA LA AKAUNTI/ASASI MKOA KIASI CHA FEDHA

23rd OCT 2012 Lindi Support Agency For Welfare Lindi 15,122,900.00

23rd OCT 2012 Lindi Women’s Paralegal Aid Center Lindi 2,350,000.00

23rd OCT 2012 Tanzania Network For Legal Aid Providers Dar es Salaam 26,329,920.00

23rd OCT 2012 Women Wake Up- Tanga Tanga 25,881,950.00

23rd OCT 2012 PARALEGAL KOROGWE Tanga 6,251,300.00

23rd OCT 2012 Lindi Non Governmental Organisation Network Lindi 22,474,125.00

23rd OCT 2012 Tabora NGO Cluster Tabora 37,192,500.00

23rd OCT 2012 ZUMAM KIGOMA 12,243,000.00

23rd OCT 2012 Pugu poverty Allevation and Development Agency Dar es Salaam 10,426,700.00

23rd OCT 2012 Vijana Vision Tanzania Morogoro 1,996,250.00

23rd OCT 2012 Youth Against AIDS& Poverty Association KIGOMA 12,582,000.00

23rd OCT 2012 Mvomero Organization Coalition Morogoro 7,476,187.00

23rd OCT 2012 Sustainable Development Solution (SUDESO) Tabora 7,500,000.00

23rd OCT 2012 Partnership Youth Development Kibaha 5,364,250.00

23rd OCT 2012 Kigoma Paralegal Centre Kigoma 29,113,600.00

23rd OCT 2012 MVI KWASHABI Morogoro 7,486,000.00

23rd OCT 2012 Mara Development Forum Mara 22,491,000.00

23rd OCT 2012 Tanzania Women Social Economical Develop Kigoma 4,210,000.00

23rd OCT 2012 Shinyanga NGO Network Shinyanga 22,483,827.00

23rd OCT 2012 Dodoma Environmental Network Dodoma 63,154,905.00

23rd OCT 2012 Tanzania Media Women Association Dar es Salaam 50,580,000.00

23rd OCT 2012 Ludende Development Association (LUDA) Njombe 3,285,000.00

23rd OCT 2012 Journalists Environmental Association of Tanzania (JET) Dar es Salaam 7,706,000.00

23rd OCT 2012 Sheria Na Haki Za Binadamu –Tarime (SHEHABITA) Mara 8,749,000.00

23rd OCT 2012 Kilwa Women Paralegal Unity (KIWOPAU) Lindi 7,475,000.00

23rd OCT 2012 Rungwe Women & Orphans Rights Centre Tukuyu 7,179,400.00

23rd OCT 2012 Nyangao Paralegal Aid Unit Lindi 15,465,050.00

23rd OCT 2012 Upendo Social Action Group Mbeya 5,306,100.00

23rd OCT 2012 Lushoto Civil Societies Coalition Tanga 21,939,187.00

23rd OCT 2012 Tanzania League of the Blind Dodoma 1,942,500.00

23rd OCT 2012 Ngara NGO Network Kagera 7,500,000.00

23rd OCT 2012 Mzeituni Foundation Mwanza 7,444,962.00

23rd OCT 2012 Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake mkoa wa Ruvuma Ruvuma 17,445,479.17

23rd OCT 2012 Muungano wa Vikundi Maendeleo ya Wanawake Kagera 18,710,000.00

23rd OCT 2012 SAWATA Development Dodoma 20,590,000.00

23rd OCT 2012 Mtwara Paralegal Unit Mtwara 22,981,600.00

23rd OCT 2012 Wasaidizi wa Sheria na Haki za Binadamu Mara 17,801,350.00

23rd OCT 2012 Kyela Paralegal Unit Mbeya 22,699,760.00

23rd OCT 2012 Aid Unit Liwale Women Paralegal Lindi 20,254,850.00

23rd OCT 2012 Movement of Poverty Eradication Dar es Salaam 9,310,000.00

23rd OCT 2012 MBISEDEA Mbinga Ruvuma 7,524,385.00

23rd OCT 2012 Usangu Non Governmental Organization (USANGONET) Mbeya 9,308,495.00

23rd OCT 2012 UHAKIKA Kituo cha Ushauri Nasaha Coast Region 7,846,000.00

23rd OCT 2012 Kikundi cha Viziwi Mtwara Mtwara 12,460,800.00

23rd OCT 2012 Ukerewe Paralegal AID Centre Mwanza 7,498,400.00

23rd OCT 2012 BANGONET Huduma kwa Jamii Bariadi 14,930,200.00

23rd OCT 2012 Chamwino Non Governmental Organisation Dodoma 14,999,062.00

23rd OCT 2012 Tufae Education AIDS Trust Ruvuma 11,037,800.00

23rd OCT 2012 Mtwara Non- Governmental Organization Network (MTWANGONET) Mtwara 14,930,000.00

23rd OCT 2012 Union of Non Governmental Organization Morogoro 14,923,800.00

23rd OCT 2012 Mbozi NGO Network Mbeya 14,644,686.00

23rd OCT 2012 SHDEPHA TAWI LA NEWALA Mtwara 15,389,800.00

23rd OCT 2012 Community Participant Development Kagera 6,839,750.00

23rd OCT 2012 Mbulu Network of Civil Society Manyara 7,435,794.00

23rd OCT 2012 Jumuiya ya Kupunguza Ukimwi Pemba 5,612,500.00

23rd OCT 2012 Zanzibar Association of People Living with HIV/AIDS Zanzibar 7,750,000.00

