ANNUUR 1066

download ANNUUR 1066

of 12

Transcript of ANNUUR 1066

  • 7/28/2019 ANNUUR 1066

    1/12

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1066 JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA -APRILI 12-18, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    (11) WAISLAMU TUITUKUZE HIJJA!

    Katika Alama na Vitakatifu vya Allahambavyo Ameonya visivunjiwe heshimabali vitukuzwe, vingi sana vinapatikanaMakka na Madina (Qurani, 5:2, 22:30)Kwa nini basi waislamu tusiitukuzesana Hijja! Bila shaka Allah Atafurahna kuridhika sana na sisi, na makafirwatachukiwasana. Jiandikishe leoAhlu Sunna wal Jamaa. Gharamazote ni Dola 4,300. Tafadhaliwasiliananas i i fuatavyo: Tanzania Bara0717224437; 0777462022;Unguja

    0777458075;Pemba: 0776357117.

    T U S I P O K U W Am akin i , punde tuZ anz ibar i takuw amaarufu kama ilivyoAfghanstan, Iraq naSyria!

    Hapo wabaya wetu

    watapata sababu zakutosha za kuifanya

    Zanzibar tusikubal

    kufanywa makuchiWanataka tuwe maarufu kama AfghanistaWalete majeshi, misaada, kutufanya kolon

    Asili, utamaduni wa Mzanzibari utowekeZanzibar kuwa Mkoa ahata Wilaya.

    Utamaduni na asili yZanzibar ndo itapotekabisa.

    Tusikubali kufanywmakuchi tukapiganishw

    sie kwa sie.(Soma Uk. 6)

    Umoja wa Makanisa wamsukia kitanzi KikweteWamshitaki kwa Waziri Emmanuel Nchimbi

    Wasema anaendesha ugaidi wa Kiislamu

    Atakiwa ajiuzulu na Timu yake yote ya Jihad

    Kweli Mkapa ana haki ...Uk. 8

    RAIS Mstaafu Benjamin William Mkapa.

    W A L I O C H O M AM s i k i t i T u n d u m a ,

    Waliochoma Msikiti Tunduma

    hawajafikishwa mahakamaniNa Bakari Mwakangwale b a d o h a wa ja f i k i s h wa

    mahakamani.Habari kutoka katika mji

    huo mdogo katika Mkoa wa

    Mbeya zinafahamisha kuwaJeshi la Polisi, linaendelea

    kuwashikilia watuhumiwa 45Inaendelea Uk. 4

    VIONGOZI wa KiislamuZanzibar walio rumande,watazidi kukaa humo hukudanadana na sarakasi zak i s h e r i a m a h a k a m a n izikiendelea.

    Wataendelea kuwepo humobaada ya haki yao ya dhamana

    Kesi ya Masheikh UamshoNi sarakasi, danadana tupu

    Mahakama Kuu Vuga yasita kusikiliza

    Yasubiri kauli ya Mahakama ya Rufaa

    Kanuni ya haki iliyocheleweshwa.Haifanyi kazi, au haiwahusu Masheikh

    SHEIKH Farid Had.

    Na AlghaithiyyahZanzibar

    Inaendelea Uk. 10

  • 7/28/2019 ANNUUR 1066

    2/12

    2AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA APRILI 12-18, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri/Habari

    Mengi kapatiaAKIONGEA na waandishiwa habari mapema wiki hii,Mwenyekiti wa Chama chaWamiliki wa Vyombo vyaHabari Tanzania (Moat),Reginald Mengi, amesemahaoni sababu ya kuwepomazungumzo baina yaviongozi wa Kiislamu naKikristo kuzungumziasuala la kuchinja. Mengiamesema, kuliko kupotezam u d a k u z u n g u m z i ajambo hilo, ni vema muda

    huo ukatumika kufanyamambo ya maana na yamaendeleo.

    R e g i n a l d M e n g iameyasema hayo baada yakuonyesha kuwa haoni kuwakuna sababu ya kuwepomgogoro baina ya Waislamuna Wakristo kutokana nasuala la kuchinja.

    Akisisitiza kuwa hakunatatizo la msingi akasemakuwa kwa hakika itakuwa ni

    jambo la aibu kama Waislamuna Wakristo watajeruhianana kutoana roho, kisa nini,kugombea nani achinje.

    Mimi ni Mkristo, hoja

    yangu haiingilii undani waimani za watu, lakini kwautaratibu tuliorithishwa nawazee wetu kwa kuwa hadileo haujatuathiri, tunaishikwa amani na umoja, sionisababu ya kuufuta, Waislamuw a e n d e l e e k u c h i n j a . Alisema Mengi.

    Kwa upande mwingineimeripotiwa kuwa Mufti waBakwata anaunda Tume yakukutana na viongozi waKikristo ili kuzungumzan a k u o n d o a t o f a u t izinazoendelea, moja ikiwa nihilo la kuchinja. Mufti Simbaakasema kuwa anawaomba

    Maaskofu wawapokeeMasheikh wake na kuwapaushirikiano.

    Ni ukweli kuwa kamasuala la kuchinja lingekuwana mushkeli kwa upandewa Wakr is to k i imani ,lisingesubiri mpaka wakatihuu ndio lilipuke. Na msingiwenyewe ni kuwa kiimani,kimafundisho ya Kikristo nakwa mafundisho ya Biblia,Wakristo hawaharibu imanizao wala Ukristo wao kwakula nyama iliyochinjwana Waislamu. Ndio maanaReginald Mengi anasemak u w a k w a u t a r a t i b u

    tuliorithishwa na wazee wetuhadi leo haujatuathiri,tunaishi kwa amani na umoja,na kwa hiyo akasema, haonisababu ya kuufuta, Waislamuwaendelee kuchinja.

    Sisi tunasema swadakta.Amesema kweli ReginaldMengi. Pamoja na elimukidogo ya Biblia tuliyo nayo,lakini tuna uzoefu wa kutosha

    juu ya Wakristo wa nchi hiiwalivyo wakali na madhubuti

    katika kupigania haki zao zakidini pamoja na masilahiyao kama Wakristo nawananchi. Japo haliwadhurukiimani, lakini tunaona jinsiwalivyosimama imara kuzuiyaserikali isijiunge na OIC.Tunaona pia jinsi Wakristowalivyokuja juu kuzuiyakurejeshwa kwa Mahakamaya Kadhi nchini mpakaserikali inajikuta haiwezikuwa na maamuzi yakeyenyewe ila ipime kwanza

    joto la Wakristo.Hawa ndio Wakristo wa

    nchi hii. Kama jambo hililingekuwa na mushkeli katikaimani ya Kikristo, ni wazi

    kuwa tusingefika hapa tulipona utaratibu huu ambaponi Waislamu wanaochinjana kitoweo kuuzwa katikamaduka ya nyama. Walaisingewezekana kwa Wakristowanaojali ujirani, kumwitaMuislamu awachinjie kuku!

    Sasa ukizingatia hayounaweza kusema kuwawanaofanya jambo hili liwesuala la kuleta mgogoro, wanaagenda yao ambayo inapaswawaulizwe. Kama alivyosematena Mengi, hili si suala lakuwakutanisha Masheikhna Mapadiri kwa sababuhakuna msigano wala utata

    wa kiimani na mafundisho.Kinachoweza kufanyikani namna mbili. Moja nikwa viongozi wa kanisakuwaelimisha waumini wao

    juu ya suala hilo. Lakini pili,kama wapo baadhi ya viongoziwa makanisa wanaolichocheana kuwachochea wauminiwao kuleta fujo, basi serikaliishughulike nao. Iwaite, kamakuna vifungu vipya vya Bibliavimekuja juu ya uchinjaji,waonyeshe. La sivyo serikaliiwe na ujasiri wa kuwaambiawaache fujo.

    Kwa watu walioamuakuleta fujo, watu walioamua

    kutumia suala la kuchinjakuwafarakanisha Waislamuna Wakristo katika nchi hii, siwatu wa kutulizwa na Timu yaMasheikh wa Mufti Simba.

    Katika suala la Mahakamaya Kadhi, Waislamu waliundaTimu ya Masheikh (Bakwataikiwemo) ambao wangekutanana Serikali kuzungumzia sualahilo mpaka kupata ufumbuzi.

    Wakati mchakato ukiendelea,ghafla Mufti akawaachaWaislamu akaungana naSerikali kwenda kutangazaKadhi Mkuu wa Bakwata.Serikali ikapumua. Sasa kilaanayehoji Mahakama ya Kadhianaonekana kama analetaukorofi kwa sababu Kadhiashapatikana. Maaskofu naowamefurahi kwa sababu hatuaya Mufti Simba kutangazaKadhi Mkuu na Makadhi waMikoa, imevunja nguvu yaWaislamu katika kupiganiakuwepo Mahakama yaKadhi nchini. Kwa manenomengine, alichofanya MuftiSimba ndicho walichotakaMaaskofu. Kwamba iwepoMahakama ya Kadhi kiinimacho . Ambayo ha ipokisheria, haitambuliki na hainamaana yoyote. Basi ukisikiaMaaskofu wanawas i f ia

    baadhi ya Masheikh, hasa waBakwata, ni kwa sababu hii.

    Wanafanya yale yaliyo namasilahi na Kanisa badala yaUislamu. Na kwa Serikali nihivyo hivyo. Wanawasifia nakuwakumbatia walio tayarikuwatoa muhanga Waislamuna masilahi yao, ilimuradiwao wapendeze mbele yaSerikali.

    Sasa Mufti wa BakwataSimba anaposema leo kuwa

    anaunda Tume ya Masheikhitakayokutana na Maaskofuili kuondoa tofauti zilizopo,tofauti zipi. Askofu ganikatika nchi hii anawezakupokea maelekezo kutokakwa Sheikh!

    M a a s k o f u w a l i s e m ahawataki kuiona East AfricaMuslim Welfare Society( E A M W S ) , i k a p i g w amarufuku na Nyere re .Wakasema hawataki kuonaOIC wala Mahakama yaKadhi . Imekuwa kamawalivyotaka.

    Kwa upande mwingine,mwaka jana Mufti Simbaalitoa kauli juu ya OIC naMahakama ya Kadhi pamojana NECTA. Na kuhusu Barazala Mitihani Tanzania (NECTA)akasema kuwa Baraza hilohalionyeshi sura ya kitaifakwa sababu toka limeundwalimesheheni Wakristo watupukatika nafasi zote muhimu.

    Akataka liundwe upya.L a b d a M u f t i S i mb

    atuambie, toka ametoa kauhizo, lipi limetekelezwa kamyanavyotekelezwa yale yMaaskofu? Kama hakunni kuwa wao Masheikwakisema wanajisemea tHakuna anayejali kuwa kunmtu anasema na anasemnini! Sasa katika hali kam

    hiyo unatuma Tume Serikaliau kwa Maaskofu ukitarajkupata nini?

    Sisi tunadhani kama n

    kukutana na Maaskofu, labdhiyo Tume ya Mufti Simba w

    Bakwata wakawaulize wenza

    wa Kikristo, inakuwaje waMaaskofu wakitaka jamb

    wanasikilizwa na Serikall a k i n i w a o M a s h e i khawasikilizwi wala madyao kutekelezwa?

    Kwa upande mwinginha tuoni h iyo T imu yMasheikh wa Mufti w

    Bakwata itapata wapi us

    na ujasiri wa kukutana nWaislamu kuwaelimisha hich

    kinachoitwa dhamira nzuri yMufti Simba maana kama dhamira nzuri angeionyeshkwa kusimama na Waislamwenzake katika kupiganMahkama ya Kadhi.

    AMIR wa Baraza Kuula Jumuiya na Taasisi zaKiislamu (T), Alhaj Mussa

    Yusuph Kundecha, amesemaudini nchini Tanzania nisuala kongwe kabla nabaada ya Uhuru.

    Amir Kundecha ameyasemahayo mapema wiki hii akiongeana An nuur, kufuatia kauli yaRais Mstaafu wa awamu yatatu, Mh. Benjamin Mkapa,aliyejitapa kwamba, katikautawala wake aliongoza Taifa

    bila ya ubaguzi wa kidini.Alhaj Kundecha, alisema

    unapozungumzia suala laudini humu nchini muhangamkubwa wa suala hilo niMuislamu, kwani kihistoriaudini uliletwa na Wakolonina baada ya hapo umekuwa

    ukiendelezwa na marais wotekatika Tanganyika/Tanzaniahuru.

