ANNUUR 1120

17
ISSN 0856 - 3861 Na. 1120 JAMADUL AKHEIR 1435, IJUMAA , APRILI 11-17, 2014  BEI TShs 500/=, Kshs Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz Facebook:[email protected] WAZIRI wa Nchi Ofis i ya Wazi ri Mkuu (TAMISEMI), Mheshimiwa Hawa Ghasia, amewataka wanachuo wa Chuo Kikuu Cha Waislamu Morogoro, kuisoma na kuihifadhi Qur’ an ili wawe wasomi wenye maadili watakayo inusuru jamii. Waziri Ghasi a ameyasema hayo akiwa mgeni rasmi katika mashindano ya kuhifadhi Waziri Ghasia ahimiza usomaji Qur’an Serikali ‘yawabambikizia Waislam’ silaha Sheikh, mkewe wawekewa mabomu 2 Wapa chikwa ugaidi, watupwa korokoroni Ataka wasomi watie Qur’an katika matendo Itasaidia kupatikana viongozi wenye maadili Bakari Mwakangwale Inaendelea Uk. 3  Agenda ya mbili kwend a moja mauti ya muungano Miaka 50 ya majaribio ya moja inatosha Sauti ya Wananchi sasa ipewe nafasi WAZANZ IB ARI kwa wingi wao walishaweka muhuri wa mabadiliko ya katiba yao. Ni miaka minne sasa tokea mabadiliko hayo yalipotangazwa. Na muungano upo, uhai, wala hauna dalili ya umauti. Sasa khofu ya nini? Hebu natujaribu tu kusukuma mbele agenda ya serikali moja na tuangalie uhai wa muungano huu utakuwaje? (Soma Uk. 6) SHEIKH Hassan Mahati Omar na mkewe Fardosa Mohammed Abdi wakiwa mahakamani.  M A R H U U M Sheikh  Abubakar Shariff Ahmed "Makaburi".  MARH UUM Shei kh Abou d Rogo. WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI),  Mheshimiwa Hawa Ghasia. Hakuna Mzanzibari atakayekubali kupoteza hadhi ya nchi yake-Uk. 10

Transcript of ANNUUR 1120

  • ISSN 0856 - 3861 Na. 1120 JAMADUL AKHEIR 1435, IJUMAA , APRILI 11-17, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs

    Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz Facebook:[email protected]

    WA Z I R I w a N c h i O f i s i y a W a z i r i Mkuu (TAMISEMI) , M h e s h i m i w a H a w a G h a s i a , a m e wa t a k a wanachuo wa Chuo Kikuu Cha Waislamu Morogoro, kuisoma na kuihifadhi Qur an ili wawe wasomi wenye maadili watakayo inusuru jamii.

    W a z i r i G h a s i a ameyasema hayo akiwa m g e n i r a s m i k a t i k a mashindano ya kuhifadhi

    Waziri Ghasia ahimiza usomaji Quran

    Serikali yawabambikizia Waislam silahaSheikh, mkewe wawekewa mabomu 2Wapachikwa ugaidi, watupwa korokoroni

    Ataka wasomi watie Quran katika matendoItasaidia kupatikana viongozi wenye maadili

    Bakari Mwakangwale

    Inaendelea Uk. 3

    Agenda ya mbili kwenda moja mauti ya muungano

    Miaka 50 ya majaribio ya moja inatoshaSauti ya Wananchi sasa ipewe nafasi

    W A Z A N Z I B A R I k w a w i n g i w a o walishaweka muhuri wa mabadiliko ya katiba yao.

    Ni miaka minne sasa

    tokea mabadiliko hayo yalipotangazwa.

    Na muungano upo, uhai, wala hauna dalili ya umauti. Sasa khofu ya nini?

    Hebu natujar ibu tu kusukuma mbele agenda ya serikali moja na tuangalie uhai wa muungano huu utakuwaje? (Soma Uk. 6)

    SHEIKH Hassan Mahati Omar na mkewe Fardosa Mohammed Abdi wakiwa mahakamani.

    M A R H U U M S h e i k h Abubakar Shariff Ahmed "Makaburi".

    MARHUUM Sheikh Aboud Rogo.

    WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Mheshimiwa Hawa Ghasia.

    Hakuna Mzanzibari atakayekubali

    kupoteza hadhi ya nchi yake-Uk. 10

  • 2 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 11-17, 2014AN-NUUR

    S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.

    www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected] zetu zipo: Manzese Tip Top

    Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri

    SIKU za hivi karibuni kumekuwa na matukio ya kusikitisha na ya kushangza, ambayo yamekuwa yakitokea katika ukanda huu wa nchi zetu za Afrika Mashariki.

    Jumanne ya wiki iliyoipita, Sheikh wa M o m b a s a K e n y a , Sheikh Abubakar Shariff (Makaburi) alipigwa risasi na kuuliwa nje ya Mahakama ya Shanzu huko Kenya.

    She ikh Makabur i a n a k u w a U l a m a a , m w a n a c h u o n i n a mwanaharakat i wa K i i s l a m u w a t a t u kuuliwa katika kipindi cha miaka miwili.

    Oktoba mwaka jana 2013, Sheikh Ibrahim Omar, naye aliuliwa kwa kupigwa risasi wa k a t i a l i p o k u wa a k i r e j e a n y u m b a n i kutoka msikitini.

    Mwingine ni Sheikh Aboud Rogo, aliyeuliwa A g o s t i 2 7 m w a k a 2012, kwa namna ile ile waliouliwa Sheikh Makaburi na Ibrahim. Sheikh huyu kadhalika a l imiminiwa r i sas i wakati akiwa njiani k u m p e l e k a m k e we hospitali.

    Muda mfupi kabla ya kuuliwa, Mahakama ya Mombasa iliamuru S h e i k h M a k a b u r i kulipwa fidia maalum ya shi l ingi 670 ,000 (dola 7,700), baada ya Mahakama Kuu kubaini kwamba shambulio la uvamizi la polisi nyumbani kwa Sheikh huyo, lilikiuka haki zake za kikatiba.

    A w a l i M a k a b u r i a l i m s h i t a k i Mwanasheria Mkuu n a M k u r u g e n z i M w e n d e s h a Mashitaka wa Kenya KeriakoTobiko, kufuatia shambulio la kuvamiwa na polisi nyumbani kwake na kupekuliwa mwaka 2011, ambapo

    Sheikh akiwa mwanaharakati gaidi! Tutawamaliza

    baadae alihusishwa na ugaidi huku akidaiwa kufadhili vitendo vya kigaidi na kuwafunza vi jana wa Kiis lamu ugaidi.

    Kwa ujumla tuseme tu kwamba, Masheikh wote waliouliwa, walikuwa w a k i h u s i s h w a n a vitendo vya ugaidi.

    Tangu a l ipoul iwa Sheikh Rogo hadi sasa Sheikh Makaburi, hadithi ya vyombo vya dola imeendelea kuwa ile ile kwamba wameuliwa na wauaji wasiofahamika.

    Hakuna aliyekamatwa au kuhukumiwa kwa mauaji ya masheikh hao zaidi ya kusikia kauli za funika kombe kwamba, u c h u n g u z i k w a wahusika unaendelea.

    Kwa upande wa hapa kwetu, mbinu na namna za kuwakabili Masheikh zimeonekana ni tofauti k i d o g o . Tu k i a n z i a Zanzibar, tangu mwaka jana baada ya Wazinzabar kuanzisha harakati za kurudisha Zanzibar yenye mamlaka kamili, harakati zi l izoanzia k w e n y e B a r a z a l a Wawakilishi mwaka 2010 , kwa kubadi l i katiba ya Zanzibar na kuitaja Zanzibar kuwa ni nchi kamili! Vugu vugu lilichagizwa zaidi na Jumuia ya Mihadhara na ya Kiislamu (UAMSHO).

    Vugu vugu hilo lilizua mvutano kati ya jeshi la polisi na Masheikh wanaoongoza jumuia ya UAMSHO na wafuasi wao. Kipindi hicho hicho tukasikia Makanisa yamechomwa moto! Uhasama kwa UAMSHO ukakolezwa.

    K u a n z i a h a p o , m a t u k i o m e n g i ya kihalifu yalihusishwa na Masheikh wa UAMSHO.

    H a t i m a y e w a l i k a m a t w a n a kuswekwa ndani, kesi ya uchochezi ikafunguliwa ambapo walisota kwa miaka kadhaa ndani kabla ya kutolewa kwa dhamana hivi karibuni.

    Huku Bara kadhi

    ilikuwa ni kwa Masheikh wa Shura ya Maimam na Baraza Kuu la Taasisi za Kiislamu.

    Sheikh Ponda, Ust. S a l e h M u k a d a m , waliswekwa ndani kwa kuhusishwa na uvamizi wa kiwanja. Kiwanja ambacho kilikuwa ni mali ya Waislamu na kuuzwa na Bakwata kwa mfanyabishara.

    Baada ya kesi kwisha tumeshuhudia kes i nyingine ya uchochezi i k i f u n g u l i wa h u k o Morogoro, ikimkabili S h e i k h P o n d a k wa u c h o c h e z i h u k o Morogoro, bado kesi inaendelea huku Sheikh P o n d a a k i e n d e l e a kutumikia mahabusu.

    K a b l a y a k e s i kufunguliwa, Sheikh Ponda alipigwa risasi begani katika tukio la mkutano wa hadhara huko Morogoro. Hata hivyo Jeshi la polisi l i l i s e m a l i n a f a n y a uchunguzi na kumsaka al iyemfatul ia r isas i Sheikh huyo. Hadi leo hakuna aliyekamatwa wala kushitakiwa kwa kumpiga Sheikh Ponda risasi, zaidi ya Ponda mwenyewe kukamatwa na majeraha yake na kuswekwa ndani.

    S h e i k h M u s a Kundecha kwa nyakati tofauti alihojiwa na akitakiwa kueleza alipo Sheikh Ponda kabla ya kukamatwa.

    Haikutosha, Sheikh

    I l u n g a K a p u n g u n a y e a l i t a f u t w a , hatimaye alikamatwa na kufunguliwa kesi ya uchochez i huko Mwanza. Hali kadhalika Ust. Hamza wa Mwanza.

    Kinachotusikitisha na kutisha ni kuwa matukio yote hayo, mara nyingi yamekuwa yakihukumiwa na kwa hisia za kigaidi. Hata viongozi wa serikali na d in i wamekuwa wakitumia hisia zao, utashi na mihemko yao kushutumu na hata kuhukumu baadhi ya kikundi au kundi katika jamii.

    Ni dhahiri kwamba Masheikh wanaouliwa Mombasa Kenya, ni matokeo ya hisia hizi ambazo kwa namna moja au nyingine, zimetumika kuhitimisha hukumu zisizo rasmi, kwa makosa yasiyowekwa wazi kwa ukweli wake.

    T u c h u k u e f u r s a hii kusema kwamba, kuwatesa, kuwadhibiti n a h a t a k u w a u a Masheikh kwa lugha za ugaidi, sio suluhu ya ugaidi wa kweli.

    T u n a v y o o n a , itakuwa vigumu sana kujipa matumaini ya kupambana na ugaidi kwa kuwadhulumu Masheikh nafsi zao, kwa matendo yasiyowiana na ugaidi unaokusudiwa.

    S h e i k h k u t e t e a m a l i ya Wa i s l a m u i n a y o d h u l u m i w a

    h a k u we z i k u wa n i kitendo cha kigaidi, kulalamikia mifumo kandamizi na ya kibaguzi katika jamii kadhalika hilo haliwezi kumfanya Sheikh anasibishwe na ugaidi.

    Ni vyema ikatafutwa n j i a s a h i h i y a kuhangaika na magaidi halisi, lakini si kuwaua Masheikh kijanja kwa kuwapandikizia sababu zisizowahusu.

    M a a n a g a i d i n i m t u a n a y e l e t e a m a d h a r a k a t i k a jamii au anayefanya mashambulizi au utekaji kwa lengo la kutisha mamlaka au mtu husika ili atekelezewe madai yake!

    Mara nyingi gaidi huwa mjuvi wa silaha na akishatenda hujibainisha ki le anachokihi ta j i , we n i k u l i p wa , a u kutekelezewa masharti yake na yasipotekelezwa hutishia kufanya tena ugaidi wake.

    Lakini na sisi raia, kuna haja ya kutumia akili zetu vizuri kutafakari mambo haya. Tutizame mipango hii kwa jicho la tatu, v inginevyo kukikosekana uadilifu katika mamlaka zetu, tutaendelea kuchezewa n a k u l i s h w a h a t a yasiyostahili, huku wasio na hatia wakiendelea kuangamia kwa makosa yasiyokuwa yao.

    UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL inatangaza program maalum ya maandalizi ya kujiandaa kurudia Mtihani wa kidato cha NNE 2014.Program hii itaanza tarehe 15/03/2014 hadi tarehe 15/10/2014. Jumatatu hadi ijumaa kuanzia saa 2:00 kamili asubuhi hadi saa 9:00 Alasir.

    Masomo yatakayofundishwa ni:-Elimu ya dini ya Kiislamu, English language, Lugha ya kiarabu, Basic Mathematics, Civics, History, Geography, Kiswahili, Physics, Chemistry, Biology, Commerce na Book Keeping.

    ADA: Ni Tshs 500,000/= (Laki Tano) tu. Inalipwa yote kabla ya kuanza programu.

    Fomu za Kujiunga zinapatikana shuleni BURE baada ya kulipa ada.Mlete mwanao apate Elimu yenye tija itakayomwezesha kufanya mtihani wake vizuri.

    Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba:0712 974428

    Wabllah tawfiq MKUU WA SHULE

    Ubungo Islamic high SchoolP.o. Box 55105 Tel: 2450069, 0712 974428, fax: 2450822 Dar es salaam.

    E-mail: [email protected]

    MAANDALIZI YA KUJIANDAA KURUDIA MTIHANI WA KIDATO CHA 4, 2014

  • 3 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 11-17, 2014Habari

    Serikali yawabambikizia Waislam silahaVYOMBO vya dola vya Kenya vimedaiwa kuwa v i n a w a b a m b i k i z i a Wa i s l a m u s i l a h a i l i kupata kisingizio cha kuwahujumu.

    Kauli hiyo imetolewa na viongozi mbalimbali wa Kiislamu kufuatia kukamatwa Ustadh Hassan Mahati Omar na mkewe Bi Fardosa Mohammed Abdi, kutupwa korokoroni, kufikishwa mahakamani na kisha kunyimwa dhamana.