23rd OCT 2012 Zanzibar Association For People With Developmental Disabilities (ZAPDD) Zanzibar 84,000,000.00

23rd OCT 2012 Shirika la Wasaidizi wa kisheria Yombo Vituka Dar es Salaam 7,466,000.00

23rd OCT 2012 Human Rights Education and Development for Disadvantaged Dar es Salaam 7,500,000.00

JUMLA 908,593,124.17

Page 19: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

| 19

TAREHE JINA LA AKAUNTI/ASASI MKOA KIASI CHA FEDHA

8th NOV 2012 Singida Non-Governmental Organizations Network (SINGONET) Singida 37,473,750.00

9th NOV 2012 Hope for Deprived People Action in Development Dar es salaam 15,587,000.00

9th NOV 2012 Tabora Parallegal Centre Tabora 25,222,670.00

9th NOV 2012 Tanzania Pastoralist Hunters and Gatherers Organisation Arusha 68,988,600.00

9th NOV 2012 Fikra Huru 2011 Kibaha 7,455,000.00

9th NOV 2012 Tanga Civil Society Coalition (TASCO) Tanga 5,310,700.00

9th NOV 2012 Lweru Community Based Development Organisation Bukoba 7,500,000.00

9th NOV 2012 Tanga Together Trust Tanga 4,528,700.00

9th NOV 2012 Umoja Wawezeshaji Kioo Ilagala Ilagala 21,239,000.00

9th NOV 2012 Womens legal Aid Centre Dar es salaam 15,995,000.00

9th NOV 2012 Kigoma AIDS Control Network Kigoma 5,649,600.00

9th NOV 2012 Tanzania Youth Health and Development Organization Mtwara 4,295,000.00

9th NOV 2012 WASHEHABIKI Kiteto Manyara 7,500,000.00

9th NOV 2012 Paralegal AID Centre Shinyanga Shinyanga 27,817,195.00

9th NOV 2012 Kikundi cha Mazingira Ruangwa Ruangwa 7,500,000.00

9th NOV 2012 AJAT Foundation Tanzania Kongwa 6,824,750.00

9th NOV 2012 The Kasulu Consortium Kigoma 9,198,000.00

9th NOV 2012 Better Life Dodoma 1,182,542.00

9th NOV 2012 Hossana Orphans Widows And Street Children (HOSSANA) Mbeya 3,922,000.00

9th NOV 2012 WASHEHABISI Singida 7,500,000.00

9th NOV 2012 Tanzania Anti Corruption movement (TACOM) Morogoro 23,309,000.00

9th NOV 2012 Kilio cha Mama na Mtoto Mbeya 12,115,000.00

9th NOV 2012 Kilwa Non Governmental Organisation Lindi 14,841,000.00

9th NOV 2012 Usseri Paralegal Group Kilimanjaro 7,497,800.00

9th NOV 2012 Tarakea Paralegal Centre Kilimanjaro 7,500,000.00

9th NOV 2012 Neighbours Without Borders Kigoma 2,480,000.00

9th NOV 2012 Shirika la Maendeleo ya Wajasiriamali Miono Coast Region 3,349,500.00

9th NOV 2012 Nuru ya Maendeleo ya Jinsia Mara 3,399,500.00

9th NOV 2012 MATU Mtandao wa Asasi za Kiraia Tunduru Ruvuma 14,832,000.00

9th NOV 2012 Save The Community for Education Zanzibar Pemba 2,614,075.00

9th NOV 2012 Kijogoo Group for Community Development Coast Region 20,061,100.00

9th NOV 2012 Singida Paralegal Aid Centre Singida 7,430,000.00

9th NOV 2012 Kasulu Network of NGO’s Kigoma 22,492,500.00

9th NOV 2012 Kilosa Youth Peer Educator KIYOPE Coast Region 15,583,200.00

9th NOV 2012 Mbeya Paralegal Unit Mbeya 5,105,625.00

9th NOV 2012 Meatu Non Governmental Organisation Network (MENGONET) Shinyanga 14,992,875.00

9th NOV 2012 ARV Esupat Group Ngarenaro 7,365,500.00

9th NOV 2012 Umoja Wa mashirika Yasiyo ya Kiserikali Ulanga Morogoro 14,840,000.00

9th NOV 2012 Muheza Civil Societies Coalition (MUSCO) Tanga 7,499,800.00

9th NOV 2012 Morogoro Paralegal Center for Women Coast Region 44,000,000.00

9th NOV 2012 Community Development and Relief Trust (CODERT) Geita 50,080,050.00

9th NOV 2012 Kagera NGOs Network Kagera 29,653,198.00

9th NOV 2012 Social Poverty Combating Organization (SPOCO) Dar es salaam 7,500,000.00

9th NOV 2012 Integrity Watch Limited Dar es salaam 33,767,525.00

9th NOV 2012 Youth Action Development Dar es salaam 7,447,000.00

9th NOV 2012 Shirika la Wasaidizi wa Jamii Kata ya Kigogo Dar es salaam 7,500,000.00

9th NOV 2012 Okoa Women Group Segerea Dar es salaam 29,226,800.00

9th NOV 2012 Focus Tanzania Mwanza 2,573,500.00

9th NOV 2012 Southern Africa Extension Unit (SAEU) Dar es salaam 14,210,000.00

9th NOV 2012 Information Center on Disability Dar es Salaam 63,400,955.00

9th NOV 2012 Zanzibar Centre for Disability and Inclusive Development Zanzibar 7,475,000.00

