Nguvu ya sadaka

Post on 27-May-2015

5.365 views 293 download

Transcript of Nguvu ya sadaka

NGUVU YA SADAKAZaka, Dhabihu na 

Malimbuko

Msasani Lutheran Church21, 28 ‐ August, 201121, 28  August, 2011

Mwl Mgisa MtebeMwl. Mgisa Mtebe0713 497 654

NGUVU YA SADAKANGUVU YA SADAKA

IBADA NA SADAKAIBADA NA SADAKAWaebrania 7:1 10Waebrania 7:1‐10

NGUVU YA SADAKA

b iWaebrania 7:1‐101 K k h M lki d ki1 Kwa kuwa huyu Melkizedeki alikuwa Mfalme wa Salemu naalikuwa Mfalme wa Salemu na Kuhani wa Mungu aliye juu, aliyekutana na Abrahamu akirudi katika kuwapiga naakirudi katika kuwapiga na 

kuwashinda hao wafalme; nayekuwashinda hao wafalme; naye Melkizedeki akambariki,

NGUVU YA SADAKA

b iWaebrania 7:1‐102 Ab h k2 na Abrahamu akampa 

Melizedeki “sehemu moja yaMelizedeki  sehemu moja ya kumi (Zaka)” ya kila kitu. Jina hilo Melkizedeki maana yake, “Mfalme wa haki ” pia “Mfalme“Mfalme wa haki,” pia “Mfalme 

wa Salemu” maana yakewa Salemu  maana yake “Mfalme wa amani (Salama).”

NGUVU YA SADAKA

b iWaebrania 7:1‐103 (H M lki d ki Mf l3 (Huyo Melkizedeki, Mfalme waSalem; )Hana Baba na wala hanaSalem; )Hana Baba na wala hanamama; hana ukoo, hana mwanzowala mwisho wa siku zake, kamaMwana wa Mungu yeye adumuMwana wa Mungu, yeye adumu

kuhani milele.kuhani milele. 

NGUVU YA SADAKA

b iWaebrania 7:1‐104 T ji i li k k !4 Tazama jinsi alivyokuwa mkuu! 

Hata Abrahamu, baba yetuHata Abrahamu, baba yetumkuu, alimpa moja ya kumi(Zaka) ya nyara zake zote

ali o iteka kule vitani alipokuwaalizoziteka kule vitani, alipokuwaakipigana na wale wafalme, kwaakipigana na wale wafalme, kwa

ajili ya Lutu, mpwa wake.

NGUVU YA SADAKA

b iWaebrania 7:1‐105 B i h i i i5 Basi sheria inawaagiza wana wa Lawi wale ambao hufanyikawa Lawi wale ambao hufanyika makuhani hupokea sehemu moja ya kumi kutoka watu ambao ni ndugu ao ingawaambao ni ndugu zao, ingawa wao ni wazao wa Abrahamu.wao ni wazao wa Abrahamu.

NGUVU YA SADAKA

b iWaebrania 7:1‐106 H M lki d ki i6 Huyu Melkizedeki, ingawa hakufuatia ukoo wake kutokahakufuatia ukoo wake kutoka kwa Lawi, lakini alipokea moja ya kumi kutoka kwa Abrahamu na kumbariki yeye aliyekuwa nana kumbariki yeye aliyekuwa na zile ahadi (yaani Abrahamu).zile ahadi (yaani Abrahamu).

NGUVU YA SADAKA

b iWaebrania 7:1‐107 W l h k h k k b7 Wala hakuna shaka kwamba mdogo hubarikiwa na aliyemdogo hubarikiwa na aliye mkuu kuliko yeye. 8 Kwa 

upande mmoja, sehemu moja ya kumi hupokelewa na waleya kumi hupokelewa na wale ambao hupatikana na kufa, …ambao hupatikana na kufa, …

NGUVU YA SADAKA

b iWaebrania 7:1‐108 l ki i k d i i8 … lakini kwa upande mwingine 

(Zaka; sehemu ya kumi, pia)(Zaka; sehemu ya kumi, pia) hupokelewa na Yeye ambaye hushuhudiwa kuwa yu hai 

(Yaani Mungu)(Yaani Mungu). 

NGUVU YA SADAKA

b iWaebrania 7:1‐109 (K hi ) Mt h t9 (Kwahiyo) Mtu anaweza hata kusema kwamba Lawi, ambayekusema kwamba Lawi, ambaye hupokea sehemu moja ya kumi (Zaka), naye pia alitoa hiyo 

sehemu moja ya kumi kupitiasehemu moja ya kumi, kupitia kwa Abrahamu,kwa Abrahamu,

NGUVU YA SADAKA

b iWaebrania 7:1‐1010 k b b M lki d ki10 kwa sababu, Melkizedeki

alipokutana na Abrahamu, Lawialipokutana na Abrahamu, Lawialikuwa bado katika viuno vyababa yake (Yakobo, ndani ya

Abrahamu) ndio kusema LawiAbrahamu); ndio kusema, Lawialitoa Zaka angali badoalitoa Zaka angali badohajazaliwa duniani. 

DHANA YA SADAKADHANA YA SADAKA

IBADA NA SADAKAIBADA NA SADAKAYohana 4:23 24Yohana 4:23‐24

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

hYohana 4:23‐24N i i fikNa saa ipo na sasa saa imefika, ambapo waabuduo halisi,ambapo waabuduo halisi,watamwabudu Baba katika roho na kweli;  Kwa maana 

Baba anawatafuta watu kamaBaba anawatafuta watu kama hao, ili wamwabudu;hao, ili wamwabudu;

KANISA LA MTU BINAFSIKANISA LA MTU BINAFSIZABURI 150:1‐6

6 Kila mwenye pumzi amsifu Bwana, kwa sauti kuu, kwa zeze, kwa filimbi kwa zomari kwakwa filimbi, kwa zomari, kwa matari, kwa vinubi na kwamatari, kwa vinubi na kwa matoazi yavumayo sana.

NGAZI (LEVELS) ZA KANISA

WEWE BINAFSI NI HEKALUWEWE BINAFSI NI HEKALU1Wakorintho 6:19‐20‘Mwili wako ni Hekalu

(Nyumba ya Ibada) ya Roho Mt k tif k jiliMtakatifu; kwa ajili ya kumsifu na kumtukuzakumsifu na kumtukuzaMungu aliyekuumba.

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

KWANINI  IBADA ?

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

KWANINI  IBADA ?

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3Zaburi 22:3Wewe U Mtakatifu naweWewe U Mtakatifu, nawe“UNAKETI” juu ya sifa za Israelj y

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3Zaburi 22:3Wewe U Mtakatifu naweWewe U Mtakatifu, nawe“UNAKETI” juu ya sifa za Israelj y

“Inhabit”                 “Unaishi”Inhabit Unaishi

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zab 22:3Zab 22:3IDABA ndio kitu cha kwanzaIDABA ndio kitu cha kwanza 

kabisa katika moyo wayMungu, kwasababu

MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kumnyima Mungu ibadaKumnyima Mungu ibadaNi kama kumnyimaNi kama kumnyima

• Samaki maji• Mimea udongo• Binadamu hewa

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

“Kwa maana Baba anawatafutaKwa maana, Baba anawatafuta watu wa aina hiyo iliwatu wa aina hiyo ili 

wamwabudu.”(Yohana 4: 23)

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

l ikMungu                         Malaika

Kwasababu ya asili yetu y yna uhusiano tuliyonayo 

Adam na Mungu …

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M M l ikMungu Malaika

… sisi binadamu tunawezakumsifu na kumwabudu

Ad M i i idiAdam Mungu, vizuri zaidikuliko malaika wakuliko malaika wambinguni

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M M l ikMungu                       Malaika

Ibada                  Nchi 

AdAdam                           

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

MMunguZab 22:3

Ibada NchiKumb 8:6‐18Yoh 4:23‐24

Adam

Zab 150:6

SIFA NA IBADA KWA MUNGUMungu anatamani sana kukaa nai i k h d i isisi watoto wake hapaduniani, 

ndio maana anataka dunia yotendio maana anataka dunia yoteijazwe hali ya ibada (atmosphere) kama ilivyo mbinguni (masaa 24), ili duniani pia kuwe na ma ingiraili duniani pia, kuwe na mazingiraya maisha au ya makazi ya Munguya maisha au ya makazi ya Mungu

kama ilivyo mbinguni.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKutokana na umuhimu na unyeti wa ibada, Mungu 

hakutaka na hataki watotohakutaka na hataki watoto wake, tuwe na maisha yawake, tuwe na maisha ya taabu, maisha ya dhiki na 

maisha ya shida; Kwanini?

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUMungu anataka watoto wake, tuwe na maisha mazuri, ili tunapopeleka ibada kwatunapopeleka ibada kwa 

Mungu, ibada hiyo ifike kwaMungu, ibada hiyo ifike kwa Mungu ikiwa safi (fresh), yaani ibada isiyo na kelele za moyoni ( b f h )(masumbufu na uchungu).

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Ndio maana Mungu alitumiamuda mrefu zaidi kuumba Dunia

kuliko muda aliotumiakuliko muda aliotumiakumuumba binadamukumuumba binadamu

mwenyewe.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Ndio maana Mungu alitumiamuda mrefu zaidi kuumba Dunia

kuliko muda aliotumiakuliko muda aliotumiakumuumba binadamukumuumba binadamu

mwenyewe.Dunia =  siku 5Adam  =  siku 1

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Hii inaonyesha wazi kwamba, Mungu anajali sana mazingira ya maisha yako kwasababu ibadamaisha yako; kwasababu, ibada nzuri inategemea aina ya maishanzuri inategemea aina ya maisha

ya mtu, na aina ya maisha yanategemea aina ya mazingira

anayoishi mtu huyoanayoishi mtu huyo.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

MMunguZab 22:3

Ibada NchiKumb 8:6‐18Yoh 4:23‐24

Adam

Zab 150:6

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ibada nzuri hutoka katika moyoIbada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa sana na mazingira mazurisana na mazingira mazuri.

Kumbukumbu 8:6‐18Kumbukumbu 8:6‐18 

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mazingira yakitibuka, maishaa g a ya bu a, a s ayanatibuka, na maisha yakitibuka, b d k b kibada kwa Mungu pia, inatibuka.Hivyo Shetani anachotafuta niHivyo, Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingirayake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka dunianianayoitamani sana kutoka duniani. 

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ili Mungu apate ibada nzuriIli Mungu apate ibada nzurikutoka kwetu, inamlazimu 

kutubariki na kututengenezea mazingira mazuri ili tuwezemazingira mazuri, ili tuweze kuwa na maisha mazuri yakuwa na maisha mazuri ya 

kumtumikia yeye kama vyombo vizuri vya ibada. 

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3Zaburi 22:3Ni Kwasababu IDABA ndio kituNi Kwasababu IDABA ndio kitu

cha kwanza kabisa katikamoyo wa Mungu, kwakuwaMUNGU ANAISHI KATIKA 

IBADA SIFA t kIBADA na SIFA za watu wake.

SIFA NA IBADA KWAMUNGUSIFA NA IBADA KWA MUNGU

“Kwa maana Baba anawatafutaKwa maana, Baba anawatafuta watu wa aina hiyo iliwatu wa aina hiyo ili 

wamwabudu.”(Yohana 4: 23)

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Na kwakuwa Mungu alitakaNa kwakuwa Mungu alitaka Sifa na Ibada isiyokatika (kamaSifa na Ibada isiyokatika, (kama ile ya mbinguni) ndio maana y g )alijitengea watu maalumu ( l i) li f k i(Walawi) waliofanya kazi ya 

Ukuhani na Ibada tuUkuhani, na Ibada tu.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

MMungu

Kuhani Ibada Nchi 

AdAdam                           

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kwahiyo wakati makabilaKwahiyo, wakati makabila mengine wanakwenda katikamengine wanakwenda katika 

shughuli zao la kila siku, Makuhani na Walawi

walitakiwa kufanya ibada kwawalitakiwa kufanya ibada, kwa masaa 24, bila kukatiza.masaa 4, bila kukati a.

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐5

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐51 Makuhani na kabila lote la Lawi 

hawatakuwa na mgao walahawatakuwa na mgao wala urithi pamoja na Israeli.urithi pamoja na Israeli. Wataishi kwa sadaka 

zitolewazo kwa ajili ya BWANA; na huo ndio urithi waona huo ndio urithi wao.

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐52 Hawatakuwa na urithi miongoni mwa ndugu zaomiongoni mwa ndugu zao, 

BWANA ndiye urithi wao, kamaBWANA ndiye urithi wao, kama alivyowaahidi.

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐55 kwa kuwa BWANA Mungu

wenu amewachagua pamoja nawenu amewachagua pamoja nawazao wao kutoka makabilawazao wao kutoka makabilayenu kusimama na kuhudumukatika jina la BWANA siku zote. 

ZAKA NA SADAKA

W l i 6 8 13Walawi 6:8‐13

ZAKA NA SADAKA

Walawi 6:8‐138 BWANA akamwambia Musa: 

9‘‘ i9‘‘Mpe Aroni na wanawe agizo hili:agizo hili:

(Kama sehemu yenu ya(Kama sehemu yenu ya kutunza mkataba/Agano) / g )

ZAKA NA SADAKA

Walawi 6:8‐1312 Moto ulio juu ya dh b h (ib d ) l imadhabahu (ibada) lazima 

uwe unaendelea kuwaka juuuwe unaendelea kuwaka juu ya madhabahu, siku zote, naya madhabahu, siku zote, na 

kamwe usizimike.(Masaa 24 bila kukatika) 

ZAKA NA SADAKA

Walawi 6:8‐1312 … Kila asubuhi kuhani 

k i kataongeza kuni na kupanga sadaka ya kuteketezwa juu yasadaka ya kuteketezwa juu ya moto na kuteketeza mafutamoto na kuteketeza mafuta ya sadaka za amani juu yake. 

ZAKA NA SADAKA

Walawi 6:8‐1313 Moto (wa ibada) lazima 

d l k k juendelee kuwaka juu ya madhabahu mfululizo (Kwamadhabahu mfululizo (Kwa Masaa 24 bila kukatika), naMasaa 24 bila kukatika), na 

kamwe usizimike!

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Nafasi ya ySadaka katika IbadaSadaka katika Ibada

Zaburi 22:3Kwasababu

MUNGU ANAISHI KATIKA SIFA NA IBADASIFA NA IBADA.

Hivyo IDABA ndio kitu cha kwanza ykabisa katika moyo wa Mungu, Hiiina maana kwamba Sifa na Ibadaina maana kwamba, Sifa na Ibadandio Huduma Nyeti na Muhimu

zaidi mbele za Mungu.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUMungu anataka Kanisa lake na makuhani wake, wafanye kazi katika mazingira mazuri ilikatika mazingira mazuri, ili wanapopeleka ibada kwa p p

Mungu, ibada hiyo ifike kwa Mungu ikiwa safi (au fresh), bila kelele za moyoni (masumbufu)kelele za moyoni (masumbufu).

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Ibada nzuri hutoka katika moyoIbada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa sana na mazingira mazurisana na mazingira mazuri.

Kumbukumbu 8:6‐18Kumbukumbu 8:6‐18 

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mazingira yakitibuka, maishaa g a ya bu a, a s ayanatibuka, na maisha yakitibuka, b d k b kibada kwa Mungu pia, inatibuka.Hivyo Shetani anachotafuta niHivyo, Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingirayake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka dunianianayoitamani sana kutoka duniani. 

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKutokana na umuhimu wawito wao , huduma ya ibadawaliyoibeba, Mungu hakutaka Makuhani na Walawi waweMakuhani na Walawi wawe na maisha ya upungufu, walana maisha ya upungufu, wala 

masumbufu yoyote … y y

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

… ili wanapopeleka ibada kwa Mungu, ibada hiyo ifike kwa M iki fi ( f h)Mungu ikiwa safi (au fresh), 

bila kelele za moyonibila kelele za moyoni (masumbufu).( )

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUZaburi 131:2

“Hakika nimeituliza nafsi yangu (moyo wangu) na 

ki i hkiunyamazisha …

Kwanini?Kwanini?

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUZaburi 131:2

‘… kwasababu nafsi yanguimekuwa na kelele za h ik k il t tmahangaiko, kama vile mtoto aliyenyang’anywa aualiyenyang anywa au 

aliyeachishwa ziwa la mama.  y

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUMungu anataka Kanisa lake na makuhani wake, wafanye kazi katika mazingira mazuri ilikatika mazingira mazuri, ili wanapopeleka ibada kwa p p

Mungu, ibada hiyo ifike kwa Mungu ikiwa safi (au fresh), bila kelele za moyoni (masumbufu)kelele za moyoni (masumbufu).

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUNdio maana Mungu anataka sisi watoto wake, tuwe na maisha mazuri ili tunapopeleka ibadamazuri, ili tunapopeleka ibadakwa Mungu, ibada hiyo ifikekwa Mungu, ibada hiyo ifike kwa Mungu ikiwa safi au 

fresh, bila kelele na b f imasumbufu ya moyoni.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Sadaka iliingizwa kuwa sehemuSadaka iliingizwa kuwa sehemu ya ibada, ili kuitunza nyumba ya Bwana na watenda kazi wake, kwa makusudi kwamba kazi yakwa makusudi kwamba, kazi ya 

Mungu ifanyike katikaMungu ifanyike katika mazingira mazuri kutoka katika 

mioyo safi na iliyotulia.

MZUNGUKO WA BARAKA

M2Kor 9:6‐8, 11Mungu

K b 18 1 5 K b 8 6 18

Kuhani Nchi Kumb 18:1‐5 Kumb 8:6‐18

Ad

Lawi 6:12‐13 Lawi 26:3‐7

Adam                           Malaki 3:7‐12Hagai 1:5‐11

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kazi yoyote inayofanywa na kanisaKazi yoyote inayofanywa na kanisa(makuhani) ili Mungu apewe ibada g pna utukufu anaostahili, kazi hiyo ikichechemea k a namna o oteikichechemea, kwa namna yoyote, 

basi mimi na wewe hatuwezi kubarikiwa katika maisha yetu 

l k tik k i twala katika kazi zetu.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Na utaratibu ambao MunguNa utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili ya kuitunza Ofisi j y f

yake duniani (kanisa) ni; Watu wake kutuoa sehemu za mali 

zetu kwake (Zaka na Sadaka)zetu kwake (Zaka na Sadaka)katika namna ya kuonyesha 

heshima na upendo wetu kwake

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Sadaka iliingizwa kuwa sehemuSadaka iliingizwa kuwa sehemu ya ibada, ili kuitunza nyumba ya Bwana na watenda kazi wake, kwa makusudi kwamba kazi yakwa makusudi kwamba, kazi ya 

Mungu ifanyike katikaMungu ifanyike katika mazingira mazuri kutoka katika 

mioyo safi na iliyotulia.

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐51 Makuhani na kabila lote la Lawi 

hawatakuwa na mgao walahawatakuwa na mgao wala urithi pamoja na Israeli.urithi pamoja na Israeli. Wataishi kwa sadaka 

zitolewazo kwa ajili ya BWANA; na huo ndio urithi waona huo ndio urithi wao.

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐52 Hawatakuwa na urithi miongoni mwa ndugu zaomiongoni mwa ndugu zao, 

BWANA ndiye urithi wao, kamaBWANA ndiye urithi wao, kama alivyowaahidi.

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐53 Hili ndilo fungu la makuhanikutoka kwa watu watakaotoakutoka kwa watu watakaotoa

dhabihu ya ng’ombe au kondoo:dhabihu ya ng ombe au kondoo: mguu wa mbele, mashavu

mawili na matumbo. 

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐54 Mtawapa malimbuko ya

nafaka zenu divai mpya mafutanafaka zenu, divai mpya, mafutana sufu ya kwanza kutokana sufu ya kwanza kutokamanyoya ya kondoo zenu;

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 18:1‐55 kwa kuwa BWANA Mungu

wenu amewachagua pamoja nawenu amewachagua pamoja nawazao wao kutoka makabilawazao wao kutoka makabilayenu kusimama na kuhudumukatika jina la BWANA siku zote. 

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKutokana na umuhimu na 

unyeti wa huduma ya ukuhani (yaani ibada) Mungu hataki(yaani ibada), Mungu hataki makuhani wake, wawe namakuhani wake, wawe na maisha ya taabu, maisha ya dhiki na maisha ya shida; 

Kwanini?

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUMungu anataka Kanisa lake na makuhani wake, wafanye kazi katika mazingira mazuri ilikatika mazingira mazuri, ili wanapopeleka ibada kwa p p

Mungu, ibada hiyo ifike kwa Mungu ikiwa safi (au fresh), bila kelele za moyoni (masumbufu)kelele za moyoni (masumbufu).

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKanisa la Mungu ni Ofisi ya 

Mungu na Ubalozi wa MbinguniMungu na Ubalozi wa Mbinguniduniani. Hivyo Mungu anataka y gKanisa lake (Ofisi yake) iwe 

mfano wa kuigwa kati ya jamii zote za dunia ili walio njezote za dunia, ili walio nje, watamani kuwa raia wa mbinguni kama sisi.

Kanisa ni Ubalozi wa Mbinguni

Mathayo 5:14‐1614 ‘‘Ninyi ni nuru ya 

ulimwengu. Mji uliojengwa kili i h i k fi hikkilimani hauwezi kufichika (kwasababu ya taa zake)(kwasababu ya taa zake) ... 

Kanisa ni Ubalozi wa Mbinguni

Mathayo 5:14‐1616 Vivyo hivyo na ninyi, nuru yenu (ushindi, mafanikio, nk) na 

viangaze mbele ya watu iliviangaze mbele ya watu, ili wapate kuona matendo yenu p ymema wamtukuze Baba yenu 

aliye mbinguni.

Kanisa ni Ubalozi wa Mbinguni

Mathayo 6:26‐33y‘Agalieni ndege wa angani na maua ya kondeni ninavyowatunza, ninyi ni bora zaidi kuliko hao. Kwanini ninyibora zaidi kuliko hao. Kwanini ninyi 

mnahangaikia na kusumbukia i h ? h iki bmaisha? Mnahangaikia mambo ambayo hata mataifaambayo hata mataifa wanayahangaikia? 

Kanisa ni Ubalozi wa Mbinguni

Zekaria 8:20‐23‘Katika siku hizo, watu 10 wa mataifa mbalimbali, wataushika upindo wa nguo wa Myahudi (Mkristo) mmojanguo wa Myahudi (Mkristo) mmoja na kusema, tutakwenda pamoja 

nawe, kwa maana tumesikia Mungu yupo pamoja nanyi’yupo pamoja nanyi

Kanisa ni Ubalozi wa Mbinguni

Kutoka 9: 4, 26Kutoka 9: 4, 26Nami nitaweka tofauti kati ya 

Wamisri na Waebrania. (Mambo yatakayowapata Wamisri 

hayatawapata Waebrania)hayatawapata Waebrania)

Kanisa ni Ubalozi wa Mbinguni

Daniel 1:17Na katika habari za hao vijana 

li d i lwaliompenda Mungu, Daniel, Shadrack, Meshack, na Abednego, , , g ,Mungu aliwapa akili, busara na if k b idi 10maarifa; na kuwa bora zaidi, mara 10 

kuliko werevu wote, waganga wote   na wachawi wote wa Babeli.

Mathayo 5:14‐16Ninyi ni Nuru ya Ulimwengu

Giza Vs   NuruK feli K fa lKufeli   – KufauluHasara – FaidaHasara    Faida 

Magonjwa   – Afya/Uponyajig j y p y jUasi/Uovu   – Haki/UtakatifuLAZIMA TUWE TOFAUTI NAO!

Kanisa ni Ubalozi wa MbinguniKanisa ni Ubalozi wa Mbinguni

2Nyakati 16:92Nyakati 16:99 Macho ya Bwana yanakimbia‐9 Macho ya Bwana yanakimbiakimbia duniani mwote, yakitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili Mungu 

ajionyeshe kwamba yeye niajionyeshe kwamba yeye ni mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.

Kanisa ni Ubalozi wa Mbinguni

Mathayo 6:26‐33yMnahangaikia Chakula? Mavazi? 

Waangalieni Ndege na Maua … Ninyi t f t i k Uf l Mutafuteni kwanza Ufalme wa Mungu … hayo mambo mengine ya kimwili ayo a bo e g e ya

hakika mimi nitawazidishia.(Nitawapa zaidi ya mnachohitaji)

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKanisa la Mungu ni Ofisi ya 

Mungu na Ubalozi wa MbinguniMungu na Ubalozi wa Mbinguniduniani. Hivyo Mungu anataka y gKanisa lake (Ofisi yake) iwe 

mfano wa kuigwa kati ya jamii zote za dunia ili walio njezote za dunia, ili walio nje, watamani kuwa raia wa mbinguni kama sisi.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kanisa la Mungu ni Ofisi ya Mungu na Ubalozi wa Mbinguniduniani Hivyo Mungu anatakaduniani. Hivyo Mungu anataka Kanisa lake (Ofisi yake) iwe na ( y )watendakazi walio bora zaidi na itoe huduma bora zaidi kuliko taasisi zingine za dunianitaasisi zingine za duniani.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUMungu anataka Kanisa lake (Ofisi 

k ) i t d k i liyake) iwe na watendakazi walio bora zaidi na itoe huduma borabora zaidi na itoe huduma bora 

zaidi kuliko taasisi zingine.Kwa Mfano;

Injili, Elimu, Afya, Udiakonia, Uk i Ut l Uj i kUkarimu, Utaalamu, Ujuzi, n.k.