    U s t a d h H a s s a n Mahati Omar na mkewe F a r d o s a M o h a m m e d Abdi walikamatwa huko Eastleigh, Nairobi, Aprili 1, wakidaiwa kukutwa na mabomu mawili ya kutupwa kwa mkono (hand grenades).

    Pamoja na madai hayo ya kukutwa na mabomu, polisi wanadai pia kuwa wawili hao, mtu na mkewe, ni magaidi na kwamba ni vinara wa kambi za Al Shabab kwa Kenya.

    Kutokana na madai h a y o , w a m e n y i m w a dhamana walipofikishwa mahakamani ikidaiwa kuwa ni watu hatari kwa usalama wa nchi.

    Kwa upande mwingine, Polisi wa kupambana na ugaidi (Anti-Terror Police Unit) wanadai kuwa yapo mabomu mengi yaliyo mikononi mwa magaidi na kwamba wawili hao, mtu na mkewe, watasaidia kupatikana kwa mabomu mengine zaidi ya 20.

    A k i va l i a k a n z u n a kofia, huku mkewe akiwa na hijabu yake, wakiwa na nyuso za mshangao kwa wanayotuhumiwa, Ustadh Hassan na mkewe Fidosa wamesema kuwa wamefanya kubambikiziwa mabomu hayo jambo ambalo lilikaririwa na wakili wao.

    Aidha, wanashangaa kuhusishwa na Al Shabab na kurushiwa tuhuma nzito za mauwaji na ugaidi.

    Wakili wao Chacha Mwita amedai mahakamani kuwa mabomu yanayodaiwa kukutwa nyumbani kwa wateja wake, yalifanya kupandikizwa na polisi.

    A l i y e w a h i k u w a Naibu Spika wa Bunge la Kenya, Farah Maalim, naye amewashutumu Polisi kuwa baada ya kuwabambikizia Waislamu

    Na Mwandishi Wetu s i l a h a , h u w a v a m i a , kuwapiga na kupora mali zao.

    A m e s e m a , inavyoonekana Serikali ya Uhuru Kenyatta, imekuwa kana kwamba inaona kuwa ili ipendeze kwa Wazungu huko Ulaya na Marekani, basi njia ni kuwahujumu Waislamu ikijisajili kuwa haina mchezo kat ika kupambana na magaidi.

    Kwa upande mwingine, kauli za viongozi wa Serikali akiwemo Makamu wa Rais William Ruto, z inadaiwa kuchochea mauwaji zaidi dhidi ya Masheikh na Waislamu kwa ujumla.

    R u t o a m e n u k u l i wa akisema kuwa serikali inaapa kuwaangamiza Wais lamu s iasa ka l i . K i l i c h o t a n g u l i a k w a M a k a b u r i , n i kuvurumishiwa tuhuma k u w a a l i h u s i k a n a shambul io la k igaidi l i l i l o f a n y i k a k a t i k a kanisa. Kilichofuatia ni kumiminiwa risasi na kuuliwa. Haikuhitajika kukamatwa na kufikishwa mahakamani ambapo polis i waliomtuhumu wangewasilisha ushahidi wao!!!

    K a u l i y a R u t o imechukuliwa kuwa kama maelekezo kwa ATPU kuuwa zaidi Masheikh na Waislamu, ilimuradi tu watangulize kuwatuhumu kuwa ni magaidi.

    Katika hali kama hiyo na kutokana na madai kutoka upande wa Waislamu kuwa Polisi wanawabambikizia silaha Waislamu, pamoja na tuhuma za ugaidi kwa ujumla, ni wazi kuwa mauwaji zaidi yatafanyika.

    Taasisi ya kupigania h a k i z a b i n a d a m u ijulikanayo kwa jina la Haki Africa, imeshutumu kauli kama hiyo ya Ruto na zaidi wakimwandama Kamishna wa county ya Mombasa Nelson Marwa anayedaiwa kutoa maneno ya kuwachochea polisi kutenda v i tendo vya kikatili kinyume na sheria dhidi ya watuhumiwa wa ugaidi.

    Hofu i l iyopo, kama ilivyoelezwa na baadhi ya wananchi ni kuwa mchezo wa serikali na kikosi chake cha kupambana na ugaidi-ATPU, si muda mrefu inaweza kuitumbukiza Kenya katika mauwaji na machafuko kama yale ya

    Afrika ya Kati.Linapotokea shambulio

    dhidi ya kanisa au Wakristo, haraka haraka serikali hutoa kauli ya huruma, kuwapoza na ahadi ya kuwalinda Wakristo.

    H i l o h u f u a t i wa n a t imu ya viongozi wa ngazi za juu kutembelea eneo husika kuwafariji waliokutwa na mkasa huku wakiwaahidi kuwa serikali ipo pamoja nao na kwamba itawashughulikia wahusika.

    Wakati huo huo polisi wanatoa shutuma kuwa wahusika ni Waislamu, na bila kutoa ushahidi, unasikia tu keshauliwa Sheikh kama ilivyotokea kwa Sheikh Abubakar Sharif (Makaburi).

    Lakini kwa upande mwingine, katika tukio la Masjid Shuhadaa, ni polisi waliovamia msikiti wakidai k u wa k u n a m a g a i d i msikitini, wakapiga watu na kuuwa.

    Hakuna kiongozi wa serikali aliyetoa kauli ya kuwafariji familia za Waislamu ambao watoto wao na jamaa zao waliuliwa na polisi msikitini.

    Hali kama hii itapelekea Waislamu kuona kuwa serikali ipo pamoja na Wa k r i s t o k u h u j u m u Waislamu.

    Hili ndilo analosema Bwana Hassan Ali, na wananchi wengine wa K e n ya k u wa h u e n d a likaitumbukiza Kenya ilipo Afrika ya Kati.

    Na hilo likitokea, wala serikali na Wakenya wasije kuhanga ika kuta futa

    mchawi.Mchawi ni serikali ya

    Kenya na ATPU yake inayotaka kujipendekeza kwa Wazungu kwamba inapambana na magaidi.

    Na inaona watu wa kuwatoa muhanga ni Waislamu na Masheiklh wao.

    Wiki iliyopita viongozi wa taasisi mbalimbali za Kiislamu walikutana jijini Nairobi ambapo walitoa kauli kulani na kusajili malalamiko yao dhidi ya hujuma wanazofanyiwa Waislamu.

    Pamoja na serikali kudai kuwa inapambana na magaidi, lakini viongozi h a o w a m e d a i k u w a

    kisingizio cha ugaidi kinatumika kupiga vita Uislamu, kutesa na kuuwa Waislamu.

    N a k w a m b a k a m a kungekuwa na tuhuma z a k we l i , b a s i wa t u wafikishwe mahakamani ushahidi dhidi yao utolewe badala ya kuuwa Waislamu hovyo.

    Wa m e s e m a , y a p o mambo wanasingiziwa Wa i s l a m u , a m b a y o ha ing i i ak i l in i kuwa kuna Muislamu anaweza kuyafanya.

    Wanalani ugaidi, lakini pia wanasema, kisingizio cha ugaidi kisitumike kuwahujumu Waislamu.

    SHEIKH Hassan Mahati Omar na mkewe Fardosa Mohammed Abdi wakiwa mahakamani.

    Shura ya Maimamu TanzaniaInawatangazia Waislamu wote kuhudhuria katika itkaf itakayofanyika Jumamosi 12/04/2014 baada ya swala ya Insha Masjid Mtambani njoo tujikurubishe kwa Allah.

    Amir Itkaf

    Itkaf Masjid Mtambani

  • 4 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 11-17, 2014Habari

    Waziri Ghasia ahimiza usomaji QuranInatoka Uk. 1

    Quran yaliyoandaliwa na Jumuiya ya Kuhifadhisha Quran ya Chuo Kikuu Cha Waislamu Cha Morogoro, ya l iyofanyika kat ika ukumbi wa White Tent, Chuoni hapo April 4, 2014.

    Waziri Ghasia (Mb), alisema mbali na kuisoma na kuihifadhi Qur an, lakini pia wasomi hao hawana budi kuzingatia mafundisho yaliyomo katika aya wazisomazo ili kujifunza maadili mema.

    K w a k u w a mmechukua hatua ya kuhifadhi na kuisoma Quran, naomba mtumie mafunzo yatokanayo na Quran, ili iwajenge na tabia njema mkiwa raia wasomi mkaisaidie jamii kueneza maarifa mema mliyoyapata, alisema Mh. Ghasia.

    Alisema, amefarijika kuona kuwa pamoja na kufuti l ia masomo yaliyowapeleka Chuoni h a p o , b a d o wa s o m i hao wameweza kufikia hatua ya kuisoma na kuihifadhi Quran jambo ambalo ni muhimu kwa k u wa l i n a wa p e l e k e a kuwa wasomi wenye kumkumbuka Mwenyezi Mungu.

    Waziri Ghasia alisema kuisoma na kuihifadhi Quran, itasaidia kupata viongozi watakaopambana na mmomonyoko wa maadil i katika jamii , unaosababisha baadhi ya watu (viongozi) kuwa wala rushwa, wezi, walevi na kutowajibika.

    Waziri Ghasia alisema ni imani yake kwamba kwa kujishajihisha katika kuisoma Quran, baada ya kumaliza masomo na kuingia katika kuhudumia jamii, watakuwa mfano mzuri wa kuigwa katika majukumu yao ya kitaifa na kimataifa.

    Wote ni mashahidi, ni wazi tunayo matatizo makubwa sana kimaadili kiasi kwamba imepelekea katika utumishi wa umma kuwa na waraka maalum wa kuonyesha mavazi yanayostahili kuvaliwa katika ofisi za Serikali au ofisi za umma. Alisema Waziri Ghasia.

    Waziri Ghasia alisema hana shaka kwamba wanafunzi katika Chuo hicho wanaishi kwa kufuata maadili na mafunzo ya

    dini na hata wakihitimu na kuingia katika majukumu wataendelea kuishi na kuongoza kwa kuzingatia maadili mema wayapatayo Chuoni hapo.

    Kwa upande mwingine, alisema atawashangaa akibaini ikiwa wasomi hao baada ya kuhitimu, maadili yote waliyoyapata Chuoni hapo watayaacha hapo hapo na kuiga mambo a m b a y o h a y a f a n a n i kabisa na maelekezo kutoka katika Qur an na mwenendo wa Chuo hicho.

    Ndugu zanguni kitabu chetu cha Quran ni kitabu muhimu sana ambacho kwa kweli niwaombe mshikamane nacho ili tupate viongozi wenye maadili, lakini pia wazazi na wazazi watarajiwa muwalee watoto wenu katika misingi ya dini na kuisoma Quran tokea wadogo. Alisema Waziri Ghasia.

    Waziri Ghasia alikemea vikali dhana iliyopo kwa baadhi ya wanachuo wengine Chuoni hapo wanaodhani kwamba kujiweka katika jumuiya hiyo ya Kuhifadhisha n a K u s o m a Q u r a n , i t a wa o n g e z e a m z i g o katika masomo yao na kuwataka kuyatupilia mbali mawazo hayo.

    Alisema, wanaodhani hivyo wafahamu kuwa Q u r a n n i m f u m o mzima wa maisha na ni

    dua ambayo unaweza ukajisomea mwenyewe na ukaweza kuingia katika mtihani na ukafanya vizuri, lakini pia ni kinga ambayo ukiisoma usiku utalala bila ya kupata ndoto za ajabu ajabu.

    Akawataka viongozi hao watarajiwa wa jamii kutoka MUM, kuitambua na kuijua thamani ya Quran tukufu ili waweze kuitumia kama muongozo na kwamba huu ni wakati muafaka kwao kuhakikisha wanaunganisha nguvu za Wais lamu bada la ya kuendeleza faraka zisizokuwa na tija.

    Alisema, yapo mambo mengi yanayoonyesha thamani ya Quran, kwani u n a p o s o m a Q u r a n unakuwa mzalendo zaidi kwa nchi yako kwa kuwa kitabu hicho kinazuia na kukataza kufanya dhulma kwa binadamu yoyote na mazingira yoyote.

    Kwa mfano, Quran inaelekeza uonapo mtu anataka kudhulumu ima kwa kutumia nafasi yake au cheo chake, ni wajibu wako kumzuia ukichelea kuenea kwa dhulma itakayopelekea uvunjifu wa amani unaoweza k u t o k e a k u t o k a n a n a k i t e n d o h i c h o . Alibainisha Waziri Ghasia na kuongeza,

    Tuitumie Qur an kwa

    maisha yetu yote, tuvae kwendana na maelekezo yake na sio kujifunza au kuiga kuvaa kupitia mitandao wakati hata hao unao waiga kuvaa, wao hizo ni nguo za kuigizia tu, iweje uige kuvaa nguo za kulalia utembelee mtaani.

    Kwa upande wake Kaimu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kuhifadhisha Quran, Chuoni hapo, Ustadhi Abdulrahman Kikoti, akisoma risala mbele ya Mgeni rasmi alisema, Jumuiya yao inakuwa kadri miaka inavyosonga mbele huku ikikabiliwa na changamoto sambamba na mafanikio.

    Akianisha baadhi ya mafanikio yaliyopatikana kupitia Jumuiya hiyo Ust. Kikoti, alisema wameweza kukisaidia Chuo kutoa wahitimu waliohifadhi Qur an yote, ambapo pia wanaisaidia Serikali na Taifa kwa ujumla kupata watumishi waaminifu ambao watafanya kazi kwa uadilifu na kwa kufuata maelekezo ya Qur an.

    Pia Ust. Kikoti, alisema Jumiya hiyo imeweza kushirikiana na vyuo, Madrasa, Misikit i na Taasisi mbalimbali za dini na jamii inayokizunguka Chuo katika harakati za kuuendeleza Uislamu.

    U s t . K i k o t i

    alianisha changamoto wanazokabiliana nazo kuwa ni kukosa ufadhili madhubuti wenye uhakika wa kusimamia harakati zote za Jumuiya ikiwemo ufundishaji, uhifadhi na uandaaji wa mashindano ya Tahfidhi ya Qur an.

    Lakini pia Jumuiya yetu ina malengo yake ambayo ni kupata wahitimu wa elimu ya juu waliohifadhi Quran, pamoja na kutoa mafunzo ya kuisoma na kuisomesha Quran kwa wanachuo na Waislamu kwa ujumla.