    Suala la udini hapaTanzania ni kongwe, limeanzatoka mkoloni kwani wakatianakuja upande mmojaalikuwa mueneza dini yaKikristo na upande mwingineakiwa na mka taba wakimataifa wa kupewa eneo hilikulitawala, kupitia mkatabawa Berlin. Alifafanua AmiriKundecha.

    Amir Kundecha alisemakuwa alichoongea MzeeMkapa ni maneno ya kisiasa,yenye lengo la kuuhadaa

    Kundecha apangua kauli ya Mzee MkapaNa Bakari Mwakangwale umma, lakini akamtaka

    Rais huyo Mstaafu (Mkapa)kutambua kuwa uongo wowoteule bila kujali nani amesema,sio msingi wa kuondoa

    tatizo au shida iliyopo, baliunaikawiza tu, lakini kinyumechake ni kulikuza jambo nakuwa kubwa zaidi.

    Alibainisha kwamba,katika kumbukumbu zake,hakumbuki kama kunautawala ambao Waislamuhawajalalamikia dhulma zaudini dhidi yao na kwa bahatimbaya sana alidai, tawalazote zimekuwa zikiwapuuza,

    badala ya kufanyia kazi madaihayo.

    A l i s e ma , t o f a u t i y aawamu hizo ni uzito namadhila ya udini wenyewekwa Waislamu katika kilaawamu kuwa yanatofautiana

    na kwamba alidai hakunaRais, aliyeonyesha dhamiraya dhati ya kuondosha udiniuliopo nchini.

    A l i s e m a , M k a p a(Benjamin), anayesema leoutawala wake haukuwa naudini yeye ni shahidi nambamoja wa malalamiko yaWaislamu, pale DiamondJubilee, aliposomewa risalakutoka Umoja wa Waislamuwote nchini.

    Tunasema uongo hauondoishida bwana, bali uongohukuza shida tu, jambo hilianalijua. Tunasema endapotukiwa wakweli, itasaidia sanakushughulikia matatizo kwa

    wakati na kwa namna nzutu, tukiwa waongo tutakawizukweli kupatikana.

    Lakini pia shida itakuwkubwa kwa sababu kadisiku zinavyozidi kusongmbele athari ya jambo hilinazidi kutanuka kaminavyoonekana hivi sasaAlisema Alhaj Kundecha.

    Akiuzungumzia utawawa Mzee Mkapa (1995-2005Amir Kundecha, alisemWaislamu walikuwa wahangkatika sehemu mbalimbalkuanzia katika ajira, elimutawala wake pia umefelishWaislamu, walikuwa wahangkatika uchumi, wahangkatika utawala.

    Amir Kundecha, alisemikija kutokea ukapatikanutawala wa haki na sherkutokana na kuwa dhulmhuwa haidumu milele, sherikachukua mkondo wake, hayeye (Mkapa) hatanusurika

    Alhaj Kundecha, alitolemfano ile ripoti ya Waislamaliyoipokea, katika ukumbi wDiamond Jubilee, wakati wutawala wake akidai kupatiwushahidi wa kisayansi madya Waislamu kisha alipelekewushahidi huo.

    Alisema, alipopelekewushahidi huo, badala ykuchukua hatua, akarunyuma pasi ya kuchukua hatuzozote na kudai matatizo yWaislamu ni ya kihistoria nhayatatuliki, jambo ambasi sawa.

  • 7/28/2019 ANNUUR 1066

    3/12

    3AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA APRILI 12-18, 201Habari

    Umoja wa Makanisa wamsukia kitanzi KikweteWANAOJIITA KamatiHuru ya Umoja wa Makanisanchini, wamemwandikiaWaziri wa Mambo ya

    Ndani Mheshimiwa Dr.E m m a n u e l N c h i m b iw akimt aka amsaid i eRais Kikwete kutanabahik w a m b a a n a t a k i w aajiuzulu pamoja na timuyake yote ya Jihad.

    U m o j a h u o u m e t o amaelekezo hayo baada yakumtuhumu Rais JakayaMrisho Kikwete kuwaanaendesha Jihad ya kuwauwaWakristo na Ukristo.

    Katika barua yao kwaMheshimiwa Waziri Nchimbiya tarehe 31 Machi, 2013wametahadharisha wakisemakuwa itakuwa ni maangamizi

    kwa wana- j i had kamawanadhani kuwa Wakristowatawageuzia shavu lakulia.

    Ndugu Waziri, ni vyemaukamsaidia Rais Kikwetekusoma nyakati. Wakristo28 milioni kuchokozwa naWaislamu 11 milioni, hatimayake inaeleweka hata kwamjinga.

    K a t i k a b a r u a h i y oiliyonakiliwa kwa taasisizote za Kikristo nchinipamoja na Bakwata, WaziriNchi mb i an afah amis hwakuwa Wakristo wote kwapa moja wa na mt ak a Ra isKikwete ajiuzulu.

    Ndugu Waziri, unafahamukwamba Wakristo milioni 28wa Taifa hili kama Mwilimmoja wa Kikristo, na kamafamilia moja ya wana wamilki ya Mungu, wametoaTamko kwamba Rais JakayaKikwete ajiuzulu pamojana timu yake yote ya jihad,kwa kuongoza nchi yetu kwaudini mahala pa utawala waSheria, na kuipuuza kabisaKatiba ya Nchi.

    Wakifafanua waliouitaudini na ujahidina wa RaisJakaya Mrisho Kikwete

    wamesema kuwa ni pamojana kuwalazimisha kula nyamailiyochinjwa na Waislamuwakati ni marufuku Wakristokula chochote kilichoswaliwakwa Allah na mashetaniwengine. (Kwamba) Mungua n a w a p i g a m a r u f u k uWakristo kushirikiana namashetani , kwamba nimarufuku kunywea kikombecha Bwana na kikombe chamashetani yaani Allah namajini.

    Imesema na kufafanuaba rua hi yo am ba yo pia

    Na Mwandishi Wetu

    imenakiliwa kwa KatibuMkuu Kiongozi Ikulu,Spika wa Bunge na taasisiza Kikristo nje ya nchi.

    J a m b o j i n g i n eana l os hu t umi wa R a i sK i k w e t e n a h i v y okushitakiwa kwa Waziriwa Mambo ya Ndani Dr.Emmanuel Nchimbi, ni kuwaamepiga marufuku Redio

    ya Kikristo, Redio Neema,ambayo inaelezwa kuwainafanya kazi ya kupambanana ugaidi wa Kiislamu.

    Umoja huo ukamtakaWaziri Nchimbi kuhakikishak u w a R e d i o h i y oinafunguliwa mara mojana kwa upande mwinginekumtaka Rais Kikweteawaombe radhi Wakristo.

    Mheshimiwa Waziri(Dr. Emmanuel Nchimbi),kilichoitwa uchochezi wakidini ni uhanga wa RedioNeema na Askofu Mpemba,wa kuishindania Imaniya Kristo kama Mungualivyowaagiza Wakristokatika Biblia TakatifuKama kweli Rais JakayaKikwete yuko kinyume naugaidi huu unaoendeshwadhidi ya Wakristo nchini,ni lazima afanye yafuatayo:Awaombe radhi Wakristo kwakutumia dola kuukandamizaUkristo nchini, na kutumiadola kuuimarisha ugaidi waKiislamu(na pia) awaombemsamaha Wakristo kwakufungiwa Redio Neema,eti isipinge ugaidi dhidi yaUkristo.

    Pamoja na kumshutumuRais Kikwete, Umoja huo waMakanisa umeushitaki piaUislamu kwa Waziri Nchimbik w a m b a u n a w a a g i z aWaislamu kuwakata shingoWakristo na kwamba ugaidihuo ul ianzishwa rasmiwakati wa Awamu ya Piliikiongozwa na Alhaj AliHassan Mwinyi.

    Ndugu Waziri, Jihad yakuchochea kuwakata shingoWakristo nchini na kuteketezamakanisa, wakisimamakatika maamrisho ya munguwao Allah katika Quransura 9:30, sura 47:4 (ziko aya320 zinazochochea ugaidi),ilianza rasmi mwaka 1986kwa udhamini wa Ali HassanMwinyi, kinyume cha Katibaya Nchi na maadili ya Taifaletu. Inasema sehemu baruahiyo.

    J a p o B a k w a t aw a n a o n y e s h a k u p e w anakala, bado hakuna dalili

    kwamba wameifanyia kazibarua hiyo na hai jul ikanini kwa nini Umoja huo waMakanisa ukaamua kuwapanakala wakati humo ndaniwamemuita Allah kuwa nishetani.

    Aidha, bado hakuna isharayoyote kwamba serikalii me i fany i a kaz i has aukizingatia uzito wa kufru nakashfa iliyofanywa dhidi yaWaislamu na Uislamu kwaMola wao kuitwa shetanina Uislamu kuitwa kuwa niugaidi.

    Wakristo wameonywa

    vikali na Mungu kwambawasiivunje kamwe miiko hiiyote, kwa sababu vyote hivyovya Waislamu vinaswaliwakwa mas he t an i yaan iAllah na majini. Kiwango

    cha ugaidi kilichofikiwadhidi ya Ukristo nchinikimelazimisha mipangomadhubuti ya kuhakikishakwamba huduma zote hizizinatolewa na Wakristokwa ajili ya Wakristo, iliwakiisha kutubia dhambiya kukinywea kikombe chamashetani kwa miaka mingisasa wasiirudie tena, kwaniYesu yuaja.

    Imesema katika kumaliziabarua hiyo huku ikiwatakaWakristo wasinunue katikamaduka ya Waislamu walakula katika migahawa yao,

    kulala katika hoteli zao aukupanda daladala zao kwasababu vyote hivyo vyaWaislamu vinaswaliwa kwamashetani yaani Allah namajini.

    I m e k u w a v i g u m ukufahamu ni kwa niniKamati hii Huru ya Umojawa Makanisa imeamuakumshitaki MheshimiwaRais Kikwete kwa Waziriwake.

    Hata hivyo, baadhi yavifungu katika barua yaovinatoa dalili ni kwa niniwamefanya hivyo.

    Moja ya dalili hizo ni palewanaposema kuwa Wizarayake imetumika sana kwaugaidi wa Kiislamu nchini,na zaidi Jeshi la Polisi,ingawa Idara ya Uhamiajinayo imetumika kuwaingizanchini magaidi wengi.

    Wakionyesha zaidi ni kwanini wameamua kumshitakiayeye Waziri wanasemakuwa Polisi walio chiniyake wanatumika kuzimaCrusade hasa wanapoonaWaislamu wanakimbiaUislamu na kujisalimisha

    k w a Y e s u n a h a s awaonapo Biblia ni Jibuwanauangamiza Uislamukwa kutoboa siri za ushetaniwa Allah na mtume wake,kutoka katika vitabu vyaKiislamu na Biblia Takatifu.(Na kwamba) Ugaidi huuwa Polisi umewatesa sanawahubiri wa Kikristo nchinzima mpaka Zanzibar.

    Kwa upande mwinginew a m e o n y e s h a k u w awamelazimika kumwandikiaWaziri Nchimbi akiwa nadhamana ya usalama wa

    ndani ya nchi kwa sababanaonekana kutowajibikipasavyo kuzuiya magaidwa Al Shabab na Al Qaidkuingia nchini.

    Mheshimiwa Wazir

    siyo siri kwamba wapiganaw e n g i w a K i i s l a mwameandaliwa nje na ndanya nchi kwa ajili ya ugaidhidi ya Ukristo nchini. Hawale waliokwenda Somalkufunzwa na Al-Shabab nAl-Qaida jinsi ya kuangamizmakafir (Wakristo) mpakkwa mabomu ambayw a m e f u n d i s h w a h a tkuyatengeneza, wamerejenchini kwa ajili ya vita.

    Hivi sasa misikiti minnchini inatumika kwmafunzo ya kivita. Ugaiunafundishwa kwa nguv

    katika vituo maalum vyKiwalani (Jijini Dar eSalaam), Ukala katika ZiwVictoria, Namtumbo, IfakarUvinza, Morogoro, TangPemba na kwingine.