9th NOV 2012 Jumuiya ya Maendeleo ya Gomani Zanzibar 7,500,000.00

9th NOV 2012 Ilemela District CSOs Network Mwanza 7,500,000.00

9th NOV 2012 Wasaidizi wa Kisheria Mchikichini Zanzibar 7,500,000.00

9th NOV 2012 Huruma AIDS Concern and Care Morogoro 6,856,666.67

JUMLA 824,188,676.67

13th NOV 2012 Legal and Human Rights Centre Dar es Salaam 84,882,110.00

13th NOV 2012 Ndela Kituo Maendeleo Vijana Kigoma 31,413,000.00

13th NOV 2012 NEKIMAMA Kagera 4,959,850.00

13th NOV 2012 TAMAGRASAI Kariakoo 16,005,000.00

13th NOV 2012 Kiteto Interfaith Paralegal Unit Manyara 7,500,000.00

13th NOV 2012 NGOMNET Mpwapwa Dodoma 14,985,000.00

13th NOV 2012 Water and Sanitation for Community Development Dodoma 2,744,383.00

13th NOV 2012 Tanzania League of the Blind Dodoma 2,890,250.00

Page 20: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

20 |

13th NOV 2012 ST Maria Magdalena Ifakara Women Group Morogoro 16,478,700.00

13th NOV 2012 Bagamoyo Non Governmental Organisation Coast Region 15,000,000.00

13th NOV 2012 Huruma Children Trust Tabora 915,000.00

13th NOV 2012 Matumaini Kina Mama Kibirizi Kigoma 1,845,000.00

13th NOV 2012 Zanziba Current Generation Forum Zanzibar 13,006,500.00

13th NOV 2012 Chama Cha Viziwi Tanzania- Morogoro Morogoro 9,119,400.00

JUMLA 221,744,193.00

6th DEC 2012 Building Africa Dar es Salaam 13,410,000.00

6th DEC 2012 Tabora NGO Cluster - SATF Tabora 37,192,500.00

6th DEC 2012Tanzania Network Of Religious Leaders Living With Or Personally Affected By Hiv And Aids (TANERELA)

Dar es Salaam 11,152,000.00

6th DEC 2012 Upendo Disadvantaged Patnership Kibaha 5,855,200.00

6th DEC 2012 Kimwani Women and Empowerment Social Development Association Dar es Salaam 4,805,490.00

6th DEC 2012 Watu Community Empowerment Initiative Mara 18,965,050.00

6th DEC 2012 Iringa Paralegal Centre Iringa 2,570,000.00

6th DEC 2012 Shirika la Ushauri na Udhibiti wa UKIMWI Kahama Shinyanga 2,509,650.00

6th DEC 2012 Ruvuma Network of Civil Society Organisation Ruvuma 7,500,000.00

6th DEC 2012 Tanzania Network For People With Hiv/Aids (TANOPHA) Dar es Salaam 5,435,000.00

6th DEC 2012 Community Help Foundation Tabora 22,464,300.00

6th DEC 2012 Kilimanjaro Environmental Network Organization Kilimanjaro 29,705,000.00

6th DEC 2012 Babati Paralegal Centre Manyara 3,944,150.00

6th DEC 2012 Shinyanga NGO Network Shinyanga 22,483,830.00

6th DEC 2012 Umoja wa Kupambana na Maafa na Hali Ngumu ya Maisha Shinyanga 16,838,000.00

6th DEC 2012 USANGONET Mbeya 7,500,000.00

6th DEC 2012 Health and Development for People Living Mbeya 6,875,600.00

6th DEC 2012 Shirika la Vyama vya Walemavu Tanzania Tabora 7,500,000.00

6th DEC 2012 LARETOK CARF Manyara 7,439,000.00

6th DEC 2012 Community Volunteers Development Support Bunda Mara 16,847,500.00

6th DEC 2012 Manyara Region Civil Society Network Manyara 44,963,000.00

6th DEC 2012 Community Life Improvement Foundation Dar es Salaam 20,538,800.00

6th DEC 2012 Chama cha Maalbino Tanzania Kagera 12,755,000.00

6th DEC 2012 Kikundi cha Viziwi Mtwara Mtwara 2,664,400.00

6th DEC 2012 Chama cha Walimu Kitengo cha Wanawake Dodoma 5,246,600.00

6th DEC 2012 MANGONET Development Mtwara 14,945,628.00

6th DEC 2012 Jikwamue Walemavu Tanga 7,242,000.00

6th DEC 2012 Kilio Cha Waathirika Na Waathiriwa Wa Ukimwi Mbarali (KIWWAUMBA) Mbeya 10,709,000.00

6th DEC 2012 Pamoja Daima Kisarawe 6,953,300.00

6th DEC 2012 Sauti ya Akina Mama na Watoto Mbuyuni Mbeya 2,688,000.00

6th DEC 2012 Chama Cha Viziwi Tanzania - Mafia Mafia 7,500,000.00

6th DEC 2012 PIONECA Dar es Salaam 7,500,000.00

6th DEC 2012 Lekisudo Legal Workers Kibaya 7,416,000.00

6th DEC 2012 Moshi Paralegal Organisation Kilimanjaro 7,500,000.00

6th DEC 2012 Wasaidizi wa Kisheria Mkuu Kilimanjaro 7,491,800.00

6th DEC 2012 AJAT Foundation Tanzania Kongwa 5,528,750.00

6th DEC 2012 Makete Support for People Livings with HIV/AIDS Njombe 5,151,000.00

6th DEC 2012 Safina Cooperative Society Wete Pemba Zanzibar 7,500,000.00

6th DEC 2012 Social Action Trust Fund Dar es Salaam 11,164,679.80

6th DEC 2012 Sumbawanga Association Non Governmental Organisation Rukwa 7,500,000.00

