ANNUUR 1143

download ANNUUR 1143

of 16

Transcript of ANNUUR 1143

  • 8/11/2019 ANNUUR 1143

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1143 DHULQAAD, IJUMAA , SEPTEMBA 19-25, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Chukueni tahadhari:

    Sheria ya ugaidi ni ugaidi

    mauwaji, uvunjaji wa haki!

    Osama bin Ladenkifaa cha ujasusi

    Ugaidi hewa umeuwa mamilioni ya WaislamWengi wameumizwa ili kuletewa Patriot Act

    Ndiyo inayoendelea kutesa Masheikh wetu!

    OSAMA bin Laden. RAIS Barack Obama.

    HATA akiongea jambola kweli, muda wakuwa mtu ni mchawi,b a s i t u s i m s a d i k ikwa kuwa yeye nimwongo na kwambaatakayemsadikishamchawi ametoka katika

    Membe na pesa za Shetani OICAtasomeka vipi mbele ya Walei?Ni katika mbio za kugombea urais

    Uislamu. Amekuwakar!

    Tujiulize, Membekama Mseminari Safi,aliyekulia na kulelewakatika mikono ya KanisaKatoliki, atasomeka vipina kuaminika mbele

    ya Walei, Mapadri naMaaskofu?

    Wamuelewe kwa lipi?Wamuwekee mikono ya

    baraka endapo ataamuakuanza safari ya Urais2015? (Soma makalauk. 13)

    MASOUD ameonyeshakuwa hana ubinafsi. Hayukotayari kuiuza nchi yake kwavijipesa viwili vitatu au kwaulwa wa aina yoyote ile.

    O t h m a n h a t a f u n imaneno, hajifanyi kibogoyoanapoutamka ukweli.

    Anaililia na kuipigania nchi

    'Ukoloni kasoroboyake. Hamna shaka yoyokwamba yeye ni jemedamzuri wa kuipigania ardhiliyozikiwa kitovu chake.

    Inafaa tumshukuru Mungkwani kila uchao anachomozjeme dari mwingine wkuipigania Zanzibar.

    (Soma Uk. 7)

    MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, JajiFelix Werema.

    SHEIKH Farid Hadd, mmoja waviongozi wa JUMIKI Zanzibar.

    Serikali yatakiwa kusikiliza

    kilio cha

    Masheikh,

    Maimam

    Uk. 16

    Uk.

  • 8/11/2019 ANNUUR 1143

    2/16

    2 AN-NUU

    DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 201

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.t E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Habari/Tangazo

    TANZANIA inatarajia kuwamwenyeji wa kongamanola watati na wanasayansiwa sekta ya ufugaji nyukiBarani Afrika, linalotarajiwakufanyika Jijini Arushakuanzia Novemba 11 hadi16 mwaka huu.

    Kongamano hilo linatajiwakuhudhuriwa na washiriki 550ambapo kati yao Watanzaniani 250 na wageni kutoka njeya nchi wanatarajia kuwa 300.

    A k i z u n g u m z a n awaandishi wa habari Jumannewiki hii Jijini Dar es Saalaam,Mtendaji Mkuu wa Wakala

    wa Misitu Tanzania katikaWizara ya Maliasili na Utalii,Juma Mgoo, alisema lengo lakongamano hilo ni kuimarishasekta ndogo ya ufugaji nyukikwa kushirikisha wadaumbalimbali kutoka ndani nanje ya nchi.

    Aliongeza kuwa katikakongamano hilo wadau haopia watajadili kwa pamojanamna bora zaidi ya kusaidiamchango wa sekta hiyo katikaNyanja za utati, teknolojiapamoja na kubadilishanauzoefu katika uboreshaji,utunzaji na usimamizi wamakundi ya nyuki kwauzalishaji wenye wingi naubora.

    Kongamano litahusishauwasilishwaji wa mada zautati kwa njia za mijadala,semina kwa wafugaji nyuki,majadiliano ya kitaalamusanjari na maonyesho yabidha a za ufugaj i nyuki ,alisemaMgoo.

    Aidha Mgoo al isemawashiriki wote watapaswakujilipia ada ya ushirikii k i w e m o g h a r a m a z ausafiri na malazi, ambapokwa kutambua ukubwawa gharama hizo, Serikaliililazimika kulipia baadhi yahuduma.

    Gharama za mtu mmojakwa siku ni dola za kimarekani

    Tanzania mwenyeji kongamano la kimataifa ufugaji wa nyukNa Ismail Ngayonga,MAELEZO 120 ila mshiriki wa TanzaniahulipaTsh. 150,000/- tu,

    alisema Mgoo.Kwa mujibu wa Mgoo

    mbali na kongamano hilo,washiriki hao pia watapatafursa ya kushiriki ziara yamafunzo, kwa kutembeleam a e n e o m b a l i m b a l iyanayojihusisha na ufugajinyuki nchini ikiwemo Mkoawa Kilimanjaro, ambapowataweza kujionea ufugajinyuki wasiouma pamoja naufugaji nyuki katika nyandakame za Mikoa ya Singida naDodoma.

    Kwa upande wake Rais waShirikisho la Ufugaji NyukiDuniani (Apimondia) GillesRatia amesifu maandalizimbalimbali yanayofanywa

    na Serikali ya Tanzania katikkufanikisha na kuwezeshmkutano huo nchini.

    Akizungumzia sekta yufugaji nyuki nchini, Ratamepongeza jitihada kubwzilizofanywa na Serikak a t i k a k u w a s a i d i a nkuwaendeleza wafugaji wnyuki, na hivyo kuwatakwafugaji kujitokeza kwwingi kushiriki kongamanhilo litakaloweza kuwajenguwezo katika uzalishaji nhivyo kuwaongozea kipato

    Napenda kutoa pongezangu kwa Mhe. Waziri Mkuwa Jamhuri ya Muunganwa Tanzania kwa jitihadzake anazozionyesha katikkusaidia na kuendelezsekta ya ufugaji nyuki kwaameonyesha nia ya dhati ykusaidia sekta hii, alisema

    P.O.BOX 55105 , TEL: NO 2450069,

    Mob: No 0712974428 & 0786457719 Dar Es Salaam.

    UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL

    PRE FORM ONE PROGRAM

    22/09/2014 - 28/11/2014Program hii itaendeshwa hapa UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL

    kwa wanafunzi wa Kiislamu wanaojiandaa kujiunga na kidato cha

    kwanza Januari, 2015.Masomo yafuatayo yatafundishwa:

    Elimu ya Dini ya Kiislamu, Mathematics, Arabic language na

    English language

    ADA: 80,000/= kwa program yote.

    Jumatatu - Ijumaa kuanzia saa 2:00 asubuhi8:30 mchana.

    Jumamosi kuanzia saa 2:00 Asubuhi6:30 mchana

    Masomo yataanza rasmi tarehe 22/09/2014

    Jiandikishe kuanzia 18/09/2014 ofsi ya Mkuu wa Shule

    Ubungo Islamic High School kuanzia saa 1:30 asubuhi hadi saa

    8:30 mchana .

    Wahi mapema nafasi hii adhimu

    Wabillah tawfiq

    MKUU WA SHULE

    U I S L A M U n i d i n ii l iyokamilika, ambayoyeyote anaweza kuifuatana kutekeleza maamrishoyake. Mwenyezi Mungualishaibanisha kuwa Uislamuumeletwa kulingana namaumbile ya mwanadamu.

    Kwa maana hiyo, Uislamuni mfumo kamili wa maishaya binadamu, ulioundwa naMwenyezi Mungu kwa ajiliya viumbe wake.

    Katika maisha kila jambolina kanuni na utaratibu naadabu zake katika kulifanya.Katika Uislamu, kila jamboanalolifanya mwanadamu,limeainishwa utaratibu wake

    wa namna ya kulifanya ilikupatikana tija iliyokusudiwa.Lakini kutokana na kibri

    na tamaa ya mwanadamu,anaona kuwa taratib u nakanuni hizo zinawabana nakuwazuia kutenda ya kwao,ili kukidhi tamaa zao za nafsi.

    H a l i h i i n d i y oiliyosababisha kujitokezawatu wasiopenda taratibuza mfumo huu wa maisha zaMwenyezi Mungu, wakajana mfumo mwingine unaoasiule wa Mwenyezi Mungu ilikukia malengo ya kukidhihaja ya tama zao.

    Ndio maana wakawepow a t u w a n a i s h i k a t i k amaisha ya pamoja ya zinaabi la ku fu ng a nd oa ka mainavyota Mwenyezi Mungu,na wasione kama hilo ni kosa.

    K w a t a m a z a n a f s im w a n a d a m u a n a w e k auhalali wa kuonana jinsiamoja, kufanya liwati, kubakank. Ulevi ni moja ya vinywajivinavyokatazwa na Allah(sw) na moja ya madhara yakeni kusababisha athari mbayakatika jamii. Mwanadamuakaweka utaratibu wake wakunywa vyovyote vile nakuona kuwa huo ni uhuruwa mtu.

    M w e n y e z i M u n g uanakataza dhulma kwa kuwainapora haki za wengine,mwanadamu ndio kwanzaa n a i u n d i a m f u m o w akuidumisha (Ubepari) ilikuendelea kudhulumu nakukandamiza walio dhaifu.

    Kila uchao, wenye kupinga

    ustaarabu wa Kiislamu,wamekuwa wakibuni hilaili kufanikisha kuziangushamila, desturi na mfumomzima wa maisha ya kiutuya Kiislamu, ambayo msingiwake mkubwa ni haki na utiiwa maarisho ya MwenyeziMungu.

    Kwa bahati mbaya ,baada ya kuond oka zamaza Makhalifa wa Kiislamu,Waislamu walishindwakusimamia mfumo wao wakiuongozi wa pamoja, kamawalivyofanya Makhalifa wao,(Abubakar R.A, Omar R.A,Othman bin Hafan R.A naAli bin Abitwalib R.A.), iweni katika kitaifa au kimataifa,k i a s i c h a k u s h i n d w a

    Waislamu zindukenikuwaunganisha Waislamukuwa na nguvu ya pamojaya kulinda mfumo wao wamaisha, itikadi yao na maslahiya dini yao dhidi ya hila hizi.

    Uislamu ni dini yenyekuongozwa na maandikomatakataifu (Quran) naHadithi za Mtume (saw),U is lam u u n a s h ah adamoja, Qibla kimoja, Hijahmoja n.k, kuna swala tanozinazowakutanisha pamojamara tano kila siku, swalaya jamaa kila Ijumaa, jambolinaloonesha wazi kuwaUislamu ni dini ya umojana mshikamano, lakini badoimekuwa haitendewi haki nawahusika kama ilivyo.

    Pamoja na kuwepo mambo

    haya muhimu ambayo nikielelezo cha kuwaunganishaWaislamu, lakini wamekosakauli moja ya kuwaongoza nakuwaunganisha.

    M w e n y e z i M u n g uamewataka washikamanekatika kamba moja ndani yaQuran, bado wameshindwakutekeleza mafundisho hayo.

    Mtume (saw) amesema,Hakika muumini kwamuumini ni kama jengo,wanashikamana pamoja)akafungamisha vidole vyakepamoja [Al-Bukhaariy naMuslim].

    Lakini badala yake watuw a m e k u w a w a k i e n d akinyume kabisa na hadithiyenyewe.

    Tunavyoona, hila na tna

    za magharibi zimechukuanafasi katika nafsi za ummawa Kiislamu na matokeo yake,wamegawanyika vipandevipande, wanahitilafiana,wakati mwingine wanakubalihata kupiganishwa na hatakuuwana wenyewe kwawenyewe, huku wanaoenezatna na hila zao kuwavurugaw a k i w a p e m b e n iwakitengeneza faida kwakuwauzia silaha na kuporarasilimali zao.

    Laghawi za dunia na tamaa,yote haya yamepenyezwamiongoni mwa Waislamukiasi cha kuondoa nafasi yauumini na kuasi ustaarabu wamaisha ya Kiislamu miongonimwao.

    Mambo haya yameifanyaja mi i ya Ki is la mu is iw eyenye kuona mbali tena.Sasa wameingizwa katikakundi la wale wasiokuwa namwongozo wa kweli kiasi chakuifanya dunia kuwa uwanjawa fujo. Mwadilifu badalaya kulingania wasiokuwawaadilifu, ameathirika nakuwa mtenda dhambi.

    Kwa jinsi hali ilivyo,tunaona kwamba sehemikubwa ya jamii Waislamui m e a t h i r i k a k i a s i c h awameshindwa kutambuaadui yao. Wamesahau kwakiasi gani wanachukiwa,w a n a p i g w a v i t a ,

    wanakamatwa, wanateswana hata kuuliwa kwa nenougaidi.

    H iv i s as a n en o h i l ilinaongoza kwa kusababishaathari mbaya katika jamiiya K i i s lam u n a im an iyao ulimwenguini kote.Tumeshuhudia huko Iraq,Syria, Libya, Misri, Somalia,Iran, Palestina, Pakistan,Chechnya, Afghanistan nakwingineko.

    T u n a s h u h u d i a h a t akatika nchi nyingine zenyemchanganyiko wa Waislamuna wasiokuwa Waislamukama hapa kwetu, ni jinsi ganiathari imewakumba.

    Washindwa japo kutafakari,yote haya yanafanywa kwaajili ya nani na kwa ajili yakupata nini?

    Tunaona falsafa ya maishaya kimagharibi imekuwakwa kasi kubwa, huku watuwenye maadili ya kiimaniwakivurugwa kwa hila, tna

    na kwa mabavu dunianikote, kwa maslahi ya nchi zaMagharibi.

    W a i s l a m u a m b a owal io n ekan a ku wa n austaarabu, ndio wanaonekanawaleta vurugu na kikwazocha falsafa za kimaishaya kimagharibi, ambazoni mifumo i l iyobuniwakibinadamu kwa maslahi yanafsi za kibinadamu.

    Falsafa ambazo zinazidikusambaratisha ustaarabuwa masiaha ulioletwa naMwenyezi Mungu, kiasi chakuifanya jamii ya Kiislamuikose tafakuri na badala yakeinashughulishwa zaidi namambo ya anasa na kupotezamuda.

    Tunashuhudia namnamitandao inavyoangamizavi jana. Purukushani zamahusiano ya zinaa, ulevi,

    starehe, porojo, imekuwn d i o k a z i , b a d a l a ykutumia mitandao hiyk u p a n g a m i k a k a t i ykukuza Uislamu, kuchangmiradi ya maendeleo yUislamu, kutetea ustaarabwa maisha ya Waislamna kukemea wanaoteswwanaodhulumiwa na kuuawkwa sababu za chuki akisiasa nk.