    Hata hivyo, pamoja nmaelezo hayo ambayyanatoa ishara ni kwa ninmashitaka na malalamikh a y a y a m e e l e k e z wkwa W az i r i Nch i mbinavyoonekana kuna sababnyingine muhimu zaidambayo inajitokeza palKamati Huru ya Umoja wMakanisa inapomweleke

    Mhes h i mi wa Nch i mbikisema:Mheshimiwa Wazir

    tunaheshimu sana uzalendwako na umakini wako katikmasuala nyeti, pamoja nhofu uliyo nayo kwa MungTunaamini kwambaRaakighafilika kama binadamwengine upo wewe wkumsaidia upesi kupunguzmizigo ili chombo kivukmaji ya hatari.

    Hivi karibuni mara baadya kutokea ile jinai mbayya kuuliwa Padiri MushWaziri wa Mambo ya Ndan

    Mheshimiwa EmmanuNchimbi alikuwa wa mwanzkatika viongozi wa serikakudai kuwa lile lilikuwtukio la kigaidi. Kwambwaliofanya mauwaji yawalikuwa magaidi.

    Hata hivyo, si rahik u s e m a k w a u h a k i kiwapo ugaidi al iokuwakizungumzia MheshimiwWazi r i Dr . EmmanueNchimbi, unahusiana na huunaozungumziwa na KamaHuru ya Umoja wa MakanisTanzania.

    RAIS Jakaya Kikwete

  • 7/28/2019 ANNUUR 1066

    4/12

    4AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA APRILI 12-18, 20Habari

    MATUKIO mfulul izoya mauaji na uhalifuyaliyotokea katika mtaawa Louis Pub, MbeziLouis jijini Dar es Salaam,yamezua faraka miongonimwa wakazi wa eneo hilo.

    Taarifa zinaeleza kuwamwezi Februari mwakahuu, mtoto mmoja wa kikealiyekuwa akisoma kidatocha kwanza, a l ipotezamaisha katika mazingira yakutatanisha.

    Wakati sababu za kifocha binti huyo zikiwa badohazijabainika huku polisiwakiendelea na uchunguzi

    wa tukio hilo, yalifuatiamatukio mengine mfululizoambapo mtoto mwinginewa kike alipoteza maisha nakudaiwa kuwa alichomwasindano kitovuni na kukatwana wembe shingoni.

    Mtoto huyo alidaiwakuwa alikuwa ni rafiki waaliyefariki mara ya kwanza.

    Taar ifa z inabainisha

    Mchungaji Hadija apanda mbegu ya farka Mbezi LouisFamilia ya Kiislamu yatiwa msukosuko

    Polisi waingilia kati wabaini chuki za kidiniNa Mwandishi Wetu kuwa mwezi Machi mwaka

    huu, mtu mmoja aliyetajwakwa j ina la MchungajiHadija, mkazi wa eneo hilola Louis Pub, naye alidaikuwa majira ya saa kumiusiku, watu wasiofahamikawalifika nyumbani kwakena kumwagia maji kupitiadirishani.

    Ilielezwa kuwa kufuatiatukio hilo, watu walikusanyikakujua kulikoni.

    Mchungaji huyo alidaikuwa waliofanya kitendohicho walikimbilia kwa mtummoja aliyemtaja kwa jinala Juma.

    Habari za tukio hilozilifikishwa kituo cha polisi

    Mbezi Louis, ambapo Osskituoni hapo aliongoza hadieneo la tukio na kuwakutawakazi wa eneo hilo wakiwana mapanga tayari kwendanyumbani kwa Bw. Juma

    Ng un da , amba ko ya pa taumbali wa kilometa mojana nusu.

    Hata hivyo baada yapolisi kuingia kati, walifika

    nyumbani kwa Bw. Ngunda

    na kuwakamata wadogo zakewanne, ambao ni Ally Ngunda,mwanafunzi wa kidato channe, Hamis Ngunda, Kassim

    Ngunda, Mohammed Ngunda,mwanafunzi wa kidato chakwanza, wakituhumiwakumwagia maji MchungajiHadija.

    Baada ya tukio hilokufikishwa kituo cha polisi,mashitaka yalibadilishwa navijana hao wakatuhumiwakumchoma mtu sindanokitovuni.

    Baada ya siku tatu, kesi yakumchoma binti huyo kwasindano nayo ilibadilishwana safari hii wakatuhumiwa

    kwa mauaji.Hata hivyo baadae kaka wa

    watuhumiwa hao Bw. JumaNgunda, ambaye anadaiwan d i y e ml e n g w a mk u uanayetuhumiwa na baadhiya wakazi hao, alifika kituonihapo ili kujua kisa na sababuya kukamatwa wadogo zakeambao ni wanafunzi.

    Baada ya kutoa maelezo

    y a k i n a j u u m a t u k i oyaliyowahi kutokea katikaeneo hilo na jinsi matukiohayo yanavyohusishwa nafamilia yake, polisi waliamuakukubali kutoa dhamana

    kwa wadogo zake lakiniwakatikiwa kuripoti kituonihapo kila siku ya Jumatatuwakati upele lez i za idiukiendelea.

    Wakati hayo yakiendelea,Mchungaji Hadija alidaiwakuendelea kuhamasisha

    baadhi ya wakazi wa eneohilo, kushinikiza kuitishwamkutano wa wakazi wote ilikupiga kura za kumpata mtuwanayemshuku kuhatarishausalama wa wakazi hao.

    Kufuatia shinikizo hilol i l i lokusudiwa kumt iahatiani Bw. Juma, mkutanouliitishwa na OSS kituo cha

    Polisi Mbezi Louis kualikwakuusimamia.Hata hivyo OSS alipofika

    k a t i k a m k u t a n o h u o ,aliwaambia wakazi hao kuwautaratibu huo sio suluhu nahaukubaliki kipolisi kwakuwa kuna dalili za kupigwakura za chuki na si zakumtafuta mhalifu.

    Baadhi ya wakazi waliunga

    mkono kauli ya OSS lakinwengine walipinga kiacha kutaka kuzua vurugwakishinikiza kupigwa kuhizo.

    K u f u a t i a h a l i h i y oOSS akaridhia kura hizkupigwa.

    Hata hivyo baada ya kukupigwa na polisi kufanyuchunguzi zaidi, na ha

    baada ya kumhoji MchungaHadija na Bw. Juma Ngund

    ilielezwa kuwa walibain

    kuwa kesi zilizopo ni matokeya chuki za kidini zaidi.

    Kwamba hazikupatikan

    dalili zozote zenye ushahi

    wa kuihusisha familia ya BwNgunda na matuko hayo.

    Hadi sasa kesi hiyo bado ipkituo cha polisi Mbezi Louina haijapelekwa mahakamakutokana na kugubikwa nuzushi uliombatana na chuzinazodaiwa kuasisiwa nMchungaji huyo.

    Wakati hali ikifikia hapkuna taarifa kwamba tayaMchungaji Hadija, amehameneo hilo na sasa anadaiwanaishi Manzese.

    Waliochoma Msikiti Tunduma hawajafikishwa mahakamaniInatoka Uk. 1

    wa vurugu za kuchinja nakuchoma moto Msikiti.Awali Jeshi la Polisi

    l i l i w a t i a m b a r o n iwatuhumiwa wa vuruguna maandamano hayowapatao 90 na baada yamahojiano, wamechujwana kubakia 45.

    I m e a r i f i w a k u w awatuhumiwa hao, hadi sasa

    bado wapo rumande hukuikiarifiwa kuwa dhamanayao imefungwa, mpakahapo kesi yao itakapo tajwaApril 18, 2013.

    Mpaka sasa (jumatano yawiki hii) bado watuhumiwah a o h a w a j a f i k i s h w am a h a k a m a n i , h i v y oh a i j a f a h a m i k awatafunguliwa mashitakagani, mpaka hapo April 18,inayodaiwa kuwa ndiyosiku watakayopelekwaMahakamani.

    Kilisema chanzo chetucha habari kutoka Tunduma,kwa njia ya simu.

    Chanzo hicho kilisema,

    suala la kuchinja kwa sasawanachinja Waislamukama kawaida huku zoezihilo l ikisimamiwa naPolisi, ili kuepusha watuwasioruhusiwa kuchinjakujiingiza katika zoezihilo na kusababisha ghasianyingine.

    Hata hivyo Waislamuk a t i k a m j i h u owamelazimika kufungua

    bucha yao maalum chiniya Umoja wa KiislamuTunduma, ili kujiridhishazaidi na uhalali wa nyamana kuepuka na hofu ya

    kulishwa vibudu.Kwa mujibu wa muumini

    mmoja wa Kiislamu aliyemakazi wa Mji huo, Bw.Mwinshehe Rash id i ,a l i s e m a b u c h a h i y oimepewa jina la Sisi kwaSisi, iliyopo katika mtaawa Majengo, CCM.

    Bw. Rashid alisemaWaislamu wamelazimikakufungua bucha hiyo baadaya sakata la Wakristokuzidi kushika kasi yakulazimisha kuchinja,

    na kupeleka nyama hizokatika mabucha kiholela,kwa kuwa bucha nyingizinamilikiwa na Wakristo.

    Naye Ustadhi Abdul-Azizi Madenge, akiongea naGazeti hili toka Tunduma,alisema kumekuwa navikao baina ya viongoziwa d in i na S e r ika l ivimekuwa vikiendelea,ambapo tayari viongozihao wa Serikali MkoaniMbeya, wameshafanyavikao vitatu.

    U s t . M a d e n g e ,aliyemhadhiri wa dini ya

    Kiislamu, aliainisha vikaohivyo vilivyofanyika kuwani baina ya Maaskofu naMkuu wa Wilaya, Masheikhna Mkuu wa Wilaya nacha mwisho kilijumishamakundi yote hayo chiniya Mkuu wa Mkoa.

    Ust. Madenge, aliyefikakatika mji huo kushuhudiakadhia hiyo alisema, Mkuuwa Wilaya, Kamanda waPolisi Mkoa wa Mbeya(RPC) Bw. Othman Diwani

    pamoja na Afisa Usalama

    wa Wi l aya wa l i f i kak u s h u h u d i a M s i k i t iulioathiriwa na Wakristo.

    Kwa upande wake AmirKundecha, wa Baraza Kuula Jumuiya na Taasisi zaKiislamu (T) alisema,Waislamu wanashangaaw a t u h u m i w a h a okucheleweshwa kufikishwakatika vyombo vya sheria,ili hali suala lipo wazi.

    A m i r K u n d e c h a ,alisema moja ya dhulmaw a n a y o i l a l a m i k i aWai s l amu nch in i n isheria kuonekana kali

    kwa Waislamu na kukosamakali kwa Wakristo,h a t a k a m a m a k o s ayanayofanywa yanawianaau yanayofanywa naWakristo kuwa makubwazaidi.

    Kiongozi huyo waBaraza Kuu, alisema kosahuwa kosa linapofanywana Mui s l amu l ak in ilinapofanywa na Mkristo,huwezi kusikia vishindo,na hunyamaziwa hatalinavyomalizwa huwezi

    kujua mpaka husaulika.A m i r K u n d e c h

    alisema, kosa likifanywna Wakristo, sio tatizo nhufanywa kuwa la mtu nmtu lakini likifanywa nMuislamu litahusishwna Waislamu na dini yakitahusishwa pia, na hatviongozi wao (Masheikhkutiwa misukosuko.

    A m i r i K u n d e c halisema, hata vyombo vyhabari huwa kimya ikiwmuathirika ni Muislamum a t h a l a n i a l i s e m aMjini Tunduma Msiki

    umechomwa moto, kishkungolewa madirisha nmilango, lakini hawaandikMsikiti umechomwa.

    Isipokuwa tu, ikitoke

    katika Kanisa hata kamufito umeanguka kwkishido cha Waislamwaliopita nje kwa shughuzao utaambiwa Waislamwamevunja Kanisa, nvyombo vya habari vyovitashupalia ufito huo wKanisa. Alisema.