    Kuandaa wahitimu ambao watakiwakilisha Chuo chetu na Uislamu k w a u j u m l a k a t i k a maeneo mbalimbali baada ya kutuhitimu hapa. Alisema Ust. Kikoti.

    M a s h i n d a n o h a y o yalishirikisha washiriki wa ndani ya Chuo (MUM) na washiriki wengine kutoka nje ya Chuo, ambapo kwa upande wa wavulana wa l i s h i n d a n a k a t i k a uhifadhi wa Juzuu 15, na kwa upande wa wasichana walishindana katika Juzuu 30.

    Katika mashindano h a y o , A m i n a A l l y Soud, kutoka MUM, anayechukua Shahada ya Sanaa na Ualimu (BA ED) aliibuka mshindi w a k w a n z a k a t i k a washiriki wa Juzuu 30, ambapo Hussama Islamil, anayesomea Shahada ya Lugha na Ukalimani (BLI) kutoka MUM, naye a l i ibuka mshindi wa kwanza kwa washiriki wa Juzuu 15.

    Jumuya ya kuhifadhisha Q u ra n c h u o n i h a p o ( C H U K I W A M O ) ilianzishwa rasmi Machi 20, 2009, chini ya uongozi wa Msikiti wa Chuo Kikuu Cha Waislamu Morogoro.

    Mwaka 2010 yalifanyika mashindano ya kwanza chini ya Jumuiya hiyo na kushirikisha wanafunzi waliohifadhi juzuu moja hadi juzuu 12.

    Kwa mujibu wa Ustadhi Kikoti, alieleza kwamba mashindano hayo kadri ya miaka inavyosonga mbele idadi ya washiriki na idadi ya juzuu zinazoshindaniwa ndivyo inavyoongezeka.

    WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Mheshimiwa Hawa Ghasia.

  • 5 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 11-17, 2014Habari za Kimataifa

    PARISRAIS wa serikali ya mpito ya Jamhuri ya Afrika ya Kati Catherine Samba Panza, amezikosoa nchi za Ulaya kwa kushindwa kutimiza ahadi zao kwa nchi yake iliyo katika machafuko ya kibaguzi.

    Akizungumza mapema wiki hii na Rais wa Ufaransa F r a n c o i s H o l l a n d e , katika Ikulu ya Elizer huko Paris, Rais Samba Panza, amesema kuwa wamekuwa wakipewa ahadi na maneno mengi kutoka nchi washirika wa Magharibi, lakini nchi hizo zimeshindwa kuitimizia nchi yake ahadi walizotoa.

    Kwa muda mrefu sasa, Jamhuri ya Afrika ya Kati imekuwa ikiiomba jamii ya kimataifa kuharakisha mchakato wa kutekeleza ahadi hizo kufuatia hali mbaya ya machafuko na mauaji holela nchini humo, tangu kuvurugika serikali ya nchi hiyo.

    Katika mazungumzo hayo, Rais Hol lande ambaye serikali yake imepeleka majeshi ya kulinda amani nchini humo, kwa upande wake naye alisisitiza juu ya kuisaidia serikali ya mpito ya Jamhuri ya Afrika ya Kati na kutimiza ahadi i l izotoa kat ika sekta ya usafirishaji, afya na misaada muhimu kwa nchi hiyo.

    Hali hiyo inatokana na ukweli kwamba zaidi ya watu elfu mbili wameuliwa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati na zaidi ya theluthi moja ya watu 4,600,000 wa nchi hiyo, wengi wao wakiwa ni Waislamu wamelazimika kuhama makazi yao kutokana na kuendelea machafuko na mauaji yanayofanywa na waasi wa Kikristo wa Anti Balaka nchini humo tangu Desemba mwaka jana hadi sasa.

    Mwishoni mwa wiki i l iyopita , Ser ikal i ya Jamhuri ya Afrika ya Kati ilitangaza kuwa, watu 20 wameuawa katika shambulio la guruneti lililoulenga mkusanyiko wa watu waliokuwa katika mazishi mjini Bangui, nchini humo.

    Shambulizi hilo lilitokea

    Rais Panza alalamikia nchi za Ulaya kutotekeleza ahadiHakuna wa kuwakamata wauaji Jamhuri ya Kati

    k a t i k a h a l i a m b a y o Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR, likiwa limeshatoa onyo kuwa, askari wa kimataifa wa kulinda amani nchini humo, ndio tu wanaoweza k u t o a u l i n z i k w a Waislamu wanaoendelea k u s h a m b u l i w a n a w a n a m g a m b o w a

    Kikristo wa Anti-Balaka, ambao Umoja wa Afrika umewatangaza rasmi kuwa ni magaidi.

    Volker Turk, mmoja wa viongozi wa shirika hilo ambaye alikuwa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati hivi karibuni, alisema kuwa kiwango cha chuki za kidini kilichopo nchini humo, kinatia wasiwasi

    mkubwa. Aliongeza kuwa, kuna

    tishio kubwa la kumalizika Waislamu katika mauaji y a n a y o f a n y w a n a Anti-Balaka na alitaka kuchukuliwa hatua kali za kukabiliana na wimbi hilo la ukatili na mauaji hayo.

    M k u r u g e n z i w a Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human

    Rights Watch, Philippe Bolopin, ameeleza kuwa hakuna uadilifu wowote wanaotendewa Waislamu katika nchi iliyokumbwa na mgogoro ya Jamhuri ya Afrika ya Kati.

    B o l o p i n , a m b a y e alikuwa nchini humo, amesema kuwa, wiki iliyopita aliwaonyesha maafisa wa ngazi ya juu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, picha zilizokuzwa za mwanaume mmoja wa Kiislamu aliyekuwa akichomwa kisu na askari jeshi hadi kuuliwa huko Bangui, na kuwauliza maofisa hao ni hatua zipi zinachukuliwa ili kuwafikisha wanaofanya mauaji hayo mbele ya sheria?

    A l i s e m a k a t i k a kujibiwa swali lake hilo, Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati alimueleza kuwa, anayo majina ya wale wote waliohusika na mashambulizi ya Februari 5, lakini hakuna yoyote atakayewatia mbaroni watendaji wa jinai hiyo.

    Waislamu wamekuwa wa k i s h a m b u l i wa n a k u u l i w a h o v y o n a wanamgambo wa Kikristo wa Anti-Balaka, licha ya kuwepo wanajeshi wa Umoja wa Afr ika na Ufaransa huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

    NEW YORKBalozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa Riyad Mansour , amezi taka n c h i m b a l i m b a l i duniani kususia bidhaa zinazozalishwa katika vitongoji vinavyokaliwa kwa mabavu na walowezi wa Kizayuni huko katika ardhi za Palestina.

    Bw. Riyad Mansour pia amezitaka nchi nyingine kuziunga mkono baadhi

    I N A A R I F I WA k u wa Wanajeshi wa Kenya w a m e m k a m a t a n a kuondoka naye Sheikh Hassaan Husein, maarufu Abuu Salman baada ya kuingia kwa nguvu kwenye makao yake mjini Nairobi Kenya.

    Ta a r i f a z i n a e l e z a kuwa Sheikh Hussein a l i k a m a t w a u s i k u wa manane baada ya mahojiano ya muda akiwa nyumbani kwake.

    Sheikh huyo alikamatwa pamoja na ndugu yake, a m b a p o h a d i s a s a haijajulikani alikopelekwa.

    Hata hivyo jamaa na watu wa karibu na Sheikh Hussein wanafanya juhudi za kujua alikopelekwa na sababu ya kukamatwa kwake.

    Sheikh akamatwa NairobiS h e i k h H u s s e i n

    amekamatwa siku moja baada ya kuuliwa kwa kupigwa risasi Sheikh Abubakar Makaburi mjini Mombasa na walioitwa watu wasiojulikana.

    Sheikh Abubakar Shariff (Makaburi) amepigwa risasi na kuuliwa nje ya Mahakama ya Shanzu Jumanne ya wiki iliyoipita.

    K u u l i w a S h e i k h Makaburi, kunafuatia

    m l o l o n g o wa k u u l i wa Masheikh na vi jana wa Kiislamu nchini Kenya, m a u wa j i ya n a y o d a i wa kufanywa na kikosi maalum cha kupambana na ugaidi (Anti-Terror Police Unit-ATPU).

    Palestina yataka kususiwa bidhaa za Wazayuniya nchi za Ulaya na Afrika Kusini, ambazo tayari zimesusia bidhaa kutoka Israel.

    Balozi huyo wa Palestina ametolea mfano Uholanzi a m b a y o a m e s e m a benki tano za nchi hiyo, hazifanyi kazi na benki za Israel kutokana na hatua yake ya kujenga makazi ya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina.

    K a t i k a b a r u a

    waliyomuandikia Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa U l a ya C a t h e r i n e Ashton, Machi 28, nchi 2 9 w a n a c h a m a w a Bunge la Ulaya walitaka kuchukuliwa hatua za kuyashinikiza makampuni ya Ulaya, yasimamishe biashara na makampuni yenye makao yake katika vitongoji vya walowezi wa Kizayuni.

    HALI inavyoendelea nchini Afrika ya Kati.

  • 6 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 11-17, 2014Makala

    WALIOTOA maoni kwa upande wa Zanzibar ni wananchi 19 ,000 . Takwimu zinaonyesha kuwa idadi ya watu ni milioni 1.2. Ukitazama daftari la wapiga kura lina wananchi 500,000 hivi.

    Idadi wakilishi iliotoa maoni imekidhi haja, kwa sababu ya coverage yake kubwa hasa ukizingatia Zanzibar haina sehemu iliokuwa tabu kufikiwa. Katika mail i za eneo zilizotajwa watu 19,000 ni wengi mno kufanya uchambuzi wa kitakwimu.

    Kwa mfano Uingereza nchi yenye watu zaidi ya milioni 60, sample z inazotumiwa kat ika k u f a n ya p op u l a t i on studies ya namna gani utawala unapendwa au kuchukiwa na watu huwa na watu wasiozidi 1000. Ukilinganisha na Zanzibar kitu kimoja kina fanana ni kwamba nayo pia hakuna sehemu ilio mbali na tabu kwa kutofikwa japo ikiwa kubwa kuliko Zanzibar kupita kiasi.

    I l i kutazama vizuri population ya aina hii na namna gani unaweza kuifanyia tafsiri njema, ni vyema kuangalia matokeo ya chaguzi. Kwa mfano jimbo la Kiembe samaki, likiwa na idadi ya watu kiasi 10,000, waliojiandikisha katika daftari ni kama 4000 lakini kura za mshindi ni 1800 tu. Sawa na 18% ya wananchi wa Kiembe samaki kwa jumla. Sasa ikiwa tume haikuwa halali kwa population ya aina hii, jee uchaguzi utakuwa na uhalali gani? 1800 katika wakaazi 10000!

    Tuangalie tafauti ya kura zilizotoa ushindi kwa urais wa Zanzibar, ni kiasi kura 3000 tu. Sasa ukipima kwa wakaazi milioni moja na zaidi, jee ukusanyaji wa maoni ya tume na idadi yake ya watu 19,000 waliozungumzia muundo wa muungano utabezwa vipi na kutukuzwa ushindi wa kura 3000?

    Tumetazama upande wa maoni kwa Zanzibar yaliotolewa na wananchi a m b a y o y a m e k u w a yakibezwa bila ya kuangalia intelectual integrity ya study yenyewe na k u p i m a p o p u l a t i o n size gani ingelikubaliwa kuwa ni ya kutosha kutoa maamuzi na tafsiri. Moja ya hoja kubwa ni kwamba hakujafanyika random selection ya sample, kwa

    Tume ya Warioba haikuchagua wa kutoa maoniNa Mwandishi Wetu m a a n a wa l i o k we n d a

    kutoa maoni walijitolea hawakuchaguliwa na tume. Hivi ingelikuwa tume ndio ingelichaguwa randomly wa kutoa maoni tungeyakubali? Kama hoja hii ndio inayoipa udhaifu study nzima ya tume basi hata uchaguzi nao pia utasimama katika nafasi hizi hizi kwa vile wanaokwenda kupiga kura hufanya kwa hiari yao wenyewe, hakuna amri inayowataka kila alietimiza umri kupiga kura kwa lazima.

    Kanuni za ukusanyaji wa maoni hazifuati wingi tu wa watu kama ndio ishara nzito ya kuangalia hali halisi ilivyo. Coverage p a m o j a n a m o d e yenyewe ya ukusanyaji ndio inayopewa uzito hasa katika dense population ya Zanzibar na udogo wa visiwa vyenyewe. Hebu tutazame ingel ikuwa maoni ya wananchi 60% yameitaka muundo wa serikali mbili tungelijadili haya hii leo?

    Tu t a z a m e n a m n a g a n i h a y a m a o n i y a l i v y o k u s a n y w a p a m o j a n a v i k wa z o kadha wa kadha. Kwa mfano , mikutano ya maoni ilihamasishwa na watawala kwa kusukuma watu wao kueleza kile wanachokitaka. Mabaraza ya katiba nayo ndio hivyo h i v y o ya l i c h a g u l i wa yakiwa na wingi wa makada waliojibebesha jokho la ura ia huku wakiwa na agenda kama hii tunayoiona sasa katika bunge la katiba na hata hawa waliochaguliwa katika asasi za wananchi katika bunge la katiba 80% ni makada. Hivi kweli Kingunge anawakilisha gurupu la waganga wa jadi? Lakini bado wananchi walio wengi katika study h i z i w a l i p e n d e k e z a mabadiliko ya mfumo wa sasa.

    Labda tutazame tena h u k o n y u m a wa k a t i i l ipoundwa tume ya k u k u s a n y a m a o n i ya wa n a n c h i k a t i k a mabadiliko ya mfumo wa vyama vingi, takwimu z i l i p a t i k a n a k w a population ya kiwango gani? Kwa nini imekuwa rahis i kwa watawala kujitukuza kwa kusema ni asilimia 20 tu ilipendekeza mfumo wa vyama vingi l a k i n i wa k a s h i n d wa k u t u o n y e s h a b a s i population study iliokuja na majibu hayo ilikuwa ya wingi gani?