JUMLA 453,950,227.80

12th DEC 2012 Mvomero Organisation Coalition Morogoro 13,372,300.00

12th DEC 2012 TSESOD Dar es Salaam 3,797,500.00

12th DEC 2012 TUSPO Dar es Salaam 5,431,400.00

12th DEC 2012 Singida Non – Governmental Organizations Network (SINGONET) Singida 37,473,750.00

12th DEC 2012 DESPO Account Tabora 14,167,875.00

12th DEC 2012 Mazombe Mahenge Development Association Iringa 21,599,900.00

12th DEC 2012 Iringa Civil Society Organisation Iringa 28,513,914.00

12th DEC 2012 Chama cha Wastaafu Kisarawe Chawaki Coast Region 1,200,000.00

12th DEC 2012 Tanzania League of the Blind Dodoma 2,292,500.00

12th DEC 2012 NGOs Network for Dodoma Urban Dodoma 7,495,875.00

12th DEC 2012 SHDEPHA Plus Morogoro Municipal Coast Region 14,738,000.00

12th DEC 2012 Sikonge Organization Network Tabora 15,680,650.00

12th DEC 2012 Ushirikiano Wa Vijana Mwandege (USHIVIMWA) Dar es Salaam 13,522,250.00

12th DEC 2012 Shirikisho La Vyama Vya Watu Wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA Kagera) Kagera 18,502,650.00

12th DEC 2012 Sikonge Organization Network Tabora 7,490,139.00

Page 21: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

| 21

12th DEC 2012 Mbozi NGO Network Mbeya 14,644,692.00

12th DEC 2012 Mhovu Environmental Conservation Organisation Morogoro 7,879,333.00

12th DEC 2012 Tandahimba Non Governmental Organisation Mtwara 7,500,000.00

12th DEC 2012 Masasi Sports Farming Association Mtwara 7,441,400.00

12th DEC 2012 UMWEMA Group Coast Region 12,256,000.00

12th DEC 2012 Modern Education and Culture Group Shinyanga 20,720,500.00

12th DEC 2012 Tanzania Women Lawyers Association Dar es Salaam 37,230,000.00

12th DEC 2012 Chama cha Walemavu Tanzania Bukoba 17,171,250.00

12th DEC 2012 Sustainable Community Development Initiative Association Dar es Salaam 18,160,000.00

12th DEC 2012 Pemba Association of Civil Society Zanzibar 14,995,000.00

12th DEC 2012 ZANAB Wilaya ya Chake Zanzibar 11,725,000.00

12th DEC 2012 Tanzania women Infected with HIV/AID Dar es Salaam 22,490,000.00

JUMLA 397,491,878.00

27th DEC 2012 Tanzania League of the Blind Tanga Tanga 5,217,000.00

27th DEC 2012 Tanzania League of the Blind Kishapu Shinyanga 6,825,600.00

27th DEC 2012 Chama cha Walemavu Mbeya Mbeya 7,031,800.00

27th DEC 2012 Zanab Wilaya ya Kusini Zanzibar 7,171,500.00

27th DEC 2012 Chama cha Wasiona Kwimba Mwanza 7,386,100.00

27th DEC 2012 Chama cha Walemavu Tanzania Kahama Shinyanga 7,398,000.00

27th DEC 2012 Chama cha Albino Tanzania Dar es Salaam Dar es Salaam 7,427,200.00

27th DEC 2012 Chama cha Wasioona Bukombe Shinyanga 7,488,700.00

27th DEC 2012 Tanzania Association for Mentally Handicapped Tanga Tanga 7,491,100.00

27th DEC 2012 Chama cha Wasioona Nzega Tanzania Tabora 7,492,500.00

27th DEC 2012 Chama cha Albino Tanzania Shinyanga 7,494,000.00

27th DEC 2012 Chama cha Wasioona Tawi la Bunda Mara 7,496,450.00

27th DEC 2012 Albino Korogwe Tanga 7,497,000.00

27th DEC 2012 Association for Spina Bifina Hydrocephalus Tanzania Morogoro 7,498,250.00

27th DEC 2012 Bajaji Dissabled sports Club Dar es Salaam 7,499,400.00

27th DEC 2012 TAMH Mtwara 7,499,516.00

27th DEC 2012 TAPDBC Kanda ya Kusini Mtwara 7,499,516.00

27th DEC 2012 Chama cha Wasioona Utete Lindi 7,500,000.00

27th DEC 2012 Chama cha Maalbino Tanzania Idara ya Wanawake Dar es Salaam 7,500,000.00

