ANNUUR 1163.pdf

download ANNUUR 1163.pdf

of 20

Transcript of ANNUUR 1163.pdf

  • 8/9/2019 ANNUUR 1163.pdf

    1/20

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1163  RABIUL THANI 1436, IJUMAA , FEBRUARI 6 - 12, 2015 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    Uk.1

    Mkurugenzi TAMPRO afunguliwa kesi ya ugaidi Asimamishwa kizimbani na mkeweOmbi la dhamana kwa mkewe lakwamaWatuhumiwa walalamika kukosa hewa

    Kura ya Maoni….

    Hatari tupukwa Zanzibar

    Vereje wa-Bara wapige kura!Ya nini hadaa na janja yote hii…Kuinyima Zanzibari sauti ya kuamua?

    Melody mwaka huu Zanzibar

    huenda ikawa mbaya zaidiKauli ya Waziri Mathias Chikawe…Bundi kalia juu ya nyumba mchan

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Mheshimiwa MathiasChikawe. Soma Uk. 10.

    Soma Uk. 1

    Picha Juu, Kaimu MkurugenziMtendaji wa TAMPRO, UstadhiHaruna Mussa Lugeye. Chinimkewe Bi. Mwajumbe WenduBakari.

    Tamko la Masheikh kuhusuMahakama ya Kadhi

  • 8/9/2019 ANNUUR 1163.pdf

    2/20

    2   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 6 - 12, 20

    AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri

    M A L A L A M I K Ok u h u s u u t e n d a j iusioridhisha wa jeshiletu la polisi yamekuwamengi. Raia wa kawaidandio ambao wamekuwawakilalamika zaidi,lakini kwa bahatimbaya, sauti zao hazinamsikilizaji.

    Viongozi wa vyamavya upinzani na asasiza wanaharakati nao

    wamekuwa wakipazasauti zao, kilio kikiwa nikile kile cha utendaji ulio

     jaa dhulma na ukiukwajiwa haki za binadamu wa

     jeshi hilo. Nao hakunaaliyewasikiliza.

    Lakini kwa upandemwingine, jeshi hilohilo la polisi limekuwana utekelezaji mzuriwa amri kutoka kwawanasiasa walioshikiliadola na hata wenyefedha na ukwasi wamali. Vyombo vya habarimara kadhaa vimekuwavikiripoti madhila kadhawa kadha yanayofanywana jeshi hilo dhidi ya raiana wanyonge, wakiwa namatumaini labda serikaliinaweza kuguswa nakuamua kulisasha jeshihilo, ili liweze kufanyakazi zake kiadilifu nakwa weledi kwa mujibuwa sheria bila kuwaoneawatu.

    Pamoja na kelele zaviongozi wa vyama vya

    siasa na wanaharakatipamoja na raia ambaokwa namna moja aunyingine wameumizwana jeshi hilo, bado hakunahatua zozote madhubutiz i l i z o c h u k u l i w akuliboresha jeshi letulikawa la kistaarabu nalinalofuata sheria na hakiza binadamu.

    Takwimu za taasisimbalimbali zimeonyeshakuwa jeshi hilo ndiokinara wa rusha nchini.

    Jeshi la Polisi lijisafshePamoja na kutolewataarifa hizo za kitafiti,

     bado serik ali imepig akimya.

    B a a d h i y ap o l i s i w a m e k u w aliki la lamikiwa kwak u b a m b i k i a w a t ukesi , hakuna hatuaz i l i z o d h i h i r i k a z akukomesha unyama huo.

    B a a d h i y aa s k a r i w a m e k u w a

    w a k i t u h u m i w akuhusika katika baadhiya vitendo vya kihalifukama ujambazi, badohatusikii wala kuonausafi ukifanyika ndaniya jeshi hilo.

    W a n a s i a s awamelalamika kuwa

     jeshi linatumiwa kisiasakudhibiti wanasiasa hasawa upinzani, hususanakatika kutumia hakiy a o y a m s i n g i y ak u f a n y a m i k u t a n oau kuandamana kwaam ani , n j i a m bazondizo zi l izozoelekak w a w a n a s i a s akuwafikia watu wao.Tumeshuhudia mikutanoya kisiasa ikipigwamarufuku kwasababuzinazoitwa za kiusalama,lakini kimantiki lengolikiwa ni kuzuia nguvuya upinzani. Hapa ndipotulipolikisha jeshi letu.Limegeuka kuwa kamachombo cha kulindamaslahi ya watu kisiasa,

    kugeuza vituo vyakekuwa osi za kuchumafedha chafu kwa njia yarushwa, kugeuka pepoya wenye fedha kununuahaki za wanyonge nk.

    S i k u h i z i k w aupande wa walala hoi,wakifikishana polisikutatuliwa mashauri yao,kila upande utalazimikak u t o a c h o c h o t euki tegem ea kup atahaki. Muhimu si nanikamkosea mwenzake. Ni

    mfuko wako.Kuna tetesi kwamba

    hata faini za vyombovya moto barabarani(Notication) nazo zipohalisi na za kughushi.L a k i n i h a k u n a w akuchunguza licha yatetesi hizo kusambaa kilakona.

    Watu wamejeruhiwakwa vipigo bila hatia.Wap o wal i op otezam ai s ha yao , wap owalioharibiwa mali zao,yote hayo ni matokeo yakinachodaiwa kuwa niuozo ndani ya jeshi hilo.

    Tunakumbuka mwaka2 0 0 6 k u l i k u w a n ampango wa kuboresha

     Jeshi letu la Polisi uliotwaProgramu ya Maboreshoya Jeshi la Polisi.

    Ilikuwa ni Programu

    ya serikali ya kuboreshautendaji wa Jeshi laPolisi chini Wizaraya Mambo ya Ndaniya Nchi , i l iyokuwai m egawanywa kwaawamu mbili. Awamu yakwanza ilielezwa kuanza2010/2011 hadi 2014/2015na awam u ya p i l iiliahidiwa kutekelezwakati ya mwaka 2015/2016hadi 2019/2020.

    Programu hiyo ilianza baada ya Jeshi la Polisikupokea ripoti ya timu

    iliyohusisha watalaamuwa ndani na nje ya Jeshila Polisi iliyofanya utatina kutoa mapendekezoyao kwa uongozi wa

     Jeshi la Polisi na Wizaraya Usalama wa Raia.

    Timu hiyo iliwezakukusanya maoni tokakwa viongozi wa juu wanchi wakiwemo Maraiswaliokuwa madaraaknina was taa fu , Ra i s ,Mawaziri, wanachuoni,viongozi wa vyama vya

    siasa na dini, wananchiwa kawaida na wadauwengine.

    Moja ya Mapendekezoilikuwa ni kuanzishwak w a P r o g r a m u y aMaboresho ya Jeshi laPolisi ili kuzifanyia kazichangamoto mbalimbalizilizokuwa zinalikabili

     Jeshi la Polisi.M w a k a 2 0 0 7

    i l i teu l i wa t i m u yakuratibu na kusimamiamaboresho iliyohusisha

    w a n a t a a l u m a w andani ya Jeshi la Polisiwenye fani mbalimbali.Programu iliidhinishwarasmi na Baraza laM a w a z i r i t a r e h e31.03.2012 na kuifanyaitambulike rasmi kamamojawapo ya Programuza Maboresho ya Sekta

    ya Umma yanayoendeleahapa nchini.

    Baadhi ya sababu zakufanya maboreshondani ya Jeshi la Polisizil ikuwa ni pamojan a k u b a d i l i k a n akuongezeka kwa aina,mbinu na idadi yamakosa makubwa ya jinainchini hususan mwaka2005 na mwanzoni mwa2006 kulikosababishakudorora kwa hali yausalama wa raia na mali

    zao kote nchini.Nyingine ilikuwa nikudorora kwa ufanisikatika utendaji kazi wa

     Jeshi la Polisi kutokanana kutumia mifumoiliyopitwa na wakatiwa kuzuia na kudhibitiuhalifu, uchache waaskari , ukosefu wam afunzo ya u juz i ,uchache wa vitendeakazi na mazingira duniya osi na makazi.

    Kupungua kwa imaniya wanachi kwa Jeshi

    la Polisi kutokana nakuongezeka kwa vitendovya uhalifu nchini nakushuka kwa nidhamuna hadhi ya Jeshi la Polisi.

    Hata h i vyo , kwamwenendo wa sasa wa

     jeshi letu hili, hatudhanikama serikali ilitiliamkazo utekelezwajiwa progaramu yakehiyo kuboresha jeshihi l o na kuz i fanyi ak a z i c h a n g a m o t ozilizoanishwa hapo juu.

    Ni matumaini yetuk w a m b a , w a b u n g ekwa kutambua shidawanazopata wananchi,wataifanyia kazi hojailiyowasilishwa Bungenihivi sasa na Mhe. JamesMbatia, kuhusu utendajiusioridhisha wa chombohiki kinachoitwa chausalama wa raia.

    Zitizamwe sheria nakanuni zinazosimamia

     jeshi hili, ili kuondoas h e r i a n a k a n u n i

    zinazotoa mwanya kwaskari wetu kudhulumhaki za watu badala ykulinda usalama wwatu.

    Tunafahamu kuw jeshi ni chombo cha docha kudhibiti wakorowahuni na wahalifuTunajua kuwa ni lazim

    chombo hicho kituminguvu na zana kutekelezwajibu wake wake huoLakini pia tunafahamkuwa chom bo hi kl a z i m a k i t u m iutaalam, kuzingatis h e r i a n a k a n u nkatika kukabiliana nwahal i fu hao. Kwmfano, hatudhani mtkama Marehemu DauMwangosi alistahilkupigwa hadi kufa kammhalifu hali ya kuwmazingira na uhalisi

    unadhihirisha kuwhakuwa mhalifu nhakustahili kipigo. Walhaitukutarajiwa kamvijana wa KamandS u l e i m a n K o v awangegombea fukla fedha zilizokuwzimeibwa katika dukmoja huko Kariako ji jini Dar, badala ykupambana na kuwatiadabu majambazwaliokuwa wameziibfedha hizo na kukimbi

    huku wakitupa fukhilo la fedha.Kadhalika si sahih

    kummiminia marungm w a n d a m a n a ja l iy ek a m a twa nkumweka ndani yhimaya (gari la poliskasalimu amri, halafpolisi wakaendelezkipigo kwake. Matukiya namna hii yamekuwm e n g i n a h a k u nanayewajibika.

    Wananchi wanatakifike tamati ya mazoe

    ya l i yo jengeka kwm i ongo kadhaa ywatu kudhulumu kwkutumia Crown.

    Watanzania wanahita jeshi sa lenye maadill i n a l o f u a t a s h e r ina haki za binadamkatika ukekelezaji wmajukumu yake.

    Si jambo lenye tija walla kujivunia kuendelekuwa na jeshi la polilisiloaminika mbele yraia wake.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1163.pdf

    3/20

    3   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 6 - 12, 20Habari/Tangazo

    Mkurugenzi TAMPRO afunguliwa kesi ya ugaidi

    Uongozi wa Msikiti wa Answar Sunna Kinondoni ulio chini ya taasisiya Jamaat Ansawr Sunna, unayo furaha kuwatangazia Waislamu kuwandugu zao wa Miskiti wa Answari Sunna Kinondoni wameazimiakuwa pawepo na muhadhara japo mmoja kila mwezi katika msikitiwao. Lengo kuu ni kuwakishia Waislamu mafundisho ya dini yao kwamnasaba wa wakati na mazingira na kuwatia hima katika kuyatekelezamafundisho hayo.

    Kwa mnasaba huo basi, mnaariwa kuwa mada ya mwezi huu waRabiul Thani ni “Jihesabu Kabla Hujahesabiwa”.

    Muwasilishaji wa mada hiyo ni Sheikh Yusuf Salim, Imam wa masjidNurul Huda Argentina Dar es Salaam

    Muhadhara huo utakuwa tarehe 8 Februari 2015 siku ya Jumapilikuanzia saa 10: 15 Alasiri.

    Mnaombwa kufka kwa wakati

    Wa billahi Tawq

    Abdallah SalimImam Mkuu

    Masjid Answar Sunna Kinondoni

    Muhadhara wa mweziRabiul Thani 1436/2015

    Jihesabu Kabla Hujahesabiwa

    WAISLAMU waliduwaakwa muda baada yajuzi Jumanne wiki hii

    kumuona Mkurugenziwa Fedha na Utawalawa TAMPRO, UstadhiHaruna Mussa Lugeye,pamo ja na mkewew a k i p a n d i s h w akizimbani katika kesinyingine ya ugaidi.

    U s t a d h L u g e y epamoja na mkewe Bi.M w a j u m b e W e n d uBakari, walipandishwak i z i m b a n i k a t i k aMahakama ya Kisutu

     ji ji ni Da r es Sa la am ,mbele ya Hakimu JanetKaluyenda.

    Hata hivyo HakimuKaluyenda aliahirishakesi hiyo hadi Februari16 mwaka huu kwa kuwaHakimu anayeisikilizakesi yao Mh. Moshihakuwepo mahakamani.

     Juhud i za kumt oamkewe kwa dhamananazo zilikwama pia.

    Hii ni kutokana naHakimu Kaluyendakusisitiza kuwa yeyeh a t o w e z a k u t o adhamana kwa sababushauri halipo kwake.

    Na hivyo kushauriW a k i l i w a u t e t e z ia m s u b i r i H a k i m umwenye shauri hilo.

    Kuhusu kesi hiyo,wakili Salim alisema Bw.Haruna Mussa Lugeye namkewe wanatuhumiwakwa mashitaka ya ugaidina Kesi yao ilianza tarehe10/12/2014.

    Alisema hiyo ni kamamara ya tatu au ya nnekutajwa Mahakamanihapo.

    Wakati huo huo , kesi yaWatuhumiwa wa ugaidi

    inayowakabili Waislamu23 akiwemo SheikhMselem Ali Mselemna Waislamu wengine,w a m e i l a l a m i k i am a h a k a m a k u w ag a r i l i n a l o w a b e b awakati wakipelekwam a h a k a m a n i h a p ohalifai.

    Watuhumiwa haowalidai gari walilokuwawamepanda lilikuwal iki fungwa vioo nakusababisha kuvutahewa kwa taabu.

    Na Seif Msengakamba A k i z u n g u m z am ahakam ani hap o ,wakili wa upande wau t e t e z i A b u b a k a r iSalim, alisema kuwa

    a m e s h a n g a z w a n akitendo hicho kwanisio cha kiuungwanana kuitaka Mahakamai t a m b u e k u w a ,watuhumiwa hao ni

     binadamu wanaohitajihewa.