    Tutoe tu ushauri kwjamii ya Waislamu kwambwazinduke, wajitambue nwamtambue adui yao na hizake. Waishi Kiislamu katikkila hatua.

    W a e l e w e k w a m bhawapaswi kufuata tu, jambbila tafakuri. Ni heri kuwbwana wa nafsi yako kulikkuwa mtumwa kwa nafyako kwa kupenda kufuakila kipendacho nafsi.

  • 8/11/2019 ANNUUR 1143

    3/16

    3 AN-NUU

    DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 201Habari

    Sheria ya ugaidi ni ugaidi mauwaji, uvunjaji wa haki!

    SHERIA ya kuzuiya ugaidi niya kigaidi, mauwaji, uvunjajiwa haki za binadamu, hujumana dhulma tupu.

    H a y o y a m e e l e z w a n aMhadhiri wa Chuo Kikuu chaWaislamu, Morogoro, Bwana

    Jafar Siraj.Kwa sababu hiyo, Waislamu

    nchini wametakiwa kuchukuatahadhar i ku bwa ka t i kakuyaendea mambo yao kwanisheria yenyewe inaonekanawazi kuwalenga wao.

    Akifafanua juu ya dhulmana ugaidi wa sheria hiyo,Siraj amesema kuwa ni sheriainayompa kibali afisa wapolisi/usalama wa taifa kuuwa,kuharibu mali, kutesa na hata

    kuvunja katiba na sheria zanchi, bila kuwajibika kisheriakwa jinai yoyote atakayofanyailimuradi tu adai kuwa alikuwaanamshughulikia mtuhumiwawa ugaidi.

    Waislamu tunafundishwakuchukua tahadhari na kuwamakini katika kuyaendeamambo yetu hususani katikakipindi hiki na la muhimu nikufahamu kwamba hakuna

    jambo ambalo linaendeshwakwa propaganda na kwa hila namalengo maalumu kama hili laUgaidi. Alisema Ust. Siraj.

    Alisema, endapo Umma wa

    Kiislamu hautakuwa makini,Propaganda hiyo ya Ugaidiitawapukutisha Waislamu naMasheikh kutokana na sheriaya Ugaidi inavyotoa uhurukwa Jeshi la Polisi kufanyawatakavyo hata kukiuka Katibaya nchi.

    Alisema, kwa kuegemeaSheria hiyo ya Ugaidi mpakasasa kuna Waislamu ambaowamejumuishwa kwa sababu tuwamewasiliana na watu ambaosi magaidi bali kwa kuwa tuPolisi wanashuku kuwa niMagaidi.

    Mathalani, unaingia katika

    mitandao ya kijamii unakutamjadala kuhusiana na masualaya Uislamu, pengine madaUgaidi Muislamu unaingiakatika mjadala kuchangia aukusoma tu, unajikuta unaingiakatika matatizo. Alisema, Ust.Siraji.

    Alisema, kwa hali ilivyo sasaitaka wakati kwa Muislamukuushiki l ia na kuufuataUislamu wake kwa kuishiKiislamu itakuwa ni sawasawa na kushikilia kaa la motomkononi kwa jinsi Sheria yaUgaidi ilivyo.

    Na Bakari Mwakangwale

    A l l a h ( s . w ) a m e s h atutahadharisha kwamba kuingiakatika Uislamu ukasimamiahaki dhidi ya dhulma ujuemakaf i r i watachu ki a nahawatapiga kelele kuwawanauchukia Uislamu naWaislamu bali watakaa nakusuka mipango ya kuwauwa,kuwatesa na kuwadhalilisha nandio kinachoendelea hivi sasa.Alisema Ust. Siraji.

    Ust. Siraji, alisema kuwepona upepo kutoka sehemumbalimbali kuwa kuna Jihadi,

    ieleweke kuwa hiyo ni mipangoiliyopangwa, na wasishangaekukutana na miongoni mwao(Waislamu) wakijifanya wanauchungu na Uislamu wakijana mipango ya Jihadi, ujuemwenzio yupo kazini.

    A l i s e m a , W a i s l a m uwanapaswa kutumia akili zaokama ambavyo Allah (s w)anavyowataka na kwambakusema au kutoa tahadhari juuya suala la Jihadi, haina maanakwamba wanapinga Jihadi,

    bali jihadi halisi ni ile ambayohaipiti katika mkondo wamakari bali ni lazima iratibiwe

    na Waislamu kwa kuzingatiamafundisho ya Uislamu.Akizungumzia Sheria ya

    Ugaidi, Ust. Siraji, alisemanisheria ambayo inawapamamlaka makubwa vyombovya Usalama kufanya dhulmana ukandamizaji na mambomengine mabaya, kinyume naKatiba ya nchi.

    Alisema sheria hiyo ya ugaidi,inamkinga askari au afisaUsalama, aliyetumia nguvukupita kiasi na hata kupelekea

    , mtuhumiwa kupoteza maisha,askari huyo hatowajibika

    kusimama mbele ya sheriakujibu mashtaka.

    Kifungu cha 29 (vi) ambachokinasema kwamba endapoaskari au afisa usalamaa t a t u m i a n g u v u k u b w akupita kiasi na hata kupelekeahatua ya kupoteza maishaya mtuhumiwa, askari huyuhatowajibika kusimama mbeleya sheria kujibu mashitakayoyote ya jinai kutokana natukio hilo. Alisema Ust. Siraji,akirejea kifungu cha sheriahiyo.

    Alitolea mfano kwa mmoja wawatuhumiwa anaetuhumiwa nakujihusisha na Ugadi, UstadhiAbubakari Mgodo, alisema

    baada ya kutekwa na Polisi,na kutojulikana wapi alipo na

    jamaa zake kwa muda karibiawiki nzima, na ilipobainikayupo polisi na kuonana na

    jamaa zake aliwaeleza kuwahali yake ni mbaya, kufuatiakipigo alichopata na kupelekeakukojoa damu.

    Inakuwaje mtuhumiwaanachukuliwa na Polisi, walasio jambazi au kibaka akiwamzima wa afya kisha akiwa

    huko anafanyiwa unyama nachombo ambacho kikatiba ndiotunaambiwa ni Usalama wa raiana mali zao.

    Hii ndio sheria ya ugaidijinsi ambavyo inafanya kazi,inakiuka hata Katiba ya nchikwa raia wake, ndio maanaunaona Serikali haisemi lolotepamoja na madhila wayapatayohao watuhumiwa, na wahangawakubwa ni Waislamu.Alisema Ust. Siraji.

    Aki r e j ea za i d i baadhiya vifungu vya sheria hiyoalisema, Kifungu cha 29 (i)

    kinasema, Afisa wa PolisAfisa wa Usalama, MrakibMsaidizi au Mkuu wa Kituo chPolisi anaweza kukupekua bilkuzingatia sheria yoyote, hii inmaana kwamba hawa wapo ju

    ya sheria.Maana yake ni kwamb

    katika utaratibu wa kisherikama wewe unatuhumiwni lazima kuwepo na hatmaalum ya upekuzi, askari akijkwako una haki ya kuwahowakuonyeshe hati hiyo.

    Lakini hapa imeelezwa bilkuzingatia sheria yoyote ilehata kama ni katiba ivunjwendapo hawa wanausalamwanakushuku wewe ni Gaidau umefanya vitendo vyUgaidi. Alisema Ust. Sirajakisherehesha vifungu vysheria hiyo.

    Alisema, kifungu kingina m b a c h o k i n a o n y e s hudhalimu na ukandamizaji wsheria hii ya ugaidi ni kipengercha 31 (i) ambacho kinaelezaAfisa wa Polisi anawezkuingilia mawasiliano ikiwa tatakuhisi kuwa wewe ni gaid

    Alisema, kwa mtindo hundio uliopelekea na kuwaingizka t i ka mtego Wai s l amwengi katika kamatakamati n a y o e n d e l e a k u w e pSegerea, hivyo akawatakWaislamu kuwa makini katikmawasiliano yao vinginevywanaweza wakajikuta katikmatatizo makubwa pasi ykutarajia.

    Ai dha , a l i sema ka t i kkipengere cha 33 (i), ambachkinasema Mkuu wa Jeshi lPolisi au Kamishna wa Polianakuwa na sababu za msingza kushuku na kutuhumkuwa mali yoyote iliyokuwikitumika au kutenda kosa chinya sheria hii anaweza kuitwamali hiyo.

    Kwa maana hiyo, alisemaskari wanaruhusiwa kuvunjsheria ya unyanganyi kwkuchukua mali ambayo wa

    wanaishuku au kuituhumkwamba inatumika au inatakkutumika kwa shughuli zugaidi.

    Ust. Siraji, alisema kupitisheria hiyo itakumbukwa iltaasisi ya Kiislamu iliyokuwikiitwa Alharamain Foundationambayo ilikuwa inashughulikna kujenga Misikiti, vituo vyafya na mashule ya Waislamuilituhumiwa kwa ugaidi nSheikh kiongozi wake AbuUdhaifa, mpaka sasa hajulikanwapi alipo.

    Inaendelea Uk.

    Mhadhiri wa Chuo Kikuu chaWaislamu, Morogoro, Bwana

    Jafar Siraj.

    MKUU wa Jeshi la Polisi nchini

    IGP Ernest Mangu.

  • 8/11/2019 ANNUUR 1143

    4/16

    4 AN-NUU

    DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 201Habari

    Sheria ya ugaidi ni ugaidi mauwaji, uvunjaji wa haki!Inatoka Uk. 3

    Si hiyo tu, lakini piam t a k u m b u k a S h u l e y aK i i s l a m u y a A l f u r q a n ,ilifungiwa akaunti yake nakuzuiwa pesa zilizokuwemokatika akaunti hiyo kwakushukiwa kuwa inajihusishana Ugaidi, sasa hizi ni athariza sheria ya Ugaidi ambazoimepewa nguvu ya kupitilizana waathika wakubwa niWaislamu. alisema Ust. Siraji.

    Kufuatia hali hiyo alisema,a k a w a t a k a W a i s l a m ukufahamu ya kwamba wapokatika kipindi cha mpito na

    nyakati hizi na zinazokuja ningumu kwao chini ya Sheriahiyo ya Ugaidi.

    Alirejea kuli ya SheikhFarid Hadi, akiwa Mahakamaya Kisutu pale alipoiambia

    Mahakama kuwa Tanzaniahakuna Ugaidi na walaisiombewe ukaingia huo Ugaidinchini, sisi kosa letu ni kudaihaki na mamlaka ya nchi yetu,maana yake hiyo ndiyo sababuya kupewa kesi ya Ugaidi.

    Ust. Siraj i , al isema chak u s i k i t i s h a p a m o j a n aukandamizaji wa haki za

    bi nada mu zi li zomo ka ti ka

    Sheria hiyo ya Ugaidi, Bungela Jamhuri, liliipitisha sheriahiyo kwa kufanya marekebishoya Katiba ili kuiruhusu itumikena iweze kufanya kazi nchini.

    Alisema, ukitaka kubaini

    kwamba Sheria hiyo ilikuwana malengo maalumu, sikuchache baada ya kupitishwana Bunge, Balozi wa Marekanialiyekuwepo wakati huoalikwenda Bungeni Dodoma nakulipongeza Bunge kisha alitoamabilioni ya dola, kwa jinsi(Marekani) walivyofurahishwana hatua hiyo.

    Mpaka sasa pamoja na

    kwamba watuhumiwa hao wUgaidi wakiwemo Masheikna Waislamu kulalamikm b e l e y a M a h a k a mk u f a n y i w a m a t e n d o

    machafu na kupata matesokutoka kwa Polisi na MaasUsalama huku mtuhumiwmwingine kukatwa mgukufuatia kuoza kwa jerahalilolipata kwa kipigo chPolisi, Serikali haijatokauli yoyote juu ukatilwaliofanyiwa watuhumiwhao ambao asilimia mia mojni Waislamu.

    TASISI ya Masheikh naWanazuoni wa KiislamuTanzania, imekiri kwambakuwa na Makadhi njeya Serikali ni kazi burek u t o k a n a n a k u k o s anguvu za kisheria mbeleya Mahakama za kawaidanchini.

    Masheikh na Wanazuonihao wamebainisha hayomapema wiki hii kufuatiamvutano uliojitokeza katika

    Bunge Maalum la Katiba,kuhusu Mahakama ya Kadhikuingizwa katika Katibahuku wengine wakipingahatua hiyo.

    Katika taarifa yao kwagazeti la An nuur, Wanazuonihao wamesema, baada yakutafakari hoja za pande zotembili, wamebaini kwambawanaodai Mahakama yaKadhi iingizwe katika Katibaya nchi kwa ajili ya kuendeshakesi za Waislamu zinazohusundoa, talaka, mirathi, waqfu,

    wasia na malezi ya watoto,wako sahihi.Jaribio la Waislamu kuwa

    na Makadhi wao wenyewebila ya nguvu za Serikal ilimeshindikana baada yahukumu zao kukosa thamanina nguvu za kisheria mbeleya Mahakama za kawaidahapa nchini.

    Hivyo kwa kuwa hivi sasatumo katika mchakato waKurekebisha Katiba ya nchi,si kosa kwa Waislamu kudaiMahakama ya Kadhi iingizwe

    Wanazuoni wasisitiza umuhimu wa kuwepo Mahkama ya KadhNa Bakari Mwakangwale kwenye Katiba kwani huuhaswa ndio wakati muafaka

    wa kuwasilisha madai hayo.Imesema Taarifa hiyo.

    Ikasema taarifa kuwa walewanaopinga Mahakama yaKadhi kuingizwa katikaKatiba wajenge hoja zenyemifano iliyo wazi, kwakujifunza katika nchi ambazozina Mahakama hizo katikaKatiba zao.

    Wanazuoni hao wamezitajanchi kama Kenya, Uganda nahata sehemu ya Tanzania,Zanzibar kama mifano hai

    ya jinsi Mahakama hizozisivyovunja mshikamanona umoja wa wanadini mbiliwanaoishi pamoja.

    T a a s i s i h i y o ,ikawatanabaisha Wabungewa Bunge Maalum la Katibapamoja na Watanzania kwaujumla kudumisha umojawao na kutoigeuza kadhia yaMahakama ya Kadhi kuwakisu cha kuukata umoja naUtanzania wao.