    K w a u p a n d e w a Z a n z i b a r u p i n z a n i hauwezi kubezwa kwa vile

    umebeba karibu ya nusu ya wapiga kura wote visiwani. Idadi yao ni kubwa na tutazame mifano ya nchi inayofanana na siasa zetu na namna gani makundi yenye nguvu ya wananchi yanavyoweza kubadili utulivu na utengamano wa nchi. Unaposhinda kwa kura za 0.2% huwezi u k a b e b a d h i m a y a waliobakia kwa kusukuma kila ulitakalo, hio haiwezi kuwa demokrasia ya kweli wala si misingi ya ukuwaji wa demokrasia. Ikiwa ni tafsiri sawa ya kwamba wote wanaopinga serikali mbili ni wapinzani, basi tukumbuke sample hii ya watu 19000 wakiwa na 60% majority inaonyesha wazi nguvu kubwa walizonazo tena ikiwa na coverage kubwa kwa pande zote mbili za visiwa hivi.

    Kama kuna wasiwasi kuwa maoni yaliotolewa ni machache mno kuleta mabadiliko makubwa, tujiulize tulikubali vipi mfumo wa vyama vingi uliokubaliwa na asilimia 20% tu ya wananchi hata tuukatae huu wa 60%? Kigezo gani hasa kil ichofanya kubadili mfumo wa chama kimoja kwenda vingi hata tuzuie m a o n i ya wa n a n c h i waliochoka na fitna za kujitakia za mfumo wa sasa?

    Au k wa n i n i b a s i hatuvunj i hi l i bunge butu la katiba, naliita butu maana limekuwa likiendeshwa kienyeji enyeji kama filamu za Kihindi, likisheheni usanii kwa kila ngazi na uvunjwaji wa kanuni kwa uwazi kwa ajili tu kuzuia maoni ya wananchi kushika hatamu. Na tulivunje

    kuweka mazingira ya kura ya maoni kuuliza wananchi ni mfumo gani wa muungano wautakao halafu turudi tukiwa na clear mandate ya kauli ya wananchi.

    Shutuma kwa Zanzibar na mabadiliko ya katiba yake ya 2010 ni jambo la kipuuzi kabisa hasa u k i z i n g a t i a wa t o a j i wa s h u t u m a h i z i n i wanaoj is i f ia uongozi uliosifika wa demokrasia na matakwa ya wananchi. Wazanzibari kwa wingi wao walishaweka muhuri wa mabadiliko ya katiba yao. Ni miaka minne sasa tokea mabadiliko hayo yalipotangazwa, na muungano upo, uhai, wala hauna dalili ya umauti sasa khofu ya nini? Kama tatizo ni katiba ya Zanzibar, kwa nini muungano bado upo haujavunjika kama tunavyotiana khofu?

    Hebu na tujaribu tu kusukuma mbele agenda ya serikali moja na tuangalie uhai wa muungano huu utakuwaje?

    Kwani lengo la serikali mbili ni lipi kama si mbili kuelekea moja? Kimejiri nini hasa kulazimisha mbili na kwa lengo gani maana tunavyoambiwa lengo ni kipindi cha mpito, mbili kuelekea moja. Sasa hiki kipindi cha mpito hakijesha bado kwa miaka 50 sasa?

    Ni katika utawala huu huu wa chama hichi hichi ndio kero zilivyoanza, zikapea na kuzaliana. Zilianza zikiwa tatu, sasa ni zaidi ya 30, nguvu kubwa zinatumika kumtukana na kumlaumu Jaji Mstaafu Warioba, hivi mulitegemea nini kumchaguwa mtu wa kaliba yake mukampa tume

    ikiwa na mchanganyiko wa kila aina ya watu halafu mukafikiri ataweza kulazimisha maoni yenu? Na kwa nini alaumiwe Warioba, sio wakuu wenu wa mabaraza kuu, NEC n.k waliomo ndani ya tume na walioafikiana kwa pamoja kuja na mabadiliko haya?

    Hata ukiwa kipofu, basi Mungu hukuzidishia uwezo wa milango yako ya fahamu kuwa makini zaidi. Hivi utatoaje maoni ya kwamba tunataka rais mwenye mamlaka kamili sawa na wa muungano bila ya nchi yenye mamlaka kamili?

    M h e s h i m i w a Abdurahmani Kinana anaisakama katiba ya Zanzibar kwani ilikuja yenyewe au iliundwa ndani ya utawala wa chama chake hichi hichi na wakiwemo hao hao kina Nahodha katika safu ya utawala?

    Hivi ni kweli suluhisho n i k u f u t a m a t a k w a ya wananchi kuulinda muungano au kuleta mtafaruku na ghasia baada ya amani na utulivu uliopatikana ikiwa ni zao la mabadiliko ya katiba ya Zanzibar?

    H i v i k w e l i munafurahishwa kukuta w a t u h a w a z i k a n i , hawasalimiani kwa sababu tu ya tafauti za misimamo ya kisiasa.

    Historia itatuhukumu kwa woga, udhaifu na khofu zinazojengwa zaidi na tamaa binafsi badala ya msimamo wa mabadiliko yatakayokuwa na tija.

    JAJI Joseph Sinde Warioba (kushoto) akiwa na Dkt. Salim Ahmed Salim.

  • 7 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 11-17, 2014Makala

    KWA jina la Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma na mwingi wa ukarimu. Kila sifa njema anastahiki M w e n y e z i M u n g u , Muumba wa ulimwengu na vyote vilivyomo.

    M p e n z i m s o m a j i , k a t i k a m a k a l a h a ya nitazungumzia mfumo wa Uongozi au Utawala unaopaswa kufuatwa na kutiiwa na jamii katika kufikia malengo. Kwa kufanya hivyo nitajaribu kutofautisha mfumo huo na ule unaotumiwa katika jamii za nchi kadhaa duniani, Tanzania ikiwa ni mojawapo.

    Mwanadamu lazima aishi maisha ya kijamii ambayo humtaka ahusiane na kushirikiana na wengine ili aweze kufikia lengo lake la maisha. Ili wanaadamu waweze kushirikiana na kuliendea lengo la maisha yao kwa pamoja, hapana budi kuwa na Utawala.

    Katika mfumo wa siasa, Utawala huchukuliwa kama uwezo wa juu kabisa wa kuamuru, kuongoza na kudhibiti vyote vilivyo ndani ya mipaka ya eneo, nchi au dola. Kwa mtazamo huo, mtu, kikundi cha watu, chama au taasisi fulani inaposhika utawala, basi neno au tamko la mtu, kikundi au taasisi hiyo huwa ni amri au sheria ya kutiiwa bila hiari.

    K w a m a a n a h i y o utawala wa juu unakuwa chini ya watu walio wengi. Na itikadi, sheria na sera hutungwa na wananchi au wawakilishi wao katika bunge au kamati za vyama. Na kiongozi wa juu wa nchi ndiye mwenye madaraka makubwa ya kuwa juu ya sheria. Madhumuni ya serikali ni kutosheleza mahitaji na matashi ya raia walio wengi. Dola ya kidemokrasia ina mamlaka ya mwisho na uhuru wa kuendesha mambo bila ya kuwa na yeyote aliye juu yake.

    Kwa kuwa Utawala ni uwezo wa kuamuru na kulazimisha amri hizo kutiiwa na watawaliwa ndani ya dola, raia yeyote yule ndani ya mipaka hiyo hana hiari ya kutii au kutotii amri. Utawala wa siasa kiasili huwa na maana ya kuwa na mamlaka ya kulazimisha

    DINI: Mfumo sahihi wa utawala wa sheriaNa. Hemed S. Marhoon utawala wa sheria.H a p a i n a d h i h i r i k a

    kwamba kwa namna dhana ya utawala ilivyo katika mfumo wa siasa, hakuna mwanaadamu au kiumbe yeyote mwenye sifa, uwezo au haki ya kushika nafasi hiyo.

    Ni kwa msingi huu, Qur'an imetoa msisitizo na maelezo yaliyowazi kuhusiana na utawala wa sheria unaopaswa kufuatwa na Waislamu w o t e k a t i k a m a m b o yao yote ya kimaisha. A m e s e m a M we n ye z i Mungu (swt):

    Mwenyezi Mungu ndiye anayedhibiti vyote vi l ivyo mbinguni na vilivyo ardhini na ana mamlaka juu ya vitu vyote hivyo. (5:120)

    Muislamu amewekewa mfumo wa Utawala wa Sheria unaoendana na kushabihiana na maumbile y a k e k a t i k a n y a n j a zote za misha yake, na kulazimishwa bila kuwa na hiari katika kuzifuata na kuzitekeleza kikamilifu sheria zote alizowekewa. U t a w a l a w a s h e r i a aliowekewa Muislamu h a u w e z i k u a t h i r i w i na mabadiliko ya aina yeyote ya kibinadamu yanayoweza kutokea, kwa kuwa hautegemei fikra na mawazo ya watu. Kwa kuzingatia hivyo, mfumo wowote wa sheria utakaokuwa tofauti na ule aliowekewa Muislamu, hautokuwa sahihi na kuufuata ni kujiingiza katika matatizo makubwa. A m e s e m a M we n ye z i Mungu (s.w):

    ... Na wasiohukumu kwa yale aliyoyateremsha Mwenyezi Mungu, basi hao ndio madhalimu. (5:45)

    Hili ni agizo la Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa kila ambaye ameukiri na kuukubali Uislamu kwa khiyari yake. Katika amri hii analazimishwa kila Muislamu kuufuata Uislamu mzima kama mfumo wa maisha yake yote. Aufuate Uislamu katika maisha yake ya kijamii, kiuchumi, kielimu, kiulinzi, kiibada na nyanja nyingine zote za maisha yake. Atambue kuwa Uislamu kama dini, ndio mfumo sahihi wa sheria, mila na utamaduni umfaao mwanadamu. Ni mfumo ulio kamilika, usiokuwa n a u p u n g u f u w a l a

    hauhitajii ziada yoyote kutoka popote pale. Haya yanathibitishwa na kauli tukufu ya Mola Mtukufu:

    L e o nimekukamilishieni dini yenu, na kukutimizieni n e e m a y a n g u , n a n i m e k u p e n d e l e e n i Uislamu uwe Dini yenu (5:3)

    Aya inaeleza bayana k u wa U i s l a m u n d i o mfumo sahihi na kamili wa maisha, Uislamu ni Neema ya Mwenyezi Mungu kwa waja wake, Uislamu ndio dini Teule na chaguo la Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa waja wake.

    Kwa mantiki hii, leo Waislamu kuhukumiana kwa kufuata mila na tamaduni zinazotofautiana na sheria ya Mwenyezi Mungu (Quran), ni sawa na kuibatilisha aya hiyo hapo juu isemayo kuwa Uislamu umekamilika. Kwa kufuata mila na tamaduni zinazotofautiana na Sheria za Mwenyezi Mungu ni sawa na kuamini kuwa Uislamu umesahau kuyawekea sheria, kanuni na taratibu baadhi ya maeneo katika maisha ya mwanadamu. Kwa hivyo, wao wanayo fursa ya kujipangia sheria, kanuni na taratibu zitakazokidhi haja zao katika maeneo husika bila kujali wala kuangalia kuwa kanuni na taratibu hizo zinapingana na sheria ya Mwenyezi M u n g u M t u k u f u n a i s i t o s h e b a d o wa t u hawa waliojiundia mila

    na tamaduni zao nje ya Uislamu bado wanadai na kujiita kuwa ni Waislamu.

    Kwa kuzingatia kuwa U i s l a m u s i m f u m o uliobuniwa na watu bali ni mfumo utokao kwa Allah (s.w). Na Wahyi ni haki yenye yakini na ukweli wa milele usiohitaji marekebisho yoyote . Kama tulivyoona huko nyuma, tunapozungumzia demokras ia , u jamaa, ukomunist i , ubepari , n a k a d h a l i k a . tunazungumzia mifumo i l iyobuniwa na watu a m b a o m a wa z o ya o yanahitaji marekebisho ya m a r a k wa m a r a . Hivyo basi itakavyokuwa vyovyote mifumo hii haiwezi kulinganishwa n a Wa h y i . M a a d a m haitoki kwa Allah (s.w) mifumo hiyo ni dhaifu na si mikamilifu. Kunaweza kuwapo mambo machache mazuri katika mifumo hiyo lakini katika ujumla wake mifumo hiyo ni dhaifu. Ni makosa makubwa kulinganisha Uislamu na demokrasia kwa lengo la kuonyesha kuwa Uislamu ni mfumo mzuri kwa sababu unalingana na demokrasia. Zipo sehemu chache katika demokrasia ambazo zinakubalika katika Uislamu, lakini Dola ya Kiislamu si sawa na ile ya kidemokrasia.

    B a a d h i ya k a n u n i z a d e m o k r a s i a zinazokubalika katika Uislamu ni pamoja na uhuru wa watu kuchagua v i o n g o z i wa o , wa t u

    washiriki katika kufanya maamuzi ya kisiasa na haki ya watu kuibadili serikali isiyotekeleza au kutimiza matarajio yao.

    L a k i n i p a m o j a n a kuafikiana na kanuni hizo mfumo wa siasa wa Kiislamu siyo wa kidemokrasia kwa sababu katika demokrasia kauli ya mwisho kabisa ni watu wenyewe. Ndio maana tafsiri maarufu ya demokrasia ni "serikali ya watu inayoongozwa na watu kwa manufaa ya watu". Hivyo watu ndio wenye kauli au mamlaka ya mwisho. Katika Uislamu mamlaka yote ni ya Mwenyezi M u n g u p e k e y a k e . Viongozi na watu wote wanatakiwa wajisalimishe chini ya sheria na amri zake Mwenyezi Mungu Mtukufu.

    Haya yanathibitishwa na kauli ya Mwenyezi Mungu (s.w), aliposema:

    Basi hukumu baina yao kwa yale aliyoteremsha Allah na wala usifuate m a t a m a n i o ya o k wa kuacha haki iliyokufikia. (5:48)

    A i d h a , m f u m o wa kidemokrasia unaweza k u d h u l u m u h a k i z a wachache kwa sababu haki ni ya walio wengi. Kwa mfano iwapo watu walio wengi ni wa kabila la Wasukuma na watu walio wachache ni kabila la Wamanyema, bas i Wasukuma waki taka wanaweza kupitisha sheria

    Inaendelea Uk. 12

    RAIS Jakaya Mrisho Kikwete.

  • 8 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 11-17, 2014Makala

    " W e ' l l k n o w o u r disinformation program i s c o m p l e t e w h e n everything the American public believes is false." - William Casey -, CIA Director (from first staff meeting in 1981)

    "It also gives us a very special, secret pleasure to see how unaware the people around us are of what is really happening to them." -Adolph Hitler

    "Claim everything, expla in nothing, deny everything" - Senator Presco t t Bush - 1966 interview for Columbia University's oral history project on the Eisenhower administration.