    Akithibitisha kutokeakwa tukio hilo, derevawa gari linalowabebaw a t u h u m i w a h a o(jina la dereva huyohalikufahamika maramoja) alisema kuwa vioovilifungwa kwa sababu

    za kiusalama kufuatiav u r u g u z i l i z o t a k akujitokeza katika eneola magereza wakatiwanajiandaa kuanza

    s a far i ya kuel ekeamahakani.

    “Niliamua kufungavioo baada ya kuonad a l i l i y a v u r u g u ,lakini kabla sijaamuakufunga niliwatangaziawatuhumiwa kuwanafunga kwasababu yausalama wao na wangu.

    “Kwa bahati mbayanilisahau kufungua,lakini sikuwa na niayoyote mbaya", alisemadereva huyo.

    Kwa upande wake

    hakimu anayesikilizakesi hiyo Mh. JanetKaluyenda, alimtakadereva huyo kutorudiatena kitendo hicho na

    endapo kitajirudia, basitaarifa itolewe kwamkuu wa magereza iliatoe maamuzi, kwanimahakama haihusiki namasuala ya magereza.

    Hakimu Kaluyendaaliahirisha kesi hiyo hadiFebruari 16 mwaka huu.

    Naye Wakili waupandewa utetezi AbubakariSalim, alisema kesi zotembili zilipangwa kwaajili ya kutajwa.

    "Ile Kesi ya Masheikhna Waislamu wengine

    ambayo inahusu wat23 ilipangwa kutajwa lelakini Serikali walisemk u p i t i a k w a D P Pkuwa wameshaamukukata rufaa kwendMahakama ya Rufaa kwhiyo mara ya mwishwametuambia wameshfaili hati ya rufaa lakinh a t u k u w a n a y o ”Alisema wakili huyo.

    A l i s e m a s i k u yk u t a j w a k e s i n d iwamepata barua kutokMahakama ya Rufaaambayo inathibitishk w a m b a k w e lwameshapeleka hati ykukata rufaa.

    KATIBU Mtendaji waBaraza la Maimamu naWahubiri nchini Kenya-CIPK, ameitaka serikalikuweka mikakati yakuhakikisha vazi lahijab linaheshimiwakwa mujibu wa katibaya nchi hiyo.

    Shei kh Moham edK h a l i f a , a l i o n g e z akuwa sharti la hijab

    ni kusitiri sehemu zamwili wa mwanamkena bila kumuonyeshasehemu zake za mwili nakusababisha matamaniokwa wanaume.

    S h e i k h K h a l i f aaliyasema hayo katikas i k u y a k i m a t a i f aya kuadhimisha vazila hijab, inayofanyikaFebruar i m os i k i l amwaka na kusisitizak w a m b a , s e r i k a l iya Nairobi inapaswak u w e k a m i k a k a t i

    kabambe ili kuhakikishavazi hi lo l inapewaheshima ipasayo kwamujibu wa katiba ya nchihiyo.

    Aidha Katibu huyoMtenda j i wa CIPKalisema kuwa, vazi lahijab ni ishara ya stara,faragha na ucha Mungukwa mwanamke waKiislamu.

    Hata hivyo vazi hilo lastara kwa wanawake waKiislamu linakabiliwa

    Sheikh ataka hijab iheshimiwe Kenyana chamgamoto kadhaau l i m w e n g u n i h a s amashuleni , vyuoni ,makazini na hata kwenyesehemu za umma.

    Sheikh Khalifa alisemakuwa, changam otowanayokumbana nayowanawake wa Kiislamuni taasisi za binafsi

    zinazohujumu haki zaokauli iliyoungwa mkonna viongozi wengine wdini ya Kiislamu nchinKenya. (Sabahi).

  • 8/9/2019 ANNUUR 1163.pdf

    4/20

    4   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 6 - 12, 20Makala

    SI panya mnyama aishie nawatu, wala si changudoasamaki kitoweo kizuri nachenye bei nzuri. Hawa niwatoto wetu, ama ni nduguzetu kwa nasaba au kwamajirani. Inashtusha nakushangaza. Dar es Salaamilikumbwa na taharukiya Dar es PANYA ROAD(Mbwa Mwitu).

    Mengi yamesemwa nawatu mbalimbali wakiwemo

    watu wazito katika jamii,lakini wengi walioonakwa karibu tukio husikawakihadithia unahisi kamawanahadithia filamu yaAnorld SChwatzneeger auSylvester Stallone.

    Hofu, vicheko na mzahavilikuwa ndio gumzo kubwala kwanza la mwaka 2015hapa Jijini Dar es Salaam.Imesababisha mpaka wenginekushukuru wapendwa waokurudi nyumbani mapemana wengine kuhuzunikawapenzi wao kuchelewakurudi nyumbani, kisaSekeseke la Panya Roadmaeneo kadhaa ya jiji la Dares Salaam.

    Wengi waliangukia katikakuinyooshea vidole serikali,hasa Jeshi la Polisi kwakuzembea kupata habari zaKi-intelijensia kuthibiti halihilo na wengine wamehoji,wapi zile mbwembwe zapolisi jamii katika kupambanana uhalifu.

    Nilikaa na kuangalianini hasa kimetokea nawapi tunaenda. Nini nafasiya kila chombo husikakatika taharuki kama hizi.Familia, jirani, Misikiti,Kanisa, Serikali – Polisi nawalimwengu kwa ujumla.

    Nakubaliana na maoni yawatu mbalimbali juu ya Polisina vyombo vya usalamakukosa taarifa za msingi juuya kuthibiti kilichotokea.Lakini kwa sehemu kubwavyombo habari vya kijamii,yaani social media (What’s

    Up, Facebook, Twiter ,Blogs, Instagram etc) nazozimekuwa mtihani sana kwakukuza mambo kuliko halihalisi.

    Pamoja na kwamba kunafaida, lakini hii moja yamadhara ya vyombo hivikatika jamii. Upokeaji wahabari kwa vyombo hiviunahitaji umakini sanakwani nusu ya taarifa huwazinatengenezwa na watu bi na fs i we ny e ma leng otofauti.

    Nadhani kuna umuhimuwa kuongeza mtazamo waziada juu ya hili, nalo ni mkaowa jamii yetu ya Kitanzaniakwa ujumla.

    Panyaroad, changudoa,mbwa mwitu, kiboko msheli,American etc ni vikundiZAO la kuporomoka kwamaadili ya Jamii. Hawa vijanawanatoka katika jamii zetu.Tunaishi nao kama watotowetu, wadogo zetu, majiranizetu, waumini wenzetu etc.

    Nini kumetokea mpakatumefika hapa na ninimatumaini ya baadae kamatutaendelea na visingiziovya kutushughulisha namambo mepesi na kuachakushughulikia matatizo yamsingi, ambayo sehemukubwa ni kuporomoka kwamfumo wa familia na maadilikatika Jamii zetu na kukosaupendo kwa watu wa imanina dini mbalimbali.

    Familia ni taasisi kongwena kubwa, ambayo ndio ya

    ‘Panya road’ na changudoaUmekwenda wapi wajibu wa dini, familia

    kwanza kimajukumu katika ja mi i yo yo te . Taa si si yafamilia hujengwa na mifumoimara ya ndoa katika jamiihusika. Kuwa na taasisiimara kama ni nguzo kubwasana ya amani na msaadamkubwa sana katika utulivuna ustaarabu watu katikanchi.

    Tujiulize nini kinatokeandani ya familia zetu?Ndoa zinavunjika hovyo,migongano ya kifamilia,w a z a z i k u t o w a j i b i k akimaadili mbele ya watotowao, na kubwa zaidi watotokulelewa na mifumo yavyombo vya habari hususanTV na Internet, ambapo si

    ajabu kukuta mzazi amejazalamu zenye mambo ya ajabuna watoto kuangalia pasina kufuata mila, desturi nasheria za nchi.

    Haya yote ni miongonimwa mengi yanayotuzaliaPanya Road.

    S u a l a l a P o l i s ikuwashughulikia ni hatuaya kutibu badala ya kuzuia.Hatua ambayo ni ya mwishokabisa katika ngazi za kijamii. Je, kuna uwezekano wa kuishina kuondoa ‘Panya road nachangudoa kwa kuwa nafamilia za aina hii? Watotowangapi wanazaliwa na babaanaingia ‘mitini’ na mamakubaki mlezi pekee katikamakuzi ya mtoto?

    Ndoa ngapi zinavunjika

    kwa fitna za wana jamiiwaliozunguka huku jamiihiyo iki jua f ika kuwakwa kufanya hivyo ndiotunazalisha panya roadna machangudoa wengizaidi kwa ndoa kuvunjika.Kuna baadhi ya jamii zakidini, mfano Waislamuwanaamini kuwa kuwepowa Mahakama ya Kadhikun aweza kup un guzakusambaratika kwa familia,kwa kuelimisha na kutoahaki kwa wanandoa. Lakini jamii nyingine isiyo ya imanihiyo inapinga kwa sababuya chuki tu za kiimani nakusahau kuwa familia imarayenye maadili ya kidini ndiomzizi mkuu wa kupambana

    na matatizo ya vijana, ambaomwishowe hutumbukiakatika makundi machafuna kufanya muendelezowa kuzalisha Panyaroad nachangudoa?.

    Haya n i s eh em u yaMas wal i ya Ku j iu l izakama jamii kwa kuangaliamporomoko wa Taasisi yaFamilia. Mengi ya Maswalihaya Ukiangalia kwa makiniutaona kuwa serikali kamaingekuwa inaamini kuwa sipolisi au jeshi tu peke yakendio linaweza kuleta amaniila kuna mambo ya msingilazima yawepo na jeshi lapolisi au chombo chochotecha usalama kinaweza fanyakazi kwa wepesi zaidi katikamazingira hayo ya uwepowa misingi ya KifamiliaBora, basi kungefanyikauwekezaji mkubwa sanahasa katika mahali pa Familiawalau kusikiliza jamii zenyemahitaji maalum kama hayoya Mahakama ya Kadhi namengineyo ya Msingi.

    Ujirani na kuvumiliana nimoja ya misingi mikubwa ya jamii kuendelea kwa pamojakatika nyanja mbalimbali zakisiasa, kijamii na kiuchumi. Jamii zetu za zamani zilikuwazimeshikana sana na kuonakuwa kila mtoto anakuwa nimtoto wa jamii na si mtotowako tu.

    Hapa unakuta matatizokama ya utoro shuleni nk,yanadhibitiwa na watu waeneo husika na kuleta amanina utengamano katika jamii.

    Kwa sasa ujirani umekuwani jambo adimu sana.Nyumba ya pili yaweza tokea jambo kubwa kama msiba aukupotea mtoto na nyumbaya tatu inaweza isijue. Jamiikama hii lazima Panya roadwawepo kwa kuwa hakunauthibiti wa pamoja katikaeneo husika kama jamii.

    Taasisi za dini, hapanamaanisha Misikiti naKanisa kwa hapa kwetuT an zan ia . Hap a n ako

    kuna matatizo makubwasana kwani hali ni mbaya.Baadhi ya madhehebu yakidini mengi yamezongwana kashfa za ngono, wizina tama ya fedha kamatulivyoshuhudia viongoziwa dini katika sakata laEscrow, madawa ya kulevya,mifarakano ya kiuongozi nk,uanzishwaji wa madhebukwa ajili ya kuvuna fedha nk.

    Unapokuwa na jamiiinayokulia na kushuhudiaaina hizi za tabia katikaimani, basi haiwezekani hatasiku moja kuiweka jamiiikaepukana na uchafu wa

    kitabia kama wa Panya roadau changudoa.Kubwa zaidi katika jamii

    ya Kitanzania kuna ongezekokubwa la chuki za kiimani,makundi mbalimbali yakidini. Tumeshuhudia hadiMawaziri wakionyeshakukerwa na imani fulanikatika Bunge la Katiba,na hivi majuzi tumeonamiongoni mwa viongoziwa kidini akiishambuliataasisi ya Mkaguzi Mkuu waSerikali kwa hisia za kidini bila ya ushahidi.

    Walau kama ni kweli, jambo hilo lina athari ganikatika jamii ambayo inatakakupambana na Panya road

    na changudoa na sio uwepowa Msikiti au Kanisa sehemufulani.

    Haya yote ni hali ileileya kuonyesha kuwa imaniza kidini hazina mtazamommoja juu ya kupambanana mambo ya hatari namaovu katika jamii, kamavitabu vyao vinavyoelekezazaidi ya kila mmoja kudhanikuwa kuna kundi litakuwa juu ya wenzake kwa rahamustarehe, ama kundikukandamiza jamii moja auhata kuiweka katika wakatimgumu ili ionekane dhaifu.

    H i l i n a l o n i t a t i z okubwa sana. Tumeona hao

    Panyaroad wapo akinAbdallah na John au Fatumna Ester. Pia katika harakazao za vurugu mbalimbatumewaona akina Ephraimna akina Hassan wakipakibano.

    Laiti jamii hizi za dinzingekuwa na mtazammpana wa kushirikiankatika mambo ya msingi bihila, ambayo kwayo ndi

    maamrisho ya vitabu vya basi matatizo kama haya yPanyaroad yangekuwa nkwa nadra sana kwa kuwsehemu kubwa ya jamingekuwa tiifu na yenyupendo.

    Kwa ujumla bado sehemkubwa ya jamii inainyooshkidole serikali, hasa jeshla polisi pasi na kuangalukubwa wa tatizo husika.

    Ukiangalia kwa makinmuelekeo wa Watanzanwengi kwa sasa, utaontunashughulishwa sana nvitu ambavyo si matatizya msingi katika jamii yettunaacha kuhangaika nmatatizo halisi ambay

    yanaendelea kututafuntunashabikia mambo ykijinga.

    EPA ESCROW na ujambamwingine, yote hayo nmatokeo ya kuporomokmalezi ndani ya jamii yetTumekuwa tukiamini katikmaendeleo ya ubinafsi nkusahau kuwa tunatengenez bomu zito.