    A i d h a , t a a r i f a h i y oi m e s e m a , u w e p o w a

    M a h a k a m a y a K a d h inchini kisheria utapunguzamsongamano wa kesi katikaMahakama za kawaidakwa kuzihamishia kesi zaaina hiyo katika Mahakamam a a lum y a Ka d h i n akuharakisha utoaji wa hakikwa wahusika.

    U h a r a k i s h w a j i w akuamua kesi, kutokanana hatua hiyo, utaongezaufanisi wa uendeshwaji waMahakama kwa ujumlana mwisho utapunguza

    gharama zitokanazo namlundikano wa kesi.Imesema Taarifa hiyo.

    Mbali ya kukosa nguvuKisheria kwa Mahakama yaKadhi kuwa nje ya Katiba, pia

    Wanazuoni hao wamesemawanaosukumwa kudaiMahakama hiyo itambulikekisheria wamebaini kuwaMahakimu wa Mahakama zakawaida, wanakosea katikakuzitoleoa hukumu kesiza ndoa, talaka na mirathikutokana na kutozijua vizurisheria husika za Kiislamu.

    Hali hiyo, wamedai kuwainatokana na kesi hizokuhitaji mafunzo maalumzaidi ya mafunzo ya sheriaza kawaida za kisekula, ili

    kumuwezesha hakimu wkawaida kuamua kwa hakkesi hizo.

    Kitabu kinachotumikk ut o lea h uk um u h iza m b a c h o n i Q u r - a n

    kinamuhitaj ia Hakimukukijua vema kukikubalkukiamini na kukiheshimujam bo am balo lina we zkupatikana tu kwa KadhMuislamu. Imeeleza.

    Ama kuhusu wale wenyhofu ya matumizi ya pesza Ser ikal i kuendeshMa h a k a m a y a Ka d h iMasheikh hao wamewatakwazingatie kwamba hivi sasSerikali inalipa fedha zisizna tija Mahakimu wanaotohukumu kimakosa katikkesi hizo za Waislamu.

    AMIR wa Shura ya Maimamu nchini Sheikh Mussa Kundecha

  • 8/11/2019 ANNUUR 1143

    5/16

    5 AN-NUU

    DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 201Habari za Kimataifa

    SERIKALI ya Marekaniimesisitiza kuwapatia nguvuzaidi na silaha wapiganajiwanaopigana na serikaliya Syria, licha ya nchi hiyokudai kwamba inakabilianana magaidi katika eneo laMashariki ya Kati.

    Msemaji wa White House,Josh Earnest, amesema kuwalicha ya kuwepo msisitizowa Marekani kupambana nakundi la Daesh, lakini serikaliya nchi hiyo bado ina azmaya kuendeleza uungaji mkono

    wake kwa makundi mengineyanayopigana na serikali yaSyria.

    Msemaji huyo wa WhiteHouse ameongeza kuwa,Washington na baadhi yawashirika wake katika eneo laMashariki ya Kati, wataendeleakuyapatia zana za kijeshi

    Ushuhudiwe undumilakuwili wa MarekaniWakati waandishi wakiendelea kuchinjwa

    Imesisitiza kuwaunga mkono wapiganaji Syriamakundi yanayobeba silahanchini Syria kwa lengo lakukabiliana na kundi la Daesh.

    Wakati huohuo, Waziri waMambo ya Nchi za Nje waurusi, Sargei Lavrov, amesemakuwa shambulio lolote la angalitakalofanywa na Marekanindani ya ardhi ya Syria kwakisingizio cha kuwatokomezamagaidi bila ya ridhaa yaDamascus, halikubaliki nalitakiuka sheria za kimataifa.

    Siku chache z i l izopi ta

    Walid al Muallim, Waziriwa Mambo ya Nchi za Njewa Syria alisema kwamba,Damascus inakaribisha nchiyoyote inayotaka kushambuliamagaidi ndani ya ardhi yake,lakini mashambulio hayo shartiyafanyike kwa ushirikiano naSyria.

    RAIS wa Marekani, BarackObama.

    U M O J A w a M a t a i f aumethibitisha kuweko uhusianowa karibu na wa moja kwa moja

    kati ya makundi ya wapiganajinchini Syria na utawala wa Israel.K w a m u j i b u w a r i p o t i

    iliyotolewa na walinda amani waUmoja wa Mataifa katika miinukoya milima ya Golan inayokaliwana Israel imebainika kwamba,utawala wa Kizayuni wa Israelumekuwa ukitoa misaada yakijeshi na kilojistiki kwa makundihayo yanayopigana na serikali yaRais Bashar al Asad huko Syria.

    Sehemu moja ya ripoti hiyoinasema kuwa, katika wiki zahivi karibuni, wapiganaji wamakundi ya hayo waliojeruhiwavitani, wamekuwa wakiingia

    Israel kupitia miinuko ya Golankwa ajili ya kupata matibabu.Pia ripoti hiyo ya walinda amani

    wa Umoja wa Mataifa imechuakuwa, kundi la wapiganaji la

    Jab 'h at an -N us ra , mb ali nakushambulia makao ya kikosicha UN huko Golan na kutekamagari, vifaa na askari wa kikosihicho, pia lilitumia silaha hizoyakiwemo mavazi ya wanajeshiwa UN kwenye vita dhidi yaserikali ya Syria.

    Tayari UN umewahamishabaadhi ya askar i wake kat ikaeneo hilo la Golan baada ya

    UN yakiri kuwepo uhusiano kati ya wapiganaji Syria na Israekushambuliwa na baadhi yaokutekwa na kuachiwa baadae.

    Haya yanafanyika katika hali

    ambayo viongozi waandamizi wamakundi ya Daesh na an-Nusrawaliokamatwa katika nchi za Syriana Iraq, wakiripotiwa kukikirikuwa wamekuwa wakipokeamisaada mbalimbali kutoka kwautawala wa Israel.

    K u t o l e w a r i p o t i h i y okumethibitisha matamshi yamara kwa mara ya viongoziw a S y r i a k w a m ba , I s r a e limekuwa ikiyafadhili makundiyanayopigana na serikali yaDamascus.

    Usha hi d i z a i d i k u hu suushirikiano wa Wazayuni namakundi ya wanamgambo wa

    Syria, umedhihirika zaidi kufuatiaziara ya Kamal Al-Labwani,kiongozi mwandamizi wa kundila 'Jeshi Huru la Syria' huko Israelsiku tatu zilizopita. Pia kiongozimwingine wa ngazi za juu wawapiganaji wa Syria, MohamedBadi, siku chache zilizopita ametoataarifa ya kumshukuru WaziriMkuu wa utawala wa Kizayuniwa Israel, Benjamin Netanyahu,kutokana na kukubali majeruhiwa makundi hayo kutibiwa katikahospitali za Israel.

    Wa c ha m bu z i w e ng i w aeneo hili la Mashariki ya Kati

    wanakubaliana kwamba, kupatanguvu makundi ya wapiganajidhidi ya serikali kama vile Daesh,

    Ja b' ha t an -N us ra na An sa ruSharia katika nchi za Iraq naSyria, kumetokana na misaada yakifedha, kijeshi na kiintelijensiayanayopata kutoka nje ikiwemoile inayotoka Israel, baadhi ya nchiza Kiarabu na zile za Magharibi.

    Taar i fa z inaeleza kuwaMaasa wa ngazi za juu wa Iraq,wanazishutumu Saudi Arabia naQatar kuwa zinawaunga mkonowakuu wa kundi hilo.

    Imearifiwa kuwa kundi hilolinafungamana na Shirika laKijasusi la Saudia na lina uhusianousio wa moja kwa moja na utawalawa Kizayuni wa Israel.

    Wa j u z i w a m a m bo p i awanaamini kwamba, utawalawa Israel, ambao kwa zaidi yamiongo sita umekuwa ukipora nakuzikalia kwa mabavu ardhi zaPalestina wakiungwa mkono waMarekani, umeamua kuunganana makundi ya wapinzani waserikali ya Syria Mashariki yaKati, ili kuzusha migogoro nahali ya ukosefu wa usalama iliulimwengu ushughulishwe namatukio kama hayo na kusahau

    jinai za utawala huo dhidi yawananchi wanaodhulumiwa waPalestina.

    Kutokana na hali hiyo ilivyo,wachambuzi wa masuala ya kisiasa

    UTAFITI mpya uliofanyw

    nchini Marekani, unaonyeshkuwa nchi hiyo ipo katika hataya kukabiliwa na ukame wa mudmrefu. Utafiti huo umefanywkwa kutegemea vithibitisho nmabadiliko ya hali ya hewa.

    Matokeo ya utati huo mpyyamepatikana kwa kutegemetaarifa za huko nyuma kuhusianna vipindi vya ukame vilivyopina vile vile mabadiliko ya hivsasa katika unyeshaji wa mvuambayo ni natija ya kuongezekkwa gesi za sumu.

    Toby Ault, mtaalamu wa sayankutoka Chuo Kikuu cha Cornenchini Marekani, anasema kuw

    hatari ya ukame wa muda mrefipo katika kipindi cha karibmiaka kumi na kwamba, kwkawaida kiwango cha ukamhuo ni cha asilimia 50 lakini kwkuzingatia mabadiliko ya hali yhewa, kuna uwezekano ukali wukame huo ukakia asilimia 8au hata 90.

    Marekani inatishiwa n

    ukame wa muda mref

    wakahoji nia na dhamira haliya Marekani ya kupigia chapusuala la kuundwa muunganwa kimataifa wa kupambanna ugaidi, wakati WashingtonWazayuni na maraki zao ndiwaasisi na wafadhili wakubwa wugaidi sio tu Mashariki ya Katlakini pia katika maeneo mengkote duniani.

    Waziri Mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu

  • 8/11/2019 ANNUUR 1143

    6/16

    6 AN-NUU

    DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 201Habari

    SERIKALI ya Uingereza

    imesema kuwa inachukuahatua za dharura, ili kubainiukweli wa kanda ya videoinayoonyesha mateka waUingereza David CawthorneHaines, aliyetekwa nyara nakundi la Dola ya Kiislamuna mwishoni mwa wikiakachinjwa.

    Siku ya Jumamosi, kundila ISIS limedaiwa kusambazavideo inayoshabihiana nazile za awali zilizoonyeshawaandishi habari wawili waKimarekani, James Foleyna Steven Sotlo wakiuawa

    kwa kukatwa vichwa vyao.H a i n e s , a l i y e k u w a

    mfanyakazi wa misaadaa l i y e k a m a t w a n c h i n iSyria Machi mwaka jana,ameonyeshwa akipigamagoti katika jangwa, kandoyake akiwa na mtu aliyechauso wake ambaye amebebakisu.

    Haines atakuwa matekawa tatu wa nchi za Magharibikuchinjwa katika kipindi chamwezi mmoja uliopita.

    Katika kanda hiyo ya

    video, mtu aliyeshika kisuanaonekana akishtumumataifa yanayounga mkonoMarekani, huku Hainesakionekana kuwa chini yashinikizo, akimlaumu WaziriMkuu wa Uingereza, DavidCameron, kwa kusababishahatma yake.

    M w a n a m g a m b oa l i y e j i f u n i k a k i c h w aanaonekana katika videohiyo yenye anwani ya'Ujumbe kwa washirika waMarekani' ambamo anasemamauaji ya Haines ni jibu kwa

    hatua ya Waziri Mkuu waUingereza David Cameronya kushirikiana na Marekanikatika vita dhidi ya ISIS.

    Mwisho wa kanda hiyomateka wa pili wa Uingerezaanaonyeshwa na kutishiwa.

    Wakati huo huo, WaziriM k u u w a U i n g e r e z aDavid Cameron, amelaanikuchinjwa David Haines nakusema kuwa kitendo hichoni cha kishetani.

    A m e s e m a k u w awauaji watakamatwa na

    Baada ya kuchinjwa HainesUingereza, Marekani bado zahaha

    kuchukuliwa hatua zakisheria hata kama itachukuamuda mrefu.

    Rais Obama naye kwaupande wake amelaanimauaji ya kikatili ya DavidHaines na kwamba, Marekanina Uingereza zinaombolezakifo cha mateka huyo.

    Rais Obama aliongezeakuwa nchi yake itashirikianana muungano mkubwa wakimataifa ili kuwakamatawatuhumiwa hao mbali nakutokomeza tishio hilo kwaulimwengu.

    Mapema mwezi huu,wapiganaji wa muunganowa ISIS walionyesha mkandawa video wakimchinjamwandishi wa habari waMarekani Steven Scotloff.Kabla ya kuchinjwa Scotlo,mwandishi mwingine raiawa Marekani James Foley,naye aliripotiwa kuchinjwa

    na wapiganaji hao.Kabla ya kukatwa kichwa

    Haines wiki hii, amapemamwezi huu mwandishialiyetajwa kwa jina la StevenSotlof f, mwenye umriwa miaka 31 aliyetekwana wapiganaji hao mweziA u g u s t m w a k a j a n aaliripotiwa kuchinjwa.

    S o t l o f f , a l i o n e k a n amwishoni katika pichaza video zilizoonyeshwaa k i c h i n j w a m w a n d i s h imwingine wa Marekani James

    Foley.Katika video hiyo mwandishi

    huyo anaonekana kuuawa namtu anayemruhusu kutoa kauliyake ya mwisho.

    Sotloff, katika video hiyoalioneshwa amepiga magoti nakusikika akisema kuwa:

    'Obama, your foreign policy ofintervention in Iraq was supposed

    to be for preservation of Americanlives and interests, so why is itthat I am paying the price of yourinterference with my life?.''

    M p i g a n a j i m m o j a w akundi hilo akizungumzakwa kiingereza, anamlaumuRais Obama kwa kifo chamwandishi habari huyo.

    Im back, Obama, and Im backbecause of your arrogant foreign

    policy towards the Islamic State..As your missiles continue to

    strike our people, our knife willcontinue to strike necks of your

    peop le , anasikika akisemakabla ya kutekeleza kitendo

    hicho.Muuaji anasadikiwa kuwani yule yule aliyemchinjamwandishi wa kwanza JamesFoley siku za nyuma.

    Punde baada ya kukamilishahotuba yake, muuaji huyoanaanza kumchinja Sotlofflakini video inazimwa.