27th DEC 2012 Chama cha Maalbino Tanzania Tawi la Dodoma Dodoma 7,500,000.00

27th DEC 2012 Chama cha Viziwi Tanzania Kondoa Dodoma 7,500,000.00

27th DEC 2012 Amkeni Viziwi Wanawake Bahi Dodoma 7,500,000.00

27th DEC 2012 Chama cha Walemavu Bukombe Shinyanga 7,500,000.00

27th DEC 2012 Tanzania Association for Mentally Handicapped Ruvuma 7,500,000.00

27th DEC 2012 TAMH Dodoma Dodoma 7,500,000.00

27th DEC 2012 Chama cha Albino Singida Singida 7,500,000.00

27th DEC 2012 Mfuko wa Maendeleo ya CHAWATA Kwimba Mwanza 7,500,000.00

27th DEC 2012 Njombe Chama cha Wasioona Njombe 7,500,000.00

27th DEC 2012 Chama cha Viziwi Tawi la Dar es Salaam Dar es Salaam 7,500,000.00

27th DEC 2012 Chama cha Malbino Kigoma Kigoma 7,500,000.00

27th DEC 2012 Tanzania Association for Mentally Handcapped Kilimanjaro 7,500,000.00

27th DEC 2012 CHAWATA Wilaya ya Magu Mwanza 7,500,000.00

27th DEC 2012 Chama cha Viziwi Tanzania Dodoma 7,500,000.00

27th DEC 2012 Tanzania Association for Mentally Handcapped Mwanza Mwanza 7,500,000.00

27th DEC 2012 Chama cha Wasioona Mbozi Mbeya 7,500,000.00

27th DEC 2012 Chama cha Viziwi Tanzania Kongwa Kongwa 7,500,000.00

27th DEC 2012 Kikundi cha Amani Shinyanga 7,500,000.00

27th DEC 2012 Chama cha wasioona Mtwara 7,500,000.00

27th DEC 2012 Chama cha Viziwi Tanzania Tabora 7,500,000.00

27th DEC 2012 Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu Kigoma 7,500,000.00

27th DEC 2012 Shirika la Kilimo la Walemavu Songea Ruvuma 7,500,000.00

27th DEC 2012 MWAVITA Morogoro Morogoro 7,500,000.00

27th DEC 2012 Shirika la Kuwaendeleza Wasioona Tanzania Dar es Salaam 7,500,000.00

27th DEC 2012 Chama cha Walemavu Tanzania Kilimanjaro 7,500,000.00

27th DEC 2012 Chama cha Michezo ya Watu Wenye Ulemavu Zanzibar 7,507,750.00

27th DEC 2012 Tanzania Association for Mentally Handcapped Arusha Arusha 7,520,000.00

27th DEC 2012 Mtwara Chama cha Maalbino Mtwara Mtwara 7,529,500.00

27th DEC 2012 CHAVITA Lindi Lindi 9,714,380.00

27th DEC 2012 Rombo Education Support Fund Kilimanjaro 14,994,618.00

27th DEC 2012 Kisarawe Non Governmental Organisation Coast Region 15,000,000.00

27th DEC 2012 Mkuranga Non Governmental Organisation Network Coast Region 15,000,000.00

27th DEC 2012 Kamati ya Vyama vya Wenye Ulemavu Tanga Tanga 16,020,000.00

Page 22: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

22 |

27th DEC 2012 Tanzania Federation of Disabled People Organisation Mara 16,382,600.00

27th DEC 2012 Lufingo Waviu Group Mbeya 16,434,000.00

27th DEC 2012 Chama cha Maalbino Mkoa wa Morogoro Coast Region 16,619,700.00

27th DEC 2012 Jumuiya ya Wanawake Wenye Ulemavu Zanzibar Zanzibar 16,926,430.00

27th DEC 2012 Chama cha Albino Tawi la Mara Mara 17,801,950.00

27th DEC 2012 Chama cha Wasioona Tanzania Kilimanjaro Kilimanjaro 18,760,388.00

27th DEC 2012 Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu Shinyanga 19,215,000.00

27th DEC 2012 Tanzania Cheshire Foundation Dodoma 19,511,600.00

27th DEC 2012 Chama Cha Walemavu Tanzania-Pwani Coast Region 20,620,000.00

27th DEC 2012 Chama Cha Walemavu Tanzania - Mbinga Ruvuma 21,143,830.00

27th DEC 2012 Tanzania League of The Blind Kagera Shinyanga 21,180,000.00

27th DEC 2012 Chama cha wasioona Mwanza Mwanza 21,422,525.00

27th DEC 2012 Zanzibar disabled Community Account Zanzibar 21,801,530.00

27th DEC 2012 Shirikisho La Vyama Vya Watu Wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA Ruvuma) Ruvuma 22,001,000.00

27th DEC 2012 Dodoma Disabled Peoples Development Aid (DIPEDEA) Dodoma 22,575,000.00

27th DEC 2012 WACAWEG Dodoma 22,800,600.00

27th DEC 2012 Umoja wa Walemavu Dar es Salaam 22,835,650.00

27th DEC 2012 Chama cha Wasioona Wilaya ya Kilombero Morogoro 22,948,450.00

27th DEC 2012 Chama cha Viziwi Tawi la Songe Ruvuma 22,979,250.00

27th DEC 2012 Chama cha Wasioona Kondoa Dodoma 22,980,950.00

27th DEC 2012 Chama cha Wasioona Wilaya Wilaya ya Dodoma Dodoma 23,304,000.00

27th DEC 2012 Shirikisho la Vyama vya Walemavu Mpwapwa Dodoma 23,737,000.00

27th DEC 2012 Tanzania League of The Blind Shinyanga Shinyanga 24,003,800.00

27th DEC 2012 Chama cha Walemavu Tanzania Mara Musoma 24,828,750.00

27th DEC 2012 Shirikisho La Vyama Vya Watu Wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA - PWANI) Coast Region 25,131,900.00