    Nadhani kama nchtukiweza kuchunguza nkutambua upungufu wetkwa kutafakari kwa kintunaweza kupata njia nzuya kuondokana na ongezekla maovu ndani ya jamii nkujenga jamii bora yenyamani na utulivu wa kweli

    Naamini panya roana Machangudoa ni tatizla kijamii zaidi, kulikkuwaonyesha vidole vyo Jeshi la Pol isi na Ser ika Japo nalo limekuwa jeshi operesheni zenye maslahzaidi kwao kuliko kulindmali na usalama wa watu kwujumla kama inavyotakikan

    Kwa zile jamii zenymadai maalum na serikakuyazima madai hayo kwnguvu au hila, basi haptusishangae anguko lkijamii likiongezeka, hasa kutotii mamlaka zilizopo nkuongezeka zaidi hao panyroad.

     Ja mi i ya Ki tan za ni k i s h i r i k i a n a i n a w e z

    kuondoa mashaka mengya kijamii na kiuchumna kuleta maendeleo ypamoja kama jamii mojHili linawezekana, lakinlinahitaji uongozi thabiunaoona umuhimu wa jamyanye maadili kuanzia ngaya familia, koo, ujirani hadserikalini kwa Ujumla.

    Viongozi wa serikawana dhima ya kulisimamhili na kulisema kadriwezekanavyo. Wao wawmfano wa uadilifu katiknyadhifa zao.

    Mungu ibariki TanzaniMungu ibariki Afrika.

    Maasalaam...

     MUFT Issa Shaban Simba. IGP Ernest Mangu. POLYCARP Kadinali Pengo

  • 8/9/2019 ANNUUR 1163.pdf

    5/20

    5   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 6 - 12, 20Makala

    NDIVYO ninavyoamini kwauhakika kabisa mpaka hiviniandikapo haya maneno,kwamba chama hichi –Chama Cha Mapinduzi(CCM) ambacho ndichokinachoshikilia hatamuza uongozi wa jamhuri,ikiwemo pia katika nchiyetu rahimu Zanzibar –kinajiua chenyewe.

    Hapa tena wala hapanahaja ya kutafutwa ni nanimchawi anayekiangamiza:eti ili mtu huyo ndiyeapewe huyu mwana (CCM)amlee. Katika ule msemowa mchawi mpe mwanakulea. Hayupo mtu yeyotewa kukisaidia CCM kirudikwenye mstari ulionyookakama kilivyokuwa zamanik a m a w a l e w e n y e w ehawashughulikii mivutano

    inayokitafuna.Hadithi ya matatizo ya CCM

    ni kama vile walivyosemakikulacho kinguoni mwako.W an ao kis h am bul ia n akukihasidi chama hichi nimakada wenyewe. Tatizowana majivuno yasiyo kifani.Wakaidi. Makada wa CCMni watu waliolelewa katikatina na khiyana. Yote haya nimaovu na mambo ya hasadi.Na haya waliyabuni hasa kwaajili ya kuyatumia kusakamawasiokuwa waumini wachama hichi – wapinzanikisiasa. Sasa kwa kuwamla nyama ya mtu haachi,wakishakosa wa kumsakamandani ya chama chao, kwa

    maana miongoni mwawanachama wenzao, makadawa CCM huendeleza ushetanikwa kulana wenyewe kwawenyewe. Hawa watu nimzoea vya kunyonga vyakuchinja haviwezi. Hawawezikustahamili kukosa kwakuwa walivyolelewa ni watuwa kupata tu, hata ikiwakupata kwao ni maafa kwawenzao.

    Nenda jimbo la uchaguzila Uzini, Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja,u t a s i k i a m f a r a k a n ounaorindima kati ya viongoziwaliochaguliwa na wananchikwenye uchaguzi. Jimbonikule, ambako wananchi

    wake kwa zaidi ya asilimia90 wamekuwa wakiishi kwakutegemea shughuli za kilimo,ikiwemo ufugaji, Mjumbewa Baraza la Wawakilishi,Mohamedraza HassanaliDharamsi, anavutana naMbunge wa Bunge la Jamhuriya Muungano, MuhammedSeif Khatib. Uliza mfarakanowao umesababishwa na kitugani, ndipo utapothibitishaz a i d i n i n a c h o k i s e m ak w a m b a w a n a - C C Mwanaishi kwa kufitianana kupikiana majungukama wanavyowafanyiawasiokuwa CCM.

    Mvutano wa makada

    Chama hiki naona kinajiua wenyeweNa Mwadini A. Mwadini hawa nauelewa kwa upana

    wake ulivyoanza. Natakakuwathibitishia kwambazipo chuki kati yao. Lakini,chuki hizi ni matokeo yasiasa za fitina na husda

    zin azo ki ta f un a ch am ahichi. Wako baadhi ya watuambao wana chuki dhidiya Wazanzibari wasiokuwana rangi nyeusi, hasa hasawale anaoamini ni watuwaliotokana na vizazi vya jam ii za Kiarabu, Kih indiau wale wa m akabi lamadogo zaidi waliokuwawameshika ulwa serikalinikabla ya mapinduzi ya 1964.Baadhi ya watu hawa ni walewaliokuwa katika utumishiwa serikali zilizokuwepoc h i n i y a h i f a d h i y aWaingereza, ikiwemo serikalimchanganyiko iliyoundwa baada ya Zanzibar kupatauhuru siku ya Disemba

    10, 1963. Khatib anawajuavema watu hao. Ameishina baadhi yao akiwa badokinda. Historia inaoneshakuwa yeye alilelewa na watuwa namna hiyo ambao leoanawachukia mwisho waakili yake. Maisha ya mitaaya Kikwajuni aliyavaa sanawakati ule.

    Watu wazima waliokuwawanamuona Kikwajuni,wanasema Khatib akifanya biashara ndogo za vitafunwa,huku akiwa anaenda skuli.Alikuwa katika familia isiyona kipato cha kutoshelezamahita j i , h ivyo akawaa n a l a z i m i k a k u s a i d i aipatikane riziki ambayo kwa

    upande mwengine kujisaidiakimatumizi.Wakubwa wa umri hao

    tuliopata kuzungumzanao historia mbalimbali zakimaisha na za kiharakati zazama zile, leo wanayaelezamambo kuwa alipokuwaanakua, Khatib alionekanaakichukia mno wenye ulwa.Kwa hivyo basi, tunaambiwakwamba ujanani kwakeakawa ameondokea hivyona haikuwa rahisi kubadilikatena kisilka na akabakiamtu aliyejenga uchukivukwa watu wale waliokuwan a k i p a t o w a k i w e m owaliowatumishi serikalini.

    Khatib akaja kutokeakupenda masomo ya historia

    na lugha ambayo hatimayeyamemkisha katika hadhiya udaktari kwa kubobeam aen eo h ayo m awil i .Amejaza shahada zake tatuna kuwa mmoja wa wajuziwa historia na lugha. Nimtu mkubwa kwa tungo,simulizi na historia. Chukidhidi ya Raza zilionekanapale alipoikamata fomu yakuomba ridhaa ya chamaili kugombea uwakilishi baada ya Maal im Khami s,a l i y e k u w e p o k i t i n i ,kutangulia mbele ya hakimwaka 2012.

    R aza n i Mzan zibar imwenye asili ya Uhindi.

    Ni anayetoka kizazi chawananchi waliotoka Ghubaya Uajemi – Persia, eneoambalo lina historia ndefuya watu wake kuwa nauhusiano mkubwa wa

    kidamu na Wazanzibari.Uhusiano huo ulianzambali. Nyakati za safari zamajahazi wafanyabiasharawakifika Zanzibar kwaa j i l i ya kule ta b id h aambalimbali, nao badala yakewakinunuua zile zilizokuwazikizalishwa Zanzibar. Niwatu waliojijenga kimaisha,ingawa baadhi yao hawakuwan a uta j i r i u l io p i t i l izam ip aka . W an a ju l ikan awalivyohangaika kimaishak a m a a m b a v y o R a z ahupenda kusema waziwazikuwa familia yake ilikuwani maarufu kwa kazi yauchungaji punda.

    Kwa makada wa CCMwaliojengeka kihafidhinakama huyu gwiji wa lugham bun ge wetu Kh at ib ,Raza hawezi kuwa mtusafi, muungwana, rahim,karim, mtulivu na mpendawatu anayejitolea kusaidiawasionacho. Basi aliaminia t a m p i k u k i h u d u m akwa wananchi jimboni.Katika kundi la makadaw a l i o s i m a m a k i d e t ekujitahidi kumtilia vikwazoasikie kuteuliwa, wandaniwanasema alitajwa kuwemo.Kwamba hakupenda hatakidogo mwakilishi awe huyoRaza. Hakupenda kabisa.Sababu nyingine za ndanizaidi mwenyewe anazijua.

    Safari moja nilibahatikakutembelea kijiji cha Umbuji,moja ya vijiji maarufu katika jimbo la Uzini na ambakondiko anakotoka mbungeKhatib. I l ikuwa katikakuhudhuria msiba wa mzeeHaji Hassan, aliyekuwa mtumaarufu wa dhikri pembenimwa skuli ya Umbuji. Ndiponilipata simulizi za alivyoKhatib. Nilipokuja kusikiaRaza anagombea uwakilishiUzini, Umbuji ikiwa sehemu,haraka nikatilia nguvu yaleniloyasikia hapo kabla.Hakika palikuwa na kishindosi kidogo wakati makadawakielekea kwenye upigajikura za maoni ili kumtafutamgombea wa kusimama na

    mshindani kutoka Chamach a Wan an ch i ( C U F) .Uzuri wanakijiji wenyewew a U m b u j i , h u s u s a nwa rika la ujana kabisa,mabarubaru, walisikikawakisema hadharani kuwawanampigania Raza awen d io m waki l i s h i wao .Walisema wanataka kitukipya baada ya kushindwakumfikia kwa matumainimbunge wa miaka mingi.

    Si uongo, kura za maonililikuwa ni tukio lililojaamvuto. Makada wahadhinawalijenga nguvu kuhakikishaRaza anaanguka. Walitumiapesa na nyenzo nyingine,

    zikiwemo zile za kawaida– fitina, chuki na majungu– k u s h a w i s h i u m m a

    umchague Athumani AliMaulid, badala yake. Huyuni kijana kindakindaki wa ji mboni. Ms omi wa ki as ichake na mtumishi wa cheocha kati serikalini. Nguvu yaRaza nayo haikuwa ndogo.Kubwa tu kwa sababualishazunguka na kujielezakuwa anataka kuwapelekeamaendeleo ya kweli wanawa Uzini, wakiwemo wakwao Khatib, Umbuji ,ambako kuna shida kubwaya kituo cha afya. Kwa machoyangu, kilichomtoa Razani ule utashi wa wananchiwenyewe kutaka mtu mpya,mwenye mvuto wa kusaidia,

    wakiwa tayari wanamjuavilivyo Raza ambaye historiainaonesha alisaidia maeneomengi ya nchi wakati akiwasahib mkubwa wa Dk.Salmin Amour Juma, Raiswa Awamu ya Tano Zanzibar.

    R a z a n i m m o j a w awafanyabiashara wachachewalioanzisha biashara ya vifaavya michezo. Alifungua dukaeneo la Majestik, na kuwamaarufu kwa ufadhili katikasekta ya michezo, hasahasakabum bu n a n e t ibo l i .Raza alishinda kwa kurazisizo hesabu. Akateuliwak u g o m b e a u w a k i l i s h iUzini. Si ajabu ulipokujauchaguzi, akachaguliwa kwakura zisizo hesabu vilevile.Huyo akaingia jumba jeupe.Mpaka leo mwakil ishiRaza haivi chungu kimojan a m b u n g e K h a t i b .Walichokishuhudisha wakaziwa Miwani, kinajulikana bali ni hatua ya kuoneshawanajimbo walivyotoshwana mfarakano wa viongoziwao. Raza na Khatib, ukwelihawaelewani. Bali Razaukimuuliza, anasema hanatatizo isipokuwa anajisikiakukosewa kwa kuzuiwakutimiza ahadi zake kwa

    wananchi wakati anaombkura za wanajimbo.

    Mpaka leo, machung

    ya fitina dhidi ya Razayanawasononesha Umbuambako alitoa ahadi ykujenga hospitali ya kisasa takayo i jaza v i f aa nvitendea kazi vya kisasAliahidi kuwaongezek i p a t o w a f a n y a k a zwatakaokuwepo.

    W a k a t i U m b u jwakishangiria kujengew barabara yao kwa kiwangcha lami, likiwa ni jamblililowaumiza vya kutoshwananchi, wanaendelekunyongeka roho kwa kukotiba machoni pao. Kituo chafya kilichojengwa miaka y1990 kati, kimekwisha. Jeng

    linavuja laisal kiasi.Akil i yangu inanipi m a n i k w a m b a w a lvijana waliobeba mabangyenye salamu nzito kwKatibu Mkuu wa CCMA bd ulrah m an Kin an aalipohutubia mkutano whadhara wa jimbo mapemw i k i h i i , w a U m b uhawakosekani.

    W a n a i s h i h a s a nmfarakano wa mwakilishRaza na mbunge KhatibKama Kinana ndio anajuleo ukorofi wa makadwahafidhina wa aina ygwiji wa lugha, basi ndipnikasema mchawi wa CCM

    ni wenyewe.Wajumbe wote wa KamaMaalum ya NEC, ikiongozwn a R a i s w a Z a n z i b ana Makamu Mwenyekiwa CCM Zanzibar, DkA l i M o h a m e d S h e iwanajua. Wajumbe wotwa NEC wanajua. Viongowaandamizi na wa kati katikWilaya ya Kati wanajuTatizo ni lilelile – CCMwalizoea kuzitumia silahzao kwa upinzani zaidi, skujikosoa wao wenyewe nkujisahihisha. Hakika ndivyvinavyokisokomeza kuzimchama chao.

    Dk. Salmin Amour Juma, Rais wa Awamu ya Tano Zanziba

  • 8/9/2019 ANNUUR 1163.pdf

    6/20

    6   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 6 - 12, 20Makala

    KATIKA kujenga hoja nikwa nini chai ya HaiibaTimamu inamfaa kilamtu, tumeshatoa makala

    m b i l i t a y a r i . H o j aya msingi iliyotawalamakala zote mbili, naambayo tunaiendelezakatika makala hii ni ileinayoelezea kuwa tibaya chai hii inatokana nakumrejeshea mhusikaviini lishe mbali mbalivilivyopungua mwilinimwake, ambavyo nimuhimu katika kujengasiha bora.

    K a t i k a m a k a l az i l i z o t a n g u l i atulizungumzia viini lishevya vitamini na madinilishe vilivyomo ndaniya Haiiba Timamu Tea.Katika makala yetu ya pili

    tulizungumzia madinilishe yote yaliyoko katikachai ya Haiiba Timamuisipokuwa mawili tu. Hayani madini ya Chromiumna yale ya Manganise.M a k a l a y e t u y a l eoitamalizia kiporo hicho,kisha itazungumzia kundila tatu la viini lishe. Hilini kundi la viini lishevinavyojulikana kamavijenzi vya protini autindikali za amino (aminoacids).