    Nukuu zilizotangulia hapo juu zinawasilisha ujumbe mmoja muhimu sana . Kwamba mara n y i n g i , h a s a k a t i k a ulimwengu wa kisiasa na katika mifumo ya maisha ya kikafiri, uwongo ndio mwingi kuliko ukweli. Kile unachoambiwa sicho na unachoamini kuwa ndicho, kumbe sicho kabisa.

    Kama anavyosema William Casey na Adolph Hitler, wetu umekuwa ni ulimwengu wa ulaghai na udanganyifu kiasi kwamba watawala na vyombo vyao vya dola wanabuni uwongo na kuwajaza wananchi na hujiona kuwa wamefanikiwa pale wananchi kwa mfano wanapoamini kuwa kitu fulani ni cheupe kumbe ni cheusi.

    Mfano ni pale Adolph Hitler alipopanga mipango ya kuchoma jengo la bunge na kusingizia kuwa ni wapinzani, wananchi wakaamini na ikapatikana sababu ya kuwabamiza.

    N o v e m b a m w a k a jana 2013 Amrit Wilson a l i a n d i k a m a k a l a yake aliyoipa jina US interventions in East Africa: from the Cold War to the 'war on terror'.

    Katika makala hiyo anaeleza jinsi Marekani i l i v y o s h i r i k i k u l e t a muungao wa Tanganyika na Zanzibar kat ika kulinda masilahi yake ya kibeberu.

    Katika kitabu chake-, The Threat of Liberation: Imperialism and Revolution in Zanzibar, mwandishi Amrit Wilson anaeleza k u w a b a a d a y a Mapinduzi, Zanzibar ilikuwa imeweka mikakati ya kujenga uchumi imara na zaidi kukata minyororo ya kibeberu na kinyonyaji. H a l i i l e i l i t i z a m wa na mabeberu kama ya

    Kuuliwa Masheikh KenyaKitendawili chenye utata

    Na Omar Msangi

    hatari kwa masilahi yao, na hasa wakituhumu kuwa huenda Ujamaa au Ukomunisti ungewapa Wachina na Warusi nafasi kubwa zaidi Zanzibar na hivyo kukwaza masilahi ya mabeberu. Waliitizama Zanzibar kama Cuba ya Afrika inayoweza kutoa mfano mbaya kuwa nchi zinaweza kujitegemea na kupata maendeleo bila ya kuwategemea mabeberu a m b a o k i m s i n g i n i wanyonyaji tu.

    N i k wa a j i l i h i y o ilitafutwa kila njia ya kuzima mwelekeo wa Zanzibar . Na bahat i nzuri kwao wanasema, akapatikana Mwalimu Nyerere wa kutumiwa.

    Eventually this was done, not by military conquest, but through subterfuge, bribery and illegal means. A new country Tanzania was created by uniting Zanzibar and Tanganyika, with the connivance of the leaders of Kenya and Uganda, and presided over by Tanganyika's President Julius Nyerere. In the days that followed, William Leonhart, the US Ambassador in Tanzania, cabled Washington reporting that 'Nyerere's United Republic has given us the initial political framework with which we can work' and urging the US State

    Department to give Nyerere 'the maximum quiet support from the beginning. The US Ambassador to Kenya noted, meanwhile, that the laws of Tanganyika 'would become supreme throughout', adding that 'the [colonial]Preventative Detention Act could be used to round up radicals in Zanzibar'.

    H a y a n d i y o tunayoambiwa kwamba yalikuwa mazingira ya kuleta muungano, ambayo mwandishi anasema kuwa matokeo yake ni Zanzibar kuporomoka kiuchumi na kubakia kuwa nchi masikini kabisa barani Afrika, kinyume kabisa na mipango iliyokuwa imewekwa mara baada ya mapinduzi.

    Tunachombiwa katika makala ya Amrit Wilson ni kuwa haina maana kuwa njama zile zilizofanyika wakati wa vita baridi zimekoma. Hazijakoma kwa sababu masilahi ya mabeberu yapo pale pale. Anachosema ni kuwa, m b i n u z i l i z o t u m i k a wakati ule wa vita baridi, leo zimebadilika kidogo, lakini lengo likiwa lile lile. Masilahi ya kibeberu. Leo inatumika vita dhidi ya ugaidi.

    Anasema, katika kuficha lengo na njama hizo, yatajengwa mazingira

    ionekane kuwa tukio kama lile la shambulio la Westgate shopping mall, Kenya, ni kazi ya magaidi wa Kiislamu, mwenyewe akitumia msemo- act of 'mindless violence' perpetrated by Is lamic terrorists.

    Hata hivyo anasema, wenye akili zao wakizama k a t i k a k u c h a m b u a , wanaibuka na hoja kuwa haya ni mambo yenye agenda za siri. Kwamba hata ile Kenya kuingizwa k a t i k a p r o x y w a r inayopiganwa Somalia, n i k a t i k a h a t u a y a kukamilisha mikakati hiyo. Kivipi? Ili linapotokea shambul io kama l i le la Westigate, kwanza itadaiwa katika vyombo vya habari kwamba Al Shabab au vijana siasa kali wa Kiislamu wanahusika. Kwa n in i wahus ike? Itadaiwa kuwa wanalipiza kisasi kwa Kenya kupeleka j e s h i k u p i g a n a n a Waislamu Somalia.

    K w a h i y o j a m b o limepangwa vizuri. Wewe unaona kuwa ni haki Al Shabab kulipiza kisasi kwa Kenya kupeleka jeshi kuuwa Waislamu Somalia, kumbe sivyo kabisa.

    Na ukiacha jazba na kutizama jambo hili kwa makini, utaona kuwa haihitaj i kuwa razini

    sana kungamua mchezo wenyewe . Unahita j i kutumia japo asilimia 10 tu ya akili yako kugundua kinachoendelea.

    Katika Westgate, walidai Al Shabab walihusika. Na ili kutoa picha kuwa wahusika ni Waislamu, w a k a w a o n y e s h a washambuliaji wakiwa ndani ya duka wakiswali k w a z a m u , h u k u w e n g i n e wa n a s h i k a d o r i a , w a n a l i n d a . Wanajua kwa jazba za Waislamu watawasifia kuwa wanatekeleza aya ya Quran inayoelekeza namna ya kuswali watu wakiwa kat ika J ihad ( V i t a ) . Wa t a w a s i f i a kuwa n i Mujahid ina k we l i k we l i . L a k i n i jiulize, kama katika vita inakatazwa kuuwa watoto, wanawake, wazee na kila asiye shika silaha, hata kukata tu mti na kuharibu mazao, hairuhusiwi; na kama unaamini kuwa Al Shabab wanapigana Jihad, kwa maana kuwa ni Waislamu safi kwa imani; je, wanaweza kufanya yale ya Westgate? Au hili la juzi la kushambulia Wakristo kanisani? Haiwezekani.

    Kwa hiyo, hii inafanywa ili kwanza kuwatia hasira Wakristo, wajenge chuki na hasira ya kulipiza kisasi. Kwa upande mwingine, wanauliwa Masheikh kwa kudaiwa kuwa ni magaidi. W a n a o p a n g a h a y a wanajua kuwa Waislamu watapandwa na hasira. Ama watashambulia vituo vya polisi au makanisa. Likifanyika hilo, Masheikh na Waislamu watauliwa zaidi na hasira itaongezeka, wakati huo huo, yale ya kuwatia hasira Wakristo, n a y o ya n a o n g e z e k a . Hatima yake ni machafuko. Wakristo na Waislamu wanashikiana mishale, mikuki , mapanga na bunduki. Hakukaliki tena. Ikifikia hapo mabeberu wataleta misaada yao ya kikachero na kijeshi, kisingizio kwanza kikiwa cha kusaidia kupambana na magaidi, inapofikia hali kama ya Bangui, wanakuja na jeshi la kulinda amani . Ndio wameingia na wamekaa. Mkishawapa mlango wa kuingilia, wakishaingia wanaufunga. Hawatoki. Kwa maana kuwa, hali sasa itakuwa kama ile ya Boko Haram, Nigeria. Mashambulio hayatakoma ili kisingizio cha kuwepo kwao kiendelee kuwepo.

    K a t i k a h a l i k a m a hiyo, nyinyi mnakuwa sawa na koloni tu. Kwa sababu ya machafuko mnalazimishwa kuletewa jeshi la kuwatawala. Kila

    Inaendelea Uk. 10

    MARHUUM Sheikh Aboud Rogo. MARHUUM Sheikh Abubakar Shariff Ahmed "Makaburi".

  • 9 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 11-17, 2014Makala

    YAPO baadhi ya mambo yanatia kichefuchefu, lakini baya zaidi ni kule kuwadhania watu kuwa hawana akili.

    Siku moja baada ya viongozi wa Kiislamu nchini Kenya kuishutumu s e r i k a l i ( J u b i l e e G o v e r n m e n t ) k u w a inahusika na mauwaji ya Sheikh Abubakar Shariff Ahmed na Masheikh wengine, gazeti moja nchini Kenya limekuja na porojo kuwa Sheikh Abubakar aliuliwa na Samantha Lewthwaite.

    REVEALED: Here is the TRUTH on who killed Sheikh MAKABURI? UHURU KENYATTA and RUTO are free men.

    Liliripoti kwa kishindo kikubwa gazeti hilo katika kichwa cha habari husika.

    K i s h a l i k a n a d i likisema- The Kenyan DAILY POST has finally established that slain Islamic cleric, Sheikh Abubakar Shariff Ahmed alias Makaburi was not assassinated by the Jubilee Government as many Kenyans had been forced to believe.

    Ikiwa na maana kuwa gazeti hilo la Kenyan Daily Post, limepata habari za uhakika kuwa Sheikh Abubakar Shariff Ahmed hakuuliwa na serikali ya Kenya kama Wakenya wengi wanavyoamini.

    Nani kamuuwa Sheikh Makaburi? Kenyan Daily Post linasema kuwa It was Samantha Lewthwaite (the white widow) who ordered the killing of the radical Islamic cleric.

    Ikiwa na maana kuwa ni Samantha Lewthwaite aliyetoa amri auliwe. Kwa nini Samantha atoe amri ya kuuliwa Sheikh Makaburi, Kenyan Daily Post linaendelea kuporoja likisema kuwa ni kwa sababu alitakiwa kuwa kiongozi wa Al Shabab kwa Kenya na Uganda a k a k a t a a . K wa h i y o Samantha akatoa fatwa kuwa huo ni sawa na usaliti. Auwawe!!!

    The London based paper (Mirror ) says Makaburi was killed due to his refusal of becoming a senior Al Shababab leader in Kenya and Uganda.

    Sources said Samantha, who is hiding in a remote village in an Al Shabaab controlled region in Somalia, o rde r ed the k i l l ing o f

    Kitanzi bado kipo shingoni mwa Uhuru Kenyatta, Ruto

    Porojo za Mirror hazitasaidia kituNi Mchezo wa danganya toto jinga Wasome yalimkuta Saddam, Noriega

    Na Omar Msangi

    Makaburi terming him a betrayer of Muslims.

    Kama ilivyonukuliwa hapo, chanzo cha habari za gazeti hilo la Kenya la Jumamosi Aprili 5, 2014

    ni gazeti la Mirror la Uingereza ambalo nalo linasema kuwa limepata taarifa hizo kutoka kwa makachero wa Marekani na Uingereza.

    Katika kukamilisha porojo zake gazeti hilo likasema kuwa taarifa za makachero hao ni za kuaminika kwa sababu wal iomuuwa Sheikh Makaburi walionekana w a k i w a w a m e v a a kanzu na kofia ukiwa ni ushahidi kuwa aliuliwa na Waislamu wenzake!!!

    Kama tutakumbuka vizuri, porojo za kuchefua zilizokuwa zikitolewa

    katika vyombo vyetu vya habari wakati wa tukio la Westgate, Nairobi, vyanzo vilikuwa magazeti haya haya ya Uingereza.

    Haya ndiyo yaliyokuja n a p a u k wa p a k a wa kuwa watu walikuwa waki fanyishwa tes t akijibu maswali vizuri k u t h i b i t i s h a a n a j u a Uislamu, huachwa, lakini akikosa huuliwa. Wakaja p i a n a u l e u w o n g o kolea, amini ukipenda, kuwa magaidi walikuwa wa k i wa k a t a m i k o n o watoto na kuichonga k u f a n y a k a l a m u z a kuandikia huku damu ikifanywa wino. Hayo yote yakifanywa ndani ya jengo la Westgate na wal iodaiwa kuwa magaidi wa Kiislamu! Wakatusambazia na picha

    za watu waliopigwa risasi mgongoni, miguuni na vichwani, lakini bado wanatembea!!!

    Na kama tutakumbuka vizuri zaidi, porojo za Samantha zililetwa baada ya ku ibuka maswal i yasiyo na majibu. Moja likiwa inakuwaje polisi, jeshi la Kenya na vikosi vya usalama wakisaidiwa na makachero kutoka Marekani , Uingereza na I srae l , inakuwaje washindwe kupata japo gaidi mmoja au hata mait i yake? Hadi hi i leo serikali ya Kenya hai jaweza kuonyesha hata mtu mmoja kuwa ni katika wale magaidi waliovamia Westgate au maiti ingawa katika taarifa yake ya awali Rais Uhuru Kenyatta alitamba akisema kuwa magaidi kadhaa walishauliwa na wengine kukamatwa.

    Ilikuwa katika kilele cha utata wa tukio hilo, hasa baada ya polisi kuambiwa wasitishe zoezi lao na badala yake lishike jeshi, hali iliyopelekea polisi na wanajeshi kuuwana wenyewe kwa wenyewe, ndio ikaletwa porojo ya Samantha vyombo vya habari vikapata karamu ya habari za Samantha na watu wakasahaulishwa mambo ya msingi ya kuhoji. Na hapa itakumbukwa pia kuwa baada ya polisi kuondolewa, wanajeshi walikaa nje ya jengo usiku kucha hadi kesho yake walipovamia wakati huo wanaodaiwa kuwa magaidi wakiwa washaondoka. Na walichofanya wanajeshi w a l i p o i n g i a k a t i k a m a d u k a n i k u n y wa pombe na kupora kama ilivyoripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari vya Kenya.