Kanisa ni Ubalozi wa Mbinguni

Daniel 1:17Na katika habari za hao vijana 

li d i lwaliompenda Mungu, Daniel, Shadrack, Meshack, na Abednego, , , g ,Mungu aliwapa akili, busara na if k b idi 10maarifa; na kuwa bora zaidi, mara 10 

kuliko werevu wote, waganga wote   na wachawi wote wa Babeli.

Kanisa ni Ubalozi wa Mbinguni

Zekaria 8:20‐23‘Katika siku hizo, watu 10 wa mataifa mbalimbali, wataushika upindo wa nguo wa Myahudi (Mkristo) mmojanguo wa Myahudi (Mkristo) mmoja na kusema, tutakwenda pamoja 

nawe, kwa maana tumesikia Mungu yupo pamoja nanyi’yupo pamoja nanyi

Kanisa ni Ubalozi wa Mbinguni

Mathayo 5:14‐1614 ‘‘Ninyi ni nuru ya 

ulimwengu. Mji uliojengwa kili i h i k fi hikkilimani hauwezi kufichika (kwasababu ya taa zake)(kwasababu ya taa zake) ... 

Kanisa ni Ubalozi wa Mbinguni

Mathayo 5:14‐1616 Vivyo hivyo na ninyi, nuru yenu (ushindi, mafanikio, nk) na 

viangaze mbele ya watu iliviangaze mbele ya watu, ili wapate kuona matendo yenu p ymema wamtukuze Baba yenu 

aliye mbinguni.

Kanisa ni Ubalozi wa MbinguniKanisa ni Ubalozi wa Mbinguni

Na utaratibu ambao MunguNa utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili ya kuiwezesha j yOfisi yake duniani (kanisa) ni; 

Watu wake kutuoa sehemu za mali zetu kwake (Zaka na Sadaka)zetu kwake (Zaka na Sadaka)katika namna ya kuonyesha 

heshima na upendo wetu kwake

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M2Kor 9:6‐8, 11Mungu

K b 18 1 5 K b 8 6 18

Kuhani Nchi Kumb 18:1‐5 Kumb 8:6‐18

Ad

Lawi 6:12‐13 Lawi 26:3‐7

Adam                           Malaki 3:7‐12Hagai 1:5‐11

Sadaka na Ibada kwa MunguKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Nawe utamkumbuka BwanaNawe utamkumbuka Bwana Mungu wako aliyekulisha kwag y

mikate ya Mana, usiyoilima walakuivuna, lakini uliila na ulishiba, kwa miaka arobaini tena ukiwakwa miaka arobaini tena ukiwa

jangwani, ili upate kujua kwamba, j g , p j ,mtu hataishi kwa mkate tu …

Sadaka na Ibada kwa MunguKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

ila mtu ataishi kwa kila Nenoila mtu ataishi kwa kila Nenolitokalo kwa Mungu. Na wewegmwenyewe ni shahidi kwamba, japo ulikwa jangwani, lakini

haukupungukiwa na lolote kwahaukupungukiwa na lolote, kwamiaka yote hiyo arobaini, iwey y ,

masika au kiangazi.

Sadaka na Ibada kwa MunguKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Nikakuleta katika nchi nzuri yenyeNikakuleta katika nchi nzuri yenyekila utajiri ndani yake, rutuba, j y , ,misitu, mafuta shaba, n.k. Kwamkono wangu nikakurithisha

mizeituni ambayo haukuipandamizeituni ambayo haukuipandawewe na nikakurithisha nyumbayambazo haukuzijenga wewe; 

Sadaka na Ibada kwa MunguKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Na bado ninakuahidi endapoNa bado ninakuahidi, endapohautamsahau Bwana Mungugwako, basi wanyama wako

wataongezeka, mashamba yakoyataongezeka fedha yako nayataongezeka, fedha yako na

dhahabu yako vitaongezeka, nay g ,kila kitu chako kitaongezeka.

Sadaka na Ibada kwa MunguKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Sasa basi uwe mwangalifu sanaSasa basi, uwe mwangalifu sanamoyoni mwako, usijey , j

ukamsahahu Bwana Mungu wakoaliyekutendea yote haya; Walausije ukasema eti mkono wanguusije ukasema, eti mkono wanguna uwezo wangu ndio vimenipatiag p

utajiri huu.

Sadaka na Ibada kwa MunguKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Bali utamkumbuka Bwana MunguBali utamkumbuka Bwana Munguwako, aliyekutoa katika nchi ya, y yMisri; kwani yeye ndiye akupaye

nguvu za kupata utajiri, ilikuliimarisha agano ambalokuliimarisha agano ambalo

Mungu aliahidiana na Baba zenu.g

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Huu ndio utaratibu ambao MunguHuu ndio utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili ya kuitunza na j ykuiwezesha  Ofisi yake duniani (kanisa) ni Wat ake k t oa(kanisa) ni Watu wake kutuoa 

sehemu za mali zetu kwake (Zaka (na Sadaka) katika namna ya 

h hi d k Mheshima na upendo kwa Mungu.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M2Kor 9:6‐8, 11Mungu

K b 18 1 5 K b 8 6 18

Kuhani Nchi Kumb 18:1‐5 Kumb 8:6‐18

Ad

Lawi 6:12‐13 Lawi 26:3‐7

Adam                           Malaki 3:7‐12Hagai 1:5‐11

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kazi yoyote inayofanywa na kanisaKazi yoyote inayofanywa na kanisa(makuhani) ili Mungu apewe ibada g pna utukufu anaostahili, kazi hiyo ikichechemea k a namna o oteikichechemea, kwa namna yoyote, 

basi mimi na wewe hatuwezi kubarikiwa katika maisha yetu 

l k tik k i twala katika kazi zetu.

1Wakorintho 4:1‐2

UWAKILI WAUWAKILI WA MALI ZA MUNGUMALI ZA MUNGU

MAANA YA UWAKILI

Ni hali ya mtu kukabidhiwa mali au wajibu na mtu mwingine, kwa makubaliano fulanikwa makubaliano fulani 

(malipo), kwa madhumuni ya(malipo), kwa madhumuni ya kuitunza, kuiboresha na 

kuiendeleza na kuizalisha kwa makusudi na malengo ya ‘tajiri’makusudi na malengo ya ‘tajiri’.

UWAKILI WA MALI ZA MUNGU

1Wakorintho 4:1‐21 ‘Mtu na atuhesabu hivi, 

kwamba sisi wote, ni mawakili wa siri za Mungu 2 Na hapawa siri za Mungu. 2 Na hapa, kinachohitajika katika uwakili,j ,ni mtu aonekane mwaminifu.

MAANA YA UWAKILI

Kwa Mfano wa

Watumishi watatu (3)N T l tNa Talanta zao

Mathayo 25:14 30Mathayo 25:14‐30

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3014 “Tena, Ufalme wa Mbinguni ni 

kama mtu (Bwana) anayetaka kusafiri akawaita watumishikusafiri, akawaita watumishi wake na kuweka mali yake y

kwenye uangalizi wao (Uwakili) ili kuitunza na kuizalisha.

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3015 Mmoja akampa talanta tano(5) mwingine talanta mbili (2) na mwingine talanta moja (1)na mwingine talanta moja (1), kila mmoja alipewa kwa kadirij pya uwezo wake. Kisha yeyeakasafiri kwenda mbali.

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3016 “Yule aliyepewa talanta tanoakaenda mara moja akafanyanazo biashara akapata talantanazo biashara akapata talanta

nyingine tano zaidi. y g

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3017 Yule aliyepewa talanta mbiliakafanya vivyo hivyo, akapata

nyingine mbili zaidinyingine mbili zaidi.

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3018 Lakini yule mtumishi 

aliyekuwa amepokea talanta moja alikwenda akachimbamoja,alikwenda akachimba shimo ardhini na kuificha ile 

fedha ya bwana wake. 

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3019 “Baada ya muda mrefu yule 

bwana wa wale watumishi akarudi na kufanya hesabu naoakarudi na kufanya hesabu nao.

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3020 Yule mtumishi aliyepokea talanta 5 akaja, akaleta nyingine 

5 zaidi Akasema ‘Bwana5 zaidi. Akasema,  Bwana uliweka kwenye uangalizi y gwangu talanta 5. Tazama, 

nimepata faida talanta 5 zaidi.’ 

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3021 “Bwana wake akamwambia, 

‘Umefanya vizuri sana, mtumishi mwema namtumishi mwema na 

mwaminifu …! 

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3021 “… Umekuwa mwaminifu kwa vitu vichache, nitakuweka kuwa msimamizi wa vitu vingi Njoomsimamizi wa vitu vingi. Njoo ushiriki katika furaha ya bwana y

wako!” 

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3022 “Yule mwenye talanta 2, naye 

akaja. Akasema, `Bwana, uliweka kwenye uangaliziuliweka kwenye uangaliziwangu talanta 2. Tazama g

nimepata hapa faida ya talanta ( )mbili (2) zaidi.’ 

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3023 “Bwana wake akajibu, ‘Umefanya vizuri sana, mtumishi mwema namtumishi mwema na 

mwaminifu, …,

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3023 “… umekuwa mwaminifu kwa vitu vichache, nitakuweka kuwa msimamizi wa vitu vingi Njoomsimamizi wa vitu vingi. Njoo ushiriki katika furaha ya bwana y

wako.’ 

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3024 “Kisha yule mtumishi li k t l t 1 k jaliyepokea talanta 1 akaja, akasema, ‘Bwana, nilijuaakasema,  Bwana, nilijua 

kwamba wewe ni mtu mgumu, unayevuna mahali usipopanda na kukusanya mahali usipotawanyakukusanya mahali usipotawanya.

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3025 Kwa hiyo niliogopa, nikaenda, nikaificha talanta yako ardhini. Tazama hii hapa ile iliyo maliTazama, hii hapa ile iliyo mali 

yako.’ y

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3026 “Bwana wake akajibu, ‘Wewe 

mtumishi mwovu na mvivu! Ulijua kwamba ninavuna mahaliUlijua kwamba ninavuna mahali 

nisipopanda na kukusanya p p ymahali nisipotawanya mbegu.

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3027 Vema basi, ingekupasa 

kuweka fedha yangu kwa watoa riba nirudipo nichukue ile iliyoriba, nirudipo, nichukue ile iliyo 

yangu na faida yake? y g y

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3028 ‘‘ Basi mnyang'anyeni hiyo talanta mkampe yule mwenye 

talanta kumi ’talanta kumi.

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3029 Kwa maana kila mtu mwenye 

kitu ataongezewa, naye atakuwa navyo tele Lakini kwaatakuwa navyo tele. Lakini kwa mtu yule asiye na kitu, hata kile y y ,alicho nacho atanyang'anywa.

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐3030 “Nanyi mtupeni huyo 

mtumishi asiyefaa nje, kwenye giza mahali ambako kutakuwagiza, mahali ambako kutakuwa 

na kilio na kusaga meno.’ g

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 25:14‐30Mtumishi huyu wa Mungu hakuwa mwizi au mzinzi au 

mchawi lakini alitupwa nje yamchawi, lakini alitupwa nje ya Ufalme wa Mungu kwasababu ghakuzalisha faida katika kazi ya 

Ufalme wa Mungu … 

MAANA YA UWAKILIMathayo 25:14‐30

Udhaifu huo ulisababisha kupunguza uwezo wa kazi yakupunguza uwezo wa kazi ya Mungu ya kutawala dunia.g y

Kwa Mfano;Injili, Elimu, Afya, Udiakonia, Ukarimu, Utaalamu, Ujuzi, n.k.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kanisa la Mungu ni Ofisi ya Mungu na Ubalozi wa Mbinguniduniani Hivyo Mungu anatakaduniani. Hivyo Mungu anataka Kanisa lake (Ofisi yake) iwe na ( y )watendakazi walio bora zaidi na itoe huduma bora zaidi kuliko taasisi zingine za dunianitaasisi zingine za duniani.

MAANA YA UWAKILIMathayo 25:14‐30

Mungu hawezi kuivumilia jambo lolote linalozuia kazi ya Ufalmelolote linalozuia kazi ya Ufalme 

wake duniani; ni lazima ;atalishughulikia kwa nguvu ili kurekebisha kikwazo hicho na kutoa fundisho kwa wenginekutoa fundisho kwa wengine.

MAANA YA UWAKILI

Hagai 1:5 11Hagai 1:5‐11

MAANA YA UWAKILIHagai 1:5‐11

‘Tafakarini maisha yenu, mmepanda vingi mkavunammepanda vingi, mkavuna kidogo; na vichache hivyo g ; y

mlivyovuna, bado mkaviweka katika mifuko iliyotoboka …’

MAANA YA UWAKILIHagai 1:5‐11

‘… na mlivyovikwepesha visiingie katika mifuko popotekatika mifuko, popote 

mlipoviweka, mimi Mungu p , gndiye niliyekuja na kuvipuliza na kuvipeperushia mbali …’

MAANA YA UWAKILIHagai 1:5‐11

10 ‘ … basi kwa ajili yenu, mbingu zimezuiliwa zisitoembingu zimezuiliwa zisitoe mvua yake wala nchi nayo y yisitoe mztunda yake …’ 

MAANA YA UWAKILIHagai 1:5‐11

11 ‘Nami nimeita wakati wa joto (Ukame) uje juu ya nchi yote(Ukame) uje juu ya nchi yote, juu ya divai na nafaka, juu ya j y f , j ywanadamu na juu ya wanyama na juu ya kazi za mikono yenu’ 

MAANA YA UWAKILIMalaki 3:7‐9

‘Nanyi taifa hili lote, mmelaaniwa kwa laanammelaaniwa kwa laana, kwakuwa mnaniibia mimi 

‘Zaka na Dhabihu’

MAANA YA UWAKILIMathayo 25:14‐30

Mungu hawezi kuivumilia jambo lolote linalozuia kazi ya Ufalmelolote linalozuia kazi ya Ufalme 

wake duniani; ni lazima ;atalishughulikia kwa nguvu ili kurekebisha kikwazo hicho na kutoa fundisho kwa wenginekutoa fundisho kwa wengine.

MAANA YA UWAKILI

Kwa Mfano wa

Mtumishi mpumbavuM th 24 42 51Mathayo 24:42‐51

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 24:42‐5145 “Ni nani basi aliye mtumishi mwaminifu na mwenye busara 

ambaye bwana wakeambaye bwana wake amemweka kusimamia 

watumishi wengine katika nyumba yake, …

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 24:42‐5145 “…ili awape chakula chao kwa 

wakati muafaka? 46 Heri mtumishi yule ambaye bwanamtumishi yule ambaye bwana wake atakapokuja atamkuta p jakifanya kazi aliyopewa, tena 

kwa wakati. 

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 24:42‐5147 Amin, amin nawaambia, 

atamweka mtumishi huyo kuwa msimamizi wa mali yake yotemsimamizi wa mali yake yote.

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 24:42‐5148 “Lakini kama huyo mtumishi 

ni mwovu naye akasema moyoni mwake ‘Bwana wangumoyoni mwake,  Bwana wangu 

atakawia muda mrefu,’,

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 24:42‐5149 naye kisha akaanza kuwapiga watumishi wenzake na kula na kunywa pamoja na walevikunywa pamoja na walevi,

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 24:42‐5150 bwana wa mtumishi huyo atakuja siku ambayo mtumishi huyo hamtazamii na saa ilehuyo hamtazamii na saa ile 

ambayo haijui.y j

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 24:42‐5150 bwana wa mtumishi huyo atakuja siku ambayo mtumishi huyo hamtazamii na saa ilehuyo hamtazamii na saa ile 

ambayo haijui.y j

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 24:42‐5151 Atamkata huyo mtumishi vipande vipande na kumweka katika sehemu moja pamoja nakatika sehemu moja pamoja na 

wanafiki, mahali ambako ,kutakuwa ni kulia na kusaga 

meno.” 

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 24:42‐51‘Kumbe, kuna watu watakao kosa mbingu, kwasababu walikuwa 

walevi na wazinzi lakiniwalevi na wazinzi, lakini wengine watakosa mbingu, g g ,

kwasababu tu hawakufanya kile walichotakiwa kufanya.’ 

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 24:42‐51‘na wengine watakosa mbingu, japo walifanya walichotakiwa 

kufanya kwasababu tukufanya, kwasababu tu walifanya utii wao kwa y

kuchelewa (si kwa wakati, sio )kwa muda waliotakiwa).’ 

MAANA YA UWAKILI

Mathayo 24:42‐51Hii ina maana kwamba;

‘kuchelewa kutii ni kutokutii’

MAANA YA UWAKILI

Ni hali ya mtu kukabidhiwa mali au wajibu na mtu mwingine, kwa makubaliano fulanikwa makubaliano fulani 

(malipo), kwa madhumuni ya(malipo), kwa madhumuni ya kuitunza, kuiboresha na 

kuiendeleza na kuizalisha kwa makusudi na malengo ya ‘tajiri’makusudi na malengo ya ‘tajiri’.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kanisa la Mungu ni Ofisi ya Mungu na Ubalozi wa Mbinguniduniani Hivyo Mungu anatakaduniani. Hivyo Mungu anataka Kanisa lake (Ofisi yake) iwe na ( y )watendakazi walio bora zaidi na itoe huduma bora zaidi kuliko taasisi zingine za dunianitaasisi zingine za duniani.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUMungu anataka Kanisa lake (Ofisi 

k ) i t d k i liyake) iwe na watendakazi walio bora zaidi na itoe huduma borabora zaidi na itoe huduma bora 

zaidi kuliko taasisi zingine.Kwa Mfano;

Injili, Elimu, Afya, Udiakonia, Uk i Ut l Uj i kUkarimu, Utaalamu, Ujuzi, n.k.

UWAKILI WA MALI ZA MUNGU

1Wakorintho 4:1‐21 ‘Mtu na atuhesabu hivi, 

kwamba sisi wote, ni mawakili wa siri za Mungu 2 Na hapawa siri za Mungu. 2 Na hapa, kinachohitajika katika uwakili,j ,ni mtu aonekane mwaminifu.

UWAKILI WA MALI ZA MUNGU

1Wakorintho 4:1‐2

AINA ZA UWAKILI

AINA ZA UWAKILI

1. Uwakili wa Mazingira (dunia)2. Uwakili wa Mwili3. Uwakili wa Muda4. Uwakili wa Vipawa5 U kili M li5. Uwakili wa Mali

Sadaka na Ibada kwa Mungu

KumbukaSABABU YA MUNGU KUKUPASABABU YA MUNGU KUKUPA NGUVU ZA KUFANIKIWANGUVU ZA KUFANIKIWA

Kumb 8:1‐18,Kumb 8:1 18,

Sadaka na Ibada kwa MunguKumb 8:1‐18, 

endapo hautamsahau Bwana… endapo hautamsahau Bwana Mungu wako katika mafanikiogyako, basi wanyama wako

wataongezeka, mashamba yakoyataongezeka fedha yako nayataongezeka, fedha yako na

dhahabu yako vitaongezeka, nay g ,kila kitu chako kitaongezeka.

Sadaka na Ibada kwa MunguKumb 8:1‐18, 

Sasa basi uwe mwangalifu sanaSasa basi, uwe mwangalifu sanamoyoni mwako, usijey , j

ukamsahahu Bwana Mungu wakoaliyekutendea yote haya; Walausije ukasema eti mkono wanguusije ukasema, eti mkono wanguna uwezo wangu ndio vimenipatiag p

utajiri huu.

Sadaka na Ibada kwa MunguKumb 8:1‐18,

Bali utamkumbuka Bwana MunguBali utamkumbuka Bwana Munguwako, aliyekutoa katika nchi ya, y yMisri; kwani yeye ndiye akupaye

nguvu za kupata utajiri, ilikuliimarisha Agano lake ambalokuliimarisha Agano lake ambaloMungu aliahidiana na Baba zenu.g

Sadaka na Ibada kwa MunguKumb 8:1‐18

Agano la Mungu na Israelig g1. Ibada isiyo katika‐katika.2. Kumtangaza Mungu duniani

(Injili kwa watu wote)(Injili kwa watu wote)

AINA ZA UWAKILI

Uwakili wa Mali za MunguZaburi 100:1‐5Zaburi 24:1

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kanisa la Mungu ni Ofisi ya Mungu na Ubalozi wa Mbinguniduniani Hivyo Mungu anatakaduniani. Hivyo Mungu anataka Kanisa lake (Ofisi yake) iwe na ( y )watendakazi walio bora zaidi na itoe huduma bora zaidi kuliko taasisi zingine za dunianitaasisi zingine za duniani.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUMungu anataka Kanisa lake (Ofisi 

k ) i t d k i liyake) iwe na watendakazi walio bora zaidi na itoe huduma borabora zaidi na itoe huduma bora 

zaidi kuliko taasisi zingine.Kwa Mfano;

Elimu, Afya, Udiakonia, Ukarimu,Utaalamu, Ujuzi, Ufundi, n.k.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Na utaratibu ambao MunguNa utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili ya kuitunza na j ykuiwezesha  Ofisi yake duniani (kanisa) ni Wat ake k t oa(kanisa) ni Watu wake kutuoa 

sehemu za mali zetu kwake (Zaka (na Sadaka) katika namna ya 

h hi d k Mheshima na upendo kwa Mungu.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M2Kor 9:6‐8, 11Mungu

K b 18 1 5 K b 8 6 18

Kuhani Nchi Kumb 18:1‐5 Kumb 8:6‐18

Ad

Lawi 6:12‐13 Lawi 26:3‐7

Adam                           Malaki 3:7‐12Hagai 1:5‐11

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kazi yoyote inayofanywa na kanisaKazi yoyote inayofanywa na kanisa(makuhani) ili Mungu apewe ibada g pna utukufu anaostahili, kazi hiyo ikichechemea k a namna o oteikichechemea, kwa namna yoyote, 

basi mimi na wewe hatuwezi kubarikiwa katika maisha yetu 

l k tik k i twala katika kazi zetu.

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Mtu wa Mungu anapotii g pmaagizo haya ya Mungu, kwa kumheshimu Mungu kwa li k ili k i Uf lmali zake, ili kazi ya Ufalme waMungu dunianiwa Mungu duniani isichechemee … 

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

… mtu huyo anakuwa yamebonyeza kitufe cha 

kufungulia baraka za Mungukutoka katika 

ulimwengu wa kiroho; 

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Isaya 1:19y‘Mkikubali na kutii, mtakula ,

mema ya nchi, lakini mkikataa na kuasi, hakika 

’mtaangamia kwa mauti…’

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Yohana 15:1‐5‘Tawi lisilozaa, hukatwa na kutupwa motoni, lakini tawi 

li l dil li h d ilinalozaa, ndilo linahudumiwa, linapaliliwa linalindwa ililinapaliliwa, linalindwa, ili 

lizidi kuzaa sana.

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Isaya 1:19, Yohana 15:1‐5yHii ina maana kwamba;

Utoaji wa sadaka ni moja ya kanuni za kiroho

i f li b kzinazofungulia baraka na ushindi maishani mwetuushindi maishani mwetu.

DHANA YA SADAKA NA IBADA

Utoaji wa Sadakakamakama 

‘KANUNI YA KIROHO’KANUNI YA KIROHO

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHO

Kanuni za kiroho,Kanuni za kiroho,ni mambo ambayo yana‐y yathiri ulimwengu wa rohogna kusababisha mabadiliko kutokea katika ulimwengu

wa mwili.

KANUNI ZA KIROHOKanuni za kiroho, ni mambo ambayo tukiyatumia maishaniambayo, tukiyatumia maishani, yatasababisha Roho Mtakatifuykusababisha mabadiliko mazuri 

maishani mwetu, katikaulimwengu wa kiroho na kishaulimwengu wa kiroho na kisha katika ulimwengu wa mwili.g

KANUNI ZA KIROHOKanuni za kiroho, ni mambo ambayo tukiyatumia maishaniambayo, tukiyatumia maishani, yatasababisha Roho Mtakatifuyaliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu ndani yetu, zitakazotusaidia kuishi maishazitakazotusaidia kuishi maisha 

ya ushindi na mafanikio.y

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Mtu wa Mungu anahitaji kujua g j jvizuri kwamba, ulimwengu huu wa mwili, unatawaliwa na lim eng a kirohona ulimwengu wa kiroho; 

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Hii ina maana kwamba;;Ulimwengu wa kimwili na g

kanuni zote za kimwilizinatawaliwa kwa 

kanuni fulani za kiroho.

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano;Uumbaji wa vitu vya Dunia

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

1 H M li b1 Hapo mwanzo, Mungu aliumbambingu na nchi; 2 na Duniambingu na nchi; 2 na Dunia

ilikuwa haina umbo tena ilikuwatupu, giza lilikuwa juu ya uso waili di ji R hvilindi vya maji, naye Roho waMungu alitanda juu ya majiMungu alitanda juu ya maji. 

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

3 Mungu akasema “Iwepo nuru’’3 Mungu akasema,  Iwepo nuru  nayo nuru ikawepo. 4 Munguakaona ya kuwa nuru ni njema, di M k i hndipo Mungu akatenganisha nuru

na gizana giza. 