    Sekunde chache baadayemateka mwingine raia waUingereza David CawthorneHaines, anaonekana kabla yailani kutolewa kuwa hatimayake iko mikononi mwa taifala Marekani.(BBC)

    M A H A K A M A y a M i s ri m e m u h u k u m u k i f u n gcha maisha jela kiongozi wHarakati ya Ikhwanul MuslimiiMuhammad Badie, baada ymahakama kudai kuwapatna hatia ya kufanya mauaji nuchochezi katika eneo lililokkaribu na Cairo mji mkuu wMisri.

    Hukumu hiyo pia imewaanguwanachama wengine 14 wa chamcha Ikhwan, ambacho tayakimepigwa marufuku nchinhumo baada ya kuondolewmadarakani serikali ya aliyekuwRais wa nchi hiyo Dk. MohammeMorsi.

    Awali Jaji wa Mahakama hiyaliitisha kesi hiyo kwa lengo kusikiliza maelezo ya mashahidlakini aliamua kutoa hukumya kifungo cha maisha jela kw

    watuhumiwa hao.Muhammad Badie mwenyumri wa miaka 71, ni miongomwa mamia ya wanachama wIkhwanul Muslimin ambao tayawamehukumiwa adhabu ya kifhukumu ambayo imekosolewvikali na makundi ya kutetea hakza binadamu duniani.

    T a n g u i l i p o o n d o l e wmadarakani serikali ya RaMuhammad Morsi Julai mwak

    jana, kwa wastani watu 1,4 0wameuawa, 15,000 wametiwmbaroni huku 200 kati yawakihukumiwa adhabu ya kif(www.irib.ir)

    Badieahukumiwa

    kifungo chamaisha jelaMisri

    David Cawthorne Haines.

    MUHAMMAD Badie.

  • 8/11/2019 ANNUUR 1143

    7/16

    7 AN-NUU

    DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 201Makala

    M S I M A M O w aMwanasheria Mkuu waSerikali ya Mapinduzi

    Z a n z i b a r , O t h m a nMasoud Othman, nimsimamo wa kizalendo,wa kupigiwa mfano naunaofaa kuigwa na wakuuwengine wa Serikaliwenye hisia na nchi yao.

    Ni nadra siku hizi, hasanchini mwetu, kuwaonaau kuwasikia viongoziwenye vyeo vikubwa kamahicho cha MwanasheriaMkuu wakijitokeza wazi,tena bila ya woga, kuitetea

    misimamo inayopinganana ile ya wakubwa wa nchi.Hivyo, Mheshimiwa huyuyuko katika tabaka la walewaliojitolea kuipiganianchi yao.

    Huo ndio uzalendo.Tena ni uzalendo wa haliya juu. Si tu kuwa mtuana mapenzi na nchi yake,lakini pia kuwa ana moyowa kujitolea kuipiganianchi yake na kuwa tayarikuziondoa, kuziwekaupande au kuzipuuzatafauti zozote zilizopo ziwe za kidini, za kikabilaza kichama au za kiitikadiza kisiasa baina yake nawananchi wenzake. Daimaanakuwa anaiweka mbelenchi yake, naliwe liwalo.

    O t h m a n M a s o u da m e u d h i h i r i s h i aulimwengu na muhimuzaidi amewadhihirishiaWazanzibari wenzakekwamba yeye ni mzalendowa aina hiyo. Tena ni mtu

    mwenye kujiamini.N a f i k i r i s a b a b uinayomfanya ajiamini nikuwa anaamini kwa dhatikwamba anaitetea haki.Hataki kuona dhulmainatendeka baina yanchi mbili zilizo katikaMuungano. Hataki kuionanchi moja inaidhalilishan y i n g i n e . H u k okujiamini kwake ndikokunakomfanya asiwe nahata chembe ya woga

    Othman Masoud:Jemedari wa Kupigania HakiNa Ahmed Rajab

    kwa kuwakwaa wakubwawenye sera zinazopinganana msimamo wake. Walew e n y e k u m b e z a n awaliojitokeza kimbelembele kumshauri Rais AliMohamed Shein amfukuzekazi wamekosea.

    K w a k u u c h u k u amsimamo aliouchukuaO t h m a n M a s o u dameonyesha kuwa hanaubinafsi. Hayuko tayarikuiuza nchi yake kwavijipesa viwili vitatu aukwa ulwa wa aina yoyoteile.

    Alipokuwa analihutubiakongamano la Baraza laKatiba la Wanafunzi waVyuo Vikuu Zanzibar,Ot h m a n h a k u t a fu n amaneno, hakuji fanyakibogoyo alipoutamkau k w e l i n a w a l ahakubabaika kwa namnayoyote ile. Sauti yake ilijaahamasa ya uzalendo wake;

    aliyaeleza mambo kwabusara na hikma, tena kwataratibu.

    Kwa ufupi aliililia nakuipigania nchi yake.Hamna shaka yoyotekwamba yeye ni jemedarimzuri wa kuipiganiaardhi iliyozikiwa kitovuchake. Inafaa tumshukuruMungu kwani kila uchaoanachomoza jemedarimwingine wa kuipiganiaZ a n z i b a r y e t u . Ki l a

    mmojawao akili kichwani.Vipi tushindwe kwenyevita hivi?

    O t h m a n M a s o u danautetea muundo waMuungano utaokuwana Serikali tatu kamailivyopendekezwa naTume ya Katiba iliyo chiniya Jaji (Mstaafu) JosephWarioba.

    Pamoja na kuubainishamsimamo wake kuhususuala la Muungano,Mwanasheria huyo Mkuuzaidi aliutumia wadhifawake na uweledi wakewa masala ya kisheriakutuelimisha Wazanzibariwenzake kuhusu mamboya Katiba na jinsi Zanzibarinavyopunjwa ikiwa ndaniya Muungano wa serikalimbili kama ulivyo sasachini ya ule aliouelezeakuwa ukoloni kasorobo.

    Alieleza pia kwamba

    m u u n d o u l i o p o w aMuungano ndio wenyeh a t a r i y a k u u v u n jaM u u n g a n o k i n y u m en a w a n a v y o f i k i r i awahafidhina wa CCM/Zanzibar na wale walioBara wanaotishwa nawahadhina hao.

    N i n a a m i n i k a b i s akwamba itikadi halisiya wahaf idhina haoni kuendelea kuwa namadaraka ili wayatumie

    MWANASHERIA Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanziba

    Othman Masoud Othman.

    madaraka yao kujichumimali. Huo ndio mkakatwao na hiyo ndiyo halhalisi ilivyo.

    Aghalabu watu wenykuipenda nchi yao nwalio tayari kujitolemhanga kwa sababu ynchi yao huwa hawawajahao wahafidhina. Huwhawawat i i maananiWanafanya hivyo kwsababu katika nyakatkama hizi za uwazi ndemokrasia watu wsampuli ya wahafidhinwetu wenye kuonykuhusu maafa marnyingi, kama si zote, huwndio wasioisoma vizurhistoria. Matokeo yake nkwamba huishia kutupwkatika debe la taka lhistoria.

    Kwa upande mwinginewatu wa sampuli yMasoud Othman, hat

    kama awali watakumbwn a m i s u k o s u k omisukosuko hiyo huwya mpito tu kwani huishikubebwa na umma nkushangiriwa kwa ushindwao kwa sababu daimwanakuwa wanapiganihaki.

    (Tumetoa makala hii kwhisani ya Ahmed Rajakama ilivyopatikankatika mtandao wa

    Mzalendo)

    RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali

    Mohamed Shein.

  • 8/11/2019 ANNUUR 1143

    8/16

    8 AN-NUU

    DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 201Makala

    MKASA wa Septemba 11, 2001,

    unaenda mbali zaidi ya vifo vyawale waliofariki katika minarana vifo vya zimamoto na watoamisaada ya awali waliofarikikwa magonjwa yaliyotokanana kuvuta vumbi lenye sumu.Kwa miaka 13 sasa kizazi kipyacha wa-Marekani kimezaliwana kuingia katika mapokeoya 9/11 ambayo yametumikakuunda dola ya vita/usalama yaMarekani.

    Tawala zilizojaa rushwa zaBush na Obama zilitumia 9/11kuua, kulemaza, kunyang'anyana kupangua mamilioni yaWaislamu katika nchi saba, ambaohakuna hata mmoja alihusika kwa

    vyovyote katika mkasa wa 9/11.Kizazi cha wa-Marekanikimezaliwa katika dharau nakutowaamini Waislamu.

    Kizazi cha wa-Marekanikimezaliwa katika dola yakiusalama ambako faragha yamtu binafsi na ulinzi wa kikatibahavipo tena.

    Kizazi cha wa-Marekanikimezaliwa katika hali ya vita yamuda wote ambako mahitaji yawananchi yanabaki hayakidhiwi.

    Kizazi cha wa-Marekanikimezaliwa katika jamii ambakoukweli unabadilishwa na urudiajiusioisha wa kusema uwongo.

    Kwa mujibu wa kile utawalaunachohadithia , Septemba11, 2001, dola inayosifika yakiusalama ya taifa kuu pekeeduniani ilishindwa na vijanakadhaa kutoka Saudia wakiwa navisu vya kukatia karatasi ngumukama boksi. Dola ya kiusalamaya Marekani ilidhihirisha kuwahaiwezi kitu na ikapata pigola kufadhaisha na kunyanyasakuliko nchi yoyote ile iliyopatakujiita ni taifa kubwa.

    Katika siku hiyo hakunaupande hata mmoja wa dola yakiusalama ya Marekani ambaoulifanya kazi. Kila kitu kilikwama.

    Jeshi la Anga la Marekani kwamara ya kwanza katika historiayake lilishindwa kupeleka ndege

    za kuingilia kati kuruka angani.Baraza la Usalama la Taifalilishindwa. Mashirika yote 16 yaujasusi ya Marekani yalishindwakama yalivyoshindwa yale yawashirika wa Marekani katikaNATO na Israel.

    Udhibiti wa kutumia njia za angaulishindwa. Usalama wa viwanjavya ndege ulishindwa mara nnewakati huo huo na siku hiyo hiyo.Uwezekano wa kushindwa kwakiasi hicho ni sifuri. Kama kitucha aina hiyo kilitokea katika halihalisi, kungekuwa na msukumokutoka Ikulu, Bunge la Marekani,na kutoka vyombo vya habari

    Septemba 11 baada ya miaka 13Na Paul Craig Roberts

    Septemba 11, 2014 - 'Mtandaowa Kupashana Habari'

    GEORGE W. Bush, Rais wazamani wa Marekani.

    BARACK Obama, Rais waMarekani.

    kufanyika uchunguzi. Maofisawangewajibishwa kwa kushindwakwao. Vichwa vingeporomoka.Badala yake, Ikulu ya Marekaniilizuia kwa mwaka mmoja madaiya familia zilizoathirika na 9/11ufanyike uchunguzi.

    Mwishowe, mkusanyikomdogo wa wanasiasa uliitwa

    kusikiliza kile serikali inachosemana kukiandika. Mwenyekiti,makamu mwenyekiti na mshauriwa kisheria wa Tume ya 9/11wamesema kuwa taarifa zilizuiwakuonyeshwa kwa tume, uwongoulipelekwa mbele ya tume, na kuwatume hiyo "iliundwa ili ishindwe."Kukwama kwa kiwango cha juuzaidi kwa usalama katika historiahakukusababisha hata mtu mmojakufukuzwa kazi. Hakuna hatamtu mmoja aliyewajibishwa.

    Utawala wa Washington ulikiatamati kuwa 9/11 iliwezekanakwa sababu Marekani haikuwana dola ya kipolisi, kiusalama.

    Sheria ya Mzalendo (Patriot Act),ambayo ilikuwa inangoja tukiohilo, ilipitishwa kwa haraka namajinuni wa Bunge hilo. Sheriahiyo iliunda sehemu ya utendajiya dola ambayo iko huru na sheriana Katiba. Sheria hiyo na hatuazilizofuata vimeunda kikamilifudola ya kipolisi "katika nchi ya

    walio huru."Osama bin Laden, kifaa cha CIA

    aliyekuwa anakufa kwa ugonjwawa njia ya mkojo, alilaumiwalicha ya kukanusha kabisa madaihayo. Kwa miaka kumi iliyofuataOsama bin Laden alikuwa boyaanayetoa kisingizio kwa utawalawa Washington kuua idadiisiyohesabika ya Waislamu. Halafughaa mnamo Mei 2, 2011 Obamaakadai kuwa makomandoo wa

    jeshi la baharini la Marekaniwamemuua bin Laden nchiniPakistan.

    M a s h u h u d a e n e o h i l owalipingana na habari iliyotolewa

    na Ikulu ya Marekani. Osama biLaden akawa mtu wa kwanzduniani kubaki hai kwa miakkumi zaidi huku anaugua kansya kibofu cha mkojo. Hapakuwna mashine ya kumsaidia katikkuhimili hali hiyo alipodaiwalikuwa amejificha. Maelezlukuki ya kifo cha bin Lademwezi Desemba 2001 yakaingizwkatika shimo la kumbukumbu.

    Na timu hiyo ya makomandoikayeyuka wiki kadhaa baadaykatika anguko la helikoptnchini Afghanistan. Maelfu ywanamaji katika meli ya kivitya kubeba ndege ambako biLaden anasemekana alitupw

    baharini (ya Hindi) waliandikkwao kuwa hakuna mazishi kamhayo yaliyotokea.

    Hadithi hiyo kuhusu mauaya kukusudia ya bin Ladena makomandoo wa 'Sea

    kundi la sita ilisaidia kumalizchangamoto ya wafuasi wa chamcha Democratic cha Marekankuhusu kupendekezwa Obamkugombea urais kwa muhulwa pili. Pia iliondoa neno 'vitdhidi ya ugaidi' kutozuiliwa nuwepo wa bin Laden. Utawalwa Washington ulikuwa unatakkuzishambulia Libya, Syria nIran, nchi ambazo bin Ladehakuwa anafahamika kuwa nasasi zake, na mfululizo wa videfeki za bin Laden, ambako biLaden alikuwa anazidi kuwkijana wakati bin Laden feki akidkuhusika na kila shambulio jipyzilikuwa zimepoteza ushawish

    wake miongoni mwa wataalamuNikiangalia majengo pacha njengo lingine la Kituo cha Kimataicha Biashara yakianguka (katikshambulio la 9/11), ilikuwa nwazi kwangu kuwa majengyale hayakuwa yanaangukkutokana na kuharibiwa mifumyake. Ilipokuwa wazi kuwa Ikulimezuia uchunguzi huru wminara mitatu ya chuma chpua pekee duniani iliyoangukkutokana na mioto ya osi ya jotla wastani, ilikuwa ni wazi kuwkulikuwa na jitihada ya 'kufunikkombe.'