    Porojo za Samantha wakati ule ili kuficha ukweli ziliibukia huko huko kwa makachero wa Marekani na Uingereza pamoja na vyombo vyao vya habari. Leo katika k u f u n i k a m a u w a j i haya ya kikatili dhidi ya Waislamu, porojo za Samantha zinatokea huko huko na la kusikitisha na kuhuzunisha vipaza sauti havikosekani.

    Pengine tumkumbushe mpiga porojo wetu kuwa Masheikh sio wa mwanzo kuishutumu serikali ya Kenya kuhusika na mauwaji ya watu wasio na hatia. Taarifa ya hivi k a r i b u n i ya H u m a n Rights Watch inaituhumu serikali ya Uhuru Kenyatta kuhusika na kuuliwa zaidi ya watu 120 (silent extrajudicial killings) kinyume na sheria.

    Watu hao wametajwa k u wa n i p a m o j a n a Masheikh na Waislamu w e n g i n e a m b a o huvurumishiwa tuhuma z a u g a i d i n a k i s h a kupigwa risasi bila kujali kuwa tuhuma hizo zina mashiko au la.

    Ta a r i f a ya H u m a n Right Watch inasema kuwa Jubilee Government inahusika na utesaj i , kutoweka na kuuliwa watu, hasa Masheikh na Waislamu wenye asili ya Somalia.

    Wanaotajwa kuuliwa na vikosi vya polisi, hasa wale wanaojulikana kama Anti Terror Police Unit (ATPU) ni pamoja na Sheikh Said Mohammed Njiro wa Kiembeni, Mombasa. Kwa mujibu wa taarifa za baadhi ya vyombo vya habari vya Kenya, ATPU wal imkamata Sheikh huyo akielekea msikitini na kumrejesha nyumbani kwake ambapo baada ya kupekuwa nyumba nzima na kukosa silaha walizodai kuwa zipo katika nyumba hiyo, walimchukua Sheikh wakamlaza kitandani kwake kifudifudi wakiwa wa m e m f u n g a p i n g u wakampiga risasi sita kichwani.

    Muda mfupi baadae maafisa wa polisi (ATPU) walimlaza Sheikh Said k i tandani mwake na k u m p i g a r i s a s i s i t a kichwani akiwa amelala k i fudi fudi na p ingu mikononi.

    H i v y o n d i v y o alivyosimulia mchunguzi

    Inaendelea Uk. 15

    RAIS Uhuru Kenyatta wa Kenya.

  • 10 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 11-17, 2014Makala

    KATIKA sehemu hii ya pili tutaangal ia mchango wa Wazanzibari katika kuijenga Tanzania na namna gani mchango huu umekuwa wa kudharauliwa na kutekwa na wasio uoni wa umoja wa kweli hasa kwa kuendekeza siasa za wagawe uwatawale. Bado tutaendelea kuijadili hotuba ya kufunguliwa kwa bunge na kuangalia kwa undani hoja zenye utata na ambazo zimekuwa gumzo kubwa katika nchi zetu. Lengo si kusutana, bali ni kuelemishana kupitia maoni mbadala ambayo inawezekana yamefichwa kwa makusudi au kwa kutoeleweka ipasavyo.

    Kipande cha hotuba ya ufunguzi ambacho naweza kusema ni cha kusikitisha ni kile kinachonukuliwa kwamba muungano wa serikali tatu unaweza kuwa ndio mwisho ya Wapemba walima vitunguu Bara. Ni cha kusikitisha kabisa kwa mkuu wa nchi kutumia lugha ya aina hii katika sehemu tunayotegemea kuzaa historia mpya ya umoja na mshikamano kwa muungano uliojengwa kwa misingi ya ridha ya wananchi.

    K a t i k a m a t a i f a yanayoendelea, mchango wa wafanyabiashara wa kati na wadogo, hupewa kipaumbele kwa vile ndio uti wa mgongo wa ukuwaji wa uchumi wao na punguzo la ukosefu wa ajira.

    Tukiangalia katika kipindi cha

    Kuuliwa Masheikh Kenya Kitendawili chenye utataInatoka Uk. 8kitu mtapangiwa ikiwa ni pamoja na namna ya kuvuna rasilimali zenu ili zilipie gharama za kusaidiwa kupambana na magaidi na kulinda amani. Palipo na vurugu, Mchina hakai ataondoa w a t u w a k e k a m a alivyoondoa Libya. Beberu kakaa. Anachoangalia ni masilahi yake, sio watu wangapi wanauliwa kila mwaka kama gharama ya kupata kisingizio cha yeye kuwepo. Hiyo kwake sio kitu-wenyewe wanaita collateral damage.

    H i v i s a s a K e n y a w a n a k a b i l i w a n a kitendawili tata. Wazungu wanasema dilemma. Kwa upande mmoja, matukio ya kuuliwa wananchi na hasa Wakristo yanaongezeka ikidaiwa kuwa wanaofanya mauwaji hayo ni Waislamu (magaidi /Al Shabab/vijana siasa kali). Hali hii inajenga chuki na hasira ya kulipiza kisasi dhidi ya Waislamu. Kwa upande mwingine wanauliwa Masheikh/Waislamu, hii nayo inajenga chuki na hasira za kulipiza kisasi dhidi ya polisi/Wakristo. Dhidi ya polisi kwa sababu Waislamu wanaamini k u w a w a n a o f a n y a mauwaji haya ni kikosi cha polisi cha kupambana

    na magaidi (Anti Terror Police Unit-ATPU). Na dhidi ya Wakristo kwa sababu inajengeka kuwa ni serikali ya kikafiri, kwanza i n a y o u wa Wa i s l a m u Somalia na pili wengi katika vikosi vya Polisi na serikali wanaonekana k u w a W a k r i s t o . Lakini jingine ni kuwa inaonekana kuwa serikali imesimama upande wa Wakristo kuwalinda dhidi ya Waislamu.

    Katika hali kama hii, kama Wakristo watalipuka na hasira za kulipiza k i s a s i n a Wa i s l a m u ikawa hivyo hivyo, ndio utakuwa mwisho wa Kenya tunayoijua leo. Itakuwa nchi ya mwanzo katika Afrika Mashariki kuungana na Iraq, Yemen, Pakistan na Somalia . Na hilo likitokea, huku hatusalimiki.

    Swali ni , je , Kenya wataweza kumeza hasira wakaisoma hali ilivyo na kujua mchezo unaochezwa n a k u j u a n a m n a ya kujinasua?

    Hilo linaonekana kuwa mbali kwa sababu serikali na vyombo vyake vya dola

    vishakuwa sehemu ya vita hii. Ndio maana tunaona, watu wanashambuliwa kanisani, dola inajipa jukumu la kumtuhumu Sheikh. Sheikh hapati nafasi ya kufikishwa m a h a k a m a n i . B a l i unastukia kapigwa risasi kafa.

    Kabla ya kuuliwa Sheikh Makaburi tunaambiwa k u w a a l i t u h u m i w a kwamba alihusika na shambulio lililosababisha Wakristo kuuliwa kanisani. Taratibu za kisheria na utawala bora zinaelekeza k u w a S h e i k h h u y o angekamatwa apelekwe mahakamani na ushahidi dhidi yake utolewe. Lakini wapi! Ameuliwa!

    N i m a l i z i e k w a kusema kuwa wakati Somalia ikiwa chini ya Siad Barre, aliyekuwa kipenzi cha mabeberu, theluthi mbili ya visima vya mafuta vi l ikuwa wamepewa makampuni ya Kimarekani ambayo ni (American petroleum

    giants) Conoco, Amoco, Chevron na Phi l l ips . Barre al ipopinduliwa nchi ikataka kubadili mwelekeo, ukawa ndio mwanzo wa vurugu, Marekani ikitaka kulinda masilahi yake. Wakati ule, kulikuwa na kisingizio cha Ukomunisti. Urusi (Soviet Union), iliposambaratika, haraka haraka akatafutwa adui mwingine.

    US, suddenly bereft of an enemy, created and targeted a new one Islamic terrorism. Done in the name of 'humanitarian intervention', it was in fact the launch of the 'war on terror' in the region.

    Hivi ndivyo anavyosema Amrit Wilson kwamba haraka haraka alitafutwa adui wa kutupia lawama na huyu si mwingine bali ni Islamic terrorism na kwamba beberu akajipa ukiranja na mamlaka ya bwana huruma akiingia k i l a m a h a l i a k i j i d a i kusaidia kupambana na adui ugaidi asidhuru

    watu. Ni katika mazingira hayo, Serikali ya Umoja wa Mahakama za Kiislamu Somalia, iliporomoshwa, ikawa sababu ya kuibuka Al Shabab.

    A n a c h o s e m a mwandishi ni kuwa hata kama itatoweka Al Shabab hivi leo, ataibuliwa adui mwingine kuendeleza agenda. Agenda ya kupora mali, kusambaza utando wa kijeshi na kikachero ili kudhibiti serikali na watu wake pamoja na rasilimali zao.

    Hayo ndiyo malengo ya mabeberu, ambao kwa bahati mbaya kwa upande wetu, wamefanikisha kutuundia Anti Terror Police Unit (ATPU), ambao wa n a u wa M a s h e i k h b i la ku j i jua kwamba k wa k u f a n ya h i v y o wanaangamiza nchi yao wenyewe kwa mikono yao. Kwanza wanabeba dhambi ya kuuwa watu wasio na hat ia . P i l i , wanabeba dhambi na dhima ya kuangamiza nchi kwa kuitumbukiza katika machafuko.

    Ukibaraka, usaliti na ukosefu wa akili ulioje huu!!!

    Waonavyo wana Facebook:

    Kuvunja Katiba ya Zanzibar 2010 ni mauti ya muunganorecession hasa baada ya serikali kubwa duniani kuzisaidia banki zilizokuwa katika changamoto za kufilisika, msisitizo mkubwa u l i w e k wa k wa m a s h a r t i kwamba msaada wa serikali kwa benki hizo na taasisi za fedha ziwekwe kwa kuhakikisha banki zinaendelea kufungua milango ya mikopo na overdrafts kwa wafanyabiashara wadogo wadogo na wale wa kati . Huu ulikuwa ni mkakati wa kuhakikisha kuwa mdororo wa uchumi (recession) unadhibitiwa kwa sababu mahitaji makubwa ya wananchi wa kawaida yanategemeana zaidi na mid and small business.

    Katika hotuba ya ufunguzi, heshima stahili ya Wazanzibari waliowezesha ukuwaji wa uchumi kwa kiasi kikubwa katika muungano huu, imetupwa kwa hisia hasi zilizojengeka zaidi kisanii na kwa kuendekeza hisia badala ya utumiwaji wa maarifa yakinifu. Kwanza si Wapemba walioungana na Tanganyika kuunda muungano huu. Ni Wazanzibari wakiongozwa na serikali yao.

    Waliohamia bara si wahamiaji haramu, ni makubaliano ya muungano huu yaliowezesha Wazanzibari na Watanganyika kuishi pamoja. Heshima ya wananchi wa pande hizi mbili zinalindwa na makubaliano hayo na tukumbuke kwamba mali zote za Wazanzibari

    waliopo Bara na Watanganyika walioko Visiwani, hazikuporwa bali zilipatikana kihalali kupitia mauzo na katiba iliyowaruhusu kufanya hivyo. Tukumbuke hata muungano ukivunjika, assets zao zitabakia kuwa mali za wahusika kwa vile upatikanaji wake ulikuwa wa kihalali na pia sheria na katiba iliwaruhusu. Mabadiliko yoyote yatazingatia haki hizo za umiliki na mbali ya sheria za nchi bali sheria za kimataifa pia zitazingatiwa kuhakikisha haki inatendeka.

    Kuna tafsiri mbili kubwa za utumiwaji wa kauli ya Wapemba walimao vitunguu. Ya kwanza ni lugha ya mitaani inayotuweka Wazanzibari sote kwamba ni Wapemba. Ina msisimko wa dharau na masimamngo, sawa na zile kauli za Mtikila za magabachori kwa Wahindi. Lengo lake moja kubwa ni idhlali na uhamasishaji wa hisia za Utanganyika dhidi ya kupe wa Kizanzibari waliohama makwao.

    Tafsiri ya pili ni kuwalenga sehemu ya Wazanzibari kutoka kisiwa cha Pemba ambao kwa kiasi kikubwa wamekuwa mwiba kwa watawala. Ni stereotype isiyo na statistical evidence kwa vile si serikali wala taasisi yoyote iliyowahi kutoa uthibitisho wa wingi wa idadi baina ya visiwa kwa upande wa bara. Na stereotype hii imejijenga zaidi kwa vile kwa Watanganyika wengi si aghalabu kututafautisha baina yetu.

    La kujiuliza kulikuwa na lengo gani kwa waheshimiwa kutumia lugha ya Wapemba badala ya Wazanzibari kwa vile ndio taifa lililoungana nalo? Au ni kweli kwamba mchango wa so called (waitwao) Wapemba huko Bara ni ulimaji wa vitunguu pekee? Jee, Bara hawakunufaika na mbinu za ujasiria mali za Wazanzibari waliowekeza na kulipa kodi Bara? Hivi uondokaji wa hawa walima vitunguu Bara hautakuwa na athari yoyote katika uchumi wa Tanganyika? Labda tutazame historia nchini Uganda na namna athari ya Wahindi 3000 tu waliofukuzwa kipindi cha miaka ya sabini na miaka mingapi ilichukuwa mpaka uchumi wa Uganda ukarejea katika hali ya maridhisho. Hivi ni kweli serikali haikuweza kuleta hoja nzito dhidi ya serikali tatu badala ya sentiments za kichokozi? Au tuseme hakuna Waunguja waliojizatiti katika mabadiliko ya mfumo wa muungano ambao wangeliathirika na mabadiliko alioyaona mheshimiwa wetu? Hivi ni kweli maoni ya serikali tatu yalitoka Pemba pekee? Kule Kusini, Kaskazini na Mjini Unguja maoni ya wananchi yalikuwaje? Tuseme asilimia hii 60 ya Wazanzibari ni ya kina nani hata tuwe na ujasiri wa kuwa-single out jamii moja tu kwa misingi ya khofu?

    Nikiwa najinasabisha na Utumbatu, ningelijisikaje kama

    hotuba ile ya ufumbuzi wa bunge la katiba lingewataja Watumbatu waliohamia Kipumbwi, Tanga huku wakijushughulisha na biashara za ndimu kama kigezo sawa na cha walima vitunguu?