    Chromium: Haya nimadini yenye faida nyingimuhimu kiafya. Baadhi yafaida hizi ni pamoja na:Huratibu uchakataji wa

    wanga, mafuta na protinina kuongeza uwezo wahomoni ya insulin kufanyak a z i y a k e n a h i v y okusaidia katika kudhibitikisukari cha ukubwani( t y p e I I d i a b e t e s ) .Husaidia kupunguzauchu wa kutaka kulamara kwa mara. Husaidiakuratibu wingi wa lehemu(cholesterol) mwilini;na Hukinga dhidi yaongezeko la shinikizo ladamu.

    Manganese: Haya nimadini yenye faida nyingimuhimu kiafya. Baadhiya faida hizi ni pamojana: Madini haya ni ya

    lazima katika ujenzi wamifupa imara. Husaidiasana katika kuhifadhi nakulinda mifupa ya uti wamgongo. Madini hayahufanya kazi kama kizuiakioksid isha j i chenyenguvu na hivyo kusaidiakul inda mwil i dhid iya chembe zilizobebaumeme chanya ( freeradicals) zinazozalishwamwilini katika mchakatowa kawaida wa ujenzina uvunjifu wa kemikalimwilini, ambazo zinam a d h a r a m a k u b w akiafya. Husaidia kuwekakiwango cha sukari katika

    TIMAMU TEA INAWAFAA WATU WOTE! -3Na Juma Killaghai damu kuwa katika hali ya

    kawaida.Ili kutekeleza jukumu

    hili madini haya huwekasawa uzalishaji wa homoniya insulin ndani ya mwilina pia huzuia kuporomokak u s i k o t a b i r i k a k w asukari mwilini kwa waleambao ni wagonjwa wasukari. Husaidia kuzuiashambulio la ugonjwa wakifafa. Huamsha baadhiya vimeng’enya ambavyov i n a ju k u m u k a t i k auchakataji wa lehemu(cholesterol), vijenzi vyaprotini (amino acids) nawanga. Aidha huhusikakatika uchakataji waviini lishe vya vitaminiE na Vitamini B1 na piahulisaidia ini kufanya kazikwa weledi na ufanisi.H u s a i d i a k u d h i b i t imfuro (inammation) namiteguko. Inaaminika

    kwamba msaada huuhutokana na uwezo wamanganese kuongezakemikali ya superoxidedismutase (SOD). Kemikalihii ina uwezo mkubwa wakupambana na mfuro nahivyo ni msaada mkubwasana kwa wagonjwa wa jongo na baridi ya abisi.Husaidia kukabiliana namatatizo yanayohusianakukaribia kuingia kwenyehedhi (Pre-menstrualsyndrome). Ni kiambatamuhimu cha homoni yathyroxine. Homoni hiini muhimu sana katikakuendesha mchakato waujenzi na uvunjifu wa

    kemikali ndani ya mwili(metabolism). Husaidiasana katika ufyonzwaji wavitamini mwilini. Ufanisiwa ufyonzwaji wa vitaminimuhimu mwilini kamavitamini E na vitaminiB1 pamoja na madini yamagnesium hutegemeasana uwepo wa madiniya manganese. Utendajikazi mwanana wa ubongo.Manganese ni muhimukwa ajili ya utendaji borawa ubongo na pia husaidiasana katika tiba ya matatizoyayohusiana na mfumo waneva. Inaaminika kuwa hiini kutokana na manganesekuchochea kuzalishwa

    kwa superoxide dismutase(SOD) . Kemikal i hi ihufanya kazi ya kusakachembechembe zenyeumeme chanya ( freeradicals) kila mahalamwilini na kuzizimuakabla hazijasababishamadhara makubwa yakiafya. Husaidia katikauchakataji wa glucosena kuifanya ifanye kazi barabara ndani ya mwilina kuzuia ongezeko laziada ndani ya damu, kituambacho ni hatari kwawagonjwa wa kisukari.Husaidia utendaji kazi wamfumo wa usagaji chakula

    na h ivyo kuboreshaufyonzwaji wa virutubishona uondoshaji wa uchafumwilini kwa njia ya haja.

    TINDIKALI ZA AMINO AU VIJENZI VYA PROTINI: VIJENZI

     VYA PROTINI NI NINI?Vijenzi vya protini( t indikali za amino/amino acids) ni molekuli(molecule) ndogondogozinazotumika kama tofaliza kuundia protini. Protinini molekuli (molecule)kubwa za kibaiolojia zenyemajukumu kadhaa wakadhaa ndani ya mwili.Idadi kubwa ya shughulimbali mbali katika seli zamwili hufanywa na protini.Aidha protini zinahitajikakatika uratibu na utendajikazi wa tishu na viungovya mwili, ikiwa ni pamojana kuunda maumbo yatishu na viungo husika.

    Prot in i huundwa namamia au maelfu yamolekuli za tindikaliza amino zilizounganakatika umbile la nyororo.Kuna tindikali za amino20 zinazoweza kuunganakatika michanganyikombalimbali (combination)kutengeneza molekuli zaprotini . Kwa kawaidahuwa tunatakiwa tupatevijenzi vyote vya protinitunavyohita ji kupitiakatika lishe. Hata hivyokutokana na mapungufumbalimbali yaliyoko katikalishe zetu inatokea tukawana upungufu wa baadhiya hivi vijenzi vya protinina hivyo kukumbwa namagonjwa yanayohusianana huo upungufu.

     V I J E N Z I M U H I M U V YAPROTINI VILIVYOKO KATIKAHAIIBA TIMAMU TEA 

    B a a d h i y a v i j en z imuhimu vya prot in ivil ivyoko kwa wingik a t i k a c h a i h i i n iArginine, His t id ine,I s o l e i c i n e , L e u c i n e ,L y s i n e , M et h i o n i n e ,Phenylalanine, Threonine,Tryptophan, na valine.

    A r g i n i n e : F a i d aza argininei ni nyingi.Miongoni mwa faida hizini pamoja na: Huongezakasi na ufanisi wa kupona

    majeraha . Huongezaufanisi wa figo katikak u o n d o s h a u c h a f umwilini. Huboresha kingaza mwili na utendaji kaziwa homoni. Huboreshamzunguko wa damu nahivyo huusaidia moyokufanya kazi kwa ufanisikupunguza uwezekanowa kupata magonjway a n a y o h u s i s w a n amkakamo wa mishipa yadamu kama shinikizo ladamu, kupoteza nguvuza kiume, shambulizila moyo na maumvu yakifua yanayosababishwana mzunguko dhaifu wa

    damu (angina).H i s t i d i n e : F a i d a

    za Shaba n i nyingi .Miongoni mwa faida hizini pamoja na: Huhusika nakuimarika kwa tishu zote

    ndani ya mwili, hususanzile zinazounda utandounaozunguka mishipa yoteya fahamu (myelin sheath).Hupunguza uwezekanowa kupata ugonjwa waukungu kat ika lenz iza macho (carrtaracts).Hupunguza uwezekanowa kupata baridi yay a b i s i ( r h e u m a t o i darthritis) na hupunguzaa t h a r i n a m a u m i v uy a n a y o a m b a t a n a n augonjwa huo.

    Isoleucine: Faida zaIsoleucine ni nyingi .Miongoni mwa faida hizini pamoja na: Kutengenezachembechembe nyekunduza damu (Hemoglobin).Inachochea ukarabati watishu baada ya upasuaji auajali. Inaleta unafuu kwamagonjwa mbalimbaliya akili kama msongoendelevu, mfadhaiko,k u k o s a u s i n g i z i ,nakadhalika. Inazuiamisuli isiharibike wakatiwa kufanya mazoezi.Inaongeza nguvu mwilini;na inajenga uwezo wamwil i kuhimi l i kaz ingumu.

    Leucine: Hii ni miongonimwa tindikali za aminoambazo hazizalishwi ndaniya miili yetu na kwa hivyoni lazima kuipata kupitialishe. Faida za Leucine ni

    nyingi. Miongoni mwafaida hizi ni pamojana: Inachagiza ujenziwa protini zinazoundamisuli mbalimbali yamwili. Humsaidia mtuanayepunguza kula ilikupunguza uzito aunguzemafuta yaliyolundikanamwilini, bila kuathirimisuli; na inachagizakemikali moja inayokaakwenye misuli inayoitwam-TOR (mammalian targetof rapamycin) ambayohufanya kazi kama ‘swichi’ya kuwezesha uzalishajiwa protini zinazohitajikakatika kujenga misulikufanya kazi kikamilifu.

    Lysine: Hii ni miongonimwa tindikali za aminoambazo hazizalishwindani ya miili yetu na kwahivyo ni lazima kuipatakupitia lishe. Faida zaLysine ni nyingi. Miongonimwa faida hizi ni pamojana: Husaidia kuratibukiwango cha lehemu(cholesterol) mwilini.Ni muhimu sana katikakulinda afya ya mifupa.Inasaidia mwili kupokeana kutumia madini yakalisi (calsium) kwa weledizaidi na pia husaidiak u p u n g u z a u p o t ea j iwa kalisi kutoka katika

    mifupa. Huzuia kuzaliwkwa virusi aina ya Herpena husaidia kuongezkasi ya kupona kwwatu waliopata maradhyanayosababishwa n

    virusi hivyo. Husaidikupunguza makali yugonjwa wa mkanda w

     jeshi (shingles). Inachagizujenzi wa protini na hivyukuaji bora wa viungo vymwili. Humsaidia mtkupungukiwa na matatizya msongo na mfadhaikHusaidia kupunguzmaumivu ndani ya mwina husaidia kuboreshsiha ya moyo na mfumwa mzunguko wa damkwa ujumla.

    Methionine: Hii nmiongoni mwa tindikaz a a m i n o a m b a zhazizalishwi ndani ymiili yetu na kwa hivyni lazima kuipata kupitlishe. Faida za Lysine nnyingi. Miongoni mwfaida hizi ni pamoja nHusaidia kuchakata nkuondoa mafuta mwilinInazuia mlundikano wmafuta kwenye ini nhivyo kutoa kinga dhidi yugonjwa wa ini bonge (faliver disease). Inahitajikkatika utengenezaji wcreatine. Creatine ni kiinl ishe kinachohita jikkat ika uza l i sha j i wnishati inayohita jikkatika kuifanya misuifanye kazi zake kwufanisi. Inahitajika katikuzalishaji wa protini ainya collagen ambayo n

    muhimu katika uundawa ngozi, kucha na tishzinazounganisha misuHusaidia kuimarishsiha za watu wanaoishna virusi vya ukimwHusaidia kupunguzmfuro (inflammationw a k o n g o s h o y a a npancreatitis. Husaidikupunguza da l i l i zugonjwa wa ParkinsoHusaidia kukabiliana nmaambukizi katika njya mkojo.

    Phenylalanine: Faidza Lysine ni nyingMiongoni mwa faida hini pamoja na: Husaidkukabiliana na mfadhaik

    Huleta utulivu kwa watwanaokabiliwa na ugonjwwa kukosa umakini nwenye kiwango kikubwcha utukutu (AttentioDeficit - HyperactivitDisorder). Inapunguzdalili za ugonjwa wParkinson. Husaid ikukabiliana na maumivndani ya mwili. Husaidkukabiliana na ugonjwwa baridi ya yabisi; nhusaidia kukabil ianna ugonjwa wa vitilig(ugonjwa wa kuchujukrangi ya ngozi).

    Inaendelea Uk.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1163.pdf

    7/20

    7   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 6 - 12, 20Makala

    M W E N Y E Z I M u n g uamemuumba mwanadamun a k u m t e n g e n e z e am a z i n g i r a y a k u i s h iduniani, na akampa uwezow a k u m u d u k u i s h ikatika mazingira hayo nakumwabudu hadi siku yakeya mwisho ya uhai wake.Binadamu aliwekewa kilaalilolihitaji katika kumudumaisha ya duniani. Baadhiya vitu muhimu kabisavya kimaisha ambavyobinadamu tunategemeak u en d el ea k u h i fad h imfumo wa uhai wake nichakula, mavazi na malazi.Haya ni mahitaji ya asiliambavyo binadamu hapaswikuyakosa.

    Zaidi ya hapo binadamuamejaaliwa kuwa na maarifa,kra na ujuzi, nyenzo ambazohuzitumia katika kufanyamambo yake mbalimbali yakimaisha hapa duniani, ilikupata ufanisi na tija.

    Lakini pia kuna sehemunyingine ya mahitaji ambayotunaweza kusema kuwa niyale yasiyokuwa ya lazima.Katika zama hizi mahitajihaya yasiyo ya lazima,ndio yamegeuzwa kuwaya msingi katika maisha yamwanadamu kiasi cha kuwachanzo cha kuibuka kra zaubinafsi, chuki, tamaa nakibri.

    Mahitaji kama haya hayanakikomo katika kuhitajikakwake, kwani ni mengi nawala mtu hawezi kuyapataau kukidhi yote, ila katikandoto na mawazo tu. Kiuya kutafuta mali za ziadaili kukidhi matumizi yakeya kitamaa imetawala nafsiza wengi. Na kwa hakika

    udhaifu huu, ndio chanzocha na kumfanya binadamuawe mpumbavu, alewe kiasicha kushindwa kutumia akiliyake aliyopewa na MwenyeziMungu vizuri.

    Kwa kuwa kud um una kustawi katika maishaya m ah i ta j i ya tam aakunategemea mali zaidi,watu siku hizi hulazimikak u d h u l u m u , k u f i s i d i ,kufanya ubadhirifu nakuhakikisha kuwa anakuwana ubinafsi wa hali ya juu.

    Kufuatana na muundow a k i m a u m b i l e , k w anamna moja au nyinginekila mtu anahitajia msaadawa mwenzake kwa ajili ya

    kustawisha, kukamilisha nakuzalisha matunda ya vipawavyake. Anahitajika kuwana moyo wa kushirikianana kusaidiana kama msingimuhimu katika kuletamaendeleo na mafanikio.