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

5 Mungu akaiita nuru “mchana’’5 Mungu akaiita nuru mchana  na giza akaliita “usiku.’’ Ikawajioni ikawa asubuhi, siku ya

kkwanza. 

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

14 Mungu akasema “Iwepo14 Mungu akasema,  Iwepo mianga kwenye nafasi ya anga iliitenganishe mchana na usiku, 

i l k b li hnayo iwe alama ya kutambulishamajira mbali mbali siku na miakamajira mbali mbali, siku na miaka, 

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

15 nayo iwe ndiyo miangay y gkwenye nafasi ya anga itoe nurujuu ya dunia.’’ Ikawa hivyo. 16Mungu akafanya mianga miwiliMungu akafanya mianga miwili

mikubwa … 

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

16 … Mwanga mkubwa utawalegmchana (Jua) na mwanga mdogo

utawale usiku (Mwezi). PiaMungu akafanya na nyota zaMungu akafanya na nyota za

mbinguni.g

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

17 Mungu akaiweka hiyo mianga17 Mungu akaiweka hiyo miangamikubwa miwili (yaani Jua na(yMwezi) katika anga ili iangaze

dunia. 18 … Mungu akaona kuwahili nalo ni jema 19 Ikawa jionihili nalo ni jema. 19 Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya nne., y

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Kumbe Nuru ya UlimwenguniKumbe Nuru ya Ulimwenguni, haitoki kwenye jua na mwezi, y j ,

kwasababu Nuru ilikuwepo tangusiku ya kwanza wakati jua na

mwezi viliumbwa baadaye kabisamwezi viliumbwa baadaye kabisakatika siku ya nne!y

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Kumbe jua si chanzo chaKumbe jua si chanzo cha Mwanga au Nuru inayoangazag y g

ulimwenguni, bali jua ni“kibebeo” tu cha kuleta mwangaduniani lakini jua si chanzo chaduniani, lakini jua si chanzo cha Nuru inayoangaza duniani.y g

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

N J MNuru Jua Mwanga

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

N J MNuru Jua Mwanga(Y /N )(Yesu/Neno)Y h 1 1 9Yoh 1:1‐9

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

1 H lik k1 Hapo mwanzo, alikuwakoNeno Huyo Neno alikuwaNeno. Huyo Neno alikuwa

pamoja na Mungu, naye Nenopamoja na Mungu, naye Nenoalikuwa Mungu. 2 Tangu

mwanzo huyo Neno alikuwapamoja na Mungu. 

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

3 Vitu vyote viliumbwa kwa Yeye3 Vitu vyote viliumbwa kwa Yeye, wala pasipo Yeye hakuna chowala pasipo Yeye hakuna chochote kilichoumbwa ambacho

kimeumbwa. 

KANUNI ZA KIROHOYoh 1:1‐9, 14

14 Naye Neno (Nuru) alifanyikamwili akakaa kwetu nasimwili, akakaa kwetu, nasi

tukauona Utukufu wake (mn’gaotukauona Utukufu wake (mn gaowake), Utukufu kama waMwana pekee atokaye kwa

B b j k liBaba; amejaa neema na kweli.

KANUNI ZA KIROHO

Ufunuo 1:9‐199 Mimi Yohana, ndugu yenu

i hi iki j i tninayeshiriki pamoja nanyi matesokatika Yesu (nilimwona huyu ambaye( y y

ndiye “Nuru” ya Ulimwengu); k b k k ik ik hinakumbuka katika siku hiyo…

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

N J MNuru Jua Mwanga(Y /N )(Yesu/Neno)Y h 1 7 9Yoh 1:7‐9

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Kwa lugha rahisi;Kwa lugha rahisi;

Mwanga au Nuru inayoangazag y gduniani, ina vyanzo viwili; kimojani kipo katika ulimwengu wamwili na kingine kipo katikamwili na kingine kipo katika

ulimwengu wa roho.g

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Chanzo cha Nuru cha rohoniChanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha p y

Nuru cha mwilini kuwepo.Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzokimwili kinatawaliwa na chanzo

cha Nuru cha kiroho. 

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Hii ina maana kwamba;Hii ina maana kwamba;

Kanuni za Kiroho zilikuwepo kablapya Kanuni za Kimwilini kuwepo.Kwahiyo, Kanuni za Kiroho ndizozinazotawala Kanuni za Kimwili zazinazotawala Kanuni za Kimwili za

Ulimwengu huu.g

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19Hii ina maana kwamba;Hii ina maana kwamba;

Hakuna kitu kinachofanyika katikayUlimwengu wa mwili, mpakakimefanyika kwanza katika

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa roho.

KANUNI ZA KIROHOMwanzo 1:1‐5, 14‐19

Chanzo cha Nuru cha rohoniChanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha p y

Nuru cha mwilini kuwepo.Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzokimwili kinatawaliwa na chanzo

cha Nuru cha kiroho. 

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1‐5, 14‐19

N J MNuru Jua Mwanga(Y /N )(Yesu/Neno)Y h 1 7 9Yoh 1:7‐9

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:1‐4“ h i hi k k“Mtu hataishi kwa mkate tu, b li k kil N li k lbali kwa kila Neno litokalok tik ki h B ”katika kinywa cha Bwana”.

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Mk AfNeno Mkate Afya

KANUNI ZA KIROHOLuka 4:1‐4

Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika mkatetunaokula tu bali kwa katikatunaokula tu, bali kwa katika

Neno litokalo katika kinywa chaNeno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.

KANUNI ZA KIROHOLuka 4:1‐4

Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika Dawaanazotumia tu bali kwa katikaanazotumia tu, bali kwa katikaNeno litokalo katika kinywa chaNeno litokalo katika kinywa cha 

Bwana Mungu.

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N D AfNeno Dawa Afya

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4Kumbe Mungu ana njia za 

k k hi di k k f iki hkukushindia na kukufanikisha, hata kama kanuni za kimwilihata kama kanuni za kimwilizimefeli au zimegoma; Mungu anaweza kufanya mambo hata 

bil k i ki ilibila kanuni za kimwili.

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Mk AfNeno Mkate Afya

KANUNI ZA KIROHOLuka 4:1‐4

Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika mkatetunaokula tu bali kwa katikatunaokula tu, bali kwa katika

Neno litokalo katika kinywa chaNeno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.

KANUNI ZA KIROHOLuka 4:1‐4

Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika Dawaanazotumia tu bali kwa katikaanazotumia tu, bali kwa katikaNeno litokalo katika kinywa chaNeno litokalo katika kinywa cha 

Bwana Mungu.

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N D AfNeno Dawa Afya

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N N b Uli iNeno Nyumba Ulinzi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Ki d U i i iNeno Kitanda Usingizi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Ki b AkiliNeno Kitabu Akili

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N P U dNeno Pete            Upendo

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Ch i K iNeno Cheti Kazi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

N Aji M f ikiNeno Ajira Mafanikio

KANUNI ZA KIROHOKumbu 18:1‐18

Kumbe Baraka za kweli si zile i k lik kzinazoweza kununulika kwa pesa au kupatikana kwapesa au kupatikana kwa 

nguvu ya mkono, bali barakanguvu ya mkono, bali baraka za kweli ni zile zinazopatikana  

kwa Mungu pekee.

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Hii ina maana kwamba;;Ulimwengu wa kimwili na g

kanuni zote za kimwilizinatawaliwa kwa 

kanuni fulani za kiroho.

Ulimwengu wa Roho

Hii ni kwasababuUlimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwakwanza; na kisha ulipokamilishwa, 

ndipo Mungu akasababishaulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka 

katika ulimwengu wa rohokatika ulimwengu wa roho. Waebrania 11:3Waebrania 11:3

ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu wa roho

fKwa Mfano U b ji D iUumbaji wa DuniaWaebrania 11:3Waebrania 11:3

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

‘N i t j k li‘Nasi twajua ya kuwa, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, nauliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) h k b k lhavikuumbwa kwa vitu vilivyo 

dhahiri (wazi wazi)’dhahiri (wazi wazi)

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

‘ li li b k N‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekanala Mungu, na vitu vinavyoonekana(vya kimwili) viliumbwa kwa vitu 

dh h ( )’visivyo dhahiri (wazi wazi)’(vitu vya kiroho)‐ (vitu vya kiroho) ‐

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4            733

Milele

33                30      3 ½             3 ½   3 ½ 

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo MwishoMwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4   7

33

Milele

33               30      3 ½             3 ½   3 ½ 

600                        InjiliUlimwengu wa Roho Kanisa Dhiki

e

Ulimwengu wa Roho Kanisa Dhiki700

Ulimwengu wa Mwili(4) Daniel  7:13 – 14, 27 (5) Daniel  7:13 – 14, 27

(3) Isaya 9: 6

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo 33 BK      33 BK

ULIMWENGU WA ROHOWaebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia aliiumba kwanza katikadunia, aliiumba kwanza katika 

ulimwengu wa kiroho, na g ,alipoikalimisha, ndipo akaizaa (akai‐photocopy au akai‐print) katika ulimwengu wa mwilikatika ulimwengu wa mwili.

ULIMWENGU WA ROHO

KwahiyoKil h Ki iliKila cha Kimwili, 

kina cha kiroho chakekina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

ULIMWENGU WA ROHO

1 Wakorintho 15:44“Iki k ili ili“Ikiwa kuna mwili wa asili, 

Basi na mwili wa roho pia upo”Basi na mwili wa roho pia, upo

ULIMWENGU WA ROHO

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri limeanza leo hapana;ukafikiri limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba leo ndioUkweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko h i ik k dh ili itrohoni siku kadhaa zilizopita.

ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu kunaKatika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

Vit i i k• Vitu visivyoonekananana

• Vitu vinavyoonekana• Vitu vinavyoonekana

ULIMWENGU WA ROHO

Waebrania 11:3Kila kitu duniani kina sura mbili 

bili /au namna mbili; sura/namna ya kimwili na sura/namna yakimwili na sura/namna ya 

kiroho yake (yaani kina upande wa mwilini na wa rohoni wa kitu 

hi h hi h )hicho hicho).

ULIMWENGU WA ROHO

Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina original copy na photocopy yakeoriginal copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft‐copy na hard‐copy 

yake (yaani kina upande wayake (yaani kina upande wa mwilini na wa rohoni).)

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18

T i i li it i kTusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali(vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana 

( k h ) k b b h(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumundivyo vya vya kudumu 

(vinavyotawala vya kimwili).

ULIMWENGU WA ROHO

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta 

mabadiliko katika mambo yamabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktknamna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko ykatika ulimwengu wa mwili.

ULIMWENGU WA ROHO

2 Wakorintho 4:18Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali(vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana 

(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumundivyo vya vya kudumu 

(vinavyotawala vya kimwili).( y y )

ULIMWENGU WA ROHO

Kwasababu, Ulimwengu wa rohondio unaotawala ulimwengu wa mwili Na hii ina maana kwambamwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyikahakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, g ,mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengujambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilo 

moja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katikabali analifanya kwanza katika 

ulimwengu wa roho.

ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Munguutaratibu wa uumbaji wa Mungu 

duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya 

k i i k ’kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)(Waebrania 11:3)

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Kanuni za kimwili (NaturalKanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual 

P i i l )Principles).

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

i k ( ki ili) ivinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vituvya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) y ( y )

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

KANUNI ZAKIROHOUlimwengu wa roho

fKwa Mfano M bi N bii EliMaombi ya Nabii Eliya

Yakobo 5:17 18;Yakobo 5:17‐18;1Wafalme 17‐18;1Wafalme 17 18;

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Eliya alikuwa binadamu tu kama sisiEliya alikuwa binadamu tu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga , f g

mvua, na Mungu alimsikia, na bi ik f ik ( kimbingu zikafungika na mvua (ya ki‐mwilini) haikunyesha juu ya nchi, ) y j y ,kwa  muda wa  miaka 3 na nusu.

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Japo kulikuwa na kanuni zote zaJapo kulikuwa na kanuni zote za kisayansi za mvua kunyesha, lakini y y ,

Eliya, kwa njia ya maombi, alikwenda h i k thi i (tib ) k irohoni, akaathiri (tibua) kanuni 

zinazotawala mvua mwili, na ndio ,maana mvua haikunyesha.

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Baada ya miaka mitatu na nusu nchiBaada ya miaka mitatu na nusu, nchi yote ilikuwa kavu kabisa na misitu y

yote imepukutika; kwahiyo h k k k i k t hhakukuwa na kanuni za kutosha 

kuruhusu mvua kunyesha.y

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Eliya akaomba tena kwa bidii iliEliya akaomba tena kwa bidii, ili kuifungua mvua kutoka katikaf guliwengu wa roho, na Mungu 

li iki bi ik f kalimsikia, na mbingu zikafunguka na mvua (ya ki‐mwilini) ikanyesha na (y ) y

nchi ikazaa matunda yake.

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:30‐45Lakini; 

Si maombi pekeef t k b kyanayofanya tupokee baraka za 

Mungu katika maishani yetuMungu katika maishani yetu.

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:30‐45Bali ni maombi pamoja na kanuni zingine za kiroho

zilizoambatanishwa na maombizilizoambatanishwa na maombi ndiyo zilizofanya Waisraeli ndiyo ili ofanya Waisraeli

wapokee ile baraka ya mvua …

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:30‐45

… kutoka kwa rohoni japo k lik h k k ikulikuwa hakuna kanuni za 

kimwili za kutosha za kuruhusukimwili za kutosha za kuruhusu mvua kunyesha.y

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Eliya akawakusanya Waisraeli wote, akaijenga madhabahu ya Bwanaakaijenga madhabahu ya Bwana upya, akaweka sadaka ya ng’ombe juu ya madhabahu, na akawataka wamwage maji pipa 12 juu yakewamwage maji pipa 12 juu yake, 

kama yalivyo mawe 12 ya madhabahu na kabila 12 za Israeli.

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

1 Madhabahu Ibada1. Madhabahu – Ibada(Kusifu na Kuabudu)(Kusifu na Kuabudu)

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

1 Madhabahu Ibada1. Madhabahu – Ibada(Kusifu na Kuabudu)(Kusifu na Kuabudu)Zaburi 100:1‐5Zaburi 22:3

Yohana 4:23‐24

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

2 Ng’ombe Sadaka2.   Ng’ombe – Sadaka(Zaka)(Zaka)

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

2 Ng’ombe Sadaka2.   Ng’ombe – Sadaka(Zaka)(Zaka)

Walawi 27:30‐31Malaki 3:7‐12

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

3 Pipa 12 za Maji Sadaka3.   Pipa 12 za Maji – Sadaka(Dhabihu)(Dhabihu)

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

3 Pipa 12 za Maji Sadaka3.   Pipa 12 za Maji – Sadaka(Dhabihu)(Dhabihu)

Malaki 3:9‐122Wakorintho 9:6‐13

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

4 Maombi ya Kuumba Mahitaji4. Maombi ya Kuumba ‐ Mahitaji(Kusababisha vitokee)(Kusababisha vitokee)

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

4 Maombi ya Kuumba Mahitaji4. Maombi ya Kuumba ‐ Mahitaji(Kusababisha vitokee)(Kusababisha vitokee)

Mathayo 7:7‐11yWafilipi 4:6‐7Isaya 43:26

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

5 Neno la Mungu Ahadi5.  Neno la Mungu ‐ Ahadi(Mungu huangalia Neno)(Mungu huangalia Neno)

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

5 Neno la Mungu Ahadi5.  Neno la Mungu ‐ Ahadi(Neno lina Nguvu ya Kuumba)(Neno lina Nguvu ya Kuumba)

Waebrania 11:3Waebrania 4:12Yeremia 1:12

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

6 Kuangamiza Ma Baali Toba6.   Kuangamiza Ma‐Baali ‐ Toba (Kuondoa kinachozuia)(Kuondoa kinachozuia)

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

6 Kuangamiza Ma Baali Toba6.   Kuangamiza Ma‐Baali ‐ Toba (Kuondoa kinachozuia)(Kuondoa kinachozuia)Kumbukumbu 23:14Yohana 11:39‐40

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

7 Maombi ya Kufungulia Vita7.   Maombi ya Kufungulia ‐ Vita (Kutelemsha baraka)(Kutelemsha baraka)

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

7 Maombi ya Kufungulia Vita7.   Maombi ya Kufungulia ‐ Vita (Kutelemsha baraka)(Kutelemsha baraka)Mathayo 16:19,18yYakobo 5:17‐18,16

NGUVU YA MAOMBI

Yakobo 5:18;

MATOKEO:MATOKEO:Ushindi ‐ Nchi kuzaa matunda

(Kufaidi mema ya nchi)

Kanuni za Kiroho (1Fal 18:30‐45)

1. Kusifu na Kuabudu (Zab 100:4‐5)2. Sadaka ya Zaka (Malaki 3:7‐12)3 S d k Dh bih (2K 9 6 11)3. Sadaka ya Dhabihu (2Kor 9:6‐11)4 Maombi ya Mahitaji (Fil 4:6‐7)4. Maombi ya Mahitaji (Fil 4:6‐7)5. Neno la Mungu (Yer 1:12)g ( )6. Maombi ya Toba (Kumb 23:14)7. Maombi ya Vita (Math 16:18‐19)

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐44;Baada ya Nabii Eliya kufanya  Maombi na Sadaka, Mungu 

akaleta baraka ya mvua katikaakaleta baraka ya mvua katika nchi ya Israeli, mvua ambayonchi ya Israeli, mvua ambayo ilikuwa haijanyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na nusu.

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Kumbuka, mvua ilikuwa haijanyesha kwa kipindi chahaijanyesha kwa kipindi cha 

miaka mitatu na nusu; kwahiyo, ; y ,katika kipindi hicho, majiyalikuwa ni moja ya bidhaa adimu sana katika jamiiadimu sana katika jamii. 

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Kwahiyo, kwa Waisraeli kutoa maji katika madhabahu yamaji katika madhabahu ya 

Jehovah, walikuwa wamefanya , ytendo la kujitoa sana; hivyo yale maji yalikuwa ni Sadaka kubwa

na ya thamani sana kwaona ya thamani sana kwao.

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30‐45;

Ile Sadaka ilipotolewa sawa sawana maagizo ya Mungu (pipa 12)na maagizo ya Mungu (pipa 12), ndipo mbingu zilipofunguka, na p g p g ,baraka ya mvua ikaachiliwa juu ya nchi yao, kwa mara ya kwanza baada ya miaka mitatu na nusubaada ya miaka mitatu na nusu.

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐44;Baada ya ile Sadaka na Maombi, Nabii Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni nasikia sauti ya mvua‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua 

tele’ (mstari 41), watutele  (mstari 41), watu walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani ili kufanya MAOMBI;

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14)/     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /        Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Na watu walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito marabaada ya maombi mazito mara saba (7), ndipo mvua kubwasaba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi 

(mstari 44‐45).

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /     Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        /

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /    Mvua ya Mwilini /        //      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       /

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /       /      /      /      /       /        /

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili, 

mpaka kwanza ilipotengenezwampaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kirohokatika ulimwengu wa kiroho

kwanza.

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:41‐45;

Kwahiyo, kumbuka kwamba, i ki h diKanuni za kiroho, ndizo 

zilizotangulia kusababisha atharizilizotangulia kusababisha athari katika ulimwengu wa rohonig

kwanza, ili mvua inyeshe katika ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Kwahiyo, 

Ile mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili, mpaka kwanza ilipotengenezwa katikakwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho kwanza.u e gu a o o a a.

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu wa i f bImani, anayefanya mambo 

yasiyoonekana kwanza kabla yayasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika y y

ulimwengu wa mwili(ulimwengu wa yanayoonekana)

KANUNI ZA KIROHO‘Hivyo Basi mtu wa Mungu 

akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani katikana Mungu wa Imani, katika 

maisha yake duniani, lazima awe maisha yake duniani, la ima awena ufahamu wa mambo 

yasiyoonekana (mambo ya h i) i I irohoni) yaani Imani.

Ulimwengu wa RohoHii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zilitumikaKanuni za kiroho zilitumika 

kuleta athari ya aina fulani katika yulimwengu wa roho, hata 

kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili mvua iwezeza kimwili, ili mvua iweze kunyesha hata kama katika yU’mwilini hakuna misitu.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30‘Mungu ameshatubariki kwaMungu ameshatubariki kwa baraka zote za rohoni, katikaulimwengu wa roho; kama 

alivyotuchagua katika yeye kablaalivyotuchagua katika yeye, kablaya kuwekwa misingi ya ulimwengu, y g y g

tuwe watakatifu’.

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14)/     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /        Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:41‐45, Yakobo 5:17‐18

Wana wa Israeli, walikuwa wanateseka kwa maishawanateseka kwa maisha 

magumu, katika ulimwengu wa g , gmwili, wakati wao ni wabarikiwa wenye baraka nyingi sana katika 

ulimwengu wa rohoulimwengu wa roho.

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /     Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        /

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /    Mvua ya Mwilini /        //      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       /

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /       /      /      /      /       /        /

NGUVU YA MAOMBI

Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni naingekomea huko huko rohoni, na huku duniani, watu wa Mungu , gwangeishi maisha ya shida na taabu; na kumbe wana baraka nyingi sana katika U’rohoninyingi sana katika U rohoni.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3‐4, Warumi 8:29‐30Na sisi pia tusipoomba baraka hiziNa sisi pia tusipoomba, baraka hizi zote tulizopewa katika ulimwengu wa roho, zitabaki huko huko rohoni,wakati huku duniani tunatesekawakati huku duniani, tunateseka kwa maisha magumu, yaliyojaa g y y j

shida na taabu nyingi.

ULIMWENGU WA ROHO

Kwanini tunaishiKwanini tunaishi maisha ya kushindwa?maisha ya kushindwa?

ULIMWENGU WA ROHOHebu jiulize mwenye…

Kwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso huku mwili yaliyojaana ya mateso huku mwili, yaliyojaa shida na taabu nyingi, na kumbe kule rohoni tumebarikiwa na Mungu kwa baraka zote tenaMungu kwa baraka zote, tena 

nyingi sana, za kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku?

NGUVU YA MAOMBI

Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(1)  Hatujajua siri ya ulimwengu wa ( ) j j y groho inavyoingiliana na ulimwengu 

ili h t k l t b dilikwa mwili, hata kuleta mabadiliko tunayotaka kuyaona huku duniani.  y y

~ kutokujua ~

NGUVU YA MAOMBI

Ni kwasababu; watu wa Mungu, 

(2)  Hatuna nidhamu na bidii ya ( ) ykwenda rohoni kwa njia ya 

bi h t k h kmaombi, hata kuchukua na kutelemsha baraka zetu duniani.      

~  Uzembe  ~

NGUVU YA MAOMBI

Ni kwasababu; watu wa Mungu, 

(3) Hatuna maarifa na bidii yak t i k i ki h kkutumia kanuni za kiroho, kwa

namna sahihi, katika,madhabahu ya Bwana 

(ulimwengu wa kiroho).

KANUNI ZA KIROHOKANUNI ZA KIROHO

Mungu alizifanya kanuni zaMungu alizifanya kanuni za kiroho, ziwe njia ya kuutawalakiroho, ziwe njia ya kuutawala ulimwengu wa mwili kwa kuwa 

na uwezo wa kusababisha mabadiliko kutokea katikamabadiliko kutokea katika 

ulimwengu wa roho.ulimwengu wa roho.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUNa huu ndio utaratibu na 

k i b M lii kkanuni ambazo Mungu aliiweka duniani ili kutuwezeshaduniani, ili kutuwezesha 

kutawala ulimwengu wa mwili, kwa kutumia kanuni za kirohoi hi i k lizinazoathiri kwanza ulimwengu 

wa kirohowa kiroho.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Mtu yeyote, hataweza kufanikiwa duniani kwa asilimiakufanikiwa duniani kwa asilimia 100%, bila ya kufuata kanuni hii100%, bila ya kufuata kanuni hii 

kuu ya uumbaji wa Mungu duniani.

KANUNI ZA KIROHOWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya kanuni za kiroho

katika maisha yao watawekakatika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi ykatika maisha yanayotimiza 

kanuni za kiroho.   

NGUVU YA MAOMBI

Kwahiyo;1Wafalme 18:30‐45

Si maombi pekee yanayofanya t k b k Mtupokee baraka za Mungu katika maishani yetukatika maishani yetu.

Kanuni za Kiroho (1Fal 18:30‐45)

1. Kusifu na Kuabudu (Zab 100:4‐5)2. Sadaka ya Zaka (Malaki 3:7‐12)3 S d k Dh bih (2K 9 6 11)3. Sadaka ya Dhabihu (2Kor 9:6‐11)4 Maombi ya Mahitaji (Fil 4:6‐7)4. Maombi ya Mahitaji (Fil 4:6‐7)5. Neno la Mungu (Yer 1:12)g ( )6. Maombi ya Toba (Kumb 23:14)7. Maombi ya Vita (Math 16:18‐19)

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:30‐45Bali ni maombi pamoja na kanuni zingine za kiroho

zilizoambatanishwa na maombizilizoambatanishwa na maombi ndizo zinazofanya Watu wa ndi o ina ofanya Watu wa

Mungu tupokee hizi baraka za Mungu tulizopewa na Yesu…

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:30‐45… kutoka katika ulimwengu wa  rohoni hata kama hakuna 

kanuni za kimwili za kutosha zakanuni za kimwili za kutosha za kuruhusu tupokee baraka na kuruhusu tupokee baraka na

ushindi maishani.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiriKanuni za kiroho zikiathiri 

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili ili jambo fulanikanuni za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika   njia za kawaida za kimwili.