  • 7/28/2019 ANNUUR 1066

    5/12

    5AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA APRILI 12-18, 201Habari za Kimataifa

    NEWCASTLE,Mwaka jana, uongozi wa timuya soka ya Newcastle Unitedya Uingereza ulitangaza wazikuwa ilikuwa na mpango wa

    Misikiti

    mipya 1,110

    kujengwa Iran

    mwaka huu

    SHIRIKA la Kutoa Misaadala Imam Khomeini (MA),limetangaza mpango wakujenga misikiti 1,110 mipyakatika maeneo mbalimbalinchini Iran.

    Kwa mujibu wa mwandishiwa IQNA, Naibu Mkuu waShirika la Kutoa Misaada laImam Khomeini (MA) SaeedSattari, amesema misikitihiyo itajengwa katika kipindicha mwaka moja ujao chiniya Mpango Zakat.

    Amesema mpango huoulianzishwa mwaka 2005 kwalengo la kuwajengea misikitiwale wasio na uwezo.

    Bw. Sattari, amesema

    kuwa tangu mpango huouanzishwe, karibu misikiti6,000 imejengwa kote Irankwa kutumia fedha za Zakatna misaada ya wafadhili naserikali.

    Ameongeza kuwa sehemukubwa ya misikiti mipyai ta jengwa v i j i j in i kwakuzingatia mahitajio ya jamiihusika.

    Hata hivyo Naibu Mkuuwa Shirika la MA, ametoawito kwa wanaojiweza katika

    jami i kusa id ia ujenzi wamisikiti nchini.

    MOHAMMED Lafi, Mkuwa Usalama wa Ndanwa Palestina Harakati yMapaambano ya Kiislamy a P a l e s t i n a H a m aimesema kuwa vikosi vyusa lama vya HAMAvimewatia mbaroni watkadhaa katika Ukanda nwGhaza wanaoshukiwa kuwmajasusi wa mashirikkadhaa ya ujasusi ya nchza Magharibi na Kiarabu

    Tovuti ya Wizara yMambo ya Ndani wa serikaya Palestina inayoongozwna harakati ya Hamaimemnukuu MohammeLafi, Mkuu wa Usalama wndani akisema kuwa, nusya majasusi hao wamekikuwa wamekuwa wakifanyvitendo vya kijasusi kwenyukanda huo.

    L a f i a m e w a o n yW a p a l e s t i n a w e n g i nwanaodaiwa kuhusika nvitendo vya kuyapatia taarimashirika ya kijasusi ya ncza Magharibi.

    I t a k u mb u k w a k u wWiza ra ya Mambo y

    Ndani wa serikali ya Hamakatikati ya mwezi Machmwaka huu, iliwaonya wa

    wote wanaoufanyia ujasuutawala wa Kizayuni kwambwatasakwa bila ya hurumiwapo hawatajikabidhi kwvyomo husika hadi kufikAprili 11.

    Hamas yawatia

    nguvuni

    majasusi wa

    Ulaya

    Wachezaji Newcastle wapata

    chumba cha kusalia

    GAZETI la Guardianlinalochapishwa nchiniUingereza l imef ichuakwamba Shirika la Ujasusila Marekani CIA, linatoamafunzo kwa kundi lawaasi wa Syria kwa lengola kulinda usalama wawanajeshi wa utawalawa Kizayuni wa Israelwalioko katika eneo la

    miinuko ya Golan la Syrialinalokaliwa kwa mabavuna Wazayuni.

    Toleo la jana la gazeti hilolimefichua kwamba Shirikala Ujasusi la Marekanilinaendesha mafunzo hayokwenye kambi zake zilizokonchini Jordan, ili waasi haowanaofungamana na kundi laal Qaeda wachunge usalamawa majeshi ya Israel yaliyokokatika eneo la milima yaGolan.

    Gazeti hilo limeandikakuwa, baadhi ya magaidi hao

    kutaka kuwa na chuba maalumkatika uwanja wake wa sokakwa ajili ya kuwawezeshawachezaji wake Waislamukutekeleza ibada zao.

    Hivi sasa uongozi huo

    umetangaza kuwa tayari klabuhiyo inayoshiriki ligi kuu yanchini humo, imewaandaliachumba maalumu cha kusaliawachezaji wake Waislamu katikauwanja wa mpira wa timu hiyo.

    Magazeti ya Uingerezayameandika habari hiyo nakubainisha kwamba, timu yaNewcastle ina wachezaji sabaWaislamu na kabla ya kuandaliwachumba hicho maalumu chakusalia, wachezaji hao Waislamuwalikuwa katika vyumba tofautikabla au baada ya mechi katikauwanja maalumu wa mpira watimu hiyo wa St James Park.

    Wachezaji Waislamu watimu ya Newcastle ni MassadioHaidara, Hatem Ben Arfa,

    Moussa Sissoko, Mapou Yanga-Mbiwa, Cheick Tiote, PapissCisse na Mehdi Abeid.

    Gazeti la Daily Mirror laUingereza linaripoti kwamba,mchezaji Demba Ba, ambayehivi karibuni alijiunga na timuya Chelsea ndiye aliyekuwaa k i w a s a l i s h a w a c h e z a j iWaislamu wa timu yake hiyoya zamani.

    Demba Ba anasifika kuwani mcha Mungu na mtekelezajimzuri wa ibada. Siku zoteakifunga goli husujudu nak u m s h u k u r u M w e n y e z iMungu.

    Ba anasema, anapenda kusaliswala tano na katu hapendi

    starehe za pombe na sigara.Wachezaji Waislamu wa timu yasoka ya Newcastle ya Uingerezambali na kutekeleza ipasavyoibada ya swala tano kwa siku,wana kawaida ya kusali kwaajili ya kuomba dua kabla yamechi wakiiombea ushindi timuyao na wengi wao wanapofungagoli husujudu na kumshukuruMwenyezi Mungu, ada ambayo

    bila shaka inapaswa kuigwa nawachezaji wengine Waislamu.Timu ya soka ya Newcastle

    ndio yenye wachezaji wengizaidi Waislamu kati ya timuzinazoshiriki ligi kuu ya sokanchini Uingereza.

    CIA yatoa mafunzokwa magaidi Syria

    wa Syria, tayari wako katikaeneo hilo baada ya kupatamafunzo kutoka kambi zaCIA nchini Jordan.

    Guardian katika sikuza hivi karibuni lilifichua

    baadhi ya nchi za Magharibizinazotoa mafunzo ya kijeshikwa makundi ya kigaidi yaSyria nchini Jordan.

    RAIS wa Syria, Dkt. Bashar al-Assad

    BAADHI ya wachezaji wa Newcastle United ya Uingereza.

    ITKAF Masjid Swabirina -Maduka mawili Chang'ombeUongozi wa Masjid Swabirinaau Mbuyuni uliopo Chang'ombe

    Keko Maduka Mawili Jijini Dares Salaam unawaarifu Waislamuwote kutakuwa na Ibada maalumya Itkaf itakayofanyika msikitinhapo siku ya Jumamosi (keshotarehe 13/4/2013 baada ya swalaya Isha.

    Wabillah Tawfiiq

  • 7/28/2019 ANNUUR 1066

    6/12

    6AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA APRILI 12-18, 20MAKALA

    MATUKIO ya kusikitisha,k u f e d h e h e s h a n ayakushangaza yamekuwayakitokea Zanzibar tangumwaka jana baada yaWazanzibar kuanzishaharakati za kurudisha

    Zanzibar yenye mamlakakamili (Zanzibar huru),harakati zilizoanzia kwenyeBaraza la Wawakilishimwaka 2010, kwa kubadilikatiba ya Zanzibar nakuitaja Zanzibar kuwa ninchi kamili! Vugu vugulililochagizwa zaidi naJumuia ya Mihadhara naya Kiislamu (UAMSHO).

    Vugu vugu hilo lililetamvutano kati ya jeshila polisi na wafuasi waMasheikh wanaoongozaJumuia ya UAMSHO.Jambo la kushangaza,mapambano yalikuwa nikati ya polisi na wafuasi wa

    UAMSHO, lakini asubuhiikasikika Makanisa kadhaayamechomwa moto! EtiWazanzibar hao (UAMSHO)ambao wamekuwa wakiishikwa amani na upendo naWakristo kwa karne telezilizopita, leo hii wameachanyumba zote za askariwanaopigana nao, wanaCCM, viongozi wa SMZ,na Masheha, badala yakewameenda kuchoma motomakanisa! Hapa tukaambiwauchunguzi utafanyika nawahusika watafikishwak w e n y e v y o mb o v y asheria.watu wakakamatwa

    kwa nzo, wakatafutwa kilamwenye ndevu akanyolewa,w a k a h i l i k i s h w a k w akutumia technologia (kamaa l ivyosema KamishnaMussa), wakaangalia kandaza video kubaini walokuwepokwenye vurugu zile nakuwakamata! Tukasubrimajibu, tuambiwe ni nanihasa alochoma Makanisa.I k a b a k i k u w a w a t uwasiojulikana Jibu mpakaleo hakuna!

    Tukakaa tena kidogo,tukasikia Sheikh FaridHad katekwa, jeshi la

    polisi likasema hajui alipo,

    itakuwa kajiteka! Vuruguzikazuka tena, Makanisayakachomwa tena, lakinimara hii wakaongeza nakuchoma maskani za CCM,na polisi mmoja akauliwakwa kukatwakatwa kwamapanga!

    Mkuu wa Jeshi la Polisinchini Said Mwema, akasemaa m e t u m a m a k a c h e r owenye ujuzi wa hali ya juu(walobobea) kutoka MakaoMakuu Dar es Salaam,kwenda Zanzibar kuwatafutawahusika wote walouana kuchoma makanisa iliwafikishwe kwenye vyombo

    Tusipotumia akili zetu vizuri

    tutapiganishwa kama makuchi

    Na Dk. Noordin Jella (Ph.D. in Economics)

    vya sheria.Tukasubiri natunaendelea kusubiri, bilakupata majibu mpaka leo!

    Hatujakaa vizuri, tukasikiaSheikh Soraga, kamwagiwa

    tindi kali usoni, na mtua s i y e j u l i k a n a ! K a makawaida tukaambiwa tena,

    je sh i la po li si li na fa ny auchunguzi kuwatia nguvuniwahusika. Mpaka naandikamakala hii hakuna jibu la nanialommwagia Sheikh Soragatindi kali! Jeshi la Polisi badolafanya uchunguzi!

    Tukiwa bado tunatafakarihayo, tunasikia tena PadriAmbrose kashambuliwa kwarisasi na watu wasiojulikana!Lengo ilikuwa ni kumuua,lakini bahati nzuri yupo hai!Hili likaendelea kutushangazawengi, eti mara hii Wazanzibarwamekuwa wanamiliki

    silaha za moto na ni wajuziwa kuzitumia! Wamekuwawadunguaji (snipers). Hapasasa tukasikia kauli kali zaidi,tena kutoka kwa viongoziwa juu zaidi kisiasa katikanchi yetu, akiwemo Raiswa Tanzania, Dk. JakayaMrisho Kikwete na Rais waserikali ya Zanzibar Dr. AliShein, wakilaani na kuvitakavyombo vyote vya usalama,wakiwemo Usalama waTaifa kufanya uchunguzikwa weledi wa juu kabisaili kubaini na kuwafikishakwenye vyombo vya sheria

    wahusika! Tukasubiri natunaendelea kusubiri kuwajuawahusika, lakini mpaka sasahakuna jibu!

    Juzi tena tunasikia Padri

    Mushi, ameuliwa kwa risasi nawatu wasojulikana! Mauajihayo yanatokea tena ndani yaZanzibar hiyo hiyo! Mara hiiTanzania zima ikatikisika,kauli nzito nzito kutoka kilakiongozi wa nchi hii, kuanziaRais wa Tanzania, Rais waSMZ, Waziri wa Mamboya Ndani, n.k. Karibu kilamwenye mdomo (access yavyombo vya habari) alisemana kulaani. Tukaambiwa FBI,CIA, wakishirikiana na TISSwatakuja kuchunguza nakuwatia nguvuni walomuuwana waloratibu mauaji hayo.Bado twasubiri!