    Muundo wa uumbajiwa binadamu umeundwakwa ajili ya maisha yakijamii, hivyo kimaumbile b i n a d a m u a n a s t a h i l ikushirikiana na wenzakekatika kutatua matatizo yakeya kimaisha. Kwa upandemwingine, utajiri mwingimara nyingi huambatanana kiburi, majivuno na tabiachafuchafu. Mtu anapokuwa

    Kwa chuki, ubinafsi tunaangamiaNa Shaban Rajab

    na mali nyingi kupita kiasi,ubinafsi na ufahari humlevyahuku tamaa zake zikiwahazimaliziki.

    Ni lazima mtu afahamuamekuja duniani kwa lengogani, ili aweze kufanya jitihada za kutafuta ufanisiwa kimaisha kwa kutumiamaarifa yake aliyojaaliwana Mwenyezi Mungu. Nilazima achague njia borainayolingana na mahitaji yakekatika maisha, ili kuepukanan a d o s ar i z in azo wezakuharibu ukamilifu wa rohoya kibinadamu.

    Hatudhani kwamba ni

    ufanisi au uhodari mtukutumia njia za kitamaakupata mali ili kuwashindaw e n z a k e n a k u t a f u t autukufu, kwani mali si kiiniwala msingi wa maisha nawala haifai kukiukwa mipakaya ucha Mungu, wema nauadilifu kiasi cha ubinadamukuwekwa kando.

    M a s l a h i b i n a f s iyametawala kra za ummawa siku hizi na kusababisha jam ii ku og el ea kwe nyemaisha ya dhulma. Dhulmaimewafanya watu wengikuona kwamba utajiri ndiofuraha ya maisha na ndiomafanikio katika maisha.Mtu ambaye hazina yake ya

    roho imefurika utajiri, huwani nadra sana kuruhusu rohoya kibinadamu kutawalamaisha yake.

    Tamaa au uroho ni haliya inayomfanya mtu daimaatafute na apate hasa kwadhulma, kwa maslahi binafsiya kidunia, na zaidi kwa ajiliya kukidhi mambo yasiyo yamsingi bali ya laghawi tu.

    Roho ya mwenye tamaah uwa tayar i kuh al i f uutu , i l im rad i an ap ataa n a c h o k i t a k a . K a d i r ian av yo zid is h a juh ud ikutafuta utajiri zaidi, ndivyoanavyozidi kuhisi uhitajiwake zaidi. Wapo baadhi

    ya watu wenye kukinahina wenye hofu, ambaowanaridhika na mali kidogoinayokifu gharama zao zamaisha. Lakini wako watuambao wana mali nyingisana na mapato yao yanazidimatumizi yao, lakini daimah u l a l a m i k a k u t o p a t amatakwa yao kikamilifu.

    S i k u z o t e m w e n y etamaa hatosheki na neemaza ulimwenguni. Kadirianavyozidi kupata huzidikuwa na tamaa. Tamaaikitawala katika taifa ,huibadili jamii kuwa uwanjawa mapigano na mashindano,

    huzuka na ugomvi kati yawatu badala ya kuwepoamani na uadilifu.

     J a m b o l a m s i n g i l ak u z i n g a t i w a h a p a n ikwamba, suala la maendeleona ukamilifu katika mambombalimbali ya maisha, linatofauti kubwa na dhana yakuabudu pesa au mali.

    T u n a f a h a m u k u w a binadamu ana sababu yakule ta m abad i l iko n amaendeleo katika jamii,lakini ni lazima afanye hivyokwa haki na uadilifu, nakwa kutumia vipawa vyakealivyojaaliwa na Mwenyezi

    Mungu bila kuwadhuru wawengine.

    Wengi wenye tamaa kule balaa na matatizo katika jamkwa kutaka kukidhi haja zaza kimaisha bila ya kufuamsingi wa uadilifu, na kulemasaibu kwa watu wote.

    Kwa kawaida watu hawhupenda kuhodhi madarakau m am laka , v yo m bmuhimu vya uzalishaji ma

    na vile vya msingi katikhuduma za kijamii, kusudwajichumie manufaa zaidNa kwa njia hii, huzidishmatatizo ya kiuchumi numaskini katika jamii husik

    Tunafahamu kwambdhiki, faraja, utajiri ni sehemya maisha ya mwanadamKila mtu duniani awe maskiau tajiri anaathirika navykulingana na hali yake. Lakiutajiri wa kupita kiwango chmahitaji, hausaidii katikkumletea mtu raha au furah

    Baadhi ya watu hawanukwasi wa mali, hawanmavazi ya fahari walmakasri, lakini wanaishi kwraha zaidi kuliko matajiwengi.

    M w e n y e t a m a a nmtumwa wa mali, amejifungmnyororo usioonekankwenye shingo yake namesalimu amri mbele ykra zake zisizokamilika.

    Hudhani kwamba ukwawake ambao ungewatoshhata kizazi chake cha baadayni hazina ya dharura kwa ajya siku ya shida!

    Lakini anasahau kuwkuna mauti, na wakathuo mali zake hazitamfac h o c h o t e . A t a b a k ikuzitazama kwa masikitikna kwa kukata tama, maalizozikusanya kwa taabna mashaka anaziachpasipokujua hatima yake.

    TIMAMU TEA INAWAFAA WATU WOTE! -3Inatoka Uk. 6

    T h r eo n i n e : H i i n imiongoni mwa tindikaliz a a m i n o a m b a z ohazizalishwi ndani yamiili yetu na kwa hivyoni lazima kuipata kupitialishe. Faida za Lysine ninyingi. Miongoni mwafaida hizi ni pamoja na:Huratibu uwiano waprotini ndani ya mwili

    ili kudhibiti upungufu.Inachagiza t indika l inyingine za amino kujengap r o t i n i m b a l i m b a l izinazohitajika kwa ajili yatishu mbalimbali xa mwili.Inatengeneza tindikali zaamino za glycine na serine2 ambazo ni muhimu sanakatika uundaji wa protiniaina za collagen na elastinambazo ni vitu muhimusana kwa siha ya ngozi,tishu zinazounganishamisuli na mishipa ya damu.Inatengeneza tabaka

     jembamba linalozunguka j i n o k wa n j e ( t o o t henamel). Inashirikiana namethionine na tindikaliaina ya aspartic (asparticacid) kuliwezesha inikuondokana na mafuta.Inafanya sukari ya damuisiongezeke au kupunguak i h o l ea . I n a b o r es h amfumo wa kinga za mwili.Ina umuhimu wa kipekeekatika ukuaji wa tezi ya

    thymus katika ubongo.Ni ya lazima kwa ajiliya siha bora ya mfumowa mishipa ya fahamu.Inasaidia kupambana namsongo na mfadhaiko.Inawezesha mchakatowa kikemia unaohitajikakuzalisha nishati katika seli(krebs cycle) kufanya kazikwa ufanisi unaotakiwa.Husaidia ujenzi wa mifupaimara; na huongeza kasi yakupona kwa majeraha.

    Siku zote kinga ni bora

    kuliko tiba. Kutokana nfaida nyingi zinazoletwna viini lishe vilivyokkatika Haiiba TimamTea kama tulivyozielezehapo juu, ni wazi kabiskuwa kila mtumiaji wHaiiba Timamu Tea, bikujali hali yake ya kiafyanaweza kunufaika sana

    K W A M A E L E ZZ AIDI WASILIANANA WATENGENEZAJ

    W A C H A I H I IY A A I N I H E R B AIMPACT, KWA SIMUNAMBA: 07542811310655281131; 068628113N A 0 7 7 9 2 8 1 1 3 1 A UWATEMBELEE OFISINKWAO:

    MOSQUE STREETN O . 1 5 7 4 / 1 4 4KITUMBINI, DAR ESALAAM (MKABALNA LANGO KUU LAKUINGILIA MSIKITWA SUNNI)

    CHUKI huzaa vita na mauaji ya watu wasio na hatia.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1163.pdf

    8/20

    8   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 6 - 12, 20Makala

    NI kashfa kukuta nchiinayojivunia demokrasiap an a n a u on gozi washaria, ikawa ya mwanzo

    kuvunja katiba ya nchi kwamakusudi sababu tu yakuweka siasa mbele badalaya kujenga heshima yawananchi na nchi yenyewe.Majuzi tu tumemsikiaW azi r i wa F ed h a waMuungano, akitamka ndaniya Bunge kwamba baadhiya miradi iliyoidhinishiwafedha na bunge katika vikaovya bajeti, hazikupelekwazilipostahiki na badalayake zikatumiwa kinyumena maagizo ya bunge. Nikosa kubwa ambalo kamalisingegunduliwa na kamatiza Bunge, sifikirii kamakulikuwa na nia thabiti yakuweka uwazi huo bungeni.

    Lakini kubwa ninalolionakama kashfa zaidi yaEscrow ni suala la kuraya maoni juu ya Rasimuiliyopendekezwa (Rasimuya Vijisenti) ambayo zoezilake limekuwa likifanywakienyeji kinyume na katibaya nchi inavyotamka pamojana hata sheria zilizotungwakuendesha zoezi lenyewe.Uongozi wa pande zotembili umekuwa kimya kamavile vipengele hivi havinanguvu ya kuharamishazoezi la kura ya maoni nakuliweza kulitia taifa hilichanga katika gharka yamatumizi makubwa ya fedhahuku faida yenyewe ikawahaionekani.

    Tutazama mambo mawilimakubwa ambayo wengiwamekuwa wakiyapigiakelele ambazo hazionekanik u a m s h a s e r i k a l ikatika usingizi wa ponoasiejitambua. Angalizokubwa ni uhalali wa kuraya maoni juu ya Rasimupendekezwa kwa upandewa visiwani hasa kutokanana vifungu vya katiba yaZanzibar vinavyowekamasharti kwa sheria yoyoteya bunge la muunganokuidhinishwa kwanza naBaraza La Wawakilishi.Pili ni suala zima la utoajitarehe ya kufanyika kwa

    zoezi lenyewe la upigajikura, hasa ukizingatia sheriailiotungwa inatoa maelezoya nani wa kutangaza baadaya kutangazwa kwa sualala kura ya Maoni na piamuda uliowekwa kisheriawa kutoa tangazo lenyewe.Haya yote yamo katika sheriaya kura ya Maoni namba 11ya mwaka 2013.

    Majuzi katika moja yaMijadala ya taasisi ya utativisiwani (ZIRPP) suala hilililizungumzwa na kujadiliwakwa kina hasa namna yasheria zilivyovunjwa nawale watetezi wakubwa wa

    Uhalali wa kura ya maoni uko wapi?Na Mwandishi Wetu

     Mhe. Samwel Sia (kushoto) akiwa na Mhe. Andrew Chenge.Rasimu iliopendekezwa. Katiya alietufungua macho kwahoja nzito ni MheshimiwaAwadh Ali Said, (mmoja wawajumbe wa iliokuwa Tumeya Warioba) ambae alitakawananchi kuifahamu vyemakatiba ya Zanzibar hasakifungu cha 132 kinachozuias h e r i a z a m u u n g a n okutumika Zanzibar napamoja na sheria ya kuraya Maoni ya namba 11 yamwaka 2013 ya muunganoambayo ni ya muda kwa vileuhai wake unakwisha palekura ya maoni inapokwisha,tafauti na ile ya Zanzibar

    namba sita ya mwaka 2010ambayo ni ya kudumu.Nilichokiona hapa ni

    kwamba zoezi hili zimalimeharibiwa na mkuu wanchi kwa kutokuwa makinikatika tafsiri pana za katibazetu pamoja na sheria hasahizi zilizotungwa mahsusikwa zoezi la upatikanaji wakatiba mpya nchini. Hoja hizi bado hakuna aliezivunja kwakutoa ushahidi wa kupingayale yalioelezwa katikakongamano la ZIRPP nakwa hivyo inatuwia vigumukuamini kwamba serikalihii sikivu imekosa welediwa kutambua makubwahaya yanayoweza kabisa

    kuharamisha zoezi zima laupigaji kura ya maoni nakutufanya kuwa kicheko chadunia kwa uvivu mkubwawa kusimami utendaji wamajukumu yetu.

    Tukianza na kifungu cha132 (1) ya katiba ya Zanzibarya mwaka 1984, kinaelezawazi kwamba hakuna sheriayoyote itayopitishwa naBunge la Muungano ambayoitatumika Zanzibar mpakasheria hiyo iwe kwa ajiliya mambo ya muunganotu, na ipitishwe kulinganana maelekezo yaliyo chiniya vifungu vya katiba yamuungano. Inaendelea

    katika 132 (2) Sheria kamahiyo lazima ipelekwe mbeleya Baraza la Wawakilishi naWaziri anayehusika. Mifanomiwili ya kutumika kwakifungu hichi cha katibaya Zanzibar kuzuia sheriazilizotungwa na Bungela Muungano kutumikaZanzibar ni Sheria yakuundwa kwa Tume ya Hakiza Binaadamu pamoja nasheria ya Uvuvi wa Baharikuu.

    Ukitazama kwa upanazaidi sheria hizo mbilizilizozuiliwa kutumikaZanzibar, ni kwa sababu

    ya kifungu cha Katibakama kilivyoeleza na piakwamba vyote hivyo viwilihavikuwamo katika kapula masuala ya Muungano.Sasa ukitazama sheria yakura ya maoni ya namba11 mwaka 2013, inatamkakwamba itatumika kote bara na visiwani, kulikuwana haja pia kwa Wazirimhusika kwa upande waZanzibar kuipeleka Barazala Wawakilishi kama kifungucha 132(2) kinavyotamka.Hadi hii leo Baraza laWawakilishi halijapokeakutoka kwa Waziri Sheriahusika kama katiba yetuinavyotamka wala kulijadili

    suala zima la sheria husikakwa maslahi mapana yaZanzibar na wananchi wake. Jee kuna uhalali wa kura hiiya maoni kwa upande waZanzibar katika mazingiraya namna hii? Haya ndioyale yale yaliyofanyika katikauundwaji wa muungano kiasikwamba hadi hii leo hakunauthibitisho wa kwambaBaraza la Mapinduzi lilijadiliuundwaji wa Muunganoau kuridhia kama ilivyokwa upande wa Bunge laTanganyika.

    T un arud i ku le ku lek u p i t i s h a k a t i b a k w amizengwe bila ya kutafakari

    athari zake siku za mbele.Hivi hawa Wawakilishiwanaopiga kelele kutwamajukwaani kuwaombawananchi kuipigia kura yandio rasimu iliopendekezwa,tuwafahamu vipi? Kuna wogagani kuhakikisha taratibu zakisheria na kikatiba hapaZanzibar zinafanyika hatakwa makusudi tudharaukatiba inayoweka mkazos h e r i a z a M u u n g a n okudhihirishwa na kujadiliwakatika Baraza la Wawakilishi?