    Dhana ya serikali ya umoja wa kitaifa alioisifia ni kuondosha elements za aina hii, hekima i tawale his ia hasa kat ika matamshi ya viongozi kwa vile inawezekana kabisa lengo jema likaleta muhma mkubwa wa majibizano yasio na tija.

    L a b d a t u wa k u m b u s h e waheshimiwa kwamba bila ya kura 20,000 za kutoka Kisiwani Pemba, watawala wasingeweza kujitwika ubabe wa matamshi wa namna hii.

    Mfumo wa serikali mbili h a u t a t o a s u l u h i s h o k wa kuwasikiliza tu Wazanzibari watakavyo na kusema wapewe. Kuegemea kwa upande wa bara itakuwa vigumu zaidi kuulinda muungano na nyufa zitaanzia kwa uongozi wa sasa uliojitutumua kwa mageuzi lakini ukaogopa kivuli chake. Lengo ni kuwa na katiba itayodumu miaka 50 mengine, tena kwa ridhaa ya wananchi na ushirikishwaji wao katika kila hatua ya utungaji.

    Kuifanyia marekebisho katiba ya Zanzibar ya 2010 ili kuendeleza status quo ya watawala, haitaulinda muungano na ndio litakuwa anguko la mwanzo la muungano huu uliowekewa

    Inaendelea Uk. 12

  • 11 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 11-17, 2014Makala

    MAKALA hii ilitolewa k wa m a r a ya k wa n z a polisi walipovamia Masjid Mussa, Mombasa na kuuwa Waislamu kadhaa. Kutokana n a u m u h i m u w a k e , tunairejea makala hii (ikiwa imefanyiwa uhariri kidogo) kama namna ya kuelezea mazingira yanayopelekea k u u l i w a M a s h e i k h Mombasa, Kenya ambapo mauwaji ya hivi karibuni ni ya Sheikh Abubakar Shariff Ahmed (Makaburi).

    K u f u a t i a u c h u n g u z i uliofanywa na kituo cha t e l e v i s h e n i c h a K T N , yanaibuka maswali mengi yasiyo na majibu katika kile kilichodaiwa kuwa ni shambulio la kigaidi lililofanywa na Al Shabab.

    Katika uchunguzi wao K T N , k i m e p a t a p i c h a nyingi zikionyesha tukio hilo, na hasa magaidi hao walivyofanikiwa kutoroka huku jengo likizingirwa na jeshi la Kenya-Kenya Defense Force (KDF). Kama itakavyoonekana katika makala hii huko mbeleni, mtafaruku uliotokea baina ya polisi na wanajeshi katika operesheni ya Westgate, huenda ndio uliopelekea baadhi ya polisi kutoa picha hizo kwa baadhi ya waandishi wa h a b a r i z i l i z o k u wa zimedhibitiwa ili kulipiza kisasi kwa wanajeshi.

    Lakini jingine ni kuwa unyama wa kutisha hadi sasa umeshafanywa dhidi ya Waislamu wa Kenya katika zile jitihada za serikali hiyo kuj isa j i l i kwamba inapambana na magaidi. Ta a r i f a z a u c h u n g u z i zilizokusanywa na kituo cha televisheni KTN, katika kipindi chake maarufu Jicho Pevu, zinaonyesha kuwa waliomuuwa Sheikh Aboud Rogo ni polisi wa kikosi cha kupambana na magaidi-Anti Terrorism Police Unit (ATPU) na kwamba aliuliwa jirani kabisa na kituo cha polisi cha Bamburi. Na baada ya mauwaji hayo polisi wawili waliomuuwa waliingia katika kituo hicho cha polisi kurejesha bunduki walizotumia na wengine wawili wakaelekea baharini.

    Mkusanya habari wa KTN baadae aliwahoji watoto wa Sheikh Rogo, nao wakaeleza jinsi wanavyotishwa na kubambikiziwa tuhuma za ugaidi.

    Kijana Khubaib Abdu Rogo anasema, moja ya picha wanazo tumia polisi hao kumtisha ni za Samir Khan. Humwonyesha wakati yupo hai na kisha humwonyesha zile picha za kutisha baada ya kuuliwa. Huyu Samir Khan alitekwa Mombasa na siku

    Usiombe kuingia anga ya polisi wa ugaidiNa Mwandishi Wetu kadhaa baadae, aliokotwa katika msitu wa Tsavo, maiti

    yake ikiwa imenyofolewa macho na sehemu zake za siri. Walioshuhudia tukio la kutekwa kwake wanasema, alitekwa na polisi wa ATPU mara tu alipovuka kivuko cha Likoni.

    W a n a n i a m b i a tutakufanya kama huyu.

    Awali polisi walikuwa w a m e k a n u s h a k a b i s a kuhusika na kumteka Samir na kisha kumuuwa. Lakini sasa wanatumia picha za Samir baada ya kufanyiwa unyama kuwatisha watoto wa Sheikh Aboud Rogo.

    Pengine nitaje hapa tena kisa cha kuuliwa Sheikh Said Mohammed. Huyu aliuliwa Mombasa. Polisi w a l i m k a m a t a w a k a t i akielekea msikitini kuswali d h u h r i , wa k a m r e j e s h a nyumbani . Wakapekua w a k i d a i w a n a t a f u t a si laha, walipokosa kitu wakamfunga mikono kwa nyuma wakamlaza kifudifudi kitandani mwake na kisha kumpiga risasi sita kichwani. Taarifa ikadai kuwa aliuliwa ak ipambana na pol i s i . (Yote haya ni kwa mujibu wa taarifa za Jicho Pevu-KTN). Na hayo ni baadhi tu ya matukio ya mauwaji ya kutisha wanayofanyiwa Waislamu.

    Pengine sasa tuangalie lile shambulio la Westgate Shopping Mall, ili tutizame linahusiana vipi na matukio kama haya ya kuuliwa Sheikh Makaburi.

    Mpaka sasa yapo maswali m e n g i a m b a y o b a d o hayajapatiwa majibu kufuatia shambulio la kigaidi pale Westgate Shopping Mall, Nairobi. Moja ya maswali hayo ni hili: Kama magaidi waliuliwa, maiti zao ziko wapi? Pili, magaidi hao ni akina nani? Tatu, kwa nini polisi wa kawaida na vikosi maa lum wal iondolewa ghaf la na badala yake likaletwa jeshi (KDF)? Kwa nini jeshi halikuingia kuanza mashambulizi bali likasubiri usiku kucha muda ambao unadhaniwa ndio waliotumia magaidi kutoka?

    Taarifa ya uchunguzi wa KTN inaonyesha kuwa hadi kufikia jioni ya siku ya shambulio, polisi walikuwa wamefanikiwa kuwaokoa watu wote, kwa hiyo ndani kukabaki magaidi peke yao. Na taarifa hiyo inaonyesha jinsi ndani kulivyokuwa kupitia kamera za CCTV. Wanaonekana watu (magaidi) wanne tu wakiwa na silaha zao wakirandaranda bila hata ya kuwa na wasiwasi.

    M o h a m m e d A l i , mchunguzi na mtayarishaji kipindi wa KTN, anasema kuwa pamoja na mafanikio hayo, lakini jambo lisilokuwa

    la kawaida na lisilokuwa limetarajiwa likafanyika. I l i tangazwa kuwa jeshi l i n a i n g i a k u o n g o z a operesheni. Kilichotokea ni kuwa walijikuta wakiuwana wenyewe kwa wenyewe. Wanajeshi wakauwa na kujeruhi polisi. Mmoja wa Polisi aliyeuliwa ametajwa kwa jina la Martin Munene Kithinji.

    K u f u a t i a h a l i h i y o , m a k a m a n d a wa p o l i s i wal iondoa vikosi vyao wakilalamika kudharauliwa. Lakini hata wanajeshi nao, hawakuingia ndani mpaka kesho yake. Taarifa ya KTN kupitia kamera za video walizopata, zinaonyesha magaidi hao wanne wakiwa ndani bila ya wasiwasi. Ilipofika usiku wanaonekana magaidi wale wakiswali kwa zamu, anaswali mmoja m m o j a h u k u we n g i n e wakishika zamu. Kisha baada ya hapo wakafanya mawasiliano kupitia simu na kisha mmoja kutoka nje na kuangalia hali ikoje. Mara wote wakatoka wakatokomea kusikojulikana. Hiyo ilikuwa ni saa 4 na dakika 54 usiku.

    Kwa hiyo, usiku ule KDF, walibaki wamezingira jengo huku magaidi waliokuwa ndani wal i sha tokomea kusiko julikana.

    Taarifa ya Jicho Pevu inasema kuwa il ipofika asubuhi ya Jumapili ndio wanajeshi waliingia katika jengo hilo. Lakini na weyewe wakajikuta wakiumizana wenyewe kwa wenyewe.

    Taarifa hiyo ya KTN inaonyesha rundo la chupa za ulevi na kisha inawaonyesha wanajeshi hao wakiingia wakiwa wameshika bunduki, lakini wanapotoka kila mmoja kashika mifuko ya Rambo utadhani wanatoka kufanya manunuzi (shopping). Katika tukio moja wanaonekana

    wakielekezana duka la kuingia kupora kwa hiyo wakati wanatoka, kila mmoja anaingia hapo na kuchukua kitu kabla ya kutoka.

    K a t i k a k i l e l e c h a operesheni hiyo, wakati w a n a n c h i w a k i j i u l i z a ilikuwaje jeshi likaitwa na nini kinaendelea ndani ya Westgate, ukaonekana moshi mzito ukitokea duka la Nakumatt. Waziri wa Usalama akasema kuwa hao walikuwa magaidi waliokuwa wamechoma magodoro k u t a k a k u wa b a b a i s h a askari na kwamba moto huo ungezimwa mara moja. Hata hivyo, haukupita muda ikaonekana kuwa haukuwa moto wa magodoro bali ulikuwa ukiwaka nje sehemu ya juu ya kuegesha magari na mara jengo likaporomoshwa kutoka ghorofa ya tatu mpaka chini.

    Wakati hali ikizidi kutatiza, mara jina la Samantha Louise Lewthwaite, maarufu White Widow, likaanza kusikika katika vinywa vya wanahabari na serikali k wa m b a a l i h u s i k a n a shambulio hilo. Wakenya walijisahau wakashika hilo.

    K T N i n a s e m a k u wa kuletwa jina la Samantha ilikuwa namna nyingine ya danganya toto jinga kuwafanya Wakenya wasihoji mambo ya msingi kwani japo mama huyo alishawahi kufika Kenya huko nyuma, lakini madai ya kushiriki mashambulio hayo ilikuwa ni porojo tupu.

    Katika kuhitimisha kadhia hiyo, Waziri wa Usalama akatangaza kuwa kulikuwa na magaidi 10 mpaka 15. Naye Rais Uhuru Kenyatta s iku ya Jumanne, s iku moja baada ya kutolewa tangazo kuwa operesheni i m e k a m i l i k a , a l i s e m a kuwa magaidi waliouliwa

    walikuwa watano na 11 walikuwa wamekamatwa na kushikiliwa na polisi.

    Hata hivyo, picha za kamera za CCTV ambazo hatimaye zilifika mikononi mwa waandishi wa habari, zilionyesha kuwa kulikuwa na magaidi wanne tu.

    Lakini jingine la kutaja hapa ni kuwa japo taarifa ya serikali ilitangaza kuwa m a g a i d i 5 wa l i u l i wa , haikuweza kuonyesha picha za maiti hao. Aidha, hadi leo haikuweza pia kuonyesha hao magaidi 11 waliokamatwa na kushikiliwa na polisi kama alivyodai Rais Uhuru Kenyatta.

    Kinyume chake, kama ilivyoripotiwa katika gazeti la Daily Nation la Jumatatu Februari 10, 2014, serikali ya Kenya inasema magaidi waliouliwa eti toka wakati huo, maiti zao zinashikiliwa n a F B I w a k i z i f a n y i a uchunguzi ! ! ! A jabu ya mambo!

    Akitoa taarifa hiyo Mkuu wa Jeshi la Kenya, Generali Julius Karangi, anasema:

    H e r e i t f r o m m e , these fellows were killed on Monday morning. It happened on Saturday. We finished them on Monday morning and their bodies are with the FBI somewhere.

    Swali ni je, iweje magaidi wauliwe na jeshi la Kenya, serikali ishindwe kuonyesha miili yao, lakini muda wote huo toka Septemba mwaka jana 2013 mpaka leo, ndio inasemwa kuwa miili hiyo ipo mikononi mwa FBI somewhere. Ni wapi hapo somewhere?. Kenya haina uwezo wa kuchunguza maiti? Hiyo Jumatatu anayosema Generali Julius, hakukuwa na mtu yoyote ndani kwani w a t u w o t e w a l i k u w a washaokolewa. Kwa hiyo waliobaki ni magaidi na kwa hiyo hakukuwa na utata wowote kutambua nani waliuliwa.

    Ukitizama simulizi hizi, ambazo zimefichuka baada ya kufanyika uchunguzi, zinaacha maswali mengi bila ya majibu. Kama alivyosema mchunguzi wa KTN, nyingi ya taar i fa za Westgate zimekuwa ni porojo za danganya toto jinga.

    N d i o h a p a u n a we z a kuona kuwa pengine katika kutafuta namna nyingine ya kuendeleza hii danganya toto jinga, lazima matukio kama yale ya Masjid Mussa yatokee ili kuwashibisha Wakenya na walimwengu kuwa ni kweli magaidi wapo na magaidi hawa ni Al Shabab na Waislamu waliopata mafunzo Somalia. Na kwa upande mwingine porojo za Samantha ziendelezwe kama

    Inaendelea Uk. 13

    RAIA wa Kenya wenye asili ya Somalia wakiwa kizimbani nchini Kenya kwa tuhuma za ugaidi.

  • 12 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 11-17, 2014Shairi/Barua/Makala

    DINI: Mfumo sahihi wa utawala wa sheriaInaendelea Uk. 7kuwa watu wasile dagaa hal iyakuwa wanajua k u w a Wa m a n y e m a ndicho chakula chao k i k u u . Wa m a n ye m a wakilalamika, Wasukuma watasema hebu tupige kura ili tuone wangapi wanataka dagaa. Kwa sababu Wamanyema ni wachache watashindwa. Wengi wape (demokrasia)!