    Baada ya miaka 13 watu nchinMarekani na kwingineko dunianwanaona kilichoelezwa na serikakinaaminika.

    Walichosema wachunguzi hurkimekuwa na nguvu zaidi kiaambacho vyombo vya habavikubwa (ambavyo viko karibzaidi na watawala) vimeanzkufungua milango kisikikeAngalia kwa mfano Richard Gagwa Architects & Engineers for 9/1Truth katika C-SPAN:

    https://www.youtube.comwatch?v=3Zbv2SvBEec#t=23

    Baada ya miaka mingi yjitihada, kundi moja jijini NewYork limepata idadi inayohitajiwya saini halisi kuweka suala hil

    Inaendelea Uk.

    MLIPUKO katika shambulio la Septemba 11, 2001.

  • 8/11/2019 ANNUUR 1143

    9/16

    9 AN-NUU

    DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 201Makala

    Septemba 11 baada ya miaka 13Inatoka Uk. 8

    lipigiwe kura ya maoni kuachauchunguzi wa nini kulisababishakuanguka kwa majengo matatu yaWTC (kituo hicho). Maelezo rasmi,kama ni sahihi, yanaainisha kuwaviwango vilivyopo vya miotona ujenzi wa majengo marefyhavitoshi kuwalinda watu nakuwa majengo yote yaliyojengwa

    kwa nondo za chuma cha puayako hatarini kwa njia hiyohiyo. Kundi hilo limeonyeshaumahiri kufuatilia suala hilo, kwakulieleza kama suala la usalamawa wananchi na siyo ukweli wakilichotokea 9/11.

    Watawala wa jimbo la NewYork, bila shaka wanaendeleakupinga jitihada hiyo. Sualahilo sasa linangojea uamuzi wamahakama. Ni vigumu kukiria

    jinsi hakimu anavyoweza kwendakinyume na serikali katika jambokubwa kama hilo, lakini kundihilo litakuwa limeainisha kuwaserikali yenyewe haina imani nakile ambacho imekieleza kwa

    wananchi.Katika miaka hii 13, wataalamuwa fizikia, wa kemia, wasanifumajengo, wahandisi na watoahuduma wa kwanza, wametoaushahidi mkubwa ambao kwa halizote unapangua maelezo rasmi yakuporomoka kwa majengo marefumatatu. Majibu kwa wataalamuna wasio wataalamu kuwaitawataalamu 'watafutaji njama.'Kwa maneno mengine, wateteziwa ilichosema serikali hawanamsingi wowote wa kisayansi auuhalisi ambako wamesimama.Hivyo wanaanza kutukana.

    9/11 ilitumiwa kubadilisha kwaundani kabisa serikali ya Marekanina uhusiano wake na wananchi.

    Mamlaka ya kiutendaji yasiyo nampaka au uwajibikaji yamekuwambadala wa mgawanyo wamadaraka uliowekwa katikaKatiba ya Marekani. Kwa jina laUsalama wa Taifa, mamlaka yautendaji hayana vizuizi. Kimsingi,wa-Marekani sasa hawana hakikama serikali inawalenga. Wa-Marekani waliozaliwa baada ya9/11, walizaliwa katika nchi tofautina ile tuliyozaliwa sisi wengine.Wakiwa hawajawahi kuishi katikamandhari ya utawala wa kikatiba,hawatajua wamepoteza nini.

    Mashambulizi ya kutumiavimeta (anthrax) ya Oktoba 2001yamesahaulika, lakini Profesa

    Graeme McQueen katika kitabucha 'Upotoshaji wa Vimeta wa2001' kilichochapishwa mapemam w a k a hu u , a na o ny e shakuwa mashambulio ya vimetayalichukua nafasi kubwa katikakuweka sawa nia ya serikalikuchukua mamlaka ya kipolisi/kiusalama yasiyo na uwajibikaji.Wenyeviti wawili wa chamacha Democratic katika Baraza laSenate, Thomas Daschle na PatrickLeahy, walistushwa na juhudiza utawala wa Bush za kutakaserikali ipewe haki ya kufanyaitakalo, na walikuwa na uwezowa kuzuia kuingizwa kwa sheria

    za dola ya kipolisi/kiusalamana uwezo wa wakuu wa serikalipekee kuipeleka Marekani vitani.

    Maseneta hao wawili walipokeabaru a zenye vimeta, ka maambavyo kampuni kubwa zavyombo vya habari zilipokea.Watangazaji maarufu wa habarikama Dan Rather (CBS News)ambaye alilinganisha kuangukakwa majengo marefu ya WTCna jinsi majengo yanavyoangukakwa kulipuliwa, alikuwa badohajafukuzwa kazi na wafuasiwa chama cha Republican(kilichokuwa madarakani) kwamadai ya kusingiziwa. Mapema,

    barua hizo za vimeta ambazozilisababisha vifo vya baadhiya wafanyakazi wa kampuni yausambazaji barua na vifurushi

    ya (Universal Syndicate of PostalServices - USPS), walionekanakama ni hatua ya pi l i yamashambulio ya 9/11. Wogaulienea. Maseneta na vyombovya habari wakanyamaza. Halafuikagundulika kuwa vimetahivyo ni aina maalum ambayoinatengenezwa tu na maabara yakiserikali katika jeshi la Marekani.

    Mwitikio wa ubabaishaj ihuu mithili ya kima msituniambao ulikuwa sasa unavurugapropaganda ya serikali, ilikuwani FBI (Idara ua Upelelezi)kumbambika mtu aliyekufa,Bruce Edwards Ivins, ambaye

    alikuwa ameajiriwa na maabara yajeshi iliyotengeneza vimeta hivyona aliyesukumwa hadi kujiua

    kwa madai hayo ya kubambika.Washirika wa kitaaluma wamarehemu huyo hawakuaminihata neno moja katika yale serikaliiliyosema, na hakuna chochotekatika mwenendo wake wa kazi aumaisha kilichoashiria uwezekanowa dhamira au udhaifu kimawazoambao ungeweza kumfikishakupania tendo kama hilo.

    Mapema serikali ya Marekaniilijaribu kumbambikia Steven JayHatll, lakini pamoja na juhudiza gazeti la New York Timesna (mwanahabari mhafidhina)Nicholas Kristof, jaribio lakumbambika Hatll lilishindwa.Hatll alipokea dola milioni tano

    kama fidia kutoka serikali yaMarekani kwa madai ya uwongoambayo yalivuruga maishayake. Hivyo serikali iliyoshehenirushwa ya Marekani ikampaniaIvins badala yake.

    Ivins alikuwa amekufa naasingeweza kujitetea, lakiniwashirika wake wa kitaalumawaliweza.

    Mkasa wote huo unanukahadi juu mbinguni. Haki ni kituambacho kiko nje ya mipaka yaMarekani. Usitazamie kupata hakindani ya Marekani. Wa-Marekaniwengi hawafahamu ni kwakiwango gani serikali kuu (inaitwa

    ya shiriki sho) imewahodhwataalamu wanaoweza kuhoh a d i t h i i n a z o t o a ( k a t i kpropaganda zake). Kwa mfanhakuna mwanafizikia bingwambaye anaweza kuamini maelezya serikali kuhusu kuporomokkwa majengo matatu marefya WTC. Lakini idara za zikiza vyuo vikuu vya Marekanzinategemea sana fedha kutok

    serikali kuu. Mtaalamu yeyotwa zikia atakayetoa maoni yakanaweka mashakani siyo kazi yaktu ila matazamio ya washirikwake wote. Mwanazikia Steve

    Jones, ambaye alionyesha kwmara ya kwanza kuwa 'thermit(kemikali maalum ya kulipuailitumika katika ubomoaji wminara miwili, alikubali chukikuu alichokuwa akifanya kakimlipe haki zake za kuachishwwakati akiwa profesa wa kudumchuoni humo, vinginevyo chuhicho kingepoteza misaada yoya kifedha kutoka serikali kuu.

    V i k w a z o h i v y o h i v yvinaonekana kat ika sekt

    binaf si . Wasanif u majengo nwatalamu wa mifumo ya ujenwanaoonyesha mashaka kuhusilichosema serikali kuhuskuanguka kwa majengo haymatatu marefu, wanaangaliwna wateja wao kama watetezwa siasa kali za Kiislamu nwapika hisia za njama. Watejwao ni wazi hawana uwezo wkitaaluma wa kuweza kupimsuala hilo, lakini wanatawaliwkihisia na urudiaji muda wote bikupumua kuwa 9/11 ilikuwa nmashambulio ya Osama bin Ladenchini Marekani. Mchemko huwa kihisia unawafanya wasiwezkuathiriwa na vielelezo halivinapotolewa.

    Uwongo kuhusu 9/11 umedum

    kwa miaka 13, Mamilioni yWaislamu wamelipia uwongo hukwa maisha yao, kuharibiwa kwfamilia zao, na kuondolewa katikmakazi yao. Wa-Marekani wenzaidi wanaridhika na hali hkwamba serikali yao imeteketezkwa jumla au sehemu ya nchsaba kutokana na uwongo ambautawala wa Washington umeelezili kucha kazi ya ndani kwa ndanambayo iliwezesha kuanza rasmkwa mpango wa wahafidhinkuinua Himaya ya Dunia chini yutawala wa Washington.

    (Dk. Paul Craig Robertalikuwa Naibu Waziri wa Fedhalishughulikia sera (miaka y1980), amekuwa pia mharimshiriki wa gazeti la kiuchumla Wall Street Journal. Amekuwmwanasafu wa jarida la kilwiki Business Week, mtandawa habari wa Scripps Howardna Creators Syndicate (mshirikwa mtandao wa watunzi wenysifa). Amekuwa akihitajiwa nvyuo vikuu mbalimbali kwkazi za muda mfupi. Safu zakza mtandao zimevuta wasomakutoka maeneo yote dunianVitabu vyake vya hivi karibuni n'Kushindwa kwa Ubepari Hurna Kuanguka Kiuchumi kwa Nchza Magharibi,' na 'Jinsi MarekanIlivyopotezwa.')

    SHAMBULIO la Septemba 11.

  • 8/11/2019 ANNUUR 1143

    10/16

    10 AN-NUU

    DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 201TAMKO

    Sekretarieti ya Taasisi yaMasheikh na Wanazuoniwa Kiislamu Tanzania,imekutana leo Jumapilitarehe 14/09/2014 katikakikao maalumu cha dharurakwa ajili ya kujadili jambomoja tu, ambalo ni kadhiaya sisi Waislamu kudaikuanzishwa kwa Mahakamaya Kadhi nchini na mvutanouliojitokeza katika BungeMaalum la Katiba, kati yawanaotaka Mahakama yaKadhi itamkwe waziwazikatika Katiba na walewasiotaka iingizwe kwenyeKatiba ya nchi.

    Baada ya kutafakarikwa kina hoja za pandezote mbili, Sekretarietiimej ir idhisha kwambawanaodai Mahakama yaKadhi i ingizwe katikaKatiba ya nchi pamoja naMahakama hizo kuendeshwana Makadhi Waislamu katikakesi za Waislamu zinazohusundoa, talaka, mirathi, waqfu,wasia na malezi ya watoto,

    wako sahihi kuwasilishamadai hayo.Waliojenga hoja hiyo

    wamesukumwa kudai hivyokutokana na sababu kuu tatuzifuatazo:-

    Kwanza, Mahakimuwa mahakama za kawaida,wanakosea sana katikakuzitoleoa hukumu kesi zandoa, talaka, mirathi n.kza Waislamu kutokana nakutozijua vizuri sheria husikaza Kiislamu ambazo ni panasana katika kadhia hizo, naambazo zinahitaji mafunzomaalum zaidi ya mafunzoya sheria za kawaida zakisekula, ili kumuwezeshahakimu wa kawaida kuamuakwa haki kesi hizo.

    P i l i , K i t a b ukinachotumika kutoleahukumu hizo ambachoni Qur-an kinamuhitajiaHakimu kukijua vemakukikubali, kukiamini nakukiheshimu. Jambo ambalolinaweza kupatikana tu kwaKadhi Muslamu.

    TAMKO LA TAASISI YA MASHEIKH NA WANAZUONI WA KIISLAMU TANZANIA

    KUFUATIA KADHIA YA MAHAKAMA YA KADHI KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA

    MAHAKAMA YA KADHI ISITUGAWE WATANZANIA T a t u , j a r i b i o l a

    Waislamu kuwa na Makadhiwao wenyewe bila ya nguvuza serikali limeshindikanabaada ya hukumu zaokukosa thamani na nguvu zakisheria mbele ya Mahakamaza kawaida hapa nchini.

    Kwa kuzingatia hayo,Taasisi ya Masheikh naWanazuoni wa KiislamuTanzania inatoa Tamkolifuatalo:-

    Kwa kuwa hivi sasa

    tumo katika Mchakato waKurekebisha Katiba ya nchi,si kosa kwa Waislamu kudaiMahakama ya Kadhi iingizwekwenye Katiba kwani huuhaswa ndio wakati muafakawa kuwasilisha madai hayo.

    Wale wanaop ingaM a h a k a m a y a K a d h ikuingizwa katika Katibaw a j e n g e h o j a z e n y emifano iliyo wazi, hukuwakizitazama nchi ambazozimeingiza mahakama hizokatika Katiba zao, kamavile Kenya, Uganda na hatandugu zetu wa Zanzibarkama mifano hai ya jinsimahakama hizo zisivyovunjamshikamano na umojawa wanadini mbili mbaliwanaoishi pamoja.