    Sehemu ya pili ya hojakubwa inayozua gumzo juuya uhalali wa kura ya maoni

    ni namna ya zoezi zimalilivyotangazwa na siku yakekutajwa bila ya kuzingatiasheria husika inavyoeleza.Moja ya vipengele muhimuvilivyopuuzwa na wakuuwetu wa nchi ni kwamwenye haki ya kutangazakura ya maoni pamoja natarehe husika inavyotakiwak u w e k w a h a d h a r a n ina mwenye mamlaka yakutangaza zoezi lenyewe baada ya kuchapi shw akwa suali la kura ya maoni.M w e n y e m a m l a k a y akutangaza kura ya Maonini Tume ya Uchaguzi yaMuungano na ile ya Zanzibar(NEC/ZEC). Na kutokana

    na uthibitisho uliopo nikwamba suali la kura yamaoni lilichapishwa tarehe17 October, 2014 na sheriainatamka kwamba tareheya kura ya maoni itajwe naNEC/ZEC katika siku kumina nne za kuchapishwa kwasuali la kura ya maoni. Hadihii leo si NEC au ZEC iliotajatarehe ya kura ya maoni ikiwazaidi ya miezi minne tokeakuchapishwa kwa suala lakura ya maoni. Jee, uhalaliuko wapi wa kuendeleana zoezi hili? Hadi hivileo alietangaza kwa tareheya kura ya maoni ni Raiswa Jamhuri ya muungano,

    tarehe 22 Oktoba mwak2014, kinyume na sheriiliotoa jukumu kwa NECZEC kutangaza siku husika

    Ikiwa sheria tuliozipangwenyewe tunazipuuza n

    kutofahamu umuhimu wkufuata taratibu za kisheri jee ikitihibitika kwamba sherhazikufuatwa katika zoehili tutaendelea kulihalalishwakati tayari limezongwa n jazba za wakuu waliojijengkisiasa badala ya msukumwa ufuataji wa sheria znchi? Kwa watawala sionhasa mantiki ya kulitia taikatika misukosuko isiyo ntija wakati kwanza tayakulishakuwa na tamko bainya Mkuu wa nchi na vyamvya siasa vya kusogeza mbekura ya maoni hadi baada yuchaguzi mkuu kutokana n

    changamoto zilizokuwapoM b a l i y a k h o f u yuvunjwaji wa sheria ya kura ymaoni ya Muungano pamona matakwa ya katiba yZanzibar kutotimizwa, kunmasuala ya kiufundi ambaynayo pia hayajawekwa uwaunaostahili. Majuzi Mkuwa upinzani nchini alilielezBunge kwamba vifaa vyuandikishaji na teknolojnzima ya mfumo mpya wupigaji kura haujafahamikvizuri. Kuna khofu ya Uwezwa vifaa husika kuandikishwatu 22 kwa siku katika nchyenye wapiga kura halawa zaidi ya milioni 24 hukwakati wenyewe uliobakni siku 84. Hata majibu yWaziri Mkuu hayakuwya kuridhisha kwa vile nahakuonekana akijiamini kwmaelezo yake. Yote hayyanaashiria kwamba zoehili linabebwa zaidi kwmaslahi ya kisiasa badaya wananchi, nchi, sheria nkatiba za nchi zetu.

    Kwa ushahidi uliopni wazi kwamba zoezi hihalitakuwa na uhalali ikiwlitatendeka katika mazingirhaya haya yalivyo hasmazingatioa ya kupuuzwkwa kifungu namba 13

    (2) cha katiba ya Zanzibaya mwaka 1984, pamoja nsheria namba 11 ya kurya maoni ya mwaka 201ambayo kimsingi imewekmamlaka ya uchapishaji sualtarehe na muda maalumwa kutangazwa kwa tarehya kura ya maoni ambayvyote vimepuuzwa. Nvyema serikali ikajitathmitena kabla ya uwezekanwa mahakama kuingilikati mchakato mzima kwushahidi wa mazingiryaliopo yenye utata mkubwna weledi wa zoezi la kura y

  • 8/9/2019 ANNUUR 1163.pdf

    9/20

    9   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 6 - 12, 20Makala

    BILA ya kujiuliza paleulipopakosea kutakakujirekebisha, basi elewafka utakuwa unaendelea

    k u k o s e a k w a k u w ahujajiuliza na kutakakujirekebisha. Mila,utamaduni na silka nikatika mambo muhimukatika jamii yoyote ileitakayo taka kuwa namafanikio.

    Anuwani ya makalahii ni kipi kilichokwendakombo? Hapa najaribukutafuta suluhisho la kuonamaadili ya Kizanzibarik u w a y a m e k w e n d aarijojo na kuna hatarikwa kasi inayokwendakuja kujikuta ni kuwataifa lilokosa mtizamo na

    muelekeo katika maadili.I n a w e z a k u w ak u n a s a b a b u t e l ezinazosababisha kuonavijana hata wazee kilam m o j a a m e p o t e z amwelekeo na kujiulizak i p i k i l i c h o w a s i b uW a z a n z i b a r i ? M a r an y i n g i u n a p o k u w aunaliachia jambo imakwa kutokusudia aukwa makusudi jamboambalo baadaye litakujakuwa na madhara, basiujuwe hakutokuwa wakulaumiwa isipokuwawewe ulilolichangia liwe

    hivyo.Zanzibar yetu ambayotunaililia ilikuwa ni kituoau nchi ambayo atakayetiamguu wake tu, anaonaameingia katika nchiiliyojaa nidhamu ya haliya juu n utamaduni wakupigiwa mfano kwa uzuriwake. Ilikuwa mwikokumuona mwanamkekavaa vazi lilokuwa sio lastara na kupita njiani hukuakijishau na hakuna anayethubutu kumwambiaelee. Leo mwanamkekuwa katika hali kamahio ni jambo la kawaida.Leo vijana wamekuja namtindo wao wa kuvaasuruali na kuona surualiya ndani na akapita kijanahuyo katika kadamnasiy a w a t u n a h a k u n ahata a takayethubutukulikaripia hilo. Leo vijanawamekuwa hata hawaonishida kutumia uraibu wasigereti mbele ya wazaziwao na wanapoulizwahujibu kuwa wanaondoamawazo, wakati hukonyuma hata kijana akiingiakatika dimbwi la uvutajisigereti, basi atahakikishak u w a a n a v u t a k w a

    Kipi Kilichokwenda Kombo Zanzibar?Na Ben Rijal

    RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein.

     MAKAMU wa kwan zawa Rais wa Zanzibar, SeifSharif Hamad.

     MA KA MU wa pi li waRais wa Zanzibar, BaloziSeif Idd.

    kujicha.

    L e o h a t a k w e n y eibada, imekuwa watukushambul iana yuleanajua zaidi huyu hajui,h u y u u s i m z i k i l i z ealmuradi kumekorogeka,utajiuliza haya yanatokeahata Misikitini? Iwejekwenye Msikiti sadakailiyoletwa wapate kilaaliopo kwa wakati uleMsiki t in i , imal iz ikiesadaka ile kwa Imamuna muadhini wake tu?Yakiwa Msikitini yanajirihayo, yataweza kuvukapenginepo?

    Barabarani kulikuwana nidhamu ya hali ya juukabisa, iwe unakwendakwa miguu, umepanda baskeli au umo kwenyegari. Leo ukiwa unatokanyumbani kwako iweumetoka kwa miguuau umepanda chomboc h o c h o t e k i l e , b a s iutakuwa umo kwenyekhofu kama utaka salamahuko ulipokusudia. Leonjia ya upande mmoja tuambayo ndio kawaidailiowekewa, utaona njia

    hio imegeuzwa kuwa njiaya pande mbili, utajiulizakwani wataalamu wamawasiliano kuona njiaile iwe inakwenda navyombo kwa upandem m o j a w a l i k o s e a ?Waendeshaji baskeli naohao hawasemeki waohujifanyia watakavyo,lakini baya zaidi huwahawachukui kurunziwakati wa usiku na hio siokama ni sheria tu, lakiniinakuwa kwa usalama wamwendeshaji wa baskeli na

    usalama kwa waendeshaji

    wa magari.Utajiuliza kwanini leo

    watoto wanaokwendaskuli kuwa humo njianiwanamopita ni keleletupu na kusema manenoyasiostahiki. Basi tenausadifu kupanda daladalanao hapo utayas ikiausioyapata kuyasikia.Walimu huko nyumandio waliokuwa kioo kwawanafunzi na jamii kwa jumla. Leo aghlabia yawalimu mienendo yaosio yenye maadili. Sikuhiz i kusikia wal imuwa madrasa baada yakuelekeza kutendwamwenendo mwema waondio sasa wanaowaharibuwatoto, inasikitisha kusikiahumo kwenye madrasawatoto ndio wanaharibiwa.Hivi sasa unasikia fukutolilokuwa sio la chini kwachini lakini lishatoa motowala sio moshi kusikiamapenzi yanayofanywana watu wa jinsia mmoja,halafu kumsikia mtuanalizungumzia kama ni jambo la kawaida katika

     jamii. Ana tamka mtuyule mpenzi wake, huyoanayoambiwa ni mpenziwake ni wote wawilini watu wa jinsia moja.Hapa ndipo unapojiuliza,hao wanaopiga zumarikuhalalishwa matendoh a y o m a c h a f u s i ow a t a p a t a m w a n y akusema yahalalishenik u l i k o k u w a c h i akuwa hayatendeki nakuwakosesha mashetanihao uhondo?

    Leo madanguro yapo na

    unapouliza unaambiwa laa

    hio ni gesti tu. Inafahamikafika kuwa nyumba hizozinaruhusiwa na wamilikiw a k e w a t u k w en d akujifanyia watakavyo. Lakujiuliza, kweli na huoUKIMWI utatoweka?

    Siku hizi kuna maeneoukipita nyakati za usikuu t a k u t a n a n a w a l ewanaouza miili yao nasoko hilo huambiwa ni lawatalii, lakini na wenyejinao sio kalili.

    Zamani ilikuwa mtuakiwa na haja ya nazihuwenda kwa mmiliki washamba na kumuombanazi. Hapo mmiliki amaatamgea kama zipo aua t a m w a m b i a k a m au n a w e z a k u u k w e amnazi, basi kajichukuliezitazokidhi haja zako.Huko nyuma utaikutandizi imekaa kwenyemgomba kila ukipitaimekutumbulia macho.Leo wiz i wa mazaoumeshika kasi na kupambamoto. Mwenye ndizianaikata ingali changakwa kuhoa isije kuibiwa.

    Leo la kusikitisha nikuonamifugo inavyoangamizwa.M t u a n a m c h i n j ang’ombe aliomuiba kishaakachukua paja moja tuna kumwacha ng’ombena sehemu zake zilizobakikama mzoga. Wakulimana wafugaji kila mmojaanafanya amali hizo kwakuwa ni mazoea tu, lakinisio wenye matumaini nakupata kipato kutokana nakazi hizo.

    M v u v i a m e k u w amfano wa yule anawekea

    kinyesi sahani anayokuliInasikitisha kuwa mvuvanajua kuwa matumbawndiyo makazi na mazalya samaki na ndipo sehem

    inahitajia kuhifadhiwkwa hali ya juu ili awezkupata kuvua samakwakutosha. Leo mvuvhuyo ndio anayeongozkuyaharibu na kuyasidhayo matumbawe tenk u f a n y a h a y o k wmakusudi.

    Wengi wetu kutokanna hali zetu za vipatohuenda kutibiwa katikhospitali za serikali. Eeehhapo utaumwa marmbili. Unaka unaambiwdaktari hayupo, mara yuplakini anaingia na kutok

    Wengine watakutajivya kuchangia visivyna hesabu. Kwa mfanmtu anataka kupasuliwkumbe nusu ya vitu hivyvinakuwa mali yake nanapokuja mwenginanamtajia hivyo hivylakini atamwambia viphapo alipo na kumpig bei atakayo. Hapo anakudaktari anawakaangwagonjwa kwa mafuta yaLeo tukimbile wapi kwkufahamu daktari ndimtu mwenye huruma yhali ya juu. Leo madakta

    nao wameingia ngomaniU k i y a c h u k u a nkuyafasi l i hayo yotniliyojaribu kuyaelezeu t a o n a Wa z a n z i b a rtumetoka katika mstari utuliokuwa nao uliokuwwa kupigiwa mfano situ Afrika ya Mashariklakini kwa dunia nzimUnaposoma maandishm b a l i m b a l i u t a o ntulivyokuwa tukisifiwLeo anayekuja kutoknje hakuulizi ya karibunanakuuliza ya kale.

    La kujiuliza, kwaninyawe hayo? Tujiulize kipkilichokwenda komboTuendelee hivi hivi akuna haja ya kutafutmwaarubaini wa kuwezkuyatatua haya machachniliyoweza kuyanukuluWatu sio wale wale, saskipi kilichowabadilishw a w e s i v y o k a mwalivyokuwa waliopita?

    Kipi kilichokwendkombo? Utakapoyasommakala hii, hebu jiulizk i s h a j a r i b u k u p a t jawabu.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1163.pdf

    10/20

    10   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 6 - 12, 20Makala

    WASWAHILI wana msemowao, siku njema huonekanaasubuhi. Lakini kwa mantikihiyo hiyo, hata mbaya pia.Zipo sababu za kuwa nawasiwasi kuwa huenda haliikawa mbaya katika mwakahuu wa uchaguzi mkuu,na hasa Zanzibar. Kama

    huko nyuma kulikuwana ‘melody’, basi huendamelody ya mwaka huuikawa mbaya zaidi. Hii nikutokana na yaliyojitokezak a t i k a m k u t a n o n amaandamano ya Chama chaWanachi, CUF, yaliyokuwayafanyike Jan. 27, 2015 nakuzuiwa na Polisi.

    Yapo mambo matatu yakuongoza mjadala huu.Moja ni ile kauli ya Waziriwa Mambo ya Ndani,M h e s h i m i w a M a t h i a sChikawe, pale alipoliambiaBunge kuwa, ilibidi polisiwazuiye maandamano kwasababu kuna ugaidi nakwamba, panapokuwepo

    ugaidi, basi magaidi huwawanatumia mikusanyiko yawatu wengi kufanya ugaidiwao.

    Pili, ni kile kilichoonekanawatu kup igwa m p akakupitiliza. Taarifa ndani ya bunge ikasema kuwa baadhiya polisi walitumia spanaza magari (chuma/nondo)kupiga watu vichwani.