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Mtu wa Mungu anahitaji kujua g j jvizuri kwamba, ulimwengu huu wa mwili, unatawaliwa na lim eng a kirohona ulimwengu wa kiroho; 

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Hii ina maana kwamba;;Ulimwengu wa kimwili na g

kanuni zote za kimwilizinatawaliwa kwa 

kanuni fulani za kiroho.

NGUVU YA SADAKA

Mfano hai – 1

ji i l ki iMama Tajiri lakini Tasaf l2Wafalme 4:8‐37; 

‘K f f li k‘Kufufunguliwa kwa vilivyofungwa’vilivyofungwa

NGUVU YA SADAKANGUVU YA SADAKA

Maombi ya Mwanamke huju TajiriMaombi ya Mwanamke huju Tajiri, yalishatengeneza majibu yay g j y

mahitaji yake katika ulimwengu wakiroho lakini alik a akitembeakiroho; lakini alikuwa akitembeachini ya mbingu iliyofungwa, y g y g ,

iliyozuia maombi yake kujibiwa(k t t t )(kupata mtoto).

NGUVU YA SADAKANGUVU YA SADAKA

Mungu akampeleka Nabii ElishaMungu akampeleka Nabii Elisha kwake, ili amtunze. Katika kufanya yhivyo, akawa ametoa sadaka ya 

n mba sadaka amba onyumba, sadaka ambayo iliyofungulia majibu ya maombi y g j y

yake kutoka rohoni.

NGUVU YA SADAKANGUVU YA SADAKA

Mungu huwa anasikia maombi yakoMungu huwa anasikia maombi yako na anataka sana kukujibu na j

kukupa unachohitaji. Mungu anajua mahitaji et kabla hatamahitaji yetu kabla hata 

hatujamwomba na anataka jkukujaza upungufu wako. 

NGUVU YA SADAKANGUVU YA SADAKA

Ila hawezi kufanya hivyo bila weweIla hawezi kufanya hivyo bila wewe kutimiza kanuni ya kutoa na y

kupokea. Ndio maana anakuletea nafasi a k panda sadaka katikanafasi ya kupanda sadaka katika 

shamba la Bwana.

NGUVU YA SADAKANGUVU YA SADAKA

Hata mtoto wake alipokufa sadakaHata mtoto wake alipokufa, sadaka ya huyu mama ilisimama mbele y yza Mungu kama ukumbusho; kitu kilichofan a M ng k mf f liakilichofanya Mungu kumfufulia 

mwanaye aliyakufa.y y

NGUVU YA SADAKA NA MAOMBINGUVU YA SADAKA NA MAOMBI

Sadaka ni moja ya kanuni zaSadaka, ni moja ya kanuni za kiroho, zinazoathiri Ulimwengukiroho, zinazoathiri Ulimwengu 

wa roho ili kusababisha mabadiliko fulani kutokea 

katika ulimwengu wa kimwilikatika ulimwengu wa kimwili.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

NGUVU YA SADAKA

Mfano hai – 2

j ki iMama Mjane Maskinif l 21Wafalme 17:1‐24;

‘K idi h ili ’‘Kuzidisha vilivyopungua’

NGUVU YA SADAKA

Maombi ya Mwanamke huju MjaneMaombi ya Mwanamke huju Mjane, yalishaumba majibu ya mahitajiy j y jyake katika ulimwengu wa kiroho; lakini alik a akitembea chini alakini alikuwa akitembea chini yambingu iliyofungwa, iliyozuiag y g , ymaombi yake (kupata chakula).

NGUVU YA SADAKANGUVU YA SADAKA

Mungu akampeleka Nabii EliyaMungu akampeleka Nabii Eliya kwake, ili amtunze. Katika kufanya yhivyo, akawa ametoa sadaka ya 

chak la sadaka amba ochakula, sadaka ambayo iliyofungulia majibu ya maombi y g j y

yake kutoka rohoni.

NGUVU YA SADAKANGUVU YA SADAKA

Mungu huwa anasikia maombi yakoMungu huwa anasikia maombi yako na anataka sana kukujibu na j

kukupa unachohitaji. Mungu anajua mahitaji et kabla hatamahitaji yetu kabla hata 

hatujamwomba na anataka jkukujaza upungufu wako. 

NGUVU YA SADAKANGUVU YA SADAKA

Ila hawezi kufanya hivyo bila weweIla hawezi kufanya hivyo bila wewe kutimiza kanuni ya kutoa na y

kupokea. Ndio maana anakuletea nafasi a k panda sadaka katikanafasi ya kupanda sadaka katika 

shamba la Bwana.

NGUVU YA SADAKA

2Wakorintho 9:6‐146 Lakini nasema Neno hili, apandaye haba (kwa uchache)apandaye haba (kwa uchache), atavuna haba (kwa uchache); ( );apandaye kwa ukarimu (kwawingi) atavuna kwa ukarimu

(kwa wingi)(kwa wingi)

NGUVU YA SADAKA2Wakorintho 9:6‐14

7 Kil d k7 Kila mtu na atende kamaalivyokusudia moyoni mwake,alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni wala si kwal i k Mlazima; kwa maana Munguhumpenda yeye atoaye kwahumpenda yeye atoaye kwa

moyo wa ukunjufu(moyo wa kupenda).

NGUVU YA SADAKA

2Wakorintho 9:6‐148 Na Mungu aweza kuwajaza, kila

neema kwa wingi ili ninyineema kwa wingi, ili ninyimuwe na riziki za kila namna, ,tena siku zote, ili mpate kuzidisana katika kila tendo jema

( k i )(ukarimu) 

NGUVU YA SADAKA2Wakorintho 9:6‐14

10 N M10 Na yeye Mungu ampayempanzi mbegu za kupanda, nap g p ,kuzibariki hata zilete mkate

h k l t buwe chakula, atawapa mbeguza kupanda na kuzizidisha, p ,atayaongeza mazao ya haki

yenuyenu.

NGUVU YA SADAKA

2Wakorintho 9:6‐1411 Mkitajirishwa katika vituvyote mpate kuwa na ukarimuvyote, mpate kuwa na ukarimu(utoaji) wote, unaompatia( j ) , pMungu shukurani kwa kazi

yetu

DHANA YA SADAKA

Ni kanuni ya Mungu kwamba, huwezi kuvuna bila kupandahuwezi kuvuna bila kupanda. 

Hivyo, wakati wa uhitaji y , jukikufikia, Mungu atakutaka utoe kitu ili upokee mahitaji 

yakoyako. 

DHANA YA SADAKA

Watu wengi wanashangaa kwamba wakatikwamba, wakati 

wamepungukiwa, ule wakati wa p g ,uhitaji wao, ndio Mungu 

anaruhusu nafasi ya kutoa ije. 

DHANA YA SADAKANa wengi wanakosa baraka na 

d M k b bmsaada wa Mungu kwasababu hawaelewi utendaji wa kanunihawaelewi utendaji wa kanuni za Mungu. Maana katika uhitaji wao, wamemwomba Mungu 

jawajaze. 

DHANA YA SADAKA

Cha kushangaza badala ya kupokea wanajikuta katikakupokea, wanajikuta katika 

mazingira ambayo wanaombwa g yau wanatakiwa watoe kitu

DHANA YA SADAKAWengi hawajuai kuwa nyakati hi i M li l t f ihizo, ni Mungu aliyeleta nafasi hiyo ya kutoa hicho kidogohiyo ya kutoa hicho kidogo 

kilichobaki ili kanuni yake ifanye kazi na upako wa Mungu uingie k i i k l t kkazini kuwaletea mavuno kwa kadri ya utii wao katika utoaji.kadri ya utii wao katika utoaji.  

DHANA YA SADAKAMungu anapokuja kuichukua kib k ( li k ) h iakiba yako (mali zako), hana nia ya kukufilisi; anachofanya niya kukufilisi; anachofanya ni 

kukusababisha upande mbegu, ambayo kwa hakika itakuletea 

i dmavuno mazuri, endapo hutazimia moyo.hutazimia moyo.  

DHANA YA SADAKAIsaya 1:19

Kama ukikubali na kutii, utakula mema ya nchi Lakini ukikataamema ya nchi. Lakini ukikataa, utaangamia (kama wengine g ( g

wanavyoangamia). 

ZAKA NA SADAKAZAKA NA SADAKA

Kumbuka mfano waKumbuka mfano wa

Ujenzi wa Nyumba (Hema)Ujenzi wa Nyumba (Hema) ya Mungu Jangwaniya Mungu Jangwani

Kutoka 25:1‐9Kutoka 25:1 9Kutoka 36:1‐7Kutoka 36:1 7 

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7Kamati ya ujenzi wa hema yaKamati ya ujenzi wa hema ya kuabuduia, haikupata shida p

yoyote kukusanya sadaka kwa jili j i bajili ya ujenzi wa nyumba ya 

Mungu jangwaniMungu jangwani.

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

Watu wa MunguWatu wa Mungu waliomheshimu Mungu,waliomheshimu Mungu, 

walitoa mali zao, kuliko hata bajeti iliyokuwa inahitajika 

k jili j i bkwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Mungu kule jangwaniya Mungu kule jangwani.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKutoka 25:1‐9/36:1‐7

Wana wa Israeli walielewa kwamba ustawi wa maisha yaokwamba, ustawi wa maisha yao 

jangwani, si kwasababu ya j g , ywalichonacho, bali ni 

kwasababu ya waliyenaye, yaani Munguyaani Mungu.

NGUVU YA SADAKA NA IBADANdio maana;

walielewa, nafasi ya sadakak tik i h k tkatika maisha yao, wakatoa mali zao kwa heshima na utiimali zao kwa heshima na utii, na kwa moyo wa furaha, na Mungu akafurahi na kazi yake

ik d i iikaenda vizuri.   

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7Wakati wa ujenzi wa nyumba yaWakati wa ujenzi wa nyumba ya Mungu au hema ya kukutania 

(kule jangwani), Mungu alimwambia Musa watu wotealimwambia Musa, watu wote wenye moyo wa kupenda kutoa, wafnye kazi na kuleta matoleo …

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7… kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya… kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Mungu. Mungu aliwaagiza watu walete dhahabu, fedha na mali 

nyingine mbalimbali zilizohitajikanyingine mbalimbali, zilizohitajika kwa ajili ya ujenzi wa hema ya 

Mungu.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7Wajenzi wa hekalu wakamwambiaWajenzi wa hekalu wakamwambia 

Musa, watu wameleta sadakanyingi sana na kuzidi, kuliko tulivyokuwa tunahitajitulivyokuwa tunahitaji. 

Tumewazui, lakini hawataki, nao bado wanaleta tu.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7Tunaomba wewe Baba, labdaTunaomba wewe Baba, labda watakusikia; Ndipo Musa akatoa amri, kwamba watu wasilete tena matoleo kwa ajili ujenzi wa hemamatoleo kwa ajili ujenzi wa hema ya ibada, kwasababu walikuwawameleta vingi sana na kuzidi.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7… Hivyo watu wakazuiliwa kuleta… Hivyo watu wakazuiliwa kuleta zaidi, kwa sababu vitu vilivyokuwa 

vimeletwa, tayari vilikuwa vimetosha na hata kuzidi sanavimetosha, na hata kuzidi sana, kwa ajili ya  kuifanya kazi yote. 

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutoka 25:1 9/36:1 7Kutoka 25:1‐9/36:1‐7Kwahiyo kamati ya ujenziKwahiyo, kamati ya ujenzi haikupata shida yoyote p y y

kukusanya sadaka kwa ajili ya j i bujenzi wa nyumba ya Mungu 

jangwanijangwani.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUMungu anataka Kanisa lake na makuhani wake, wafanye kazi katika mazingira mazuri ilikatika mazingira mazuri, ili wanapopeleka ibada kwa p p

Mungu, ibada hiyo ifike kwa Mungu ikiwa safi (au fresh), bila kelele za moyoni (masumbufu)kelele za moyoni (masumbufu).

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

Waisareli walielewa naWaisareli walielewa na walimheshimu Mungu,walimheshimu Mungu, 

wakatoa mali zao, kuliko hata bajeti iliyokuwa inahitajika 

k jili j i bkwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Mungu kule jangwaniya Mungu kule jangwani.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKutoka 25:1‐9/36:1‐7

Wana wa Israeli walielewa kwamba ustawi wa maisha yaokwamba, ustawi wa maisha yao 

jangwani, si kwasababu ya j g , ywalichonacho, bali ni 

kwasababu ya waliyenaye, yaani Munguyaani Mungu.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKutoka 25:1‐9/36:1‐7

Wana wa Israeli hawakutoa sadaka kwasababu Mungusadaka kwasababu Mungu anahitaji kitu chochote; bali j ;

walitoa sadaka kwasababu wao ndio waliokuwa wana mahitaji 

mbalimbali;mbalimbali;

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKutoka 25:1‐9/36:1‐7

‘… na walitoa kwa moyo na upendo kwa Mungu kwasababuupendo kwa Mungu kwasababu 

walijua, kupitia utoaji wao j , p j(kama kanuni ya kiroho), 

watakwenda kupokea baraka nyingi zaidi katika uhitaji wao’nyingi zaidi katika uhitaji wao

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

Ndio maana tumeona katikaNdio maana tumeona katika Utoaji kwa ajili ya ujenzi,Utoaji kwa ajili ya ujenzi, kwamba walitoa mali zao, kuliko hata bajeti iliyokuwa i hi jik k jili j iinahitajika kwa ajili ya ujenzi 

wa nyumba ya Bwana!wa nyumba ya Bwana!

NGUVU YA SADAKA NA IBADAWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Utamkumbuka Bwana MunguUtamkumbuka Bwana Munguwako aliyekulisha kwa mikate yay yMana, usiyoilima wala kuivuna, 

lakini uliila na ulishiba, kwa miakaarobaini tena ukiwa jangwani iliarobaini tena ukiwa jangwani, ili

upate kujua kwamba, mtup j ,hataishi kwa mkate tu …

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

ila mtu ataishi kwa kila Nenoila mtu ataishi kwa kila Nenolitokalo kwa Mungu. Na wewegmwenyewe ni shahidi kwamba, japo ulikwa jangwani, lakini

haukupungukiwa na lolote kwahaukupungukiwa na lolote, kwamiaka yote hiyo arobaini, iwey y ,

masika au kiangazi.

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Nikakuleta katika nchi nzuri yenyeNikakuleta katika nchi nzuri yenyekila utajiri ndani yake, rutuba, j y , ,misitu, mafuta shaba, n.k. Kwamkono wangu nikakurithisha

mizeituni ambayo haukuipandamizeituni ambayo haukuipandawewe na nikakurithisha nyumbayambazo haukuzijenga wewe; 

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Na bado ninakuahidi endapoNa bado ninakuahidi, endapohautamsahau Bwana Mungugwako, basi wanyama wako

wataongezeka, mashamba yakoyataongezeka fedha yako nayataongezeka, fedha yako na

dhahabu yako vitaongezeka, nay g ,kila kitu chako kitaongezeka.

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Sasa basi uwe mwangalifu sanaSasa basi, uwe mwangalifu sanamoyoni mwako, usijey , j

ukamsahahu Bwana Mungu wakoaliyekutendea yote haya; Walausije ukasema eti mkono wanguusije ukasema, eti mkono wanguna uwezo wangu ndio vimenipatiag p

utajiri huu.

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Bali utamkumbuka Bwana MunguBali utamkumbuka Bwana Munguwako, aliyekutoa katika nchi ya, y yMisri; kwani yeye ndiye akupaye

nguvu za kupata utajiri, ilikuliimarisha agano ambalokuliimarisha agano ambalo

Mungu aliahidiana na Baba zenu.g

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1‐18, Luka 4:1‐4

Mistari hii inatuonyesha kwamba, k b k k i i ikumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kulikokiroho, zilizo juu sana kuliko 

kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa 

ki ili k i kkimwili na kanuni zake.

KANUNI ZA KIROHOKutoka 14:1‐31

Fikiria…Walivuka bahari ya Shamu, bila pantoni au ndege; bali nchi kavupantoni au ndege; bali nchi kavu, tena walipita katikati ya kutatena walipita katikati ya kuta mbili za gorofa za la maji!

Fikiri hiyo!

KANUNI ZA KIROHOHesabu 20:1‐13

Fikiria…Walikunywa maji matamu kutokakwenye mwamba na sio kwenyekwenye mwamba na sio kwenye

kisima cha ardhini!kisima cha ardhini!Fikiri hiyo!y

KANUNI ZA KIROHOJushua 6:1‐27

Fikiria…Walivunja kuta za mji wa Yeriko bila kutumia katapila au baruti!bila kutumia katapila au baruti!

Fikiri hiyo!Fikiri hiyo!

KANUNI ZA KIROHOKutoka 16:1‐13

Fikiria…Walikula mikate ambayo 

hawakuilima wala hawakuivunahawakuilima, wala hawakuivuna, wala hawakuinunua mahali!wala hawakuinunua mahali!

Fikiri hiyo!y

KANUNI ZA KIROHOKutoka 16:1‐19, Hes 11:30‐32

Fikiria…Walikula kuku jangwani, ingawa 

jangwani hakuna kuku!jangwani hakuna kuku!Fikiri hiyo!Fikiri hiyo!

KANUNI ZA KIROHOKutoka 16:1‐19, Hes 11:30‐32Unaweza ukawa na pesa yako j i b d i ik idijangwani, na bado isikusaidie, kwasababu jangwani shamba lakwasababu jangwani shamba la mikate wala ufugaji wa kuku.

KANUNI ZA KIROHOKutoka 16:1‐19, Hes 11:30‐32Unaweza ukawa na pesa yako j i b d i ik idijangwani, na bado isikusaidie, kwasababu jangwani shamba lakwasababu jangwani shamba la mikate wala ufugaji wa kuku.Neno           Mkate          Afya

KANUNI ZA KIROHOKumbuka kwamba;Waebrania 11:1, 3   

Vitu vinavyoonekana, viliumbwa k it i i dh hi i ( itkwa vitu visivyo dhahiri (au vitu 

visivyo wazi wazi au vituvisivyo wazi wazi au vitu vinavyoonekana)

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

i k ( ki ili) ivinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vituvya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) y ( y )

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUKutoka 25:1‐9/36:1‐7

Wana wa Israeli walielewa kwamba ustawi wa maisha yaokwamba, ustawi wa maisha yao 

jangwani, si kwasababu ya j g , ywalichonacho, bali ni 

kwasababu ya waliyenaye, yaani Munguyaani Mungu.

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

Watu wa Mungu walimheshimuWatu wa Mungu walimheshimu na walimpenda sana Mungu;na walimpenda sana Mungu; na walitoa mali zao, kulikobajeti iliyokuwa inahitajika 

k jili j i bkwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Mungu kule jangwaniya Mungu kule jangwani.

NGUVU YA SADAKA NA IBADAWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

H di t tib bHuu ndio utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili yaMungu aliuweka kwa ajili ya kuitunza ofisi yake dunianikuitunza ofisi yake duniani 

(kanisa).Malaki 3:10‐12 

KANUNI ZA KIROHOKumbu 18:1‐18

Kumbe Baraka za kweli si zile i k lik kzinazoweza kununulika kwa pesa au kupatikana kwapesa au kupatikana kwa 

nguvu ya mkono, bali barakanguvu ya mkono, bali baraka za kweli ni zile zinazopatikana  

kwa Mungu pekee.

AINA ZA SADAKA

AINA KUU TATU (3)ZA SADAKA

ZAKA NA SADAKA

AINA ZA SADAKA(MATOLEO)

AINA ZA SADAKA

1. Malimbuko (1st Fruits)2. Zaka (Fungu la Kumi)3. Dhabihu (Sadaka)

AINA ZA SADAKA

1. Malimbuko (1st Fruits)

AINA ZA SADAKA

1. Malimbuko (1st Fruits)Malimbuko ni mazao ya kwanza 

( t k )(mapato ya kwanza).

AINA ZA SADAKA

1. Malimbuko (1st Fruits)Malimbuko ni mazao ya kwanza 

( t k )(mapato ya kwanza).Yanawakilisha ‘lango’ la MunguYanawakilisha lango  la Mungukuingia na kutengeneza uwepog g p

wake katika hilo eneo.

AINA ZA SADAKA

1. Malimbuko (1st Fruits)Mithali 3:9‐10

9 “Mheshimu BWANA kwa mali zako na kwa malimbuko yazako, na kwa malimbuko ya 

mazao yako yote”a ao ya o yote

AINA ZA SADAKA

1. Malimbuko (1st Fruits)Mithali 3:9‐10

10 “Ndipo ghala zako zitakapojaahadi kufurika viriba vyakohadi kufurika, viriba vyako

vitafurika kwa mvinyo mpya.”ta u a a yo pya.

Malimbuko (1st Fruits)

Kwa Mfano;(i) Faida ya kwanza ya mzungukowa kwanza wa mradi wako niwa kwanza wa mradi wako, nilimbuko kwa Bwana; hivyo ni; y

mali ya Bwana (lango).

Malimbuko (1st Fruits)

Kwa Mfano;(ii) Mayai 200 ya kwanza ya kuku 200 wa mayai ni limbuko kwa200 wa mayai, ni limbuko kwa

Bwana.

Malimbuko (1st Fruits)

Kwa Mfano;f ;(iii) Uzazi wa kwanza katika

tumbo la mnyama (anayeliwa) , i li b k k Bni limbuko kwa Bwana.

Ng’ombe Mbuzi KondooNg’ombe, Mbuzi, Kondoo, Nguruwe, kuku, bata, nk.Nguruwe, kuku, bata, nk.

Malimbuko (1st Fruits)

Kwa Mfano;(iv) Mshahara wa kwanza, waajira mpya kabla ya makatoajira mpya, kabla ya makatoyoyote kufanyika, ni limbukoy y y ,

kwa Bwana.

MUHIMU!

Katika utoaji wa sadaka zetu, mara nyingi tunakosea. Lakini ni muhimu sana tukumbukeni muhimu sana tukumbuke kwamba, Mungu anaangalia kwamba, Mungu anaangaliazaidi heshima ya moyo wako,kuliko mahesabu ya sadaka.

1 Samweli 16:7

MUHIMU!

1 Samweli 16:7“Lakini BWANA akamwambiaSamweli “Usitazame sura yakeSamweli, “Usitazame sura yakewala kimo chake, kwa kuwawala kimo chake, kwa kuwa

nimemkataa. BWANA hatazamikatika vile vitu mwanadamu

avitazamavyo ”avitazamavyo …” 

MUHIMU!

1 Samweli 16:7“Mwanadamu hutazama katika

sura ya nje lakini BWANAsura ya nje, lakini BWANA hutazama moyoni …”hutazama moyoni …  

MUHIMU!

1 Samweli 15:2222 ‘Lakini Samweli akamjibuMfalme Sauli kusema: JeMfalme Sauli, kusema: Je, 

BWANA anafurahia sadaka za kuteketezwa na dhabihu kama vile kuitii sauti ya BWANA? Kutiini bora zaidi kuliko dhabihu ’ni bora zaidi kuliko dhabihu.

MUHIMU!

Katika utoaji wa sadaka zetu, mara nyingi tunakosea. Lakini kama hukufanya makusudi balikama hukufanya makusudi, bali 

mahesabu ya utoaji wako, mahesabu ya utoaji wako,umeyafanya katika ujuzi wako 

wa juu kabisa …

MUHIMU!

Basi ni muhimu ujue kwamba, Mungu anaangalia zaidi

heshima ya moyo wako kulikoheshima ya moyo wako, kuliko mahesabu ya sadaka.mahesabu ya sadaka.

Mwanzo 23:12

MUHIMU!

Mwanzo 23:1212 Bwana akamwambia, “Basi! 

Usimdhuru kijana walaUsimdhuru kijana, walausimtendee jambo lolote. Kwajsababu hukunizuilia mwanao, 

k k ’’mwana wako wa pekee…’’ 

MUHIMU!

Mwanzo 23:1212 Bwana akamwambia Ibrahimu, 

Basi sasa nimejua kwambaBasi sasa nimejua kwambaunanipenda na unaniheshimu, p(na kwamba, moyoni mwako, 

i f i k )umenipa nafasi ya kwanza).

MUHIMU!

Mwanzo 12:2‐32 “Mimi nitakufanya taifa kubwana nitakubariki Nitalikuza jinana nitakubariki, Nitalikuza jinalako, nawe utakuwa baraka.lako, nawe utakuwa baraka. 

MUHIMU!

Mwanzo 12:2‐33 Nitawabariki wale wanaokubariki yeyotewanaokubariki, yeyoteakulaaniye nitamlaani naakulaaniye nitamlaani na kupitia kwako mataifa yote duniani yatabarikiwa.” 

MUHIMU!

Mwanzo 13:22 Naye Ibrahimu alikuwa tajiri

sana wa mifugo fedha nasana wa mifugo, fedha nadhahabu.dhahabu. 

MUHIMU!