    Wenye hoja ya hofu yamatumizi ya pesa za serikali,zinazotolewa na walipa kodiwa dini zote kuendesheaMahakama ya Kadhi kwaajili ya kesi za Waislamu tu,tunawaomba wazingatieyafuatayo:-

    o Hivi sasa serikal i

    inawalipa fedha zisizo natija, Mahakimu wanaotoahukumu kimakosa katikakesi hizo za Waislamukutokana na udhaifu wauelewa wao wa kitabucha Qur-an na kuwaachaWaislamu katika hali yakutoridhika na mwenendomzima wa uendeshwaji wakesi hizo.

    o Kama yalivyopitishwamaamuzi ya kuanzishwa kwamahakama maalum za Ardhi,Kazi na Biashara ambazo

    zimesadia sana katikakupunguza msongamanowa kesi katika mahakamaz a k a wa id a k ut ok a n ana maudhui kufanana,uwepo wa Mahakama yaKadhi utapunguza sanamsongamano mkubwa wakesi katika mahakama zakawaida kwa kuzihamishiakesi za aina hiyo katikamahakama maalum yaKadhi na hivyo kuharakisha

    utoaji wa haki kwa ujumla.Uharakishwaji wa kuamuakesi, kutokana na hatuahiyo, utaongeza ufanisi wauendeshwaji wa mahakamakwa ujumla na mwishoweu t a p u n g u z a g h a r a m azitokanazo na mlundikanowa kesi.

    o Kuna hoja inayotolewakuwa, kwa kuwa serikalihaina dini, mahakama zakusikiliza kesi za kidinizisiingizwe katika Katibaya nchi kwani jambo hilolitaingiza udini katikaserikali. Ukiiangalia kwaundani utaona kuwa hojahii haina msingi kwaniikumbukwe kuwa serikalihiyo hiyo ndio imetoa uhuruwa wananchi wake kuabudukwa misingi ya dini zao.Na serikali hiyo hiyo ndiohuwajengea mazingirawanadini, ya kufanya ibadazao hizo kwa uhuru nahaki kama moja ya wajibuwa serikali. Ndio maana

    serikali hutenga maeneomaalum ya kujenga nyumbaza ibada, siku maalum zakusherehekea sikukuu zakidini, kutia moyo mchangowa viongozi wa dini katikakujenga maadili memakatika jamii ili wapatikaneraia wema, n.k. Haya yoteyanafanywa na serikali kwakuheshimu na kutambuaumuhimu wa wanadinikuridhika na uendeshwajiwa dini zao chini ya himaya

    yake.o Kama mahaka m

    y a K a d h i i t a i n g i z w akatika Katiba ya nchi naMakadhi wakapata fursa ykuhukumu kwa usahihi keszao, matarajio ya Waislamuni kufurahia na kuridhikna ufumbuzi huo na hivyokuzidi kujengeka kwa amanna utulivu katika nchi.

    Taasisi ya Masheikhna Wanazuoni wa Kiislamu

    Tanzania, inawanasihWaheshimiwa Wabunge wBunge Maalum la Katibpamoja na Watanzania wotkwa ujumla kudumishaumoja wao na wasiigeuzkadhia ya Mahakama yKadhi kuwa ndio kisu chkuukata umoja na Utanzaniwao waliodumu nao kwmuda mrefu na kuishpamoja kwa amani bila kujaltofauti za dini zao.

    Tunaomba mjadalh u u u e n d e l e e l a k i nuongozwe na busara nahekima na kamwe asijaribum t u y e y o t e k u o n d o aanachokiona yeye kuwani Udini kwa kutumiaUdini.

    Pamoja na Waislamukuwa na dai hilo muhimula Mahakama ya Kadhi nWasiokuwa Waislamu nakujipanga ili kuhakikishmahakama hiyo haipatikanTaasisi ya Masheikh naWanazuoni wa KiislamuTanzania inawahimiza

    Waislamu wote nchini kuwna subira pamoja na kujengimani ya dhati kwa serikalyao kuwa itawatendea hakhuku wakijipa matumainkwamba hakuna safarisiyokuwa na mwisho.

    Tamko hili limetolewa na

    SekretarietiTaasisi ya Masheikh n

    Wanazuoni wa KiislamuTanzania

  • 8/11/2019 ANNUUR 1143

    11/16

    11AN-NUU

    DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 201Makala

    KILA sifa njema zinamstahikiMwenyezi Mungu, swalana amani zimfikiye MtumeMuhammad (s.a.w.) na Jamaazake.

    Maafa ya moto ni tukio kubwaambalo husababisha upotevuwa maisha ya watu/wanyama,majeraha, uharibifu wa mali na

    mazingira na kuvuruga kabisamfumo wa kawaida wa maishaya watu. Jamii iliyoathirikahaiwezi kukabiliana na janga lamoto linapotokea kwa uwezowake wenyewe bila msaadakutoka nje ya jamii hiyo. Hiini kwasababu ya kukosekanavifaa, elimu ya kuzima aukuzuia moto n.k. Jumla yamatukio makubwa 21 ya motomijini na msituni yametolewataarifa kati ya mwaka 1972-1982, na kuathiri watu 1489,kuua idadi kubwa ya mifugo,kuharibu majengo na malaki yahekta za misitu. Kabla ya hapo,

    moto katika miji ya Arusha, Dares Salaam, Lindi, Mtwara naTanga umeharibu makampunimengi na viwanda na majengoya Serikali ikiwemo BenkiKuu (1984 na 1998), Wizaraya Mambo ya Ndani, Jengo laNASACO, Bohari kuu la dawa(mwaka 1984), Hospitali yaWilaya ya Temeke na Wizaraya Ardhi na Makazi.

    Moto wa msituni si kamaumeathiri mamia ya wanyamana mimea pekee, umeathiri piauwezo wa madereva kuonavizuri kwenye barabara kuuza jirani. Kwa mfano ajali za

    barabarani Morogoro na Iringazimeua watu 117 na wengiwamejeruhiwa.

    Moto wa kikemikali naohaukuwa tofauti. Hivi karibunikumekuwa na matukio yamagari ya mafuta kuunguana kuua idadi kubwa ya watu.Matukio ya mfano ni kuunguakwa kiwanda cha kusafishamafuta (TIPPER), na ajali zamagari ya mafuta zilizotokeakatika Mikoa ya Mbeya (2000)na Dar es Salaam (Mbezi miakaya 1990) na mikoa minginenchini. (Chanzo: Jamhuri yaMuungano wa Tanzania Osi

    ya Waziri Mkuu mwongozowa taifa wa kudhibiti maafamachi 2003.)

    Kwa mujibu wa taarifa yaKamati ya Huduma za Jamiipamoja na mapendekezoya l i yomo ka t i ka taar i failiyotolewa Mhe. Omar S.Kwaangw, wakati alipokuwaMbunge na Mwenyekiti waKamati ya Huduma za Jamiikwenye kikao cha Bunge laTanzania, Mkutano kumi natano. Kikao cha Sita- tarehe 20Aprili, 2004. Amesema:

    Mheshimiwa Spika, matukio

    Waislamu tukuchuwetahadhari hujuma za moto

    ya majanga ya moto, Taarifa yaMkoa wa Kilimanjaro ilifafanuakwamba kumekuwepo namatukio matano ya majangaya moto katika baadhi ya Shuleza Sekondari na hasa za bwenikatika Shule za Sekondari zaShauritanga, Marangu Usseri,Kahe na Kisomachi.

    Mheshimiwa Spika, mnamo

    tarehe 18 Juni, 1994. Shuleya Sekondari Shauritanga,Wilaya ya Rombo kulitokea

    janga la moto katika mabweniya wanafunzi moto ambaouliosababisha upotevu wamaisha ya wanafunzi 41 wakike, mali za wanafunzi na maliya shule. Kutokana na tukiohilo Serikali ilileta mtaalamtoka Scotlandyard, Uingerezakuchunguza chanzo cha motomwezi mmoja kupita baadaya janga la moto kutokea.Uchunguzi wa mtaalamhuyo ulibaini kuwa motoulisababishwa na mshumaa.

    Mnamo Oktoba, 2002, katikashule hiyo hiyo ya Sekondariya Shauritanga, bweni lawasichana liliteketea pamojana mali za wanafunzi na shulena hakuna vifo vilivyotokea.Kutokana na tukio hili Serikaliiliunda Kamati ya watalamu yaKitaifa ili kuchunguza chanzocha moto.

    Mnamo tarehe 9 Agosti, 2003,Shule ya Sekondari Marangukatika Wilaya ya Moshi Vijijini,

    jengo la Bweni la wanafunzi wakike 296 liliteketea kabisa namaisha ya mwanafunzi mmoja

    kupotea, mali za wanafunzina shule. Kamati ilielezwakuwa mali zilizoharibikazilikadiriwa kuwa na thamaniya shilingi 211,380,000/=.Kutokana na tukio hilo, Osiya Mkuu wa Mkoa iliundaKamati ya Wataalam ya Mkoaya kuchunguza chanzo chamoto huo.

    Mheshimiwa Spika, matokeoya uchunguzi wa Kamati yaMkoa ulibaini kuwa motoulisababishwa na pasi ya mkaaambayo ilipatikana bweniniulipoanzia moto huo.

    Mnamo tarehe 16 Agosti2003, Shule ya Sekondari Usserikatika Wilaya ya Rombo, jengola bweni la wavulana liliteketea.Kamati ya Mkoa ya Uchunguzii l i kabi dhi wa ju ku mu l akuchunguza chanzo cha motohuo. Taarifa ya Kamati yaUchunguzi ilieleza kuwa eneola tukio halikuhifadhiwa vizurimara tu baada ya tukio na hivyo

    haikuweza kubainisha chanzocha moto na hivyo haikuwa namaoni (ndings) yoyote.

    M h e s h i m i w a S p i k a ,kutokana na tukio hilo Serikalingazi ya Taifa ilituma mtaalamkutoka Osi ya Mkemia Mkuukuchunguza chanzo cha motona matokeo ya uchunguzi waMaabara ni kwamba hapakuwana masalia yoyote ya kemikaliza ku weza ku sababi shamoto. Kamati ilelezwa kuwakulikuwepo na matukio yamajaribio mengine ya kuchomashule katika Shule ya Sekondari

    Kisomachi na Kahe. Uchunguzuliofanywa ulibainisha kuwmajaribio hayo yalifanywna wanafunzi waliokuwwamesimamishwa shule kwsababu ya makosa ya utovu wnidhamu na kuwa wanafunzhao walichukuliwa hatua zKisheria.

    Mheshimiwa Spika, maonya Kamati kuhusu majangya moto mashuleni, Kamaimetoa mapendekezo nmaoni yafuatayo:- kuyatafakamatukio ya kuungua akuchoma moto shule, ni yhatari na bilaya kuyadhibiyanaweza kuenea na kuw

    balaa kubwa. Kwa taarifa zhivi karibuni za kuungua kwshule ya Machame mara tatkatika kipindi kifupi sana n

    balaa kubwa zaidi.Mheshimiwa Spika, sasa n

    hatari kubwa kutokana na mothuo kusambaa hadi kwenymakazi ya Mheshimiwa Raambaye ameathirika vibaysana.

    Mheshimiwa Spika, Serikaiyafanyie uchunguzi majengyote ya Shule za Sekondarnchini na kubaini kwambyamo katika hatari ya hitilafau kusababisha moto nkuyafanyia ukarabati. Piwatalamu wa usanifu wmajengo watumike kukagumajengo yote kuzingatitahadhari za moto.

    Kuna aina mbili za majanga ymoto. Majanga ya asili ambayyapo katika Qadara ya Alla

    (s.w.) kama vile Matetemekya ardhi, Volcano, MafurikoMadhoruba/vimbunga n.Lakini kuna aina za majangambayo ni matokeo ya vitendya wanadamu. Majangmengi ya ajali za moto huwyamesababishwa na shughufulani za binadamu. Majanghaya huweza kusababishwa nuzembe au makosa ya kiufundna huweza kuepukwa endapkutakuwepo na umakini ntahadhari. Isipokuwa wakamwingine majanga haya huwyamesababishwa na hujumaugaidi. Na majanga haya y

    moto huweza kusababishwna:Uvujaji nyuklia, uvuja

    kemikali / kumwagika, shughuza kigaidi, miundo mbinkuanguka au kuharibikakuharibiwa, hitilafu za umemnk.

    Viongozi wa taasisi zKiislamu (Misikiti, vyuomadrasa, shule n.k) wanapaswkuwa na mazoea ya kuchukutahadhari za majanga kamhaya na mapema kat ikshughuli zao za kimaendelao

    Inaendelea Uk. 1

    MOTO ukiteketeza ghorofa ya pili ya Msikiti wa Mtambanihivi karibuni.

  • 8/11/2019 ANNUUR 1143

    12/16

    12 AN-NUU

    DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 20112 Barua/Mashairi

    1. Ndugu zetu Somalia, wito tumeusikiaWallahi twaambia,nasi hayo twapupiaKwa Allah tunatubia, kweli twawakiriaKazeni kusonga mbele, ushindi upo karibu

    2. Enyi waja watukufu, pambaneni msikhofuShikamaneni kwa safu, awape nguvu raufuNasi twafunga surufu, twakuja kuunga safu

    Kazeni kusonga mbele, makari wameshindwa.

    3. Makari wameshindwa, twawaonavyo wahahaWamekuwa kama mbwa, waliojawa fadhahaKichapo wanachopondwa, chawaachia fedhehaWamebaki wanalia, kama paka wenyenjaa

    4. Ndugu jaeni furaha, muzishikapo bundukiNyoyo zijazeni siha,Ninyi mupo kwenye hakiWachinjeni kwa fasaha, kari na manakiWallahi songeni mbele, ushindi upokaribu

    5. Mnaposhika siraha, hudhurieni kwa AllahMuzilengapo shabaha, tajeni jina la AllahMutulizapo siraha, dhukuruni kwake AllahAllah tawapa shajaha, mtawatia fedheha

    6. Ndugu zenu azania, dua tunawaombeaSaumu twawafungia, pia nia tumetiaAhadi ikikia, kwenu mguu twatia

    Wallahi songeni mbele, ushindi upokaribu.Abu Nurain Al-tanzani

    USHINDI UPOKARIBU

    Hodi hodi gazetini, mhariri samahani,Niweke japo pembeni, nitoe yangu maoni,Kwa kilojiri Bungeni, juma hili si zamani,Iamuliwe kwa hoja, si kwa nguvu pasi hoja !

    Si jadidi wala ngeni, korti ya Kadhi nchini,Tarekhe irejeeni, ilikuwepo zamani,Ikajatiwa kapuni, kwa ghaidhi ya udini,Iamuliwe kwa hoja, si kwa nguvu pasi hoja !

    Ubaguzi hoja duni, kama si mfu kwa nduni,'Mahakama tijarani', yawahusu hasa nani,Raia wote nchini, au ni kada fulani?