    T a t u , n i i l e k a u l iiliyoripotiwa pia Bungenikuwa baadhi ya polisiwalipoulizwa kwa niniwalifanya vile, walidai kuwani amri kutoka juu.

    K a t i k a m a u w a j i y aVietnam, Cambodia na Laos,ambapo mamilioni ya raia

    wasio na hatia waliuliwana wanajeshi wa Marekanikati ya mwaka 1969 na 1973,Henry Kissinger, wakatihuo akiwa Waziri waMambo ya Nje, anadaiwakuwa msimamizi mkuuwa mauwaji hayo palealipopeleka ujumbe kwaaskari akiwaambia kuwaanachotaka kusikia RaisNixon ni kuuwa, kupigamabomu bila kikomo na bilahuruma. Kila kinachotembeaau kutambaa, kila kilicho haikisiachwe. Kipigwe tu.

    “[Nixon] wants a massiveb o m b i n g c a m p a i g n i nCambodia. He doesn't want tohear anything about it. It's an

    order, to be done. Anything that fies or anything that moves.”

    N a kwel i , kuto kan ana amri hii kutoka juu,mamilioni ya watu wasiona hatia waliuliwa. Na kwavile amri ilisema, “chochotekinachotembea”, kipigwetu. Hapakuwa na msaliekwa raia.

    Kila yakitokea matukioyanayotafs ir iwa kuwani ugaidi, viongozi wetuw a n a t u a m b i a k u w awameagiza FBI kutusaidiakwa sababu wana uzoefukatika mambo haya. Na hivisasa tumekuwa ni washirikawao wazuri katika mambo

    Melody mwaka huu Zanzibarhuenda ikawa mbaya zaidi

    Taifa la Kipolisi linakuja kwa kasi

    Kauli ya Waziri Mathias Chikawe…

    Bundi kalia juu ya nyumba mchana

    Na Omar Msangi

    yao mbalimbali mpaka kuwana mazoezi ya pamoja yakijeshi na hata kutunoleavijana wetu wa polisi wakupambana na ugaidi. Sasakama walimu wetu ndiohawa waliotoa amri kuwahawataki kusikia chochote

    kule Cambodia, ila ‘kupigatu mabomu’ na kwamba kilakinachotembea juu ya ardhiau kupaa ngani, kisionewehuruma, yaweza is iwe jambo la kushangaza sanakusikia kuwa ‘wanafunziwao’, wanatumia spana zamagari kupasua watu vichwakutokana na “amri kutoka juu”.

    Hivi sasa Henry Kissingeranatembea na “InternationalArrest Warrant” shingonikutoka Ufaransa na Hispania.Kinachomsaidia ni ubabewa Marekani. Hata hivyokwa jinsi watu walivyona usongo naye kutokanana mauwaji na mateso yamamilioni ya watu Asia na

    Amerika ya Kusini, Mei 8,2010 alinusurika kukamatwaakiwa hotelini kule DublinIreland. Lakini hata ndaniya Mareani kwenyewe,kunaonekana si salamatena kwa Henry Kissinger. Januari 29, 2015 kulikuwakukifanyika kikao chaKamati ya Bunge la Marekaniinayohusika na mamboya usalama kikiongozwana veteran wa vita, JohnMcCain. Kissinger alikuwammoja wa watu walioitwakutoa ushahidi katika kamatihiyo. Baadhi ya wananchiwalipojua kama yupo,walivamia kikao hicho huku

    wengine wakiandamana njena mabango yao wakimwitaKissinger kuwa ni muuwaji namhalifu wa kivita, anatakiwakukamatwa. Katika haliambayo haikufahamika watuwaliingia mpaka ndani yakikao cha Kamati ya Bunge

    na mabango yao na kuvurugakabisa kikao hicho. Wenginewalibeba pingu wakitakawamkamate na kumtia pinguna kuondoka naye.

    W azir i Mh es h im iwaChikawe ametuambia kuwamkutano wa CUF ulizuiwakwa sababu ya kuhoa ugaidi.Kwa hapa kwetu ukiulizanani gaidi utaambiwa Al-Qaidah au Al-Shabaab wenyeuhusiani na Al-Qaidah.

    Hivi karibuni alipatakuhojiwa aliyewahi kuwaAfisa wa CIA na kamandam k u u w a k i k o s i c h akupambana na Osama BinLaden, kuwa nani aduinamba moja wa Marekani baada ya kuwa Osama BinLaden amekufa. AlichojibuMichael F. Scheuer ni kuwaAl-Qaidah hawajawahikuwa maadui wa Marekani,Osama akiwa hai wala sasaakiwa amekufa. Akifafanuaakasema kuwa adui waMarekani ni aduni wa kubuniili kukidhi masilahi ya kisiasa,kiuchumi na mambo kamahayo. Sasa, kama ni adui wakubuni, maana yake ni kuwahata matukio mengine katikahaya yanayoitwa ya kigaidi,ni ya kubuni vilevile au yakupanga ili kusimika kitishocha ugaidi.

    Na hayo ndiyo aliyosemapia aliyekuwa Waziri wa

    Mambo ya Nje wa Uingereza,Robert Finlayson "Robin"Cook. Katika uhai wake"Robin" Cook alisisitiza kuwahakuna kikosi halisi chamagaidi wanaitwa Al-qaida, bal i ni watu wa kuundwatu ili kukidhi matashi ya

    siasa za kibeberu. Kamawanavyosema wataaalamuna wachambuzi wengine,ni ‘Intelligence Assets” zakutumiwa muda wowote.Lakini pia wakati mwingineintelligence assets hao kamailivyokuwa kwa Mujahidinawaliopigana Afghanistan,L i b y a n a s a s a S y r i a(wakiwemo IS), huandaliwana hao hao mabeberu kuwakama jeshi la kimataifa lakutumiwa muda wowotekama ‘foot soldiers’ katikaproxy war.

    Hivi karibuni alikamatwammoja wa makamanda wa IS.Katika mahojiano kamandahuyo Yousaf al Sala alikirikuwa wanapata pesa nasilaha kutoka Marekani.Hawa ni IS ambao hivisasa Barack Obama anadaikupigana nao! Yousaf alSalafi katika maelezo yakekwa vyombo vya usalamavya Pakistan anasema kuwaamekuwa akipewa pesa (nawatu wengine wamekuwaw a k i p e w a s e h e m umbalimbali duniani) kutafutawatu wa kuwaingiza katika ISwakiamini kuwa wanapigana Jih ad. Anasema, kwa kilamtu mmoja anayempata nakumfikisha Syria kujiungana IS, anapewa dola miasita ($600). Biashara nonokabisa. (Tazama: The Express

    Tribune, Daily Express, NeYork Times, Jan. 28th, 2015

    Hili ndilo alilolisemRobert Finlayson "RobinC o o k k w a m b a , w a thawa wanaoitwa magaidwam ekuwa wakip ewmafunzo na asasi za kijasuza nchi za NATO na wenginkama Idara ya Usalamya Pakistan-Inter-ServiceIntelligence (ISI), au katik

    nchi yoyote linapofanyikzoezi hili, kutumika kamvibaraka tu.

    Na hili ndilo ambaltumewahi kulisema katikgazeti hili kwamba kuibukkwa watu wanaohubiri nkuhamasisha watu kufanyvitendo vya kihalifu kwa jinla Jihad au kuhamasisha wakwenda kupigana SomaliSyria, huenda tayari tunaakina Yousaf al Sala nchinNa maadhali hii yaonekankuwa biashara nono, huendikatupa tabu. Ila tukiifahamkwa sura yake hiyo halisinaweza kutusadia namna ykuikabili kuliko kwenda nmtizamo potofu kuwa tun

    magaidi halisi nchini.Msamiati huu wa magaid

    tumeupokea kwa sababtumewajibika kutumikisiasa za utandawazi. Kianayepachikwa ugaidi kutokWashington, sisi tunabakuwa vipaza sauti. Tutamuigaidi hata kama hakuna lolotunaloweza kulithibitishkuwa katufanyia la kigaidi

    Tunavyozungumza hivsasa kuna watu kutokZanzibar wapo rumandwakituhumiwa kwa ugaidLakini katika utetezi wam ah akam an i wan ad akuwa wao yamewakutkwa sababu ya msimamw a o j u u y a m u u n dwa muungano na katibinayopendekezwa. Hay

    si ya kujadili kwa sasa kwsababu mahakama inafanykazi yake. Lakini la kusemhapa ni kuwa ikishakuwa suala la tuhuma za ugaidhata kanuni za kisheria, haza binadamu na mahakamzinabadilika. Kuna watwapo katika Gereza la Matesla Kimataifa, Guantanamkwa zaidi ya miaka 15Hapo hakuna cha haki z binadamu, haki za mfungwwala haki za mtuhumiwKisa! Watuhumiwa wugaidi!

    Mkutano na maandamanyaliyopigwa marufukna kusababisha vipigoy a l i k u w a y a C U FTunafahamu msimamo wchama hicho katika Katib

    i n a y o p e n d e k e z w a nmsimamo wake juu ya mfumwa muungano. Lakini tunajupia jinsi Tume ya Jaji Wariobilivyodhalilishwa kuhusrasimu ya Katiba Mpyambayo ilizingatia maoni ywananchi. Na tunafaham jinsi rasimu hiyo ilivyotupwikawa mjadala ni juu ya hoambazo zinadaiwa za wawahafidhina wanaotakmfumo uliopo udumu.

    C h u k u a h a l i h i yu k i z i n g a t i a k u wtunakabiliwa na kura ymaoni na kisha UchaguMkuu. Upo wasiwasi mkubwkuwa hiki walichofanyiw

    Inaendelea Uk. 1

     HENRY Kissinger (kushoto), Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Marekani.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1163.pdf

    11/20

    11   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 6 - 12, 2011 AN-NUU

    Makala

    HALI ya mambo sikuchache kabla ya upigajikura kwenye BungeMaalum la Katiba ilikuwangumu sana kwa watusaba walioamua kuikataakatiba iliyolazimishwa naChama Cha Mapinduzi(CCM). Mwandishi SalmaSaid ameandika alichoita“Simulizi za Ushuhuda”wa hali waliyokuwa nayokwa sababu tu waliazimiana hatimaye kupiga kuraya HAPANA. Fuatiliasimulizi zake katikamakala yake.

    Ningependa niandikesimulizi za siku chachekabla ya upigaji kura namnaambavyo hali ngumuilivyotukabili sisi watusaba tulioamua kupigakura ya HAPANA, tena yawazi, kwani Wazanzibariwenzetu walituchukuliakwa mtazamo tofautik u t o k a n y u m b a n iZanzibar. Baadhi ya vijana

    walichapisha vipeperushina kuvisambaza kwenyemitandao ya ki jami iw a k i t u t a k a t u r u d inyumbani na kutuitawasaliti, huku Wazanzibariwenzetu Dodoma naowakitupa vitisho vyakila namna tu maanahaikuwa kutushawishitu, bali mambo yalizidi nakupindukia mipaka hadiwengine wakitwambiatukipiga kura ya hapanatutakiona cha moto.

    Baada ya kuonekanaw a p o w a t a k a o p i g akura za ‘hapana’, lugha

    i l iyokuwa iki tumikamiongoni mwa wenzetuw a C C M w a k i s e m akuna watu wanatakakuharibu mchakato wakatiba inayopendekezwakatika dakika za mwisholakini waliapa kwenda nasisi iwapo hatutaregezam i s i m a m o y e t u y akuikataa rasimu hiyo.Sio kazi rahisi kamawengi wanavyodhanikama ambavyo haikuwawepesi waliotoka njeya bunge, Umoja waKat iba ya Wananchi( U K A WA ) k u r u d indani , ha l ikadhal ikaugumu ulikuwepo kwawaliokuwepo ndani kutokanje, wengine tuliamini hatamaamuzi ya watu kutoka bungeni wangetoka basinaamini wangetoka watuwachache kama watuwatatu tu au wanneambao wana msimamomadhubuti na wenginewangebaki na kurahisishamafanikio ya kupatikana2/3 kirahisi, kutokana nakhofu miongoni mwetu.

    Baadhi ya wajumbekutoka Zanzibar hasa walewanaotokana na kundi la

    Katiba mpya na mfumo wakuwagawa Wazanzibari

    201 walikuwa na msimamowa kuikataa rasimu yotena ndio maana kiukwelitaarifa za ndani zinasemawaliopiga kura za hapanarasimu nzima walikuwani wajumbe sita kati yawaliopiga kura za sirina baadhi yao walikuwawamekataa baadhi ya ibaratu za rasimu. Naaminikwamba walikuwa wanania njema ya kuikwamisharasimu hii kwa kuwahaina maslahi na Zanzibarlakini walikuwa hawatakikuonekana wabaya na

    wao ndio kikwazo ilawanaamini katiba hii hainamaslahi isipokuwa kwakuwa wameshurutishwana misimamo ya chamaa m b a p o b a a d h i y a owengine waliendekezakhofu zao za kupiga siriwakiamini kwamba sirizao zitalindwa.

    B i n a fs i n i l i s h a o n am a p e m a h a r a k a t izilivyokuwa zikiendeleanamna gani wajumbewakitushawishi tupigekura ya siri nikajua hapakuna namna fulani yakuibiwa kura zetu na ndiponikawashauri wenzanguwachache tusipigeni kuraza siri ila kwa wale ambaohawakutaka hatukuwa nanamna ya kuwabadilishaw a l i k u w a h u r u n awakapiga kura zao zasiri ambazo zilistiriwana zilistirika kwa usiriwake. Mimi nasemakusudi haiambiwi pole nawalichokipanda ndichowalichokichuma.

    Mimi kwa upande wangusikuona kama nimefanyamakosa kama ambavyowengi wananichukuliakuwa nimewashawishi

    wenzangu kuikataa rasimulakini najiuliza kwa niniiwe kosa mimi kushawishikuikataa na isiwe kosakwa wale wengine ambaowalitushawishi kuikubali?

    Wapo ambao kutokanan a u z a l e n d o w a owalitutaka tutoke njekwa maana ya kususiaBunge, lakini mimi binafsin i l i k a t a a k w a k u w aniliamini nina maamuziyangu binafsi na siko tayarikuchukua ushauri kutokapopote kwa kuwa niliaminisijatumwa na chama cha

    siasa, wala kikundi chadini wala taasisi yoyotezaidi ya jumuiya yanguya Waandishi wa Habariza Maendeleo Zanzibar(WAHAMAZA) ambaokimsingi walinishaurit o k e a k u a n z a k w amchakato huo nibaki ndanina nitetee nikiwa ndanikwa hivyo nisingewezakwenda kinyume.