    T u k i w a b a d otumehamanika na matukioh a y o , t u k i w a b a d otunanyoosheana vidole, nakutupiana lawama, tukiwatunazidi kuandamwa na winguzito, sasa tunasikia ImamuSheikh Ali Khamis hukoKitope (Kaskazini Unguja)ameuliwa kwa kukatwakatwa mapanga na watuwasiojulikana! Nategemeakauli zitakuwa hizo hizo,Uchunguzi utafanyika

    Na sisi ni kama vifarangavya kuku , tu tanyonyakesho, na bado twasubirikunyonya!

    Kwa kweli ukiangaliaukubwa wa visiwa vya(Zanzibar) na idadi ya watuwake na ukilinganisha namatukio haya, utaona kwamba

    ni matukio mengi sana nayametokea katika kipindikifupi sana. Ni matukioyakusikitisha na kulaaniwana kila muungwana. Matukioyasiyopaswa kutokea katika

    jamii ya watu walostaarabikakama Zanzibar.

    K i n a c h o s i k i t i s h a n akutisha ambacho ndichokilichonisukuma kuandikahaya, ni kuwa matukio yotehaya yamekuwa yakiishiakuhukumiwa na jamii kwahisia tu, huku serkali ikiwa namajibu ya watu wasojulikana,upelelezi unaendelea,

    Lakini jamii na hataviongozi wa serkali na dini

    wamekuwa wakitumia hisiazao, utashi na mihemko yaokushutumu na hata kuhukumu

    baadhi ya kikundi au kundikatika jamii.

    M w a n z a o n i w a p ow a l o j a r i b u k u h u s i s h amatukio hayo na CUF, lakiniwalipoona wazanzibar wahivi sasa hawatopigana walakuuana kwa sababu ya vyamavya siasa, wakakosa nguvu.

    Lakini mara zote kundi laUAMSHO, limekuwa ndiokitambaa (leso) cha kufutiamafua, jasho, mate, n.k., kilatukio likitokea, basi utasikia

    UAMSHO hao, kauliwa PadUAMSHO, kamwagiwtindi kali Sheikh SoragUAMSHO, limechomwKanisa-UAMSHO!.

    Serikali imekuwa ikikawkufanya kazi yake (Jeshi Polisi) kama walivyoafanykule Mwanza alipouliwRCO , badala yake jamimeachwa ihukumu kwhisia. Hii ni hatari!

    Maana sasa viongozi wUAMSHO wako ndanUAMSHO hajulikani ni nanlakini mauaji yanaendeleSasa akiuliwa Padri akuchomwa Kanisa utasikni Waislamu hao, naahisia hisia, Waislamu hawa Zanzibar sasa washakuwmagaidi! Si ndo alivyosem

    Nchimbi?Na sasa akiuliwa Sheikh a

    ikichomwa Misikiti, kwa histu watasema Wakristo haona Wakristo nao washakuwmagaidi! Tunako kwendsiko!

    Siamini na kamwe sitoamikwamba, eti matukio hayyanafanywa na Mzanzibwa kawaida, awe Mkiristo aMuislamu. Kamwe siamikama Mzanzibar wa kawaidanamiliki silaha ya moto namekuwa mjuzi wakuitumkiasi kwamba anawezk u l e n g a s h a b a h a k wustadi mkubwa huku akiwkwenye vespa na kumuuPadri. Siamini kuwa tunwadunguaji mahiri Zanzibwanaomiliki silaha. Siamikabisa kama kweli Mzanzibanaweza kumvamia Sheikna kumkatakata mapang

    Nani basi anayefanya hayaNa anafanya haya kwa ninNa Kw an in i mp ak a leKamishna Mussa hajatomajibu ya walofanya matukhaya?

    Inasikitisha na kushangazs a n a W a z i r i m w e n ydhamana na ulinzi wa taihili, anaibuka akiwa na hokwamba wanaofanya matukhayo ni magaidi.

    Kwamba imeshindikankuwadhibiti magaidi mpakwameweza kuingia ndanya nchi, wakaweza kumilisilaha, wakaweza kupangn a k u t e k e l e z a ma u ana uharibifu wa nyumbza ibada wakati wenyewwakiwa macho. Lakini ptungeambiwa hawa magaiwana madai (demand) gani

    Japo hakuna maelezyanayotosheleza kuhusmaana ya ugaidi, lakini Maanya kufikirika ya neno gai(terrorist) ni mtu anayelemadhara katika jamii aanayefanya mashambulizi autekaji kwa lengo la kuogofymamlaka au mtu husika iatekelezewe madai yakKwa misingi hiyo gaidi huwakishatenda huwa hutokez

    SHEIKH Farid Hadd akiongea na vyombo vya habari.

    Inaendelea Uk. 1

  • 7/28/2019 ANNUUR 1066

    7/12

    7AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA APRILI 12-18, 201TANGAZO

  • 7/28/2019 ANNUUR 1066

    8/12

    8AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA APRILI 12-18, 20Makala/Tangazo

    Inawatangazia Waislamu wote Kuwa Imeandaa Safari ya Hijja Mwaka 2013 Sawa na Mwaka 14Hijria kwa Dola US$ 3550 tu.Umra kwa Mwezi wa Ramadhani itakuwa ni Dola US$ 1995Fomu zinapatikana katika ofisi zifuatazo:-1. Ofisi ya Ahlul Daawa Dar es salaam Mtaa wa Dosi na Mkadini Nyumba Namba 26 Mkabna Showroom ya Magari Tel 0713 730 444, au 0773 804101 au 0785 930444 na 0773 930444.2. Ofisi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo Tel 0777 484982 au 0777 413 987.3. Abubakar Maulana wa Markaz Kiwalani Dar es salaam 0784 4538384. Abdallah Salehe Mazrui ( HOKO) Dar es salaam 0715 724 4445. Salim Is-haq Dar es salaam 0754 286010 au 0774 7861016. Dukani kwa Abdala Hafidh Mazrui wete pemba 0777 482 6657. Dukani kwa Mohamed Hafidh Mazrui Mkoani Pemba 0777 4569118. Sheikh Daudi khamis sheha 0777 6796929. Maalim Seif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar 0777 417736Wahi kulipia.Ofisi ya Ahlul Daawa Dar es salaam 0713 730 444 au 0773 804101 au 0785 930444.Ofisi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo 0777 484982 au 0777 413 987.Maalim Seif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar 0777 417736Sheikh Salim Mohamed Salim 0774 412974 au Kupitia ACCOUNT NAMBA 0481010000

    NBC

    Tanbih:Atakae maliza Taratibu zote kuanzia sasa Mpaka 15 July 2013 atapata Punguzo la asilimia 16atalipia $ Dola 2982 tu.Atakae maliza Taratibu zote kuanzia Tarehe 16-july Hadi Tarehe 15 Augost 2013 atapata PunguzoAsilimia sita 6% atalipia Dola $3337 tu.Kutakuwa na umra ya utangulizi kabla ya Umra ya Hijja kwa atakae maliza kufanya hivyo.Atakae maliza taratibu zote mwanzo ndie atakae shughulikiwa mwanzo.Ukilipia kwa njia ya Account kwanza piga simu 0774 412975.Kumbuka Kikundi cha Ahlul Daawa Kwa Bei nafuu kuliko wote na Huduma bora Kuliko weng

    Nyote mnakaribishwa

    Ahlul Daawa Hajj And Travel Agency

    Kweli Mkapa ana hakikujisifia na kushangaa

    KAMA ilivyoripotiwa katikabaadhi ya vyombo vya habariwiki hii, baadhi ya wachambuziwa m a s ua l a y a k i s i a s awanasema kuwa Rais MstaafuBenjamin William Mkapahakubaliani na mwenendo waCCM na Serikali yake katika

    suala la kushughulikia udini.Pengine mtu angetaka kuuliza,hivi ni kipi Mheshimiwa Mkapaasichoridhika nacho? Je, ni kwavile toka aondoke madarakanihatujashuhudia tena askariakiamriwa Piga yule, Na yuleBado (hajafa) mwongeze. Nakweli polisi anafyatua risasikuwalenga shabaha na kuuwaWaislamu kama ilivyokuwapale Mwembechai? Au ni kwavile haijatokea tena kwa Serikalikuendesha kamatakamata yaMasheikh na kuwalundika ndanikwa shinikizo la Maaskofu kamailivyotokea katika Serikaliyake?

    Tunachokumbuka na rekodizinavyoonyesha ni kuwa kwaagizo na kwa shinikizo la ParokoLwambano, Serikali ya Mkapailiwakamata Masheikh, wazeewa Kiislamu, Maimamu nawahadhiri na kuwaweka ndani.Tunachokumbuka na rekodizinavyoonyesha ni kuwa kwashinikizo hilo la Padiri CamillusLwambano, Polisi walivamiaMsiki t i wa Mwembechaiwakauvurumishia mabomu yamachozi ambapo wanawakewaliokuwa ndani ya Msikiti huowaliumizwa vibaya na kishakupigwa sana na kudhalilishwana kisha kuwekwa rumandeambapo walidhalilishwa zaidi.

    Je, kwa vile toka atokemadarakani, Serikali haijarudiatena j inai hi i , j apo badoinatembea na RB shingoni, ndio

    kisichomridhisha MheshimiwaMkapa?

    Chanzo cha mauwaji yaMwembechai na jinai yoteiliyofanywa na Serikali yaMkapa katika kadhia ile, niMaaskofu kutokutaka Waislamuwaseme kuwa Yesu Si Mungukama Quran yao inavyosema.Ufupi wa maneno na katikalugha nyepesi ni kuwa Serikaliya Mkapa iliuwa Waislamuna kuwatesa wengine wengikutokana na imani yao ya kidini.Ilifanya hayo kulinda na kuuhamiUkristo na kuwahami Maaskofuna Wachungaji ambao walikuwawamekwama kutetea Imani yaUtatu wakataka Serikali ndioifanye kazi hiyo.

    Sasa, Mheshimiwa Mkapaanaposema leo kuwa haridhikina jinsi Serikali ya Rais Kikweteinavyoshughulikia suala la udini,je, ana taka Ser ikali iendeleekusimama kutetea Utatu naUungu wa Yesu badala ya kazihiyo kufanywa na viongozi wamakanisa?

    Kama vyombo vya habarivilivyoarifu, Rais Mstaafu,Benjamin Will iam Mkapaamesifia utawala wake kwakuongoza taifa bila ya kubaguanana kwamba anasikitishwa namatukio ya udini, ambayoyanaashiria kuvuruga amani nautulivu wa Tanzania katika sikuza karibuni.

    Pamoja na mauwaji Mwembechai, PembaHakuruhusu Inquest na hajafikishwa ICCUshauri wake kwa Kikwete utatuangamizaJe, anataka aendeleze ya Paroko Lwambano?

    Na Omar Msangi

    M k a p a a m e n u k u l i w aakiyasema hayo hivi karibuniwakati akitoa salamu zake baadaya kusimikwa kwa Askofu Mpyawa Jimbo Katoliki la Bukoba,Desdelius Rwoma.

    Mkapa alisema anachojivuniani kuheshimiwa na waumini wamadhehebu yote.

    Wakati wa utawala wangunilijitahidi kwa uwezo wanguwote kuwahudumia wananchibila kuwepo kwa malalamikoya kubaguana katika jamii.Alisema.

    Hapa i nab i d i kuwekanuk t a , kukaa k i t ako nakutafakati kidogo. AnachosemaMheshimiwa Mkapa ni kuwapamoja na yale tuliyoshuhudiaya mauwaji ya Mwembechai,kukamatwa Masheikh nakuteswa kwa kusoma hadharaniaya za Quran zinazokataa Utatu,kufa na kufufuka kwa Yesu, nikwamba yote hayo aliyafanyabaada ya kujitahidi sana kuzuiyahisia zake za Ukatoliki naudini. Na mwenyewe anajisifia

    akisema kuwa amejitahidi sanakuwahudumia wananchi wotebila ya ubaguzi. Kwamba baadaya kujitahidi sana ndio akaishiana Mauwaji ya Mwembechai!!!Ambapo Polisi waliouwaWaislamu walipongezwa,tunasikia wengine wakapewavyeo. Lakini zaidi ni kuwa hataWaislamu walipotaka mauwajiyale yafanyiwe Inquest kamasheria inavyotaka akakataa.