27th DEC 2012 Wanawake Wasioona Elfu mbili na Mbili Kariakoo 25,772,850.00

27th DEC 2012 Chama cha Viziwi Tanzania Shinyanga Shinyanga 25,778,700.00

27th DEC 2012 Geita Non Governmental Organisation Geita 26,302,500.00

27th DEC 2012 Umoja wa Miradi kwa Viziwi Tanzania Dar es Salaam 26,466,750.00

27th DEC 2012 Tuamke Disabled Women Group Mwanza Mwanza 26,949,575.00

27th DEC 2012 Chama cha Wlemavu Tanzania Mwanza 26,949,575.00

27th DEC 2012 Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA- MTWARA) Mtwara 26,995,846.00

27th DEC 2012 Chama cha Wasioona Tanzania Dar es Salaam 27,131,950.00

27th DEC 2012 Tanzania Association for Mentally Handcapped Tabora Mihayo 27,305,300.00

27th DEC 2012 League of the Blind Tanzania Tabora 27,572,060.00

27th DEC 2012 CWT Kitengo cha Ualimu Wenye Ulemavu Dodoma 28,617,246.00

27th DEC 2012 Ukerewe Chawata Projects Mwanza 28,780,000.00

27th DEC 2012 Maswa Non-Governmental Organizations Network (MASWANGONET) Shinyanga 30,000,000.00

27th DEC 2012 The Voice of Disabled Women in Tanzania Dar es Salaam 38,800,000.00

27th DEC 2012 Tanzania Gender Network Dar es Salaam 56,001,900.00

JUMLA 1,396,570,035.00

31st DEC 2012 Kilimanjaro NGOs Cluster Kilimanjaro 12,961,000.00

31st DEC 2012 Lindi Association of Non Governmental Organisation Lindi 36,766,500.00

31st DEC 2012 The Network of Non-Governmental Organisations in Bahi District (BANGONET) Dodoma 7,500,000.00

31st DEC 2012 National Council of NGOs (NACONGO) Dar es Salaam 11,250,000.00

31st DEC 2012 Tanzania Cheshire Foundation Dodoma 13,472,000.00

31st DEC 2012 Kilimanjaro AIDS Control Association Kilimanjaro 3,261,500.00

31st DEC 2012 Morogoro Women Legal Aid Mandela 14,000,500.00

31st DEC 2012 Umoja wa Wazee Morogoro Morogoro 12,306,500.00

31st DEC 2012 SIRUNGONET Singida 22,485,096.00

31st DEC 2012 Chama cha Sanaa za Maonyesho Tanzania Dar es Salaam 22,517,100.00

31st DEC 2012 Anti Female Genital Mutilation Network (AFNET) Dodoma 21,535,862.10

31st DEC 2012 DESPO Account Tabora 14,167,875.00

31st DEC 2012 Wings Environment and Education Transformation unity Morogoro 7,831,000.00

31st DEC 2012 Mapinduzi Forum for Development Morogoro 5,082,967.00

31st DEC 2012 Kagera Community Development Foundation Kagera 16,042,000.00

31st DEC 2012 Chama Cha Walemavu Tanzania - Mwanza Mwanza 8,802,625.00

31st DEC 2012 Kigoma Kasulu Ngos Network (KIKANGONET) Kigoma 3,098,600.00

31st DEC 2012 Mbozi Society HIV/AIDS Compaign Mbeya 9,897,350.00

31st DEC 2012 Kigoma AIDS Campaign and Home Base Kigoma 7,276,250.00

31st DEC 2012 Iringa Mercy Organisation Iringa 16,102,416.00

31st DEC 2012 WOLAT Dar es Salaam 14,424,000.00

31st DEC 2012 WACEI Mara 14,043,500.00

31st DEC 2012 Wazee wa Kigoma Katubuka (WAKKA) Kigoma 19,012,375.00

31st DEC 2012 Mseti Development Association Njombe 15,915,625.00

31st DEC 2012 Association for Community Empowerment and Development Tanga 12,565,000.00

Page 23: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

| 23

31st DEC 2012 Group TACAPHA Tabora 7,496,500.00

31st DEC 2012 Mtandao wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Rungwe Mbeya 14,644,688.00

31st DEC 2012 CHAUMUTA Mkoa Tabora Tabora 12,410,400.00

31st DEC 2012 Old Nguvumali Women Centre Tabora 4,630,400.00

31st DEC 2012 Idara ya Vijana Tanzania League of Blind Dar es Salaam 5,210,325.00

31st DEC 2012 Chama cha Viziwi Tanzania Dar es Salaam 12,363,625.00

31st DEC 2012 Makangarawe Youth Information and Development Centre Dar es Salaam 4,158,560.00

31st DEC 2012 Sengerema Non Governmental Organization Geita 15,000,000.00

31st DEC 2012 MTWANGONET Mtwara 14,130,000.00

31st DEC 2012 Namtumbo Network of Civil Sociaty Organisation Ruvuma 7,500,000.00

31st DEC 2012 Kiteto Civil Society Organization Forum Manyara 7,467,000.00

31st DEC 2012 Wajane Women Group Dar es Salaam 14,238,100.00

31st DEC 2012 WOWAP Women Wake up Dodoma 6,347,200.00

31st DEC 2012 Women and Children Trust Tanga 10,955,000.00

31st DEC 2012 The Community Outreach Trust Fund Dar es Salaam 12,346,750.00

31st DEC 2012 Arusha Women Legal AID Human Rights Arusha 10,003,549.90

31st DEC 2012 The Service to Widows Orphans and The Little Ones Organisation Mbeya 6,995,000.00