    K a t i k a m f u m o wa s h e r i a ya U i s l a m u , haiwezi kutokea dhulma kama hizo kwa sababu haki za watu wachache zimehifadhiwa katika Qur'an na Hadith, hivyo Waislamu hata kama n i we n g i h a wa we z i k u w a d h u l u m u Wa k r i s t o h a k i z a o , hata kama Wakristo ni wachache kwa sababu Qur'an imewaamrisha wazitekeleze haki hizo. Na Muislamu hawezi kuipinga Qur'an halafu akabakia na Uislamu wake.

    K a s o r o n y e n g i n e zinazoweza kujitokeza k a t i k a m f u m o w a k i d e m k r a s i a j u u ya sheria hizi ni pamoja na kutokuwa na mazingatio na viumbe wengine, hazielezei ni kwa nini mwananchi asikiuke hizo sheria. Bali zinamzuia na kumlazimisha tu kufuata hiyo sheria . Kwa mfano asiwashe redio sauti kubwa hadi kumuudhi jirani. Akiwa hayupo jirani? Ni ruhusa kuwasha? Je wapita njia? Ndege warukao? Haki za majini na malaika zipo hapa? Majibu yote utayapata kuwa sheria za mwanaadamu hazina mazingatio kwa viumbe vyote. Zinagusa sehemu chache tu ya vitu.

    Kadhalika, sheria katika mfumo wa demokrasia hazifikishwi Mahakamani kuvunjwa kwake ila mpaka aliyekosewa afunguwe kesi kwa gharama zake mwenyewe. Serikali haina mkono wake kwenye kesi hizi. Hii ni kwa sababu sheria za mwanaadamu h a z i t a k i k u j i i n g i z a kwenye mahusiano haya wala hazigusi maadili. Tofaut i na Uis lamu,

    umegusa kila nyanja ya maisha ya mwanaadamu. Katu Taifa la Kiislamu haliruhusiwi kukimbia majukumu kwani sheria zote zinatoka kwa Mkuu wa Serikali zote duniani, naye ni Mwenyezi Mungu (Subhanahu Wataala).

    K a t i k a n c h i y a k i d e m o k r a s i a h a t a kama haki za watu wote zitakuwa zimehifadhiwa katika katiba ya nchi bado watu hawawezi kuwa na dhamana kwa sababu hata hiyo katiba yenyewe yaweza kuvunjwa au kubadi l i shwa, kama yanayoendelea sasa nchini kwetu.

    Tofauti na Katiba (sheria kuu) ya Kiislamu ambayo ni Qur'an, na Sunna ya Mtume (s.a.w.) hutoa ufafanuzi wa namna ya utekelezaji wake. Sheria ya Kiislamu ni mkusanyiko wa maneno ya Mwenyezi Mungu (sheria mama) na maneno ya Mtume wake (sheria fafanuzi). Sheria hii imezienea nyanja zote za maisha ya mwanadamu kuanzia yale ya kibinafsi mpaka ya kijamii. Inagusa matendeano ya kila siku baina ya watu, mahusiano ya watu wenyewe kwa w e n y e w e , w a t u n a viumbe wengine, watu na ulimwenguu wao na watu na Mola Muumba wao. Kama inavyogusa mfumo wa familia, mirathi, ndoa, mazishi na kadhalika.

    Kat ika ser ika l i ya Kiislamu watu wote wako chini ya Ufalme na utawala wa Allah (s.w.) na kila mtu amekusudiwa awe Khalifa wa Allah (s.w.) katika kusimamisha ufalme wake hapa ulimwenguni. Itikadi na sheria zinatoka kwa Allah (s.w.) kupitia kwa Mitume wake. Kila Muislamu anawajibika kutii sheria za Allah na kutii maelekezo ya Mtume. Hakuna aliye juu ya sheria wote wanahukumiwa sawa. Dola ya Kiislamu iko kwa madhumuni ya kusimamisha ufalme wa Allah (s.w) na kutafuta radhi yake. Kwa ujumla Dola ya Kiislamu iko chini ya mamlaka ya Mwenyezi Mungu (s.w.) na Mtume wake , na

    huendesha mambo yake kwa kuchunga barabara mipaka ya Mwenyezi Mungu (s.w.) na Mtume wake.

    Mpenzi msomaji kwa kumalizia makala haya, ni jambo la muhimu kila Muislamu anaeishi kwa kufuata mila na desturi zi l izobuniwa na wanadamu afahamu yakuwa, kiini cha Sheria ya Kiislamu ni kutoka kwa Allah (Subhanahu Wataala). Kwa upande wa sheria za mwanaadamu zinatokana na akili za binaadamu. Sheria na adhabu zake ndani ya Uislamu zinapatikana kwenye viini vikuu: Qur-aan na Sunnah. Fiqhi hutumika kutoa ufumbuzi wa jambo kutoka Qur-aan na Sunnah. Utawala wa Taifa la Kiislamu hauruhusiki kuharamisha halali iliyobainishwa chini ya Muumba wala kinyume chake. Halali, haraam na adhabu zake ni vitu vinavyozuiwa kwa hali zote. Pia, maadili ndani ya sheria za Kiislamu yana nafasi muhimu. Wakati sheria za mwanaadamu inakataa kabisa maadili na haijishughulishi nayo. U i s l a m u u n a c h u k u a maadili ni asili ya dini, h a k u n a m t e n g a n o wowote. Kwa mfano, muislamu anawajibu wa kuwatumikia vizuri wazee wake bila ya hata kusema AH! na wazazi wakifika uzee basi ukae nao kwa wema. Sheria ya mwanaadamu haina kanuni kama hiyo.

    M we n ye z i M u n g u anasema: Allah- hapana Mungu ila Yeye aliye hai, msimamizi wa mambo mile le . Hashikwi na usingizi wa kulala, ni vyake pekee vilivyomo mbinguni na ardhini. Ni nani huyo awezae kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote vilivyo katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imeenea mbinguni na duniani na wala haelemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye Aliye juu na Mkuu (2:255)

    Sauti yake Raisi, imeweka mtegoniKatiba mpya kiasi, tatu zipo mashakaniKuzipata si rahisi, japo wengi mwatamaniSauti yake Raisi, imeweka mtegoni

    Kawatega kifanisi, walokuwemo BungeniAmewagea mkasi, haya koti likateni!Mchakato si mwepesi, si kama tulivyozaniSauti yake Raisi, imeweka mtegoni

    Ni msimamo wa chama, ulomuweka pandaniAnatweta na kuhema, ahisi yumo tabuniAupandishe mlima, ama ashuke bondeniSauti yake Raisi, imeweka mtegoni

    Kulikoni tena vipi, tume yenu kuihini!Sababu moja iwapi, kuikabizi mpini?Maoni yetu kifupi, mliyataka yanini?Sauti yake Raisi, imeweka mtegoni

    Mlimshikisha mundu, atembee viunganiHakujifanya mtundu, napinga si punguaniHakufanya bandu bandu, kubandua ya zamaniSauti yake Raisi, imeweka mtegoni

    Ameonesha mizizi, kumbe tatu za zamaniSi wakwanza mgunduzi, jambo hili kubainiMapema walimaizi, wanatume wa mwanzoniSauti yake Raisi, imeweka mtegoni

    Kero zimeshawashinda, kukiri mwaona soniRipotiye kuiponda, mwaona ndo ''solusheni''Wenda tezi mtavunda, twa wasubiri ngamaniSauti yake Raisi, imeweka mtegoni

    Tatu wengi wazidai, japo bado zi tumboniHakika ya hazifai, bado tungali gizaniKuzipata situmai, lapotea tumainiSauti yake Raisi, imeweka mtegoni

    Hapa ndipo kaditama, kalamu naweka chiniMapinduzi ni daima, tazama vina vyandaniMuungano ni kilema, muundo tafakariniSauti yake Raisi, imeweka mtegoni

    Isihaka hemed Mzuzuri(Sauti ya Mkutubi) Morogoro;[email protected]

    SAUTI YAKE RAISI

    Kuvunja Katiba ya Zanzibar 2010 ni mauti ya muunganoInatoka Uk. 11staha kubwa ukafika hapa ulipo. Tusijiingize katika machafuko ya kujitakia kwa kulazimisha yanayokwenda kinyume na matashi ya wananchi. Katika karne ya sasa hekima zitawale badala misimamo isiokubalika na wananchi. Khofu za kuyumba kwa mfumo wa serikali tatu, ni sawa na khofu ya kwanza ya mwaka 1992 wakati tulipokubali mfumo wa vyama vingi. Na ilituchukuwa miaka mengine 20 mpaka tukakubali kuanzishwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa ambayo hatuwezi kukataa ukweli wa utulivu na heshima visiwani pamoja na changamoto zote zilizopo.

    Tuwakumbushe tena kina Sendeka kwamba hadhi ya n c h i i l i y o we k wa k a t i k a mabadi l iko ya kat iba ya Zanzibar ya mwaka 2010, haikuvuma tu, bali ina misingi ya dhati kutoka wananchi walioipigia kura. Vizingiti v i l ivyowekwa kuyal inda mabadiliko hayo ni vikubwa na vizito vinavyoweza kuzua hamkani kwa kulazimisha kwa nguvu kuvindosha. Historia itawakumbuka kwa udhaifu mkubwa wa kukosa imani na

    wananchi kwa kuendekeza hisia binafsi zitazohusishwa moja kwa moja na machafuko katika nchi inayojisifia amani.

    Mwisho wa yote hakuna Mzanzibari kwa dhati yake atakayekubali kupoteza hadhi ya nchi yake.

    H e s h i m u n i m a o n i ya wa n a n c h i t u j e n g e m u u n g a n o m p y a w a maridhiano na matakwa ya wote, utakaolindwa na kupewa thamani stahiki na kila pande ya nchi hizi, utakaokuwa kigezo cha kweli cha kutunukika Afrika nzima. Kwa mbili hizi hata kwa nguvu za aina gani, zitabakia na changamoto k u b wa n a m a c h a f u k o makubwa mbele yetu. Katiba ikiwa haitazingatia hali halisi kwa uwazi, historia itatukumbuka kwa woga na udhaifu wa kusimamia misingi imara ya haki.

    Ipo siku mtamkumbuka mheshimiwa Joseph Sinde Warioba na timu yake kwa kuwa wakweli wa kuulinda muungano badala ya woga usio na mashiko.

  • 13 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 11-17, 2014Makala

    WAKATI alipouawa Sheikh Ibrahim Rogo na wenzake watatu mjini Mombasa, mwezi Oktoba mwaka jana, nilimuona Sheikh Abubakar Shariff, kupitia runinga moja maarufu nchini Kenya, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mauaji hayo ya kinyama yaliyofanywa na vikosi vya usalama nchini humo.

    Sheikh alilaani vikali mauaji hayo yasiyozingatia sheria, na akabainisha wazi kwamba kuna mpango maalumu wa kuwamaliza masheikh, wanazuoni na wahubir i wa Ki i s lamu wanaozungumza ukweli kuhusu vita dhidi ya "ugaidi" na sababu halisi ya majeshi ya Kenya kuivamia Somalia, kwa kisingizio cha kuwasaka magaidi wa Al Shaabab.

    Kama walivyo masheikh wote wachamungu, wale w a n a o m u o g o p a z a i d i Mwenyezi Mungu kuliko mamlaka za Kitwaghuti, Sheikh Abubakar Shariff, maarufu kama Makaburi, w a l a h a k u m u n g ' u n y a maneno katika maelezo yake: "Vita dhidi ya ugaidi ni vita dhidi ya Uislamu na Waislamu. Al Shaabab siyo magaidi ni ndugu zetu, na mimi nawindwa, najua nitauawa..!"

    Sheikh Abubakar Shariff alikuwa karibu mno na masheikh, Samir Khan, Aboud Rogo na Ibrahim Rogo, ambao wote walikuwa waki fanya harakat i za kuwazindua Wais lamu katika misikiti yao, kuhusu kinachoitwa "vita dhidi ya ugaidi" na malengo yake halisi ya kuwamaliza Waislamu. Hawakuwa masheikh wa kujikomba wala kuwapa kongole viongozi wa serikali!

    Sheikh Abubakar Shariff n a m we n z a k e , H a f i d h Bahero, wameuawa wiki i l iyopita na vikosi vya usalama vya Kenya, kwa staili ile ile waliyouawa wenzake kwa nyakati tofauti. Wamemiminiwa risasi kama wanyama hatari wa porini! Sheikh Abubakar Shariff alitabiri mapema kifo chake, na al ikuwa tayari kufa kuliko kufungwa mdomo. Ametuachia darsa kubwa kama Waislamu na Mwenyezi Mungu amuandalie makazi mema ya peponi.

    Mauaji ya ndugu zetu h a w a n a w a n a z u o n i wengine waliouawa kabla yao, yanathibitisha wazi woga wal ionao wauaj i wa o , n a d h a m i r a ya o mbaya ya kuangamiza Uis lamu na Wais lamu. W a n a w a n y a m a z i s h a wahubir i wa Ki i s lamu wasieneze Uislamu wa kweli, katika muktadha wake kamili wa kiitikadi. Sheikh Abubakar Shariff, Aboud Rogo, Ibrahim Rogo na Samir Khan hawakukubali kutiwa kuvuli za mdomo na maadui

    Mauaji ya Sheikh Abubakar Shariff!Na Said Rajab

    wa Uislamu. Wamesema ukweli, ingawa gharama za ukweli huo ni uhai wao!

    Jambo la a jabu, k i la wahubir i wa Ki i s lamu wanapouawa mjini Mombasa, Polisi wanadai hawajui aliyehusika na mauaji hayo na wanaomba wananchi wasaidie kutoa taarifa! Polisi wanafanya mchezo wa kitoto! Wanajitekenya wenyewe, halafu wanaangua kicheko! Wanadhani watu ni wajinga mno, hawawezi kugundua anayefanya mauaji hayo! Serikali ya Kenya inageresha kuanza uchunguzi wa mauaji ya Sheikh Abubakar Shariff, lakini haisemi uchunguzi wa mauaji ya Samir Khan, Aboud Rogo na Ibrahim Rogo uliishia wapi?

    Swali ni hili, kwanini baada ya mauaji ya watu w a n n e y a l i y o f a n y i k a Kanisani , L ikoni mj ini Mombasa, mwezi uliopita, Serikali ya Kenya ilianzisha o p e r e s h e n i m a a l u m u ya kuwasaka wauaji hao "wasiofahamika" na muda mfupi ikatangazwa kwamba wauaji hao wameuawa na Polisi? Kwanini hatukusikia wito wa Polisi kuwataka wananchi watoe taarifa kuhusu wauaji wa