23c – Maria Kim
-
Upload
well-told-story -
Category
Documents
-
view
283 -
download
0
description
Transcript of 23c – Maria Kim
daktari! daktari!
hapa!saidia hapa!
msichana yangu anashindwa
kupumua... si umuletee ile machine ya oxygen?
alice jikaze tu... mungu atakuponya.
jikaze msichana yangu...
sasa mama alice. nime-come
kumcheki. anaendeleaje?
ana shida sana ya kupumua
lakini hawa madaktari... mimi
sijui!
na uwache kuniitaita hivyo.
huoni niko busy?
aaaah! mama acha
kunisumbua! mwenye kifunguu ya oxygen
ameenda lunch!
ako tu.
Mulika Daktari
19
20
21
22
siku ya next...
daktari! rafiki yangu anaitwa alice ali-die hapa leo. mathe yake anaomba umpe mwili
azike. yeye hu-do bizna ya kuuza fish. to be
honest, hawezi afford hizo doh mnataka.
tafadhali...
oh, unajuana na huyo mama?
mwambie aache kunisumbua. na hiyo mwili ya mtoto
wake hatuwezi kumpatia.
asipolipa by friday, mimi mwenyewe nitatupa hiyo msichana yake huko tunatupanga
takataka.
my friend, umesikia huyo daktari vile anaongea?
huyo ni binadamu kweli? yaani hana huruma hata kidogo! sasa nakuuliza
wewe mwezangu, umewahi kuenda kwa hospitali ama clinic kutibiwa halafu...
mama junior, si utachukua
junior kutoka shule leo?
haya ! breakfast show hapa! it’s twenty minutes to 8 a.m. na tuko na show kali
leo! unakula breakfast? haya basi, kula na mdomo lakini utupatie sisi masikio
maanake you don’t want to miss this! sawa.
nini mbaya? unasikia baridi?
aaah...ndio...
hapana...ndio...aaaah...
aaaah!mimi nimeenda job. kuna kitu
nataka kufanya kabla
saa mbili...aaaah...
aaaahh!!
kuna dem fulani ametutumia clip noma sana! madaktari wengi ni wapoa, lakini kuna
some rotten fish among them! sisemi
zaidi, sikiza mwenyewe uniambie...
23
24
sato...
tuna huzuni, lakini tuna furaha pia.
huzuni kwasababu mwenzetu ametuacha.
furaha kwasababu kule ameenda hakuna
kuumia...
lakini nyinyi nataka mujiulize
jambo moja: kuna kitu unaweza-do ku-prevent mambo yasiyofaa kama haya kutokea? kama vile yona mbatizaji...
eh, maria kim, asante sana. kweli
ulifikiria. kama si wewe hatungeweza kumzika
vizuri. asante!
alikuwa beshte yangu.
nilifurahi kusaidia.
Kuwa na evidence ni njia poa ya ku-report ukiukaji wa sheria! Ukiona umeteswa na daktari au dentist unaweza download complaint form kutoka www.medicalboard.co.ke
Wasee, mnaweza report madoki, na ma-nurse
wenye hawatuheshimu
hosi. Una haki ya kupewa
treatment poa kwa hosi.
sms3008doki
TUMA
SMS NA NENO DOKI KWA 3008 UTOE MAONI JUU YA HII RIST
O.
ACTION
CH
ANGAMKA • CHUKUA ACTION •
Kila mtu yuko na right ya kutunzwa poa hosi bila kuteswa au
kunyayaswa na pia kutibiwa vile inafaa according to katiba ya
Kenya Article 43(1)a.
Ukitaka kujua more juu ya rights zako kama patient au mtu yuko
na patient hosi enda kwa hii website, pia advice watakupatia.
www.morrismosesfoundation.org
HIVI NDIVYO UTA-DO:Kama una simu yenye ina camera, record huyo daktari au nurse mwenye anakosa heshima. MAKE SURE USIONEKANE UKI-RECORD!
Piga simu kwa media house uwa-show uko na evidence yahii risto. Wataku-show vile ya kuwatumia hiyo video yako. Pia watafanya uchunguzi zaidi na kumulika hawa wasee wote.
Eleza wasee wa media wasiseme jina yako, ili baadae usifuatwe!
REPORT SERVICE MBOVU KWA MA-LEADERS WENYU.