    Katika mazingira kamahaya, kweli MheshimiwaMkapa ana haki ya kushangaana pengine tuseme, ana hakiya kuwashangaa Waislamu.Kwamba baada ya kufanya jinaiya Mwembechai, bado aliwapataMasheikh wa kukaa meza mojana Serikali yake kuwashutumuMarehemu na wafiwa. Lakinipia pamoja na mauwaji hayona kukataa kufanya uchunguzi,bado hajafikishwa ICC.

    Yawezekana kile kitendo chaSheikh wetu Hamid Jongo nabaadhi ya Masheikh wengine,kukaa meza moja na Serikaliya Mkapa nje ya Msikiti waMwembechai, hata kabla wafiwahawajatokana mazikoni, ndiokinampa nguvu leo MheshimiwaMkapa kusema na kutambakwamba anaheshimiwa na watuwa dini na madhehebu zote!

    Mwalimu Nyerere aliwahikusema kuwa hatakubali kuonaKanisa Katoliki likijitia katika

    Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa.

    ambapo kule Korogwe kijanmmoja aliwekwa ndani kwkuandika katika baisikeli yakkuwa Yesu Si Mungu na kikilichotokea kule Morogoambapo Ofisa wa Polisi alitakMungu wa Waislamu afikishwmahakamani kwa kuleta Qurainayokanusha uungu wa Yesilikuwa ni katika jitihada zSerikali ya Mkapa kushikamanna misingi ya Mwalimu Nyereya kulitetea Kanisa na kulipA Better Chance dhidi yUislamu.

    Je , h i i nd i yo mi s i nganayoilalamikia Mzee Mkapkuwa Rais Kikwete kaachannayo?

    Pengine nimkumbushe MzMkapa kuwa katika suala Yesu ni Mungu Vs Yesu Mungu, aliwasikiliza viongowa Makanisa na kupuuzmalalamiko ya Waislamu kuwhawatendewi haki KikatibKisheria (za nchi) na kidini. Hahivyo, Waislamu walipokuna madai ya Mahakama yKadhi na suala la OIC, akasemkuwa hawezi kupuuza maoni y

    Wakristo. Na kwa vile Wakriswalikuwa hawataki mambhayo, huo ukawa ndio msimamwa Serikali.

    Hata hivyo, kwa Mzee Mkaphayo yote yamefanyika kwsababu hakuwa mdini na kwambalijitahidi sana kuwatendea hawananchi wote!

    Sasa pengine swal i kujiuliza ni hili: Kama baadya kujitahidi sana kutokuwmdini, ndio ameishia na kadhya Mwembechai, kukamatwa nkuwekwa ndani Profesa Jahabil a kus ahau kuuli wa Imapale Mwembetanga kabla ymauwaji ya Pemba 2001; asingejitahidi kujizuiya kuw

    mdini, hali ingekuwaje?

    tope kama ilivyotokea katika

    nchi nyingine za Ulaya. Na

    akaahidi kuwa atalipa fursa

    pekee, fu rsa ya upende leolipate kunawiri na kustawi.

    Hapana shaka ile heka heka

    tuliyokuwa tukiishuhudia

  • 7/28/2019 ANNUUR 1066

    9/12

    9AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA APRILI 12-18, 201Makala

    K W E L I Z a n z i b a rilikuwa na watu wachachewaliojiweza sana kimaishana kulikuwa pia na idadi yamasikini, lakini wengi zaidiwalikuwa na maisha yawastani ambayo hayakuwana tafauti kubwa baina

    yao, na si kweli kabisakuwa utajiri ulikuwa niwa watu wa kabila fulanitu na umasikini ulikuwa niwa watu wa asili fulani tu.Nikukumbusheni mfanommoja: wenye umri kamawangu mlioishi Unguja mjininina hakika mtakumbukakuwa Darajani (ukishavukadaraja kuelekea Ngambo)palikuwa wakisimamambele ya ukuta Waarabumasikini, wengine vipofu,wakiomba.

    M t a n i s a m e h e k u w akatika risala yangu hiinitarejelea baadhi ya maneno

    niliyokwisha kukuelezenikabla kwa mukhtasar i .Lakini kwanza naanza kwakumshukuru Sheikh SalimMsoma kwa makala yakeyenye maana na kwa kuelewavizuri yaliyopita. Mara nyingihuwa nazozana na watafitiwanaokuja kwangu kutakakujua ninayoyaelewa naniliyoyashuhudia. Nazozananao pale wanapoyapa maelezoya kila waliyemhoji uzitosawasawa. Fulani kasemahivi na fulani kaelezea vile,kwa hivyo ni hivi na hivi.

    Lakini mtafiti huyo huyoukimwuliza, jee unapokuwamgonjwa na unahita j ia

    upasuzi utakubali upasuliwena yoyote anayejua kutumiavisu? Kwa mfano, utakubaliupasuliwe na muuzaji nyamaau utamtafuta tabibu mjuzi wakupasua na mwenye kuelewaugonjwa ulionao? Utakubaliupasuliwe na muuza nyama

    badala ya tabibu kwa sababuwote wawili ni wajuzi wakutumia visu na ni mahodariwa kukata nyama? Iwapohutakubali kupasuliwa namuuza nyama kwa sababuhana u juz i wa ku t ibu ,

    bas i vipi utayaweka sawamaelezo ya asiyejuwa nayule anayejua? Haya ndiyo

    maradhi waliyonayo watafitiwengi.W a z a n z i b a r i w e n g i

    wanaelezea wanayoyajuawao binafsi na wengi katikawalioishi mjini hawayajuikabisa maisha ya shambawala ya watu wa Ngambona pia ni kweli kuwa waliomashambani wanaelewamachache ya walioko mjini.

    Na huku kutokuelewa ndikokulikopelekea kuwa wengikuwa na dhana nyingi na ukwelimchache. Halikadhalika,mambo yalikuwa hivyohivyo kukhusu makabila,

    Yaulizeni myajue, Zanzibar musiyazueNa Ibrahim Noor

    Mwarabu masikini muuza kahawa kabla ya 1964

    hata ikapelekea watu waasili fulani wote kuonekana

    ni matajiri na wenginekudhaniwa ni masikini.Maelezo haya ndiyo

    yaliyotanda katika vitabu namakala zilizoandikwa katikamajarida na magazeti, naubaya zaidi ni kuwa fikirahizi zilitapakazwa katikamajukwaa ya siasa, tenakwa chuki kubwa sana nakupandisha mori katika hisiaza wajinga na hili kusababishakuuwawa Wazanz iba r iwengi, na pia wasiokuwaWazanzibari, bure bila yasababu.

    S o t e t u m e s o m a n akusikia mara kwa marakuwa Waarabu walikuwamatajiri wenye mashambamengi na majumba; Wahinditunaelezwa kuwa walikuwamabepari; Waafrika (pamojana Washirazi) walikuwamafakiri na kadhalika nakadhalika. Bila ya kufanyautafiti wa kina huwezi kuelewaukweli na uwongo wa hizikhabari zinazotapakazwa.Inahitajia pia uishi na watuwa sehemu mbalimbali iliuweze kuelewa vipi wanaishi.

    N am s h u k u r u S u b h an awaTaala kuwa katika maishayangu nimeishi Mjini Unguja,nimeishi Pemba, nimeishi

    mashamba na nikitembeasana Ngambo. Pia, nimeishi

    bara Tanganyika, Kenya naUganda.Kweli Zanzibar ilikuwa na

    watu wachache waliojiwezasana kimaisha na kulikuwa

    pia na idadi ya mas ikini,lakini wengi zaidi walikuwana maisha ya wastani ambayohayakuwa na tafauti kubwa

    baina yao, na si kweli kabisakuwa utajiri ulikuwa ni wawatu wa kabila fulani tuna umasikini ulikuwa niwa watu wa asili fulani tu.

    Ni ku ku mb us he ni mf an ommoja: wenye umri kamawangu mlioishi Unguja mjininina hakika mtakumbukakuwa Darajani (ukishavukadaraja kuelekea Ngambo)

    palikuwa wakisimama mbeleya ukuta Waarabu masikini,wengine vipofu, wakiomba.

    Nar ejelea tena , hapan ashaka kuwa walikuwepoWa a r a b u w a c h a c h ewaliokuwa matajiri, lakinimengi yanayosemwa ni yauzushi mtupu. Waarabuw a m e f a n y w a k a m amagodoro ya usumba. Kilamara hutandikwa bakora ilimabwana wanasiasa zachuki wapate kulala nakulalia magodoro vizuri.

    Uliza vizur i ni nani

    waliokuwa wazegazegawa madebe mazito ya majikupeleka majumbani iliwapate pesa mbili? Ulizanani waliokuwa wakikokota

    marikwama zamani kablaya wengineo? Uliza naniwalikuwa mahamali wakubeba mizigo ya wasafiri

    bandar in i hat a ku lekuwakar ib isha wagenikwa maneno ya Kiarabuahlan byk, ahlan byk yaanikaribu, karibu yakageuzwa

    badaye na kuwa halambeena Wakikuyu wakabirualam na ree wakiimbaharambee!?

    Uliza nani walikuwawachanja kuni na wauzaji wamakaa. Uliza nani walikuwawauza kahawa kwa midele

    ba ra ba ra ni !? Ul iz a na niwalikuwa wakisuka makanda

    ya kupaki l ia miz igo!?Angalieni pia picha kwenyemakala hii.

    Ukishamaliza hayo, badokuna ya wazamia lulu;wala usidhani nazungumziakuzamia lulu baharini, balinaelezea ya wale waliokuwaw a k i t a p i s h a v y o o n akuingia wenyewe malindinina kuchota viliomo kwandoo na kumimina katikamapipa wa l iyoyaweka

    juu ya marikwama, nawakishajaza, huyakokotawenyewe marikwama nakwenda kumwaga lulukulikorukhusiwa.

    Uliza nani waliokuwawavuvi wa dagaa!? Ulizanani waliokuwa wakiuza papana nguru wakavu!? Ulizanani waliokuwa wakikodimashamba ya mikarafuuna minazi, wakiwakodi piawakwezi na kuwalipa na baadaya kuangua nazi, wakiziokotawenyewe katika makanda ya

    punda au katika magari yangombe na kupeleka kwenye

    janguo!?Mwarabu aliyetoka kwao

    Omani ndani akakusanyapesa kwa jamaa zake masikiniwenziwe na kuagana kuwaatakachochuma watagawana.

    Mmanga huyo akafunga safariya miguu au ngamia kwa sikunyingi mpaka kufika kwenyemji ulioko pwani akangojea

    jahazi na kulipa ujira, akasafirisafari ya mawimbi na miuyaya mswaliye Mtume mwezimzima au zaidi mpaka akafikaUnguja, akaenda kwa SheikhAbdullah bin Suleiman,akapokelewa na kuelezeahaja yake. Akaazimwa garila ngombe au akanunua naakatafutiwa shamba la kukodiminazi na mikarafuu kwamiezi au mwaka. Akaajiriwakwezi na watu wa kuchumakarafuu. Akawalipa ujira

    huku hajui kama atapata faidau khasara.

    Kazi bado haikwishhapo. Baada ya janguo nazi, Waarabu hao wakawwanapita chini ya minazi nkuokota nazi wenyewe nkupakia katika gari lao ngombe au katika makapyaliyopakiwa juu ya pundwakapeleka kwenye kufuliwna wakafua nazi wenyewwakazivunja na kuzianikwenyewe, wakizisukua nwengine wakizitia katiktanuri za mbata. Zikiwa tayawakizitia katika magunwenyewe na wakiyapakmagunia katika magari yngombe kwenda kuziuzKama kuna faida ni yakama kuna khasara ni ya

    pia. La kweli ni kuwa kangumu wakizifanya Waarabkwa khiyari zao bila ykulalamika. Zaidi ya haykukinyesha mvua kwa jummoja, basi Mwarabu amekukhasara ya kweli.

    Katika mashamba ymikarafuu, hali ni hiyo hiyBaada ya kuchumisha karafuna kuwalipa wachumi kayote ya kuanika na kuanuilikuwa ikifanywa na Waarabwenyewe. Kukinyesha mvukwa juma moja, basi Mwarabamekula khasara ya kweli.