Basi ni muhimu ujue kwamba, Mungu anaangalia zaidi

heshima ya moyo wako kulikoheshima ya moyo wako, kuliko mahesabu ya sadaka.mahesabu ya sadaka.

Mwanzo 23:12

AINA ZA SADAKA

1. Malimbuko (1st Fruits)Malimbuko ni mazao ya kwanza 

( t k )(mapato ya kwanza).Yanawakilisha ‘lango’ la MunguYanawakilisha lango  la Mungukuingia na kutengeneza uwepog g p

wake katika hilo eneo.

AINA ZA SADAKA

2.  Zaka (Fungu la Kumi)

ZAKA NA SADAKAMalaki 3:7‐12

7 Tangu siku za baba zenu7 Tangu siku za baba zenu, mmegeukia mbali na amrigzangu, nanyi hamkuzishika.     

8 ‘‘Mnaniibia zaka na dhabihu8 ‘‘Mnaniibia zaka na dhabihu.9 Hivyommko chini ya laana,9 Hivyommko chini ya laana, ninyi taifa lote, kwa sababu

iibi i imnaniibia mimi. 

ZAKA NA SADAKA

Malaki 3:7‐1210 Leteni zaka kamili ghalani, 

ili ki h k l k ikili kiwemo chakula katika nyumba yangu asemanyumba yangu, asema BWANAMwenye Nguvu;BWANA Mwenye Nguvu;

ZAKA NA SADAKA

Malaki 3:7‐1210 Nijaribuni katika hili,’’ asema BWANA Mwenye Nguvu ‘‘nanyiBWANA Mwenye Nguvu,  nanyi mwone kama sitawafungulia gmadirisha ya mbinguni na 

kuwamwagieni baraka nyingi mpaka mkose nafasi ya kutoshampaka mkose nafasi ya kutosha 

au la. 

ZAKA NA SADAKAMalaki 3:7‐12

11 N i k jili11 Nami kwa ajili yenunitamkemea yeye alaye walanitamkemea yeye alaye, walahataharibu mazao ya ardhiyenu, wala mzabibu wenu

hautapukutisha matunda yakehautapukutisha matunda yakekabla ya wakati wake,’’ asemay

BWANA Mwenye Nguvu. 

ZAKA NA SADAKA

12 ‘‘Ndipo mataifa yote watawaita ninyi, 

li b iki kmliobarikiwa, kwa maana nchi yenu itakuwa yanchi yenu itakuwa ya 

kupendeza sana,’’ asemakupendeza sana,  asema BWANA Mwenye Nguvu.y g

ZAKA NA SADAKA

Malaki 3:7‐12

Tunamwibia?

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kuiba; ni kuchukua mali au kitu kisicho chako (kutokuachilia, 

li t )mali ya mtu). K i i k i li kitKunyima; ni kuzuia mali au kitu 

kiilicho chako (kuto‐kiilicho chako (kutokuachilia, mali yako kwa mtu mwingine) 

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Katika kila vitu 10 vinavyopita k i k ki j (1)mkononi mwako, kimoja (1)katika hivyo kumi Mungukatika hivyo kumi, Mungu anadai kwamba, sio cha kwako, bali ni cha kwake.

ZAKA NA SADAKAZAKA NA SADAKA

10 = 1 + 910  =     1 +       9

ZAKA +    MATUMIZI   (Dhabihu)

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Uwe mwanagalifu sana na mwaminifu katika mali hii, 

kwasababukwasababu,

ZAKA sio yako!ZAKA sio yako!ZAKA ni ya Mungu!ZAKA ni ya Mungu!Zaka ni takatifu!Zaka ni takatifu!

ZAKA NA SADAKAZAKA NA SADAKA

ZAKA Ya MunguZAKA Ya Mungu.

Dhabihu Ya KwakoDhabihu Ya Kwako.

ZAKA NA SADAKAZAKA NA SADAKA

ZAKA DhabihuZAKA DhabihuYa Mungu Ya KwakoYa Mungu. Ya Kwako.

1 91 9

‘Unarudisha’ ‘Unatoa’Unarudisha Unatoa

ZAKA NA SADAKA

Kwanini vitu 10?

ZAKA NA SADAKA

Kwanini vitu 10?Katika maisha mahesabu ya y

vitu vyote yapo katika tarakimu 10 tu.

ZAKA NA SADAKA

19 01

8 22

7 3

65

45

ZAKA NA SADAKA

Kwanini vitu 10?Katika mduara, namba kumi (10) ndiyo inayokamilisha

mzunguko kamili.

ZAKA NA SADAKA

19 101

8 22

7 3

65

45

ZAKA NA SADAKA

Kwanini vitu 10?Pasipo ile namba kumi (10) pseti au duara linakuwa si kamilifu (hakijakamilika).

ZAKA NA SADAKA

19 1

8 22

7 3

65

45

ZAKA NA SADAKA

19 101

8 22

7 3

65

45

ZAKA NA SADAKA

9110

9

28

2

73

7

6 465 4

ZAKA NA SADAKA

Kwanini vitu 10?Yaani; Mungu ndiye g y

ukamilifu wa maisha ya Mwanadamu.

ZAKA NA SADAKA

Unapotoa ZAKA (Sehemu ya Kumi) ya vitu vyako (mali zako), 

th i i k h hiunathamini na kuheshimunafasi ya Mungu katika maishanafasi ya Mungu katika maisha 

yako, kwamba;Mungu ndiye ukamilifu wako.

ZAKA NA SADAKA

Kwanini vitu 10?Namba Kumi huonyesha ynafasi ya Mungu kwamba Yeye ndiye ukamilifu wa maisha ya Mwanadamu.

ZAKA NA SADAKA

Walawi 27:30‐31Walawi 27:30 3131 Tena Zaka yote ya nchi,31 Tena Zaka yote ya nchi, kama ni Zaka ya mbegu, kama ni matunda ya nchi, 

ni ya BWANA, na ni TAKATIFU k BTAKATIFU kwa Bwana.

ZAKA NA SADAKA

Kwahiyo, uwe mwanagalifu sana na mwaminifu katika fedha na 

mali hizi tunazopatamali hizi tunazopata; kwasababukwasababu …

( / 0) iZAKA (1/10) yote ni ya MunguHi Z k i t k tifHivyo, Zaka ni takatifu

ZAKA NA SADAKAZAKA NA SADAKA

ZAKA DhabihuZAKA DhabihuYa Mungu Ya KwakoYa Mungu. Ya Kwako.

1 91 9

‘Unarudisha’ ‘Unatoa’Unarudisha Unatoa(Haibariki)        (Inabariki)( ) ( )

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kwa mfano; Mapato yakoKwa mfano; Mapato yako.Mshahara 300,000Marupurupu 160,000Kuku/Mayai 130,000Soda/Maji 110 000Soda/Maji 110,000Mengineyo 100,000 JUMLA                      800,000 .

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Zaka yakoZaka yako.

Jumla 800,000 = 80,00010

Zaka yakoTakatifu!

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Walawi 27:30 31Walawi 27:30‐3130 Tena Zaka yote ya nchi, kama ni30 Tena Zaka yote ya nchi, kama ni 

Zaka ya mbegu, kama ni matunda ya nchi, ni ya BWANA, na ni TAKATIFU kwa Bwanana ni TAKATIFU kwa Bwana.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Walawi 27:30 31Walawi 27:30‐31

… ni TAKATIFU kwa Bwana.

Iheshimiwe!I !Iogopwe!

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kwa kadri kila mtu alivyojaliwaKwa kadri kila mtu alivyojaliwana Mungu, anatakiwa kutoana Mungu, anatakiwa kutoa matoleo haya kwa heshima na kwa upendo, kwasababu ya ukuu na wema wa Munguukuu na wema wa Mungu maishani mwetu, ambao maishani mwetu, ambao

hatuwezi kuulipa.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGUKipato    Zaka20,000     2,000200,000     20,000

2,000,000     200,00020,000,000 2,000,000200 000 000 20 000 000200,000,000 20,000,000

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Aliyejaliwa kidogo katika hichoAliyejaliwa kidogo, katika hicho hicho kidogo, ampe Mungu iliyohicho kidogo, ampe Mungu iliyo yake; na kwa aliyejaliwa vingi, katika hivyo vingi, naye pia 

ampe Mungu sehemu yake kwaampe Mungu sehemu yake, kwa heshima na upendo.heshima na upendo.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

‘Aliyepewa kidogo kwake huyo‘Aliyepewa kidogo, kwake huyo vitatakwa kidogo; na kwa yukevitatakwa kidogo; na kwa yuke aliyepewa vingi, kwake huyo 

vitatakwa vingi’kLuka 12:48

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

‘Ukiwa mwaminifu kwa‘Ukiwa mwaminifu kwa machache, Mungu atakufanyamachache, Mungu atakufanya 

mwaminifu kwa vingi.’Mathayo 25:21

Luka 16:10/Luka 19:17

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

KUIHESHIMU ZAKA YA MUNGUYA MUNGU

Walawi 27:30‐31

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Walawi 27:30 31Walawi 27:30‐3130 Tena Zaka yote ya nchi, kama ni30 Tena Zaka yote ya nchi, kama ni 

Zaka ya mbegu, kama ni matunda ya nchi, ni ya BWANA, na ni TAKATIFU kwa Bwanana ni TAKATIFU kwa Bwana.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Zaka yakoZaka yako.

Jumla ya Kipato = Zaka10

Takatifu!

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Walawi 27:30 31Walawi 27:30‐31

… ni TAKATIFU kwa Bwana.

Iheshimiwe!I !Iogopwe!

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Zaka yakoZaka yako.

Jumla 800,000 = 80,00010

Zaka yakoTakatifu!

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Walawi 27:30 31Walawi 27:30‐3131 Na kama mtu akitaka31 Na kama mtu akitaka 

kukomboa chochote cha Zaka yake, ataongeza sehemu ya 

tano (1/5) juu yaketano (1/5) juu yake.“cha juu”cha juu    

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Zaka yakoZaka yako.

1 X  80,000 = 16,00080,000 16,000

5

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Zaka yakoZaka yako.

80,000            (Zaka)+ 16,000  (Riba)96,000  (Zaka Kamili)

Kanisa ni Ubalozi wa MbinguniKanisa ni Ubalozi wa Mbinguni

‘Leteni Zaka Kamili nyumbani‘Leteni Zaka Kamili nyumbani kwangu, asema Bwana; ili sikukwangu, asema Bwana; ili siku zote kiwepo chakula nyumbani 

mwangu, asema Bwana’Malaki 3:10‐12

Kanisa ni Ubalozi wa MbinguniKanisa ni Ubalozi wa Mbinguni

huu ndio utaratibu ambao Munguhuu ndio utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili ya kuiwezesha j y

Ofisi yake duniani (kanisa)k ambakwamba; 

Watu wake tutuoa Zaka na SadakaWatu wake tutuoa Zaka na Sadakakatika namna ya kuonyesha 

heshima na upendo wetu kwake.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUMungu anataka Kanisa lake na makuhani wake, wafanye kazi katika mazingira mazuri ilikatika mazingira mazuri, ili wanapopeleka ibada kwa p p

Mungu, ibada hiyo ifike kwa Mungu ikiwa safi (au fresh), bila kelele za moyoni (masumbufu)kelele za moyoni (masumbufu).

SADAKA NA IBADA KWA MUNGUMungu anataka Kanisa lake (Ofisi 

k ) i t d k i liyake) iwe na watendakazi walio bora zaidi na itoe huduma borabora zaidi na itoe huduma bora 

zaidi kuliko taasisi zingine.Kwa Mfano;

Injili, Elimu, Afya, Udiakonia, Uk i Ut l Uj i kUkarimu, Utaalamu, Ujuzi, n.k.

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

M2Kor 9:6‐8, 11Mungu

K b 18 1 5 K b 8 6 18

Kuhani Nchi Kumb 18:1‐5 Kumb 8:6‐18

Ad

Lawi 6:12‐13 Lawi 26:3‐7

Adam                           Malaki 3:7‐12Hagai 1:5‐11

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kama kila raia wa mbinguni g(mkristo) angekuwa na 

Nidhamu na Heshima hii kwa Mungu kupitia mali zake naMungu kupitia mali zake na kipato chake, hakika ‘nyumba p , yya Bwana’ (kanisa) lisingekuwa na uhitaji wa aina yoyote leo. 

Mithali 3:9‐10 / Malaki 3:10‐12Mithali 3:9 10 / Malaki 3:10 12‘Mheshimu Mungu kwa mali zako g

na kwa malimbuko ya mazao yako; ndipo ghala zako (akaunti yako) itakapojazwa sana nayako) itakapojazwa sana na viriba vyako (friji yako) y ( j y )

havitapungukiwa divai mpya( d )’(juisi, matunda, sausage, mayai)’

Mithali 3:9‐10 / Malaki 3:10‐12Mithali 3:9 10 / Malaki 3:10 12‘Ndipo nitakapokufungulia p p gmadirisha ya mbinguni na kukumwagia baraka, mpaka ukose mahali pa kuziweka; naukose mahali pa kuziweka; na mataifa yote watawaiteni ninyi y y

heri yaani ‘wabarikiwa’. 

Mithali 3:9‐10 / Malaki 3:10‐12Mithali 3:9 10 / Malaki 3:10 12‘Nami nitamkemea na 

kumshughulikia yule adui yenuanayekula mazao yenu (faida zenu) na kupukutisha matundazenu) na kupukutisha matunda 

zenu kabla hazijakomaa j(matarajio yenu). 

Kumbukumbu 28:1‐141 ‘Kama ukimtii BWANA Mungu 

k k bidii k f iwako kwa bidii na kufuata amri zake zote ninazokupa leo kwazake zote ninazokupa leo kwa bidii, BWANA Mungu wako 

atakuweka juu ya mataifa yote k ik d i ’katika dunia’

Kumbukumbu 28:1‐14

2 ‘Baraka hizi zote zitakuja juu yako na kukupata kama ukimtiiyako na kukupata, kama ukimtii 

BWANA Mungu wako:BWANA Mungu wako: 3 Utabarikiwa mjini na jutabarikiwa mashambani. 

Kumbukumbu 28:1‐14

4 ‘Utabarikiwa uzao wa tumbo lako mazao ya nchi yako nalako, mazao ya nchi yako na 

wanyama wako, wachanga wawanyama wako, wachanga wa kufugwa, ndama wa makundi 

yako ya ng’ombe na wanakondoo wa makundi yako’wanakondoo wa makundi yako’

Kumbukumbu 28:1‐145 ‘Kapu lako na vyombo vyako 

k k di it b ikivya kukandia vitabarikiwa.       6 Utabarikiwa uingiapo na6 Utabarikiwa uingiapo na 

utabarikiwa utokapo. 7 BWANA atakujalia adui kushindwa b l k W t k ji k jimbele yako. Watakujia kwa njia moja lakini watakimbia mbelemoja lakini watakimbia mbele 

yako kwa njia saba. 

Kumbukumbu 28:1‐14

8 ‘BWANA ataagiza baraka juu ya ghala zako na juu ya kila kitughala zako na juu ya kila kitu utakachogusa kwa mkono gwako. BWANA Mungu wako 

atakubariki katika nchi anayokupa’anayokupa . 

Kumbukumbu 28:1‐1410 ‘Kisha mataifa yote ya dunia 

t k it k jiwataona kuwa unaitwa kwa jina la BWANA, nao watakuogopa.la BWANA, nao watakuogopa. 11 BWANA atakupa kustawi kwa wingi, katika uzao wa 

t b l k ktumbo lako, wanyama wako na mazao ya ardhi yako, katikamazao ya ardhi yako, katika nchi aliyokupa Bwana.’

Kumbukumbu 28:1‐1412 ‘BWANA atafungua mbingu, 

h l k b k k kghala zake za baraka, kukupa mvua kwa majira yake namvua kwa majira yake na kubariki kazi zako zote za mikono yako. Utakopesha t if i l ki i h t kmataifa mengi lakini hutakopa 

kwa ye yote’.kwa ye yote . 

Kumbukumbu 28:1‐14

13 ‘BWANA atakufanya kichwa,13 BWANA atakufanya kichwa, wala si mkia. Kama utazingatia maagizo ya BWANA Mungu 

wako ninayokupa siku hii ya leowako ninayokupa siku hii ya leo na kuzifuata kwa bidii, daimana kuzifuata kwa bidii, daima 

utakuwa juu, na kamwe hutakuwa chini’. 

Kumbukumbu 28:1‐14

14 ‘ni kama hautazihalifu amri zangu zo zote ninazokupa leozangu zo zote ninazokupa leo, 

kwa kwenda kuume au kushoto, ,kwa kufuata miungu mingine na 

kuitumikia’. 

Walawi 26:3‐13‘hamtapungukiwa na chochote; 

k b b k f kkwasababu kuvuna nafaka kwenu kutaendelea hata wakatikwenu kutaendelea hata wakati wa kuvuna zabibu; na kuvuna zabibu kutaendelea mpaka 

k ti k d b ’wakati wa kupanda mbegu’(No Budget Deficiet)(No Budget Deficiet)

ZAKA NA SADAKA

ZAKA HUTOLEWA WAPI?Malaki 3:10‐12

ZAKA NA SADAKA

Malaki 3:7‐1210 Leteni zaka kamili ghalani, 

ili ki h k l k ikili kiwemo chakula katika nyumba yangu asemanyumba yangu, asema BWANAMwenye Nguvu;BWANA Mwenye Nguvu;

ZAKA NA SADAKA

Malaki 3:7‐12‘Nyumba ya Mungu’

Hekaluni Mkutano wa InjiliSemina ya Neno

d lHuduma za Injili

ZAKA NA SADAKA

Malaki 3:7‐12‘Nyumba ya Mungu’

Mlawi / Mtumishi    YatimaMjane

/ hMgeni/Mhitaji 

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 14:28‐2928 Mwishoni mwa kila mwaka wa tatu, leteni zaka zote za 

mazao ya miaka ile namazao ya miaka ile na uyahifadhi kwenye miji yenu,uyahifadhi kwenye miji yenu,

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 14:28‐2929 ili Walawi (ambao hawana mashamba wala urithi wao wenyewe) na wageni yatimawenyewe) na wageni, yatima na wajane wanaoishi kwenyena wajane wanaoishi kwenye 

miji yenu …j y

ZAKA NA SADAKA

Kumbukumbu 14:28‐2929 … ili wapate kuja kula na kushiba, ili BWANA Mungu wenu apate kuwabariki ninyiwenu apate kuwabariki ninyi katika kazi zote za mikonokatika kazi zote za mikono 

yenu.y

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Na huu ndio utaratibu ambaoNa huu ndio utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili ya g j ykuitunza ofisi yake duniani 

(kanisa)(kanisa). 

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kwamba;Kwamba;Watu wake kutuoa sehemu za maliWatu wake kutuoa sehemu za mali 

zetu kwake (Zaka na Sadaka)katika namna ya kuonyesha 

heshima na upendo wetu kwakeheshima na upendo wetu kwake

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kazi yoyote inayofanywa na kanisaKazi yoyote inayofanywa na kanisa(makuhani) ili Mungu apewe ibada g pna utukufu anaostahili, kazi hiyo ikichechemea k a namna o oteikichechemea kwa namna yoyote, 

basi mimi na wewe hatuwezi kubarikiwa katika maisha yetu 

l k tik k i twala katika kazi zetu.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Na huu ndio utaratibu ambaoNa huu ndio utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili ya g j ykuitunza ofisi yake duniani 

(kanisa)(kanisa). 

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Watu wa Mungu wakielewa nafasiWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao, y y

watatoa mali zao kwa heshima na tii na k a mo o a f rahautii, na kwa moyo wa furaha, 

katika kuifanya kazi ya Mungu. Na y y gkazi ya Mungu inakwenda vizuri, 

i t t b ikinasi sote tunabarikiwa sana.   

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Uwe mwanagalifu sana naUwe mwanagalifu sana na mwaminifu katika mali zote na baraka zote zinazopita mkononi 

m ako k asababmwako, kwasababuWewe sio mali yako mwenyewe!Wewe sio mali yako mwenyewe!

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

1 Wakorintho 6:19 201 Wakorintho 6:19‐2019 Je, hamjui ya kwamba miili19 Je, hamjui ya kwamba miili 

yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu, akaaye ndani yenu, ambaye mmepewa na Mungu?ambaye mmepewa na Mungu? Kwahiyo Ninyi si mali yenu 

wenyewe … 

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

1 Wakorintho 6:19 201 Wakorintho 6:19‐2020 … kwa maana mmenunuliwa20 … kwa maana mmenunuliwa 

kwa gharama. Kwa hiyo mtukuzeni Mungu katika miili yenu na katika roho zenuyenu na katika roho zenu ambazo ni mali ya Mungu.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Uwe mwanagalifu sana naUwe mwanagalifu sana na mwaminifu katika mali hizi tunazopata; kwasababu …

ZAKA zake ni za MunguZaka ni takatifu

ZAKA NA SADAKA

Malaki 3:7‐1210 Leteni zaka kamili ghalani, 

ili ki h k l k ikili kiwemo chakula katika nyumba yangu asemanyumba yangu, asema BWANAMwenye Nguvu;BWANA Mwenye Nguvu;

MUHIMU!

Katika utoaji wa sadaka zetu, mara nyingi tunakosea. Lakini ni muhimu sana tukumbukeni muhimu sana tukumbuke kwamba, Mungu anaangalia kwamba, Mungu anaangaliazaidi heshima ya moyo wako,kuliko mahesabu ya sadaka.

1 Samweli 16:7

MUHIMU!

1 Samweli 16:7“Lakini BWANA akamwambiaSamweli “Usitazame sura yakeSamweli, “Usitazame sura yakewala kimo chake, kwa kuwawala kimo chake, kwa kuwa

nimemkataa. BWANA hatazamikatika vile vitu mwanadamu

avitazamavyo ”avitazamavyo …” 

MUHIMU!

1 Samweli 16:7“Mwanadamu hutazama katika

sura ya nje lakini BWANAsura ya nje, lakini BWANA hutazama moyoni …”hutazama moyoni …  

MUHIMU!

1 Samweli 15:2222 ‘Lakini Samweli akamjibuMfalme Sauli kusema: JeMfalme Sauli, kusema: Je, 

BWANA anafurahia sadaka za kuteketezwa na dhabihu kama vile kuitii sauti ya BWANA? Kutiini bora zaidi kuliko dhabihu ’ni bora zaidi kuliko dhabihu.

MUHIMU!

Katika utoaji wa sadaka zetu, mara nyingi tunakosea. Lakini kama hukufanya makusudi balikama hukufanya makusudi, bali 

mahesabu ya utoaji wako, mahesabu ya utoaji wako,umeyafanya katika ujuzi wako 

wa juu kabisa …

MUHIMU!

Basi ni muhimu ujue kwamba, Mungu anaangalia zaidi

heshima ya moyo wako kulikoheshima ya moyo wako, kuliko mahesabu ya sadaka.mahesabu ya sadaka.

Mwanzo 23:12

AINA ZA SADAKA

3.  Dhabihu (Sadaka)2Wakorintho 9:6‐14

AINA ZA SADAKA

3.  Dhabihu (Sadaka)Dhabihu (Sadaka) ni matoleo

t t t (t l t )yote, tunayotoa (tunayoleta) nyumbani mwa Bwana baadanyumbani mwa Bwana, baadaya kurudisha Zaka ya Mungu.y y g

ZAKA NA SADAKA

2Wakorintho 9:6‐146 Lakini nasema Neno hili, apandaye haba (kwa uchache)apandaye haba (kwa uchache), atavuna haba (kwa uchache); ( );apandaye kwa ukarimu (kwawingi) atavuna kwa ukarimu

(kwa wingi)(kwa wingi)

ZAKA NA SADAKA2Wakorintho 9:6‐14

7 Kil d k7 Kila mtu na atende kamaalivyokusudia moyoni mwake,alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni wala si kwal i k Mlazima; kwa maana Munguhumpenda yeye atoaye kwahumpenda yeye atoaye kwa

moyo wa ukunjufu(moyo wa kupenda).

ZAKA NA SADAKA

2Wakorintho 9:6‐148 Na Mungu aweza kuwajaza, kila

neema kwa wingi ili ninyineema kwa wingi, ili ninyimuwe na riziki za kila namna, ,tena siku zote, ili mpate kuzidisana katika kila tendo jema

( k i )(ukarimu) 

ZAKA NA SADAKA2Wakorintho 9:6‐14

10 N M10 Na yeye Mungu ampayempanzi mbegu za kupanda, nap g p ,kuzibariki hata zilete mkate

h k l t buwe chakula, atawapa mbeguza kupanda na kuzizidisha, p ,atayaongeza mazao ya haki

yenuyenu.