    B i n a f s i n i l i k u w anaamini naweza kuizuwia2/3 nikiwa ndani ya bu nge na hamu yang uilikuwa niweke rekodiili vijukuu vyangu vijekusoma kuwa Salma Saidalipiga kura ya HAPANAkwa rasimu hii ya katibaambayo kimsingi sikuwanakubaliana nayo tokeakuanza kwa majadilianoambayo yaliondosha suraya kwanza na sura yasita ambazo ndio khasakiini na roho ya katibahii. Nimetoka Zanzibarili kusimamia maslahiya Zanzibar na kiapochangu moyoni kilibebadhana hiyo. Kwa hivyosikutaka kujizonga kwaniniliamini ndani ya moyowangu nje ya maslahi

    ya Zanzibar katiba hii nimwiba mchungu kwanguna ndio maana natoachangamoto (challenges)i l i w a t u w a f u a t i l i ehansad wataona kamakuna mchango wangukatika kamati kwa kuwanilikuwa nikiamini kuwasiri yangu moyoni ni siri yakura yangu ya HAPANA baada ya majadiliano yandani ya kamati mwishowa mchakato mzimakule bungeni, na siokwenye kamati niliaminindani ya kamati hakuna

    n i t a k a c h o p en d ek ez akikazingatiwa na hayoa m b a y o w e n z a n g uwakiyasema hayakuwayakizingatiwa, niliamuasina sababu ya kuongeachochote ila niwe na siri yamaamuzi yangu moyoni.

    Wajumbe waliopigakura ya HAPANA

    1. Adil MohammedAli (Walemavu)

    2. Alley Soud Nassor(Taasisi za Elimu)

    3. Ali Omar Juma(Vyama vya Siasa)

    4. Jamila Abeid Saleh(Vyama vya Siasa)

    5. Salma HamoudSaid (Taasisi zisizo zakiserikali)

    6. Mwanaidi OthmanTahir (Vyama vya Siasa)

    7. Fatma MohammedHassan (Taasisi za Dini)

    I n a s h a n g a z aR a i s K i k w e t e n a y ekajichanganya wakatiakizitaja hizi kura za wazikwanza kasema kura zawazi ni 7 kisha kasemani 5 nadhani alikusudiakura tano kwa maana ileya watu wawili waliotakakuitwa katika Kamatiya Maridhiano ambapo

    wakati Mwenyekiti wBunge Maalum la Katibakitangaza timu yake ykamati hiyo wajumbwote saba waliopigHAPANA wapo njiankurejea Zanzibar; jewajumbe wangapi hawaliotajwa kukutana nKamati ya Maridhianwakati hawakuwepo tenDodoma?

    Wajumbe saba waliamuk u o n d o k a D o d o mkutokana na dharaumatusi ya nguoni, vitishwalivyokuwa wakivipakutoka kwa wajumbwalio wengi ambao ni wCCM, hawakujifanya tkuwa wao ndio wengi, bawalijifanya wao ni wenynguvu, wenye maamuzi ywenzao kwa kisingizio chkuwa na dola eti wao nwenye uwezo wa kufanychochote katika katibhii kutokana na kauwalizokuwa wakituambi

    Lakini pia ningependn i a n d i k e n a m ng a n i W a z a n z i b a rwalivyotumika kufanyianuadui wenyewe kwwenyewe; kuoneshanubabe, dharau, matusi ynguoni, kebehi na vijembkutokana na kuwa nmitazamo tofauti wakawenziwao wa TanzaniBara wakikaa pamoja.

    “Hii Katiba i tapitmtake msitake, hii katibnyinyi hata mkipighapana nyote mliopndani ya ukumbi huu mjutu kwamba tutaipitish

    mnacheza na wana CCMnyie, hii ndio chama dumhiki ndio chama chenyuwezo, hiki ndio chamtawala ...”, ni maneno ykiongozi CCM Zanzibar

    K a u l i k a m a h i zzikitolewa na baadhya viongozi wa ChamCha Mapinduzi (CCMna wanachama wenginwaliondoka katika nafazao bungeni na kujpale tulipokaa sisi nkuunga kauli za Shakna wenzake kama wannkuanza kuongea manenkama hayo kuoneshsisi ni watu wajingawatu tunaotumiwa kwkuongozwa na kuburuzw

    “Hamtaki hata haki ykuishi hata mtu kuishhataki basi kila kitu hapantu,” alisema mmoja wa(jina nalihifadhi).

    “Wajinga wana mwao tutawaonesha hawwanaosema hapana nwatu wenye kutumiwna wakoloni wanatumiwna Waarabu na wenginhapa wala sio kwao, kwani Oman lakini hii katibitapita mtake msitake hiz

    Inaendelea Uk. 1

     MAKAMU wa kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1163.pdf

    12/20

    12   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 6 - 12, 2012 MAKALA/SHAIRI

    Melody mwaka huu Zanzibar Inatoka Uk. 10CUF kwa kisingizio chaugaidi, huenda kikatumikakatika kuhakikisha kuwayanayotakiwa yanapita,na yasiyotakiwa hayapatinafasi. Na hii maana yake niwatu kupigwa sana ‘spanaza magari’ vichwani. Huuni wasiwasi tu, lakini kamanilivyosema, kama sikunjema huonekana asubuhi, basi hata na mbaya pia.

    Ila la kusisitiza hapan i kuwa, m ates ao n amauwaji yaliyotokea mahalimbalimbali duniani ambapoubeberu ulitia mguu, ilikuwa

    ni kwa lengo la kusimamiamasilahi yao sio kujaliusalama wa nchi walamaendeleo yake. Na katikazama hizi, ndio wametujia naugaidi wa Al-qaida, ISIS, Al-Shabaab na mengine kamahayo.

    Sasa hatujui hawa magaidianaotutahadharisha naoMheshimiwa Chikawe,ndio hawa hawa wa akinaMichael F. Scheuer au nasitumetengeneza wa kwetuwa kuhakikisha ‘Kidumu’ na‘Mapinduzi Daima’!

    SHEIKH MohammedIdd, maarufu kamaAbuu Idd, amefungulia‘mwangwi’ ili sautia m b a y o i l i k w i s h at o k a k w a k u p i t i avinywa anuai kuhusuBAKWATA, kuwa nikikwazo kikubwa kwamaendeleo ya Uislamu naWaislamu. AliyoyasemaSheikh ni yale yaleyaliyokuwa yanasemwana Waislamu wote wenye

    kuguswa na vikwazov i n a v y o f a n y w a n aTaasisi inayojinasibishan a u o n g o z i n auendelezaji wa Uislamuna Waislamu nchiniTanzania.

    A m en u k u l i w a n aA n -n u u r , N o . 1 1 5 6y a D e s e m b a 2 0 1 4 ,a k i d h i h i r i s h a y a l eyanayomkera, aliyatajamachache ambayo niBakwata “Kuhodhi maliza waqfu na kuzitumiakinyume na malengoyake”. Jingine alilosema nikuwa, “Bakwata kukosa

    mipango ya maendeleo,h a l i i n a y o f a n y aWaislamu, wakose dirana kuvunja umoja waKiislamu kwani yulealiyejivika ukinara wakuongoza, hana mpangowa mambo ya maendeleo.Zaidi Abuu Idd, alisema“Bakwata huwasiliana nana Serikali siku za Idd aukama wameletewa mbuziau Tende kutoka Makka.

    L a b d a t u c h u k u efursa hii kumkumbushaAbuu Idd, kuwa hayoaliyoyasema ni machachemiongoni mwa mengi

    na mazito yaliyokuwayamefanywa na Waislamuwa kada mbalimbalina kwa nyakati tofautiza watu (Waislamu)w a l i p o fu n u l i w a n akuelewa ukir i t imbawa Bwakata dhidi yaUislamu na Waislamu.Hivyo haya aliyoyataja nimwangwi (Echo).

    Moja ni ile ya Muftiwa Bakwata, SheikhSimba, aliyoitoa Jijini,Tanga, mnamo Juni 30,2007, katika shereheya kutimiza miaka 50ya Taasisi ya TAMTA.

    Sheikh Mohammed Idd

    amepatia kuhusu BakwataIla ni gari bovu lisilofaa ukarabatNa A.S Chachika Mufti alisema “Bakwata

    sawa na Gari moshi, bov u i la al in uk uli waakiomba msaada na duaza Waislamu ili awezekulikarabati. Kwa kaulihiyo ya Mufti wa Bakwata,tunasema amepat ia .L a b d a t u n a w ez a t ukutofaut iana juu yanamna ya kulikarabatihilo gari bovu, maanawengine tunaamini kuwahalikarabatiki kwanindivyo lililovyoundwana ndiyo ilikuwa dhamiraya walioliunda kuwa liwe bovu daima.

    Nukta ya pili katikamaoni yake ni kuwa,yeye akiwa ni kipenzi chaBakwata hawezi kuihami, bal i ni kut afuta njia yakuirekebisha. Amesemakuwa yeye anaipendaBakwata, pamoja nauozo wake wote huo.Hiyo ni fikra yake naanadhamira ya kukaakaribu na Bakwata iliaweze kuirekebisha.

    Dhamira yake hiyo, singeni. Njia hiyo imekuwaikitumika tangu zamaza uongozi wa Rais Ally

    Hassan Mwinyi na MuftiHemmed bin Jumaa.Tutakumbuka kuwa Raismwinyi, alitumia fursayake kama Muislamu,a l igundua madhai fuya Bakwata, akafanyatara t ibu za kuwai taviongozi waandamizia k i w e m o M u f t i n akuwanasihi namna ganiwairekebishe Bakwataili iwe kwa manufaa yaUislamu.

    Katika kikao hicho,ilika hatua Mufti Hemed,kumtamki Rais Mwinyi,“Mimi siji tena ofisinikwako, yawezekana kuwawewe hujui sababu zakuasisiwa kwa Bakwata”.Mh. Mwinyi, aliishiahapo.

    Lakini , a l ipo ingiaRais Jakaya Kikwete,pia alipata kuwaambiaviongozi wa Bakwata,katika Baraza la Idd,lililofanyika Jijini Arusha,akiwa mgeni rasmi, kuwa“Kama Taasisi yenu hii(Bakwata) ingekuwa yaKisiasa, ningewaita osinikwangu niwaelekezenamna ya kuiboresha.”

    H a t a h a w a w o t e

    walioanzisha Taasisi zKiislamu nje ya Bakwata n baada ya kutambua kuwkuhangaika na kuirejeshBakwata, katika njia sahihni kupoteza muda. Hahiyo ndiyo iliyo sababishkila aliyeguswa na hajya kusimamisha Uislamkatika jamii akatafutw a d a u w en z a k e nkuanzisha Taasisi zKiislamu kwa maendeley a W a i s l a m u k wmafanikio tunayoyaonT u n a m u o m b a A l l a(sw) aziwezeshe Taasizenye malengo memkuepukana na rai nmapungufu mengine.

    Tuanze na swali lpili. Jibu lake ni wazi nrahisi kwani kulikuwna Taasisi maarufu sanikiwaunganisha Waislamkatika kutekeleza mambyao. Taasisi hiyo ni EaAfrican Muslim WelfarSociety (EAMWS).

    Taasisi hii ilijihusishzaidi na usambazaji whuduma za elimu nafya, na iliwaunganishWaislamu wote. Hata hivyKanisa halifurahishwna umoja wa Waislamna haswa jinsi Jumuiy

    hiyo ilivyokuwa ikiratibshughuli zake. Kanislilihofia Jumuiya hiyna likatamka wazi kuwmshikamano wa Waislamni tishio kwa hatma yKanisa. Yaani ili Kanislistawi, lazima Waislamwasambaratishwe.

    S e r i k a l i , i l i p i gmarufuku Jumuiya hna ikawaundia Waislam Jumuiya mbadala, yaanBakwata. Serikali piikaipatia Bakwata mali nrasilimali zote za Jumuiyhiyo.

    SHEIKH Mohammed Idd

    Albino tunalia, si tu wa Mwanza jijini,Albino tunalia, bali wa kote nchini,Albino tunalia, mijini na vijijini,Albino tunalia, aimi! tu majonzini,Kama si ushirikina, tusingekuwa twalia!

    Albino ninalia, kwa uchungu na huzuni,Albino ninalia, hadharani si batini,

    Albino ninalia, kwa mayowe pasi soni,Kama si ushirikina, nisingekuwa nalia !

    Albino ninalia, hofu yangu mtimani,Albino ninalia, si na simba wa porini,Albino ninalia, si na papa baharini,Albino ninalia, si na chatu vichakani,Kama si ushirikina, nisingekuwa nalia !

    Albino ninalia, si na hao hayawani,Albino ninalia, na ndugu yangu insani,Albino ninalia, kuniwinda nje-ndani,Albino ninalia, maisha yangu shakani,Kama si ushirikina, nisingekuwa nalia !

    Albino ninalia, siko salama nyumbaniAlbino ninalia, siko salama shuleni,Albino ninalia, siko salama kazini,Albino ninalia, USALAMA mwafanyani?

    Kama si ushirikina, nisingekuwa nalia !Albino ninalia, si leo tangu zamani,Albino ninalia, wa kunauni simwoni,Albino ninalia, na kuhoji kwa huzuni,Albino ninalia, hivi nami si insani?Kama si ushirikina, nisingekuwa nalia !

    Albino ninalia, kwa kejeli za insani,Albino ninalia, kuninadi hadharani,Albino ninalia, 'mimi dili tijarani'Albino ninalia, kosa langu kwenu nini?Kama si ushirikina, nisingekuwa nalia !

    Albino ninalia, kuona ndovu nyikani,Albino ninalia, i yake juu thamani,Albino ninalia, kuzidi yangu jamani,Albino ninalia, hali hii kulikoni?Kama si ushirikina, nisingekuwa nalia !

    Albino ninalia, kutengwa mamilioni,Albino ninalia, kwa uhai wa 'yawani,Albino ninalia, najiuliza kwanini,Albino ninalia, kwangu kutoyumkini?Kama si ushirikina, nisingekuwa nalia !

    Albino ninalia, wa nchi yenye amani !Albino ninalia, na ya nchini amani !Albino ninalia, amani amani gani ?Albino ninalia, kama si ya mdomoni?Kama si ushirikina, nisingekuwa nalia !

    Albino ninalia, kuhajiri natamani,Albino ninalia, nondoke humu nchini,Albino ninalia, niduru ulimwenguni,A