31st DEC 2012 Mwananyamala Women Development Group Dar es Salaam 19,593,737.00

31st DEC 2012 GROWOYODA / SATF Njombe 12,370,000.00

31st DEC 2012 PAKACHA Group Dar es Salaam 12,842,000.00

31st DEC 2012 Tanzania Health Care and Career Awareness Program Dar es Salaam 9,540,000.00

31st DEC 2012 Policy Curiosity Society Coast Region 11,688,000.00

31st DEC 2012 Kikundi cha MAUWAKI Shinyanga 9,648,800.00

31st DEC 2012 Kikundi cha Umoja wa Asasi za Kis Tabora 7,380,000.00

31st DEC 2012 AJISO (Akina Mama Jiendeleze Sote) Kilimanjaro 9,431,600.00

31st DEC 2012 Kikundi cha Faraja Ilembula Iringa 22,412,150.00

31st DEC 2012 SWAA Morogoro Coast Region 12,080,000.00

31st DEC 2012 DSM Coalition of Network of PHL Dar es Salaam 14,850,335.00

31st DEC 2012 Sikonge Organisation Network Tabora 15,680,650.00

31st DEC 2012 SHIVYAWATA Dodoma Dodoma 6,499,000.00

31st DEC 2012 Mategemeo Women Association Clock Tower 16,336,000.00

31st DEC 2012 Kahama Civil Society Organisation Forum Shinyanga 14,745,406.00

31st DEC 2012 Ileje Non Govenmental Organisation Mbeya 7,500,000.00

31st DEC 2012 Mzeituni Foundation Ltd Mwanza 7,816,718.75

31st DEC 2012 GROWOYODA / SATF Njombe 12,032,390.00

31st DEC 2012 Tabora Advocacy Centre for Development Tabora 14,496,500.00

31st DEC 2012 Tumaini Waviu Network Mbeya 10,257,500.00

31st DEC 2012 Okoa Jamii Musoma Mara 15,949,504.00

31st DEC 2012 Chama cha Wasioona TLB Morogoro 20,593,000.00

31st DEC 2012 UWAMA Shinyanga 7,464,000.00

31st DEC 2012 Tanzania League of the Blind Kilosa Morogoro 8,796,000.00

31st DEC 2012 Chama cha Wasioona Tanzania Tawi la Temeke Temeke 26,816,366.00

31st DEC 2012 CHAWATA Dar es Salaam Dar es Salaam 20,884,650.00

31st DEC 2012 Kamati ya SHIVYAWATA DSM Dar es Salaam 22,253,000.00

31st DEC 2012 KICHAWAMA Kikundi cha Walemavu Makete Iringa 23,201,268.00

31st DEC 2012 TAMH Mkoa Iringa Iringa 7,500,000.00

31st DEC 2012 Tanzania Association of Deaf Researchers Coast Region 7,500,000.00

31st DEC 2012 MVIWATA Ruvuma Ruvuma 18,715,500.00

31st DEC 2012 Amani the Foundation of Life Mbeya 7,358,500.00

31st DEC 2012 Utawala Bora Kigoma 12,917,000.00

31st DEC 2012 Matumaini Mapya Kagera 14,717,500.00

31st DEC 2012 Rural Oriented Sustainable Development organisation Lindi 18,012,900.00

31st DEC 2012 Community Life Development Initiative 2010 Dar es Salaam 15,446,000.00

31st DEC 2012 Tanzania League of the Blind Dar es Salaam 19,666,750.00

31st DEC 2012 Urban West Civil Society Network Zanzibar 14,652,812.00

31st DEC 2012 Pemba South Transpoters Association Zanzibar 19,587,500.00

31st DEC 2012 Zanzibar National Association of The Blind Zanzibar 13,903,400.00

31st DEC 2012 Vitongoji Environmental Association Zanzibar 12,859,950.00

31st DEC 2012 NORECSONET Zanzibar 7,499,250.00

31st DEC 2012 Human Rights Education and Development for Disadvantaged Lumumba 7,500,000.00

31st DEC 2012 TLB Uyui Tabora 7,050,000.00

31st DEC 2012 Jongowe Development Fund Zanzibar 14,807,700.00

31st DEC 2012 Greenbelt Schools Trust Fund Morogoro 10,282,525.00

31st DEC 2012 Upendo community Survival DSM 13,767,500.00

31st DEC 2012 Women and Child Vision Community Account DSM 7,368,120.00

JUMLA 1,152,486,220.75

Page 24: Jamii ya Wamasai yahamasika kuchangia fedha na …thefoundation.or.tz/wp-content/uploads/2017/03...mitihani yao ya kujiunga na elimu ya sekondari, wameandikishwa na kuanza masomo kwa

24 |

TAREHE JINA LA AKAUNTI/ASASI MKOA KIASI CHA FEDHA

4th FEB 2013 Vijana Vision Tanzania Morogoro 19,026,050.00

4th FEB 2013 Tanzania Early Childhood Development Network (TECDEN) DSM 16,715,000.00