    Mmanga huyo huyo, nwengi kama hao, waliotum

    jasho lao na pesa zao, wana aila zao zisizokuwa ndhambi yoyote ya biashara yutumwa wakawa ndiwo wmwanzo kuingiliwa nyumbamwao na kupigwa mapangkinyama kabisa. Kisa nini

    eti sababu ni Mwarabu Sikya Qiyama tutakapokuwmbele ya Mwenye-enMungu Subhanah waTaana kumtegemea Mtume we(SAW) atuombee maghfirtutamwambia nini Mtum(SAW): TunakuombMtume wa Mwenye-enMungu utuombee maghfikwa sababu tumewauw

    bure bila ya sababu, wafuawako Waislamu waliokuwwakiswali na kukuswaln a w e w e M t u me w a(SAW), lakini kwa chukzetu tumewauwa kwa sababtu walikuwa ni jamaa zakWaarabu wenziyo! Hakunmaskhara wala mizaha huktwendako.

    Wahindi pia wamefanywkisingizio cha kutupiwtaka za ubepari. Ingawhapana shaka walikuwekmabepari wachache. Uliznani waliokuwa madobi wkufua nguo na kupiga paswakienda nayo mirundo ynguo mpaka Wireless au SaTeni na kuzifua kwa mikonyao, kuzianika na kungojezikauke. Wakisha kurudi nazhuzipiga pasi; yote haya iwajipatie pesa teni, bila y

    Inaendelea Uk. 1

  • 7/28/2019 ANNUUR 1066

    10/12

    10AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA APRILI 12-18, 20Mashairi/Makala

    Ni ala ala jirani, msemo wetu wa adaLengo kuu kuthamini, ya ujirani ibadaKatu si kwa kufurani, inotengua aqidaTusitengue aqida, kwa nembo ya ujirani.

    Usia wa Adinani, kwetu kwao ni saadaSi kwa kukhini imani, tena kwa yao iradaBali kwa dini kuwini, na kuilinda aqida

    Tusitengue aqida, kwa nembo ya ujirani.

    Kushiriki Pasakani, ni kiuko la kaidaKisa eti ujirani, usijepata kudodaTwaiwekaje rehani, swahihi yetu aqidaTusitengue aqida, kwa nembo ya ujirani.

    Twajitia usungoni, kushiriki ushuhudaKesho tutajibu nini, kwa ALLAH si kwa burudaKwalo tujitanibuni, tusikhalifu aqidaTusitengue aqida, kwa nembo ya ujirani.

    Ya ala ala jirani, yaendane na aqidaYasiwe ya ujirani, dhidi ya yetu aqidaKushiriki Pasakani, ni hilaki kwa aqidaTusitengue aqida, kwa nembo ya ujirani.

    Tuachane ikhiwani, na ya ujahili ada

    Kwa kuhuluti imani, utatu na tauhidaKulikoni na kwanini, tuikufuru aqidaTusitengue aqida, kwa nembo ya ujirani.

    Haya shime waumini, kulinda yetu aqidaSi kwa mtutu vitani, kwa kughairi fuadaTusije kesho narini, tukasalia halidaTusitengue aqida, kwa nembo ya ujirani.

    ABUU NYAMKOMOGIMWANZA.

    Nikahi kuhadithia, ya panya wetu na pakaKila ni pofikiria, ni baki kuhuzunikaMwishowe likanijia, wazo kalamu kushika

    Ndoa ya panya na paka, si ndoa bali udhia.

    Tama nilijishikia, kwa nikahi kufungikaMaajabu ya dunia, pamoja kujumuikaMaadui asilia, kulikoni nina shaka

    Ndoa ya panya na paka, si ndoa bali udhia.

    Si jingine zao nia, zino shakani niwekaTofauti si sawia, ndoani kujumuika

    Nibashiricho udhia, kama si panya kulikaNdoa ya panya na paka, si ndoa bali udhia.

    Siri ninakuibia, panya upate zindukaKadhalika na usia, nakupa wa uhakikaKesho utajajutia, kwavyo kija kengeuka

    Ndoa ya panya na paka, si ndoa bali udhia.

    Ebu kipanya sikia, mwenza wako shume-paka

    Adaye ni kujilia, panya wa homu na nyikaNi siri nakuibia, kabla yajakufikaNdoa ya panya na paka, si ndoa bali udhia.

    Ewe panya Malkia, kufuyo katu si pakaHadhiyo wajishushia, kwa kuolewa na pakaKwa hiyo nakuusia, muombe yako talaka

    Ndoa ya panya na paka, si ndoa bali udhia.

    Panya ulojifungia, Mwanza si ndoa na pakaUmbuzo washadidia, rudi nyumbani harakaWino umeniishia, bado mwisho sijafikaSi ndoa bali udhia, ndoa ya panya na paka.

    ABUU NYAMKOMOGIMWANZA.

    UJIRANI WA KUFRU !

    NIKAHI YA UWAWARU

    Kesi ya Masheikh UamshoNi sarakasi, danadana tupu

    Inatoka Uk. 1

    kuzuiwa na Mkurugenzi waMashitaka (DPP) huku kwaupande mwingine Mahakamana wanasheria wakihoji hatuahiyo lakini pia MahakamaKuu ik ish indwa kutoahukumu ambapo hivi sasainasubiri kauli ya Mahakamaya Rufaa.

    Mahakama Kuu ya Zanzibarimesema haitasikiliza kesiinayowakabili viongozih a o w a J u m u i y a y aUamsho na Mihadhara yaKiislamu (JUMIKI) hadi

    pale Mahakama ya Rufaniitakapotoa maamuzi juu ya

    rufani zilizokatwa huko.Upande wa mashitaka

    wa serikali umekata rufaniMahakama ya Rufani ukipingamaamuzi ya Jaji Fatma HimidMahmoud anayesikiliza kesihiyo aliyoutaka upeleke kwamaandishi sababu za kuzuiadhamana ya washitakiwahao.

    Mwanasheria wa serikali,Raya Issa Mselem aliiambiaM a h a k a ma j u z i k u w aMkurugenzi wa Mashitaka(DPP), Ibrahim Mzee Ibrahimhakuridhishwa na maamuzihayo ya Mahakama hasa ya

    kuwasilisha kwa maandishisababu za kupinga dhamanakwa washitakiwa hao.

    Alidai kuwa kutokanana hali hiyo DPP ameamuakukata rufani Mahakama yaRufani.

    Kwa mfumo wa MahakamaT a n z a n i a , M a h a k a m aya Rufan i n i sua la laMuungano.

    Hiyo itakuwa rufani yapili kukatwa na upande wamashitaka katika kesi hiyo

    ba ad a ya aw al i ku pi ng amaamizi ya Jaji AbrahamMwampashi wa MahakamaKuu Zanzibar aliyefutamaagizo ya Mrajis waMahakama Kuu ya Zanzibar,George Kazi likiwemo lak u w a n y i m a d h a m a n awashitakiwa hao.

    Wakili wa utetezi, SalumToufiq ameiomba Mahakamakutokubaliana na uamuzi huokwani upande wa mashitakaunahalifu amri ya Mahakamakwamba kama kulikuwa nasababu za msingi ilikuwawaeleze mapema .

    Jaji Fatma alisema

    amesikia maombi ya pande

    zote mbili hivyo upande wamashitaka unayo haki yakukata rufani na atasikilizakesi hiyo baada ya maamuziya Mahakama ya Rufani auzikipita siku 60 bila yamaamuzi.

    Suala la msingi hapakatika lugha nyepesi nikuwa Mahakama ilihojihatua ya DPP kuzuiyadhamana ya washitakiwana kutakiwa kuwasilishahoja zake ili mahakamaizipime uzito wake.

    Kwa upande mwingine,D P P n a y e a n a k a t a a

    kuhojiwa na kutakiwakuwasilisha mahakamanisababu zake za kuzuiyadhamana za washitakiwandio maana anakata rufaakat ika Mahakama yaRufaa.

    K w a r u f a a h i i ,washitakiwa wataendeleakukaa rumande hadih a p o r u f a a y a D P Pitakaposikilizwa katikaMahakama ya Rufaa nakutolewa maamuzi.

    Swali ambalo penginelinaulizwa ni iwapo ilekanuni kwamba haki

    i l iyocheleweshwa n ihaki iliyokataliwa, inafaakutumiwa katika suala hilila Masheikh na viongoziwa Waislamu.

    Hoja yenyewe ni kuw

    ja al iy a iw ap o mw is hw a y o t e i t a o n e k a nkuwa hapakuwa na hakwala sababu za msingkwa mujibu wa Katibya Nchi; walionyimwhaki yao ya dhamanwatalipwa vipi kwa dhulmwaliyofanyiwa!

    Washitakiwa hao ambaw a t a e n d e l e a k u s o trumande ni Farid HaAhmed (41) mkaazi wMbuyuni, Mselem AMselem (52) mkaazwa Kwamtipura, MussJuma Mussa (47) mkaa

    wa Makadara na AzaKhalid (48) mkaazi wMfenesini.

    Wengine ni SuleimaJuma Suleiman (66), mkaawa Makadara, Khamis ASuleiman (59) mkaazi wMwanakwerekwe, HassaBakar Suleiman (39) mkaawa Tomondo, GhaliAhmada Juma (39) mkaawa Mwanakwerekwe nAbdallah Said (48) mkaawa Misufini.

    W a s h i t a k i wh a o w a m e f i k i s h w

    mahakamani kwa madai ykuharibu mali, uchochezushawishi na kuhamasishfu jo na kuha t a r i shusalama.

    Vitabu vya The Partnership kwa

    Kiswahili vya Alhaj Aboud JumbeMwinyi kwa bei ya jumla na

    rejareja vinapatikana Masomo

    Bookshop.

    Kwa mawasiliano piga 0777

    464748 au 024 2231048 au fika

    Masomo Bookshop Zanzibar na

    kuonana na Nizar.

    VITABU VYA JUMBE -

    THE PARTNERSHIP

  • 7/28/2019 ANNUUR 1066

    11/12

    11AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA APRILI 12-18, 201Makala/Tangazo

    Yaulizeni myajue, Zanzibar musiyazueInatoka Uk. 9

    kulaumu wala kulalamika.Uliza pia nani walikuwa

    wakishona v ia tu ; nan iwapakia dongo za kujengeakatika magari ya punda; naniwalikuwa wakiuza bajia nambatata njiani; nani walikuwawakifinyanga vyungu; naniwalikuwa wawashi na mafundi

    wa magari ya moto na yakukokota!? Uliza, uliza, ulizausichoke kuutafuta ukweli.Ukweli ndiwo utakaokutoakatika utumwa wa kiakili namawazo na kukuweka katikanjia huru.

    Jee, na maisha ya waliowengi Zanzibar, yaaniWashirazi yalikuwa vipi?Washirazi wengi waliokuwawakiishi katika mashambayao wenyewe na wakitegemeamazao ya mashamba yao nawakijitegemea kwa jasho lao.Wengi wakijituma wenyewena mpaka leo, kwa jumla,hali ni hivyo hivyo, ila walewaliokubali kudanganywakwa mamilioni ya pesaza Tanzania na kuyauzamashamba ya koo zao nakujikuta kumbe wameuzambachao kwa mswala upitaona kujikuta katika hali zamajuto mjukuu. Inasikitisha!

    Wengi ya Washirazi na pia

    Waarabu walioishi shambahawakuyataka maisha yamjini ya kupigana vikumbo.Walifadhili ngongomwe, sautiza matawi yanapokwaruzana

    MWARABU kinyozi akimnyoa Mswahili

    kwa ajili ya kusukumwa na

    upepo na za majani na ndege.

    Walifadhili pia na mazao

    yaliyokuwa mashambani

    mwao kuliko ghasia zamjini.

    M i m i h u s t a a j a b usana ninapowaona watuwaliosoma, kila pakiandikwa

    makala juu ya Zanzibar, khakwa Kiingereza, huchukulkuwa mwandishi anaelewvizuri anayoyazungumzK w a n z a t u t i y e k a t i kmizani na kujiuliza iwapmwandishi kweli aliielewhali ya maisha ya watu kwmapana yake au kwa mahana mazingira aliyoishi na kwmuda aliokuwepo Zanzibanatuelezea ya utotoni na kwmtizamo wa kindoto?

