NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

Post on 12-Jan-2016

350 views 20 download

description

NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA. SEHEMU YA 1. NJINSI KUSHINDA TAMAA YA MWILI. MAMBO MUHIMU SEHEMU YA 1. Tamaa ya Mwili nini ? Ni msukumo wa mwili unaokufanya umtamani mwana mke / mume kinyume na utaratibu wa Mungu . Tendo la ndoa ni ndani ya ndoa tu. Tamaa si upenda. Tamaa ni dhambi. - PowerPoint PPT Presentation

Transcript of NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

NJINSI YA KUSHINDA ROHO

YA TAMAA

SEHEMU YA 1

NJINSI KUSHINDA TAMAA YA MWILI

MAMBO MUHIMU SEHEMU YA 1

Tamaa ya Mwili nini?•Ni msukumo wa mwili

unaokufanya umtamani mwana mke/mume kinyume na utaratibu wa Mungu.• Tendo la ndoa ni ndani ya

ndoa tu.

Tamaa si upenda

•Tamaa ni dhambi

NAMNA YA KUSHINDA DHAMBI

1.Sulubisha mwili na tamaa zake. 2.Tunza usafi wa mawazo yako3.Juzuie na uwe na Kiasi4.Usiamshe tamaa za mwili5.Roho Mtakatifu akutawale

NJISI YA KUSHINDA TAMAA SEHEMU YA

PILI 2

NJINSI YA KUSHINDA ROHO

YA TAMAA

YAKOBO 1:14-15• “ 14 Lakini kila mtu

hujaribiwa anapovutwa na kudanganywa na tamaa

yake mwenyewe. 15 Kisha tamaa hiyo ikisha chukua mimba, huzaa dhambi; na

dhambi ikisha komaa, huzaa mauti.”

ROHO YA TAMAA NINI?

• Ni tamaa za mwili ambozo si za kawaida,

zinazo mtawala mtu kwa nguvu za roho mchafu.

• Humufanya mtu kufanya mambo ambayo si ya kawaida.• Baba kubaka mtoto wake•Mtu kufanya mapemzi na

mbwa. N.k• Kila dhambi ina roho mchafu

nyuma yake

• Evil spirits cannot enter a person unless they are given permission or find an open door into your life.

NI MAMBO GANI HULETA ROHO YA

TAMAA YA MWILI?

1.UPOTOSHAJI KATIKA FIKIRA

•Nini maana ya upotoshaji?a) Ni maana halisi ya litu au jambo

iliyo potoshwa au kuchakachuliwa

b)Ni vitendo vya ngono ambavo si vya kawaida na kinyume na neno la Mungu.

Romans 1:21-28 (SUV)• 21 kwa sababu, walipomjua

Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala

kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo

yao yenye ujinga ikatiwa giza.

•Wakijinena kuwa wenye hekima walipumbazika;

Ms 22-23•Wakijinena kuwa wenye

hekima walipumbazika; wakaubadili utukufu wa

Mungu asiye na uharibifu kwa mfano wa sura ya binadamu

aliye na uharibifu, na ya ndege, na ya wanyama, na ya

vitambaavyo.

Verse 24-25

Kwa ajili ya hayo Mungu aliwaacha katika tamaa za mioyo yao, waufuate uchafu, hata wakavunjiana heshima

miili yao. Kwa maana waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo,

wakakisujudia kiumbe na kukiabudu badala ya Muumba anayehimidiwa

milele. Amina

Msatali 26•Hivyo Mungu

aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu,

hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi

yasiyo ya asili;

Mstali wa 27•wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa,

wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao

yaliyo haki yao

Mstali wa 28Na kama walivyokataa kuwa

na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha

wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.

• Walimjua Mungu wakachugua kutomwabudu. 21• Hawakutaka kufuata maagizo ya

Mungu. 28 • Wakabadirishana ukweli kwa

uongo. 23

Walipotoka•Wakawa wajinga na

fahamu zao zikatiwa giza. 21 •Walipumbazika.22•Roho ya tamaa

ikawatawala. 26

UPOTOSHWAJI KATIKA TENDO LA NDOA

1.Ushoga• Wana ndoa wabadilisha matumizi

ya asili kati ya mke na mme.. • Wanaume wakataka kuoa

wamaume• Na wamawake kwa wanawake

• Ushoga si kitu cha kuzaliwa nacho bali ni roho chafu. • Ni ngone iliyojengwa kwenye

fikira• Hutokana na roho ya ukengeufu.

•You can over come it by accepting the truth•Undo all the lies of the

devil•Get somebody to help you

2. PORNOGRAPHPicha au Vedeo za ngono

•Neno la kiyunani (pornographia), Hutokana na neno Kiyunani (pornē

“Kahaba" na porneia “ukahaba), na (graphein kuandika au Kurekodi",

"graph") Ikiwa na maana ya Picha au Kielelezo cha ukahaba au Kahaba"

Wagalatia 5:19

Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, (porneia)

uchafu, ufisadi,

• Kuangalia picha za ngono ni dhambi. • Heleta pepo la ngono• Hewezi kuacha mpaka Yesu

akuweke huru• Ukiwa kwenye ndoa huanza

kutoka inje ya ndoa

3. MASTERBATION. PUNYETO Galatians 5:16

•Basi nasema, Enendeni kwa

Roho, wala hamtazitimiza

kamwe tamaa za mwili

Masterbation-PUNYETO

•Ni kufanya ngono mwenyewe•Ni kutimiza tamaa za mwili• Huadhili ndoa•Hufungua mlango kwa

mapepo

4. DHAMBI YA ZINAA• 1 Wakorintho 6: 15-16 • “Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na

kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema,

Wale wawili watakuwa mwili mmoja.

a) Unapofanya mapenzi na kahaba, umeunganishwa nae.

b) Hukuambukiza roho ya tamaa, ukahaba

b) Kubakwa• Hili ni tendo la Kipepo• Hufungu mlango wa roho ya tamaa• Kubakwa huharibu utu wa mtu,

heleta uchungu na maumivu.

5. KUPITIA WAGANGA WA KIENYEJI

•Wanaokwenda kwa waganga kutafuta mvuto wa mapenzi.• Hupata roho ya tamaa • Hawa watu ni hatari

6. ROHO YA KUAMBUKIZWAZaburi 58:3

Wasio haki wamejitenga tangu kuzaliwa

kwao;Tangu tumboni wamepotea, wakisema

uongo.

•Mtoto anaweza kuzaliwa na roho ya kukataliwa• Yesu alijazwa roho mtakatifu

akiwe tumboni• Kahaba akizaa mtoto anakua

no roho ya ukahaba.

NAMNA YA KUSHINDA• Tubu na ukiri dhambi zako.

Yakobo 5:16• Kataa hiyo dhambi• Nenda kwa Viongozi wako

wakushauri • Kimbia zinaa1 Wakorintho 6:18

1 Yohana 3:8

Atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda

dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi

za Ibilisi