ZAKA NA SADAKA

2Wakorintho 9:6‐1411 Mkitajirishwa katika vituvyote mpate kuwa na ukarimuvyote, mpate kuwa na ukarimu(utoaji) wote, unaompatia( j ) , pMungu shukurani kwa kazi

yetu

ZAKA NA SADAKA

2Wakorintho 9:6‐1412 Maana utumishi wa huduma

hii ya utoaji hauwatimiziihii, ya utoaji, hauwatimiziiwatakatifu riziki

walizopongukiwa tu, bali piah b bi h h k i i ihusababisha shukurani nyingi

apewazo Munguapewazo Mungu …

ZAKA NA SADAKA

2Wakorintho 9:6‐1412 … kwasababu ya utii katika

utoaji mnaofanya kwautoaji mnaofanya kwawatakatifu wenye mahitaji. y j

ZAKA NA SADAKA2Wakorintho 9:6‐14

13 K k kij ibi k13 Kwakuwa mkijaribiwa kwautumishi huo (wa utoaji), ( j ),

wanamtukuza Mungu kwa ajilitii k tik I jiliya utii wenu katika Injili ya

Kristo, na kwa ajili ya ukarimu, j ywenu mliowashirikisha wao na

watu wotewatu wote.

ZAKA NA SADAKA

2Wakorintho 9:6‐1414 Na kwa utoaji wenu, watakatifu hao huomba duawatakatifu hao huomba duakwa ajili yenu na neema yaj y y

Mungu huzidi sana ndani yenu.

AINA ZA SADAKA

3.  Dhabihu (Sadaka)Dhabihu (Sadaka) ni matoleo

t t t (t l t )yote, tunayotoa (tunayoleta) nyumbani mwa Bwana baadanyumbani mwa Bwana, baadaya kurudisha Zaka ya Mungu.y y g

ZAKA NA SADAKAZAKA NA SADAKA

10 = 1 + 910  =     1 +       9

ZAKA +    MATUMIZI   (Dhabihu)

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Tofauti yaTofauti ya Zaka na SadakaZaka na Sadaka

Tofauti ya Zaka na SadakaZaka Sadaka1 1

Zaka ni Moja ya Sadaka ni sehemuZaka ni Moja ya Sadaka ni sehemu

kumi (1/10) ya ya mali zako zilizokumi (1/10) ya ya mali zako zilizo

baraka zote zinazo baki, (9/10) baada 

pita maishani  kutoa Zaka

mwako

Tofauti ya Zaka na SadakaZaka Sadaka2 2

Zaka ni ya Mungu Sadaka ni ya KwakoZaka ni ya Mungu Sadaka ni ya Kwako

(Walawi 27:30‐31) (2Wakorintho 9:6‐8)(Walawi 27:30 31)       (2Wakorintho 9:6 8)“Tena Zako yote, iwe         “Mungu huwapenda wale

ni ya mbegu au ya             wanaotoa kwa moyo, si

Matunda, ni ya Bwana, kwa lazima au kwaMatunda, ni ya Bwana,             kwa lazima au kwa

Ni Takatifu kwa Bwana.”                si kwa huzuni”

Tofauti ya Zaka na SadakaZaka Sadaka3 3

Zaka: Kumrudishia Sadaka: KumtoleaZaka: Kumrudishia Sadaka: Kumtolea

(Walawi 27:30‐31) (2Wakorintho 9:6‐8)(Walawi 27:30 31)       (2Wakorintho 9:6 8)“Tena Zako yote, iwe         “Mungu huwapenda wale

ni ya mbegu au ya             wanaotoa kwa moyo, si

Matunda, ni ya Bwana, kwa lazima au kwaMatunda, ni ya Bwana,             kwa lazima au kwa

Ni Takatifu kwa Bwana.”                si kwa huzuni”

Tofauti ya Zaka na SadakaZaka Sadaka4 4

Usipotoa Zaka Usipotoa DhabihuUsipotoa Zaka Usipotoa Dhabihu

“Umeiba !!!”  “Umenyima” y

(Malaki 3:7‐9) (2Korintho 9:6‐9)     “mmelaaniwa kwasababu        “Kila mtu na atoe vile

ya kuniibia Zaka na anavyojisikia moyoniya kuniibia Zaka na              anavyojisikia moyoni

Dhabihu”                                   mwake…”

Tofauti ya Zaka na SadakaZaka Sadaka5 5

Zaka ni lazima Dhabihu ni hiayiZaka ni lazima Dhabihu ni hiayiUsipotoa “Umeiba!”  Usipotoa“Umenyima” p p y

(Malaki 3:7‐9) (2Korintho 9:6‐9)     “mmelaaniwa kwasababu        “Kila mtu na atoe vile

ya kuniibia Zaka na anavyojisikia moyoniya kuniibia Zaka na              anavyojisikia moyoni

Dhabihu”                                   mwake…”

Tofauti ya Zaka na SadakaZaka Sadaka6 6

Zaka ina Mahesabu Dhabihu haina hesabuZaka ina Mahesabu Dhabihu haina hesabu

(Malaki 3:10‐12) (2Korintho 9:6‐9)     ( ) ( )“Leteni Zaka Kamili,              “Kila mtu na atoe vile

ili kiwepo chakula              anavyojisikia moyoni

nyumbani mwangu,                           mwake”y g

Asema Bwana”                   

Tofauti ya Zaka na SadakaZaka Sadaka7 7

Zaka inaonyesha Dhabihu inaonyeshaZaka inaonyesha   Dhabihu inaonyesha  Unamheshimu Mungu    Unampenda Mungug p g

(Walawi 27:30) (2Korintho 9:6‐9)

Tena Zako yote, ni             Mungu huwapenda wale

ni ya Bwana; wanaotoa kwa moyo wani ya Bwana;                    wanaotoa kwa moyo wa

Ni takatifu kwa Bwana.          kupenda, si kwa lazima.

Tofauti ya Zaka na SadakaZaka Sadaka8 8

Zaka inafungua Dhabihu inamwagaZaka inafungua Dhabihu inamwaga

‘Leteni Zaka na DhabihuLeteni Zaka na Dhabihu 

Nitafungua na Kumwaga’ 

(Malaki 3:10)

Tofauti ya Zaka na SadakaZaka Sadaka8 8Zaka + Dhabihu

Fungua + Kumwaga( l k ) ( l k )(Malaki 3:10)          (Malaki 3:10)       

ZAKA NA SADAKAZAKA NA SADAKA

ZAKA DhabihuZAKA DhabihuYa Mungu Ya KwakoYa Mungu. Ya Kwako.

9 99 9

Haibariki InabarikiHaibariki         Inabariki‘Unarudisha’ ‘Unatoa’Unarudisha          Unatoa

NGUVU YA SADAKA NA IBADAWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

UchakachuajiUchakachuajiWa Sadaka za Mungu.Wa Sadaka za Mungu.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Walawi 26:27 28Walawi 26:27‐28Ukichakachua sadaka zaUkichakachua  sadaka za Mungu, Wewe mwenyewe g yunaua nguvu ya mbegu, iliyo d i d k k d kndani ya sadaka yako. Sadaka 

yako haitaweza kuzaa barakayako haitaweza kuzaa baraka.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Walawi 26:27 28Walawi 26:27‐28Ukichakachua sadaka zaUkichakachua  sadaka za 

Mungu, Mungu naye g g yatachakachuamazao na 

(f id ) kmavuno (faida)  zako.

UCHAKACHUAJI WA SADAKA

Walawi 26:27‐2827 ‘Kama hata baada ya haya b d h t i ikili l ki ibado hamtanisikiliza lakini 

mkaendelea kunishika kinyumemkaendelea kunishika kinyume 28 ndipo katika hasira yangu nami nitaendelea kuwashika 

ki ( k d i )kinyume (na kuwa uadui yenu).

ZAKA NA SADAKA

Kwa Mfano Hagai 1:5‐11

ZAKA NA SADAKA

Hagai 1:5‐115 Sasa hili ndilo asemalo BWANA Mwenye Nguvu: “Zit f k i i ji“Zitafakarini vema njia 

zenu 6 Mmepanda vingizenu. 6 Mmepanda vingi, lakini mmevuna haba.lakini mmevuna haba.

ZAKA NA SADAKAHagai 1:5‐11

6 M k l l ki i h hibi6 … Mnakula lakini hamshibi, mnakunywa lakinimnakunywa, lakini 

hamtosheki. Mnavaa nguo, lakini hamsikii joto. Mnapatamishahara lakini inatowekamishahara, lakini inatowekakama imewekwa kwenyeymfuko uliotoboka‐toboka.’’ 

ZAKA NA SADAKA

Hagai 1:5‐117 Hili ndilo asemalo BWANA 

“ i f k i iMwenye Nguvu: “Zitafakarini vema njia zenu (mienendovema njia zenu (mienendo yenu. Angalieni mahaliyenu. Angalieni mahali 

mlipokosea na kupotoka); 

ZAKA NA SADAKA

Hagai 1:5‐119 “Mlitarajia vingi, kumbe, 

i k kidvimetokea kidogo. Ulichokileta nyumbaniUlichokileta nyumbani 

nilikipeperusha. Kwa nini?’’nilikipeperusha. Kwa nini?  anailiza BWANA Mungu 

Mwenye Nguvu.

ZAKA NA SADAKA

Hagai 1:5‐119 ‘‘Ni kwa sababu ya nyumba yangu (kazi yangu) inayobakiyangu (kazi yangu), inayobaki 

katika hali ya magofu nakatika hali ya magofu na uharibifu, wakati ninyi, kila 

mmoja wenu anajishughulisha na nyumba yake mwenyewena nyumba yake mwenyewe.

ZAKA NA SADAKA

Hagai 1:5‐1110 Kwa hiyo, kwa sababu yenu 

(kutokutii kwenu) mbingu zimezuiliwa zisitoe mvuazimezuiliwa zisitoe mvua, 

wala umande wake; na ardhiwala umande wake; na ardhi imezuiliwa isitoe matunda na 

mavuno yake.

ZAKA NA SADAKA

Hagai 1:5‐1111 Niliita ukame mashambani na

milimani kwenye nafakamilimani, kwenye nafaka, mvinyo mpya, mafuta pamoja nay py , p jchochote cha ardhi yenu, na juuya watu na juu ya ng'ombe wenupamoja na kazi za mikono yenu ’’pamoja na kazi za mikono yenu.  

ZAKA NA SADAKA

Hagai 1:5‐117 Hili ndilo asemalo BWANA 

“ i f k i iMwenye Nguvu: “Zitafakarini vema njia zenu (mienendovema njia zenu (mienendo yenu. Angalieni mahaliyenu. Angalieni mahali 

mlipokosea na kupotoka); kisha... 

ZAKA NA SADAKA

Hagai 1:5‐118 Pandeni milimani mkalete mitina kujenga nyumba ili nipatena kujenga nyumba, ili nipate

kuifurahia nitukuzwe.’’kuifurahia nitukuzwe.

UCHAKACHUAJI WA SADAKA

Walawi 26:27‐2827 ‘Kama hata baada ya haya 

b d h t i ikili b libado hamtanisikiliza bali mnaendelea kunishika kinyumemnaendelea kunishika kinyume28 ndipo katika hasira yangu nami nitaendelea kuwashika 

ki ( k d i )kinyume (na kuwa uadui yenu).

UCHAKACHUAJI WA SADAKA

Malaki 3:7‐127 Tangu wakati wa baba zenu, 

ki b li immegeukia mbali na amri zangu nanyi hamkuzishikazangu, nanyi hamkuzishika. 

Nirudieni mimi, nami nitawarudia ninyi,” asema BWANA M NBWANA Mwenye Nguvu.

UCHAKACHUAJI WA SADAKA

Malaki 3:7‐12Hii ina maana kwamba, li k i h imlipoamua kuniacha, nami 

niliamua kuwaacha Lakininiliamua kuwaacha. Lakini mkiamua kurudi, nami nitaamua kuwarudia.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Walawi 26:27 28Walawi 26:27‐28Ukichakachua sadaka zaUkichakachua  sadaka za 

Mungu, Mungu naye g g yatachakachuamazao na 

(f id ) kmavuno (faida)  zako.

NGUVU YA SADAKA NA IBADAWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

NGUVU YA SADAKA NA IBADAKwasababu sadaka katika maisha 

ya mtu wa Mungu, ni moja ya Kanuni muhimu sana ya kirohoKanuni muhimu sana ya kiroho, inayoweza kusababisha athariynzuri katika ulimwengu wa roho, hata kuleta mabadilikokatika ulimwengu wa mwilikatika ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA SADAKA NA IBADAKumbuka kwamba ulimwengu 

wa roho, ndio mama wa ulimwengu wa mwili; hivyoulimwengu wa mwili; hivyo 

hakuna kitu kitafanyika katika yulimwengu wa mwili, mpaka 

kwanza kifanyike katika ulimwengu wa rohoulimwengu wa roho.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kwahiyo Utaratibu ambao MunguKwahiyo, Utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili ya kuitunza ofisi j y

yake duniani (kanisa) ni Watu wake kutuoa sehemu za mali 

zetu kwake (Zaka na Sadaka)zetu kwake (Zaka na Sadaka)katika namna ya kuonyesha 

heshima na upendo wetu kwake

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kumbuka kwambaKumbuka kwamba, Unapotoa zaka na sadaka kwaUnapotoa zaka na sadaka kwa 

uongozi wa Mungu, haupotezi, bali unawekeza katika ufalme wa 

Mungu na kwa wakati wa MunguMungu, na kwa wakati wa Mungu, hakika utavuna kwa kelele za 

furaha na shangwe. 

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Sadaka yako ni mbeguSadaka yako ni mbegu, wala si mchango.wala si mchango.

NGUVU YA SADAKANGUVU YA SADAKA(Kazi ya Zaka na sadaka)(Kazi ya Zaka na sadaka)

Malaki 3:10‐12

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Malaki 3:7‐12

KAZI YA

Malaki 3:7 12

KAZI  YA  ZAKA NA  DHABIHU

ZAKA NA SADAKA

Malaki 3:7‐1210 Leteni zaka kamili ghalani, 

ili ki h k l k ikili kiwemo chakula katika nyumba yangu asemanyumba yangu, asema BWANAMwenye Nguvu;BWANA Mwenye Nguvu;

ZAKA NA SADAKA

Malaki 3:7‐1210 Nijaribuni katika hili,’’ asema BWANA Mwenye Nguvu ‘‘nanyiBWANA Mwenye Nguvu,  nanyi mwone kama sitawafungulia gmadirisha ya mbinguni na 

kuwamwagieni baraka nyingi mpaka mkose nafasi ya kutoshampaka mkose nafasi ya kutosha 

au la. 

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Malaki 3:7‐12

ZAKA + DHABIHU

Malaki 3:7 12

ZAKA +   DHABIHU

KUFUNGUA + KUMWAGAKUFUNGUA +   KUMWAGA(Haibariki)        (Inabariki)( ) ( )

NGUVU YA SADAKA

Malaki 3:7‐12

1. Kufungua mbingu2. Kumwaga Baraka

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Sadaka yako, ina nguvuKwahiyo, Sadaka yako, ina nguvu ya kukufungulia fursa (nafasi)

ambazo kikawaida, usingezipata wewe au kwa juhudi zako Na piawewe au kwa juhudi zako. Na pia 

sadaka yako ina nguvu yasadaka yako ina nguvu ya kukumwagia baraka mbalimbali za kukufanikisha zaidi kimaisha.

ZAKA NA SADAKAMalaki 3:7‐12

11 N i k jili11 Nami kwa ajili yenunitamkemea yeye alaye walanitamkemea yeye alaye, walahataharibu mazao ya ardhiyenu, wala mzabibu wenu

hautapukutisha matunda yakehautapukutisha matunda yakekabla ya wakati wake,’’ asemay

BWANA Mwenye Nguvu. 

NGUVU YA SADAKA

Malaki 3:7‐121. Kufungua mbingu2. Kumwaga Baraka3. Upako wa Kushinda Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Sadaka yako, ina nguvuKwahiyo, Sadaka yako, ina nguvu ya kufungulia upako maalumu (msaada wa Roho Mtakatifu) ili 

kukuwezesha kuendeleakukuwezesha kuendelea kupigana na adui zako katika vitakupigana na adui zako katika vita vya kiroho tulivyonavyo duniani 

na kushinda!

Malaki 3:7‐12

12 ‘‘Ndipo mataifa yote watawaita ninyi, 

li b iki kmliobarikiwa, kwa maana nchi yenu itakuwa yanchi yenu itakuwa ya 

kupendeza sana,’’ asemakupendeza sana,  asema BWANA Mwenye Nguvu.y g

NGUVU YA SADAKA

Malaki 3:7‐121. Kufungua mbingu2. Kumwaga Baraka3. Upako wa Kushinda Vita4. Kukutofautisha.

NGUVU YA SADAKA

Kutoka 9: 4, 26Kutoka 9: 4, 26Nami nitaweka tofauti kati ya 

Wamisri na Waebrania. (Mambo yatakayowapata Wamisri 

hayatawapata Waebrania)hayatawapata Waebrania)

NGUVU YA SADAKA

Mathayo 6:26‐33yMnahangaikia Chakula? Mavazi? 

Waangalieni Ndege na Maua … Ninyi t f t i k Uf l Mutafuteni kwanza Ufalme wa Mungu … hayo mengine nitawazidishia.ayo e g e ta a d s a

NGUVU YA SADAKA

Zekaria 8:20‐23‘Katika siku hizo, watu 10 wa mataifa mbalimbali, wataushika upindo wa nguo wa Myahudi (Mkristo) mmojanguo wa Myahudi (Mkristo) mmoja na kusema, tutakwenda pamoja 

nawe, kwa maana tumesikia Mungu yupo pamoja nanyi’yupo pamoja nanyi

NGUVU YA SADAKA

Daniel 1:1717 Na katika habari za hao vijana 

li d i lwaliompenda Mungu, Daniel, Shadrack, Meshack, na Abednego, , , g ,Mungu aliwapa akili, busara na if k b idi 10maarifa; na kuwa bora zaidi, mara 10 

kuliko werevu wote, waganga wote   na wachawi wote wa Babeli.

NGUVU YA SADAKA

Kwahiyo, Sadaka yako, ina nguvuKwahiyo, Sadaka yako, ina nguvu ya kukufanya uwe tofauti  na 

watu wengine, ukawa bora zaidikatika utendaji akili na maarifakatika utendaji, akili na maarifa, masomo, afya, uchumi, familia,masomo, afya, uchumi, familia, ulinzi, n.k. kwa Utukufu wa 

Mungu wako.

NGUVU YA SADAKA5. Sadaka ina nguvu ya kufanya 

fiki Mrafiki wa Mungu (Upendo wa Kirafiki)(Upendo wa Kirafiki).Yohana 14:23 21Yohana 14:23,21 

NGUVU YA SADAKA

Yohana 14:23 21Yohana 14:23,21 ‘Mtu akinipenda, Mimi na BabaMtu akinipenda, Mimi na Baba tutampenda (kitofauti, kirafiki zaidi), na kuja kufanya makao d i k k jidhihi i hndani yake na kujidhihirisha 

kwake.’kwake.

NGUVU YA SADAKALuka 7:36‐48

‘Huyu Mwanamke kahaba, amenionyesha Upendo mwingiamenionyesha Upendo mwingi zaidi (kwa njia ya utoaji wake), ( j y j ),kwasababu amesamehewa 

dhambi nyingi sana; 

NGUVU YA SADAKALuka 7:36‐48

‘Lakini wewe Yusufu, hujanionyesha upendo wakohujanionyesha upendo wako mwingi (kwa utoaji wako) g ( j )kwasababu umesamehewa 

dhambi kidogo’.

NGUVU YA SADAKALuka 7:36‐48

‘Kumbe sadaka yako ina uwezo wa kukupa nafasi ya karibuwa kukupa nafasi ya karibu zaidi katika moyo wa Mungu, y g ,

kuliko wengine’

NGUVU YA SADAKAMithali 8:17

Japo Mungu anawapenda watu wote lakini Mungu anasemawote, lakini Mungu anasema 

“Ninawapenda wale pwanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii, 

wataniona”wataniona .

NGUVU YA SADAKA

Yohana 14:23 21Yohana 14:23,21 ‘Mtu akinipenda, Mimi na BabaMtu akinipenda, Mimi na Baba tutampenda (kitofauti, kirafiki zaidi), na kuja kufanya makao d i k k jidhihi i hndani yake na kujidhihirisha 

kwake.’kwake.

NGUVU YA SADAKAYohana 14:23,21 

‘Kumbe kuna upendo wa aina tofauti tofauti’tofauti‐tofauti .

Agape – Upendo wa woteAgape  Upendo wa wotePhileo – Upendi wa kirafikiPhileo Upendi wa kirafiki

NGUVU YA SADAKAYohana 14:23,21 

‘Kumbe kuna upendo wa aina tofauti tofauti’tofauti‐tofauti .

Agape – Upendo wa woteAgape  Upendo wa wotePhileo – Upendi wa kirafikiPhileo Upendi wa kirafiki

NGUVU YA SADAKA1 (Yoh 21:19‐24)

3 (Math 17:1‐9)

1212 (Luka 6:12‐15)

2 70 (L k 10 1 17)2 70 (Luka 10:1,17)

3 120 (Mdo 1:15)3 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3‐8)500 (1Kor 15:3 8)

NGUVU YA SADAKAYohana 14:23,21 

‘Kumbe kuna upendo wa aina tofauti tofauti’ Usiridhike natofauti‐tofauti . Usiridhike na upendo wa Agape, tafuta p g p ,

kuongezeka ‘kimahusiano’ na Mungu, upate nafasi ya juu zaidi ndani ya Mungu; Phileozaidi ndani ya Mungu; Phileo.

NGUVU YA SADAKA5. Sadaka ina nguvu ya kufanya 

fiki Mrafiki wa Mungu (Upendo wa Kirafiki)(Upendo wa Kirafiki).Yohana 14:23 21Yohana 14:23,21 

NGUVU YA SADAKA6. Sadaka yako ina nguvu ya

k h bi i k i b kkuhubiri kwa niaba yako. Rum 10:13 15;Rum 10:13‐15; Luka 9:36‐50Luka 9:36 50Mathayo 26:13Mathayo 6: 3

NGUVU YA SADAKAMathayo 26:13

“Ninawaambia kweli, mahali po pote habari njemapo pote habari njema 

itakapohubiriwa ulimwenguni p gmwote, jambo hili alilofanya mwanamke huyu, litatajwa pia kwa ukumbusho wake ’’pia, kwa ukumbusho wake.

NGUVU YA SADAKAMathayo 10:40,41,42

40 “Mtu ye yote atakayewapokea ninyiatakayewapokea ninyi 

atakuwa amenipokea mimi na pye yote atakayenipokea mimi atakuwa amempokea Yeye 

aliyenitumaaliyenituma.

NGUVU YA SADAKAMathayo 10:40,41,42

42 Kama ye yote akimpa hata kikombe cha maji mmoja wakikombe cha maji mmoja wa hawa wadogo kwa kuwa ni gmwanafunzi wangu, amin, ninawaambia, hataikosa 

thawabu yake ’’thawabu yake.

NGUVU YA SADAKAMathayo 10:40,41,42

k41 Mtu ye yote anayempokea nabii kwa kuwa ni nabiinabii kwa kuwa ni nabii, 

atapokea thawabu ya nabii na mtu anayempokea mwenye haki 

kwa kuwa ni mwenye hakikwa kuwa ni mwenye haki, atapokea thawabu ya mwenye p y y

haki.

NGUVU YA SADAKAMathayo 10:40,41,42

k l kMtu ye yote atakayempeleka mtumishi wa Mungu katika kazimtumishi wa Mungu katika kazi ya Mungu, atapata thawabu wa 

mtumishi wa Mungu.Warumi 10:13‐15

NGUVU YA SADAKA6. Sadaka yako ina nguvu ya

k h bi i k i b kkuhubiri kwa niaba yako. Rum 10:13 15;Rum 10:13‐15; Luka 9:36‐50Luka 9:36 50Mathayo 26:13Mathayo 6: 3

NGUVU YA SADAKA7. Sadaka yako ina nguvu yak k k j j b lilil jifi hkukupa kujua jambo lililojificha 

au siri usiyoijua.au siri usiyoijua. Tito 2:11‐12

NGUVU YA SADAKA

Tito 2:11‐1211 “K N11 “Kwa maana Neema ya Mungu iwaokoayo wanadamuMungu iwaokoayo wanadamu 

wote, imefunuliwa …”

NGUVU YA SADAKA

Tito 2:11‐1212 “ t f di h k k t12 “nayo yatufundisha kukataa 

ubaya na tamaa za kiduniaubaya na tamaa za kidunia, tupate kuishi kwa kiasi na haki na utauwa katika ulimwengu 

h ”huu wa sasa…”

NGUVU YA SADAKA NA MAOMBI

Kwa Mfano h lMaisha ya Mzee Kornelio

M t d 10 1 48Matendo 10:1‐48;

NGUVU YA SADAKA NA MAOMBIMatendo 10:1‐48;

1 K ik ji K i i lik1 Katika mji wa Kaisaria palikuwana mtu jina lake Kornelio ambayena mtu jina lake Kornelio, ambaye

alikuwa jemadari wa kilekilichojulikana kama kikosi cha 

Kii liKiitalia.

NGUVU YA SADAKA NA MAOMBIMatendo 10:1‐48;

2 Y lik h M2 Yeye alikuwa mcha Mungupamoja na wote wa nyumbanipamoja na wote wa nyumbanimwake, aliwapa watu sadakanyingi na kumwomba Mungu

d idaima. 

NGUVU YA SADAKA NA MAOMBIMatendo 10:1‐48;

3 Sik j l i i3 Siku moja alasiri, yapata saatisa aliona maono wazi wazitisa, aliona maono wazi wazimalaika wa Mungu akimjia na

kumwambia, “Kornelio!” 