    Pia tunaposoma magazetujiulize iwapo mwandisk w e l i a n a w a e l e wWazanzibari na maishyao yalivyokuwa kabla ymavamizi au ndiyo anarejelekikasuku yale yale ya utumbwa siasa za ubaguzi nchuki? Na tuulize na masuamengine muhimu na siykupotezewa na kuupotezwakati wetu bure.

    Kuwa kila mara tunapigkhatua moja katika kuuelew

    ukweli na kurudi nyumkhatua kumi katika kujitkatika mitego ya uzushi wenykhatari mbele, inachokeshsana na kuumiza vichwa.

    (Makala hii imenukuliwkutoka katika mtandao wkijamii wa Mzalendo)

    Inatoka Uk.6

    Tusipotumia akili zetu vizuriwazi wazi na kusema, mimindio niliofanya jambo kadhaaili unipe kitu kadha, au utekelezemasharti kadhaa, usipotekelezanitafanya tena jambo kadha.

    Sasa matukio yote hayahakuna kikundi, wala mtualojitokeza kukiri kufanya nakusema amefanya ili apewenini au anadai nini. Ingefaa sasatuambiwe magaidi hawa wanamadai gani?

    T u a m b i w e , w a n a u aMapadri ili wapewe nini naKanisa Katoliki? Wanaua nakuwamwagia tindi kali Masheikhili wapewe nini na Waislamu?

    Nakumbuka nilipokuwa namiaka 12, ilikuwa tukifungaskuli (nilikuwa skuli ya Jadida,Wete), nikienda kwa bibiyangu Pandani kwa Mwewe,kuna mengi niliyapenda hukoPandani, ikiwemo kuchota maji

    kwenye kisima cha ndoo kwakutumia roda, lakini jambojengine lililokuwa nikilifanyani kuamka mapema sana kwaajili ya mchezo wa kupiganishakuku.

    Ni liupen da sana mchezohuu! Walipiganishwa majogoowa kila aina kuanzia makuchi,majogoo upanga n.k. Lakiniugomvi wa makuchi ulikuwamtamu sana, hawachoki haraka,wajuzi wa kupigana, hawakubalikushindwa, si woga na wepesiwa kupiganishwa.

    Walipiganishwa makuchiwale bila wenyewe kuwa nasababu ya msingi ya kupigana.Walipiganishwa bila kujuwa kwanini wanapigana. Walipiganasababu tu wametumwa kupigana.

    Kupigana kwao makuchi hawando furaha ya wapiganishaji.Pengine wapiganaishaji huchezakamari na mwenye kuchialiyeshinda akapata malipo.

    Historia ni mwalimu nzuri,tunasoma kwamba kule Indiawakati wa harakati za kudaiuhuru zilizokuwa zikiongozwana Mahtma Gandhi, wakati huoIndia ikiwa koloni la Muingereza,wakoloni hawa walikuwawakiwapiganisha Waislamu naWahindu ili kujenga hoja yakutowapa uhuru.

    W al i kuwa wak i ch i n j anguruwe kisha wakiwatupakwenye Misikiti ya Waislamu.K w a h i s i a W a i s l a m uwakiwashutumu Wahindu kwakuwatupia nyama haramu, najisikwenye nyumba zao tukufuza ibada, kisha wakolonihawa wakichinja ngombe nakuwatupa kwenye mahekalu yaWahindu, Wahindu nao kwa hisia

    tu, wakawashutumu Waislamukwamba ndio wanaowauwam i u n g u y a o ( W a h i n d uwanaabudu ngombe kamaMungu wao), kisha wanawatupakwenye nyumba zao za ibada!Kwa hisia wakaishia kupiganana kuuwana.mkoloni akazidikutawala.

    Hali hii ndio ninayoionaZanzibar. Matukio ya kumwagiakinyesi visima vya maji ,kuchomwa moto nyumba zaMasheha, kulipuliwa mabomuofisi za CCM, tuliyaonamageni yalipoanza miaka 90kule kisiwani Pemba. Tukawatwaambiwa ni wapinzani,wafukuwa hadi barabara nakuvunja mabomba ya maji.Lakini kisha tukayazoea, na

    jamiii ikamjua hasa anayefanyahayo ni nani.

    Sasa kumezuka jipya, lakinisafari hii si Pemba, ni kwa dadayake, Unguja, kumezuka fasheniyake ya kuua viongozi wa dini,wanauliwa Mapadri leo, nakesho wanauliwa Masheikh.

    Ni lazima tutumie akili zetuvizuri katika kutafakari mambohaya. Tuweke hisia zetu namisukumo ya kiimani pembeni.Tumuombe Mungu wetu atupehekima ya kuangalia matukiohaya kwa jicho la tatu, atupehekma ya kuwa waadilifu katikakuchambua matukio haya.

    La sivyo, basi, leo atauliwaPadri John, kwa hisia upandemmoja utasema Waislamuhao, kesho atauliwa SheikhAbdalllah, kwa hisia upandemwengine utasema Wakristohao.

    Kitakachofuata sihitaj ikukieleza hapa, maana wotetunajua! Mungu atunusuru!

    Wapiganishaji watakuwawamekaa pembeni wakitutazamatunavyouana kwa uj ingawetu. Watakuwa wanasubirikuleta misaada ya kibinaadam(kama wanavyoita wenyewe),watasubiri kuleta majeshi yaokusimamia amani, watapatahabari za kutangaza kwenyevyombo vyao vya habari.

    Zanzibar itakuwa maarufukama ilivyo Afghanstan, Iraq,Syria, n.k! Watapata sababu zakutosha za kuifanya Zanzibarkuwa mkoa wa Tanzania.Utamaduni na asili ya Zanzibarndo itapotea kabisa.

    Tusikubali kufanywa makuchitukapiganishwa sie kwa sie.

    Kutokana na matuk io mbal imbalyanayoendelea kutokea dhidi ya dini yetuUmoja wa Wahadhiri wa Kiislamu Tanzaniapamoja na mambo mengine tumekusudiakufanya kongamano kubwa la kihistorialitakalo jibu waraka wa wakristo uliotolewahivi karibuni, na kusomwa katika misa yaPasaka Nchini, uliyotayarishwa na Barazala Maaskofu, waraka huo wenye uchochezdhidi ya Waislamu Nchini.

    Kongamano hilo litakalofanyika siku yaJumapili tarehe 14/4/2013 kuanzia saa

    6:00 mchana mpaka saa 10:00 jioni katikaMsikiti wa Kichangani (T.I.C) MagomeniMasheikh Wahadhiri na waharakati mbalmbali watakuwepo.

    Waislamu wote mnaombwa kuhudhuriakwa wingi na kila mwenye kupata taarifa hiamuarifu na mwenzie ni muhimu kwa ajilya kulinda na kutetea heshima ya Dini.

    Kurugenzi ya Habari na Mambo ya Dharura.

    Umoja wa Wahadhiri wa Kiislamu Tanzania

    UMOJA WA WAHADHIRI WA KIISLAMU TANZANIAEmail [email protected]

    P.O. Box 16106 Dar es salaam /Tel: 0713 276980 / 0715 589502

    KONGAMANO

  • 7/28/2019 ANNUUR 1066

    12/12

    AN-NUUR12 JAMADUL AWWAL 1434, IJUMAA APRILI 12-18, 2013

    Usikose nakala yako ya

    AN-NUUR kila

    Ijumaa

    Kutanika saa s i tam c h a n a e n e o l aL a f a y e t t e , 1 6 0 0B a r a b a r a y aPennsylvania, NW

    Zaidi ya watu 5,000wameuawa nje ya sheriakwa mashambulio yamidege ya drone yaMarekani katika miakamichache i l iyopita,

    ikiwa ni pamoja na idadikubwa ya watoto kati yaraia wengi wa kawaidaa m b a o w a m e u a w ana mi tambo hi i yakujiendesha yenyewena kuua.

    Wakiwa wameketikatika ofisi zao maili elfukadhaa kutoka walengwawao, waendeshaji waMarekani wanapangakikawaida tu kubonyezak i tu fe na kuw auawalengwa hao ardhinia m b a o h a w a j u i

    n i n i k i n a e n d e l e a ,kwa makombora yamoto wa jehanamuyanayoangushwa kutokandege zisizoonekana zadrone.

    N c h i n i P a k i s t a nn a A f g h a n i s t a n ,wanavijiji wamefanyam aandam ano dh id iya midege ya dronebaada ya watoto waokuunguzwa kabisa namabomu hayo wakiokotakuni au kulima katikamashamba ya jirani.

    Serikali ya Marekaniinafanya kazi kama kundila wauaji, ikiwaruhusurais na viongozi wajeshi kuandaa orodhaza siri za watu ambaowamechaguliwa kwakuuawa.

    Hakuna mkondo washeria, hakuna mashitaka,hakuna ushahidi watuhao wanachaguliwakuuawa na wanauawa,na raia wengine walioko

    Midege ya drone ya Marekani itoke AfrikaItoke pia Arabuni, Asia na kote kwingine!Jumuika mbele ya Ikulu ya Marekani

    karibu nao wanakufa.Midege ya drone ndiyosilaha inayopendelewa.

    Katika karne ya 19,ilikuwa ni mbinu yakawaida kwa mabeberukutumia boti zenye silahanzito kuzunguka dunianina kupata wanachotaka,wakijibu upinzani kwamatakwa yao kwa risasina mizinga ya botihizo.

    Kutumia au tishio lakutumia nguvu za jeshibaharini kulitumiwa naUingereza, Marekanina mataifa mengine yakibeberu kulazimishamikataba ya kinyonyajiy a b i a s h a r a n amakubaliano ya kisiasay a l i y o l a z i m i s h w amataifa mbalimbaliduniani.

    Mipango ya serikaliya Marekani ya kutumiam i d e g e y a d r o n e

    inafuati l ia malengoambayo ni sawa na yaleya boti za bunduki nzito.Inawezesha Marekanikusogeza zaidi uwezowake wa kijeshi juu yanchi yoyote ambayoh a i n a u w e z o , a uuthubutu, wa kuiangushakwa risasi midege hiyo.

    Jiunge na sisi katikaIkulu ya Marekani kwamatembezi na mkutanow a h a d h a r a h a p oJumamosi, Aprili 13kuwezesha dunia ielewekuwa watu wa nchi hii(Marekani) wanatakaM idege ya d roneitoke Afrika, Masharikiya Kati, Asia na kotekwingine !

    Wal iot ia sa in i n ipamoja na:

    M f u n g a m a n ow a J IB U ; C yn th i aMcKinney, Mwakilishiwa zamani (Bunge

    la Marekani); AkbarMuhammad, mwakilishiwa kimataifa wa kundi laTaifa la Uislamu; Jukwaal a K u a m s h a U p y aUzalendo wa Kiafrika;Wakazi Nje wa Afrikawanaotaka Demokrasiana Maendeleo; CRIPanAfricain; Jumuishola Wagambia wapendaoDemokrasia wakaaoWa s h i n g t o n D C ;Ramsey Clark, zamani

    Mwanasheria Mkuu waMarekani; Wapiganajiwa Zamani WatakaoAmani; Kanali AnnWright; CODEPINK;Baraza la Mahusiano yaMarekani na Uislamu;M kurugenz i M kuuwa Baraza hilo; NisaMuhammad, mwandishi,gazeti la Mwito waMwisho; Jared Ball,mwendesha kipindicha maoni redioni;W P F W (P ac i f i ca ) ;

    Mchungaji GraylaH ag le r , m chunga jmwandamizi; Kanisla Umoja wa Kristo lPlymouth; Imam MahdBray, Jukwaa la UhuruVerheyden-Hi l iardmkurugenzi mtendajMfuko wa Ushirikianwa Haki kwa JamiZaki Baruti, shirikla Universal AfricaPeoples OrganisationKamat i ya Uraf ik

    ya Irani na Marekan(AIFC), Peta LindsayChama cha Ujamana Ukombozi; UhurHaiti; Kamati ya Elimya Siasa na Haraka Chuo Kikuu chHoward; Philly Dhidya Vita; WanafunzWapenda Haki kwPalestina Chuo Kikucha Temple; Ainisho lKusaka Amani, ChuKikuu cha Temple; nwengine wengi.

    MIDEGE ya drone ya Marekani