    Iamuliwe kwa hoja, si kwa nguvu pasi hoja !Kadhalika nijuzeni, 'mahakama ya kazini',Nayo yawahusu nani, kama si kada fulani?Kigugumizi cha nini, kwa yetu kuwa hewani?Iamuliwe kwa hoja, si kwa nguvu pasi hoja !

    Gharama bila ya soni, nayo hoja chapuoni !Wahukumuzo za dini, mahakimu nijuzeni,Yuanowalipa nani, kwa sasa mahakamani?Iamuliwe kwa hoja, si kwa nguvu pasi hoja !

    Waaidha nijuzeni, fedha za serikalini,Zinokwenda kanisani, zatoka kodi ya nani?Kama si ya waumini, wenye anuwai dini?Iamuliwe kwa hoja, si kwa nguvu pasi hoja !

    Machafuko ya kidini, nayo yatajwa hojani,Si kweli ! wameyabuni, kutoka mwao vichwani,Ukweliwe chungueni, kutoka nchi jirani,

    Iamuliwe kwa hoja, si kwa nguvu pasi hoja!Wetu Zenji majirani, na Kenya waulizeni,Kama ikiyumkini, hata Uganda nendeni,Ukweli mtabaini, pamwe na yake yakini,Iamuliwe kwa hoja, si kwa nguvu pasi hoja !

    Kikwazo nilobaini, pale ndani 'mjengoni',Si kingine ikhiwani, ni ghaidhi ya udini,Kwa insafu chungueni, nanyi mtaibaini,Iamuliwe kwa hoja, si kwa nguvu pasi hoja !

    Abuu nakuageni, kwa wa wahenga uneni,"Uambari wa nazini, hukutania chunguni",Mwisho wa yangu maoni, kalamu naweka chini,Iamuliwe kwa hoja, MAHKAMA si kwa nguvu.

    Abuu NyamkomogiMWANZA.

    BUNGE LA KATIBA (MAHKAMA YA KADHI)NGUVU YA HOJA AU HOJA YA NGUVU ?

    K A D I R Iy a n a v y o p a t i k a n amaendeleo ya teknolojia

    y a h a b a r i d u n ia n i ,madhara au athari zateknolojia hiyo nayoyanazidi kukua kutokanana matumizi mabaya.Licha ya kuwepo nianzuri na makusudiachanya ya teknolojia hiyoya mawasiliano ya habarikwa watu, lakini sehemukubwa ya jamii, hususanvijana, wamekuwa namatumizi mabaya yamitandao ya mawasilianokiasi cha kuwa sababu yakupatikana athari mbayakatika jamii.

    Moja ya madharayanayowapata vijanawalio wengi na hata

    baadhi ya watu wa tabakala makamo, ni kutumiamitandao ya mawasilianoya habari kueneza fikraza ngono na uzinzi katika

    jamii. Mitandao imekuwauwanja wa watu kujifunzauzinzi kwa kutizama nakutumiana jumbe za pichaza uchi na picha za ngono.Pamoja na kwamba sikuhizi limeonekana kama ni

    jambo la kawaida kutumiamitandao kutizama pichaza uchi na kutumianaujumbe za ngono, ukwelini kwamba tabia hiyo

    ina madhara makubwa sikitabia tu, bali zinaharibuakili ya mwanadamu.Mtaalam wa sychology,Mark Kastleman, alisemakatika makala yenyesomo kuu How internetpornography radicallyalters the human brain.Anasema mwanammek u w a m a z o e a y akutizama picha za uchi,iwe ni kwenye mitandaoau kwenye video auf i lamu, husababishaFrontal lobe syndromehali inayomfanya mtukuzidiwa na mbeguza kiume na kutowezakujidhibiti.

    Daktari Victor Cline,mtaalamu wa duniawa athari za kimapenzianasema kutizama pichaza ngono husababishaaddiction, yaani kuwana hali ya kutowezak u z i k o sa , hu ha r i buakili na kuna uwezewakusababisha ubakaji naukatili wa ngono.

    Richard land, amesemakutizama picha za ngonohupelekea kutolewakemikali za endorphinsinayomfanya mtu ajisikie

    Athari za kuangalia picha za ngonoNa Mussa Ame Mussa raha lakini akili yake

    huathirika. Dr. DonaldHilton wa Texas Marekani,ambaye anahusika naupasuaj i wa ubongoaliona kuwa ubongo wa

    mtu anayetumia pichaza ngono (ponography)ulikunyaa sawa na walevina watumiaji wa cocaine.Kuangalia picha za ngonoau uchi husababishamsongo (depression),hali inayomfanya mtuapende raha kupindukiana alewe kwa raha,yaani awe hawezi tenakukosa kutizama picha zamatendo hayo. Dr. Donaldpia amesema kutizamapicha za ngono huathirimfumo wa kusafirishaoxygen na kuondoa uwezowa mtu kujizuia nafsi

    yake asifanye maovu.Kemikali inayotoka mtuakitizama picha za uchi,ndiyo ile ile inayotolewamtu anapotumia dawaza kulevya, tumbakuau ulevi. Kemikali ainaya dopamine, oxytocin,serotonin, na epinephrine,hutolewa kwa wingi zaidikuliko inavyotolewaakifanya kitendo chandoa, hali hiyo humfanyaa na y e t i z a m a ng o noakimaliza tu achukie, na

    baadaye kukasirika sana.K e m i k a l i z a

    norepirephrine hutolewaunapofanya mapenzina husababisha moyoupige zaidi na husarishahisia , unapoangal iapicha za uchi, kemikalihii hutolewa kwa wingizaidi, akili huhifadhi kwamuda mrefu picha hizi,na unaweza ukaona kamawatu wako uchi lakinimara hutoweka.

    Prolactin hutolewamwisho unapomalizatendo la kweli la ndoa,na huzuia dopaminei s i e n d e l e e k u t o k ana husababisha mtukuridhika kimapenzi,

    l a k i n i u na po t i z a m apicha za uchi prolactinna serotonin hazitolewiinavyotakiwa, hali hiiinakufanya ukose raha, nawakati mwengine utakosausingizi.

    Dk. Victor Clime,mtaalamu wa dunia waathari za mapenzi (sexaddiction) alisema Kwauzoefu wangu kamadaktari wa mapenzi,mtu yeyote ambaye anakawaida ya kuangaliapicha za tendo la ngonoana hatari ya kuwa nawazimu wa mapenzi,

    na kupungua nguvu zkiume. Na ameendelekusema kuwa, watu wenwameathirika akili zana kusababisha kufanyvitendo vya ukatili w

    ngono ikiwemo kubakaMatokeo ya kukithimikanda ya ngono nkuenea wazimu wa ngonwatu 11 wal imatwMombasa wakizini nmbwa (Kenya expres

    blogspot.com ). Katikji ji la Miam i Oct 201alikamatwa mtu akizinna mbwa. Pia hukMarekani alikamatwa mtanazini na farasi. HukIrish mwanamke mmoalikufa, aliyeingiliwna mbwa katika mwa Limerick na alikik w a m b a a l i a n g a l i

    mitandao ya ngono.L a s V e g a s k u nmtandao ulioweka pichya mwanamke akiingiliwna mbwa (www.examinecom). South Carolinwatu walikamatwa kwkuingiliana na farasFlorida mtu alikamatwakiingiliana na paka, nwako walioingiliana nnguruwe.

    H a y a n i m a tu k imachache tu ambayyanaripotiwa ya watkuingiliana na wanyamachilia mbali vitendo vyubakaji na vinginevyo.

    Mengi katika hay

    y a n a p a l i l i w a k wk u t i z a m a m i ta nd amichafu, kwani humwatu hujifundisha ufuskuliopindulia mipakawa watu kuingiliana nwanyama.

    U i s l a m u u l i t osuluhisho zamani la suahili. Amesimulia Ibn Abba(R.A) atakayemuingilmnyama aul iwe, nauliwe huyo mnyampamoja naye.( D. 446Ameisahihisha Albany)

    Kutokana na atharza mitandao michafu yngono na picha za uchi, EVaizey (2010), Waziri w

    Uingereza wa Utamadunalipeleka pendekezo lkuzuia picha za ngono nmitandao yenye ukatili w

    jinsia, mauaji na ulevi,Mwaka 2013 (21 Jula

    Waziri Mkuu DaviC a m e r o o n , a l i i t a kU i n g e r e z a k u p i gmarufuku mitandao yaina hiyo .

    Serikali ya Misr(24/03/2012), ilipendekezkuondosha mitandao yngono chini ya aliyekuwWaziri wa MawasilianMohd Saleh.

    Itaendelea toleo lijal

  • 8/11/2019 ANNUUR 1143

    13/16

    13 AN-NUU

    DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 201MAKALA

    NIKIWA nimetulizana hukunikiwa nadurusu kurasa zagazeti moja la kila siku (Jinaninalo) la Alhamisi Septemba4, 2014, macho yangu yalituakatika ukurasa wa kumi, mahaliambapo palipokuwa na makalayenye kichwa cha habari OICKipimo kingine wagombea Urais

    2015.Makala hiyo iliyoandikwana Mwandishi Wetu katikakuisoma, nikakutana na manenoambayo mwandishi amemnukuuWaziri wa Mambo ya Nje naushirikiano wa Kimataifa Bw.Bernad Membe, akitajwa kamamiongoni mwa wanasiasawaliotangaza nia ya kugombeakiti cha urais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania hapomwakani.

    Kauli ambayo kwa muktadhawa mwandishi, pia ilivuta hisiaza Maaskofu ambao nao piawanatamka kugombea kamawalivyonukuliwa na mwandishi.

    Maandishi yaliyo katika makalahiyo, kimsingi yanaonyeshakiwango cha juu kabisa chachuki dhidi ya Waislamukinachooneshwa na mawakala waKanisa. Hili ndilo lililonisukumanikamate kalamu.

    Labda kabla sijanukuu kaulihiyo ni vyema niseme mapemakwamba, Muislamu hatarajiineno jema kutoka kwa asiyekuwaMuislamu, ili mtu athibitishekwamba yeye sio Muislamu,lazima apingane na Uislamu naWaislamu kwa matendo, hiyondiyo ada.

    Kilichofanya niandike makalahii ni kauli ambazo si tu kuwani upinzani na chuki, bali nikule kuvuka mipaka ambakokunaweza bila shaka kutukishapabaya!

    M w a n d i s h i w a m a k a l ahiyo hoja yake ilikuwa namnay a k u w a p i m a w a n a s i a s aw a n a o k u s u d i a k u g o m e aUrais, jinsi wanavyozitazamana kuzishughulikia kadhiambalimbali ambazo zinagusa hisiaza wanajamii ambao ni sehemu yawapiga kura wao, akimnukuu Bw.Membe ameandika:

    Alisema (Bernad Membe)kwa mfano, Uganda ambayo nimwanachama wa OIC asilimia66 ya wananchi ni Wakristo,asilimia 10 ni Waislamu na asilimiailiyosalia ni ya watu wasio nadini hizi, na pia mapapa watatuwamewahi kwenda nchini humo.

    Kutokana na kauli hiyo alisemahaoni ubaya mtu kunufaikana fedha za shetani na kwamba

    kitendo cha Watanzania kuogopaJumuiya hiyo na Iran ni kuvunjasifa yao ya ujasiri (msisitizo niwangu)

    Katika paragrafu nyinginea m e nu k u l i w a Ask o f u w aKanisa la Pentekoste, SylvesterGamanywa, akimuonya Waziri

    juu ya kumpuuza she ta ni ,alisema:

    Kitendo cha Waziri huyokusema kuwa serikali inaruhusufedha chafu na kwamba mtuakikuta fedha za shetani inampasakuzichukuwa ni kuwadhalilishaWatanzania na taifa lao kwaujumla.

    Ukiyachunguza kwa makinimaneno haya ya Membe na

    Kauli za Membe, Maaskofuhatari, zitatufkisha pabaya

    Na Abu Sumayyah Salah

    WAZIRI wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Kimataifa Bw.Bernad Membe.

    Maaskofu, utaona yanaashiriajambo moja kubwa, kuwa Uislamuni ushetani, OIC ni Jumuiya

    ya Kishetani, Pesa za OIC nichafu kwa kuwa ni za shetani,Watanzania kwa mujibu waAskofu Gamanywa, ni Wakristona Taifa lao kwa maana Taifa laWakristo!

    Kaul i hiz i na his ia hiz izimejengwa tangu zama na badozinajengwa kwenye vichwa vyawatoto wa Kikristo na ushahidini mwingi, kwa kuwa tunakutananao mashuleni na vyuoni ambakohaya yanazungumzwa wazikabisa.

    Binafsi nadiriki kusema kuwaimani hii imewakita ndani kabisaya mioyo yao, kama ambavyosisi tunaamini kuwa Nguzoza Uislamu ni tano! kiasikwamba Bw. Membe hakuona

    tatizo kutumia kauli kama hii, nakwanini aone tatizo wakati kwamujibu wa mwandishi yeye niMseminari Sa?

    Mwandishi anamuelezeaMembe namna atakavyokabilianana Maaskofu iwapo atataka ridhaayao ya kugombea Urais akiwa nakra ya kuruhusu OIC Jumuiyaya kishetani, ameandika:

    Pamoja na hayo tujiulizeMembe kama Mseminari Safi,aliyekulia na kulelewa katikamikono ya Kanisa Katoliki,atasomeka vipi na kuaminikambele ya Walei, Mapadri naMaaskofu, ili wamuwekee mikonoya baraka endapo ataamua kuanzasafari ya Urais 2015?

    Hapa mwandishi ametusaiditu kwa kutuonyesha kuwaMembe pamoja na kauli zake za

    kuitaka OIC, hafanyi hivyo kwakuyakinisha kuwa OIC ni Jumuiyakama Jumuiya nyinginezo zaKimataifa, bali ni njia ya yeyekupata kura za Waislamu iliaweze kuingia Ikulu, ndio maanaikaulizwa je, Baraka za Walei,Maaskofu na Mapadri atazipata?

    Jibu ni jepesi tu, Atazipata kwasababu ili aweze kulitumikiaKanisa na hasa Kanisa Katoliki nakulipatia Beer chance lazimaaingie Ikulu, lakini kuingia hukomlangoni yupo shetani itabidiamtumikie kafiri apate mtajiwake! Shetani mwenyewe-OICanayetakiwa na Waislamu waTanzania!