NGUVU YA SADAKA NA MAOMBIMatendo 10:1‐48;

4 K li k k i h k4 Kornelio akamkazia macho kwahofu akasema “Kuna ninihofu akasema,  Kuna nini, 

Bwana?” Malaika akamwambia …

NGUVU YA SADAKA NA MAOMBIMatendo 10:1‐48;

4. Kornelio, sala zako na sadaka zako zimefika mbingunizako zimefika mbinguni …

5 Lakini sasa tuma watu katika5. Lakini sasa, tuma watu katika mji wa Yafa, ukamwite Mtume j ,Petro, atakuambia cha kufanya.

NGUVU YA SADAKA NA MAOMBIMatendo 10:1‐48;

Pamoja na sala zake na sadakazake kufika mbinguni lakini Mzeezake kufika mbinguni, lakini Mzee Kornelio alikuwa amefichwa juuKornelio alikuwa amefichwa juu ya suala muhimu zaidi katika maisha ya mwanadamu, yaani 

WokovuWokovu.

NGUVU YA SADAKA NA MAOMBIMatendo 10:1‐48;

Ndio maana, ilibidi Mungu atume ujumbe kwa Kornelio kwa njia yaujumbe kwa Kornelio, kwa njia ya malaika, ili afanya jambo husika,malaika, ili afanya jambo husika, 

litakalorekebisha kanuni za kiroho, ili kushusha baraka maishani mwake kwa 100%maishani mwake kwa 100%.

NGUVU YA SADAKA

8. Sadaka yako ina uwezo wa kubadilisha hali ya uchumikubadilisha hali ya uchumi,kipato au mahitaji yako.p j y

‘Kuzidisha vilivyopungua’1Wafalme 17:1‐24; 

NGUVU YA SADAKA

Maombi ya Mwanamke huju MjaneMaombi ya Mwanamke huju Mjane, yalishaumba majibu ya mahitajiy j y jyake katika ulimwengu wa kiroho; lakini alik a akitembea chini alakini alikuwa akitembea chini yambingu iliyofungwa, iliyozuiag y g , ymaombi yake (kupata chakula).

NGUVU YA SADAKANGUVU YA SADAKA

Mungu akampeleka Nabii EliyaMungu akampeleka Nabii Eliya kwake, ili amtunze. Katika kufanya yhivyo, akawa ametoa sadaka ya 

chak la sadaka amba ochakula, sadaka ambayo iliyofungulia majibu ya maombi y g j y

yake kutoka rohoni.

NGUVU YA SADAKANGUVU YA SADAKA

Mungu huwa anasikia maombi yakoMungu huwa anasikia maombi yako na anataka sana kukujibu na j

kukupa unachohitaji. Mungu anajua mahitaji et kabla hatamahitaji yetu kabla hata 

hatujamwomba na anataka jkukujaza upungufu wako. 

NGUVU YA SADAKANGUVU YA SADAKA

Ila hawezi kufanya hivyo bila weweIla hawezi kufanya hivyo bila wewe kutimiza kanuni ya kutoa na y

kupokea. Ndio maana anakuletea nafasi a k panda sadaka katikanafasi ya kupanda sadaka katika 

shamba la Bwana.

ZAKA NA SADAKAZAKA NA SADAKA

Kumbuka mfano waKumbuka mfano wa

Ujenzi wa Nyumba (Hema)Ujenzi wa Nyumba (Hema) ya Mungu Jangwaniya Mungu Jangwani

Kutoka 25:1‐9Kutoka 25:1 9Kutoka 36:1‐7Kutoka 36:1 7 

NGUVU YA SADAKA NA IBADANGUVU YA SADAKA NA IBADA

Watu wa MunguWatu wa Mungu waliomheshimu Mungu,waliomheshimu Mungu, 

walitoa mali zao, kuliko hata bajeti iliyokuwa inahitajika 

k jili j i bkwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Mungu kule jangwaniya Mungu kule jangwani.

NGUVU YA SADAKA NA IBADAWatu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

NGUVU YA SADAKA

9. Sadaka yako ina uwezo wa kubadilisha hali ya afya aukubadilisha hali ya afya au 

mwili wako.‘Kufufua vilivyokufa’2Wafalme 4:8‐37; 

NGUVU YA SADAKANGUVU YA SADAKA

Maombi ya Mwanamke huju TajiriMaombi ya Mwanamke huju Tajiri, yalishatengeneza majibu yay g j y

mahitaji yake katika ulimwengu wakiroho lakini alik a akitembeakiroho; lakini alikuwa akitembeachini ya mbingu iliyofungwa, y g y g ,

iliyozuia maombi yake kujibiwa(k t t t )(kupata mtoto).

NGUVU YA SADAKANGUVU YA SADAKA

Mungu akampeleka Nabii ElishaMungu akampeleka Nabii Elisha kwake, ili amtunze. Katika kufanya yhivyo, akawa ametoa sadaka ya 

n mba sadaka amba onyumba, sadaka ambayo iliyofungulia majibu ya maombi y g j y

yake kutoka rohoni.

NGUVU YA SADAKANGUVU YA SADAKA

Mungu huwa anasikia maombi yakoMungu huwa anasikia maombi yako na anataka sana kukujibu na j

kukupa unachohitaji. Mungu anajua mahitaji et kabla hatamahitaji yetu kabla hata 

hatujamwomba na anataka jkukujaza upungufu wako. 

NGUVU YA SADAKANGUVU YA SADAKA

Ila hawezi kufanya hivyo bila weweIla hawezi kufanya hivyo bila wewe kutimiza kanuni ya kutoa na y

kupokea. Ndio maana anakuletea nafasi a k panda sadaka katikanafasi ya kupanda sadaka katika 

shamba la Bwana.

NGUVU YA SADAKANGUVU YA SADAKA

Hata mtoto wake alipokufa sadakaHata mtoto wake alipokufa, sadaka ya huyu mama ilisimama mbele y yza Mungu kama ukumbusho; kitu kilichofan a M ng k mf f liakilichofanya Mungu kumfufulia 

mwanaye aliyakufa.y y

NGUVU YA SADAKA

10. Sadaka yako ina uwezo wa kuweka akiba mbinguni kwakuweka akiba mbinguni kwa 

ajili yakoj yLuk 12:30‐34; Math 6:19‐20.

NGUVU YA SADAKA

Luk 12:30‐34; I dik k b “H iImeandikwa kwamba “Hazina yako ilipo ndipo moyo wakoyako ilipo, ndipo moyo wako 

utakapokuwepo”

NGUVU YA SADAKAMathayo 6:19‐21

“Msijiwekwee hazina duniani, nondo na kutu viharibipo nanondo na kutu viharibipo, na wezi huvunja na kuiba; bali j ;jiwekeeni hazina mbinguni, …

NGUVU YA SADAKAMathayo 6:19‐21

… kusiko haribika kitu kwa nondo wala kutu wala wezi hawavunjiwala kutu, wala wezi hawavunji wala hawaibi; kwakuwa hazina ;yako ilipo, ndipoutakuwapo na 

moyo wako.” 

NGUVU YA SADAKA

Je ulishajiouliza? Hivi, akiba yako au hazina yako huko mbinguniau hazina yako huko  mbinguni  ina kazi gani? Au inafanya nini?  g y

NGUVU YA SADAKA1.  Kutusaidia wakati wa uhitaji

Waebrania 4:16“b i t kik ibi kiti h“basi na tukikaribie kiti cha neema kwa ujasiri ili tupeweneema kwa ujasiri, ili tupewe rehema, na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji”

NGUVU YA SADAKA1.  Kutusaidia wakati wa uhitaji

Wafilipi 3:12Mt P l liMtume Paulo alisema; 

’ninajua kupungukiwa na ninajua’ninajua kupungukiwa na ninajua kuwa na vingi. Katika mambo kuwa na vingi. Katika mamboyote nimefundishwa kushiba na 

kuona njaa.’

NGUVU YA SADAKA

Katika maisha kuna vipindi vya kupungukiwa na kuna vipindikupungukiwa na kuna vipindi 

vya kujazwa. Katika nyakati zote y j ytunayaweza yote kwa yeye Yesu 

anayetutia nguvu. 

NGUVU YA SADAKA

Huwa kuna neenamaalum kutoka kwa Mungukutoka kwa Mungu, 

inayoachiliwa ili kutuvusha ykatika vipindi vigumu maishani mwetu, vipindi vya uhitaji.

NGUVU YA SADAKA

Kama huna akiba mbinguni, ni vigumu sana kupata neema yavigumu sana kupata neema ya 

kukusaidia wakati wa mahitaji/uhitaji.

NGUVU YA SADAKADanieli 9:4Ondoa hofu!

M t i MMungu wetu ni Mungu mwaminifu tena ni Mungumwaminifu, tena ni Mungu    

wa haki.Kumbukumbu 7:9

NGUVU YA SADAKAIsaya 1:19

Ukitii utakula mema ya nchi. Kumbuka kilichompata yuleKumbuka kilichompata yule mama wa Sarepta katikap

1Wafalme 17

NGUVU YA SADAKAKama una hahika na maisha yako 

t ji d k k tik k iya utoaji wa sadaka katika kazi mbalimbali za Mungu hapambalimbali za Mungu hapa 

duniani, utajikuta unapewa au anapata ujasiri wa kumwendea 

MMungu …

NGUVU YA SADAKA

… ili akupe neema ya kukusaidia wakati wa uhitaji kwasababuwakati wa uhitaji kwasababu 

una hazina/akiba kule /mbinguni. 

NGUVU YA SADAKAMathayo 6:19‐21

“Msijiwekwee hazina duniani, nondo na kutu viharibipo nanondo na kutu viharibipo, na wezi huvunja na kuiba; bali j ;jiwekeeni hazina mbinguni, …

NGUVU YA SADAKAMathayo 6:19‐21

… kusiko haribika kitu kwa nondo wala kutu wala wezi hawavunjiwala kutu, wala wezi hawavunji wala hawaibi; kwakuwa hazina ;yako ilipo, ndipoutakuwapo na 

moyo wako.” 

ZAKA NA SADAKA

VIZUIZI VYA NGUVUYA SADAKAYakobo 4:3

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKAVIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

Kwanini tunatoa,Kwanini tunatoa, lakini hatupokei?lakini hatupokei?

Yakobo 4:3Yakobo 4:3

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Kanuni ya Mungu ni kutoa na k k (k d k )kupokea (kupanda na kuvuna).  Kuna nyakati tunapanda lakiniKuna nyakati tunapanda lakini 

hatuvuni, Tunatoa lakini hatupokei.  

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Katika hali kama hiyo, tatizo si 

M k b b BibliMungu, kwasababu, Biblia inasema kwamba;inasema kwamba; 

“Mungu, si mwanadamu hataMungu, si mwanadamu hata aseme uongo” Hesabu 23:19.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Bali ni lazima kwamba, tatizo h lik k M b li khaliko kwa Mungu, bali kwetu sisi wapandaji/watoaji; huwasisi wapandaji/watoaji; huwa 

tunakosea masharti ya kupanda/kutoa.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Mungu anasema; 

Yakobo 4:3 “Hata mwaomba, wala hampati, kwasababu mwaomba vibaya”kwasababu mwaomba vibaya . 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Basi ni lazima na hakika ya 

k bkwamba, “tunatoa lakini hatupokei ni“tunatoa lakini hatupokei, ni 

kwasababu pia tunatoakwasababu pia tunatoa vibaya!!”

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

Yafuatayo ni baadhi ya mamboYafuatayo ni baadhi ya mambo yanayotufanya tusipokee 

mavuno yetu, japo tunajitahidi k d b (k tsana kupanda mbegu (kutoa 

sadaka katika shamba lasadaka katika shamba la Bwana.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

K i iKwanini tunatoa, lakini hatupokei?

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

1. Kutoa wakati milango na madirisha ya mbingumadirisha ya mbingu 

yamefungwa.yamefungwa.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 1. Kutoa wakati mlango

fumefungwa.Yaani; Kutoa sadaka wakatiYaani; Kutoa sadaka wakatiUnamwibia Mungu Zaka naUnamwibia Mungu Zaka na

Malimbuko. (Malaki 3:7‐12) (Mithali 3:9‐10). 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Kutoa sadaka wakati unamwibia M k h k f id kMungu zaka, hakuna faida, kwa sababu madirisha ya mbingunisababu madirisha ya mbinguni yamefungwa.  Sadaka yako 

haitazaa. 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Sadaka yako italeta mavuno 

i d di i hmazuri endapo tu madirisha yako ya mbinguniyako ya mbinguni 

yamefunguliwa kwa zaka unayotoa.  

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Usimwibie Mungu. Toa zaka kwa 

i if U kuaminifu.  Utaanza kuona unapokea mavuno (baraka)unapokea mavuno (baraka) katika kipimo cha kujaa na 

kushindiliwa  hata kumwagika.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

2. Kutoa sadaka bila imani(Waebrania 11:1,6) 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 2. Kutoa sadaka bila imani

(Waebrania 11:1,6) “Imani ni kuwa na uhakika wamambo yatarajiwayo baadaye”mambo yatarajiwayo baadaye . “Na pasipo Imani, haiwezekanip p ,

kumpendeza Mungu” (Ebr 10:38)

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Watu wengi hutoa sadaka lakini, 

h h kik k ilhawana uhakika kuwa ilesadaka itazaa mara 30 au marasadaka itazaa mara 30 au mara

60 au mara 100                  (Math 13:3,8)

Ni kwasababu, watu wengi hutoasadaka bila Imanisadaka bila Imani.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Imani ni nini?

“Imani ni kuwa na uhakika wamambo yatarajiwayo baadaye”mambo yatarajiwayo baadaye”.

Waebrania 11:1Waebrania 11:1

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Imani unaipataje?

“Imani jua kwa kusikia, na kusikiahuja kwa Neno la Kristo ”huja kwa Neno la Kristo.”

Warumi 10:17Warumi 10:17

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Kwahiyo, kama huwa unatoad k kik id bil k lisadaka kikawaida, bila kuuliza

na sikiliza sauti ya Mungu kwana sikiliza sauti ya Mungu kwandani, basi huwa unatoa

kimazoea au kwa aibu ya watui i k I i!wengine, na sio kwa Imani!

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Kutoa sadaka bila imani

(Waebrania 11:1) “Imani ni kuwa na uhakika wamambo yatarajiwayo baadaye”mambo yatarajiwayo baadaye . “Na pasipo Imani, haiwezekanip p ,

kumpendeza Mungu” (Waebrania 11:6)

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Kutoa sadaka bila imani

(Waebrania 11:1) “Imani ni kuwa na uhakika wamambo yatarajiwayo baadaye”mambo yatarajiwayo baadaye . “Na pasipo Imani, haiwezekanip p ,

kumpendeza Mungu” (Waebrania 11:6)

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

Kwasababu hiyo, mbegu yako haitaweza kuzaa kwa maanahaitaweza kuzaa, kwa maana “….kila tendo isilotoka katika….kila tendo isilotoka katika 

imani, ni dhambi” (Rum 14:23)

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Waebrania 11:4

4 Kwa imani Abeli alimtolea Mungu dhabihu/sadaka iliyoMungu dhabihu/sadaka iliyo 

bora zaidi kuliko Kaini. Kwa imani alihesabika kuwa mwenye haki, k k Mkwakuwa Mungu mwenyewe alizishuhudia na kuzikubalializishuhudia na kuzikubali 

sadaka zake.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Waebrania 11:4

Imani ndicho kitu kinachoongeza thamani ya sadaka na utoajithamani ya sadaka na utoaji 

wako mbele za Mungu.gUzuri wa sadaka yako mbele za Mungu sio idadi/kiasi/wingi, bali imani (Utii wa sauti ya Mungu)imani (Utii wa sauti ya Mungu)

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Imani ni nini?

“Imani ni kuwa na uhakika wamambo yatarajiwayo baadaye”mambo yatarajiwayo baadaye”.

Waebrania 11:1Waebrania 11:1

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Imani unaipataje?

“Imani jua kwa kusikia, na kusikiahuja kwa Neno la Kristo ”huja kwa Neno la Kristo.”

Warumi 10:17Warumi 10:17

MUHIMU!

Katika utoaji wa sadaka zetu, ni muhimu sana tukumbuke 

kwamba Mungu anaangaliakwamba, Mungu anaangalia zaidi heshima ya moyo wako,aidi heshima ya moyo wako,kuliko mahesabu ya sadaka.

1 Samweli 16:7

MUHIMU!

1 Samweli 16:7“Lakini BWANA akamwambiaSamweli “Usitazame sura yakeSamweli, “Usitazame sura yakewala kimo chake, kwa kuwawala kimo chake, kwa kuwa

nimemkataa. BWANA hatazamikatika vile vitu mwanadamu

avitazamavyo ”avitazamavyo …” 

MUHIMU!

1 Samweli 16:7“Mwanadamu hutazama katika

sura ya nje lakini BWANAsura ya nje, lakini BWANA hutazama moyoni …”hutazama moyoni …  

MUHIMU!

1 Samweli 15:2222 ‘Lakini Samweli akamjibuMfalme Sauli kusema: JeMfalme Sauli, kusema: Je, 

BWANA anafurahia sadaka za kuteketezwa na dhabihu kama vile kuitii sauti ya BWANA? Kutiini bora zaidi kuliko dhabihu ’ni bora zaidi kuliko dhabihu.

MUHIMU!

Katika utoaji wa sadaka zetu, ni muhimu sana tukumbuke 

kwamba Mungu anaangaliakwamba, Mungu anaangalia zaidi heshima ya moyo wako,aidi heshima ya moyo wako,kuliko mahesabu ya sadaka.

1 Samweli 16:7

MUHIMU!

Mwanzo 23:12Mungu alichokuwa anataka, sio

sadaka ya mtoto Isaka balisadaka ya mtoto Isaka, balimoyo wa heshima na utii wamoyo wa heshima na utii wa

Baba Ibrahimu.

MUHIMU!

Mwanzo 23:1212 Bwana akamwambia Ibrahimu, 

Basi sasa nimejua kwambaBasi sasa nimejua kwambaunanipenda na unaniheshimu, p(na kwamba, moyoni mwako, 

i f i k )umenipa nafasi ya kwanza).

MUHIMU!

Mwanzo 12:2‐32 “Mimi nitakufanya taifa kubwana nitakubariki Nitalikuza jinana nitakubariki, Nitalikuza jinalako, nawe utakuwa baraka.lako, nawe utakuwa baraka. 

MUHIMU!

Mwanzo 12:2‐33 Nitawabariki wale wanaokubariki yeyotewanaokubariki, yeyoteakulaaniye nitamlaani naakulaaniye nitamlaani na kupitia kwako mataifa yote duniani yatabarikiwa.” 

MUHIMU!

Mwanzo 13:22 Naye Ibrahimu alikuwa tajiri

sana wa mifugo fedha nasana wa mifugo, fedha nadhahabu.dhahabu. 

MUHIMU!

Basi ni muhimu ujue kwamba, Mungu anaangalia zaidi

heshima ya moyo wako kulikoheshima ya moyo wako, kuliko mahesabu ya sadaka.mahesabu ya sadaka.

Mwanzo 23:12

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

Kuanzia sasa, pokea uhakika kwamba ukitoa kwa imani yakwamba, ukitoa kwa imani ya kupokea, utapokea. Ukitoa bilakupokea, utapokea. Ukitoa bila imani ya kupokea, hautapokea, 

utakuwa umechangia tu.

SADAKA NA IBADA KWAMUNGUSADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Uwe mwanagalifu sana nafasiUwe mwanagalifu sana nafasi ya utoaji inapopita mbeleya utoaji inapopita mbele 

yako; ni bora kuuliza mapema nakuweza kusikia kwa 

usahihi uongozi wa sauti yausahihi, uongozi wa sauti ya Mungu, kutokea ndani yako.Mungu, kutokea ndani yako.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Waebrania 11:4

Imani ndicho kitu kinachoongeza thamani ya sadaka na utoajithamani ya sadaka na utoaji 

wako mbele za Mungu.gUzuri wa sadaka yako mbele za Mungu sio idadi/kiasi/wingi, bali imani (Utii wa sauti ya Mungu)imani (Utii wa sauti ya Mungu)

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 2Wakorintho 9:6

Hakuna mkulima anayeweza kutoa kidogo wakati anaaminikutoa kidogo, wakati anaaminimavuno ya mbegu yatakuwamavuno ya mbegu yatakuwa 

mengi. 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 2Wakorintho 9:6

Lakini mtu anayetoa kidogo, hana imani ya kupokeahana imani ya kupokea.  Anaamini kwamba, hiyoAnaamini kwamba, hiyo 

anayotoa “inapotea”na ndio maana anaona ni bora apoteze kidogo kuliko kupoteza nyindikidogo kuliko kupoteza nyindi.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 2Wakorintho 9:6

Lakini mwenye imani ya kupokea hutoa kwa wingi kwakupokea, hutoa kwa wingi kwa sababu anajua sadaka yakesababu anajua sadaka yake haipotei, bali imepandwa na baada ya muda fulani, itazaa 

sanasana.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 2Wakorintho 9:6

Kwasababu hiyo, mbegu yako haitaweza kuzaa kwa maanahaitaweza kuzaa, kwa maana “….kila tendo isilotoka katika….kila tendo isilotoka katika 

imani, ni dhambi” (Rum 14:23)

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

Kwa Mfano (i);Kutoa sadaka pungufu ya ile

uliyotakiwa kutoauliyotakiwa kutoa(Matendo 5:1‐11)(Matendo 5:1 11)Anania na Safira

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

Kwa Mfano (ii);Kutoa sadaka sehemu au mahali

ambako hukutakiwa kutoaambako hukutakiwa kutoa(Kumbukumbu 12:13‐14)(Kumbukumbu 12:13 14)

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Kumbukumbu 12:13‐14

13 Iweni waangalifu, msitoe dhabihu zenu za kuteketezwadhabihu zenu za kuteketezwa 

mahali po pote mnapopapenda.mahali po pote mnapopapenda. 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Kumbukumbu 12:13‐14

14 Mtazitoa tu mahali pale ambapo BWANA atachaguaambapo BWANA atachagua katika mojawapo ya makabilakatika mojawapo ya makabila yenu, nanyi hapo zingatieni kila 

jambo ninalowaamuru.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Kwa Mfano wa Mpanzi;

Mathayo 13:1‐9.  T ti h lik k i lTatizo halikuwa kwa mpanzi, wala katika mbegu zake, bali katikakatika mbegu zake, bali katika 

“mahali” mbegu hizo zilipoangukia. 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Kwa Mfano wa Mpanzi;

Mathayo 13:1‐9.  Si kil d i d tif tifSi kila udongo, ni udongo tifu‐tifu.  Udongo tifu‐tifu ni pale mahaliUdongo tifu tifu ni pale mahali 

Roho anakuongoza kutoa.  Mahali ambapo kazi ya Mungu inafanyika vizuri kwa utukufu wa Munguvizuri kwa utukufu wa Mungu.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

Kwa Mfano (iii);Kutoa sadaka wakati au muda

ambao hukutakiwa kutoaambao hukutakiwa kutoa(Mhubiri 3:1‐8)(Mhubiri 3:1 8)

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Mhubiri 3:1‐8

1 Kuna wakati kwa ajili ya kila jambo nayo majira kwa kila tendojambo, nayo majira kwa kila tendo 

chini ya mbingu: 2 Wakati wa kuzaliwa na wakati wa k f k ti k d k tikufa, wakati wa kupanda na wakati 

wa kung'oa yaliyopandwa,g y y p ,

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Roho Mtakatifu na akuongoze 

(Warumi 8:14)‘Wale wanaoongozwa na Roho wa Mungu hao ndio wana wawa Mungu, hao ndio wana wa Mungu (wanaorithi ahadi g (mbalimbali za Mungu)’(Wagalatia 3:27/4:1 )

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Roho Mtakatifu na akuongoze 

(Yohana 16:13)‘Kwa maana Roho wa Mungu atawapasha habari za mamboatawapasha habari za mambo 

yajayo’.y j y

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

1 Samweli 15:22‘K ii i b idi k lik‘Kutii ni bora zaidi kuliko

dhabihu ’dhabihu.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

Isaya 1:19‘ kik b li k ii k l‘mkikubali na kutii, mtakula

mema ya nchi ’mema ya nchi.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

3. Kutoa ukiwa na Uovu moyoni mwakomoyoni mwako Mith 21:27Mith 21:27

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 3. Kutoa ukiwa na Uovu moyoni

Mith 21:2727 Dhabihu au Sadaka ya mtumwovu ni chukizo si zaidi sanamwovu ni chukizo, si zaidi sanaitolewapo kwa nia mbaya!p y

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Isaya 1:10 –20;

10 Sikieni neno la BWANA, ninyi watawala wa Sodoma sikilizeniwatawala wa Sodoma, sikilizeni sheria ya Mungu wetu, wenyisheria ya Mungu wetu, wenyi 

watu wa Gomora!

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Isaya 1:10 –20;

11 “BWANA anasema, “Wingi wa sadaka zenu ni kitu ganisadaka zenu, ni kitu gani

kwangu?’’kwangu?

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Isaya 1:10 –20;

12 Mnapokuja kujihudhurisha mbele zangu ni nanimbele zangu, ni nani 

aliyewataka ninyi mfanye hivyo,aliyewataka ninyi mfanye hivyo, huku kuzikanyaga nyua zangu?