4th FEB 2013 Tanzania Women and Children Welfare DSM 2,807,580.00

4th FEB 2013 Kikukwe Forestry Group (KFG) Kagera 16,147,000.00

4th FEB 2013 Tumaini Women Development Association Kagera 10,353,500.00

4th FEB 2013 Tanzaina Mission to the Poor and Disabled Songea 16,030,250.00

4th FEB 2013 Agricultural Council Tanzani DSM 64,150,000.00

4th FEB 2013 TUENDELEZANE Coast Region 12,738,000.00

4th FEB 2013 SHDEPHA Network Bukombe Shinyanga 13,663,211.00

4th FEB 2013 Chama cha Viziwi Tanzania CHAVITA Dodoma 8,638,100.00

4th FEB 2013 Lubana Corridor Environmental Development Stretegy Mara 17,870,000.00

4th FEB 2013 Umoja wa Wazee Wastaafu Songea Ruvuma 3,470,300.00

4th FEB 2013 Sakale Development Foundation Tanga 13,231,500.00

4th FEB 2013 Vijana Vision Tanzania Kisarawe Coast Region 7,569,250.00

4th FEB 2013 Southern Hilands Community Development Alliance Iringa 12,006,950.00

4th FEB 2013 Kikundi cha Wanawake Mwanga Kupambana na UKIMWI (KIWAMWAKU) Kilimanjaro 13,526,750.00

4th FEB 2013 Mafunzo, Utetezi na Vitendo vya Uzalishaji Mali (MUVUMA) Shinyanga 16,872,110.00

4th FEB 2013 Tanzania Albinos Society Mwanza Mwanza 7,720,950.00

4th FEB 2013 Morogoro Environmental Conservation Organisation Morogoro 17,935,200.00

4th FEB 2013 Kaengesa Environmental Conservation Society (KAESO) Rukwa 10,925,385.00

4th FEB 2013 The Life Hood of Children and Development Society (LICHIDE) Rukwa 2,781,000.00

4th FEB 2013 MKOMBOZI Kilimanjaro 62,500,000.00

4th FEB 2013 Severe Poverty Alleviation Association DSM 16,651,000.00

4th FEB 2013 Legal AID and Social Welfare Association Iringa 11,460,000.00

4th FEB 2013 Informal Sector Team Arusha 12,865,000.00

JUMLA 407,654,086.00

8th FEB 2013 Goodness Organisation Tabora 16,877,817.00

8th FEB 2013 Mzeituni Foundation Tabora 7,444,968.00

8th FEB 2013 Chama cha Maalbino Tanzania Pwani Coast Region 9,553,559.00

8th FEB 2013 Chama cha Maalbino Tanzania (W) Kinondoni DSM 13,948,000.00

8th FEB 2013 UHAKIKA Kituo cha Ushauri Nasaha Coast Region 7,846,000.00

8th FEB 2013 Kilwa Non Governmental Organisation Lindi 14,841,000.00

8th FEB 2013 Kasulu Network of NGO’s Kigoma 22,492,500.00

8th FEB 2013 Neighbors Without Borders Kigoma 2,340,000.00

8th FEB 2013 Lugarawa Development Foundation Njombe 11,745,500.00

8th FEB 2013 Newala Farmers Empowerment Program Lindi 16,547,000.00

8th FEB 2013 Chama cha Wasioona Tanzania Tawi la Morogoro Morogoro 18,355,000.00

8th FEB 2013 Masasi Youth Development Groups Network Mtwara 14,979,400.00

8th FEB 2013 SHDEPHA Tawi la Newala Lindi 8,050,000.00

8th FEB 2013 Kibondo Non Governmental Organisation Kigoma 15,000,000.00

8th FEB 2013 MRENGO Mtwara 15,000,000.00

8th FEB 2013 Umoja wa Viziwi Wanawake Ruvuma Ruvuma 8,292,625.00

8th FEB 2013 Morogoro Environmental Conservation Organisation Morogoro 4,656,500.00

8th FEB 2013 Zanzibar Association of People Living with HIV/AIDS Zanzibar 14,670,417.00

8th FEB 2013 Sarepta Women Group DSM 8,601,000.00

JUMLA 231,241,286.00

22nd FEB 2013Tanzania Network Of Religious Leaders Living With Or Personally Affected By HIV and AIDS (TANERELA)

DSM 11,348,500.00

22nd FEB 2013 Chama cha Maalbino Geita Geita 7,500,000.00

22nd FEB 2013 Upendo Disadvantaged Partnership Coast Region 25,808,300.00

22nd FEB 2013 BANGONET Huduma kwa Jamii Shinyanga 15,000,000.00

22nd FEB 2013 Water and Sanitation for Community Development Dodoma 525,000.00

22nd FEB 2013 Chama Cha Walemavu Tanzania- Dodoma Mjini Dodoma 15,370,000.00

22nd FEB 2013 Tanzania Livelihood Skills Development And Advocacy (TALISDA Foundation) Tanga 10,325,500.00

22nd FEB 2013 Chama cha Viziwi Tanzania Tabora 7,500,000.00

22nd FEB 2013 Upendo Social Action Group Mbeya 3,658,000.00

22nd FEB 2013 Kikundi cha Mila na Desturi Ukerewe Mwanza 11,955,500.00

22nd FEB 2013 Mbeya Paralegal Unit Mbeya 4,588,125.00

22nd FEB 2013 Chama cha Wasioona Tanzania 18,502,000.00

22nd FEB 2013 Chama cha Maalbino Tanzania - Tabora Tabora 7,232,125.00

22nd FEB 2013 Njombe District Non Governmental Organisation Njombe 22,472,439.00

22nd FEB 2013 TLB Uyui Tabora 7,050,000.00

22nd FEB 2013 Chama cha Walemavu Tanzania Kilimanjaro 7,500,000.00

JUMLA 176,335,489.00