    Na endapo ataingia Ikulu,hizo pesa za OIC na nafasi za

    masomo zitakuwa zinaingiakwenye kapu la Kanisa kamailivyo ada, bali hata ile khofuinayotokana na katiba ya OICibara ya 1 kifungu cha 11, kwambaitakuwa inatangaza Uislamu walahaitopata fursa kwani tangu hapoziko sheria za nchi nyingi tu,ambazo zinakandamiza uhuru wakuabudu na hasa kwa Waislamu.

    Kinachonitatiza hapa ni huumtazamo wa huyu Waziri,Mseminari safi na Maaskofuna Mapadri juu ya Uislamu,kuutizama Uislamu kama Dini yakishetani, bila shaka watatumianguvu kubwa mno katikakumpiga vita shetani!

    Hita hivyo, khofu kwamba

    nchi itagawanyika na kueneumwagikaji damu ambao bilshaka unasukumwa na hisia yakwamba, OIC na Iran ni Jumuiyna Nchi ya kishetani na kwambTanzania ikijiunga huko ni sawna kumkaribisha shetani na kwtabia ya shetani ni kusababishkuenea kwa maovu, ukatili numwagikaji damu.

    Lakini pia tujiulize juu yvitendo vya ushoga, ulevi, kamar

    riba, kuvamia nchi za watu nkuwaua pasi na hatia, ukolonna wizi wa rasilimali za watu nkuwadhulumu watu, vimefanywna vinaendelea kufanywa na nanNa je, huo sio ndio ushetani halikuliko ule wa kukirika na wchuki tu?

    Ni shule ya msingi ambaktulifundishwa vitangulizi vyukoloni kwamba nambari mojwalikuwa wamishenari. Lakinpia iwapo kiongozi yoyote wngazi yoyote ya kijamii na kisiaskama Bernad Membe, akawna fikra potofu na mtazamhasi dhidi ya kundi fulani lwanajamii anaowaongoza, ni vipatawatendea haki katika uongo

    wake kama atapata? Kumbe ndisababu hakutaka hata kuwaonMasheikh akiwemo SheikMaalim Bassaleh walipokwendkutaka kumuona osini kwake!

    Niwakumbushe Waislamkauli ya Allah na Mtume wakMuhammad (saw) juu ya watwenye nyuso mbili:

    Wa na po k u j i a w a na f i khusema: Tunashuhudia kuwwewe (Muhammad) ni Mtumwa Allah, na Allah anajua kuwwewe ni Mtume wake na Allaanashuhudia kuwa kwa hakikwanaki ni waongo! (63:1)

    Tukiitazama aya hii tunaonkuwa wanaf ik i wanasemMuhammad ni Mtume wa Alla(jambo hili ni la kweli walhalina tone la shaka) kisha Allaakathibitisha kwa kusema, Yeypia anajua kuwa Muhammad nMtume wake, lakini wanaki kwkauli yao hiyo ambayo ni ya kwelwao ni waongo! Uongo wao ni upNi kule kutamka ulimini ilihanyoyoni mwao wanakanushtena kwa nguvu kabisa na Allahatazami kinachotoka mdomonanatazama dhamira, nini kilichopmoyoni?

    Naye Mtume Muhamma(saw) akatutahadharisha juya kuwasadikisha wachawakasema hata akiongea jambla kweli muda wa kuwa nmchawi, basi tusimsadiki kw

    kuwa yeye ni mwongo nkwamba atakayemsadikishmchawi ametoka katika UislamuAmekuwa kar!

    Mheshimiwa Membe ameelezmengi mazuri kuhusu OIC nutati wao na kujiridhisha kuwina masilahi na Watanzanialakini Membe ni MseminarMembe anataka Urais, anaposemTanzania kujiunga na OIC hakuntatizo, kauli yake kwa dhati ykauli ni kweli. Lakini BernaMembe kwa msimamo wakkwenye hili ni mwongo!

    Pia tujue tukiwaendekezviongozi wa namna hii MaaskofuMapadri na Walei wao, basi tujuhatima yetu ni mbaya.

  • 8/11/2019 ANNUUR 1143

    14/16

    14 AN-NUU

    DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 201Habari/Makala/Tangazo

    Kesi ya watuhumiwa ugaidi haijatimiza vigezo vya kisheria

    MASHEIKH wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya KiislamZanzibar (JUMIKI).

    Tanzania.Wakili Juma, alisema sheria

    inataka shitaka lianishe wapi kosalimetendeka kama limefanywa

    Dar es Salam au kwinginekopatajwe kwa kufanya hivyo kesihiyo ingekuwa sawa sawa kuwepohapo, kinyume chake alidai kesihiyo ingetakiwa kufukuzwa maramoja hapo Mahakamani.

    Aidha, alipoulizwa kuhusuhali za watuhumiwa wake,Wakili Juma alisema, malalamikoyao ni kwamba wanaumwa nawanahitaji haki yao ya kwendakutibiwa jambo ambalo wao kamaMawakili wameileza Mahakama.

    W a k i l i J u m a , a l i m t a j a

    Inatoka Uk. 16 mtuhumiwa mmoja kwa jina mojala Salumu, kwamba ameelezakuwa vitendo alivyofanyiwani vibaya kiasi kwamba hadisasa hivi anaumwa sana na

    amewasihi kundelendeleakuiomba Mahakama itoe amri iliwapelekwe hospitali kwa ajili yamatibabu.

    Alisema, wao wameilezaMahakama hali halisi ya watejawao, ambapo alidai Mahakamaimeshatoa amri kwa Magerezana kwa Jeshi la Polisi, kwambawatuhumiwa hao wapelekwehospitali na pia wapelekewe PF3,hata hivyo Wakili Juma, alionyeshawasiwasi juu utekelezwaji waamri hiyo ya Mahakama.

    Serikali yatakiwa kusikiliza kilio cha Masheikhhiyo ipitishwe wahanga wakuuwamekuwa ni Waislamu.

    Akielezea hatua walizozifuataba a d a ya k u i bu k a m a d a iya kuteswa na kudhalilishwawatuhumiwa wa ugaidi, alisema,walikubaliana kuunda timu yakuwafikia viongozi wote wasiasa, kwa kuwa wao ni sehemuya watu ambao wanajadili haki

    za binaadamu, kisha walionanna mabalozi wa nchi za Ulaypamoja na baadhi ya Mawaziwa Serikali.

    Sanze, alisema wameamukuka kwa viongozi hao kutokanna mara kwa mara kuibuka kwlawama kwa kudaiwa kufanymaamuzi kabla ya kuonana nmamlaka husika ili kuyapatiufumbuzi madaia yao.

    Inatoka Uk. 16

    Waislamu tukuchuwe tahadhariInatoka Uk. 11

    Wanapaswa kulifanya kuwani jambo la lazima kuyafanyiauchunguzi majengo yao zilizposhughuli zao, ili kuweza kubainikama yamo katika hatari yahitilafu au kusababisha moto nakuyafanyia ukarabati.

    Pia wataalamu wa usanifuwa majengo watumike kukaguamajengo yote ikiwa ni hatuamojawapo ya kuchukua tahadhariza moto.

    Kuwepo na milango yadharura katika majengo ambayohukusanya watu wengi kwa

    wakati mmoja, na ni lazimamilango yote ifunguliwe kwa nje.Na iwapo kulikuwa na utaratibuwa kuwafungia wanafunzi kwanje utaratibu huo uachwe kwausalama.

    Inapashwa majengo yoteyawekewe vifaa vya kutambuamoto unapotokea re detectorsand sensors. Aidha, kuwepovifaa vya kudhibiti na vizuizi vyaumeme kama Circuit breakers,power stabilizers na kadhalika ilikuzuia hatari yoyote inayowezakutokea moto.

    Aidha, waumini wa Misikiti,wanafunzi, walimu na wafanyakaziwengine wapewe ujuzi wa kuzima

    moto kwa kutumia vifaa kamare extinguishers, michanga nakadhalika. Kuwepo na udhibitiwa utumiaji wa vifaa vya umemena moto. Kwa pande wa shule,mabweni yawe sehemu yawanafunzi kulala tu.

    Kila taasisi (shule hasa zabweni, Misikiti, majengo ya osink. kuwepo na ulinzi wa kutoshahasa wakati wa usiku ikiwa nipamoja na kuweka taa (Securitylights) za kutosha katika maeneoya mabweni.

    Aidha, inafaa kujengwa uzioimara kuzunguka maeneo yashule/Misikiti nk. ili kuzuiawatu wenye nia mbaya kupenya

    kirahisi. Suala hili ni vyemalikapewa kipaumbele zaidi.

    Taasisi nyingi za Kiislamuambazo zina majengo makubwana ya thamani, suala la ulinzihali japewa kipaumbele nalimekuwa likifanyiwa mzaha,hali ya kuwa maadui wa Uislamuna Waislamu wapo dhahiri.

    Maendeleo yoyote yale yaWaislamu ni jambo ambalolinawachukiza, na Waislamuwanapodumaa kiamendelao,lugha iliyozoeleka ni kejeli kuwahawajasoma. Fursa hii yakuzembea masuala ya usalamakatika taasisi zetu inaweza kuwarahisi kwa mwenye chuki kufanyahujuma dhidi ya miundo mbinuya Waislamu.

    Badala ya kupiga hatua zamaendeleo mbele, matokeo yakehujuma zinaweza kutumikakurudishwa hatua moja nyuma.Kwa ujumla ninaweza kusemakuwa kuna uzembe mkubwawa kutowatumia wasanifu wamajengo ili kuweza kuhakikiusalama wake.

    Kadhia kama ya kuunguaMsikiti wa Mtambani ndani yamwezi mmoja mara mbili kunaIbra kubwa kwa Waislamu,kwani Muislamu haumwi nanyoka kwenye shimo moja

    mara mbili. Ikiwa ni hivyo, basikwenye safu zetu kwa upandewa viongozi wetu wanaosimamiamali (majengo) ya Waislamu kunaudhaifu, uzembe na kutowajibikaipasavyo juu ya usalama waWaislamu na mali zao.

    Amesema Allah (s.w.):71. Enyi mlio amini! Chukueni

    hadhari yenu! Na mtoke kwavikosi au tokeni nyote pamoja!(Surat An-Nisaai 4:71).

    Wabbilah Tawq.

    (Makala hii imeandikwa naAbu Saumu Kombo HassaniKidumbu, Mikanjuni-Tanga.)

  • 8/11/2019 ANNUUR 1143

    15/16

    15 AN-NUU

    DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 201Makala ya Mtangazaji

    RAMALLAH (WAFA) Ministryof Foreign Affairs called, in astatement Monday, upon thehuman rights organizationsto prosecute the Israeli warcriminals, to bring them tojustice, and to list them as wantedterrorists.

    The MOFA denounced IsraeliPM Benjamin Netanyahus claims,that the Israeli military is the mostmoral army worldwide, citingthe Israeli war crimes against thePalestinian people since 1967.

    In the meantime, the ministrycondemned al l forms ofterrorism, whether intellectual,cultural or physical or terrorismcarried out by a country, a gangor a state.

    Terrorism has other forms,such as occupation, settlementand the practices of the extremistselers gangs, such as those who

    burned Mohammad Abu Khdeir.This is part and parcel of organizedterrorism that organizations andgangs perform.

    We hope that the internationalcommunity, which has establisheda coalition and utilized all theirfinancial, military and logisticpotential to combat the ISIS, aphenomenon of terror, to considerother phenomena of terror and todeal with them seriously.

    Other forms include theterror that the Israeli occupationpractices, in addition to selementconstruction in the State ofPalestine since tens of years,including crimes, massacres and

    massive destruction recentlycarried out by the Israelioccupation army in the GazaStrip, the statement concluded.

    A b b a s : W e w i l l H e a d t oInternational Organizations toProtect Our People

    RAMALLAH (WAFA) We[will] head to the United Nationsfull of hope that the world of rightsand justice are standing on ourside, said President MahmoudAbbas during a telephone speechto a rally in Jenin commemoratingthe Sabra and Shatila massacre.

    We [will] head to the UNbecause we are clinging to oursincerity and in order to achieveour goals, he remarked.

    He added, we [acknowledgethe fact] that some [sides] willstand in our way towardsachieving these goals, adding:in this case, we will head to allinternational organizations toseek protection to our people andto penalize the criminals.

    Abbas added that the Palestinianpeople will pursue their struggle

    by all legal means guaranteedu n d e r t h e i n t e r n a t i o n a lconventions, through which wewill gain friends and reveal thetrue face of the occupation and

    Foreign Ministry Bring Israeli War Criminals to Justice[their] oppression and arrogance.

    Abbas praised the steadfastnessof the Palestinian people in Gaza,in particular, and pledged tocontinue to struggle to relievetheir suering.

    Abbas reiterated the role of thePalestine Liberation Organizationas the sole representative of thePalestinian people in their struggletowards an independent state ofPalestine.

    Israeli Army Arrests 9 in West Bankand Jerusalem, including Minors

    JERUSALEM (WAFA) Israeliarmy and police on Thursdayarrested nine Palestinians,including minors, as well as beat

    up two others during predawnraids in Jerusalem and in theWest Bank districts of Hebron andBethlehem, according to local andsecurity sources.

    In Jerusalem, police arrestedtwo teenagers in the East Jerusalemneighborhood district of Silwanafter beating them up. They wereidentied as Mohammad Abbasiand Mahmoud Boja, both 18 yearsold.

    Meanwhile, police brokethrough Shuafat, on the outskirtsof Jerusalem, where they arrestedMohammad Mehesen and LaithHusseini, both 15. An Israeli courtruled to extend their detention

    term after they had been subjectedto a night-long interrogation at apolice station.

    Meanwhile in Hebron district,army forces stormed the townof Beit Ummar, north of HebronCity, and arrested 26-year-old IssaAli Awad, a goalkeeper with BeirUmmar football team, in additionto two others, 18 and 26 years old.

    During the raid, soldiersbroke into several houses and setcheckpoints in the town and innearby areas.

    Coordinator of the anti-selement commiee in the town,Mohammad Awad, said at least19 residents of Beit Ummar were

    arrested since the beginningof September, including eightminors under the age of 18.

    Meanwhile in Bethlehem,army arrested two youths, 30 and

    23, after raiding and searchingtheir houses, while also handedsummons to another youth, 20,to appear for interrogation atthe nearby Gush Eion militarycomplex, reported securitysources.

    The sources said Israelisoldiers assaulted and severely

    beat up two Palestinians, 25and 26, during the oensive onBethlehem.

    Gaza suffers from electricityshortage

    The war-torn Gaza Strip