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Isaya 1:10 –20;

12 Mnapokuja kujihudhurisha mbele zangu ni nanimbele zangu, ni nani 

aliyewataka ninyi mfanye hivyo,aliyewataka ninyi mfanye hivyo, huku kuzikanyaga nyua zangu?

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Isaya 1:10 –20;

13 Acheni kuniletea sadaka zisizokuwa na maana! Uvumbazisizokuwa na maana! Uvumba 

wenu ni chukizo kwangu. gMiandamo ya Mwezi, Sabato na 

ik t ib d i imikutano ya ibada, siwezi kuvumilia makusanyiko yenukuvumilia makusanyiko yenu 

maovu?

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Isaya 1:10 –20;

14 Sikukuu zenu za Miandamo ya Mwezi na sikukuu zenuMwezi na sikukuu zenu 

zilizoamriwa moyo wanguzilizoamriwa moyo wangu unazichukia. Zimekuwa mzigo 

kwangu, nimechoka kuzivumiliakuzivumilia.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Isaya 1:10 –20;

15 Mnaponyosha mikono yenu katika kuomba nitaficha machokatika kuomba, nitaficha macho 

yangu nisiwaone, hatayangu nisiwaone, hata mkiomba maombi mengi 

sitasikiliza. Mikono yenu imejaa damudamu,

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Isaya 1:10 –20; 

16 jiosheni na mkajitakase.  Yaondoeni matendo yenuYaondoeni matendo yenu 

maovu mbele zangu! Achenimaovu mbele zangu! Acheni kutenda mabaya,

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Isaya 1:10 –20;

17 jifunzeni kutenda mema! Tafuteni haki watieni moyoTafuteni haki, watieni moyo walioonewa. Teteeni shauri lawalioonewa. Teteeni shauri la yatima, wateteeni wajane.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Isaya 1:10 –20;

18 ‘‘Njoni basi na tuhojiane,’asema BWANA ‘‘Ingawa dhambiasema BWANA.  Ingawa dhambi zenu ni kama rangi nyekundu g yzitakuwa nyeupe kama theluji, i i k d kingawa ni nyekundu sana kama damu, zitakuwa nyeupe kamadamu, zitakuwa nyeupe kama 

sufu

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Isaya 1:10 –20;

19 Kama mkikubali na kutii, mtakula mema ya nchi 20 lakinimtakula mema ya nchi, 20 lakini 

kama mkikataa na kuasi,kama mkikataa na kuasi, mtaangamizwa kwa upanga.’’ Kwa kuwa kinywa cha BWANA 

kimenenakimenena.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

4. Kutoa sadaka kilema Malaki 1:13‐ 14  W l i 22 20 25Walawi 22:20‐25

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Malaki 1:13‐14

13 “Wakati mnapowaleta wanyama mliopokonya kwawanyama mliopokonya kwa nguvu, vilema au walio g

wagonjwa na kuwatoa kama dh bih j i k b li k t kdhabihu, je, niwakubali kutoka mikononi mwenu?’’ asemamikononi mwenu?  asema 

BWANA.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Malaki 1:13‐14

14‘‘Amelaaniwa yeye adanganyaye aliye na mnyama wa kiumealiye na mnyama wa kiume 

anayekubalika katika kundi lake yna kuweka nadhiri ya kumtoa, 

l ki i k dh bihlakini akatoa dhabihu ya mnyama aliye na waa kwa Bwanaaliye na waa kwa Bwana. 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Malaki 1:13‐14

14 … Kwa kuwa mimi ni mfalme mkuu nalo jina langu linapaswamkuu, nalo jina langu linapaswa 

kuogopwa miongoni mwakuogopwa miongoni mwa mataifa,’’ asema BWANA 

Mwenye Nguvu. 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Walawi 22:20‐25

20 Kamwe usitoe kitu cho chote chenye dosari kwa sababuchenye dosari kwa sababu 

hakitakubaliwa kwa niaba yako.hakitakubaliwa kwa niaba yako.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Walawi 22:20‐25

21 Mtu ye yote aletapo sadaka ya amani kwa BWANA kutoka kundiamani kwa BWANA kutoka kundi la ngo'mbe au mbuzi ili kutimiza gnadhiri maalum au sadaka ya 

hi i l i d k hi i ihiari, lazima sadaka hiyo isiwe na dosari au waa ili ikubalike.dosari au waa ili ikubalike.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Walawi 22:20‐25

21 Mtu ye yote aletapo sadaka ya amani kwa BWANA kutoka kundiamani kwa BWANA kutoka kundi la ngo'mbe au mbuzi ili kutimiza gnadhiri maalum au sadaka ya 

hi i l i d k hi i ihiari, lazima sadaka hiyo isiwe na dosari au waa ili ikubalike.dosari au waa ili ikubalike.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 4. Kutoa sadaka kilema 

Walawi 22:20‐25Kwa Mfano;

Bidh ili k i h dBidhaa zilizokwisha muda, au zilizokataliwa, au zisizo na hadhizilizokataliwa, au zisizo na hadhi 

kuliko iliyobaki nyumbani.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

5. Kutoa sadaka dhalimu/haramu (Malaki 3:12 13)(Malaki 3:12‐13)

Sadaka iliyo ’najisi’.Sadaka iliyo  najisi .

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Malaki 1:13‐14

13 “Wakati mnapowaleta wanyama mliopokonya kwawanyama mliopokonya kwa nguvu, vilema au walio g

wagonjwa na kuwatoa kama dh bih j i k b li k t kdhabihu, je, niwakubali kutoka mikononi mwenu?’’ asemamikononi mwenu?  asema 

BWANA.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Malaki 1:13‐14

14‘‘Amelaaniwa yeye adanganyaye aliye na mnyama wa kiumealiye na mnyama wa kiume 

anayekubalika katika kundi lake yna kuweka nadhiri ya kumtoa, 

l ki i k dh bihlakini akatoa dhabihu ya mnyama aliye na waa kwa Bwanaaliye na waa kwa Bwana. 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Malaki 1:13‐14

14 … Kwa kuwa mimi ni mfalme mkuu nalo jina langu linapaswamkuu, nalo jina langu linapaswa 

kuogopwa miongoni mwakuogopwa miongoni mwa mataifa,’’ asema BWANA 

Mwenye Nguvu. 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 5. Kutoa sadaka dhalimu/haramu 

Kwa mfano; Biashara haramu, dhuluma, 

rushwa wizi uuaji utapeli uasirushwa, wizi, uuaji, utapeli, uasi n.k. Sadaka ya namna hii, y ,haitabarikiwa.  Ni haramu.

Isaya 1:10 –20; Amosi 5:22‐27.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Amosi 5:22‐27;

22 Hata ingawa mnaniletea sadaka zenu za kuteketezwa nasadaka zenu za kuteketezwa na sadaka za nafaka, sitazikubali.sadaka za nafaka, sitazikubali. Ingawa mnaniletea sadaka nzuri 

za amani, sitazitambua.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Amosi 5:22‐27;

23 Niondoleeni kelele za nyimbo zenu! Sitasikiliza sauti za vinubizenu! Sitasikiliza sauti za vinubi vyenu. 24 Lakini acheni hakivyenu. 24 Lakini acheni haki 

itiririke kama mto,

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Amosi 5:22‐27;

25“Je, mliniletea dhabihu na sadaka mlipokuwa jangwanisadaka mlipokuwa jangwani miaka arobaini, Ee nyumba yamiaka arobaini, Ee nyumba ya 

Israeli?

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Amosi 5:22‐27;

26 Mmeyainua madhabahu ya mfalme wenu Sakuthi mungumfalme wenu, Sakuthi mungu wenu mtawala, Kiuni munguwenu mtawala, Kiuni mungu 

wenu wa nyota, ambao mliwatengeneza wenyewe.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Amosi 5:22‐27;

27 Kwa sababu hiyo itawapelekeni uhamishoniitawapelekeni uhamishoni 

mbali kupita Dameski,” asemambali kupita Dameski,  asema BWANA, ambaye jina lake ni 

Mungu Mwenyezi. 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

6. Kutoa sadaka bila upendo wa Kristo ndani yakoKristo ndani yako.

(1Wakorintho 13:1‐4)(1Wakorintho 13:1‐4)

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 1Wakorintho 13:1‐4

1 Hata kama nitasema kwa lugha za wanadamu na za malaikaza wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwakama sina upendo, nimekuwa kengele inayolialia au toazi 

livumalo.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 1Wakorintho 13:1‐4

2 Ningekuwa na karama ya unabii na kujua siri zote naunabii na kujua siri zote na 

maarifa yote, hata kama ninamaarifa yote, hata kama nina imani kiasi cha kuweza 

kuhamisha milima, kama sina upendo mimi si kituupendo, mimi si kitu.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 1Wakorintho 13:1‐4

3 Kama nikitoa mali yote niliyo nayo na kama nikijitolea mwilinayo na kama nikijitolea mwili wangu uchomwe moto, kamawangu uchomwe moto, kama sina upendo, hainifaidii kitu.Biblia inasema “No profit” 

( f )(Huna faida)

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 6. Kutoa Sadaka bila Upendo wa

M d i kMungu ndani yako.(Mathayo 5:23 25)(Mathayo 5:23‐25)

Kama umekorofishana na mtuKama umekorofishana na mtu, yakupasa kutengenezay p g

uhusiano wenu kwanza, kablak kya kutoa sadaka.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA “Ungamaneni dhambi ninyi kwa i i t k ” (Y k 5 16)ninyi mpate kuponywa.”  (Yak 5:16) Upendo wa kweli unaunganishwa p gna amani ya rohoni (Efe 4:1‐3). 

T f t i k bidii k iTafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifuna watu wote, na huo utakatifu ambao pasipo huo, mtu hawezi k ( b )kumwona Mungu (Ebr 12:14)

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Mungu anataka tutafute kwa bidii

i ( d j ) ili t tamani (upendo na umoja) ili tupatena baraka zake maishani.  Upendo pwa kweli, huleta umoja, ambapo M b k kMungu ameamuru baraka zake.  

(Zab 133:1‐3)(Zab 133:1 3)

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 1Samweli 15:22

Hali ya moyo ndicho kitu kinachoongeza thamani ya sadakakinachoongeza thamani ya sadaka na utoaji wako mbele za Mungu.Uzuri wa sadaka yako mbele za 

i id di/ki i/ i iMungu sio idadi/kiasi/wingi, heshima ya moyoni juu ya Munguheshima ya moyoni juu ya Mungu.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

7. Kutoa sadaka ili usifiwe    (Math 6:2 4; Mith 21 27)(Math 6:2‐4; Mith 21‐27)

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Mithali 21:27

27 Dhabihu ya mtu mwovu ni chukizo si zaidi sana itolewapochukizo, si zaidi sana itolewapo 

kwa nia mbaya!kwa nia mbaya!

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Mathayo 6:2‐4;

2‘‘Hivyo mnapowapa wahitaji, msipige panda mbele yenu kamamsipige panda mbele yenu kama 

wafanyavyo wanafiki katika y ymasinagogi na mitaani, ili ifi t A i iwasifiwe na watu. Amin, amin 

nawaambia wao wamekwishanawaambia wao wamekwisha kupokea thawabu yao. 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Mathayo 6:2‐4;

3 Lakini ninyi mtoapo sadaka, fanyeni kwa siri hata mkonofanyeni kwa siri, hata mkono 

wako wa kushoto usijue mkonowako wa kushoto usijue mkono wako wa kuume unachofanya,  4 ili sadaka yako iwe ni siri. 

Ndipo Baba yako wa mbinguniNdipo Baba yako wa mbinguni. 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Mathayo 6:2‐4;

Usitoe sadaka kwa madhumuni ya kusifiwa au kuonekana; hataya kusifiwa au kuonekana; hata 

kama ni sadaka ya wazi.kama ni sadaka ya wazi. 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

8. Kutoa sadaka kwa kunung’unikakunung’unika. 

2Wakoritho 9: 6‐82Wakoritho 9: 6‐8

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 2Wakoritho 9: 6‐8

7 Kila mtu atoe kama anavyokusudia moyoni mwakeanavyokusudia moyoni mwake, 

si kwa uchoyo au kwasi kwa uchoyo au kwa kulazimishwa, kwa maana 

Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo mkunjufukwa moyo mkunjufu. 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 2Wakoritho 9: 6‐8

8 Naye Mungu aweza kuwapa kila baraka kwa wingi ili katikakila baraka kwa wingi, ili katika mambo yote kila wakati, mwemambo yote kila wakati, mwe na kila kitu mnachohitaji, ili mweze kushiriki kwa wingi katika kila kazi njemakatika kila kazi njema.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

9. Kutoa sadaka ili kukubaliwa na Munguna Mungu. 

Matendo 10: 1‐6Matendo 10: 1‐6

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Matendo 10: 1‐6

Kornelio alidhani Mungu atamhesabia haki kwa wingi waatamhesabia haki kwa wingi wa sadaka na sala zake.  Lakini Mungu alimhurumia na 

k h hihiakamwonyesha namna sahihi ya kuhesabiwa haki Yaani wokovukuhesabiwa haki.  Yaani wokovu 

kupitia kwa Yesu Kristo.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Matendo 10: 1‐46

1. Katika mji wa Kaisaria palikuwa na mtu jina lakepalikuwa na mtu jina lake Kornelio, ambaye alikuwaKornelio, ambaye alikuwa 

jemadari wa kile kilichojulikana kama kikosi cha Kiitalia.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Matendo 10: 1‐46

2 Yeye alikuwa mcha Mungu pamoja na wote wa nyumbanipamoja na wote wa nyumbani mwake, aliwapa watu sadakamwake, aliwapa watu sadaka nyingi na kumwomba Mungu 

daima.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Matendo 10: 1‐46

3 Siku moja alasiri, yapata saa tisa aliona maono wazi wazitisa, aliona maono wazi wazi malaika wa Mungu akimjia namalaika wa Mungu akimjia na 

kumwambia, “Kornelio!”

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Matendo 10: 1‐46

4 Kornelio akamkazia macho kwa hofu akasema “Kuna ninihofu akasema, “Kuna nini, 

Bwana?” Malaika akamwambia,Bwana?  Malaika akamwambia, “Sala zako na sadaka zako kwa wahitaji zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Munguukumbusho mbele za Mungu. 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Matendo 10: 1‐46

5 Sasa tuma watu waende Yafa wakamwite mtu mmoja jina lakewakamwite mtu mmoja jina lake 

Simoni aitwaye Petro. 6 Yeye anaishi na Simoni 

ji i bmtengenezaji ngozi ambaye nyumba yake iko kando ya baharinyumba yake iko kando ya bahari. 

Atakwambia cha kufanya”

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Matendo 10: 1‐46

34 “Ndipo Petro akafumbua kinywa chake akasema “Mungukinywa chake akasema, “Mungu 

hana upendeleo, 35 Lakinihana upendeleo, 35 Lakini katika kila taifa ,kila mtu 

amchaye na kutenda yaliyo haki hukubaliwa nayehukubaliwa naye.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Matendo 10: 1‐46

36 Ninyi mnajua ule ujumbe uliotumwa kwa Israeliuliotumwa kwa Israeli, 

ukitangaza habari njema yaukitangaza habari njema ya amani kwa Yesu Kristo. Yeye ni 

Bwana wa wote.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Matendo 10: 1‐46

44 Wakati Petro akiwa anasema maneno hayo Roho Mtakatifumaneno hayo, Roho Mtakatifu aliwashukia wote waliokuwaaliwashukia wote waliokuwa 

wakisikiliza ule ujumbe.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Matendo 10: 1‐46

45 Wale wa tohara waliomini waliokuwa wamekuja pamojawaliokuwa wamekuja pamoja na Petro walishangaa kuonana Petro walishangaa kuona 

kuwa kipawa cha Roho Mtakatifu kimemwagwa juu ya 

watu Mataifawatu Mataifa.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Matendo 10: 1‐46

46 Kwa kuwa waliwasikia wakinena kwa lugha mpya nawakinena kwa lugha mpya na kumwadhimisha Mungu.kumwadhimisha Mungu.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Matendo 10: 1‐6

Kornelio alidhani Mungu atamhesabia haki kwa wingi waatamhesabia haki kwa wingi wa sadaka na sala zake.  Lakini Mungu alimhurumia na 

k h hihiakamwonyesha namna sahihi ya kuhesabiwa haki Yaani wokovukuhesabiwa haki.  Yaani wokovu 

kupitia kwa Yesu Kristo.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Matendo 10: 1‐6

Watu wengi wanatumia sadaka kutafuta haki ya Mungu Sadakakutafuta haki ya Mungu. Sadaka 

za hivyo, hazileti baraka.za hivyo, hazileti baraka.  Zinafanana na hongo. Huwezi kumhonga Mungu kwa pesa au 

maombimaombi.  

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Matendo 10: 1‐6

Haki ya Mungu inapatikana bure, kwa toba ya kweli na wokovukwa toba ya kweli na  wokovu 

kupitia Yesu Kristo.kupitia Yesu Kristo. (Matendo 10:17‐48) ( )(Waefeso 2:8‐9)

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

10. Kutokupalilia sadaka kwa maombimaombi. 

Malaki 3:10‐11Malaki 3:10‐11

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

Malaki 3:7‐1210 Nijaribuni katika hili,’’ asema BWANA Mwenye Nguvu ‘‘nanyiBWANA Mwenye Nguvu,  nanyi mwone kama sitawafungulia gmadirisha ya mbinguni na 

kuwamwagieni baraka nyingi mpaka mkose nafasi ya kutoshampaka mkose nafasi ya kutosha 

au la. 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Malaki 3:7‐12

11 N i k jili11 Nami kwa ajili yenunitamkemea yeye alaye walanitamkemea yeye alaye, walahataharibu mazao ya ardhiyenu, wala mzabibu wenu

hautapukutisha matunda yakehautapukutisha matunda yakekabla ya wakati wake,’’ asemay

BWANA Mwenye Nguvu. 

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Mathayo 16:18‐19

18 N i it lij k i l18 Nami nitalijenga kanisa langu, wala milango ya kuzimu, haiwezig y ,

kulishinda. 19 N i i k f19 Nami nitakupa funguo za

Ufalme, mambo utakayoyafungaUfalme, mambo utakayoyafungaduniani, yatakuwa yamefungwa

bi imbinguni.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

Mathayo 16:18‐1919 … Na mambo utakayoyafungua 

duniani yatakuwaduniani, yatakuwa yamefunguliwa mbinguni.y g g

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

Mathayo 16:18‐19Mbegu na mazao tunayoyatarajia, 

yasipolindwa kwa nguvu zayasipolindwa kwa nguvu za Mungu, shetani hatakosa g

kujaribu kuyapukutisha kabla ya k ti t kwakati wetu wa kuvuna.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

2Wakorintho 2:11‘Ibili i ij k t k t hi d‘Ibilisi asije akapata kutushinda kwa sisi kukosa kuzijua fikrakwa sisi kukosa kuzijua fikra zake, hila zake na mbinu zake.’

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

2Wakorintho 2:11Wakati mwingine, ucheleweshaji wa mavuno si kutokana na haliwa mavuno, si kutokana na hali halisi za kiasili, bali ni hila za 

shetani.Kumbuka, yeye ndiye hupanda magugu ili mbegu bora zisizaemagugu ili mbegu bora zisizae.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

Waefeso 6:10‐1310 Iweni hodari katika Bwana na 

katika uweza wa nguvu zake;katika uweza wa nguvu zake; 11 Vaeni silaha za Mungu, ili11 Vaeni silaha za Mungu, ili muweze kuzishinda hila za 

shetani.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

Waefeso 6:10‐1312 Kwa maana kushindana kwetu si juu ya damu na nyama bali nisi juu ya damu na nyama, bali ni juu ya falme za giza, mamlaka za j y ggiza, wakuu wa giza na majeshi 

b k tikya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.ulimwengu wa roho.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

Waefeso 6:10‐1313 Kwahiyo, twaeni silaha zote za Mungu ili muweze kushindanaMungu, ili muweze kushindana. Na mkiisha kuyashinda yote, y y

kusimama.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Mathayo 16:18‐19

M h f i j b l l tMungu hafanyi jambo lolotempaka mtu awepo wa kumfanyap p y

afanye. Nguvu za Mungu zakukemea wadudu waharibifu wakukemea wadudu waharibifu wa

mazao yetu (mavuno yetu), y ( y )zinategemea nafasi yetu ya

kimaombikimaombi.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA Mathayo 16:18‐19

18 N i it lij k i l18 Nami nitalijenga kanisa langu, wala milango ya kuzimu, haiwezig y ,

kulishinda. 19 N i i k f19 Nami nitakupa funguo za

Ufalme, mambo utakayoyafungaUfalme, mambo utakayoyafungaduniani, yatakuwa yamefungwa

bi imbinguni.

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

Mathayo 16:18‐1919 … Na mambo utakayoyafungua 

duniani yatakuwaduniani, yatakuwa yamefunguliwa mbinguni.y g g

VIZUIZI VYA MAVUNO YA SADAKA 

Malaki 3:10‐11‐12Mbegu na mazao tunayoyatarajia, yanatakiwa kulindwa kwa nguvuyanatakiwa kulindwa kwa nguvu za Mungu, ili shetani ashindwe gkuyazuia au kuyapukutisha kabla 

k ti t kya wakati wetu wa kuvuna.

Ibada na UtoajiIbada na Utoaji

Hitimisho!

Kutoka 25:1‐9/36:1‐7Kutoka 25:1 9/36:1 7

Watu wa MunguWatu wa Mungu waliomheshimu Mungu,waliomheshimu Mungu, 

walitoa mali zao, kuliko hata bajeti iliyokuwa inahitajika 

k jili j i bkwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Mungu kule jangwaniya Mungu kule jangwani.

Kutoka 25:1‐9/36:1‐7Watu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao watatoa mali zao kwayao, watatoa mali zao kwa 

heshima na utii, na kwa moyo , ywa furaha, na kazi ya Mungu inakwenda vizuri, nasi sote 

tunabarikiwa sanatunabarikiwa sana.   

IBADA NA UTOAJI

2 Wakorintho 9:6‐8, 11,6 Kumbukeni kwamba: Ye yote apandaye kwa uchache pia t k h hatavuna kwa uchache, naye apandaye kwa ukarimu piaapandaye kwa ukarimu pia atavuna kwa ukarimu. 

IBADA NA UTOAJI

2 Wakorintho 9:6‐8, 11,7 Kila mtu atoe kama 

anavyokusudia moyoni mwake, i k h ksi kwa uchoyo au kwa 

kulazimishwa kwa maanakulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda yeye atoaye 

kwa moyo mkunjufu. 

IBADA NA UTOAJI

2 Wakorintho 9:6‐8, 11,8 Naye Mungu aweza kuwapa kila baraka kwa wingi, ili katika 

b t kil k timambo yote kila wakati, mwe na kila kitu mnachohitaji ilina kila kitu mnachohitaji, ili mweze kushiriki kwa wingi katika kila kazi njema. …

NGUVU YA SADAKA NA MAOMBINGUVU YA SADAKA NA MAOMBI

Sadaka ni moja ya kanuni zaSadaka, ni moja ya kanuni za kiroho, zinazoathiri Ulimwengukiroho, zinazoathiri Ulimwengu 

wa roho ili kusababisha mabadiliko fulani kutokea 

katika ulimwengu wa kimwilikatika ulimwengu wa kimwili.

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kanisa la Mungu ni Ofisi ya Mungu na Ubalozi wa Mbinguniduniani Hivyo Mungu anatakaduniani. Hivyo Mungu anataka Kanisa lake (Ofisi yake) iwe na ( y )watendakazi walio bora zaidi na itoe huduma bora zaidi kuliko taasisi zingine za dunianitaasisi zingine za duniani.

IBADA NA UTOAJI

Luka 11:27‐28Luka 11:27 2827 Ikawa Yesu alipokuwa pakisema hayo, mwanamke 

k k lmmoja katikati ya ule umati wa watu akapaza sauti akasemawatu akapaza sauti akasema, 

“Limebarikiwa tumbo lililokuzaa na matiti yaliyokunyonyesha!”

IBADA NA UTOAJI

Luka 11:27‐28Luka 11:27 2828 Yesu akajibu, j ,

“Wamebarikiwa zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu

na kulitii au kulitenda.”

IBADA NA UTOAJI

Yohana 13:17Yohana 13:17Bwana Yesu akawaambia 

wanafunzi wake, “Ni heri mkiyajua haya, ni heri mkiyatenda.”

Ibada na UtoajiIbada na Utoaji

Mwisho!

Mafundisho MengineMafundisho Mengine

Vitabu vingine, CD na DVD za g ,Mafundisho vya Mwalimu Mgisa 

M b ik k ik d k lMtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo laVitabu vya Kikristo la Azania Front Cathedral 

Luther House, Sokoine DriveDar es Salaam.

Kwa mawasiliano zaidi,Kwa mawasiliano zaidi,

Mwl Mgisa MtebeMwl. Mgisa Mtebe (Christ Rabbon Ministry)

P. O. Box 837,Dar es Salaam TanzaniaDar es Salaam, Tanzania.

+255 713 497 654+255 783 497 654

mgisamtebe@yahoo.com